Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.45.0-wmf.9 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Event Event talk Historia ya Rwanda 0 2383 1437013 1436470 2025-07-11T22:41:25Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'hiyo' kwenye sentensi na pia nimeongeza linki 1437013 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Rwanda''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Rwanda]]. ==Historia ya kale== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. [[Rwanda]] ilikuwa chini ya utawala wa kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la [[Ziwa la Muhazi]]. Watawala wenye cheo cha "''mwami''" kutoka kikundi cha wafugaji ([[Watutsi]]) walitanua eneo lao tangu miaka ya karne ya 16 [[BK]] hadi kufika eneo la leo. Wafugaji wa ng'ombe Watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa [[Kihutu]] na wavindaji Watwaa. ==Ukoloni wa Kijerumani== [[Ukoloni]] ulichelewa kufika Rwanda; mwaka 1890 [[Ujerumani]] na [[Uingereza]] walipatana ya kuwa [[Rwanda]] na [[Burundi]] ni sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. Lakini ilikuwa mwaka 1908 tu ya kwamba Wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa Rwanda kama mwakilishi wa serikali ya Ujerumani. Mwaka 1916 [[Ubelgiji]] na Uingereza walivamia Rwanda katika [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baadaye ikawa chini ya Ubelgiji pamoja na Burundi kama "[[Rwanda-Urundi]]" katika hali ya [[eneo la kudhaminiwa]] kutokana na azimio la [[Shirikisho la Mataifa]]. ==Ukoloni wa Ubelgiji== Utawala wa [[Wabelgiji]] ulikuwa wa moja-kwa moja na mkali zaidi kuliko Wajerumani. Wabelgiji walijaribu kutoa faida ya kiuchumi wakilazimisha wenyeji kupanda mikahawa na kutekeleza kazi za serikali ya kikoloni. Katika utawala wao [[Wabelgiji]] walitumia zaidi Watutsi wakiwapa nafasi za elimu na kuwatumia katika shughuli za serikali. Wataalamu wengine huamini ya kwamba siasa hii ilisababisha kukua kwa chuki dhidi ya Watutsi kwa upande wa wakulima Wahutu iliyoleta kumwaga kwa damu baadaye. Katika [[miaka ya 1950]] ilionekana ya kwamba ukoloni unaelekea mwisho wake. Uhusiano kati ya Wahutu na Watutsi ukawa vigumu kwa sababu [[Wabelgiji]] walibadilisha siasa yao yakupendelea Watutsi wakidai haki zaidi kwa ajili ya Wahutu waliokuwa wengi. Na hasa wamisionari wa katoliki [[Mapadre Weupe]] walisimama upande wa Wahutu wakiona ndio wagandamizwa. Mwami [[Mutara Rudahigwa]] aliyejiita pia Charles alijaribu kuleta upatanishi kati ya vikundi katika nchi. Mwaka [[1954]] aligawa nchi ya kifalme kati ya Wahutu na Watutsi. Lakini alikuwa na wapinzani Watutsi waliomuua mwaka [[1959]]. [[Mtoto]] wake Mwami [[Kigeri V]] aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia [[Uganda]]. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa [[Mouvement Democratique Republicain]] (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali hiyo nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha [[Parmehutu]] kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka [[1961]]. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire [[Kayibanda]] kuwa Raisi. ==Uhuru== Tarehe [[1 Julai]] [[1962]] Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 wameshakuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya Watutsi yaliendelea. Wanasiasa Wahutu walizoea kuwaita Watusi ndio "Wadudu". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbilia Burundi, Uganda na [[Tanzania]]. Mwaka [[1973]] jenerali [[Habyarimana]] alimpindua rais Kayibanda na kuanzisha serikali ya kijeshi akijaribu kupatanisha vikundi ndani ya taifa. Lakini hata mwaka uliofuata [[1974]] mauaji ya Watutsi yalitokea tena. Mnamo [[1990]] ilikuwa wazi ya kwamba Rwanda ilikuwa na hali ngumu. Kwa upande moja nchi za nje zilisukuma serikali za Afrika kuruhusu kura huru za kisiasa; katika Rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo. Uchumi ilikuwa duni. Wakati huohuo wapinzani Wahutu walikusanyika nje ya nchi na kudai demokrasia. Na kati ya watoto wa Watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena. Habyarimana alijaribu kutafuta suluhisho akanza kujadiliana na Watutsi wa nje lakini alikuta pia upinzani kwa upande wa Wahutu wakali waliochukia uelewano wa Watutsi. ==RPF inajaribu kurudi Rwanda kutoka Uganda== Mnamo Oktoba [[1990]] Watutsi waliokaa Uganda walianzisha chama cha [[RPF]] (Rwanda Patriotic Front) wakiwa na wafuasi wahutu wachache wakavamia Rwanda kwa silaha. Kiongozi wao alikuwa [[Paul Kagame]] aliyeondoka Rwanda akiwa mtoto wa miaka minne. Alikuwa amejiunga na jeshi la [[Yoweri Museveni]] na kupanda ngazi katika jeshi la Uganda hadi kuwa mkuu wa huduma ya usalama ya kijeshi ya Uganda. Walitaka kulazimisha serikali ibadilishe hali ya Watutsi kuwa raia bila haki. Lakini uvamizi huu ulisababisha kuongezeka kwa ukali dhidi ya Watutsi ndani ya Rwanda na siasa kali kwa upande wa viongozi Wahutu. Kikundi cha kihutu cha [[Interahamwe]] kilipatiwa silaha hali iliyopelekea vifo vya maelfu ya Watutsi Wanyarwanda. Vita kati ya wapinzani kutoka Uganda na jeshi la serikali iliendelea mpakani hadi pande zote mbili zilikutana huko [[Arusha]] na kupatana koma kwa vita 1992 chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika. Sehemu ya viongozi Warwanda walijiandaa kutafuta utaratibu mpya lakini wengine walifanya mipango ya kumaliza swali la Watutsi kabisa wakipanga kuua Watutsi wote nchini. ==Kifo cha Juvenal Habyarimana na mauaji ya watu milioni moja== {{main|Mauaji ya kimbari ya Rwanda}} Tarehe [[6 Aprili]] [[1994]] rais Juvenal Habyarimana alirudi nchini kutoka safari ya Tanzania. Ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kutelemka ikaanguka chini akafa. Haipingiki kwamba Watutsi wakali (RPF) ndio waliomwua. Tendo hili lilikuwa mwanzo wa mauaji ambayo hayakuwahi kutokea Afrika. Viongozi wa Interahamwe, wa jeshi la kitaifa na vikundi vikali vya Kihutu walitekeleza mipango ya kukusanya Watutsi kila mahali na kuwaua. Haiwezekani kuwa na idadi kamili lakini makadirio ya chini yanataja Watutsi 750.000 na Wahutu wasio wakali zaidi ya 600000 waliuawa na Interahamwe na wanajeshi wa serikali ya Kihutu. Watu walikimbilia na kutafuta hifadhi makanisani lakini hata huko walichinjwa bila huruma. Wahutu waliokataa kushiriki katika mauaji waliuawa pia. RPF chini ya uongozi wa Paul Kagame iliamua kutumia nguvu zote kwa kulipiza kisasi kwa kuwaua Wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana, akilenga kulipiza kisasi cha mauaji. Kwa miezi miwili mauaji na vita vilikwenda sambamba hadi RPF iliposhinda mnamo Julai 1994 na kuchukua madaraka ya serikali. Jeshi, Waparmehutu na serikali ya kihutu walikimbilia [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] wakiwalazimisha wakazi wengi kuongozana nao hali iliyosababisha kutokea kwa makambi ya wakimbizi makubwa sana katika Kongo ya mashariki yaliyokuwa na idadi ya wahutu milioni mbili. Walio wengi wamerudi baada ya kuimarika kwa serikali mpya. == Rwanda mpya == Tangu ushindi wa kijeshi mwaka 1994 RPF walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa. Rais alikuwa [[Pasteur Bizimungu]] mwanasiasa Mhutu aliyeshikamana na RPF, Kagame akiwa makamu wake. Baada ya kupinduliwa kwa Bizimungu mwaka [[2000]] Kagame akawa Rais. Mwaka [[2003]] palitokea uchaguzi wa kwanza. Jeshi la Rwanda limeendelea kuwa na vita ndani ya Kongo ikipigana na mabaki ya Interahamwe walioshambulia Rwanda mara kwa mara kutoka Kongo. Ndani ya Rwanda mahakama za vijijini zinazoitwa "[[gachacha]]" zimejaribu kutoa hukumu juu ya wauaji wa mwaka 1994. Rais D. Gasangwa wa [[Eacu]] alisisitiza <ref>"Sometime in April (2004)" movie</ref> kwamba ilikuwa "Ethnic cleansing", si "Holocaust" kama ilivyoandikwa na Wazungu wa magazeti ya Ulaya. Watu karibu 600,000 waliuawa Rwanda, na Mkoa wa Kivu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Utengamano wa siasa mpya lazima utoe nafasi ya kujenga nchi mpya. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Africa]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Rwanda]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] [[Category:Historia ya Rwanda|*]] 55cuobm8qz8ml57nvjydxi4pkp1gvp4 1437014 1437013 2025-07-11T22:49:34Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'mmoja' kwenye sentensi na pia nimeongeza linki 1437014 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Rwanda''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Rwanda]]. ==Historia ya kale== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. [[Rwanda]] ilikuwa chini ya utawala wa kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la [[Ziwa la Muhazi]]. Watawala wenye cheo cha "''mwami''" kutoka kikundi cha wafugaji ([[Watutsi]]) walitanua eneo lao tangu miaka ya karne ya 16 [[BK]] hadi kufika eneo la leo. Wafugaji wa ng'ombe Watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa [[Kihutu]] na wavindaji Watwaa. ==Ukoloni wa Kijerumani== [[Ukoloni]] ulichelewa kufika Rwanda; mwaka 1890 [[Ujerumani]] na [[Uingereza]] walipatana ya kuwa [[Rwanda]] na [[Burundi]] ni sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. Lakini ilikuwa mwaka 1908 tu ya kwamba Wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa Rwanda kama mwakilishi wa serikali ya Ujerumani. Mwaka 1916 [[Ubelgiji]] na Uingereza walivamia Rwanda katika [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baadaye ikawa chini ya Ubelgiji pamoja na Burundi kama "[[Rwanda-Urundi]]" katika hali ya [[eneo la kudhaminiwa]] kutokana na azimio la [[Shirikisho la Mataifa]]. ==Ukoloni wa Ubelgiji== Utawala wa [[Wabelgiji]] ulikuwa wa moja-kwa moja na mkali zaidi kuliko Wajerumani. Wabelgiji walijaribu kutoa faida ya kiuchumi wakilazimisha wenyeji kupanda mikahawa na kutekeleza kazi za serikali ya kikoloni. Katika utawala wao [[Wabelgiji]] walitumia zaidi Watutsi wakiwapa nafasi za elimu na kuwatumia katika shughuli za serikali. Wataalamu wengine huamini ya kwamba siasa hii ilisababisha kukua kwa chuki dhidi ya Watutsi kwa upande wa wakulima Wahutu iliyoleta kumwaga kwa damu baadaye. Katika [[miaka ya 1950]] ilionekana ya kwamba ukoloni unaelekea mwisho wake. Uhusiano kati ya Wahutu na Watutsi ukawa vigumu kwa sababu [[Wabelgiji]] walibadilisha siasa yao yakupendelea Watutsi wakidai haki zaidi kwa ajili ya Wahutu waliokuwa wengi. Na hasa wamisionari wa katoliki [[Mapadre Weupe]] walisimama upande wa Wahutu wakiona ndio wagandamizwa. Mwami [[Mutara Rudahigwa]] aliyejiita pia Charles alijaribu kuleta upatanishi kati ya vikundi katika nchi. Mwaka [[1954]] aligawa nchi ya kifalme kati ya Wahutu na Watutsi. Lakini alikuwa na wapinzani Watutsi waliomuua mwaka [[1959]]. [[Mtoto]] wake Mwami [[Kigeri V]] aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia [[Uganda]]. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa [[Mouvement Democratique Republicain]] (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali hiyo nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha [[Parmehutu]] kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka [[1961]]. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire [[Kayibanda]] kuwa Raisi. ==Uhuru== Tarehe [[1 Julai]] [[1962]] Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 walikuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya [[Watutsi]] yaliendelea. Wanasiasa [[Wahutu]] walizoea kuwaita Watusi ndio "Wadudu". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbilia [[Burundi]], [[Uganda]] na [[Tanzania]]. Mwaka [[1973]] jenerali [[Habyarimana]] alimpindua rais Kayibanda na kuanzisha serikali ya kijeshi akijaribu kupatanisha vikundi ndani ya taifa. Lakini hata mwaka uliofuata [[1974]] mauaji ya Watutsi yalitokea tena. Mnamo [[1990]] ilikuwa wazi ya kwamba Rwanda ilikuwa na hali ngumu. Kwa upande mmoja nchi za nje zilisukuma serikali za Afrika kuruhusu kura huru za kisiasa; katika Rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo. Uchumi ilikuwa duni. Wakati huohuo wapinzani Wahutu walikusanyika nje ya nchi na kudai demokrasia. Na kati ya watoto wa Watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena. Habyarimana alijaribu kutafuta suluhisho akanza kujadiliana na Watutsi wa nje lakini alikuta pia upinzani kwa upande wa [[Wahutu]] wakali waliochukia uelewano wa [[Watutsi]]. ==RPF inajaribu kurudi Rwanda kutoka Uganda== Mnamo Oktoba [[1990]] Watutsi waliokaa Uganda walianzisha chama cha [[RPF]] (Rwanda Patriotic Front) wakiwa na wafuasi wahutu wachache wakavamia Rwanda kwa silaha. Kiongozi wao alikuwa [[Paul Kagame]] aliyeondoka Rwanda akiwa mtoto wa miaka minne. Alikuwa amejiunga na jeshi la [[Yoweri Museveni]] na kupanda ngazi katika jeshi la Uganda hadi kuwa mkuu wa huduma ya usalama ya kijeshi ya Uganda. Walitaka kulazimisha serikali ibadilishe hali ya Watutsi kuwa raia bila haki. Lakini uvamizi huu ulisababisha kuongezeka kwa ukali dhidi ya Watutsi ndani ya Rwanda na siasa kali kwa upande wa viongozi Wahutu. Kikundi cha kihutu cha [[Interahamwe]] kilipatiwa silaha hali iliyopelekea vifo vya maelfu ya Watutsi Wanyarwanda. Vita kati ya wapinzani kutoka Uganda na jeshi la serikali iliendelea mpakani hadi pande zote mbili zilikutana huko [[Arusha]] na kupatana koma kwa vita 1992 chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika. Sehemu ya viongozi Warwanda walijiandaa kutafuta utaratibu mpya lakini wengine walifanya mipango ya kumaliza swali la Watutsi kabisa wakipanga kuua Watutsi wote nchini. ==Kifo cha Juvenal Habyarimana na mauaji ya watu milioni moja== {{main|Mauaji ya kimbari ya Rwanda}} Tarehe [[6 Aprili]] [[1994]] rais Juvenal Habyarimana alirudi nchini kutoka safari ya Tanzania. Ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kutelemka ikaanguka chini akafa. Haipingiki kwamba Watutsi wakali (RPF) ndio waliomwua. Tendo hili lilikuwa mwanzo wa mauaji ambayo hayakuwahi kutokea Afrika. Viongozi wa Interahamwe, wa jeshi la kitaifa na vikundi vikali vya Kihutu walitekeleza mipango ya kukusanya Watutsi kila mahali na kuwaua. Haiwezekani kuwa na idadi kamili lakini makadirio ya chini yanataja Watutsi 750.000 na Wahutu wasio wakali zaidi ya 600000 waliuawa na Interahamwe na wanajeshi wa serikali ya Kihutu. Watu walikimbilia na kutafuta hifadhi makanisani lakini hata huko walichinjwa bila huruma. Wahutu waliokataa kushiriki katika mauaji waliuawa pia. RPF chini ya uongozi wa Paul Kagame iliamua kutumia nguvu zote kwa kulipiza kisasi kwa kuwaua Wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana, akilenga kulipiza kisasi cha mauaji. Kwa miezi miwili mauaji na vita vilikwenda sambamba hadi RPF iliposhinda mnamo Julai 1994 na kuchukua madaraka ya serikali. Jeshi, Waparmehutu na serikali ya kihutu walikimbilia [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] wakiwalazimisha wakazi wengi kuongozana nao hali iliyosababisha kutokea kwa makambi ya wakimbizi makubwa sana katika Kongo ya mashariki yaliyokuwa na idadi ya wahutu milioni mbili. Walio wengi wamerudi baada ya kuimarika kwa serikali mpya. == Rwanda mpya == Tangu ushindi wa kijeshi mwaka 1994 RPF walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa. Rais alikuwa [[Pasteur Bizimungu]] mwanasiasa Mhutu aliyeshikamana na RPF, Kagame akiwa makamu wake. Baada ya kupinduliwa kwa Bizimungu mwaka [[2000]] Kagame akawa Rais. Mwaka [[2003]] palitokea uchaguzi wa kwanza. Jeshi la Rwanda limeendelea kuwa na vita ndani ya Kongo ikipigana na mabaki ya Interahamwe walioshambulia Rwanda mara kwa mara kutoka Kongo. Ndani ya Rwanda mahakama za vijijini zinazoitwa "[[gachacha]]" zimejaribu kutoa hukumu juu ya wauaji wa mwaka 1994. Rais D. Gasangwa wa [[Eacu]] alisisitiza <ref>"Sometime in April (2004)" movie</ref> kwamba ilikuwa "Ethnic cleansing", si "Holocaust" kama ilivyoandikwa na Wazungu wa magazeti ya Ulaya. Watu karibu 600,000 waliuawa Rwanda, na Mkoa wa Kivu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Utengamano wa siasa mpya lazima utoe nafasi ya kujenga nchi mpya. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Africa]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Rwanda]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] [[Category:Historia ya Rwanda|*]] 47bw127qq0jh37lu2lulc1g4e7z8isr 1437017 1437014 2025-07-11T23:00:19Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'kuacha' kwenye sentensi na pia nimeongeza linki kwenye maneno 1437017 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Rwanda''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Rwanda]]. ==Historia ya kale== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. [[Rwanda]] ilikuwa chini ya utawala wa kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la [[Ziwa la Muhazi]]. Watawala wenye cheo cha "''mwami''" kutoka kikundi cha wafugaji ([[Watutsi]]) walitanua eneo lao tangu miaka ya karne ya 16 [[BK]] hadi kufika eneo la leo. Wafugaji wa ng'ombe Watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa [[Kihutu]] na wavindaji Watwaa. ==Ukoloni wa Kijerumani== [[Ukoloni]] ulichelewa kufika Rwanda; mwaka 1890 [[Ujerumani]] na [[Uingereza]] walipatana ya kuwa [[Rwanda]] na [[Burundi]] ni sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. Lakini ilikuwa mwaka 1908 tu ya kwamba Wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa Rwanda kama mwakilishi wa serikali ya Ujerumani. Mwaka 1916 [[Ubelgiji]] na Uingereza walivamia Rwanda katika [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baadaye ikawa chini ya Ubelgiji pamoja na Burundi kama "[[Rwanda-Urundi]]" katika hali ya [[eneo la kudhaminiwa]] kutokana na azimio la [[Shirikisho la Mataifa]]. ==Ukoloni wa Ubelgiji== Utawala wa [[Wabelgiji]] ulikuwa wa moja-kwa moja na mkali zaidi kuliko Wajerumani. Wabelgiji walijaribu kutoa faida ya kiuchumi wakilazimisha wenyeji kupanda mikahawa na kutekeleza kazi za serikali ya kikoloni. Katika utawala wao [[Wabelgiji]] walitumia zaidi Watutsi wakiwapa nafasi za elimu na kuwatumia katika shughuli za serikali. Wataalamu wengine huamini ya kwamba siasa hii ilisababisha kukua kwa chuki dhidi ya Watutsi kwa upande wa wakulima Wahutu iliyoleta kumwaga kwa damu baadaye. Katika [[miaka ya 1950]] ilionekana ya kwamba ukoloni unaelekea mwisho wake. Uhusiano kati ya Wahutu na Watutsi ukawa vigumu kwa sababu [[Wabelgiji]] walibadilisha siasa yao yakupendelea Watutsi wakidai haki zaidi kwa ajili ya Wahutu waliokuwa wengi. Na hasa wamisionari wa katoliki [[Mapadre Weupe]] walisimama upande wa Wahutu wakiona ndio wagandamizwa. Mwami [[Mutara Rudahigwa]] aliyejiita pia Charles alijaribu kuleta upatanishi kati ya vikundi katika nchi. Mwaka [[1954]] aligawa nchi ya kifalme kati ya Wahutu na Watutsi. Lakini alikuwa na wapinzani Watutsi waliomuua mwaka [[1959]]. [[Mtoto]] wake Mwami [[Kigeri V]] aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia [[Uganda]]. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa [[Mouvement Democratique Republicain]] (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali hiyo nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha [[Parmehutu]] kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka [[1961]]. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire [[Kayibanda]] kuwa Raisi. ==Uhuru== Tarehe [[1 Julai]] [[1962]] Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 walikuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya [[Watutsi]] yaliendelea. Wanasiasa [[Wahutu]] walizoea kuwaita Watusi ndio "Wadudu". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbilia [[Burundi]], [[Uganda]] na [[Tanzania]]. Mwaka [[1973]] jenerali [[Habyarimana]] alimpindua rais Kayibanda na kuanzisha serikali ya kijeshi akijaribu kupatanisha vikundi ndani ya taifa. Lakini hata mwaka uliofuata [[1974]] mauaji ya Watutsi yalitokea tena. Mnamo [[1990]] ilikuwa wazi ya kwamba Rwanda ilikuwa na hali ngumu. Kwa upande mmoja nchi za nje zilisukuma serikali za Afrika kuruhusu kura huru za kisiasa; katika Rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo. Uchumi ilikuwa duni. Wakati huohuo wapinzani Wahutu walikusanyika nje ya nchi na kudai demokrasia. Na kati ya watoto wa Watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena. Habyarimana alijaribu kutafuta suluhisho akanza kujadiliana na Watutsi wa nje lakini alikuta pia upinzani kwa upande wa [[Wahutu]] wakali waliochukia uelewano wa [[Watutsi]]. ==RPF inajaribu kurudi Rwanda kutoka Uganda== Mnamo Oktoba [[1990]] Watutsi waliokaa Uganda walianzisha chama cha [[RPF]] (Rwanda Patriotic Front) wakiwa na wafuasi wahutu wachache wakavamia Rwanda kwa silaha. Kiongozi wao alikuwa [[Paul Kagame]] aliyeondoka Rwanda akiwa mtoto wa miaka minne. Alikuwa amejiunga na jeshi la [[Yoweri Museveni]] na kupanda ngazi katika jeshi la Uganda hadi kuwa mkuu wa huduma ya usalama wa jeshi la [[Uganda]]. Walitaka kulazimisha serikali ibadilishe hali ya Watutsi kuwa raia bila haki. Lakini uvamizi huu ulisababisha kuongezeka kwa ukali dhidi ya Watutsi ndani ya Rwanda na siasa kali kwa upande wa viongozi Wahutu. Kikundi cha kihutu cha [[Interahamwe]] kilipatiwa silaha hali iliyopelekea vifo vya maelfu ya Watutsi Wanyarwanda. Vita kati ya wapinzani kutoka Uganda na jeshi la serikali viliendelea mpakani hadi pande zote mbili zilipokutana huko [[Arusha]] na kupatana kuacha vita mwaka 1992 chini ya uangalizi wa [[Umoja wa Mataifa]] na [[Umoja wa Afrika]]. Sehemu ya viongozi wa [[Rwanda]] walijiandaa kutafuta utaratibu mpya lakini wengine walifanya mipango ya kumaliza swala la [[Watutsi]] kabisa wakipanga kuua Watutsi wote nchini. ==Kifo cha Juvenal Habyarimana na mauaji ya watu milioni moja== {{main|Mauaji ya kimbari ya Rwanda}} Tarehe [[6 Aprili]] [[1994]] rais Juvenal Habyarimana alirudi nchini kutoka safari ya Tanzania. Ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kutelemka ikaanguka chini akafa. Haipingiki kwamba Watutsi wakali (RPF) ndio waliomwua. Tendo hili lilikuwa mwanzo wa mauaji ambayo hayakuwahi kutokea Afrika. Viongozi wa Interahamwe, wa jeshi la kitaifa na vikundi vikali vya Kihutu walitekeleza mipango ya kukusanya Watutsi kila mahali na kuwaua. Haiwezekani kuwa na idadi kamili lakini makadirio ya chini yanataja Watutsi 750.000 na Wahutu wasio wakali zaidi ya 600000 waliuawa na Interahamwe na wanajeshi wa serikali ya Kihutu. Watu walikimbilia na kutafuta hifadhi makanisani lakini hata huko walichinjwa bila huruma. Wahutu waliokataa kushiriki katika mauaji waliuawa pia. RPF chini ya uongozi wa Paul Kagame iliamua kutumia nguvu zote kwa kulipiza kisasi kwa kuwaua Wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana, akilenga kulipiza kisasi cha mauaji. Kwa miezi miwili mauaji na vita vilikwenda sambamba hadi RPF iliposhinda mnamo Julai 1994 na kuchukua madaraka ya serikali. Jeshi, Waparmehutu na serikali ya kihutu walikimbilia [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] wakiwalazimisha wakazi wengi kuongozana nao hali iliyosababisha kutokea kwa makambi ya wakimbizi makubwa sana katika Kongo ya mashariki yaliyokuwa na idadi ya wahutu milioni mbili. Walio wengi wamerudi baada ya kuimarika kwa serikali mpya. == Rwanda mpya == Tangu ushindi wa kijeshi mwaka 1994 RPF walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa. Rais alikuwa [[Pasteur Bizimungu]] mwanasiasa Mhutu aliyeshikamana na RPF, Kagame akiwa makamu wake. Baada ya kupinduliwa kwa Bizimungu mwaka [[2000]] Kagame akawa Rais. Mwaka [[2003]] palitokea uchaguzi wa kwanza. Jeshi la Rwanda limeendelea kuwa na vita ndani ya Kongo ikipigana na mabaki ya Interahamwe walioshambulia Rwanda mara kwa mara kutoka Kongo. Ndani ya Rwanda mahakama za vijijini zinazoitwa "[[gachacha]]" zimejaribu kutoa hukumu juu ya wauaji wa mwaka 1994. Rais D. Gasangwa wa [[Eacu]] alisisitiza <ref>"Sometime in April (2004)" movie</ref> kwamba ilikuwa "Ethnic cleansing", si "Holocaust" kama ilivyoandikwa na Wazungu wa magazeti ya Ulaya. Watu karibu 600,000 waliuawa Rwanda, na Mkoa wa Kivu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Utengamano wa siasa mpya lazima utoe nafasi ya kujenga nchi mpya. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Africa]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Rwanda]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] [[Category:Historia ya Rwanda|*]] ei1cq0d8aw9lr6e6cvgt3czcphyok4h 1437018 1437017 2025-07-11T23:03:52Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'ilipojaribu' na pia nimeongeza linki kwenye maneno 1437018 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Rwanda''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Rwanda]]. ==Historia ya kale== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. [[Rwanda]] ilikuwa chini ya utawala wa kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la [[Ziwa la Muhazi]]. Watawala wenye cheo cha "''mwami''" kutoka kikundi cha wafugaji ([[Watutsi]]) walitanua eneo lao tangu miaka ya karne ya 16 [[BK]] hadi kufika eneo la leo. Wafugaji wa ng'ombe Watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa [[Kihutu]] na wavindaji Watwaa. ==Ukoloni wa Kijerumani== [[Ukoloni]] ulichelewa kufika Rwanda; mwaka 1890 [[Ujerumani]] na [[Uingereza]] walipatana ya kuwa [[Rwanda]] na [[Burundi]] ni sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. Lakini ilikuwa mwaka 1908 tu ya kwamba Wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa Rwanda kama mwakilishi wa serikali ya Ujerumani. Mwaka 1916 [[Ubelgiji]] na Uingereza walivamia Rwanda katika [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baadaye ikawa chini ya Ubelgiji pamoja na Burundi kama "[[Rwanda-Urundi]]" katika hali ya [[eneo la kudhaminiwa]] kutokana na azimio la [[Shirikisho la Mataifa]]. ==Ukoloni wa Ubelgiji== Utawala wa [[Wabelgiji]] ulikuwa wa moja-kwa moja na mkali zaidi kuliko Wajerumani. Wabelgiji walijaribu kutoa faida ya kiuchumi wakilazimisha wenyeji kupanda mikahawa na kutekeleza kazi za serikali ya kikoloni. Katika utawala wao [[Wabelgiji]] walitumia zaidi Watutsi wakiwapa nafasi za elimu na kuwatumia katika shughuli za serikali. Wataalamu wengine huamini ya kwamba siasa hii ilisababisha kukua kwa chuki dhidi ya Watutsi kwa upande wa wakulima Wahutu iliyoleta kumwaga kwa damu baadaye. Katika [[miaka ya 1950]] ilionekana ya kwamba ukoloni unaelekea mwisho wake. Uhusiano kati ya Wahutu na Watutsi ukawa vigumu kwa sababu [[Wabelgiji]] walibadilisha siasa yao yakupendelea Watutsi wakidai haki zaidi kwa ajili ya Wahutu waliokuwa wengi. Na hasa wamisionari wa katoliki [[Mapadre Weupe]] walisimama upande wa Wahutu wakiona ndio wagandamizwa. Mwami [[Mutara Rudahigwa]] aliyejiita pia Charles alijaribu kuleta upatanishi kati ya vikundi katika nchi. Mwaka [[1954]] aligawa nchi ya kifalme kati ya Wahutu na Watutsi. Lakini alikuwa na wapinzani Watutsi waliomuua mwaka [[1959]]. [[Mtoto]] wake Mwami [[Kigeri V]] aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia [[Uganda]]. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa [[Mouvement Democratique Republicain]] (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali hiyo nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha [[Parmehutu]] kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka [[1961]]. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire [[Kayibanda]] kuwa Raisi. ==Uhuru== Tarehe [[1 Julai]] [[1962]] Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 walikuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya [[Watutsi]] yaliendelea. Wanasiasa [[Wahutu]] walizoea kuwaita Watusi ndio "Wadudu". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbilia [[Burundi]], [[Uganda]] na [[Tanzania]]. Mwaka [[1973]] jenerali [[Habyarimana]] alimpindua rais Kayibanda na kuanzisha serikali ya kijeshi akijaribu kupatanisha vikundi ndani ya taifa. Lakini hata mwaka uliofuata [[1974]] mauaji ya Watutsi yalitokea tena. Mnamo [[1990]] ilikuwa wazi ya kwamba Rwanda ilikuwa na hali ngumu. Kwa upande mmoja nchi za nje zilisukuma serikali za Afrika kuruhusu kura huru za kisiasa; katika Rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo. Uchumi ilikuwa duni. Wakati huohuo wapinzani Wahutu walikusanyika nje ya nchi na kudai demokrasia. Na kati ya watoto wa Watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena. Habyarimana alijaribu kutafuta suluhisho akanza kujadiliana na Watutsi wa nje lakini alikuta pia upinzani kwa upande wa [[Wahutu]] wakali waliochukia uelewano wa [[Watutsi]]. ==RPF ilipojaribu kurudi Rwanda kutoka Uganda== Mnamo Oktoba [[1990]] Watutsi waliokaa Uganda walianzisha chama cha [[RPF]] (Rwanda Patriotic Front) wakiwa na wafuasi wahutu wachache wakavamia Rwanda kwa silaha. Kiongozi wao alikuwa [[Paul Kagame]] aliyeondoka [[Rwanda]] akiwa mtoto wa miaka minne. Alikuwa amejiunga na jeshi la [[Yoweri Museveni]] na kupanda ngazi katika jeshi la Uganda hadi kuwa mkuu wa huduma ya usalama wa jeshi la [[Uganda]]. Walitaka kulazimisha serikali ibadilishe hali ya Watutsi kuwa raia bila haki. Lakini uvamizi huu ulisababisha kuongezeka kwa ukali dhidi ya Watutsi ndani ya Rwanda na siasa kali kwa upande wa viongozi Wahutu. Kikundi cha kihutu cha [[Interahamwe]] kilipatiwa silaha hali iliyopelekea vifo vya maelfu ya Watutsi Wanyarwanda. Vita kati ya wapinzani kutoka Uganda na jeshi la serikali viliendelea mpakani hadi pande zote mbili zilipokutana huko [[Arusha]] na kupatana kuacha vita mwaka 1992 chini ya uangalizi wa [[Umoja wa Mataifa]] na [[Umoja wa Afrika]]. Sehemu ya viongozi wa [[Rwanda]] walijiandaa kutafuta utaratibu mpya lakini wengine walifanya mipango ya kumaliza swala la [[Watutsi]] kabisa wakipanga kuua Watutsi wote nchini. ==Kifo cha Juvenal Habyarimana na mauaji ya watu milioni moja== {{main|Mauaji ya kimbari ya Rwanda}} Tarehe [[6 Aprili]] [[1994]] rais Juvenal Habyarimana alirudi nchini kutoka safari ya Tanzania. Ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kutelemka ikaanguka chini akafa. Haipingiki kwamba Watutsi wakali (RPF) ndio waliomwua. Tendo hili lilikuwa mwanzo wa mauaji ambayo hayakuwahi kutokea Afrika. Viongozi wa Interahamwe, wa jeshi la kitaifa na vikundi vikali vya Kihutu walitekeleza mipango ya kukusanya Watutsi kila mahali na kuwaua. Haiwezekani kuwa na idadi kamili lakini makadirio ya chini yanataja Watutsi 750.000 na Wahutu wasio wakali zaidi ya 600000 waliuawa na Interahamwe na wanajeshi wa serikali ya Kihutu. Watu walikimbilia na kutafuta hifadhi makanisani lakini hata huko walichinjwa bila huruma. Wahutu waliokataa kushiriki katika mauaji waliuawa pia. RPF chini ya uongozi wa Paul Kagame iliamua kutumia nguvu zote kwa kulipiza kisasi kwa kuwaua Wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana, akilenga kulipiza kisasi cha mauaji. Kwa miezi miwili mauaji na vita vilikwenda sambamba hadi RPF iliposhinda mnamo Julai 1994 na kuchukua madaraka ya serikali. Jeshi, Waparmehutu na serikali ya kihutu walikimbilia [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] wakiwalazimisha wakazi wengi kuongozana nao hali iliyosababisha kutokea kwa makambi ya wakimbizi makubwa sana katika Kongo ya mashariki yaliyokuwa na idadi ya wahutu milioni mbili. Walio wengi wamerudi baada ya kuimarika kwa serikali mpya. == Rwanda mpya == Tangu ushindi wa kijeshi mwaka 1994 RPF walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa. Rais alikuwa [[Pasteur Bizimungu]] mwanasiasa Mhutu aliyeshikamana na RPF, Kagame akiwa makamu wake. Baada ya kupinduliwa kwa Bizimungu mwaka [[2000]] Kagame akawa Rais. Mwaka [[2003]] palitokea uchaguzi wa kwanza. Jeshi la Rwanda limeendelea kuwa na vita ndani ya Kongo ikipigana na mabaki ya Interahamwe walioshambulia Rwanda mara kwa mara kutoka Kongo. Ndani ya Rwanda mahakama za vijijini zinazoitwa "[[gachacha]]" zimejaribu kutoa hukumu juu ya wauaji wa mwaka 1994. Rais D. Gasangwa wa [[Eacu]] alisisitiza <ref>"Sometime in April (2004)" movie</ref> kwamba ilikuwa "Ethnic cleansing", si "Holocaust" kama ilivyoandikwa na Wazungu wa magazeti ya Ulaya. Watu karibu 600,000 waliuawa Rwanda, na Mkoa wa Kivu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Utengamano wa siasa mpya lazima utoe nafasi ya kujenga nchi mpya. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Africa]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Rwanda]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] [[Category:Historia ya Rwanda|*]] ou449xpr0so50c8v17bkjqmxm6fxfd8 1437019 1437018 2025-07-11T23:14:45Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'Rwanda' kwenye sentensi na pia nimeongeza linki kwenye maneno 1437019 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Rwanda''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Rwanda]]. ==Historia ya kale== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. [[Rwanda]] ilikuwa chini ya utawala wa kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni. Mwanzo wake ni katika eneo la [[Ziwa la Muhazi]]. Watawala wenye cheo cha "''mwami''" kutoka kikundi cha wafugaji ([[Watutsi]]) walitanua eneo lao tangu miaka ya karne ya 16 [[BK]] hadi kufika eneo la leo. Wafugaji wa ng'ombe Watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa [[Kihutu]] na wavindaji Watwaa. ==Ukoloni wa Kijerumani== [[Ukoloni]] ulichelewa kufika Rwanda; mwaka 1890 [[Ujerumani]] na [[Uingereza]] walipatana ya kuwa [[Rwanda]] na [[Burundi]] ni sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. Lakini ilikuwa mwaka 1908 tu ya kwamba Wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa Rwanda kama mwakilishi wa serikali ya Ujerumani. Mwaka 1916 [[Ubelgiji]] na Uingereza walivamia Rwanda katika [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baadaye ikawa chini ya Ubelgiji pamoja na Burundi kama "[[Rwanda-Urundi]]" katika hali ya [[eneo la kudhaminiwa]] kutokana na azimio la [[Shirikisho la Mataifa]]. ==Ukoloni wa Ubelgiji== Utawala wa [[Wabelgiji]] ulikuwa wa moja-kwa moja na mkali zaidi kuliko Wajerumani. Wabelgiji walijaribu kutoa faida ya kiuchumi wakilazimisha wenyeji kupanda mikahawa na kutekeleza kazi za serikali ya kikoloni. Katika utawala wao [[Wabelgiji]] walitumia zaidi Watutsi wakiwapa nafasi za elimu na kuwatumia katika shughuli za serikali. Wataalamu wengine huamini ya kwamba siasa hii ilisababisha kukua kwa chuki dhidi ya Watutsi kwa upande wa wakulima Wahutu iliyoleta kumwaga kwa damu baadaye. Katika [[miaka ya 1950]] ilionekana ya kwamba ukoloni unaelekea mwisho wake. Uhusiano kati ya Wahutu na Watutsi ukawa vigumu kwa sababu [[Wabelgiji]] walibadilisha siasa yao yakupendelea Watutsi wakidai haki zaidi kwa ajili ya Wahutu waliokuwa wengi. Na hasa wamisionari wa katoliki [[Mapadre Weupe]] walisimama upande wa Wahutu wakiona ndio wagandamizwa. Mwami [[Mutara Rudahigwa]] aliyejiita pia Charles alijaribu kuleta upatanishi kati ya vikundi katika nchi. Mwaka [[1954]] aligawa nchi ya kifalme kati ya Wahutu na Watutsi. Lakini alikuwa na wapinzani Watutsi waliomuua mwaka [[1959]]. [[Mtoto]] wake Mwami [[Kigeri V]] aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia [[Uganda]]. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa [[Mouvement Democratique Republicain]] (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali hiyo nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha [[Parmehutu]] kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka [[1961]]. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire [[Kayibanda]] kuwa Raisi. ==Uhuru== Tarehe [[1 Julai]] [[1962]] Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 walikuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya [[Watutsi]] yaliendelea. Wanasiasa [[Wahutu]] walizoea kuwaita Watusi ndio "Wadudu". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbilia [[Burundi]], [[Uganda]] na [[Tanzania]]. Mwaka [[1973]] jenerali [[Habyarimana]] alimpindua rais Kayibanda na kuanzisha serikali ya kijeshi akijaribu kupatanisha vikundi ndani ya taifa. Lakini hata mwaka uliofuata [[1974]] mauaji ya Watutsi yalitokea tena. Mnamo [[1990]] ilikuwa wazi ya kwamba Rwanda ilikuwa na hali ngumu. Kwa upande mmoja nchi za nje zilisukuma serikali za Afrika kuruhusu kura huru za kisiasa; katika Rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo. Uchumi ilikuwa duni. Wakati huohuo wapinzani Wahutu walikusanyika nje ya nchi na kudai demokrasia. Na kati ya watoto wa Watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena. Habyarimana alijaribu kutafuta suluhisho akanza kujadiliana na Watutsi wa nje lakini alikuta pia upinzani kwa upande wa [[Wahutu]] wakali waliochukia uelewano wa [[Watutsi]]. ==RPF ilipojaribu kurudi Rwanda kutoka Uganda== Mnamo Oktoba [[1990]] Watutsi waliokaa Uganda walianzisha chama cha [[RPF]] (Rwanda Patriotic Front) wakiwa na wafuasi wahutu wachache wakavamia Rwanda kwa silaha. Kiongozi wao alikuwa [[Paul Kagame]] aliyeondoka [[Rwanda]] akiwa mtoto wa miaka minne. Alikuwa amejiunga na jeshi la [[Yoweri Museveni]] na kupanda ngazi katika jeshi la Uganda hadi kuwa mkuu wa huduma ya usalama wa jeshi la [[Uganda]]. Walitaka kulazimisha serikali ibadilishe hali ya Watutsi kuwa raia bila haki. Lakini uvamizi huu ulisababisha kuongezeka kwa ukali dhidi ya Watutsi ndani ya Rwanda na siasa kali kwa upande wa viongozi Wahutu. Kikundi cha kihutu cha [[Interahamwe]] kilipatiwa silaha hali iliyopelekea vifo vya maelfu ya Watutsi Wanyarwanda. Vita kati ya wapinzani kutoka Uganda na jeshi la serikali viliendelea mpakani hadi pande zote mbili zilipokutana huko [[Arusha]] na kupatana kuacha vita mwaka 1992 chini ya uangalizi wa [[Umoja wa Mataifa]] na [[Umoja wa Afrika]]. Sehemu ya viongozi wa [[Rwanda]] walijiandaa kutafuta utaratibu mpya lakini wengine walifanya mipango ya kumaliza swala la [[Watutsi]] kabisa wakipanga kuua Watutsi wote nchini. ==Kifo cha Juvenal Habyarimana na mauaji ya watu milioni moja== {{main|Mauaji ya kimbari ya Rwanda}} Tarehe [[6 Aprili]] [[1994]] rais Juvenal Habyarimana alirudi nchini kutoka safari ya Tanzania. Ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kuteremka ikaanguka chini akafa. Haipingiki kwamba Watutsi wakali (RPF) ndio waliomuua. Tendo hili lilikuwa mwanzo wa mauaji ambayo hayakuwahi kutokea Afrika. Viongozi wa [[Interahamwe]], wa jeshi la kitaifa na vikundi vikali vya Kihutu walitekeleza mipango ya kukusanya Watutsi kila mahali na kuwaua. Haiwezekani kuwa na idadi kamili lakini makadirio ya chini yanataja Watutsi 750.000 na Wahutu wasio wakali zaidi ya 600000 waliuawa na [[Interahamwe]] na wanajeshi wa serikali ya Kihutu. Watu walikimbilia na kutafuta hifadhi makanisani lakini hata huko walichinjwa bila huruma. Wahutu waliokataa kushiriki katika mauaji hayo waliuawa pia. RPF chini ya uongozi wa [[Paul Kagame]] iliamua kutumia nguvu zote kulipiza kisasi kwa kuwaua Wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana, akilenga kulipiza kisasi cha mauaji. Kwa miezi miwili mauaji na vita vilikwenda sambamba hadi RPF iliposhinda mnamo Julai 1994 na kuchukua madaraka ya serikali. Jeshi, Waparmehutu na serikali ya kihutu walikimbilia [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] wakiwalazimisha wakazi wengi kuongozana nao hali iliyosababisha kutokea kwa makambi ya wakimbizi makubwa sana katika Kongo ya mashariki yaliyokuwa na idadi ya wahutu milioni mbili. Walio wengi wamerudi Rwanda baada ya kuimarika kwa serikali mpya. == Rwanda mpya == Tangu ushindi wa kijeshi mwaka 1994 RPF walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa. Rais alikuwa [[Pasteur Bizimungu]] mwanasiasa Mhutu aliyeshikamana na RPF, Kagame akiwa makamu wake. Baada ya kupinduliwa kwa Bizimungu mwaka [[2000]] Kagame akawa Rais. Mwaka [[2003]] palitokea uchaguzi wa kwanza. Jeshi la Rwanda limeendelea kuwa na vita ndani ya Kongo ikipigana na mabaki ya Interahamwe walioshambulia Rwanda mara kwa mara kutoka Kongo. Ndani ya Rwanda mahakama za vijijini zinazoitwa "[[gachacha]]" zimejaribu kutoa hukumu juu ya wauaji wa mwaka 1994. Rais D. Gasangwa wa [[Eacu]] alisisitiza <ref>"Sometime in April (2004)" movie</ref> kwamba ilikuwa "Ethnic cleansing", si "Holocaust" kama ilivyoandikwa na Wazungu wa magazeti ya Ulaya. Watu karibu 600,000 waliuawa Rwanda, na Mkoa wa Kivu, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Utengamano wa siasa mpya lazima utoe nafasi ya kujenga nchi mpya. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Africa]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Rwanda]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] [[Category:Historia ya Rwanda|*]] 63fplh5cl6dwr5x8l36n90sir96s334 Sierra Leone 0 3201 1437026 1406499 2025-07-11T23:57:28Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'mnamo' na 'Aprili 27' kwenye sentensi mbili tofauti 1437026 wikitext text/x-wiki {{Infobox country |native_name = Republic of Sierra Leone |conventional_long_name = |common_name = Sierra Leone |image_flag = Flag of Sierra Leone.svg |image_coat =Coat of arms of Sierra Leone.svg |symbol_type = Nembo |image_map = LocationSierraLeone.png |national_motto = Unity - Freedom - Justice (Umoja, Uhuru, Haki) |national_anthem =''[[High We Exalt Thee, Realm of the Free]]'' (Twakusifu nchi ya watu huru) |official_languages =[[Kiingereza]] |capital =[[Freetown]] |latd= 8|latm=31 |latNS=N |longd=13 |longm=15 |longEW=W |largest_city = [[Freetown]] |government_type = [[Jamhuri]] |leader_titles =[[Orodha ya Marais wa Sierra Leone|Rais]] |leader_names =[[Julius Maada Bio]] |area_rank =ya 119 |area_magnitude =1 E11 |area=71,740 |areami²=27,699 |percent_water =1.1 |population_estimate = 8,909,040 |population_estimate_rank = ya 100 <sup>1</sup> |population_estimate_year =Julai 2023 |population_census = 5,426,618 |population_census_year =2000 |population_density =112 |population_densitymi² =290.1 |population_density_rank = ya 114 <sup>1</sup> |GDP_PPP = $5.022 billioni<!--CIA--> |GDP_PPP_rank = ya 156 |GDP_PPP_year= 2005 |GDP_PPP_per_capita = $900 |GDP_PPP_per_capita_rank =ya 177 |sovereignty_type = [[Uhuru]] |established_events = kutoka [[Uingereza]] |established_dates = [[27 Aprili]] [[1961]] |HDI = 0.298 |HDI_rank = ya 176 |HDI_year =2003 |HDI_category =<font color="#E0584E">low</font> |currency =[[Leone]] |currency_code = SLL |country_code = |time_zone = [[GMT]] |utc_offset = +0 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.sl]] |calling_code = 232 }} '''Sierra Leone''', rasmi kama '''Jamhuri ya Sierra Leone''', ni nchi katika [[Afrika ya Magharibi]], inayopakana na [[Guinea]] kaskazini na kaskazini-mashariki, [[Liberia]] kusini-mashariki, na [[Bahari ya Atlantiki]] magharibi. Ina idadi ya watu takriban milioni 8.8, ikiwa ya 103 duniani. Jiji lake kubwa zaidi na mji mkuu ni [[Freetown]]. Sierra Leone imegawanyika katika mikoa 5. Inajulikana kwa historia yake kama makazi ya watumwa waliorejea Afrika, migodi yake ya almasi, na tamaduni zake tajiri zinazoakisi mchanganyiko wa makabila zaidi ya 16. [[Jina]] la nchi lina asili ya [[Kireno]] na linamaanisha "Mlima wa Simba". Ni [[koloni]] la zamani la [[Uingereza]] na tangu [[27 Aprili]] [[1961]] ni [[jamhuri]] huru. Sierra Leone ni kati ya nchi maskini sana duniani. == Historia == {{main|Historia ya Sierra Leone}} Nchi yenyewe ilianzishwa na [[Waingereza]] kwa kuunda [[mji]] wa [[Freetown]] ("Mji wa watu huru") [[mwaka]] [[1787]]<ref>{{Cite web|title=Sierra Leone {{!}} Culture, History, & People {{!}} Britannica|url=https://www.britannica.com/place/Sierra-Leone|work=www.britannica.com|accessdate=2023-02-26|language=en}}</ref>. Kusudi lake likuwa kuwarudisha [[Afrika]] watu waliowahi kuwa [[watumwa]]. Kiasili wale wakazi wa kwanza walikuwa watumwa weusi waliopewa [[uhuru]] kwa sababu walishikamana na Waingereza dhidi ya [[Wamarekani]] katika vita vya uhuru wa Marekani. Baadaye Waingereza wapinzani wa utumwa walinunua watumwa wakiwapa uhuru na kuwapeleka Sierra Leone. Tangu mwaka [[1807]] [[Uingereza]] ulikataza [[biashara ya watumwa]] (lakini utumwa wenyewe bado) na watumwa waliopatikana kwenye [[meli]] za [[biashara]] hiyo haramu walipelekwa Sierra Leone na kupewa uhuru. Ikianzishwa na shirika la wapinzani wa utumwa Sierra Leone ikajwa [[koloni]] la kwanza la Uingereza katika Afrika ya Magharibi mwaka [[1792]]. Kuanzia mwaka [[1802]] Freetown ilikuwa [[makao makuu]] ya Kiingereza kwa Afrika ya Magharibi. Mnamo Mwaka [[1961]], Aprili 27, Sierra Leone ilipewa uhuru wake. Miaka ya [[1994]] - [[2002]] nchi ilikuwa na [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]]. Tangu mwisho wake nchi inajengwa tena. ==Watu== Wakazi asili wamegawanyika katika ma[[kabila]] 16, kila moja likiwa na [[lugha]] na [[utamaduni]] maalumu; kati yake makubwa zaidi ni Watemmne (35.5%) na Watembe (33.2%). Lugha inayojulikana na [[asilimia]] 96 za wakazi ni [[Kikrio]], aina ya [[Krioli]] ya [[Kiingereza]] iliyochanganya pia lugha mbalibali za Kiafrika. Lakini [[lugha rasmi]] ni [[Kiingereza]]. Upande wa [[dini]], [[Waislamu]] ni 78.5%, [[Wakristo]] ni 20.4% na wafuasi wa [[dini asilia za Kiafrika]] hawafikii 2%. Sierra Leone ni [[nchi isiyo na dini]] [[dini rasmi|rasmi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya lugha za Sierra Leone]] * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * Acemoglu, Daron, Tristan Reed, and James A. Robinson. "Chiefs: Economic Development and Elite Control of Civil Society in Sierra Leone," ''Journal of Political Economy'' (2014) 122#2 pp.&nbsp;319–368 [http://www.jstor.org/stable/10.1086/674988 in JSTOR] *[https://books.google.com/books?id=5j61GUfpX5YC&pg=PA19&lpg=PA19 Imodale Caulker-Burnett, ''The Caulkers of Sierra Leone: The Story of a Ruling Family and Their Times''] (Xlibris, 2010) *[https://books.google.com/books?id=B5RxmwC6aNwC&dq=Political+Change+in+a+West+African+State:+A+Study+of+the+Modernization+Process+in+Sierra+Leone&source=gbs_navlinks_s Harris, David. ''Civil War and Democracy in West Africa: Conflict Resolution, Elections and Justice in Sierra Leone and Liberia''], I.B. Tauris, 2012 * {{Cite book|title=Conflict and Collusion in Sierra Leone|url=https://books.google.com/?id=SEz1PCvILHUC&printsec=frontcover|author=Keen, David|publisher=Oxford: James Currey|year=2005|isbn=0-85255-883-X|accessdate=}} * {{Cite book|author=Kup, Alexander Peter|title= A History of Sierra Leone, 1400–1787|year= 1961|publisher=Cambridge University Press |location= Cambridge|isbn= 0-7864-1814-1}} * {{Cite book|author=Sillinger, Brett|title= Sierra Leone: Current Issues and Background|year= 2003|publisher=Nova Science Publishers |location= New York|isbn= 1-59033-662-3}} * {{Cite book|ref=Utting|author=Utting, Francis A|title= The Story of Sierra Leone|year= 1931|publisher=Ayer Company Publishers |isbn= 0-8369-6704-6}} == Viungo vya nje == {{Commons}} * [http://www.sierraleone.com SierraLeone.com] ;Serikali * [http://www.statehouse.gov.sl/ The Republic of Sierra Leone] official government site * [https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/SL.html Chief of State and Cabinet Members] {{Wayback|url=https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/SL.html |date=20150905110758 }} * [http://www.slminerals.org/ Ministry of Mineral Resources] official government minerals site * [http://www.thepatrioticvanguard.com/spip.php?article4158 thepatrioticvanguard.com ''The Patriotic Vanguard''] – official government newspaper ;Taarifa za jumla * [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/country_profiles/1061561.stm Country Profile], [[BBC News]] * {{CIA World Factbook link|sl|Sierra Leone}} * [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/sierraleone.htm Sierra Leone] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/sierraleone.htm |date=20080607085717 }}, ''UCB Libraries GovPubs'' * {{dmoz|Regional/Africa/Sierra_Leone}} * {{wikiatlas|Sierra Leone}} * [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=SL Key Development Forecasts for Sierra Leone], [[International Futures]] ;Vyombo vya habari * [http://news.sl/ ''Awareness Times''] {{Wayback|url=http://news.sl/ |date=20080905131237 }} Newspaper * [http://www.thenewpeople.com/ ''The New People''], nNewspaper * [http://allafrica.com/sierraleone/ News headline links], [[AllAfrica.com]] * [http://www.my-sierra-leone-life.com/ Sierra Leone News & Blog] {{Wayback|url=http://www.my-sierra-leone-life.com/ |date=20150919131013 }}, Current Sierra Leone News & Blog ;Trade *[http://wits.worldbank.org/CountryProfile/Country/SLE/Year/2002/Summary Sierra Leone 2002 Summary Trade Statistics] ; Tourism * [http://www.sierraleonetourism.sl/ National Tourist Board of Sierra Leone] {{Wayback|url=http://www.sierraleonetourism.sl/ |date=20100114022948 }} official site ;Mengineyo * [http://www.sierraleoneforum.com/ Sierra Leone Forum] {{Wayback|url=http://www.sierraleoneforum.com/ |date=20150906040336 }} * [http://fosalone.org/ Friends of Sierra Leone] * [http://www.schoolsforsalone.org/ Schools for Salone], non-profit dedicated to rebuilding schools * [http://www.enciss-sl.org/ ENCISS] civil society and governance * [http://auradicals.com/ The Auradicals Club] {{Wayback|url=http://auradicals.com/ |date=20110510101125 }}, Student Club in Fourah Bay College * [http://www.sierra-leone.org/ Sierra Leone Web] * [http://sweetsalonefilm.blogspot.nl/ ''Sweet Salone''], 2008 film on new music in Sierra Leone * [http://www.sc-sl.org/ War Crimes Trials in Sierra Leone] * [http://www.hurrarc.org/ Hurrarc – Human Rights Respect Awareness Raising Campaigners] {{Wayback|url=http://www.hurrarc.org/ |date=20140714041603 }}, Sierra Leone NGO * [http://www.storiesfromlakkabeach.com/ ''Stories from Lakka Beach''] {{Wayback|url=http://www.storiesfromlakkabeach.com/ |date=20140629064622 }}, 2011 documentary about life in a post-conflict beach town {{Afrika}} {{African Union}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Sierra Leone|*]] [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Jumuiya ya Madola]] [[Jamii:1lib1ref 2023]] 5se6rxepoukyfnga10uq70e7k6nvfj5 Senegal 0 3204 1437021 1436630 2025-07-11T23:28:49Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'na baadae' kwenye sentensi 1437021 wikitext text/x-wiki {{Infobox country |native_name = <big>'''''République du Sénégal''<br />Jamhuri ya Senegal'''</big> |conventional_long_name = |common_name = Senegal |image_flag = Flag of Senegal.svg |image_coat = Coat of arms of Senegal.svg |symbol_type = Nembo |image_map = LocationSenegal.png |national_motto = Un Peuple, Un But, Une Foi<br /> ([[Kifaransa]]: Taifa moja, Lengo moja, Imani moja)''</small> |national_anthem =''[[Pincez Tous vos Koras, Frappez les Balafons]]' |official_languages =[[Kifaransa]] |capital =[[Dakar]] |largest_city = [[Dakar]] |government_type = [[Jamhuri]] |leader_titles =[[Orodha ya Marais wa Senegal|Rais]]<br />[[Waziri Mkuu wa Senegal|Waziri Mkuu]] |leader_names =[[Macky Sall]]<br />[[Sidiki Kaba]] |area_rank =ya 87 |area_magnitude =1 E11 |area= 196,712 |population_estimate = 18,384,660 |population_estimate_rank = ya 66 |population_estimate_year =2023 |population_census = 13,508,715 |population_census_year =2015 |population_density =93.3 |population_density_rank=134 |GDP_PPP = $.20.56 billioni<!--CIA--> |GDP_PPP_rank = ya 113 |GDP_PPP_year= 2005 |GDP_PPP_per_capita = $1800 |GDP_PPP_per_capita_rank =ya 188 |sovereignty_type = [[Uhuru]] |established_events = kutoka [[Ufaransa]] |established_dates = [[20 Juni]] [[1960]] |currency =[[CFA Franc]] |country_code = |time_zone = [[UTC]] |utc_offset = +0 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.sn]] |calling_code = 221 }} [[Picha:Senegal carte.png|200px|right|thumbnail|Senegal]] '''Senegal''' (pia '''Senegali''') ni nchi ya [[Afrika ya Magharibi]] iliyopo upande wa [[kusini]] wa [[mto Senegal]]. Imepakana na [[Mauritania]] upande wa [[kaskazini]], [[Mali]] upande wa [[mashariki]], [[Guinea]] na [[Guinea-Bisau]] kusini na [[Bahari]] [[Atlantiki]] upande wa [[magharibi]]. Nchi ya [[Gambia]] inazungukwa na eneo la Senegal isipokuwa upande wa bahari. [[Visiwa]] vya [[Cabo Verde]] viko [[km]] 560 mbele ya [[pwani]] ya Senegal. == Jiografia == Senegal ni nchi inayogusana na kanda ya [[Sahel]] na pia [[kanda ya Tropiki]]. Uso wa nchi ni hasa [[tambarare]] zinazopanda juu polepole kuelekea kusini mashariki. Sehemu nyingine zinafikia [[mita]] 580 juu ya [[UB]]. Kusini kabisa iko [[kasoko]] kubwa la [[Velingara]]. [[Hali ya hewa]] ni ya [[kitropiki]]. [[Majira ya mvua]] ni hasa miezi ya Mei hadi Novemba. Nchi imegawanyika katika [[mikoa]] 14 iliyogawanyika tena katika [[wilaya]] 45. == Miji == {{main|Orodha ya miji ya Senegal}} Miji mikubwa ni [[Dakar]] (wakazi 2 476 400), [[Pikine]] (wakazi 874 062), [[Thiès]] (wakazi 252 320), [[Saint-Louis (Senegal)|Saint-Louis]] (wakazi 176 000), [[Kaolack]] (wakazi 172 305), [[Ziguinchor]] (wakazi 159,788), [[Tiebo]] (wakazi 100 289). Karibu [[nusu]] ya watu huishi mijini. ==Historia== Kwa wakati na kiasi tofauti eneo la Senegal lilikuwa sehemu ya [[Dola la Ghana]], na baadae ya [[Dola la Mali]] na hatimaye ya [[Dola la Songhai]] Baadae ilikuwa [[koloni]] la [[Ufaransa]] hadi mwaka [[1960]]. == Wakazi == Kuna wakazi [[milioni]] 13.5 na idadi kubwa ni wa chini ya [[umri]] wa miaka 20. Wameongezeka sana, mnamo mwaka [[1985]] idadi ilikuwa milioni 5 tu. Kikundi kikubwa nchini ni [[Wawolof]] (43%), wengine ni [[Wafula]] wakiwa pamoja na [[Watukulur]] (24%), halafu [[Waserer]] (14.7%), [[Wadiola]] (4%),[[Wamandinka]] (3%), [[Wasoninke]]. Kwa ujumla kuna [[Orodha ya lugha za Senegal|lugha 37]] nchini Senegal. [[Kiwolofu]] kinazidi kuenea, lakini mpaka sasa [[lugha rasmi]] ni [[Kifaransa]]. [[Shule|Shuleni]] kinatumika pia [[Kireno]], hasa kusini. [[Theluthi]] mbili ya wakazi hawajui kusoma. Senegal ni [[nchi isiyo na dini]] [[dini rasmi|rasmi]]. Wakazi wengi sana (94%) ni [[Waislamu]] (hasa [[Wasunni]]); [[Wakristo]] (hasa [[Wakatoliki]]) ni takriban 5%. ==Tazama pia== * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] ==Marejeo== {{Div col|2}} * Babou, Cheikh Anta, ''Fighting the Greater Jihad: Amadu Bamba and the Founding of the Muridiyya of Senegal, 1853–1913'', (Ohio University Press, 2007) * Behrman, Lucy C, ''Muslim Brotherhood and Politics in Senegal'', (iUniverse.com, 1999) * Buggenhage, Beth A, ''Muslim Families in Global Senegal: Money Takes Care of Shame'', (Indiana University Press, 2012) * Bugul, Ken, ''The Abandoned Baobab: The Autobiography of a Senegalese Woman'', (University of Virginia Press, 2008) * Foley, Ellen E, ''Your Pocket is What Cures You: The Politics of Health in Senegal'', (Rutgers University Press, 2010) * Gellar, Sheldon, ''Democracy in Senegal: Tocquevillian Analytics in Africa'', (Palgrave Macmillan, 2005) * Glover, John, ''Sufism and Jihad in Modern Senegal: The Murid Order'', (University of Rochester Press, 2007) * Kane, Katharina, ''Lonely Planet Guide: The Gambia and Senegal'', (Lonely Planet Publications, 2009) * Kueniza, Michelle, ''Education and Democracy in Senegal'', (Palgrave Macmillan, 2011) * Mbacké, Khadim, ''Sufism and Religious Brotherhoods in Senegal'', (Markus Wiener Publishing Inc., 2005) * Streissguth, Thomas, ''Senegal in Pictures'', (Twentyfirst Century Books, 2009) * Various, ''Insight Guide: Gambia and Senegal'', (APA Publications Pte Ltd., 2009) * Various, ''New Perspectives on Islam in Senegal: Conversion, Migration, Wealth, Power, and Femininity'', (Palgrave Macmillan, 2009) * Various, ''Senegal: Essays in Statecraft'', (Codesria, 2003) * Various, ''Street Children in Senegal'', (GYAN France, 2006) {{Div col end}} == Viungo vya nje == {{Commons}} * {{fr}} [http://www.gouv.sn/ Serikali ya Senegal] {{Wayback|url=http://www.gouv.sn/ |date=20080516093351 }} * [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/country_profiles/1064496.stm Country Profile] from [[BBC News]] * {{CIA World Factbook link|sg|Senegal}} * [http://www.business-anti-corruption.com/country-profiles/sub-saharan-africa/senegal/business-corruption-in-senegal.aspx Senegal Corruption Profile] from the [[Business-Anti-Corruption Portal|Business Anti-Corruption Portal]] ;Trade * [http://wits.worldbank.org/CountryProfile/Country/SEN/Year/2012/Summary Senegal 2012 Summary Trade Statistics] * {{dmoz|Regional/Africa/Senegal}} * {{wikiatlas|Senegal}} {{Afrika}} {{African Union}} {{CPLP}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Senegal| ]] [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa]] 68h4omg44e5kvz48mrjz1pbijgmkysl 1437022 1437021 2025-07-11T23:32:00Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'nchi' na 'mwa' kwenye sentensi mbili tofauti 1437022 wikitext text/x-wiki {{Infobox country |native_name = <big>'''''République du Sénégal''<br />Jamhuri ya Senegal'''</big> |conventional_long_name = |common_name = Senegal |image_flag = Flag of Senegal.svg |image_coat = Coat of arms of Senegal.svg |symbol_type = Nembo |image_map = LocationSenegal.png |national_motto = Un Peuple, Un But, Une Foi<br /> ([[Kifaransa]]: Taifa moja, Lengo moja, Imani moja)''</small> |national_anthem =''[[Pincez Tous vos Koras, Frappez les Balafons]]' |official_languages =[[Kifaransa]] |capital =[[Dakar]] |largest_city = [[Dakar]] |government_type = [[Jamhuri]] |leader_titles =[[Orodha ya Marais wa Senegal|Rais]]<br />[[Waziri Mkuu wa Senegal|Waziri Mkuu]] |leader_names =[[Macky Sall]]<br />[[Sidiki Kaba]] |area_rank =ya 87 |area_magnitude =1 E11 |area= 196,712 |population_estimate = 18,384,660 |population_estimate_rank = ya 66 |population_estimate_year =2023 |population_census = 13,508,715 |population_census_year =2015 |population_density =93.3 |population_density_rank=134 |GDP_PPP = $.20.56 billioni<!--CIA--> |GDP_PPP_rank = ya 113 |GDP_PPP_year= 2005 |GDP_PPP_per_capita = $1800 |GDP_PPP_per_capita_rank =ya 188 |sovereignty_type = [[Uhuru]] |established_events = kutoka [[Ufaransa]] |established_dates = [[20 Juni]] [[1960]] |currency =[[CFA Franc]] |country_code = |time_zone = [[UTC]] |utc_offset = +0 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.sn]] |calling_code = 221 }} [[Picha:Senegal carte.png|200px|right|thumbnail|Senegal]] '''Senegal''' (pia '''Senegali''') ni nchi ya [[Afrika ya Magharibi]] iliyopo upande wa [[kusini]] mwa [[mto Senegal]]. Imepakana na nchi ya [[Mauritania]] upande wa [[kaskazini]], [[Mali]] upande wa [[mashariki]], [[Guinea]] na [[Guinea-Bisau]] kusini na [[Bahari]] [[Atlantiki]] upande wa [[magharibi]]. Nchi ya [[Gambia]] inazungukwa na eneo la Senegal isipokuwa upande wa bahari. [[Visiwa]] vya [[Cabo Verde]] viko [[km]] 560 mbele ya [[pwani]] ya Senegal. == Jiografia == Senegal ni nchi inayogusana na kanda ya [[Sahel]] na pia [[kanda ya Tropiki]]. Uso wa nchi ni hasa [[tambarare]] zinazopanda juu polepole kuelekea kusini mashariki. Sehemu nyingine zinafikia [[mita]] 580 juu ya [[UB]]. Kusini kabisa iko [[kasoko]] kubwa la [[Velingara]]. [[Hali ya hewa]] ni ya [[kitropiki]]. [[Majira ya mvua]] ni hasa miezi ya Mei hadi Novemba. Nchi imegawanyika katika [[mikoa]] 14 iliyogawanyika tena katika [[wilaya]] 45. == Miji == {{main|Orodha ya miji ya Senegal}} Miji mikubwa ni [[Dakar]] (wakazi 2 476 400), [[Pikine]] (wakazi 874 062), [[Thiès]] (wakazi 252 320), [[Saint-Louis (Senegal)|Saint-Louis]] (wakazi 176 000), [[Kaolack]] (wakazi 172 305), [[Ziguinchor]] (wakazi 159,788), [[Tiebo]] (wakazi 100 289). Karibu [[nusu]] ya watu huishi mijini. ==Historia== Kwa wakati na kiasi tofauti eneo la Senegal lilikuwa sehemu ya [[Dola la Ghana]], na baadae ya [[Dola la Mali]] na hatimaye ya [[Dola la Songhai]] Baadae ilikuwa [[koloni]] la [[Ufaransa]] hadi mwaka [[1960]]. == Wakazi == Kuna wakazi [[milioni]] 13.5 na idadi kubwa ni wa chini ya [[umri]] wa miaka 20. Wameongezeka sana, mnamo mwaka [[1985]] idadi ilikuwa milioni 5 tu. Kikundi kikubwa nchini ni [[Wawolof]] (43%), wengine ni [[Wafula]] wakiwa pamoja na [[Watukulur]] (24%), halafu [[Waserer]] (14.7%), [[Wadiola]] (4%),[[Wamandinka]] (3%), [[Wasoninke]]. Kwa ujumla kuna [[Orodha ya lugha za Senegal|lugha 37]] nchini Senegal. [[Kiwolofu]] kinazidi kuenea, lakini mpaka sasa [[lugha rasmi]] ni [[Kifaransa]]. [[Shule|Shuleni]] kinatumika pia [[Kireno]], hasa kusini. [[Theluthi]] mbili ya wakazi hawajui kusoma. Senegal ni [[nchi isiyo na dini]] [[dini rasmi|rasmi]]. Wakazi wengi sana (94%) ni [[Waislamu]] (hasa [[Wasunni]]); [[Wakristo]] (hasa [[Wakatoliki]]) ni takriban 5%. ==Tazama pia== * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] ==Marejeo== {{Div col|2}} * Babou, Cheikh Anta, ''Fighting the Greater Jihad: Amadu Bamba and the Founding of the Muridiyya of Senegal, 1853–1913'', (Ohio University Press, 2007) * Behrman, Lucy C, ''Muslim Brotherhood and Politics in Senegal'', (iUniverse.com, 1999) * Buggenhage, Beth A, ''Muslim Families in Global Senegal: Money Takes Care of Shame'', (Indiana University Press, 2012) * Bugul, Ken, ''The Abandoned Baobab: The Autobiography of a Senegalese Woman'', (University of Virginia Press, 2008) * Foley, Ellen E, ''Your Pocket is What Cures You: The Politics of Health in Senegal'', (Rutgers University Press, 2010) * Gellar, Sheldon, ''Democracy in Senegal: Tocquevillian Analytics in Africa'', (Palgrave Macmillan, 2005) * Glover, John, ''Sufism and Jihad in Modern Senegal: The Murid Order'', (University of Rochester Press, 2007) * Kane, Katharina, ''Lonely Planet Guide: The Gambia and Senegal'', (Lonely Planet Publications, 2009) * Kueniza, Michelle, ''Education and Democracy in Senegal'', (Palgrave Macmillan, 2011) * Mbacké, Khadim, ''Sufism and Religious Brotherhoods in Senegal'', (Markus Wiener Publishing Inc., 2005) * Streissguth, Thomas, ''Senegal in Pictures'', (Twentyfirst Century Books, 2009) * Various, ''Insight Guide: Gambia and Senegal'', (APA Publications Pte Ltd., 2009) * Various, ''New Perspectives on Islam in Senegal: Conversion, Migration, Wealth, Power, and Femininity'', (Palgrave Macmillan, 2009) * Various, ''Senegal: Essays in Statecraft'', (Codesria, 2003) * Various, ''Street Children in Senegal'', (GYAN France, 2006) {{Div col end}} == Viungo vya nje == {{Commons}} * {{fr}} [http://www.gouv.sn/ Serikali ya Senegal] {{Wayback|url=http://www.gouv.sn/ |date=20080516093351 }} * [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/country_profiles/1064496.stm Country Profile] from [[BBC News]] * {{CIA World Factbook link|sg|Senegal}} * [http://www.business-anti-corruption.com/country-profiles/sub-saharan-africa/senegal/business-corruption-in-senegal.aspx Senegal Corruption Profile] from the [[Business-Anti-Corruption Portal|Business Anti-Corruption Portal]] ;Trade * [http://wits.worldbank.org/CountryProfile/Country/SEN/Year/2012/Summary Senegal 2012 Summary Trade Statistics] * {{dmoz|Regional/Africa/Senegal}} * {{wikiatlas|Senegal}} {{Afrika}} {{African Union}} {{CPLP}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Senegal| ]] [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Nchi zinazotumia lugha ya Kifaransa]] h2en655b88ka9u3lxs1n3ovxt7tb0zw Jamhuri ya China 0 7576 1437073 1410287 2025-07-12T06:38:04Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437073 wikitext text/x-wiki {{for|Uchina bara|Jamhuri ya Watu wa China}} {{Jedwali la nchi | jina_asili = {{lang|zh|中華民國}} | jina_refu_rasmi = Jamhuri ya China | common_name = Taiwan | bendera = Flag of the Republic of China.svg | nembo = National Emblem of the Republic of China.svg | ramani = Taiwan (orthographic projection).svg | maelezo_ramani = Eneo la Taiwan | kauli_mbiu = "三民主義,吾黨所宗" ([[Kichina]] kwa "Kanuni Tatu za Watu ni Msingi wa Chama Chetu") | wimbo_wa_taifa = "中華民國國歌" (Zhōnghuá Mínguó Guógē) | lugha_rasmi = [[Kichina cha Mandarin]] | mji_mkuu = [[Taipei]] | mji_mkubwa = New Taipei | serikali = Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kikatiba | cheo_kiongozi1 = Rais | cheo_kiongozi2 = Waziri Mkuu | kiongozi1 = Tsai Ing-wen | kiongozi2 = Chen Chien-jen | tukio1 = Kuanguka kwa Dola ya Qing | tukio2 = Kuanzishwa kwa Jamhuri ya China | tukio3 = Serikali ya Jamhuri ya China kuhamia Taiwan | tukio1_tarehe = 10 Oktoba 1911 | tukio2_tarehe = 1 Januari 1912 | tukio3_tarehe = 7 Desemba 1949 | kabila = 95% [[Wahan]] </br> 2.3% Wamataifa Asilia wa Taiwan | mwaka_kabila = 2020 | eneo_jumla = 36,193 | cheo_eneo = ya 137 | maji = 8.6% | muundo_uhuru = '''Kujitenga na China Bara''' (de facto) | watu_kadirio = 23,357,056 | mwaka_kadirio = 2024 | cheo_watu = ya 56 | watu_sensa = 23,375,314 | mwaka_sensa = 2020 | msongamano = 646 | population_density_rank = 10 | mwaka_pato = 2024 | plt_ppp = {{increase}} $1.69 trilioni <!--IMF--> <ref name='auto1'>{{Cite web|title=Taiwan GDP|url=https://www.imf.org/external/datamapper/profile/TWN|year=2024}}</ref> | cheo_plt_ppp = 21 | pato_ppp_kwa_mtu = {{increase}} $71,373 <ref name='auto1'/> | cheo_plt_ppp_kwa_mtu = 18 | plt = {{increase}} $829 bilioni <ref name='auto1'/> | plt_kwa_mtu = {{increase}} $34,981 <ref name='auto1'/> | maendeleo = 0.926 | mwaka_maendeleo = 2022 | cheo_maendeleo = 21 | fedha = [[Dola Mpya ya Taiwan]] (NT$) TWD | majira_saa = +8 [[China Standard Time|CST]] | upande_gari = Kulia | tld = [[.tw]] | msimbo_simu = 886 | footnotes = {{fnb|1}} Lugha nyingine zinazotumika ni pamoja na [[Kihakka]], [[Kihokkien cha Taiwan]], na [[Kilakota]] miongoni mwa lugha za wenyeji wa Taiwan. }} '''Taiwan''', rasmi kama '''Jamhuri ya Uchina''' (ROC), ni nchi ya kisiwa katika [[Asia ya Mashariki]], kilicho katika [[Bahari ya Pasifiki]], kinachotenganishwa na Mlango wa Taiwan kutoka Jamuhuri y watu wa China. Inapakana na [[Jamhuri ya Watu wa China|Uchina]] magharibi, [[Ufilipino]] kusini, na [[Japani]] kaskazini-mashariki. Ina idadi ya watu takriban milioni 23.5, ikiwa ya 57 duniani. Jiji lake kubwa zaidi ni [[New Taipei]], wakati mji mkuu ni [[Taipei]]. Taiwan imegawanyika katika mikoa 22, ikijumuisha miji mikuu maalum. == Eneo == Sehemu kubwa ya eneo lililo chini ya serikali ya Jamhuri ya China ni [[kisiwa]] cha [[Taiwan]], lakini pia lina visiwa vidogo mbele ya [[mwambao]] wa [[China|China bara]]. Mbali ya visiwa mbalimbali katika [[Bahari ya China]] visivyo na wakazi, upande wa [[magharibi]] kuna ma[[funguvisiwa]] matatu: * [[Visiwa vya Wavuvi]] ama [[Pescadores]] - (Penghu, 澎湖列島) * [[Quemoy]] (Kinmen, 金門) * [[Matsu (kisiwa)|Matsu]] (馬祖列島) == Historia == [[Jamhuri]] ya China iliundwa mwaka [[1912]] mjini [[Nanking]] baada ya [[mapinduzi ya China ya 1911]] iliyomaliza [[utawala]] wa kifalme wa [[nasaba ya Qing]]. [[Sun Yat-sen]] akawa [[rais]] wa kwanza. [[Serikali]] ya jamhuri ilidai [[mamlaka]] juu ya China yote ingawa hali halisi viongozi wa kijeshi na [[wapinzani]] mbalimbali walishika utawala katika maeneo kadhaa. Nchi jinsi ilivyo sasa ni tokeo la [[vita vya wenyewe kwa wenyewe vya China]] iliyokwisha mwaka [[1949]] na [[ushindi]] wa [[Wakomunisti]] chini ya [[Mao Zedong]] na kuundwa kwa [[Jamhuri ya Watu wa China]] huko [[Beijing]]. Wakomunisti walifukuza serikali ya [[chama]] cha [[Kuomintang]] iliyoongoza Jamhuri ya China. Mwaka 1949 serikali ya Kuomintang chini ya [[jenerali]] [[Chiang Kai-shek]] na mabaki ya [[jeshi]] lake pamoja na wafuasi wengi ilihamia Taiwan walipoendelea kutawala. Wakomunisti walikosa nguvu ya kuwafuata hadi kwenye visiwa kutokana na vitisho vya [[Marekani]]. Hivyo serikali katika Taiwan iliendelea kujiita "serikali ya China" na kutangaza [[shabaha]] yake kuwa [[ukombozi]] wa China yote. Hali halisi utawala wa Wakomunisti barani uliimarika na mipango yote kinyume chake ilionekana kama [[ndoto]]. Lakini kwa miaka minghi serikali ya [[Taipeh]] ilichukua nafasi ya China yote kimataifa. Jamhuri ya China ilikuwa kati ya nchi zilizoanzisha [[Umoja wa Mataifa]] mwaka [[1945]] na serikali ya Kuomintang iliendelea kushika kiti cha China hadi mwaka [[1971]]. Tarehe [[25 Oktoba]] [[1971]] [[Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa]] uliamua ya kuwa Jamhuri ya Watu wa China iwe mwakilishi wa China bara kwenye [[UM]], hivyo Jamhuri ya China alijiondoa. Siku hizi uhusiano kati ya China zote mbili ni mgumu. Wananchi wengi wa Jamhuri ya China wameanza kujitazama kama Wataiwani, si Wachina tena. Lakini China inadai nchi hii ni sehemu yake. Nchi imefaulu sana [[uchumi|kiuchumi]], ikishika nafasi ya 15 [[duniani]]. ==Watu== Wakazi ni 23,780,452 ([[2018]]), hivyo [[msongamano]] ni mkubwa sana. Wengi wao (zaidi ya 95[[%]]) ni [[Wachina]] waliotokana na wale waliohamia kisiwani hasa kuanzia [[karne ya 17]]. Wenyeji ni 2% tu. [[Kichina]] ndiyo [[lugha rasmi]] na [[Lugha ya taifa|ya taifa]], pia [[lugha]] ya kawaida katika [[lahaja]] zake mbalimbali. Lugha za wenyeji, ambazo ni kati ya [[lugha za Austronesia]], zinazidi kufa. Nchi inaheshimu [[uhuru wa dini]] na wakazi wengi (81.3%) wanayo moja ya kwao. Serikali inazitambua 26. Yenye wafuasi wengi ni [[Ubuddha]] (35.1%), [[Utao]] (33%), [[Ukristo]] (3.9%, wakiwemo [[Waprotestanti]] 2.6% na [[Wakatoliki]] 1.3%) na [[Yiguandao]] (3.5). Wenyeji wengi ni Wakristo (64%). ==Tazama pia== * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== {{Commons|Republic of China}} ===Taarifa za jumla=== * {{CIA World Factbook link|tw|Taiwan}} * [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/taiwan.htm Taiwan] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/taiwan.htm |date=20120828223012 }} from ''UCB Libraries GovPubs'' * {{dmoz|Regional/Asia/Taiwan}} * [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/americas/country_profiles/1285915.stm Taiwan country profile] [[BBC News]] * [http://news.bbc.co.uk/1/shared/spl/hi/asia_pac/04/taiwan_flashpoint/html/history.stm Taiwan flashpoint] BBC News * [http://www.state.gov/r/pa/ei/bgn/35855.htm Background Note: Taiwan] US Department of State * [http://www.lonelyplanet.com/taiwan Taiwan Travel Information and Travel Guide] Lonely Planet * [http://www.taiwandc.org/history.htm Taiwan's 400 years of history]{{Dead link|date=July 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} New Taiwan, Ilha Formosa * [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=TW Key Development Forecasts for Taiwan] from [[International Futures]] * [http://www.britannica.com/EBchecked/topic/580902/Taiwan Taiwan] ''Encyclopædia Britannica'' entry * [http://www.oecd.org/countries/chinesetaipei/ Chinese Taipei] [[Organisation for Economic Co-operation and Development|OECD]] * {{wikiatlas|Taiwan}} ===Serikali=== * [http://www.taiwan.gov.tw/mp.asp?mp=999 Office of the government] {{Wayback|url=http://www.taiwan.gov.tw/mp.asp?mp=999 |date=20110120042200 }} * [http://english.president.gov.tw/ Office of the President] * [http://www.judicial.gov.tw/en/ Judicial Yuan] * [http://www.cy.gov.tw/mp21.htm Control Yuan] * [http://www.exam.gov.tw/mp.asp?mp=5 Examination Yuan] {{Wayback|url=http://www.exam.gov.tw/mp.asp?mp=5 |date=20101001175559 }} * [http://www.taiwanembassy.org/US/mp.asp?mp=12 Taipei Economic & Cultural Representative Office in the US] * [http://www.na.gov.tw/en/index-en.jsp National Assembly] {{Wayback|url=http://www.na.gov.tw/en/index-en.jsp |date=20050630004123 }} * [http://eng.taiwan.net.tw/ Taiwan, The Heart of Asia] {{Wayback|url=http://eng.taiwan.net.tw/ |date=20161223063050 }}, Tourism Bureau, Republic of China (Taiwan) {{asia}} {{mbegu-jio-Asia}} [[Jamii:Taiwan]] [[jamii:Uchina]] [[Jamii:Nchi za visiwa]] [[Jamii:Nchi za Asia]] [[Jamii:Visiwa vya Pasifiki]] 1uybajw6w6kertomougpob7ol0scpf7 Beyoncé Knowles 0 10439 1436971 1429833 2025-07-11T18:14:50Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1436971 wikitext text/x-wiki {{Msanii muziki 2 | Jina = Beyoncé | Img = Beyoncé - Tottenham Hotspur Stadium - 1st June 2023 (10 of 118) (52946364598) (best crop).jpg | Img_capt = Beyoncé mnamo 2023. | Img_size = | Landscape = | Background = solo_singer | Jina la kuzaliwa = Beyonce Giselle Knowles | Amezaliwa = {{Birth date and age|1981|9|4}} | Pia anajulikana kama = | Asili yake = Houston, Texas | Aina = | Miaka ya kazi = 1990 - hadi leo | Studio = Parkwood | Ameshirikiana na = | Tovuti = {{URL|beyonce.com}} | Wanachama wa sasa = | Wanachama wa zamani = }} '''Beyoncé Giselle Knowles''' (alizaliwa [[4 Septemba]] [[1981]]), anayefahamika zaidi [[kwa jina moja]] '''Beyoncé''' {{pron-en|biˈjɒn.seɪ}} ni [[mwimbaji]] wa [[R & B]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]], mtayarishaji wa rekodi, [[mwigizaji]] na [[mwanamitindo]] kutoka [[Marekani]]. Alizaliwa na kukulia [[Houston, Texas]] na alihudhuria shule mbalimbali zinazofunza [[sanaa]]. Pia alianza kushiriki katika mashindano ya kuimba na kucheza ngoma akiwa mtoto. Knowles alikuja kujulikana katika mwisho wa miaka ya [[1990]] kama mwimbaji kiongozi wa kikundi cha wasichana cha R & B, [[Destiny's Child]]. Kulingana na [[Sony]], mauzo ya rekodi za Knowles, yakiunganishwa na yale ya kikundi cha Destiny's Child, yamezidi milioni 100.<ref>[http://www.billboard.com/features/beyonce-the-billboard-cover-story-1004017959.story#/features/beyonce-the-billboard-cover-story-1004017959.story?page=2 Beyonce: The Billboard Cover Story.] {{Wayback|url=http://www.billboard.com/features/beyonce-the-billboard-cover-story-1004017959.story#/features/beyonce-the-billboard-cover-story-1004017959.story?page=2 |date=20100109172923 }} (2009-10-01) ''[[Billboard]]'' Retrieved 2009/10/01</ref> Wakati wa kuvunjika kwa kikundi cha [[Destiny's Child]], Knowles alitoa albamu yake ya kwanza, ''[[Dangerously in Love]]'' ([[2003]]), ambayo ilikuwa mojawapo ya albamu za mwaka zilizokuwa na mafanikio zaidi na jambo hili liliashiria uwezo wake wa kufaulu kama msanii kivyake. Albamu hiyo ilikuwa na mafanikio muhimu ya kibiashara, huku ikitoa nyimbo mashuhuri kama "[[Crazy in Love]]", "[[Baby Boy]]", na kumshindia Knowles [[tuzo tano za Grammy]] katika mwaka [[2004]]. Kutawanyika kwa kikundi cha Destiny's Child mwaka [[2005]] kuliendeleza mafanikio yake: albamu yake ya pili, ''[[B'Day]]'', iliyotolewa mwaka [[2006]], ilikuwa namba moja kwenye chati ''[[za Bango]],'' na ilikuwa na nyimbo kama "[[Déjà Vu]]", "[[Irreplaceable]]", na "[[Beautiful Liar]]". Albamu yake ya tatu, ''[[I Am... Sasha Fierce]]'', ilitolewa Novemba [[2008]], na ilikuwa na nyimbo kama "[[If I Were a Boy]]", "[[Single Ladies (Put a Ring on It)]]", "[[Halo]]" na "[[Sweet Dreams]]". Knowles amefikisha idadi ya nyimbo tano zinazopendwa sana miongoni mwa orodha ya nyimbo 100, hivyo basi kuwa mmoja kati ya wasanii wawili wa kike walio na idadi kubwa ya nyimbo zilizochukua nafasi ya kwanza katika miaka ya [[2000]]. Mafanikio ya albamu alizoimba akiwa peke yake yamemfanya Knowles kuwa mmoja wa wasanii wanaosifika sana katika sekta ya [[muziki]], na amepanua kazi yake kwa kujihusisha na uigizaji na kuidhinisha bidhaa. Alianza kazi yake ya uigizaji mwaka [[2001]], aliposhiriki katika filamu ya kimuziki [4] Katika mwaka wa [[2006]], alishiriki kama mmoja wa wahusika wakuu katika filamu ya malinganisho ya [[1981]] ya [[Broadway musical Dreamgirls]], ambayo ilimfanya ilimpatia uteuzi mara mbili katika [[Golden Globe Nominations]]. Knowles alizindua shirika la familia yake la mitindo, [[House of Deréon]], mwaka [[2004]], na limekuwa likihusika na kuidhinisha bidhaa kama [[Pepsi]], [[Tommy Hilfiger]], [[Armani]] na [[L'Oréal]]. Katika mwaka wa [[2009]], jarida la ''[[Forbes]]'' lilimworodhesha Knowles namba nne katika orodha yake ya watu mashuhuri walio na nguvu na ushawishi mkubwa katika dunia, wa tatu katika orodha ya wanamuziki wa hadhi ya juu, na namba moja katika orodha ya juu ya watu mashuhuri wanaolipwa malipo bora zaidi chini ya miaka 30, akiwa na zaidi ya mapato ya dola milioni 87, kati ya 2008 na 2009.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.forbes.com/lists/2009/53/celebrity-09_Beyonce-Knowles_YA72.html | title = The Celebrity 100: #4 Beyonce Knowles| date = 3 Juni 2009}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.forbes.com/2009/07/02/beyonce-knowles-earnings-business-entertainment-young-stars.html | title = Nakala iliyohifadhiwa|accessdate=2012-05-24 |archiveurl=https://archive.today/20120524211152/http://www.forbes.com/2009/07/02/beyonce-knowles-earnings-business-entertainment-young-stars.html |archivedate=2012-05-24 }}</ref> == Maisha na kazi mwanzo == Knowles alizaliwa katika [[Houston]], Texas, na ni binti wa [[Mathew Knowles]], meneja mashuhuri wa rekodi, na Tina Beyincé, mtengenezaji wa [[mavazi]] na [[nywele]]. Babake Knowles 'ni [[Mmarekani]] mwenye asili ya [[Kiafrika]] na mama yake ni [[Mkrioli]] mwenye asili ya (Mwafrika Mmarekani, Mmarekani alisia, na Mfaransa).<ref name="FOX">{{Rejea tovuti|url=http://www.foxnews.com/story/0,2933,204978,00.html?sPage=fnc/entertainment/beyonce | title = Beyonce Knowles' Biography|accessdate=2008-06-05 | date = 15 Aprilii 2008|work=Fox News}}</ref> Knowles alibatizwa na kuchukua jina la mama yake la kati, kama ishara ya shukrani kwa mama yake na kuzuia jina hilo lisisahaulike, kwani ni wanaume wachache tu wa familia ya Beyincé wanaolitumia jina hilo.<ref name="FOX"/> Babu na bibi wa mama yake, Lumis Albert Beyincé na Agnéz Deréon, walikuwa Wakrioli kutoka [[Louisiana.]]waliozungumza Kifaransa <ref name="FOX"/> Yeye ni dada mkubwa wa [[Solange]], mwimbaji - mtunzi wa nyimbo, na mwigizaji. Knowles alisomea St Mary's Elementary School katika Texas, ambapo yeye alihudhuria madarasa ya kucheza [[dansi]], ikiwa ni pamoja na ballet na [[jazz.]] Kipawa chake cha kuimba kiligunduliwa wakati mwalimu wake wa dansi alipoanza kuimba wimbo na yeye akaumaliza wimbo huo, na kuweza kuimba nota za juu.<ref name="E!">{{cite video |title=Beyonce: All New |work=E! Online |accessdate=2008-04-16}}</ref> Ingawa alikuwa msichana mwenye soni, kama mama yake alivyosema, upendo wa Knowles wa kuimba na kucheza muziki ulianza bila kutarajiwa baada ya kushiriki katika shindano la kuonyesha vipawa shuleni. Mara tu alipopata nafasi ya kupanda jukwaani, yeye aliweza kukabiliana na soni zake na akataka kuwa mwimbaji na mchezaji dansi.<ref name="Driven">{{Rejea tovuti | title = Driven|url=http://www.vh1.com/shows/dyn/driven/65240/episode_about.jhtml |work=VH1 |accessdate=2008-04-16 |archivedate=2003-08-20 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20030820042751/http://www.vh1.com/shows/dyn/driven/65240/episode_about.jhtml }}</ref> Akiwa na umri wa miaka saba, Knowles aliingia shindano lake la kwanza la kuonyesha kipawa chake, na kuimba wimbo wa [[John Lennon]], [["Imagine".]] Yeye alishinda na akapongezwa kwa shangwe na vifijo.<ref name="People">{{Rejea tovuti | title = Beyoncé Knowles: Biography - Part 1|url=http://www.people.com/people/beyonce_knowles/biography |work=People |accessdate=2008-04-01 |archivedate=2007-04-26 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070426055053/http://www.people.com/people/beyonce_knowles/biography }}</ref><ref name="Blender">{{Rejea habari | title = Beyoncé: The Ice Princess|url=http://www.blender.com/guide/articles.aspx?id=2065 |work=Blender | date = 18 Septemba 2006|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080312131345/http://www.blender.com/guide/articles.aspx?id=2065 |archivedate=2008-03-12 }}</ref> Akiwa na umri huo, Knowles alianza kuwavutia waandishi wa habari, alipotajwa katika ''[[Houston Chronicle]]'' kama mmoja wa walioteuliwa kushindana katika maonyesho ya mtaani ya 'The Sammy'.<ref>{{Rejea habari |url=http://www.essence.com/news_entertainment/entertainment/articles/destinyschildsoulsurvivors | title = Destiny's Child: Soul-Survivors|last=Gillings |first=Andrew | date = 22 Aprilii 2001|work=Essence |accessdate=2009-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090227140905/http://www.essence.com/news_entertainment/entertainment/articles/destinyschildsoulsurvivors |archivedate=2009-02-27 }}</ref> Mnamo [[1990]], Knowles alijiunga na Parker Elementary School, [[shule]] inayofunza muziki huko Houston, ambapo alikuwa akiimba katika kwaya ya shule.<ref name="E!"/> Pia alihudhuria shule ya [[The High School for Performing and Visual Arts]] katika Houston <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.houstonisd.org/HISDConnectDS/v/index.jsp?vgnextoid=c3783acb02efc010VgnVCM10000052147fa6RCRD | title = Distinguished HISD Alumni|work=Houstonisd.org |accessdate=2008-04-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120515061020/http://www.houstonisd.org/HISDConnectDS/v/index.jsp?vgnextoid=c3783acb02efc010VgnVCM10000052147fa6RCRD |archivedate=2012-05-15 }}</ref> na baadaye akaenda [[Alief Elsik High School]], iliyo katika eneo la Houston la [[Alief.]] <ref name="FOX"/><ref>{{Rejea tovuti |url=http://elsikalumni.com/FamousAlumni.asp | title = Famous Alumni - Elsik High School|work=ElsikAlumni.com |accessdate=2008-04-17 |archivedate=2012-01-30 |archiveurl=https://www.webcitation.org/654NENtvd?url=http://elsikalumni.com/FamousAlumni.asp }}</ref> Knowles alikuwa [[kiongozi wa nyimbo]] katika kwaya ya kanisa lake, la St John's United Methodist.<ref name="E!"/> Hata hivyo, yeye alikaa katika kwaya kwa miaka miwili kwa sababu alikuwa anashughulikia kazi yake ya muziki.<ref>{{Rejea habari | title = Cameo: Fat Joe Interviews Beyoncé and Mike Epps|url=http://www.mtv.com/onair/moviehouse/cameo/16/index.jhtml |work=MTV News |accessdate=2008-04-24 |archivedate=2008-02-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080224081629/http://www.mtv.com/onair/moviehouse/cameo/16/index.jhtml }}</ref> Akiwa na umri wa miaka minane, Knowles alikutana na [[LaTavia Roberson]] akiwa katika majaribio ya kikundi cha waimbaji wasichana.<ref name="Kaufman">{{Rejea habari |last=Kaufman |first=Gil | title = Destiny's Child's Long Road To Fame (The Song Isn't Called "Survivor" For Nothing)|url=http://www.mtv.com/news/articles/1504044/20050613/destinys_child.jhtml |work=MTV News | date = 13 Juni 2005|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2009-06-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090628091758/http://www.mtv.com/news/articles/1504044/20050613/destinys_child.jhtml }}</ref> Wao, pamoja na rafiki ya Knowles [[Kelly Rowland]], waliwekwa katika kikundi kilichoimba rap na kucheza dansi. Mwanzoni kikundi hiki kilichoitwa [[Girl's tyme]],<ref name="People"/> kilipunguzwa na kuwa cha wasichana sita.<ref name="E!"/> Kutokana na kuwepo kwa Knowles na Rowland, kikundi hiki cha Girl's tyme kiliwavutia watazamaji katika taifa zima. Mtayarishaji wa R&amp;B kutoka pwani ya magharibi, Arne Frager, alisafiri kwa ndege hadi Houston ili kuwaona. Hatimaye yeye aliwapeleka kwenye studio yake - The Plant Recording Studios - iliyoko [[Kaskazini mwa California]], na kushirikisha nyimbo za Knowles kwa sababu yeye ,Frager, alifikiria kuwa Knowles alikuwa na uwezo wa kuimba.<ref name="E!"/> Kama sehemu ya jitihada za kuingiza kikundi cha Girl's tyme kwenye studio kubwa ya kurekodi, mkakati ambao Frager alipanga kuutumia ulikuwa ni kwanza kukishirikisha kikundi hiki katika ''[[Star Search]],'' <ref name="Driven"/> kipindi kilichokuwa kikubwa zaidi cha kuonyesha kipawa kwenye TV ya kitaifa kwa wakati ule.<ref name="E!"/> Girl's tyme walishiriki katika mashindano lakini wakashindwa kwa sababu wimbo waliouimba haukuwa mzuri, Knowles mwenyewe alikubali.<ref name="Farley">{{Rejea tovuti |last=Farley |first=Christopher John | title = Call Of The Child|url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,998976,00.html |work=TIME | date = 15 Januari 2001|accessdate=2008-04-12 |archivedate=2012-01-30 |archiveurl=https://www.webcitation.org/654NoPGuG?url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,998976,00.html |=https://www.webcitation.org/654NoPGuG?url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,998976,00.html }}</ref><ref name="J.R.">{{Rejea tovuti|last=Reynolds |first=J.R. | title = All Grown Up|url=http://music.yahoo.com/read/interview/12027658 |work=Yahoo! Music | date = 3 Machi 1998|accessdate=2007-01-12}}</ref> Knowles alipatwa na "kipingamizi " cha kwanza katika kazi yake baada ya kushindwa, lakini baada ya kugundua kuwa waimbaji wengine mashuhuri kama [[Britney Spears]] na [[Justin Timberlake]] walipitia kipingamizi kama kile, yeye alirejesha tumaini.<ref name="E!"/> Ili kusimamia kikundi hiki, babake Knowles (ambaye wakati huo alikuwa muuzaji wa vifaa vya matibabu) alijiuzulu katika mwaka wa [[1995]] kutoka kwa kazi yake.<ref>{{Rejea tovuti |last=Tyrangiel |first=Josh | title = Destiny's Adult|url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1005114,00.html |work=TIME | date = 30 Juni 2003|accessdate=2008-04-12 |archivedate=2012-01-30 |archiveurl=https://www.webcitation.org/654O2nAkv?url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1005114,00.html |=https://www.webcitation.org/654O2nAkv?url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1005114,00.html }}</ref> Yeye kujitolea muda wake na kuanzisha kambi ya "Boot Camp" kwa ajili ya mazoezi yao.<ref name="Driven"/> Hatua hii ilipunguza pato la familia ya Knowles kwa nusu na wazazi wake wakatengana kwa sababu ya shinikizo iliyotokana na hatua hiyo ya kujiuzulu.<ref name="FOX"/> Muda mfupi baada ya kuingizwa kwa Rowland, Mathew alipunguza idadi ya awali ya kikundi hiki hadi nne,<ref name="E!"/> na [[LeToya Luckett]] aliyejiunga nao katika mwaka wa 1993.<ref name="Kaufman"/> Huku wakifanyia mazoezi katika chumba cha Tina cha kutengenezea nywele na kwenye vitaru vya nyumba zao, kikundi kiliendelea kuimba kama katika maonyesho ya vikundi vingine vya wasichana vya R&amp;B vilivyokuwa tayari vimefahamika;<ref name="Kaufman"/> Tina alichangia kwa kutengeneza mavazi yao, jambo ambalo aliendelea kufanya hata katika wakati wa kikundi cha Destiny's Child. Pamoja na msaada wa Mathew, wao walifanyiwa majaribio ya sauti na kampuni za kurekodi na hatimaye wakasainiwa na kampuni ya [[Elektra Records]], ambayo iliwafutilia mbali baada ya miezi michache kabla hawajatoa albamu yoyote.<ref name="FOX"/> == Kazi ya kurekodi na ya filamu == === 1997-2001: Enzi ya Destiny's Child === {{Main|Destiny's Child}} Kutokana na wahyi kutoka katika kifungu cha [[Kitabu cha Isaya]], kikundi kilibadilisha jina lake kuwa Destiny's Child katika mwaka wa 1993.<ref name="Kaufman"/> Pamoja, walitumbuiza watu katika matukio ya mitaa, na baada ya miaka minne, kikundi hiki kilitia saini na [[Columbia Records]], mwishoni mwa 1997. Mwaka uo huo, kikundi cha Destiny's Child kilirekodi wimbo wake wa kwanza, "Killing Time", uliotumika katika filamu iliyotolewa mwaka wa 1997 ya, ''[[Men in Black.]]'' <ref name="Kaufman"/><ref name="J.R."/> Mwaka uliofuata, kikundi kilitoa albamu yake ya kwanza iliyokuwa na jina la [[kikundi]] na kupata wimbo wao mashuhuri wa kwanza [["No, No, No".]] Albamu hiyo ilikipatia kikundi hiki nafasi katika ya sekta ya muziki na kukipatia mauzo ya wastani pamoja na kukishindia tuzo tatu za "Wimbo bora zaidi wa R &amp; B / Soul" wa "No, No, No", "Albamu bora zaidi ya mwaka ya R &amp; B / Soul "na" Msanii mpya bora zaidi wa R & B / Soul au Rap ", katika mashindano ya Soul Train Lady wa Tuzo za Soul.<ref name="Kaufman"/> Hata hivyo, kundi kilitimiza umaarufu kamili baada ya kuitoa albamu ya pili iliyohitimu kiwango cha 'multi-platinum' ''[[ya The Writing's on the Wall]]'' mwaka 1999. Rekodi hii inahusisha baadhi ya nyimbo za kikundi hiki zinazojulikana sana kama [["Bills, Bills, Bills"]], wimbo wa kwanza wa kikundi hiki kuwa namba moja, [[Jumpin 'Jumpin']] ", na" [[Say My Name]] ", ambao ndio uliokuwa wimbo maarufu zaidi kwa wakati huo, na umebaki mmoja wa nyimbo zao zilizovuma sana. Wimbo wa "Say My Name" ulishinda kategoria ya [[Wimbo wa R&B ulioimbwa vyema zaidi na kikundi cha watu wawili au zaidi kilicho na sauti nzuri na wimbo bora zaidi wa R & B katika mashindano ya tuzo za Grammy Awards za 2001.|Wimbo wa R&amp;B ulioimbwa vyema zaidi na kikundi cha watu wawili au zaidi kilicho na sauti nzuri na [[wimbo bora zaidi wa R &amp; B]] katika mashindano ya tuzo za [[Grammy Awards za 2001.]] <ref name="Kaufman"/>]] Albamu ya ''The Writing's on the Wall'' iliuza zaidi ya nakala milioni saba,<ref name="Farley"/> na kimsingi kuwa albamu yao iliyouza nakala nyingi zaidi.<ref name="ASCAP">{{Rejea tovuti | title = The Best in Hip hop/Soul|url=http://www.ascap.com/playback/2004/winter/hiphopsoul2.html |work=American Society of Composers, Authors and Publishers |accessdate=2008-04-02 |archivedate=2008-04-12 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080412002351/http://www.ascap.com/playback/2004/winter/hiphopsoul2.html }}</ref><ref name="Anthony">{{Rejea tovuti|last=Anthony |first=James | title = Of course you can lose yourself|url=http://arts.guardian.co.uk/filmandmusic/story/0,,1852025,00.html |work=The Guardian | date = 18 Agosti 2006|accessdate=2008-04-16}}</ref> [[Picha:Beyonce Independent.jpg|thumb|right|240px|Knowles akiimba wimbo wa Destiny's Child "Independent Women Part I", wimbo bora kutoka kwa kikundi.]] Pamoja na mafanikio yao ya kibiashara, kikundi hiki kikaingizwa katika msukosuko ulioangaziwa sana na vyombo vya habari na uliohusisha mashtaka yaliyofunguliwa na Luckett na Roberson kwa uvunjaji wa mkataba. Msukosuko huu ulizidishwa baada ya [[Michelle Williams]] na [[Farrah Franklin]] kuonekana kwenye video ya wimbo "Say My Name", kumaanisha kuwa Luckett na Roberson walikuwa wameshabadilishwa.<ref name="Kaufman"/> Hatimaye, Roberson na Luckett walitoka kwenye kikundi. Franklin pia hatimaye alififia kutoka kwenye kikundi baada ya miezi mitano,<ref name="Farley"/> kama ilivyothibitishwa na kutokuwepo kwake wakati wa maonyesho ya matangazo ya ukuzaju na utumbuizaji. Yeye alisema kuwa alitoka kwenye kikundi hicho kwa sababu ya matamshi hasi ndani ya kikundi yaliyosababisha ugomvi.<ref name="Kaufman"/> Baada ya kutulia, waimbaji hawa watatu walirekodi albamu ya "[[Independent Women Part I]]", ambayo ilishirikishwa kwenye filamu ya 2000, ''[[Charlie's Angels]]''. Huu ukawa ndio wimbo uliokaa kwenye chati kwa muda mrefu sana, kwani uliongoza kwenye chati ya Marekani ya nyimbo [[/0} kwa muda wa wiki kumi na moja mfululizo.|/0} kwa muda wa wiki kumi na moja mfululizo.<ref name="Kaufman"/><ref name="ASCAP"/>]] Mafanikio hayo yalikiimarisha kikundi hiki na kuwafanya wasifike.<ref name="People"/> Baadaye mwaka huo, Luckett na Roberson waliondoa kesi dhidi ya wanakikundi wenzao, lakini wakadumisha mashtaka dhidi Mathew, ambayo yaliishia katika makubaliano ya pande zote mbili ya kuacha kushushiana hadhi mbele ya umma.<ref name="Kaufman"/> Albamu ya tatu ya Destiny's Child, ''[[Survivor]],'' ilionyesha mzozo waliopitia, kwa kutoa wimbo wake wa kwanza [[uliotoweka baadaye]], na ambao waliutoa kukabiliana na mzozo huo.<ref>{{Rejea habari |last=Hiatt |first=Brian | title = Destiny's Child Use Turmoil To Fuel New LP|url=http://www.mtv.com/news/articles/1435986/20010108/destinys_child.jhtml |work=MTV News | date = 8 Juni 2001|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2008-09-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080917160840/http://www.mtv.com/news/articles/1435986/20010108/destinys_child.jhtml }}</ref> Hata hivyo, maudhui ya nyimbo za albamu hiyo ya "[[Survivor]]", yaliwafanya Luckett na Roberson wafungue mashtaka upya dhidi ya kikundi hiki, kwa kuamini kwamba zilikuwa zimewalenga wao.<ref name="Kaufman"/> Hata hivyo, kesi ilifungwa katika Juni 2002.<ref name="Anthony"/> Wakati uo huo, albamu ilitolewa Mei 2001, na kuwa namba moja katika [[Bango la nyimbo 200 mashuhuri la Marekani|''Bango'' la nyimbo 200 mashuhuri la Marekani]] na kuuza nakala kwa 663,000.<ref name="Martens3">{{Rejea habari |last=Todd |first=Martens | title = Beyonce, Branch Albums Storm The Chart|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1926761 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 2 Julai 2003|accessdate=2008-04-01 |archiveurl=https://archive.today/20120526215124/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1926761%23/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1926761 |archivedate=2012-05-26 }}</ref> Kufikia sasa, albamu ya ''Survivor'' imeuza zaidi ya nakala milioni kumi duniani kote, zaidi ya asilimia arobaini zikiwa zimeuzwa katika Marekani pekee.<ref>{{Rejea habari |last=Carpenter |first=Troy | title = Destiny's Child Slapped With Infringement Suit|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=2007671 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 22 Oktoba 2003|accessdate=2008-04-01 |archiveurl=https://archive.today/20120526215118/www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=2007671 |archivedate=2012-05-26 }}</ref> Albamu hii ilitoa nyimbo zingine zilizokuwa namba moja [[-"bootylicious"]] na wimbo wa anwani, "Survivor", wimbo huu wa mwisho ndio uliokishindia kikundi hiki tuzo ya Grammy ya wasilisho bora zaidi la R & B na na kikundi cha waimbaji wawili au zaidi kilicho na Sauti nzuri. Baada kutoa albamu yao ya likizo, ''[[8 Days of Christmas]],'' kikundi hiki kilitangaza kutawanyika kwake na kila mmoja wao kuanza kuimba peke yake.<ref name="Kaufman"/> === 2000-02: Kuwa Pekee na kuendeleza kazi === Mwaka 2000, Knowles aliingia katika mkataba wa kutolewa albamu tatu na kampuni ya Columbia Records.<ref name="SeymourDestiny">{{Rejea habari |url=http://www.ew.com/ew/article/0,,85643,00.html | title = Manifest Destiny|last=Seymour |first=Craig | date = 18 Oktoba 2000|work=Entertainment Weekly |accessdate=2009-02-26 |archivedate=2009-04-27 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090427192429/http://www.ew.com/ew/article/0,,85643,00.html }}</ref> Wakati Knowles alikuwa katika Destiny's Child, yeye pia aliimba peke yake. Aliimba na mwenzake [[Marc Nelson]] katika wimbo wa "When all is Said and Done" ulioshirikishwa kwenye filamu ya 1999 ya ''[[The Best Man]],'' na akashirikishwa katika wimbo wa 2000 wa [["I Got That"]] na rapa [[Amil.]] <ref name="SeymourDestiny"/> Mapema mwaka 2001, wakati kikundi cha Destiny's Child kilikuwa kinakamilisha albamu ya ''Survivor,'' Knowles alipata nafasi ya kuwa mmoja wa wahusika wakuu katika filamu iliyotayarishwa ili kuonyeshwa kwenye televisheni na MTV, ''[82]'' na aliigiza akishirikiana na mwigizaji wa filamu kutoka Marekani [[Mekhi Phifer.]] Filamu hii iliyotengenezewa [[Philadelphia]], ni kama ufafanuzi wa kisasa wa opera ya karne ya 19, ''[[Carmen]]'' , iliyoandaliwa na mtunzi wa Kifaransa [[Georges Bizet.]] <ref>{{Rejea habari |last=Basham |first=David | title = Beyoncé To Star In "Carmen" Remake|url=http://www.mtv.com/news/articles/1438067/20010118/destinys_child.jhtml |work=MTV News | date = 18 Januari 2001|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-04-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100428064707/http://www.mtv.com/news/articles/1438067/20010118/destinys_child.jhtml }}</ref> Mwaka 2002, Knowles alishiriki kama mmoja wa wahusika wakuu katika filamu ya vichekesho ya ''[[Austin Powers in Goldmember]],'' kama mhusika [[Foxxy Cleopatra]] wakiwa mkabala na [[Mike Myers.]] <ref>{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Beyonce Records Song Written By Mike Myers For 'Powers' Flick|url=http://www.mtv.com/news/articles/1451333/20011205/destinys_child.jhtml |work=MTV News | date = 6 Desemba 2001|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-04-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100428075135/http://www.mtv.com/news/articles/1451333/20011205/destinys_child.jhtml }}</ref> Filamu hii iliongoza kwenye 'sanduku la posta' na kupata dola milioni 73.1 katika wikendi yake ya kwanza.<ref name="People"/> Knowles alirekodi wimbo wake wa kwanza, [["Work It Out"]], ulioshirikishwa katika filamu hii.<ref>{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Beyonce, Britney Serve Up First Singles From "Goldmember"|url=http://www.mtv.com/movies/news/articles/1454495/20020522/story.jhtml |work=MTV News | date = 23 Mei 2002|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-04-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100428074726/http://www.mtv.com/movies/news/articles/1454495/20020522/story.jhtml }}</ref> Mwaka uliofuata, Knowles aliigiza pamoja na [[Cuba Gooding, Jr]] katika filamu ya kimapenzi na vichekesho ya ''[[Fighting Temptations]]'' , na kurekodi wimbo wa [["Fighting Temptation"]], akishirikiana na waimbaji wa kike [[Missy Elliott, MC Lyte]], na [[Free for it]] soundtrack.<ref>{{Rejea habari |last=Downey |first=Ryan J. | title = Beyonce Teams With Diddy, Destiny On "Temptations" Soundtrack|url=http://www.mtv.com/news/articles/1476929/20030814/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 14 Agosti 2003|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-08-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100813034151/http://www.mtv.com/news/articles/1476929/20030814/knowles_beyonce.jhtml }}</ref><ref>{{Rejea tovuti |last=Moss |first=Correy | title = Beyoncé: Genuinely In Love - Part 1|url=http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/news_feature_062703/ |work=MTV News |accessdate=2008-04-01 |archive-date=2014-08-10 |archive-url=https://web.archive.org/web/20140810131051/http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/news_feature_062703/ |url-status=dead }}</ref> Mwaka uo huo Knowles alishiriki katika wimbo wa [[Jay-Z]] (mume wake), wa [["'03 Bonnie &amp; Clyde".]] <ref name="People"/> Pia alirekodi toleo tofauti la wimbo wa [[50 Cent]] wa [["In Da Club"]] na akautoa Machi 2003.<ref>{{Rejea habari |last=Reid |first=Shaheem | title = Beyonce's First Solo Single Will Be A Club Banger|url=http://www.mtv.com/news/articles/1471054/20030404/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 7 Aprilii 2003|accessdate=2008-03-31 |archivedate=2010-08-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100813112608/http://www.mtv.com/news/articles/1471054/20030404/knowles_beyonce.jhtml }}</ref> [[Luther Vandross]] na Knowles waliimba upya wimbo wa "The Closer I Get to You", ambao ulikuwa umeimbwa awali na [[Roberta Flack]] na [[Donny Hathaway]] katika mwaka wa 1977.<ref name="Moss">{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Beyonce Pushes Up Release Date Of Solo Debut|url=http://www.mtv.com/news/articles/1472224/20030602/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 2 Juni 2003|accessdate=2008-03-31 |archivedate=2010-08-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100813093007/http://www.mtv.com/news/articles/1472224/20030602/knowles_beyonce.jhtml }}</ref> Toleo lao la wimbo huo lilishinda tuzo ya Grammy katika kategoria ya wimbo bora wa R & B ulioimbwa na watu wawili au Kikundi chenye Sauti katika mwaka uliofuata, na wimbo wa Vandross, [["Dance With My Father"]], ambao pia ulihusisha Knowles, ulishinda katika kategoria ya wimbo bora wa R & B ulioimbwa na mwimbaji wa kiume mwenye sauti nzuri.<ref>{{Rejea habari |last=Sullivan |first=James | title = Beyonce, OutKast Top Grammys|url=http://www.rollingstone.com/news/story/5937101/beyonce_outkast_top_grammys |work=Rolling Stone | date = 9 Februari 2004|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2008-03-14 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080314040827/http://www.rollingstone.com/news/story/5937101/beyonce_outkast_top_grammys }}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Beyonce, Ruben Studdard To Appear In Luther Vandross Video|url=http://www.mtv.com/news/articles/1474367/20030721/vandross_luther.jhtml |work=MTV News | date = 21 Julai 2003|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-08-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100813032306/http://www.mtv.com/news/articles/1474367/20030721/vandross_luther.jhtml }}</ref> === 2003-2004: ''Albamu ya Dangerously in Love'' === Baada ya Williams na Rowland kutoa albamu zao, Knowles alitoa albamu yake ya kwanza, ''[[Dangerously in Love]],'' katika Juni 2003.<ref name="Moss"/> Albamu hii iliyoshirikisha wanamuziki wengi ilikuwa na mchanganyiko wa nyimbo za mpigo wa kasi na wa polepole. Albamu ilipata kushika nafasi ya kwanza kwenye ''Bango'' la nyimbo 200 mashuhuri ilipofika na, kuuza nakala 317,000 katika wiki yake ya kwanza.<ref name="Martens3"/> Albamu hii ilithibitishwa kuhitimu kiwango cha '4x platinum' tarehe 5 Agosti 2004 na shirika la [[Recording Industry Association of America]],<ref name="RIAA">{{Rejea habari | title = Gold and Platinum|url=http://riaa.com/goldandplatinumdata.php?resultpage=1&table=SEARCH_RESULTS&artist=Beyonce&startMonth=1&endMonth=1&startYear=1958&endYear=2008&sort=Artist&perPage=25 |work=Recording Industry Association of America |accessdate=2008-04-02 |archivedate=2013-05-21 |archiveurl=https://www.webcitation.org/6GmCARZKv?url=http://riaa.com/goldandplatinumdata.php?resultpage=1 }}</ref> na imeuza nakala milioni 4.2 kufikia sasa katika Marekani.<ref name="Hope">{{Rejea habari |last=Hope |first=Clover | title = Beyoncé To Celebrate "B'Day" In September|url=http://www.billboard.com/bbcom/news/article_display.jsp?vnu_content_id=1002577296 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 30 Mei 2006|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-07-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100703134855/http://www.billboard.com/bbcom/news/article_display.jsp?vnu_content_id=1002577296 }}</ref> Albamu hii ilitoa nyimbo mbili zilizokuwa namba moja. Wimbo wa [["Crazy in Love"]], ulioshirikisha kifungu cha 'rap' kilichoimbwa na Jay-Z, ulitolewa kama wimbo wa kwanza wa albamu hii na ulibakia kwenye ''Bango'' la nyimbo 100 mashuhuri kwa wiki nane mfululizo <ref>{{Rejea tovuti |last=Bonson |first=Fred | title = Chart Beat Chat|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1002035011 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 17 Februari 2006|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://archive.today/20120527054245/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1002035011%23/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1002035011 |archivedate=2012-05-27 }}</ref> na kuongoza katika chati zingine nyingi kote duniani. Knowles pia alifanikiwa kuvuma Uingereza, na kuongoza kwenye chati nyingi za nyimbo na albamu huko.<ref>{{Rejea habari |last=Sexton |first=Paul | title = Beyonce Continues U.K. Chart Dominance|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1938016 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 21 Julai 2003|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080929080323/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1938016 |archivedate=2008-09-29 }}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Sexton |first=Paul | title = Beyonce Rules Again On U.K. Charts|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1933208 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 14 Julai 2003|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120203095445/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1933208 |archivedate=2012-02-03 }}</ref> Wimbo wa pili wa albamu hiyo, [["Baby Boy"]], ambao ulimshirikisha mwimbaji wa mtindo wa [[Dancehall, Sean Paul]], pia ulikuwa mmojawapo wa nyimbo mashuhuri za 2003, ukivuma katika vituo vya redio huko Marekani na kukaa kwa kipindi cha wiki tisa kama namba moja kwenye ''Bango'' la nyimbo 100 mashuhuri- wiki moja zaidi kushinda wimbo wa "Crazy in Love ".<ref>{{Rejea habari |last=Martens |first=Todd | title = Beyonce, Sean Paul Creep Closer To No. 1|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1977331 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 11 Septemba 2003|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://archive.today/20120729134000/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1977331%23/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1977331 |archivedate=2012-07-29 }}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Martens |first=Todd | title = "Stand Up" Ends "Baby Boy" Reign|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=2042602 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 28 Novemba 2003|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://archive.today/20120526215124/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=2042602%23/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=2042602 |archivedate=2012-05-26 }}</ref> Tofauti na wimbo wa "Crazy in Love", nyimbo tatu za mwisho zilifikia mafanikio ya kibiashara kwa haraka zaidi, na kuipandisha albamu hii juu ya chati na kuchangia pakubwa katika kuthibitishwa kwake kama albamu iliyohitimu kiwango cha 'multi-platinum'.<ref>{{Rejea kitabu|last=Stacy-Deanne | coauthors=Kelly Kenyatta, Natasha Lowery | title = Alicia Keys, Ashanti, Beyonce, Destiny's Child, Jennifer Lopez & Mya: Divas of the New Millennium|url=http://books.google.com/books?id=1ZGMcUEvkyEC&pg=PA60&dq=Baby+Boy+by+Beyonce&lr=&as_brr=0&sig=H1TzeKTzJqsBqow_O7HLlQZ4VuM#PPA61,M1 |publisher=Amber Books Publishing |year=2005 |pages=60–61 |isbn=0974977969 |accessdate=2008-04-02}}</ref> Knowles alishinda tuzo tano katika shindano la [[Grammy Awards 2004]] kutokana na juhudi zake mwenyewe, na zilikuwa ni pamoja na [[Uimbaji Bora wa Kike wa R &amp; B]] kwa wimbo [["Dangerously in Love 2"]], Wimbo Bora wa R & B kwa wimbo "Crazy in Love", na [[Albamu Bora ya Kisasa ya R &amp; B.]] Anashirikiana katika ushindi huu na wasanii wengine wa kike wanne: [[Lauryn Hill (1999), Alicia Keys (2002) Norah Jones (2003)]] na [[Amy Winehouse (2008).]] <ref name="ASCAP"/><ref>{{Rejea tovuti| title = Yes, America, Amy Winehouse Is a Star|url=http://www.bbcamerica.com/content/23/anglophenia.jsp?bc_id=899 |work=BBC America | date = 11 Februari 2008|accessdate=2008-02-13}}</ref> Katika mwaka wa 2004, yeye alishinda [[tuzo]] ya [[BRIT]] ya mwimbaji mmoja ya Kimataifa.<ref>{{Rejea tovuti| title = Brit Awards 2004 winners|url=http://www.bbc.co.uk/radio1/news/brits2004/winners.shtml |work=BBC UK | date = 17 Februari 2004|accessdate=2008-04-02}}</ref> === 2004-05: Albamu ya ''Destiny Fulfilled'' na kikundi kutawanyika === Mwaka 2004, Knowles alikusudia kutoa albamu ya kufuatilia ile ya ''Dangerously in Love,'' ambayo ingekuwa na baadhi ya nyimbo zilizobaki baada ya kurekodi ile ya kwanza. Hata hivyo, matarajio yake ya kimuziki yalisimamishwa kutokana na ratiba zilizokinzana, ikiwemo ile ya kurekodi na kikundi cha Destiny's Child kwa albamu ambayo ingekuwa yao ya mwisho.<ref>{{Rejea habari |last=Patel |first=Joseph | title = Beyonce Puts Off Second Solo LP To Reunite Destiny's Child|url=http://www.mtv.com/news/articles/1484202/20040107/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 7 Januari 2004|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2008-01-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080115070521/http://www.mtv.com/news/articles/1484202/20040107/knowles_beyonce.jhtml }}</ref> Mapema katika mwaka huo, Knowles aliimba [[wimbo wa taifa wa Marekani]] katika hafla ya [[Super Bowl XXXVIII]] katika uwanja wa michezo wa [[Reliant]] huko Houston; yeye alikubali kuwa jambo hili lilikuwa limetimiza ndoto yake ya utoto.<ref name="People2">{{Rejea tovuti | title = Beyoncé Knowles: Biography - Part 2|url=http://www.people.com/people/beyonce_knowles/biography/0,,20004431_10,00.html |work=People |accessdate=2008-04-01 |archivedate=2007-05-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070504090034/http://www.people.com/people/beyonce_knowles/biography/0,,20004431_10,00.html }}</ref> [[Picha:Say My Name Live.jpg|thumb|left|240px|Destiny's Child wakiimba wimbo bora wa 2000 "Say My Name" wakati wa ziara yao ya mwisho, Destiny Fulfilled ... And Lovin 'It.]] Baada ya safari ya miaka mitatu iliyohusisha yeye kushughulikia miradi yake binafsi, Knowles aliungana na Rowland na Williams kwa sababu ya albamu ya ''[[Destiny Fulfilled]],'' iliyotolewa Novemba 2004.<ref name="Kaufman"/> Albamu hii ilifika namba mbili kwenye [[Bango la nyimbo 200 mashuhuri,|''Bango'' la nyimbo 200 mashuhuri]], na ikatoa nyimbo tatu zilizoingia kwenye orodha ya nyimbo arobaini za kwanza zikiwemo [["Lose My Breath"]] na [["Soldier".]] <ref>{{Rejea habari |last=Whitmire |first=Margo | title = Eminem Thankful To Remain No. 1|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1000726418 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 24 Novemba 2004|accessdate=2008-04-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110623084126/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1000726418 |archivedate=2011-06-23 }}</ref> Katika harakati za kuipigia debe albamu hiyo, kikundi hiki kulianza ziara ya 2005 ya ''[[Destiny Fulfilled...]]'' ''[[And Lovin 'It]]'' , duniani, ambayo ilianza katika Aprili na ikaendelea hadi Septemba. Wakiwa katika ziara ya [[Barcelona]], Uhispania, kikundi hiki kilitangaza kutawanyika kwao baada ya kufikia mwisho wa ziara ya Amerika ya Kaskazini.<ref name="Kaufman"/><ref>{{Rejea habari |last=Cohen |first=Jonathan | title = Destiny's Child To Split After Fall Tour|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1000955328 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 12 Juni 2005|accessdate=2008-04-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110623084101/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1000955328 |archivedate=2011-06-23 }}</ref> Mnamo Oktoba 2005, kikundi hiki kilitoa [[albamu ya mkusanyiko]], iliyoitwa ''[[# 1's]],'' na iliyokuwa na nyimbo zao zote ambazo zilishawahi kuwa namba moja na zile zilizojulikana sana. Albamu hii ya nyimbo zao mashuhuri ilijumuisha nyimbo tatu mpya, ikiwa ni pamoja wimbo wa [["Stand Up For Love".]] Kikundi hiki kilipongezwa kwa kupewa nyota katika hafla ya [[Hollywood Walk of Fame]] mnamo Machi 2006.<ref name="People2"/> Pia walitambuliwa kama kikundi cha kike kilichokuwa na mauzo bora zaidi ulimwenguni kote.<ref>{{Rejea tovuti | title = Beyonce Knowles|url=http://www.time.com/time/specials/2007/time100walkup/article/0,28804,1611030_1610841_1609748,00.html |work=[[Time (magazine)|TIME]] |accessdate=2008-04-12 |archivedate=2012-02-22 |archiveurl=https://www.webcitation.org/65dYOYWGa?url=http://www.time.com/time/specials/2007/time100walkup/article/0,28804,1611030_1610841_1609748,00.html |=https://www.webcitation.org/65dYOYWGa?url=http://www.time.com/time/specials/2007/time100walkup/article/0,28804,1611030_1610841_1609748,00.html }}</ref><ref>{{Rejea habari|last=Keller |first=Julie | title = Destiny's World Domination|url=http://music.yahoo.com/read/news/23584356 |work=[[Yahoo! Music]] | date = 1 Septemba 2005|accessdate=2006-12-28}}</ref> Huku akiendelea na kazi yake ya filamu, Knowles alishiriki kama mmoja wa wahusika wakuu katika filamu ya ''[[The Pink Panther]],'' na kucheza kama mhusika Xania, aliyesifika kimataifa, wakiwa na [[Steve Martin]], ambaye huigiza kama [[Inspekta Clouseau.]] <ref name="IGN">{{Rejea tovuti|last=Otto |first=Jeff | title = Interview: Beyonce Knowles|url=http://movies.ign.com/articles/686/686598p1.html |work=IGN | date = 8 Februari 2006|accessdate=2008-04-01}}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Beyonce To Star Opposite Steve Martin In "Pink Panther"|url=http://www.mtv.com/movies/news/articles/1485971/20040325/story.jhtml |work=MTV News | date = 25 Machi 2004|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-04-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100428074453/http://www.mtv.com/movies/news/articles/1485971/20040325/story.jhtml }}</ref> Filamu hiyo ilitolewa 10 Februari 2006, na ikapata nafasi ya kwanza katika 'sanduku la posta', na kuuza tiketi za dola milioni 21.7 katika wiki ya kwanza.<ref name="People"/> Knowles alirekodi wimbo wa [["Check on It"]] ulioshirikishwa kwenye filamu, akishirikiana na [[Slim Thug]], na kufikia namba moja kwenye [[Bango la nyimbo 100 mashuhuri.|''Bango'' la nyimbo 100 mashuhuri.]] <ref name="IGN"/> Mwishoni mwa mwaka 2005, Knowles tena alisitisha kutolewa kwa albamu yake ya pili baada ya kupata nafasi katika ''[[Dreamgirls]],'' filamu iliyolinganisha filamu ya [[1981 Broadway]] kuhusu kikundi cha waimbaji wa kike cha 1960 kilicholinganishwa na kile cha [[Motown]] cha waimbaji wa kike kilichoitwa [[The Supremes.]] Katika filamu hii, yeye anacheza nafasi ya Deena Jones anayelinganishwa na [[Diana Ross]].<ref name="IGN"/><ref>{{Rejea habari |last=Tecson |first=Brandee J. | title = Beyonce Slimming Down And "Completely Becoming Deena"|url=http://www.mtv.com/movies/news/articles/1523138/20060203/story.jhtml |work=MTV News | date = 3 Februari 2006|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2008-01-20 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080120141003/http://www.mtv.com/movies/news/articles/1523138/20060203/story.jhtml }}</ref> Knowles aliambia jarida la ''Billboard'' : "Sitashughulikia albamu yangu hadi nimalize kuigiza kwenye filamu hii." <ref name="Hope"/> Filamu hii iliyotolewa Desemba 2006, ilishirikisha [[Jamie Foxx, Eddie Murphy]], na [[Jennifer Hudson.]] Knowles alirekodi nyimbo kadhaa kwa ajili ya kutumika kwenye filamu hii, ukiwemo wimbo alioubuni wa [["Listen".]] <ref>{{Rejea habari |last=Reid |first=Shaheem | title = Beyonce Wants End To Drama Over New Drama "Dreamgirls"; Sets Tour|url=http://www.mtv.com/movies/news/articles/1547863/20061212/story.jhtml |work=MTV News | date = 13 Desemba 2006|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-04-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100403181043/http://www.mtv.com/movies/news/articles/1547863/20061212/story.jhtml }}</ref> Mnamo 14 Desemba 2006, Knowles alipendekezwa kupata [[tuzo mbili za Golden Globe]] kutokana na filamu hiyo ya Dream Girls: [[Kategoria ya mwigizaji bora wa kike - 'Motion Picture Musical or Comedy']] na [[Wimbo bora wa kubuni]] kutokana na wimbo alioubuni wa "Listen".<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.timesonline.co.uk/article/0,,3-2505178,00.html | title = Nominees for the 2007 Golden Globe Awards in full|work=[[The Times|Times Online]] | date = 15 Desemba 2006|accessdate=2007-01-12 |archive-date=2021-02-14 |archive-url=https://web.archive.org/web/20210214102849/https://www.thetimes.co.uk/ |url-status=dead }}</ref> === 2006-07: Albamu ya ''B'Day'' === [[Picha:Beyonce sings Listen.jpg|thumb|180px|Knowles akiimba wimbo wa "Listen" kutoka Dreamgirls, wakati wa ziara ya The Beyoncé Experience ya mwaka 2007.]] Kutokana na msukumo uliotokana na nafasi yake katika filamu ya ''Dreamgirls,'' Knowles alianza kuifanyia kazi albamu yake ya pili bila mpango maalum, huku akisema kwenye habari za MTV, "[Baada ya kumalizika kwa utayarishaji wa filamu] mimi nilikuwa na mambo mengi ndani yangu, hisia nyingi, mawazo mengi".<ref>{{Rejea habari |last=Reid |first=Shaheem | title = Be All You Can, B.|url=http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/news_feature_081406/index2.jhtml |work=MTV News |accessdate=2008-04-01 |archivedate=2013-06-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20130607124459/http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/news_feature_081406/index2.jhtml }}</ref> Knowles alifanya kazi na watu wengine walioshiriki kwenye muziki hapo awali, ikiwa ni pamoja na [[Rich Harrison, Rodney Jerkins]] na [[Sean Garrett]], katika studio za muziki za [[Sony]] mjini New York. Alishiriki katika ama kuandika au kutayarisha karibu nyimbo zote zilizokuwa katika albamu hiyo, ambayo ilikamilika kutayarishwa katika muda wa wiki tatu.<ref>{{Rejea habari |last=Vineyard |first=Jennifer | title = Beyonce's Triple Threat: New Album, Film, Fashion Line Before Year's End|url=http://www.mtv.com/news/articles/1533201/20060530/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 31 Mei 2006|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2010-08-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100813104001/http://www.mtv.com/news/articles/1533201/20060530/knowles_beyonce.jhtml }}</ref> Albamu ya ''[[B'Day]]'' ilitolewa duniani kote tarehe 4 Septemba 2006 na tarehe 5 Septemba 2006 katika Marekani wakati mmoja na maadhimisho ya miaka ishirini na tano yake ya kuzaliwa. Albamu hii ilitolewa na kuwa namba moja kwenye ''Bango'' la nyimbo 200 mashuhuri, huku ikiuza zaidi ya nakala 541,000 katika wiki ya kwanza, na yakawa ndio mauzo yake ya juu zaidi katika wiki ya kwanza akiwa anaimba peke yake.<ref>{{Rejea habari |last=Hasty |first=Katie | title = Beyonce's 'B-Day' Makes Big Bow At No. 1|url=http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1003121337 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 13 Septemba 2006|accessdate=2008-01-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070929141817/http://www.billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1003121337 |archivedate=2007-09-29 }}</ref> Albamu imethibitishwa kufikia kiwango cha platinumu kwa mara tatu huko Marekani na shirika la [[Recording Industry Association of America.]] <ref name="RIAA"/> Albamu hii ilitoa wimbo uliokuwa namba moja huko Uingereza, wa [["Déjà Vu"]], ambao ndio ulikuwa wa kwanza kutolewa kutoka kwa albamu hii, akishirikiana na Jay-Z. " Wimbo wa "Irreplaceable" ulitolewa Oktoba mwaka 2006 kama wimbo wa pili wa albamu hii duniani kote na wa tatu katika Marekani "Wimbo huu uliongoza kwenye ''Bango'' la nyimbo 100 mashuhuri kwa wiki 10 mfululizo, na kumpatia Knowles wimbo wake uliokaa katika nafasi ya kwanza kwenye bango kufikia sasa.<ref>{{Rejea habari |last=Hasty |first=Katie | title = Beyonce Makes It Ten Weeks At No. 1 With 'Irreplaceable'|url=http://www.billboard.com/bbcom/news/article_display.jsp?vnu_content_id=1003543450 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 8 Februari 2007|accessdate=2008-04-02 |archivedate=2011-06-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110605101410/http://www.billboard.com/bbcom/news/article_display.jsp?vnu_content_id=1003543450 }}</ref> Ingawa albamu hii ilikuwa na mafanikio, kibiashara, utayarishaji wake ambao ulichukua muda mfupi ulizua mijadala mikali.<ref>{{Rejea tovuti |last=Hiatt |first=Brian | title = Beyonce: B'Day|url=http://www.rollingstone.com/artists/beyonce/albums/album/11463836/review/11736807/bday |work=Rolling Stone | date = 20 Septemba 2006|accessdate=2008-04-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070106061431/http://www.rollingstone.com/artists/beyonce/albums/album/11463836/review/11736807/bday |archivedate=2007-01-06 |=https://web.archive.org/web/20070106061431/http://www.rollingstone.com/artists/beyonce/albums/album/11463836/review/11736807/bday }}</ref><ref>{{Rejea habari|last=Rodman |first=Sarah | title = Beyonce shows rage and range on new release|url=http://www.boston.com/news/globe/living/articles/2006/09/04/beyonce_shows_rage_and_range_on_new_release/ |work=The Boston Globe |publisher=The New York Times Company | date = 4 Septemba 2006|accessdate=2009-01-31}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Kellman |first=Andy | title = Album Review: B'Day|url=http://www.allmusic.com/album/bday-r852067 |publisher=Allmusic |accessdate=2008-01-08}}</ref> Knowles alitoa upya albamu hii ya ''B'Day'' tarehe 3 Aprili 2007 ,<ref>{{Rejea habari |author=MTV News staff | title = For The Record: Quick News On Mariah, Notorious B.I.G., Paul Wall, Beyonce, Shakira, Fall Out Boy & More|url=http://www.mtv.com/news/articles/1552323/20070213/carey_mariah.jhtml |work=MTV News | date = 13 Februari 2007|accessdate=2008-04-01 |archivedate=2007-12-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071224091959/http://www.mtv.com/news/articles/1552323/20070213/carey_mariah.jhtml }}</ref> iloyokuwa na nyimbo tano mpya na matoleo ya Kihispania ya nyimbo za "Irreplaceable", na [["Listen".]] <ref name="MTVNewsStaff">{{Rejea habari | title = For The Record: Quick News On Mariah, Notorious B.I.G., Paul Wall, Beyonce, Shakira, Fall Out Boy & More|url=http://www.mtv.com/news/articles/1552323/20070213/carey_mariah.jhtml |work=MTV News | date = 13 Februari 2007|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2007-12-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071224091959/http://www.mtv.com/news/articles/1552323/20070213/carey_mariah.jhtml }}</ref> Sambamba na hayo, ''[[diwani ya albamu ya B'Day]]'' ilitolewa akishirikisha video 10 za muziki.<ref name="MTVNewsStaff"/><ref name="Vineyard1">{{Rejea tovuti |last=Vineyard |first=Jennifer | title = Beyonce: Behind The B'Day Videos 1|url=http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/videos_07/news_feature_040207/index.jhtml |work=MTV News |accessdate=2008-04-02 |archive-date=2016-08-19 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160819020647/http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/videos_07/news_feature_040207/index.jhtml |url-status=dead }}</ref> Katika kuipigia debe albamu hii, Knowles kulianza ziara yake ndefu iliyoitwa [[The Beyoncé Experience]] tour, na kutembelea zaidi ya kumbi tisini duniani, na ambayo ilitolewa kama video ya DVD iliyoitwa ''[[The Beyoncé Experience Live!.]]'' <ref>[http://www.answers.com/topic/the-beyonc-experience-live-dvd The Beyonce Experience Live DVD = "Guy Charbonneau (mhandisi)][http://www.answers.com/topic/the-beyonc-experience-live-dvd '''' ]</ref> Katika mashindano ya [[Grammy Awards, 2007]], albamu ya B'Day '' ilimshindia Knowles tuzo ya Albamu Bora ya Kisasa ya R &amp; B.<ref>{{Rejea tovuti | title = 49th Annual Grammy Award Winnerslist|url=http://www.grammy.com/GRAMMY_Awards/49th_show/list.aspx |work=The Recording Academy |accessdate=2008-04-02 |archivedate=2006-12-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20061208230821/http://www.grammy.com/GRAMMY_Awards/49th_Show/list.aspx%2321 }}</ref>'' ''Knowles alifanywa jambo la kihistoria katika shindano la 35 la kila mwaka linalohusisha mashindano ya muziki [[Annual American Music Awards]] kwa kuwa mwanamke wa kwanza kushinda tuzo ya msanii wa Kimataifa.<ref name="People2"/>'' === 2008-hadi leo: Albamu ya ''I Am ... Sasha Fierce'' === [[Picha:BeyoncéKnowlesAAFeb09.jpg|thumb|left|180px|Knowles katika mashindano ya Academy 81 katika mwezi wa Februari 2009.]] Mnamo 10 Februari 2008, Knowles aliimba akishirikiana na [[Tina Turner]] katika shindano la [[50 la Grammy Awards.]] Wao waliimba mojawapo ya nyimbo mashuhuri za Tuner, [["Proud Maria"]], na kupokea maoni chanya kutoka vyombo vya habari. Knowles alitoa albamu yake ya tatu, ''[[I Am ... Sasha Fierce]],'' tarehe 18 Novemba 2008.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.mtv.com/news/articles/1596573/20081008/knowles_beyonce.jhtml |last=Vineyard |first=Jennifer | title = Beyonce Releases Two Tracks From ''I Am ...'' , Inspired By Jay-Z And Etta James|accessdate=8 Oktoba 2008 | date = 8 Oktoba 2008|publisher=MTV.com |archive-date=2012-06-19 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120619051814/http://www.mtv.com/news/articles/1596573/beyonce-releases-two-tracks-from-i.jhtml |url-status=dead }}</ref> Knowles husema kwamba jina ''Sasha Fierce'' ni jina la kimaajazi ambalo yeye hulichukua wakati anaimba kwenye jukwaa.<ref name="PCOLSashafierce">{{Rejea tovuti |url=http://www.telegraph.co.uk/arts/main.jhtml?xml=/arts/2008/11/08/sm_beyonce.xml |work=The Telegraph | title = Beyoncé: dream girl| date = 11 Agosti 2008|accessdate=2021-07-13 |archivedate=2020-05-31 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200531052644/https://www.telegraph.co.uk/culture/?xml=%2Farts%2F2008%2F11%2F08%2Fsm_beyonce.xml }}</ref> Albamu hii ilitangulia na kutolewa kwa nyimbo zake mbili, "If [[I Were a Boy"]] na [["Single Ladies (Put a Ring on It)".]] <ref>{{Rejea tovuti|url=http://biz.yahoo.com/prnews/080909/nytu078.html?.v=101 | title = New Beyonce Album Set for Release on Tuesday, November 18|accessdate=2008-09-09}}</ref><ref>{{Rejea tovuti |first=Jonathan |last=Cohen |url=http://www.billboard.com/bbcom/news/article_display.jsp?vnu_content_id=1003847270 | title = New Beyonce Album Arriving In November|work=Billboard |accessdate=2008-09-09 |archivedate=2008-11-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081102200258/http://www.billboard.com/bbcom/news/article_display.jsp?vnu_content_id=1003847270 }}</ref> Wakati wimbo wa "If I Were a Boy" uliongoza kwenye chati mbalimbali duniani, hasa katika nchi za Ulaya, wimbo wa "Single Ladies (Put a Ring on It)" ulichukua nafasi ya kwanza kwenye chati ya [[Billboard Hot 100|''Billboard'' Hot 100]] , kwa wiki nne ingawa si mfululizo, na kumpatia Knowles wimbo wake wa tano kuwa namba moja katika Marekani. [[Picha:Beyonce during the inaugural opening ceremonies.JPG|right|280px|thumb|Beyonce anaimba wimbo wa "America the Beautiful" wakati wa ufunguzi wa sherehe za uzinduzi.]] Knowles aliigiza kwenye filamu ya kimuziki, ''[[Cadillac Records]],'' <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.youtube.com/watch?v=YpwDbsNuMtc | title = Rodney Jerkins at Clive Davis' Pre-Grammy Party|work=Rap-Up TV | date = 10 Februari 2008|accessdate=2008-02-15}}</ref> ambapo Knowles alikuwa ametunikiwa kuchaguliwa kuiga katika mchezo mwimbaji mashuhuri wa [['blues']], [[Etta James.]] <ref>{{Rejea tovuti |url=http://beyonceworld.net/news/show_news.php?subaction=showcomments&template=&id=1214505789&archive=&start_from=&ucat= | title = Rodney Jerkins on Beyonce album release|work=Rap-Up TV | date = 26 Juni 2008|accessdate=2008-06-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080929234713/http://beyonceworld.net/news/show_news.php?subaction=showcomments&template=&id=1214505789&archive=&start_from=&ucat= |archivedate=2008-09-29 }}</ref> Uigizaji wake katika filamu hiyo umepokea sifa kutoka wakosoaji.<ref>{{Rejea habari |url=http://www.news.com.au/dailytelegraph/story/0,22049,25320588-5009160,00.html | title = Is Beyonce beyond her best?|last=Masterson |first=Lawrie | date = 12 Aprilii 2009|work=Daily Telegraph |accessdate=2009-04-13 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090415161851/http://www.news.com.au/dailytelegraph/story/0,22049,25320588-5009160,00.html |archivedate=2009-04-15 }}</ref> Knowles pia aliigiza pamoja na [[Ali Larter]] na [[Idris Elba]] katika filamu ya kutisha iitwayo ''[[obsessed]],'' ambayo ilikuwa katika utayarishaji tangu Mei 2008. Filamu hii ilipokea maoni duni na imepata asilimia mbovu ya 18% katika orodha ya 'Rotten Tomatoes'. Hata hivyo, filamu hii kufikia sasa imethibitisha kuwa na mafanikio ya kibiashara na ilitolewa katika Marekani tarehe 24 Aprili 2009. Filamu hii ilikusanya dola milioni 11.1 katika siku yake ya kwanza kutolewa <ref name="BOM">{{Rejea tovuti|url=http://www.boxofficemojo.com/news/?id=2580&p=.htm | title = Box Office Mojo}}</ref> na kumalizia wikendi yake ya kufunguliwa katika nafasi ya kwanza, na jumla ya dola 28.6 milioni.<ref name="BOM"/> [["Halo"]], wimbo wa nne wa albamu ya ''I Am ...'' ''Sasha Fierce,'' ulichukua nafasi ya tano, hivyo kuwa wimbo wa 12 wa Knowles kutokea katika orodha ya nyimbo 10 za kwanza katika chati ya 'Hot 100', akiwa ameimba peke yake. Jambo hili lilimfanya Knowles msanii wa kike aliye na nyimbo nyingi zaidi katika orodha ya nyimbo kumi za kwanza kwenye chati ya 'Hot 100' katika muongo huu.<ref name="Chart"/><ref name="Flo"/> Yeye pia ndiye msanii wa kike aliyekaa sana kwenye nafasi ya kwanza katika muongo huu, kwa kukaa jumla ya wiki 36 katika namba moja, kuwa na nyimbo nyingi miongoni mwa nyimbo tano na nyimbo kumi za kwanza katika muongo huu, kwa jumla ya nyimbo kumi na tatu,<ref name="Chart">{{Rejea tovuti |url=http://www.billboard.com/bbcom/chart-beat-bonus/chart-beat-depeche-mode-pet-shop-boys-oak-1003968257.story | title = Chart Beat: Depeche Mode, Pet Shop Boys, Oak Ridge Boys, Hannah Montana| date = 30 Aprilii 2009|accessdate=2009-11-30 |archivedate=2009-05-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090504135405/http://www.billboard.com/bbcom/chart-beat-bonus/chart-beat-depeche-mode-pet-shop-boys-oak-1003968257.story }}</ref><ref name="Flo">{{Rejea tovuti |url=http://www.billboard.com/bbcom/news/flo-rida-has-sweet-week-on-billboard-hot-1003968125.story | title = Flo Rida Has Sweet Week On Billboard Hot 100| date = 30 Aprilii 2009|accessdate=2009-11-30 |archivedate=2010-01-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100107130729/http://www.billboard.com/bbcom/news/flo-rida-has-sweet-week-on-billboard-hot-1003968125.story }}</ref> pamoja na kuwa na nyimbo nyingi kabisa miongoni mwa nyimbo 40 mashuhuri muongo huu, kwa kuwa na jumla ya nyimbo 18.<ref>[http://www.billboard.com/column/chartbeat/chart-beat-thursday-whitney-houston-black-1003998991.story#/column/chartbeat/chart-beat-thursday-whitney-houston-black-1003998991.story Chati Beat Thursday: Whitney Houston, Black Eyed Peas, Demi Lovato.] {{Wayback|url=http://www.billboard.com/column/chartbeat/chart-beat-thursday-whitney-houston-black-1003998991.story#/column/chartbeat/chart-beat-thursday-whitney-houston-black-1003998991.story |date=20110311042339 }} (07-30-2009). Bango la matangazo Ilipakuliwa 2009/07/20.</ref> Knowles alishinda Msanii Bora wa Kike (Outstanding Female Artist) katika mashindano ya [[NAACP Image Awards]] 2009.<ref>{{Rejea habari |url=http://www.cbc.ca/arts/story/2009/02/13/image-winners.html | title = Hudson tops winners at NAACP Image Awards| date = 13 Februari 2009|publisher=CBC |accessdate=2009-02-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090214235020/http://www.cbc.ca/arts/story/2009/02/13/image-winners.html |archivedate=2009-02-14 }}</ref> Yeye pia alishinda tuzo ya Msanii Bora wa R & B katika mashindano ya 2009 [[Teen Choice Awards.]] Knowles aliimba kwenye [[We Are One: The Obama Inaugural Celebration at the Lincoln Memorial|sikukuu]] ya [[Lincoln Memorial]] iliyokuwa tarehe 18 Januari 2009 iliyoandaliwa kwa heshima ya kuanzisha rasmi utawala wa [[Barack Obama]], Rais wa 44 wa Marekani. Knowles pia aliimba wimbo toleo lake la R & B la wimbo maarufu unaojulikana kuimbwa na [[Etta James, wa "At Last"]], wakati Rais Obama na mke wake [[Michelle]] walikuwa wakicheza ngoma yao ya kwanza kama Rais na mama wa kwanza wa Marekani, tarehe 20 Januari 2009 katika hafla ya 'Neighborhood Inaugural Ball'. [[Picha:Beyoncé at 2009 MTV VMA's 2 cropped.jpg|thumb|170px|left|Knowles katika mashindano ya 2009 MTV Video Music Awards.]] Katika kupigia debe albamu yeke, Knowles kufanya ziara ndefu iliyoitwa [[I Am ...]][[Tour]] Concert tours iliyoanza katika majira ya kuchipua ya 2009, na kutembelea kumbi tofauti duniani kote. Alihitimisha awamu ya ziara yake ya Amerika ya Kaskazini na onyesho la siku nne lililohusisha watu maalum na lilokuwa katika, [[Encore Theater]] inayotoshea watu 1,500 na iliyo kwenye 'Steve Wynn's Encore Resort' mjini [[Las Vegas]], kuanzia 30 Julai hadi 2 Agosti 2009. Kufikia 2 Agosti 2009, ziara ya Knowles ilikuwa imetangazwa rasmi kuwa 'Maonyesho nambari 1', kutokana na idadi kubwa ya watu waliohudhuria na safari hiyo iliyohusisha sehemu mbalimbali. Mwandishi wa jarida la ''[[Billboard]]'' , Bob Allen anathibitisha mafanikio ya ziara hiyo kwa kusema: "Kutokana na taarifa ya mapato kufikia dola 36 milion tangu ziara ianze, oyesho lake liko miongoni mwa maonyesho 15 ya kwanza, kukiwa na ziara zingine zilizopangwa kuanzia mwaka wa 2010." <ref>http://www.singersroom.com/news/4219/Beyonce-I-AM-Tour-Ranks-No1-Worldwide</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://news.prnewswire.com/DisplayReleaseContent.aspx?ACCT=104&STORY=/www/story/08-03-2009/0005070327&EDATE= | title = Beyonce's Four-Night Stint at Wynn Las Vegas a Resounding Success|work=PR Newswire |accessdate=2009-08-03 |archiveurl=https://archive.today/20120711104938/http://news.prnewswire.com/DisplayReleaseContent.aspx?ACCT=104&STORY=/www/story/08-03-2009/0005070327&EDATE= |archivedate=2012-07-11 }}</ref> Video ya wimbo wa "Single Ladies (Put a Ring on It)" ilishinda tuzo ya mwaka ya 2009 [[BET Awards]]. Aidha, video hii ilipendekezwa kupata jumla ya tuzo tisa katika shindano la [[2009 MTV Video Music Awards]], na hatimaye ikashinda tuzo ya [[Video ya mwaka]] na tuzo zingine mbili, ingawa kushindwa kwake katika kategoria ya Video Bora ya Kike na video ya [[Taylor Swift]] ya wimbo [["You Belong to Me"]] kulisababisha [[mgogoro wakati wa hafla;]] Hotuba ya Swift ya kukubali tuzo ilikatizwa na msanii wa Hip-Hop [[Kanye West]], ambaye alimpokonya kipaza sauti na kutangaza video ya "Single Ladies" kama "mojawapo ya video bora zaidi". Wakati Knowles alipokea tuzo ya video ya Mwaka, yeye alisema, "Mimi ninakumbuka nikiwa na umri wa miaka 17, nikieda kuchukua tuzo langu ya kwanza kutoka MTV na kikundi cha Destiny's Child, na ilikuwa ni mojawapo ya nyakati za kusisimua zaidi katika maisha yangu" na kwamba yeye angependa Swift "ajitokeze na afurahie wakati wake".<ref name="rollingstone.com">{{Rejea tovuti| title = Kanye West Storms the VMAs Stage During Taylor Swift's Speech| date = 2009-09-13|publisher=''[[Rolling Stone]]''|accessdate=2009-09-13|url=http://www.rollingstone.com/rockdaily/index.php/2009/09/13/kanye-west-storms-the-vmas-stage-during-taylor-swifts-speech/?rand=84857|archivedate=2009-09-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090922170945/http://www.rollingstone.com/rockdaily/index.php/2009/09/13/kanye-west-storms-the-vmas-stage-during-taylor-swifts-speech/?rand=84857|=https://web.archive.org/web/20090922170945/http://www.rollingstone.com/rockdaily/index.php/2009/09/13/kanye-west-storms-the-vmas-stage-during-taylor-swifts-speech/?rand=84857}}</ref><ref name="latimes.com">{{Rejea tovuti|first=Ann|last=Powers| title = Beyonce and Taylor Swift: Sisterhood is powerful, especially when male-directed| date = 2009-09-14|accessdate=2009-09-15|publisher=''[[Los Angeles Times]]''|url=http://latimesblogs.latimes.com/.../beyonce-and-taylor-swift-sisterhood-is-powerful-especially-when-maledirected.html}}</ref><ref name="Cnn.com">{{Rejea tovuti|first=Lisa|last=Respers| title = Anger over West's disruption at MTV awards| date = 2009-09-14|accessdate=2009-09-15|publisher=[[CNN]]|url=http://www.cnn.com/2009/SHOWBIZ/09/14/kanye.west.reaction/index.html}}</ref><ref name="MTV">{{Rejea tovuti| title = Adam Lambert, Donald Trump, Joe Jackson Slam Kanye West's VMA Stunt| date = 2009-09-13|publisher=[[MTV]]|accessdate=2009-09-13|url=http://www.mtv.com/news/articles/.../swift__taylor.jhtml|archive-date=2012-02-18|archive-url=https://web.archive.org/web/20120218000931/http://www.mtv.com/news/|url-status=dead}}</ref> Mnamo Oktoba 2009, Knowles alipewa tuzo ya jarida la ''[[Billboard]]'' ya "Woman of the Year".<ref name="billboardaward">{{Rejea tovuti| url=http://www.billboard.com/#/news/beyonce-accepts-billboard-s-woman-of-the-1004018301.story| title = Beyonce Accepts Billboard's Woman Of the Year Award, Lady Gaga Is Rising Star| work=[[Billboard (magazine)|Billboard]]| publisher=Nielsen Business Media, Inc| author=Concepcion, Mariel| date = 2009-10-02| accessdate=2009-10-03}}</ref> Wakati wa kukubali tuzo hilo, Knowles alisema "Mimi ni mwanamke aliyebahatika sana duniani." <ref name="billboardaward"/> == Mtindo wa muziki na sura == === Muziki na sauti === {{Listen|filename=Beyonce Trust in Me.ogg|title="Trust in Me"|description=While predominately R&B, Knowles' music explores various styles. The ''[[Daily Mail]]'' calls Knowles' voice "versatile", capable of exploring [[power ballads]], [[soul music|soul]], [[rock music|rock]] [[Belt (music)|belting]], operatic florishes, and hip hop.<ref>"[http://www.dailymail.co.uk/tvshowbiz/article-1187791/Beyonc-parties-5am-London--pulls-fierce-performance.html Beyoncé parties until 5am before first London show... but still pulls off a fierce performance]". (2009-26-05) ''[[The Daily Mail]]''. Retrieved (2009-08-03)</ref>|format=[[Ogg]]|filename2=Destiny's Child, Emotion.ogg|title2="Emotion"|description2=Knowles' prominent use of [[melisma]] and other vocal ornamentation earns her both praise and criticism from critics and fans.<ref name="MC"/><ref name="Their Music 2006 pg 13">''Contemporary Musicians and Their Music: Beyonce.'' (2006). The Rosen Publishing Group, pg 13.</ref>|format2=[[Ogg]]}} Knowles daima amekuwa akitambuliwa kama kiongozi wa Destiny's Child.<ref>{{Rejea tovuti |last=Card Well |first=Diane | title = FAME; In Sync|url=http://www.nytimes.com/2005/08/01/arts/music/01dest.htmhttp://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9B07EEDC1739F93AA3575AC0A9679C8B63 |work=The New York Times | date = 9 Septemba 2001|accessdate=2008-04-11 |archivedate=2018-11-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20181128102538/https://www.nytimes.com/2005/08/01/arts/music/01dest.htmhttp://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9B07EEDC1739F93AA3575AC0A9679C8B63 }}</ref> Mwandishi Jon Pareles wa gazeti la ''[[The New York Times]]'' alisema kwamba Knowles ana sauti inayokitambulisha kikundi, huku akiandika kuwa sauti yake ni "nyororo tena kali, pamoja na mtetemeko unaodumu na inayoweza kucharaza [[nyimbo za 'soul'".]] <ref name="Pareles">{{Rejea tovuti|last=Pareles |first=Jon | title = Empowerment, Allure and a Runway's Flair|url=http://www.nytimes.com/2005/08/01/arts/music/01dest.html |work=The New York Times | date = 1 Agosti 2005|accessdate=2008-04-11}}</ref> Mwandishi James Anthony wa jarida la ''[[The Guardian]]'' alisema kuwa sauti yake ni tofauti na ya kasi, na iliyo na mbinu za kwikwi.<ref name="Anthony"/> Wakosoaji wengine walisifu anuwai yake na nguvu. Katika marekebisho ya albamu yake ya pili, ''B'Day'' , mwandishi Jody Rosen wa jarida la ''[[Entertainment Weekly]]'' aliandika "Beyoncé ni mfumo wa dhoruba uliojigeuza mwimbaji. Katika albamu yake pekee ya pili, ''B'Day,'' nyimbo ziliwasili kwa mbubujiko mkubwa wa mdundo na hisia, huku sauti ya Beyoncé ikipasua kelele za matigo ya wimbo; wewe utahitajika kutafuta kwa mapana na marefu - pengine katika kumbi za [[Metropolitan Opera]] - kupata mwimbaji mwingine anayeimba kwa nguvu zaidi ya zake ...Hakuna mmoja - si [[R. Kelly]], si [[Usher]] bila kuwataja wapinzani wake wa 'pop'- anayeweza kufikia uwezo wa Beyoncé wa kuivuta mistari yake dhidi ya mapigo ya hip-hop.<ref>{{Rejea tovuti | title = Music Review: B'Day|url=http://www.ew.com/ew/article/0,,1516025,00.html |work=Entertainment Weekly | date = 1 Septemba 2006|accessdate=2009-04-23 |archivedate=2014-10-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141010085806/http://www.ew.com/ew/article/0,,1516025,00.html }}</ref> Mwandishi Chris Richards wa jarida la ''[[Washington Post]]'' anaandika, "Hata wakati ambapo yeye hafanyi vyema kimuziki, yeye hupaa juu ya waigaji wake. Yote yako katika sauti yake -chombo kilichozidi cha binadamu kilicho na uwezo wa kuimba wimbo wowote kwa mgong'ono wa kusisimua au mngurumo kamili-. Mchomo, kubeza, ashiki, mapambano-Beyoncé huimba kutoka pande hizi zote kwa uwezo mkuu.<ref>{{Rejea tovuti| title = Beyonce's 'B'Day' Is Nothing to Celebrate|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/05/AR2006090501475.html|work=Washington Post| date = 6 Septemba 2006|accessdate=2009-06-28}}</ref> Jarida la ''Cove'' lilimworodhesha katika nafasi ya saba katika orodha yao ya "Waimbaji 100 mashuhuri wa Pop" (The 100 Outstanding Pop Vocalists), na kumpatia alama 48 kati ya 50 kutokana na vigezo kadhaa vikiwemo uwezo wake wa kuimba na ulinganifu wa sauti.<ref>{{Rejea tovuti| title = 100 Outstanding Pop Vocalists|url=http://teamsugar.com/group/1006632/blog/1659579|work=Teamsugar|accessdate=2009-06-28|archiveurl=https://www.webcitation.org/65iBaM6Dw?url=http://www.onsugar.com/|archivedate=2012-02-25}}</ref><ref>{{Rejea tovuti | title = 100 Outstanding Pop Vocalists|url=http://covemagazine.com/100vocalists.html |work=Cove |accessdate=2008-04-15 |archive-date=2006-07-16 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060716122547/http://www.covemagazine.com/100vocalists.html |url-status=dead }}</ref> Mara nyingi Knowles amesemekana kuimba sana. Kama mtu anayejulikana kuendelea [[kujiboresha]], yeye mara kwa mara hulinganishwa na wasanii kama [[Mariah Carey]], ambao umaarufu wao wa kuimba umejulikana kupungua kutoka kwenye utamu wa nyimbo zao. Jarida la ''[[Eye Weekly]]'' linaandika, "Hakuna swali kwamba Beyonce ni mmoja wa waimbaji bora wa pop, labda mmoja aliyebora miongoni mwa walio hai ... [Hata hivyo] ingawa uimbaji wake una busara, athari kwa jumla bado ni kama kupondwa kichwa kwa ngumi iliyo kwenye glavu ya mahameli.<ref>[http://www.eyeweekly.com/music/liveeye/article/66814 Beyonce @ Molson Amphitheatre, Julai 20.] {{Wayback|url=http://www.eyeweekly.com/music/liveeye/article/66814 |date=20110813052601 }} (2009-07-21). ''Eye Weekly.'' Ilipakuliwa 2009/07/20.</ref> Muziki wa Knowles kwa jumla ni [[wa R &amp; B ya kisasa]], ingawa pia unajumuisha muziki wa [[dance-pop, Funk, pop]] na [[soul.]] Ingawa karibu nyimbo zake zote ni za Kiingereza, Knowles alirekodi nyimbo kadhaa za Kihispania wakati wa toleo jipya la albamu ya ''B'Day.'' Kikundi cha Destiny's Child kilikuwa tayari kimerekodi wimbo wa Kihispania na kupokea mapokeo mazuri kutoka mashabiki wao wa Kilatini. Knowles alisoma Kihispania katika shule wakati alipokuwa kijana, lakini sasa anaweza kusema maneno machache tu ya lugha hiyo. Kabla ya kurekodi nyimbo za Kihispania za toleo jipya la albamu ya ''B'Day,'' yeye alifunzwa kutamka na mtayarishaji wa Marekani Rudy Perez.<ref name="Vineyard1"/> === Uandishi wa nyimbo na utayarishaji === Tangu wakati wa kikundi cha Destiny's Child, Knowles anadai kuwa anashughulika kisanii katika kazi yake.<ref name="Kaufman"/> Yeye alipokea sifa za kushiriki katika uandishi wa nyimbo nyingi zilizorekodiwa na kikundi cha Destiny's na zake mwenyewe. Mwimbaji huyu anayejulikana kuandika nyimbo zilizo na maudhui yanayotokana na uchocheo wake binafsi na hamasisho za kuwawezesha wanawake, yeye amesema, kuwa na Jay-Z katika maisha yake kumebadilisha mawazo yake machache kuhusu jinsi wanaume na wanawake wanavyohusiana.<ref name="Vineyard">{{Rejea habari |last=Vineyard |first=Jennifer | title = Beyonce Shoots Down Jay-Z Marriage Rumors In Vanity Fair Interview|url=http://www.mtv.com/news/articles/1510890/20051004/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 4 Oktoba 2005|accessdate=2008-04-05 |archivedate=2008-04-12 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080412144106/http://www.mtv.com/news/articles/1510890/20051004/knowles_beyonce.jhtml }}</ref> Baadhi ya nyimbo zake ni tawasifu, ambazo amekubali kuwa zimechotwa kutoka tajriba zake mwenyewe na za marafiki zake '.<ref name="CBS">{{Rejea habari | title = Beyoncé Tries For Timeless|url=http://www.cbsnews.com/stories/2003/07/08/earlyshow/leisure/music/main562232.shtml |work=CBS News | date = 9 Julai 2003|accessdate=2008-04-05 |archivedate=2012-01-30 |archiveurl=https://www.webcitation.org/655ShjwWD?url=http://www.cbsnews.com/stories/2003/07/08/earlyshow/leisure/music/main562232.shtml }}</ref> Knowles pia alipata sifa za kushiriki katika utayarishaji wa nyingi za rekodi ambazo amehusika, hasa wakati wa juhudi zake pekee. Hata hivyo, yeye huwa habuni [[mapigo ya mdundo]], lakini kwa kawaida yeye huandika nyimbo na kutoa mawazo mapya wakati wa utayarishaji, na kuyapitisha kwa watayarishaji.<ref>{{Rejea tovuti |last=Moss |first=Correy | title = Beyoncé: Genuinely In Love - Part 2|url=http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/news_feature_062703/index2.jhtml |work=MTV News |accessdate=2008-04-12 |archive-date=2015-05-17 |archive-url=https://web.archive.org/web/20150517193403/http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/news_feature_062703/index2.jhtml |url-status=dead }}</ref> Knowles alitambuliwa kama mtunzi wa nyimbo wakati wa uimbaji wa kikundi cha Destiny's Child katika miaka ya 1990 na nyakati za mapema hadi kati ya-2000. Yeye alishinda tuzo ya Mtunzi wa Mwaka 2001 katika mashindano ya Tuzo za Muziki wa Pop wa Chama cha Watunzi Waamerika, Waandishi, na Wachapishaji[[(American Society of Composers, Authors, na Publishers]] Pop Music Awards),<ref name="ASCAP"/> na kuwa mwanamke kwanza wa Marekani mwenye asili ya [[Kiafrika]] na mwanamke wa pili kutambuliwa kwa kutunga nyimbo.<ref name="FOX"/><ref name="CBS"/> Knowles alipokea tuzo tatu katika mwaka mmoja, za uandishi wa nyimbo kutokana na kushiriki katika kuandika nyimbo za "Irreplaceable", [["Grillz"]] ( [[sampuli ya wimbo wa "Soldier"]] ) na [["Check on It"]], hivyo kuwa mwanamke pekee kufika hapo tangu [[Carole King]] katika mwaka wa 1971 na [[Mariah Carey]] mwaka 1991. Katika suala la tuzo, yeye ameshikana na [[Diane Warren]] katika nafasi ya tatu kwa kuwa na nyimbo tisa zilizowahi kuwa namba moja.<ref>{{Rejea tovuti |last=Bronson |first=Fred | title = Chart Beat Chat|url=http://billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1003494790 |work=Billboard |publisher=Nielsen Business Media, Inc | date = 8 Desemba 2006|accessdate=2008-04-02 |archivedate=2012-07-08 |archiveurl=https://archive.today/20120708173753/billboard.com/bbcom/search/google/article_display.jsp?vnu_content_id=1003494790 }}</ref> === Jukwaa === [[Picha:Beyonce Green Light1.JPG|thumb|300px|left|Knowles akiimba katika hafla ya mwaka 2007 ya Beyoncé Experience, pamoja na wabendi wake wa kike, Suga Mama.]] Mapema katika kazi yake, Knowles alichukua mwelekeo wa ujasiri, Sasha Fierce, unaowakilisha upande wa mtu asiyeogopa, hali za kingono na [[kujiamini]], wa mwimbaji. Katika mahojiano na jarida la ''[[Entertainment Weekly]]'' , Knowles alibainisha kuwa mwelekeo wake mpya ni wa "kutumika katika jukwaa pekee." [251] Knowles huvaa "glavu ya roboti" (roboglove) akiwa jukwaani kuendeleza Sasha Fierce. Katika mwaka wa 2006, Knowles alianzisha bendi yake ya ziara inayoshirikisha wananwake pekee na inayoitwa [[Suga Mama]], ambayo inajumuisha wacheza besi, wapiga ngoma, wacheza gita, pembe na ala zingine za muziki .<ref>{{Rejea habari |author=MTV News Staff | title = For The Record: Quick News On Beyonce, Madonna, Michael Jackson, Taylor Hicks, JC Chasez, Beth Orton, Slayer & More|url=http://www.mtv.com/news/articles/1533901/20060608/knowles_beyonce.jhtml |work=MTV News | date = 8 Juni 2006|accessdate=2008-04-11 |archivedate=2007-12-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071221193537/http://www.mtv.com/news/articles/1533901/20060608/knowles_beyonce.jhtml }}</ref> Wao waliimba kwa mara ya kwanza katika hafla ya mashindano ya 2006 BET Awards na wakahusika katika video ya nyimbo [["Irreplaceable"]] na [["Green Light".]] <ref name="Vineyard1"/> Bendi hii imemsaidia Knowles katika maonyesho yake mbele ya hadhira, na katika ziara yake ya 2007 [[The Beyoncé Experience]] World Concert Tour, na katika ziara ya 2009 [[I Am ...]] Katika makala iliyoitwa "Born to Entertain", Knowles, akishirikiana na waimbaji wa mitindo ya kisasa na ya kale, alipokea sifa kutokana na maonyesho yake kwenye jukwaa.<ref>{{Rejea tovuti |last=Holsey |first=Steve | title = Born to entertain|url=http://www.michronicleonline.com/articlelive/articles/2433/1/Born-to-entertain/Page1.html |work=Michigan Chronicle | date = 27 Februari 2008|accessdate=2008-04-12 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110714090707/http://www.michronicleonline.com/articlelive/articles/2433/1/Born-to-entertain/Page1.html |archivedate=2011-07-14 }}</ref> Katika kutoa maoni yake kuhusu ziara ya 2009 [[I Am ...]][[Tour]], mwandishi Alice Jones wa jarida la ''[[The Independent]]'' anaandika, "kumtazama Beyoncé akiimba na kucheza kunaweza kukakufanya kwa upande mmoja ushangae na kwa upande mwingine uhisi kutengwa. Yeye huchukua jukumu lake la kuburudisha kwa umakini hivi kwamba yuko karibu kuwa mzuri kupita kiasi.<ref>{{Rejea tovuti|last=Jones|first=Alice | title = Beyoncé, 02 Arena, London:Diva who answers the call of booty|url=http://www.independent.co.uk/arts-entertainment/music/reviews/beyonc-02-arena-london-1691069.html |work=The Independent | date = Wednesday, 27 Mei 2009|accessdate=2009-05-23}}</ref> Gazeti la ''The New York Times'' linsema, "kuna usanii wa kustaajabisha katika hamu yake ya kutaka kuburudisha".<ref>{{Rejea tovuti|last=Ratliff|first=Ben | title = Flash, Concepts and, Yes, Songs|url=http://www.nytimes.com/2009/06/23/arts/music/23beyonce.html?hp |work=The New York Times| date = 22 Juni 2009|accessdate=2009-05-23}}</ref> Mwandishi Michelle Renee Harris wa jarida la ''South Florida Times'' anaandika, Knowles "humiliki jukwaa kwa mikogo na nguvu zake zinazomtambulisha ... akionyesha uwezo wake wa kuimba bila kuruka noti hata moja, mara nyingi akiwa ameshughulikia kucheza ngoma kwa nguvu na umaarufu ... hakuna mmoja, si [[Britney]], si [[Rihanna na si Ciara]] anayeweza kufanya hivyo-kifurushi kamili cha sauti, mitindo ya uchezaji ngoma na uwepo." <ref>{{Rejea tovuti|last=Harris|first=Renee Michelle| title = Beyonce Wows Crowd at BankAtlantic Center|url=http://www.sfltimes.com/index.php?option=com_content&task=view&id=2977&Itemid=1 |work=South Florida Times| date = 3 Julai 2009|accessdate=2009-07-03}}</ref> Maoni haya yaliungwa mkono na mwandishi Lorraine Schwartz wa ''[[The Examiner]],'' ambaye aliandika, "Kwa muda wa chini ya mwaka, nimeona [[Madonna, Britney]] na Beyoncé ... [Beyoncé] ndiye alikuwa, kwa mbali, bora miongoni mwa wote watatu.<ref>{{Rejea tovuti|last=Schwartz|first=Lorraine| title = Concert Report: Beyoncé at Madison Square Garden|url=http://www.examiner.com/x-7025-NY-Concert-Examiner~y2009m6d24-Concert-Report-Beyonce-at-Madison-Square-Garden|work=The Examiner| date = 3 Julai 2009|accessdate=2009-07-03}}</ref> Wahakiki pia husifu maonyesho yake kwenye jukwaa. Katika kutoa maoni yake kuhusu mojawapo ya maonyesho ya mwimbaji huyu, mwandishi Jim Farber wa ''[[The Daily News]]'' anaandika "Beyoncé alionyesha umaarufu mkuu. Wakati wimbo ulipokuwa ukiendelea, yeye aliimba kwa urahisi. Jinsi Beyoncé alivyotumia mwili wake ulizidisha hisia za furaha. Huku nywele zake zikiwa zimeshikwa kwa njia ya kuvutia, akitingisha kiuno chake na miguu mirefu kiasi cha kumfanya [[Tina Turner]] amwonee fahari, uwepo wa Beyoncé ulijenga uimbaji wake kikamilifu.<ref>{{Rejea tovuti|last=Farber|first=Jim| title = Beyoncé shows 'Fierce' and softer sides in tour kickoff at the Garden|url=http://www.nydailynews.com/entertainment/music/2009/06/22/2009-06-22_beyonce_shows_fierce_and_softer_sides_in_tour_kickoff_at_the_garden.html#ixzz0JIHoO0hC&C|work=New York Daily News| date = Sunday, 21 Juni 2009|accessdate=2009-05-23|archivedate=2012-02-25|archiveurl=https://www.webcitation.org/65iBc9Rx3?url=http://articles.nydailynews.com/2009-06-22/entertainment/17925311_1_fierce-character-tour#ixzz0JIHoO0hC&C}}</ref> Mwandishi Stephanie Classen wa '' [[Star Phoenix]]'' anatangaza "Beyonce si mwimbaji wa kawaida ... kutoka mwanzo, mwimbaji huyu wa umri wa miaka 27 anayeimba kwa nguvu alipaa juu ya wanavitimbi wote, huku akitawala onyesho kama malkia asiye na asili ya kibinadamu. Hakuna kitu chochote isipokuwa nguvu za kiungu kinachoweza kuelezea sauti hiyo ....[ Beyonce] anaweza kuimba vyema kushinda mwimbaji yeyote mwingine wa pop hivi leo." Jarida la ''[[Newsday]]'' linaandika, "Yeye anathibitisha kuwa si lazima uwezo bora wa kucheza ngoma na sauti nzuri zisiwe na mtu mmoja pekee ... Hakuna hofu ya mdomo-synching hapa.<ref>{{Rejea tovuti|last=Gamboa|first=Glenn| title = Beyonce @ Madison Square Garden, 6.21.09|url=http://weblogs.newsday.com/entertainment/music/blog/2009/06/beyonce_madison_square_garden.html|work=Newsday| date = 21 Juni 2009|accessdate=2009-05-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090626112447/http://weblogs.newsday.com/entertainment/music/blog/2009/06/beyonce_madison_square_garden.html|archivedate=2009-06-26}}</ref>****kindly assist to translate Beyonce pia amekosolewa kwa sababu ya mitindo yake ya kucheza ngoma. Uimbaji wake katika [[kaburi]] la Rais wa zamani wa Marekani [[Ulysses S. Grant]] tarehe 4 Julai 2003 ulisemekana kuwa wa kisherati; wanafamilia wa Grant waliohudhuria walitoa maoni tofauti kuhusiana na jambo hilo.<ref>{{Rejea tovuti |last=Susman |first=Gary | title = Independence Woman|url=http://www.ew.com/ew/article/0,,464520,00.html |work=Entertainment Weekly | date = 14 Julai 2003|accessdate=2008-04-12 |archivedate=2012-02-25 |archiveurl=https://www.webcitation.org/65iBcz11D?url=http://www.ew.com/ew/article/0,,464520,00.html }}</ref> === picha === [[Picha:Beyonce.jpg|thumb|160px|right|Knowles pose juu yake Beyoncé Experience.]] Knowles imekuja inajulikana kama ishara ya ngono.<ref>{{Rejea tovuti |last=Hinds |first=Kadidja | title = Work Your Assets Like Beyoncé!|url=http://www.bet.com/Lifestyle/Style/lifestylefashoinbeyoncelook.htm?Referrer=%7BF2038F42-FD70-4929-AF1C-981596CBCB21%7D |work=Black Entertainment Television |accessdate=2008-04-17 |archivedate=2008-02-22 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080222225357/http://www.bet.com/Lifestyle/Style/lifestylefashoinbeyoncelook.htm?Referrer=%7BF2038F42-FD70-4929-AF1C-981596CBCB21%7D }}</ref><ref>{{Rejea habari| title = Change of Scenery for Beyonce|url=http://www.nytimes.com/2007/10/02/arts/02arts-CHANGEOFSCEN_BRF.html?scp=4&sq=beyonce&st=nyt |work=The New York Times | date = 2 Oktoba 2007|accessdate=2008-04-12}}</ref> Yeye alisema, "Mimi hupenda kuvaa kwa mitindo ya kingono na ninajibeba kama mwanamke aliyeheshimika," lakini yeye amesema kuwa njia anayovalia ni "ya jukwaa pekee".<ref>{{Rejea tovuti | title = Beyoncé Knowles|url=http://www.glamourmagazine.co.uk/g-girls/default.aspx?id=32726 |work=[[Glamour (magazine)|Glamour]] |accessdate=2008-04-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080303102819/http://www.glamourmagazine.co.uk/g-girls/default.aspx?id=32726 |archivedate=2008-03-03 }}</ref> Kama mtu ambaye anapenda mitindo ya mavazi, Knowles huchanganya sifa zake za kisanaa na video zake za muziki na maonyesho yake. Kulingana na [[mwanamitindo]] wa Kiitaliano Roberto Cavalli, Knowles hutumia mitindo tofauti na anajaribu kuioanisha na muziki wakati maonyesho.<ref>{{Rejea tovuti | title = Beyonce wearing one of my dresses is harmony|url=http://women.timesonline.co.uk/tol/life_and_style/women/fashion/article2216732.ece |work=Times Online | date = 8 Agosti 2007|accessdate=2008-04-05 |archive-date=2011-06-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20110615200050/http://women.timesonline.co.uk/tol/life_and_style/women/fashion/article2216732.ece |url-status=dead }}</ref> Diwani yake ya ''B'Day Anthology'' ilionyesha matukio mengi ya yanayohusiana na mitindo ya mavazi, huku ikionyesha mitindo ya kisasa na ya kale.<ref>{{Rejea habari |last=Vineyard |first=Jennifer | title = Beyonce: Behind The B'Day Videos 3|url=http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/videos_07/news_feature_040207/index3.jhtml |work=MTV News |accessdate=2008-04-09 |archivedate=2012-06-19 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120619051652/http://www.mtv.com/bands/b/beyonce/videos_07/news_feature_040207/index3.jhtml }}</ref> Jarida la ''[[People]]'' lilimtambua Knowles kama mtu mashuhuri anayevaa vizuri zaidi katika mwaka wa 2007.<ref>{{Rejea habari |last=Goldsmith |first=Belinda | title = Beyonce tops fashion list|url=http://uk.reuters.com/article/entertainmentNews/idUKN1228002320070913?feedType=RSS&feedName=entertainmentNews |work=Reuters | date = 13 Septemba 2007|accessdate=2008-04-09 |archivedate=2011-06-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110624050922/http://uk.reuters.com/article/2007/09/13/uk-celebrities-idUKN1228002320070913?feedType=RSS&feedName=entertainmentNews }}</ref> Mamake Knowles aliandika kitabu kilichochapishwa mwaka wa 2002, na kilichoitwa ''Destiny's Style: bootylicious Fashion, Beauty na Lifestyle Secrets From Destiny's Child,'' kilichoeleza jinsi mitindo ya mavazi ilivyoathiri mafanikio ya kikundi hiki cha Destiny's Child'.<ref>{{Rejea habari| title = Book Excerpt: Destiny's Style|url=http://abcnews.go.com/GMA/WinterConcert/story?id=125692| work=ABC News |accessdate=2008-04-17}}</ref> Kama moja wa wasanii weusi kutoka Marekani anayeangaziwa sana na vyombo vya habari, Knowles mara nyingi hupata ukosoaji ambao baadhi ya watu huamini kuwa husababishwa na ubaguzi wa rangi na uana.<ref>{{Rejea tovuti|last=Jones |first=Vanessa E. | title = Bewitched. Bothered. Beyoncé. 1|url=http://www.boston.com/ae/music/articles/2007/08/05/bewitched_bothered_beyonc/?page=1 |work=The Boston Globe |publisher=Globe Newspaper Company | date = 5 Agosti 2007|accessdate=2008-04-09}}</ref> Mmoja wa mashabiki wake anasema, "[Knowles] anajionyesha kama ishara ya ngono kuliko kama msanii." <ref>{{Rejea tovuti|last=Jones |first=Vanessa E. | title = Bewitched. Bothered. Beyoncé. 3|url=http://www.boston.com/ae/music/articles/2007/08/05/bewitched_bothered_beyonc/?page=3 |work=The Boston Globe |publisher=Globe Newspaper Company | date = 5 Agosti 2007|accessdate=2008-04-09}}</ref> Mwandishi Toure wa jarida la ''[[Rolling Stone]]'' alisema kwamba tangu kutolewa kwa albamu ya ''[[Dangerously in Love]],'' "[Beyoncé] imekuwa ishara ya ngono kama [[Halle Berry]] ..." <ref>{{Rejea tovuti |author=Toure | title = Cover Story: A Woman Possessed|url=http://www.rollingstone.com/news/coverstory/beyonce_a_woman_possessed |work=Rolling Stone | date = 4 Machi 2004|accessdate=2008-04-09 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071029050220/http://www.rollingstone.com/news/coverstory/beyonce_a_woman_possessed |archivedate=2007-10-29 |=https://web.archive.org/web/20071029050220/http://www.rollingstone.com/news/coverstory/beyonce_a_woman_possessed }}</ref> Sura yake katika jarida la ''[[Vanity Fair]]'' pia ilizua maoni tofauti kwamba toni ya ngozi yake ilikuwa imebadilishwa kupitia mitambo ya tarakimu.<ref name="Blender"/> Mwaka 2007, Knowles alitokea kwenye ngozi ya jarida la [[Sports Illustrated Swimsuit Issue,|''Sports Illustrated Swimsuit Issue,'']] mwanamke wa kwanza asiyehusika na mtindo wala michezo, kutokea kwenye jarida hilo na modeli wa kwanza mwenye asili ya kiafrika kutoka Marekani tangu modeli [[Tyra Banks.]] <ref name="People2"/> Katika mwaka uo huo, Knowles alitokea katika mabango na magazeti kote Marekani, akiwa ameshika kishika sigara kikuukuu. Picha hiyo iliyokuwa imetolewa nyuma ya ngozi ya albamu ya ''[[B'Day]],'' ilizua maoni kutoka kwa kikundi cha wapinga uvutaji wa sigara, waliosema kuwa yeye hakuwa na haja ya kuongeza kishika sigara " ili kujifanya aonekane mngwana zaidi".<ref>{{Rejea habari |last=Dennehy |first=Luke | title = Beyonce's ad fires up critics|url=http://www.news.com.au/entertainment/story/0,26278,21255564-10388,00.html |work=News.com.au | date = 20 Februari 2007|accessdate=2008-04-09 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080512061230/http://www.news.com.au/entertainment/story/0,26278,21255564-10388,00.html |archivedate=2008-05-12 }}</ref> Tarehe 24 Aprili 2009, Knowles alitokea katika onyesho la [[Larry King Live]], ambapo yeye mwenyewe alijipatoa picha ya kisiasa na kuongea kuhusu kila kitu kuanzia kuimba kwake wakati wa kutambulishwa kwa Rais [[Barack Obama]], hadi ubaguzi ambao amekumbana nao kwa sababu ya asili yake ya kiafrika-kiamerika. Alisema kwamba [[Michelle Obama]] ni "maridadi sana," na hata akasema kuwa kuimba kwake katika hafla ya dansi yao ya kwanza kulikuwa ndicho kilele cha uimbaji wake.<ref>{{Rejea habari |last=Vocick |first=Simon | title = Beyonce on Larry King|url=http://popwatch.ew.com/popwatch/2009/04/beyonce-larry-k.html |accessdate=2009-11-30 |archivedate=2009-04-27 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090427092820/http://popwatch.ew.com/popwatch/2009/04/beyonce-larry-k.html }}</ref> === Visahwishi na urithi === [[Picha:Beyonce Smile.JPG|thumb|160px|left|Knowles katika uzinduzi wa bidhaa ya Usher Raymond.]] Knowles ametaja wasanii mbalimbali ambao wameathiri mtindo wake wa kimuziki. Yeye alikua akiwa anasikiliza nyimbo za [[Anita Baker]] na [[Luther Vandross]], na hatimaye akashirikiana na Luther Vandross, lakini mara nyingi yeye hutaja [[Michael Jackson]] kama aliyemfanya aimbe <ref>{{Rejea tovuti | title = Beyoncé, Top Stars Tip Their Hats to Michael Jackson|url=http://www.people.com/people/package/article/0,,20287787_20288067,00.html|work=People | date = 2009-06-27|accessdate=2009-06-27}}</ref> na shujaa wake.<ref>{{Rejea tovuti | title = Beyonce’s Tribute to Michael Jackson|url=http://popculturefix.com/2009/06/beyonces-tribute-to-michael-jackson/ |work=Popculturefix | date = 2009-06-27|accessdate=2009-06-27 |archiveurl=https://www.webcitation.org/65iBfeBfp?url=http://popculturefix.com/2009/06/beyonces-tribute-to-michael-jackson/ |archivedate=2012-02-25 }}</ref> Yeye pia alianza kusikiliza muziki wa jazz uliombwa na [[Rachelle Ferrell]], baada ya kuimba nyimbo za Ferrell wakati wa masomo yake ya sauti.<ref>{{Rejea tovuti |last=Watson |first=Margeaux | title = Influences: Beyonce|url=http://www.ew.com/ew/article/0,,1449204,00.html |work=Entertainment Weekly | date = 29 Agosti 2006|accessdate=2008-04-09 |archivedate=2008-09-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080903230539/http://www.ew.com/ew/article/0,,1449204,00.html }}</ref> Knowles amewataja wasanii kutoka Marekani waliomwathiri wakiwa ni pamoja na [[Tina Turner]], [[Prince]], [[Aretha Franklin]], [[Whitney Houston]], [[Janet Jackson]], [[Selena]], [[Mary J. Blige]], [[Diana Ross]], [[Donna Summer]], [[Mariah Carey]] na mwimbaji kutoka Colombia [[Shakira]].<ref>{{Rejea tovuti| title = Look who's coming to town|url=http://www.manilatimes.net/national/2007/oct/10/yehey/life/20071010lif1.html |work=The Manila Times | date = 10 Oktoba 2007|accessdate=2008-04-10}}</ref><ref>{{Rejea tovuti| title = On top|url=http://www.newyorker.com/archive/2006/04/03/060403crmu_music}}</ref> Knowles pia amethiri wasanii mbalimbali ya kisasa. Mwimbaji wa Pop [[Rihanna]] imelinganishwa na yeye wakati mwandishi wa safu katika jarida la 'The Guardian', Amina Taylor, alimwita [["Bajan]] Beyoncé",<ref>{{Rejea tovuti | title = Move over, Beyoncé|url=http://arts.guardian.co.uk/filmandmusic/story/0,,1649595,00.html |work=The Guardian | date = 2005-11-25|accessdate=2008-04-09}}</ref> Mwimbaji kutoka Kanada wa aina sawa ya muziki, [[Keshia Chante]], pia aliathiriwa na Knowles.<ref>{{Rejea tovuti | title = Keshia Chante|url=http://www.muchmusic.com/music/artists/bio.asp?artist=753 |work=Much Music |publisher=CTV Globe Media |accessdate=2008-04-09}}</ref> Aidha, wimbo wa kwanza wa mshindi wa ''[[American Idol]],'' [[Jordin Sparks]], [["Tattoo"]], na [[albamu yake ya kwanza]] zimesemekana kuwa "Beyoncé-ish";<ref>{{Rejea tovuti |last=Saldaña |first=Hector | title = 'American Idol' singers get ready for performance|url=http://www.mysanantonio.com/entertainment/music/stories/MYSA071607.en.idol.807824e2.html |work=MySa.com |publisher=San Antonio Express-News | date = 2007-07-16|accessdate=2008-04-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070822171431/http://www.mysanantonio.com/entertainment/music/stories/MYSA071607.en.idol.807824e2.html |archivedate=2007-08-22 }}</ref> baadhi ya wakosoaji walisema kuwa "Tattoo" inaweza kuwa "imetolewa" kutoka kwa wimbo wa Knowles wa [["Irreplaceable".]] <ref>{{Rejea tovuti | title = Jordin Sparks Rips Off Beyonce|url=http://www.blender.com/news/comments.aspx?article=9743 |work=Belnder | date = 2007-09-10|accessdate=2008-04-24 |archiveurl=https://archive.today/20070624030927/http://www.blender.com/news/comments.aspx?article=9743 |archivedate=2007-06-24 }}</ref> [[Stephen Thomas Erlewine]] kutoka [[Allmusic]] alisema kuwa nyimbo za mwimbaji wa Marekani [[Katharine McPHEE]], kwenye [[albamu]] yake [[iliyokuwa na jina hilo]] zilikuwa na athari kubwa kutoka kwa muziki wa Knowles.<ref>{{Rejea tovuti |last=Erlewine |first=Stephen Thomas | title = Katharine McPhee: Album Review|url=http://www.billboard.com/bbcom/discography/index.jsp?aid=825118&pid=758492 |work=Allmusic |publisher=Macrovision Company |accessdate=2008-04-12 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080308013625/http://www.billboard.com/bbcom/discography/index.jsp?aid=825118&pid=758492 |archivedate=2008-03-08 }}</ref> Rowland aliathiriwa na sauti ya Knowles wakati wa kurekodi albamu yake ya pili, ''[[Ms Kelly.]]'' <ref>{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Kelly Rowland Scraps Sappy Story, Picks Up Snoop|url=http://www.mtv.com/news/articles/1541798/20060926/rowland_kelly.jhtml |work=MTV News | date = 2006-09-27|accessdate=2008-04-12 |archivedate=2014-09-14 |archiveurl=https://archive.today/20140914155938/http://www.mtv.com/news/1541798/kelly-rowland-scraps-sappy-story-picks-up-snoop/ }}</ref> Knowles ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza kupewa tuzo ya 'International Artist Award' katika shindano la [[American Music Awards.]] Katika hafla ya [[World Music Awards ya 2008]], Knowles alipewa tuzo ya kifahari ya 'Outstanding Contribution To The Arts'.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://worldmusicawards.com/ | title = World Music Awards}}</ref> Knowles alikuwa mwimbaji mkuu wa mojawapo ya vikundi vya wanawake vilivyosifika sana duniani, [[Destiny's Child.]] <ref>[http://news.bbc.co.uk/1/hi/entertainment/music/4087228.stm BBC]</ref> Kwa wengi, yeye ametambuliwa kama mmojawapo wa wasanii mashuhuri duniani kote.<ref>[http://www.prnewswire.com/cgi-bin/stories.pl?ACCT=ind_focus.story&amp;STORY=/www/story/04-20-2009/0005009203&amp;EDATE=MON+Apr+20+2009,+02:59+PM Prnewswire.com]</ref><ref>[http://newsroom.mtv.com/category/beyonce/ title = Did You See This?!] {{Wayback|url=http://newsroom.mtv.com/category/beyonce/ |date=20100428093236 }}[http://newsroom.mtv.com/category/beyonce/ Britney, Beyoncé, Jonas Brothers And More!] {{Wayback|url=http://newsroom.mtv.com/category/beyonce/ |date=20100428093236 }}</ref> [[Albamu]] yake ya kwanza iliorodheshwa kama moja ya albamu 200 bora zaidi katika historia na [[Rock &amp; Roll Hall of Fame.]] Yeye alikuwa mmoja wa wasanii wachache wa kizazi yake kuwa zilizotajwa juu kwamba orodha.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.rockhall.com/pressroom/definitive-200 | title = Definitive 200}}</ref> Knowles ana [[sanamu]] nyingi na mbalimbali za[[nta]] lakini sanamu yake inayofahamika zaidi iko kwenye [[Madame Tussaud]] 's Wax Museum.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.screenindia.com/news/beyonce-to-get-wax-figure-at-madame-tussauds/432709/ | title = Beyonce to get wax figure at Madame Tussauds| date = 9 Machi 2009|accessdate=2009-11-30 |archive-date=2009-06-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20090615012847/http://www.screenindia.com/news/beyonce-to-get-wax-figure-at-madame-tussauds/432709 |url-status=dead }}</ref>. == Shughuli Zingine == === 'House ya Deréon' === Knowles na mama yake walianzisha [[House of Deréon]], aina ya mitindo ya kisasa ya mavazi, ya wanawake, katika mwaka wa 2005. Wazo hili lilichochewa na vizazi vitatu vya wanawake katika familia yao, waliotumia jina Deréon na waliotaka kuonyesha heshima zao kwa bibi yake Knowles, Agnèz Deréon, ambaye alifanya kazi ya kushona.<ref>{{Rejea habari |last=Silverman |first=Stephen | title = Beyoncé Unveils Her New Fashion Line|url=http://www.people.com/people/article/0,26334,1130999,00.html |work=People | date = 16 Novemba 2005|accessdate=2008-04-17 |archivedate=2007-10-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071011062357/http://www.people.com/people/article/0,26334,1130999,00.html }}</ref><ref name="VIBE">{{Rejea habari |last=Rashbaum |first=Alyssa | title = Tina Knowles - House of Dereon|url=http://www.vibe.com/news/online_exclusives/2005/12/tina_knowls_house_of_dereon/ |work=VIBE | date = 19 Desemba 2005|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2008-01-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080110084351/http://www.vibe.com/news/online_exclusives/2005/12/tina_knowls_house_of_dereon/ }}</ref> Kulingana na Tina Knowles, mtindo huu wa mavazi kwa jumla unaonyesha ladha na mitindo wanayoipendelea na wanawake kutoka familia ya Knowles.<ref>{{Rejea tovuti |title=The Beyoncé Experience |url=http://www.cosmopolitan.com/celebrities/exclusive/The-Beyonce-Experience |work=Cosmopolitan |accessdate=2008-04-05 |archive-date=2012-02-25 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120225193850/http://www.cosmopolitan.com/celebrity/exclusive/The-Beyonce-Experience |url-status=dead }}</ref> Bidhaa za 'House of Dereon', zilizozinduliwa mwaka 2006, ziliwekwa kwenye maonyesho kwa umma wakati wa ziara ya kikundi hiki ya ''Destiny Fulfilled.'' <ref name="VIBE"/><ref>{{Rejea habari |last=Adenitire |first=Adenike | title = Destiny's Child Put On A Fashion Show At U.K. Concert|url=http://www.mtv.com/news/articles/1503790/20050608/destinys_child.jhtml |work=MTV News | date = 8 Juni 2005|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2005-06-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20050611001434/http://www.mtv.com/news/articles/1503790/20050608/destinys_child.jhtml }}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Moss |first=Corey | title = Beyonce In Talks For Potential "Dream" Film Role|url=http://www.mtv.com/movies/news/articles/1499982/20050412/story.jhtml |work=MTV News | date = 12 Aprilii 2005|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2008-09-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080917160759/http://www.mtv.com/movies/news/articles/1499982/20050412/story.jhtml }}</ref> Duka za bidhaa hizi, ambazo zinapatikana kote Marekani na Kanada, zinauza nguo za michezo, denimu pamoja na manyoya, nguo za kawaida pamoja na mikoba na viatu.<ref name="VIBE"/> Bidhaa hizi pia zinahusisha viatu, ambazo hutengenezwa na Knowles wakishirikiana na 'House of Brands', kampuni ya viatu ya huko kwao.<ref>{{Rejea habari|last=Butler |first=Meredith | title = Rancho Bernardo company teams with singer|url=http://www.nctimes.com/articles/2005/08/16/business/news/81505191949.txt |work=North Country Times | date = 15 Agosti 2005|accessdate=2008-04-03}}</ref> Katika mwaka wa 2004, Knowles na mama yake walianzisha kampuni ya familia yao inayoitwa 'Beyond Productions', ambayo inatoa leseni kwa na usimamizi wa bidhaa za House of Deréon.<ref name="BusWire">{{Rejea habari | title = Beyonce Fashion Diva Hits the Runway as the Most Stylish Game for Phones|url=http://www.reuters.com/article/pressRelease/idUS195809+15-Jan-2008+BW20080115 |work=Business Wire |publisher=Reuters | date = 15 Januari 2008|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2008-12-16 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081216032225/http://www.reuters.com/article/pressRelease/idUS195809+15-Jan-2008+BW20080115 }}</ref> Mapema mwaka 2008, wao walianzisha 'Beyoncé Fashion Diva', mchezo wa simu ulio na sehemu ya mitandao ya kijamii, ikishirikisha 'House of Deréon'.<ref name="BusWire"/> Shirika linalotetea [[haki]] za [[wanyama]] la [[People for the Ethical Treatment of Animals]] (PETA) lilimkosoa Knowles kwa kuvaa na kutumia manyoya kutengeneza nguo zake.<ref name="FOX"/> Shirika hili limetuma barua kwake, likimsihi awache kutumia manyoya katika mavazi yake. Katika tukio moja, shirika hili la PETA liliandaa hafla ya chakula cha jioni, ya Knowles pamoja na mashabiki wake, ambao walikuwa wamekula njama na shirika hili. Knowles PETA alikabiliwa na wawakilishi wa PETA, ambao walitolewa nje baada ya Tina Knowles kuja. Tukio hili lilizua maoni tofauti; Knowles hakusema lolote juu ya tukio hili, ingawa baba yake alijaribu kukabiliana nao.<ref>{{Rejea tovuti| title = Showbiz Tonight|url=http://transcripts.cnn.com/TRANSCRIPTS/0606/20/sbt.01.html |work=Cable News Network |accessdate=2008-04-03 | date = 20 Juni 2006}}</ref> === Bidhaa na Ridhaa === Knowles alitia saini mkataba na shirika la [[Pepsi]] katika mwaka mwaka wa 2002 kwa ajili ya ukuzaji wa bidhaa zao,<ref>{{Rejea habari| title = Pepsi FAQs|url=http://www.pepsi.com/help/faqs/faq.php?category=ads_and_history&page=highlights |work=Pepsi |accessdate=2008-04-03}}{{Failed verification|date=Mei 2009}} </ref> ambao ulihusisha kuonekana kwenye matangazo ya runinga, pamoja na yale ya redio na mtandao. Aliwekwa na kampuni kama mtia sahihi ili kusaidia kuvutia watu kutoka maeneo mengi.<ref>{{Rejea habari|last=Nat |first=Ives | title = Pepsi Switches To a New Voice Of a Generation|url=http://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9901E7D6153DF93BA25751C1A9649C8B63 |work=The New York Times | date = 18 Desemba 2002|accessdate=2008-04-03}}</ref> Tangazo moja la kibiashara katika TV la Pepsi la 2004 liliokuwa na mada ya "Gladiators" lilishirikisha Knowles na waimbaji [[Britney Spears, Pink]], na [[Enrique Iglesias]],<ref>{{Rejea habari|last=Jeckell |first=Barry | title = Pop Stars Clash in U.K. Pepsi Ad|url=http://music.yahoo.com/read/news/12178623 |work=Reuters |publisher=Yahoo | date = 23 Januari 2004|accessdate=2008-04-03}}</ref> na la mwaka uliofuata lilimshirikisha wakiwa na [[Jennifer Lopez]] na [[David Beckham]] aliyeitwa "Samurai".<ref>{{Rejea habari | title = For The Record: Quick News On Britney Spears, Paris Hilton, Sum 41, Lil' Kim, Gerald Levert, Morrissey & More|url=http://www.mtv.com/news/articles/1497582/20050228/spears_britney.jhtml |work=MTV News | date = 28 Februari 2005|accessdate=3 Aprili 2008 |archivedate=2008-02-19 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080219034508/http://www.mtv.com/news/articles/1497582/20050228/spears_britney.jhtml }}</ref> Mikataba ya kibiashara na bidhaa za Knowles pia zinajumuisha bidhaa za urembo na manukato. Yeye amefanya kazi na kampuni ya [[L'Oréal]] tangu akiwa na umri wa miaka 18,<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.billboard.com/#/features/beyonce-the-billboard-q-a-1004018346.story?page=3| title = Beyonce: The Billboard Q&A|last=Mitchell|first=Gail| date = 2009-10-02|work=Billboard|publisher=Nielsen Business Media, Inc|accessdate=2009-10-08}}</ref> na akatia saini mkataba na kampuni hii ya bidhaa za urembo katika mwaka wa 2003, mkataba ambao ulimpatia dola milioni 1.<ref>{{Rejea habari |last=Susman |first=Gary | title = Bills, Bills, Bills|url=http://www.ew.com/ew/article/0,,443576,00.html |work=Entertainment Weekly | date = 15 Aprilii 2003|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2008-09-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080903230827/http://www.ew.com/ew/article/0,,443576,00.html }}</ref> Yeye alizindua marashi yake mwenyewe yaitwayo 'True Star', manukato ya [[Tommy Hilfiger]], mwaka 2004. Kama sehemu ya mchango wake kwa bidhaa hii, Knowles aliimba [[toleo la wimbo]] [["Wishing on a Star"]] lililotumika kwenye matangazo ya 'True Star', ambapo alilipwa $ 250.000.<ref>{{Rejea habari|last=Jessen |first=Monique, et al. | title = Beyoncé Launches New True Star Fragrance|url=http://www.people.com/people/article/0,,656036,00.html |work=Entertainment Weekly | date = 22 Juni 2004|accessdate=2008-04-12}}</ref> Yeye pia alizindua bidhaa ya Hilfiger ya 'True Star Gold' katika mwaka wa 2005 na bidhaa ya [['Emporio Armani]] 's Diamonds' katika mwaka wa 2007.<ref>{{Rejea habari|last=Givhan |first=Robin | title = The Aura of a Pinup: Beyoncé's Winning Image|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2007/05/17/AR2007051702400.html |work=The Washington Post | date = 18 Mei 2007|accessdate=2008-04-03}}</ref> Jarida la ''[[Forbes]]'' lilisema kuwa Knowles alichuma $ 80 million kati ya Juni 2007 na Juni 2008, ikiwa ni pamoja na albamu yake, ziara zake, biashara yake ya mitindo, na mikataba ya ukuzaji. Pato hili lilimfanya mwimbaji wa pili duniani kote anayepata malipo bora wakati huu.<ref>{{Rejea habari |url=http://www.forbes.com/lifestyle/2008/09/19/music-beyonce-timberlake-forbeslife-cx_lr_0922lifestyle.html | title = World's Best-Paid Music Stars|last=Rose |first=Lacey | date = 22 Septemba 2008|work=Forbes |accessdate=2008-09-23 |archivedate=2009-04-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090407042329/http://www.forbes.com/2008/09/19/music-beyonce-timberlake-forbeslife-cx_lr_0922lifestyle.html }}</ref>. Katika kipindi cha kuanzia Juni 2008 hadi juni 2009, Beyoncé alichuma $ 87 million kulingana na jarida la Forbes, jambo lililomweka katika nafasi ya nne katika orodha ya jarida la Forbes ya [[Watu 100 Mashuhuri]] ya 2009.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.forbes.com/lists/2009/53/celebrity-09_Beyonce-Knowles_YA72.html | title = #4 Beyoncé Knowles|publisher=Forbes | date = 3 Juni 2009|accessdate=2009-06-04}}</ref> === Uhisani === <!-- [[Picha:Helping handbeyonce.jpg|thumb|left|250px|"Show your helping hand" ikimshirikisha Beyonce]] --> Knowles amekuwa akihusishwa na masuala ya kijamii tangu akiwa mtoto mdogo, kwani babake wakati mwingine angempeleka kutagusana na jamii, ikiwa ni pamoja na wamarekani walio wa asili ya kiafrika.<ref name="E!"/> Knowles na Rowland, pamoja na familia ya Knowles, walianzisha shirika la 'Survivor Foundation', lililoanzishwa kusaidia kuwapatia makazi ya mpito waathiriwa wa [[Hurricane Katrina]] wa 2005 pamoja na wale walioathiriwa na dhoruba katika eneo la [[Houston]], mjini Texas.<ref name="FOX"/> Shirika hili la 'The Survivor Foundation' lilipanua wito wake wa uhisani kwa kuanzisha kituo cha vijana cha 'Knowles-Rowland Center for Youth', kinachushughulikia maswala mbalimbali ya jamii katika eneo la Houston.<ref name="FOX"/> Knowles alichangia $ 100.000 kwa 'Gulf Coast Ike Relief Fund', shirika ambalo huwafaidi waathiriwa wa [[Hurricane Ike]] katika eneo la Houston. Yeye pia ana andaa hafla ya kukusanya pesa za kuwasaidia waathiriwa wa 'Hurricane Ike' kupitia shirika lake la 'Survivor Foundation'.<ref>{{Rejea habari |url=http://newsroom.mtv.com/2008/10/15/beyonces-survivor-foundation-helps-hurricane-ike-victims/ | title = Beyonce's Survivor Foundation Helps Hurricane Ike Victims|last=Vena |first=Jocelyn | date = 15 Oktoba 2008|publisher=MTV |accessdate=2008-12-16 |archivedate=2008-10-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081017121850/http://newsroom.mtv.com/2008/10/15/beyonces-survivor-foundation-helps-hurricane-ike-victims/ }}</ref> Katika mwaka wa 2005, mtayarishaji muziki [[David Foster]], binti yake Amy Foster-Gillies, na Knowles waliandika "Stand Up for Love," wimbo ambao ungetumika kama wimbo mkuu wa kuadhimisha [[Siku ya Watoto Duniani]], hafla ambayo hufanyika kila mwaka duniani kote tarehe 20 Novemba kuongeza ufahamu na fedha kwa ajili ya kushughulikia maswala yanayowaathiri watoto duniani kote. Wanakikundi cha Destiny's Child walichangia kama mabalozi wa kimataifa katika mpango wa Siku ya Watoto Duniani kote, wa 2005.<ref name="FOX"/><ref>{{Rejea habari | title = Destiny's Child Releases New Anthem for World Children's Day at McD's|url=http://www.mcdonalds.com/corp/news/corppr/2005/CPR_09272005.html |work=McDonalds | date = 27 Septemba 2005|accessdate=2008-04-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090215055920/http://www.mcdonalds.com/corp/news/corppr/2005/CPR_09272005.html |archivedate=2009-02-15 }}</ref> Katika mwaka wa 2008, yeye alirekodi wimbo wa [["Just Stand Up!"]], akiwa pamoja na wasanii mbalimbali kwa ajili ya hafla ya [[Stand Up to Cancer]]. Walioungana na Knowles kurekodi wimbo huo ni pamoja na [[Mariah Carey, Leona Lewis, Rihanna, Leann Rimes]] na [[Mary J. Blige]], miongoni mwa wengine. Knowles alipeana chakula katika vituo mbalimbali aliposimama wakati wa ziara yake ya [[The Beyoncé Experience]] Tour katika Houston tarehe 14 Julai, [[Atlanta]] tarehe 20 Julai, [[Washington, DC]] on 9 Agosti, Toronto 15 Agosti, Chicago 18 Agosti, na Los Angeles tarehe 2 Septemba 2006.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://newsblaze.com/story/2007080607354900002.mwir/topstory.html | title = The Beyoncé Experience Tour Offers Food Drives in Conjunction With Pastor Rudy Rasmus, Capital Area Food Bank, and the Survivor Foundation|work=NewsBlaze | date = 20 Juni 2006|accessdate=2007-09-09}}</ref> 4 Oktoba 2008, Knowles alihudhuria hafla ya 'Miami Children's Hospital Diamond Ball & Private Concert' katika uwanja wa [[American Airlines]] mjini Miami, ambapo yeye aliingizwa kwenye International Pediatric Hall of Fame'. [[Ethan Bortnick]], mwimbaji wa miaka saba, alimwimbia Knowls wimbo wa [["Under Rainbow"]].<ref>{{Rejea habari |url=http://www.allheadlinenews.com/articles/7012542025 | title = Beyonce Among Stars Who Headlined Miami Children's Hospital Diamond Ball|last=Jones |first=Anthony | date = 5 Oktoba 2008|publisher=All Headline News |accessdate=2008-11-28 |archivedate=2008-12-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081201185306/http://www.allheadlinenews.com/articles/7012542025 }}</ref> Baada ya kukamilisha kazi katika kampuni ya ''[[Cadillac Records]],'' Knowles alipeana mshahara wake wote kwa [[Phoenix House]], shirika la vituo vya kuwaasaidia watu kuweza kurudi kuishi maisha ya kawaida, nchini kote. Knowles alitembelea kituo cha Brooklyn katika maandalizi kwa kumwonyesha singer [[Etta James]], ambaye aliwahi kutumia dawa ya heroin.<ref>{{Rejea habari|url=http://www.bet.com/Music/News/musicnews_beyoncedonatesalary_1.05.09.htm | title = Beyonce Donates Movie Salary To Drug Treatment Centers|last=Harling |first=Danielle | date = 5 Januari 2009|publisher=BET |accessdate=2009-03-05}}</ref>. Na hivi majuzi, Knowles ameungana na mradi wa 'The Show Your Helping Hand Hunger Relief' na 'General Mills Hamburger Helper. Lengo lao ni kusaidia shirika la 'Feeding Amerika' kupeleka zaidi ya milo milioni 3.5 kwenye mabenki ya chakula mitaani. Knowles huwahimiza mashabiki wake kuleta chakula kisichoharibika kwa urahisi kwenye vituo anavyotembelea katika ziara zake za Marekani.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.beyonceonline.com/us/news/beyonc%C3%A9-lends-helping-hand | title = Nakala iliyohifadhiwa|accessdate=2021-01-15 |archiveurl=https://www.webcitation.org/65iGb9FL6?url=http://www.beyonceonline.com/us/news/beyonc%C3%A9-lends-helping-hand |archivedate=2012-02-25 }}</ref> == Wosia == [[Picha:Beyonce vote.jpg|thumb|Knowles kufanya ziara ya ghafla kwa ofisi za kujitolea za aliyekuwa mgombea Urais Barack Obama kwenye eneo la Sistrunk Boulevard katika Fort Lauderdale, Florida, siku ya mwisho wa kupiga kura mapema.]] Wakati wa mzozo wa [[Destiny's Child]] mwaka 2000, Knowles alikubali, katika Desemba 2006,<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.accesshollywood.com/beyonce-speaks-about-her-past-depression_article_3131 | title = Access Hollywood - Beyonce Speaks About Her Past Depression| date = 15 Desemba 2006}}</ref> kwamba alikuwa amepatwa na [[mfadhaiko]] kutokana mkusanyiko wa matatizo: yakiwa pamoja na kutoka kwa [[LeToya Luckett]] na [[LaTavia Roberson]], kwenye kikundi kulikoangaziwa hadharani na kushambuliwa na vyombo vya habari, wakosoaji pamoja na blogu kwa kusababisha mgawanyiko huo,<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.contactmusic.com/news.nsf/article/beyonce%20i%20was%20depressed%20at%2019_1088171 | title = Contact Music - Beyonce: "I was depressed at 19"| date = 12 Januari 2008}}</ref> na kuachwa na mchumba wake (aliyekuwa amechumbiana naye tangu umri wa miaka 12-19).<ref name="Depression">{{Rejea tovuti|url=http://www.cbsnews.com/stories/2006/12/13/entertainment/main2258069.shtml | title = CBS News - Beyonce On Love, Depression and Reality...| date = 13 Desemba 2006}}</ref> Mfadhaiko huo ulikuwa mkali kwani ulidumu kwa miaka kadhaa, na wakati huo alijifungia chumbani mwake na akakataa kula kitu chochote. Knowles alisema kuwa yeye alipata ugumu wa kuzungumza kuhusu mfadhaiko huo kwa sababu kikundi cha Destiny's Child kilikuwa tu kimeshinda tuzo yao ya kwanza ya Grammy na yeye aliogopa kuwa hakuna mtu ambaye angemwamini.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.femalefirst.co.uk/celebrity/BEYONCE+KNOWLES-12915.html | title = Female First - Beyonce Knowles Opens Up About Depression| date = 18 Desemba 2006}}</ref> Matukio haya yote yalimfanya ajiulize maswali na kujiuliza ni nani waliokuwa marafiki zake. Akielezea hali hiyo, yeye alisema, "Sasa kwa sababu mimi ninajulikana sana, nilikuwa ninaogopa kuwa sitaweza kumpata mtu tena wa kunipenda vile nilivyo. Niliogopa kupata marafiki wapya.<ref name="Depression"/> Yeye humkumbuka mama yake, Tina Knowles, ambaye hatimaye alimwambia haya, na kusaidia kumwondoa kwenye mfadhaiko huo, "Kwa nini unafikiri mtu hawezi kukupenda? Kwani hujui jinsi ulivyo smart na tamu na n? <ref name="Depression"/> Tangu mwaka 2002, Knowles imekuwa katika uhusiano na rapa [[Jay-Z]], ambaye ameshirikiana naye katika nyimbo nyingi. Fununu zilianza kutanda kuhusu uhusiano wao baada ya Knowles kushirikishwa katika wimbo wa [["'03 Bonnie &amp; Clyde".]] <ref name="People"/> Licha ya kuendelea kwa fununu kuhusu uhusiano wao, wao walitahadhari kuhusu jambo hilo.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://timesofindia.indiatimes.com/International_Buzz/Beyonce_keeps_em_guessing/articleshow/2847654.cms | title = Beyonce keeps 'em guessing|work=[[The Times of India]] | date = 9 Machi 2008|accessdate=2008-03-21}}</ref><ref>{{Rejea habari |last=Aswad |first=Jem | title = Jay-Z And Beyonce Take Out Marriage License: Reports|url=http://www.mtv.com/news/articles/1584612/20080401/jay_z.jhtml |work=MTV News | date = 2 Aprilii 2008|accessdate=2008-04-03 |archivedate=2008-04-05 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080405204539/http://www.mtv.com/news/articles/1584612/20080401/jay_z.jhtml }}</ref> Katika mwaka wa 2005, fununu zilianza kuenea kuhusu ndoa yao. Knowles alipinga uvumi huo kwa kusema kuwa yeye na Jay-Z walikuwa hata hawana uchumba.<ref name="Vineyard"/> Alipoulizwa tena kuhusu jambo hili katika Septemba 2007, Jay-Z alijibu, "siku moja hivi karibuni-wacha tuyaachie hapo." <ref>{{Rejea tovuti | title = Jay-Z And Beyonce Are Getting Married ... "One Day Soon," Jay Says|url=http://www.mtv.com/news/articles/1569079/20070906/jay_z.jhtml |work=MTV News | date = 6 Septemba 2007|accessdate=2008-03-21 |archive-date=2008-03-12 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080312040348/http://www.mtv.com/news/articles/1569079/20070906/jay_z.jhtml |url-status=dead }}</ref> Laura Schreffler, mwandishi mwandamizi wa jarida la ''[[OK!]]'' , alisema, "Wao ni watu wasiri sana".<ref>{{Rejea tovuti |last=Kaufman |first=Gil | title = Jay-Z And Beyonce Are Still Staying Quiet About Their Reported Wedding ... But Why?|url=http://www.mtv.com/news/articles/1585461/20080414/jay_z.jhtml |work=MTV News | date = 15 Aprilii 2008|accessdate=2008-04-21 |archive-date=2008-04-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080421192906/http://www.mtv.com/news/articles/1585461/20080414/jay_z.jhtml |url-status=dead }}</ref> Mnamo 4 Aprili 2008, Knowles na Jay-Z walioana katika mji wa New York. Jambo hili lilijulikana na umma mnamo 22 Aprili 2008,<ref>{{Rejea habari|last=Helling |first=Steve | title = Beyonce and Jay-Z File Signed Marriage License|url=http://www.people.com/people/article/0,,20194030,00.html |work=People | date = 22 Aprilii 2008|accessdate=2008-04-23}}</ref> lakini Knowles hakuvaa pete yake ya harusi hadharani hadi wakati wa hafla ya 'Fashion Rocks Concert' tarehe 5 Septemba 2008 mjini New York.<ref>{{Rejea jarida| title = Beyonce's ring revealed!|journal=People magazine |volume=70 |issue=12 | date = 22 Septemba 2008|page=26}}</ref> Knowles hatimaye alifichua ndoa yao kupitia kwa video ya ufunguzi ya Montage katika hafla ya ukilizaji wa albamu yake ya ''I Am ...'' ''Sasha Fierce'' katika klabu ya Sony huko Manhattan.<ref>{{Rejea habari|url=http://www.people.com/people/article/0,,20235328,00.html | title = Beyoncé Dishes on Her Sassy Alter-Ego|last=Clinton |first=Ivory Jeff | date = 23 Oktoba 2008|work=People |accessdate=2008-11-07}}</ref> == Diskografia == <!-- {{Main|Beyoncé Knowles discography}} --> ;Albamu za studio * [[Dangerously in Love|''Dangerously in Love'']] (2003) * [[B'Day|''B'Day'']] (2006) * ''[[I Am... Sasha Fierce]]'' (2008) * ''4'' (2011) * ''Beyoncé'' (2013) * ''Lemonade'' (2016) * ''Renaissance'' (2022) * ''Cowboy Carter'' (2024) ;Video zilizotolewa * [[Beyoncé: Live at Wembley|''Live at Wembley'']] (2004) * [[BET Presents Beyoncé|''BET Presents Beyoncé'']] (2006) * [[Beyoncé The Ultimate Performer|''Beyoncé The Ultimate Performer'']] (2006) * [[B'Day Anthology Video Album|''B'Day Anthology Video Album'']] (2007) * [[The Beyoncé Experience Live|''The Beyoncé Experience Live'']] (2007) * [[I Am... Yours: An Intimate Performance at Wynn Las Vegas]] (2009) == Ziara == * [[Dangerously in Love Tour]] (2003) * [[Verizon Ladies First Tour]] (2004) * [[The Beyoncé Experience]] (2007) * [[I Am ...]] [[Tour]] (2009) * The Mrs. Carter Show World Tour (2013-2014) * The Formation World Tour (2016) * Renaissance World Tour (2023) == Filamu == {| class = "wikitable" style = "font-size: 90%;" border = "2" cellpadding = "4" background: # f9f9f9; |- Align = "center" ! style = "background: # B0C4DE;" | Mwaka ! style = "background: # B0C4DE;" | Film ! style = "background: # B0C4DE;" | Role ! style = "background: # B0C4DE;" | Vidokezo |-- | 2001 || [417] || Carmen || mhusika mkuu, filamu ya TV |-- | 2002 || ''[[Austin Powers in Goldmember]]'' || [[Foxxy Cleopatra]] || mhusika mkuu |-- | 2003 || ''[[The Fighting Temptations]]'' || Lilly || mhusika mkuu |-- | 2004 || [[Fade to Black|''Fade to Black'']] || Scott || [[Jay-Z]] documentary |-- | rowspan = "2" | 2006 || ''[[The Pink Panther]]'' || Xania || mhusika msaidizi |-- | ''[[Dreamgirls]]'' || Deena Jones || mhusika mkuu |-- | 2007 || ''My Night at the Grammys'' || Scott || TV film |-- | 2008 || ''[[Cadillac Records]]'' || [[Etta James]] || mhusika mkuu |-- | rowspan = "2" | 2009 || ''[[obsessed]]'' || Sharon Charles || mhusika mkuu |-- | [[Wow!|''Wow!'']] ''[[Wow!]] '' ''[[Wubbzy!]]'' || Shine (sauti) || "Wubbzy's Big Makeover / The Big Wuzzlewood" (Season 2, episode 22)<br />"Wubb Girlz Rule!/ Wuzzleburg Idol "(Season 2, episode 19)<br />"Bye Bye Wuzzleburg / Wubbzy 's Wacky Journey" (Season 2, episode 20)<br />"Lights, Camera, Wubbzy!/ A Wubbstar Is Born "(Season 2, episode 23) |-- | 2009 || "Beyoncé: For The Record" || Scott || An hour long interview on [[4Music]] |} == Marejeo == {{Marejeo|3}} == Viungo vya nje == {{Commons}} {{Wikiquote}} * [http://www.beyonceonline.com Tovuti rasmi ya Marekani] {{Wayback|url=http://www.beyonceonline.com/ |date=20090105161136 }} * {{allmusicguide|11:egj97ip1g7dr|Beyoncé}} * {{IMDb name|0461498|Beyoncé}} {{Beyoncé}} {{DEFAULTSORT:Knowles, Beyonce}} <!-- [[Jamii:Waigizaji kutoka Texas]] [[Jamii:Waigizaji wa marekani wenye asili ya kiafrika]] [[Jamii:Waimbaji wa kike kutoka Marekani walio na asili ya kiafrika]] [[Jamii:Wanamuziki wa Marekani walio na asili ya kiafrika]] [[Jamii:Waandishi nyimbo wa Marekani walio na asili ya kiafrika]] [[Jamii:Wamarekani walio na asili ya kiafrika]] [[Jamii:Waimbaji ambao ni watoto, wa Marekani]] [[Jamii:Wacheza ngoma wa Marekani]] [[Jamii:Modeli wa kike wa Marekani]] [[Jamii:Wanamethodi wa Marekani]] [[Jamii:Wakurugenzi wa video za nyimbo wa Marekani]] [[Jamii:Waimbaji wa nyimbo za 'pop' wa Marekani]] [[Jamii:Waimbaji wa rhythms na blues wa Marekani]] [[Jamii:Waimbaji wa Soul wa Marekani]] [[Jamii:Wamarekani walio na asili ya Kifaransa]] [[Jamii:Wamarekani halisi]] [[Jamii:Beyoncé Knowles]] [[Jamii:Washindi wa Brit Award]] [[Jamii:Wasanii wa Columbia Records]] [[Jamii:Waimbaji wa kikundi cha Destiny's Child]] [[Jamii:Waimbaji katika lugha ya Kiingereza]] [[Jamii:Washindi katika mashindano ya Grammy Award]] [[Jamii:Washindi wa Ivor Novello Award]] [[Jamii:Watu wanaoishi]] [[Jamii:Wakrioli kutoka Louisiana]] [[Jamii:Wanamuziki kutoka Houston, Texas]] [[Jamii:Wanamuziki kutoka Texas]] [[Jamii:Watu kutoka Houston, Texas]] [[Jamii:Wasanii wa Sony / ATV Music Publishing]] [[Jamii:Waimbaji wa lugha ya Kihispania]] [[Jamii:United Methodists]] [[Jamii:Washindi wa mashindano ya Tuzo za Muziki za MTV Ulaya]] [[Jamii:Washindi wa mashindano ya World Music Awards]] --> [[Jamii:Waliozaliwa 1981]] [[Jamii:Waimbaji wa Marekani]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] [[Jamii:Watayarishaji muziki wa Marekani]] {{Persondata | name = Knowles, Beyoncé | alternative names = Knowles, Beyoncé Giselle | short description = American singer-songwriter, actress, and fashion designer | date of birth = 4 Septemba 1981 | place of birth = [[Houston, Texas|Houston]], [[Texas]], United States | date of death = | place of death = }} ktq3w25y7gyn7s8r1uvh5k7jlii1o0e Kisima 0 33635 1436962 1435893 2025-07-11T16:12:00Z Alex Rweyemamu 75841 /* growthexperiments-addlink-summary-summary:3|0|0 */ 1436962 wikitext text/x-wiki [[Picha:AlburyBoreHole.jpg|right|thumb|Kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya Kaskazini Downs, Uingereza katika Albury]] [[Picha:DIFFCULT TASK.jpg|thumb|Kisima cha maji Afrika]] '''Kisima''' ni jina la jumla la shimo lolote refu jembamba au nene lililochimbwa katika ardhi, aidha kwenda chini au sambamba. Kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa [[maji]] au kiowevu kingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]) au gesi (kama vile [[gesi asilia]]), kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira, kwa ajili ya utafutaji wa madini, au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi. Katika nyanja za mashauriano za uhandisi na mazingira, neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira (ujulikanao kama Awamu ya Pili ya ESA). Hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya miamba, ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ, au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer. Sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika maabara kuamua hali zao, au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi. Kwa kawaida, kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti. Ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji: iwe ni cha maji, mafuta au cha gesi. == Historia == {{tafsiri kompyuta}} Visima vya kale kabisa vya Neolithiki vinavyotambulika vimegunduliwa katika eneo la Mashariki ya Mediterania. Kisima cha zamani zaidi kilichopimwa kwa uhakika kinapatikana kwenye eneo la pre-pottery Neolithiki (PPN) la Kissonerga-Mylouthkia huko Cyprus. Takribani mwaka wa 8400 KK, kisima namba 116 kilichokuwa na umbo la mviringo kilichimbwa kupitia mwamba wa chokaa hadi kufikia tabaka la maji ardhini kwa kina cha mita 8 (futi 26). Kisima namba 2070 kutoka eneo hilo hilo, cha kipindi cha marehemu cha PPN, kilifikia kina cha mita 13 (futi 43). Visima vingine vya karibu na umri huo vimegunduliwa katika eneo hilo hilo na pia katika Parekklisha-Shillourokambos iliyo jirani. Kisima cha kwanza kilichozungushiwa mawe chenye kina cha mita 5.5 (futi 18) kimeandikwa katika tovuti ya 'Atlit-Yam, ambayo imezama baharini karibu na Haifa ya kisasa nchini Israeli, kinachodhaniwa kuwa cha kipindi cha mwisho cha PPN (karibu 7000 KK). '''Utamaduni wa Linear Pottery wa Neolithiki – Visima vya Mbao, 5300 KK, Erkelenz, Ujerumani''' Visima vilivyozungushiwa mbao vinajulikana kutoka kwa utamaduni wa Linear Pottery wa enzi ya Neolithiki, kama vile katika Ostrov, Jamhuri ya Czech, kilichopimwa kuwa cha mwaka 5265 KK; Kückhoven (eneo dogo karibu na Erkelenz), mwaka 5300 KK; na Eythra huko Schletz (eneo dogo karibu na Asparn an der Zaya) nchini Austria, mwaka 5200 KK. '''Ustaarabu wa Neolithiki wa China na Matumizi ya Visima''' Wachina wa enzi ya Neolithiki waligundua na kutumia kwa wingi maji ya ardhini kwa kuchimba visima virefu kwa ajili ya kunywa. Kitabu cha kale cha Wachina ''The Book of Changes'' (Kitabu cha Mabadiliko), kilichoandikwa katika enzi ya Western Zhou (1046–771 KK), kinaelezea namna Wachina wa kale walivyotunza visima vyao na kulinda vyanzo vyao vya maji. Kisima kilichochimbwa katika eneo la uchimbaji la Hemedu kinaaminika kujengwa katika enzi ya Neolithiki. Kisima hicho kilijengwa kwa safu nne za magogo zenye fremu ya mraba juu yake. Visima vingine 60 vya vigae vilivyoko kusini-magharibi mwa Beijing vinaaminika kujengwa karibu mwaka 600 KK kwa ajili ya kunywa na umwagiliaji. '''Mfano wa Kichina wa Kisima cha Kauri kilicho na Mfumo wa Mlisho wa Maji – Enzi ya Han (202 KK – 220 BK)''' Nchini Misri, vifaa kama '''shadoof''' na '''sakia''' hutumika kuvuta maji. Sakia ni bora zaidi kwani inaweza kuvuta maji kutoka kina cha mita 10, tofauti na shadoof inayofikia mita 3 pekee. Sakia ni toleo la Misri la '''noria'''. Baadhi ya visima vya kale zaidi duniani, vilivyoko Cyprus, vinaaminika kuwa vya kati ya 7000 hadi 8500 KK. Visima viwili vya kipindi cha Neolithiki, vya takribani 6500 KK, vimegunduliwa nchini Israeli – kimoja kikiwa Atlit, pwani ya kaskazini, na kingine katika Bonde la Jezreel. '''Visima kwa Matumizi Mengine Vilikuja Baadaye Katika Historia''' Kisima cha kwanza kilichorekodiwa kwa ajili ya chumvi kilichimbwa katika jimbo la Sichuan, China, takribani miaka 2,250 iliyopita. Hii ilikuwa mara ya kwanza teknolojia ya visima vya maji kutumika kwa mafanikio kuchimba chumvi, na kuashiria mwanzo wa tasnia ya kuchimba chumvi ya Sichuan. Visima vya awali zaidi vya mafuta vilichimbwa pia nchini China, mwaka 347 BK, kwa kutumia vichimbio vilivyofungwa kwenye miti ya mianzi na kufikia kina cha hadi mita 240 (futi 790). Mafuta hayo yalichomwa ili kuyeyusha maji ya chumvi na kuzalisha chumvi. Kufikia karne ya 10, mabomba ya mianzi yalikuwa yameunganisha visima vya mafuta na chemchemi za chumvi. Rekodi za kale za China na Japani zinasemekana kuwa na rejea nyingi za matumizi ya gesi asilia kwa ajili ya mwanga na joto. Petroli ilikuwa ikijulikana kama '''maji yanayowaka''' huko Japani katika karne ya 7. ==Usakinishaji== Visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba, au ya kuendeshwa kwa mkono. Mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na lengo kusudi. ==Mbadala wa hali ya hewa== Viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto. Hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole, hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (Huang et al. 2000) <ref>Huang, SP, Pollack, HN, Shen, PY Hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita. Asili, 403, 6771, uk 756-758, 2000. DOI: 10.1038/35001556.</ref> Kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo katika visiwa vya mawe. Kisima cha Central Greenland huonyesha: <blockquote>"joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° C ± 0.2 ° C iliitangulia na karne chache zenye baridi. ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika 1000 BK, ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° C. " <ref> [http://www.nap.edu/openbook.php?record_id=11676&page=81 VISMA KATIKA BARAFU] joto katika miaka 2,000 iliyopita (2006), pp 81,82 Bodi la Sayansi ya anga Sayansi na Hali ya Hewa (BASC), Shule ya Sayansi, ISBN 978-0-309-10225-4</ref></blockquote> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.rshydro.co.uk/water-quality-monitoring.shtml Ufuatiliaji wa Kisima] * [http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ Visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi] {{Wayback|url=http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ |date=20100110044855 }} * [http://www.watersanitationhygiene.org/References/Technical%20Resources%20-%20Wells.htm Ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima] * [https://www.cdc.gov/healthywater/drinking/private/wells/index.html Mwongozo kuhusu upimaji wa visima, magonjwa yanayohusiana na visima, n.k. to US Center for Disease Control and Prevention] * [http://www.empirewireline.com/casing-inspection/well-logging-casing-inspection/ Jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima] {{tech-stub}} [[Jamii:Maji]] 19nrk65o1gr233dl5zl42b0lmew1ggl 1436963 1436962 2025-07-11T16:14:57Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1436963 wikitext text/x-wiki [[Picha:AlburyBoreHole.jpg|right|thumb|Kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya Kaskazini Downs, Uingereza katika Albury]] [[Picha:DIFFCULT TASK.jpg|thumb|Kisima cha maji Afrika]] '''Kisima''' ni jina la jumla la shimo lolote refu jembamba au nene lililochimbwa katika ardhi, aidha kwenda chini au sambamba. Kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa [[maji]] au kiowevu kingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]) au gesi (kama vile [[gesi asilia]]), kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira, kwa ajili ya utafutaji wa madini, au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi. Katika nyanja za mashauriano za [[uhandisi]] na [[mazingira]], neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira (ujulikanao kama Awamu ya Pili ya ESA). Hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya miamba, ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ, au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer. Sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika [[maabara]] kuamua hali zao, au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi. Kwa kawaida, kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti. Ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji: iwe ni cha maji, mafuta au cha gesi. == Historia == {{tafsiri kompyuta}} Visima vya kale kabisa vya Neolithiki vinavyotambulika vimegunduliwa katika eneo la Mashariki ya Mediterania. Kisima cha zamani zaidi kilichopimwa kwa uhakika kinapatikana kwenye eneo la pre-pottery Neolithiki (PPN) la Kissonerga-Mylouthkia huko Cyprus. Takribani mwaka wa 8400 KK, kisima namba 116 kilichokuwa na umbo la mviringo kilichimbwa kupitia mwamba wa chokaa hadi kufikia tabaka la maji ardhini kwa kina cha mita 8 (futi 26). Kisima namba 2070 kutoka eneo hilo hilo, cha kipindi cha marehemu cha PPN, kilifikia kina cha mita 13 (futi 43). Visima vingine vya karibu na umri huo vimegunduliwa katika eneo hilo hilo na pia katika Parekklisha-Shillourokambos iliyo jirani. Kisima cha kwanza kilichozungushiwa mawe chenye kina cha mita 5.5 (futi 18) kimeandikwa katika tovuti ya 'Atlit-Yam, ambayo imezama baharini karibu na Haifa ya kisasa nchini Israeli, kinachodhaniwa kuwa cha kipindi cha mwisho cha PPN (karibu 7000 KK). '''Utamaduni wa Linear Pottery wa Neolithiki – Visima vya Mbao, 5300 KK, Erkelenz, Ujerumani''' Visima vilivyozungushiwa mbao vinajulikana kutoka kwa utamaduni wa Linear Pottery wa enzi ya Neolithiki, kama vile katika Ostrov, Jamhuri ya Czech, kilichopimwa kuwa cha mwaka 5265 KK; Kückhoven (eneo dogo karibu na Erkelenz), mwaka 5300 KK; na Eythra huko Schletz (eneo dogo karibu na Asparn an der Zaya) nchini Austria, mwaka 5200 KK. '''Ustaarabu wa Neolithiki wa China na Matumizi ya Visima''' Wachina wa enzi ya Neolithiki waligundua na kutumia kwa wingi maji ya ardhini kwa kuchimba visima virefu kwa ajili ya kunywa. Kitabu cha kale cha Wachina ''The Book of Changes'' (Kitabu cha Mabadiliko), kilichoandikwa katika enzi ya Western Zhou (1046–771 KK), kinaelezea namna Wachina wa kale walivyotunza visima vyao na kulinda vyanzo vyao vya maji. Kisima kilichochimbwa katika eneo la uchimbaji la Hemedu kinaaminika kujengwa katika enzi ya Neolithiki. Kisima hicho kilijengwa kwa safu nne za magogo zenye fremu ya mraba juu yake. Visima vingine 60 vya vigae vilivyoko kusini-magharibi mwa Beijing vinaaminika kujengwa karibu mwaka 600 KK kwa ajili ya kunywa na umwagiliaji. '''Mfano wa Kichina wa Kisima cha Kauri kilicho na Mfumo wa Mlisho wa Maji – Enzi ya Han (202 KK – 220 BK)''' Nchini Misri, vifaa kama '''shadoof''' na '''sakia''' hutumika kuvuta maji. Sakia ni bora zaidi kwani inaweza kuvuta maji kutoka kina cha mita 10, tofauti na shadoof inayofikia mita 3 pekee. Sakia ni toleo la Misri la '''noria'''. Baadhi ya visima vya kale zaidi duniani, vilivyoko Cyprus, vinaaminika kuwa vya kati ya 7000 hadi 8500 KK. Visima viwili vya kipindi cha Neolithiki, vya takribani 6500 KK, vimegunduliwa nchini Israeli – kimoja kikiwa Atlit, pwani ya kaskazini, na kingine katika Bonde la Jezreel. '''Visima kwa Matumizi Mengine Vilikuja Baadaye Katika Historia''' Kisima cha kwanza kilichorekodiwa kwa ajili ya chumvi kilichimbwa katika jimbo la Sichuan, China, takribani miaka 2,250 iliyopita. Hii ilikuwa mara ya kwanza teknolojia ya visima vya maji kutumika kwa mafanikio kuchimba chumvi, na kuashiria mwanzo wa tasnia ya kuchimba chumvi ya Sichuan. Visima vya awali zaidi vya mafuta vilichimbwa pia nchini China, mwaka 347 BK, kwa kutumia vichimbio vilivyofungwa kwenye miti ya mianzi na kufikia kina cha hadi mita 240 (futi 790). Mafuta hayo yalichomwa ili kuyeyusha maji ya chumvi na kuzalisha chumvi. Kufikia karne ya 10, mabomba ya mianzi yalikuwa yameunganisha visima vya mafuta na chemchemi za chumvi. Rekodi za kale za China na Japani zinasemekana kuwa na rejea nyingi za matumizi ya gesi asilia kwa ajili ya mwanga na joto. Petroli ilikuwa ikijulikana kama '''maji yanayowaka''' huko Japani katika karne ya 7. ==Usakinishaji== Visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba, au ya kuendeshwa kwa mkono. Mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na lengo kusudi. ==Mbadala wa hali ya hewa== Viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto. Hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole, hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (Huang et al. 2000) <ref>Huang, SP, Pollack, HN, Shen, PY Hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita. Asili, 403, 6771, uk 756-758, 2000. DOI: 10.1038/35001556.</ref> Kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo katika visiwa vya mawe. Kisima cha Central Greenland huonyesha: <blockquote>"joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° C ± 0.2 ° C iliitangulia na karne chache zenye baridi. ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika 1000 BK, ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° C. " <ref> [http://www.nap.edu/openbook.php?record_id=11676&page=81 VISMA KATIKA BARAFU] joto katika miaka 2,000 iliyopita (2006), pp 81,82 Bodi la Sayansi ya anga Sayansi na Hali ya Hewa (BASC), Shule ya Sayansi, ISBN 978-0-309-10225-4</ref></blockquote> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.rshydro.co.uk/water-quality-monitoring.shtml Ufuatiliaji wa Kisima] * [http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ Visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi] {{Wayback|url=http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ |date=20100110044855 }} * [http://www.watersanitationhygiene.org/References/Technical%20Resources%20-%20Wells.htm Ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima] * [https://www.cdc.gov/healthywater/drinking/private/wells/index.html Mwongozo kuhusu upimaji wa visima, magonjwa yanayohusiana na visima, n.k. to US Center for Disease Control and Prevention] * [http://www.empirewireline.com/casing-inspection/well-logging-casing-inspection/ Jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima] {{tech-stub}} [[Jamii:Maji]] d6x9epn5tvksebe3pa3gre3lym1xjqr 1437132 1436963 2025-07-12T09:35:13Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye articles 1437132 wikitext text/x-wiki [[Picha:AlburyBoreHole.jpg|right|thumb|Kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya Kaskazini Downs, Uingereza katika Albury]] [[Picha:DIFFCULT TASK.jpg|thumb|Kisima cha maji Afrika]] '''Kisima''' ni jina la jumla la shimo lolote refu jembamba au nene lililochimbwa katika ardhi, aidha kwenda chini au sambamba. Kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa [[maji]] au kiowevu kingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]) au gesi (kama vile [[gesi asilia]]), kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira, kwa ajili ya utafutaji wa madini, au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi. Katika nyanja za mashauriano za [[uhandisi]] na [[mazingira]], neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira (ujulikanao kama Awamu ya Pili ya ESA). Hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya miamba, ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ, au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer. Sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika [[maabara]] kuamua hali zao, au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi. Kwa kawaida, kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti. Ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji: iwe ni cha maji, mafuta au cha gesi. == Historia == {{Tafsiri kompyuta}} Visima vya kale kabisa vya Neolithiki vinavyotambulika vimegunduliwa katika eneo la Mashariki ya Mediterania. Kisima cha zamani zaidi kilichopimwa kwa uhakika kinapatikana kwenye eneo la pre-pottery Neolithiki (PPN) la Kissonerga-Mylouthkia huko Cyprus. Takribani mwaka wa 8400 KK, kisima namba 116 kilichokuwa na umbo la mviringo kilichimbwa kupitia mwamba wa chokaa hadi kufikia tabaka la maji ardhini kwa kina cha mita 8 (futi 26). Kisima namba 2070 kutoka eneo hilo hilo, cha kipindi cha marehemu cha PPN, kilifikia kina cha mita 13 (futi 43). Visima vingine vya karibu na umri huo vimegunduliwa katika eneo hilo hilo na pia katika Parekklisha-Shillourokambos iliyo jirani. Kisima cha kwanza kilichozungushiwa mawe chenye kina cha mita 5.5 (futi 18) kimeandikwa katika tovuti ya 'Atlit-Yam, ambayo imezama baharini karibu na Haifa ya kisasa nchini Israeli, kinachodhaniwa kuwa cha kipindi cha mwisho cha PPN (karibu 7000 KK). '''Utamaduni wa Linear Pottery wa Neolithiki – Visima vya Mbao, 5300 KK, Erkelenz, Ujerumani''' Visima vilivyozungushiwa mbao vinajulikana kutoka kwa utamaduni wa Linear Pottery wa enzi ya Neolithiki, kama vile katika Ostrov, Jamhuri ya Czech, kilichopimwa kuwa cha mwaka 5265 KK; Kückhoven (eneo dogo karibu na Erkelenz), mwaka 5300 KK; na Eythra huko Schletz (eneo dogo karibu na Asparn an der Zaya) nchini Austria, mwaka 5200 KK. '''Ustaarabu wa Neolithiki wa China na Matumizi ya Visima''' Wachina wa enzi ya Neolithiki waligundua na kutumia kwa wingi maji ya ardhini kwa kuchimba visima virefu kwa ajili ya kunywa. Kitabu cha kale cha Wachina ''The Book of Changes'' (Kitabu cha Mabadiliko), kilichoandikwa katika enzi ya Western Zhou (1046–771 KK), kinaelezea namna Wachina wa kale walivyotunza visima vyao na kulinda vyanzo vyao vya maji. Kisima kilichochimbwa katika eneo la uchimbaji la Hemedu kinaaminika kujengwa katika enzi ya Neolithiki. Kisima hicho kilijengwa kwa safu nne za magogo zenye fremu ya mraba juu yake. Visima vingine 60 vya vigae vilivyoko kusini-magharibi mwa Beijing vinaaminika kujengwa karibu mwaka 600 KK kwa ajili ya kunywa na umwagiliaji. '''Mfano wa Kichina wa Kisima cha Kauri kilicho na Mfumo wa Mlisho wa Maji – Enzi ya Han (202 KK – 220 BK)''' Nchini Misri, vifaa kama '''shadoof''' na '''sakia''' hutumika kuvuta maji. Sakia ni bora zaidi kwani inaweza kuvuta maji kutoka kina cha mita 10, tofauti na shadoof inayofikia mita 3 pekee. Sakia ni toleo la Misri la '''noria'''. Baadhi ya visima vya kale zaidi duniani, vilivyoko Cyprus, vinaaminika kuwa vya kati ya 7000 hadi 8500 KK. Visima viwili vya kipindi cha Neolithiki, vya takribani 6500 KK, vimegunduliwa nchini Israeli – kimoja kikiwa Atlit, pwani ya kaskazini, na kingine katika Bonde la Jezreel. '''Visima kwa Matumizi Mengine Vilikuja Baadaye Katika Historia''' Kisima cha kwanza kilichorekodiwa kwa ajili ya chumvi kilichimbwa katika jimbo la Sichuan, China, takribani miaka 2,250 iliyopita. Hii ilikuwa mara ya kwanza teknolojia ya visima vya maji kutumika kwa mafanikio kuchimba chumvi, na kuashiria mwanzo wa tasnia ya kuchimba chumvi ya Sichuan. Visima vya awali zaidi vya mafuta vilichimbwa pia nchini China, mwaka 347 BK, kwa kutumia vichimbio vilivyofungwa kwenye miti ya mianzi na kufikia kina cha hadi mita 240 (futi 790). Mafuta hayo yalichomwa ili kuyeyusha maji ya chumvi na kuzalisha chumvi. Kufikia karne ya 10, mabomba ya mianzi yalikuwa yameunganisha visima vya mafuta na chemchemi za chumvi. Rekodi za kale za China na Japani zinasemekana kuwa na rejea nyingi za matumizi ya gesi asilia kwa ajili ya mwanga na joto. Petroli ilikuwa ikijulikana kama '''maji yanayowaka''' huko Japani katika karne ya 7. ==Usakinishaji== Visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba, au ya kuendeshwa kwa mkono. Mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na lengo kusudi. ==Mbadala wa hali ya hewa== Viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto. Hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole, hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (Huang et al. 2000) <ref>Huang, SP, Pollack, HN, Shen, PY Hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita. Asili, 403, 6771, uk 756-758, 2000. DOI: 10.1038/35001556.</ref> Kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo katika visiwa vya mawe. Kisima cha Central Greenland huonyesha: <blockquote>"joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° C ± 0.2 ° C iliitangulia na karne chache zenye baridi. ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika 1000 BK, ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° C. " <ref> [http://www.nap.edu/openbook.php?record_id=11676&page=81 VISMA KATIKA BARAFU] joto katika miaka 2,000 iliyopita (2006), pp 81,82 Bodi la Sayansi ya anga Sayansi na Hali ya Hewa (BASC), Shule ya Sayansi, ISBN 978-0-309-10225-4</ref></blockquote> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.rshydro.co.uk/water-quality-monitoring.shtml Ufuatiliaji wa Kisima] * [http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ Visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi] {{Wayback|url=http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ |date=20100110044855 }} * [http://www.watersanitationhygiene.org/References/Technical%20Resources%20-%20Wells.htm Ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima] * [https://www.cdc.gov/healthywater/drinking/private/wells/index.html Mwongozo kuhusu upimaji wa visima, magonjwa yanayohusiana na visima, n.k. to US Center for Disease Control and Prevention] * [http://www.empirewireline.com/casing-inspection/well-logging-casing-inspection/ Jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima] {{tech-stub}} [[Jamii:Maji]] gys7dmmg6itphorwq9gakkrxqg7ef4n 1437183 1437132 2025-07-12T10:33:54Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436963 wikitext text/x-wiki [[Picha:AlburyBoreHole.jpg|right|thumb|Kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya Kaskazini Downs, Uingereza katika Albury]] [[Picha:DIFFCULT TASK.jpg|thumb|Kisima cha maji Afrika]] '''Kisima''' ni jina la jumla la shimo lolote refu jembamba au nene lililochimbwa katika ardhi, aidha kwenda chini au sambamba. Kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa [[maji]] au kiowevu kingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]) au gesi (kama vile [[gesi asilia]]), kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira, kwa ajili ya utafutaji wa madini, au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi. Katika nyanja za mashauriano za [[uhandisi]] na [[mazingira]], neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira (ujulikanao kama Awamu ya Pili ya ESA). Hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya miamba, ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ, au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer. Sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika [[maabara]] kuamua hali zao, au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi. Kwa kawaida, kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti. Ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji: iwe ni cha maji, mafuta au cha gesi. == Historia == {{tafsiri kompyuta}} Visima vya kale kabisa vya Neolithiki vinavyotambulika vimegunduliwa katika eneo la Mashariki ya Mediterania. Kisima cha zamani zaidi kilichopimwa kwa uhakika kinapatikana kwenye eneo la pre-pottery Neolithiki (PPN) la Kissonerga-Mylouthkia huko Cyprus. Takribani mwaka wa 8400 KK, kisima namba 116 kilichokuwa na umbo la mviringo kilichimbwa kupitia mwamba wa chokaa hadi kufikia tabaka la maji ardhini kwa kina cha mita 8 (futi 26). Kisima namba 2070 kutoka eneo hilo hilo, cha kipindi cha marehemu cha PPN, kilifikia kina cha mita 13 (futi 43). Visima vingine vya karibu na umri huo vimegunduliwa katika eneo hilo hilo na pia katika Parekklisha-Shillourokambos iliyo jirani. Kisima cha kwanza kilichozungushiwa mawe chenye kina cha mita 5.5 (futi 18) kimeandikwa katika tovuti ya 'Atlit-Yam, ambayo imezama baharini karibu na Haifa ya kisasa nchini Israeli, kinachodhaniwa kuwa cha kipindi cha mwisho cha PPN (karibu 7000 KK). '''Utamaduni wa Linear Pottery wa Neolithiki – Visima vya Mbao, 5300 KK, Erkelenz, Ujerumani''' Visima vilivyozungushiwa mbao vinajulikana kutoka kwa utamaduni wa Linear Pottery wa enzi ya Neolithiki, kama vile katika Ostrov, Jamhuri ya Czech, kilichopimwa kuwa cha mwaka 5265 KK; Kückhoven (eneo dogo karibu na Erkelenz), mwaka 5300 KK; na Eythra huko Schletz (eneo dogo karibu na Asparn an der Zaya) nchini Austria, mwaka 5200 KK. '''Ustaarabu wa Neolithiki wa China na Matumizi ya Visima''' Wachina wa enzi ya Neolithiki waligundua na kutumia kwa wingi maji ya ardhini kwa kuchimba visima virefu kwa ajili ya kunywa. Kitabu cha kale cha Wachina ''The Book of Changes'' (Kitabu cha Mabadiliko), kilichoandikwa katika enzi ya Western Zhou (1046–771 KK), kinaelezea namna Wachina wa kale walivyotunza visima vyao na kulinda vyanzo vyao vya maji. Kisima kilichochimbwa katika eneo la uchimbaji la Hemedu kinaaminika kujengwa katika enzi ya Neolithiki. Kisima hicho kilijengwa kwa safu nne za magogo zenye fremu ya mraba juu yake. Visima vingine 60 vya vigae vilivyoko kusini-magharibi mwa Beijing vinaaminika kujengwa karibu mwaka 600 KK kwa ajili ya kunywa na umwagiliaji. '''Mfano wa Kichina wa Kisima cha Kauri kilicho na Mfumo wa Mlisho wa Maji – Enzi ya Han (202 KK – 220 BK)''' Nchini Misri, vifaa kama '''shadoof''' na '''sakia''' hutumika kuvuta maji. Sakia ni bora zaidi kwani inaweza kuvuta maji kutoka kina cha mita 10, tofauti na shadoof inayofikia mita 3 pekee. Sakia ni toleo la Misri la '''noria'''. Baadhi ya visima vya kale zaidi duniani, vilivyoko Cyprus, vinaaminika kuwa vya kati ya 7000 hadi 8500 KK. Visima viwili vya kipindi cha Neolithiki, vya takribani 6500 KK, vimegunduliwa nchini Israeli – kimoja kikiwa Atlit, pwani ya kaskazini, na kingine katika Bonde la Jezreel. '''Visima kwa Matumizi Mengine Vilikuja Baadaye Katika Historia''' Kisima cha kwanza kilichorekodiwa kwa ajili ya chumvi kilichimbwa katika jimbo la Sichuan, China, takribani miaka 2,250 iliyopita. Hii ilikuwa mara ya kwanza teknolojia ya visima vya maji kutumika kwa mafanikio kuchimba chumvi, na kuashiria mwanzo wa tasnia ya kuchimba chumvi ya Sichuan. Visima vya awali zaidi vya mafuta vilichimbwa pia nchini China, mwaka 347 BK, kwa kutumia vichimbio vilivyofungwa kwenye miti ya mianzi na kufikia kina cha hadi mita 240 (futi 790). Mafuta hayo yalichomwa ili kuyeyusha maji ya chumvi na kuzalisha chumvi. Kufikia karne ya 10, mabomba ya mianzi yalikuwa yameunganisha visima vya mafuta na chemchemi za chumvi. Rekodi za kale za China na Japani zinasemekana kuwa na rejea nyingi za matumizi ya gesi asilia kwa ajili ya mwanga na joto. Petroli ilikuwa ikijulikana kama '''maji yanayowaka''' huko Japani katika karne ya 7. ==Usakinishaji== Visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba, au ya kuendeshwa kwa mkono. Mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na lengo kusudi. ==Mbadala wa hali ya hewa== Viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto. Hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole, hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (Huang et al. 2000) <ref>Huang, SP, Pollack, HN, Shen, PY Hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita. Asili, 403, 6771, uk 756-758, 2000. DOI: 10.1038/35001556.</ref> Kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo katika visiwa vya mawe. Kisima cha Central Greenland huonyesha: <blockquote>"joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° C ± 0.2 ° C iliitangulia na karne chache zenye baridi. ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika 1000 BK, ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° C. " <ref> [http://www.nap.edu/openbook.php?record_id=11676&page=81 VISMA KATIKA BARAFU] joto katika miaka 2,000 iliyopita (2006), pp 81,82 Bodi la Sayansi ya anga Sayansi na Hali ya Hewa (BASC), Shule ya Sayansi, ISBN 978-0-309-10225-4</ref></blockquote> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.rshydro.co.uk/water-quality-monitoring.shtml Ufuatiliaji wa Kisima] * [http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ Visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi] {{Wayback|url=http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ |date=20100110044855 }} * [http://www.watersanitationhygiene.org/References/Technical%20Resources%20-%20Wells.htm Ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima] * [https://www.cdc.gov/healthywater/drinking/private/wells/index.html Mwongozo kuhusu upimaji wa visima, magonjwa yanayohusiana na visima, n.k. to US Center for Disease Control and Prevention] * [http://www.empirewireline.com/casing-inspection/well-logging-casing-inspection/ Jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima] {{tech-stub}} [[Jamii:Maji]] d6x9epn5tvksebe3pa3gre3lym1xjqr 1437244 1437183 2025-07-12T11:42:18Z ~2025-18306-1 80081 1437244 wikitext text/x-wiki [[Picha:AlburyBoreHole.jpg|right|thumb|Kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya Kaskazini Downs, Uingereza katika Albury.]] [[Picha:DIFFCULT TASK.jpg|thumb|Kisima cha maji Afrika]] '''Kisima''' ni jina la jumla la shimo lolote refu jembamba au nene lililochimbwa katika ardhi, aidha kwenda chini au sambamba. Kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa [[maji]] au kiowevu kingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]) au gesi (kama vile [[gesi asilia]]), kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira, kwa ajili ya utafutaji wa madini, au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi. Katika nyanja za mashauriano za [[uhandisi]] na [[mazingira]], neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira (ujulikanao kama Awamu ya Pili ya ESA). Hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya miamba, ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ, au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer. Sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika [[maabara]] kuamua hali zao, au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi. Kwa kawaida, kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti. Ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji: iwe ni cha maji, mafuta au cha gesi. == Historia == {{Tafsiri kompyuta}} Visima vya kale kabisa vya Neolithiki vinavyotambulika vimegunduliwa katika eneo la Mashariki ya Mediterania. Kisima cha zamani zaidi kilichopimwa kwa uhakika kinapatikana kwenye eneo la pre-pottery Neolithiki (PPN) la Kissonerga-Mylouthkia huko Cyprus. Takribani mwaka wa 8400 KK, kisima namba 116 kilichokuwa na umbo la mviringo kilichimbwa kupitia mwamba wa chokaa hadi kufikia tabaka la maji ardhini kwa kina cha mita 8 (futi 26). Kisima namba 2070 kutoka eneo hilo hilo, cha kipindi cha marehemu cha PPN, kilifikia kina cha mita 13 (futi 43). Visima vingine vya karibu na umri huo vimegunduliwa katika eneo hilo hilo na pia katika Parekklisha-Shillourokambos iliyo jirani. Kisima cha kwanza kilichozungushiwa mawe chenye kina cha mita 5.5 (futi 18) kimeandikwa katika tovuti ya 'Atlit-Yam, ambayo imezama baharini karibu na Haifa ya kisasa nchini Israeli, kinachodhaniwa kuwa cha kipindi cha mwisho cha PPN (karibu 7000 KK). '''Utamaduni wa Linear Pottery wa Neolithiki – Visima vya Mbao, 5300 KK, Erkelenz, Ujerumani''' Visima vilivyozungushiwa mbao vinajulikana kutoka kwa utamaduni wa Linear Pottery wa enzi ya Neolithiki, kama vile katika Ostrov, Jamhuri ya Czech, kilichopimwa kuwa cha mwaka 5265 KK; Kückhoven (eneo dogo karibu na Erkelenz), mwaka 5300 KK; na Eythra huko Schletz (eneo dogo karibu na Asparn an der Zaya) nchini Austria, mwaka 5200 KK. '''Ustaarabu wa Neolithiki wa China na Matumizi ya Visima''' Wachina wa enzi ya Neolithiki waligundua na kutumia kwa wingi maji ya ardhini kwa kuchimba visima virefu kwa ajili ya kunywa. Kitabu cha kale cha Wachina ''The Book of Changes'' (Kitabu cha Mabadiliko), kilichoandikwa katika enzi ya Western Zhou (1046–771 KK), kinaelezea namna Wachina wa kale walivyotunza visima vyao na kulinda vyanzo vyao vya maji. Kisima kilichochimbwa katika eneo la uchimbaji la Hemedu kinaaminika kujengwa katika enzi ya Neolithiki. Kisima hicho kilijengwa kwa safu nne za magogo zenye fremu ya mraba juu yake. Visima vingine 60 vya vigae vilivyoko kusini-magharibi mwa Beijing vinaaminika kujengwa karibu mwaka 600 KK kwa ajili ya kunywa na umwagiliaji. '''Mfano wa Kichina wa Kisima cha Kauri kilicho na Mfumo wa Mlisho wa Maji – Enzi ya Han (202 KK – 220 BK)''' Nchini Misri, vifaa kama '''shadoof''' na '''sakia''' hutumika kuvuta maji. Sakia ni bora zaidi kwani inaweza kuvuta maji kutoka kina cha mita 10, tofauti na shadoof inayofikia mita 3 pekee. Sakia ni toleo la Misri la '''noria'''. Baadhi ya visima vya kale zaidi duniani, vilivyoko Cyprus, vinaaminika kuwa vya kati ya 7000 hadi 8500 KK. Visima viwili vya kipindi cha Neolithiki, vya takribani 6500 KK, vimegunduliwa nchini Israeli – kimoja kikiwa Atlit, pwani ya kaskazini, na kingine katika Bonde la Jezreel. '''Visima kwa Matumizi Mengine Vilikuja Baadaye Katika Historia''' Kisima cha kwanza kilichorekodiwa kwa ajili ya chumvi kilichimbwa katika jimbo la Sichuan, China, takribani miaka 2,250 iliyopita. Hii ilikuwa mara ya kwanza teknolojia ya visima vya maji kutumika kwa mafanikio kuchimba chumvi, na kuashiria mwanzo wa tasnia ya kuchimba chumvi ya Sichuan. Visima vya awali zaidi vya mafuta vilichimbwa pia nchini China, mwaka 347 BK, kwa kutumia vichimbio vilivyofungwa kwenye miti ya mianzi na kufikia kina cha hadi mita 240 (futi 790). Mafuta hayo yalichomwa ili kuyeyusha maji ya chumvi na kuzalisha chumvi. Kufikia karne ya 10, mabomba ya mianzi yalikuwa yameunganisha visima vya mafuta na chemchemi za chumvi. Rekodi za kale za China na Japani zinasemekana kuwa na rejea nyingi za matumizi ya gesi asilia kwa ajili ya mwanga na joto. Petroli ilikuwa ikijulikana kama '''maji yanayowaka''' huko Japani katika karne ya 7. ==Usakinishaji== Visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba, au ya kuendeshwa kwa mkono. Mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na lengo kusudi. ==Mbadala wa hali ya hewa== Viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto. Hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole, hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (Huang et al. 2000) <ref>Huang, SP, Pollack, HN, Shen, PY Hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita. Asili, 403, 6771, uk 756-758, 2000. DOI: 10.1038/35001556.</ref> Kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo katika visiwa vya mawe. Kisima cha Central Greenland huonyesha: <blockquote>"joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° C ± 0.2 ° C iliitangulia na karne chache zenye baridi. ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika 1000 BK, ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° C. " <ref> [http://www.nap.edu/openbook.php?record_id=11676&page=81 VISMA KATIKA BARAFU] joto katika miaka 2,000 iliyopita (2006), pp 81,82 Bodi la Sayansi ya anga Sayansi na Hali ya Hewa (BASC), Shule ya Sayansi, ISBN 978-0-309-10225-4</ref></blockquote> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.rshydro.co.uk/water-quality-monitoring.shtml Ufuatiliaji wa Kisima] * [http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ Visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi] {{Wayback|url=http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ |date=20100110044855 }} * [http://www.watersanitationhygiene.org/References/Technical%20Resources%20-%20Wells.htm Ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima] * [https://www.cdc.gov/healthywater/drinking/private/wells/index.html Mwongozo kuhusu upimaji wa visima, magonjwa yanayohusiana na visima, n.k. to US Center for Disease Control and Prevention] * [http://www.empirewireline.com/casing-inspection/well-logging-casing-inspection/ Jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima] {{tech-stub}} [[Jamii:Maji]] 4butztxcxljuelt3aq2a0v2bi6bjf7k 1437246 1437244 2025-07-12T11:43:40Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437246 wikitext text/x-wiki [[Faili:AlburyBoreHole.jpg|right|thumb|Kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya Kaskazini Downs, Uingereza katika Albury.]] [[Faili:DIFFCULT TASK.jpg|thumb|Kisima cha maji Afrika]] '''Kisima''' ni jina la jumla la shimo lolote refu jembamba au nene lililochimbwa katika ardhi, aidha kwenda chini au sambamba. Kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa [[maji]] au kiowevu kingine (kama vile [[mafuta ya petroli]]) au gesi (kama vile [[gesi asilia]]), kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira, kwa ajili ya utafutaji wa madini, au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi. Katika nyanja za mashauriano za [[uhandisi]] na [[mazingira]], neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira (ujulikanao kama Awamu ya Pili ya ESA). Hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo, sampuli za maji au vipande vya miamba, ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ, au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer. Sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika [[maabara]] kuamua hali zao, au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi. Kwa kawaida, kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke. Hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti. Ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji: iwe ni cha maji, mafuta au cha gesi. == Historia == {{Tafsiri kompyuta}} Visima vya kale kabisa vya Neolithiki vinavyotambulika vimegunduliwa katika eneo la Mashariki ya Mediterania. Kisima cha zamani zaidi kilichopimwa kwa uhakika kinapatikana kwenye eneo la pre-pottery Neolithiki (PPN) la Kissonerga-Mylouthkia huko Cyprus. Takribani mwaka wa 8400 KK, kisima namba 116 kilichokuwa na umbo la mviringo kilichimbwa kupitia mwamba wa chokaa hadi kufikia tabaka la maji ardhini kwa kina cha mita 8 (futi 26). Kisima namba 2070 kutoka eneo hilo hilo, cha kipindi cha marehemu cha PPN, kilifikia kina cha mita 13 (futi 43). Visima vingine vya karibu na umri huo vimegunduliwa katika eneo hilo hilo na pia katika Parekklisha-Shillourokambos iliyo jirani. Kisima cha kwanza kilichozungushiwa mawe chenye kina cha mita 5.5 (futi 18) kimeandikwa katika tovuti ya 'Atlit-Yam, ambayo imezama baharini karibu na Haifa ya kisasa nchini Israeli, kinachodhaniwa kuwa cha kipindi cha mwisho cha PPN (karibu 7000 KK). '''Utamaduni wa Linear Pottery wa Neolithiki – Visima vya Mbao, 5300 KK, Erkelenz, Ujerumani''' Visima vilivyozungushiwa mbao vinajulikana kutoka kwa utamaduni wa Linear Pottery wa enzi ya Neolithiki, kama vile katika Ostrov, Jamhuri ya Czech, kilichopimwa kuwa cha mwaka 5265 KK; Kückhoven (eneo dogo karibu na Erkelenz), mwaka 5300 KK; na Eythra huko Schletz (eneo dogo karibu na Asparn an der Zaya) nchini Austria, mwaka 5200 KK. '''Ustaarabu wa Neolithiki wa China na Matumizi ya Visima''' Wachina wa enzi ya Neolithiki waligundua na kutumia kwa wingi maji ya ardhini kwa kuchimba visima virefu kwa ajili ya kunywa. Kitabu cha kale cha Wachina ''The Book of Changes'' (Kitabu cha Mabadiliko), kilichoandikwa katika enzi ya Western Zhou (1046–771 KK), kinaelezea namna Wachina wa kale walivyotunza visima vyao na kulinda vyanzo vyao vya maji. Kisima kilichochimbwa katika eneo la uchimbaji la Hemedu kinaaminika kujengwa katika enzi ya Neolithiki. Kisima hicho kilijengwa kwa safu nne za magogo zenye fremu ya mraba juu yake. Visima vingine 60 vya vigae vilivyoko kusini-magharibi mwa Beijing vinaaminika kujengwa karibu mwaka 600 KK kwa ajili ya kunywa na umwagiliaji. '''Mfano wa Kichina wa Kisima cha Kauri kilicho na Mfumo wa Mlisho wa Maji – Enzi ya Han (202 KK – 220 BK)''' Nchini Misri, vifaa kama '''shadoof''' na '''sakia''' hutumika kuvuta maji. Sakia ni bora zaidi kwani inaweza kuvuta maji kutoka kina cha mita 10, tofauti na shadoof inayofikia mita 3 pekee. Sakia ni toleo la Misri la '''noria'''. Baadhi ya visima vya kale zaidi duniani, vilivyoko Cyprus, vinaaminika kuwa vya kati ya 7000 hadi 8500 KK. Visima viwili vya kipindi cha Neolithiki, vya takribani 6500 KK, vimegunduliwa nchini Israeli – kimoja kikiwa Atlit, pwani ya kaskazini, na kingine katika Bonde la Jezreel. '''Visima kwa Matumizi Mengine Vilikuja Baadaye Katika Historia''' Kisima cha kwanza kilichorekodiwa kwa ajili ya chumvi kilichimbwa katika jimbo la Sichuan, China, takribani miaka 2,250 iliyopita. Hii ilikuwa mara ya kwanza teknolojia ya visima vya maji kutumika kwa mafanikio kuchimba chumvi, na kuashiria mwanzo wa tasnia ya kuchimba chumvi ya Sichuan. Visima vya awali zaidi vya mafuta vilichimbwa pia nchini China, mwaka 347 BK, kwa kutumia vichimbio vilivyofungwa kwenye miti ya mianzi na kufikia kina cha hadi mita 240 (futi 790). Mafuta hayo yalichomwa ili kuyeyusha maji ya chumvi na kuzalisha chumvi. Kufikia karne ya 10, mabomba ya mianzi yalikuwa yameunganisha visima vya mafuta na chemchemi za chumvi. Rekodi za kale za China na Japani zinasemekana kuwa na rejea nyingi za matumizi ya gesi asilia kwa ajili ya mwanga na joto. Petroli ilikuwa ikijulikana kama '''maji yanayowaka''' huko Japani katika karne ya 7. ==Usakinishaji== Visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba, au ya kuendeshwa kwa mkono. Mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji, hali ya kijiolojia, na lengo kusudi. ==Mbadala wa hali ya hewa== Viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto. Hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole, hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (Huang et al. 2000) <ref>Huang, SP, Pollack, HN, Shen, PY Hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita. Asili, 403, 6771, uk 756-758, 2000. DOI: 10.1038/35001556.</ref> Kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo katika visiwa vya mawe. Kisima cha Central Greenland huonyesha: <blockquote>"joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° C ± 0.2 ° C iliitangulia na karne chache zenye baridi. ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika 1000 BK, ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° C. " <ref> [http://www.nap.edu/openbook.php?record_id=11676&page=81 VISMA KATIKA BARAFU] joto katika miaka 2,000 iliyopita (2006), pp 81,82 Bodi la Sayansi ya anga Sayansi na Hali ya Hewa (BASC), Shule ya Sayansi, ISBN 978-0-309-10225-4</ref></blockquote> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.rshydro.co.uk/water-quality-monitoring.shtml Ufuatiliaji wa Kisima] * [http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ Visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi] {{Wayback|url=http://www.geologicboreholes.co.uk/water-boreholes/ |date=20100110044855 }} * [http://www.watersanitationhygiene.org/References/Technical%20Resources%20-%20Wells.htm Ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima] * [https://www.cdc.gov/healthywater/drinking/private/wells/index.html Mwongozo kuhusu upimaji wa visima, magonjwa yanayohusiana na visima, n.k. to US Center for Disease Control and Prevention] * [http://www.empirewireline.com/casing-inspection/well-logging-casing-inspection/ Jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima] {{tech-stub}} [[Jamii:Maji]] otsjzjl640g8mybcb9t33ktkhjj3jin Gävle 0 39978 1437033 896307 2025-07-12T03:35:00Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437033 wikitext text/x-wiki [[Picha:Rådhuset, Gävle, från norr.jpg|thumb|250px|Ukumbi wa Gävle]] [[Picha:Gävle in Sweden.png|thumb|180px|]] '''Gävle''' ni mji nchini [[Uswidi]]. Mji ulianzishwa [[1446]]. Kuna wakazi 68,700 (mwaka 2005). Kraft General Foods Scandinavia ni kampuni kubwa ya utengenezaji wa kahawa == Jiografia == Eneo lake ni 41.79 [[km²]]. Iko kando ya [[Bahari ya Baltiki]]. <gallery> Picha:Christmas-Goat.JPG| ''Buzi ya Krismasi'' Picha:Gävle-Gamla Stan 2.JPG|''Mji mzee wa Gävle'' Picha:Gävle- Högskola.JPG| ''Chuo cha Watu wa Gävle'' </gallery> == Viungo vya nje == * [http://www.gavle.se/ www.gavle.se] {{Wayback|url=http://www.gavle.se/ |date=20201202210132 }} {{Mbegu-jio-Uswidi}} [[Jamii:Miji ya Uswidi]] kglo1g4ncki71sbhd9d3tu3lfj1g8yp Karolo Lwanga 0 40225 1437103 1423875 2025-07-12T08:59:29Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437103 wikitext text/x-wiki [[Picha:Karoli Lwanga and his followers.jpg|right|300px|Karoli Lwanga katikati ya wafiadini wenzake 21 katika mchoro wa [[Albert Wider]] wa mwaka [[1962]].]] [[File:St. Kizito being baptised by St. Charles Lwanga at Munyonyo.jpg|thumb|''Mt. Kizito akibatizwa na Mt. Karoli Lwanga huko Munyonyo'' – [[kioo cha rangi]] katika [[patakatifu]] pa wafiadini huko [[Munyonyo]].]] [[Picha:Relic Saint Charles Lwanga .jpg|left|thumb|Chombo cha shaba chenye kipande cha mfupa cha Mt. Karoli Lwanga (kinamilikiwa na mtu binafsi).]] '''Karoli Lwanga''' ([[Bulimu]], [[1865]] - [[Namugongo]], [[3 Juni]] [[1886]]) ndiye maarufu zaidi kati ya [[wafiadini]] wa [[Uganda]] waliouawa kwa [[amri]] ya [[kabaka]] [[Mwanga II]] ([[dhuluma]] za miaka [[1885]] - [[1887]]). Pamoja na wenzake anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]]. Wote pamoja walitangazwa na [[Papa Benedikto XV]] kuwa [[wenye heri]] [[tarehe]] [[6 Juni]] [[1920]], halafu na [[Papa Paulo VI]] kuwa watakatifu tarehe [[8 Oktoba]] [[1964]] <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/93398</ref>. [[Sikukuu]] yao huadhimishwa tarehe [[3 Juni]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. == Maisha == Alikuwa mkuu wa wahudumu katika [[ikulu]] ya [[mfalme]] wa [[Buganda]]: kisha kumuamini [[Yesu Kristo]] na [[ubatizo|kubatizwa]] na [[Wamisionari wa Afrika]] wa [[kardinali]] [[Charles Lavigerie]], alitetea kwa [[ushujaa]] [[imani]] hiyo na [[maadili]] yanayotokana nayo akiwahimiza mpaka mwisho wenzake kudumu waaminifu hadi [[kifodini]] kilichowapata baadhi kwa [[upanga]] na baadhi kwa kuchomwa [[moto]] <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/23250</ref>. ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] *[[Wafiadini wa Uganda]] ==Tanbihi== {{reflist}} == Marejeo == * J. FRANSE, W.F., Mashahidi 22 wa Uganda – tafsiri ya C. Kuhenga n.k. – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1981 * John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 190-194 * Pd. Leandry Kimario, [[Wakapuchini|O.F.M.Cap.]] - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 160-162 == Viungo vya nje == * [http://www.saintpatrickdc.org/ss/0603.htm#ugan Charles Lwanga and Companions] {{Wayback|url=http://www.saintpatrickdc.org/ss/0603.htm#ugan |date=20080607015351 }} * [http://www.americancatholic.org/features/SaintofDay/default.asp?id=1403 Charles Lwanga and Companions] {{Wayback|url=http://www.americancatholic.org/features/SaintofDay/default.asp?id=1403 |date=20090329231947 }} * [http://wau.org/archives/article/the_uganda_martyrs/ The Uganda Martyrs from the August 2008 issue of ''The Word Among Us'' magazine] {{Wayback|url=http://wau.org/archives/article/the_uganda_martyrs/ |date=20180823174629 }} {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Waliozaliwa 1865]] [[Jamii:Waliofariki 1886]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Uganda]] 2q1dew4xyq5y0dvz9iqtsjt98b2f3c8 Bees for Development 0 65461 1436943 1418329 2025-07-11T14:39:03Z Riccardo Riccioni 452 1436943 wikitext text/x-wiki '''Bees for Development''' ni shirikisho la misaada la kimataifa, maalumu kwa kazi ya kupunguza umaskini kwa njia ya ufugaji nyuki. Ufugaji nyuki unachangia kusaidia maslahi endelevu ya kuishi katika jumuiya za maskini na nyuki kutoa huduma muhimu ya mazingira bora ya kuishi. Bees for Development inaendesha miradi [[Uganda]], [[Zanzibar]], [[Ethiopia]] na [[Kirgizia]]. Ofisi zake ziko [[Monmouth]], Wales Kusini. ==Historia na falsafa== Ilianzishwa mwaka wa 1993, inafanya kazi kwa kushirikiana na waweka nyuki na mashirika ya kimataifa,kama vile [[Apimondia]], Wakfa wa Keystone na [[FAO|shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa]].Ufadhili huu unakusudia kusaidia ufugaji nyuki ili kusaidia jamii maskini na vivjiji vilivyo mashinani na kulinda viumbe hai.Inalenga matumizi ya [[teknolojia sahihi]] na maadili, na kuheshimu ujuzi wa kienyeji. Ina [[imani]] kuwa kujitegemea na kuwawezesha maskini kunaweza kuimarishwa kwa njia ya upatikanaji wa maarifa na habari, na kwa njia ya biashara ya mazao ya nyuki.Pia inadai kuingilia uzalishaji wa nyuki kuwa kiwango cha chini kabisa, na thamani ya kutumia mizinga ambayo haina fremu za ndani. ==Shughuli== [[File:Bark hive in Mozambique.JPG|thumb|right|Mizinga ya magome nchini Msumbiji yanatumika sana na kutumiwa na wafuga nyuki ya kuzalisha asali na nta.]] ''Jarida la Bees for Development'' linachapishwa kila baada ya miezi mitatu.Linaangazia teknolojia mwafaka za ufugaji nyuki, kubadilishana masomo yaliyosomwa katika nchi mbalimbali, na inajumuisha taarifa ya kisasa kuhusu ufugaji nyuki duniani kote. Mradi wa Biashara ya Asali wa Uganda pamoja na vyama vya wafuga nyuki wa kiasili pamoja na ApiTrade Afrika, kusaidia kukuza mapato kwa njia ya kuimarisha biashara ya asali. Huko Zanzibar ''Bees for Development'' inatekeleza mradi wa ushirikiano na [[Shirika Lisilo la Kiserikali|shirika lisilo la kiserikali]] la [[Denmark]], DANTAN, ikiangazia kutia nguvu sekta ya asali huko [[Unguja]], kisiwa kikuu cha Zanzibar na katika kisiwa cha [[Pemba (kisiwa)|Pemba]]. Huko Kirgizia, fedha kutoka Mpango wa Darwin, ambao hupea moyo viumbe hai katika nchi maskini zimepatikana, na ''Bees for Development'' inafanya kazi na Wakfu wa Maendeleo Vijijini kusaidia wafuga nyuki kufikia haki ya kupata ardhi ya malisho ya ufugaji nyuki. ''Bees for Development'' pia inasambaza rasilimali za mafunzo duniani kote, inasimamia maktaba maktaba ya mtandao yenye habari kuhusu ufugaji wa nyuki na safari za kwenda kujionea ufugaji wa nyuki huko [[Trinidad na Tobago|Trinidad]], [[Trinidad na Tobago|Tobago]],na [[Uturuki]]. ==Viungo vya nje== * [http://beesfordevelopment.org/ Bees for Development Website] * [http://www.youtube.com/apitradeafrica ApiTrade Africa and their youtube channel] * [http://www.ugandaexportsonline.com/2009/home.php UEPB] {{Wayback|url=http://www.ugandaexportsonline.com/2009/home.php |date=20130402063535 }} * [http://www.tunadobees.org/ TUNADO] [[Jamii:mashirika ya kimataifa]] eui3udizccpceisd9uzd9dwfvnr77je Mkoa wa Bình Dương 0 66464 1436981 1372424 2025-07-11T21:16:48Z CommonsDelinker 234 Replacing Binh_Duong_in_Vietnam.svg with [[File:Binh_Duong_in_Vietnam_before_1_July_2025.svg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]: [[:c:COM:FR#FR3|Criterion 3]] (obvious error) · Vietnam’s Provincial Merger 1436981 wikitext text/x-wiki [[Picha:VongXoayNga6 BinhDuong.jpg|260px|thumb|right]] [[Picha:Binh Duong in Vietnam before 1 July 2025.svg|thumb|right|260px|Mahali pa Bình Dương katika Vietnam]] '''Bình Dương''' ni [[mkoa]] wa [[Vietnam]]. [[Mji mkuu]] ni [[Thủ Dầu Một]]. Eneo lake ni 2,695.5 km². Mwaka 2009 wakazi 1,481,550 walihesabiwa. == Tazama pia == * [[Mikoa ya Vietnam]] == Viungo vya nje == * [http://www.binhduong.gov.vn/ Tovuti rasmi] {{vi}} {{mbegu-jio}} [[Jamii:Mikoa ya Vietnam]] 8d32ci1fp4vks939wxb2e1ze1mf7fii Ain't 2 Proud 2 Beg 0 69636 1436939 1387922 2025-07-11T14:34:01Z Riccardo Riccioni 452 1436939 wikitext text/x-wiki {{Infobox single | Jina = Ain't 2 Proud 2 Beg | Cover = | Msanii = [[TLC]] | Albamu = [[Ooooooohhh... On the TLC Tip]] | Imetolewa = 1 Februari 1992 | Muundo = [[12-inch single]]<br />[[CD single]]<br />[[Cassette single]] | Imerekodiwa = 1991 | Aina = [[muziki wa hip hop|Political Hip hop]] | Urefu = 5:40 | Studio = [[LaFace Records|LaFace]] | Mtunzi = [[TLC]] | Mtayarishaji = [[Stretch]] | Single iliyopita = | Single ya sasa = <small>"Ain't 2 Proud 2 Beg"<br />(1992)</small> | Single ijayo = <small>"[[Baby-Baby-Baby]]"<br />(1992)</small> }} "'''Ain't 2 Proud 2 Beg'''" ni [[wimbo]] wa [[TLC]], kutoka katika [[albamu]] yake ya pili. {{mbegu-muziki}} [[Jamii:nyimbo za 1991]] fu5crbngyi3hg42p80ysehmnj8f781p Baby-Baby-Baby 0 69637 1436942 1387895 2025-07-11T14:38:24Z Riccardo Riccioni 452 1436942 wikitext text/x-wiki {{Infobox single | Jina = Baby-Baby-Baby | Cover = | Msanii = [[TLC]] | Albamu = [[Ooooooohhh... On the TLC Tip]] | Imetolewa = 22 Juni 1992 | Muundo = [[12-inch single]]<br />[[CD single]]<br />[[Cassette single]] | Imerekodiwa = 1991 | Aina = [[Pop]] | Urefu = 5:17 | Studio = [[LaFace Records|LaFace]] | Mtunzi = [[TLC]] | Mtayarishaji = [[Stretch]] | Single iliyopita = <small>"[[Ain't 2 Proud 2 Beg]]"<br />(1992)</small> | Single ya sasa = <small>"Baby-Baby-Baby"<br />(1992)</small> | Single ijayo = <small>"[[What About Your Friends]]"<br />(1992)</small> }} {{fupi}} [[Jamii:nyimbo za 1991]] iaipiyvs11osa6quzazmo62nq1m6nnv Historia ya Angola 0 78781 1437074 1436048 2025-07-12T06:38:18Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza picha ya bendera ya Angola 1437074 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Angola.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Angola]] '''Historia ya Angola''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Angola]]. Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji-wakusanyaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Historia == Kuanzia [[karne ya 14]], falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano [[Dola la Kongo]], [[Dola la Lunda]] na [[Dola la Kasanje]]. ===Dola la Kongo=== [[Image:Mercator_Congo_map.jpg|thumb|450px|Ramani ya kihistoria ya Kongo]] Ufalme wa Kongo ulikuwa [[dola]] lililoenea ndani ya nchi za leo za [[Angola]], [[Kongo (Kinshasa)]] na [[Kongo (Brazzaville)]]. Ulianzishwa katika [[karne ya 14]] ikadumu hadi [[karne ya 17]]. Mtawala wake alikuwa na [[cheo]] cha "Mwene Kongo" au "[[Manikongo]]" wa [[kabila]] la [[Bakongo]]. Ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya [[mawasiliano]] yake ya kimataifa. Katika [[karne ya 15]] [[meli]] za [[Wareno]] zilifika [[mwambao]]ni mwake. Wakati wa kukutana na Wareno Ufalme wa Kongo labda ulikuwa na eneo la [[km²]] 300,000 ukaunganisha robo ya magharibi ya Kongo (Kinshasa) pamoja na sehemu za Angola na Kongo (Brazzaville). Manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na [[Ureno]] na Kongo ilikuwa [[taifa]] la kushikamana na Ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo. Katika kipindi kile [[taarifa]] mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo. Manikongo alikaa katika [[mji]] wa [[M'banza-Kongo]]. Baada ya wafalme kuwa [[Wakristo]] [[Wakatoliki]] na kujengwa kwa [[kanisa kuu]], jina la "São Salvador do Congo" (kwa [[Kireno]]: "[[Mwokozi]] Mtakatifu wa Kongo") lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa [[milki]]. Ufalme ukawa na majimbo, [[wilaya]] na [[vijiji]]. Majimbo yalikuwa saba ya [[Mpemba]], [[Nsundi]], [[Mpangu]], [[Mbata]], [[Mbamba]] na [[Soyo]]. Kwa mikataba ya baadaye falme za [[Kakongo]], [[Loango]] na [[Ngoy]] likatokea [[shirikisho]] la sehemu nne. ===Dola la Lunda=== Dola la Lunda lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1600]] hadi [[1850]] hivi kando ya [[mto Kasai]], mpakani kwa nchi za kisasa za [[Angola]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. ===Dola la Kasanje=== Dola la Kasanje lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1620]] hadi [[1910]] hivi kando ya [[mto Kwango]], upande wa [[kaskazini]] wa nchi ya kisasa ya [[Angola]]. Lilianzishwa na viongozi kutoka [[Dola la Lunda]]. Mwaka 1910 lilivamiwa na [[Ureno|Wareno]] na kuingizwa katika [[koloni]] lao la Angola. ===Dola la Ndongo=== [[File:KingdomNdongo1711.png|thumb|Eneo la [[Ufalme wa Ndongo]].]] Dola lingine la kusini lilikuwa lile la Ndongo, lililopambana na Wareno miaka 30 chini ya [[malkia]] [[Njinga]] katika [[karne ya 17]]. ===Vita vya uhuru=== [[Mwaka]] [[1966]] [[Jonas Savimbi]] alianzisha tapo la [[UNITA]] (kwa [[Kireno]]: ''União Nacional para a Independência Total de Angola'') kama harakati ya kukomboa Angola kutoka [[ukoloni]] wa [[Ureno]]. UNITA ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana. UNITA ilianza kama kikundi cha [[Ukomunisti|kikomunisti]] kufuatana na [[itikadi]] ya [[Mao Zedong]]. Uadui kati ya Wakomunisti wa [[Uchina]] na [[Urusi]] ulionekana katika mashindano ya UNITA dhidi ya [[MPLA]] (kwa Kireno: Movimento Popular de Libertação de Angola - Partido do Trabalho) iliyosaidiwa na Urusi. ===Vita vya wenyewe kwa wenyewe=== Baada ya [[uhuru]] mwaka [[1975]] MPLA ilitawala [[mji mkuu]] na kuunda [[serikali]] rasmi lakini Savimbi aliendelea kuipinga. Savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka kwa maadui wote wa MPLA bila kujali itikadi. UNITA ilipata misaada kutoka serikali mbalimbali [[duniani]] ili kuiondoa [[Madaraka|madarakani]] serikali ya MPLA. Savimbi alikuwa akipata misaada ya [[fedha]] na [[silaha]] toka serikali za [[Marekani]], [[China]], [[Afrika Kusini]], [[Ivory Coast]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (wakati huo ikijulikana kama [[Zaire]]), [[Moroko]], n.k. Serikali ya Angola ilikuwa ikipata misaada toka [[Urusi]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]], [[Kuba]], na [[Nicaragua]]. [[Tarehe]] [[22 Machi]] [[2002]], Jonas Savimbi aliuawa vitani. Muda mfupi baadaye UNITA na MPLA zilikubaliana kusimamisha mapigano. UNITA ilichukua nafasi ya chama cha upinzani. Hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi [[Uchaguzi|chaguzi]] za miaka [[2008]] na [[2012]] na toleo la katiba mpya la mwaka [[2010]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Angola]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] i0o3jj65jn09mi38labi78lkmnanovf 1437124 1437074 2025-07-12T09:29:24Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza picha ya bendera ya Angola 1437124 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Angola.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Angola]] '''Historia ya Angola''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Angola]]. Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji-wakusanyaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Historia == Kuanzia [[karne ya 14]], falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano [[Dola la Kongo]], [[Dola la Lunda]] na [[Dola la Kasanje]]. ===Dola la Kongo=== [[Image:Mercator_Congo_map.jpg|thumb|450px|Ramani ya kihistoria ya Kongo]] Ufalme wa Kongo ulikuwa [[dola]] lililoenea ndani ya nchi za leo za [[Angola]], [[Kongo (Kinshasa)]] na [[Kongo (Brazzaville)]]. Ulianzishwa katika [[karne ya 14]] ikadumu hadi [[karne ya 17]]. Mtawala wake alikuwa na [[cheo]] cha "Mwene Kongo" au "[[Manikongo]]" wa [[kabila]] la [[Bakongo]]. Ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya [[mawasiliano]] yake ya kimataifa. Katika [[karne ya 15]] [[meli]] za [[Wareno]] zilifika [[mwambao]]ni mwake. Wakati wa kukutana na Wareno Ufalme wa Kongo labda ulikuwa na eneo la [[km²]] 300,000 ukaunganisha robo ya magharibi ya Kongo (Kinshasa) pamoja na sehemu za Angola na Kongo (Brazzaville). Manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na [[Ureno]] na Kongo ilikuwa [[taifa]] la kushikamana na Ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo. Katika kipindi kile [[taarifa]] mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo. Manikongo alikaa katika [[mji]] wa [[M'banza-Kongo]]. Baada ya wafalme kuwa [[Wakristo]] [[Wakatoliki]] na kujengwa kwa [[kanisa kuu]], jina la "São Salvador do Congo" (kwa [[Kireno]]: "[[Mwokozi]] Mtakatifu wa Kongo") lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa [[milki]]. Ufalme ukawa na majimbo, [[wilaya]] na [[vijiji]]. Majimbo yalikuwa saba ya [[Mpemba]], [[Nsundi]], [[Mpangu]], [[Mbata]], [[Mbamba]] na [[Soyo]]. Kwa mikataba ya baadaye falme za [[Kakongo]], [[Loango]] na [[Ngoy]] likatokea [[shirikisho]] la sehemu nne. ===Dola la Lunda=== Dola la Lunda lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1600]] hadi [[1850]] hivi kando ya [[mto Kasai]], mpakani kwa nchi za kisasa za [[Angola]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. ===Dola la Kasanje=== Dola la Kasanje lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1620]] hadi [[1910]] hivi kando ya [[mto Kwango]], upande wa [[kaskazini]] wa nchi ya kisasa ya [[Angola]]. Lilianzishwa na viongozi kutoka [[Dola la Lunda]]. Mwaka 1910 lilivamiwa na [[Ureno|Wareno]] na kuingizwa katika [[koloni]] lao la Angola. ===Dola la Ndongo=== [[File:KingdomNdongo1711.png|thumb|Eneo la [[Ufalme wa Ndongo]].]] Dola lingine la kusini lilikuwa lile la Ndongo, lililopambana na Wareno miaka 30 chini ya [[malkia]] [[Njinga]] katika [[karne ya 17]]. ===Vita vya uhuru=== [[Mwaka]] [[1966]] [[Jonas Savimbi]] alianzisha tapo la [[UNITA]] (kwa [[Kireno]]: ''União Nacional para a Independência Total de Angola'') kama harakati ya kukomboa Angola kutoka [[ukoloni]] wa [[Ureno]]. UNITA ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana. UNITA ilianza kama kikundi cha [[Ukomunisti|kikomunisti]] kufuatana na [[itikadi]] ya [[Mao Zedong]]. Uadui kati ya Wakomunisti wa [[Uchina]] na [[Urusi]] ulionekana katika mashindano ya UNITA dhidi ya [[MPLA]] (kwa Kireno: Movimento Popular de Libertação de Angola - Partido do Trabalho) iliyosaidiwa na Urusi. ===Vita vya wenyewe kwa wenyewe=== Baada ya [[uhuru]] mwaka [[1975]] MPLA ilitawala [[mji mkuu]] na kuunda [[serikali]] rasmi lakini Savimbi aliendelea kuipinga. Savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka kwa maadui wote wa MPLA bila kujali itikadi. UNITA ilipata misaada kutoka serikali mbalimbali [[duniani]] ili kuiondoa [[Madaraka|madarakani]] serikali ya MPLA. Savimbi alikuwa akipata misaada ya [[fedha]] na [[silaha]] toka serikali za [[Marekani]], [[China]], [[Afrika Kusini]], [[Ivory Coast]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (wakati huo ikijulikana kama [[Zaire]]), [[Moroko]], n.k. Serikali ya Angola ilikuwa ikipata misaada toka [[Urusi]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]], [[Kuba]], na [[Nicaragua]]. [[Tarehe]] [[22 Machi]] [[2002]], Jonas Savimbi aliuawa vitani. Muda mfupi baadaye UNITA na MPLA zilikubaliana kusimamisha mapigano. UNITA ilichukua nafasi ya chama cha upinzani. Hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi [[Uchaguzi|chaguzi]] za miaka [[2008]] na [[2012]] na toleo la katiba mpya la mwaka [[2010]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Angola]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] tew23uuqv64u92ecdffbl11ehknitn7 1437190 1437124 2025-07-12T10:33:57Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437074 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Angola.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Angola]] '''Historia ya Angola''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Angola]]. Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji-wakusanyaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Historia == Kuanzia [[karne ya 14]], falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano [[Dola la Kongo]], [[Dola la Lunda]] na [[Dola la Kasanje]]. ===Dola la Kongo=== [[Image:Mercator_Congo_map.jpg|thumb|450px|Ramani ya kihistoria ya Kongo]] Ufalme wa Kongo ulikuwa [[dola]] lililoenea ndani ya nchi za leo za [[Angola]], [[Kongo (Kinshasa)]] na [[Kongo (Brazzaville)]]. Ulianzishwa katika [[karne ya 14]] ikadumu hadi [[karne ya 17]]. Mtawala wake alikuwa na [[cheo]] cha "Mwene Kongo" au "[[Manikongo]]" wa [[kabila]] la [[Bakongo]]. Ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya [[mawasiliano]] yake ya kimataifa. Katika [[karne ya 15]] [[meli]] za [[Wareno]] zilifika [[mwambao]]ni mwake. Wakati wa kukutana na Wareno Ufalme wa Kongo labda ulikuwa na eneo la [[km²]] 300,000 ukaunganisha robo ya magharibi ya Kongo (Kinshasa) pamoja na sehemu za Angola na Kongo (Brazzaville). Manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na [[Ureno]] na Kongo ilikuwa [[taifa]] la kushikamana na Ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo. Katika kipindi kile [[taarifa]] mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo. Manikongo alikaa katika [[mji]] wa [[M'banza-Kongo]]. Baada ya wafalme kuwa [[Wakristo]] [[Wakatoliki]] na kujengwa kwa [[kanisa kuu]], jina la "São Salvador do Congo" (kwa [[Kireno]]: "[[Mwokozi]] Mtakatifu wa Kongo") lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa [[milki]]. Ufalme ukawa na majimbo, [[wilaya]] na [[vijiji]]. Majimbo yalikuwa saba ya [[Mpemba]], [[Nsundi]], [[Mpangu]], [[Mbata]], [[Mbamba]] na [[Soyo]]. Kwa mikataba ya baadaye falme za [[Kakongo]], [[Loango]] na [[Ngoy]] likatokea [[shirikisho]] la sehemu nne. ===Dola la Lunda=== Dola la Lunda lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1600]] hadi [[1850]] hivi kando ya [[mto Kasai]], mpakani kwa nchi za kisasa za [[Angola]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. ===Dola la Kasanje=== Dola la Kasanje lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1620]] hadi [[1910]] hivi kando ya [[mto Kwango]], upande wa [[kaskazini]] wa nchi ya kisasa ya [[Angola]]. Lilianzishwa na viongozi kutoka [[Dola la Lunda]]. Mwaka 1910 lilivamiwa na [[Ureno|Wareno]] na kuingizwa katika [[koloni]] lao la Angola. ===Dola la Ndongo=== [[File:KingdomNdongo1711.png|thumb|Eneo la [[Ufalme wa Ndongo]].]] Dola lingine la kusini lilikuwa lile la Ndongo, lililopambana na Wareno miaka 30 chini ya [[malkia]] [[Njinga]] katika [[karne ya 17]]. ===Vita vya uhuru=== [[Mwaka]] [[1966]] [[Jonas Savimbi]] alianzisha tapo la [[UNITA]] (kwa [[Kireno]]: ''União Nacional para a Independência Total de Angola'') kama harakati ya kukomboa Angola kutoka [[ukoloni]] wa [[Ureno]]. UNITA ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana. UNITA ilianza kama kikundi cha [[Ukomunisti|kikomunisti]] kufuatana na [[itikadi]] ya [[Mao Zedong]]. Uadui kati ya Wakomunisti wa [[Uchina]] na [[Urusi]] ulionekana katika mashindano ya UNITA dhidi ya [[MPLA]] (kwa Kireno: Movimento Popular de Libertação de Angola - Partido do Trabalho) iliyosaidiwa na Urusi. ===Vita vya wenyewe kwa wenyewe=== Baada ya [[uhuru]] mwaka [[1975]] MPLA ilitawala [[mji mkuu]] na kuunda [[serikali]] rasmi lakini Savimbi aliendelea kuipinga. Savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka kwa maadui wote wa MPLA bila kujali itikadi. UNITA ilipata misaada kutoka serikali mbalimbali [[duniani]] ili kuiondoa [[Madaraka|madarakani]] serikali ya MPLA. Savimbi alikuwa akipata misaada ya [[fedha]] na [[silaha]] toka serikali za [[Marekani]], [[China]], [[Afrika Kusini]], [[Ivory Coast]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (wakati huo ikijulikana kama [[Zaire]]), [[Moroko]], n.k. Serikali ya Angola ilikuwa ikipata misaada toka [[Urusi]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]], [[Kuba]], na [[Nicaragua]]. [[Tarehe]] [[22 Machi]] [[2002]], Jonas Savimbi aliuawa vitani. Muda mfupi baadaye UNITA na MPLA zilikubaliana kusimamisha mapigano. UNITA ilichukua nafasi ya chama cha upinzani. Hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi [[Uchaguzi|chaguzi]] za miaka [[2008]] na [[2012]] na toleo la katiba mpya la mwaka [[2010]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Angola]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] i0o3jj65jn09mi38labi78lkmnanovf 1437241 1437190 2025-07-12T11:41:17Z ~2025-18306-1 80081 pasipo TAB 1437241 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Angola.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Angola]] '''Historia ya Angola''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Angola]]. Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji-wakusanyaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Historia == Kuanzia [[karne ya 14]], falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano [[Dola la Kongo]], [[Dola la Lunda]] na [[Dola la Kasanje]]. ===Dola la Kongo=== [[Image:Mercator_Congo_map.jpg|thumb|450px|Ramani ya kihistoria ya Kongo]] Ufalme wa Kongo ulikuwa [[dola]] lililoenea ndani ya nchi za leo za [[Angola]], [[Kongo (Kinshasa)]] na [[Kongo (Brazzaville)]]. Ulianzishwa katika [[karne ya 14]] ikadumu hadi [[karne ya 17]]. Mtawala wake alikuwa na [[cheo]] cha "Mwene Kongo" au "[[Manikongo]]" wa [[kabila]] la [[Bakongo]]. Ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya [[mawasiliano]] yake ya kimataifa. Katika [[karne ya 15]] [[meli]] za [[Wareno]] zilifika [[mwambao]]ni mwake. Wakati wa kukutana na Wareno Ufalme wa Kongo labda ulikuwa na eneo la [[km²]] 300,000 ukaunganisha robo ya magharibi ya Kongo (Kinshasa) pamoja na sehemu za Angola na Kongo (Brazzaville). Manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na [[Ureno]] na Kongo ilikuwa [[taifa]] la kushikamana na Ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo. Katika kipindi kile [[taarifa]] mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo. Manikongo alikaa katika [[mji]] wa [[M'banza-Kongo]]. Baada ya wafalme kuwa [[Wakristo]] [[Wakatoliki]] na kujengwa kwa [[kanisa kuu]], jina la "São Salvador do Congo" (kwa [[Kireno]]: "[[Mwokozi]] Mtakatifu wa Kongo") lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa [[milki]]. Ufalme ukawa na majimbo, [[wilaya]] na [[vijiji]]. Majimbo yalikuwa saba ya [[Mpemba]], [[Nsundi]], [[Mpangu]], [[Mbata]], [[Mbamba]] na [[Soyo]]. Kwa mikataba ya baadaye falme za [[Kakongo]], [[Loango]] na [[Ngoy]] likatokea [[shirikisho]] la sehemu nne. ===Dola la Lunda=== Dola la Lunda lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1600]] hadi [[1850]] hivi kando ya [[mto Kasai]], mpakani kwa nchi za kisasa za [[Angola]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. ===Dola la Kasanje=== Dola la Kasanje lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1620]] hadi [[1910]] hivi kando ya [[mto Kwango]], upande wa [[kaskazini]] wa nchi ya kisasa ya [[Angola]]. Lilianzishwa na viongozi kutoka [[Dola la Lunda]]. Mwaka 1910 lilivamiwa na [[Ureno|Wareno]] na kuingizwa katika [[koloni]] lao la Angola. ===Dola la Ndongo=== [[File:KingdomNdongo1711.png|thumb|Eneo la [[Ufalme wa Ndongo]].]] Dola lingine la kusini lilikuwa lile la Ndongo, lililopambana na Wareno miaka 30 chini ya [[malkia]] [[Njinga]] katika [[karne ya 17]]. ===Vita vya uhuru=== [[Mwaka]] [[1966]] [[Jonas Savimbi]] alianzisha tapo la [[UNITA]] (kwa [[Kireno]]: ''União Nacional para a Independência Total de Angola'') kama harakati ya kukomboa Angola kutoka [[ukoloni]] wa [[Ureno]]. UNITA ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana. UNITA ilianza kama kikundi cha [[Ukomunisti|kikomunisti]] kufuatana na [[itikadi]] ya [[Mao Zedong]]. Uadui kati ya Wakomunisti wa [[Uchina]] na [[Urusi]] ulionekana katika mashindano ya UNITA dhidi ya [[MPLA]] (kwa Kireno: Movimento Popular de Libertação de Angola - Partido do Trabalho) iliyosaidiwa na Urusi. ===Vita vya wenyewe kwa wenyewe=== Baada ya [[uhuru]] mwaka [[1975]] MPLA ilitawala [[mji mkuu]] na kuunda [[serikali]] rasmi lakini Savimbi aliendelea kuipinga. Savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka kwa maadui wote wa MPLA bila kujali itikadi. UNITA ilipata misaada kutoka serikali mbalimbali [[duniani]] ili kuiondoa [[Madaraka|madarakani]] serikali ya MPLA. Savimbi alikuwa akipata misaada ya [[fedha]] na [[silaha]] toka serikali za [[Marekani]], [[China]], [[Afrika Kusini]], [[Ivory Coast]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (wakati huo ikijulikana kama [[Zaire]]), [[Moroko]], n.k. Serikali ya Angola ilikuwa ikipata misaada toka [[Urusi]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]], [[Kuba]], na [[Nikaragua]]. [[Tarehe]] [[22 Machi]] [[2002]], Jonas Savimbi aliuawa vitani. Muda mfupi baadaye UNITA na MPLA zilikubaliana kusimamisha mapigano. UNITA ilichukua nafasi ya chama cha upinzani. Hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi [[Uchaguzi|chaguzi]] za miaka [[2008]] na [[2012]] na toleo la katiba mpya la mwaka [[2010]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Angola]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] lp5pf0u059skyblgkgx2mlaei89qi3e 1437248 1437241 2025-07-12T11:44:25Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437248 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Angola.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Angola.]] '''Historia ya Angola''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Angola]]. Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji-wakusanyaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Historia == Kuanzia [[karne ya 14]], falme mbalimbali zilienea sehemu za Angola, kwa mfano [[Dola la Kongo]], [[Dola la Lunda]] na [[Dola la Kasanje]]. ===Dola la Kongo=== [[Image:Mercator_Congo_map.jpg|thumb|450px|Ramani ya kihistoria ya Kongo]] Ufalme wa Kongo ulikuwa [[dola]] lililoenea ndani ya nchi za leo za [[Angola]], [[Kongo (Kinshasa)]] na [[Kongo (Brazzaville)]]. Ulianzishwa katika [[karne ya 14]] ikadumu hadi [[karne ya 17]]. Mtawala wake alikuwa na [[cheo]] cha "Mwene Kongo" au "[[Manikongo]]" wa [[kabila]] la [[Bakongo]]. Ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya [[mawasiliano]] yake ya kimataifa. Katika [[karne ya 15]] [[meli]] za [[Wareno]] zilifika [[mwambao]]ni mwake. Wakati wa kukutana na Wareno Ufalme wa Kongo labda ulikuwa na eneo la [[km²]] 300,000 ukaunganisha robo ya magharibi ya Kongo (Kinshasa) pamoja na sehemu za Angola na Kongo (Brazzaville). Manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na [[Ureno]] na Kongo ilikuwa [[taifa]] la kushikamana na Ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo. Katika kipindi kile [[taarifa]] mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo. Manikongo alikaa katika [[mji]] wa [[M'banza-Kongo]]. Baada ya wafalme kuwa [[Wakristo]] [[Wakatoliki]] na kujengwa kwa [[kanisa kuu]], jina la "São Salvador do Congo" (kwa [[Kireno]]: "[[Mwokozi]] Mtakatifu wa Kongo") lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa [[milki]]. Ufalme ukawa na majimbo, [[wilaya]] na [[vijiji]]. Majimbo yalikuwa saba ya [[Mpemba]], [[Nsundi]], [[Mpangu]], [[Mbata]], [[Mbamba]] na [[Soyo]]. Kwa mikataba ya baadaye falme za [[Kakongo]], [[Loango]] na [[Ngoy]] likatokea [[shirikisho]] la sehemu nne. ===Dola la Lunda=== Dola la Lunda lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1600]] hadi [[1850]] hivi kando ya [[mto Kasai]], mpakani kwa nchi za kisasa za [[Angola]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. ===Dola la Kasanje=== Dola la Kasanje lilikuwa [[ufalme]] wa [[Wabantu|Kibantu]] katika miaka [[1620]] hadi [[1910]] hivi kando ya [[mto Kwango]], upande wa [[kaskazini]] wa nchi ya kisasa ya [[Angola]]. Lilianzishwa na viongozi kutoka [[Dola la Lunda]]. Mwaka 1910 lilivamiwa na [[Ureno|Wareno]] na kuingizwa katika [[koloni]] lao la Angola. ===Dola la Ndongo=== [[File:KingdomNdongo1711.png|thumb|Eneo la [[Ufalme wa Ndongo]].]] Dola lingine la kusini lilikuwa lile la Ndongo, lililopambana na Wareno miaka 30 chini ya [[malkia]] [[Njinga]] katika [[karne ya 17]]. ===Vita vya uhuru=== [[Mwaka]] [[1966]] [[Jonas Savimbi]] alianzisha tapo la [[UNITA]] (kwa [[Kireno]]: ''União Nacional para a Independência Total de Angola'') kama harakati ya kukomboa Angola kutoka [[ukoloni]] wa [[Ureno]]. UNITA ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana. UNITA ilianza kama kikundi cha [[Ukomunisti|kikomunisti]] kufuatana na [[itikadi]] ya [[Mao Zedong]]. Uadui kati ya Wakomunisti wa [[Uchina]] na [[Urusi]] ulionekana katika mashindano ya UNITA dhidi ya [[MPLA]] (kwa Kireno: Movimento Popular de Libertação de Angola - Partido do Trabalho) iliyosaidiwa na Urusi. ===Vita vya wenyewe kwa wenyewe=== Baada ya [[uhuru]] mwaka [[1975]] MPLA ilitawala [[mji mkuu]] na kuunda [[serikali]] rasmi lakini Savimbi aliendelea kuipinga. Savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka kwa maadui wote wa MPLA bila kujali itikadi. UNITA ilipata misaada kutoka serikali mbalimbali [[duniani]] ili kuiondoa [[Madaraka|madarakani]] serikali ya MPLA. Savimbi alikuwa akipata misaada ya [[fedha]] na [[silaha]] toka serikali za [[Marekani]], [[China]], [[Afrika Kusini]], [[Ivory Coast]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] (wakati huo ikijulikana kama [[Zaire]]), [[Moroko]], n.k. Serikali ya Angola ilikuwa ikipata misaada toka [[Urusi]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani]], [[Kuba]], na [[Nikaragua]]. [[Tarehe]] [[22 Machi]] [[2002]], Jonas Savimbi aliuawa vitani. Muda mfupi baadaye UNITA na MPLA zilikubaliana kusimamisha mapigano. UNITA ilichukua nafasi ya chama cha upinzani. Hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi [[Uchaguzi|chaguzi]] za miaka [[2008]] na [[2012]] na toleo la katiba mpya la mwaka [[2010]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Angola]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] k5z3uth5y8fixun146c6i2z8vai4f28 Historia ya Botswana 0 78783 1437075 1436337 2025-07-12T06:42:40Z Alex Rweyemamu 75841 nimeongeza link na picha ya bendera 1437075 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Botswana in a 2 to 1 ratio.png|thumb|Bendera ya nchi ya Botswana]] '''Historia ya [[Botswana]]''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Botswana]]. Wakazi wa kwanza wa eneo hilo huaminiwa walikuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] waliokuwa na [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Botswana]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] r12dtxlmpba9ozduftcjd4v2kv2nfju 1437123 1437075 2025-07-12T09:28:49Z Alexander Rweyemamu 80072 nimeongeza link na picha ya bendera 1437123 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Botswana in a 2 to 1 ratio.png|thumb|Bendera ya nchi ya Botswana]] '''Historia ya [[Botswana]]''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Botswana]]. Wakazi wa kwanza wa eneo hilo huaminiwa walikuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] waliokuwa na [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Botswana]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] ov4txqcalin9yg70ipjp3rnoqvxyh6z 1437191 1437123 2025-07-12T10:33:58Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437075 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Botswana in a 2 to 1 ratio.png|thumb|Bendera ya nchi ya Botswana]] '''Historia ya [[Botswana]]''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Botswana]]. Wakazi wa kwanza wa eneo hilo huaminiwa walikuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] waliokuwa na [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Botswana]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] r12dtxlmpba9ozduftcjd4v2kv2nfju 1437242 1437191 2025-07-12T11:41:52Z ~2025-18306-1 80081 1437242 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Botswana in a 2 to 1 ratio.png|thumb|Bendera ya nchi ya Botswana.]] '''Historia ya [[Botswana]]''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Botswana]]. Wakazi wa kwanza wa eneo hilo huaminiwa walikuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] waliokuwa na [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Botswana]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] jmcb9ls56qoaptnnwshaxfut4j5xb4g 1437247 1437242 2025-07-12T11:44:10Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437247 wikitext text/x-wiki [[Picha:Flag of Botswana in a 2 to 1 ratio.png|thumb|Bendera ya nchi ya Botswana.]] '''Historia ya [[Botswana]]''' inahusu eneo la [[Kusini mwa Afrika]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Botswana]]. Wakazi wa kwanza wa eneo hilo huaminiwa walikuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne]] za kwanza [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] waliokuwa na [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Botswana]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] r0cyg3zj7u7hqkjsfd4v0spm8vt18rc Historia ya Burkina Faso 0 78784 1437076 1436690 2025-07-12T06:44:26Z Alex Rweyemamu 75841 nimeongeza picha ya bendera 1437076 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burkina Faso.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burkina faso]] '''Historia ya Burkina Faso''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burkina Faso]]. ==Historia ya awali== [[Wawindaji-wakusanyaji]] waliishi nchini kuanzia miaka ya [[14000 KK]] hadi [[5000 KK]] hivi. [[Kilimo]] kilianza miaka [[3600 KK]] - [[2600 KK]]. [[Wamossi]], [[Wafulani]] na [[Wadyula]] walivamia eneo hilo katika [[karne ya 8]] hadi [[karne ya 15]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Kuanzia [[karne ya 11]] Wamossi waliunda [[ufalme|falme]] kadhaa, muhimu zaidi ukiwa ule wa [[Wagadugu]]. ==Koloni la Wafaransa== Nchi ilianzishwa na [[Wafaransa]] kwa njia ya kugawa [[koloni]] la [[Cote d'Ivoire]] mwaka [[1919]]. Jina la [[koloni]] jipya lilikuwa [[Volta ya Juu]] (kwa [[Kifaransa]]: Haute Volta), kutokana na [[mto Volta]] unaoanzia huko. Kati ya miaka [[1932]] na [[1947]] eneo lake lilitawaliwa na makoloni ya jirani. ==Baada ya uhuru== Tangu mwaka [[1960]] nchi ikawa huru. [[Kiongozi]] wa nchi [[Thomas Sankara]] alibadilisha jina la nchi tarehe [[4 Agosti]] 1984 kuwa Burkina Faso, yaani nchi ya watu waadilifu (kwa [[lugha]] ya [[Kimosi|Kimossi]]). {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 1tru24r9vuo7xx335543xhsy0wkjw4h 1437122 1437076 2025-07-12T09:28:25Z Alexander Rweyemamu 80072 nimeongeza picha ya bendera 1437122 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burkina Faso.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burkina faso]] '''Historia ya Burkina Faso''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burkina Faso]]. ==Historia ya awali== [[Wawindaji-wakusanyaji]] waliishi nchini kuanzia miaka ya [[14000 KK]] hadi [[5000 KK]] hivi. [[Kilimo]] kilianza miaka [[3600 KK]] - [[2600 KK]]. [[Wamossi]], [[Wafulani]] na [[Wadyula]] walivamia eneo hilo katika [[karne ya 8]] hadi [[karne ya 15]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Kuanzia [[karne ya 11]] Wamossi waliunda [[ufalme|falme]] kadhaa, muhimu zaidi ukiwa ule wa [[Wagadugu]]. ==Koloni la Wafaransa== Nchi ilianzishwa na [[Wafaransa]] kwa njia ya kugawa [[koloni]] la [[Cote d'Ivoire]] mwaka [[1919]]. Jina la [[koloni]] jipya lilikuwa [[Volta ya Juu]] (kwa [[Kifaransa]]: Haute Volta), kutokana na [[mto Volta]] unaoanzia huko. Kati ya miaka [[1932]] na [[1947]] eneo lake lilitawaliwa na makoloni ya jirani. ==Baada ya uhuru== Tangu mwaka [[1960]] nchi ikawa huru. [[Kiongozi]] wa nchi [[Thomas Sankara]] alibadilisha jina la nchi tarehe [[4 Agosti]] 1984 kuwa Burkina Faso, yaani nchi ya watu waadilifu (kwa [[lugha]] ya [[Kimosi|Kimossi]]). {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 55wx1tyfmns5q5x6xjnlb1i4135cev0 1437152 1437122 2025-07-12T10:00:14Z Alexander Rweyemamu 80072 Burkina Faso 1437152 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burkina Faso.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burkina Faso]] '''Historia ya Burkina Faso''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burkina Faso]]. ==Historia ya awali== [[Wawindaji-wakusanyaji]] waliishi nchini kuanzia miaka ya [[14000 KK]] hadi [[5000 KK]] hivi. [[Kilimo]] kilianza miaka [[3600 KK]] - [[2600 KK]]. [[Wamossi]], [[Wafulani]] na [[Wadyula]] walivamia eneo hilo katika [[karne ya 8]] hadi [[karne ya 15]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Kuanzia [[karne ya 11]] Wamossi waliunda [[ufalme|falme]] kadhaa, muhimu zaidi ukiwa ule wa [[Wagadugu]]. ==Koloni la Wafaransa== Nchi ilianzishwa na [[Wafaransa]] kwa njia ya kugawa [[koloni]] la [[Cote d'Ivoire]] mwaka [[1919]]. Jina la [[koloni]] jipya lilikuwa [[Volta ya Juu]] (kwa [[Kifaransa]]: Haute Volta), kutokana na [[mto Volta]] unaoanzia huko. Kati ya miaka [[1932]] na [[1947]] eneo lake lilitawaliwa na makoloni ya jirani. ==Baada ya uhuru== Tangu mwaka [[1960]] nchi ikawa huru. [[Kiongozi]] wa nchi [[Thomas Sankara]] alibadilisha jina la nchi tarehe [[4 Agosti]] 1984 kuwa Burkina Faso, yaani nchi ya watu waadilifu (kwa [[lugha]] ya [[Kimosi|Kimossi]]). {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 0sd8qbblv6yqrx48ww5tik4kswsdle1 1437167 1437152 2025-07-12T10:33:46Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437076 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burkina Faso.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burkina faso]] '''Historia ya Burkina Faso''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burkina Faso]]. ==Historia ya awali== [[Wawindaji-wakusanyaji]] waliishi nchini kuanzia miaka ya [[14000 KK]] hadi [[5000 KK]] hivi. [[Kilimo]] kilianza miaka [[3600 KK]] - [[2600 KK]]. [[Wamossi]], [[Wafulani]] na [[Wadyula]] walivamia eneo hilo katika [[karne ya 8]] hadi [[karne ya 15]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Kuanzia [[karne ya 11]] Wamossi waliunda [[ufalme|falme]] kadhaa, muhimu zaidi ukiwa ule wa [[Wagadugu]]. ==Koloni la Wafaransa== Nchi ilianzishwa na [[Wafaransa]] kwa njia ya kugawa [[koloni]] la [[Cote d'Ivoire]] mwaka [[1919]]. Jina la [[koloni]] jipya lilikuwa [[Volta ya Juu]] (kwa [[Kifaransa]]: Haute Volta), kutokana na [[mto Volta]] unaoanzia huko. Kati ya miaka [[1932]] na [[1947]] eneo lake lilitawaliwa na makoloni ya jirani. ==Baada ya uhuru== Tangu mwaka [[1960]] nchi ikawa huru. [[Kiongozi]] wa nchi [[Thomas Sankara]] alibadilisha jina la nchi tarehe [[4 Agosti]] 1984 kuwa Burkina Faso, yaani nchi ya watu waadilifu (kwa [[lugha]] ya [[Kimosi|Kimossi]]). {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 1tru24r9vuo7xx335543xhsy0wkjw4h 1437225 1437167 2025-07-12T11:26:20Z ~2025-18006-2 80078 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437225 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burkina Faso.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burkina Faso]] '''Historia ya Burkina Faso''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burkina Faso]]. ==Historia ya awali== [[Wawindaji-wakusanyaji]] waliishi nchini kuanzia miaka ya [[14000 KK]] hadi [[5000 KK]] hivi. [[Kilimo]] kilianza miaka [[3600 KK]] - [[2600 KK]]. [[Wamossi]], [[Wafulani]] na [[Wadyula]] walivamia eneo hilo katika [[karne ya 8]] hadi [[karne ya 15]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Kuanzia [[karne ya 11]] Wamossi waliunda [[ufalme|falme]] kadhaa, muhimu zaidi ukiwa ule wa [[Wagadugu]]. ==Koloni la Wafaransa== Nchi ilianzishwa na [[Wafaransa]] kwa njia ya kugawa [[koloni]] la [[Cote d'Ivoire]] mwaka [[1919]]. Jina la [[koloni]] jipya lilikuwa [[Volta ya Juu]] (kwa [[Kifaransa]]: Haute Volta), kutokana na [[mto Volta]] unaoanzia huko. Kati ya miaka [[1932]] na [[1947]] eneo lake lilitawaliwa na makoloni ya jirani. ==Baada ya uhuru== Tangu mwaka [[1960]] nchi ikawa huru. [[Kiongozi]] wa nchi [[Thomas Sankara]] alibadilisha jina la nchi tarehe [[4 Agosti]] 1984 kuwa Burkina Faso, yaani nchi ya watu waadilifu (kwa [[lugha]] ya [[Kimosi|Kimossi]]). {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{Mbegu-historia}} [[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] q5napv263tkzku9r4gzhan40yvwxhan 1437230 1437225 2025-07-12T11:28:17Z ~2025-18007-0 80080 1437230 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burkina Faso.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burkina Faso.]] '''Historia ya Burkina Faso''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burkina Faso]]. ==Historia ya awali== [[Wawindaji-wakusanyaji]] waliishi nchini kuanzia miaka ya [[14000 KK]] hadi [[5000 KK]] hivi. [[Kilimo]] kilianza miaka [[3600 KK]] - [[2600 KK]]. [[Wamossi]], [[Wafulani]] na [[Wadyula]] walivamia eneo hilo katika [[karne ya 8]] hadi [[karne ya 15]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Kuanzia [[karne ya 11]] Wamossi waliunda [[ufalme|falme]] kadhaa, muhimu zaidi ukiwa ule wa [[Wagadugu]]. ==Koloni la Wafaransa== Nchi ilianzishwa na [[Wafaransa]] kwa njia ya kugawa [[koloni]] la [[Cote d'Ivoire]] mwaka [[1919]]. Jina la [[koloni]] jipya lilikuwa [[Volta ya Juu]] (kwa [[Kifaransa]]: Haute Volta), kutokana na [[mto Volta]] unaoanzia huko. Kati ya miaka [[1932]] na [[1947]] eneo lake lilitawaliwa na makoloni ya jirani. ==Baada ya uhuru== Tangu mwaka [[1960]] nchi ikawa huru. [[Kiongozi]] wa nchi [[Thomas Sankara]] alibadilisha jina la nchi tarehe [[4 Agosti]] 1984 kuwa Burkina Faso, yaani nchi ya watu waadilifu (kwa [[lugha]] ya [[Kimosi|Kimossi]]). {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{Mbegu-historia}} [[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 678mh2ab4796d7q85nmsic4mrem6qgy Historia ya Burundi 0 78785 1437077 1436119 2025-07-12T06:45:42Z Alex Rweyemamu 75841 nimeongeza picha ya bendera 1437077 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burundi.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burundi]] '''Historia ya Burundi''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burundi]]. == Historia ya awali== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]] na ya [[Wabilikimo]]. Katika [[karne]] za [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Ufalme wa Burundi == [[Dola]] ya kwanza katika eneo hili lilikuwa [[Ufalme wa Burundi]]. Katika mapokeo ya wenyeji ulianzishwa katika [[karne ya 17]] na mtu kwa jina la [[Cambarantama]] aliyefika ama kutoka Rwanda ama kutoka [[Waha|Buha]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], Tanzania ya leo. Ufalme huo ulitawaliwa na kundi la [[Watutsi]] waliokuwa [[wafugaji]] wa [[ng'ombe]] na kutawala wenyeji waliokuwa [[wakulima]] Wabantu. Watutsi walikuwa [[tabaka]] la [[ukabaila|kikabaila]]. [[Mfalme]] au [[mwami]] alikuwa mkuu wa makabaila hao ambao walitazamiwa kama mabwana wa ardhi iliyolimwa na watu wa kawaida. Hao wakulima waliruhusiwa kulima nchi wakipaswa kutoa [[huduma]] na sehemu ya [[mavuno]] kwa mabwana waliopaswa kuwatetea dhidi ya [[adui|maadui]]. Ufalme huo ulienea katika [[karne]] zilizofuata. Mwami [[Ntare IV]] Rutaganzwa Rugamba aliyetawala tangu mwaka [[1796]] hadi [[1850]] aliweza kupanua mipaka ya ufalme wake hadi kushika sehemu kubwa ya eneo la leo. ==Ukoloni== [[Wazungu]] wa kwanza waliofika walikuwa [[wapelelezi]] [[Waingereza]] [[Richard Burton]] na [[John Hanning Speke]] mnamo mwaka [[1854]]. Lakini habari za falme kwenye eneo kati ya maziwa makubwa hazikuenea sana. Wakati wa [[Mkutano wa Berlin 1885]] Wajerumani hawakujua ya kwamba falme za Burundi na Rwanda zilikuwepo ndni ya eneo waliotegemea kutwaa. Waliitambua baadaye tu. Mwaka [[1894]] [[Mjerumani]] wa kwanza alipita Burundi aliyekuwa [[Oskar Baumann]]. Wakati ule [[Ujerumani]] ilikuwa tayari imeanzisha [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] lakini Wajerumani walichelewa kufika kaskazini-magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao. Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Burundi pamoja na Rwanda ilikabidhiwa kwa [[Ubelgiji]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kudhaminiwa] lililoitwa Ruanda-Urundi. Kimsingi Wabelgiji waliendelea na mfumo wa Wajerumani uliomwachia mtemi [[mamlaka]] kubwa. Waliweka Ruanda-Urundi chini ya serikali ya Kongo ya Kibelgiji. Lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea Watutsi karibu na machifu wote walikuwa Watutsi na Wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali. Tangu 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na [[Umoja wa Mataifa]]. == Hali ya nchi kijamii na kisiasa == Burundi ilundwa kama ufalme ulioongozwa na Watutsi waliotawala Wahutu. Lakini kabla ya ukoloni mipaka kati ya makundi hayo haikuwa imara mno; Wahutu ma[[tajiri]] katika utumishi wa mwami waliweza kupanda ngazi na kuwa Watutsi na pia Watutsi [[maskini]] waliweza kushuka ngazi na kuhesabiwa kati ya Wahutu, hasa baada ya [[Ndoa|kuoa]] au kuolewa na mtu wa upande mwingine. Uhusiano wa makundi hayo ulifanana zaidi na ule wa [[tabaka|matabaka]] si wa makabila tofauti, pia kwa sababu lugha ilikuwa moja kwa wote. Utawala wa kikoloni uliimarisha mipaka kati ya makundi hayo mawili maana kila mtu aliandikishwa na kupangwa katika moja kati ya makundi hayo. Pia Wabelgiji walipendelea Watutsi na kuangalia wapate nafasi zote za uchifu ambako walipaswa kutoa [[kibali]]. Kuhamia katika kundi lingine kulikwisha. Uhusiano kati ya makundi ulianza kufanana zaidi na [[ukabila]]. Mwishoni mwa ukoloni Wabelgiji walibadilisha msimamo na kupendelea Wahutu. Katika hali hiyo Burundi ilikaribia [[uhuru]]. [[Chama cha siasa|Vyama vya siasa]] viliundwa vilivyofuata ugawaji wa kimbari kati ya Watutsi na Wahutu. Mapigano ya kwanza kati ya Wahutu na Watutsi yalitokea mwaka [[1959]] kabla ya uhuru yakakomeshwa na Wabelgiji. == Uhuru == Mwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya [[UM]] na chama mshindi kilikuwa UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi [[Louis Rwagasore]] aliyemwoa [[mwanamke]] wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili. Lakini miezi michache baadaye Rwagasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila. Mwaka [[1962]] Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urundi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee. Baada ya uhuru katika Burundi, kinyume na Rwanda, utawala ulibaki upande wa Watutsi kwa sababu [[jeshi]] lilikuwa mikononi mwao. Vipindi vya mashambulio kati ya vikundi vilifuata. Baada ya uchaguzi wa [[1965]] mapigano yalitokea kwa [[silaha]], na kikundi cha Watutsi wakali kilichukua serikali. Mwaka [[1966]] mwami alipinduliwa na mwanasiasa [[Michel Micombero]] aliyejitangaza kuwa rais na nchi kuwa [[jamhuri]]. Kuanzia hapo wanasiasa na watumishi wakubwa walio Wahutu walifukuzwa, kukamatwa au kuuawa. Mwaka [[1972]] [[Laki|malaki]] ya Wahutu waliuawa na jeshi la Kitutsi waliolenga hasa Wahutu wenye [[elimu]]. Mwaka [[1993]] uongozi wa Kitutsi ulikubali tena [[uchaguzi huru]] ambako Mhutu [[Melchior Ndadaye]] alichaguliwa kuwa [[rais]]. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali. Kipindi kilichofuata kilikuwa cha [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe]] katika sehemu mbalimbali za nchi. [[Picha:BujumburaAirport.jpg|300px|thumbnail|Uwanja wa Ndege, Bujumbura]] Tangu mwaka [[1995]] [[Umoja wa Afrika]] na [[Umoja wa Mataifa]] zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi. Marais na [[wanasiasa]] walioshiriki katika [[jitihada]] hizo walikuwa pamoja na [[Julius Nyerere]], [[Boutros Boutros-Ghali]], [[Nelson Mandela]], [[Thabo Mbeki]] na rais wa [[Marekani]] [[Bill Clinton]]. Mapatano yalifikiwa na kusainiwa mwaka [[2000]] na washiriki karibu wote huko [[Arusha]]. [[Majadiliano]] yaliendelea hadi mwaka [[2003]] hatimaye vita ilisimamishwa. Mapatano yaliyofikiwa yanasema ya kwamba Watutsi pamoja na Watwa, ambao ni asilimia 15 za wananchi, watakuwa na asilimia 40 ya nafasi kwenye [[bunge]] na ya kwamba [[jeshi]]ni kila upande utashika asilimia 50 za nafasi. Pia kwenye [[senati]] ya bunge kila upande utakuwa na asilimia 50. <ref>{{Cite web |url=http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html |title=Mapatano ya Arusha ya 2000 kuhusua mani na upatanisho kwa ajili ya Burundi, uk. Protocoll II, I, 11, 4a, Appendix I,I B 2-4 |accessdate=2015-09-26 |archivedate=2008-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080225143016/http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html }}</ref> Rais atachaguliwa na wananchi wote lakini mapatano yalisema rais wa kwanza atachaguliwa na bunge. == Hali ya siasa == [[Picha:Pierre Nkurunziza.jpeg|250px|thumbnail|Rais Nkurunziza mwaka 2006]] Mwaka 2005 uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ulifanyika. Chama cha CNDD-FDD kilipata kura nyingi na kiongozi chake Pierre Nkurunziza alichaguliwa na bunge kuwa rais wa taifa. Vyama vya UPRONA na FRODEBU vilivyotangulia kuongoza serikali ya mpito vilipata kura chache kwa sababu vilishtakiwa kuwa na [[rushwa]] na [[upendeleo]] wa kindugu. [[Chama tawala]] kinajaribu kufuata siasa ya mapatano ya ndani, lakini ina [[uvumilivu]] mdogo tu kwa upinzani na mawazo yanayopinga siasa yake. Mwezi wa Aprili [[2009]] chama cha Palipehutu FNL hatimaye kilisimamisha upinzani kwa silaha kikakubaliwa kama chama cha kisiasa cha FNL. Nkurunziza alichaguliwa tena kwa kura ya wananchi wote mwaka 2010. Chama cha upinzani FNL kilikataa kukubali ushindi wa CNDD-FDD. Mwaka 2015 rais Nkurunziza alipendekezwa kugombea tena urais katika uchaguzi akakubali. Hatua hiyo ilisababisha upinzani mkali wa wananchi walioandamana wakiona hii inavunja mapatano ya amani ya Arusha. Tarehe 13 Mei jenerali Godefroid Niyombare alitangaza kufukuzwa kwa Nkurunziza kutoka urais wakati huyo alikuwa safarini Tanzania, lakini hakufaulu. Uasi huu wa kijeshi ulikandamizwa. Nkurunziza alirudi na kutangaza ya kwamba kura inatakiwa kufanyika jinsi ilivyopangwa tarehe 26 Mei 2015 kwa bunge na 26 Juni kwa uraisi. Taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika Burundi. [[Nkosazana Dlamini-Zuma]], mwenyekiti wa kamati tendaji ya [[Umoja wa Afrika]], aliomba kuahirishwa kwa kura nchini Burundi hadi hali iwe imetulia. Tarehe [[24 Julai]] 2015 Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa 69.41% za kura. [[Agathon Rwasa]] alishika nafasi ya pili kwa 18.99% ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura. ==Tazama pia== * [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe Burundi|vita vya wenyewe kwa wenyewe Burundi]] {{mbegu-historia}} {{Hoja Kuhusu Burundi}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} [[Jamii:Burundi]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] qnafpd5pri3925eem2qotkakzsvzs0r 1437121 1437077 2025-07-12T09:27:49Z Alexander Rweyemamu 80072 nimeongeza picha ya bendera 1437121 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burundi.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burundi]] '''Historia ya Burundi''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burundi]]. == Historia ya awali== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]] na ya [[Wabilikimo]]. Katika [[karne]] za [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Ufalme wa Burundi == [[Dola]] ya kwanza katika eneo hili lilikuwa [[Ufalme wa Burundi]]. Katika mapokeo ya wenyeji ulianzishwa katika [[karne ya 17]] na mtu kwa jina la [[Cambarantama]] aliyefika ama kutoka Rwanda ama kutoka [[Waha|Buha]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], Tanzania ya leo. Ufalme huo ulitawaliwa na kundi la [[Watutsi]] waliokuwa [[wafugaji]] wa [[ng'ombe]] na kutawala wenyeji waliokuwa [[wakulima]] Wabantu. Watutsi walikuwa [[tabaka]] la [[ukabaila|kikabaila]]. [[Mfalme]] au [[mwami]] alikuwa mkuu wa makabaila hao ambao walitazamiwa kama mabwana wa ardhi iliyolimwa na watu wa kawaida. Hao wakulima waliruhusiwa kulima nchi wakipaswa kutoa [[huduma]] na sehemu ya [[mavuno]] kwa mabwana waliopaswa kuwatetea dhidi ya [[adui|maadui]]. Ufalme huo ulienea katika [[karne]] zilizofuata. Mwami [[Ntare IV]] Rutaganzwa Rugamba aliyetawala tangu mwaka [[1796]] hadi [[1850]] aliweza kupanua mipaka ya ufalme wake hadi kushika sehemu kubwa ya eneo la leo. ==Ukoloni== [[Wazungu]] wa kwanza waliofika walikuwa [[wapelelezi]] [[Waingereza]] [[Richard Burton]] na [[John Hanning Speke]] mnamo mwaka [[1854]]. Lakini habari za falme kwenye eneo kati ya maziwa makubwa hazikuenea sana. Wakati wa [[Mkutano wa Berlin 1885]] Wajerumani hawakujua ya kwamba falme za Burundi na Rwanda zilikuwepo ndni ya eneo waliotegemea kutwaa. Waliitambua baadaye tu. Mwaka [[1894]] [[Mjerumani]] wa kwanza alipita Burundi aliyekuwa [[Oskar Baumann]]. Wakati ule [[Ujerumani]] ilikuwa tayari imeanzisha [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] lakini Wajerumani walichelewa kufika kaskazini-magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao. Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Burundi pamoja na Rwanda ilikabidhiwa kwa [[Ubelgiji]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kudhaminiwa] lililoitwa Ruanda-Urundi. Kimsingi Wabelgiji waliendelea na mfumo wa Wajerumani uliomwachia mtemi [[mamlaka]] kubwa. Waliweka Ruanda-Urundi chini ya serikali ya Kongo ya Kibelgiji. Lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea Watutsi karibu na machifu wote walikuwa Watutsi na Wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali. Tangu 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na [[Umoja wa Mataifa]]. == Hali ya nchi kijamii na kisiasa == Burundi ilundwa kama ufalme ulioongozwa na Watutsi waliotawala Wahutu. Lakini kabla ya ukoloni mipaka kati ya makundi hayo haikuwa imara mno; Wahutu ma[[tajiri]] katika utumishi wa mwami waliweza kupanda ngazi na kuwa Watutsi na pia Watutsi [[maskini]] waliweza kushuka ngazi na kuhesabiwa kati ya Wahutu, hasa baada ya [[Ndoa|kuoa]] au kuolewa na mtu wa upande mwingine. Uhusiano wa makundi hayo ulifanana zaidi na ule wa [[tabaka|matabaka]] si wa makabila tofauti, pia kwa sababu lugha ilikuwa moja kwa wote. Utawala wa kikoloni uliimarisha mipaka kati ya makundi hayo mawili maana kila mtu aliandikishwa na kupangwa katika moja kati ya makundi hayo. Pia Wabelgiji walipendelea Watutsi na kuangalia wapate nafasi zote za uchifu ambako walipaswa kutoa [[kibali]]. Kuhamia katika kundi lingine kulikwisha. Uhusiano kati ya makundi ulianza kufanana zaidi na [[ukabila]]. Mwishoni mwa ukoloni Wabelgiji walibadilisha msimamo na kupendelea Wahutu. Katika hali hiyo Burundi ilikaribia [[uhuru]]. [[Chama cha siasa|Vyama vya siasa]] viliundwa vilivyofuata ugawaji wa kimbari kati ya Watutsi na Wahutu. Mapigano ya kwanza kati ya Wahutu na Watutsi yalitokea mwaka [[1959]] kabla ya uhuru yakakomeshwa na Wabelgiji. == Uhuru == Mwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya [[UM]] na chama mshindi kilikuwa UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi [[Louis Rwagasore]] aliyemwoa [[mwanamke]] wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili. Lakini miezi michache baadaye Rwagasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila. Mwaka [[1962]] Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urundi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee. Baada ya uhuru katika Burundi, kinyume na Rwanda, utawala ulibaki upande wa Watutsi kwa sababu [[jeshi]] lilikuwa mikononi mwao. Vipindi vya mashambulio kati ya vikundi vilifuata. Baada ya uchaguzi wa [[1965]] mapigano yalitokea kwa [[silaha]], na kikundi cha Watutsi wakali kilichukua serikali. Mwaka [[1966]] mwami alipinduliwa na mwanasiasa [[Michel Micombero]] aliyejitangaza kuwa rais na nchi kuwa [[jamhuri]]. Kuanzia hapo wanasiasa na watumishi wakubwa walio Wahutu walifukuzwa, kukamatwa au kuuawa. Mwaka [[1972]] [[Laki|malaki]] ya Wahutu waliuawa na jeshi la Kitutsi waliolenga hasa Wahutu wenye [[elimu]]. Mwaka [[1993]] uongozi wa Kitutsi ulikubali tena [[uchaguzi huru]] ambako Mhutu [[Melchior Ndadaye]] alichaguliwa kuwa [[rais]]. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali. Kipindi kilichofuata kilikuwa cha [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe]] katika sehemu mbalimbali za nchi. [[Picha:BujumburaAirport.jpg|300px|thumbnail|Uwanja wa Ndege, Bujumbura]] Tangu mwaka [[1995]] [[Umoja wa Afrika]] na [[Umoja wa Mataifa]] zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi. Marais na [[wanasiasa]] walioshiriki katika [[jitihada]] hizo walikuwa pamoja na [[Julius Nyerere]], [[Boutros Boutros-Ghali]], [[Nelson Mandela]], [[Thabo Mbeki]] na rais wa [[Marekani]] [[Bill Clinton]]. Mapatano yalifikiwa na kusainiwa mwaka [[2000]] na washiriki karibu wote huko [[Arusha]]. [[Majadiliano]] yaliendelea hadi mwaka [[2003]] hatimaye vita ilisimamishwa. Mapatano yaliyofikiwa yanasema ya kwamba Watutsi pamoja na Watwa, ambao ni asilimia 15 za wananchi, watakuwa na asilimia 40 ya nafasi kwenye [[bunge]] na ya kwamba [[jeshi]]ni kila upande utashika asilimia 50 za nafasi. Pia kwenye [[senati]] ya bunge kila upande utakuwa na asilimia 50. <ref>{{Cite web |url=http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html |title=Mapatano ya Arusha ya 2000 kuhusua mani na upatanisho kwa ajili ya Burundi, uk. Protocoll II, I, 11, 4a, Appendix I,I B 2-4 |accessdate=2015-09-26 |archivedate=2008-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080225143016/http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html }}</ref> Rais atachaguliwa na wananchi wote lakini mapatano yalisema rais wa kwanza atachaguliwa na bunge. == Hali ya siasa == [[Picha:Pierre Nkurunziza.jpeg|250px|thumbnail|Rais Nkurunziza mwaka 2006]] Mwaka 2005 uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ulifanyika. Chama cha CNDD-FDD kilipata kura nyingi na kiongozi chake Pierre Nkurunziza alichaguliwa na bunge kuwa rais wa taifa. Vyama vya UPRONA na FRODEBU vilivyotangulia kuongoza serikali ya mpito vilipata kura chache kwa sababu vilishtakiwa kuwa na [[rushwa]] na [[upendeleo]] wa kindugu. [[Chama tawala]] kinajaribu kufuata siasa ya mapatano ya ndani, lakini ina [[uvumilivu]] mdogo tu kwa upinzani na mawazo yanayopinga siasa yake. Mwezi wa Aprili [[2009]] chama cha Palipehutu FNL hatimaye kilisimamisha upinzani kwa silaha kikakubaliwa kama chama cha kisiasa cha FNL. Nkurunziza alichaguliwa tena kwa kura ya wananchi wote mwaka 2010. Chama cha upinzani FNL kilikataa kukubali ushindi wa CNDD-FDD. Mwaka 2015 rais Nkurunziza alipendekezwa kugombea tena urais katika uchaguzi akakubali. Hatua hiyo ilisababisha upinzani mkali wa wananchi walioandamana wakiona hii inavunja mapatano ya amani ya Arusha. Tarehe 13 Mei jenerali Godefroid Niyombare alitangaza kufukuzwa kwa Nkurunziza kutoka urais wakati huyo alikuwa safarini Tanzania, lakini hakufaulu. Uasi huu wa kijeshi ulikandamizwa. Nkurunziza alirudi na kutangaza ya kwamba kura inatakiwa kufanyika jinsi ilivyopangwa tarehe 26 Mei 2015 kwa bunge na 26 Juni kwa uraisi. Taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika Burundi. [[Nkosazana Dlamini-Zuma]], mwenyekiti wa kamati tendaji ya [[Umoja wa Afrika]], aliomba kuahirishwa kwa kura nchini Burundi hadi hali iwe imetulia. Tarehe [[24 Julai]] 2015 Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa 69.41% za kura. [[Agathon Rwasa]] alishika nafasi ya pili kwa 18.99% ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura. ==Tazama pia== * [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe Burundi|vita vya wenyewe kwa wenyewe Burundi]] {{mbegu-historia}} {{Hoja Kuhusu Burundi}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} [[Jamii:Burundi]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] qhdwcgku4cveu1su5tocjbed0bc75qh 1437192 1437121 2025-07-12T10:33:58Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437077 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burundi.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burundi]] '''Historia ya Burundi''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burundi]]. == Historia ya awali== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]] na ya [[Wabilikimo]]. Katika [[karne]] za [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Ufalme wa Burundi == [[Dola]] ya kwanza katika eneo hili lilikuwa [[Ufalme wa Burundi]]. Katika mapokeo ya wenyeji ulianzishwa katika [[karne ya 17]] na mtu kwa jina la [[Cambarantama]] aliyefika ama kutoka Rwanda ama kutoka [[Waha|Buha]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], Tanzania ya leo. Ufalme huo ulitawaliwa na kundi la [[Watutsi]] waliokuwa [[wafugaji]] wa [[ng'ombe]] na kutawala wenyeji waliokuwa [[wakulima]] Wabantu. Watutsi walikuwa [[tabaka]] la [[ukabaila|kikabaila]]. [[Mfalme]] au [[mwami]] alikuwa mkuu wa makabaila hao ambao walitazamiwa kama mabwana wa ardhi iliyolimwa na watu wa kawaida. Hao wakulima waliruhusiwa kulima nchi wakipaswa kutoa [[huduma]] na sehemu ya [[mavuno]] kwa mabwana waliopaswa kuwatetea dhidi ya [[adui|maadui]]. Ufalme huo ulienea katika [[karne]] zilizofuata. Mwami [[Ntare IV]] Rutaganzwa Rugamba aliyetawala tangu mwaka [[1796]] hadi [[1850]] aliweza kupanua mipaka ya ufalme wake hadi kushika sehemu kubwa ya eneo la leo. ==Ukoloni== [[Wazungu]] wa kwanza waliofika walikuwa [[wapelelezi]] [[Waingereza]] [[Richard Burton]] na [[John Hanning Speke]] mnamo mwaka [[1854]]. Lakini habari za falme kwenye eneo kati ya maziwa makubwa hazikuenea sana. Wakati wa [[Mkutano wa Berlin 1885]] Wajerumani hawakujua ya kwamba falme za Burundi na Rwanda zilikuwepo ndni ya eneo waliotegemea kutwaa. Waliitambua baadaye tu. Mwaka [[1894]] [[Mjerumani]] wa kwanza alipita Burundi aliyekuwa [[Oskar Baumann]]. Wakati ule [[Ujerumani]] ilikuwa tayari imeanzisha [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] lakini Wajerumani walichelewa kufika kaskazini-magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao. Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Burundi pamoja na Rwanda ilikabidhiwa kwa [[Ubelgiji]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kudhaminiwa] lililoitwa Ruanda-Urundi. Kimsingi Wabelgiji waliendelea na mfumo wa Wajerumani uliomwachia mtemi [[mamlaka]] kubwa. Waliweka Ruanda-Urundi chini ya serikali ya Kongo ya Kibelgiji. Lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea Watutsi karibu na machifu wote walikuwa Watutsi na Wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali. Tangu 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na [[Umoja wa Mataifa]]. == Hali ya nchi kijamii na kisiasa == Burundi ilundwa kama ufalme ulioongozwa na Watutsi waliotawala Wahutu. Lakini kabla ya ukoloni mipaka kati ya makundi hayo haikuwa imara mno; Wahutu ma[[tajiri]] katika utumishi wa mwami waliweza kupanda ngazi na kuwa Watutsi na pia Watutsi [[maskini]] waliweza kushuka ngazi na kuhesabiwa kati ya Wahutu, hasa baada ya [[Ndoa|kuoa]] au kuolewa na mtu wa upande mwingine. Uhusiano wa makundi hayo ulifanana zaidi na ule wa [[tabaka|matabaka]] si wa makabila tofauti, pia kwa sababu lugha ilikuwa moja kwa wote. Utawala wa kikoloni uliimarisha mipaka kati ya makundi hayo mawili maana kila mtu aliandikishwa na kupangwa katika moja kati ya makundi hayo. Pia Wabelgiji walipendelea Watutsi na kuangalia wapate nafasi zote za uchifu ambako walipaswa kutoa [[kibali]]. Kuhamia katika kundi lingine kulikwisha. Uhusiano kati ya makundi ulianza kufanana zaidi na [[ukabila]]. Mwishoni mwa ukoloni Wabelgiji walibadilisha msimamo na kupendelea Wahutu. Katika hali hiyo Burundi ilikaribia [[uhuru]]. [[Chama cha siasa|Vyama vya siasa]] viliundwa vilivyofuata ugawaji wa kimbari kati ya Watutsi na Wahutu. Mapigano ya kwanza kati ya Wahutu na Watutsi yalitokea mwaka [[1959]] kabla ya uhuru yakakomeshwa na Wabelgiji. == Uhuru == Mwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya [[UM]] na chama mshindi kilikuwa UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi [[Louis Rwagasore]] aliyemwoa [[mwanamke]] wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili. Lakini miezi michache baadaye Rwagasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila. Mwaka [[1962]] Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urundi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee. Baada ya uhuru katika Burundi, kinyume na Rwanda, utawala ulibaki upande wa Watutsi kwa sababu [[jeshi]] lilikuwa mikononi mwao. Vipindi vya mashambulio kati ya vikundi vilifuata. Baada ya uchaguzi wa [[1965]] mapigano yalitokea kwa [[silaha]], na kikundi cha Watutsi wakali kilichukua serikali. Mwaka [[1966]] mwami alipinduliwa na mwanasiasa [[Michel Micombero]] aliyejitangaza kuwa rais na nchi kuwa [[jamhuri]]. Kuanzia hapo wanasiasa na watumishi wakubwa walio Wahutu walifukuzwa, kukamatwa au kuuawa. Mwaka [[1972]] [[Laki|malaki]] ya Wahutu waliuawa na jeshi la Kitutsi waliolenga hasa Wahutu wenye [[elimu]]. Mwaka [[1993]] uongozi wa Kitutsi ulikubali tena [[uchaguzi huru]] ambako Mhutu [[Melchior Ndadaye]] alichaguliwa kuwa [[rais]]. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali. Kipindi kilichofuata kilikuwa cha [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe]] katika sehemu mbalimbali za nchi. [[Picha:BujumburaAirport.jpg|300px|thumbnail|Uwanja wa Ndege, Bujumbura]] Tangu mwaka [[1995]] [[Umoja wa Afrika]] na [[Umoja wa Mataifa]] zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi. Marais na [[wanasiasa]] walioshiriki katika [[jitihada]] hizo walikuwa pamoja na [[Julius Nyerere]], [[Boutros Boutros-Ghali]], [[Nelson Mandela]], [[Thabo Mbeki]] na rais wa [[Marekani]] [[Bill Clinton]]. Mapatano yalifikiwa na kusainiwa mwaka [[2000]] na washiriki karibu wote huko [[Arusha]]. [[Majadiliano]] yaliendelea hadi mwaka [[2003]] hatimaye vita ilisimamishwa. Mapatano yaliyofikiwa yanasema ya kwamba Watutsi pamoja na Watwa, ambao ni asilimia 15 za wananchi, watakuwa na asilimia 40 ya nafasi kwenye [[bunge]] na ya kwamba [[jeshi]]ni kila upande utashika asilimia 50 za nafasi. Pia kwenye [[senati]] ya bunge kila upande utakuwa na asilimia 50. <ref>{{Cite web |url=http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html |title=Mapatano ya Arusha ya 2000 kuhusua mani na upatanisho kwa ajili ya Burundi, uk. Protocoll II, I, 11, 4a, Appendix I,I B 2-4 |accessdate=2015-09-26 |archivedate=2008-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080225143016/http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html }}</ref> Rais atachaguliwa na wananchi wote lakini mapatano yalisema rais wa kwanza atachaguliwa na bunge. == Hali ya siasa == [[Picha:Pierre Nkurunziza.jpeg|250px|thumbnail|Rais Nkurunziza mwaka 2006]] Mwaka 2005 uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ulifanyika. Chama cha CNDD-FDD kilipata kura nyingi na kiongozi chake Pierre Nkurunziza alichaguliwa na bunge kuwa rais wa taifa. Vyama vya UPRONA na FRODEBU vilivyotangulia kuongoza serikali ya mpito vilipata kura chache kwa sababu vilishtakiwa kuwa na [[rushwa]] na [[upendeleo]] wa kindugu. [[Chama tawala]] kinajaribu kufuata siasa ya mapatano ya ndani, lakini ina [[uvumilivu]] mdogo tu kwa upinzani na mawazo yanayopinga siasa yake. Mwezi wa Aprili [[2009]] chama cha Palipehutu FNL hatimaye kilisimamisha upinzani kwa silaha kikakubaliwa kama chama cha kisiasa cha FNL. Nkurunziza alichaguliwa tena kwa kura ya wananchi wote mwaka 2010. Chama cha upinzani FNL kilikataa kukubali ushindi wa CNDD-FDD. Mwaka 2015 rais Nkurunziza alipendekezwa kugombea tena urais katika uchaguzi akakubali. Hatua hiyo ilisababisha upinzani mkali wa wananchi walioandamana wakiona hii inavunja mapatano ya amani ya Arusha. Tarehe 13 Mei jenerali Godefroid Niyombare alitangaza kufukuzwa kwa Nkurunziza kutoka urais wakati huyo alikuwa safarini Tanzania, lakini hakufaulu. Uasi huu wa kijeshi ulikandamizwa. Nkurunziza alirudi na kutangaza ya kwamba kura inatakiwa kufanyika jinsi ilivyopangwa tarehe 26 Mei 2015 kwa bunge na 26 Juni kwa uraisi. Taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika Burundi. [[Nkosazana Dlamini-Zuma]], mwenyekiti wa kamati tendaji ya [[Umoja wa Afrika]], aliomba kuahirishwa kwa kura nchini Burundi hadi hali iwe imetulia. Tarehe [[24 Julai]] 2015 Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa 69.41% za kura. [[Agathon Rwasa]] alishika nafasi ya pili kwa 18.99% ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura. ==Tazama pia== * [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe Burundi|vita vya wenyewe kwa wenyewe Burundi]] {{mbegu-historia}} {{Hoja Kuhusu Burundi}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} [[Jamii:Burundi]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] qnafpd5pri3925eem2qotkakzsvzs0r 1437240 1437192 2025-07-12T11:40:41Z ~2025-18306-1 80081 pasipo TAB 1437240 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burundi.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burundi]] '''Historia ya Burundi''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burundi]]. == Historia ya awali== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]] na ya [[Wabilikimo]]. Katika [[karne]] za [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Ufalme wa Burundi == [[Dola]] ya kwanza katika eneo hili lilikuwa [[Ufalme wa Burundi]]. Katika mapokeo ya wenyeji ulianzishwa katika [[karne ya 17]] na mtu kwa jina la [[Cambarantama]] aliyefika ama kutoka Rwanda ama kutoka [[Waha|Buha]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], Tanzania ya leo. Ufalme huo ulitawaliwa na kundi la [[Watutsi]] waliokuwa [[wafugaji]] wa [[ng'ombe]] na kutawala wenyeji waliokuwa [[wakulima]] Wabantu. Watutsi walikuwa [[tabaka]] la [[ukabaila|kikabaila]]. [[Mfalme]] au [[mwami]] alikuwa mkuu wa makabaila hao ambao walitazamiwa kama mabwana wa ardhi iliyolimwa na watu wa kawaida. Hao wakulima waliruhusiwa kulima nchi wakipaswa kutoa [[huduma]] na sehemu ya [[mavuno]] kwa mabwana waliopaswa kuwatetea dhidi ya [[adui|maadui]]. Ufalme huo ulienea katika [[karne]] zilizofuata. Mwami [[Ntare IV]] Rutaganzwa Rugamba aliyetawala tangu mwaka [[1796]] hadi [[1850]] aliweza kupanua mipaka ya ufalme wake hadi kushika sehemu kubwa ya eneo la leo. ==Ukoloni== [[Wazungu]] wa kwanza waliofika walikuwa [[wapelelezi]] [[Waingereza]] [[Richard Burton]] na [[John Hanning Speke]] mnamo mwaka [[1854]]. Lakini habari za falme kwenye eneo kati ya maziwa makubwa hazikuenea sana. Wakati wa [[Mkutano wa Berlin 1885]] Wajerumani hawakujua ya kwamba falme za Burundi na Rwanda zilikuwepo ndni ya eneo waliotegemea kutwaa. Waliitambua baadaye tu. Mwaka [[1894]] [[Mjerumani]] wa kwanza alipita Burundi aliyekuwa [[Oskar Baumann]]. Wakati ule [[Ujerumani]] ilikuwa tayari imeanzisha [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] lakini Wajerumani walichelewa kufika kaskazini-magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao. Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Burundi pamoja na Rwanda ilikabidhiwa kwa [[Ubelgiji]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kudhaminiwa] lililoitwa Ruanda-Urundi. Kimsingi Wabelgiji waliendelea na mfumo wa Wajerumani uliomwachia mtemi [[mamlaka]] kubwa. Waliweka Ruanda-Urundi chini ya serikali ya Kongo ya Kibelgiji. Lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea Watutsi karibu na machifu wote walikuwa Watutsi na Wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali. Tangu 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na [[Umoja wa Mataifa]]. == Hali ya nchi kijamii na kisiasa == Burundi ilundwa kama ufalme ulioongozwa na Watutsi waliotawala Wahutu. Lakini kabla ya ukoloni mipaka kati ya makundi hayo haikuwa imara mno; Wahutu ma[[tajiri]] katika utumishi wa mwami waliweza kupanda ngazi na kuwa Watutsi na pia Watutsi [[maskini]] waliweza kushuka ngazi na kuhesabiwa kati ya Wahutu, hasa baada ya [[Ndoa|kuoa]] au kuolewa na mtu wa upande mwingine. Uhusiano wa makundi hayo ulifanana zaidi na ule wa [[tabaka|matabaka]] si wa makabila tofauti, pia kwa sababu lugha ilikuwa moja kwa wote. Utawala wa kikoloni uliimarisha mipaka kati ya makundi hayo mawili maana kila mtu aliandikishwa na kupangwa katika moja kati ya makundi hayo. Pia Wabelgiji walipendelea Watutsi na kuangalia wapate nafasi zote za uchifu ambako walipaswa kutoa [[kibali]]. Kuhamia katika kundi lingine kulikwisha. Uhusiano kati ya makundi ulianza kufanana zaidi na [[ukabila]]. Mwishoni mwa ukoloni Wabelgiji walibadilisha msimamo na kupendelea Wahutu. Katika hali hiyo Burundi ilikaribia [[uhuru]]. [[Chama cha siasa|Vyama vya siasa]] viliundwa vilivyofuata ugawaji wa kimbari kati ya Watutsi na Wahutu. Mapigano ya kwanza kati ya Wahutu na Watutsi yalitokea mwaka [[1959]] kabla ya uhuru yakakomeshwa na Wabelgiji. == Uhuru == Mwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya [[UM]] na chama mshindi kilikuwa UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi [[Louis Rwagasore]] aliyemwoa [[mwanamke]] wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili. Lakini miezi michache baadaye Rwagasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila. Mwaka [[1962]] Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urundi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee. Baada ya uhuru katika Burundi, kinyume na Rwanda, utawala ulibaki upande wa Watutsi kwa sababu [[jeshi]] lilikuwa mikononi mwao. Vipindi vya mashambulio kati ya vikundi vilifuata. Baada ya uchaguzi wa [[1965]] mapigano yalitokea kwa [[silaha]], na kikundi cha Watutsi wakali kilichukua serikali. Mwaka [[1966]] mwami alipinduliwa na mwanasiasa [[Michel Micombero]] aliyejitangaza kuwa rais na nchi kuwa [[jamhuri]]. Kuanzia hapo wanasiasa na watumishi wakubwa walio Wahutu walifukuzwa, kukamatwa au kuuawa. Mwaka [[1972]] [[Laki|malaki]] ya Wahutu waliuawa na jeshi la Kitutsi waliolenga hasa Wahutu wenye [[elimu]]. Mwaka [[1993]] uongozi wa Kitutsi ulikubali tena [[uchaguzi huru]] ambako Mhutu [[Melchior Ndadaye]] alichaguliwa kuwa [[rais]]. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali. Kipindi kilichofuata kilikuwa cha [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe]] katika sehemu mbalimbali za nchi. [[Picha:BujumburaAirport.jpg|300px|thumbnail|Uwanja wa Ndege, Bujumbura]] Tangu mwaka [[1995]] [[Umoja wa Afrika]] na [[Umoja wa Mataifa]] zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi. Marais na [[wanasiasa]] walioshiriki katika [[jitihada]] hizo walikuwa pamoja na [[Julius Nyerere]], [[Boutros Boutros-Ghali]], [[Nelson Mandela]], [[Thabo Mbeki]] na rais wa [[Marekani]] [[Bill Clinton]]. Mapatano yalifikiwa na kusainiwa mwaka [[2000]] na washiriki karibu wote huko [[Arusha]]. [[Majadiliano]] yaliendelea hadi mwaka [[2003]] hatimaye vita ilisimamishwa. Mapatano yaliyofikiwa yanasema ya kwamba Watutsi pamoja na Watwa, ambao ni asilimia 15 za wananchi, watakuwa na asilimia 40 ya nafasi kwenye [[bunge]] na ya kwamba [[jeshi]]ni kila upande utashika asilimia 50 za nafasi. Pia kwenye [[senati]] ya bunge kila upande utakuwa na asilimia 50. <ref>{{Cite web |url=http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html |title=Mapatano ya Arusha ya 2000 kuhusua mani na upatanisho kwa ajili ya Burundi, uk. Protocoll II, I, 11, 4a, Appendix I,I B 2-4 |accessdate=2015-09-26 |archivedate=2008-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080225143016/http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html }}</ref> Rais atachaguliwa na wananchi wote lakini mapatano yalisema rais wa kwanza atachaguliwa na bunge. == Hali ya siasa == [[Picha:Pierre Nkurunziza.jpeg|250px|thumbnail|Rais Nkurunziza mwaka 2006]] Mwaka 2005 uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ulifanyika. Chama cha CNDD-FDD kilipata kura nyingi na kiongozi chake Pierre Nkurunziza alichaguliwa na bunge kuwa rais wa taifa. Vyama vya UPRONA na FRODEBU vilivyotangulia kuongoza serikali ya mpito vilipata kura chache kwa sababu vilishtakiwa kuwa na [[rushwa]] na [[upendeleo]] wa kindugu. [[Chama tawala]] kinajaribu kufuata siasa ya mapatano ya ndani, lakini ina [[uvumilivu]] mdogo tu kwa upinzani na mawazo yanayopinga siasa yake. Mwezi wa Aprili [[2009]] chama cha Palipehutu FNL hatimaye kilisimamisha upinzani kwa silaha kikakubaliwa kama chama cha kisiasa cha FNL. Nkurunziza alichaguliwa tena kwa kura ya wananchi wote mwaka 2010. Chama cha upinzani FNL kilikataa kukubali ushindi wa CNDD-FDD. Mwaka 2015 rais Nkurunziza alipendekezwa kugombea tena urais katika uchaguzi akakubali. Hatua hiyo ilisababisha upinzani mkali wa wananchi walioandamana wakiona hii inavunja mapatano ya amani ya Arusha. Tarehe 13 Mei jenerali Godefroid Niyombare alitangaza kufukuzwa kwa Nkurunziza kutoka urais wakati huyo alikuwa safarini Tanzania, lakini hakufaulu. Uasi huu wa kijeshi ulikandamizwa. Nkurunziza alirudi na kutangaza ya kwamba kura inatakiwa kufanyika jinsi ilivyopangwa tarehe 26 Mei 2015 kwa bunge na 26 Juni kwa uraisi. Taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika Burundi. [[Nkosazana Dlamini-Zuma]], mwenyekiti wa kamati tendaji ya [[Umoja wa Afrika]], aliomba kuahirishwa kwa kura nchini Burundi hadi hali iwe imetulia. Tarehe [[24 Julai]] 2015 Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa 69.41% za kura. [[Agathon Rwasa]] alishika nafasi ya pili kwa 18.99% ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura. ==Tazama pia== * [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe Burundi|vita vya wenyewe kwa wenyewe Burundi]] {{Mbegu-historia}} {{Hoja Kuhusu Burundi}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} [[Jamii:Burundi]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 2ouhpvdddfgk0lfdio3mh380tpu4akv 1437249 1437240 2025-07-12T11:44:41Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437249 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Burundi.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Burundi.]] '''Historia ya Burundi''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Burundi]]. == Historia ya awali== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]] na ya [[Wabilikimo]]. Katika [[karne]] za [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]]. == Ufalme wa Burundi == [[Dola]] ya kwanza katika eneo hili lilikuwa [[Ufalme wa Burundi]]. Katika mapokeo ya wenyeji ulianzishwa katika [[karne ya 17]] na mtu kwa jina la [[Cambarantama]] aliyefika ama kutoka Rwanda ama kutoka [[Waha|Buha]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], Tanzania ya leo. Ufalme huo ulitawaliwa na kundi la [[Watutsi]] waliokuwa [[wafugaji]] wa [[ng'ombe]] na kutawala wenyeji waliokuwa [[wakulima]] Wabantu. Watutsi walikuwa [[tabaka]] la [[ukabaila|kikabaila]]. [[Mfalme]] au [[mwami]] alikuwa mkuu wa makabaila hao ambao walitazamiwa kama mabwana wa ardhi iliyolimwa na watu wa kawaida. Hao wakulima waliruhusiwa kulima nchi wakipaswa kutoa [[huduma]] na sehemu ya [[mavuno]] kwa mabwana waliopaswa kuwatetea dhidi ya [[adui|maadui]]. Ufalme huo ulienea katika [[karne]] zilizofuata. Mwami [[Ntare IV]] Rutaganzwa Rugamba aliyetawala tangu mwaka [[1796]] hadi [[1850]] aliweza kupanua mipaka ya ufalme wake hadi kushika sehemu kubwa ya eneo la leo. ==Ukoloni== [[Wazungu]] wa kwanza waliofika walikuwa [[wapelelezi]] [[Waingereza]] [[Richard Burton]] na [[John Hanning Speke]] mnamo mwaka [[1854]]. Lakini habari za falme kwenye eneo kati ya maziwa makubwa hazikuenea sana. Wakati wa [[Mkutano wa Berlin 1885]] Wajerumani hawakujua ya kwamba falme za Burundi na Rwanda zilikuwepo ndni ya eneo waliotegemea kutwaa. Waliitambua baadaye tu. Mwaka [[1894]] [[Mjerumani]] wa kwanza alipita Burundi aliyekuwa [[Oskar Baumann]]. Wakati ule [[Ujerumani]] ilikuwa tayari imeanzisha [[koloni]] la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] lakini Wajerumani walichelewa kufika kaskazini-magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao. Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo [[1896]] wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika [[mji mkuu]] [[Gitega]] ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina "Urundi". Hapa sawa na Rwanda na [[Bukoba]] Wajerumani walitumia [[mbinu]] ya [[eneo lindwa]] ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Burundi pamoja na Rwanda ilikabidhiwa kwa [[Ubelgiji]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kudhaminiwa] lililoitwa Ruanda-Urundi. Kimsingi Wabelgiji waliendelea na mfumo wa Wajerumani uliomwachia mtemi [[mamlaka]] kubwa. Waliweka Ruanda-Urundi chini ya serikali ya Kongo ya Kibelgiji. Lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea Watutsi karibu na machifu wote walikuwa Watutsi na Wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali. Tangu 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na [[Umoja wa Mataifa]]. == Hali ya nchi kijamii na kisiasa == Burundi ilundwa kama ufalme ulioongozwa na Watutsi waliotawala Wahutu. Lakini kabla ya ukoloni mipaka kati ya makundi hayo haikuwa imara mno; Wahutu ma[[tajiri]] katika utumishi wa mwami waliweza kupanda ngazi na kuwa Watutsi na pia Watutsi [[maskini]] waliweza kushuka ngazi na kuhesabiwa kati ya Wahutu, hasa baada ya [[Ndoa|kuoa]] au kuolewa na mtu wa upande mwingine. Uhusiano wa makundi hayo ulifanana zaidi na ule wa [[tabaka|matabaka]] si wa makabila tofauti, pia kwa sababu lugha ilikuwa moja kwa wote. Utawala wa kikoloni uliimarisha mipaka kati ya makundi hayo mawili maana kila mtu aliandikishwa na kupangwa katika moja kati ya makundi hayo. Pia Wabelgiji walipendelea Watutsi na kuangalia wapate nafasi zote za uchifu ambako walipaswa kutoa [[kibali]]. Kuhamia katika kundi lingine kulikwisha. Uhusiano kati ya makundi ulianza kufanana zaidi na [[ukabila]]. Mwishoni mwa ukoloni Wabelgiji walibadilisha msimamo na kupendelea Wahutu. Katika hali hiyo Burundi ilikaribia [[uhuru]]. [[Chama cha siasa|Vyama vya siasa]] viliundwa vilivyofuata ugawaji wa kimbari kati ya Watutsi na Wahutu. Mapigano ya kwanza kati ya Wahutu na Watutsi yalitokea mwaka [[1959]] kabla ya uhuru yakakomeshwa na Wabelgiji. == Uhuru == Mwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya [[UM]] na chama mshindi kilikuwa UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi [[Louis Rwagasore]] aliyemwoa [[mwanamke]] wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili. Lakini miezi michache baadaye Rwagasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila. Mwaka [[1962]] Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urundi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee. Baada ya uhuru katika Burundi, kinyume na Rwanda, utawala ulibaki upande wa Watutsi kwa sababu [[jeshi]] lilikuwa mikononi mwao. Vipindi vya mashambulio kati ya vikundi vilifuata. Baada ya uchaguzi wa [[1965]] mapigano yalitokea kwa [[silaha]], na kikundi cha Watutsi wakali kilichukua serikali. Mwaka [[1966]] mwami alipinduliwa na mwanasiasa [[Michel Micombero]] aliyejitangaza kuwa rais na nchi kuwa [[jamhuri]]. Kuanzia hapo wanasiasa na watumishi wakubwa walio Wahutu walifukuzwa, kukamatwa au kuuawa. Mwaka [[1972]] [[Laki|malaki]] ya Wahutu waliuawa na jeshi la Kitutsi waliolenga hasa Wahutu wenye [[elimu]]. Mwaka [[1993]] uongozi wa Kitutsi ulikubali tena [[uchaguzi huru]] ambako Mhutu [[Melchior Ndadaye]] alichaguliwa kuwa [[rais]]. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali. Kipindi kilichofuata kilikuwa cha [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe]] katika sehemu mbalimbali za nchi. [[Picha:BujumburaAirport.jpg|300px|thumbnail|Uwanja wa Ndege, Bujumbura]] Tangu mwaka [[1995]] [[Umoja wa Afrika]] na [[Umoja wa Mataifa]] zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi. Marais na [[wanasiasa]] walioshiriki katika [[jitihada]] hizo walikuwa pamoja na [[Julius Nyerere]], [[Boutros Boutros-Ghali]], [[Nelson Mandela]], [[Thabo Mbeki]] na rais wa [[Marekani]] [[Bill Clinton]]. Mapatano yalifikiwa na kusainiwa mwaka [[2000]] na washiriki karibu wote huko [[Arusha]]. [[Majadiliano]] yaliendelea hadi mwaka [[2003]] hatimaye vita ilisimamishwa. Mapatano yaliyofikiwa yanasema ya kwamba Watutsi pamoja na Watwa, ambao ni asilimia 15 za wananchi, watakuwa na asilimia 40 ya nafasi kwenye [[bunge]] na ya kwamba [[jeshi]]ni kila upande utashika asilimia 50 za nafasi. Pia kwenye [[senati]] ya bunge kila upande utakuwa na asilimia 50. <ref>{{Cite web |url=http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html |title=Mapatano ya Arusha ya 2000 kuhusua mani na upatanisho kwa ajili ya Burundi, uk. Protocoll II, I, 11, 4a, Appendix I,I B 2-4 |accessdate=2015-09-26 |archivedate=2008-02-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080225143016/http://www.usip.org/library/pa/burundi/pa_burundi_08282000_toc.html }}</ref> Rais atachaguliwa na wananchi wote lakini mapatano yalisema rais wa kwanza atachaguliwa na bunge. == Hali ya siasa == [[Picha:Pierre Nkurunziza.jpeg|250px|thumbnail|Rais Nkurunziza mwaka 2006]] Mwaka 2005 uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ulifanyika. Chama cha CNDD-FDD kilipata kura nyingi na kiongozi chake Pierre Nkurunziza alichaguliwa na bunge kuwa rais wa taifa. Vyama vya UPRONA na FRODEBU vilivyotangulia kuongoza serikali ya mpito vilipata kura chache kwa sababu vilishtakiwa kuwa na [[rushwa]] na [[upendeleo]] wa kindugu. [[Chama tawala]] kinajaribu kufuata siasa ya mapatano ya ndani, lakini ina [[uvumilivu]] mdogo tu kwa upinzani na mawazo yanayopinga siasa yake. Mwezi wa Aprili [[2009]] chama cha Palipehutu FNL hatimaye kilisimamisha upinzani kwa silaha kikakubaliwa kama chama cha kisiasa cha FNL. Nkurunziza alichaguliwa tena kwa kura ya wananchi wote mwaka 2010. Chama cha upinzani FNL kilikataa kukubali ushindi wa CNDD-FDD. Mwaka 2015 rais Nkurunziza alipendekezwa kugombea tena urais katika uchaguzi akakubali. Hatua hiyo ilisababisha upinzani mkali wa wananchi walioandamana wakiona hii inavunja mapatano ya amani ya Arusha. Tarehe 13 Mei jenerali Godefroid Niyombare alitangaza kufukuzwa kwa Nkurunziza kutoka urais wakati huyo alikuwa safarini Tanzania, lakini hakufaulu. Uasi huu wa kijeshi ulikandamizwa. Nkurunziza alirudi na kutangaza ya kwamba kura inatakiwa kufanyika jinsi ilivyopangwa tarehe 26 Mei 2015 kwa bunge na 26 Juni kwa uraisi. Taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika Burundi. [[Nkosazana Dlamini-Zuma]], mwenyekiti wa kamati tendaji ya [[Umoja wa Afrika]], aliomba kuahirishwa kwa kura nchini Burundi hadi hali iwe imetulia. Tarehe [[24 Julai]] 2015 Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa 69.41% za kura. [[Agathon Rwasa]] alishika nafasi ya pili kwa 18.99% ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura. ==Tazama pia== * [[Vita ya wenyewe kwa wenyewe Burundi|vita vya wenyewe kwa wenyewe Burundi]] {{Mbegu-historia}} {{Hoja Kuhusu Burundi}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} [[Jamii:Burundi]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] jtrfkh4vidb2rlex1w6jm8l6skfz9zu Historia ya Cabo Verde 0 78786 1437080 1436855 2025-07-12T06:53:51Z Alex Rweyemamu 75841 nimeongeza link na picha ya bendera 1437080 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cape Verde (3-2).svg|alt=Bendera ya Cape Verde|thumb|Bendera ya Cabo Verde.]] '''Historia ya Cabo Verde''' inahusu [[funguvisiwa]] la [[Bahari ya Atlantiki]] mkabala wa [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Cabo Verde]]. Hadi kufika kwa [[Wareno]] katika [[karne ya 15]] funguvisiwa la Cabo Verde halikuwa na watu. Wareno walianzisha ma[[shamba]] ya [[miwa]] na kuleta [[watumwa]] kutoka [[bara]] la [[Afrika]]. Cabo Verde ilikuwa pia kituo muhimu cha [[biashara ya watumwa]] kati ya Afrika na [[Amerika]]. [[Wahamiaji]] kutoka [[Ulaya]] walikuwa pia [[Wahispania]], [[Waitalia]] pamoja na [[Wayahudi]] na [[Waislamu]] waliokataliwa kukaa kwao [[Ureno]]. ==Jiografia yake== Cabo Verde ni fungu la [[Kisiwa|visiwa]] 10 vilivyoko katika [[Bahari]] ya [[Atlantiki]], magharibi mwa [[pwani]] ya Afrika. Historia yake inaonyesha mchanganyiko wa athari za wakoloni wa Kireno, biashara ya [[utumwa]], na maendeleo ya taifa huru linalojitahidi kuhifadhi utambulisho wake wa kipekee wa Kiafrika na Ulaya. == Ugunduzi na Ukoloni == Visiwa vya [[Cabo Verde]] viligunduliwa na [[Ureno|Wareno]] mnamo mwaka [[1456]]. Kabla ya hapo, visiwa hivi vilikuwa visivyo na watu. Wareno walivigundua wakati wa safari za baharini za karne ya 15 kuelekea Afrika Magharibi, na kuvitumia kama kituo cha kusafiri, hasa katika biashara ya watumwa. Mnamo [[1462]], walowezi wa Kireno walihamia kisiwa cha Santiago na kuanzisha mji wa [[Cidade Velha]], ambao ulikuwa mji mkuu wa kwanza wa kikoloni Afrika ya Magharibi. Visiwa hivi vilikuwa kiunganishi muhimu katika safari ya watumwa kutoka Afrika kwenda Amerika ya Kusini na Karibiani, hasa Brazil. == Biashara ya Watumwa == Cape Verde ilikuwa kituo kikubwa cha biashara ya [[Utumwa|watumwa]]<ref>[https://www.unesco.org UNESCO, “The Slave Route Project: Cape Verde,” www.unesco.org]</ref>. Watumwa waliokamatwa kutoka maeneo ya [[Afrika ya Magharibi]] waliletwa kwenye visiwa hivi, na kisha kusafirishwa kwenda koloni mbalimbali za Kireno, hasa [[Brazil|Brazili]]. Hili lilifanya [[Kisiwa|visiwa]] hivyo kuwa na mchanganyiko mkubwa wa [[Utamaduni|tamaduni]] na rangi, jambo ambalo bado linaonekana katika [[jamii]] ya leo. == Kushuka kwa Umuhimu == Katika karne ya 19, biashara ya watumwa ilipopigwa marufuku kimataifa, Cape Verde ilianza kupoteza umuhimu wake wa kimkakati. Janga la ukame na baa la njaa vilitokea mara kwa mara, na kusababisha vifo vingi pamoja na uhamaji mkubwa kwenda Amerika, hasa Marekani na Brazili. == Mapambano ya Uhuru == Baada ya [[karne]] kadhaa za utawala wa Kireno, harakati za kisiasa zilianza kujitokeza katika karne ya 20. Chama cha [[PAIGC]] (African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde), kilichoongozwa na [[Amílcar Cabral]] kiliongoza mapambano ya kudai [[uhuru]] kutoka Ureno. Ingawa mapambano ya silaha yalifanyika zaidi Guinea-Bissau, Cape Verde ilichangia kwa njia ya siasa na uhamasishaji. Baada ya Mapinduzi ya Carnation nchini Ureno mwaka 1974, Cape Verde ilipewa uhuru wake rasmi tarehe 5 Julai 1975. == Baada ya Uhuru == Mwaka 1975, Cape Verde ikawa [[Jamhuri]] ya Kidemokrasia ya Kijamaa chini ya uongozi wa chama kimoja (PAICV). Hata hivyo, mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa mwaka 1990, na uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia ulifanyika mwaka 1991 ambapo MpD (Movement for Democracy) ilichukua madaraka. Tangu hapo, Cape Verde imekuwa mfano wa [[demokrasia]] thabiti barani [[Afrika]], ikiwa na amani ya kisiasa, maendeleo ya kijamii, na uchaguzi wa mara kwa mara. == Siasa == Cape Verde ina mfumo wa kidiplomasia wa rais na bunge. Rais huchaguliwa na wananchi kwa kura ya moja kwa moja, na ana mamlaka ya kusimamia sera za nje na utulivu wa taifa<ref>Richard Lobban, ''Historical Dictionary of the Republic of Cape Verde'', Scarecrow Press, 2007.</ref>. Wakati huo huo, Waziri Mkuu ndiye mkuu wa serikali na huchaguliwa na bunge. Vyama vikuu vya siasa ni PAICV na MpD. == Jamii na Utamaduni == Mchanganyiko wa utamaduni wa Kiafrika na Kireno unajitokeza katika lugha, muziki, mavazi, na mila. [[Kireno]] ni lugha rasmi, lakini lugha ya kila siku inayotumika sana ni ''Kriolu'', ambayo ni mchanganyiko wa Kireno na lugha za Kiafrika. Muziki kama ''Morna'' na ''Coladeira'' ni maarufu, na msanii mashuhuri zaidi wa taifa ni ''Cesária Évora''<ref>Government of Cape Verde, Ministry of Culture, [https://www.ministeriokultura.cv www.ministeriokultura.cv]</ref>. == Dini == Idadi kubwa ya wakazi wa Cape Verde ni [[Wakatoliki]] kutokana na athari za Kireno. Pia kuna asilimia ndogo ya [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na dini nyingine. Uhuru wa kuabudu unahakikishwa kikatiba. == Diaspora == Cape Verde ina mojawapo ya [[Diaspora ya Waafrika|diaspora]] kubwa kulinganisha na idadi ya watu wake wa ndani. Maelfu ya Wacape Verde wanaishi [[Marekani]], [[Ulaya]] (hasa Ureno na Ufaransa), na [[Brazil|Brazili]]. Diaspora hiyo ni muhimu kwa uchumi kupitia uhamisho wa pesa na pia katika kuendeleza utambulisho wa taifa<ref>World Bank Country Overview: Cape Verde, www.worldbank.org</ref>. == Tazama pia == * [[Utamaduni wa Cabo Verde]] == Marejeo == <references /> # {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Cabo Verde]] [[Jamii:Historia ya Afrika|K]] r3uw1s2da4whl188d35rdg0t2w0ykzv 1437119 1437080 2025-07-12T09:26:56Z Alexander Rweyemamu 80072 nimeongeza link na picha ya bendera 1437119 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cape Verde (3-2).svg|alt=Bendera ya Cape Verde|thumb|Bendera ya Cabo Verde.]] '''Historia ya Cabo Verde''' inahusu [[funguvisiwa]] la [[Bahari ya Atlantiki]] mkabala wa [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Cabo Verde]]. Hadi kufika kwa [[Wareno]] katika [[karne ya 15]] funguvisiwa la Cabo Verde halikuwa na watu. Wareno walianzisha ma[[shamba]] ya [[miwa]] na kuleta [[watumwa]] kutoka [[bara]] la [[Afrika]]. Cabo Verde ilikuwa pia kituo muhimu cha [[biashara ya watumwa]] kati ya Afrika na [[Amerika]]. [[Wahamiaji]] kutoka [[Ulaya]] walikuwa pia [[Wahispania]], [[Waitalia]] pamoja na [[Wayahudi]] na [[Waislamu]] waliokataliwa kukaa kwao [[Ureno]]. ==Jiografia yake== Cabo Verde ni fungu la [[Kisiwa|visiwa]] 10 vilivyoko katika [[Bahari]] ya [[Atlantiki]], magharibi mwa [[pwani]] ya Afrika. Historia yake inaonyesha mchanganyiko wa athari za wakoloni wa Kireno, biashara ya [[utumwa]], na maendeleo ya taifa huru linalojitahidi kuhifadhi utambulisho wake wa kipekee wa Kiafrika na Ulaya. == Ugunduzi na Ukoloni == Visiwa vya [[Cabo Verde]] viligunduliwa na [[Ureno|Wareno]] mnamo mwaka [[1456]]. Kabla ya hapo, visiwa hivi vilikuwa visivyo na watu. Wareno walivigundua wakati wa safari za baharini za karne ya 15 kuelekea Afrika Magharibi, na kuvitumia kama kituo cha kusafiri, hasa katika biashara ya watumwa. Mnamo [[1462]], walowezi wa Kireno walihamia kisiwa cha Santiago na kuanzisha mji wa [[Cidade Velha]], ambao ulikuwa mji mkuu wa kwanza wa kikoloni Afrika ya Magharibi. Visiwa hivi vilikuwa kiunganishi muhimu katika safari ya watumwa kutoka Afrika kwenda Amerika ya Kusini na Karibiani, hasa Brazil. == Biashara ya Watumwa == Cape Verde ilikuwa kituo kikubwa cha biashara ya [[Utumwa|watumwa]]<ref>[https://www.unesco.org UNESCO, “The Slave Route Project: Cape Verde,” www.unesco.org]</ref>. Watumwa waliokamatwa kutoka maeneo ya [[Afrika ya Magharibi]] waliletwa kwenye visiwa hivi, na kisha kusafirishwa kwenda koloni mbalimbali za Kireno, hasa [[Brazil|Brazili]]. Hili lilifanya [[Kisiwa|visiwa]] hivyo kuwa na mchanganyiko mkubwa wa [[Utamaduni|tamaduni]] na rangi, jambo ambalo bado linaonekana katika [[jamii]] ya leo. == Kushuka kwa Umuhimu == Katika karne ya 19, biashara ya watumwa ilipopigwa marufuku kimataifa, Cape Verde ilianza kupoteza umuhimu wake wa kimkakati. Janga la ukame na baa la njaa vilitokea mara kwa mara, na kusababisha vifo vingi pamoja na uhamaji mkubwa kwenda Amerika, hasa Marekani na Brazili. == Mapambano ya Uhuru == Baada ya [[karne]] kadhaa za utawala wa Kireno, harakati za kisiasa zilianza kujitokeza katika karne ya 20. Chama cha [[PAIGC]] (African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde), kilichoongozwa na [[Amílcar Cabral]] kiliongoza mapambano ya kudai [[uhuru]] kutoka Ureno. Ingawa mapambano ya silaha yalifanyika zaidi Guinea-Bissau, Cape Verde ilichangia kwa njia ya siasa na uhamasishaji. Baada ya Mapinduzi ya Carnation nchini Ureno mwaka 1974, Cape Verde ilipewa uhuru wake rasmi tarehe 5 Julai 1975. == Baada ya Uhuru == Mwaka 1975, Cape Verde ikawa [[Jamhuri]] ya Kidemokrasia ya Kijamaa chini ya uongozi wa chama kimoja (PAICV). Hata hivyo, mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa mwaka 1990, na uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia ulifanyika mwaka 1991 ambapo MpD (Movement for Democracy) ilichukua madaraka. Tangu hapo, Cape Verde imekuwa mfano wa [[demokrasia]] thabiti barani [[Afrika]], ikiwa na amani ya kisiasa, maendeleo ya kijamii, na uchaguzi wa mara kwa mara. == Siasa == Cape Verde ina mfumo wa kidiplomasia wa rais na bunge. Rais huchaguliwa na wananchi kwa kura ya moja kwa moja, na ana mamlaka ya kusimamia sera za nje na utulivu wa taifa<ref>Richard Lobban, ''Historical Dictionary of the Republic of Cape Verde'', Scarecrow Press, 2007.</ref>. Wakati huo huo, Waziri Mkuu ndiye mkuu wa serikali na huchaguliwa na bunge. Vyama vikuu vya siasa ni PAICV na MpD. == Jamii na Utamaduni == Mchanganyiko wa utamaduni wa Kiafrika na Kireno unajitokeza katika lugha, muziki, mavazi, na mila. [[Kireno]] ni lugha rasmi, lakini lugha ya kila siku inayotumika sana ni ''Kriolu'', ambayo ni mchanganyiko wa Kireno na lugha za Kiafrika. Muziki kama ''Morna'' na ''Coladeira'' ni maarufu, na msanii mashuhuri zaidi wa taifa ni ''Cesária Évora''<ref>Government of Cape Verde, Ministry of Culture, [https://www.ministeriokultura.cv www.ministeriokultura.cv]</ref>. == Dini == Idadi kubwa ya wakazi wa Cape Verde ni [[Wakatoliki]] kutokana na athari za Kireno. Pia kuna asilimia ndogo ya [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na dini nyingine. Uhuru wa kuabudu unahakikishwa kikatiba. == Diaspora == Cape Verde ina mojawapo ya [[Diaspora ya Waafrika|diaspora]] kubwa kulinganisha na idadi ya watu wake wa ndani. Maelfu ya Wacape Verde wanaishi [[Marekani]], [[Ulaya]] (hasa Ureno na Ufaransa), na [[Brazil|Brazili]]. Diaspora hiyo ni muhimu kwa uchumi kupitia uhamisho wa pesa na pia katika kuendeleza utambulisho wa taifa<ref>World Bank Country Overview: Cape Verde, www.worldbank.org</ref>. == Tazama pia == * [[Utamaduni wa Cabo Verde]] == Marejeo == {{marejeo}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Cabo Verde]] [[Jamii:Historia ya Afrika|K]] 13t3ccdz95phxr1cx62732xys1otz10 1437194 1437119 2025-07-12T10:34:00Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437080 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cape Verde (3-2).svg|alt=Bendera ya Cape Verde|thumb|Bendera ya Cabo Verde.]] '''Historia ya Cabo Verde''' inahusu [[funguvisiwa]] la [[Bahari ya Atlantiki]] mkabala wa [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Cabo Verde]]. Hadi kufika kwa [[Wareno]] katika [[karne ya 15]] funguvisiwa la Cabo Verde halikuwa na watu. Wareno walianzisha ma[[shamba]] ya [[miwa]] na kuleta [[watumwa]] kutoka [[bara]] la [[Afrika]]. Cabo Verde ilikuwa pia kituo muhimu cha [[biashara ya watumwa]] kati ya Afrika na [[Amerika]]. [[Wahamiaji]] kutoka [[Ulaya]] walikuwa pia [[Wahispania]], [[Waitalia]] pamoja na [[Wayahudi]] na [[Waislamu]] waliokataliwa kukaa kwao [[Ureno]]. ==Jiografia yake== Cabo Verde ni fungu la [[Kisiwa|visiwa]] 10 vilivyoko katika [[Bahari]] ya [[Atlantiki]], magharibi mwa [[pwani]] ya Afrika. Historia yake inaonyesha mchanganyiko wa athari za wakoloni wa Kireno, biashara ya [[utumwa]], na maendeleo ya taifa huru linalojitahidi kuhifadhi utambulisho wake wa kipekee wa Kiafrika na Ulaya. == Ugunduzi na Ukoloni == Visiwa vya [[Cabo Verde]] viligunduliwa na [[Ureno|Wareno]] mnamo mwaka [[1456]]. Kabla ya hapo, visiwa hivi vilikuwa visivyo na watu. Wareno walivigundua wakati wa safari za baharini za karne ya 15 kuelekea Afrika Magharibi, na kuvitumia kama kituo cha kusafiri, hasa katika biashara ya watumwa. Mnamo [[1462]], walowezi wa Kireno walihamia kisiwa cha Santiago na kuanzisha mji wa [[Cidade Velha]], ambao ulikuwa mji mkuu wa kwanza wa kikoloni Afrika ya Magharibi. Visiwa hivi vilikuwa kiunganishi muhimu katika safari ya watumwa kutoka Afrika kwenda Amerika ya Kusini na Karibiani, hasa Brazil. == Biashara ya Watumwa == Cape Verde ilikuwa kituo kikubwa cha biashara ya [[Utumwa|watumwa]]<ref>[https://www.unesco.org UNESCO, “The Slave Route Project: Cape Verde,” www.unesco.org]</ref>. Watumwa waliokamatwa kutoka maeneo ya [[Afrika ya Magharibi]] waliletwa kwenye visiwa hivi, na kisha kusafirishwa kwenda koloni mbalimbali za Kireno, hasa [[Brazil|Brazili]]. Hili lilifanya [[Kisiwa|visiwa]] hivyo kuwa na mchanganyiko mkubwa wa [[Utamaduni|tamaduni]] na rangi, jambo ambalo bado linaonekana katika [[jamii]] ya leo. == Kushuka kwa Umuhimu == Katika karne ya 19, biashara ya watumwa ilipopigwa marufuku kimataifa, Cape Verde ilianza kupoteza umuhimu wake wa kimkakati. Janga la ukame na baa la njaa vilitokea mara kwa mara, na kusababisha vifo vingi pamoja na uhamaji mkubwa kwenda Amerika, hasa Marekani na Brazili. == Mapambano ya Uhuru == Baada ya [[karne]] kadhaa za utawala wa Kireno, harakati za kisiasa zilianza kujitokeza katika karne ya 20. Chama cha [[PAIGC]] (African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde), kilichoongozwa na [[Amílcar Cabral]] kiliongoza mapambano ya kudai [[uhuru]] kutoka Ureno. Ingawa mapambano ya silaha yalifanyika zaidi Guinea-Bissau, Cape Verde ilichangia kwa njia ya siasa na uhamasishaji. Baada ya Mapinduzi ya Carnation nchini Ureno mwaka 1974, Cape Verde ilipewa uhuru wake rasmi tarehe 5 Julai 1975. == Baada ya Uhuru == Mwaka 1975, Cape Verde ikawa [[Jamhuri]] ya Kidemokrasia ya Kijamaa chini ya uongozi wa chama kimoja (PAICV). Hata hivyo, mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa mwaka 1990, na uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia ulifanyika mwaka 1991 ambapo MpD (Movement for Democracy) ilichukua madaraka. Tangu hapo, Cape Verde imekuwa mfano wa [[demokrasia]] thabiti barani [[Afrika]], ikiwa na amani ya kisiasa, maendeleo ya kijamii, na uchaguzi wa mara kwa mara. == Siasa == Cape Verde ina mfumo wa kidiplomasia wa rais na bunge. Rais huchaguliwa na wananchi kwa kura ya moja kwa moja, na ana mamlaka ya kusimamia sera za nje na utulivu wa taifa<ref>Richard Lobban, ''Historical Dictionary of the Republic of Cape Verde'', Scarecrow Press, 2007.</ref>. Wakati huo huo, Waziri Mkuu ndiye mkuu wa serikali na huchaguliwa na bunge. Vyama vikuu vya siasa ni PAICV na MpD. == Jamii na Utamaduni == Mchanganyiko wa utamaduni wa Kiafrika na Kireno unajitokeza katika lugha, muziki, mavazi, na mila. [[Kireno]] ni lugha rasmi, lakini lugha ya kila siku inayotumika sana ni ''Kriolu'', ambayo ni mchanganyiko wa Kireno na lugha za Kiafrika. Muziki kama ''Morna'' na ''Coladeira'' ni maarufu, na msanii mashuhuri zaidi wa taifa ni ''Cesária Évora''<ref>Government of Cape Verde, Ministry of Culture, [https://www.ministeriokultura.cv www.ministeriokultura.cv]</ref>. == Dini == Idadi kubwa ya wakazi wa Cape Verde ni [[Wakatoliki]] kutokana na athari za Kireno. Pia kuna asilimia ndogo ya [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na dini nyingine. Uhuru wa kuabudu unahakikishwa kikatiba. == Diaspora == Cape Verde ina mojawapo ya [[Diaspora ya Waafrika|diaspora]] kubwa kulinganisha na idadi ya watu wake wa ndani. Maelfu ya Wacape Verde wanaishi [[Marekani]], [[Ulaya]] (hasa Ureno na Ufaransa), na [[Brazil|Brazili]]. Diaspora hiyo ni muhimu kwa uchumi kupitia uhamisho wa pesa na pia katika kuendeleza utambulisho wa taifa<ref>World Bank Country Overview: Cape Verde, www.worldbank.org</ref>. == Tazama pia == * [[Utamaduni wa Cabo Verde]] == Marejeo == <references /> # {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Cabo Verde]] [[Jamii:Historia ya Afrika|K]] r3uw1s2da4whl188d35rdg0t2w0ykzv 1437238 1437194 2025-07-12T11:39:58Z ~2025-18306-1 80081 jina ya KISWAHILI 1437238 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cape Verde (3-2).svg|alt=Bendera ya Cape Verde|thumb|Bendera ya Cabo Verde.]] '''Historia ya Cabo Verde''' inahusu [[funguvisiwa]] la [[Bahari ya Atlantiki]] mkabala wa [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Cabo Verde]]. Hadi kufika kwa [[Wareno]] katika [[karne ya 15]] funguvisiwa la Cabo Verde halikuwa na watu. Wareno walianzisha ma[[shamba]] ya [[miwa]] na kuleta [[watumwa]] kutoka [[bara]] la [[Afrika]]. Cabo Verde ilikuwa pia kituo muhimu cha [[biashara ya watumwa]] kati ya Afrika na [[Amerika]]. [[Wahamiaji]] kutoka [[Ulaya]] walikuwa pia [[Wahispania]], [[Waitalia]] pamoja na [[Wayahudi]] na [[Waislamu]] waliokataliwa kukaa kwao [[Ureno]]. ==Jiografia yake== Cabo Verde ni fungu la [[Kisiwa|visiwa]] 10 vilivyoko katika [[Bahari]] ya [[Atlantiki]], magharibi mwa [[pwani]] ya Afrika. Historia yake inaonyesha mchanganyiko wa athari za wakoloni wa Kireno, biashara ya [[utumwa]], na maendeleo ya taifa huru linalojitahidi kuhifadhi utambulisho wake wa kipekee wa Kiafrika na Ulaya. == Ugunduzi na Ukoloni == Visiwa vya [[Cabo Verde]] viligunduliwa na [[Ureno|Wareno]] mnamo mwaka [[1456]]. Kabla ya hapo, visiwa hivi vilikuwa visivyo na watu. Wareno walivigundua wakati wa safari za baharini za karne ya 15 kuelekea Afrika Magharibi, na kuvitumia kama kituo cha kusafiri, hasa katika biashara ya watumwa. Mnamo [[1462]], walowezi wa Kireno walihamia kisiwa cha Santiago na kuanzisha mji wa [[Cidade Velha]], ambao ulikuwa mji mkuu wa kwanza wa kikoloni Afrika ya Magharibi. Visiwa hivi vilikuwa kiunganishi muhimu katika safari ya watumwa kutoka Afrika kwenda Amerika ya Kusini na Karibiani, hasa Brazil. == Biashara ya Watumwa == Cape Verde ilikuwa kituo kikubwa cha biashara ya [[Utumwa|watumwa]]<ref>[https://www.unesco.org UNESCO, “The Slave Route Project: Cape Verde,” www.unesco.org]</ref>. Watumwa waliokamatwa kutoka maeneo ya [[Afrika ya Magharibi]] waliletwa kwenye visiwa hivi, na kisha kusafirishwa kwenda koloni mbalimbali za Kireno, hasa [[Brazil|Brazili]]. Hili lilifanya [[Kisiwa|visiwa]] hivyo kuwa na mchanganyiko mkubwa wa [[Utamaduni|tamaduni]] na rangi, jambo ambalo bado linaonekana katika [[jamii]] ya leo. == Kushuka kwa Umuhimu == Katika karne ya 19, biashara ya watumwa ilipopigwa marufuku kimataifa, Cape Verde ilianza kupoteza umuhimu wake wa kimkakati. Janga la ukame na baa la njaa vilitokea mara kwa mara, na kusababisha vifo vingi pamoja na uhamaji mkubwa kwenda Amerika, hasa Marekani na Brazili. == Mapambano ya Uhuru == Baada ya [[karne]] kadhaa za utawala wa Kireno, harakati za kisiasa zilianza kujitokeza katika karne ya 20. Chama cha [[PAIGC]] (African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde), kilichoongozwa na [[Amílcar Cabral]] kiliongoza mapambano ya kudai [[uhuru]] kutoka Ureno. Ingawa mapambano ya silaha yalifanyika zaidi Guinea-Bissau, Cape Verde ilichangia kwa njia ya siasa na uhamasishaji. Baada ya Mapinduzi ya Carnation nchini Ureno mwaka 1974, Cape Verde ilipewa uhuru wake rasmi tarehe 5 Julai 1975. == Baada ya Uhuru == Mwaka 1975, Cape Verde ikawa [[Jamhuri]] ya Kidemokrasia ya Kijamaa chini ya uongozi wa chama kimoja (PAICV). Hata hivyo, mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa mwaka 1990, na uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia ulifanyika mwaka 1991 ambapo MpD (Movement for Democracy) ilichukua madaraka. Tangu hapo, Cape Verde imekuwa mfano wa [[demokrasia]] thabiti barani [[Afrika]], ikiwa na amani ya kisiasa, maendeleo ya kijamii, na uchaguzi wa mara kwa mara. == Siasa == Cape Verde ina mfumo wa kidiplomasia wa rais na bunge. Rais huchaguliwa na wananchi kwa kura ya moja kwa moja, na ana mamlaka ya kusimamia sera za nje na utulivu wa taifa<ref>Richard Lobban, ''Historical Dictionary of the Republic of Cape Verde'', Scarecrow Press, 2007.</ref>. Wakati huo huo, Waziri Mkuu ndiye mkuu wa serikali na huchaguliwa na bunge. Vyama vikuu vya siasa ni PAICV na MpD. == Jamii na Utamaduni == Mchanganyiko wa utamaduni wa Kiafrika na Kireno unajitokeza katika lugha, muziki, mavazi, na mila. [[Kireno]] ni lugha rasmi, lakini lugha ya kila siku inayotumika sana ni ''Kriolu'', ambayo ni mchanganyiko wa Kireno na lugha za Kiafrika. Muziki kama ''Morna'' na ''Coladeira'' ni maarufu, na msanii mashuhuri zaidi wa taifa ni ''Cesária Évora''<ref>Government of Cape Verde, Ministry of Culture, [https://www.ministeriokultura.cv www.ministeriokultura.cv]</ref>. == Dini == Idadi kubwa ya wakazi wa Cape Verde ni [[Wakatoliki]] kutokana na athari za Kireno. Pia kuna asilimia ndogo ya [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na dini nyingine. Uhuru wa kuabudu unahakikishwa kikatiba. == Diaspora == Cape Verde ina mojawapo ya [[Diaspora ya Waafrika|diaspora]] kubwa kulinganisha na idadi ya watu wake wa ndani. Maelfu ya Wacape Verde wanaishi [[Marekani]], [[Ulaya]] (hasa Ureno na Ufaransa), na [[Brazil|Brazili]]. Diaspora hiyo ni muhimu kwa uchumi kupitia uhamisho wa pesa na pia katika kuendeleza utambulisho wa taifa<ref>World Bank Country Overview: Cape Verde, www.worldbank.org</ref>. == Tazama pia == * [[Utamaduni wa Cabo Verde]] == Marejeo == {{Marejeo}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Cabo Verde]] [[Jamii:Historia ya Afrika|K]] a0mb1dofg63zzn5w3svxvhk73pvqwz2 1437251 1437238 2025-07-12T11:45:24Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu) ([[Cabo Verde]] 1437251 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cape Verde (3-2).svg|alt=Bendera ya Cabo Verde|thumb|Bendera ya Cabo Verde.]] '''Historia ya Cabo Verde''' inahusu [[funguvisiwa]] la [[Bahari ya Atlantiki]] mkabala wa [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Cabo Verde]]. Hadi kufika kwa [[Wareno]] katika [[karne ya 15]] funguvisiwa la Cabo Verde halikuwa na watu. Wareno walianzisha ma[[shamba]] ya [[miwa]] na kuleta [[watumwa]] kutoka [[bara]] la [[Afrika]]. Cabo Verde ilikuwa pia kituo muhimu cha [[biashara ya watumwa]] kati ya Afrika na [[Amerika]]. [[Wahamiaji]] kutoka [[Ulaya]] walikuwa pia [[Wahispania]], [[Waitalia]] pamoja na [[Wayahudi]] na [[Waislamu]] waliokataliwa kukaa kwao [[Ureno]]. ==Jiografia yake== Cabo Verde ni fungu la [[Kisiwa|visiwa]] 10 vilivyoko katika [[Bahari]] ya [[Atlantiki]], magharibi mwa [[pwani]] ya Afrika. Historia yake inaonyesha mchanganyiko wa athari za wakoloni wa Kireno, biashara ya [[utumwa]], na maendeleo ya taifa huru linalojitahidi kuhifadhi utambulisho wake wa kipekee wa Kiafrika na Ulaya. == Ugunduzi na Ukoloni == Visiwa vya [[Cabo Verde]] viligunduliwa na [[Ureno|Wareno]] mnamo mwaka [[1456]]. Kabla ya hapo, visiwa hivi vilikuwa visivyo na watu. Wareno walivigundua wakati wa safari za baharini za karne ya 15 kuelekea Afrika Magharibi, na kuvitumia kama kituo cha kusafiri, hasa katika biashara ya watumwa. Mnamo [[1462]], walowezi wa Kireno walihamia kisiwa cha Santiago na kuanzisha mji wa [[Cidade Velha]], ambao ulikuwa mji mkuu wa kwanza wa kikoloni Afrika ya Magharibi. Visiwa hivi vilikuwa kiunganishi muhimu katika safari ya watumwa kutoka Afrika kwenda Amerika ya Kusini na Karibiani, hasa Brazil. == Biashara ya Watumwa == Cape Verde ilikuwa kituo kikubwa cha biashara ya [[Utumwa|watumwa]]<ref>[https://www.unesco.org UNESCO, “The Slave Route Project: Cape Verde,” www.unesco.org]</ref>. Watumwa waliokamatwa kutoka maeneo ya [[Afrika ya Magharibi]] waliletwa kwenye visiwa hivi, na kisha kusafirishwa kwenda koloni mbalimbali za Kireno, hasa [[Brazil|Brazili]]. Hili lilifanya [[Kisiwa|visiwa]] hivyo kuwa na mchanganyiko mkubwa wa [[Utamaduni|tamaduni]] na rangi, jambo ambalo bado linaonekana katika [[jamii]] ya leo. == Kushuka kwa Umuhimu == Katika karne ya 19, biashara ya watumwa ilipopigwa marufuku kimataifa, Cape Verde ilianza kupoteza umuhimu wake wa kimkakati. Janga la ukame na baa la njaa vilitokea mara kwa mara, na kusababisha vifo vingi pamoja na uhamaji mkubwa kwenda Amerika, hasa Marekani na Brazili. == Mapambano ya Uhuru == Baada ya [[karne]] kadhaa za utawala wa Kireno, harakati za kisiasa zilianza kujitokeza katika karne ya 20. Chama cha [[PAIGC]] (African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde), kilichoongozwa na [[Amílcar Cabral]] kiliongoza mapambano ya kudai [[uhuru]] kutoka Ureno. Ingawa mapambano ya silaha yalifanyika zaidi Guinea-Bissau, Cape Verde ilichangia kwa njia ya siasa na uhamasishaji. Baada ya Mapinduzi ya Carnation nchini Ureno mwaka 1974, Cape Verde ilipewa uhuru wake rasmi tarehe 5 Julai 1975. == Baada ya Uhuru == Mwaka 1975, Cape Verde ikawa [[Jamhuri]] ya Kidemokrasia ya Kijamaa chini ya uongozi wa chama kimoja (PAICV). Hata hivyo, mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa mwaka 1990, na uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia ulifanyika mwaka 1991 ambapo MpD (Movement for Democracy) ilichukua madaraka. Tangu hapo, Cape Verde imekuwa mfano wa [[demokrasia]] thabiti barani [[Afrika]], ikiwa na amani ya kisiasa, maendeleo ya kijamii, na uchaguzi wa mara kwa mara. == Siasa == Cape Verde ina mfumo wa kidiplomasia wa rais na bunge. Rais huchaguliwa na wananchi kwa kura ya moja kwa moja, na ana mamlaka ya kusimamia sera za nje na utulivu wa taifa<ref>Richard Lobban, ''Historical Dictionary of the Republic of Cape Verde'', Scarecrow Press, 2007.</ref>. Wakati huo huo, Waziri Mkuu ndiye mkuu wa serikali na huchaguliwa na bunge. Vyama vikuu vya siasa ni PAICV na MpD. == Jamii na Utamaduni == Mchanganyiko wa utamaduni wa Kiafrika na Kireno unajitokeza katika lugha, muziki, mavazi, na mila. [[Kireno]] ni lugha rasmi, lakini lugha ya kila siku inayotumika sana ni ''Kriolu'', ambayo ni mchanganyiko wa Kireno na lugha za Kiafrika. Muziki kama ''Morna'' na ''Coladeira'' ni maarufu, na msanii mashuhuri zaidi wa taifa ni ''Cesária Évora''<ref>Government of Cape Verde, Ministry of Culture, [https://www.ministeriokultura.cv www.ministeriokultura.cv]</ref>. == Dini == Idadi kubwa ya wakazi wa Cape Verde ni [[Wakatoliki]] kutokana na athari za Kireno. Pia kuna asilimia ndogo ya [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na dini nyingine. Uhuru wa kuabudu unahakikishwa kikatiba. == Diaspora == Cape Verde ina mojawapo ya [[Diaspora ya Waafrika|diaspora]] kubwa kulinganisha na idadi ya watu wake wa ndani. Maelfu ya Wacape Verde wanaishi [[Marekani]], [[Ulaya]] (hasa Ureno na Ufaransa), na [[Brazil|Brazili]]. Diaspora hiyo ni muhimu kwa uchumi kupitia uhamisho wa pesa na pia katika kuendeleza utambulisho wa taifa<ref>World Bank Country Overview: Cape Verde, www.worldbank.org</ref>. == Tazama pia == * [[Utamaduni wa Cabo Verde]] == Marejeo == {{Marejeo}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Cabo Verde]] [[Jamii:Historia ya Afrika|K]] 1gvp1r83h7h24mwfcnqgray17w79shi Historia ya Chad 0 78787 1437081 1436213 2025-07-12T06:55:56Z Alex Rweyemamu 75841 nimeongeza picha ya bendera 1437081 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Chad.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Chad]] '''Historia ya Chad''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Chad]]. Katika [[milenia ya 7 KK]] kulikuwa na watu wengi sana katika [[beseni]] ya [[ziwa Chad]]. Katika [[historia]] kabla ya [[ukoloni]], mara nyingi wakazi wa [[kaskazini]], ambao ni [[Waarabu]] au walioathiriwa na [[utamaduni]] wao, waliwapiga [[vita]] watu wa kusini na kuteka wafungwa kama [[watumwa]]. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu. Tangu [[mwaka]] [[2003]] [[petroli]] imekuwa ikiongoza kati ya [[bidhaa]] zinazopelekwa nje ya nchi badala ya [[pamba]]. Tangu [[mwaka]] huo [[Mgogoro wa Darfur]] nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza [[duniani]] kwa [[ufukara]] na [[ufisadi]], ilipata shida kupokea [[wakimbizi]] kwa mamia elfu. Ingawa kulikuwa na [[Chama cha kisiasa|vyama vingi vya siasa]] na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya [[mapinduzi]], [[mamlaka]] ilibaki imara [[Mikono|mikononi]] mwa [[Rais]] [[Idriss Déby]] na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka [[2021]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Chad]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] gycmhef00g0ggeepd6pu5uwebggwsph 1437118 1437081 2025-07-12T09:26:15Z Alexander Rweyemamu 80072 nimeongeza picha ya bendera 1437118 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Chad.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Chad]] '''Historia ya Chad''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Chad]]. Katika [[milenia ya 7 KK]] kulikuwa na watu wengi sana katika [[beseni]] ya [[ziwa Chad]]. Katika [[historia]] kabla ya [[ukoloni]], mara nyingi wakazi wa [[kaskazini]], ambao ni [[Waarabu]] au walioathiriwa na [[utamaduni]] wao, waliwapiga [[vita]] watu wa kusini na kuteka wafungwa kama [[watumwa]]. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu. Tangu [[mwaka]] [[2003]] [[petroli]] imekuwa ikiongoza kati ya [[bidhaa]] zinazopelekwa nje ya nchi badala ya [[pamba]]. Tangu [[mwaka]] huo [[Mgogoro wa Darfur]] nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza [[duniani]] kwa [[ufukara]] na [[ufisadi]], ilipata shida kupokea [[wakimbizi]] kwa mamia elfu. Ingawa kulikuwa na [[Chama cha kisiasa|vyama vingi vya siasa]] na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya [[mapinduzi]], [[mamlaka]] ilibaki imara [[Mikono|mikononi]] mwa [[Rais]] [[Idriss Déby]] na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka [[2021]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Chad]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 71ehmjj2yycbx87tbu0u4yuiqxp4bfc 1437195 1437118 2025-07-12T10:34:00Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437081 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Chad.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Chad]] '''Historia ya Chad''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Chad]]. Katika [[milenia ya 7 KK]] kulikuwa na watu wengi sana katika [[beseni]] ya [[ziwa Chad]]. Katika [[historia]] kabla ya [[ukoloni]], mara nyingi wakazi wa [[kaskazini]], ambao ni [[Waarabu]] au walioathiriwa na [[utamaduni]] wao, waliwapiga [[vita]] watu wa kusini na kuteka wafungwa kama [[watumwa]]. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu. Tangu [[mwaka]] [[2003]] [[petroli]] imekuwa ikiongoza kati ya [[bidhaa]] zinazopelekwa nje ya nchi badala ya [[pamba]]. Tangu [[mwaka]] huo [[Mgogoro wa Darfur]] nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza [[duniani]] kwa [[ufukara]] na [[ufisadi]], ilipata shida kupokea [[wakimbizi]] kwa mamia elfu. Ingawa kulikuwa na [[Chama cha kisiasa|vyama vingi vya siasa]] na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya [[mapinduzi]], [[mamlaka]] ilibaki imara [[Mikono|mikononi]] mwa [[Rais]] [[Idriss Déby]] na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka [[2021]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Chad]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] gycmhef00g0ggeepd6pu5uwebggwsph 1437237 1437195 2025-07-12T11:39:34Z ~2025-18306-1 80081 pasipo TAB 1437237 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Chad.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Chad]] '''Historia ya Chad''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Chad]]. Katika [[milenia ya 7 KK]] kulikuwa na watu wengi sana katika [[beseni]] ya [[ziwa Chad]]. Katika [[historia]] kabla ya [[ukoloni]], mara nyingi wakazi wa [[kaskazini]], ambao ni [[Waarabu]] au walioathiriwa na [[utamaduni]] wao, waliwapiga [[vita]] watu wa kusini na kuteka wafungwa kama [[watumwa]]. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu. Tangu [[mwaka]] [[2003]] [[petroli]] imekuwa ikiongoza kati ya [[bidhaa]] zinazopelekwa nje ya nchi badala ya [[pamba]]. Tangu [[mwaka]] huo [[Mgogoro wa Darfur]] nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza [[duniani]] kwa [[ufukara]] na [[ufisadi]], ilipata shida kupokea [[wakimbizi]] kwa mamia elfu. Ingawa kulikuwa na [[Chama cha kisiasa|vyama vingi vya siasa]] na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya [[mapinduzi]], [[mamlaka]] ilibaki imara [[Mikono|mikononi]] mwa [[Rais]] [[Idriss Déby]] na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka [[2021]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{Mbegu-historia}} [[Jamii:Chad]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] codjctw27law0pzfrj3pd445uqiqtmn 1437252 1437237 2025-07-12T11:45:51Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437252 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Chad.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Chad.]] '''Historia ya Chad''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Chad]]. Katika [[milenia ya 7 KK]] kulikuwa na watu wengi sana katika [[beseni]] ya [[ziwa Chad]]. Katika [[historia]] kabla ya [[ukoloni]], mara nyingi wakazi wa [[kaskazini]], ambao ni [[Waarabu]] au walioathiriwa na [[utamaduni]] wao, waliwapiga [[vita]] watu wa kusini na kuteka wafungwa kama [[watumwa]]. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu. Tangu [[mwaka]] [[2003]] [[petroli]] imekuwa ikiongoza kati ya [[bidhaa]] zinazopelekwa nje ya nchi badala ya [[pamba]]. Tangu [[mwaka]] huo [[Mgogoro wa Darfur]] nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza [[duniani]] kwa [[ufukara]] na [[ufisadi]], ilipata shida kupokea [[wakimbizi]] kwa mamia elfu. Ingawa kulikuwa na [[Chama cha kisiasa|vyama vingi vya siasa]] na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya [[mapinduzi]], [[mamlaka]] ilibaki imara [[Mikono|mikononi]] mwa [[Rais]] [[Idriss Déby]] na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka [[2021]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{Mbegu-historia}} [[Jamii:Chad]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] rndk2q4ib3ac6afihnd3fzgca9dfsue Historia ya Niger 0 78806 1437005 1157856 2025-07-11T21:54:48Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'ya kutawala Niger' kwenye sentensi 1437005 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Niger''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Niger]]. == Uchaguzi wa urais wa 2020-2021 == Jaribio la [[mapinduzi]] lilifanyika [[usiku]] wa kuamkia [[Machi 31]], [[2021]], siku chache kabla ya kuapishwa kwa [[Mohamed Bazoum]], [[rais]] mteule. Mnamo [[Aprili 2]], 2021, Mohamed Bazoum aliapishwa na kuchukua [[madaraka]] ya kutawala Niger. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Niger]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 1iubmhqlv6hcjx3vnw0cl1vxadld8kr 1437006 1437005 2025-07-11T21:56:58Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'aliyekuwa' kwenye sentensi ili kuboresha muundo wa lugha 1437006 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Niger''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Niger]]. == Uchaguzi wa urais wa 2020-2021 == Jaribio la [[mapinduzi]] lilifanyika [[usiku]] wa kuamkia [[Machi 31]], [[2021]], siku chache kabla ya kuapishwa kwa [[Mohamed Bazoum]], aliyekuwa [[rais]] mteule. Mnamo [[Aprili 2]], 2021, Mohamed Bazoum aliapishwa na kuchukua [[madaraka]] ya kutawala Niger. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Niger]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] ax4c3vduox4xobq6eyrynyudtsnu1qx Historia ya Nigeria 0 78807 1437008 1140576 2025-07-11T22:05:12Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'upande wa' na 'ilianza' kwenye sentensi mbili tofauti 1437008 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Nigeria''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Nigeria]]. Kabla ya [[ukoloni]] eneo la Nigeria lilikuwa na falme mbalimbali. Kaskazini ilikuwa chini ya ma[[sultani]] wa Kiislamu wa [[Kano]] na [[Sokoto]]; kusini ilikuwa na falme za [[Benin (ufalme)|Benin]], [[Ife]] na [[Oyo]]. Kwa jumla eneo la Nigeria halikuwahi kuwa pamoja kabla ya kuja kwa wakoloni waliochora mipaka yao bila kujali [[utamaduni]] wa wenyeji. Lilikuwa [[azimio]] la [[Uingereza]] tu kuunganisha maeneo yenye [[utamaduni]] na [[historia]] tofauti kuwa [[koloni]] moja kuanzia mwaka 1800 hivi. ==Historia ya kale (hadi waka 1500)== Tangu mnamo [[500 KK]] kulikuwa na [[Utamaduni wa Nok]] [[kaskazini]] mwa Nigeria. Unajulikana tu kutokana na [[sanamu]] kubwa za watu zilizotengenezwa kwa [[terakota]] ([[udongo]] wa kuchomwa) ambazo zilitengenezwa kati ya 500 KK na [[200]] [[BK]] kufuatana na [[vipimo vya rediokaboni]]. <ref>Nicole Rupp, Peter Breunig & Stefanie Kahlheber, "[http://www.antiquity.ac.uk/projgall/kahlheber/ Exploring the Nok Enigma]", ''Antiquity'' 82.316, June 2008.</ref><ref>B. E. B. Fagg, "The Nok Culture in Prehistory", ''Journal of the Historical Society of Nigeria'' 1.4, December 1959.</ref><ref name=archaeology>{{Cite book|last=Kleiner|first= Fred S.|author2=Christin J. Mamiya |title=Gardner's Art Through the Ages: Non-Western Perspectives|publisher=[[Cengage Learning]]|edition=13, revised|year=2009|page=194|url=https://books.google.com/?id=TlVeuxIgjwQC&dq=Nok+terracotta+earliest|isbn=0-495-57367-1}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.metmuseum.org/toah/hd/nok/hd_nok.htm |title=Nok Terracottas (500 B.C.–200 A.D.) &#124; Thematic Essay &#124; Heilbrunn Timeline of Art History &#124; The Metropolitan Museum of Art |publisher=Metmuseum.org |date=2014-06-02 |accessdate=2014-07-16}}</ref> Kumbukumbu ya mji wa [[Kano]] ilianza katika mwaka [[999]] BK. Upande wa [[kusini]] [[milki ya Nri]] kati ya [[Waigbo]] ilianza kabla ya [[karne ya 10]] BK ikaendelea hadi kumezwa na [[koloni]] la [[Uingereza]] mwaka [[1911]].<ref name="Juang">{{cite book|title=Africa and the Americas: culture, politics, and history : a multidisciplinary encyclopedia, Volume 2|first=Richard M.|last= Juang|page=597|publisher=ABC-CLIO|year=2008|isbn=1-85109-441-5|url=https://books.google.com/books?id=wFrAOqfhuGYC&pg=PA597}}</ref><ref>{{cite book|title=Africa from the seventh to the eleventh Century|first=Ivan|last=Hrbek|page=254|publisher=James Currey Publishers|year=1992|isbn=0-85255-093-6|url=https://books.google.com/books?id=qDFcD0BuekQC&pg=PA254}}</ref> Nri ilitawaliwa na [[mfalme]] ([[Eze Nri]]) na mji wa Nri huangaliwa kama [[chanzo]] cha [[utamaduni]] wa Waigbo.<ref>{{cite book|last=Uzukwu|first=E. Elochukwu|title=Worship as Body Language|year=1997|isbn=0-8146-6151-3|page=93|publisher=Liturgical Press|url=https://books.google.com/?id=9hhmzVrYPHAC&printsec=frontcover}}</ref> Tangu [[karne ya 12]] kuna habari za falme za [[Ife]] na [[Milki ya Oyo|Oyo]] katika kusini [[magharibi]] zilizoundwa na [[Wayoruba]]. <ref name="Falola1">{{cite book|title=A history of Nigeria|first1=Toyin|last1=Falola|first2=Matthew M.|last2=Heaton|page=23|publisher=[[Cambridge University Press]]|year=2008|url=https://books.google.com/books?id=XygZjbNRap0C&pg=PA23 |isbn=0-521-68157-X}}</ref><ref>{{cite book|title=Hegemony and culture: politics and religious change among the Yoruba|first=David D.|last=Laitin|page=111|publisher=[[University of Chicago Press]]|year=1986|isbn=0-226-46790-2|url=https://books.google.com/books?id=dHbrDvGQEbUC&pg=PA111}}</ref> and 14th<ref>{{cite book|title= Peoples of Africa, Volume 1|first1=Fiona|last1=MacDonald|first2=Elizabeth|last2=Paren|first3=Kevin|last3=Shillington|first4=Gillian|last4=Stacey|first5=Philip|last5= Steele|page=385|publisher=Marshall Cavendish|year=2000|isbn=0-7614-7158-8|url=https://books.google.com/books?id=joh5yHfcF-8C&pg=PA385}}</ref> Ife ilianza kukaliwa na watu tangu [[karne ya 9]] na utamaduni wake ulitengeneza sanamu mashuhuri za terakota na [[bronzi]]. <ref name="Falola1"/>. ==Karne za kati== Mnamo mwaka [[1500]] kulikuwa na falme kubwa katika eneo la Nigeria ya leo. Katika kusini ni [[milki ya Benin]] (tofauti na nchi ya leo) na [[Onitsa]] ya Waigbo, katika kaskazini falme za [[Wahausa]] na [[Songhai]] ambazo zilitawaliwa na wafalme au [[Sultani|masultani]] [[Waislamu]]. Falme za kaskazini zilishiriki katika [[biashara ya ng'ambo ya Sahara]] ambako hasa [[chumvi]], [[dhahabu]] na [[watumwa]] walipelekwa kwa njia ya misafara hadi nchi za Waislamu karibu na [[Bahari Mediteranea]]. <ref>[https://books.google.de/books?id=5VghQALn-90C&printsec=frontcover&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=trans%20saharan%20trade&f=false Ralph A. Austen, Trans-Saharan Africa in World History], Oxford University Press, 2010 , uk. 26 (imeangaliwa kupitia google books, tar. 3-12-2016</ref>, <ref>[https://books.google.de/books?id=wYM9HGe2PD0C&pg=PA111&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=kano&f=false Ghislaine Lydon, On Trans-Saharan Trails: Islamic Law, Trade Networks, and Cross-Cultural Exchange in Nineteenth-Century Western Africa] uk. 85f; Cambridge University Press, 2009 ; imeangaliwa kupitia google books 3-12-2016</ref> Wakati huohuo [[wapelelezi]] [[Wareno]] na [[Wahispania]] walianza kufika kwenye [[pwani]] za [[Afrika ya Magharibi]] na pia katika [[delta ya Niger]]. Walianza kujenga vituo vya biashara kwa vibali vya watawala wa sehemu za pwani kama huko [[Lagos]] na [[Calabar]]. [[Wazungu]] walifanya biashara ya [[bidhaa]] mbalimbali na watu wa pwani na hii ilikuwa pia chanzo cha [[biashara ya watumwa ya kuvukia Atlantiki]]. <ref name="diverse-slavery">{{cite book |first=April A. |last=Gordon |title=Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook |publisher=ABC-CLIO |year= 2003 |pages=44–54 |isbn=1576076822 |url=https://books.google.com/books?id=H26pO3vwmHoC&pg=PA54 |access-date=2015-03-29}}</ref> [[Bandari]] ya Calabar kwenye [[Hori ya Biafra]] (leo hii inajulikana zaidi kwa jina la "Bight of Bonny") iliendelea kuwa moja kati ya vituo vya [[biashara ya watumwa]] vikubwa zaidi kwenye pwani ya Afrika ya Magharibi. Vituo vingine vya biashara ya watumwa kwenye pwani ya Nigeria vilikuwa Lagos na [[Badagry]], <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade">{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Ann |last2=Genova |title=Historical Dictionary of Nigeria |publisher=Scarecrow Press |year=2009 |page=328 |isbn=0810863162 |url=https://books.google.com/books?id=rdDKeMEwPdMC&pg=PA328 |access-date=2015-03-29}}</ref> Wangi waliouzwa hapo walifukuwa wafungwa wa [[vita]] vya watawala wenyeji kati yao au walikamatwa katika kampeni zilizoendeshwa kwa shabaha za kupata watumwa wa kuuzwa. <ref>{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Adam |last2=Paddock |title=Environment and Economics in Nigeria |publisher=Routledge |page=78 |year=2012 |isbn=1136662472 |url=https://books.google.com/books?id=ANzFx1O95eAC&pg=PA78 |access-date=2015-03-29}}</ref> Watendaji wakuu walioleta watumwa pwani walitoka katika milki ya Oyo kwenye kusini magharibi na [[Ukhalifa]] wa [[Sokoto]] katika kaskazini. <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade"/> [[Utumwa]] katika maeneo ya Nigeria ya leo haukuanzishwa na watu kutoka [[Ulaya]], ulikuwepo tayari pia biashara ya watumwa.<ref>{{cite web|title=Slavery – Historical survey – Slave societies|work=Encyclopædia Britannica's Guide to Black History|publisher=[[Encyclopædia Britannica]]|year=2011|url=http://www.britannica.com/blackhistory/article-24157|accessdate=28 May 2011}}</ref> Lakini [[soko]] jipya kwenye pwani lililoanzishwa na Wazungu lilibadilisha uwiano katika [[jamii]] nyingi za Kiafrika na pia uhusiano kati ya jamii za Kiafrika. Watawala karibu na pwani waliweza kupata faida kwa kuuza watumwa moja kwa moja kwa Wazungu na waliweza kununua [[silaha za moto]]; wenye silaha za moto waliweza kushinda vita, kupata wafungwa wengi na kuuza wafungwa wengi zaidi. Hivyo mahitaji makubwa ya soko la watumwa la [[Atlantiki]] yalilisha ufuatano wa vita na mashindano ya kukamata wafungwa zaidi.<ref>Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook von April A. Gordon, uk. 49</ref> Idadi ya watumwa ndani ya Nigeria ilizidi kukua katika [[karne ya 19]] ambako biashara ya watumwa kwenye Atlantiki ilikwisha. Manmo [[1890]] mkusanyiko mkubwa wa watumwa katika [[Afrika]] walikuwa watumwa katika milki ya Khalifa wa Sokoto, takriban watu [[milioni]] 2. <ref>"It is estimated that by the 1890s the largest [[Slavery in Africa|slave population]] of the world, about 2 million people, was concentrated in the territories of the [[Sokoto Caliphate]]. The use of slave labor was extensive, especially in agriculture."Kevin Shillington (2005). ''[[Encyclopedia of African History]]''. Michigan University Press. p. 1401. ISBN 1-57958-455-1</ref> ==Karne ya 19 na ukoloni== Tangu mnamo [[1860]] Uingereza ilianza kupanua athira yake katika Nigeria. Uingereza ilikuwa nchi ya kwanza kuwa na [[viwanda]] vingi; viwanda vyake vilihitaji [[mafuta]] kwa matumizi ya [[grisi]] kwa kulainisha mwendo wa [[mashine]]. [[Delta]] ya [[mto Niger]] ilikuwa na [[idadi]] kubwa ya [[michikichi]] inayozalisha mafuta.<ref>[http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf S.O. Aghalino, British colonial policies and the oil palm industry in the Niger delta region of Nigeria] {{Wayback|url=http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf |date=20130116234451 }}, African Study Monographs, 21(1): 19-33, January 2000, tovuti ya Chuo Kikuu cha Kyoto, iliangaliwa 3-12-2016</ref> Hapo shirika kama Royal Niger Company zilipata maeneo makubwa chini ya [[mamlaka]] yao kwa njia ya mapatano na mikataba na watawala wenyeji, malipo na matishio na maeneo haya yaliwekwa baadaye chini ya [[serikali]] ya Uingereza. Kwenye [[mkutano wa Berlin]] madai ya Uingereza juu ya pwani ya Nigeria yalikubaliwa na [[taifa|mataifa]] mengine ya Ulaya. Baadaye Waingereza waliendelea haraka kuhakikisha mamlaka yao juu ya maeneo ya kaskazini ama kwa mapatano au kwa vita kwa kusudi la kuzuia upanuzi wa Ufaransa. Hivyo zilitokea maeneo ya "Southern Nigeria Protectorate" na "Northern Nigeria Protectorate". Hali halisi sehemu hizi haziwahi kuwa na [[umoja]] katika historia lakini hatimaye Uingereza iliamua kutawala maeneo yote kama koloni moja. ==Baada ya uhuru== Nigeria ilipata uhuru wake tarehe [[1 Oktoba]] 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya [[kaskazini]] ya [[eneo lindwa]] la [[Kamerun ya Kiingereza]]. Kati ya miaka [[1967]]-[[1970]] nchi iliona [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]]; magharibi ya nchi, inayokaliwa na Waigbo hasa, ilijaribu kujitenga kwa jina la [[Biafra]], ikipinga [[utawala]] wa [[wanajeshi]] Waislamu. Takriban watu milioni 2 walikufa kwa [[njaa]] wakati ule. Nigeria iliendelea kuvurugika na [[mapinduzi ya kijeshi]]. Tangu [[miaka ya 1970]] Nigeria ilikuwa na [[mapato]] makubwa kutokana na [[mafuta]] yaliyotolewa kutoka [[ardhi]] yake, hasa katika delta ya mto Niger. Ulaji [[rushwa]] na [[ufisadi]] wa watawala wa kijeshi ulizuia [[maendeleo]] ya nchi jinsi ilivyoonekana katika nchi nyingine yenye mafuta. Tangu mwaka 1999 nchi imerudi kwenye [[utawala wa kisheria]] ikapata katiba mpya na kumchagua rais [[Olusegun Obasanjo]] aliyerudishwa [[madaraka]]ni mara moja. Majaribio ya wafuasi wake wa kubadilisha katiba na kumpa kipindi cha tatu yalishindikana bungeni. Katika [[uchaguzi]] wa mwaka 2007 [[Umaru Yar’Adua]] alishinda kwa [[asilimia]] 70 za [[kura]]. Baada ya [[ugonjwa|kungonjeka]] kwake, [[makamu wa rais]] [[Goodluck Jonathan]] alichukua madaraka ya urais kuanzia mwaka [[2010]] akachaguliwa kuwa rais kwenye kura ya mwaka [[2011]]. Mwaka [[2015]] alishindwa katika [[uchaguzi mkuu]] na [[mgombea]] mwenzake, [[Muhammadu Buhari]]. Ni kwamba tangu mwaka [[2009]] hadi Septemba 2015 [[uasi]] wa kundi la [[Boko Haram]] ulivuruga [[amani]] na [[usalama]] nchini Nigeria. [[Wanamgambo]] wa kundi hilo wanaotazamwa na Wanigeria wengi kuwa ma[[gaidi]] walianza kutwaa mamlaka juu ya sehemu za nchi hasa katika mazingira ya jimbo la [[Borno]], kuua wananchi wengi, kuchukua watu [[mateka]] na kupigana na [[jeshi la Nigeria]] na ya nchi jirani. Kutofaulu kwa jeshi la [[taifa]] kumaliza [[ghasia]] hizo ndiyo [[sababu]] muhimu ya kushindwa kwa rais Jonathan kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Kufuata na [[ahadi]] zake kwa wapiga kura, Muhammadu Buhari alijitahidi kukomesha kundi hilo. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Nigeria]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 1ejs5x3sy3i5vk3vsve2lh7rw5ckp6g 1437009 1437008 2025-07-11T22:15:18Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'Benin' na 'ya' kwenye sentensi mbili tofauti 1437009 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Nigeria''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Nigeria]]. Kabla ya [[ukoloni]] eneo la Nigeria lilikuwa na falme mbalimbali. Kaskazini ilikuwa chini ya ma[[sultani]] wa Kiislamu wa [[Kano]] na [[Sokoto]]; kusini ilikuwa na falme za [[Benin (ufalme)|Benin]], [[Ife]] na [[Oyo]]. Kwa jumla eneo la Nigeria halikuwahi kuwa pamoja kabla ya kuja kwa wakoloni waliochora mipaka yao bila kujali [[utamaduni]] wa wenyeji. Lilikuwa [[azimio]] la [[Uingereza]] tu kuunganisha maeneo yenye [[utamaduni]] na [[historia]] tofauti kuwa [[koloni]] moja kuanzia mwaka 1800 hivi. ==Historia ya kale (hadi waka 1500)== Tangu mnamo [[500 KK]] kulikuwa na [[Utamaduni wa Nok]] [[kaskazini]] mwa Nigeria. Unajulikana tu kutokana na [[sanamu]] kubwa za watu zilizotengenezwa kwa [[terakota]] ([[udongo]] wa kuchomwa) ambazo zilitengenezwa kati ya 500 KK na [[200]] [[BK]] kufuatana na [[vipimo vya rediokaboni]]. <ref>Nicole Rupp, Peter Breunig & Stefanie Kahlheber, "[http://www.antiquity.ac.uk/projgall/kahlheber/ Exploring the Nok Enigma]", ''Antiquity'' 82.316, June 2008.</ref><ref>B. E. B. Fagg, "The Nok Culture in Prehistory", ''Journal of the Historical Society of Nigeria'' 1.4, December 1959.</ref><ref name=archaeology>{{Cite book|last=Kleiner|first= Fred S.|author2=Christin J. Mamiya |title=Gardner's Art Through the Ages: Non-Western Perspectives|publisher=[[Cengage Learning]]|edition=13, revised|year=2009|page=194|url=https://books.google.com/?id=TlVeuxIgjwQC&dq=Nok+terracotta+earliest|isbn=0-495-57367-1}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.metmuseum.org/toah/hd/nok/hd_nok.htm |title=Nok Terracottas (500 B.C.–200 A.D.) &#124; Thematic Essay &#124; Heilbrunn Timeline of Art History &#124; The Metropolitan Museum of Art |publisher=Metmuseum.org |date=2014-06-02 |accessdate=2014-07-16}}</ref> Kumbukumbu ya mji wa [[Kano]] ilianza katika mwaka [[999]] BK. Upande wa [[kusini]] [[milki ya Nri]] kati ya [[Waigbo]] ilianza kabla ya [[karne ya 10]] BK ikaendelea hadi kumezwa na [[koloni]] la [[Uingereza]] mwaka [[1911]].<ref name="Juang">{{cite book|title=Africa and the Americas: culture, politics, and history : a multidisciplinary encyclopedia, Volume 2|first=Richard M.|last= Juang|page=597|publisher=ABC-CLIO|year=2008|isbn=1-85109-441-5|url=https://books.google.com/books?id=wFrAOqfhuGYC&pg=PA597}}</ref><ref>{{cite book|title=Africa from the seventh to the eleventh Century|first=Ivan|last=Hrbek|page=254|publisher=James Currey Publishers|year=1992|isbn=0-85255-093-6|url=https://books.google.com/books?id=qDFcD0BuekQC&pg=PA254}}</ref> Nri ilitawaliwa na [[mfalme]] ([[Eze Nri]]) na mji wa Nri huangaliwa kama [[chanzo]] cha [[utamaduni]] wa Waigbo.<ref>{{cite book|last=Uzukwu|first=E. Elochukwu|title=Worship as Body Language|year=1997|isbn=0-8146-6151-3|page=93|publisher=Liturgical Press|url=https://books.google.com/?id=9hhmzVrYPHAC&printsec=frontcover}}</ref> Tangu [[karne ya 12]] kuna habari za falme za [[Ife]] na [[Milki ya Oyo|Oyo]] katika kusini [[magharibi]] zilizoundwa na [[Wayoruba]]. <ref name="Falola1">{{cite book|title=A history of Nigeria|first1=Toyin|last1=Falola|first2=Matthew M.|last2=Heaton|page=23|publisher=[[Cambridge University Press]]|year=2008|url=https://books.google.com/books?id=XygZjbNRap0C&pg=PA23 |isbn=0-521-68157-X}}</ref><ref>{{cite book|title=Hegemony and culture: politics and religious change among the Yoruba|first=David D.|last=Laitin|page=111|publisher=[[University of Chicago Press]]|year=1986|isbn=0-226-46790-2|url=https://books.google.com/books?id=dHbrDvGQEbUC&pg=PA111}}</ref> and 14th<ref>{{cite book|title= Peoples of Africa, Volume 1|first1=Fiona|last1=MacDonald|first2=Elizabeth|last2=Paren|first3=Kevin|last3=Shillington|first4=Gillian|last4=Stacey|first5=Philip|last5= Steele|page=385|publisher=Marshall Cavendish|year=2000|isbn=0-7614-7158-8|url=https://books.google.com/books?id=joh5yHfcF-8C&pg=PA385}}</ref> Ife ilianza kukaliwa na watu tangu [[karne ya 9]] na utamaduni wake ulitengeneza sanamu mashuhuri za terakota na [[bronzi]]. <ref name="Falola1"/>. ==Karne za kati== Mnamo mwaka [[1500]] kulikuwa na falme kubwa katika eneo la Nigeria ya leo. Katika kusini ni [[milki ya Benin]] (tofauti na Benin ya leo) na [[Onitsa]] ya Waigbo, katika kaskazini falme za [[Wahausa]] na [[Songhai]] ambazo zilitawaliwa na wafalme au [[Sultani|masultani]] [[Waislamu]]. Falme za kaskazini zilishiriki katika [[biashara ya ng'ambo ya Sahara]] ambako hasa [[chumvi]], [[dhahabu]] na [[watumwa]] walipelekwa kwa njia ya misafara hadi nchi za Waislamu karibu na [[Bahari Mediteranea]]. <ref>[https://books.google.de/books?id=5VghQALn-90C&printsec=frontcover&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=trans%20saharan%20trade&f=false Ralph A. Austen, Trans-Saharan Africa in World History], Oxford University Press, 2010 , uk. 26 (imeangaliwa kupitia google books, tar. 3-12-2016</ref>, <ref>[https://books.google.de/books?id=wYM9HGe2PD0C&pg=PA111&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=kano&f=false Ghislaine Lydon, On Trans-Saharan Trails: Islamic Law, Trade Networks, and Cross-Cultural Exchange in Nineteenth-Century Western Africa] uk. 85f; Cambridge University Press, 2009 ; imeangaliwa kupitia google books 3-12-2016</ref> Wakati huohuo [[wapelelezi]] [[Wareno]] na [[Wahispania]] walianza kufika kwenye [[pwani]] ya [[Afrika ya Magharibi]] na pia katika [[delta ya Niger]]. Walianza kujenga vituo vya biashara kwa vibali vya watawala wa sehemu za pwani kama huko [[Lagos]] na [[Calabar]]. [[Wazungu]] walifanya biashara ya [[bidhaa]] mbalimbali na watu wa pwani na hii ilikuwa pia chanzo cha [[biashara ya watumwa ya kuvukia Atlantiki]]. <ref name="diverse-slavery">{{cite book |first=April A. |last=Gordon |title=Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook |publisher=ABC-CLIO |year= 2003 |pages=44–54 |isbn=1576076822 |url=https://books.google.com/books?id=H26pO3vwmHoC&pg=PA54 |access-date=2015-03-29}}</ref> [[Bandari]] ya Calabar kwenye [[Hori ya Biafra]] (leo hii inajulikana zaidi kwa jina la "Bight of Bonny") iliendelea kuwa moja kati ya vituo vya [[biashara ya watumwa]] vikubwa zaidi kwenye pwani ya Afrika ya Magharibi. Vituo vingine vya biashara ya watumwa kwenye pwani ya Nigeria vilikuwa Lagos na [[Badagry]], <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade">{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Ann |last2=Genova |title=Historical Dictionary of Nigeria |publisher=Scarecrow Press |year=2009 |page=328 |isbn=0810863162 |url=https://books.google.com/books?id=rdDKeMEwPdMC&pg=PA328 |access-date=2015-03-29}}</ref> Wengi waliouzwa hapo walikuwa wafungwa wa [[vita]] vya watawala wenyeji kati yao au walikamatwa katika kampeni zilizoendeshwa kwa shabaha za kupata watumwa wa kuuzwa. <ref>{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Adam |last2=Paddock |title=Environment and Economics in Nigeria |publisher=Routledge |page=78 |year=2012 |isbn=1136662472 |url=https://books.google.com/books?id=ANzFx1O95eAC&pg=PA78 |access-date=2015-03-29}}</ref> Watendaji wakuu walioleta watumwa pwani walitoka katika milki ya Oyo kwenye kusini magharibi na [[Ukhalifa]] wa [[Sokoto]] katika kaskazini. <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade"/> [[Utumwa]] katika maeneo ya Nigeria ya leo haukuanzishwa na watu kutoka [[Ulaya]], ulikuwepo tayari pia biashara ya watumwa.<ref>{{cite web|title=Slavery – Historical survey – Slave societies|work=Encyclopædia Britannica's Guide to Black History|publisher=[[Encyclopædia Britannica]]|year=2011|url=http://www.britannica.com/blackhistory/article-24157|accessdate=28 May 2011}}</ref> Lakini [[soko]] jipya kwenye pwani lililoanzishwa na Wazungu lilibadilisha uwiano katika [[jamii]] nyingi za Kiafrika na pia uhusiano kati ya jamii za Kiafrika. Watawala karibu na pwani waliweza kupata faida kwa kuuza watumwa moja kwa moja kwa Wazungu na waliweza kununua [[silaha za moto]]; wenye silaha za moto waliweza kushinda vita, kupata wafungwa wengi na kuuza wafungwa wengi zaidi. Hivyo mahitaji makubwa ya soko la watumwa la [[Atlantiki]] yalilisha ufuatano wa vita na mashindano ya kukamata wafungwa zaidi.<ref>Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook von April A. Gordon, uk. 49</ref> Idadi ya watumwa ndani ya Nigeria ilizidi kukua katika [[karne ya 19]] ambako biashara ya watumwa kwenye Atlantiki ilikwisha. Manmo [[1890]] mkusanyiko mkubwa wa watumwa katika [[Afrika]] walikuwa watumwa katika milki ya Khalifa wa Sokoto, takriban watu [[milioni]] 2. <ref>"It is estimated that by the 1890s the largest [[Slavery in Africa|slave population]] of the world, about 2 million people, was concentrated in the territories of the [[Sokoto Caliphate]]. The use of slave labor was extensive, especially in agriculture."Kevin Shillington (2005). ''[[Encyclopedia of African History]]''. Michigan University Press. p. 1401. ISBN 1-57958-455-1</ref> ==Karne ya 19 na ukoloni== Tangu mnamo [[1860]] Uingereza ilianza kupanua athira yake katika Nigeria. Uingereza ilikuwa nchi ya kwanza kuwa na [[viwanda]] vingi; viwanda vyake vilihitaji [[mafuta]] kwa matumizi ya [[grisi]] kwa kulainisha mwendo wa [[mashine]]. [[Delta]] ya [[mto Niger]] ilikuwa na [[idadi]] kubwa ya [[michikichi]] inayozalisha mafuta.<ref>[http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf S.O. Aghalino, British colonial policies and the oil palm industry in the Niger delta region of Nigeria] {{Wayback|url=http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf |date=20130116234451 }}, African Study Monographs, 21(1): 19-33, January 2000, tovuti ya Chuo Kikuu cha Kyoto, iliangaliwa 3-12-2016</ref> Hapo shirika kama Royal Niger Company zilipata maeneo makubwa chini ya [[mamlaka]] yao kwa njia ya mapatano na mikataba na watawala wenyeji, malipo na matishio na maeneo haya yaliwekwa baadaye chini ya [[serikali]] ya Uingereza. Kwenye [[mkutano wa Berlin]] madai ya Uingereza juu ya pwani ya Nigeria yalikubaliwa na [[taifa|mataifa]] mengine ya Ulaya. Baadaye Waingereza waliendelea haraka kuhakikisha mamlaka yao juu ya maeneo ya kaskazini ama kwa mapatano au kwa vita kwa kusudi la kuzuia upanuzi wa Ufaransa. Hivyo zilitokea maeneo ya "Southern Nigeria Protectorate" na "Northern Nigeria Protectorate". Hali halisi sehemu hizi haziwahi kuwa na [[umoja]] katika historia lakini hatimaye Uingereza iliamua kutawala maeneo yote kama koloni moja. ==Baada ya uhuru== Nigeria ilipata uhuru wake tarehe [[1 Oktoba]] 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya [[kaskazini]] ya [[eneo lindwa]] la [[Kamerun ya Kiingereza]]. Kati ya miaka [[1967]]-[[1970]] nchi iliona [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]]; magharibi ya nchi, inayokaliwa na Waigbo hasa, ilijaribu kujitenga kwa jina la [[Biafra]], ikipinga [[utawala]] wa [[wanajeshi]] Waislamu. Takriban watu milioni 2 walikufa kwa [[njaa]] wakati ule. Nigeria iliendelea kuvurugika na [[mapinduzi ya kijeshi]]. Tangu [[miaka ya 1970]] Nigeria ilikuwa na [[mapato]] makubwa kutokana na [[mafuta]] yaliyotolewa kutoka [[ardhi]] yake, hasa katika delta ya mto Niger. Ulaji [[rushwa]] na [[ufisadi]] wa watawala wa kijeshi ulizuia [[maendeleo]] ya nchi jinsi ilivyoonekana katika nchi nyingine yenye mafuta. Tangu mwaka 1999 nchi imerudi kwenye [[utawala wa kisheria]] ikapata katiba mpya na kumchagua rais [[Olusegun Obasanjo]] aliyerudishwa [[madaraka]]ni mara moja. Majaribio ya wafuasi wake wa kubadilisha katiba na kumpa kipindi cha tatu yalishindikana bungeni. Katika [[uchaguzi]] wa mwaka 2007 [[Umaru Yar’Adua]] alishinda kwa [[asilimia]] 70 za [[kura]]. Baada ya [[ugonjwa|kungonjeka]] kwake, [[makamu wa rais]] [[Goodluck Jonathan]] alichukua madaraka ya urais kuanzia mwaka [[2010]] akachaguliwa kuwa rais kwenye kura ya mwaka [[2011]]. Mwaka [[2015]] alishindwa katika [[uchaguzi mkuu]] na [[mgombea]] mwenzake, [[Muhammadu Buhari]]. Ni kwamba tangu mwaka [[2009]] hadi Septemba 2015 [[uasi]] wa kundi la [[Boko Haram]] ulivuruga [[amani]] na [[usalama]] nchini Nigeria. [[Wanamgambo]] wa kundi hilo wanaotazamwa na Wanigeria wengi kuwa ma[[gaidi]] walianza kutwaa mamlaka juu ya sehemu za nchi hasa katika mazingira ya jimbo la [[Borno]], kuua wananchi wengi, kuchukua watu [[mateka]] na kupigana na [[jeshi la Nigeria]] na ya nchi jirani. Kutofaulu kwa jeshi la [[taifa]] kumaliza [[ghasia]] hizo ndiyo [[sababu]] muhimu ya kushindwa kwa rais Jonathan kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Kufuata na [[ahadi]] zake kwa wapiga kura, Muhammadu Buhari alijitahidi kukomesha kundi hilo. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Nigeria]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] qxhyn7gask8thymayvz017yvhvnjsut 1437010 1437009 2025-07-11T22:19:36Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza neno 'mwaka' kwenye sentensi ili kuleta maana zaidi 1437010 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Nigeria''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Nigeria]]. Kabla ya [[ukoloni]] eneo la Nigeria lilikuwa na falme mbalimbali. Kaskazini ilikuwa chini ya ma[[sultani]] wa Kiislamu wa [[Kano]] na [[Sokoto]]; kusini ilikuwa na falme za [[Benin (ufalme)|Benin]], [[Ife]] na [[Oyo]]. Kwa jumla eneo la Nigeria halikuwahi kuwa pamoja kabla ya kuja kwa wakoloni waliochora mipaka yao bila kujali [[utamaduni]] wa wenyeji. Lilikuwa [[azimio]] la [[Uingereza]] tu kuunganisha maeneo yenye [[utamaduni]] na [[historia]] tofauti kuwa [[koloni]] moja kuanzia mwaka 1800 hivi. ==Historia ya kale (hadi waka 1500)== Tangu mnamo [[500 KK]] kulikuwa na [[Utamaduni wa Nok]] [[kaskazini]] mwa Nigeria. Unajulikana tu kutokana na [[sanamu]] kubwa za watu zilizotengenezwa kwa [[terakota]] ([[udongo]] wa kuchomwa) ambazo zilitengenezwa kati ya 500 KK na [[200]] [[BK]] kufuatana na [[vipimo vya rediokaboni]]. <ref>Nicole Rupp, Peter Breunig & Stefanie Kahlheber, "[http://www.antiquity.ac.uk/projgall/kahlheber/ Exploring the Nok Enigma]", ''Antiquity'' 82.316, June 2008.</ref><ref>B. E. B. Fagg, "The Nok Culture in Prehistory", ''Journal of the Historical Society of Nigeria'' 1.4, December 1959.</ref><ref name=archaeology>{{Cite book|last=Kleiner|first= Fred S.|author2=Christin J. Mamiya |title=Gardner's Art Through the Ages: Non-Western Perspectives|publisher=[[Cengage Learning]]|edition=13, revised|year=2009|page=194|url=https://books.google.com/?id=TlVeuxIgjwQC&dq=Nok+terracotta+earliest|isbn=0-495-57367-1}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.metmuseum.org/toah/hd/nok/hd_nok.htm |title=Nok Terracottas (500 B.C.–200 A.D.) &#124; Thematic Essay &#124; Heilbrunn Timeline of Art History &#124; The Metropolitan Museum of Art |publisher=Metmuseum.org |date=2014-06-02 |accessdate=2014-07-16}}</ref> Kumbukumbu ya mji wa [[Kano]] ilianza katika mwaka [[999]] BK. Upande wa [[kusini]] [[milki ya Nri]] kati ya [[Waigbo]] ilianza kabla ya [[karne ya 10]] BK ikaendelea hadi kumezwa na [[koloni]] la [[Uingereza]] mwaka [[1911]].<ref name="Juang">{{cite book|title=Africa and the Americas: culture, politics, and history : a multidisciplinary encyclopedia, Volume 2|first=Richard M.|last= Juang|page=597|publisher=ABC-CLIO|year=2008|isbn=1-85109-441-5|url=https://books.google.com/books?id=wFrAOqfhuGYC&pg=PA597}}</ref><ref>{{cite book|title=Africa from the seventh to the eleventh Century|first=Ivan|last=Hrbek|page=254|publisher=James Currey Publishers|year=1992|isbn=0-85255-093-6|url=https://books.google.com/books?id=qDFcD0BuekQC&pg=PA254}}</ref> Nri ilitawaliwa na [[mfalme]] ([[Eze Nri]]) na mji wa Nri huangaliwa kama [[chanzo]] cha [[utamaduni]] wa Waigbo.<ref>{{cite book|last=Uzukwu|first=E. Elochukwu|title=Worship as Body Language|year=1997|isbn=0-8146-6151-3|page=93|publisher=Liturgical Press|url=https://books.google.com/?id=9hhmzVrYPHAC&printsec=frontcover}}</ref> Tangu [[karne ya 12]] kuna habari za falme za [[Ife]] na [[Milki ya Oyo|Oyo]] katika kusini [[magharibi]] zilizoundwa na [[Wayoruba]]. <ref name="Falola1">{{cite book|title=A history of Nigeria|first1=Toyin|last1=Falola|first2=Matthew M.|last2=Heaton|page=23|publisher=[[Cambridge University Press]]|year=2008|url=https://books.google.com/books?id=XygZjbNRap0C&pg=PA23 |isbn=0-521-68157-X}}</ref><ref>{{cite book|title=Hegemony and culture: politics and religious change among the Yoruba|first=David D.|last=Laitin|page=111|publisher=[[University of Chicago Press]]|year=1986|isbn=0-226-46790-2|url=https://books.google.com/books?id=dHbrDvGQEbUC&pg=PA111}}</ref> and 14th<ref>{{cite book|title= Peoples of Africa, Volume 1|first1=Fiona|last1=MacDonald|first2=Elizabeth|last2=Paren|first3=Kevin|last3=Shillington|first4=Gillian|last4=Stacey|first5=Philip|last5= Steele|page=385|publisher=Marshall Cavendish|year=2000|isbn=0-7614-7158-8|url=https://books.google.com/books?id=joh5yHfcF-8C&pg=PA385}}</ref> Ife ilianza kukaliwa na watu tangu [[karne ya 9]] na utamaduni wake ulitengeneza sanamu mashuhuri za terakota na [[bronzi]]. <ref name="Falola1"/>. ==Karne za kati== Mnamo mwaka [[1500]] kulikuwa na falme kubwa katika eneo la Nigeria ya leo. Katika kusini ni [[milki ya Benin]] (tofauti na Benin ya leo) na [[Onitsa]] ya Waigbo, katika kaskazini falme za [[Wahausa]] na [[Songhai]] ambazo zilitawaliwa na wafalme au [[Sultani|masultani]] [[Waislamu]]. Falme za kaskazini zilishiriki katika [[biashara ya ng'ambo ya Sahara]] ambako hasa [[chumvi]], [[dhahabu]] na [[watumwa]] walipelekwa kwa njia ya misafara hadi nchi za Waislamu karibu na [[Bahari Mediteranea]]. <ref>[https://books.google.de/books?id=5VghQALn-90C&printsec=frontcover&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=trans%20saharan%20trade&f=false Ralph A. Austen, Trans-Saharan Africa in World History], Oxford University Press, 2010 , uk. 26 (imeangaliwa kupitia google books, tar. 3-12-2016</ref>, <ref>[https://books.google.de/books?id=wYM9HGe2PD0C&pg=PA111&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=kano&f=false Ghislaine Lydon, On Trans-Saharan Trails: Islamic Law, Trade Networks, and Cross-Cultural Exchange in Nineteenth-Century Western Africa] uk. 85f; Cambridge University Press, 2009 ; imeangaliwa kupitia google books 3-12-2016</ref> Wakati huohuo [[wapelelezi]] [[Wareno]] na [[Wahispania]] walianza kufika kwenye [[pwani]] ya [[Afrika ya Magharibi]] na pia katika [[delta ya Niger]]. Walianza kujenga vituo vya biashara kwa vibali vya watawala wa sehemu za pwani kama huko [[Lagos]] na [[Calabar]]. [[Wazungu]] walifanya biashara ya [[bidhaa]] mbalimbali na watu wa pwani na hii ilikuwa pia chanzo cha [[biashara ya watumwa ya kuvukia Atlantiki]]. <ref name="diverse-slavery">{{cite book |first=April A. |last=Gordon |title=Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook |publisher=ABC-CLIO |year= 2003 |pages=44–54 |isbn=1576076822 |url=https://books.google.com/books?id=H26pO3vwmHoC&pg=PA54 |access-date=2015-03-29}}</ref> [[Bandari]] ya Calabar kwenye [[Hori ya Biafra]] (leo hii inajulikana zaidi kwa jina la "Bight of Bonny") iliendelea kuwa moja kati ya vituo vya [[biashara ya watumwa]] vikubwa zaidi kwenye pwani ya Afrika ya Magharibi. Vituo vingine vya biashara ya watumwa kwenye pwani ya Nigeria vilikuwa Lagos na [[Badagry]], <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade">{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Ann |last2=Genova |title=Historical Dictionary of Nigeria |publisher=Scarecrow Press |year=2009 |page=328 |isbn=0810863162 |url=https://books.google.com/books?id=rdDKeMEwPdMC&pg=PA328 |access-date=2015-03-29}}</ref> Wengi waliouzwa hapo walikuwa wafungwa wa [[vita]] vya watawala wenyeji kati yao au walikamatwa katika kampeni zilizoendeshwa kwa shabaha za kupata watumwa wa kuuzwa. <ref>{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Adam |last2=Paddock |title=Environment and Economics in Nigeria |publisher=Routledge |page=78 |year=2012 |isbn=1136662472 |url=https://books.google.com/books?id=ANzFx1O95eAC&pg=PA78 |access-date=2015-03-29}}</ref> Watendaji wakuu walioleta watumwa pwani walitoka katika milki ya Oyo kwenye kusini magharibi na [[Ukhalifa]] wa [[Sokoto]] katika kaskazini. <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade"/> [[Utumwa]] katika maeneo ya Nigeria ya leo haukuanzishwa na watu kutoka [[Ulaya]], ulikuwepo tayari pia biashara ya watumwa.<ref>{{cite web|title=Slavery – Historical survey – Slave societies|work=Encyclopædia Britannica's Guide to Black History|publisher=[[Encyclopædia Britannica]]|year=2011|url=http://www.britannica.com/blackhistory/article-24157|accessdate=28 May 2011}}</ref> Lakini [[soko]] jipya kwenye pwani lililoanzishwa na Wazungu lilibadilisha uwiano katika [[jamii]] nyingi za Kiafrika na pia uhusiano kati ya jamii za Kiafrika. Watawala karibu na pwani waliweza kupata faida kwa kuuza watumwa moja kwa moja kwa Wazungu na waliweza kununua [[silaha za moto]]; wenye silaha za moto waliweza kushinda vita, kupata wafungwa wengi na kuuza wafungwa wengi zaidi. Hivyo mahitaji makubwa ya soko la watumwa la [[Atlantiki]] yalilisha ufuatano wa vita na mashindano ya kukamata wafungwa zaidi.<ref>Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook von April A. Gordon, uk. 49</ref> Idadi ya watumwa ndani ya Nigeria ilizidi kukua katika [[karne ya 19]] ambako biashara ya watumwa kwenye Atlantiki ilikwisha. Manmo [[1890]] mkusanyiko mkubwa wa watumwa katika [[Afrika]] walikuwa watumwa katika milki ya Khalifa wa Sokoto, takriban watu [[milioni]] 2. <ref>"It is estimated that by the 1890s the largest [[Slavery in Africa|slave population]] of the world, about 2 million people, was concentrated in the territories of the [[Sokoto Caliphate]]. The use of slave labor was extensive, especially in agriculture."Kevin Shillington (2005). ''[[Encyclopedia of African History]]''. Michigan University Press. p. 1401. ISBN 1-57958-455-1</ref> ==Karne ya 19 na ukoloni== Tangu mwaka [[1860]] Uingereza ilianza kupanua athira yake katika Nigeria. Uingereza ilikuwa nchi ya kwanza kuwa na [[viwanda]] vingi; viwanda vyake vilihitaji [[mafuta]] kwa matumizi ya [[grisi]] kwa kulainisha mwendo wa [[mashine]]. [[Delta]] ya [[mto Niger]] ilikuwa na [[idadi]] kubwa ya [[michikichi]] inayozalisha mafuta.<ref>[http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf S.O. Aghalino, British colonial policies and the oil palm industry in the Niger delta region of Nigeria] {{Wayback|url=http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf |date=20130116234451 }}, African Study Monographs, 21(1): 19-33, January 2000, tovuti ya Chuo Kikuu cha Kyoto, iliangaliwa 3-12-2016</ref> Hapo shirika kama Royal Niger Company zilipata maeneo makubwa chini ya [[mamlaka]] yao kwa njia ya mapatano na mikataba na watawala wenyeji, malipo na matishio na maeneo haya yaliwekwa baadaye chini ya [[serikali]] ya Uingereza. Kwenye [[mkutano wa Berlin]] madai ya Uingereza juu ya pwani ya Nigeria yalikubaliwa na [[taifa|mataifa]] mengine ya Ulaya. Baadaye Waingereza waliendelea haraka kuhakikisha mamlaka yao juu ya maeneo ya kaskazini ama kwa mapatano au kwa vita kwa kusudi la kuzuia upanuzi wa Ufaransa. Hivyo zilitokea maeneo ya "Southern Nigeria Protectorate" na "Northern Nigeria Protectorate". Hali halisi sehemu hizi haziwahi kuwa na [[umoja]] katika historia lakini hatimaye Uingereza iliamua kutawala maeneo yote kama koloni moja. ==Baada ya uhuru== Nigeria ilipata uhuru wake tarehe [[1 Oktoba]] 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya [[kaskazini]] ya [[eneo lindwa]] la [[Kamerun ya Kiingereza]]. Kati ya miaka [[1967]]-[[1970]] nchi iliona [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]]; magharibi ya nchi, inayokaliwa na Waigbo hasa, ilijaribu kujitenga kwa jina la [[Biafra]], ikipinga [[utawala]] wa [[wanajeshi]] Waislamu. Takriban watu milioni 2 walikufa kwa [[njaa]] wakati ule. Nigeria iliendelea kuvurugika na [[mapinduzi ya kijeshi]]. Tangu [[miaka ya 1970]] Nigeria ilikuwa na [[mapato]] makubwa kutokana na [[mafuta]] yaliyotolewa kutoka [[ardhi]] yake, hasa katika delta ya mto Niger. Ulaji [[rushwa]] na [[ufisadi]] wa watawala wa kijeshi ulizuia [[maendeleo]] ya nchi jinsi ilivyoonekana katika nchi nyingine yenye mafuta. Tangu mwaka 1999 nchi imerudi kwenye [[utawala wa kisheria]] ikapata katiba mpya na kumchagua rais [[Olusegun Obasanjo]] aliyerudishwa [[madaraka]]ni mara moja. Majaribio ya wafuasi wake wa kubadilisha katiba na kumpa kipindi cha tatu yalishindikana bungeni. Katika [[uchaguzi]] wa mwaka 2007 [[Umaru Yar’Adua]] alishinda kwa [[asilimia]] 70 za [[kura]]. Baada ya [[ugonjwa|kungonjeka]] kwake, [[makamu wa rais]] [[Goodluck Jonathan]] alichukua madaraka ya urais kuanzia mwaka [[2010]] akachaguliwa kuwa rais kwenye kura ya mwaka [[2011]]. Mwaka [[2015]] alishindwa katika [[uchaguzi mkuu]] na [[mgombea]] mwenzake, [[Muhammadu Buhari]]. Ni kwamba tangu mwaka [[2009]] hadi Septemba 2015 [[uasi]] wa kundi la [[Boko Haram]] ulivuruga [[amani]] na [[usalama]] nchini Nigeria. [[Wanamgambo]] wa kundi hilo wanaotazamwa na Wanigeria wengi kuwa ma[[gaidi]] walianza kutwaa mamlaka juu ya sehemu za nchi hasa katika mazingira ya jimbo la [[Borno]], kuua wananchi wengi, kuchukua watu [[mateka]] na kupigana na [[jeshi la Nigeria]] na ya nchi jirani. Kutofaulu kwa jeshi la [[taifa]] kumaliza [[ghasia]] hizo ndiyo [[sababu]] muhimu ya kushindwa kwa rais Jonathan kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Kufuata na [[ahadi]] zake kwa wapiga kura, Muhammadu Buhari alijitahidi kukomesha kundi hilo. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Nigeria]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] tqxczmcylg6rkxa3yq3mehbrnwcz0lv 1437012 1437010 2025-07-11T22:28:51Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'kufuatia' na 'na' kwenye sentensi mbili tofauti 1437012 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Nigeria''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Nigeria]]. Kabla ya [[ukoloni]] eneo la Nigeria lilikuwa na falme mbalimbali. Kaskazini ilikuwa chini ya ma[[sultani]] wa Kiislamu wa [[Kano]] na [[Sokoto]]; kusini ilikuwa na falme za [[Benin (ufalme)|Benin]], [[Ife]] na [[Oyo]]. Kwa jumla eneo la Nigeria halikuwahi kuwa pamoja kabla ya kuja kwa wakoloni waliochora mipaka yao bila kujali [[utamaduni]] wa wenyeji. Lilikuwa [[azimio]] la [[Uingereza]] tu kuunganisha maeneo yenye [[utamaduni]] na [[historia]] tofauti kuwa [[koloni]] moja kuanzia mwaka 1800 hivi. ==Historia ya kale (hadi waka 1500)== Tangu mnamo [[500 KK]] kulikuwa na [[Utamaduni wa Nok]] [[kaskazini]] mwa Nigeria. Unajulikana tu kutokana na [[sanamu]] kubwa za watu zilizotengenezwa kwa [[terakota]] ([[udongo]] wa kuchomwa) ambazo zilitengenezwa kati ya 500 KK na [[200]] [[BK]] kufuatana na [[vipimo vya rediokaboni]]. <ref>Nicole Rupp, Peter Breunig & Stefanie Kahlheber, "[http://www.antiquity.ac.uk/projgall/kahlheber/ Exploring the Nok Enigma]", ''Antiquity'' 82.316, June 2008.</ref><ref>B. E. B. Fagg, "The Nok Culture in Prehistory", ''Journal of the Historical Society of Nigeria'' 1.4, December 1959.</ref><ref name=archaeology>{{Cite book|last=Kleiner|first= Fred S.|author2=Christin J. Mamiya |title=Gardner's Art Through the Ages: Non-Western Perspectives|publisher=[[Cengage Learning]]|edition=13, revised|year=2009|page=194|url=https://books.google.com/?id=TlVeuxIgjwQC&dq=Nok+terracotta+earliest|isbn=0-495-57367-1}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.metmuseum.org/toah/hd/nok/hd_nok.htm |title=Nok Terracottas (500 B.C.–200 A.D.) &#124; Thematic Essay &#124; Heilbrunn Timeline of Art History &#124; The Metropolitan Museum of Art |publisher=Metmuseum.org |date=2014-06-02 |accessdate=2014-07-16}}</ref> Kumbukumbu ya mji wa [[Kano]] ilianza katika mwaka [[999]] BK. Upande wa [[kusini]] [[milki ya Nri]] kati ya [[Waigbo]] ilianza kabla ya [[karne ya 10]] BK ikaendelea hadi kumezwa na [[koloni]] la [[Uingereza]] mwaka [[1911]].<ref name="Juang">{{cite book|title=Africa and the Americas: culture, politics, and history : a multidisciplinary encyclopedia, Volume 2|first=Richard M.|last= Juang|page=597|publisher=ABC-CLIO|year=2008|isbn=1-85109-441-5|url=https://books.google.com/books?id=wFrAOqfhuGYC&pg=PA597}}</ref><ref>{{cite book|title=Africa from the seventh to the eleventh Century|first=Ivan|last=Hrbek|page=254|publisher=James Currey Publishers|year=1992|isbn=0-85255-093-6|url=https://books.google.com/books?id=qDFcD0BuekQC&pg=PA254}}</ref> Nri ilitawaliwa na [[mfalme]] ([[Eze Nri]]) na mji wa Nri huangaliwa kama [[chanzo]] cha [[utamaduni]] wa Waigbo.<ref>{{cite book|last=Uzukwu|first=E. Elochukwu|title=Worship as Body Language|year=1997|isbn=0-8146-6151-3|page=93|publisher=Liturgical Press|url=https://books.google.com/?id=9hhmzVrYPHAC&printsec=frontcover}}</ref> Tangu [[karne ya 12]] kuna habari za falme za [[Ife]] na [[Milki ya Oyo|Oyo]] katika kusini [[magharibi]] zilizoundwa na [[Wayoruba]]. <ref name="Falola1">{{cite book|title=A history of Nigeria|first1=Toyin|last1=Falola|first2=Matthew M.|last2=Heaton|page=23|publisher=[[Cambridge University Press]]|year=2008|url=https://books.google.com/books?id=XygZjbNRap0C&pg=PA23 |isbn=0-521-68157-X}}</ref><ref>{{cite book|title=Hegemony and culture: politics and religious change among the Yoruba|first=David D.|last=Laitin|page=111|publisher=[[University of Chicago Press]]|year=1986|isbn=0-226-46790-2|url=https://books.google.com/books?id=dHbrDvGQEbUC&pg=PA111}}</ref> and 14th<ref>{{cite book|title= Peoples of Africa, Volume 1|first1=Fiona|last1=MacDonald|first2=Elizabeth|last2=Paren|first3=Kevin|last3=Shillington|first4=Gillian|last4=Stacey|first5=Philip|last5= Steele|page=385|publisher=Marshall Cavendish|year=2000|isbn=0-7614-7158-8|url=https://books.google.com/books?id=joh5yHfcF-8C&pg=PA385}}</ref> Ife ilianza kukaliwa na watu tangu [[karne ya 9]] na utamaduni wake ulitengeneza sanamu mashuhuri za terakota na [[bronzi]]. <ref name="Falola1"/>. ==Karne za kati== Mnamo mwaka [[1500]] kulikuwa na falme kubwa katika eneo la Nigeria ya leo. Katika kusini ni [[milki ya Benin]] (tofauti na Benin ya leo) na [[Onitsa]] ya Waigbo, katika kaskazini falme za [[Wahausa]] na [[Songhai]] ambazo zilitawaliwa na wafalme au [[Sultani|masultani]] [[Waislamu]]. Falme za kaskazini zilishiriki katika [[biashara ya ng'ambo ya Sahara]] ambako hasa [[chumvi]], [[dhahabu]] na [[watumwa]] walipelekwa kwa njia ya misafara hadi nchi za Waislamu karibu na [[Bahari Mediteranea]]. <ref>[https://books.google.de/books?id=5VghQALn-90C&printsec=frontcover&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=trans%20saharan%20trade&f=false Ralph A. Austen, Trans-Saharan Africa in World History], Oxford University Press, 2010 , uk. 26 (imeangaliwa kupitia google books, tar. 3-12-2016</ref>, <ref>[https://books.google.de/books?id=wYM9HGe2PD0C&pg=PA111&dq=trans+saharan+trade&hl=en&sa=X&redir_esc=y#v=onepage&q=kano&f=false Ghislaine Lydon, On Trans-Saharan Trails: Islamic Law, Trade Networks, and Cross-Cultural Exchange in Nineteenth-Century Western Africa] uk. 85f; Cambridge University Press, 2009 ; imeangaliwa kupitia google books 3-12-2016</ref> Wakati huohuo [[wapelelezi]] [[Wareno]] na [[Wahispania]] walianza kufika kwenye [[pwani]] ya [[Afrika ya Magharibi]] na pia katika [[delta ya Niger]]. Walianza kujenga vituo vya biashara kwa vibali vya watawala wa sehemu za pwani kama huko [[Lagos]] na [[Calabar]]. [[Wazungu]] walifanya biashara ya [[bidhaa]] mbalimbali na watu wa pwani na hii ilikuwa pia chanzo cha [[biashara ya watumwa ya kuvukia Atlantiki]]. <ref name="diverse-slavery">{{cite book |first=April A. |last=Gordon |title=Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook |publisher=ABC-CLIO |year= 2003 |pages=44–54 |isbn=1576076822 |url=https://books.google.com/books?id=H26pO3vwmHoC&pg=PA54 |access-date=2015-03-29}}</ref> [[Bandari]] ya Calabar kwenye [[Hori ya Biafra]] (leo hii inajulikana zaidi kwa jina la "Bight of Bonny") iliendelea kuwa moja kati ya vituo vya [[biashara ya watumwa]] vikubwa zaidi kwenye pwani ya Afrika ya Magharibi. Vituo vingine vya biashara ya watumwa kwenye pwani ya Nigeria vilikuwa Lagos na [[Badagry]], <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade">{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Ann |last2=Genova |title=Historical Dictionary of Nigeria |publisher=Scarecrow Press |year=2009 |page=328 |isbn=0810863162 |url=https://books.google.com/books?id=rdDKeMEwPdMC&pg=PA328 |access-date=2015-03-29}}</ref> Wengi waliouzwa hapo walikuwa wafungwa wa [[vita]] vya watawala wenyeji kati yao au walikamatwa katika kampeni zilizoendeshwa kwa shabaha za kupata watumwa wa kuuzwa. <ref>{{cite book |first1=Toyin |last1=Falola |first2=Adam |last2=Paddock |title=Environment and Economics in Nigeria |publisher=Routledge |page=78 |year=2012 |isbn=1136662472 |url=https://books.google.com/books?id=ANzFx1O95eAC&pg=PA78 |access-date=2015-03-29}}</ref> Watendaji wakuu walioleta watumwa pwani walitoka katika milki ya Oyo kwenye kusini magharibi na [[Ukhalifa]] wa [[Sokoto]] katika kaskazini. <ref name="diverse-slavery"/><ref name="slave-trade"/> [[Utumwa]] katika maeneo ya Nigeria ya leo haukuanzishwa na watu kutoka [[Ulaya]], ulikuwepo tayari pia biashara ya watumwa.<ref>{{cite web|title=Slavery – Historical survey – Slave societies|work=Encyclopædia Britannica's Guide to Black History|publisher=[[Encyclopædia Britannica]]|year=2011|url=http://www.britannica.com/blackhistory/article-24157|accessdate=28 May 2011}}</ref> Lakini [[soko]] jipya kwenye pwani lililoanzishwa na Wazungu lilibadilisha uwiano katika [[jamii]] nyingi za Kiafrika na pia uhusiano kati ya jamii za Kiafrika. Watawala karibu na pwani waliweza kupata faida kwa kuuza watumwa moja kwa moja kwa Wazungu na waliweza kununua [[silaha za moto]]; wenye silaha za moto waliweza kushinda vita, kupata wafungwa wengi na kuuza wafungwa wengi zaidi. Hivyo mahitaji makubwa ya soko la watumwa la [[Atlantiki]] yalilisha ufuatano wa vita na mashindano ya kukamata wafungwa zaidi.<ref>Nigeria's Diverse Peoples: A Reference Sourcebook von April A. Gordon, uk. 49</ref> Idadi ya watumwa ndani ya Nigeria ilizidi kukua katika [[karne ya 19]] ambako biashara ya watumwa kwenye Atlantiki ilikwisha. Manmo [[1890]] mkusanyiko mkubwa wa watumwa katika [[Afrika]] walikuwa watumwa katika milki ya Khalifa wa Sokoto, takriban watu [[milioni]] 2. <ref>"It is estimated that by the 1890s the largest [[Slavery in Africa|slave population]] of the world, about 2 million people, was concentrated in the territories of the [[Sokoto Caliphate]]. The use of slave labor was extensive, especially in agriculture."Kevin Shillington (2005). ''[[Encyclopedia of African History]]''. Michigan University Press. p. 1401. ISBN 1-57958-455-1</ref> ==Karne ya 19 na ukoloni== Tangu mwaka [[1860]] Uingereza ilianza kupanua athira yake katika Nigeria. Uingereza ilikuwa nchi ya kwanza kuwa na [[viwanda]] vingi; viwanda vyake vilihitaji [[mafuta]] kwa matumizi ya [[grisi]] kwa kulainisha mwendo wa [[mashine]]. [[Delta]] ya [[mto Niger]] ilikuwa na [[idadi]] kubwa ya [[michikichi]] inayozalisha mafuta.<ref>[http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf S.O. Aghalino, British colonial policies and the oil palm industry in the Niger delta region of Nigeria] {{Wayback|url=http://www.africa.kyoto-u.ac.jp/kiroku/asm_normal/abstracts/pdf/21-1/19-33.pdf |date=20130116234451 }}, African Study Monographs, 21(1): 19-33, January 2000, tovuti ya Chuo Kikuu cha Kyoto, iliangaliwa 3-12-2016</ref> Hapo shirika kama Royal Niger Company zilipata maeneo makubwa chini ya [[mamlaka]] yao kwa njia ya mapatano na mikataba na watawala wenyeji, malipo na matishio na maeneo haya yaliwekwa baadaye chini ya [[serikali]] ya Uingereza. Kwenye [[mkutano wa Berlin]] madai ya Uingereza juu ya pwani ya Nigeria yalikubaliwa na [[taifa|mataifa]] mengine ya Ulaya. Baadaye Waingereza waliendelea haraka kuhakikisha mamlaka yao juu ya maeneo ya kaskazini ama kwa mapatano au kwa vita kwa kusudi la kuzuia upanuzi wa Ufaransa. Hivyo zilitokea maeneo ya "Southern Nigeria Protectorate" na "Northern Nigeria Protectorate". Hali halisi sehemu hizi haziwahi kuwa na [[umoja]] katika historia lakini hatimaye Uingereza iliamua kutawala maeneo yote kama koloni moja. ==Baada ya uhuru== Nigeria ilipata uhuru wake tarehe [[1 Oktoba]] 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya [[kaskazini]] ya [[eneo lindwa]] la [[Kamerun ya Kiingereza]]. Kati ya miaka [[1967]]-[[1970]] nchi iliona [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]]; magharibi ya nchi, inayokaliwa na Waigbo hasa, ilijaribu kujitenga kwa jina la [[Biafra]], ikipinga [[utawala]] wa [[wanajeshi]] Waislamu. Takriban watu milioni 2 walikufa kwa [[njaa]] wakati ule. Nigeria iliendelea kuvurugika na [[mapinduzi ya kijeshi]]. Tangu [[miaka ya 1970]] Nigeria ilikuwa na [[mapato]] makubwa kutokana na [[mafuta]] yaliyotolewa kutoka [[ardhi]] yake, hasa katika delta ya mto Niger. Ulaji [[rushwa]] na [[ufisadi]] wa watawala wa kijeshi ulizuia [[maendeleo]] ya nchi na jinsi ilivyoonekana katika nchi nyingine yenye mafuta. Tangu mwaka 1999 nchi ilirudi kwenye [[utawala wa kisheria]] ikapata katiba mpya na kumchagua rais [[Olusegun Obasanjo]] aliyerudishwa [[madaraka]]ni mara moja. Majaribio ya wafuasi wake wa kubadilisha katiba na kumpa kipindi cha tatu yalishindikana bungeni. Katika [[uchaguzi]] wa mwaka 2007 [[Umaru Yar’Adua]] alishinda kwa [[asilimia]] 70 za [[kura]]. Baada ya [[ugonjwa|kungonjeka]] kwake, [[makamu wa rais]] [[Goodluck Jonathan]] alichukua madaraka ya uraisi kuanzia mwaka [[2010]] akachaguliwa kuwa Raisi kwenye uchaguzi wa mwaka [[2011]]. Mwaka [[2015]] alishindwa katika [[uchaguzi mkuu]] na [[mgombea]] mwenzake, [[Muhammadu Buhari]]. Ni kwamba tangu mwaka [[2009]] hadi Septemba 2015 [[uasi]] wa kundi la [[Boko Haram]] ulivuruga [[amani]] na [[usalama]] nchini Nigeria. [[Wanamgambo]] wa kundi hilo wanaotazamwa na Wanigeria wengi kuwa ma[[gaidi]] walianza kutwaa mamlaka juu ya sehemu za nchi hasa katika mazingira ya jimbo la [[Borno]], kuua wananchi wengi, kuchukua watu [[mateka]] na kupigana na [[jeshi la Nigeria]] na la nchi jirani. Kutofaulu kwa jeshi la [[taifa]] kumaliza [[ghasia]] hizo ndiyo [[sababu]] muhimu ya kushindwa kwa Raisi Jonathan kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Kufuatia [[ahadi]] zake kwa wapiga kura, Muhammadu Buhari alijitahidi kukomesha kundi hilo. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Nigeria]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 0yrc14msptq43uudqx36887mhkx242t Historia ya Senegal 0 78808 1437020 957389 2025-07-11T23:24:19Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'na baadae' na 'Senegal' kwenye sentensi mbili tofauti 1437020 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Senegal''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Senegal]]. Kwa wakati na kiasi tofauti eneo la Senegal lilikuwa sehemu ya [[Dola la Ghana]], na baadae ya [[Dola la Mali]] na hatimaye ya [[Dola la Songhai]] Baadae Senegal ilikuwa [[koloni]] la [[Ufaransa]] hadi mwaka [[1960]]. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Senegal]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] qm6t7j9qhhj7k9t6cngjl1iwl2caci9 1437023 1437020 2025-07-11T23:35:55Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'ilipopata uhuru wake' kwenye sentensi 1437023 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Senegal''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Senegal]]. Kwa wakati na kiasi tofauti eneo la Senegal lilikuwa sehemu ya [[Dola la Ghana]], na baadae ya [[Dola la Mali]] na hatimaye ya [[Dola la Songhai]] Baadae Senegal ilikuwa [[koloni]] la [[Ufaransa]] hadi mnamo Juni 20, [[1960]] ilipopata uhuru wake. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Senegal]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] r9jlt8u87sx3hn25g85w7i87gtxxnot Historia ya Sierra Leone 0 78809 1437027 1269458 2025-07-12T00:04:54Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'hii' na 'mnamo' kwenye sentensi mbili tofauti 1437027 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Sierra Leone''' inahusu eneo la [[Afrika Magharibi]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Sierra Leone]]. Nchi yenyewe ilianzishwa na [[Waingereza]] kwa kuunda [[mji]] wa [[Freetown]] ("Mji wa watu huru") [[mwaka]] [[1787]]. Kusudi ilikuwa kuwarudisha [[Afrika]] watu waliowahi kuwa [[watumwa]]. Kiasili wale wakazi wa kwanza walikuwa watumwa weusi waliopewa [[uhuru]] kwa sababu walishikamana na Waingereza dhidi ya [[Wamarekani]] katika [[vita vya uhuru wa Marekani]]. Baadaye Waingereza [[wapinzani wa utumwa]] walinunua watumwa wakiwapa uhuru na kuwapeleka Sierra Leone. Tangu mwaka [[1807]] [[Uingereza]] ulikataza [[biashara ya watumwa]] (lakini utumwa wenyewe bado) na watumwa waliopatikana kwenye [[meli]] za [[biashara]] hiyo haramu walipelekwa Sierra Leone na kupewa uhuru. Ikianzishwa na shirika la wapinzani wa utumwa Sierra Leone ikawa [[koloni]] la kwanza la Uingereza katika Afrika ya Magharibi mwaka [[1792]]. Kuanzia mwaka [[1802]] Freetown ilikuwa [[makao makuu]] ya waingereza kwa Afrika ya Magharibi. Mnamo mwaka [[1961]] Aprili 27, Sierra Leone ilipewa uhuru wake. Miaka ya [[1994]] - [[2002]] nchi hii ilikuwa na [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]]. Tangu mwisho wake nchi inajengwa tena. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Sierra Leone]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] oc2yb44kk6pggxbgeabvpg9n1n6t10j Historia ya Somalia 0 78815 1437245 1322476 2025-07-12T11:43:28Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'waitalia' na 'usultani' kwenye sentensi mbili tofauti 1437245 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Somalia''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Somalia]]. ==Ukoloni wa Italia== Kuanzia mwaka [[1888]] Italia ilijipatia [[nchi lindwa|mikataba ya ulinzi]] na [[sultani|masultani]] mbalimbali waliotawala maeneo madogo kwenye [[Pembe ya Afrika]]. Walitangulia [[1889]] na sultani ya [[bandari]] ya [[Hobyo]] na mtawala wa usultani wa [[Majerteen]]. Mwaka [[1892]] [[Usultani wa Zanzibar]] ulikodisha bandari ya [[Banadir]] kati ya [[Mogadishu]] hadi [[Brava]] kwa Italia. Mwaka [[1905]] Italia ilinunua eneo hili kutoka [[Zanzibar]] na kulitangaza kuwa [[koloni]] na [[Mogadishu]] kuwa [[mji mkuu]]. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Waitalia walikabidhiwa na [[Uingereza]] eneo la [[Kismayu]]. Walilitawala kwa jina la "Oltre Giuba" (''ng'ambo ya [[Juba (mto)|mto Juba]]'') na kuliunganisha na Somalia ya Kiitalia [[tarehe]] [[30 Juni]] [[1926]]. Wakati uleule waitalia waliamua kuimaliza hali ya usultani wa Majarteen na Hobyo kuwa nchi lindwa na kuzifanya sehemu kamili za koloni. Mipango hiyo ilisababisha [[vita]] kali ya miaka miwili kwa sababu masultani waliona mikataba yao ya ulinzi ilivunjwa wakapinga [[jeshi]] la Italia. Mwaka [[1936]] Somalia ikaunganishwa na [[Ethiopia]] kuwa sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kiitalia]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] makoloni ya Italia yalivamiwa na Uingereza iliyotawala Somalia tangu [[1941]]. Mwaka [[1949]] Somalia ilirudishwa mikononi mwa Italia ilisimamie kwa niaba ya [[Umoja wa Mataifa]]. ==Ukoloni wa Uingereza== Uingereza uliingia katika eneo hili baada ya [[Misri]] kuondoka mwaka [[1885]] kwa kushindwa na [[jeshi]] la [[Mahdi]] huko [[Sudan]]. Uingereza uliingia kwa sababu iliona umuhimu wa kutawala pande zote [[mbili]] za [[Bab el Mandeb]] ikihofia uenezaji wa nchi nyingine za [[Ulaya]], hasa [[Ufaransa]] iliyokuwa na [[koloni]] la kwanza ya Ubuk (Obok) katika [[Jibuti]] ya leo tangu [[1862]]. Pamoja na hayo [[Waingereza]] walitegemea kununua [[nyama]] kwa ajili ya [[mji]] wa [[Aden]] na [[meli]] zilizopita hapo kati ya [[Uhindi]] na [[Ulaya]]. Somaliland ilitawaliwa awali kama [[mkoa]] wa [[Uhindi wa Kiingereza]] ikawa baadaye chini ya [[wizara ya makoloni]] huko [[London]]. [[File:British somali coast.png|thumb|]] Hata kama Uingereza haukuwa na nia ya kuingilia mno [[maisha]] ya wenyeji ulikutana na upinzani mkali kuanzia mwaka [[1899]] kutoka kwa [[kiongozi]] wa [[dini]] [[Diiriye Guure]], aliyeitwa na Waingereza "Mullah majununi". Waingereza walijibu kwa [[ukatili]] katika [[vita]] vya miaka 20 iliyoua takriban [[theluthi]] moja ya wakazi wote wa eneo. Mwishowe Uingereza iliweza kumaliza upinzani kwa [[teknolojia]] mpya ya [[eropleni]] [[ndege za kijeshi|za kijeshi]] zilizotumia [[mabomu]] na [[bunduki za mtombo]] kutoka [[Anga|angani]] kwa mara ya kwanza katika [[Afrika]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] eneo likatwaliwa na [[Italia]] katika [[Agosti]] [[1940]] lakini lilichukuliwa tena na Uingereza katika [[Machi]] [[1941]]. ==Uhuru== Mwaka 1960 [[utawala]] wa kikoloni ulikwisha na Somalia ikapata uhuru wake, ikiunganisha ma[[koloni]] mawiliː la [[Waitalia]] ([[Somalia ya Kiitalia|kusini]]) na la [[Waingereza]] ([[Somalia ya Kiingereza|kaskazini]]). Baada ya mwaka [[1991]] nchi ya Somalia ilibaki haina [[serikali]] wala umoja wa taifa, bali iligawiwa na wakereketwa na [[wanamgambo]] wa [[ukoo]] na eneo, hasa [[Somaliland]], [[Puntland]] na [[Galmudug]] upande wa kaskazini. Katika miaka [[2008]]-[[2013]] ilihesabika kama [[nchi filisika]]. Kwa sasa ni [[nchi dhaifu]] lakini inaanza kujengwa upya kama [[shirikisho]] na kujiandaa kujiunga na [[Jumuiya ya Afrika Mashariki]]. Tarehe [[4 Machi]] [[2024]] imejiunga rasmi na [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|Jumuia ya Afrika Mashariki]]<ref>https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/somalia-yatambuliwa-rasmi-eac-viongozi-kuvalia-njuga-migogoro-4545254</ref>. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Somalia]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] hdar5hbuvykehhr8gcpnixewpzousi7 1437259 1437245 2025-07-12T11:50:40Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'mnamo', 'mwaka' na 'la' kwenye sentensi tofauti tofauti 1437259 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Somalia''' inahusu eneo la [[Afrika Mashariki]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Somalia]]. ==Ukoloni wa Italia== Kuanzia mwaka [[1888]] Italia ilijipatia [[nchi lindwa|mikataba ya ulinzi]] na [[sultani|masultani]] mbalimbali waliotawala maeneo madogo kwenye [[Pembe ya Afrika]]. Walitangulia [[1889]] na sultani ya [[bandari]] ya [[Hobyo]] na mtawala wa usultani wa [[Majerteen]]. Mwaka [[1892]] [[Usultani wa Zanzibar]] ulikodisha bandari ya [[Banadir]] kati ya [[Mogadishu]] hadi [[Brava]] kwa Italia. Mwaka [[1905]] Italia ilinunua eneo hili kutoka [[Zanzibar]] na kulitangaza kuwa [[koloni]] na [[Mogadishu]] kuwa [[mji mkuu]]. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Waitalia walikabidhiwa na [[Uingereza]] eneo la [[Kismayu]]. Walilitawala kwa jina la "Oltre Giuba" (''ng'ambo ya [[Juba (mto)|mto Juba]]'') na kuliunganisha na Somalia ya Kiitalia [[tarehe]] [[30 Juni]] [[1926]]. Wakati uleule waitalia waliamua kuimaliza hali ya usultani wa Majarteen na Hobyo kuwa nchi lindwa na kuzifanya sehemu kamili za koloni. Mipango hiyo ilisababisha [[vita]] kali ya miaka miwili kwa sababu masultani waliona mikataba yao ya ulinzi ilivunjwa wakapinga [[jeshi]] la Italia. Mwaka [[1936]] Somalia ikaunganishwa na [[Ethiopia]] kuwa sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kiitalia]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] makoloni ya Italia yalivamiwa na Uingereza iliyotawala Somalia tangu [[1941]]. Mwaka [[1949]] Somalia ilirudishwa mikononi mwa Italia ilisimamie kwa niaba ya [[Umoja wa Mataifa]]. ==Ukoloni wa Uingereza== Uingereza uliingia katika eneo hili baada ya [[Misri]] kuondoka mwaka [[1885]] kwa kushindwa na [[jeshi]] la [[Mahdi]] huko [[Sudan]]. Uingereza uliingia kwa sababu iliona umuhimu wa kutawala pande zote [[mbili]] za [[Bab el Mandeb]] ikihofia uenezaji wa nchi nyingine za [[Ulaya]], hasa [[Ufaransa]] iliyokuwa na [[koloni]] la kwanza la Ubuk (Obok) katika [[Jibuti]] ya leo tangu mwaka [[1862]]. Pamoja na hayo [[Waingereza]] walitegemea kununua [[nyama]] kwa ajili ya [[mji]] wa [[Aden]] na [[meli]] zilizopita hapo kati ya [[Uhindi]] na [[Ulaya]]. Somaliland ilitawaliwa awali kama [[mkoa]] wa [[Uhindi wa Kiingereza]] ikawa baadaye chini ya [[wizara ya makoloni]] huko [[London]]. [[File:British somali coast.png|thumb|]] Hata kama Uingereza haikuwa na nia ya kuingilia mno [[maisha]] ya wenyeji ilikutana na upinzani mkali kuanzia mwaka [[1899]] kutoka kwa [[kiongozi]] wa [[dini]] [[Diiriye Guure]], aliyeitwa na Waingereza "Mullah majununi". Waingereza walijibu kwa [[ukatili]] katika [[vita]] vya miaka 20 iliyoua takriban [[theluthi]] moja ya wakazi wote wa eneo. Mwishowe Uingereza iliweza kumaliza upinzani kwa [[teknolojia]] mpya ya [[eropleni]] [[ndege za kijeshi|za kijeshi]] zilizotumia [[mabomu]] na [[bunduki za mtombo]] kutoka [[Anga|angani]] kwa mara ya kwanza katika [[Afrika]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] eneo likatwaliwa na [[Italia]] mnamo [[Agosti]] [[1940]] lakini lilichukuliwa tena na Uingereza mnamo [[Machi]] [[1941]]. ==Uhuru== Mwaka 1960 [[utawala]] wa kikoloni ulikwisha na Somalia ikapata uhuru wake, ikiunganisha ma[[koloni]] mawiliː la [[Waitalia]] ([[Somalia ya Kiitalia|kusini]]) na la [[Waingereza]] ([[Somalia ya Kiingereza|kaskazini]]). Baada ya mwaka [[1991]] nchi ya Somalia ilibaki haina [[serikali]] wala umoja wa taifa, bali iligawiwa na wakereketwa na [[wanamgambo]] wa [[ukoo]] na eneo, hasa [[Somaliland]], [[Puntland]] na [[Galmudug]] upande wa kaskazini. Katika miaka [[2008]]-[[2013]] ilihesabika kama [[nchi filisika]]. Kwa sasa ni [[nchi dhaifu]] lakini inaanza kujengwa upya kama [[shirikisho]] na kujiandaa kujiunga na [[Jumuiya ya Afrika Mashariki]]. Tarehe [[4 Machi]] [[2024]] imejiunga rasmi na [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|Jumuia ya Afrika Mashariki]]<ref>https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/somalia-yatambuliwa-rasmi-eac-viongozi-kuvalia-njuga-migogoro-4545254</ref>. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Somalia]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] h9iqfqepwe1o28az4kr1sh7rsjel1wg Historia ya Kamerun 0 78817 1437078 1433910 2025-07-12T06:48:05Z Alex Rweyemamu 75841 nimeongeza link na picha ya bendera 1437078 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cameroon.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Kamerun]] '''Historia ya [[Kamerun]]''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Kamerun]]. ==Historia ya awali== Katika [[karne]] za [[BK]] [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya [[Afrika ya Kati]], [[Kusini mwa Afrika]] na [[Afrika Mashariki]]. ==Wakati wa ukoloni== Kamerun ilikuwa [[koloni]] la [[Ujerumani]] hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baada ya [[Ujerumani]] kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] chini ya mamlaka ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kukabidhiwa]]. ==Tangu uhuru hadi leo== Mwaka wa [[1960]], [[Ufaransa|Wafaransa]] waliacha '''[[Kamerun]]''' ikawa nchi huru. Wananchi wa [[Kamerun ya Kiingereza]] walipiga kura kuamua kama walitaka kuwa sehemu ya Nigeria au ya Kamerun. Kaskazini wengi walipendelea kukaa Nigeria, hivyo maeneo hayo sasa ni sehemu ya Nigeria. Wananchi wengi wa kusini waliamua wajiunge na Kamerun<ref>[http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite 1961 British Cameroons Plebiscite] {{Wayback|url=http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite |date=20200425080549 }}, kwenye tovuti ya africanelections.tripod.com/referenda, iliangaliwa Januari 2019</ref>. Kwa kusudi la kuheshimu tofauti za kiutamaduni kulikuwa na katiba mpya kwenye mwaka 1961 ''Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun''. Tangu 1972 [[muundo]] wa nchi ulibadilishwa kuacha mfumo wa [[shirikisho]] na kuwa [[jamhuri ya muungano]] inayokazia zaidi matumizi ya [[lugha]] ya [[Kifaransa]] ingawa [[Kiingereza]] bado ni [[moja]] ya [[lugha rasmi]]. Jina la nchi pia likabadilishwa kuwa ''Jamhuri ya Muungano ya Kamerun'' mwaka wa [[1972]]. Hapo sehemu ya Wakamerun wanaotumia lugha ya Kiingereza walijisikia kuwa wananyimwa [[haki]] zao.<ref>[http://www.africanews.com/2018/03/11/anglophone-crisis-cameroon-must-return-to-federal-system-abolished-under-ahidjo/ Anglophone crisis: Cameroon must return to federal system abolished under Ahidjo], Abdur Rahman Alfa Shaban kwenye tovuti ya africanews.com tar. 11/03/2018</ref> Baadaye, mwaka wa [[1984]] jina likabadilishwa tena kuwa ''Jamhuri ya Kamerun'' (kwa [[Kifaransa]] ''République du Cameroun''). Tangu mwaka [[2016]] [[upinzani]] wa watu wa [[magharibi]] ulijibiwa kwa ukali zaidi na hii imeleta upinzani wa wanamgambo wenye [[silaha]] wanaoshambulia [[polisi]] na jeshi la [[serikali kuu]]. Tangu mwaka [[2017]] wapinzani wamedai uhuru wa sehemu yenye lugha ya Kiingereza wakidai kuundwa kwa nchi ya Ambazonia. Tarehe 5 Januari 2018, washiriki wa serikali ya mpito ya Ambazonia, pamoja na Rais Sisiku Julius Ayuk Tabe, walikamatwa nchini Nigeria na kupelekwa nchini Kamerun. Walikamatwa baadaye na kuishiwa miezi 10 katika makao makuu ya gendarmerie kabla ya kuhamishiwa gereza la usalama la juu huko Yaoundé. Kesi ilianza Desemba 2018. Tarehe 4 Februari 2018, ilitangazwa kuwa Bwana Samuel Ikome Sako atakuwa Rais Kaimu wa Shirikisho la Ambazonia, kufanikiwa kwa muda kwa Tabé. Urais wake uliona kuongezeka kwa vita na kuenea kwake kwa kusini mwa Kamerun. Tarehe 31 Desemba 2018, Ikome Sako alitangaza kuwa mwaka 2019 utaona mabadiliko kutoka kwa vita ya kujihami kwenda vita ya kukera na kwamba watengwa watajitahidi kupata uhuru katika ardhi. ==Tazama pia== * [[Kamerun ya Kiingereza]] ==Tanbihi== {{reflist}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Kamerun]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 09rhzs9ap8gyyklvp98qm0o648v5vrf 1437120 1437078 2025-07-12T09:27:17Z Alexander Rweyemamu 80072 nimeongeza link na picha ya bendera 1437120 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cameroon.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Kamerun]] '''Historia ya [[Kamerun]]''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Kamerun]]. ==Historia ya awali== Katika [[karne]] za [[BK]] [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya [[Afrika ya Kati]], [[Kusini mwa Afrika]] na [[Afrika Mashariki]]. ==Wakati wa ukoloni== Kamerun ilikuwa [[koloni]] la [[Ujerumani]] hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baada ya [[Ujerumani]] kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] chini ya mamlaka ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kukabidhiwa]]. ==Tangu uhuru hadi leo== Mwaka wa [[1960]], [[Ufaransa|Wafaransa]] waliacha '''[[Kamerun]]''' ikawa nchi huru. Wananchi wa [[Kamerun ya Kiingereza]] walipiga kura kuamua kama walitaka kuwa sehemu ya Nigeria au ya Kamerun. Kaskazini wengi walipendelea kukaa Nigeria, hivyo maeneo hayo sasa ni sehemu ya Nigeria. Wananchi wengi wa kusini waliamua wajiunge na Kamerun<ref>[http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite 1961 British Cameroons Plebiscite] {{Wayback|url=http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite |date=20200425080549 }}, kwenye tovuti ya africanelections.tripod.com/referenda, iliangaliwa Januari 2019</ref>. Kwa kusudi la kuheshimu tofauti za kiutamaduni kulikuwa na katiba mpya kwenye mwaka 1961 ''Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun''. Tangu 1972 [[muundo]] wa nchi ulibadilishwa kuacha mfumo wa [[shirikisho]] na kuwa [[jamhuri ya muungano]] inayokazia zaidi matumizi ya [[lugha]] ya [[Kifaransa]] ingawa [[Kiingereza]] bado ni [[moja]] ya [[lugha rasmi]]. Jina la nchi pia likabadilishwa kuwa ''Jamhuri ya Muungano ya Kamerun'' mwaka wa [[1972]]. Hapo sehemu ya Wakamerun wanaotumia lugha ya Kiingereza walijisikia kuwa wananyimwa [[haki]] zao.<ref>[http://www.africanews.com/2018/03/11/anglophone-crisis-cameroon-must-return-to-federal-system-abolished-under-ahidjo/ Anglophone crisis: Cameroon must return to federal system abolished under Ahidjo], Abdur Rahman Alfa Shaban kwenye tovuti ya africanews.com tar. 11/03/2018</ref> Baadaye, mwaka wa [[1984]] jina likabadilishwa tena kuwa ''Jamhuri ya Kamerun'' (kwa [[Kifaransa]] ''République du Cameroun''). Tangu mwaka [[2016]] [[upinzani]] wa watu wa [[magharibi]] ulijibiwa kwa ukali zaidi na hii imeleta upinzani wa wanamgambo wenye [[silaha]] wanaoshambulia [[polisi]] na jeshi la [[serikali kuu]]. Tangu mwaka [[2017]] wapinzani wamedai uhuru wa sehemu yenye lugha ya Kiingereza wakidai kuundwa kwa nchi ya Ambazonia. Tarehe 5 Januari 2018, washiriki wa serikali ya mpito ya Ambazonia, pamoja na Rais Sisiku Julius Ayuk Tabe, walikamatwa nchini Nigeria na kupelekwa nchini Kamerun. Walikamatwa baadaye na kuishiwa miezi 10 katika makao makuu ya gendarmerie kabla ya kuhamishiwa gereza la usalama la juu huko Yaoundé. Kesi ilianza Desemba 2018. Tarehe 4 Februari 2018, ilitangazwa kuwa Bwana Samuel Ikome Sako atakuwa Rais Kaimu wa Shirikisho la Ambazonia, kufanikiwa kwa muda kwa Tabé. Urais wake uliona kuongezeka kwa vita na kuenea kwake kwa kusini mwa Kamerun. Tarehe 31 Desemba 2018, Ikome Sako alitangaza kuwa mwaka 2019 utaona mabadiliko kutoka kwa vita ya kujihami kwenda vita ya kukera na kwamba watengwa watajitahidi kupata uhuru katika ardhi. ==Tazama pia== * [[Kamerun ya Kiingereza]] ==Tanbihi== {{marejeo}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Kamerun]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] fivui4b4d6z13oh282n7pt5e8wyfl80 1437193 1437120 2025-07-12T10:33:59Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437078 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Cameroon.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Kamerun]] '''Historia ya [[Kamerun]]''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Kamerun]]. ==Historia ya awali== Katika [[karne]] za [[BK]] [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya [[Afrika ya Kati]], [[Kusini mwa Afrika]] na [[Afrika Mashariki]]. ==Wakati wa ukoloni== Kamerun ilikuwa [[koloni]] la [[Ujerumani]] hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baada ya [[Ujerumani]] kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] chini ya mamlaka ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kukabidhiwa]]. ==Tangu uhuru hadi leo== Mwaka wa [[1960]], [[Ufaransa|Wafaransa]] waliacha '''[[Kamerun]]''' ikawa nchi huru. Wananchi wa [[Kamerun ya Kiingereza]] walipiga kura kuamua kama walitaka kuwa sehemu ya Nigeria au ya Kamerun. Kaskazini wengi walipendelea kukaa Nigeria, hivyo maeneo hayo sasa ni sehemu ya Nigeria. Wananchi wengi wa kusini waliamua wajiunge na Kamerun<ref>[http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite 1961 British Cameroons Plebiscite] {{Wayback|url=http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite |date=20200425080549 }}, kwenye tovuti ya africanelections.tripod.com/referenda, iliangaliwa Januari 2019</ref>. Kwa kusudi la kuheshimu tofauti za kiutamaduni kulikuwa na katiba mpya kwenye mwaka 1961 ''Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun''. Tangu 1972 [[muundo]] wa nchi ulibadilishwa kuacha mfumo wa [[shirikisho]] na kuwa [[jamhuri ya muungano]] inayokazia zaidi matumizi ya [[lugha]] ya [[Kifaransa]] ingawa [[Kiingereza]] bado ni [[moja]] ya [[lugha rasmi]]. Jina la nchi pia likabadilishwa kuwa ''Jamhuri ya Muungano ya Kamerun'' mwaka wa [[1972]]. Hapo sehemu ya Wakamerun wanaotumia lugha ya Kiingereza walijisikia kuwa wananyimwa [[haki]] zao.<ref>[http://www.africanews.com/2018/03/11/anglophone-crisis-cameroon-must-return-to-federal-system-abolished-under-ahidjo/ Anglophone crisis: Cameroon must return to federal system abolished under Ahidjo], Abdur Rahman Alfa Shaban kwenye tovuti ya africanews.com tar. 11/03/2018</ref> Baadaye, mwaka wa [[1984]] jina likabadilishwa tena kuwa ''Jamhuri ya Kamerun'' (kwa [[Kifaransa]] ''République du Cameroun''). Tangu mwaka [[2016]] [[upinzani]] wa watu wa [[magharibi]] ulijibiwa kwa ukali zaidi na hii imeleta upinzani wa wanamgambo wenye [[silaha]] wanaoshambulia [[polisi]] na jeshi la [[serikali kuu]]. Tangu mwaka [[2017]] wapinzani wamedai uhuru wa sehemu yenye lugha ya Kiingereza wakidai kuundwa kwa nchi ya Ambazonia. Tarehe 5 Januari 2018, washiriki wa serikali ya mpito ya Ambazonia, pamoja na Rais Sisiku Julius Ayuk Tabe, walikamatwa nchini Nigeria na kupelekwa nchini Kamerun. Walikamatwa baadaye na kuishiwa miezi 10 katika makao makuu ya gendarmerie kabla ya kuhamishiwa gereza la usalama la juu huko Yaoundé. Kesi ilianza Desemba 2018. Tarehe 4 Februari 2018, ilitangazwa kuwa Bwana Samuel Ikome Sako atakuwa Rais Kaimu wa Shirikisho la Ambazonia, kufanikiwa kwa muda kwa Tabé. Urais wake uliona kuongezeka kwa vita na kuenea kwake kwa kusini mwa Kamerun. Tarehe 31 Desemba 2018, Ikome Sako alitangaza kuwa mwaka 2019 utaona mabadiliko kutoka kwa vita ya kujihami kwenda vita ya kukera na kwamba watengwa watajitahidi kupata uhuru katika ardhi. ==Tazama pia== * [[Kamerun ya Kiingereza]] ==Tanbihi== {{reflist}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Kamerun]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 09rhzs9ap8gyyklvp98qm0o648v5vrf 1437239 1437193 2025-07-12T11:40:19Z ~2025-18306-1 80081 jina ya KISWAHILI 1437239 wikitext text/x-wiki [[Picha:Flag of Cameroon.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Kamerun]] '''Historia ya [[Kamerun]]''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Kamerun]]. ==Historia ya awali== Katika [[karne]] za [[BK]] [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya [[Afrika ya Kati]], [[Kusini mwa Afrika]] na [[Afrika Mashariki]]. ==Wakati wa ukoloni== Kamerun ilikuwa [[koloni]] la [[Ujerumani]] hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baada ya [[Ujerumani]] kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] chini ya mamlaka ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kukabidhiwa]]. ==Tangu uhuru hadi leo== Mwaka wa [[1960]], [[Ufaransa|Wafaransa]] waliacha '''[[Kamerun]]''' ikawa nchi huru. Wananchi wa [[Kamerun ya Kiingereza]] walipiga kura kuamua kama walitaka kuwa sehemu ya Nigeria au ya Kamerun. Kaskazini wengi walipendelea kukaa Nigeria, hivyo maeneo hayo sasa ni sehemu ya Nigeria. Wananchi wengi wa kusini waliamua wajiunge na Kamerun<ref>[http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite 1961 British Cameroons Plebiscite] {{Wayback|url=http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite |date=20200425080549 }}, kwenye tovuti ya africanelections.tripod.com/referenda, iliangaliwa Januari 2019</ref>. Kwa kusudi la kuheshimu tofauti za kiutamaduni kulikuwa na katiba mpya kwenye mwaka 1961 ''Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun''. Tangu 1972 [[muundo]] wa nchi ulibadilishwa kuacha mfumo wa [[shirikisho]] na kuwa [[jamhuri ya muungano]] inayokazia zaidi matumizi ya [[lugha]] ya [[Kifaransa]] ingawa [[Kiingereza]] bado ni [[moja]] ya [[lugha rasmi]]. Jina la nchi pia likabadilishwa kuwa ''Jamhuri ya Muungano ya Kamerun'' mwaka wa [[1972]]. Hapo sehemu ya Wakamerun wanaotumia lugha ya Kiingereza walijisikia kuwa wananyimwa [[haki]] zao.<ref>[http://www.africanews.com/2018/03/11/anglophone-crisis-cameroon-must-return-to-federal-system-abolished-under-ahidjo/ Anglophone crisis: Cameroon must return to federal system abolished under Ahidjo], Abdur Rahman Alfa Shaban kwenye tovuti ya africanews.com tar. 11/03/2018</ref> Baadaye, mwaka wa [[1984]] jina likabadilishwa tena kuwa ''Jamhuri ya Kamerun'' (kwa [[Kifaransa]] ''République du Cameroun''). Tangu mwaka [[2016]] [[upinzani]] wa watu wa [[magharibi]] ulijibiwa kwa ukali zaidi na hii imeleta upinzani wa wanamgambo wenye [[silaha]] wanaoshambulia [[polisi]] na jeshi la [[serikali kuu]]. Tangu mwaka [[2017]] wapinzani wamedai uhuru wa sehemu yenye lugha ya Kiingereza wakidai kuundwa kwa nchi ya Ambazonia. Tarehe 5 Januari 2018, washiriki wa serikali ya mpito ya Ambazonia, pamoja na Rais Sisiku Julius Ayuk Tabe, walikamatwa nchini Nigeria na kupelekwa nchini Kamerun. Walikamatwa baadaye na kuishiwa miezi 10 katika makao makuu ya gendarmerie kabla ya kuhamishiwa gereza la usalama la juu huko Yaoundé. Kesi ilianza Desemba 2018. Tarehe 4 Februari 2018, ilitangazwa kuwa Bwana Samuel Ikome Sako atakuwa Rais Kaimu wa Shirikisho la Ambazonia, kufanikiwa kwa muda kwa Tabé. Urais wake uliona kuongezeka kwa vita na kuenea kwake kwa kusini mwa Kamerun. Tarehe 31 Desemba 2018, Ikome Sako alitangaza kuwa mwaka 2019 utaona mabadiliko kutoka kwa vita ya kujihami kwenda vita ya kukera na kwamba watengwa watajitahidi kupata uhuru katika ardhi. ==Tazama pia== * [[Kamerun ya Kiingereza]] ==Tanbihi== {{marejeo}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Kamerun]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] c7sguiv2inmem87gk5qm923ap0jdzfx 1437250 1437239 2025-07-12T11:44:55Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437250 wikitext text/x-wiki [[Picha:Flag of Cameroon.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Kamerun.]] '''Historia ya [[Kamerun]]''' inahusu eneo la [[Afrika ya Kati]] ambalo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Kamerun]]. ==Historia ya awali== Katika [[karne]] za [[BK]] [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya [[Afrika ya Kati]], [[Kusini mwa Afrika]] na [[Afrika Mashariki]]. ==Wakati wa ukoloni== Kamerun ilikuwa [[koloni]] la [[Ujerumani]] hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]]. Baada ya [[Ujerumani]] kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] chini ya mamlaka ya [[Shirikisho la Mataifa]] kama [[eneo la kukabidhiwa]]. ==Tangu uhuru hadi leo== Mwaka wa [[1960]], [[Ufaransa|Wafaransa]] waliacha '''[[Kamerun]]''' ikawa nchi huru. Wananchi wa [[Kamerun ya Kiingereza]] walipiga kura kuamua kama walitaka kuwa sehemu ya Nigeria au ya Kamerun. Kaskazini wengi walipendelea kukaa Nigeria, hivyo maeneo hayo sasa ni sehemu ya Nigeria. Wananchi wengi wa kusini waliamua wajiunge na Kamerun<ref>[http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite 1961 British Cameroons Plebiscite] {{Wayback|url=http://africanelections.tripod.com/referenda.html#1961_British_Cameroons_Plebiscite |date=20200425080549 }}, kwenye tovuti ya africanelections.tripod.com/referenda, iliangaliwa Januari 2019</ref>. Kwa kusudi la kuheshimu tofauti za kiutamaduni kulikuwa na katiba mpya kwenye mwaka 1961 ''Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun''. Tangu 1972 [[muundo]] wa nchi ulibadilishwa kuacha mfumo wa [[shirikisho]] na kuwa [[jamhuri ya muungano]] inayokazia zaidi matumizi ya [[lugha]] ya [[Kifaransa]] ingawa [[Kiingereza]] bado ni [[moja]] ya [[lugha rasmi]]. Jina la nchi pia likabadilishwa kuwa ''Jamhuri ya Muungano ya Kamerun'' mwaka wa [[1972]]. Hapo sehemu ya Wakamerun wanaotumia lugha ya Kiingereza walijisikia kuwa wananyimwa [[haki]] zao.<ref>[http://www.africanews.com/2018/03/11/anglophone-crisis-cameroon-must-return-to-federal-system-abolished-under-ahidjo/ Anglophone crisis: Cameroon must return to federal system abolished under Ahidjo], Abdur Rahman Alfa Shaban kwenye tovuti ya africanews.com tar. 11/03/2018</ref> Baadaye, mwaka wa [[1984]] jina likabadilishwa tena kuwa ''Jamhuri ya Kamerun'' (kwa [[Kifaransa]] ''République du Cameroun''). Tangu mwaka [[2016]] [[upinzani]] wa watu wa [[magharibi]] ulijibiwa kwa ukali zaidi na hii imeleta upinzani wa wanamgambo wenye [[silaha]] wanaoshambulia [[polisi]] na jeshi la [[serikali kuu]]. Tangu mwaka [[2017]] wapinzani wamedai uhuru wa sehemu yenye lugha ya Kiingereza wakidai kuundwa kwa nchi ya Ambazonia. Tarehe 5 Januari 2018, washiriki wa serikali ya mpito ya Ambazonia, pamoja na Rais Sisiku Julius Ayuk Tabe, walikamatwa nchini Nigeria na kupelekwa nchini Kamerun. Walikamatwa baadaye na kuishiwa miezi 10 katika makao makuu ya gendarmerie kabla ya kuhamishiwa gereza la usalama la juu huko Yaoundé. Kesi ilianza Desemba 2018. Tarehe 4 Februari 2018, ilitangazwa kuwa Bwana Samuel Ikome Sako atakuwa Rais Kaimu wa Shirikisho la Ambazonia, kufanikiwa kwa muda kwa Tabé. Urais wake uliona kuongezeka kwa vita na kuenea kwake kwa kusini mwa Kamerun. Tarehe 31 Desemba 2018, Ikome Sako alitangaza kuwa mwaka 2019 utaona mabadiliko kutoka kwa vita ya kujihami kwenda vita ya kukera na kwamba watengwa watajitahidi kupata uhuru katika ardhi. ==Tazama pia== * [[Kamerun ya Kiingereza]] ==Tanbihi== {{marejeo}} {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Historia ya Kamerun]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] 7hngnj04y3dt564ws0grxuppli4posz Historia ya Shelisheli 0 78823 1437025 1085021 2025-07-11T23:46:07Z Elizabeth Samwel 75873 Nimeongeza maneno 'ndipo' na 'mwanzoni' kwenye sentensi mbili tofauti 1437025 wikitext text/x-wiki '''Historia ya Shelisheli''' inahusu [[funguvisiwa]] vya [[Bahari ya Hindi]] kati ya [[Afrika Mashariki]] na [[Bara Hindi]] ambavyo wakazi wake leo wanaunda [[Jamhuri]] ya [[Shelisheli]]. Hakuna uhakika kuhusu wakazi wa kwanza. Inaaminika ya kwamba ndio ma[[baharia]] na [[wafanyabiashara]] [[Waarabu]]. [[Taarifa]] ya kwanza imepatikana kutoka kwa [[Wareno]] waliozunguka hapa kuanzia mwaka [[1505]]. Kwa [[karne]] moja na nusu [[meli]] au [[jahazi]] zilipitia Shelisheli tu kwa kusudi la kuchota [[maji]] ya kunywa au kukusanya ma[[tunda]] bila ya kuanzisha makao ya kudumu. Ma[[jambazi]] wa baharini walipenda kujificha Shelisheli. Ndipo [[Ufaransa]] ilipojenga vituo vya kwanza vya kudumu mwaka [[1756]]. Wafaransa waliviita visiwa "Seychelles" kwa heshima ya [[waziri]] wao wa siku zile Jean Moreau de Sechelles. [[Walowezi]] wao walianzisha ma[[shamba]] makubwa ya ma[[zao]] ya [[biashara]] wakitumia [[watumwa]] kutoka [[Madagaska]] na Afrika bara kwa ajili ya [[kazi]] yenyewe. Tangu mwaka [[1814]] visiwa vilikuwa chini ya [[Uingereza]]. Waingereza walivumilia walowezi na [[utamaduni]] wa Kifaransa visiwani. Mwanzoni Shelisheli ilikuwa ikitawaliwa pamoja na [[Mauritius]], lakini mwaka [[1903]] visiwa vilipewa cheo cha [[koloni]] mbali na Mauritius. Mwaka [[1970]] Shelisheli ilipata [[uhuru]]. [[Katiba]] ya kwanza ilifuata mfano wa Uingereza lakini mwaka [[1979]] katiba mpya ilileta [[mfumo wa chama kimoja]]. Tangu [[1993]] katiba ilisahihishwa tena ikiruhusu [[vyama vingi]] vya kisiasa. [[Chama]] kilichopata [[kura]] nyingi ndicho [[SPPF]] (Seychelles People's Progressive Front). [[Tarehe]] [[27 Februari]] [[2019]], [[Albert René]], Rais wa Shelisheli kutoka 1977 hadi 2004 alikufa akiwa na [[umri]] wa miaka 83. {{Africa topic|Historia ya|title=[[Historia ya Afrika]]}} {{mbegu-historia}} [[Jamii:Shelisheli]] [[Jamii:Historia ya Afrika]] e10zuhmcjultdd1wytueqrwgttvh9q2 Historia ya Urusi 0 82975 1437047 1427502 2025-07-12T05:14:23Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437047 wikitext text/x-wiki [[File:Muromian-map.png|thumb|300px|Ramani ya aina za utamaduni za Urusi magharibi wakati wa ujio wa [[Wavarangi]] na kabla ya uenezi wa [[Waslavi]].]] [[Picha:KiewerRus.jpg|300px|thumb|Dola la Kiev, chanzo cha Urusi]] '''Historia ya Urusi''' inahusu [[historia]] ya eneo ambalo leo linaunda nchi inayoitwa [[Shirikisho la Urusi]]. ==Historia ya kale== Urusi kama nchi ya pekee ilianza polepole pale ambako ma[[kabila]] ya wasemaji wa [[Kislavoni cha Mashariki]] walipoanza kujenga maeneo yao kuanzia [[karne ya 8]] [[BK]]. [[Waviking]] waliunda [[dola]] la kwanza katika eneo la [[Kiev]], wakalitawala kama dola la Kislavoni. Wenyewe waliingia haraka katika [[lugha]] na [[utamaduni]] wa wenyeji, lakini waliacha jina lao kwa sababu "Rus" kiasili ilikuwa jina la Waskandinavia wale kutoka [[Uswidi]] ya leo. Mwaka [[988]] Kiev ilipokea [[Ukristo]] wa [[Kiorthodoksi]] kutoka [[Bizanti]]. Tukio hilo liliathiri moja kwa moja [[utamaduni]] na historia yote iliyofuata. [[Dola la Kiev]] liliporomoka kutokana na mashambulio ya [[Wamongolia]] baada ya [[Jingis Khan]], na maeneo madogo zaidi yalijitokeza yaliyopaswa kukubali ubwana wa Wamongolia. == Upanuzi wa utemi wa Moscow == [[Picha:Muscovy 1390 1525.png|250px|thumb|Utemi wa Moscow 1390 - 1525]] Kubwa kati ya maeneo yale madogo ulikuwa [[utemi wa Moscow]]. Watemi wa Moscow walichukua nafasi ya kwanza kuunganisha [[Waslavoni wa Mashariki]] dhidi ya Wamongolia na kupanua utawala wao. Baada ya anguko la [[Konstantinopoli]] mwaka [[1453]] watawala wa Moscow walipokea cheo cha [[Kaisari]] wa [[Roma]] kilichoitwa "[[tsar]]" na kuwa cheo cha watawala wa Urusi hadi mwaka [[1917]]. Mpaka [[karne ya 18]] eneo la Moscow lilikuwa tayari kubwa likabadilika kuwa [[Milki ya Kirusi]] iliyoendelea kupanuka katika [[Siberia]] na [[Asia ya Kati]], ikawa kati ya milki kubwa kabisa za historia ikienea kutoka [[Polandi]] upande wa magharibi hadi [[bahari]] ya [[Pasifiki]] upande wa mashariki. == Matengenezo ya kisiasa chini ya Petro I == Tsar [[Peter I wa Urusi|Petro I]] ([[1689]]-[[1725]]) alitambua ya kwamba nchi yake ilikuwa nyuma upande wa [[teknolojia]] na [[elimu]] kulingana na ma[[taifa]] ya Ulaya. Alianzisha mabadiliko mengi ya kuiga mfano wa [[Ulaya ya Magharibi]] akahamisha mji mkuu kutoka Moscow kwenda mji mpya aliounda sehemu ya magharibi ya milki yake akauita [[Sankt Peterburg]]. Tangu wakati wa Petro I nchi ilishiriki katika [[siasa]] ya Ulaya pamoja na [[vita]] vingi vya huko. Mwanzo wa [[karne ya 19]] milki ikashambuliwa na [[Napoleon Bonaparte]] aliyeteka Moscow lakini Warusi walifaulu kuwafukuza maadui kwa msaada wa baridi iliyoua [[askari]] wengi wa [[Ufaransa]]. == Upanuzi barani Asia == [[Picha:Growth of Russia 1613-1914.png|400px|thumb|Upanuzi wa Urusi 1533 - 1896]] Matsar wa Urusi waliendelea kutawala kwa kuwa na [[mamlaka]] zote bila kushirikisha wananchi jinsi ilivyokuwa kawaida katika sehemu nyingine za Ulaya. Miji iliona [[maendeleo]] ya viwanda na jamii ya kisasa, lakini sehemu kubwa ya [[wakulima]] waliendelea kukaa chini ya [[utawala]] wa ma[[kabaila]]. Katika sehemu ya pili ya karne ya 19 Urusi ulipanua utawala wake juu ya maneo makubwa ya Asia ya Kati na milima [[Kaukasus]] ukashindana na [[Milki ya Osmani]], [[Uajemi]] na athira ya [[Uingereza]] katika Asia. == Mapinduzi za 1905 na 1917 == [[Picha:RUSSOJAPANESEWARIMAGE.jpg|thumb|250px|Picha za Vita kati ya Japani na Urusi<br />Juu: Manowari; Picha kwa mwendo wa saa: Wanajeshi Wajapani, Wanafarasi Wajapani, Manowari 2 za Urusi, Wanajeshi Warusi wakitazama maiti za Wajapani mbele ya Port Arthur]] [[Picha:Manchuria.png|thumb|250px|Eneo la vita: Nyekundu ni Manchuria; rasi ya Liaodong inaitwa "Daijan" (katikati ya ramani katika Manchuria kusini upande wa bahari)]] Mwanzoni mwa [[karne ya 20]] Urusi ukaonekana tena kuwa nyuma ya nchi za magharibi na sababu kuu ilikuwa nafasi kubwa ya [[serikali]] iliyojitahidi kusimamia mabadiliko yote katika [[jamii]] na kuzuia mabadiliko yaliyoonekana magumu machoni pa Tsar, pa makabaila na pa ma[[askofu]] wa [[Kanisa la Kiorthodoksi]]. Mwaka [[1903]] upanuzi wa Urusi katika Asia uligongana na upanuzi wa Japan na kusababisha [[vita ya Japani na Urusi ya 1905]]. Sababu kuu ya vita ilikuwa mashindano ya nchi zote mbili juu ya athira na kipaumbele katika [[Korea]] na [[Manchuria]]. Urusi ulishindwa, hivyo ililazimika kujiondoa katika Manchuria na Korea na kukubali maeneo haya mawili kuwa chini ya athira ya Japani. Ilikuwa mara ya kwanza kwa taifa la Asia kushinda nchi ya "watu weupe" wa Ulaya tangu [[zama za kati]]. Tukio hili lilisababisha [[mapinduzi ya Urusi ya 1905]]. Tsar [[Nikolas II wa Urusi|Nikolas]] alipaswa kukubali [[uchaguzi]] wa [[bunge]] la [[duma]] kwa mara ya kwanza. Hata hivyo [[haki]] za duma zilikuwa chache na mabadiliko yalitokea polepole mno. Urusi ulijiunga mwaka [[1914]] na [[vita kuu ya kwanza ya dunia]] ukisimama upande wa [[Uingereza]] na [[Ufaransa]] dhidi ya [[Ujerumani]] na [[Austria-Hungaria]]. Vita havikuenda vizuri, wananchi wakaona [[njaa]] na [[Mapinduzi ya Urusi ya 1917#Mapinduzi ya Februari 1917|mapinduzi ya Februari 1917]] yakamfukuza Tsar aliyejiuzulu. Vita vikaendelea na [[Wajerumani]] walizidi kusogea mbele. Serikali mpya ya bunge ikapinduliwa katika mwezi wa Oktoba [[1917]] na mapinduzi ya [[Bolsheviki]] chini ya [[kiongozi]] wao [[Vladimir Ilyich Lenin]]. == Utawala wa kikomunisti na Umoja wa Kisovyeti == [[Picha:Lenin and stalin crop.jpg|thumb|Lenin na Stalin, viongozi na watawala wa Urusi wa kikomunisti]] Huo ulikuwa mwanzo wa [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]]. [[Wakomunisti]] chini ya Lenin walishinda na kugeuza Urusi kuwa [[Umoja wa Kisoveti]] tangu mwaka [[1922]], wakitawala kwa [[mfumo wa kiimla]] wa [[chama]] chao. Ili kurahisisha [[utawala]] wao Wakomunisti waliamua kutawala Urusi wa awali kwa muundo wa [[shirikisho]], wakaunda jamhuri mbalimbali kufuatana na ma[[taifa]] ndani ya eneo hilo kubwa. Urusi lilikuwa sasa jina la jamhuri kubwa katika [[umoja]] huu nao ukaitwa [[Shirikisho la Jamhuri ya Kisovyiet ya Kijamii ya Kirusi]]. Ki[[katiba]] jamhuri hizo zote zilikuwa [[nchi huru]] lakini hali halisi zilitawaliwa zote kutoka makao makuu ya chama cha kikomunisti huko Moscow. Katiba hiyo ilipata umuhimu tangu [[1989]], wakati wa mwisho wa utawala wa Wakomunisti ambako jamhuri zote zilitafuta [[uhuru]] wao zikaachana na Umoja. Mji mkuu Sant Peterburg ulibadilishwa jina kuwa [[Leningrad]] na baadaye makao makuu ya nchi yakahamishwa tena kwenda Moscow. Kiongozi aliyemfuata Lenin mwaka [[1924]] alikuwa [[Josef Stalin]] aliyeweza kugeuza utawala wa chama kuwa utawala wake mwenyewe akiongoza kwa jina la [[Katibu Mkuu]] wa chama cha kikomunisti. Mwaka [[1939]], mwanzoni mwa [[vita kuu ya pili ya dunia]] Stalin alipatana na [[Ujerumani]] wa [[Adolf Hitler]] kugawa maeneo ya Polandi na [[nchi za Baltiki]] kati yao lakini mwaka [[1941]] Hitler alishambulia pia Umoja wa Kisovyeti. Warusi walipoteza [[askari]] milioni kadhaa, lakini waliweza kuwazuia Wajerumani wasiteke Moscow na Leningrad. Kwa msaada wa [[Marekani]] Warusi waliweza kurudisha [[jeshi]] la Ujerumani na kusogea magharibi. Umoja wa Kisovyeti ukawa kati ya nchi washindi wa [[vita kuu ya pili ya dunia]]. == Mashindano ya vita baridi dhidi ya Marekani == [[Picha:A Su-27 escorted by an F-16.jpg|thumb|Ndege za kivita za Kisovyeti na Kimarekani zikitazamiana angani]] Tangu mwaka [[1945]] jeshi la Urusi lilikaa katika nchi zote za [[Ulaya ya Mashariki]] hadi katikati ya Ulaya. Katika nchi hizo zote serikali za kikomunisti zilianzishwa na kusimamiwa na [[ofisi kuu]] ya chama cha kikomunisti huko Moscow. Urusi ulikuwa kiongozi wa nchi za kijamaa, ukishindana katika [[vita baridi]] dhidi ya [[nchi za magharibi]] zilizoongozwa na Marekani. Athira ya Umoja wa Kisovyeti ilipanuka hadi [[Afrika]], [[Asia]] na [[Amerika ya Kati]] ambako nchi mbalimbali zilianza kuiga mtindo wa kikomunisti. == Kusambaratika kwa Umoja kwa Kisovyeti == [[Picha:Mikhail Gorbachev 1987.jpg|thumb|Mikhail Gorbachev, kiongozi wa Kisovyeti aliyesimamia kusambaratika ya Umoja wa Kisovyeti]] Utawala wa kikomunisti uliendelea hadi mwaka [[1990]]. Mwishoni ma[[tatizo]] ya [[uchumi]] yalizidi kwa sababu mfumo wa uchumi ulioongozwa moja kwa moja na serikali kuu, pamoja na utaratibu wa kiimla uliozuia wananchi kupinga siasa ya viongozi na kuleta [[hoja]] tofauti, ulisababisha tena nchi kubaki nyuma. Tangu mwaka 1990 jamhuri kadhaa za Umoja wa Kisovyeti ziliondoka katika umoja na kutangaza uhuru wao ilhali serikali ilishindwa nguvu ya kuwazuia. Mwaka [[1991]] jamhuri wanachama za mwisho Urusi, Belarus na Ukraine ziliamua kumaliza Umoja wa Kisovyeti. == Urusi mpya == Tangu mwaka 1991 Urusi ulipungukiwa na maeneo mengi yaliyotwaliwa katika karne ya 19 na ya 18, ukabaki peke yake ingawa bado ni dola kubwa kuliko yote duniani. Ma[[rais]] wa Urusi baada ya 1991 walikuwa [[Boris Yeltsin]] na [[Vladimir Putin]]. [[Dmitry Medvedev]] alichaguliwa kuwa rais wa Urusi mwaka 2008 na mtangulizi wake [[Vladimir Putin]] akawa [[waziri mkuu]], akifuatwa tena na raisi Putin. ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Marejeo== ===Kwa jumla=== *Bushkovitch, Paul. ''A Concise History of Russia'' (2011) [http://www.amazon.com/Concise-History-Russia-Cambridge-Histories/dp/0521543231/ excerpt and text search] *Freeze, Gregory L. (ed.). ''Russia: A History''. 2nd ed. New York: Oxford University Press, 2002. ISBN 0-19-860511-0. *Jelavich, Barbara. '' St. Petersburg and Moscow: tsarist and Soviet foreign policy, 1814-1974'' (1974) *McKenzie, David & Michael W. Curran. ''A History of Russia, the Soviet Union, and Beyond''. 6th ed. Belmont, CA: Wadsworth Publishing, 2001. ISBN 0-534-58698-8. *Perrie, Maureen, et al. ''The Cambridge History of Russia''. (3 vol. Cambridge University Press, 2006). [http://www.amazon.com/The-Cambridge-History-Russia-Volume/dp/0521812275/ excerpt and text search] *Riasanovsky, Nicholas V. and Mark D. Steinberg. ''A History of Russia''. 7th ed. New York: Oxford University Press, 2004, 800 pages. ISBN 0-19-515394-4 *Stone, David. ''A Military History of Russia: From Ivan the Terrible to the War in Chechnya'' [http://www.amazon.com/Military-History-Russia-Terrible-Chechnya-ebook/dp/B0029LGW5A/ excerpts] *Ziegler; Charles E. ''The History of Russia'' (Greenwood Press, 1999) [http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=23391126 online edition] {{Wayback|url=http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=23391126 |date=20090330121926 }} ===Dola la Urusi=== *Christian, David. ''A History of Russia, Central Asia and Mongolia''. Vol. 1: ''Inner Eurasia from Prehistory to the Mongol Empire''. Malden, MA: Blackwell Publishers, 1998. ISBN 0-631-20814-3. * De Madariaga, Isabel. ''Russia in the Age of Catherine the Great'' (2002), comprehensive topical survey *Fuller, William C. ''Strategy and Power in Russia 1600-1914'' (1998) [http://www.amazon.com/dp/B001D1YCWC/ excerpts] * Hughes, Lindsey. ''Russia in the Age of Peter the Great'' (Yale University Press, 1998), Comprehensive topical survey. *Lincoln, W. Bruce. ''The Romanovs: Autocrats of All the Russias'' (1983) [http://www.amazon.com/Romanovs-Autocrats-All-Russias/dp/0385279086/ excerpt and text search], sweeping narrative history *Manning, Roberta. ''The Crisis of the Old Order in Russia: Gentry and Government''. Princeton University Press, 1982. *Mironov, Boris N., and Ben Eklof. ''The Social History of Imperial Russia, 1700-1917'' (2 vol Westview Press, 2000) [http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=89764491 vol 1 online] {{Wayback|url=http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=89764491 |date=20080929091826 }}; [http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=100513328 vol 2 online] {{Wayback|url=http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=100513328 |date=20080929083153 }} *Moss, Walter G. ''A History of Russia''. Vol. 1: ''To 1917''. 2d ed. Anthem Press, 2002. *Pipes, Richard. ''Russia under the Old Regime'' (2nd ed. 1997) *Seton-Watson, Hugh. ''The Russian Empire 1801-1917'' (Oxford History of Modern Europe) (1988) [http://www.amazon.com/Russian-Empire-1801-1917-Oxford-History/dp/0198221525/ excerpt and text search] ===Chini ya Ukomunisti=== * Chamberlin, William Henry. ''The Russian Revolution 1917-1921'' (2 vol 1935) *Cohen, Stephen F. ''Rethinking the Soviet Experience: Politics and History since 1917''. (Oxford University Press, 1985) *Fitzpatrick, Sheila. ''The Russian Revolution''. (Oxford University Press, 1982), 208 pages. ISBN 0-19-280204-6 *Gregory, Paul R. and Robert C. Stuart, ''Russian and Soviet Economic Performance and Structure'' (7th ed. 2001) *Hosking, Geoffrey. ''The First Socialist Society: A History of the Soviet Union from Within'' (2nd ed. Harvard UP 1992) 570pp *Kort, Michael. ''The Soviet Colossus: History and Aftermath'' (7th ed. 2010) 502pp *Kotkin, Stephen. ''Stalin: Paradoxes of Power, 1878–1928'' (2014) *Library of Congress. ''Russia: a country study'' edited by Glenn E. Curtis. (Federal Research Division, Library of Congress, 1996). [http://lcweb2.loc.gov/frd/cs/rutoc.html online] *Lincoln, W. Bruce. ''Passage Through Armageddon: The Russians in War and Revolution, 1914-1918'' (1986) *[[Moshe Lewin|Lewin, Moshe]]. ''Russian Peasants and Soviet Power''. (Northwestern University Press, 1968) *McCauley, Martin. ''The Rise and Fall of the Soviet Union '' (2007), 522 pages. *Moss, Walter G. ''A History of Russia''. Vol. 2: Since 1855. 2d ed. Anthem Press, 2005. *[[Alec Nove|Nove, Alec]]. ''An Economic History of the USSR, 1917–1991''. 3rd ed. London: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-015774-3. *Regelson, Lev. ''Tragedy of Russian Church. 1917–1953.'' http://www.regels.org/Russian-Church.htm {{Wayback|url=http://www.regels.org/Russian-Church.htm |date=20150217102721 }} *Remington, Thomas. ''Building Socialism in Bolshevik Russia''. Pittsburgh: University of Pittsburgh Press, 1984. *Service, Robert. ''A History of Twentieth-Century Russia''. 2nd ed. Cambridge, MA: Harvard University Press, 1999. ISBN 0-674-40348-7. *Service, Robert. ''Stalin: A Biography'' (2004), along with Tucker the standard biography *Tucker, Robert C. ''Stalin as Revolutionary, 1879-1929'' (1973); ''Stalin in Power: The Revolution from Above, 1929-1941.'' (1990) [http://www.questia.com/PM.qst?a=o&d=103246514 online edition] with Service, a standard biography; [http://www.historyebook.org/ online at ACLS e-books] {{Wayback|url=http://www.historyebook.org/ |date=20000707012840 }} ===Baada ya Ukomunisti=== * [[Ronald Asmus|Asmus, Ronald]]. ''A Little War that Shook the World : Georgia, Russia, and the Future of the West''. NYU (2010). ISBN 978-0-230-61773-5 *Cohen, Stephen. ''Failed Crusade: America and the Tragedy of Post-Communist Russia''. New York: W.W. Norton, 2000, 320 pages. ISBN 0-393-32226-2 *Gregory, Paul R. and Robert C. Stuart, ''Russian and Soviet Economic Performance and Structure'', Addison-Wesley, Seventh Edition, 2001. *Medvedev, Roy. ''Post-Soviet Russia A Journey Through the Yeltsin Era'', Columbia University Press, 2002, 394 pages. ISBN 0-231-10607-6 *Moss, Walter G. ''A History of Russia''. Vol. 2: ''Since 1855''. 2d ed. Anthem Press, 2005. Chapter 22. *Stent, Angela. ''The Limits of Partnership: U.S.-Russian Relations in the Twenty-First Century'' (2014) {{refend}} ===Ramani, jiografia=== *Blinnikov, Mikhail S. ''A geography of Russia and its neighbors'' (Guilford Press, 2011) *Catchpole, Brian. ''A map history of Russia'' (1983) *Chew, Allen F. ''An Atlas of Russian History: Eleven Centuries of Changing Borders'' (2nd ed. 1967) *Gilbert, Martin. ''Routledge Atlas of Russian History'' (4th ed. 2007) [http://www.amazon.com/Routledge-Russian-History-Historical-Atlases/dp/0415394848/ excerpt and text search] *Henry, Laura A. ''Red to green: environmental activism in post-Soviet Russia'' (2010) *Kaiser, Robert J. ''The Geography of Nationalism in Russia and the USSR'' (1994). *Medvedev, Andrei. ''Economic Geography of the Russian Federation'' by (2000) *Parker, William Henry. ''An historical geography of Russia'' (University of London Press, 1968) *Shaw, Denis J.B. ''Russia in the modern world: A new geography'' (Blackwell, 1998) ===Historiografia=== *Confino, Michael. "The New Russian Historiography and the Old—Some Considerations," ''History & Memory'' Vol. 21#2 Fall/Winter 2009 {{doi|10.1353/ham.0.0027}} in [[Project MUSE]] *Cox, Terry. "The New History of the Russian Peasantry," ''Journal of Agrarian Change'' 2, no. 4 (October 2002): 570–86. *David-Fox, Michael et al. eds. ''After the Fall: Essays in Russian and Soviet Historiography'' (Bloomington: Slavica Publishers, 2004) *{{cite journal | last1 = Martin | first1 = Russell E | year = 2010 | title = The Petrine Divide and the Periodization of Early Modern Russian History | url = https://archive.org/details/sim_slavic-review_summer-2010_69_2/page/410 | journal = Slavic Review | volume = 69 | issue = 2| pages = 410–425 | jstor=25677105}} *{{cite journal | last1 = Orlovsky | first1 = Daniel | year = 1990 | title = The New Soviet History | url = https://archive.org/details/sim_journal-of-modern-history_1990-12_62_4/page/831 | journal = Journal of Modern History | volume = 62 | issue = 4| pages = 831–50 | jstor=1881065 | doi=10.1086/600602}} *Sanders, Thomas, ed. ''Historiography of Imperial Russia: The Profession and Writing of History in a Multinational State'' (1999). *{{cite journal | last1 = Winkler | first1 = Martina | year = 2011 | title = Rulers and Ruled, 1700-1917 | url = | journal = Kritika: Explorations in Russian and Eurasian History | volume = 13 | issue = 4| pages = 789–806 }} ===Vyanzo=== *Kaiser, Daniel H. and Gary Marker, eds. ''Reinterpreting Russian History: Readings 860-1860s'' (1994) 464pp [http://www.amazon.com/Reinterpreting-Russian-History-Readings-860-1860s/dp/0195078586/ excerpt and text search]; primary documents and excerpts from historians *Vernadsky, George, et al. eds. ''Source Book for Russian History from Early Times to 1917'' (3 vol 1972) *[http://www.soviethistory.org/ Seventeen Moments in Soviet History] (An on-line archive of primary source materials on Soviet history.) ==Viungo vya nje== {{Commons category|Maps of the history of Russia}} *[http://www.library.illinois.edu/spx/webct/subjectresources/subsourrus/rushistbib2.html Guides to Sources on Russian History and Historiography] {{Wayback|url=http://www.library.illinois.edu/spx/webct/subjectresources/subsourrus/rushistbib2.html |date=20130514001338 }} *[http://eudocs.lib.byu.edu/index.php/History_of_Russia:_Primary_Documents History of Russia: Primary Documents] {{Urusi}} {{Europe topic|Historia ya}} {{Asia topic|Historia ya}} [[Category:Historia ya Urusi]] [[Jamii:Historia ya Ulaya]] [[Jamii:Historia ya Asia]] rnij27hcx8is15n2n6a30vj90bg6h2l Gdansk 0 93574 1436938 1427510 2025-07-11T14:31:23Z Riccardo Riccioni 452 /* Tanbihi */ 1436938 wikitext text/x-wiki [[Image:POL Gdańsk flag.svg|thumb|Bendera ya mji.]] [[Picha:Collage of views of Gdansk.jpg|250px|thumb|Gdansk - Danzig : Mji wa Kale]] '''Gdańsk''' (kwa [[Kijerumani]]: '''Danzig''') ni [[mji]] wa [[bandari]] kaskazini mwa [[Polandi]] kule ambako [[mto]] [[Vistula]] unaishia katika [[Bahari Baltiki]]. Mji una wakazi wapatao 500,000 na bandari muhimu zaidi ya Polandi.<ref>{{cite web|url=http://www.portgdansk.pl/about-port/|title=About Port|work=Port of Gdansk Authority|accessdate=2009-11-05}}</ref> ==Historia== Mji ukikuwepo tayari mnamo [[mwaka]] [[900]] [[BK]] na tangu mwaka [[979]] eneo lake liliingizwa mara ya kwanza katika [[milki ya Polandi]]. Katika [[karne ya 13]] [[mtemi]] [[Swantopolk]] alikaribisha [[walowezi]] [[Wajerumani]] kuanzisha mji chini ya utaratibu wa kwao nyumbani. Mji huu wa Kijerumani ulikua na kuwa mji muhimu wa [[biashara]] na tasnifu ikaungana na makazi ya awali ya wazalendo. Mji wa Danzig ([[jina]] la Kijerumani) uliendelea kuwa mji wa [[utamaduni]] wa Kijerumani lakini kwa [[karne]] kadhaa ulikuwa [[mji wa kujitawala]] chini ya [[Dola la Wamisalaba]] Wajerumani na baadaye chini ya [[mfalme]] wa Polandi. Baada ya magawio ya Polandi ulikuwa mji wa [[Prussia]] tangu [[1796]] na baadaye mji wa Ujerumani. Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Danzig ilitengwa na [[Ujerumani]] na kuwa [[Dola-mji]] hadi kuvamiwa na Ujerumani mwaka [[1939]]. Mwisho wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] mwaka [[1945]]/[[1946]] wakazi Wajerumani walifukuzwa na mji wote pamoja na maeneo ya [[mashariki]] mwa Ujerumani vilipata kuwa sehemu ya Jamhuri ya Polandi. Sasa jina lake ni Gdansk. Mji ulioharibika sana [[Vita|vitani]] ukajengwa upya kwa kuiga [[Jengo|majengo]] ya awali. Katika miaka ya [[utawala]] wa [[ukomunisti|kikomunisti]] katika Polandi Gdansk iliendelea kuwa [[kitovu]] cha upinzani na mahali ambako chama cha [[Solidarnosc]] kilianzishwa. == Tanbihi == {{reflist}} [[Category:Miji ya Polandi|G]] [[Jamii:Bahari ya Baltiki]] pizaoua2xubbyx5pwdma0e1wezft118 Kirai 0 94315 1436976 1232031 2025-07-11T19:09:57Z ~2025-17442-4 80059 Kirai kiunganishi hakistahili kuwepo kama mojawapo ya aina ya virai 1436976 wikitext text/x-wiki '''Kirai''' ni kipashio cha [[muundo]] chenye [[neno]] moja au zaidi lakini ambacho hakina muundo wa [[kiima]] na [[kiarifu]]. Muundo wa kiima na kiarifu ni ule ambao unahusisha mtendaji wa [[tendo]] na tendo linalotendwa na ambao ndio muundo wa [[msingi]] katika [[lugha]] yoyote ile. Kiima hukaliwa na [[nomino]] kama neno kuu na kiarifu hukaliwa na [[kitenzi]] kama neno kuu. ==Sifa za kirai== Kirai hakina muundo wa kiima na kiarifu ambao unahusisha mtendaji wa tendo na tendo linalotendwa. [[Uainishaji]] wa aina za virai hutegemea mahusiano maalumu baina ya maneno na neno kuu, kwa mfano neno kuu katika kirai nomino ni nomino. Kirai na [[tungo]] yaani haina mojawapo ya tungo ambayo tungo nyingine ni neno kishazi na [[sentensi]]. Kirai kikamilishi maana labda ni jibu. Kirai huweza kutokea upande wa kiima au kiarifu katika sentensi. Kirai ni kikubwa kuliko neno lakini kidogo kuliko [[kishazi]]. ==Aina za virai== *''kirai nomino'' au ''kikundi nomino'' (RN): ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya nomino yaani kutaja [[mtu]], [[kitu]], mahali au hali. Neno kuu katika kirai ni nomino. *''kirai kitenzi'' (RT): ni kipashio cha lugha ambacho kinafanya kazi ya kitenzi yaani kuelezea kitendo ndani ya tungo. kirai kitenzi kinaweza kuundwa kwa neno moja au zaidi. *''kirai kielezi'' (RE): ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya kielezi yaani kutoa taarifa zaidi kuhusu kitenzi au tendo; kirai kielezi hutoa taarifa zinazojibu maswali kama vile lini, wapi, vipi, na mara ngapi? *''kirai kivumishi'' (RV): ni maneno yanayofanya kazi ya kivumishi yaani yanatoa taarifa zaidi kuhusu kivumishi; neno kuu ndani ya kirai hiki ni kivumishi. Mara nyingi kirai kivumishi huwa sehemu ya kirai nomino. Mfano: mwanafunzi mkimya zaidi amekuwa wa kwanza. *''kirai kihusishi'' (RH): ni kirai ambacho neno linalotawala ndani yake ni kihusishi. Kwa kawaida kihusishi hicho hufuatiwa na kirai nomino. {{mbegu-lugha}} [[Jamii:Isimu]] [[Jamii:Kiswahili]] hnm62x3qp6o8frzec32kr85e71bstj2 1437105 1436976 2025-07-12T09:05:10Z ~2025-18052-9 80066 OOPS, clique malfonctionne 1437105 wikitext text/x-wiki '''Kirai''' ni kipashio cha [[muundo]] chenye [[neno]] moja au zaidi lakini ambacho hakina muundo wa [[kiima]] na [[kiarifu]]. Muundo wa kiima na kiarifu ni ule ambao unahusisha mtendaji wa [[tendo]] na tendo linalotendwa na ambao ndio muundo wa [[msingi]] katika [[lugha]] yoyote ile. Kiima hukaliwa na [[nomino]] kama neno kuu na kiarifu hukaliwa na [[kitenzi]] kama neno kuu. ==Sifa za kirai== Kirai hakina muundo wa kiima na kiarifu ambao unahusisha mtendaji wa tendo na tendo linalotendwa. [[Uainishaji]] wa aina za virai hutegemea mahusiano maalumu baina ya maneno na neno kuu, kwa mfano neno kuu katika kirai nomino ni nomino. Kirai na [[tungo]] yaani haina mojawapo ya tungo ambayo tungo nyingine ni neno kishazi na [[sentensi]]. Kirai kikamilishi maana labda ni jibu. Kirai huweza kutokea upande wa kiima au kiarifu katika sentensi. Kirai ni kikubwa kuliko neno lakini kidogo kuliko [[kishazi]]. ==Aina za virai== *''kirai nomino'' au ''kikundi nomino'' (RN): ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya nomino yaani kutaja [[mtu]], [[kitu]], mahali au hali. Neno kuu katika kirai ni nomino. *''kirai kitenzi'' (RT): ni kipashio cha lugha ambacho kinafanya kazi ya kitenzi yaani kuelezea kitendo ndani ya tungo. kirai kitenzi kinaweza kuundwa kwa neno moja au zaidi. *''kirai kielezi'' (RE): ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya kielezi yaani kutoa taarifa zaidi kuhusu kitenzi au tendo; kirai kielezi hutoa taarifa zinazojibu maswali kama vile lini, wapi, vipi, na mara ngapi? *''kirai kivumishi'' (RV): ni maneno yanayofanya kazi ya kivumishi yaani yanatoa taarifa zaidi kuhusu kivumishi; neno kuu ndani ya kirai hiki ni kivumishi. Mara nyingi kirai kivumishi huwa sehemu ya kirai nomino. Mfano: mwanafunzi mkimya zaidi amekuwa wa kwanza. *''kirai kiunganishi'' (RU): ni kirai ambacho neno linalotawala ndani yake ni kiunganishi. Kwa kawaida kiunganishi hicho hufuatiwa na kirai nomino. Mifano: # ameweka juu ya meza # ameandika kwa kalamu # amesafiri kwa ndege *''kirai kihusishi'' (RH): ni kirai ambacho neno linalotawala ndani yake ni kihusishi. Kwa kawaida kihusishi hicho hufuatiwa na kirai nomino. {{mbegu-lugha}} [[Jamii:Isimu]] [[Jamii:Kiswahili]] hif4gwi5td1lfz4f3siygeqsjo5nghh Kinanda cha filimbi 0 97858 1437255 1278730 2025-07-12T11:46:58Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437255 wikitext text/x-wiki [[picha:Mamre Moavian Mission Church Organ.jpg|thumb|Kinanda cha filimbi huko Kanisa la Moravian Mamre, Afrika Kusini]] [[Picha:Flight of the Bumblebee on Pipe Organ Pedals.webm|thumb|Carol Williams akipiga kwenye kinanda kikubwa cha filimbi kwenye kanisa la Chuo cha Kijeshi cha Westpoint, Marekani]] '''Kinanda cha filimbi''' ([[ing.]] ''pipe organ'') ni [[ala ya muziki]] inayotoa sauti kwa njia ya kupuliza hewa kupitia filimbi zinazochaguliwa kwa njia ya kupiga vibao vya kinanda kwa vidole vya mkono au -kwenye kinanda cha filimbi kikubwa zaida- pia kwa miguu. Filimbi hupangwa kwa safu zenye sauti za kufanana. Kwa kawaida kinanda cha filimbi huwa na safu kadhaa za filimbi kama ni kikubwa hata makumi. Kila filimbi kwenye safu yake ina kiimbo chake. Mpiga kinanda anaweza kuunganisha safu mbalimbali na kwa kupiga kibao kinacholingana na kiimbo fulani kiimbo hiki kinatolewa kwenye sauti mbalimbali kwa wakati mojs. Asili ya mwendo wa hewa ilikuwa viriba vilivyokanagwa na msaidizi, siku hizi kuna injini ya umeme inayosukuma hewa katika kinanda. Kwa kupiga kibao valvu inafunguliwa inayopeleka hewa kwa filimbi za safu zilizochaguliwa na mwanamuziki. Kinanda sahili huwa na seti moja ya vibao, mara nyingi pamoja na seti ya ziadi kwa matumizi ya miguu. Vinanda vikubwa zaidi huwa na seti hadi nne za mikono na viwili vya miguu pamoja na safu nyingi za filimbi. Taarifa za kwanza kuhusu matumizi ya vinanda zilihifadhifa kati ya Wagiriki wa Kale na baadaye na Waroma. Tangu karne ya 8 BK kunataarifa ya kwanza kuhusu vinanda katika makanisa. Ala hii iliendelea kuboreshwa polepole katika mwendo wa karne nyingi hasa katika Ulaya ya Magharibi na Kati. Tangu karne ya 18 ala hizo zilikomaa na muziki iliyoandikwa wakati ule inatumiwa hadi leo. ==Marejeo== {{commons|Pipe organ|Kinanda cha filimbi}} {{Wikisource1911Enc|Organ}} *[http://ibiblio.org/pipeorgan/ The Pipe Organ], a basic overview of the organ * [http://theorganmag.com/ The Organ], quarterly UK publication about pipe organs *[http://ellykooiman.com/ ellykooiman.com], pipe organ website with information and detailed photos of various organs *{{cite web | last = Sonderlund | first = Sandra | title = A Young Person's Guide to the Pipe Organ | url = http://agohq.org/guide/pages/index1.html | accessdate = | archiveurl = https://web.archive.org/web/20131220205013/http://www.agohq.org/guide/pages/index1.html | archivedate=2013-12-20}} *[http://rjweisen.50megs.com/fluepipe1_001.htm Flue Pipe Acoustics], a scholarly description of flue pipe physics *[https://web.archive.org/web/20070927154753/http://etd.lib.fsu.edu/theses/available/etd-04052006-155413/unrestricted/LORENZTREATISE.pdf Organ transcriptions and the Late Romantic Period] *[http://www.musiqueorguequebec.ca/orgues.html Organs and Organists] {{Wayback|url=http://www.musiqueorguequebec.ca/orgues.html |date=20140515172810 }}, a repository of information on significant organs and organ builders *[https://web.archive.org/web/20151223151950/https://winterfeldt.de/orgel/ Orgelgalerie], a gallery of over 2000 pipe organ pictures from many different countries *[http://organstops.org/ Encyclopedia of Organ Stops], a comprehensive database of over 2500 stops with descriptions, pictures, and sound clips *[http://nersp.osg.ufl.edu/~bodinew/ An introductory site to the organ] {{Wayback|url=http://nersp.osg.ufl.edu/~bodinew/ |date=20160520221430 }} particularly this [http://nersp.osg.ufl.edu/~bodinew/Pages/Glossary.html Glossary] {{Wayback|url=http://nersp.osg.ufl.edu/~bodinew/Pages/Glossary.html |date=20160304231058 }} of Organ Terms ===Mkusanyo wa data=== *[http://iof.pipechat.org/ International Organ Foundation] {{Wayback|url=http://iof.pipechat.org/ |date=20180717061148 }}, an online pipe organ database with specifications of more than 10,000 organs in 95 countries *[http://database.organsociety.org/ Organ Historical Society Pipe Organ Database] *[http://sacredclassics.com/bigpipes.htm The Top 20 - The World's Largest Pipe Organs] {{Wayback|url=http://sacredclassics.com/bigpipes.htm |date=20181013035803 }} *[http://www.npor.org.uk/ National Pipe Organ Register], featuring history and specifications of 28,000 pipe organs in the United Kingdom *[http://die-orgelseite.de/index_e.html Die Orgelseite], photos and specifications of some of the world's most interesting organs (subscription required for some content) *[http://www.orgbase.nl/ Organ Database], stoplists, pictures and information about some 33,500 pipe organs around the world *[http://www.nycago.org/organs/nyc/ The New York City Organ Project] {{Wayback|url=http://www.nycago.org/organs/nyc/ |date=20180420153858 }} documents organs present and past in the five boroughs of New York City *[http://musiconis-dev.huma-num.fr/fr/results.html?query=orgue Musiconis Database] {{Wayback|url=http://musiconis-dev.huma-num.fr/fr/results.html?query=orgue |date=20180106065313 }}, an online database of medieval musical iconography (featuring images of medieval organs) ===Video za vinanda vya filimbi=== * "TourBus to the King of Instruments" – video series with [[Carol Williams (organist)]] about the large & small, famous & unique pipe organs of the world. [http://melcot.com/recordings.html American Video & Audio Production Company] * "The Joy of Music" – television series with [[Diane Bish]] about large pipe organs in USA and in Europe. [[Jamii:ala za muziki]] a2r37kb621opejkuqbqcdzu0c3wszm4 Diogo Jota 0 112817 1436967 1435891 2025-07-11T17:08:09Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari 1436967 wikitext text/x-wiki {| class="infobox" style="width:22em; border:1px solid #aaa; background:#f9f9f9; font-size:90%;" |- ! colspan="2" style="background-color:#4682B4; color:white; text-align:center; font-size:110%;" | Diogo Jota |- | colspan="2" style="text-align:center;" | [[File:Diogo Jota 2025.jpg|200px|alt=Diogo Jota]] |- | '''Jina kamili''' | Diogo José Teixeira da Silva |- | '''Tarehe ya kuzaliwa''' | {{birth date|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kuzaliwa''' | [[Porto]], Ureno |- | '''Tarehe ya kifo''' | {{death date and age|2025|7|3|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kifo''' | Cernadilla, Uhispania |- | '''Urefu''' | 1.78 m |- | '''Uzito''' | — |- | '''Nchi''' | [[File:Flag of Portugal.svg|25px]] [[Ureno]] |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa za Michezo |- | '''Michezo''' | Mpira wa miguu |- | '''Nafasi / Aina ya tukio''' | Mshambuliaji, Winga |- | '''Timu / Klabu ya mwisho''' | [[Liverpool F.C.]] |- | '''Kocha (wa mwisho)''' | Jürgen Klopp |- | '''Mafanikio makubwa''' | Mshindi wa UEFA Nations League (2019, 2025) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Tuzo / Mashindano |- | '''Mashindano''' | UEFA Nations League, Euro |- | '''Medali / Tuzo''' | 🥇 UEFA Nations League 2019 (Ureno) 🥇 UEFA Nations League 2025 (Ujerumani) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa nyingine |- | '''Saini''' | [[File:Diogo Jota's signature.svg|150px]] |} '''Diogo José Teixeira da Silva''' (anajulikana kama '''Diogo Jota'''; [[4 Desemba]] [[1996]] - [[3 Julai]] [[2025]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa [[Ureno]] ambaye mara ya mwisho alicheza katika [[klabu]] iliyopo katika [[Ligi Kuu|ligi kuu]] ya [[Uingereza]] iitwayo [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]].<ref>{{Cite web|title=Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?|url=https://theanalyst.com/articles/ruthless-diogo-jota-liverpool-premier-league-title-race|work=Opta Analyst|date=2024-01-24|accessdate=2025-07-11|language=en|author=David Segar}}</ref> ==Kazi ya klabu== ===Atlético Madrid === Mnamo [[14 Machi]] [[2016]], Jota alikubali mkataba wa miaka mitano akiwa na [[klabu]] ya [[Atlético Madrid|Atletico Madrid]].<ref>{{Cite web|title=El Atlético ficha a Diogo Jota|url=https://e00-marca.uecdn.es/futbol/atletico/2016/03/14/56e70d3546163fd3718b45c3.html|work=Marca.com|date=2016-03-14|accessdate=2025-07-11|language=es|author=Alberto R. Barbero y G. Lafora, Madrid}}</ref> Mnamo 26 [[Agosti]] alirudi katika nchi yake na kujiunga na klabu ya FC Porto kwa mkopo wa mwaka mmoja. Mnamo 1 Oktoba alifunga goli la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya C.D. Nacional. ===Wolverhampton Wanderers=== Mnamo [[25 Julai]] [[2017]], Jota alihamia katika [[klabu]] iiliyopo nchini [[Uingereza]] iitwayo Wolverhampton Wanderers kwa mkopo wa muda mrefu.Alifunga goli lake la kwanza [[15 Agosti]], ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Hull City. Mnamo [[30 Januari]] [[2018]], ilitangazwa kuwa katika mpango wa kudumu katika [[klabu]] ya Wolverhampton Wanderer. Alifunga magoli 17 bora katika mwaka wake wa kwanza. Alifariki [[dunia]] pamoja na mdogo wake kwa [[ajali]] ya [[Motokaa|gari]]. == Marejeo == [[Jamii:waliozaliwa 1996]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Ureno]] [[Jamii:Wachezaji wa Liverpool FC]] 6vta9lxwfs32hvgzrqsi65c2b95d6mo 1437086 1436967 2025-07-12T07:36:53Z Said Rashid Said1 79872 Taarifa nyengn hazikua sawa 1437086 wikitext text/x-wiki {| class="infobox" style="width:22em; border:1px solid #aaa; background:#f9f9f9; font-size:90%;" |- ! colspan="2" style="background-color:#4682B4; color:white; text-align:center; font-size:110%;" | Diogo Jota |- | colspan="2" style="text-align:center;" | [[File:Diogo Jota 2025.jpg|200px|alt=Diogo Jota]] |- | '''Jina kamili''' | Diogo José Teixeira da Silva |- | '''Tarehe ya kuzaliwa''' | {{birth date|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kuzaliwa''' | [[Porto]], Ureno |- | '''Tarehe ya kifo''' | {{death date and age|2025|7|3|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kifo''' | Cernadilla, Uhispania |- | '''Urefu''' | 1.78 m |- | '''Uzito''' | — |- | '''Nchi''' | [[File:Flag of Portugal.svg|25px]] [[Ureno]] |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa za Michezo |- | '''Michezo''' | Mpira wa miguu |- | '''Nafasi / Aina ya tukio''' | Mshambuliaji, Winga |- | '''Timu / Klabu ya mwisho''' | [[Liverpool F.C.]] |- | '''Kocha (wa mwisho)''' | Jürgen Klopp |- | '''Mafanikio makubwa''' | Mshindi wa UEFA Nations League (2019, 2025) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Tuzo / Mashindano |- | '''Mashindano''' | UEFA Nations League, Euro |- | '''Medali / Tuzo''' | 🥇 UEFA Nations League 2019 (Ureno) 🥇 UEFA Nations League 2025 (Ujerumani) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa nyingine |- | '''Saini''' | [[File:Diogo Jota's signature.svg|150px]] |} '''Diogo José Teixeira da Silva''' (anajulikana kama '''Diogo Jota'''; [[4 Desemba]] [[1996]] - [[3 Julai]] [[2025]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa [[Ureno]] ambaye mara ya mwisho alicheza katika [[klabu]] iliyopoo katika [[Ligi Kuu|ligi kuu]] ya [[Uingereza]] iitwayo [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]].<ref>{{Cite web|title=Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?|url=https://theanalyst.com/articles/ruthless-diogo-jota-liverpool-premier-league-title-race|work=Opta Analyst|date=2024-01-24|accessdate=2025-07-11|language=en|author=David Segar}}</ref> ==Kazi ya klabu== ===Atlético Madrid === Mnamo [[14 Machi]] [[2016]], Jota alikubali mkataba wa miaka mitano akiwa na [[klabu]] ya [[Atlético Madrid|Atletico Madrid]].<ref>{{Cite web|title=El Atlético ficha a Diogo Jota|url=https://e00-marca.uecdn.es/futbol/atletico/2016/03/14/56e70d3546163fd3718b45c3.html|work=Marca.com|date=2016-03-14|accessdate=2025-07-11|language=es|author=Alberto R. Barbero y G. Lafora, Madrid}}</ref> Mnamo 26 [[Agosti]] alirudi katika nchi yake na kujiunga na klabu ya FC Porto kwa mkopo wa mwaka mmoja. Mnamo 1 Oktoba alifunga goli la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya C.D. Nacional. ===Wolverhampton Wanderers=== Mnamo [[25 Julai]] [[2017]], Jota alihamia katika [[klabu]] iiliyopo nchini [[Uingereza]] iitwayo Wolverhampton Wanderers kwa mkopo wa muda mrefu.Alifunga goli lake la kwanza [[15 Agosti]], ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Hull City. Mnamo [[30 Januari]] [[2018]], ilitangazwa kuwa katika mpango wa kudumu katika [[klabu]] ya Wolverhampton Wanderer. Alifunga magoli 17 bora katika mwaka wake wa kwanza. Alifariki [[dunia]] pamoja na mdogo wake kwa [[ajali]] ya [[Motokaa|gari]]. == Marejeo == [[Jamii:waliozaliwa 1996]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Ureno]] [[Jamii:Wachezaji wa Liverpool FC]] 6tezo259fswkjgab7a6sln72o39ixr6 1437088 1437086 2025-07-12T07:39:25Z Said Rashid Said1 79872 1437088 wikitext text/x-wiki {| class="infobox" style="width:22em; border:1px solid #aaa; background:#f9f9f9; font-size:90%;" |- ! colspan="2" style="background-color:#4682B4; color:white; text-align:center; font-size:110%;" | Diogo Jota |- | colspan="2" style="text-align:center;" | [[File:Diogo Jota 2025.jpg|200px|alt=Diogo Jota]] |- | '''Jina kamili''' | Diogo José Teixeira da Silva |- | '''Tarehe ya kuzaliwa''' | {{birth date|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kuzaliwa''' | [[Porto]], Ureno |- | '''Tarehe ya kifo''' | {{death date and age|2025|7|3|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kifo''' | Cernadilla, Uhispania |- | '''Urefu''' | 1.78 m |- | '''Uzito''' | — |- | '''Nchi''' | [[File:Flag of Portugal.svg|25px]] [[Ureno]] |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa za Michezo |- | '''Michezo''' | Mpira wa miguu |- | '''Nafasi / Aina ya tukio''' | Mshambuliaji, Winga |- | '''Timu / Klabu ya mwisho''' | [[Liverpool F.C.]] |- | '''Kocha (wa mwisho)''' | Jürgen Klopp |- | '''Mafanikio makubwa''' | Mshindi wa UEFA Nations League (2019, 2025) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Tuzo / Mashindano |- | '''Mashindano''' | UEFA Nations League, Euro |- | '''Medali / Tuzo''' | 🥇 UEFA Nations League 2019 (Ureno) 🥇 UEFA Nations League 2025 (Ujerumani) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa nyingine |- | '''Saini''' | [[File:Diogo Jota's signature.svg|150px]] |} . '''Diogo José Teixeira da Silva''' (anajulikana kama '''Diogo Jota'''; [[4 Desemba]] [[1996]] - [[3 Julai]] [[2025]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa [[Ureno]] ambaye mara ya mwisho alicheza katika [[klabu]] iliyopoo katika [[Ligi Kuu|ligi kuu]] ya [[Uingereza]] iitwayo [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]].<ref>{{Cite web|title=Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?|url=https://theanalyst.com/articles/ruthless-diogo-jota-liverpool-premier-league-title-race|work=Opta Analyst|date=2024-01-24|accessdate=2025-07-11|language=en|author=David Segar}}</ref> ==Kazi ya klabu== ===Atlético Madrid === Mnamo [[14 Machi]] [[2016]], Jota alikubali mkataba wa miaka mitano akiwa na [[klabu]] ya [[Atlético Madrid|Atletico Madrid]].<ref>{{Cite web|title=El Atlético ficha a Diogo Jota|url=https://e00-marca.uecdn.es/futbol/atletico/2016/03/14/56e70d3546163fd3718b45c3.html|work=Marca.com|date=2016-03-14|accessdate=2025-07-11|language=es|author=Alberto R. Barbero y G. Lafora, Madrid}}</ref> Mnamo 26 [[Agosti]] alirudi katika nchi yake na kujiunga na klabu ya FC Porto kwa mkopo wa mwaka mmoja. Mnamo 1 Oktoba alifunga goli la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya C.D. Nacional. ===Wolverhampton Wanderers=== Mnamo [[25 Julai]] [[2017]], Jota alihamia katika [[klabu]] iiliyopo nchini [[Uingereza]] iitwayo Wolverhampton Wanderers kwa mkopo wa muda mrefu.Alifunga goli lake la kwanza [[15 Agosti]], ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Hull City. Mnamo [[30 Januari]] [[2018]], ilitangazwa kuwa katika mpango wa kudumu katika [[klabu]] ya Wolverhampton Wanderer. Alifunga magoli 17 bora katika mwaka wake wa kwanza. Alifariki [[dunia]] pamoja na mdogo wake kwa [[ajali]] ya [[Motokaa|gari]]. == Marejeo == [[Jamii:waliozaliwa 1996]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Ureno]] [[Jamii:Wachezaji wa Liverpool FC]] 5bjgmbym02e4pbheho8m1vrkjaqq1r4 1437089 1437088 2025-07-12T07:40:22Z Said Rashid Said1 79872 1437089 wikitext text/x-wiki {| class="infobox" style="width:22em; border:1px solid #aaa; background:#f9f9f9; font-size:90%;" |- ! colspan="2" style="background-color:#4682B4; color:white; text-align:center; font-size:110%;" | Diogo Jota |- | colspan="2" style="text-align:center;" | [[File:Diogo Jota 2025.jpg|200px|alt=Diogo Jota]] |- | '''Jina kamili''' | Diogo José Teixeira da Silva |- | '''Tarehe ya kuzaliwa''' | {{birth date|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kuzaliwa''' | [[Porto]], Ureno |- | '''Tarehe ya kifo''' | {{death date and age|2025|7|3|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kifo''' | Cernadilla, Uhispania |- | '''Urefu''' | 1.78 m |- | '''Uzito''' | — |- | '''Nchi''' | [[File:Flag of Portugal.svg|25px]] [[Ureno]] |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa za Michezo |- | '''Michezo''' | Mpira wa miguu |- | '''Nafasi / Aina ya tukio''' | Mshambuliaji, Winga |- | '''Timu / Klabu ya mwisho''' | [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]] |- | '''Kocha (wa mwisho)''' | Jürgen Klopp |- | '''Mafanikio makubwa''' | Mshindi wa UEFA Nations League (2019, 2025) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Tuzo / Mashindano |- | '''Mashindano''' | UEFA Nations League, Euro |- | '''Medali / Tuzo''' | 🥇 UEFA Nations League 2019 (Ureno) 🥇 UEFA Nations League 2025 (Ujerumani) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa nyingine |- | '''Saini''' | [[File:Diogo Jota's signature.svg|150px]] |} . '''Diogo José Teixeira da Silva''' (anajulikana kama '''Diogo Jota'''; [[4 Desemba]] [[1996]] - [[3 Julai]] [[2025]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa [[Ureno]] ambaye mara ya mwisho alicheza katika [[klabu]] iliyopoo katika [[Ligi Kuu|ligi kuu]] ya [[Uingereza]] iitwayo [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]].<ref>{{Cite web|title=Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?|url=https://theanalyst.com/articles/ruthless-diogo-jota-liverpool-premier-league-title-race|work=Opta Analyst|date=2024-01-24|accessdate=2025-07-11|language=en|author=David Segar}}</ref> ==Kazi ya klabu== ===Atlético Madrid === Mnamo [[14 Machi]] [[2016]], Jota alikubali mkataba wa miaka mitano akiwa na [[klabu]] ya [[Atlético Madrid|Atletico Madrid]].<ref>{{Cite web|title=El Atlético ficha a Diogo Jota|url=https://e00-marca.uecdn.es/futbol/atletico/2016/03/14/56e70d3546163fd3718b45c3.html|work=Marca.com|date=2016-03-14|accessdate=2025-07-11|language=es|author=Alberto R. Barbero y G. Lafora, Madrid}}</ref> Mnamo 26 [[Agosti]] alirudi katika nchi yake na kujiunga na klabu ya FC Porto kwa mkopo wa mwaka mmoja. Mnamo 1 Oktoba alifunga goli la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya C.D. Nacional. ===Wolverhampton Wanderers=== Mnamo [[25 Julai]] [[2017]], Jota alihamia katika [[klabu]] iiliyopo nchini [[Uingereza]] iitwayo Wolverhampton Wanderers kwa mkopo wa muda mrefu.Alifunga goli lake la kwanza [[15 Agosti]], ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Hull City. Mnamo [[30 Januari]] [[2018]], ilitangazwa kuwa katika mpango wa kudumu katika [[klabu]] ya Wolverhampton Wanderer. Alifunga magoli 17 bora katika mwaka wake wa kwanza. Alifariki [[dunia]] pamoja na mdogo wake kwa [[ajali]] ya [[Motokaa|gari]]. == Marejeo == [[Jamii:waliozaliwa 1996]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Ureno]] [[Jamii:Wachezaji wa Liverpool FC]] smor6qzrzsejz6gz1j75zrqeyzd6nj4 1437092 1437089 2025-07-12T07:51:43Z Anuary Rajabu 45588 1437092 wikitext text/x-wiki {| class="infobox" style="width:22em; border:1px solid #aaa; background:#f9f9f9; font-size:90%;" |- ! colspan="2" style="background-color:#4682B4; color:white; text-align:center; font-size:110%;" | Diogo Jota |- | colspan="2" style="text-align:center;" | [[File:Diogo Jota 2025.jpg|200px|alt=Diogo Jota]] |- | '''Jina kamili''' | Diogo José Teixeira da Silva |- | '''Tarehe ya kuzaliwa''' | {{birth date|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kuzaliwa''' | [[Porto]], Ureno |- | '''Tarehe ya kifo''' | {{death date and age|2025|7|3|1996|12|4|df=y}} |- | '''Mahali pa kifo''' | Cernadilla, Uhispania |- | '''Urefu''' | 1.78 m |- | '''Uzito''' | — |- | '''Nchi''' | [[File:Flag of Portugal.svg|25px]] [[Ureno]] |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa za Michezo |- | '''Michezo''' | Mpira wa miguu |- | '''Nafasi / Aina ya tukio''' | Mshambuliaji, Winga |- | '''Timu / Klabu ya mwisho''' | [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]] |- | '''Kocha (wa mwisho)''' | Jürgen Klopp |- | '''Mafanikio makubwa''' | Mshindi wa UEFA Nations League (2019, 2025) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Tuzo / Mashindano |- | '''Mashindano''' | UEFA Nations League, Euro |- | '''Medali / Tuzo''' | 🥇 UEFA Nations League 2019 (Ureno) 🥇 UEFA Nations League 2025 (Ujerumani) |- ! colspan="2" style="background:#dbe9f4; text-align:center;" | Taarifa nyingine |- | '''Saini''' | [[File:Diogo Jota's signature.svg|150px]] |} '''Diogo José Teixeira da Silva''' (anajulikana kama '''Diogo Jota'''; [[4 Desemba]] [[1996]] - [[3 Julai]] [[2025]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa [[Ureno]] ambaye mara ya mwisho alicheza katika [[klabu]] iliyopoo katika [[Ligi Kuu|ligi kuu]] ya [[Uingereza]] iitwayo [[Liverpool F.C.|Liverpool Football Club]].<ref>{{Cite web|title=Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?|url=https://theanalyst.com/articles/ruthless-diogo-jota-liverpool-premier-league-title-race|work=Opta Analyst|date=2024-01-24|accessdate=2025-07-11|language=en|author=David Segar}}</ref> ==Kazi ya klabu== ===Atlético Madrid === Mnamo [[14 Machi]] [[2016]], Jota alikubali mkataba wa miaka mitano akiwa na [[klabu]] ya [[Atlético Madrid|Atletico Madrid]].<ref>{{Cite web|title=El Atlético ficha a Diogo Jota|url=https://e00-marca.uecdn.es/futbol/atletico/2016/03/14/56e70d3546163fd3718b45c3.html|work=Marca.com|date=2016-03-14|accessdate=2025-07-11|language=es|author=Alberto R. Barbero y G. Lafora, Madrid}}</ref> Mnamo 26 [[Agosti]] alirudi katika nchi yake na kujiunga na klabu ya FC Porto kwa mkopo wa mwaka mmoja. Mnamo 1 Oktoba alifunga goli la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya C.D. Nacional. ===Wolverhampton Wanderers=== Mnamo [[25 Julai]] [[2017]], Jota alihamia katika [[klabu]] iiliyopo nchini [[Uingereza]] iitwayo Wolverhampton Wanderers kwa mkopo wa muda mrefu.Alifunga goli lake la kwanza [[15 Agosti]], ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Hull City. Mnamo [[30 Januari]] [[2018]], ilitangazwa kuwa katika mpango wa kudumu katika [[klabu]] ya Wolverhampton Wanderer. Alifunga magoli 17 bora katika mwaka wake wa kwanza. Alifariki [[dunia]] pamoja na mdogo wake kwa [[ajali]] ya [[Motokaa|gari]]. == Marejeo == [[Jamii:waliozaliwa 1996]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Ureno]] [[Jamii:Wachezaji wa Liverpool FC]] dev4mjxukbsqza1rhixgzjvuyr5aos2 Mjasiriamali 0 121289 1437071 1283782 2025-07-12T06:34:40Z Alex Rweyemamu 75841 /* growthexperiments-addlink-summary-summary:3|0|0 */ 1437071 wikitext text/x-wiki [[picha:Karachi_-_Pakistan-market.jpg|thumbnail|right|200pax|Mjasiriamali nchini Pakistani]] '''Mjasiriamali''' ni [[mtu]] ambaye anaandaa, anapanga au anasimamia biashara fulani, akikubali kukabiliana na hatari za [[Biashara|kibiashara]] zinazoweza kujitokeza ilhali analenga kupata [[faida]].<ref>[http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt entrepreneurship.html entrepreneurship] {{Wayback|url=http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt |date=20181116084818 }}, Tovuti ya Businessdictionary.com, iliangaliwa Agosti 2020</ref> Mjasiriamali mara nyingi huonekana kama mbunifu, chanzo cha mawazo anzilishi, mwenye kuvumbua [[bidhaa]] au [[huduma]] mpya na biashara. Pia mjasiriamali ni mtu anayeweza kusaidia sana maendeleo ya kiuchumi nchini mwake, ndiyo maana nchi tajiri zaidi duniani zina wajasiriamali wengi na mashuhuri sana, yaani, ujasiriamali unaonekana kama lazima kwa uboreshaji wa hali ya kiuchumi katika nchi yoyote. <ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Mjasiriamali huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[uchumi]] wowote, kwa kutumia ustadi wa kijasiriamali na kuleta maoni mazuri katika [[soko]].<ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Ujasiriamali ni tendo la kuwa mfanyabiashara, au "mmiliki au meneja wa [[kampuni]] ya biashara ambaye, kwa hatari na jitihada, anajaribu kupata faida". Wajasiriamali hufanya kazi kama mameneja na kusimamia uzinduzi na ukuaji wa kampuni. Ujasiriamali ni mchakato ambao mtu binafsi au timu huitambua fursa ya biashara na kuchukua na kutumia rasilimali muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuitumia.[[File:Aliko_Dangote.jpg|220x124px|thumb|right|Mjasiriamali Aliko Dangote kutoka Nigeria]] Ujasiriamali ni mchakato wa kuunda, kuanzisha, na kusimamia biashara ili kuzalisha faida. Kupitia ujasiriamali, watu huchukua hatari na kutumia ubunifu ili kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii, kuunda ajira, na kuendeleza uchumi. Hapa chini ni baadhi ya wajasiriamali wa Kiafrika ambao wamekuwa au wanaendelea kuwa sehemu muhimu ya ukuaji wa uchumi wa Afrika. 1. Aliko Dangote ([[Nigeria]]): Aliko Dangote ni mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Group, kampuni kubwa ya viwanda na biashara barani Afrika. Kampuni yake inajihusisha na sekta mbalimbali kama vile saruji, sukari, chuma, na [[mafuta ya petroli]]. Dangote ameendelea kuwa mmoja wa wajasiriamali tajiri zaidi barani Afrika. 2. Strive Masiyiwa (Zimbabwe): Strive Masiyiwa ni mfanyabiashara na mwanaharakati kutoka Zimbabwe. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Econet Wireless, kampuni inayoongoza katika sekta ya mawasiliano ya simu barani Afrika. Masiyiwa ameendelea kuwa mmoja wa viongozi wa sekta ya teknolojia na mawasiliano barani Afrika. 3. Isabel dos Santos (Angola): Isabel dos Santos ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Angola. Yeye ni binti wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos. Isabel dos Santos amejihusisha na sekta mbalimbali kama vile mawasiliano, nishati, benki, na madini. Yeye ni mmoja wa wanawake tajiri zaidi barani Afrika. 4. Tony Elumelu (Nigeria): Tony Elumelu ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi wa Tony Elumelu Foundation, ambayo inasaidia na kuendeleza wajasiriamali barani Afrika. Elumelu ameendelea kufanya kazi katika sekta ya benki na uwekezaji, na amekuwa akichangia kukuza ujasiriamali barani Afrika. 5. Bethlehem Tilahun Alemu (Ethiopia): Bethlehem Tilahun Alemu ni mfanyabiashara kutoka Ethiopia na mwanzilishi wa kampuni ya soleRebels. Kampuni yake inazalisha viatu vya kienyeji na imekuwa ikisambaza bidhaa zake kimataifa. Alemu amepata umaarufu kwa kuchangia katika maendeleo ya ujasiriamali na kukuza ajira nchini Ethiopia. 6. Ashish Thakkar (Uganda): Ashish Thakkar ni mfanyabiashara kutoka Uganda na mwanzilishi wa Mara Group. Hapa chini ni aina mbalimbali za wajasiriamali wa Kiafrika: 1. Wajasiriamali wa Teknolojia: Kuna idadi kubwa ya wajasiriamali wa Kiafrika wanaofanya kazi katika sekta ya teknolojia. Wao huunda na kutekeleza suluhisho za kiteknolojia kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wajasiriamali kama Mark Shuttleworth (Afrika Kusini), mwanzilishi wa Ubuntu, na Rebecca Enonchong (Kamerun), mwanzilishi wa AppsTech, wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya teknolojia barani Afrika. 2. Wajasiriamali wa Kilimo: Kilimo ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa kilimo hutumia ubunifu na teknolojia kuboresha uzalishaji na usindikaji wa mazao. Mfano mzuri ni Strive Masiyiwa (Zimbabwe), ambaye ameanzisha mfuko wa Kilimo wa Kuzalisha Afrika (AGRA) ambao unasaidia wakulima katika kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 3. Wajasiriamali wa Huduma za Fedha: Sekta ya huduma za fedha imepata ukuaji mkubwa barani Afrika, na wajasiriamali wengi wamechukua fursa hiyo. Wajasiriamali kama Tayo Oviosu (Nigeria), mwanzilishi wa Paga, na M-Pesa, huduma ya malipo ya simu inayotumiwa sana nchini Kenya, wameleta mabadiliko makubwa katika njia ambazo watu wanafanya shughuli za kifedha. 4. Wajasiriamali wa Nishati: Wajasiriamali wengi wa Kiafrika wamejitokeza katika sekta ya nishati mbadala. Wao huzalisha nishati safi na endelevu kwa kutumia vyanzo kama jua, upepo, na biomass. Mojawapo ya mifano ni Samaila Zubairu (Nigeria), ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Africa Finance Corporation), ambayo inasaidia miradi ya nishati mbadala katika nchi za Afrika. 5. Wajasiriamali wa Utalii: Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa utalii hutengeneza fursa za biashara kama vile malazi, vivutio vya utalii, na huduma za kusafiri. Mfano ni Olumide Emmanuel (Nigeria), mwanzilishi wa Rehoboth Chalet Limited, kampuni inayotoa huduma za malazi na ukarimu katika maeneo ya utalii nchini Nigeria. 6. Wajasiriamali wa Mitindo: Sekta ya mitindo inaendelea kukua barani Afrika, na wajasiriamali wa Kiafrika wanachangia katika ubunifu na ukuaji wa tas. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kazi]] fc67iwz0ccq3d8xzdgc5o11b6hth81j 1437072 1437071 2025-07-12T06:36:02Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1437072 wikitext text/x-wiki [[picha:Karachi_-_Pakistan-market.jpg|thumbnail|right|200pax|Mjasiriamali nchini Pakistani]] '''Mjasiriamali''' ni [[mtu]] ambaye anaandaa, anapanga au anasimamia biashara fulani, akikubali kukabiliana na hatari za [[Biashara|kibiashara]] zinazoweza kujitokeza ilhali analenga kupata [[faida]].<ref>[http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt entrepreneurship.html entrepreneurship] {{Wayback|url=http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt |date=20181116084818 }}, Tovuti ya Businessdictionary.com, iliangaliwa Agosti 2020</ref> Mjasiriamali mara nyingi huonekana kama mbunifu, chanzo cha mawazo anzilishi, mwenye kuvumbua [[bidhaa]] au [[huduma]] mpya na biashara. Pia mjasiriamali ni mtu anayeweza kusaidia sana maendeleo ya kiuchumi nchini mwake, ndiyo maana nchi tajiri zaidi duniani zina wajasiriamali wengi na mashuhuri sana, yaani, ujasiriamali unaonekana kama lazima kwa uboreshaji wa hali ya kiuchumi katika nchi yoyote. <ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Mjasiriamali huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[uchumi]] wowote, kwa kutumia ustadi wa kijasiriamali na kuleta maoni mazuri katika [[soko]].<ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Ujasiriamali ni tendo la kuwa mfanyabiashara, au "mmiliki au meneja wa [[kampuni]] ya biashara ambaye, kwa hatari na jitihada, anajaribu kupata faida". Wajasiriamali hufanya kazi kama mameneja na kusimamia uzinduzi na ukuaji wa kampuni. Ujasiriamali ni mchakato ambao mtu binafsi au timu huitambua fursa ya biashara na kuchukua na kutumia rasilimali muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuitumia.[[File:Aliko_Dangote.jpg|220x124px|thumb|right|Mjasiriamali Aliko Dangote kutoka Nigeria]] Ujasiriamali ni mchakato wa kuunda, kuanzisha, na kusimamia biashara ili kuzalisha faida. Kupitia ujasiriamali, watu huchukua hatari na kutumia ubunifu ili kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii, kuunda ajira, na kuendeleza uchumi. Hapa chini ni baadhi ya wajasiriamali wa Kiafrika ambao wamekuwa au wanaendelea kuwa sehemu muhimu ya ukuaji wa uchumi wa Afrika. 1. Aliko Dangote ([[Nigeria]]): Aliko Dangote ni mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Group, kampuni kubwa ya viwanda na biashara barani Afrika. Kampuni yake inajihusisha na sekta mbalimbali kama vile saruji, sukari, chuma, na [[mafuta ya petroli]]. Dangote ameendelea kuwa mmoja wa wajasiriamali tajiri zaidi barani Afrika. 2. Strive Masiyiwa ([[Zimbabwe]]): Strive Masiyiwa ni mfanyabiashara na mwanaharakati kutoka Zimbabwe. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Econet Wireless, kampuni inayoongoza katika sekta ya mawasiliano ya simu barani Afrika. Masiyiwa ameendelea kuwa mmoja wa viongozi wa sekta ya teknolojia na mawasiliano barani Afrika. 3. Isabel dos Santos ([[Angola]]): Isabel dos Santos ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Angola. Yeye ni binti wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos. Isabel dos Santos amejihusisha na sekta mbalimbali kama vile mawasiliano, nishati, benki, na madini. Yeye ni mmoja wa wanawake tajiri zaidi barani Afrika. 4. Tony Elumelu ([[Nigeria]]): Tony Elumelu ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi wa Tony Elumelu Foundation, ambayo inasaidia na kuendeleza wajasiriamali barani Afrika. Elumelu ameendelea kufanya kazi katika sekta ya benki na uwekezaji, na amekuwa akichangia kukuza ujasiriamali barani Afrika. 5. Bethlehem Tilahun Alemu ([[Ethiopia]]): Bethlehem Tilahun Alemu ni mfanyabiashara kutoka Ethiopia na mwanzilishi wa kampuni ya soleRebels. Kampuni yake inazalisha viatu vya kienyeji na imekuwa ikisambaza bidhaa zake kimataifa. Alemu amepata umaarufu kwa kuchangia katika maendeleo ya ujasiriamali na kukuza ajira nchini Ethiopia. 6. Ashish Thakkar (Uganda): Ashish Thakkar ni mfanyabiashara kutoka Uganda na mwanzilishi wa Mara Group. Hapa chini ni aina mbalimbali za wajasiriamali wa Kiafrika: 1. Wajasiriamali wa Teknolojia: Kuna idadi kubwa ya wajasiriamali wa Kiafrika wanaofanya kazi katika sekta ya teknolojia. Wao huunda na kutekeleza suluhisho za kiteknolojia kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wajasiriamali kama Mark Shuttleworth (Afrika Kusini), mwanzilishi wa Ubuntu, na Rebecca Enonchong (Kamerun), mwanzilishi wa AppsTech, wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya teknolojia barani Afrika. 2. Wajasiriamali wa Kilimo: Kilimo ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa kilimo hutumia ubunifu na teknolojia kuboresha uzalishaji na usindikaji wa mazao. Mfano mzuri ni Strive Masiyiwa (Zimbabwe), ambaye ameanzisha mfuko wa Kilimo wa Kuzalisha Afrika (AGRA) ambao unasaidia wakulima katika kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 3. Wajasiriamali wa Huduma za Fedha: Sekta ya huduma za fedha imepata ukuaji mkubwa barani Afrika, na wajasiriamali wengi wamechukua fursa hiyo. Wajasiriamali kama Tayo Oviosu (Nigeria), mwanzilishi wa Paga, na M-Pesa, huduma ya malipo ya simu inayotumiwa sana nchini Kenya, wameleta mabadiliko makubwa katika njia ambazo watu wanafanya shughuli za kifedha. 4. Wajasiriamali wa Nishati: Wajasiriamali wengi wa Kiafrika wamejitokeza katika sekta ya nishati mbadala. Wao huzalisha nishati safi na endelevu kwa kutumia vyanzo kama jua, upepo, na biomass. Mojawapo ya mifano ni Samaila Zubairu (Nigeria), ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Africa Finance Corporation), ambayo inasaidia miradi ya nishati mbadala katika nchi za Afrika. 5. Wajasiriamali wa Utalii: Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa utalii hutengeneza fursa za biashara kama vile malazi, vivutio vya utalii, na huduma za kusafiri. Mfano ni Olumide Emmanuel (Nigeria), mwanzilishi wa Rehoboth Chalet Limited, kampuni inayotoa huduma za malazi na ukarimu katika maeneo ya utalii nchini Nigeria. 6. Wajasiriamali wa Mitindo: Sekta ya mitindo inaendelea kukua barani Afrika, na wajasiriamali wa Kiafrika wanachangia katika ubunifu na ukuaji wa tas. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kazi]] 9fjsx8do7b2ssgd3lierx8wjpyf5f53 1437125 1437072 2025-07-12T09:30:03Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye clothes 1437125 wikitext text/x-wiki [[Picha:Karachi_-_Pakistan-market.jpg|thumbnail|right|200pax|Mjasiriamali nchini Pakistani]] '''Mjasiriamali''' ni [[mtu]] ambaye anaandaa, anapanga au anasimamia biashara fulani, akikubali kukabiliana na hatari za [[Biashara|kibiashara]] zinazoweza kujitokeza ilhali analenga kupata [[faida]].<ref>[http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt entrepreneurship.html entrepreneurship] {{Wayback|url=http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt |date=20181116084818 }}, Tovuti ya Businessdictionary.com, iliangaliwa Agosti 2020</ref> Mjasiriamali mara nyingi huonekana kama mbunifu, chanzo cha mawazo anzilishi, mwenye kuvumbua [[bidhaa]] au [[huduma]] mpya na biashara. Pia mjasiriamali ni mtu anayeweza kusaidia sana maendeleo ya kiuchumi nchini mwake, ndiyo maana nchi tajiri zaidi duniani zina wajasiriamali wengi na mashuhuri sana, yaani, ujasiriamali unaonekana kama lazima kwa uboreshaji wa hali ya kiuchumi katika nchi yoyote. <ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Mjasiriamali huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[uchumi]] wowote, kwa kutumia ustadi wa kijasiriamali na kuleta maoni mazuri katika [[soko]].<ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Ujasiriamali ni tendo la kuwa mfanyabiashara, au "mmiliki au meneja wa [[kampuni]] ya biashara ambaye, kwa hatari na jitihada, anajaribu kupata faida". Wajasiriamali hufanya kazi kama mameneja na kusimamia uzinduzi na ukuaji wa kampuni. Ujasiriamali ni mchakato ambao mtu binafsi au timu huitambua fursa ya biashara na kuchukua na kutumia rasilimali muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuitumia.[[File:Aliko_Dangote.jpg|220x124px|thumb|right|Mjasiriamali Aliko Dangote kutoka Nigeria]] Ujasiriamali ni mchakato wa kuunda, kuanzisha, na kusimamia biashara ili kuzalisha faida. Kupitia ujasiriamali, watu huchukua hatari na kutumia ubunifu ili kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii, kuunda ajira, na kuendeleza uchumi. Hapa chini ni baadhi ya wajasiriamali wa Kiafrika ambao wamekuwa au wanaendelea kuwa sehemu muhimu ya ukuaji wa uchumi wa Afrika. 1. Aliko Dangote ([[Nigeria]]): Aliko Dangote ni mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Group, kampuni kubwa ya viwanda na biashara barani Afrika. Kampuni yake inajihusisha na sekta mbalimbali kama vile saruji, sukari, chuma, na [[mafuta ya petroli]]. Dangote ameendelea kuwa mmoja wa wajasiriamali tajiri zaidi barani Afrika. 2. Strive Masiyiwa ([[Zimbabwe]]): Strive Masiyiwa ni mfanyabiashara na mwanaharakati kutoka Zimbabwe. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Econet Wireless, kampuni inayoongoza katika sekta ya mawasiliano ya simu barani Afrika. Masiyiwa ameendelea kuwa mmoja wa viongozi wa sekta ya teknolojia na mawasiliano barani Afrika. 3. Isabel dos Santos ([[Angola]]): Isabel dos Santos ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Angola. Yeye ni binti wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos. Isabel dos Santos amejihusisha na sekta mbalimbali kama vile mawasiliano, nishati, benki, na madini. Yeye ni mmoja wa wanawake tajiri zaidi barani Afrika. 4. Tony Elumelu ([[Nigeria]]): Tony Elumelu ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi wa Tony Elumelu Foundation, ambayo inasaidia na kuendeleza wajasiriamali barani Afrika. Elumelu ameendelea kufanya kazi katika sekta ya benki na uwekezaji, na amekuwa akichangia kukuza ujasiriamali barani Afrika. 5. Bethlehem Tilahun Alemu ([[Ethiopia]]): Bethlehem Tilahun Alemu ni mfanyabiashara kutoka Ethiopia na mwanzilishi wa kampuni ya soleRebels. Kampuni yake inazalisha viatu vya kienyeji na imekuwa ikisambaza bidhaa zake kimataifa. Alemu amepata umaarufu kwa kuchangia katika maendeleo ya ujasiriamali na kukuza ajira nchini Ethiopia. 6. Ashish Thakkar (Uganda): Ashish Thakkar ni mfanyabiashara kutoka Uganda na mwanzilishi wa Mara Group. Hapa chini ni aina mbalimbali za wajasiriamali wa Kiafrika: 1. Wajasiriamali wa Teknolojia: Kuna idadi kubwa ya wajasiriamali wa Kiafrika wanaofanya kazi katika sekta ya teknolojia. Wao huunda na kutekeleza suluhisho za kiteknolojia kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wajasiriamali kama Mark Shuttleworth (Afrika Kusini), mwanzilishi wa Ubuntu, na Rebecca Enonchong (Kamerun), mwanzilishi wa AppsTech, wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya teknolojia barani Afrika. 2. Wajasiriamali wa Kilimo: Kilimo ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa kilimo hutumia ubunifu na teknolojia kuboresha uzalishaji na usindikaji wa mazao. Mfano mzuri ni Strive Masiyiwa (Zimbabwe), ambaye ameanzisha mfuko wa Kilimo wa Kuzalisha Afrika (AGRA) ambao unasaidia wakulima katika kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 3. Wajasiriamali wa Huduma za Fedha: Sekta ya huduma za fedha imepata ukuaji mkubwa barani Afrika, na wajasiriamali wengi wamechukua fursa hiyo. Wajasiriamali kama Tayo Oviosu (Nigeria), mwanzilishi wa Paga, na M-Pesa, huduma ya malipo ya simu inayotumiwa sana nchini Kenya, wameleta mabadiliko makubwa katika njia ambazo watu wanafanya shughuli za kifedha. 4. Wajasiriamali wa Nishati: Wajasiriamali wengi wa Kiafrika wamejitokeza katika sekta ya nishati mbadala. Wao huzalisha nishati safi na endelevu kwa kutumia vyanzo kama jua, upepo, na biomass. Mojawapo ya mifano ni Samaila Zubairu (Nigeria), ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Africa Finance Corporation), ambayo inasaidia miradi ya nishati mbadala katika nchi za Afrika. 5. Wajasiriamali wa Utalii: Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa utalii hutengeneza fursa za biashara kama vile malazi, vivutio vya utalii, na huduma za kusafiri. Mfano ni Olumide Emmanuel (Nigeria), mwanzilishi wa Rehoboth Chalet Limited, kampuni inayotoa huduma za malazi na ukarimu katika maeneo ya utalii nchini Nigeria. 6. Wajasiriamali wa Mitindo: Sekta ya mitindo inaendelea kukua barani Afrika, na wajasiriamali wa Kiafrika wanachangia katika ubunifu na ukuaji wa tas. ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kazi]] 33wtqg3rx0i8ehuwvjenuf1pb2druow 1437189 1437125 2025-07-12T10:33:57Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437072 wikitext text/x-wiki [[picha:Karachi_-_Pakistan-market.jpg|thumbnail|right|200pax|Mjasiriamali nchini Pakistani]] '''Mjasiriamali''' ni [[mtu]] ambaye anaandaa, anapanga au anasimamia biashara fulani, akikubali kukabiliana na hatari za [[Biashara|kibiashara]] zinazoweza kujitokeza ilhali analenga kupata [[faida]].<ref>[http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt entrepreneurship.html entrepreneurship] {{Wayback|url=http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt |date=20181116084818 }}, Tovuti ya Businessdictionary.com, iliangaliwa Agosti 2020</ref> Mjasiriamali mara nyingi huonekana kama mbunifu, chanzo cha mawazo anzilishi, mwenye kuvumbua [[bidhaa]] au [[huduma]] mpya na biashara. Pia mjasiriamali ni mtu anayeweza kusaidia sana maendeleo ya kiuchumi nchini mwake, ndiyo maana nchi tajiri zaidi duniani zina wajasiriamali wengi na mashuhuri sana, yaani, ujasiriamali unaonekana kama lazima kwa uboreshaji wa hali ya kiuchumi katika nchi yoyote. <ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Mjasiriamali huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[uchumi]] wowote, kwa kutumia ustadi wa kijasiriamali na kuleta maoni mazuri katika [[soko]].<ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Ujasiriamali ni tendo la kuwa mfanyabiashara, au "mmiliki au meneja wa [[kampuni]] ya biashara ambaye, kwa hatari na jitihada, anajaribu kupata faida". Wajasiriamali hufanya kazi kama mameneja na kusimamia uzinduzi na ukuaji wa kampuni. Ujasiriamali ni mchakato ambao mtu binafsi au timu huitambua fursa ya biashara na kuchukua na kutumia rasilimali muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuitumia.[[File:Aliko_Dangote.jpg|220x124px|thumb|right|Mjasiriamali Aliko Dangote kutoka Nigeria]] Ujasiriamali ni mchakato wa kuunda, kuanzisha, na kusimamia biashara ili kuzalisha faida. Kupitia ujasiriamali, watu huchukua hatari na kutumia ubunifu ili kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii, kuunda ajira, na kuendeleza uchumi. Hapa chini ni baadhi ya wajasiriamali wa Kiafrika ambao wamekuwa au wanaendelea kuwa sehemu muhimu ya ukuaji wa uchumi wa Afrika. 1. Aliko Dangote ([[Nigeria]]): Aliko Dangote ni mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Group, kampuni kubwa ya viwanda na biashara barani Afrika. Kampuni yake inajihusisha na sekta mbalimbali kama vile saruji, sukari, chuma, na [[mafuta ya petroli]]. Dangote ameendelea kuwa mmoja wa wajasiriamali tajiri zaidi barani Afrika. 2. Strive Masiyiwa ([[Zimbabwe]]): Strive Masiyiwa ni mfanyabiashara na mwanaharakati kutoka Zimbabwe. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Econet Wireless, kampuni inayoongoza katika sekta ya mawasiliano ya simu barani Afrika. Masiyiwa ameendelea kuwa mmoja wa viongozi wa sekta ya teknolojia na mawasiliano barani Afrika. 3. Isabel dos Santos ([[Angola]]): Isabel dos Santos ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Angola. Yeye ni binti wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos. Isabel dos Santos amejihusisha na sekta mbalimbali kama vile mawasiliano, nishati, benki, na madini. Yeye ni mmoja wa wanawake tajiri zaidi barani Afrika. 4. Tony Elumelu ([[Nigeria]]): Tony Elumelu ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi wa Tony Elumelu Foundation, ambayo inasaidia na kuendeleza wajasiriamali barani Afrika. Elumelu ameendelea kufanya kazi katika sekta ya benki na uwekezaji, na amekuwa akichangia kukuza ujasiriamali barani Afrika. 5. Bethlehem Tilahun Alemu ([[Ethiopia]]): Bethlehem Tilahun Alemu ni mfanyabiashara kutoka Ethiopia na mwanzilishi wa kampuni ya soleRebels. Kampuni yake inazalisha viatu vya kienyeji na imekuwa ikisambaza bidhaa zake kimataifa. Alemu amepata umaarufu kwa kuchangia katika maendeleo ya ujasiriamali na kukuza ajira nchini Ethiopia. 6. Ashish Thakkar (Uganda): Ashish Thakkar ni mfanyabiashara kutoka Uganda na mwanzilishi wa Mara Group. Hapa chini ni aina mbalimbali za wajasiriamali wa Kiafrika: 1. Wajasiriamali wa Teknolojia: Kuna idadi kubwa ya wajasiriamali wa Kiafrika wanaofanya kazi katika sekta ya teknolojia. Wao huunda na kutekeleza suluhisho za kiteknolojia kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wajasiriamali kama Mark Shuttleworth (Afrika Kusini), mwanzilishi wa Ubuntu, na Rebecca Enonchong (Kamerun), mwanzilishi wa AppsTech, wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya teknolojia barani Afrika. 2. Wajasiriamali wa Kilimo: Kilimo ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa kilimo hutumia ubunifu na teknolojia kuboresha uzalishaji na usindikaji wa mazao. Mfano mzuri ni Strive Masiyiwa (Zimbabwe), ambaye ameanzisha mfuko wa Kilimo wa Kuzalisha Afrika (AGRA) ambao unasaidia wakulima katika kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 3. Wajasiriamali wa Huduma za Fedha: Sekta ya huduma za fedha imepata ukuaji mkubwa barani Afrika, na wajasiriamali wengi wamechukua fursa hiyo. Wajasiriamali kama Tayo Oviosu (Nigeria), mwanzilishi wa Paga, na M-Pesa, huduma ya malipo ya simu inayotumiwa sana nchini Kenya, wameleta mabadiliko makubwa katika njia ambazo watu wanafanya shughuli za kifedha. 4. Wajasiriamali wa Nishati: Wajasiriamali wengi wa Kiafrika wamejitokeza katika sekta ya nishati mbadala. Wao huzalisha nishati safi na endelevu kwa kutumia vyanzo kama jua, upepo, na biomass. Mojawapo ya mifano ni Samaila Zubairu (Nigeria), ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Africa Finance Corporation), ambayo inasaidia miradi ya nishati mbadala katika nchi za Afrika. 5. Wajasiriamali wa Utalii: Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa utalii hutengeneza fursa za biashara kama vile malazi, vivutio vya utalii, na huduma za kusafiri. Mfano ni Olumide Emmanuel (Nigeria), mwanzilishi wa Rehoboth Chalet Limited, kampuni inayotoa huduma za malazi na ukarimu katika maeneo ya utalii nchini Nigeria. 6. Wajasiriamali wa Mitindo: Sekta ya mitindo inaendelea kukua barani Afrika, na wajasiriamali wa Kiafrika wanachangia katika ubunifu na ukuaji wa tas. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kazi]] 9fjsx8do7b2ssgd3lierx8wjpyf5f53 1437234 1437189 2025-07-12T11:38:10Z ~2025-18306-1 80081 psipo TAB 1437234 wikitext text/x-wiki [[Picha:Karachi_-_Pakistan-market.jpg|thumbnail|right|200pax|Mjasiriamali nchini Pakistani]] '''Mjasiriamali''' ni [[mtu]] ambaye anaandaa, anapanga au anasimamia biashara fulani, akikubali kukabiliana na hatari za [[Biashara|kibiashara]] zinazoweza kujitokeza ilhali analenga kupata [[faida]].<ref>[http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt entrepreneurship.html entrepreneurship] {{Wayback|url=http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt |date=20181116084818 }}, Tovuti ya Businessdictionary.com, iliangaliwa Agosti 2020</ref> Mjasiriamali mara nyingi huonekana kama mbunifu, chanzo cha mawazo anzilishi, mwenye kuvumbua [[bidhaa]] au [[huduma]] mpya na biashara. Pia mjasiriamali ni mtu anayeweza kusaidia sana maendeleo ya kiuchumi nchini mwake, ndiyo maana nchi tajiri zaidi duniani zina wajasiriamali wengi na mashuhuri sana, yaani, ujasiriamali unaonekana kama lazima kwa uboreshaji wa hali ya kiuchumi katika nchi yoyote. <ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Mjasiriamali huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[uchumi]] wowote, kwa kutumia ustadi wa kijasiriamali na kuleta maoni mazuri katika [[soko]].<ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Ujasiriamali ni tendo la kuwa mfanyabiashara, au "mmiliki au meneja wa [[kampuni]] ya biashara ambaye, kwa hatari na jitihada, anajaribu kupata faida". Wajasiriamali hufanya kazi kama mameneja na kusimamia uzinduzi na ukuaji wa kampuni. Ujasiriamali ni mchakato ambao mtu binafsi au timu huitambua fursa ya biashara na kuchukua na kutumia rasilimali muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuitumia.[[File:Aliko_Dangote.jpg|220x124px|thumb|right|Mjasiriamali Aliko Dangote kutoka Nigeria]] Ujasiriamali ni mchakato wa kuunda, kuanzisha, na kusimamia biashara ili kuzalisha faida. Kupitia ujasiriamali, watu huchukua hatari na kutumia ubunifu ili kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii, kuunda ajira, na kuendeleza uchumi. Hapa chini ni baadhi ya wajasiriamali wa Kiafrika ambao wamekuwa au wanaendelea kuwa sehemu muhimu ya ukuaji wa uchumi wa Afrika. 1. Aliko Dangote ([[Nigeria]]): Aliko Dangote ni mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Group, kampuni kubwa ya viwanda na biashara barani Afrika. Kampuni yake inajihusisha na sekta mbalimbali kama vile saruji, sukari, chuma, na [[mafuta ya petroli]]. Dangote ameendelea kuwa mmoja wa wajasiriamali tajiri zaidi barani Afrika. 2. Strive Masiyiwa ([[Zimbabwe]]): Strive Masiyiwa ni mfanyabiashara na mwanaharakati kutoka Zimbabwe. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Econet Wireless, kampuni inayoongoza katika sekta ya mawasiliano ya simu barani Afrika. Masiyiwa ameendelea kuwa mmoja wa viongozi wa sekta ya teknolojia na mawasiliano barani Afrika. 3. Isabel dos Santos ([[Angola]]): Isabel dos Santos ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Angola. Yeye ni binti wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos. Isabel dos Santos amejihusisha na sekta mbalimbali kama vile mawasiliano, nishati, benki, na madini. Yeye ni mmoja wa wanawake tajiri zaidi barani Afrika. 4. Tony Elumelu ([[Nigeria]]): Tony Elumelu ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi wa Tony Elumelu Foundation, ambayo inasaidia na kuendeleza wajasiriamali barani Afrika. Elumelu ameendelea kufanya kazi katika sekta ya benki na uwekezaji, na amekuwa akichangia kukuza ujasiriamali barani Afrika. 5. Bethlehem Tilahun Alemu ([[Ethiopia]]): Bethlehem Tilahun Alemu ni mfanyabiashara kutoka Ethiopia na mwanzilishi wa kampuni ya soleRebels. Kampuni yake inazalisha viatu vya kienyeji na imekuwa ikisambaza bidhaa zake kimataifa. Alemu amepata umaarufu kwa kuchangia katika maendeleo ya ujasiriamali na kukuza ajira nchini Ethiopia. 6. Ashish Thakkar (Uganda): Ashish Thakkar ni mfanyabiashara kutoka Uganda na mwanzilishi wa Mara Group. Hapa chini ni aina mbalimbali za wajasiriamali wa Kiafrika: 1. Wajasiriamali wa Teknolojia: Kuna idadi kubwa ya wajasiriamali wa Kiafrika wanaofanya kazi katika sekta ya teknolojia. Wao huunda na kutekeleza suluhisho za kiteknolojia kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wajasiriamali kama Mark Shuttleworth (Afrika Kusini), mwanzilishi wa Ubuntu, na Rebecca Enonchong (Kamerun), mwanzilishi wa AppsTech, wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya teknolojia barani Afrika. 2. Wajasiriamali wa Kilimo: Kilimo ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa kilimo hutumia ubunifu na teknolojia kuboresha uzalishaji na usindikaji wa mazao. Mfano mzuri ni Strive Masiyiwa (Zimbabwe), ambaye ameanzisha mfuko wa Kilimo wa Kuzalisha Afrika (AGRA) ambao unasaidia wakulima katika kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 3. Wajasiriamali wa Huduma za Fedha: Sekta ya huduma za fedha imepata ukuaji mkubwa barani Afrika, na wajasiriamali wengi wamechukua fursa hiyo. Wajasiriamali kama Tayo Oviosu (Nigeria), mwanzilishi wa Paga, na M-Pesa, huduma ya malipo ya simu inayotumiwa sana nchini Kenya, wameleta mabadiliko makubwa katika njia ambazo watu wanafanya shughuli za kifedha. 4. Wajasiriamali wa Nishati: Wajasiriamali wengi wa Kiafrika wamejitokeza katika sekta ya nishati mbadala. Wao huzalisha nishati safi na endelevu kwa kutumia vyanzo kama jua, upepo, na biomass. Mojawapo ya mifano ni Samaila Zubairu (Nigeria), ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Africa Finance Corporation), ambayo inasaidia miradi ya nishati mbadala katika nchi za Afrika. 5. Wajasiriamali wa Utalii: Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa utalii hutengeneza fursa za biashara kama vile malazi, vivutio vya utalii, na huduma za kusafiri. Mfano ni Olumide Emmanuel (Nigeria), mwanzilishi wa Rehoboth Chalet Limited, kampuni inayotoa huduma za malazi na ukarimu katika maeneo ya utalii nchini Nigeria. 6. Wajasiriamali wa Mitindo: Sekta ya mitindo inaendelea kukua barani Afrika, na wajasiriamali wa Kiafrika wanachangia katika ubunifu na ukuaji wa tas. ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kazi]] 33wtqg3rx0i8ehuwvjenuf1pb2druow 1437256 1437234 2025-07-12T11:47:07Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437256 wikitext text/x-wiki [[Picha:Karachi_-_Pakistan-market.jpg|thumbnail|right|200pax|Mjasiriamali nchini Pakistani.]] '''Mjasiriamali''' ni [[mtu]] ambaye anaandaa, anapanga au anasimamia biashara fulani, akikubali kukabiliana na hatari za [[Biashara|kibiashara]] zinazoweza kujitokeza ilhali analenga kupata [[faida]].<ref>[http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt entrepreneurship.html entrepreneurship] {{Wayback|url=http://www.businessdictionary.com/definition/entrepreneurship.html#ixzz3xv9ci0nt |date=20181116084818 }}, Tovuti ya Businessdictionary.com, iliangaliwa Agosti 2020</ref> Mjasiriamali mara nyingi huonekana kama mbunifu, chanzo cha mawazo anzilishi, mwenye kuvumbua [[bidhaa]] au [[huduma]] mpya na biashara. Pia mjasiriamali ni mtu anayeweza kusaidia sana maendeleo ya kiuchumi nchini mwake, ndiyo maana nchi tajiri zaidi duniani zina wajasiriamali wengi na mashuhuri sana, yaani, ujasiriamali unaonekana kama lazima kwa uboreshaji wa hali ya kiuchumi katika nchi yoyote. <ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Mjasiriamali huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[uchumi]] wowote, kwa kutumia ustadi wa kijasiriamali na kuleta maoni mazuri katika [[soko]].<ref>{{Cite web|title=What You Should Know About Entrepreneurs|url=https://www.investopedia.com/terms/e/entrepreneur.asp|work=Investopedia|accessdate=2020-02-13|language=en|author=Adam Hayes}}</ref> Ujasiriamali ni tendo la kuwa mfanyabiashara, au "mmiliki au meneja wa [[kampuni]] ya biashara ambaye, kwa hatari na jitihada, anajaribu kupata faida". Wajasiriamali hufanya kazi kama mameneja na kusimamia uzinduzi na ukuaji wa kampuni. Ujasiriamali ni mchakato ambao mtu binafsi au timu huitambua fursa ya biashara na kuchukua na kutumia rasilimali muhimu zinazohitajika kwa ajili ya kuitumia.[[File:Aliko_Dangote.jpg|220x124px|thumb|right|Mjasiriamali Aliko Dangote kutoka Nigeria]] Ujasiriamali ni mchakato wa kuunda, kuanzisha, na kusimamia biashara ili kuzalisha faida. Kupitia ujasiriamali, watu huchukua hatari na kutumia ubunifu ili kutatua matatizo ya kiuchumi na kijamii, kuunda ajira, na kuendeleza uchumi. Hapa chini ni baadhi ya wajasiriamali wa Kiafrika ambao wamekuwa au wanaendelea kuwa sehemu muhimu ya ukuaji wa uchumi wa Afrika. 1. Aliko Dangote ([[Nigeria]]): Aliko Dangote ni mfanyabiashara tajiri kutoka Nigeria na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Group, kampuni kubwa ya viwanda na biashara barani Afrika. Kampuni yake inajihusisha na sekta mbalimbali kama vile saruji, sukari, chuma, na [[mafuta ya petroli]]. Dangote ameendelea kuwa mmoja wa wajasiriamali tajiri zaidi barani Afrika. 2. Strive Masiyiwa ([[Zimbabwe]]): Strive Masiyiwa ni mfanyabiashara na mwanaharakati kutoka Zimbabwe. Yeye ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Econet Wireless, kampuni inayoongoza katika sekta ya mawasiliano ya simu barani Afrika. Masiyiwa ameendelea kuwa mmoja wa viongozi wa sekta ya teknolojia na mawasiliano barani Afrika. 3. Isabel dos Santos ([[Angola]]): Isabel dos Santos ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Angola. Yeye ni binti wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos. Isabel dos Santos amejihusisha na sekta mbalimbali kama vile mawasiliano, nishati, benki, na madini. Yeye ni mmoja wa wanawake tajiri zaidi barani Afrika. 4. Tony Elumelu ([[Nigeria]]): Tony Elumelu ni mfanyabiashara na mwekezaji kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi wa Tony Elumelu Foundation, ambayo inasaidia na kuendeleza wajasiriamali barani Afrika. Elumelu ameendelea kufanya kazi katika sekta ya benki na uwekezaji, na amekuwa akichangia kukuza ujasiriamali barani Afrika. 5. Bethlehem Tilahun Alemu ([[Ethiopia]]): Bethlehem Tilahun Alemu ni mfanyabiashara kutoka Ethiopia na mwanzilishi wa kampuni ya soleRebels. Kampuni yake inazalisha viatu vya kienyeji na imekuwa ikisambaza bidhaa zake kimataifa. Alemu amepata umaarufu kwa kuchangia katika maendeleo ya ujasiriamali na kukuza ajira nchini Ethiopia. 6. Ashish Thakkar (Uganda): Ashish Thakkar ni mfanyabiashara kutoka Uganda na mwanzilishi wa Mara Group. Hapa chini ni aina mbalimbali za wajasiriamali wa Kiafrika: 1. Wajasiriamali wa Teknolojia: Kuna idadi kubwa ya wajasiriamali wa Kiafrika wanaofanya kazi katika sekta ya teknolojia. Wao huunda na kutekeleza suluhisho za kiteknolojia kwa matatizo ya kijamii na kiuchumi. Wajasiriamali kama Mark Shuttleworth (Afrika Kusini), mwanzilishi wa Ubuntu, na Rebecca Enonchong (Kamerun), mwanzilishi wa AppsTech, wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya teknolojia barani Afrika. 2. Wajasiriamali wa Kilimo: Kilimo ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa kilimo hutumia ubunifu na teknolojia kuboresha uzalishaji na usindikaji wa mazao. Mfano mzuri ni Strive Masiyiwa (Zimbabwe), ambaye ameanzisha mfuko wa Kilimo wa Kuzalisha Afrika (AGRA) ambao unasaidia wakulima katika kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 3. Wajasiriamali wa Huduma za Fedha: Sekta ya huduma za fedha imepata ukuaji mkubwa barani Afrika, na wajasiriamali wengi wamechukua fursa hiyo. Wajasiriamali kama Tayo Oviosu (Nigeria), mwanzilishi wa Paga, na M-Pesa, huduma ya malipo ya simu inayotumiwa sana nchini Kenya, wameleta mabadiliko makubwa katika njia ambazo watu wanafanya shughuli za kifedha. 4. Wajasiriamali wa Nishati: Wajasiriamali wengi wa Kiafrika wamejitokeza katika sekta ya nishati mbadala. Wao huzalisha nishati safi na endelevu kwa kutumia vyanzo kama jua, upepo, na biomass. Mojawapo ya mifano ni Samaila Zubairu (Nigeria), ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Africa Finance Corporation), ambayo inasaidia miradi ya nishati mbadala katika nchi za Afrika. 5. Wajasiriamali wa Utalii: Utalii ni sekta muhimu katika uchumi wa Afrika. Wajasiriamali wa utalii hutengeneza fursa za biashara kama vile malazi, vivutio vya utalii, na huduma za kusafiri. Mfano ni Olumide Emmanuel (Nigeria), mwanzilishi wa Rehoboth Chalet Limited, kampuni inayotoa huduma za malazi na ukarimu katika maeneo ya utalii nchini Nigeria. 6. Wajasiriamali wa Mitindo: Sekta ya mitindo inaendelea kukua barani Afrika, na wajasiriamali wa Kiafrika wanachangia katika ubunifu na ukuaji wa tas. ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kazi]] 063j2dc592x4qbe7pnjfbst5lghcdrh Victoria Kimani 0 130573 1437128 1355345 2025-07-12T09:31:15Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437128 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Victoria Kimani |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 28 Julai 1985 (miaka 39) |mahala_pa_kuzaliwa = Kenya |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = Muziki wa Afropop |kazi_yake = Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mchekeshaji |nchi = Kenya {{flagicon|Kenya}} }} '''Victoria Kimani''' (alizaliwa [[Los Angeles]], [[California]], [[28 Julai]] [[1985]]) <ref>{{Cite web|date=28 July 2015|first=Chidera|author=Muoka|url=http://ngrguardianlife.com/2015/07/happy-birthday-victoria-kimani/|title=Happy Birthday Victoria Kimani|accessdate=13 January 2016|work=Ngr Guardian Life|archivedate=2016-03-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304063732/http://ngrguardianlife.com/2015/07/happy-birthday-victoria-kimani/}}</ref> ni [[mwimbaji]], [[mtunzi]] wa [[nyimbo]], [[mwigizaji]] na mburudishaji wa [[Kenya]]. Kama mwimbaji, anajulikana sana kwa nyimbo zake nyingi na [[kazi]] za mbali mbali za mtindo. Kuingia kwake katika tasnia ya muziki wa Kiafrika kumemfanya apewe majina kadhaa, na watu wake pekee walipokea vipindi vingi vya kucheza Afrika nzima.Albamu yake ya kwanza ilitarajiwa mnamo mwaka 2016. Mbali na kuimba, alionekana kwenye [[filamu]] 7 Inch Curve, iliyoongozwa na Shola Thompson. Alisainiwa hapo awali na lebo ya rekodi ya Nigeria ya Chocolate City, na alielezewa kuwa yeye ndiye [[mwanamke]] wa kwanza kuwa kwenye lebo hiyo <ref>{{Cite web|url=http://www.takemetonaija.com/2015/07/singer-victoria-kimani-full.html?m=1|title=Victoria Kimani-Biography|accessdate=27 December 2015|work=takemetonaija.com|archivedate=2016-01-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160129125247/http://www.takemetonaija.com/2015/07/singer-victoria-kimani-full.html?m=1}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://zenmagazineafrica.com/tags/chocolate-citys-first-lady/|title=Chocolate City's First Lady|accessdate=27 December 2015|work=Zen Magazine Africa|archivedate=2016-01-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160129045636/http://zenmagazineafrica.com/tags/chocolate-citys-first-lady/}}</ref> Amepokea teuzi kadhaa za tuzo kutoka kwenye tasnia ya muziki ya Kiafrika, na nyimbo zake pekee zinachezwa kwenye vituo vya redio kote Afrika. <ref>{{Cite web|date=4 December 2015|first=Madame|author=Cynthia|url=https://mpasho.co.ke/new-catch-victoria-kimani-hot-congolese-male-artist/|title=Is This Her New Catch? What Is Victoria Kimani Up To With This Hot Congolese Male Artist?|accessdate=16 January 2016|work=Mpasho|archive-date=2016-01-29|archive-url=https://web.archive.org/web/20160129175311/https://mpasho.co.ke/new-catch-victoria-kimani-hot-congolese-male-artist/|url-status=dead}}</ref> Albamu yake ya kwanza ilitolewa mwaka wa 2016. <ref>{{Cite web|url=http://mdundo.com/news/6828|title=It Was Like 'Finally Giving Birth...' an Emotional Victoria Kimani Talks About Finally Completing Her Debut Album|accessdate=16 January 2016|work=Mdundo}}</ref> <ref>{{Cite web|first=Joey|author=Akan|url=http://pulse.ng/buzz/victoria-kimani-singer-to-drop-debut-album-in-2016-video-id4104158.html|title=The Chocolate City diva was signed to Chocolate City in 2013, and the wait for her first LP is almost at an end|accessdate=16 January 2016|work=Pulse Nigeria|archivedate=2018-07-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180702122309/http://www.pulse.ng/buzz/victoria-kimani-singer-to-drop-debut-album-in-2016-video-id4104158.html}}</ref> Kimani ana kaka wawili wakubwa. <ref>{{Cite web|url=http://chocolatecitymusic.com/biography/48-victoria-kimani.html|title=General biography of Victoria Kimani|accessdate=27 December 2015|work=[[Chocolate City Music]]|archivedate=2015-12-31|archiveurl=https://web.archive.org/web/20151231071007/http://chocolatecitymusic.com/biography/48-victoria-kimani.html}}</ref> Aliishi katika Jiji la Benin, [[Nigeria]] kwa miaka miwili,ambapo wazazi wake walifanya kazi ya umishonari. Alianza kuimba akiwa na umri wa miaka 9; akiwa na umri wa miaka 16, alianza kuigiza pamoja na washiriki wengine wa [[Kwaya|kwaya ya kanisa]] kama msaidizi na akawaandikia wengine nyimbo. <ref>{{Cite web|url=http://www.takemetonaija.com/2015/07/singer-victoria-kimani-full.html?m=1|title=Victoria Kimani-Biography|accessdate=27 December 2015|work=takemetonaija.com|archivedate=2016-01-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160129125247/http://www.takemetonaija.com/2015/07/singer-victoria-kimani-full.html?m=1}}[http://www.takemetonaija.com/2015/07/singer-victoria-kimani-full.html?m=1 "Victoria Kimani-Biography"] {{Wayback|url=http://www.takemetonaija.com/2015/07/singer-victoria-kimani-full.html?m=1 |date=20160129125247 }}. ''takemetonaija.com''</ref> Aliporudi kuishi [[Kenya]], alienda chuo [[kikuu]] na kufanya nakala za kumbukumbu za [[Mercy Myra]] zilizohusisha safari nyingi. Baadaye alichagua kuacha shule ili kufuata kikamilifu taaluma ya muziki. <ref>{{Cite web|date=12 September 2015|first=Anozie|author=Egole|url=http://www.vanguardngr.com/2015/09/sometimes-i-wear-hijab-to-cover-my-curves-victoria-kimani/|title=Sometimes I wear hijab to cover my curves|accessdate=27 December 2015|work=vanguardngr.com}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mwanamuziki}} {{BD|1985|}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Kenya]] [[Jamii:Wanamuziki wa Kenya]] [[Jamii:Watu kutoka Nairobi]] [[Jamii:Articles with hCards]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] tm23djrj5i4oy6g0t8x9hwxsnixel3m Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu 3 131903 1437160 1420221 2025-07-12T10:20:02Z Alexander Rweyemamu 80072 /* Asante sana kwa BAN-na */ 1437160 wikitext text/x-wiki {{karibu}}--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:30, 19 Desemba 2020 (UTC) ==Kuhusu Uhariri== Habari ndugu Anuary Rajabu Hongera sana kwa jitihada zako za kuhariri katika Wikipedia ya Kiswahili, jaribu kupitia sana ukurasa wa mabadiliko ya karibuni ili kuweza kuona baadhi ya makala zako na namna zinavyoendelea kuboreshwa, na utumie maboresho hayo katika makala zako nyingine. Amani sana kwako. Idd ninga'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:58, 23 Mei 2021 (UTC) ==Volkeno== Ndugu naona tunaingiliana kwenye makala kuhusu [[Chamko la volkeno]]. Sijamaliza bado. Ushauri ni: uangalie historia ya makala; kama imehaririwa dakika chache zilizopita, kuna uwezekano mhariri bado anaendelea.. Kwa hiyo heri kusibiri hadi kesho. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 25 Mei 2021 (UTC) :Ooh Sawa kiongozi nimekuelwa Samahani kwa hilo, Nitafanya hivo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:17, 25 Mei 2021 (UTC) ==Jina la Mtu== Salamu Anuary Rajabu Unaweza kuangalia katika makala zako zenye majina ya watu na kuona baadhi ya mabadiliko hasa ya masahihisho ya jina, kwa kawaida unapoandika jina la mtu inafaa kabisa jina liandikwe kwa herufi kubwa badala ya ndogo, unaweza kuona namna majina ya makala zako yalivyobadilishwa, hongera kwa juhudi unazofanya, endelea kujifunza zaidi, [[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]]) == Nimekuzuia siku 3 == Ndugu, uliondoa vigezo vya umaarufu, vyanz na futa kutoka ukurasa wa [[Melody Mbassa]], bila maelezo yoyote. Hapa umeingilia katika kazi ya usimamizi wa wikipedia hii. Nimekuzuia sasa kwa siku 3, huwezi kuhariri kwa siku hizo. Unaweza kujieleza kwenye ukurasa huu hapa. Ukiweza kutaja sababu zinazoeleweka naweza kuondoa kizuizi.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:41, 28 Mei 2021 (UTC) Naomba kusamehewa,nilikua sijui kuhusu hilo lakini kwa kuwa kiongozi wangu ameweza kunielekeza kuhusu hilo, sitoweza kufanya hivo tena kwani mie sio mjuzi sana katika uhariri wa makala. Hivo nimeweza kujifunza. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 09:07, 28 Mei 2021 (UTC) :Asante kwa kujibu. Nimekufungua. Ila bado hujasema kwa nini uliondoa vigezo vile? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:57, 28 Mei 2021 (UTC) == Can you help me correct an article? Thank you! == Hello, {{Ping|Anuary Rajabu}}! I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ... Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:11, 19 Juni 2021 (UTC) ==Marekebisho== Salamu Anuary, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Entisar_Elsaeed kuna sehemu umeandika kuwa Entisari ni mwanaharakati wa kutetea Wanawake, lakini katika makala hii ukasema kuwa Elsaeed na taasisi yake walilenga katika kuongeza unyanyasaji wa wanawake majumbani, nafikiri kuwa ulitaka kuandika kupunguza, sasa cha kufanya pitia makala yake ni kuifanyia marekebishom, tazama katika makala ya kiingereza nini kilichoandikwa,Amani sana'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 18:34, 9 Machi 2022 (UTC) :sawa kiongozi nimeelewa nitafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:47, 10 Machi 2022 (UTC) ==Hongera== Anuary naona siku hizi unaleta michango mingi yenye thamani. Naona umeshika vizuri fomati ya wikipedia. Nakupa Hongera! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 16 Machi 2022 (UTC) :Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 11:34, 16 Machi 2022 (UTC) ::Pamoja na pongezi, naomba uangalie makala zenyewe: kweli tunahitaji kutetea ushoga? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:13, 29 Machi 2022 (UTC) :::Asante kwa kufanyia doria makala nyingi. Mimi nimezidiwa. Ila naomba uondoe tanbihi za Wikipedia ya Kiingereza na hasa jamii nyingi mno. Unakuta makala ya mwanamuziki wa Nigeria ina jamii:Sanaa ya Afrika! kama si Jamii:Afrika! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 4 Mei 2022 (UTC) ::::Asante sana, nitajitahidi kufanya hivyo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:31, 4 Mei 2022 (UTC) == JAMII za Muziki Aziingiliani na michezo == Amani kwako ndugu, kuwa makini wakati unachagua jamii ya kuweka kwenye makala,acha kuunganisha jamii ya muziki na makala za mchezo wa Mpira wa miguu. '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 19:41, 14 Mei 2022 (UTC) :Asante kwa ukumbusho nadhani ni suala la kujisahau tu katika ukopiji wa jamii wakati wa kuchapisha makala, hivo nitazipitia makala zangu zote ili kurekebisha makosa hayo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:54, 14 Mei 2022 (UTC) == Feminism and Folklore 2022 - Local prize winners == <div style="border:8px brown ridge;padding:6px;> [[File:Feminism and Folklore 2022 logo.svg|centre|550px|frameless]] ::<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations for winning a local prize in '''[[:m:Feminism and Folklore 2022/Project Page|Feminism and Folklore 2022]]''' writing competition. Thank you for your contribution and documenting your local folk culture on Wikipedia. Please fill in your preferences before 15th of June 2022 to receive your prize. Requesting you to fill [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this form] before the deadline to avoid disappointments. Feel free to [[:m:Feminism and Folklore 2022/Contact Us|contact us]] if you need any assistance or further queries. Best wishes, [[:m:Feminism and Folklore 2022|FNF 2022 International Team]] ::::Stay connected [[File:B&W Facebook icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[File:B&W Twitter icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] </div></div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 07:50, 22 Mei 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23312270 --> == Reminder to provide information - Feminism and Folklore 2022 == Dear User The Google form to submit information of winners during the 2022 edition of Feminism and Folklore 2022 end on 10th of June 2022. Please be informed that you will loose your prize once the deadline for sending information ends. We humbly urge you to kindly fill the form using [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this link] as soon as possible. Feel free to contact us on mail or talkpage if you have any difficulties. Thank you for understanding! Regards International Team Feminism and Folklore 2022 '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:38, 5 Juni 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23364696 --> == Mipira ya samaki == Salamu Anuary. Ukichangia makala unafuata mabadiliko katika makala haya na kusoma majadiliano yake? Niliweka maoni yangu na swali kwenye [[Majadiliano:Mipira ya samaki]] (angalia hapo chini). Bado ninangoja jibu lako. Mipira wa samaki ni tafsiri isiyofaa kwa "fish balls". Maana ya mpira kwanza ni "rubber", kwa hivyo ikiwa maana yake ni "ball" hiyo ball ni aina ya rubber au labda ya plastiki. Kwa ujumla, "food ball" ni tonge kwa Kiswahili, au kitonge ikiwa ni dogo. "Meat ball" ni kababu, kwa hivyo labda tutumie hii kwa "fish ball" pia. Mnapendelea neno gani? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 06:00, 22 Juni 2022 (UTC) :Asante sana Chriko kwa ukumbusho wako mzuri, hakika kweli Mipira ya samaki sio tafsiri thabiti ya "fish ball", hivyo katika kuchangia kwangu uhariri wa makala hiyo sikuweza kupitia huo ujumbe wako ulioacha. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 02:16, 23 Juni 2022 (UTC) == Tena jamii == Asante kwa kutekeleza masahihisho. Sasa mfano wa [[Alfred Dan Moussa]]. Umemweka kwa "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" PIA "Watu wa Cote d'Ivoire". Hii ya pili ni bure. "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" umeanzisha kama jamii mpya, sasa unahitaji kufungua ukurasa wake (bofya jina jekundu tu) na ndani yake unaandika (katika mabano mraba) "Watu wa Cote Cote d'Ivoire" halafu pia jamii husika ya wanahabari. Uitafute tu, utakuta jina tofauti kidogo "Jamii:Waandishi wa habari". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 26 Julai 2022 (UTC) :Ahsante sana kwa ukumbusho wako mzuri, lakini makala hii sikuianzisha mimi, hivo mie nimefanya masahihisho tu katika makala. :Pia katika suala la kuongeza, kupunguza na masahihisho ya jamii niliogopa kuingilia majukumu ndio maana niliacha kama nilivyokuta, kwani nafahamu hilo ni jukumu la mkabidhi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 05:02, 27 Julai 2022 (UTC) ==[[Sage Steele]]== Ndugu, hongera kwa juhudi zako. Ila unapotaka kuchangia ukurasa fulani, usianze na moja. Kwa mfano huo hapo juu ulikata viungo na maandishi mazuri. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:07, 31 Julai 2022 (UTC) :ukarasa huo ulikua hauna vyanzo na pia baadhi ya maudhui yalikua hayaendani na makala ya kiingereza, hivo ndio nilikua najaribu kuongeza vyanzo kwa kuanza kuandika upya, lakini baadhi ya vitu kama jamii na picha nimerejesha kama awali ilivyokua. :Unaweza kuupitia sasa hivi ukaona. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 06:16, 31 Julai 2022 (UTC) ::Sawasawa, ila kumbuka si lazima ukurasa wa Kiswahili ufanane na ule wa Kiingereza! Kwa mfano kwa Kiswahili nadhani hatusemi sana "mtangazaji mwanamke" bali ni "mwanamke mtangazaji" au "mtangazaji wa kike". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:52, 31 Julai 2022 (UTC) :::Ahsante sana kwa kunipatia uelewa ambao nilikua sina hapo awali, hivo nitayafanyia kazi yote haya kuhakikisha kuwa makala zinakua bora zaidi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 07:00, 31 Julai 2022 (UTC) ==Kukaribisha watumiaji wapya== Habari nimeona umefanya kazi sana kuwakaribisha waliojiandikisha, asante sana!! Ila sasa naona umeanza kukaribisha pia URL. Sitaki kukuzuia, ukiwa nba muda mwingi endelea tu. Ila tu faida yake si kubwa sana. Maana wengi wanaingia kwa [[URL]] tofautitofauti zinazoweza kubadilika. Hapo ni sababu kwa kawaida hatuifanyi. Ila ni chaguo lako. [[Maalum:Michango/2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19|2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19]] 12:47, 16 Agosti 2022 (UTC) ::Kumbe safari hii nilingia pia kwa URL fulani ! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:49, 16 Agosti 2022 (UTC) :Asante sana kwa kunikumbusha na kunielekeza hapa nimeelewa. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:34, 16 Agosti 2022 (UTC) == Kuongeza jamii == Habari, naona umeongeza jamii kwenye makala zilizokosa jamii za maana (zote zilipangwa chini ya "amani" pekee, ambayo haisiaidii kitu. Ila umeweka "mbegu za watu" ambayo haisaidii vilevile (ningependa kuifuta lakini ziko nyingi mno tayari, heri tuache kuitumia). Maana kusudi la jamii ni kuainisha makala na kupanga makala ambazo mada zinafanana. Njia bora ni kuona kama makala iko kwenye enwiki na kuchagua jamii za huko; hii inahitaji muda kidogo maana unahitaji kupeleleza kwanza kama jamii iko kwa Kiswahili, halafu utaitumia, au unaanza jamii mpya. Kwa vyote tazama [[Msaada:Jamii]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:42, 20 Agosti 2022 (UTC) :Asante ndugu Kipala kwa kunielekeza kile ambacho nilikua sikifahamu hapo awali, lakini sasa nimefahamu hivyo sitofanya hivyo tena na nitajaribu kuzipitia makala zote ambazo niliziwekea jamii hiyo na wakati mwingine takua mdadisi kwanza kabla ya kuweka jamii husika. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:24, 20 Agosti 2022 (UTC) ::Asante kwa jibu zuri. Sitaki kukusumbua nafurahi kamba unajifunza haraka na kuboresha wikipedia yetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:24, 20 Agosti 2022 (UTC) :::Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:29, 20 Agosti 2022 (UTC) ==Tafadhali uwe macho makala zilizotafsiriwa kwa kompyuta== Habari naona ulijitahidi kusahihisha makala kadhaa ambazo niliangalia baadaye na kuzipendekeza kwa ufutaji (k.v. [[Itifaki ya Mitandao ya Kijamii iliyosambazwa]], [[Ufahamu wa mazingira]]. Ukiona matini ni vigumu nashukuru ukihakikisha kama ni tafsiri ya kompyuta. Wengine kama Mwambashi901 hawaonyeshi interwiki; mara nyingi ni rahisi kutambua makala ya enwiki waliyojaribu kutafsri, kwa kumwaga jina la makala katika google translate (maana huko walichukua jina). Mimi hutumia google translate kutafsiri sehemu ya kwanza kutoka enwiki kwenda sw, halafu nalinganisha kwenye ukurasa wa word pande zote kandokando (natumia jeswali). Nikiona A) matini imepokelewa neno kwa neno kutoka google, na B) Kiswahili kina kasoro, makosa au hakieleweki, ninaamua kama naweza kuisahihisha (au kama ninapenda kutumia muda wangu kwa jambo hili) halafu C) ama ninasahihisha au D) ninabandika kigezo cha <nowiki>{{futa}}</nowiki> na kuandikisha makala katika orodha ya [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] (kwa kubofya link yake), ambako mwingine ataiangalia na kuamua. Kwa jumla uone [[Msaada:Tafsiri_ya_kompyuta]]. Nitashukuru ukiweza kusaidia kutambua makala zenye lugha na tafsiri mbaya. Tumepata idadi kubwa ya makala kupitia google translate na tokeo lake ni kweli hatari kwa ajili ya wikipedia hiyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:16, 8 Septemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa maelekezo yako na nimekuelewa vizuri sana, hivyo kuanzia sasa tajitahidi niwe napitia vema makala hasa za watumiaji wapya ambao ndio wanaanza kachangia katika Wikipedia ya kiswahili na pia baadhi ya watumiaji wengine ambapo makala zao zinakua na dalili ya kutungwa na kompyuta na makosa mengine mbalimbali. :Lakini pia naomba kujua je, nikikutana na makala yenye dalili ya kutungwa na kompyuta nina ruhusiwa pia kuweka alama ya "Tafsiri ya Kompyuta" au hiyo inaruhusiwa kwa "Wakabidhi" tu? '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:03, 8 Septemba 2022 (UTC) ::ukiona dalili weka alama tu. Pia pendekezo la "futa". Maazimo ya baadaye yatachukuliwa na wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:20, 8 Septemba 2022 (UTC) :::Sawa asante sana nimeelewa nitajitahidi kuwa nafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:57, 8 Septemba 2022 (UTC) == Dead links == Habari, asante kwa kusafisha dead links. Kwa jumla si vibaya tukichungulia kama hiyo link imehamishwa kabla ya kufuta tu. Wakati mwingine inasadia kutafuta kwa google jina la makala inayotajwa . ---- Pamoja na hayo je umeshapiga kura ukurasa wa Jumuiya? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:47, 9 Novemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa kuniewesha kwani hapo awali nilijua hazina maana yoyote, sasa nimeelewa. Ndio kura nimeshapiga tayari kwenye ukurasa wa Jumuiya. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 13:57, 9 Novemba 2022 (UTC) ::Samahani kwa kuingilia majadiliano hayo, mimi pia najitahidi kuondoa dead links, kumbe ni afadhali tuziache? Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:58, 11 Novemba 2022 (UTC) :::Bila ya samahani, hakika asante sana kwa kuchangia, kwa mujibu wa ndugu @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ni afadhali tuziache au kabla ya kuifuta ni bora kuichungulia kwanza kama haijahamishwa '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:17, 11 Novemba 2022 (UTC) ::::Ushauri wangu ni: kama ziko bure, tuzifute tu. Lakini mimi naona mara kadhaa marejeo yaleyale yanapatikana kwa anwani tofauti, nikitafuta jina la faili katika google. Inachukua muda zaidi kuchungulia, kwa hiyo kila mmoja anapaswa kuamua mwenyewe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:06, 11 Novemba 2022 (UTC) :::::Sawa sawa hapo nimeelewa na hata ndugu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] natumaini nayeye ameelewa labda kama analo la kuongezea. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:24, 11 Novemba 2022 (UTC) == Sending regards and few questions to ask... == Hello, if I may I will shift to Kiswahili. Ni kwamba asante kwa ukaribisho Mzuri kutoka juu na pia ya kuongeza asante hata kwa university wikimedians kwa kunipa nafasi ya kujiunga katika platform hii ya wikipedia... Niko ma swali, mona ni kwamba inakuaje kama nitahitaji kuweka picha na hio picha haipo kwenye platform yeyote ya wikipedia but only inapatikana kwenye mtandao mara nyingine kwenye tovuti kuu husina inayoshikiria hati miliki. Na pili nimeweza kuweka picha pamoja na taarifa kwa kiufupi kama inavoonekana kwenye makala za watu au makampuni. Ni hayo tu, Shukran sana na nitakua pamoja na nyie. Denis R. John [[Maalum:Michango/196.249.97.46|196.249.97.46]] 19:29, 27 Novemba 2022 (UTC) :Salaam ndugu, :Asante sana kwa swali lako zuri na karibu sana kwenye Wikipedia ya kiswahili, hivyo kwa mujibu wa taratibu za Wikipedia huzingatia sana faragha za mtu binafsi, kwahivyo huruhusiwi kuchukua picha ya kitu au mtu au media yeyote kutoka kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii na kuweza kuitumia kwenye makala za wikipedia bila ya ridhaa ya mmiliki husika. :Na ili kuweza kutumia picha husika kwenye makala za wikipedia, kwanza kabisa inakupasa kuipakia kwenye jukwaa la Wikimedia Commons kwa kuzingatia taratibu zote za faragha za mmiliki wa picha au media husika au kama picha au media hiyo uliipiga au kuandaa wewe mwenyewe pia bila ya kupitia huko kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii. :Asante,amani kwako. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:34, 30 Novemba 2022 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating these pages in your languages would be highly appreciated. Currently the following pages are available for translation: *[[wikimania:2023:Contact]] *[[wikimania:2023:Expo space]] *[[wikimania:2023:Glossary]] *[[wikimania:2023:Ideas]] *[[wikimania:2023:Ideas/Globe]] *[[wikimania:2023:Organizers]] *[[wikimania:2023:Program]] *[[wikimania:2023:Travel]] *[[wikimania:2023:Updates]] *[[wikimania:2023:Volunteer]] *[[wikimania:2023:Volunteer signup]] *[[wikimania:2023:Wikimania]] *[[wikimania:Template:Wikimania 2023 header]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[<tvar name="mass-delivery">Special:MyLanguage/Global message delivery</tvar>|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:14, 28 Desemba 2022 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24285311 --> == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating the following pages in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Health]] *[[wikimania:2023:Scholarship Questions]] *[[wikimania:2023:Scholarships]] *[[wikimania:2023:Scholarships/FAQ]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Samples]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Travel Scholarship application]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee/Request for Proposal]] *[[wikimania:2023:Visas]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:50, 22 Januari 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24413464 --> :Habari '''[[Mtumiaji:SISTY MUSHISA|SISTY MUSHISA]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SISTY MUSHISA|majadiliano]])''' 11:26, 17 Februari 2023 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. Your help with translating the following pages on Wikimania wiki in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Attendees]] *[[wikimania:2023:Program Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Program/FAQ]] *[[wikimania:2023:Program/Form Questions]] *[[wikimania:2023:Program/Submissions]] *[[wikimania:2023:Satellite events]] *[[wikimania:2023:Scholarship Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Socialize]] *[[wikimania:2023:Travel Coordination]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 09:40, 4 Machi 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24656834 --> ==Makala kuhusu Analog Pussy== Ndugu nmeona pitio lako katika makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Analog_Pussy,na ningependa kujua je kundi la muziki lenye kufanya kazi za muziki sindo kundi la wanamuziki?,ningependa kujua juu ya hilo ili makosa kama hayo yasijirudie. Amami sana '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 19:33, 14 Aprili 2023 (UTC) :Yote ni sahihi lakini tukisema kundi la wanamuziki, hapo naona inakua inaleta maana nzuri zaidi kwa sababu inajumuisha muunganiko wa watu fulani kwenye kazi ya muziki, kuliko tukisema kundi la muziki (ambapo hapa mwingine anaweza kufafanua kama mjumuisho wa aina fulani za muziki n.k) '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:29, 14 Aprili 2023 (UTC) :Sawa sawa '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 22:04, 14 Aprili 2023 (UTC) == Feminism and Folklore 2023 - Local prize winners == [[Faili:Feminism_and_Folklore_2023_logo.svg|center|frameless|550x550px]] :: <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"></div> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations on your remarkable achievement of winning a local prize in the '''Feminism and Folklore 2023''' writing competition! We greatly appreciate your valuable contribution and the effort you put into documenting your local Folk culture and Women on Wikipedia. To ensure you receive your prize, please take a moment to complete the preferences form before the 1st of July 2023. You can access the form [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdWlxDwI6UgtPXPfjQTbVjgnAYUMSYqShA5kEe4P4N5zwxaEw/viewform?usp=sf_link by clicking here]. We kindly request you to submit the form before the deadline to avoid any potential disappointments. If you have any questions or require further assistance, please do not hesitate to contact us via talkpage or Email. We are more than happy to help. Best wishes, [[metawiki:Feminism and Folklore 2023|FNF 2023 International Team]] :::: Stay connected [[Faili:B&W_Facebook_icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[Faili:B&W_Twitter_icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] --'''[[Mtumiaji:Tiven2240|Tiven2240]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tiven2240|majadiliano]])''' 13:30, 10 Juni 2023 (UTC) == Organizer Tools Office Hours & Event Discovery Project == ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/fr|Lire ce message en français]])'''; ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/es|Ver este mensaje en español]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/sw|Angalia ujumbe huu kwa Kiswahili]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/ar|إقرأ هذه الرسالة بالعربي]]''') <small> {{int:please-translate}} </small>. [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team|The Campaigns team]] at the Wikimedia Foundation has some updates to share with you, which are: We invite you to attend our upcoming community office hours to learn about organizer tools, including the [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration|Event registration tool]] (which has [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration#September 18, 2023: October office hours & upcoming features|new and upcoming features]]). '''The office hours are on the following dates, and you can join one or both of them:''' *'''Saturday, October 7 at 12:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session A|Register here]]''') **Languages available: Arabic, English, French, Swahili *'''Tuesday, October 10 at 18:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session B|Register here]]'''). **Languages available: Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Swahili '''We have launched a new project: [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|Event Discovery]]'''. This project aims to make it easier for editors to learn about campaign events. '''We need your help to understand how you would like to discover events on the wikis, so that we can create a useful solution. Please share your feedback on our [[m:Talk:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|project talk page]]'''. ; Thank you, and we hope to see you at the upcoming office hours! [[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[User talk:MediaWiki message delivery|talk]]) 19:54, 24 Septemba 2023 (UTC) <small>You are receiving this message because you subscribed to this [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Subscribers|list]]</small> <!-- Message sent by User:EUwandu-WMF@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=25632558 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (January-March 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Group photo - Edu Wiki conference 2023, Belgrade, Serbia.jpg|256px|right|thumb|Group photo of the 2023 EduWiki Conference in Belgrade, organized by Wikipedia & Education User Group]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 1}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> '''Affiliate Recognition and Derecognition''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Recognition_and_Derecognition|Recognition of Cyprus, Botswana, Niger, and Telugu user groups]] '''Affiliate Activities Report''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Activities_Report|Reports from Belgium, South African, and Ukrainian chapters]] '''AffCom Movement Contribution''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement with the new Affiliates Strategy and Movement Charter drafts]] '''AffCom Administration''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Administration|New AffCom members and advisors]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:56, 18 Aprili 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=26293156 --> == Ukumbusho kuhusu kupiga kura sasa ili kuchagua washiriki wa U4C ya awamu ya kwanza == <section begin="announcement-content" /> :''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder|Unaweza kupata ujumbe huu ukiwa umetafsiriwa katika lugha za ziada kwenye Meta-wiki.]] [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]'' Ndugu Mwanawikimedia, Unapokea ujumbe huu kwa sababu hapo kabla uliwahi kushiriki katika mchakato wa UCoC. Huu ni ukumbusho kwamba kipindi cha kupiga kura kwa Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) kitamalizika tarehe 9 Mei 2024. Soma maelezo kwenye [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024|ukurasa wa kupiga kura kwenye Meta- wiki]] ili kupata maelezo zaidi kuhusu upigaji kura na ustahiki wa mpiga kura. Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) ni kikundi cha kimataifa kilichojitolea kutoa utekelezaji sawa na thabiti wa UCoC. Wanajamii walialikwa kutuma maombi yao kwa U4C. Kwa maelezo zaidi na majukumu ya U4C, tafadhali [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Charter|pitia Mkataba wa U4C]]. Tafadhali washirikishe ujumbe wanajumuiya wenzako ili nao waweze kushiriki. Kwa niaba ya timu ya mradi wa UCoC,<section end="announcement-content" /> [[m:User:RamzyM (WMF)|RamzyM (WMF)]] 22:54, 2 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Universal_Code_of_Conduct/Coordinating_Committee/Election/2024/Previous_voters_list_3&oldid=26721208 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (April-June 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimedia-Summit-2024-Friday-128.jpg|256px|right|thumb|AffCom group photo at Wikimedia Summit 2024 in Berlin, Germany]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 2|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 2}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Updates: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Strategy Updates|Adoption of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Madagascar, Senegal, Republic of Congo, and Namibia user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom Conflict Intervention|Six active conflicts, no new reports for Q4]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia Summit and ESEAP Conference]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Administration|Officers elections and departing members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Upcoming AffCom Events|AffCom at Wikimania 2024]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:30, 15 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27021225 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (July-September 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimania 2024 - Lviv - Day 3 - AffCom meets community.webm|256px|right|thumb|AffCom session at Wikimania 2024]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 3|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 3}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Strategy Updates|Implementation status of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Togo, Wayúu, and Singapore user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimania]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Administrative_Updates|Results of the officers elections]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Upcoming AffCom Events|AffCom at WikiIndaba and a strategy meetup]] Other Movement News: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Other_Movement_News|Regional conferences, mental health support, and new committee support inbox]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:55, 7 Oktoba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27273724 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (October-December 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Affiliations Committee 2024 05.jpg|256px|right|thumb|AffCom at its Strategic Retreat in Frankfurt]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 4}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Strategy Updates|Notes from the 2024 AffCom strategic retreat]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Recognition and Derecognition|User group application pause lifted]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue4_#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at WikiIndaba]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom_Administrative_Updates|Mari Avetisyan appointed new AffCom secretary]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 03:04, 5 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28060527 --> == Tungependa kusikia kuhusu uzoefu wako kuhusu Akaunti za Muda == <section begin="body"/> [[File:Temporary Accounts - first edit popup.png|thumb]] '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_e2MNLeWJU89pNTo Utafiti huu hautachukua zaidi ya dakika 5 kukamilisha.]''' Timu ya Trust & Safety Product hivi karibuni iliunda [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|akaunti za muda]] zinapatikana kwenye miradi ya wiki 12. Kuna mipango ya kupanua hili kwa seti kubwa ya miradi ya wiki katika wiki na miezi ijayo, kisha kufuata mchakato wa kutekeleza kikamilifu baadaye mwaka huu. Ushiriki wako katika utafiti huu utakuwa na manufaa makubwa katika kutusaidia kuelewa jinsi Akaunti za Muda zinavyofanya kazi na kile tunachoweza kuboresha mbele. Sera ya faragha ya utafiti huu inaweza kuonwa [[foundation:Special:MyLanguage/Legal:Temp_Accounts_Minor_Pilots_Survey_Privacy_Statement|kupitia kiungo hiki]]. Kwa kumaliza utafiti huu, unakubali masharti yaliyoainishwa katika sera ya faragha. Asante!<section end="body"/> [[User:SGrabarczuk (WMF)|SGrabarczuk (WMF)]] ([[User talk:SGrabarczuk (WMF)|<span class="signature-talk">majadiliano</span>]]) 02:50, 27 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:SGrabarczuk (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:SGrabarczuk_(WMF)/sandbox/8&oldid=28315571 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (January-March 2025)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:WMB meeting in Belo Horizonte in 2023 (day 02) 059.jpg|256px|right|thumb|Wikimedia Brasil, the latest chapter to be recognized by AffCom]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 5}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Wikimedia Brasil and four user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue 5#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia+Libraries and Wikisource conferences]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom_Administrative_Updates|Welcoming new AffCom voting and advisory members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Upcoming_AffCom_Events|AffCom at ESEAP Strategy Summit]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 01:30, 26 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28324741 --> == Asante sana kwa BAN-na == Asante sana kwa BAN-na. Ninashukuru kwa elimu uliyonipatia kuhusu namna bora ya kuunda makala kwa kufuata muundo wa Wikipedia. Nimejifunza umuhimu wa maudhui kwa vichwa vya habari kama "Lugha", "Mila na Desturi", "Dini", n.k. ili kurahisisha usomaji na uelewa. Nitazingatia ushauri wako na kufanya marekebisho katika makala nilizoandika tayari kabla ya kuchapisha nyingine mpya. Nathamini sana juhudi zenu za kuhakikisha ubora wa maudhui ya Kiswahili kwenye Wikipedia. Ahsante Sana, '''[[Mtumiaji:Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alexander Rweyemamu|majadiliano]])''' 10:19, 12 Julai 2025 (UTC) == Faulty editing == [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mary_Lazarus&diff=1148956&oldid=1143252 PURE VANDALISM] - no wikilinks inside reference parameters! [[Maalum:Michango/&#126;2025-52117|&#126;2025-52117]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52117|talk]]) 08:33, 4 Mei 2025 (UTC) :Dear 2025-52117, :Thank you for your reminder, and I appreciate your effort in reviewing the wiki pages. Just to clarify, the edits were made about four years ago, when I was still new to Wikipedia. At that time, I didn’t have much experience, so I may have made mistakes without realizing it. :In the meantime, I believe there is no need to use harsh language to criticize someone. Pointing out issues in a respectful manner would be more constructive. :Amani kwako '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:52, 4 Mei 2025 (UTC) ::@[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] Wakuongea kwa ustaarabu hao temp account? Utasubiri sana. Siwapendi hao temp kupita maelezo. Ni vile WMF imeamua lakini hapa kwetu wafungiwe tu. Wanatusumbua sana. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 20:55, 4 Mei 2025 (UTC) :::Sorry for being so upset! Don't ask - Don't tell!, After UNJUST losing of several "InternetBuddy" accounts to itchy meta sexual abuse hunters, I resort only to temporary accounts, 75% of them are mine. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52533|&#126;2025-52533]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52533|talk]]) 06:55, 5 Mei 2025 (UTC) :::[[Maalum:Michango/I_like_peace_and_quiet]], [[Maalum:Michango/I_like_quiet_and_peace]], [[Maalum:Michango/Norbilian]], [[Maalum:Michango/Nailibron]], and others, very same history, but at other times. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52246|&#126;2025-52246]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52246|talk]]) 07:57, 5 Mei 2025 (UTC) ::::Naona kweli ni wasumbufu na wanatia kero kweli; kwetu huku hata wasiwepo tu. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:32, 5 Mei 2025 (UTC) :::::[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Polandi&diff=1414098&oldid=1414088 Real Annoyance]. [[Maalum:Michango/&#126;2025-53157|&#126;2025-53157]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-53157|talk]]) 08:17, 6 Mei 2025 (UTC) lk9rlilvz1y1i9kqrz3ahtz5pz6hy0z 1437161 1437160 2025-07-12T10:22:50Z Alexander Rweyemamu 80072 siku 🍌x1 1437161 wikitext text/x-wiki {{karibu}}--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:30, 19 Desemba 2020 (UTC) ==Kuhusu Uhariri== Habari ndugu Anuary Rajabu Hongera sana kwa jitihada zako za kuhariri katika Wikipedia ya Kiswahili, jaribu kupitia sana ukurasa wa mabadiliko ya karibuni ili kuweza kuona baadhi ya makala zako na namna zinavyoendelea kuboreshwa, na utumie maboresho hayo katika makala zako nyingine. Amani sana kwako. Idd ninga'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:58, 23 Mei 2021 (UTC) ==Volkeno== Ndugu naona tunaingiliana kwenye makala kuhusu [[Chamko la volkeno]]. Sijamaliza bado. Ushauri ni: uangalie historia ya makala; kama imehaririwa dakika chache zilizopita, kuna uwezekano mhariri bado anaendelea.. Kwa hiyo heri kusibiri hadi kesho. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 25 Mei 2021 (UTC) :Ooh Sawa kiongozi nimekuelwa Samahani kwa hilo, Nitafanya hivo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:17, 25 Mei 2021 (UTC) ==Jina la Mtu== Salamu Anuary Rajabu Unaweza kuangalia katika makala zako zenye majina ya watu na kuona baadhi ya mabadiliko hasa ya masahihisho ya jina, kwa kawaida unapoandika jina la mtu inafaa kabisa jina liandikwe kwa herufi kubwa badala ya ndogo, unaweza kuona namna majina ya makala zako yalivyobadilishwa, hongera kwa juhudi unazofanya, endelea kujifunza zaidi, [[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]]) == Nimekuzuia siku 3 == Ndugu, uliondoa vigezo vya umaarufu, vyanz na futa kutoka ukurasa wa [[Melody Mbassa]], bila maelezo yoyote. Hapa umeingilia katika kazi ya usimamizi wa wikipedia hii. Nimekuzuia sasa kwa siku 3, huwezi kuhariri kwa siku hizo. Unaweza kujieleza kwenye ukurasa huu hapa. Ukiweza kutaja sababu zinazoeleweka naweza kuondoa kizuizi.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:41, 28 Mei 2021 (UTC) Naomba kusamehewa,nilikua sijui kuhusu hilo lakini kwa kuwa kiongozi wangu ameweza kunielekeza kuhusu hilo, sitoweza kufanya hivo tena kwani mie sio mjuzi sana katika uhariri wa makala. Hivo nimeweza kujifunza. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 09:07, 28 Mei 2021 (UTC) :Asante kwa kujibu. Nimekufungua. Ila bado hujasema kwa nini uliondoa vigezo vile? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:57, 28 Mei 2021 (UTC) == Can you help me correct an article? Thank you! == Hello, {{Ping|Anuary Rajabu}}! I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ... Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:11, 19 Juni 2021 (UTC) ==Marekebisho== Salamu Anuary, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Entisar_Elsaeed kuna sehemu umeandika kuwa Entisari ni mwanaharakati wa kutetea Wanawake, lakini katika makala hii ukasema kuwa Elsaeed na taasisi yake walilenga katika kuongeza unyanyasaji wa wanawake majumbani, nafikiri kuwa ulitaka kuandika kupunguza, sasa cha kufanya pitia makala yake ni kuifanyia marekebishom, tazama katika makala ya kiingereza nini kilichoandikwa,Amani sana'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 18:34, 9 Machi 2022 (UTC) :sawa kiongozi nimeelewa nitafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:47, 10 Machi 2022 (UTC) ==Hongera== Anuary naona siku hizi unaleta michango mingi yenye thamani. Naona umeshika vizuri fomati ya wikipedia. Nakupa Hongera! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 16 Machi 2022 (UTC) :Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 11:34, 16 Machi 2022 (UTC) ::Pamoja na pongezi, naomba uangalie makala zenyewe: kweli tunahitaji kutetea ushoga? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:13, 29 Machi 2022 (UTC) :::Asante kwa kufanyia doria makala nyingi. Mimi nimezidiwa. Ila naomba uondoe tanbihi za Wikipedia ya Kiingereza na hasa jamii nyingi mno. Unakuta makala ya mwanamuziki wa Nigeria ina jamii:Sanaa ya Afrika! kama si Jamii:Afrika! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 4 Mei 2022 (UTC) ::::Asante sana, nitajitahidi kufanya hivyo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:31, 4 Mei 2022 (UTC) == JAMII za Muziki Aziingiliani na michezo == Amani kwako ndugu, kuwa makini wakati unachagua jamii ya kuweka kwenye makala,acha kuunganisha jamii ya muziki na makala za mchezo wa Mpira wa miguu. '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 19:41, 14 Mei 2022 (UTC) :Asante kwa ukumbusho nadhani ni suala la kujisahau tu katika ukopiji wa jamii wakati wa kuchapisha makala, hivo nitazipitia makala zangu zote ili kurekebisha makosa hayo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:54, 14 Mei 2022 (UTC) == Feminism and Folklore 2022 - Local prize winners == <div style="border:8px brown ridge;padding:6px;> [[File:Feminism and Folklore 2022 logo.svg|centre|550px|frameless]] ::<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations for winning a local prize in '''[[:m:Feminism and Folklore 2022/Project Page|Feminism and Folklore 2022]]''' writing competition. Thank you for your contribution and documenting your local folk culture on Wikipedia. Please fill in your preferences before 15th of June 2022 to receive your prize. Requesting you to fill [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this form] before the deadline to avoid disappointments. Feel free to [[:m:Feminism and Folklore 2022/Contact Us|contact us]] if you need any assistance or further queries. Best wishes, [[:m:Feminism and Folklore 2022|FNF 2022 International Team]] ::::Stay connected [[File:B&W Facebook icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[File:B&W Twitter icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] </div></div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 07:50, 22 Mei 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23312270 --> == Reminder to provide information - Feminism and Folklore 2022 == Dear User The Google form to submit information of winners during the 2022 edition of Feminism and Folklore 2022 end on 10th of June 2022. Please be informed that you will loose your prize once the deadline for sending information ends. We humbly urge you to kindly fill the form using [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this link] as soon as possible. Feel free to contact us on mail or talkpage if you have any difficulties. Thank you for understanding! Regards International Team Feminism and Folklore 2022 '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:38, 5 Juni 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23364696 --> == Mipira ya samaki == Salamu Anuary. Ukichangia makala unafuata mabadiliko katika makala haya na kusoma majadiliano yake? Niliweka maoni yangu na swali kwenye [[Majadiliano:Mipira ya samaki]] (angalia hapo chini). Bado ninangoja jibu lako. Mipira wa samaki ni tafsiri isiyofaa kwa "fish balls". Maana ya mpira kwanza ni "rubber", kwa hivyo ikiwa maana yake ni "ball" hiyo ball ni aina ya rubber au labda ya plastiki. Kwa ujumla, "food ball" ni tonge kwa Kiswahili, au kitonge ikiwa ni dogo. "Meat ball" ni kababu, kwa hivyo labda tutumie hii kwa "fish ball" pia. Mnapendelea neno gani? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 06:00, 22 Juni 2022 (UTC) :Asante sana Chriko kwa ukumbusho wako mzuri, hakika kweli Mipira ya samaki sio tafsiri thabiti ya "fish ball", hivyo katika kuchangia kwangu uhariri wa makala hiyo sikuweza kupitia huo ujumbe wako ulioacha. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 02:16, 23 Juni 2022 (UTC) == Tena jamii == Asante kwa kutekeleza masahihisho. Sasa mfano wa [[Alfred Dan Moussa]]. Umemweka kwa "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" PIA "Watu wa Cote d'Ivoire". Hii ya pili ni bure. "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" umeanzisha kama jamii mpya, sasa unahitaji kufungua ukurasa wake (bofya jina jekundu tu) na ndani yake unaandika (katika mabano mraba) "Watu wa Cote Cote d'Ivoire" halafu pia jamii husika ya wanahabari. Uitafute tu, utakuta jina tofauti kidogo "Jamii:Waandishi wa habari". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 26 Julai 2022 (UTC) :Ahsante sana kwa ukumbusho wako mzuri, lakini makala hii sikuianzisha mimi, hivo mie nimefanya masahihisho tu katika makala. :Pia katika suala la kuongeza, kupunguza na masahihisho ya jamii niliogopa kuingilia majukumu ndio maana niliacha kama nilivyokuta, kwani nafahamu hilo ni jukumu la mkabidhi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 05:02, 27 Julai 2022 (UTC) ==[[Sage Steele]]== Ndugu, hongera kwa juhudi zako. Ila unapotaka kuchangia ukurasa fulani, usianze na moja. Kwa mfano huo hapo juu ulikata viungo na maandishi mazuri. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:07, 31 Julai 2022 (UTC) :ukarasa huo ulikua hauna vyanzo na pia baadhi ya maudhui yalikua hayaendani na makala ya kiingereza, hivo ndio nilikua najaribu kuongeza vyanzo kwa kuanza kuandika upya, lakini baadhi ya vitu kama jamii na picha nimerejesha kama awali ilivyokua. :Unaweza kuupitia sasa hivi ukaona. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 06:16, 31 Julai 2022 (UTC) ::Sawasawa, ila kumbuka si lazima ukurasa wa Kiswahili ufanane na ule wa Kiingereza! Kwa mfano kwa Kiswahili nadhani hatusemi sana "mtangazaji mwanamke" bali ni "mwanamke mtangazaji" au "mtangazaji wa kike". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:52, 31 Julai 2022 (UTC) :::Ahsante sana kwa kunipatia uelewa ambao nilikua sina hapo awali, hivo nitayafanyia kazi yote haya kuhakikisha kuwa makala zinakua bora zaidi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 07:00, 31 Julai 2022 (UTC) ==Kukaribisha watumiaji wapya== Habari nimeona umefanya kazi sana kuwakaribisha waliojiandikisha, asante sana!! Ila sasa naona umeanza kukaribisha pia URL. Sitaki kukuzuia, ukiwa nba muda mwingi endelea tu. Ila tu faida yake si kubwa sana. Maana wengi wanaingia kwa [[URL]] tofautitofauti zinazoweza kubadilika. Hapo ni sababu kwa kawaida hatuifanyi. Ila ni chaguo lako. [[Maalum:Michango/2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19|2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19]] 12:47, 16 Agosti 2022 (UTC) ::Kumbe safari hii nilingia pia kwa URL fulani ! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:49, 16 Agosti 2022 (UTC) :Asante sana kwa kunikumbusha na kunielekeza hapa nimeelewa. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:34, 16 Agosti 2022 (UTC) == Kuongeza jamii == Habari, naona umeongeza jamii kwenye makala zilizokosa jamii za maana (zote zilipangwa chini ya "amani" pekee, ambayo haisiaidii kitu. Ila umeweka "mbegu za watu" ambayo haisaidii vilevile (ningependa kuifuta lakini ziko nyingi mno tayari, heri tuache kuitumia). Maana kusudi la jamii ni kuainisha makala na kupanga makala ambazo mada zinafanana. Njia bora ni kuona kama makala iko kwenye enwiki na kuchagua jamii za huko; hii inahitaji muda kidogo maana unahitaji kupeleleza kwanza kama jamii iko kwa Kiswahili, halafu utaitumia, au unaanza jamii mpya. Kwa vyote tazama [[Msaada:Jamii]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:42, 20 Agosti 2022 (UTC) :Asante ndugu Kipala kwa kunielekeza kile ambacho nilikua sikifahamu hapo awali, lakini sasa nimefahamu hivyo sitofanya hivyo tena na nitajaribu kuzipitia makala zote ambazo niliziwekea jamii hiyo na wakati mwingine takua mdadisi kwanza kabla ya kuweka jamii husika. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:24, 20 Agosti 2022 (UTC) ::Asante kwa jibu zuri. Sitaki kukusumbua nafurahi kamba unajifunza haraka na kuboresha wikipedia yetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:24, 20 Agosti 2022 (UTC) :::Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:29, 20 Agosti 2022 (UTC) ==Tafadhali uwe macho makala zilizotafsiriwa kwa kompyuta== Habari naona ulijitahidi kusahihisha makala kadhaa ambazo niliangalia baadaye na kuzipendekeza kwa ufutaji (k.v. [[Itifaki ya Mitandao ya Kijamii iliyosambazwa]], [[Ufahamu wa mazingira]]. Ukiona matini ni vigumu nashukuru ukihakikisha kama ni tafsiri ya kompyuta. Wengine kama Mwambashi901 hawaonyeshi interwiki; mara nyingi ni rahisi kutambua makala ya enwiki waliyojaribu kutafsri, kwa kumwaga jina la makala katika google translate (maana huko walichukua jina). Mimi hutumia google translate kutafsiri sehemu ya kwanza kutoka enwiki kwenda sw, halafu nalinganisha kwenye ukurasa wa word pande zote kandokando (natumia jeswali). Nikiona A) matini imepokelewa neno kwa neno kutoka google, na B) Kiswahili kina kasoro, makosa au hakieleweki, ninaamua kama naweza kuisahihisha (au kama ninapenda kutumia muda wangu kwa jambo hili) halafu C) ama ninasahihisha au D) ninabandika kigezo cha <nowiki>{{futa}}</nowiki> na kuandikisha makala katika orodha ya [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] (kwa kubofya link yake), ambako mwingine ataiangalia na kuamua. Kwa jumla uone [[Msaada:Tafsiri_ya_kompyuta]]. Nitashukuru ukiweza kusaidia kutambua makala zenye lugha na tafsiri mbaya. Tumepata idadi kubwa ya makala kupitia google translate na tokeo lake ni kweli hatari kwa ajili ya wikipedia hiyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:16, 8 Septemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa maelekezo yako na nimekuelewa vizuri sana, hivyo kuanzia sasa tajitahidi niwe napitia vema makala hasa za watumiaji wapya ambao ndio wanaanza kachangia katika Wikipedia ya kiswahili na pia baadhi ya watumiaji wengine ambapo makala zao zinakua na dalili ya kutungwa na kompyuta na makosa mengine mbalimbali. :Lakini pia naomba kujua je, nikikutana na makala yenye dalili ya kutungwa na kompyuta nina ruhusiwa pia kuweka alama ya "Tafsiri ya Kompyuta" au hiyo inaruhusiwa kwa "Wakabidhi" tu? '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:03, 8 Septemba 2022 (UTC) ::ukiona dalili weka alama tu. Pia pendekezo la "futa". Maazimo ya baadaye yatachukuliwa na wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:20, 8 Septemba 2022 (UTC) :::Sawa asante sana nimeelewa nitajitahidi kuwa nafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:57, 8 Septemba 2022 (UTC) == Dead links == Habari, asante kwa kusafisha dead links. Kwa jumla si vibaya tukichungulia kama hiyo link imehamishwa kabla ya kufuta tu. Wakati mwingine inasadia kutafuta kwa google jina la makala inayotajwa . ---- Pamoja na hayo je umeshapiga kura ukurasa wa Jumuiya? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:47, 9 Novemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa kuniewesha kwani hapo awali nilijua hazina maana yoyote, sasa nimeelewa. Ndio kura nimeshapiga tayari kwenye ukurasa wa Jumuiya. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 13:57, 9 Novemba 2022 (UTC) ::Samahani kwa kuingilia majadiliano hayo, mimi pia najitahidi kuondoa dead links, kumbe ni afadhali tuziache? Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:58, 11 Novemba 2022 (UTC) :::Bila ya samahani, hakika asante sana kwa kuchangia, kwa mujibu wa ndugu @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ni afadhali tuziache au kabla ya kuifuta ni bora kuichungulia kwanza kama haijahamishwa '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:17, 11 Novemba 2022 (UTC) ::::Ushauri wangu ni: kama ziko bure, tuzifute tu. Lakini mimi naona mara kadhaa marejeo yaleyale yanapatikana kwa anwani tofauti, nikitafuta jina la faili katika google. Inachukua muda zaidi kuchungulia, kwa hiyo kila mmoja anapaswa kuamua mwenyewe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:06, 11 Novemba 2022 (UTC) :::::Sawa sawa hapo nimeelewa na hata ndugu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] natumaini nayeye ameelewa labda kama analo la kuongezea. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:24, 11 Novemba 2022 (UTC) == Sending regards and few questions to ask... == Hello, if I may I will shift to Kiswahili. Ni kwamba asante kwa ukaribisho Mzuri kutoka juu na pia ya kuongeza asante hata kwa university wikimedians kwa kunipa nafasi ya kujiunga katika platform hii ya wikipedia... Niko ma swali, mona ni kwamba inakuaje kama nitahitaji kuweka picha na hio picha haipo kwenye platform yeyote ya wikipedia but only inapatikana kwenye mtandao mara nyingine kwenye tovuti kuu husina inayoshikiria hati miliki. Na pili nimeweza kuweka picha pamoja na taarifa kwa kiufupi kama inavoonekana kwenye makala za watu au makampuni. Ni hayo tu, Shukran sana na nitakua pamoja na nyie. Denis R. John [[Maalum:Michango/196.249.97.46|196.249.97.46]] 19:29, 27 Novemba 2022 (UTC) :Salaam ndugu, :Asante sana kwa swali lako zuri na karibu sana kwenye Wikipedia ya kiswahili, hivyo kwa mujibu wa taratibu za Wikipedia huzingatia sana faragha za mtu binafsi, kwahivyo huruhusiwi kuchukua picha ya kitu au mtu au media yeyote kutoka kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii na kuweza kuitumia kwenye makala za wikipedia bila ya ridhaa ya mmiliki husika. :Na ili kuweza kutumia picha husika kwenye makala za wikipedia, kwanza kabisa inakupasa kuipakia kwenye jukwaa la Wikimedia Commons kwa kuzingatia taratibu zote za faragha za mmiliki wa picha au media husika au kama picha au media hiyo uliipiga au kuandaa wewe mwenyewe pia bila ya kupitia huko kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii. :Asante,amani kwako. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:34, 30 Novemba 2022 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating these pages in your languages would be highly appreciated. Currently the following pages are available for translation: *[[wikimania:2023:Contact]] *[[wikimania:2023:Expo space]] *[[wikimania:2023:Glossary]] *[[wikimania:2023:Ideas]] *[[wikimania:2023:Ideas/Globe]] *[[wikimania:2023:Organizers]] *[[wikimania:2023:Program]] *[[wikimania:2023:Travel]] *[[wikimania:2023:Updates]] *[[wikimania:2023:Volunteer]] *[[wikimania:2023:Volunteer signup]] *[[wikimania:2023:Wikimania]] *[[wikimania:Template:Wikimania 2023 header]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[<tvar name="mass-delivery">Special:MyLanguage/Global message delivery</tvar>|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:14, 28 Desemba 2022 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24285311 --> == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating the following pages in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Health]] *[[wikimania:2023:Scholarship Questions]] *[[wikimania:2023:Scholarships]] *[[wikimania:2023:Scholarships/FAQ]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Samples]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Travel Scholarship application]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee/Request for Proposal]] *[[wikimania:2023:Visas]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:50, 22 Januari 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24413464 --> :Habari '''[[Mtumiaji:SISTY MUSHISA|SISTY MUSHISA]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SISTY MUSHISA|majadiliano]])''' 11:26, 17 Februari 2023 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. Your help with translating the following pages on Wikimania wiki in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Attendees]] *[[wikimania:2023:Program Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Program/FAQ]] *[[wikimania:2023:Program/Form Questions]] *[[wikimania:2023:Program/Submissions]] *[[wikimania:2023:Satellite events]] *[[wikimania:2023:Scholarship Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Socialize]] *[[wikimania:2023:Travel Coordination]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 09:40, 4 Machi 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24656834 --> ==Makala kuhusu Analog Pussy== Ndugu nmeona pitio lako katika makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Analog_Pussy,na ningependa kujua je kundi la muziki lenye kufanya kazi za muziki sindo kundi la wanamuziki?,ningependa kujua juu ya hilo ili makosa kama hayo yasijirudie. Amami sana '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 19:33, 14 Aprili 2023 (UTC) :Yote ni sahihi lakini tukisema kundi la wanamuziki, hapo naona inakua inaleta maana nzuri zaidi kwa sababu inajumuisha muunganiko wa watu fulani kwenye kazi ya muziki, kuliko tukisema kundi la muziki (ambapo hapa mwingine anaweza kufafanua kama mjumuisho wa aina fulani za muziki n.k) '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:29, 14 Aprili 2023 (UTC) :Sawa sawa '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 22:04, 14 Aprili 2023 (UTC) == Feminism and Folklore 2023 - Local prize winners == [[Faili:Feminism_and_Folklore_2023_logo.svg|center|frameless|550x550px]] :: <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"></div> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations on your remarkable achievement of winning a local prize in the '''Feminism and Folklore 2023''' writing competition! We greatly appreciate your valuable contribution and the effort you put into documenting your local Folk culture and Women on Wikipedia. To ensure you receive your prize, please take a moment to complete the preferences form before the 1st of July 2023. You can access the form [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdWlxDwI6UgtPXPfjQTbVjgnAYUMSYqShA5kEe4P4N5zwxaEw/viewform?usp=sf_link by clicking here]. We kindly request you to submit the form before the deadline to avoid any potential disappointments. If you have any questions or require further assistance, please do not hesitate to contact us via talkpage or Email. We are more than happy to help. Best wishes, [[metawiki:Feminism and Folklore 2023|FNF 2023 International Team]] :::: Stay connected [[Faili:B&W_Facebook_icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[Faili:B&W_Twitter_icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] --'''[[Mtumiaji:Tiven2240|Tiven2240]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tiven2240|majadiliano]])''' 13:30, 10 Juni 2023 (UTC) == Organizer Tools Office Hours & Event Discovery Project == ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/fr|Lire ce message en français]])'''; ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/es|Ver este mensaje en español]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/sw|Angalia ujumbe huu kwa Kiswahili]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/ar|إقرأ هذه الرسالة بالعربي]]''') <small> {{int:please-translate}} </small>. [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team|The Campaigns team]] at the Wikimedia Foundation has some updates to share with you, which are: We invite you to attend our upcoming community office hours to learn about organizer tools, including the [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration|Event registration tool]] (which has [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration#September 18, 2023: October office hours & upcoming features|new and upcoming features]]). '''The office hours are on the following dates, and you can join one or both of them:''' *'''Saturday, October 7 at 12:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session A|Register here]]''') **Languages available: Arabic, English, French, Swahili *'''Tuesday, October 10 at 18:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session B|Register here]]'''). **Languages available: Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Swahili '''We have launched a new project: [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|Event Discovery]]'''. This project aims to make it easier for editors to learn about campaign events. '''We need your help to understand how you would like to discover events on the wikis, so that we can create a useful solution. Please share your feedback on our [[m:Talk:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|project talk page]]'''. ; Thank you, and we hope to see you at the upcoming office hours! [[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[User talk:MediaWiki message delivery|talk]]) 19:54, 24 Septemba 2023 (UTC) <small>You are receiving this message because you subscribed to this [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Subscribers|list]]</small> <!-- Message sent by User:EUwandu-WMF@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=25632558 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (January-March 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Group photo - Edu Wiki conference 2023, Belgrade, Serbia.jpg|256px|right|thumb|Group photo of the 2023 EduWiki Conference in Belgrade, organized by Wikipedia & Education User Group]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 1}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> '''Affiliate Recognition and Derecognition''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Recognition_and_Derecognition|Recognition of Cyprus, Botswana, Niger, and Telugu user groups]] '''Affiliate Activities Report''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Activities_Report|Reports from Belgium, South African, and Ukrainian chapters]] '''AffCom Movement Contribution''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement with the new Affiliates Strategy and Movement Charter drafts]] '''AffCom Administration''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Administration|New AffCom members and advisors]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:56, 18 Aprili 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=26293156 --> == Ukumbusho kuhusu kupiga kura sasa ili kuchagua washiriki wa U4C ya awamu ya kwanza == <section begin="announcement-content" /> :''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder|Unaweza kupata ujumbe huu ukiwa umetafsiriwa katika lugha za ziada kwenye Meta-wiki.]] [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]'' Ndugu Mwanawikimedia, Unapokea ujumbe huu kwa sababu hapo kabla uliwahi kushiriki katika mchakato wa UCoC. Huu ni ukumbusho kwamba kipindi cha kupiga kura kwa Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) kitamalizika tarehe 9 Mei 2024. Soma maelezo kwenye [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024|ukurasa wa kupiga kura kwenye Meta- wiki]] ili kupata maelezo zaidi kuhusu upigaji kura na ustahiki wa mpiga kura. Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) ni kikundi cha kimataifa kilichojitolea kutoa utekelezaji sawa na thabiti wa UCoC. Wanajamii walialikwa kutuma maombi yao kwa U4C. Kwa maelezo zaidi na majukumu ya U4C, tafadhali [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Charter|pitia Mkataba wa U4C]]. Tafadhali washirikishe ujumbe wanajumuiya wenzako ili nao waweze kushiriki. Kwa niaba ya timu ya mradi wa UCoC,<section end="announcement-content" /> [[m:User:RamzyM (WMF)|RamzyM (WMF)]] 22:54, 2 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Universal_Code_of_Conduct/Coordinating_Committee/Election/2024/Previous_voters_list_3&oldid=26721208 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (April-June 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimedia-Summit-2024-Friday-128.jpg|256px|right|thumb|AffCom group photo at Wikimedia Summit 2024 in Berlin, Germany]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 2|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 2}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Updates: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Strategy Updates|Adoption of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Madagascar, Senegal, Republic of Congo, and Namibia user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom Conflict Intervention|Six active conflicts, no new reports for Q4]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia Summit and ESEAP Conference]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Administration|Officers elections and departing members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Upcoming AffCom Events|AffCom at Wikimania 2024]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:30, 15 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27021225 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (July-September 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimania 2024 - Lviv - Day 3 - AffCom meets community.webm|256px|right|thumb|AffCom session at Wikimania 2024]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 3|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 3}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Strategy Updates|Implementation status of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Togo, Wayúu, and Singapore user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimania]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Administrative_Updates|Results of the officers elections]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Upcoming AffCom Events|AffCom at WikiIndaba and a strategy meetup]] Other Movement News: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Other_Movement_News|Regional conferences, mental health support, and new committee support inbox]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:55, 7 Oktoba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27273724 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (October-December 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Affiliations Committee 2024 05.jpg|256px|right|thumb|AffCom at its Strategic Retreat in Frankfurt]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 4}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Strategy Updates|Notes from the 2024 AffCom strategic retreat]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Recognition and Derecognition|User group application pause lifted]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue4_#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at WikiIndaba]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom_Administrative_Updates|Mari Avetisyan appointed new AffCom secretary]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 03:04, 5 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28060527 --> == Tungependa kusikia kuhusu uzoefu wako kuhusu Akaunti za Muda == <section begin="body"/> [[File:Temporary Accounts - first edit popup.png|thumb]] '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_e2MNLeWJU89pNTo Utafiti huu hautachukua zaidi ya dakika 5 kukamilisha.]''' Timu ya Trust & Safety Product hivi karibuni iliunda [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|akaunti za muda]] zinapatikana kwenye miradi ya wiki 12. Kuna mipango ya kupanua hili kwa seti kubwa ya miradi ya wiki katika wiki na miezi ijayo, kisha kufuata mchakato wa kutekeleza kikamilifu baadaye mwaka huu. Ushiriki wako katika utafiti huu utakuwa na manufaa makubwa katika kutusaidia kuelewa jinsi Akaunti za Muda zinavyofanya kazi na kile tunachoweza kuboresha mbele. Sera ya faragha ya utafiti huu inaweza kuonwa [[foundation:Special:MyLanguage/Legal:Temp_Accounts_Minor_Pilots_Survey_Privacy_Statement|kupitia kiungo hiki]]. Kwa kumaliza utafiti huu, unakubali masharti yaliyoainishwa katika sera ya faragha. Asante!<section end="body"/> [[User:SGrabarczuk (WMF)|SGrabarczuk (WMF)]] ([[User talk:SGrabarczuk (WMF)|<span class="signature-talk">majadiliano</span>]]) 02:50, 27 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:SGrabarczuk (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:SGrabarczuk_(WMF)/sandbox/8&oldid=28315571 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (January-March 2025)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:WMB meeting in Belo Horizonte in 2023 (day 02) 059.jpg|256px|right|thumb|Wikimedia Brasil, the latest chapter to be recognized by AffCom]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 5}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Wikimedia Brasil and four user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue 5#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia+Libraries and Wikisource conferences]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom_Administrative_Updates|Welcoming new AffCom voting and advisory members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Upcoming_AffCom_Events|AffCom at ESEAP Strategy Summit]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 01:30, 26 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28324741 --> == Faulty editing == [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mary_Lazarus&diff=1148956&oldid=1143252 PURE VANDALISM] - no wikilinks inside reference parameters! [[Maalum:Michango/&#126;2025-52117|&#126;2025-52117]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52117|talk]]) 08:33, 4 Mei 2025 (UTC) :Dear 2025-52117, :Thank you for your reminder, and I appreciate your effort in reviewing the wiki pages. Just to clarify, the edits were made about four years ago, when I was still new to Wikipedia. At that time, I didn’t have much experience, so I may have made mistakes without realizing it. :In the meantime, I believe there is no need to use harsh language to criticize someone. Pointing out issues in a respectful manner would be more constructive. :Amani kwako '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:52, 4 Mei 2025 (UTC) ::@[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] Wakuongea kwa ustaarabu hao temp account? Utasubiri sana. Siwapendi hao temp kupita maelezo. Ni vile WMF imeamua lakini hapa kwetu wafungiwe tu. Wanatusumbua sana. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 20:55, 4 Mei 2025 (UTC) :::Sorry for being so upset! Don't ask - Don't tell!, After UNJUST losing of several "InternetBuddy" accounts to itchy meta sexual abuse hunters, I resort only to temporary accounts, 75% of them are mine. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52533|&#126;2025-52533]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52533|talk]]) 06:55, 5 Mei 2025 (UTC) :::[[Maalum:Michango/I_like_peace_and_quiet]], [[Maalum:Michango/I_like_quiet_and_peace]], [[Maalum:Michango/Norbilian]], [[Maalum:Michango/Nailibron]], and others, very same history, but at other times. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52246|&#126;2025-52246]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52246|talk]]) 07:57, 5 Mei 2025 (UTC) ::::Naona kweli ni wasumbufu na wanatia kero kweli; kwetu huku hata wasiwepo tu. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:32, 5 Mei 2025 (UTC) :::::[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Polandi&diff=1414098&oldid=1414088 Real Annoyance]. [[Maalum:Michango/&#126;2025-53157|&#126;2025-53157]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-53157|talk]]) 08:17, 6 Mei 2025 (UTC) == Asante sana kwa BAN-ana == Asante sana kwa BAN-na. Ninashukuru kwa elimu uliyonipatia kuhusu namna bora ya kuunda makala kwa kufuata muundo wa Wikipedia. Nimejifunza umuhimu wa maudhui kwa vichwa vya habari kama "Lugha", "Mila na Desturi", "Dini", n.k. ili kurahisisha usomaji na uelewa. Nitazingatia ushauri wako na kufanya marekebisho katika makala nilizoandika tayari kabla ya kuchapisha nyingine mpya. Nathamini sana juhudi zenu za kuhakikisha ubora wa maudhui ya Kiswahili kwenye Wikipedia. Ahsante Sana, '''[[Mtumiaji:Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alexander Rweyemamu|majadiliano]])''' 10:19, 12 Julai 2025 (UTC) r3x57xfemac6s16ol8h4flrohzrga4e 1437162 1437161 2025-07-12T10:23:36Z Alexander Rweyemamu 80072 /* Asante sana kwa BAN-ana */ 1437162 wikitext text/x-wiki {{karibu}}--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:30, 19 Desemba 2020 (UTC) ==Kuhusu Uhariri== Habari ndugu Anuary Rajabu Hongera sana kwa jitihada zako za kuhariri katika Wikipedia ya Kiswahili, jaribu kupitia sana ukurasa wa mabadiliko ya karibuni ili kuweza kuona baadhi ya makala zako na namna zinavyoendelea kuboreshwa, na utumie maboresho hayo katika makala zako nyingine. Amani sana kwako. Idd ninga'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:58, 23 Mei 2021 (UTC) ==Volkeno== Ndugu naona tunaingiliana kwenye makala kuhusu [[Chamko la volkeno]]. Sijamaliza bado. Ushauri ni: uangalie historia ya makala; kama imehaririwa dakika chache zilizopita, kuna uwezekano mhariri bado anaendelea.. Kwa hiyo heri kusibiri hadi kesho. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 25 Mei 2021 (UTC) :Ooh Sawa kiongozi nimekuelwa Samahani kwa hilo, Nitafanya hivo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:17, 25 Mei 2021 (UTC) ==Jina la Mtu== Salamu Anuary Rajabu Unaweza kuangalia katika makala zako zenye majina ya watu na kuona baadhi ya mabadiliko hasa ya masahihisho ya jina, kwa kawaida unapoandika jina la mtu inafaa kabisa jina liandikwe kwa herufi kubwa badala ya ndogo, unaweza kuona namna majina ya makala zako yalivyobadilishwa, hongera kwa juhudi unazofanya, endelea kujifunza zaidi, [[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]]) == Nimekuzuia siku 3 == Ndugu, uliondoa vigezo vya umaarufu, vyanz na futa kutoka ukurasa wa [[Melody Mbassa]], bila maelezo yoyote. Hapa umeingilia katika kazi ya usimamizi wa wikipedia hii. Nimekuzuia sasa kwa siku 3, huwezi kuhariri kwa siku hizo. Unaweza kujieleza kwenye ukurasa huu hapa. Ukiweza kutaja sababu zinazoeleweka naweza kuondoa kizuizi.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:41, 28 Mei 2021 (UTC) Naomba kusamehewa,nilikua sijui kuhusu hilo lakini kwa kuwa kiongozi wangu ameweza kunielekeza kuhusu hilo, sitoweza kufanya hivo tena kwani mie sio mjuzi sana katika uhariri wa makala. Hivo nimeweza kujifunza. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 09:07, 28 Mei 2021 (UTC) :Asante kwa kujibu. Nimekufungua. Ila bado hujasema kwa nini uliondoa vigezo vile? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:57, 28 Mei 2021 (UTC) == Can you help me correct an article? Thank you! == Hello, {{Ping|Anuary Rajabu}}! I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ... Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:11, 19 Juni 2021 (UTC) ==Marekebisho== Salamu Anuary, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Entisar_Elsaeed kuna sehemu umeandika kuwa Entisari ni mwanaharakati wa kutetea Wanawake, lakini katika makala hii ukasema kuwa Elsaeed na taasisi yake walilenga katika kuongeza unyanyasaji wa wanawake majumbani, nafikiri kuwa ulitaka kuandika kupunguza, sasa cha kufanya pitia makala yake ni kuifanyia marekebishom, tazama katika makala ya kiingereza nini kilichoandikwa,Amani sana'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 18:34, 9 Machi 2022 (UTC) :sawa kiongozi nimeelewa nitafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:47, 10 Machi 2022 (UTC) ==Hongera== Anuary naona siku hizi unaleta michango mingi yenye thamani. Naona umeshika vizuri fomati ya wikipedia. Nakupa Hongera! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 16 Machi 2022 (UTC) :Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 11:34, 16 Machi 2022 (UTC) ::Pamoja na pongezi, naomba uangalie makala zenyewe: kweli tunahitaji kutetea ushoga? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:13, 29 Machi 2022 (UTC) :::Asante kwa kufanyia doria makala nyingi. Mimi nimezidiwa. Ila naomba uondoe tanbihi za Wikipedia ya Kiingereza na hasa jamii nyingi mno. Unakuta makala ya mwanamuziki wa Nigeria ina jamii:Sanaa ya Afrika! kama si Jamii:Afrika! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 4 Mei 2022 (UTC) ::::Asante sana, nitajitahidi kufanya hivyo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:31, 4 Mei 2022 (UTC) == JAMII za Muziki Aziingiliani na michezo == Amani kwako ndugu, kuwa makini wakati unachagua jamii ya kuweka kwenye makala,acha kuunganisha jamii ya muziki na makala za mchezo wa Mpira wa miguu. '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 19:41, 14 Mei 2022 (UTC) :Asante kwa ukumbusho nadhani ni suala la kujisahau tu katika ukopiji wa jamii wakati wa kuchapisha makala, hivo nitazipitia makala zangu zote ili kurekebisha makosa hayo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:54, 14 Mei 2022 (UTC) == Feminism and Folklore 2022 - Local prize winners == <div style="border:8px brown ridge;padding:6px;> [[File:Feminism and Folklore 2022 logo.svg|centre|550px|frameless]] ::<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations for winning a local prize in '''[[:m:Feminism and Folklore 2022/Project Page|Feminism and Folklore 2022]]''' writing competition. Thank you for your contribution and documenting your local folk culture on Wikipedia. Please fill in your preferences before 15th of June 2022 to receive your prize. Requesting you to fill [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this form] before the deadline to avoid disappointments. Feel free to [[:m:Feminism and Folklore 2022/Contact Us|contact us]] if you need any assistance or further queries. Best wishes, [[:m:Feminism and Folklore 2022|FNF 2022 International Team]] ::::Stay connected [[File:B&W Facebook icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[File:B&W Twitter icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] </div></div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 07:50, 22 Mei 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23312270 --> == Reminder to provide information - Feminism and Folklore 2022 == Dear User The Google form to submit information of winners during the 2022 edition of Feminism and Folklore 2022 end on 10th of June 2022. Please be informed that you will loose your prize once the deadline for sending information ends. We humbly urge you to kindly fill the form using [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this link] as soon as possible. Feel free to contact us on mail or talkpage if you have any difficulties. Thank you for understanding! Regards International Team Feminism and Folklore 2022 '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:38, 5 Juni 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23364696 --> == Mipira ya samaki == Salamu Anuary. Ukichangia makala unafuata mabadiliko katika makala haya na kusoma majadiliano yake? Niliweka maoni yangu na swali kwenye [[Majadiliano:Mipira ya samaki]] (angalia hapo chini). Bado ninangoja jibu lako. Mipira wa samaki ni tafsiri isiyofaa kwa "fish balls". Maana ya mpira kwanza ni "rubber", kwa hivyo ikiwa maana yake ni "ball" hiyo ball ni aina ya rubber au labda ya plastiki. Kwa ujumla, "food ball" ni tonge kwa Kiswahili, au kitonge ikiwa ni dogo. "Meat ball" ni kababu, kwa hivyo labda tutumie hii kwa "fish ball" pia. Mnapendelea neno gani? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 06:00, 22 Juni 2022 (UTC) :Asante sana Chriko kwa ukumbusho wako mzuri, hakika kweli Mipira ya samaki sio tafsiri thabiti ya "fish ball", hivyo katika kuchangia kwangu uhariri wa makala hiyo sikuweza kupitia huo ujumbe wako ulioacha. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 02:16, 23 Juni 2022 (UTC) == Tena jamii == Asante kwa kutekeleza masahihisho. Sasa mfano wa [[Alfred Dan Moussa]]. Umemweka kwa "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" PIA "Watu wa Cote d'Ivoire". Hii ya pili ni bure. "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" umeanzisha kama jamii mpya, sasa unahitaji kufungua ukurasa wake (bofya jina jekundu tu) na ndani yake unaandika (katika mabano mraba) "Watu wa Cote Cote d'Ivoire" halafu pia jamii husika ya wanahabari. Uitafute tu, utakuta jina tofauti kidogo "Jamii:Waandishi wa habari". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 26 Julai 2022 (UTC) :Ahsante sana kwa ukumbusho wako mzuri, lakini makala hii sikuianzisha mimi, hivo mie nimefanya masahihisho tu katika makala. :Pia katika suala la kuongeza, kupunguza na masahihisho ya jamii niliogopa kuingilia majukumu ndio maana niliacha kama nilivyokuta, kwani nafahamu hilo ni jukumu la mkabidhi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 05:02, 27 Julai 2022 (UTC) ==[[Sage Steele]]== Ndugu, hongera kwa juhudi zako. Ila unapotaka kuchangia ukurasa fulani, usianze na moja. Kwa mfano huo hapo juu ulikata viungo na maandishi mazuri. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:07, 31 Julai 2022 (UTC) :ukarasa huo ulikua hauna vyanzo na pia baadhi ya maudhui yalikua hayaendani na makala ya kiingereza, hivo ndio nilikua najaribu kuongeza vyanzo kwa kuanza kuandika upya, lakini baadhi ya vitu kama jamii na picha nimerejesha kama awali ilivyokua. :Unaweza kuupitia sasa hivi ukaona. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 06:16, 31 Julai 2022 (UTC) ::Sawasawa, ila kumbuka si lazima ukurasa wa Kiswahili ufanane na ule wa Kiingereza! Kwa mfano kwa Kiswahili nadhani hatusemi sana "mtangazaji mwanamke" bali ni "mwanamke mtangazaji" au "mtangazaji wa kike". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:52, 31 Julai 2022 (UTC) :::Ahsante sana kwa kunipatia uelewa ambao nilikua sina hapo awali, hivo nitayafanyia kazi yote haya kuhakikisha kuwa makala zinakua bora zaidi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 07:00, 31 Julai 2022 (UTC) ==Kukaribisha watumiaji wapya== Habari nimeona umefanya kazi sana kuwakaribisha waliojiandikisha, asante sana!! Ila sasa naona umeanza kukaribisha pia URL. Sitaki kukuzuia, ukiwa nba muda mwingi endelea tu. Ila tu faida yake si kubwa sana. Maana wengi wanaingia kwa [[URL]] tofautitofauti zinazoweza kubadilika. Hapo ni sababu kwa kawaida hatuifanyi. Ila ni chaguo lako. [[Maalum:Michango/2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19|2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19]] 12:47, 16 Agosti 2022 (UTC) ::Kumbe safari hii nilingia pia kwa URL fulani ! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:49, 16 Agosti 2022 (UTC) :Asante sana kwa kunikumbusha na kunielekeza hapa nimeelewa. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:34, 16 Agosti 2022 (UTC) == Kuongeza jamii == Habari, naona umeongeza jamii kwenye makala zilizokosa jamii za maana (zote zilipangwa chini ya "amani" pekee, ambayo haisiaidii kitu. Ila umeweka "mbegu za watu" ambayo haisaidii vilevile (ningependa kuifuta lakini ziko nyingi mno tayari, heri tuache kuitumia). Maana kusudi la jamii ni kuainisha makala na kupanga makala ambazo mada zinafanana. Njia bora ni kuona kama makala iko kwenye enwiki na kuchagua jamii za huko; hii inahitaji muda kidogo maana unahitaji kupeleleza kwanza kama jamii iko kwa Kiswahili, halafu utaitumia, au unaanza jamii mpya. Kwa vyote tazama [[Msaada:Jamii]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:42, 20 Agosti 2022 (UTC) :Asante ndugu Kipala kwa kunielekeza kile ambacho nilikua sikifahamu hapo awali, lakini sasa nimefahamu hivyo sitofanya hivyo tena na nitajaribu kuzipitia makala zote ambazo niliziwekea jamii hiyo na wakati mwingine takua mdadisi kwanza kabla ya kuweka jamii husika. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:24, 20 Agosti 2022 (UTC) ::Asante kwa jibu zuri. Sitaki kukusumbua nafurahi kamba unajifunza haraka na kuboresha wikipedia yetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:24, 20 Agosti 2022 (UTC) :::Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:29, 20 Agosti 2022 (UTC) ==Tafadhali uwe macho makala zilizotafsiriwa kwa kompyuta== Habari naona ulijitahidi kusahihisha makala kadhaa ambazo niliangalia baadaye na kuzipendekeza kwa ufutaji (k.v. [[Itifaki ya Mitandao ya Kijamii iliyosambazwa]], [[Ufahamu wa mazingira]]. Ukiona matini ni vigumu nashukuru ukihakikisha kama ni tafsiri ya kompyuta. Wengine kama Mwambashi901 hawaonyeshi interwiki; mara nyingi ni rahisi kutambua makala ya enwiki waliyojaribu kutafsri, kwa kumwaga jina la makala katika google translate (maana huko walichukua jina). Mimi hutumia google translate kutafsiri sehemu ya kwanza kutoka enwiki kwenda sw, halafu nalinganisha kwenye ukurasa wa word pande zote kandokando (natumia jeswali). Nikiona A) matini imepokelewa neno kwa neno kutoka google, na B) Kiswahili kina kasoro, makosa au hakieleweki, ninaamua kama naweza kuisahihisha (au kama ninapenda kutumia muda wangu kwa jambo hili) halafu C) ama ninasahihisha au D) ninabandika kigezo cha <nowiki>{{futa}}</nowiki> na kuandikisha makala katika orodha ya [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] (kwa kubofya link yake), ambako mwingine ataiangalia na kuamua. Kwa jumla uone [[Msaada:Tafsiri_ya_kompyuta]]. Nitashukuru ukiweza kusaidia kutambua makala zenye lugha na tafsiri mbaya. Tumepata idadi kubwa ya makala kupitia google translate na tokeo lake ni kweli hatari kwa ajili ya wikipedia hiyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:16, 8 Septemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa maelekezo yako na nimekuelewa vizuri sana, hivyo kuanzia sasa tajitahidi niwe napitia vema makala hasa za watumiaji wapya ambao ndio wanaanza kachangia katika Wikipedia ya kiswahili na pia baadhi ya watumiaji wengine ambapo makala zao zinakua na dalili ya kutungwa na kompyuta na makosa mengine mbalimbali. :Lakini pia naomba kujua je, nikikutana na makala yenye dalili ya kutungwa na kompyuta nina ruhusiwa pia kuweka alama ya "Tafsiri ya Kompyuta" au hiyo inaruhusiwa kwa "Wakabidhi" tu? '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:03, 8 Septemba 2022 (UTC) ::ukiona dalili weka alama tu. Pia pendekezo la "futa". Maazimo ya baadaye yatachukuliwa na wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:20, 8 Septemba 2022 (UTC) :::Sawa asante sana nimeelewa nitajitahidi kuwa nafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:57, 8 Septemba 2022 (UTC) == Dead links == Habari, asante kwa kusafisha dead links. Kwa jumla si vibaya tukichungulia kama hiyo link imehamishwa kabla ya kufuta tu. Wakati mwingine inasadia kutafuta kwa google jina la makala inayotajwa . ---- Pamoja na hayo je umeshapiga kura ukurasa wa Jumuiya? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:47, 9 Novemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa kuniewesha kwani hapo awali nilijua hazina maana yoyote, sasa nimeelewa. Ndio kura nimeshapiga tayari kwenye ukurasa wa Jumuiya. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 13:57, 9 Novemba 2022 (UTC) ::Samahani kwa kuingilia majadiliano hayo, mimi pia najitahidi kuondoa dead links, kumbe ni afadhali tuziache? Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:58, 11 Novemba 2022 (UTC) :::Bila ya samahani, hakika asante sana kwa kuchangia, kwa mujibu wa ndugu @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ni afadhali tuziache au kabla ya kuifuta ni bora kuichungulia kwanza kama haijahamishwa '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:17, 11 Novemba 2022 (UTC) ::::Ushauri wangu ni: kama ziko bure, tuzifute tu. Lakini mimi naona mara kadhaa marejeo yaleyale yanapatikana kwa anwani tofauti, nikitafuta jina la faili katika google. Inachukua muda zaidi kuchungulia, kwa hiyo kila mmoja anapaswa kuamua mwenyewe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:06, 11 Novemba 2022 (UTC) :::::Sawa sawa hapo nimeelewa na hata ndugu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] natumaini nayeye ameelewa labda kama analo la kuongezea. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:24, 11 Novemba 2022 (UTC) == Sending regards and few questions to ask... == Hello, if I may I will shift to Kiswahili. Ni kwamba asante kwa ukaribisho Mzuri kutoka juu na pia ya kuongeza asante hata kwa university wikimedians kwa kunipa nafasi ya kujiunga katika platform hii ya wikipedia... Niko ma swali, mona ni kwamba inakuaje kama nitahitaji kuweka picha na hio picha haipo kwenye platform yeyote ya wikipedia but only inapatikana kwenye mtandao mara nyingine kwenye tovuti kuu husina inayoshikiria hati miliki. Na pili nimeweza kuweka picha pamoja na taarifa kwa kiufupi kama inavoonekana kwenye makala za watu au makampuni. Ni hayo tu, Shukran sana na nitakua pamoja na nyie. Denis R. John [[Maalum:Michango/196.249.97.46|196.249.97.46]] 19:29, 27 Novemba 2022 (UTC) :Salaam ndugu, :Asante sana kwa swali lako zuri na karibu sana kwenye Wikipedia ya kiswahili, hivyo kwa mujibu wa taratibu za Wikipedia huzingatia sana faragha za mtu binafsi, kwahivyo huruhusiwi kuchukua picha ya kitu au mtu au media yeyote kutoka kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii na kuweza kuitumia kwenye makala za wikipedia bila ya ridhaa ya mmiliki husika. :Na ili kuweza kutumia picha husika kwenye makala za wikipedia, kwanza kabisa inakupasa kuipakia kwenye jukwaa la Wikimedia Commons kwa kuzingatia taratibu zote za faragha za mmiliki wa picha au media husika au kama picha au media hiyo uliipiga au kuandaa wewe mwenyewe pia bila ya kupitia huko kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii. :Asante,amani kwako. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:34, 30 Novemba 2022 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating these pages in your languages would be highly appreciated. Currently the following pages are available for translation: *[[wikimania:2023:Contact]] *[[wikimania:2023:Expo space]] *[[wikimania:2023:Glossary]] *[[wikimania:2023:Ideas]] *[[wikimania:2023:Ideas/Globe]] *[[wikimania:2023:Organizers]] *[[wikimania:2023:Program]] *[[wikimania:2023:Travel]] *[[wikimania:2023:Updates]] *[[wikimania:2023:Volunteer]] *[[wikimania:2023:Volunteer signup]] *[[wikimania:2023:Wikimania]] *[[wikimania:Template:Wikimania 2023 header]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[<tvar name="mass-delivery">Special:MyLanguage/Global message delivery</tvar>|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:14, 28 Desemba 2022 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24285311 --> == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating the following pages in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Health]] *[[wikimania:2023:Scholarship Questions]] *[[wikimania:2023:Scholarships]] *[[wikimania:2023:Scholarships/FAQ]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Samples]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Travel Scholarship application]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee/Request for Proposal]] *[[wikimania:2023:Visas]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:50, 22 Januari 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24413464 --> :Habari '''[[Mtumiaji:SISTY MUSHISA|SISTY MUSHISA]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SISTY MUSHISA|majadiliano]])''' 11:26, 17 Februari 2023 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. Your help with translating the following pages on Wikimania wiki in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Attendees]] *[[wikimania:2023:Program Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Program/FAQ]] *[[wikimania:2023:Program/Form Questions]] *[[wikimania:2023:Program/Submissions]] *[[wikimania:2023:Satellite events]] *[[wikimania:2023:Scholarship Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Socialize]] *[[wikimania:2023:Travel Coordination]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 09:40, 4 Machi 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24656834 --> ==Makala kuhusu Analog Pussy== Ndugu nmeona pitio lako katika makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Analog_Pussy,na ningependa kujua je kundi la muziki lenye kufanya kazi za muziki sindo kundi la wanamuziki?,ningependa kujua juu ya hilo ili makosa kama hayo yasijirudie. Amami sana '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 19:33, 14 Aprili 2023 (UTC) :Yote ni sahihi lakini tukisema kundi la wanamuziki, hapo naona inakua inaleta maana nzuri zaidi kwa sababu inajumuisha muunganiko wa watu fulani kwenye kazi ya muziki, kuliko tukisema kundi la muziki (ambapo hapa mwingine anaweza kufafanua kama mjumuisho wa aina fulani za muziki n.k) '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:29, 14 Aprili 2023 (UTC) :Sawa sawa '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 22:04, 14 Aprili 2023 (UTC) == Feminism and Folklore 2023 - Local prize winners == [[Faili:Feminism_and_Folklore_2023_logo.svg|center|frameless|550x550px]] :: <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"></div> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations on your remarkable achievement of winning a local prize in the '''Feminism and Folklore 2023''' writing competition! We greatly appreciate your valuable contribution and the effort you put into documenting your local Folk culture and Women on Wikipedia. To ensure you receive your prize, please take a moment to complete the preferences form before the 1st of July 2023. You can access the form [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdWlxDwI6UgtPXPfjQTbVjgnAYUMSYqShA5kEe4P4N5zwxaEw/viewform?usp=sf_link by clicking here]. We kindly request you to submit the form before the deadline to avoid any potential disappointments. If you have any questions or require further assistance, please do not hesitate to contact us via talkpage or Email. We are more than happy to help. Best wishes, [[metawiki:Feminism and Folklore 2023|FNF 2023 International Team]] :::: Stay connected [[Faili:B&W_Facebook_icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[Faili:B&W_Twitter_icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] --'''[[Mtumiaji:Tiven2240|Tiven2240]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tiven2240|majadiliano]])''' 13:30, 10 Juni 2023 (UTC) == Organizer Tools Office Hours & Event Discovery Project == ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/fr|Lire ce message en français]])'''; ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/es|Ver este mensaje en español]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/sw|Angalia ujumbe huu kwa Kiswahili]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/ar|إقرأ هذه الرسالة بالعربي]]''') <small> {{int:please-translate}} </small>. [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team|The Campaigns team]] at the Wikimedia Foundation has some updates to share with you, which are: We invite you to attend our upcoming community office hours to learn about organizer tools, including the [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration|Event registration tool]] (which has [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration#September 18, 2023: October office hours & upcoming features|new and upcoming features]]). '''The office hours are on the following dates, and you can join one or both of them:''' *'''Saturday, October 7 at 12:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session A|Register here]]''') **Languages available: Arabic, English, French, Swahili *'''Tuesday, October 10 at 18:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session B|Register here]]'''). **Languages available: Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Swahili '''We have launched a new project: [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|Event Discovery]]'''. This project aims to make it easier for editors to learn about campaign events. '''We need your help to understand how you would like to discover events on the wikis, so that we can create a useful solution. Please share your feedback on our [[m:Talk:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|project talk page]]'''. ; Thank you, and we hope to see you at the upcoming office hours! [[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[User talk:MediaWiki message delivery|talk]]) 19:54, 24 Septemba 2023 (UTC) <small>You are receiving this message because you subscribed to this [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Subscribers|list]]</small> <!-- Message sent by User:EUwandu-WMF@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=25632558 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (January-March 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Group photo - Edu Wiki conference 2023, Belgrade, Serbia.jpg|256px|right|thumb|Group photo of the 2023 EduWiki Conference in Belgrade, organized by Wikipedia & Education User Group]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 1}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> '''Affiliate Recognition and Derecognition''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Recognition_and_Derecognition|Recognition of Cyprus, Botswana, Niger, and Telugu user groups]] '''Affiliate Activities Report''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Activities_Report|Reports from Belgium, South African, and Ukrainian chapters]] '''AffCom Movement Contribution''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement with the new Affiliates Strategy and Movement Charter drafts]] '''AffCom Administration''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Administration|New AffCom members and advisors]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:56, 18 Aprili 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=26293156 --> == Ukumbusho kuhusu kupiga kura sasa ili kuchagua washiriki wa U4C ya awamu ya kwanza == <section begin="announcement-content" /> :''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder|Unaweza kupata ujumbe huu ukiwa umetafsiriwa katika lugha za ziada kwenye Meta-wiki.]] [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]'' Ndugu Mwanawikimedia, Unapokea ujumbe huu kwa sababu hapo kabla uliwahi kushiriki katika mchakato wa UCoC. Huu ni ukumbusho kwamba kipindi cha kupiga kura kwa Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) kitamalizika tarehe 9 Mei 2024. Soma maelezo kwenye [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024|ukurasa wa kupiga kura kwenye Meta- wiki]] ili kupata maelezo zaidi kuhusu upigaji kura na ustahiki wa mpiga kura. Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) ni kikundi cha kimataifa kilichojitolea kutoa utekelezaji sawa na thabiti wa UCoC. Wanajamii walialikwa kutuma maombi yao kwa U4C. Kwa maelezo zaidi na majukumu ya U4C, tafadhali [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Charter|pitia Mkataba wa U4C]]. Tafadhali washirikishe ujumbe wanajumuiya wenzako ili nao waweze kushiriki. Kwa niaba ya timu ya mradi wa UCoC,<section end="announcement-content" /> [[m:User:RamzyM (WMF)|RamzyM (WMF)]] 22:54, 2 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Universal_Code_of_Conduct/Coordinating_Committee/Election/2024/Previous_voters_list_3&oldid=26721208 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (April-June 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimedia-Summit-2024-Friday-128.jpg|256px|right|thumb|AffCom group photo at Wikimedia Summit 2024 in Berlin, Germany]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 2|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 2}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Updates: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Strategy Updates|Adoption of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Madagascar, Senegal, Republic of Congo, and Namibia user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom Conflict Intervention|Six active conflicts, no new reports for Q4]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia Summit and ESEAP Conference]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Administration|Officers elections and departing members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Upcoming AffCom Events|AffCom at Wikimania 2024]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:30, 15 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27021225 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (July-September 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimania 2024 - Lviv - Day 3 - AffCom meets community.webm|256px|right|thumb|AffCom session at Wikimania 2024]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 3|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 3}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Strategy Updates|Implementation status of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Togo, Wayúu, and Singapore user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimania]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Administrative_Updates|Results of the officers elections]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Upcoming AffCom Events|AffCom at WikiIndaba and a strategy meetup]] Other Movement News: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Other_Movement_News|Regional conferences, mental health support, and new committee support inbox]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:55, 7 Oktoba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27273724 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (October-December 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Affiliations Committee 2024 05.jpg|256px|right|thumb|AffCom at its Strategic Retreat in Frankfurt]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 4}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Strategy Updates|Notes from the 2024 AffCom strategic retreat]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Recognition and Derecognition|User group application pause lifted]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue4_#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at WikiIndaba]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom_Administrative_Updates|Mari Avetisyan appointed new AffCom secretary]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 03:04, 5 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28060527 --> == Tungependa kusikia kuhusu uzoefu wako kuhusu Akaunti za Muda == <section begin="body"/> [[File:Temporary Accounts - first edit popup.png|thumb]] '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_e2MNLeWJU89pNTo Utafiti huu hautachukua zaidi ya dakika 5 kukamilisha.]''' Timu ya Trust & Safety Product hivi karibuni iliunda [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|akaunti za muda]] zinapatikana kwenye miradi ya wiki 12. Kuna mipango ya kupanua hili kwa seti kubwa ya miradi ya wiki katika wiki na miezi ijayo, kisha kufuata mchakato wa kutekeleza kikamilifu baadaye mwaka huu. Ushiriki wako katika utafiti huu utakuwa na manufaa makubwa katika kutusaidia kuelewa jinsi Akaunti za Muda zinavyofanya kazi na kile tunachoweza kuboresha mbele. Sera ya faragha ya utafiti huu inaweza kuonwa [[foundation:Special:MyLanguage/Legal:Temp_Accounts_Minor_Pilots_Survey_Privacy_Statement|kupitia kiungo hiki]]. Kwa kumaliza utafiti huu, unakubali masharti yaliyoainishwa katika sera ya faragha. Asante!<section end="body"/> [[User:SGrabarczuk (WMF)|SGrabarczuk (WMF)]] ([[User talk:SGrabarczuk (WMF)|<span class="signature-talk">majadiliano</span>]]) 02:50, 27 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:SGrabarczuk (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:SGrabarczuk_(WMF)/sandbox/8&oldid=28315571 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (January-March 2025)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:WMB meeting in Belo Horizonte in 2023 (day 02) 059.jpg|256px|right|thumb|Wikimedia Brasil, the latest chapter to be recognized by AffCom]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 5}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Wikimedia Brasil and four user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue 5#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia+Libraries and Wikisource conferences]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom_Administrative_Updates|Welcoming new AffCom voting and advisory members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Upcoming_AffCom_Events|AffCom at ESEAP Strategy Summit]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 01:30, 26 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28324741 --> == Faulty editing == [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mary_Lazarus&diff=1148956&oldid=1143252 PURE VANDALISM] - no wikilinks inside reference parameters! [[Maalum:Michango/&#126;2025-52117|&#126;2025-52117]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52117|talk]]) 08:33, 4 Mei 2025 (UTC) :Dear 2025-52117, :Thank you for your reminder, and I appreciate your effort in reviewing the wiki pages. Just to clarify, the edits were made about four years ago, when I was still new to Wikipedia. At that time, I didn’t have much experience, so I may have made mistakes without realizing it. :In the meantime, I believe there is no need to use harsh language to criticize someone. Pointing out issues in a respectful manner would be more constructive. :Amani kwako '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:52, 4 Mei 2025 (UTC) ::@[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] Wakuongea kwa ustaarabu hao temp account? Utasubiri sana. Siwapendi hao temp kupita maelezo. Ni vile WMF imeamua lakini hapa kwetu wafungiwe tu. Wanatusumbua sana. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 20:55, 4 Mei 2025 (UTC) :::Sorry for being so upset! Don't ask - Don't tell!, After UNJUST losing of several "InternetBuddy" accounts to itchy meta sexual abuse hunters, I resort only to temporary accounts, 75% of them are mine. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52533|&#126;2025-52533]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52533|talk]]) 06:55, 5 Mei 2025 (UTC) :::[[Maalum:Michango/I_like_peace_and_quiet]], [[Maalum:Michango/I_like_quiet_and_peace]], [[Maalum:Michango/Norbilian]], [[Maalum:Michango/Nailibron]], and others, very same history, but at other times. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52246|&#126;2025-52246]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52246|talk]]) 07:57, 5 Mei 2025 (UTC) ::::Naona kweli ni wasumbufu na wanatia kero kweli; kwetu huku hata wasiwepo tu. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:32, 5 Mei 2025 (UTC) :::::[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Polandi&diff=1414098&oldid=1414088 Real Annoyance]. [[Maalum:Michango/&#126;2025-53157|&#126;2025-53157]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-53157|talk]]) 08:17, 6 Mei 2025 (UTC) == Asante sana kwa BAN-ana == Asante sana kwa BAN-ana. Ninashukuru kwa elimu uliyonipatia kuhusu namna bora ya kuunda makala kwa kufuata muundo wa Wikipedia. Nimejifunza umuhimu wa maudhui kwa vichwa vya habari kama "Lugha", "Mila na Desturi", "Dini", n.k. ili kurahisisha usomaji na uelewa. Nitazingatia ushauri wako na kufanya marekebisho katika makala nilizoandika tayari kabla ya kuchapisha nyingine mpya. Nathamini sana juhudi zenu za kuhakikisha ubora wa maudhui ya Kiswahili kwenye Wikipedia. Ahsante Sana, '''[[Mtumiaji:Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alexander Rweyemamu|majadiliano]])''' 10:19, 12 Julai 2025 (UTC) 93438uy369m3hgu41bvyp7qzs9sr1pn 1437163 1437162 2025-07-12T10:33:44Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:~2025-53157|~2025-53157]] 1420221 wikitext text/x-wiki {{karibu}}--'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:30, 19 Desemba 2020 (UTC) ==Kuhusu Uhariri== Habari ndugu Anuary Rajabu Hongera sana kwa jitihada zako za kuhariri katika Wikipedia ya Kiswahili, jaribu kupitia sana ukurasa wa mabadiliko ya karibuni ili kuweza kuona baadhi ya makala zako na namna zinavyoendelea kuboreshwa, na utumie maboresho hayo katika makala zako nyingine. Amani sana kwako. Idd ninga'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 22:58, 23 Mei 2021 (UTC) ==Volkeno== Ndugu naona tunaingiliana kwenye makala kuhusu [[Chamko la volkeno]]. Sijamaliza bado. Ushauri ni: uangalie historia ya makala; kama imehaririwa dakika chache zilizopita, kuna uwezekano mhariri bado anaendelea.. Kwa hiyo heri kusibiri hadi kesho. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:05, 25 Mei 2021 (UTC) :Ooh Sawa kiongozi nimekuelwa Samahani kwa hilo, Nitafanya hivo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:17, 25 Mei 2021 (UTC) ==Jina la Mtu== Salamu Anuary Rajabu Unaweza kuangalia katika makala zako zenye majina ya watu na kuona baadhi ya mabadiliko hasa ya masahihisho ya jina, kwa kawaida unapoandika jina la mtu inafaa kabisa jina liandikwe kwa herufi kubwa badala ya ndogo, unaweza kuona namna majina ya makala zako yalivyobadilishwa, hongera kwa juhudi unazofanya, endelea kujifunza zaidi, [[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]]) == Nimekuzuia siku 3 == Ndugu, uliondoa vigezo vya umaarufu, vyanz na futa kutoka ukurasa wa [[Melody Mbassa]], bila maelezo yoyote. Hapa umeingilia katika kazi ya usimamizi wa wikipedia hii. Nimekuzuia sasa kwa siku 3, huwezi kuhariri kwa siku hizo. Unaweza kujieleza kwenye ukurasa huu hapa. Ukiweza kutaja sababu zinazoeleweka naweza kuondoa kizuizi.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:41, 28 Mei 2021 (UTC) Naomba kusamehewa,nilikua sijui kuhusu hilo lakini kwa kuwa kiongozi wangu ameweza kunielekeza kuhusu hilo, sitoweza kufanya hivo tena kwani mie sio mjuzi sana katika uhariri wa makala. Hivo nimeweza kujifunza. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 09:07, 28 Mei 2021 (UTC) :Asante kwa kujibu. Nimekufungua. Ila bado hujasema kwa nini uliondoa vigezo vile? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:57, 28 Mei 2021 (UTC) == Can you help me correct an article? Thank you! == Hello, {{Ping|Anuary Rajabu}}! I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ... Thanks for what you can do, see you soon, --'''[[Mtumiaji:BarbaraLuciano13|BarbaraLuciano13]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:BarbaraLuciano13|majadiliano]])''' 09:11, 19 Juni 2021 (UTC) ==Marekebisho== Salamu Anuary, tazama katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Entisar_Elsaeed kuna sehemu umeandika kuwa Entisari ni mwanaharakati wa kutetea Wanawake, lakini katika makala hii ukasema kuwa Elsaeed na taasisi yake walilenga katika kuongeza unyanyasaji wa wanawake majumbani, nafikiri kuwa ulitaka kuandika kupunguza, sasa cha kufanya pitia makala yake ni kuifanyia marekebishom, tazama katika makala ya kiingereza nini kilichoandikwa,Amani sana'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 18:34, 9 Machi 2022 (UTC) :sawa kiongozi nimeelewa nitafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:47, 10 Machi 2022 (UTC) ==Hongera== Anuary naona siku hizi unaleta michango mingi yenye thamani. Naona umeshika vizuri fomati ya wikipedia. Nakupa Hongera! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 16 Machi 2022 (UTC) :Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 11:34, 16 Machi 2022 (UTC) ::Pamoja na pongezi, naomba uangalie makala zenyewe: kweli tunahitaji kutetea ushoga? Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:13, 29 Machi 2022 (UTC) :::Asante kwa kufanyia doria makala nyingi. Mimi nimezidiwa. Ila naomba uondoe tanbihi za Wikipedia ya Kiingereza na hasa jamii nyingi mno. Unakuta makala ya mwanamuziki wa Nigeria ina jamii:Sanaa ya Afrika! kama si Jamii:Afrika! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:14, 4 Mei 2022 (UTC) ::::Asante sana, nitajitahidi kufanya hivyo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:31, 4 Mei 2022 (UTC) == JAMII za Muziki Aziingiliani na michezo == Amani kwako ndugu, kuwa makini wakati unachagua jamii ya kuweka kwenye makala,acha kuunganisha jamii ya muziki na makala za mchezo wa Mpira wa miguu. '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 19:41, 14 Mei 2022 (UTC) :Asante kwa ukumbusho nadhani ni suala la kujisahau tu katika ukopiji wa jamii wakati wa kuchapisha makala, hivo nitazipitia makala zangu zote ili kurekebisha makosa hayo. Amani iwe nasi sote. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:54, 14 Mei 2022 (UTC) == Feminism and Folklore 2022 - Local prize winners == <div style="border:8px brown ridge;padding:6px;> [[File:Feminism and Folklore 2022 logo.svg|centre|550px|frameless]] ::<div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations for winning a local prize in '''[[:m:Feminism and Folklore 2022/Project Page|Feminism and Folklore 2022]]''' writing competition. Thank you for your contribution and documenting your local folk culture on Wikipedia. Please fill in your preferences before 15th of June 2022 to receive your prize. Requesting you to fill [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this form] before the deadline to avoid disappointments. Feel free to [[:m:Feminism and Folklore 2022/Contact Us|contact us]] if you need any assistance or further queries. Best wishes, [[:m:Feminism and Folklore 2022|FNF 2022 International Team]] ::::Stay connected [[File:B&W Facebook icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[File:B&W Twitter icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] </div></div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 07:50, 22 Mei 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23312270 --> == Reminder to provide information - Feminism and Folklore 2022 == Dear User The Google form to submit information of winners during the 2022 edition of Feminism and Folklore 2022 end on 10th of June 2022. Please be informed that you will loose your prize once the deadline for sending information ends. We humbly urge you to kindly fill the form using [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScK5HgvVaLph_r_afctwShUuYVtXNwaN24HUSEYnzUUho8d-Q/viewform?usp=sf_link this link] as soon as possible. Feel free to contact us on mail or talkpage if you have any difficulties. Thank you for understanding! Regards International Team Feminism and Folklore 2022 '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:38, 5 Juni 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Tiven2240@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Tiven2240/fnf&oldid=23364696 --> == Mipira ya samaki == Salamu Anuary. Ukichangia makala unafuata mabadiliko katika makala haya na kusoma majadiliano yake? Niliweka maoni yangu na swali kwenye [[Majadiliano:Mipira ya samaki]] (angalia hapo chini). Bado ninangoja jibu lako. Mipira wa samaki ni tafsiri isiyofaa kwa "fish balls". Maana ya mpira kwanza ni "rubber", kwa hivyo ikiwa maana yake ni "ball" hiyo ball ni aina ya rubber au labda ya plastiki. Kwa ujumla, "food ball" ni tonge kwa Kiswahili, au kitonge ikiwa ni dogo. "Meat ball" ni kababu, kwa hivyo labda tutumie hii kwa "fish ball" pia. Mnapendelea neno gani? '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo|majadiliano]])''' 06:00, 22 Juni 2022 (UTC) :Asante sana Chriko kwa ukumbusho wako mzuri, hakika kweli Mipira ya samaki sio tafsiri thabiti ya "fish ball", hivyo katika kuchangia kwangu uhariri wa makala hiyo sikuweza kupitia huo ujumbe wako ulioacha. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 02:16, 23 Juni 2022 (UTC) == Tena jamii == Asante kwa kutekeleza masahihisho. Sasa mfano wa [[Alfred Dan Moussa]]. Umemweka kwa "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" PIA "Watu wa Cote d'Ivoire". Hii ya pili ni bure. "Wanahabari wa Cote d'Ivoire" umeanzisha kama jamii mpya, sasa unahitaji kufungua ukurasa wake (bofya jina jekundu tu) na ndani yake unaandika (katika mabano mraba) "Watu wa Cote Cote d'Ivoire" halafu pia jamii husika ya wanahabari. Uitafute tu, utakuta jina tofauti kidogo "Jamii:Waandishi wa habari". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:52, 26 Julai 2022 (UTC) :Ahsante sana kwa ukumbusho wako mzuri, lakini makala hii sikuianzisha mimi, hivo mie nimefanya masahihisho tu katika makala. :Pia katika suala la kuongeza, kupunguza na masahihisho ya jamii niliogopa kuingilia majukumu ndio maana niliacha kama nilivyokuta, kwani nafahamu hilo ni jukumu la mkabidhi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 05:02, 27 Julai 2022 (UTC) ==[[Sage Steele]]== Ndugu, hongera kwa juhudi zako. Ila unapotaka kuchangia ukurasa fulani, usianze na moja. Kwa mfano huo hapo juu ulikata viungo na maandishi mazuri. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:07, 31 Julai 2022 (UTC) :ukarasa huo ulikua hauna vyanzo na pia baadhi ya maudhui yalikua hayaendani na makala ya kiingereza, hivo ndio nilikua najaribu kuongeza vyanzo kwa kuanza kuandika upya, lakini baadhi ya vitu kama jamii na picha nimerejesha kama awali ilivyokua. :Unaweza kuupitia sasa hivi ukaona. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 06:16, 31 Julai 2022 (UTC) ::Sawasawa, ila kumbuka si lazima ukurasa wa Kiswahili ufanane na ule wa Kiingereza! Kwa mfano kwa Kiswahili nadhani hatusemi sana "mtangazaji mwanamke" bali ni "mwanamke mtangazaji" au "mtangazaji wa kike". Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:52, 31 Julai 2022 (UTC) :::Ahsante sana kwa kunipatia uelewa ambao nilikua sina hapo awali, hivo nitayafanyia kazi yote haya kuhakikisha kuwa makala zinakua bora zaidi. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 07:00, 31 Julai 2022 (UTC) ==Kukaribisha watumiaji wapya== Habari nimeona umefanya kazi sana kuwakaribisha waliojiandikisha, asante sana!! Ila sasa naona umeanza kukaribisha pia URL. Sitaki kukuzuia, ukiwa nba muda mwingi endelea tu. Ila tu faida yake si kubwa sana. Maana wengi wanaingia kwa [[URL]] tofautitofauti zinazoweza kubadilika. Hapo ni sababu kwa kawaida hatuifanyi. Ila ni chaguo lako. [[Maalum:Michango/2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19|2003:CE:6730:1F01:2C97:DBF6:8B7:A19]] 12:47, 16 Agosti 2022 (UTC) ::Kumbe safari hii nilingia pia kwa URL fulani ! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:49, 16 Agosti 2022 (UTC) :Asante sana kwa kunikumbusha na kunielekeza hapa nimeelewa. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:34, 16 Agosti 2022 (UTC) == Kuongeza jamii == Habari, naona umeongeza jamii kwenye makala zilizokosa jamii za maana (zote zilipangwa chini ya "amani" pekee, ambayo haisiaidii kitu. Ila umeweka "mbegu za watu" ambayo haisaidii vilevile (ningependa kuifuta lakini ziko nyingi mno tayari, heri tuache kuitumia). Maana kusudi la jamii ni kuainisha makala na kupanga makala ambazo mada zinafanana. Njia bora ni kuona kama makala iko kwenye enwiki na kuchagua jamii za huko; hii inahitaji muda kidogo maana unahitaji kupeleleza kwanza kama jamii iko kwa Kiswahili, halafu utaitumia, au unaanza jamii mpya. Kwa vyote tazama [[Msaada:Jamii]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:42, 20 Agosti 2022 (UTC) :Asante ndugu Kipala kwa kunielekeza kile ambacho nilikua sikifahamu hapo awali, lakini sasa nimefahamu hivyo sitofanya hivyo tena na nitajaribu kuzipitia makala zote ambazo niliziwekea jamii hiyo na wakati mwingine takua mdadisi kwanza kabla ya kuweka jamii husika. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:24, 20 Agosti 2022 (UTC) ::Asante kwa jibu zuri. Sitaki kukusumbua nafurahi kamba unajifunza haraka na kuboresha wikipedia yetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:24, 20 Agosti 2022 (UTC) :::Asante sana. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:29, 20 Agosti 2022 (UTC) ==Tafadhali uwe macho makala zilizotafsiriwa kwa kompyuta== Habari naona ulijitahidi kusahihisha makala kadhaa ambazo niliangalia baadaye na kuzipendekeza kwa ufutaji (k.v. [[Itifaki ya Mitandao ya Kijamii iliyosambazwa]], [[Ufahamu wa mazingira]]. Ukiona matini ni vigumu nashukuru ukihakikisha kama ni tafsiri ya kompyuta. Wengine kama Mwambashi901 hawaonyeshi interwiki; mara nyingi ni rahisi kutambua makala ya enwiki waliyojaribu kutafsri, kwa kumwaga jina la makala katika google translate (maana huko walichukua jina). Mimi hutumia google translate kutafsiri sehemu ya kwanza kutoka enwiki kwenda sw, halafu nalinganisha kwenye ukurasa wa word pande zote kandokando (natumia jeswali). Nikiona A) matini imepokelewa neno kwa neno kutoka google, na B) Kiswahili kina kasoro, makosa au hakieleweki, ninaamua kama naweza kuisahihisha (au kama ninapenda kutumia muda wangu kwa jambo hili) halafu C) ama ninasahihisha au D) ninabandika kigezo cha <nowiki>{{futa}}</nowiki> na kuandikisha makala katika orodha ya [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji]] (kwa kubofya link yake), ambako mwingine ataiangalia na kuamua. Kwa jumla uone [[Msaada:Tafsiri_ya_kompyuta]]. Nitashukuru ukiweza kusaidia kutambua makala zenye lugha na tafsiri mbaya. Tumepata idadi kubwa ya makala kupitia google translate na tokeo lake ni kweli hatari kwa ajili ya wikipedia hiyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:16, 8 Septemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa maelekezo yako na nimekuelewa vizuri sana, hivyo kuanzia sasa tajitahidi niwe napitia vema makala hasa za watumiaji wapya ambao ndio wanaanza kachangia katika Wikipedia ya kiswahili na pia baadhi ya watumiaji wengine ambapo makala zao zinakua na dalili ya kutungwa na kompyuta na makosa mengine mbalimbali. :Lakini pia naomba kujua je, nikikutana na makala yenye dalili ya kutungwa na kompyuta nina ruhusiwa pia kuweka alama ya "Tafsiri ya Kompyuta" au hiyo inaruhusiwa kwa "Wakabidhi" tu? '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:03, 8 Septemba 2022 (UTC) ::ukiona dalili weka alama tu. Pia pendekezo la "futa". Maazimo ya baadaye yatachukuliwa na wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:20, 8 Septemba 2022 (UTC) :::Sawa asante sana nimeelewa nitajitahidi kuwa nafanya hivyo. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 15:57, 8 Septemba 2022 (UTC) == Dead links == Habari, asante kwa kusafisha dead links. Kwa jumla si vibaya tukichungulia kama hiyo link imehamishwa kabla ya kufuta tu. Wakati mwingine inasadia kutafuta kwa google jina la makala inayotajwa . ---- Pamoja na hayo je umeshapiga kura ukurasa wa Jumuiya? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 13:47, 9 Novemba 2022 (UTC) :Asante sana kwa kuniewesha kwani hapo awali nilijua hazina maana yoyote, sasa nimeelewa. Ndio kura nimeshapiga tayari kwenye ukurasa wa Jumuiya. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 13:57, 9 Novemba 2022 (UTC) ::Samahani kwa kuingilia majadiliano hayo, mimi pia najitahidi kuondoa dead links, kumbe ni afadhali tuziache? Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:58, 11 Novemba 2022 (UTC) :::Bila ya samahani, hakika asante sana kwa kuchangia, kwa mujibu wa ndugu @[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ni afadhali tuziache au kabla ya kuifuta ni bora kuichungulia kwanza kama haijahamishwa '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 14:17, 11 Novemba 2022 (UTC) ::::Ushauri wangu ni: kama ziko bure, tuzifute tu. Lakini mimi naona mara kadhaa marejeo yaleyale yanapatikana kwa anwani tofauti, nikitafuta jina la faili katika google. Inachukua muda zaidi kuchungulia, kwa hiyo kila mmoja anapaswa kuamua mwenyewe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:06, 11 Novemba 2022 (UTC) :::::Sawa sawa hapo nimeelewa na hata ndugu @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] natumaini nayeye ameelewa labda kama analo la kuongezea. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 19:24, 11 Novemba 2022 (UTC) == Sending regards and few questions to ask... == Hello, if I may I will shift to Kiswahili. Ni kwamba asante kwa ukaribisho Mzuri kutoka juu na pia ya kuongeza asante hata kwa university wikimedians kwa kunipa nafasi ya kujiunga katika platform hii ya wikipedia... Niko ma swali, mona ni kwamba inakuaje kama nitahitaji kuweka picha na hio picha haipo kwenye platform yeyote ya wikipedia but only inapatikana kwenye mtandao mara nyingine kwenye tovuti kuu husina inayoshikiria hati miliki. Na pili nimeweza kuweka picha pamoja na taarifa kwa kiufupi kama inavoonekana kwenye makala za watu au makampuni. Ni hayo tu, Shukran sana na nitakua pamoja na nyie. Denis R. John [[Maalum:Michango/196.249.97.46|196.249.97.46]] 19:29, 27 Novemba 2022 (UTC) :Salaam ndugu, :Asante sana kwa swali lako zuri na karibu sana kwenye Wikipedia ya kiswahili, hivyo kwa mujibu wa taratibu za Wikipedia huzingatia sana faragha za mtu binafsi, kwahivyo huruhusiwi kuchukua picha ya kitu au mtu au media yeyote kutoka kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii na kuweza kuitumia kwenye makala za wikipedia bila ya ridhaa ya mmiliki husika. :Na ili kuweza kutumia picha husika kwenye makala za wikipedia, kwanza kabisa inakupasa kuipakia kwenye jukwaa la Wikimedia Commons kwa kuzingatia taratibu zote za faragha za mmiliki wa picha au media husika au kama picha au media hiyo uliipiga au kuandaa wewe mwenyewe pia bila ya kupitia huko kwenye nyenzo zingine au mitandao ya kijamii. :Asante,amani kwako. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 12:34, 30 Novemba 2022 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating these pages in your languages would be highly appreciated. Currently the following pages are available for translation: *[[wikimania:2023:Contact]] *[[wikimania:2023:Expo space]] *[[wikimania:2023:Glossary]] *[[wikimania:2023:Ideas]] *[[wikimania:2023:Ideas/Globe]] *[[wikimania:2023:Organizers]] *[[wikimania:2023:Program]] *[[wikimania:2023:Travel]] *[[wikimania:2023:Updates]] *[[wikimania:2023:Volunteer]] *[[wikimania:2023:Volunteer signup]] *[[wikimania:2023:Wikimania]] *[[wikimania:Template:Wikimania 2023 header]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[<tvar name="mass-delivery">Special:MyLanguage/Global message delivery</tvar>|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:14, 28 Desemba 2022 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24285311 --> == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. We already have a few pages related to Wikimania 2023 available for translation on Wikimania wiki. Your help with translating the following pages in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Health]] *[[wikimania:2023:Scholarship Questions]] *[[wikimania:2023:Scholarships]] *[[wikimania:2023:Scholarships/FAQ]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Samples]] *[[wikimania:2023:Scholarships/Travel Scholarship application]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Tech Subcommittee/Request for Proposal]] *[[wikimania:2023:Visas]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:50, 22 Januari 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24413464 --> :Habari '''[[Mtumiaji:SISTY MUSHISA|SISTY MUSHISA]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:SISTY MUSHISA|majadiliano]])''' 11:26, 17 Februari 2023 (UTC) == Translations for Wikimania 2023 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hi {{ROOTPAGENAME}}, You are receiving this notification because you have listed yourself as a volunteer for Wikimania 2023 either [[m:Wikimania 2023/Volunteers|on Meta]] or [[wikimania:2023:Volunteer|on Wikimania wiki]] or because you have [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|subscribed on Meta]]. Your help with translating the following pages on Wikimania wiki in your languages would be highly appreciated: *[[wikimania:2023:Attendees]] *[[wikimania:2023:Program Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Program/FAQ]] *[[wikimania:2023:Program/Form Questions]] *[[wikimania:2023:Program/Submissions]] *[[wikimania:2023:Satellite events]] *[[wikimania:2023:Scholarship Subcommittee]] *[[wikimania:2023:Socialize]] *[[wikimania:2023:Travel Coordination]] If you do not want to reiceive further notifications about pages related to Wikimania 2023, which are available for translation, you may remove your name from [[m:Global message delivery/Targets/Wikimania 2023 translations|this list]]. Thanks for your help! --[[User:Ameisenigel|Ameisenigel]] ([[User talk:Ameisenigel|talk]]) <small>This message was delivered through [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery|Global message delivery]]</small> --'''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 09:40, 4 Machi 2023 (UTC) </div> <!-- Message sent by User:Ameisenigel@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Wikimania_2023_translations&oldid=24656834 --> ==Makala kuhusu Analog Pussy== Ndugu nmeona pitio lako katika makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Analog_Pussy,na ningependa kujua je kundi la muziki lenye kufanya kazi za muziki sindo kundi la wanamuziki?,ningependa kujua juu ya hilo ili makosa kama hayo yasijirudie. Amami sana '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 19:33, 14 Aprili 2023 (UTC) :Yote ni sahihi lakini tukisema kundi la wanamuziki, hapo naona inakua inaleta maana nzuri zaidi kwa sababu inajumuisha muunganiko wa watu fulani kwenye kazi ya muziki, kuliko tukisema kundi la muziki (ambapo hapa mwingine anaweza kufafanua kama mjumuisho wa aina fulani za muziki n.k) '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:29, 14 Aprili 2023 (UTC) :Sawa sawa '''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 22:04, 14 Aprili 2023 (UTC) == Feminism and Folklore 2023 - Local prize winners == [[Faili:Feminism_and_Folklore_2023_logo.svg|center|frameless|550x550px]] :: <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"></div> ''{{int:please-translate}}'' Congratulations on your remarkable achievement of winning a local prize in the '''Feminism and Folklore 2023''' writing competition! We greatly appreciate your valuable contribution and the effort you put into documenting your local Folk culture and Women on Wikipedia. To ensure you receive your prize, please take a moment to complete the preferences form before the 1st of July 2023. You can access the form [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdWlxDwI6UgtPXPfjQTbVjgnAYUMSYqShA5kEe4P4N5zwxaEw/viewform?usp=sf_link by clicking here]. We kindly request you to submit the form before the deadline to avoid any potential disappointments. If you have any questions or require further assistance, please do not hesitate to contact us via talkpage or Email. We are more than happy to help. Best wishes, [[metawiki:Feminism and Folklore 2023|FNF 2023 International Team]] :::: Stay connected [[Faili:B&W_Facebook_icon.png|link=https://www.facebook.com/feminismandfolklore/|30x30px]]&nbsp; [[Faili:B&W_Twitter_icon.png|link=https://twitter.com/wikifolklore|30x30px]] --'''[[Mtumiaji:Tiven2240|Tiven2240]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tiven2240|majadiliano]])''' 13:30, 10 Juni 2023 (UTC) == Organizer Tools Office Hours & Event Discovery Project == ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/fr|Lire ce message en français]])'''; ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/es|Ver este mensaje en español]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/sw|Angalia ujumbe huu kwa Kiswahili]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/ar|إقرأ هذه الرسالة بالعربي]]''') <small> {{int:please-translate}} </small>. [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team|The Campaigns team]] at the Wikimedia Foundation has some updates to share with you, which are: We invite you to attend our upcoming community office hours to learn about organizer tools, including the [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration|Event registration tool]] (which has [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration#September 18, 2023: October office hours & upcoming features|new and upcoming features]]). '''The office hours are on the following dates, and you can join one or both of them:''' *'''Saturday, October 7 at 12:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session A|Register here]]''') **Languages available: Arabic, English, French, Swahili *'''Tuesday, October 10 at 18:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session B|Register here]]'''). **Languages available: Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Swahili '''We have launched a new project: [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|Event Discovery]]'''. This project aims to make it easier for editors to learn about campaign events. '''We need your help to understand how you would like to discover events on the wikis, so that we can create a useful solution. Please share your feedback on our [[m:Talk:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|project talk page]]'''. ; Thank you, and we hope to see you at the upcoming office hours! [[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[User talk:MediaWiki message delivery|talk]]) 19:54, 24 Septemba 2023 (UTC) <small>You are receiving this message because you subscribed to this [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Subscribers|list]]</small> <!-- Message sent by User:EUwandu-WMF@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=25632558 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (January-March 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Group photo - Edu Wiki conference 2023, Belgrade, Serbia.jpg|256px|right|thumb|Group photo of the 2023 EduWiki Conference in Belgrade, organized by Wikipedia & Education User Group]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 1}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> '''Affiliate Recognition and Derecognition''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Recognition_and_Derecognition|Recognition of Cyprus, Botswana, Niger, and Telugu user groups]] '''Affiliate Activities Report''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#Affiliate_Activities_Report|Reports from Belgium, South African, and Ukrainian chapters]] '''AffCom Movement Contribution''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement with the new Affiliates Strategy and Movement Charter drafts]] '''AffCom Administration''': [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_1#AffCom_Administration|New AffCom members and advisors]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 12:56, 18 Aprili 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=26293156 --> == Ukumbusho kuhusu kupiga kura sasa ili kuchagua washiriki wa U4C ya awamu ya kwanza == <section begin="announcement-content" /> :''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder|Unaweza kupata ujumbe huu ukiwa umetafsiriwa katika lugha za ziada kwenye Meta-wiki.]] [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]'' Ndugu Mwanawikimedia, Unapokea ujumbe huu kwa sababu hapo kabla uliwahi kushiriki katika mchakato wa UCoC. Huu ni ukumbusho kwamba kipindi cha kupiga kura kwa Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) kitamalizika tarehe 9 Mei 2024. Soma maelezo kwenye [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024|ukurasa wa kupiga kura kwenye Meta- wiki]] ili kupata maelezo zaidi kuhusu upigaji kura na ustahiki wa mpiga kura. Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) ni kikundi cha kimataifa kilichojitolea kutoa utekelezaji sawa na thabiti wa UCoC. Wanajamii walialikwa kutuma maombi yao kwa U4C. Kwa maelezo zaidi na majukumu ya U4C, tafadhali [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Charter|pitia Mkataba wa U4C]]. Tafadhali washirikishe ujumbe wanajumuiya wenzako ili nao waweze kushiriki. Kwa niaba ya timu ya mradi wa UCoC,<section end="announcement-content" /> [[m:User:RamzyM (WMF)|RamzyM (WMF)]] 22:54, 2 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Universal_Code_of_Conduct/Coordinating_Committee/Election/2024/Previous_voters_list_3&oldid=26721208 --> == <span lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr">Affiliations Committee News (April-June 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimedia-Summit-2024-Friday-128.jpg|256px|right|thumb|AffCom group photo at Wikimedia Summit 2024 in Berlin, Germany]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 2|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 2}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Updates: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Strategy Updates|Adoption of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Madagascar, Senegal, Republic of Congo, and Namibia user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom Conflict Intervention|Six active conflicts, no new reports for Q4]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia Summit and ESEAP Conference]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#AffCom_Administration|Officers elections and departing members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_2#Upcoming AffCom Events|AffCom at Wikimania 2024]] </div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:30, 15 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27021225 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (July-September 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Wikimania 2024 - Lviv - Day 3 - AffCom meets community.webm|256px|right|thumb|AffCom session at Wikimania 2024]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 3|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 3}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Strategy Updates|Implementation status of a new affiliate health criteria and changes to User Groups recognition process]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Togo, Wayúu, and Singapore user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimania]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#AffCom_Administrative_Updates|Results of the officers elections]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Upcoming AffCom Events|AffCom at WikiIndaba and a strategy meetup]] Other Movement News: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_3#Other_Movement_News|Regional conferences, mental health support, and new committee support inbox]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 1|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 15:55, 7 Oktoba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=27273724 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (October-December 2024)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:Affiliations Committee 2024 05.jpg|256px|right|thumb|AffCom at its Strategic Retreat in Frankfurt]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 4}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;">Affiliates Strategy Update: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Strategy Updates|Notes from the 2024 AffCom strategic retreat]] Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Recognition and Derecognition|User group application pause lifted]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue4_#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at WikiIndaba]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_4#AffCom_Administrative_Updates|Mari Avetisyan appointed new AffCom secretary]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 4|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 03:04, 5 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28060527 --> == Tungependa kusikia kuhusu uzoefu wako kuhusu Akaunti za Muda == <section begin="body"/> [[File:Temporary Accounts - first edit popup.png|thumb]] '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_e2MNLeWJU89pNTo Utafiti huu hautachukua zaidi ya dakika 5 kukamilisha.]''' Timu ya Trust & Safety Product hivi karibuni iliunda [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|akaunti za muda]] zinapatikana kwenye miradi ya wiki 12. Kuna mipango ya kupanua hili kwa seti kubwa ya miradi ya wiki katika wiki na miezi ijayo, kisha kufuata mchakato wa kutekeleza kikamilifu baadaye mwaka huu. Ushiriki wako katika utafiti huu utakuwa na manufaa makubwa katika kutusaidia kuelewa jinsi Akaunti za Muda zinavyofanya kazi na kile tunachoweza kuboresha mbele. Sera ya faragha ya utafiti huu inaweza kuonwa [[foundation:Special:MyLanguage/Legal:Temp_Accounts_Minor_Pilots_Survey_Privacy_Statement|kupitia kiungo hiki]]. Kwa kumaliza utafiti huu, unakubali masharti yaliyoainishwa katika sera ya faragha. Asante!<section end="body"/> [[User:SGrabarczuk (WMF)|SGrabarczuk (WMF)]] ([[User talk:SGrabarczuk (WMF)|<span class="signature-talk">majadiliano</span>]]) 02:50, 27 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:SGrabarczuk (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:SGrabarczuk_(WMF)/sandbox/8&oldid=28315571 --> == <span lang="en" dir="ltr">Affiliations Committee News (January-March 2025)</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="announcement-content" /> [[File:WMB meeting in Belo Horizonte in 2023 (day 02) 059.jpg|256px|right|thumb|Wikimedia Brasil, the latest chapter to be recognized by AffCom]] <small>''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|You can find this newsletter translated into additional languages on Meta-wiki]]. [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Affiliations Committee/News/Issue 5}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]''</small> Quarterly newsletter sharing news and events about the work of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee|Affiliations Committee]]. <div style="column-count:1;"> Affiliate Recognition and Derecognition: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Recognition and Derecognition|Recognition of Wikimedia Brasil and four user groups]] Affiliate Activities and Compliance Report: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Affiliate Activities and Compliance Report|Activities reports around the world]] AffCom Conflict Intervention: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom Conflict Intervention|Updates on conflict intervention cases]] AffCom Movement Contribution: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue 5#AffCom_Movement_Contribution|AffCom engagement at Wikimedia+Libraries and Wikisource conferences]] AffCom Administration: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#AffCom_Administrative_Updates|Welcoming new AffCom voting and advisory members]] Upcoming AffCom Events: [[m:Special:MyLanguage/Affiliations_Committee/News/Issue_5#Upcoming_AffCom_Events|AffCom at ESEAP Strategy Summit]]</div> <div class="hlist" style="margin-top:10px; font-size:100%; ">'''[[m:Special:MyLanguage/Affiliations Committee/News/Issue 5|read this newsletter in full]]''' • [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/Affiliations Committee/News|subscribe/unsubscribe]]<section end="announcement-content" /> </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 01:30, 26 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Affiliations_Committee/News&oldid=28324741 --> == Faulty editing == [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mary_Lazarus&diff=1148956&oldid=1143252 PURE VANDALISM] - no wikilinks inside reference parameters! [[Maalum:Michango/&#126;2025-52117|&#126;2025-52117]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52117|talk]]) 08:33, 4 Mei 2025 (UTC) :Dear 2025-52117, :Thank you for your reminder, and I appreciate your effort in reviewing the wiki pages. Just to clarify, the edits were made about four years ago, when I was still new to Wikipedia. At that time, I didn’t have much experience, so I may have made mistakes without realizing it. :In the meantime, I believe there is no need to use harsh language to criticize someone. Pointing out issues in a respectful manner would be more constructive. :Amani kwako '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 20:52, 4 Mei 2025 (UTC) ::@[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] Wakuongea kwa ustaarabu hao temp account? Utasubiri sana. Siwapendi hao temp kupita maelezo. Ni vile WMF imeamua lakini hapa kwetu wafungiwe tu. Wanatusumbua sana. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 20:55, 4 Mei 2025 (UTC) :::Sorry for being so upset! Don't ask - Don't tell!, After UNJUST losing of several "InternetBuddy" accounts to itchy meta sexual abuse hunters, I resort only to temporary accounts, 75% of them are mine. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52533|&#126;2025-52533]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52533|talk]]) 06:55, 5 Mei 2025 (UTC) :::[[Maalum:Michango/I_like_peace_and_quiet]], [[Maalum:Michango/I_like_quiet_and_peace]], [[Maalum:Michango/Norbilian]], [[Maalum:Michango/Nailibron]], and others, very same history, but at other times. [[Maalum:Michango/&#126;2025-52246|&#126;2025-52246]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-52246|talk]]) 07:57, 5 Mei 2025 (UTC) ::::Naona kweli ni wasumbufu na wanatia kero kweli; kwetu huku hata wasiwepo tu. '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu#top|majadiliano]])''' 22:32, 5 Mei 2025 (UTC) :::::[https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Polandi&diff=1414098&oldid=1414088 Real Annoyance]. [[Maalum:Michango/&#126;2025-53157|&#126;2025-53157]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-53157|talk]]) 08:17, 6 Mei 2025 (UTC) e2seeflh1xz1b8ceq124xb0aq8efcb5 Jemimah Sanyu 0 136503 1436964 1295503 2025-07-11T16:15:45Z Yoramtohny 52771 1436964 wikitext text/x-wiki {{Mwigizaji 2 | jina = Jemimah Sanyu | image = | maelezo ya picha = | jina la kuzaliwa = Jemimah Sanyu | tarehe ya kuzaliwa = 25 Machi 1986 | mahala pa kuzaliwa = Uganda | tarehe ya kufa = | mahala alipofia = | jina lingine = Stage Gladiator | kazi yake = mwanamziki | miaka ya kazi = | ndoa = | mahusiano ya kimapenzi = | tovuti = | academyawards = | afiawards = | arielaward = | baftaawards = | bfjaawards = | cesarawards = | emmyawards = | filmfareawards = | geminiawards = | goldencalfawards = | goldenglobeawards = | goldenraspberryawards = | goyaawards = | grammyawards = | iftaawards = | laurenceolivierawards = | naacpimageawards = | nationalfilmawards = | sagawards = | tonyawards = | awards = }} '''Jemimah Sanyu''' (anajulikana pia kama ''Stage Gladiator'') ni [[mwanamuziki]], [[mwigizaji]], mtayarishaji [[filamu]], na mkufunzi wa [[Uganda]].<ref>{{cite web | title=JEMIMA SANYU, AN ADORABLE THIEF | url=https://confessions256.wordpress.com/2014/09/22/jemima-sanyu-an-adorable-thief | website=Wordpress | publisher=Confessions256 | accessdate=22 September 2014}}</ref> Sanyu amekutana na watu kama [[Rais]] [[Yoweri Museveni]] wakati akiimba katika ''albamu'' yake ya ''I am a Ugandan''. Ameshiriki jukwaa na nyota maarufu wa Kiafrika kama ''Habib Koite'', ''Navio ''(rapa), ''Joanita Kawalya'' wa ''Afrigo Band'', na [[Juliana Kanyomozi]].<ref>{{cite news | title=Friends of Peter Nawe in Webale Video | url=http://www.hipipo.com/music/news/2147/Friends-Of-Peter-Nawe-In-Webale-Video | accessdate=15 July 2013 | agency=Hipipo | publisher=Hipipo | archivedate=2016-03-04 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304220432/http://www.hipipo.com/music/news/2147/Friends-Of-Peter-Nawe-In-Webale-Video }}</ref> na wengine wengi.<ref>{{cite news | title=Jemimah Sanyu (Uganda) | url=http://selam.se/eng/artists/jemimah-sanyu-uganda | agency=Selam Ethiopia | publisher=Selam}}</ref> ==Maisha ya Muziki== Sanyu ambaye ni mteule wa Tuzo za Diva mara mbili, alianza kufanya muziki kitaaluma mwaka wa 2007 alipojiunga na Grayce Records. Sanyu alipata kuimarika kama nyota wa muziki wa miondoko ya Afro pop na muziki wa dansi hasa kwa sababu ya uigizaji wake mkali na sauti yake.<ref>{{cite web | title=Uganda's top Female voices | url=http://www.newvision.co.ug/news/648828-uganda-s-top-female-voices.html | website=New Vision | accessdate=26 October 2013}}</ref> Alifanikiwa kuandaa usiku wa muziki unaoitwa Sanyu Talks katika Jazzville Bugolobi kila Alhamisi akiandamana na bendi yake ya UNIT 446.<ref>{{cite web|title=Sanyu Talks At Jazz Ville|url=https://proggie.ug/sanyu-talks-at-jazz-ville/|website=Proggie Ug|accessdate=29 July 2013}}</ref> == Viungo Vya Nje == {{commons}} *[http://www.monitor.co.ug/artsculture/Entertainment/Doadoa--spreads-wings---Jinja/-/812796/2703266/-/lb4jquz/-/index.html "Doadoa spreads wings to Jinja"] *[http://musicinafrica.net/all-female-line-uganda%E2%80%99s-qwela-junction-november-concert All-female line-up for Uganda’s Qwela Junction November concert] *[http://lavieeco.com/news/culture/visa-for-music-une-plateforme-inedite-pour-booster-la-creation-musicale-de-lafrique-et-du-moyen-orient.html Visa For Music, une plateforme inédite pour booster la création musicale de l’Afrique et du Moyen-Orient] {{Wayback|url=http://lavieeco.com/news/culture/visa-for-music-une-plateforme-inedite-pour-booster-la-creation-musicale-de-lafrique-et-du-moyen-orient.html |date=20160304103308 }} *[http://musicinafrica.net/interview-ugandas-jemimah-sanyu-ready-take-world Interview: Uganda's Jemimah Sanyu ready to take on the world] ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Wanamuziki wa Uganda]] [[Jamii:Arusha Translation-a-thon]] im6p6i2ntd6es4zhszkrhu4dx6t7dyj Marie Theresa Mukamulisa 0 138759 1437011 1245797 2025-07-11T22:23:44Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437011 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person | jina = Marie‑Thérèse Mukamulisa | maelezo_ya_picha = Marie‑Thérèse Mukamulisa akiapishwa kama jaji | tarehe_ya_kuzaliwa = 29 Juni 1965 | mahala_pa_kuzaliwa = Kigali, Rwanda | tarehe_ya_kufariki = | mahala_alipofia = | majina_mengine = | anafahamika kwa = Jaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu | kazi_yake = Jaji | nchi = Rwanda {{flagicon|Rwanda}} }} '''Marie Theresa Mukamulisa''' (amezaliwa [[Kigali]], [[29 Juni]] [[1965]]) ni [[mwanasheria]] wa [[Rwanda]] ambaye aliteuliwa kwa muhula wa miaka sita katika [[Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na za Mataifa]] mnamo [[2016]]. ==Maisha ya awali na elimu== Mukamulisa ana digrii ya sheria za kiraia kutoka [[Chuo Kikuu]] cha Rwanda [[1990|(1990)]] na shahada ya uzamili ya [[sheria]] ya kawaida kutoka Chuo Kikuu cha Moncton huko New Brunswick, [[Kanada]] [[1993|(1993)]]. Ana shahada ya juu katika Mafunzo ya Kuzuia Mauaji ya Kimbari kutoka Kituo cha Usimamizi wa Migogoro katika Chuo Kikuu cha Rwanda.<ref>{{Cite web |url=http://en.african-court.org/index.php/judges/current-judges |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-06-25 |archivedate=2017-11-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20171115082548/http://en.african-court.org/index.php/judges/current-judges }}</ref> ==Kazi== Mukamulisa alikuwa mhasibu na mtunza fedha katika Mradi wa Upelelezi wa Kilimo na Takwimu. Mkurugenzi Bima ya Gari huko Sonarwa na Katibu Mtendaji wa shirika mwavuli la NGO CCOAIB. Mukamulisa alikuwa mmojawapo wa makamishna kumi na wawili ambao walitunga Katiba ya Rwanda baada ya mauaji ya halaiki, na amekuwa mhadhiri wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Rwanda.<ref>{{Cite web |url=http://en.african-court.org/index.php/judges/current-judges |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-06-25 |archivedate=2017-11-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20171115082548/http://en.african-court.org/index.php/judges/current-judges }}</ref> Mukamulisa aliteuliwa kama Jaji wa Mahakama Kuu ya Rwanda mnamo [[2003]]. Amezungumza juu ya ugumu ambao wanawake wanakabiliwa nao ndani ya mfumo wa kimahakama, haswa na kesi za unyanyasaji wa watoto na ubakaji, kutokana na sababu za kitamaduni na kijinsia. Mnamo mwaka wa [[2015]], alikua mwanachama wa Baraza Kuu la Mahakama la Rwanda. Yeye pia ni mshiriki wa Mtandao wa Hague wa Kimataifa wa Majaji. <ref>{{Cite web |url=http://en.african-court.org/index.php/judges/current-judges |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2021-06-25 |archivedate=2017-11-15 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20171115082548/http://en.african-court.org/index.php/judges/current-judges }}</ref> Mukamulisa alichaguliwa kwa muhula wa miaka sita katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu pamoja na Ntyam Mengue mnamo [[Julai]] 2016. Uteuzi wake umekosolewa tangu uamuzi wa Rwanda kujiondoa kwa kuruhusu watu binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali kukata rufaa moja kwa moja kwa mahakama, na kwa ushiriki wa Mukamulisa kwenye jopo la majaji ambao walimhukumu mwanasiasa wa upinzani Victoire Ingabire Umuhoza, ambaye alikata rufaa kwa Mahakama ya Afrika. <ref>https://web.archive.org/web/20170915114135/http://www.therwandan.com/blog/the-rwandan-state-has-boycotted-the-african-court-on-human-and-peoples-rights-in-case-no-0032014-which-opposes-it-to-ms-victoire-ingabire-umuhoza-president-of-the-fdu-inkingi/</ref> ==Maisha binafsi== Mukamulisa ameolewa na ana watoto wawili wa kiume. ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1965|}} [[Jamii:Editathon 2021-06 Morogor]] [[Jamii:Wanawake wa Rwanda]] [[Jamii:FFD22]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 1d38gxcncevwal5xbyapuss69chqyl3 Awa Thiam 0 139881 1437036 1182981 2025-07-12T04:55:28Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437036 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Awa Thiam |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1950 (Ana umri wa miaka 74–75) |mahala_pa_kuzaliwa = Senegal |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mwanasiasa, msomi, mwandishi, mwanaharakati |nchi = [[Senegal]] {{flagicon|Senegal}} }} [[File:Awa Thiam.jpg|thumb|right|200px|Awa Thiam]] '''Awa Thiam''' (alizaliwa mnamo mwaka [[1950]]) ni [[mwanasiasa]], [[mtaalamu]], [[mwandishi]], na [[mwanaharakati]] wa [[Senegal]].<ref name="Sheldon2005">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=36BViNOAu3sC|title=Historical Dictionary of Women in Sub-Saharan Africa|author=Kathleen E. Sheldon|publisher=Scarecrow Press|year=2005|isbn=978-0-8108-5331-7}}</ref>. Anafanya kazi kama mkurugenzi [[Senegal]] wa Kituo cha Taifa cha msaada na mafunzo ya wanawake chini ya Wizara ya Wanawake na Watoto.<ref name=":0" /> Zaidi ni mtetezi dhidi ya ukeketaji wa wanawake (FGM), ambapo anaongea juu yake katika kitabu chake cha [[1978]] (La Parole AUX Négresses). Mwaka [[1986]] alitajwa kama mwanamke Mweusi aliyeweza kupaza sauti juu ya ukandamizaji na ukeketaji kwa wanawake Afrika. ==Kazi== Baada ya kumaliza elimu ya msingi nchini [[Senegal]], Awa Thiam alihamia [[Ufaransa]] ili kupata elimu ya juu. Wakati huo hakuwa akisoma shahada ya uzamivu katika anthropolojia ya kitamaduni tu [[Chuo Kikuu cha Paris VIII]], lakini pia alisoma shahada ya uzamivu katika Chuo Kikuu cha Falsafa kutoka [[Chuo Kikuu cha Pantheon-Sorbonne | Paris I]].<ref name=":0">{{Cite book|url=https://www.oxfordreference.com/view/10.1093/acref/9780195382075.001.0001/acref-9780195382075-e-2020.|title=Dictionary of African Biography|last=Dior|first=Konate|publisher=Oxford University Press|year=2011|isbn=9780199857258|editor-last=Akyeampong|editor-first=Emmanuel K.|editor-last2=Gates|editor-first2=Henry Louis|doi=10.1093/acref/9780195382075.001.0001}}</ref>. ==Marejeo== {{Reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Wanawake wa Senegal]] [[Jamii:Wanaharakati wa Senegal]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] s8pjh9aco8gzkn3i7t04k4j8kqnfiqu Agnes Pareyio 0 139906 1437007 1426914 2025-07-11T22:03:11Z Kimwali mmbaga 69489 (kuongeza sanduku la habari na jamii) 1437007 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Agnes Pareyio |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = Juni 24, 1956 (Na umri wa miaka 69) |mahala_pa_kuzaliwa = Narok, Kenya |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mwanaharakati wa haki za wanawake |nchi = Kenya {{flagicon|Kenya}} }} '''Agnes Pareyio''' (alizaliwa [[Juni 24]], [[1956]]<ref name="skoll">{{Rejea tovuti |url= http://skoll.org/contributor/agnes-pareyio/| title = Agnes Pareyio|website= Skoll|access-date= October 2, 2017}}</ref>) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] wa [[Kimaasai]], [[mwanasiasa]], [[mwanzilishi]] na [[mkurugenzi]] wa kituo cha uokoaji wa wanawake cha (Tasaru Ntomonok Rescue Center for Girls), shirika ambalo linafanya kampeni dhidi ya [[ukeketaji]] nchini [[Kenya]].<ref name="unfpa">{{Rejea habari | title = A Safe Haven for Girls Escaping Harm in Kenya|url= http://www.unfpa.org/news/safe-haven-girls-escaping-harm-kenya|publisher=United Nations Population Fund|access-date= 9 September 2005}}</ref> ==Maisha== Pareyio ni binti wa aliyekuwa mkuu wa [[kijiji]].<ref name="hari">{{Rejea habari |last= Hari|first= Johann|author-link=Johann Hari| date = Machi 12, 2009| title = Witch hunt: Africa's hidden war on women|url= https://www.independent.co.uk/news/world/africa/witch-hunt-africas-hidden-war-on-women-1642907.html|work= The Independent|access-date= October 2, 2017}}</ref> Baada ya kufanyiwa [[ukeketaji]] kinyume na matakwa yake akiwa na umri wa [[miaka]] [[14]], aliapa kupambana na kuzuia kuzuia ukeketaji (FGM) kwa wasichana wengine.<ref name="rising">{{Rejea habari |last= Pareyio|first= Agnes| title = Rising to End FGM - Agnes Pareyio|url= https://www.huffingtonpost.com/one-billion-rising/post_8654_b_6215672.html|work= Huffington Post|access-date= March 12, 2018}}</ref>. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} {{BD|1956|}} [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] [[Jamii:Wanaharakati wa Kenya]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] hh27c48zfi90i634iu5x8gi87bm94wr Aïssata Kane 0 139982 1437037 1304921 2025-07-12T04:55:41Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza maneno katika makala hii na jamii 1437037 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = assita Toure Kane |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 18 Agosti 1938 |mahala_pa_kuzaliwa = Mauritania |tarehe_ya_kufariki = 10 Agosti 2019 |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mwanasiasa |nchi = Mauritania }} '''Aïssata Touré Kane''' ([[18 Agosti]] [[1938]] – [[10 Agosti]] [[2019]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Mauritania]] na [[mwanamke]] wa kwanza kuhudumu serikalini kama waziri. Baada ya kuwa kiongozi wa vijana wa kike nchini Mauritania wa chama cha watu, alihudumu kwenye baraza la mawaziri chini ya [[rais]] [[Moktar Ould Daddah]] kutoka [[mwaka]] [[1975]] hadi [[1978]]. Katika hicho ndicho [[serikali]] ilipinduliwa. == Maisha ya awali == Kane alizaliwa katika familia ya Toucouleur (Halpulaar) huko Dar El Barka, mji mdogo katika Mkoa wa Brakna. Baba yake, Mame N'dick, alikuwa chifu wa wilaya wa muda mrefu. Fursa za elimu nchini Mauritania zilikuwa chache wakati wa utoto wa Kane, hasa kwa wanawake. Licha ya watu wake kadhaa wa ukoo kupinga elimu ya Magharibi, alipelekwa katika shule ya lugha ya Kifaransa huko [[Saint-Louis (Senegal)]]. Anaaminika kuwa mmoja wa wasichana wa kwanza wa Mauritania kuhudhuria shule ya Magharibi. Mnamo [[1959]] na [[1960]], Kane alihudhuria Chuo Kikuu Huria cha Ubelgiji kwa ufadhili wa masomo. Hakuweza kukamilisha shahada yake kwa sababu ya masuala ya familia, na baada ya kurudi Mauritania akaishi katika mji mkuu wa Nouakchott. <ref name="dab">{{cite book |last1=Akyeampong|first1=Emmanuel Kwaku|last2=Gates|first2=Henry Louis|date=2012|title= Dictionary of African Biography, Volume 6 |url=https://books.google.com/books?id=39JMAgAAQBAJ|publisher=Oxford University Press|page=286|isbn= 978-0195382075}}</ref> {{mbegu-mwanasiasa}} {{BD|1938|2019}} [[Jamii:Wanawake wa Mauritania]] [[Jamii:Wanasiasa wa Mauritania]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] ra0qk6m2qhysqm1hck52f2lp1mbxgqz Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess 3 144426 1437153 1257866 2025-07-12T10:03:31Z Mimi Prowess 50743 1437153 wikitext text/x-wiki {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:39, 27 Novemba 2021 (UTC) :Asante kwa makala zako, ila angalia marekebisho niliyozifanyia, ili usirudie makosa yaleyale. Kwa mfano, madondoo yasitaje Wikipedia ya Kiingereza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:51, 1 Desemba 2021 (UTC) ::SAWA '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 15:10, 1 Desemba 2021 (UTC) :::Mbona umerudia makosa yaleyale? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:00, 10 Februari 2022 (UTC) ::::hello '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 11:36, 5 Agosti 2022 (UTC) :::::Bado sijajua nn shida naomba uni unblock '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:09, 4 Oktoba 2022 (UTC) Nimekuzuia wa sababu niemona tena makala kutoka mkono wako ambazo hazieleweki halafu zinasababisha kazi nyingi ya kusafisha. Naona unajitahidi kusahihisha tafsiri ya google lakini matokeo hazieleweki, makala hazi hazidsaidii kitu. Ninakuzuia sasa kwa muda naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika [[Wikipedia:Email]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:57, 4 Oktoba 2022 (UTC) :Makala zingine ni asili yake kuwa na misamiati migumu . '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:55, 4 Oktoba 2022 (UTC) ::Rafiki kwanza aliyekuzuia ni mimi Kipala, si Riccardo aliyewasiliana nawe awali. Sisi sote wawili tuko kati ya wakabidhi waliochaguliwa a wanawikipedia kuangalia utaratibu humo. ::Nimekuzuia kwa sababu uliombwa awali kuleta makala safi. Sasa naona [[Harakati za Wikimedia]] na [[Tasnifu za Wikipedia]] ambayo haieleweki kabisa. Je unajua kwamba tasnifu na "plagiarism" ni mambo tofauti, hata kama moja inaweza kutokea katika nyingine? Sentensi ya kwanza si Kiswahili. Zile zinazofuata vilevile. ::Michango ya aina hii inaharibu hadhi ya wikipedia yetu. Pendekezo langu: ninaweza kukuruhusu tena ukiahidi mawili ::# utaanzisha makala katika nafasi yako ya mtumiaji pekee halafu utamtafuta mwanawikipedia mwenye maarifa (hata Riccardo au mimi) kupitilia yale uliyoandaa ::# unaweza kupeleka makala katika nafasi ya makala baada ya kupokea jibu la Ndiyo. (kama makala mbili hazikufutwa bado, unaweza kuweka umbo jipya badala yake. Kama zimeshafutwa, unaweza kuanza upya - baada ya kupokea "Ndiyo") ::Maelezo jinsi ya kutunga katika nafasi yako ona hapa: [[Msaada:Jaribio]]. Tafadhali soma kwanza na uniambie kama umeelewa yote, menginevyo uliza swali. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:06, 4 Oktoba 2022 (UTC) :::Sawa naomba email yako Mr Kipala '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 14:29, 6 Oktoba 2022 (UTC) :::Nmeelewa. '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 12:31, 21 Novemba 2022 (UTC) k12lizq9siw4m63y435bhxf9fa3gpm8 1437155 1437153 2025-07-12T10:04:33Z Mimi Prowess 50743 1437155 wikitext text/x-wiki {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:39, 27 Novemba 2021 (UTC) :Asante kwa makala zako, ila angalia marekebisho niliyozifanyia, ili usirudie makosa yaleyale. Kwa mfano, madondoo yasitaje Wikipedia ya Kiingereza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:51, 1 Desemba 2021 (UTC) ::SAWA '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 15:10, 1 Desemba 2021 (UTC) :::Mbona umerudia makosa yaleyale? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:00, 10 Februari 2022 (UTC) ::::hello '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 11:36, 5 Agosti 2022 (UTC) :::::Bado sijajua nn shida '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:09, 4 Oktoba 2022 (UTC) Nimekuzuia wa sababu niemona tena makala kutoka mkono wako ambazo hazieleweki halafu zinasababisha kazi nyingi ya kusafisha. Naona unajitahidi kusahihisha tafsiri ya google lakini matokeo hazieleweki, makala hazi hazidsaidii kitu. Ninakuzuia sasa kwa muda naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika [[Wikipedia:Email]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:57, 4 Oktoba 2022 (UTC) :Makala zingine ni asili yake kuwa na misamiati migumu . '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:55, 4 Oktoba 2022 (UTC) ::Rafiki kwanza aliyekuzuia ni mimi Kipala, si Riccardo aliyewasiliana nawe awali. Sisi sote wawili tuko kati ya wakabidhi waliochaguliwa a wanawikipedia kuangalia utaratibu humo. ::Nimekuzuia kwa sababu uliombwa awali kuleta makala safi. Sasa naona [[Harakati za Wikimedia]] na [[Tasnifu za Wikipedia]] ambayo haieleweki kabisa. Je unajua kwamba tasnifu na "plagiarism" ni mambo tofauti, hata kama moja inaweza kutokea katika nyingine? Sentensi ya kwanza si Kiswahili. Zile zinazofuata vilevile. ::Michango ya aina hii inaharibu hadhi ya wikipedia yetu. Pendekezo langu: ninaweza kukuruhusu tena ukiahidi mawili ::# utaanzisha makala katika nafasi yako ya mtumiaji pekee halafu utamtafuta mwanawikipedia mwenye maarifa (hata Riccardo au mimi) kupitilia yale uliyoandaa ::# unaweza kupeleka makala katika nafasi ya makala baada ya kupokea jibu la Ndiyo. (kama makala mbili hazikufutwa bado, unaweza kuweka umbo jipya badala yake. Kama zimeshafutwa, unaweza kuanza upya - baada ya kupokea "Ndiyo") ::Maelezo jinsi ya kutunga katika nafasi yako ona hapa: [[Msaada:Jaribio]]. Tafadhali soma kwanza na uniambie kama umeelewa yote, menginevyo uliza swali. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:06, 4 Oktoba 2022 (UTC) :::Sawa naomba email yako Mr Kipala '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 14:29, 6 Oktoba 2022 (UTC) :::Nmeelewa. '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 12:31, 21 Novemba 2022 (UTC) oz75iaepoaxzwjyoca5x3qvmvyxe5pj 1437158 1437155 2025-07-12T10:10:40Z Alexander Rweyemamu 80072 pasipo [TAB]] 1437158 wikitext text/x-wiki {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:39, 27 Novemba 2021 (UTC) :Asante kwa makala zako, ila angalia marekebisho niliyozifanyia, ili usirudie makosa yaleyale. Kwa mfano, madondoo yasitaje Wikipedia ya Kiingereza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:51, 1 Desemba 2021 (UTC) ::SAWA '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 15:10, 1 Desemba 2021 (UTC) :::Mbona umerudia makosa yaleyale? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:00, 10 Februari 2022 (UTC) ::::hello '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 11:36, 5 Agosti 2022 (UTC) :::::Bado sijajua nn shida '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:09, 4 Oktoba 2022 (UTC) Nimekuzuia wa sababu niemona tena makala kutoka mkono wako ambazo hazieleweki halafu zinasababisha kazi nyingi ya kusafisha. Naona unajitahidi kusahihisha tafsiri ya google lakini matokeo hazieleweki, makala hazi hazidsaidii kitu. Ninakuzuia sasa kwa muda naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika [[Wikipedia:Email]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:57, 4 Oktoba 2022 (UTC) :Makala zingine ni asili yake kuwa na misamiati migumu. '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:55, 4 Oktoba 2022 (UTC) ::Rafiki kwanza aliyekuzuia ni mimi Kipala, si Riccardo aliyewasiliana nawe awali. Sisi sote wawili tuko kati ya wakabidhi waliochaguliwa a wanawikipedia kuangalia utaratibu humo. ::Nimekuzuia kwa sababu uliombwa awali kuleta makala safi. Sasa naona [[Harakati za Wikimedia]] na [[Tasnifu za Wikipedia]] ambayo haieleweki kabisa. Je unajua kwamba tasnifu na "plagiarism" ni mambo tofauti, hata kama moja inaweza kutokea katika nyingine? Sentensi ya kwanza si Kiswahili. Zile zinazofuata vilevile. ::Michango ya aina hii inaharibu hadhi ya wikipedia yetu. Pendekezo langu: ninaweza kukuruhusu tena ukiahidi mawili ::# utaanzisha makala katika nafasi yako ya mtumiaji pekee halafu utamtafuta mwanawikipedia mwenye maarifa (hata Riccardo au mimi) kupitilia yale uliyoandaa ::# unaweza kupeleka makala katika nafasi ya makala baada ya kupokea jibu la Ndiyo. (kama makala mbili hazikufutwa bado, unaweza kuweka umbo jipya badala yake. Kama zimeshafutwa, unaweza kuanza upya - baada ya kupokea "Ndiyo") ::Maelezo jinsi ya kutunga katika nafasi yako ona hapa: [[Msaada:Jaribio]]. Tafadhali soma kwanza na uniambie kama umeelewa yote, menginevyo uliza swali. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:06, 4 Oktoba 2022 (UTC) :::Sawa naomba email yako Mr Kipala '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 14:29, 6 Oktoba 2022 (UTC) :::Nmeelewa. '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 12:31, 21 Novemba 2022 (UTC) 9o93q3dhub7teyepwcpb2nr5sycjcht 1437164 1437158 2025-07-12T10:33:44Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] 1437155 wikitext text/x-wiki {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 09:39, 27 Novemba 2021 (UTC) :Asante kwa makala zako, ila angalia marekebisho niliyozifanyia, ili usirudie makosa yaleyale. Kwa mfano, madondoo yasitaje Wikipedia ya Kiingereza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:51, 1 Desemba 2021 (UTC) ::SAWA '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 15:10, 1 Desemba 2021 (UTC) :::Mbona umerudia makosa yaleyale? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:00, 10 Februari 2022 (UTC) ::::hello '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 11:36, 5 Agosti 2022 (UTC) :::::Bado sijajua nn shida '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:09, 4 Oktoba 2022 (UTC) Nimekuzuia wa sababu niemona tena makala kutoka mkono wako ambazo hazieleweki halafu zinasababisha kazi nyingi ya kusafisha. Naona unajitahidi kusahihisha tafsiri ya google lakini matokeo hazieleweki, makala hazi hazidsaidii kitu. Ninakuzuia sasa kwa muda naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika [[Wikipedia:Email]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:57, 4 Oktoba 2022 (UTC) :Makala zingine ni asili yake kuwa na misamiati migumu . '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 13:55, 4 Oktoba 2022 (UTC) ::Rafiki kwanza aliyekuzuia ni mimi Kipala, si Riccardo aliyewasiliana nawe awali. Sisi sote wawili tuko kati ya wakabidhi waliochaguliwa a wanawikipedia kuangalia utaratibu humo. ::Nimekuzuia kwa sababu uliombwa awali kuleta makala safi. Sasa naona [[Harakati za Wikimedia]] na [[Tasnifu za Wikipedia]] ambayo haieleweki kabisa. Je unajua kwamba tasnifu na "plagiarism" ni mambo tofauti, hata kama moja inaweza kutokea katika nyingine? Sentensi ya kwanza si Kiswahili. Zile zinazofuata vilevile. ::Michango ya aina hii inaharibu hadhi ya wikipedia yetu. Pendekezo langu: ninaweza kukuruhusu tena ukiahidi mawili ::# utaanzisha makala katika nafasi yako ya mtumiaji pekee halafu utamtafuta mwanawikipedia mwenye maarifa (hata Riccardo au mimi) kupitilia yale uliyoandaa ::# unaweza kupeleka makala katika nafasi ya makala baada ya kupokea jibu la Ndiyo. (kama makala mbili hazikufutwa bado, unaweza kuweka umbo jipya badala yake. Kama zimeshafutwa, unaweza kuanza upya - baada ya kupokea "Ndiyo") ::Maelezo jinsi ya kutunga katika nafasi yako ona hapa: [[Msaada:Jaribio]]. Tafadhali soma kwanza na uniambie kama umeelewa yote, menginevyo uliza swali. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:06, 4 Oktoba 2022 (UTC) :::Sawa naomba email yako Mr Kipala '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 14:29, 6 Oktoba 2022 (UTC) :::Nmeelewa. '''[[Mtumiaji:Mimi Prowess|Mimi Prowess]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Mimi Prowess#top|majadiliano]])''' 12:31, 21 Novemba 2022 (UTC) oz75iaepoaxzwjyoca5x3qvmvyxe5pj Sofia Kawawa 0 146408 1437102 1378724 2025-07-12T08:54:55Z Mimi Prowess 50743 kurekebisha sanduku la habari 1437102 wikitext text/x-wiki {{Infobox officeholder|name=Sofia Kawawa|image=Sofia Kawawa.jpg|caption=Sofia Kawawa|office=Chairman Union of Women of Tanzania|birth_date=12 August 1936|birth_place=Masonya Village, Tunduru, Ruvuma|death_date={{Death date and age|1994|02|11|1936|08|12|df=y}}|death_place=Moshi, [[Kilimanjaro]], Tanzania|restingplace=Madale [[Dar es Salaam]]|nationality=Tanzanian {{flagicon|Tanzania}}|party=[[Tanganyika African National Union|TANU]], [[Chama Cha Mapinduzi|CCM]]|otherparty=|occupation=Activist/politician|spouse=[[Rashid Mfaume Kawawa]] (m. 1951)|children=8}} '''Sofia Kawawa''' (jina la awali: Selemani Mkwela, 12 [[Agosti]] [[1936]] &#x2013; [[1994]]) alikuwa [[mwanzilishi]] wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT). Alikuwa mwanachama wa chama cha [[Tanganyika African National Union]] (TANU) na baadaye [[Chama cha Mapinduzi]] (CCM). == Maisha ya zamani == Alizaliwa kijiji cha [[Masonya]] [[wilaya ya Tunduru]] [[mkoa wa Ruvuma]]. Alisoma shule ya msingi ya Masonya na baadaye akamaliza elimu yake ya msingi mkoani [[Tabora (mkoa)|Tabora]] . Mnamo mwaka [[1951]] aliolewa na [[Rashidi Kawawa|Rashid Kawawa]] ambaye alikua Waziri Mkuu wa Kwanza wa [[Tanganyika]] / [[Tanzania]] . == Siasa == Alikuwa miongoni mwa mwanamke wa kwanza kujiunga na Chama cha TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika. Alianzisha Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) pamoja na [[Bibi Titi Mohammed|Bibi Titi Mohamed]] na kuendelea kuwa mwenyekiti wa pili kuanzia [[1980]] hadi [[1990]]. Wanawake hao wawili walikuwa wanaharakati wa kwanza kutetea haki za wanawake nchini na walipanda mbegu hata kabla yakupata uhuru. == Maoni ya kifalsafa na kisiasa == Mama Kawawa na wanaharakati wengine walikuwa na kauli mbiu isemayo "Lazima iwe kutoka mashina ya chini". Alifanya kampeni kwa wanawake kuwa viongozi. Aliwasaidia [[Anna Margareth Abdallah|Anna Abdallah]] na [[Gertrude Mongella]] kuwa wabunge. Haya ni matunda ya kazi yake ya kupanda mbegu ya usawa 50/50 ambayo leo wanaharakati na wanasiasa wanataka ushiriki wa [[wanawake]] na [[wanaume]] uwe 50/50. == Kazi zilizochapishwa == * ''Wanamgambo, Akina Mama, na Familia ya Kitaifa(Militants, Mothers, and the National Family)'' [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] [[Jamii:Wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)]] [[Jamii:Waliofariki 1998]] [[Jamii:Waliozaliwa 1936]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 24om7wpgw01mt1o9yte3kqdjee7olqp Lydie Dooh Bunya 0 146440 1437106 1214006 2025-07-12T09:06:53Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari 1437106 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Lydie Dooh Bunya |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 19 Februari 1933 |mahala_pa_kuzaliwa = Douala, Kamerun {{flagicon|Cameroon}} |tarehe_ya_kufariki = 27 Machi 2020 (miaka 87) |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = Uanahabari na uanaharakati |kazi_yake = Mwanahabari }} '''Lydie Dooh Bunya''' (anajulikana pia kwa jina lake la [[ndoa]] kama '''Quan-Samé'''; alizaliwa [[Douala]], [[Kamerun]], [[1933]]) ni mhariri anayefanyia kazi huko [[Paris]], mwandishi na pia ni mpiganaji wa [[haki za wanawake]].<ref>Lydie Dooh Bunya (uwa.edu.au)</ref> == Maisha yake == Lydie Sophie Dooh Ebenye Bunya, baba yake alikuwa [[afisa]] wa forodha na mama yake alikuwa fundi wa [[Kishona-nguo (nyasi)|kushona]] nguo. Baada ya kuanza masomo yake huko [[Kamerun]], Dooh Bunya alihitimu masomo yake ya [[Elimu ya sekondari|sekondari]] huko nchini [[Ufaransa]], kwenye shule ya wasichana huko Saint-Gaultier. Akiwa kama mwanachuo huko, alianza kwa kusomea unesi na kemia kabla ya kujikita na [[shahada]] ya [[fasihi]]. == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1933]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waandishi wa Kamerun]] [[Jamii:USLW DOM]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] j885lk6lhcw4ks468aky5t621g886bx Teresia Mbari Hinga 0 146444 1437151 1293019 2025-07-12T09:59:55Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437151 wikitext text/x-wiki {{Infobox_Person | jina = Teresia Mbari Hinga | nchi = Kenya / Marekani | majina_mengine = | picha = | ukubwawapicha = | maelezo_ya_picha = | jina_la_kuzaliwa = Teresia Mbari Hinga | tarehe_ya_kuzaliwa = 25 Januari 1955 | mahala_pa_kuzaliwa = Kenya {{flagicon|Kenya}} | tarehe_ya_kufariki = 31 Machi 2023 (miaka 68) | mahala_alipofia = Chicago, Illinois, Marekani {{flagicon|USA}} | sababu_ya_kifariki = | anajulikana kwa = Teolojia ya wanawake wa Kiafrika, Uanaharakati wa kifeministi wa Kikristo | kazi_yake = Mtaalamu wa teolojia, mwandishi, profesa | cheo = Profesa wa Teolojia | mshahara = | kipindi = | alitanguliwa_na = | akafuatiwa_na = | chama = | bodi = | dhehebu= Ukristo | dini = Kanisa Katoliki | ndoa = | miaka_ya_Upadri = | rafiki = | watoto = | mahusiano = | washauri_wa_Mwanzo = | tovuti = | maelezo = Mwanafalsafa na mtaalamu wa teolojia ya kifeministi kutoka Kenya, aliyefundisha katika Chuo Kikuu cha Santa Clara, California. | mwajiri = Chuo Kikuu cha Santa Clara, Chuo Kikuu cha DePaul | urefu = | uzito = }} '''Teresia Mbari Hinga''' ni [[Mwanatheolojia|mwanateolojia]] [[Mkristo]] mpaniaji wa [[haki za wanawake]] kutoka nchini [[Kenya]], ambaye ni [[profesa]] wa elimu ya dini katika [[Chuo Kikuu|chuo kikuu]] cha [[Santa Clara, California|Santa Clara]] huko [[California]]. == Maisha ya awali == Hinga alizaliwa Kenya. Mama yake akijulikana kama Agnes Wairimu na baba kama Ernest Hinga, ambao walikuwa Waanzilishi wa masuala ya [[Ukatoliki]] [[Afrika]], ambao waliwalea watoto wao wote wa kiume na wa kike kwa usawa bila ubaguzi wala upendeleo, ikiwemo kuwapatia elimu<ref>{{Cite web|title=WATERtalk Notes with Teresia Mbari Hinga – WATER – Women's Alliance for Theology, Ethics and Ritual|url=https://www.waterwomensalliance.org/watertalk-notes-with-teresia-mbari-hinga/|accessdate=2022-02-17|language=en-US}}</ref>. Hinga alipelekwa kwenye shule ya [[Elimu ya sekondari|sekondari]] ya [[Lome|Loreto]]<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=L3E8DwAAQBAJ&redir_esc=y|title=African, Christian , Feminist: The Enduring Search For What Matters|last=Teresia|first=Hinga|date=2017-12-14|publisher=Orbis Books|isbn=978-1-60833-714-9|language=en}}</ref>. Alitunukiwa [[Shahada ya Uzamivu|shahada ya uzamivu]] (digrii) katika masuala ya fasihi za kiingereza na masomo ya dini kutoka chuo kikuu cha Kenyatta [[1977]] na pia [[Uzamili|shahada ya uzamili]] katika masomo ya dini kutoka chuo kikuu cha [[Nairobi]] mnamo 1980.<ref>{{Cite web|title=Teresia Hinga - College of Arts and Sciences - Santa Clara University|url=https://www.scu.edu/cas/religious-studies/faculty--staff/teresia-hinga/|work=www.scu.edu|accessdate=2022-02-17|archivedate=2022-02-17|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220217140842/https://www.scu.edu/cas/religious-studies/faculty--staff/teresia-hinga/}}</ref> Pia alitunukiwa shahada ya PhD kutoka chuo kikuu cha Lancaster huko Uingereza mnamo [[1990]] kupitia kichwa cha tafiti kisemacho ''Women, Power and Liberation in an African Church: A Theological Case Study of the Legio Maria Church'' kikiangalia maisha ya wanawake Wakristo wa nchini Kenya.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=OLgiJAAACAAJ&redir_esc=y|title=Women, Power and Liberation in an African Church: A Theological Case Study of the Legio Maria Church in Kenya|last=Hinga|first=Teresia Mbari|date=1990|publisher=University of Lancaster|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] [[Jamii:USLW DOM]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 0mk3lg1enr0d55q16lv1cfu5lm9ufvr Fidelis Wainaina 0 146452 1437216 1223879 2025-07-12T11:21:53Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437216 wikitext text/x-wiki {{Infobox_Person | jina = Fidelis Wainaina | nchi = Kenya {{flagicon|Kenya}} | majina_mengine = Nyar Okuyo | picha = | ukubwawapicha = | maelezo_ya_picha = Fidelis Wainaina, mwanzilishi wa MICH | jina_la_kuzaliwa = Fidelis Wainaina | tarehe_ya_kuzaliwa = 1962 | mahala_pa_kuzaliwa = Kenya | tarehe_ya_kufariki = 5 Machi 2008 (miaka 46) | mahala_alipofia = Kenya | sababu_ya_kifariki = Saratani | anajulikana kwa = Mwanzilishi wa MICH, mpiganiaji wa haki za wanawake, maendeleo vijijini, na mapambano dhidi ya umaskini | kazi_yake = Mwalimu, mwanaharakati wa maendeleo, mkulima | cheo = Mwanzilishi na mkurugenzi wa Maseno Interchristian Child Self Help Group (MICH) | mshahara = | kipindi = | alitanguliwa_na = | akafuatiwa_na = | chama = | bodi = | dhehebu= | dini = | ndoa = | miaka_ya_Upadri = | rafiki = | watoto = | mahusiano = | washauri_wa_Mwanzo = | tovuti = | maelezo = Mwanaharakati wa maendeleo vijijini na haki za kijinsia aliyepambana na umaskini kupitia kilimo endelevu magharibi mwa Kenya. | mwajiri = Maseno Interchristian Child Self Help Group (MICH) | urefu = | uzito = }} '''Fidelis Wainaina''' ([[1962]] - [[5 Machi]] [[2008]]) alikuwa mwanzilishi wa Maseno Interchristian Child Self Help Group (MICH), [[shirika]] linalojiendeleza kupitia [[kilimo]], kwa watu wa vijijini, [[magharibi]] mwa nchi ya [[Kenya]]. Fidelis alishinda [[Tuzo]] ya Yara [[mwaka]] [[2006]] pamoja na '''Celina Cossa''' wa [[Msumbiji]]. <ref>{{cite web |url=http://www.yara.com/sustainability/how_we_engage/africa_engagement/yara_prize/2006_laureates.aspx |title=The Yara Prize laureates |author=<!--Staff writer(s); no by-line.--> |date=2006 |website= |publisher=Yara |accessdate=November 14, 2014 |archive-url=https://web.archive.org/web/20141129034334/http://www.yara.com/sustainability/how_we_engage/africa_engagement/yara_prize/2006_laureates.aspx |archive-date=November 29, 2014 |url-status=dead |archivedate=2014-11-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141129034334/http://www.yara.com/sustainability/how_we_engage/africa_engagement/yara_prize/2006_laureates.aspx }}</ref> Wainaina aliacha kazi yake ya uwalimu baada ya kuchoshwa na mtaala uliotayarisha [[wanafunzi]] zaidi kwa mitihani kuliko uhalisia wa [[maisha]] nje ya [[darasa]]. Alifanya kazi ya kutokomeza [[umaskini]] na [[njaa]] kwa kusaidia [[familia]] maskini kulima [[ardhi]] yao kwa njia endelevu.<ref>{{cite web |url=http://www2.canada.com/edmontonjournal/news/story.html?id=7f863beb-84b4-4b02-a020-3431bd486472&k=0 |title=African green |last=Retson |first=Don |date=January 19, 2007 |website= |work=[[Edmonton Journal]] |accessdate=November 14, 2014 |archive-url=https://web.archive.org/web/20141129022924/http://www2.canada.com/edmontonjournal/news/story.html?id=7f863beb-84b4-4b02-a020-3431bd486472&k=0 |archive-date=November 29, 2014 |url-status=dead |archivedate=2014-11-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141129022924/http://www2.canada.com/edmontonjournal/news/story.html?id=7f863beb-84b4-4b02-a020-3431bd486472&k=0 }}</ref> Akiwa anajulikana sana na [[Wajaluo]] wa magharibi mwa Kenya kama Nyar Okuyo (binti wa [[Wakikuyu]] ), Wainaina alikuwa bingwa wa "mapinduzi ya kijinsia" katika utetezi wa uwezeshaji wa wanawake. Vikundi vyake katika maendeleo vilikuwa hasa watoto wa mitaani na wajane, hasa wale walioathirika na janga la VVU/UKIMWI.<ref>{{Cite web |url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957419 |title=Woman tills tiny piece of land to fame<!-- Bot generated title --> |access-date=2008-04-02 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080503112946/http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957419 |archive-date=2008-05-03 |url-status=dead |accessdate=2022-02-17 |archivedate=2008-05-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080503112946/http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957419 }}</ref> Alifariki akiwa na [[umri]] wa miaka 46, baada ya kupatikana na [[saratani]],<ref>{{Cite web |url=http://www.misterseed.com/ORBITUARIES/2007%20AREA/ORBITUARIES2.htm |title="Obituaries 2008". |access-date=2017-12-23 |archive-date=2020-02-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20200224210356/http://misterseed.com/ORBITUARIES/2007%20AREA/ORBITUARIES2.htm |url-status=dead |accessdate=2022-02-17 |archivedate=2020-02-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200224210356/http://misterseed.com/ORBITUARIES/2007%20AREA/ORBITUARIES2.htm }}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.africangreenrevolution.com/en/green_revolution/focus_stories/loss_of_wainaina.html |title=Untimely loss of Fidelis Wainaina<!-- Bot generated title --> |access-date=2008-04-02 |archive-url=https://web.archive.org/web/20081121030256/http://www.africangreenrevolution.com/en/green_revolution/focus_stories/loss_of_wainaina.html |archive-date=2008-11-21 |url-status=dead |accessdate=2022-02-17 |archivedate=2008-11-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081121030256/http://www.africangreenrevolution.com/en/green_revolution/focus_stories/loss_of_wainaina.html }}</ref> ==Marejeo== {{BD|1962|2008}} [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] <references /> [[Jamii:AWC Zanzibar]] tgtmtl7ukyejcqifs2mbb0y3lj453u2 Roshanara Ebrahim 0 146453 1437200 1317528 2025-07-12T11:00:21Z Mimi Prowess 50743 kuongeza picha kwenye sanduku la habari 1437200 wikitext text/x-wiki {{Infobox_Person | jina = Roshanara Ebrahim | nchi = Kenya {{flagicon|Kenya}} | majina_mengine = | picha = | ukubwawapicha = | maelezo_ya_picha = Roshanara Ebrahim katika shindano la urembo | jina_la_kuzaliwa = Roshanara Ebrahim | tarehe_ya_kuzaliwa = 15 Oktoba 1993 (miaka 31) | mahala_pa_kuzaliwa = Nairobi, Kenya | tarehe_ya_kufariki = | mahala_alipofia = | sababu_ya_kifariki = | anajulikana kwa = Shindano la Miss Universe Kenya 2021, Miss World Kenya 2016 (alitenguliwa) | kazi_yake = Mwanamitindo, mtangazaji wa runinga, mshiriki wa mashindano ya urembo | cheo = | mshahara = | kipindi = | alitanguliwa_na = | akafuatiwa_na = | chama = | bodi = | dhehebu= | dini = | ndoa = | miaka_ya_Upadri = | rafiki = | watoto = | mahusiano = | washauri_wa_Mwanzo = | tovuti = | maelezo = Mshiriki wa mashindano ya urembo kutoka Kenya, aliyeshinda taji la Miss Universe Kenya 2021 na Miss World Kenya 2016 (kabla ya kutenguliwa). | mwajiri = | urefu = 1.81 m (5 ft 11½ in) | uzito = }} '''Roshanara Ebrahim''' (alizaliwa [[Nairobi]], [[15 Oktoba]] [[1993]]) ni [[mwanamitindo]], [[mwandishi]], [[mtangazaji]] wa [[televisheni]] nchini [[Kenya]]. Ni mshindi wa taji la shindano la urembo la Miss Universe Kenya Mwaka [[2021]]. Akiwa Miss Universe Kenya, aliwakilisha Kenya katika Miss Universe 2021. Hapo awali Roshanara Ebrahim alitawazwa kuwa ''Bi'' kwenye Vyuo Vikuu mwaka [[2014]], Miss World Kenya [[2016]] (lakini aliondolewa) na Miss Supermodel International Kenya [[2018]]. ==Maisha ya mwanzo, familia yake na elimu== Roshanara alizaliwa na baba Mwajemi, Mahmood Ebrahim, ambaye anatoka [[Iran]], na mama yake [[Msomali]] Fatou Spirou, ambaye alikulia nchini Kenya. Ingawa alizaliwa Nairobi, alikulia [[Mombasa]] ambapo wazazi wake walihamia kwa sababu ya biashara yao ya vito.<ref>Saturday Nation Magazine, November 13, 2021. satmag@ke.nationmedia.com</ref> Mnamo 2005, alihudhuria Light Academy huko Nairobi, na mnamo 2006, alianza kuhudhuria Shule ya Kimataifa ya Doon huko Dehradun, Uttarakhand, [[India]]. Mnamo 2011, alilazwa katika Hospitali ya Aga Khan huko Mombasa, Kenya. Kuanzia 2011 hadi 2015, alisomea sheria za kimataifa na masomo ya sheria katika [[Chuo Kikuu cha Nairobi]]. ===Elimu=== Mwaka 2005 alihudhuria Shule ya Ligh Academy huko Nairobi. Mwaka 2006, alihudhuria Shule ya Kimataifa ya Dehradun huko, Uttarakhand, India. <ref> https://conandaily.com/2021/12/12/roshanara-ebrahim-biography-13-things-about-miss-universe-kenya-2021/</ref> Mwaka 2011, alihudhuria hospitali ya Aga Khan huko Mombasa, Kenya. Tangu 2011 hadi 2015, alijifunza sheria ya kimataifa na masomo ya kisheria katika Chuo Kikuu cha Nairobi. Mnamo Machi 2012, alikuwa Modo mwakilishi wa Kenya wa [[Umoja wa Mataifa]]. Tangu Novemba 2012 hadi Desemba 2014, alikuwa mfano wa Strut it Afrika. Mnamo Januari 2013, alifanya kazi kama mkurugenzi wa Muse Limited. Tangu Julai 2013 hadi Agosti 2013, alikuwa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kimataifa wa [[Umoja wa Ulaya]]. ==Marejeo== {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] [[Jamii:Wanamitindo wa Kenya]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] npxmfnh8et4q15nope0tl0rqbk454ts Purity Kagwiria 0 146467 1437147 1364484 2025-07-12T09:52:22Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437147 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Purity Kagwiria |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1982 |mahala_pa_kuzaliwa = Kaunti ya Meru, Kenya |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = Uanaharakati wa haki za wanawake na wasichana |kazi_yake = Mwanaharakati wa kifeministi, mwandishi wa habari, mkurugenzi mtendaji |nchi = Kenya {{flagicon|Kenya}} }} '''Purity Kagwiria''' (alizaliwa [[kaunti ya Meru]], [[Kenya]], [[1982]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] na [[mkurugenzi]] [[mtendaji]] wa Akili Dada nchini Kenya.<ref name="akili-team">{{cite web |title=Our team |url=http://www.akilidada.org/our-team/ |publisher=Akili Dada |accessdate=15 October 2018}}</ref> Kagwiria anapenda kuhamasisha rasilimali kwa ajili ya [[harakati]] za [[wanawake]] vijana kwa kurekodi hadithi za simulizi mbalimbali, upigaji picha, sanaa, kusoma na kupika.<ref>{{Cite news|url=https://youngfeministfund.org/our-team/purity-kagwiria/|title=Purity Kagwiria - FRIDA The Young Feminist Fund|work=FRIDA The Young Feminist Fund|access-date=2018-03-07|language=en-US}}</ref> == Elimu == Kagwiria ana [[shahada]] ya Jinsia na Maendeleo kutoka Chuo Kikuu cha [[Nairobi]].<ref name=":0" /> Ana [[Stashahada|diploma]] ya uandishi wa habari kutoka [[Taasisi]] ya Kenya ya Mawasiliano ya [[Umma]].<ref name=":0">{{Cite web|url=http://equalrights4womenworldwide.blogspot.co.ke/2015/07/purity-kagwiria.html|title=Purity Kagwiria|website=equalrights4womenworldwide.blogspot.co.ke|access-date=2018-03-07}}</ref>Alipata Shahada ya Uzamili mwaka 2018 kutoka chuo cha Biashara Africa Leadership University.<ref>{{cite web | url =https://www.universityworldnews.com/post.php?story=2018071207275465 | title =Pan-African business school holds first MBA graduation | last =Kyama | first =Reuben | date =13 July 2018 | publisher =University World News | access-date =27 August 2019 }}</ref> == Kazi == Kagwiria amekuwa akitetea haki za wanawake tangu mwaka [[2004]]. Yeye ni [[mwanachama]] hai wa harakati za haki za wanawake.<ref name=":0" /> Yeye ni Mjumbe wa Kamati ya Ushauri ya FRIDA, The Young Feminist Fund.<ref>{{Cite web|url=https://youngfeministfund.org/about/|title=FRIDA}}</ref>Pia ni mshirika wa [[2013]] HOW FUND fellow <ref>{{Cite web|url=http://www.howfund.org/#initiatives|title=HowFund {{!}} Home|website=www.howfund.org|language=en|access-date=2018-03-07}}</ref> ambaye ni mshiriki wa Mkutano wa [[Uongozi]] wa Wasichana wa [[Afrika]] [[Mashariki]].<ref name=":1">{{Cite web|url=http://makeeverywomancount.org/index.php/community/our-monthly-interview/8876-interview-of-the-month-with-purity-kagwiria|title=Our Interview of the Month with Purity Kagwiria|last=McLarnon|first=Courtney|website=makeeverywomancount.org|language=en-gb|access-date=2018-03-07}}</ref>Purity ametoa wito uwezeshaji wa wanawake vijana ili kupunguza visa vya ukatili wa kijinsia.<ref>{{Cite news|url=http://kw.awcfs.org/article/empowering-young-women-decreases-cases-of-gbv/|title=Empowering young women decreases cases of GBV|date=2016-05-31|work=Kenyan Woman|access-date=2018-03-07|language=en-US|accessdate=2022-02-18|archivedate=2022-02-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220218175044/https://kw.awcfs.org/article/empowering-young-women-decreases-cases-of-gbv/}}</ref> Kagwiria alihudumu katika [[Muungano]] wa Kupambana na Unyanyasaji dhidi ya Wanawake, COVAW, ambapo alifanya kazi na Mkurugenzi Mtendaji wa wakati huo Anne Gathumbi ambaye alimsaidia kufichuliwa kuhusu masuala ya [[jinsia]]. Katika COVAW, alikusanya zaidi ya sahihi 10,000 ili kulazimisha [[Serikali]] ya Kenya kutia saini Itifaki ya Maputo ambayo iliidhinishwa mwaka wa 2010.<ref name=":1" /> Kulingana na uzoefu huu, aliweza kuweka msingi wa uharakati wake.<ref name=":1" /> Kagwiria amefanya kazi na Pencils for Africa kama Mjumbe wa Bodi ya Mtendaji.<ref>{{Cite web|url=http://pencilsforafrica.com/executive-board/|title=Executive board|website=pencilsforafrica.com|access-date=2018-03-07|accessdate=2022-02-18|archivedate=2022-02-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220218172809/http://pencilsforafrica.com/executive-board/}}</ref> Pia amefanya kazi na Girl Smart Africa<ref>{{Cite web|url=http://10ceo.org/shannon/|title=Shannon|website=10ceo.org|language=en-US|access-date=2018-03-07|accessdate=2022-02-18|archivedate=2022-02-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220218172810/http://10ceo.org/shannon/}}</ref> kama Mratibu wa Mpango wa Ndani na Mshauri katika Kituo cha [[Rasilimali]] kwa wanawake weusi, [[Zurich]], [[Uswizi]] ambapo alisaidia kujenga ujuzi wa wanawake vijana juu ya afya ya uzazi na kujitambua. Purity alifanya kazi kwa Asasi ya Vijana ya Kiafrika kati ya [[2009]]-[[2011]] kama Afisa [[Mradi]]. Alifanya kazi kujenga uwezo wa wanawake na washikadau wengine kuhusu [[Sheria]] ya Haki za Kibinadamu na utoaji wa katiba ya [[2010]]. == Akili Dada == Kagwiria ni [[Mkurugenzi]] Mtendaji wa Akili Dada, kitengo cha uongozi cha kimataifa kilichoshinda [[tuzo]] na kukuza kizazi cha wasichana na wanawake vijana kutoka malezi duni ambao kujitolea kwao kutabadilisha [[jamii]] zao.<ref>{{Cite web|url=https://support.oneworldchildrensfund.org/campaign/akili-dada-kenya/c78373|title=Akili Dada (Kenya)|website=support.oneworldchildrensfund.org|language=en|access-date=2018-03-07}}</ref> Akili Dada ilianzishwa mwaka [[2005]] ili kushughulikia uwakilishi mdogo wa wanawake katika maswala ya uongozi.<ref>{{Cite web|url=http://www.theeducationalist.com/nairobi/|title=Nairobi|website=www.theeducationalist.com|language=en-US|access-date=2018-03-07|accessdate=2022-02-18|archivedate=2022-02-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220218172812/http://theeducationalist.com/nairobi/}}</ref>Akili Dada inashirikiana na MATCH International Women's Fund,<ref>{{Cite web|url=http://matchinternational.org/grantee-profiles/|title=Meet Our Partners - MATCH International Women's Fund|website=matchinternational.org|language=en-US|access-date=2018-03-07}}</ref> Ford Foundation, Forum SYD, Hivos People Unlimited, Global Fund for Women, Segal Family Foundation,<ref>{{Cite web|url=http://www.segalfamilyfoundation.org/|title=Building a Community of Creative Collaborators|website=www.segalfamilyfoundation.org|language=en-US|access-date=2018-03-08}}</ref>Women and Girls Lead Global, The Global Fund for Children, Millicom Foundation, JJP Family Foundation, Oracle, Mize Family Foundation, Global Fund for Women, American Jewish World Service, Present Purpose, One World Children's Fund,<ref>{{Cite web|url=http://www.oneworldchildrensfund.org/|title=Home|website=OWCF|language=en-US|access-date=2018-03-08}}</ref> == Tuzo na kutambuliwa == Kagwiria alikuwa mzungumzaji mgeni wa kimataifa katika shirika la Northern California Grantmakers mwaka 2014.<ref>{{Cite news|url=https://ncg.org/news/all-way-nairobi-international-guest-speaker-purity-kagwiria|title=All the Way from Nairobi: International Guest Speaker Purity Kagwiria|date=2014-11-02|work=Northern California Grantmakers|access-date=2018-03-07|language=en|accessdate=2022-02-18|archivedate=2022-02-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220218174320/https://ncg.org/news/all-way-nairobi-international-guest-speaker-purity-kagwiria}}</ref>Alikuwa miongoni mwa wanafeministi 18 wa ajabu wa Kiafrika kujua na kusherehekea.<ref>{{Cite news|url=http://www.forharriet.com/2015/04/18-phenomenal-african-feminists-to-know.html|title=18 Phenomenal African Feminists to Know and Celebrate|work=For Harriet {{!}} Celebrating the Fullness of Black Womanhood|access-date=2018-03-07|accessdate=2022-02-18|archivedate=2022-02-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220218172809/http://www.forharriet.com/2015/04/18-phenomenal-african-feminists-to-know.html}}</ref> Aliorodheshwa miongoni mwa Wanafeministi 8 Wenye Ushawishi Zaidi barani [[Afrika]]. == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanaharakati wa Kenya]] [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 48b3uqxonv4emkq84s9xobxsdg6lbo4 Mai Musodzi 0 146715 1436989 1374360 2025-07-11T21:33:34Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1436989 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Mai Musodzi |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1885 |mahala_pa_kuzaliwa = Harare, Zimbabwe |tarehe_ya_kufariki = 21 July 1952 |mahala_alipofia = Salisbury |majina_mengine = Elizabeth Maria "Mai" Musodzi Ayema |anafahamika kwa = Mwanaharakati |kazi_yake = Mtumishi wa umma |nchi = Zimbabwe {{flagicon|Zimbabwe}} }}'''Elizabeth Maria "Mai" Musodzi Ayema''' MBE ([[1885]]-[[1952]]) alikuwa [[mwanaharakati]] wa [[Zimbabwe]] na mtumishi wa umma kutoka Salisbury. ==Maisha ya awali== Musodzi Chibhaga alizaliwa mwaka 1885 karibu na mji wa Salisbury, kwa sasa panaitwa [[Harare]], katika bonde la [[mto Mazowe]] juu kwa Chibhaga na Mazviwana. Shangazi yake Nehanda Nyakasikana<ref name=":0">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=o3y9CgAAQBAJ&q=Elizabeth%20Musodzi&pg=PA115|title=African Music, Power, and Being in Colonial Zimbabwe|last=Chikowero|first=Mhoze|publisher=Indiana University Press|isbn=978-0-253-01809-0|language=en}}</ref> alikua kiongozi wa kiroho wa jamii ya watu wa [[Kishona|shona.]] Yeye na ndugu zake walikuwa mayatima kufuatia maasi ya 1896-1897 dhidi ya [[ukoloni]] uliohusisha kuondoa makampuni ya [[Uingereza]] yaliyokuwa nchini [[Afrika Kusini]]. Walikwenda kuishi na [[mjomba]] wao katika kituo cha Jesuit Chishawasha. Musodzi alibatizwa Elizabeth Maria mwaka 1907.<ref name=":0" /> Aliolewa na sajenti wa [[polisi]] wa BSA wa [[Zambia]] Frank Kashimbo Ayema mwaka wa 1908. <ref>http://uir.unisa.ac.za/bitstream/handle/10500/4354/Ruzivo.pdf.txt?sequence=3</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1885]] [[Jamii:Waliofariki 1952]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] [[Jamii:FFD22]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] mb9zxzw4uzlbphzpmv8m8g4oq60mxuq Judith Kanakuze 0 146719 1436979 1414801 2025-07-11T21:04:11Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari 1436979 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Judith Kanakuze |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = Septemba 19, 1959 |mahala_pa_kuzaliwa = Rusizi, Ruanda-Urundi Rwanda |tarehe_ya_kufariki = Februari 7, 2010 |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = Mwanaharakati wa haki za wanawake |kazi_yake = Mutumishi wa umma |nchi = Rwanda {{flagicon|Rwanda}} }}'''Judith Kanakuze''' ([[Septemba 19]], [[1959]] - [[Februari 7]], [[2010]]) alikuwa [[Siasa|mwanasiasa]] wa [[Rwanda]] na [[mwanaharakati]] wa [[Haki za wanawake|haki za wanawake]] aliyejulikana sana kwa kupitisha sheria dhidi ya Unyanyasaji wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na ufafanuzi wa kwanza wa kisheria wa Rwanda juu ya [[ubakaji]], na kuchangia mgawanyo wa kijinsia wa kikatiba ambao ulihitaji uwakilishi wa wanawake katika mambo ya kiserikali.<ref>{{Cite web|title=Judith Kanakuze {{!}} Academic Influence|url=https://academicinfluence.com/people/judith-kanakuze|work=academicinfluence.com|accessdate=2022-02-24|language=en|archivedate=2022-02-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220224125813/https://academicinfluence.com/people/judith-kanakuze}}</ref> Alifanya kazi katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na lishe na utumishi wa umma, kabla ya kuwa kiongozi mashuhuri wa wanawake baada ya [[Mauaji ya kimbari ya Rwanda|mauaji ya kimbari]] ya mwaka [[1994]], ambapo alipoteza watu wengi kwenye familia yake. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanaharakati wa Rwanda]] [[Jamii:Waliofariki 2010]] [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:Wanawake wa Rwanda]] [[Jamii:FFD22]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] flts82jw5e2ytsgq4g57c2w89dmd0mp Amina Shukri 0 147075 1437035 1234164 2025-07-12T04:54:57Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437035 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Amina Shukri |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1912 |mahala_pa_kuzaliwa = Alexandria, Misri |tarehe_ya_kufariki = 1964 |mahala_alipofia = London, Uingereza |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = |elimu_yake = |nchi = }} ''''Amina Shukri''' (kwa [[Kiarabu]]: أمينة شكرى, [[1912]] - [[1964]]) alikuwa mfanyakazi wa [[jamii]] na [[mwanasiasa]] wa [[Misri]]. Mnamo [[1957]] alikuwa miongoni mwa [[wanawake]] wawili wa kwanza kuchaguliwa kuwa [[wabunge]]. == Wasifu == Shukri alizaliwa mjini [[Aleksandria]] mwaka [[1921]], [[mtoto]] wa Mohamed Abu El-Ezz aliyekuwa mhariri wa [[magazeti]].<ref>{{Cite web|title=Mohamed El-Demerdash{{!}}Publications:- تحرير شخصية أمينة شكري 1912 ــ 1964، موسوعة أعلام مصر في القرنين التاسع عشر والعشرين، مكتبة الإسكندرية .|url=https://bu.edu.eg/portal/index.php?act=61&pub_id=19122&username=mohamedaldemerdash9|work=bu.edu.eg|accessdate=2022-03-05}}</ref> Alikuwa mtoa huduma za kijamii na alianzisha kituo cha kulea [[watoto]] ambacho alikuwa na watoto takribani 400, pia alikuwa mshiriki wa muungano wa kutetea [[Ufeministi|haki za wanawake]] wa [[Misri]].<ref>https://www.thetimes.co.uk/tto/archive/frame/viewer/1964-10-21/17/6.html</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.uk/books?id=Y900ymkaKX4C&lpg=PA39&ots=L0yrr9K45h&pg=PA40#v=onepage&q&f=false|title=Women in Egyptian Public Life|last=Sullivan|first=Earl L.|date=1986-03-01|publisher=Syracuse University Press|isbn=978-0-8156-2354-0|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1912]] [[Jamii:Waliofariki 1964]] [[Jamii:Wanasiasa wa Misri]] [[Jamii:Wanawake wa Misri]] [[Jamii:Wanaharakati wa Misri]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:FFD22]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] kpdop4qq8izgiciysrkdn00mk3mu6yb Arwa Saleh 0 147263 1436977 1224563 2025-07-11T19:46:29Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii na kuongeza viungo 1436977 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Arwa Saleh |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1951 |mahala_pa_kuzaliwa = Mmisri |tarehe_ya_kufariki = 1997 |mahala_alipofia = Mmisri |majina_mengine = أروى صالح |anafahamika kwa = Uanaharakati wa wanafunzi, Ukomunisti wa kike, Uchapishaji wa siri |kazi_yake = Mwandishi |nchi = Mmisri {{flagicon|Egypt}} }} '''Arwa Saleh''' ([[1951]]–[[1997]]) alikuwa [[Ukomunisti|mkomunisti]] na [[Ufeministi|mwanafeministi]] wa [[Misri]], ambaye alikuwa [[kiongozi]] wa wanafunzi wakongwe katika vuguvugu la wanafunzi wenye [[itikadi kali]] miaka ya [[1970]]. Pia alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Wafanyakazi wa Kikomunisti cha Misri cha Marxist-Leninist (ECWP).<ref>https://www.academia.edu/26969134</ref> <ref>{{Cite web |url=http://thecairopost.youm7.com/news/70908/inside_egypt/the-most-famous-people-who-committed-suicide-in-egypt |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-03-08 |archivedate=2018-03-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180310012111/http://thecairopost.youm7.com/news/70908/inside_egypt/the-most-famous-people-who-committed-suicide-in-egypt }}</ref> Maandishi wake mengi yalionekana kwenye gazeti la ECWP, iliyosambazwa kwa siri kutokana na ukandamizaji wa serikali ya wakomunisti. Pia alichapisha tafsiri kadhaa za fasihi ya Marxist katika Kiarabu, ikijumuisha Mapambano ya Hatari ya Tony Cliff na ''Ukombozi wa Wanawake'' (1984). Ana mkusanyiko wa insha mbili zilizochapishwa kama ''al-Mubtasarun'' (au ''The Premature Ones/The Stillborn'') inayo maanisha (''Waliozaliwa Kabla ya Wakati/Waliokufa'') na nyingine, iliyochapishwa baada ya kufa, yenye jina Saratan al-Rawh (''Saratani ya Nafsi''). Alijiua mnamo 1997. == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1951]] [[Jamii:Waliofariki 1997]] [[Jamii:Wanasiasa wa Misri]] [[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] oli2eaesbern73mnyqt1nle6x35wjvr Daraja la Katembe 0 147584 1437000 1319589 2025-07-11T21:43:12Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437000 wikitext text/x-wiki '''Daraja la Maputo–Katembe''' (kwa [[Kireno]]: ''Ponte de Maputo a Katembe'') ni [[daraja la kusimamishwa]] kuvuka [[Maputo Bay]] kusini mwa [[Msumbiji]]. Daraja linaunganisha [[mji mkuu]] wa Msumbiji [[Maputo]], kwenye ukingo wa kaskazini, na kitongoji chake cha [[Katembe]] kwenye ukingo wa kusini. Kazi ya ujenzi ilianza mwaka wa 2014 na daraja hilo lilifunguliwa rasmi tarehe 10 Novemba 2018.<ref>{{Cite news |url= http://clubofmozambique.com/news/maputo </ref>.Daraja la Katembe lilizinduliwa tarehe 25 ya mwezi Juni, tarehe ambayo Msumbiji ilipata Uhuru.Catembe. Kazi ya ujenzi ilifanywa na Wachina [[China Road and Bridge Corporation]]; sehemu kubwa ya mradi huo inafadhiliwa na mikopo kutoka kwa Wachina [[Benki ya Exim ya China|Benki ya Exim]]. <ref name="VBI">{{citation |surname1=Stefan Tavares Bollow, Jörn Seitz und Andreas Raftis |editor-surname1=Verband Beratender Ingenieure |periodical=Beratende Ingenieure das Fachmagazin für Planen und Bauen |title=Deutsches Know-how für Afrikas längste Hängebrücke |volume=47 |issue=1–2/2017 |publisher=Köllen Druck+Verlag |location=Berlin |pages=42ff |date=January 2017 |language=German |url=http://epaper.koellen.de/vbi/2017-01/files/assets/common/downloads/bdvb_126.pdf |access-date=2022-03-16 |archive-date=2021-06-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20210615011403/http://epaper.koellen.de/vbi/2017-01/files/assets/common/downloads/bdvb_126.pdf |url-status=dead }}</ref> ==Historia== [[File:Ponte_Catembe_Maputo.jpg|thumb|Nguzo za daraja zilizokamilika za daraja linalojengwa kati ya Maputo na Katembe (mwonekano wa ukingo wa kusini wa Katembe; Septemba 2016)]] Wazo la daraja juu ya Ghuba ya Maputo - linalofanana na [[25 de Abril Bridge|25 Abril bridge]] juu ya [[Tagus]] huko Lisbon - lilikuwa tayari limepangwa kwa miaka mingi. Mnamo 1989, [[Benki ya Dunia]] ilifadhili mpango wa ukuaji wa miji wa Maputo, ambao ulijumuisha ujenzi wa daraja.<ref name="jenkins">{{cite web|title=Home Space: Context Report |url= </ref>. Ilikuwa tu kutokana na mwisho wa vita vya wenyewe kwa wenyewe, uwekezaji mwingi katika kipindi cha ukuaji wa gesi na mafuta na kuhusishwa na kuimarika kwa uchumi nchini Msumbiji ambapo serikali ya Msumbiji iliweza kukabiliana na mradi huo. Serikali ilifungua utaratibu wa kujieleza wa maslahi mnamo Novemba 2008.<ref>{{cite web|title=Catembe: o mito faz parte do passado|periodical=A Verdade |url=http://www.verdade.co.mz/motores/1839-catembe-o-mito-faz-parte-do-passado |accessdate=2014-11-09 |date=2009-04-15|language=Portuguese|quote=O Governo de Moçambique lançou em Novembro de 2008 um convite internacional para a manifestação de intenções para efeitos de concepção e concessão da empreitada da futura ponte de Maputo para a Catembe.}}</ref> Kazi ya ujenzi huo iliagizwa na kampuni ya maendeleo inayomilikiwa na serikali ya Maputo [[Maputo Sul]], ambayo pia inahusika na ujenzi wa [[Maputo Ring Road|barabara ya pete]]. Ujenzi wenyewe ulifanywa na kikundi cha wahandisi wa ujenzi wa China [[China Road and Bridge Corporation]]. Kazi ya kwanza ya ujenzi ilianza mnamo Juni 2014.<ref>{{cite web |title=Catembe: Arranca construção das estacas da ponte |periodical=Jornal Notícias |url=http://www.jornalnoticias.co.mz/index.php/capital/18482-catembe-arranca-construcao-das-estacas-da-ponte |accessdate=2014-11-09 |date=2014-06-30 |language=German |archivedate=2017-11-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20171107013245/http://www.jornalnoticias.co.mz/index.php/capital/18482-catembe-arranca-construcao-das-estacas-da-ponte }}</ref> Baada ya ucheleweshaji fulani - haswa katika makazi mapya ya wakaazi katika kitongoji cha Maputo cha Malanga - daraja hilo lilizinduliwa mnamo 2018-11-15. == Maelezo ya ujenzi == [[File:Ponte_Maputo-Catembe,_Maputo,_Moçambique,_September_2017_(2).jpg|thumb|Kazi ya ujenzi katika sehemu ya kaskazini ya daraja (Septemba 2017)]] Daraja la kusimamishwa kwa njia nne lina urefu wa mita 3041 na huvuka ghuba kwa urefu wa mita 60. Njia ya kaskazini (daraja la mbele) ina urefu wa mita 1097, takriban umbo la S na imeunganishwa kwenye mzunguko wa Praça 16 de Junho (uliounganishwa na barabara kuu za EN1/EN2/EN4) katika kitongoji cha Maputo cha Malanga. Njia ya kusini ina urefu wa mita 1264 na inajumuisha vipengele vya precast. Imeunganishwa moja kwa moja na barabara ya [[Ponta do Ouro]] ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii:Maputo]] [[Jamii:Madaraja nchini Msumbiji]] [[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]] nkktbqslxqvp21bz6q945fmsqfc78ar Alifa Rifaat 0 147618 1436978 1432168 2025-07-11T20:29:49Z Mimi Prowess 50743 kuongeza maneno ndani ya makala 1436978 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Fatimah Rifaat |picha = Alifa Rifaat.jpg |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 5 Juni 1930 |mahala_pa_kuzaliwa = Misri |tarehe_ya_kufariki = Januari 1996 |mahala_alipofia = |majina_mengine = Alifa Rifaat |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mwandishi |nchi = Misri {{flagicon|Egypt}} }} '''Fatimah Rifaat''' (alizaliwa [[Juni 5]] [[1930]] ,alifariki [[Januari]] [[1996]]), alijulikana Kama '''Alifa Rifaat (Kiarabu: أليفة رفعت),''' alikua [[mwandishi]] wa nchini [[Misri]] ambaye [[hadithi]] zake fupi zenye utata zilijulikana wakati wa maonyesho ya mienendo ya mahusiano ,[[jinsia]] ya kike na katika [[utamaduni]] wa Misri.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.google.com/doodles/alifa-rifaats-91st-birthday| title = Alifa Rifaat's 91st Birthday|website=Google| date = 5 Juni 2021}}</ref> Wakati wakichukua mada kama hizi zenye utata, wahusika wakuu wa Fatimah Rifaat walibaki waaminifu kidini na hisia za kupita kiasi kuelekea hatima yao. Hadithi zake hazikujaribu kudhoofisha mfumo dume; bali zilitumiwa kuonyesha matatizo yaliyomo katika jamii ya wahenga wakati wanaume hawazingatii mafundisho yao ya kidini ambayo yanawapasa kuwatendea wemawanawake. Fatimah Rifaat alitumia jina bandia la Alifa ili kuzuia aibu kwa upande wa familia yake kutokana na mandharia ya hadithi zake na kazi yake ya uandishi. ==Marejeo== [[Jamii:Waliozaliwa 1930]] [[Jamii:Waliofariki 1996]] [[Jamii:Wanawake wa Misri]] [[Jamii:Waandishi wa Misri]] <references /> [[Jamii:AWC Zanzibar]] qz0ig2h2errcr6od71x32xth7zougep Tuzo za kora 0 149685 1436961 1223048 2025-07-11T16:11:04Z Yoramtohny 52771 1436961 wikitext text/x-wiki '''Tuzo za Kora''' ni [[tuzo]] za [[muziki]] zinazotolewa kila mwaka kwa mafanikio ya muziki barani Afrika katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Tuzo hizo zilianzishwa mwaka [[1990|1994]] na mfanyabiashara mzaliwa wa [[Beninyo wa Milano|Benin ,]] Ernest Adjovi, baada ya majadiliano nchini Namibia na Rais wa nchi hiyo [[Hage Geingob]].<ref>{{Cite web|title=Buying into Adjovi's empty dream|url=https://www.namibian.com.na/index.php?page=archive-read&id=148120|work=The Namibian|accessdate=2022-05-07|language=en|author=The Namibian}}</ref>Tuzo hilo limepewa jina la kora ambalo lilikuwa jina la mwimbaji maarufu wa Afrika Magharibi. <references /> == Marejeo == {{Mbegu}} [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:Muziki wa Afrika]] [[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]] [[Jamii: Sanaa]] ikkamuwqsrp2lv3oxrswjc8ajowrvav Tuzo za muziki Tanzania 0 149747 1436954 1337369 2025-07-11T15:54:09Z Yoramtohny 52771 1436954 wikitext text/x-wiki '''Tuzo za muziki Tanzania''' ni tuzo za muziki za kitaifa zinazofanyika kila mwaka nchini Tanzania <ref>http://www.kilitimetz.com/awards/2009/about_awards.html</ref>Tanzania. Pia zinajulikana kama [[Kilimanjaro Music Awards]] au ''Kili Music Awards'' kama mfadhili wao ''Kilimanjaro Premium Lager''. <ref>https://allafrica.com/stories/201103281745.html</ref>Ttuzo zake zilianzishwa mwaka [[1999]] na Baraza la Sanaa la Taifa [[BASATA]] chini ya Wizara ya Elimu na Utamaduni ya Tanzania. == Vipengele vya Tuzo ==  Msanii Bora wa Kiume o  Msanii Bora wa o  Mwimbaji Bora wa Kiume o  Mwimbaji Bora wa o  Mwandishi Bora wa Wimbo o  Msanii Bora Anayekuja o  Msanii bora wa Hip Hop o  Rapa bora (kutoka bendi) o  Wimbo Bora o  Video Bora ya Muziki o  Mkurugenzi Bora wa Video ya Muziki o  Wimbo Bora wa Afro Pop o  Wimbo Bora wa R&B o  Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba o  Wimbo Bora wa Hip Hop o  Wimbo Bora wa Ushirikiano o  Wimbo Bora wa Kiswahili (kutoka bendi) o  Wimbo Bora wa Ragga/Dancehall o  Wimbo Bora wa Reggae o  Wimbo Bora wa Taarab o  Wimbo Bora wa Afrika Mashariki o  Wimbo Bora wa Jadi o  Mtayarishaji Bora Jim Beam == Marejeo == [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:muziki wa Tanzania]] [[Jamii:tuzo]] q8t1atv3ql2dmorih6ncj5kpvsqnv4u 1436957 1436954 2025-07-11T16:03:00Z Yoramtohny 52771 1436957 wikitext text/x-wiki '''Tuzo za muziki Tanzania''' ni tuzo za muziki za kitaifa zinazofanyika kila mwaka nchini Tanzania <ref>http://www.kilitimetz.com/awards/2009/about_awards.html</ref>Tanzania. Pia zinajulikana kama [[Kilimanjaro Music Awards]] au ''Kili Music Awards'' kama mfadhili wao ''Kilimanjaro Premium Lager''. <ref>https://allafrica.com/stories/201103281745.html</ref>Ttuzo zake zilianzishwa mwaka [[1999]] na Baraza la Sanaa la Taifa [[BASATA]] chini ya Wizara ya Elimu na Utamaduni ya Tanzania. == Vipengele vya Tuzo == # Msanii Bora wa Kiume # Msanii Bora wa # Mwimbaji Bora wa Kiume # Mwimbaji Bora wa # Mwandishi Bora wa Wimbo # Msanii Bora Anayekuja #Msanii bora wa Hip Hop #Rapa bora (kutoka bendi) #Wimbo Bora #Video Bora ya Muziki #Mkurugenzi Bora wa Video ya Muziki #Wimbo Bora wa Afro Pop #Wimbo Bora wa R&B #Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba #Wimbo Bora wa Hip Hop #Wimbo Bora wa Ushirikiano #Wimbo Bora wa Kiswahili (kutoka bendi) #Wimbo Bora wa Ragga/Dancehall #Wimbo Bora wa Reggae #Wimbo Bora wa Taarab #Wimbo Bora wa Afrika Mashariki #Wimbo Bora wa Jadi #Mtayarishaji Bora Jim Beam == Marejeo == [[Jamii:Arusha Editathon Muziki]] [[Jamii:muziki wa Tanzania]] [[Jamii:tuzo]] j7tm4le9oxegaak85evknnhzlj6gwm8 Ocean Ramsey 0 151112 1437069 1282085 2025-07-12T06:29:13Z Alex Rweyemamu 75841 /* growthexperiments-addlink-summary-summary:2|0|1 */ 1437069 wikitext text/x-wiki [[Faili:Ocean Ramsey headshot in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ocean Ramsey]] '''Ocean Ramsey''' ni mhifadhi, mkimbiaji huru na [[mwanamitindo]] wa [[Marekani]]. <ref name="metro1">{{Cite web|url=http://metro.co.uk/2013/03/06/model-ocean-ramsey-dispelling-myths-by-diving-with-great-white-sharks-3529539/|title=Model Ocean Ramsey dives with great white shark to dispel Jaws myths &#124; Metro News|date=2013-03-06|publisher=Metro.co.uk|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1">{{Cite web|url=https://abcnews.go.com/blogs/headlines/2013/02/diver-ocean-ramsey-swims-with-sharks/|title=Diver Ocean Ramsey Swims With Sharks - ABC News|date=2013-02-18|publisher=Abcnews.go.com|accessdate=2017-03-18}}</ref> Anaendesha kampuni ya One Ocean Diving, LLC huko Hawaii, kampuni inayowezesha kupiga mbizi na viumbe vya baharini. <ref>{{Cite web|url=https://hbe.ehawaii.gov/documents/business.html?fileNumber=190042C5|title=State of Hawaii Business Registrations|work=hbe.ehawaii.gov|language=en|accessdate=2018-04-23}}</ref> Alipata usikivu wa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kupiga mbizi bila malipo na papa, ikiwa ni pamoja na papa wakubwa weupe, ili kuleta tahadhari kwa uhifadhi wa papa. <ref>{{Cite web|url=http://www.nydailynews.com/news/national/woman-swims-unprotected-great-white-sharks-article-1.1267123|title=SEE IT: Woman swims unprotected with great white sharks|author=Roberts|first=Christine|date=2013-02-18|publisher=NY Daily News|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1" /> <ref>{{Cite web|url=http://www.huffingtonpost.com/2013/02/15/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-video_n_2699092.html|title=Ocean Ramsey, Shark Diver, Swims With Great White Shark (VIDEO)|date=16 February 2013|work=The Huffington Post|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|title=MSN.com - Hotmail, Outlook, Skype, Bing, Latest News, Photos & Videos|date=|publisher=Now.msn.com|accessdate=2017-03-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130614190028/http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|archivedate=2013-06-14}}</ref> Ramsey anaishi Hawaii, na amepiga mbizi na aina 47 za papa kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2019. <ref name="metro1" /> [[Faili:Ocean Ramsey with shark in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ramsey akiogelea na papa kwenye trela ya filamu ya ''She is the Ocean'', 2018]] Walipokuwa wakisoma tiger sharks huko Oahu na kikundi cha [[filamu]], walikutana na {{Convert|20|ft|m|abbr=on}} papa mrefu wa kike mweupe, anayejulikana kama Deep Blue. Video hiyo ilinaswa na mchumba wa Ramsey, Juan Oliphant, na video hiyo ikapokewa na vyombo vya habari duniani kote. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=A4LbTVkWBFY Ocean Ramsey on 60 Minutes Australia]</ref> Huku akisifiwa kwa kuongeza ufahamu wa viumbe hao, amekosolewa kwa vitendo vyake kwenye picha. Mwanabiolojia wa baharini Michael Domeier, mkurugenzi [[mwanzilishi]] wa Taasisi ya Sayansi ya Uhifadhi wa Bahari isiyo ya faida, alimkosoa kwa kuonekana kwenye video ya mwingiliano wa virusi vya papa. David Shiffman, mwanabiolojia wa uhifadhi wa baharini anayesoma papa, aliliambia gazeti ''la The Washington Post'' : "Siwezi kuamini kwamba 'tafadhali usimkamate wanyama pori wenye urefu wa futi 18' ni jambo linalohitaji kusemwa waziwazi, lakini hapa tumefika" <ref>{{Cite web|url=https://www.ecowatch.com/ocean-ramsey-shark-video-2626382493.html|title=Marine Biologists Raise Flags About Viral Great White Shark Encounter|date=18 January 2019}}</ref> <ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2019/01/18/womans-extremely-close-visit-with-giant-great-white-shark-went-viral-marine-biologists-say-dont-copy-her/</ref> == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] 4ixed3863k5s19pw6fbztim12iq3sbz 1437070 1437069 2025-07-12T06:31:08Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1437070 wikitext text/x-wiki [[Faili:Ocean Ramsey headshot in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ocean Ramsey]] '''Ocean Ramsey''' ni mhifadhi, mkimbiaji huru na [[mwanamitindo]] wa [[Marekani]]. <ref name="metro1">{{Cite web|url=http://metro.co.uk/2013/03/06/model-ocean-ramsey-dispelling-myths-by-diving-with-great-white-sharks-3529539/|title=Model Ocean Ramsey dives with great white shark to dispel Jaws myths &#124; Metro News|date=2013-03-06|publisher=Metro.co.uk|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1">{{Cite web|url=https://abcnews.go.com/blogs/headlines/2013/02/diver-ocean-ramsey-swims-with-sharks/|title=Diver Ocean Ramsey Swims With Sharks - ABC News|date=2013-02-18|publisher=Abcnews.go.com|accessdate=2017-03-18}}</ref> Anaendesha kampuni ya One Ocean Diving, LLC huko Hawaii, kampuni inayowezesha kupiga mbizi na viumbe vya baharini. <ref>{{Cite web|url=https://hbe.ehawaii.gov/documents/business.html?fileNumber=190042C5|title=State of Hawaii Business Registrations|work=hbe.ehawaii.gov|language=en|accessdate=2018-04-23}}</ref> Alipata usikivu wa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kupiga mbizi bila malipo na papa, ikiwa ni pamoja na papa wakubwa weupe, ili kuleta tahadhari kwa uhifadhi wa papa. <ref>{{Cite web|url=http://www.nydailynews.com/news/national/woman-swims-unprotected-great-white-sharks-article-1.1267123|title=SEE IT: Woman swims unprotected with great white sharks|author=Roberts|first=Christine|date=2013-02-18|publisher=NY Daily News|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1" /> <ref>{{Cite web|url=http://www.huffingtonpost.com/2013/02/15/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-video_n_2699092.html|title=Ocean Ramsey, Shark Diver, Swims With Great White Shark (VIDEO)|date=16 February 2013|work=The Huffington Post|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|title=MSN.com - Hotmail, Outlook, Skype, Bing, Latest News, Photos & Videos|date=|publisher=Now.msn.com|accessdate=2017-03-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130614190028/http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|archivedate=2013-06-14}}</ref> Ramsey anaishi Hawaii, na amepiga mbizi na aina 47 za papa kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2019. <ref name="metro1" /> [[Faili:Ocean Ramsey with shark in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ramsey akiogelea na papa kwenye trela ya filamu ya ''She is the Ocean'', 2018]] Walipokuwa wakisoma tiger sharks huko Oahu na kikundi cha [[filamu]], walikutana na {{Convert|20|ft|m|abbr=on}} papa mrefu wa kike mweupe, anayejulikana kama Deep Blue. Video hiyo ilinaswa na mchumba wa Ramsey, Juan Oliphant, na video hiyo ikapokewa na vyombo vya habari duniani kote. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=A4LbTVkWBFY Ocean Ramsey on 60 Minutes Australia]</ref> Huku akisifiwa kwa kuongeza ufahamu wa viumbe hao, amekosolewa kwa vitendo vyake kwenye picha. Mwanabiolojia wa baharini Michael Domeier, mkurugenzi [[mwanzilishi]] wa Taasisi ya Sayansi ya Uhifadhi wa Bahari isiyo ya faida, alimkosoa kwa kuonekana kwenye video ya mwingiliano wa virusi vya papa. David Shiffman, mwanabiolojia wa uhifadhi wa baharini anayesoma papa, aliliambia gazeti ''la The Washington Post'' : "Siwezi kuamini kwamba 'tafadhali usimkamate [[Wanyamapori|wanyama pori]] wenye urefu wa futi 18' ni jambo linalohitaji kusemwa waziwazi, lakini hapa tumefika" <ref>{{Cite web|url=https://www.ecowatch.com/ocean-ramsey-shark-video-2626382493.html|title=Marine Biologists Raise Flags About Viral Great White Shark Encounter|date=18 January 2019}}</ref> <ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2019/01/18/womans-extremely-close-visit-with-giant-great-white-shark-went-viral-marine-biologists-say-dont-copy-her/</ref> == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] rwafcszfq33om9am6uci8lhuoj7v6i3 1437126 1437070 2025-07-12T09:30:29Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye clothes 1437126 wikitext text/x-wiki [[Faili:Ocean Ramsey headshot in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ocean Ramsey]] '''Ocean Ramsey''' ni mhifadhi, mkimbiaji huru na [[mwanamitindo]] wa [[Marekani]]. <ref name="metro1">{{Cite web|url=http://metro.co.uk/2013/03/06/model-ocean-ramsey-dispelling-myths-by-diving-with-great-white-sharks-3529539/|title=Model Ocean Ramsey dives with great white shark to dispel Jaws myths &#124; Metro News|date=2013-03-06|publisher=Metro.co.uk|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1">{{Cite web|url=https://abcnews.go.com/blogs/headlines/2013/02/diver-ocean-ramsey-swims-with-sharks/|title=Diver Ocean Ramsey Swims With Sharks - ABC News|date=2013-02-18|publisher=Abcnews.go.com|accessdate=2017-03-18}}</ref> Anaendesha kampuni ya One Ocean Diving, LLC huko Hawaii, kampuni inayowezesha kupiga mbizi na viumbe vya baharini. <ref>{{Cite web|url=https://hbe.ehawaii.gov/documents/business.html?fileNumber=190042C5|title=State of Hawaii Business Registrations|work=hbe.ehawaii.gov|language=en|accessdate=2018-04-23}}</ref> Alipata usikivu wa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kupiga mbizi bila malipo na papa, ikiwa ni pamoja na papa wakubwa weupe, ili kuleta tahadhari kwa uhifadhi wa papa. <ref>{{Cite web|url=http://www.nydailynews.com/news/national/woman-swims-unprotected-great-white-sharks-article-1.1267123|title=SEE IT: Woman swims unprotected with great white sharks|author=Roberts|first=Christine|date=2013-02-18|publisher=NY Daily News|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1" /> <ref>{{Cite web|url=http://www.huffingtonpost.com/2013/02/15/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-video_n_2699092.html|title=Ocean Ramsey, Shark Diver, Swims With Great White Shark (VIDEO)|date=16 February 2013|work=The Huffington Post|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|title=MSN.com - Hotmail, Outlook, Skype, Bing, Latest News, Photos & Videos|date=|publisher=Now.msn.com|accessdate=2017-03-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130614190028/http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|archivedate=2013-06-14}}</ref> Ramsey anaishi Hawaii, na amepiga mbizi na aina 47 za papa kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2019. <ref name="metro1" /> [[Faili:Ocean Ramsey with shark in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ramsey akiogelea na papa kwenye trela ya filamu ya ''She is the Ocean'', 2018]] Walipokuwa wakisoma tiger sharks huko Oahu na kikundi cha [[filamu]], walikutana na {{Convert|20|ft|m|abbr=on}} papa mrefu wa kike mweupe, anayejulikana kama Deep Blue. Video hiyo ilinaswa na mchumba wa Ramsey, Juan Oliphant, na video hiyo ikapokewa na vyombo vya habari duniani kote. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=A4LbTVkWBFY Ocean Ramsey on 60 Minutes Australia]</ref> Huku akisifiwa kwa kuongeza ufahamu wa viumbe hao, amekosolewa kwa vitendo vyake kwenye picha. Mwanabiolojia wa baharini Michael Domeier, mkurugenzi [[mwanzilishi]] wa Taasisi ya Sayansi ya Uhifadhi wa Bahari isiyo ya faida, alimkosoa kwa kuonekana kwenye video ya mwingiliano wa virusi vya papa. David Shiffman, mwanabiolojia wa uhifadhi wa baharini anayesoma papa, aliliambia gazeti ''la The Washington Post'' : "Siwezi kuamini kwamba 'tafadhali usimkamate [[Wanyamapori|wanyama pori]] wenye urefu wa futi 18' ni jambo linalohitaji kusemwa waziwazi, lakini hapa tumefika" <ref>{{Cite web|url=https://www.ecowatch.com/ocean-ramsey-shark-video-2626382493.html|title=Marine Biologists Raise Flags About Viral Great White Shark Encounter|date=18 January 2019}}</ref> <ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2019/01/18/womans-extremely-close-visit-with-giant-great-white-shark-went-viral-marine-biologists-say-dont-copy-her/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] t8s38f5uzfda6umy4zr84nhrgrw5x8y 1437188 1437126 2025-07-12T10:33:56Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437070 wikitext text/x-wiki [[Faili:Ocean Ramsey headshot in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ocean Ramsey]] '''Ocean Ramsey''' ni mhifadhi, mkimbiaji huru na [[mwanamitindo]] wa [[Marekani]]. <ref name="metro1">{{Cite web|url=http://metro.co.uk/2013/03/06/model-ocean-ramsey-dispelling-myths-by-diving-with-great-white-sharks-3529539/|title=Model Ocean Ramsey dives with great white shark to dispel Jaws myths &#124; Metro News|date=2013-03-06|publisher=Metro.co.uk|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1">{{Cite web|url=https://abcnews.go.com/blogs/headlines/2013/02/diver-ocean-ramsey-swims-with-sharks/|title=Diver Ocean Ramsey Swims With Sharks - ABC News|date=2013-02-18|publisher=Abcnews.go.com|accessdate=2017-03-18}}</ref> Anaendesha kampuni ya One Ocean Diving, LLC huko Hawaii, kampuni inayowezesha kupiga mbizi na viumbe vya baharini. <ref>{{Cite web|url=https://hbe.ehawaii.gov/documents/business.html?fileNumber=190042C5|title=State of Hawaii Business Registrations|work=hbe.ehawaii.gov|language=en|accessdate=2018-04-23}}</ref> Alipata usikivu wa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kupiga mbizi bila malipo na papa, ikiwa ni pamoja na papa wakubwa weupe, ili kuleta tahadhari kwa uhifadhi wa papa. <ref>{{Cite web|url=http://www.nydailynews.com/news/national/woman-swims-unprotected-great-white-sharks-article-1.1267123|title=SEE IT: Woman swims unprotected with great white sharks|author=Roberts|first=Christine|date=2013-02-18|publisher=NY Daily News|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1" /> <ref>{{Cite web|url=http://www.huffingtonpost.com/2013/02/15/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-video_n_2699092.html|title=Ocean Ramsey, Shark Diver, Swims With Great White Shark (VIDEO)|date=16 February 2013|work=The Huffington Post|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|title=MSN.com - Hotmail, Outlook, Skype, Bing, Latest News, Photos & Videos|date=|publisher=Now.msn.com|accessdate=2017-03-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130614190028/http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|archivedate=2013-06-14}}</ref> Ramsey anaishi Hawaii, na amepiga mbizi na aina 47 za papa kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2019. <ref name="metro1" /> [[Faili:Ocean Ramsey with shark in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ramsey akiogelea na papa kwenye trela ya filamu ya ''She is the Ocean'', 2018]] Walipokuwa wakisoma tiger sharks huko Oahu na kikundi cha [[filamu]], walikutana na {{Convert|20|ft|m|abbr=on}} papa mrefu wa kike mweupe, anayejulikana kama Deep Blue. Video hiyo ilinaswa na mchumba wa Ramsey, Juan Oliphant, na video hiyo ikapokewa na vyombo vya habari duniani kote. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=A4LbTVkWBFY Ocean Ramsey on 60 Minutes Australia]</ref> Huku akisifiwa kwa kuongeza ufahamu wa viumbe hao, amekosolewa kwa vitendo vyake kwenye picha. Mwanabiolojia wa baharini Michael Domeier, mkurugenzi [[mwanzilishi]] wa Taasisi ya Sayansi ya Uhifadhi wa Bahari isiyo ya faida, alimkosoa kwa kuonekana kwenye video ya mwingiliano wa virusi vya papa. David Shiffman, mwanabiolojia wa uhifadhi wa baharini anayesoma papa, aliliambia gazeti ''la The Washington Post'' : "Siwezi kuamini kwamba 'tafadhali usimkamate [[Wanyamapori|wanyama pori]] wenye urefu wa futi 18' ni jambo linalohitaji kusemwa waziwazi, lakini hapa tumefika" <ref>{{Cite web|url=https://www.ecowatch.com/ocean-ramsey-shark-video-2626382493.html|title=Marine Biologists Raise Flags About Viral Great White Shark Encounter|date=18 January 2019}}</ref> <ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2019/01/18/womans-extremely-close-visit-with-giant-great-white-shark-went-viral-marine-biologists-say-dont-copy-her/</ref> == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] rwafcszfq33om9am6uci8lhuoj7v6i3 1437235 1437188 2025-07-12T11:38:41Z ~2025-18306-1 80081 jina ya KISWAHILI 1437235 wikitext text/x-wiki [[Faili:Ocean Ramsey headshot in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ocean Ramsey]] '''Ocean Ramsey''' ni mhifadhi, mkimbiaji huru na [[mwanamitindo]] wa [[Marekani]]. <ref name="metro1">{{Cite web|url=http://metro.co.uk/2013/03/06/model-ocean-ramsey-dispelling-myths-by-diving-with-great-white-sharks-3529539/|title=Model Ocean Ramsey dives with great white shark to dispel Jaws myths &#124; Metro News|date=2013-03-06|publisher=Metro.co.uk|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1">{{Cite web|url=https://abcnews.go.com/blogs/headlines/2013/02/diver-ocean-ramsey-swims-with-sharks/|title=Diver Ocean Ramsey Swims With Sharks - ABC News|date=2013-02-18|publisher=Abcnews.go.com|accessdate=2017-03-18}}</ref> Anaendesha kampuni ya One Ocean Diving, LLC huko Hawaii, kampuni inayowezesha kupiga mbizi na viumbe vya baharini. <ref>{{Cite web|url=https://hbe.ehawaii.gov/documents/business.html?fileNumber=190042C5|title=State of Hawaii Business Registrations|work=hbe.ehawaii.gov|language=en|accessdate=2018-04-23}}</ref> Alipata usikivu wa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kupiga mbizi bila malipo na papa, ikiwa ni pamoja na papa wakubwa weupe, ili kuleta tahadhari kwa uhifadhi wa papa. <ref>{{Cite web|url=http://www.nydailynews.com/news/national/woman-swims-unprotected-great-white-sharks-article-1.1267123|title=SEE IT: Woman swims unprotected with great white sharks|author=Roberts|first=Christine|date=2013-02-18|publisher=NY Daily News|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref name="abcnews1" /> <ref>{{Cite web|url=http://www.huffingtonpost.com/2013/02/15/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-video_n_2699092.html|title=Ocean Ramsey, Shark Diver, Swims With Great White Shark (VIDEO)|date=16 February 2013|work=The Huffington Post|accessdate=2017-03-18}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|title=MSN.com - Hotmail, Outlook, Skype, Bing, Latest News, Photos & Videos|date=|publisher=Now.msn.com|accessdate=2017-03-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130614190028/http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|archivedate=2013-06-14}}</ref> Ramsey anaishi Hawaii, na amepiga mbizi na aina 47 za papa kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2019. <ref name="metro1" /> [[Faili:Ocean Ramsey with shark in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ramsey akiogelea na papa kwenye trela ya filamu ya ''She is the Ocean'', 2018]] Walipokuwa wakisoma tiger sharks huko Oahu na kikundi cha [[filamu]], walikutana na {{Convert|20|ft|m|abbr=on}} papa mrefu wa kike mweupe, anayejulikana kama Deep Blue. Video hiyo ilinaswa na mchumba wa Ramsey, Juan Oliphant, na video hiyo ikapokewa na vyombo vya habari duniani kote. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=A4LbTVkWBFY Ocean Ramsey on 60 Minutes Australia]</ref> Huku akisifiwa kwa kuongeza ufahamu wa viumbe hao, amekosolewa kwa vitendo vyake kwenye picha. Mwanabiolojia wa baharini Michael Domeier, mkurugenzi [[mwanzilishi]] wa Taasisi ya Sayansi ya Uhifadhi wa Bahari isiyo ya faida, alimkosoa kwa kuonekana kwenye video ya mwingiliano wa virusi vya papa. David Shiffman, mwanabiolojia wa uhifadhi wa baharini anayesoma papa, aliliambia gazeti ''la The Washington Post'' : "Siwezi kuamini kwamba 'tafadhali usimkamate [[Wanyamapori|wanyama pori]] wenye urefu wa futi 18' ni jambo linalohitaji kusemwa waziwazi, lakini hapa tumefika" <ref>{{Cite web|url=https://www.ecowatch.com/ocean-ramsey-shark-video-2626382493.html|title=Marine Biologists Raise Flags About Viral Great White Shark Encounter|date=18 January 2019}}</ref> <ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2019/01/18/womans-extremely-close-visit-with-giant-great-white-shark-went-viral-marine-biologists-say-dont-copy-her/</ref> == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] ak95xiy2hzeiwioltwtawdc5fnq0757 1437254 1437235 2025-07-12T11:46:48Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437254 wikitext text/x-wiki [[Faili:Ocean Ramsey headshot in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ocean Ramsey]] '''Ocean Ramsey''' ni mhifadhi, mkimbiaji huru na [[mwanamitindo]] wa [[Marekani]]. <ref name="metro1">{{Cite web|url=http://metro.co.uk/2013/03/06/model-ocean-ramsey-dispelling-myths-by-diving-with-great-white-sharks-3529539/|title=Model Ocean Ramsey dives with great white shark to dispel Jaws myths &#124; Metro News|date=2013-03-06|publisher=Metro.co.uk|accessdate=2017-03-18}}</ref><ref name="abcnews1">{{Cite web|url=https://abcnews.go.com/blogs/headlines/2013/02/diver-ocean-ramsey-swims-with-sharks/|title=Diver Ocean Ramsey Swims With Sharks - ABC News|date=2013-02-18|publisher=Abcnews.go.com|accessdate=2017-03-18}}</ref> Anaendesha kampuni ya One Ocean Diving, LLC huko Hawaii, kampuni inayowezesha kupiga mbizi na viumbe vya baharini. <ref>{{Cite web|url=https://hbe.ehawaii.gov/documents/business.html?fileNumber=190042C5|title=State of Hawaii Business Registrations|work=hbe.ehawaii.gov|language=en|accessdate=2018-04-23}}</ref> Alipata usikivu wa vyombo vya habari vya kimataifa kwa kupiga mbizi bila malipo na papa, ikiwa ni pamoja na papa wakubwa weupe, ili kuleta tahadhari kwa uhifadhi wa papa. <ref>{{Cite web|url=http://www.nydailynews.com/news/national/woman-swims-unprotected-great-white-sharks-article-1.1267123|title=SEE IT: Woman swims unprotected with great white sharks|author=Roberts|first=Christine|date=2013-02-18|publisher=NY Daily News|accessdate=2017-03-18}}</ref><ref name="abcnews1" /><ref>{{Cite web|url=http://www.huffingtonpost.com/2013/02/15/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-video_n_2699092.html|title=Ocean Ramsey, Shark Diver, Swims With Great White Shark (VIDEO)|date=16 February 2013|work=The Huffington Post|accessdate=2017-03-18}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|title=MSN.com - Hotmail, Outlook, Skype, Bing, Latest News, Photos & Videos|date=|publisher=Now.msn.com|accessdate=2017-03-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130614190028/http://now.msn.com/ocean-ramsey-swims-with-great-white-shark-photos|archivedate=2013-06-14}}</ref> Ramsey anaishi Hawaii, na amepiga mbizi na aina 47 za papa kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2019. <ref name="metro1" /> [[Faili:Ocean Ramsey with shark in "She Is The Ocean" trailer.jpg|thumb|Ramsey akiogelea na papa kwenye trela ya filamu ya ''She is the Ocean'', 2018]] Walipokuwa wakisoma tiger sharks huko Oahu na kikundi cha [[filamu]], walikutana na {{Convert|20|ft|m|abbr=on}} papa mrefu wa kike mweupe, anayejulikana kama Deep Blue. Video hiyo ilinaswa na mchumba wa Ramsey, Juan Oliphant, na video hiyo ikapokewa na vyombo vya habari duniani kote. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=A4LbTVkWBFY Ocean Ramsey on 60 Minutes Australia]</ref> Huku akisifiwa kwa kuongeza ufahamu wa viumbe hao, amekosolewa kwa vitendo vyake kwenye picha. Mwanabiolojia wa baharini Michael Domeier, mkurugenzi [[mwanzilishi]] wa Taasisi ya Sayansi ya Uhifadhi wa Bahari isiyo ya faida, alimkosoa kwa kuonekana kwenye video ya mwingiliano wa virusi vya papa. David Shiffman, mwanabiolojia wa uhifadhi wa baharini anayesoma papa, aliliambia gazeti ''la The Washington Post'' : "Siwezi kuamini kwamba 'tafadhali usimkamate [[Wanyamapori|wanyama pori]] wenye urefu wa futi 18' ni jambo linalohitaji kusemwa waziwazi, lakini hapa tumefika" <ref>{{Cite web|url=https://www.ecowatch.com/ocean-ramsey-shark-video-2626382493.html|title=Marine Biologists Raise Flags About Viral Great White Shark Encounter|date=18 January 2019}}</ref><ref>https://www.washingtonpost.com/nation/2019/01/18/womans-extremely-close-visit-with-giant-great-white-shark-went-viral-marine-biologists-say-dont-copy-her/</ref> == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]] [[Jamii:Wanamitindo wa Marekani]] pheqwypbu4mc6u5rkwbj8cctd5zlbp0 Hifadhi ya Marotandrano 0 152422 1436959 1281912 2025-07-11T16:08:02Z Alex Rweyemamu 75841 /* growthexperiments-addlink-summary-summary:3|0|0 */ 1436959 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]] . Ni 10km kutoka Marotandrano na 42km kutoka Mandritsara . Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety . Hifadhi hiyo ina wanyamapori wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, mamalia tofauti, lemur, amfibia, ndege na reptilia. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna mito miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] mko97m2ngxoi8sj83f0uipv7n3xw1wa 1436960 1436959 2025-07-11T16:10:21Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1436960 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]] . Ni 10km kutoka Marotandrano na 42km kutoka Mandritsara . Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety . Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] mjfwtq4gwffuoj6i8rwmojixqk26q0c 1437133 1436960 2025-07-12T09:35:35Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye clothes 1437133 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]] . Ni 10km kutoka Marotandrano na 42km kutoka Mandritsara . Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety . Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] jd0dax0rfjm8nohh5rqzc3fvi548iw0 1437154 1437133 2025-07-12T10:04:01Z Alexander Rweyemamu 80072 kilomita 1437154 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]] . Ni 10 km kutoka Marotandrano na 42 km kutoka Mandritsara . Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety . Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] g74q8xqwzl5ibpuodb13qv0oaey5dpa 1437156 1437154 2025-07-12T10:04:51Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye textiles 1437156 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]]. Ni 10 km kutoka Marotandrano na 42 km kutoka Mandritsara. Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety. Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] hwelelmnj3oqz4hietjqw2gwi2i4l0l 1437166 1437156 2025-07-12T10:33:45Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436960 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]] . Ni 10km kutoka Marotandrano na 42km kutoka Mandritsara . Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety . Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] mjfwtq4gwffuoj6i8rwmojixqk26q0c 1437224 1437166 2025-07-12T11:25:57Z ~2025-18006-2 80078 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437224 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]]. Ni 10 km kutoka Marotandrano na 42 km kutoka Mandritsara. Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety. Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] pdl7uv8i9q9p7bencc70nygl2lo6ym9 1437231 1437224 2025-07-12T11:28:32Z ~2025-18007-0 80080 1437231 wikitext text/x-wiki [[Faili:Madagascar physical map.svg|alt=Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano|thumb|Ramani ya hifadhi maalum ya Marotandrano.]] '''Hifadhi ya Marotandrano''' ni hifadhi ya [[wanyamapori]] huko Mandritsara, Mahajanga,nchini [[Madagaska]]. Ni 10 km kutoka Marotandrano na 42 km kutoka Mandritsara. Hifadhi hii ina ukubwa wa hekta 42,200. Takriban 95% ya wakazi wa eneo hilo ni wa [[kabila]] la Tsimihety. Hifadhi hiyo ina [[wanyamapori]] wengi wanaojumuisha aina mbalimbali za wanyama, [[mamalia]] tofauti, lemur, [[amfibia]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] na [[reptilia]]. Hali ya hewa ina misimu miwili, inakabiliwa na hali ya hewa ya joto, unyevu na mvua kuanzia Novemba hadi Machi, wakati baadhi ya maeneo katika hifadhi hayatafikiwa, na kisha kavu na baridi kutoka Aprili hadi Septemba. <ref>{{Cite web|title=Tracks4Africa|url=https://tracks4africa.co.za/listings/item/w223203/marotandrano-reserve/|accessdate=2020-12-25|work=Tracks4Africa|language=en}}</ref> Kuna [[Mto|mito]] miwili mikubwa katika kanda: Simianona na Sofia. Hifadhi hiyo ina aina 140 za ndege, aina 12 za lemur, na wanyama wanaokula wanyama kutia ndani fossa. <ref>{{Cite web|title=Réserve Spéciale Marotandrano|url=http://www.parcs-madagascar.com/parcs/marotandrano.php|accessdate=2020-12-25|work=www.parcs-madagascar.com}}</ref> Mimea iko katikati ya mwinuko, msitu mnene, wenye unyevunyevu wa kijani kibichi kila wakati, umelazwa kwenye kikomo cha magharibi cha makazi kama hayo. [[Mti|Miti]] ya ''Tambourissa'', ''Dalbergia'', ''Onchostemum'' na ''Canarium'' hutawala safu ya juu, wakati tabaka la kati lina sifa ya miti-ferns, mianzi-liana na mitende. Juu ya matuta, safu ya chini ya mimea ni mnene na ina sifa ya makundi ya [[nyasi]] nyingi. <ref>{{Cite web|title=BirdLife Data Zone|url=http://datazone.birdlife.org/site/factsheet/marotandrano-special-reserve-iba-madagascar|accessdate=2020-12-25|work=datazone.birdlife.org}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]] [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Madagaska]] kcnad40iv7n1y8t7f9qxpcf4skeysc5 Mtumiaji:LeonaRIC LesaBIRD/Natalia Linichuk 2 162184 1436980 1259850 2025-07-11T21:07:21Z CommonsDelinker 234 Replacing Natalia_Linichuk_mirrored.jpg with [[File:Natalia_Linichuk.jpg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]: [[:c:COM:FR#FR3|Criterion 3]] (obvious error) · not mirrored, you can see the text on the uncro 1436980 wikitext text/x-wiki [[Faili:Natalia Linichuk.jpg|thumb|Natalia Linichuk]] '''Natalya Vladimirovna Linichuk''' (Kirusi: Наталья Владимировна Линичук​ <small>(msaada·taarifa)</small>; alizaliwa 6 Februari 1956) Ni mwenye asili ya urusi mchezaji wa kwenye barafu kocha na mchezaji aliyapita mwenye ushindani wa kucheza kwenye barafu kwa umoja wa kisovieti. Akiwa na Ukaribu na Mumewe Gennadi Karponosov, Alikuwa mshindi wa Olimpic mwaka 1980 na mara mbili mshindi wa kidunia. == Marejeo. == [[Jamii:Uangalizi]] k54066298pnba2r9butcro1a94bz2er Abby Chams 0 163722 1437015 1434267 2025-07-11T22:53:02Z Mimi Prowess 50743 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437015 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person | jina = Abigail Chams | picha = <!-- Baada ya kupakia kwenye Commons, ongeza jina la faili hapa --> | maelezo_ya_picha = Abigail Chams – mwanamuziki ambaye ameandikwa chini ya Sony Music Africa | tarehe_ya_kuzaliwa = 7 Mei 2003 | mahala_pa_kuzaliwa = Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania | tarehe_ya_kufariki = | mahala_alipofia = | majina_mengine = Abigail Anthony Chamungwana (jina kamili) | anafahamika kwa = Mwanamuziki, mwandishi wa nyimbo, mpiga ala nyingi, mstahiki wa vijana | kazi_yake = Mwanamuziki, Mwanamfalme wa vyombo (violin, piano, gitaa, ngoma, filimbi) | nchi = Tanzania {{flagicon|Tanzania}} }} '''Abby Chams''' (anayejulikana sana kwa [[jina la kisanii]] kama '''Abigail Chams''' au ''Abigail Chamungwana'') ni [[mwanaharakati]] wa kijamii, mpiga [[ala za muziki]] na [[mwimbaji]] kutoka nchini [[Tanzania]].<ref>{{Rejea tovuti| title = Abby Chams The gospel voice fairy|url=https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/magazines/abby-chams-the-gospel-voice-fairy-2712878|work= The Citizen | accessdate=2020-10-22|language=en}}</ref><ref>{{Rejea tovuti| title = Waridi wa BBC: Abby Chams azungumzia changomoto za wanamuziki wa kike|url=https://www.bbc.com/swahili/habari-59653764|work= BBC Swahili | accessdate=2021-09-15|language=sw}}</ref> ==Maisha ya awali== Abigail Chamungwana alizaliwa kwenye [[familia]] ya [[muziki]]; [[babu]] yake alikuwa [[kiongozi]] wa [[bendi]] ya muziki na [[bibi]] yake alikuwa [[mwimbaji]] wa [[kwaya]] [[kanisa|kanisani]].<ref>{{Rejea tovuti| title = Closer with Abigail Chams: KenyaBuzz Exclusive Interview|url=https://www.kenyabuzz.com/lifestyle/closer-with-abigail-chams-kenyabuzz-exclusive-interview/|work= Kenya Buzz | accessdate=2022-09-02|language=en}}</ref> Alianza kujifunza piano akiwa na umri wa miaka mitano na akajifunza kupiga fidla akiwa na miaka minane pia alijifunza kupiga gitaa, ngoma na filimbi. ==Shuguli za kijamii== Mnamo [[2020]] ''Abby Chams'' aliteuliwa na [[UNICEF]] kuwa mtetezi wa [[vijana]]<ref>{{Rejea tovuti| title = [[UNICEF]] Appoints two new Youth Advocates during Expo 2020 Dubai ceremony|url=https://www.unicef.org/gulf/press-releases/unicef-appoints-two-new-youth-advocates-expo-2020-dubai|work= UNICEF | accessdate=2021-11-20|language=en}}</ref> nchini [[Tanzania]] kuhusu [[afya ya akili]] na [[usawa wa kijinsia]] wakati wa siku ya kimataifa ya watoto 2020; pia alitumbuiza katika maonyesho ya [[expo 2020]] huko [[Dubai]].<ref>{{Rejea tovuti| title = Abby chams atumbuiza Expro2020 Dubai|url=http://dar24.com/abby-chams-atumbuiza-expro2020-dubai/|work= Dar 24 | accessdate=2022-12-24|language=sw}}</ref> ==Tuzo== Mnamo [[2022]] Abby Chams alipendekezwa kuwania [[tuzo]] za ''Tanzania Music Awards'' kama [[msanii]] anayechipukia. ==Diskografia== *Closer Ft [[Harmonize]] *Tucheze *Chapa rapa *U&I *Milele *Nyash Ft S2kizzy, Dj Joozey == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} {{DEFAULTSORT: Chams Abby}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 2003]] [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Muziki wa kizazi kipya]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 69d2oozqvukj04ayq9gqu2e57ihdb31 Elimu ya bahari 0 171201 1437024 1287037 2025-07-11T23:42:15Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437024 wikitext text/x-wiki '''Elimu ya bahari''' (Kiing. ''oceanography'') ni tawi la sayansi linalohusu utafiti wa bahari za Dunia. Utafiti huu unaangalia [[mikondo ya bahari]], mawimbi, halijoto, jiolojia ya [[sakafu ya bahari]], lakini pia ekolojia yaani hali ya viumbehai na mazingira yao ndani ya bahari ==Viungo vya Nje== {{Commons category|Oceanography}} * [http://podaac.jpl.nasa.gov/ NASA Jet Propulsion Laboratory – Physical Oceanography Distributed Active Archive Center (PO.DAAC)]. A data centre responsible for archiving and distributing data about the physical state of the ocean. * [http://www.scripps.ucsd.edu Scripps Institution of Oceanography]. One of the world's oldest, largest, and most important centres for ocean and Earth science research, education, and public service. * [http://www.whoi.edu Woods Hole Oceanographic Institution (WHOI)]. One of the world's largest private, non-profit ocean research, engineering and education organizations. * [http://www.bodc.ac.uk/ British Oceanographic Data Centre]. A source of oceanographic data and information. * [https://web.archive.org/web/20060211015453/http://dapper.pmel.noaa.gov/dchart/ NOAA Ocean and Weather Data Navigator]. Plot and download ocean data. * [http://www.vega.org.uk/video/programme/10 Freeview Video 'Voyage to the Bottom of the Deep Deep Sea' Oceanography Programme] by the [[Vega Science Trust]] and the [[BBC]]/[[Open University]]. * [http://atlas.investigadhoc.com/ Atlas of Spanish Oceanography] by [https://web.archive.org/web/20130602181200/http://investigadhoc.com/ InvestigAdHoc]. * [https://web.archive.org/web/20110927020036/http://stommel.tamu.edu/~baum/paleo/ocean/ Glossary of Physical Oceanography and Related Disciplines ] by Steven K. Baum, Department of Oceanography, Texas A&M University * [http://barcelona-ocean.com/ Barcelona-Ocean.com ] {{Wayback|url=http://barcelona-ocean.com/ |date=20141109094549 }}. Inspiring Education in Marine Sciences * [https://web.archive.org/web/20180905125513/http://cfoo.co.za/seaatlas/index.php CFOO: Sea Atlas]. A source of oceanographic live data (buoy monitoring) and education for South African coasts. * [https://www.tags-ship.com/ Memorial website for USNS Bowditch, USNS Dutton, USNS Michelson and USNS H. H. Hess] ==Marejeo== {{Marejeo}} [[Jamii:sayansi]] [[jamii:bahari]] 55r8044lqgz4er3c36bzgnilbup8hs5 Akili bandia ya jumla 0 178131 1436974 1428721 2025-07-11T18:50:34Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1436974 wikitext text/x-wiki {{unreferenced}} [[Faili:Artificial General Intelligence Illustration.png|thumb|Kielelezo cha akili bandia ya jumla]] '''Akili bandia ya jumla''' (kutoka kwenye kiingereza ''Artificial General Intelligence'' au ''AGI'' kwa kifupi) ni tafiti ya kinadharia ya [[akili bandia]] inayojaribu kuunda [[programu ya kompyuta]] yenye [[utashi]] wa kibinadamu na zaidi, yenye uwezo wa kujifundisha yenyewe. Lengo la tafiti hii ni kuunda programu ya kompyuta yenye uwezo wa kufanya kazi ambazo haikufundishwa wala kuundwa kwa ajili ya kazi hizo. Mifumo ya sasa ya [[Akili mnemba|akili bandia]] hufanya kazi chini ya mipaka iliyowekwa na waundaji wake, mfano, mfumo wa akili bandia wa kutambua au kuunda picha hauwezi kutengeneza [[wavuti]]. Akili bandia ya jumla ni harakati ya kuunda mfumo wa akili bandia unaoweza kujiongoza, unaojitambua na wenye uwezo wa kujifunza ujuzi mpya. Wenye uwezo wa kutatua matatizo magumu katika mazingira na muktadha ambao haikufundishwa wakati wa uumbaji wake. <ref>{{Rejea tovuti| title = What is AGI? - Artificial General Intelligence Explained - AWS|url=https://aws.amazon.com/what-is/artificial-general-intelligence/|work=Amazon Web Services, Inc.|accessdate=2024-01-10|language=en-US}}</ref> ===Marejeo=== {{reflist}} {{mbegu-sayansi}} lr0zrrx5hn254bm1wibyqeqgnpwgm6a 1437127 1436974 2025-07-12T09:31:09Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye articles 1437127 wikitext text/x-wiki {{vyanzo}} [[Faili:Artificial General Intelligence Illustration.png|thumb|Kielelezo cha akili bandia ya jumla]] '''Akili bandia ya jumla''' (kutoka kwenye kiingereza ''Artificial General Intelligence'' au ''AGI'' kwa kifupi) ni tafiti ya kinadharia ya [[akili bandia]] inayojaribu kuunda [[programu ya kompyuta]] yenye [[utashi]] wa kibinadamu na zaidi, yenye uwezo wa kujifundisha yenyewe. Lengo la tafiti hii ni kuunda programu ya kompyuta yenye uwezo wa kufanya kazi ambazo haikufundishwa wala kuundwa kwa ajili ya kazi hizo. Mifumo ya sasa ya [[Akili mnemba|akili bandia]] hufanya kazi chini ya mipaka iliyowekwa na waundaji wake, mfano, mfumo wa akili bandia wa kutambua au kuunda picha hauwezi kutengeneza [[wavuti]]. Akili bandia ya jumla ni harakati ya kuunda mfumo wa akili bandia unaoweza kujiongoza, unaojitambua na wenye uwezo wa kujifunza ujuzi mpya. Wenye uwezo wa kutatua matatizo magumu katika mazingira na muktadha ambao haikufundishwa wakati wa uumbaji wake. <ref>{{Rejea tovuti| title = What is AGI? - Artificial General Intelligence Explained - AWS|url=https://aws.amazon.com/what-is/artificial-general-intelligence/|work=Amazon Web Services, Inc.|accessdate=2024-01-10|language=en-US}}</ref> ===Marejeo=== {{marejeo}} {{mbegu-sayansi}} 80sh3hwj96gwtmelml7onsu9j4m82zi 1437187 1437127 2025-07-12T10:33:56Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436974 wikitext text/x-wiki {{unreferenced}} [[Faili:Artificial General Intelligence Illustration.png|thumb|Kielelezo cha akili bandia ya jumla]] '''Akili bandia ya jumla''' (kutoka kwenye kiingereza ''Artificial General Intelligence'' au ''AGI'' kwa kifupi) ni tafiti ya kinadharia ya [[akili bandia]] inayojaribu kuunda [[programu ya kompyuta]] yenye [[utashi]] wa kibinadamu na zaidi, yenye uwezo wa kujifundisha yenyewe. Lengo la tafiti hii ni kuunda programu ya kompyuta yenye uwezo wa kufanya kazi ambazo haikufundishwa wala kuundwa kwa ajili ya kazi hizo. Mifumo ya sasa ya [[Akili mnemba|akili bandia]] hufanya kazi chini ya mipaka iliyowekwa na waundaji wake, mfano, mfumo wa akili bandia wa kutambua au kuunda picha hauwezi kutengeneza [[wavuti]]. Akili bandia ya jumla ni harakati ya kuunda mfumo wa akili bandia unaoweza kujiongoza, unaojitambua na wenye uwezo wa kujifunza ujuzi mpya. Wenye uwezo wa kutatua matatizo magumu katika mazingira na muktadha ambao haikufundishwa wakati wa uumbaji wake. <ref>{{Rejea tovuti| title = What is AGI? - Artificial General Intelligence Explained - AWS|url=https://aws.amazon.com/what-is/artificial-general-intelligence/|work=Amazon Web Services, Inc.|accessdate=2024-01-10|language=en-US}}</ref> ===Marejeo=== {{reflist}} {{mbegu-sayansi}} lr0zrrx5hn254bm1wibyqeqgnpwgm6a 1437236 1437187 2025-07-12T11:39:00Z ~2025-18306-1 80081 jina ya KISWAHILI 1437236 wikitext text/x-wiki {{vyanzo}} [[Faili:Artificial General Intelligence Illustration.png|thumb|Kielelezo cha akili bandia ya jumla]] '''Akili bandia ya jumla''' (kutoka kwenye kiingereza ''Artificial General Intelligence'' au ''AGI'' kwa kifupi) ni tafiti ya kinadharia ya [[akili bandia]] inayojaribu kuunda [[programu ya kompyuta]] yenye [[utashi]] wa kibinadamu na zaidi, yenye uwezo wa kujifundisha yenyewe. Lengo la tafiti hii ni kuunda programu ya kompyuta yenye uwezo wa kufanya kazi ambazo haikufundishwa wala kuundwa kwa ajili ya kazi hizo. Mifumo ya sasa ya [[Akili mnemba|akili bandia]] hufanya kazi chini ya mipaka iliyowekwa na waundaji wake, mfano, mfumo wa akili bandia wa kutambua au kuunda picha hauwezi kutengeneza [[wavuti]]. Akili bandia ya jumla ni harakati ya kuunda mfumo wa akili bandia unaoweza kujiongoza, unaojitambua na wenye uwezo wa kujifunza ujuzi mpya. Wenye uwezo wa kutatua matatizo magumu katika mazingira na muktadha ambao haikufundishwa wakati wa uumbaji wake. <ref>{{Rejea tovuti| title = What is AGI? - Artificial General Intelligence Explained - AWS|url=https://aws.amazon.com/what-is/artificial-general-intelligence/|work=Amazon Web Services, Inc.|accessdate=2024-01-10|language=en-US}}</ref> ===Marejeo=== {{marejeo}} {{mbegu-sayansi}} 4bx65b0dysta5l27nib7i3ywy8ndajl 1437253 1437236 2025-07-12T11:46:06Z ~2025-18128-1 80082 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437253 wikitext text/x-wiki {{vyanzo}} [[Faili:Artificial General Intelligence Illustration.png|thumb|Kielelezo cha akili bandia ya jumla.]] '''Akili bandia ya jumla''' (kutoka kwenye kiingereza ''Artificial General Intelligence'' au ''AGI'' kwa kifupi) ni tafiti ya kinadharia ya [[akili bandia]] inayojaribu kuunda [[programu ya kompyuta]] yenye [[utashi]] wa kibinadamu na zaidi, yenye uwezo wa kujifundisha yenyewe. Lengo la tafiti hii ni kuunda programu ya kompyuta yenye uwezo wa kufanya kazi ambazo haikufundishwa wala kuundwa kwa ajili ya kazi hizo. Mifumo ya sasa ya [[Akili mnemba|akili bandia]] hufanya kazi chini ya mipaka iliyowekwa na waundaji wake, mfano, mfumo wa akili bandia wa kutambua au kuunda picha hauwezi kutengeneza [[wavuti]]. Akili bandia ya jumla ni harakati ya kuunda mfumo wa akili bandia unaoweza kujiongoza, unaojitambua na wenye uwezo wa kujifunza ujuzi mpya. Wenye uwezo wa kutatua matatizo magumu katika mazingira na muktadha ambao haikufundishwa wakati wa uumbaji wake. <ref>{{Rejea tovuti| title = What is AGI? - Artificial General Intelligence Explained - AWS|url=https://aws.amazon.com/what-is/artificial-general-intelligence/|work=Amazon Web Services, Inc.|accessdate=2024-01-10|language=en-US}}</ref> ===Marejeo=== {{marejeo}} {{mbegu-sayansi}} cuw2fvr3cohl1jn9zyitjhu4sm1zvxg Hulda Swai 0 181542 1436958 1411521 2025-07-11T16:04:12Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza picha ya Hulda Swai 1436958 wikitext text/x-wiki [[Faili:Hulda Swai 2020.png|thumb|Picha ya Hulda Shaidi Swai]] '''Hulda Shaidi Swai''', alizaliwa mwaka 1954, ni [[mtafiti]] na [[Profesa]] wa [[sayansi]] ya maisha na bioengineering nchini [[Tanzania]]. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria..<ref name="afro">{{Cite web|url=https://afrolegends.com/2021/02/26/professor-hulda-swai-of-tanzania-wins-distinguished-science-award-women-are-as-good-as-men/|title=Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’|website=AfroLegends.com|last=Dr. Y|date=26 February 2021|access-date=27 March 2023}}</ref>{{Infobox Person |jina = Hulda Shaidi Swai |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1954 |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mtafiti na Profesa wa sayansi |nchi = Tanzania }} == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] 68bh048sed4onm4sf6a49d9zyzcebdo 1437134 1436958 2025-07-12T09:36:15Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza picha ya Hulda Swai 1437134 wikitext text/x-wiki [[Faili:Hulda Swai 2020.png|thumb|Picha ya Hulda Shaidi Swai]] '''Hulda Shaidi Swai''', alizaliwa mwaka 1954, ni [[mtafiti]] na [[Profesa]] wa [[sayansi]] ya maisha na bioengineering nchini [[Tanzania]]. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria..<ref name="afro">{{Cite web|url=https://afrolegends.com/2021/02/26/professor-hulda-swai-of-tanzania-wins-distinguished-science-award-women-are-as-good-as-men/|title=Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’|website=AfroLegends.com|last=Dr. Y|date=26 February 2021|access-date=27 March 2023}}</ref>{{Infobox Person |jina = Hulda Shaidi Swai |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1954 |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mtafiti na Profesa wa sayansi |nchi = Tanzania }} == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] i8epkdrabf83twbtgpavcxz2a8wz21h 1437157 1437134 2025-07-12T10:06:01Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza picha ya INFO BOX 1437157 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Hulda Shaidi Swai |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1954 |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mtafiti na Profesa wa sayansi |nchi = Tanzania }} [[Faili:Hulda Swai 2020.png|thumb|Picha ya Hulda Shaidi Swai]] '''Hulda Shaidi Swai''', alizaliwa mwaka 1954, ni [[mtafiti]] na [[Profesa]] wa [[sayansi]] ya maisha na bioengineering nchini [[Tanzania]]. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria..<ref name="afro">{{Cite web|url=https://afrolegends.com/2021/02/26/professor-hulda-swai-of-tanzania-wins-distinguished-science-award-women-are-as-good-as-men/|title=Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’|website=AfroLegends.com|last=Dr. Y|date=26 February 2021|access-date=27 March 2023}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] gyc2q07noerrgpel4yfd8pt7zfaqc7j 1437165 1437157 2025-07-12T10:33:45Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436958 wikitext text/x-wiki [[Faili:Hulda Swai 2020.png|thumb|Picha ya Hulda Shaidi Swai]] '''Hulda Shaidi Swai''', alizaliwa mwaka 1954, ni [[mtafiti]] na [[Profesa]] wa [[sayansi]] ya maisha na bioengineering nchini [[Tanzania]]. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria..<ref name="afro">{{Cite web|url=https://afrolegends.com/2021/02/26/professor-hulda-swai-of-tanzania-wins-distinguished-science-award-women-are-as-good-as-men/|title=Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’|website=AfroLegends.com|last=Dr. Y|date=26 February 2021|access-date=27 March 2023}}</ref>{{Infobox Person |jina = Hulda Shaidi Swai |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1954 |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mtafiti na Profesa wa sayansi |nchi = Tanzania }} == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] 68bh048sed4onm4sf6a49d9zyzcebdo 1437223 1437165 2025-07-12T11:25:31Z ~2025-18006-2 80078 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437223 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Hulda Shaidi Swai |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1954 |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mtafiti na Profesa wa sayansi |nchi = Tanzania }} [[Picha:Hulda Swai 2020.png|thumb|Picha ya Hulda Shaidi Swai]] '''Hulda Shaidi Swai''', alizaliwa mwaka 1954, ni [[mtafiti]] na [[Profesa]] wa [[sayansi]] ya maisha na bioengineering nchini [[Tanzania]]. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria..<ref name="afro">{{Cite web|url=https://afrolegends.com/2021/02/26/professor-hulda-swai-of-tanzania-wins-distinguished-science-award-women-are-as-good-as-men/|title=Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’|website=AfroLegends.com|last=Dr. Y|date=26 February 2021|access-date=27 March 2023}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] 5mgxvqmwr0iah8187rlnygmg1z80pl1 1437232 1437223 2025-07-12T11:28:53Z ~2025-18007-0 80080 macula 1X 1437232 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Hulda Shaidi Swai |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1954 |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mtafiti na Profesa wa sayansi |nchi = Tanzania }} [[Picha:Hulda Swai 2020.png|thumb|Picha ya Hulda Shaidi Swai]] '''Hulda Shaidi Swai''', alizaliwa mwaka 1954, ni [[mtafiti]] na [[Profesa]] wa [[sayansi]] ya maisha na bioengineering nchini [[Tanzania]]. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria.<ref name="afro">{{Cite web|url=https://afrolegends.com/2021/02/26/professor-hulda-swai-of-tanzania-wins-distinguished-science-award-women-are-as-good-as-men/|title=Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’|website=AfroLegends.com|last=Dr. Y|date=26 February 2021|access-date=27 March 2023}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwanasayansi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanasayansi wa Tanzania]] pdk3eiph9lig3flq38pwpa606seyzno Catherine Omanyo 0 183511 1437040 1431457 2025-07-12T05:07:27Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza maneno katika makala hii na jamii 1437040 wikitext text/x-wiki [[File:Catherine Omanyo speaking.jpg|thumb|Omanyo akizungumza na wapiga kura katika [[Kaunti ya Busia|kaunti ya Busia]], [[2022]]]] {{Infobox Person |jina = Catherine Omanyo |jina la kuzaliwa = |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = Julai 7, 1978 |mahala_pa_kuzaliwa = Kaunti ya Busia, Kenya |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |ndoa = Daron Kendrick |wazazi = |watoto = Cindy, Sandra |kazi_yake = Mwanasiasa |nchi = Kenya {{flagicon|Kenya}} }} '''Catherine Nakhabi Omanyo''' (alizaliwa katika Kaunti ya [[Busia, Kenya|Busia]] [[7 Julai]] [[1978]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Kenya]], [[mwanaharakati]] wa elimu, na mwakilishi wa wanawake wa [[kaunti ya Busia]] katika bunge la Kitaifa la Kenya. <ref>{{cite web |title=300 needy students benefit from bursary |url=https://web.archive.org/web/20230929081946/https://nairobireview.africa/300-needy-students-benefit-bursary/}}</ref><ref>{{cite web |title=Inspiration |url=https://www.intlschoolforchampions.org/inspiration}}</ref> == Maisha ya awali == Baba yake alifariki akiwa na umri wa miaka kumi na nne, na mamake alikataa kuwa mke wa kaka wa mumewe kama ilivyokuwa desturi. Familia ya mume wake ililiona hili kama tusi na mama yake alilazimika kusimamia bila wao. Omanyo alikuwa mtoto wa nne kati ya watoto kumi <ref name=isfc>{{Cite web|title=Inspiration|url=https://www.intlschoolforchampions.org/inspiration|access-date=18 December 2021|website=International School for Champions|language=en-US}}</ref> na alikuwa na hamu sana ya kupata elimu lakini mama yake hakuweza kumudu karo ya shule. Omanyo angeingia darasani kwa siri kumsikiliza mwalimu, lakini alipogunduliwa angeadhibiwa na kufukuzwa shule.<ref name=coynyt>{{Cite news|last=Coy|first=Peter|date=13 December 2021|title=Opinion {{!}} Education Is Like a Beautiful Garden|language=en-US|work=The New York Times|url=https://www.nytimes.com/2021/12/13/opinion/philanthropy-giving-education.html|access-date=18 December 2021|issn=0362-4331}}</ref> Mnamo [[1998]], Omanyo alikubaliwa na ufadhili wa masomo katika Chuo Kikuu cha Nairobi na kufua nguo ili kumudu masomo. <ref name=pok>{{Cite web|title=Catherine Omayno|url=http://www.parliament.go.ke/the-national-assembly/hon-omanyo-catherine-nakhabi}}</ref> Akiwa na mshtuko kwamba watoto wengi wanaoishi katika vitongoji duni vya Nairobi walikuwa wavivu kwa sababu hawakuweza kumudu karo ya shule, alianza kuwasomesha watoto wa eneo hilo. Idadi yake ya wanafunzi ilipoongezeka, hatimaye alianzisha shule ndogo iitwayo ''Imprezza Academy''. <ref name=wic>{{Cite web|title=Women Influence Community Forum|url=http://www.womeninfluence.club/stories/Citizen/catherine-nakhabi-omanyo/|access-date=18 December 2021|website=www.womeninfluence.club}}</ref> Shule ilianza [[Nairobi]] mwaka [[2001]]. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa-Kenya}} [[jamii:waliozaliwa 1978]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wiki4HumanRights 2024]] [[jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]] [[jamii:wanasiasa wa Kenya]] [[jamii:wanawake wa Kenya]] [[jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[jamii:Wanaharakati wa Kenya]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] nkaqc0qtp3z7rniga27a0d88v8pwyg2 Beatrice Mukansinga 0 183516 1437038 1429507 2025-07-12T04:56:09Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza maneno katika makala hii 1437038 wikitext text/x-wiki '''Beatrice Mukansinga''' ni [[mwanaharakati]] wa haki za wanawake wa [[Rwanda]] ambaye anaangazia wanawake ambao waliathiriwa vibaya na [[mauaji ya kimbari]].<ref>{{Rejea kitabu|last1=Simon|first1=Roger I.|url=https://books.google.com/books?id=fY1VogSeQaQC&q=Beatrice+Mukansinga&pg=PA208| title = Between Hope and Despair: Pedagogy and the Remembrance of Historical Trauma|last2=Rosenberg|first2=Sharon|last3=Eppert|first3=Claudia| date = 2000|publisher=Rowman & Littlefield|isbn=978-0-8476-9463-1|language=en}}</ref><ref name=":0">{{Rejea tovuti| title = Ginetta Sagan human rights award goes to Rwandan (August 12, 1998)|url=https://www.almanacnews.com/morgue/1998/1998_08_12.sagan.html|access-date=2021-08-10|website=www.almanacnews.com}}</ref> == Wasifu == Aliondoka Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari na kuhamia [[Kenya]]. Aliporejea Rwanda kutoka Kenya mwaka [[1995]], chini ya mwaka mmoja baada ya mauaji ya kimbari, wanafamilia wake wakiwemo wazazi wake na kaka zake sita pia waliuawa wakati wa mauaji ya kimbari mwaka [[1994]]. <ref>{{Cite book|last1=Simon|first1=Roger I.|url=https://books.google.com/books?id=fY1VogSeQaQC&q=Beatrice+Mukansinga&pg=PA208|title=Between Hope and Despair: Pedagogy and the Remembrance of Historical Trauma|last2=Rosenberg|first2=Sharon|last3=Eppert|first3=Claudia|date=2000|publisher=Rowman & Littlefield|isbn=978-0-8476-9463-1|language=en}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wiki4HumanRights 2024]] [[jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]] [[jamii:wanaharakati wa Rwanda]] [[jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[jamii:wanawake wa Rwanda]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] bcu9cjg6foi2vj3xcof1mbhb98lxz0h Consolee Nishimwe 0 183522 1437039 1341790 2025-07-12T04:59:13Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza maneno katika makala hii 1437039 wikitext text/x-wiki '''Consolee Nishimwe''' (alizaliwa Rubengera, Kibuye, Rwanda [[11 Septemba]] [[1979]]) ni [[mwandishi]] wa [[Rwanda]], mzungumzaji wa kutoa motisha, na mnusurika wa [[mauaji ya kimbari]] ya [[1994]].<ref name="auto">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=V8TPcdxjPzUC|title=Tested to the Limit: A Genocide Survivor's Story of Pain, Resilience and Hope|first=Consolee|last=Nishimwe|date=June 27, 2012|publisher=BalboaPress|isbn=9781452549590 |via=Google Books}}</ref><ref name="auto1">{{cite web|url=https://womensmediacenter.com/shesource/expert/consolee-nishimwe|title=Consolee Nishimwe - SheSource Expert - Women's Media Center|website=womensmediacenter.com}}</ref><ref name="auto2">{{cite web|url=https://www.un.org/africarenewal/web-features/i-was-tested-limit-%E2%80%94-rwanda-genocide-survivor |title=I was tested to the limit — Rwanda genocide survivor &#124; Africa Renewal |publisher=Un.org |date= |accessdate=2022-08-27}}</ref><ref name="auto5">{{Cite magazine|url=https://time.com/74113/rwanda-genocide-survivor-lasting-reminders/|title=One Survivor's Tale of the Rwandan Genocide and Its Reminders|magazine=Time}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.villagevoice.com/2016/02/16/the-food-of-liberation-a-dinner-series-with-a-mission/|title=The Food of Liberation: A Dinner Series With a Mission|date=February 16, 2016|website=The Village Voice}}</ref><ref name="auto4">{{cite web|url=https://news.un.org/en/story/2018/04/1007301|title=World 'must nurture the courage to care – and the resolve to act,' says UN chief, reflecting on 1994 genocide against the Tutsi in Rwanda|date=April 13, 2018|website=UN News}}</ref> == Historia == Mama yake, Marie-Jeanne Mukamwiza, na baba, Andre Ngoga wote walikuwa walimu wa shule ya msingi. Walikutana mwaka [[1972]] na kuoana [[Agosti]] [[1977]]. Nishimwe ndiye mtoto mkubwa kati ya watoto watano. Anazungumza Kiingereza na Kinyarwanda. <ref name="auto"/><ref name="auto1"/> == Mauaji ya kimbari ya Rwanda == Nishimwe alikuwa na umri wa miaka 14 wakati mauaji ya kimbari ya Rwanda yalipoanza Aprili 1994. Familia ilikimbilia katika eneo la Waislamu kwa ajili ya ulinzi lakini babake na shangazi yake waliuawa tarehe [[15 Aprili]] 1994. Wiki moja baadaye, kaka zake watatu, Bon-Fils Abimana mwenye umri wa miezi 16, Pascal Muvara wa miaka 7, na Philbert Nkusi wa miaka 9 waliuawa. Babu zake na wajomba zake pia waliuawa. Nishimwe alikimbia na kujificha kwa muda wa miezi mitatu, akivumilia mateso na matatizo mengine, ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa kijinsia ambao ulisababisha maambukizi ya [[VVU]]. Mama yake, Marie-Jeanne, na dada yake, Jeanette Ingabire, walinusurika. Kufikia mwisho wa mauaji ya kimbari, 90% ya Watutsi katika mji wao walikuwa wameuawa. <ref name="auto"/><ref name="auto1"/><ref name="auto5"/> == Uanaharakati == Mnamo 2001, Nishimwe alihamia Merika ambapo alikua mwanaharakati wa haki za binadamu na mzungumzaji wa motisha. Mwaka [[2012]], alichapisha kumbukumbu, Iliyojaribiwa Hadi Kikomo: ''A Genocide Survivor's Story Of Pain, Resilience And Hope''. Mnamo [[2014]], alizungumza katika kongamano la Chuo Kikuu cha Yale kuhusu kumbukumbu ya miaka 20 ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda. <ref>{{cite web|url=https://www.youtube.com/watch?v=OEUxQLHH8Ts|title=Local Legacies in of the Genocide in Rwanda: Consolee Nishimwe - YouTube|website=www.youtube.com}}</ref> Mnamo [[2018]], alihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. <ref name="auto1"/><ref name="auto2"/><ref name="auto3">{{Cite news|url=http://amsterdamnews.com/news/2021/07/08/through-life-experience-consolee-nishimwe-seeks-ad/|title=Through life experience, Consolee Nishimwe seeks to advocate for women and girls|first=Shania|last=Degroot|date=July 8, 2021|website=New York Amsterdam News}}</ref><ref>{{cite web|url=https://archive.sltrib.com/article.php?id=56192491&itype=CMSID|title=Utahns pay tribute to genocide victims and survivors|website=The Salt Lake Tribune}}</ref><ref name="auto4"/> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1979]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wiki4HumanRights 2024]] [[jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]] [[jamii:wanawake wa Rwanda]] [[jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 67u8io3uu1zpd0cm7d0eslibeguac19 Ben Freeth 0 183610 1437041 1429574 2025-07-12T05:08:04Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza sanduku la habari 1437041 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Ben Freeth |jina la kuzaliwa = |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 23 Agosti 1971 |mahala_pa_kuzaliwa = Sittingborne, Kent, Uingereza (Ana umri wa miaka 53) |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |ndoa = |wazazi = |watoto = |kazi_yake = Mkulima wa kibiashara na mwanaharakati wa Haki za Binadamu |nchi = Zimbabwe {{flagicon|Zimbabwe}} }} '''Benjamin Freeth''', MBE ([[23 Agosti]] [[1971]]) ni mkulima mweupe kutoka [[Zimbabwe]] na [[mwanaharakati]] wa haki za binadamu kutoka wilaya ya [[Chegutu]] katika mkoa wa [[Mashonaland Magharibi|Mashonaland magharibi]], Zimbabwe.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/africa/article4187854.ece | title = Whites huddle and pray as mob closes in – ''The Times Online''|accessdate=2024-06-30 |archive-date=2016-05-15 |archive-url=http://arquivo.pt/wayback/20160515012207/http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/africa/article4187854.ece |url-status=dead }}</ref><ref>[http://www.meattradenewsdaily.co.uk/news/130110/zimbabwe___white_farms_being_torched_.aspx Zimbabwe – White farms being torched – ''Meat Trade News Daily''] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20131012060603/http://www.meattradenewsdaily.co.uk/news/130110/zimbabwe___white_farms_being_torched_.aspx |date=12 October 2013 }}"They built a house at Mount Carmel, the 12,000-hectare estate bought by her father, Mike, for a commercial farming and safari enterprise."</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1971]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wiki4HumanRights 2024]] [[jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]] [[jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[jamii:Wanaharakati wa Zimbabwe]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 74donixnn7mo17ogim3ghqyq3bnqa6b Angeline Makore 0 183626 1437034 1342026 2025-07-12T04:54:36Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza sanduku la habari na jamii 1437034 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Angeline Makore |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = |mahala_pa_kuzaliwa = |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mwanaharakati |nchi = Zimbabwe {{flagicon|Zimbabwe}} }} '''Angeline Rungano Makore''' pia anajulikana kama Angeline Makore au Angel Makore ni [[mwanaharakati]] wa haki za wanawake na wasichana wa [[Zimbabwe]] akijulikana sana kwa kutetea kuhusu kukomesha ndoa za utotoni. Kwa sasa anaendesha Spark R.E.A.D, [[Shirika Lisilo la Kiserikali|NGO]] ambayo ilianzishwa ili kuwawezesha wasichana na wanawake nchini Zimbabwe. Makore pia ni mwanachama wa shirika la wasichana Sio maharusi. Anachukuliwa kuwa mmoja wa wanaharakati wanawake vijana wa Kiafrika na waleta mabadiliko. <ref>{{Cite web|title=6 Young Activists In Africa Working To Save The World|url=https://www.globalcitizen.org/en/content/african-youth-activists-south-africa/|access-date=2020-07-21|website=Global Citizen|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Angeline (Angel) Makore|url=https://womendeliver.org/classmember/angeline-makore/|access-date=2020-07-21|website=Women Deliver|language=en-US}}</ref> <ref>{{Cite web|title=5 Formidable Young Women Who Are Shaping Africa's Future|url=https://www.globalcitizen.org/en/content/young-women-activists-impacting-africa/|access-date=2020-07-21|website=Global Citizen|language=en}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:Wiki4HumanRights 2024]] [[jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]] [[jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]] [[jamii:Wanaharakati wa Zimbabwe]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] k2og4x1zh9nw8qyibg9k6bpjmrhosbu Jorelyn Carabalí 0 186032 1437091 1351591 2025-07-12T07:46:49Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437091 wikitext text/x-wiki '''Jorelyn Daniela Carabalí Martínez''' (alizaliwa [[18 Mei]] [[1997]])<ref>{{Cite web|title=¡Prendió motores! Deportivo Cali trabaja para ser protagonista en la Liga Femenina|url=https://www.elpais.com.co/deportivo-cali/prendio-motores-trabaja-para-ser-protagonista-en-la-liga-femenina.html|work=Noticias de Cali, Valle y Colombia - Periodico: Diario El País|date=2023-01-10|accessdate=2024-09-16|language=spanish|author=El País}}</ref> ni mchezaji wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Kolombia]], ambaye anacheza kama [[beki]] katika klabu ya [[ Brighton & Hove Albion]],<ref>{{Cite web |url=https://www.brightonandhovealbion.com/news/3681427/jorelyn-carabali-signs-for-albion/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2024-09-16 |archive-date=2023-09-14 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230914200831/https://www.brightonandhovealbion.com/news/3681427/jorelyn-carabali-signs-for-albion/ |url-status=dead }}</ref> inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Uingereza (WSL) na [[timu ya taifa]] ya [[Kolombia]]. == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Kolombia]] [[Jamii:Waliozaliwa 1997]] ac65wfonjylq48hivul2x53n4l1y0sn Hiroshi Shibata 0 188052 1436984 1356472 2025-07-11T21:29:09Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436984 wikitext text/x-wiki [[Picha:Shibata Hiroshi 1959 11 27.jpg|thumbnail|right|200px|Hiroshi Shibata]] '''Hiroshi Shibata''' (柴田 宏, ''Shibata Hiroshi'', alizaliwa [[26 Julai]] [[1935]]) ni [[mwanariadha]] nchini [[Japani]] na mrukaji mara tatu. Alishiriki katika kuruka mara tatu katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[1956]] na katika kuruka mara tatu na mbio za mita 4 × 100 za wanaume katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto ya mwaka [[1960]]. Baada ya kustaafu, ameshikilia nyadhifa kadhaa za juu katika mashirika yanayohusiana na riadha, kama vile shirikisho la shirikisho la riadha la Japani.<ref>{{cite web |title=Hiroshi Shibata |url=https://www.olympedia.org/athletes/72600}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1935]] oeixo7izs2rf8477t7gmrba3pr2wm2g Boniface Toroitich Kiprop 0 188797 1436986 1430123 2025-07-11T21:31:29Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436986 wikitext text/x-wiki [[Picha:Flickr - az1172 - 5000m Bekele.jpg|thumbnail|right|200px|Kiprop, aliyevaa nambari 116]] '''Boniface Toroitich Kiprop''' (alizaliwa [[12 Oktoba]] [[1985]]) ni mkimbiaji wa mbio ndefu kutoka [[Uganda]]. Kaka yake Martin Toroitich pia ni [[mwanariadha]], ambaye ameshiriki katika Mashindano ya Dunia ya Msalaba ya Dunia ya IAAF. Boniface Kiprop anafunzwa na Giuseppe Giambrone.<ref>{{Rejea tovuti | title = Boniface Toroitich Kiprop|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14229604}} </ref> == Marejeo == <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Uganda]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] gcwf606hj1m68ir2gvj0g4xq7aag0cw John Akii-Bua 0 188799 1436987 1358245 2025-07-11T21:32:17Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436987 wikitext text/x-wiki [[Picha:Akii-Bua 1972.jpg|thumbnail|right|200px|John Akii-Bua]] '''John Akii-Bua''' ([[3 Desemba]] [[1949]] - [[20 Juni]] [[1997]]) alikuwa mkimbiaji wa [[Uganda]] na bingwa wa kwanza wa [[Olimpiki]] kutoka nchi yake Uganda.<ref>{{cite web |title=Uganda to remember Olympic hurdler John Akii Bua |url=https://worldathletics.org/news/news/uganda-to-remember-olympic-hurdler-john-akii |website=World Athletics |access-date=19 August 2021}}</ref> Mnamo [[1986]], alikuwa mpokeaji wa Agizo la Silver Olympic.<ref>{{cite web|url=https://www.olympedia.org/athletes/77062 |title=John Akii-Bua |work=Olympedia |access-date=3 December 2021}}</ref> == Marejeo == <references /> {{mbegu-mtu}} {{BD|1949|1997}} [[Jamii:Wanariadha wa Uganda]] 5li6r3k75wj5bye3c68u6hhm5v57bdh Ackera Nugent 0 188827 1436985 1426705 2025-07-11T21:30:16Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436985 wikitext text/x-wiki [[Picha:Ackera Nugent.jpg|thumbnail|right|200px|Ackera Nugent]] '''Ackera Nugent''' (alizaliwa [[29 Aprili]] [[2002]])<ref name="WA Profile">{{Rejea tovuti| title = Ackera NUGENT - Athlete Profile|url=https://worldathletics.org/athletes/jamaica/ackera-nugent-14685249}}</ref> ni [[mwanariadha]] nchini [[Jamaika]] ambaye alibobea katika mbio za kukimbia. Yeye ndiye [[Bingwa]] mwaka [[2021]] wa Riadha wa Dunia U20 katika viunzi vya mita 100. <ref>{{Rejea tovuti| title = Gold for Jamaica's Ackera Nugent at World Athletics Under-20 Champs|url=https://www.jamaicaobserver.com/latestnews/Gold_for_Jamaica%26%238217;s_Ackera_Nugent_at_World_Athletics_Under-20_Champs}}</ref><ref>{{Rejea tovuti| title = Nugent strikes 100m hurdles gold for Jamaica, Vascianna takes silver in men's event|url=https://www.sportsmax.tv/index.php/athletics/athletics-international/item/86507-nugent-strikes-100m-hurdles-gold-for-jamaica|accessdate=2024-10-20|archive-date=2021-08-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20210823001451/https://www.sportsmax.tv/index.php/athletics/athletics-international/item/86507-nugent-strikes-100m-hurdles-gold-for-jamaica|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] 1tt6d53b7rgdzx5ygbo3z04qrcpfqap Sanjay Ayre 0 189416 1436988 1359941 2025-07-11T21:33:30Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436988 wikitext text/x-wiki [[Picha:Sanjay Ayre at the 2008 Olympic Games.jpg|thumbnail|right|200px|Sanjay Ayre]] '''Sanjay Claude Ayre''' (alizaliwa [[Kingston]], Jamaika, [[19 Juni]] [[1980]]) ni [[mwanariadha]] mstaafu wa [[Jamaika]] ambaye alibobea katika mbio za mita 400. Ayre alishinda [[medali]] ya fedha katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2000]]. Ayre ni mshindi wa [[medali]] ya Dhahabu ya Ubingwa wa Dunia wa Ndani wa IAAF mwaka [[2004]] na medali ya mara tatu ya Ubingwa wa Dunia wa Nje.<ref>{{cite web |title=name |url=https://www.olympedia.org/athletes/namba}} </ref> Wakati wa taaluma ya riadha ya kimataifa iliyochukua miaka 15, Ayre ameshinda medali kumi na moja za dhahabu, tatu za fedha, na nne za shaba katika viwango vya chini na vya juu. Ayre alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Auburn baada ya kupokea udhamini kamili wa riadha. Ayre angeshindana kimataifa katika muda wote wa shule yake ya upili na taaluma ya chuo kikuu, akifanikiwa kusawazisha vipaumbele vinavyoshindana. Aliendelea kupata Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika Uhalifu kutoka Chuo Kikuu cha Auburn, na mwaka [[2003]] alitia saini mkataba wa faida wa kiatu na kampuni ya mavazi ya michezo ya Puma. == Marejeo == <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] 6rqj6zjmczocny99zf67wgkzkngeb3n Edwin Soi 0 189601 1436990 1360333 2025-07-11T21:34:21Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436990 wikitext text/x-wiki [[Picha:Kenenisa Bekele - Smiling.jpg|thumbnail|right|200px|Soi akimfuata Kenenisa Bekele]] '''Edwin Cheruiyot Soi''' (alizaliwa [[3 Machi]] [[1986]]) ni [[mwanariadha]] mtaalamu wa mbio za masafa marefu kutoka [[Kenya]] ambaye alibobea katika mbio za mita 3000 na 5000. Ni mwana [[Olimpiki]] mara mbili wa Kenya.<ref>{{cite web |title=Edwin Soi |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14209817}} </ref> Heshima zake za kwanza kabisa ni medali za dhahabu za timu akiwa na Kenya kwenye Mashindano ya Dunia ya Msalaba ya Dunia ya IAAF mwaka [[2006]] na [[2007]]. Soi amepata mafanikio yake kwenye mbio hizo - alikuwa mshindi wa medali ya shaba ya mita 5000 katika Olimpiki ya [[Beijing]] mwaka [[2008]] na alifanikiwa sana kati mashindano ya dunia ya IAAF. Fainali ya Riadha, akitwaa [[medali]] tatu za dhahabu na tatu za fedha kuanzia [[2006]] hadi [[2008]]. Alikua bingwa wa bara kwenye mbio mwaka [[2010]] za Mashindano ya [[Afrika]] katika Riadha na alikuwa mshindi wa medali ya shaba ya mita 3000 kwenye Mashindano ya Ndani ya Dunia ya IAAF mwaka [[2012]]. Soi ameshinda mbio nyingi za barabara za 10K katika taaluma yake; ameshinda mara tatu mfululizo katika mbio za BOclassic, Memorial Peppe Greco na Giro Media Blenio, na amekuwa na ushindi mara nne mfululizo kwenye Giro al Sas. Ubora wake binafsi kwa umbali ni dakika 27:46. == Marejeo == <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] os6jchy3l73v221dte2nkqv80m646h1 Richard Mateelong 0 189602 1436991 1360334 2025-07-11T21:35:26Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436991 wikitext text/x-wiki [[Picha:Richard Mateelong FBK Games 2010.jpg|thumbnail|right|200px|Richard Mateelong & Brahim Taleb]] '''Richard Kipkemboi Mateelong''' (alizaliwa [[14 Oktoba]] [[1983]]) ni [[mwanariadha]] kutoka Kenya mtaalamu wa mbio za masafa marefu ambaye aliebobea katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi. Alishinda [[medali]] ya shaba ya Olimpiki katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Beijing]] mwaka [[2008]] na ana [[medali]] mbili za Ubingwa wa Dunia katika nidhamu.<ref>{{cite web |title=Richard Mateelong |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14209047}} </ref> == Marejeo == <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] j73qz74xhl7zk026nm77ar78uixxzbr Sylvia Jebiwot Kibet 0 189685 1436992 1360536 2025-07-11T21:36:42Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436992 wikitext text/x-wiki [[Picha:Mercy Cherono Daegu 2011.jpg|thumbnail|right|200px|Kibet (kulia)]] '''Sylvia Jebiwott Kibet''' (alizaliwa [[28 Machi]], [[1984]]) ni [[mwanariadha]] mtaalamu wa mbio za masafa marefu kutoka [[Kenya]]. Alikuwa mshindi wa [[medali]] ya fedha katika mbio za mita 5000 katika Mashindano ya Dunia ya Riadha mwaka [[2009]] na [[2011]]. Pia alishinda medali za masafa marefu katika Mashindano ya [[Afrika]] ya Riadha mwaka [[2006]], [[Michezo ya Afrika Nzima]] mwaka [[2007]] na Michezo ya [[Jumuiya ya Madola]] mwaka [[2010]].<ref>{{cite web |title=Sylvia Jebiwot Kibet |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14289098}} </ref> Amekosa medali katika michuano mikubwa mara kadhaa, baada ya kumaliza nafasi ya nne kwenye Mashindano ya Dunia mwaka [[2007]], [[Olimpiki]] ya [[Beijing]] mwaka [[2008]] na mara mbili zaidi ya mita 3000 kwenye Mashindano ya Ndani ya Dunia ya IAAF (mwaka wa 2008 na 2010). == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] f0xct18mz02kk960541gqgxehbddqlc Luke Kibet Bowen 0 189724 1436993 1361976 2025-07-11T21:37:27Z Kimwali mmbaga 69489 1436993 wikitext text/x-wiki [[Picha:Luke Kibet 2009 London Marathon.jpg|thumbnail|right|200px|Luke Kibet Bowen]] '''Luke Kibet Bowen''' (alizaliwa [[12 Aprili]] [[1983]]) ni [[mwanariadha]] wa mbio ndefu kutoka [[Kenya]] ambaye ni mtaalamu wa mbio za [[marathon]]. Alishinda mbio za marathon kwenye Mashindano ya Dunia mwaka [[2007]].<ref>{{cite web |title=Kibet's Osaka gold |url=http://osaka2007.iaaf.org/news/kind=2/newsid=40417.html |accessdate=2024-10-31 |archive-date=2007-08-27 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070827113847/http://osaka2007.iaaf.org/news/kind=2/newsid=40417.html |url-status=bot: unknown }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] bn8tare5ln0qbxjomywi5eh71lz457f Nicholas Kiptanui Kemboi 0 189735 1436994 1360684 2025-07-11T21:38:16Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436994 wikitext text/x-wiki [[Picha:WAF 2007 1500m Nicholas Kemboi.jpg|thumbnail|right|200px|Nicholas Kiptanui Kemboi]] '''Nicholas Kiptanui Kemboi''' (alizaliwa [[Kericho]], [[18 Desemba]] [[1989]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] wa mbio za kati ambaye ni mtaalamu wa mbio za mita 1500.<ref>{{cite web |title=Nicholas Kiptanui Kemboi |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14207924}} </ref> Alishiriki katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] mwaka [[2008]] lakini hakuenda mbio za mita 1500. Anashikilia utendakazi bora wa dunia wa mita 1500 kwa vijana wa dakika 3:33.72, uliofikiwa mnamo [[Agosti]] [[2006]] huko [[Zurich]].<ref>IAAF: [http://www.iaaf.org/statistics/recbycat/location=O/recordtype=WR/event=0/age=Y/area=0/sex=M/records.html World Youth Best Performance – Boys]</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] rtgjuzvmdbp605alpsdiauls4f5lta0 Salina Kosgei 0 189736 1436995 1360696 2025-07-11T21:39:12Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436995 wikitext text/x-wiki [[Picha:Salina Kosgei.jpg|thumbnail|right|200px|Salina Kosgei]] '''Salina Jebet Kosgei''' (alizaliwa [[Simotwo]], Wilaya ya [[Keiyo]], [[16 Novemba]] [[1976]]) ni mkimbiaji wa mbio ndefu kutoka [[Kenya]]. Yeye ni mshindi wa [[medali]] ya dhahabu kwenye Michezo ya [[Jumuiya ya Madola]], ameshiriki Olimpiki na ameshinda [[marathoni]] mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Boston Marathon mwaka [[2009]].<ref>{{cite web |title=Salina Kosgei |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14289206}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1976]] d3l4j5xexv3l6no9uy29t3jbfln54rt Peninah Arusei 0 189737 1436996 1360697 2025-07-11T21:40:04Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436996 wikitext text/x-wiki [[Picha:Peninah Jerop Arusei of Kenya at the 2012 World Half Marathon Championships in Kavarna, Bulgaria.jpg|thumbnail|right|200px|Peninah Arusei]] '''Peninah Arusei Jerop''' (alizaliwa [[1 Januari]] [[1979]]) ni [[mwanariadha]] mtaalamu wa mbio za masafa marefu kutoka [[Kenya]] ambaye anajishughulisha na mashindano ya mbio za barabarani, hasa nusu marathon. Amewakilisha Kenya kwenye [[Michezo ya Olimpiki]], baada ya kushiriki mbio za mita 10,000 katika Olimpiki ya [[Beijing]] mwaka [[2008]]. Arusei ameshinda mbio za mzunguko wa barabara za [[Ulaya]], zikiwemo Dam tot Damloop, Berlin Nusu Marathon na Lisbon Nusu Marathon.<ref>{{cite web |title=Peninah Arusei |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14288767}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] 5gdhlnx2qmf0q2e9etkefl80tvw7pul Abel Kirui 0 189742 1436997 1426612 2025-07-11T21:40:44Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436997 wikitext text/x-wiki [[Picha:Podium Men Marathon Daegu 2011 cropped.jpg|thumbnail|right|200px|Abel Kirui]] '''Abel Kirui''' (alizaliwa [[6 Aprili]] [[1982]]) ni [[mwanariadha]] wa masafa marefu kutoka [[Kenya]] ambaye hushiriki katika mbio za [[marathoni]]. Alipata ushindi mfululizo katika mbio za Marathoni za Dunia mwaka [[2009]] na [[2011]]. Kirui alishinda mwaka 2009 kwa muda wa 2:06:54, kisha akatetea taji lake kwa tofauti ya ushindi wa dakika mbili na sekunde 28 - kubwa zaidi kuwahi kutokea. pembezoni katika hafla ya Ubingwa wa Dunia. Alipata [[medali]] ya fedha katika mbio za marathon za Olimpiki za [[London]] mwaka [[2012]].<ref>{{Rejea tovuti | title = Abel Kirui|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14208543}} </ref> Pia ameshinda mbio za mji Vienna Marathon mwaka [[2008]], [[Chicago]] Marathon mwaka [[2016]] na alikuwa mshindi wa pili katika Marathon ya [[Berlin]] mwaka [[2007]] na [[Chicago]] Marathon mwaka [[2017]]. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] re6tkux7hqovm3pknqq4gzq8oimwtzq Martha Komu 0 189746 1436998 1360685 2025-07-11T21:41:42Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436998 wikitext text/x-wiki [[Picha:Martha Komu 2014 Paris Marathon t083734.jpg|thumbnail|right|200px|Martha Komu]] '''Martha Komu''' (alizaliwa [[Gathanji]], Wilaya ya [[Laikipia]], [[Machi 23]], [[1983]]) ni [[mwanariadha]] kutoka [[Kenya]] ambaye ni mtaalamu wa mbio za [[marathon]]. Alishinda mbio za [[Paris]] Marathon mnamo 2008 na kumaliza wa tano katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2008]].<ref>{{cite web |title=Martha Komu |url=https://www.olympedia.org/athletes/namba}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] neoc757y0tdgwopkfuxfne5aqpofu3s Boaz Kiplagat Lalang 0 189750 1436999 1360705 2025-07-11T21:42:18Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1436999 wikitext text/x-wiki [[Picha:Lalang Kaki Doha 2010.jpg|thumbnail|right|200px|Boaz Kiplagat Lalang]] '''Boaz Kiplagat Lalang''' (alizaliwa [[8 Februari]] [[1989]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] wa mbio za kati, ambaye ni mtaalamu wa mbio za mita 800. Ndugu yake mdogo, Lawi Lalang, aligombea [[Chuo Kikuu]] cha Arizona.<ref>[https://www.runnersworld.com/college/from-dust-to-dominance From Dust to Dominance]. Runner's World.</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] f6ofedyy6d3x0kofceorc3k52dd8ae0 Caleb Ndiku 0 189751 1437001 1431127 2025-07-11T21:43:17Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437001 wikitext text/x-wiki [[Picha:Caleb Ndiku Portland 2016.jpg|thumbnail|right|200px|Caleb Ndiku]] '''Caleb Mwangangi Ndiku''' (alizaliwa [[Machakos]], [[9 Oktoba]] [[1992]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] wa mbio za kati na mrefu.<ref>{{Rejea tovuti | title = Caleb Ndiku|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14372397}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] 1wn1v9r6pkvl0c0p3k3whs7n7bncpe8 Boniface Tumuti 0 189900 1437002 1430124 2025-07-11T21:43:57Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437002 wikitext text/x-wiki [[Picha:BonifaceMucheruRio2016.jpg|thumbnail|right|200px|Boniface Tumuti]] '''Boniface Mucheru Tumuti''' (alizaliwa [[2 Mei]] [[1992]] <ref>[https://web.archive.org/web/20181030205119/https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/mu/boniface-mucheru-1.html Boniface Mucheru]. Sports-Reference</ref>) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] ambaye alikimbia mbio na kuruka viunzi. .<ref>{{Rejea tovuti | title = Boniface Tumuti|url=https://www.olympedia.org/athletes/namba}} </ref> Alishiriki katika mbio za mita 400 kuruka viunzi katika [[Michezo ya Olimpiki]] mwaka [[2012]] na [[2016]] na akashinda [[medali]] ya [[fedha]] mwaka [[2016]].<ref name=rio>[https://www.rio2016.com/en/athlete/boniface-mucheru-tumuti Boniface Mucheru Tumuti] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20160823092815/https://www.rio2016.com/en/athlete/boniface-mucheru-tumuti |date=2016-08-23 }}. rio2016.com</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] p4xf29iihhyu7zyw95exgbskmo17wx9 Betsy Saina 0 189903 1437003 1429794 2025-07-11T21:44:40Z Kimwali mmbaga 69489 1437003 wikitext text/x-wiki [[Picha:Betsy Saina in stadium August 2014.jpg|thumbnail|right|200px|Betsy Saina]] '''Betsy Saina''' (alizaliwa [[Kenya]], [[30 Juni]] [[1988]]) ni [[mwanariadha]] wa mbio za masafa marefu mwenye [[asili]] ya [[Kenya]] anayeishi [[Marekani]] na sasa anashindana kwenye mchezo wa [[riadha]] kwa ajili ya Marekani.<ref>{{Rejea tovuti | title = Betsy Saina|url=https://worldathletics.org/athletes/kenya/betsy-saina-14363050}} </ref> ==Tazama pia== * [[Wakenya-Wamarekani]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Marekani]] [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1988]] exnep5bwk25ft6b580j7x3uozjhetnm Carvin Nkanata 0 189905 1437004 1431403 2025-07-11T21:45:47Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437004 wikitext text/x-wiki [[Picha:Carvin Nkanata Rio2016.jpg|thumbnail|right|200px|Carvin Nkanata]] '''Carvin Nkanata''' (alizaliwa [[Marekani]], [[6 Mei]] [[1991]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] ambaye alibobea katika mashindano ya mbio ndefu.<ref>{{Rejea tovuti | title = Carvin Nkanata|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14440825}} </ref> Alishinda [[medali]] ya shaba katika mbio za mita 200 kwenye Mashindano ya [[Afrika]] ya [[2014]]. Ubora wake wa kibinafsi katika mita 200 (20.14, iliyowekwa mnamo [[2015]]) ndio rekodi ya sasa ya Kenya. == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1991]] 5tzf5sa0mzcclv9gv0jzefay7vq6fgj Hyvin Jepkemoi 0 189907 1437042 1361222 2025-07-12T05:10:24Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437042 wikitext text/x-wiki [[Picha:Hyvin Kiyeng Jepkemoi Beijing 2015.jpg|thumbnail|right|200px|Hyvin Jepkemoi]] '''Hyvin Kiyeng Jepkemoi''' (alizaliwa [[13 Januari]] [[1992]]) ni mkimbiaji kutoka [[Kenya]] wa mbio za kuruka viunzi. Alishinda [[dhahabu]] katika Mashindano ya Dunia mwaka [[2015]] katika Riadha na [[Michezo ya Afrika Nzima]] ya [[2011]], na [[shaba]] katika Mashindano ya Dunia ya [[2017]] na Mashindano ya [[Afrika]] ya [[2012]] katika [[Riadha]]. Katika [[Michezo ya Olimpiki]], alishinda [[fedha]] huko [[Rio de Janeiro]] na shaba huko [[Tokyo]]. Kufikia [[Agosti]] [[2021]], muda wake bora zaidi wa 9:00.01 unamweka katika nafasi ya 6 kwenye orodha ya muda wote ya [[ulimwengu]].<ref>{{cite web |title=Hyvin Jepkemoi |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14472841}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] odqkgxl6ptxdhpfv1qlg8w2oovxx5fe Elijah Manangoi 0 189972 1437043 1361415 2025-07-12T05:11:30Z Kimwali mmbaga 69489 1437043 wikitext text/x-wiki [[Picha:Elijah Manangoi 2016 Bislett games.jpg|thumbnail|right|200px|Elijah Manangoi]] '''Elijah Motonei Manangoi''' (alizaliwa [[5 Januari]] [[1993]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] wa mbio za kati. <ref>{{cite web|url=http://www.iaaf.org/athletes/kenya/elijah-motonei-manangoi-292900 |title=Elijah Motonei Manangoi |publisher=IAAF |date=30 August 2015| access-date=30 August 2015}}</ref> Alishiriki katika mbio za mita 1500 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha mwaka [[2015]] huko [[Beijing]] akishinda [[medali]] ya [[fedha]] na katika Mashindano ya Dunia ya [[2017]], ambapo alishinda medali ya [[dhahabu]]. Manangoi alitajwa kuwa miongoni mwa [[Waafrika]] 100 walio na ushawishi mkubwa zaidi na Jarida jipya la Kiafrika mwaka wa 2017.<ref>{{Cite web|last=fadamana|date=7 December 2017|title=100 Most Influential Africans: Ten Kenyans Including CJ David Maraga Listed|url=https://answersafrica.com/100-most-influential-africans-list.html|access-date=5 January 2021|website=Answers Africa|language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] r3cjefkw0dxkzzlo1s3re273yfsmwk2 Winny Chebet 0 189974 1437044 1361412 2025-07-12T05:12:23Z Kimwali mmbaga 69489 1437044 wikitext text/x-wiki [[Picha:Chebet 2010-06-04 Bislett Games 800 m.jpg|thumbnail|right|200px|Winny Chebet]] '''Winny Chebet''' (alizaliwa [[20 Desemba]] [[1990]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] wa mbio za kati ambaye alishiriki mbio za mita 800.<ref>{{cite web |title=Winny Chebet |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14288808}} </ref> Aliwakilisha nchi yake kwenye Mashindano ya Dunia mwaka [[2013]] na kufika nusu fainali. Aidha alishinda [[medali]] za [[fedha]] katika Mashindano ya Dunia ya Vijana mwaka [[2006]] na [[2005]]. Ubora wake wa kibinafsi katika mita 800 ni saa 1:59.30 kutoka 2013. Alihitimu kuwakilisha Kenya katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2020]].<ref>{{cite web |title=Conseslus, Timothy Cheruiyot out as Kenya names team for Tokyo Olympics |url=https://www.capitalfm.co.ke/sports/2021/06/19/280500}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] dyuf4o2ygl8u5teohn61ny17x55bms9 Abraham Kibiwot 0 190020 1437045 1426664 2025-07-12T05:13:17Z Kimwali mmbaga 69489 1437045 wikitext text/x-wiki [[Picha:Abraham Kibiwott - 3,000m steeplechase at the 2020 Summer Olympics (51351779876) (cropped).jpg|thumbnail|right|200px|Abraham Kibiwot]] '''Abraham Kibiwot''' (alizaliwa [[4 Juni]] [[1996]]) mkimbiaji wa mbio za [[kuruka viunzi]] kutoka [[Kenya]]. Alishinda [[medali]] za [[shaba]] katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2024]], Mashindano ya [[Dunia]] mwaka [[2023]], na Mashindano ya [[Afrika]] ya mwaka [[2016]]. Ubora wake wa kibinafsi umerekodiwa kuwa dakika 8:05.51, rekodi iliyowekwa mwaka 2023.<ref>{{Rejea tovuti | title = Abraham Kibiwot|url=https://worldathletics.org/athletes/-/14657344}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1996]] th9vsm6m8osnxlvyiif1ye3li1fqpi9 Maurice Smith (mwanariadha) 0 190516 1437068 1363887 2025-07-12T05:41:17Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437068 wikitext text/x-wiki [[Picha:Osaka07 D8A Decathlon Maurice Smith.jpg|thumbnail|right|200px|Maurice Smith]] '''Maurice Smith''' (alizaliwa [[St. Catherine]], [[Jamaika]], [[28 Septemba]] [[1980]]) ni [[Riadha|mwanariadha]] kutoka [[Jamaika]]. Aligombea Chuo Kikuu cha Auburn. Aliwakilisha nchi yake ya asili katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] mwaka [[2004]] huko [[Athens]], [[Ugiriki]], akimaliza katika nafasi ya 14. Alivunja rekodi ya decathlon ya Michezo ya Pan American mnamo [[2007]], na kushinda [[medali]] yake ya kwanza ya dhahabu ya kimataifa. Alishinda medali ya fedha katika decathlon kwenye Mashindano ya Dunia mwaka [[2007]]. Smith ndiye anayeshikilia rekodi ya taifa kwa sasa katika decathlon ya wanaume, akiwa na pointi 8644. Smith aliwashinda Bingwa wa Dunia Roman Šebrle na Dmitriy Karpov katika mkutano wa TNT-Fortuna Matukio ya Pamoja mjini [[Kladno]], [[Jamhuri ya Czech]] akiwa na pointi 8157, na hivyo kumtayarisha vyema kwa Mashindano ya Dunia mwaka [[2009]] katika Riadha.<ref>Juck, Alfons (2009-06-25). [http://www.iaaf.org/news/news/smith-overcomes-weather-and-sebrle-dobrynska Smith overcomes weather and Šebrle; Dobrynska dominates in Kladno]. [[IAAF]]. Retrieved on 2009-06-29.</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] 7q5sp15iy6lv22byh0d6sggcdg7c9x4 Yoshihide Kiryū 0 190627 1437067 1364551 2025-07-12T05:40:32Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437067 wikitext text/x-wiki [[Picha:Yoshihide Kiryū Rio 2016.jpg|thumbnail|right|200px|Yoshihide Kiryū]] '''Yoshihide Kiryū''' (桐生 祥秀, ''Kiryū Yoshihide'', alizaliwa [[Hikone]], Mkoa wa [[Shiga]], [[15 Desemba]] [[1995]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Japani]] ambaye alibobea katika mbio za mita 100. Kiryū alicheza mpira wa miguu akiwa katika shule ya msingi na alipendezwa na mchezo wa mbio na uwanja katika shule ya upili ya junior, kaka yake aliposhiriki katika mchezo huo. Mwaka [[2011]], alishinda taji la kitaifa la vijana chini ya miaka 16 katika mita 100 katika Tamasha la Kitaifa la Michezo la Japani, kwa muda wa sekunde 10.58.<ref>[https://archive.today/20130705120500/http://www.tilastopaja.org/db/atm.php?ID=133239&Season=2011&Odd=0 Yoshihide Kiryu]. Tilastopaja. Retrieved on 30 April 2013.</ref> Mwaka uliofuata, Kiryū alikimbia katika kitengo cha vijana chini ya umri wa miaka 18 kwenye shindano lile lile na kuvunja mbio za vijana bora zaidi duniani kwa mbio za mita 100 kwa kuboresha rekodi ya Tamunosiki Atorudibo ya sekunde 10.23 kwa mia mbili ya sekunde tarehe [[5 Oktoba]] [[2012]]. Chini ya mwezi mmoja baadaye. , tarehe [[3 Novemba]] 2012, Kiryū alipunguza rekodi yake hadi sekunde 10.19.<ref>[http://www.eurosport.fr/athletisme/yoshihide-kiryu-le-nouvel-usain-bolt_sto3484987/story.shtml Yoshihide Kiryu, le nouvel Usain Bolt?] </ref> Mnamo tarehe [[29 Aprili]] [[2013]], Kiryū (bado ni mwanafunzi katika Shule ya Upili ya Rakunan huko [[Tō-ji]]) <ref>Larner, Brett (29 April 2013). [http://japanrunningnews.blogspot.co.uk/2013/04/high-school-senior-kiryu-1001-for-all.html High School Senior Kiryu World-Leading 10.01 to Tie 100 m Jr. WR, All-Time Japanese #2]. Japan Running News. Retrieved on 2013-04-30.</ref> alikimbia kwenye mkutano wa Oda Memorial na kufunga rekodi ya chini ya Dunia ya sekunde 10.01 iliyoshikiliwa na Darrel Brown na Jeffery Demps. IAAF hatimaye ilikataa kujumuishwa kwa wakati kama rekodi rasmi kwa sababu ya utumizi wa vifaa vya kupima kasi ya upepo ambavyo havijaidhinishwa kwenye njia.<ref>{{Cite web |date=June 15, 2013 |title=IAAF denies Kiryu share of junior world record |url=https://www.japantimes.co.jp/sports/2013/06/15/more-sports/track-field/iaaf-denies-kiryu-share-of-junior-world-record/ |access-date=2024-06-30 |website=Japan Times}}</ref> Katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2016]], Kiryū alishinda medali ya fedha katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100.<ref>{{Cite news|url=http://www.japantimes.co.jp/sports/2016/08/20/olympics/summer-olympics/bolt-completes-triple-triple-jamaicas-gold-4x100-relay-japan-makes-history-taking-silver/|title=Bolt completes triple-triple with Jamaica's gold in 4×100 relay; Japan makes history by taking silver|last=Mckirdy|first=Andrew|date=20 August 2016|newspaper=The Japan Times Online|language=en-US|issn=0447-5763|access-date=20 August 2016|accessdate=2024-11-15|archivedate=2016-08-20|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160820031435/http://www.japantimes.co.jp/sports/2016/08/20/olympics/summer-olympics/bolt-completes-triple-triple-jamaicas-gold-4x100-relay-japan-makes-history-taking-silver/}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1995]] 7y6jtecm2axze1onqj32dxre79ez4nm Sasago Tani 0 190630 1437066 1364501 2025-07-12T05:39:00Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437066 wikitext text/x-wiki [[Picha:Tani Sasago.jpg|thumbnail|right|200px|Sasago Tani]] '''Sasago Tani''' (谷 三三五, ''Tani Sasago'' , [[9 Mei]] [[1894]] – [[24 Julai]] [[1956]]) alikuwa [[mwanariadha]] wa [[Japani]] ambaye alishiriki katika mbio za mita 100 za wanaume na matukio ya mita 200 katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[1924]].<ref>{{cite web |title=Sasago Tani Olympic Results |url=https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/ta/sasago-tani-1.html |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2020-04-17 |archive-url=https://web.archive.org/web/20200417212614/https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/ta/sasago-tani-1.html |url-status=bot: unknown }}</ref> Tani alizaliwa Sasago Madono (真殿 三三五) katika Kijiji cha Iri [ja] katika iliyokuwa Wilaya ya Wake (leo Bizen City) ya Mkoa wa [[Okayama]]. Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Meiji na kufanya kazi katika Shirika la Reli la Serikali ya Japani, miongoni mwa kazi nyinginezo. Kufikia [[1924]] alikuwa amebadilisha jina lake la ukoo na kuwa Tani. Mnamo [[Novemba]] [[1925]], akiwa na umri wa miaka 31, alikua mwanariadha wa kwanza wa Japani na kuvunja rekodi ya alama ya sekunde 11 katika mbio za mita 100. == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} {{BD|1894|1956}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] s1w3vxqdimq0gwh1315shwntqgmu2p9 Atsushi Yamamoto 0 190634 1437065 1364744 2025-07-12T05:38:20Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437065 wikitext text/x-wiki [[Picha:Atsushi Yamamoto Rio2016c.jpg|thumbnail|right|200px|Atsushi Yamamoto]] '''Atsushi Yamamoto''' (山本 篤, ''Yamamoto Atsushi'', alizaliwa [[Aprili 19]], [[1982]]) ni [[mwanariadha]] aliyekatwa mguu kutoka [[Japani]] akishindana hasa katika kategoria ya T42 ya mbio za mbio na matukio ya kurukaruka. Alishinda [[medali]] za fedha katika mbio ndefu katika Michezo ya Walemavu ya mwaka [[2008]] na [[2016]].<ref>{{cite web |title=Atsushi Yamamoto |url=https://www.rio2016.com/en/paralympics/athlete/atsushi-yamamoto |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2016-09-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160923005405/https://www.rio2016.com/en/paralympics/athlete/atsushi-yamamoto |url-status=dead }}</ref> Yamamoto pia alishindana katika ubao wa theluji katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya Walemavu ya [[Majira ya baridi]] ya mwaka [[2018]]. <ref>{{cite web |title=Medals and Ranking — Men's Snowboard Cross SB-LL1 |url=https://www.pyeongchang2018.com/en/game-time/results/PWG2018/en/snowboard/medals-and-ranking-men-s-snowboard-cross-sb-ll1.htm |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2018-03-17 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180317164816/https://www.pyeongchang2018.com/en/game-time/results/PWG2018/en/snowboard/medals-and-ranking-men-s-snowboard-cross-sb-ll1.htm |url-status=dead }}</ref><ref>{{cite web |title=Medals and Ranking — Men's Banked Slalom SB-LL1 |url=https://www.pyeongchang2018.com/en/game-time/results/PWG2018/en/snowboard/medals-and-ranking-men-s-banked-slalom-sb-ll1.htm |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2018-03-17 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180317164837/https://www.pyeongchang2018.com/en/game-time/results/PWG2018/en/snowboard/medals-and-ranking-men-s-banked-slalom-sb-ll1.htm |url-status=dead }}</ref> Alishiriki katika mashindano ya mbio ndefu ya wanaume T63 katika Mashindano ya riadha ya Dunia ya mwaka [[2023]] yaliyofanyika [[Paris]], [[Ufaransa]].<ref>{{cite web |title=Results Book |url=https://www.paralympic.org/static/info/resATHD23/pdf/ATHD23/AT/ATHD23_AT_B99_AT0000000.pdf |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2024-08-09 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240809035448/https://www.paralympic.org/static/info/resATHD23/pdf/ATHD23/AT/ATHD23_AT_B99_AT0000000.pdf |url-status=bot: unknown }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1982]] 0pej00fhgj2cz5yu5bh59akmaw85puk Shōta Iizuka 0 190635 1437064 1364510 2025-07-12T05:37:29Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437064 wikitext text/x-wiki [[Picha:IAAF World Challenge - Meeting Madrid 2017 - 170714 215921-2.jpg|thumbnail|right|200px|Shōta Iizuka]] '''Shōta Iizuka''' (飯塚 翔太, ''Iizuka Shōta'', alizaliwa [[25 Juni]] [[1991]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Japani]] ambaye alibobea katika mbio za mita 200. Iizuka alianza kushindana katika riadha baada ya kushinda shindano la mita 100 la mtaa alipokuwa darasa la tatu; kocha wa klabu ya eneo hilo alikagua uchezaji wake katika mbio hizi na kumleta kujiunga na klabu yake ya riadha. Alihudhuria Shule ya Upili ya Fujieda Meisei na kisha Chuo Kikuu cha Chuo, ambako alisomea sheria.<ref>{{cite web |title=Shōta Iizuka |url=https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Sh%C5%8Dta_Iizuka&action=edit&redlink=1}} </ref> Katika Mashindano ya Vijana ya Dunia ya mwaka [[2010]] katika Riadha, Iizuka alishinda taji la mita 200 kwa muda wa sekunde 20.67, <ref>[http://www.iaaf.org/WJC10/news/kind=108/newsid=57702.html Men's 200m Final]</ref> na kumfanya kuwa mwanariadha wa kwanza wa kiume wa Kijapani kushinda medali katika mashindano hayo.<ref>https://web.archive.org/web/20100727164327/http://www.yomiuri.co.jp/sports/news/20100724-OYT1T00997.htm}}</ref><ref>Martin, David (July 24, 2010). [http://www.iaaf.org/WJC10/news/kind=100/newsid=57708.html Stormy Kendrik finishes like a thunderbolt to win USA's first championships gold – Day Five Evening Wrap]</ref> Katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2016]], Iizuka alishinda medali ya fedha katika mbio za kupokezana za mita 4 × 100.<ref>{{Cite news|url=http://www.japantimes.co.jp/sports/2016/08/20/olympics/summer-olympics/bolt-completes-triple-triple-jamaicas-gold-4x100-relay-japan-makes-history-taking-silver/|title=Bolt completes triple-triple with Jamaica's gold in 4×100 relay; Japan makes history by taking silver|last=|accessdate=2024-11-15|archivedate=2016-08-20|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160820031435/http://www.japantimes.co.jp/sports/2016/08/20/olympics/summer-olympics/bolt-completes-triple-triple-jamaicas-gold-4x100-relay-japan-makes-history-taking-silver/}}</ref> Ameshinda jumla ya medali nane (tatu za dhahabu, nne za fedha, moja ya shaba) katika mashindano ya riadha ya kimataifa. == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1991]] 6oc2vpn1wuiqn73hmruvf3l8h6omhmj Masashi Eriguchi 0 190636 1437063 1364091 2025-07-12T05:36:48Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437063 wikitext text/x-wiki [[Picha:Masashi Eriguchi - Flickr - Kentaro Iemoto@Tokyo (1).jpg|thumbnail|right|200px|Masashi Eriguchi]] '''Masashi Eriguchi''' (江里口 匡史, ''Eriguchi Masashi'', alizaliwa [[Kikuchi]], [[Kumamoto]], [[17 Desemba]] [[1988]]) ni [[mwanariadha]] mstaafu wa [[Japani]] ambaye alibobea katika mbio za mita 100. Alishinda [[medali]] ya shaba katika [[Chuo Kikuu]] cha [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2009]] na medali ya dhahabu katika upeanaji katika Mashindano ya [[Asia]] ya mwaka 2009. Katika Mashindano ya Dunia ya mwaka 2009, alimaliza wa nne katika mbio za kupokezana vijiti. Pia alishiriki katika mbio za mita 100. Alifika nusu fainali katika Mashindano ya Ndani ya Dunia ya mwaka [[2010]].<ref>{{cite web |title=Masashi Eriguchi |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14202641}} </ref> Nyakati zake bora zaidi binafsi ni sekunde 6.75 katika mita 60 (ndani), iliyofikiwa kwenye Mashindano ya Ndani ya Dunia ya 2010 huko [[Doha]]; Sekunde 10.07 katika mita 100, iliyofikiwa [[Juni]] 2009 huko Hiroshima; na sekunde 20.88 katika mita 200, iliyofikiwa [[Oktoba]] 2008 huko [[Ōita]].<ref>{{cite web |title=Masashi Eriguchi |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14202641}} </ref> Alistaafu mwaka wa 2018.<ref>https://web.archive.org/web/20201015151502/https://www.nikkansports.com/sports/athletics/news/201809230000503.html}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1988]] 19aqr8z8ecrgojv0k4bcw3moqu9cfcd Shingo Suetsugu 0 190640 1437062 1364507 2025-07-12T05:36:04Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437062 wikitext text/x-wiki [[Picha:Suetsugu Shingo, Japanese athlete.jpg|thumbnail|right|200px|Shingo Suetsugu]] '''Shingo Suetsugu''' (末續 慎吾, ''Suetsugu Shingo'', alizaliwa [[Kumamoto]], [[2 Juni]] [[1980]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Japani]].<ref>{{cite web |title=Athlete Biography: SUETSUGU Shingo |url=http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/5/223805.shtml |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2008-09-11 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080911011648/http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/5/223805.shtml |url-status=bot: unknown }}</ref> Yeye ni mshikilizi wa zamani wa rekodi wa Asia katika mbio za mita 200 na kupokezana wa mita 4×100.<ref>[http://www.rikuren.or.jp/english/national/index.html Japan national records] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20090511091303/http://www.rikuren.or.jp/english/national/index.html}}</ref> Suetsugu alishinda [[medali]] ya shaba katika mashindano ya mita 200 katika Mashindano ya Dunia ya IAAF ya mwaka [[2003]] katika muda wa sekunde 20.38. Mwaka huo huo aliweka rekodi ya Asia ya sekunde 20.03 katika mashindano ya kitaifa ya Japani, na pia alishinda mita 100 katika sekunde 10.13.<ref>Akihiro Onishi and Tatsuo Terada (9 June 2003). [https://www.iaaf.org/news/news/new-asian-200m-record-for-suetsugu-at-japanes New Asian 200m record for Suetsugu at Japanese national championships].</ref>Alishiriki katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2004]], alifika raundi ya pili katika mita 100. Suetsugu aliiwakilisha Japan katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto ya mwaka [[2008]] huko [[Beijing]]. Alishiriki katika mbio za kupokezana za mita 4×100 pamoja na Naoki Tsukahara, Shinji Takahira na Nobuharu Asahara. Katika joto lao la kufuzu walishika nafasi ya pili nyuma ya Trinidad na Tobago, lakini mbele ya [[Uholanzi]] na [[Brazil]]. Muda wao wa 38.52 ulikuwa wa tatu kwa kasi kati ya mataifa kumi na sita yaliyoshiriki raundi ya kwanza, na walifuzu kwa fainali. Huko walikimbia hadi muda wa sekunde 38.15, wa tatu kwa kasi baada ya timu za [[Jamaika]] na [[Trinidad]], kushinda medali ya shaba. Medali hiyo iliboreshwa hadi ya fedha baada ya Wajamaika hao kupewa DQ'ed kutokana na sampuli chanya ya Nesta Carter ya kutumia dawa za kusisimua misuli. Alishiriki pia katika mbio za mita 200, akimaliza katika nafasi ya sita katika mzunguko wake wa kwanza wa joto, kwa muda wa sekunde 20.93, ambao haukutosha kufuzu kwa raundi ya pili. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] n5nxm1oj9nbwwnc30ixziqnl0lfadqo Marcell Jacobs 0 190643 1437061 1364110 2025-07-12T05:35:25Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437061 wikitext text/x-wiki [[Picha:Marcell Jacobs 2021.jpg|thumbnail|right|200px|Marcell Jacobs]] '''Lamont Marcell Jacobs Jr.''' (Matamshi ya Kiitalia: [laˈmɔnt marˈsɛl ˈdʒeikobs];<ref>{{cite web|title=JACOBS Lamont Marcell|url=https://olympics.com/en/paris-2024/athlete/lamont-marcell-jacobs_1552167}}</ref> alizaliwa [[26 Septemba]] [[1994]]) ni [[mwanariadha]] wa zamani wa kurukaruka kwa muda mrefu [[Italia]]. Ndiye bingwa wa mita 100 wa [[Olimpiki]] mwaka [[2020]], bingwa wa dunia wa mita 60 wa mwaka [[2022]] na [[2024]] bingwa wa mita 100 wa [[Uropa]], na mshiriki wa timu iliyoshinda [[medali]] ya dhahabu ya 4 × 100 m katika Olimpiki mwaka 2020. Kwa sasa anashikilia rekodi ya Uropa ya mita 100, rekodi ya mita 60 ya Uropa, na ndiye mtu wa kwanza kuwahi kufuzu na kushinda fainali ya [[Olimpiki]] ya mita 100 kwa wanaume kwa Italia. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Italia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] 04gthj2vesvlrlfodtksxlk4hle1zaw Roberto Rigali 0 190646 1437060 1364114 2025-07-12T05:34:49Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437060 wikitext text/x-wiki [[Picha:Roberto Rigali 2023.jpg|thumbnail|right|200px|Roberto Rigali]] '''Roberto Rigali''' (alizaliwa [[7 Januari]] [[1995]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Italia]].<ref name=BIO>{{cite web|url=https://www.fidal.it/atleta/Roberto-Rigali/dqqRlpunbWM=|title=Roberto Rigali Biografia|website=}}</ref><ref>{{cite web | url=https://www.oasport.it/2023/08/atletica-chi-e-roberto-rigali-la-novita-della-4x100-ai-mondiali-litalia-cambia-apripista-sprinter-in-crescita/ | title=Atletica, chi è Roberto Rigali? La novità della 4x100 ai Mondiali: l'Italia cambia apripista, sprinter in crescita}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Italia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1995]] lzqelwij7evl69cq81jjq7xad7px8cj Nobuharu Asahara 0 190650 1437059 1364460 2025-07-12T05:33:44Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437059 wikitext text/x-wiki [[Picha:Asahara Nobuharu, Japanese athlete.jpg|thumbnail|right|200px|Nobuharu Asahara]] '''Nobuharu Asahara''' (朝原 宣治, ''Asahara Nobuharu'', alizaliwa [[Kita-ku]], [[Kobe]], [[21 Juni]] [[1972]]) ni [[mwanariadha]] wa zamani wa [[Japani]] ambaye alibobea katika mbio za mita 100 na kuruka kwa muda mrefu.<ref>{{cite web |title=Athlete biography: Nobuharu Asahara |url=http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/4/223804.shtml |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2008-08-09 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080809112401/http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/4/223804.shtml |url-status=bot: unknown }}</ref>Alishinda mbio za mita 100 kwenye ubingwa wa kitaifa wa Japani mara tano mnamo mwaka [[1996]], [[1997]], [[2000]], [[2001]] na [[2002]], na alishiriki katika Olimpiki mara nne mnamo 1996, 2000, [[2004]] na [[2008]]. Aliwakilisha Japani mara sita kwenye Ulimwengu wa Michuano ya Riadha. Katika michuano ya kimataifa, alifika nusu fainali mara tano: kwenye [[Olimpiki]] ya mwaka 1996 na Mashindano ya Dunia mnamo 1997, 2001, [[2003]] na [[2007]]. Pia alimaliza wa kumi na mbili katika fainali ya kuruka kwa muda mrefu kwenye Mashindano ya Dunia ya mwaka [[1995]]. Kwa kuongezea, alishinda [[medali]] za [[fedha]] katika mbio za mita 100 na 4 x 100 za kupokezana katika Michezo ya [[Asia]] ya 2002. == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1972]] mpzwjbrkrqlxp4fhss3sdbx9mctzlsq Shinji Takahira 0 190651 1437058 1364508 2025-07-12T05:32:37Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437058 wikitext text/x-wiki [[Picha:Shinji Takahira 2007.jpg|thumbnail|right|200px|Shinji Takahira]] '''Shinji Takahira''' (高平 慎士, ''Takahira Shinji'', alizaliwa [[Asahikawa]], [[18 Julai]] [[1984]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Japani]] ambaye alibobea katika mbio za mita 100 na 200.<ref>{{cite web |title=Athlete Biography: TAKAHIRA Shinji |url=http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/8/223808.shtml |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2008-09-08 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080908212009/http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/8/223808.shtml |url-status=bot: unknown }}</ref> Takahira alishiriki katika mbio za m 200 katika Olimpiki ya Athens ya mwaka [[2004]] na Mashindano ya Dunia ya mwaka [[2005]] lakini alishindwa kuendelea zaidi ya joto. Alichukua [[medali]] ya [[fedha]] katika Chuo Kikuu cha Majira ya joto mwaka 2005. Aliwakilisha Japani katika nchi yake ya nyumbani katika Mashindano ya Dunia ya Osaka ya mwaka [[2007]] na kufika robo fainali ya mashindano ya mita 200.<ref>[http://www.iaaf.org/athletes/biographies/letter=0/athcode=190158/index.html Takahira Shinji Biography]. [[International Association of Athletics Federations|IAAF]]. Retrieved 10 May 2009.</ref> Takahira aliiwakilisha Japan katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2008]] huko [[Beijing]]. Alishiriki katika mbio za kupokezana za mita 4x100 pamoja na Naoki Tsukahara, Shingo Suetsugu na Nobuharu Asahara. Katika joto lao la kufuzu walishika nafasi ya pili nyuma ya Trinidad na Tobago, lakini mbele ya [[Uholanzi]] na [[Brazil]]. Muda wao wa 38.52 ulikuwa wa tatu kwa kasi kati ya mataifa kumi na sita yaliyoshiriki raundi ya kwanza na walifuzu kwa fainali. Huko walikimbia kwa muda wa sekunde 38.15, mara ya tatu baada ya timu za [[Jamaika]] na [[Trinidad]] kushinda [[medali]] ya [[shaba]]. Hata hivyo, [[Januari]] [[2017]], medali ya [[Jamaika]] ilifutwa kutokana na mmoja wa wanariadha wao kuthibitishwa kuwa alikuwa na doping; hii ilimaanisha kuwa Japani sasa ilisogea hadi medali ya fedha. Alishiriki pia katika mbio za mita 200. Katika joto lake la mzunguko wa kwanza alishika nafasi ya nne katika muda wa sekunde 20.58, nje ya mchujo wa moja kwa moja. Wakati wake hata hivyo ulikuwa kati ya nyakati bora zaidi za kupoteza, kupata nafasi yake ya mzunguko wa pili. Katika raundi ya pili alifikia wakati wa sekunde 20.63 na akaondolewa kwani alishika nafasi ya saba kwenye joto. Takahira alianza vyema msimu wa mwaka [[2009]], akimaliza wa pili na kurekodi mbio mpya ya mita 200 kati ya sekunde 20.31 kwenye Osaka Grand Prix ya 2009. Alihisi kuchochewa na kukimbia dhidi ya mwanariadha wa [[Marekani]] Rodney Martin na akasema kwamba alitarajia kufika nusu au fainali ya Mashindano ya Dunia ya Berlin yanayokuja.<ref>Nakamura, Ken (9 May 2009). [https://www.iaaf.org/news/news/07-world-champs-wariner-clement-and-thomas-wi ‘07 World champs Wariner, Clement and Thomas win again in Osaka – IAAF World Athletics Tour]. IAAF. Retrieved 8 October 2019.</ref> Alishinda mbio za mita 200 kwenye Mashindano ya Kijapani, akivunja kiwango chake cha kibinafsi kwa kukimbia kwa sekunde 20.22. Hii ilikuwa mara ya tatu kwa kasi zaidi kuwahi kuendeshwa nchini Japani, na Takahira alisema "Nilitarajia kwa siri rekodi ya Suetsugu (kitaifa).<ref>Nakamura, Ken (29 June 2009). [https://www.iaaf.org/news/news/sprinters-excel-at-the-japanese-champs Sprinters excel at the Japanese Champs]. IAAF. Retrieved on 8 October 2019.</ref><ref>[https://www.japantimes.co.jp/sports/2009/06/27/more-sports/track-field/fukushima-breaks-200-meter-mark/ Fukushima breaks 200-meter mark]. ''[[The Japan Times]]'' (27 June 2009). Retrieved on 8 October 2019.</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] 3gi9soyt3zkhnhqefon20sf6jtrcqbb Angelo Sguazzero 0 190652 1437057 1364127 2025-07-12T05:31:49Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437057 wikitext text/x-wiki [[Picha:Angelo Sguazzero 1967-68.JPG|thumbnail|right|200px|Angelo Sguazzero]] '''Angelo Sguazzero''' (alizaliwa [[Como]], [[4 Januari]] [[1946]]) ni [[mwanariadha]] wa zamani wa [[Italia]] ambaye alimaliza wa 7 akiwa na timu ya taifa ya kupokezana vijiti kwenye mbio za kupokezana vijiti za mita 4x100 kwenye [[Michezo ya Olimpiki]] ya mwaka [[1968]].<ref>{{cite web |title=Angelo Sguazzero |url=https://www.olympedia.org/athletes/72138}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Italia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1946]] 08s7rst6alhxkjtqmfkui5t1j086rw2 Naoki Tsukahara 0 190653 1437056 1364448 2025-07-12T05:30:26Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437056 wikitext text/x-wiki [[Picha:Naoki Tsukahara - Flickr - Kentaro Iemoto@Tokyo (1).jpg|thumbnail|right|200px|Naoki Tsukahara]] '''Naoki Tsukahara''' (塚原 直貴, alizaliwa [[10 Mei]] [[1985]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Japani]] ambaye alibobea katika mbio za mita 100.<ref>{{cite web |title=Athlete biography: Naoki Tsukahara |url=http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/1/243381.shtml |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2008-09-05 |archive-url=https://web.archive.org/web/20080905234131/http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/Athlete/1/243381.shtml |url-status=bot: unknown }}</ref> Alikuwa wa saba katika mbio za mita 100 katika Tamasha la Kitaifa la Michezo la 58 la Japani mwaka [[2003]]. Baada ya kushika nafasi ya sita katika mbio za mita 200 kwenye Mashindano ya Riadha ya Wanafunzi wa Japan ya mwaka [[2004]], alirejea miaka miwili baadaye na kushika nafasi ya pili katika mbio fupi zote mbili. Mashindano ya mwaka [[2006]] ya Japan katika Riadha yalimshuhudia akiwa na taji la mita 100 na kutwaa wa tatu katika mbio za mita 200. Tsukahara aliiwakilisha Japan katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2008]] mjini [[Beijing]] ambapo alishiriki katika mbio za mita 100 na kushika nafasi ya pili katika joto lake la kwanza baada ya Churandy Martina katika muda wa sekunde 10.39. Alifuzu kwa raundi ya pili ambayo aliboresha muda wake hadi sekunde 10.23, akimaliza wa tatu nyuma ya Martina na Michael Frater. Katika nusu-fainali ya mita 100 Tsukahara alipata muda wa sekunde 10.16, ubora wake bora wa msimu, lakini alimaliza katika nafasi ya saba, na kushindwa kufuzu kwa fainali. Pamoja na Shingo Suetsugu, Shinji Takahira na Nobuharu Asahara, Tsukahara pia ilishiriki fainali ya mbio za mita 4x100 za kupokezana vijiti katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto ya mwaka 2008. Katika joto lao la kufuzu, timu hiyo ilishika nafasi ya pili nyuma ya Trinidad na Tobago, mbele ya timu za [[Uholanzi]] na [[Brazil]]. Muda wao wa 38.52 s ulikuwa wa tatu kwa kasi kati ya mataifa kumi na sita yaliyoshiriki raundi ya kwanza na walifuzu kwa fainali. Huko walikimbia kwa muda wa sekunde 38.15, wakishika nafasi ya tatu baada ya timu za [[Jamaika]] na [[Trinidad]], na kushinda [[medali]] ya [[shaba]]. Hata hivyo, [[Januari]] [[2017]], medali ya [[dhahabu]] ya Jamaika ilifutiliwa mbali baada ya mmoja wa wanariadha wao kugundulika kuwa anatumia dawa za kusisimua misuli, kumaanisha kwamba timu ya Japani ilipokea fedha. Mafanikio hayo yalikuwa ya kihistoria kwa upande wa wana Olimpiki wa Japani; ni medali ya kwanza kushinda wanariadha wa Japani katika miaka 80, na pia kuwa medali ya kwanza kushinda wanariadha wa kiume wa Japani.<ref name=breitbart>{{cite news|url=https://www.japantimes.co.jp/sports/2008/08/24/olympics/japan-grabs-historic-bronze-in-mens-relay/|title=Japan grabs historic bronze in men's relay|date=2008-08-24|work=The Japan Times Online|access-date=2017-08-17|issn=0447-5763}}</ref> Tsukahara alianza vyema msimu wa mwaka [[2009]], akiboresha ubora wake wa mita 200 mapema Mei hadi 20.61 s. Pia aliweka mshindi mpya wa kibinafsi wa mita 100 kwenye Osaka Grand Prix ya 2009. Alishinda kwa urahisi kwa muda wa sekunde 10.13 lakini bado alihisi kwamba alikuwa na uwezo wa kukimbia haraka zaidi.<ref>Nakamura, Ken (2009-05-09). [https://www.iaaf.org/news/news/07-world-champs-wariner-clement-and-thomas-wi '07 World champs Wariner, Clement and Thomas win again in Osaka – IAAF World Athletics Tour]. [[IAAF]]. Retrieved 2019-10-08.</ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1985]] bpigt5f2xsuoqxfcl290o57ncvqx4rt Filippo Tortu 0 190654 1437055 1364244 2025-07-12T05:29:29Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437055 wikitext text/x-wiki [[Picha:2022-08-19 European Championships 2022 – Men's 200 Metres by Sandro Halank–030 - Tortu (cropped).jpg|thumbnail|right|200px|Filippo Tortu]] '''Filippo Tortu''' (alizaliwa [[15 Juni]] [[1998]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Italia]] aliye bora zaidi katika mita 100 ya 9.99, Mwitalia wa kwanza katika historia kuvunja kizuizi cha sekunde 10, na Mwitalia wa pili kwa kasi katika historia akimfuata [[Marcell Jacobs]]. Alishinda [[medali]] ya [[dhahabu]] katika mita 100 kwenye Mashindano ya [[Uropa]] ya U20 ya mwaka [[2017]] na medali ya fedha kwenye Mashindano ya Dunia ya U20 ya mwaka [[2016]]. Alikimbia mguu wa nanga katika mbio za 4 × 100m za timu ya Italia iliyoshinda medali ya dhahabu (nanga ya tano kwa haraka zaidi wakati wote) katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2020]] na Mashindano ya Uropa ya mwaka [[2024]], na medali ya fedha kwenye Riadha za Dunia mwaka [[2023]]. Katika kiwango cha mtu binafsi katika mita 200 alishinda medali ya fedha kwenye Mashindano ya Uropa ya 2024 na medali ya shaba kwenye Mashindano ya Uropa ya 2022. Anafunzwa na babake, Salvino Tortu, mwanariadha wa zamani wa [[Sardinia]] ambaye alihamia [[Lombardia]].<ref>{{cite web |title=Filippo Tortu |url=http://www.fidal.it/atleta/Filippo-Tortu/dq2Rk5ufaWg= |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2016-07-26 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160726232736/http://www.fidal.it/atleta/Filippo-Tortu/dq2Rk5ufaWg= |url-status=bot: unknown }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Italia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1998]] qk0we8rgnc715jnm5dg7dcmo0kqnfc0 Roberto La Barbera 0 190658 1437054 1364137 2025-07-12T05:28:32Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437054 wikitext text/x-wiki [[Picha:Roberto La Barbera.jpg|thumbnail|right|200px|Roberto La Barbera]] '''Roberto La Barbera''' (alizaliwa [[25 Februari]] [[1967]]) ni [[mwanariadha]] [[mlemavu]] kutoka [[Italia]] akishiriki hasa katika matukio ya F44 ya kuruka kwa muda mrefu na pentathlon.<ref>{{cite web |title=Roberto La Barbera |url=https://www.paralympic.org/roberto-la-barbera}} </ref> == Marejeo == <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Italia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1967]] 4tzccbbq9esbsfddzc15p673zntj3bf Rosario La Mastra 0 190661 1437053 1364140 2025-07-12T05:27:26Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437053 wikitext text/x-wiki [[Picha:NR U23.png|thumbnail|right|200px|Rosario La Mastra (wa pili kutoka kulia) mnamo 2006]] '''Rosario La Mastra''' ([[1 Februari]] [[1984]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Italia]].<ref>{{cite web |title=Rosario La Mastra |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14200593}} </ref> == Marejeo == {{reflist}} <references /> {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Italia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] 1fqij7p36gk1cztvbrctujoqrzxfjsj Sarah Chelangat 0 190698 1437052 1395502 2025-07-12T05:26:26Z Kimwali mmbaga 69489 1437052 wikitext text/x-wiki [[Picha:Corrida bulloise 2019 1362.jpg|thumbnail|right|200px|Sarah Chelangat]] '''Sarah Chelangat''' (alizaliwa [[5 Juni]] [[2001]]) ni [[mwanariadha]] kutoka [[Uganda]] ambaye alibobea katika mbio za masafa marefu.<ref name=iaaf-profile>{{cite web|url=https://www.iaaf.org/athletes/uganda/sarah-chelangat-316824 |title=Sarah Chelangat Athlete Profile}}</ref> Aliwakilisha Uganda katika Mashindano ya Riadha ya Dunia ya mwaka [[2019]], akishiriki katika mbio za mita 5000 za wanawake.<ref>{{cite web|url= https://www.iaaf.org/competitions/iaaf-world-championships/iaaf-world-athletics-championships-doha-2019-6033/results/women/5000-metres/heats/summary |title=5000 Metres women}}</ref> Alishiriki katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2020]]. Alikuwa na majeraha ya shin na goti ambayo yalimfanya akose mkondo kwa muda mwingi wa mwaka [[2021]], na hakufanya mengi katika Olimpiki ya [[Tokyo]] 2020.<ref>{{Cite web|title=Athletics - CHELANGAT Sarah|url=https://olympics.com/tokyo-2020/olympic-games/en/results/athletics/athlete-profile-n1450072-chelangat-sarah.htm|accessdate=2024-11-15|archive-date=2021-08-17|archive-url=https://web.archive.org/web/20210817025255/https://olympics.com/tokyo-2020/olympic-games/en/results/athletics/athlete-profile-n1450072-chelangat-sarah.htm|url-status=bot: unknown}}</ref> Uchezaji wake katika mbio za mita 5000 mjini [[Nijmegen]] mnamo [[Juni]] [[2019]], 15:00.61, ni rekodi ya kitaifa ya Uganda..<ref name=iaaf-profile/><ref>{{cite web|url= http://www.runblogrun.com/2019/06/2019-nijmegen-diary-ten-runners-sub-28-minutes.html |title=2019 Nijmegen Diary: Ten runners, sub 28 minutes}}</ref> Mwaka [[2024]], aliweka rekodi ya kitaifa ya Uganda kwa mbio za 10,000m kwenye Prefontaine Classic huko Eugene kwa muda wa 30:24.04.<ref>{{cite web|title=10000m Result|url=https://ps-cache.web.swisstiming.com/node/binaryData/ATH_PROD/EUGENE_2024/PDF_ATHW10000M--ADDITIONALFNL-000100--_C73C1.PDF|accessdate=2024-11-15|archive-date=2024-11-30|archive-url=https://web.archive.org/web/20241130042232/https://ps-cache.web.swisstiming.com/node/binaryData/ATH_PROD/EUGENE_2024/PDF_ATHW10000M--ADDITIONALFNL-000100--_C73C1.PDF|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Uganda]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] 0tptxm3qqghqlt6r3n0b2abpms8mdxg Nickel Ashmeade 0 190703 1437051 1364282 2025-07-12T05:25:38Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437051 wikitext text/x-wiki [[Picha:Nickel Ashmeade com medalha de ouro no 4 x 100 metros 1039105-19.08.2016 frz-1203 (cropped).jpg|thumbnail|right|200px|Nickel Ashmeade]] '''Nickel Ashmeade''' (alizaliwa [[7 Aprili]] [[1990]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Jamaika]] ambaye ni mtaalamu wa mbio za mita 100 na 200.<ref>{{cite web |title=Nickel Ashmeade |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14201803}} </ref> Nickel Ashmeade alikimbia mkondo wa tatu kwa timu ya Jamaika ya mita 4 × 100 katika Mashindano ya Dunia mwaka [[2013]] huko [[Moscow]] ambayo ilishinda [[medali]] ya dhahabu. Nickel Ashmeade alimaliza wa 5 kwenye Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2013 katika mbio za mita 100 huko Moscow na 4 katika mbio za 200. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] pga5v1v2fyh9fnfr5oyc66ez32r353s Kaliese Spencer 0 190704 1437050 1364283 2025-07-12T05:18:57Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437050 wikitext text/x-wiki [[Picha:Kaliese Spencer Zagreb 2010.jpg|thumbnail|right|200px|Kaliese Spencer]] '''Kaliese Spencer Carter''' (alizaliwa [[6 Mei]] [[1987]]) ni [[mwanariadha]] kutoka [[Jamaika]] ambaye ni mtaalamu wa mbio za mita 400 kuruka viunzi. Alishinda [[medali]] ya shaba katika hafla ya [[Olimpiki]] ya [[London]] mwaka [[2012]].<ref>{{cite web |title=Kaliese Spencer |url=https://worldathletics.org/athletes/-/14285929}} </ref> Spencer alikuwa bingwa wa Michezo ya [[Jumuiya ya Madola]] mwaka [[2014]] na medali ya fedha mara mbili kwenye Mashindano ya Ndani ya Dunia mwaka 2014. Alimaliza wa nne katika Mashindano ya Dunia mwaka [[2009]] na [[2011]] katika Riadha. Spencer alikuwa bingwa wa Dunia mwaka [[2006]]. Yeye ni mshindi mara nne wa Ligi ya Diamondi mbio za mita 400 kuruka viunzi. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] 6940ejdhrch6o9udwajpd6ngg9jvvxd Melaine Walker 0 190711 1437049 1364371 2025-07-12T05:17:08Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437049 wikitext text/x-wiki [[Picha:Melaine Walker Berlin 2009 cropped.jpg|thumbnail|right|200px|Melaine Walker]] '''Melaine Walker''' O.D (alizaliwa [[Kingston]], [[1 Machi]] [[1983]]) ni [[mwanariadha]] wa mbio za mita 400 kutoka [[Jamaika]]. Walker ndiye bingwa wa zamani wa [[Olimpiki]] wa mbio za mita 400 kuruka viunzi. Alishikilia rekodi ya Olimpiki ya 52.64, iliyowekwa kwenye [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Beijing]] mwaka [[2008]], na muda wake wa sekunde 52.42 kwenye Mashindano ya Dunia mwaka [[2009]] huko [[Berlin]] ulikuwa wakati wa pili kwa kasi zaidi katika historia wakati huo.<ref>{{cite web |title=Melaine Walker |url=http://berlin.iaaf.org/news/kind%3D114/newsid%3D53721.html |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2009-08-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20090821165259/http://berlin.iaaf.org/news/kind%3D114/newsid%3D53721.html |url-status=bot: unknown }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] 7w6ew39b2fw4z21ft3634xtglyw5b6r Rosemarie Whyte 0 190712 1437048 1364494 2025-07-12T05:14:48Z Kimwali mmbaga 69489 kuongeza picha kwenye makala hii #WPWP 1437048 wikitext text/x-wiki [[Picha:Whyte 02427.JPG|thumbnail|right|200px|Rosemarie Whyte]] '''Rosemarie Whyte''' (alizaliwa [[8 Septemba]] [[1986]]) ni bingwa wa mwaka [[2008]] raia wa [[Jamaika]] wa mbio za mita 400. Aliwakilisha Jamaika kwenye [[Michezo ya Olimpiki]] mwaka [[2008]] huko [[Beijing]], [[Uchina]], na katika [[Michezo ya Olimpiki]] ya [[Majira ya joto]] ya mwaka [[2012]] huko [[London]], [[Uingereza]]. Katika Olimpiki zote mbili alikuwa sehemu ya timu za Jamaika zilizoshinda [[medali]] ya shaba za 4 × 400 m.<ref>{{cite web |title=Rosemarie Whyte |url=https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/wh/rosemarie-whyte-1.html |accessdate=2024-11-15 |archive-date=2020-04-18 |archive-url=https://web.archive.org/web/20200418000859/https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/wh/rosemarie-whyte-1.html |url-status=bot: unknown }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Jamaika]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] padizywc7520cy5krjjn5mfejrvwo4p Benjamin Kigen 0 190714 1437046 1429632 2025-07-12T05:14:01Z Kimwali mmbaga 69489 1437046 wikitext text/x-wiki [[Picha:Benjamin Kigen (KEN).jpg|thumbnail|right|200px|Benjamin Kigen]] '''Benjamin Kigen''' (alizaliwa [[Kaunti ya Baringo]], [[Julai 5]], [[1993]]) ni [[mwanariadha]] wa [[Kenya]] ambaye alishiriki haswa katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi. Alishinda [[medali]] ya shaba kwenye Olimpiki ya Tokyo 2020. Kigen alitwaa dhahabu katika [[Michezo ya Afrika Nzima]] ya mwaka [[2019]]. Kenya na anafanya mazoezi na [[Amos Kirui]] chini ya kocha Isaac Rono.<ref name=iaaf>{{Rejea tovuti|url=https://www.iaaf.org/news/feature/benjamin-kigen-kenya-steeplechase| title = Newcomer Kigen shakes up steeplechase status quo}}</ref> Kigen alishinda mbio za mita 3000 kuruka viunzi katika Prefontaine Classic mwaka [[2018]], akiwashinda bingwa wa dunia wa mwaka [[2017]] Conseslus Kipruto na mshindi wa [[medali]] ya fedha ya [[Michezo ya Olimpiki]] ya mwaka [[2016]] Evan Jager na mshindi wa sekunde 57.89 wa mzunguko wa mwisho.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://flashresults.com/2018_Meets/Outdoor/05-25_PrefontaineClassic/014-1-01.htm| title = Prefontaine Classic Men 3000 M Steeplechase (Final)}}</ref> Alifuzu kuwakilisha Kenya katika Michezo ya Olimpiki ya [[Tokyo]] mwaka [[2020]],<ref>{{Rejea tovuti|last=Olobulu|first=Timothy| date = 2021-06-19| title = Conseslus, Timothy Cheruiyot out as Kenya names team for Tokyo Olympics|url=https://www.capitalfm.co.ke/sports/2021/06/19/280500/|access-date=2021-06-20|website=Capital Sports|language=en-US}}</ref> ambapo alishinda medali ya shaba katika mashindano yake ya kitaalamu kwa muda wa 8:11.45, nyuma ya [[Soufiane El Bakkali]] (8:08.90) na [[Lamecha Girma]] (8:10.38).<ref>{{Rejea tovuti |last= | date = 2021-08-02| title = Kenya's Reign is Over: Soufiane El Bakkali Wins Olympic Men's Steeplechase in Tokyo|url=https://www.letsrun.com/news/2021/08/kenyas-reign-is-over-soufiane-el-bakkali-wins-olympic-mens-steeplechase-in-tokyo/ |access-date=2021-08-02 |website=[[LetsRun.com]] |language=en}}</ref> Ubora wake wa binafsi ni 8:05.12 (Monaco 2019). == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanariadha-kenya}} [[Jamii:Wanariadha wa Kenya]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] ds6hjx7mcd84cfvbk4sxp436c75mver André Genge 0 196514 1436940 1391483 2025-07-11T14:35:24Z Riccardo Riccioni 452 1436940 wikitext text/x-wiki '''André Genge''' ni [[Mwanahabari|mwandishi wa habari]] [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|wa filamu wa Kongo]] na [[Siasa|mwanasiasa]]. Alishiriki katika Jedwali la Duara la Brussels ambalo lilipelekea uhuru wa [[Kongo ya Kibelgiji]], kama mwanachama wa Chama cha Wananchi wa Haut-Congo (ASSORECO). Katika Kongo huru, alikuwa Waziri wa Nchi katika serikali ya Lumumba kuanzia tarehe 30 Juni hadi 12 Septemba 1960. Yeye ni mwanzilishi mwenza wa Chama cha Umoja wa Kitaifa (PUNA) na mwanzilishi wa Muungano wa Dua Aruwimi Itimbiri (UNIDA) mwaka wa 1961. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] hth6wniulefgqi2qddz43iz7p175j23 Juice Newton 0 202404 1437095 1403324 2025-07-12T08:05:04Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437095 wikitext text/x-wiki '''Juice Newton''' (alizaliwa '''Judith Kay Newton''' [[18 Februari]], [[1952]]) ni [[mwimbaji]], [[mtunzi wa nyimbo]], na [[mwanamuziki]] wa [[Marekani]] wa muziki wa [[pop]] na [[Country]].<ref name=charts>{{citation |url=http://www.allmusic.com/artist/juice-newton-mn0000837946/awards|title=Awards|publisher=AllMusic|access-date=March 25, 2016}}</ref><ref name=AllMusic>{{citation |url=http://www.allmusic.com/artist/juice-newton-mn0000837946/biography|title=Juice Newton Biography|author=Erlewine, Stephen Thomas|publisher=AllMusic|access-date=March 25, 2016}}</ref><ref name=bio>{{citation|url=http://juicenewton.net/bio|title=Juice Newton Bio|access-date=March 25, 2016|archive-date=2025-03-24|archive-url=https://web.archive.org/web/20250324173722/http://www.juicenewton.net/bio|url-status=dead}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki}} {{BD|1952|}} [[Jamii:Waimbaji wa Marekani]] lmtaim9spx8lwgt2c6coefvk7e2o7jg Majadiliano ya mtumiaji:Alex Rweyemamu 3 205507 1437109 1411919 2025-07-12T09:12:32Z Anuary Rajabu 45588 /* Makala za utamaduni */ mjadala mpya 1437109 wikitext text/x-wiki {{karibu}} [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 13:24, 22 Machi 2025 (UTC) :nashukuru sana kiongozi kwa muongozo huu '''[[Mtumiaji:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alex Rweyemamu#top|majadiliano]])''' 04:15, 24 Machi 2025 (UTC) == Makala za utamaduni == Habari ndugu, Pongezi kwa jitihada zako kwa kujitoa kuandika makala na kuziba pengo la maudhui ya utamaduni wa nchi katika wikipedia yetu ya Kiswahili. Ni katika hali ya kuelimishana na kukumbushana nimepitia makala zako nyingi kama [[Utamaduni wa Madagascar]],[[Utamaduni wa Misri]],[[Utamaduni wa Lesotho]] n.k, zinakua zinakua ni ndefu sana (japo hii sio shida) lakini kubwa zinakosa umbo la muundo wa makala za wikipedia, kama kuvunja vunja maada kwa matukio yaani kwa kuweka vichwa, kama katika makala nyingi za utamaduni wa nchi mfamo "Lugha","Mila na Desturi" "Dini","Vyakula" n.k kulingana na utamaduni wa nchi husika mfamo kama [[Utamaduni wa Tanzania]], [[Utamaduni wa Tunisia]], [[Utamaduni wa Uganda]]. Tafadhali! kabla hujachapisha makala mpya fanya marekebisho katika makala zote ulizoandika, ili kusaidia kupunguza mrundikano wa majukumu kwa wakabidhi na wapitiaji wengine. Nimekuzuia kwa masaa kadhaa ili kukupa uwanja wa kufanya marekibisho ili kupunguza mzigo kuwa mkubwa. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:12, 12 Julai 2025 (UTC) 1t4ozsqbuyjipgsqp726xe6jbu7a9xd 1437159 1437109 2025-07-12T10:10:59Z Alex Rweyemamu 75841 /* Makala za utamaduni */ Jibu 1437159 wikitext text/x-wiki {{karibu}} [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 13:24, 22 Machi 2025 (UTC) :nashukuru sana kiongozi kwa muongozo huu '''[[Mtumiaji:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alex Rweyemamu#top|majadiliano]])''' 04:15, 24 Machi 2025 (UTC) == Makala za utamaduni == Habari ndugu, Pongezi kwa jitihada zako kwa kujitoa kuandika makala na kuziba pengo la maudhui ya utamaduni wa nchi katika wikipedia yetu ya Kiswahili. Ni katika hali ya kuelimishana na kukumbushana nimepitia makala zako nyingi kama [[Utamaduni wa Madagascar]],[[Utamaduni wa Misri]],[[Utamaduni wa Lesotho]] n.k, zinakua zinakua ni ndefu sana (japo hii sio shida) lakini kubwa zinakosa umbo la muundo wa makala za wikipedia, kama kuvunja vunja maada kwa matukio yaani kwa kuweka vichwa, kama katika makala nyingi za utamaduni wa nchi mfamo "Lugha","Mila na Desturi" "Dini","Vyakula" n.k kulingana na utamaduni wa nchi husika mfamo kama [[Utamaduni wa Tanzania]], [[Utamaduni wa Tunisia]], [[Utamaduni wa Uganda]]. Tafadhali! kabla hujachapisha makala mpya fanya marekebisho katika makala zote ulizoandika, ili kusaidia kupunguza mrundikano wa majukumu kwa wakabidhi na wapitiaji wengine. Nimekuzuia kwa masaa kadhaa ili kukupa uwanja wa kufanya marekibisho ili kupunguza mzigo kuwa mkubwa. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 09:12, 12 Julai 2025 (UTC) :Asante sana kwa mrejesho wako wa kujenga, :Ninashukuru kwa elimu uliyonipatia kuhusu namna bora ya kuunda makala kwa kufuata muundo wa Wikipedia. Nimejifunza umuhimu wa maudhui kwa vichwa vya habari kama "Lugha", "Mila na Desturi", "Dini", n.k. ili kurahisisha usomaji na uelewa. :Nitazingatia ushauri wako na kufanya marekebisho katika makala nilizoandika tayari kabla ya kuchapisha nyingine mpya. Nathamini sana juhudi zenu za kuhakikisha ubora wa maudhui ya Kiswahili kwenye Wikipedia. :Ahsante Sana, :Alex Rweyemamu. '''[[Mtumiaji:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alex Rweyemamu#top|majadiliano]])''' 10:10, 12 Julai 2025 (UTC) mhluwl6vl8nzji9lq6tl1sn8xyryos0 Jamii:Mapenzi ya jinsia moja 14 206561 1436936 1422331 2025-07-11T14:29:34Z Riccardo Riccioni 452 1436936 wikitext text/x-wiki [[Jamii:jinsia]] 3ra8umr992tiq9wa19wu9gcz31yvxf1 Poodle 0 206620 1437016 1423161 2025-07-11T22:59:57Z Fata423 80063 1437016 wikitext text/x-wiki [[Picha:Poodle, cropped.JPG|duara|240px|thumb|Poodle wa ukubwa wa kawaida (Standard Poodle)]] [[Picha:Poodle.jpg|240px]] '''Poodle''' ni aina ya mbwa wa kufugwa maarufu duniani kwa akili, ufanisi wa mafunzo, na mwonekano mzuri wa manyoya yake. Asili ya jina "Poodle" inatokana na neno la Kijerumani ''Pudel'' linalomaanisha "kuogelea", jambo linaloashiria historia ya mbwa huyu kama msaidizi wa kuwinda majini. Ingawa mara nyingi huhusishwa na [[Ufaransa]], ambapo anaitwa ''Caniche'', Poodle anaaminiwa kuwa na asili kutoka [[Ujerumani]]. Poodle ni mmoja wa mbwa werevu zaidi, akiwa nafasi ya pili baada ya [[Border Collie]] katika kiwango cha uelewa na utiifu. Ana uwezo mkubwa wa kujifunza amri mpya na kuitekeleza kwa ufanisi, jambo linalomfanya kuwa maarufu katika maonyesho ya mbwa, michezo ya wanyama, na hata kazi kama mbwa wa tiba au huduma za kibinadamu. Kuna aina kuu tatu za Poodle zinazotambulika rasmi: * '''Standard Poodle''' – wa ukubwa wa kawaida, ambaye alitumika awali katika uwindaji wa maji * '''Miniature Poodle''' – mdogo kiasi, anayefaa kwa maisha ya ndani * '''Toy Poodle''' – mdogo kabisa, anayefugwa hasa kama mnyama wa mapenzi Mbwa hawa wana manyoya yenye mvuto yanayopendelewa kwa mitindo mbalimbali ya ususi. Nywele zao si za kuanguka kwa wingi kama mbwa wengine, na hivyo huwafaa watu wenye mzio wa manyoya. Hata hivyo, wanahitaji utunzaji wa mara kwa mara ikiwa ni pamoja na kusafishwa, kuchanwa na kukatwa kwa mitindo maalum. Poodle ni mbwa mwenye uchangamfu, anayependa kucheza, kuambatana na familia, na mara nyingi huonesha tabia ya kuvutia sana kwa watoto na wanyama wengine. Kwa sababu ya akili yake ya juu, huweza kuchoshwa haraka ikiwa hatapewa shughuli za akili au mazoezi ya kimwili. Pamoja na sifa nyingi nzuri, Poodle anaweza kuwa na matatizo ya kiafya kama vile matatizo ya macho, maungio ya nyonga (hip dysplasia), na matatizo ya ngozi. Wafugaji bora hufanya uchunguzi wa kiafya kabla ya kuzalisha ili kupunguza hatari hizi. ==Marejeo== * [https://www.akc.org/dog-breeds/poodle/ American Kennel Club – Poodle] * [https://www.britannica.com/animal/poodle-dog-breed Encyclopedia Britannica – Poodle] * Coren, S. (2006). *The Intelligence of Dogs*. Free Press. ==Viungo vya nje== * [https://www.ukcdogs.com/poodle United Kennel Club – Poodle] * [https://vcahospitals.com/know-your-pet/dog-breeds/poodle VCA Animal Hospitals – Poodle] * [https://en.wiktionary.org/wiki/poodle Wiktionary – Etymology of “Poodle”] [[Jamii:Mbwa na jamaa]] fa2qgx6tra9lrm00cd2s2i47efsegfw Jamii:Miji ya Polandi 14 207049 1436937 1427991 2025-07-11T14:30:45Z Riccardo Riccioni 452 1436937 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Polandi]] [[Jamii:miji nchi kwa nchi|P]] [[Jamii:miji ya Ulaya|P]] m0tlo9f4gel2ee0ll5beowel7fg5cxx Jamii:Lugha za Polandi 14 207051 1436934 1428033 2025-07-11T14:27:59Z Riccardo Riccioni 452 1436934 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Lugha nchi kwa nchi|P]] [[Jamii:Polandi]] i2xvc2oh2vo9vyhx0uof126j4rw35er 1436935 1436934 2025-07-11T14:28:42Z Riccardo Riccioni 452 1436935 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Lugha]] [[Jamii:Polandi]] 802i4xcuzk23h45d0k5hfm574wtqjew Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth 0 207765 1436948 1436828 2025-07-11T15:13:46Z Ugonjwa 80055 Charcot 1436948 wikitext text/x-wiki [[Faili:Charcot-marie-tooth foot.jpg|alt=Ugonjwa wa Charcot|thumb|Ukosefu wa [[tishu]] za [[Musuli|misuli]] unaosababishwa na ugonjwa wa Charcot. Mgonjwa aliye na udhaifu wa neva husababisha hali iitwayo.]] '''Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth''' ni moja ya [[Ugonjwa|magonjwa]] ya kurithi. Mtu aliye na ugonjwa huu hukosa [[tishu]] za [[musuli]] na [[hisia ya kugusa]] sehemu mbalimbali za [[mwili]] wake. Hujulikana kama ugonjwa wa Charcot kutokana na [[jina]] la [[Jean-Martin Charcot]], [[mwanasayansi]] wa [[neva]] wa [[Ufaransa]] ambaye kwa mara ya kwanza aliielezea kuhusu ugonjwa huu mwaka wa [[1869]]. ==Chanzo== Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth ni katika kikundi cha magonjwa ya kurithi yanayosababishwa na mabadiliko ya [[jeni|kijeni]] yanayoathiri neva za pembeni, yaani neva zinazounganisha [[ubongo]] na [[uti wa mgongo]] na sehemu nyingine za mwili. Ugonjwa huo huanza kuathiri misuli ya [[Mguu|miguu]], kisha polepole huenea hadi viungo vingine. Wagonjwa hupoteza [[hisia]] kadhaa kama za tetemeko, [[maumivu]] na [[joto]].<ref>{{Cite web|title=Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth - Matatizo ya Ubongo, Uti wa Mgongo, na Mishipa|url=https://www.msdmanuals.com/sw/home/brain-spinal-cord-and-nerve-disorders/peripheral-nerve-and-related-disorders/charcot-marie-tooth-disease|work=Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD|accessdate=2025-06-14|language=sw}}</ref> Hata kama baadhi ya watu hupata [[dalili]] zisizoathiri maisha yao kwa kiasi kikubwa, wengine huathiriwa sana. Kwa mfano, baadhi ya wagonjwa hupatwa na matatizo ya kutokwa na [[jasho]]. Ingawa hakuna [[tiba]] kamili, kuna matibabu kama vile tiba ya viungo (fisiotherapi), [[upasuaji]] wa [[Mfupa|mifupa]] yanayoweza kudhibiti dalili na kuboresha maisha ya mgonjwa.<ref>{{Cite web|title=Charcot-Marie-Tooth Disease {{!}} National Institute of Neurological Disorders and Stroke|url=https://www.ninds.nih.gov/health-information/disorders/charcot-marie-tooth-disease|work=www.ninds.nih.gov|accessdate=2025-06-14|language=en}}</ref> [[Faili:Sehemu za neva.png|thumb|Picha inayoonyesha sehemu za neva]] Ugonjwa huu husababishwa na mabadiliko katika zaidi ya jeni<ref>{{Cite web|title=Vidokezo vya Haraka:Jeni na kromosomu|url=https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-children-s-health-issues/chromosomal-and-genetic-abnormalities/genes-and-chromosomes|work=Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD|accessdate=2025-06-14|language=sw}}</ref> mia moja (100). Mabadiliko haya hasa huathiri nyuzi za neva (aksoni) zilizofunikwa ndani ya matabaka ya tishu yenye mafuta. Matabaka huitwa myelini. Kazi ya myelini ni kupitisha ishara za umeme kwa haraka na usahihi. Myelini kinapoharibiwa neva haziwezi kupitisha ishara za umeme.<ref>{{Cite web|title=Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth - Matatizo ya Ubongo, Uti wa Mgongo, na Mishipa|url=https://www.msdmanuals.com/sw/home/brain-spinal-cord-and-nerve-disorders/peripheral-nerve-and-related-disorders/charcot-marie-tooth-disease|work=Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD|accessdate=2025-06-14|language=sw}}</ref> Idadi ya visa vya magonjwa kinasemekana kuwa takribani watu 40 kati ya 100,000. Visa hivi hujitokezea sana sana wakati wa utoto au ujana. Ingawa ugonjwa huu upo barani Afrika bado kuna uhaba wa taaarifa. Utafiti mwingi umefanyika Afrika Kaskazini.<ref>Yalcouyé, A. ''et al.'' (2022) ‘Current profile of Charcot-Marie-Tooth disease in Africa: A systematic review’, ''Journal of the peripheral nervous system: JPNS'', 27 (2), pp. 100–112. Available at: https://doi.org/10.1111/jns.12489.</ref> == Ishara na dalili == Dalili za ugonjwa huu huanza mara nyingi utotoni au wakati wa ujana, lakini kwa baadhi ya wagonjwa kisa kwanza cha ugonjwa huu huweza kujitokeza kwa utu uzima. Kiwango cah ukali na namna ugonjwa hujitokeza hutofautiana kati ya watu na hata ndani ya familia moja. Dalili za kwanza ni kama ugumu kutembea, unaosababishwa na udhaifu wa misuli ya miguu na nyayo. Udhaifu wa neva husababisha hali iitwayo (footdrop).<ref>{{Cite web|title=Signs and Symptoms of Charcot-Marie-Tooth Disease (CMT) - Diseases|url=https://www.mda.org/disease/charcot-marie-tooth/signs-and-symptoms|work=Muscular Dystrophy Association|date=2015-12-17|accessdate=2025-06-16|language=en}}</ref> Yaani mtu hupata ugumu kuinua nyayo na hujipata akitembea akiinua magoti juu zaid ya kawaida. Miongoni za dalili zingine za kawaida ni kuwa na upinde mkubwa wa nyayo (pes cavus) au vidole vya miguu kupinda kama nyundo (hammertoe). Hali hizi huongeza udhaifu na maumivu. Zaidi ya hayo, mgonjwa hupotea hisia ikiwemo kufa ganzi, kuwashwa au kuhisi joto sana kwenye miguu na mikono. Hali hii ni hatari kwani mgonjwa huweza kujeruhiwa bila kugunduliwa. Pia kupoteza hisia kwa mkono husabbaisha kufanya kazi ndogo kama kushika kalamu ngumu.<ref name=":0">''Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth: Dalili, Sababu, na Matibabu''. Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/charcotmarietooth-disease (accessed: 16 June 2025).</ref> Maumivu ni kawaida kwa wagonjwa na husababishwa na uchovu wa misuli na mabadilikoya mifupa. Maumivu haya yanaweza kudhibitiwa kwa kutumia dawa za kutuliza maumivu au kupewa magongo kusaidia wagonjwa kutemebea. Hata hivyo, kuishi na ugonjwa huu is wa kutishia maisha kwa sababu ni ugonjwa unoendelea taratibu na pia kiwango cha ulemavu ni tofauti kwa kila mtu. Aina ya jeni iliyoathirika ina mchango mkubwa kwa jinsi dalili zinavyojitokeza. Baadhi ya watu huwa na maumivu ya neva (neuropathic pain) ambayo yanaweza bado kuwa kiwango tofauti. Aina ya CMT1 umejulikana kujaza mafuta kwenye misuli ya miguu badala ya ongezeko halisi. Hali hii huitwa (pseudohipertrofi)<ref>Krampitz DE, Wolfe GI, Fleckenstein JL, Barohn RJ (Novemba 1998). "Charcot-Marie-Tooth disease type 1A presenting as calf hypertrophy and muscle cramps". ''Neurology''. '''51''' (5): 1508–1509. doi:10.1212/WNL.51.5.1508. PMID 9818900</ref><ref>Smith TW, Bhawan J, Keller RB, Degirolami U (July 1980). "Charcot-Marie-Tooth Disease Associated with Hypertrophic Neuropathy: A Neuropathologic Study of Two Cases". ''Journal of Neuropathology and Experimental Neurology''. '''39''' (4): 420–440. doi:10.1097/00005072-198007000-00003. PMID 6260904.</ref> == Sababu == Ugonjwa huu husababishwa na kurithi neva za pembeni kutokana na mabadiliko ya vinasaba yaliyoharibu protini muhimu zinzazohakikisha muundo na kazi ya ganda la myelini. Protini hizi pamoja ni ; PMP22 (peripheral myelin protein 22), P0 (protein zero), connexin 32 na periaxin. Aidha, mabadiliko katika protini zinazosababisha usalama wa aksoni, kama Nf-L (neurofilament light chain), DNM2 (dynamin 2) na nyinginezo husababisha aina ya CMT inayoathiri aksoni. Aksoni bado huweza kuharibika kwa njia nyingine kutokana na mabadiliko yanayoathiri seli za Schwann (seli zinazozalisha myelini), hali inayozidisha ugonjwa. Hatimaye njia ya maendeleo ya ugonjwa (patogenesis) inahusisha uharibifu wa michakato ndani ya [[seli]]. ikiwemo kazi ya mitokondria, utengenezaji, uainishaji na usafirishaji wa protini.<ref>Niemann A, Berger P, Suter U (2006). "Pathomechanisms of mutant proteins in Charcot-Marie-Tooth disease". ''Neuromolecular Medicine''. '''8''' (1–2): 217–242. doi:10.1385/nmm:8:1-2:217 (inactive 12 April 2025). hdl:20.500.11850/422903. ISSN 1535-1084. PMID 16775378.</ref> == Aina za ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth == Ugonjwa huu huweza kusababishwa na mabadiliko katika vinasaba mbalimbali. Hadi sasa, jeni mengi yamhushishwa na kwa hivyo kuna aina tofauti za CMT, jambo linaloonyesha ugumu na utofauti wa msingi wa kijenetiki.<ref>Hoyle JC, Isfort MC, Roggenbuck J, Arnold WD (2015). "The genetics of Charcot-Marie-Tooth disease: current trends and future implications for diagnosis and management". ''The Application of Clinical Genetics''. '''8''': 235–243. doi:10.2147/TACG.S69969. PMC 4621202. PMID 26527893.</ref> Aina nyingi za CMT hurithiwa kwa njia ya dominanti autosomali.<ref>{{Cite web|title=Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth - Matatizo ya Ubongo, Uti wa Mgongo, na Mishipa|url=https://www.msdmanuals.com/sw/home/brain-spinal-cord-and-nerve-disorders/peripheral-nerve-and-related-disorders/charcot-marie-tooth-disease|work=Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD|accessdate=2025-06-16|language=sw}}</ref>Kwa sababu hii, CMT hugawanywa katika aina kuu kadhaa zikiwemo CMT1, CMT2, CMT4, CMTx, na aina zingine kulingana na jinsi ya kurithi na kama uharibifu upo kwa gamba la myelini au katika aksoni yenyewe. * CMT1 huhusisha upotevu wa myelini na mara nyingi husababishwa na jeni ya PMP22 * CMT2 huathiri zaidi aksoni na sana sana husababishwa na mabadiliko katika jeni kama MFN2 au NEFL * Aina nyingine za X-linked yaani hirithiwa kupitia kromosomu X.<ref>https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-children-s-health-issues/</ref> na zile zinzazorithiwa kwa jinisi ya resessivi autosomali kama CMT4 hufuatana na dalili kama kupoteza hisia kwa miguu mapema. Kila aina kati ya hizi hugawanywa zaidi katika aina ndogo kulingana na mahususi liliopatwa na mabadiliko na pia kulingana na hali ya mgonjwa. Uainishaji huu huelekeza utambuzi, utabiri wa maendeleo na hata tiba zinazolenga vinasaba (targeted therapy).<ref>Niemann A, Berger P, Suter U (2006). "Pathomechanisms of mutant proteins in Charcot-Marie-Tooth disease". ''Neuromolecular Medicine''. '''8''' (1–2): 217–242. doi:10.1385/nmm:8:1-2:217 (inactive 12 April 2025). hdl:20.500.11850/422903. ISSN 1535-1084. PMID 16775378</ref> == Utambuzi == Utambuzi huhusisha mchanganyiko wa historia ya familia na vipimo vya aina tofauti vya uchunguzi. Vipimo ndivyo haya: * Uchunguzi wa mwendo wa msukumo wa neva (nerve conduction study)-kupima haraka ya umeme inayopita neva * Uchunguzi wa sampuli ya neva (biopsi ya neva) * Vipimo vya kijenetiki kuthibitisha ugonjwa wa CMT na kutofautisha aina gani na kuongoza maamuzi ya matibabu.<ref>''Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth: Dalili, Sababu, na Matibabu''. Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/charcotmarietooth-disease (Accessed: 16 June 2025).</ref> Daktari pia hutafuta dalili za CMT kama; udhaifu wa misuli katika mikono, miguu, viganja na nyayo, kupungua kawa refleksi au uwezo wa kuhisi (sensory loss). Watu walio na aina ya CMT1 wanaweza kuwa na neva zilizovimba na huonekana kupitia kwenye ngozi (hypertrophic nerve). Hali hii huthibitishwa na unene wa ganda la myelini linaozunguka neva.<ref>{{Cite web|title=Charcot-Marie-Tooth Disease {{!}} National Institute of Neurological Disorders and Stroke|url=https://www.ninds.nih.gov/health-information/disorders/charcot-marie-tooth-disease|work=www.ninds.nih.gov|accessdate=2025-06-16|language=en}}</ref> Hata hivyo, dalili hizi pekee hazitoshi kuthibitisha ugonjwa na huhitaji kuonekana na daktari wa neurojia (neurologist) kufanya uchunguzi wa kina. == Matibabu == [[Faili:FG 76.jpg|alt=Kifaa cha 'Ankle Foot Orthosis' kinachotumika kusaidia kifundo cha mguu na nyayo. Husaidia kuinua miguu na kurahihisha kutembea.|thumb|239x239px|Kifaa cha 'Ankle Foot Orthosis' ambacho hutumiwa na wagonjwa walioathiriwa na ugonjwa wa Charcot-Marie Tooth.]] Hakuna tiba ya moja kwa moja ya ugojwa huu lakini dalili zake zinaweza kudhibitiwa kuboresha maisha ya mgonjwa. Tiba ya kimwili kama programu ya mazoezi huweza kusaidia kudumisha nguvu ya misuli na kuboresha usawa na kusaidia kutembea. Vifaa vya kusaidia mifupa kama "ankle-foot orthosis" huweza rekebisha tatizo la husababisha hali iitwayo. Katika baadhi ya visa vya hali mbaya, upasuaji wa uingiliaji wa mifupa huweza imarisha viungo. Maumivu huweza kupunguzwa na dawa za maumivu ya neva (neuropathic pain) kama gabapentinoidi na "serotonin noreoeniphrine reuptake inhibitor".<ref name=":0" /><ref>{{Cite web|title=Managing Neuropathic Pain|url=https://www.cmtausa.org/living-with-cmt/managing-cmt/pain/|work=Charcot–Marie–Tooth Association|accessdate=2025-06-16|language=en-US}}</ref> == Historia == Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1886 na wanasayansi watatu: Jean-Martin Charcot (1825–1893)<ref>Kumar DR, Aslinia F, Yale SH, Mazza JJ (2011-03-01). "Jean-Martin Charcot: The Father of Neurology". ''Clinical Medicine & Research''. '''9''' (1): 46–49. doi:10.3121/cmr.2009.883. ISSN 1539-4182. PMC 3064755. PMID 20739583</ref> pamoja na msaidizi wake Pierre Marie,<ref>Kumar DR, Aslinia F, Yale SH, Mazza JJ (2011-03-01). "Jean-Martin Charcot: The Father of Neurology". ''Clinical Medicine & Research''. '''9''' (1): 46–49. doi:10.3121/cmr.2009.883. ISSN 1539-4182. PMC 3064755. PMID 20739583.</ref> na daktari wa Kiingereza Howard Henry Tooth (1856–1925)<ref>Pearce JM (2000-01-01). "Howard Henry Tooth (1856–1925)". ''Journal of Neurology''. '''247''' (1): 3–4. doi:10.1007/s004150050002. ISSN 1432-1459. PMID 10701890</ref>. Katika chapisho lao la awali lililoitwa “Concerning a Special Form of Progressive Muscular Atrophy” (yaani, “Kuhusu Aina Maalum ya Kudhoofika kwa Misuli Kunakoendelea”), Charcot na Marie walieleza kuwa visa vinavyofanana na hivyo vilikuwa tayari vimeripotiwa katika maandiko ya kitabibu. <ref>Brody IA, Wilkins RH (1967-11-01). "Charcot-Marie-Tooth Disease". ''Archives of Neurology''. '''17''' (5): 552–553. doi:10.1001/archneur.1967.00470290106015. ISSN 0003-9942. PMID 4293350.</ref> [[Faili:M. Charcot - btv1b53107939k.jpg|alt=Picha la wanasayansi|thumb|220x220px|Jean-Martin Charcot]] Uchunguzi wao ulieleza kuhusu ugonjwa wa neva wa kurithi, unaojulikana kwa kudhoofika kwa misuli taratibu na kupungua kwa hisia, hasa kwenye mikono na miguu. Ugunduzi huu muhimu uliuwezesha CMT kutambulika kama ugonjwa tofauti wa neva, ukitofautishwa na magonjwa mengine kama vile dystrofia ya misuli. Kadri miaka ilivyopita, maendeleo katika taaluma ya jenetiki ya neva yamewezesha kugunduliwa kwa mabadiliko mbalimbali ya kijeni yanayochangia ugonjwa huu, hivyo kuboresha uelewa wa chanzo chake na aina zake. <ref>Kazamel M, Boes CJ (2015-04-01). "Charcot Marie Tooth disease (CMT): historical perspectives and evolution". ''Journal of Neurology''. '''262''' (4): 801–805. doi:10.1007/s00415-014-7490-9. ISSN 1432-1459. PMID 25201224.</ref> [[Faili:Marie, Pierre (1853-1940) CIPH0072.jpg|alt=Picha la wansayasi|thumb|221x221px|Pierre Marie Charcot]] Charcot pia alibaini kuwa maelezo ya awali kuhusu ugonjwa huu hayakuwa ya kina, kwani akaunti nyingi zilizokuwepo zilitaja tu kwamba Charcot-Marie-Tooth ni ugonjwa wa kurithi. Kwa msingi huo, aliona ni muhimu kutoa maelezo ya kina ili ugonjwa huu upewe uzito unaostahili katika taaluma ya tiba. <ref>Brody IA, Wilkins RH (1967-11-01). "Charcot-Marie-Tooth Disease". ''Archives of Neurology''. '''17''' (5): 552–553. doi:10.1001/archneur.1967.00470290106015. ISSN 0003-9942. PMID 4293350.</ref> Mnamo mwaka wa 2010, ugonjwa wa CMT ulikuwa miongoni mwa magonjwa ya kwanza ambayo chanzo chake halisi kilibainika kwa kutumia teknolojia ya usomaji wa jeni nzima ya binadamu (whole-genome sequencing). Wanasayansi wa Shirika la [https://www.cmtausa.org/ Charcot–Marie–Tooth Association (CMTA)] waligundua uwepo wa mabadiliko mawili katika jeni ya SH3TC2, ambayo tayari ilikuwa inajulikana kuhusishwa na CMT. Ili kuelewa vyema namna ugonjwa huu unavyorithiwa, watafiti walilinganisha jenomu ya mgonjwa aliyeathirika na ile ya wazazi wake pamoja na ndugu zake saba—baadhi yao wakiwa na dalili za ugonjwa, wengine wakiwa hawana. Uchunguzi huo ulibaini kuwa kila mzazi alikuwa na nakala moja ya kawaida na moja iliyobadilika ya jeni hiyo, na walikuwa na dalili hafifu au hawakuwa na dalili kabisa. Hata hivyo, watoto waliorithi nakala mbili zenye mabadiliko walionyesha dalili kamili za ugonjwa wa CMT.<ref>Lupski JR, Reid JG, Gonzaga-Jauregui C, Deiros DR, Chen DC, Nazareth L, et al. (2010-04-01). "Whole-Genome Sequencing in a Patient with Charcot–Marie–Tooth Neuropathy". ''New England Journal of Medicine''. '''362''' (13): 1181–1191. doi:10.1056/NEJMoa0908094. ISSN 0028-4793. PMC 4036802. PMID 20220177.</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Maradhi ya kurithi]] eqekf271os5wwwoqz6cfe2p1jxflp06 Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi 3 207853 1436950 1433766 2025-07-11T15:22:21Z Ugonjwa 80055 jibu 1436950 wikitext text/x-wiki == Karibu == {{karibu}} [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Aguahrz<sup>Chronist<sup>2.0</sup></sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 05:57, 20 Juni 2025 (UTC) == [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] == You, stop make vandalisms! WIKIPEDIA is forbidden as source for references, garbage prefixes in article renames too are vandalisms! '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 07:38, 17 Juni 2025 (UTC) :I apologize for the mistake that happened. I was learning how to translate an article about Charcot–Marie–Tooth disease into Kiswahili. I was confused and had no intention of harming Wikipedia. Please give me another chance I will follow all the rules and only work in the sandbox until I'm ready. Thank you. I had also accidentally published changes on my sandbox i was not fully done yet. Please let me continue to work. '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:16, 17 Juni 2025 (UTC) ::You better PERMANENTLY leave Wikipedia and use https://www.fandom.com FANDOM/MIRAHEZE http://www.miraheze.org instead. What you published MUST remain published. It is to serve READERS. Understood? '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:18, 17 Juni 2025 (UTC) :::Zamshi, in our Wikipedia we are very ready to accept apology, so I'll unblock you. But if you repeat your errors, I'll block you forever! Peace to you! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:32, 17 Juni 2025 (UTC) ::::What you did NOT finish, you better finish DIRECTLY at [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]], without vandalistic pagemoves and other jokes. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:24, 17 Juni 2025 (UTC) :::::Hello i will please I am a student who was undergoing a project and accidentally published my sandbox draft. Kindly unblock me to continue my work please '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:27, 17 Juni 2025 (UTC) :::::Remember, continue work DIRECTLY at [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]], forget PAGEMOVES, forget doing COPYPASTE to separate pages/articles, and all be fine. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:30, 17 Juni 2025 (UTC) :::::Just improve content DIRECTLY at [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]]. Your errors to avoid under penalty of eternal BANana: COPYPASTING to different copies of pages, pagemoves to NONSENSE names like X-BOX / SAND-BOX gaming console, using WIKIPEDIA ITSELF as ref-ref entries, DRAFT MODE roleplaying, that's all. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:41, 17 Juni 2025 (UTC) Hello thank you for understanding. I have tried editing the source but it’s not letting me. Kindly please unblock me to continue. I’ll make sure I try my best to do well. '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:46, 17 Juni 2025 (UTC) :Since R.R. adminprotected [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]], you can continue safely only here: https://www.fandom.com or here: http://www.miraheze.org and then paste finished work directly to adminprotected article as soon as protection expires on 24 June 2025. [[Maalum:Michango/&#126;2025-68205|&#126;2025-68205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-68205|talk]]) 08:45, 17 Juni 2025 (UTC) ::Simply ask Riccardo Riccioni to UNPROTECT article, since you are still blocked from editing it. [[Maalum:Michango/&#126;2025-68205|&#126;2025-68205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-68205|talk]]) 08:51, 17 Juni 2025 (UTC) ::Hello. Thank you for unblocking me. Please unprotect the article so I can continue on the work i stated while taking on the feedback please. I am a student on wiki and this is my first time. '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:54, 17 Juni 2025 (UTC) :::Protection expires on 24 June 2025. Nonetheless, you can write your unprotection request here: [[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni]]. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 09:08, 17 Juni 2025 (UTC) :::Page will be unprotected after ONE hour from now. "Zamshi" REMEMBER: do NOT place inside ref-ref tags anything like wikimedia.org/wikipedia.org, it is forbidden according to [[w:en:WP:CIRCULAR]], do NOT move/rename [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] page, do NOT create additional copies of [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] page, directly improve content of [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] page where it is now. Simply abandon "DRAFT" roleplaying completely. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 07:55, 19 Juni 2025 (UTC) :::Use REAL COMPUTER for editing. Use source mode instead of visual mode. Ebonite Telephone is NOT for editing, otherwise [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ugonjwa_wa_Poland&diff=1436944&oldid=1436927 WITCHCRAFT HAPPENS]. '''[[Mtumiaji:Ugonjwa|Ugonjwa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ugonjwa|majadiliano]])''' 15:21, 11 Julai 2025 (UTC) 86350k0rfdanw4viojo0icpesv2e06z 1436951 1436950 2025-07-11T15:23:29Z Ugonjwa 80055 jibu 1436951 wikitext text/x-wiki == Karibu == {{karibu}} [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Aguahrz<sup>Chronist<sup>2.0</sup></sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 05:57, 20 Juni 2025 (UTC) == [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] == You, stop make vandalisms! WIKIPEDIA is forbidden as source for references, garbage prefixes in article renames too are vandalisms! '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 07:38, 17 Juni 2025 (UTC) :I apologize for the mistake that happened. I was learning how to translate an article about Charcot–Marie–Tooth disease into Kiswahili. I was confused and had no intention of harming Wikipedia. Please give me another chance I will follow all the rules and only work in the sandbox until I'm ready. Thank you. I had also accidentally published changes on my sandbox i was not fully done yet. Please let me continue to work. '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:16, 17 Juni 2025 (UTC) ::You better PERMANENTLY leave Wikipedia and use https://www.fandom.com FANDOM/MIRAHEZE http://www.miraheze.org instead. What you published MUST remain published. It is to serve READERS. Understood? '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:18, 17 Juni 2025 (UTC) :::Zamshi, in our Wikipedia we are very ready to accept apology, so I'll unblock you. But if you repeat your errors, I'll block you forever! Peace to you! '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:32, 17 Juni 2025 (UTC) ::::What you did NOT finish, you better finish DIRECTLY at [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]], without vandalistic pagemoves and other jokes. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:24, 17 Juni 2025 (UTC) :::::Hello i will please I am a student who was undergoing a project and accidentally published my sandbox draft. Kindly unblock me to continue my work please '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:27, 17 Juni 2025 (UTC) :::::Remember, continue work DIRECTLY at [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]], forget PAGEMOVES, forget doing COPYPASTE to separate pages/articles, and all be fine. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:30, 17 Juni 2025 (UTC) :::::Just improve content DIRECTLY at [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]]. Your errors to avoid under penalty of eternal BANana: COPYPASTING to different copies of pages, pagemoves to NONSENSE names like X-BOX / SAND-BOX gaming console, using WIKIPEDIA ITSELF as ref-ref entries, DRAFT MODE roleplaying, that's all. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 08:41, 17 Juni 2025 (UTC) Hello thank you for understanding. I have tried editing the source but it’s not letting me. Kindly please unblock me to continue. I’ll make sure I try my best to do well. '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:46, 17 Juni 2025 (UTC) :Since R.R. adminprotected [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]], you can continue safely only here: https://www.fandom.com or here: http://www.miraheze.org and then paste finished work directly to adminprotected article as soon as protection expires on 24 June 2025. [[Maalum:Michango/&#126;2025-68205|&#126;2025-68205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-68205|talk]]) 08:45, 17 Juni 2025 (UTC) ::Simply ask Riccardo Riccioni to UNPROTECT article, since you are still blocked from editing it. [[Maalum:Michango/&#126;2025-68205|&#126;2025-68205]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-68205|talk]]) 08:51, 17 Juni 2025 (UTC) ::Hello. Thank you for unblocking me. Please unprotect the article so I can continue on the work i stated while taking on the feedback please. I am a student on wiki and this is my first time. '''[[Mtumiaji:Zamshi|Zamshi]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zamshi#top|majadiliano]])''' 08:54, 17 Juni 2025 (UTC) :::Protection expires on 24 June 2025. Nonetheless, you can write your unprotection request here: [[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni]]. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 09:08, 17 Juni 2025 (UTC) :::Page will be unprotected after ONE hour from now. "Zamshi" REMEMBER: do NOT place inside ref-ref tags anything like wikimedia.org/wikipedia.org, it is forbidden according to [[w:en:WP:CIRCULAR]], do NOT move/rename [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] page, do NOT create additional copies of [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] page, directly improve content of [[Ugonjwa wa Charcot-Marie-Tooth]] page where it is now. Simply abandon "DRAFT" roleplaying completely. '''[[Mtumiaji:Jalladda|Jalladda]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Jalladda|majadiliano]])''' 07:55, 19 Juni 2025 (UTC) ::::Use REAL COMPUTER for editing. Use source mode instead of visual mode. Ebonite Telephone is NOT for editing, otherwise [https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ugonjwa_wa_Poland&diff=1436944&oldid=1436927 WITCHCRAFT HAPPENS]. '''[[Mtumiaji:Ugonjwa|Ugonjwa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Ugonjwa|majadiliano]])''' 15:21, 11 Julai 2025 (UTC) cbpgne76phvvc1hxra6mr3ssx49x6u7 Jamii:Lugha za Colombia 14 208185 1436932 1433716 2025-07-11T14:26:50Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Lugha za Kolombia]] 1436932 wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[lugha za Kolombia]] 5jpc5ilgsepbxqfh451jckdi00odbur 1436933 1436932 2025-07-11T14:27:08Z Riccardo Riccioni 452 Changed redirect target from [[Lugha za Kolombia]] to [[Jamii:Lugha za Kolombia]] 1436933 wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[jamii:lugha za Kolombia]] 4st2szpfpqiraom9r508qpcnat7ofs1 Devzboi1 0 208494 1437100 1436523 2025-07-12T08:48:05Z Boi never stop 79651 Nimeongeza Discografia 1437100 wikitext text/x-wiki {{Infobox Musical artist |Background=non_performing_personnel |Jina=Devzboi1 |Landscape=yes |Jina la kuzaliwa=David Masuda Daniel |Pia anajulikana kama=David's Sling |Amezaliwa={{birth date and age|1990|3|13}} |Asili yake=[[Dar es Salaam]], [[Tanzania]] |Aina=[[Bongo Flava]], [[Afrobeat]], [[Muziki wa dansi]], [[Muziki wa hip hop|Hip Hop]], [[Rhythm na blues|R&B]] |Kazi yake=[[Mtayarishaji wa Muziki|Mtayarishaji wa muziki]], [[Mtunzi wa nyimbo]], Mchoraji wa sauti |Ala=Kompyuta, Midi Controller, Drum Machine |Aina ya sauti=Digital Production |Miaka ya kazi=2015 – sasa |Studio=Dmpr Music Label |Ala zinazojulikana=FL Studio, Ableton Live |Tovuti=[https://www.SoundCloud.com/devzboi1 SoundCloud ya Devzboi1] }} '''Devzboi1''' (jina halisi '''David Masuda Daniel'''; amezaliwa [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]], [[13 Machi]] [[1990]]) ni mtayarishaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na mjasiriamali kutoka Tanzania. Devzboi1 amejipatia umaarufu kwa uwezo wake wa kuchanganya mitindo mbalimbali ya muziki kama vile ''[[Bongo Flava]]'', ''[[Afrobeat]]'', ''[[Dance music|Dance]]'', ''[[Muziki wa hip hop|Hip Hop]]'', ''[[Rhythm na blues|R&B]]'' na muziki wa kielektroniki.<ref>{{Cite web|title=Devzboi1|url=https://www.musicinafrica.net/directory/devzboi1|work=Music In Africa|date=2025-06-21|accessdate=2025-06-28|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1 {{!}} Tanzania|url=https://www.afrocharts.com/artist?id=ba69f3691b|work=Afrocharts|accessdate=2025-06-28|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1 - Biography|url=https://www.imdb.com/name/nm17433144/bio/|work=IMDb|accessdate=2025-06-28|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Search Results|url=https://play.mdundo.com/search-results?term=Devzboi1|work=play.mdundo.com|accessdate=2025-06-28}}</ref> == Maisha ya awali == David Masuda Daniel, anayejulikana kwa jina la kisanii Devzboi1, alizaliwa tarehe 13 Machi 1990 katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania. Alikulia katika mazingira ya mji huo mkuu wa kibiashara, ambapo alipata msukumo wa mapema wa kupenda muziki kupitia redio, televisheni, na mazingira yaliyomzunguka. Akiwa na umri mdogo, alianza kuonesha shauku kubwa ya muziki na alijifunza kutumia vifaa vya muziki kama vile kompyuta na keyboard. Kufikia umri wa miaka 15, tayari alikuwa anajaribu kutengeneza midundo ya muziki kwa kutumia programu rahisi, jambo lililomfungulia njia kuelekea taaluma ya utayarishaji wa muziki. Upendo wake kwa muziki uliendelea kukua, na baadaye aliweza kujiendeleza zaidi kwa kujifunza kiutendaji kupitia majaribio, kujifunza kwa vitendo (self-taught), na kushirikiana na wasanii mbalimbali wa mitaani na studio ndogo za muziki jijini Dar es Salaam.<ref>{{Cite web|title=Devzboi1 albums and discography|url=https://www.last.fm/music/Devzboi1/+albums|work=Last.fm|accessdate=2025-06-30|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1 age, hometown, biography|url=https://www.last.fm/music/Devzboi1/+wiki|work=Last.fm|accessdate=2025-06-30|language=en}}</ref> == Mitindo na ushawishi == Mitindo yake ya muziki inaelekezwa na mchanganyiko wa sauti za Kiafrika na mitindo ya kisasa ya kimataifa. Devzboi1 amevutiwa na watayarishaji wakubwa wa muziki duniani, huku akilenga kuweka alama ya kipekee kutoka Afrika Mashariki. == Kazi ya muziki == Devzboi1 alianza rasmi kazi ya muziki kitaalamu mnamo mwaka 2015. Tangu wakati huo, amefanya kazi na wasanii mbalimbali wa ndani ya Tanzania na Afrika kwa ujumla. Kupitia lebo yake ya '''DMPR Music''', amekuwa mstari wa mbele katika kugundua na kukuza vipaji vipya vya muziki, pamoja na kusambaza muziki wa Afrika katika majukwaa ya kimataifa kama vile Spotify, Apple Music na YouTube.<ref>{{Cite web|title=Devzboi1 - Songs, Events and Music Stats {{!}} Viberate.com|url=https://www.viberate.com/artist/devzboi1/|work=www.viberate.com|accessdate=2025-06-29|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1: From Bedroom Beats In Dar Es Salaam To 2.5M+ YouTube Streams - Yinga Media|url=https://yingamedia.com/biography/devzboi1-from-bedroom-beats-in-dar-es-salaam-to-2-5m/|work=yingamedia.com|date=2025-07-09|accessdate=2025-07-09|language=en-US}}</ref> Mbali na kuwa mtayarishaji, pia ni mtunzi wa nyimbo na amehusika katika kutengeneza nyimbo na miradi ya muziki inayochanganya muziki wa kitamaduni na wa kisasa.<ref>{{Cite web|title=Afro Roads by Devzboi1 {{!}} Album|url=https://www.afrocharts.com/album?id=62ccbdcd79|work=Afrocharts|accessdate=2025-06-30|language=en}}</ref> == Discografia == '''Album ya Midundo''' * ''Believe (2024)'' * ''Beats Level II (2024)'' * ''Afro Roads (2023)'' == Tazama pia == * [[Bongo Flava]] * [[Muziki wa Tanzania]] == Viungo vya nje == * [https://www.instagram.com/devzboi1/# Instagram ya Devzboi1] {{en}} * [https://open.spotify.com/artist/34WjRTdJuig9YCi8sheydi Spotify – Devzboi1] {{en}} * [https://www.youtube.com/@devzboi1 YouTube Channel – Devzboi1] {{en}} == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Muziki wa kizazi kipya]] [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] er0xi62474strgp1e6pyj7qvg66qjt7 1437108 1437100 2025-07-12T09:09:44Z ~2025-17897-8 80069 [[albamu]] 1437108 wikitext text/x-wiki {{Infobox Musical artist |Background=non_performing_personnel |Jina=Devzboi1 |Landscape=yes |Jina la kuzaliwa=David Masuda Daniel |Pia anajulikana kama=David's Sling |Amezaliwa={{birth date and age|1990|3|13}} |Asili yake=[[Dar es Salaam]], [[Tanzania]] |Aina=[[Bongo Flava]], [[Afrobeat]], [[Muziki wa dansi]], [[Muziki wa hip hop|Hip Hop]], [[Rhythm na blues|R&B]] |Kazi yake=[[Mtayarishaji wa Muziki|Mtayarishaji wa muziki]], [[Mtunzi wa nyimbo]], Mchoraji wa sauti |Ala=Kompyuta, Midi Controller, Drum Machine |Aina ya sauti=Digital Production |Miaka ya kazi=2015 – sasa |Studio=Dmpr Music Label |Ala zinazojulikana=FL Studio, Ableton Live |Tovuti=[https://www.SoundCloud.com/devzboi1 SoundCloud ya Devzboi1] }} '''Devzboi1''' (jina halisi '''David Masuda Daniel'''; amezaliwa [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]], [[13 Machi]] [[1990]]) ni mtayarishaji wa muziki, mtunzi wa nyimbo na mjasiriamali kutoka Tanzania. Devzboi1 amejipatia umaarufu kwa uwezo wake wa kuchanganya mitindo mbalimbali ya muziki kama vile ''[[Bongo Flava]]'', ''[[Afrobeat]]'', ''[[Dance music|Dance]]'', ''[[Muziki wa hip hop|Hip Hop]]'', ''[[Rhythm na blues|R&B]]'' na muziki wa kielektroniki.<ref>{{Cite web|title=Devzboi1|url=https://www.musicinafrica.net/directory/devzboi1|work=Music In Africa|date=2025-06-21|accessdate=2025-06-28|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1 {{!}} Tanzania|url=https://www.afrocharts.com/artist?id=ba69f3691b|work=Afrocharts|accessdate=2025-06-28|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1 - Biography|url=https://www.imdb.com/name/nm17433144/bio/|work=IMDb|accessdate=2025-06-28|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Search Results|url=https://play.mdundo.com/search-results?term=Devzboi1|work=play.mdundo.com|accessdate=2025-06-28}}</ref> == Maisha ya awali == David Masuda Daniel, anayejulikana kwa jina la kisanii Devzboi1, alizaliwa tarehe 13 Machi 1990 katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania. Alikulia katika mazingira ya mji huo mkuu wa kibiashara, ambapo alipata msukumo wa mapema wa kupenda muziki kupitia redio, televisheni, na mazingira yaliyomzunguka. Akiwa na umri mdogo, alianza kuonesha shauku kubwa ya muziki na alijifunza kutumia vifaa vya muziki kama vile kompyuta na keyboard. Kufikia umri wa miaka 15, tayari alikuwa anajaribu kutengeneza midundo ya muziki kwa kutumia programu rahisi, jambo lililomfungulia njia kuelekea taaluma ya utayarishaji wa muziki. Upendo wake kwa muziki uliendelea kukua, na baadaye aliweza kujiendeleza zaidi kwa kujifunza kiutendaji kupitia majaribio, kujifunza kwa vitendo (self-taught), na kushirikiana na wasanii mbalimbali wa mitaani na studio ndogo za muziki jijini Dar es Salaam.<ref>{{Cite web|title=Devzboi1 albums and discography|url=https://www.last.fm/music/Devzboi1/+albums|work=Last.fm|accessdate=2025-06-30|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1 age, hometown, biography|url=https://www.last.fm/music/Devzboi1/+wiki|work=Last.fm|accessdate=2025-06-30|language=en}}</ref> == Mitindo na ushawishi == Mitindo yake ya muziki inaelekezwa na mchanganyiko wa sauti za Kiafrika na mitindo ya kisasa ya kimataifa. Devzboi1 amevutiwa na watayarishaji wakubwa wa muziki duniani, huku akilenga kuweka alama ya kipekee kutoka Afrika Mashariki. == Kazi ya muziki == Devzboi1 alianza rasmi kazi ya muziki kitaalamu mnamo mwaka 2015. Tangu wakati huo, amefanya kazi na wasanii mbalimbali wa ndani ya Tanzania na Afrika kwa ujumla. Kupitia lebo yake ya '''DMPR Music''', amekuwa mstari wa mbele katika kugundua na kukuza vipaji vipya vya muziki, pamoja na kusambaza muziki wa Afrika katika majukwaa ya kimataifa kama vile Spotify, Apple Music na YouTube.<ref>{{Cite web|title=Devzboi1 - Songs, Events and Music Stats {{!}} Viberate.com|url=https://www.viberate.com/artist/devzboi1/|work=www.viberate.com|accessdate=2025-06-29|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Devzboi1: From Bedroom Beats In Dar Es Salaam To 2.5M+ YouTube Streams - Yinga Media|url=https://yingamedia.com/biography/devzboi1-from-bedroom-beats-in-dar-es-salaam-to-2-5m/|work=yingamedia.com|date=2025-07-09|accessdate=2025-07-09|language=en-US}}</ref> Mbali na kuwa mtayarishaji, pia ni mtunzi wa nyimbo na amehusika katika kutengeneza nyimbo na miradi ya muziki inayochanganya muziki wa kitamaduni na wa kisasa.<ref>{{Cite web|title=Afro Roads by Devzboi1 {{!}} Album|url=https://www.afrocharts.com/album?id=62ccbdcd79|work=Afrocharts|accessdate=2025-06-30|language=en}}</ref> == Discografia == '''Albamu ya Midundo''' * ''Believe (2024)'' * ''Beats Level II (2024)'' * ''Afro Roads (2023)'' == Tazama pia == * [[Bongo Flava]] * [[Muziki wa Tanzania]] == Viungo vya nje == * [https://www.instagram.com/devzboi1/# Instagram ya Devzboi1] {{en}} * [https://open.spotify.com/artist/34WjRTdJuig9YCi8sheydi Spotify – Devzboi1] {{en}} * [https://www.youtube.com/@devzboi1 YouTube Channel – Devzboi1] {{en}} == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Muziki wa kizazi kipya]] [[Jamii:Waliozaliwa 1990]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] cbnjaon0vo2pod4jjmsow3h1emsogv8 Bénédicte Mundele 0 208595 1436975 1435737 2025-07-11T19:06:49Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1436975 wikitext text/x-wiki '''Benedicte Mundele''' (anajulikana pia kama Benedicte Mundele Kuvuna, alizaliwa 1992) ni mjasiriamali wa bidhaa za mboga mboga safi kutoka [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] . == Wasifu == Mundele alihudhuria Taasisi ya Elynd mjini Kinshasa na Shule ya Sekondari ya Ufundi na Ufundi ya Kimbondo jijini humo, akijiunga na Wakfu wa Kuvuna akiwa na {{Nowrap|16 ans}} (Wakfu wa Kuvuna ulianzishwa mwaka wa 1998, na unalenga kuwashauri, kusaidia, na kuwafunza vijana kuwa wajasiriamali na viongozi) <ref>{{Rejea tovuti|language=fr-FR|title=En RDC, Bénédicte Mundele se bat inlassablement pour la promotion du consommer local|url=https://afropreneuriat.net/index.php/en-rdc-benedicte-mundele-se-bat-inlassablement-pour-la-promotion-du-consommer-local/femmesleaders/|accessdate=2020-12-01|archive-date=2023-09-09|archive-url=https://web.archive.org/web/20230909081110/https://afropreneuriat.net/index.php/en-rdc-benedicte-mundele-se-bat-inlassablement-pour-la-promotion-du-consommer-local/femmesleaders/|url-status=dead}}</ref> . Yeye ndiye mwanzilishi na mkurugenzi wa ''Surprise tropicale'', iliyoundwa katika 2012, kantini inayohudumia milo yenye afya katika vitongoji vya [[Kinshasa]] <ref>{{Rejea tovuti|language=fr-FR|title=Bénédicte MUNDELE, une jeune fille engagée pour le bien être des communautés.|url=https://pourelle.info/?p=17327|date=20 avril 2020|accessdate=2020-12-01}}</ref>;<ref>{{Rejea tovuti|language=fr-FR|title=RDC: Bénédicte Mundele, une vie consacrée à l’alimentation saine|url=https://www.africatopsuccess.com/rdc-benedicte-mundele-une-vie-consacree-a-lalimentation-saine/|date=4 mai 2019|accessdate=2020-12-01}}</ref> . Mnamo 2014, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Anzisha <ref>{{Rejea tovuti|language=en-US|title=Benedicte Mundele – Anzisha Prize|url=http://anzishaprize.org/fellows/benedict-mundele/|accessdate=2020-12-01}}</ref> . Mnamo 2019, upo miongoni mwa wanawake 100 wa wa [[BBC]] <ref>{{Rejea tovuti|language=en-US|first=Nicole Lyn|last=Pesce|title=Inspired by AOC, Megan Rapinoe and Greta Thunberg? You should be, according to this list|url=https://www.marketwatch.com/story/greta-thunberg-megan-rapinoe-and-aoc-make-bbcs-list-of-inspiring-and-influential-women-2019-10-16|accessdate=2020-12-01}}</ref> . == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:wanawake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] qcxw0b3tgctphx6m9ovvmeh8n9acbzm Gaëtane Verna 0 208612 1437029 1435815 2025-07-12T02:24:27Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437029 wikitext text/x-wiki '''Gaëtane Verna''' (alizaliwa [[Kinshasa]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, 1965) ni msimamizi wa makumbusho kutoka [[Kanada]] na mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha Sanaa cha Wexner huko [[Columbus, Ohio]]. Wazazi wake walitokea [[Haiti]]. == Wasifu == Gaëtane Verna ni mkurugenzi wa Makumbusho ya Sanaa za Kisasa ya Power Plant huko Toronto tangu Machi 2012. . Yeye ana shahada ya uzamili na DEA kutoka Chuo Kikuu cha Paris I Panthéon-Sorbonne pamoja na diploma ya kimataifa katika usimamizi na uhifadhi wa urithi kutoka Shule ya Taifa ya Urithi huko Paris. Gaëtane Verna alifundisha katika Idara ya Historia ya Sanaa ya Chuo Kikuu cha Bishop’s huko Sherbrooke pamoja na Chuo Kikuu cha Québec huko Montréal.<ref name=":0">{{Rejea tovuti|language=fr|title=Gaëtane Verna, Directrice du Power Plant, a reçu les insignes de Chevalier de l’Ordre des Arts et des Lettres|url=https://toronto.consulfrance.org/spip.php?article4407|accessdate=2019-04-16}}</ref> . Kuanzia 1998 hadi 2006, alishikilia nafasi ya msimamizi katika Jumba la sanaa la Foreman la Chuo Kikuu cha Bishop ambapo aliandaa maonyesho mengi ya wasanii kutoka [[Kanada]] na nje ya nchi . Alikuwa mkurugenzi mkuu na mlezi mkuu wa Musée d'art de Joliette kutoka 2006 hadi 2012. Miongoni mwa wasanii ambao ameshirikiana nao tangu 1998 ni Terry Adkins, John Akomfrah, Vasco Araújo, Fiona Banner, Ydessa Hendeles, Alfredo Jaar, Luis Jacob, Kimsooja, Yam Lau, Oswaldo Macia, Javier Tellez, Denyse Changaries Hesavy, Bill Hanz Franz, Denyse Thomas Hendeles na Bill Hanz Franz. Erhard Walther. Gaëtane Verna ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Sanaa la Toronto. Yeye ni mwanachama wa Baraza la Sanaa la Montreal na amekuwa Rais wa Sanaa ya Kuona tangu [[2006]] . Mnamo 2010, aliongoza jury la Tuzo la Ozias-Leduc <ref>{{Rejea tovuti|title=La composition du jury du prix Ozias-Leduc 2010|url=http://www.fondation-nelligan.org/prixLeducJury2010.html|accessdate=2020-05-24|archive-date=2016-03-04|archive-url=https://web.archive.org/web/20160304030455/http://www.fondation-nelligan.org/prixLeducJury2010.html|url-status=dead}}</ref> . Katika 2017, aliitwa Chevalier de l'Ordre des Arts et des Lettres na Huduma ya Utamaduni ya Ubalozi wa Ufaransa nchini Kanada ili kuangazia na kutambua mchango wake mkubwa katika kuendeleza sanaa nchini Ufaransa na duniani kote <ref name=":0"/> . == Marejeo == {{Reflist}} {{BD|1965|}} [[Jamii:Wanawake wa Kanada]] [[Jamii:Watu kutoka Kinshasa]] t5yszlpnpvnqv27dk5kmphegxuc47mw Majadiliano ya mtumiaji:Charles Silas Bukwaya 3 208613 1437107 1436884 2025-07-12T09:07:16Z ~2025-17704-0 80067 1437107 wikitext text/x-wiki {{karibu}} == Kufuta ukurasa == Kweli anastahili ukurasa? '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:09, 4 Julai 2025 (UTC) :I don't know if this deserves article or not, but if you DELETE, always do it for REAL, without roleplaying NON-admin. '''[[Mtumiaji:Saddam m mmbaga|Saddam m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Saddam m mmbaga|majadiliano]])''' 14:12, 4 Julai 2025 (UTC) ::"{ {Futa} }" template is nothing but garbage. It even does not support { {delete|reason} } format. [[Maalum:Michango/&#126;2025-129342|&#126;2025-129342]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-129342|talk]]) 14:25, 4 Julai 2025 (UTC) :::Compare [[template:futa]] with much better [[template:db-meta]]. Code from [[template:db-meta]] should land inside [[template:futa]]. '''[[Mtumiaji:Saddam m mmbaga|Saddam m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Saddam m mmbaga|majadiliano]])''' 14:28, 4 Julai 2025 (UTC) ::::Najua kwamba naweza kufuta ukurasa, lakini napenda kwanza kushirikisha wengine. Amani kwenu! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:41, 4 Julai 2025 (UTC) :::::Template showing page inside [[:category:Makala kwa ufutaji]] is useful '''ONLY''' for non-administrators, since administrators are capable of '''DELETION''' itself. For complaining about page content, there are OTHER templates. '''[[Mtumiaji:Saddam m mmbaga|Saddam m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Saddam m mmbaga|majadiliano]])''' 14:49, 4 Julai 2025 (UTC) :::::To enable { {futa|reason} } format, R.R. PLEASE copy code from modernized [[template:db-meta]] to obsolete [[template:futa]], since { {futa|reason} } format is NON-working at all. '''[[Mtumiaji:Saddam m mmbaga|Saddam m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Saddam m mmbaga|majadiliano]])''' 14:52, 4 Julai 2025 (UTC) @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] Safari hii, tufute makala na anayerudia kuindika kila wakati. Ni usumbufu usiokuwa na tija. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 16:20, 4 Julai 2025 (UTC) :I only moved this article to prevent [[special:contribs/Charles_S._Bukwaya]] from having it even as PAST REVISION. Delete this now please! '''[[Mtumiaji:Saddam m mmbaga|Saddam m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Saddam m mmbaga|majadiliano]])''' 16:38, 4 Julai 2025 (UTC) :I am NOT copying this article, I only moved it away from offender's page to have it deleted FOR SURE! '''[[Mtumiaji:Saddam m mmbaga|Saddam m mmbaga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Saddam m mmbaga|majadiliano]])''' 16:50, 4 Julai 2025 (UTC) :@[[Mtumiaji:Muddyb|Muddyb]] @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] hata mimi pia sijaona umuhimu wa hio makala.'''[[Mtumiaji:Husseyn Issa|Husseyn Issa]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Husseyn Issa|majadiliano]])''' 17:43, 4 Julai 2025 (UTC) lqhwv8ggu9naeju4fqcx4ee19tnufdg Chuo cha Redio cha Uhispania 0 208631 1437243 1436336 2025-07-12T11:42:01Z Lucas Urassa 79876 1437243 wikitext text/x-wiki '''Chuo cha Redio cha [[Uhispania]]''' ni [[taasisi]] inayolenga kukuza redio nchini Uhispania na inawakilisha masilahi ya wataalamu wa redio na pia kutoa mafunzo kwa wataalamu waliopo na wa siku zijazo. Chuo hicho kilianzishwa mwaka [[1997]] na Jorge Álvarez, mtayarishaji wa redio na mhandisi wa sauti. Chuo hicho kilihimiza kuanzishwa kwa [[:en:World_Radio_Day|Siku ya Redio Duniani]] kupitia [[UNESCO]]. Mwenyekiti wake, Jorge Álvarez, aliwasilisha ombi hilo kwa UNESCO mwaka [[2008]], akipendekeza kuwepo kwa siku ya kimataifa ya maadhimisho kwa watangazaji na wasikilizaji wa redio kote duniani. Hatimaye, tarehe 3 Novemba [[2011]], Mkutano Mkuu wa 36 wa UNESCO ulikubali kwa kauli moja pendekezo la Uhispania na kutangaza Februari 13 kuwa Siku ya Redio Duniani.<ref>{{Cite web|url=https://unesdoc.unesco.org/ark:/48223/pf0000211271|work=unesdoc.unesco.org|accessdate=2025-07-05}}</ref> Mnamo mwaka [[2012]], chuo hicho kilianzisha Kamati ya Kimataifa ya Redio kwa ushirikiano na mashirika ya utangazaji kutoka mabara matano, chini ya ufadhili wa UNESCO na ITU.<ref>{{Cite web|title=Members of World Radio Day Committee|url=https://www.academiadelaradio.es/wrd/members.html|work=www.academiadelaradio.es|accessdate=2025-07-05}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Elimu ya Hispania]] ei4s021k9pvkn45mo5jy1s9vyhbu3zt 1437263 1437243 2025-07-12T11:52:21Z Lucas Urassa 79876 1437263 wikitext text/x-wiki '''Chuo cha Redio cha [[Uhispania]]''' ni [[taasisi]] inayolenga kukuza redio nchini Uhispania na inawakilisha masilahi ya wataalamu wa redio na pia kutoa mafunzo kwa wataalamu waliopo na wa siku zijazo. Chuo hicho kilianzishwa mwaka [[1997]] na Jorge Álvarez, mtayarishaji wa redio na mhandisi wa sauti. Chuo hicho kilihimiza kuanzishwa kwa [[:en:World_Radio_Day|Siku ya Redio Duniani]] kupitia [[UNESCO]]. Mwenyekiti wake, Jorge Álvarez, aliwasilisha ombi hilo kwa UNESCO mwaka [[2008]], akipendekeza kuwepo kwa siku ya kimataifa ya maadhimisho kwa watangazaji na wasikilizaji wa redio kote duniani. Hatimaye, tarehe 3 Novemba [[2011]], Mkutano Mkuu wa 36 wa UNESCO ulikubali kwa kauli moja pendekezo la Uhispania na kutangaza Februari 13 kuwa Siku ya Redio Duniani.<ref>{{Cite web|url=https://unesdoc.unesco.org/ark:/48223/pf0000211271|work=unesdoc.unesco.org|accessdate=2025-07-05}}</ref> Mnamo mwaka [[2012]], chuo hicho kilianzisha Kamati ya Kimataifa ya Redio kwa ushirikiano na mashirika ya utangazaji kutoka mabara matano, chini ya ufadhili wa UNESCO na ITU.<ref>{{Cite web|title=Members of World Radio Day Committee|url=https://www.academiadelaradio.es/wrd/members.html|work=www.academiadelaradio.es|accessdate=2025-07-05}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Elimu ya Hispania]] <references /> [[Jamii:1997 establishments in Spain]] kcjec6igea10xgw35h87n35ur2p3n53 Anna Colas Pépin 0 208634 1436941 1435942 2025-07-11T14:37:44Z Riccardo Riccioni 452 1436941 wikitext text/x-wiki '''Anna Colas Pépin''' au Anne-Nicolas "Annacolas" Pépin (1787-1872), alikuwa mwanamke maarufu, [[mfanyabiashara]] mwenye [[asili]] ya Ulaya (baba) na Afrika (mama). Yeye ni miongoni mwa [[Wanawake wa Afrika|wanawake]] [[Chotara|shombeshombe]] matajiri na maarufu katika kisiwa kidogo kiitwacho [[Gorée]] huko [[Senegal]]. Lakini mara nyingi amekua akichanganywa na [[shangazi]] yake Anne Pépin.<ref>https://books.google.com/books?id=O74pDwAAQBAJ&dq=Anna+Colas+P%C3%A9pin&pg=PA4</ref> Alikuwa binti wa Nicolas Pépin (1744–1815) na Marie-Thérèse Picard (aliyefariki 1790), aliolewa na François de Saint-Jean na akawa [[mama]] wa Mary de Saint Jean (1815–1853), mke wa Msenegali wakwanza kutumikia [[Bunge]] la [[Ufaransa]], Barthélémy Durand, mchoro maarufu wa 184 Valantin– Édouard Auguste Nousveaux anaweza kuonyesha kuwa pichani anaweza kua Anna Colas Pépin au binti yake.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=O74pDwAAQBAJ&dq=Anna+Colas+P%C3%A9pin&pg=PA4|title=To be Free and French: Citizenship in France's Atlantic Empire|last=Semley|first=Lorelle|date=2017-07-20|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-1-107-10114-2|language=en}}</ref> Pépin alifafanuliwa kama mwanachama mkuu na mwenye ushawishi mkubwa wa jumuiya ya Signare, na aliwekeza katika ardhi na majengo huko Gorée kwa ushirikiano na mamlaka ya Ufaransa. Kama mwanachama mkuu wa wasomi wa eneo hilo, Anna kama kinara wa wasomi alimpokea kwa umaarufu François d'Orléans, mtoto wa Mfalme wa Joinville kwenye ziara yake ya Gorée mnamo 1842, tukio lililoonyeshwa na Édouard Auguste Nousveaux. == Marejeo == {{BD|1787|1872}} [[Jamii:wanawake wa Senegal]] 82sy7rqo5auh42dqigwyxtgpj45t2bs Frank Vickerman 0 208636 1437146 1436376 2025-07-12T09:51:39Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437146 wikitext text/x-wiki '''Frank Vickerman''' alikuwa mwanamme aliyeishi mwanzoni mwa [[karne ya 19]] katika eneo la magharibi ya Yorkshire. Alimiliki kiwanda cha kuchakata [[pamba]] kilichokuwa Taylor Hill, ambacho kilishambuliwa na kundi la Luddites tarehe 15 Machi [[1812]]. [[Kiwanda]] hicho kiliharibiwa kabisa, na pia walijaribu kukichoma moto. Vickerman alilengwa na kundi hili lililopinga maendeleo ya [[Teknolojia|kiteknolojia]] kwa sababu [[mashine]] katika kiwanda chake zilikuwa zinachukua [[ajira]] za watu, na pia kwa sababu aliwahi kushiriki katika [[kamati]] iliyokuwa inapinga harakati za Luddites. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:wanaume wa Uingereza]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] l23ael2mhj0hmi4djcuksoy1yv8nlta 1437171 1437146 2025-07-12T10:33:48Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436376 wikitext text/x-wiki '''Frank Vickerman''' alikuwa mwanamme aliyeishi mwanzoni mwa [[karne ya 19]] katika eneo la magharibi ya Yorkshire. Alimiliki kiwanda cha kuchakata [[pamba]] kilichokuwa Taylor Hill, ambacho kilishambuliwa na kundi la Luddites tarehe 15 Machi [[1812]]. [[Kiwanda]] hicho kiliharibiwa kabisa, na pia walijaribu kukichoma moto. Vickerman alilengwa na kundi hili lililopinga maendeleo ya [[Teknolojia|kiteknolojia]] kwa sababu [[mashine]] katika kiwanda chake zilikuwa zinachukua [[ajira]] za watu, na pia kwa sababu aliwahi kushiriki katika [[kamati]] iliyokuwa inapinga harakati za Luddites. == Marejeo == [[Jamii:wanaume wa Uingereza]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] bxrwu7umjqqguppcza9wfofk0cslj83 1437211 1437171 2025-07-12T11:19:38Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437211 wikitext text/x-wiki '''Frank Vickerman''' alikuwa mwanamme aliyeishi mwanzoni mwa [[karne ya 19]] katika eneo la magharibi ya Yorkshire. Alimiliki kiwanda cha kuchakata [[pamba]] kilichokuwa Taylor Hill, ambacho kilishambuliwa na kundi la Luddites tarehe 15 Machi [[1812]]. [[Kiwanda]] hicho kiliharibiwa kabisa, na pia walijaribu kukichoma moto. Vickerman alilengwa na kundi hili lililopinga maendeleo ya [[Teknolojia|kiteknolojia]] kwa sababu [[mashine]] katika kiwanda chake zilikuwa zinachukua [[ajira]] za watu, na pia kwa sababu aliwahi kushiriki katika [[kamati]] iliyokuwa inapinga harakati za Luddites. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:wanaume wa Uingereza]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] torzlrvhm796yifmukrohagidlagani 1437212 1437211 2025-07-12T11:20:00Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437212 wikitext text/x-wiki '''Frank Vickerman''' alikuwa mwanamme aliyeishi mwanzoni mwa [[karne ya 19]] katika eneo la magharibi ya Yorkshire. Alimiliki kiwanda cha kuchakata [[pamba]] kilichokuwa Taylor Hill, ambacho kilishambuliwa na kundi la Luddites tarehe 15 Machi [[1812]]. [[Kiwanda]] hicho kiliharibiwa kabisa, na pia walijaribu kukichoma moto. Vickerman alilengwa na kundi hili lililopinga maendeleo ya [[Teknolojia|kiteknolojia]] kwa sababu [[mashine]] katika kiwanda chake zilikuwa zinachukua [[ajira]] za watu, na pia kwa sababu aliwahi kushiriki katika [[kamati]] iliyokuwa inapinga harakati za Luddite. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:wanaume wa Uingereza]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] buhygpy1w69pfyfy8lvx93xd3qmjab1 1437222 1437212 2025-07-12T11:23:52Z ~2025-17875-5 80077 1437222 wikitext text/x-wiki '''Frank Vickerman''' alikuwa mwanamme aliyeishi mwanzoni mwa [[karne ya 19]] katika eneo la magharibi ya Yorkshire. Alimiliki kiwanda cha kuchakata [[pamba]] kilichokuwa Taylor Hill, ambacho kilishambuliwa na kundi la Luddites tarehe 15 Machi [[1812]]. [[Kiwanda]] hicho kiliharibiwa kabisa, na pia walijaribu kukichoma moto. Vickerman alilengwa na kundi hili lililopinga maendeleo ya [[Teknolojia|kiteknolojia]] kwa sababu [[mashine]] katika kiwanda chake zilikuwa zinachukua [[ajira]] za watu, na pia kwa sababu aliwahi kushiriki katika [[kamati]] iliyokuwa inapinga harakati za [[Luddite]]. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:wanaume wa Uingereza]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] jf3zbhznnn6c3tg5tfwv3a6w2hfp0i3 Orodha ya wakuu wa majimbo ya India 0 208665 1437111 1436290 2025-07-12T09:18:01Z ~2025-17839-6 80071 [[Uhindi]] 1437111 wikitext text/x-wiki {{tafsiri kompyuta}} == Delhi Sultanate == === Delhi Sultanate (1206–1290) === * [[Qutb-ud-Din Aibak]] (1206–1210) * [[Aram Shah]] (1210–1211) * [[Altamash]] ([[Iltutmish|Shams ud din Iltutmish]]) (1211–1236) * [[Rukn ud din Firuz I]] (1236) * [[Raziah|Raziyyat ud din Sultana]] (1236–1240) * [[Muiz ud din Bahram]] (1240–1242) * [[Ala ud din Masud]] (1242–1246) * [[Nasir ud din Mahmud I]] (1246–1266) * [[Ghiyas ud din Balban]] (1266–1286) * [[Muiz ud din Qaiqabd]] (1286–1290) * [[Kayumarth]] (1290) === Delhi Sultanate (1290–1320) === * [[Jalal ud din Firoz Khalji|Jalal ud din Firuz II Khilji]] (1290–1296) * [[Ibrahim I]] (1296) * [[Ala ud-Din Khalji|Muhammad I Ala ud-Din Khalji]] (1296–1316) * [[Shihab ud din Omar]] (1316) * [[Qutb-ud-din Mubarak Shah|Quitt ud din Mubarak Shah]] (1316–1320) * [[Khusrau Khan|Nasir ud-din Chusrau]] (1320) === Delhi Sultanate (1320–1413) === * [[Ghiyas-ud-din Tughluq Shah I]] (1320–1325) * [[Muhammad bin Tughluq|Muhammad Shah II]] (1325–1351) * [[Mahmud Ibn Muhammad]] (March 1351) * [[Firuz Shah Tughluq]] (1351–1388) * [[Ghiyas ud din Tughluq II]] (1388–1389) * [[Abu Baker]] (1389–1390) * [[Nasir ud din Muhammad Shah III]] (1390–1394) * [[Sikander Shah I]] (1394) * [[Mahmud II Nasir ud din]] (Sultan Mahmud II) in Delhi (1394–1413) * [[Nusrat Shah]] in Firuzabad (1394–1398) * [[Timur Lenk]] pillaged Delhi and settled Sayyids there === Delhi Sultanate (1413–1414); === * [[Daulat Khan (Sultan)|Daulat Khan]] (1413–1414) === Delhi Sultanate(1414–1451) === * [[Khidr Khan]] (1414–1421) * [[Mubarrak Shah II]] (1421–1434) * [[Mohammed Shah IV]] (1434–1445) * [[Aladdin Alam Shah]] (1445–1451) === Delhi Sultanate (1451–1526) === * [[Bahlul Lodi]] (1451–1489) * [[Sikandar Lodi]] (1489–1517) * [[Ibrahim II|Ibrahim II Lodi]] (1517–1526) ''through 1526–1540 [[Mogul]]s ruled'' === Delhi Sultanate (1540–1555) === * [[Sher Khan Suri|Sher Shah]] (1540–1545) * [[Islam Shah Suri|Islam Shah]] (1545–1553) * [[Muhammad V]] (1553–1555) * [[Firuz IV]] (1555) * [[Ibrahim III]] (1555) * [[Sikander III Shah]] (1555) ==Early or Great Mughals== * [[Babur]] (reigned 1526-1530) founded the dynasty; * [[Humayun]] (r: 1530–1540, then interregnum,<ref>In which [[Sher Shah Suri]] the [[Pashtun]] soldier and his successors briefly took over the government</ref> then back in 1555-1556) * [[Akbar the Great]] (1556-1605) * [[Jahangir]] (1606-1627) * [[Shah Jahan]] (1628-1658) * [[Aurangzeb]] ''Alamgir'' (1658-1707) ==Later or Lesser Mughals== * [[Shah Alam Bahadur Shah I]] (1707-1712) * [[Jahandar Shah]] (1712-1713) * [[Farrukhsiyar]] (1713-1719) * [[Muhammad Shah]] ''Rangeela'' (1719-1748) * [[Ahmad Shah]] (1748-1754) * [[Alamgir II]] (1754-1759) * [[Shah Alam II]] (1759-1806) * [[Akbar (Shah) II]] (1806-1837) * [[Bahadur Shah II|Bahadur Shah Zaffar II]] (1837-1858) == List == {| class="wikitable" style="clear:right; text-align:center" |- ! colspan="2" width="9%" | Name ! colspan="2" width="9%" | '''Term of office''' |- |align="center"|[[File:Bahadur Shah II.jpg|80px]] |align="center"|[[Bahadur Shah al II-lea]] |align="center"|1857 |align="center"|1857 |- |align="center"|[[File:Queen Victoria after Heinrich von Angeli.jpg|80px]] |align="center"|[[Regina Victoria|Victoria]] |align="center"|1876 |align="center"|1901 |- |align="center"|[[File:Edward VII in coronation robes.jpg|80px]] |align="center"|[[Eduard al VII-lea al Regatului Unit|Eduard al VII-lea]] |align="center"|1901 |align="center"|1910 |- |align="center"|[[Image:George V of the united Kingdom.jpg|80px]] |align="center"|[[George al V-lea al Regatului Unit|George al V-lea]] |align="center"|1910 |align="center"|1936 |- |align="center"|[[File:A022344.jpg|80px]] |align="center"|[[Eduard al VIII-lea al Regatului Unit|Eduard al VIII-lea]] |align="center"|1936 |align="center"|1936 |- |align="center"|[[File:King George VI.jpg|80px]] |align="center"|[[George al VI-lea al Regatului Unit|George al VI-lea]] |align="center"|1936 |align="center"|1947 |} == List== === Governor-General of the Presidency of Fort William in Bengal (1773–1833) === The [[Regulating Act of 1773]] replaced the office of the Governor of the Presidency of Fort William in Bengal with Governor-General of the Presidency of Fort William in Bengal. The office of the Governor of the Presidency of Fort William in Bengal was restored in 1833. {| class="wikitable" style="text-align:center;" ! width="130px" | Portrait ! width="300px" | Name ! width="200px" colspan="2" | Term ! width="150px" | Appointer |- | [[File:Warren Hastings greyscale.jpg|120px]] | '''[[Warren Hastings]]'''<ref group=nb>Originally joined on 28 April 1772</ref> | 20 October<br />1773 | 8 February<br />1785 | rowspan=13 | [[East India Company]]<br />[[File:Coat of arms of the East India Company.svg|90px]]<br />{{small|(1773–1858)}} |- align=center | [[File:Captain John Macpherson (1726 - 1792) by anonymous (circa 1772-1792).jpg|120px]] | '''[[Sir John Macpherson, 1st Baronet|John Macpherson]]'''<br /> ''(acting)'' | 8 February<br />1785 | 12 September<br />1786 |- align=center | [[File:Lord Cornwallis.jpg|120px]] | '''[[Charles Cornwallis, 1st Marquess Cornwallis|The Marquess Cornwallis]]'''<ref group=nb>Earl Cornwallis from 1762; created Marquess Cornwallis in 1792.</ref> | 12 September<br />1786 | 28 October<br />1793 |- align=center | [[File:JohnShore.jpg|120px]] | '''[[John Shore, 1st Baron Teignmouth|John Shore]]''' | 28 October<br />1793 | 18 March<br />1798 |- align=center | [[File:Field Marshal Sir Alured Clarke.jpg|120px]] | '''[[Alured Clarke]]'''<br /> ''(acting)'' | 18 March<br />1798 | 18 May<br />1798 |- align=center | [[File:Richard Wellesley 2.JPG|120px]] | '''[[Richard Wellesley, 1st Marquess Wellesley|The Earl of Mornington]]'''<ref group="nb">Created Marquess Wellesley in 1799.</ref> | 18 May<br />1798 | 30 July<br />1805 |- align=center | [[File:Lord Cornwallis.jpg|120px]] | '''[[Charles Cornwallis, 1st Marquess Cornwallis|The Marquess Cornwallis]]''' | 30 July<br />1805 | 5 October<br />1805 |- align=center | [[File:Sir George Barlow, 1st Bt from NPG crop.jpg|120px]] | '''[[Sir George Barlow, 1st Baronet|Sir George Barlow, Bt]]'''<br /> ''(acting)'' | 10 October<br />1805 | 31 July<br />1807 |- align=center | [[File:Gilbert Eliot, 1st Earl of Minto by James Atkinson.jpg|120px]] | '''[[Gilbert Elliot-Murray-Kynynmound, 1st Earl of Minto|The Lord Minto]]''' | 31 July<br />1807 | 4 October<br />1813 |- align=center | [[File:Francis, 1st Marquess of Hastings (Earl of Moira).jpg|120px]] | '''[[Francis Rawdon-Hastings, 1st Marquess of Hastings|The Marquess of Hastings]]'''<ref group="nb">'''[[Earl of Moira]]''' prior to being created Marquess of Hastings in 1816</ref> | 4 October<br />1813 | 9 January<br />1823 |- align=center | [[File:John Adam governor general of India.jpg|120px]] | '''[[John Adam (administrator)|John Adam]]'''<br /> ''(acting)'' | 9 January<br />1823 | 1 August<br />1823 |- align=center | [[File:Sir Thomas Lawrence - Lord Amherst - Google Art Project.jpg|120px]] | '''[[William Amherst, 1st Earl Amherst|The Lord Amherst]]'''<ref group=nb>Created Earl Amherst in 1826.</ref> | 1 August<br />1823 | 13 March<br />1828 |- align=center | [[File:William Butterworth Bayley, governor general of India.png|120px]] | '''[[William Butterworth Bayley]]''' <br /> ''(acting)'' | 13 March<br />1828 | 4 July<br />1828 |} {{reflist|group=nb}} {| class="wikitable" width="100%" style="text-align:center;" ! colspan="5" |'''Governors of the Presidency of Fort William in Bengal''' <small>'''''(ex-officio'' Governor-General of India, 1834-1854)'''</small> |- !Name <small>(birth–death)</small> ! width="100px" |Portrait !Took office !Left office !Appointer |- align="center" |[[William Bentick|The Lord William Bentick]] <small>(1774–1839)</small> |[[File:Bentinck_william.png|100px]] |15 November 1834 <small>(1833)</small> |20 March 1835 | rowspan="7" |'''[[East India Company|East India<br />Company]]'''<br />[[File:Coat of arms of the East India Company.svg|65px]] |- align="center" |[[Charles Metcalfe, 1st Baron Metcalfe|Sir Charles Metcalfe, Bt]], [[Indian Civil Service|ICS]]<ref name=":1">{{Cite web|title=Raj Bhavan Kolkata|url=http://rajbhavankolkata.nic.in/writereaddata/PDF/CHAPTERVI.pdf}}</ref> <small>''(acting)''</small> <small>(1785–1846)</small> |[[File:Charles_Theophilus_Metcalfe,_1st_Baron_Metcalfe_by_George_Chinnery.jpg|100px]] |20 March 1835 |4 March 1836 |- align="center" |[[George Eden, 1st Earl of Auckland|The Lord Auckland]] <small>(1784–1849)</small> |[[File:George_Eden,_1st_Earl_of_Auckland.png|100px]] |4 March 1836 |28 February 1842 |- align="center" |[[Edward Law, 1st Earl of Ellenborough|The Lord Ellenborough]] <small>(1790–1871)</small> |[[File:1stEarlOfEllenborough.jpg|100px]] |28 February 1842 |June 1844 |- align="center" |[[William Wilberforce Bird (governor)|William Wilberforce Bird]], [[Indian Civil Service|ICS]]<ref name=":1" /> <small>''(acting)''</small> <small>(1784–1857)</small> |[[File:William Wilberforce Bird.jpg|100px]] |June 1844 |23 July 1844 |- align="center" |[[Henry Hardinge, 1st Viscount Hardinge|Sir Henry Hardinge]] <small>(1785–1856)</small> |[[File:Henryhardinge.jpg|100px]] |23 July 1844 |12 January 1848 |- align="center" |[[James Broun-Ramsay, 1st Marquess of Dalhousie|The Earl of Dalhousie]] <small>(1812–1860)</small> |[[File:Dalhousie.jpg|100px]] |12 January 1848 |1 May 1854 <small>(28 February 1856)</small> |} {{reflist|group=nb}} === Governors-General and Viceroys of India and Governors-General of the [[Dominion of India]], 1858–1950 === {| class="wikitable" style="text-align:center" |- ! Governor-General or Viceroy<br/>{{Small|(lifespan)}} ! colspan=2 | Term of office ! '''[[Secretary of State for India]]''' ! Prime Minister |- ! colspan="5" | Governors-General and Viceroys of India, 1858–1947 |- ! colspan="5" | [[File:Coat of Arms of the United Kingdom (1837-1952).svg|30x30px]] Appointed by '''[[Queen Victoria]]''' {{Small|(1837–1901)}} |- | [[File:Lord Viscount Canning.jpg|80px]]<br/>[[Charles Canning, 1st Earl Canning|Charles Canning, Viscount Canning]]{{Small|(1812–1862)}} | {{Small|1 November}}<br/>1858 | {{Small|21 March}}<br/>1862 | * [[Edward Stanley, 15th Earl of Derby|Lord Stanley]] * [[Charles Wood, 1st Viscount Halifax|Charles Wood]] | * [[Edward Smith-Stanley, 14th Earl of Derby]] * [[Henry John Temple, 3rd Viscount Palmerston|Viscount Palmerston]] |- | [[File:Elgin.png|80px]]<br/>[[James Bruce, 8th Earl of Elgin]]<br/>{{Small|(1811–1863)}} | {{Small|21 March}}<br/>1862 | {{Small|20 November}}<br/>1863 | rowspan=3 | [[Charles Wood, 1st Viscount Halifax|Charles Wood]] | rowspan=3 | [[Henry John Temple, 3rd Viscount Palmerston|Viscount Palmerston]] |- | [[File:Robert Napier, 1st Baron Napier of Magdala - Project Gutenberg eText 16528.png|80px]]<br/>[[Robert Napier, 1st Baron Napier of Magdala|Robert Napier]] {{Small|''(acting)''<br/>(1810–1890)}} | ''{{Small|21 November}}<br/>1863'' | ''{{Small|2 December}}<br/>1863'' |- | [[File:William Denison 2.jpg|80px]]<br/>[[William Denison]] {{Small|''(acting)''<br/>(1804–1871)}} | ''{{Small|2 December}}<br/>1863'' | ''{{Small|12 January}}<br/>1864'' |- | [[File:SirJohnLawrence 16246.jpg|80px]]<br/>[[John Lawrence, 1st Baron Lawrence|John Lawrence, Baronet]]<br/>{{Small|(1811–1879)}} | {{Small|12 January}}<br/>1864 | {{Small|12 January}}<br/>1869 | * [[Charles Wood, 1st Viscount Halifax|Charles Wood]] * [[George Robinson, 1st Marquess of Ripon|George Robinson, Earl de Grey]] * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury|Viscount Cranborne]] * [[Stafford Northcote, 1st Earl of Iddesleigh|Stafford Northcote]] * [[George Campbell, 8th Duke of Argyll]] | * [[Henry John Temple, 3rd Viscount Palmerston|Viscount Palmerston]] * [[John Russell, 1st Earl Russell]] * [[Edward Smith-Stanley, 14th Earl of Derby]] * [[Benjamin Disraeli]] * [[William Ewart Gladstone]] |- | [[File:6th Earl of Mayo.jpg|80px]]<br/>[[Richard Bourke, 6th Earl of Mayo]]<br/>{{Small|(1822–1872)}} | {{Small|12 January}}<br/>1869 | {{Small|8 February}}<br/>1872 | rowspan=3 | [[George Campbell, 8th Duke of Argyll]] | rowspan=3 | [[William Ewart Gladstone]] |- | [[File:John Strachey (civil servant) (cropped).jpg|80px]]<br/>[[John Strachey (civil servant)|John Strachey]] {{Small|''(acting)''<br/>(1823–1907)}} | ''{{Small|9 February}}<br/>1872'' | ''{{Small|23 February}}<br/>1872'' |- | [[File:FrancisNapier10thLordNapier.jpg|80px]]<br/>[[Francis Napier, 10th Lord Napier]] {{Small|''(acting)''<br/>(1819–1898)}} | ''{{Small|24 February}}<br/>1872'' | ''{{Small|3 May}}<br/>1872'' |- | [[File:Arthur Stockdale Cope - Thomas George Baring, Earl of Northbrook.jpg|80px]]<br/>[[Thomas Baring, 1st Earl of Northbrook|Thomas Baring, Lord Northbrook]]<br/>{{Small|(1826–1904)}} | {{Small|3 May}}<br/>1872 | {{Small|12 April}}<br/>1876 | * [[George Campbell, 8th Duke of Argyll]] * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] | * [[William Ewart Gladstone]] * [[Benjamin Disraeli]] |- | [[File:Robert Bulwer-Lytton by Nadar.jpg|80px]]<br/>[[Robert Bulwer-Lytton, 1st Earl of Lytton]]<br/>{{Small|(1831–1891)}} | {{Small|12 April}}<br/>1876 | {{Small|8 June}}<br/>1880 | * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] * [[Gathorne Gathorne-Hardy, 1st Earl of Cranbrook|Gathorne Gathorne-Hardy, Viscount Cranbrook]] * [[Spencer Cavendish, 8th Duke of Devonshire|Marquess of Hartington]] | * [[Benjamin Disraeli]] * [[William Ewart Gladstone]] |- | [[File:George Robinson 1st Marquess of Ripon.jpg|80px]]<br/>[[George Robinson, 1st Marquess of Ripon]]<br/>{{Small|(1827–1909)}} | {{Small|8 June}}<br/>1880 | {{Small|13 December}}<br/>1884 | * [[Spencer Cavendish, 8th Duke of Devonshire|Marquess of Hartington]] * [[John Wodehouse, 1st Earl of Kimberley]] | * [[William Ewart Gladstone]] |- | [[File:Young Lord Dufferin.jpg|80px]]<br/>[[Frederick Hamilton-Temple-Blackwood, 1st Marquess of Dufferin and Ava|Frederick Hamilton-Temple-Blackwood, Earl of Dufferin]]<br/>{{Small|(1826–1902)}} | {{Small|13 December}}<br/>1884 | {{Small|10 December}}<br/>1888 | * [[John Wodehouse, 1st Earl of Kimberley]] * [[Lord Randolph Churchill]] * [[John Wodehouse, 1st Earl of Kimberley]] * [[R. A. Cross, 1st Viscount Cross]] | * [[William Ewart Gladstone]] * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] * [[William Ewart Gladstone]] * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] |- | [[File:Marquess of Lansdowne crop.jpg|80px]]<br/>[[Henry Petty-Fitzmaurice, 5th Marquess of Lansdowne]]<br/>{{Small|(1845–1927)}} | {{Small|10 December}}<br/>1888 | {{Small|21 January}}<br/>1894 | * [[R. A. Cross, 1st Viscount Cross]] * [[John Wodehouse, 1st Earl of Kimberley]] * [[Henry Fowler, 1st Viscount Wolverhampton|Henry Fowler]] | * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] * [[William Ewart Gladstone]] * [[Archibald Primrose, 5th Earl of Rosebery]] |- | [[File:9thEarlOfElgin.jpg|80px]]<br/>[[Victor Bruce, 9th Earl of Elgin]] {{Small|(1849–1917)}} | {{Small|21 January}}<br/>1894<ref>[https://eprints.soas.ac.uk/33561/1/11010320.pdf The Internal Administration of Lord Elgin in India, 1894-1898.]</ref> | {{Small|6 January}}<br/>1899 | * [[Henry Fowler, 1st Viscount Wolverhampton|Henry Fowler]] * [[Lord George Hamilton]] | * [[Archibald Primrose, 5th Earl of Rosebery]] * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] |- | [[File:George Curzon2.jpg|80px]]<br/>[[George Curzon, 1st Marquess Curzon of Kedleston]]<ref group="nb">[[Oliver Russell, 2nd Baron Ampthill]] was acting Governor-General in 1904.</ref><br/>{{Small|(1859–1925)}} | {{Small|6 January}}<br/>1899 | {{Small|18 November}}<br/>1905 | * [[Lord George Hamilton]] * [[St John Brodrick, 1st Earl of Midleton|William St John Brodrick]] | * [[Robert Gascoyne-Cecil, 3rd Marquess of Salisbury]] * [[Arthur Balfour]] |- ! colspan="5" | [[File:Coat of Arms of the United Kingdom (1837-1952).svg|30x30px]] Appointed by '''[[King Edward VII]]''' {{Small|(1901–1910)}} |- | [[File:Earl Minto.jpg|80px]]<br/>[[Gilbert Elliot-Murray-Kynynmound, 4th Earl of Minto]]<br/>{{Small|(1845–1914)}} | {{Small|18 November}}<br/>1905 | {{Small|23 November}}<br/>1910 | * [[St John Brodrick, 1st Earl of Midleton|William St John Brodrick]] * [[John Morley]] * [[Robert Crewe-Milnes, 1st Marquess of Crewe|Robert Crewe-Milnes, Earl of Crewe]] | * [[Arthur Balfour]] * [[Henry Campbell-Bannerman]] * [[H. H. Asquith]] |- ! colspan="5" | [[File:Coat of Arms of the United Kingdom (1837-1952).svg|30x30px]] Appointed by '''[[King George V]]''' {{Small|(1910–1936)}} |- | [[File:Charles Hardinge01 crop.jpg|80px]]<br/>[[Charles Hardinge, 1st Baron Hardinge of Penshurst]]<br/>{{Small|(1858–1944)}} | {{Small|23 November}}<br/>1910 | {{Small|4 April}}<br/>1916 | * [[Robert Crewe-Milnes, 1st Marquess of Crewe|Robert Crewe-Milnes, Earl of Crewe]] * [[John Morley, 1st Viscount Morley of Blackburn]] * [[Robert Crewe-Milnes, 1st Marquess of Crewe]] * [[Austen Chamberlain]] | * [[H. H. Asquith]] |- | [[File:Chelmsford Governor.jpg|80px]]<br/>[[Frederic Thesiger, 1st Viscount Chelmsford]]<br/>{{Small|(1868–1933)}} | {{Small|4 April}}<br/>1916 | {{Small|2 April}}<br/>1921 | * [[Austen Chamberlain]] * [[Edwin Montagu]] | * [[H. H. Asquith]] * [[David Lloyd George]] |- | [[File:Rufus Isaacs.jpg|80px]]<br/>[[Rufus Isaacs, 1st Marquess of Reading]]<br/>{{Small|(1860–1935)}} | {{Small|2 April}}<br/>1921 | {{Small|3 April}}<br/>1926 | * [[Edwin Montagu]] * [[William Peel, 1st Earl Peel|William Peel, Viscount Peel]] * [[Sydney Olivier, 1st Baron Olivier]] * [[F. E. Smith, 1st Earl of Birkenhead]] | * [[David Lloyd George]] * [[Bonar Law]] * [[Stanley Baldwin]] * [[Ramsay MacDonald]] * [[Stanley Baldwin]] |- | [[File:1st Earl of Halifax 1947.jpg|80px]]<br/>[[E. F. L. Wood, 1st Earl of Halifax|E. F. L. Wood, Lord Irwin]]<br/>{{Small|(1881–1959)}} | {{Small|3 April}}<br/>1926 | {{Small|1 July}}<br/>1929 | * [[F. E. Smith, 1st Earl of Birkenhead]] * [[William Peel, 1st Earl Peel|William Peel, Viscount Peel]] | rowspan=2 | * [[Stanley Baldwin]] * [[Ramsay MacDonald]] |- | [[File:Viscount Goschen.jpg|80px]]<br/>[[George Goshen, 2nd Viscount Goshen]] {{Small|''(acting)''<br/>(1866–1952)}} | ''{{Small|1 July}}<br/>1929'' | ''{{Small|18 April}} 1931'' | * [[William Peel, 1st Earl Peel|William Peel, Viscount Peel]], [[William Wedgwood Benn]] |- | [[File:Freeman Freeman-Thomas by Henry Walter Barnett.jpg|80px]]<br/>[[Freeman Freeman-Thomas, 1st Marquess of Willingdon|Freeman Freeman-Thomas, Earl of Willingdon]]<br/>{{Small|(1866–1941)}} | {{Small|18 April}}<br/>1931 | {{Small|18 April}}<br/>1936 | * [[William Wedgwood Benn, 1st Viscount Stansgate|William Wedgwood Benn]] * [[Samuel Hoare, 1st Viscount Templewood|Samuel Hoare]] * [[Lawrence Dundas, 2nd Marquess of Zetland]] | * [[Ramsay MacDonald]] * [[Stanley Baldwin]] |- ! colspan="5" | [[File:Coat of Arms of the United Kingdom (1837-1952).svg|30x30px]] Appointed by '''[[King Edward VIII]]''' {{Small|(1936)}} |- | [[File:Victor Hope, 2nd Marquess of Linlithgow.jpg|80px]]<br/>[[Victor Hope, 2nd Marquess of Linlithgow]]<br/>{{Small|(1887–1952)}} | {{Small|18 April}}<br/>1936 | {{Small|1 October}}<br/>1943 | * [[Lawrence Dundas, 2nd Marquess of Zetland]] * [[Leo Amery]] | * [[Stanley Baldwin]] * [[Neville Chamberlain]] * [[Winston Churchill]] |- ! colspan="5" | [[File:Coat of Arms of the United Kingdom (1837-1952).svg|30x30px]] Appointed by '''[[King George VI]]''' {{Small|(1936–1947) (as [[Emperor of India]])}} |- | [[File:Archibald Wavell2.jpg|80px]]<br/>[[Archibald Wavell, 1st Earl Wavell|Archibald Wavell, Viscount Wavell]]<br/>{{Small|(1883–1950)}} | {{Small|1 October}}<br/>1943 | {{Small|21 February}}<br/>1947 | * [[Leo Amery]] * [[Frederick Pethick-Lawrence, 1st Baron Pethick-Lawrence]] | * [[Winston Churchill]] * [[Clement Attlee]] |- | [[File:Admiral Lord Louis Mountbatten, 1943. TR1230 (cropped).jpg|80px]]<br/>[[Louis Mountbatten, 1st Earl Mountbatten of Burma|Louis Mountbatten, Viscount Mountbatten of Burma]]<br/>{{Small|(1900–1979)}} | {{Small|21 February}}<br/>1947 | {{Small|15 August}}<br/>1947 | * [[Frederick Pethick-Lawrence, 1st Baron Pethick-Lawrence]] * [[William Hare, 5th Earl of Listowel]] | * [[Clement Attlee]] |- ! Governor-General<br/>{{Small|(birth–death)}} ! colspan=2 | Term of office ! &nbsp; ! Prime Minister |- ! colspan="5" | Governors-General of the [[Dominion of India]], 1947–1950 |- ! colspan="5" | Appointed by '''[[King George VI]]''' {{Small|(1947–1950) (as [[List of heads of state of India#Monarch of India (1947–1950)|King of India]] |- | [[File:Admiral Lord Louis Mountbatten, 1943. TR1230 (cropped).jpg|80px]]<br/>[[Louis Mountbatten, 1st Earl Mountbatten of Burma|Louis Mountbatten, Viscount Mountbatten of Burma]]<ref group="nb">Created Earl Mountbatten of Burma on 28 October 1947.</ref><br/>{{Small|(1900–1979)}} | {{Small|15 August}}<br/>1947 | {{Small|21 June}}<br/>1948 | rowspan=2 | | rowspan="2" | * [[Jawaharlal Nehru]] |- | [[File:Chakravarthi Rajagopalachari.jpg|80px]]<br/>[[C. Rajagopalachari|Chakravarti Rajagopalachari]]<br/>{{Small|(1878–1972)}} | {{Small|21 June}}<br/>1948 | {{Small|26 January}}<br/>1950 |} {{reflist|group=nb}} ==Orodha ya marais wa Uhindi== ===Sheria ya kampuni nchini Uhindi=== {{Main|Utawala wa kampuni nchini Uhindi}} ===Raj wa Uingereza=== {{Main|Raj wa Uingereza}} === Serikali ya muda kwa uhuru wa Uhindi === {{Main|Serikali ya Muda ya India}} {| class="wikitable" style="text-align:center" ! style="width:17em" |Name ! Portrait ! colspan="2" |Term of office !Political party !Vice President |- |[[Mahendra Pratap]] | |1915 |1919 | |[[Abdul Hafiz Mohamed Barakatullah]] |- |[[Abdul Hafiz Mohamed Barakatullah]] | |1919 |1919 | |[[Mahendra Pratap]] |} ===Raj wa Uingereza=== {{Main|Raj wa Uingereza}} ===Gavana-General=== {{Main|Orodha ya magavana wakuu wa Uhindi}} ===Rais wa Halmashauri Kuu=== {| class="wikitable" style="text-align:center" ! style="width:17em" |Name ! Portrait ! colspan="2" |Term of office ! style="width:8em" |Political party |- | '''[[Jawaharlal Nehru]]''' | | 1928 | 1941 | [[Indian National Congress]] |} ===Subhas Chandra Bose Serikali ya Muda kwa uhuru wa Uhindi === {| class="wikitable" style="text-align:center" ! style="width:17em" |Name ! Portrait ! colspan="2" |Term of office ! style="width:8em" |Political party ![[List of vice presidents of India|Vice presiden]] |- ! colspan="6" |Provisional Government of India |- |[[Subhas Chandra Bose]] | |1941 |1945 |India |[[Mohan Singh]] and [[Iwaichi Fujiwara]] founders of the [[First Indian National Army]] |} ===Rais wa Halmashauri Kuu=== {| class="wikitable" style="text-align:center" ! style="width:17em" |Name ! Portrait ! colspan="2" |Term of office ! style="width:8em" |Political party |- | '''[[Jawaharlal Nehru]]''' [[List of prime ministers of India|Vice-President of the Executive Council]]<br> [[Minister of External Affairs (India)|External Affairs & Commonwealth Relations]]<br> | | 1945 | 15 August<br>1947 | [[Indian National Congress]] |} ===Mkuu wa Mkoa=== {| class="wikitable" style="text-align:center" !rowspan=2|Governor-General<br>{{small|(Birth–Death)}} !rowspan=2|Portrait !colspan=2|Tenure !rowspan=2|Monarch !rowspan=2|[[Prime Minister of India|Prime Minister]] |- !Took office !Left office |- ! [[Louis Mountbatten, 1st Earl Mountbatten of Burma|The Rt. Hon. The Earl Mountbatten of Burma]]<br>{{small|(1900–1979)}} | [[File:Lord Mountbatten 4 Allan Warren.jpg|60px]] | {{nowrap|15 August}} 1947 | {{nowrap|21 June}} 1948 | rowspan=2 |George VI | rowspan=2 |[[Jawaharlal Nehru|Nehru]] |- ! [[C. Rajagopalachari|Chakravarti Rajagopalachari]]<br>{{small|(1878–1972)}} | [[File:C Rajagopalachari Feb 17 2011.JPG|60px]] | {{nowrap|21 June}} 1948 | {{nowrap|26 January}} 1950 |} ==Rais wa Uhindi (1950-sasa)== {| class="wikitable" style="text-align:center" ! style="width:17em" |Jina ! Picha ! colspan="2" |Muda wa ofisi ! style="width:8em" |Imechaguliwa !Chama cha siasa ![[Orodha ya makamu wa rais wa Uhindi|Makamu wa rais]] |- ! [[Rajendra Prasad]]<br>{{small|(1884–1963)}} | [[File:Rajendra Prasad (Indian President), signed image for Walter Nash (NZ Prime Minister), 1958 (16017609534).jpg|60px]] | {{nowrap|26 January}} 1950 | {{nowrap|13 May}} 1962 |[[1950 Indian presidential election|1950]]<br>[[1952 Indian presidential election|1952]]<br>[[1955 Indian presidential election|1955]] <br>[[1957 Indian presidential election|1957]] | [[Indian National Congress]] |Sarvepalli Radhakrishnan |- ! [[Sarvepalli Radhakrishnan|Sir Sarvepalli Radhakrishnan]]<br>{{small|(1888–1975)}} | [[File:Photograph of Sarvepalli Radhakrishnan presented to First Lady Jacqueline Kennedy in 1962.jpg|60px]] | {{nowrap|13 May}} 1962 | {{nowrap|13 May}} 1967 | [[1962 Indian presidential election|1962]] <br>[[1965 Indian presidential election|1965]] | [[Independent politician|Independent]] |[[Zakir Husain (politician)|Zakir Husain]] |- ! [[Zakir Husain (politician)|Zakir Husain]]<br>{{small|(1897–1969)}} | [[File:President Zakir Husain 1998 stamp of India.jpg|60px]] | {{nowrap|13 May}} 1967 | {{nowrap|3 May}} 1969<br>{{small|(''died in office.'')}} | [[1967 Indian presidential election|1967]] | [[Independent politician|Independent]] | rowspan="3" |[[V. V. Giri]] |- ! [[V. V. Giri]]<br>{{small|(1894–1980)}} | [[File:10) V.V GIRI AUTOGRAPHED PENCIL SKETCH.jpg|60px]] | {{nowrap|3 May }} 1969 | {{nowrap|20 July}} 1969 | [[1969 Indian presidential election|1969]] | [[Independent politician|Independent]] |- !'''[[Mohammad Hidayatullah]]'''<br>{{small|(1905–1992)}} | [[File:Justice M. Hidayatullah.jpg|60px]] |{{nowrap|20 July}} 1969 |{{nowrap|24 August}} 1969 |[[1969 Indian presidential election|1969]] |[[Independent politician|Independent]] |- ! [[V. V. Giri]]<br>{{small|(1894–1980)}} | [[File:V.V.Giri.jpg|60px]] | {{nowrap|24 August}} 1969 | {{nowrap|24 August}} 1973 | [[1969 Indian presidential election|1969]] | [[Independent politician|Independent]] |[[Gopal Swarup Pathak]] |- ![[Gopal Swarup Pathak]]<br>(1896–1982) | |{{nowrap|24 August}} 1973 |{{nowrap|24 August}} 1973 |– |[[Independent politician|Independent]] |Gopal Swarup Pathak |- ![[V. V. Giri]] {{small|(1894–1980)}} |[[File:10) V.V GIRI AUTOGRAPHED PENCIL SKETCH.jpg|60px]] |{{nowrap|24 August}} 1973 |{{nowrap|24 August}} 1974 |– |[[Independent politician|Independent]] |Gopal Swarup Pathak |- ! [[Fakhruddin Ali Ahmed]]<br>{{small|(1905–1977)}} | [[File:Fakhruddin Ali Ahmed 1977 stamp of India.jpg|60px]] | {{nowrap|24 August}} 1974 | {{nowrap|11 February}} 1977<br>{{small|(''died in office.'')}} | [[1974 Indian presidential election|1974]] | [[Indian National Congress]] |Gopal Swarup Pathak B. D. Jatti |- ![[B. D. Jatti]]<br>{{small|(1912–2002)}} | [[File:B.D Jatti (enhanced).jpg|60px]] |{{nowrap|11 February}} 1977 |{{nowrap|25 July}} 1977<br> |— |[[Indian National Congress]] |B. D. Jatti |- ![[Neelam Sanjiva Reddy]]<br>{{small|(1913–1996)}} | [[File:NeelamSanjeevaReddy.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1977 | {{nowrap|25 July}} 1982 | [[1977 Indian presidential election|1977]] | [[Janata Party]] |B. D. Jatti Mohammad Hidayatullah |- ![[Zail Singh|Giani Zail Singh]]<br>{{small|(1916–1994)}} |[[File:Giani Zail Singh 1995 stamp of India.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1982 |{{nowrap|25 July}} 1983 |[[1982 Indian presidential election|1982]] |[[Indian National Congress]] | rowspan="4" |Mohammad Hidayatullah |- !'''[[Mohammad Hidayatullah]]'''<br>{{small|(1905–1992)}} |[[File:Justice_M._Hidayatullah.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1983 |{{nowrap|25 July}} 1983 |— |[[Indian National Congress]] |- ![[Zail Singh|Giani Zail Singh]]<br>{{small|(1916–1994)}} |[[File:Giani Zail Singh 1995 stamp of India.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1983 |{{nowrap|25 July}} 1984 |— |[[Indian National Congress]] |- !'''[[Mohammad Hidayatullah]]'''<br>{{small|(1905–1992)}} |[[File:Justice_M._Hidayatullah.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1984 |{{nowrap|25 July}} 1984 |— |[[Indian National Congress]] |- br > Gandhi ![[Zail Singh|Giani Zail Singh]]<br>{{small|(1916–1994)}} |[[File:Giani Zail Singh 1995 stamp of India.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1984 |{{nowrap|25 July}} 1987 |<br>[[1984 Indian presidential election|1984]] |[[Indian National Congress]] |Ramaswamy Venkataraman |- ! [[R. Venkataraman]]<br>{{small|(1910–2009)}} | [[File:R Venkataraman.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1987 | {{nowrap|25 July}} 1992 | [[1987 Indian presidential election|1987]] | [[Indian National Congress]] |Shankar Dayal Sharma |- ![[Shankar Dayal Sharma]]<br>{{small|(1918–1999)}} | [[File:Shankar Dayal Sharma 36.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1992 | {{nowrap|25 July}} 1997 | [[1992 Indian presidential election|1992]] | [[Indian National Congress]] |K. R. Narayanan |- ! [[K. R. Narayanan]]<br>{{small|(1920–2005)}} | [[File:K. R. Narayanan.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1997 | {{nowrap|25 July}} 2000 | [[1997 Indian presidential election|1997]] | [[Indian National Congress]] |[[Krishan Kant]] |- !'''[[Krishan Kant]]''' <small>(1927–2002)</small> | |{{nowrap|25 July}} 2000 |{{nowrap|25 July}} 2000 |– |[[Indian National Congress]] |Krishan Kant |- ![[K. R. Narayanan]] {{small|(1920–2005)}} |[[File:K. R. Narayanan.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 2000 |{{nowrap|25 July}} 2002 |– |[[Indian National Congress]] |Krishan Kant |- ! [[A. P. J. Abdul Kalam]]<br>{{small|(1931–2015)}} | [[File:A. P. J. Abdul Kalam in 2008.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 2002 | {{nowrap|25 July}} 2003 | [[2002 Indian presidential election|2002]] |[[Independent politician|Independent]] |Krishan Kant [[Bhairon Singh Shekhawat]] |- !'''[[Bhairon Singh Shekhawat]]''' <small>(1923–2010)</small> | |{{nowrap|25 July}} 2003 |{{nowrap|25 July}} 2003 |– |[[Independent politician|Independent]] |[[Bhairon Singh Shekhawat]] |- ![[A. P. J. Abdul Kalam]] {{small|(1931–2015)}} |[[File:A. P. J. Abdul Kalam in 2008.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 2003 |{{nowrap|25 July}} 2007 |– |[[Independent politician|Independent]] |[[Bhairon Singh Shekhawat]] |- ! [[Pratibha Patil]]<br>{{small|(1934–)}} | [[File:PratibhaIndia.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 2007 | {{nowrap|25 July}} 2010 | [[2007 Indian presidential election|2007]] | [[Indian National Congress]] | rowspan="4" |[[Mohammad Hamid Ansari]] |- ![[Mohammad Hamid Ansari]]<small>(1937–)</small> | |25 July 2010 |25 July 2010 |– |[[Indian National Congress]] |- ![[Pratibha Patil]] {{small|(1934–)}} |[[File:PratibhaIndia.jpg|60px]] |25 July 2010 |25 July 2012 |– |[[Indian National Congress]] |- ![[Pranab Mukherjee]]<br>{{small|(1935–2020)}} | [[File:Pranab Mukherjee Portrait.jpg|60px]] | 25 July 2012 | 25 July 2016 | [[2012 Indian presidential election|2012]] |[[Indian National Congress]] |- ![[Mohammad Hamid Ansari]]<small>(1937–)</small> | |25 July 2016 |25 July 2016 |– |[[Indian National Congress]] |Mohammad Hamid Ansari |- ![[Pranab Mukherjee]] {{small|(1935–2020)}} | [[File:Pranab Mukherjee Portrait.jpg|60px]] |25 July 2016 |25 July 2017 |– |[[Indian National Congress]] |Mohammad Hamid Ansari |- ! [[Ram Nath Kovind]]<br>{{small|(1945–)}} | [[File:Ram Nath Kovind official portrait.jpg|60px]] | 25 July 2017 | 25 July 2018 | [[2017 Indian presidential election|2017]] | [[Bharatiya Janata Party]] |Mohammad Hamid Ansari [[Venkaiah Naidu]] |- !'''[[Venkaiah Naidu|M. Venkaiah Naidu]]''' <small>(1949–)</small> | |25 July 2018 |25 July 2018 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |Venkaiah Naidu |- ![[Ram Nath Kovind]] {{small|(1945–)}} |[[File:Ram Nath Kovind official portrait.jpg|60px]] |25 July 2018 |25 July 2022 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Venkaiah Naidu]] |- ! [[Droupadi Murmu]]<br>{{small|(1958-)}} |[[File:Droupadi Murmu June 2022.jpg|60px]] |25 July 2022 |11 August 2022 |[[2022 Indian presidential election|2022]] |[[Bharatiya Janata Party]] |Venkaiah Naidu [[Jagdeep Dhankhar]] |- !'''[[Jagdeep Dhankhar]]''' <small>(1951–)</small> | |11 August 2022 |11 August 2022 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |- ! [[Droupadi Murmu]]<br>{{small|(1958-)}} |[[File:Droupadi Murmu June 2022.jpg|60px]] |11 August 2022 |25 July 2025 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |- ! [[Narendra Modi]]<small>(1950–)</small> | |25 July 2025 |Incumbent |— |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |- ! colspan="7" |Vikosi vya jeshi vilivyofanya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya serikali na kuchukua madaraka. |- ![[Javed Khans]] <small>(1996–)</small> | |25 July 2025 |''Aliye madarakani'' | |[[Jeshi la India|Jeshi]] | Wanajeshi |} == Orodha ya Waziri Mkuu== {| class="wikitable" width="100%" style="text-align:center;" ! width="100px" | Portrait ! Name ! colspan="2" | Term of office ! Notable events ! Emperor |- | |'''[[Mir Khalifa|Amir Nizamuddin Khalifa]]''' |1526 |1540 |[[First Battle of Panipat|1st Battle of panipat]] [[Battle of Khanwa]] |[[Babur]] (1526-1530) & [[Humayun]] (1530-1540) |- | |'''[[Qaracha Khan]]''' |1540 |1550 |He was a governor of [[Kandahar|qandhar]] and humayun appoint him as Grand-Vizier of the [[Mughal Empire|Mughal State]]. |[[Humayun]] (1530-1556) |- | | '''[[Bairam Khan]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1550 | 1560 | style="font-size:90%;" | | rowspan=6 style= "background:#EAECF0" |'''[[Akbar|Akbar-i-Azam]]'''<br>{{Nastaliq|اکبر اعظم}}<br /><small>(1556-1605)</small> |- | | '''[[Munim Khan]]''' |1560 |1565 | |- | | '''[[Muzaffar Khan Turbati]]'''<ref>{{cite book |url= https://www.google.ca/books/edition/Medieval_India_From_Sultanat_to_the_Mugh/0Rm9MC4DDrcC?hl=en&gbpv=1&dq=no+vakil+appointed+from+1579&pg=PA136&printsec=frontcover |author= Satish Chandra |title=Medieval India: From Sultanat to the Mughals Part - II |date=2005 |publisher=Har-Anand Publications |page= 136}}</ref> | 1575 | 1579 |No Vakil was appointed after his appointment to governorship in Bengal from 1579 until 1589 |- | [[File:ABU'L FAZL IBN MUBARAK (D. 1602 AD) AKBARNAMA.jpg|90px]] | '''[[Abu'l-Fazl ibn Mubarak]]'''<ref>{{cite book |author= Alfred J. Andrea, James H. Overfield |url=https://www.google.ca/books/edition/The_Human_Record_To_1700/QJsx7eQ0rwAC?hl=en&gbpv=1&bsq=1579+abul+fazl+chief+advisor&dq=1579+abul+fazl+chief+advisor&printsec=frontcover |page= 476 |title= The Human Record: To 1700 |publisher=Houghton Mifflin |quote= Abul Fazl(1551-1602), the emperor's chief advisor and confidant from 1579 until Abul Fazl's assassination at the instigation of Prince Salim, the future Emperor Jahangir(r. 1605-1627)}}</ref> | 1579 | 1602 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Abdul Rahim Khan-I-Khana|Khanzada Abdur Rahim]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1589 | 1595 | style="font-size:90%;" | |- | [[File:Mirza Aziz Koka.png|80px]] | '''[[Mirza Aziz Koka]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1595 | 1605 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Sharifi Khan|Sharif Khan]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1605 | 1611 | style="font-size:90%;" | | rowspan=3 style= "background:#EAECF0" |'''[[Jahangir]]'''<br>{{Nastaliq|جہانگیر}}<br /><small>(1605-1627)</small> |- | [[File:A portrait of Mirza Ghiyas Beg aka 'I'timād-ud-Daulah', 18th century.jpg|80px]] | '''[[Mirza Ghias Beg]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1611 | 1622 | style="font-size:90%;" | |- | [[File:Portrait of Asaf Khan.jpg|80px]] | '''[[Abu'l-Hasan Asaf Khan]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1622 | 1630 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Afzal Khan Shirazi]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1630 | 1639 | style="font-size:90%;" | | rowspan=4 style= "background:#EAECF0" |'''[[Shah Jahan]]'''<br>{{Nastaliq|شاہ جہان}}<br /><small>(1628-1658)</small> |- | | '''[[Islam Khan II|Islam Khan Mashadi]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1639 | 1640 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Wazir Khan (Lahore)|Shaikh Ilam-ud-Din Ansari]]'''<ref>{{cite book |url= https://www.google.ca/books/edition/The_Shah_Jahan_Nama_of_Inayat_Khan/n_BtAAAAMAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=Alim+-+ud+-+din+prime+shah+jahan&dq=Alim+-+ud+-+din+prime+shah+jahan&printsec=frontcover |title= The Shah Jahan Nama of 'Inayat Khan: An Abridged History of the Mughal Emperor Shah Jahan|author= Abraham Richard Fuller| date=1990 |publisher= University of Michigan |page= 602}}</ref> | 1640 | 1642 | style="font-size:90%;" | |- | [[File:Sadullah Khan giving audience, c1655.jpg|80px]] | '''[[Saadullah Khan (Mughal Empire)|Sadullah Khan]]'''<ref>{{cite book |url= https://www.google.ca/books/edition/A_Pageant_of_India/Wp0BAAAAMAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=saadullah+khan+1641&dq=saadullah+khan+1641&printsec=frontcover |title= The Shah Jahan Nama of 'Inayat Khan: An Abridged History of the Mughal Emperor Shah Jahan, Compiled by His Royal Librarian : the Nineteenth-century Manuscript Translation of A.R. Fuller (British Library, Add. 30,777)|date= 1927 |author= Adolf Simon Waley |publisher= Constable }}</ref> | 1642 | 1656 | style="font-size:90%;" | * [[Taj Mahal]] completed |- | [[File:Mir Jumla.jpg|80px]] | '''[[Mir Jumla II|Mir Jumla]]'''<ref name="The Institute">{{cite book |last1=Indian Institute of Public Administration |title=The Indian Journal of Public Administration: Quarterly Journal of the Indian Institute of Public Administration, Volume 22 |date=1976 |publisher=The Institute}}</ref> | 1656 | 1657 | style="font-size:90%;" | | rowspan=5 style= "background:#EAECF0" |'''[[Alamgir I]]'''<br>{{Nastaliq|عالمگیر}}<br /><small>(1658-1707)</small> |- | | '''[[Jafar Khan]]'''<ref name="Indian History Congress">{{cite book |url=https://www.google.ca/books/edition/Proceedings/9-RtAAAAMAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=fazil+khan+wazir+in+1657&dq=fazil+khan+wazir+in+1657&printsec=frontcover |title= Indian History Congress - Proceedings: Volume 42 |date=1981 |publisher= Indian History Congress}}</ref> | 1657 | 1658 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Fazil Khan]]'''<ref name="Indian History Congress"/> | 1658 | 1663 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Jafar Khan]]'''<ref name="The Institute"/> | 1663 | 1670 <ref>{{cite book |url= https://www.google.ca/books/edition/Proceedings/9-RtAAAAMAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=jafar+khan+wazir+of+aurangzeb&dq=jafar+khan+wazir+of+aurangzeb&printsec=frontcover |title= Indian History Congress Proceedings: Volume 42 |date= 1981 |publisher= Indian History Congress }}</ref> | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Asad Khan]]'''<ref>{{cite book |last1=Krieger-Krynicki |first1=Annie |title=Captive Princess: Zebunissa, Daughter of Emperor Aurangzeb |date=2005 |publisher=University of Michigan |isbn=0195798376}}</ref> | 1675 | 1707 | style="font-size:90%;" | * [[Mughal–Maratha Wars]] *[[Anglo-Mughal War]] |- | | '''[[Mun'im Khan]]'''<ref>{{cite book |last1=Kaicker |first1=Abhishek |title=The King and the People: Sovereignty and Popular Politics in Mughal Delhi |date=3 Feb 2020 |publisher=Oxford University Press |isbn=978-0190070687}}</ref> | 1707 | 1711 | style="font-size:90%;" | | rowspan=1 style= "background:#EAECF0" |'''[[Bahadur Shah I]]'''<br>{{Nastaliq|بہادر شاہ}}<br /><small>(1707-1712)</small> |- | | '''[[Hidayatullah Khan]]'''<ref>{{cite book |url= https://www.google.ca/books/edition/Later_Mughal/ak5oFjTys8MC?hl=en&gbpv=1&dq=hidayatullah+khan+wazir&pg=PA128&printsec=frontcover |title= Later Mughals |author= William Irvine |page= 128 }}</ref> | 1711 | 1713 | style="font-size:90%;" | | rowspan=2 style= "background:#EAECF0" |'''[[Jahandar Shah]]'''<br>{{Nastaliq|جہاندار شاہ}}<br /><small>(1712-1713)</small> |- | | '''[[Zulfiqar Khan Nusrat Jung]]'''<ref>[[John F. Richards]], ''[[The New Cambridge History of India]]: The Mughal Empire'' (New York: [[Cambridge University Press]], 1993), p. 262</ref> | 1712 | 1713 | style="font-size:90%;" | |- | | '''[[Mir Rustam Ali Khan]]'''<ref>{{cite book |last1=Sharma |first1=Gauri |title=Prime Ministers Under the Mughals 1526-1707 |date=2006 |publisher=Kanishka, New Delhi |isbn=8173918236}}</ref> | 1710 | 1737 | style="font-size:90%;" | | rowspan=2 |'''[[Farrukhsiyar]]'''<br>{{Nastaliq|فرخ سیر}}<br /><small>(1713–1719)</small> |- | [[File:Abdullah Khan Barha.jpg|80px]] | '''[[Sayyid Hassan Ali Khan Barha]]'''<ref name="Britannica Guide to India">{{cite book |last1=Encyclopaedia Britannica, Inc. |title=Britannica Guide to India |date=2009 |publisher=Encyclopaedia Britannica, Inc. |isbn=978-1593398477}}</ref> | 1713 | 1720 | style="font-size:90%;" | * Mughal throne occupied by a series of puppet rulers under the Syed brothers.<ref>{{cite book|url=https://www.google.ca/books/edition/Baji_Rao_I_the_Great_Peshwa/66E5AQAAIAAJ?hl=en&gbpv=1&bsq=mughal+throne+puppet+syed+brothers&dq=mughal+throne+puppet+syed+brothers&printsec=frontcover |title= Baji Rao I, the Great Peshwa |author= C. K. Srinivasan |date= 1962 |page= 22}}</ref> |- | [[File:Muḥammad Amín Xán.jpg|80px]] | '''[[Muhammad Amin Khan Turani]]'''<ref name="Britannica Guide to India"/> | 1720 | 1721 | style="font-size:90%;" | | rowspan="5" |'''[[Muhammad Shah]]'''<br>{{Nastaliq|محمد شاہ}}<br /><small>(1719-1748)</small> |- | [[File:Asaf Jah I of Hyderabad.jpg|80px]] | [[Nizam-ul-Mulk, Asaf Jah I|'''Mir Qamar-ud-Din Khan Asaf Jah I''']]<ref name="Disha Publications">{{cite book |last1=Disha Experts |title=The History Compendium for IAS Prelims General Studies Paper 1 & State PSC Exams 3rd Edition |date=17 Dec 2018 |publisher=Disha Publications |isbn=978-9388373036}}</ref> | 1721 | 1724 | style="font-size:90%;" | |- | [[File:The vizier Qamar ud-Din circa 1735 Bibliothèque nationale de France, Paris.jpg|80px]] | [[Itimad-ad-Daula, Qamar-ud-Din Khan|'''Mir Fazil Qamar-ud-Din Khan''']] | 1724 | 1731 | rowspan="3" style="font-size:90%;" | *[[Battle of Delhi (1737)]] *[[Battle of Bhopal]] * [[Nader Shah's invasion of India|Nader Shah's invasion of Mughal Empire]] *[[Battle of Karnal]] *[[Indian campaign of Ahmad Shah Durrani|First invasion of Ahmad Shah Durrani]] *[[Battle of Manupur (1748)]] |- |[[File:Saadat_Ali_Khan_I.jpg|127x127px]] |[[Saadat Ali Khan I]] |1731 |19 March 1739 |- |[[File:The_vizier_Qamar_ud-Din_circa_1735_Bibliothèque_nationale_de_France,_Paris.jpg|128x128px]] |[[Itimad-ad-Daula, Qamar-ud-Din Khan|'''Mir Fazil Qamar-ud-Din Khan''']] |19 March 1739 |1748 |- | [[File:Safdarjung (1).jpg|80px]] | '''[[Safdar Jang]]'''<ref name="Disha Publications"/> | 1748 | 1753 | style="font-size:90%;" | *[[Indian campaign of Ahmad Shah Durrani|Second invasion of Ahmad Shah Durrani]] *[[Indian campaign of Ahmad Shah Durrani|Third invasion of Ahmad Shah Durrani]] * [[Battle of Lahore (1752)]] | rowspan="3" |'''[[Ahmad Shah Bahadur]]'''<br>{{Nastaliq|احمد شاہ بہادر}}<br /><small>(1748-1754)</small> |- | | '''[[Intizam-ud-Daulah]]'''<ref name="Khwaja, Sehar 2018">Khwaja, Sehar. "Fosterage and Motherhood in the Mughal Harem: Intimate Relations and the Political System in Eighteenth-Century India." Social Scientist 46, no. 5-6 (2018): 39-60. Accessed August 7, 2020. doi:10.2307/26530803.</ref> | 1753 | 1754 | style="font-size:90%;" | |- |[[File:Safdarjung,_second_Nawab_of_Awadh,_Mughal_dynasty._India._early_18th_century.jpg|128x128px]] |[[Safdarjung|Muhammad Muqim]] |1 October 1754 |5 October 1754 | |- | [[File:Ghází al-Dín Xán ʿImád al-Mulk.jpg|80px]] | [[Ghazi ud-Din Khan Feroze Jung III|'''Imad-ul-Mulk Feroze Jung''']]<ref name="Khwaja, Sehar 2018"/> | 1754 | 1760 | style="font-size:90%;" | *[[Black Hole of Calcutta]] * [[Battle of Plassey]] | rowspan="1" |'''[[Alamgir II]]'''<br>{{Nastaliq|عالمگیر دوم}}<br /><small>(1754-1759)</small> |- | [[File:अवध के नवाब शुजाउद्दौला.jpg|80px]] | [[Shuja-ud-Daula|Jalal-ud-din Haider Abul-Mansur Khan]] | 1760 | 1775 | style="font-size:90%;" | *[[Third Battle of Panipat]] * [[Battle of Buxar]] *[[Treaty of Allahabad]] | rowspan="6" |'''[[Shah Alam II]]'''<br>{{Nastaliq|شاہ عالم دوم}}<br /><small>(1760-1806)</small> |- | |'''''[[Mirza Jawan Bakht (born 1749)|Mirza Jawan Bakht]]''''' |1760 |1775 | |- | [[File:Asifportrait2 - Asuf ud Daula.jpg|80px]] | '''[[Asaf-ud-Daula]]''' | 1775 |1784 | style="font-size:90%;" | |- | |'''''[[Mirza Jawan Bakht (born 1749)|Mirza Jawan Bakht]]''''' |1784 |1784 | |- |[[File:Asifportrait2_-_Asuf_ud_Daula.jpg|109x109px]] |[[Asaf-ud-Daula]] |1784 |1797 | |- |[[File:WazirAliKhan.jpg|109x109px]] |[[Wazir Ali Khan]] |21 September 1797&nbsp; |21 January 1798 | |} === List of Prime Minister Mughal === {| class="wikitable" width="100%" ! |Portrait ! |Personal Name ! |Reign ! |Birth ! |Death |- | align="center" |[[File:WazirAliKhan.jpg|109x109px]] | align="center" |[[Wazir Ali Khan]]{{Nastaliq|وزیر علی خان}} | align="center" |21 September 1797&nbsp;– 21 January 1798 | align="center" |1780 | align="center" |1817 |- | align="center" |[[File:Saadat_Ali_Khan_II.jpg|131x131px]] | align="center" |[[Saadat Ali Khan II]]{{Nastaliq|سعادت علی خان}} | align="center" |21 January 1798&nbsp;– 11 July 1814 | align="center" |1752 | align="center" |1814 |- | align="center" |[[File:Ghazi-ud-Din_Haider_Robert_Home_1820.jpg|138x138px]] | align="center" |[[Ghazi-ud-Din Haidar Shah]]{{Nastaliq|غازی الدیں حیدر شاہ}} | align="center" |11 July 1814&nbsp;– 19 October 1827 | align="center" |1769 | align="center" |1827 |- | align="center" |[[File:Nasir_ud_din_haidar.jpg|134x134px]] | align="center" |[[Nasiruddin Haider|Nasir-ud-Din Haidar Shah]]{{Nastaliq|ناصر الدیں حیدر شاہ}} | align="center" |19 October 1827&nbsp;– 7 July 1837 | align="center" |1827 | align="center" |1837 |- | align="center" |[[File:MuhammadAliShah.jpg|109x109px]] | align="center" |[[Muhammad Ali Shah]]{{Nastaliq|محمّد علی شاہ}} | align="center" |7 July 1837&nbsp;– 7 May 1842 | align="center" |1777 | align="center" |1842 |- | align="center" |[[File:AmjadAliShah.jpg|109x109px]] | align="center" |[[Amjad Ali Shah]]{{Nastaliq|امجد علی شاہ}} | align="center" |7 May 1842&nbsp;– 13 February 1847 | align="center" |1801 | align="center" |1847 |- | align="center" |[[File:Vajid_Ali_Shah.jpg|123x123px]] | align="center" |[[Wajid Ali Shah]]{{Nastaliq|واجد علی شاہ}} | align="center" |13 February 1847&nbsp;– 11 February 1856 | align="center" |1822 | align="center" |1 September 1887 |- | align="center" |[[File:Begum_hazrat_mahal.jpg|135x135px]] | align="center" |[[Begum Hazrat Mahal|Begum hazrat Mahal]]{{Nastaliq|بیگم حضرت محل}} | align="center" |11 February 1856&nbsp;– 5 July1857 ''Wife of Wajid Ali Shah and mother of Birjis Qadra'' (''in rebellion'') | align="center" |1820 | align="center" |7 April 1879 |- | align="center" |[[File:Birjis_Qadra.jpg|102x102px]] | align="center" |[[Birjis Qadr]]{{Nastaliq|بر جیس قدر}} | align="center" |5 July 1857 – 3 March 1858 (''in rebellion'') | align="center" |1845 | align="center" |14 August 1893 |} === List of Prime Minister Mughal === {| style="width:100%;" class="wikitable" ! style="width:8%;"| Portrait ! style="width:18%;"| Birth Name ! style="width:20%;" | Reign ! style="width:9%;"| Birth ! style="width:13%;"| Death ! style="width:20%;"| Notes |- | style="text-align:center;" |[[File:Bahadur Shah II of India.jpg|80px]] | style="text-align:center;"|[[Bahadur Shah II|Abu Zafar Siraj al-Din Muhammad]] <br> | style="text-align:center;" |3 March 1858&nbsp;– 7 November 1862 (19 years, 360 days) | style="text-align:center;"|24 October 1775 [[Delhi]], India | style="text-align:center;"|7 November 1862 (aged 87) [[Rangoon, Myanmar]] | style="text-align:center;"|Last Mughal Emperor. Deposed by the British and was exiled to [[Myanmar|Burma]] after the [[Indian Rebellion of 1857|rebellion of 1857]]. |} === List of prime ministers of India === {| class="wikitable" style="text-align:center" |- ! rowspan="2" scope="col" |Portrait ! rowspan="2" scope="col" |Name<br />{{small|(birth and death)}} ! colspan="2" scope="col" |Term of office ! rowspan="2" scope="col" |Party |- !Took office !Left office |- | |[[Charles Wood, 1st Viscount Halifax|Charles Wood]] |1862 |1862 | rowspan="23" |[[Independent]] |- | |[[Jung Bahadur Rana]] |1862 |1862 |- | |[[Dost Mohammad Khan]] |1862 |1862 |- | |[[Jyotirao Phule]] |1862 |1863 |- | |[[James Bruce, 8th Earl of Elgin|James Bruce]] |1863 |1863 |- | |[[Dayananda Saraswati]] |1863 |1863 |- | |[[Ramakrishna]] |1863 |1863 |- | |[[Sher Ali Khan]] |1863 |1863 |- | |[[Takht Singh]] |1863 |1863 |- | |[[John Lawrence, 1st Baron Lawrence|John Lawrence]] |1863 |1863 |- | |[[Debendranath Tagore]] |1863 |1870 |- | |[[Syed Ahmad Khan]] |1870 |1875 |- | |[[Mohsin-ul-Mulk]] |1875 |1880 |- | |[[Mir Turab Ali Khan, Salar Jung I]] |1880 |1883 |- | |[[Ranodip Singh Kunwar]] |1883 |1883 |- | |[[Mir Laiq Ali Khan, Salar Jung II]] |1883 |1883 |- | |[[Keshub Chandra Sen]] |1883 |1883 |- | |[[Herbert Spencer]] |1884 |1885 |- | |[[Bhikaiji Cama]] |1885 |1885 |- | |[[Abhayananda]] |1885 |1885 |- | |[[Jaswant Singh II]] |1885 |1885 |- | |[[John Wodehouse, 1st Earl of Kimberley|John Wodehouse]] |1885 |1885 |- | |[[Frederick Hamilton-Temple-Blackwood, 1st Marquess of Dufferin and Ava|Frederick Hamilton]] |1885 |1885 |} ===List of prime ministers of India=== ;Legend {| class="wikitable sortable" style="text-align:center" width="72%" |+ ! class="unsortable" |Portrait ! class="sortable" |Name ! scope="col" |Term of office ! scope="col" |Appointed by !Party |- |[[File:WCBonnerjee.jpg|alt=An image of Womesh Chandra Bonnerjee.|119x119px]] |{{sortname|Womesh Chandra|Bonnerjee}} |1885 |[[Bombay]] |[[Indian National Congress]] |- |[[File:Dadabhai_Naoroji.jpg|alt=An image of Dadabhai Naoroji.|111x111px]] |{{sortname|Dadabhai|Naoroji}} |1886 |[[Calcutta]] | |- |[[File:BadruddinTyabji.jpg|alt=An image of Badruddin Tyabji.|92x92px]] |{{sortname|Badruddin|Tyabji}} |1887 |[[Madras]] | |- |[[File:George_Yule.jpg|alt=An image of George Yule.|99x99px]] |{{sortname|George|Yule|George Yule (businessman)}} |1888 |Allahabad | |- |[[File:WilliamWedderburn.jpg|alt=An image of William Wedderburn.|106x106px]] |{{sortname|William|Wedderburn}} |1889 |Bombay | |- |[[File:Pherozeshah_Mehta_1996_stamp_of_India.jpg|alt=An image of Pherozesha Mehta.|111x111px]] |{{sortname|Pherozeshah|Mehta}} |1890 |Calcutta | |- | |{{sortname|Panapakkam|Anandacharlu}} |1891 |[[Nagpur]] | |- |[[File:WCBonnerjee.jpg|alt=An image of Womesh Chandra Bonnerjee.|119x119px]] |{{sortname|Womesh Chandra|Bonnerjee|nolink=1}} |1892 |Allahabad | |- |[[File:Dadabhai_Naoroji.jpg|alt=An image of Dadabhai Naoroji.|111x111px]] |{{sortname|Dadabhai|Naoroji|nolink=1}} |1893 |[[Lahore]] | |- |[[File:AlfredWebb.jpg|alt=An image of Alfred Webb.|104x104px]] |{{sortname|Alfred|Webb}} |1894 |Madras | |- |[[File:Surendranath_Banerjee.jpg|alt=An image of Surendranath Banerjee.|86x86px]] |{{sortname|Surendranath|Banerjee}} |1895 |[[Poona]] | |- |[[File:RMSayani.jpg|alt=An image of Rahimtulla M. Sayani.|104x104px]] |{{sortname|Rahimtulla M.|Sayani}} |1896 |Calcutta | |- |[[File:SirChetturSankaranNair.jpg|alt=An image of C Sankaran Nair.|100x100px]] |{{sortname|C. Sankaran|Nair}} |1897 |[[Amaravati]] | |- |[[File:AnandaMohanBose.JPG|alt=An image of Anandamohan Bose.|75x75px]] |{{sortname|Anandamohan|Bose}} |1898 |Madras | |- |[[File:Romesh_Chunder_Dutt.jpg|alt=An image of Romesh Chunder Dutt.|108x108px]] |{{sortname|Romesh Chunder|Dutt}} |1899 |[[Lucknow]] | |- |[[File:N._G._Chandavarkar_cyclopedia.png|alt=An image of N. G. Chandavarkar.|104x104px]] |{{sortname|N. G.|Chandavarkar}} |1900 |Lahore | |- |[[File:DinshawWacha.jpg|alt=An image of Dinshaw Edulji Wacha.|99x99px]] |{{sortname|Dinshaw Edulji|Wacha}} |1901 |Calcutta |[[Indian National Congress]] |- | |[[Swami Vivekananda]] |1902 | | |- |[[File:Surendranath_Banerjee.jpg|alt=An image of Surendranath Banerjee.|86x86px]] |{{sortname|Surendranath|Banerjee}} |1902 |[[Ahmedabad]] | |- | |{{sortname|Lalmohan|Ghosh}} |1903 |Madras | |- |[[File:Henry_Cotton.jpg|alt=An image of Henry Cotton.|110x110px]] |{{sortname|Henry John Stedman|Cotton|Henry Cotton (civil servant)}} |1904 |Bombay | |- |[[File:Gopal_krishan_gokhale.jpg|alt=An image of Gopal Krishna Gokhale.|75x75px]] |{{sortname|Gopal Krishna|Gokhale}} |1905 |[[Banaras]] | |- |[[File:Dadabhai_Naoroji.jpg|alt=An image of Dadabhai Naoroji.|111x111px]] |{{sortname|Dadabhai|Naoroji}} |1906 |Calcutta | |- | rowspan="2" |[[File:Rash_Bihari_Ghosh.jpg|alt=An image of Rashbihari Ghosh.|111x111px]] | rowspan="2" |{{sortname|Rashbihari|Ghosh}} |1907 |[[Surat]] | |- |1908 |Madras | |- |[[File:Madan_Mohan_Malaviya_1961_stamp_of_India.jpg|alt=An image of Madan Mohan Malaviya.|87x87px]] |{{sortname|Madan Mohan|Malaviya}} |1909 |Lahore | |- |[[File:WilliamWedderburn.jpg|alt=An image of William Wedderburn.|106x106px]] |{{sortname|William|Wedderburn}} |1910 |Allahabad | |- | |{{sortname|Bishan Narayan|Dar}} |1911 |Calcutta | |- |[[File:R_N_Mudholkar.jpg|alt=An image of Raghunath Narasinha Mudholkar.|115x115px]] |{{sortname|Raghunath Narasinha|Mudholkar}} |1912 |[[Bankipore]] | |- | |{{sortname|Nawab Syed Muhammad|Bahadur}} |1913 |[[Karachi]] | |- |[[File:Bhupendranath_Bose.jpg|96x96px]] |{{sortname|Bhupendra Nath|Bose}} |1914 |Madras | |- |[[File:Lord_Sina.jpg|alt=An image of Satyendra Prasanno Sinha.|97x97px]] |{{sortname|Satyendra Prasanno|Sinha|Lord Satyendra Prasanna Sinha}} |1915 |Bombay | |- |[[File:1916muzumdar.jpg|alt=An image of Ambica Charan Mazumdar.|100x100px]] |{{sortname|Ambica Charan|Mazumdar}} |1915 |Lucknow | |} ===List of prime ministers of India=== {| class="wikitable" style="text-align:center" |- ! rowspan="2" scope="col" |Portrait ! rowspan="2" scope="col" |Name<br />{{small|(birth and death)}} ! colspan="2" scope="col" |Term of office ! rowspan="2" scope="col" |Party |- !Took office !Left office |- | |[[Raja Mahendra Pratap]] (1 December 1886 – 29 April 1979) |1915 |1919 |[[Independent]] |- | |[[Abdul Hafiz Mohamed Barakatullah]] (7 July 1854 – 20 September 1927) |1919 |1919 |[[Independent]] |- | |[[Hari Singh Gour]] (26 November 1870 – 25 December 1949) |1919 |1923 |[[Independent]] |- | |[[Motilal Nehru]] (6 May 1861 – 6 February 1931) |1923 |1930 |[[Independent]] |- | |'''[[Jawaharlal Nehru]]''' (1889 –1964) |1930 |1932 |[[Independent]] |- | |Hari Singh Gour (26 November 1870 – 25 December 1949) |1932 |1934 |[[Independent]] |- | |[[Bhulabhai Desai]] (13 October 1877 – 6 May 1946) |1934 |1936 |[[Independent]] |- | |[[Abul Kalam Azad]] ( 11 November 1888 – 22 February 1958) |1936 |1943 |[[Independent]] |- | |[[Mahatma Gandhi]] (2 October 1869 – 30 January 1948) |1 July 1943 |6 July 1943 |[[Independent]] |- | |[[Vallabhbhai Patel]] ( 31 October 1875 – 15 December 1950) |6 July 1943 |6 July 1943 |[[Independent]] |- | |[[Muhammad Ali Jinnah]] (25 December 1876 – 11 September 1948) |6 July 1943 |6 July 1943 |[[Independent]] |- | |[[Liaquat Ali Khan]] (1 October 1895 – 16 October 1951) |6 July 1943 |6 July 1943 |[[Independent]] |} ===List=== {| class="wikitable" style="text-align:center" |- ! rowspan="2" scope="col" |Portrait ! rowspan="2" scope="col" |Name<br />{{small|(birth and death)}} ! colspan="2" scope="col" |Term of office ! rowspan="2" scope="col" |Party |- !Took office !Left office |- | rowspan="1" |[[File:Subhas Chandra Bose NRB.jpg|75px]] | rowspan="1" |'''[[Subhash Chandra Bose]]'''<br />{{small|(1898–1945)}} | style="height: 45px;" |6 July 1943 |18 August 1945 | rowspan="1" |[[Indian National Army]] |- | rowspan="4" |[[File:Jnehru.jpg|alt=Jawaharlal Nehru|75px]] | rowspan="4" |'''[[Jawaharlal Nehru]]'''<br />{{small|(1889–1964)}} | style="height: 45px;" |18 August 1945 |15 April 1952 | rowspan="10" |[[Indian National Congress]] |- |15 April 1952 |17 April 1957 |- |17 April 1957 |2 April 1962 |- | style="height: 45px;" |2 April 1962 |27 May 1964<small>†</small> |- | | [[File:Gulzarilal Nanda 1.jpg|75px]] | | '''[[Gulzarilal Nanda]]'''<br />{{small|(1898–1998)}} | | 27 May 1964 | | 9 June 1964 |- |[[File:Lal Bahadur Shastri (from stamp).jpg|75px]] |'''[[Lal Bahadur Shastri]]'''<br />{{small|(1904–1966)}} |9 June 1964 |11 January 1966<small>†</small> |- | - |[[File:Gulzarilal Nanda 1.jpg|75px]] |'''[[Gulzarilal Nanda]]'''<br />{{small|(1898–1998)}} |11 January 1966 |24 January 1966 |- | rowspan="3" |[[File:Indira Gandhi official portrait.png|111x111px]] | rowspan="3" |'''[[Indira Gandhi]]'''<br />{{small|(1917–1984)}} |24 January 1966 |4 March 1967 |- style="height: 45px;" |4 March 1967 |15 March 1971 |- | style="height: 45px;" |15 March 1971 |24 March 1977 |- |[[File:Morarji Desai During his visit to the United States of America (cropped).jpg|75px]] |'''[[Morarji Desai]]'''<br />{{small|(1896–1995)}} | style="height: 45px;" |24 March 1977 |28 July 1979 | rowspan="2" |[[Janata Party]] |- | |'''[[Jagjivan Ram]]''' <small>(1908–1986)</small> |28 July 1979 |28 July 1979 |- |[[File:Prime minister Charan Singh.jpg|118x118px]] |'''[[Charan Singh]]'''<br />{{small|(1902–1987)}} |28 July 1979 |8 January 1980{{ref label|RES|RES|RES}} | rowspan="3" |[[Janata Party (Secular)]] |- | |'''[[Yashwantrao Chavan]]''' <small>(1913–1984)</small> |8 January 1980 |10 January 1980 |- |[[File:Prime_minister_Charan_Singh.jpg|118x118px]] |'''[[Charan Singh]]''' <small>(1902–1987)</small> |10 January 1980 |14 January 1980 |- |[[File:Indira Gandhi official portrait.png|111x111px]] |'''Indira Gandhi'''<br />{{small|(1917–1984)}} |14 January 1980{{ref label|§|§|§}} |31 October 1984<small>†</small> | rowspan="3" |[[Indian National Congress|Indian National Congress (I)]] |- | rowspan="2" | | rowspan="2" |'''[[Rajiv Gandhi]]'''<br />{{small|(1944–1991)}} |31 October 1984 |31 December 1984 |- | style="height: 45px;" |31 December 1984 |2 December 1989 |- |[[File:Visit of Vishwanath Pratap Sing, Indian Minister for Trade, to the CEC (cropped).jpg|75px]] |'''[[Vishwanath Pratap Singh]]'''<br />{{small|(1931–2008)}} |2 December 1989 |{{nowrap|10 November 1990{{ref label|NC|NC|NC}}}} |[[Janata Dal]]<br />{{small|(''[[National Front (India)|National Front]]'')}} |- | |'''[[Devi Lal]]''' <small>(1915–2001)</small> |10 November 1990 |10 November 1990 | rowspan="2" |[[Samajwadi Janata Party (Rashtriya)]] |- |[[File:Chandra_Shekhar_Singh_2010_stamp_of_India.jpg|75px]] |'''[[Chandra Shekhar]]'''<br />{{small|(1927–2007)}} |{{nowrap|10 November 1990}} |21 June 1991{{ref label|RES|RES|RES}} |- |[[File:Visit_of_Narasimha_Rao,_Indian_Minister_for_Foreign_Affairs,_to_the_CEC_(cropped)(2).jpg|75px]] |'''[[P. V. Narasimha Rao]]'''<br />{{small|(1921–2004)}} |21 June 1991 |16 May 1996 |[[Indian National Congress|Indian National Congress (I)]] |- |[[File:Atal Bihari Vajpayee (crop 2).jpg|75px]] |'''[[Atal Bihari Vajpayee]]'''<br />{{small|(1924–2018)}} |16 May 1996 |1 June 1996{{ref label|RES|RES|RES}} |[[Bharatiya Janata Party]] |- |[[File:H. D. Deve Gowda BNC.jpg|75px]] |'''[[H. D. Deve Gowda]]'''<br />{{small|(born 1933)}} |1 June 1996 |21 April 1997{{ref label|RES|RES|RES}} | rowspan="2" |[[Janata Dal]]<br />{{small|(''[[United Front (India)|United Front]]'')}} |- |[[File:Inder Kumar Gujral 017.jpg|75px]] |'''[[Inder Kumar Gujral]]'''<br />{{small|(1919–2012)}} |21 April 1997 |19 March 1998{{ref label|RES|RES|RES}} |- | rowspan="2" |[[File:Atal Bihari Vajpayee (crop 2).jpg|75px]] | rowspan="2" |'''Atal Bihari Vajpayee'''<br />{{small|(1924–2018)}} |19 March 1998{{ref label|§|§|§}} |{{nowrap|13 October 1999{{ref label|NC|NC|NC}}}} | rowspan="4" |[[Bharatiya Janata Party]]<br />{{small|(''[[National Democratic Alliance (India)|NDA]]'')}} |- |13 October 1999 |22 May 2002 |- | |'''[[L. K. Advani|Lal Krishna Advani]]''' <small>(1927–)</small> |22 May 2002 |22 May 2002 |- |[[File:Atal_Bihari_Vajpayee_(crop_2).jpg|85x85px]] |'''Atal Bihari Vajpayee''' {{small|(1924–2018)}} |22 May 2002 |22 May 2004 |- |[[File:Sonia Gandhi 2014 (cropped).jpg|75px|alt=An image of Sonia Gandhi.]] |[[Sonia Gandhi]](1946 –) |22 May 2004 |22 May 2004 | rowspan="3" |[[Indian National Congress]]<br />{{small|(''[[United Progressive Alliance|UPA]]'')}} |- | rowspan="2" |[[File:Official Portrait of the Prime Minister Dr. Manmohan Singh.jpg|112x112px]] | rowspan="2" |'''[[Manmohan Singh]]'''<br /> |22 May 2004 |22 May 2009 |- |22 May 2009 |26 May 2014 |- | rowspan="2" |[[File:Official Photograph of Prime Minister Narendra Modi Potrait.png|75px]] | rowspan="2" |'''[[Narendra Modi]]'''<br />{{small|(born 1950)}} |26 May 2014 |30 May 2019 | rowspan="2" |[[Bharatiya Janata Party]]<br />{{small|(''[[National Democratic Alliance (India)|NDA]]'')}} |- |30 May 2019 |31 December 2026 |- | |[[Rahul Gandhi]] |30 May 2019 |30 May 2027 |[[Indian National Congress]] |- | |[[Priyanka Gandhi]] |31 December 2026 |30 May 2027 |[[Indian National Congress]] |- | |[[Yogi Adityanath]] |31 December 2026 |30 May 2027 |[[Bharatiya Janata Party]] |} ===List of prime ministers of India=== *[[Indian Armed Forces|Military]] Indian Armed Forces {| class="wikitable" style="text-align:center" |- ! rowspan="2" scope="col" |Portrait ! rowspan="2" scope="col" |Name<br />{{small|(birth and death)}} ! colspan="2" scope="col" |Term of office ! rowspan="2" scope="col" |Party |- !Took office !Left office |- | |[[Javed Khan]] |30 May 2027 |Incumbent |[[Indian Armed Forces|Military]] |} ==Orodha ya makamu wa rais wa Uhindi== {| class="wikitable" |+ !Portrait !Name ! colspan="2" |Term of office !Election ![[President of India|President]] !Party |- | rowspan="2" |[[File:Photograph of Sarvepalli Radhakrishnan presented to First Lady Jacqueline Kennedy in 1962.jpg|97x97px|alt=Sarvepalli Radhakrishnan]] | rowspan="2" |[[Sarvepalli Radhakrishnan]] |13 May 1952 |12 May 1957 |[[1952 Indian vice presidential election|1952]] | rowspan="2" |[[Rajendra Prasad]] | rowspan="6" |[[Independent politician|Independent]] |- |13 May 1957 |12 May 1962 |[[1957 Indian vice presidential election|1957]] |- |[[File:President Zakir Husain 1998 stamp of India (cropped).jpg|102x102px|alt=Zakir Hussain]] |[[Zakir Husain (politician)|Zakir Husain]] |13 May 1962 |12 May 1967 |[[1962 Indian vice presidential election|1962]] |[[Sarvepalli Radhakrishnan]] |- |[[File:VV Giri 1974 stamp of India (cropped).jpg|103x103px|alt=V.V. Giri]] |[[V. V. Giri]] <sup>⸸</sup> |13 May 1967 |3 May 1969 |[[1967 Indian vice presidential election|1967]] |[[Zakir Husain (politician)|Zakir Hussain]] |- | rowspan="2" | | rowspan="2" |[[Gopal Swarup Pathak]] | rowspan="2" |31 August 1969 | rowspan="2" |30 August 1974 | rowspan="2" |[[1969 Indian vice presidential election|1969]] |[[V. V. Giri]] |- |[[Fakhruddin Ali Ahmed]] |- | rowspan="2" |[[File:B.D Jatti (enhanced).jpg|88x88px|alt=B.D. Jatti]] | rowspan="2" |[[B. D. Jatti]] | rowspan="2" |31 August 1974 | rowspan="2" |30 August 1979 | rowspan="2" |[[1974 Indian vice presidential election|1974]] |[[Fakhruddin Ali Ahmed]] | rowspan="2" |[[Indian National Congress]] |- |[[Neelam Sanjiva Reddy]] |- | rowspan="2" |[[Faili:Justice_M._Hidayatullah.jpg|110x110px]] | rowspan="2" |[[Mohammad Hidayatullah]] | rowspan="2" |31 August 1979 | rowspan="2" |30 August 1984 | rowspan="2" |[[1979 Indian vice presidential election|1979]] |[[Neelam Sanjiva Reddy]] | rowspan="2" |[[Independent politician|Independent]] |- |[[Zail Singh]] |- |[[Faili:R_Venkataraman_(cropped).jpg|alt=R Venkataraman|91x91px]] |[[Ramaswamy Venkataraman]] <sup>⸸</sup> |31 August 1984 |24 July 1987 |[[1984 Indian vice presidential election|1984]] |[[Zail Singh]] | rowspan="3" |[[Indian National Congress]] |- |[[Faili:Shankar_Dayal_Sharma_36.jpg|alt=Shankar Dayal Sharma|103x103px]] |[[Shankar Dayal Sharma]] <sup>⸸</sup> |3 September 1987 |24 July 1992 |[[1987 Indian vice presidential election|1987]] |[[Ramaswamy Venkataraman]] |- |[[Faili:President_Clinton_with_Indian_president_K._R._Narayanan_(cropped).jpg|alt=K.R. Narayanan|103x103px]] |[[K. R. Narayanan]] <sup>⸸</sup> |21 August 1992 |24 July 1997 |[[1992 Indian vice presidential election|1992]] |[[Shankar Dayal Sharma]] |- | rowspan="2" |[[Faili:ఉపరాష్ట్రపతి_శ్రీ_కృష్ణకాంత్_గారి_నుండి_(cropped).jpg|104x104px]] | rowspan="2" |[[Krishan Kant]]<sup>†</sup> | rowspan="2" |21 August 1997 | rowspan="2" |27 July 2002 | rowspan="2" |[[1997 Indian vice presidential election|1997]] |[[K. R. Narayanan]] | rowspan="2" |[[Janata Dal]] |- |[[A. P. J. Abdul Kalam]] |- |[[Faili:Bhairon_Singh_Shekhawat_(1).jpg|alt=Bhairon Singh Shekhawat|110x110px]] |[[Bhairon Singh Shekhawat]] <sup>⸸</sup> |19 August 2002 |21 July 2007 |[[2002 Indian vice presidential election|2002]] |[[A. P. J. Abdul Kalam]] |[[Bharatiya Janata Party]] |- | rowspan="3" |[[Faili:The_Vice_President_Shri_M._Hamid_Ansari_in_July_2016.jpg|alt=Hamid Ansari|100x100px]] | rowspan="3" |[[Mohammad Hamid Ansari]] |11 August 2007 |10 August 2012 |[[2007 Indian vice presidential election|2007]] |[[Pratibha Patil]] | rowspan="3" |[[Indian National Congress]] |- | rowspan="2" |11 August 2012 | rowspan="2" |10 August 2017 | rowspan="2" |[[2012 Indian vice presidential election|2012]] |[[Pranab Mukherjee]] |- |[[Ram Nath Kovind]] |- | rowspan="2" |[[Faili:Venkaiah_Naidu_official_portrait.jpg|alt=Venkaiah Naidu|76x76px]] | rowspan="2" |[[Venkaiah Naidu]] | rowspan="2" |11 August 2017 | rowspan="2" |11 August 2022 | rowspan="2" |[[2017 Indian vice presidential election|2017]] |[[Ram Nath Kovind]] | rowspan="2" |[[Bharatiya Janata Party]] |- |[[Droupadi Murmu]] |- |[[Faili:Shri_JDhankhar.png|alt=Jagdeep Dhankhar|76x76px]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |11 August 2022 |Incumbent |[[2022 Indian vice presidential election|2022]] |[[Droupadi Murmu]] |[[Bharatiya Janata Party]] |} ==Orodha ya Naibu Mawaziri Wakuu wa Uhindi== {| class="wikitable" ! colspan="6" |List of Deputy Prime Ministers of India |- !Officeholder {{small|(Portfolio)}} !Portrait ! colspan="2" |Term of office !Political party ''{{small|(Alliance)}}'' !Prime Minister |- |[[Vallabhbhai Patel]] <small>(1875–1950)</small> {{small|([[Minister of Home Affairs (India)|Minister of Home Affairs]])}} |[[Faili:Vallabhbhai_Patel_1965_stamp_of_India.jpg|104x104px]] |15 August 1947 |15 December 1950 |[[Indian National Congress]] |[[Jawaharlal Nehru]] |- |[[Morarji Desai]] <small>(1896–1995)</small> {{small|([[Minister of Finance (India)|Minister of Finance]])}} |[[Faili:Morarji_Desai_1996_stamp_of_India.jpg|121x121px]] |21 March 1967 |6 December 1969 |[[Indian National Congress]] |[[Indira Gandhi]] |- |[[Charan Singh]] <small>(1902–1987)</small> {{small|([[Minister of Finance (India)|Minister of Finance]])}} |[[Faili:Charan_Singh_1990_stamp_of_India.jpg|131x131px]] | rowspan="2" |24 January 1979 <ref>{{Cite web|url=https://eparlib.nic.in/bitstream/123456789/759802/1/Council_of_Ministers_English.pdf|title=Council of Ministers}}</ref> | rowspan="2" |28 July 1979 | rowspan="2" |[[Janata Party]] | rowspan="2" |[[Morarji Desai]] |- |[[Jagjivan Ram]] <small>(1908–1986)</small> {{small|([[Minister of Defence (India)|Minister of Defence]])}} |[[Faili:Jagjivan_Ram_1991_stamp_of_India.jpg|119x119px]] |- |[[Yashwantrao Chavan]] <small>(1913–1984)</small> {{small|([[Minister of Home Affairs (India)|Minister of Home Affairs]])}} |[[Faili:Yashwantrao_Chavan_2010_stamp_of_India.jpg|119x119px]] |28 July 1979 |14 January 1980 |[[Indian National Congress (Socialist)]] |[[Charan Singh]] |- | rowspan="2" |[[Devi Lal]] <small>(1915–2001)</small> {{small|([[Minister of Agriculture (India)|Minister of Agriculture]])}} | rowspan="2" |[[Faili:Chaudhary_Devi_Lal_2001_stamp_of_India.jpg|122x122px]] |2 December 1989 |10 November 1990 | rowspan="2" |[[Janata Dal]] ''{{small|([[National Front (India)|National Front]])}}'' |[[Vishwanath Pratap Singh]] |- |10 November 1990 |21 June 1991 |[[Chandra Shekhar]] |- |[[L. K. Advani]] <small>(1927–)</small> {{small|([[Minister of Home Affairs (India)|Minister of Home Affairs]] and [[Minister of Personnel, Public Grievances and Pensions]])}} |[[Faili:Lkadvani.jpg|120x120px]] |5 February 2002 |22 May 2004 |[[Bharatiya Janata Party]] ''{{small|([[National Democratic Alliance|NDA]])}}'' |[[Atal Bihari Vajpayee]] |} == Marejeo == {{marejeo}} b4fc93xzu3560ib8e3pkm2s3a0ipi2y Orodha ya wakuu wa nchi wa Uhindi 0 208713 1437110 1436292 2025-07-12T09:13:55Z ~2025-17723-9 80070 [[Uhindi]] 1437110 wikitext text/x-wiki ==Rais wa Uhindi (1950-sasa)== {| class="wikitable" style="text-align:center" ! style="width:17em" |Jina ! Picha ! colspan="2" |Muda wa ofisi ! style="width:8em" |Imechaguliwa !Chama cha siasa ![[Orodha ya makamu wa rais wa Uhindi|Makamu wa rais]] |- ! [[Rajendra Prasad]]<br>{{small|(1884–1963)}} | [[File:Rajendra Prasad (Indian President), signed image for Walter Nash (NZ Prime Minister), 1958 (16017609534).jpg|60px]] | {{nowrap|26 January}} 1950 | {{nowrap|13 May}} 1962 |[[1950 Indian presidential election|1950]]<br>[[1952 Indian presidential election|1952]]<br>[[1955 Indian presidential election|1955]] <br>[[1957 Indian presidential election|1957]] | [[Indian National Congress]] |Sarvepalli Radhakrishnan |- ! [[Sarvepalli Radhakrishnan|Sir Sarvepalli Radhakrishnan]]<br>{{small|(1888–1975)}} | [[File:Photograph of Sarvepalli Radhakrishnan presented to First Lady Jacqueline Kennedy in 1962.jpg|60px]] | {{nowrap|13 May}} 1962 | {{nowrap|13 May}} 1967 | [[1962 Indian presidential election|1962]] <br>[[1965 Indian presidential election|1965]] | [[Independent politician|Independent]] |[[Zakir Husain (politician)|Zakir Husain]] |- ! [[Zakir Husain (politician)|Zakir Husain]]<br>{{small|(1897–1969)}} | [[File:President Zakir Husain 1998 stamp of India.jpg|60px]] | {{nowrap|13 May}} 1967 | {{nowrap|3 May}} 1969<br>{{small|(''died in office.'')}} | [[1967 Indian presidential election|1967]] | [[Independent politician|Independent]] | rowspan="3" |[[V. V. Giri]] |- ! [[V. V. Giri]]<br>{{small|(1894–1980)}} | [[File:10) V.V GIRI AUTOGRAPHED PENCIL SKETCH.jpg|60px]] | {{nowrap|3 May }} 1969 | {{nowrap|20 July}} 1969 | [[1969 Indian presidential election|1969]] | [[Independent politician|Independent]] |- !'''[[Mohammad Hidayatullah]]'''<br>{{small|(1905–1992)}} | [[File:Justice M. Hidayatullah.jpg|60px]] |{{nowrap|20 July}} 1969 |{{nowrap|24 August}} 1969 |[[1969 Indian presidential election|1969]] |[[Independent politician|Independent]] |- ! [[V. V. Giri]]<br>{{small|(1894–1980)}} | [[File:V.V.Giri.jpg|60px]] | {{nowrap|24 August}} 1969 | {{nowrap|24 August}} 1973 | [[1969 Indian presidential election|1969]] | [[Independent politician|Independent]] |[[Gopal Swarup Pathak]] |- ![[Gopal Swarup Pathak]]<br>(1896–1982) | |{{nowrap|24 August}} 1973 |{{nowrap|24 August}} 1973 |– |[[Independent politician|Independent]] |Gopal Swarup Pathak |- ![[V. V. Giri]] {{small|(1894–1980)}} |[[File:10) V.V GIRI AUTOGRAPHED PENCIL SKETCH.jpg|60px]] |{{nowrap|24 August}} 1973 |{{nowrap|24 August}} 1974 |– |[[Independent politician|Independent]] |Gopal Swarup Pathak |- ! [[Fakhruddin Ali Ahmed]]<br>{{small|(1905–1977)}} | [[File:Fakhruddin Ali Ahmed 1977 stamp of India.jpg|60px]] | {{nowrap|24 August}} 1974 | {{nowrap|11 February}} 1977<br>{{small|(''died in office.'')}} | [[1974 Indian presidential election|1974]] | [[Indian National Congress]] |Gopal Swarup Pathak B. D. Jatti |- ![[B. D. Jatti]]<br>{{small|(1912–2002)}} | [[File:B.D Jatti (enhanced).jpg|60px]] |{{nowrap|11 February}} 1977 |{{nowrap|25 July}} 1977<br> |— |[[Indian National Congress]] |B. D. Jatti |- ![[Neelam Sanjiva Reddy]]<br>{{small|(1913–1996)}} | [[File:NeelamSanjeevaReddy.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1977 | {{nowrap|25 July}} 1982 | [[1977 Indian presidential election|1977]] | [[Janata Party]] |B. D. Jatti Mohammad Hidayatullah |- ![[Zail Singh|Giani Zail Singh]]<br>{{small|(1916–1994)}} |[[File:Giani Zail Singh 1995 stamp of India.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1982 |{{nowrap|25 July}} 1983 |[[1982 Indian presidential election|1982]] |[[Indian National Congress]] | rowspan="4" |Mohammad Hidayatullah |- !'''[[Mohammad Hidayatullah]]'''<br>{{small|(1905–1992)}} |[[File:Justice_M._Hidayatullah.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1983 |{{nowrap|25 July}} 1983 |— |[[Indian National Congress]] |- ![[Zail Singh|Giani Zail Singh]]<br>{{small|(1916–1994)}} |[[File:Giani Zail Singh 1995 stamp of India.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1983 |{{nowrap|25 July}} 1984 |— |[[Indian National Congress]] |- !'''[[Mohammad Hidayatullah]]'''<br>{{small|(1905–1992)}} |[[File:Justice_M._Hidayatullah.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1984 |{{nowrap|25 July}} 1984 |— |[[Indian National Congress]] |- br > Gandhi ![[Zail Singh|Giani Zail Singh]]<br>{{small|(1916–1994)}} |[[File:Giani Zail Singh 1995 stamp of India.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 1984 |{{nowrap|25 July}} 1987 |<br>[[1984 Indian presidential election|1984]] |[[Indian National Congress]] |Ramaswamy Venkataraman |- ! [[R. Venkataraman]]<br>{{small|(1910–2009)}} | [[File:R Venkataraman.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1987 | {{nowrap|25 July}} 1992 | [[1987 Indian presidential election|1987]] | [[Indian National Congress]] |Shankar Dayal Sharma |- ![[Shankar Dayal Sharma]]<br>{{small|(1918–1999)}} | [[File:Shankar Dayal Sharma 36.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1992 | {{nowrap|25 July}} 1997 | [[1992 Indian presidential election|1992]] | [[Indian National Congress]] |K. R. Narayanan |- ! [[K. R. Narayanan]]<br>{{small|(1920–2005)}} | [[File:K. R. Narayanan.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 1997 | {{nowrap|25 July}} 2000 | [[1997 Indian presidential election|1997]] | [[Indian National Congress]] |[[Krishan Kant]] |- !'''[[Krishan Kant]]''' <small>(1927–2002)</small> | |{{nowrap|25 July}} 2000 |{{nowrap|25 July}} 2000 |– |[[Indian National Congress]] |Krishan Kant |- ![[K. R. Narayanan]] {{small|(1920–2005)}} |[[File:K. R. Narayanan.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 2000 |{{nowrap|25 July}} 2002 |– |[[Indian National Congress]] |Krishan Kant |- ! [[A. P. J. Abdul Kalam]]<br>{{small|(1931–2015)}} | [[File:A. P. J. Abdul Kalam in 2008.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 2002 | {{nowrap|25 July}} 2003 | [[2002 Indian presidential election|2002]] |[[Independent politician|Independent]] |Krishan Kant [[Bhairon Singh Shekhawat]] |- !'''[[Bhairon Singh Shekhawat]]''' <small>(1923–2010)</small> | |{{nowrap|25 July}} 2003 |{{nowrap|25 July}} 2003 |– |[[Independent politician|Independent]] |[[Bhairon Singh Shekhawat]] |- ![[A. P. J. Abdul Kalam]] {{small|(1931–2015)}} |[[File:A. P. J. Abdul Kalam in 2008.jpg|60px]] |{{nowrap|25 July}} 2003 |{{nowrap|25 July}} 2007 |– |[[Independent politician|Independent]] |[[Bhairon Singh Shekhawat]] |- ! [[Pratibha Patil]]<br>{{small|(1934–)}} | [[File:PratibhaIndia.jpg|60px]] | {{nowrap|25 July}} 2007 | {{nowrap|25 July}} 2010 | [[2007 Indian presidential election|2007]] | [[Indian National Congress]] | rowspan="4" |[[Mohammad Hamid Ansari]] |- ![[Mohammad Hamid Ansari]]<small>(1937–)</small> | |25 July 2010 |25 July 2010 |– |[[Indian National Congress]] |- ![[Pratibha Patil]] {{small|(1934–)}} |[[File:PratibhaIndia.jpg|60px]] |25 July 2010 |25 July 2012 |– |[[Indian National Congress]] |- ![[Pranab Mukherjee]]<br>{{small|(1935–2020)}} | [[File:Pranab Mukherjee Portrait.jpg|60px]] | 25 July 2012 | 25 July 2016 | [[2012 Indian presidential election|2012]] |[[Indian National Congress]] |- ![[Mohammad Hamid Ansari]]<small>(1937–)</small> | |25 July 2016 |25 July 2016 |– |[[Indian National Congress]] |Mohammad Hamid Ansari |- ![[Pranab Mukherjee]] {{small|(1935–2020)}} | [[File:Pranab Mukherjee Portrait.jpg|60px]] |25 July 2016 |25 July 2017 |– |[[Indian National Congress]] |Mohammad Hamid Ansari |- ! [[Ram Nath Kovind]]<br>{{small|(1945–)}} | [[File:Ram Nath Kovind official portrait.jpg|60px]] | 25 July 2017 | 25 July 2018 | [[2017 Indian presidential election|2017]] | [[Bharatiya Janata Party]] |Mohammad Hamid Ansari [[Venkaiah Naidu]] |- !'''[[Venkaiah Naidu|M. Venkaiah Naidu]]''' <small>(1949–)</small> | |25 July 2018 |25 July 2018 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |Venkaiah Naidu |- ![[Ram Nath Kovind]] {{small|(1945–)}} |[[File:Ram Nath Kovind official portrait.jpg|60px]] |25 July 2018 |25 July 2022 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Venkaiah Naidu]] |- ! [[Droupadi Murmu]]<br>{{small|(1958-)}} |[[File:Droupadi Murmu June 2022.jpg|60px]] |25 July 2022 |11 August 2022 |[[2022 Indian presidential election|2022]] |[[Bharatiya Janata Party]] |Venkaiah Naidu [[Jagdeep Dhankhar]] |- !'''[[Jagdeep Dhankhar]]''' <small>(1951–)</small> | |11 August 2022 |11 August 2022 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |- ! [[Droupadi Murmu]]<br>{{small|(1958-)}} |[[File:Droupadi Murmu June 2022.jpg|60px]] |11 August 2022 |25 July 2025 |– |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |- ! [[Narendra Modi]]<small>(1950–)</small> | |25 July 2025 |Incumbent |— |[[Bharatiya Janata Party]] |[[Jagdeep Dhankhar]] |- ! colspan="7" |Vikosi vya jeshi vilivyofanya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya serikali na kuchukua madaraka. |- ![[Javed Khans]] <small>(1996–)</small> | |25 July 2025 |''Aliye madarakani'' | |[[Jeshi la Uhindi|Jeshi]] | Wanajeshi |} [[Jamii:Historia ya Uhindi]] b9vfq22xfujtv5u4e1ptxng16c0xvjz Usafirishaji haramu wa binadamu nchini Chad 0 208717 1437138 1436382 2025-07-12T09:44:26Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437138 wikitext text/x-wiki '''Usafirishaji haramu wa binadamu nchini Chad''' unaendelea kuwa gumzo kimataifa. Chad iliridhia Itifaki ya Umoja wa Mataifa ya mwaka [[2000]] kuhusu Usafirishaji Haramu wa Watu (UN TIP Protocol) mnamo Agosti [[2009]]. Mnamo mwaka [[2010]] Chad ilikuwa nchi ya chanzo na marudio ya watoto waliokuwa wakikabiliwa na [[Biashara haramu ya watoto|biashara haramu]] ya binadamu, hasa katika hali za [[kazi]] za kulazimishwa na [[ukahaba]] wa kulazimishwa. Tatizo la biashara haramu la nchi hii lilikuwa la ndani hasa na mara nyingi lilihusisha wazazi kuwaachia watoto wao kwa jamaa au wapatanishi kwa [[ahadi]] za elimu, mafunzo ya ustadi, bidhaa, au pesa; kuuza au kubadilisha watoto katika utumishi wa nyumbani wa kulazimishwa au [[uchungaji]] ulikuwa ni njia ya kuishi kwa familia zilizokuwa zinatafuta kupunguza idadi ya midomo ya kulisha. Wahanga wa biashara haramu ya watoto walikuwa wakilazimishwa hasa kufanya kazi kama wachungaji, watumishi wa nyumbani, wakulima au waombaji. Wachungaji wa watoto wa ng'ombe walifuata njia za [[jadi]] za kulisha ng'ombe na wakati mwingine walivuka mipaka ya kimataifa isiyojulikana vizuri kwenda [[Cameroon]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] (CAR), na [[Nigeria]]. Wasichana wadogo wa Kichadi walisafiri kwenda miji mikubwa kutafuta kazi, ambapo baadhi yao baadaye walilazimishwa kufanya ukahaba. Wasichana wengine walilazimishwa kuoa dhidi ya mapenzi yao, ili baadaye walazimishwe na waume zao kufanya kazi za nyumbani za kulazimishwa au kilimo. Katika vipindi vya uripoti za awali, wafanyabiashara haramu walipeleka watoto kutoka Cameroon na CAR hadi maeneo ya uzalishaji wa mafuta ya Chad kwa ajili ya unyanyasaji wa kingono wa kibiashara; haikujulikana ikiwa mazoea haya yaliendelea mnamo [[2009]]. Mnamo mwaka 2010, Serikali ya Chad ilijishughulisha kikamilifu katika mapigano na vikundi vya waasi waliopinga serikali. Kila upande uliwakamata watoto kinyume cha sheria, pamoja na kutoka kambi za wakimbizi, na kuwatumia watoto kama wapiganaji, walinzi, wapishi, na waangalizi. Hata hivyo, ukamataji wa watoto wa serikali kwa ajili ya huduma za kijeshi ulipungua mwishoni mwa kipindi cha ripoti, na mchakato ulioongozwa na serikali na kuratibiwa na [[UNICEF]] wa kutambua na kuwaachilia askari wadogo waliobaki katika mianzoni ya kijeshi na kambi za waasi ulianza katikati ya mwaka 2009. Idadi kubwa lakini isiyojulikana ya watoto bado walikuwa ndani ya safu za Jeshi la Kitaifa la Chad (ANT). Watoto wa Kisudani katika kambi za wakimbizi mashariki mwa Chad walikamatiwa kwa nguvu na vikundi vya waasi wa [[Sudan]], ambavyo baadhi yao waliungwa mkono na serikali ya Chad wakati wa kipindi cha ripoti. Mnamo [[2010]] serikali haikufuata kikamilifu viwango vya chini vya kumaliza biashara haramu; hata hivyo, ilifanya juhudi kubwa kufanya hivyo. Wakati wa kipindi cha ripoti, serikali ilichukua hatua za kuchunguza na kushughulikia tatizo la kazi za kulazimishwa za watoto katika uchungaji wa [[wanyamapori]]. Pia ilianza juhudi za kuongeza ufahamu kuhusu ukosefu wa sheria wa kukamata askari wadogo, kutambua na kuwaondoa watoto kutoka safu za jeshi lake la kitaifa, na kuwaachilia watoto waliokamatiwa kutoka vikundi vya waasi. Serikali ilishindwa, hata hivyo, kutunga sheria inayokataza biashara haramu ya binadamu na ilichukua juhudi kidogo za utekelezaji wa sheria dhidi ya biashara haramu na shughuli za kulinda wahanga. Nchi hii inakabiliwa na vikwazo vikuu ikiwemo ukosefu wa mfumo mkuu wa [[mahakama]], migogoro ya kiraia inayovuruga amani, na [[msongamano]] mkuu wa wakimbizi kutoka majimbo ya jirani. Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya Kufuatilia na Kupambana na Biashara Haramu ya Binadamu iliweka nchi hii katika "Tier 2 Watchlist" mnamo [[2017]]. Nchi hii iliwekwa katika Tier 3 mnamo [[2023]]. Mnamo 2023, Organised Crime Index ilipa nchi hii alama ya 7 kati ya 10 kwa biashara haramu ya binadamu, ikitambua kuwa hii ilikuwa makubwa zaidi kandokando na mpaka. ==Marejeo== {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Chad]] 4qq5y0yqmyenj8t4blh5sbynr1cpg31 1437179 1437138 2025-07-12T10:33:52Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436382 wikitext text/x-wiki '''Usafirishaji haramu wa binadamu nchini Chad''' unaendelea kuwa gumzo kimataifa. Chad <ref>{{Citation|title=Chad|date=2025-06-11|url=https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Chad&oldid=1431536|work=Wikipedia, kamusi elezo huru|language=sw|access-date=2025-07-08}}</ref> iliridhia Itifaki ya Umoja wa Mataifa ya mwaka [[2000]] kuhusu Usafirishaji Haramu wa Watu (UN TIP Protocol<ref>{{Citation|title=Protocol to Prevent, Suppress and Punish Trafficking in Persons, Especially Women and Children|date=2025-06-03|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Protocol_to_Prevent,_Suppress_and_Punish_Trafficking_in_Persons,_Especially_Women_and_Children&oldid=1293687878|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-08}}</ref>) mnamo Agosti [[2009]]. Mnamo mwaka [[2010]] Chad ilikuwa nchi ya chanzo na marudio ya watoto waliokuwa wakikabiliwa na [[Biashara haramu ya watoto|biashara haramu]] ya binadamu, hasa katika hali za [[kazi]] za kulazimishwa na [[ukahaba]] wa kulazimishwa. Tatizo la biashara haramu la nchi hii lilikuwa la ndani hasa na mara nyingi lilihusisha wazazi kuwaachia watoto wao kwa jamaa au wapatanishi kwa [[ahadi]] za elimu, mafunzo ya ustadi, bidhaa, au pesa; kuuza au kubadilisha watoto katika utumishi wa nyumbani wa kulazimishwa au [[uchungaji]] ulikuwa ni njia ya kuishi kwa familia zilizokuwa zinatafuta kupunguza idadi ya midomo ya kulisha. Wahanga wa biashara haramu ya watoto walikuwa wakilazimishwa hasa kufanya kazi kama wachungaji, watumishi wa nyumbani, wakulima au waombaji. Wachungaji wa watoto wa ng'ombe walifuata njia za [[jadi]] za kulisha ng'ombe na wakati mwingine walivuka mipaka ya kimataifa isiyojulikana vizuri kwenda [[Cameroon]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] (CAR), na [[Nigeria]]. Wasichana wadogo wa Kichadi walisafiri kwenda miji mikubwa kutafuta kazi, ambapo baadhi yao baadaye walilazimishwa kufanya ukahaba. Wasichana wengine walilazimishwa kuoa dhidi ya mapenzi yao, ili baadaye walazimishwe na waume zao kufanya kazi za nyumbani za kulazimishwa au kilimo. Katika vipindi vya uripoti za awali, wafanyabiashara haramu walipeleka watoto kutoka Cameroon na CAR hadi maeneo ya uzalishaji wa mafuta ya Chad kwa ajili ya unyanyasaji wa kingono wa kibiashara; haikujulikana ikiwa mazoea haya yaliendelea mnamo [[2009]]. Mnamo mwaka 2010, Serikali ya Chad ilijishughulisha kikamilifu katika mapigano na vikundi vya waasi waliopinga serikali. Kila upande uliwakamata watoto kinyume cha sheria, pamoja na kutoka kambi za wakimbizi, na kuwatumia watoto kama wapiganaji, walinzi, wapishi, na waangalizi. Hata hivyo, ukamataji wa watoto wa serikali kwa ajili ya huduma za kijeshi ulipungua mwishoni mwa kipindi cha ripoti, na mchakato ulioongozwa na serikali na kuratibiwa na [[UNICEF]] wa kutambua na kuwaachilia askari wadogo waliobaki katika mianzoni ya kijeshi na kambi za waasi ulianza katikati ya mwaka 2009. Idadi kubwa lakini isiyojulikana ya watoto bado walikuwa ndani ya safu za Jeshi la Kitaifa la Chad (ANT<ref>{{Cite web|title=Chadian National Armed Forces: Revision history - Wikipedia|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Chadian_National_Armed_Forces&action=history|work=en.wikipedia.org|accessdate=2025-07-08|language=en}}</ref>). Watoto wa Kisudani katika kambi za wakimbizi mashariki mwa Chad walikamatiwa kwa nguvu na vikundi vya waasi wa [[Sudan]], ambavyo baadhi yao waliungwa mkono na serikali ya Chad wakati wa kipindi cha ripoti. Mnamo [[2010]] serikali haikufuata kikamilifu viwango vya chini vya kumaliza biashara haramu; hata hivyo, ilifanya juhudi kubwa kufanya hivyo. Wakati wa kipindi cha ripoti, serikali ilichukua hatua za kuchunguza na kushughulikia tatizo la kazi za kulazimishwa za watoto katika uchungaji wa [[wanyamapori]]. Pia ilianza juhudi za kuongeza ufahamu kuhusu ukosefu wa sheria wa kukamata askari wadogo, kutambua na kuwaondoa watoto kutoka safu za jeshi lake la kitaifa, na kuwaachilia watoto waliokamatiwa kutoka vikundi vya waasi. Serikali ilishindwa, hata hivyo, kutunga sheria inayokataza biashara haramu ya binadamu na ilichukua juhudi kidogo za utekelezaji wa sheria dhidi ya biashara haramu na shughuli za kulinda wahanga. Nchi hii inakabiliwa na vikwazo vikuu ikiwemo ukosefu wa mfumo mkuu wa [[mahakama]], migogoro ya kiraia inayovuruga amani, na [[msongamano]] mkuu wa wakimbizi kutoka majimbo ya jirani. Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya Kufuatilia na Kupambana na Biashara Haramu ya Binadamu<ref>{{Citation|title=Office to Monitor and Combat Trafficking in Persons|date=2025-05-28|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Office_to_Monitor_and_Combat_Trafficking_in_Persons&oldid=1292778456|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-08}}</ref> iliweka nchi hii katika "Tier 2 Watchlist<ref>{{Citation|title=Trafficking in Persons Report|date=2025-02-15|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Trafficking_in_Persons_Report&oldid=1275921463|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-08}}</ref>" mnamo [[2017]]. Nchi hii iliwekwa katika Tier 3 mnamo [[2023]]. Mnamo 2023, Organised Crime Index ilipa nchi hii alama ya 7 kati ya 10 kwa biashara haramu ya binadamu, ikitambua kuwa hii ilikuwa makubwa zaidi kandokando na mpaka. ==Marejeo== {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Chad]] t0hhsc9vfs1lynwyj610fb5htxyuqv7 1437202 1437179 2025-07-12T11:13:50Z ~2025-17781-5 80075 recurring [[w:en:WP:CIRCULAR]] violation, wikipedia is NOT source 1437202 wikitext text/x-wiki '''Usafirishaji haramu wa binadamu nchini Chad''' unaendelea kuwa gumzo kimataifa. Chad iliridhia Itifaki ya Umoja wa Mataifa ya mwaka [[2000]] kuhusu Usafirishaji Haramu wa Watu (UN TIP Protocol) mnamo Agosti [[2009]]. Mnamo mwaka [[2010]] Chad ilikuwa nchi ya chanzo na marudio ya watoto waliokuwa wakikabiliwa na [[Biashara haramu ya watoto|biashara haramu]] ya binadamu, hasa katika hali za [[kazi]] za kulazimishwa na [[ukahaba]] wa kulazimishwa. Tatizo la biashara haramu la nchi hii lilikuwa la ndani hasa na mara nyingi lilihusisha wazazi kuwaachia watoto wao kwa jamaa au wapatanishi kwa [[ahadi]] za elimu, mafunzo ya ustadi, bidhaa, au pesa; kuuza au kubadilisha watoto katika utumishi wa nyumbani wa kulazimishwa au [[uchungaji]] ulikuwa ni njia ya kuishi kwa familia zilizokuwa zinatafuta kupunguza idadi ya midomo ya kulisha. Wahanga wa biashara haramu ya watoto walikuwa wakilazimishwa hasa kufanya kazi kama wachungaji, watumishi wa nyumbani, wakulima au waombaji. Wachungaji wa watoto wa ng'ombe walifuata njia za [[jadi]] za kulisha ng'ombe na wakati mwingine walivuka mipaka ya kimataifa isiyojulikana vizuri kwenda [[Cameroon]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] (CAR), na [[Nigeria]]. Wasichana wadogo wa Kichadi walisafiri kwenda miji mikubwa kutafuta kazi, ambapo baadhi yao baadaye walilazimishwa kufanya ukahaba. Wasichana wengine walilazimishwa kuoa dhidi ya mapenzi yao, ili baadaye walazimishwe na waume zao kufanya kazi za nyumbani za kulazimishwa au kilimo. Katika vipindi vya uripoti za awali, wafanyabiashara haramu walipeleka watoto kutoka Cameroon na CAR hadi maeneo ya uzalishaji wa mafuta ya Chad kwa ajili ya unyanyasaji wa kingono wa kibiashara; haikujulikana ikiwa mazoea haya yaliendelea mnamo [[2009]]. Mnamo mwaka 2010, Serikali ya Chad ilijishughulisha kikamilifu katika mapigano na vikundi vya waasi waliopinga serikali. Kila upande uliwakamata watoto kinyume cha sheria, pamoja na kutoka kambi za wakimbizi, na kuwatumia watoto kama wapiganaji, walinzi, wapishi, na waangalizi. Hata hivyo, ukamataji wa watoto wa serikali kwa ajili ya huduma za kijeshi ulipungua mwishoni mwa kipindi cha ripoti, na mchakato ulioongozwa na serikali na kuratibiwa na [[UNICEF]] wa kutambua na kuwaachilia askari wadogo waliobaki katika mianzoni ya kijeshi na kambi za waasi ulianza katikati ya mwaka 2009. Idadi kubwa lakini isiyojulikana ya watoto bado walikuwa ndani ya safu za Jeshi la Kitaifa la Chad (ANT). Watoto wa Kisudani katika kambi za wakimbizi mashariki mwa Chad walikamatiwa kwa nguvu na vikundi vya waasi wa [[Sudan]], ambavyo baadhi yao waliungwa mkono na serikali ya Chad wakati wa kipindi cha ripoti. Mnamo [[2010]] serikali haikufuata kikamilifu viwango vya chini vya kumaliza biashara haramu; hata hivyo, ilifanya juhudi kubwa kufanya hivyo. Wakati wa kipindi cha ripoti, serikali ilichukua hatua za kuchunguza na kushughulikia tatizo la kazi za kulazimishwa za watoto katika uchungaji wa [[wanyamapori]]. Pia ilianza juhudi za kuongeza ufahamu kuhusu ukosefu wa sheria wa kukamata askari wadogo, kutambua na kuwaondoa watoto kutoka safu za jeshi lake la kitaifa, na kuwaachilia watoto waliokamatiwa kutoka vikundi vya waasi. Serikali ilishindwa, hata hivyo, kutunga sheria inayokataza biashara haramu ya binadamu na ilichukua juhudi kidogo za utekelezaji wa sheria dhidi ya biashara haramu na shughuli za kulinda wahanga. Nchi hii inakabiliwa na vikwazo vikuu ikiwemo ukosefu wa mfumo mkuu wa [[mahakama]], migogoro ya kiraia inayovuruga amani, na [[msongamano]] mkuu wa wakimbizi kutoka majimbo ya jirani. Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya Kufuatilia na Kupambana na Biashara Haramu ya Binadamu iliweka nchi hii katika "Tier 2 Watchlist" mnamo [[2017]]. Nchi hii iliwekwa katika Tier 3 mnamo [[2023]]. Mnamo 2023, Organised Crime Index ilipa nchi hii alama ya 7 kati ya 10 kwa biashara haramu ya binadamu, ikitambua kuwa hii ilikuwa makubwa zaidi kandokando na mpaka. ==Marejeo== {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Chad]] rciilwque6s71cifgmb3i5p5lbh9ri9 1437204 1437202 2025-07-12T11:17:05Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437204 wikitext text/x-wiki '''Usafirishaji haramu wa binadamu nchini Chad''' unaendelea kuwa gumzo kimataifa. Chad iliridhia Itifaki ya Umoja wa Mataifa ya mwaka [[2000]] kuhusu Usafirishaji Haramu wa Watu (UN TIP Protocol) mnamo Agosti [[2009]]. Mnamo mwaka [[2010]] Chad ilikuwa nchi ya chanzo na marudio ya watoto waliokuwa wakikabiliwa na [[Biashara haramu ya watoto|biashara haramu]] ya binadamu, hasa katika hali za [[kazi]] za kulazimishwa na [[ukahaba]] wa kulazimishwa. Tatizo la biashara haramu la nchi hii lilikuwa la ndani hasa na mara nyingi lilihusisha wazazi kuwaachia watoto wao kwa jamaa au wapatanishi kwa [[ahadi]] za elimu, mafunzo ya ustadi, bidhaa, au pesa; kuuza au kubadilisha watoto katika utumishi wa nyumbani wa kulazimishwa au [[uchungaji]] ulikuwa ni njia ya kuishi kwa familia zilizokuwa zinatafuta kupunguza idadi ya midomo ya kulisha. Wahanga wa biashara haramu ya watoto walikuwa wakilazimishwa hasa kufanya kazi kama wachungaji, watumishi wa nyumbani, wakulima au waombaji. Wachungaji wa watoto wa ng'ombe walifuata njia za [[jadi]] za kulisha ng'ombe na wakati mwingine walivuka mipaka ya kimataifa isiyojulikana vizuri kwenda [[Cameroon]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] (CAR), na [[Nigeria]]. Wasichana wadogo wa Kichadi walisafiri kwenda miji mikubwa kutafuta kazi, ambapo baadhi yao baadaye walilazimishwa kufanya ukahaba. Wasichana wengine walilazimishwa kuoa dhidi ya mapenzi yao, ili baadaye walazimishwe na waume zao kufanya kazi za nyumbani za kulazimishwa au kilimo. Katika vipindi vya uripoti za awali, wafanyabiashara haramu walipeleka watoto kutoka Cameroon na CAR hadi maeneo ya uzalishaji wa mafuta ya Chad kwa ajili ya unyanyasaji wa kingono wa kibiashara; haikujulikana ikiwa mazoea haya yaliendelea mnamo [[2009]]. Mnamo mwaka 2010, Serikali ya Chad ilijishughulisha kikamilifu katika mapigano na vikundi vya waasi waliopinga serikali. Kila upande uliwakamata watoto kinyume cha sheria, pamoja na kutoka kambi za wakimbizi, na kuwatumia watoto kama wapiganaji, walinzi, wapishi, na waangalizi. Hata hivyo, ukamataji wa watoto wa serikali kwa ajili ya huduma za kijeshi ulipungua mwishoni mwa kipindi cha ripoti, na mchakato ulioongozwa na serikali na kuratibiwa na [[UNICEF]] wa kutambua na kuwaachilia askari wadogo waliobaki katika mianzoni ya kijeshi na kambi za waasi ulianza katikati ya mwaka 2009. Idadi kubwa lakini isiyojulikana ya watoto bado walikuwa ndani ya safu za Jeshi la Kitaifa la Chad (ANT). Watoto wa Kisudani katika kambi za wakimbizi mashariki mwa Chad walikamatiwa kwa nguvu na vikundi vya waasi wa [[Sudan]], ambavyo baadhi yao waliungwa mkono na serikali ya Chad wakati wa kipindi cha ripoti. Mnamo [[2010]] serikali haikufuata kikamilifu viwango vya chini vya kumaliza biashara haramu; hata hivyo, ilifanya juhudi kubwa kufanya hivyo. Wakati wa kipindi cha ripoti, serikali ilichukua hatua za kuchunguza na kushughulikia tatizo la kazi za kulazimishwa za watoto katika uchungaji wa [[wanyamapori]]. Pia ilianza juhudi za kuongeza ufahamu kuhusu ukosefu wa sheria wa kukamata askari wadogo, kutambua na kuwaondoa watoto kutoka safu za jeshi lake la kitaifa, na kuwaachilia watoto waliokamatiwa kutoka vikundi vya waasi. Serikali ilishindwa, hata hivyo, kutunga sheria inayokataza biashara haramu ya binadamu na ilichukua juhudi kidogo za utekelezaji wa sheria dhidi ya biashara haramu na shughuli za kulinda wahanga. Nchi hii inakabiliwa na vikwazo vikuu ikiwemo ukosefu wa mfumo mkuu wa [[mahakama]], migogoro ya kiraia inayovuruga amani, na [[msongamano]] mkuu wa wakimbizi kutoka majimbo ya jirani. Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya Kufuatilia na Kupambana na Biashara Haramu ya Binadamu iliweka nchi hii katika "Tier 2 Watchlist" mnamo [[2017]]. Nchi hii iliwekwa katika Tier 3 mnamo [[2023]]. Mnamo 2023, Organised Crime Index ilipa nchi hii alama ya 7 kati ya 10 kwa biashara haramu ya binadamu, ikitambua kuwa hii ilikuwa makubwa zaidi kandokando na mpaka. ==Marejeo== {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Chad]] 4qq5y0yqmyenj8t4blh5sbynr1cpg31 1437221 1437204 2025-07-12T11:23:28Z ~2025-17875-5 80077 1437221 wikitext text/x-wiki '''Usafirishaji haramu wa binadamu nchini Chad''' unaendelea kuwa gumzo kimataifa. Chad iliridhia Itifaki ya Umoja wa Mataifa ya mwaka [[2000]] kuhusu Usafirishaji Haramu wa Watu (UN TIP Protocol) mnamo Agosti [[2009]]. Mnamo mwaka [[2010]] Chad ilikuwa nchi ya chanzo na marudio ya watoto waliokuwa wakikabiliwa na [[Biashara haramu ya watoto|biashara haramu]] ya binadamu, hasa katika hali za [[kazi]] za kulazimishwa na [[ukahaba]] wa kulazimishwa. Tatizo la biashara haramu la nchi hii lilikuwa la ndani hasa na mara nyingi lilihusisha wazazi kuwaachia watoto wao kwa jamaa au wapatanishi kwa [[ahadi]] za elimu, mafunzo ya ustadi, bidhaa, au pesa; kuuza au kubadilisha watoto katika utumishi wa nyumbani wa kulazimishwa au [[uchungaji]] ulikuwa ni njia ya kuishi kwa familia zilizokuwa zinatafuta kupunguza idadi ya midomo ya kulisha. Wahanga wa biashara haramu ya watoto walikuwa wakilazimishwa hasa kufanya kazi kama wachungaji, watumishi wa nyumbani, wakulima au waombaji. Wachungaji wa watoto wa ng'ombe walifuata njia za [[jadi]] za kulisha ng'ombe na wakati mwingine walivuka mipaka ya kimataifa isiyojulikana vizuri kwenda [[Cameroon]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] (CAR), na [[Nigeria]]. Wasichana wadogo wa Kichadi walisafiri kwenda miji mikubwa kutafuta kazi, ambapo baadhi yao baadaye walilazimishwa kufanya ukahaba. Wasichana wengine walilazimishwa kuoa dhidi ya mapenzi yao, ili baadaye walazimishwe na waume zao kufanya kazi za nyumbani za kulazimishwa au kilimo. Katika vipindi vya uripoti za awali, wafanyabiashara haramu walipeleka watoto kutoka Cameroon na CAR hadi maeneo ya uzalishaji wa mafuta ya Chad kwa ajili ya unyanyasaji wa kingono wa kibiashara; haikujulikana ikiwa mazoea haya yaliendelea mnamo [[2009]]. Mnamo mwaka 2010, Serikali ya Chad ilijishughulisha kikamilifu katika mapigano na vikundi vya waasi waliopinga serikali. Kila upande uliwakamata watoto kinyume cha sheria, pamoja na kutoka kambi za wakimbizi, na kuwatumia watoto kama wapiganaji, walinzi, wapishi, na waangalizi. Hata hivyo, ukamataji wa watoto wa serikali kwa ajili ya huduma za kijeshi ulipungua mwishoni mwa kipindi cha ripoti, na mchakato ulioongozwa na serikali na kuratibiwa na [[UNICEF]] wa kutambua na kuwaachilia askari wadogo waliobaki katika mianzoni ya kijeshi na kambi za waasi ulianza katikati ya mwaka 2009. Idadi kubwa lakini isiyojulikana ya watoto bado walikuwa ndani ya safu za Jeshi la Kitaifa la Chad (ANT). Watoto wa Kisudani katika kambi za wakimbizi mashariki mwa Chad walikamatiwa kwa nguvu na vikundi vya waasi wa [[Sudan]], ambavyo baadhi yao waliungwa mkono na serikali ya Chad wakati wa kipindi cha ripoti. Mnamo [[2010]] serikali haikufuata kikamilifu viwango vya chini vya kumaliza biashara haramu; hata hivyo, ilifanya juhudi kubwa kufanya hivyo. Wakati wa kipindi cha ripoti, serikali ilichukua hatua za kuchunguza na kushughulikia tatizo la kazi za kulazimishwa za watoto katika uchungaji wa [[wanyamapori]]. Pia ilianza juhudi za kuongeza ufahamu kuhusu ukosefu wa sheria wa kukamata askari wadogo, kutambua na kuwaondoa watoto kutoka safu za jeshi lake la kitaifa, na kuwaachilia watoto waliokamatiwa kutoka vikundi vya waasi. Serikali ilishindwa, hata hivyo, kutunga sheria inayokataza biashara haramu ya binadamu na ilichukua juhudi kidogo za utekelezaji wa sheria dhidi ya biashara haramu na shughuli za kulinda wahanga. Nchi hii inakabiliwa na vikwazo vikuu ikiwemo ukosefu wa mfumo mkuu wa [[mahakama]], migogoro ya kiraia inayovuruga amani, na [[msongamano]] mkuu wa wakimbizi kutoka majimbo ya jirani. Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya Kufuatilia na Kupambana na Biashara Haramu ya Binadamu iliweka nchi hii katika "Tier 2 Watchlist" mnamo [[2017]]. Nchi hii iliwekwa katika Tier 3 mnamo [[2023]]. Mnamo 2023, Organised Crime Index ilipa nchi hii alama ya 7 kati ya 10 kwa biashara haramu ya binadamu, ikitambua kuwa hii ilikuwa makubwa zaidi kandokando na mpaka. ==Marejeo== {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Chad]] rciilwque6s71cifgmb3i5p5lbh9ri9 Utamaduni wa Zimbabwe 0 208742 1437087 1436770 2025-07-12T07:37:36Z Anuary Rajabu 45588 1437087 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Zimbabwe | picha = Flag of Zimbabwe.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Zimbabwe | idadi_ya_makabila= Takribani 70+ | lugha_rasmi = Kiingereza, Shona, Ndebele | lugha_nyingine = Kalanga, Koisan, Nambya, Ndau, Ndebele, Shangani, Shona, Sotho, Tonga, Tswana, Venda | vyakula_vikuu = Sadza | dini_kubwa = Ukristo, Uislamu }} [[File:THE ROOF IS THE LIMIT.jpg|thumb|Ngoma za kitamaduni nchini Zimbabwe]] '''Utamaduni wa [[Zimbabwe]]''' unajumuisha mchanganyiko wa [[Kabila|makabila]] mbalimbali yenye [[mila]] na [[desturi]] za kipekee. [[Washona]] na [[Wandebele]] ndio makabila makubwa zaidi, ikiwa takwimu zinaonesha Washona ndio kabila mama lenye makadilio ya zaida ya asilimia 80 za wakazi na kufuatiwa na Wandebele lenye makadilio ya asilimia 14 ya wakazi, huku makundi mengini ya kitamaduni kama Watonga, Wachewa, Wavenda na mengineyo huongeza utofauti na utajiri wa utamaduni wa nchini Zimbabwe.<ref name=":0" /> == Historia == Ustaarabu wa kale wa [[Zimbabwe Kuu]], uliodumu kati ya [[karne]] ya 11 na 15, unahesabiwa kuwa nguzo muhimu ya historia ya kitamaduni nchini humo. [[Mji]] huo wa mawe uliokuwa kituo cha biashara ya [[dhahabu]] na [[pembe za ndovu]] ulikuwa na ushawishi mkubwa katika eneo lote la [[Kusini mwa Afrika]]. Baada ya kuporomoka kwake, dola zingine kama Mutapa na Rozvi ziliibuka na kuendeleza urithi huo wa kifalme na kijamii. Mnamo [[karne ya 19]], kundi la [[Wazulu]] waliounda [[dola]] ya Ndebele walihamia eneo la kusini mwa Zimbabwe ya leo, na hivyo kuongeza utofauti wa kijamii na kitamaduni. Kipindi cha [[ukoloni]] (1890–1980) kilileta mabadiliko makubwa ya kijamii, lakini pia kilichangia katika kuhamasisha harakati za [[uhuru]] na utambulisho wa kitaifa ulioshikilia baadhi ya mila za jadi.<ref name=":0">{{Citation|title=Zimbabwe|date=2025-07-03|url=https://www.cia.gov/the-world-factbook/countries/zimbabwe/|work=The World Factbook|publisher=Central Intelligence Agency|language=en|access-date=2025-07-08}}</ref> == Lugha == Lugha nyingi zinazungumzwa, au kihistoria zimezungumzwa, nchini Zimbabwe. Tangu kupitishwa kwa katiba mpya 2013, Zimbabwe ina lugha rasmi 16<ref>{{cite web |last1=Nemukuyu |first1=Daniel |title=Constitution now available in 16 languages |url=https://www.herald.co.zw/constitution-now-available-in-16-languages/ |website=The Herald |access-date=26 December 2018}}</ref>, ambapo ni pamoja na Chewa, Chibarwe, [[Kiingereza]], Kalanga, Koisan, Nambya, Ndau, Ndebele, Shangani, Shona, Sotho, Tonga, Tswana, Venda, Xhosa na [[Lugha ya ishara|Lugha ya alama]]. Imekua ni mojawapo ya nchi chache barani [[Afrika]] zilizo na lugha rasmi nyingi, na hii ni ishara ya utofauti mkubwa wa kitamaduni. Utamaduni huu umeendelea kupitia muziki, ngoma, sanaa, mavazi, chakula cha jadi, na imani za kijadi ambazo bado zinaheshimiwa hadi leo. Idadi kubwa ya watu huzungumza [[lugha za Kibantu]], kama vile [[Kishona]] na [[Kindebele]]. Kiingereza huzungumzwa sana mijini, lakini katika maeneo ya vijijini huzungumzwa lugha asilia. Elimu nchini Zimbabwe inafundishwa kwa Kiingereza, Kishona na Kindebele. Shule nyingi za msingi za vijijini hufundishwa kwa lugha ya asili hadi darasa la tatu, baada ya hapo huanza kufundishwa kwa Kiingereza. == Chakula == [[File:Goat Offal.JPG|thumb|Sadza na rosti ya nyama ya mbuzi na mboga za majani]] Kama ilivyo katika nchi zingine za kiafrika Zimbabwe inategemea chakula kinachotokana na [[kilimo]] cha mazao kama [[mahindi]], [[mtama]], na [[Kunde za soya|kunde]]. Chakula kikuu ni Sadza, ambapo ni uji mzito wa unga wa mahindi na huliwa pamoja na [[mboga za majani]] (muriwo), [[nyama]] kama ya [[Ng'ombe|ng’ombe]], [[kuku]] au [[samaki]]. Katika baadhi ya maeneo, samaki wadogo waliokaushwa kama [[kapenta]], na mboga kama derere hupikwa kama viambatanisho. Vitafunwa vya asili ni pamoja na [[maputi]] (mahindi ya kuchoma), wakati vinywaji maarufu ni pamoja na maheu, kinywaji kilichotengenezwa kwa kuchachua unga wa mahindi. ==Viungo vya nje== *[https://culturalatlas.sbs.com.au/zimbabwean-culture/zimbabwean-culture-core-concepts Zimbabwean Culture] *[https://www.goway.com/destinations/africa/zimbabwe/food-and-drink Zimbabwean Food and Drink] ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Zimbabwe]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|Z]] so0o3lvx41bbze17ur1eb8mkb4w0xui Utamaduni wa Zambia 0 208747 1437094 1436490 2025-07-12T08:00:53Z Anuary Rajabu 45588 1437094 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Zambia | picha = Flag of Zambia.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Zambia | idadi_ya_makabila= Takribani 70+ | lugha_rasmi = Kiingereza | lugha_nyingine = Kibemba, kinyanja, kitonga, kilozi, kikaonde, kiluvale | vyakula_vikuu = Nshima | sherehe_maarufu = Kuomboka, Nc’wala | sanaa_na_uhunzi = Ngoma, vinyago, hadithi | dini_kubwa = Ukristo, Uislamu }} '''Utamaduni wa [[Zambia]]''' unajumuisha zaidi ya [[makabila]] 70 yenye [[mila]], [[desturi]] na tamaduni mbalimbali. Makabila makubwa zaidi ni [[Wabemba]], [[Watonga]], [[Walozi]], na [[Wachewa]]. Tofauti hizi za kikabila zimeifanya Zambia kuwa na utajiri wa kitamaduni unaoonekana kupitia sherehe, [[sanaa]], [[lugha]] na [[Chakula|vyakula]] vya [[jadi]] vinavyohifadhiwa kizazi hadi kizazi.<ref name="unesco">{{Cite web |url=https://en.unesco.org |title=Intangible Cultural Heritage in Zambia |publisher=UNESCO |date=2019 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> ==Lugha== [[Lugha rasmi]] nchini Zambia ni [[Kiingereza]], inayotumika katika elimu, shughuli za serikali na [[vyombo vya habari]]. Pamoja na hivyo, kuna zaidi ya lugha 70 za kikabila zinazozungumzwa nchini humo.<ref name="ethnologue">{{Cite web |url=https://www.ethnologue.com/country/ZM |title=Languages of Zambia |publisher=Ethnologue |date=2024 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> Lugha kuu zinazotumika zaidi ni kibemba, kinyanja, kitonga, kilozi, kikaonde, kiluvale, na kilunda. ==Chakula== [[File:Nsima Relishes.JPG|thumb|Nshima (kona ya juu kulia) na vitoweo vya aina tatu]] Chakula kikuu cha Zambia ni nshima, ambacho hupikwa kwa [[unga]] wa [[mahindi]]. Nshima huliwa pamoja na mboga kama ifisashi, [[nyama]] ya [[mbuzi]], [[kuku]] au samaki kama [[kapenta]].<ref name="tasteatlas">{{Cite web |url=https://www.tasteatlas.com/most-popular-food-in-zambia |title=Most Popular Zambian Dishes |publisher=TasteAtlas |date=2023 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> Vyakula hivi vya asili huandaliwa zaidi wakati wa sherehe na hafla za kifamilia. ==Mila na desturi== Zambia ina mila na desturi nyingi zinazoenziwa na jamii mbalimbali. Sherehe maarufu zaidi ni ''Kuomboka'', ambayo ni maarufu zaidi kwa watu wa Lozi, ambapo [[mfalme]] wao huhama kutoka Lealui kwenda Limulunga wakati wa mafuriko ya [[mto Zambezi]].<ref name="bbc">{{Cite web |url=https://www.bbc.com/news/world-africa-56780179 |title=Kuomboka Ceremony: Zambia’s Royal Canoe Procession |publisher=BBC News |date=2021 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> Sherehe nyingine ni Nc’wala, ya watu wa Ngoni Mashariki mwa Zambia, inayoadhimishwa kuashiria mavuno mapya.<ref name="unesco" /> ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Zambia]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|Z]] 641140cwcvopjcps5ix9yobitvggs0q 1437096 1437094 2025-07-12T08:14:00Z Anuary Rajabu 45588 1437096 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Zambia | picha = Flag of Zambia.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Zambia | idadi_ya_makabila= Takribani 70+ | lugha_rasmi = Kiingereza | lugha_nyingine = Kibemba, Kinyanja, Kitonga, Kilozi, Kikaonde, Kiluvale | vyakula_vikuu = Nshima | sherehe_maarufu = Kuomboka, Nc’wala | sanaa_na_uhunzi = Ngoma, vinyago, hadithi | dini_kubwa = Ukristo, Uislamu }} '''Utamaduni wa [[Zambia]]''' unajumuisha zaidi ya [[makabila]] 70 yenye [[mila]], [[desturi]] na tamaduni mbalimbali. Makabila makubwa zaidi ni [[Wabemba]], [[Watonga]], [[Walozi]], na [[Wachewa]]. Tofauti hizi za kikabila zimeifanya Zambia kuwa na utajiri wa kitamaduni unaoonekana kupitia sherehe, [[sanaa]], [[lugha]] na [[Chakula|vyakula]] vya [[jadi]] vinavyohifadhiwa kizazi hadi kizazi.<ref name="unesco">{{Cite web |url=https://en.unesco.org |title=Intangible Cultural Heritage in Zambia |publisher=UNESCO |date=2019 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> ==Lugha== [[Lugha rasmi]] nchini Zambia ni [[Kiingereza]], inayotumika katika elimu, shughuli za serikali na [[vyombo vya habari]]. Pamoja na hivyo, kuna zaidi ya lugha 70 za kikabila zinazozungumzwa nchini humo.<ref name="ethnologue">{{Cite web |url=https://www.ethnologue.com/country/ZM |title=Languages of Zambia |publisher=Ethnologue |date=2024 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> Lugha kuu zinazotumika zaidi ni kibemba, kinyanja, kitonga, kilozi, kikaonde, kiluvale, na kilunda. ==Chakula== [[File:Nsima Relishes.JPG|thumb|Nshima (kona ya juu kulia) na vitoweo vya aina tatu]] Chakula kikuu cha Zambia ni nshima, ambacho hupikwa kwa [[unga]] wa [[mahindi]]. Nshima huliwa pamoja na mboga kama ifisashi, [[nyama]] ya [[mbuzi]], [[kuku]] au samaki kama [[kapenta]].<ref name="tasteatlas">{{Cite web |url=https://www.tasteatlas.com/most-popular-food-in-zambia |title=Most Popular Zambian Dishes |publisher=TasteAtlas |date=2023 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> Vyakula hivi vya asili huandaliwa zaidi wakati wa sherehe na hafla za kifamilia. ==Mila na desturi== Zambia ina mila na desturi nyingi zinazoenziwa na jamii mbalimbali. Sherehe maarufu zaidi ni ''Kuomboka'', ambayo ni maarufu zaidi kwa watu wa Lozi, ambapo [[mfalme]] wao huhama kutoka Lealui kwenda Limulunga wakati wa mafuriko ya [[mto Zambezi]].<ref name="bbc">{{Cite web |url=https://www.bbc.com/news/world-africa-56780179 |title=Kuomboka Ceremony: Zambia’s Royal Canoe Procession |publisher=BBC News |date=2021 |access-date=8 Julai 2025}}</ref> Sherehe nyingine ni Nc’wala, ya watu wa Ngoni Mashariki mwa Zambia, inayoadhimishwa kuashiria mavuno mapya.<ref name="unesco" /> ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Zambia]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|Z]] 0dp3dk18dy43a8b4s0xn0bkxn804ztb African News Agency 0 208753 1437145 1436646 2025-07-12T09:50:49Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437145 wikitext text/x-wiki '''African News Agency''' (yaani ''Shirika la Habari la Afrika''; kifupi: ANA) ni huduma ya kusambaza habari na maudhui inayolenga habari kuhusu [[Afrika]] zilizoandikwa na Waafrika kwa [[hadhira]] ya Afrika na kimataifa. ANA ilianzishwa huko [[Cape Town]] mnamo Februari [[2015]] na Sekunjalo Investments na mwenyekiti huru wa vyombo vya habari, Iqbal Survé, pamoja na mwenyekiti wa Pan African Business Forum, Ladislas Agbesi, hii ikifuata uongozi wa South African Press Association (SAPA), ambayo hapo awali ilikuwa mkuu wa kutoa habari za kigeni na za ndani [[Afrika Kusini]]. Tangu kuanzishwa kwake, ANA imejishughulikia katika kashfa mbalimbali pamoja na kampuni yake mama Sekunjalo na mwanzilishi wake wa utata Iqbal Survé. Uongozi wa ANA ulihojiwa baada ya kuthibitishwa kwa R 20 milioni zilizolipwa kampuni hiyo na shirika la Afrika Kusini ili kuchapisha [[makala]] ambayo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo [[Jacob Zuma]]. == Utata == === Kushindwa kuanza === ANA ilikusanya [[Dola ya Marekani|dola za Kimarekani]] milioni 165 ndani ya miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, jambo ambalo lilipa kampuni thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.1 mnamo [[2017]]. Kampuni ilikuwa na makao makuu yake huko Cape Town na miundo ya umiliki katika maeneo ya kimbilio la [[kodi]] nchini [[Switzerland]] na [[Mauritius]]. Kampuni ilisema nia yake ya kufungua ofisi za [[uandishi wa habari]] huko New York, London, Dubai na Shanghai, hata hivyo, hili halikutokea, na kampuni iliendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini na wafanyakazi 26. Kufikia mwaka [[2019]], ANA ilitoa matangazo ya kufukuza kazi kwa wafanyakazi wake 24 waliobaki, ambao 14 kati yao wangetolewa kazi. Licha ya gharama zake za uendeshaji wa chini, hifadhi kubwa za fedha na thamani ya bilioni za dola, ANA haikuweza kugharimu mishahara ya wafanyakazi, na badala yake ilidai kuwa katika mchakato wa kufungua ofisi za uandishi wa habari huko Kenya, Nigeria na Misri. Hadi leo, ANA inaendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini. === Kuondoka kwa Mtendaji === Mnamo Septemba 2019, afisa mkuu wa fedha wa ANA Lisa de Villiers alijiuzulu, muda mfupi kabla ya wafanyakazi kutolewa maelezo ya kufukuza kazi. Grant Fredericks, Mkurugenzi Mkuu wa ANA, naye alijiuzulu ghafla siku chache baadaye mwanzoni mwa Oktoba [[2019]]. Valentine Dzvova aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa muda wa ANA. Dzvova hapo awali alikuwa meneja wa fedha katika kampuni dada na kampuni ndogo ya Sekunjalo, Independent Media<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. Lindiz van Zilla, mkuu wa uhariri, aliondoka kampuni mwishoni mwa Novemba 2019, pamoja na wafanyakazi wengine wengi ambao walichukua vifurushi vya kuachana na kazi<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. === Malipo ya Talaka === Hati za mahakama zinaonyesha kuwa mnamo Agosti [[2016]], ANA ilifanya malipo ya Randi za Afrika Kusini milioni 25 kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Iqbal Survé<ref>{{Cite web|title=How Iqbal Survé's companies paid Niehaus, Pandor's daughter, ANC MPs – and explained it away|url=https://www.polity.org.za/article/how-iqbal-survs-companies-paid-niehaus-pandors-daughter-anc-mps-and-explained-it-away-2023-12-20|work=www.polity.org.za|accessdate=2025-07-08|language=en}}</ref>. Benki ya Nedbank iliuliza kuhusu malipo hayo na dada yake Survé, Aziza Amod, ambaye ni mkuu wa utendaji wa Sekunjalo na anaketi katika bodi mbalimbali za makampuni madogo ya Sekunjalo, alielekezea malipo hayo kama "Dkt. MI Survé: malipo ya mwenzi" ambayo benki iliuliza kwa nini malipo ya talaka yalifunikwa na ANA. Survé akajibu kuwa dada yake hakutaja malipo ya talaka na kwamba ANA haikugharimu gharama za "malipo yoyote ya talaka". Kulingana na Survé, fedha hizo zilijumuisha mkopo wa kati ya makampuni, hata hivyo, benki haikuridhika na ufafanuzi huu kwa kuwa kiasi cha Randi za Afrika Kusini milioni 25 kililipiwa kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Survé<ref>{{Cite web|title=Strike three: Is Iqbal Survé finally unbankable?|url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2022-02-18-strike-three-is-iqbal-surve-finally-unbankable/|work=Daily Maverick|date=2022-02-18|accessdate=2025-07-08|language=en|author=Dewald van Rensburg}}</ref>. === Kutekwa kwa Serikali === Mnamo Februari 2021 wakati wa ushuhuda katika Tume ya Uchunguzi wa Mahakama kuhusu Madai ya Kutekwa kwa Serikali, Sydney Mufamadi alishuhudia kuwa Shirika la Usalama la Serikali (Afrika Kusini) lilikuwa limelipa [[Randi ya Afrika Kusini|Randi]] milioni 20 kwa ANA ili kuchapisha makala ambazo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo Jacob Zuma. Malipo haya yalithibitishwa na Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa ANA Vasantha Angamuthu, hata hivyo, alikataa makosa yoyote upande wa ANA. Angamuthu alisisitiza kuwa ANA haikujua nia yoyote mbaya ya SSA wala hawakushiriki katika biashara yoyote nje ya mkazo mkuu wa kampuni, yaani kusukuma ukuaji na maendeleo katika bara la Afrika kwa kutumia vyombo vya habari. Ripoti ya mwisho ya Zondo ilitolewa mnamo Tarehe 22 Juni [[2022]] na haikufanya matokeo yoyote mabaya dhidi ya ANA. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:vyombo vya habari]] [[Jamii:Afrika Kusini]] gsb1spic62muihn2gzauhax2vsz5u79 1437172 1437145 2025-07-12T10:33:48Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436500 wikitext text/x-wiki '''African News Agency''' (yaani ''Shirika la Habari la Afrika''; kifupi: ANA) ni huduma ya kusambaza habari na maudhui inayolenga habari kuhusu [[Afrika]] zilizoandikwa na Waafrika kwa [[hadhira]] ya Afrika na kimataifa. ANA ilianzishwa huko [[Cape Town]] mnamo Februari [[2015]] na Sekunjalo Investments na mwenyekiti huru wa vyombo vya habari, Iqbal Survé, pamoja na mwenyekiti wa Pan African Business Forum, Ladislas Agbesi, hii ikifuata uongozi wa South African Press Association (SAPA), ambayo hapo awali ilikuwa mkuu wa kutoa habari za kigeni na za ndani [[Afrika Kusini]]. Tangu kuanzishwa kwake, ANA imejishughulikia katika kashfa mbalimbali pamoja na kampuni yake mama Sekunjalo na mwanzilishi wake wa utata Iqbal Survé. Uongozi wa ANA ulihojiwa baada ya kuthibitishwa kwa R 20 milioni zilizolipwa kampuni hiyo na shirika la Afrika Kusini ili kuchapisha [[makala]] ambayo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo [[Jacob Zuma]]. == Utata == === Kushindwa kuanza === ANA ilikusanya [[Dola ya Marekani|dola za Kimarekani]] milioni 165 ndani ya miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, jambo ambalo lilipa kampuni thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.1 mnamo [[2017]]. Kampuni ilikuwa na makao makuu yake huko Cape Town na miundo ya umiliki katika maeneo ya kimbilio la [[kodi]] nchini [[Switzerland]] na [[Mauritius]]. Kampuni ilisema nia yake ya kufungua ofisi za [[uandishi wa habari]] huko New York, London, Dubai na Shanghai, hata hivyo, hili halikutokea, na kampuni iliendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini na wafanyakazi 26. Kufikia mwaka [[2019]], ANA ilitoa matangazo ya kufukuza kazi kwa wafanyakazi wake 24 waliobaki, ambao 14 kati yao wangetolewa kazi. Licha ya gharama zake za uendeshaji wa chini, hifadhi kubwa za fedha na thamani ya bilioni za dola, ANA haikuweza kugharimu mishahara ya wafanyakazi, na badala yake ilidai kuwa katika mchakato wa kufungua ofisi za uandishi wa habari huko Kenya, Nigeria na Misri. Hadi leo, ANA inaendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini. === Kuondoka kwa Mtendaji === Mnamo Septemba 2019, afisa mkuu wa fedha wa ANA Lisa de Villiers alijiuzulu, muda mfupi kabla ya wafanyakazi kutolewa maelezo ya kufukuza kazi. Grant Fredericks, Mkurugenzi Mkuu wa ANA, naye alijiuzulu ghafla siku chache baadaye mwanzoni mwa Oktoba [[2019]]. Valentine Dzvova aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa muda wa ANA. Dzvova hapo awali alikuwa meneja wa fedha katika kampuni dada na kampuni ndogo ya Sekunjalo, Independent Media<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. Lindiz van Zilla, mkuu wa uhariri, aliondoka kampuni mwishoni mwa Novemba 2019, pamoja na wafanyakazi wengine wengi ambao walichukua vifurushi vya kuachana na kazi<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. === Malipo ya Talaka === Hati za mahakama zinaonyesha kuwa mnamo Agosti [[2016]], ANA ilifanya malipo ya Randi za Afrika Kusini milioni 25 kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Iqbal Survé<ref>{{Cite web|title=How Iqbal Survé's companies paid Niehaus, Pandor's daughter, ANC MPs – and explained it away|url=https://www.polity.org.za/article/how-iqbal-survs-companies-paid-niehaus-pandors-daughter-anc-mps-and-explained-it-away-2023-12-20|work=www.polity.org.za|accessdate=2025-07-08|language=en}}</ref>. Benki ya Nedbank iliuliza kuhusu malipo hayo na dada yake Survé, Aziza Amod, ambaye ni mkuu wa utendaji wa Sekunjalo na anaketi katika bodi mbalimbali za makampuni madogo ya Sekunjalo, alielekezea malipo hayo kama "Dkt. MI Survé: malipo ya mwenzi" ambayo benki iliuliza kwa nini malipo ya talaka yalifunikwa na ANA. Survé akajibu kuwa dada yake hakutaja malipo ya talaka na kwamba ANA haikugharimu gharama za "malipo yoyote ya talaka". Kulingana na Survé, fedha hizo zilijumuisha mkopo wa kati ya makampuni, hata hivyo, benki haikuridhika na ufafanuzi huu kwa kuwa kiasi cha Randi za Afrika Kusini milioni 25 kililipiwa kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Survé<ref>{{Cite web|title=Strike three: Is Iqbal Survé finally unbankable?|url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2022-02-18-strike-three-is-iqbal-surve-finally-unbankable/|work=Daily Maverick|date=2022-02-18|accessdate=2025-07-08|language=en|author=Dewald van Rensburg}}</ref>. === Kutekwa kwa Serikali === Mnamo Februari 2021 wakati wa ushuhuda katika Tume ya Uchunguzi wa Mahakama kuhusu Madai ya Kutekwa kwa Serikali, Sydney Mufamadi alishuhudia kuwa Shirika la Usalama la Serikali (Afrika Kusini) lilikuwa limelipa [[Randi ya Afrika Kusini|Randi]] milioni 20 kwa ANA ili kuchapisha makala ambazo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo Jacob Zuma. Malipo haya yalithibitishwa na Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa ANA Vasantha Angamuthu, hata hivyo, alikataa makosa yoyote upande wa ANA. Angamuthu alisisitiza kuwa ANA haikujua nia yoyote mbaya ya SSA wala hawakushiriki katika biashara yoyote nje ya mkazo mkuu wa kampuni, yaani kusukuma ukuaji na maendeleo katika bara la Afrika kwa kutumia vyombo vya habari. Ripoti ya mwisho ya Zondo ilitolewa mnamo Tarehe 22 Juni [[2022]] na haikufanya matokeo yoyote mabaya dhidi ya ANA. == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:vyombo vya habari]] [[Jamii:Afrika Kusini]] dsnbe72e87ax8u68qb4ifq4179kxe33 1437210 1437172 2025-07-12T11:19:15Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437210 wikitext text/x-wiki '''African News Agency''' (yaani ''Shirika la Habari la Afrika''; kifupi: ANA) ni huduma ya kusambaza habari na maudhui inayolenga habari kuhusu [[Afrika]] zilizoandikwa na Waafrika kwa [[hadhira]] ya Afrika na kimataifa. ANA ilianzishwa huko [[Cape Town]] mnamo Februari [[2015]] na Sekunjalo Investments na mwenyekiti huru wa vyombo vya habari, Iqbal Survé, pamoja na mwenyekiti wa Pan African Business Forum, Ladislas Agbesi, hii ikifuata uongozi wa South African Press Association (SAPA), ambayo hapo awali ilikuwa mkuu wa kutoa habari za kigeni na za ndani [[Afrika Kusini]]. Tangu kuanzishwa kwake, ANA imejishughulikia katika kashfa mbalimbali pamoja na kampuni yake mama Sekunjalo na mwanzilishi wake wa utata Iqbal Survé. Uongozi wa ANA ulihojiwa baada ya kuthibitishwa kwa R 20 milioni zilizolipwa kampuni hiyo na shirika la Afrika Kusini ili kuchapisha [[makala]] ambayo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo [[Jacob Zuma]]. == Utata == === Kushindwa kuanza === ANA ilikusanya [[Dola ya Marekani|dola za Kimarekani]] milioni 165 ndani ya miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, jambo ambalo lilipa kampuni thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.1 mnamo [[2017]]. Kampuni ilikuwa na makao makuu yake huko Cape Town na miundo ya umiliki katika maeneo ya kimbilio la [[kodi]] nchini [[Switzerland]] na [[Mauritius]]. Kampuni ilisema nia yake ya kufungua ofisi za [[uandishi wa habari]] huko New York, London, Dubai na Shanghai, hata hivyo, hili halikutokea, na kampuni iliendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini na wafanyakazi 26. Kufikia mwaka [[2019]], ANA ilitoa matangazo ya kufukuza kazi kwa wafanyakazi wake 24 waliobaki, ambao 14 kati yao wangetolewa kazi. Licha ya gharama zake za uendeshaji wa chini, hifadhi kubwa za fedha na thamani ya bilioni za dola, ANA haikuweza kugharimu mishahara ya wafanyakazi, na badala yake ilidai kuwa katika mchakato wa kufungua ofisi za uandishi wa habari huko Kenya, Nigeria na Misri. Hadi leo, ANA inaendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini. === Kuondoka kwa Mtendaji === Mnamo Septemba 2019, afisa mkuu wa fedha wa ANA Lisa de Villiers alijiuzulu, muda mfupi kabla ya wafanyakazi kutolewa maelezo ya kufukuza kazi. Grant Fredericks, Mkurugenzi Mkuu wa ANA, naye alijiuzulu ghafla siku chache baadaye mwanzoni mwa Oktoba [[2019]]. Valentine Dzvova aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa muda wa ANA. Dzvova hapo awali alikuwa meneja wa fedha katika kampuni dada na kampuni ndogo ya Sekunjalo, Independent Media<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. Lindiz van Zilla, mkuu wa uhariri, aliondoka kampuni mwishoni mwa Novemba 2019, pamoja na wafanyakazi wengine wengi ambao walichukua vifurushi vya kuachana na kazi<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. === Malipo ya Talaka === Hati za mahakama zinaonyesha kuwa mnamo Agosti [[2016]], ANA ilifanya malipo ya Randi za Afrika Kusini milioni 25 kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Iqbal Survé<ref>{{Cite web|title=How Iqbal Survé's companies paid Niehaus, Pandor's daughter, ANC MPs – and explained it away|url=https://www.polity.org.za/article/how-iqbal-survs-companies-paid-niehaus-pandors-daughter-anc-mps-and-explained-it-away-2023-12-20|work=www.polity.org.za|accessdate=2025-07-08|language=en}}</ref>. Benki ya Nedbank iliuliza kuhusu malipo hayo na dada yake Survé, Aziza Amod, ambaye ni mkuu wa utendaji wa Sekunjalo na anaketi katika bodi mbalimbali za makampuni madogo ya Sekunjalo, alielekezea malipo hayo kama "Dkt. MI Survé: malipo ya mwenzi" ambayo benki iliuliza kwa nini malipo ya talaka yalifunikwa na ANA. Survé akajibu kuwa dada yake hakutaja malipo ya talaka na kwamba ANA haikugharimu gharama za "malipo yoyote ya talaka". Kulingana na Survé, fedha hizo zilijumuisha mkopo wa kati ya makampuni, hata hivyo, benki haikuridhika na ufafanuzi huu kwa kuwa kiasi cha Randi za Afrika Kusini milioni 25 kililipiwa kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Survé<ref>{{Cite web|title=Strike three: Is Iqbal Survé finally unbankable?|url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2022-02-18-strike-three-is-iqbal-surve-finally-unbankable/|work=Daily Maverick|date=2022-02-18|accessdate=2025-07-08|language=en|author=Dewald van Rensburg}}</ref>. === Kutekwa kwa Serikali === Mnamo Februari 2021 wakati wa ushuhuda katika Tume ya Uchunguzi wa Mahakama kuhusu Madai ya Kutekwa kwa Serikali, Sydney Mufamadi alishuhudia kuwa Shirika la Usalama la Serikali (Afrika Kusini) lilikuwa limelipa [[Randi ya Afrika Kusini|Randi]] milioni 20 kwa ANA ili kuchapisha makala ambazo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo Jacob Zuma. Malipo haya yalithibitishwa na Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa ANA Vasantha Angamuthu, hata hivyo, alikataa makosa yoyote upande wa ANA. Angamuthu alisisitiza kuwa ANA haikujua nia yoyote mbaya ya SSA wala hawakushiriki katika biashara yoyote nje ya mkazo mkuu wa kampuni, yaani kusukuma ukuaji na maendeleo katika bara la Afrika kwa kutumia vyombo vya habari. Ripoti ya mwisho ya Zondo ilitolewa mnamo Tarehe 22 Juni [[2022]] na haikufanya matokeo yoyote mabaya dhidi ya ANA. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:vyombo vya habari]] [[Jamii:Afrika Kusini]] 2qhgqtkafhpy04p6xev282p3h20kv27 1437220 1437210 2025-07-12T11:23:15Z ~2025-17875-5 80077 abc 1437220 wikitext text/x-wiki '''African News Agency''' (yaani ''Shirika la Habari la Afrika''; kifupi: ANA) ni huduma ya kusambaza habari na maudhui inayolenga habari kuhusu [[Afrika]] zilizoandikwa na Waafrika kwa [[hadhira]] ya Afrika na kimataifa. ANA ilianzishwa huko [[Cape Town]] mnamo Februari [[2015]] na Sekunjalo Investments na mwenyekiti huru wa vyombo vya habari, Iqbal Survé, pamoja na mwenyekiti wa Pan African Business Forum, Ladislas Agbesi, hii ikifuata uongozi wa South African Press Association (SAPA), ambayo hapo awali ilikuwa mkuu wa kutoa habari za kigeni na za ndani [[Afrika Kusini]]. Tangu kuanzishwa kwake, ANA imejishughulikia katika kashfa mbalimbali pamoja na kampuni yake mama Sekunjalo na mwanzilishi wake wa utata Iqbal Survé. Uongozi wa ANA ulihojiwa baada ya kuthibitishwa kwa R 20 milioni zilizolipwa kampuni hiyo na shirika la Afrika Kusini ili kuchapisha [[makala]] ambayo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo [[Jacob Zuma]]. == Utata == === Kushindwa kuanza === ANA ilikusanya [[Dola ya Marekani|dola za Kimarekani]] milioni 165 ndani ya miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, jambo ambalo lilipa kampuni thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.1 mnamo [[2017]]. Kampuni ilikuwa na makao makuu yake huko Cape Town na miundo ya umiliki katika maeneo ya kimbilio la [[kodi]] nchini [[Switzerland]] na [[Mauritius]]. Kampuni ilisema nia yake ya kufungua ofisi za [[uandishi wa habari]] huko New York, London, Dubai na Shanghai, hata hivyo, hili halikutokea, na kampuni iliendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini na wafanyakazi 26. Kufikia mwaka [[2019]], ANA ilitoa matangazo ya kufukuza kazi kwa wafanyakazi wake 24 waliobaki, ambao 14 kati yao wangetolewa kazi. Licha ya gharama zake za uendeshaji wa chini, hifadhi kubwa za fedha na thamani ya bilioni za dola, ANA haikuweza kugharimu mishahara ya wafanyakazi, na badala yake ilidai kuwa katika mchakato wa kufungua ofisi za uandishi wa habari huko Kenya, Nigeria na Misri. Hadi leo, ANA inaendelea kufanya kazi tu Afrika Kusini. === Kuondoka kwa Mtendaji === Mnamo Septemba 2019, afisa mkuu wa fedha wa ANA Lisa de Villiers alijiuzulu, muda mfupi kabla ya wafanyakazi kutolewa maelezo ya kufukuza kazi. Grant Fredericks, Mkurugenzi Mkuu wa ANA, naye alijiuzulu ghafla siku chache baadaye mwanzoni mwa Oktoba [[2019]]. Valentine Dzvova aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa muda wa ANA. Dzvova hapo awali alikuwa meneja wa fedha katika kampuni dada na kampuni ndogo ya Sekunjalo, Independent Media<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. Lindiz van Zilla, mkuu wa uhariri, aliondoka kampuni mwishoni mwa Novemba 2019, pamoja na wafanyakazi wengine wengi ambao walichukua vifurushi vya kuachana na kazi<ref>{{Cite web|title=More cracks in Survé empire as ANA bosses, staff leave|url=https://themediaonline.co.za/2019/10/more-cracks-in-surve-empire-as-ana-bosses-staff-leave/|work=The Media Online|date=2019-10-31|accessdate=2025-07-08|language=en-US|author=Justin Brown}}</ref>. === Malipo ya Talaka === Hati za mahakama zinaonyesha kuwa mnamo Agosti [[2016]], ANA ilifanya malipo ya Randi za Afrika Kusini milioni 25 kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Iqbal Survé<ref>{{Cite web|title=How Iqbal Survé's companies paid Niehaus, Pandor's daughter, ANC MPs – and explained it away|url=https://www.polity.org.za/article/how-iqbal-survs-companies-paid-niehaus-pandors-daughter-anc-mps-and-explained-it-away-2023-12-20|work=www.polity.org.za|accessdate=2025-07-08|language=en}}</ref>. Benki ya Nedbank iliuliza kuhusu malipo hayo na dada yake Survé, Aziza Amod, ambaye ni mkuu wa utendaji wa Sekunjalo na anaketi katika bodi mbalimbali za makampuni madogo ya Sekunjalo, alielekezea malipo hayo kama "Dkt. MI Survé: malipo ya mwenzi" ambayo benki iliuliza kwa nini malipo ya talaka yalifunikwa na ANA. Survé akajibu kuwa dada yake hakutaja malipo ya talaka na kwamba ANA haikugharimu gharama za "malipo yoyote ya talaka". Kulingana na Survé, fedha hizo zilijumuisha mkopo wa kati ya makampuni, hata hivyo, benki haikuridhika na ufafanuzi huu kwa kuwa kiasi cha Randi za Afrika Kusini milioni 25 kililipiwa kwenda akaunti ya kibinafsi ya benki ya Survé<ref>{{Cite web|title=Strike three: Is Iqbal Survé finally unbankable?|url=https://www.dailymaverick.co.za/article/2022-02-18-strike-three-is-iqbal-surve-finally-unbankable/|work=Daily Maverick|date=2022-02-18|accessdate=2025-07-08|language=en|author=Dewald van Rensburg}}</ref>. === Kutekwa kwa Serikali === Mnamo Februari 2021 wakati wa ushuhuda katika Tume ya Uchunguzi wa Mahakama kuhusu Madai ya Kutekwa kwa Serikali, Sydney Mufamadi alishuhudia kuwa Shirika la Usalama la Serikali (Afrika Kusini) lilikuwa limelipa [[Randi ya Afrika Kusini|Randi]] milioni 20 kwa ANA ili kuchapisha makala ambazo yalimuonyesha vizuri Rais wa wakati huo Jacob Zuma. Malipo haya yalithibitishwa na Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa ANA Vasantha Angamuthu, hata hivyo, alikataa makosa yoyote upande wa ANA. Angamuthu alisisitiza kuwa ANA haikujua nia yoyote mbaya ya SSA wala hawakushiriki katika biashara yoyote nje ya mkazo mkuu wa kampuni, yaani kusukuma ukuaji na maendeleo katika bara la Afrika kwa kutumia vyombo vya habari. Ripoti ya mwisho ya Zondo ilitolewa mnamo Tarehe 22 Juni [[2022]] na haikufanya matokeo yoyote mabaya dhidi ya ANA. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Afrika Kusini]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Vyombo vya habari]] adcc1hy0wlpz5825ylisae97bau61or Abu Bakr al-Siddiq (mtumwa kutoka Timbuktu) 0 208783 1437144 1436638 2025-07-12T09:50:04Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437144 wikitext text/x-wiki '''Abu Bakr al-Siddiq''' (pia alijulikana kama ''Edward Doulan'') alikuwa msomi wa Kiislamu kutoka mji wa [[Timbuktu]] ([[Mali]]). Akiwa kijana wa miaka ishirini na kitu alitekwa na kufanywa mtumwa katika mji wa [[Bouna (wilaya)|Bouna]] (ulio katika eneo la leo la [[Côte d'Ivoire]]). Aliandika wasifu wake binafsi, yaani simulizi ya maisha yake akiwa [[mtumwa]], kwa lugha ya [[Kiarabu]]. Nakala mbili (moja ikiwa [[Jamaika]] na nyingine karibu na [[London]]) zilitafsiriwa kwa [[Kiingereza]] na kuchapishwa mwaka [[1834]]. Abu Bakr al-Siddiq alikuwa mtoto wa mfanyabiashara maarufu na msafiri, ambaye alienda Bouna kutafuta [[dhahabu]]. Abu Bakr alielekezwa katika masomo ya Kiislamu mjini Jenne baada ya kifo cha baba yake huko Bouna alipokuwa safarini. Baadaye alisafiri kwenda kuzuru kaburi la baba yake akiwa na mwalimu wake. Walipokuwa wakiishi huko, [[vita]] vilizuka; Adrinka, Sultani wa [[Bondoukou (mji)|Bondoukou]], alimuua Sultani wa [[Banda]] na kupanua vita hadi Bouna, ambapo jeshi lake liliteka mji huo. Kwenye machafuko hayo, Abu Bakr alikamatwa na kufanywa mtumwa. Alipewa mzigo mkubwa kubeba hadi pwani ya [[Atlantiki]], ambako aliuzwa kwa watu wa [[Kikristo]], na baada ya safari ya miezi mitatu baharini, walifika Jamaika. Barua mbili zilizoandikwa mwishoni mwa simulizi yake zinaeleza kuwa alikuja kuachiwa huru na mmiliki wake, Alexander Anderson, na hapo ndipo alipatiwa "jina lake la Kiingereza" kama Edward Doulan. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:watu wa Mali]] [[Jamii:utumwa]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] ai2vts9627ju7hx8ubzdcuw4ljo4ojd 1437173 1437144 2025-07-12T10:33:49Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436638 wikitext text/x-wiki '''Abu Bakr al-Siddiq''' (pia alijulikana kama ''Edward Doulan'') alikuwa msomi wa Kiislamu kutoka mji wa [[Timbuktu]] ([[Mali]]). Akiwa kijana wa miaka ishirini na kitu alitekwa na kufanywa mtumwa katika mji wa [[Bouna (wilaya)|Bouna]] (ulio katika eneo la leo la [[Côte d'Ivoire]]). Aliandika wasifu wake binafsi, yaani simulizi ya maisha yake akiwa [[mtumwa]], kwa lugha ya [[Kiarabu]]. Nakala mbili (moja ikiwa [[Jamaika]] na nyingine karibu na [[London]]) zilitafsiriwa kwa [[Kiingereza]] na kuchapishwa mwaka [[1834]]. Abu Bakr al-Siddiq alikuwa mtoto wa mfanyabiashara maarufu na msafiri, ambaye alienda Bouna kutafuta [[dhahabu]]. Abu Bakr alielekezwa katika masomo ya Kiislamu mjini Jenne baada ya kifo cha baba yake huko Bouna alipokuwa safarini. Baadaye alisafiri kwenda kuzuru kaburi la baba yake akiwa na mwalimu wake. Walipokuwa wakiishi huko, [[vita]] vilizuka; Adrinka, Sultani wa [[Bondoukou (mji)|Bondoukou]], alimuua Sultani wa [[Banda]] na kupanua vita hadi Bouna, ambapo jeshi lake liliteka mji huo. Kwenye machafuko hayo, Abu Bakr alikamatwa na kufanywa mtumwa. Alipewa mzigo mkubwa kubeba hadi pwani ya [[Atlantiki]], ambako aliuzwa kwa watu wa [[Kikristo]], na baada ya safari ya miezi mitatu baharini, walifika Jamaika. Barua mbili zilizoandikwa mwishoni mwa simulizi yake zinaeleza kuwa alikuja kuachiwa huru na mmiliki wake, Alexander Anderson, na hapo ndipo alipatiwa "jina lake la Kiingereza" kama Edward Doulan. == Marejeo == [[Jamii:watu wa Mali]] [[Jamii:utumwa]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 5kl2klxm76iveulp68583xo7bc9oznf 1437209 1437173 2025-07-12T11:18:54Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437209 wikitext text/x-wiki '''Abu Bakr al-Siddiq''' (pia alijulikana kama ''Edward Doulan'') alikuwa msomi wa Kiislamu kutoka mji wa [[Timbuktu]] ([[Mali]]). Akiwa kijana wa miaka ishirini na kitu alitekwa na kufanywa mtumwa katika mji wa [[Bouna (wilaya)|Bouna]] (ulio katika eneo la leo la [[Côte d'Ivoire]]). Aliandika wasifu wake binafsi, yaani simulizi ya maisha yake akiwa [[mtumwa]], kwa lugha ya [[Kiarabu]]. Nakala mbili (moja ikiwa [[Jamaika]] na nyingine karibu na [[London]]) zilitafsiriwa kwa [[Kiingereza]] na kuchapishwa mwaka [[1834]]. Abu Bakr al-Siddiq alikuwa mtoto wa mfanyabiashara maarufu na msafiri, ambaye alienda Bouna kutafuta [[dhahabu]]. Abu Bakr alielekezwa katika masomo ya Kiislamu mjini Jenne baada ya kifo cha baba yake huko Bouna alipokuwa safarini. Baadaye alisafiri kwenda kuzuru kaburi la baba yake akiwa na mwalimu wake. Walipokuwa wakiishi huko, [[vita]] vilizuka; Adrinka, Sultani wa [[Bondoukou (mji)|Bondoukou]], alimuua Sultani wa [[Banda]] na kupanua vita hadi Bouna, ambapo jeshi lake liliteka mji huo. Kwenye machafuko hayo, Abu Bakr alikamatwa na kufanywa mtumwa. Alipewa mzigo mkubwa kubeba hadi pwani ya [[Atlantiki]], ambako aliuzwa kwa watu wa [[Kikristo]], na baada ya safari ya miezi mitatu baharini, walifika Jamaika. Barua mbili zilizoandikwa mwishoni mwa simulizi yake zinaeleza kuwa alikuja kuachiwa huru na mmiliki wake, Alexander Anderson, na hapo ndipo alipatiwa "jina lake la Kiingereza" kama Edward Doulan. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:watu wa Mali]] [[Jamii:utumwa]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] rgxlbvgjhugyo0ic4n54cu4qgumkzm7 1437219 1437209 2025-07-12T11:22:41Z ~2025-17875-5 80077 1437219 wikitext text/x-wiki '''Abu Bakr al-Siddiq''' (pia alijulikana kama '''Edward Doulan''') alikuwa msomi wa Kiislamu kutoka mji wa [[Timbuktu]] ([[Mali]]). Akiwa kijana wa miaka ishirini na kitu alitekwa na kufanywa mtumwa katika mji wa [[Bouna (wilaya)|Bouna]] (ulio katika eneo la leo la [[Côte d'Ivoire]]). Aliandika wasifu wake binafsi, yaani simulizi ya maisha yake akiwa [[mtumwa]], kwa lugha ya [[Kiarabu]]. Nakala mbili (moja ikiwa [[Jamaika]] na nyingine karibu na [[London]]) zilitafsiriwa kwa [[Kiingereza]] na kuchapishwa mwaka [[1834]]. Abu Bakr al-Siddiq alikuwa mtoto wa mfanyabiashara maarufu na msafiri, ambaye alienda Bouna kutafuta [[dhahabu]]. Abu Bakr alielekezwa katika masomo ya Kiislamu mjini Jenne baada ya kifo cha baba yake huko Bouna alipokuwa safarini. Baadaye alisafiri kwenda kuzuru kaburi la baba yake akiwa na mwalimu wake. Walipokuwa wakiishi huko, [[vita]] vilizuka; Adrinka, Sultani wa [[Bondoukou (mji)|Bondoukou]], alimuua Sultani wa [[Banda]] na kupanua vita hadi Bouna, ambapo jeshi lake liliteka mji huo. Kwenye machafuko hayo, Abu Bakr alikamatwa na kufanywa mtumwa. Alipewa mzigo mkubwa kubeba hadi pwani ya [[Atlantiki]], ambako aliuzwa kwa watu wa [[Kikristo]], na baada ya safari ya miezi mitatu baharini, walifika Jamaika. Barua mbili zilizoandikwa mwishoni mwa simulizi yake zinaeleza kuwa alikuja kuachiwa huru na mmiliki wake, Alexander Anderson, na hapo ndipo alipatiwa "jina lake la Kiingereza" kama Edward Doulan. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:watu wa Mali]] [[Jamii:utumwa]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 2uccyr6oyvdn4xq4jowgv6o9fptocwi Utamaduni wa Tunisia 0 208784 1437097 1436639 2025-07-12T08:17:56Z Anuary Rajabu 45588 /* Historia */ 1437097 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Tunisia | picha = Flag of Tunisia.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Tunisia | idadi_ya_makabila= Waarabu na Waberiberi | lugha_rasmi = Kiarabu | lugha_nyingine = Kifaransa, lahaja za Kiberiberi | vyakula_vikuu = Couscous, Brik, Vyakula vya baharini | sherehe_maarufu = Eid al-Fitr, Eid al-Adha, sherehe za harusi | sanaa_na_uhunzi = Ngoma za jadi, Malouf, hadithi za mdomo | dini_kubwa = Uislamu }} '''Utamaduni wa [[Tunisia]]''' ni mchanganyiko wa [[historia]] ndefu na [[Utamaduni|tamaduni]] mbalimbali zilizochangia katika malezi ya jamii ya Tunisia ya sasa. Nchi hiyo ilikuwa ni kivutio cha makabila ya asili ya [[Berber|Waberiberi]], [[Waajemi]], [[Warusi|Warumi]], [[Waarabu]], [[Wafaransa]], na makabila mengine mbalimbali ya Mediterania. Hii imeleta mchanganyiko wa [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[mila]] na [[desturi]] zinazotambulika ndani ya taifa hilo la [[Afrika Kaskazini]].<ref name="bbc">"Tunisia: Culture and Identity". BBC News. 2024. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Historia == Historia ya Tunisia inaendelea kwa maelfu ya miaka. Awali, baadhi ya maeneo yalikua wakiishi watu wa jamii ya Waberiberi, kabla ya kuanzishwa kwa mji wa [[Karthago]] na Warumi kuutawala eneo hilo baada ya vita vya Punic. Mnamo [[karne ya 7]], Waarabu walikuja na [[Uislamu]], pamoja na lugha ya [[Kiarabu]] na kuleta mabadiliko makubwa ya kijamii na kitamaduni.<ref name="abunnasr">Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987. ISBN 9780521337670. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Mnamo karne ya 19 na 20 ulikuja [[ukoloni]] wa Wafaransa ambao ulileta ushawishi mkubwa wa lugha ya kifaransa katika elimu, sheria na utawala.<ref name="said">Saïd, Rafik. ''La Politique culturelle en Tunisie''. UNESCO, 1970. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Tunisia ilipata uhuru wake mnamo [[1956]], na tangu hapo imeendelea kuhifadhi utamaduni wake huku ikiendana na maendeleo ya kisasa. == Lugha == Lugha rasmi ya taifa ni Kiarabu cha Tunisia, [[lahaja]] ya Kiarabu inayotumika na watu wengi nchini humo. Hata hivyo, [[Kifaransa]] bado kina nafasi kubwa katika mambo mbalimbali kama sekta za elimu, biashara na [[vyombo vya habari]], hasa kutokana na historia ya ukoloni wa Wafaransa.<ref name="ghorbal">Ghorbal, Samy. "Le français a-t-il encore un avenir ?". Jeune Afrique, 27 Aprili 2008. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Lugha za asili za kama [[Kiberber|Kiberiberi]] pia zinaendelea kutumika katika maeneo ya vijijini. ==Chakula== [[File:Fish couscous from Kerkenah, Tunisia, August 16th, 2007.jpg|thumb|Couscous na samaki aina ya Kerkennah]] Vyakula vya Tunisia vinajulikana kwa ladha kali na matumizi ya viungo mbalimbali kama [[pilipili]], [[mdalasini]], kumin na [[bizari]]. Mapishi mengi yana asili ya Kiarabu na Mediterania, huku baadhi yakiwa na asili ya Kiberber na Kifaransa. Chakula maarufu zaidi ni couscous, ambacho hutengenezwa kwa semolina na kuliwa pamoja na mboga na nyama ya kondoo, kuku au samaki. Chakula kingine maarufu ni brik, aina ya [[sambusa]] iliyojazwa mayai, viazi na samaki au nyama ya kusaga, na kukaangwa hadi kuwa laini na yenye rangi ya dhahabu. Vyakula vya baharini pia vina nafasi kubwa, hasa maeneo ya pwani kama [[Tunis]], [[Sfax]] na [[Sousse]]. Supu na viungo kama harissa na vitafunwa kama ''makroud'' (keki za tende) hutumika sana wakati wa sherehe na misimu ya kidini kama [[Ramadhani]] na sikukuu za Eid.<ref name="bellahsen"/> == Dini == [[File:Tunis Zitouna-Moschee Minarett.JPG|thumb|[[Msikiti]] wa Zitouna]] Dini rasmi na kubwa nchini ni [[Uislamu]], unaokadiliwa kuwa ni takribani asilimia 99 ya Watunisia. Uislamu umejikita katika maisha ya kila siku, sheria, na mila za kijamii.<ref name="religiousfreedom">"Tunisia: International Religious Freedom Report 2007". United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor. 2007. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Pamoja na hilo, kuna jamii ndogo za [[Wakristo]] na [[Wayahudi]], hasa katika maeneo ya miji kama [[Tunis]] na [[Djerba]].<ref name="shillington">Shillington, Kevin. ''Encyclopedia of African History''. Routledge, 2005. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Mila na Desturi == Mila na desturi za Tunisia ni sehemu muhimu ya maisha ya kila siku na sherehe za kijamii. Harusi, sikukuu za kidini na sherehe za kifamilia huchukuliwa kwa heshima kubwa. Vyakula vya jadi vya Tunisia ni vyenye ladha kali na viungo vingi, kama couscous, brik, chakula cha baharini, na pilipili kali.<ref name="bellahsen">Bellahsen, Fabien; Rouche, Daniel; Bizos, Didier. ''Cuisine de Tunisie''. éd. Auzou, Paris, 2005. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Ngoma za jadi na muziki ni sehemu muhimu ya utamaduni. Ngoma za Kiarabu, hasa urithi wa almées, zimehifadhiwa na kuendelezwa kwenye maeneo mbalimbali.<ref name="hosni">Hosni, Sellami. ''La danse en Tunisie. Les danses dans le monde arabe ou l'héritage des almées''. L’Harmattan, Paris, 1996. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Methali na hadithi za mdomo ni njia za kuhamisha hekima na maarifa kutoka kizazi hadi kizazi.<ref name="tiberghien">Tiberghien, Anne-Sophie. ''Tunisie. Au fil des proverbes''. éd. Anako, 2003. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref><ref name="muzi">Muzi, Jean. ''15 contes de Tunisie''. Flammarion (Castor Poche), Paris, 2003. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Tunisia| ]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|T]] ohbkjeg4lmeepmyxmu1mpq1n9twwyoi 1437098 1437097 2025-07-12T08:21:26Z Anuary Rajabu 45588 /* Lugha */ 1437098 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Tunisia | picha = Flag of Tunisia.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Tunisia | idadi_ya_makabila= Waarabu na Waberiberi | lugha_rasmi = Kiarabu | lugha_nyingine = Kifaransa, lahaja za Kiberiberi | vyakula_vikuu = Couscous, Brik, Vyakula vya baharini | sherehe_maarufu = Eid al-Fitr, Eid al-Adha, sherehe za harusi | sanaa_na_uhunzi = Ngoma za jadi, Malouf, hadithi za mdomo | dini_kubwa = Uislamu }} '''Utamaduni wa [[Tunisia]]''' ni mchanganyiko wa [[historia]] ndefu na [[Utamaduni|tamaduni]] mbalimbali zilizochangia katika malezi ya jamii ya Tunisia ya sasa. Nchi hiyo ilikuwa ni kivutio cha makabila ya asili ya [[Berber|Waberiberi]], [[Waajemi]], [[Warusi|Warumi]], [[Waarabu]], [[Wafaransa]], na makabila mengine mbalimbali ya Mediterania. Hii imeleta mchanganyiko wa [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[mila]] na [[desturi]] zinazotambulika ndani ya taifa hilo la [[Afrika Kaskazini]].<ref name="bbc">"Tunisia: Culture and Identity". BBC News. 2024. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Historia == Historia ya Tunisia inaendelea kwa maelfu ya miaka. Awali, baadhi ya maeneo yalikua wakiishi watu wa jamii ya Waberiberi, kabla ya kuanzishwa kwa mji wa [[Karthago]] na Warumi kuutawala eneo hilo baada ya vita vya Punic. Mnamo [[karne ya 7]], Waarabu walikuja na [[Uislamu]], pamoja na lugha ya [[Kiarabu]] na kuleta mabadiliko makubwa ya kijamii na kitamaduni.<ref name="abunnasr">Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987. ISBN 9780521337670. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Mnamo karne ya 19 na 20 ulikuja [[ukoloni]] wa Wafaransa ambao ulileta ushawishi mkubwa wa lugha ya kifaransa katika elimu, sheria na utawala.<ref name="said">Saïd, Rafik. ''La Politique culturelle en Tunisie''. UNESCO, 1970. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Tunisia ilipata uhuru wake mnamo [[1956]], na tangu hapo imeendelea kuhifadhi utamaduni wake huku ikiendana na maendeleo ya kisasa. == Lugha == [[Lugha rasmi]] ya taifa ni Kiarabu cha Tunisia (Kitunisi), [[lahaja]] ya Kiarabu inayotumika na watu wengi nchini humo. Hata hivyo, [[Kifaransa]] bado kina nafasi kubwa katika mambo mbalimbali kama sekta za elimu, biashara na [[vyombo vya habari]], hasa kutokana na historia ya ukoloni wa Wafaransa.<ref name="ghorbal">Ghorbal, Samy. "Le français a-t-il encore un avenir ?". Jeune Afrique, 27 Aprili 2008. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Lugha za asili za kama [[Kiberber|Kiberiberi]] pia zinaendelea kutumika katika maeneo ya vijijini. ==Chakula== [[File:Fish couscous from Kerkenah, Tunisia, August 16th, 2007.jpg|thumb|Couscous na samaki aina ya Kerkennah]] Vyakula vya Tunisia vinajulikana kwa ladha kali na matumizi ya viungo mbalimbali kama [[pilipili]], [[mdalasini]], kumin na [[bizari]]. Mapishi mengi yana asili ya Kiarabu na Mediterania, huku baadhi yakiwa na asili ya Kiberber na Kifaransa. Chakula maarufu zaidi ni couscous, ambacho hutengenezwa kwa semolina na kuliwa pamoja na mboga na nyama ya kondoo, kuku au samaki. Chakula kingine maarufu ni brik, aina ya [[sambusa]] iliyojazwa mayai, viazi na samaki au nyama ya kusaga, na kukaangwa hadi kuwa laini na yenye rangi ya dhahabu. Vyakula vya baharini pia vina nafasi kubwa, hasa maeneo ya pwani kama [[Tunis]], [[Sfax]] na [[Sousse]]. Supu na viungo kama harissa na vitafunwa kama ''makroud'' (keki za tende) hutumika sana wakati wa sherehe na misimu ya kidini kama [[Ramadhani]] na sikukuu za Eid.<ref name="bellahsen"/> == Dini == [[File:Tunis Zitouna-Moschee Minarett.JPG|thumb|[[Msikiti]] wa Zitouna]] Dini rasmi na kubwa nchini ni [[Uislamu]], unaokadiliwa kuwa ni takribani asilimia 99 ya Watunisia. Uislamu umejikita katika maisha ya kila siku, sheria, na mila za kijamii.<ref name="religiousfreedom">"Tunisia: International Religious Freedom Report 2007". United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor. 2007. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Pamoja na hilo, kuna jamii ndogo za [[Wakristo]] na [[Wayahudi]], hasa katika maeneo ya miji kama [[Tunis]] na [[Djerba]].<ref name="shillington">Shillington, Kevin. ''Encyclopedia of African History''. Routledge, 2005. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Mila na Desturi == Mila na desturi za Tunisia ni sehemu muhimu ya maisha ya kila siku na sherehe za kijamii. Harusi, sikukuu za kidini na sherehe za kifamilia huchukuliwa kwa heshima kubwa. Vyakula vya jadi vya Tunisia ni vyenye ladha kali na viungo vingi, kama couscous, brik, chakula cha baharini, na pilipili kali.<ref name="bellahsen">Bellahsen, Fabien; Rouche, Daniel; Bizos, Didier. ''Cuisine de Tunisie''. éd. Auzou, Paris, 2005. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Ngoma za jadi na muziki ni sehemu muhimu ya utamaduni. Ngoma za Kiarabu, hasa urithi wa almées, zimehifadhiwa na kuendelezwa kwenye maeneo mbalimbali.<ref name="hosni">Hosni, Sellami. ''La danse en Tunisie. Les danses dans le monde arabe ou l'héritage des almées''. L’Harmattan, Paris, 1996. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Methali na hadithi za mdomo ni njia za kuhamisha hekima na maarifa kutoka kizazi hadi kizazi.<ref name="tiberghien">Tiberghien, Anne-Sophie. ''Tunisie. Au fil des proverbes''. éd. Anako, 2003. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref><ref name="muzi">Muzi, Jean. ''15 contes de Tunisie''. Flammarion (Castor Poche), Paris, 2003. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Tunisia| ]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|T]] flrvra4dxw49ct6r3ramdu4ewoflnuh Mad'an 0 208786 1437143 1436641 2025-07-12T09:49:34Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437143 wikitext text/x-wiki '''Mad'an (ميداس)''' alikuwa [[mtumwa]] wa [[Mtume Muhammad]] aliyezungumziwa katika [[Hadithi za Mtume Muhammad|Hadith]]. Alikuwa mtumwa wa Kiafrika aliyekabidhiwa kwa Mtume Muhammad mwaka [[628 BK]] na mtu aliyeitwa Rifa'ah bin Zaid, kutoka kabila la Banu Ad-Dubaib. Mad'an alipigwa [[mshale]] mahali paitwapo Wadi al-Qura (pia hujulikana kama Wadi al-'Ula), umbali wa takribani kilomita 360 kaskazini mwa [[Madina]], kwa kosa la kuiba joho kutoka katika ngawira ya vita baada ya Vita ya Khaybar. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Utumwa]] [[Jamii:Muhammad]] a20s1m5j79zdngyjpdweczu0jvyzs5y 1437174 1437143 2025-07-12T10:33:49Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436641 wikitext text/x-wiki '''Mad'an (ميداس)''' alikuwa [[mtumwa]] wa [[Mtume Muhammad]] aliyezungumziwa katika [[Hadithi za Mtume Muhammad|Hadith]]. Alikuwa mtumwa wa Kiafrika aliyekabidhiwa kwa Mtume Muhammad mwaka [[628 BK]] na mtu aliyeitwa Rifa'ah bin Zaid, kutoka kabila la Banu Ad-Dubaib. Mad'an alipigwa [[mshale]] mahali paitwapo Wadi al-Qura (pia hujulikana kama Wadi al-'Ula), umbali wa takribani kilomita 360 kaskazini mwa [[Madina]], kwa kosa la kuiba joho kutoka katika ngawira ya vita baada ya Vita ya Khaybar. == Marejeo == {{mbegu-mtu}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Utumwa]] [[Jamii:Muhammad]] ikhnj9wl1mjy263lyyi23g2w7a9ofbc 1437208 1437174 2025-07-12T11:18:37Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437208 wikitext text/x-wiki '''Mad'an (ميداس)''' alikuwa [[mtumwa]] wa [[Mtume Muhammad]] aliyezungumziwa katika [[Hadithi za Mtume Muhammad|Hadith]]. Alikuwa mtumwa wa Kiafrika aliyekabidhiwa kwa Mtume Muhammad mwaka [[628 BK]] na mtu aliyeitwa Rifa'ah bin Zaid, kutoka kabila la Banu Ad-Dubaib. Mad'an alipigwa [[mshale]] mahali paitwapo Wadi al-Qura (pia hujulikana kama Wadi al-'Ula), umbali wa takribani kilomita 360 kaskazini mwa [[Madina]], kwa kosa la kuiba joho kutoka katika ngawira ya vita baada ya Vita ya Khaybar. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Utumwa]] [[Jamii:Muhammad]] 1r3e10mugn8etnk0ebi1shm16nqlvnu 1437218 1437208 2025-07-12T11:22:22Z ~2025-17875-5 80077 1437218 wikitext text/x-wiki '''Mad'an (kiarabu ميداس)''' alikuwa [[mtumwa]] wa [[Mtume Muhammad]] aliyezungumziwa katika [[Hadithi za Mtume Muhammad|Hadith]]. Alikuwa mtumwa wa Kiafrika aliyekabidhiwa kwa Mtume Muhammad mwaka [[628 BK]] na mtu aliyeitwa Rifa'ah bin Zaid, kutoka kabila la Banu Ad-Dubaib. Mad'an alipigwa [[mshale]] mahali paitwapo Wadi al-Qura (pia hujulikana kama Wadi al-'Ula), umbali wa takribani kilomita 360 kaskazini mwa [[Madina]], kwa kosa la kuiba joho kutoka katika ngawira ya vita baada ya Vita ya Khaybar. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Utumwa]] [[Jamii:Muhammad]] p0tj5n1xmt008corw8th5rge8y46ug5 Landolphia owariensis 0 208789 1437142 1436644 2025-07-12T09:49:00Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437142 wikitext text/x-wiki '''Landolphia owariensis''' ni aina ya liana kutoka familia ya Apocynaceae inayopatikana katika maeneo ya tropiki barani Afrika. Maji-maziwa (latex) yanaweza kutolewa kutoka kwenye mmea huu kwa ajili ya kutengeneza mpira wa asili (natural rubber). Majina mengine ya mzabibu huu ni '''[[eta]]''', '''mzabibu wa mpira mweupe''', na mmea wa mpira wa [[Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya)|Kongo]]<ref>{{Cite book|url=https://nap.nationalacademies.org/read/11879/chapter/20|title=Read "Lost Crops of Africa: Volume III: Fruits" at NAP.edu|language=en}}</ref>. '''Mpira wa Kongo''' ulikuwa bidhaa ya mpira wa biashara iliyokuwa ikisafirishwa kutoka Congo Free State kuanzia mwaka [[1890]], na unajulikana sana kwa jinsi ulivyokuwa ukivunwa kwa kulazimisha watu kufanya kazi katika mazingira ya mateso makubwa ya kibinadamu. Hali hii ilielezewa kwa kina katika Ripoti ya Casement ya mwaka [[1904]]. Kuanzia mwaka [[1885]] hadi [[1908]], mamilioni ya watu walikufa kutokana na mauaji, mateso, njaa, na magonjwa, Idadi ya watu ilipungua kwa kiwango kikubwa katika kipindi hicho; baadhi ya waandishi wanakadiria kupoteza maisha hadi watu milioni 10<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=qqWIvIAe2h4C&q=The+Congo+from+Leopold+to+Kabila:+A+People%E2%80%99s+History&pg=PA22&redir_esc=y#v=snippet&q=The%20Congo%20from%20Leopold%20to%20Kabila:%20A%20People%E2%80%99s%20History&f=false|title=The Congo from Leopold to Kabila: A People's History|last=Nzongola-Ntalaja|first=Georges|date=2002-02|publisher=Zed Books|isbn=978-1-84277-053-5|language=en}}</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Mimea]] ib51wce2gn5wmw9y1n3u813uz7sncsj 1437175 1437142 2025-07-12T10:33:50Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436644 wikitext text/x-wiki '''Landolphia owariensis''' ni aina ya liana kutoka familia ya Apocynaceae inayopatikana katika maeneo ya tropiki barani Afrika. Maji-maziwa (latex) yanaweza kutolewa kutoka kwenye mmea huu kwa ajili ya kutengeneza mpira wa asili (natural rubber). Majina mengine ya mzabibu huu ni '''[[eta]]''', '''mzabibu wa mpira mweupe''', na mmea wa mpira wa [[Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya)|Kongo]]<ref>{{Cite book|url=https://nap.nationalacademies.org/read/11879/chapter/20|title=Read "Lost Crops of Africa: Volume III: Fruits" at NAP.edu|language=en}}</ref>. '''Mpira wa Kongo''' ulikuwa bidhaa ya mpira wa biashara iliyokuwa ikisafirishwa kutoka Congo Free State kuanzia mwaka [[1890]], na unajulikana sana kwa jinsi ulivyokuwa ukivunwa kwa kulazimisha watu kufanya kazi katika mazingira ya mateso makubwa ya kibinadamu. Hali hii ilielezewa kwa kina katika Ripoti ya Casement ya mwaka [[1904]]. Kuanzia mwaka [[1885]] hadi [[1908]], mamilioni ya watu walikufa kutokana na mauaji, mateso, njaa, na magonjwa, Idadi ya watu ilipungua kwa kiwango kikubwa katika kipindi hicho; baadhi ya waandishi wanakadiria kupoteza maisha hadi watu milioni 10<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=qqWIvIAe2h4C&q=The+Congo+from+Leopold+to+Kabila:+A+People%E2%80%99s+History&pg=PA22&redir_esc=y#v=snippet&q=The%20Congo%20from%20Leopold%20to%20Kabila:%20A%20People%E2%80%99s%20History&f=false|title=The Congo from Leopold to Kabila: A People's History|last=Nzongola-Ntalaja|first=Georges|date=2002-02|publisher=Zed Books|isbn=978-1-84277-053-5|language=en}}</ref>. == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Mimea]] 0lswxzapu608u5z9kfr8dzcqeld3dw8 1437207 1437175 2025-07-12T11:18:19Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437207 wikitext text/x-wiki '''Landolphia owariensis''' ni aina ya liana kutoka familia ya Apocynaceae inayopatikana katika maeneo ya tropiki barani Afrika. Maji-maziwa (latex) yanaweza kutolewa kutoka kwenye mmea huu kwa ajili ya kutengeneza mpira wa asili (natural rubber). Majina mengine ya mzabibu huu ni '''[[eta]]''', '''mzabibu wa mpira mweupe''', na mmea wa mpira wa [[Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya)|Kongo]]<ref>{{Cite book|url=https://nap.nationalacademies.org/read/11879/chapter/20|title=Read "Lost Crops of Africa: Volume III: Fruits" at NAP.edu|language=en}}</ref>. '''Mpira wa Kongo''' ulikuwa bidhaa ya mpira wa biashara iliyokuwa ikisafirishwa kutoka Congo Free State kuanzia mwaka [[1890]], na unajulikana sana kwa jinsi ulivyokuwa ukivunwa kwa kulazimisha watu kufanya kazi katika mazingira ya mateso makubwa ya kibinadamu. Hali hii ilielezewa kwa kina katika Ripoti ya Casement ya mwaka [[1904]]. Kuanzia mwaka [[1885]] hadi [[1908]], mamilioni ya watu walikufa kutokana na mauaji, mateso, njaa, na magonjwa, Idadi ya watu ilipungua kwa kiwango kikubwa katika kipindi hicho; baadhi ya waandishi wanakadiria kupoteza maisha hadi watu milioni 10<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=qqWIvIAe2h4C&q=The+Congo+from+Leopold+to+Kabila:+A+People%E2%80%99s+History&pg=PA22&redir_esc=y#v=snippet&q=The%20Congo%20from%20Leopold%20to%20Kabila:%20A%20People%E2%80%99s%20History&f=false|title=The Congo from Leopold to Kabila: A People's History|last=Nzongola-Ntalaja|first=Georges|date=2002-02|publisher=Zed Books|isbn=978-1-84277-053-5|language=en}}</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Mimea]] ocspeodmb45akmurbcqhk8fjdg45yyv 1437217 1437207 2025-07-12T11:22:07Z ~2025-17875-5 80077 1437217 wikitext text/x-wiki '''Landolphia owariensis''' ni aina ya liana kutoka familia ya Apocynaceae inayopatikana katika maeneo ya tropiki barani Afrika. Maji-maziwa (latex) yanaweza kutolewa kutoka kwenye mmea huu kwa ajili ya kutengeneza mpira wa asili (kiing. natural rubber). Majina mengine ya mzabibu huu ni '''[[eta]]''', '''mzabibu wa mpira mweupe''', na mmea wa mpira wa [[Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya)|Kongo]]<ref>{{Cite book|url=https://nap.nationalacademies.org/read/11879/chapter/20|title=Read "Lost Crops of Africa: Volume III: Fruits" at NAP.edu|language=en}}</ref>. '''Mpira wa Kongo''' ulikuwa bidhaa ya mpira wa biashara iliyokuwa ikisafirishwa kutoka Congo Free State kuanzia mwaka [[1890]], na unajulikana sana kwa jinsi ulivyokuwa ukivunwa kwa kulazimisha watu kufanya kazi katika mazingira ya mateso makubwa ya kibinadamu. Hali hii ilielezewa kwa kina katika Ripoti ya Casement ya mwaka [[1904]]. Kuanzia mwaka [[1885]] hadi [[1908]], mamilioni ya watu walikufa kutokana na mauaji, mateso, njaa, na magonjwa, Idadi ya watu ilipungua kwa kiwango kikubwa katika kipindi hicho; baadhi ya waandishi wanakadiria kupoteza maisha hadi watu milioni 10<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.tz/books?id=qqWIvIAe2h4C&q=The+Congo+from+Leopold+to+Kabila:+A+People%E2%80%99s+History&pg=PA22&redir_esc=y#v=snippet&q=The%20Congo%20from%20Leopold%20to%20Kabila:%20A%20People%E2%80%99s%20History&f=false|title=The Congo from Leopold to Kabila: A People's History|last=Nzongola-Ntalaja|first=Georges|date=2002-02|publisher=Zed Books|isbn=978-1-84277-053-5|language=en}}</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Mimea]] bwx4cve6xwvhjii89vhbtfzrwnlhc37 Majadiliano ya mtumiaji:Maryam Saleh Abeid 3 208802 1437148 1436624 2025-07-12T09:55:11Z Alexander Rweyemamu 80072 Marejeo 1437148 wikitext text/x-wiki {{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 07:02, 10 Julai 2025 (UTC) == Marejeo == Usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. '''[[Mtumiaji:Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Alexander Rweyemamu|majadiliano]])''' 09:55, 12 Julai 2025 (UTC) 76qzhc71qrc13zuuu5d5z4swfylvjwx 1437170 1437148 2025-07-12T10:33:47Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] 1436624 wikitext text/x-wiki {{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 07:02, 10 Julai 2025 (UTC) fuctt8l82pykzermgeoqi3ye7o71tyf 1437278 1437170 2025-07-12T11:58:34Z ~2025-18135-3 80085 Tanbihi 1437278 wikitext text/x-wiki {{Karibu}}'''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 07:02, 10 Julai 2025 (UTC) == Tanbihi == Usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja.[[Maalum:Michango/&#126;2025-18135-3|&#126;2025-18135-3]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2025-18135-3|talk]]) 11:58, 12 Julai 2025 (UTC) gtdjsu8nfj4uaewc6a7e9ag64dhflpi Utamaduni wa Cabo Verde 0 208816 1437137 1436748 2025-07-12T09:41:31Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437137 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Cabo Verde | picha = Flag of Cape Verde.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Cabo Verde | idadi_ya_makabila= Mchanganyiko wa watu wa asili ya Kiafrika na Kireno | lugha_rasmi = Kireno | lugha_nyingine = Kriolu (lahaja ya Kireno na lugha za Kiafrika) | vyakula_vikuu = Cachupa, samaki wa kukaanga, wali wa nazi, ndizi za kuchemsha | dini_kubwa = Ukristo (hasa Kanisa Katoliki), pamoja na imani za jadi }} [[Faili:Cachupa 2.jpg|thumb|Chakula aina ya [[Cachupa]] katika sahani.]] '''Utamaduni wa Cabo Verde''' ni mchanganyiko wa urithi kutoka Afrika, [[Ureno]] na [[Karibi]] unaoakisi historia ya visiwa hivyo kama kituo cha biashara, uhamiaji na tamaduni mbalimbali. Kabla ya Wareno kuwasili karne ya 15, visiwa hivyo vilikuwa tupu, na wakazi wa kwanza walikuwa watu waliotoka [[Afrika ya Magharibi|Afrika Magharibi]] kama watumwa. Hii ilisababisha muungano wa tamaduni za Kiafrika na Kizungu, jambo lililozaa utambulisho wa kipekee wa taifa hilo. Lugha rasmi ni [[Kireno]], inayotumika serikalini na katika elimu, lakini lugha inayotumika zaidi miongoni mwa wananchi ni [[Kriolu]], lahaja ya [[Krioli]] ya Kireno iliyochanganyika na lugha za Kiafrika. Kriolu ina lahaja tofauti katika kila kisiwa, kama vile Kriolu ya [[Santiago (kisiwa)|Santiago]], [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]], na [[Fogo (kisiwa)|Fogo]], kila moja ikiwa na maneno na matamshi yake. Muziki ni kipengele muhimu cha maisha ya kila siku. [[Morna]], aina ya muziki wa polepole na wa kihisia, ni maarufu sana nchini humo. Wasanii kama [[Cesária Évora]] waliutangaza duniani, wakileta utambulisho wa Cabo Verde katika ulingo wa kimataifa. Morna huzungumzia upendo, huzuni, na uzalendo. Aina nyingine za muziki ni [[coladeira]], [[funaná]] na [[batuque]], ambazo hutofautiana kwa kasi, ala na mitindo ya kucheza. Muziki huu mara nyingi huchezwa kwa ala za jadi kama vile gita, akordeoni, na mpapuro. Ngoma na tamasha ni sehemu ya utamaduni unaoishi. Sherehe kama ''Festival da Baía das Gatas'' kwenye kisiwa cha [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]] huvutia wasanii na wageni kutoka kote duniani. Pia kuna ''Carnaval'' maarufu huko [[Mindelo]], ambao huonesha mavazi ya rangi, ngoma za mitaani, na maigizo ya kisanaa. Sanaa za mikono ni sehemu ya utamaduni wa jadi wa Cabo Verde. Wananchi hutengeneza shanga, mikeka, vifaa vya mapambo, na vinyago kwa kutumia rasilimali za asili kama majani ya michongoma na mbao. Uchoraji na sanaa za kuona huakisi mandhari za visiwa, maisha ya uvuvi, na historia ya kifamilia. Wasanii wa Cabo Verde wamejitokeza katika mashindano ya kimataifa wakileta sanaa yenye mwelekeo wa kitamaduni na kisasa. Fasihi ya Cabo Verde ina mizizi ya kifalsafa na kijamii. Waandishi kama [[Baltasar Lopes]], [[Germano Almeida]] na [[Orlanda Amarílis]] wameandika vitabu na hadithi fupi zinazojadili maisha ya visiwani, matatizo ya uhamiaji, na kutafuta utambulisho wa kitaifa. Fasihi hii mara nyingi hutumia Kriolu na Kireno kuonesha muktadha wa kijamii na mabadiliko ya kizazi. Dini nchini ni mchanganyiko wa [[Ukristo]], hasa [[Kanisa Katoliki]], na imani za jadi ambazo hujumuisha tambiko, heshima kwa mizimu na matambiko ya familia. Tambo hizi huonekana katika matukio ya uzazi, ndoa, na mazishi, ambapo mizimu huombwa kwa baraka au kuondoa mikosi. Wengine huamini katika nguvu za asili na miungu ya jadi, wakichanganya kwa kiasi imani za kidini na mila. Vyombo vya habari na utamaduni wa dijitali vimeleta mabadiliko mapya. Vijana wa Cabo Verde wanatumia mitandao kama [[Facebook]], [[YouTube]], na [[TikTok]] kusambaza muziki wao, tamaduni za mavazi, na mijadala ya kijamii. Hili limeongeza sauti za vijana na kueneza utamaduni wa visiwa kwa njia ya ubunifu. Mafanikio ya [[Djodje]], [[Mayra Andrade]], na [[Lisandro Cuxi]] yanadhihirisha jinsi vipaji vinavyoibuka katika kizazi kipya na kutoa utambulisho mpya kwa taifa. Chakula cha jadi huchanganya mazao ya visiwani na viungo vya Kizungu. Sahani maarufu ni ''cachupa'', mchanganyiko wa mahindi, maharagwe, nyama na mboga. Pia kuna samaki wa kukaanga, matunda ya baharini na mapishi ya kisiwa kama ''feijoada'' na ''pastel''. Chakula huandaliwa kwa kufuata mila, kwa pamoja kama familia, na mara nyingi huambatana na muziki au mazungumzo ya kijamaa. Uhamiaji wa Wacabo Verde katika [[Ureno]], [[Ufaransa]], [[Brazil]], na [[Marekani]] umechangia utamaduni wa visiwa kwa kurudi nyumbani na kuleta mitazamo mpya. Diaspora ya Cabo Verde ina nafasi muhimu katika uchumi, siasa na utamaduni wa taifa, wakituma pesa, kuanzisha miradi ya kijamii, na kuendeleza tamaduni kwa vizazi vijavyo. == Marejeo == * Lobban, R. A. Jr. (1995). ''Cape Verde: Crioulo Colony to Independent Nation''. Westview Press. ISBN 978-0813325253. * Andrade, E. (1996). ''Les îles du Cap-Vert de la “découverte” à l’indépendance nationale (1460–1975)''. L’Harmattan. * Carreira, A. (1972). ''Cabo Verde: Formação e extinção de uma sociedade escravocrata (1460–1878)''. Centro de Estudos da Guiné Portuguesa. * Meintel, D. (1983). ''Race Culture and Portuguese Colonialism in Cabo Verde''. Syracuse University. * Almeida, G. (2002). ''A Cultura Cabo-Verdiana: Identidade e Transformações''. Instituto da Cultura. * Falola, T. & Jean-Jacques, D. (2015). ''Africa: An Encyclopedia of Culture and Society''. ABC-CLIO. ISBN 978-1-59884-666-9. * Britannica. ''Cabo Verde – Music, Cuisine, Festivals''. [https://www.britannica.com/place/Cabo-Verde/Cultural-life] * WorldAtlas. ''The Culture of Cape Verde''. [https://www.worldatlas.com/articles/the-culture-of-cape-verde.html] * CapeVerdeIslands.org. ''Culture Cape Verde''. [https://www.capeverdeislands.org/culture/culture/] * EveryCulture.com. ''Culture of Cape Verde''. [https://www.everyculture.com/Bo-Co/Cape-Verde.html] * Cabo Verde & Its Music – A Virtual Museum. ''Bibliography''. [https://eng.caboverdeamusica.online/bibliography/] * UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage: Cape Verde''. [https://ich.unesco.org/en/state/south-africa-ZA] * ACQF. ''UC-SNQ Guide: Recognition and Certification of Competences in Cabo Verde''. [https://acqf.africa/resources/nqf-inventory/countries/cabo-verde/] {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|K]] [[Jamii:Utamaduni nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Cabo Verde]] 67xmh80qvoygdkl11izhqz93980t2lp 1437180 1437137 2025-07-12T10:33:52Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Said Mfaume|Said Mfaume]] 1436748 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Cabo Verde | picha = Flag of Cape Verde.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Cabo Verde | idadi_ya_makabila= Mchanganyiko wa watu wa asili ya Kiafrika na Kireno | lugha_rasmi = Kireno | lugha_nyingine = Kriolu (lahaja ya Kireno na lugha za Kiafrika) | vyakula_vikuu = Cachupa, samaki wa kukaanga, wali wa nazi, ndizi za kuchemsha | dini_kubwa = Ukristo (hasa Kanisa Katoliki), pamoja na imani za jadi }} [[File:Cachupa 2.jpg|thumb|Chakula aina ya [[Cachupa]] katika sahani.]] '''Utamaduni wa Cabo Verde''' ni mchanganyiko wa urithi kutoka Afrika, [[Ureno]] na [[Karibi]] unaoakisi historia ya visiwa hivyo kama kituo cha biashara, uhamiaji na tamaduni mbalimbali. Kabla ya Wareno kuwasili karne ya 15, visiwa hivyo vilikuwa tupu, na wakazi wa kwanza walikuwa watu waliotoka [[Afrika ya Magharibi|Afrika Magharibi]] kama watumwa. Hii ilisababisha muungano wa tamaduni za Kiafrika na Kizungu, jambo lililozaa utambulisho wa kipekee wa taifa hilo. Lugha rasmi ni [[Kireno]], inayotumika serikalini na katika elimu, lakini lugha inayotumika zaidi miongoni mwa wananchi ni [[Kriolu]], lahaja ya [[Krioli]] ya Kireno iliyochanganyika na lugha za Kiafrika. Kriolu ina lahaja tofauti katika kila kisiwa, kama vile Kriolu ya [[Santiago (kisiwa)|Santiago]], [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]], na [[Fogo (kisiwa)|Fogo]], kila moja ikiwa na maneno na matamshi yake. Muziki ni kipengele muhimu cha maisha ya kila siku. [[Morna]], aina ya muziki wa polepole na wa kihisia, ni maarufu sana nchini humo. Wasanii kama [[Cesária Évora]] waliutangaza duniani, wakileta utambulisho wa Cabo Verde katika ulingo wa kimataifa. Morna huzungumzia upendo, huzuni, na uzalendo. Aina nyingine za muziki ni [[coladeira]], [[funaná]] na [[batuque]], ambazo hutofautiana kwa kasi, ala na mitindo ya kucheza. Muziki huu mara nyingi huchezwa kwa ala za jadi kama vile gita, akordeoni, na mpapuro. Ngoma na tamasha ni sehemu ya utamaduni unaoishi. Sherehe kama ''Festival da Baía das Gatas'' kwenye kisiwa cha [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]] huvutia wasanii na wageni kutoka kote duniani. Pia kuna ''Carnaval'' maarufu huko [[Mindelo]], ambao huonesha mavazi ya rangi, ngoma za mitaani, na maigizo ya kisanaa. Sanaa za mikono ni sehemu ya utamaduni wa jadi wa Cabo Verde. Wananchi hutengeneza shanga, mikeka, vifaa vya mapambo, na vinyago kwa kutumia rasilimali za asili kama majani ya michongoma na mbao. Uchoraji na sanaa za kuona huakisi mandhari za visiwa, maisha ya uvuvi, na historia ya kifamilia. Wasanii wa Cabo Verde wamejitokeza katika mashindano ya kimataifa wakileta sanaa yenye mwelekeo wa kitamaduni na kisasa. Fasihi ya Cabo Verde ina mizizi ya kifalsafa na kijamii. Waandishi kama [[Baltasar Lopes]], [[Germano Almeida]] na [[Orlanda Amarílis]] wameandika vitabu na hadithi fupi zinazojadili maisha ya visiwani, matatizo ya uhamiaji, na kutafuta utambulisho wa kitaifa. Fasihi hii mara nyingi hutumia Kriolu na Kireno kuonesha muktadha wa kijamii na mabadiliko ya kizazi. Dini nchini ni mchanganyiko wa [[Ukristo]], hasa [[Kanisa Katoliki]], na imani za jadi ambazo hujumuisha tambiko, heshima kwa mizimu na matambiko ya familia. Tambo hizi huonekana katika matukio ya uzazi, ndoa, na mazishi, ambapo mizimu huombwa kwa baraka au kuondoa mikosi. Wengine huamini katika nguvu za asili na miungu ya jadi, wakichanganya kwa kiasi imani za kidini na mila. Vyombo vya habari na utamaduni wa dijitali vimeleta mabadiliko mapya. Vijana wa Cabo Verde wanatumia mitandao kama [[Facebook]], [[YouTube]], na [[TikTok]] kusambaza muziki wao, tamaduni za mavazi, na mijadala ya kijamii. Hili limeongeza sauti za vijana na kueneza utamaduni wa visiwa kwa njia ya ubunifu. Mafanikio ya [[Djodje]], [[Mayra Andrade]], na [[Lisandro Cuxi]] yanadhihirisha jinsi vipaji vinavyoibuka katika kizazi kipya na kutoa utambulisho mpya kwa taifa. Chakula cha jadi huchanganya mazao ya visiwani na viungo vya Kizungu. Sahani maarufu ni ''cachupa'', mchanganyiko wa mahindi, maharagwe, nyama na mboga. Pia kuna samaki wa kukaanga, matunda ya baharini na mapishi ya kisiwa kama ''feijoada'' na ''pastel''. Chakula huandaliwa kwa kufuata mila, kwa pamoja kama familia, na mara nyingi huambatana na muziki au mazungumzo ya kijamaa. Uhamiaji wa Wacabo Verde katika [[Ureno]], [[Ufaransa]], [[Brazil]], na [[Marekani]] umechangia utamaduni wa visiwa kwa kurudi nyumbani na kuleta mitazamo mpya. Diaspora ya Cabo Verde ina nafasi muhimu katika uchumi, siasa na utamaduni wa taifa, wakituma pesa, kuanzisha miradi ya kijamii, na kuendeleza tamaduni kwa vizazi vijavyo. == Marejeo == * Lobban, R. A. Jr. (1995). ''Cape Verde: Crioulo Colony to Independent Nation''. Westview Press. ISBN 978-0813325253. * Andrade, E. (1996). ''Les îles du Cap-Vert de la “découverte” à l’indépendance nationale (1460–1975)''. L’Harmattan. * Carreira, A. (1972). ''Cabo Verde: Formação e extinção de uma sociedade escravocrata (1460–1878)''. Centro de Estudos da Guiné Portuguesa. * Meintel, D. (1983). ''Race Culture and Portuguese Colonialism in Cabo Verde''. Syracuse University. * Almeida, G. (2002). ''A Cultura Cabo-Verdiana: Identidade e Transformações''. Instituto da Cultura. * Falola, T. & Jean-Jacques, D. (2015). ''Africa: An Encyclopedia of Culture and Society''. ABC-CLIO. ISBN 978-1-59884-666-9. * Britannica. ''Cabo Verde – Music, Cuisine, Festivals''. [https://www.britannica.com/place/Cabo-Verde/Cultural-life] * Wikipedia. ''Culture of Cape Verde''. [https://en.wikipedia.org/wiki/Culture_of_Cape_Verde] * WorldAtlas. ''The Culture of Cape Verde''. [https://www.worldatlas.com/articles/the-culture-of-cape-verde.html] * CapeVerdeIslands.org. ''Culture Cape Verde''. [https://www.capeverdeislands.org/culture/culture/] * EveryCulture.com. ''Culture of Cape Verde''. [https://www.everyculture.com/Bo-Co/Cape-Verde.html] * Cabo Verde & Its Music – A Virtual Museum. ''Bibliography''. [https://eng.caboverdeamusica.online/bibliography/] * UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage: Cape Verde''. [https://ich.unesco.org/en/state/south-africa-ZA] * ACQF. ''UC-SNQ Guide: Recognition and Certification of Competences in Cabo Verde''. [https://acqf.africa/resources/nqf-inventory/countries/cabo-verde/] {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|K]] [[Jamii:Utamaduni nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Cabo Verde]] mucdx5mshmfmfgcbcw7u85k8r4bxeh8 1437257 1437180 2025-07-12T11:49:33Z ~2025-17972-2 80083 [[w:en:WP:CIRCULAR]] 1437257 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Cabo Verde | picha = Flag of Cape Verde.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Cabo Verde | idadi_ya_makabila= Mchanganyiko wa watu wa asili ya Kiafrika na Kireno | lugha_rasmi = Kireno | lugha_nyingine = Kriolu (lahaja ya Kireno na lugha za Kiafrika) | vyakula_vikuu = Cachupa, samaki wa kukaanga, wali wa nazi, ndizi za kuchemsha | dini_kubwa = Ukristo (hasa Kanisa Katoliki), pamoja na imani za jadi }} [[Faili:Cachupa 2.jpg|thumb|Chakula aina ya [[Cachupa]] katika sahani.]] '''Utamaduni wa Cabo Verde''' ni mchanganyiko wa urithi kutoka Afrika, [[Ureno]] na [[Karibi]] unaoakisi historia ya visiwa hivyo kama kituo cha biashara, uhamiaji na tamaduni mbalimbali. Kabla ya Wareno kuwasili karne ya 15, visiwa hivyo vilikuwa tupu, na wakazi wa kwanza walikuwa watu waliotoka [[Afrika ya Magharibi|Afrika Magharibi]] kama watumwa. Hii ilisababisha muungano wa tamaduni za Kiafrika na Kizungu, jambo lililozaa utambulisho wa kipekee wa taifa hilo. Lugha rasmi ni [[Kireno]], inayotumika serikalini na katika elimu, lakini lugha inayotumika zaidi miongoni mwa wananchi ni [[Kriolu]], lahaja ya [[Krioli]] ya Kireno iliyochanganyika na lugha za Kiafrika. Kriolu ina lahaja tofauti katika kila kisiwa, kama vile Kriolu ya [[Santiago (kisiwa)|Santiago]], [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]], na [[Fogo (kisiwa)|Fogo]], kila moja ikiwa na maneno na matamshi yake. Muziki ni kipengele muhimu cha maisha ya kila siku. [[Morna]], aina ya muziki wa polepole na wa kihisia, ni maarufu sana nchini humo. Wasanii kama [[Cesária Évora]] waliutangaza duniani, wakileta utambulisho wa Cabo Verde katika ulingo wa kimataifa. Morna huzungumzia upendo, huzuni, na uzalendo. Aina nyingine za muziki ni [[coladeira]], [[funaná]] na [[batuque]], ambazo hutofautiana kwa kasi, ala na mitindo ya kucheza. Muziki huu mara nyingi huchezwa kwa ala za jadi kama vile gita, akordeoni, na mpapuro. Ngoma na tamasha ni sehemu ya utamaduni unaoishi. Sherehe kama ''Festival da Baía das Gatas'' kwenye kisiwa cha [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]] huvutia wasanii na wageni kutoka kote duniani. Pia kuna ''Carnaval'' maarufu huko [[Mindelo]], ambao huonesha mavazi ya rangi, ngoma za mitaani, na maigizo ya kisanaa. Sanaa za mikono ni sehemu ya utamaduni wa jadi wa Cabo Verde. Wananchi hutengeneza shanga, mikeka, vifaa vya mapambo, na vinyago kwa kutumia rasilimali za asili kama majani ya michongoma na mbao. Uchoraji na sanaa za kuona huakisi mandhari za visiwa, maisha ya uvuvi, na historia ya kifamilia. Wasanii wa Cabo Verde wamejitokeza katika mashindano ya kimataifa wakileta sanaa yenye mwelekeo wa kitamaduni na kisasa. Fasihi ya Cabo Verde ina mizizi ya kifalsafa na kijamii. Waandishi kama [[Baltasar Lopes]], [[Germano Almeida]] na [[Orlanda Amarílis]] wameandika vitabu na hadithi fupi zinazojadili maisha ya visiwani, matatizo ya uhamiaji, na kutafuta utambulisho wa kitaifa. Fasihi hii mara nyingi hutumia Kriolu na Kireno kuonesha muktadha wa kijamii na mabadiliko ya kizazi. Dini nchini ni mchanganyiko wa [[Ukristo]], hasa [[Kanisa Katoliki]], na imani za jadi ambazo hujumuisha tambiko, heshima kwa mizimu na matambiko ya familia. Tambo hizi huonekana katika matukio ya uzazi, ndoa, na mazishi, ambapo mizimu huombwa kwa baraka au kuondoa mikosi. Wengine huamini katika nguvu za asili na miungu ya jadi, wakichanganya kwa kiasi imani za kidini na mila. Vyombo vya habari na utamaduni wa dijitali vimeleta mabadiliko mapya. Vijana wa Cabo Verde wanatumia mitandao kama [[Facebook]], [[YouTube]], na [[TikTok]] kusambaza muziki wao, tamaduni za mavazi, na mijadala ya kijamii. Hili limeongeza sauti za vijana na kueneza utamaduni wa visiwa kwa njia ya ubunifu. Mafanikio ya [[Djodje]], [[Mayra Andrade]], na [[Lisandro Cuxi]] yanadhihirisha jinsi vipaji vinavyoibuka katika kizazi kipya na kutoa utambulisho mpya kwa taifa. Chakula cha jadi huchanganya mazao ya visiwani na viungo vya Kizungu. Sahani maarufu ni ''cachupa'', mchanganyiko wa mahindi, maharagwe, nyama na mboga. Pia kuna samaki wa kukaanga, matunda ya baharini na mapishi ya kisiwa kama ''feijoada'' na ''pastel''. Chakula huandaliwa kwa kufuata mila, kwa pamoja kama familia, na mara nyingi huambatana na muziki au mazungumzo ya kijamaa. Uhamiaji wa Wacabo Verde katika [[Ureno]], [[Ufaransa]], [[Brazil]], na [[Marekani]] umechangia utamaduni wa visiwa kwa kurudi nyumbani na kuleta mitazamo mpya. Diaspora ya Cabo Verde ina nafasi muhimu katika uchumi, siasa na utamaduni wa taifa, wakituma pesa, kuanzisha miradi ya kijamii, na kuendeleza tamaduni kwa vizazi vijavyo. == Marejeo == * Lobban, R. A. Jr. (1995). ''Cape Verde: Crioulo Colony to Independent Nation''. Westview Press. ISBN 978-0813325253. * Andrade, E. (1996). ''Les îles du Cap-Vert de la “découverte” à l’indépendance nationale (1460–1975)''. L’Harmattan. * Carreira, A. (1972). ''Cabo Verde: Formação e extinção de uma sociedade escravocrata (1460–1878)''. Centro de Estudos da Guiné Portuguesa. * Meintel, D. (1983). ''Race Culture and Portuguese Colonialism in Cabo Verde''. Syracuse University. * Almeida, G. (2002). ''A Cultura Cabo-Verdiana: Identidade e Transformações''. Instituto da Cultura. * Falola, T. & Jean-Jacques, D. (2015). ''Africa: An Encyclopedia of Culture and Society''. ABC-CLIO. ISBN 978-1-59884-666-9. * Britannica. ''Cabo Verde – Music, Cuisine, Festivals''. [https://www.britannica.com/place/Cabo-Verde/Cultural-life] * WorldAtlas. ''The Culture of Cape Verde''. [https://www.worldatlas.com/articles/the-culture-of-cape-verde.html] * CapeVerdeIslands.org. ''Culture Cape Verde''. [https://www.capeverdeislands.org/culture/culture/] * EveryCulture.com. ''Culture of Cape Verde''. [https://www.everyculture.com/Bo-Co/Cape-Verde.html] * Cabo Verde & Its Music – A Virtual Museum. ''Bibliography''. [https://eng.caboverdeamusica.online/bibliography/] * UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage: Cape Verde''. [https://ich.unesco.org/en/state/south-africa-ZA] * ACQF. ''UC-SNQ Guide: Recognition and Certification of Competences in Cabo Verde''. [https://acqf.africa/resources/nqf-inventory/countries/cabo-verde/] {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|K]] [[Jamii:Utamaduni nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Cabo Verde]] 63da9nfs4q0jchzbn1848kygis7ipun 1437277 1437257 2025-07-12T11:57:05Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437277 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Cabo Verde | picha = Flag of Cape Verde.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Cabo Verde | idadi_ya_makabila= Mchanganyiko wa watu wa asili ya Kiafrika na Kireno | lugha_rasmi = Kireno | lugha_nyingine = Kriolu (lahaja ya Kireno na lugha za Kiafrika) | vyakula_vikuu = Cachupa, samaki wa kukaanga, wali wa nazi, ndizi za kuchemsha | dini_kubwa = Ukristo (hasa Kanisa Katoliki), pamoja na imani za jadi }} [[Faili:Cachupa 2.jpg|thumb|Chakula aina ya [[Cachupa]] katika sahani.]] '''Utamaduni wa Cabo Verde''' ni mchanganyiko wa urithi kutoka Afrika, [[Ureno]] na [[Karibi]] unaoakisi historia ya visiwa hivyo kama kituo cha biashara, uhamiaji na tamaduni mbalimbali. Kabla ya Wareno kuwasili karne ya 15, visiwa hivyo vilikuwa tupu, na wakazi wa kwanza walikuwa watu waliotoka [[Afrika ya Magharibi|Afrika Magharibi]] kama watumwa. Hii ilisababisha muungano wa tamaduni za Kiafrika na Kizungu, jambo lililozaa utambulisho wa kipekee wa taifa hilo. Lugha rasmi ni [[Kireno]], inayotumika serikalini na katika elimu, lakini lugha inayotumika zaidi miongoni mwa wananchi ni [[Kriolu]], lahaja ya [[Krioli]] ya Kireno iliyochanganyika na lugha za Kiafrika. Kriolu ina lahaja tofauti katika kila kisiwa, kama vile Kriolu ya [[Santiago (kisiwa)|Santiago]], [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]], na [[Fogo (kisiwa)|Fogo]], kila moja ikiwa na maneno na matamshi yake. Muziki ni kipengele muhimu cha maisha ya kila siku. [[Morna]], aina ya muziki wa polepole na wa kihisia, ni maarufu sana nchini humo. Wasanii kama [[Cesária Évora]] waliutangaza duniani, wakileta utambulisho wa Cabo Verde katika ulingo wa kimataifa. Morna huzungumzia upendo, huzuni, na uzalendo. Aina nyingine za muziki ni [[coladeira]], [[funaná]] na [[batuque]], ambazo hutofautiana kwa kasi, ala na mitindo ya kucheza. Muziki huu mara nyingi huchezwa kwa ala za jadi kama vile gita, akordeoni, na mpapuro. Ngoma na tamasha ni sehemu ya utamaduni unaoishi. Sherehe kama ''Festival da Baía das Gatas'' kwenye kisiwa cha [[São Vicente (kisiwa)|São Vicente]] huvutia wasanii na wageni kutoka kote duniani. Pia kuna ''Carnaval'' maarufu huko [[Mindelo]], ambao huonesha mavazi ya rangi, ngoma za mitaani, na maigizo ya kisanaa. Sanaa za mikono ni sehemu ya utamaduni wa jadi wa Cabo Verde. Wananchi hutengeneza shanga, mikeka, vifaa vya mapambo, na vinyago kwa kutumia rasilimali za asili kama majani ya michongoma na mbao. Uchoraji na sanaa za kuona huakisi mandhari za visiwa, maisha ya uvuvi, na historia ya kifamilia. Wasanii wa Cabo Verde wamejitokeza katika mashindano ya kimataifa wakileta sanaa yenye mwelekeo wa kitamaduni na kisasa. Fasihi ya Cabo Verde ina mizizi ya kifalsafa na kijamii. Waandishi kama [[Baltasar Lopes]], [[Germano Almeida]] na [[Orlanda Amarílis]] wameandika vitabu na hadithi fupi zinazojadili maisha ya visiwani, matatizo ya uhamiaji, na kutafuta utambulisho wa kitaifa. Fasihi hii mara nyingi hutumia Kriolu na Kireno kuonesha muktadha wa kijamii na mabadiliko ya kizazi. Dini nchini ni mchanganyiko wa [[Ukristo]], hasa [[Kanisa Katoliki]], na imani za jadi ambazo hujumuisha tambiko, heshima kwa mizimu na matambiko ya familia. Tambo hizi huonekana katika matukio ya uzazi, ndoa, na mazishi, ambapo mizimu huombwa kwa baraka au kuondoa mikosi. Wengine huamini katika nguvu za asili na miungu ya jadi, wakichanganya kwa kiasi imani za kidini na mila. Vyombo vya habari na utamaduni wa dijitali vimeleta mabadiliko mapya. Vijana wa Cabo Verde wanatumia mitandao kama [[Facebook]], [[YouTube]], na [[TikTok]] kusambaza muziki wao, tamaduni za mavazi, na mijadala ya kijamii. Hili limeongeza sauti za vijana na kueneza utamaduni wa visiwa kwa njia ya ubunifu. Mafanikio ya [[Djodje]], [[Mayra Andrade]], na [[Lisandro Cuxi]] yanadhihirisha jinsi vipaji vinavyoibuka katika kizazi kipya na kutoa utambulisho mpya kwa taifa. Chakula cha jadi huchanganya mazao ya visiwani na viungo vya Kizungu. Sahani maarufu ni ''cachupa'', mchanganyiko wa mahindi, maharagwe, nyama na mboga. Pia kuna samaki wa kukaanga, matunda ya baharini na mapishi ya kisiwa kama ''feijoada'' na ''pastel''. Chakula huandaliwa kwa kufuata mila, kwa pamoja kama familia, na mara nyingi huambatana na muziki au mazungumzo ya kijamaa. Uhamiaji wa Wacabo Verde katika [[Ureno]], [[Ufaransa]], [[Brazil]], na [[Marekani]] umechangia utamaduni wa visiwa kwa kurudi nyumbani na kuleta mitazamo mpya. Diaspora ya Cabo Verde ina nafasi muhimu katika uchumi, siasa na utamaduni wa taifa, wakituma pesa, kuanzisha miradi ya kijamii, na kuendeleza tamaduni kwa vizazi vijavyo. == Marejeo == * Lobban, R. A. Jr. (1995). ''Cape Verde: Crioulo Colony to Independent Nation''. Westview Press. ISBN 978-0813325253. * Andrade, E. (1996). ''Les îles du Cap-Vert de la “découverte” à l’indépendance nationale (1460–1975)''. L’Harmattan. * Carreira, A. (1972). ''Cabo Verde: Formação e extinção de uma sociedade escravocrata (1460–1878)''. Centro de Estudos da Guiné Portuguesa. * Meintel, D. (1983). ''Race Culture and Portuguese Colonialism in Cabo Verde''. Syracuse University. * Almeida, G. (2002). ''A Cultura Cabo-Verdiana: Identidade e Transformações''. Instituto da Cultura. * Falola, T. & Jean-Jacques, D. (2015). ''Africa: An Encyclopedia of Culture and Society''. ABC-CLIO. ISBN 978-1-59884-666-9. * Britannica. ''Cabo Verde – Music, Cuisine, Festivals''. [https://www.britannica.com/place/Cabo-Verde/Cultural-life] * WorldAtlas. ''The Culture of Cape Verde''. [https://www.worldatlas.com/articles/the-culture-of-cape-verde.html] * CapeVerdeIslands.org. ''Culture Cape Verde''. [https://www.capeverdeislands.org/culture/culture/] * EveryCulture.com. ''Culture of Cape Verde''. [https://www.everyculture.com/Bo-Co/Cape-Verde.html] * Cabo Verde & Its Music – A Virtual Museum. ''Bibliography''. [https://eng.caboverdeamusica.online/bibliography/] * UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage: Cape Verde''. [https://ich.unesco.org/en/state/south-africa-ZA] * ACQF. ''UC-SNQ Guide: Recognition and Certification of Competences in Cabo Verde''. [https://acqf.africa/resources/nqf-inventory/countries/cabo-verde/] {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|K]] [[Jamii:Utamaduni nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Cabo Verde]] 67xmh80qvoygdkl11izhqz93980t2lp Utamaduni wa Tanzania 0 208821 1437084 1436741 2025-07-12T07:31:33Z Anuary Rajabu 45588 /* Mila na Desturi */ 1437084 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Tanzania | picha = Flag of Tanzania.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Tanzania | idadi_ya_makabila= Takribani 120+ | lugha_rasmi = Kiswahili na Kiingereza | lugha_nyingine = Kisukuma, Kichaga, Kihaya, Kinyakyusa, Kimasai na nyinginezo | vyakula_vikuu = Ugali, Wali, Ndizi za kupika na kukaanga | dini_kubwa = Ukristo, Uislamu }} '''Utamaduni wa [[Tanzania]]''' umeundwa na mchanganyiko wa zaidi ya makabila 120 yenye [[mila]], [[lugha]] na [[desturi]] tofauti. Pamoja na tofauti hizo, Watanzania wamekuwa na mshikamano wa kitaifa unaojengwa juu ya matumizi ya [[Kiswahili]] kama lugha ya taifa katika mawasiliano ya kila siku na maadhimisho ya sherehe za kijamii na kidini.<ref name="britannica">Otiso, Kefa M. (2013). ''Culture and Customs of Tanzania''. ABC-CLIO. ISBN 978-0-313-08708-0. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Historia == Historia ya utamaduni wa Tanzania umekuwa ukiathiriwa na mchanganyiko wa jamii zenye asili ya Kibantu, Waswahili wa pwani, na athari kutoka kwa [[Waarabu]], [[Waajemi]] na [[Wazungu]] waliotawala sehemu ya [[Afrika Mashariki]]. Ukoloni wa Kijerumani na baadae wa Kiingereza ulichangia mabadiliko katika elimu, dini na lugha. Aidha, mabaki ya michoro katika miamba katika maeneo kama [[Tendaguru]] na hifadhi ya Swaga Swaga yanaonesha uwepo wa utamaduni tangu enzi za kale, huku baadhi ya michoro ikikadiriwa kuwa na zaidi ya miaka 500.<ref>Grzelczyk, Maciej (2021). "Amak'hee 4: a newly documented rock art site in the Swaga Swaga Game Reserve". ''Antiquity''. 95 (379): 1–9. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref><ref>Maier, Gerhard (2003). ''African Dinosaurs Unearthed: The Tendaguru Expeditions''. Indiana University Press. ISBN 978-0-253-00054-5. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Baada ya [[uhuru]] mnamo 1961, Tanzania chini ya raisi [[Julius Nyerere]] iliendeleza sera za mshikamano wa kitaifa kupitia [[Azimio la Arusha]] na harakati za [[Ujamaa]].<ref name="englebert">Pierre Englebert & Kevin C. Dunn (2013). ''Inside African Politics''. Lynne Rienner Publishers. ISBN 978-1-58826-835-5. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Lugha == [[File:Ngoma Tanzania.jpg|thumb|Kikundi cha ngoma za asili]] Lugha rasmi ya taifa ni [[Kiswahili]], ambayo hutumika katika shughuli za serikali, elimu, na mawasiliano ya kila siku. [[Kiingereza]] hutumika katika elimu ya juu, sheria, na biashara. Mbali na hizo, kuna zaidi ya lugha za asili 120, hasa zenye asili ya kibantu kama [[Kisukuma]], [[Kinyamwezi]], [[Kichagga|Kichaga]], [[Kihaya]], [[Kimakonde]], [[Kinyakyusa]], [[Kimaasai|Kimasai]], [[Kigogo]] na nyinginezo.<ref>"Ethnologue report for Tanzania". Ethnologue.com. Retrieved 2012-01-28.</ref><ref name="britannica"/> == Mila na Desturi == Mila na desturi nchini Tanzania hutofautiana kati ya [[makabila]], lakini japokuwa na kuwepo kwa utofauti wa makabila, watanzania hushirikiana katika sherehe za kijamii kama harusi na sherehe za kidini. Muziki, ngoma na sanaa ni sehemu muhimu ya urithi wa kitamaduni. Sherehe maarufu kama Ngoma za Unyago, Ngoma za Sindimba na [[Sauti za Busara]] zimekuwa zikivutia wageni wa ndani na nje ya nchi.<ref name="britannica"/> == Chakula == [[File:Traditional Tanzanian food - pilau kuku, mishkaki, ndizi, &c..JPG|thumb|Pilau kuku, mishkaki, ndizi, maharage, mboga za majani, chapati na pilipili.]] Chakula nchini Tanzania kinategemea zaidi mazao ya kilimo kama [[mahindi]], [[mpunga]], [[mtama]], [[mihogo]] na [[ndizi]]. Vyakula vikuu ni pamoja na [[ugali]], [[wali]], [[ndizi]] za kukaanga, na vyakula vya baharini hasa maeneo ya [[pwani]]. Supu, mishikaki, na [[chipsi mayai]] ni maarufu katika maeneo mengi ya mijini.<ref>Lyana, Manimbulu & Ally Nlooto (2014). "Culture and Food Habits in Tanzania and Democratic Republic of Congo". ''Journal of Human Ecology''. 48: 9–21. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Dini == Dini kuu nchini Tanzania ni [[Ukristo]] na [[Uislamu]], kila moja ikiwa na wafuasi takribani nusu ya idadi ya watu. Katika maeneo ya pwani, Uislamu umekuwa ukienea tangu [[karne ya 9]] kupitia wafanyabiashara wa Kiarabu. Imani za jadi na kitamaduni bado zinafuatwa na baadhi ya makabila hasa vijijini.<ref>"Tanzania: International Religious Freedom Report 2022". United States Department of State. 2022. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Michezo na Burudani == [[File:Tanzania National Main Stadium Aerial.jpg|thumb|Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam]] Michezo na burudani vina nafasi kubwa katika maisha ya Watanzania. [[Mpira wa miguu]] ndiyo mchezo maarufu zaidi, huku timu ya taifa ya [[Taifa Stars]] ikiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa. Michezo mingine inayopendwa ni pamoja na [[riadha]], [[mpira wa pete]], na mbio za [[Baisikeli|baiskeli]].<ref>"NSC". Tanzania Sports. October 2011. Retrieved 5 January 2020.</ref> Pia ina utajiri wa muziki wa kitamaduni kama ngoma za kizaramo, kigogo, kisambaa na zingine nyingi. Tangu miaka ya 1940, [[muziki wa dansi]] ulitawala, ukiongozwa na bendi maarufu kama Mlimani Park Orchestra na DDC Mlimani Park. Kuanzia mwishoni mwa miaka ya 1980, muziki wa [[Bongo Flava]] uliibuka, ukiwa na mchanganyiko wa [[hip-hop]], [[R&B]], midundo ya kiafrika na lugha ya Kiswahili. Muziki huu umekuwa nembo ya vijana wa Tanzania na kusambaa hadi nchini zingine barani Afrika na Dunia kwa ujumla.<ref>Perullo, Alex (2007). "Here's a Little Something Local": An Early History of Hip Hop in Dar es Salaam, Tanzania, 1984–1997". In Brennan, James R. (ed.). ''Dar es Salaam: Histories from an Emerging African Metropolis''. Mkuki na Nyota. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> Kwa sasa, miondoko kama [[Singeli]] imepata umaarufu mkubwa jijini [[Dar es Salaam]] na nchi nzima kwa ujumla, ikisifika kwa kasi ya midundo na maudhui yanayoelezea maisha ya mtaani. Sanaa ya vinyago, hasa kwa [[Makonde|Wamakonde]], inaendelea kutambulika kimataifa kutokana na umahiri wa uchongaji wa sanamu za kiroho na simulizi za maisha.<ref>Kingdon, Zachary (2002). ''A Host of Devils: The History and Context of the Making of Makonde Spirit Sculpture''. Routledge. ISBN 978-1-136-47666-2. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Tanzania]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|T]] 61uyawzh1efivdymphefzs7tnv17ots Utamaduni wa Cape Verde 0 208848 1437136 1436852 2025-07-12T09:37:12Z Alexander Rweyemamu 80072 Mabadiliko katika mpangilio wa makala 1437136 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[utamaduni wa Cabo Verde]] 3ii5a1vdec1hmg8f1qs8crsykwx204k 1437181 1437136 2025-07-12T10:33:53Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436852 wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[utamaduni wa Cabo Verde]] k7af82kamboxckdeflyl1tvlebt67tt Utamaduni wa Rwanda 0 208850 1436956 1436774 2025-07-11T16:01:09Z Alex Rweyemamu 75841 nimebadilisha mpangilio wa vichwa vya habari 1436956 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda]] '''Utamaduni wa Rwanda''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za Kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na Mapambano ya Utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994''', ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na Fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na Sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na Utamaduni wa Kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == # Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999. # Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015. # Jean-Pierre Chrétien. ''The Great Lakes of Africa: Two Thousand Years of History''. MIT Press, 2003. # Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw # Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw # UNESCO World Heritage – Intangible Culture of Rwanda 2ib8wie2s3kbi79wfym0r96rdykjtel 1436968 1436956 2025-07-11T17:12:41Z Alex Rweyemamu 75841 nimefanyia maboresho ya marejeo 1436968 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda]] '''Utamaduni wa Rwanda''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za Kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na Mapambano ya Utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila <ref>Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw</ref>iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994'''<ref>Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999.</ref>, ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa<ref>Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw</ref> inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na Fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi<ref>Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015.</ref>, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na Sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na Utamaduni wa Kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == <references /> # 4am48tnr5zys2w84u16w96t5vpa1ycv 1436970 1436968 2025-07-11T17:14:27Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1436970 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda]] '''Utamaduni wa [[Rwanda]]''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za Kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na Mapambano ya Utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila <ref>Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw</ref>iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994'''<ref>Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999.</ref>, ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa<ref>Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw</ref> inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na Fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi<ref>Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015.</ref>, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na Sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na Utamaduni wa Kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == <references /> # r92jcmjds7k71wpnpkqmyxnpvkzk7ci 1437130 1436970 2025-07-12T09:34:08Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye clothes 1437130 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda]] '''Utamaduni wa [[Rwanda]]''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na mapambano ya utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila <ref>Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw</ref>iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994'''<ref>Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999.</ref>, ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa<ref>Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw</ref> inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi<ref>Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015.</ref>, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na utamaduni wa kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == {{marejeo}} 0tzgwagvbm9sjeifs85239tjp1ec4v1 1437185 1437130 2025-07-12T10:33:55Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436970 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda]] '''Utamaduni wa [[Rwanda]]''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za Kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na Mapambano ya Utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila <ref>Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw</ref>iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994'''<ref>Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999.</ref>, ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa<ref>Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw</ref> inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na Fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi<ref>Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015.</ref>, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na Sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na Utamaduni wa Kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == <references /> # r92jcmjds7k71wpnpkqmyxnpvkzk7ci 1437261 1437185 2025-07-12T11:51:29Z ~2025-17972-2 80083 jina 1437261 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda]] '''Utamaduni wa [[Rwanda]]''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na mapambano ya utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila <ref>Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw</ref>iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994'''<ref>Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999.</ref>, ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa<ref>Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw</ref> inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi<ref>Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015.</ref>, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na utamaduni wa kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == {{Marejeo}} 3pmlzkai8d13lbax4u6hp2qktv7x65k 1437274 1437261 2025-07-12T11:56:20Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437274 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Rwanda.svg|alt=Bendera ya nchi ya Rwanda|thumb|Bendera ya nchi ya Rwanda.]] '''Utamaduni wa [[Rwanda]]''' ni wa kipekee, ukiakisi urithi wa kihistoria unaojengwa juu ya msingi wa umoja wa kitaifa licha ya tofauti za kikabila. Rwanda ina historia ya kifalme, mila na desturi thabiti, lugha moja kuu ya taifa, na mchanganyiko wa sanaa, muziki, michezo, mavazi, na [[Utamaduni|tamaduni]] zilizoathiriwa na [[ukoloni]], [[Dini|dini,]] na matukio ya kisiasa. Hivi leo, [[Rwanda]] inaendeleza [[utamaduni]] unaojikita katika mshikamano, maridhiano, na maendeleo. === Enzi za kifalme === Rwanda ilikuwa chini ya '''Ufalme wa Rwanda''' tangu karne ya 17, ambapo mfalme (anayeitwa ''Mwami'') alikuwa kiongozi wa juu wa kisiasa na kiutamaduni. Mfumo wa kifalme uliimarisha mila za kihistoria, ngoma za kitamaduni, ushairi wa mashujaa (imivugo), na ibada kama '''umuganura''' sherehe ya mavuno. Uongozi wa kifalme ulihimiza umoja wa utamaduni wa taifa huku ukitambua nafasi za [[Wahutu]], [[Watutsi|Watusi]], na [[Watwa]] kama sehemu ya jamii moja ya Wanyarwanda. === Ukoloni === Katika karne ya 19, Rwanda ilikaliwa na [[Ujerumani|Wajerumani,]] na baadaye [[Ubelgiji|Wabelgiji]] baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. [[Ukoloni]] ulileta athari kubwa kwa utamaduni === Uhuru na mapambano ya utambulisho === Rwanda ilipata uhuru mwaka '''1962'''. Katika miaka ya awali, kulikuwepo na migogoro ya kikabila <ref>Genocide Archive of Rwanda. www.genocidearchiverwanda.org.rw</ref>iliyochangia mabadiliko ya serikali na hatimaye kusababisha '''mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994'''<ref>Des Forges, Alison. ''Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda''. Human Rights Watch, 1999.</ref>, ambayo yaliathiri kwa kiasi kikubwa utambulisho wa kitaifa na maisha ya kijamii. Baada ya 1994, serikali ya umoja wa kitaifa ilianzisha sera za '''kujenga upya utamaduni wa kitaifa''' ulioegemea kwenye misingi ya haki, usawa, maridhiano, na "Ndi Umunyarwanda" (Mimi ni Mnyarwanda) kama kaulimbiu ya mshikamano wa kitaifa === Lugha === '''Kinyarwanda''' ni lugha ya taifa<ref>Rwanda Academy of Language and Culture (RALC). www.ralc.gov.rw</ref> inayotumika na karibu asilimia 100 ya raia. Ni lugha rasmi pamoja na [[Kiingereza|'''Kiingereza''',]] '''[[Kifaransa]]''', na [[Kiswahili|'''Kiswahili'''.]] Kinyarwanda hutumika katika elimu ya msingi, media, utawala wa ndani, na mawasiliano ya kila siku. Lugha hii inaunganishwa na fasihi ya mashairi ya jadi, methali, na simulizi ambazo huendeleza maadili ya kijamii. === Dini === Dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya kijamii na utamaduni, ikihusishwa na elimu, [[ndoa]], [[mazishi]], na matendo ya kijamii kama usaidizi wa jirani (''ubumwe na ubutwari''). === Sanaa na fasihi === [[Fasihi]] ya jadi ya Kinyarwanda ilihusisha mashairi, methali, hadithi za simulizi, na [[ushairi]] wa sifa. Fasihi ya kisasa imejikita katika maudhui ya maridhiano, historia ya mauaji ya kimbari, na mabadiliko ya kijamii. === Mavazi === Mavazi ya Rwanda yanaathiriwa na historia na hali ya hewa ya nchi hiyo. Watu wa kawaida huvaa mavazi ya kisasa, lakini kwa sherehe rasmi<ref>Republic of Rwanda, Ministry of Sports and Culture. ''National Cultural Policy'', 2015.</ref>, harusi na tamasha, mavazi ya jadi kama: * '''Imishanana''' (vazi la heshima kwa wanawake) * '''Umusaza''' (vazi la wanaume) * '''Ibitenge''', '''imisambi''', na mapambo ya kitamaduni hutumika kuonyesha utambulisho wa kikanda. === Sikukuu na sherehe === Sikukuu rasmi na za kitaifa ni: * '''Siku ya Uhuru''' (1 Julai) * '''Siku ya Ukumbusho wa Mauaji ya Kimbari''' (7 Aprili) * '''Siku za kidini''' kama [[Krismasi|Krismas]]<nowiki/>i, [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]] na [[Eid al-Adha]] huadhimishwa kitaifa === Media na utamaduni wa kisasa === Vyombo vya habari kama redio, televisheni, na mitandao ya kijamii vinaathiri mabadiliko ya utamaduni wa Rwanda. Wimbi la wasanii wa muziki kama '''Meddy''', '''The Ben''', na '''Knowless''' linaakisi kizazi kipya cha Wanyarwanda wanaojieleza kwa njia za kisasa huku wakihifadhi asili yao. === Diaspora === Wanyarwanda walioko nje ya nchi, hasa katika nchi kama '''[[Ubelgiji]]''', '''[[Ufaransa]]''', '''[[Marekani]]''', na '''[[Kanada|Canada]]''', hushiriki katika kulinda na kukuza [[utamaduni]] wa taifa kupitia vyama vya kijamii, tamasha, na mchango wa kiuchumi nchini [[Rwanda]]. == Marejeo == {{Marejeo}} lnv032qgmt9fnktkentof8umd3hlnj2 Flag of UNESCO 0 208852 1437141 1436776 2025-07-12T09:48:36Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437141 wikitext text/x-wiki '''Bendera ya [[UNESCO]]''' ni moja ya alama rasmi za taasisi hiyo. Muundo wake una alama ya shirika hilo yenye rangi nyeupe juu ya mandhari ya buluu. Rangi buluu na nyeupe ni rangi rasmi za [[Umoja wa Mataifa]]. [[Nembo]] ya shirika hili inajumuisha maandishi ya UNESCO kwa herufi za sans-serif zenye rangi nyeupe, kila herufi ikiwa kama nguzo ya jengo la kale lenye mtindo wa usanifu wa zamani. [[Hekalu]] hilo la kale linawakilisha mojawapo ya malengo makuu ya shirika hili ambayo ni utekelezaji wa shughuli za kitamaduni kwa ajili ya kuhifadhi urithi wa kitamaduni na kihistoria wa dunia. Hekalu hilo pia limeundwa na paa la pembetatu na ngazi zenye hatua tatu.<ref>{{Cite web|title=UNESCO|url=https://www.fotw.info/flags/unesco.html#flag%20UNESCO/The%20Flag|work=www.fotw.info|accessdate=2025-07-10}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Bendera]] 13tf0z8q2cjuacou0ypirjkjphme8p8 1437176 1437141 2025-07-12T10:33:50Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Maryam Saleh Abeid|Maryam Saleh Abeid]] 1436776 wikitext text/x-wiki '''Bendera ya [[UNESCO]]''' ni moja ya alama rasmi za taasisi hiyo. Muundo wake una alama ya shirika hilo yenye rangi nyeupe juu ya mandhari ya buluu. Rangi buluu na nyeupe ni rangi rasmi za [[Umoja wa Mataifa]]. [[Nembo]] ya shirika hili inajumuisha maandishi ya UNESCO kwa herufi za sans-serif zenye rangi nyeupe, kila herufi ikiwa kama nguzo ya jengo la kale lenye mtindo wa usanifu wa zamani. [[Hekalu]] hilo la kale linawakilisha mojawapo ya malengo makuu ya shirika hili ambayo ni utekelezaji wa shughuli za kitamaduni kwa ajili ya kuhifadhi urithi wa kitamaduni na kihistoria wa dunia. Hekalu hilo pia limeundwa na paa la pembetatu na ngazi zenye hatua tatu.<ref>{{Cite web|title=UNESCO|url=https://www.fotw.info/flags/unesco.html#flag%20UNESCO/The%20Flag|work=www.fotw.info|accessdate=2025-07-10}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Bendera]] q6bmbqakt0t3fvkqf3yxb471sb064cu 1437206 1437176 2025-07-12T11:18:04Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437206 wikitext text/x-wiki '''Bendera ya [[UNESCO]]''' ni moja ya alama rasmi za taasisi hiyo. Muundo wake una alama ya shirika hilo yenye rangi nyeupe juu ya mandhari ya buluu. Rangi buluu na nyeupe ni rangi rasmi za [[Umoja wa Mataifa]]. [[Nembo]] ya shirika hili inajumuisha maandishi ya UNESCO kwa herufi za sans-serif zenye rangi nyeupe, kila herufi ikiwa kama nguzo ya jengo la kale lenye mtindo wa usanifu wa zamani. [[Hekalu]] hilo la kale linawakilisha mojawapo ya malengo makuu ya shirika hili ambayo ni utekelezaji wa shughuli za kitamaduni kwa ajili ya kuhifadhi urithi wa kitamaduni na kihistoria wa dunia. Hekalu hilo pia limeundwa na paa la pembetatu na ngazi zenye hatua tatu.<ref>{{Cite web|title=UNESCO|url=https://www.fotw.info/flags/unesco.html#flag%20UNESCO/The%20Flag|work=www.fotw.info|accessdate=2025-07-10}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Bendera]] ekbwvg4g31xgbdklyndgvgt6h3dk5s4 1437215 1437206 2025-07-12T11:21:28Z ~2025-17875-5 80077 1437215 wikitext text/x-wiki '''Bendera ya [[UNESCO]]''' ni moja ya alama rasmi za taasisi hiyo. Muundo wake una alama ya shirika hilo yenye rangi nyeupe juu ya mandhari ya buluu. Rangi buluu na nyeupe ni rangi rasmi za [[Umoja wa Mataifa]]. [[Nembo]] ya shirika hili inajumuisha maandishi ya UNESCO kwa herufi za sans-serif zenye rangi nyeupe, kila herufi ikiwa kama nguzo ya jengo la kale lenye mtindo wa usanifu wa zamani. [[Hekalu]] hilo la kale linawakilisha mojawapo ya malengo makuu ya shirika hili ambayo ni utekelezaji wa shughuli za kitamaduni kwa ajili ya kuhifadhi urithi wa kitamaduni na kihistoria wa dunia. Hekalu hilo pia limeundwa na paa la pembetatu na ngazi zenye hatua tatu.<ref>{{Cite web|title = UNESCO|url=https://www.fotw.info/flags/unesco.html#flag%20UNESCO/The%20Flag|work=www.fotw.info|accessdate=2025-07-10}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Bendera]] duy469sab70yiuyin0nzhz1tcpsu28m Utamaduni wa Togo 0 208857 1437079 1436794 2025-07-12T06:53:09Z Anuary Rajabu 45588 1437079 wikitext text/x-wiki {{Infobox Utamaduni | jina_la_nchi = Togo | picha = Flag of Togo.svg | maelezo_ya_picha = Bendera ya Togo | idadi_ya_makabila= Zaidi ya 40 | lugha_rasmi = Kifaransa | lugha_nyingine = Ewe, Kabye, Mina, Tem, Aja, Gurma, Kotokoli | vyakula_vikuu = Fufu, Akoumé, Samaki wa kukaanga, Supu ya karanga | dini_kubwa = Ukristo, Uislamu, Vodun }} '''Utamaduni wa [[Togo]]''' umeundwa na mchanganyiko wa [[makabila]] mengi yenye [[mila]] na [[desturi]] tofauti. Ingawa taifa hilo lina idadi ya wakazi wasiozidi milioni 9, lina zaidi ya makabila 40 yenye tamaduni za kipekee. Ewe, Kabye, na Mina ni miongoni mwa makabila makubwa zaidi nchini Togo, huku takwimu zikionyesha kuwa [[Ewe]] ndio kabila lenye idadi kubwa ya wakazi, likifuatiwa na Kabye na Mina. Makundi mengine ya kikabila kama Tem, Aja, Gurma, na Kotokoli huongeza utofauti na utajiri wa urithi wa kitamaduni wa taifa hilo.<ref name=":0">{{Citation|title=Culture of Togo|date=2023-10-01|url=https://www.worldatlas.com/articles/the-culture-of-togo.html|publisher=World Atlas|language=en|access-date=2023-10-08}}</ref> == Historia == Historia ya utamaduni wa Togo imejikita katika ustaarabu wa makabila mbalimbali ya kiafrika yaliyohamia [[Afrika Magharibi]] karne nyingi zilizopita. Mwisho wa [[karne ya 15]], [[Wareno]] waliingia katika pwani ya Togo wakifuatiwa na [[Wajerumani]] na [[Wafaransa]]. Togo ilitawaliwa na Wajerumani hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]], ambapo Ufaransa ilichukua [[koloni]] hadi nchi ilipopata uhuru wake mnamo 1960. Athari za [[ukoloni]] wa kifaransa bado zinaonekana katika lugha rasmi na mifumo ya elimu, huku mila na desturi za jadi zikiendelea kuhifadhiwa na kuenziwa vijijini na mijini.<ref>Decalo, Samuel. (1996). ''Historical Dictionary of Togo''. Scarecrow Press. ISBN 978-0-8108-3134-0. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Lugha == [[File:Musée africain Lyon 130909 07.jpg|thumb|[[Sanamu]] tatu za takribani miaka ya 1910. Zinahusiana na utamaduni wa Kabiye (au Kabyé), ingawa mtindo wake unafanana na mfumo wa sanaa za utamaduni wa Lobi. Zimehifadhiwa katika Makumbusho ya Afrika mjini [[Lyon]]]] [[Kifaransa]] ndicho [[lugha rasmi]] ya Togo, inayotumika katika shughuli za serikali, elimu na biashara. Mbali na Kifaransa, kuna zaidi ya lugha 39 za asili zinazozungumzwa nchini humo, ikiwa ni pamoja na Ewe, Kabye, Tem, Aja, na Dagomba. Eneo la kusini mwa nchi hiyo, hususan mjini [[Lomé]], hutumia zaidi lugha ya Ewe kama lugha ya mawasiliano ya kila siku, huku lugha ya Kabye inazungumzwa sana maeneo ya kaskazini.<ref>Ethnologue. (2022). "Languages of Togo". SIL International. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Mila na Desturi == Mila na desturi za Togo zimejengwa juu ya mfumo wa ukoo na heshima za mababu. Kila kabila lina taratibu zake katika harusi, tohara, ibada za kuvika watu cheo, na matambiko. Sherehe maarufu zaidi nchini Togo ni Evala, ambayo hufanyika kila mwaka kati ya [[Julai]] na [[Agosti]] katika mikoa ya kaskazini. Ni mila ya vijana wa Kabye kushindana mieleka na mbio za mlimani kama sehemu ya maandalizi ya utu uzima. Aidha, upigaji ngoma, muziki wa jadi, sanaa ya vinyago, na ushairi vimeendelea kuhifadhiwa kama sehemu muhimu ya urithi wa kitamaduni wa taifa.<ref>UNESCO. (2023). "Intangible Cultural Heritage in Togo". Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Chakula == [[File:Fufu-palmnutsoup.jpg|thumb|Fufu (kushoto) na supu (kulia)]] Kama ilivyo katika nchi nyingi za Afrika, Togo hutegemea mazao ya kilimo kama [[mahindi]], [[mtama]], [[mchele]], na [[mihogo]]. Vyakula vikuu na maarufu ni pamoja na [[Fufu (Chakula)|fufu]] (hutengenezwa kwa unga wa mihogo, viazi vitamu au ndizi), akoumé (ugali wa mahindi), na supu za karanga au mboga. Samaki wa kukaanga, kamba na nyama ya kuchoma ni maarufu sana kwenye mikoa ya pwani. Katika maeneo ya mijini kama [[Lomé]], vyakula vya mchanganyiko wa kiafrika na kifaransa pia hupatikana, kuonyesha athari ya kiutamaduni ya ukoloni.<ref>Skinner, Annabel. (2005). ''West Africa''. New Holland Publishers. ISBN 978-1-84537-020-4. Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> == Dini == Dini kuu nchini Togo ni [[Ukristo]], [[Uislamu]], na dini za jadi. Takribani 43% ya watogo ni wakristo, 14% ni waislamu, huku zaidi ya 37% wakifuata dini asilia kama [[Vodun]]. Vodun, inayojulikana pia kama voodoo, ni dini ya jadi inayotambua [[mizimu]], miungu ya asili, na nguvu za kiroho. Ina asili ya karne nyingi kabla ya ukoloni, na bado inahusishwa na tamaduni za pwani ya Afrika Magharibi.<ref>United States Department of State. (2023). "Togo: International Religious Freedom Report". Iliwekwa mnamo 9 Julai 2025.</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Africa in topic|Utamaduni wa}} [[Jamii:Afrocrowd 2025]] [[Jamii:Utamaduni wa Togo]] [[Jamii:Utamaduni wa Afrika|T]] a9jp7j39cie1lhkfck31h42ah60hu5q Gaston Zossou 0 208875 1437028 1436838 2025-07-12T02:21:48Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1437028 wikitext text/x-wiki '''Gaston Zossou''' (alizaliwa [[Porto-Novo]], [[Benin]] [[Oktoba 1]], [[1954]]) <ref name=":0">{{Cite web |language=fr |title=La femme au portefeuille |url=https://www.hemisphereseditions.com/anciennes-parutions/la-femme-au-portefeuille |website=hemispheres |access-date=2022-09-22}}</ref> ni [[waziri]] wa zamani katika serikali ya Raisi ya [[Mathieu Kérékou]], [[mwalimu]], [[mwandishi]], [[mjasiriamali]], na [[mwanasiasa]] wa [[Benin]]. == Maisha == Gaston Zossou alianza maisha yake ya kitaaluma kama mwalimu wa Kiingereza. Alijitosa katika ujasiriamali wa kilimo kwa kuzalisha mananasi. Alijulikana sana na watu wa Benin alipojiunga na serikali ya Jenerali Mathieu Kérékou kama Waziri wa Mawasiliano na Uendelezaji wa Teknolojia Mpya <ref>{{Cite web |language=fr |title=Décret N° 2004-435 du 12 août 2004 |url=https://sgg.gouv.bj/doc/decret-2004-435/ |website=Secrétariat général du Gouvernement du Bénin |access-date=2022-09-22}}</ref> kisha akahudumu kama Waziri wa Utamaduni, Mawasiliano, na Msemaji wa Serikali kati ya mwaka [[1999]] na [[2005]]. <ref>{{Cite web |language=fr |first=Judicaël |last=ZOHOUN |title=Gaston Zossou l'ex porte-parole de Kérékou reprend service |url=https://24haubenin.info/?Gaston-Zossou-l-ex-porte-parole-de-Kerekou-reprend-service |website=24haubenin.info |date=2017-04-23 |access-date=2022-09-22}}</ref><ref>{{Cite web |language=fr-FR |title=Bénin - Gaston Zossou sur les réformes : "ce qui a été dit de bon est en train de se mettre en place" |url=https://archives.beninwebtv.com/2019/11/benin-gaston-zossou-sur-les-reformes-ce-qui-a-ete-dit-de-bon-est-en-train-de-se-mettre-en-place/ |website=Bénin Web TV |date=2019-11-18 |access-date=2022-09-22}}</ref> Aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bahati Nasibu ya Kitaifa ya Benin mnamo [[Mei 31]], [[2016]], <ref>{{Cite web |language=fr |title=Loterie nationale du Bénin : Gaston Zossou, nouveau directeur général |url=https://lanouvelletribune.info/2016/05/lnb-zossou-nouveau-directeur/ |website=La Nouvelle Tribune |date=2016-05-31 |access-date=2022-09-22}}</ref> na kuchukua ofisi [[Alhamisi]], [[Juni 3]], 2016. <ref>{{Cite web |language=fr-FR |title=L'événement Précis – Passation de charges : Gaston Zossou prend les commandes de la LNB |url=https://levenementprecis.com/2016/06/03/passation-de-charges-gaston-zossou-prend-les-commandes-de-la-lnb/ |access-date=2022-09-22 |archive-date=2022-09-26 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220926204621/https://levenementprecis.com/2016/06/03/passation-de-charges-gaston-zossou-prend-les-commandes-de-la-lnb/ |url-status=dead }}</ref> Mwaka [[2000]], Gaston Zossou alichapisha ''In the Name of Africa with L'Harmattan'', insha ya kisiasa ambayo aligundua matatizo yanayokumba [[bara la Afrika]] na kupendekeza njia za kuyatatua. <ref>{{Cite web |language=fr-FR |title=Gaston Zossou – Festival international Bruits de Langues |url=https://www.bruitsdelangues.fr/auteurs/2017-2/gaston-zossou-2/ |access-date=2022-09-22}}</ref><ref name=":0" /> Ndiye raisi wa klabu ya soka ya Loto Popo FC. <ref>{{Cite web |language=fr |title=FBF: Gaston Zossou n'est plus interdit de stades au Bénin |url=https://lanouvelletribune.info/2022/01/fbf-gaston-zossou-nest-plus-interdit-de-stades-au-benin/ |website=La Nouvelle Tribune |date=2022-01-25 |access-date=2022-09-22}}</ref> == Marejeo == {{Mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1954]] [[jamii:watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa]] [[Jamii:Waandishi wa Benin]] [[Jamii:wafanyabiashara wa Benin]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 4q8uzz49rah6kr7wo5o2ay5br5ioyxx George Fleming (mpelelezi) 0 208877 1437140 1436851 2025-07-12T09:47:53Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437140 wikitext text/x-wiki '''George Fleming''' (1800? – 1880?) alikuwa mpelelezi na mfanyabiashara wa Kiafrika-Mmarekani. Akiwa mtumwa wa zamani, alifuatana na [[David Livingstone]] katika uchunguzi wa kaskazini mwa [[Botswana]] na [[Afrika ya Kati]]. Mnamo mwaka wa [[1849]], Fleming alihudumu kama mpishi katika msafara wa [[Livingstone (mji)|Livingstone]], William Oswell, Mungo Murray, na [[Hubert Wilson]] waliokuwa wakigundua Ziwa Ngami. Mnamo [[1851]], alisafiri hadi kwa WabaKololo pamoja na Livingstone na Oswell. Akiungwa mkono kifedha na [[Howson Rutherford]], Fleming alijiimarisha kama mfanyabiashara katika maeneo ya ndani. Mnamo [[1853]], alichunguza Mto [[Zambezi (mto)|Zambezi]] akiwa na Livingstone, na baada ya kutengana naye huenda alikuwa mpelelezi wa kwanza kufika [[Victoria Falls|Maporomoko ya Victoria]]. Mnamo [[1856]], alipeleka vifaa vya Jumuiya ya Kimisheni ya London kwa Livingstone huko [[Quelimane]], [[Msumbiji]]. Baada ya hapo hakurekodiwa tena, ingawa inasemekana alikuwa akiishi [[Cape Town|Cape]] katika miaka ya [[1870]]. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Wapelelezi kutoka Marekani]] [[Jamii:Wapelelezi wa Afrika]] 6ir3ofu1aft9rn6wmhd8f5taolr3it3 1437177 1437140 2025-07-12T10:33:51Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] 1436851 wikitext text/x-wiki '''George Fleming''' (1800? – 1880?) alikuwa mpelelezi na mfanyabiashara wa Kiafrika-Mmarekani. Akiwa mtumwa wa zamani, alifuatana na [[David Livingstone]] katika uchunguzi wa kaskazini mwa [[Botswana]] na [[Afrika ya Kati]]. Mnamo mwaka wa [[1849]], Fleming alihudumu kama mpishi katika msafara wa [[Livingstone (mji)|Livingstone]], William Oswell, Mungo Murray, na [[Hubert Wilson]] waliokuwa wakigundua Ziwa Ngami. Mnamo [[1851]], alisafiri hadi kwa WabaKololo pamoja na Livingstone na Oswell. Akiungwa mkono kifedha na [[Howson Rutherford]], Fleming alijiimarisha kama mfanyabiashara katika maeneo ya ndani. Mnamo [[1853]], alichunguza Mto [[Zambezi (mto)|Zambezi]] akiwa na Livingstone, na baada ya kutengana naye huenda alikuwa mpelelezi wa kwanza kufika [[Victoria Falls|Maporomoko ya Victoria]]. Mnamo [[1856]], alipeleka vifaa vya Jumuiya ya Kimisheni ya London kwa Livingstone huko [[Quelimane]], [[Msumbiji]]. Baada ya hapo hakurekodiwa tena, ingawa inasemekana alikuwa akiishi [[Cape Town|Cape]] katika miaka ya [[1870]]. == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Wapelelezi kutoka Marekani]] [[Jamii:Wapelelezi wa Afrika]] iiov8g8yntjrfarx5qlc6zrdl11hc3f 1437205 1437177 2025-07-12T11:17:46Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437205 wikitext text/x-wiki '''George Fleming''' (1800 – 1880) alikuwa mpelelezi na mfanyabiashara wa Kiafrika-Mmarekani. Akiwa mtumwa wa zamani, alifuatana na [[David Livingstone]] katika uchunguzi wa kaskazini mwa [[Botswana]] na [[Afrika ya Kati]]. Mnamo mwaka wa [[1849]], Fleming alihudumu kama mpishi katika msafara wa [[Livingstone (mji)|Livingstone]], William Oswell, Mungo Murray, na [[Hubert Wilson]] waliokuwa wakigundua Ziwa Ngami. Mnamo [[1851]], alisafiri hadi kwa WabaKololo pamoja na Livingstone na Oswell. Akiungwa mkono kifedha na [[Howson Rutherford]], Fleming alijiimarisha kama mfanyabiashara katika maeneo ya ndani. Mnamo [[1853]], alichunguza Mto [[Zambezi (mto)|Zambezi]] akiwa na Livingstone, na baada ya kutengana naye huenda alikuwa mpelelezi wa kwanza kufika [[Victoria Falls|Maporomoko ya Victoria]]. Mnamo [[1856]], alipeleka vifaa vya Jumuiya ya Kimisheni ya London kwa Livingstone huko [[Quelimane]], [[Msumbiji]]. Baada ya hapo hakurekodiwa tena, ingawa inasemekana alikuwa akiishi [[Cape Town|Cape]] katika miaka ya [[1870]]. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Wapelelezi kutoka Marekani]] [[Jamii:Wapelelezi wa Afrika]] 8oy0cldroq4j3e9qdq17jp9bgvszx12 1437214 1437205 2025-07-12T11:21:07Z ~2025-17875-5 80077 1437214 wikitext text/x-wiki '''George Fleming''' (1800 - 1880) alikuwa mpelelezi na mfanyabiashara wa Kiafrika-Mmarekani. Akiwa mtumwa wa zamani, alifuatana na [[David Livingstone]] katika uchunguzi wa kaskazini mwa [[Botswana]] na [[Afrika ya Kati]]. Mnamo mwaka wa [[1849]], Fleming alihudumu kama mpishi katika msafara wa [[Livingstone (mji)|Livingstone]], William Oswell, Mungo Murray, na [[Hubert Wilson]] waliokuwa wakigundua Ziwa Ngami. Mnamo [[1851]], alisafiri hadi kwa WabaKololo pamoja na Livingstone na Oswell. Akiungwa mkono kifedha na [[Howson Rutherford]], Fleming alijiimarisha kama mfanyabiashara katika maeneo ya ndani. Mnamo [[1853]], alichunguza Mto [[Zambezi (mto)|Zambezi]] akiwa na Livingstone, na baada ya kutengana naye huenda alikuwa mpelelezi wa kwanza kufika [[Victoria Falls|Maporomoko ya Victoria]]. Mnamo [[1856]], alipeleka vifaa vya Jumuiya ya Kimisheni ya London kwa Livingstone huko [[Quelimane]], [[Msumbiji]]. Baada ya hapo hakurekodiwa tena, ingawa inasemekana alikuwa akiishi [[Cape Town|Cape]] katika miaka ya [[1870]]. == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Wapelelezi kutoka Marekani]] [[Jamii:Wapelelezi wa Afrika]] 9q02zaxp7lo2j2hji1yv7n23ku9eh2g Angeline Ndayishimiye 0 208878 1437032 1436843 2025-07-12T02:56:45Z Justine Msechu 45962 1437032 wikitext text/x-wiki {{Mtu |rangi = nyeusi |jina = Angeline Ndayishimiye |picha = Angeline Ndayishimiye Ndayubaha - 2023 (cropped).jpg |maelezo_ya_picha = |jina la kuzaliwa = |alizaliwa = 1976 |alikufa = |nchi = Burundi |kazi yake = Mke wa Raisi |ndoa = [[Évariste Ndayishimiye]] |wazazi = |watoto = 6 |tovuti rasmi = }} '''Angeline Ndayishimiye Ndayubaha''' (alizaliwa [[1976]]) <ref>{{Cite web |title=H.E Madam Angeline Ndayubaha – AFLPM |url=https://aflpm.org/team/burundi/ |access-date=2024-06-21 |language=en-US}}</ref> alikua Mke wa Raisi wa [[Burundi]] mwaka [[2020]]. Mwaka [[2023]] alipewa Tuzo na [[Umoja wa Mataifa]] ya Idadi ya Watu. == Maisha == Alikuwa luteni alipoondoka katika jeshi mwaka [[2004]]. <ref name=faapa>{{Cite web |last=z.janati |date=2022-11-27 |title=sommet UA: Mme Angeline NDAYISHIMIYE, Première Dame du Burundi, âme de battante |url=https://nwl.faapa.info/actualites/sommet-ua-mme-angeline-ndayishimiye-premiere-dame-du-burundi-ame-de-battante/ |access-date=2024-03-02 |website=NWL - FAAPA |language=fr-FR}}</ref> Mwaka [[2005]], alianza kufanya kazi katika ''Société Burundaise de Gestion des Entrepôts et d'Assistance des Avions en Escale (SOBUGAE)'', kampuni ya Burundi inayojiusisha na usafirishaji wa mizigo kwa ndege. Kuanzia [[2010]] hadi [[2012]], aliongoza idara ya rasilimali watu na utawala wa kampuni hiyo, na baadaye akateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Utawala na Fedha. Alipata mapumziko ya mwaka mmoja katika Air Burundi lakini vinginevyo alishikilia wadhifa huu hadi [[2018]]. Mnamo [[2017]], alianzisha shirika linaloitwa ''Femmes Intwari'' ambalo lengo lake ni kukuza amani ya kidemokrasia. Wanachama wa Femmes Intwari ni wanawake ambao, kama yeye, wamewahi kutumikia jeshi au ni wajane wa wanajeshi wa Burundi. Mwaka [[2019]], alianzisha na kuwa raisi wa shirika la ''Umugiraneza'' ambalo linafanya kazi za kupunguza umaskini kwa kuzingatia watoto na wajane. Umugiraneza hutoa huduma za afya, kazi za kulipwa, elimu na mafunzo. Mnamo 18 Juni 2020, alikua Mke wa Raisi wa Burundi.<ref>{{Cite web |title=H.E Madam Angeline Ndayubaha – AFLPM |url=https://aflpm.org/team/burundi/ |access-date=2024-03-02 |language=en-US}}</ref>. ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1976]] [[jamii:watu walio hai]] [[Jamii:wafanyabiashara wa Burundi]] [[Jamii:Wanawake wa Burundi]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 08xila1gss9y96b7ggnlebgkoxbxxbe Ugonjwa wa Poland 0 208880 1436914 1436912 2025-07-11T12:04:27Z Riccardo Riccioni 452 1436914 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidacti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:magonjwa]] sz4w7d69ca79134byob4p9jj5j2nerq 1436917 1436914 2025-07-11T12:10:54Z ~2025-17536-1 80043 [[polandi]] 1436917 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Polandi ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:magonjwa]] fj8vyr5zdjgsu6pbdf0p4mtoy6xueqe 1436918 1436917 2025-07-11T12:11:25Z ~2025-17258-3 80044 1436918 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Polandi ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:magonjwa]] nghm4kw4l2yvu5jvlvpm99ob7c4gkmz 1436919 1436918 2025-07-11T12:11:45Z ~2025-17701-3 80047 Magonjwa 1436919 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Polandi ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 4y79avscoqqkkk92zg61na1jt607urs 1436920 1436919 2025-07-11T13:07:16Z Интаосос 80048 Siri Alfredi Polandi 1436920 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Siri Alfredi Polandi ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Polandi ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 7fyzaamxnujgx4nrl8mofnzm2kese7t 1436921 1436920 2025-07-11T13:07:37Z Интаосос 80048 Sir Alfred Poland 1436921 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Polandi ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 4y79avscoqqkkk92zg61na1jt607urs 1436922 1436921 2025-07-11T13:24:34Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni moved page [[Ugonjwa wa Polandi]] to [[Ugonjwa wa Poland]] over redirect: usahihi wa jina 1436921 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Polandi''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Polandi hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono ka radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Dekstrokardi: moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Mikrosefali (kichwa kidogo). * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha Ugonjwa wa Polandi hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Polandi ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hiki kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Polandi ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 4y79avscoqqkkk92zg61na1jt607urs 1436924 1436922 2025-07-11T13:28:54Z Riccardo Riccioni 452 1436924 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Polandi: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Polandi]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Polandi akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Polandi<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] te7j3wx50xw6uc8816p6bx7x4btpesr 1436925 1436924 2025-07-11T13:38:18Z ~2025-17370-8 80050 [[Polandi]] ≠ Alfred Poland 1436925 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa <ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete <ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe. <ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref> <ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo: <ref name=":2" /> <ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly) <ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba. <ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba <ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya. <ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. <ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] sq7a4vfv5ypb8ni9hewnan8r9seerlv 1436926 1436925 2025-07-11T13:40:58Z ~2025-17370-8 80050 ref-ref 1436926 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 3wg6k3ltb9cmqxnlkhg4i7fgcxvlcb3 1436927 1436926 2025-07-11T13:44:55Z ~2025-17433-0 80052 macula omissa addita 1436927 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida. * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland.<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili. Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 95acnd93iad96hqv4x0zw65tgr03p2z 1436944 1436927 2025-07-11T14:40:02Z Zamshi 78847 1436944 wikitext text/x-wiki ''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida. * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland.<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili. Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 85neoqke86zknklu2fgueskpyqduqpw 1436945 1436944 2025-07-11T14:45:20Z ~2025-17450-7 80054 [[special:Tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1436945 wikitext text/x-wiki ''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida. * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland.<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili. Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 1w488dp0106wr9mhn9hzfvcg5ggnmof 1436946 1436945 2025-07-11T14:46:31Z ~2025-17450-7 80054 [[special:Tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1436946 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida. * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland.<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili. Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] 95acnd93iad96hqv4x0zw65tgr03p2z 1436947 1436946 2025-07-11T14:46:50Z ~2025-17450-7 80054 [[special:Tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1436947 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida. * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absentt left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland.<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major msucle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili. Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] h493ftc1zq0vfiupsg840sb4z6xvfnn 1436949 1436947 2025-07-11T15:16:03Z Ugonjwa 80055 muscle 1436949 wikitext text/x-wiki '''Ugonjwa wa Poland''' ni kasoro ya kuzaliwa<ref>{{Cite journal|last=Mwilaria|first=Reuben|last2=Kobia|first2=John|last3=Musyimi|first3=Dorcas|date=2024-10-24|title=Mitindo ya Uwasilishaji wa Suala la Afya Katika Matini Teule za Fasihi ya Kiswahili ya Watoto|url=https://doi.org/10.37284/jammk.7.1.2337|journal=East African Journal of Swahili Studies|volume=7|issue=1|pages=492–503|doi=10.37284/jammk.7.1.2337|issn=2707-3475}}</ref> ambayo huathiri maendeleo ya misuli upande mmoja wa mwili, hasa katika kifua na mkono<ref>{{Cite journal|last=Hoskins|first=Amber|date=2022-10-02|title=Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD)|url=https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/02763869.2022.2131143|journal=Medical Reference Services Quarterly|language=en|volume=41|issue=4|pages=389–394|doi=10.1080/02763869.2022.2131143|issn=0276-3869}}</ref>. Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume na mara nyingi huathiri upande wa kulia wa mwili. Katika baadhi ya visa, huambatana pia na utando wa vidole (sindaktili) katika mkono huohuo.<ref name=":0">{{Cite journal|date=2004-04-01|others=Abigail Leah Plumb|title=Genetics Home Reference|url=https://www.emerald.com/insight/content/doi/10.1108/09504120410528234/full/html|journal=Reference Reviews|language=en|volume=18|issue=3|pages=38–39|doi=10.1108/09504120410528234|issn=0950-4125}}</ref> Chanzo halisi cha ugonjwa huu haujulikani<ref name=":0" />. Hata hivyo kuna nadharia inayodai kuwa unachangiwa na kukatizwa kwa mtiririko wa damu wakati wa maendeleo ya kiinitete<ref>[https://www.msdmanuals.com/sw/home/quick-facts-women-s-health-issues/normal-pregnancy/development-of-the-fetus]</ref> katika wakati wa awali wa [[ujauzito]]. Kwa kawaida, ugonjwa huo haurithiwi na bado hakuna jeni zilizothibitishwa kuhusika moja kwa moja. Utambuzi hufanyika kwa kuzingatia dalili za kimwili. Mara nyingi, watu walio na hali hii hubaki bila kutambuliwa, na baadhi yao huigundua tu wanapofikia umri wa kubalehe.<ref name=":1">''Ugonjwa wa Poland: Dalili, Utambuzi na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/poland-syndrome/ (Accessed: 11 July 2025).</ref><ref>''"Kasoro za Misuli - Matatizo ya Afya ya Watoto". Toleo la Mtumiaji la Mwongozo wa MSD (in Swahili). Retrieved 2025-07-09.''</ref> Matibabu ya ugonjwa wa Poland hutegemea ukali wake, na yanaweza kujumuisha upasuaji wa kurekebisha kasoro zilizoonekana<ref name=":2">"Poland syndrome". ''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016. Retrieved 16 October 2018.</ref>. Hali hii huathiri takriban mtoto 1 kati ya 20,000 aliyezaliwa huku wanaume wakiathirika mara mbili zaidi ya wanawake<ref>''Genetic and Rare Diseases Information Center (GARD) – an NCATS Program''. 2016.</ref>. Imepata jina lake kutoka kwa daktari wa upasuaji wa Kiingereza, Sir Alfred Poland ambaye aliieleza kwa mara ya kwanza akiwa mwanafunzi mwaka wa 1841.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref>Weinzweig, Jeffrey (2010). ''Plastic Surgery Secrets Plus E-Book''. Elsevier Health Sciences. p. 774. [[ISBN (identifier)|ISBN]] [[Maalum:ZuiaChanzo/978-0-323-08590-8|<bdi>978-0-323-08590-8</bdi>]].</ref> Katika visa vingi, wagonjwa huonyesha pia kasoro nyingine za kifua kama vile kifua kilichozama ndani (pectus excavatum) au hali ya kupinda (pectus carinatum) kwa mfupa wa kifua kueleka nje pamoja na mbavu. Hivyo basi, tathmini ya kitaalamu inahitajika ili kubaini athari zake kwa mfumo wa upumuaji na moyo, na inapobidi, kufanyika upasuaji wa kurekebisha umbo la kifua. == Ishara na dalili== Ugonjwa huo hujitokeza kwa njia mbalimbali na dalili zake hutofautiana kulingana na mtu na kiwango cha athari, Kwa kawaida, huathiri upande mmoja (unilaterali). Dalili zinaweza kugawanywa katika makundi yafuatayo:<ref name=":2" /><ref name=":1" /> 1.Dalili za misuli na matiti. Ukosefu au maendeleo duni ya pectoralis major, hasa kichwa cha sehemu inayoshikilia kwenye mfupa wa kifua (sternokostali). Kwa wanawake: kutokuwepo kwa matiti au chuchu upande mmoja ([[amastia]]). Kwa wanaume: kifua upande mmoja huonekana kimezama au kimepungua ukubwa. 2.Dalili za mkono na vidole. * Sindaktili: vidole vilivyoshikana kwa utando. * [[Faili:PolandSydromeHand.jpg|alt=Right hand of patient with typical features of Poland Syndrome|thumb|Mkono wa kulia wa mgonjwa aliye na simbrakidakti katika ugonjwa wa Poland]] Brakidaktili: vidole vifupi kupita kawaida. * Oligodaktili: upungufu wa idadi ya vidole. * Upungufu au kasoro katika mifupa ya mkono kama radius, ulna au humerus. * Mikono isiyo sawa kwa ukubwa au nguvu (asimetri ya viungo vya juu). 3. Dalili za ngozi na nywele. * Ukosefu wa nywele za kwapa upande ulioathirika. * Mikunjo ya ngozi isiyo ya kawaida, mfano kreasi ya simiani. 4. Dalili za mfumo wa mifupa na kifua. * [[Faili:Showing_Poland_syndrome_clearly_(cropped).jpg|alt=Male presents with absent left pectoral muscle|thumb|Mwanaume aliye na ugonjwa wa Poland akionyesha kutokuwepo kifua cha kushoto]]Kasoro ya mbavu, mara nyingine mbavu huwepo lakini hazijaungana vizuri na mfupa wa kifua. * Pectus excavatum au pectus carinatum. * Scapula (mfupa wa bega) inaweza kuwa na maumbile yasiyo ya kawaida. 5. Dalili nyingine (mara chache). * Moyo kuwa upande wa kulia wa kifua. * Kasoro za mfumo wa nyongo na ini. * Kichwa kidogo. * Kasoro za figo na mfumo wa mkojo (ureteric anomaly)<ref>''Ectopic Ureter: Dalili, Sababu na Matibabu'' (no date). Available at: https://www.medicoverhospitals.in/sw/diseases/ectopic-ureter/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>. * Utoboaji wa kiwambo cha kupumulia (diaphramatic hernia). == Visababishi == Chanzo halisi cha ugonjwa wa Poland hakijulikani. Hata hivyo, nadharia inayokubalika zaidi ni kwamba hali hii husababishwa na ukatizwaji wa mtiririko wa damu kwa kiinitete (embryo) katika kipindi cha maendeleo ya mapema ya ujauzito hasa takriban siku ya 46 baada ya utungwaji mimba.<ref>Poullin P.; Toussirot E.; Schiano A.; Serratrice G. (1992). "[Complete and dissociated forms of Poland's syndrome (5 cases)]". ''Rev Rhum Mal Osteoartic''. '''59''' (2): 114–20. [[PMID (identifier)|PMID]]&nbsp;1604222.</ref> Pia, inaaminika kuwa [[Ateri|ateri za subklaviani]], ambazo hupitia chini ya mfupa wa kola (claviculum), hukoma kusambaza damu kwa tisha za kiinitete ambazo baadaye hutengeneza ukuta wa kifua na mkono. Kukosekana kwa usambazaji huu wa damu husababisha ukosefu wa maendeleo ya kawaida ya misuli ya kifua na viungo vya mkono upande mmoja wa mwili. Tofauti katika eneo na ukubwa wa ukatizwaji wa damu zinaweza kueleza kwa nini dalili za ugonjwa huu hutofautiana kati ya mtu na mtu. Pia, tafiti zimependekeza kuwa kasoro katika muundo wa kiinitete unaoitwa “apical ectodermal ridge” ambao ni muhimu katika kuongoza ukuaji wa viungo vya mikono na miguu inaweza kueleza kwa nini baadhi ya wagonjwa pia hupata matatizo ya vidole na mikono<ref>{{Cite web|title=Poland syndrome: MedlinePlus Genetics|url=https://medlineplus.gov/genetics/condition/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=medlineplus.gov|language=en}}</ref>. Vilevile, kuna mashaka kuwa athari za azingira wakati wa ujauzito kama vile magonjwa ya mama hasa kisukari cha ujauzito huweza kuchangia hatari ya mtoto kupata ugonjwa wa Poland.<ref name=":1" /> == Utambuzi == Ugonjwa huu kwa kawaida hutambuliwa wakati wa kuzaliwa, kwa kuzingatia sifa za kimwili zinazoonekana wazi. Katika baadhi ya visa ambapo hali ni kiwango cha chini, utambuzi unaweza kuchelewa hadi wakati wa kubalehe, ambapo tofauti katika ukuaji wa kifua au mikono huanza kuonekana kwa urahisi zaidi.<ref name=":2" /><ref>Tafti, D. and Cecava, N.D. (2025) ‘Poland Syndrome’, in ''StatPearls''. Treasure Island (FL): StatPearls Publishing. Available at: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK532259/ (Accessed: 11 July 2025).</ref> [[Faili:Poland-Syndrom_links_57M_-_CT_KM_pv_-_001.jpg|thumb|CT scan inayoonyesha ukosefu wa Pectoralis]] [[Faili:Polanda.jpg|alt=Mammogram showing absense of pectoralis major muscle on left side|thumb|Mammogram inayoonyesha kutokuwepo kwa miduli kuu ysa Pectorslid Majo upande wa kushotor na upande wa kulia ni sawa]] Tathmini ya kinana ya kitaaluma inahitajika kutambua ugonjwa huu. Utambuzi unategemea uchunguzi wa kliniki pamoja na vipimo vya picha, ambavyo husaidia kuelewa kiwango na eneo lililoathirika. Uchunguzi wa kimwili hubaini kama kuna tofauti kwa ukubwa wa upande mmoja wa kifua, ukosefu au udhaifu wa misuli ya pectoralis major na kasoro za mikono au vidole ka vile sindaktili (vidole vilivyoshikana) au brakidaktili (vidole vifupi). Vipimo vya picha kama X-Ray hutumika kuonyesha kasoro za mfupa wa kifua na mkono na MRI hutoa picha za kina zinazosaidia kuchunguza maendeleo ya misuli na hali ya viungo vilivyoathirika. Ingawa ugonjwa huu kwa kawaida hauhusiani moja kwa moja na urithi wa kijeni, ushauri wa kinasaba<ref>RoleCatcher.com (no date) ''Mwongozo wa Mahojiano: Ushauri Juu ya Magonjwa ya Jenetiki kabla ya Kuzaa''. Available at: https://rolecatcher.com/sw/miongozo-ya-mahojiano/mwongozo-wa-ujuzi/ujuzi-mgumu/mawasiliano-ushirikiano-na-ubunifu/ushauri-na-ushauri/ushauri-juu-ya-magonjwa-ya-kinasaba-kabla-ya-kuzaa/ (Accessed: 11 July 2025).</ref>unaweza kupendekezwa endapo kuna dalili nyingine za kasoro za kuzaliwa au hata historia ya matatizo ya kimaumbile katika familia. Hii husaidia kutathmini ikiwa kuna hatari ya kurudia kwa hali hii katika ujauzito wa baadaye<ref name=":1" />. == Matibabu == Matibabu huhusisha mchanganyiko wa upasuaji na mbinu zingine kama dawa. Matibabu hulenga dalili maalum zinazoonekana kwa kila mgonjwa mmoja mmoja. Kwa kuwa athari zake hutofautiana kwa kiwango na eneo, matibabu mara nyingi huhitaji uratibu wa wataalamu mbalimbali wa afya.<ref>{{Cite web|title=Poland Syndrome - Symptoms, Causes, Treatment {{!}} NORD|url=https://rarediseases.org/rare-diseases/poland-syndrome/|access-date=2025-07-11|website=rarediseases.org|language=en-US}}</ref><ref name=":1" /> 1. Urekebishaji kwa upasuaji. Upasuaji wa plastiki mara nyingi hupendekezwa ili kujenga upya ukuta wa kifua na tishu za matiti hasa kwa wanawake, ili kuboresha mwonekano wa mwili na utendakazi wa eneo lililoathirika. Katika baadhi ya visa, upasuaji unaweza kufanywa pia kurekebisha kasoro za mifupa ya mikono au vidole<ref>{{Cite web|title=Cosmetic surgery – Poland Syndrome|url=https://www.medical-solutions-bcn.com/en/poland-syndrome-surgery-treatment/|access-date=2025-07-11|website=Medical Solutions Barcelona|language=en-US}}</ref>. 2. Dawa bandia na vifaa mbadala. Katika visa vya kasoro za vidole, vifaa vya bandia vinaweza kutumika ili kuboresha uhamaji. 3. Tiba ya kimwili. Ili kusaidia kuimarisha nguvu, kuboresha harakati na kuzuia matatizo ya muda mrefu, tiba ya kimwili inaweza kuagizwa. Hii ni muhimu kuboresha maisha. 4.Msaada wa kisaikolojia  Ushauri wa kisaikolojia inaweza kusaidia wagonjwa hasa vijana kukabiliana na changamoto za kisaikolojia kama vile hali ya kuonekana tofauti na kujithamini na vile kuishi na hali hiyo. Matibabu mengine kwa kawaida ni ya kusaidia na kupunguza dalili.<ref name=":1" /> == Visa vilivyoripotiwa katika Afrika == Uhakiki wa maandiko ya kisayansi unaonyesha kuwa ni visa viwili pekee vya ugonjwa wa Poland ambavyo vimeripotiwa kutoka Afrika [[kusini kwa Sahara|kusini mwa Jangwa la Sahara]]. Kisa cha kwanza kilichothibitishwa kilitokea Rwanda mwaka wa 2005 na kuhusisha mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa na viungo vya mwili, vidole, mbavu na moyo wake vilikuwa vya kawaida kupungua kwa umbo la kifua upande wa kushoto tangu utotoni. Uchunguzi wa kimwili ulionyesha kutokuwepo kwa misuli ya pectoralis major upande huo na kutokuwepo kwa mkunjo wa kwapa. Hata hivyo, misuli ya pectorlais minor na serratus anterior zilikuwepo na zilikuwa kawaida. Mtoto huyo alikuwa na ukuaji wa kawaida na uwezo wa kiakili wa kawaida pia. Hakukuwa na historia ya ugonjwa huu katika familia yake. Kisa hicho kinaonyesha jinsi ugonjwa wa Poland ulivyo nadra kuripotiwa katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.<ref>Gashegu, J., Byiringiro, J. C., Nyundo, M., Uwineza, A., & Mutesa, L. (2009). Poland’s Syndrome: A Case Report. ''East and Central African Journal of Surgery'', '''14'''(2), 112–114. Retrieved from http://www.bioline.org.br/</ref> == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:Magonjwa]] pvvyotgxu4xtu8ihk43ob74tkv1jpmv 2 Black 2 Strong 0 208892 1436928 2025-07-11T14:11:14Z Mimi Prowess 50743 Makala mpya 1436928 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = John Mars |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa =1968 |mahala_pa_kuzaliwa =Marekani |majina_mengine = 2 Black 2 Strong |anafahamika kwa = Nyimbo ya "Burn Baby Burn" |kazi_yake = Rapa |nchi = [[File:Flag of the United States.svg|25px]] Marekani }} John Mars, anayejulikana kama 2 Black 2 Strong, (aliyezaliwa mwaka[[1968]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[rapa]] wa [[Marekani]] aliyerekodi nyimbo zake miaka ya zamani ya [[1990]].<ref>{{Cite web|title=BOMB Magazine {{!}} 2 Black 2 Strong|url=https://bombmagazine.org/articles/1991/01/01/2-black-2-strong/|work=BOMB Magazine|accessdate=2025-07-11|language=en}}</ref><ref>{{Citation|last=Harrington|first=Richard|title=THE PUBLIC ENEMY DOCUDRAMA|date=1990-08-08|url=https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1990/08/08/the-public-enemy-docudrama/2aeabdb9-8c90-4622-86ed-5317dbdd6acf/|work=The Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2025-07-11}}</ref> Anajulikana zaidi kwa wimbo wake "Burn Baby Burn", kuhusu haki ya kuchoma [[bendera ya Marekani]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=WUFvDwAAQBAJ&pg=PA66|title=The American Flag: An Encyclopedia of the Stars and Stripes in U.S. History, Culture, and Law|last=Vile|first=John R.|date=2018-10-05|publisher=ABC-CLIO|isbn=978-1-4408-5789-8|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=RDWxkmx1bj4C&pg=PA30|title=SPIN|last=LLC|first=SPIN Media|date=1990-12|publisher=SPIN Media LLC|language=en}}</ref> Aliongoza kundi la "rappers, MMG" (Militan wa Manhattan Gangsters au Mighty Motherfuckin' Gangsters), ambayo ilionekana kwenye nyimbo zake nyingi. == Maisha ya awali == 2 Black 2 Strong ni jina la kitaalamu la John Mars.<ref>{{Citation|last=Harrington|first=Richard|title=THE PUBLIC ENEMY DOCUDRAMA|date=1990-08-08|url=https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1990/08/08/the-public-enemy-docudrama/2aeabdb9-8c90-4622-86ed-5317dbdd6acf/|work=The Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2025-07-11}}</ref> Alikuwa na umri wa miaka 22 mnamo Januari 1991, kwa hiyo yaelekea alizaliwa mwaka wa 1968.<ref>{{Cite web|title=BOMB Magazine {{!}} 2 Black 2 Strong|url=https://bombmagazine.org/articles/1991/01/01/2-black-2-strong/|work=BOMB Magazine|accessdate=2025-07-11|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Marekani]] iy8qdo767z7bcc1v4t8pm1vfyc7uwfs 1436929 1436928 2025-07-11T14:21:55Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[John Mars (2 Black 2 Strong)]] hadi [[2 Black 2 Strong]]: urahisi wa kuupata 1436928 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = John Mars |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa =1968 |mahala_pa_kuzaliwa =Marekani |majina_mengine = 2 Black 2 Strong |anafahamika kwa = Nyimbo ya "Burn Baby Burn" |kazi_yake = Rapa |nchi = [[File:Flag of the United States.svg|25px]] Marekani }} John Mars, anayejulikana kama 2 Black 2 Strong, (aliyezaliwa mwaka[[1968]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[rapa]] wa [[Marekani]] aliyerekodi nyimbo zake miaka ya zamani ya [[1990]].<ref>{{Cite web|title=BOMB Magazine {{!}} 2 Black 2 Strong|url=https://bombmagazine.org/articles/1991/01/01/2-black-2-strong/|work=BOMB Magazine|accessdate=2025-07-11|language=en}}</ref><ref>{{Citation|last=Harrington|first=Richard|title=THE PUBLIC ENEMY DOCUDRAMA|date=1990-08-08|url=https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1990/08/08/the-public-enemy-docudrama/2aeabdb9-8c90-4622-86ed-5317dbdd6acf/|work=The Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2025-07-11}}</ref> Anajulikana zaidi kwa wimbo wake "Burn Baby Burn", kuhusu haki ya kuchoma [[bendera ya Marekani]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=WUFvDwAAQBAJ&pg=PA66|title=The American Flag: An Encyclopedia of the Stars and Stripes in U.S. History, Culture, and Law|last=Vile|first=John R.|date=2018-10-05|publisher=ABC-CLIO|isbn=978-1-4408-5789-8|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=RDWxkmx1bj4C&pg=PA30|title=SPIN|last=LLC|first=SPIN Media|date=1990-12|publisher=SPIN Media LLC|language=en}}</ref> Aliongoza kundi la "rappers, MMG" (Militan wa Manhattan Gangsters au Mighty Motherfuckin' Gangsters), ambayo ilionekana kwenye nyimbo zake nyingi. == Maisha ya awali == 2 Black 2 Strong ni jina la kitaalamu la John Mars.<ref>{{Citation|last=Harrington|first=Richard|title=THE PUBLIC ENEMY DOCUDRAMA|date=1990-08-08|url=https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1990/08/08/the-public-enemy-docudrama/2aeabdb9-8c90-4622-86ed-5317dbdd6acf/|work=The Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2025-07-11}}</ref> Alikuwa na umri wa miaka 22 mnamo Januari 1991, kwa hiyo yaelekea alizaliwa mwaka wa 1968.<ref>{{Cite web|title=BOMB Magazine {{!}} 2 Black 2 Strong|url=https://bombmagazine.org/articles/1991/01/01/2-black-2-strong/|work=BOMB Magazine|accessdate=2025-07-11|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Marekani]] iy8qdo767z7bcc1v4t8pm1vfyc7uwfs 1436931 1436929 2025-07-11T14:24:20Z Riccardo Riccioni 452 1436931 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = John Mars |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa =1968 |mahala_pa_kuzaliwa =Marekani |majina_mengine = 2 Black 2 Strong |anafahamika kwa = Nyimbo ya "Burn Baby Burn" |kazi_yake = Rapa |nchi = [[File:Flag of the United States.svg|25px]] Marekani }} '''2 Black 2 Strong''' (jina halisi: '''John Mars'''<ref>{{Citation|last=Harrington|first=Richard|title=THE PUBLIC ENEMY DOCUDRAMA|date=1990-08-08|url=https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1990/08/08/the-public-enemy-docudrama/2aeabdb9-8c90-4622-86ed-5317dbdd6acf/|work=The Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2025-07-11}}</ref>; alizaliwa mwaka [[1968]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[rapa]] wa [[Marekani]] aliyerekodi nyimbo zake [[miaka ya 1990]].<ref>{{Cite web|title=BOMB Magazine {{!}} 2 Black 2 Strong|url=https://bombmagazine.org/articles/1991/01/01/2-black-2-strong/|work=BOMB Magazine|accessdate=2025-07-11|language=en}}</ref><ref>{{Citation|last=Harrington|first=Richard|title=THE PUBLIC ENEMY DOCUDRAMA|date=1990-08-08|url=https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1990/08/08/the-public-enemy-docudrama/2aeabdb9-8c90-4622-86ed-5317dbdd6acf/|work=The Washington Post|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2025-07-11}}</ref> Anajulikana zaidi kwa wimbo wake "Burn Baby Burn", kuhusu haki ya kuchoma [[bendera ya Marekani]].<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=WUFvDwAAQBAJ&pg=PA66|title=The American Flag: An Encyclopedia of the Stars and Stripes in U.S. History, Culture, and Law|last=Vile|first=John R.|date=2018-10-05|publisher=ABC-CLIO|isbn=978-1-4408-5789-8|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=RDWxkmx1bj4C&pg=PA30|title=SPIN|last=LLC|first=SPIN Media|date=1990-12|publisher=SPIN Media LLC|language=en}}</ref> Aliongoza kundi la "rappers, MMG" (Militan wa Manhattan Gangsters au Mighty Motherfuckin' Gangsters), ambayo ilionekana kwenye nyimbo zake nyingi. == Maisha ya awali == John Mars alikuwa na umri wa miaka 22 mnamo Januari 1991, kwa hiyo yaelekea alizaliwa mwaka wa 1968.<ref>{{Cite web|title=BOMB Magazine {{!}} 2 Black 2 Strong|url=https://bombmagazine.org/articles/1991/01/01/2-black-2-strong/|work=BOMB Magazine|accessdate=2025-07-11|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{BD|1968|}} [[Jamii:marapa wa Marekani]] fzfaj0l0y03327smh0zmyltt5s9hhql John Mars (2 Black 2 Strong) 0 208893 1436930 2025-07-11T14:21:55Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[John Mars (2 Black 2 Strong)]] hadi [[2 Black 2 Strong]]: urahisi wa kuupata 1436930 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[2 Black 2 Strong]] b4e1ndn676f5qi8ikamre5uio6htt9q Kisima Music Awards 0 208894 1436952 2025-07-11T15:23:36Z Yoramtohny 52771 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{update|date=August 2014}} {{EngvarB|date=May 2013}} {{Use dmy dates|date=May 2023}} [[Image:KisimaMusicAwardslogo.png|right|150px]] '''Kisima Music Awards''' yaani '''Tuzo za Muziki za Kisima''' ni programu ya kila mwaka ya tuzo inayotambua vipaji vya muziki katika Afrika Mashariki. Licha ya kuwa na msingi wa Kenya, mpango huu huwatunuku wasanii kutoka nchi mbalimbali, hasa Kenya, Uganda na Tanzania, na hujumuisha aina mbalimbali za muziki.<ref name="ya...' 1436952 wikitext text/x-wiki {{update|date=August 2014}} {{EngvarB|date=May 2013}} {{Use dmy dates|date=May 2023}} [[Image:KisimaMusicAwardslogo.png|right|150px]] '''Kisima Music Awards''' yaani '''Tuzo za Muziki za Kisima''' ni programu ya kila mwaka ya tuzo inayotambua vipaji vya muziki katika Afrika Mashariki. Licha ya kuwa na msingi wa Kenya, mpango huu huwatunuku wasanii kutoka nchi mbalimbali, hasa Kenya, Uganda na Tanzania, na hujumuisha aina mbalimbali za muziki.<ref name="yardflex">Yardflex: [http://www.yardflex.com/archives/000586.html Kisima Music Awards in Kenya] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20160706200951/http://www.yardflex.com/archives/000586.html |date=6 July 2016 }}, written by Senabulya Frank 13 July 2006</ref> {{Marejeo}} {{Reflist}} {{Mbegu}} [[Jamii: Wanamuziki wa Kenya]] [[Jamii: Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii: sanaa]] [[Jamii: Wanamuziki wa Afrika]] k5sa1gdejabnvtgc77bjq6pr4ia0gkj 1436953 1436952 2025-07-11T15:27:31Z Yoramtohny 52771 1436953 wikitext text/x-wiki '''Kisima Music Awards''' yaani '''Tuzo za Muziki za Kisima''' ni programu ya kila mwaka ya tuzo inayotambua vipaji vya muziki katika Afrika Mashariki. Licha ya kuwa na msingi wa Kenya, mpango huu huwatunuku wasanii kutoka nchi mbalimbali, hasa Kenya, Uganda na Tanzania, na hujumuisha aina mbalimbali za muziki.<ref name="yardflex">Yardflex: [http://www.yardflex.com/archives/000586.html Kisima Music Awards in Kenya] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20160706200951/http://www.yardflex.com/archives/000586.html |date=6 July 2016 }}, written by Senabulya Frank 13 July 2006</ref> {{Marejeo}} {{Reflist}} {{Mbegu}} [[Jamii: Wanamuziki wa Kenya]] [[Jamii: Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii: sanaa]] [[Jamii: Wanamuziki wa Afrika]] 7f8vnd2ted0xr2xfvdeyshtizfqx1jr Utamaduni wa Kenya 0 208895 1436955 2025-07-11T15:54:45Z Alex Rweyemamu 75841 Nimefanikiwa kuandika makala hii ya Utamaduni wa kenya 1436955 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Kenya.svg|alt=Bendera ya nchi ya Kenya|thumb|Bendera ya nchi ya Kenya]] '''Utamaduni wa Kenya''' ni taswira ya urithi na tofauti unaotokana na muunganiko wa zaidi ya makabila 40 yenye historia, lugha, na mila mbalimbali. Taifa hili lililo katika eneo la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] linajivunia kuwa kiungo kati ya [[Utamaduni|tamaduni]] za bara la [[Afrika]], ulimwengu wa [[Kiarabu]], na athari za [[Ulaya]] kupitia historia yake ya [[ukoloni]]. Utambulisho huu wa kiutamaduni umejengwa juu ya misingi ya asili, maingiliano ya kijamii, maendeleo ya kisasa, na juhudi za kudumisha mshikamano wa kitaifa. == Historia ya Utamaduni == Kabla ya kuwasili kwa wakoloni, jamii za kienyeji za Kenya ziliendesha maisha yao kwa misingi ya koo na familia, zikiwa na utawala wa kijadi uliowekwa na wazee, machifu au mashujaa wa jadi. Kila jamii ilikuwa na mfumo wa mila, lugha, imani na mtindo wa maisha unaoendana na mazingira yao ya kiikolojia. Wengine walikuwa wakulima, wafugaji, wawindaji au wavuvi wote wakiongozwa na maadili ya kijamii yaliyowekwa na desturi za jadi. Kuanzia mwishoni mwa karne ya 19, ukoloni wa Waingereza uliingilia mfumo huu wa maisha, na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijamii na kiutamaduni. Elimu ya kimagharibi, dini ya kikristo, mifumo ya kisasa ya utawala, pamoja na lugha ya Kiingereza vilianza kuchukua nafasi ya baadhi ya vipengele vya utamaduni wa jadi. Licha ya mabadiliko hayo, jamii nyingi zilihifadhi na kuendeleza utambulisho wao wa kikabila. Baada ya uhuru mwaka 1963, serikali ya Kenya ilianza juhudi za kuimarisha umoja wa kitaifa kwa kukuza maadili ya kitaifa, lugha ya Kiswahili, na kusherehekea utofauti kama sehemu ya nguvu ya taifa. == Lugha na Mawasiliano == Kenya ina zaidi ya lugha 60 zinazotambulika, ambapo [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]] ndizo lugha rasmi zinazotumika katika nyanja za [[elimu]], [[sheria]], [[siasa]], na [[biashara]]. Kiswahili ni lugha ya taifa inayounganisha jamii mbalimbali, ikitumika kama chombo cha mawasiliano na kitambulisho cha pamoja kwa Wakenya. Licha ya lugha rasmi, lugha za kienyeji kama [[Kikuyu (lugha)|Kikuyu]], Dholuo, Kamba, Kalenjin, [[Waluhya|Luhya]], na [[Wakikuyu|Gikuyu]] bado hutumika sana katika familia, jamii, na kwenye sanaa za asili. == Dini na Imani == [[Dini]] ni nguzo muhimu ya maisha ya Wakenya wengi. Takribani asilimia themanini na tano ya wananchi ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na madhehebu mengine ya kiinjili. Takriban asilimia kumi na moja ni [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya [[Pwani]] na Kaskazini-Mashariki, ambako ushawishi wa utamaduni wa Kiarabu na Kiswahili ni mkubwa. Pia kuna watu wanaofuata imani za jadi za Kiafrika ambazo zinasisitiza heshima kwa mizimu ya mababu, mila za kiroho, na matumizi ya mitishamba katika tiba. Katiba ya Kenya inahakikisha uhuru wa kuabudu, na jamii nyingi huishi kwa kuheshimiana licha ya tofauti za imani. == Makabila na Mila == Jamii za Kenya ni nyingi na kila moja inayo utambulisho wake wa kipekee. [[Wakikuyu]], ambao ni miongoni mwa makabila makubwa zaidi, wamejikita katika ukulima wa maeneo ya Mlima Kenya na wanajulikana kwa simulizi za asili kuhusu Gikuyu na Mumbi. Jamii ya Luo kutoka maeneo ya [[Ziwa Viktoria|Ziwa Victoria]] ni maarufu kwa mapokeo ya ushairi, dansi ya ''Ohangla'', na desturi za kifamilia zinazotoa nafasi muhimu kwa ukoo wa mama. Watu wa jamii ya [[Waluhya|Luhya]] huadhimisha sherehe za mabadiliko ya umri, wakitumbuiza kwa ngoma ya ''Isukuti'' inayosikika kwa midundo ya haraka na mikali. Kalenjin wanaheshimika kwa kuwa mashujaa wa mbio ndefu duniani, na maisha yao yamejengwa juu ya mila kali za kijadi kuhusu kupevuka na uongozi wa kijamii. Kwa upande wa Kusini, jamii ya [[Wamasai|Maasai]] imehifadhi kwa kiwango kikubwa mtindo wao wa maisha ya asili wakitambulika kwa mavazi ya shuka nyekundu, mapambo ya shanga, na uthabiti wa kimaadili. Waswahili wa Pwani nao wamejenga tamaduni zao kwa misingi ya uislamu, biashara, na sanaa ya mashairi ya Taarab ambayo yanaibua hisia za mapenzi, dini, na maisha ya kijamii. == Sanaa, Muziki na Fasihi == Sanaa nchini Kenya imekua kwa muktadha wa jadi na wa kisasa. Muziki wa asili hutumia ala kama ''nyatiti'', ''orutu'', na ''ngoma'' katika sherehe na shughuli za kijamii. Katika muktadha wa kisasa, Kenya imezalisha aina mbalimbali za muziki kama ''Benga'', ''[[Gengetone|Genge]]'', ''Kapuka'', na ''Afro-fusion'', na kuwapa umaarufu wasanii kama '''[[Sauti Sol]]''', '''[[Eric Wainaina]]''', '''[[Nyashinski]]''', na wengineo. [[Fasihi]] ya Kenya imepata umaarufu duniani kupitia kazi za waandishi mashuhuri kama '''[[Ngũgĩ wa Thiong'o|Ngũgĩ wa Thiong’o]]''', ambaye ametetea matumizi ya lugha za Kiafrika katika fasihi, '''[[Grace Ogot]]''', ambaye alisisitiza nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiafrika, na '''Yvonne Adhiambo Owuor''', ambaye kazi zake zimeangazia masuala ya historia na utambulisho wa Kiafrika. Fasihi ya Kiswahili imeendelea kukua kupitia tamthilia, hadithi fupi, na ushairi unaoshughulikia masuala ya kijamii, siasa na maadili ya kijamii. == Chakula na Lishe == Vyakula vya Kenya vinatofautiana kulingana na maeneo ya kijiografia na historia ya kikabila. '''[[Ugali]]''' ni chakula kikuu kinacholiwa kote nchini, kikifuatana na mboga kama '''[[Sukumawiki|sukuma wiki]]''', [[maharagwe]], samaki, au nyama ya kukaangwa. Katika miji, vyakula vya haraka kama '''[[chipsi]], mandazi, samosa''' na '''nyama choma''' vimekuwa maarufu. Maeneo ya Pwani yanajivunia mapishi yenye ladha ya Kiarabu na Kiasia kama ''biryani'', ''[[pilau]]'', ''mkate wa sinia'', na ''kachumbari ya nazi''. Vyakula hivi huandaliwa kwa kutumia viungo vya asili kama hiliki, karafuu na tangawizi. == Mavazi == Mavazi ya Wakenya yanaonyesha mwingiliano wa jadi na wa kisasa. Katika jamii za wafugaji kama Maasai na Samburu, mavazi ya shuka nyekundu, shanga, mapambo ya kichwani na silaha vya kijadi bado vinaendelea kutumika katika maisha ya kila siku na sherehe. Waswahili huvaa ''[[Kanga (Nguo)|kanga]]'', ''dera'', ''bui bui'' na ''kofia za Kiislamu'' kwa mujibu wa desturi za dini na jamii. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa yameenea kwa kasi, lakini wakati wa sherehe kama harusi, tamasha za utamaduni au hafla za kitaifa, mavazi ya kitamaduni huvaliwa kwa fahari ili kuonyesha asili na heshima kwa mila. == Sherehe, Tamasha na Maadhimisho == Wakenya wanajivunia sherehe mbalimbali zinazochochea mshikamano wa kijamii na utambulisho wa kitaifa. Mila ya '''[[Harambee, Nairobi|Harambee]]''', inayomaanisha kusaidiana, hutumiwa wakati wa shughuli kama harusi, ujenzi wa shule, matibabu, au kusaidia wahitaji. Siku kuu za kitaifa kama '''Madaraka Day''', '''Mashujaa Day''' na '''Siku ya Uhuru''' huadhimishwa kwa matamasha, hotuba za viongozi, na maonyesho ya kijeshi. Aidha, tamasha za kitamaduni kama '''Lamu Cultural Festival''', '''Lake Turkana Festival''', na '''Maralal Camel Derby''' huendeleza sanaa, muziki, chakula na mavazi ya kikabila, huku zikiimarisha utalii wa ndani na wa kimataifa. == Michezo na Burudani == Michezo ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Kenya, huku '''mpira wa miguu''' ukiwa maarufu kwa viwango vya kijamii na kitaifa. Kenya inajulikana kimataifa kwa mafanikio makubwa katika '''mbio za masafa marefu''', ambapo wanariadha kutoka jamii ya Kalenjin kama '''[[Eliud Kipchoge]]''' wameweka rekodi za dunia. Michezo mingine kama '''[[Raga|rugby]], [[voliboli]], [[kriketi]]''' na '''[[netiboli]]''' inaendelea kukua. Matamasha ya burudani kama '''Blankets & Wine''', '''Koroga Festival''', na maonyesho ya wasanii hutoa jukwaa la kuonyesha vipaji vya muziki, sanaa, na mitindo ya maisha. == Mabadiliko ya Kisasa na Changamoto == Katika zama za sasa, utamaduni wa Kenya unakabiliana na changamoto nyingi kutoka kwa [[utandawazi]], [[teknolojia]], na maendeleo ya miji. Vijana wengi wanaathiriwa na mitindo ya kimataifa kupitia [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii,]] [[filamu]], na muziki wa kigeni. Hata hivyo, kuna juhudi zinazoendelea kuhakikisha kuwa tamaduni za asili zinahifadhiwa na kurithishwa kwa vizazi vijavyo kupitia sera za serikali, elimu ya utamaduni mashuleni, na matumizi ya lugha za asili kwenye vyombo vya habari. == Marejeo == # Ogot, Bethwell A. ''Kenya: A History Since Independence''. James Currey Publishers, 1995. # Ngũgĩ wa Thiong’o, ''Decolonising the Mind: The Politics of Language in African Literature'', 1986. # Kenya National Bureau of Statistics (KNBS), ''Population Census Report'', 2019. # UNESCO World Heritage Centre: ''Lamu Old Town'', www.unesco.org # Kenya Ministry of Sports, Culture and Heritage, www.sportsheritage.go.ke c5m5fmo9w21k23nj78zekw9il0f79ss 1437135 1436955 2025-07-12T09:36:43Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimefanikiwa kuandika makala hii ya Utamaduni wa kenya 1437135 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Kenya.svg|alt=Bendera ya nchi ya Kenya|thumb|Bendera ya nchi ya Kenya]] '''Utamaduni wa Kenya''' ni taswira ya urithi na tofauti unaotokana na muunganiko wa zaidi ya makabila 40 yenye historia, lugha, na mila mbalimbali. Taifa hili lililo katika eneo la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] linajivunia kuwa kiungo kati ya [[Utamaduni|tamaduni]] za bara la [[Afrika]], ulimwengu wa [[Kiarabu]], na athari za [[Ulaya]] kupitia historia yake ya [[ukoloni]]. Utambulisho huu wa kiutamaduni umejengwa juu ya misingi ya asili, maingiliano ya kijamii, maendeleo ya kisasa, na juhudi za kudumisha mshikamano wa kitaifa. == Historia ya Utamaduni == Kabla ya kuwasili kwa wakoloni, jamii za kienyeji za Kenya ziliendesha maisha yao kwa misingi ya koo na familia, zikiwa na utawala wa kijadi uliowekwa na wazee, machifu au mashujaa wa jadi. Kila jamii ilikuwa na mfumo wa mila, lugha, imani na mtindo wa maisha unaoendana na mazingira yao ya kiikolojia. Wengine walikuwa wakulima, wafugaji, wawindaji au wavuvi wote wakiongozwa na maadili ya kijamii yaliyowekwa na desturi za jadi. Kuanzia mwishoni mwa karne ya 19, ukoloni wa Waingereza uliingilia mfumo huu wa maisha, na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijamii na kiutamaduni. Elimu ya kimagharibi, dini ya kikristo, mifumo ya kisasa ya utawala, pamoja na lugha ya Kiingereza vilianza kuchukua nafasi ya baadhi ya vipengele vya utamaduni wa jadi. Licha ya mabadiliko hayo, jamii nyingi zilihifadhi na kuendeleza utambulisho wao wa kikabila. Baada ya uhuru mwaka 1963, serikali ya Kenya ilianza juhudi za kuimarisha umoja wa kitaifa kwa kukuza maadili ya kitaifa, lugha ya Kiswahili, na kusherehekea utofauti kama sehemu ya nguvu ya taifa. == Lugha na Mawasiliano == Kenya ina zaidi ya lugha 60 zinazotambulika, ambapo [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]] ndizo lugha rasmi zinazotumika katika nyanja za [[elimu]], [[sheria]], [[siasa]], na [[biashara]]. Kiswahili ni lugha ya taifa inayounganisha jamii mbalimbali, ikitumika kama chombo cha mawasiliano na kitambulisho cha pamoja kwa Wakenya. Licha ya lugha rasmi, lugha za kienyeji kama [[Kikuyu (lugha)|Kikuyu]], Dholuo, Kamba, Kalenjin, [[Waluhya|Luhya]], na [[Wakikuyu|Gikuyu]] bado hutumika sana katika familia, jamii, na kwenye sanaa za asili. == Dini na Imani == [[Dini]] ni nguzo muhimu ya maisha ya Wakenya wengi. Takribani asilimia themanini na tano ya wananchi ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na madhehebu mengine ya kiinjili. Takriban asilimia kumi na moja ni [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya [[Pwani]] na Kaskazini-Mashariki, ambako ushawishi wa utamaduni wa Kiarabu na Kiswahili ni mkubwa. Pia kuna watu wanaofuata imani za jadi za Kiafrika ambazo zinasisitiza heshima kwa mizimu ya mababu, mila za kiroho, na matumizi ya mitishamba katika tiba. Katiba ya Kenya inahakikisha uhuru wa kuabudu, na jamii nyingi huishi kwa kuheshimiana licha ya tofauti za imani. == Makabila na Mila == Jamii za Kenya ni nyingi na kila moja inayo utambulisho wake wa kipekee. [[Wakikuyu]], ambao ni miongoni mwa makabila makubwa zaidi, wamejikita katika ukulima wa maeneo ya Mlima Kenya na wanajulikana kwa simulizi za asili kuhusu Gikuyu na Mumbi. Jamii ya Luo kutoka maeneo ya [[Ziwa Viktoria|Ziwa Victoria]] ni maarufu kwa mapokeo ya ushairi, dansi ya ''Ohangla'', na desturi za kifamilia zinazotoa nafasi muhimu kwa ukoo wa mama. Watu wa jamii ya [[Waluhya|Luhya]] huadhimisha sherehe za mabadiliko ya umri, wakitumbuiza kwa ngoma ya ''Isukuti'' inayosikika kwa midundo ya haraka na mikali. Kalenjin wanaheshimika kwa kuwa mashujaa wa mbio ndefu duniani, na maisha yao yamejengwa juu ya mila kali za kijadi kuhusu kupevuka na uongozi wa kijamii. Kwa upande wa Kusini, jamii ya [[Wamasai|Maasai]] imehifadhi kwa kiwango kikubwa mtindo wao wa maisha ya asili wakitambulika kwa mavazi ya shuka nyekundu, mapambo ya shanga, na uthabiti wa kimaadili. Waswahili wa Pwani nao wamejenga tamaduni zao kwa misingi ya uislamu, biashara, na sanaa ya mashairi ya Taarab ambayo yanaibua hisia za mapenzi, dini, na maisha ya kijamii. == Sanaa, Muziki na Fasihi == Sanaa nchini Kenya imekua kwa muktadha wa jadi na wa kisasa. Muziki wa asili hutumia ala kama ''nyatiti'', ''orutu'', na ''ngoma'' katika sherehe na shughuli za kijamii. Katika muktadha wa kisasa, Kenya imezalisha aina mbalimbali za muziki kama ''Benga'', ''[[Gengetone|Genge]]'', ''Kapuka'', na ''Afro-fusion'', na kuwapa umaarufu wasanii kama '''[[Sauti Sol]]''', '''[[Eric Wainaina]]''', '''[[Nyashinski]]''', na wengineo. [[Fasihi]] ya Kenya imepata umaarufu duniani kupitia kazi za waandishi mashuhuri kama '''[[Ngũgĩ wa Thiong'o|Ngũgĩ wa Thiong’o]]''', ambaye ametetea matumizi ya lugha za Kiafrika katika fasihi, '''[[Grace Ogot]]''', ambaye alisisitiza nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiafrika, na '''Yvonne Adhiambo Owuor''', ambaye kazi zake zimeangazia masuala ya historia na utambulisho wa Kiafrika. Fasihi ya Kiswahili imeendelea kukua kupitia tamthilia, hadithi fupi, na ushairi unaoshughulikia masuala ya kijamii, siasa na maadili ya kijamii. == Chakula na Lishe == Vyakula vya Kenya vinatofautiana kulingana na maeneo ya kijiografia na historia ya kikabila. '''[[Ugali]]''' ni chakula kikuu kinacholiwa kote nchini, kikifuatana na mboga kama '''[[Sukumawiki|sukuma wiki]]''', [[maharagwe]], samaki, au nyama ya kukaangwa. Katika miji, vyakula vya haraka kama '''[[chipsi]], mandazi, samosa''' na '''nyama choma''' vimekuwa maarufu. Maeneo ya Pwani yanajivunia mapishi yenye ladha ya Kiarabu na Kiasia kama ''biryani'', ''[[pilau]]'', ''mkate wa sinia'', na ''kachumbari ya nazi''. Vyakula hivi huandaliwa kwa kutumia viungo vya asili kama hiliki, karafuu na tangawizi. == Mavazi == Mavazi ya Wakenya yanaonyesha mwingiliano wa jadi na wa kisasa. Katika jamii za wafugaji kama Maasai na Samburu, mavazi ya shuka nyekundu, shanga, mapambo ya kichwani na silaha vya kijadi bado vinaendelea kutumika katika maisha ya kila siku na sherehe. Waswahili huvaa ''[[Kanga (Nguo)|kanga]]'', ''dera'', ''bui bui'' na ''kofia za Kiislamu'' kwa mujibu wa desturi za dini na jamii. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa yameenea kwa kasi, lakini wakati wa sherehe kama harusi, tamasha za utamaduni au hafla za kitaifa, mavazi ya kitamaduni huvaliwa kwa fahari ili kuonyesha asili na heshima kwa mila. == Sherehe, Tamasha na Maadhimisho == Wakenya wanajivunia sherehe mbalimbali zinazochochea mshikamano wa kijamii na utambulisho wa kitaifa. Mila ya '''[[Harambee, Nairobi|Harambee]]''', inayomaanisha kusaidiana, hutumiwa wakati wa shughuli kama harusi, ujenzi wa shule, matibabu, au kusaidia wahitaji. Siku kuu za kitaifa kama '''Madaraka Day''', '''Mashujaa Day''' na '''Siku ya Uhuru''' huadhimishwa kwa matamasha, hotuba za viongozi, na maonyesho ya kijeshi. Aidha, tamasha za kitamaduni kama '''Lamu Cultural Festival''', '''Lake Turkana Festival''', na '''Maralal Camel Derby''' huendeleza sanaa, muziki, chakula na mavazi ya kikabila, huku zikiimarisha utalii wa ndani na wa kimataifa. == Michezo na Burudani == Michezo ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Kenya, huku '''mpira wa miguu''' ukiwa maarufu kwa viwango vya kijamii na kitaifa. Kenya inajulikana kimataifa kwa mafanikio makubwa katika '''mbio za masafa marefu''', ambapo wanariadha kutoka jamii ya Kalenjin kama '''[[Eliud Kipchoge]]''' wameweka rekodi za dunia. Michezo mingine kama '''[[Raga|rugby]], [[voliboli]], [[kriketi]]''' na '''[[netiboli]]''' inaendelea kukua. Matamasha ya burudani kama '''Blankets & Wine''', '''Koroga Festival''', na maonyesho ya wasanii hutoa jukwaa la kuonyesha vipaji vya muziki, sanaa, na mitindo ya maisha. == Mabadiliko ya Kisasa na Changamoto == Katika zama za sasa, utamaduni wa Kenya unakabiliana na changamoto nyingi kutoka kwa [[utandawazi]], [[teknolojia]], na maendeleo ya miji. Vijana wengi wanaathiriwa na mitindo ya kimataifa kupitia [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii,]] [[filamu]], na muziki wa kigeni. Hata hivyo, kuna juhudi zinazoendelea kuhakikisha kuwa tamaduni za asili zinahifadhiwa na kurithishwa kwa vizazi vijavyo kupitia sera za serikali, elimu ya utamaduni mashuleni, na matumizi ya lugha za asili kwenye vyombo vya habari. == Marejeo == {{marejeo}} # Ogot, Bethwell A. ''Kenya: A History Since Independence''. James Currey Publishers, 1995. # Ngũgĩ wa Thiong’o, ''Decolonising the Mind: The Politics of Language in African Literature'', 1986. # Kenya National Bureau of Statistics (KNBS), ''Population Census Report'', 2019. # UNESCO World Heritage Centre: ''Lamu Old Town'', www.unesco.org # Kenya Ministry of Sports, Culture and Heritage, www.sportsheritage.go.ke bxmmgbwr55tkkeczlsv3wwb77eg4mu3 1437182 1437135 2025-07-12T10:33:53Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436955 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Kenya.svg|alt=Bendera ya nchi ya Kenya|thumb|Bendera ya nchi ya Kenya]] '''Utamaduni wa Kenya''' ni taswira ya urithi na tofauti unaotokana na muunganiko wa zaidi ya makabila 40 yenye historia, lugha, na mila mbalimbali. Taifa hili lililo katika eneo la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] linajivunia kuwa kiungo kati ya [[Utamaduni|tamaduni]] za bara la [[Afrika]], ulimwengu wa [[Kiarabu]], na athari za [[Ulaya]] kupitia historia yake ya [[ukoloni]]. Utambulisho huu wa kiutamaduni umejengwa juu ya misingi ya asili, maingiliano ya kijamii, maendeleo ya kisasa, na juhudi za kudumisha mshikamano wa kitaifa. == Historia ya Utamaduni == Kabla ya kuwasili kwa wakoloni, jamii za kienyeji za Kenya ziliendesha maisha yao kwa misingi ya koo na familia, zikiwa na utawala wa kijadi uliowekwa na wazee, machifu au mashujaa wa jadi. Kila jamii ilikuwa na mfumo wa mila, lugha, imani na mtindo wa maisha unaoendana na mazingira yao ya kiikolojia. Wengine walikuwa wakulima, wafugaji, wawindaji au wavuvi wote wakiongozwa na maadili ya kijamii yaliyowekwa na desturi za jadi. Kuanzia mwishoni mwa karne ya 19, ukoloni wa Waingereza uliingilia mfumo huu wa maisha, na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijamii na kiutamaduni. Elimu ya kimagharibi, dini ya kikristo, mifumo ya kisasa ya utawala, pamoja na lugha ya Kiingereza vilianza kuchukua nafasi ya baadhi ya vipengele vya utamaduni wa jadi. Licha ya mabadiliko hayo, jamii nyingi zilihifadhi na kuendeleza utambulisho wao wa kikabila. Baada ya uhuru mwaka 1963, serikali ya Kenya ilianza juhudi za kuimarisha umoja wa kitaifa kwa kukuza maadili ya kitaifa, lugha ya Kiswahili, na kusherehekea utofauti kama sehemu ya nguvu ya taifa. == Lugha na Mawasiliano == Kenya ina zaidi ya lugha 60 zinazotambulika, ambapo [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]] ndizo lugha rasmi zinazotumika katika nyanja za [[elimu]], [[sheria]], [[siasa]], na [[biashara]]. Kiswahili ni lugha ya taifa inayounganisha jamii mbalimbali, ikitumika kama chombo cha mawasiliano na kitambulisho cha pamoja kwa Wakenya. Licha ya lugha rasmi, lugha za kienyeji kama [[Kikuyu (lugha)|Kikuyu]], Dholuo, Kamba, Kalenjin, [[Waluhya|Luhya]], na [[Wakikuyu|Gikuyu]] bado hutumika sana katika familia, jamii, na kwenye sanaa za asili. == Dini na Imani == [[Dini]] ni nguzo muhimu ya maisha ya Wakenya wengi. Takribani asilimia themanini na tano ya wananchi ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na madhehebu mengine ya kiinjili. Takriban asilimia kumi na moja ni [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya [[Pwani]] na Kaskazini-Mashariki, ambako ushawishi wa utamaduni wa Kiarabu na Kiswahili ni mkubwa. Pia kuna watu wanaofuata imani za jadi za Kiafrika ambazo zinasisitiza heshima kwa mizimu ya mababu, mila za kiroho, na matumizi ya mitishamba katika tiba. Katiba ya Kenya inahakikisha uhuru wa kuabudu, na jamii nyingi huishi kwa kuheshimiana licha ya tofauti za imani. == Makabila na Mila == Jamii za Kenya ni nyingi na kila moja inayo utambulisho wake wa kipekee. [[Wakikuyu]], ambao ni miongoni mwa makabila makubwa zaidi, wamejikita katika ukulima wa maeneo ya Mlima Kenya na wanajulikana kwa simulizi za asili kuhusu Gikuyu na Mumbi. Jamii ya Luo kutoka maeneo ya [[Ziwa Viktoria|Ziwa Victoria]] ni maarufu kwa mapokeo ya ushairi, dansi ya ''Ohangla'', na desturi za kifamilia zinazotoa nafasi muhimu kwa ukoo wa mama. Watu wa jamii ya [[Waluhya|Luhya]] huadhimisha sherehe za mabadiliko ya umri, wakitumbuiza kwa ngoma ya ''Isukuti'' inayosikika kwa midundo ya haraka na mikali. Kalenjin wanaheshimika kwa kuwa mashujaa wa mbio ndefu duniani, na maisha yao yamejengwa juu ya mila kali za kijadi kuhusu kupevuka na uongozi wa kijamii. Kwa upande wa Kusini, jamii ya [[Wamasai|Maasai]] imehifadhi kwa kiwango kikubwa mtindo wao wa maisha ya asili wakitambulika kwa mavazi ya shuka nyekundu, mapambo ya shanga, na uthabiti wa kimaadili. Waswahili wa Pwani nao wamejenga tamaduni zao kwa misingi ya uislamu, biashara, na sanaa ya mashairi ya Taarab ambayo yanaibua hisia za mapenzi, dini, na maisha ya kijamii. == Sanaa, Muziki na Fasihi == Sanaa nchini Kenya imekua kwa muktadha wa jadi na wa kisasa. Muziki wa asili hutumia ala kama ''nyatiti'', ''orutu'', na ''ngoma'' katika sherehe na shughuli za kijamii. Katika muktadha wa kisasa, Kenya imezalisha aina mbalimbali za muziki kama ''Benga'', ''[[Gengetone|Genge]]'', ''Kapuka'', na ''Afro-fusion'', na kuwapa umaarufu wasanii kama '''[[Sauti Sol]]''', '''[[Eric Wainaina]]''', '''[[Nyashinski]]''', na wengineo. [[Fasihi]] ya Kenya imepata umaarufu duniani kupitia kazi za waandishi mashuhuri kama '''[[Ngũgĩ wa Thiong'o|Ngũgĩ wa Thiong’o]]''', ambaye ametetea matumizi ya lugha za Kiafrika katika fasihi, '''[[Grace Ogot]]''', ambaye alisisitiza nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiafrika, na '''Yvonne Adhiambo Owuor''', ambaye kazi zake zimeangazia masuala ya historia na utambulisho wa Kiafrika. Fasihi ya Kiswahili imeendelea kukua kupitia tamthilia, hadithi fupi, na ushairi unaoshughulikia masuala ya kijamii, siasa na maadili ya kijamii. == Chakula na Lishe == Vyakula vya Kenya vinatofautiana kulingana na maeneo ya kijiografia na historia ya kikabila. '''[[Ugali]]''' ni chakula kikuu kinacholiwa kote nchini, kikifuatana na mboga kama '''[[Sukumawiki|sukuma wiki]]''', [[maharagwe]], samaki, au nyama ya kukaangwa. Katika miji, vyakula vya haraka kama '''[[chipsi]], mandazi, samosa''' na '''nyama choma''' vimekuwa maarufu. Maeneo ya Pwani yanajivunia mapishi yenye ladha ya Kiarabu na Kiasia kama ''biryani'', ''[[pilau]]'', ''mkate wa sinia'', na ''kachumbari ya nazi''. Vyakula hivi huandaliwa kwa kutumia viungo vya asili kama hiliki, karafuu na tangawizi. == Mavazi == Mavazi ya Wakenya yanaonyesha mwingiliano wa jadi na wa kisasa. Katika jamii za wafugaji kama Maasai na Samburu, mavazi ya shuka nyekundu, shanga, mapambo ya kichwani na silaha vya kijadi bado vinaendelea kutumika katika maisha ya kila siku na sherehe. Waswahili huvaa ''[[Kanga (Nguo)|kanga]]'', ''dera'', ''bui bui'' na ''kofia za Kiislamu'' kwa mujibu wa desturi za dini na jamii. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa yameenea kwa kasi, lakini wakati wa sherehe kama harusi, tamasha za utamaduni au hafla za kitaifa, mavazi ya kitamaduni huvaliwa kwa fahari ili kuonyesha asili na heshima kwa mila. == Sherehe, Tamasha na Maadhimisho == Wakenya wanajivunia sherehe mbalimbali zinazochochea mshikamano wa kijamii na utambulisho wa kitaifa. Mila ya '''[[Harambee, Nairobi|Harambee]]''', inayomaanisha kusaidiana, hutumiwa wakati wa shughuli kama harusi, ujenzi wa shule, matibabu, au kusaidia wahitaji. Siku kuu za kitaifa kama '''Madaraka Day''', '''Mashujaa Day''' na '''Siku ya Uhuru''' huadhimishwa kwa matamasha, hotuba za viongozi, na maonyesho ya kijeshi. Aidha, tamasha za kitamaduni kama '''Lamu Cultural Festival''', '''Lake Turkana Festival''', na '''Maralal Camel Derby''' huendeleza sanaa, muziki, chakula na mavazi ya kikabila, huku zikiimarisha utalii wa ndani na wa kimataifa. == Michezo na Burudani == Michezo ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Kenya, huku '''mpira wa miguu''' ukiwa maarufu kwa viwango vya kijamii na kitaifa. Kenya inajulikana kimataifa kwa mafanikio makubwa katika '''mbio za masafa marefu''', ambapo wanariadha kutoka jamii ya Kalenjin kama '''[[Eliud Kipchoge]]''' wameweka rekodi za dunia. Michezo mingine kama '''[[Raga|rugby]], [[voliboli]], [[kriketi]]''' na '''[[netiboli]]''' inaendelea kukua. Matamasha ya burudani kama '''Blankets & Wine''', '''Koroga Festival''', na maonyesho ya wasanii hutoa jukwaa la kuonyesha vipaji vya muziki, sanaa, na mitindo ya maisha. == Mabadiliko ya Kisasa na Changamoto == Katika zama za sasa, utamaduni wa Kenya unakabiliana na changamoto nyingi kutoka kwa [[utandawazi]], [[teknolojia]], na maendeleo ya miji. Vijana wengi wanaathiriwa na mitindo ya kimataifa kupitia [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii,]] [[filamu]], na muziki wa kigeni. Hata hivyo, kuna juhudi zinazoendelea kuhakikisha kuwa tamaduni za asili zinahifadhiwa na kurithishwa kwa vizazi vijavyo kupitia sera za serikali, elimu ya utamaduni mashuleni, na matumizi ya lugha za asili kwenye vyombo vya habari. == Marejeo == # Ogot, Bethwell A. ''Kenya: A History Since Independence''. James Currey Publishers, 1995. # Ngũgĩ wa Thiong’o, ''Decolonising the Mind: The Politics of Language in African Literature'', 1986. # Kenya National Bureau of Statistics (KNBS), ''Population Census Report'', 2019. # UNESCO World Heritage Centre: ''Lamu Old Town'', www.unesco.org # Kenya Ministry of Sports, Culture and Heritage, www.sportsheritage.go.ke c5m5fmo9w21k23nj78zekw9il0f79ss 1437258 1437182 2025-07-12T11:50:27Z ~2025-17972-2 80083 anchor 1437258 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Kenya.svg|alt=Bendera ya nchi ya Kenya|thumb|Bendera ya nchi ya Kenya]] '''Utamaduni wa Kenya''' ni taswira ya urithi na tofauti unaotokana na muunganiko wa zaidi ya makabila 40 yenye historia, lugha, na mila mbalimbali. Taifa hili lililo katika eneo la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] linajivunia kuwa kiungo kati ya [[Utamaduni|tamaduni]] za bara la [[Afrika]], ulimwengu wa [[Kiarabu]], na athari za [[Ulaya]] kupitia historia yake ya [[ukoloni]]. Utambulisho huu wa kiutamaduni umejengwa juu ya misingi ya asili, maingiliano ya kijamii, maendeleo ya kisasa, na juhudi za kudumisha mshikamano wa kitaifa. == Historia ya Utamaduni == Kabla ya kuwasili kwa wakoloni, jamii za kienyeji za Kenya ziliendesha maisha yao kwa misingi ya koo na familia, zikiwa na utawala wa kijadi uliowekwa na wazee, machifu au mashujaa wa jadi. Kila jamii ilikuwa na mfumo wa mila, lugha, imani na mtindo wa maisha unaoendana na mazingira yao ya kiikolojia. Wengine walikuwa wakulima, wafugaji, wawindaji au wavuvi wote wakiongozwa na maadili ya kijamii yaliyowekwa na desturi za jadi. Kuanzia mwishoni mwa karne ya 19, ukoloni wa Waingereza uliingilia mfumo huu wa maisha, na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijamii na kiutamaduni. Elimu ya kimagharibi, dini ya kikristo, mifumo ya kisasa ya utawala, pamoja na lugha ya Kiingereza vilianza kuchukua nafasi ya baadhi ya vipengele vya utamaduni wa jadi. Licha ya mabadiliko hayo, jamii nyingi zilihifadhi na kuendeleza utambulisho wao wa kikabila. Baada ya uhuru mwaka 1963, serikali ya Kenya ilianza juhudi za kuimarisha umoja wa kitaifa kwa kukuza maadili ya kitaifa, lugha ya Kiswahili, na kusherehekea utofauti kama sehemu ya nguvu ya taifa. == Lugha na Mawasiliano == Kenya ina zaidi ya lugha 60 zinazotambulika, ambapo [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]] ndizo lugha rasmi zinazotumika katika nyanja za [[elimu]], [[sheria]], [[siasa]], na [[biashara]]. Kiswahili ni lugha ya taifa inayounganisha jamii mbalimbali, ikitumika kama chombo cha mawasiliano na kitambulisho cha pamoja kwa Wakenya. Licha ya lugha rasmi, lugha za kienyeji kama [[Kikuyu (lugha)|Kikuyu]], Dholuo, Kamba, Kalenjin, [[Waluhya|Luhya]], na [[Wakikuyu|Gikuyu]] bado hutumika sana katika familia, jamii, na kwenye sanaa za asili. == Dini na Imani == [[Dini]] ni nguzo muhimu ya maisha ya Wakenya wengi. Takribani asilimia themanini na tano ya wananchi ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na madhehebu mengine ya kiinjili. Takriban asilimia kumi na moja ni [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya [[Pwani]] na Kaskazini-Mashariki, ambako ushawishi wa utamaduni wa Kiarabu na Kiswahili ni mkubwa. Pia kuna watu wanaofuata imani za jadi za Kiafrika ambazo zinasisitiza heshima kwa mizimu ya mababu, mila za kiroho, na matumizi ya mitishamba katika tiba. Katiba ya Kenya inahakikisha uhuru wa kuabudu, na jamii nyingi huishi kwa kuheshimiana licha ya tofauti za imani. == Makabila na Mila == Jamii za Kenya ni nyingi na kila moja inayo utambulisho wake wa kipekee. [[Wakikuyu]], ambao ni miongoni mwa makabila makubwa zaidi, wamejikita katika ukulima wa maeneo ya Mlima Kenya na wanajulikana kwa simulizi za asili kuhusu Gikuyu na Mumbi. Jamii ya Luo kutoka maeneo ya [[Ziwa Viktoria|Ziwa Victoria]] ni maarufu kwa mapokeo ya ushairi, dansi ya ''Ohangla'', na desturi za kifamilia zinazotoa nafasi muhimu kwa ukoo wa mama. Watu wa jamii ya [[Waluhya|Luhya]] huadhimisha sherehe za mabadiliko ya umri, wakitumbuiza kwa ngoma ya ''Isukuti'' inayosikika kwa midundo ya haraka na mikali. Kalenjin wanaheshimika kwa kuwa mashujaa wa mbio ndefu duniani, na maisha yao yamejengwa juu ya mila kali za kijadi kuhusu kupevuka na uongozi wa kijamii. Kwa upande wa Kusini, jamii ya [[Wamasai|Maasai]] imehifadhi kwa kiwango kikubwa mtindo wao wa maisha ya asili wakitambulika kwa mavazi ya shuka nyekundu, mapambo ya shanga, na uthabiti wa kimaadili. Waswahili wa Pwani nao wamejenga tamaduni zao kwa misingi ya uislamu, biashara, na sanaa ya mashairi ya Taarab ambayo yanaibua hisia za mapenzi, dini, na maisha ya kijamii. == Sanaa, Muziki na Fasihi == Sanaa nchini Kenya imekua kwa muktadha wa jadi na wa kisasa. Muziki wa asili hutumia ala kama ''nyatiti'', ''orutu'', na ''ngoma'' katika sherehe na shughuli za kijamii. Katika muktadha wa kisasa, Kenya imezalisha aina mbalimbali za muziki kama ''Benga'', ''[[Gengetone|Genge]]'', ''Kapuka'', na ''Afro-fusion'', na kuwapa umaarufu wasanii kama '''[[Sauti Sol]]''', '''[[Eric Wainaina]]''', '''[[Nyashinski]]''', na wengineo. [[Fasihi]] ya Kenya imepata umaarufu duniani kupitia kazi za waandishi mashuhuri kama '''[[Ngũgĩ wa Thiong'o|Ngũgĩ wa Thiong’o]]''', ambaye ametetea matumizi ya lugha za Kiafrika katika fasihi, '''[[Grace Ogot]]''', ambaye alisisitiza nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiafrika, na '''Yvonne Adhiambo Owuor''', ambaye kazi zake zimeangazia masuala ya historia na utambulisho wa Kiafrika. Fasihi ya Kiswahili imeendelea kukua kupitia tamthilia, hadithi fupi, na ushairi unaoshughulikia masuala ya kijamii, siasa na maadili ya kijamii. == Chakula na Lishe == Vyakula vya Kenya vinatofautiana kulingana na maeneo ya kijiografia na historia ya kikabila. '''[[Ugali]]''' ni chakula kikuu kinacholiwa kote nchini, kikifuatana na mboga kama '''[[Sukumawiki|sukuma wiki]]''', [[maharagwe]], samaki, au nyama ya kukaangwa. Katika miji, vyakula vya haraka kama '''[[chipsi]], mandazi, samosa''' na '''nyama choma''' vimekuwa maarufu. Maeneo ya Pwani yanajivunia mapishi yenye ladha ya Kiarabu na Kiasia kama ''biryani'', ''[[pilau]]'', ''mkate wa sinia'', na ''kachumbari ya nazi''. Vyakula hivi huandaliwa kwa kutumia viungo vya asili kama hiliki, karafuu na tangawizi. == Mavazi == Mavazi ya Wakenya yanaonyesha mwingiliano wa jadi na wa kisasa. Katika jamii za wafugaji kama Maasai na Samburu, mavazi ya shuka nyekundu, shanga, mapambo ya kichwani na silaha vya kijadi bado vinaendelea kutumika katika maisha ya kila siku na sherehe. Waswahili huvaa ''[[Kanga (Nguo)|kanga]]'', ''dera'', ''bui bui'' na ''kofia za Kiislamu'' kwa mujibu wa desturi za dini na jamii. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa yameenea kwa kasi, lakini wakati wa sherehe kama harusi, tamasha za utamaduni au hafla za kitaifa, mavazi ya kitamaduni huvaliwa kwa fahari ili kuonyesha asili na heshima kwa mila. == Sherehe, Tamasha na Maadhimisho == Wakenya wanajivunia sherehe mbalimbali zinazochochea mshikamano wa kijamii na utambulisho wa kitaifa. Mila ya '''[[Harambee, Nairobi|Harambee]]''', inayomaanisha kusaidiana, hutumiwa wakati wa shughuli kama harusi, ujenzi wa shule, matibabu, au kusaidia wahitaji. Siku kuu za kitaifa kama '''Madaraka Day''', '''Mashujaa Day''' na '''Siku ya Uhuru''' huadhimishwa kwa matamasha, hotuba za viongozi, na maonyesho ya kijeshi. Aidha, tamasha za kitamaduni kama '''Lamu Cultural Festival''', '''Lake Turkana Festival''', na '''Maralal Camel Derby''' huendeleza sanaa, muziki, chakula na mavazi ya kikabila, huku zikiimarisha utalii wa ndani na wa kimataifa. == Michezo na Burudani == Michezo ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Kenya, huku '''mpira wa miguu''' ukiwa maarufu kwa viwango vya kijamii na kitaifa. Kenya inajulikana kimataifa kwa mafanikio makubwa katika '''mbio za masafa marefu''', ambapo wanariadha kutoka jamii ya Kalenjin kama '''[[Eliud Kipchoge]]''' wameweka rekodi za dunia. Michezo mingine kama '''[[Raga|rugby]], [[voliboli]], [[kriketi]]''' na '''[[netiboli]]''' inaendelea kukua. Matamasha ya burudani kama '''Blankets & Wine''', '''Koroga Festival''', na maonyesho ya wasanii hutoa jukwaa la kuonyesha vipaji vya muziki, sanaa, na mitindo ya maisha. == Mabadiliko ya Kisasa na Changamoto == Katika zama za sasa, utamaduni wa Kenya unakabiliana na changamoto nyingi kutoka kwa [[utandawazi]], [[teknolojia]], na maendeleo ya miji. Vijana wengi wanaathiriwa na mitindo ya kimataifa kupitia [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii,]] [[filamu]], na muziki wa kigeni. Hata hivyo, kuna juhudi zinazoendelea kuhakikisha kuwa tamaduni za asili zinahifadhiwa na kurithishwa kwa vizazi vijavyo kupitia sera za serikali, elimu ya utamaduni mashuleni, na matumizi ya lugha za asili kwenye vyombo vya habari. == Marejeo == {{marejeo}} # Ogot, Bethwell A. ''Kenya: A History Since Independence''. James Currey Publishers, 1995. # Ngũgĩ wa Thiong’o, ''Decolonising the Mind: The Politics of Language in African Literature'', 1986. # Kenya National Bureau of Statistics (KNBS), ''Population Census Report'', 2019. # UNESCO World Heritage Centre: ''Lamu Old Town'', www.unesco.org # Kenya Ministry of Sports, Culture and Heritage, www.sportsheritage.go.ke e3xxnsqo9rqltly403hhr0andp6vhzn 1437276 1437258 2025-07-12T11:56:49Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437276 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Kenya.svg|alt=Bendera ya nchi ya Kenya|thumb|Bendera ya nchi ya Kenya.]] '''Utamaduni wa Kenya''' ni taswira ya urithi na tofauti unaotokana na muunganiko wa zaidi ya makabila 40 yenye historia, lugha, na mila mbalimbali. Taifa hili lililo katika eneo la [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] linajivunia kuwa kiungo kati ya [[Utamaduni|tamaduni]] za bara la [[Afrika]], ulimwengu wa [[Kiarabu]], na athari za [[Ulaya]] kupitia historia yake ya [[ukoloni]]. Utambulisho huu wa kiutamaduni umejengwa juu ya misingi ya asili, maingiliano ya kijamii, maendeleo ya kisasa, na juhudi za kudumisha mshikamano wa kitaifa. == Historia ya Utamaduni == Kabla ya kuwasili kwa wakoloni, jamii za kienyeji za Kenya ziliendesha maisha yao kwa misingi ya koo na familia, zikiwa na utawala wa kijadi uliowekwa na wazee, machifu au mashujaa wa jadi. Kila jamii ilikuwa na mfumo wa mila, lugha, imani na mtindo wa maisha unaoendana na mazingira yao ya kiikolojia. Wengine walikuwa wakulima, wafugaji, wawindaji au wavuvi wote wakiongozwa na maadili ya kijamii yaliyowekwa na desturi za jadi. Kuanzia mwishoni mwa karne ya 19, ukoloni wa Waingereza uliingilia mfumo huu wa maisha, na kuanzisha mabadiliko makubwa ya kijamii na kiutamaduni. Elimu ya kimagharibi, dini ya kikristo, mifumo ya kisasa ya utawala, pamoja na lugha ya Kiingereza vilianza kuchukua nafasi ya baadhi ya vipengele vya utamaduni wa jadi. Licha ya mabadiliko hayo, jamii nyingi zilihifadhi na kuendeleza utambulisho wao wa kikabila. Baada ya uhuru mwaka 1963, serikali ya Kenya ilianza juhudi za kuimarisha umoja wa kitaifa kwa kukuza maadili ya kitaifa, lugha ya Kiswahili, na kusherehekea utofauti kama sehemu ya nguvu ya taifa. == Lugha na Mawasiliano == Kenya ina zaidi ya lugha 60 zinazotambulika, ambapo [[Kiswahili]] na [[Kiingereza]] ndizo lugha rasmi zinazotumika katika nyanja za [[elimu]], [[sheria]], [[siasa]], na [[biashara]]. Kiswahili ni lugha ya taifa inayounganisha jamii mbalimbali, ikitumika kama chombo cha mawasiliano na kitambulisho cha pamoja kwa Wakenya. Licha ya lugha rasmi, lugha za kienyeji kama [[Kikuyu (lugha)|Kikuyu]], Dholuo, Kamba, Kalenjin, [[Waluhya|Luhya]], na [[Wakikuyu|Gikuyu]] bado hutumika sana katika familia, jamii, na kwenye sanaa za asili. == Dini na Imani == [[Dini]] ni nguzo muhimu ya maisha ya Wakenya wengi. Takribani asilimia themanini na tano ya wananchi ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]], [[Uprotestanti|Waprotestanti]] na madhehebu mengine ya kiinjili. Takriban asilimia kumi na moja ni [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya [[Pwani]] na Kaskazini-Mashariki, ambako ushawishi wa utamaduni wa Kiarabu na Kiswahili ni mkubwa. Pia kuna watu wanaofuata imani za jadi za Kiafrika ambazo zinasisitiza heshima kwa mizimu ya mababu, mila za kiroho, na matumizi ya mitishamba katika tiba. Katiba ya Kenya inahakikisha uhuru wa kuabudu, na jamii nyingi huishi kwa kuheshimiana licha ya tofauti za imani. == Makabila na Mila == Jamii za Kenya ni nyingi na kila moja inayo utambulisho wake wa kipekee. [[Wakikuyu]], ambao ni miongoni mwa makabila makubwa zaidi, wamejikita katika ukulima wa maeneo ya Mlima Kenya na wanajulikana kwa simulizi za asili kuhusu Gikuyu na Mumbi. Jamii ya Luo kutoka maeneo ya [[Ziwa Viktoria|Ziwa Victoria]] ni maarufu kwa mapokeo ya ushairi, dansi ya ''Ohangla'', na desturi za kifamilia zinazotoa nafasi muhimu kwa ukoo wa mama. Watu wa jamii ya [[Waluhya|Luhya]] huadhimisha sherehe za mabadiliko ya umri, wakitumbuiza kwa ngoma ya ''Isukuti'' inayosikika kwa midundo ya haraka na mikali. Kalenjin wanaheshimika kwa kuwa mashujaa wa mbio ndefu duniani, na maisha yao yamejengwa juu ya mila kali za kijadi kuhusu kupevuka na uongozi wa kijamii. Kwa upande wa Kusini, jamii ya [[Wamasai|Maasai]] imehifadhi kwa kiwango kikubwa mtindo wao wa maisha ya asili wakitambulika kwa mavazi ya shuka nyekundu, mapambo ya shanga, na uthabiti wa kimaadili. Waswahili wa Pwani nao wamejenga tamaduni zao kwa misingi ya uislamu, biashara, na sanaa ya mashairi ya Taarab ambayo yanaibua hisia za mapenzi, dini, na maisha ya kijamii. == Sanaa, Muziki na Fasihi == Sanaa nchini Kenya imekua kwa muktadha wa jadi na wa kisasa. Muziki wa asili hutumia ala kama ''nyatiti'', ''orutu'', na ''ngoma'' katika sherehe na shughuli za kijamii. Katika muktadha wa kisasa, Kenya imezalisha aina mbalimbali za muziki kama ''Benga'', ''[[Gengetone|Genge]]'', ''Kapuka'', na ''Afro-fusion'', na kuwapa umaarufu wasanii kama '''[[Sauti Sol]]''', '''[[Eric Wainaina]]''', '''[[Nyashinski]]''', na wengineo. [[Fasihi]] ya Kenya imepata umaarufu duniani kupitia kazi za waandishi mashuhuri kama '''[[Ngũgĩ wa Thiong'o|Ngũgĩ wa Thiong’o]]''', ambaye ametetea matumizi ya lugha za Kiafrika katika fasihi, '''[[Grace Ogot]]''', ambaye alisisitiza nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiafrika, na '''Yvonne Adhiambo Owuor''', ambaye kazi zake zimeangazia masuala ya historia na utambulisho wa Kiafrika. Fasihi ya Kiswahili imeendelea kukua kupitia tamthilia, hadithi fupi, na ushairi unaoshughulikia masuala ya kijamii, siasa na maadili ya kijamii. == Chakula na Lishe == Vyakula vya Kenya vinatofautiana kulingana na maeneo ya kijiografia na historia ya kikabila. '''[[Ugali]]''' ni chakula kikuu kinacholiwa kote nchini, kikifuatana na mboga kama '''[[Sukumawiki|sukuma wiki]]''', [[maharagwe]], samaki, au nyama ya kukaangwa. Katika miji, vyakula vya haraka kama '''[[chipsi]], mandazi, samosa''' na '''nyama choma''' vimekuwa maarufu. Maeneo ya Pwani yanajivunia mapishi yenye ladha ya Kiarabu na Kiasia kama ''biryani'', ''[[pilau]]'', ''mkate wa sinia'', na ''kachumbari ya nazi''. Vyakula hivi huandaliwa kwa kutumia viungo vya asili kama hiliki, karafuu na tangawizi. == Mavazi == Mavazi ya Wakenya yanaonyesha mwingiliano wa jadi na wa kisasa. Katika jamii za wafugaji kama Maasai na Samburu, mavazi ya shuka nyekundu, shanga, mapambo ya kichwani na silaha vya kijadi bado vinaendelea kutumika katika maisha ya kila siku na sherehe. Waswahili huvaa ''[[Kanga (Nguo)|kanga]]'', ''dera'', ''bui bui'' na ''kofia za Kiislamu'' kwa mujibu wa desturi za dini na jamii. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa yameenea kwa kasi, lakini wakati wa sherehe kama harusi, tamasha za utamaduni au hafla za kitaifa, mavazi ya kitamaduni huvaliwa kwa fahari ili kuonyesha asili na heshima kwa mila. == Sherehe, Tamasha na Maadhimisho == Wakenya wanajivunia sherehe mbalimbali zinazochochea mshikamano wa kijamii na utambulisho wa kitaifa. Mila ya '''[[Harambee, Nairobi|Harambee]]''', inayomaanisha kusaidiana, hutumiwa wakati wa shughuli kama harusi, ujenzi wa shule, matibabu, au kusaidia wahitaji. Siku kuu za kitaifa kama '''Madaraka Day''', '''Mashujaa Day''' na '''Siku ya Uhuru''' huadhimishwa kwa matamasha, hotuba za viongozi, na maonyesho ya kijeshi. Aidha, tamasha za kitamaduni kama '''Lamu Cultural Festival''', '''Lake Turkana Festival''', na '''Maralal Camel Derby''' huendeleza sanaa, muziki, chakula na mavazi ya kikabila, huku zikiimarisha utalii wa ndani na wa kimataifa. == Michezo na Burudani == Michezo ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Kenya, huku '''mpira wa miguu''' ukiwa maarufu kwa viwango vya kijamii na kitaifa. Kenya inajulikana kimataifa kwa mafanikio makubwa katika '''mbio za masafa marefu''', ambapo wanariadha kutoka jamii ya Kalenjin kama '''[[Eliud Kipchoge]]''' wameweka rekodi za dunia. Michezo mingine kama '''[[Raga|rugby]], [[voliboli]], [[kriketi]]''' na '''[[netiboli]]''' inaendelea kukua. Matamasha ya burudani kama '''Blankets & Wine''', '''Koroga Festival''', na maonyesho ya wasanii hutoa jukwaa la kuonyesha vipaji vya muziki, sanaa, na mitindo ya maisha. == Mabadiliko ya Kisasa na Changamoto == Katika zama za sasa, utamaduni wa Kenya unakabiliana na changamoto nyingi kutoka kwa [[utandawazi]], [[teknolojia]], na maendeleo ya miji. Vijana wengi wanaathiriwa na mitindo ya kimataifa kupitia [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii,]] [[filamu]], na muziki wa kigeni. Hata hivyo, kuna juhudi zinazoendelea kuhakikisha kuwa tamaduni za asili zinahifadhiwa na kurithishwa kwa vizazi vijavyo kupitia sera za serikali, elimu ya utamaduni mashuleni, na matumizi ya lugha za asili kwenye vyombo vya habari. == Marejeo == {{marejeo}} # Ogot, Bethwell A. ''Kenya: A History Since Independence''. James Currey Publishers, 1995. # Ngũgĩ wa Thiong’o, ''Decolonising the Mind: The Politics of Language in African Literature'', 1986. # Kenya National Bureau of Statistics (KNBS), ''Population Census Report'', 2019. # UNESCO World Heritage Centre: ''Lamu Old Town'', www.unesco.org # Kenya Ministry of Sports, Culture and Heritage, www.sportsheritage.go.ke d7v6c8njg5k6wncqspibnf9y16bcej9 Utamaduni wa Libya 0 208896 1436965 2025-07-11T16:54:52Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa Libya 1436965 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya]] '''Utamaduni wa Libya''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]] vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == # Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986. # Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012. # UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org. # Tripoli Museum Guide, Department of Antiquities, Government of Libya. # Al-Koni, Ibrahim. ''The Bleeding of the Stone'', Interlink Publishing, 2002. 0xm6sfs1qgrbzhgwig28p3atfrq1204 1436966 1436965 2025-07-11T17:07:46Z Alex Rweyemamu 75841 nimefanyia maboresho marejeo 1436966 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya]] '''Utamaduni wa Libya''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni<ref>UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org.</ref>. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya<ref>Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986.</ref> zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]<ref>Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012.</ref> vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == <references /> # 6x4pz9yhpefcblsxts8ls0mg6nqg2ej 1436969 1436966 2025-07-11T17:13:59Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeongeza links Kwenye articles 1436969 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya]] '''Utamaduni wa [[Libya]]''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni<ref>UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org.</ref>. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya<ref>Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986.</ref> zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]<ref>Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012.</ref> vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == <references /> # irsxuaqp25kw9bzr81s4zwgbe74r2t4 1437131 1436969 2025-07-12T09:34:43Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye clothes 1437131 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya]] '''Utamaduni wa [[Libya]]''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni<ref>UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org.</ref>. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya<ref>Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986.</ref> zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]<ref>Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012.</ref> vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == {{marejeo}} 810ygymfs5heg4xdmpy7zh08emyquaa 1437184 1437131 2025-07-12T10:33:54Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436969 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya]] '''Utamaduni wa [[Libya]]''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni<ref>UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org.</ref>. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya<ref>Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986.</ref> zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]<ref>Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012.</ref> vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == <references /> # irsxuaqp25kw9bzr81s4zwgbe74r2t4 1437260 1437184 2025-07-12T11:51:04Z ~2025-17972-2 80083 no "#" garbage 1437260 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya]] '''Utamaduni wa [[Libya]]''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni<ref>UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org.</ref>. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya<ref>Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986.</ref> zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]<ref>Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012.</ref> vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == {{Marejeo}} 8zanqf1rydf9m9qpfxm8incs70kbnu1 1437275 1437260 2025-07-12T11:56:34Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437275 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Libya.svg|thumb|Bendera ya Libya.]] '''Utamaduni wa [[Libya]]''' ni zao la maelfu ya miaka ya mwingiliano kati ya jamii mbalimbali zilizowahi kuishi au kupita katika eneo hili la [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Kuanzia [[Waarabu]], Waberber, [[Wagiriki]], [[Warumi]], Wafinisia, hadi Waitaliano, kila kundi limeacha alama katika maisha, mila na utambulisho wa taifa hili. Mchanganyiko huu umeunda utamaduni wa kipekee wa Libya unaojumuisha [[lugha]], [[dini]], [[sanaa]], [[vyakula]], [[mavazi]], na mitazamo ya kijamii ambayo ina mizizi ya kihistoria lakini pia inaathiriwa na mabadiliko ya kisasa. Lugha rasmi ya Libya ni [[Kiarabu]], lakini lahaja ya Kilibya ina ladha ya pekee inayotofautiana na Kiarabu kinachozungumzwa Mashariki ya Kati. Watu wa jamii ya Amazigh (Waberber), ambao ni wenyeji wa awali wa maeneo ya milimani na jangwa, huzungumza lugha ya Tamasheq na Tifinagh, na wameendelea kuilinda pamoja na utamaduni wao wa kale. Licha ya juhudi za serikali za awali za kulazimisha matumizi ya Kiarabu pekee, harakati za kijamii zimechangia katika kufufua lugha za jadi na kuziingiza kwenye mfumo wa elimu na sanaa. Katika maisha ya kila siku ya Walibya, dini ina nafasi kubwa. Takriban asilimia 97 ya wakazi wa Libya ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni]], ambapo Uislamu si tu dini bali mfumo wa maisha. Maadili ya Kiislamu huongoza familia, sheria, na maamuzi ya kijamii. Misikiti huchukua nafasi ya kiroho na kijamii, huku matukio kama [[Ramadan (mwezi)|Ramadhani]], [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], na [[Eid al-Adha]] yakisherehekewa kwa heshima kubwa. Libya pia ina historia ya kale ya Uislamu wa kisufi, ambapo maeneo kama Zawiya yalikuwa vituo muhimu vya elimu na ibada. Ingawa idadi ya [[Ukristo|Wakristo]], [[Wayahudi]], na dini nyingine ni ndogo sana nchini, historia ya Libya inaonyesha kuwa wakati fulani kulikuwa na jumuiya za kidini zenye mchango mkubwa katika biashara na maisha ya miji mikuu kama Tripoli na Benghazi. Mavazi ya jadi ya Libya ni ya kifahari na yenye kubeba ujumbe wa kitamaduni<ref>UNESCO, “Intangible Cultural Heritage of Libya,” www.unesco.org.</ref>. Wanaume huvaa vazi linaloitwa "Jard" au "Dashdasha", mara nyingi likiwa jeupe au la buluu iliyokolea, likiambatana na kilemba au kofia ndogo inayojulikana kama "Shashia". Wanawake huvaa "Hira", mavazi ya rangi mbalimbali, mara nyingi yakiwa na mapambo ya dhahabu au fedha, na hufunika sehemu kubwa ya mwili kwa kuzingatia maadili ya dini. Katika harusi na sherehe maalum, mavazi haya huwa ya kupendeza sana, yakikamilishwa na mapambo ya asili ya jamii mbalimbali za Libya. Hata hivyo, mitindo ya mavazi ya kisasa, hasa kutoka nchi za Kiarabu na Ulaya, inaendelea kuathiri mavazi ya mijini, huku mavazi ya jadi yakihifadhiwa zaidi katika maeneo ya vijijini na wakati wa sherehe. Sanaa ya Libya ina mizizi ya kale inayojumuisha uchoraji wa miambani wa Sahara, ambayo ni kati ya michoro ya zamani zaidi duniani inayodhihirisha maisha ya awali ya binadamu, wanyama, na mila. Uchoraji wa kisasa wa Libya unazingatia historia, utambulisho na harakati za kisiasa, hasa baada ya mapinduzi ya mwaka 2011. Fasihi ya Libya, hasa ushairi wa Kiarabu, imekuwa sehemu ya utamaduni wa mdomo, ambapo washairi wa jadi walihifadhi historia, walikemea uovu, na kuhimiza mshikamano. Katika miaka ya hivi karibuni, waandishi kama Ibrahim Al-Koni wameibuka na kuandika kazi maarufu zinazochunguza maisha ya jangwani, utambulisho wa Amazigh, na masuala ya kiroho. Muziki wa Libya ni wenye ladha ya Kiarabu na Kiafrika, huku ala kama oud (gitaa la Kiarabu), darbuka (ngoma ya mikono), na rebab zikitumika. Muziki wa jadi wa kifalme na ngoma za jangwa huchezwa hasa katika sherehe za harusi, misimu ya mavuno, na maadhimisho ya kiimani. Katika maeneo ya kusini mwa Libya, hasa kati ya jamii za Tuareg na Tebu, muziki na ngoma huendana na mashairi ya kihistoria, tendo la kupasha moto jamii, na kusisitiza umoja wa kikabila. Mabadiliko ya kisasa yamechangia kuibuka kwa wanamuziki wa kisasa wa Libya wanaoimba kuhusu mapenzi, uhuru, na maisha ya kila siku kwa mchanganyiko wa mitindo ya Maghreb na Mashariki ya Kati. Chakula cha Libya kinawakilisha kiini cha utamaduni wake. Mlo wa kawaida hujumuisha couscous, biriani ya Kiarabu, mkate wa unga usiotiwa chachu, na mchuzi wenye nyama ya kondoo au kuku. Samaki na dagaa ni maarufu hasa katika miji ya pwani kama Tripoli na Sirte. Kahawa ya Kiarabu huandaliwa kwa uangalifu mkubwa na mara nyingi hufuatana na tende au vyakula vya tamu kama baklava na basbousa. Wakati wa Ramadhani, meza za kifamilia hujaa vyakula maalum vya kitamaduni vilivyoandaliwa kwa mapenzi na heshima kwa wageni. Mila na desturi za Libya<ref>Lisa Anderson, ''The State and Social Transformation in Tunisia and Libya, 1830–1980'', Princeton University Press, 1986.</ref> zinahifadhi maadili ya familia na jamii. Familia ya Kiafrika ya Kiarabu ina mtazamo wa mshikamano, ambapo wazazi, watoto, babu na bibi huishi pamoja au karibu. Wazee huheshimiwa sana, na ushauri wao huhesabiwa kuwa na hekima ya hali ya juu. Harusi hufanyika kwa utaratibu wa jadi unaohusisha wachumba, wazazi, marafiki wa familia, na jamii yote. Maendeleo ya kisasa hayajafuta mila hizi bali yamechangia kuibadilisha namna ya kuzitekeleza. Malezi ya watoto, usuluhishi wa mizozo, na mapokeo ya wageni yote yanaonyesha utambulisho wa Libya kuwa jamii inayojali heshima, utu, na ukarimu. Vyombo vya habari na [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]<ref>Dirk Vandewalle, ''A History of Modern Libya'', Cambridge University Press, 2012.</ref> vina nafasi inayokua katika kuunda utamaduni wa kisasa wa Libya. Baada ya kuanguka kwa utawala wa [[Muammar al-Gaddafi|Gaddafi]], uhuru wa kujieleza umeongeza utofauti wa maoni katika sanaa, fasihi, na habari. Vijana wa Libya wanatumia majukwaa kama [[YouTube]], [[TikTok]], na [[Instagram]] kuelezea maisha yao, kuchambua siasa, kuonyesha ujasiriamali, na kukuza tamaduni mpya zinazovuka mipaka ya kijadi. Licha ya changamoto za kisiasa na kiusalama, Walibya wanaendelea kudumisha utamaduni wao kwa njia ya kipekee. Kwa kuenzi historia yao tajiri, kupokea mabadiliko ya kisasa kwa busara, na kushikilia maadili ya familia, dini, na jamii, Libya inaonyesha mfano hai wa jamii inayopambana kuhifadhi utambulisho wake katikati ya mabadiliko ya dunia. == Marejeo == {{Marejeo}} 2rqs66b493pkejmljugvb9bxt9t5pj8 Utamaduni wa Somalia 0 208897 1436972 2025-07-11T18:45:30Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa Somalia 1436972 wikitext text/x-wiki '''Utamaduni wa [[Somalia]]''' umejengwa juu ya misingi ya mshikamano wa kijamii, ustaarabu wa jadi wa wafugaji, pamoja na athari za kihistoria za [[Uislamu|Kiislamu]], [[Kiarabu]]<ref>Lewis, I. M. ''A Modern History of the Somali: Nation and State in the Horn of Africa''. Ohio University Press, 2002.</ref> na [[ukoloni]] wa Kizungu. Somalia imebarikiwa kuwa na jamii ya watu wanaozungumza lugha moja kuu [[Kisomali]] jambo linalochangia katika kuimarisha mshikamano wa kitamaduni licha ya tofauti za koo na maeneo. Lugha ya [[Kisomali]] ndiyo nguzo ya msingi ya utambulisho wa watu wa Somalia. Kisomali ni lugha ya Kiafrika ya familia ya Afroasiatic, na hutumika sana katika mawasiliano ya kila siku, fasihi simulizi na maandiko ya kisasa. Lugha ya Kiarabu nayo ina nafasi muhimu, si tu kwa sababu ya dini ya Kiislamu bali pia kama lugha ya elimu ya kidini na maandiko matakatifu. Aidha, Kiingereza na Kiitaliano vilikuwa lugha za utawala na elimu wakati wa ukoloni, na bado vinatumika katika baadhi ya nyanja za kielimu na kidiplomasia. [[Dini]] ya Kiislamu ni mhimili mkubwa wa maisha ya Wasomali. Takribani asilimia 99 ya wananchi ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni, na Uislamu umeathiri kwa kiasi kikubwa sheria, mavazi, elimu, muziki, na desturi nyingine za maisha. Elimu ya Qur'ani ni ya msingi katika jamii nyingi za Somalia, ambapo watoto hujifunza kusoma Qur’ani na misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Misikiti imeenea kila kona ya nchi na huchukuliwa kama vituo muhimu vya maisha ya kijamii na kiroho. Mila na desturi za jadi za Kisomali zinajidhihirisha katika majukumu ya kifamilia, usuluhishi wa migogoro kwa kutumia wazee (elders), na mfumo wa koo unaojulikana kama ''clan''. Koo ni sehemu ya msingi ya jamii, zikiongozwa na wazee wenye busara ambao wana mamlaka ya kusuluhisha mizozo kwa njia ya mashauriano, uamuzi wa pamoja, na marekebisho ya kifedha kama fidia. Uhusiano wa kindugu hupewa kipaumbele katika kila hatua ya maisha, kuanzia ndoa, urithi, ushirikiano wa kiuchumi hadi katika siasa. Sanaa ya Somalia ina mizizi ya kina katika fasihi simulizi, ambayo ni pamoja na mashairi, methali, hadithi na nyimbo. Wasomali hujulikana kwa kipaji chao cha kuimba mashairi ya utunzi wa papo kwa papo, maarufu kama ''gabay'', ambayo huonyesha ustadi wa lugha, hekima ya maisha na ujuzi wa kihistoria. Mashairi hutumika kueleza hisia, kushindana kwa maneno, au kutoa mafundisho ya kijamii. Utamaduni wa nyimbo za jadi huenda sambamba na ala kama ''oud'', ''drum'' na ''kaban'', ingawa nyimbo za kisasa pia zimeanza kuenea kwa kutumia mitindo ya muziki wa [[Kiarabu]] na Kimagharibi. Mavazi ya jadi ya Kisomali<ref>Gaas, Mohamed Haji. ''Somali Culture and Traditions: An Overview''. Nordic Africa Institute, 2010.</ref> ni rahisi lakini yenye hadhi. Wanawake huvaa ''guntiino'', ambayo ni vazi refu linalofungwa kwa mtindo maalum, pamoja na vitambaa vya kichwani vinavyoashiria heshima na ucha Mungu. Wanaume kwa kawaida huvaa ''macawiis'', aina ya leso refu inayofungwa kiunoni, pamoja na shati au kanzu, na wakati mwingine kofia ya Kiislamu maarufu kama ''koofiyad''. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa pia yamepenya, lakini jamii nyingi bado huenzi mavazi ya kitamaduni wakati wa sherehe au hafla rasmi. Chakula cha Kisomali ni mchanganyiko wa ladha za [[Afrika]], [[Kiarabu|Kiarabu,]] na Bara Hindi. Mlo wa kawaida hujumuisha bariis (wali), hilib (nyama), canjeero (aina ya chapati), na mara nyingine sambusa na supu. Matumizi ya viungo kama hiliki, mdalasini, na karafuu ni ya kawaida. Kahawa na chai huandaliwa kwa viungo vya kupendeza na kunywewa kwa heshima kubwa, hasa wakati wa mapokezi ya wageni. Jamii ya Kisomali inatilia mkazo sana ukarimu; mgeni hutendewa kwa heshima ya kipekee. Sanaa ya uchoraji na usanifu wa majengo inaakisi historia ya kiislamu ya Somalia. Majengo ya kale katika miji kama Mogadishu, Zeila na Barawa yanaonyesha usanifu wenye athari za Kiarabu na Kiswahili, ukiwa na madirisha yaliyochorwa kwa nakshi na milango ya mbao yenye maumbo ya kipekee. Katika karne ya 20, Somalia ilishuhudia ukuaji wa sanaa ya kisasa<ref>UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage – Somali Oral Poetry''. www.unesco.org</ref> ikijumuisha filamu, muziki wa redio, na maigizo ya jukwaani, ingawa migogoro ya kisiasa ilikwamisha maendeleo yake kwa muda. Licha ya historia ya mizozo ya kisiasa, Wasomali wameendelea kushikilia [[Utamaduni|tamaduni]] zao kwa nguvu kubwa, ndani na nje ya nchi. Diaspora ya Kisomali<ref>Abdi, Cawo M. ''Diasporic Somalis and Cultural Transmission''. African Studies Review, 2014.</ref> katika mataifa ya [[Ulaya]], Amerika Kaskazini na Mashariki ya Kati imechangia sana katika kuendeleza utamaduni wao kwa njia ya [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]], mitandao ya televisheni ya lugha ya Kisomali, na machapisho ya fasihi yanayoandika simulizi za maisha ya Kisomali katika mazingira mapya. Tamasha za Kisomali hufanyika katika miji mikubwa duniani, zikileta pamoja [[lugha]], vyakula, mavazi na muziki wa jadi kwa kizazi kipya kinacholelewa nje ya Somalia. Kwa ujumla, utamaduni wa Somalia ni urithi hai unaoonyesha uimara wa watu wake licha ya changamoto za muda. Lugha ya [[Kisomali]], [[Uislamu]], [[familia]], [[sanaa]], na historia yao ni vipengele vikuu vinavyounganisha jamii ya Kisomali duniani kote. Utambulisho wao umejengwa juu ya maadili ya heshima, usikivu kwa wazee, ujasiri wa kujieleza kupitia [[Shairi|mashairi]], na mapenzi kwa taifa na mila zao. == Marejeo == <references /> # 2szkd0qqm8jpvf4g6koal8scbcprsk6 1436973 1436972 2025-07-11T18:47:45Z Alex Rweyemamu 75841 1436973 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Somalia.svg|thumb|Bendera ya Somalia]] '''Utamaduni wa [[Somalia]]''' umejengwa juu ya misingi ya mshikamano wa kijamii, ustaarabu wa jadi wa wafugaji, pamoja na athari za kihistoria za [[Uislamu|Kiislamu]], [[Kiarabu]]<ref>Lewis, I. M. ''A Modern History of the Somali: Nation and State in the Horn of Africa''. Ohio University Press, 2002.</ref> na [[ukoloni]] wa Kizungu. Somalia imebarikiwa kuwa na jamii ya watu wanaozungumza lugha moja kuu [[Kisomali]] jambo linalochangia katika kuimarisha mshikamano wa kitamaduni licha ya tofauti za koo na maeneo. Lugha ya [[Kisomali]] ndiyo nguzo ya msingi ya utambulisho wa watu wa Somalia. Kisomali ni lugha ya Kiafrika ya familia ya Afroasiatic, na hutumika sana katika mawasiliano ya kila siku, fasihi simulizi na maandiko ya kisasa. Lugha ya Kiarabu nayo ina nafasi muhimu, si tu kwa sababu ya dini ya Kiislamu bali pia kama lugha ya elimu ya kidini na maandiko matakatifu. Aidha, Kiingereza na Kiitaliano vilikuwa lugha za utawala na elimu wakati wa ukoloni, na bado vinatumika katika baadhi ya nyanja za kielimu na kidiplomasia. [[Dini]] ya Kiislamu ni mhimili mkubwa wa maisha ya Wasomali. Takribani asilimia 99 ya wananchi ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni, na Uislamu umeathiri kwa kiasi kikubwa sheria, mavazi, elimu, muziki, na desturi nyingine za maisha. Elimu ya Qur'ani ni ya msingi katika jamii nyingi za Somalia, ambapo watoto hujifunza kusoma Qur’ani na misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Misikiti imeenea kila kona ya nchi na huchukuliwa kama vituo muhimu vya maisha ya kijamii na kiroho. [[Mila]] na desturi za jadi za Kisomali zinajidhihirisha katika majukumu ya kifamilia, usuluhishi wa migogoro kwa kutumia wazee (elders), na mfumo wa koo unaojulikana kama ''clan''. Koo ni sehemu ya msingi ya jamii, zikiongozwa na wazee wenye busara ambao wana mamlaka ya kusuluhisha mizozo kwa njia ya mashauriano, uamuzi wa pamoja, na marekebisho ya kifedha kama fidia. Uhusiano wa kindugu hupewa kipaumbele katika kila hatua ya maisha, kuanzia ndoa, urithi, ushirikiano wa kiuchumi hadi katika siasa. Sanaa ya Somalia ina mizizi ya kina katika fasihi simulizi, ambayo ni pamoja na mashairi, methali, hadithi na nyimbo. Wasomali hujulikana kwa kipaji chao cha kuimba mashairi ya utunzi wa papo kwa papo, maarufu kama ''gabay'', ambayo huonyesha ustadi wa lugha, hekima ya maisha na ujuzi wa kihistoria. Mashairi hutumika kueleza hisia, kushindana kwa maneno, au kutoa mafundisho ya kijamii. Utamaduni wa nyimbo za jadi huenda sambamba na ala kama ''oud'', ''drum'' na ''kaban'', ingawa nyimbo za kisasa pia zimeanza kuenea kwa kutumia mitindo ya muziki wa [[Kiarabu]] na Kimagharibi. Mavazi ya jadi ya Kisomali<ref>Gaas, Mohamed Haji. ''Somali Culture and Traditions: An Overview''. Nordic Africa Institute, 2010.</ref> ni rahisi lakini yenye hadhi. Wanawake huvaa ''guntiino'', ambayo ni vazi refu linalofungwa kwa mtindo maalum, pamoja na vitambaa vya kichwani vinavyoashiria heshima na ucha Mungu. Wanaume kwa kawaida huvaa ''macawiis'', aina ya leso refu inayofungwa kiunoni, pamoja na shati au kanzu, na wakati mwingine kofia ya Kiislamu maarufu kama ''koofiyad''. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa pia yamepenya, lakini jamii nyingi bado huenzi mavazi ya kitamaduni wakati wa sherehe au hafla rasmi. Chakula cha Kisomali ni mchanganyiko wa ladha za [[Afrika]], [[Kiarabu|Kiarabu,]] na Bara Hindi. Mlo wa kawaida hujumuisha bariis (wali), hilib (nyama), canjeero (aina ya chapati), na mara nyingine sambusa na supu. Matumizi ya viungo kama hiliki, mdalasini, na karafuu ni ya kawaida. Kahawa na chai huandaliwa kwa viungo vya kupendeza na kunywewa kwa heshima kubwa, hasa wakati wa mapokezi ya wageni. Jamii ya Kisomali inatilia mkazo sana ukarimu; mgeni hutendewa kwa heshima ya kipekee. Sanaa ya uchoraji na usanifu wa majengo inaakisi historia ya kiislamu ya Somalia. Majengo ya kale katika miji kama Mogadishu, Zeila na Barawa yanaonyesha usanifu wenye athari za Kiarabu na Kiswahili, ukiwa na madirisha yaliyochorwa kwa nakshi na milango ya mbao yenye maumbo ya kipekee. Katika karne ya 20, Somalia ilishuhudia ukuaji wa sanaa ya kisasa<ref>UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage – Somali Oral Poetry''. www.unesco.org</ref> ikijumuisha filamu, muziki wa redio, na maigizo ya jukwaani, ingawa migogoro ya kisiasa ilikwamisha maendeleo yake kwa muda. Licha ya historia ya mizozo ya kisiasa, Wasomali wameendelea kushikilia [[Utamaduni|tamaduni]] zao kwa nguvu kubwa, ndani na nje ya nchi. Diaspora ya Kisomali<ref>Abdi, Cawo M. ''Diasporic Somalis and Cultural Transmission''. African Studies Review, 2014.</ref> katika mataifa ya [[Ulaya]], Amerika Kaskazini na Mashariki ya Kati imechangia sana katika kuendeleza utamaduni wao kwa njia ya [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]], mitandao ya televisheni ya lugha ya Kisomali, na machapisho ya fasihi yanayoandika simulizi za maisha ya Kisomali katika mazingira mapya. Tamasha za Kisomali hufanyika katika miji mikubwa duniani, zikileta pamoja [[lugha]], vyakula, mavazi na muziki wa jadi kwa kizazi kipya kinacholelewa nje ya Somalia. Kwa ujumla, utamaduni wa Somalia ni urithi hai unaoonyesha uimara wa watu wake licha ya changamoto za muda. Lugha ya [[Kisomali]], [[Uislamu]], [[familia]], [[sanaa]], na historia yao ni vipengele vikuu vinavyounganisha jamii ya Kisomali duniani kote. Utambulisho wao umejengwa juu ya maadili ya heshima, usikivu kwa wazee, ujasiri wa kujieleza kupitia [[Shairi|mashairi]], na mapenzi kwa taifa na mila zao. == Marejeo == <references /> # ik7evx2uivrymhvqkp908zaet2pnpsg 1437129 1436973 2025-07-12T09:31:34Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeongeza links Kwenye clothes 1437129 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Somalia.svg|thumb|Bendera ya Somalia]] '''Utamaduni wa [[Somalia]]''' umejengwa juu ya misingi ya mshikamano wa kijamii, ustaarabu wa jadi wa wafugaji, pamoja na athari za kihistoria za [[Uislamu|Kiislamu]], [[Kiarabu]]<ref>Lewis, I. M. ''A Modern History of the Somali: Nation and State in the Horn of Africa''. Ohio University Press, 2002.</ref> na [[ukoloni]] wa Kizungu. Somalia imebarikiwa kuwa na jamii ya watu wanaozungumza lugha moja kuu [[Kisomali]] jambo linalochangia katika kuimarisha mshikamano wa kitamaduni licha ya tofauti za koo na maeneo. Lugha ya [[Kisomali]] ndiyo nguzo ya msingi ya utambulisho wa watu wa Somalia. Kisomali ni lugha ya Kiafrika ya familia ya Afroasiatic, na hutumika sana katika mawasiliano ya kila siku, fasihi simulizi na maandiko ya kisasa. Lugha ya Kiarabu nayo ina nafasi muhimu, si tu kwa sababu ya dini ya Kiislamu bali pia kama lugha ya elimu ya kidini na maandiko matakatifu. Aidha, Kiingereza na Kiitaliano vilikuwa lugha za utawala na elimu wakati wa ukoloni, na bado vinatumika katika baadhi ya nyanja za kielimu na kidiplomasia. [[Dini]] ya Kiislamu ni mhimili mkubwa wa maisha ya Wasomali. Takribani asilimia 99 ya wananchi ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni, na Uislamu umeathiri kwa kiasi kikubwa sheria, mavazi, elimu, muziki, na desturi nyingine za maisha. Elimu ya Qur'ani ni ya msingi katika jamii nyingi za Somalia, ambapo watoto hujifunza kusoma Qur’ani na misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Misikiti imeenea kila kona ya nchi na huchukuliwa kama vituo muhimu vya maisha ya kijamii na kiroho. [[Mila]] na desturi za jadi za Kisomali zinajidhihirisha katika majukumu ya kifamilia, usuluhishi wa migogoro kwa kutumia wazee (elders), na mfumo wa koo unaojulikana kama ''clan''. Koo ni sehemu ya msingi ya jamii, zikiongozwa na wazee wenye busara ambao wana mamlaka ya kusuluhisha mizozo kwa njia ya mashauriano, uamuzi wa pamoja, na marekebisho ya kifedha kama fidia. Uhusiano wa kindugu hupewa kipaumbele katika kila hatua ya maisha, kuanzia ndoa, urithi, ushirikiano wa kiuchumi hadi katika siasa. Sanaa ya Somalia ina mizizi ya kina katika fasihi simulizi, ambayo ni pamoja na mashairi, methali, hadithi na nyimbo. Wasomali hujulikana kwa kipaji chao cha kuimba mashairi ya utunzi wa papo kwa papo, maarufu kama ''gabay'', ambayo huonyesha ustadi wa lugha, hekima ya maisha na ujuzi wa kihistoria. Mashairi hutumika kueleza hisia, kushindana kwa maneno, au kutoa mafundisho ya kijamii. Utamaduni wa nyimbo za jadi huenda sambamba na ala kama ''oud'', ''drum'' na ''kaban'', ingawa nyimbo za kisasa pia zimeanza kuenea kwa kutumia mitindo ya muziki wa [[Kiarabu]] na Kimagharibi. Mavazi ya jadi ya Kisomali<ref>Gaas, Mohamed Haji. ''Somali Culture and Traditions: An Overview''. Nordic Africa Institute, 2010.</ref> ni rahisi lakini yenye hadhi. Wanawake huvaa ''guntiino'', ambayo ni vazi refu linalofungwa kwa mtindo maalum, pamoja na vitambaa vya kichwani vinavyoashiria heshima na ucha Mungu. Wanaume kwa kawaida huvaa ''macawiis'', aina ya leso refu inayofungwa kiunoni, pamoja na shati au kanzu, na wakati mwingine kofia ya Kiislamu maarufu kama ''koofiyad''. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa pia yamepenya, lakini jamii nyingi bado huenzi mavazi ya kitamaduni wakati wa sherehe au hafla rasmi. Chakula cha Kisomali ni mchanganyiko wa ladha za [[Afrika]], [[Kiarabu|Kiarabu,]] na Bara Hindi. Mlo wa kawaida hujumuisha bariis (wali), hilib (nyama), canjeero (aina ya chapati), na mara nyingine sambusa na supu. Matumizi ya viungo kama hiliki, mdalasini, na karafuu ni ya kawaida. Kahawa na chai huandaliwa kwa viungo vya kupendeza na kunywewa kwa heshima kubwa, hasa wakati wa mapokezi ya wageni. Jamii ya Kisomali inatilia mkazo sana ukarimu; mgeni hutendewa kwa heshima ya kipekee. Sanaa ya uchoraji na usanifu wa majengo inaakisi historia ya kiislamu ya Somalia. Majengo ya kale katika miji kama Mogadishu, Zeila na Barawa yanaonyesha usanifu wenye athari za Kiarabu na Kiswahili, ukiwa na madirisha yaliyochorwa kwa nakshi na milango ya mbao yenye maumbo ya kipekee. Katika karne ya 20, Somalia ilishuhudia ukuaji wa sanaa ya kisasa<ref>UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage – Somali Oral Poetry''. www.unesco.org</ref> ikijumuisha filamu, muziki wa redio, na maigizo ya jukwaani, ingawa migogoro ya kisiasa ilikwamisha maendeleo yake kwa muda. Licha ya historia ya mizozo ya kisiasa, Wasomali wameendelea kushikilia [[Utamaduni|tamaduni]] zao kwa nguvu kubwa, ndani na nje ya nchi. Diaspora ya Kisomali<ref>Abdi, Cawo M. ''Diasporic Somalis and Cultural Transmission''. African Studies Review, 2014.</ref> katika mataifa ya [[Ulaya]], Amerika Kaskazini na Mashariki ya Kati imechangia sana katika kuendeleza utamaduni wao kwa njia ya [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]], mitandao ya televisheni ya lugha ya Kisomali, na machapisho ya fasihi yanayoandika simulizi za maisha ya Kisomali katika mazingira mapya. Tamasha za Kisomali hufanyika katika miji mikubwa duniani, zikileta pamoja [[lugha]], vyakula, mavazi na muziki wa jadi kwa kizazi kipya kinacholelewa nje ya Somalia. Kwa ujumla, utamaduni wa Somalia ni urithi hai unaoonyesha uimara wa watu wake licha ya changamoto za muda. Lugha ya [[Kisomali]], [[Uislamu]], [[familia]], [[sanaa]], na historia yao ni vipengele vikuu vinavyounganisha jamii ya Kisomali duniani kote. Utambulisho wao umejengwa juu ya maadili ya heshima, usikivu kwa wazee, ujasiri wa kujieleza kupitia [[Shairi|mashairi]], na mapenzi kwa taifa na mila zao. == Marejeo == {{marejeo}} 7ta1nssmn9a9m7sl7iftsfp17x772n2 1437186 1437129 2025-07-12T10:33:55Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1436973 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Somalia.svg|thumb|Bendera ya Somalia]] '''Utamaduni wa [[Somalia]]''' umejengwa juu ya misingi ya mshikamano wa kijamii, ustaarabu wa jadi wa wafugaji, pamoja na athari za kihistoria za [[Uislamu|Kiislamu]], [[Kiarabu]]<ref>Lewis, I. M. ''A Modern History of the Somali: Nation and State in the Horn of Africa''. Ohio University Press, 2002.</ref> na [[ukoloni]] wa Kizungu. Somalia imebarikiwa kuwa na jamii ya watu wanaozungumza lugha moja kuu [[Kisomali]] jambo linalochangia katika kuimarisha mshikamano wa kitamaduni licha ya tofauti za koo na maeneo. Lugha ya [[Kisomali]] ndiyo nguzo ya msingi ya utambulisho wa watu wa Somalia. Kisomali ni lugha ya Kiafrika ya familia ya Afroasiatic, na hutumika sana katika mawasiliano ya kila siku, fasihi simulizi na maandiko ya kisasa. Lugha ya Kiarabu nayo ina nafasi muhimu, si tu kwa sababu ya dini ya Kiislamu bali pia kama lugha ya elimu ya kidini na maandiko matakatifu. Aidha, Kiingereza na Kiitaliano vilikuwa lugha za utawala na elimu wakati wa ukoloni, na bado vinatumika katika baadhi ya nyanja za kielimu na kidiplomasia. [[Dini]] ya Kiislamu ni mhimili mkubwa wa maisha ya Wasomali. Takribani asilimia 99 ya wananchi ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni, na Uislamu umeathiri kwa kiasi kikubwa sheria, mavazi, elimu, muziki, na desturi nyingine za maisha. Elimu ya Qur'ani ni ya msingi katika jamii nyingi za Somalia, ambapo watoto hujifunza kusoma Qur’ani na misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Misikiti imeenea kila kona ya nchi na huchukuliwa kama vituo muhimu vya maisha ya kijamii na kiroho. [[Mila]] na desturi za jadi za Kisomali zinajidhihirisha katika majukumu ya kifamilia, usuluhishi wa migogoro kwa kutumia wazee (elders), na mfumo wa koo unaojulikana kama ''clan''. Koo ni sehemu ya msingi ya jamii, zikiongozwa na wazee wenye busara ambao wana mamlaka ya kusuluhisha mizozo kwa njia ya mashauriano, uamuzi wa pamoja, na marekebisho ya kifedha kama fidia. Uhusiano wa kindugu hupewa kipaumbele katika kila hatua ya maisha, kuanzia ndoa, urithi, ushirikiano wa kiuchumi hadi katika siasa. Sanaa ya Somalia ina mizizi ya kina katika fasihi simulizi, ambayo ni pamoja na mashairi, methali, hadithi na nyimbo. Wasomali hujulikana kwa kipaji chao cha kuimba mashairi ya utunzi wa papo kwa papo, maarufu kama ''gabay'', ambayo huonyesha ustadi wa lugha, hekima ya maisha na ujuzi wa kihistoria. Mashairi hutumika kueleza hisia, kushindana kwa maneno, au kutoa mafundisho ya kijamii. Utamaduni wa nyimbo za jadi huenda sambamba na ala kama ''oud'', ''drum'' na ''kaban'', ingawa nyimbo za kisasa pia zimeanza kuenea kwa kutumia mitindo ya muziki wa [[Kiarabu]] na Kimagharibi. Mavazi ya jadi ya Kisomali<ref>Gaas, Mohamed Haji. ''Somali Culture and Traditions: An Overview''. Nordic Africa Institute, 2010.</ref> ni rahisi lakini yenye hadhi. Wanawake huvaa ''guntiino'', ambayo ni vazi refu linalofungwa kwa mtindo maalum, pamoja na vitambaa vya kichwani vinavyoashiria heshima na ucha Mungu. Wanaume kwa kawaida huvaa ''macawiis'', aina ya leso refu inayofungwa kiunoni, pamoja na shati au kanzu, na wakati mwingine kofia ya Kiislamu maarufu kama ''koofiyad''. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa pia yamepenya, lakini jamii nyingi bado huenzi mavazi ya kitamaduni wakati wa sherehe au hafla rasmi. Chakula cha Kisomali ni mchanganyiko wa ladha za [[Afrika]], [[Kiarabu|Kiarabu,]] na Bara Hindi. Mlo wa kawaida hujumuisha bariis (wali), hilib (nyama), canjeero (aina ya chapati), na mara nyingine sambusa na supu. Matumizi ya viungo kama hiliki, mdalasini, na karafuu ni ya kawaida. Kahawa na chai huandaliwa kwa viungo vya kupendeza na kunywewa kwa heshima kubwa, hasa wakati wa mapokezi ya wageni. Jamii ya Kisomali inatilia mkazo sana ukarimu; mgeni hutendewa kwa heshima ya kipekee. Sanaa ya uchoraji na usanifu wa majengo inaakisi historia ya kiislamu ya Somalia. Majengo ya kale katika miji kama Mogadishu, Zeila na Barawa yanaonyesha usanifu wenye athari za Kiarabu na Kiswahili, ukiwa na madirisha yaliyochorwa kwa nakshi na milango ya mbao yenye maumbo ya kipekee. Katika karne ya 20, Somalia ilishuhudia ukuaji wa sanaa ya kisasa<ref>UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage – Somali Oral Poetry''. www.unesco.org</ref> ikijumuisha filamu, muziki wa redio, na maigizo ya jukwaani, ingawa migogoro ya kisiasa ilikwamisha maendeleo yake kwa muda. Licha ya historia ya mizozo ya kisiasa, Wasomali wameendelea kushikilia [[Utamaduni|tamaduni]] zao kwa nguvu kubwa, ndani na nje ya nchi. Diaspora ya Kisomali<ref>Abdi, Cawo M. ''Diasporic Somalis and Cultural Transmission''. African Studies Review, 2014.</ref> katika mataifa ya [[Ulaya]], Amerika Kaskazini na Mashariki ya Kati imechangia sana katika kuendeleza utamaduni wao kwa njia ya [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]], mitandao ya televisheni ya lugha ya Kisomali, na machapisho ya fasihi yanayoandika simulizi za maisha ya Kisomali katika mazingira mapya. Tamasha za Kisomali hufanyika katika miji mikubwa duniani, zikileta pamoja [[lugha]], vyakula, mavazi na muziki wa jadi kwa kizazi kipya kinacholelewa nje ya Somalia. Kwa ujumla, utamaduni wa Somalia ni urithi hai unaoonyesha uimara wa watu wake licha ya changamoto za muda. Lugha ya [[Kisomali]], [[Uislamu]], [[familia]], [[sanaa]], na historia yao ni vipengele vikuu vinavyounganisha jamii ya Kisomali duniani kote. Utambulisho wao umejengwa juu ya maadili ya heshima, usikivu kwa wazee, ujasiri wa kujieleza kupitia [[Shairi|mashairi]], na mapenzi kwa taifa na mila zao. == Marejeo == <references /> # ik7evx2uivrymhvqkp908zaet2pnpsg 1437268 1437186 2025-07-12T11:54:02Z ~2025-17972-2 80083 no "#" garbage 1437268 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Somalia.svg|thumb|Bendera ya Somalia]] '''Utamaduni wa [[Somalia]]''' umejengwa juu ya misingi ya mshikamano wa kijamii, ustaarabu wa jadi wa wafugaji, pamoja na athari za kihistoria za [[Uislamu|Kiislamu]], [[Kiarabu]]<ref>Lewis, I. M. ''A Modern History of the Somali: Nation and State in the Horn of Africa''. Ohio University Press, 2002.</ref> na [[ukoloni]] wa Kizungu. Somalia imebarikiwa kuwa na jamii ya watu wanaozungumza lugha moja kuu [[Kisomali]] jambo linalochangia katika kuimarisha mshikamano wa kitamaduni licha ya tofauti za koo na maeneo. Lugha ya [[Kisomali]] ndiyo nguzo ya msingi ya utambulisho wa watu wa Somalia. Kisomali ni lugha ya Kiafrika ya familia ya Afroasiatic, na hutumika sana katika mawasiliano ya kila siku, fasihi simulizi na maandiko ya kisasa. Lugha ya Kiarabu nayo ina nafasi muhimu, si tu kwa sababu ya dini ya Kiislamu bali pia kama lugha ya elimu ya kidini na maandiko matakatifu. Aidha, Kiingereza na Kiitaliano vilikuwa lugha za utawala na elimu wakati wa ukoloni, na bado vinatumika katika baadhi ya nyanja za kielimu na kidiplomasia. [[Dini]] ya Kiislamu ni mhimili mkubwa wa maisha ya Wasomali. Takribani asilimia 99 ya wananchi ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni, na Uislamu umeathiri kwa kiasi kikubwa sheria, mavazi, elimu, muziki, na desturi nyingine za maisha. Elimu ya Qur'ani ni ya msingi katika jamii nyingi za Somalia, ambapo watoto hujifunza kusoma Qur’ani na misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Misikiti imeenea kila kona ya nchi na huchukuliwa kama vituo muhimu vya maisha ya kijamii na kiroho. [[Mila]] na desturi za jadi za Kisomali zinajidhihirisha katika majukumu ya kifamilia, usuluhishi wa migogoro kwa kutumia wazee (elders), na mfumo wa koo unaojulikana kama ''clan''. Koo ni sehemu ya msingi ya jamii, zikiongozwa na wazee wenye busara ambao wana mamlaka ya kusuluhisha mizozo kwa njia ya mashauriano, uamuzi wa pamoja, na marekebisho ya kifedha kama fidia. Uhusiano wa kindugu hupewa kipaumbele katika kila hatua ya maisha, kuanzia ndoa, urithi, ushirikiano wa kiuchumi hadi katika siasa. Sanaa ya Somalia ina mizizi ya kina katika fasihi simulizi, ambayo ni pamoja na mashairi, methali, hadithi na nyimbo. Wasomali hujulikana kwa kipaji chao cha kuimba mashairi ya utunzi wa papo kwa papo, maarufu kama ''gabay'', ambayo huonyesha ustadi wa lugha, hekima ya maisha na ujuzi wa kihistoria. Mashairi hutumika kueleza hisia, kushindana kwa maneno, au kutoa mafundisho ya kijamii. Utamaduni wa nyimbo za jadi huenda sambamba na ala kama ''oud'', ''drum'' na ''kaban'', ingawa nyimbo za kisasa pia zimeanza kuenea kwa kutumia mitindo ya muziki wa [[Kiarabu]] na Kimagharibi. Mavazi ya jadi ya Kisomali<ref>Gaas, Mohamed Haji. ''Somali Culture and Traditions: An Overview''. Nordic Africa Institute, 2010.</ref> ni rahisi lakini yenye hadhi. Wanawake huvaa ''guntiino'', ambayo ni vazi refu linalofungwa kwa mtindo maalum, pamoja na vitambaa vya kichwani vinavyoashiria heshima na ucha Mungu. Wanaume kwa kawaida huvaa ''macawiis'', aina ya leso refu inayofungwa kiunoni, pamoja na shati au kanzu, na wakati mwingine kofia ya Kiislamu maarufu kama ''koofiyad''. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa pia yamepenya, lakini jamii nyingi bado huenzi mavazi ya kitamaduni wakati wa sherehe au hafla rasmi. Chakula cha Kisomali ni mchanganyiko wa ladha za [[Afrika]], [[Kiarabu|Kiarabu,]] na Bara Hindi. Mlo wa kawaida hujumuisha bariis (wali), hilib (nyama), canjeero (aina ya chapati), na mara nyingine sambusa na supu. Matumizi ya viungo kama hiliki, mdalasini, na karafuu ni ya kawaida. Kahawa na chai huandaliwa kwa viungo vya kupendeza na kunywewa kwa heshima kubwa, hasa wakati wa mapokezi ya wageni. Jamii ya Kisomali inatilia mkazo sana ukarimu; mgeni hutendewa kwa heshima ya kipekee. Sanaa ya uchoraji na usanifu wa majengo inaakisi historia ya kiislamu ya Somalia. Majengo ya kale katika miji kama Mogadishu, Zeila na Barawa yanaonyesha usanifu wenye athari za Kiarabu na Kiswahili, ukiwa na madirisha yaliyochorwa kwa nakshi na milango ya mbao yenye maumbo ya kipekee. Katika karne ya 20, Somalia ilishuhudia ukuaji wa sanaa ya kisasa<ref>UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage – Somali Oral Poetry''. www.unesco.org</ref> ikijumuisha filamu, muziki wa redio, na maigizo ya jukwaani, ingawa migogoro ya kisiasa ilikwamisha maendeleo yake kwa muda. Licha ya historia ya mizozo ya kisiasa, Wasomali wameendelea kushikilia [[Utamaduni|tamaduni]] zao kwa nguvu kubwa, ndani na nje ya nchi. Diaspora ya Kisomali<ref>Abdi, Cawo M. ''Diasporic Somalis and Cultural Transmission''. African Studies Review, 2014.</ref> katika mataifa ya [[Ulaya]], Amerika Kaskazini na Mashariki ya Kati imechangia sana katika kuendeleza utamaduni wao kwa njia ya [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]], mitandao ya televisheni ya lugha ya Kisomali, na machapisho ya fasihi yanayoandika simulizi za maisha ya Kisomali katika mazingira mapya. Tamasha za Kisomali hufanyika katika miji mikubwa duniani, zikileta pamoja [[lugha]], vyakula, mavazi na muziki wa jadi kwa kizazi kipya kinacholelewa nje ya Somalia. Kwa ujumla, utamaduni wa Somalia ni urithi hai unaoonyesha uimara wa watu wake licha ya changamoto za muda. Lugha ya [[Kisomali]], [[Uislamu]], [[familia]], [[sanaa]], na historia yao ni vipengele vikuu vinavyounganisha jamii ya Kisomali duniani kote. Utambulisho wao umejengwa juu ya maadili ya heshima, usikivu kwa wazee, ujasiri wa kujieleza kupitia [[Shairi|mashairi]], na mapenzi kwa taifa na mila zao. == Marejeo == {{Marejeo}} juqcqrsxzdjtxfsoc2osx7cc17vhdvz 1437269 1437268 2025-07-12T11:55:03Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437269 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Somalia.svg|thumb|Bendera ya Somalia.]] '''Utamaduni wa [[Somalia]]''' umejengwa juu ya misingi ya mshikamano wa kijamii, ustaarabu wa jadi wa wafugaji, pamoja na athari za kihistoria za [[Uislamu|Kiislamu]], [[Kiarabu]]<ref>Lewis, I. M. ''A Modern History of the Somali: Nation and State in the Horn of Africa''. Ohio University Press, 2002.</ref> na [[ukoloni]] wa Kizungu. Somalia imebarikiwa kuwa na jamii ya watu wanaozungumza lugha moja kuu [[Kisomali]] jambo linalochangia katika kuimarisha mshikamano wa kitamaduni licha ya tofauti za koo na maeneo. Lugha ya [[Kisomali]] ndiyo nguzo ya msingi ya utambulisho wa watu wa Somalia. Kisomali ni lugha ya Kiafrika ya familia ya Afroasiatic, na hutumika sana katika mawasiliano ya kila siku, fasihi simulizi na maandiko ya kisasa. Lugha ya Kiarabu nayo ina nafasi muhimu, si tu kwa sababu ya dini ya Kiislamu bali pia kama lugha ya elimu ya kidini na maandiko matakatifu. Aidha, Kiingereza na Kiitaliano vilikuwa lugha za utawala na elimu wakati wa ukoloni, na bado vinatumika katika baadhi ya nyanja za kielimu na kidiplomasia. [[Dini]] ya Kiislamu ni mhimili mkubwa wa maisha ya Wasomali. Takribani asilimia 99 ya wananchi ni Waislamu wa madhehebu ya Sunni, na Uislamu umeathiri kwa kiasi kikubwa sheria, mavazi, elimu, muziki, na desturi nyingine za maisha. Elimu ya Qur'ani ni ya msingi katika jamii nyingi za Somalia, ambapo watoto hujifunza kusoma Qur’ani na misingi ya dini tangu wakiwa wadogo. Misikiti imeenea kila kona ya nchi na huchukuliwa kama vituo muhimu vya maisha ya kijamii na kiroho. [[Mila]] na desturi za jadi za Kisomali zinajidhihirisha katika majukumu ya kifamilia, usuluhishi wa migogoro kwa kutumia wazee (elders), na mfumo wa koo unaojulikana kama ''clan''. Koo ni sehemu ya msingi ya jamii, zikiongozwa na wazee wenye busara ambao wana mamlaka ya kusuluhisha mizozo kwa njia ya mashauriano, uamuzi wa pamoja, na marekebisho ya kifedha kama fidia. Uhusiano wa kindugu hupewa kipaumbele katika kila hatua ya maisha, kuanzia ndoa, urithi, ushirikiano wa kiuchumi hadi katika siasa. Sanaa ya Somalia ina mizizi ya kina katika fasihi simulizi, ambayo ni pamoja na mashairi, methali, hadithi na nyimbo. Wasomali hujulikana kwa kipaji chao cha kuimba mashairi ya utunzi wa papo kwa papo, maarufu kama ''gabay'', ambayo huonyesha ustadi wa lugha, hekima ya maisha na ujuzi wa kihistoria. Mashairi hutumika kueleza hisia, kushindana kwa maneno, au kutoa mafundisho ya kijamii. Utamaduni wa nyimbo za jadi huenda sambamba na ala kama ''oud'', ''drum'' na ''kaban'', ingawa nyimbo za kisasa pia zimeanza kuenea kwa kutumia mitindo ya muziki wa [[Kiarabu]] na Kimagharibi. Mavazi ya jadi ya Kisomali<ref>Gaas, Mohamed Haji. ''Somali Culture and Traditions: An Overview''. Nordic Africa Institute, 2010.</ref> ni rahisi lakini yenye hadhi. Wanawake huvaa ''guntiino'', ambayo ni vazi refu linalofungwa kwa mtindo maalum, pamoja na vitambaa vya kichwani vinavyoashiria heshima na ucha Mungu. Wanaume kwa kawaida huvaa ''macawiis'', aina ya leso refu inayofungwa kiunoni, pamoja na shati au kanzu, na wakati mwingine kofia ya Kiislamu maarufu kama ''koofiyad''. Katika miji mikubwa, mavazi ya kisasa pia yamepenya, lakini jamii nyingi bado huenzi mavazi ya kitamaduni wakati wa sherehe au hafla rasmi. Chakula cha Kisomali ni mchanganyiko wa ladha za [[Afrika]], [[Kiarabu|Kiarabu,]] na Bara Hindi. Mlo wa kawaida hujumuisha bariis (wali), hilib (nyama), canjeero (aina ya chapati), na mara nyingine sambusa na supu. Matumizi ya viungo kama hiliki, mdalasini, na karafuu ni ya kawaida. Kahawa na chai huandaliwa kwa viungo vya kupendeza na kunywewa kwa heshima kubwa, hasa wakati wa mapokezi ya wageni. Jamii ya Kisomali inatilia mkazo sana ukarimu; mgeni hutendewa kwa heshima ya kipekee. Sanaa ya uchoraji na usanifu wa majengo inaakisi historia ya kiislamu ya Somalia. Majengo ya kale katika miji kama Mogadishu, Zeila na Barawa yanaonyesha usanifu wenye athari za Kiarabu na Kiswahili, ukiwa na madirisha yaliyochorwa kwa nakshi na milango ya mbao yenye maumbo ya kipekee. Katika karne ya 20, Somalia ilishuhudia ukuaji wa sanaa ya kisasa<ref>UNESCO. ''Intangible Cultural Heritage – Somali Oral Poetry''. www.unesco.org</ref> ikijumuisha filamu, muziki wa redio, na maigizo ya jukwaani, ingawa migogoro ya kisiasa ilikwamisha maendeleo yake kwa muda. Licha ya historia ya mizozo ya kisiasa, Wasomali wameendelea kushikilia [[Utamaduni|tamaduni]] zao kwa nguvu kubwa, ndani na nje ya nchi. Diaspora ya Kisomali<ref>Abdi, Cawo M. ''Diasporic Somalis and Cultural Transmission''. African Studies Review, 2014.</ref> katika mataifa ya [[Ulaya]], Amerika Kaskazini na Mashariki ya Kati imechangia sana katika kuendeleza utamaduni wao kwa njia ya [[Mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]], mitandao ya televisheni ya lugha ya Kisomali, na machapisho ya fasihi yanayoandika simulizi za maisha ya Kisomali katika mazingira mapya. Tamasha za Kisomali hufanyika katika miji mikubwa duniani, zikileta pamoja [[lugha]], vyakula, mavazi na muziki wa jadi kwa kizazi kipya kinacholelewa nje ya Somalia. Kwa ujumla, utamaduni wa Somalia ni urithi hai unaoonyesha uimara wa watu wake licha ya changamoto za muda. Lugha ya [[Kisomali]], [[Uislamu]], [[familia]], [[sanaa]], na historia yao ni vipengele vikuu vinavyounganisha jamii ya Kisomali duniani kote. Utambulisho wao umejengwa juu ya maadili ya heshima, usikivu kwa wazee, ujasiri wa kujieleza kupitia [[Shairi|mashairi]], na mapenzi kwa taifa na mila zao. == Marejeo == {{Marejeo}} 4r1opcgb6aehik0739palvw8hdmsajv Glanis Changachirere 0 208898 1436982 2025-07-11T21:19:13Z Kimwali mmbaga 69489 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox Person |jina = Glanis Changachirere |jina la kuzaliwa = |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1983 (Na umri wa miaka 41-42) |mahala_pa_kuzaliwa = [[Mashonaland ya Kati]], Zimbabwe |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |ndoa = |wazazi = |watoto = |kazi_yake = Mwanaharakati wa haki za wanawake |nchi = }} '''Glanis Changachirere''' (alizaliwa [[1983]], Mkoa wa Kati...' 1436982 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Glanis Changachirere |jina la kuzaliwa = |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1983 (Na umri wa miaka 41-42) |mahala_pa_kuzaliwa = [[Mashonaland ya Kati]], Zimbabwe |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |ndoa = |wazazi = |watoto = |kazi_yake = Mwanaharakati wa haki za wanawake |nchi = }} '''Glanis Changachirere''' (alizaliwa [[1983]], Mkoa wa Kati wa [[Mashonaland ya Kati]], Zimbabwe) ni [[mwanaharakati]] wa haki za [[wanawake]] wa [[Zimbabwe]]. Ndiye Mkurugenzi mwanzilishi wa ''Institute for Young Women Development (IYWD)'' na Mratibu mwanzilishi wa Jukwaa la Viongozi Wanawake wa [[Afrika]]. Ndiye mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya sura ya Zimbabwe ya [[UN Women]]-unaoungwa mkono Mtandao wa Viongozi Wanawake wa Afrika kufikia kufikia [[Machi]] [[2022]]. <ref>{{Cite web |title=Who We Are |url=https://youngwomeninstitute.net/index.php/who-we-are |access-date=2022-03-15 |website=youngwomeninstitute.net |language=en-gb |archive-date=2022-09-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220928105732/https://youngwomeninstitute.net/index.php/who-we-are |url-status=dead }}</ref><ref>{{Cite web |title=Ten African Women leaders we admire |url=https://africa.unwomen.org/en/news-and-events/stories/2021/03/ten-african-women-leaders-we-admire |access-date=2022-03-15 |website=UN Women – Africa |language=en}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanaharakati wa Zimbabwe]] [[jamii:waliozaliwa 1983]] [[jamii:watu walio hai]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] f8sfxn9p45a56feolh2yivgno5aekrf 1437031 1436982 2025-07-12T02:40:29Z Justine Msechu 45962 1437031 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Glanis Changachirere |jina la kuzaliwa = |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 1983 (Na umri wa miaka 41-42) |mahala_pa_kuzaliwa = [[Mashonaland ya Kati]], Zimbabwe |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |ndoa = |wazazi = |watoto = |kazi_yake = Mwanaharakati wa haki za wanawake |nchi = }} '''Glanis Changachirere''' (alizaliwa [[1983]], Mkoa wa Kati wa [[Mashonaland ya Kati]], Zimbabwe) ni [[mwanaharakati]] wa haki za [[wanawake]] wa [[Zimbabwe]].Yeye ndiye Mkurugenzi Mwanzilishi wa Taasisi ya Maendeleo ya Wanawake Vijana (IYWD) na Mratibu Mwanzilishi wa Jukwaa la Viongozi Wanawake wa [[Afrika]]. Pia ni mwanachama wa Kamati ya Uongozi ya tawi la Zimbabwe la Mtandao wa Viongozi Wanawake wa Afrika unaoungwa mkono na [[UN Women]] kufikia Machi [[2022]].. <ref>{{Cite web |title=Who We Are |url=https://youngwomeninstitute.net/index.php/who-we-are |access-date=2022-03-15 |website=youngwomeninstitute.net |language=en-gb |archive-date=2022-09-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220928105732/https://youngwomeninstitute.net/index.php/who-we-are |url-status=dead }}</ref><ref>{{Cite web |title=Ten African Women leaders we admire |url=https://africa.unwomen.org/en/news-and-events/stories/2021/03/ten-african-women-leaders-we-admire |access-date=2022-03-15 |website=UN Women – Africa |language=en}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanaharakati wa Zimbabwe]] [[jamii:waliozaliwa 1983]] [[jamii:watu walio hai]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] 45kbyen5eqrvn6ljc44p95f2zu06hd5 The Souls of Black Folk 0 208899 1436983 2025-07-11T21:21:43Z Maryam Saleh Abeid 79870 Anzisha makala 1436983 wikitext text/x-wiki '''''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''''' ni kazi ya fasihi ya Kimarekani<ref>{{Citation|title=American literature|date=2025-06-16|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=American_literature&oldid=1295842280|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia<ref>{{Citation|title=History of sociology|date=2025-05-24|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=History_of_sociology&oldid=1292009699|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi<ref>{{Citation|title=African-American literature|date=2025-06-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=African-American_literature&oldid=1297910260|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>. Kitabu hiki kina insha kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''<ref>{{Citation|title=The Atlantic|date=2025-06-09|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=The_Atlantic&oldid=1294800565|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi<ref>{{Citation|title=African-American history|date=2025-07-05|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=African-American_history&oldid=1298950605|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili<ref>{{Citation|title=Double consciousness|date=2025-06-09|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Double_consciousness&oldid=1294741869|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson<ref>{{Citation|title=Ralph Waldo Emerson|date=2025-06-30|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Ralph_Waldo_Emerson&oldid=1298082807|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”''<ref>{{Cite book|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0-19-280678-9|title=The souls of Black folk|last=Du Bois|first=W. E. B.|last2=Edwards|first2=Brent Hayes|date=2007|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-280678-9|series=Oxford world's classics|location=Oxford [England] ; New York}}</ref> Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards<ref>{{Citation|title=Brent Hayes Edwards|date=2025-05-28|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Brent_Hayes_Edwards&oldid=1292625178|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>, anaandika: == Marejeo == [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Watu]] [[Jamii:Historia]] 4e10cnfgczwe1e3syhlkzvveb5rdc09 1437030 1436983 2025-07-12T02:36:22Z Justine Msechu 45962 1437030 wikitext text/x-wiki '''''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''''' ni kazi ya [[fasihi]] ya [[Marekani|Kimarekani]]<ref>{{Citation|title=American literature|date=2025-06-16|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=American_literature&oldid=1295842280|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia<ref>{{Citation|title=History of sociology|date=2025-05-24|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=History_of_sociology&oldid=1292009699|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi<ref>{{Citation|title=African-American literature|date=2025-06-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=African-American_literature&oldid=1297910260|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>. Kitabu hiki kina [[insha]] kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''<ref>{{Citation|title=The Atlantic|date=2025-06-09|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=The_Atlantic&oldid=1294800565|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi<ref>{{Citation|title=African-American history|date=2025-07-05|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=African-American_history&oldid=1298950605|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili<ref>{{Citation|title=Double consciousness|date=2025-06-09|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Double_consciousness&oldid=1294741869|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson<ref>{{Citation|title=Ralph Waldo Emerson|date=2025-06-30|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Ralph_Waldo_Emerson&oldid=1298082807|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”''<ref>{{Cite book|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0-19-280678-9|title=The souls of Black folk|last=Du Bois|first=W. E. B.|last2=Edwards|first2=Brent Hayes|date=2007|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-280678-9|series=Oxford world's classics|location=Oxford [England] ; New York}}</ref> Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards<ref>{{Citation|title=Brent Hayes Edwards|date=2025-05-28|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Brent_Hayes_Edwards&oldid=1292625178|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>, anaandika: == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Watu]] [[Jamii:Historia]] fxs0dvtm0aec9vwx1zp5n4bmw1sqjjq 1437139 1437030 2025-07-12T09:47:10Z Alexander Rweyemamu 80072 usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref> 1437139 wikitext text/x-wiki '''''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''''' ni kazi ya [[fasihi]] ya [[Marekani|Kimarekani]] ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi. Kitabu hiki kina [[insha]] kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”'' Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards, anaandika: == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Watu]] [[Jamii:Historia]] fsj2hlttfnkivcuwli34aiuvy3ro3b2 1437178 1437139 2025-07-12T10:33:51Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Justine Msechu|Justine Msechu]] 1437030 wikitext text/x-wiki '''''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''''' ni kazi ya [[fasihi]] ya [[Marekani|Kimarekani]]<ref>{{Citation|title=American literature|date=2025-06-16|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=American_literature&oldid=1295842280|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia<ref>{{Citation|title=History of sociology|date=2025-05-24|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=History_of_sociology&oldid=1292009699|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi<ref>{{Citation|title=African-American literature|date=2025-06-29|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=African-American_literature&oldid=1297910260|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>. Kitabu hiki kina [[insha]] kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''<ref>{{Citation|title=The Atlantic|date=2025-06-09|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=The_Atlantic&oldid=1294800565|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi<ref>{{Citation|title=African-American history|date=2025-07-05|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=African-American_history&oldid=1298950605|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili<ref>{{Citation|title=Double consciousness|date=2025-06-09|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Double_consciousness&oldid=1294741869|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson<ref>{{Citation|title=Ralph Waldo Emerson|date=2025-06-30|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Ralph_Waldo_Emerson&oldid=1298082807|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref> (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”''<ref>{{Cite book|url=https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/978-0-19-280678-9|title=The souls of Black folk|last=Du Bois|first=W. E. B.|last2=Edwards|first2=Brent Hayes|date=2007|publisher=Oxford University Press|isbn=978-0-19-280678-9|series=Oxford world's classics|location=Oxford [England] ; New York}}</ref> Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards<ref>{{Citation|title=Brent Hayes Edwards|date=2025-05-28|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Brent_Hayes_Edwards&oldid=1292625178|work=Wikipedia|language=en|access-date=2025-07-11}}</ref>, anaandika: == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Watu]] [[Jamii:Historia]] fxs0dvtm0aec9vwx1zp5n4bmw1sqjjq 1437201 1437178 2025-07-12T11:12:28Z ~2025-17781-5 80075 recurring [[w:en:WP:CIRCULAR]] violation, wikipedia is NOT source 1437201 wikitext text/x-wiki '''''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''''' ni kazi ya [[fasihi]] ya [[Marekani|Kimarekani]] ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi. Kitabu hiki kina [[insha]] kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”'' Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards, anaandika: == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Watu]] [[Jamii:Historia]] ehmdyjjn4bie993cuyhiadh3mxyj4n6 1437203 1437201 2025-07-12T11:16:40Z ~2025-17999-8 80076 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437203 wikitext text/x-wiki '''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''' ni kazi ya [[fasihi]] ya [[Marekani|Kimarekani]] ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi. Kitabu hiki kina [[insha]] kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”'' Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards, anaandika: == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Watu]] [[Jamii:Historia]] nkuxml0jl9l8tl7dfj3g4tuojgl0v1l 1437213 1437203 2025-07-12T11:20:41Z ~2025-17875-5 80077 abc 1437213 wikitext text/x-wiki '''Nafsi za Watu Weusi: Insha na Michoro''' ni kazi ya [[fasihi]] ya [[Marekani|Kimarekani]] ya mwaka [[1903]] iliyoandikwa na [[William Edward Burghardt Du Bois|W. E. B. Du Bois]]. Ni kazi ya msingi katika historia ya sosholojia na ni jiwe la msingi la fasihi ya Waamerika Weusi. Kitabu hiki kina [[insha]] kadhaa kuhusu masuala ya rangi, baadhi ya hizo zikiwa tayari zilichapishwa awali katika ''The Atlantic Monthly''. Ili kuendeleza kazi hii, Du Bois alitumia uzoefu wake binafsi kama [[Wamarekani weusi|Mwamerika Mweusi]] katika jamii ya Marekani. Mbali na umuhimu wake katika historia ya Waamerika Weusi, The Souls of Black Folk pia kina nafasi muhimu katika [[sayansi ya jamii]] kama mojawapo ya kazi za awali katika uwanja wa [[sosholojia]]. Katika Nafsi za Watu Weusi, Du Bois alitumia dhana ya '''“'''fahamu mara mbili'''”''', huenda akiwa ameichukua kutoka kwa Ralph Waldo Emerson (''“The Transcendentalist”'' na ''“Fate”''), akiitumia kuelezea wazo kwamba watu weusi lazima wawe na mitazamo miwili kila wakati. Lazima wawe na ufahamu wa jinsi wanavyojiona wao wenyewe, na pia wa jinsi dunia inavyowaona. == Sura == Kila sura katika ''The Souls of Black Folk'' inaanza na jozi ya maneno ya utangulizi: maandishi kutoka kwenye shairi, kwa kawaida na mshairi wa Kizungu, na alama ya muziki wa [[Maisha ya kiroho|kiroho]], ambao Du Bois anauelezea katika utangulizi wake (“Mawazo ya Awali”) kama ''“mlio fulani wa sauti ya kuvutia kutoka kwa muziki wa Kimarekani pekee ambao ulitiririka kutoka kwa roho za weusi katika siku za giza za zamani.”'' Profesa wa fasihi ya Kiingereza na fasihi linganishi kutoka [[Chuo Kikuu cha Columbia]], Brent Hayes Edwards, anaandika: == Marejeo == {{marejeo}} [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:Historia]] [[Jamii:Watu]] ljxxo1ff72ylwotfdm564mi2uqpux6e Utamaduni wa Misri 0 208900 1437082 2025-07-12T07:19:32Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa misri 1437082 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Egypt.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Misri]] '''Utamaduni wa [[Misri]]''' ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi duniani, ukiwa na historia inayorudi nyuma zaidi ya miaka 5,000. Taifa hili linalopakana na [[Nile|Mto Nile]] limekuwa kiini cha ustaarabu wa kale, na hadi leo linajivunia urithi wa kipekee unaojumuisha [[dini]], [[sanaa]], [[lugha]], [[muziki]], mitindo ya maisha, na miiko ya kijamii inayodhihirisha mchanganyiko wa kale na wa kisasa. Asili ya utamaduni wa Misri ulijengwa juu ya misingi ya ustaarabu wa Misri ya kale ambapo dini ya kipagani, ibada za farao, usanifu wa mahekalu, maandiko ya hieroglyphic, na piramidi vilikuwa mihimili ya maisha ya kila siku. Ustaarabu huu uliathiri si tu [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]] bali pia jamii za [[Bahari ya Mediterania|Mediterania]] na hata Mashariki ya Kati. Baadaye, uvamizi wa [[Waarabu]] katika karne ya saba ulileta mabadiliko makubwa ya kitamaduni, kiutawala na kidini, huku [[Uislamu]] ukiwa dini kuu iliyoimarika hadi leo. Lugha rasmi ya taifa ni Kiarabu, lakini [[lahaja]] ya Kiarabu cha Kimisri ndiyo inayotumika zaidi na inaeleweka kwa upana mkubwa duniani kupitia [[filamu]], [[muziki]], na [[vyombo vya habari]]<ref>Abu-Lughod, Lila. ''Dramas of Nationhood: The Politics of Television in Egypt''. University of Chicago Press, 2005.</ref>. Licha ya hayo, bado kuna vikundi vidogo vinavyozungumza lugha nyingine kama Koptiki, Nubian na Beja. Kwa upande wa dini, zaidi ya asilimia tisini ya Wamisri ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni,]] huku asilimia ndogo wakiwa [[Ukristo|Wakristo]] <ref>Gabra, Gawdat. ''Coptic Civilization: Two Thousand Years of Christianity in Egypt''. American University in Cairo Press, 2014.</ref>wa madhehebu ya Orthodox, hasa wa Kanisa la Koptiki. Dini ina nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, inayoonekana katika mavazi, ibada, misemo ya kila siku, na hata katika sanaa. [[Faili:Art on Nubian house, Nagaa Suhayl Gharb, Egypt (2).jpg|thumb|Kazi za sanaa za kuvutia kutoka Misri]] Sanaa ya Misri imeendelea kwa maelfu ya miaka, kuanzia [[uchoraji]] na [[uchongaji]] wa kale unaopatikana kwenye mahekalu ya Karnak, Luxor, na piramidi za Giza, hadi sanaa za kisasa kama filamu, muziki na uchoraji wa kisasa. Misri ni moja ya vinara wa tasnia ya filamu barani Afrika na Mashariki ya Kati, ambapo mji wa [[Kairo|Cairo]] umekuwa ukitajwa kama "Hollywood ya Kiarabu". Muziki wa Kimisri pia umekuwa na mvuto mkubwa katika ulimwengu wa Kiarabu, ukiwahusisha wasanii maarufu kama Umm Kulthum, Abdel Halim Hafez na Amr Diab. Ngoma na ala za muziki kama oud, qanun na tabla ni sehemu muhimu ya burudani ya kitamaduni. Vyakula vya Kimisri vinaonyesha athari ya mchanganyiko wa Kiarabu, Mediterania, na Kiafrika. Mlo wa kawaida hujumuisha vyakula kama ful medames (maharagwe yaliyopondwa), koshari (mchanganyiko wa mchele, pasta, dengu na vitunguu), na taameya (aina ya falafel ya Kimisri). Chai na kahawa hutumika sana katika mikusanyiko ya kijamii, na meza ya Mwislamu wakati wa Ramadan huwa na vyakula vya asili vinavyotayarishwa kwa upendo mkubwa. Mavazi ya jadi ya Kimisri huonesha muunganiko wa [[mila]] na [[Dini|dini.]] Wanaume mara nyingi huvaa galabeya – vazi refu linalofanana na kanzu – wakati wanawake huvaa baibui au nguo ndefu, baadhi yao wakifunika kichwa kwa hijabu au niqab. Mavazi haya hubadilika kulingana na eneo, hali ya hewa, na msimu wa kidini au sherehe. Katika maeneo ya mijini, mavazi ya kisasa yameenea zaidi, lakini katika maeneo ya vijijini bado kuna mwendelezo wa mavazi ya kimapokeo. Elimu na fasihi zimekuwa nguzo muhimu za utamaduni wa Misri. Kuanzia maandishi ya zamani ya hieroglyphic hadi fasihi ya kisasa ya waandishi kama Naguib Mahfouz, mshindi wa Tuzo ya Nobel, Misri imechangia kwa kiwango kikubwa katika maendeleo ya fasihi ya Kiarabu. Shule za kidini kama Al-Azhar zimekuwa mahali pa kukuza elimu ya Kiislamu kwa karne nyingi, wakati vyuo vikuu vya kisasa kama Chuo Kikuu cha Cairo vinaendelea kuchochea maendeleo ya kitaaluma na kiutamaduni<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Sherehe na sikukuu zina nafasi muhimu katika maisha ya Wamisri. Sikukuu za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid ya Mtume huadhimishwa kwa shangwe, pamoja na sherehe za Kikristo kama [[Krismasi]] ya Koptiki na Epifania. Misri pia huadhimisha sikukuu za kitaifa kama Siku ya Mapinduzi ya Julai 23, ambayo huashiria kumalizika kwa ufalme na kuanzishwa kwa jamhuri mwaka 1952. Sherehe hizi huwa na maandamano, nyimbo za kizalendo, na hafla za kifamilia<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Ingawa Misri imepitia mabadiliko mengi ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii katika karne ya 20 na 21, bado imehifadhi kiini cha utamaduni wake<ref>Shaw, Ian. ''The Oxford History of Ancient Egypt''. Oxford University Press, 2000.</ref> wa kipekee unaojengwa juu ya historia tajiri, mshikamano wa kijamii, na heshima kwa mila. Kwa sasa, taifa hili linaendelea kuenzi na kuendeleza utamaduni wake kupitia sera za urithi wa taifa, makumbusho ya kisasa, utafiti wa kisayansi wa maeneo ya kale, na kupitia kizazi kipya kinachokuza sanaa na ubunifu kwa kutumia [[teknolojia]] za kisasa. == Marejeo == <references /> # b2eae5m2pjtkltzeopvtq1taaainuxw 1437112 1437082 2025-07-12T09:23:52Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa BAN-ana 1437112 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Egypt.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Misri]] '''Utamaduni wa [[Misri]]''' ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi duniani, ukiwa na historia inayorudi nyuma zaidi ya miaka 5,000. Taifa hili linalopakana na [[Nile|Mto Nile]] limekuwa kiini cha ustaarabu wa kale, na hadi leo linajivunia urithi wa kipekee unaojumuisha [[dini]], [[sanaa]], [[lugha]], [[muziki]], mitindo ya maisha, na miiko ya kijamii inayodhihirisha mchanganyiko wa kale na wa kisasa. Asili ya utamaduni wa Misri ulijengwa juu ya misingi ya ustaarabu wa Misri ya kale ambapo dini ya kipagani, ibada za farao, usanifu wa mahekalu, maandiko ya hieroglyphic, na piramidi vilikuwa mihimili ya maisha ya kila siku. Ustaarabu huu uliathiri si tu [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]] bali pia jamii za [[Bahari ya Mediterania|Mediterania]] na hata Mashariki ya Kati. Baadaye, uvamizi wa [[Waarabu]] katika karne ya saba ulileta mabadiliko makubwa ya kitamaduni, kiutawala na kidini, huku [[Uislamu]] ukiwa dini kuu iliyoimarika hadi leo. Lugha rasmi ya taifa ni Kiarabu, lakini [[lahaja]] ya Kiarabu cha Kimisri ndiyo inayotumika zaidi na inaeleweka kwa upana mkubwa duniani kupitia [[filamu]], [[muziki]], na [[vyombo vya habari]]<ref>Abu-Lughod, Lila. ''Dramas of Nationhood: The Politics of Television in Egypt''. University of Chicago Press, 2005.</ref>. Licha ya hayo, bado kuna vikundi vidogo vinavyozungumza lugha nyingine kama Koptiki, Nubian na Beja. Kwa upande wa dini, zaidi ya asilimia tisini ya Wamisri ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni,]] huku asilimia ndogo wakiwa [[Ukristo|Wakristo]] <ref>Gabra, Gawdat. ''Coptic Civilization: Two Thousand Years of Christianity in Egypt''. American University in Cairo Press, 2014.</ref>wa madhehebu ya Orthodox, hasa wa Kanisa la Koptiki. Dini ina nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, inayoonekana katika mavazi, ibada, misemo ya kila siku, na hata katika sanaa. [[Faili:Art on Nubian house, Nagaa Suhayl Gharb, Egypt (2).jpg|thumb|Kazi za sanaa za kuvutia kutoka Misri]] Sanaa ya Misri imeendelea kwa maelfu ya miaka, kuanzia [[uchoraji]] na [[uchongaji]] wa kale unaopatikana kwenye mahekalu ya Karnak, Luxor, na piramidi za Giza, hadi sanaa za kisasa kama filamu, muziki na uchoraji wa kisasa. Misri ni moja ya vinara wa tasnia ya filamu barani Afrika na Mashariki ya Kati, ambapo mji wa [[Kairo|Cairo]] umekuwa ukitajwa kama "Hollywood ya Kiarabu". Muziki wa Kimisri pia umekuwa na mvuto mkubwa katika ulimwengu wa Kiarabu, ukiwahusisha wasanii maarufu kama Umm Kulthum, Abdel Halim Hafez na Amr Diab. Ngoma na ala za muziki kama oud, qanun na tabla ni sehemu muhimu ya burudani ya kitamaduni. Vyakula vya Kimisri vinaonyesha athari ya mchanganyiko wa Kiarabu, Mediterania, na Kiafrika. Mlo wa kawaida hujumuisha vyakula kama ful medames (maharagwe yaliyopondwa), koshari (mchanganyiko wa mchele, pasta, dengu na vitunguu), na taameya (aina ya falafel ya Kimisri). Chai na kahawa hutumika sana katika mikusanyiko ya kijamii, na meza ya Mwislamu wakati wa Ramadan huwa na vyakula vya asili vinavyotayarishwa kwa upendo mkubwa. Mavazi ya jadi ya Kimisri huonesha muunganiko wa [[mila]] na [[Dini|dini.]] Wanaume mara nyingi huvaa galabeya – vazi refu linalofanana na kanzu – wakati wanawake huvaa baibui au nguo ndefu, baadhi yao wakifunika kichwa kwa hijabu au niqab. Mavazi haya hubadilika kulingana na eneo, hali ya hewa, na msimu wa kidini au sherehe. Katika maeneo ya mijini, mavazi ya kisasa yameenea zaidi, lakini katika maeneo ya vijijini bado kuna mwendelezo wa mavazi ya kimapokeo. Elimu na fasihi zimekuwa nguzo muhimu za utamaduni wa Misri. Kuanzia maandishi ya zamani ya hieroglyphic hadi fasihi ya kisasa ya waandishi kama Naguib Mahfouz, mshindi wa Tuzo ya Nobel, Misri imechangia kwa kiwango kikubwa katika maendeleo ya fasihi ya Kiarabu. Shule za kidini kama Al-Azhar zimekuwa mahali pa kukuza elimu ya Kiislamu kwa karne nyingi, wakati vyuo vikuu vya kisasa kama Chuo Kikuu cha Cairo vinaendelea kuchochea maendeleo ya kitaaluma na kiutamaduni<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Sherehe na sikukuu zina nafasi muhimu katika maisha ya Wamisri. Sikukuu za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid ya Mtume huadhimishwa kwa shangwe, pamoja na sherehe za Kikristo kama [[Krismasi]] ya Koptiki na Epifania. Misri pia huadhimisha sikukuu za kitaifa kama Siku ya Mapinduzi ya Julai 23, ambayo huashiria kumalizika kwa ufalme na kuanzishwa kwa jamhuri mwaka 1952. Sherehe hizi huwa na maandamano, nyimbo za kizalendo, na hafla za kifamilia<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Ingawa Misri imepitia mabadiliko mengi ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii katika karne ya 20 na 21, bado imehifadhi kiini cha utamaduni wake<ref>Shaw, Ian. ''The Oxford History of Ancient Egypt''. Oxford University Press, 2000.</ref> wa kipekee unaojengwa juu ya historia tajiri, mshikamano wa kijamii, na heshima kwa mila. Kwa sasa, taifa hili linaendelea kuenzi na kuendeleza utamaduni wake kupitia sera za urithi wa taifa, makumbusho ya kisasa, utafiti wa kisayansi wa maeneo ya kale, na kupitia kizazi kipya kinachokuza sanaa na ubunifu kwa kutumia [[teknolojia]] za kisasa. == Marejeo == {{marejeo}} msg009p5rp8ofebch185ayozsi7fpby 1437199 1437112 2025-07-12T10:34:02Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437082 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Egypt.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Misri]] '''Utamaduni wa [[Misri]]''' ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi duniani, ukiwa na historia inayorudi nyuma zaidi ya miaka 5,000. Taifa hili linalopakana na [[Nile|Mto Nile]] limekuwa kiini cha ustaarabu wa kale, na hadi leo linajivunia urithi wa kipekee unaojumuisha [[dini]], [[sanaa]], [[lugha]], [[muziki]], mitindo ya maisha, na miiko ya kijamii inayodhihirisha mchanganyiko wa kale na wa kisasa. Asili ya utamaduni wa Misri ulijengwa juu ya misingi ya ustaarabu wa Misri ya kale ambapo dini ya kipagani, ibada za farao, usanifu wa mahekalu, maandiko ya hieroglyphic, na piramidi vilikuwa mihimili ya maisha ya kila siku. Ustaarabu huu uliathiri si tu [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]] bali pia jamii za [[Bahari ya Mediterania|Mediterania]] na hata Mashariki ya Kati. Baadaye, uvamizi wa [[Waarabu]] katika karne ya saba ulileta mabadiliko makubwa ya kitamaduni, kiutawala na kidini, huku [[Uislamu]] ukiwa dini kuu iliyoimarika hadi leo. Lugha rasmi ya taifa ni Kiarabu, lakini [[lahaja]] ya Kiarabu cha Kimisri ndiyo inayotumika zaidi na inaeleweka kwa upana mkubwa duniani kupitia [[filamu]], [[muziki]], na [[vyombo vya habari]]<ref>Abu-Lughod, Lila. ''Dramas of Nationhood: The Politics of Television in Egypt''. University of Chicago Press, 2005.</ref>. Licha ya hayo, bado kuna vikundi vidogo vinavyozungumza lugha nyingine kama Koptiki, Nubian na Beja. Kwa upande wa dini, zaidi ya asilimia tisini ya Wamisri ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni,]] huku asilimia ndogo wakiwa [[Ukristo|Wakristo]] <ref>Gabra, Gawdat. ''Coptic Civilization: Two Thousand Years of Christianity in Egypt''. American University in Cairo Press, 2014.</ref>wa madhehebu ya Orthodox, hasa wa Kanisa la Koptiki. Dini ina nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, inayoonekana katika mavazi, ibada, misemo ya kila siku, na hata katika sanaa. [[Faili:Art on Nubian house, Nagaa Suhayl Gharb, Egypt (2).jpg|thumb|Kazi za sanaa za kuvutia kutoka Misri]] Sanaa ya Misri imeendelea kwa maelfu ya miaka, kuanzia [[uchoraji]] na [[uchongaji]] wa kale unaopatikana kwenye mahekalu ya Karnak, Luxor, na piramidi za Giza, hadi sanaa za kisasa kama filamu, muziki na uchoraji wa kisasa. Misri ni moja ya vinara wa tasnia ya filamu barani Afrika na Mashariki ya Kati, ambapo mji wa [[Kairo|Cairo]] umekuwa ukitajwa kama "Hollywood ya Kiarabu". Muziki wa Kimisri pia umekuwa na mvuto mkubwa katika ulimwengu wa Kiarabu, ukiwahusisha wasanii maarufu kama Umm Kulthum, Abdel Halim Hafez na Amr Diab. Ngoma na ala za muziki kama oud, qanun na tabla ni sehemu muhimu ya burudani ya kitamaduni. Vyakula vya Kimisri vinaonyesha athari ya mchanganyiko wa Kiarabu, Mediterania, na Kiafrika. Mlo wa kawaida hujumuisha vyakula kama ful medames (maharagwe yaliyopondwa), koshari (mchanganyiko wa mchele, pasta, dengu na vitunguu), na taameya (aina ya falafel ya Kimisri). Chai na kahawa hutumika sana katika mikusanyiko ya kijamii, na meza ya Mwislamu wakati wa Ramadan huwa na vyakula vya asili vinavyotayarishwa kwa upendo mkubwa. Mavazi ya jadi ya Kimisri huonesha muunganiko wa [[mila]] na [[Dini|dini.]] Wanaume mara nyingi huvaa galabeya – vazi refu linalofanana na kanzu – wakati wanawake huvaa baibui au nguo ndefu, baadhi yao wakifunika kichwa kwa hijabu au niqab. Mavazi haya hubadilika kulingana na eneo, hali ya hewa, na msimu wa kidini au sherehe. Katika maeneo ya mijini, mavazi ya kisasa yameenea zaidi, lakini katika maeneo ya vijijini bado kuna mwendelezo wa mavazi ya kimapokeo. Elimu na fasihi zimekuwa nguzo muhimu za utamaduni wa Misri. Kuanzia maandishi ya zamani ya hieroglyphic hadi fasihi ya kisasa ya waandishi kama Naguib Mahfouz, mshindi wa Tuzo ya Nobel, Misri imechangia kwa kiwango kikubwa katika maendeleo ya fasihi ya Kiarabu. Shule za kidini kama Al-Azhar zimekuwa mahali pa kukuza elimu ya Kiislamu kwa karne nyingi, wakati vyuo vikuu vya kisasa kama Chuo Kikuu cha Cairo vinaendelea kuchochea maendeleo ya kitaaluma na kiutamaduni<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Sherehe na sikukuu zina nafasi muhimu katika maisha ya Wamisri. Sikukuu za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid ya Mtume huadhimishwa kwa shangwe, pamoja na sherehe za Kikristo kama [[Krismasi]] ya Koptiki na Epifania. Misri pia huadhimisha sikukuu za kitaifa kama Siku ya Mapinduzi ya Julai 23, ambayo huashiria kumalizika kwa ufalme na kuanzishwa kwa jamhuri mwaka 1952. Sherehe hizi huwa na maandamano, nyimbo za kizalendo, na hafla za kifamilia<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Ingawa Misri imepitia mabadiliko mengi ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii katika karne ya 20 na 21, bado imehifadhi kiini cha utamaduni wake<ref>Shaw, Ian. ''The Oxford History of Ancient Egypt''. Oxford University Press, 2000.</ref> wa kipekee unaojengwa juu ya historia tajiri, mshikamano wa kijamii, na heshima kwa mila. Kwa sasa, taifa hili linaendelea kuenzi na kuendeleza utamaduni wake kupitia sera za urithi wa taifa, makumbusho ya kisasa, utafiti wa kisayansi wa maeneo ya kale, na kupitia kizazi kipya kinachokuza sanaa na ubunifu kwa kutumia [[teknolojia]] za kisasa. == Marejeo == <references /> # b2eae5m2pjtkltzeopvtq1taaainuxw 1437267 1437199 2025-07-12T11:53:32Z ~2025-17972-2 80083 no "#" garbage 1437267 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Egypt.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Misri]] '''Utamaduni wa [[Misri]]''' ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi duniani, ukiwa na historia inayorudi nyuma zaidi ya miaka 5,000. Taifa hili linalopakana na [[Nile|Mto Nile]] limekuwa kiini cha ustaarabu wa kale, na hadi leo linajivunia urithi wa kipekee unaojumuisha [[dini]], [[sanaa]], [[lugha]], [[muziki]], mitindo ya maisha, na miiko ya kijamii inayodhihirisha mchanganyiko wa kale na wa kisasa. Asili ya utamaduni wa Misri ulijengwa juu ya misingi ya ustaarabu wa Misri ya kale ambapo dini ya kipagani, ibada za farao, usanifu wa mahekalu, maandiko ya hieroglyphic, na piramidi vilikuwa mihimili ya maisha ya kila siku. Ustaarabu huu uliathiri si tu [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]] bali pia jamii za [[Bahari ya Mediterania|Mediterania]] na hata Mashariki ya Kati. Baadaye, uvamizi wa [[Waarabu]] katika karne ya saba ulileta mabadiliko makubwa ya kitamaduni, kiutawala na kidini, huku [[Uislamu]] ukiwa dini kuu iliyoimarika hadi leo. Lugha rasmi ya taifa ni Kiarabu, lakini [[lahaja]] ya Kiarabu cha Kimisri ndiyo inayotumika zaidi na inaeleweka kwa upana mkubwa duniani kupitia [[filamu]], [[muziki]], na [[vyombo vya habari]]<ref>Abu-Lughod, Lila. ''Dramas of Nationhood: The Politics of Television in Egypt''. University of Chicago Press, 2005.</ref>. Licha ya hayo, bado kuna vikundi vidogo vinavyozungumza lugha nyingine kama Koptiki, Nubian na Beja. Kwa upande wa dini, zaidi ya asilimia tisini ya Wamisri ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni,]] huku asilimia ndogo wakiwa [[Ukristo|Wakristo]] <ref>Gabra, Gawdat. ''Coptic Civilization: Two Thousand Years of Christianity in Egypt''. American University in Cairo Press, 2014.</ref>wa madhehebu ya Orthodox, hasa wa Kanisa la Koptiki. Dini ina nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, inayoonekana katika mavazi, ibada, misemo ya kila siku, na hata katika sanaa. [[Faili:Art on Nubian house, Nagaa Suhayl Gharb, Egypt (2).jpg|thumb|Kazi za sanaa za kuvutia kutoka Misri]] Sanaa ya Misri imeendelea kwa maelfu ya miaka, kuanzia [[uchoraji]] na [[uchongaji]] wa kale unaopatikana kwenye mahekalu ya Karnak, Luxor, na piramidi za Giza, hadi sanaa za kisasa kama filamu, muziki na uchoraji wa kisasa. Misri ni moja ya vinara wa tasnia ya filamu barani Afrika na Mashariki ya Kati, ambapo mji wa [[Kairo|Cairo]] umekuwa ukitajwa kama "Hollywood ya Kiarabu". Muziki wa Kimisri pia umekuwa na mvuto mkubwa katika ulimwengu wa Kiarabu, ukiwahusisha wasanii maarufu kama Umm Kulthum, Abdel Halim Hafez na Amr Diab. Ngoma na ala za muziki kama oud, qanun na tabla ni sehemu muhimu ya burudani ya kitamaduni. Vyakula vya Kimisri vinaonyesha athari ya mchanganyiko wa Kiarabu, Mediterania, na Kiafrika. Mlo wa kawaida hujumuisha vyakula kama ful medames (maharagwe yaliyopondwa), koshari (mchanganyiko wa mchele, pasta, dengu na vitunguu), na taameya (aina ya falafel ya Kimisri). Chai na kahawa hutumika sana katika mikusanyiko ya kijamii, na meza ya Mwislamu wakati wa Ramadan huwa na vyakula vya asili vinavyotayarishwa kwa upendo mkubwa. Mavazi ya jadi ya Kimisri huonesha muunganiko wa [[mila]] na [[Dini|dini.]] Wanaume mara nyingi huvaa galabeya – vazi refu linalofanana na kanzu – wakati wanawake huvaa baibui au nguo ndefu, baadhi yao wakifunika kichwa kwa hijabu au niqab. Mavazi haya hubadilika kulingana na eneo, hali ya hewa, na msimu wa kidini au sherehe. Katika maeneo ya mijini, mavazi ya kisasa yameenea zaidi, lakini katika maeneo ya vijijini bado kuna mwendelezo wa mavazi ya kimapokeo. Elimu na fasihi zimekuwa nguzo muhimu za utamaduni wa Misri. Kuanzia maandishi ya zamani ya hieroglyphic hadi fasihi ya kisasa ya waandishi kama Naguib Mahfouz, mshindi wa Tuzo ya Nobel, Misri imechangia kwa kiwango kikubwa katika maendeleo ya fasihi ya Kiarabu. Shule za kidini kama Al-Azhar zimekuwa mahali pa kukuza elimu ya Kiislamu kwa karne nyingi, wakati vyuo vikuu vya kisasa kama Chuo Kikuu cha Cairo vinaendelea kuchochea maendeleo ya kitaaluma na kiutamaduni<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Sherehe na sikukuu zina nafasi muhimu katika maisha ya Wamisri. Sikukuu za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid ya Mtume huadhimishwa kwa shangwe, pamoja na sherehe za Kikristo kama [[Krismasi]] ya Koptiki na Epifania. Misri pia huadhimisha sikukuu za kitaifa kama Siku ya Mapinduzi ya Julai 23, ambayo huashiria kumalizika kwa ufalme na kuanzishwa kwa jamhuri mwaka 1952. Sherehe hizi huwa na maandamano, nyimbo za kizalendo, na hafla za kifamilia<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Ingawa Misri imepitia mabadiliko mengi ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii katika karne ya 20 na 21, bado imehifadhi kiini cha utamaduni wake<ref>Shaw, Ian. ''The Oxford History of Ancient Egypt''. Oxford University Press, 2000.</ref> wa kipekee unaojengwa juu ya historia tajiri, mshikamano wa kijamii, na heshima kwa mila. Kwa sasa, taifa hili linaendelea kuenzi na kuendeleza utamaduni wake kupitia sera za urithi wa taifa, makumbusho ya kisasa, utafiti wa kisayansi wa maeneo ya kale, na kupitia kizazi kipya kinachokuza sanaa na ubunifu kwa kutumia [[teknolojia]] za kisasa. == Marejeo == {{Marejeo}} nhykvfpur9sl4j0hg54baxxx77g4162 1437270 1437267 2025-07-12T11:55:22Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437270 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Egypt.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Misri.]] '''Utamaduni wa [[Misri]]''' ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi duniani, ukiwa na historia inayorudi nyuma zaidi ya miaka 5,000. Taifa hili linalopakana na [[Nile|Mto Nile]] limekuwa kiini cha ustaarabu wa kale, na hadi leo linajivunia urithi wa kipekee unaojumuisha [[dini]], [[sanaa]], [[lugha]], [[muziki]], mitindo ya maisha, na miiko ya kijamii inayodhihirisha mchanganyiko wa kale na wa kisasa. Asili ya utamaduni wa Misri ulijengwa juu ya misingi ya ustaarabu wa Misri ya kale ambapo dini ya kipagani, ibada za farao, usanifu wa mahekalu, maandiko ya hieroglyphic, na piramidi vilikuwa mihimili ya maisha ya kila siku. Ustaarabu huu uliathiri si tu [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]] bali pia jamii za [[Bahari ya Mediterania|Mediterania]] na hata Mashariki ya Kati. Baadaye, uvamizi wa [[Waarabu]] katika karne ya saba ulileta mabadiliko makubwa ya kitamaduni, kiutawala na kidini, huku [[Uislamu]] ukiwa dini kuu iliyoimarika hadi leo. Lugha rasmi ya taifa ni Kiarabu, lakini [[lahaja]] ya Kiarabu cha Kimisri ndiyo inayotumika zaidi na inaeleweka kwa upana mkubwa duniani kupitia [[filamu]], [[muziki]], na [[vyombo vya habari]]<ref>Abu-Lughod, Lila. ''Dramas of Nationhood: The Politics of Television in Egypt''. University of Chicago Press, 2005.</ref>. Licha ya hayo, bado kuna vikundi vidogo vinavyozungumza lugha nyingine kama Koptiki, Nubian na Beja. Kwa upande wa dini, zaidi ya asilimia tisini ya Wamisri ni [[Mwislamu|Waislamu]] wa madhehebu ya [[Wasuni|Sunni,]] huku asilimia ndogo wakiwa [[Ukristo|Wakristo]] <ref>Gabra, Gawdat. ''Coptic Civilization: Two Thousand Years of Christianity in Egypt''. American University in Cairo Press, 2014.</ref>wa madhehebu ya Orthodox, hasa wa Kanisa la Koptiki. Dini ina nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, inayoonekana katika mavazi, ibada, misemo ya kila siku, na hata katika sanaa. [[Faili:Art on Nubian house, Nagaa Suhayl Gharb, Egypt (2).jpg|thumb|Kazi za sanaa za kuvutia kutoka Misri]] Sanaa ya Misri imeendelea kwa maelfu ya miaka, kuanzia [[uchoraji]] na [[uchongaji]] wa kale unaopatikana kwenye mahekalu ya Karnak, Luxor, na piramidi za Giza, hadi sanaa za kisasa kama filamu, muziki na uchoraji wa kisasa. Misri ni moja ya vinara wa tasnia ya filamu barani Afrika na Mashariki ya Kati, ambapo mji wa [[Kairo|Cairo]] umekuwa ukitajwa kama "Hollywood ya Kiarabu". Muziki wa Kimisri pia umekuwa na mvuto mkubwa katika ulimwengu wa Kiarabu, ukiwahusisha wasanii maarufu kama Umm Kulthum, Abdel Halim Hafez na Amr Diab. Ngoma na ala za muziki kama oud, qanun na tabla ni sehemu muhimu ya burudani ya kitamaduni. Vyakula vya Kimisri vinaonyesha athari ya mchanganyiko wa Kiarabu, Mediterania, na Kiafrika. Mlo wa kawaida hujumuisha vyakula kama ful medames (maharagwe yaliyopondwa), koshari (mchanganyiko wa mchele, pasta, dengu na vitunguu), na taameya (aina ya falafel ya Kimisri). Chai na kahawa hutumika sana katika mikusanyiko ya kijamii, na meza ya Mwislamu wakati wa Ramadan huwa na vyakula vya asili vinavyotayarishwa kwa upendo mkubwa. Mavazi ya jadi ya Kimisri huonesha muunganiko wa [[mila]] na [[Dini|dini.]] Wanaume mara nyingi huvaa galabeya – vazi refu linalofanana na kanzu – wakati wanawake huvaa baibui au nguo ndefu, baadhi yao wakifunika kichwa kwa hijabu au niqab. Mavazi haya hubadilika kulingana na eneo, hali ya hewa, na msimu wa kidini au sherehe. Katika maeneo ya mijini, mavazi ya kisasa yameenea zaidi, lakini katika maeneo ya vijijini bado kuna mwendelezo wa mavazi ya kimapokeo. Elimu na fasihi zimekuwa nguzo muhimu za utamaduni wa Misri. Kuanzia maandishi ya zamani ya hieroglyphic hadi fasihi ya kisasa ya waandishi kama Naguib Mahfouz, mshindi wa Tuzo ya Nobel, Misri imechangia kwa kiwango kikubwa katika maendeleo ya fasihi ya Kiarabu. Shule za kidini kama Al-Azhar zimekuwa mahali pa kukuza elimu ya Kiislamu kwa karne nyingi, wakati vyuo vikuu vya kisasa kama Chuo Kikuu cha Cairo vinaendelea kuchochea maendeleo ya kitaaluma na kiutamaduni<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Sherehe na sikukuu zina nafasi muhimu katika maisha ya Wamisri. Sikukuu za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid ya Mtume huadhimishwa kwa shangwe, pamoja na sherehe za Kikristo kama [[Krismasi]] ya Koptiki na Epifania. Misri pia huadhimisha sikukuu za kitaifa kama Siku ya Mapinduzi ya Julai 23, ambayo huashiria kumalizika kwa ufalme na kuanzishwa kwa jamhuri mwaka 1952. Sherehe hizi huwa na maandamano, nyimbo za kizalendo, na hafla za kifamilia<ref>El-Din, Gamal. "Egypt’s Cultural Policy: Between Preservation and Innovation." ''Al-Ahram Weekly'', 2017.</ref>. Ingawa Misri imepitia mabadiliko mengi ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii katika karne ya 20 na 21, bado imehifadhi kiini cha utamaduni wake<ref>Shaw, Ian. ''The Oxford History of Ancient Egypt''. Oxford University Press, 2000.</ref> wa kipekee unaojengwa juu ya historia tajiri, mshikamano wa kijamii, na heshima kwa mila. Kwa sasa, taifa hili linaendelea kuenzi na kuendeleza utamaduni wake kupitia sera za urithi wa taifa, makumbusho ya kisasa, utafiti wa kisayansi wa maeneo ya kale, na kupitia kizazi kipya kinachokuza sanaa na ubunifu kwa kutumia [[teknolojia]] za kisasa. == Marejeo == {{Marejeo}} duz4macvk7gf494xsgdmwy9xp7r0sj4 Utamaduni wa Lesotho 0 208901 1437083 2025-07-12T07:30:41Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa lesotho 1437083 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Lesotho.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Lesotho]] '''Utamaduni wa [[Lesotho]]''' ni Nchi hii ya milimani iliyojaa mandhari ya kuvutia inajivunia utamaduni uliojaa mshikamano, ushirikiano, na heshima kwa wazee, huku watu wake wakijulikana kwa utu, ukarimu, na heshima ya kijamaa. Pamoja na kuwa taifa dogo lililozungukwa kabisa na Afrika Kusini, Lesotho imefanikiwa kudumisha utambulisho wake wa kiutamaduni kupitia lugha, mavazi, chakula, sanaa, muziki, dini, na mfumo wa maisha ya kijamii<ref>Ashton, E. H. ''The Basuto: A Social Study of Traditional and Modern Lesotho Society''. Oxford University Press, 1952.</ref>. Lugha ya Sesotho ndiyo lugha ya taifa na hutumika katika maisha ya kila siku, mashuleni, na kwenye vyombo vya habari. [[Kiingereza]], ambacho pia ni lugha rasmi, hutumika zaidi katika shughuli za serikali na elimu ya juu. Sesotho, ambayo ni sehemu ya familia ya lugha za Bantu, ina utajiri wa methali, nyimbo, na hadithi za jadi zinazotumika kurithisha maadili, historia na elimu ya kijamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Watoto hukuzwa katika mazingira yanayothamini simulizi, nyimbo za kulala, na sherehe za kijadi zinazowajenga kijamii na kiadili. Mavazi ya jadi ni sehemu muhimu ya utambulisho wa Basotho. Vazi maarufu zaidi ni ''Seanamarena'', aina ya blanketi la rangi na michoro ya kipekee ambalo huvishwa kwa heshima katika matukio maalum kama ndoa, mazishi, na sherehe za kitaifa. Blanketi hili huchukuliwa kama alama ya heshima, ulinzi, na urithi wa tamaduni za jadi. Wanawake huvaa sketi ndefu pamoja na vitambaa vya kichwani, ilhali wanaume huvaa blanketi, bastola au fimbo, na kofia maarufu ya majani inayojulikana kama ''Mokorotlo'', ambayo pia ni alama ya taifa ya Lesotho. Muziki na ngoma hupewa kipaumbele kama njia ya kuonyesha hisia, kuadhimisha maisha, na kusherehekea hatua muhimu za kijamii. Muziki wa jadi wa Basotho hutumia ala kama ''lekolulo'' (filimbi ya mdomo), ''setolo-tolo'' (ala ya kupiga kwa sauti ya koo), na nyimbo zenye midundo ya taratibu au ya nguvu kutegemea tukio. Ngoma huchezwa wakati wa mavuno, ndoa, au maadhimisho ya kihistoria kama Siku ya Uhuru. Muziki wa kisasa pia unaendelea kushamiri nchini humo, ukiwemo wa ''famo'', ambao unajulikana kwa mashairi ya kihisia na mashindano ya waimbaji, mara nyingi ukiambatana na upigaji wa ''accordion''. Dini inachukua nafasi muhimu katika maisha ya watu wa Lesotho. Asilimia kubwa ya watu ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], kutokana na shughuli za [[Wamisionari wa Afrika|wamisionari]] wa Kikristo waliofika karne ya 19. Hata hivyo, bado kuna mabaki ya imani za jadi zinazojumuisha [[ushirikina]], tiba za asili, na heshima kwa mizimu na mababu. Dini hizi mbili zinaishi kwa namna ya kushirikiana katika maisha ya kila siku ya watu wengi wa Basotho, ambapo watu wanaweza kuhudhuria ibada kanisani lakini pia kushiriki matambiko ya kijadi. Sanaa ya Basotho<ref>Lesotho Tourism Development Corporation. “Discover Lesotho.” www.visitlesotho.travel</ref> huonekana katika ususi wa mikeka, kutengeneza vikapu, na uchongaji wa vinyago. Urembo wa mikono unaoambatana na alama za kikabila huonyesha ujuzi wa kipekee wa wasanii wa kienyeji. Vikapu vya majani, mikeka ya kupamba nyumba, na vyombo vya udongo hutengenezwa si tu kwa matumizi ya kila siku bali pia kwa madhumuni ya kiutamaduni na kibiashara. Pia, fasihi simulizi kama ngano na methali huendelezwa sana kwa lengo la kuelimisha na kufundisha maadili. Maisha ya kijamii nchini Lesotho yanaongozwa na heshima, mshikamano, na maadili ya kijamaa. Familia nyingi huishi kwa mfumo wa kijumuiya, ambapo kazi za kilimo, ufugaji, na malezi ya watoto hugawanywa kijamii. Mila kama ''lebolla'', sherehe ya kuingia utu uzima kwa vijana wa kiume, bado hufuatwa na jamii nyingi vijijini. Wakati wa ''lebolla'', vijana hupelekwa mbali na jamii kwa kipindi fulani, wakifundishwa kuhusu majukumu ya kuwa mwanaume katika jamii, kabla ya kurudi na kukubaliwa rasmi kama watu wazima. Mfumo huu wa malezi hujenga heshima, utii, na mshikamano wa jamii. Lesotho pia inaadhimisha sikukuu mbalimbali za kitaifa na kidini. Miongoni mwa hizo ni Siku ya Uhuru, inayosherehekewa kila tarehe 4 Oktoba, kumbukumbu ya kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1966. Siku hii huambatana na gwaride, nyimbo za uzalendo, maonyesho ya ngoma za jadi, na hotuba za kitaifa. Pia, Krismasi, Pasaka, na sikukuu za Kiislamu huadhimishwa kwa heshima na shangwe, ingawa idadi ya Waislamu ni ndogo sana nchini humo. Ingawa Lesotho inaathiriwa na utandawazi na mabadiliko ya kidunia, serikali na taasisi mbalimbali zimejitahidi kuhifadhi na kukuza urithi wa tamaduni za jadi. Kupitia taasisi kama Basotho Cultural Village, pamoja na masomo ya historia na sanaa mashuleni, kizazi kipya kinaelimishwa kuhusu umuhimu wa kulinda urithi wa taifa.<ref>Government of Lesotho, Ministry of Tourism, Environment and Culture. “Lesotho Cultural Policy.” www.gov.ls</ref> Vyombo vya habari pia vinatoa nafasi kwa maudhui ya kitamaduni, kwa mfano redio za kienyeji hupeperusha nyimbo za jadi na simulizi kutoka kwa wazee wa jamii. Utamaduni wa Lesotho unabaki kuwa hazina ya thamani kwa taifa hilo la milimani. Uwepo wa mila imara, lugha ya pamoja, mavazi ya kipekee, na mshikamano wa kijamii unatoa mfano wa namna taifa linaweza kudumisha utambulisho wake hata katikati ya mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii, na kiuchumi. Kwa kuenzi urithi huu, Lesotho si tu linaendeleza historia yake, bali pia linajijengea msingi wa mustakabali thabiti unaozingatia heshima, utulivu, na mshikamano wa watu wake<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Lesotho.” www.unesco.org</ref>. == Marejeo == <references /> 3yezqgyi81bel9nrup2stsr5298q8wk 1437113 1437083 2025-07-12T09:24:24Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa BAN-ana 1437113 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Lesotho.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Lesotho]] '''Utamaduni wa [[Lesotho]]''' ni Nchi hii ya milimani iliyojaa mandhari ya kuvutia inajivunia utamaduni uliojaa mshikamano, ushirikiano, na heshima kwa wazee, huku watu wake wakijulikana kwa utu, ukarimu, na heshima ya kijamaa. Pamoja na kuwa taifa dogo lililozungukwa kabisa na Afrika Kusini, Lesotho imefanikiwa kudumisha utambulisho wake wa kiutamaduni kupitia lugha, mavazi, chakula, sanaa, muziki, dini, na mfumo wa maisha ya kijamii<ref>Ashton, E. H. ''The Basuto: A Social Study of Traditional and Modern Lesotho Society''. Oxford University Press, 1952.</ref>. Lugha ya Sesotho ndiyo lugha ya taifa na hutumika katika maisha ya kila siku, mashuleni, na kwenye vyombo vya habari. [[Kiingereza]], ambacho pia ni lugha rasmi, hutumika zaidi katika shughuli za serikali na elimu ya juu. Sesotho, ambayo ni sehemu ya familia ya lugha za Bantu, ina utajiri wa methali, nyimbo, na hadithi za jadi zinazotumika kurithisha maadili, historia na elimu ya kijamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Watoto hukuzwa katika mazingira yanayothamini simulizi, nyimbo za kulala, na sherehe za kijadi zinazowajenga kijamii na kiadili. Mavazi ya jadi ni sehemu muhimu ya utambulisho wa Basotho. Vazi maarufu zaidi ni ''Seanamarena'', aina ya blanketi la rangi na michoro ya kipekee ambalo huvishwa kwa heshima katika matukio maalum kama ndoa, mazishi, na sherehe za kitaifa. Blanketi hili huchukuliwa kama alama ya heshima, ulinzi, na urithi wa tamaduni za jadi. Wanawake huvaa sketi ndefu pamoja na vitambaa vya kichwani, ilhali wanaume huvaa blanketi, bastola au fimbo, na kofia maarufu ya majani inayojulikana kama ''Mokorotlo'', ambayo pia ni alama ya taifa ya Lesotho. Muziki na ngoma hupewa kipaumbele kama njia ya kuonyesha hisia, kuadhimisha maisha, na kusherehekea hatua muhimu za kijamii. Muziki wa jadi wa Basotho hutumia ala kama ''lekolulo'' (filimbi ya mdomo), ''setolo-tolo'' (ala ya kupiga kwa sauti ya koo), na nyimbo zenye midundo ya taratibu au ya nguvu kutegemea tukio. Ngoma huchezwa wakati wa mavuno, ndoa, au maadhimisho ya kihistoria kama Siku ya Uhuru. Muziki wa kisasa pia unaendelea kushamiri nchini humo, ukiwemo wa ''famo'', ambao unajulikana kwa mashairi ya kihisia na mashindano ya waimbaji, mara nyingi ukiambatana na upigaji wa ''accordion''. Dini inachukua nafasi muhimu katika maisha ya watu wa Lesotho. Asilimia kubwa ya watu ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], kutokana na shughuli za [[Wamisionari wa Afrika|wamisionari]] wa Kikristo waliofika karne ya 19. Hata hivyo, bado kuna mabaki ya imani za jadi zinazojumuisha [[ushirikina]], tiba za asili, na heshima kwa mizimu na mababu. Dini hizi mbili zinaishi kwa namna ya kushirikiana katika maisha ya kila siku ya watu wengi wa Basotho, ambapo watu wanaweza kuhudhuria ibada kanisani lakini pia kushiriki matambiko ya kijadi. Sanaa ya Basotho<ref>Lesotho Tourism Development Corporation. “Discover Lesotho.” www.visitlesotho.travel</ref> huonekana katika ususi wa mikeka, kutengeneza vikapu, na uchongaji wa vinyago. Urembo wa mikono unaoambatana na alama za kikabila huonyesha ujuzi wa kipekee wa wasanii wa kienyeji. Vikapu vya majani, mikeka ya kupamba nyumba, na vyombo vya udongo hutengenezwa si tu kwa matumizi ya kila siku bali pia kwa madhumuni ya kiutamaduni na kibiashara. Pia, fasihi simulizi kama ngano na methali huendelezwa sana kwa lengo la kuelimisha na kufundisha maadili. Maisha ya kijamii nchini Lesotho yanaongozwa na heshima, mshikamano, na maadili ya kijamaa. Familia nyingi huishi kwa mfumo wa kijumuiya, ambapo kazi za kilimo, ufugaji, na malezi ya watoto hugawanywa kijamii. Mila kama ''lebolla'', sherehe ya kuingia utu uzima kwa vijana wa kiume, bado hufuatwa na jamii nyingi vijijini. Wakati wa ''lebolla'', vijana hupelekwa mbali na jamii kwa kipindi fulani, wakifundishwa kuhusu majukumu ya kuwa mwanaume katika jamii, kabla ya kurudi na kukubaliwa rasmi kama watu wazima. Mfumo huu wa malezi hujenga heshima, utii, na mshikamano wa jamii. Lesotho pia inaadhimisha sikukuu mbalimbali za kitaifa na kidini. Miongoni mwa hizo ni Siku ya Uhuru, inayosherehekewa kila tarehe 4 Oktoba, kumbukumbu ya kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1966. Siku hii huambatana na gwaride, nyimbo za uzalendo, maonyesho ya ngoma za jadi, na hotuba za kitaifa. Pia, Krismasi, Pasaka, na sikukuu za Kiislamu huadhimishwa kwa heshima na shangwe, ingawa idadi ya Waislamu ni ndogo sana nchini humo. Ingawa Lesotho inaathiriwa na utandawazi na mabadiliko ya kidunia, serikali na taasisi mbalimbali zimejitahidi kuhifadhi na kukuza urithi wa tamaduni za jadi. Kupitia taasisi kama Basotho Cultural Village, pamoja na masomo ya historia na sanaa mashuleni, kizazi kipya kinaelimishwa kuhusu umuhimu wa kulinda urithi wa taifa.<ref>Government of Lesotho, Ministry of Tourism, Environment and Culture. “Lesotho Cultural Policy.” www.gov.ls</ref> Vyombo vya habari pia vinatoa nafasi kwa maudhui ya kitamaduni, kwa mfano redio za kienyeji hupeperusha nyimbo za jadi na simulizi kutoka kwa wazee wa jamii. Utamaduni wa Lesotho unabaki kuwa hazina ya thamani kwa taifa hilo la milimani. Uwepo wa mila imara, lugha ya pamoja, mavazi ya kipekee, na mshikamano wa kijamii unatoa mfano wa namna taifa linaweza kudumisha utambulisho wake hata katikati ya mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii, na kiuchumi. Kwa kuenzi urithi huu, Lesotho si tu linaendeleza historia yake, bali pia linajijengea msingi wa mustakabali thabiti unaozingatia heshima, utulivu, na mshikamano wa watu wake<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Lesotho.” www.unesco.org</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} j6sff0alz99gdby37cri4odev79ddue 1437198 1437113 2025-07-12T10:34:02Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437083 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Lesotho.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Lesotho]] '''Utamaduni wa [[Lesotho]]''' ni Nchi hii ya milimani iliyojaa mandhari ya kuvutia inajivunia utamaduni uliojaa mshikamano, ushirikiano, na heshima kwa wazee, huku watu wake wakijulikana kwa utu, ukarimu, na heshima ya kijamaa. Pamoja na kuwa taifa dogo lililozungukwa kabisa na Afrika Kusini, Lesotho imefanikiwa kudumisha utambulisho wake wa kiutamaduni kupitia lugha, mavazi, chakula, sanaa, muziki, dini, na mfumo wa maisha ya kijamii<ref>Ashton, E. H. ''The Basuto: A Social Study of Traditional and Modern Lesotho Society''. Oxford University Press, 1952.</ref>. Lugha ya Sesotho ndiyo lugha ya taifa na hutumika katika maisha ya kila siku, mashuleni, na kwenye vyombo vya habari. [[Kiingereza]], ambacho pia ni lugha rasmi, hutumika zaidi katika shughuli za serikali na elimu ya juu. Sesotho, ambayo ni sehemu ya familia ya lugha za Bantu, ina utajiri wa methali, nyimbo, na hadithi za jadi zinazotumika kurithisha maadili, historia na elimu ya kijamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Watoto hukuzwa katika mazingira yanayothamini simulizi, nyimbo za kulala, na sherehe za kijadi zinazowajenga kijamii na kiadili. Mavazi ya jadi ni sehemu muhimu ya utambulisho wa Basotho. Vazi maarufu zaidi ni ''Seanamarena'', aina ya blanketi la rangi na michoro ya kipekee ambalo huvishwa kwa heshima katika matukio maalum kama ndoa, mazishi, na sherehe za kitaifa. Blanketi hili huchukuliwa kama alama ya heshima, ulinzi, na urithi wa tamaduni za jadi. Wanawake huvaa sketi ndefu pamoja na vitambaa vya kichwani, ilhali wanaume huvaa blanketi, bastola au fimbo, na kofia maarufu ya majani inayojulikana kama ''Mokorotlo'', ambayo pia ni alama ya taifa ya Lesotho. Muziki na ngoma hupewa kipaumbele kama njia ya kuonyesha hisia, kuadhimisha maisha, na kusherehekea hatua muhimu za kijamii. Muziki wa jadi wa Basotho hutumia ala kama ''lekolulo'' (filimbi ya mdomo), ''setolo-tolo'' (ala ya kupiga kwa sauti ya koo), na nyimbo zenye midundo ya taratibu au ya nguvu kutegemea tukio. Ngoma huchezwa wakati wa mavuno, ndoa, au maadhimisho ya kihistoria kama Siku ya Uhuru. Muziki wa kisasa pia unaendelea kushamiri nchini humo, ukiwemo wa ''famo'', ambao unajulikana kwa mashairi ya kihisia na mashindano ya waimbaji, mara nyingi ukiambatana na upigaji wa ''accordion''. Dini inachukua nafasi muhimu katika maisha ya watu wa Lesotho. Asilimia kubwa ya watu ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], kutokana na shughuli za [[Wamisionari wa Afrika|wamisionari]] wa Kikristo waliofika karne ya 19. Hata hivyo, bado kuna mabaki ya imani za jadi zinazojumuisha [[ushirikina]], tiba za asili, na heshima kwa mizimu na mababu. Dini hizi mbili zinaishi kwa namna ya kushirikiana katika maisha ya kila siku ya watu wengi wa Basotho, ambapo watu wanaweza kuhudhuria ibada kanisani lakini pia kushiriki matambiko ya kijadi. Sanaa ya Basotho<ref>Lesotho Tourism Development Corporation. “Discover Lesotho.” www.visitlesotho.travel</ref> huonekana katika ususi wa mikeka, kutengeneza vikapu, na uchongaji wa vinyago. Urembo wa mikono unaoambatana na alama za kikabila huonyesha ujuzi wa kipekee wa wasanii wa kienyeji. Vikapu vya majani, mikeka ya kupamba nyumba, na vyombo vya udongo hutengenezwa si tu kwa matumizi ya kila siku bali pia kwa madhumuni ya kiutamaduni na kibiashara. Pia, fasihi simulizi kama ngano na methali huendelezwa sana kwa lengo la kuelimisha na kufundisha maadili. Maisha ya kijamii nchini Lesotho yanaongozwa na heshima, mshikamano, na maadili ya kijamaa. Familia nyingi huishi kwa mfumo wa kijumuiya, ambapo kazi za kilimo, ufugaji, na malezi ya watoto hugawanywa kijamii. Mila kama ''lebolla'', sherehe ya kuingia utu uzima kwa vijana wa kiume, bado hufuatwa na jamii nyingi vijijini. Wakati wa ''lebolla'', vijana hupelekwa mbali na jamii kwa kipindi fulani, wakifundishwa kuhusu majukumu ya kuwa mwanaume katika jamii, kabla ya kurudi na kukubaliwa rasmi kama watu wazima. Mfumo huu wa malezi hujenga heshima, utii, na mshikamano wa jamii. Lesotho pia inaadhimisha sikukuu mbalimbali za kitaifa na kidini. Miongoni mwa hizo ni Siku ya Uhuru, inayosherehekewa kila tarehe 4 Oktoba, kumbukumbu ya kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1966. Siku hii huambatana na gwaride, nyimbo za uzalendo, maonyesho ya ngoma za jadi, na hotuba za kitaifa. Pia, Krismasi, Pasaka, na sikukuu za Kiislamu huadhimishwa kwa heshima na shangwe, ingawa idadi ya Waislamu ni ndogo sana nchini humo. Ingawa Lesotho inaathiriwa na utandawazi na mabadiliko ya kidunia, serikali na taasisi mbalimbali zimejitahidi kuhifadhi na kukuza urithi wa tamaduni za jadi. Kupitia taasisi kama Basotho Cultural Village, pamoja na masomo ya historia na sanaa mashuleni, kizazi kipya kinaelimishwa kuhusu umuhimu wa kulinda urithi wa taifa.<ref>Government of Lesotho, Ministry of Tourism, Environment and Culture. “Lesotho Cultural Policy.” www.gov.ls</ref> Vyombo vya habari pia vinatoa nafasi kwa maudhui ya kitamaduni, kwa mfano redio za kienyeji hupeperusha nyimbo za jadi na simulizi kutoka kwa wazee wa jamii. Utamaduni wa Lesotho unabaki kuwa hazina ya thamani kwa taifa hilo la milimani. Uwepo wa mila imara, lugha ya pamoja, mavazi ya kipekee, na mshikamano wa kijamii unatoa mfano wa namna taifa linaweza kudumisha utambulisho wake hata katikati ya mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii, na kiuchumi. Kwa kuenzi urithi huu, Lesotho si tu linaendeleza historia yake, bali pia linajijengea msingi wa mustakabali thabiti unaozingatia heshima, utulivu, na mshikamano wa watu wake<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Lesotho.” www.unesco.org</ref>. == Marejeo == <references /> 3yezqgyi81bel9nrup2stsr5298q8wk 1437266 1437198 2025-07-12T11:53:07Z ~2025-17972-2 80083 anchor 1437266 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Lesotho.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Lesotho]] '''Utamaduni wa [[Lesotho]]''' ni Nchi hii ya milimani iliyojaa mandhari ya kuvutia inajivunia utamaduni uliojaa mshikamano, ushirikiano, na heshima kwa wazee, huku watu wake wakijulikana kwa utu, ukarimu, na heshima ya kijamaa. Pamoja na kuwa taifa dogo lililozungukwa kabisa na Afrika Kusini, Lesotho imefanikiwa kudumisha utambulisho wake wa kiutamaduni kupitia lugha, mavazi, chakula, sanaa, muziki, dini, na mfumo wa maisha ya kijamii<ref>Ashton, E. H. ''The Basuto: A Social Study of Traditional and Modern Lesotho Society''. Oxford University Press, 1952.</ref>. Lugha ya Sesotho ndiyo lugha ya taifa na hutumika katika maisha ya kila siku, mashuleni, na kwenye vyombo vya habari. [[Kiingereza]], ambacho pia ni lugha rasmi, hutumika zaidi katika shughuli za serikali na elimu ya juu. Sesotho, ambayo ni sehemu ya familia ya lugha za Bantu, ina utajiri wa methali, nyimbo, na hadithi za jadi zinazotumika kurithisha maadili, historia na elimu ya kijamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Watoto hukuzwa katika mazingira yanayothamini simulizi, nyimbo za kulala, na sherehe za kijadi zinazowajenga kijamii na kiadili. Mavazi ya jadi ni sehemu muhimu ya utambulisho wa Basotho. Vazi maarufu zaidi ni ''Seanamarena'', aina ya blanketi la rangi na michoro ya kipekee ambalo huvishwa kwa heshima katika matukio maalum kama ndoa, mazishi, na sherehe za kitaifa. Blanketi hili huchukuliwa kama alama ya heshima, ulinzi, na urithi wa tamaduni za jadi. Wanawake huvaa sketi ndefu pamoja na vitambaa vya kichwani, ilhali wanaume huvaa blanketi, bastola au fimbo, na kofia maarufu ya majani inayojulikana kama ''Mokorotlo'', ambayo pia ni alama ya taifa ya Lesotho. Muziki na ngoma hupewa kipaumbele kama njia ya kuonyesha hisia, kuadhimisha maisha, na kusherehekea hatua muhimu za kijamii. Muziki wa jadi wa Basotho hutumia ala kama ''lekolulo'' (filimbi ya mdomo), ''setolo-tolo'' (ala ya kupiga kwa sauti ya koo), na nyimbo zenye midundo ya taratibu au ya nguvu kutegemea tukio. Ngoma huchezwa wakati wa mavuno, ndoa, au maadhimisho ya kihistoria kama Siku ya Uhuru. Muziki wa kisasa pia unaendelea kushamiri nchini humo, ukiwemo wa ''famo'', ambao unajulikana kwa mashairi ya kihisia na mashindano ya waimbaji, mara nyingi ukiambatana na upigaji wa ''accordion''. Dini inachukua nafasi muhimu katika maisha ya watu wa Lesotho. Asilimia kubwa ya watu ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], kutokana na shughuli za [[Wamisionari wa Afrika|wamisionari]] wa Kikristo waliofika karne ya 19. Hata hivyo, bado kuna mabaki ya imani za jadi zinazojumuisha [[ushirikina]], tiba za asili, na heshima kwa mizimu na mababu. Dini hizi mbili zinaishi kwa namna ya kushirikiana katika maisha ya kila siku ya watu wengi wa Basotho, ambapo watu wanaweza kuhudhuria ibada kanisani lakini pia kushiriki matambiko ya kijadi. Sanaa ya Basotho<ref>Lesotho Tourism Development Corporation. “Discover Lesotho.” www.visitlesotho.travel</ref> huonekana katika ususi wa mikeka, kutengeneza vikapu, na uchongaji wa vinyago. Urembo wa mikono unaoambatana na alama za kikabila huonyesha ujuzi wa kipekee wa wasanii wa kienyeji. Vikapu vya majani, mikeka ya kupamba nyumba, na vyombo vya udongo hutengenezwa si tu kwa matumizi ya kila siku bali pia kwa madhumuni ya kiutamaduni na kibiashara. Pia, fasihi simulizi kama ngano na methali huendelezwa sana kwa lengo la kuelimisha na kufundisha maadili. Maisha ya kijamii nchini Lesotho yanaongozwa na heshima, mshikamano, na maadili ya kijamaa. Familia nyingi huishi kwa mfumo wa kijumuiya, ambapo kazi za kilimo, ufugaji, na malezi ya watoto hugawanywa kijamii. Mila kama ''lebolla'', sherehe ya kuingia utu uzima kwa vijana wa kiume, bado hufuatwa na jamii nyingi vijijini. Wakati wa ''lebolla'', vijana hupelekwa mbali na jamii kwa kipindi fulani, wakifundishwa kuhusu majukumu ya kuwa mwanaume katika jamii, kabla ya kurudi na kukubaliwa rasmi kama watu wazima. Mfumo huu wa malezi hujenga heshima, utii, na mshikamano wa jamii. Lesotho pia inaadhimisha sikukuu mbalimbali za kitaifa na kidini. Miongoni mwa hizo ni Siku ya Uhuru, inayosherehekewa kila tarehe 4 Oktoba, kumbukumbu ya kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1966. Siku hii huambatana na gwaride, nyimbo za uzalendo, maonyesho ya ngoma za jadi, na hotuba za kitaifa. Pia, Krismasi, Pasaka, na sikukuu za Kiislamu huadhimishwa kwa heshima na shangwe, ingawa idadi ya Waislamu ni ndogo sana nchini humo. Ingawa Lesotho inaathiriwa na utandawazi na mabadiliko ya kidunia, serikali na taasisi mbalimbali zimejitahidi kuhifadhi na kukuza urithi wa tamaduni za jadi. Kupitia taasisi kama Basotho Cultural Village, pamoja na masomo ya historia na sanaa mashuleni, kizazi kipya kinaelimishwa kuhusu umuhimu wa kulinda urithi wa taifa.<ref>Government of Lesotho, Ministry of Tourism, Environment and Culture. “Lesotho Cultural Policy.” www.gov.ls</ref> Vyombo vya habari pia vinatoa nafasi kwa maudhui ya kitamaduni, kwa mfano redio za kienyeji hupeperusha nyimbo za jadi na simulizi kutoka kwa wazee wa jamii. Utamaduni wa Lesotho unabaki kuwa hazina ya thamani kwa taifa hilo la milimani. Uwepo wa mila imara, lugha ya pamoja, mavazi ya kipekee, na mshikamano wa kijamii unatoa mfano wa namna taifa linaweza kudumisha utambulisho wake hata katikati ya mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii, na kiuchumi. Kwa kuenzi urithi huu, Lesotho si tu linaendeleza historia yake, bali pia linajijengea msingi wa mustakabali thabiti unaozingatia heshima, utulivu, na mshikamano wa watu wake<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Lesotho.” www.unesco.org</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} m4otxdo0fayyg2bcg88fasj9ugxxf37 1437271 1437266 2025-07-12T11:55:36Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437271 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Lesotho.svg|thumb|Bendera ya nchi ya Lesotho.]] '''Utamaduni wa [[Lesotho]]''' ni Nchi hii ya milimani iliyojaa mandhari ya kuvutia inajivunia utamaduni uliojaa mshikamano, ushirikiano, na heshima kwa wazee, huku watu wake wakijulikana kwa utu, ukarimu, na heshima ya kijamaa. Pamoja na kuwa taifa dogo lililozungukwa kabisa na Afrika Kusini, Lesotho imefanikiwa kudumisha utambulisho wake wa kiutamaduni kupitia lugha, mavazi, chakula, sanaa, muziki, dini, na mfumo wa maisha ya kijamii<ref>Ashton, E. H. ''The Basuto: A Social Study of Traditional and Modern Lesotho Society''. Oxford University Press, 1952.</ref>. Lugha ya Sesotho ndiyo lugha ya taifa na hutumika katika maisha ya kila siku, mashuleni, na kwenye vyombo vya habari. [[Kiingereza]], ambacho pia ni lugha rasmi, hutumika zaidi katika shughuli za serikali na elimu ya juu. Sesotho, ambayo ni sehemu ya familia ya lugha za Bantu, ina utajiri wa methali, nyimbo, na hadithi za jadi zinazotumika kurithisha maadili, historia na elimu ya kijamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Watoto hukuzwa katika mazingira yanayothamini simulizi, nyimbo za kulala, na sherehe za kijadi zinazowajenga kijamii na kiadili. Mavazi ya jadi ni sehemu muhimu ya utambulisho wa Basotho. Vazi maarufu zaidi ni ''Seanamarena'', aina ya blanketi la rangi na michoro ya kipekee ambalo huvishwa kwa heshima katika matukio maalum kama ndoa, mazishi, na sherehe za kitaifa. Blanketi hili huchukuliwa kama alama ya heshima, ulinzi, na urithi wa tamaduni za jadi. Wanawake huvaa sketi ndefu pamoja na vitambaa vya kichwani, ilhali wanaume huvaa blanketi, bastola au fimbo, na kofia maarufu ya majani inayojulikana kama ''Mokorotlo'', ambayo pia ni alama ya taifa ya Lesotho. Muziki na ngoma hupewa kipaumbele kama njia ya kuonyesha hisia, kuadhimisha maisha, na kusherehekea hatua muhimu za kijamii. Muziki wa jadi wa Basotho hutumia ala kama ''lekolulo'' (filimbi ya mdomo), ''setolo-tolo'' (ala ya kupiga kwa sauti ya koo), na nyimbo zenye midundo ya taratibu au ya nguvu kutegemea tukio. Ngoma huchezwa wakati wa mavuno, ndoa, au maadhimisho ya kihistoria kama Siku ya Uhuru. Muziki wa kisasa pia unaendelea kushamiri nchini humo, ukiwemo wa ''famo'', ambao unajulikana kwa mashairi ya kihisia na mashindano ya waimbaji, mara nyingi ukiambatana na upigaji wa ''accordion''. Dini inachukua nafasi muhimu katika maisha ya watu wa Lesotho. Asilimia kubwa ya watu ni Wakristo, wakiwemo [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], kutokana na shughuli za [[Wamisionari wa Afrika|wamisionari]] wa Kikristo waliofika karne ya 19. Hata hivyo, bado kuna mabaki ya imani za jadi zinazojumuisha [[ushirikina]], tiba za asili, na heshima kwa mizimu na mababu. Dini hizi mbili zinaishi kwa namna ya kushirikiana katika maisha ya kila siku ya watu wengi wa Basotho, ambapo watu wanaweza kuhudhuria ibada kanisani lakini pia kushiriki matambiko ya kijadi. Sanaa ya Basotho<ref>Lesotho Tourism Development Corporation. “Discover Lesotho.” www.visitlesotho.travel</ref> huonekana katika ususi wa mikeka, kutengeneza vikapu, na uchongaji wa vinyago. Urembo wa mikono unaoambatana na alama za kikabila huonyesha ujuzi wa kipekee wa wasanii wa kienyeji. Vikapu vya majani, mikeka ya kupamba nyumba, na vyombo vya udongo hutengenezwa si tu kwa matumizi ya kila siku bali pia kwa madhumuni ya kiutamaduni na kibiashara. Pia, fasihi simulizi kama ngano na methali huendelezwa sana kwa lengo la kuelimisha na kufundisha maadili. Maisha ya kijamii nchini Lesotho yanaongozwa na heshima, mshikamano, na maadili ya kijamaa. Familia nyingi huishi kwa mfumo wa kijumuiya, ambapo kazi za kilimo, ufugaji, na malezi ya watoto hugawanywa kijamii. Mila kama ''lebolla'', sherehe ya kuingia utu uzima kwa vijana wa kiume, bado hufuatwa na jamii nyingi vijijini. Wakati wa ''lebolla'', vijana hupelekwa mbali na jamii kwa kipindi fulani, wakifundishwa kuhusu majukumu ya kuwa mwanaume katika jamii, kabla ya kurudi na kukubaliwa rasmi kama watu wazima. Mfumo huu wa malezi hujenga heshima, utii, na mshikamano wa jamii. Lesotho pia inaadhimisha sikukuu mbalimbali za kitaifa na kidini. Miongoni mwa hizo ni Siku ya Uhuru, inayosherehekewa kila tarehe 4 Oktoba, kumbukumbu ya kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1966. Siku hii huambatana na gwaride, nyimbo za uzalendo, maonyesho ya ngoma za jadi, na hotuba za kitaifa. Pia, Krismasi, Pasaka, na sikukuu za Kiislamu huadhimishwa kwa heshima na shangwe, ingawa idadi ya Waislamu ni ndogo sana nchini humo. Ingawa Lesotho inaathiriwa na utandawazi na mabadiliko ya kidunia, serikali na taasisi mbalimbali zimejitahidi kuhifadhi na kukuza urithi wa tamaduni za jadi. Kupitia taasisi kama Basotho Cultural Village, pamoja na masomo ya historia na sanaa mashuleni, kizazi kipya kinaelimishwa kuhusu umuhimu wa kulinda urithi wa taifa.<ref>Government of Lesotho, Ministry of Tourism, Environment and Culture. “Lesotho Cultural Policy.” www.gov.ls</ref> Vyombo vya habari pia vinatoa nafasi kwa maudhui ya kitamaduni, kwa mfano redio za kienyeji hupeperusha nyimbo za jadi na simulizi kutoka kwa wazee wa jamii. Utamaduni wa Lesotho unabaki kuwa hazina ya thamani kwa taifa hilo la milimani. Uwepo wa mila imara, lugha ya pamoja, mavazi ya kipekee, na mshikamano wa kijamii unatoa mfano wa namna taifa linaweza kudumisha utambulisho wake hata katikati ya mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii, na kiuchumi. Kwa kuenzi urithi huu, Lesotho si tu linaendeleza historia yake, bali pia linajijengea msingi wa mustakabali thabiti unaozingatia heshima, utulivu, na mshikamano wa watu wake<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Lesotho.” www.unesco.org</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} o3og2bl7hc523o78nq84v9zxga7xro6 Mtumiaji:Heri R Mhenga 2 208902 1437085 2025-07-12T07:32:56Z Heri R Mhenga 63037 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Dr Heri R Mhenga (born January 9, 1998) is a Tanzanian and Medical Doctor General Practitioner, researcher and inventor. He is a founder and Chairman of MedFast, a network of healthcare, that connect people with healthcare system and deals with innovative purpose to bring people in a healthier world and wellbeing Dr Heri R Mhenga graduated from the Catholic University of Health and Allied Sciences ( CUHAS - BUGANDO), where he earned a bachelor degree in...' 1437085 wikitext text/x-wiki Dr Heri R Mhenga (born January 9, 1998) is a Tanzanian and Medical Doctor General Practitioner, researcher and inventor. He is a founder and Chairman of MedFast, a network of healthcare, that connect people with healthcare system and deals with innovative purpose to bring people in a healthier world and wellbeing Dr Heri R Mhenga graduated from the Catholic University of Health and Allied Sciences ( CUHAS - BUGANDO), where he earned a bachelor degree in Doctor of Medicine (MD). He then completed his medical internship at Sekou-Toure Regional Referral Hospital and obtained his Full registration and practicing licence from Medical Council of Tanganyika. Dr Heri R Mhenga completed his Primary Level education at Bismarck Primary School in Mwanza-Tanzania, & went to Tabora-Tanzania at St Thomas of Aquinas Secondary School where he graduated with First class honor, he then completed his Advanced level of education in Kilimanjaro-Tanzania at Scolastica High School where he graduated with First Class Honor and successful joined Medical School back in Mwanza-Tanzania 6ikv1iit7we095kasm75ocmwy6a34wm 1437090 1437085 2025-07-12T07:41:35Z Heri R Mhenga 63037 1437090 wikitext text/x-wiki Dr Heri R Mhenga is a Tanzanian and Medical Doctor General Practitioner, researcher and inventor. He is a founder and Chairman of MedFast, a network of healthcare, that connect people with healthcare system and deals with innovative purpose to bring people in a healthier world and wellbeing Dr Heri R Mhenga graduated from the Catholic University of Health and Allied Sciences ( CUHAS - BUGANDO), where he earned a bachelor degree in Doctor of Medicine (MD). He then completed his medical internship at Sekou-Toure Regional Referral Hospital and obtained his Full registration and practicing licence from Medical Council of Tanganyika. Dr Heri R Mhenga completed his Primary Level education at Bismarck Primary School in Mwanza-Tanzania, & went to Tabora-Tanzania at St Thomas of Aquinas Secondary School where he graduated with First class honor, he then completed his Advanced level of education in Kilimanjaro-Tanzania at Scolastica High School where he graduated with First Class Honor and successful joined Medical School back in Mwanza-Tanzania owpkfjxlne6sgmj4j7hhy5bwrb9pt1n Utamaduni wa Madagascar 0 208903 1437093 2025-07-12T07:58:57Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa madagaska 1437093 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska]] '''Utamaduni wa [[Madagaska|Madagascar]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagascar wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagascar umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagascar. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagascar unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagascar na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagascar unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == <references /> 6uqxjdelyiv8f6pjw5ja068ermpg59g 1437114 1437093 2025-07-12T09:24:47Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa BAN-ana 1437114 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska]] '''Utamaduni wa [[Madagaska|Madagascar]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagascar wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagascar umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagascar. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagascar unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagascar na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagascar unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == {{marejeo}} 6vrpzsop5127xkhrxl6ifai1asjwwq4 1437149 1437114 2025-07-12T09:57:21Z Alexander Rweyemamu 80072 [[Madagaska]] 1437149 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska]] '''Utamaduni wa [[Madagaska]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagaska wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagaska umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagaska. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagaska unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagaska na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagaska unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == {{marejeo}} 5mosikjs5bjj3vjmm12aochhmtws5z8 1437169 1437149 2025-07-12T10:33:47Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437093 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska]] '''Utamaduni wa [[Madagaska|Madagascar]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagascar wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagascar umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagascar. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagascar unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagascar na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagascar unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == <references /> 6uqxjdelyiv8f6pjw5ja068ermpg59g 1437227 1437169 2025-07-12T11:27:03Z ~2025-18006-2 80078 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437227 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska]] '''Utamaduni wa [[Madagaska]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagaska wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagaska umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagaska. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagaska unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagaska na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagaska unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == {{Marejeo}} 8sss3t93swqhemm14jfbqt5fjpz5fmz 1437228 1437227 2025-07-12T11:27:40Z ~2025-18118-5 80079 1437228 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska.]] '''Utamaduni wa [[Madagaska]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagaska wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagaska umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagaska. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagaska unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagaska na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagaska unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == {{Marejeo}} kh3ikdqx8auf4f5ri5tas678ecdh90h 1437233 1437228 2025-07-12T11:29:37Z ~2025-18007-0 80080 JINA YA KISWAHILI = [[Madagaska]] 1437233 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Madagascar.svg|thumb|Bendera ya Madagaska.]] '''Utamaduni wa [[Madagaska]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, ukiwa ni matokeo ya mchanganyiko wa mila na desturi kutoka bara la Asia, hasa Indonesia na Malaysia, pamoja na urithi wa Kiafrika, Kiarabu, na Ulaya<ref>Brown, Mervyn. ''A History of Madagascar''. Markus Wiener Publishers, 2000.</ref>. Mchanganyiko huu umezaa jamii ya watu wa Madagaska wanaojulikana kama Wamalagasy, ambao licha ya tofauti zao za kijamii, kijiografia na [[lugha]] ndogondogo, hushiriki utambulisho wa pamoja unaojengwa kupitia lugha ya Kimalagasy, mila za pamoja, na heshima ya mababu. Katika historia ya [[Kisiwa|visiwa]] hivi, wahamiaji wa mwanzo waliwasili kutoka [[Asia]] ya Kusini-Mashariki, hususan [[Indonesia]], zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Baadaye, walifuatiwa na wahamiaji wa Kiafrika kutoka bara la [[Afrika]], hasa pwani ya mashariki, na baadaye [[Waarabu]], [[Uhindi|Wahindi]], na hatimaye Wazungu hasa [[Ufaransa|Wafaransa]] wakati wa [[ukoloni]]. Mchanganyiko huu ulileta mtawanyiko wa makabila zaidi ya 18, kama Merina, Betsimisaraka, Sakalava, Bara, na Antandroy, ambapo kila kundi lina ladha ya kipekee ya kiutamaduni lakini bado hushikamana kupitia misingi ya jadi kama heshima kwa mizimu, tamaduni za kifamilia na lugha ya Kimalagasy<ref>UNESCO. “Intangible Heritage: Famadihana, the Turning of the Bones.” www.unesco.org</ref>. Utamaduni wa jadi wa Madagaska umejengwa kwa heshima kubwa kwa mizimu na mababu. Imani ya "razana", yaani roho za mababu waliokufa, ni msingi wa maisha ya kijamii na kidini. Wamalagasy wengi huamini kuwa mafanikio na matatizo katika maisha yao yanahusiana na baraka au laana kutoka kwa mizimu ya familia, hivyo kufanya tambiko, sherehe za kuwakumbuka mababu kama "famadihana" (sherehe ya kugeuza mifupa) kuwa tukio la heshima na la lazima. Katika sherehe hiyo, jamaa hukusanyika na kuifukua mifupa ya wazee waliokufa, kuisafisha, kuifunika kwa vitambaa vipya, na kuicheza au kuimba huku wakiomboleza na kusherehekea kwa pamoja. Sanaa ya jadi ni sehemu muhimu ya utamaduni wa Wamalagasy, ikiwa ni pamoja na [[uchoraji]] wa mitindo ya kale, [[uchongaji]] wa mbao, sanaa ya mapambo ya nyumba, na kazi za mikono kama vile utengenezaji wa vikapu na kofia za majani. Sanaa hizi huakisi maadili ya heshima, utu, na uhusiano na mazingira. Katika miji mikuu kama Antananarivo na Fianarantsoa, wasanii wa kisasa wameendeleza sanaa ya mchanganyiko kwa kutumia mbinu za kisasa kama picha, muziki wa kidigitali na maigizo ya jukwaani. [[Muziki]] ni kiungo kingine muhimu cha utamaduni wa Madagaska. Muziki wa asili wa Kimalagasy una ala za kipekee kama valiha (kinanda cha jadi kilichotengenezwa kwa mianzi), marovany (ala ya kamba), na kabosy (gitaa dogo). Kila kabila lina mitindo yake ya kipekee ya muziki na ngoma, kama hiragasy ya watu wa Merina, salegy ya Betsimisaraka na basesa ya Sakalava. Muziki hutumika katika shughuli za kijamii kama harusi, mazishi, sherehe za jadi na hata shughuli za kisiasa<ref>Ministry of Culture, Madagascar. “Plan National de Sauvegarde du Patrimoine Culturel.</ref>. Lugha ya Kimalagasy ndiyo lugha ya taifa na ya asili inayotumiwa na watu wote nchini, licha ya lahaja kutofautiana kwa kadri ya maeneo. Lugha hii ina asili ya Ki-Austronesia, lakini ina maneno mengi yaliyochukuliwa kutoka Kiarabu, Kifaransa na Kiswahili. Kifaransa bado ni lugha rasmi ya pili, hasa katika elimu, sheria na utawala, kutokana na historia ya ukoloni wa Kifaransa ulioanza mwaka 1896 hadi uhuru wa nchi mwaka 1960. Katika jamii ya Kimalagasy, familia ina nafasi ya kipekee. Familia pana, inayojumuisha babu, bibi, wajomba, shangazi, na watoto, huishi karibu au pamoja. Wazee huheshimiwa sana na maamuzi ya familia mara nyingi hutolewa kwa ushauri wa pamoja. Mila za ndoa, mirathi, na malezi ya watoto huendeshwa kwa misingi ya umoja na mshikamano wa kifamilia<ref>Institut National de la Statistique Madagascar. “Recensement Général de la Population 2019.”</ref>. Dini za jadi bado zina nafasi kubwa ingawa Ukristo na Uislamu vimesambaa, hasa kwa njia ya wamisionari na wafanyabiashara wa [[Kiarabu]]. Takribani asilimia 50 ya wakazi ni Wakristo, wengi wao wakiwa Wakatoliki, na asilimia 7 ni Waislamu. Hata hivyo, desturi nyingi za kidini huambatana na imani za jadi kama tambiko, imani za mizimu, na heshima kwa ardhi takatifu. Dini ya jadi haiwekwi kando bali mara nyingi huishi sambamba na imani za kisasa, ikionyesha jinsi Wamalagasy wanavyodumisha mizizi yao huku wakikumbatia mabadiliko. Michezo pia ni sehemu ya maisha ya kijamii. Ingawa mpira wa miguu ni maarufu, michezo ya jadi kama savika mchezo wa vijana wa kiume kumkwepa ng’ombe kama dalili ya ujasiri bado inaungwa mkono na jamii hasa vijijini. Tamasha kama Madajazzcar, sherehe kubwa ya muziki wa jazz, na Hira Gasy, onesho la ngoma na maigizo ya kitamaduni, huleta watu pamoja na kukuza utamaduni wa kitaifa. Utamaduni wa Madagaska unawakilisha hadithi ya watu walioishi kwa maelfu ya miaka wakichanganya tamaduni mbalimbali kuwa kitu kimoja kinachoitwa “Malagasy”. Ni hadithi ya kustahimili, kubadilika, na kudumisha utambulisho wa pamoja licha ya tofauti. Leo, serikali ya Madagaska na mashirika ya utamaduni yanafanya juhudi kubwa kuhifadhi na kukuza utamaduni huu kupitia elimu, vyombo vya habari, makumbusho na maonyesho ya sanaa. Kupitia juhudi hizi, utamaduni wa Madagaska unaendelea kuwa hai, ukiendelezwa kizazi baada ya kizazi kama urithi wa taifa<ref>World Bank. "Madagascar Overview." www.worldbank.org</ref>, == Marejeo == {{marejeo}} h7fw10l5uqny2oip57tgixwdjweapka Utamaduni wa Namibia 0 208904 1437099 2025-07-12T08:33:47Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa namibia 1437099 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Namibia.svg|thumb|Bendera ya Namibia]] '''Utamaduni wa [[Namibia]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, unaochangiwa na historia ndefu ya kiasili, athari za ukoloni wa [[Ujerumani]] na Afrika Kusini, pamoja na mchango wa makabila zaidi ya 13 yanayoishi ndani ya mipaka ya nchi hiyo<ref>Tonchi, Victor L., Lindeke, William A., and Grotpeter, John J. ''Historical Dictionary of Namibia''. Scarecrow Press, 2012.</ref>. Kwa kuzingatia tofauti hizi za kijamii na kijiografia, [[Namibia]] imejengeka kuwa jamii ya watu waliounganishwa na [[uzalendo]], [[sanaa]], [[lugha]], na [[mila]] zilizohifadhiwa kwa [[karne]] nyingi, huku wakikumbatia pia usasa.<mapframe latitude="-23.322080" longitude="15.380859" zoom="4" text="Ramani na Mipaka ya Namibia" width="200" height="163" />Asili ya utamaduni wa Namibia huanzia kwa makabila ya kale kama Wakoisan (Bushmen), ambao ni mojawapo ya jamii kongwe kabisa barani Afrika. Wakoisan walijulikana kwa maisha yao ya [[uwindaji]] na ukusanyaji, wakitumia [[lugha]] ya milio na mbinu za kipekee za kuishi jangwani. Makabila mengine maarufu ni pamoja na Waowambo ambao ni kundi kubwa zaidi nchini, pamoja na Wakarakal, Waherero, Wahimba, Wadamara, Wasan, na Wanaama. Kila kabila lina desturi zake, lugha yake ya asili, mitindo ya mavazi, na namna tofauti ya kuonesha sanaa ya maisha. Namibia inajivunia urithi wa lugha nyingi. Ingawa lugha rasmi ya taifa ni Kiingereza, lugha za Kiafrika kama Oshiwambo, Nama, Herero, Damara, na Kwangali hutumika sana katika maisha ya kila siku. Lugha ya Kijerumani bado inazungumzwa na baadhi ya jamii, hasa zile zenye asili ya Ulaya. Ushirikiano wa lugha hizi huimarisha mawasiliano, lakini pia huhifadhi utambulisho wa kila jamii kwa kipekee<ref>Namibia Statistics Agency (NSA). ''Namibia 2021 Population and Housing Census'', Preliminary Report.</ref>. [[Sanaa]] na [[muziki]] wa Namibia ni kiini cha maadhimisho na utambulisho wa kijamii. Muziki wa kitamaduni hutumika kuadhimisha maisha ya kila siku kama vile kuzaliwa, harusi, kuvuna, na ibada. Vyombo vya muziki vya kienyeji kama ngoma, vinubi, na filimbi huchangia sauti za kipekee zinazoakisi mazingira ya jangwani na savanna. Wasanii wa kisasa nao wamejitokeza, wakichanganya ala za jadi na mitindo ya kisasa kama hip hop, kwaito, na Afrobeat. Tamasha kama "Windhoek Jazz Festival" na "Namibia Annual Music Awards" ni mifano ya jukwaa linalojenga sanaa ya kisasa kwa kushirikiana na asili ya jadi. Mila na desturi ni kiini cha maisha ya Wanamibia wengi. Mila za urithi, heshima kwa wazee, uongozi wa koo, na ushirikiano wa kijamii huonyeshwa wazi katika maisha ya kila siku. Shughuli kama harusi, tohara, na ibada za kifamilia zinafuata taratibu maalum za kabila husika. Katika baadhi ya jamii, urithi hupitishwa kwa njia ya ukoo wa mama, ilhali nyingine hupitisha ukoo wa baba. Japo maisha mijini yamebadilika, mila hizo bado zinaheshimiwa kwa kiwango kikubwa hasa vijijini.<ref>Wallace, Marion and Kinahan, John. ''A History of Namibia: From the Beginning to 1990''. Oxford University Press, 2011.</ref> Vyombo vya habari na filamu pia vina nafasi katika kutangaza utamaduni wa Namibia. Filamu kama ''The White Line'' na ''Katutura'' zimeangazia masuala ya kijamii, [[ubaguzi wa rangi]], na maisha ya kila siku nchini humo. Serikali na taasisi binafsi zimekuwa zikiunga mkono jitihada za kuhifadhi historia na utamaduni kwa kuanzisha makumbusho, maonyesho ya sanaa, na machapisho ya lugha za jadi. Makumbusho ya Taifa ya Namibia<ref>Namibia Ministry of Education, Arts and Culture. ''National Policy on Arts and Culture'', 2014.</ref> ni mfano mzuri wa juhudi hizo, likiwa na nyaraka, picha, na masalia ya kihistoria yanayoelezea maisha ya Wanaibibia kwa karne nyingi. Dini nayo ni sehemu ya utamaduni, ambapo [[Ukristo|Wakristo]] wanawakilisha kundi kubwa, huku waliobaki wakifuata dini za [[jadi]] na [[Uislamu]]. Kanisa la Kiinjili la Lutheran, ambalo lililetwa na wamishenari wa Kijerumani, ndilo linaloongoza kwa idadi ya waumini. Makanisa mengine kama [[Katoliki]], [[Waanglikana|Anglikana]] na madhehebu ya kipentekoste pia yameenea kote nchini. Utamaduni wa Namibia ni mseto wa asili na historia, unaojengwa katika msingi wa heshima, mila, usanii, na maendeleo. Juhudi za kijamii, kielimu na kisiasa zimeimarisha maelewano ya makabila tofauti, huku taifa likiendelea kulinda urithi wake na kusonga mbele kwa mshikamano. Leo hii, Namibia ni mfano wa taifa lenye utajiri wa kiutamaduni unaosherehekewa ndani na nje ya mipaka yake<ref>Malan, Johann S. ''Peoples of Namibia''. Rhino Publishers, 1995.</ref>. == Marejeo == <references /> 2p31titg21l7wkveff1ttvx43h24o66 1437115 1437099 2025-07-12T09:25:03Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa BAN-ana 1437115 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Namibia.svg|thumb|Bendera ya Namibia]] '''Utamaduni wa [[Namibia]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, unaochangiwa na historia ndefu ya kiasili, athari za ukoloni wa [[Ujerumani]] na Afrika Kusini, pamoja na mchango wa makabila zaidi ya 13 yanayoishi ndani ya mipaka ya nchi hiyo<ref>Tonchi, Victor L., Lindeke, William A., and Grotpeter, John J. ''Historical Dictionary of Namibia''. Scarecrow Press, 2012.</ref>. Kwa kuzingatia tofauti hizi za kijamii na kijiografia, [[Namibia]] imejengeka kuwa jamii ya watu waliounganishwa na [[uzalendo]], [[sanaa]], [[lugha]], na [[mila]] zilizohifadhiwa kwa [[karne]] nyingi, huku wakikumbatia pia usasa.<mapframe latitude="-23.322080" longitude="15.380859" zoom="4" text="Ramani na Mipaka ya Namibia" width="200" height="163" />Asili ya utamaduni wa Namibia huanzia kwa makabila ya kale kama Wakoisan (Bushmen), ambao ni mojawapo ya jamii kongwe kabisa barani Afrika. Wakoisan walijulikana kwa maisha yao ya [[uwindaji]] na ukusanyaji, wakitumia [[lugha]] ya milio na mbinu za kipekee za kuishi jangwani. Makabila mengine maarufu ni pamoja na Waowambo ambao ni kundi kubwa zaidi nchini, pamoja na Wakarakal, Waherero, Wahimba, Wadamara, Wasan, na Wanaama. Kila kabila lina desturi zake, lugha yake ya asili, mitindo ya mavazi, na namna tofauti ya kuonesha sanaa ya maisha. Namibia inajivunia urithi wa lugha nyingi. Ingawa lugha rasmi ya taifa ni Kiingereza, lugha za Kiafrika kama Oshiwambo, Nama, Herero, Damara, na Kwangali hutumika sana katika maisha ya kila siku. Lugha ya Kijerumani bado inazungumzwa na baadhi ya jamii, hasa zile zenye asili ya Ulaya. Ushirikiano wa lugha hizi huimarisha mawasiliano, lakini pia huhifadhi utambulisho wa kila jamii kwa kipekee<ref>Namibia Statistics Agency (NSA). ''Namibia 2021 Population and Housing Census'', Preliminary Report.</ref>. [[Sanaa]] na [[muziki]] wa Namibia ni kiini cha maadhimisho na utambulisho wa kijamii. Muziki wa kitamaduni hutumika kuadhimisha maisha ya kila siku kama vile kuzaliwa, harusi, kuvuna, na ibada. Vyombo vya muziki vya kienyeji kama ngoma, vinubi, na filimbi huchangia sauti za kipekee zinazoakisi mazingira ya jangwani na savanna. Wasanii wa kisasa nao wamejitokeza, wakichanganya ala za jadi na mitindo ya kisasa kama hip hop, kwaito, na Afrobeat. Tamasha kama "Windhoek Jazz Festival" na "Namibia Annual Music Awards" ni mifano ya jukwaa linalojenga sanaa ya kisasa kwa kushirikiana na asili ya jadi. Mila na desturi ni kiini cha maisha ya Wanamibia wengi. Mila za urithi, heshima kwa wazee, uongozi wa koo, na ushirikiano wa kijamii huonyeshwa wazi katika maisha ya kila siku. Shughuli kama harusi, tohara, na ibada za kifamilia zinafuata taratibu maalum za kabila husika. Katika baadhi ya jamii, urithi hupitishwa kwa njia ya ukoo wa mama, ilhali nyingine hupitisha ukoo wa baba. Japo maisha mijini yamebadilika, mila hizo bado zinaheshimiwa kwa kiwango kikubwa hasa vijijini.<ref>Wallace, Marion and Kinahan, John. ''A History of Namibia: From the Beginning to 1990''. Oxford University Press, 2011.</ref> Vyombo vya habari na filamu pia vina nafasi katika kutangaza utamaduni wa Namibia. Filamu kama ''The White Line'' na ''Katutura'' zimeangazia masuala ya kijamii, [[ubaguzi wa rangi]], na maisha ya kila siku nchini humo. Serikali na taasisi binafsi zimekuwa zikiunga mkono jitihada za kuhifadhi historia na utamaduni kwa kuanzisha makumbusho, maonyesho ya sanaa, na machapisho ya lugha za jadi. Makumbusho ya Taifa ya Namibia<ref>Namibia Ministry of Education, Arts and Culture. ''National Policy on Arts and Culture'', 2014.</ref> ni mfano mzuri wa juhudi hizo, likiwa na nyaraka, picha, na masalia ya kihistoria yanayoelezea maisha ya Wanaibibia kwa karne nyingi. Dini nayo ni sehemu ya utamaduni, ambapo [[Ukristo|Wakristo]] wanawakilisha kundi kubwa, huku waliobaki wakifuata dini za [[jadi]] na [[Uislamu]]. Kanisa la Kiinjili la Lutheran, ambalo lililetwa na wamishenari wa Kijerumani, ndilo linaloongoza kwa idadi ya waumini. Makanisa mengine kama [[Katoliki]], [[Waanglikana|Anglikana]] na madhehebu ya kipentekoste pia yameenea kote nchini. Utamaduni wa Namibia ni mseto wa asili na historia, unaojengwa katika msingi wa heshima, mila, usanii, na maendeleo. Juhudi za kijamii, kielimu na kisiasa zimeimarisha maelewano ya makabila tofauti, huku taifa likiendelea kulinda urithi wake na kusonga mbele kwa mshikamano. Leo hii, Namibia ni mfano wa taifa lenye utajiri wa kiutamaduni unaosherehekewa ndani na nje ya mipaka yake<ref>Malan, Johann S. ''Peoples of Namibia''. Rhino Publishers, 1995.</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} lcjxros686i80ac899zy7u180pueblg 1437197 1437115 2025-07-12T10:34:01Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437099 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Namibia.svg|thumb|Bendera ya Namibia]] '''Utamaduni wa [[Namibia]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, unaochangiwa na historia ndefu ya kiasili, athari za ukoloni wa [[Ujerumani]] na Afrika Kusini, pamoja na mchango wa makabila zaidi ya 13 yanayoishi ndani ya mipaka ya nchi hiyo<ref>Tonchi, Victor L., Lindeke, William A., and Grotpeter, John J. ''Historical Dictionary of Namibia''. Scarecrow Press, 2012.</ref>. Kwa kuzingatia tofauti hizi za kijamii na kijiografia, [[Namibia]] imejengeka kuwa jamii ya watu waliounganishwa na [[uzalendo]], [[sanaa]], [[lugha]], na [[mila]] zilizohifadhiwa kwa [[karne]] nyingi, huku wakikumbatia pia usasa.<mapframe latitude="-23.322080" longitude="15.380859" zoom="4" text="Ramani na Mipaka ya Namibia" width="200" height="163" />Asili ya utamaduni wa Namibia huanzia kwa makabila ya kale kama Wakoisan (Bushmen), ambao ni mojawapo ya jamii kongwe kabisa barani Afrika. Wakoisan walijulikana kwa maisha yao ya [[uwindaji]] na ukusanyaji, wakitumia [[lugha]] ya milio na mbinu za kipekee za kuishi jangwani. Makabila mengine maarufu ni pamoja na Waowambo ambao ni kundi kubwa zaidi nchini, pamoja na Wakarakal, Waherero, Wahimba, Wadamara, Wasan, na Wanaama. Kila kabila lina desturi zake, lugha yake ya asili, mitindo ya mavazi, na namna tofauti ya kuonesha sanaa ya maisha. Namibia inajivunia urithi wa lugha nyingi. Ingawa lugha rasmi ya taifa ni Kiingereza, lugha za Kiafrika kama Oshiwambo, Nama, Herero, Damara, na Kwangali hutumika sana katika maisha ya kila siku. Lugha ya Kijerumani bado inazungumzwa na baadhi ya jamii, hasa zile zenye asili ya Ulaya. Ushirikiano wa lugha hizi huimarisha mawasiliano, lakini pia huhifadhi utambulisho wa kila jamii kwa kipekee<ref>Namibia Statistics Agency (NSA). ''Namibia 2021 Population and Housing Census'', Preliminary Report.</ref>. [[Sanaa]] na [[muziki]] wa Namibia ni kiini cha maadhimisho na utambulisho wa kijamii. Muziki wa kitamaduni hutumika kuadhimisha maisha ya kila siku kama vile kuzaliwa, harusi, kuvuna, na ibada. Vyombo vya muziki vya kienyeji kama ngoma, vinubi, na filimbi huchangia sauti za kipekee zinazoakisi mazingira ya jangwani na savanna. Wasanii wa kisasa nao wamejitokeza, wakichanganya ala za jadi na mitindo ya kisasa kama hip hop, kwaito, na Afrobeat. Tamasha kama "Windhoek Jazz Festival" na "Namibia Annual Music Awards" ni mifano ya jukwaa linalojenga sanaa ya kisasa kwa kushirikiana na asili ya jadi. Mila na desturi ni kiini cha maisha ya Wanamibia wengi. Mila za urithi, heshima kwa wazee, uongozi wa koo, na ushirikiano wa kijamii huonyeshwa wazi katika maisha ya kila siku. Shughuli kama harusi, tohara, na ibada za kifamilia zinafuata taratibu maalum za kabila husika. Katika baadhi ya jamii, urithi hupitishwa kwa njia ya ukoo wa mama, ilhali nyingine hupitisha ukoo wa baba. Japo maisha mijini yamebadilika, mila hizo bado zinaheshimiwa kwa kiwango kikubwa hasa vijijini.<ref>Wallace, Marion and Kinahan, John. ''A History of Namibia: From the Beginning to 1990''. Oxford University Press, 2011.</ref> Vyombo vya habari na filamu pia vina nafasi katika kutangaza utamaduni wa Namibia. Filamu kama ''The White Line'' na ''Katutura'' zimeangazia masuala ya kijamii, [[ubaguzi wa rangi]], na maisha ya kila siku nchini humo. Serikali na taasisi binafsi zimekuwa zikiunga mkono jitihada za kuhifadhi historia na utamaduni kwa kuanzisha makumbusho, maonyesho ya sanaa, na machapisho ya lugha za jadi. Makumbusho ya Taifa ya Namibia<ref>Namibia Ministry of Education, Arts and Culture. ''National Policy on Arts and Culture'', 2014.</ref> ni mfano mzuri wa juhudi hizo, likiwa na nyaraka, picha, na masalia ya kihistoria yanayoelezea maisha ya Wanaibibia kwa karne nyingi. Dini nayo ni sehemu ya utamaduni, ambapo [[Ukristo|Wakristo]] wanawakilisha kundi kubwa, huku waliobaki wakifuata dini za [[jadi]] na [[Uislamu]]. Kanisa la Kiinjili la Lutheran, ambalo lililetwa na wamishenari wa Kijerumani, ndilo linaloongoza kwa idadi ya waumini. Makanisa mengine kama [[Katoliki]], [[Waanglikana|Anglikana]] na madhehebu ya kipentekoste pia yameenea kote nchini. Utamaduni wa Namibia ni mseto wa asili na historia, unaojengwa katika msingi wa heshima, mila, usanii, na maendeleo. Juhudi za kijamii, kielimu na kisiasa zimeimarisha maelewano ya makabila tofauti, huku taifa likiendelea kulinda urithi wake na kusonga mbele kwa mshikamano. Leo hii, Namibia ni mfano wa taifa lenye utajiri wa kiutamaduni unaosherehekewa ndani na nje ya mipaka yake<ref>Malan, Johann S. ''Peoples of Namibia''. Rhino Publishers, 1995.</ref>. == Marejeo == <references /> 2p31titg21l7wkveff1ttvx43h24o66 1437265 1437197 2025-07-12T11:52:48Z ~2025-17972-2 80083 anchor 1437265 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Namibia.svg|thumb|Bendera ya Namibia]] '''Utamaduni wa [[Namibia]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, unaochangiwa na historia ndefu ya kiasili, athari za ukoloni wa [[Ujerumani]] na Afrika Kusini, pamoja na mchango wa makabila zaidi ya 13 yanayoishi ndani ya mipaka ya nchi hiyo<ref>Tonchi, Victor L., Lindeke, William A., and Grotpeter, John J. ''Historical Dictionary of Namibia''. Scarecrow Press, 2012.</ref>. Kwa kuzingatia tofauti hizi za kijamii na kijiografia, [[Namibia]] imejengeka kuwa jamii ya watu waliounganishwa na [[uzalendo]], [[sanaa]], [[lugha]], na [[mila]] zilizohifadhiwa kwa [[karne]] nyingi, huku wakikumbatia pia usasa.<mapframe latitude="-23.322080" longitude="15.380859" zoom="4" text="Ramani na Mipaka ya Namibia" width="200" height="163" />Asili ya utamaduni wa Namibia huanzia kwa makabila ya kale kama Wakoisan (Bushmen), ambao ni mojawapo ya jamii kongwe kabisa barani Afrika. Wakoisan walijulikana kwa maisha yao ya [[uwindaji]] na ukusanyaji, wakitumia [[lugha]] ya milio na mbinu za kipekee za kuishi jangwani. Makabila mengine maarufu ni pamoja na Waowambo ambao ni kundi kubwa zaidi nchini, pamoja na Wakarakal, Waherero, Wahimba, Wadamara, Wasan, na Wanaama. Kila kabila lina desturi zake, lugha yake ya asili, mitindo ya mavazi, na namna tofauti ya kuonesha sanaa ya maisha. Namibia inajivunia urithi wa lugha nyingi. Ingawa lugha rasmi ya taifa ni Kiingereza, lugha za Kiafrika kama Oshiwambo, Nama, Herero, Damara, na Kwangali hutumika sana katika maisha ya kila siku. Lugha ya Kijerumani bado inazungumzwa na baadhi ya jamii, hasa zile zenye asili ya Ulaya. Ushirikiano wa lugha hizi huimarisha mawasiliano, lakini pia huhifadhi utambulisho wa kila jamii kwa kipekee<ref>Namibia Statistics Agency (NSA). ''Namibia 2021 Population and Housing Census'', Preliminary Report.</ref>. [[Sanaa]] na [[muziki]] wa Namibia ni kiini cha maadhimisho na utambulisho wa kijamii. Muziki wa kitamaduni hutumika kuadhimisha maisha ya kila siku kama vile kuzaliwa, harusi, kuvuna, na ibada. Vyombo vya muziki vya kienyeji kama ngoma, vinubi, na filimbi huchangia sauti za kipekee zinazoakisi mazingira ya jangwani na savanna. Wasanii wa kisasa nao wamejitokeza, wakichanganya ala za jadi na mitindo ya kisasa kama hip hop, kwaito, na Afrobeat. Tamasha kama "Windhoek Jazz Festival" na "Namibia Annual Music Awards" ni mifano ya jukwaa linalojenga sanaa ya kisasa kwa kushirikiana na asili ya jadi. Mila na desturi ni kiini cha maisha ya Wanamibia wengi. Mila za urithi, heshima kwa wazee, uongozi wa koo, na ushirikiano wa kijamii huonyeshwa wazi katika maisha ya kila siku. Shughuli kama harusi, tohara, na ibada za kifamilia zinafuata taratibu maalum za kabila husika. Katika baadhi ya jamii, urithi hupitishwa kwa njia ya ukoo wa mama, ilhali nyingine hupitisha ukoo wa baba. Japo maisha mijini yamebadilika, mila hizo bado zinaheshimiwa kwa kiwango kikubwa hasa vijijini.<ref>Wallace, Marion and Kinahan, John. ''A History of Namibia: From the Beginning to 1990''. Oxford University Press, 2011.</ref> Vyombo vya habari na filamu pia vina nafasi katika kutangaza utamaduni wa Namibia. Filamu kama ''The White Line'' na ''Katutura'' zimeangazia masuala ya kijamii, [[ubaguzi wa rangi]], na maisha ya kila siku nchini humo. Serikali na taasisi binafsi zimekuwa zikiunga mkono jitihada za kuhifadhi historia na utamaduni kwa kuanzisha makumbusho, maonyesho ya sanaa, na machapisho ya lugha za jadi. Makumbusho ya Taifa ya Namibia<ref>Namibia Ministry of Education, Arts and Culture. ''National Policy on Arts and Culture'', 2014.</ref> ni mfano mzuri wa juhudi hizo, likiwa na nyaraka, picha, na masalia ya kihistoria yanayoelezea maisha ya Wanaibibia kwa karne nyingi. Dini nayo ni sehemu ya utamaduni, ambapo [[Ukristo|Wakristo]] wanawakilisha kundi kubwa, huku waliobaki wakifuata dini za [[jadi]] na [[Uislamu]]. Kanisa la Kiinjili la Lutheran, ambalo lililetwa na wamishenari wa Kijerumani, ndilo linaloongoza kwa idadi ya waumini. Makanisa mengine kama [[Katoliki]], [[Waanglikana|Anglikana]] na madhehebu ya kipentekoste pia yameenea kote nchini. Utamaduni wa Namibia ni mseto wa asili na historia, unaojengwa katika msingi wa heshima, mila, usanii, na maendeleo. Juhudi za kijamii, kielimu na kisiasa zimeimarisha maelewano ya makabila tofauti, huku taifa likiendelea kulinda urithi wake na kusonga mbele kwa mshikamano. Leo hii, Namibia ni mfano wa taifa lenye utajiri wa kiutamaduni unaosherehekewa ndani na nje ya mipaka yake<ref>Malan, Johann S. ''Peoples of Namibia''. Rhino Publishers, 1995.</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} 3fb8yc4dzmyy1ojxv2ag0rcv5ut1zci 1437272 1437265 2025-07-12T11:55:52Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437272 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Namibia.svg|thumb|Bendera ya Namibia.]] '''Utamaduni wa [[Namibia]]''' ni wa kipekee na wa kuvutia, unaochangiwa na historia ndefu ya kiasili, athari za ukoloni wa [[Ujerumani]] na Afrika Kusini, pamoja na mchango wa makabila zaidi ya 13 yanayoishi ndani ya mipaka ya nchi hiyo<ref>Tonchi, Victor L., Lindeke, William A., and Grotpeter, John J. ''Historical Dictionary of Namibia''. Scarecrow Press, 2012.</ref>. Kwa kuzingatia tofauti hizi za kijamii na kijiografia, [[Namibia]] imejengeka kuwa jamii ya watu waliounganishwa na [[uzalendo]], [[sanaa]], [[lugha]], na [[mila]] zilizohifadhiwa kwa [[karne]] nyingi, huku wakikumbatia pia usasa.<mapframe latitude="-23.322080" longitude="15.380859" zoom="4" text="Ramani na Mipaka ya Namibia" width="200" height="163" />Asili ya utamaduni wa Namibia huanzia kwa makabila ya kale kama Wakoisan (Bushmen), ambao ni mojawapo ya jamii kongwe kabisa barani Afrika. Wakoisan walijulikana kwa maisha yao ya [[uwindaji]] na ukusanyaji, wakitumia [[lugha]] ya milio na mbinu za kipekee za kuishi jangwani. Makabila mengine maarufu ni pamoja na Waowambo ambao ni kundi kubwa zaidi nchini, pamoja na Wakarakal, Waherero, Wahimba, Wadamara, Wasan, na Wanaama. Kila kabila lina desturi zake, lugha yake ya asili, mitindo ya mavazi, na namna tofauti ya kuonesha sanaa ya maisha. Namibia inajivunia urithi wa lugha nyingi. Ingawa lugha rasmi ya taifa ni Kiingereza, lugha za Kiafrika kama Oshiwambo, Nama, Herero, Damara, na Kwangali hutumika sana katika maisha ya kila siku. Lugha ya Kijerumani bado inazungumzwa na baadhi ya jamii, hasa zile zenye asili ya Ulaya. Ushirikiano wa lugha hizi huimarisha mawasiliano, lakini pia huhifadhi utambulisho wa kila jamii kwa kipekee<ref>Namibia Statistics Agency (NSA). ''Namibia 2021 Population and Housing Census'', Preliminary Report.</ref>. [[Sanaa]] na [[muziki]] wa Namibia ni kiini cha maadhimisho na utambulisho wa kijamii. Muziki wa kitamaduni hutumika kuadhimisha maisha ya kila siku kama vile kuzaliwa, harusi, kuvuna, na ibada. Vyombo vya muziki vya kienyeji kama ngoma, vinubi, na filimbi huchangia sauti za kipekee zinazoakisi mazingira ya jangwani na savanna. Wasanii wa kisasa nao wamejitokeza, wakichanganya ala za jadi na mitindo ya kisasa kama hip hop, kwaito, na Afrobeat. Tamasha kama "Windhoek Jazz Festival" na "Namibia Annual Music Awards" ni mifano ya jukwaa linalojenga sanaa ya kisasa kwa kushirikiana na asili ya jadi. Mila na desturi ni kiini cha maisha ya Wanamibia wengi. Mila za urithi, heshima kwa wazee, uongozi wa koo, na ushirikiano wa kijamii huonyeshwa wazi katika maisha ya kila siku. Shughuli kama harusi, tohara, na ibada za kifamilia zinafuata taratibu maalum za kabila husika. Katika baadhi ya jamii, urithi hupitishwa kwa njia ya ukoo wa mama, ilhali nyingine hupitisha ukoo wa baba. Japo maisha mijini yamebadilika, mila hizo bado zinaheshimiwa kwa kiwango kikubwa hasa vijijini.<ref>Wallace, Marion and Kinahan, John. ''A History of Namibia: From the Beginning to 1990''. Oxford University Press, 2011.</ref> Vyombo vya habari na filamu pia vina nafasi katika kutangaza utamaduni wa Namibia. Filamu kama ''The White Line'' na ''Katutura'' zimeangazia masuala ya kijamii, [[ubaguzi wa rangi]], na maisha ya kila siku nchini humo. Serikali na taasisi binafsi zimekuwa zikiunga mkono jitihada za kuhifadhi historia na utamaduni kwa kuanzisha makumbusho, maonyesho ya sanaa, na machapisho ya lugha za jadi. Makumbusho ya Taifa ya Namibia<ref>Namibia Ministry of Education, Arts and Culture. ''National Policy on Arts and Culture'', 2014.</ref> ni mfano mzuri wa juhudi hizo, likiwa na nyaraka, picha, na masalia ya kihistoria yanayoelezea maisha ya Wanaibibia kwa karne nyingi. Dini nayo ni sehemu ya utamaduni, ambapo [[Ukristo|Wakristo]] wanawakilisha kundi kubwa, huku waliobaki wakifuata dini za [[jadi]] na [[Uislamu]]. Kanisa la Kiinjili la Lutheran, ambalo lililetwa na wamishenari wa Kijerumani, ndilo linaloongoza kwa idadi ya waumini. Makanisa mengine kama [[Katoliki]], [[Waanglikana|Anglikana]] na madhehebu ya kipentekoste pia yameenea kote nchini. Utamaduni wa Namibia ni mseto wa asili na historia, unaojengwa katika msingi wa heshima, mila, usanii, na maendeleo. Juhudi za kijamii, kielimu na kisiasa zimeimarisha maelewano ya makabila tofauti, huku taifa likiendelea kulinda urithi wake na kusonga mbele kwa mshikamano. Leo hii, Namibia ni mfano wa taifa lenye utajiri wa kiutamaduni unaosherehekewa ndani na nje ya mipaka yake<ref>Malan, Johann S. ''Peoples of Namibia''. Rhino Publishers, 1995.</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} 9a3thq7iz1tped15gumkqjmk2bkq3jr Utamaduni wa Msumbiji 0 208905 1437101 2025-07-12T08:49:01Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa Msumbiji 1437101 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Mozambique.svg|thumb|Bendera ya Msumbiji]] '''Utamaduni wa [[Msumbiji]]''' umejengwa katika msingi wa mchanganyiko wa tamaduni mbalimbali, unaochochewa na historia ndefu ya mwingiliano kati ya watu wa [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Waarabu]], na [[Ureno|Wareno]]. Utofauti huu wa kihistoria umezaa jamii yenye [[mila]], [[desturi]], na [[sanaa]] za kipekee zinazodhihirika katika [[lugha]], [[dini]], [[muziki]], mavazi, [[fasihi]] na maisha ya kila siku ya wananchi wa taifa hili la Kusini mwa Afrika<ref>Newitt, Malyn. ''A History of Mozambique''. Indiana University Press, 1995.</ref>. Kwa upande wa lugha, [[Kiswahili]] huzungumzwa hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi, lakini lugha rasmi ya taifa ni [[Kireno]], urithi wa kipindi cha [[ukoloni]] wa Kireno kilichodumu kwa zaidi ya karne nne. Hata hivyo, zaidi ya lugha hamsini za asili huzungumzwa nchini, zikiwemo Kimakhuwa, Kimakonde, Sena, Tsonga na Chichewa, jambo linaloonesha utofauti mkubwa wa kikabila na kijamii. Lugha hizi hutumika zaidi katika mawasiliano ya kila siku ndani ya jamii na katika shughuli za kiutamaduni, huku Kireno kikihusishwa zaidi na elimu, serikali, na vyombo vya habari. Dini nchini Msumbiji ina athari kubwa kwa maisha ya watu na ni sehemu ya utamaduni wa kila siku. Ukristo ndio dini inayofuatwa na watu wengi, hasa [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], lakini pia kuna idadi kubwa ya [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya kaskazini yenye historia ndefu ya biashara ya Pwani ya Kiswahili. Sambamba na dini hizi kuu, baadhi ya wananchi wanaendelea kuabudu kwa kufuata imani za jadi za Kiafrika, zinazojumuisha heshima kwa mizimu, ibada za asili na imani juu ya nguvu za kiroho katika maisha ya jamii. Dini na imani hizi huonekana katika sherehe, nyimbo, na tambiko mbalimbali zinazofanyika vijijini na mijini. Sanaa na muziki ni nguzo kuu ya utamaduni wa Msumbiji. Muziki wa jadi unaojumuisha ala kama vile ngoma, marimba, na lupembe, huambatana na ngoma za kitamaduni ambazo hutumika katika sherehe, matambiko na hafla za kijamii. Miondoko ya kisasa kama marrabenta, chimurenga na kizomba imekuwa maarufu sana hasa katika miji kama Maputo na Beira. Muziki huu huonyesha muunganiko wa tamaduni za asili na ushawishi wa Kireno pamoja na sauti za kisasa kutoka sehemu nyingine za Afrika na dunia. Wasanii wa Msumbiji wamechangia pakubwa katika kutangaza utamaduni wa taifa lao kimataifa, wakitumia nyimbo, maigizo na filamu kuelezea maisha ya kawaida, historia na ndoto za wananchi wao<ref>Lubkemann, Stephen. ''Culture in Chaos: An Anthropology of the Social Condition in War''. University of Chicago Press, 2008.</ref>. [[Faili:Mozambique - traditional sailboat.jpg|thumb|Shughuli za kila siku za [[uvuvi]] zikiendelea]] Maisha ya kijamii na familia huchukua nafasi muhimu sana katika utamaduni wa Msumbiji. Familia ni msingi wa mshikamano na heshima, ambapo jamii ya jadi hutegemea malezi ya kijamaa na kushirikiana katika shughuli za kila siku kama [[kilimo]], [[uvuvi]], na [[ufundi]]. Katika maeneo mengi, wazee huheshimiwa kama walinzi wa mila na wahifadhi wa hekima ya jamii, na ushauri wao huzingatiwa katika maamuzi muhimu ya kifamilia au kijiji. Sherehe za kijadi, sikukuu za kitaifa, na tamasha mbalimbali hutoa nafasi ya kuonesha utamaduni wa Msumbiji hadharani. Sikukuu kama '''Siku ya Uhuru''' (25 Juni), tamasha za mavuno, na matukio ya dini huambatana na ngoma, nyimbo na mavazi ya kitamaduni. Tamasha kubwa la utamaduni<ref name=":0">Republic of Mozambique, Ministry of Culture and Tourism. “National Cultural Policy”, 2015.</ref> lijulikanalo kama “Festival Marrabenta” huandaliwa kila mwaka mjini Maputo, likiwakusanya wasanii wa ndani na wageni kutoka nchi nyingine. Ingawa Msumbiji imepitia changamoto nyingi za kisiasa na kiuchumi, watu wake wameendelea kulinda utambulisho wao wa kiutamaduni. Serikali ya Msumbiji kupitia taasisi zake za kitamaduni imekuwa ikijitahidi kuhifadhi na kukuza urithi huu kwa kuwezesha shughuli za sanaa, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuhifadhi lugha na mila asilia kupitia mitaala ya shule na miradi ya kijamii<ref>Chissano, Joaquim. “Culture and Identity in Mozambique.” ''Journal of African Cultural Studies'', vol. 10, no. 1, 2000, pp. 15–27.</ref>. Mabadiliko ya dunia ya kisasa, urbaniseni na teknolojia yameleta changamoto na fursa mpya kwa utamaduni wa Msumbiji, ambapo vijana wanachanganya mitindo ya kisasa na ya jadi katika kuelezea utambulisho wao wa kitaifa<ref name=":0" />. Kwa ujumla, utamaduni wa Msumbiji ni wa kina, unaovutia, na unaoonyesha urithi wa kihistoria wa taifa ambalo limeweza kuhimili mabadiliko ya muda mrefu bila kupoteza kiini chake. Ni utamaduni unaojivunia maadili ya kijamaa, sanaa ya hali ya juu, mila imara, na utajiri wa lugha ambao unahifadhi hadithi ya watu wa Msumbiji – jana, leo, na kesho<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Mozambique.” <nowiki>https://ich.unesco.org/</nowiki></ref>. == Marejeo == <references /> n5mbv4lhfpas0j2sadipibhmny91m0r 1437116 1437101 2025-07-12T09:25:20Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa BAN-ana 1437116 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Mozambique.svg|thumb|Bendera ya Msumbiji]] '''Utamaduni wa [[Msumbiji]]''' umejengwa katika msingi wa mchanganyiko wa tamaduni mbalimbali, unaochochewa na historia ndefu ya mwingiliano kati ya watu wa [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Waarabu]], na [[Ureno|Wareno]]. Utofauti huu wa kihistoria umezaa jamii yenye [[mila]], [[desturi]], na [[sanaa]] za kipekee zinazodhihirika katika [[lugha]], [[dini]], [[muziki]], mavazi, [[fasihi]] na maisha ya kila siku ya wananchi wa taifa hili la Kusini mwa Afrika<ref>Newitt, Malyn. ''A History of Mozambique''. Indiana University Press, 1995.</ref>. Kwa upande wa lugha, [[Kiswahili]] huzungumzwa hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi, lakini lugha rasmi ya taifa ni [[Kireno]], urithi wa kipindi cha [[ukoloni]] wa Kireno kilichodumu kwa zaidi ya karne nne. Hata hivyo, zaidi ya lugha hamsini za asili huzungumzwa nchini, zikiwemo Kimakhuwa, Kimakonde, Sena, Tsonga na Chichewa, jambo linaloonesha utofauti mkubwa wa kikabila na kijamii. Lugha hizi hutumika zaidi katika mawasiliano ya kila siku ndani ya jamii na katika shughuli za kiutamaduni, huku Kireno kikihusishwa zaidi na elimu, serikali, na vyombo vya habari. Dini nchini Msumbiji ina athari kubwa kwa maisha ya watu na ni sehemu ya utamaduni wa kila siku. Ukristo ndio dini inayofuatwa na watu wengi, hasa [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], lakini pia kuna idadi kubwa ya [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya kaskazini yenye historia ndefu ya biashara ya Pwani ya Kiswahili. Sambamba na dini hizi kuu, baadhi ya wananchi wanaendelea kuabudu kwa kufuata imani za jadi za Kiafrika, zinazojumuisha heshima kwa mizimu, ibada za asili na imani juu ya nguvu za kiroho katika maisha ya jamii. Dini na imani hizi huonekana katika sherehe, nyimbo, na tambiko mbalimbali zinazofanyika vijijini na mijini. Sanaa na muziki ni nguzo kuu ya utamaduni wa Msumbiji. Muziki wa jadi unaojumuisha ala kama vile ngoma, marimba, na lupembe, huambatana na ngoma za kitamaduni ambazo hutumika katika sherehe, matambiko na hafla za kijamii. Miondoko ya kisasa kama marrabenta, chimurenga na kizomba imekuwa maarufu sana hasa katika miji kama Maputo na Beira. Muziki huu huonyesha muunganiko wa tamaduni za asili na ushawishi wa Kireno pamoja na sauti za kisasa kutoka sehemu nyingine za Afrika na dunia. Wasanii wa Msumbiji wamechangia pakubwa katika kutangaza utamaduni wa taifa lao kimataifa, wakitumia nyimbo, maigizo na filamu kuelezea maisha ya kawaida, historia na ndoto za wananchi wao<ref>Lubkemann, Stephen. ''Culture in Chaos: An Anthropology of the Social Condition in War''. University of Chicago Press, 2008.</ref>. [[Faili:Mozambique - traditional sailboat.jpg|thumb|Shughuli za kila siku za [[uvuvi]] zikiendelea]] Maisha ya kijamii na familia huchukua nafasi muhimu sana katika utamaduni wa Msumbiji. Familia ni msingi wa mshikamano na heshima, ambapo jamii ya jadi hutegemea malezi ya kijamaa na kushirikiana katika shughuli za kila siku kama [[kilimo]], [[uvuvi]], na [[ufundi]]. Katika maeneo mengi, wazee huheshimiwa kama walinzi wa mila na wahifadhi wa hekima ya jamii, na ushauri wao huzingatiwa katika maamuzi muhimu ya kifamilia au kijiji. Sherehe za kijadi, sikukuu za kitaifa, na tamasha mbalimbali hutoa nafasi ya kuonesha utamaduni wa Msumbiji hadharani. Sikukuu kama '''Siku ya Uhuru''' (25 Juni), tamasha za mavuno, na matukio ya dini huambatana na ngoma, nyimbo na mavazi ya kitamaduni. Tamasha kubwa la utamaduni<ref name=":0">Republic of Mozambique, Ministry of Culture and Tourism. “National Cultural Policy”, 2015.</ref> lijulikanalo kama “Festival Marrabenta” huandaliwa kila mwaka mjini Maputo, likiwakusanya wasanii wa ndani na wageni kutoka nchi nyingine. Ingawa Msumbiji imepitia changamoto nyingi za kisiasa na kiuchumi, watu wake wameendelea kulinda utambulisho wao wa kiutamaduni. Serikali ya Msumbiji kupitia taasisi zake za kitamaduni imekuwa ikijitahidi kuhifadhi na kukuza urithi huu kwa kuwezesha shughuli za sanaa, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuhifadhi lugha na mila asilia kupitia mitaala ya shule na miradi ya kijamii<ref>Chissano, Joaquim. “Culture and Identity in Mozambique.” ''Journal of African Cultural Studies'', vol. 10, no. 1, 2000, pp. 15–27.</ref>. Mabadiliko ya dunia ya kisasa, urbaniseni na teknolojia yameleta changamoto na fursa mpya kwa utamaduni wa Msumbiji, ambapo vijana wanachanganya mitindo ya kisasa na ya jadi katika kuelezea utambulisho wao wa kitaifa<ref name=":0" />. Kwa ujumla, utamaduni wa Msumbiji ni wa kina, unaovutia, na unaoonyesha urithi wa kihistoria wa taifa ambalo limeweza kuhimili mabadiliko ya muda mrefu bila kupoteza kiini chake. Ni utamaduni unaojivunia maadili ya kijamaa, sanaa ya hali ya juu, mila imara, na utajiri wa lugha ambao unahifadhi hadithi ya watu wa Msumbiji – jana, leo, na kesho<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Mozambique.” <nowiki>https://ich.unesco.org/</nowiki></ref>. == Marejeo == {{marejeo}} jr15xc3j64axgfgbd4c5bz8si6jewb4 1437196 1437116 2025-07-12T10:34:01Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437101 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Mozambique.svg|thumb|Bendera ya Msumbiji]] '''Utamaduni wa [[Msumbiji]]''' umejengwa katika msingi wa mchanganyiko wa tamaduni mbalimbali, unaochochewa na historia ndefu ya mwingiliano kati ya watu wa [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Waarabu]], na [[Ureno|Wareno]]. Utofauti huu wa kihistoria umezaa jamii yenye [[mila]], [[desturi]], na [[sanaa]] za kipekee zinazodhihirika katika [[lugha]], [[dini]], [[muziki]], mavazi, [[fasihi]] na maisha ya kila siku ya wananchi wa taifa hili la Kusini mwa Afrika<ref>Newitt, Malyn. ''A History of Mozambique''. Indiana University Press, 1995.</ref>. Kwa upande wa lugha, [[Kiswahili]] huzungumzwa hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi, lakini lugha rasmi ya taifa ni [[Kireno]], urithi wa kipindi cha [[ukoloni]] wa Kireno kilichodumu kwa zaidi ya karne nne. Hata hivyo, zaidi ya lugha hamsini za asili huzungumzwa nchini, zikiwemo Kimakhuwa, Kimakonde, Sena, Tsonga na Chichewa, jambo linaloonesha utofauti mkubwa wa kikabila na kijamii. Lugha hizi hutumika zaidi katika mawasiliano ya kila siku ndani ya jamii na katika shughuli za kiutamaduni, huku Kireno kikihusishwa zaidi na elimu, serikali, na vyombo vya habari. Dini nchini Msumbiji ina athari kubwa kwa maisha ya watu na ni sehemu ya utamaduni wa kila siku. Ukristo ndio dini inayofuatwa na watu wengi, hasa [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], lakini pia kuna idadi kubwa ya [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya kaskazini yenye historia ndefu ya biashara ya Pwani ya Kiswahili. Sambamba na dini hizi kuu, baadhi ya wananchi wanaendelea kuabudu kwa kufuata imani za jadi za Kiafrika, zinazojumuisha heshima kwa mizimu, ibada za asili na imani juu ya nguvu za kiroho katika maisha ya jamii. Dini na imani hizi huonekana katika sherehe, nyimbo, na tambiko mbalimbali zinazofanyika vijijini na mijini. Sanaa na muziki ni nguzo kuu ya utamaduni wa Msumbiji. Muziki wa jadi unaojumuisha ala kama vile ngoma, marimba, na lupembe, huambatana na ngoma za kitamaduni ambazo hutumika katika sherehe, matambiko na hafla za kijamii. Miondoko ya kisasa kama marrabenta, chimurenga na kizomba imekuwa maarufu sana hasa katika miji kama Maputo na Beira. Muziki huu huonyesha muunganiko wa tamaduni za asili na ushawishi wa Kireno pamoja na sauti za kisasa kutoka sehemu nyingine za Afrika na dunia. Wasanii wa Msumbiji wamechangia pakubwa katika kutangaza utamaduni wa taifa lao kimataifa, wakitumia nyimbo, maigizo na filamu kuelezea maisha ya kawaida, historia na ndoto za wananchi wao<ref>Lubkemann, Stephen. ''Culture in Chaos: An Anthropology of the Social Condition in War''. University of Chicago Press, 2008.</ref>. [[Faili:Mozambique - traditional sailboat.jpg|thumb|Shughuli za kila siku za [[uvuvi]] zikiendelea]] Maisha ya kijamii na familia huchukua nafasi muhimu sana katika utamaduni wa Msumbiji. Familia ni msingi wa mshikamano na heshima, ambapo jamii ya jadi hutegemea malezi ya kijamaa na kushirikiana katika shughuli za kila siku kama [[kilimo]], [[uvuvi]], na [[ufundi]]. Katika maeneo mengi, wazee huheshimiwa kama walinzi wa mila na wahifadhi wa hekima ya jamii, na ushauri wao huzingatiwa katika maamuzi muhimu ya kifamilia au kijiji. Sherehe za kijadi, sikukuu za kitaifa, na tamasha mbalimbali hutoa nafasi ya kuonesha utamaduni wa Msumbiji hadharani. Sikukuu kama '''Siku ya Uhuru''' (25 Juni), tamasha za mavuno, na matukio ya dini huambatana na ngoma, nyimbo na mavazi ya kitamaduni. Tamasha kubwa la utamaduni<ref name=":0">Republic of Mozambique, Ministry of Culture and Tourism. “National Cultural Policy”, 2015.</ref> lijulikanalo kama “Festival Marrabenta” huandaliwa kila mwaka mjini Maputo, likiwakusanya wasanii wa ndani na wageni kutoka nchi nyingine. Ingawa Msumbiji imepitia changamoto nyingi za kisiasa na kiuchumi, watu wake wameendelea kulinda utambulisho wao wa kiutamaduni. Serikali ya Msumbiji kupitia taasisi zake za kitamaduni imekuwa ikijitahidi kuhifadhi na kukuza urithi huu kwa kuwezesha shughuli za sanaa, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuhifadhi lugha na mila asilia kupitia mitaala ya shule na miradi ya kijamii<ref>Chissano, Joaquim. “Culture and Identity in Mozambique.” ''Journal of African Cultural Studies'', vol. 10, no. 1, 2000, pp. 15–27.</ref>. Mabadiliko ya dunia ya kisasa, urbaniseni na teknolojia yameleta changamoto na fursa mpya kwa utamaduni wa Msumbiji, ambapo vijana wanachanganya mitindo ya kisasa na ya jadi katika kuelezea utambulisho wao wa kitaifa<ref name=":0" />. Kwa ujumla, utamaduni wa Msumbiji ni wa kina, unaovutia, na unaoonyesha urithi wa kihistoria wa taifa ambalo limeweza kuhimili mabadiliko ya muda mrefu bila kupoteza kiini chake. Ni utamaduni unaojivunia maadili ya kijamaa, sanaa ya hali ya juu, mila imara, na utajiri wa lugha ambao unahifadhi hadithi ya watu wa Msumbiji – jana, leo, na kesho<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Mozambique.” <nowiki>https://ich.unesco.org/</nowiki></ref>. == Marejeo == <references /> n5mbv4lhfpas0j2sadipibhmny91m0r 1437262 1437196 2025-07-12T11:51:55Z ~2025-17972-2 80083 anchor 1437262 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Mozambique.svg|thumb|Bendera ya Msumbiji]] '''Utamaduni wa [[Msumbiji]]''' umejengwa katika msingi wa mchanganyiko wa tamaduni mbalimbali, unaochochewa na historia ndefu ya mwingiliano kati ya watu wa [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Waarabu]], na [[Ureno|Wareno]]. Utofauti huu wa kihistoria umezaa jamii yenye [[mila]], [[desturi]], na [[sanaa]] za kipekee zinazodhihirika katika [[lugha]], [[dini]], [[muziki]], mavazi, [[fasihi]] na maisha ya kila siku ya wananchi wa taifa hili la Kusini mwa Afrika<ref>Newitt, Malyn. ''A History of Mozambique''. Indiana University Press, 1995.</ref>. Kwa upande wa lugha, [[Kiswahili]] huzungumzwa hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi, lakini lugha rasmi ya taifa ni [[Kireno]], urithi wa kipindi cha [[ukoloni]] wa Kireno kilichodumu kwa zaidi ya karne nne. Hata hivyo, zaidi ya lugha hamsini za asili huzungumzwa nchini, zikiwemo Kimakhuwa, Kimakonde, Sena, Tsonga na Chichewa, jambo linaloonesha utofauti mkubwa wa kikabila na kijamii. Lugha hizi hutumika zaidi katika mawasiliano ya kila siku ndani ya jamii na katika shughuli za kiutamaduni, huku Kireno kikihusishwa zaidi na elimu, serikali, na vyombo vya habari. Dini nchini Msumbiji ina athari kubwa kwa maisha ya watu na ni sehemu ya utamaduni wa kila siku. Ukristo ndio dini inayofuatwa na watu wengi, hasa [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], lakini pia kuna idadi kubwa ya [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya kaskazini yenye historia ndefu ya biashara ya Pwani ya Kiswahili. Sambamba na dini hizi kuu, baadhi ya wananchi wanaendelea kuabudu kwa kufuata imani za jadi za Kiafrika, zinazojumuisha heshima kwa mizimu, ibada za asili na imani juu ya nguvu za kiroho katika maisha ya jamii. Dini na imani hizi huonekana katika sherehe, nyimbo, na tambiko mbalimbali zinazofanyika vijijini na mijini. Sanaa na muziki ni nguzo kuu ya utamaduni wa Msumbiji. Muziki wa jadi unaojumuisha ala kama vile ngoma, marimba, na lupembe, huambatana na ngoma za kitamaduni ambazo hutumika katika sherehe, matambiko na hafla za kijamii. Miondoko ya kisasa kama marrabenta, chimurenga na kizomba imekuwa maarufu sana hasa katika miji kama Maputo na Beira. Muziki huu huonyesha muunganiko wa tamaduni za asili na ushawishi wa Kireno pamoja na sauti za kisasa kutoka sehemu nyingine za Afrika na dunia. Wasanii wa Msumbiji wamechangia pakubwa katika kutangaza utamaduni wa taifa lao kimataifa, wakitumia nyimbo, maigizo na filamu kuelezea maisha ya kawaida, historia na ndoto za wananchi wao<ref>Lubkemann, Stephen. ''Culture in Chaos: An Anthropology of the Social Condition in War''. University of Chicago Press, 2008.</ref>. [[Faili:Mozambique - traditional sailboat.jpg|thumb|Shughuli za kila siku za [[uvuvi]] zikiendelea]] Maisha ya kijamii na familia huchukua nafasi muhimu sana katika utamaduni wa Msumbiji. Familia ni msingi wa mshikamano na heshima, ambapo jamii ya jadi hutegemea malezi ya kijamaa na kushirikiana katika shughuli za kila siku kama [[kilimo]], [[uvuvi]], na [[ufundi]]. Katika maeneo mengi, wazee huheshimiwa kama walinzi wa mila na wahifadhi wa hekima ya jamii, na ushauri wao huzingatiwa katika maamuzi muhimu ya kifamilia au kijiji. Sherehe za kijadi, sikukuu za kitaifa, na tamasha mbalimbali hutoa nafasi ya kuonesha utamaduni wa Msumbiji hadharani. Sikukuu kama '''Siku ya Uhuru''' (25 Juni), tamasha za mavuno, na matukio ya dini huambatana na ngoma, nyimbo na mavazi ya kitamaduni. Tamasha kubwa la utamaduni<ref name=":0">Republic of Mozambique, Ministry of Culture and Tourism. “National Cultural Policy”, 2015.</ref> lijulikanalo kama “Festival Marrabenta” huandaliwa kila mwaka mjini Maputo, likiwakusanya wasanii wa ndani na wageni kutoka nchi nyingine. Ingawa Msumbiji imepitia changamoto nyingi za kisiasa na kiuchumi, watu wake wameendelea kulinda utambulisho wao wa kiutamaduni. Serikali ya Msumbiji kupitia taasisi zake za kitamaduni imekuwa ikijitahidi kuhifadhi na kukuza urithi huu kwa kuwezesha shughuli za sanaa, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuhifadhi lugha na mila asilia kupitia mitaala ya shule na miradi ya kijamii<ref>Chissano, Joaquim. “Culture and Identity in Mozambique.” ''Journal of African Cultural Studies'', vol. 10, no. 1, 2000, pp. 15–27.</ref>. Mabadiliko ya dunia ya kisasa, urbaniseni na teknolojia yameleta changamoto na fursa mpya kwa utamaduni wa Msumbiji, ambapo vijana wanachanganya mitindo ya kisasa na ya jadi katika kuelezea utambulisho wao wa kitaifa<ref name=":0" />. Kwa ujumla, utamaduni wa Msumbiji ni wa kina, unaovutia, na unaoonyesha urithi wa kihistoria wa taifa ambalo limeweza kuhimili mabadiliko ya muda mrefu bila kupoteza kiini chake. Ni utamaduni unaojivunia maadili ya kijamaa, sanaa ya hali ya juu, mila imara, na utajiri wa lugha ambao unahifadhi hadithi ya watu wa Msumbiji – jana, leo, na kesho<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Mozambique.” <nowiki>https://ich.unesco.org/</nowiki></ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} q7iy13aadstyw65ou9m8b6864lopdz1 1437264 1437262 2025-07-12T11:52:22Z ~2025-17972-2 80083 nowiki 1437264 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Mozambique.svg|thumb|Bendera ya Msumbiji]] '''Utamaduni wa [[Msumbiji]]''' umejengwa katika msingi wa mchanganyiko wa tamaduni mbalimbali, unaochochewa na historia ndefu ya mwingiliano kati ya watu wa [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Waarabu]], na [[Ureno|Wareno]]. Utofauti huu wa kihistoria umezaa jamii yenye [[mila]], [[desturi]], na [[sanaa]] za kipekee zinazodhihirika katika [[lugha]], [[dini]], [[muziki]], mavazi, [[fasihi]] na maisha ya kila siku ya wananchi wa taifa hili la Kusini mwa Afrika<ref>Newitt, Malyn. ''A History of Mozambique''. Indiana University Press, 1995.</ref>. Kwa upande wa lugha, [[Kiswahili]] huzungumzwa hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi, lakini lugha rasmi ya taifa ni [[Kireno]], urithi wa kipindi cha [[ukoloni]] wa Kireno kilichodumu kwa zaidi ya karne nne. Hata hivyo, zaidi ya lugha hamsini za asili huzungumzwa nchini, zikiwemo Kimakhuwa, Kimakonde, Sena, Tsonga na Chichewa, jambo linaloonesha utofauti mkubwa wa kikabila na kijamii. Lugha hizi hutumika zaidi katika mawasiliano ya kila siku ndani ya jamii na katika shughuli za kiutamaduni, huku Kireno kikihusishwa zaidi na elimu, serikali, na vyombo vya habari. Dini nchini Msumbiji ina athari kubwa kwa maisha ya watu na ni sehemu ya utamaduni wa kila siku. Ukristo ndio dini inayofuatwa na watu wengi, hasa [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], lakini pia kuna idadi kubwa ya [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya kaskazini yenye historia ndefu ya biashara ya Pwani ya Kiswahili. Sambamba na dini hizi kuu, baadhi ya wananchi wanaendelea kuabudu kwa kufuata imani za jadi za Kiafrika, zinazojumuisha heshima kwa mizimu, ibada za asili na imani juu ya nguvu za kiroho katika maisha ya jamii. Dini na imani hizi huonekana katika sherehe, nyimbo, na tambiko mbalimbali zinazofanyika vijijini na mijini. Sanaa na muziki ni nguzo kuu ya utamaduni wa Msumbiji. Muziki wa jadi unaojumuisha ala kama vile ngoma, marimba, na lupembe, huambatana na ngoma za kitamaduni ambazo hutumika katika sherehe, matambiko na hafla za kijamii. Miondoko ya kisasa kama marrabenta, chimurenga na kizomba imekuwa maarufu sana hasa katika miji kama Maputo na Beira. Muziki huu huonyesha muunganiko wa tamaduni za asili na ushawishi wa Kireno pamoja na sauti za kisasa kutoka sehemu nyingine za Afrika na dunia. Wasanii wa Msumbiji wamechangia pakubwa katika kutangaza utamaduni wa taifa lao kimataifa, wakitumia nyimbo, maigizo na filamu kuelezea maisha ya kawaida, historia na ndoto za wananchi wao<ref>Lubkemann, Stephen. ''Culture in Chaos: An Anthropology of the Social Condition in War''. University of Chicago Press, 2008.</ref>. [[Faili:Mozambique - traditional sailboat.jpg|thumb|Shughuli za kila siku za [[uvuvi]] zikiendelea]] Maisha ya kijamii na familia huchukua nafasi muhimu sana katika utamaduni wa Msumbiji. Familia ni msingi wa mshikamano na heshima, ambapo jamii ya jadi hutegemea malezi ya kijamaa na kushirikiana katika shughuli za kila siku kama [[kilimo]], [[uvuvi]], na [[ufundi]]. Katika maeneo mengi, wazee huheshimiwa kama walinzi wa mila na wahifadhi wa hekima ya jamii, na ushauri wao huzingatiwa katika maamuzi muhimu ya kifamilia au kijiji. Sherehe za kijadi, sikukuu za kitaifa, na tamasha mbalimbali hutoa nafasi ya kuonesha utamaduni wa Msumbiji hadharani. Sikukuu kama '''Siku ya Uhuru''' (25 Juni), tamasha za mavuno, na matukio ya dini huambatana na ngoma, nyimbo na mavazi ya kitamaduni. Tamasha kubwa la utamaduni<ref name=":0">Republic of Mozambique, Ministry of Culture and Tourism. “National Cultural Policy”, 2015.</ref> lijulikanalo kama “Festival Marrabenta” huandaliwa kila mwaka mjini Maputo, likiwakusanya wasanii wa ndani na wageni kutoka nchi nyingine. Ingawa Msumbiji imepitia changamoto nyingi za kisiasa na kiuchumi, watu wake wameendelea kulinda utambulisho wao wa kiutamaduni. Serikali ya Msumbiji kupitia taasisi zake za kitamaduni imekuwa ikijitahidi kuhifadhi na kukuza urithi huu kwa kuwezesha shughuli za sanaa, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuhifadhi lugha na mila asilia kupitia mitaala ya shule na miradi ya kijamii<ref>Chissano, Joaquim. “Culture and Identity in Mozambique.” ''Journal of African Cultural Studies'', vol. 10, no. 1, 2000, pp. 15–27.</ref>. Mabadiliko ya dunia ya kisasa, urbaniseni na teknolojia yameleta changamoto na fursa mpya kwa utamaduni wa Msumbiji, ambapo vijana wanachanganya mitindo ya kisasa na ya jadi katika kuelezea utambulisho wao wa kitaifa<ref name=":0" />. Kwa ujumla, utamaduni wa Msumbiji ni wa kina, unaovutia, na unaoonyesha urithi wa kihistoria wa taifa ambalo limeweza kuhimili mabadiliko ya muda mrefu bila kupoteza kiini chake. Ni utamaduni unaojivunia maadili ya kijamaa, sanaa ya hali ya juu, mila imara, na utajiri wa lugha ambao unahifadhi hadithi ya watu wa Msumbiji – jana, leo, na kesho<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Mozambique.” https://ich.unesco.org/</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} rvznwxy5vlijtfm5cpfw6hklnemnnl1 1437273 1437264 2025-07-12T11:56:05Z ~2025-17898-7 80084 [[special:tags|Tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437273 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Mozambique.svg|thumb|Bendera ya Msumbiji.]] '''Utamaduni wa [[Msumbiji]]''' umejengwa katika msingi wa mchanganyiko wa tamaduni mbalimbali, unaochochewa na historia ndefu ya mwingiliano kati ya watu wa [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Waarabu]], na [[Ureno|Wareno]]. Utofauti huu wa kihistoria umezaa jamii yenye [[mila]], [[desturi]], na [[sanaa]] za kipekee zinazodhihirika katika [[lugha]], [[dini]], [[muziki]], mavazi, [[fasihi]] na maisha ya kila siku ya wananchi wa taifa hili la Kusini mwa Afrika<ref>Newitt, Malyn. ''A History of Mozambique''. Indiana University Press, 1995.</ref>. Kwa upande wa lugha, [[Kiswahili]] huzungumzwa hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi, lakini lugha rasmi ya taifa ni [[Kireno]], urithi wa kipindi cha [[ukoloni]] wa Kireno kilichodumu kwa zaidi ya karne nne. Hata hivyo, zaidi ya lugha hamsini za asili huzungumzwa nchini, zikiwemo Kimakhuwa, Kimakonde, Sena, Tsonga na Chichewa, jambo linaloonesha utofauti mkubwa wa kikabila na kijamii. Lugha hizi hutumika zaidi katika mawasiliano ya kila siku ndani ya jamii na katika shughuli za kiutamaduni, huku Kireno kikihusishwa zaidi na elimu, serikali, na vyombo vya habari. Dini nchini Msumbiji ina athari kubwa kwa maisha ya watu na ni sehemu ya utamaduni wa kila siku. Ukristo ndio dini inayofuatwa na watu wengi, hasa [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Uprotestanti|Waprotestanti]], lakini pia kuna idadi kubwa ya [[Mwislamu|Waislamu]], hasa katika maeneo ya kaskazini yenye historia ndefu ya biashara ya Pwani ya Kiswahili. Sambamba na dini hizi kuu, baadhi ya wananchi wanaendelea kuabudu kwa kufuata imani za jadi za Kiafrika, zinazojumuisha heshima kwa mizimu, ibada za asili na imani juu ya nguvu za kiroho katika maisha ya jamii. Dini na imani hizi huonekana katika sherehe, nyimbo, na tambiko mbalimbali zinazofanyika vijijini na mijini. Sanaa na muziki ni nguzo kuu ya utamaduni wa Msumbiji. Muziki wa jadi unaojumuisha ala kama vile ngoma, marimba, na lupembe, huambatana na ngoma za kitamaduni ambazo hutumika katika sherehe, matambiko na hafla za kijamii. Miondoko ya kisasa kama marrabenta, chimurenga na kizomba imekuwa maarufu sana hasa katika miji kama Maputo na Beira. Muziki huu huonyesha muunganiko wa tamaduni za asili na ushawishi wa Kireno pamoja na sauti za kisasa kutoka sehemu nyingine za Afrika na dunia. Wasanii wa Msumbiji wamechangia pakubwa katika kutangaza utamaduni wa taifa lao kimataifa, wakitumia nyimbo, maigizo na filamu kuelezea maisha ya kawaida, historia na ndoto za wananchi wao<ref>Lubkemann, Stephen. ''Culture in Chaos: An Anthropology of the Social Condition in War''. University of Chicago Press, 2008.</ref>. [[Faili:Mozambique - traditional sailboat.jpg|thumb|Shughuli za kila siku za [[uvuvi]] zikiendelea]] Maisha ya kijamii na familia huchukua nafasi muhimu sana katika utamaduni wa Msumbiji. Familia ni msingi wa mshikamano na heshima, ambapo jamii ya jadi hutegemea malezi ya kijamaa na kushirikiana katika shughuli za kila siku kama [[kilimo]], [[uvuvi]], na [[ufundi]]. Katika maeneo mengi, wazee huheshimiwa kama walinzi wa mila na wahifadhi wa hekima ya jamii, na ushauri wao huzingatiwa katika maamuzi muhimu ya kifamilia au kijiji. Sherehe za kijadi, sikukuu za kitaifa, na tamasha mbalimbali hutoa nafasi ya kuonesha utamaduni wa Msumbiji hadharani. Sikukuu kama '''Siku ya Uhuru''' (25 Juni), tamasha za mavuno, na matukio ya dini huambatana na ngoma, nyimbo na mavazi ya kitamaduni. Tamasha kubwa la utamaduni<ref name=":0">Republic of Mozambique, Ministry of Culture and Tourism. “National Cultural Policy”, 2015.</ref> lijulikanalo kama “Festival Marrabenta” huandaliwa kila mwaka mjini Maputo, likiwakusanya wasanii wa ndani na wageni kutoka nchi nyingine. Ingawa Msumbiji imepitia changamoto nyingi za kisiasa na kiuchumi, watu wake wameendelea kulinda utambulisho wao wa kiutamaduni. Serikali ya Msumbiji kupitia taasisi zake za kitamaduni imekuwa ikijitahidi kuhifadhi na kukuza urithi huu kwa kuwezesha shughuli za sanaa, kutoa mafunzo kwa vijana, na kuhifadhi lugha na mila asilia kupitia mitaala ya shule na miradi ya kijamii<ref>Chissano, Joaquim. “Culture and Identity in Mozambique.” ''Journal of African Cultural Studies'', vol. 10, no. 1, 2000, pp. 15–27.</ref>. Mabadiliko ya dunia ya kisasa, urbaniseni na teknolojia yameleta changamoto na fursa mpya kwa utamaduni wa Msumbiji, ambapo vijana wanachanganya mitindo ya kisasa na ya jadi katika kuelezea utambulisho wao wa kitaifa<ref name=":0" />. Kwa ujumla, utamaduni wa Msumbiji ni wa kina, unaovutia, na unaoonyesha urithi wa kihistoria wa taifa ambalo limeweza kuhimili mabadiliko ya muda mrefu bila kupoteza kiini chake. Ni utamaduni unaojivunia maadili ya kijamaa, sanaa ya hali ya juu, mila imara, na utajiri wa lugha ambao unahifadhi hadithi ya watu wa Msumbiji – jana, leo, na kesho<ref>UNESCO. “Intangible Cultural Heritage of Mozambique.” https://ich.unesco.org/</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} kxuqdog85d383ylrz2b148wv6px1j31 Utamaduni wa Morocco 0 208906 1437104 2025-07-12T09:02:01Z Alex Rweyemamu 75841 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa Morocco 1437104 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Morocco.png|thumb|Bendera ya morocco]] '''Utamaduni wa Morocco''' ni mchanganyiko wa kipekee unaochanganya urithi wa [[Kiarabu]], Berber (Amazigh), Andalusi, [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Kiyahudi]], na athari za [[Ulaya]] hasa [[Kifaransa]] na [[Kihispania]]<ref>Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987.</ref>. Mchanganyiko huu umeifanya Morocco kuwa taifa lenye utambulisho wa kipekee katika ulimwengu wa Kiarabu na [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Utofauti huu umejikita katika historia ya maingiliano ya karne nyingi kati ya makabila, tamaduni na dini mbalimbali zilizopita katika eneo hilo la kimkakati kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Mediterania. Lugha zinazozungumzwa nchini Morocco ni [[Kiarabu]] wa Darija (lugha ya mawasiliano ya kila siku)<ref>Ministry of Culture of Morocco. www.minculture.gov.ma</ref>, Kiberber ambacho kinatambuliwa kama lugha rasmi pamoja na Kiarabu sanifu, na lugha za kigeni kama [[Kifaransa]], [[Kihispania]], na [[Kiingereza]] ambazo hutumika katika elimu, biashara, na mawasiliano ya kimataifa. Mchanganyiko huu wa lugha unaakisi historia ya taifa hilo ambalo limepitia vipindi vya ukoloni na maingiliano ya kimataifa. Kifaransa kinabaki kuwa lugha ya elimu ya juu, utawala na sayansi, hasa katika maeneo ya mijini, huku Kihispania kikitumika zaidi katika maeneo ya kaskazini ya nchi karibu na Ceuta na Melilla. Muziki wa Morocco ni mojawapo ya alama muhimu za utambulisho wa kiutamaduni. Aina mbalimbali za muziki kama chaabi, gnawa, andalusi, rai, na muziki wa kifolklori wa Berber huonesha jinsi jamii ya Morocco inavyoenzi historia, dini, na mapokeo yao. Muziki wa Andalusi, kwa mfano, una mizizi ya karne ya 9 kutoka Hispania ya Kiislamu na leo huimbwa kwa ala kama oud, qanun, na rebab, huku wimbo ukitawaliwa na ubeti wa ushairi wa Kiarabu wa kale. Muziki wa Gnawa, kwa upande mwingine, unatoka katika mila za Waislamu Waafrika waliotoka kusini mwa Sahara, ukiwa na midundo ya tambura na dansi za kipekee za kidini na kiafya, ambazo zimekuwa kivutio hata kwa muziki wa kisasa duniani. Sanaa ya Morocco imejikita katika [[usanifu majengo]] (architecture), [[ufinyanzi]], [[uchoraji]], sanaa ya miundo ya kijiometri (zellij), [[uchongaji]] wa mbao, na urembo wa maandishi ya Kiarabu (calligraphy). Miji kama Fes, Marrakesh, na Meknes ni mifano hai ya urithi huu ambapo misikiti, madrasa, na nyumba za kifalme huonesha kazi ya mikono yenye ustadi mkubwa. Mandhari ya usanifu wa Morocco hujumuisha kuta zilizoandikwa maandiko ya [[Uislamu|Kiislamu]], dari za mbao zilizochongwa kwa mikono, na chemchemi za mawe zenye mapambo ya rangi nyingi. Haya yote huakisi msimamo wa dini ya Kiislamu kuhusu uzuri, usafi, na ustaarabu. Sanaa ya ufinyanzi na kutengeneza mazulia (rugs) pia ni sehemu muhimu ya utamaduni wa jadi, hasa kwa wanawake wa jamii za Amazigh ambao hutumia kazi hizi kama njia ya mawasiliano ya kisanaa, kifamilia na kijamii. Mavazi ya jadi ya Morocco yamebeba utambulisho wa taifa. Wanaume huvaa jellaba vazi refu lenye kofia hasa wakati wa sherehe za kidini au baridi kali, huku wanawake wakivalia kaftan au takchita wakati wa harusi na hafla za kifamilia. Rangi, mapambo, na mitindo ya mavazi haya hutofautiana kulingana na kabila, eneo na tukio. Vifaa vya mapambo kama vile hereni za fedha, vikuku vya jadi na mikufu vimekuwa sehemu ya utamaduni wa wanawake wa Morocco, hasa katika jamii za Amazigh, ambako mapambo haya yana maana ya kitamaduni na kisanii. Dini ina nafasi muhimu katika utamaduni wa Morocco<ref>Hammoudi, Abdellah. ''Master and Disciple: The Cultural Foundations of Moroccan Authoritarianism''. University of Chicago Press, 1997.</ref>. [[Uislamu]] ni dini ya taifa na kundi kubwa la Wamorocco ni Waislamu wa [[Wasuni|Sunni]] wa madhehebu ya Maliki. Athari ya dini inaonekana katika mavazi, maadili, usanii wa majengo, na desturi za kijamii. Sherehe za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid huadhimishwa kwa ibada, futari za kifamilia, na ngoma za jadi. Hata hivyo, taifa linatambua uwepo wa dini nyingine kama Ukristo na Uyahudi, ambao ni sehemu ya historia yake ya karne nyingi, hasa kwa Wayahudi waliokuwa sehemu ya jamii ya Morocco kwa karne nyingi kabla ya uhama mkubwa wa karne ya 20. Katika upande wa jamii, familia ndiyo kitovu cha maisha ya kila Mmorocco. Maadili ya kijamii yamejengwa juu ya heshima kwa wazazi, mshikamano wa kifamilia, na kusaidiana kati ya majirani. Harusi hufanyika kwa mfululizo wa siku kadhaa za sherehe zenye ngoma, mavazi ya asili, na vyakula maalum. Mila za jadi kama ''hammam'' (bafu la jadi la kijamii), ''souq'' (masoko ya wazi), na ''moussem'' (sherehe za kidini na kitamaduni) bado ni muhimu katika maisha ya kila siku ya Wamorocco wa mijini na vijijini. Morocco pia ni taifa linaloenzi utamaduni wa kisasa kupitia filamu, fasihi na muziki wa kizazi kipya. Miji kama Casablanca na Rabat ina majukwaa ya filamu, matamasha ya muziki, na tamasha la kimataifa la filamu la Marrakech (Marrakech International Film Festival) ambalo linavutia wageni kutoka duniani kote<ref>UNESCO. “Morocco: Intangible Cultural Heritage.” www.unesco.org.</ref>. Waandishi kama Tahar Ben Jelloun na Leïla Slimani wamepeperusha bendera ya fasihi ya Morocco kimataifa kupitia maandishi yao yanayozungumzia maisha ya Wamorocco wa leo, changamoto zao na mivutano kati ya jadi na kisasa. Pamoja na hayo yote, utamaduni wa Morocco unaendelea kukua na kubadilika, ukichukua vipengele vya utandawazi bila kupoteza mizizi yake ya kihistoria. Taifa hili linaendelea kulinda urithi wake kupitia taasisi kama ''Ministère de la Culture du Maroc'', huku likiwahimiza vijana kushiriki katika kuhifadhi na kubuni maumbo mapya ya utambulisho wa kitaifa<ref>World Bank. “Morocco Cultural Sector Overview.” www.worldbank.org</ref>. == Marejeo == <references /> h1fmfx6sbkyjyvmksaxrmul9f4dk4tv 1437117 1437104 2025-07-12T09:25:36Z Alexander Rweyemamu 80072 Nimeandika Makala ya Utamaduni wa BAN-ana 1437117 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Morocco.png|thumb|Bendera ya morocco]] '''Utamaduni wa Morocco''' ni mchanganyiko wa kipekee unaochanganya urithi wa [[Kiarabu]], Berber (Amazigh), Andalusi, [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Kiyahudi]], na athari za [[Ulaya]] hasa [[Kifaransa]] na [[Kihispania]]<ref>Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987.</ref>. Mchanganyiko huu umeifanya Morocco kuwa taifa lenye utambulisho wa kipekee katika ulimwengu wa Kiarabu na [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Utofauti huu umejikita katika historia ya maingiliano ya karne nyingi kati ya makabila, tamaduni na dini mbalimbali zilizopita katika eneo hilo la kimkakati kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Mediterania. Lugha zinazozungumzwa nchini Morocco ni [[Kiarabu]] wa Darija (lugha ya mawasiliano ya kila siku)<ref>Ministry of Culture of Morocco. www.minculture.gov.ma</ref>, Kiberber ambacho kinatambuliwa kama lugha rasmi pamoja na Kiarabu sanifu, na lugha za kigeni kama [[Kifaransa]], [[Kihispania]], na [[Kiingereza]] ambazo hutumika katika elimu, biashara, na mawasiliano ya kimataifa. Mchanganyiko huu wa lugha unaakisi historia ya taifa hilo ambalo limepitia vipindi vya ukoloni na maingiliano ya kimataifa. Kifaransa kinabaki kuwa lugha ya elimu ya juu, utawala na sayansi, hasa katika maeneo ya mijini, huku Kihispania kikitumika zaidi katika maeneo ya kaskazini ya nchi karibu na Ceuta na Melilla. Muziki wa Morocco ni mojawapo ya alama muhimu za utambulisho wa kiutamaduni. Aina mbalimbali za muziki kama chaabi, gnawa, andalusi, rai, na muziki wa kifolklori wa Berber huonesha jinsi jamii ya Morocco inavyoenzi historia, dini, na mapokeo yao. Muziki wa Andalusi, kwa mfano, una mizizi ya karne ya 9 kutoka Hispania ya Kiislamu na leo huimbwa kwa ala kama oud, qanun, na rebab, huku wimbo ukitawaliwa na ubeti wa ushairi wa Kiarabu wa kale. Muziki wa Gnawa, kwa upande mwingine, unatoka katika mila za Waislamu Waafrika waliotoka kusini mwa Sahara, ukiwa na midundo ya tambura na dansi za kipekee za kidini na kiafya, ambazo zimekuwa kivutio hata kwa muziki wa kisasa duniani. Sanaa ya Morocco imejikita katika [[usanifu majengo]] (architecture), [[ufinyanzi]], [[uchoraji]], sanaa ya miundo ya kijiometri (zellij), [[uchongaji]] wa mbao, na urembo wa maandishi ya Kiarabu (calligraphy). Miji kama Fes, Marrakesh, na Meknes ni mifano hai ya urithi huu ambapo misikiti, madrasa, na nyumba za kifalme huonesha kazi ya mikono yenye ustadi mkubwa. Mandhari ya usanifu wa Morocco hujumuisha kuta zilizoandikwa maandiko ya [[Uislamu|Kiislamu]], dari za mbao zilizochongwa kwa mikono, na chemchemi za mawe zenye mapambo ya rangi nyingi. Haya yote huakisi msimamo wa dini ya Kiislamu kuhusu uzuri, usafi, na ustaarabu. Sanaa ya ufinyanzi na kutengeneza mazulia (rugs) pia ni sehemu muhimu ya utamaduni wa jadi, hasa kwa wanawake wa jamii za Amazigh ambao hutumia kazi hizi kama njia ya mawasiliano ya kisanaa, kifamilia na kijamii. Mavazi ya jadi ya Morocco yamebeba utambulisho wa taifa. Wanaume huvaa jellaba vazi refu lenye kofia hasa wakati wa sherehe za kidini au baridi kali, huku wanawake wakivalia kaftan au takchita wakati wa harusi na hafla za kifamilia. Rangi, mapambo, na mitindo ya mavazi haya hutofautiana kulingana na kabila, eneo na tukio. Vifaa vya mapambo kama vile hereni za fedha, vikuku vya jadi na mikufu vimekuwa sehemu ya utamaduni wa wanawake wa Morocco, hasa katika jamii za Amazigh, ambako mapambo haya yana maana ya kitamaduni na kisanii. Dini ina nafasi muhimu katika utamaduni wa Morocco<ref>Hammoudi, Abdellah. ''Master and Disciple: The Cultural Foundations of Moroccan Authoritarianism''. University of Chicago Press, 1997.</ref>. [[Uislamu]] ni dini ya taifa na kundi kubwa la Wamorocco ni Waislamu wa [[Wasuni|Sunni]] wa madhehebu ya Maliki. Athari ya dini inaonekana katika mavazi, maadili, usanii wa majengo, na desturi za kijamii. Sherehe za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid huadhimishwa kwa ibada, futari za kifamilia, na ngoma za jadi. Hata hivyo, taifa linatambua uwepo wa dini nyingine kama Ukristo na Uyahudi, ambao ni sehemu ya historia yake ya karne nyingi, hasa kwa Wayahudi waliokuwa sehemu ya jamii ya Morocco kwa karne nyingi kabla ya uhama mkubwa wa karne ya 20. Katika upande wa jamii, familia ndiyo kitovu cha maisha ya kila Mmorocco. Maadili ya kijamii yamejengwa juu ya heshima kwa wazazi, mshikamano wa kifamilia, na kusaidiana kati ya majirani. Harusi hufanyika kwa mfululizo wa siku kadhaa za sherehe zenye ngoma, mavazi ya asili, na vyakula maalum. Mila za jadi kama ''hammam'' (bafu la jadi la kijamii), ''souq'' (masoko ya wazi), na ''moussem'' (sherehe za kidini na kitamaduni) bado ni muhimu katika maisha ya kila siku ya Wamorocco wa mijini na vijijini. Morocco pia ni taifa linaloenzi utamaduni wa kisasa kupitia filamu, fasihi na muziki wa kizazi kipya. Miji kama Casablanca na Rabat ina majukwaa ya filamu, matamasha ya muziki, na tamasha la kimataifa la filamu la Marrakech (Marrakech International Film Festival) ambalo linavutia wageni kutoka duniani kote<ref>UNESCO. “Morocco: Intangible Cultural Heritage.” www.unesco.org.</ref>. Waandishi kama Tahar Ben Jelloun na Leïla Slimani wamepeperusha bendera ya fasihi ya Morocco kimataifa kupitia maandishi yao yanayozungumzia maisha ya Wamorocco wa leo, changamoto zao na mivutano kati ya jadi na kisasa. Pamoja na hayo yote, utamaduni wa Morocco unaendelea kukua na kubadilika, ukichukua vipengele vya utandawazi bila kupoteza mizizi yake ya kihistoria. Taifa hili linaendelea kulinda urithi wake kupitia taasisi kama ''Ministère de la Culture du Maroc'', huku likiwahimiza vijana kushiriki katika kuhifadhi na kubuni maumbo mapya ya utambulisho wa kitaifa<ref>World Bank. “Morocco Cultural Sector Overview.” www.worldbank.org</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} shwi8flxibl3o9h3xl269oz5qxhhwnz 1437150 1437117 2025-07-12T09:58:41Z Alexander Rweyemamu 80072 Morocco 1437150 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Morocco.png|thumb|Bendera ya Morocco]] '''Utamaduni wa Morocco''' ni mchanganyiko wa kipekee unaochanganya urithi wa [[Kiarabu]], Berber (Amazigh), Andalusi, [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Kiyahudi]], na athari za [[Ulaya]] hasa [[Kifaransa]] na [[Kihispania]]<ref>Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987.</ref>. Mchanganyiko huu umeifanya Morocco kuwa taifa lenye utambulisho wa kipekee katika ulimwengu wa Kiarabu na [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Utofauti huu umejikita katika historia ya maingiliano ya karne nyingi kati ya makabila, tamaduni na dini mbalimbali zilizopita katika eneo hilo la kimkakati kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Mediterania. Lugha zinazozungumzwa nchini Morocco ni [[Kiarabu]] wa Darija (lugha ya mawasiliano ya kila siku)<ref>Ministry of Culture of Morocco. www.minculture.gov.ma</ref>, Kiberber ambacho kinatambuliwa kama lugha rasmi pamoja na Kiarabu sanifu, na lugha za kigeni kama [[Kifaransa]], [[Kihispania]], na [[Kiingereza]] ambazo hutumika katika elimu, biashara, na mawasiliano ya kimataifa. Mchanganyiko huu wa lugha unaakisi historia ya taifa hilo ambalo limepitia vipindi vya ukoloni na maingiliano ya kimataifa. Kifaransa kinabaki kuwa lugha ya elimu ya juu, utawala na sayansi, hasa katika maeneo ya mijini, huku Kihispania kikitumika zaidi katika maeneo ya kaskazini ya nchi karibu na Ceuta na Melilla. Muziki wa Morocco ni mojawapo ya alama muhimu za utambulisho wa kiutamaduni. Aina mbalimbali za muziki kama chaabi, gnawa, andalusi, rai, na muziki wa kifolklori wa Berber huonesha jinsi jamii ya Morocco inavyoenzi historia, dini, na mapokeo yao. Muziki wa Andalusi, kwa mfano, una mizizi ya karne ya 9 kutoka Hispania ya Kiislamu na leo huimbwa kwa ala kama oud, qanun, na rebab, huku wimbo ukitawaliwa na ubeti wa ushairi wa Kiarabu wa kale. Muziki wa Gnawa, kwa upande mwingine, unatoka katika mila za Waislamu Waafrika waliotoka kusini mwa Sahara, ukiwa na midundo ya tambura na dansi za kipekee za kidini na kiafya, ambazo zimekuwa kivutio hata kwa muziki wa kisasa duniani. Sanaa ya Morocco imejikita katika [[usanifu majengo]] (architecture), [[ufinyanzi]], [[uchoraji]], sanaa ya miundo ya kijiometri (zellij), [[uchongaji]] wa mbao, na urembo wa maandishi ya Kiarabu (calligraphy). Miji kama Fes, Marrakesh, na Meknes ni mifano hai ya urithi huu ambapo misikiti, madrasa, na nyumba za kifalme huonesha kazi ya mikono yenye ustadi mkubwa. Mandhari ya usanifu wa Morocco hujumuisha kuta zilizoandikwa maandiko ya [[Uislamu|Kiislamu]], dari za mbao zilizochongwa kwa mikono, na chemchemi za mawe zenye mapambo ya rangi nyingi. Haya yote huakisi msimamo wa dini ya Kiislamu kuhusu uzuri, usafi, na ustaarabu. Sanaa ya ufinyanzi na kutengeneza mazulia (rugs) pia ni sehemu muhimu ya utamaduni wa jadi, hasa kwa wanawake wa jamii za Amazigh ambao hutumia kazi hizi kama njia ya mawasiliano ya kisanaa, kifamilia na kijamii. Mavazi ya jadi ya Morocco yamebeba utambulisho wa taifa. Wanaume huvaa jellaba vazi refu lenye kofia hasa wakati wa sherehe za kidini au baridi kali, huku wanawake wakivalia kaftan au takchita wakati wa harusi na hafla za kifamilia. Rangi, mapambo, na mitindo ya mavazi haya hutofautiana kulingana na kabila, eneo na tukio. Vifaa vya mapambo kama vile hereni za fedha, vikuku vya jadi na mikufu vimekuwa sehemu ya utamaduni wa wanawake wa Morocco, hasa katika jamii za Amazigh, ambako mapambo haya yana maana ya kitamaduni na kisanii. Dini ina nafasi muhimu katika utamaduni wa Morocco<ref>Hammoudi, Abdellah. ''Master and Disciple: The Cultural Foundations of Moroccan Authoritarianism''. University of Chicago Press, 1997.</ref>. [[Uislamu]] ni dini ya taifa na kundi kubwa la Wamorocco ni Waislamu wa [[Wasuni|Sunni]] wa madhehebu ya Maliki. Athari ya dini inaonekana katika mavazi, maadili, usanii wa majengo, na desturi za kijamii. Sherehe za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid huadhimishwa kwa ibada, futari za kifamilia, na ngoma za jadi. Hata hivyo, taifa linatambua uwepo wa dini nyingine kama Ukristo na Uyahudi, ambao ni sehemu ya historia yake ya karne nyingi, hasa kwa Wayahudi waliokuwa sehemu ya jamii ya Morocco kwa karne nyingi kabla ya uhama mkubwa wa karne ya 20. Katika upande wa jamii, familia ndiyo kitovu cha maisha ya kila Mmorocco. Maadili ya kijamii yamejengwa juu ya heshima kwa wazazi, mshikamano wa kifamilia, na kusaidiana kati ya majirani. Harusi hufanyika kwa mfululizo wa siku kadhaa za sherehe zenye ngoma, mavazi ya asili, na vyakula maalum. Mila za jadi kama ''hammam'' (bafu la jadi la kijamii), ''souq'' (masoko ya wazi), na ''moussem'' (sherehe za kidini na kitamaduni) bado ni muhimu katika maisha ya kila siku ya Wamorocco wa mijini na vijijini. Morocco pia ni taifa linaloenzi utamaduni wa kisasa kupitia filamu, fasihi na muziki wa kizazi kipya. Miji kama Casablanca na Rabat ina majukwaa ya filamu, matamasha ya muziki, na tamasha la kimataifa la filamu la Marrakech (Marrakech International Film Festival) ambalo linavutia wageni kutoka duniani kote<ref>UNESCO. “Morocco: Intangible Cultural Heritage.” www.unesco.org.</ref>. Waandishi kama Tahar Ben Jelloun na Leïla Slimani wamepeperusha bendera ya fasihi ya Morocco kimataifa kupitia maandishi yao yanayozungumzia maisha ya Wamorocco wa leo, changamoto zao na mivutano kati ya jadi na kisasa. Pamoja na hayo yote, utamaduni wa Morocco unaendelea kukua na kubadilika, ukichukua vipengele vya utandawazi bila kupoteza mizizi yake ya kihistoria. Taifa hili linaendelea kulinda urithi wake kupitia taasisi kama ''Ministère de la Culture du Maroc'', huku likiwahimiza vijana kushiriki katika kuhifadhi na kubuni maumbo mapya ya utambulisho wa kitaifa<ref>World Bank. “Morocco Cultural Sector Overview.” www.worldbank.org</ref>. == Marejeo == {{marejeo}} 1j25zmrhx6i1eeg2dk1eacmu3wuu5z2 1437168 1437150 2025-07-12T10:33:46Z XXBlackburnXx 33988 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Alexander Rweyemamu|Alexander Rweyemamu]] ([[User talk:Alexander Rweyemamu|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alex Rweyemamu|Alex Rweyemamu]] 1437104 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Morocco.png|thumb|Bendera ya morocco]] '''Utamaduni wa Morocco''' ni mchanganyiko wa kipekee unaochanganya urithi wa [[Kiarabu]], Berber (Amazigh), Andalusi, [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Kiyahudi]], na athari za [[Ulaya]] hasa [[Kifaransa]] na [[Kihispania]]<ref>Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987.</ref>. Mchanganyiko huu umeifanya Morocco kuwa taifa lenye utambulisho wa kipekee katika ulimwengu wa Kiarabu na [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Utofauti huu umejikita katika historia ya maingiliano ya karne nyingi kati ya makabila, tamaduni na dini mbalimbali zilizopita katika eneo hilo la kimkakati kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Mediterania. Lugha zinazozungumzwa nchini Morocco ni [[Kiarabu]] wa Darija (lugha ya mawasiliano ya kila siku)<ref>Ministry of Culture of Morocco. www.minculture.gov.ma</ref>, Kiberber ambacho kinatambuliwa kama lugha rasmi pamoja na Kiarabu sanifu, na lugha za kigeni kama [[Kifaransa]], [[Kihispania]], na [[Kiingereza]] ambazo hutumika katika elimu, biashara, na mawasiliano ya kimataifa. Mchanganyiko huu wa lugha unaakisi historia ya taifa hilo ambalo limepitia vipindi vya ukoloni na maingiliano ya kimataifa. Kifaransa kinabaki kuwa lugha ya elimu ya juu, utawala na sayansi, hasa katika maeneo ya mijini, huku Kihispania kikitumika zaidi katika maeneo ya kaskazini ya nchi karibu na Ceuta na Melilla. Muziki wa Morocco ni mojawapo ya alama muhimu za utambulisho wa kiutamaduni. Aina mbalimbali za muziki kama chaabi, gnawa, andalusi, rai, na muziki wa kifolklori wa Berber huonesha jinsi jamii ya Morocco inavyoenzi historia, dini, na mapokeo yao. Muziki wa Andalusi, kwa mfano, una mizizi ya karne ya 9 kutoka Hispania ya Kiislamu na leo huimbwa kwa ala kama oud, qanun, na rebab, huku wimbo ukitawaliwa na ubeti wa ushairi wa Kiarabu wa kale. Muziki wa Gnawa, kwa upande mwingine, unatoka katika mila za Waislamu Waafrika waliotoka kusini mwa Sahara, ukiwa na midundo ya tambura na dansi za kipekee za kidini na kiafya, ambazo zimekuwa kivutio hata kwa muziki wa kisasa duniani. Sanaa ya Morocco imejikita katika [[usanifu majengo]] (architecture), [[ufinyanzi]], [[uchoraji]], sanaa ya miundo ya kijiometri (zellij), [[uchongaji]] wa mbao, na urembo wa maandishi ya Kiarabu (calligraphy). Miji kama Fes, Marrakesh, na Meknes ni mifano hai ya urithi huu ambapo misikiti, madrasa, na nyumba za kifalme huonesha kazi ya mikono yenye ustadi mkubwa. Mandhari ya usanifu wa Morocco hujumuisha kuta zilizoandikwa maandiko ya [[Uislamu|Kiislamu]], dari za mbao zilizochongwa kwa mikono, na chemchemi za mawe zenye mapambo ya rangi nyingi. Haya yote huakisi msimamo wa dini ya Kiislamu kuhusu uzuri, usafi, na ustaarabu. Sanaa ya ufinyanzi na kutengeneza mazulia (rugs) pia ni sehemu muhimu ya utamaduni wa jadi, hasa kwa wanawake wa jamii za Amazigh ambao hutumia kazi hizi kama njia ya mawasiliano ya kisanaa, kifamilia na kijamii. Mavazi ya jadi ya Morocco yamebeba utambulisho wa taifa. Wanaume huvaa jellaba vazi refu lenye kofia hasa wakati wa sherehe za kidini au baridi kali, huku wanawake wakivalia kaftan au takchita wakati wa harusi na hafla za kifamilia. Rangi, mapambo, na mitindo ya mavazi haya hutofautiana kulingana na kabila, eneo na tukio. Vifaa vya mapambo kama vile hereni za fedha, vikuku vya jadi na mikufu vimekuwa sehemu ya utamaduni wa wanawake wa Morocco, hasa katika jamii za Amazigh, ambako mapambo haya yana maana ya kitamaduni na kisanii. Dini ina nafasi muhimu katika utamaduni wa Morocco<ref>Hammoudi, Abdellah. ''Master and Disciple: The Cultural Foundations of Moroccan Authoritarianism''. University of Chicago Press, 1997.</ref>. [[Uislamu]] ni dini ya taifa na kundi kubwa la Wamorocco ni Waislamu wa [[Wasuni|Sunni]] wa madhehebu ya Maliki. Athari ya dini inaonekana katika mavazi, maadili, usanii wa majengo, na desturi za kijamii. Sherehe za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid huadhimishwa kwa ibada, futari za kifamilia, na ngoma za jadi. Hata hivyo, taifa linatambua uwepo wa dini nyingine kama Ukristo na Uyahudi, ambao ni sehemu ya historia yake ya karne nyingi, hasa kwa Wayahudi waliokuwa sehemu ya jamii ya Morocco kwa karne nyingi kabla ya uhama mkubwa wa karne ya 20. Katika upande wa jamii, familia ndiyo kitovu cha maisha ya kila Mmorocco. Maadili ya kijamii yamejengwa juu ya heshima kwa wazazi, mshikamano wa kifamilia, na kusaidiana kati ya majirani. Harusi hufanyika kwa mfululizo wa siku kadhaa za sherehe zenye ngoma, mavazi ya asili, na vyakula maalum. Mila za jadi kama ''hammam'' (bafu la jadi la kijamii), ''souq'' (masoko ya wazi), na ''moussem'' (sherehe za kidini na kitamaduni) bado ni muhimu katika maisha ya kila siku ya Wamorocco wa mijini na vijijini. Morocco pia ni taifa linaloenzi utamaduni wa kisasa kupitia filamu, fasihi na muziki wa kizazi kipya. Miji kama Casablanca na Rabat ina majukwaa ya filamu, matamasha ya muziki, na tamasha la kimataifa la filamu la Marrakech (Marrakech International Film Festival) ambalo linavutia wageni kutoka duniani kote<ref>UNESCO. “Morocco: Intangible Cultural Heritage.” www.unesco.org.</ref>. Waandishi kama Tahar Ben Jelloun na Leïla Slimani wamepeperusha bendera ya fasihi ya Morocco kimataifa kupitia maandishi yao yanayozungumzia maisha ya Wamorocco wa leo, changamoto zao na mivutano kati ya jadi na kisasa. Pamoja na hayo yote, utamaduni wa Morocco unaendelea kukua na kubadilika, ukichukua vipengele vya utandawazi bila kupoteza mizizi yake ya kihistoria. Taifa hili linaendelea kulinda urithi wake kupitia taasisi kama ''Ministère de la Culture du Maroc'', huku likiwahimiza vijana kushiriki katika kuhifadhi na kubuni maumbo mapya ya utambulisho wa kitaifa<ref>World Bank. “Morocco Cultural Sector Overview.” www.worldbank.org</ref>. == Marejeo == <references /> h1fmfx6sbkyjyvmksaxrmul9f4dk4tv 1437226 1437168 2025-07-12T11:26:42Z ~2025-18006-2 80078 [[special:tags|tags]]: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu 1437226 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Morocco.png|thumb|Bendera ya Morocco]] '''Utamaduni wa Morocco''' ni mchanganyiko wa kipekee unaochanganya urithi wa [[Kiarabu]], Berber (Amazigh), Andalusi, [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Kiyahudi]], na athari za [[Ulaya]] hasa [[Kifaransa]] na [[Kihispania]]<ref>Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987.</ref>. Mchanganyiko huu umeifanya Morocco kuwa taifa lenye utambulisho wa kipekee katika ulimwengu wa Kiarabu na [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Utofauti huu umejikita katika historia ya maingiliano ya karne nyingi kati ya makabila, tamaduni na dini mbalimbali zilizopita katika eneo hilo la kimkakati kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Mediterania. Lugha zinazozungumzwa nchini Morocco ni [[Kiarabu]] wa Darija (lugha ya mawasiliano ya kila siku)<ref>Ministry of Culture of Morocco. www.minculture.gov.ma</ref>, Kiberber ambacho kinatambuliwa kama lugha rasmi pamoja na Kiarabu sanifu, na lugha za kigeni kama [[Kifaransa]], [[Kihispania]], na [[Kiingereza]] ambazo hutumika katika elimu, biashara, na mawasiliano ya kimataifa. Mchanganyiko huu wa lugha unaakisi historia ya taifa hilo ambalo limepitia vipindi vya ukoloni na maingiliano ya kimataifa. Kifaransa kinabaki kuwa lugha ya elimu ya juu, utawala na sayansi, hasa katika maeneo ya mijini, huku Kihispania kikitumika zaidi katika maeneo ya kaskazini ya nchi karibu na Ceuta na Melilla. Muziki wa Morocco ni mojawapo ya alama muhimu za utambulisho wa kiutamaduni. Aina mbalimbali za muziki kama chaabi, gnawa, andalusi, rai, na muziki wa kifolklori wa Berber huonesha jinsi jamii ya Morocco inavyoenzi historia, dini, na mapokeo yao. Muziki wa Andalusi, kwa mfano, una mizizi ya karne ya 9 kutoka Hispania ya Kiislamu na leo huimbwa kwa ala kama oud, qanun, na rebab, huku wimbo ukitawaliwa na ubeti wa ushairi wa Kiarabu wa kale. Muziki wa Gnawa, kwa upande mwingine, unatoka katika mila za Waislamu Waafrika waliotoka kusini mwa Sahara, ukiwa na midundo ya tambura na dansi za kipekee za kidini na kiafya, ambazo zimekuwa kivutio hata kwa muziki wa kisasa duniani. Sanaa ya Morocco imejikita katika [[usanifu majengo]] (architecture), [[ufinyanzi]], [[uchoraji]], sanaa ya miundo ya kijiometri (zellij), [[uchongaji]] wa mbao, na urembo wa maandishi ya Kiarabu (calligraphy). Miji kama Fes, Marrakesh, na Meknes ni mifano hai ya urithi huu ambapo misikiti, madrasa, na nyumba za kifalme huonesha kazi ya mikono yenye ustadi mkubwa. Mandhari ya usanifu wa Morocco hujumuisha kuta zilizoandikwa maandiko ya [[Uislamu|Kiislamu]], dari za mbao zilizochongwa kwa mikono, na chemchemi za mawe zenye mapambo ya rangi nyingi. Haya yote huakisi msimamo wa dini ya Kiislamu kuhusu uzuri, usafi, na ustaarabu. Sanaa ya ufinyanzi na kutengeneza mazulia (rugs) pia ni sehemu muhimu ya utamaduni wa jadi, hasa kwa wanawake wa jamii za Amazigh ambao hutumia kazi hizi kama njia ya mawasiliano ya kisanaa, kifamilia na kijamii. Mavazi ya jadi ya Morocco yamebeba utambulisho wa taifa. Wanaume huvaa jellaba vazi refu lenye kofia hasa wakati wa sherehe za kidini au baridi kali, huku wanawake wakivalia kaftan au takchita wakati wa harusi na hafla za kifamilia. Rangi, mapambo, na mitindo ya mavazi haya hutofautiana kulingana na kabila, eneo na tukio. Vifaa vya mapambo kama vile hereni za fedha, vikuku vya jadi na mikufu vimekuwa sehemu ya utamaduni wa wanawake wa Morocco, hasa katika jamii za Amazigh, ambako mapambo haya yana maana ya kitamaduni na kisanii. Dini ina nafasi muhimu katika utamaduni wa Morocco<ref>Hammoudi, Abdellah. ''Master and Disciple: The Cultural Foundations of Moroccan Authoritarianism''. University of Chicago Press, 1997.</ref>. [[Uislamu]] ni dini ya taifa na kundi kubwa la Wamorocco ni Waislamu wa [[Wasuni|Sunni]] wa madhehebu ya Maliki. Athari ya dini inaonekana katika mavazi, maadili, usanii wa majengo, na desturi za kijamii. Sherehe za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid huadhimishwa kwa ibada, futari za kifamilia, na ngoma za jadi. Hata hivyo, taifa linatambua uwepo wa dini nyingine kama Ukristo na Uyahudi, ambao ni sehemu ya historia yake ya karne nyingi, hasa kwa Wayahudi waliokuwa sehemu ya jamii ya Morocco kwa karne nyingi kabla ya uhama mkubwa wa karne ya 20. Katika upande wa jamii, familia ndiyo kitovu cha maisha ya kila Mmorocco. Maadili ya kijamii yamejengwa juu ya heshima kwa wazazi, mshikamano wa kifamilia, na kusaidiana kati ya majirani. Harusi hufanyika kwa mfululizo wa siku kadhaa za sherehe zenye ngoma, mavazi ya asili, na vyakula maalum. Mila za jadi kama ''hammam'' (bafu la jadi la kijamii), ''souq'' (masoko ya wazi), na ''moussem'' (sherehe za kidini na kitamaduni) bado ni muhimu katika maisha ya kila siku ya Wamorocco wa mijini na vijijini. Morocco pia ni taifa linaloenzi utamaduni wa kisasa kupitia filamu, fasihi na muziki wa kizazi kipya. Miji kama Casablanca na Rabat ina majukwaa ya filamu, matamasha ya muziki, na tamasha la kimataifa la filamu la Marrakech (Marrakech International Film Festival) ambalo linavutia wageni kutoka duniani kote<ref>UNESCO. “Morocco: Intangible Cultural Heritage.” www.unesco.org.</ref>. Waandishi kama Tahar Ben Jelloun na Leïla Slimani wamepeperusha bendera ya fasihi ya Morocco kimataifa kupitia maandishi yao yanayozungumzia maisha ya Wamorocco wa leo, changamoto zao na mivutano kati ya jadi na kisasa. Pamoja na hayo yote, utamaduni wa Morocco unaendelea kukua na kubadilika, ukichukua vipengele vya utandawazi bila kupoteza mizizi yake ya kihistoria. Taifa hili linaendelea kulinda urithi wake kupitia taasisi kama ''Ministère de la Culture du Maroc'', huku likiwahimiza vijana kushiriki katika kuhifadhi na kubuni maumbo mapya ya utambulisho wa kitaifa<ref>World Bank. “Morocco Cultural Sector Overview.” www.worldbank.org</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} sm8dqd4a10dguuff9ucbdx7pobgic39 1437229 1437226 2025-07-12T11:27:53Z ~2025-18007-0 80080 1437229 wikitext text/x-wiki [[Faili:Flag of Morocco.png|thumb|Bendera ya Morocco.]] '''Utamaduni wa Morocco''' ni mchanganyiko wa kipekee unaochanganya urithi wa [[Kiarabu]], Berber (Amazigh), Andalusi, [[Kiafrikana|Kiafrika]], [[Kiyahudi]], na athari za [[Ulaya]] hasa [[Kifaransa]] na [[Kihispania]]<ref>Abun-Nasr, Jamil M. ''A History of the Maghrib in the Islamic Period''. Cambridge University Press, 1987.</ref>. Mchanganyiko huu umeifanya Morocco kuwa taifa lenye utambulisho wa kipekee katika ulimwengu wa Kiarabu na [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]]. Utofauti huu umejikita katika historia ya maingiliano ya karne nyingi kati ya makabila, tamaduni na dini mbalimbali zilizopita katika eneo hilo la kimkakati kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Mediterania. Lugha zinazozungumzwa nchini Morocco ni [[Kiarabu]] wa Darija (lugha ya mawasiliano ya kila siku)<ref>Ministry of Culture of Morocco. www.minculture.gov.ma</ref>, Kiberber ambacho kinatambuliwa kama lugha rasmi pamoja na Kiarabu sanifu, na lugha za kigeni kama [[Kifaransa]], [[Kihispania]], na [[Kiingereza]] ambazo hutumika katika elimu, biashara, na mawasiliano ya kimataifa. Mchanganyiko huu wa lugha unaakisi historia ya taifa hilo ambalo limepitia vipindi vya ukoloni na maingiliano ya kimataifa. Kifaransa kinabaki kuwa lugha ya elimu ya juu, utawala na sayansi, hasa katika maeneo ya mijini, huku Kihispania kikitumika zaidi katika maeneo ya kaskazini ya nchi karibu na Ceuta na Melilla. Muziki wa Morocco ni mojawapo ya alama muhimu za utambulisho wa kiutamaduni. Aina mbalimbali za muziki kama chaabi, gnawa, andalusi, rai, na muziki wa kifolklori wa Berber huonesha jinsi jamii ya Morocco inavyoenzi historia, dini, na mapokeo yao. Muziki wa Andalusi, kwa mfano, una mizizi ya karne ya 9 kutoka Hispania ya Kiislamu na leo huimbwa kwa ala kama oud, qanun, na rebab, huku wimbo ukitawaliwa na ubeti wa ushairi wa Kiarabu wa kale. Muziki wa Gnawa, kwa upande mwingine, unatoka katika mila za Waislamu Waafrika waliotoka kusini mwa Sahara, ukiwa na midundo ya tambura na dansi za kipekee za kidini na kiafya, ambazo zimekuwa kivutio hata kwa muziki wa kisasa duniani. Sanaa ya Morocco imejikita katika [[usanifu majengo]] (architecture), [[ufinyanzi]], [[uchoraji]], sanaa ya miundo ya kijiometri (zellij), [[uchongaji]] wa mbao, na urembo wa maandishi ya Kiarabu (calligraphy). Miji kama Fes, Marrakesh, na Meknes ni mifano hai ya urithi huu ambapo misikiti, madrasa, na nyumba za kifalme huonesha kazi ya mikono yenye ustadi mkubwa. Mandhari ya usanifu wa Morocco hujumuisha kuta zilizoandikwa maandiko ya [[Uislamu|Kiislamu]], dari za mbao zilizochongwa kwa mikono, na chemchemi za mawe zenye mapambo ya rangi nyingi. Haya yote huakisi msimamo wa dini ya Kiislamu kuhusu uzuri, usafi, na ustaarabu. Sanaa ya ufinyanzi na kutengeneza mazulia (rugs) pia ni sehemu muhimu ya utamaduni wa jadi, hasa kwa wanawake wa jamii za Amazigh ambao hutumia kazi hizi kama njia ya mawasiliano ya kisanaa, kifamilia na kijamii. Mavazi ya jadi ya Morocco yamebeba utambulisho wa taifa. Wanaume huvaa jellaba vazi refu lenye kofia hasa wakati wa sherehe za kidini au baridi kali, huku wanawake wakivalia kaftan au takchita wakati wa harusi na hafla za kifamilia. Rangi, mapambo, na mitindo ya mavazi haya hutofautiana kulingana na kabila, eneo na tukio. Vifaa vya mapambo kama vile hereni za fedha, vikuku vya jadi na mikufu vimekuwa sehemu ya utamaduni wa wanawake wa Morocco, hasa katika jamii za Amazigh, ambako mapambo haya yana maana ya kitamaduni na kisanii. Dini ina nafasi muhimu katika utamaduni wa Morocco<ref>Hammoudi, Abdellah. ''Master and Disciple: The Cultural Foundations of Moroccan Authoritarianism''. University of Chicago Press, 1997.</ref>. [[Uislamu]] ni dini ya taifa na kundi kubwa la Wamorocco ni Waislamu wa [[Wasuni|Sunni]] wa madhehebu ya Maliki. Athari ya dini inaonekana katika mavazi, maadili, usanii wa majengo, na desturi za kijamii. Sherehe za kidini kama [[Idd el Fitr|Eid al-Fitr]], [[Eid al-Adha]], na Maulid huadhimishwa kwa ibada, futari za kifamilia, na ngoma za jadi. Hata hivyo, taifa linatambua uwepo wa dini nyingine kama Ukristo na Uyahudi, ambao ni sehemu ya historia yake ya karne nyingi, hasa kwa Wayahudi waliokuwa sehemu ya jamii ya Morocco kwa karne nyingi kabla ya uhama mkubwa wa karne ya 20. Katika upande wa jamii, familia ndiyo kitovu cha maisha ya kila Mmorocco. Maadili ya kijamii yamejengwa juu ya heshima kwa wazazi, mshikamano wa kifamilia, na kusaidiana kati ya majirani. Harusi hufanyika kwa mfululizo wa siku kadhaa za sherehe zenye ngoma, mavazi ya asili, na vyakula maalum. Mila za jadi kama ''hammam'' (bafu la jadi la kijamii), ''souq'' (masoko ya wazi), na ''moussem'' (sherehe za kidini na kitamaduni) bado ni muhimu katika maisha ya kila siku ya Wamorocco wa mijini na vijijini. Morocco pia ni taifa linaloenzi utamaduni wa kisasa kupitia filamu, fasihi na muziki wa kizazi kipya. Miji kama Casablanca na Rabat ina majukwaa ya filamu, matamasha ya muziki, na tamasha la kimataifa la filamu la Marrakech (Marrakech International Film Festival) ambalo linavutia wageni kutoka duniani kote<ref>UNESCO. “Morocco: Intangible Cultural Heritage.” www.unesco.org.</ref>. Waandishi kama Tahar Ben Jelloun na Leïla Slimani wamepeperusha bendera ya fasihi ya Morocco kimataifa kupitia maandishi yao yanayozungumzia maisha ya Wamorocco wa leo, changamoto zao na mivutano kati ya jadi na kisasa. Pamoja na hayo yote, utamaduni wa Morocco unaendelea kukua na kubadilika, ukichukua vipengele vya utandawazi bila kupoteza mizizi yake ya kihistoria. Taifa hili linaendelea kulinda urithi wake kupitia taasisi kama ''Ministère de la Culture du Maroc'', huku likiwahimiza vijana kushiriki katika kuhifadhi na kubuni maumbo mapya ya utambulisho wa kitaifa<ref>World Bank. “Morocco Cultural Sector Overview.” www.worldbank.org</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} 9xh5b8ajk21b3dbku80areesnxun7bu