Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.46.0-wmf.24 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Event Event talk Wakaguru 0 5717 1508145 1477785 2026-04-21T10:57:05Z Andrew malanda 88835 Malanda 1508145 wikitext text/x-wiki '''Wakaguru''' (au '''Wakagulu'''<ref>Lugha yao haina "r" ila "l"; vilevile haina "z" ila "s"; pia haina "v" ila "f" (mfano ''fiasi'' ikiwa na maana ya [[Kiazi|viazi]])</ref>) ni [[kabila]] la [[Binadamu|watu]] wa [[Tanzania]] ambalo ni mojawapo ya makabila makuu katika [[mkoa wa Morogoro]]<ref>[https://wakagulu.blogspot.com/2018/01/ Wakagulu]</ref>. Huko wanaishi hasa katika [[wilaya]] za [[Wilaya ya Kilosa|Kilosa]] na [[Wilaya ya Gairo|Gairo]]. Pia wako katika [[mkoa wa Dodoma]] ([[Wilaya ya Mpwapwa|Mpwapwa]] na [[Wilaya ya Kongwa|Kongwa]]), [[Mkoa wa Manyara]] ([[Wilaya ya Kiteto|Kiteto]]) na sasa wanatanuka zaidi maeneo ya [[Wilaya ya Handeni|Handeni]] na [[Wilaya ya Kilindi|Kilindi]] [[Mkoa wa Tanga|mkoani Tanga]]. [[Lugha]] yao ni [[Kikaguru|Kikagulu]]. [[Kiongozi|Mtawala]] wao hujulikana kwa [[jina]] la Mundewa. [[Mila|Kimila]] walikuwa wanamwabudu [[Mungu]] kwa jina la Mulungu/Mateke/Mundewa. ==Historia== Ukifuatilia [[simulizi|masimulizi]] ya [[wazee]], hususan wakati wa [[sherehe]] za kumaliza [[msiba]] (mwidiki) yanaonesha kuwa Wakagulu walitokea maeneo ya [[Rwanda]] na [[Burundi]] za sasa ila baadhi ya wazee hudai walitoka maeneo ya [[Malawi]]. Walihama maeneo hayo kutokana na [[ukame]] uliokuwepo na matatizo mengine ya ki[[vita]]. Walipita maeneo mengi yakiwemo [[Konongo]] ([[Ukimbu]]), [[Mkoa wa Rukwa|Mkoani Rukwa]]; baadaye walipita maeneo ya [[Mkoa wa Singida]] hadi wakaingia [[Rudi]] (Kusini mwa Mpwapwa). Baada ya kuishi hapo kwa muda waliparamia [[Milima ya Ukaguru]], lakini bado walikuwa na [[mawasiliano]] makubwa na watu wa Konongo. Katika kuzungukazunguka huko milimani ndipo zilipojitokeza [[ukoo|koo]] mbalimbali za Wakagulu kutokana na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiwapata [[wanawake]]. Kwa mfano ukoo wa Wambigo ulipatikana baada ya [[wahenga]] kukanyaga [[maji]] yaliyokuwa yanajizungusha (Gakubiga) kwenye [[mto Mkondoa]]. Kwa msingi huo Wakaguru, kama [[Waluguru]], [[Wakutu]], [[Wazaramo]] na [[Wakwere]] wanafuata [[mfumojike]], yaani [[ukoo]] wa [[mama]] ndio unaoongoza [[familia]], na [[watoto]] wote wanahesabiwa kuwa wa ukoo (welekwa) huo. ==Mila na desturi== Kufikia [[karne ya 18]] mnamo [[mwaka]] [[1776]] kabila la Wakaguru lilikuwa linajulikana likiwa na [[mila]] na [[desturi]] zake ambazo ndizo miongozo na dira ya [[maisha]] ya kuelekeza [[jamii]] katika makuzi mazuri. Vipengele vinavyohusisha mila na desturi za Wakaguru ni kama vile: [[jando]] na [[unyago]], [[tambiko]], kumaliza [[msiba|misiba]] (mwidiki), [[Mazishi|kuzikana]], [[ujenzi]] wa [[nyumba]], [[ngoma]] za jadi na [[michezo]], kusalimiana, [[elimu]], [[ufundi]], [[biashara]] na [[uchumi]], [[kilimo]] na [[mazao]], [[ndoa]] na [[mahari]], [[ulinzi]] na usalama, [[ufugaji]], [[utawala]] n.k. Kufikia sasa zipo mila na desturi ambazo zinaendelezwa, wakati nyingine zimeachwa kutokana na [[maendeleo]] ya [[sayansi]] na [[teknolojia]] pamoja na kuingiliwa na [[tamaduni]] nyingine. Humu huchambuliwa kwa undani kidogo ili kufahamu utamaduni wa Wakaguru tokea mwanzo na kuona mila zipi zinatakiwa ziendelezwe na zipi zipigwe [[vita]] kwa maana zimepitwa na wakati. ===Jando na unyago=== Jando na unyago ni mafunzo ya jadi yanayotolewa kwa [[vijana]] wa kiume na wa kike kuwaandaa kwa maisha ya [[utu uzima]]. Mafunzo hayo yaliambatana na [[tohara|kutahiriwa]] kwa watoto wakiume. Mafunzo haya yanatolewa kulingana na kitivoː kwa mfano, kitivo cha jando ni mafunzo kwa vijana wa kiume na unyago ni kitivo cha mafunzo ya vijana wa kike. Yote yakiwa na lengo la kuwaandaa vijana kuingia maisha ya utu uzima. Jando ni kitendo cha kuwapeleka vijana wa kiume sunnah kwa lengo la kuwatahiri na kuwapa mafunzo ya jadi kulingana na utamaduni wa kabila husika. Jando la asili la Wakaguru lilikuwa kama ifuatavyo: Siku moja kabla ya siku ya kutahiriwa, vijana (waluko) walinyolewa [[nywele]] za [[Kichwa|kichwani]] (kugetigwa) kama [[ishara]] ya kuwaandaa wali na hapo ngoma za jadi zilipigwa [[usiku]] kucha (nghoma ya mugono) yaani mpaka siku ya tukio. Ngoma hizo ni kama vile mkwaju ngoma (chidugo), igubi, (kayamba), kabati, mdumange, silanga (shilanga) au nyinginezo. Ngoma hizo zilipigwa zote au baadhi kutegemeana na uamuzi au uchumi wa mwenye [[sherehe]] kwa sababu walioalikwa walikula na kunywa [[pombe]] bure kwa [[gharama]] za mwenye sherehe. Siku ya tukio la kutahiri, [[alfajiri]] kila kitu kilikuwa kimeandaliwa na [[pembe]] ya [[mnyama]] (igunda) ilipigwa kuashiria shughuli imeiva. Tofauti na kipindi hiki ambapo jando linaweza kufanyika kwa kutahiri hata mtu mmoja Tena mambo yakaenda kisasa (kutahiri [[Hospitali|hospitalini]]), zamani Wakaguru waliwatahiri vijana wakiwa wengi Tena waliokwisha [[balehe]] na kwa [[kundi]], labda itokee yupo mmoja tu katika [[familia]] au [[ukoo]]. Hivyo siku hiyo wali (watahiriwa) walikusanywa na kupeleka sehemu ya tukio palipoitwa kuchibalu. Walikusanywa sehemu moja ili kumrahisishia [[ngariba]] (muhunga) kuweza kufanyia kazi yake sehemu moja. Walipokuwa wanasindikizwa kuelekea sehemu ya tukio, walifungwa [[nguo]] lubega bila ya nguo zaidi huku wakisindikizwa na [[nyimbo]] ikiwemo "namutema na majelee, sombwe eyaaa namutema na majele". Baada ya kufika kwenye tukio (kuchibalu) vijana waliingizwa kwenye chemba ya sehemu maalumu ya kutahiria tayari kwa kumsubiri ngariba ambaye alikuwa wa kijadi pia, si [[daktari]] wa kisasa wa hospitalini. Wakati ngariba alipokaribia sehemu ya tukio, pembe ya mnyama ilipulizwa kwa nguvu kuashiria [[mtaalamu]] amefika, kwa wale waoga ulikuwa ndio wakati wa kujikojolea. Muda huo nyimbo mbalimbali ziliimbwa na ngoma ya igubi kupigwa ikihusisha wake kwa waume. Ngariba alipoingia eneo la tukio alikuwa hana salamu na mtu, na mara moja aliingia walikokuwako wali ili shughuli kuanza. Hapo [[wanawake]] hawakuruhusiwa kuingia kuona, ila [[wanaume]] tu, tena wanaume ambao hawajatahiriwa (walajoni) hawakuruhusiwa kuingia na kuona tukio. Kama iligundulika kuna mwanamume hajatahiriwa na anashuhudia tukio, hakutolewa nje bali alikamatwa kwa nguvu na kutahiriwa hata kama [[wazazi]] au [[walezi]] wake hawakupanga iwe hivyo. Aidha ilikuwa ruksa kwa mtu huyo kuingia na kutaka kutahiriwa kwa [[hiari]] (kigumila). Wakati wa kutahiriwa vijana walipangwa katika mstari ili aanze mmoja na afuate mwingine, na kwa mila za Kikaguru kama kuna mtu na mdogo wake ilitakiwa aanze kutahiriwa mkubwa (Chilongola), ndipo afuate mdogo.Na kama kulikuwa na watoto wa mtu na [[dada]] yake ilitakiwa watangulie kutahiriwa wa dada (wa babamunu), ndipo wafuate wa [[kaka]] (iwana). Na hii ilikuwa hivyo kwa sababu dada ndiye anayeendeleza ukoo (ukungugo). <ref>Mzee mmoja kutoka kijiji cha Kibedya, mwl. David Chidaka, anasema: "mtoto wa dada ndiye anayeendeleza ukoo katika jamii zinazofuata ukoo wa mama (matrilineal societies), hivyo ni lazima aanze yeye kutahiriwa ndo wafuate watoto wa kaka".</ref> Shughuli ilianza kwa kijana mmojammoja kukamatwa na [[mzee]] au kijana mwenye [[nguvu]], hapo mtahiriwa alitolewa nguo iliyokuwa imefungwa lubega na kubaki kama alipozaliwa na kukalishwa chini na [[operesheni]] kuanza. Wakati huo ngoma za jadi huko nje ziliendelea kupigwa ili [[sauti]] za wanaotahiriwa, hasa wanaolia kwa [[maumivu]], zisisikike, mfano wa wimbo ni "chailaila chelele ichibadya chailaila chelele". Operesheni kwa kila mmoja ilifanyika kama [[dakika]] [[tatu]] kwa kutumia [[kisu]] kidogo kilichoitwa "lumo" na ilifanyika kwa uchungu mkali kwani zamani Wakaguru walitahiriwa bila [[ganzi]] za kutuliza maumivu. Hii ilipima [[ukomavu]] kwani ikitokea ukatahiriwa bila ganzi na usilie ulionekana ni mwanamume mkomavu. Japo desturi hiyo ilipotea na kuanza kutumia [[sindano]] za ganzi kabla ya kutahiri ili kupunguza maumivu ya tohara. Ni dhahiri kwamba zamani, kabla ya kuibuka kwa [[magonjwa ya kuambukiza]] kama [[Ukimwi]], kwa kushiriki [[vifaa]] vyenye [[ncha]] kali kama kisu, tohara ilifanyika kwa kutumia kisu kimoja au vichache kutahiri kundi kubwa. Hivyo walichanga kisu. Baada ya shughuli ya tohara kuisha wali wanyamulusi) walikalishwa pembeni kwa kuvalishwa nguo lubega, na hapo hakuna aliyempa mwenzake pole wala hongera. Mara moja walipewa singa (mpunza) zilizotengeneza kwa [[vitambaa]] au [[nyuzi]] za wanyama, hasa [[ng`ombe]], kwa ajili ya kufukuzia [[nzi]] wasitue kwenye [[jeraha|majeraha]]. Baada ya hapo walijitokeza vijana waliokwisha tahiriwa zamani na kuonesha sehemu zao za [[uume]] kwa waliotahiriwa siku hiyo ili kutoa wasiwasi kwamba ipo siku watapona na watakuwa kama wao. Baada ya tukio kumalizika ngariba aliondoka kurudi kwake au kuendelea na ratiba yake, na kila kikundi kilikaa kwa masaa kadhaa na kurudishwa kambini (kikumbi) na kuanza maisha ya jandoni. Na kama wote walikuwa wa hapohapo (hachibalu) maelekezo ya kuanza maisha ya jandoni yalitolewa likiwemo la kukaa vizuri kwa kupanua [[miguu]] [[saa]] zote ili kuepuka kuumia kwa sehemu za jeraha zisigusane na sehemu nyingine za [[mwili]], hasa [[mapaja]]. Waliorudishwa kambini kwao walitembezwa polepole huku nyimbo zikiimbwa njiani hadi kwenye kambi yao moja kwa moja na hawakuruhusiwa kurudi tena nyumbani (ukaya). Ikumbukwe kuwa makazi ya jando yalijengwa mbali kidogo na makazi ya watu ili mafunzo yote yanayotolewa huko, zikiwemo baadhi ya nyimbo na [[mizimu]] (figono), yasisikike kwa vijana ambao hawajatahiriwa wala na wanawake, ijapokuwa kwa kanda nyingine za Ukaguru baadhi ya wanawake walizijua. Wakati wanyamulusi wamesharudishwa kambini siku hiyo na kuanza maisha ya jandoni huku nyumbani ngoma zilipigwa usiku kucha hadi siku iliyofuata watu walikula na kunywa pombe sana. Kesho yake au zaidi ya siku hiyo mwenye shughuli alisitisha ngoma na kuwaamuru watu kurudi makwao vikiwemo vile vikundi vya ngoma na kutoa shukurani kwa ushiriki wao. ====Maisha jandoni==== Baada ya kurudi kutoka sehemu ya kutahiriwa (kuchibalu), au kama ni hapohapo, maisha ya jandoni yalianza. Hapo utaratibu wa namna ya kuishi ulitolewa na wazee wa jando (wasehe we dikumbi) ikiwemo kufuata taratibu, desturi na sheria zote za maisha ya jandoni na kusahau maisha ya nyumbani. Siku za mwanzo zilikuwa zinaumiza kwani mazingira yalikuwa hayajazoeleka kwa watahiriwa, jeraha la tohara lilikuwa linauma sana na haja ndogo ilikuwa inatoka kwa shida kukiwa na maumivu makali. Pia tahadhari kubwa ilihitajika wakati wa haja ndogo, wakati wa kutembea na kulala. Kwa mfano, wakati wa kulala mtahiriwa hufungwa miguu kwa mti wa fito kutenganishwa mapaja au kuvalishwa bua la mtama lililoitwa ingowe ili sehemu za tohara zisigusane na sehemu nyingine za mwili. Kadiri siku zilivyoongezeka mambo ya jandoni yalizidi kuongezeka pia, hasa katika kufuata sheria, kanuni, taratibu na ratiba ya kila siku. =====Ratiba ya kila siku===== Katika maisha ya jandoni kulikuwa hakuna ratiba maalumu kwa siku zote. Kwa mfano, siku za mwanzoni watahiriwa waliachwa kupumzika na kulala kwa muda mwingi kwa kuwa jeraha la tohara lilikuwa bado sana. Lakini siku hizo zilikuwa ndizo muda wa kujifunza nyimbo na mizimu (figono) ambavyo vilikuwa vyenye mafunzo matupu ya juu ya kuishi vizuri na jamii, kujua miiko, mila na desturi pamoja na namna ya kuishi vizuri na mke au maisha ya utu uzima kwa ujumla. Basi kwa wakati wa usiku mzee mmoja au mtu yeyote pale alianza kuimbisha nyimbo mbalimbali ikiwemo "woile wa ng'anga injogolo kaugamba wakwe" (usiku) × 4. Baada ya kuimbisha nyimbo nyingi ilipofika alfajiri na mapema waluko waliamshwa na kutolewa nje na kupelekwa sehemu kama mlimani au kwenye baridi kali na kuamriwa kubinuka (kubong'ka) kwa kugeukia upande unaotokea baridi ili sehemu ya tohara ipulizwe na baridi na kuwezesha kidonda kupona haraka. Kumbuka sehemu yenye baridi kidonda hupona haraka kuliko penye joto. Hivyo zoezi hilo lilikuwa linafanyika mara kwa mara alfajiri na mapema mpaka pale jeraha litakapokuwa limepona. Waliokuwa wanafeli zoezi hilo walikuwa wanachapwa kwa fimbo mgongoni iliyoitwa "sungululu". Baada ya zoezi hilo walirudishwa kambini (kikumbi/kilago) kuendelea na ratiba nyingine. Ratiba ya asubuhi kulikuwa hakuna desturi ya kunywa chai kama ilivyo siku hizi, bali kulikuwa na desturi ya waluko kupewa vipande viwili vya kiporo cha ugali vilivyoitwa "masemba" na kuambiwa kimoja akishike mkono wa kulia na kimoja mkono wa kushoto. Baada ya hapo kimoja atafanya kama chai na kingine kama kitafunwa. Baada ya hapo ratiba iliyofuata ilikuwa ni kutoka nje ya kambi kwenda porini (kudima) ambapo huko nako mafunzo ya nyimbo na mizimu viliendelea kufunzwa na tafsiri zake. Tafsiri zilitolewa sababu nyimbo nyingi na mizimu ziliimbwa kwa mafumbo tu ambapo zilikuwa ngumu kuzielewa kwa lugha ya moja kwa moja. Wakati wa kutoka kambini na kuelekea porini waluko/wanyamulusi hawakuruhusiwa kuondoka wenyewe bali na kiongozi wao (muhunga) au watu wengine. Kabla ya kutoka nje walipakwa majivu baadhi ya sehemu za mwili, hasa usoni, na walikanywa kutokuangalia sura za wanawake. Wakati wa kutoka kambini walitoka kwa wimbo maalumu kama vile "wang'anga mleche chibite" (chilutulule) × 4. Huko porini/kwenye mabua (kudima) baadhi ya viongozi (wahunga) walitumia fursa hiyo kuwatesa na kuwapa adhabu mbalimbali (baadhi yalikuwa mateso au ukatili): lengo ni kuwafanya wawe jasiri na pengine kuwaonea wale waliokuwa na jeuri majumbani. Mfano wa mateso ni kunyoosha mkono juu kwa zaidi ya saa moja na ukishusha chini kulikuwa kuna miba inakuchoma (chiupime mkono wa Baba), kupigwa sehemu ya mkono kwa fimbo maalumu (sungululu), kuvutwa pua kwa nguvu (kusopigwa) n.k. ===== Ratiba ya usiku ===== Baada ya takribani majuma matatu hivi wanawake walilazimika kuja kikumbi wakati wa usiku na kuwaimbisha wanyamulusi nyimbo mbalimbali mfano; hogwe hogwe hogwe mnyetumba malenga makali gwe hongwe mnyetumba) (walishirikiana na vijana wa kiume) jambo hilo lilijulikana kama mzazi (kumzazi). Aidha namna hii iliambatana na kutoa zawadi (kwaika: kitendo cha kutoa pesa au mahindi n.k. kwa wanyamulusi) mara kadhaa namna hii ilitokea mchana ambapo ilihusisha wanawake kuja na pombe hivyo hunywa na kuimba pamoja na wanaume jandoni. Pia kulikuwa na utamaduni wa wajomba kuleta mbuzi na kondoa hivyo kuchinja na kula pamoja jandoni. ===== Kuhusu kuingia jandoni (kikumbi) ===== Ililazimika mtu kupiga hodi zaidi ya mara moja (hodi - watu wa ndani huitikia hodi karibu hodi tatu). Wanawake pia walilazimika kuingia kwa mtindo wa aina yake wakiwa wanaleta chakula na chakula hakikuruhusiwa kugaiwa mpaka mtu mmoja aanze kula, kitendo kilichojulikana kama kutema ngelu (kumega tonge kadhaa juu). Baada ya miezi au kipindi fulani hasa kukiwa na uhakika kuwa kila mmoja amepona, siku ya kutoka inapangwa. Kulikuwa na maandalizi maalum ikiwemo wazazi kuwanunulia vijana (wanyamulusi) nguo maalum, pombe kupikwa na baadhi ya vyakula mfano kande na ngoma hupigwa usiku kucha kuelekea siku ya tukio. Usiku wa manane wanyamulusi huamshwa na kupakwa tope zito (kumbuka wanyamulusi hawakuruhusiwa kuoga kwa kipindi chote cha jandoni, hivyo walipakwa tope maalum ili kurahisisha kuoga na kutoa uchafu (jikwe) kirahisi. Baada ya hapo walilazimika kuota moto na kuimba usiku kucha huku nje ngoma na aina nyingine ya nyimbo ziliendelea kwa baadhi ya familia zilizokuwa na uchumi mkubwa zilichinja ng'ombe ili watu walu (mzee mmoja wa kitongoji cha mabarangu katika kata ya sagara wilayani kongwa alisema ''Nimeamua kuwachinjia ng'ombe wanangu ili wale na kufurahi'' hatimaye kunakucha. Maandalizi ya kutoka yaliendelea na wageni na ndugu wa wanyamulusi wakiendelea kumiminika (kufika) na ikifika sa nne au sa tano asubuhi wanyamulusi wanapelekwa kuogeshwa na majira ya sa 10 mpaka sa 12 wanavarishwa vizuri nguo zao zilizonunuliwa na kuanza kutoka kwa nyimbo maalum wakiwa kwenye mstari na wakiwa wamezungukwa na umati wote wa watu waliofika, mfano wa nyimbo zilizoimbwa ni 'chailawa nyika yetu gwee' wakiwa wanaelekea kwa bibi au shangazi na hawakuruhusiwa kugeuka nyuma kuangalia moshi wa ikumbi (mara tuu walipoanza kutoka wazee na watu wengine huanza kuangusha na kuchoma sehemu waliokuwa wanaishi (kikumbi) ilidhaniwa ukigeuka nyuma utakuwa na akili ndogo). Hatimaye wanafika kwa bibi na kupewa majina mapya na kulala huko huku wakiwa na fimbo maalum na mara tuu wakivalishwa nguo zao mpya wanakuwa sio tena wanyamulusi bali ni wansalu. === Baadhi ya miiko (tabu) === Ilikuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kula au kunywa maji akiwa amesimama, ukibainika kufanya hivyo hupewa adhabu ikiwemo pesa na pombe na vitu vingine. Aidha ukiwa mtu amefanya jambo kubwa mfano kupigana na kuharibu sehem ya ikumbi adhabu kali zilitolewa na msee we dikumbi (mzee) ikiwemo kuchinja mbuzi hata ng'ombe. ==Majina asilia ya Wakaguru== Ni kama haya: Balasa, Balisidya, Buwa, Chabaja, Chabonga, Chadibwa, Chagaya, Chambila, Chambo, Chamdwaki, Chamila, Chammbago, Chamuhulo, Chamukaya, Chamukiwa, Chamukongo, Chamulile, Chamung'owo, Chamusala, Chamwela, Chamwenye, Chauhele, Chaulema, Cheja, Chenda, Chibada, Chibago, Chibaite, Chibakwa, Chibali, Chibula, Chibwale, Chidabu, Chidisa, Chidodolo, Chidundo, Chiduo, Chigae, Chigaile, Chigenda, Chigolo, Chigonamhanda, Chigule, Chihamba, Chihame, Chihede, Chihwayaga, Chikwilo, Chilemile, Chilenga, Chilimo, Chilongola, Chiloya, Chimaisi, Chimbwiji, Chimende, Chimile, Chimola, Chinyaguke, Chinyemi, Chipumbwiji, Chisalu, Chisanga, Chisegele, Chiselema, Chisepo, Chisina, Chisoma, Chisongela, Chisuligwe, Chitembele, Chitemo, Chitengu, Chitojo, Chiwangala, Chiwinga, Chiyumbe, Chogohe, Chumbuke, Dibalaluke, Dibwalate, Difulata, Digosi, Dihile, Dihungwa, Dihuwi, Dilongwa, Dimondigwe, Disalu, Disoile, Dumangi, Dyaki, Dyausa, Finyilise, Haba, Jenga, Kachenda, Kadudu, Kadugu, Kaila, Kaine, Kalaita, Kalumwa, Kamwaya, Kedime, Kobadi, Kusahila, Kusalula, Kutamika, Kwilolo, Kwimage, Lechilema, Legeto, Lembao, Lemugoha, Lemugoli, Lubungo, Ludege, Lugendo, Lusega, Mabene, Machaku, Machigao, Machilo, Machinhondwe, Madihemba, Madikuli, Madikunde, Madinyani, Madisemu, Maduo, Magaya, Magayo, Mageni, Magomba, Magome, Magota, Mahimbo, Mahoka, Mahule, Mahunganya, Mahungo, Mahuwi, Mailang'a, Maine, Maiwe, Majele, Majuto, Makiga, Makiwa, Makoo, Malamula, Malau,Malanda, Malekela, Malema, Maleo, Malonga, Malundo, Mambusi, Mamhako, Mamponela, Mamsagala, Mamulali, Mamulwanda, Mamunyau, Mamwijumbe, Mandalo, Manghombe, Manhembo, Manjala, Manjoge, Manyono, Mapolela, Mashale, Masingisa, Mauda, Mauya, Mbaigwa, Mbesigwa, Mbilime, Mdogelwa, Meda, Milangasi, Milungu, Mkami, Mkejua, Mkola, Mkuchu, Mkunda, Mkwama, Mlahagwa, Mogwa, Mshomi, Mubeswa, Muchalo, Muchogo, Muchuno, Mudede, Mudugi, Mugaisa, Mugego, Mugela, Mugoba, Mugoja, Mugoli, Mugonde, Mugosiyegale, Mugulambwa, Muguye, Mugweno, Muhanga, Muhindila, Muhingeni, Muhingwa, Muhonya, Mukamilo, Mukegumbo, Mukemuno, Mukiwa, Mulegu, Mulemwa, Muliga, Mulimbo, Muliwa, Muloka, Mulongwa, Mulunye, Mulwanda, Mumasa, Mumbigo, Mumigwa, Munange, Mundele, Munegelo, Munghumbi, Mungulumi, Munhambi, Munhambo, Munhonya, Munjowe, Munyagatwa, Munyamale, Munyandwa, Munyasi, Munyeke, Munyonaki, Musagala, Musale, Musanya, Musekeni, Musele, Musemuhne, Musemwa, Musoka, Musongwe, Musowa, Musulwa, Musung'wa, Mutalo, Mutambi, Mutimi, Mutuga, Mutyani, Muya, Muyagila, Muyumbo, Mwagile, Mwambale, Mwanahemba, Mwanamasi, Mwangila, Mwedi, Mwedimage, Mwegoha, Mweluhanga, Mwendi, Mwesongo, Mwesuwa, Mwidongo, Mwigohe, Mwigumila, Mwijonge, Mwijumbe, Mwikosa, Mwikuyu, Mwilogola, Mwilondo, Ndianao, Ndiane, Ndudula, Ndugu, Nefumba, Negelo, Nekuyu, Nelima, Nelugendo, Nghamanyigwe, Nghendigwe, Nghinambuya, Nghinandugu, Ngitao, Ngobei, Ngoila, Nhamagwa, Nhemigwa, Nhongelahe, Noge, Nyamiti, Nyangasi, Pilimbe, Sagumo, Saileni, Samanya, Sambasa, Sambasike, Sangamwani, Sebogo, Sebunga, Sehaba, Sehingwe, Sekaila, Sekwao, Seluhinga, Selunga, Semango, Semboga, Sembuche, Sembuli, Semugomba, Semukiwa, Semusela, Semwenda, Semwene, Semwija, Sendeu, Seng'ana, Seng'ina, Seng'unda, Senyagwa, Sewando, Sewejo, Sinakinyone, Sinjeni, Sugaji, Sulagwa, Walulenga, Wando, Wanhija, Wanhonga, Wanyenda, Wendo. ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Marejeo== * Bauer, Andreas, ''Street of Caravans'' {{en}} * Beidelman, Thomas, ''The Cool Knife'' {{en}} * Beidelman, Thomas, ''The Kagura'' {{en}} {{Makabila ya Tanzania}} {{Mbegu-utamaduni-TZ}} {{DEFAULTSORT:Kaguru}} [[Jamii:Makabila ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Wilaya ya Gairo]] [[Jamii:Wilaya ya Kilosa]] [[Jamii:Wilaya ya Kiteto]] [[Jamii:Wilaya ya Kongwa]] [[Jamii:Wilaya ya Mpwapwa]] j0n5yc02apwvr7bwbha29ejosekx23x 1508146 1508145 2026-04-21T10:58:08Z Andrew malanda 88835 , 1508146 wikitext text/x-wiki '''Wakaguru''' (au '''Wakagulu'''<ref>Lugha yao haina "r" ila "l"; vilevile haina "z" ila "s"; pia haina "v" ila "f" (mfano ''fiasi'' ikiwa na maana ya [[Kiazi|viazi]])</ref>) ni [[kabila]] la [[Binadamu|watu]] wa [[Tanzania]] ambalo ni mojawapo ya makabila makuu katika [[mkoa wa Morogoro]]<ref>[https://wakagulu.blogspot.com/2018/01/ Wakagulu]</ref>. Huko wanaishi hasa katika [[wilaya]] za [[Wilaya ya Kilosa|Kilosa]] na [[Wilaya ya Gairo|Gairo]]. Pia wako katika [[mkoa wa Dodoma]] ([[Wilaya ya Mpwapwa|Mpwapwa]] na [[Wilaya ya Kongwa|Kongwa]]), [[Mkoa wa Manyara]] ([[Wilaya ya Kiteto|Kiteto]]) na sasa wanatanuka zaidi maeneo ya [[Wilaya ya Handeni|Handeni]] na [[Wilaya ya Kilindi|Kilindi]] [[Mkoa wa Tanga|mkoani Tanga]]. [[Lugha]] yao ni [[Kikaguru|Kikagulu]]. [[Kiongozi|Mtawala]] wao hujulikana kwa [[jina]] la Mundewa. [[Mila|Kimila]] walikuwa wanamwabudu [[Mungu]] kwa jina la Mulungu/Mateke/Mundewa. ==Historia== Ukifuatilia [[simulizi|masimulizi]] ya [[wazee]], hususan wakati wa [[sherehe]] za kumaliza [[msiba]] (mwidiki) yanaonesha kuwa Wakagulu walitokea maeneo ya [[Rwanda]] na [[Burundi]] za sasa ila baadhi ya wazee hudai walitoka maeneo ya [[Malawi]]. Walihama maeneo hayo kutokana na [[ukame]] uliokuwepo na matatizo mengine ya ki[[vita]]. Walipita maeneo mengi yakiwemo [[Konongo]] ([[Ukimbu]]), [[Mkoa wa Rukwa|Mkoani Rukwa]]; baadaye walipita maeneo ya [[Mkoa wa Singida]] hadi wakaingia [[Rudi]] (Kusini mwa Mpwapwa). Baada ya kuishi hapo kwa muda waliparamia [[Milima ya Ukaguru]], lakini bado walikuwa na [[mawasiliano]] makubwa na watu wa Konongo. Katika kuzungukazunguka huko milimani ndipo zilipojitokeza [[ukoo|koo]] mbalimbali za Wakagulu kutokana na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiwapata [[wanawake]]. Kwa mfano ukoo wa Wambigo ulipatikana baada ya [[wahenga]] kukanyaga [[maji]] yaliyokuwa yanajizungusha (Gakubiga) kwenye [[mto Mkondoa]]. Kwa msingi huo Wakaguru, kama [[Waluguru]], [[Wakutu]], [[Wazaramo]] na [[Wakwere]] wanafuata [[mfumojike]], yaani [[ukoo]] wa [[mama]] ndio unaoongoza [[familia]], na [[watoto]] wote wanahesabiwa kuwa wa ukoo (welekwa) huo. ==Mila na desturi== Kufikia [[karne ya 18]] mnamo [[mwaka]] [[1776]] kabila la Wakaguru lilikuwa linajulikana likiwa na [[mila]] na [[desturi]] zake ambazo ndizo miongozo na dira ya [[maisha]] ya kuelekeza [[jamii]] katika makuzi mazuri. Vipengele vinavyohusisha mila na desturi za Wakaguru ni kama vile: [[jando]] na [[unyago]], [[tambiko]], kumaliza [[msiba|misiba]] (mwidiki), [[Mazishi|kuzikana]], [[ujenzi]] wa [[nyumba]], [[ngoma]] za jadi na [[michezo]], kusalimiana, [[elimu]], [[ufundi]], [[biashara]] na [[uchumi]], [[kilimo]] na [[mazao]], [[ndoa]] na [[mahari]], [[ulinzi]] na usalama, [[ufugaji]], [[utawala]] n.k. Kufikia sasa zipo mila na desturi ambazo zinaendelezwa, wakati nyingine zimeachwa kutokana na [[maendeleo]] ya [[sayansi]] na [[teknolojia]] pamoja na kuingiliwa na [[tamaduni]] nyingine. Humu huchambuliwa kwa undani kidogo ili kufahamu utamaduni wa Wakaguru tokea mwanzo na kuona mila zipi zinatakiwa ziendelezwe na zipi zipigwe [[vita]] kwa maana zimepitwa na wakati. ===Jando na unyago=== Jando na unyago ni mafunzo ya jadi yanayotolewa kwa [[vijana]] wa kiume na wa kike kuwaandaa kwa maisha ya [[utu uzima]]. Mafunzo hayo yaliambatana na [[tohara|kutahiriwa]] kwa watoto wakiume. Mafunzo haya yanatolewa kulingana na kitivoː kwa mfano, kitivo cha jando ni mafunzo kwa vijana wa kiume na unyago ni kitivo cha mafunzo ya vijana wa kike. Yote yakiwa na lengo la kuwaandaa vijana kuingia maisha ya utu uzima. Jando ni kitendo cha kuwapeleka vijana wa kiume sunnah kwa lengo la kuwatahiri na kuwapa mafunzo ya jadi kulingana na utamaduni wa kabila husika. Jando la asili la Wakaguru lilikuwa kama ifuatavyo: Siku moja kabla ya siku ya kutahiriwa, vijana (waluko) walinyolewa [[nywele]] za [[Kichwa|kichwani]] (kugetigwa) kama [[ishara]] ya kuwaandaa wali na hapo ngoma za jadi zilipigwa [[usiku]] kucha (nghoma ya mugono) yaani mpaka siku ya tukio. Ngoma hizo ni kama vile mkwaju ngoma (chidugo), igubi, (kayamba), kabati, mdumange, silanga (shilanga) au nyinginezo. Ngoma hizo zilipigwa zote au baadhi kutegemeana na uamuzi au uchumi wa mwenye [[sherehe]] kwa sababu walioalikwa walikula na kunywa [[pombe]] bure kwa [[gharama]] za mwenye sherehe. Siku ya tukio la kutahiri, [[alfajiri]] kila kitu kilikuwa kimeandaliwa na [[pembe]] ya [[mnyama]] (igunda) ilipigwa kuashiria shughuli imeiva. Tofauti na kipindi hiki ambapo jando linaweza kufanyika kwa kutahiri hata mtu mmoja Tena mambo yakaenda kisasa (kutahiri [[Hospitali|hospitalini]]), zamani Wakaguru waliwatahiri vijana wakiwa wengi Tena waliokwisha [[balehe]] na kwa [[kundi]], labda itokee yupo mmoja tu katika [[familia]] au [[ukoo]]. Hivyo siku hiyo wali (watahiriwa) walikusanywa na kupeleka sehemu ya tukio palipoitwa kuchibalu. Walikusanywa sehemu moja ili kumrahisishia [[ngariba]] (muhunga) kuweza kufanyia kazi yake sehemu moja. Walipokuwa wanasindikizwa kuelekea sehemu ya tukio, walifungwa [[nguo]] lubega bila ya nguo zaidi huku wakisindikizwa na [[nyimbo]] ikiwemo "namutema na majelee, sombwe eyaaa namutema na majele". Baada ya kufika kwenye tukio (kuchibalu) vijana waliingizwa kwenye chemba ya sehemu maalumu ya kutahiria tayari kwa kumsubiri ngariba ambaye alikuwa wa kijadi pia, si [[daktari]] wa kisasa wa hospitalini. Wakati ngariba alipokaribia sehemu ya tukio, pembe ya mnyama ilipulizwa kwa nguvu kuashiria [[mtaalamu]] amefika, kwa wale waoga ulikuwa ndio wakati wa kujikojolea. Muda huo nyimbo mbalimbali ziliimbwa na ngoma ya igubi kupigwa ikihusisha wake kwa waume. Ngariba alipoingia eneo la tukio alikuwa hana salamu na mtu, na mara moja aliingia walikokuwako wali ili shughuli kuanza. Hapo [[wanawake]] hawakuruhusiwa kuingia kuona, ila [[wanaume]] tu, tena wanaume ambao hawajatahiriwa (walajoni) hawakuruhusiwa kuingia na kuona tukio. Kama iligundulika kuna mwanamume hajatahiriwa na anashuhudia tukio, hakutolewa nje bali alikamatwa kwa nguvu na kutahiriwa hata kama [[wazazi]] au [[walezi]] wake hawakupanga iwe hivyo. Aidha ilikuwa ruksa kwa mtu huyo kuingia na kutaka kutahiriwa kwa [[hiari]] (kigumila). Wakati wa kutahiriwa vijana walipangwa katika mstari ili aanze mmoja na afuate mwingine, na kwa mila za Kikaguru kama kuna mtu na mdogo wake ilitakiwa aanze kutahiriwa mkubwa (Chilongola), ndipo afuate mdogo.Na kama kulikuwa na watoto wa mtu na [[dada]] yake ilitakiwa watangulie kutahiriwa wa dada (wa babamunu), ndipo wafuate wa [[kaka]] (iwana). Na hii ilikuwa hivyo kwa sababu dada ndiye anayeendeleza ukoo (ukungugo). <ref>Mzee mmoja kutoka kijiji cha Kibedya, mwl. David Chidaka, anasema: "mtoto wa dada ndiye anayeendeleza ukoo katika jamii zinazofuata ukoo wa mama (matrilineal societies), hivyo ni lazima aanze yeye kutahiriwa ndo wafuate watoto wa kaka".</ref> Shughuli ilianza kwa kijana mmojammoja kukamatwa na [[mzee]] au kijana mwenye [[nguvu]], hapo mtahiriwa alitolewa nguo iliyokuwa imefungwa lubega na kubaki kama alipozaliwa na kukalishwa chini na [[operesheni]] kuanza. Wakati huo ngoma za jadi huko nje ziliendelea kupigwa ili [[sauti]] za wanaotahiriwa, hasa wanaolia kwa [[maumivu]], zisisikike, mfano wa wimbo ni "chailaila chelele ichibadya chailaila chelele". Operesheni kwa kila mmoja ilifanyika kama [[dakika]] [[tatu]] kwa kutumia [[kisu]] kidogo kilichoitwa "lumo" na ilifanyika kwa uchungu mkali kwani zamani Wakaguru walitahiriwa bila [[ganzi]] za kutuliza maumivu. Hii ilipima [[ukomavu]] kwani ikitokea ukatahiriwa bila ganzi na usilie ulionekana ni mwanamume mkomavu. Japo desturi hiyo ilipotea na kuanza kutumia [[sindano]] za ganzi kabla ya kutahiri ili kupunguza maumivu ya tohara. Ni dhahiri kwamba zamani, kabla ya kuibuka kwa [[magonjwa ya kuambukiza]] kama [[Ukimwi]], kwa kushiriki [[vifaa]] vyenye [[ncha]] kali kama kisu, tohara ilifanyika kwa kutumia kisu kimoja au vichache kutahiri kundi kubwa. Hivyo walichanga kisu. Baada ya shughuli ya tohara kuisha wali wanyamulusi) walikalishwa pembeni kwa kuvalishwa nguo lubega, na hapo hakuna aliyempa mwenzake pole wala hongera. Mara moja walipewa singa (mpunza) zilizotengeneza kwa [[vitambaa]] au [[nyuzi]] za wanyama, hasa [[ng`ombe]], kwa ajili ya kufukuzia [[nzi]] wasitue kwenye [[jeraha|majeraha]]. Baada ya hapo walijitokeza vijana waliokwisha tahiriwa zamani na kuonesha sehemu zao za [[uume]] kwa waliotahiriwa siku hiyo ili kutoa wasiwasi kwamba ipo siku watapona na watakuwa kama wao. Baada ya tukio kumalizika ngariba aliondoka kurudi kwake au kuendelea na ratiba yake, na kila kikundi kilikaa kwa masaa kadhaa na kurudishwa kambini (kikumbi) na kuanza maisha ya jandoni. Na kama wote walikuwa wa hapohapo (hachibalu) maelekezo ya kuanza maisha ya jandoni yalitolewa likiwemo la kukaa vizuri kwa kupanua [[miguu]] [[saa]] zote ili kuepuka kuumia kwa sehemu za jeraha zisigusane na sehemu nyingine za [[mwili]], hasa [[mapaja]]. Waliorudishwa kambini kwao walitembezwa polepole huku nyimbo zikiimbwa njiani hadi kwenye kambi yao moja kwa moja na hawakuruhusiwa kurudi tena nyumbani (ukaya). Ikumbukwe kuwa makazi ya jando yalijengwa mbali kidogo na makazi ya watu ili mafunzo yote yanayotolewa huko, zikiwemo baadhi ya nyimbo na [[mizimu]] (figono), yasisikike kwa vijana ambao hawajatahiriwa wala na wanawake, ijapokuwa kwa kanda nyingine za Ukaguru baadhi ya wanawake walizijua. Wakati wanyamulusi wamesharudishwa kambini siku hiyo na kuanza maisha ya jandoni huku nyumbani ngoma zilipigwa usiku kucha hadi siku iliyofuata watu walikula na kunywa pombe sana. Kesho yake au zaidi ya siku hiyo mwenye shughuli alisitisha ngoma na kuwaamuru watu kurudi makwao vikiwemo vile vikundi vya ngoma na kutoa shukurani kwa ushiriki wao. ====Maisha jandoni==== Baada ya kurudi kutoka sehemu ya kutahiriwa (kuchibalu), au kama ni hapohapo, maisha ya jandoni yalianza. Hapo utaratibu wa namna ya kuishi ulitolewa na wazee wa jando (wasehe we dikumbi) ikiwemo kufuata taratibu, desturi na sheria zote za maisha ya jandoni na kusahau maisha ya nyumbani. Siku za mwanzo zilikuwa zinaumiza kwani mazingira yalikuwa hayajazoeleka kwa watahiriwa, jeraha la tohara lilikuwa linauma sana na haja ndogo ilikuwa inatoka kwa shida kukiwa na maumivu makali. Pia tahadhari kubwa ilihitajika wakati wa haja ndogo, wakati wa kutembea na kulala. Kwa mfano, wakati wa kulala mtahiriwa hufungwa miguu kwa mti wa fito kutenganishwa mapaja au kuvalishwa bua la mtama lililoitwa ingowe ili sehemu za tohara zisigusane na sehemu nyingine za mwili. Kadiri siku zilivyoongezeka mambo ya jandoni yalizidi kuongezeka pia, hasa katika kufuata sheria, kanuni, taratibu na ratiba ya kila siku. =====Ratiba ya kila siku===== Katika maisha ya jandoni kulikuwa hakuna ratiba maalumu kwa siku zote. Kwa mfano, siku za mwanzoni watahiriwa waliachwa kupumzika na kulala kwa muda mwingi kwa kuwa jeraha la tohara lilikuwa bado sana. Lakini siku hizo zilikuwa ndizo muda wa kujifunza nyimbo na mizimu (figono) ambavyo vilikuwa vyenye mafunzo matupu ya juu ya kuishi vizuri na jamii, kujua miiko, mila na desturi pamoja na namna ya kuishi vizuri na mke au maisha ya utu uzima kwa ujumla. Basi kwa wakati wa usiku mzee mmoja au mtu yeyote pale alianza kuimbisha nyimbo mbalimbali ikiwemo "woile wa ng'anga injogolo kaugamba wakwe" (usiku) × 4. Baada ya kuimbisha nyimbo nyingi ilipofika alfajiri na mapema waluko waliamshwa na kutolewa nje na kupelekwa sehemu kama mlimani au kwenye baridi kali na kuamriwa kubinuka (kubong'ka) kwa kugeukia upande unaotokea baridi ili sehemu ya tohara ipulizwe na baridi na kuwezesha kidonda kupona haraka. Kumbuka sehemu yenye baridi kidonda hupona haraka kuliko penye joto. Hivyo zoezi hilo lilikuwa linafanyika mara kwa mara alfajiri na mapema mpaka pale jeraha litakapokuwa limepona. Waliokuwa wanafeli zoezi hilo walikuwa wanachapwa kwa fimbo mgongoni iliyoitwa "sungululu". Baada ya zoezi hilo walirudishwa kambini (kikumbi/kilago) kuendelea na ratiba nyingine. Ratiba ya asubuhi kulikuwa hakuna desturi ya kunywa chai kama ilivyo siku hizi, bali kulikuwa na desturi ya waluko kupewa vipande viwili vya kiporo cha ugali vilivyoitwa "masemba" na kuambiwa kimoja akishike mkono wa kulia na kimoja mkono wa kushoto. Baada ya hapo kimoja atafanya kama chai na kingine kama kitafunwa. Baada ya hapo ratiba iliyofuata ilikuwa ni kutoka nje ya kambi kwenda porini (kudima) ambapo huko nako mafunzo ya nyimbo na mizimu viliendelea kufunzwa na tafsiri zake. Tafsiri zilitolewa sababu nyimbo nyingi na mizimu ziliimbwa kwa mafumbo tu ambapo zilikuwa ngumu kuzielewa kwa lugha ya moja kwa moja. Wakati wa kutoka kambini na kuelekea porini waluko/wanyamulusi hawakuruhusiwa kuondoka wenyewe bali na kiongozi wao (muhunga) au watu wengine. Kabla ya kutoka nje walipakwa majivu baadhi ya sehemu za mwili, hasa usoni, na walikanywa kutokuangalia sura za wanawake. Wakati wa kutoka kambini walitoka kwa wimbo maalumu kama vile "wang'anga mleche chibite" (chilutulule) × 4. Huko porini/kwenye mabua (kudima) baadhi ya viongozi (wahunga) walitumia fursa hiyo kuwatesa na kuwapa adhabu mbalimbali (baadhi yalikuwa mateso au ukatili): lengo ni kuwafanya wawe jasiri na pengine kuwaonea wale waliokuwa na jeuri majumbani. Mfano wa mateso ni kunyoosha mkono juu kwa zaidi ya saa moja na ukishusha chini kulikuwa kuna miba inakuchoma (chiupime mkono wa Baba), kupigwa sehemu ya mkono kwa fimbo maalumu (sungululu), kuvutwa pua kwa nguvu (kusopigwa) n.k. ===== Ratiba ya usiku ===== Baada ya takribani majuma matatu hivi wanawake walilazimika kuja kikumbi wakati wa usiku na kuwaimbisha wanyamulusi nyimbo mbalimbali mfano; hogwe hogwe hogwe mnyetumba malenga makali gwe hongwe mnyetumba) (walishirikiana na vijana wa kiume) jambo hilo lilijulikana kama mzazi (kumzazi). Aidha namna hii iliambatana na kutoa zawadi (kwaika: kitendo cha kutoa pesa au mahindi n.k. kwa wanyamulusi) mara kadhaa namna hii ilitokea mchana ambapo ilihusisha wanawake kuja na pombe hivyo hunywa na kuimba pamoja na wanaume jandoni. Pia kulikuwa na utamaduni wa wajomba kuleta mbuzi na kondoa hivyo kuchinja na kula pamoja jandoni. ===== Kuhusu kuingia jandoni (kikumbi) ===== Ililazimika mtu kupiga hodi zaidi ya mara moja (hodi - watu wa ndani huitikia hodi karibu hodi tatu). Wanawake pia walilazimika kuingia kwa mtindo wa aina yake wakiwa wanaleta chakula na chakula hakikuruhusiwa kugaiwa mpaka mtu mmoja aanze kula, kitendo kilichojulikana kama kutema ngelu (kumega tonge kadhaa juu). Baada ya miezi au kipindi fulani hasa kukiwa na uhakika kuwa kila mmoja amepona, siku ya kutoka inapangwa. Kulikuwa na maandalizi maalum ikiwemo wazazi kuwanunulia vijana (wanyamulusi) nguo maalum, pombe kupikwa na baadhi ya vyakula mfano kande na ngoma hupigwa usiku kucha kuelekea siku ya tukio. Usiku wa manane wanyamulusi huamshwa na kupakwa tope zito (kumbuka wanyamulusi hawakuruhusiwa kuoga kwa kipindi chote cha jandoni, hivyo walipakwa tope maalum ili kurahisisha kuoga na kutoa uchafu (jikwe) kirahisi. Baada ya hapo walilazimika kuota moto na kuimba usiku kucha huku nje ngoma na aina nyingine ya nyimbo ziliendelea kwa baadhi ya familia zilizokuwa na uchumi mkubwa zilichinja ng'ombe ili watu walu (mzee mmoja wa kitongoji cha mabarangu katika kata ya sagara wilayani kongwa alisema ''Nimeamua kuwachinjia ng'ombe wanangu ili wale na kufurahi'' hatimaye kunakucha. Maandalizi ya kutoka yaliendelea na wageni na ndugu wa wanyamulusi wakiendelea kumiminika (kufika) na ikifika sa nne au sa tano asubuhi wanyamulusi wanapelekwa kuogeshwa na majira ya sa 10 mpaka sa 12 wanavarishwa vizuri nguo zao zilizonunuliwa na kuanza kutoka kwa nyimbo maalum wakiwa kwenye mstari na wakiwa wamezungukwa na umati wote wa watu waliofika, mfano wa nyimbo zilizoimbwa ni 'chailawa nyika yetu gwee' wakiwa wanaelekea kwa bibi au shangazi na hawakuruhusiwa kugeuka nyuma kuangalia moshi wa ikumbi (mara tuu walipoanza kutoka wazee na watu wengine huanza kuangusha na kuchoma sehemu waliokuwa wanaishi (kikumbi) ilidhaniwa ukigeuka nyuma utakuwa na akili ndogo). Hatimaye wanafika kwa bibi na kupewa majina mapya na kulala huko huku wakiwa na fimbo maalum na mara tuu wakivalishwa nguo zao mpya wanakuwa sio tena wanyamulusi bali ni wansalu. === Baadhi ya miiko (tabu) === Ilikuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kula au kunywa maji akiwa amesimama, ukibainika kufanya hivyo hupewa adhabu ikiwemo pesa na pombe na vitu vingine. Aidha ukiwa mtu amefanya jambo kubwa mfano kupigana na kuharibu sehem ya ikumbi adhabu kali zilitolewa na msee we dikumbi (mzee) ikiwemo kuchinja mbuzi hata ng'ombe. ==Majina asilia ya Wakaguru== Ni kama haya: Balasa, Balisidya, Buwa, Chabaja, Chabonga, Chadibwa, Chagaya, Chambila, Chambo, Chamdwaki, Chamila, Chammbago, Chamuhulo, Chamukaya, Chamukiwa, Chamukongo, Chamulile, Chamung'owo, Chamusala, Chamwela, Chamwenye, Chauhele, Chaulema, Cheja, Chenda, Chibada, Chibago, Chibaite, Chibakwa, Chibali, Chibula, Chibwale, Chidabu, Chidisa, Chidodolo, Chidundo, Chiduo, Chigae, Chigaile, Chigenda, Chigolo, Chigonamhanda, Chigule, Chihamba, Chihame, Chihede, Chihwayaga, Chikwilo, Chilemile, Chilenga, Chilimo, Chilongola, Chiloya, Chimaisi, Chimbwiji, Chimende, Chimile, Chimola, Chinyaguke, Chinyemi, Chipumbwiji, Chisalu, Chisanga, Chisegele, Chiselema, Chisepo, Chisina, Chisoma, Chisongela, Chisuligwe, Chitembele, Chitemo, Chitengu, Chitojo, Chiwangala, Chiwinga, Chiyumbe, Chogohe, Chumbuke, Dibalaluke, Dibwalate, Difulata, Digosi, Dihile, Dihungwa, Dihuwi, Dilongwa, Dimondigwe, Disalu, Disoile, Dumangi, Dyaki, Dyausa, Finyilise, Haba, Jenga, Kachenda, Kadudu, Kadugu, Kaila, Kaine, Kalaita, Kalumwa, Kamwaya, Kedime, Kobadi, Kusahila, Kusalula, Kutamika, Kwilolo, Kwimage, Lechilema, Legeto, Lembao, Lemugoha, Lemugoli, Lubungo, Ludege, Lugendo, Lusega, Mabene, Machaku, Machigao, Machilo, Machinhondwe, Madihemba, Madikuli, Madikunde, Madinyani, Madisemu, Maduo, Magaya, Magayo, Mageni, Magomba, Magome, Magota, Mahimbo, Mahoka, Mahule, Mahunganya, Mahungo, Mahuwi, Mailang'a, Maine, Maiwe, Majele, Majuto, Makiga, Makiwa, Makoo, Malamula, Malau, Malanda, Malekela, Malema, Maleo, Malonga, Malundo, Mambusi, Mamhako, Mamponela, Mamsagala, Mamulali, Mamulwanda, Mamunyau, Mamwijumbe, Mandalo, Manghombe, Manhembo, Manjala, Manjoge, Manyono, Mapolela, Mashale, Masingisa, Mauda, Mauya, Mbaigwa, Mbesigwa, Mbilime, Mdogelwa, Meda, Milangasi, Milungu, Mkami, Mkejua, Mkola, Mkuchu, Mkunda, Mkwama, Mlahagwa, Mogwa, Mshomi, Mubeswa, Muchalo, Muchogo, Muchuno, Mudede, Mudugi, Mugaisa, Mugego, Mugela, Mugoba, Mugoja, Mugoli, Mugonde, Mugosiyegale, Mugulambwa, Muguye, Mugweno, Muhanga, Muhindila, Muhingeni, Muhingwa, Muhonya, Mukamilo, Mukegumbo, Mukemuno, Mukiwa, Mulegu, Mulemwa, Muliga, Mulimbo, Muliwa, Muloka, Mulongwa, Mulunye, Mulwanda, Mumasa, Mumbigo, Mumigwa, Munange, Mundele, Munegelo, Munghumbi, Mungulumi, Munhambi, Munhambo, Munhonya, Munjowe, Munyagatwa, Munyamale, Munyandwa, Munyasi, Munyeke, Munyonaki, Musagala, Musale, Musanya, Musekeni, Musele, Musemuhne, Musemwa, Musoka, Musongwe, Musowa, Musulwa, Musung'wa, Mutalo, Mutambi, Mutimi, Mutuga, Mutyani, Muya, Muyagila, Muyumbo, Mwagile, Mwambale, Mwanahemba, Mwanamasi, Mwangila, Mwedi, Mwedimage, Mwegoha, Mweluhanga, Mwendi, Mwesongo, Mwesuwa, Mwidongo, Mwigohe, Mwigumila, Mwijonge, Mwijumbe, Mwikosa, Mwikuyu, Mwilogola, Mwilondo, Ndianao, Ndiane, Ndudula, Ndugu, Nefumba, Negelo, Nekuyu, Nelima, Nelugendo, Nghamanyigwe, Nghendigwe, Nghinambuya, Nghinandugu, Ngitao, Ngobei, Ngoila, Nhamagwa, Nhemigwa, Nhongelahe, Noge, Nyamiti, Nyangasi, Pilimbe, Sagumo, Saileni, Samanya, Sambasa, Sambasike, Sangamwani, Sebogo, Sebunga, Sehaba, Sehingwe, Sekaila, Sekwao, Seluhinga, Selunga, Semango, Semboga, Sembuche, Sembuli, Semugomba, Semukiwa, Semusela, Semwenda, Semwene, Semwija, Sendeu, Seng'ana, Seng'ina, Seng'unda, Senyagwa, Sewando, Sewejo, Sinakinyone, Sinjeni, Sugaji, Sulagwa, Walulenga, Wando, Wanhija, Wanhonga, Wanyenda, Wendo. ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Marejeo== * Bauer, Andreas, ''Street of Caravans'' {{en}} * Beidelman, Thomas, ''The Cool Knife'' {{en}} * Beidelman, Thomas, ''The Kagura'' {{en}} {{Makabila ya Tanzania}} {{Mbegu-utamaduni-TZ}} {{DEFAULTSORT:Kaguru}} [[Jamii:Makabila ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Wilaya ya Gairo]] [[Jamii:Wilaya ya Kilosa]] [[Jamii:Wilaya ya Kiteto]] [[Jamii:Wilaya ya Kongwa]] [[Jamii:Wilaya ya Mpwapwa]] pcjbwmumauo7i6sfantvashpl14n4ud Nine Inch Nails 0 57425 1507809 1460794 2026-04-20T19:44:29Z Niegodzisie 35822 /* Muziki */ 1507809 wikitext text/x-wiki {{Msanii muziki 2 | Jina = Nine Inch Nails | Img = NIN2008.jpg | Img_capt = | Img_size = | Landscape = | Background = group_or_band | Pia anajulikana kama = "NIN" | Asili yake = [[Cleveland, Ohio]], [[Marekani]] | Aina = [[Muziki wa industrial|Industrial]], [[Muziki wa rock|rock]] | Miaka ya kazi = 1988– | Studio = | Ameshirikiana na = | Tovuti = | Wanachama wa sasa = [[Trent Reznor]] | Wanachama wa zamani = }} '''Nine Inch Nails''' – walikuwa bendi ya muziki wa industrial rock kutoka nchi ya [[Marekani]]. == Muziki == ;Albamu * ''[[Pretty Hate Machine]]'' (1989) * ''[[Broken (EP)|Broken]]'' (1992) * ''[[The Downward Spiral]]'' (1994) * ''[[The Fragile]]'' (1999) * ''[[With Teeth]]'' (2005) * ''[[Year Zero (album)|Year Zero]]'' (2007) * ''[[Ghosts I–IV]]'' (2008) * ''[[The Slip (album)|The Slip]]'' (2008) * ''Hesitation Marks'' (2013) * ''Bad Witch'' (2018) * ''Ghosts V: Together'' (2020) * ''Ghosts VI: Locusts'' (2020) * ''Tron: Ares'' (2025) * ''Nine Inch Noize'' (2026) == Viungo vya nje == {{commons|Nine Inch Nails}} * [http://www.nin.com/ nin.com] [[Jamii:Muziki wa rock]] [[Jamii:Muziki wa Marekani]] kh6ortzc739d6uk44phkb1tlh0issvo Kanisa la Wakaldayo 0 66879 1507794 1505211 2026-04-20T19:05:42Z CommonsDelinker 234 Removing [[:c:File:غبطة_البطريرك_مار_بولس_الثالث_نونا.jpg|غبطة_البطريرك_مار_بولس_الثالث_نونا.jpg]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Polarlys|Polarlys]] because: per [[:c:Commons:Deletion requests/File:غبطة البطريرك مار بولس الثالث نونا.jpg|] 1507794 wikitext text/x-wiki [[File:Assyrian_Church.png|thumb|[[Kanisa kuu]] la Baghdad.]] {{Kanisa Katoliki}} '''Kanisa Katoliki la Wakaldayo''' (kwa [[Kiaramu]] ܥܕܬܐ ܟܠܕܝܬܐ ܩܬܘܠܝܩܝܬܐ , ''ʿītha kaldetha qāthuliqetha'') ni mojawapo kati ya [[Makanisa Katoliki ya Mashariki]], likifuata [[mapokeo]] ya [[Mesopotamia]] na kutumia [[liturujia ya Mesopotamia]]<ref>{{cite web |url=http://www.kaldu.org/14_Reformed_ChaldeanMass/QA_NewMass.html |title=TQ & A on the Reformed Chaldean Mass |accessdate=2009-02-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090102212208/http://www.kaldu.org/14_Reformed_ChaldeanMass/QA_NewMass.html |archivedate=2009-01-02 }}</ref>. [[Idadi]] ya waamini leo ni zaidi ya 600,000<ref name="CNEWA website">{{cite web |url=http://www.cnewa.org/source-images/Roberson-eastcath-statistics/eastcatholic-stat10.pdf |author=Ronald Roberson |title=The Eastern Catholic Churches 2010 |publisher=Catholic Near East Welfare Association |accessdate=Desemba 2010 |archivedate=2015-09-23 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150923222256/http://www.cnewa.org/source-images/Roberson-eastcath-statistics/eastcatholic-stat10.pdf }} Information sourced from ''Annuario Pontificio'' 2010 edition</ref><ref name=cnewa.org>{{Cite web |url=http://www.cnewa.org/ecc-bodypg-us.aspx?eccpageID=59&IndexView=toc |title=CNEWA - Chaldean Catholic Church |accessdate=2012-10-16 |archivedate=2010-03-16 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100316014359/http://www.cnewa.org/ecc-bodypg-us.aspx?eccpageID=59&IndexView=toc }}</ref>, wengi wao wakiwa wenyeji wa [[Mesopotamia]]. ==Historia== Kanisa hilo linachanga [[historia]] moja na [[Kanisa la Asiria]] hasa hadi [[mwaka]] [[1552]], lilipotokea [[farakano]] kati yao, huku waliojiita Wakaldayo wakiungana na [[Kanisa Katoliki]] kama walivyotangulia kufanya wenzao kadhaa wa [[Cyprus]] mwaka [[1445]]<ref>Council of Florence, ''Bull of union with the Chaldeans and the Maronites of Cyprus'' Session 14, 7 Agosti 1445 [http://www.papalencyclicals.net/Councils/ecum17.htm]</ref> [[File:EMMANUEL-DELLY.jpg|thumb|right|280px|Hayati Patriarki, [[kardinali]] [[Emmanuel III Delly]] ([[1927]] - [[2014]]).]] == Muundo == Kanisa hilo linaongozwa na [[Patriarki]] wa [[Baghdad]], [[Iraki]]. Chini yake kuna ma[[dayosisi|jimbo]] katika nchi hiyo (waamini 250,000, [[theluthi|thuluthi]] [[mbili]] za wakazi wote [[Ukristo|Wakristo]]), katika nchi nyingine za [[Mashariki ya Kati]] ([[Iran]], [[Siria]], [[Uturuki]], [[Lebanon]] na [[Misri]]) na kwenye mtawanyiko uliotokana na waamini kuhama kwa sababu ya hali ngumu hasa ya [[vita]] na [[dhuluma]]: [[Marekani]], [[Kanada]], [[Australia]] na [[New Zealand]] n.k. ==Tanbihi== {{Marejeo|2}} ==Viungo vya nje== {{Commons category}} *[http://www.easterncatholics.net/ Chaldean Catholic Church Mass Times] {{Wayback|url=http://www.easterncatholics.net/ |date=20110714065337 }} *[http://www.cnewa.org/ecc-bodypg-us.aspx?eccpageID=59&IndexView=toc Chaldean Catholic Church] {{Wayback|url=http://www.cnewa.org/ecc-bodypg-us.aspx?eccpageID=59&IndexView=toc |date=20100316014359 }} - from the website of the [[Catholic Near East Welfare Association]]. *[http://www.kaldu.org/index.htm Chaldean Catholic Diocese of Saint Peter] {{Wayback|url=http://www.kaldu.org/index.htm |date=20130318164754 }} *[http://www.damian-hungs.de/Katholische%20Ostkirchen.html Catholic Churches] {{Wayback|url=http://www.damian-hungs.de/Katholische%20Ostkirchen.html |date=20060615184511 }} (In German) *[http://www.newadvent.org/cathen/14413a.htm East Syrian Rite] ([[Catholic Encyclopedia]]) *[http://christiansofiraq.com/reply.html History of the Chaldean Church] {{Wayback|url=http://christiansofiraq.com/reply.html |date=20080123160815 }} *[http://nasrani.net/2008/10/31/qambel-maran-syriac-chants-from-south-india// Qambel Maran- Syriac chants from South India- a review and liturgical music tradition of Syriac Christians revisited] *[http://pauluschurch.com/ St Pauls Chaldean Assyrian church] {{Wayback|url=http://pauluschurch.com/ |date=20130615235737 }} *[http://www.chaldean.org/Home/tabid/36/articleType/ArticleView/articleId/308/Iraqs-Persecution-of-Christians-Continues-to-Spiral-out-of-Control.aspx] {{Wayback|url=http://www.chaldean.org/Home/tabid/36/articleType/ArticleView/articleId/308/Iraqs-Persecution-of-Christians-Continues-to-Spiral-out-of-Control.aspx |date=20151208070803 }} *[http://www.chaldeanfederation.org/index.php?option=com_content&view=article&id=47&Itemid=53] {{Wayback|url=http://www.chaldeanfederation.org/index.php?option=com_content&view=article&id=47&Itemid=53 |date=20130826235155 }} *[http://chaldean.org/CommunityPages/ChaldeanChurches/MarAddaiMIUSA/tabid/118/articleType/ArticleView/articleId/440/Chaldeans-in-Baghdad-Celebrate-The-First-Ever-Public-Christmas-Event.aspx] {{Wayback|url=http://chaldean.org/CommunityPages/ChaldeanChurches/MarAddaiMIUSA/tabid/118/articleType/ArticleView/articleId/440/Chaldeans-in-Baghdad-Celebrate-The-First-Ever-Public-Christmas-Event.aspx |date=20110725161402 }} *[http://www.newsmax.com/KenTimmerman/joseph-kassab-christians-iraq/2010/11/02/id/375698] *[http://www.vatican.net/archive/hist_councils/ii_vatican_council/documents/vat-ii_decree_19641121_orientalium-ecclesiarum_it.html Hati ''Orientalium Ecclesiarum'' ya [[Mtaguso wa pili wa Vatikano]]] *[http://www.vatican.net/holy_father/pius_xii/encyclicals/documents/hf_p-xii_enc_23121945_orientales-omnes-ecclesias_it.html Hati ''Orientales omnes Ecclesias'' ya [[Papa Pius XII]]] * [https://www.vatican.va/content/john-paul-ii/en/apost_letters/1995/documents/hf_jp-ii_apl_19950502_orientale-lumen.html] {{Wayback|url=http://www.vatican.net/archive/hist_councils/ii_vatican_council/documents/vat-ii_decree_19641121_orientalium-ecclesiarum_it.html |date=20120305190239 }} - Hati ya [[Papa Yohane Paulo II]] ''Orientale Lumen'' kuhusu Makanisa ya Mashariki *[http://www.intratext.com/X/LAT0758.HTM Codex Canonum Ecclesiarum Orientalium] - Mkusanyo wa Sheria za Makanisa ya Mashariki (katika [[Kilatini]] pamoja na sehemu sambamba) *[http://www.byzcath.org/faith/documents/instruction.htm Instruction for Applying the Liturgical Prescriptions of the Code of Canons of the Eastern Churches] {{Wayback|url=http://www.byzcath.org/faith/documents/instruction.htm |date=20090425211956 }} - Hati ya Idara ya Papa kwa Makanisa ya Mashariki kuhusu [[liturujia]] *[http://www.americancatholic.org/Newsletters/CU/ac0106.asp Ujuzi wa msingi kuhusu Makanisa hayo] {{Wayback|url=http://www.americancatholic.org/Newsletters/CU/ac0106.asp |date=20110517182136 }} *[http://www.cnewa.org/home-us.aspx CNEWA Idara ya Papa inayosaidia Makanisa hayo] {{Wayback|url=http://www.cnewa.org/home-us.aspx |date=20090309071924 }} *[http://www.vatican.va/roman_curia/congregations/orientchurch/profilo/rc_con_corient_pro_20030320_profile.html Sura ya Idara ya Papa kwa Makanisa hayo] *[http://www.cnewa.org/generalpg-verus.aspx?pageID=125 Takwimu za Makanisa hayo] {{Wayback|url=http://www.cnewa.org/generalpg-verus.aspx?pageID=125 |date=20070627012545 }} {{mbegu-katoliki}} [[Category:Kanisa Katoliki]] [[Category:Makanisa Katoliki ya Mashariki]] [[Jamii:Iraq]] oeirpqwl4jxtbsqfbatxgqaga9194kt Kisagalla 0 70331 1508195 1494419 2026-04-21T11:49:36Z 1440 Yuki Shiromitas timer (Every 60 Yuki Shiromitas in (something), a minute passes) 88838 [[User:Tenshi Hinanawi|Tenshi Hinanawi]] 1508195 wikitext text/x-wiki '''Kisagalla''' ni [[Lugha za Kibantu|lugha ya Kibantu]] nchini [[Kenya]] inayozungumzwa na [[Wasagalla]]. Isichanganywe na [[Kisagara|lugha ya Kisagara]] nchini [[Tanzania]]. Mwaka wa 1992 [[idadi]] ya wasemaji wa Kisagalla imehesabiwa kuwa watu 100,000. Kufuatana na [[uainishaji wa lugha]] za Kibantu wa [[Malcolm Guthrie]] Kisagalla iko katika kundi la E70. ==Viungo vya nje== *[http://multitree.org/codes/tga lugha ya Kisagalla kwenye Multitree] *[http://www.language-archives.org/language/tga makala za OLAC kuhusu Kisagalla] *[http://glottolog.org/resource/languoid/id/saga1262 lugha ya Kisagalla katika Glottolog] *[http://www.ethnologue.com/language/tga lugha ya Kisagalla kwenye Ethnologue] {{mbegu-lugha}} {{DEFAULTSORT:Sagalla}} [[Jamii:Lugha za Kenya]] [[Jamii:lugha za Kibantu]] h rgmqa57plfgl3bcau1h7recuvbdloyc 1508196 1508195 2026-04-21T11:49:42Z 1440 Yuki Shiromitas timer (Every 60 Yuki Shiromitas in (something), a minute passes) 88838 [[User:Tenshi Hinanawi|Tenshi Hinanawi]] 1508196 wikitext text/x-wiki '''Kisagalla''' ni [[Lugha za Kibantu|lugha ya Kibantu]] nchini [[Kenya]] inayozungumzwa na [[Wasagalla]]. Isichanganywe na [[Kisagara|lugha ya Kisagara]] nchini [[Tanzania]]. Mwaka wa 1992 [[idadi]] ya wasemaji wa Kisagalla imehesabiwa kuwa watu 100,000. Kufuatana na [[uainishaji wa lugha]] za Kibantu wa [[Malcolm Guthrie]] Kisagalla iko katika kundi la E70. ==Viungo vya nje== *[http://multitree.org/codes/tga lugha ya Kisagalla kwenye Multitree] *[http://www.language-archives.org/language/tga makala za OLAC kuhusu Kisagalla] *[http://glottolog.org/resource/languoid/id/saga1262 lugha ya Kisagalla katika Glottolog] *[http://www.ethnologue.com/language/tga lugha ya Kisagalla kwenye Ethnologue] {{mbegu-lugha}} {{DEFAULTSORT:Sagalla}} [[Jamii:Lugha za Kenya]] [[Jamii:lugha za Kibantu]] ne76ju3kc6h0tqcsu96sbacflxv8m7t Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy 3 89634 1507746 1505232 2026-04-20T15:01:06Z MediaWiki message delivery 17311 /* Tech News: 2026-17 */ mjadala mpya 1507746 wikitext text/x-wiki {{karibu}} == Ukurasa wa Mathias E. Mnyampala == Habari, nimesahihisha ukurasa kama ulivyouliza. Nimeona bora kufuta matini yanayolingana na tafsiri ya kompyuta. Ni kweli nimejaribu kuongeza ukurasa huo wa Kiswahili kwa kutumia matini ya ukurasa wa Kiingereza ulio mrefu zaidi. Kama haipendezi basi ! Wassalaam ! --'''[[Mtumiaji:Goma999|Goma999]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Goma999|majadiliano]])''' 17:44, 3 Januari 2024 (UTC) Goma999 == Mambo yako! == Salaam teeele!<br> Pole na shida zangu,.<br> Nimeona nikusalimu bwana Injinia!<br> --[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span> <font face="Comic sans">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 19:32, 19 Mei 2018 (UTC) == Ahahah asante kwa shida zako == Salam..mimi mzima kabisa hofu kwako '''[[Mtumiaji:Olimasy|oba21.on]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 14:18, 20 Mei 2018 (UTC) == Salam.. == Salam zako zimenifikia nikia nimejaa teleee Kwako vipi khariii '''[[Mtumiaji:Olimasy|oba21.on]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 14:20, 5 Oktoba 2018 (UTC) == MAMBO YANGU == salam zimenifikia, zimetufikia, tumesalimika. shida zetu ndio zinakupa shida pole sana. nikutakie ujenzi mwema wa jamii yako. asante! ==[[Watu wazima]]== HAbari, naona makala hii. TAfadhali ukumbuke makala za wikipedia si vyanzo au marejeo yanayokubalika. Hakuna tatizo ukichukua habari zako pale enwiki pamoja na marejeo yanayotajwa pale. Lakini hatuwezi kutaja makala ya wikipedia kama chanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:52, 7 Desemba 2019 (UTC) ==Tangazo== Habari ndugu Mwanawikipedia!<br><br>Mimi ni mwezeshaji wa mradi uitwao [https://sw.m.wikipedia.org/w/index.php?title=Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)&article_action=watch#Utangulizi_kuhusu_Mwongozo_Wa_Kimataifa_Wa_Nidhamu_Na_Maadili Mwongozo Wa Kimataifa Wa Mwenendo Na Maadili]. Ni mradi mchanga/mpya ambao Shirika la Wikimedia Foundation linanuia kuuanzisha endapo wadau wataona ni mradi unaofaa. Nakukaribisha usome mwongozo huo na kisha utoe maoni yako kwa kujibu maswali yote au baadhi yake kwa yale utakayopenda kuyatolea maoni [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)#Maswali_ya_Wikimedia_Foundation HAPA]<br><br>'''<big>Taarifa zaidi kuhusu Mwongozo wa Kimataifa wa Nidhamu na Mwenendo</big>'''<br><br> Shirika la Wikimedia Foundation lina mpango wa kuanzisha [https://sw.m.wikipedia.org/w/index.php?title=Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)&article_action=watch#Utangulizi_kuhusu_Mwongozo_Wa_Kimataifa_Wa_Nidhamu_Na_Maadili Mwongozo Wa Kimataifa Wa Mwenendo Na Maadili]. Lengo la mwongozo huo ni kujaribu kuainisha vitu vya msingi vinavyopatikana katika miongozo midogo midogo iliyopo tayari katika kila jamii husika (mfano Jumuiya yetu hii ya wahariri wa Wikipedia ya Kiswahili). Lengo hasa la mwongozo huu ni kutengeneza mazingira ambayo wanawikipedia wote duniani watakuwa na uelewa wa pamoja juu ya vitu vya msingi kuhusu nini kinakubalika na kipi hakikubaliki wakati wa uchangiaji (uhariri) wa Wikipedia na pale wanawikipedia wanapowasiliana kwenye Wikipedia au ana kwa ana katika warsha na mikutano ya Wanawikipedia. Wazo hilo limekuja baada kukithiri kwa baadhi ya Wanawikimedia kukumbana kufanyiwa unyanyasaji wa kitabia (mfano matusi, kuitana majina yasiyofaa, kutishiana n.k) na Wanawikimedia wenzao, hivyo kuwakatisha tamaa ya kuendelea kuchangia katika miradi ya Wikimedia.Hivyo, wewe kama mdau muhimu katika miradi ya Wikimedia Foundation, unakaribishwa ku [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct) soma zaidi kuhusu mwongozo huo Hapa]na baada ya kuusoma mwongozo huo unaweza ku [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)#Maswali_ya_Wikimedia_Foundation toa maoni yako Hapa kabla ya tar 15 April 2020.]<br><br>'''<big>Mwaliko wa kujiunga na kundi la Wahariri wa Wikipedia</big>''' <br><br> Nakukaribisha ujiunge na kundi la Wahariri wa Wikipedia kutoka Dar es Salaam ili tuweze kujadiliana na kubadilishana uzoefu na mambo kadha wa kadha kuhusu Uhariri wa Wikipedia. Iwapo utapenda kujiunga, usisite kuwasiliana nasi kupitia '''wikitzagroup@gmail.com''', na kwa taarifa zaidi kuhusu kundi la Wahariri wa Wikipedia wa hapa Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla na miradi waliyoitekeleza tayari, unaweza tembelea hapa ukurasa wao wa meta uitwao [https://meta.wikimedia.org/wiki/Wikimedia_Community_User_Group_Tanzania Wikimedia Community User Group Tanzania] au pia katika Facebook kwa jila la [https://www.facebook.com/Wikimediatz/ Wikimedia Tanzania].<br><br> Ndimi '''[[Mtumiaji:AMtavangu (WMF)|AMtavangu (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AMtavangu (WMF)|majadiliano]])''' 22:47, 5 Aprili 2020 (UTC) == Mwaliko wa kutoa maoni yako kuhusu ''Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Nidhamu'' == Habari ndugu Mwanawikipedia!<br><br>[[User:AMtavangu (WMF)|Mimi]] ni mwezeshaji wa mradi uitwao [https://sw.m.wikipedia.org/w/index.php?title=Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)&article_action=watch#Utangulizi_kuhusu_Mwongozo_Wa_Kimataifa_Wa_Nidhamu_Na_Maadili Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili]. Ni mradi mchanga/mpya ambao Shirika la Wikimedia Foundation linanuia kuuanzisha endapo wadau wataona ni mradi unaofaa na kuunga mkono wazo hilo. Nakukaribisha usome mwongozo huo na kisha utoe maoni yako kwa kujibu maswali yote au baadhi yake kwa yale utakayopenda kuyatolea maoni [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)#Maswali_ya_Wikimedia_Foundation ''HAPA'']<br><br>'''<big>Taarifa zaidi kuhusu Mwongozo wa Kimataifa wa Nidhamu na Mwenendo</big>'''<br><br> Shirika la Wikimedia Foundation lina mpango wa kuanzisha [https://sw.m.wikipedia.org/w/index.php?title=Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)&article_action=watch#Utangulizi_kuhusu_Mwongozo_Wa_Kimataifa_Wa_Nidhamu_Na_Maadili Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili]. Lengo la mwongozo huo ni kujaribu kuoanisha vitu vya msingi vya kimwongozo vinavyopatikana katika miongozo midogo midogo iliyopo tayari katika kila jamii husika (mfano katika Jumuiya yetu hii ya wahariri wa Wikipedia ya Kiswahili). Lengo hasa la mwongozo huu ni kujaribu kutengeneza mazingira ambayo wanawikipedia wote duniani watakuwa na uelewa wa pamoja juu ya vitu vya msingi kuhusu nini kinakubalika na kipi hakikubaliki wakati wa uchangiaji (uhariri) au utumiaji wa Wikipedia, na pia pale wanawikipedia wanapowasiliana ndani ya tovuti ya Wikipedia yenyewe au wanapokutana ana kwa ana katika warsha na mikutano mbalimbali ya Wanawikipedia. Wazo hilo limekuja baada kutokea kwa baadhi ya matukio kwa baadhi ya Wanawikimedia anbapo katika tafiti iliyofanywa mwaka 2015 , ilionekana baadhi ya Wanawikimedia walikuwa wakikumbana na unyanyasaji wa kitabia (mfano matusi, kuitana majina yasiyofaa, kutishiana n.k) na Wanawikimedia wenzao, hivyo kuwakatisha tamaa ya kuendelea kuchangia katika miradi ya Wikimedia.Wewe kama mdau muhimu katika miradi ya Wikimedia Foundation, unakaribishwa ku [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct) soma zaidi kuhusu mwongozo huo]na unaweza ku [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_Wikipedia:Mwongozo_wa_Kimataifa_wa_Mwenendo_na_Maadili_(Universal_Code_of_Conduct)#Maswali_ya_Wikimedia_Foundation toa maoni yako Hapa kabla ya tar 29th April 2020.]<br><br>'''<big>Mwaliko wa kujiunga na kundi la Wahariri wa Wikipedia</big>''' <br><br> Nakukaribisha ujiunge na kundi la Wahariri wa Wikipedia kutoka Tanzania (Dar es Salaam) ili tuweze kujadiliana na kubadilishana mawazo, uzoefu na mambo kadha wa kadha kuhusu Uhariri wa Wikipedia na miradi mingine yake ya Wikimedia Foundation. Iwapo utapenda kujiunga, usisite kuwasiliana nasi kupitia '''wikitzagroup@gmail.com''', na kwa taarifa zaidi kuhusu kundi la Wahariri wa Wikipedia wa hapa Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla kuhusu miradi waliyoifanya tayari, unaweza tembelea hapa ukurasa wao wa meta uitwao [https://meta.wikimedia.org/wiki/Wikimedia_Community_User_Group_Tanzania Wikimedia Community User Group Tanzania] au pia katika Facebook kwa jila la [https://www.facebook.com/Wikimediatz/ Wikimedia Tanzania].<br><br> Ndimi [[User:AMtavangu (WMF)|Mtavangu]]19:09, 18 Aprili 2020 (UTC) <!-- Message sent by User:AMtavangu (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:AMtavangu_(WMF)/Massmessaging_test&oldid=19994514 --> == Uteuzi kuwa mkabidhi == Salaam! Ulipendekezwa na kukubaliwa kupata haki za mkabidhi. Je, uko tayari kupokea uteuzi huu na kushiriki katika kazi mara kwa mara kama jinsi ilivyoelezwa katika ukurasa wa wakabidhi? Tunaomba jibu lako kwa baruapepe katika wiki hii. Tumia zana za Wikipedia kutuma barua pepe. --[[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>''''Muddyb Mwanaharakati''''</sub></font>]]</span> <font face="Comic Sans MS">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="black"><sup>''''Longa''''</sup></font>]] 07:45, 13 Septemba 2020 (UTC) Ujumbe wako umenipata vema kabisa nita jibu mara tuu nikiwa naweza kufikia kompyuta yangu '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 08:15, 13 Septemba 2020 (UTC) ==Kukaribisha watumiaji wapya== Ndugu, hongera kwa kuanza kazi, ila kigezo cha kumkaribisha mtu kinatakiwa katika ukurasa wake wa mawasiliano, si ule wa mtumiaji. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:40, 3 Oktoba 2020 (UTC) Asante Ndugu, nitazingatia. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 12:35, 3 Oktoba 2020 (UTC) == [[Salzburg]] [[Austria]] [[Vienna]] == Hey Bro, thank you for helping to work at the article of Salzburg. If you want we could work together at some more articles about Austria in the Kiswahili languaged Wikipedia. I am learning Kiswahili right now Bro but I am still in the starter level, unfortunately, because I do not have a lot of possobilities to learn Kiswahili in Austria, but I know Austria very well and we could work together, I have knowledge about the country, you have language knowdledge Kiswahili. Have you been to Austria yet? Or was it a just random that you have found the article Salzburg? Alex [[Maalum:Michango/84.174.183.93|84.174.183.93]] 16:29, 28 Novemba 2020 (UTC) Hello Alex, i would like to work together since its now my responsibility to make sure what comes into swahili wikipedia it is in a means that it suit swahili comunity and others as well, I have never been in Austria but till now i do have bunch of friends from there who are striving in swahili language like you. I would like to say that now you have an oppotunity to learn Swahili language as you wishe. Karibu sana. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 07:08, 29 Novemba 2020 (UTC) * Hey, sorry for a slow resonse. I d like to crate or work on some more Kiswahili Wikipedia articles about european countries, states, cities, transport and so on. I would do this about topics that I know, translate by Google, than you could check for grammar typos because google translations don t work out well many times and so we could do it together? Can you send me an e mail directly please to alexvie111987@gmail.com ? Than you can reach me sooner and easier and we could discuss about Kiswahili Wikipedia Articels? * And by the way if you know some Kiswahili native speakers in Vienna, Frankfurt or Hamburg would you help me to find somebody for language exchange Kiswahili - German, German - Kiswahili? I have started learning Kiswahili at the adult education center, but because of Covid19, any lessons have been cancelled and I am so unhappy because I wanna learn Kiswahili but I cant :( Alex [[Maalum:Michango/84.174.183.93|84.174.183.93]] 01:47, 8 Desemba 2020 (UTC) .Again hello Alex, thank you for leaving a contact for me i wall contact you soon. thank you '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 05:26, 8 Desemba 2020 (UTC) ==Tuzo la uhariri== [[Image:Original Barnstar Hires.png|100px|right]] Ninakukabidhi '''Tuzo ya Uhariri ya Wikipedia''' kwa juhudi zako za kutupatia orodha ya Wabunge wa Tanzania wa 2020! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 7 Desemba 2020 (UTC) . Asante sana Ngugu Kipala, na mimi naipokea kwa heshima kubwa na tahadhima, na naahidi kuendeleza juhudi. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 05:29, 8 Desemba 2020 (UTC) ==Matangazo ya Kivietnam== Ulimwandikia [[Majadiliano ya mtumiaji:Tylekeoso]] salamu nzuri. Alijaza ukurasa wake kwa matini ya Kivietnam. Hao tumeshaona mara nyingi. Unaweza kuweka yaliyomo katika google translate Kivietnam-Kiingereza utaona ni matangazo ya kibiashara tu. Riccardo na mimi tumezoea kufuta kurasa hizi moja kwa moja na kuzuia akaunti za wachangiaji. Hao si watu waliokosa kupeleka habari kwetu; nadhani ni programu zinazotafuta nafasi kwenye intaneti kusambaza matangazo ya kibiashara. Sijafuatalia sijui kama programu zimewekwa hasa kutushambulia sisi lakini nahisi wanajaribu kote duniani. Kwa hiyo usisite kufuta na kubana. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:30, 8 Desemba 2020 (UTC) .Asante kwataarifa, binafsi nilifikiri ni mtumiaji tuu mwenzetu maana nimeona amekaribishwa vizuri kabisa. .Sambamba na hilo kuna huyu mtumiaji anaitwa Alex kutoka Autria nimeona makala zake chache anatumia google translator moja kwa moja nakupakia matini kwenye swwiki nilivo mfuatilia anasema anajifunza kiswahili, sasa nafikiri kumtafutia mbadala wa kukutana na wewe inawezekana? '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 11:52, 8 Desemba 2020 (UTC) ::Alex gani? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:50, 8 Desemba 2020 (UTC) ːːHana username ila anahalili sana miji ya Austria na ujerumani alihalili makala hii [https://sw.wikipedia.org/wiki/Salzburg hapa]. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 12:57, 8 Desemba 2020 (UTC) ==Salamu za Karibu== Habari naona umeweka salamu ya karibu kwenye ukurasa wa [[Wapangwa Watu Weupe (Vipindi vya Runinga)‎]] ambayo si ukurasa wa mtumiaji. Nadhani ulikuwa umechoka, Tuelewane sanduku hilo linaingia pekee kurasa za majidiliano ya watumiaji, si makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:49, 14 Desemba 2020 (UTC) Asante, '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 08:58, 14 Desemba 2020 (UTC) == Reminder to sign the confidentiality agreement == Hi, as outlined in [[:m:Stewards/Elections_2021/Guidelines#Sign_the_confidentiality_agreement|the guidelines for the Steward Election]], all candidates must sign the [[:m:Access to nonpublic personal data policy|confidentiality agreement for nonpublic information]] before 5 February, or you will be disqualified. For instructions, see [[:m:Confidentiality agreement for nonpublic information/How to sign]]. Best, '''[[Mtumiaji:Tks4Fish|Tks4Fish]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Tks4Fish|majadiliano]])''' 18:37, 1 Februari 2021 (UTC) == How we will see unregistered users == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> <section begin=content/> Hi! You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki. When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed. Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin '''will still be able to access the IP'''. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation/Improving tools|better tools]] to help. If you have not seen it before, you can [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|read more on Meta]]. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|subscribe]] to [[m:Tech/News|the weekly technical newsletter]]. We have [[m:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation#IP Masking Implementation Approaches (FAQ)|two suggested ways]] this identity could work. '''We would appreciate your feedback''' on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can [[m:Talk:IP Editing: Privacy Enhancement and Abuse Mitigation|let us know on the talk page]]. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January. Thank you. /[[m:User:Johan (WMF)|Johan (WMF)]]<section end=content/> </div> 18:19, 4 Januari 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:Johan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:Johan_(WMF)/Target_lists/Admins2022(7)&oldid=22532681 --> ==[[Laverne cox]]== Naomba uifute. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 08:27, 11 Februari 2022 (UTC) Nimefuta --'''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' == Have you voted in the UCoC enforcement guidelines ratification? == Hi! {{ping|User:Olimasy}} The ratification voting process for the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines|revised enforcement guidelines]] of the [[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct|Universal Code of Conduct]] (UCoC) is now open! '''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voting|Voting commenced on SecurePoll]]''' on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please [[m:Universal Code of Conduct/Enforcement guidelines/Voter information|read more on the voter information and eligibility details]]. Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote. Regards, '''[[Mtumiaji:Zuz (WMF)|Zuz (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Zuz (WMF)|majadiliano]])''' 12:04, 11 Machi 2022 (UTC) == Event Registration Tool: Demo and Invitation to Test == Hello Subscribers! [[metawiki:Campaigns/Foundation Product Team|'''The Campaigns Product  Team''']] from the Wikimedia Foundation will be hosting two office hours to  demo the new [[metawiki:Special:MyLanguage/Campaigns/Foundation Product Team/Registration|'''Event Registration Tool''']], and train organizers how to  use it. In these office hours, you will learn how to: * Create an event page in the new event namespace (as an event organizer) * Enable registration on your event page (as an event organizer) * Collect data on who registered for your event (as an event organizer) * Register for an event on the event page (as an event participant) You can attend one office hour or both, depending on your availability on the following dates: * Session 1: '''Thursday, July 21, 2022 at 5:00 PM UTC''' * Session 2: '''Saturday, July 23, 2022 at 12:00 PM UTC''' These events will be multilingual, with live interpretations in '''Arabic''', '''English''', '''French''', '''Italian''', and '''Portuguese''', and '''Swahili'''. Note that Portuguese will be available on the 21st, but not the 23rd. We strongly encourage you to join and share your feedback on the tool. Your feedback will help us improve the tool so that Wikimedians can have a better event experience. To register, please reply to this email or [[metawiki:Campaigns/Foundation Programs Team/Office Hours/2022 07|'''''sign-up to our page''''']], by adding your signature. Thank you! <nowiki>~~~~</nowiki> '''[[Mtumiaji:IBrazal (WMF)|IBrazal (WMF)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:IBrazal (WMF)|majadiliano]])''' 06:13, 18 Julai 2022 (UTC) == Campaign Product Team Office Hour - July 21, 2022 == Hello '''Campaign Product Newsletter''' subscribers! The [[m:Campaigns/Foundation Product Team|'''Campaign Product Team''']] will be having an office hour today, '''July 21, 2022 at 17:00 UTC''' via '''Zoom''' to demo the first release of the [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Registration|'''Event Registration Tool''']]. You may join the office hour using this [https://wikimedia.zoom.us/j/83538569035 '''meeting link''']. We look forward to your participation. Thank you. Best, The [[m:Campaigns/Foundation Product Team|'''Campaign Product Team''']] '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 14:46, 21 Julai 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:IBrazal (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=23512297 --> == Campaigns Product Update #4 == <div lang="en" dir="ltr" class="mw-content-ltr"> Hello '''Campaigns Product Newsletter''' subscribers! We are excited to share our updates: *<div style = "text-align:left; color: #192980; font-size: 1em;>'''Event Registration v0'''</div> :We have successfully launched '''Event Registration tool V0''' on beta cluster and collected feedback from the first batch of testers. This tool is part of a more comprehensive organizing solution, the '''Event Center''', which hopes to support movement organizers. Through this registration solution, organizers can collect useful data on campaign participants and their needs while respecting participant privacy. :'''Testing update'''. In our first round of feedback collection, testers were composed of different types of organizers around the movement with a language focus on Arabic, French, English, and Swahili communities. Most of the testers successfully created their test event registrations and signed up for a test event registration created by other organizers. '''''Simple''''', '''''easy to use''''', and '''''aids in managing event participants''''' were the common feedback we received from first-time users. In contrast, access and proper localization of the tool were the points for improvement identified. We are working on V1, which will include '''communication support''' and integration with the [https://outreachdashboard.wmflabs.org/ '''Programs and Event Dashboard''']. This will be released on Meta-Wiki soon. We hope to address accessibility during this launch and improve localization problems once the tool has been deployed in local wikiprojects. :[https://meta.wikimedia.beta.wmflabs.org/wiki/Main_Page ''The tool is still available for testing on the beta cluster'']. Feel free to leave feedback on our project talk page or this [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSe53MNV9CKVBAF3SV2q97baufizH7b_2QJ47H1w0Upvoh4QFQ/viewform form]. *<div style = "text-align:left; color: #192980; font-size: 1em;>'''Organizer Lab'''</div> Looking for a way to learn how to effectively organize around sustainability? Join the beta version of the Organizer Lab on WikiLearn to understand how to effectively organize a global campaign around sustainability and climate change! Applications are open from '''September 22 - October 19, 2022'''. The Organizer Lab will be a '''9-week online learning experience from the end of October until mid December''' that prepares participants to obtain knowledge about the topics that they wish to create, a call to action for strategic knowledge gaps, as well as more generalized Wikimedia organizing and campaign/event design skills. :[[m:Campaigns/Organizer_Lab|'''Read more about the program''']]! <br> '''What's Next''': *'''Organizer Lab Information Session'''. We invite you to join our information session for the Organizer Lab on [https://zonestamp.toolforge.org/1664546421 '''September 30, 2022 at 14:00 UTC'''] via '''Zoom'''. [https://wikimedia.zoom.us/j/89032870014 ''Join this session!'']<br> *'''Organizer User Rights'''. We are reaching out to a pool of administrators from Arabic, French and Swahili communities to collect feedback on what is the best way to define organizer user rights, what privileges to give to community organizers, and what are the limitations of these privileges. Feel free to reach out to our [[m:Campaigns/Foundation Product Team|product ambassadors]] or send an email to '''ibrazal-ctr@wikimedia.org''' if you are interested to be part of these conversations. <br> ---- '''Community Feedback''': <center>''"Participants have been always asking the organizers are asked by participants whether they are registered, now participants will just look directly if they are registered, Thank you for creating the system"'' <br> - French Organizer <br><br> ''“I think that the platform will facilitate the process of promoting events and searching for participants”''<br> - Arabic Organizer </center><br> ---- <br> Thank you! '''The Campaigns Product Team''' </div> '''[[Mtumiaji:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:MediaWiki message delivery|majadiliano]])''' 06:30, 21 Septemba 2022 (UTC) <!-- Message sent by User:IBrazal (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=23684552 --> == Campaigns Product Team Office Hour - December 2022 == Hello '''Campaigns Product Newsletter''' subscribers! The [[m:Campaigns/Foundation Product Team|Wikimedia Foundation Campaigns Team]] invites you to join our upcoming office hours. In each session, we will introduce V1 of [[m:Event Center/Registration|'''Event Registration Tool''']], so you can begin '''using it for real events on Meta-wiki'''. <br> In V1, the following new features will be includedː * Support for the organizer to specify an event timezone * Automatic confirmation emails after participants have registered * Private registration: the option for participants to register and only display their registered username to organizers of the event and we will teach you how you can use it yourself. <br> <u>'''Office Hour Sessions''':</u> * '''1st Session''': '''December 5, 2022''' @ '''18:00 UTC''' via [https://wikimedia.zoom.us/j/87853269514 Zoom] * '''2nd Session''': '''December 10, 2022''' @ '''12:00 UTC''' via [https://wikimedia.zoom.us/j/87853269514 Zoom] :[[m:Campaigns/Foundation Programs Team/Office Hours/2022 12|'''''Join us and share your thoughts on these developments!''''']] <br> These office hours will be multilingual, with live interpretations in Arabic, English, French, and Swahili. Email us @ ''ibrazal-ctr@wikimedia.org'' or [[m:Campaigns/Foundation Programs Team/Office Hours/2022 12|'''sign-up here''']] if you want to receive a reminder for this meeting. <br><br> Thank you. '''The Campaigns Product Team''' <!-- Message sent by User:IBrazal (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=24091515 --> == Organizer Tools Office Hours & Event Discovery Project == ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/fr|Lire ce message en français]])'''; ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/es|Ver este mensaje en español]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/sw|Angalia ujumbe huu kwa Kiswahili]]'''); ('''[[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Update 5/ar|إقرأ هذه الرسالة بالعربي]]''') <small> {{int:please-translate}} </small>. [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team|The Campaigns team]] at the Wikimedia Foundation has some updates to share with you, which are: We invite you to attend our upcoming community office hours to learn about organizer tools, including the [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration|Event registration tool]] (which has [[m:Campaigns/Foundation_Product_Team/Registration#September 18, 2023: October office hours & upcoming features|new and upcoming features]]). '''The office hours are on the following dates, and you can join one or both of them:''' *'''Saturday, October 7 at 12:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session A|Register here]]''') **Languages available: Arabic, English, French, Swahili *'''Tuesday, October 10 at 18:00 UTC''' ('''[[m:Event:Organizer Tools Office Hour 5/Session B|Register here]]'''). **Languages available: Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Swahili '''We have launched a new project: [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|Event Discovery]]'''. This project aims to make it easier for editors to learn about campaign events. '''We need your help to understand how you would like to discover events on the wikis, so that we can create a useful solution. Please share your feedback on our [[m:Talk:Campaigns/Foundation Product Team/Event Discovery|project talk page]]'''. ; Thank you, and we hope to see you at the upcoming office hours! [[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]] ([[User talk:MediaWiki message delivery|talk]]) 19:54, 24 Septemba 2023 (UTC) <small>You are receiving this message because you subscribed to this [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Subscribers|list]]</small> <!-- Message sent by User:EUwandu-WMF@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Campaigns/Foundation_Product_Team/Subscribers&oldid=25632558 --> == Translation notification: Wikimedia Foundation Board of Trustees == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation Board of Trustees|Wikimedia Foundation Board of Trustees]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation+Board+of+Trustees&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr">This page contains outdated information. Please assist in updating the page to prevent confusion.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 04:48, 19 Aprili 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Fundraising/Translation == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Fundraising/Translation|Fundraising/Translation]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Fundraising%2FTranslation&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 14:11, 25 Aprili 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Ukumbusho kuhusu kupiga kura sasa ili kuchagua washiriki wa U4C ya awamu ya kwanza == <section begin="announcement-content" /> :''[[m:Special:MyLanguage/Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder|Unaweza kupata ujumbe huu ukiwa umetafsiriwa katika lugha za ziada kwenye Meta-wiki.]] [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-{{urlencode:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – vote reminder}}&language=&action=page&filter= {{int:please-translate}}]'' Ndugu Mwanawikimedia, Unapokea ujumbe huu kwa sababu hapo kabla uliwahi kushiriki katika mchakato wa UCoC. Huu ni ukumbusho kwamba kipindi cha kupiga kura kwa Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) kitamalizika tarehe 9 Mei 2024. Soma maelezo kwenye [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024|ukurasa wa kupiga kura kwenye Meta- wiki]] ili kupata maelezo zaidi kuhusu upigaji kura na ustahiki wa mpiga kura. Kamati ya Kuratibu Mwongozo wa Kimataifa wa Mwenendo na Maadili (U4C) ni kikundi cha kimataifa kilichojitolea kutoa utekelezaji sawa na thabiti wa UCoC. Wanajamii walialikwa kutuma maombi yao kwa U4C. Kwa maelezo zaidi na majukumu ya U4C, tafadhali [[Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Charter|pitia Mkataba wa U4C]]. Tafadhali washirikishe ujumbe wanajumuiya wenzako ili nao waweze kushiriki. Kwa niaba ya timu ya mradi wa UCoC,<section end="announcement-content" /> [[m:User:RamzyM (WMF)|RamzyM (WMF)]] 22:54, 2 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Universal_Code_of_Conduct/Coordinating_Committee/Election/2024/Previous_voters_list_3&oldid=26721208 --> == Translation notification: Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – results == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – results|Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2024/Announcement – results]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FCoordinating+Committee%2FElection%2F2024%2FAnnouncement+%E2%80%93+results&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The deadline for translating this page is 2024-05-17. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 05:16, 10 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia Foundation Community Affairs Committee/Procedure for Sibling Project Lifecycle/Invitation for feedback (MM) == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation Community Affairs Committee/Procedure for Sibling Project Lifecycle/Invitation for feedback (MM)|Wikimedia Foundation Community Affairs Committee/Procedure for Sibling Project Lifecycle/Invitation for feedback (MM)]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation+Community+Affairs+Committee%2FProcedure+for+Sibling+Project+Lifecycle%2FInvitation+for+feedback+%28MM%29&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is high. The deadline for translating this page is 2024-05-22. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 16:38, 21 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia Foundation Board of Trustees == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation Board of Trustees|Wikimedia Foundation Board of Trustees]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation+Board+of+Trustees&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 05:15, 27 Mei 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Template:Movement Charter draft == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Template:Movement Charter draft|Template:Movement Charter draft]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3AMovement+Charter+draft&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is high. The deadline for translating this page is 2024-06-11. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 02:41, 8 Juni 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:RamzyM (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> : done '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 08:30, 8 Juni 2024 (UTC) == Translation notification: Movement Charter == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Movement Charter|Movement Charter]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Movement+Charter&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is high. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 05:31, 12 Juni 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia LGBT+/Portal == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia LGBT+/Portal|Wikimedia LGBT+/Portal]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+LGBT%2B%2FPortal&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 10:03, 30 Juni 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia Foundation elections/2024/Voter eligibility guidelines == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation elections/2024/Voter eligibility guidelines|Wikimedia Foundation elections/2024/Voter eligibility guidelines]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation+elections%2F2024%2FVoter+eligibility+guidelines&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is high. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 04:43, 2 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Strategy == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Strategy|Strategy]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Strategy&language=sw&action=page translate to Kiswahili] <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 14:27, 7 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Meta:Shortcut == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Meta:Shortcut|Meta:Shortcut]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Meta%3AShortcut&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 15:31, 7 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia and Libraries User Group == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia and Libraries User Group|Wikimedia and Libraries User Group]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+and+Libraries+User+Group&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 16:04, 7 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia and Libraries User Group/Mission and goals == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia and Libraries User Group/Mission and goals|Wikimedia and Libraries User Group/Mission and goals]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+and+Libraries+User+Group%2FMission+and+goals&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 09:20, 8 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wiki Loves Women/SheSaid/SheSaid 2024 == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wiki Loves Women/SheSaid/SheSaid 2024|Wiki Loves Women/SheSaid/SheSaid 2024]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wiki+Loves+Women%2FSheSaid%2FSheSaid+2024&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 09:56, 8 Julai 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: WMDE Technical Wishes/Sub-referencing == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:WMDE Technical Wishes/Sub-referencing|WMDE Technical Wishes/Sub-referencing]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-WMDE+Technical+Wishes%2FSub-referencing&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr">The sub-referencing feature is planned to be implemented until the end of 2024 on various wikis. Therefore, it would be great to have information about the feature ready in multiple languages.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 20:36, 8 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: User:Johannes Richter (WMDE)/Sub-referencing == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:User:Johannes Richter (WMDE)/Sub-referencing|User:Johannes Richter (WMDE)/Sub-referencing]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-User%3AJohannes+Richter+%28WMDE%29%2FSub-referencing&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. The deadline for translating this page is 2024-08-19. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Dear translators, Wikimedia Deutschland is currently developing a new feature for referencing ([[WMDE Technical Wishes/Sub-referencing|sub-references]]). Development will still take a while, but we'll send an announcement to the global communities soon, in order to let them know in advance and ask for feedback. Thanks for helping us translate this mass message!</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 12:01, 9 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Johannnes89@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Meta:What Meta is not == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Meta:What Meta is not|Meta:What Meta is not]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Meta%3AWhat+Meta+is+not&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Meta-Wiki guideline page</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 14:03, 15 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MrBenjo@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Meta:Administrators/Removal (inactivity) == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Meta:Administrators/Removal (inactivity)|Meta:Administrators/Removal (inactivity)]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Meta%3AAdministrators%2FRemoval+%28inactivity%29&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 06:37, 18 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Template:Blue button == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Template:Blue button|Template:Blue button]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3ABlue+button&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 10:12, 18 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Template:User groups == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Template:User groups|Template:User groups]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3AUser+groups&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 11:59, 18 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Template:Guideline == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Template:Guideline|Template:Guideline]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3AGuideline&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 01:32, 19 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Keeping events safe == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Keeping events safe|Keeping events safe]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Keeping+events+safe&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 03:18, 19 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia Foundation/Legal/Community Resilience and Sustainability/Trust and Safety == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation/Legal/Community Resilience and Sustainability/Trust and Safety|Wikimedia Foundation/Legal/Community Resilience and Sustainability/Trust and Safety]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation%2FLegal%2FCommunity+Resilience+and+Sustainability%2FTrust+and+Safety&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 05:39, 19 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia Argentina == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili na Kiingereza on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Argentina|Wikimedia Argentina]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Argentina&language=sw&action=page translate to Kiswahili] * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Argentina&language=en&action=page translate to Kiingereza] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 07:09, 20 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Amical Wikimedia == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Amical Wikimedia|Amical Wikimedia]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Amical+Wikimedia&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 04:59, 22 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Ombuds commission == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Ombuds commission|Ombuds commission]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Ombuds+commission&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 02:29, 23 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: WikiGap == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:WikiGap|WikiGap]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-WikiGap&language=sw&action=page translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 06:27, 23 Agosti 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Steward requests/Global/block-header == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Steward requests/Global/block-header|Steward requests/Global/block-header]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Steward+requests%2FGlobal%2Fblock-header&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Contains information on how to appeal global blocks.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators&lrm;, 12:50, 25 Septemba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Changing username == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Changing username|Changing username]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Changing+username&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 10:49, 27 Oktoba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wiktionary == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wiktionary|Wiktionary]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wiktionary&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 11:52, 13 Desemba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Ombuds commission/2019/CU Global Procedure on information disclosure == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Ombuds commission/2019/CU Global Procedure on information disclosure|Ombuds commission/2019/CU Global Procedure on information disclosure]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Ombuds+commission%2F2019%2FCU+Global+Procedure+on+information+disclosure&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 12:29, 22 Desemba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:MdsShakil@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Deoband Community Wikimedia/News == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Deoband Community Wikimedia/News|Deoband Community Wikimedia/News]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Deoband+Community+Wikimedia%2FNews&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 17:33, 27 Desemba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Aafi (DCW)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Template:Policy-cross-project == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Template:Policy-cross-project|Template:Policy-cross-project]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3APolicy-cross-project&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 09:12, 30 Desemba 2024 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Wikimedia Foundation Annual Plan/2024-2025/Product & Technology OKRs == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation Annual Plan/2024-2025/Product & Technology OKRs|Wikimedia Foundation Annual Plan/2024-2025/Product & Technology OKRs]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation+Annual+Plan%2F2024-2025%2FProduct+%26+Technology+OKRs&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 08:07, 26 Januari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Tungependa kusikia kuhusu uzoefu wako kuhusu Akaunti za Muda == <section begin="body"/> [[File:Temporary Accounts - first edit popup.png|thumb]] '''[https://wikimedia.qualtrics.com/jfe/form/SV_e2MNLeWJU89pNTo Utafiti huu hautachukua zaidi ya dakika 5 kukamilisha.]''' Timu ya Trust & Safety Product hivi karibuni iliunda [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|akaunti za muda]] zinapatikana kwenye miradi ya wiki 12. Kuna mipango ya kupanua hili kwa seti kubwa ya miradi ya wiki katika wiki na miezi ijayo, kisha kufuata mchakato wa kutekeleza kikamilifu baadaye mwaka huu. Ushiriki wako katika utafiti huu utakuwa na manufaa makubwa katika kutusaidia kuelewa jinsi Akaunti za Muda zinavyofanya kazi na kile tunachoweza kuboresha mbele. Sera ya faragha ya utafiti huu inaweza kuonwa [[foundation:Special:MyLanguage/Legal:Temp_Accounts_Minor_Pilots_Survey_Privacy_Statement|kupitia kiungo hiki]]. Kwa kumaliza utafiti huu, unakubali masharti yaliyoainishwa katika sera ya faragha. Asante!<section end="body"/> [[User:SGrabarczuk (WMF)|SGrabarczuk (WMF)]] ([[User talk:SGrabarczuk (WMF)|<span class="signature-talk">majadiliano</span>]]) 02:50, 27 Februari 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:SGrabarczuk (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=User:SGrabarczuk_(WMF)/sandbox/8&oldid=28315571 --> == Translation notification: Help:Unified login == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Help:Unified login|Help:Unified login]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Help%3AUnified+login&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 06:05, 23 Machi 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Help:Two-factor authentication == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Help:Two-factor authentication|Help:Two-factor authentication]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Help%3ATwo-factor+authentication&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 23:50, 3 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Tech/News == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Tech/News|Tech/News]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Tech%2FNews&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 01:30, 13 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Universal Code of Conduct/Annual review/2025/Voter information == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Universal Code of Conduct/Annual review/2025/Voter information|Universal Code of Conduct/Annual review/2025/Voter information]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FAnnual+review%2F2025%2FVoter+information&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The deadline for translating this page is 2025-04-25. <div lang="en" class="mw-content-ltr">--- Hello, and thank you for the work you do. '''[https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&amp;group=Centralnotice-tgroup-UCoC_AR_2025_cookie&amp;filter=%21translated&amp;action=translate We request you also translate these two sentences.]''' There are more details below. There is an ongoing community vote - the voter information is in the page linked for translation above. We would appreciate your help to [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&amp;group=Centralnotice-tgroup-UCoC_AR_2025_cookie&amp;filter=%21translated&amp;action=translate translate the two sentence CentralNotice banner], as a priority. If you can also translate the voter information page, I know the folks working on this - including the Universal Code of Conduct Coordinating Committee (U4C) group - would be highly appreciative. ~ In cooperation with the U4C</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 15:30, 23 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Xeno (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: User:Keegan (WMF)/EGCharter closing == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:User:Keegan (WMF)/EGCharter closing|User:Keegan (WMF)/EGCharter closing]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-User%3AKeegan+%28WMF%29%2FEGCharter+closing&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. The deadline for translating this page is 2025-04-29. <div lang="en" class="mw-content-ltr">If you have some time to translate this message that will be sent to the communities prior to the close of the vote, it would be of great benefit.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 03:18, 26 Aprili 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Keegan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2025/Call for candidates == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2025/Call for candidates|Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2025/Call for candidates]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FCoordinating+Committee%2FElection%2F2025%2FCall+for+candidates&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is high. The deadline for translating this page is 2025-05-15. <div lang="en" class="mw-content-ltr">I'm sorry for the short notice, details for the election came together at the last minute.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 18:53, 14 Mei 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Keegan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2025 == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2025|Universal Code of Conduct/Coordinating Committee/Election/2025]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FCoordinating+Committee%2FElection%2F2025&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr">This is the information page of 2025 U4C election. Please help with translation; your contributions will be greatly appreciated.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 15:09, 19 Mei 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Hide on Rosé@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-24</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W24"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/24|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product|Trust and Safety Product team]] is finalizing work needed to roll out [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|temporary accounts]] on large Wikipedias later this month. The team has worked with stewards and other users with extended rights to predict and address many use cases that may arise on larger wikis, so that community members can continue to effectively moderate and patrol temporary accounts. This will be the second of three phases of deployment – the last one will take place in September at the earliest. For more information about the recent developments on the project, [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts/Updates|see this update]]. If you have any comments or questions, write on the [[mw:Talk:Trust and Safety Product/Temporary Accounts|talk page]], and [[m:Event:CEE Catch up Nr. 10 (June 2025)|join a CEE Catch Up]] this Tuesday. '''Updates for editors''' * [[File:Octicons-gift.svg|12px|link=|class=skin-invert|Wishlist item]] The [[mw:Special:MyLanguage/Help:Watchlist expiry|watchlist expiry]] feature allows editors to watch pages for a limited period of time. After that period, the page is automatically removed from your watchlist. Starting this week, you can set a preference for the default period of time to watch pages. The [[Special:Preferences#mw-prefsection-watchlist-pageswatchlist|preferences]] also allow you to set different default watch periods for editing existing pages, pages you create, and when using rollback. [https://phabricator.wikimedia.org/T265716] [[File:Talk pages default look (April 2023).jpg|thumb|alt=Screenshot of the visual improvements made on talk pages|Example of a talk page with the new design, in French.]] * The appearance of talk pages will change at almost all Wikipedias ([[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2024/19|some]] have already received this design change, [[phab:T379264|a few]] will get these changes later). You can read details about the changes [[diffblog:2024/05/02/making-talk-pages-better-for-everyone/|on ''Diff'']]. It is possible to opt out of these changes [[Special:Preferences#mw-prefsection-editing-discussion|in user preferences]] ("{{int:discussiontools-preference-visualenhancements}}"). [https://phabricator.wikimedia.org/T319146][https://phabricator.wikimedia.org/T392121] * Users with specific extended rights (including administrators, bureaucrats, checkusers, oversighters, and stewards) can now have IP addresses of all temporary accounts [[phab:T358853|revealed automatically]] during time-limited periods where they need to combat high-speed account-hopping vandalism. This feature was requested by stewards. [https://phabricator.wikimedia.org/T386492] * This week, the Moderator Tools and Machine Learning teams will continue the rollout of [[mw:Special:MyLanguage/2025 RecentChanges Language Agnostic Revert Risk Filtering|a new filter to Recent Changes]], releasing it to several more Wikipedias. This filter utilizes the Revert Risk model, which was created by the Research team, to highlight edits that are likely to be reverted and help Recent Changes patrollers identify potentially problematic contributions. The feature will be rolled out to the following Wikipedias: {{int:project-localized-name-afwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-bewiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-bnwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-cywiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-hawwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-iswiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-kkwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-simplewiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-trwiki/en}}. The rollout will continue in the coming weeks to include [[mw:Special:MyLanguage/2025 RecentChanges Language Agnostic Revert Risk Filtering|the rest of the Wikipedias in this project]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T391964] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:27}} community-submitted {{PLURAL:27|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * AbuseFilter editors active on Meta-Wiki and large Wikipedias are kindly asked to update AbuseFilter to make it compatible with temporary accounts. A link to the instructions and the private lists of filters needing verification are [[phab:T369611|available on Phabricator]]. * Lua modules now have access to the name of a page's associated thumbnail image, and on [https://gerrit.wikimedia.org/g/operations/mediawiki-config/+/2e4ab14aa15bb95568f9c07dd777065901eb2126/wmf-config/InitialiseSettings.php#10849 some wikis] to the WikiProject assessment information. This is possible using two new properties on [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Scribunto/Lua reference manual#added-by-extensions|mw.title objects]], named <code dir=ltr>pageImage</code> and <code dir=ltr>pageAssessments</code>. [https://phabricator.wikimedia.org/T131911][https://phabricator.wikimedia.org/T380122] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.5|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/24|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W24"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 01:17, 10 Juni 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=28846858 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-25</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W25"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/25|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * You can [https://wikimediafoundation.limesurvey.net/359761?lang=en nominate your favorite tools] for the sixth edition of the [[m:Special:MyLanguage/Coolest Tool Award|Coolest Tool Award]]. Nominations are anonymous and will be open until June 25. You can re-use the survey to nominate multiple tools. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:33}} community-submitted {{PLURAL:33|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.6|MediaWiki]] '''In depth''' * Foundation staff and technical volunteers use Wikimedia APIs to build the tools, applications, features, and integrations that enhance user experiences. Over the coming years, the MediaWiki Interfaces team will be investing in Wikimedia web (HTTP) APIs to better serve technical volunteer needs and protect Wikimedia infrastructure from potential abuse. You can [https://techblog.wikimedia.org/2025/06/12/apis-as-a-product-investing-in-the-current-and-next-generation-of-technical-contributors/ read more about their plans to evolve the APIs in this Techblog post]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/25|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W25"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 23:39, 16 Juni 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=28870688 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-26</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W26"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/26|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * This week, the Moderator Tools and Machine Learning teams will continue the rollout of [[mw:Special:MyLanguage/2025 RecentChanges Language Agnostic Revert Risk Filtering|a new filter to Recent Changes]], releasing it to the third and last batch of Wikipedias. This filter utilizes the Revert Risk model, which was created by the Research team, to highlight edits that are likely to be reverted and help Recent Changes patrollers identify potentially problematic contributions. The feature will be rolled out to the following Wikipedias: {{int:project-localized-name-azwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-lawiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-mkwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-mlwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-mrwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-nnwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-pawiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-swwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-tewiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-tlwiki/en}}. The rollout will continue in the coming weeks to include [[mw:Special:MyLanguage/2025 RecentChanges Language Agnostic Revert Risk Filtering|the rest of the Wikipedias in this project]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T391964] '''Updates for editors''' * Last week, [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|temporary accounts]] were rolled out on Czech, Korean, and Turkish Wikipedias. This and next week, deployments on larger Wikipedias will follow. [[mw:Talk:Trust and Safety Product/Temporary Accounts|Share your thoughts]] about the project. [https://phabricator.wikimedia.org/T340001] * Later this week, the Editing team will release [[mw:Special:MyLanguage/Help:Edit check#Multi check|Multi Check]] to all Wikipedias (except English Wikipedia). This feature shows multiple [[mw:Special:MyLanguage/Help:Edit check#Reference check|Reference checks]] within the editing experience. This encourages users to add citations when they add multiple new paragraphs to a Wikipedia article. This feature was previously available as an A/B test. [https://analytics.wikimedia.org/published/reports/editing/multi_check_ab_test_report_final.html#summary-of-results The test shows] that users who are shown multiple checks are 1.3 times more likely to add a reference to their edit, and their edit is less likely to be reverted (-34.7%). [https://phabricator.wikimedia.org/T395519] * A few pages need to be renamed due to software updates and to match more recent Unicode standards. All of these changes are related to title-casing changes. Approximately 71 pages and 3 files will be renamed, across 15 wikis; the complete list is in [[phab:T396903|the task]]. The developers will rename these pages next week, and they will fix redirects and embedded file links a few minutes later via a system settings update. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:24}} community-submitted {{PLURAL:24|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, a bug was fixed that had caused pages to scroll upwards when text near the top was selected. [https://phabricator.wikimedia.org/T364023] '''Updates for technical contributors''' * Editors can now use Lua modules to filter and transform tabular data for use with [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Chart|Extension:Chart]]. This can be used for things like selecting a subset of rows or columns from the source data, converting between units, statistical processing, and many other useful transformations. [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Chart/Transforms|Information on how to use transforms is available]]. [https://www.mediawiki.org/wiki/Special:MyLanguage/Extension:Chart/Project/Updates] * The <code dir=ltr>all_links</code> variable in [[Special:AbuseFilter|AbuseFilter]] is now renamed to <code dir=ltr>new_links</code> for consistency with other variables. Old usages will still continue to work. [https://phabricator.wikimedia.org/T391811] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.7|MediaWiki]] '''In depth''' * The latest quarterly [[mw:Special:MyLanguage/Growth/Newsletters/34|Growth newsletter]] is available. It includes: the recent updates for the "Add a Link" Task, two new Newcomer Engagement Features, and updates to Community Configuration. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/26|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W26"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 23:21, 23 Juni 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=28870688 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-27</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W27"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/27|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CampaignEvents|CampaignEvents extension]] has been enabled on all Wikipedias. The extension makes it easier to organize and participate in collaborative activities, like edit-a-thons and WikiProjects, on the wikis. The extension has three features: [[m:Special:MyLanguage/Event Center/Registration|Event Registration]], [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Collaboration list|Collaboration List]], and [[m:Campaigns/Foundation Product Team/Invitation list|Invitation List]]. To request the extension for your wiki, visit the [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Deployment status#How to Request the CampaignEvents Extension for your wiki|Deployment information page]]. '''Updates for editors''' * AbuseFilter maintainers can now [[mw:Special:MyLanguage/Extension:IPReputation/AbuseFilter variables|match against IP reputation data]] in [[mw:Special:MyLanguage/Extension:AbuseFilter|AbuseFilters]]. IP reputation data is information about the proxies and VPNs associated with the user's IP address. This data is not shown publicly and is not generated for actions performed by registered accounts. [https://phabricator.wikimedia.org/T354599] * Hidden content that is within [[mw:Special:MyLanguage/Manual:Collapsible elements|collapsible parts of wikipages]] will now be revealed when someone searches the page using the web browser's "Find in page" function (Ctrl+F or ⌘F) in supporting browsers. [https://phabricator.wikimedia.org/T327893][https://developer.mozilla.org/en-US/docs/Web/HTML/Reference/Global_attributes/hidden#browser_compatibility] * [[File:Octicons-gift.svg|12px|link=|class=skin-invert|Wishlist item]] A new feature, called [[mw:Special:MyLanguage/Help:TemplateData/Template discovery|Favourite Templates]], will be deployed later this week on all projects (except English Wikipedia, which will receive the feature next week), following a piloting phase on Polish and Arabic Wikipedia, and Italian and English Wikisource. The feature will provide a better way for new and experienced contributors to recall and discover templates via the template dialog, by allowing users to put templates on a special "favourite list". The feature works with both the visual editor and the wikitext editor. The feature is a [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Focus areas/Template recall and discovery|community wishlist focus area]]. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:31}} community-submitted {{PLURAL:31|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, a bug was fixed that had caused some Notifications to be sent multiple times. [https://phabricator.wikimedia.org/T397103] '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.8|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/27|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W27"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 23:41, 30 Juni 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=28917415 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-28</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W28"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/28|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * [[mw:Special:MyLanguage/Help:Temporary accounts|Temporary accounts]] have been rolled out on 18 large and medium-sized Wikipedias, including German, Japanese, French, and Chinese. Now, about 1/3 of all logged-out activity across wikis is coming from temporary accounts. Users involved in patrolling may be interested in two new documentation pages: [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts/Access to IP|Access to IP]], explaining everything related to access to temporary account IP addresses, and [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts/Repository|Repository]] with a list of new gadgets and user scripts. '''Updates for editors''' * Anyone can play an experimental new game, [[mw:Special:MyLanguage/New Engagement Experiments/WikiRun|WikiRun]], that lets you race through Wikipedia by clicking from one article to another, aiming to reach a target page in as few steps and in as little time as possible. The project's goal is to explore new ways of engaging readers. [https://wikirun-game.toolforge.org/ Try playing the game] and let the team know what you think [[mw:Talk:New Engagement Experiments/WikiRun|on the talk page]]. * Users of the Wikipedia Android app in some languages can now play the new [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/Android/TrivaGame|trivia game]]. ''Which came first?'' is a simple history game where you guess which of two events happened earlier on today's date. It was previously available as an A/B test. It is now available to all users in English, German, French, Spanish, Portuguese, Russian, Arabic, Turkish, and Chinese. The goal of the feature is to help engage with new generations of readers. [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:MyLanguage/Tech/News/2025/22] * Users of the iOS Wikipedia App in some languages may see a new tabbed browsing feature that enables you to open multiple tabs while reading. This feature makes it easier to explore related topics and switch between articles. The A/B test is currently running in Arabic, English, and Japanese in selected regions. More details are available on the [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/iOS/Tabbed Browsing (Tabs)|Tabbed Browsing project page]]. * Bureaucrats on Wikimedia wikis can now use [[{{#special:VerifyOATHForUser}}]] to check if users have enabled [[mw:Special:MyLanguage/Help:Two-factor authentication|two-factor authentication]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T265726] * [[File:Octicons-gift.svg|12px|link=|class=skin-invert|Wishlist item]] A new feature related to [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Focus areas/Template recall and discovery|Template Recall and Discovery]] will be deployed later this week to all Wikimedia projects: a [[mw:Special:MyLanguage/Help:TemplateData/Template discovery#Template categories|template category browser]] will be introduced to assist users in finding templates to put in their “favourite” list. The browser will allow users to browse a list of templates which have been organised into a given category tree. The feature has been requested by the community [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Wishes/Select templates by categories|through the Community Wishlist]]. * It is now possible to access watchlist preferences from the watchlist page. Also the redundant button to edit the watchlist has been removed. [https://www.mediawiki.org/wiki/Moderator_Tools/Watchlist] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:27}} community-submitted {{PLURAL:27|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * As part of [[mw:MediaWiki_1.44|MediaWiki 1.44]] there is now a unified built-in Notifications system that makes it easier for developers to send, manage, and customize notifications. Check out the updated documentation at [[mw:Manual:Notifications|Manual:Notifications]], information about migration in [[phab:T388663|T388663]] and details on deprecated hooks in [[phab:T389624|T389624]]. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.9|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * [[d:Special:MyLanguage/Event:WikidataCon 2025|WikidataCon 2025]], the conference dedicated to Wikidata is now open for [https://pretalx.com/wikidatacon-2025/cfp session proposals] and for [[d:Special:RegisterForEvent/1340|registration]]. This year's event will be held online from October 31 – November 02 and will explore on the theme of "Connecting People through Linked Open Data". '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/28|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W28"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 00:06, 8 Julai 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=28930584 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-29</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W29"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/29|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * [[mw:Special:MyLanguage/Help:TemplateData/Template discovery#Featured templates|Featured templates]], a new feature related to [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Focus areas/Template recall and discovery|Template Recall and Discovery]] will be deployed this week to all Wikimedia projects: With this feature, editors will be able to quickly access a list of templates that are likely to be useful. These templates will be displayed in a list, under the "featured" tab of the template discovery interface. Administrators can define the list via the Community Configuration interface. The feature fulfills a request by the community [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Wishes/Easy access Templates|through the Community Wishlist]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T367428][https://phabricator.wikimedia.org/T392896] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:31}} community-submitted {{PLURAL:31|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the request to add Malayalam fonts in the [[oldWikisource:Special:MyLanguage/Wikisource:WS Export|Wikisource Book Export Tool]] was resolved and now, the rendering of Malayalam letters in exported Wikisource books are accurate. [https://phabricator.wikimedia.org/T374457] '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.10|MediaWiki]] '''In depth''' * Developers, designers, and all Wikimedians are invited to [https://phabricator.wikimedia.org/project/board/7953/ submit a project idea] for the Wikimania Hackathon 2025. Read [https://diff.wikimedia.org/2025/06/30/call-for-projects-wikimania-hackathon-2025-is-coming-to-nairobi/ this Diff blog post] for more details. '''Meetings and events''' * [[m:WikiIndaba conference 2025|WikiIndaba 2025]] scholarship application and program submission is open until 23:59 GMT on July 20. WikiIndaba is a regional conference for African Wikimedians both on the continent and in the diaspora to unite and grow together. Submit [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdJTv68R1OPASXXDfpIl8EWiMLTM-TDwh6_5gNVvFuWccFZ2Q/viewform your scholarship application] and [https://ee.kobotoolbox.org/x/BI3omIfH program proposal] now! * [https://br.wikimedia.org/wiki/WikiCon_Brasil_2025 WikiCon Brasil 2025] will take place on July 19-20 in Salvador, Bahia, Brazil. The Brazilian community members are encouraged to register and attend! '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/29|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W29"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 20:10, 14 Julai 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=28980963 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-30</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W30"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/30|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The Translation Suggestions feature in the [[mw:Special:MyLanguage/Content translation|Content Translation tool]] now has another level of article filters added to the "[https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Special:ContentTranslation&filter-type=automatic&filter-id=previous-edits&active-list=suggestions&from=en&to=fi#/ ... More]" category. Translators who use the Suggestions feature can now select and receive article suggestions that are customized to geographical locations of their interest using the new "{{int:Cx-sx-suggestions-filters-tab-regions}}" filter. [https://phabricator.wikimedia.org/T113257] * Administrators can now limit "Add a Link" to newcomers. The [[mw:Special:MyLanguage/Help:Growth/Tools/Add a link|"Add a Link"]] Structured Task [[mw:Special:MyLanguage/Growth/Constructive activation experimentation#Enwiki A/B test & "Add a Link" Improvements (Wiki Experiences 1.2.11 & 1.2.16)|helps new account holders start editing]], but some communities have requested the ability to restrict it to its intended audience: newcomers. Administrators can configure this setting within the [[Special:CommunityConfiguration/GrowthSuggestedEdits|Community Configuration]] feature. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:29}} community-submitted {{PLURAL:29|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * For AbuseFilter editors on [[phab:T392144|some wikis]], it is now possible to filter edits based on the RevertRisk score of the edit being attempted. It is only populated if the action being evaluated is an edit. For more information, please see the [[mw:Special:MyLanguage/Extension:ORES/AbuseFilter variables#What variables are available for use|ORES/AbuseFilter variables]] documentation. * The [[mw:Special:MyLanguage/Beta Cluster|Beta Cluster]] wikis have [[listarchive:list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/YDABPV75LADRQCXMJAFWUP256N4EQ25B/|been moved]] from <code dir=ltr>beta.wmflabs.org</code> to <code dir=ltr>beta.wmcloud.org</code>. Users may need to update URLs in any tools, or in their password managers. Any related issues can be [[phab:T289318|reported in the task]]. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.11|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * [[m:Special:MyLanguage/WikiCite 2025|WikiCite 2025]] will take place from 29–31 August, both online and in-person in Bern, Switzerland. The event's goals are to reconnect communities, institutions, and individuals working with open citations, bibliographic data, and the Wikidata/Wikibase ecosystem. Registration is open and the call for proposals will be announced soon. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikidata@lists.wikimedia.org/message/KQZUG3ETKLBWPBYSB2YAWZIRPWHS24TG/] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/30|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W30"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 23:43, 21 Julai 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29005283 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-31</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W31"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/31|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The Community Tech team will be focusing on wishes related to Watchlists and Recent Changes pages, over the next few months. They are looking for feedback. Please [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Updates#July 24, 2025: Watchlists and Recent Changes pages|read the latest update]], and if you have ideas, please [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist|submit a wish]] on the topic. '''Updates for editors''' * The Wikimedia Commons community has decided to block [[:mw:Special:MyLanguage/Upload dialog|cross-wiki uploads]] to Wikimedia Commons, for all users without autoconfirmed rights on that wiki, starting on August 16. This is because of [[:c:Commons:Cross-wiki media upload tool/History|widespread problems]] related to files that are uploaded by newcomers. Users who are affected by this will get an error message with a link to the less restrictive UploadWizard on Commons. Please help translating the [[:c:Special:MyLanguage/MediaWiki:Abusefilter-disallowed-cross-wiki-upload|message]] or give feedback on the message text. Please also update your local help pages to explain this restriction. [https://phabricator.wikimedia.org/T370598] * On wikis with temporary accounts enabled and Meta-Wiki, administrators may now set up a footer for the Special:Contributions pages of temporary accounts, similar to those which can be shown on IP and user-account pages. They may do it by creating the page named <code dir=ltr>MediaWiki:Sp-contributions-footer-temp</code>. [https://phabricator.wikimedia.org/T398347] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:21}} community-submitted {{PLURAL:21|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.12|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * [[wmania:Special:MyLanguage/2025:Wikimania|Wikimania 2025]] will run from August 6–9. The [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/schedule/ program is available] for you to plan which sessions you want to attend. Most sessions will be live-streamed, with exceptions for those that show the "no camera" icon. If you are joining online to watch live-streams and use the interactive features, please [[wmania:Special:MyLanguage/2025:Registration|register]] for a free virtual ticket. For example, you may be interested in technical sessions such as: ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/KFEFVG/ Temporary Accounts: Enhancing privacy for our unregistered editors] ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/TVCVAB/ Building a Sustainable Future for Wikimedia Contributors] ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/WTRQCJ/ A dozen visions for wikitext!] ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/8YKKP9/ Coordinate Across Stakeholders with the Product and Technology Advisory Council] * The [[mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Users and Developers Conference Fall 2025|MediaWiki Users and Developers Conference, Fall 2025]] will be held 28–30 October 2025 in Hanover, Germany. This event is organized by and for the third-party MediaWiki community. You can propose sessions and register to attend. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/31|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W31"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 00:27, 29 Julai 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29051727 --> == Translation notification: Incident Reporting System == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta. The page [[:metawikipedia:Incident Reporting System|Incident Reporting System]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Incident+Reporting+System&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta translation coordinators‎, 03:53, 2 Agosti 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-32</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W32"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/32|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * Editors can now enable the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Anti-abuse signals/User Info|User Info card]]. This feature adds an icon next to usernames on history pages and similar user-contribution log pages. When you tap or click on the icon, it displays data related to that user account such as the number of edits, reverted edits, blocks, and more. It's part of a broader project to make it easier for moderators to evaluate account trustworthiness. The feature can be enabled in [[testwiki:Special:GlobalPreferences#mw-prefsection-rendering|your global preferences]], and later this week it will be available in local preferences. [https://phabricator.wikimedia.org/T386439] * Everybody is invited to share comments on [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Collaborative contributions|Collaborative Contributions]], a project recently launched by the [[m:Special:MyLanguage/Connection Team|Connection team]]. The project aims to create a new way to display the impact of collaborative editing activities (such as edit-a-thons, backlog drives, and WikiProjects) on the wikis. Post your comments on the [[m:Talk:CampaignEvents/Collaborative contributions|project talk page]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T378035] * Administrators can now define the default block duration for temporary accounts. To do that, they need to create a page named <code dir=ltr>MediaWiki:Ipb-default-expiry-temporary-account</code> and use a value defined in <code dir=ltr>MediaWiki:Ipboptions</code>. This allows administrators to easily block temporary accounts for 90 days, which is functionally equivalent to an indefinite block. The advantage of this solution is that it does not clutter Special:BlockList. [[mw:Special:MyLanguage/Manual:Block and unblock#Default block duration options|More documentation]] is available. [https://phabricator.wikimedia.org/T398626] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:27}} community-submitted {{PLURAL:27|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * Gadgets can now include <code dir=ltr>.vue</code> files. This makes it easier to develop modern user interfaces using [[mw:Vue.js|Vue.js]], in particular using [[mw:Special:MyLanguage/Codex|Codex]], the official design system of Wikimedia. [[wmdoc:codex/latest/icons/overview.html|Codex icons]] can be loaded through the gadget definition. [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Gadgets#Pages|The documentation]] has examples. For user scripts that use Vue.js, an [[mw:API:CodexIcons|API module]] now exists to load Codex icons. [https://phabricator.wikimedia.org/T340460][https://phabricator.wikimedia.org/T311099] * Module developers can now use a [[mw:Help:Extension:Translate/Message Bundles/Lua reference|Lua interface]] to simplify the preparation of Lua modules for translation on Meta-Wiki. This improvement makes it easier for translators to find and edit module strings without dealing with raw Lua code. It helps prevent mistakes that could break the module during translation. Module developers and translators are invited to [[commons:File:Translatable modules video demo July 2025.webm|watch the demo video]], read more about [[mw:Special:MyLanguage/Translatable modules|translatable modules]] to understand how it works, refer to Meta-Wiki's [[m:Module:User Wikimedia project|Module:User Wikimedia project]] for example usage, and [[mw:Talk:Translatable modules|share their feedback]] on how well it addresses the challenges in their workflow. The interface still has some performance issues, so it should not be used in widely used modules yet. [https://phabricator.wikimedia.org/T359918] * Developers of external tools that connect to Wikimedia pages must set a user-agent that complies with [[foundation:Special:MyLanguage/Policy:Wikimedia Foundation User-Agent Policy|the user-agent policy]]. This policy will start to be more strongly enforced in August because of external crawlers that are [[diffblog:2025/04/01/how-crawlers-impact-the-operations-of-the-wikimedia-projects/|overusing]] Wikimedia's resources. Tools that are hosted on Wikimedia's Toolforge or Cloud VPS will not be affected by this for now, but should still set a user-agent. [[phab:T400119|More technical details are available]], and related questions are welcome in that task. * Parsoid Read Views is going to be rolling out to some smaller Wikipedias over the next few weeks, following the successful transition of Wikivoyages and Wiktionaries to Parsoid Read Views. For more information, see the [[mw:Special:MyLanguage/Parsoid/Parser Unification|Parsoid/Parser Unification]] project page. [https://phabricator.wikimedia.org/project/profile/7694/] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.13|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * [[wmania:Special:MyLanguage/2025:Wikimania|Wikimania 2025]] will run from August 6–9. The [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/schedule/ program is available] for you to plan which sessions you want to attend. Most sessions will be live-streamed, with exceptions for those that show the "no camera" icon. If you are joining online to watch live-streams and use the interactive features, please [[wmania:Special:MyLanguage/2025:Registration|register]] for a free virtual ticket. For example, you may be interested in technical sessions such as: ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/GEH9DH/ Wikimedia’s knowledge infrastructure in a changing internet: Establishing sustainable pathways for content reuse] ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/7ELN9Q/ Wikifunctions is coming soon to a wiki near you!] ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/ZMGVJV/ Shaping the Future of Wikipedia’s Reader Experience] ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/KCKTFZ/ Making Wikipedia More Readable: What Comes Next] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/32|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W32"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 03:41, 5 Agosti 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29083927 --> == Wito wa kupiga kura kwa ajili ya [[Mtumiaji:Justine Msechu]] - awe msimamizi wa kusano == Ndugu @[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]], unaombwa kupiga kura juu ya kumpatia uwezo wa ukabidhi/usimamizi wa kusano katika ukurasa wa [[Wikipedia:Wakabidhi#Msimaizi wa KUSANO - Mtumiaji:Justine Msechu]]. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 08:01, 7 Agosti 2025 (UTC) == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-33</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W33"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/33|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The WikiEditor toolbar now includes [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:WikiEditor#Keyboard shortcuts|its keyboard shortcuts]] in the tooltips for its buttons. This will help to improve the discoverability of this feature. [https://phabricator.wikimedia.org/T400583] * The [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council|Product and Technology Advisory Council]] published a set of [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council/August 2025 draft PTAC proposals for feedback|proposed experiments]] the Wikimedia Foundation can try to improve communication with community. Feedback on the proposals are welcomed until August 22 on [[m:Talk:Product and Technology Advisory Council/August 2025 draft PTAC proposals for feedback|this talk page]]. * The search bar on the Minerva skin (mobile) has been updated to use the same type-ahead search component that is used on the Vector 2022 skin. There are no changes in search functionality but there are minor visual changes. Specifically, the close-search button has been changed from an "X" to a back arrow. This helps to distinguish it from the other "X" button that is used to clear any text. [https://phabricator.wikimedia.org/T393944] * Editors on some wikis will see a new toggle for "Group results by page" on watchlist, related changes, and recent changes pages. This is [[mw:Special:MyLanguage/Moderator Tools/Watchlist/Experiment|an A/B experiment]] that is planned to start on August 11, and will run for 3–6 weeks on the Bengali, Chinese, Czech, French, Greek, Portuguese, and Urdu Wikipedias. The experiment will examine how making this feature more discoverable might affect editors' ability to find the edits they are looking for. [https://phabricator.wikimedia.org/T396789] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:31}} community-submitted {{PLURAL:31|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * The multiwiki datasets of [[:wikt:en:Module:Unicode data|Unicode data]] have been moved to [[c:Category:Unicode Module Datasets|Category:Unicode Module Datasets]] on Wikimedia Commons, to follow the idea of "One common data source, multiple local wikis". Most wikis have been updated to use the Commons version. You can ask questions at [[c:Category talk:Unicode Module Datasets|the talkpage]]. [https://en.wiktionary.org/wiki/Module_talk:Unicode_data#Data_from_commons] * Lua code can add warnings when something is wrong, by using the <code dir=ltr>mw.addWarning()</code> function. It is now possible to add more than one warning, instead of new warnings replacing old ones. If you maintain a Lua module that used warnings, you should check it still works as expected. [https://phabricator.wikimedia.org/T398390] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.14|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/33|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W33"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 23:30, 11 Agosti 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29106516 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-34</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W34"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/34|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * Later this week, people who are logged-in and have the "[[mw:Special:MyLanguage/Talk pages project/Feature summary|Discussion tools]]" [[Special:Preferences#mw-prefsection-betafeatures|Beta Feature]] enabled will gain the ability to "Thank" individual comments directly from talk pages, rather than needing to navigate to page history. [[mw:Special:MyLanguage/Talk pages project/Feature summary#Comment actions|Learn more about this feature]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T400849] * An A/B test comparing two versions of the desktop donate link launched on testwiki on 12 August and on English Wikipedia 14 August for 0.1% of logged out users on the desktop site. The experiment will run for three weeks, ending on 12 September. [https://phabricator.wikimedia.org/T395716] * An A/A test to measure the baseline for reader retention was launched 12 August using [[wikitech:Experimentation Lab|Experimentation Lab]]. This measures the percentage of users who revisit a wiki after their initial visit over a 14-day period. No visual changes are expected. The experiment will run through 31 August. [https://phabricator.wikimedia.org/T399227] * Five new wikis have been created: ** a {{int:project-localized-name-group-wikisource/en}} in [[d:Q34057|Tagalog]] ([[s:tl:|<code>s:tl:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T388639] ** a {{int:project-localized-name-group-wikisource/en}} in [[d:Q36213|Madurese]] ([[s:mad:|<code>s:mad:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T391747] ** a {{int:project-localized-name-group-wikipedia/en}} in [[d:Q3450749|Rakhine]] ([[w:rki:|<code>w:rki:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T392490] ** a {{int:project-localized-name-group-wikibooks/en}} in [[d:Q13324|Minangkabau]] ([[b:min:|<code>b:min:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T395452] ** a {{int:project-localized-name-group-wiktionary/en}} in [[d:Q7598268|Standard Moroccan Amazigh]] ([[wikt:zgh:|<code>wikt:zgh:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T399684] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:46}} community-submitted {{PLURAL:46|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.15|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/34|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W34"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 00:39, 19 Agosti 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29127690 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-35</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W35"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/35|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * [[File:Octicons-gift.svg|12px|link=|class=skin-invert|Wishlist item]] [[File:Octicons-tools.svg|12px|link=|class=skin-invert|Advanced item]] Template authors can now use additional CSS properties, since the CSS sanitizer used by [[mw:Special:MyLanguage/Help:TemplateStyles|TemplateStyles]] was updated. For example: <code>width: fit-content</code>; <code>ruby-align</code>; relative units such as <code>lh</code>; and custom strings in <code>list-style-type</code>. These improvements are a [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Wishes/Allow use of modern CSS in templates by updating the TemplateStyles CSS sanitizer|Community Wishlist wish]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T271958][https://phabricator.wikimedia.org/T277755][https://phabricator.wikimedia.org/T293633][https://phabricator.wikimedia.org/T295088][https://phabricator.wikimedia.org/T326906][https://phabricator.wikimedia.org/T340057][https://phabricator.wikimedia.org/T360725][https://phabricator.wikimedia.org/T371809][https://phabricator.wikimedia.org/T375344][https://phabricator.wikimedia.org/T394619] * On large wikis, the default time period to display edits from, within the Special:RecentChanges page, has been changed from 7 days to 1 day. This is part of a performance improvement project. This should have no user-facing impact due to the quantity of edits on these wikis. [https://phabricator.wikimedia.org/T399455] * Administrators can now access the [[{{#special:BlockedExternalDomains}}]] page from the [[{{#special:CommunityConfiguration}}]] list page. This makes it easier to find. [https://phabricator.wikimedia.org/T393240] * Wikimedia Commons videos were not shown in the Videos tab in Google Search. The problem was investigated and reported to Google who have now fixed the issue. [https://phabricator.wikimedia.org/T396168][https://meta.wikimedia.org/wiki/Community_Wishlist/Wishes/Do_something_about_Google_%26_DuckDuckGo_search_not_indexing_media_files_and_categories_on_Commons] * One new wiki has been created: a {{int:project-localized-name-group-wiktionary/en}} in [[d:Q33014|Betawi]] ([[wikt:bew:|<code>wikt:bew:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T402130] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:39}} community-submitted {{PLURAL:39|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * Two fields of the [[mw:Special:MyLanguage/Manual:Recentchanges table|recentchanges database table]] are being removed. <code>rc_new</code> and <code>rc_type</code> are being removed in favor of <code>rc_source</code>. Queries to these older fields will start to fail starting this week and developers should use <code>rc_source</code> instead. These older fields were deprecated over 10 years ago and should not be in use. This is part of work to improve the performance and stability of queries to the recentchanges table. [https://phabricator.wikimedia.org/T400696] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.16|MediaWiki]] '''In depth''' * The latest quarterly [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Language and Product Localization/Newsletter/2025/July|Language and Internationalization Newsletter]] is now available. This edition includes: support for new languages in MediaWiki and translatewiki; the start of the Language Onboarding and Development project to help support the growth of new and small wikis; updates on research projects; and more. '''Meetings and events''' * The next [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Language and Product Localization/Community meetings#29 August 2025|Language Community Meeting]] is happening soon, August 29th at [https://zonestamp.toolforge.org/1756479600 15:00 UTC]. This week's meeting will cover: the Avro keyboard developers from Wikimedia Bangladesh, who were recently awarded a national award for their contributions to this keyboard; and other topics. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/35|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W35"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 00:13, 26 Agosti 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29175124 --> == Translation notification: Template:Affiliate recognition pause notice 2025 == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Template:Affiliate recognition pause notice 2025|Template:Affiliate recognition pause notice 2025]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3AAffiliate+recognition+pause+notice+2025&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 15:33, 30 Agosti 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-36</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W36"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/36|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The Editing team wants to compile a list of templates, jargon terms, and policies used in edit summaries when a copyright violation is removed. This will help them identify the number of edits reverted due to copyright issues. We invite community members from the following Wikis to list these terms in [[Phab:T402601|T402601]], or to share their list with [[User:Trizek (WMF)|Trizek_(WMF)]]: {{int:project-localized-name-arwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-cswiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-dewiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-enwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-eswiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-fawiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-frwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-hewiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-idwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-itwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-jawiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-kowiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-nlwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-plwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-ptwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-trwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-ukwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-viwiki/en}}{{int:comma-separator/en}}{{int:project-localized-name-zhwiki/en}}. This project is open until September 9th 2025. '''Updates for editors''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CampaignEvents|CampaignEvents extension]] has been enabled for all Wikisources. The extension makes it easier to organize and participate in collaborative activities, like edit-a-thons and WikiProjects, on the wikis. The extension has three features: [[m:Special:MyLanguage/Event Center/Registration|Event Registration]], [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Collaboration list|Collaboration List]], and [[m:Special:MyLanguage/Connection Team/Invitation list|Invitation List]]. To request the extension for your wiki, visit the Deployment information page. [https://meta.wikimedia.org/wiki/CampaignEvents/Deployment_status#How_to_Request_the_CampaignEvents_Extension_for_your_wiki] * The lists in the footer of the editing interface, such as "Templates used on this page," will now be organized into columns when there is enough space. This enhancement minimizes scrolling when editing lengthy articles on Wikipedia. [https://phabricator.wikimedia.org/T401066] * On September 3rd, 2025 we will increase the sampling percentages of our [[mw:Special:MyLanguage/Moderator Tools/Watchlist/Experiment#Scope of the experiment|group by toggle experiment]] of the <code>Special:RecentChanges</code>, <code>Special:Watchlist</code>, and <code>Special:RelatedChanges</code> pages on the Chinese, French, and Portuguese Wikipedias to 100 percent, allowing more editors to be part of this experiment. This adjustment is intended to ensure we have sufficient data to make informed decisions when evaluating the experiment results. [https://phabricator.wikimedia.org/T402958][https://phabricator.wikimedia.org/T396789] * Upon clicking an empty search bar, logged-out users will see suggestions of articles for further reading on English Wikipedia beginning the week of September 22. The feature will be available on both desktop and mobile. All non-English wikis received this change in June and July. The goal is to make it easier for users to find articles. [[mw:Special:MyLanguage/Reading/Web/Content Discovery Experiments/Search Suggestions|Learn more]]. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:37}} community-submitted {{PLURAL:37|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.17|MediaWiki]] '''In depth''' * Wikifunctions now has a new capability called "lightweight enumeration types", an enumeration type is simply a fixed set of values that's in the type's definition. This capability makes it quick and easy to define such a type, and allows for the reuse of values that are already present in Wikidata. Here is [[f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Status updates/2025-07-19|a newsletter]] to learn more. * The latest [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Newsletter updates#August 2025: Newsletter #1|Readers Newsletter]] is now available. This edition includes: the formation of two new teams — Reader Growth and Reader Experience; insights into declining pageviews and account creations; highlights from the Wikimania Nairobi panel on improving the reading experience; upcoming experiments to engage new and existing readers; and more. '''Meetings and events''' * Spotlight on some Wikimania 2025 Sessions: ** Identifying AI-generated text by searching for ISBNs whose checksums fail: Mathias Schindler of WMDE [https://www.youtube.com/watch?v=Dw9o8Lsl974&t=15910s shared tools to help communities search for these]. ** [https://wikimedia.eventyay.com/talk/wikimania2025/talk/TCHZKH/ La durabilité du mouvement Wikimedia face aux défis actuels et futurs]: This session explored how Wikimedia can stay a trusted source of knowledge in the age of generative AI, information overload, and disinformation. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/36|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W36"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 20:51, 1 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29196010 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-37</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W37"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/37|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The Editing team is working on a new check: [[mw:Special:MyLanguage/Paste check|Paste check]]. This check informs newcomers who paste text into Wikipedia that the content might not be accepted. This check is an effort to increase the likelihood that the new content people are adding to Wikipedia is aligned with the Movement's commitment to offering information under a free content license. This check will soon be tested at a few wikis. If your community is interested in this test, please [[phab:T403680|tell us in this task]], or [[mw:Talk:Edit check|contact the team]]. '''Updates for editors''' * [[File:Octicons-tools.svg|12px|link=|class=skin-invert|Advanced item]] Later this week, users of the "{{int:codemirror-beta-feature-title}}" [[Special:Preferences#mw-prefsection-betafeatures|beta feature]] will be able to use a [[w:en:Lint (software)|linting tool]] to see errors or other potential problems in wikitext in real time. See the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror#Linting|help page for more information]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T381577] * [[File:Octicons-tools.svg|12px|link=|class=skin-invert|Advanced item]] When browsing a wiki (like <code dir=ltr>en.wikipedia.org</code>), the software responds in one of two ways: a desktop page, or a redirect to a mobile version on an "m" domain (like <code dir=ltr>en.m.wikipedia.org</code>). Over the next three weeks, MediaWiki will start displaying the mobile version to mobile devices directly on the standard domain, without this redirect. This change does not affect existing m-dot URLs, or the "Desktop view" opt-out. [[mw:Requests for comment/Mobile domain sunsetting/2025 Announcement|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T214998] * When an edit changes the categories of a page, the changes to the category membership counts are now happening asynchronously. This improves the speed of saving edits, especially when moving many pages to or from the same category, and reduces the risk of site outages, but it means that the counts can show outdated information for a few minutes. [https://phabricator.wikimedia.org/T365303] * Edits on Wikidata to qualifiers (properties and values) and references (properties and values) in a Wikidata item statement will now not add entries to the RecentChanges or Watchlist pages on all other Wikis. This is a temporary change to improve performance while other solutions are created. Wikidata's own pages remain unchanged. [[m:Wikidata For Wikimedia Projects/Reduce change propagation noise#Phase 1: Turn off (temporarily) Qualifiers and References Wikidata edits to the Recent Changes tables|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T401286][https://phabricator.wikimedia.org/T400698] * Japanese-language wikis have had a major upgrade to the way that search works. The new search should generally give more accurate and more relevant search results. [https://phabricator.wikimedia.org/T318269] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:31}} community-submitted {{PLURAL:31|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.18|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/37|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W37"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 01:15, 9 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29238161 --> == Translation notification: Meta:Deletion policy == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Meta:Deletion policy|Meta:Deletion policy]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Meta%3ADeletion+policy&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 07:07, 15 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-38</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W38"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/38|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * References lists that are made using the <code dir=ltr><nowiki><references/></nowiki></code> [[mw:Special:MyLanguage/Help:Cite#references-tag|tag]] will now automatically display with columns in Vector 2022 when readers are using its 'standard' settings for text-size and page-width. [https://phabricator.wikimedia.org/T334941] * Starting in the week of October 6, on [[git:operations/mediawiki-config/+/a2d2aaab9ace84280dd2f4c70a33bb69cd73850f/dblists/small.dblist|small wikis]] and [[git:operations/mediawiki-config/+/a2d2aaab9ace84280dd2f4c70a33bb69cd73850f/dblists/medium.dblist|medium wikis]] that have the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CampaignEvents|CampaignEvents extension]] enabled, all autoconfirmed users will be able to use [[m:Special:MyLanguage/Event Center/Registration|Event Registration]] as an organizer. No changes will be made for [[git:operations/mediawiki-config/+/a2d2aaab9ace84280dd2f4c70a33bb69cd73850f/dblists/large.dblist|large wikis]] unless requested in Phabricator. This change is being made to make it easier for more people to use Event Registration, especially on wikis that are less likely to have policies related to the Event Organizer right. [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Proposal to grant autoconfirmed users on small and medium wikis the organizer access to the event registration tool|Learn more]]. * Users that search using regular expressions (regex) can now use additional features including: ** for the <code dir=ltr>intitle:</code> keyword: [[mw:Special:MyLanguage/Help:CirrusSearch#Metacharacters|metacharacters]] for start-of-line (<code dir=ltr>^</code>) and end-of-line (<code dir=ltr>$</code>) anchors [https://phabricator.wikimedia.org/T317599] ** for both <code dir=ltr>intitle:</code> and <code dir=ltr>insource:</code> keywords: shorthand [[mw:Special:MyLanguage/Help:CirrusSearch#Character_Classes|character classes]] for digits (<code dir=ltr>\d</code>), whitespace (<code dir=ltr>\s</code>), and word characters (<code dir=ltr>\w</code>); and [[mw:Special:MyLanguage/Help:CirrusSearch#Escape codes|escape codes]] for line feed (<code dir=ltr>\r</code>), newline (<code dir=ltr>\n</code>), tab (<code dir=ltr>\t</code>), and unicode (e.g. <code dir=ltr>\uHHHH</code>). [https://phabricator.wikimedia.org/T403212] * When you search for text that looks like an IP, the system will now show search results. It used to take you to the contributions for that IP instead of showing search results. [https://phabricator.wikimedia.org/T306325] * [[m:Special:MyLanguage/Tech/Server switch|All wikis will be read-only]] for a few minutes on September 24. This is planned at [https://zonestamp.toolforge.org/1758726000 15:00 UTC]. This is for the datacenter server switchover backup tests which happen twice a year. You can [[diffblog:2025/03/12/hear-that-the-wikis-go-silent-twice-a-year/|read more about the background and details of this process on the Diff blog]]. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:24}} community-submitted {{PLURAL:24|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, a bug was fixed that affected users who used the page-tabs to switch from wikitext editing of a section into the visualeditor. [https://phabricator.wikimedia.org/T401043] '''Updates for technical contributors''' * The MediaWiki Interfaces team is redesigning the Wikimedia REST API Sandbox with Codex. If you have feedback on improvements for the API documentation or what makes developer experiences smooth (or frustrating), you’re invited to [https://calendar.google.com/calendar/u/0/appointments/schedules/AcZssZ2aZzbXeQvjOF7gB1fJXiwAYemQjKf4sXNaRODPA7_obFyNBwkzNkoVCoTF-aeov89kIjXHbCQm join an upcoming discovery interview], or [[mw:MediaWiki Interfaces Team/Developer Feedback/Wikimedia Web APIs|leave feedback onwiki]]. [[listarchive:list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/C4FBAOA57PH6G5ORVMAUF5TGYBLZDU5Q/|Learn more]]. * Edits to Wikidata aliases (an alternative name for an item or a property) will now be shown in RecentChanges and Watchlist entries on other wikis less often, reducing unnecessary notifications. This will reduce the overall quantity of 'noisy' entries. Wikidata's own pages remain unchanged. [[m:Wikidata For Wikimedia Projects/Reduce change propagation noise#Phase 1: More granular Alias tracking|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T401288] * The new [https://www.unicode.org/versions/Unicode17.0.0/ Unicode 17.0] version has been released. The [[:c:Category:Unicode Module Datasets|datasets on Commons]] for the [[:d:Q39301585|Module:Unicode data]] have been updated. Wikipedias that do not use the Commons datasets should either update their own data or switch to the Commons datasets. * Users of the [[m:Special:MyLanguage/Wikimedia Enterprise|Wikimedia Enterprise]] Structured Contents endpoints can now access [https://enterprise.wikimedia.com/blog/parsed-wikipedia-tables/ Parsed Tables]. The new Parsed Tables feature extracts and represents Wikipedia tables in structured JSON. This improves machine accessibility as part of the [https://enterprise.wikimedia.com/api/structured-contents/ Structured Contents initiative]. Structured Contents output is freely available through the [https://enterprise.wikimedia.com/docs/on-demand/#article-structured-contents-beta On-demand API], or through Wikimedia Cloud Services. * A [https://www.kaggle.com/datasets/wikimedia-foundation/english-wikipedia-people-dataset dataset of English Wikipedia biographical information] from [[m:Special:MyLanguage/Wikimedia Enterprise|Wikimedia Enterprise]] has been published on Kaggle, for evaluation and research. This provides structured data from more than 1.5 million biographies, including birth and death dates, education, affiliations, careers, awards, and more (from a June 2024 snapshot). * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.19|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * [[wmania:Special:MyLanguage/2026:Scholarships|Scholarship applications]] for Wikimania 2026 in Paris, France, are open until October 31. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/38|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W38"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 17:08, 15 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29263921 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-39</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W39"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/39|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * [https://zonestamp.toolforge.org/1758726000 On September 24th at 15:00 UTC], all Wikimedia sites users will experience a brief read-only period due to a scheduled [[m:Special:MyLanguage/Tech/Server switch|datacenter server switchover]]. The Wikimedia Foundation's Site Reliability Engineering (SRE) team will redirect all traffic from one primary server to its backup. You can listen to the switchover using the [http://listen.hatnote.com/ "Listen to Wikipedia"] tool, where you will hear edits stop for a few minutes during the read-only phase, then resume. This twice-yearly datacenter server switchover ensures reliability by testing the backup datacenter, so that our sites can stay online even if the primary datacenter fails. You can [[diffblog:2025/03/12/hear-that-the-wikis-go-silent-twice-a-year/|read more about the process on the Diff blog]]. '''Updates for editors''' * Editors of [[f:Special:Mylanguage/Wikifunctions:Status updates/2025-09-12#Next round of Wiktionaries to receive embedded Wikifunctions calls|60 more Wiktionaries]] will soon be able to call [[f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Introduction|functions from Wikifunctions]] and integrate them into their pages. A function takes one or more inputs and transforms them into a desired output, like adding numbers, converting miles to meters, calculating elapsed time, or declining a word into a case. They will join the other [[f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Status updates/2025-08-29#Wikifunctions available on 65 Wiktionaries|65 Wiktionary language editions]], which already have access to embedded Wikifunctions calls. Later this year, plans are in place to expand to more Wiktionaries and the Incubator. * A new [[mw:Special:MyLanguage/Help:Magic words#Technical metadata of another page|parser function]] has been added: <code><nowiki>{{#contentmodel}}</nowiki></code>. Template editors and admins can use it to get the localized or canonical name of the [[mw:Special:MyLanguage/Help:ChangeContentModel|content model]] of a specific page. The function makes it easier to create and edit system messages, such as ''MediaWiki:editinginterface'', even when you switch types of pages, like wiki, JavaScript, CSS or JSON page. [https://phabricator.wikimedia.org/T328254] * Adding or editing a <code>DISPLAYTITLE</code> for an article using VisualEditor will no longer be broken. Editors who use VisualEditor mode to modify the <code><nowiki>{{DISPLAYTITLE}}</nowiki></code> would no longer have the literal text "DISPLAYTITLE" or its localized variant added to their articles. A list of pages that may have been affected and might need cleanup is documented in [[phab:P83438|this ticket]]. * Beta users of the Wikipedia Android app can now try the redesigned [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/Android/Activity Tab Experiment|Activity tab]], which replaces the Edits tab. The new tab offers personalized insights into reading, editing, and donation activity, while simplifying navigation and making app use more engaging. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:12}} community-submitted {{PLURAL:12|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.20|MediaWiki]] '''In depth''' * Wikifunctions users can now import many essential facts involving [[f:Special:MyLanguage/Z6011|geo-coordinates]], [[f:Special:MyLanguage/Z6010|quantities]] and [[f:Special:MyLanguage/Z6064|time]] values from Wikidata. This is made possible by the creation of Wikifunctions types for these values, which makes them available for use by functions in Wikifunctions. Learn more about how this works in [[c:File:ImportingWikidataDatatypesIntoWikifunctions.webm|this video]] and Wikifunctions' [[f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Status updates/2025-08-01#News in Types I: Wikidata quantity|August 1 newsletter]] (for quantities) and [[f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Status updates/2025-08-22#News in Types: Wikidata geo-coordinate|August 22 newsletter]] (for geo-coordinates). '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/39|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W39"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 22:56, 22 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29305556 --> == Translation notification: Wikimedia Foundation website == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Wikimedia Foundation website|Wikimedia Foundation website]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wikimedia+Foundation+website&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 05:47, 29 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-40</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W40"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/40|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * A major software upgrade has been made to [[phab:|Phabricator]]. The update introduces performance improvements, a refreshed search interface, enhancements to Maniphest task search, updates to user profile pages and project workboards, new Herald automation features, as well as general text input, mobile experience improvements and more. [https://phabricator.wikimedia.org/phame/post/view/321/iterative_improvements_september_2025/] '''Updates for editors''' * The Community Tech team will release the new Community Wishlist extension on October 1, that will improve the way wishes will be submitted. The new extension will allow users to add tags to their wishes to better categorise them, and (in a future iteration) to filter them by status, tags and focus areas. It will also be possible to support individual wishes again, as requested by the community in many instances. The old system will be retired. There will be a brief period of downtime while the extension is deployed and wishes are migrated to the new system. You can read more about this [[:m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/Updates|in the latest update]] or you can consult the [[:mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CommunityRequests|current documentation on MediaWiki]]. * As announced [[diffblog:2025/09/02/better-detecting-bots-and-replacing-our-captcha/|on Diff blog]], the production trial of the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Anti-abuse signals/hCaptcha|hCaptcha]] service for bot detection has begun. The trial is currently using hCaptcha to protect account creation on Chinese, Persian, Portuguese, Indonesian, Japanese, and Turkish Wikipedias, where it will replace our existing [[mw:Special:MyLanguage/Extension:ConfirmEdit#FancyCaptcha|CAPTCHA]] (FancyCaptcha). The goal with the trial is to better block bots while also improving usability and accessibility for users who encounter CAPTCHA challenges. * The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CampaignEvents|CampaignEvents]] extension has been [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Deployment status|deployed]] to Wikimedia Commons. The extension makes it easier to organize and participate in collaborative activities, like edit-a-thons and WikiProjects, on the wikis. On Commons, anyone who is a registered user can use it as an event participant. To use it as an organizer, someone needs to have the [[c:Special:MyLanguage/Commons:Event organizers|event organizer right]]. * [[:m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes/Sub-referencing|Sub-referencing]], a new feature to re-use references with different details has been released to German Wikipedia. You can [[:m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes/Sub-referencing#test|test the feature]] on testwiki or [https://en.wikipedia.beta.wmcloud.org/wiki/Sub-referencing on betawiki] as well. Please share your thoughts on [[:m:Talk:WMDE Technical Wishes/Sub-referencing#Templates used in sub-references|using templates in sub-references]] or [[:m:Talk:WMDE Technical Wishes/Sub-referencing#Pilot wikis|volunteer to become a pilot wiki]]. * On wikis using the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Growth/Mentorship|Mentorship]] system, communities can now opt experienced editors out of Mentorship through [[{{#special:CommunityConfiguration/Mentorship}}]]. Within this setting, communities may define thresholds, based on edit count and account age, to decide when an editor is considered experienced enough to no longer receive Mentorship. [https://phabricator.wikimedia.org/T403563] * The Editing Team and the Machine Learning Team are working on a new check for newcomers: [[mw:Special:MyLanguage/Edit check/Tone Check|Tone check]]. Using a prediction model, this check will encourage editors to improve the tone of their edits, using artificial intelligence. We invite volunteers to review the first version of the Tone language model for the following languages: Arabic, Czech, German, Hebrew, Indonesian, Dutch, Polish, Russian, Turkish, Chinese, Farsi, Italian, Norwegian, Romanian and Latvian. Users from these wikis interested in reviewing this model are [[mw:Special:MyLanguage/Edit_check/Tone_Check/Model_evaluation|invited to sign up at MediaWiki.org]]. The deadline to sign up is on October 3, which will be the start date of the test. * The rollout of [[:mw:Special:MyLanguage/Help:Manage blocks|multiblocks]] had the side effect that non-active block logs may have been shown on {{#special:Contributions}} and on blocked users' user and user_talk pages. This issue will be fully resolved in a few days. As part of the fix, [{{fullurl:Special:Allmessages|prefix=sp-contributions-blocked-notice}} messages prefixed with <code>sp-contributions-blocked-notice</code>] will be removed and replaced with [{{fullurl:Special:Allmessages|prefix=blocked-notice-logextract}} those prefixed with <code>blocked-notice-logextract</code>] in a few weeks. Please help translate the new messages and update any local overrides if needed. * There was a bug with links added using visual editor if they included characters such as <code dir=ltr><nowiki>[ ] |</nowiki></code> after the fragment identifier (<code><nowiki>#</nowiki></code>). They were not encoded properly creating an incorrect link. This has been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T404823] * One new wiki has been created: a {{int:project-localized-name-group-wikiquote/en}} in [[d:Q9237|Malay]] ([[q:ms:|<code>q:ms:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T404698] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:21}} community-submitted {{PLURAL:21|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Anti-abuse signals/User Info|User Info Card]] now displays currently active global lock/blocks. [https://phabricator.wikimedia.org/T401128] '''Updates for technical contributors''' * Later this week, editors using Lua modules will be able to use the <code>[[mw:Special:MyLanguage/Extension:Scribunto/Lua reference manual#mw.title.newBatch|mw.title.newBatch]]</code> function to look up the existence of up to 25 pages at once, in a way that only increases the [[mw:Special:MyLanguage/Manual:Parser functions#Expensive parser functions|expensive function]] count once. * A new [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council/Unsupported Tools Working Group|Unsupported Tools Working Group]] has been formed as part of ongoing efforts to collectively determine technical work priorities, similar to the [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council|Product & Technology Advisory Council]] (PTAC). The working group will help prioritize and review requests for support of unmaintained extensions, gadgets, bots, and tools. For the first cycle, the group will be prioritizing an unsupported Wikimedia Commons tool. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.21|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/40|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W40"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 20:54, 29 Septemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29355230 --> ==Rangi nyekundu== Ndugu, usiogope rangi hiyo: inachochea utungaji wa makala na jamii mpya, kama hiyo ya wanasayansi wa Masedonia Kaskazini. Siku yoyote mimi au mwingine ataianzisha na mhusika ataonekana mara moja. Lakini ukiondoa jamii nyekundu, hata tukianzisha jamii hiyo mhusika huyo hatakumbukwa! Mimi nabana matumizi ya muda kwa kuanzisha mfululizo jamii nyingi zinazofanana, si mojamoja. Nadhani umenielewa. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:53, 5 Oktoba 2025 (UTC) == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-41</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W41"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/41|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * [[mw:Special:MyLanguage/Help:Edit check#paste|Paste Check]] is a new Edit Check feature to help avoid and fight copyright violations. When editors paste text into an article, Paste Check prompts them to confirm the origin and licensing of the content. Starting Wednesday, 8 October, [[phab:T403680|22 wikis will test Paste Check]]. Paste Check will help new volunteers understand and follow the policies and guidelines necessary to make constructive contributions to Wikipedia projects. '''Updates for editors''' * Mobile devices will receive mobile articles directly on the standard domain (like <code>en.wikipedia.org</code>), instead of via a redirect to an "m" domain (like <code>en.m.wikipedia.org</code>). This change improves performance. This week it will be enabled on Wikipedias. The existing mobile URLs and the "Desktop view" opt-out remain available. [[mw:Requests for comment/Mobile domain sunsetting/2025 Announcement|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T214998] * New [[mw:Special:MyLanguage/Help:CirrusSearch#creationdate and lasteditdate|date filters]], <code dir=ltr>creationdate:</code> and <code dir=ltr>lasteditdate:</code>, are now available in the wiki search engine. This allows users to filter search results by a page's first or last revision date. The filters support comparison operators (e.g. <code dir=ltr>>2024</code>) and relative dates (e.g. <code dir=ltr>today-1d</code>), making it easier to find recently updated content or pages within specific age ranges. [https://phabricator.wikimedia.org/T403593] * [[f:|Wikifunctions]] now supports rich text in embedded calls across the 150 wikis where it's enabled. To showcase this, the team created a [[f:Z26333|Latin declination table]] that Wiktionary editors can use to automatically generate noun forms, producing clear, formatted results — see an [[f:Wikifunctions:Embedded function calls/Wiktionary tables demonstration|example output]]. If you need any help or have any feedback, please [[f:Wikifunctions:Project chat|contact the Wikifunctions Team]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T397402] * An edit link will now appear inside the categories box on article pages for logged in users, which will directly launch the VisualEditor category dialog. [https://phabricator.wikimedia.org/T291691] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:34}} community-submitted {{PLURAL:34|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, there was a problem downloading pdf files last week and that has been resolved. [https://phabricator.wikimedia.org/T405957] '''Updates for technical contributors''' * The field <code dir=ltr>rev_sha1</code> in the revision database table is being removed in favor of <code dir=ltr>content_sha1</code> in the content database table. See [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/cloud@lists.wikimedia.org/thread/2D2M3SP4WHR6BXXKTZ2PBLZQYR3EGQVR/ the announcement] for more information. * The [[mw:Special:MyLanguage/Reading/Web|Reader Experience team]] will roll out [[w:en:Light-on-dark color scheme|Dark Mode]] user interface on all Wikimedia sites on October 29, 2025. All anonymous users of Wikimedia sites will have the option to activate a color scheme that features light-colored text on a dark background. This is designed to provide a more comfortable reading experience, especially in low-light situations. Template authors and technical contributors are encouraged to [[mw:Special:MyLanguage/Reading/Web/Accessibility for reading/Updates/2024-04|learn how to make pages ready for Dark mode]] and address any compatibility issues found in templates in their wiki before the enablement. Please contact the Web team for questions or any support on [[mw:Talk:Reading/Web/Accessibility for reading#|this talk page]] before the enablement. [https://phabricator.wikimedia.org/T395628] * Starting on Monday, October 6, API endpoints under the <code>rest.php</code> path will be rerouted through a new internal API Gateway. Individual wikis will be updated based on the standard release groups, with total traffic increased over time. This change is expected to be non-breaking and non-disruptive. If any issues are observed, please file a Phabricator ticket to the [[phab:tag/serviceops/|Service Ops team board]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T400130] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.22|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/41|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W41"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 17:24, 6 Oktoba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29400897 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-42</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W42"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/42|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * Last week, improvements to account security and two-factor authentication (2FA) features were enabled across all wikis. These changes include user interface improvements for [https://auth.wikimedia.org/metawiki/wiki/Special:AccountSecurity Special:AccountSecurity], the support of multiple 2FA methods via authenticator apps and portable security keys (previously users could only enable one method), and a new Recovery Codes module which facilitates fewer account lockouts due to lost two-factor apps and devices. As part of the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Account Security|Account Security]] project, work is continuing through the rest of 2025 on further user experience improvements, and support for passkeys as an alternate second factor. '''Updates for editors''' * Another part of the Account security project is making 2FA generally available to all users. Along with editors with advanced privileges, such as administrators and bureaucrats, 40% of editors now have access to 2FA. You can check if you have access at [https://auth.wikimedia.org/metawiki/wiki/Special:AccountSecurity Special:AccountSecurity]. Instructions for activation are on the linked page. The plan is to continue increasing availability if it is determined that the user support capabilities are able to support global usage. [https://phabricator.wikimedia.org/T400579] * This week, users at wikis where talk page [[mw:Special:MyLanguage/Talk pages project/Usability|Usability Improvements]] are already available by default (everywhere ''except'' the 12 wikis listed in [[phab:T379264|T379264]]) will gain the ability to Thank a comment directly from the talk page it appears on. Before this change, Thanking could only be done by visiting the revision history of the talk page. You can [[diffblog:2025/10/13/revolutionizing-gratitude-a-new-era-of-thanking-comments/|learn more about this change]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T366095] * Users who have not [[Special:Preferences#mw-prefsection-personal-email|verified their email address]] will soon be receiving monthly Notification reminders to do so. This is because users who have verified their email can more easily recover their account. These reminders will not be sent if the user is inactive or removes the unverified email from their account. [https://www.mediawiki.org/wiki/Special:MyLanguage/Help:Email_confirmation][https://phabricator.wikimedia.org/T58074] * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:21}} community-submitted {{PLURAL:21|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, a fix was made for an occasional error with saving translated paragraphs in the Content Translation tool, and the related error messages are now easier to see. [https://phabricator.wikimedia.org/T376531] '''Updates for technical contributors''' * The Unsupported Tools Working Group has chosen [[c:Special:MyLanguage/Commons:Video2commons|Video2Commons]] as the first tool for its pilot cycle. The group will explore ways to improve and sustain the tool over the coming months. [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council/Unsupported Tools Working Group|Learn more on Meta]]. * [[File:Octicons-sync.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.23|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/42|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W42"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:00, 13 Oktoba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29434481 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-43</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W43"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/43|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * To optimize how user data is stored in our databases, the saved preferences of users who haven't logged in for over five years and have fewer than 100 edits will be cleared. When those users return, default settings will apply. [https://phabricator.wikimedia.org/T406724] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:20}} community-submitted {{PLURAL:20|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, there was a broken link from the GlobalContributions interface message to the XTools GlobalContributions page which has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T406415] '''Updates for technical contributors''' * The work to reroute all traffic to API endpoints under the <code dir=ltr><nowiki>rest.php</nowiki></code> route through a common API gateway is now complete. If any issues are observed, please file a phabricator ticket to the [[phab:tag/serviceops/|Service Ops team board]]. * Edits to Wikidata references or qualifiers will now be shown in RecentChanges and Watchlist entries on other wikis less often, reducing unnecessary notifications. This will reduce the overall quantity of 'noisy' entries. Wikidata's own pages remain unchanged. [https://phabricator.wikimedia.org/T401290] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.24|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/43|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W43"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:37, 20 Oktoba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29478670 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-44</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W44"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/44|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The Wikipedia iOS app has launched an A/B/C test of improvements made to the tabbed browsing feature for select regions and languages. The test, named “More dynamic tabs”, explores new tab experiences and includes “Did you know” and “Because you read” article recommendations. You can [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/iOS/Tabbed Browsing (Tabs)/New Tab Experience and Recommendations Experiment|read more on the project page]]. * Autoconfirmed users on [[git:operations/mediawiki-config/+/a2d2aaab9ace84280dd2f4c70a33bb69cd73850f/dblists/small.dblist|small]] and [[git:operations/mediawiki-config/+/a2d2aaab9ace84280dd2f4c70a33bb69cd73850f/dblists/medium.dblist|medium wikis]] with the CampaignEvents extension can now use [[m:Special:MyLanguage/Event Center/Registration|Event Registration]] without the Event Organizer right. This feature lets organizers enable registration, manage participants, and lets users register with one click instead of signing event pages. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:31}} community-submitted {{PLURAL:31|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the issue of flashing colors when holding or pressing the arrow keys under the dark mode settings in Vector 2022 has been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T402285] '''Updates for technical contributors''' * The CampaignEvents extension will be deployed to all remaining wikis during the week of 17 November 2025. The extension currently includes three features: Event Registration, Collaboration List, and Invitation List. For this rollout, Invitation List will not be enabled on Wikifunctions and MediaWiki unless requested by those communities. [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Deployment status|Visit the deployment page to learn more]]. * The SwaggerUI-based REST sandbox experience is now live on all wiki projects. The sandbox can be accessed through the [[{{#special:RestSandbox}}]] page. Please report any issues to the MediaWiki Interfaces team board, or join the discussion on the [[mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Interfaces Team/Feature Feedback/REST Sandbox|project launch]] page. [https://phabricator.wikimedia.org/project/board/6931/] * Transform endpoints with a trailing slash path in the MediaWiki REST API are now marked as deprecated. They will remain functional during this time, but removal is expected by the end of January 2026. All API users currently calling them are encouraged to transition to the non-trailing slash versions. Both endpoint variations can be found and tested using the [https://test.wikipedia.org/w/index.php?api=mw-extra&title=Special%3ARestSandbox REST Sandbox]. See the [[mw:API/Deprecation|MediaWiki REST API Deprecation]] page for more detailed information about the API deprecation policies and procedures. * A dedicated [[mw:API:REST API/Changelog|changelog now exists for the MediaWiki REST API]]. The changelog provides an overview of these changes, making it easier for developers to keep track of improvements and iterations. Announcements will also continue to flow through the standard communication channels, including Tech News and email distribution lists, but can now be more easily referenced from a central location. If you have feedback about the style, structure, or content of this changelog, please [[mw:API talk:REST API/Changelog|join the discussion]]. * Administrators can delete the tracking category which was previously added by the JsonConfig extension, as it is no longer used. See the categories linked from [[d:Q130635582#sitelinks-wikipedia|Q130635582]]. It is OK if there are still pages listed in the category as that is just a caching issue, and they will be automatically cleared out the next time each page is edited. [https://phabricator.wikimedia.org/T378352] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.25|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/44|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W44"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:32, 27 Oktoba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29513638 --> == Translation notification: Template:AffCom == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Template:AffCom|Template:AffCom]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3AAffCom&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 04:55, 30 Oktoba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-45</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W45"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/45|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * Administrators will now find that [[{{#special:MergeHistory}}]] is now significantly more flexible about what it can merge. It can now merge sections taken from the middle of the history of the source (rather than only the start) and insert revisions anywhere in the history of the destination page (rather than only the start). [https://phabricator.wikimedia.org/T382958] * For users with "{{int:discussiontools-preference-autotopicsub}}" [[Special:Preferences#mw-prefsection-editing|enabled in their preferences]], starting a new topic or adding a reply to an existing topic will now subscribe them to replies to that topic. Previously, this would only happen if the DiscussionTools "{{int:Skin-action-addsection}}" or "{{int:Discussiontools-replybutton}}" widgets were used. When DiscussionTools was originally launched existing accounts were not opted in to automatic topic subscriptions, so this change should primarily affect newer accounts and users who have deliberately changed their preferences since that time. [https://phabricator.wikimedia.org/T290778] * Scribunto modules can now be used to [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Scribunto/Lua reference manual#SVG library|generate SVG images]]. This can be used to build charts, graphics and other visualizations dynamically through Lua, reducing the need to compose them externally and upload them as files. [https://phabricator.wikimedia.org/T405861] * Wikimedia sites now provide all anonymous users with the option to enable a dark mode color scheme, featuring light-colored text on a dark background. This enhancement aims to deliver a more enjoyable reading experience, especially in dimly lit environments. [https://phabricator.wikimedia.org/T395628] * Users with large watchlists have long faced timeouts when editing [[Special:EditWatchlist|Special:EditWatchlist]]. The page now loads entries in smaller sections instead of all at once due to a paging update, allowing everyone to edit their watchlists smoothly. As part of the database update, sorting by expiry has been removed because it was over 100× slower than sorting by title. A [https://meta.wikimedia.org/wiki/Community_Wishlist/W454 community wish] has been created to explore alternative ways to restore sort-by-expiry. If this feature is important to you, please support the wish! [https://phabricator.wikimedia.org/T41510] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:31}} community-submitted {{PLURAL:31|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the fixing of the persisting highlighting when using VisualEditor find and replace during a query. [https://phabricator.wikimedia.org/T407318] '''Updates for technical contributors''' * Since 2019 the [[m:Special:MyLanguage/Wikimedia URL Shortener|Wikimedia URL Shortener]] at https://w.wiki is available for all Wikimedia wikis to create short links to articles, permalinks, diffs, etc. It is available in the sidebar as "Get shortened URL". There are 30 wikis that also install an older "ShortUrl" extension. The old extension will soon be removed. This means <code>/s/</code> URLs will not be advertised under article titles via HTML <code dir=ltr>class="title-shortlink"</code>. The <code>/s/</code> URLs will keep working. [https://phabricator.wikimedia.org/T107188] * On Thursday, October 30, the [[:mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Interfaces Team|MediaWiki Interfaces]] and [[:mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Site Reliability Engineering|SRE Service Operations]] teams began rerouting Action API traffic through a common API gateway. Individual wikis will be updated based on the standard release groups, with total traffic increased over time. This change is expected to be non-breaking and non-disruptive. If any issues are observed, please file a Phabricator ticket to the [https://phabricator.wikimedia.org/tag/serviceops/ Service Ops team] board. * MediaWiki Train deployments will pause for the final two weeks of 2025: 22 December and 29 December. Backport windows will also pause between Monday, 22 December 2025 and Thursday, 2 January 2026. A backport window is a scheduled time to add things like bug fixes and configuration changes. There are seven deployment trains remaining for 2025. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/SMWTEAES4SDLDUSK4HMWNBSKNCXZAWYN/] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.45/wmf.26|MediaWiki]] '''In depth''' * In 2025, the Wikimedia Foundation reported that AI systems and search engines increasingly use Wikipedia content without driving users to the site, contributing to an 8% drop in human pageviews compared to 2024. After detecting bots disguised as humans, Wikimedia updated its traffic data to reflect this shift. Read more about current user trends on Wikipedia in [[diffblog:2025/10/17/new-user-trends-on-wikipedia/|a Diff blog post]]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/45|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W45"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:35, 3 Novemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29552512 --> == Translation notification: Template:Cat main == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Template:Cat main|Template:Cat main]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Template%3ACat+main&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 06:12, 6 Novemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-46</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W46"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/46|Translations]] are available. '''Updates for editors''' [[File:Talk pages default look (April 2023).jpg|thumb|alt=Screenshot of the visual improvements made on talk pages|Example of a talk page with the new design, in French.]] * Starting November 12, users will see a change in the [[m:Special:MyLanguage/Talk pages project/Feature summary#Usability improvements|appearance of talk pages]] on [[Phab:T379264|some Wikipedias]]. Almost [[phab:T392121|all wikis]] have received this design change; [[phab:T409297|English Wikipedia]] will get these changes later. You can read more [[diffblog:2024/05/02/making-talk-pages-better-for-everyone/|on ''Diff'']]. Users can opt out of these changes [[Special:Preferences#mw-prefsection-editing|in their user preferences]] in "{{int:discussiontools-preference-visualenhancements}}". [https://phabricator.wikimedia.org/T379264] * MediaWiki can now display a [[mw:Special:MyLanguage/Help:Protection indicators|page indicator]] automatically while a page is protected. This feature is disabled by default. It can be enabled by [[m:Special:MyLanguage/Requesting wiki configuration changes|community request]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T12347] * Using the "{{int:showpreview}}" or "{{int:showdiff}}" buttons in the wikitext editor will now carry over certain URL parameters like '[[mw:Special:MyLanguage/Manual:Parameters to index.php#useskin|useskin]]', '[[mw:Special:MyLanguage/Manual:Parameters to index.php#uselang|uselang]]' and '[[mw:Special:MyLanguage/Help:Section#Editing sections|section]]'. This update also fixes an issue where, if the browser crashed while previewing an edit to a single section, saving this edit could overwrite the entire page with just that section’s content. [https://phabricator.wikimedia.org/T62744][https://phabricator.wikimedia.org/T24029][https://phabricator.wikimedia.org/T155097] * Wikivoyage wikis can use [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:Kartographer#Markers and counters|colored map markers in the article text]]. The text of these markers will now be shown in contrasting black or white color, instead of always being white. Local workarounds for the problem can be removed. [https://phabricator.wikimedia.org/T369454] * The Activity tab in the Wikipedia Android app is now available for all users. The new tab offers personalized insights into reading, editing, and donation activity, while simplifying navigation and making app use more engaging. [https://www.mediawiki.org/wiki/Wikimedia_Apps/Team/Android/Activity_Tab_Experiment] * The Reader Growth team is launching an experiment called "Image browsing" to test how to make it easier for readers to browse and discover images on Wikipedia articles. This experiment, a mobile-only A/B test, will go live on English Wikipedia in the week of November 17 and will run for four weeks, affecting 0.05% of users on English wiki. The test launched on November 3 on Arabic, Chinese, French, Indonesian, and Vietnamese wikis, affecting up to 10% of users on those wikis. [https://www.mediawiki.org/wiki/Readers/Reader_Growth/WE3.1.3_Image_Browsing] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:27}} community-submitted {{PLURAL:27|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example the inability to lock accounts on mobile sites has been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T256185] '''Updates for technical contributors''' * [[wikitech:Help talk:Toolforge/Toolforge standards committee#November 2025 committee nominations|Nominations are open on Wikitech]] for new [[wikitech:Help:Toolforge/Toolforge standards committee|Toolforge standards committee]] members. The committee oversees the Toolforge [[wikitech:Help:Toolforge/Right to fork policy|Right to fork policy]] and [[wikitech:Help:Toolforge/Abandoned tool policy|Abandoned tool policy]] among other duties. Nominations will remain open through 2025-11-28. * The [[w:JSON Web Token#Standard fields|JWT issuer field]] in [[mw:Special:MyLanguage/OAuth/For Developers#OAuth 2|OAuth 2 access tokens]] for [[m:Special:MyLanguage/Help:Unified login|SUL wikis]] has been changed to <code><nowiki>https://meta.wikimedia.org</nowiki></code>. Old access tokens will still work. [https://phabricator.wikimedia.org/T399199] * The [[w:JSON Web Token#Standard fields|JWT subject field]] in [[mw:Special:MyLanguage/OAuth/For Developers#OAuth 2|OAuth 2 access tokens]] will soon change from <code><user id></code> to <code dir=ltr style="white-space:nowrap">mw:<identity type>:<user id></code>, where <code><identity type></code> is typically <code dir=ltr>CentralAuth:</code><!-- not a typo --> (for [[m:Special:MyLanguage/Help:Unified login|SUL wikis]]) or <code dir=ltr style="white-space:nowrap">local:<wiki id></code> (for other wikis). This is to avoid conflicts between different user ID types, and to make OAuth 2 access tokens and the <code>sessionJwt</code> cookie more similar. Old access tokens will still work. [https://phabricator.wikimedia.org/T399199] * MediaWiki's block messages ([[MediaWiki:Blockedtext|blockedtext]], [[MediaWiki:Blockedtext-partial|blockedtext-partial]], [[MediaWiki:Autoblockedtext|autoblockedtext]], [[MediaWiki:Systemblockedtext|systemblockedtext]], [[MediaWiki:Blockedtext-tempuser|blockedtext-tempuser]], [[MediaWiki:Autoblockedtext-tempuser|autoblockedtext-tempuser]]) now support additional parameters indicating whether the user is blocked from editing their own user talk page <code><nowiki>$9</nowiki></code> or emailing other users <code><nowiki>$</nowiki><nowiki>10</nowiki></code>. [https://phabricator.wikimedia.org/T285612] * A <code>REL1_45</code> branch for MediaWiki core and each of the extensions and skins in Wikimedia git has been created. This is the first step in the release process for MediaWiki 1.45.0, scheduled for late November 2025. If you are working on a critical bug fix or working on a new feature, you may need to take note of this change. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/ZUY7TY3Z6XPZWZVAZV63OPO5OW52Q6GE/] * The process for generating CirrusSearch dumps has been updated due to slowing performance. If you encounter any issues migrating to the replacement dumps, please contact the Search Platform Team for support. [https://phabricator.wikimedia.org/T366248][https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/3KQPOR6ACVN6OVLMLZPIBXQSWQKW4E3K/] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.2|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/46|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W46"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 20:38, 10 Novemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29606150 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-47</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W47"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/47|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Experience|Reader Experience team]] is experimenting with [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Experience/WE3.3.4_Reading lists|reading lists on mobile web]], allowing logged-in readers with no edits to save private lists of articles for later. The experiment is running on Arabic, Chinese, French, Indonesian, and Vietnamese Wikipedias since the week of 10 November, and will begin on English Wikipedia the week of 17 November. * Users who can’t receive their email verification code during login can now get help by submitting a form on a new special page. This update is part of the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Account Security|Account Security]] initiative. If your account has an email address, please make sure you still have access to it. When logging in from a new device or location without 2FA, you may be asked to enter a 6-digit code sent by email to finish logging in. [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Account Security#Why are you requiring me to enter a code from my email to log in? Can I opt out of this?|Learn more]]. * One new wiki has been created: a {{int:project-localized-name-group-wikisource}} in [[d:Q13324|Minangkabau]] ([[s:min:|<code>s:min:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T408317] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:23}} community-submitted {{PLURAL:23|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * As part of the [[mw:Special:MyLanguage/Parsoid/Parser Unification|Parser Unification]] project, the Content Transform Team rolled out Parsoid as the default parser to many low-traffic Wikipedias and is preparing the next step to high traffic ones. This message is an invitation for you to opt-in to Parsoid, as described in the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:ParserMigration|Extension:ParserMigration]] documentation, and identify any issues you might encounter with your own workflow using bots, gadgets, or user scripts. Please, let us know through the ''"Report Visual Bug"'' link in the Tools sidebar or create a phab ticket and tag the [[phab:project/view/5846|Content Transform Team in Phabricator]]. * Unsupported Tools: Several issues with [[:c:Special:MyLanguage/Commons:Video2commons|Video2Commons]] have been fixed, including filename-related upload failures, black-video imports, and retry handling. AV1 support has also been added. Ongoing work focuses on backend stability, ffmpeg errors, subtitle imports, metadata handling, and playlist uploads. To track specific tasks, check the [[phab:tag/video2commons/|Phabricator board]]. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.3|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * Save the date for the next Wikimedia Hackathon happening in Milan, Italy from May 1–3, 2026. Registration will open in January 2026. [https://pretix.eu/wikimedia/Hackathon-2026/ Scholarship applications are currently open], and will close on November 28, 2025. If you have any questions, please email <bdi lang="en" dir="ltr">hackathon@wikimedia.org</bdi>. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/47|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W47"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 17:26, 17 Novemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29627455 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-48</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W48"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/48|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * Last week, the [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Search Platform|Wikimedia Search Team]] recreated the "DWIM" (Do What I Mean) gadget functionality server-side, for Russian and Hebrew Wikipedias. This feature adds cross-keyboard suggestions to the standard search-box suggestions. For example, searching for ''<span lang="und" dir="ltr">cxfcnmt</span>'' on Russian Wikipedia will now add suggestions for ''<span lang="ru" dir="ltr">счастье</span>'' ("happiness") that the user probably intended. They plan to enable this feature for other Russian and Hebrew wikis this week. [https://phabricator.wikimedia.org/T408734] * Later this week, users of the "{{int:codemirror-beta-feature-title}}" [[Special:Preferences#mw-prefsection-betafeatures|beta feature]] will have syntax highlighting available in [[mw:Special:MyLanguage/Help:DiscussionTools|DiscussionTools]]. This requires that the "{{int:discussiontools-preference-sourcemodetoolbar}}" preference be set. [https://phabricator.wikimedia.org/T407918] * [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CampaignEvents|Campaign events extension]] – the set of tools for coordinating events and other on-wiki collaborations has now been deployed to all Wikimedia wikis. A new feature known as [[m:Special:MyLanguage/CampaignEvents/Collaborative contributions|Collaborative contribution]] to help organizers and participants see the impact of activities has also been added. Join the upcoming [[m:Special:MyLanguage/Event:Connection learning session 3|learning session]] to see the new feature in action and share your feedback. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:24}} community-submitted {{PLURAL:24|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the bug which stopped CodeReviewBot from working, has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T410417] '''Updates for technical contributors''' * Users of Wikimedia API can join a usability study to help validate the new design of Wikimedia REST API sandboxes. Interested participants should fill the [https://wikimediafoundation.limesurvey.net/487662 recruitment survey]. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/IREJRRWTZTGCYWQHDMSNJFTQAEPOOAE3/] * The MediaWiki Interfaces team is deprecating XSLT stylesheets within the Action API. Support for <code dir=ltr>format=xml'''&xlst={stylesheet}'''</code> will be removed from Wikimedia projects by the end of November, 2025. In addition, it will soon be disabled by default in MediaWiki release versions: v1.43 (LTS), v1.44, and v1.45. Support for XSLT stylesheets will be fully removed from MediaWiki v1.46 (expected to release between April and May 2026). [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/5AX7UWAVVUNUSBOIRHMNOKWOZ5EZI3JX/] * The WDQS legacy endpoint ([https://query-legacy-full.wikidata.org/ query-legacy-full.wikidata.org]) will be decommissioned at the end of December 2025, and finally closed down on 7th January 2026. After this date, users should expect requests to query.wikidata.org that require the full graph to fail or return invalid results if they are not rewritten to use SPARQL federation. The team encourages users to ensure that tools and workflows use the supported WDQS endpoints (<span dir=ltr><nowiki>https://query.wikidata.org/</nowiki></span> - Main graph or <span dir=ltr><nowiki>https://query-scholarly.wikidata.org/</nowiki></span> - Scholarly graph). For support with migrating use cases, please review the [[d:Special:MyLanguage/Wikidata:Data_access|Data Access]] and [[d:Wikidata:Request_a_query|Request a Query]] pages for details and assistance on alternative access methods. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.4|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/48|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W48"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 15:57, 24 Novemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29702226 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-49</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W49"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/49|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The Wikipedia Year in Review 2025 will be available on December 2 for users of iOS and Android Wikipedia apps, featuring new personalized insights, updated reading highlights, and refreshed designs. Learn more on the review's [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/Wikipedia Year in Review/Updates|project page]]. * The Growth team is working on improving the text and presentation of the Verification Email sent to new users to make them more welcoming, useful and informative. Some new text have been drafted for A/B testing and you can help by translating them. See [[phab:T396155|Phabricator]]. * [[mw:Special:MyLanguage/Help:Growth/Tools/Add a link|Add a link]] will now be deployed at Japanese, Urdu and Chinese Wikipedias on December 2. Add a link is based on a prediction model that suggests links to be added to articles. While this feature has already been available on most Wikipedias, the prediction model could not support certain languages. A new model has now been developed to handle these languages, and it will be gradually rolled out to other Wikipedias over time. If you would like to know more, please contact [[mw:user:Trizek (WMF)|Trizek (WMF)]]. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:34}} community-submitted {{PLURAL:34|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the issue where search boxes on some Commons pages showed no results due to switch from SpecialSearch to MediaSearch, has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T399476] * Two new wikis have been created: ** a {{int:project-localized-name-group-wikipedia}} in [[d:Q36846|Toki Pona]] ([[w:tok:|<code>w:tok:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T404457] ** a {{int:project-localized-name-group-wikiquote}} in [[d:Q33655|Nigerian Pidgin]] ([[q:pcm:|<code>q:pcm:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T408318] '''Updates for technical contributors''' * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.5|MediaWiki]] '''In depth''' * The Wikimedia Foundation is in the early stages of exploring approaches to '''Article guidance'''. The initiative aims to identify interventions that could help new editors easily understand and apply existing Wikipedia practices and policies when creating an article. The project is in the exploration and early experimental design phase. All community members are encouraged to [[mw:Special:MyLanguage/Article guidance|learn more]] about the project, and share their thoughts on [[mw:Special:MyLanguage/Talk:Article guidance|the talk page]]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/49|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W49"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 18:58, 1 Desemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29732328 --> == Translation notification: Help:Two-factor authentication == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Help:Two-factor authentication|Help:Two-factor authentication]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Help%3ATwo-factor+authentication&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 03:09, 6 Desemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-50</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W50"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/50|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * Anybody who wishes to secure their user account can now use [[m:Special:MyLanguage/Help:Two-factor authentication|two-factor authentication]] (2FA). This is available to all registered users of all Wikimedia projects. This is part of the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Account Security|Account Security]] initiative. Later, 2FA will be required for all users who can take security- or privacy-sensitive actions. '''Updates for editors''' * Following last week's deployments, the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Growth/Tools/Add a link|Add a link]] feature, which allows editors to add suggested links during editing, will be available to an additional [[Phab:T410469|33 Wikipedias]] starting on 9 December. This expansion is possible thanks to the new prediction model that now supports all languages, including those that were previously not covered. While the feature has been available on most Wikipedias for some time, this rollout brings us closer to using the improved model everywhere. If you have any questions or would like more details please contact [[mw:user:Trizek (WMF)|Trizek (WMF)]]. * Last week, the [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Search Platform|Search Platform team]] added [[w:en:Transliteration|transliterated]] as-you-type search suggestions to Georgian wikis. If there are only a few regular search suggestions, then queries in Latin or Cyrillic script [[phab:T127003|are now rewritten into Georgian script]] to look for more matches. For example, searching for either <bdi lang="ka-Latn" dir="ltr">''bedniereba''</bdi> or <bdi lang="ka-Cyrl" dir="ltr">''бедниереба''</bdi> will now suggest the existing article about <bdi lang="ka" dir="ltr">ბედნიერება</bdi> ("happiness"). You can recommend other languages where transliterated suggestions would be useful [[phab:T375215|on Phabricator]] for future development. * Later this week, a controlled experiment will begin for editors on the 100 largest Wikipedias who are editing a section in the mobile web visual editor. 50% of these editors will notice a new "Edit full page" button that will enable them to expand their editing session to the whole page. This feature is intended to make it easier for people on mobile web to edit any article section, regardless of which section-edit icon they tapped to begin. The experiment will last ~4 weeks. You can find [[phab:T409112|more details]] about the project. * Later this week, the [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Growth|Reader Growth team]] will launch a [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Growth/WE3.1.14 Expanded Mobile Sections|mobile web experiment]] to expand all article sections by default (currently they are collapsed by default) and pin the section header the user is currently reading to the top of the page. The experiment will affect 10% of users on Arabic, Chinese, French, Indonesian, and Vietnamese Wikipedias. [https://phabricator.wikimedia.org/T409485] * The [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/Wikipedia Year in Review/2025 Year in Review|Wikipedia Year in Review 2025]], a feature in the Wikipedia mobile apps (iOS and Android) that provides users with a personalised summary of their engagement with Wikipedia over the year, is now available on the iOS and Android apps. This edition includes expanded personalised insights, improved reading highlights, new donor messaging, and updated designs. Open the app to view your Year in Review and explore your reading journey from 2025. * A recent software bug caused edits made with VisualEditor to make unintended changes to wikitext, including removing whitespace and replacing spaces with underscores in wikilinks inside citations. This was partially fixed last week, and further fixes are in progress. Editors who used VisualEditor between November 28 and December 2 should review their edits for unexpected modifications. [https://phabricator.wikimedia.org/T411238] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:23}} community-submitted {{PLURAL:23|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the incorrect handling of URLs copied from the address bar of Microsoft Edge users, has been resolved. [https://phabricator.wikimedia.org/T341281] '''Updates for technical contributors''' * Starting this week, users of the "{{int:codemirror-beta-feature-title}}" [[Special:Preferences#mw-prefsection-betafeatures|beta feature]] will have [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|CodeMirror]] as the editor for Lua, JavaScript, CSS, JSON and Vue content models, instead of [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeEditor|CodeEditor]]. With this, the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror#Linting|linters]] will be upgraded. This is part of a larger effort to eventually replace CodeEditor and provide a consistent code editing experience. [https://phabricator.wikimedia.org/T373711] * Developers are encouraged to take the [https://wikimediafoundation.limesurvey.net/552643 2025 Developer Satisfaction Survey], which remains open until 5 January 2026. If you build software for the Wikimedia ecosystem and would like to share your experiences or feedback, your participation is greatly appreciated. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/W4WBKO6Q55UWWCCSFWQATKEXBEHP3QNR/] * There is no new MediaWiki version this week. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/50|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W50"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 17:46, 8 Desemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29738112 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-51</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W51"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/51|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:18}} community-submitted {{PLURAL:18|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, one of the fixes addressed an issue for temporary accounts adding an external URL, which triggered an hCaptcha request in more cases than intended, and did not display the required popup on the first attempt to publish the edit. [https://phabricator.wikimedia.org/T411927] '''Updates for technical contributors''' * To improve database and site performance, external links to Wikimedia projects will no longer be stored in the database. This means they will not be searchable in [[{{#special:LinkSearch}}]], will not be checked by the Spam Blacklist or AbuseFilter as new links, and will not be in the <code dir=ltr>externallinks</code> table on database replicas. In the future this may be extended to other highly-linked trusted websites on a per-wiki basis, such as Creative Commons links on Wikimedia Commons. [https://phabricator.wikimedia.org/T405005] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.7|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/51|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W51"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:03, 15 Desemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29796010 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2025-52</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2025-W52"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/52|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * From January, edit filters [[mw:Special:MyLanguage/Extension:AbuseFilter/Access flags|can be set]] to automatically suppress their details such as rules and list of attempted edits and actions. This will help oversighters use edit filters to prevent doxxing or other suppressible material. [https://phabricator.wikimedia.org/T290324] * The next issue of Tech News will be sent out on 12 January 2026 because of the end of year holidays. Thank you to all of the translators, and people who submitted content or feedback, this year. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:16}} community-submitted {{PLURAL:16|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the crash that occurred when tapping "First Steps" in the Wikipedia Android Year in Review has now been fixed, and the feature opens as expected. [https://phabricator.wikimedia.org/T411546] '''Updates for technical contributors''' * Interface elements such as diffs and categories generated by MediaWiki used to have the attribute <code dir=ltr>data-mw="interface"</code> to distinguish from wiki content. The attribute has been replaced with <code dir=ltr>data-mw-interface=""</code>, to avoid potential conflicts with other <code dir=ltr>data-mw</code> attributes, which are generated by Parsoid. [https://phabricator.wikimedia.org/T409187] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] There is no new MediaWiki version this week or next week. '''Meetings and events''' * The [[mw:Wikimedia Hackathon Northwestern Europe 2026|Wikimedia Hackathon Northwestern Europe 2026]] will take place on 13-14 March 2026 in Arnhem, the Netherlands. Applications just opened mid-December and will close in mid-January or earlier if capacity is reached. With space for approximately 100 participants, early application is encouraged. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/52|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2025-W52"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 21:45, 22 Desemba 2025 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29831856 --> == Kufutwa kwa Jamii:User tok-1 == Habari. Naomba kufahamu kwa nini [[:Jamii:User tok-1]] ilifutwa. Niliunda kwa muundo sawa na [[:Jamii:User sw-1]] na [[:Jamii:User en-1]]: <pre><nowiki>{{Commonscat|User tok-1}} [[Jamii:User tok]] </nowiki></pre> Asante. --'''[[Mtumiaji:Volvox|Volvox]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Volvox|majadiliano]])''' 19:31, 23 Desemba 2025 (UTC) :Kweli umekuwa mkali mno! Usipende kufuta kurasa kwa kuona tu kasoro. Afadhali uzirekebishe na kuelekeza mtumiaji. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:12, 24 Desemba 2025 (UTC) ::Amani babu @Riccardo, Kunahaja gani ya kuanzisha jamii ambazo hazina matumizi? nimeona nikawaida ya mwanzirishi kufanya hiki kitendo ambapo anaongeza mzigo tuu kwa wakabidhi. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy#top|majadiliano]])''' 21:05, 7 Januari 2026 (UTC) :::Mbona jamii hiyo ina kurasa mbili? Ndiyo matumizi! Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:44, 8 Januari 2026 (UTC) == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-03</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W03"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/03|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The Wikimedia Foundation has shared some guiding questions for the July 2026–June 2027 Annual Plan on [[m:Special:MyLanguage/Wikimedia Foundation Annual Plan/2026-2027/Product & Technology OKRs|Meta]] and ''[[diffblog:2025/12/10/shaping-wikimedia-foundations-2026-2027-annual-goals-key-questions-for-the-wikimedia-movement/|Diff]]''. These focus on global trends, faster and healthier experimentation, better support for newcomers, strengthening editors and advanced users, improving collaboration across projects, and growing and retaining readership. Feedback and ideas are welcome on the [[m:Talk:Wikimedia Foundation Annual Plan/2026-2027|talk page]]. '''Updates for editors''' * As part of the current work of Community Tech team on the [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/W372|Multiple watchlists]] project, the display of [[Special:EditWatchlist|EditWatchlist]] will be updated as a first step towards multiple watchlists. Additionally, the pagination on [[Special:Search|Search]] will be updated too, as a part of the work on the [[m:Special:MyLanguage/Community Wishlist/W186|Revamp pagination / page navigation]] wish. [https://phabricator.wikimedia.org/T411596] * [[m:Special:GlobalWatchlist|The Global Watchlist]] is a MediaWiki [[mw:Special:MyLanguage/Extension:GlobalWatchlist|extension]] that lets you see your watchlists from different wikis on the same page. It was recently updated to look more like the regular [[Special:Watchlist|Watchlist]], such as preparing it for temporary accounts in IP masking (including rerouting user links to contributions pages), making page titles bold, and opening links in edit summaries and tags in new browser tabs. [https://phabricator.wikimedia.org/T398361][https://phabricator.wikimedia.org/T298919][https://phabricator.wikimedia.org/T273526][https://phabricator.wikimedia.org/T286309] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:28}} community-submitted {{PLURAL:28|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the issue where global blocks did not have the option to disable sending emails, has now been fixed, and will be available for use in the week of January 13. [https://phabricator.wikimedia.org/T401293] '''Updates for technical contributors''' * The [[mw:Special:MyLanguage/VisualEditor/Citation tool|VisualEditor citation tool]] and [[mw:Special:MyLanguage/Help:Reference Previews|Reference Previews]] now support "map" as a reference type. [https://phabricator.wikimedia.org/T411083] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.10|MediaWiki]]/[[mw:MediaWiki 1.46/wmf.11|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/03|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W03"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:34, 12 Januari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29907192 --> == Translation notification: Universal Code of Conduct/Annual review/Messages/Review open == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Universal Code of Conduct/Annual review/Messages/Review open|Universal Code of Conduct/Annual review/Messages/Review open]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Universal+Code+of+Conduct%2FAnnual+review%2FMessages%2FReview+open&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. The deadline for translating this page is 2026-01-19. <div lang="en" class="mw-content-ltr">This message will be sent to all the wikis to inform communities about their chance to participate in proposing changes to the Universal Code of Conduct. </div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 22:30, 14 Januari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:Keegan (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-04</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W04"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/04|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The tray shown on [[Special:Diff|Special:Diff]] in mobile view has been redesigned. It is now collapsed by default, and incorporates a link to undo the edit being viewed, making it easier for mobile editors and reviewers to take action while keeping the interface uncluttered. [https://phabricator.wikimedia.org/T402297] * [[m:Special:GlobalWatchlist|The Global Watchlist]] lets you view your watchlists from multiple wikis on one page. The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:GlobalWatchlist|extension]] continues to improve — it now automatically determines the text direction (ensuring correct display of sites with unusual domain names) and shows detailed descriptions for log actions. Later this week, a new permanent link for page creations and CSS classes for each entry element will be added. [https://phabricator.wikimedia.org/T412505][https://phabricator.wikimedia.org/T287929][https://phabricator.wikimedia.org/T262768][https://phabricator.wikimedia.org/T414135] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:32}} community-submitted {{PLURAL:32|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the previously observed issue in Vector 2022, where anchor link targets were obscured by the sticky header, has now been addressed. [https://phabricator.wikimedia.org/T406114] '''Updates for technical contributors''' * As mentioned in the [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2025/44|October 2025 deprecation announcement]], MediaWiki Interfaces team will begin sunsetting all transform endpoints containing a trailing slash from the MediaWiki REST API the week of January 26. Changes are expected to roll out to all wikis on or before January 30th. All API users currently calling them are encouraged to transition to the non-trailing slash versions. Both endpoint variations can be found, compared, and tested using the [https://test.wikipedia.org/wiki/Special:RestSandbox REST Sandbox]. If you have questions or encounter any problems, please file a ticket in Phabricator to the [https://phabricator.wikimedia.org/project/view/6931/ #MW-Interfaces-Team board]. * Interactive reference documentation for the [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia REST API|Wikimedia REST API]] has moved. Requests to API docs previously hosted through [[mw:Special:MyLanguage/RESTBase|RESTBase]] (e.g.: <code dir=ltr>https://en.wikipedia.org/api/rest_v1/</code>) are now redirected to the [[w:en:Special:RestSandbox|REST Sandbox]]. * The [[mw:Special:MyLanguage/Wikidata Platform|WMF Wikidata Platform team]] (WDP) has published its [[d:Special:MyLanguage/Wikidata:Wikidata Platform team/Newsletter|January 2026 newsletter]]. It includes updates on the legacy full-graph endpoint decommissioning, the User-Agent policy change, the monthly Blazegraph migration office hours, and efforts to reduce regressions caused by the legacy endpoint shutdown. As a reminder, you can [[m:Special:MyLanguage/Global message delivery/Targets/WDP team updates|subscribe to the WDP newsletter]]! * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.12|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * The [[mw:Wikimedia Hackathon Northwestern Europe 2026|Wikimedia Hackathon Northwestern Europe 2026]] will take place on 13-14 March 2026 in Arnhem, the Netherlands. Applications opened mid-December and will close soon or when capacity is reached. It's a two-day, technically oriented hackathon bringing together Wikimedians from the region. Hope to see you there! '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/04|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W04"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 20:30, 19 Januari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29943403 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-05</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W05"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/05|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * Wikimedia Foundation invites comments on [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council/Year1 Reflections and Proposed Way Forward 2026 Update|proposed future]] of the [[:m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council|Product and Technology Advisory Council]] until 28 February. * All users with registered accounts can now use passkeys for [[m:Special:MyLanguage/Help:Two-factor authentication|two-factor authentication]] (2FA). Passkeys are a simple way to log in without using a second device. They verify the user's identity using a fingerprint, face scan, or a PIN code. To set up a passkey, first set up a regular 2FA method. Currently, to log in with a passkey, users must also use a password. Later this quarter, passwordless login will allow users to log in with a single click and a passkey. Users with advanced rights will also be required to have 2FA enabled. This is part of the [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Account Security|Account Security]] project. * Unregistered contributors on blocked IPs or blocked IP ranges can now interact on-wiki to appeal a block by creating a temporary account to appeal a block on the user talk page, unless the "prevent this user from editing their own talk page" is enabled. This solves the problem of logged-out users unable to use the default unblock process via user talk page. [https://phabricator.wikimedia.org/T398673] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:20}} community-submitted {{PLURAL:20|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the Two-Factor Authentication (2FA) methods description on the management page has been updated. It is now clearer and easier for users to understand and make use of. [https://phabricator.wikimedia.org/T332385] '''Updates for technical contributors''' * A new AbuseFilter variable, <code>account_type</code>, has been added to provide a reliable way to determine the account type being created in the <code>createaccount</code> and <code>autocreateaccount</code> actions. As part of this change, the variable <code>accountname</code> has been renamed to <code>account_name</code>, and <code>accountname</code> is now deprecated. Edit filter managers should update any filters that use hardcoded account type checks or the deprecated variable. [https://phabricator.wikimedia.org/T414049] * Image thumbnails that are requested in non-standard sizes, and using non-standard methods such as direct requests to <code dir=ltr><nowiki>upload.wikimedia.org/…</nowiki></code> will stop working in the near future. This change is to prevent ongoing external abuse by web-scrapers and bots. Some users with custom CSS/JS, Interface Admins who can fix gadgets and local skins, and Tool-authors, will need to update their code to use standard thumbnail sizes. [[phab:T414805|Details, search-links, and examples of how to fix them, are available in the task]]. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.13|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/05|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W05"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 21:18, 26 Januari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=29969530 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-06</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W06"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/06|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The "{{int:pageinfo-toolboxlink}}" feature, which gives validating information about a page ([{{fullurl:{{FULLPAGENAME}}|action=info}} example]), now automatically includes a table of contents. If there is a local [[{{ns:8}}:Pageinfo-header]] page created by individual users, it can now be removed. [https://phabricator.wikimedia.org/T363726] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:21}} community-submitted {{PLURAL:21|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, VisualEditor previously added bold or italic formatting inside link descriptions, making the wikicode complex. This has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T409669] '''Updates for technical contributors''' * There was no XML dump on 20 January. Additionally, from now on, dumps will be generated once per month only. [https://phabricator.wikimedia.org/T414389] * The MediaWiki Interfaces team removed support for all transform endpoints containing a trailing slash from the [https://www.mediawiki.org/wiki/Special:MyLanguage/API:REST%20API MediaWiki REST API]. All API users currently calling those endpoints are encouraged to transition to the non-trailing slash versions. If you have questions or encounter any problems, please file a ticket in phabricator to the [https://phabricator.wikimedia.org/project/view/6931/ #MW-Interfaces-Team board]. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.14|MediaWiki]] '''Weekly highlight''' * Users are reminded that the Wikimedia Foundation has shared some guiding questions for the July 2026–June 2027 Annual Plan on [[m:Special:MyLanguage/Wikimedia Foundation Annual Plan/2026-2027/Product & Technology OKRs|Meta]] and ''[[diffblog:2025/12/10/shaping-wikimedia-foundations-2026-2027-annual-goals-key-questions-for-the-wikimedia-movement/|Diff]]''. These focus on global trends, faster and healthier experimentation, better support for newcomers, strengthening editors and advanced users, improving collaboration across projects, and growing and retaining readership. Feedback and ideas are welcome on the [[m:Talk:Wikimedia Foundation Annual Plan/2026-2027|talk page]]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/06|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W06"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 17:44, 2 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30000986 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-07</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W07"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/07|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * [[File:Maki-gift-15.svg|12px|link=|class=skin-invert|Wishlist item]] Logged-in contributors who manage large or complex watchlists can now organise and filter watched pages in ways that improve their workflows with the new [[mw:Special:MyLanguage/Help:Watchlist labels|Watchlist labels]] feature. By adding custom labels (for example: pages you created, pages being monitored for vandalism, or discussion pages) users can more quickly identify what needs attention, reduce cognitive load, and respond more efficiently. This improves watchlist usability, especially for highly active editors. * A new feature available on [[Special:Contributions|Special:Contributions]] shows [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts|temporary accounts]] that are likely operated by the same person, and so makes patrolling less time-consuming. Upon checking contributions of a temporary account, users with access to temporary account IP addresses can now see a view of contributions from the related temporary accounts. The feature looks up all the IPs associated with a given temporary account within the data retention period and shows all the contributions of all temporary accounts that have used these IPs. [[mw:Special:MyLanguage/Trust and Safety Product/Temporary Accounts#February 2026: Improvements to the patroller tooling|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T415674] * When editors preview a wikitext edit, the reminder box that they are only seeing a preview (which is shown at the top), now has a grey/neutral background instead of a yellow/warning background. This makes it easier to distinguish preview notes from actual warnings (for example, edit conflicts or problematic redirect targets), which will now be shown in separate warning or error boxes. [https://phabricator.wikimedia.org/T414742] * The [[m:Special:GlobalWatchlist|Global Watchlist]] lets you view your watchlists from multiple wikis on one page. The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:GlobalWatchlist|extension]] continues to improve — it now properly supports more than one Wikibase site, for example both [[d:|Wikidata]] and [[testwikidata:|testwikidata]]. In addition, issues regarding text direction have been fixed for users who prefer Wikidata or other Wikibase sites in right-to-left (RTL) languages. [https://phabricator.wikimedia.org/T415440][https://phabricator.wikimedia.org/T415458] * The automatic "magic links" for ISBN, RFC, and PMID numbers have been [[mw:Special:MyLanguage/Help:Magic links|deprecated in wikitext since 2021]] due to inflexibility and difficulties with localization. Several wikis have successfully replaced RFC and PMID magic links with equivalent external links, but a template was often required to replace the functionality of the ISBN magic link. There is now a new [[mw:Special:MyLanguage/Help:Magic words#isbn|built-in parser function]] <code dir=ltr><nowiki>{{#isbn}}</nowiki></code> available to replace the basic functionality of the ISBN magic link. This makes it easier for wikis who wish to migrate off of the deprecated magic link functionality to do so. [https://phabricator.wikimedia.org/T145604] * Two new wikis have been created: ** a {{int:project-localized-name-group-wikipedia}} in [[d:Q35401|Jju]] ([[w:kaj:|<code>w:kaj:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T413283] ** a {{int:project-localized-name-group-wikipedia}} in [[d:Q1186896|Nawat]] ([[w:ppl:|<code>w:ppl:</code>]]) [https://phabricator.wikimedia.org/T413273] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:23}} community-submitted {{PLURAL:23|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. '''Updates for technical contributors''' * A new global user group has been created: [[{{int:grouppage-local-bot}}|{{int:group-local-bot}}]]. It will be used internally by the software to allow community bots to bypass rate limits that are applied to abusive [[w:en:Web scraping|web scrapers]]. Accounts that are approved as bots on at least one Wikimedia wiki will be automatically added to this group. It will not change what user permissions the bot has. [https://phabricator.wikimedia.org/T415588] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.15|MediaWiki]] '''Meetings and events''' * The [[mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Users and Developers Conference Spring 2026|MediaWiki Users and Developers Conference, Spring 2026]] will be held March 25–27 in Salt Lake City, USA. This event is organized by and for the third-party MediaWiki community. You can propose sessions and register to attend. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/AZBWVI46SDEB65PGR5J6E4TYOQQEZXM7/] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/07|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W07"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 23:31, 9 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:Quiddity (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30026671 --> == Translation notification: Wiki Loves Ramadan 2026/List of Articles/Culture/1 == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Wiki Loves Ramadan 2026/List of Articles/Culture/1|Wiki Loves Ramadan 2026/List of Articles/Culture/1]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Wiki+Loves+Ramadan+2026%2FList+of+Articles%2FCulture%2F1&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is low. The deadline for translating this page is 2026-02-28. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Hello! We have a new page for translation: Wiki Loves Ramadan 2026/List of Articles/Culture/1. Thank you!</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 11:02, 15 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:Julius 12345@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == Translation notification: Global username policy == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Global username policy|Global username policy]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Global+username+policy&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. The deadline for translating this page is 2026-12-31. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Hello! We have a new page for translation: Global username policy. Thank you very much!</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 14:25, 15 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:Julius 12345@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-08</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W08"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/08|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Site Reliability Engineering|SRE Team]] will be performing a cleanup of Wikimedia's [[m:Special:MyLanguage/Etherpad|Etherpad]] instance, the web-based editor for real-time collaborative document editing. All pads will be permanently deleted after 30 April, 2026 – if there are still migration projects in progress at that point the team can revisit the date on a case by case basis. Please create local backups of any content you wish to keep, as deleted data cannot be recovered. This cleanup helps reduce database size and minimize infrastructure footprint. Etherpad will continue to support real-time collaboration, but long-term storage should not be expected. Additional cleanups may occur in the future without prior notice. [https://phabricator.wikimedia.org/T415237] '''Updates for editors''' * The Information Retrieval team will be launching an [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Information Retrieval/Phase 1|Android mobile app experiment]] that tests hybrid search capabilities which can handle both semantic and keyword queries. The improvement of on-platform search will enable readers to find what they’re looking for directly on Wikipedia more easily. The experiment will first be launched on Greek Wikipedia in late February, followed by English, French, and Portuguese in March. [https://diff.wikimedia.org/2026/01/08/semantic-search-making-it-easier-to-find-the-information-readers-want/ Read more] on Diff blog. [https://www.mediawiki.org/wiki/Readers/Information_Retrieval] * The Reader Growth team will run [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Growth/WE3.10.2 Mobile Table of Contents|an experiment]] for mobile web users, that adds a table of contents and automatically expands all article sections, to learn more about navigation issues they face. The test will be available on Arabic, Chinese, English, French, Indonesian, and Vietnamese Wikipedias. * Previously, site notices ([[{{ns:8}}:Sitenotice]] and [[{{ns:8}}:Anonnotice]]) would only render on the desktop site. Now, they will render on all platforms. Users on mobile web will now see these notices and be informed. Site administrators should be prepared to test and fix notices on mobile devices to avoid interference with articles. To opt out, interface admins can add <code dir="ltr">#siteNotice { display: none; }</code> to [[{{ns:8}}:Minerva.css]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T138572][https://phabricator.wikimedia.org/T416644] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:19}} community-submitted {{PLURAL:19|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, an issue on [[Special:RecentChanges|Special:RecentChanges]] has been fixed. Previously, clicking hide in the active filters caused the "view new changes since…" button to disappear, though it should have remained visible. The button now behaves as expected. [https://phabricator.wikimedia.org/T406339] '''Updates for technical contributors''' * New documentation is now available to help editors debug on-site search features. It supports troubleshooting when pages do not appear in results, when ranking seems unexpected, and when you need to inspect what content is being indexed, helping make search behavior easier to understand and analyze. [[mw:Help:CirrusSearch/Debug|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T411169] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.16|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/08|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W08"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:17, 16 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30086330 --> == Translation notification: Event:Queer Women in Arts == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Event:Queer Women in Arts|Event:Queer Women in Arts]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Event%3AQueer+Women+in+Arts&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is high. The deadline for translating this page is 2026-02-28. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Hello! We have a new page for translation: Event:Queer Women in Arts. Thanks!</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 19:11, 18 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:Julius 12345@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-09</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W09"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/09|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * [[mw:Special:MyLanguage/Edit check/Reference Check|Reference Check]] has been deployed to English Wikipedia, completing its rollout across all Wikipedias. The feature prompts newcomers to add a citation before publishing new content, helping reduce common citation-related reverts and improve verifiability. In A/B testing, the impact was substantial: newcomers shown Reference Check were approximately 2.2 times more likely to include a reference on desktop and about 17.5 times more likely on mobile web. [https://analytics.wikimedia.org/published/reports/editing/reference_check_ab_test_report_final_2025.html] '''Updates for editors''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:InterwikiSorting|InterwikiSorting extension]], which allowed for the [[m:Special:MyLanguage/Interwiki sorting order|sorting of interwiki links]], has been undeployed from Wikipedia. As a result, editors who had enabled interwiki link sorting in non-compact mode (full list format) will now see links reordered. The links moving forward will be listed in the alphabetical order of language code. [https://phabricator.wikimedia.org/T253764] * Later this week, people who are editing a page-section using the mobile visual editor, will notice a new "Edit full page" button. When tapped, you will be able to edit the entire article. This helps when the change you want to make is outside the section you initially opened. [https://phabricator.wikimedia.org/T387175][https://phabricator.wikimedia.org/T409112] * [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Experience|The Reader Experience team]] is inviting editors to assess whether dark mode should still be considered "beta" on their wiki, based on their experience of how well it functions on desktop and mobile. If the feature is deemed mature, editors can update the interface messages in <code dir=ltr>MediaWiki:skin-theme-description</code> and <code dir=ltr>MediaWiki:Vector-night-mode-beta-tag</code> to indicate that dark mode is ready and no longer considered beta. * The improved [[mw:Wikimedia_Apps/Team/iOS/Activity_Tab|Activity tab]] which displays user-insights is now available to all users of the Wikipedia iOS app (version 7.9.0 and later). Following earlier A/B testing that showed higher account creation among users with access to the feature, it has been rolled out to 100% of users along with some updates. The Activity tab now shows your edited articles in the timeline, offers editing impact insights like contribution counts and article view trends, and customization options to improve in-app experience for users. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:21}} community-submitted {{PLURAL:21|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, a bug that prevented [[mw:Special:MyLanguage/Extension:DiscussionTools|DiscussionTools]] from working on mobile has now been fixed, restoring full functionality. [https://phabricator.wikimedia.org/T415303] '''Updates for technical contributors''' * The [[m:Special:GlobalWatchlist|Global Watchlist]] lets you view your watchlists from multiple wikis on one page. The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:GlobalWatchlist|extension]] that makes this possible continues to improve. The latest upgrade is the inclusion of a [[mw:Extension:GlobalWatchlist#hook|new hook]], <code dir=ltr>ext.globalwatchlist.rebuild</code>, which fires after each watchlist rebuild. This allows you to run gadgets and user scripts for the Special page. [https://phabricator.wikimedia.org/T275159] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.17|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/09|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W09"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:04, 23 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30119102 --> == Translation notification: Mission == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Mission|Mission]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Mission&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is medium. <div lang="en" class="mw-content-ltr"></div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 02:15, 28 Februari 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:Minorax@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-10</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W10"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/10|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * Wikipedia 25 [[m:Special:MyLanguage/Wikipedia 25/Easter egg experiments|Birthday mode]] is now live on Betawi, Breton, Chinese, Czech, Dutch, English, French, Gorontalo, Indonesian, Italian, Luxembourgish, Madurese, Sicilian, Spanish, Thai, and Vietnamese Wikipedias! This limited-time campaign feature celebrates 25 years of Wikipedia with a birthday mascot, Baby Globe. When turned on, Baby Globe is shown on [[m:Special:MyLanguage/Wikipedia 25/Easter egg experiments/article configuration|~2,500 articles]], waiting to be discovered by readers. Communities can choose to turn Birthday mode on by getting consensus from their community and asking an admin to enable the feature and customize it via [[m:Special:MyLanguage/Wikipedia 25/Easter egg experiments#Community Configuration Demo|community configuration]] on the local wiki. '''Updates for editors''' * [[:m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes/Sub-referencing|Sub-referencing]], a new feature to re-use references with different details has been released to Swedish Wikipedia, Polish Wikipedia and [[:phab:T418209|a couple of other wikis]]. You can [[:m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes/Sub-referencing#test|try the feature]] on these projects or on testwiki and [https://en.wikipedia.beta.wmcloud.org/wiki/Sub-referencing betawiki]. Learnings from the first pilot wiki German Wikipedia have been [[:m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes/Sub-referencing/Learnings|published in a report]]. Reach out to the Wikimedia Deutschland team if you are [[:m:Talk:WMDE Technical Wishes/Sub-referencing#Pilot wikis|interested in becoming a pilot wiki]]. * [[mw:Special:MyLanguage/Help:Edit check#Paste check|Paste Check]] will become available at all Wikipedias this week. The feature prompts newcomers who are pasting text they are not likely to have written into VisualEditor to consider whether doing so risks a copyright violation. Paste Check [[mw:Special:MyLanguage/Edit check/Tags|tags]] all edits where it is shown for potential review. Local administrators can configure various aspects of the feature via [[{{#special:EditChecks}}]]. [[mw:Special:MyLanguage/Edit check/Paste Check#A/B Experiment|Research]] across 22 wikis found that Paste Check resulted in an 18% decrease in relative reverted-edits compared to the control group. Translators can [https://translatewiki.net/w/i.php?title=Special%3ATranslate&group=ext-visualeditor-ve-mw-editcheck&filter=&optional=1&action=translate help to localize] this and related features. * The [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Experience|Reader Experience team]] will be standardizing the user menu in the top right for all mobile users so that it is closer to the desktop experience. Currently this user menu is only visible to users with Advanced Mobile Controls (AMC) turned on. The only change is that a couple buttons previously in the left-side menu will move to the top right for users who do not have AMC turned on. This change is expected to go out March 9 and seeks to improve the user interface. [https://phabricator.wikimedia.org/T413912] * Starting in the week of March 2, the emails sent out when an email address was added, removed, or changed for an account will switch to a substantially nicer and clearer HTML email from the prior plaintext one. [https://phabricator.wikimedia.org/T410807] * Notifications are currently limited to 2,000 historic entries per user, and extend back to 2013 when the feature was released. This is going to be changed to only store Notifications from the last 5 years, but up to 10,000 of them. This will help with long-term infrastructure health and help to prevent more recent notifications from disappearing too soon. [https://phabricator.wikimedia.org/T383948] * The [[m:Special:GlobalWatchlist|Global Watchlist]] which lets you view your watchlists from multiple wikis on a single page continues to see improvements. The latest update improves label usage experience. The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:GlobalWatchlist|extension]] now allows activating the [[mw:Special:MyLanguage/Manual:Language#Fallback languages|language fallback system]] for Wikidata items without labels in the viewed language, and showing those labels in the user’s preferred Wikidata language if no <code dir=ltr>uselang=</code> URL parameter is provided. [https://phabricator.wikimedia.org/T373686][https://phabricator.wikimedia.org/T416111] * The Wikipedia Android team has started a beta test of [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Information Retrieval/Phase 1|hybrid search]] on Greek Wikipedia. Hybrid search capabilities can handle both semantic and keyword queries enabling readers to find what they’re looking for directly on Wikipedia more easily. * For security reasons, members of certain user groups are [[m:Special:MyLanguage/Mandatory two-factor authentication for users with some extended rights|required to have two-factor authentication]] (2FA) enabled. Currently, 2FA is required to use the group, but not to be a member of it. Given that this model still has some vulnerabilities, the situation will [[phab:T418580|gradually change in March]]. Members of these groups will be unable to disable last 2FA method on their account, and it will be impossible to add users without 2FA to these groups. Users will still be able to add new authentication methods or remove them, as long as at least one method is continuously enabled. In the second half of March, users without 2FA will be removed from these groups. This applies to: CentralNotice administrators, checkusers, interface administrators, suppressors, Wikidata staff, Wikifunctions staff, WMF Office IT and WMF Trust & Safety. Nothing will change for other users. See the linked task for deployment schedule. [https://phabricator.wikimedia.org/T418580] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:27}} community-submitted {{PLURAL:27|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the issue preventing users from creating an instance in [https://www.wikibase.cloud/ Wikibase.cloud] has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T416807] '''Updates for technical contributors''' * To help ensure [[mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Product Insights/Responsible Reuse|fair use of infrastructure]], over the next month the Wikimedia Foundation will implement global API rate limits across our APIs. In early March, stricter limits will be applied to unidentified requests from outside Toolforge/WMCS and API requests that are made from web browsers. In April, higher limits will be applied to identified traffic. These limits are intentionally set as high as possible to minimise impact on the community. Bots running in Toolforge/WMCS or with the bot user right on any wiki should not be affected for now. However, all developers are advised to follow updated best practices. For more information, see [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia APIs/Rate limits|Wikimedia APIs/Rate limits]]. * The Wikidata Query Service Linked Data Fragment (LDF) endpoint will be decommissioned in February. This endpoint served limited traffic, which was successfully migrated to other data access methods that were better suited to support existing use cases. The hardware used to support the LDF endpoint will be reallocated to support the ongoing backend migration efforts. [https://phabricator.wikimedia.org/T415696] * The new Parsoid parser [[mw:Special:MyLanguage/Parsoid/Parser Unification/Updates|continues to be deployed to additional wikis]], improving platform sustainability and making it easier to introduce new reading and editing features. Parsoid is now the default parser on 488 WMF wikis (268 Wikipedias), now covering more than 10% of all Wikipedia page views. * The process and criteria for [[Special:MyLanguage/Wikimedia Enterprise#Access|requesting exceptional access]] to the high volume feed of the ''Wikimedia Enterprise'' APIs (at no cost for mission-aligned usecases), [[m:Talk:Wikimedia Enterprise#Exceptional access criteria|have now been published]]. This is to provide more thorough and clearer documentation for users. * [https://techblog.wikimedia.org/ Tech Blog], the blog dedicated to the Wikimedia technical community [https://techblog.wikimedia.org/2026/02/24/a-tech-blog-diff/ will be migrating] to [[diffblog:|Diff]], the community news and event blog. The migration should be complete in April 2026, after which new posts will be accepted for publishing. Readers will be able to access posts – old and new – on the landing page at https://diff.wikimedia.org/techblog. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.18|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/10|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W10"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 17:52, 2 Machi 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30137798 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-11</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W11"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/11|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * [[m:Special:MyLanguage/Tech/Server switch|All wikis will be read-only]] for a few minutes on Wednesday, 25 March 2026 at [https://zonestamp.toolforge.org/1774450800 15:00 UTC]. This is for the datacenter server switchover backup tests, [[wikitech:Deployments/Yearly calendar|which happen twice a year]]. During the switchover, all Wikimedia website traffic is shifted from one primary data center to the backup data center to test availability and prevent service disruption even in emergencies. * Last week, all wikis had 2 hours of read-only time, and extended unavailability for user-scripts and gadgets. This was due to a security incident which has since been resolved. Work is ongoing to prevent re-occurrences. For current information please see the [[m:Steward's noticeboard#Statement on Meta about today's user script security incident|post on the Stewards' noticeboard]] ([[m:Special:MyLanguage/Wikimedia Foundation/Product and Technology/Product Safety and Integrity/March 2026 User Script Incident|translations]]). '''Updates for editors''' * Users facing multiple blocks on mobile will now see the reasons for each block separately, instead of a generic message. This helps them understand why they are blocked and what steps they can take to resolve the issue. For example, users affected for using common VPNs (such as [[Special:MyLanguage/Apple iCloud Private Relay|iCloud Private Relay]]) will receive clearer guidance on what they need to do to start editing again. [https://phabricator.wikimedia.org/T357118] * Later this week, [[mw:Special:MyLanguage/VisualEditor/Suggestion Mode|Suggestion Mode]] will become available as a beta feature within the visual editor at all Wikipedias. This feature proactively suggests various types of actions that people can consider taking to improve Wikipedia articles, and learn about related guidelines. The feature is locally configurable, and can also be locally expanded with custom Suggestions. Current settings can be seen at [[Special:EditChecks]] and there are [[mw:Special:MyLanguage/Help:Suggestion mode#For administrators %E2%80%93 local customization|instructions for how administrators can customize]] the links to point to local guidelines. The feature is connected to [[mw:Special:MyLanguage/Help:Edit check|Edit check]] which suggests improvements while someone is writing new content. In the future, the Editing team plans to evaluate the feature's impact with newcomers through a controlled experiment. [https://phabricator.wikimedia.org/T404600] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:23}} community-submitted {{PLURAL:23|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the issue where the cursor became misaligned during the use of CodeMirror’s syntax highlighting, which makes wikitext and code easier to read, has now been fixed. This problem specifically affected users who defined a font rule in a custom stylesheet while creating a new topic with DiscussionTools. [https://phabricator.wikimedia.org/T418793] '''Updates for technical contributors''' * API rate limiting update: To help ensure [[mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Product Insights/Responsible Reuse|fair use of infrastructure]], global API rate limits will be applied this week to requests without a compliant User-Agent that originate from outside Toolforge/WMCS and to unauthenticated requests made from web browsers. Higher limits will be applied to identified traffic in April. Bots running in Toolforge/WMCS or with the bot user right on any wiki should not be affected for now. However, all developers are advised to follow updated best practices. For more information, see [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia APIs/Rate limits|Wikimedia APIs/Rate limits]]. * The new GraphQL API has been released. The API was developed as a flexible alternative to select features of the Wikidata Query Service (WDQS), to improve developer experience and foster adaptability, and efficient data access. Try it out and [[d:Wikidata:Wikibase GraphQL#Feedback and development|give feedback]]. You can also [https://greatquestion.co/wikimediadeutschland/GraphQLAPI/apply sign up for usability tests]. * The [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council/Unsupported Tools Working Group|PTAC Unsupported Tools Working Group]] continued improvements to [[commons:Special:MyLanguage/Commons:Video2commons#|Video2Commons]] in February, with fixes addressing authentication errors, large-file handling, task queue visibility, and clearer upload behavior. Work is still ongoing in some areas, including changes related to deprecated server-side uploads. Read [[m:Special:MyLanguage/Product and Technology Advisory Council/Unsupported Tools Working Group#February 2026|this update]] to learn more. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.19|MediaWiki]] '''In depth''' * The Article Guidance team invites experienced Wikipedia editors from selected [[mw:Special:MyLanguage/Article guidance/Pilot wikis and collaborators#Collaborators|pilot wikis]] and interested contributors from other Wikipedias to fill out this questionnaire which is available in [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSfmLeVWnxmsCbPoI_UF2jyRcn73WRGWCVPHzerXb4Cz97X_Ag/viewform English], [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSd6rzr4XXQw8r4024fE3geTPFe13M_6w7Mitj-YJi0sOlWTAw/viewform?usp=header Arabic], [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdok3-RfB18lcugYTUMGkpwmqG_8p760Wv4dCXitOXOszjUDw/viewform?usp=header Bengali], [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSfjTfYp4jEo0akA4B1e-Nfg3QZPCudUjhJzHzzDi6AHyAaMGA/viewform?usp=header Japanese], [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScteVoI29Aue4xc72dekk-6RYtvmMgQxzMI900UOawrFrSTWg/viewform?usp=header Portuguese], [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSetdxnYwL3ub2vqA7awCg5hJZPMIYcDPaiTe12rY9h0GYnVlw/viewform?usp=header Persian], and [https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScNvfJF-Ot-4pzA4qAN771_0QDJ4Li19YcUsaTgSKW8Nc7U_Q/viewform?usp=header Turkish]. Your answers will help the team customize guidance for less experienced editors and help them learn community policies and practices while creating an article. Learn more [[mw:Special:MyLanguage/Article guidance|on the project page]]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/11|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W11"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 18:53, 9 Machi 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30213008 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-12</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W12"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/12|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|{{int:codemirror-beta-feature-title}}]] beta feature, also known as [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror|CodeMirror 6]], has been used for wikitext syntax highlighting since November 2024. It will be promoted out of beta by May 2026 in order to bring improvements and new [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror#Features|features]] to all editors who use the standard syntax highlighter. If you have any questions or concerns about promoting the feature out of beta, [[mw:Special:MyLanguage/Help talk:Extension:CodeMirror|please share]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T259059] * Some changes to local user groups are performed by stewards on Meta-Wiki and logged there only. Now, interwiki rights changes will be logged both on Meta-Wiki and the wiki of the target user to make it easier to access a full record of user's rights changes on a local wiki. Past log entries for such changes will be backfilled in the coming weeks. [https://phabricator.wikimedia.org/T6055] * On wikis using [[m:Special:MyLanguage/Flagged Revisions|Flagged Revisions]], the number of pending changes shown on [[{{#Special:PendingChanges}}]] previously counted pages which were no longer pending review, because they have been removed from the system without being reviewed, e.g. due to being deleted, moved to a different namespace, or due to wiki configuration changes. The count will be correct now. On some wikis the number shown will be much smaller than before. There should be no change to the list of pages itself. [https://phabricator.wikimedia.org/T413016] * Wikifunctions composition language has been rewritten, resulting in a new version of the language. This change aims to increase service stability by reducing the orchestrator's memory consumption. This rewrite also enables substantial latency reduction, code simplification, and better abstractions, which will open the door to later feature additions. Read more about [[f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Status updates/2026-03-11|the changes]]. * Users can now sort search results alphabetically by page title. The update gives an additional option to finding pages more easily and quickly. Previously, results could be sorted by Edit date, Creation date, or Relevance. To use the new option, open 'Advanced Search' on the search results page and select 'Alphabetically' under 'Sorting Order'. [https://phabricator.wikimedia.org/T403775] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:28}} community-submitted {{PLURAL:28|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the bug that prevented UploadWizard on Wikimedia Commons from importing files from Flickr has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T419263] '''Updates for technical contributors''' * A new special page, [[{{#special:LintTemplateErrors}}]], has been created to list transcluded pages that are flagged as containing lint errors to help users discover them easily. The list is sorted by the number of transclusions with errors. For example: [[{{#special:LintTemplateErrors}}/night-mode-unaware-background-color]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T170874] * Users of the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|{{int:codemirror-beta-feature-title}}]] beta feature have been using [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror|CodeMirror]] instead of [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeEditor|CodeEditor]] for syntax highlighting when editing JavaScript, CSS, JSON, Vue and Lua content pages, for some time now. Along with promoting CodeMirror 6 out of beta, the plan is to replace CodeEditor as the standard editor for these content models by May 2026. [[mw:Special:MyLanguage/Help talk:Extension:CodeMirror|Feedback or concerns are welcome]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T419332] * The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror|CodeMirror]] JavaScript modules will soon be upgraded to CodeMirror 6. Leading up to the upgrade, loading the <code dir=ltr>ext.CodeMirror</code> or <code dir=ltr>ext.CodeMirror.lib</code> modules from gadgets and user scripts was deprecated in July 2025. The use of the <code dir=ltr>ext.CodeMirror.switch</code> hook was also deprecated in March 2025. Contributors can now make their scripts or gadgets compatible with CodeMirror 6. See the [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror#Gadgets and user scripts|migration guide]] for more information. [https://phabricator.wikimedia.org/T373720] * The MediaWiki Interfaces team is expanding coverage of REST API module definitions to include [[mw:Special:MyLanguage/API:REST API/Extensions|extension APIs]]. REST API modules are groups of related endpoints that can be independently managed and versioned. Modules now exist for [https://phabricator.wikimedia.org/T414470 GrowthExperiments] and [https://phabricator.wikimedia.org/T419053 Wikifunctions] APIs. As we migrate extension APIs to this structure, documentation will move out of the main MediaWiki OpenAPI spec and REST Sandbox view, and will instead be accessible via module-specific options in the dropdown on the [https://test.wikipedia.org/wiki/Special:RestSandbox REST Sandbox] (i.e., [[{{#Special:RestSandbox}}]], available on all wiki projects). * The [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Scribunto|Scribunto]] extension provides different pieces of information about the wiki where the module is being used via the [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Scribunto/Lua reference manual|mw.site]] library. Starting last week, the library also provides a [[mw:Special:MyLanguage/Extension:Scribunto/Lua reference manual#mw.site.wikiId|way]] of accessing the [[mw:Special:MyLanguage/Manual:Wiki ID|wiki ID]] that can be used to facilitate cross-wiki module maintenance. [https://phabricator.wikimedia.org/T146616] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.20|MediaWiki]] '''In depth''' * The [[m:Special:MyLanguage/Coolest Tool Award|2026 Coolest Tool Award]] celebrating outstanding community tools, is now open for nominations! Nominate your favorite tool using the [https://wikimediafoundation.limesurvey.net/435684?lang=en nomination survey] form by 23 March 2026. For more information on privacy and data handling, please see the [[foundation:Special:MyLanguage/Legal:Coolest_Tool_Award_2026_Survey_Privacy_Statement|survey privacy statement]]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/12|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W12"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:36, 16 Machi 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30260505 --> == Translation notification: Event:Wikipedia & Education User Group Showcase/March 2026 == Hello Olimasy, You are receiving this notification because you signed up as a translator to Kiswahili on Meta-Wiki. The page [[:metawikipedia:Event:Wikipedia & Education User Group Showcase/March 2026|Event:Wikipedia & Education User Group Showcase/March 2026]] is available for translation. You can translate it here: * [https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Special:Translate&group=page-Event%3AWikipedia+%26+Education+User+Group+Showcase%2FMarch+2026&language=sw&action=page&action_source=translation_notification translate to Kiswahili] The priority of this page is high. The deadline for translating this page is 2026-03-21. <div lang="en" class="mw-content-ltr">Hi translators, The EduWiki Hub is seeking your support to help translate the Meta page for the EduWiki Knowledge Showcase (March 2026) into Portuguese, Spanish, French, Hindi, and Arabic The event will take place on 24 March 2026, and translations will help make it accessible to more communities. Thank you for your support. Kind regards, Barakat, for the EduWiki Hub.</div> Your help is greatly appreciated. Translators like you help Meta-Wiki to function as a truly multilingual community. To unsubscribe or to change your notification preferences for translations, please visit [https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:TranslatorSignup Special:TranslatorSignup]. Thank you! Meta-Wiki translation coordinators‎, 12:56, 17 Machi 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:BAdegboye (EdWH)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/wiki/Special:NotifyTranslators --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-13</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W13"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/13|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * Wikimedia site users can now log in without a password using passkeys. This is a secure method supported by fingerprint, facial recognition, or PIN. With this change, all users who opt for passwordless login will find it easier, faster, and more secure to log in to their accounts using any device. The new passkey login option currently appears as an autofill suggestion in the username field. An additional [[phab:T417120|"Log in with passkey" button]] will soon be available for users who have already registered a passkey. This update will improve security and user experience. The [[c:File:Passwordless_login_screencast.webm|screen recording]] demonstrates the passwordless login process step by step. * [[m:Special:MyLanguage/Tech/Server switch|All wikis will be read-only]] for a few minutes on Wednesday, 25 March 2026 at [https://zonestamp.toolforge.org/1774450800 15:00 UTC]. This is for the datacenter server switchover backup tests, [[wikitech:Deployments/Yearly calendar|which happen twice a year]]. During the switchover, all Wikimedia website traffic is shifted from one primary data center to the backup data center to test availability and prevent service disruption even in emergencies. '''Updates for editors''' * Wikimedia site users can now export their notifications older than 5 years using a [[toolforge:echo-chamber|new Toolforge tool]]. This will ensure that users retain their important notifications and avoid them being lost based on the planned change to delete notifications older than 5 years, as previously announced. [https://phabricator.wikimedia.org/T383948] * Wikipedia editors in Indonesian, Thai, Turkish, and Simple English now have access to Special:PersonalDashboard. This is an [[mw:Special:MyLanguage/Moderator Tools/Dashboard|early version of an experience]] that introduces newer editors to patrolling workflows, making it easier for them to move from making edits to participating in more advanced moderation work on their project. [https://phabricator.wikimedia.org/T402647] * The [[Special:Block]] now has two minor interface changes. Administrators can now easily perform indefinite blocks through a dedicated radio button in the expiry section. Also, choosing an indefinite expiry provides a different set of common reasons to select from, which can be changed at: [[MediaWiki:Ipbreason-indef-dropdown]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T401823] * Mobile editors [[mw:Special:MyLanguage/Contributors/Account Creation Experiments#Logged-out|at several wikis]] can now see an improved logged-out edit warning, thanks to the recent updates from the Growth team. These changes released last week are part of ongoing efforts and tests to enhance [[mw:Special:MyLanguage/Contributors/Account Creation Experiments|account creation experience on mobile]] and then increase participation. [https://phabricator.wikimedia.org/T408484] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:36}} community-submitted {{PLURAL:36|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the bug that prevented mobile web users from seeing the block information when affected by multiple blocks has been fixed. They can now see messages of all the blocks currently affecting them when they access Wikipedia. '''Updates for technical contributors''' * Images built using Toolforge will soon get the upgraded buildpacks version, bringing support for newer language versions and other upstream improvements and fixes. If you use Toolforge Build Service, review the recent [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/cloud-announce@lists.wikimedia.org/thread/EMYTA32EV2V5SQ2JIEOD2CL66YFIZEKV/ cloud-announce email] and update your build configuration as necessary to ensure your tools are compatible. [https://wikitech.wikimedia.org/w/index.php?title=Help:Toolforge/Building_container_images&oldid=2392097#Buildpack_environment_upgrade_process][https://phabricator.wikimedia.org/T380127] * The [https://api.wikimedia.org/wiki/Main_Page API Portal] documentation wiki will shut down in June 2026. API keys created on the API Portal will continue to work normally. api.wikimedia.org endpoints will be deprecated gradually starting in July 2026. Documentation on the API Portal is moving to [[mw:Wikimedia APIs|mediawiki.org]]. Learn more on the [[wikitech:API Portal/Deprecation|project page]]. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.21|MediaWiki]] '''In depth''' * [[m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes|WMDE Technical Wishes]] is considering improvements to [[m:WMDE Technical Wishes/References/VisualEditor automatic reference names|automatically generated reference names in VisualEditor]]. Please check out the [[m:WMDE Technical Wishes/References/VisualEditor automatic reference names#Proposed solutions|proposed solutions]] and participate in the [[m:Talk:WMDE Technical Wishes/References/VisualEditor automatic reference names#Request for comment|request for comment]]. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/13|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W13"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 16:51, 23 Machi 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:UOzurumba (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30268305 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-14</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W14"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/14|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * The Beta version of [[abstract:|Abstract Wikipedia]] a new Wikimedia project which is language-independent, was launched last week. The project allows communities to build Wikipedia articles in their native language, which can be readily accessed by other users in their own languages. The wiki is powered by instructions from Wikifunctions and also based on structured content from Wikidata. [[:f:Special:MyLanguage/Wikifunctions:Status updates/2026-03-26|Read more]]. '''Updates for editors''' * The Growth team is running an A/B test to evaluate a clearer, more user-friendly message that promotes account creation on wikis. Currently when logged-out mobile users begin editing, they see a jarring warning message that can feel abrupt and discouraging. This also presents temporary account editing as the default rather than encouraging account creation. The test is running on ten Wikipedias, including Arabic, French, Spanish and German. [[mw:Special:MyLanguage/Contributors/Account Creation Experiments#2. Improve logged-out warning message (T415160)|Read more]]. * The Wikimedia Apps team is inviting feedback on [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia Apps/Team/Future of Editing on the Mobile Apps|how editing should work on the Wikipedia mobile apps]]. The discussion focuses on improving how users access editing tools when they tap "Edit". This is part of a broader effort to convert readers who develop an interest in editing, to access a more user-friendly pathway to start contributing. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:45}} community-submitted {{PLURAL:45|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, an issue where citation fetching from the large newspaper archive [https://www.newspapers.com Newspapers.com] was no longer working, due to a block in [[mw:Special:MyLanguage/Citoid|Citoid]] requests, has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T419903] '''Updates for technical contributors''' * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.22|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/14|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W14"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 19:26, 30 Machi 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30329462 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-15</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W15"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/15|Translations]] are available. '''Updates for editors''' * The [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CampaignEvents|CampaignEvents extension]] now includes a new group goal-setting feature, enabling organizers to set and track event goals such as the number of articles created and participating contributors in real time. Similarly, participants can work toward shared targets and see their collective impact as the event unfolds. The feature is now available on all Wikimedia wikis. Learn more in [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CampaignEvents/Registration/Collaborative contributions#Goal setting|the documentation]]. * [[File:Maki-gift-15.svg|12px|link=|class=skin-invert|Wishlist item]] The new [[mw:Special:MyLanguage/Help:Watchlist labels|watchlist labels]] feature (announced in [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/07|Tech News 2026-07]]) is now available via VisualEditor, the source editor, and the 'watchstar' (or watch link, for skins that don't have a star icon). Previously it was only possible to assign labels via [[Special:EditWatchlist|EditWatchlist]]. In all three places it is a new field following the expiry field. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:23}} community-submitted {{PLURAL:23|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, the issue where talk pages on mobile with Parsoid are unusable after empty section headers, has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T419171] '''Updates for technical contributors''' * The [[m:Special:MyLanguage/WMDE Technical Wishes/Sub-referencing|sub-referencing feature]], which lets editors add details to an existing reference without duplicating it, will be gradually rolled out to [[phab:T414094|more wikis]] later this year. Wikis using the [[mw:Special:MyLanguage/Reference Tooltips|Reference Tooltips]] gadget are encouraged to update their version (typically at [[m:MediaWiki:Gadget-ReferenceTooltips.js|MediaWiki:Gadget-ReferenceTooltips.js]] as shown [https://en.wikipedia.org/w/index.php?diff=1344408362 here]) to ensure compatibility. Other reference-related gadgets may also be affected. [https://phabricator.wikimedia.org/T416304] * All Wikinews editions will be closed and switched to read-only mode on 4 May 2026. Content will remain accessible, but no new edits or articles can be added. This closure was approved by the Board of Trustees of the Wikimedia Foundation following extended discussions. [[m:Wikimedia Foundation Board noticeboard#Board of Trustees Approves Closure of Wikinews|Read more]]. * The [[:mw:Special:MyLanguage/API:Action API|Action API]] has had several formats for requested output. One of them, <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>format=php</nowiki></code></bdi>, is being removed soon. Please ensure your scripts or bots use the [[mw:Special:MyLanguage/API:Data formats#Output|JSON format]]. This removal should affect very few scripts and bots. [https://phabricator.wikimedia.org/T118538] * The [[Special:NamespaceInfo|Special:NamespaceInfo]] page now includes namespace aliases. For example "WP" for the "Project" ("Wikipedia") namespace on the German Wikipedia. [https://phabricator.wikimedia.org/T381455] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.23|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/15|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W15"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 16:19, 6 Aprili 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30362761 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-16</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W16"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/16|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * Experienced editors are invited to [https://b24e11a4f1.catalyst.wmcloud.org/wiki/Main_Page test] the [[mw:Special:MyLanguage/Article guidance|Article guidance]] feature, designed to help less-experienced editors create well-structured, policy-compliant Wikipedia articles. Testing instructions are [[mw:Special:MyLanguage/Article guidance/Test feature guide|available]]. Also, after reviewing [https://b24e11a4f1.catalyst.wmcloud.org/wiki/Category:Pages_using_article_guidance the outlines], please provide feedback on the [[mw:Talk:Article guidance|project talk page]]. Based on your input, the feature will be refined and transferred to the pilot Wikipedias to translate and adapt. Check out [[c:File:Article Guidance workflow demo - April 2026.webm|the video]] explaining the feature. '''Updates for editors''' * On most wikis, all autoconfirmed users can now use [[Special:ChangeContentModel|Special:ChangeContentModel]] page to [[mw:Special:MyLanguage/Help:ChangeContentModel|create new pages with custom content models]], such as mass message lists, making custom page formats more accessible. Check [[Special:ListGroupRights|Special:ListGroupRights]] for the status of your wiki. [https://phabricator.wikimedia.org/T248294] * The Growth team has launched an [[mw:Special:MyLanguage/Contributors/Account_Creation_Experiments|account creation experiment]] to evaluate whether adding an account creation button to the mobile web header increases new account registrations and encourages more mobile users to contribute to the wikis. The experiment is currently live on Hindi, Indonesian, Bengali, Thai, and Hebrew Wikipedia, and targets 10% of logged-out mobile web users. * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:30}} community-submitted {{PLURAL:30|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, an issue where VisualEditor could get stuck loading on Windows devices with animations turned off, has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T382856] '''Updates for technical contributors''' * Starting later this week, {{int:group-abusefilter}} who have the [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|{{int:codemirror-beta-feature-title}}]] beta feature enabled will have [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror|CodeMirror]] instead of [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeEditor|CodeEditor]] as the editor at [[Special:AbuseFilter|Special:AbuseFilter]]. This is part of the broader effort to make the user experience more consistent across all editors. [https://phabricator.wikimedia.org/T399673][https://phabricator.wikimedia.org/T419332] * Tools and bots that access the [[mw:Special:MyLanguage/Notifications/API|Notifications API]] (<bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>action=query&meta=notifications</nowiki></code></bdi>) will need to update their OAuth or BotPassword grants to also include access to private notifications. [https://phabricator.wikimedia.org/T421991] * Due to a library upgrade, listings on category pages may be displayed out of order starting on Monday, 20th April. A migration script will be run to correct this, and will take hours to days depending on the size of the wiki (up to a week for English Wikipedia). [https://phabricator.wikimedia.org/T422544] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] Detailed code updates later this week: [[mw:MediaWiki 1.46/wmf.24|MediaWiki]] '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/16|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W16"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 15:19, 13 Aprili 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30380527 --> == <span lang="en" dir="ltr">Tech News: 2026-17</span> == <div lang="en" dir="ltr"> <section begin="technews-2026-W17"/><div class="plainlinks"> Latest '''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|tech news]]''' from the Wikimedia technical community. Please tell other users about these changes. Not all changes will affect you. [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/17|Translations]] are available. '''Weekly highlight''' * After two years of development, [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|{{int:codemirror-beta-feature-title}}]], also known as [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror|CodeMirror 6]], is to be promoted out of beta on Tuesday, April 21. It brings better code and wikitext readability, reduction in typing errors, and other [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|benefits]] to all users of the standard syntax highlighter. A huge thank you to volunteer [https://phabricator.wikimedia.org/p/Bhsd/ Bhsd] who developed many of the new features, including [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror#Code folding|code folding]], [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror#Autocompletion|autocompletion]], and [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror#Linting|linting]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T259059] * A major update to the Wikipedia app for iOS is now rolling out, redesigning the interface to align with Apple's latest "Liquid Glass" visual design. [https://apps.apple.com/us/app/wikipedia/id324715238 Download the latest version] and explore the update. '''Updates for editors''' * [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Experience/WE3.3.4 Reading lists|Reading lists]] is a feature which allows readers to save articles to a list for reading later. This feature is now in beta on Arabic, French, Indonesian, Vietnamese, and Chinese Wikipedias and by default for all new accounts on all Wikipedias. * An experiment which explores extending [[mw:Special:MyLanguage/Readers/Reader Growth/Mobile page previews|Page Previews to mobile web]] will be launched in the week of April 20 on Arabic, English, French, Italian, Polish, and Vietnamese Wikipedias. Page Previews are pop-ups that display a thumbnail, lead paragraph, and a link to open the full article of a blue link, thereby improving content discovery. The feature is already available on desktop and in the apps. [[m:Special:MyLanguage/List of experiments in Product and Technology#Template|Read more about this experiment and others]]. * On several wikis, logged-in editors who haven't [[mw:Special:MyLanguage/Help:Email confirmation|confirmed their email addresses]] can now see a banner encouraging them to do so. Having the email address confirmed allows a user to restore access to the account if they lose it. [[mw:Special:MyLanguage/Product Safety and Integrity/Account Security#Encouraging users to confirm their email addresses|Learn more]]. [https://phabricator.wikimedia.org/T421366] * [[File:Reload icon with two arrows.svg|12px|link=|class=skin-invert|Recurrent item]] View all {{formatnum:15}} community-submitted {{PLURAL:15|task|tasks}} that were [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Recently resolved community tasks|resolved last week]]. For example, an issue where editing very large wiki pages in the 2017 wikitext editor caused slow loading, preview and scrolling lag, and performance issues when selecting, cutting, or pasting content, has now been fixed. [https://phabricator.wikimedia.org/T184857] '''Updates for technical contributors''' * As part of the promotion of [[mw:Special:MyLanguage/Help:Extension:CodeMirror|CodeMirror]] from a beta feature, all users will use [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeMirror|CodeMirror]] instead of [[mw:Special:MyLanguage/Extension:CodeEditor|CodeEditor]] for syntax highlighting when editing JavaScript, CSS, JSON, Vue and Lua content pages. [https://phabricator.wikimedia.org/T419332] * The <code>mirrors.wikimedia.org</code> service for Debian and Ubuntu users will sunset and stop working on May 15. The resources for the service will be replaced with new and better options. Some users may need to switch to a different server which should take about a minute. [https://lists.wikimedia.org/hyperkitty/list/wikitech-l@lists.wikimedia.org/thread/LJYRIS4WB66HIRCAO4GIDTXCMDVZRBMA/ You can read more]. [https://phabricator.wikimedia.org/T416707] * The <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>image</nowiki></code></bdi> and <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>oldimage</nowiki></code></bdi> table will be removed from [[wikitech:Help:Wiki Replicas|wikireplicas]]. If your tools or queries access <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>image</nowiki></code></bdi> or <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>oldimage</nowiki></code></bdi> directly, please update them to use the <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>file</nowiki></code></bdi> and <bdi lang="zxx" dir="ltr"><code><nowiki>filerevision</nowiki></code></bdi> table before 28 May. [https://phabricator.wikimedia.org/T28741] * Following the recent implementation of global API rate limits on unidentified traffic, the Wikimedia Foundation will continue efforts to ensure [[mw:Special:MyLanguage/MediaWiki Product Insights/Responsible Reuse|fair use of infrastructure]] by applying global limits to identified API traffic beginning the last week of April. These limits are intentionally set as high as possible to minimise impact on the community. Bots running in Toolforge/WMCS or with the bot user right on any wiki should not be affected for now. However, all developers are advised to follow updated best practices. For more information, see [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia APIs/Rate limits|Wikimedia APIs/Rate limits]] and [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia APIs/Rate limits/FAQ|Frequently Asked Questions]]. * The [[mw:Special:MyLanguage/Attribution API|Attribution API]] is now available as a [[mw:Special:MyLanguage/Wikimedia APIs/Stability policy|beta]]. The API fetches information for crediting Wikimedia articles and media files wherever they are used. Reference documentation is available through the REST Sandbox special page available on all Wikimedia wikis (such as the [https://en.wikipedia.org/w/index.php?api=attribution.v0-beta&title=Special%3ARestSandbox REST sandbox on English Wikipedia]). Share your feedback on the [[mw:Talk:Attribution API|project talk page]]. * There is no new MediaWiki version this week. '''''[[m:Special:MyLanguage/Tech/News|Tech news]]''' prepared by [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/Writers|Tech News writers]] and posted by [[m:Special:MyLanguage/User:MediaWiki message delivery|bot]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News#contribute|Contribute]]&nbsp;• [[m:Special:MyLanguage/Tech/News/2026/17|Translate]]&nbsp;• [[m:Tech|Get help]]&nbsp;• [[m:Talk:Tech/News|Give feedback]]&nbsp;• [[m:Global message delivery/Targets/Tech ambassadors|Subscribe or unsubscribe]].'' </div><section end="technews-2026-W17"/> </div> <bdi lang="en" dir="ltr">[[User:MediaWiki message delivery|MediaWiki message delivery]]</bdi> 15:01, 20 Aprili 2026 (UTC) <!-- Message sent by User:STei (WMF)@metawiki using the list at https://meta.wikimedia.org/w/index.php?title=Global_message_delivery/Targets/Tech_ambassadors&oldid=30432763 --> 9lbd5xrp8b6rb6t73ofs29n7kp5pkk3 Inosenti wa Alaska 0 96052 1507787 1301376 2026-04-20T18:22:55Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1507787 wikitext text/x-wiki [[image:St Innocent of Alaska.JPG|thumb|200px|[[Picha takatifu]] ya Mt. Inosenti.]] '''Inosenti wa Alaska''' (kwa [[Kirusi]]: '''Святитель Иннокентий Митрополит Московский'''; kwa [[Kiingereza]]: '''Saint Innocent Metropolitan of Moscow'''; Anginskoye, [[Irkutsk Oblast]], [[6 Septemba]] = 26 Agosti O.S. [[1797]] &ndash; [[Moscow]] [[12 Aprili]] = 31 Machi O.S. [[1879]]), alikuwa [[padri]] [[mmisionari]] wa [[Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi]] ambaye akawa [[askofu]] wa kwanza wa [[Kiorthodoksi]] katika [[bara]] la [[Amerika]] na hatimaye [[askofu mkuu]] wa [[Moscow]] na [[Russia]] yote. Alitangazwa na [[Patriarki Pimen I]] kuwa [[mtakatifu]] [[tarehe]] [[6 Oktoba]] [[1977]] (23 Septemba O.S.). == Maandishi yake == In the Aleut language &ndash; Eastern dialect of the Fox Islands: * [http://www.asna.ca/alaska/aleut/indication-of-the-pathway.pdf ''Indication of the Pathway into the Kingdom of Heaven''] {{Wayback|url=http://www.asna.ca/alaska/aleut/indication-of-the-pathway.pdf |date=20180404123227 }} Сvнодальная Типографія. Москва &ndash; Synodal Printing Press, Moscow, 1840, 1899, Retrieved 2012-01-31 * [http://www.asna.ca/alaska/aleut/beginnings-christian-teaching.pdf ''Beginnings of Christian Teaching and Short Christian Catechism'' (co-authored with Fr. Jacob Netsvetov)] {{Wayback|url=http://www.asna.ca/alaska/aleut/beginnings-christian-teaching.pdf |date=20171116101152 }} Сvнодальная Типографія. СПб. &ndash; Synodal Printing Press, Saint Petersburg, 1840, 1893, Retrieved 2012-01-31 <br> In the Aleut language &ndash; Western dialect of Atka Island * [http://www.asna.ca/alaska/aleut/two-sermons-atka.pdf ''Two Sermons from Saint Nicholas Church in Atka''] {{Wayback|url=http://www.asna.ca/alaska/aleut/two-sermons-atka.pdf |date=20170828201049 }} рукопись, о. Атха &ndash; manuscript from Atka, 1842, Retrieved 2012-01-31 <br> In the Aleut language &ndash; Eastern dialect of the Fox Islands, with footnotes in the Western dialect of Atka Island * [http://www.asna.ca/alaska/aleut/gospel-saint-matthew.pdf ''The Holy Gospel According to St. Matthew (translation)''] {{Wayback|url=http://www.asna.ca/alaska/aleut/gospel-saint-matthew.pdf |date=20180410143038 }} Сvнодальная Типографія. СПб. &ndash; Synodal Printing Press, Saint Petersburg, 1840, 1896, Retrieved 2012-01-31 <br> In Russian: * [http://azbyka.ru/dictionary/22/alyaskinskiy_ukazanie_puti_v_tsarstvo_nebesnoe-all.shtml Указание Пути в Царствие Небесное] * Записки об островах Уналашкинского отдела. СПб., 1840. Состоит из трёх частей: # Часть I, географическая # Часть II, этнографическая. [http://www.slovo.net.ru/books/?book=60029 Замечания об алеутах] М.: ЛИБРОКОМ, 2011. — 336 с. # Часть III, [http://www.bogoslov.ru/en/biblio/text/1412649/index.html Записки об атхинских алеутах и колошах (колюжах, тлинкитах)] {{Wayback|url=http://www.bogoslov.ru/en/biblio/text/1412649/index.html |date=20130421114256 }}. М.: УРСС, 2011. — 160 с. * [http://slovo.russportal.ru/index.php?id=alphabet.y.innocent03_101 Автобиографическая записка]. М., 1886 * [http://slovo.russportal.ru/index.php?id=alphabet.y.innocent03_002 Речь Архимандрита Иннокентия, по наречении его Епископом Камчатским, Курильским и Алеутским, сказанная 1840 года, Декабря 13 дня]. Христианское чтение. СПб., 1841 * Письма (1823—1878 гг.) собраны И. Барсуковым, 3 т. СПб, 1897, 1901. * Творения, три книги, собраны И.Барсуковым. М., 1886—1888. * [http://slovo.russportal.ru/index.php?id=alphabet.y.innocent03_003 Слово при вступлении в управление московской паствою Высокопреосвященного Иннокентия Митрополита Московского, говоренное в большом Успенском соборе, 26-го мая, 1868 года]. Православное обозрение. М., 1868, том 26. * Указание пути в Царствие небесное. М., 1871, см. также Изв. Казан. еп., 1882, № 7, стр. 151; 1886, № 7, стр. 180; 1893, стр. 18. * [http://slovo.russportal.ru/index.php?id=alphabet.y.innocent03_001 Наставление высокопреосвященного Иннокентия, бывшего архиепископа Камчатского, Курильского и Алеутского, Нушагакскому миссионеру иеромонаху Феофилу]. Церковные ведомости. СПб., 1900 * Русская Церковь и дружба между народами (Ж. М. П., 1959, № 11, стр. 50). ==Tazama pia== *[[Watakatifu wa Agano la Kale]] *[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] *[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] *[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * Paul Garrett, ''Saint Innocent, Apostle to America'', Saint Vladimir's Seminary Press; Crestwood New York, 1979 *[http://54.243.93.232/3487768/_Ruling_Siberia_the_imperial_power_the_Orthodox_Church_and_the_Native_people_ Oleg Kobtzeff, "Ruling Siberia: The Imperial Power, the Orthodox Church and the Native People",] {{Webarchive|url=https://archive.today/20130730162529/http://54.243.93.232/3487768/_Ruling_Siberia_the_imperial_power_the_Orthodox_Church_and_the_Native_people_ |date=2013-07-30 }} ''Siberica'', British Siberian Studies Seminar, Cambridge, vol. II, 1984, pp.&nbsp; 6–15. ==Viungo vya nje== {{commons category|Innocent of Alaska}} *[http://www.oca.org/hsbioinnocent.asp?SID=8 Biography] *[http://www.asna.ca/alaska Alaskan Orthodox Christian texts (Aleut, Tlingit)] {{Wayback|url=http://www.asna.ca/alaska |date=20150508014050 }} by St. Innocent (Veniaminov) *[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsViewer.asp?SID=4&ID=1&FSID=100954 Repose of St Innocent the Metropolitan of Moscow the Enlightener of the Aleuts and Apostle to the Americas] (Orthodox [[icon]] and [[synaxarion]] for the March 31 feast) *[http://ocafs.oca.org/FeastSaintsViewer.asp?SID=4&ID=1&FSID=102884 Glorification of St Innocent the Metropolitan of Moscow and Enlightener of the Aleuts, Apostle to the Americas] (October 6 feast) *[[World Digital Library]] presentation of [http://www.wdl.org/en/item/94/ ''Evangelie ot Matfeia''or ''Gospel of St. Matthew'', in Innocent's Aleut script, 1840.] {{Wayback|url=http://www.wdl.org/en/item/94/ |date=20211101092847 }} [[National Library of Russia]]. Primary source book with summary description, 288 images with enhanced view and zoom features, text to speech capability. Russian, Aleut. Links to related to content. Content available as TIF, PDF. This book is Veniaminov’s translation of the Gospel of Matthew from Russian into the Aleut-Fox language. {{mbegu-Mkristo}} [[Category:Waliozaliwa 1797]] [[Category:Waliofariki 1879]] [[Category:Maaskofu]] [[Category:Wamisionari]] [[Category:Watakatifu wa Urusi]] 7gkub89hs9ywjm1yrxjdajw027vp1x0 Mto Mrambo 0 100451 1508193 1507442 2026-04-21T11:49:10Z 1440 Yuki Shiromitas timer (Every 60 Yuki Shiromitas in (something), a minute passes) 88838 [[User:Tenshi Hinanawi|Tenshi Hinanawi]] 1508193 wikitext text/x-wiki '''Mto Mrambo''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]] ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org www.geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Mbeya]] h 1izmabucrjtvkrka1xovvqaodsc650j 1508194 1508193 2026-04-21T11:49:16Z 1440 Yuki Shiromitas timer (Every 60 Yuki Shiromitas in (something), a minute passes) 88838 [[User:Tenshi Hinanawi|Tenshi Hinanawi]] 1508194 wikitext text/x-wiki '''Mto Mrambo''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]] ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org www.geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Mbeya]] q5u4icxv74fdamb7kn5g59g12ne6jms Fumo Liyongo 0 117759 1508197 1505321 2026-04-21T11:50:04Z 1440 Yuki Shiromitas timer (Every 60 Yuki Shiromitas in (something), a minute passes) 88838 [[User:Tenshi Hinanawi|Tenshi Hinanawi]] 1508197 wikitext text/x-wiki '''Fumo Liyongo''' (wakati mwingine '''Fumo Liongo)''' alikuwa [[askari]] na [[mwandishi]] wa [[mashairi]] katika [[pwani]] ya [[kaskazini]] ya [[Afrika Mashariki]] kati ya [[karne ya 9]] na [[karne ya 13]]. Aliandika [[gungu]] mengi kama "Sifa la Uta" au "Wimbo wa Mapenzi". Katika [[mwaka]] wa [[1913]], mwandishi wa mashairi [[Muhamadi Kijumwa]] aliandika juun yake [[utenzi]] maarufu uitwao [[utendi wa Fumo Liyongo]], utenzi ambao ulikuwa ukielezea [[maisha]] ya Fumo Liyongo, aliyekuwa mshairi na pia mtawala katika eneo la [[Pate]] <ref>{{Cite journal|last=Guanghui|first=Cao|last2=Kai|first2=Hu|last3=Jun|first3=Zhou|date=2014-01-31|title=Efficient Image Scrambling based on any Chaotic Map|url=http://dx.doi.org/10.14257/ijsia.2014.8.1.32|journal=International Journal of Security and Its Applications|volume=8|issue=1|pages=343–354|doi=10.14257/ijsia.2014.8.1.32|issn=1738-9976}}</ref> h == Mistari yake == *''Mwanangwa'' *''Mwanangwa ni fili'' *''Hafi kwa ulili'' *''Hufa kwa jabali'' *''Kwalo kondo kali'' *''Nijiwapo nime'' *''Moyo usiname'' *''Niwe gombe dume'' *''Kiukisha mbuzi'' *''Nife dondo wazi'' *''Ndi Fumo wa Ozi'' *''Fumo Liyongo'' ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Marejeo== * J. L. Mbele (1986). ''The Liongo Fumo Epic and the Scholars''. In «Kiswahili», 53 (1-2), pp.&nbsp;128–145. * J. L. Mbele (1986). ''The Identity of the Hero in the Liongo Epic''. In «Research in African Literatures», 17, pp.&nbsp;464–473. * J. L. Mbele (1989). ''The Liongo Epic and Swahili Culture''. In «Weekend Magazine» (January 17, 1989), p.&nbsp;23. * [[Alice Werner]], ''The Swahili Saga of Liongo Fumo'' (1926) ==Viungo vya nje== *[http://efldept.aug.edu/humanitiesHBK/handbook_htm/liongo_fumo.htm Liongo Fumo] {{Wayback|url=http://efldept.aug.edu/humanitiesHBK/handbook_htm/liongo_fumo.htm |date=20080531063357 }} *[http://www.a-gallery.de/docs/mythology.htm African Mythology] {{Wayback|url=http://www.a-gallery.de/docs/mythology.htm |date=20081228024750 }} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waandishi wa Kenya]] [[Jamii:Fasihi ya Kiswahili]] [[Jamii:Waandishi wa Kiswahili]] g4n2w45uo870r4le6dene0fepqy00nd 1508198 1508197 2026-04-21T11:50:10Z 1440 Yuki Shiromitas timer (Every 60 Yuki Shiromitas in (something), a minute passes) 88838 [[User:Tenshi Hinanawi|Tenshi Hinanawi]] 1508198 wikitext text/x-wiki '''Fumo Liyongo''' (wakati mwingine '''Fumo Liongo)''' alikuwa [[askari]] na [[mwandishi]] wa [[mashairi]] katika [[pwani]] ya [[kaskazini]] ya [[Afrika Mashariki]] kati ya [[karne ya 9]] na [[karne ya 13]]. Aliandika [[gungu]] mengi kama "Sifa la Uta" au "Wimbo wa Mapenzi". Katika [[mwaka]] wa [[1913]], mwandishi wa mashairi [[Muhamadi Kijumwa]] aliandika juun yake [[utenzi]] maarufu uitwao [[utendi wa Fumo Liyongo]], utenzi ambao ulikuwa ukielezea [[maisha]] ya Fumo Liyongo, aliyekuwa mshairi na pia mtawala katika eneo la [[Pate]] <ref>{{Cite journal|last=Guanghui|first=Cao|last2=Kai|first2=Hu|last3=Jun|first3=Zhou|date=2014-01-31|title=Efficient Image Scrambling based on any Chaotic Map|url=http://dx.doi.org/10.14257/ijsia.2014.8.1.32|journal=International Journal of Security and Its Applications|volume=8|issue=1|pages=343–354|doi=10.14257/ijsia.2014.8.1.32|issn=1738-9976}}</ref> == Mistari yake == *''Mwanangwa'' *''Mwanangwa ni fili'' *''Hafi kwa ulili'' *''Hufa kwa jabali'' *''Kwalo kondo kali'' *''Nijiwapo nime'' *''Moyo usiname'' *''Niwe gombe dume'' *''Kiukisha mbuzi'' *''Nife dondo wazi'' *''Ndi Fumo wa Ozi'' *''Fumo Liyongo'' ==Tanbihi== {{marejeo}} ==Marejeo== * J. L. Mbele (1986). ''The Liongo Fumo Epic and the Scholars''. In «Kiswahili», 53 (1-2), pp.&nbsp;128–145. * J. L. Mbele (1986). ''The Identity of the Hero in the Liongo Epic''. In «Research in African Literatures», 17, pp.&nbsp;464–473. * J. L. Mbele (1989). ''The Liongo Epic and Swahili Culture''. In «Weekend Magazine» (January 17, 1989), p.&nbsp;23. * [[Alice Werner]], ''The Swahili Saga of Liongo Fumo'' (1926) ==Viungo vya nje== *[http://efldept.aug.edu/humanitiesHBK/handbook_htm/liongo_fumo.htm Liongo Fumo] {{Wayback|url=http://efldept.aug.edu/humanitiesHBK/handbook_htm/liongo_fumo.htm |date=20080531063357 }} *[http://www.a-gallery.de/docs/mythology.htm African Mythology] {{Wayback|url=http://www.a-gallery.de/docs/mythology.htm |date=20081228024750 }} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waandishi wa Kenya]] [[Jamii:Fasihi ya Kiswahili]] [[Jamii:Waandishi wa Kiswahili]] fv3uhum6x91zrafw1k9z5ozmxmq4uzj Aidan Gallagher 0 130403 1507724 1306965 2026-04-20T14:02:22Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507724 wikitext text/x-wiki {{Mwigizaji 2 | jina = Aidan Gallagher | picha = Aidan_Gallagher_-_2018_(cropped).jpg | maelezo ya picha = Aidan Gallagher | jina la kuzaliwa = | tarehe ya kuzaliwa = | mahala pa kuzaliwa = | tarehe ya kufa = | mahala alipofia = | jina lingine = | kazi yake = [[Mwigizaji]] wa [[Marekani]] | miaka ya kazi = | ndoa = | watoto = | mahusiano ya kimapenzi = | tovuti = }} {{Vyanzo}} '''Aidan Gallagher''' ni muigizaji wa [[Marekani]] ambaye anaigiza kwenye kampuni ya [[Nickelodeon]]. kabla ya kuwa muigizaji wa nickelodeon alishawahi kuigiza movie inayoitwa "you and me": movie hiyo haikuwa maarufu sana wala kuangaliwa na watu wengi hivyo akaamua kujiunga na nickelodeon akashirikishwa kwenye movie iitwayo Nicky, ricky, dicky & dawn ambamo yeye alichukua sehemu ya nicky harper. Movie nyingine ambazo ameshawahi kuigiza ni: *2013 Modern Family Alec Episode: "The Wow Factor"; uncredited *2013 Jacked Up Evan Pilot (unaired) *2014–2018 Nicky, Ricky, Dicky & Dawn Nicky Main role *2015 Nickelodeon's Ho Ho Holiday Special Himself Television film *2017 Nickelodeon's Sizzling Summer Camp Special Beach Guy Television film; cameo *2019–sasa The Umbrella Academy Number Five / The Boy Main role {{mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]] jf5z7kymq1iz2ick5vvv66vcaqj8hmz Aisha Kyomuhangi 0 130762 1507732 1428669 2026-04-20T14:15:32Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507732 wikitext text/x-wiki '''Aisha Kyomuhangi''' ni [[mwigizaji]], [[mwimbaji]] na muandaji wa [[filamu]] kutoka [[Uganda]]. Aisha aliandaa filamu ijulikanayo kama ''Kigenya Agenya''. Pia ni mwanachama wa Bakayimbira Dramactors, majo ya kikundi cha maigizo.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://www.newvision.co.ug/news/1143485/unveiling-lady-aisha | title = Nakala iliyohifadhiwa|accessdate=2020-10-17 |archivedate=2020-10-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20201018082155/https://www.newvision.co.ug/news/1143485/unveiling-lady-aisha }}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Kaaya|first=Sadab Kitatta| title = Kazakhstan: one country, two continents|url=https://www.observer.ug/lifestyle/38636-kazakhstan-one-country-two-continents|access-date=2020-09-28|website=The Observer - Uganda|language=en-gb|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-10-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201019233519/https://www.observer.ug/lifestyle/38636-kazakhstan-one-country-two-continents}}</ref> == Kazi == Aisha alikua akiyumbuiza kwa miaka 20. alishiriki kweny filamu ya ‘The Last King of Scotland’. Ni mwanamke maarufu katika mfululizo wa televisheni za ‘Byansi ,’The Honorables’ and ‘Mistakes Galz Do’ that airs on NTV na Pearl Magic. mwaka 2019,aliandaa filamu ya ''Kemi <ref>https://www.ghmoviefreak.com/movie-review-kemi-the-final-tragedy/</ref><ref>{{Rejea tovuti| date = 2020-03-03| title = Meet the Women Behind 'KEMI'- The Final Tragedy|url=https://glimug.com/kemi-the-final-tragedy-set-to-premier-on-womens-day-meet-the-women-behind-this-film/|access-date=2020-09-28|website=Glim|language=en-US|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-09-11|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200911205607/https://glimug.com/kemi-the-final-tragedy-set-to-premier-on-womens-day-meet-the-women-behind-this-film/}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last=Technologies|first=Buzen| title = KEMI MOVIE PREMIERING 8TH MARCH 2020.|url=https://www.cinemaug.com/newsDetails/96|access-date=2020-09-28|website=www.cinemaug.com|language=en|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-10-17|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201017142651/https://www.cinemaug.com/newsDetails/96}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waigizaji Filamu wa Uganda]] ar1il5ypfhtm2y0rk69cmf08nolepm8 Adeline Ama Buabeng 0 143918 1507722 1470004 2026-04-20T14:00:47Z AlvinDulle 61179 1507722 wikitext text/x-wiki {{Infobox_Person | jina =Adeline Ama Buabeng | nchi =Ghana | majina_mengine =Aunty Ama | picha = | ukubwawapicha = | maelezo_ya_picha = | jina_la_kuzaliwa = | tarehe_ya_kuzaliwa = | mahala_pa_kuzaliwa = | tarehe_ya_kufariki = | mahala_alipofia = | sababu_ya_kifariki = | anajulikana kwa = | kazi_yake = muigizaji wa filamu | cheo = | mshahara = | kipindi = | alitanguliwa_na = | akafuatiwa_na = | chama = | bodi = | dini = | ndoa = | rafiki = | watoto = | mahusiano = | tovuti = | maelezo = | mwajiri = | urefu = | uzito = }} '''Adeline Ama Buabeng''', anayejulikana pia kama [[Shangazi]] Ama, ni [[mwigizaji]] na msimuliaji wa [[hadithi]] kutoka [[Ghana]]. Kwa zaidi ya [[Mwongo|miongo]] mitatu "alifanya [[kazi]] katika ukumbi wa michezo maarufu wa Brigade Concert Party na Kusam Agoromba". Buabeng alianza kama mwanachama wa muda wa muda wa Workers' Brigade Concert Party, akicheza [[muziki]] ya kitamaduni kama vile Atsiaghekor, Adowa au Takai kabla ya kuwa mwigizaji wa muda wote.<ref name="GibbsGibbs2009">{{Rejea kitabu|author=James Gibbs| title = Nkyin-kyin: Essays on the Ghanaian Theatre|url=https://books.google.com/books?id=QWmFnQfK_a8C&pg=PA29|year=2009|publisher=Rodopi|isbn=978-90-420-2517-2|page=29}}</ref><ref name="OsofisanGibbs2002">{{Rejea kitabu|title=African Theatre: Women|last=Sutherland-Addy|first=Esi|publisher=James Currey Publishers|year=2002|isbn=978-0-85255-596-5|editor1=Femi Osofisan|pages=66–|chapter=Drama in Her Life: Interview with Adeline Ama Buabeng|authorlink=Esi Sutherland-Addy|editor2=James Gibbs|editor3=Jane PlastowMartin Banham|chapter-url=https://books.google.com/books?id=39ZBOA39DgEC&pg=PA66}}</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Ghana]] [[Jamii:Arusha MoAC]] [[Jamii:Watu wa Ghana]] qejol5nr4owztd3sgqtjsk9p9ma3ukv Adwoa Smart 0 143947 1507718 1491680 2026-04-20T13:57:15Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507718 wikitext text/x-wiki '''Belinda Naa Ode Oku''' (amezaliwa [[Oktoba 5]], [[1970]]) ni mzaliwa wa [[Ghana]] na mwigizaji maarufu wa kike anaejulikana zaidi kwenye Kazi zake kama ''"Adwoa Smart"''. Alizaliwa huko Abossey Okai, kitongoji cha [[Accra]] nchini Ghana. Adwoa ameigiza katika filamu kadhaa na michezo ya kuigiza na michezo ya matukio zaidi ya miongo kadhaa. Alikuwa mashuhuri na alitafuta kwa bidii baada na wakati wa heyday ya Akan drama tangu [[1980]] hadi mwaka [[2000]] na mbele. Pia ameshiriki katika video mbalimbali za muziki. Adwoa alikuja kwenye umaarufu kama mwigizaji mshiriki wa [[filamu]] za muendelezo kama ''"Obra"'' (Life) iliyorushwa hewani [[GTV (Ghana)|GTV]] wakati wa miaka ya 1980 na 1990.<ref>{{Cite web|title=Photos: Adwoa Smart celebrates 50th birthday - MyJoyOnline|url=https://www.myjoyonline.com/photos-adwoa-smart-celebrates-50th-birthday/|accessdate=2026-02-17|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|title=Dating is not part of my plans, says Adwoa Smart|url=https://asaaseradio.com/dating-is-not-part-of-my-plans-says-adjoa-smart-of-my-plan-says-adwoa-smart/|work=Asaase Radio|date=2025-01-17|accessdate=2026-02-17|language=en-US|author=Abigail Teye}}</ref> ==Maisha ya Awali na Elimu== Adwoa Smart alizaliwa kama Belinda Naa Ode Oku huko Abossey Okai, Accra, Ghana. Katika miaka yake ya mwanzo, alikabiliwa na changamoto katika elimu rasmi kutokana na unyanyapaa wa kijamii uliohusishwa na umbo lake dogo. ==Marejeo== {{Marejeo}} {{Reflist}} {{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1970]] [[Jamii:WikiMalkia]] ipemmko9c9g637rb7l67vny0apt28g8 Adrienne Warren 0 146613 1507719 1426843 2026-04-20T13:58:07Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507719 wikitext text/x-wiki {{Mwigizaji 2 | jina = Adrienne Warren | picha = Adrienne Warren (cropped) (cropped).jpg | maelezo ya picha = Adrienne Warren katika Tuzo za Tony za 2022|thumb|Adrienne Warren | jina la kuzaliwa = | tarehe ya kuzaliwa = [[Mei 6]], [[1987]] | mahala pa kuzaliwa = | tarehe ya kufa = | mahala alipofia = | jina lingine = | kazi yake = [[mwigizaji]], [[mwimbaji]] na [[dansa]] wa [[Marekani]] | miaka ya kazi = | ndoa = | watoto = | mahusiano ya kimapenzi = | tovuti = }} '''Adrienne Warren''' (alizaliwa [[Mei 6]], [[1987]]) ni [[mwigizaji]], [[mwimbaji]] na [[dansa]] wa [[Marekani]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nytimes.com/2019/10/30/theater/adrienne-warren-tina-turner-broadway-musical.html| title = From Annie to Tina Turner, and Trained to Go the Distance|work=nytimes.com|accessdate=2020-03-02}}</ref> Alifanya [[kazi]] yake ya kwanza katika [[tasnia ya muziki]] mwaka [[2012]] ''Bring It On'', na mwaka [[2016]] alipokea [[tuzo]] ya Tony kama mwigizaji bora wa kutegemewa kwenye uteuzi wa kimuziki kwa uigizaji wake katika ''Shuffle Along, au, Making of the Sensation of Musical of 1921 na Yote Yanayofuata'' . Alisifiwa pia kwa jukumu lake kama Tina Turner katika utengenezaji wa West End wa ''Tina'' mnamo 2018, ikiwa ni jukumu alilokua nalowakati wa uandaaji wa Broadway, ambayo alipokea Tuzo ya Tony ya Mwigizaji Bora katika Muziki mnamo [[2020]]. Warren alizaliwa huko [[Virginia]]. Yeye ni binti wa makocha wawili wa shule ya upili. Alianza kazi yake ya uigizaji kanisani. Alihudhuria shule ya upili katika Shule ya Gavana ya Sanaa. <ref name="auto">{{Rejea tovuti|url=https://www.vanityfair.com/style/2020/04/broadway-star-adrienne-warren-is-still-simply-the-best| title = Broadway Star Adrienne Warren Is Still Simply the Best|first=Britt|author=Hennemuth|work=Vanity Fair}}</ref> Warren alihitimu kutoka Chuo cha Marymount Manhattan mnamo 2009. Aliimba na vikundi vya The Dream Engine na Trans-Siberian Orchestra . Alikuwa mwimbaji wa shirika lisilo la faida la Magic-The State Of The Art. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]] oog93h0ohtx4mus6qzhx7bfgx3qbeea Suhayr al-Qalamawi 0 147769 1507690 1317532 2026-04-20T12:00:15Z Egipa 87700 1507690 wikitext text/x-wiki [[Faili:سهير القلماوي.jpg|alt=Suhayr al-Qalamawi|thumb|Suhayr al-Qalamawi]] '''Suhayr al-Qalamawi''' (kwa [[Kiarabu]]: سهير القلماوي) ([[20 Julai]] [[1911]] - [[4 Mei]] [[1997]]) alikuwa mtu mashuhuri na mwanafasihi nchini [[Misri]], alitengeneza [[maandishi]] na [[utamaduni]] wa kiarabu kupitia uandishi wake. Alikuwa miongoni mwa [[Mwanamke|wanawake]] wa kwanza kuhudhuria Chuo Kikuu cha [[Kairo]]. Mnamo mwaka [[1941]] alikuwa mwanamke wa kwanza nchini Misri kupata [[Shahada ya Uzamivu|Shahada ya uzamivu]] ya Sanaa na PhD kwa kazi yake ya fasihi ya kiarabu. Baada ya kuhitimu aliajiriwa katika Chuo Kikuu Kama muhadhiri wa kwanza mwanamke.<ref>{{Cite web|title=Isobaric VaporLiquid Equilibrium Data for Six Binary Systems: Prop-2-en-1-ol (1)Hexan-2-ol (2), Prop-2-en-1-ol (1)Hexan-2-one (2), Hexan-2-one (1)Hexan-2-ol (2) Prop-2-en-1-ol (1)4-Methyl-pentan-2-ol (2), Prop-2-en-1-ol (1)4-Methyl-pentan-2-one (2), and 4Methyl-pentan-2-one (1)4Methyl-pentan-2-ol (2) at 101.32 kPa|url=http://dx.doi.org/10.1021/acs.jced.0c00861.s001|work=dx.doi.org|accessdate=2022-03-17}}</ref> Al-Qalamawi pia alikuwa mmoja wa wanawake wa kwanza kushika nafasi za juu kama vile mwenyekiti wa Idara ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Cairo, rais wa [[Egyptian Feminist Union]], na rais wa League of Arab Women University Graduates. Kazi zake ni pamoja na mikusanyo miwili ya hadithi fupi, tafiti kumi za uhakiki wa kifasihi, na tafsiri nyingi kutoka fasihi ya dunia.Kazi yake ya ''Aḥādīth jaddatī'' (''Hadithi za Bibi Yangu'') ilichapishwa mwaka 1935. == Wasifu == === Maisha ya awali === Sahier al-Qalamawi alizaliwa tarehe 20 Julai 1911 mjini [[Cairo]], Misri na aliishi huko maisha yake yote. Alitoka katika familia iliyothamini elimu ya watoto wa kike, jambo lililompa nafasi ya kutumia maktaba kubwa ya baba yake tangu akiwa mdogo. Alivutiwa na waandishi kama [[Taha Hussein]], [[Rifa'a al-Tahtawi]], na [[Ibn Iyas]], jambo lililochangia kuibua kipaji chake cha uandishi. Akiwa mtoto wakati wa [[Mapinduzi ya Misri ya 1919]], alikua akishuhudia harakati za wanawake kama [[Huda Sha'arawi]] na Safia Zaghoul, ambazo zilihamasisha fikra zake za ufeministi. === Elimu === Mwaka 1928 alihitimu katika American College for Girls na awali alitaka kusomea udaktari katika Chuo Kikuu cha Cairo kama baba yake. Hata hivyo, alielekezwa kusomea Fasihi ya Kiarabu. Alikuwa mwanamke wa kwanza kusoma katika kitivo hicho akiwa miongoni mwa wanaume 14. Baadaye alipewa ushauri na Profesa Taha Hussein na akawa mhariri msaidizi wa jarida la chuo mwaka 1932, jambo lililomfanya kuwa mwanamke wa kwanza kupata leseni ya uandishi wa habari nchini Misri. Mwaka 1941 akawa mwanamke wa kwanza kupata Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Cairo baada ya utafiti wake uliokamilishwa Paris. === Kazi === [[File:Suhayr al-Qalamawi at the Baghdad University, College of Arts, early 1960s.jpg|thumb|Suhayr al-Qalamawi akiwa Chuo Kikuu cha Baghdad, miaka ya 1960]] Al-Qalamawi alianza kazi yake kama mhadhiri wa kwanza mwanamke katika Chuo Kikuu cha Cairo mwaka 1936, kisha akawa profesa na baadaye mwenyekiti wa Idara ya Kiarabu (1958–1967). Aliongoza mashirika mbalimbali ya kitamaduni na wanawake, ikiwemo Egyptian Feminist Union, na pia alihudumu kama mbunge wa Misri katika vipindi tofauti vya 1958–1964 na 1979–1984. Mwaka 1967 alianzisha [[Maonesho ya Vitabu ya Kimataifa ya Cairo]] (Cairo International Book Fair), ya kwanza katika Mashariki ya Kati. Alifanya kazi pia katika taasisi za serikali zinazohusiana na sinema, muziki, na utamaduni wa watoto. == Uandishi na dhamira == Kazi yake ya kwanza na maarufu zaidi ni mkusanyo wa hadithi fupi ''Ahadith Jaddati'' (1935), ambao ulikuwa mkusanyo wa kwanza wa hadithi fupi kuchapishwa na mwanamke nchini Misri. Katika kazi hiyo, alichambua nafasi ya wanawake kama wahifadhi wa historia ya jamii kupitia simulizi za mdomo. Kazi zake zilijikita katika kuibua mwanamke mpya—mwenye elimu, akili, na uhuru wa maamuzi, anayepigania usawa wa kijinsia na kubadilisha mitazamo ya jamii. Pia alifanya tafsiri za kazi za waandishi kama [[Pearl Buck]] na [[William Shakespeare]], akionyesha changamoto za wanawake katika jamii mbalimbali. == Heshima na tuzo == Al-Qalamawi alipewa tuzo nyingi, zikiwemo: * Tuzo ya Chuo cha Lugha ya Kiarabu (1945) * Tuzo ya Taifa ya Fasihi (1955) * Medali ya Jamhuri daraja la kwanza (1978) * Shahada ya heshima kutoka American University in Cairo (1987) Mwaka 2014, [[Google]] ilimtengenezea Doodle maalum kuadhimisha miaka 103 tangu kuzaliwa kwake. == Kifo == Alifariki dunia tarehe 4 Mei 1997 mjini Cairo. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1911|1997}} [[Jamii:Waliozaliwa 1911]] [[Jamii:Waliofariki 1997]] [[Jamii:Wanawake wa Misri]] [[Jamii:Waandishi wa Misri]] 6w324gg78sa68fvqps5l63cbew3buij Hope Butera 0 180075 1507782 1327675 2026-04-20T17:13:27Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1507782 wikitext text/x-wiki '''Hope Butera''' (alizaliwa Februari 10, 2001) ni [[mwanamke]] mchezaji wa [[mpira wa kikapu]] wa [[Rwanda]] anayecheza kwa timu ya Idaho Vandals na Timu ya Taifa ya Wanawake ya Rwanda.<ref name="FIBA.basketball 2001 r940">{{cite web|title=Player Profile|website=FIBA.basketball|date=2001-02-10|url=https://www.fiba.basketball/en/player/236316/Hope-Butera|access-date=2024-04-04}}</ref><ref name="Eurobasket LLC w612">{{cite web|title=Hope Butera, Basketball Player, News, Stats|website=Eurobasket LLC|url=https://basketball.afrobasket.com/player/Hope-Butera/479425?Women=1|access-date=2024-04-04}}</ref> == Maisha ya zamani == Akiwa amelelewa katika kituo cha watoto yatima, Butera alipata fursa ya kuanza kushiriki katika michezo akiwa mdogo.<ref name="Africanews 2023 f068">{{cite web|last=Africanews|first=Rédaction|title=Rwanda's Hope Butera, rising from the Orphanage to Basketball stardom|website=Africanews|date=2023-08-16|url=https://www.africanews.com/2023/08/16/rwandas-hope-butera-rising-from-the-orphanage-to-basketball-stardom/|access-date=2024-04-04|archive-date=2024-04-04|archive-url=https://web.archive.org/web/20240404194335/https://www.africanews.com/2023/08/16/rwandas-hope-butera-rising-from-the-orphanage-to-basketball-stardom/|url-status=dead}}</ref> == Kazi ya chuo == Butera alicheza katika timu ya The Hoops kuanzia mwaka 2018 hadi 2019, kisha akajiunga na Chuo cha South Georgia Technical College kati ya mwaka 2019 na 2021, na baadaye akahamia kucheza kwa timu ya Florida International Panthers kwa misimu miwili (2021-2023), kabla ya kujiunga na Idaho Vandals baada ya kuondoka katika timu ya Florida International Panthers mwaka 2023.<ref name="ESPN 2024 d2052">{{cite web|title=Hope Butera Biography|website=ESPN|date=2024-04-04|url=https://www.espn.com/womens-college-basketball/player/bio/_/id/4899079/hope-butera|access-date=2024-04-04}}</ref><ref name="US Basketball News, Scores, Stats, Analysis, Standings o3672">{{cite web|title=US Basketball News, Scores, Stats, Analysis, Standings|website=US Basketball News, Scores, Stats, Analysis, Standings|url=https://www.usbasket.com/NCAA1/news/812570/Hope-Butera-commits-to-Idaho?Women=1|access-date=2024-04-04}}</ref> Akiwa kama mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika FIU, Butera alikuwa na wastani wa kupata 3.8 ufinyu wa mpira, na 6.1 ufinyu wa mpira kwa kila mechi katika msimu wake wa pili. Katika misimu yake miwili katika FIU, alionekana katika mechi 62, alifunga jumla ya alama 182 na alikuwa na wastani wa jumla ya ufinyu wa mpira wa 278.<ref name="Athletics 2023 o7032">{{cite web|last=Athletics|first=University of Idaho|title=Vandals WBB Sign Another Transfer to 23-24 Squad|website=University of Idaho Athletics|date=2023-06-05|url=https://govandals.com/news/2023/6/5/womens-basketball-vandals-wbb-sign-another-transfer-to-23-24-squad.aspx|access-date=2024-04-06}}</ref> Kabla ya FIU, Butera alitumia misimu miwili katika Chuo cha South Georgia Technical College (SGTC) katika kiwango cha JUCO. Katika SGTC, alionekana katika mechi 57 akicheza mechi sita kama mchezaji wa kwanza. Akiwa kama mchezaji wa nguvu wa kati, alifanikiwa kufunga jumla ya ufinyu wa mpira wa 277, kusaidia mara 21, kuzuia mara 25, na kufunga alama 259 wakati wa kipindi chake katika SGTC. == Maisha ya timu ya Taifa == Udhamini wake kwa mchezo wa mpira wa kikapu ulimpelekea kuiwakilisha Rwanda katika timu ya wanawake ya chini ya miaka 18, katika Mashindano ya Afrika ya Wanawake chini ya miaka 18 ya FIBA mwaka 2016, ambapo alikuwa na wastani wa kufunga alama 6, kushika ufinyu wa mpira wa 6.6, na alicheza jukumu muhimu katika nafasi ya nne ya timu yake.<ref>{{Cite web|last=Sikubwabo|first=Damas|date=2023-06-06|title=Basketball: Hope Butera joins Idaho Vandals|url=https://www.newtimes.co.rw/article/8064/sports/basketball/basketball-hope-butera-joins-idaho-vandals|access-date=2024-04-05|website=The New Times|language=en}}</ref> == Marejeo == <references />{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanawake wa Rwanda]] [[Jamii:Wachezaji wa Rwanda]] [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] gxnr9hwfqm58999oyq3ad53qvmyix9z Aidan Quinn 0 189897 1507723 1427004 2026-04-20T14:01:54Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507723 wikitext text/x-wiki [[Faili:Elizabeth_Bracco_and_Aidan_Quinn_2009.jpg|right|thumb|182x182px|Elizabeth Bracco na Quinn, 2009]] '''Aidan Quinn''' (alizaliwa [[8 Machi]],[[1959]]) ni [[muigizaji]] kutoka [[Marekani]]. Aliingia kwenye [[filamu]] kwa mara ya kwanza katika filamu ya Reckless ([[1984]]), na ameigiza katika filamu zaidi ya 80, ikiwa ni pamoja na Desperately Seeking Susan (1985), The Mission (1986), Stakeout ([[1987]]), All My Sons (1987), Avalon (1990), Benny & Joon (1993), Legends of the Fall (1994), Mary Shelley's Frankenstein (1994), Michael Collins (1996), Practical Magic (1998), Song for a Raggy Boy (2003), Wild Child (2008), na Unknown (2011). Pia aliigiza kama Kapteni Thomas "Tommy" Gregson katika mfululizo wa televisheni wa CBS, Elementary (2012–19)..<ref>{{Rejea tovuti| title = Aidan Quinn|url=http://www.biography.com/people/aidan-quinn-16472533|website=Biography.com|access-date=2018-02-25|archive-url=https://web.archive.org/web/20180315225150/https://www.biography.com/people/aidan-quinn-16472533|archive-date=2018-03-15|url-status=dead}}</ref><ref name="ii">{{Rejea tovuti|last=Hasted|first=Nick| title = Aidan Quinn: The quiet man|url=https://www.independent.co.uk/arts-entertainment/films/features/aidan-quinn-the-quiet-man-55228.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20150924152425/http://www.independent.co.uk/arts-entertainment/films/features/aidan-quinn-the-quiet-man-55228.html|archive-date=2015-09-24|url-access=limited|url-status=live|website=[[The Independent]]| date = 9 Apr 2004}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]] 6vf2ykkngrj3gkr68qa4j1eyxihom86 Serkalem Fasil 0 214682 1508043 1499036 2026-04-21T08:45:17Z Abubakari Sixberth 53268 1508043 wikitext text/x-wiki '''Serkalem Fasil''' (kwa [[Kiamhari]] : ሰርካለም ፋሲል; alizaliwa karibu 1978) <ref name=":0">{{Rejea tovuti|url=http://iwmf.org/archive/articletype/articleview/articleid/533/serkalem-fasil-ethiopia.aspx|title=Serkalem Fasil, Ethiopia|date=|publisher=International Women's Media Foundation|accessdate=29 July 2012|archivedate=29 September 2013|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130929193156/http://iwmf.org/archive/articletype/articleview/articleid/533/serkalem-fasil-ethiopia.aspx}}</ref> ni [[Mwanahabari|mwandishi wa habari]] wa Ethiopia na mchapishaji mwenza wa zamani wa magazeti ''[[Asqual]]'', ''[[Menilik]]'', na ''[[Satenaw]]'' . == Kazi == Mnamo 1997, Fasil alianza kazi yake ya uandishi wa habari katika gazeti la ''Wenchef''. Alipofikisha umri wa miaka shirini, alianzisha gazeti lake mwenyewe, ''Menilik'', lililochapishwa na nyumba yake ya uchapishaji. Alichapisha gazeti lingine la pili, ''Asqual'', mnamo 2001, na gazeti la tatu, ''Satenaw'', mnamo 2004. Alihudumu kama naibu mhariri wa ''Menilik'' na mwenyekiti wa bodi ya ''Satenaw'' . <ref name=":0" /> === Alikamatwa === Mnamo Novemba 2005, Fasil alikamatwa pamoja na waandishi wengine kumi na watatu, akiwemo mumewe, Eskinder Nega,<ref name="bbc2012-05-02">{{Cite news | title=Jailed Ethiopian journalist Eskinder Nega honoured | url=https://www.bbc.co.uk/news/world-africa-17921950 | newspaper=[[BBC News]] | date=2 May 2012 | accessdate=30 July 2012}}</ref><ref name="bw2012-05-02">{{Cite news | first=Peter James | last=Spielmann | title=PEN honors jailed Ethiopian journalist | url=http://www.businessweek.com/ap/2012-05/D9UGJ5RO0.htm | archive-url=https://web.archive.org/web/20130831114734/http://www.businessweek.com/ap/2012-05/D9UGJ5RO0.htm | url-status=dead | archive-date=August 31, 2013 | newspaper=[[Bloomberg Businessweek]] | date=2 May 2012 | accessdate=30 July 2012}}</ref> baada ya kuchapisha makala zilizokosoa vitendo vya serikali ya Ethiopia wakati wa uchaguzi wa bunge wa Mei 2005. Fasil na washtakiwa wenzake walishtakiwa kwa "uhaini, ghasia dhidi ya Katiba na uchochezi wa njama za kutumia silaha". <ref name="AI"/> === Mfungwa wa dhamiri === Amnesty International ilimtambua kama mfungwa wa dhamiri, ambaye hakujitetea au kutumia vurugu.<ref name=AI /> Alikuwa akizuiliwa katika Gereza la Kaliti huko [[Addis Ababa]] katika seli chafu iliyojaa wadudu na wanyama kama panya, mende, na viroboto.<ref>{{cite web| url = http://blogs.amnesty.org/blogs/write4rights/2006/11/28/1164723866871.html| title = Ethiopia: Serkalem Fasil (f)| accessdate = 16 January 2007| date = 28 November 2006| publisher = [[Amnesty International]] |archiveurl = https://web.archive.org/web/20070109194529/http://blogs.amnesty.org/blogs/write4rights/2006/11/28/1164723866871.html <!-- Bot retrieved archive --> |archivedate = 2007-01-09}}</ref> Akiwa gerezani, Fasil na Nega walizaa mtoto wao wa kiume.<ref name="bw2012-05-02" /><ref name="bbc2012-05-02" /> Aliachiliwa kwa msamaha wa rais mnamo tarehe 10 Aprili 2007, pamoja na mumewe na washtakiwa wengine 27.<ref name="bw2012-05-02"/> === Tuzo === Fasil alishinda Tuzo ya "Ujasiri katika Uandishi wa Habari" kutoka IWMF (Wakfu wa Kimataifa wa Vyombo vya Habari vya Wanawake) mnamo 2007..<ref name=IWMF>{{cite web |url=http://iwmf.org/archive/articletype/articleview/articleid/533/serkalem-fasil-ethiopia.aspx |title=Serkalem Fasil, Ethiopia |date= |publisher=International Women's Media Foundation |accessdate=29 July 2012 |archive-date=29 September 2013 |archive-url=https://web.archive.org/web/20130929193156/http://iwmf.org/archive/articletype/articleview/articleid/533/serkalem-fasil-ethiopia.aspx |url-status=dead }}</ref> Alitoa pesa za zawadi kwa Amnesty International kama shukrani kwa kusaidia kupata kuachiliwa kwake kutoka gerezani.<ref name=AI>{{cite web |url=https://www.amnesty.org/en/news-and-updates/good-news/freed-journalist-donates-prize-to-amnesty-international-20071026 |title=Freed journalist donates prize to Amnesty International |date=26 October 2007 |publisher=[[Amnesty International]] |accessdate=22 January 2012}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1978|}} [[Jamii:Wanawake wa Ethiopia]] [[Jamii:Waandishi wa Ethiopia]] q76r2j8sx3bxama4jhjp6d95d244fjl Africa Tsoai 0 214890 1507716 1498875 2026-04-20T13:55:58Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507716 wikitext text/x-wiki {{Mwigizaji 2|tarehe ya kuzaliwa=4 July 1967|jina=Africa Tsoai|kazi yake=Mwigizaji, mtengeneza filamu, mfanyabiashara|watoto=4|mahala pa kuzaliwa=Afrika kusini}} '''Africa Tsoai''' (alizaliwa [[4 Julai]] [[1967]])<ref>{{Cite web|title=Africa Tsoai biography: age, children, wife, family, Skeem Saam, and interview - Briefly.co.za|url=https://briefly.co.za/37826-africa-tsoai-biography-age-children-wife-family-skeem-saam-interview.html|work=briefly.co.za|date=2019-09-30|accessdate=2025-09-27|language=en|author=Peris Walubengo}}</ref> ni [[mwigizaji]] na [[mfanyabiashara]] kutoka [[Afrika Kusini]] anayejulikana zaidi kwa kuigiza kama Tsokotla katika [[tamthilia]] ya runinga Mokgonyana Mmatswale na kama John Maputla katika tamthilia ya Skeem == kazi == Afrika Tsoai ameigiza katika tamthilia nyingi za zamani, na maarufu zaidi kwa kuigiza katika tamthilia ya miaka ya 80 Mokgonyana Mmatswale kama Tsokotla, kijana aliyekuwa dereva wa teksi na aliyependa mwanamke mzee kuliko yeye. Hata hivyo, umaarufu wake mkubwa unatokana na nafasi yake kama John Maputla, mume wa Meikie Maputla na baba wa Leeto na Thabo Maputla katika tamthilia ya Skeem Saam inayorushwa na SABC 1. == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:waigizaji filamu wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii:Waliozaliwa 1967]] k4ka7zmra8qevvz0rvf9mrzzw4w4t8p Akin Lewis 0 221397 1507731 1484306 2026-04-20T14:14:53Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507731 wikitext text/x-wiki '''Akin Lewis''' (alizaliwa [[1957]]) ni [[mwigizaji]] wa filamu kutoka [[Nigeria]], [[mwongozaji wa filamu]], na mtayarishaji wa [[filamu]]. <ref>{{cite web|url=http://www.vanguardngr.com/2013/12/joke-silva-akin-lewis-mad-king-ijudiya/|title=Joke Silva, Akin Lewis for Mad King of Ijudiya|work=Vanguard News|access-date=14 April 2015}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1957]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wasanii wa Nigeria]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Nigeria]] [[Jamii:Waongozaji Filamu wa Nigeria]] 4zbg04t54magwg3eqpadhbacd73czg5 Ikram Adjabi 0 222760 1507785 1501410 2026-04-20T18:04:19Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1507785 wikitext text/x-wiki '''Aja Binta Jammeh-Sidibe''' (alizaliwa [[Aljeri|Algiers]], [[miaka ya 1950]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka [[Gambia]]. Anajulikana sana kama mpiganiaji wa kukomesha [[ukeketaji]] na kama mtetezi wa afya ya kiuchumi na kimwili ya wanawake kupitia shirika lake lisilo la kiserikali, Association for Promoting Girls and Women’s Advancement (APGWA).<ref name=":0">{{cite web|url=https://www.footafrique.com/alg-le-cri-du-coeur-de-lalgerienne-ikram-adjabi/|title=ALG : Le cri du cœur de l'algérienne Ikram Adjabi|language=fr|date=6 May 2019|website=footafrique.com|access-date=2 October 2024|archive-url=https://web.archive.org/web/20211108220751/https://www.footafrique.com/alg-le-cri-du-coeur-de-lalgerienne-ikram-adjabi/#federation=archive.wikiwix.com&tab=url|archive-date=8 November 2021|url-status=dead}}</ref> == Kazi ya klabu == Adjabi alianza kucheza [[mpira wa miguu]] akiwa na Tremblay FC.<ref name=":0" /> Mnamo 2018, akiwa na timu ya akiba ya Paris FC, alipokea mwaliko wa kujaribiwa na Le Havre AC, jambo lililosababisha kusaini kwake na klabu hiyo.<ref>{{cite web |url=https://www.paris-normandie.fr/art/sport/football-d2f--adjabi-en-plein-apprentissage-au-hac-GD14427274|title=Football - D2F : Adjabi en plein apprentissage au HAC|language=fr|date=11 January 2019|website=paris-normandie.fr|access-date=2 October 2024}}</ref> Baada ya misimu miwili, alihamia Orléans.<ref>{{cite web |url=https://www.facebook.com/USOrleansLoiretFootballFeminines/posts/3003917566390720?ref=embed_post|title=Transfer Announcement: Ikram Adjabi Joins US Orléans for the 2020-2021 Season|language=fr|date=4 July 2020|via=facebook|access-date=2 October 2024}}</ref> Baada ya misimu miwili huko, alijiunga na GPSO 92 Issy katika Divisheni ya 2 Féminine.<ref>{{cite web|url=https://gpso92issy.fr/ikram-adjabi-rejoint-le-gpso-92-issy|title=Ikram Adjabi rejoint le GPSO 92 Issy|language=fr|date=1 August 2022|website=gpso92issy.fr|access-date=2 October 2024|archive-date=2022-11-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20221127111928/https://gpso92issy.fr/ikram-adjabi-rejoint-le-gpso-92-issy|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.coeursdefoot.fr/event/mercato-estival-2022-le-point-sur-les-mouvements-en-d2/|title=Mercato estival 2022 : Le point sur les mouvements en D2|language=fr|date=15 September 2022|website=coeursdefoot.fr|access-date=2 October 2024}}</ref> Mnamo Septemba 2024, baada ya kipindi cha kutokuwa na klabu kutokana na ujauzito, Adjabi alirudi Le Havre AC katika Premier Ligue.<ref>{{cite web|url=http://www.hac-foot.com/actualite/ikram-adjabi-le-retour.html|title=Ikram Adjabi : le retour !|language=fr|date=18 September 2024|website=hac-foot.com|access-date=2 October 2024|archive-date=2024-11-19|archive-url=https://web.archive.org/web/20241119153440/http://www.hac-foot.com/actualite/ikram-adjabi-le-retour.html|url-status=dead}}</ref> == Kazi ya kimataifa == Adjabi alipokea wito wake wa kwanza kujiunga na timu ya taifa ya wanawake ya Algeria mnamo Machi 2020, kushiriki katika kambi ya maandalizi kabla ya raundi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Wanawake la Afrika 2020.<ref>{{cite web |url=https://lagazettedufennec.com/eliminatoires-can-2020-feminine-22-joueuses-retenues-pour-un-stage-en-mars/|title=Equipe NationaleÉliminatoires CAN 2020 Féminine : 22 joueuses retenues pour un stage en mars|language=fr|date=3 March 2020|website=lagazettedufennec.com|access-date=2 October 2024}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.dzfoot.com/equipes-nationales/en-fem-22-joueuses-convoquees-pour-un-stage-178025.html|title=EN Fem. : 22 joueuses convoquées pour un stage|language=fr|date=3 March 2020|website=dzfoot.com|access-date=2 October 2024}}</ref> Mnamo 2021, ingawa aliitwa timu, hakupata nafasi ya kucheza mechi yake ya kwanza dhidi ya Sudan, na mechi ya pili ikafutwa. Hatimaye, Adjabi alicheza mechi yake ya kimataifa ya kwanza mnamo Novemba 2021 katika michezo ya kirafiki dhidi ya Tunisia.<ref>{{cite web |url=https://www.dzfoot.com/equipes-nationales/en-fem-la-liste-des-vertes-212508.html|title=EN Fem. : La liste des Vertes|language=fr|date=19 October 2021|website=dzfoot.com|access-date=2 October 2024}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.faf.dz/equipe-nationale-feminine-a-la-liste-des-joueuses-pour-la-double-confrontation-face-a-la-tunisie/|title=Équipe nationale féminine A : la liste des joueuses pour la double confrontation face à la Tunisie|language=fr|date=20 November 2021|website=faf.dz|access-date=2 October 2024}}</ref> Alianza kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, kisha akafunga bao lake la kwanza la kimataifa katika ushindi wa 4-2 katika mchezo wa pili.<ref>{{cite web |url=https://www.faf.dz/wp-content/uploads/2021/11/FICHE-TECHNIQUE-4.pdf|title=Tunisia 0–1 Algeria / Match report|language=fr|date=25 November 2021|website=faf.dz|access-date=2 October 2024}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.faf.dz/equipe-nationale-feminine-a-une-autre-belle-victoire-des-vertes-face-a-la-tunisie-4-a-2/|title=Equipe Nationale Feminine a: Une Autre Belle Victoire Des Vertes Face a La Tunisie (4 a 2)|language=fr|date=28 November 2021|website=faf.dz|publisher=Algerian Football Federation|access-date=2 October 2024|quote=before Ikram ADJABI sealed the result of the match in the 78th minute in favor of the national team.}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Wanaharakati wa Gambia]] [[Jamii:Wanawake wa Gambia]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Gambia]] [[Jamii:wachezaji mpira wa Algeria]] c3xfbmliimxewmzf12uy1nwe0pm6474 Zara Kay 0 226074 1507949 1498633 2026-04-21T06:34:29Z Abubakari Sixberth 53268 /* Wasifu */ 1507949 wikitext text/x-wiki '''Zara Kay''' (alizaliwa 1992) ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwenye makao yake makuu [[London]] . Yeye ndiye mwanzilishi wa Faithless Hijabi, shirika lisilo la faida la kimataifa linalolenga kuunga mkono haki za wanawake Walio kulia kwenye dini ya Kiislamu, hasa wale wanaotaka Kuhama kutoka Uislamu. == Wasifu == Kay alizaliwa [[Dar es Salaam]], Tanzania mnamo 1992, na kukulia kwenye Uislamu wa Khoja [[Washia Ithna ashari|Twelver]] [[Washia|Shia]] . <ref>{{Rejea tovuti|author=Galloway|first=Anthony|date=2021-04-29|title=When Zara feared for her safety in Tanzania she thought the Australian high commission would help her|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/when-zara-feared-for-her-safety-in-tanzania-she-thought-the-australian-high-commission-would-help-her-20210426-p57mjj.html|accessdate=2021-04-29|work=The Sydney Morning Herald|language=en}}</ref> . Nyumbani kwao walizungumza lugha za [[Kiingereza]], [[Kigujarati]], [[Kiswahili]], na [[Kikachchi|Kutchi]] zilizungumzwa nyumbani, lakini si [[Kiarabu]] . {{efn|"At home she spoke Gujarati, Swahili, Kutchi and English, but significantly no one in the family knew any Arabic, and so had to read the Koran in translation."<ref name="warraq" />{{rp|659}}}}{{efn|"Not knowing Arabic she understood very little of the Koran."<ref name="warraq" />{{Rp|660}}}}.Mama yake alikuwa mtu wa Kenya na baba yake alikuwa Mtanzania. <ref name="SJME" />{{rp|at=48:50–49:35}}  Wazazi wake walikuwa Waislamu wahafidhina na alikua na ndugu watano dada wanne na kaka mimosa. Alianza kuvaa [[hijabu]] tangu akiwa na umri wa miaka minane, kwa sababu "alitaka kuwa msafi zaidi, nilitaka Mungu anipende zaidi." Kwa mtazamo wa nyuma, alisema "hiyo si chaguo. Hiyo ni kulazimisha." Akiwa na umri wa miaka kumi na nne, Kay alianza kuhoji dini yake, akitaka kujua ni kwa nini hangeweza kuwa rafiki na wasio Waislamu, kusikiliza muziki, kuacha hijabu yake na hakutaka kuolewa akiwa na miaka kumi na minane (kama baadhi ya marafiki zake). Baada ya kumaliza sekondari akiwa na umri wa miaka kumi na tano, alihamia [[Malaysia]] kusoma katika Chuo Kikuu cha Sunway na kisha Chuo Kikuu cha Monash huko Bandar Sunway akiwa na umri wa miaka kumi na sita.  Aliacha kuvaa hijabu akiwa na umri wa miaka kumi na minane kabla ya kuhamia Australia. Baada ya takriban miaka 3½ ya kukaa nchini Malaysia, alipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa, Kay alihamia Australia mwaka wa 2012  ili kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Australia huko [[Melbourne]] . Alimaliza shahada yake ya kwanza katika [[teknolojia ya habari]] na shahada yake ya uzamili katika mifumo ya habari za biashara akiwa na umri wa miaka ishirini na mmoja. Kay alipata kazi kama mhandisi wa kampuni ya IT huko Melbourne, na kisha akafanya kazi kama mhandisi wa usaidizi wa kiufundi Google huko [[Sydney]] hadi 2018, mwaka huo huo ambao pia alipata uraia wa Australia. Alihamia London mnamo 2019. == Marejeo == {{reflist}}{{mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanaharakati wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] s5mpqtamiepfc1w5vhwpw33v1k7lbwf 1507951 1507949 2026-04-21T06:38:36Z Abubakari Sixberth 53268 1507951 wikitext text/x-wiki '''Zara Kay''' (alizaliwa 1992) ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwenye makao yake makuu [[London]] . Yeye ndiye mwanzilishi wa Faithless Hijabi, shirika lisilo la faida la kimataifa linalolenga kuunga mkono haki za wanawake Walio kulia kwenye dini ya Kiislamu, hasa wale wanaotaka Kuhama kutoka Uislamu. == Wasifu == Kay alizaliwa [[Dar es Salaam]], Tanzania mnamo 1992, na kukulia kwenye Uislamu wa Khoja [[Washia Ithna ashari|Twelver]] [[Washia|Shia]] . <ref>{{Rejea tovuti|author=Galloway|first=Anthony|date=2021-04-29|title=When Zara feared for her safety in Tanzania she thought the Australian high commission would help her|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/when-zara-feared-for-her-safety-in-tanzania-she-thought-the-australian-high-commission-would-help-her-20210426-p57mjj.html|accessdate=2021-04-29|work=The Sydney Morning Herald|language=en}}</ref> . Nyumbani kwao walizungumza lugha za [[Kiingereza]], [[Kigujarati]], [[Kiswahili]], na [[Kikachchi|Kutchi]] zilizungumzwa nyumbani, lakini si [[Kiarabu]] . {{efn|"At home she spoke Gujarati, Swahili, Kutchi and English, but significantly no one in the family knew any Arabic, and so had to read the Koran in translation."<ref name="warraq" />{{rp|659}}}}{{efn|"Not knowing Arabic she understood very little of the Koran."<ref name="warraq" />{{Rp|660}}}}.Mama yake alikuwa mtu wa Kenya na baba yake alikuwa Mtanzania. <ref name="SJME" />{{rp|at=48:50–49:35}}  Wazazi wake walikuwa Waislamu wahafidhina na alikua na ndugu watano dada wanne na kaka mimosa. Alianza kuvaa [[hijabu]] tangu akiwa na umri wa miaka minane, kwa sababu "alitaka kuwa msafi zaidi, nilitaka Mungu anipende zaidi." Kwa mtazamo wa nyuma, alisema "hiyo si chaguo. Hiyo ni kulazimisha." Akiwa na umri wa miaka kumi na nne, Kay alianza kuhoji dini yake, akitaka kujua ni kwa nini hangeweza kuwa rafiki na wasio Waislamu, kusikiliza muziki, kuacha hijabu yake na hakutaka kuolewa akiwa na miaka kumi na minane (kama baadhi ya marafiki zake). Baada ya kumaliza sekondari akiwa na umri wa miaka kumi na tano, alihamia [[Malaysia]] kusoma katika Chuo Kikuu cha Sunway na kisha Chuo Kikuu cha Monash huko Bandar Sunway akiwa na umri wa miaka kumi na sita.  Aliacha kuvaa hijabu akiwa na umri wa miaka kumi na minane kabla ya kuhamia Australia. Baada ya takriban miaka 3½ ya kukaa nchini Malaysia, alipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa, Kay alihamia Australia mwaka wa 2012  ili kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Australia huko [[Melbourne]] . Alimaliza shahada yake ya kwanza katika [[teknolojia ya habari]] na shahada yake ya uzamili katika mifumo ya habari za biashara akiwa na umri wa miaka ishirini na mmoja. Kay alipata kazi kama mhandisi wa kampuni ya IT huko Melbourne, na kisha akafanya kazi kama mhandisi wa usaidizi wa kiufundi Google huko [[Sydney]] hadi 2018, mwaka huo huo ambao pia alipata uraia wa Australia. Alihamia London mnamo 2019. == Maelezo == {{notelist}} == Marejeo == {{reflist}}{{mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanaharakati wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] jh0il2iifjalj9lv4awxrtyh8j7162i 1507955 1507951 2026-04-21T06:47:44Z Abubakari Sixberth 53268 /* Wasifu */ 1507955 wikitext text/x-wiki '''Zara Kay''' (alizaliwa 1992) ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwenye makao yake makuu [[London]] . Yeye ndiye mwanzilishi wa Faithless Hijabi, shirika lisilo la faida la kimataifa linalolenga kuunga mkono haki za wanawake Walio kulia kwenye dini ya Kiislamu, hasa wale wanaotaka Kuhama kutoka Uislamu. == Wasifu == Kay alizaliwa [[Dar es Salaam]], Tanzania mnamo 1992, na kukulia kwenye Uislamu wa Khoja [[Washia Ithna ashari|Twelver]] [[Washia|Shia]]. <ref>{{Rejea tovuti|author=Galloway|first=Anthony|date=2021-04-29|title=When Zara feared for her safety in Tanzania she thought the Australian high commission would help her|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/when-zara-feared-for-her-safety-in-tanzania-she-thought-the-australian-high-commission-would-help-her-20210426-p57mjj.html|accessdate=2021-04-29|work=The Sydney Morning Herald|language=en}}</ref> Nyumbani kwao walizungumza lugha za [[Kiingereza]], [[Kigujarati]], [[Kiswahili]], na [[Kikachchi|Kutchi]] zilizungumzwa nyumbani, lakini si [[Kiarabu]] . {{efn|"At home she spoke Gujarati, Swahili, Kutchi and English, but significantly no one in the family knew any Arabic, and so had to read the Koran in translation."<ref name="warraq" />{{rp|659}}}}{{efn|"Not knowing Arabic she understood very little of the Koran."<ref name="warraq" />{{Rp|660}}}}.Mama yake alikuwa mtu wa Kenya na baba yake alikuwa Mtanzania. Wazazi wake walikuwa Waislamu wahafidhina na alikua na ndugu watano dada wanne na kaka mimosa. Alianza kuvaa [[hijabu]] tangu akiwa na umri wa miaka minane, kwa sababu "alitaka kuwa msafi zaidi, nilitaka Mungu anipende zaidi." Kwa mtazamo wa nyuma, alisema "hiyo si chaguo. Hiyo ni kulazimisha." Akiwa na umri wa miaka kumi na nne, Kay alianza kuhoji dini yake, akitaka kujua ni kwa nini hangeweza kuwa rafiki na wasio Waislamu, kusikiliza muziki, kuacha hijabu yake na hakutaka kuolewa akiwa na miaka kumi na minane (kama baadhi ya marafiki zake). Baada ya kumaliza sekondari akiwa na umri wa miaka kumi na tano, alihamia [[Malaysia]] kusoma katika Chuo Kikuu cha Sunway na kisha Chuo Kikuu cha Monash huko Bandar Sunway akiwa na umri wa miaka kumi na sita. Aliacha kuvaa hijabu akiwa na umri wa miaka kumi na minane kabla ya kuhamia Australia.<ref name="Loomes" /> Baada ya takriban miaka 3½ ya kukaa nchini Malaysia, alipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa, Kay alihamia Australia mwaka wa 2012 ili kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Australia huko [[Melbourne]].<ref name="Loomes">{{Cite news |last=Phoebe Loomes |date=17 January 2019 |title=Ex-Muslim activist says renouncing Islam more difficult for women, invited constant sexual harassment |work=[[news.com.au]] |publisher=News Corp Australia |url=https://www.news.com.au/lifestyle/real-life/exmuslim-activist-says-renouncing-islam-more-difficult-for-women-invited-constant-sexual-harassment/news-story/0932d06933208f24e973a5e6d5d968d1 |access-date=12 March 2019}}</ref> Alimaliza shahada yake ya kwanza katika [[teknolojia ya habari]] na shahada yake ya uzamili katika mifumo ya habari za biashara akiwa na umri wa miaka ishirini na mmoja. Kay alipata kazi kama mhandisi wa kampuni ya IT huko Melbourne, na kisha akafanya kazi kama mhandisi wa usaidizi wa kiufundi Google huko [[Sydney]] hadi 2018, mwaka huo huo ambao pia alipata uraia wa Australia. Alihamia London mnamo 2019. == Maelezo == {{notelist}} == Marejeo == {{reflist}}{{mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanaharakati wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] amvrpophff9yhzy6aobmw1rgk2nisnr 1507956 1507955 2026-04-21T06:48:28Z Abubakari Sixberth 53268 /* Wasifu */ 1507956 wikitext text/x-wiki '''Zara Kay''' (alizaliwa 1992) ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwenye makao yake makuu [[London]] . Yeye ndiye mwanzilishi wa Faithless Hijabi, shirika lisilo la faida la kimataifa linalolenga kuunga mkono haki za wanawake Walio kulia kwenye dini ya Kiislamu, hasa wale wanaotaka Kuhama kutoka Uislamu. == Wasifu == Kay alizaliwa [[Dar es Salaam]], Tanzania mnamo 1992, na kukulia kwenye Uislamu wa Khoja [[Washia Ithna ashari|Twelver]] [[Washia|Shia]]. <ref>{{Rejea tovuti|author=Galloway|first=Anthony|date=2021-04-29|title=When Zara feared for her safety in Tanzania she thought the Australian high commission would help her|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/when-zara-feared-for-her-safety-in-tanzania-she-thought-the-australian-high-commission-would-help-her-20210426-p57mjj.html|accessdate=2021-04-29|work=The Sydney Morning Herald|language=en}}</ref> Nyumbani kwao walizungumza lugha za [[Kiingereza]], [[Kigujarati]], [[Kiswahili]], na [[Kikachchi|Kutchi]] zilizungumzwa nyumbani, lakini si [[Kiarabu]] . {{efn|"At home she spoke Gujarati, Swahili, Kutchi and English, but significantly no one in the family knew any Arabic, and so had to read the Koran in translation."{{rp|659}}}}{{efn|"Not knowing Arabic she understood very little of the Koran."{{Rp|660}}}}.Mama yake alikuwa mtu wa Kenya na baba yake alikuwa Mtanzania. Wazazi wake walikuwa Waislamu wahafidhina na alikua na ndugu watano dada wanne na kaka mimosa. Alianza kuvaa [[hijabu]] tangu akiwa na umri wa miaka minane, kwa sababu "alitaka kuwa msafi zaidi, nilitaka Mungu anipende zaidi." Kwa mtazamo wa nyuma, alisema "hiyo si chaguo. Hiyo ni kulazimisha." Akiwa na umri wa miaka kumi na nne, Kay alianza kuhoji dini yake, akitaka kujua ni kwa nini hangeweza kuwa rafiki na wasio Waislamu, kusikiliza muziki, kuacha hijabu yake na hakutaka kuolewa akiwa na miaka kumi na minane (kama baadhi ya marafiki zake). Baada ya kumaliza sekondari akiwa na umri wa miaka kumi na tano, alihamia [[Malaysia]] kusoma katika Chuo Kikuu cha Sunway na kisha Chuo Kikuu cha Monash huko Bandar Sunway akiwa na umri wa miaka kumi na sita. Aliacha kuvaa hijabu akiwa na umri wa miaka kumi na minane kabla ya kuhamia Australia.<ref name="Loomes" /> Baada ya takriban miaka 3½ ya kukaa nchini Malaysia, alipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa, Kay alihamia Australia mwaka wa 2012 ili kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Australia huko [[Melbourne]].<ref name="Loomes">{{Cite news |last=Phoebe Loomes |date=17 January 2019 |title=Ex-Muslim activist says renouncing Islam more difficult for women, invited constant sexual harassment |work=[[news.com.au]] |publisher=News Corp Australia |url=https://www.news.com.au/lifestyle/real-life/exmuslim-activist-says-renouncing-islam-more-difficult-for-women-invited-constant-sexual-harassment/news-story/0932d06933208f24e973a5e6d5d968d1 |access-date=12 March 2019}}</ref> Alimaliza shahada yake ya kwanza katika [[teknolojia ya habari]] na shahada yake ya uzamili katika mifumo ya habari za biashara akiwa na umri wa miaka ishirini na mmoja. Kay alipata kazi kama mhandisi wa kampuni ya IT huko Melbourne, na kisha akafanya kazi kama mhandisi wa usaidizi wa kiufundi Google huko [[Sydney]] hadi 2018, mwaka huo huo ambao pia alipata uraia wa Australia. Alihamia London mnamo 2019. == Maelezo == {{notelist}} == Marejeo == {{reflist}}{{mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanaharakati wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] bvhls4set47pydw3nxs886nehh1ld7f 1508114 1507956 2026-04-21T10:24:46Z Riccardo Riccioni 452 1508114 wikitext text/x-wiki '''Zara Kay''' (alizaliwa [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]], 1992) ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwenye makao yake makuu [[London]]. Yeye ndiye mwanzilishi wa Faithless Hijabi, shirika lisilo la faida la kimataifa linalolenga kuunga mkono haki za wanawake waliokulia kwenye dini ya Kiislamu, hasa wale wanaotaka kuhama Uislamu. == Wasifu == Kay alizaliwa na kukulia kwenye Uislamu wa Khoja [[Washia Ithna ashari|Twelver]] [[Washia|Shia]]. <ref>{{Rejea tovuti|author=Galloway|first=Anthony|date=2021-04-29|title=When Zara feared for her safety in Tanzania she thought the Australian high commission would help her|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/when-zara-feared-for-her-safety-in-tanzania-she-thought-the-australian-high-commission-would-help-her-20210426-p57mjj.html|accessdate=2021-04-29|work=The Sydney Morning Herald|language=en}}</ref> Nyumbani kwao walizungumza lugha za [[Kiingereza]], [[Kigujarati]], [[Kiswahili]], na [[Kikachchi|Kutchi]], lakini si [[Kiarabu]]. {{efn|"At home she spoke Gujarati, Swahili, Kutchi and English, but significantly no one in the family knew any Arabic, and so had to read the Koran in translation."{{rp|659}}}}{{efn|"Not knowing Arabic she understood very little of the Koran."{{Rp|660}}}}. Mama yake alikuwa mtu wa Kenya na baba yake alikuwa Mtanzania. Wazazi wake walikuwa Waislamu wahafidhina na alikuwa na ndugu watano: dada wanne na kaka mmoja. Alianza kuvaa [[hijabu]] tangu akiwa na umri wa miaka minane, kwa sababu "alitaka kuwa msafi zaidi, nilitaka Mungu anipende zaidi." Kwa mtazamo wa nyuma, alisema "hiyo si chaguo. Hiyo ni kulazimisha." Akiwa na umri wa miaka kumi na nne, Kay alianza kuhoji dini yake, akitaka kujua ni kwa nini hangeweza kuwa rafiki na wasio Waislamu, kusikiliza muziki, kuacha hijabu yake na hakutaka kuolewa akiwa na miaka kumi na minane (kama baadhi ya marafiki zake). Baada ya kumaliza sekondari akiwa na umri wa miaka kumi na tano, alihamia [[Malaysia]] kusoma katika Chuo Kikuu cha Sunway na kisha Chuo Kikuu cha Monash huko Bandar Sunway akiwa na umri wa miaka kumi na sita. Aliacha kuvaa hijabu akiwa na umri wa miaka kumi na minane.<ref name="Loomes" /> Baada ya takriban miaka 3½ ya kukaa nchini Malaysia, alipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa, Kay alihamia Australia mwaka wa 2012 ili kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Australia huko [[Melbourne]].<ref name="Loomes">{{Cite news |last=Phoebe Loomes |date=17 January 2019 |title=Ex-Muslim activist says renouncing Islam more difficult for women, invited constant sexual harassment |work=[[news.com.au]] |publisher=News Corp Australia |url=https://www.news.com.au/lifestyle/real-life/exmuslim-activist-says-renouncing-islam-more-difficult-for-women-invited-constant-sexual-harassment/news-story/0932d06933208f24e973a5e6d5d968d1 |access-date=12 March 2019}}</ref> Alimaliza shahada yake ya kwanza katika [[teknolojia ya habari]] na shahada yake ya uzamili katika mifumo ya habari za biashara akiwa na umri wa miaka ishirini na mmoja. Kay alipata kazi kama mhandisi wa kampuni ya IT huko Melbourne, na kisha akafanya kazi kama mhandisi wa usaidizi wa kiufundi Google huko [[Sydney]] hadi 2018. Mwaka huohuo alipata uraia wa Australia. Alihamia London mnamo 2019. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanaharakati wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] [[Jamii:Wanaharakati wa Australia]] 8b4ujkzued9tb67089we1utkocx6dkr 1508115 1508114 2026-04-21T10:25:50Z Riccardo Riccioni 452 1508115 wikitext text/x-wiki '''Zara Kay''' (alizaliwa [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]], 1992) ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwenye makao yake makuu [[London]]. Yeye ndiye mwanzilishi wa Faithless Hijabi, shirika lisilo la faida la kimataifa linalolenga kuunga mkono haki za wanawake waliokulia kwenye dini ya Kiislamu, hasa wale wanaotaka kuhama Uislamu. == Wasifu == Kay alizaliwa na kukulia kwenye Uislamu wa Khoja [[Washia Ithna ashari|Twelver]] [[Washia|Shia]]. <ref>{{Rejea tovuti|author=Galloway|first=Anthony|date=2021-04-29|title=When Zara feared for her safety in Tanzania she thought the Australian high commission would help her|url=https://www.smh.com.au/politics/federal/when-zara-feared-for-her-safety-in-tanzania-she-thought-the-australian-high-commission-would-help-her-20210426-p57mjj.html|accessdate=2021-04-29|work=The Sydney Morning Herald|language=en}}</ref> Nyumbani kwao walizungumza lugha za [[Kiingereza]], [[Kigujarati]], [[Kiswahili]], na [[Kikachchi|Kutchi]], lakini si [[Kiarabu]]. Mama yake alikuwa mtu wa Kenya na baba yake alikuwa Mtanzania. Wazazi wake walikuwa Waislamu wahafidhina na alikuwa na ndugu watano: dada wanne na kaka mmoja. Alianza kuvaa [[hijabu]] tangu akiwa na umri wa miaka minane, kwa sababu "alitaka kuwa msafi zaidi, nilitaka Mungu anipende zaidi." Kwa mtazamo wa nyuma, alisema "hiyo si chaguo. Hiyo ni kulazimisha." Akiwa na umri wa miaka kumi na nne, Kay alianza kuhoji dini yake, akitaka kujua ni kwa nini hangeweza kuwa rafiki na wasio Waislamu, kusikiliza muziki, kuacha hijabu yake na hakutaka kuolewa akiwa na miaka kumi na minane (kama baadhi ya marafiki zake). Baada ya kumaliza sekondari akiwa na umri wa miaka kumi na tano, alihamia [[Malaysia]] kusoma katika Chuo Kikuu cha Sunway na kisha Chuo Kikuu cha Monash huko Bandar Sunway akiwa na umri wa miaka kumi na sita. Aliacha kuvaa hijabu akiwa na umri wa miaka kumi na minane.<ref name="Loomes" /> Baada ya takriban miaka 3½ ya kukaa nchini Malaysia, alipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa, Kay alihamia Australia mwaka wa 2012 ili kuendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Australia huko [[Melbourne]].<ref name="Loomes">{{Cite news |last=Phoebe Loomes |date=17 January 2019 |title=Ex-Muslim activist says renouncing Islam more difficult for women, invited constant sexual harassment |work=[[news.com.au]] |publisher=News Corp Australia |url=https://www.news.com.au/lifestyle/real-life/exmuslim-activist-says-renouncing-islam-more-difficult-for-women-invited-constant-sexual-harassment/news-story/0932d06933208f24e973a5e6d5d968d1 |access-date=12 March 2019}}</ref> Alimaliza shahada yake ya kwanza katika [[teknolojia ya habari]] na shahada yake ya uzamili katika mifumo ya habari za biashara akiwa na umri wa miaka ishirini na mmoja. Kay alipata kazi kama mhandisi wa kampuni ya IT huko Melbourne, na kisha akafanya kazi kama mhandisi wa usaidizi wa kiufundi Google huko [[Sydney]] hadi 2018. Mwaka huohuo alipata uraia wa Australia. Alihamia London mnamo 2019. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanaharakati wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Dar es Salaam]] [[Jamii:Wanaharakati wa Australia]] 63m1077uigxl1minfcqooiy3r3wn4wl Sianto Sikawa 0 226076 1507961 1498639 2026-04-21T06:54:27Z Abubakari Sixberth 53268 1507961 wikitext text/x-wiki '''Marley Sianto Sikawa''' (alizaliwa mwaka 1990) ni mtaalamu wa mawasiliano na masoko kutuka Kenya, ambaye amehudumu kama mratibu wa masoko ya utalii. Kwa sasa ni mkurugenzi msaidizi wa Utalii na Wanyamapori [[Kaunti ya Narok]], mojawapo ya [[Kaunti za Kenya|kaunti 47 za utawala za Kenya]] . <ref name="1R">{{Rejea tovuti|url=https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf|title=Top 40 Under 40 Women In Kenya, 2018|date=September 2018|accessdate=7 November 2018|author=Business Daily Staff}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Sikawa alizaliwa [[Narok]], katika [[Kaunti ya Narok]], iliyoko takribani {{Convert|144|km|0}}, magharibi mwa [[Nairobi]], mji mkuu wa Kenya.<ref name="2R">{{google maps| url=https://www.google.com/maps/dir/Nairobi,+Kenya/Narok,+Kenya/@-1.1412039,35.7919208,9z/data=!3m1!4b1!4m14!4m13!1m5!1m1!1s0x182f1172d84d49a7:0xf7cf0254b297924c!2m2!1d36.8219462!2d-1.2920659!1m5!1m1!1s0x182c0301de8b0645:0x226cac4459fc8e39!2m2!1d35.8770642!2d-1.0875428!3e0 |title=Road Distance Between Nairobi, Kenya And Narok, Kenya |access-date=5 September 2022}}</ref> Familia yake ilikua ya kuhama hama kila mara na alikulia Narok, [[Masai Mara|Maasai Mara]], Sekenani na Loita. <ref name="1R" /> Baada ya Kusoma Shule ya Msingi ya Bweni ya Siana huko [[Masai Mara|Maasai Mara]], Alijiunga na Shule Sekondari ya Wasichana ya Moi Siongiroi katika [[Kaunti ya Bomet]] . Kisha akajiunga [[Chuo Kikuu cha Daystar]], jijini Nairobi, ambapo alihitimu na Shahada ya Sanaa katika [[Mawasiliano|Mawasiliano, Vyombo vya Habari vya Kielektroniki na Mahusiano ya Umma]] . Kisha akajiunga na Chuo Kikuu cha United States International University-Africa kilichopo Nairobi, ambapo alisomea Shahada ya Uzamili ya Sanaa katika [[Mafungamano ya kimataifa|Mahusiano ya Kimataifa]].<ref name="1R" /> == Kazi == Novemba mwaka 2014, Sikawa aliajiriwa na serikali kwenye Kaunti ya Narok kama mratibu wa masoko ya utalii. Kwa sasa ni mkurugenzi msaidizi wa Utalii na Wanyamapori. Pia anasaidia jamii yake, ambapo amewasaidia wanawake wa eneo hilo kupata umeme wa jua kupitia Naretoi Ang', shirika lisilo la faida linaloendesha miradi ya Solar for Manyatta katika jamii kuhusu masuala ya uhifadhi wa wanyamapori pamoja uhifadhi wa kitamaduni kwa kurekodi na elimu ya jamii katika uhusiano wa afya na ufadhili wa shule. == Marejeo == [[Jamii:Wamasai]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references /> [[Jamii:Watu wa Kenya]] q6b64b01vbbkd007j8fvdissyv0kr8z 1507963 1507961 2026-04-21T06:56:58Z Abubakari Sixberth 53268 1507963 wikitext text/x-wiki '''Marley Sianto Sikawa''' (alizaliwa mwaka [[1990]]) ni mtaalamu wa mawasiliano na masoko kutoka [[Kenya]], ambaye amehudumu kama mratibu wa masoko ya utalii. Kwa sasa ni mkurugenzi msaidizi wa Utalii na Wanyamapori [[Kaunti ya Narok]], mojawapo ya [[Kaunti za Kenya|kaunti 47 za utawala za Kenya]] . <ref name="1R">{{Rejea tovuti|url=https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf|title=Top 40 Under 40 Women In Kenya, 2018|date=September 2018|accessdate=7 November 2018|author=Business Daily Staff}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Sikawa alizaliwa [[Narok]], katika [[Kaunti ya Narok]], iliyoko takribani {{Convert|144|km|0}}, magharibi mwa [[Nairobi]], mji mkuu wa Kenya.<ref name="2R">{{google maps| url=https://www.google.com/maps/dir/Nairobi,+Kenya/Narok,+Kenya/@-1.1412039,35.7919208,9z/data=!3m1!4b1!4m14!4m13!1m5!1m1!1s0x182f1172d84d49a7:0xf7cf0254b297924c!2m2!1d36.8219462!2d-1.2920659!1m5!1m1!1s0x182c0301de8b0645:0x226cac4459fc8e39!2m2!1d35.8770642!2d-1.0875428!3e0 |title=Road Distance Between Nairobi, Kenya And Narok, Kenya |access-date=5 September 2022}}</ref> Familia yake ilikua ya kuhama hama kila mara na alikulia Narok, [[Masai Mara|Maasai Mara]], Sekenani na Loita. <ref name="1R" /> Baada ya Kusoma Shule ya Msingi ya Bweni ya Siana huko [[Masai Mara|Maasai Mara]], Alijiunga na Shule Sekondari ya Wasichana ya Moi Siongiroi katika [[Kaunti ya Bomet]] . Kisha akajiunga [[Chuo Kikuu cha Daystar]], jijini Nairobi, ambapo alihitimu na Shahada ya Sanaa katika [[Mawasiliano|Mawasiliano, Vyombo vya Habari vya Kielektroniki na Mahusiano ya Umma]] . Kisha akajiunga na Chuo Kikuu cha United States International University-Africa kilichopo Nairobi, ambapo alisomea Shahada ya Uzamili ya Sanaa katika [[Mafungamano ya kimataifa|Mahusiano ya Kimataifa]].<ref name="1R" /> == Kazi == Novemba mwaka 2014, Sikawa aliajiriwa na serikali kwenye Kaunti ya Narok kama mratibu wa masoko ya utalii. Kwa sasa ni mkurugenzi msaidizi wa Utalii na Wanyamapori. Pia anasaidia jamii yake, ambapo amewasaidia wanawake wa eneo hilo kupata umeme wa jua kupitia Naretoi Ang', shirika lisilo la faida linaloendesha miradi ya Solar for Manyatta katika jamii kuhusu masuala ya uhifadhi wa wanyamapori pamoja uhifadhi wa kitamaduni kwa kurekodi na elimu ya jamii katika uhusiano wa afya na ufadhili wa shule. == Marejeo == [[Jamii:Wamasai]] [[Jamii:Watu walio hai]] <references /> [[Jamii:Watu wa Kenya]] 58wo5f19ya6in47dxc0lm82sv7pt3xr Anna Lemmer Badenhorst Rudolph 0 226080 1507966 1498651 2026-04-21T07:01:17Z Abubakari Sixberth 53268 1507966 wikitext text/x-wiki '''Anna Lemmer Badenhorst Swart Rudolph''' ([[9 Aprili]] [[1924]] - [[2 Septemba]] [[1995]]) alikuwa [[mwandishi]], [[mtunzi]], na [[mwimbaji]] kutoka Afrika Kusini. Aliandika vitabu, kazi za maonyesho, na nyimbo za watoto. Alijulikana sana kwa michango yake na muziki wa watoto [[Kiafrikana|wa Kiafrikana]], ambao uliimbwa sana na watoto wanaozungumza Kiafrikana kote Afrika Kusini wakati wa miaka ya [[1970]]. Alichapisha kwa jina la '''Anna Rudolph''' . == Maisha ya awali na elimu == Rudolph alizaliwa tarehe 9 Aprili 1924 huko [[Potchefstroom|Potchefstroom, Afrika Kusini]], kwee familia ya wanamuziki na sanaa. <ref name="Liebenberg">{{Rejea jarida |last=Liebenberg |first=Irma |last2=Van der Mescht |first2=H. V. D. |date=2013 |title=Die kinderliedjies van Anna Rudolph en die Afrikaanse sangkultuur van jong Afrikaanssprekers, 1970 - 2011 |journal=South African Journal of Cultural History}}</ref> Alijifunza piano mapema alipokua akianza shule na akapendezwa na muziki mapema. Kuanzia [[1942]] hadi [[1944]], alisoma katika Chuo cha Mafunzo ya Walimu cha Pretoria, ambapo alikuwa mwalimu. <ref name="Liebenberg" /> Mnamo [[1945]], aliolewa na Coenraad Frederik Rudolph, mwandishi wa tamthilia na mhadhiri katika taasisi hiyo hiyo, ambaye alikuwa na binti watatu na mvulana mmoja. <ref name="Liebenberg" /> == Kazi ya muziki == Rudolph alianza kazi yake ya uimbaji huko [[Pretoria]], akitumbuiza na kikundi cha uimbaji ''cha Cantare'' . Wakati wa miaka ya [[1960]] na 1970, nyimbo zake zilikua muhimu sana kwenye utamaduni wa Kiafrikana kwa sabab watoto wengi wa Afrika Kusini walipenda kuziimba. Wakati ambapo familia zinazozungumza Kiafrikana mara nyingi zilijifurahisha bila teknolojia ya sauti ya hali ya juu, nyimbo za watoto za Rudolph ziliimbwa shuleni na majumbani kote nchini. <ref>{{Rejea jarida |last=Liebenberg |first=Irma |last2=Van der Mescht |first2=H. V. D. |date=2013 |title=Die kinderliedjies van Anna Rudolph en die Afrikaanse sangkultuur van jong Afrikaanssprekers, 1970 - 2011 |journal=South African Journal of Cultural History}}</ref> == Vitabu == * ''Bruidjies Tussen Boeke: ‘n Luimige Toneel in Vier Dele''<ref name="Cohen">Cohen, Aaron I. (1987). ''International encyclopedia of women composers''. 2: Sai - Zyb, Appendices (2. ed., revised and enl ed.). New York: Books & Music. p. 604. ISBN 978-0-9617485-1-7.</ref> * ''Die Dooie Sel: ‘n Humoristiese Eenbedryf''<ref name="Cohen"/> == Vitabu vya Nyimbo == * ''Sing maats'' (1968) 12 songs * ''Nuwe Liedjies Vir Almal'' (1969) 44 songs (collection)<ref name="Cohen"/><ref name="ESAT"/> * ''Nog Liedjies'' (1971) 32 songs * ''Bana Binang! Bana Opelang! Vana Yimbelelan! Vana Imbana!'' (1973) 40 songs * ''Kom ons Sing'' (1974) 41 songs * ''Volksangbundel van Anna Rudolph'' (1985) (collection)<ref name="ESAT"/> == Nyimbo za pekee == * ''Aandstilte, Drafliedjie, Drakenberg staplied, Johannesburg Stad van Goud'' and more * Pretoria Wes Hospitaallied, Roosmaryn Koshuislied and 10 more School Songs * ''Vier Limericks''<ref name="Cohen"/> == Ukumbi wa michezo wa muziki == * '' Die Silwer Sambreeltjie/The Silver Umbrella'' (with J. Pierre Malan and Coenie Rudolph; English translation by Mervyn Woodrow)<ref name="Cohen"/> * ''Jolige Jonkheid'' (with Coenie Rudolph)<ref name="LiebenbergThesis">Liebenberg, Irma (2013). ''Die Resepsie Van Anna Rudolph Se Afrikaanse Kinderliedere Deur Afrikaanssprekers'' (Afrikaans). University of Pretoria. Thesis.</ref> * ''Tollie Tollieman''<ref name="ESAT"/> * ''Met Liefde van Marlies/With Love from Marlies'' (with Xander Haagen and Gerrit Olivier)<ref name="Cohen"/> * ''Prys vir ‘n Meisie'' (with J. Pierre Malan)<ref name="ESAT">"Anna Rudolph - ESAT". esat.sun.ac.za. Retrieved 2023-12-14.</ref> * ''Skrikkeljanie''<ref name="Cohen"/> * ''Van der Merwe K.O.O.S.''<ref name="Cohen"/> == Michezo == * ''Bye Om ‘n Aster''<ref name="Cohen"/> * ''Die Dooie Sel''<ref name="ESAT"/> * ''Die Noodsein''<ref name="ESAT"/> * ''‘n Bruidjie Tussen Boeke''<ref name="ESAT"/> * ''‘n Nooi vir Koelspruit''<ref name="ESAT"/> * ''Ouma se Dinge''<ref name="ESAT"/> == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliofariki 1995]] [[Jamii:Waliozaliwa 1924]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] ij3jaahpfhayca2oa1kzren9bgu1uc3 1507968 1507966 2026-04-21T07:07:16Z Abubakari Sixberth 53268 /* Maisha ya awali na elimu */ 1507968 wikitext text/x-wiki '''Anna Lemmer Badenhorst Swart Rudolph''' ([[9 Aprili]] [[1924]] - [[2 Septemba]] [[1995]]) alikuwa [[mwandishi]], [[mtunzi]], na [[mwimbaji]] kutoka Afrika Kusini. Aliandika vitabu, kazi za maonyesho, na nyimbo za watoto. Alijulikana sana kwa michango yake na muziki wa watoto [[Kiafrikana|wa Kiafrikana]], ambao uliimbwa sana na watoto wanaozungumza Kiafrikana kote Afrika Kusini wakati wa miaka ya [[1970]]. Alichapisha kwa jina la '''Anna Rudolph''' . == Maisha ya awali na elimu == Rudolph alizaliwa tarehe 9 Aprili 1924 huko [[Potchefstroom|Potchefstroom, Afrika Kusini]], kwenye familia ya wanamuziki na sanaa. <ref name="Liebenberg">{{Rejea jarida |last=Liebenberg |first=Irma |last2=Van der Mescht |first2=H. V. D. |date=2013 |title=Die kinderliedjies van Anna Rudolph en die Afrikaanse sangkultuur van jong Afrikaanssprekers, 1970 - 2011 |journal=South African Journal of Cultural History}}</ref> Alijifunza piano mapema alipokua akianza shule na akapendezwa na muziki mapema. Kuanzia [[1942]] hadi [[1944]], alisoma katika Chuo cha Mafunzo ya Walimu cha Pretoria, ambapo alikuwa mwalimu. <ref name="Liebenberg" /> Mnamo [[1945]], aliolewa na Coenraad Frederik Rudolph, mwandishi wa tamthilia na mhadhiri katika taasisi hiyo hiyo, ambaye alikuwa na binti watatu na mvulana mmoja. <ref name="Liebenberg" /> == Kazi ya muziki == Rudolph alianza kazi yake ya uimbaji huko [[Pretoria]], akitumbuiza na kikundi cha uimbaji ''cha Cantare'' . Wakati wa miaka ya [[1960]] na 1970, nyimbo zake zilikua muhimu sana kwenye utamaduni wa Kiafrikana kwa sabab watoto wengi wa Afrika Kusini walipenda kuziimba. Wakati ambapo familia zinazozungumza Kiafrikana mara nyingi zilijifurahisha bila teknolojia ya sauti ya hali ya juu, nyimbo za watoto za Rudolph ziliimbwa shuleni na majumbani kote nchini. <ref>{{Rejea jarida |last=Liebenberg |first=Irma |last2=Van der Mescht |first2=H. V. D. |date=2013 |title=Die kinderliedjies van Anna Rudolph en die Afrikaanse sangkultuur van jong Afrikaanssprekers, 1970 - 2011 |journal=South African Journal of Cultural History}}</ref> == Vitabu == * ''Bruidjies Tussen Boeke: ‘n Luimige Toneel in Vier Dele''<ref name="Cohen">Cohen, Aaron I. (1987). ''International encyclopedia of women composers''. 2: Sai - Zyb, Appendices (2. ed., revised and enl ed.). New York: Books & Music. p. 604. ISBN 978-0-9617485-1-7.</ref> * ''Die Dooie Sel: ‘n Humoristiese Eenbedryf''<ref name="Cohen"/> == Vitabu vya Nyimbo == * ''Sing maats'' (1968) 12 songs * ''Nuwe Liedjies Vir Almal'' (1969) 44 songs (collection)<ref name="Cohen"/><ref name="ESAT"/> * ''Nog Liedjies'' (1971) 32 songs * ''Bana Binang! Bana Opelang! Vana Yimbelelan! Vana Imbana!'' (1973) 40 songs * ''Kom ons Sing'' (1974) 41 songs * ''Volksangbundel van Anna Rudolph'' (1985) (collection)<ref name="ESAT"/> == Nyimbo za pekee == * ''Aandstilte, Drafliedjie, Drakenberg staplied, Johannesburg Stad van Goud'' and more * Pretoria Wes Hospitaallied, Roosmaryn Koshuislied and 10 more School Songs * ''Vier Limericks''<ref name="Cohen"/> == Ukumbi wa michezo wa muziki == * '' Die Silwer Sambreeltjie/The Silver Umbrella'' (with J. Pierre Malan and Coenie Rudolph; English translation by Mervyn Woodrow)<ref name="Cohen"/> * ''Jolige Jonkheid'' (with Coenie Rudolph)<ref name="LiebenbergThesis">Liebenberg, Irma (2013). ''Die Resepsie Van Anna Rudolph Se Afrikaanse Kinderliedere Deur Afrikaanssprekers'' (Afrikaans). University of Pretoria. Thesis.</ref> * ''Tollie Tollieman''<ref name="ESAT"/> * ''Met Liefde van Marlies/With Love from Marlies'' (with Xander Haagen and Gerrit Olivier)<ref name="Cohen"/> * ''Prys vir ‘n Meisie'' (with J. Pierre Malan)<ref name="ESAT">"Anna Rudolph - ESAT". esat.sun.ac.za. Retrieved 2023-12-14.</ref> * ''Skrikkeljanie''<ref name="Cohen"/> * ''Van der Merwe K.O.O.S.''<ref name="Cohen"/> == Michezo == * ''Bye Om ‘n Aster''<ref name="Cohen"/> * ''Die Dooie Sel''<ref name="ESAT"/> * ''Die Noodsein''<ref name="ESAT"/> * ''‘n Bruidjie Tussen Boeke''<ref name="ESAT"/> * ''‘n Nooi vir Koelspruit''<ref name="ESAT"/> * ''Ouma se Dinge''<ref name="ESAT"/> == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliofariki 1995]] [[Jamii:Waliozaliwa 1924]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] gg169y2bvxv48akt6rg474ms56nlnht Lubaina Himid 0 226203 1507971 1498938 2026-04-21T07:18:20Z Abubakari Sixberth 53268 /* Uanachama wa bodi */ 1507971 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire. <ref name="bmagic">{{Rejea tovuti|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|accessdate=6 March 2011|archivedate=8 August 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid}}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi. Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980 na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name=":3">{{Rejea tovuti|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|author=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|accessdate=2021-11-20|work=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026. ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954 akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo, kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu. Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976. Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984 ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ==Tuzo== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994 Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ==Makusanyo ya umma== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston. [1] [2] ==Maonyesho ya peke yake== ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] 2c14gl5mdp9t6gchhj0yvc2d0xet5t1 1507972 1507971 2026-04-21T07:18:56Z Abubakari Sixberth 53268 /* Tuzo */ 1507972 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire. <ref name="bmagic">{{Rejea tovuti|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|accessdate=6 March 2011|archivedate=8 August 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid}}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi. Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980 na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name=":3">{{Rejea tovuti|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|author=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|accessdate=2021-11-20|work=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026. ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954 akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo, kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu. Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976. Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984 ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994 Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ==Makusanyo ya umma== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston. [1] [2] ==Maonyesho ya peke yake== ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] pgevkfk26g4eugg77401bileiga1rqj 1507977 1507972 2026-04-21T07:24:55Z Abubakari Sixberth 53268 /* Kazi maarufu */ 1507977 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire. <ref name="bmagic">{{Rejea tovuti|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|accessdate=6 March 2011|archivedate=8 August 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid}}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi. Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980 na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name=":3">{{Rejea tovuti|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|author=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|accessdate=2021-11-20|work=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026. ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954 akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo, kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu. Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976. Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984 ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994 Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ==Makusanyo ya umma== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston. [1] [2] ==Maonyesho ya peke yake== ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] 97vzoug0cfcoupn610e44q86a5nzjuo 1507979 1507977 2026-04-21T07:25:08Z Abubakari Sixberth 53268 /* Makusanyo ya umma */ 1507979 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire. <ref name="bmagic">{{Rejea tovuti|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|accessdate=6 March 2011|archivedate=8 August 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid}}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi. Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980 na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name=":3">{{Rejea tovuti|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|author=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|accessdate=2021-11-20|work=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026. ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954 akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo, kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu. Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976. Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984 ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994 Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ==Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston. [1] [2] ==Maonyesho ya peke yake== ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] 7cw3afd12kes4rkc58o5jzvdl6z4vz8 1507980 1507979 2026-04-21T07:26:33Z Abubakari Sixberth 53268 /* Makusanyo ya umma */ 1507980 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire. <ref name="bmagic">{{Rejea tovuti|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|accessdate=6 March 2011|archivedate=8 August 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid}}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi. Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980 na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name=":3">{{Rejea tovuti|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|author=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|accessdate=2021-11-20|work=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026. ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954 akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo, kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu. Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976. Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984 ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994 Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Maonyesho ya peke yake== ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] 1ite2hylcmbzs9gtlcrg3utz836mup5 1507981 1507980 2026-04-21T07:27:33Z Abubakari Sixberth 53268 /* Maonyesho ya peke yake */ 1507981 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire. <ref name="bmagic">{{Rejea tovuti|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|accessdate=6 March 2011|archivedate=8 August 2016|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid}}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi. Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980 na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name=":3">{{Rejea tovuti|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|author=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|accessdate=2021-11-20|work=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026. ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954 akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo, kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu. Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976. Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984 ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994 Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] nhjvga3q2cpy4boydjstvjvex7ip71o 1507998 1507981 2026-04-21T07:45:28Z Abubakari Sixberth 53268 1507998 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire.<ref name="bmagic">{{cite web|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|access-date=6 March 2011|archive-date=8 August 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|url-status=dead}}</ref><ref name="lubainahimid">[http://www.lubainahimid.info/full_cv Biography; Full CV]. Lubaina Himid website. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150402115936/http://www.lubainahimid.uk/full_cv |date=2 April 2015 }}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi.<ref name="northernartprize">[http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid "Lubaina Himid"], Northern Art Prize. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110127124248/http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid |date=27 January 2011 }}</ref> Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980<ref name="northernartprize"/> na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name="lubainahimid"/><ref name=":3">{{Cite web|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|last=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|access-date=2021-11-20|website=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017{{r|bbc}} na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026.<ref>https://www.theguardian.com/artanddesign/2025/feb/24/lubaina-himid-britain-at-2026-venice-biennale</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954<ref name="Phaidon Editors">{{cite book |last1= |title=Great Women Artists |date=2019 |publisher=Phaidon Press |isbn=978-0714878775 |page=188}}</ref> akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo,<ref name="Financial Times 20 January 2017">{{cite news |last= Spence |first= Rachel |title= British artist Lubaina Himid rides a wave of overdue recognition |url= https://www.ft.com/content/b492a9f0-dcae-11e6-86ac-f253db7791c6 | date= 20 January 2017| newspaper= [[Financial Times]] |location=London| accessdate=4 May 2017}}</ref> kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu.<ref name="Guardian 18 January 2017">{{cite news |last= Judah |first= Hettie |title= President with a torpedo in his crotch: how the works of Lubaina Himid speak to Trump times |url= https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/jan/18/lubaina-himid-artist-slavery-race-issues-zanzibar-trump-reagan| date= 18 January 2017|newspaper= [[The Guardian]] |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976.<ref name="University of Central Lancashire staff profile">{{cite web |url= http://www.uclan.ac.uk/staff_profiles/lubaina_himid.php|title= Prof. Lubaina Himid, MBE: Professor of Contemporary Art |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |website= www.uclan.ac.uk |publisher= [[University of Central Lancashire]] | accessdate= 4 May 2017 }}</ref> Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984.<ref name="University of Central Lancashire staff profile"/><ref name="bmagic"/> ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na Black Woman Time Now [1] katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na Five Black Women, maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London. [2] Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: Into the Open (1984), The Thin Black Line ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985), [3] Unrecorded Truths (1986), Out There Fighting (1987), New Robes for MaShulan (1987), na State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987). [4] Into the Open, iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza. [5] Kutaja Pesa (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa. [6] ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994. Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] q22hphjuvla3sepcj3s0v5n2mvjrzdb 1508007 1507998 2026-04-21T07:56:34Z Abubakari Sixberth 53268 1508007 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire.<ref name="bmagic">{{cite web|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|access-date=6 March 2011|archive-date=8 August 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|url-status=dead}}</ref><ref name="lubainahimid">[http://www.lubainahimid.info/full_cv Biography; Full CV]. Lubaina Himid website. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150402115936/http://www.lubainahimid.uk/full_cv |date=2 April 2015 }}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi.<ref name="northernartprize">[http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid "Lubaina Himid"], Northern Art Prize. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110127124248/http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid |date=27 January 2011 }}</ref> Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980<ref name="northernartprize"/> na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name="lubainahimid"/><ref name=":3">{{Cite web|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|last=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|access-date=2021-11-20|website=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026.<ref>https://www.theguardian.com/artanddesign/2025/feb/24/lubaina-himid-britain-at-2026-venice-biennale</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954<ref name="Phaidon Editors">{{cite book |last1= |title=Great Women Artists |date=2019 |publisher=Phaidon Press |isbn=978-0714878775 |page=188}}</ref> akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo,<ref name="Financial Times 20 January 2017">{{cite news |last= Spence |first= Rachel |title= British artist Lubaina Himid rides a wave of overdue recognition |url= https://www.ft.com/content/b492a9f0-dcae-11e6-86ac-f253db7791c6 | date= 20 January 2017| newspaper= [[Financial Times]] |location=London| accessdate=4 May 2017}}</ref> kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu.<ref name="Guardian 18 January 2017">{{cite news |last= Judah |first= Hettie |title= President with a torpedo in his crotch: how the works of Lubaina Himid speak to Trump times |url= https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/jan/18/lubaina-himid-artist-slavery-race-issues-zanzibar-trump-reagan| date= 18 January 2017|newspaper= [[The Guardian]] |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976.<ref name="University of Central Lancashire staff profile">{{cite web |url= http://www.uclan.ac.uk/staff_profiles/lubaina_himid.php|title= Prof. Lubaina Himid, MBE: Professor of Contemporary Art |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |website= www.uclan.ac.uk |publisher= [[University of Central Lancashire]] | accessdate= 4 May 2017 }}</ref> Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984.<ref name="University of Central Lancashire staff profile"/><ref name="bmagic"/> ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na ''Black Woman Time Now''<ref name=":2">{{Cite book|last=Pilcher|first=Alex|title=A Queer Little History of Art|publisher=Tate Publishing|year=2017|isbn=978-1-84976-503-9|location=London|pages=94}}</ref> katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na ''Five Black Women'', maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London.<ref name="DiasArt">{{cite web|url=http://new.diaspora-artists.net/display_item.php?id=43&table=artists&exhibitionslink=expand|title=Lubaina Himid MBE, CBE|website=Diaspora-Artists.net|accessdate=10 March 2016}}</ref> Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: ''Into the Open (1984)'', ''The Thin Black Line'' ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985),<ref>[http://makinghistoriesvisible.com/curations/thin-black-lines/ "Thin Black Line(s)"], Making Histories Visible.</ref> ''Unrecorded Truths (1986)'', ''Out There Fighting (1987)'', ''New Robes for MaShulan (1987)'', na ''State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987)''.<ref>{{Cite book|title=Recordings : a select bibliography of contemporary African, Afro-Caribbean and Asian British art|last=Melanie|first=Keen|date=1996|publisher=[[Institute of International Visual Arts]] and [[Chelsea College of Art and Design]]|isbn=1899846069|location=London|oclc=36076932}}</ref> ''Into the Open'', iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza.<ref>{{Cite book|url=http://catalog.hathitrust.org/api/volumes/oclc/40869639.html|title=Contemporary women artists|last1=Hillstrom|first1=Laurie Collier|last2=Hillstrom|first2=Kevin|date=1999|publisher=St. James Press|location=Detroit|isbn=9781558623729|language=en}}</ref> ''Naming the Money'' (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa.<ref name=":1">{{Cite book|title=Great women artists|others=Morrill, Rebecca,, Wright, Karen, 1950 November 15-, Elderton, Louisa|date = 2 October 2019|isbn=978-0-7148-7877-5|location=London|oclc=1099690505}}</ref> ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza. [1] Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya Kutaja Pesa kwa The Daily Telegraph mnamo Februari 2017, Louisa Buck alibainisha: "Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika." [1] ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994. Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] d07205bs8jgtiare81p26oqrwnjf9uh 1508013 1508007 2026-04-21T08:02:38Z Abubakari Sixberth 53268 /* Mapokezi muhimu */ 1508013 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire.<ref name="bmagic">{{cite web|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|access-date=6 March 2011|archive-date=8 August 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|url-status=dead}}</ref><ref name="lubainahimid">[http://www.lubainahimid.info/full_cv Biography; Full CV]. Lubaina Himid website. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150402115936/http://www.lubainahimid.uk/full_cv |date=2 April 2015 }}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi.<ref name="northernartprize">[http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid "Lubaina Himid"], Northern Art Prize. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110127124248/http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid |date=27 January 2011 }}</ref> Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980<ref name="northernartprize"/> na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name="lubainahimid"/><ref name=":3">{{Cite web|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|last=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|access-date=2021-11-20|website=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026.<ref>https://www.theguardian.com/artanddesign/2025/feb/24/lubaina-himid-britain-at-2026-venice-biennale</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954<ref name="Phaidon Editors">{{cite book |last1= |title=Great Women Artists |date=2019 |publisher=Phaidon Press |isbn=978-0714878775 |page=188}}</ref> akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo,<ref name="Financial Times 20 January 2017">{{cite news |last= Spence |first= Rachel |title= British artist Lubaina Himid rides a wave of overdue recognition |url= https://www.ft.com/content/b492a9f0-dcae-11e6-86ac-f253db7791c6 | date= 20 January 2017| newspaper= [[Financial Times]] |location=London| accessdate=4 May 2017}}</ref> kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu.<ref name="Guardian 18 January 2017">{{cite news |last= Judah |first= Hettie |title= President with a torpedo in his crotch: how the works of Lubaina Himid speak to Trump times |url= https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/jan/18/lubaina-himid-artist-slavery-race-issues-zanzibar-trump-reagan| date= 18 January 2017|newspaper= [[The Guardian]] |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976.<ref name="University of Central Lancashire staff profile">{{cite web |url= http://www.uclan.ac.uk/staff_profiles/lubaina_himid.php|title= Prof. Lubaina Himid, MBE: Professor of Contemporary Art |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |website= www.uclan.ac.uk |publisher= [[University of Central Lancashire]] | accessdate= 4 May 2017 }}</ref> Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984.<ref name="University of Central Lancashire staff profile"/><ref name="bmagic"/> ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na ''Black Woman Time Now''<ref name=":2">{{Cite book|last=Pilcher|first=Alex|title=A Queer Little History of Art|publisher=Tate Publishing|year=2017|isbn=978-1-84976-503-9|location=London|pages=94}}</ref> katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na ''Five Black Women'', maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London.<ref name="DiasArt">{{cite web|url=http://new.diaspora-artists.net/display_item.php?id=43&table=artists&exhibitionslink=expand|title=Lubaina Himid MBE, CBE|website=Diaspora-Artists.net|accessdate=10 March 2016}}</ref> Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: ''Into the Open (1984)'', ''The Thin Black Line'' ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985),<ref>[http://makinghistoriesvisible.com/curations/thin-black-lines/ "Thin Black Line(s)"], Making Histories Visible.</ref> ''Unrecorded Truths (1986)'', ''Out There Fighting (1987)'', ''New Robes for MaShulan (1987)'', na ''State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987)''.<ref>{{Cite book|title=Recordings : a select bibliography of contemporary African, Afro-Caribbean and Asian British art|last=Melanie|first=Keen|date=1996|publisher=[[Institute of International Visual Arts]] and [[Chelsea College of Art and Design]]|isbn=1899846069|location=London|oclc=36076932}}</ref> ''Into the Open'', iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza.<ref>{{Cite book|url=http://catalog.hathitrust.org/api/volumes/oclc/40869639.html|title=Contemporary women artists|last1=Hillstrom|first1=Laurie Collier|last2=Hillstrom|first2=Kevin|date=1999|publisher=St. James Press|location=Detroit|isbn=9781558623729|language=en}}</ref> ''Naming the Money'' (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa.<ref name=":1">{{Cite book|title=Great women artists|others=Morrill, Rebecca,, Wright, Karen, 1950 November 15-, Elderton, Louisa|date = 2 October 2019|isbn=978-0-7148-7877-5|location=London|oclc=1099690505}}</ref> ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza.<ref name=":3" /> Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya ''Naming the Money'' kwa ''The Daily Telegraph'' mnamo [[Februari]] 2017, Louisa Buck alibainisha: <blockquote>"Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika."<ref name="Daily Telegraph 17 February 2017">{{cite news |last= Buck |first= Louisa | author-link= Louisa Buck |title= Lubaina Himid: a trio of UK shows shines a light on the under-appreciated hero of black British art |url= https://www.telegraph.co.uk/luxury/art/lubaina-himid-trio-uk-shows-shines-light-under-appreciated-hero/| date= 17 February 2017|newspaper= The Daily Telegraph |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref></blockquote> ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". [1] Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner . [1] [2] Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50. [3] Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994. Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017. [1] Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa." [1] [2] Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018. [1] Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig . [1] ==Kazi maarufu== *Tutakuwa (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983) [1] *Mfupa katika Uchina: mafanikio kwa Biashara ya Afrika (ufungaji, karibu 1985) *Kisasi: kinyago katika meza tano (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *Zanzibar (mfululizo wa michoro, 1999) *Mpango B (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *Kumeza kwa Nguvu: Huduma ya Chakula cha Jioni ya Lancaster (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *Chanya Hasi (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *Le Rodeur (mfululizo wa michoro, 2016) *Wakati mwingine hujui unachopata hadi iwe imechelewa sana (mfululizo wa michoro, 2020) [2] *Bittersweet (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] ep8zymgqxswv8oaq2tv61rxg7w0p8wy 1508020 1508013 2026-04-21T08:16:20Z Abubakari Sixberth 53268 1508020 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire.<ref name="bmagic">{{cite web|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|access-date=6 March 2011|archive-date=8 August 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|url-status=dead}}</ref><ref name="lubainahimid">[http://www.lubainahimid.info/full_cv Biography; Full CV]. Lubaina Himid website. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150402115936/http://www.lubainahimid.uk/full_cv |date=2 April 2015 }}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi.<ref name="northernartprize">[http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid "Lubaina Himid"], Northern Art Prize. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110127124248/http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid |date=27 January 2011 }}</ref> Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980<ref name="northernartprize"/> na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name="lubainahimid"/><ref name=":3">{{Cite web|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|last=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|access-date=2021-11-20|website=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026.<ref>https://www.theguardian.com/artanddesign/2025/feb/24/lubaina-himid-britain-at-2026-venice-biennale</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954<ref name="Phaidon Editors">{{cite book |last1= |title=Great Women Artists |date=2019 |publisher=Phaidon Press |isbn=978-0714878775 |page=188}}</ref> akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo,<ref name="Financial Times 20 January 2017">{{cite news |last= Spence |first= Rachel |title= British artist Lubaina Himid rides a wave of overdue recognition |url= https://www.ft.com/content/b492a9f0-dcae-11e6-86ac-f253db7791c6 | date= 20 January 2017| newspaper= [[Financial Times]] |location=London| accessdate=4 May 2017}}</ref> kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu.<ref name="Guardian 18 January 2017">{{cite news |last= Judah |first= Hettie |title= President with a torpedo in his crotch: how the works of Lubaina Himid speak to Trump times |url= https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/jan/18/lubaina-himid-artist-slavery-race-issues-zanzibar-trump-reagan| date= 18 January 2017|newspaper= [[The Guardian]] |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976.<ref name="University of Central Lancashire staff profile">{{cite web |url= http://www.uclan.ac.uk/staff_profiles/lubaina_himid.php|title= Prof. Lubaina Himid, MBE: Professor of Contemporary Art |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |website= www.uclan.ac.uk |publisher= [[University of Central Lancashire]] | accessdate= 4 May 2017 }}</ref> Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984.<ref name="University of Central Lancashire staff profile"/><ref name="bmagic"/> ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na ''Black Woman Time Now''<ref name=":2">{{Cite book|last=Pilcher|first=Alex|title=A Queer Little History of Art|publisher=Tate Publishing|year=2017|isbn=978-1-84976-503-9|location=London|pages=94}}</ref> katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na ''Five Black Women'', maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London.<ref name="DiasArt">{{cite web|url=http://new.diaspora-artists.net/display_item.php?id=43&table=artists&exhibitionslink=expand|title=Lubaina Himid MBE, CBE|website=Diaspora-Artists.net|accessdate=10 March 2016}}</ref> Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: ''Into the Open (1984)'', ''The Thin Black Line'' ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985),<ref>[http://makinghistoriesvisible.com/curations/thin-black-lines/ "Thin Black Line(s)"], Making Histories Visible.</ref> ''Unrecorded Truths (1986)'', ''Out There Fighting (1987)'', ''New Robes for MaShulan (1987)'', na ''State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987)''.<ref>{{Cite book|title=Recordings : a select bibliography of contemporary African, Afro-Caribbean and Asian British art|last=Melanie|first=Keen|date=1996|publisher=[[Institute of International Visual Arts]] and [[Chelsea College of Art and Design]]|isbn=1899846069|location=London|oclc=36076932}}</ref> ''Into the Open'', iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza.<ref>{{Cite book|url=http://catalog.hathitrust.org/api/volumes/oclc/40869639.html|title=Contemporary women artists|last1=Hillstrom|first1=Laurie Collier|last2=Hillstrom|first2=Kevin|date=1999|publisher=St. James Press|location=Detroit|isbn=9781558623729|language=en}}</ref> ''Naming the Money'' (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa.<ref name=":1">{{Cite book|title=Great women artists|others=Morrill, Rebecca,, Wright, Karen, 1950 November 15-, Elderton, Louisa|date = 2 October 2019|isbn=978-0-7148-7877-5|location=London|oclc=1099690505}}</ref> ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza.<ref name=":3" /> Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya ''Naming the Money'' kwa ''The Daily Telegraph'' mnamo [[Februari]] 2017, Louisa Buck alibainisha: <blockquote>"Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika."<ref name="Daily Telegraph 17 February 2017">{{cite news |last= Buck |first= Louisa | author-link= Louisa Buck |title= Lubaina Himid: a trio of UK shows shines a light on the under-appreciated hero of black British art |url= https://www.telegraph.co.uk/luxury/art/lubaina-himid-trio-uk-shows-shines-light-under-appreciated-hero/| date= 17 February 2017|newspaper= The Daily Telegraph |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref></blockquote> ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". <ref name="London Gazette 12 June 2010" /> Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner.<ref>{{Cite news|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/dec/05/lubaina-himid-becomes-oldest-artist-to-win-turner-prize|title=Lubaina Himid becomes oldest artist to win Turner prize|last=Brown|first=Mark|date=5 December 2017|work=The Guardian|accessdate=5 December 2017|issn=0261-3077}}</ref><ref name=":1" /> Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50.<ref name="BBC News 3 May 2017">{{cite web |url= https://www.bbc.co.uk/news/entertainment-arts-39783661 |title= Turner Prize: Black painting pioneers break award age barrier |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |date= 3 May 2017|website= [[BBC News Online]] | accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994. Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017.<ref>Barnard, Imelda (21 September 2017), [https://www.apollo-magazine.com/artist-of-the-year-winner-apollo-awards-2017/ "Artist of the Year"], ''Apollo''.</ref> Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa."<ref name="CBE">{{London Gazette |issue=62310 |supp=y |page=B9 |date=9 June 2018}}</ref><ref name=Boardman>Boardman, Lyndsey (12 June 2018), [https://www.uclan.ac.uk/news/lubaina-himid-cbe.php "CBE for Turner Prize winner and UCLan Professor"], University of Central Lancashire (UCLan).</ref> Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018.<ref>{{cite web |url=https://www.royalacademy.org.uk/art-artists/name/lubaina-himid-ra-elect |title=Lubaina Himid – Artist |publisher=Royal Academy of Arts |location=London}}</ref> Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig.<ref name="w242">{{cite web | title=Der Maria Lassnig Preis 2023 geht an Lubaina Himid | website=FOTOCULT MAGAZIN | date=31 August 2023 | url=https://www.fotocultmagazin.com/fotocultblog/der-maria-lassnig-preis-2023-geht-an-lubaina-himid | language=de | access-date=16 June 2025}}</ref> ==Kazi maarufu== *''We Will Be'' (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983)<ref name=":2" /> *''Bone in the China: success to the Africa Trade'' (ufungaji, karibu 1985) *''Revenge: a masque in five tableaux'' (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *''Zanzibar'' (mfululizo wa michoro, 1999) *''Plan B'' (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *''Swallow Hard: the Lancaster Dinner Service'' (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *''Negative Positives'' (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *''Le Rodeur'' (mfululizo wa michoro, 2016) *''Sometimes you don't know what you're getting until it's too late'' (mfululizo wa michoro, 2020)<ref>{{Cite book |title=Being and belonging: contemporary women artists from the Islamic world and beyond |date=2023 |publisher=ROM |isbn=978-0-300-27509-4 |editor-last=Suleman |editor-first=Fahmida |location=Toronto |editor-last2=Royal Ontario Museum}}</ref> *''Bittersweet'' (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] 2akc20tj32un7tahu9k7wty4p83l4yl 1508022 1508020 2026-04-21T08:17:16Z Abubakari Sixberth 53268 /* Tuzo */ 1508022 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire.<ref name="bmagic">{{cite web|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|access-date=6 March 2011|archive-date=8 August 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|url-status=dead}}</ref><ref name="lubainahimid">[http://www.lubainahimid.info/full_cv Biography; Full CV]. Lubaina Himid website. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150402115936/http://www.lubainahimid.uk/full_cv |date=2 April 2015 }}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi.<ref name="northernartprize">[http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid "Lubaina Himid"], Northern Art Prize. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110127124248/http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid |date=27 January 2011 }}</ref> Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980<ref name="northernartprize"/> na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name="lubainahimid"/><ref name=":3">{{Cite web|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|last=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|access-date=2021-11-20|website=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026.<ref>https://www.theguardian.com/artanddesign/2025/feb/24/lubaina-himid-britain-at-2026-venice-biennale</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954<ref name="Phaidon Editors">{{cite book |last1= |title=Great Women Artists |date=2019 |publisher=Phaidon Press |isbn=978-0714878775 |page=188}}</ref> akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo,<ref name="Financial Times 20 January 2017">{{cite news |last= Spence |first= Rachel |title= British artist Lubaina Himid rides a wave of overdue recognition |url= https://www.ft.com/content/b492a9f0-dcae-11e6-86ac-f253db7791c6 | date= 20 January 2017| newspaper= [[Financial Times]] |location=London| accessdate=4 May 2017}}</ref> kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu.<ref name="Guardian 18 January 2017">{{cite news |last= Judah |first= Hettie |title= President with a torpedo in his crotch: how the works of Lubaina Himid speak to Trump times |url= https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/jan/18/lubaina-himid-artist-slavery-race-issues-zanzibar-trump-reagan| date= 18 January 2017|newspaper= [[The Guardian]] |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976.<ref name="University of Central Lancashire staff profile">{{cite web |url= http://www.uclan.ac.uk/staff_profiles/lubaina_himid.php|title= Prof. Lubaina Himid, MBE: Professor of Contemporary Art |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |website= www.uclan.ac.uk |publisher= [[University of Central Lancashire]] | accessdate= 4 May 2017 }}</ref> Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984.<ref name="University of Central Lancashire staff profile"/><ref name="bmagic"/> ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na ''Black Woman Time Now''<ref name=":2">{{Cite book|last=Pilcher|first=Alex|title=A Queer Little History of Art|publisher=Tate Publishing|year=2017|isbn=978-1-84976-503-9|location=London|pages=94}}</ref> katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na ''Five Black Women'', maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London.<ref name="DiasArt">{{cite web|url=http://new.diaspora-artists.net/display_item.php?id=43&table=artists&exhibitionslink=expand|title=Lubaina Himid MBE, CBE|website=Diaspora-Artists.net|accessdate=10 March 2016}}</ref> Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: ''Into the Open (1984)'', ''The Thin Black Line'' ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985),<ref>[http://makinghistoriesvisible.com/curations/thin-black-lines/ "Thin Black Line(s)"], Making Histories Visible.</ref> ''Unrecorded Truths (1986)'', ''Out There Fighting (1987)'', ''New Robes for MaShulan (1987)'', na ''State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987)''.<ref>{{Cite book|title=Recordings : a select bibliography of contemporary African, Afro-Caribbean and Asian British art|last=Melanie|first=Keen|date=1996|publisher=[[Institute of International Visual Arts]] and [[Chelsea College of Art and Design]]|isbn=1899846069|location=London|oclc=36076932}}</ref> ''Into the Open'', iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza.<ref>{{Cite book|url=http://catalog.hathitrust.org/api/volumes/oclc/40869639.html|title=Contemporary women artists|last1=Hillstrom|first1=Laurie Collier|last2=Hillstrom|first2=Kevin|date=1999|publisher=St. James Press|location=Detroit|isbn=9781558623729|language=en}}</ref> ''Naming the Money'' (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa.<ref name=":1">{{Cite book|title=Great women artists|others=Morrill, Rebecca,, Wright, Karen, 1950 November 15-, Elderton, Louisa|date = 2 October 2019|isbn=978-0-7148-7877-5|location=London|oclc=1099690505}}</ref> ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza.<ref name=":3" /> Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya ''Naming the Money'' kwa ''The Daily Telegraph'' mnamo [[Februari]] 2017, Louisa Buck alibainisha: <blockquote>"Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika."<ref name="Daily Telegraph 17 February 2017">{{cite news |last= Buck |first= Louisa | author-link= Louisa Buck |title= Lubaina Himid: a trio of UK shows shines a light on the under-appreciated hero of black British art |url= https://www.telegraph.co.uk/luxury/art/lubaina-himid-trio-uk-shows-shines-light-under-appreciated-hero/| date= 17 February 2017|newspaper= The Daily Telegraph |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref></blockquote> ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner.<ref>{{Cite news|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/dec/05/lubaina-himid-becomes-oldest-artist-to-win-turner-prize|title=Lubaina Himid becomes oldest artist to win Turner prize|last=Brown|first=Mark|date=5 December 2017|work=The Guardian|accessdate=5 December 2017|issn=0261-3077}}</ref><ref name=":1" /> Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50.<ref name="BBC News 3 May 2017">{{cite web |url= https://www.bbc.co.uk/news/entertainment-arts-39783661 |title= Turner Prize: Black painting pioneers break award age barrier |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |date= 3 May 2017|website= [[BBC News Online]] | accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994. Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017.<ref>Barnard, Imelda (21 September 2017), [https://www.apollo-magazine.com/artist-of-the-year-winner-apollo-awards-2017/ "Artist of the Year"], ''Apollo''.</ref> Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa."<ref name=Boardman>Boardman, Lyndsey (12 June 2018), [https://www.uclan.ac.uk/news/lubaina-himid-cbe.php "CBE for Turner Prize winner and UCLan Professor"], University of Central Lancashire (UCLan).</ref> Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018.<ref>{{cite web |url=https://www.royalacademy.org.uk/art-artists/name/lubaina-himid-ra-elect |title=Lubaina Himid – Artist |publisher=Royal Academy of Arts |location=London}}</ref> Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig.<ref name="w242">{{cite web | title=Der Maria Lassnig Preis 2023 geht an Lubaina Himid | website=FOTOCULT MAGAZIN | date=31 August 2023 | url=https://www.fotocultmagazin.com/fotocultblog/der-maria-lassnig-preis-2023-geht-an-lubaina-himid | language=de | access-date=16 June 2025}}</ref> ==Kazi maarufu== *''We Will Be'' (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983)<ref name=":2" /> *''Bone in the China: success to the Africa Trade'' (ufungaji, karibu 1985) *''Revenge: a masque in five tableaux'' (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *''Zanzibar'' (mfululizo wa michoro, 1999) *''Plan B'' (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *''Swallow Hard: the Lancaster Dinner Service'' (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *''Negative Positives'' (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *''Le Rodeur'' (mfululizo wa michoro, 2016) *''Sometimes you don't know what you're getting until it's too late'' (mfululizo wa michoro, 2020)<ref>{{Cite book |title=Being and belonging: contemporary women artists from the Islamic world and beyond |date=2023 |publisher=ROM |isbn=978-0-300-27509-4 |editor-last=Suleman |editor-first=Fahmida |location=Toronto |editor-last2=Royal Ontario Museum}}</ref> *''Bittersweet'' (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] i7fenjba9c29c9ooe7z7yqtbzpt8tz3 1508024 1508022 2026-04-21T08:20:05Z Abubakari Sixberth 53268 1508024 wikitext text/x-wiki '''Lubaina Himid''' CBE RA (alizaliwa [[1954]]) ni [[Mwingereza]] ambaye ni mwandishi wa vitabu na mtunzaji wa kazi za sanaa. Yeye ni [[profesa]] wa sanaa ya kisasa, kwa maneno mingine hii ni aina ya sanaa yenye kugusia mada nyeti za kibinafsi au za kisiasa au mada ambayo ni mwiko kwenye jamii ndani ya Chuo Kikuu cha Central Lancashire.<ref name="bmagic">{{cite web|url=http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|title=Biography for Lubaina Himid|publisher=[[Birmingham Museums and Art Gallery]]|access-date=6 March 2011|archive-date=8 August 2016|archive-url=https://web.archive.org/web/20160808091201/http://www.bmagic.org.uk/people/Lubaina+Himid|url-status=dead}}</ref><ref name="lubainahimid">[http://www.lubainahimid.info/full_cv Biography; Full CV]. Lubaina Himid website. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20150402115936/http://www.lubainahimid.uk/full_cv |date=2 April 2015 }}</ref> Sanaa yake inazingatia mada za historia na kitamaduni ili kurejesha utambulisho halisi.<ref name="northernartprize">[http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid "Lubaina Himid"], Northern Art Prize. {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110127124248/http://www.northernartprize.org.uk/2010-prize/2010-shortlist/lubaina-himid |date=27 January 2011 }}</ref> Himid alikuwa kati ya wasanii wa kwanza kushiriki katika harakati za Sanaa Nyeusi nchini Uingereza katika miaka hiyo ya 1980<ref name="northernartprize"/> na anaendelea kuunda sanaa ya wanaharakati ambayo inaonyeshwa katika majumba ya sanaa nchini Uingereza, na pia duniani kote. <ref name="lubainahimid"/><ref name=":3">{{Cite web|date=2021-11-20|title=Interview {{!}} Lubaina Himid: 'The beginning of my life was a terrible tragedy'|first=Charlotte|last=Higgins|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2021/nov/20/lubaina-himid-the-beginning-of-my-life-was-a-terrible-tragedy|access-date=2021-11-20|website=The Guardian|language=en}}</ref> Himid aliteuliwa kuwa MBE mwaka Juni 2010 "kwa huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi", alishinda Tuzo ya Turner mnamo 2017 na alipandishwa cheo hadi CBE katika Heshima ya Kuzaliwa kwa Malkia ya 2018 "kwa huduma kwa Sanaa." Mnamo 2025, Himid alichaguliwa na Baraza la Uingereza kuiwakilisha Uingereza katika Mkutano Mkuu wa Venice wa 2026.<ref>https://www.theguardian.com/artanddesign/2025/feb/24/lubaina-himid-britain-at-2026-venice-biennale</ref> ==Maisha ya awali na elimu== Himid alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar (wakati huo ukiwa eneo linalolindwa na Uingereza, sasa ni sehemu ya Tanzania) mnamo 1954<ref name="Phaidon Editors">{{cite book |last1= |title=Great Women Artists |date=2019 |publisher=Phaidon Press |isbn=978-0714878775 |page=188}}</ref> akahamia Uingereza na mama yake, mbunifu wa nguo,<ref name="Financial Times 20 January 2017">{{cite news |last= Spence |first= Rachel |title= British artist Lubaina Himid rides a wave of overdue recognition |url= https://www.ft.com/content/b492a9f0-dcae-11e6-86ac-f253db7791c6 | date= 20 January 2017| newspaper= [[Financial Times]] |location=London| accessdate=4 May 2017}}</ref> kufuatia kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miezi minne tu.<ref name="Guardian 18 January 2017">{{cite news |last= Judah |first= Hettie |title= President with a torpedo in his crotch: how the works of Lubaina Himid speak to Trump times |url= https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/jan/18/lubaina-himid-artist-slavery-race-issues-zanzibar-trump-reagan| date= 18 January 2017|newspaper= [[The Guardian]] |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Alihudhuria Chuo cha Sanaa cha Wimbledon, ambapo alisomea Ubunifu wa Maigizo, na kupata Shahada yake ya Uzamili mnamo 1976.<ref name="University of Central Lancashire staff profile">{{cite web |url= http://www.uclan.ac.uk/staff_profiles/lubaina_himid.php|title= Prof. Lubaina Himid, MBE: Professor of Contemporary Art |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |website= www.uclan.ac.uk |publisher= [[University of Central Lancashire]] | accessdate= 4 May 2017 }}</ref> Alipata shahada yake ya uzamili katika Historia ya Utamaduni kutoka Chuo cha Sanaa cha Royal huko London mnamo 1984.<ref name="University of Central Lancashire staff profile"/><ref name="bmagic"/> ==Kazi ya uangalizi== Himid ameandaa maonyesho kadhaa ya kazi za wasanii wanawake weusi, ikiwa ni pamoja na ''Black Woman Time Now''<ref name=":2">{{Cite book|last=Pilcher|first=Alex|title=A Queer Little History of Art|publisher=Tate Publishing|year=2017|isbn=978-1-84976-503-9|location=London|pages=94}}</ref> katika Kituo cha Sanaa cha Battersea jijini London (1983) na ''Five Black Women'', maonyesho mwaka wa 1983 katika Kituo cha Afrika, London.<ref name="DiasArt">{{cite web|url=http://new.diaspora-artists.net/display_item.php?id=43&table=artists&exhibitionslink=expand|title=Lubaina Himid MBE, CBE|website=Diaspora-Artists.net|accessdate=10 March 2016}}</ref> Miongoni mwa maonyesho mengine aliyoyasimamia ni: ''Into the Open (1984)'', ''The Thin Black Line'' ( Taasisi ya Sanaa ya Kisasa, 1985),<ref>[http://makinghistoriesvisible.com/curations/thin-black-lines/ "Thin Black Line(s)"], Making Histories Visible.</ref> ''Unrecorded Truths (1986)'', ''Out There Fighting (1987)'', ''New Robes for MaShulan (1987)'', na ''State of the Art: Ideas and Images in the 1980s (1987)''.<ref>{{Cite book|title=Recordings : a select bibliography of contemporary African, Afro-Caribbean and Asian British art|last=Melanie|first=Keen|date=1996|publisher=[[Institute of International Visual Arts]] and [[Chelsea College of Art and Design]]|isbn=1899846069|location=London|oclc=36076932}}</ref> ''Into the Open'', iliyowasilishwa katika Jumba la Sanaa la Mappin huko Sheffield, ilionekana sana kama maonyesho makubwa ya kwanza ya kizazi kipya cha wasanii weusi wa Uingereza.<ref>{{Cite book|url=http://catalog.hathitrust.org/api/volumes/oclc/40869639.html|title=Contemporary women artists|last1=Hillstrom|first1=Laurie Collier|last2=Hillstrom|first2=Kevin|date=1999|publisher=St. James Press|location=Detroit|isbn=9781558623729|language=en}}</ref> ''Naming the Money'' (2004), kunawasilisha umati wenye furaha wa watu 100 waliotumwa, wakionyesha majukumu yao waliyocheza katika mahakama za kifalme za Ulaya: Majukumu haya yanaanzia kwa wafunzaji mbwa, watengenezaji wa vinyago na watengenezaji ramani hadi mabwana wa densi, wanamuziki na wachoraji. Walinunuliwa kama "mali" ya Wazungu matajiri wakati ambapo Waafrika walichukuliwa kama vitengo vya sarafu na watumishi weusi walikuwa alama za hadhi. Akikutana na waathiriwa hawa wa biashara haramu ya binadamu ya karne ya 18, mgeni hujifunza utambulisho wao wa asili, pamoja na ule waliolazimishwa.<ref name=":1">{{Cite book|title=Great women artists|others=Morrill, Rebecca,, Wright, Karen, 1950 November 15-, Elderton, Louisa|date = 2 October 2019|isbn=978-0-7148-7877-5|location=London|oclc=1099690505}}</ref> ==Mapokezi muhimu== Himid anaona kwamba maoni ya ukosoaji yalibadilika baada ya kazi yake kuonyeshwa na jumba la sanaa la Bustani za Hollybush huko London 2013. Kabla ya tarehe hii alikuwa ameonyesha nchini Uingereza lakini si kimataifa au katika taasisi kubwa zaidi za Uingereza.<ref name=":3" /> Akipitia toleo lililosasishwa la kazi ya Himid ya 2004 ya ''Naming the Money'' kwa ''The Daily Telegraph'' mnamo [[Februari]] 2017, Louisa Buck alibainisha: <blockquote>"Kazi ya Himid imekuwa ikihusu ubunifu wa watu weusi, historia na utambulisho na umati huu wenye michoro unawakilisha Waafrika walioletwa Ulaya kama watumwa. Kuna wapiga ngoma, wakufunzi wa mbwa, wacheza densi, wafinyanzi, washonaji viatu, bustani na wapiga viola da gamba, wote wakiwa wamepambwa kwa matoleo maridadi ya vazi la karne ya 17. Lebo migongoni mwao humtambulisha kila mtu, zikitoa majina na kazi zao za asili za Kiafrika pamoja na zile zilizowekwa na wamiliki wao wapya wa Ulaya, na maandishi haya yenye kugusa moyo pia ni sehemu ya sauti ya kusisimua, iliyochanganywa na vipande vya muziki wa Cuba, Ireland, Wayahudi na Afrika."<ref name="Daily Telegraph 17 February 2017">{{cite news |last= Buck |first= Louisa | author-link= Louisa Buck |title= Lubaina Himid: a trio of UK shows shines a light on the under-appreciated hero of black British art |url= https://www.telegraph.co.uk/luxury/art/lubaina-himid-trio-uk-shows-shines-light-under-appreciated-hero/| date= 17 February 2017|newspaper= The Daily Telegraph |location=London| accessdate= 3 May 2017 }}</ref></blockquote> ==Tuzo na heshima== ===Uanachama wa bodi=== Himid ameshikilia nyadhifa katika bodi na paneli nyingi. Yuko kwenye bodi ya wadhamini wa Kituo cha Sanaa cha Lowry Manchester. Zaidi ya hayo, yeye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa la Uingereza Sanaa za Kuona, Ushirikiano wa Ubunifu East Lancs na Baraza la Sanaa la Uingereza Kaskazini Magharibi. Uanachama wa bodi wa awali ni pamoja na Matt's Gallery, London (2002–05), na Baraza la Tate Liverpool (2000, 2005). Kuanzia 1985 hadi 1987 Himid alikuwa kwenye Jopo la Sanaa za Kuona la Chama cha Sanaa cha Greater London. ===Tuzo=== Himid aliteuliwa kuwa MBE katika Sherehe za Kuzaliwa za Juni 2010 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa ya Wanawake Weusi". Mnamo 2017 Himid akawa mwanamke mweusi wa kwanza kushinda Tuzo ya Turner.<ref>{{Cite news|url=https://www.theguardian.com/artanddesign/2017/dec/05/lubaina-himid-becomes-oldest-artist-to-win-turner-prize|title=Lubaina Himid becomes oldest artist to win Turner prize|last=Brown|first=Mark|date=5 December 2017|work=The Guardian|accessdate=5 December 2017|issn=0261-3077}}</ref><ref name=":1" /> Alikuwa mtu mzee zaidi kuteuliwa kwa tuzo hiyo kwani sheria zilibadilika ili kuruhusu uteuzi wa wasanii zaidi ya umri wa miaka 50.<ref name="BBC News 3 May 2017">{{cite web |url= https://www.bbc.co.uk/news/entertainment-arts-39783661 |title= Turner Prize: Black painting pioneers break award age barrier |author= <!--Staff writer(s); no by-line.--> |date= 3 May 2017|website= [[BBC News Online]] | accessdate= 3 May 2017 }}</ref> Hata hivyo, kulikuwa na wateule wakubwa katika miaka ya 1980, kabla ya kikomo cha umri kuanzishwa mwaka wa 1994. Jarida la Apollo lilimtaja Himid kama Msanii Bora wa Mwaka wa 2017.<ref>Barnard, Imelda (21 September 2017), [https://www.apollo-magazine.com/artist-of-the-year-winner-apollo-awards-2017/ "Artist of the Year"], ''Apollo''.</ref> Himid alipandishwa cheo hadi CBE mwaka wa 2018 "kwa ajili ya huduma kwa Sanaa."<ref name=Boardman>Boardman, Lyndsey (12 June 2018), [https://www.uclan.ac.uk/news/lubaina-himid-cbe.php "CBE for Turner Prize winner and UCLan Professor"], University of Central Lancashire (UCLan).</ref> Himid alichaguiwa kuwa Msomi wa Kifalme mnamo 2018.<ref>{{cite web |url=https://www.royalacademy.org.uk/art-artists/name/lubaina-himid-ra-elect |title=Lubaina Himid – Artist |publisher=Royal Academy of Arts |location=London}}</ref> Mnamo 2023, Himid alipewa Tuzo ya Maria Lassnig.<ref name="w242">{{cite web | title=Der Maria Lassnig Preis 2023 geht an Lubaina Himid | website=FOTOCULT MAGAZIN | date=31 August 2023 | url=https://www.fotocultmagazin.com/fotocultblog/der-maria-lassnig-preis-2023-geht-an-lubaina-himid | language=de | access-date=16 June 2025}}</ref> ==Kazi maarufu== *''We Will Be'' (mbao, rangi, pini za kuchora, sufu, kolaji, 1983)<ref name=":2" /> *''Bone in the China: success to the Africa Trade'' (ufungaji, karibu 1985) *''Revenge: a masque in five tableaux'' (ufungaji wa sehemu nyingi, 1991–92) *''Zanzibar'' (mfululizo wa michoro, 1999) *''Plan B'' (mfululizo wa michoro, 1999–2000) *''Swallow Hard: the Lancaster Dinner Service'' (kauri zilizopakwa rangi, 2007) *''Negative Positives'' (mfululizo wa kazi za picha, 2007–) *Kangas (kazi zinazohusiana kwenye karatasi n.k., tarehe mbalimbali) *''Le Rodeur'' (mfululizo wa michoro, 2016) *''Sometimes you don't know what you're getting until it's too late'' (mfululizo wa michoro, 2020)<ref>{{Cite book |title=Being and belonging: contemporary women artists from the Islamic world and beyond |date=2023 |publisher=ROM |isbn=978-0-300-27509-4 |editor-last=Suleman |editor-first=Fahmida |location=Toronto |editor-last2=Royal Ontario Museum}}</ref> *''Bittersweet'' (mfululizo wa michoro, 2022) ===Makusanyo ya umma=== Kazi za Himid ziko katika makusanyo mengi ya umma, ikiwa ni pamoja na Tate, Jumba la Makumbusho la Victoria & Albert, Jumba la Sanaa la Whitworth, Baraza la Sanaa la Uingereza, Jumba la Sanaa la Manchester, Jumba la Makumbusho la Kimataifa la Utumwa, Liverpool, Jumba la Sanaa la Walker, Jumba la Sanaa la Jiji la Birmingham, Jumba la Sanaa la Bolton, Ukumbi Mpya, Cambridge, na Jumba la Makumbusho la Harris na Jumba la Sanaa, Preston.<ref>[https://lubainahimid.uk/about/bio/ "Bio"], Lubna Himid website.</ref><ref>[https://lubainahimid.uk/about/work-in-collections/ "Work in collections"], Lubaina Himid.</ref> ==Marejeo== {{Reflist|30em|refs= <ref name=bbc>[s.n.] (5 December 2017). [https://www.bbc.com/news/entertainment-arts-42244324 Turner Prize 2017: Lubaina Himid's win makes history]. BBC News. Accessed December 2017.</ref> }} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Waandishi wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Zanzibar]] olf3y0hy6mjpq7vn17wt2xeyvgcig3v Musanase Laura 0 226205 1508026 1499032 2026-04-21T08:23:50Z Abubakari Sixberth 53268 1508026 wikitext text/x-wiki '''Musanase Laura''' (alizaliwa 1993) ni [[mwigizaji]] wa [[Rwanda]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://inyarwanda.com/inkuru/76226/menya-byinshi-kuri-nikuze-uri-mubakinnyi-10-ba-filime-bahata-76226.html|title=Much more you didn't know about NIKUZE "CityMaid" you are vying for the award for Best Actor|publisher=inyarwanda|accessdate=14 October 2020}}</ref> Laura anajulikana zaidi kwe kuigiza kwake kwenye 'Nikuze' katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid''. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> == Maisha ya kibinafsi == Alizaliwa [[Tanzania]], lakini alikulia [[Rwanda]], kwenye familia yenye ndugu sita. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Alisoma Shule ya Msingi ya Bright Academy katika [[Wilaya ya Nyagatare]]. Baadaye aliendelea na elimu yake ya sekondari katika shule ya Lycée de Kigali na hatimaye Shule ya Wasichana ya FAWE. <ref name="newtimes">{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> <ref name="kigalitoday">{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Kwa sasa anaishi [[Wilaya ya Gasabo|Gisozi]], [[wilaya ya Gasabo]]. == Kazi == Alianza kuigiza akiwa na jukumu kuu katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid'' . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Jukumu lake likawa maarufu sana kwa umma. <ref name="newtimes">{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="">[https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427 "Meet actress Laura Musanase"]. newtimes. 23 March 2017<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">14 October</span> 2020</span>.</cite></ref> <ref name="umuryango">{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Aliacha jukumu hilo kwa miaka michache, lakini baadaye alithibitisha kwamba angerudi kwenye kipindi hivi karibuni. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://igihe.com/imyidagaduro/article/nyuma-y-amezi-umunani-nikuze-agiye-kongera-kugaragara-muri-citymaid|title=Eight months later, Nikuze is set to reappear in Citymaid|publisher=IGIHE Ltd|accessdate=14 October 2020}}</ref> Pia aliteuliwa katika kategoria ya Mwigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Filamu [[Rwanda|za Rwanda]] . == Filamu == {| class="wikitable" !Mwaka ! Filamu ! Jukumu ! Aina ! Rejea. |- | 2018 | ''City Maid'' | Nikuze | Tamthilia ya Television | |} == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * {{IMDb name|nm4433963}} * [http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ Some of the well-known in Rwandan cinema are proud of its achievements] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201212173044/http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ |date=2020-12-12 }} [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Rwanda]] co5boa5o2byu3c916fhaljxy7gpz9ix 1508028 1508026 2026-04-21T08:24:30Z Abubakari Sixberth 53268 /* Maisha ya kibinafsi */ 1508028 wikitext text/x-wiki '''Musanase Laura''' (alizaliwa 1993) ni [[mwigizaji]] wa [[Rwanda]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://inyarwanda.com/inkuru/76226/menya-byinshi-kuri-nikuze-uri-mubakinnyi-10-ba-filime-bahata-76226.html|title=Much more you didn't know about NIKUZE "CityMaid" you are vying for the award for Best Actor|publisher=inyarwanda|accessdate=14 October 2020}}</ref> Laura anajulikana zaidi kwe kuigiza kwake kwenye 'Nikuze' katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid''. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> == Maisha ya kibinafsi == Alizaliwa [[Tanzania]], lakini alikulia [[Rwanda]], kwenye familia yenye ndugu sita. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Alisoma Shule ya Msingi ya Bright Academy katika [[Wilaya ya Nyagatare]]. Baadaye aliendelea na elimu yake ya sekondari katika shule ya Lycée de Kigali na hatimaye Shule ya Wasichana ya FAWE. <ref name="kigalitoday">{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Kwa sasa anaishi [[Wilaya ya Gasabo|Gisozi]], [[wilaya ya Gasabo]]. == Kazi == Alianza kuigiza akiwa na jukumu kuu katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid'' . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Jukumu lake likawa maarufu sana kwa umma. <ref name="newtimes">{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> <ref name="umuryango">{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Aliacha jukumu hilo kwa miaka michache, lakini baadaye alithibitisha kwamba angerudi kwenye kipindi hivi karibuni. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://igihe.com/imyidagaduro/article/nyuma-y-amezi-umunani-nikuze-agiye-kongera-kugaragara-muri-citymaid|title=Eight months later, Nikuze is set to reappear in Citymaid|publisher=IGIHE Ltd|accessdate=14 October 2020}}</ref> Pia aliteuliwa katika kategoria ya Mwigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Filamu [[Rwanda|za Rwanda]] . == Filamu == {| class="wikitable" !Mwaka ! Filamu ! Jukumu ! Aina ! Rejea. |- | 2018 | ''City Maid'' | Nikuze | Tamthilia ya Television | |} == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * {{IMDb name|nm4433963}} * [http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ Some of the well-known in Rwandan cinema are proud of its achievements] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201212173044/http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ |date=2020-12-12 }} [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Rwanda]] 5yegui0ty82ktzz56zschlc2utnhtjr 1508029 1508028 2026-04-21T08:27:47Z Abubakari Sixberth 53268 Abubakari Sixberth alihamisha ukurasa wa [[Laura Musanase]] hadi [[Musanase Laura]]: Avoid retranslation twice with the original title 1508028 wikitext text/x-wiki '''Musanase Laura''' (alizaliwa 1993) ni [[mwigizaji]] wa [[Rwanda]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://inyarwanda.com/inkuru/76226/menya-byinshi-kuri-nikuze-uri-mubakinnyi-10-ba-filime-bahata-76226.html|title=Much more you didn't know about NIKUZE "CityMaid" you are vying for the award for Best Actor|publisher=inyarwanda|accessdate=14 October 2020}}</ref> Laura anajulikana zaidi kwe kuigiza kwake kwenye 'Nikuze' katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid''. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> == Maisha ya kibinafsi == Alizaliwa [[Tanzania]], lakini alikulia [[Rwanda]], kwenye familia yenye ndugu sita. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Alisoma Shule ya Msingi ya Bright Academy katika [[Wilaya ya Nyagatare]]. Baadaye aliendelea na elimu yake ya sekondari katika shule ya Lycée de Kigali na hatimaye Shule ya Wasichana ya FAWE. <ref name="kigalitoday">{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Kwa sasa anaishi [[Wilaya ya Gasabo|Gisozi]], [[wilaya ya Gasabo]]. == Kazi == Alianza kuigiza akiwa na jukumu kuu katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid'' . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Jukumu lake likawa maarufu sana kwa umma. <ref name="newtimes">{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> <ref name="umuryango">{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Aliacha jukumu hilo kwa miaka michache, lakini baadaye alithibitisha kwamba angerudi kwenye kipindi hivi karibuni. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://igihe.com/imyidagaduro/article/nyuma-y-amezi-umunani-nikuze-agiye-kongera-kugaragara-muri-citymaid|title=Eight months later, Nikuze is set to reappear in Citymaid|publisher=IGIHE Ltd|accessdate=14 October 2020}}</ref> Pia aliteuliwa katika kategoria ya Mwigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Filamu [[Rwanda|za Rwanda]] . == Filamu == {| class="wikitable" !Mwaka ! Filamu ! Jukumu ! Aina ! Rejea. |- | 2018 | ''City Maid'' | Nikuze | Tamthilia ya Television | |} == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * {{IMDb name|nm4433963}} * [http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ Some of the well-known in Rwandan cinema are proud of its achievements] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201212173044/http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ |date=2020-12-12 }} [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Rwanda]] 5yegui0ty82ktzz56zschlc2utnhtjr 1508174 1508029 2026-04-21T11:33:47Z ~2026-24519-62 88836 1508174 wikitext text/x-wiki '''Musanase Laura''' (alizaliwa 1993) ni [[mwigizaji]] wa [[Rwanda]]. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://inyarwanda.com/inkuru/76226/menya-byinshi-kuri-nikuze-uri-mubakinnyi-10-ba-filime-bahata-76226.html|title=Much more you didn't know about NIKUZE "CityMaid" you are vying for the award for Best Actor|publisher=inyarwanda|accessdate=14 October 2020}}</ref> Laura anajulikana zaidi kwe kuigiza kwake kwenye 'Nikuze' katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid''. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> == Maisha binafsi == Alizaliwa [[Tanzania]], lakini alikulia [[Rwanda]], kwenye familia yenye ndugu sita. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Alisoma Shule ya Msingi ya Bright Academy katika [[Wilaya ya Nyagatare]]. Baadaye aliendelea na elimu yake ya sekondari katika shule ya Lycée de Kigali na hatimaye Shule ya Wasichana ya FAWE. <ref name="kigalitoday">{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Kwa sasa anaishi [[Gisozi]], [[wilaya ya Gasabo]]. == Kazi == Alianza kuigiza akiwa na jukumu kuu katika kipindi cha televisheni ''cha City Maid'' . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.kigalitoday.com/imyidagaduro/sinema/article/abafana-ba-nikuze-wo-muri-city-maid-bahura-nawe-bagaturika-bakarira|title=Nikuze fans from City Maid meet him and burst into tears|publisher=Kigali Today|accessdate=14 October 2020}}</ref> Jukumu lake likawa maarufu sana kwa umma. <ref name="newtimes">{{Rejea tovuti|url=https://www.newtimes.co.rw/section/read/209427|title=Meet actress Laura Musanase|date=23 March 2017|publisher=newtimes|accessdate=14 October 2020}}</ref> <ref name="umuryango">{{Rejea tovuti|url=https://www.umuryango.rw/imyidagaduro/article/nikuze-wahindutse-indaya-muri-city-maid-no-mu-buzima-busanzwe-yahindutse-indaya|title=Did I grow up to be a prostitute in 'City Maid' and in real life she became a prostitute?|publisher=umuryango|accessdate=14 October 2020}}</ref> Aliacha jukumu hilo kwa miaka michache, lakini baadaye alithibitisha kwamba angerudi kwenye kipindi hivi karibuni. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://igihe.com/imyidagaduro/article/nyuma-y-amezi-umunani-nikuze-agiye-kongera-kugaragara-muri-citymaid|title=Eight months later, Nikuze is set to reappear in Citymaid|publisher=IGIHE Ltd|accessdate=14 October 2020}}</ref> Pia aliteuliwa katika kategoria ya Mwigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Filamu [[Rwanda|za Rwanda]] . == Filamu == {| class="wikitable" !Mwaka ! Filamu ! Jukumu ! Aina ! Rejea. |- | 2018 | ''City Maid'' | Nikuze | Tamthilia ya Television | |} == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * {{IMDb name|nm4433963}} * [http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ Some of the well-known in Rwandan cinema are proud of its achievements] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20201212173044/http://imvahonshya.co.rw/bamwe-mu-bazwi-muri-sinema-nyarwanda-bishimira-urwego-igezeho/ |date=2020-12-12 }} {{mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waigizaji filamu wa Rwanda]] dvymna94d80vwjzaaw3bdrinyi7tjyw Meskerem Abera 0 226206 1508033 1499033 2026-04-21T08:31:27Z Abubakari Sixberth 53268 1508033 wikitext text/x-wiki '''Meskerem Abera''' (kwa [[Kiamhari]] : መስከረም አበራ; alizaliwa [[1989]]) ni mwanaharakati mwanamke pamoja na mwandishi wa habari wa [[Ethiopia]] ndani ya bara la [[Afrika]] ambaye amekamatwa na kuwekwa kizuizini kiholela na utawala wa [[Abiy Ahmed]]. Alikamatwa Aprili 2023 kwa tuhuma za ugaidi na kushtakiwa mwezi Juni. Katika mwezi Novemba 2024, hukumu ya Meskerem ilibadilishwa kutoka na kupunguzwa kutoka mwaka mmoja hadi miezi minne tu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Account |date=2024-11-28 |title=Ethiopian Government Sentences Meskerem Abera to 1 Year and 4 Months in Prison |url=https://borkena.com/2024/11/28/ethiopian-government-sentences-meskerem-abera-to-1-year-and-4-months-in-prison/ |access-date=2024-12-08 |website=Borkena Ethiopian News |language=en-US}}</ref> == Wasifu == === Maisha ya awali na elimu === Abera alizaliwa mwaka wa 1989 kwenye mji wa Dangila ndani ya Gojjam . Alimaliza elimu yake ya shule ya msingi, sekondari huko Dangla, na kujipatia BA yake katika ya historia na usimamizi wa kihistoria na MA katika Mafunzo ya Maendeleo kutoka [[Chuo Kikuu cha Addis Ababa]] . Abera alihudumu katika ngazi tofauti tofauti, kama vile mwalimu katika Chuo cha Ualimu cha Hawassa katika Chuo Kikuu cha Hawassa . Katika chuo hicho, alijulikana kwa kufanya utafiti kuhusu masuala ya kijamii na kiuchumi. <ref>{{Rejea tovuti|title=EPRDF was a source of our problem and it became part of our solution thanks to Premier Dr. Abiy. I cannot imagine the reform without Dr. Abiy: Meskerem Abera instructor, researcher. – Ethiopian Press Agency|url=https://press.et/herald/?p=2645|accessdate=2024-12-08|language=en-US}}</ref> === Uandishi wa Habari na Uanaharakati === Abera ni mwandishi wa habari na mwanaharakati, na mwanzilishi wa chaneli [[YouTube|ya YouTube]] inayoitwa ''Ethio Nikat Media'' . Mwaka 2023 na Mwezi Aprili, alikamatwa [[Addis Ababa]] kwa madai ya "kuchochea vurugu na ghasia" na kushtakiwa kwa ugaidi mwezi Juni. Mnamo Mei, alijiunga na mgomo wa kuto kula ambao wafungwa hao waliuelezea kama mateso ya kisiasa. Meskerem alikuwa mmoja wa Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari . <ref>{{Rejea tovuti|title=Meskerem Abera|url=https://cpj.org/data/people/meskerem-abera/|accessdate=2024-12-08|work=Committee to Protect Journalists|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Account|date=2023-04-10|title=Critic, journalist Meskerem Aberra detained by police|url=https://borkena.com/2023/04/10/critic-journalist-meskerem-aberra-detained-by-police/|accessdate=2024-12-08|work=Borkena Ethiopian News|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Insight|first=Addis|date=2023-04-11|title=Media Professional Meskerem Abera Accused of Providing Shooting Practice to Informal Organizations in Ethiopia|url=https://addisinsight.net/2023/04/media-professional-meskerem-abera-accused-of-providing-shooting-practice-to-informal-organizations-in-ethiopia/|accessdate=2024-12-08|work=Addis Insight|language=en-US}}</ref> Kulingana na Chama cha Amhara cha Amerika, amekuwa na hatia kwa madai ya uhalifu wa kompyuta kulingana na wakili wake alivyozungumza na [[BBC]] . <ref>{{Rejea tovuti|author=AAA-admin|date=2024-11-01|title=BBC Amharic – Meskerem Abera accused of computer crimes|url=https://www.amharaamerica.org/post/bbc-amharic-meskerem-abera-accused-of-computer-crimes|accessdate=2024-12-08|work=Amhara Association o|language=en}}</ref> Kwenye tarehe 25 Novemba 2024, mahakama ya shirikisho ilipunguza kifungo cha Meskerem kutoka mwaka mmoja hadi miezi minne. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|author=Account|date=2024-11-28|title=Ethiopian Government Sentences Meskerem Abera to 1 Year and 4 Months in Prison|url=https://borkena.com/2024/11/28/ethiopian-government-sentences-meskerem-abera-to-1-year-and-4-months-in-prison/|accessdate=2024-12-08|work=Borkena Ethiopian News|language=en-US}}<cite class="citation web cs1" data-ve-ignore="" id="CITEREFAccount2024">Account (28 November 2024). [https://borkena.com/2024/11/28/ethiopian-government-sentences-meskerem-abera-to-1-year-and-4-months-in-prison/ "Ethiopian Government Sentences Meskerem Abera to 1 Year and 4 Months in Prison"]. ''Borkena Ethiopian News''<span class="reference-accessdate">. Retrieved <span class="nowrap">8 December</span> 2024</span>.</cite></ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Wanaharakati wa Ethiopia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] k6n9cyvs6102mixst58wfi8lslryjm4 1508034 1508033 2026-04-21T08:32:14Z Abubakari Sixberth 53268 1508034 wikitext text/x-wiki '''Meskerem Abera''' (kwa [[Kiamhari]] : መስከረም አበራ; alizaliwa [[1989]]) ni mwanaharakati mwanamke pamoja na mwandishi wa habari wa [[Ethiopia]] ndani ya bara la [[Afrika]] ambaye amekamatwa na kuwekwa kizuizini kiholela na utawala wa [[Abiy Ahmed]]. Alikamatwa Aprili 2023 kwa tuhuma za ugaidi na kushtakiwa mwezi Juni. Katika mwezi Novemba 2024, hukumu ya Meskerem ilibadilishwa kutoka na kupunguzwa kutoka mwaka mmoja hadi miezi minne tu.<ref>{{Cite web |last=Account |date=2024-11-28 |title=Ethiopian Government Sentences Meskerem Abera to 1 Year and 4 Months in Prison |url=https://borkena.com/2024/11/28/ethiopian-government-sentences-meskerem-abera-to-1-year-and-4-months-in-prison/ |access-date=2024-12-08 |website=Borkena Ethiopian News |language=en-US}}</ref> == Wasifu == === Maisha ya awali na elimu === Abera alizaliwa mwaka wa 1989 kwenye mji wa Dangila ndani ya Gojjam . Alimaliza elimu yake ya shule ya msingi, sekondari huko Dangla, na kujipatia BA yake katika ya historia na usimamizi wa kihistoria na MA katika Mafunzo ya Maendeleo kutoka [[Chuo Kikuu cha Addis Ababa]] . Abera alihudumu katika ngazi tofauti tofauti, kama vile mwalimu katika Chuo cha Ualimu cha Hawassa katika Chuo Kikuu cha Hawassa . Katika chuo hicho, alijulikana kwa kufanya utafiti kuhusu masuala ya kijamii na kiuchumi. <ref>{{Rejea tovuti|title=EPRDF was a source of our problem and it became part of our solution thanks to Premier Dr. Abiy. I cannot imagine the reform without Dr. Abiy: Meskerem Abera instructor, researcher. – Ethiopian Press Agency|url=https://press.et/herald/?p=2645|accessdate=2024-12-08|language=en-US}}</ref> === Uandishi wa Habari na Uanaharakati === Abera ni mwandishi wa habari na mwanaharakati, na mwanzilishi wa chaneli [[YouTube|ya YouTube]] inayoitwa ''Ethio Nikat Media'' . Mwaka 2023 na Mwezi Aprili, alikamatwa [[Addis Ababa]] kwa madai ya "kuchochea vurugu na ghasia" na kushtakiwa kwa ugaidi mwezi Juni. Mnamo Mei, alijiunga na mgomo wa kuto kula ambao wafungwa hao waliuelezea kama mateso ya kisiasa. Meskerem alikuwa mmoja wa Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari . <ref>{{Rejea tovuti|title=Meskerem Abera|url=https://cpj.org/data/people/meskerem-abera/|accessdate=2024-12-08|work=Committee to Protect Journalists|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Account|date=2023-04-10|title=Critic, journalist Meskerem Aberra detained by police|url=https://borkena.com/2023/04/10/critic-journalist-meskerem-aberra-detained-by-police/|accessdate=2024-12-08|work=Borkena Ethiopian News|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Insight|first=Addis|date=2023-04-11|title=Media Professional Meskerem Abera Accused of Providing Shooting Practice to Informal Organizations in Ethiopia|url=https://addisinsight.net/2023/04/media-professional-meskerem-abera-accused-of-providing-shooting-practice-to-informal-organizations-in-ethiopia/|accessdate=2024-12-08|work=Addis Insight|language=en-US}}</ref> Kulingana na Chama cha Amhara cha Amerika, amekuwa na hatia kwa madai ya uhalifu wa kompyuta kulingana na wakili wake alivyozungumza na [[BBC]] . <ref>{{Rejea tovuti|author=AAA-admin|date=2024-11-01|title=BBC Amharic – Meskerem Abera accused of computer crimes|url=https://www.amharaamerica.org/post/bbc-amharic-meskerem-abera-accused-of-computer-crimes|accessdate=2024-12-08|work=Amhara Association o|language=en}}</ref> Kwenye tarehe 25 Novemba 2024, mahakama ya shirikisho ilipunguza kifungo cha Meskerem kutoka mwaka mmoja hadi miezi minne. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|author=Account|date=2024-11-28|title=Ethiopian Government Sentences Meskerem Abera to 1 Year and 4 Months in Prison|url=https://borkena.com/2024/11/28/ethiopian-government-sentences-meskerem-abera-to-1-year-and-4-months-in-prison/|accessdate=2024-12-08|work=Borkena Ethiopian News|language=en-US}}</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Wanaharakati wa Ethiopia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] 52imc7lrnth9oqxew4ducwcv2jihm6f 1508037 1508034 2026-04-21T08:33:37Z Abubakari Sixberth 53268 1508037 wikitext text/x-wiki '''Meskerem Abera''' (kwa [[Kiamhari]] : መስከረም አበራ; alizaliwa [[1989]]) ni mwanaharakati mwanamke pamoja na mwandishi wa habari wa [[Ethiopia]] ndani ya bara la [[Afrika]] ambaye amekamatwa na kuwekwa kizuizini kiholela na utawala wa [[Abiy Ahmed]]. Alikamatwa Aprili 2023 kwa tuhuma za ugaidi na kushtakiwa mwezi Juni. Katika mwezi Novemba 2024, hukumu ya Meskerem ilibadilishwa kutoka na kupunguzwa kutoka mwaka mmoja hadi miezi minne tu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Account |date=2024-11-28 |title=Ethiopian Government Sentences Meskerem Abera to 1 Year and 4 Months in Prison |url=https://borkena.com/2024/11/28/ethiopian-government-sentences-meskerem-abera-to-1-year-and-4-months-in-prison/ |access-date=2024-12-08 |website=Borkena Ethiopian News |language=en-US}}</ref> == Wasifu == === Maisha ya awali na elimu === Abera alizaliwa mwaka wa 1989 kwenye mji wa Dangila ndani ya Gojjam . Alimaliza elimu yake ya shule ya msingi, sekondari huko Dangla, na kujipatia BA yake katika ya historia na usimamizi wa kihistoria na MA katika Mafunzo ya Maendeleo kutoka [[Chuo Kikuu cha Addis Ababa]] . Abera alihudumu katika ngazi tofauti tofauti, kama vile mwalimu katika Chuo cha Ualimu cha Hawassa katika Chuo Kikuu cha Hawassa . Katika chuo hicho, alijulikana kwa kufanya utafiti kuhusu masuala ya kijamii na kiuchumi. <ref>{{Rejea tovuti|title=EPRDF was a source of our problem and it became part of our solution thanks to Premier Dr. Abiy. I cannot imagine the reform without Dr. Abiy: Meskerem Abera instructor, researcher. – Ethiopian Press Agency|url=https://press.et/herald/?p=2645|accessdate=2024-12-08|language=en-US}}</ref> === Uandishi wa Habari na Uanaharakati === Abera ni mwandishi wa habari na mwanaharakati, na mwanzilishi wa chaneli [[YouTube|ya YouTube]] inayoitwa ''Ethio Nikat Media'' . Mwaka 2023 na Mwezi Aprili, alikamatwa [[Addis Ababa]] kwa madai ya "kuchochea vurugu na ghasia" na kushtakiwa kwa ugaidi mwezi Juni. Mnamo Mei, alijiunga na mgomo wa kuto kula ambao wafungwa hao waliuelezea kama mateso ya kisiasa. Meskerem alikuwa mmoja wa Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari . <ref>{{Rejea tovuti|title=Meskerem Abera|url=https://cpj.org/data/people/meskerem-abera/|accessdate=2024-12-08|work=Committee to Protect Journalists|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Account|date=2023-04-10|title=Critic, journalist Meskerem Aberra detained by police|url=https://borkena.com/2023/04/10/critic-journalist-meskerem-aberra-detained-by-police/|accessdate=2024-12-08|work=Borkena Ethiopian News|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Insight|first=Addis|date=2023-04-11|title=Media Professional Meskerem Abera Accused of Providing Shooting Practice to Informal Organizations in Ethiopia|url=https://addisinsight.net/2023/04/media-professional-meskerem-abera-accused-of-providing-shooting-practice-to-informal-organizations-in-ethiopia/|accessdate=2024-12-08|work=Addis Insight|language=en-US}}</ref> Kulingana na Chama cha Amhara cha Amerika, amekuwa na hatia kwa madai ya uhalifu wa kompyuta kulingana na wakili wake alivyozungumza na [[BBC]] . <ref>{{Rejea tovuti|author=AAA-admin|date=2024-11-01|title=BBC Amharic – Meskerem Abera accused of computer crimes|url=https://www.amharaamerica.org/post/bbc-amharic-meskerem-abera-accused-of-computer-crimes|accessdate=2024-12-08|work=Amhara Association o|language=en}}</ref> Kwenye tarehe 25 Novemba 2024, mahakama ya shirikisho ilipunguza kifungo cha Meskerem kutoka mwaka mmoja hadi miezi minne. <ref name=":0"/> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Wanaharakati wa Ethiopia]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1989]] 9585bb3nlnge0lhq4k2xbgu48zss5oh Tsedale Lemma 0 226228 1508101 1499199 2026-04-21T10:12:14Z Abubakari Sixberth 53268 1508101 wikitext text/x-wiki {{tafsiri kompyuta}} '''Tsedale Lemma''' ni mwandishi wa habari wa [[Ethiopia]] aliyeanzisha ''Addis Standard'', gazeti lenye hadhi na ushawishi mkubwa la Ethiopia,<ref name="CAHDE_Tsedale_Lemma" /><ref name="HornAffairs_Tsedale_Lemma" /> mnamo mwaka 2011.<ref name="USHoR_Tsedale_biography"/> == Utoto na elimu == Lemma alizaliwa mwaka wa [[1976]].<ref name="HornAffairs_Tsedale_Lemma" /> Alihitimu na shahada ya Sanaa katika uandishi wa habari za kuchapisha kutoka [[Chuo Kikuu cha Addis Ababa]] na diploma katika uandishi wa habari mtandaoni kutoka Chuo Kikuu cha Stockholm. <ref name="CAHDE_Tsedale_Lemma"/> == Kazi == === Uandishi wa habari wa awali === Tsedale alianza kufanya kazi kama mwandishi wa habari mnamo mwaka [[2000]], na kuwa mwandishi mwandamizi katika ''Addis Tribune''. <ref name="UNESCO_Tsedale_Lemma"/> Hapa makala zilichapishwa barani Ulaya na [[Xinhua|Shirika la Habari la Xinhua]].<ref name="CAHDE_Tsedale_Lemma"/> === Ubalozi wa Israeli === Kufuatia ghasia za uchaguzi mkuu wa Ethiopia mwaka [[2005]], Tsedale alihama kutoka kwenye sekta ya uandishi wa habari hadi kufanya kazi katika ubalozi wa [[Israeli]] huko [[Addis Ababa|Addis Ababa.]]. Hapo awali alikuwa mshauri wa mahusiano ya umma na baadaye mshauri wa masuala ya kisiasa kwenye mikoa na mshauri wa vyombo vya habari kwenye ubalozi. <ref name="CAHDE_Tsedale_Lemma"/> ===Addis Standard=== Baada ya kuondoka katika ubalozi wa Israeli mwaka [[2010]], Tsedale alianzisha ''Addis Standard'' mnamo Februari 2011 kama jarida la kila mwezi. <ref name="USHoR_Tsedale_biography"/> Tsedale alifanya kazi kubwa katika kuchangia gazeti la ''Addis Standard'' kuwa chapisho lenye ushawishi mkubwa nchini Ethiopia. <ref name="CAHDE_Tsedale_Lemma"/> Hadi Januari 2021 , aliendelea kuwa mhariri mkuu wa gazeti hilo. <ref name="CJR_Tsedale_threats_ET_press"/> == Majukumu ya kitaaluma == Tsedale amekuwa mwanachama wa Bodi ya Ushauri ya Kimataifa ya ''Bandung: Journal of the Global South'' tangu [[2015]], <ref name="USHoR_Tsedale_biography"/> na akabaki kwenye bodi hadi mwaka 2021.<ref name="Bandung_Jnl_Global_South"/> == Mitazamo == === Eritrea === Mnamo mwaka [[2012]], akitoa maoni kuhusu shambulio dogo lililofanywa na jeshi la Ethiopia huko Eritrea wakati wa awamu ya muda mrefu yenye mapigano ya kiwango cha chini ya Vita vya Eritrea na Ethiopia, Tsedale alieleza kwamba serikali ya [[Eritrea]] inatumia njia ya kimabavu, kwa ujumla haipendwi katika ukanda huo, na iko katika hali dhaifu, na kwa upande mwingine aliona serikali ya Ethiopia ikiwa katika hali imara. Alipendekeza "usahihi wa kidiplomasia badala ya nguvu za kijeshi" kama mkakati wa kuiondoa serikali ya Eritrea.<ref name="AddisStand_What_now_2011" /> === Uhuru wa vyombo vya habari === Mnamo mwaka 2013, Tsedale aliikosoa Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari na "karibu wote waandishi wa habari wa Ethiopia waliokuwa uhamishoni" kwa kurahisisha kupita kiasi changamoto za vyombo vya habari huru nchini Ethiopia, kwa njia ambayo "iliwadhalilisha na kuwapotezea sifa" waandishi wa habari wanaoendelea kufanya uandishi wa habari huru nchini Ethiopia licha ya ukandamizaji wa serikali. Pia aliikosoa serikali ya Ethiopia ya wakati huo kwa kuridhika na ukandamizaji mdogo dhidi ya vyombo vya habari kuliko serikali za awali, badala ya kuruhusu kwa kiasi kikubwa uhuru wa vyombo vya habari. Tsedale alikosoa utukuzaji wa kifo cha [[Meles Zenawi]].<ref name="HornAffairs_Tsedale_Lemma" /> Mnamo Januari 2021, Tsedale alieleza kuwa mchakato wa uliberali ulioanzishwa na [[Abiy Ahmed]] nchini Ethiopia umebadilisha vitisho dhidi ya vyombo vya habari huru kutoka kuwa vya wima pekee (ukandamizaji wa serikali) hadi kuwa mchanganyiko wa shinikizo la wima na mlalo, ambapo makundi ya kisiasa, kidini na ya kiraia pamoja na watu wenye ushawishi walikuwa wakijaribu kuathiri vyombo vya habari. Alisema kuwa kurejea kwa ukandamizaji wa vyombo vya habari kulisababisha msongo kwa wale wanaozalisha maudhui ya habari huru. Tsedale pia alikosoa namna vyombo vya habari vya dunia vilivyompa kipaumbele Abiy kufuatia [[Tuzo ya Nobel ya Amani|Tuzo ya Amani ya Nobel]] mwaka 2019, akisema kuwa hali hiyo ilikuwa ya kihisia kupita kiasi, ya kijuujuu na ilikosa mtazamo wa kihistoria na wa ndani,<ref name="CJR_Tsedale_threats_ET_press" /> kama ilivyoonekana katika tahariri ya ''Addis Standard'' ya tarehe 12 Desemba 2019 “morning after Oslo”.<ref name="AddisStand_morning_after_Oslo" /> Alieleza kuwa vyombo vya habari vya kimataifa vilianza kuangalia vitendo vya Abiy badala ya maneno yake pekee, na kwamba serikali ilikuwa inajibu kwa kuandaa kampeni za taarifa kupitia mitandao ya kijamii mtandaoni.<ref name="CJR_Tsedale_threats_ET_press" /> === Haki za wanawake === Tsedale aliendeleza [[haki za wanawake]] kwa [[Siku ya Wanawake Duniani|Siku ya Kimataifa ya Wanawake]] ya tarehe 8 Machi 2014 kwa kusimamia mjadala ulioungwa mkono [[Umoja wa Mataifa|na Umoja wa Mataifa]] katika [[Chuo Kikuu cha Addis Ababa]] ulioitwa "Usawa kwa Mwanamke ni Maendeleo kwa Wote: Kusherehekea Mafanikio ya Wanawake wa Ethiopia nchini Ethiopia", miongoni mwa wanawake saba mashuhuri waliokuwepo kwenye jopo hilo ni Aster Zaoude, Birtukan Gebregzi, Chachi Tadesse, [[Desta Hagos]], Ingidaye Eshete, Selamawit Adugna na Zenaye Tadesse.<ref name="UNESCO_2014_womens_day" /> === Abiy Ahmed === Katika makala ya maoni iliyochapishwa katika ''[[The New York Times]]'' mapema Novemba 2020, mwanzoni mwa Vita vya Tigray, Tsedale alimpongeza waziri mkuu wa Ethiopia [[Abiy Ahmed]] kwa juhudi zake za awali za kuleta demokrasia nchini humo, akisema, "Akijionyesha kama mleta mageuzi, wimbi kubwa la mabadiliko aliyoahidi Bw. Abiy, ambaye alichukua madaraka Aprili 2018, yalionekana kuepusha matatizo mabaya zaidi ya nchi," lakini akahitimisha kwamba baadaye, "alivuka mipaka", na kusababisha Vita vya Tigray. Alieleza wasiwasi wake kwamba "uhuru wa kujieleza, haki za kiraia na utaratibu wa kisheria vinaweza kudhoofishwa kutokana na mwelekeo wa kijeshi na ukandamizaji," na akaongeza kuwa Abiy alionekana "kutokuwa na nia ya kupunguza mvutano".<ref name="NYT_Ethiopia_tragedy" /> Mwandishi wa habari Abebe Gellaw alijibu, akisema kwamba Tsedale ilipaswa kukosoa ''Tigray People's Liberation Front'' (TPLF), kwa miongo mitatu ya "utawala mbaya, udhibiti, unyonyaji, ubaguzi, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, na ufisadi mkubwa". Abebe alisema, "TPLF imekuwa ikitumia kila njia ili kudhoofisha na kurudisha nyuma mageuzi na kusababisha machafuko kote nchini Ethiopia katika jitihada zake zisizo na mafanikio za kurejesha madaraka na upendeleo iliyoupoteza". Abebe alidai kwamba maoni ya Tsedale yalikuwa ya kupotosha kwa makusudi na yalitokana na "hasira na kuchanganyikiwa". == Marejeo == <references> <ref name="UNESCO_Tsedale_Lemma">{{cite web | title= World Press Freedom Day 2018 –Tsedale Lemma | website= [[UNESCO]] |year = 2018 | url = https://en.unesco.org/world-press-freedom-day-2018/tsedale-lemma | access-date = 2021-03-09 |archive-url= https://archive.today/20210118160857/https://en.unesco.org/world-press-freedom-day-2018/tsedale-lemma |archive-date= 2021-01-18 |url-status=live }}</ref> <ref name="CAHDE_Tsedale_Lemma">{{cite web | title= Tsedale Lemma – Our Board of Advisors | website= [[Centre for the Advancement of Human Rights and Democracy in Ethiopia]] |year = 2016 | url = http://cahde.org/tsedale_lemma/ | access-date = 2021-03-09 |archive-url= https://archive.today/20210118161312/http://cahde.org/tsedale_lemma/ |archive-date= 2021-01-18 |url-status=live }}</ref> <ref name="USHoR_Tsedale_biography">{{cite web | title= Hearing on 'The Unfolding Conflict in Ethiopia' – Ms. Tsedale Lemma Biography | website= [[United States House of Representatives]] |date = 2020-12-03 | url = https://www.congress.gov/116/meeting/house/111103/witnesses/HHRG-116-FA16-Bio-LemmaT-20201203.pdf | access-date = 2021-03-10 |archive-url= https://web.archive.org/web/20210308163138/https://www.congress.gov/116/meeting/house/111103/witnesses/HHRG-116-FA16-Bio-LemmaT-20201203.pdf |archive-date= 2021-03-08 |url-status=live }}</ref> <ref name="Bandung_Jnl_Global_South">{{cite web | title= Bandung – Journal of the Global South | website= [[Brill Publishers]] |year = 2021 | url = https://brill.com/view/journals/bjgs/bjgs-overview.xml?contents=About | access-date = 2021-03-10 |archive-url= https://archive.today/20210308163734/https://brill.com/view/journals/bjgs/bjgs-overview.xml?contents=About |archive-date= 2021-03-08 |url-status=live }}</ref> <ref name="AddisStand_What_now_2011">{{cite news | last1= Lemma | first1= Tsedale | title= What now? | year=2012 |newspaper= [[Addis Standard]] | url= https://addisstandard.com/2011/category.php?fn_mode=fullnews&fn_id=181 |access-date=2021-03-10 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170729234930/https://addisstandard.com/2011/category.php?fn_mode=fullnews&fn_id=181 |archive-date= 2017-07-29 |url-status=live }}</ref> <ref name="HornAffairs_Tsedale_Lemma">{{cite news |last1=Berhane |first1=Daniel | title= Interview with Editor-in-Chief Tsedale Lemma | date= 2013-01-14 |newspaper= [[Horn Affairs]] | url= https://hornaffairs.com/2013/01/14/interview-ethiopian-journalist |access-date=2021-03-11 |archive-url= https://archive.today/20210308164355/https://hornaffairs.com/2013/01/14/interview-ethiopian-journalist/ |archive-date= 2021-03-08|url-status=live }}</ref> <ref name="UNESCO_2014_womens_day">{{cite web | title= Media Advisory – "Equality for Women is Progress for All: Celebrating Ethiopian Women's Achievements in Ethiopia" | website= [[UNESCO]] |year = 2014 | url = https://www.unesco.org/new/fileadmin/MULTIMEDIA/HQ/BSP/GENDER/PDF/ethiopia.pdf | access-date = 2021-03-11 |archive-url= https://web.archive.org/web/20200113173016/https://www.unesco.org/new/fileadmin/MULTIMEDIA/HQ/BSP/GENDER/PDF/ethiopia.pdf |archive-date= 2020-01-13 |url-status=live }}</ref> <ref name="NYT_Ethiopia_tragedy">{{cite news | last1= Lemma | first1= Tsedale | author1-link = Tsedale Lemma | title= What's Happening in Ethiopia Is a Tragedy | date= 2020-11-11 |newspaper= [[The New York Times]] | url= https://www.nytimes.com/2020/11/11/opinion/ethiopia-tigray-abiy-ahmed.html |access-date=2021-03-11 |archive-url= https://archive.today/20201112030259/https://www.nytimes.com/2020/11/11/opinion/ethiopia-tigray-abiy-ahmed.html |archive-date= 2020-11-12 |url-status=live }}</ref> <ref name="Borkena_open_note_Abebe_Gellaw">{{cite news | last1= Gellaw | first1= Abebe | title= An open note to Ms. Tsedale Lemma (Abebe Gellaw) | date= 2020-11-12 |newspaper= [[Borkena]] | url= https://borkena.com/2020/11/12/ethiopia-tsedale-lemma-abebe-gellaw/ |access-date=2021-03-11 |archive-url= https://archive.today/20210118161025/https://borkena.com/2020/11/12/ethiopia-tsedale-lemma-abebe-gellaw/ |archive-date= 2021-01-18 |url-status=live }}</ref> <ref name="CJR_Tsedale_threats_ET_press">{{cite web | last1 = Merid | first1 = Feven | title= Q&A: Tsedale Lemma on new threats to the Ethiopian press | website= [[Columbia Journalism Review]] |date = 2021-01-15 | url = https://www.cjr.org/q_and_a/qa-tsedale-lemma-on-new-threats-to-the-ethiopian-press.php | access-date = 2021-03-11 |archive-url= https://archive.today/20210308161726/https://www.cjr.org/q_and_a/qa-tsedale-lemma-on-new-threats-to-the-ethiopian-press.php |archive-date= 2021-03-08 |url-status=live }}</ref> <ref name="AddisStand_morning_after_Oslo">{{cite news | title= Editorial: The morning after Oslo: The hard work should begin | date= 2019-12-12 |newspaper= [[Addis Standard]] | url= https://addisstandard.com/editorial-the-morning-after-oslo-the-hard-work-should-begin |access-date=2021-03-11 |archive-url= https://archive.today/20210311231254/https://addisstandard.com/editorial-the-morning-after-oslo-the-hard-work-should-begin/ |archive-date= 2021-03-11 |url-status=live }}</ref> {{void|templates: <ref name="...">{{cite news | last1= | first1= | last2= | first2= | pages= | language = | title= |trans-title = | date= | publisher= |newspaper= | url= |access-date=20... |archive-url= |archive-date= 20... |url-status=live }}</ref> <ref name="...">{{cite web | last1 = | first1 = | last2= | first2= | authorlink = | language = | title= |trans-title = | work = | publisher = | website= |date = | url = |format = | doi = | access-date = 20... |archive-url= |archive-date= 20... |url-status=live }}</ref> }} </references> [[Jamii:Waliozaliwa 1976]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:watu wa Ethiopia]] [[Jamii:Pages with unreviewed translations]] 4hcabtty508kuky9bqlln6h21bkr9a6 Inkosazana 0 226930 1507786 1502413 2026-04-20T18:19:37Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1507786 wikitext text/x-wiki '''Inkosazana''' ni miongoni mwa [[miungu]] katika imani za [[Wazulu]] na ni mmojawapo kati ya miungu wa uzazi, pamoja na Nomkhubulwane.<ref name=":0">{{cite book |last1=Lynch |first1=Patricia Ann |last2=Roberts |first2=Jeremy |title=African Mythology, A to Z |publisher=Infobase Publishing |year=2010 |url=https://books.google.com/books?id=4Qiq4ps_wDIC |isbn=978-1-4381-3133-7 |language=en}}</ref> Baadhi ya vyanzo pia huwachanganya wawili hawa na kuwaona kama mungu mmoja.<ref name=":1">{{cite book |last1=Shaw |first1=Sylvie |last2=Francis |first2=Andrew |title=Deep Blue: Critical Reflections on Nature, Religion and Water |publisher=Routledge |year=2014 |url=https://books.google.com/books?id=YInCBQAAQBAJ&q=inkosazana&pg=PA57 |isbn=978-1-317-48818-7 |language=en}}</ref><ref name=":2">{{cite journal |last=Dederen |first=Jean-Marie |year=2010 |title=Cherchez la femme! |journal=Historia |volume=55 |issue=2 |pages=303–318 |url=http://www.scielo.org.za/scielo.php?script=sci_abstract&pid=S0018-229X2010000200027&lng=en&nrm=iso&tlng=en |issn=0018-229X }}{{Dead link|date=April 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> ==Uwakilishi== Inkosazana ana uwezo wa kubadilika umbo (''shapeshifter''), ingawa mara nyingi hujitokeza kama kiumbe wa nusu-binadamu na nusu-samaki (mermaid), kwa kuwa inaaminika kuwa anaishi katika maji ya mito, maziwa au chemchemi takatifu.<ref name=":1" /> Uhusiano wake na maji unaashiria uhai, rutuba na mzunguko wa asili wa kilimo. Pia anaweza kujitokeza katika maumbo ya [[wanyama]] au hata [[Mmea|mimea]], jambo linaloonyesha uwezo wake wa kuunganishwa na mazingira yote ya asili.<ref name=":3">{{cite book |last1=Fabricius |first1=Christo |last2=Koch |first2=Eddie |last3=Turner |first3=Stephen |last4=Magome |first4=Hector |title=Rights Resources and Rural Development: Community-based Natural Resource Management in Southern Africa |publisher=Routledge |year=2013 |url=https://books.google.com/books?id=xt9-ao_A8KkC&q=inkosazana&pg=PA116 |isbn=978-1-136-55804-7 |language=en}}</ref> Katika baadhi ya simulizi za jadi, Inkosazana huitwa pia "binti wa mbinguni", jina linaloonyesha hadhi yake ya kiroho na uhusiano wake na nguvu za juu.<ref name=":1" /> ==Nafasi katika Jamii ya Wazulu== Inkosazana anachukuliwa kama mlinzi wa [[kilimo]], hasa mazao ya msimu na mvua. Wazulu huamini kwamba mafanikio ya kilimo hutegemea heshima na maadili ya jamii kwa miungu hii. Kwa hiyo, sheria na maadili ya kijadi huunganishwa na imani kwamba ukiukaji wake unaweza kuleta ukame au kushindwa kwa mazao. Katika baadhi ya mila, kuwasiliana na Inkosazana kupitia waganga wa jadi au ''isangoma'' huaminika kusaidia kupata mwongozo kuhusu msimu wa kupanda na kuvuna.<ref name=":3" /> Ingawa Nomkhubulwane na Inkosazana wote ni miungu wa uzazi, baadhi ya vyanzo hutofautisha majukumu yao: Inkosazana huhusishwa zaidi na [[kilimo]] na ukuaji wa mazao, wakati Nomkhubulwane huhusishwa zaidi na mavuno na rutuba ya jamii kwa ujumla.<ref name=":0" /> Katika utamaduni wa Wazulu, Inkosazana pia huonekana kama ishara ya maadili ya kijamii, hasa yanayohusiana na usafi wa kiroho na heshima kwa asili. Anaaminika kuhusishwa na masuala ya wanawake, hasa ujauzito, ubikira na malezi ya familia.<ref name=":1" /><ref name=":2" /> Kwa sababu ya uhusiano wake na maji na asili, maeneo fulani ya maji kama mito au chemchemi hupewa heshima maalum, na huweza kuchukuliwa kuwa matakatifu katika baadhi ya mila.Inasemekana kwamba Inkosazana hutoa sheria na maagizo mengi kwa wanadamu, ingawa yeye hawasiliani moja kwa moja na wanaume wa Kizulu. Katika simulizi moja, Inkosazana alikutana na mwanamume, na akamwambia asimgeuzie mgongo wake. Mwanamume huyo hakuthubutu kumtazama uso kwa uso kwa sababu inaaminika kuwa wale wanaomtazama moja kwa moja huugua na kufa muda mfupi baadaye. Anapowasiliana na Wazulu, mara nyingi hutoa ushauri unaohusiana na kilimo na masuala ya wanawake.<ref>{{Cite book |last=Callaway |first=Henry |title=The Religious System of the Amazulu ... in Their Own Words |url=https://books.google.com/books?id=9roNAAAAQAAJ&q=inkosazana&pg=PA253 |year=1868 |publisher=J. A. Blair |language=en}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} [[Jamii:utamaduni wa Afrika Kusini]] 7l04s5k1l9lpkfze8i1xw30g8di18u0 Majadiliano ya mtumiaji:Tjv39 3 229415 1507911 1507614 2026-04-21T04:55:17Z Muddyb 379 /* Majadiliano:Vitabu vya katuni */ mjadala mpya 1507911 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 20 Aprili 2026 (UTC) == [[Majadiliano:Vitabu vya katuni]] == Ndugu @[[Mtumiaji:Tjv39|Tjv39]] tazama majadiliano hapo juu! [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 04:55, 21 Aprili 2026 (UTC) 1nt6vjneab27eqmcgvishy3zov7rlyn Mother irani 0 229456 1507769 1507683 2026-04-20T16:00:44Z EmausBot 5566 Bot: Fixing double redirect from [[Mother Irani]] to [[Mother Irini]] 1507769 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Mother Irini]] lim1zto9zvurocysgyw48cu6338t0tq José Ramón Alexanko 0 229461 1507691 2026-04-20T12:00:36Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''José Ramón Alexanko Ventosa''' (alizaliwa [[19 Mei]], [[1956]]), anayejulikana pia kama '''Alexanko''' au '''Alesanco''', ni mchezaji wa zamani wa [[mpira wa miguu]] na [[kocha]] kutoka [[Hispania]], ambaye baadaye alihudumu kama mkurugenzi wa soka wa Valencia CF. Katika maisha yake ya soka, beki huyo wa kati alicheza kwa mafanikio katika klabu za Athletic Bilbao na FC Barcelona, akishinda mataji mengi akiwa na Barcelona – jumla ya 16 – na kuchez...' 1507691 wikitext text/x-wiki '''José Ramón Alexanko Ventosa''' (alizaliwa [[19 Mei]], [[1956]]), anayejulikana pia kama '''Alexanko''' au '''Alesanco''', ni mchezaji wa zamani wa [[mpira wa miguu]] na [[kocha]] kutoka [[Hispania]], ambaye baadaye alihudumu kama mkurugenzi wa soka wa Valencia CF. Katika maisha yake ya soka, beki huyo wa kati alicheza kwa mafanikio katika klabu za Athletic Bilbao na FC Barcelona, akishinda mataji mengi akiwa na Barcelona – jumla ya 16 – na kucheza mechi 367 za La Liga ndani ya misimu 17, akifunga mabao 34.<ref>{{cite web|url=https://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/europe/7352959.stm|title=When Bryan Robson tamed Barca|publisher=[[BBC Sport]]|author=Jonathan Stevenson and Chris Bevan|date=22 April 2008|access-date=24 April 2014}}</ref><ref>{{cite web|url=http://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1976/12/13/pagina-26/1018205/pdf.html|title=Naufragó el Español en el centro del campo|trans-title=Español adrift in midfield|newspaper=[[Mundo Deportivo]]|language=es|date=13 December 1976|access-date=24 April 2014}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1956|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] etv51ttdatsv5nzgxdb31coo25zpwii Safaa Fathy 0 229462 1507692 2026-04-20T12:07:27Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Safaa Fathy''' (amezaliwa tarehe 17 Julai 1958) ni mshairi, mtengenezaji wa filamu za kumbukumbu, mwandishi wa tamthilia na mwandishi wa insha kutoka Misri. Anajulikana zaidi kwa filamu yake ''Derrida's Elsewhere'', ambayo ni filamu ya kumbukumbu inayochunguza maisha na mawazo ya mwanafalsafa mwenye utata [[Jacques Derrida]]. == Maisha ya awali na kazi == Fathy alizaliwa [[Minya, Egypt|Minya]] katika Misri ya Juu tarehe 17 Julai 1958. Alisoma fasihi ya...' 1507692 wikitext text/x-wiki '''Safaa Fathy''' (amezaliwa tarehe 17 Julai 1958) ni mshairi, mtengenezaji wa filamu za kumbukumbu, mwandishi wa tamthilia na mwandishi wa insha kutoka Misri. Anajulikana zaidi kwa filamu yake ''Derrida's Elsewhere'', ambayo ni filamu ya kumbukumbu inayochunguza maisha na mawazo ya mwanafalsafa mwenye utata [[Jacques Derrida]]. == Maisha ya awali na kazi == Fathy alizaliwa [[Minya, Egypt|Minya]] katika Misri ya Juu tarehe 17 Julai 1958. Alisoma fasihi ya Kiingereza mjini [[Cairo]]. Akiwa nchini Misri, alishiriki katika harakati za wanafunzi, lakini baadaye aliondoka nchini na kuhamia Paris mwaka 1981. Mwaka 1987, alikuwa msaidizi wa mkurugenzi katika [[Deutsches Theater (Berlin)|Deutsches Theater]] iliyoko [[Berlin Mashariki]]. Mwaka 1990 alifanya kazi pamoja na [[Heiner Muller]].<ref name=Hillauer>{{cite book|last1=Hillauer|first1=Rebecca|title=Encyclopedia of Arab women filmmakers.|url=[https://archive.org/details/encyclopediaarab00hill|url-access=limited|date=2005|publisher=American](https://archive.org/details/encyclopediaarab00hill|url-access=limited|date=2005|publisher=American) University in Cairo Press|location=Cairo, Egypt|isbn=9789774162688|pages=[[https://archive.org/details/encyclopediaarab00hill/page/n77](https://archive.org/details/encyclopediaarab00hill/page/n77) 72]–80}}</ref> Alikamilisha tasnifu yake ya udaktari katika [[Chuo Kikuu cha Paris (Sorbonne)|Sorbonne]] mwaka 1993,<ref name=Fathy>{{cite web|title=Safaa Fathy|url=[http://safaafathy.org/en/|website=Safaa](http://safaafathy.org/en/|website=Safaa) Fathy|accessdate=28 December 2015}}</ref> ambapo utafiti wake ulihusu [[Bertolt Brecht]]. Kabla ya kuwa mtengenezaji wa filamu, alifanya kazi kama mkurugenzi wa jukwaa la maigizo.<ref name=Hillauer /> Kwa sasa anahudumu kama mkurugenzi wa programu katika [[Collège international de philosophie|Chuo cha Kimataifa cha Falsafa]] mjini Paris.<ref name=Fathy /> Katika mahojiano yanayochunguza namna Fathy anavyotumia uhariri wa filamu kujenga simulizi zake—ikiwemo uchaguzi wa kasi, upangaji wa vipande na matumizi ya kumbukumbu za picha—dhana ya “kukata” pia inaelezea jinsi anavyokabiliana na majeraha ya kihistoria na mgawanyiko wa kumbukumbu.<ref name=":1">{{Cite journal |last=Fathy |first=Safaa |date=2008-01-01 |title=Cutting and Film Cutting/Ashes An Interview with Chantal Zabus |url=[https://brill.com/view/journals/mata/37/1/article-p219_12.xml](https://brill.com/view/journals/mata/37/1/article-p219_12.xml) |journal=Matatu |language=en |volume=37 |issue=1 |pages=219–233 |doi=10.1163/9789042030619_012 |issn=1875-7421|url-access=subscription }}</ref> == Kazi teule == === Ushairi === ==== Mkusanyiko wa mashairi ==== *''Revolution goes through walls'' – mkusanyiko kwa Kiarabu, pia umetafsiriwa kwa Kiingereza na Kifaransa *''A name to the sea'' *''Al Haschiche'' – kitabu cha mashairi kinachoambatana na filamu ya kishairi ''Hidden Valley'' *''…où ne pas naître'' – mkusanyiko wa lugha mbili (Kiarabu na Kifaransa) *''Little Wooden Dolls'' *''حيث لا نولد'' (imetolewa kwa Kiingereza kama ''Where Not to Be Born'', 2024) ==== Katika machapisho ya pamoja ==== *''Ma langue est mon territoire'', Paris *''Anthology of Contemporary Arab Women Poets''<ref>{{cite book|last1=Handal|first1=Nathalie|title=The poetry of Arab women : a contemporary anthology|date=2001|publisher=Interlink Books|location=New York|isbn=9781566563741|url-access=registration|url=[https://archive.org/details/poetryofarabwome00nath}}](https://archive.org/details/poetryofarabwome00nath}})</ref> === Tamthilia === *''Ordalie; Terreur'' (2004) === Vitabu === *''Tourner les mots'' (kwa ushirikiano na [[Jacques Derrida]])<ref>{{cite book|last1=Derrida|first1=Jacques|last2=Fathy|first2=Safaa|title=Tourner les mots : au bord d'un film|date=2000|location=Paris|isbn=9782718605401}}</ref> : Kitabu hiki kinajadili uzoefu wao katika utengenezaji wa filamu ''Derrida's Elsewhere'', pamoja na uhusiano kati ya sinema na lugha. === Insha na maandishi mengine === ==== Kuhusu falsafa na siasa ==== *''L’aporie of lui'' (2006) *''Un(e) spectre nommé(e) « avenir »'' (2005) *''Derrida, metteur en scène ou acteur'' (2004) *''Transparence du Halal, transgression du Haram'' (2002) ==== Kuhusu ushairi, maigizo na sinema ==== *''hôra/Luz y desierto. Revelación de lo oscuro'' (2010) *''Hisser les voiles: Odyssée féminine à travers la Méditerranée'' (1999) *''Dissidences et dissonances. Cartographie d'une poésie égyptienne'' (1998) *''Exil'' (1993) == Filamu teule == === Filamu za kumbukumbu === *''Mohammad Saved from the Waters'' *''Dardasha Socotra'' *''D'ailleurs, Derrida'' *''Maxime Rodinson: l'Athée des Dieux'' *''Ghazeia, danseuses d'Egypte'' *''Hidden Faces'' === Filamu za kubuni === *''Nom à la mer'' *''Silence'' *''Doisneau'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1958|}} [[Jamii:Wanawake wa Misri]] [[Jamii:Wanaharakati wa Misri]] lsf5w36crpjcjr2i9khaoa7xjoxk4kh Bittor Alkiza 0 229463 1507693 2026-04-20T12:07:32Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bittor Alkiza Fernández''' (alizaliwa [[26 Oktoba]], [[1970]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kiungo. Alicheza kwa vilabu vya Real Sociedad na Athletic Bilbao. Katika kipindi cha misimu 14, alicheza jumla ya mechi 417 za La Liga na kufunga mabao 19, na pia aliwahi kuwa mchezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Uhispania mwishoni mwa miaka ya 1990.<ref name=MINUTOS>{{cite news|url=...' 1507693 wikitext text/x-wiki '''Bittor Alkiza Fernández''' (alizaliwa [[26 Oktoba]], [[1970]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kiungo. Alicheza kwa vilabu vya Real Sociedad na Athletic Bilbao. Katika kipindi cha misimu 14, alicheza jumla ya mechi 417 za La Liga na kufunga mabao 19, na pia aliwahi kuwa mchezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Uhispania mwishoni mwa miaka ya 1990.<ref name=MINUTOS>{{cite news|url=http://blogs.20minutos.es/quefuede/2009/08/17/quao-fue-de-alkiza/|title=Qué fue de… Alkiza|trans-title=What happened to… Alkiza|newspaper=[[20 minutos]]|first=Edu|last=Casado|language=Spanish|date=17 August 2009|accessdate=24 May 2012}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1970|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 0u4tai1jw4i7kmyww97podbajuasrz2 Marian Ilitch 0 229464 1507694 2026-04-20T12:09:29Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Marian Bayoff Ilitch''' (Alizaliwa [[Januari 7]], [[1933]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]], na mwanzilishi mwenza wa ''Little Caesars Pizza'' pamoja na mumewe, [[Mike Ilitch]].<ref>{{cite web |title=Marian Ilitch |url=https://www.forbes.com/profile/marian-ilitch/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia Machi [[2018]], Ilitch alikuwa mmoja wa wanawake saba tajiri zaidi duniani, kwa mujibu wa ''Bloomberg''.<ref>{{cite...' 1507694 wikitext text/x-wiki '''Marian Bayoff Ilitch''' (Alizaliwa [[Januari 7]], [[1933]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]], na mwanzilishi mwenza wa ''Little Caesars Pizza'' pamoja na mumewe, [[Mike Ilitch]].<ref>{{cite web |title=Marian Ilitch |url=https://www.forbes.com/profile/marian-ilitch/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia Machi [[2018]], Ilitch alikuwa mmoja wa wanawake saba tajiri zaidi duniani, kwa mujibu wa ''Bloomberg''.<ref>{{cite web |title=Marian Ilitch |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1933]] [[Jamii:Watu walio hai]] gofqscd05qexzd5a6g50sczjbfu026g Carl Icahn 0 229465 1507695 2026-04-20T12:12:12Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Carl Icahn''' (Alizaliwa [[Februari 16]], [[1936]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji, na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.forbes.com/profile/carl-icahn/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na mwanahisa mkuu wa ''Icahn Enterprises'', kampuni ya umiliki wa makampuni mbalimbali (conglomerate holding company).<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.britannica....' 1507695 wikitext text/x-wiki '''Carl Icahn''' (Alizaliwa [[Februari 16]], [[1936]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji, na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.forbes.com/profile/carl-icahn/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na mwanahisa mkuu wa ''Icahn Enterprises'', kampuni ya umiliki wa makampuni mbalimbali (conglomerate holding company).<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Katika miaka ya 1980, Icahn alijijengea sifa kama "mkamata kampuni" (corporate raider) baada ya kunufaika kutokana na utekaji nyara na uuzaji wa mali wa shirika la ndege la ''Trans World Airlines (TWA)''.<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Icahn yumo kwenye orodha ya ''Forbes 400'' na ana utajiri unaokadiriwa kuwa kati ya dola bilioni 6.7 hadi bilioni 7.<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.forbes.com/profile/carl-icahn/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Mnamo Desemba [[2016]], alitangazwa kuwa mshauri maalum wa rais kuhusu mageuzi ya udhibiti chini ya Rais [[Donald Trump]].<ref>{{cite web |title=Trump names Icahn as special advisor on regulation |url=https://www.cnbc.com/ |website=CNBC |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1936]] [[Jamii:Watu walio hai]] g5vge6h8m5ul2iuzlj84cj8kpd9ddhx 1507696 1507695 2026-04-20T12:13:03Z Ally0111 85292 1507696 wikitext text/x-wiki '''Carl Celian Icahn''' (Alizaliwa [[Februari 16]], [[1936]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, mwekezaji, na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.forbes.com/profile/carl-icahn/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na mwanahisa mkuu wa ''Icahn Enterprises'', kampuni ya umiliki wa makampuni mbalimbali (conglomerate holding company).<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Katika miaka ya 1980, Icahn alijijengea sifa kama "mkamata kampuni" (corporate raider) baada ya kunufaika kutokana na utekaji nyara na uuzaji wa mali wa shirika la ndege la ''Trans World Airlines (TWA)''.<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Icahn yumo kwenye orodha ya ''Forbes 400'' na ana utajiri unaokadiriwa kuwa kati ya dola bilioni 6.7 hadi bilioni 7.<ref>{{cite web |title=Carl Icahn |url=https://www.forbes.com/profile/carl-icahn/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Mnamo Desemba [[2016]], alitangazwa kuwa mshauri maalum wa rais kuhusu mageuzi ya udhibiti chini ya Rais [[Donald Trump]].<ref>{{cite web |title=Trump names Icahn as special advisor on regulation |url=https://www.cnbc.com/ |website=CNBC |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1936]] [[Jamii:Watu walio hai]] 3zg8bq1kuvolmy4exr1z85900yunmy1 Mat Ishbia 0 229466 1507697 2026-04-20T12:20:46Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mat Ishbia''' (Alizaliwa [[Januari 6]], [[1980]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni afisa mkuu mtendaji na mwenyekiti wa kampuni ya kukopesha rehani ''United Wholesale Mortgage''.<ref>{{cite web |title=Mat Ishbia |url=https://www.forbes.com/profile/mat-ishbia/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mmiliki mkuu wa timu ya ''Phoenix Suns'' ya [[NBA]] na ''Phoenix Mercury'' ya WNBA pamoja na kaka yake mkubwa, Ju...' 1507697 wikitext text/x-wiki '''Mat Ishbia''' (Alizaliwa [[Januari 6]], [[1980]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni afisa mkuu mtendaji na mwenyekiti wa kampuni ya kukopesha rehani ''United Wholesale Mortgage''.<ref>{{cite web |title=Mat Ishbia |url=https://www.forbes.com/profile/mat-ishbia/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mmiliki mkuu wa timu ya ''Phoenix Suns'' ya [[NBA]] na ''Phoenix Mercury'' ya WNBA pamoja na kaka yake mkubwa, Justin.<ref>{{cite web |title=Mat Ishbia |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] [[Jamii:Watu walio hai]] g2u0eqmaultny4vmfhxkx358qy583le 1507698 1507697 2026-04-20T12:21:49Z Ally0111 85292 1507698 wikitext text/x-wiki '''Mat Randall Ishbia''' (Alizaliwa [[Januari 6]], [[1980]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni afisa mkuu mtendaji na mwenyekiti wa kampuni ya kukopesha rehani ''United Wholesale Mortgage''.<ref>{{cite web |title=Mat Ishbia |url=https://www.forbes.com/profile/mat-ishbia/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mmiliki mkuu wa timu ya ''Phoenix Suns'' ya [[NBA]] na ''Phoenix Mercury'' ya WNBA pamoja na kaka yake mkubwa, Justin.<ref>{{cite web |title=Mat Ishbia |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1980]] [[Jamii:Watu walio hai]] 1a426r74eu15o388pjyws2qj805xt01 Randy Valiente 0 229467 1507699 2026-04-20T12:53:35Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507699 wikitext text/x-wiki '''Randy Valiente''' ni msanii wa vitabu vya katuni aliyezaliwa nchini [[Ufilipino]] . Amepokea tuzo kadhaa ikiwa ni pamoja na Tuzo ya Mwandishi kutoka Tume ya Kitaifa ya Utamaduni na Sanaa, Gawad Tanglaw: Gawad Rustica Carpio para sa Sining ng Panulat, na tuzo ya 'Riwaya Bora ya Picha ya Kifilipino' katika Comicon Asia 2018 kwa ajili ya kitabu cha 'Wala Nang Tao sa Maynila'. <ref name="Sigmate">{{cite web |url=http://sigmatestudio.com/2009/07/randy-valientes-artwork/ |title=Randy Valiente's Artwork |date=8 July 2009 |accessdate=30 November 2009}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Ufilipino]] rstcjy7i8y6mm11nq5bdrdfjoydbrji Manzura Uldjabaeva 0 229468 1507700 2026-04-20T12:55:03Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507700 wikitext text/x-wiki '''Manzura Uldjabaeva''' (alizaliwa [[1952]], mjini Khujand) ni msanii na mtaalamu wa sinema wa [[Tajikistan]]. Tangu mwaka 1976 hadi 1993, alikuwa mbunifu wa mavazi katika studio za Tajikfilm. <ref>{{cite web | url=http://www.tajikart.com/index.php?action=showall&artist=Manzura_Uldjabaeva | archive-url=https://web.archive.org/web/20190228044551/http://www.tajikart.com/index.php?action=showall&artist=Manzura_Uldjabaeva | archive-date=2019-02-28 | title=Tajik Artists }}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1952]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Tajikistan]] e09ma9jxhvpyr8lpp4dhq68oufgxzty Virginia Ty-Navarro 0 229469 1507701 2026-04-20T12:57:08Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507701 wikitext text/x-wiki '''Virginia Ty-Navarro''' ([[5 Julai]] [[1922]] – [[28 Januari]] [[1996]]) alikuwa mchongaji na mchoraji wa Kifilipino, anayejulikana zaidi nchini humo kwa sanamu yake ya mwaka 1989 ya "Sanamu ya Mama yetu Malkia wa Amani". Alikamilisha sanamu hiyo ndani ya miezi kumi na sita kwa bajeti ya peso milioni 12. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1922]] [[jamii:waliofariki 1996]] [[jamii:wasanii wa Ufilipino]] kf4r5qjboo40hxima7720ty1k09ng9l Wilson Tortosa 0 229470 1507702 2026-04-20T12:58:56Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507702 wikitext text/x-wiki '''Wilson "Wunan" Tortosa''' ni msanii wa vitabu vya katuni wa [[Ufilipino]] anayejulikana zaidi kwa kazi zake kwenye ''Tomb Raider'' na toleo jipya la Marekani la ''Battle of The Planets'' kwa ajili ya kampuni ya Top Cow Productions. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Ufilipino]] 6o0y0tif6nf44hqc09d48m3pzdntche Tjokorda Krishna Putra Sudharsana 0 229471 1507703 2026-04-20T13:01:59Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507703 wikitext text/x-wiki '''Tjokorda Krishna Putra Sudharsana''' (alizaliwa [[1956]]) ni msanii wa [[Bali]] pia ni mkuu wa sasa wa Ubud. ==Viungo vya nje== *[https://web.archive.org/web/20051231035928/http://www.abc.net.au/foreign/content/2005/s1491682.htm Indonesia - Bali First] Mwandishi wa Mambo ya Nje- [[25 Oktoba|Oktoba 25]], 2005 *[https://web.archive.org/web/20070930082636/http://www.klubkokos.com/gallery/krishna/bio.htm Krishna Sudharsana]- Klub Kokos ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1956]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Indonesia]] 9n7pzw5a0gdrbbemyhd2r0di1rg6hvv Chhim Sothy 0 229472 1507704 2026-04-20T13:04:36Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507704 wikitext text/x-wiki '''Chhim Sothy''' (alizaliwa [[1969]]) ni mchoraji na mchongaji mashuhuri wa [[Kamboja]] anayejulikana kwa uwezo wake katika mbinu na nyanja mbalimbali za kisanii. <ref name="VAO, Visual Arts Open">{{Cite web |date= |title=VAO, Visual Arts Open |url=http://saklapel.org/vao/artists/chhim_sothy/ |archive-url=https://web.archive.org/web/20070928063852/http://saklapel.org/vao/artists/chhim_sothy/ |archive-date=2007-09-28 |access-date= |website=saklapel.org}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1969]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Kamboja]] rxv8vjmodq7t7wtkax0aqetleh8pf20 Abdul Karim Solangi 0 229473 1507705 2026-04-20T13:21:56Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507705 wikitext text/x-wiki '''Abdul Karim Solangi''' (alizaliwa [[1943]]) ni msanii wa [[Pakistani]] anayejulikana kwa kazi zake za uchongaji nchini Pakistan. Sanamu zake, zilizotengenezwa kwa vitambaa vilivyotumika, makaratasi chakavu, na plasta, huonyesha maisha ya kijijini katika jimbo la Sindh. ]].<ref name="auto">{{Cite web|url=https://tribune.com.pk/story/2312216/kinetic-sculptor-brings-sindhs-culture-to-life|title=Kinetic sculptor brings Sindh's culture to life|date=July 26, 2021|website=[[The Express Tribune]]}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1943]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Pakistani]] dty81f7b7u1whlnfvgv56erlgt1qmhq I Ketut Soki 0 229474 1507706 2026-04-20T13:24:44Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507706 wikitext text/x-wiki '''I Ketut Soki''' ([[1946]]–[[2022]]) alikuwa msanii aliyefanikiwa kutoka [[Bali]]. Alipokuwa mvulana Soki alikuwa mmoja wa watoto wawili wa kwanza kupata mafunzo ya sanaa kutoka kwa msanii maarufu Arie Smit, na hivyo akawa mmoja wa waasisi wa vuguvugu la "Wasanii Vijana".<ref>{{Cite web |last=Muhayat |first=Imam |date=2022-08-23 |title=I Ketut Soki, Young Artist Painting Maestro Passes Away |url=https://www.kompasiana.com/imammuhayat/63047faf5c392b149f418672/i-ketut-soki-maestro-pelukis-young-artist-berpulang |access-date=2023-09-26 |website=Kompasiana}}</ref>) was a successful artist from [[Bali]].<ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1946]] [[jamii:waliofariki 2022]] [[jamii:wasanii wa Indonesia]] 1ze7xwsinzmktpw2qzpj2nso5htfoey 1507707 1507706 2026-04-20T13:25:42Z AlvinDulle 61179 marekebisho madogo madogo 1507707 wikitext text/x-wiki '''I Ketut Soki''' ([[1946]]–[[2022]]) alikuwa msanii aliyefanikiwa kutoka [[Bali]]. Alipokuwa mvulana Soki alikuwa mmoja wa watoto wawili wa kwanza kupata mafunzo ya sanaa kutoka kwa msanii maarufu Arie Smit, na hivyo akawa mmoja wa waasisi wa vuguvugu la "Wasanii Vijana".<ref>{{Cite web |last=Muhayat |first=Imam |date=2022-08-23 |title=I Ketut Soki, Young Artist Painting Maestro Passes Away |url=https://www.kompasiana.com/imammuhayat/63047faf5c392b149f418672/i-ketut-soki-maestro-pelukis-young-artist-berpulang |access-date=2023-09-26 |website=Kompasiana}}</ref><ref> {{cite web | url=http://www.museumneka.com/ArtistDetails.asp?keywords2=I+Ketut+Soki&Name=I%20Ketut%20Soki | title=The Development of Painting in Bali | publisher=Neka Art Museum, Bali | accessdate=2008-05-04 }} </ref><ref> {{cite web |title=Young Artist Painter |url=http://www.bali-travelnews.com/Batrav/Batrav164/art.htm |publisher=www.bali-travelnews.com |accessdate=2008-05-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080421033453/http://www.bali-travelnews.com/Batrav/Batrav164/art.htm |archivedate=2008-04-21 |url-status=dead }} </ref><ref>{{cite web | last=O'Neill | first=Nick | title=Important people in Bali: Arie Smit | work=Bali Blog | url=http://www.baliblog.com/history/important-people-in-bali-arie-smit.html | accessdate=2008-05-04 | archive-date=2007-10-06 | archive-url=https://web.archive.org/web/20071006181052/http://www.baliblog.com/history/important-people-in-bali-arie-smit.html | url-status=dead }}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1946]] [[jamii:waliofariki 2022]] [[jamii:wasanii wa Indonesia]] aohmptllnjwte0h1ka5k2q2wudnlyvt Cal Sobrepeña 0 229475 1507708 2026-04-20T13:28:11Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507708 wikitext text/x-wiki '''Felipe Sobrepeña Calusa''' (amezaliwa [[1 Mei]] [[1940]]) ni msanii wa katuni wa [[Ufilipino]].<ref>{{Cite web|url=http://armanscomicbook.blogspot.com/2017/04/cal-sobrepena.html|title=KATHANG-ISIP : Cal Sobrepena|date=2017-04-24|website=KATHANG-ISIP|access-date=2017-12-12}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1940]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Ufilipino]] j2xq4pqc890j5p7fu62eabm6dacmeog Shiy De-jinn 0 229476 1507709 2026-04-20T13:32:16Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507709 wikitext text/x-wiki '''Shiy De-jinn''' ([[1923]]–[[1981]]) alikuwa msanii wa kisasa wa Kichina aliyepata umaarufu nchini [[Taiwan (kisiwa)|Taiwan]]. Alizaliwa mkoani Sichuan, na alikuwa mwanafunzi wa Lin Fengmian na Pang Xunqin. <ref name="auto">{{Cite web|url=https://artomity.art/2017/11/17/the-un-safe-reading-of-spectrosynthesis-asian-lgbtq-issues-and-art-now/|title = The Un/Safe Reading of Spectrosynthesis – Asian LGBTQ Issues and Art Now|date = 17 November 2017}}</ref><ref>{{Cite web| title=Remaking the rainbow: queer memorialization, counter-histories, kinship, and local tradition in Taipei's "Spectrosynthesis" | author=Landry Elizabeth Austin | date=June 2019 | url=https://scholarsbank.uoregon.edu/xmlui/bitstream/handle/1794/24955/Austin_oregon_0171N_12557.pdf?sequence=1&isAllowed=y | archive-url=https://web.archive.org/web/20210911113656/https://scholarsbank.uoregon.edu/xmlui/bitstream/handle/1794/24955/Austin_oregon_0171N_12557.pdf?sequence=1&isAllowed=y | archive-date=2021-09-11}}</ref> Fleeing the [[Chinese Communist Party]] to Taiwan, he lived there until his death. He has attracted interested as a nativist and, especially posthumously, as a queer artist.<ref>{{cite web|url=https://www.moc.gov.tw/en/information_197_96319.html |title=Ministry of Culture-Taiwan Exhibitions |publisher=Moc.gov.tw |date=2019-01-19 |accessdate=2021-09-10}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.chinatimes.com/realtimenews/20210823001030-260405?chdtv|title = 簡秀枝》席德進40週年冥誕活動開跑! - 生活}}</ref><ref>{{Cite journal|url=https://www.frieze.com/article/spectrosynthesis-asian-lgbtq-issues-and-art-now|title=Spectrosynthesis – Asian LGBTQ Issues and Art Now|journal=Frieze|date=15 December 2017|issue=192|last1=Li|first1=Alvin}}</ref><ref name="auto"/> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1923]] [[jamii:waliofariki 1981]] [[jamii:wasanii wa Taiwan]] deqf5codx82zka9nq3gcwle13anijll 1507710 1507709 2026-04-20T13:32:52Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507710 wikitext text/x-wiki '''Shiy De-jinn''' ([[1923]]–[[1981]]) alikuwa msanii wa kisasa wa Kichina aliyepata umaarufu nchini [[Taiwan (kisiwa)|Taiwan]]. Alizaliwa mkoani Sichuan, na alikuwa mwanafunzi wa Lin Fengmian na Pang Xunqin. <ref name="auto">{{Cite web|url=https://artomity.art/2017/11/17/the-un-safe-reading-of-spectrosynthesis-asian-lgbtq-issues-and-art-now/|title = The Un/Safe Reading of Spectrosynthesis – Asian LGBTQ Issues and Art Now|date = 17 November 2017}}</ref><ref>{{Cite web| title=Remaking the rainbow: queer memorialization, counter-histories, kinship, and local tradition in Taipei's "Spectrosynthesis" | author=Landry Elizabeth Austin | date=June 2019 | url=https://scholarsbank.uoregon.edu/xmlui/bitstream/handle/1794/24955/Austin_oregon_0171N_12557.pdf?sequence=1&isAllowed=y | archive-url=https://web.archive.org/web/20210911113656/https://scholarsbank.uoregon.edu/xmlui/bitstream/handle/1794/24955/Austin_oregon_0171N_12557.pdf?sequence=1&isAllowed=y | archive-date=2021-09-11}}</ref> <ref>{{cite web|url=https://www.moc.gov.tw/en/information_197_96319.html |title=Ministry of Culture-Taiwan Exhibitions |publisher=Moc.gov.tw |date=2019-01-19 |accessdate=2021-09-10}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.chinatimes.com/realtimenews/20210823001030-260405?chdtv|title = 簡秀枝》席德進40週年冥誕活動開跑! - 生活}}</ref><ref>{{Cite journal|url=https://www.frieze.com/article/spectrosynthesis-asian-lgbtq-issues-and-art-now|title=Spectrosynthesis – Asian LGBTQ Issues and Art Now|journal=Frieze|date=15 December 2017|issue=192|last1=Li|first1=Alvin}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1923]] [[jamii:waliofariki 1981]] [[jamii:wasanii wa Taiwan]] tht48y6toknx0xqtg7et0u0y1nblfhj Justin Ishbia 0 229477 1507711 2026-04-20T13:36:37Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Justin Ryan Ishbia''' (Alizaliwa [[1977]] au [[1978]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na mwekezaji wa kibinafsi (private equity).<ref>{{cite web |title=Justin Ishbia |url=https://www.forbes.com/profile/justin-ishbia/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi mwenza wa ''Shore Capital Partners''.<ref>{{cite web |title=Justin Ishbia |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=...' 1507711 wikitext text/x-wiki '''Justin Ryan Ishbia''' (Alizaliwa [[1977]] au [[1978]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na mwekezaji wa kibinafsi (private equity).<ref>{{cite web |title=Justin Ishbia |url=https://www.forbes.com/profile/justin-ishbia/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi mwenza wa ''Shore Capital Partners''.<ref>{{cite web |title=Justin Ishbia |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mmiliki mwenza wa timu ya ''Phoenix Suns'' ya [[NBA]] na ''Phoenix Mercury'' ya WNBA pamoja na kaka yake [[Mat Ishbia]].<ref>{{cite web |title=Sources: Mat Ishbia's purchase of Suns, Mercury to be official soon |url=https://www.espn.com/ |website=ESPN |access-date=2026-04-20}}</ref> Pia ni mmiliki mdogo wa ''Nashville SC'' ya Major League Soccer (MLS) na ''Chicago White Sox'' ya Major League Baseball(MLB).<ref>{{cite web |title=Billionaire Justin Ishbia abandons bid for Twins to boost his stake in White Sox |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-20}}</ref> Mnamo Desemba [[2022]], yeye na kaka yake walikubali kununua Phoenix Suns na Phoenix Mercury kutoka kwa [[Robert Sarver]] kwa dola bilioni 4.0.<ref>{{cite web |title=Mat Ishbia Nears $4 Billion Deal for Phoenix Suns and Mercury |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1977]] [[Jamii:Watu walio hai]] nwa7jahgayrtofry7649btxdpld0cvy Jared Isaacman 0 229478 1507712 2026-04-20T13:39:31Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jared Taylor Isaacman''' (Alizaliwa [[Februari 11]], [[1983]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]], rubani, na mwanaanga wa kibiashara.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Jared Isaacman |url=https://www.forbes.com/profile/jared-isaacman/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ndiye mwanzilishi wa ''Shift4 Payments'' na ''Draken International''.<ref>{{cite web |title=Meet The New Billionaire Who Dropped Out of High School...' 1507712 wikitext text/x-wiki '''Jared Taylor Isaacman''' (Alizaliwa [[Februari 11]], [[1983]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]], rubani, na mwanaanga wa kibiashara.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Jared Isaacman |url=https://www.forbes.com/profile/jared-isaacman/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ndiye mwanzilishi wa ''Shift4 Payments'' na ''Draken International''.<ref>{{cite web |title=Meet The New Billionaire Who Dropped Out of High School and Flies Fighter Jets for Fun |url=https://www.forbes.com/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Isaacman aliamuru misheni ya ''Inspiration4'' – safari ya kwanza ya anga ya kiraia kwa wananchi wote – na baadaye akaongoza ''Polaris Dawn'', wakati ambao akawa raia wa kwanza kufanya matembezi ya angani (spacewalk).<ref>{{cite web |title=First Private Spacewalk in SpaceX Capsule Achieves New Milestone |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-20}}</ref> Mnamo Desemba [[2025]], aliapishwa kama msimamizi wa 15 wa [[NASA]].<ref>{{cite web |title=Jared Isaacman Sworn In as NASA's 15th Administrator |url=https://www.spacecoastdaily.com/ |website=Space Coast Daily |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] [[Jamii:Watu walio hai]] 2rgjqdsfwz8zi26dhxr6qczbv18d1op Jim Irsay 0 229479 1507713 2026-04-20T13:42:32Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jim Irsay''' (Alizaliwa [[Juni 13]], [[1959]] – Alifariki [[Mei 21]], [[2025]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na mmiliki mkuu, mwenyekiti, na afisa mkuu mtendaji wa ''Indianapolis Colts'' ya National Football League (NFL) kuanzia mwaka [[1997]] hadi kifo chake.<ref>{{cite web |title=Forbes Profile: Jim Irsay |url=https://www.forbes.com/profile/jim-irsay/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Aliwahi kuwa meneja mkuu...' 1507713 wikitext text/x-wiki '''Jim Irsay''' (Alizaliwa [[Juni 13]], [[1959]] – Alifariki [[Mei 21]], [[2025]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na mmiliki mkuu, mwenyekiti, na afisa mkuu mtendaji wa ''Indianapolis Colts'' ya National Football League (NFL) kuanzia mwaka [[1997]] hadi kifo chake.<ref>{{cite web |title=Forbes Profile: Jim Irsay |url=https://www.forbes.com/profile/jim-irsay/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Aliwahi kuwa meneja mkuu wa Colts kuanzia [[1984]] hadi [[1996]], akiwa mtu mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kushika wadhifa huo kwenye NFL akiwa na umri wa miaka 24.<ref>{{cite web |title=Jim Irsay, Longtime Owner of the Indianapolis Colts, Dies at 65 |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-20}}</ref> Wakati wa uongozi wake, timu ilishinda ubingwa wa ''Super Bowl XLI'' mwaka [[2007]].<ref>{{cite web |title=Remembering Colts' 2006 season, Super Bowl XLI |url=https://www.cbs4indy.com/ |website=CBS4Indy |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] 079m0gqfqst4kmsbibn8frw1lsgbrb6 Rafael Alkorta 0 229480 1507714 2026-04-20T13:42:49Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rafael Alkorta Martínez''' (alizaliwa [[16 Septemba]], [[1968]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza zaidi kama beki wa kati. Kwa sasa ni mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Athletic Bilbao. Katika kipindi chake cha miaka 17 ya uchezaji wa kulipwa, aliwakilisha Athletic Bilbao na Real Madrid CF, akikusanya jumla ya mechi 370 na mabao 8 katika La Liga, na kushinda mataji matatu akiwa na Real M...' 1507714 wikitext text/x-wiki '''Rafael Alkorta Martínez''' (alizaliwa [[16 Septemba]], [[1968]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza zaidi kama beki wa kati. Kwa sasa ni mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Athletic Bilbao. Katika kipindi chake cha miaka 17 ya uchezaji wa kulipwa, aliwakilisha Athletic Bilbao na Real Madrid CF, akikusanya jumla ya mechi 370 na mabao 8 katika La Liga, na kushinda mataji matatu akiwa na Real Madrid.<ref>{{cite web|url=http://www.espn.com/soccer/blog/espn-fc-united/68/post/2678822/remembering-howard-kendall-as-athletic-bilbao-manager|title=Remembering Howard Kendall's days as Athletic Bilbao manager|publisher=[[ESPN]]|first=Sid|last=Lowe|author-link=Sid Lowe|date=23 October 2015|access-date=2 May 2018}}</ref><ref>{{cite news|url=http://elpais.com/diario/1993/07/08/deportes/742082418_850215.html|title=El traspaso de Alkorta al Real Madrid solventaría el déficit del Athletic|trans-title=Alkorta's transfer to Real Madrid would solve Athletic's deficit|newspaper=[[El País]]|first=Eduardo|last=Rodrigálvarez|language=es|date=8 July 1993|access-date=16 July 2016}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1968|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] e0zrcei58c7vy8mdbz2griuwge5phlg Samuel Insull 0 229481 1507715 2026-04-20T13:49:18Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Samuel Insull''' (Alizaliwa [[Novemba 11]], [[1859]] – Alifariki [[Julai 16]], [[1938]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uingereza]], aliyesaidiwa kuunda miundombinu ya umeme iliyounganishwa nchini Marekani.<ref>{{cite web |title=Samuel Insull |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikuwa mwanzilishi wa kampuni za ''Commonwealth Edison'' na alijenga...' 1507715 wikitext text/x-wiki '''Samuel Insull''' (Alizaliwa [[Novemba 11]], [[1859]] – Alifariki [[Julai 16]], [[1938]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uingereza]], aliyesaidiwa kuunda miundombinu ya umeme iliyounganishwa nchini Marekani.<ref>{{cite web |title=Samuel Insull |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikuwa mwanzilishi wa kampuni za ''Commonwealth Edison'' na alijenga himaya kubwa ya huduma za umeme huko [[Chicago]].<ref>{{cite web |title=Insull: The Rise and Fall of a Billionaire Utility Tycoon |url=https://press.uchicago.edu/ |access-date=2026-04-20}}</ref> Kutokana na Mdororo Mkuu wa Uchumi (Great Depression), himaya yake iliporomoka, na alishtakiwa kwa ulaghai wa dhamana lakini akaachiliwa huru baada ya muda wa saa mbili wa mashauriano ya waamuzi.<ref>{{cite web |title=Samuel Insull Goes on Trial in Frauds Case |url=https://news.google.com/ |website=Portsmouth Times |access-date=2026-04-20}}</ref> Alifariki akiwa na faranga 30 tu mfukoni mwake baada ya kushambuliwa na mshtuko wa moyo katika kituo cha Metro cha Place de la Concorde huko [[Paris]].<ref>{{cite web |title=Insull Drops Dead In A Paris Station |url=https://news.google.com/ |website=The Montreal Gazette |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1859]] [[Jamii:Waliofariki 1938]] 5bkr8e4i23r54alii4izt6lwm1oj3m3 Shahid Khan 0 229482 1507717 2026-04-20T13:56:33Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Shahid Rafiq Khan''' (Alizaliwa [[Julai 18]], [[1950]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Pakistan]].<ref>{{cite web |title=Shahid Khan |url=https://www.forbes.com/profile/shahid-khan/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Anamiliki timu ya ''Jacksonville Jaguars'' ya National Football League (NFL) na [[Fulham F.C.]] ya [[Ligi Kuu Uingereza (EPL)]], na pia ni mwekezaji mkuu katika shirika la All Elite Wrestl...' 1507717 wikitext text/x-wiki '''Shahid Rafiq Khan''' (Alizaliwa [[Julai 18]], [[1950]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Pakistan]].<ref>{{cite web |title=Shahid Khan |url=https://www.forbes.com/profile/shahid-khan/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Anamiliki timu ya ''Jacksonville Jaguars'' ya National Football League (NFL) na [[Fulham F.C.]] ya [[Ligi Kuu Uingereza (EPL)]], na pia ni mwekezaji mkuu katika shirika la All Elite Wrestling (AEW), linalomilikiwa na mwanawe, Tony.<ref>{{cite web |title=Shahid Khan |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> Khan pia ni mmiliki wa ''Flex-N-Gate'', kampuni ya Marekani ya usambazaji wa vipengee vya magari.<ref>{{cite web |title=Shahid Khan |url=https://www.forbes.com/profile/shahid-khan/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Pakistan]] [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Watu walio hai]] o7pe8toukuvs24pmlezxh6jthb1dass Kirk Kerkorian 0 229483 1507720 2026-04-20T13:59:26Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kirk Kerkorian''' (Alizaliwa [[Juni 6]], [[1917]] – Alifariki [[Juni 15]], [[2015]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]], mwekezaji, na mfadhili.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.forbes.com/profile/kirk-kerkorian/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye alikuwa rais na afisa mkuu mtendaji wa ''Tracinda Corporation'', kampuni yake ya kibinafsi ya miliki.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www...' 1507720 wikitext text/x-wiki '''Kirk Kerkorian''' (Alizaliwa [[Juni 6]], [[1917]] – Alifariki [[Juni 15]], [[2015]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]], mwekezaji, na mfadhili.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.forbes.com/profile/kirk-kerkorian/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye alikuwa rais na afisa mkuu mtendaji wa ''Tracinda Corporation'', kampuni yake ya kibinafsi ya miliki.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Kerkorian alikuwa mmoja wa watu muhimu katika uundaji wa [[Las Vegas, Nevada|Las Vegas]] na anaelezewa kama "baba wa mbuga kubwa" (father of the mega-resort), akijenga hoteli kubwa zaidi duniani huko Las Vegas mara tatu.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian, billionaire and Las Vegas casino mogul, dies |url=https://apnews.com/ |website=Associated Press |access-date=2026-04-20}}</ref> Alinunua studio ya filamu ya ''Metro-Goldwyn-Mayer (MGM)'' mwaka [[1969]] na baadaye akaiuza mwaka [[2005]] kwa kundi la wawekezaji wakiongozwa na [[Sony]].<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1917]] [[Jamii:Waliofariki 2015]] drtnnfh38ky50up1e0a3mu9prr4w0r7 1507721 1507720 2026-04-20T13:59:51Z Ally0111 85292 1507721 wikitext text/x-wiki '''Kerkor "Kirk" Kerkorian ''' (Alizaliwa [[Juni 6]], [[1917]] – Alifariki [[Juni 15]], [[2015]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]], mwekezaji, na mfadhili.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.forbes.com/profile/kirk-kerkorian/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye alikuwa rais na afisa mkuu mtendaji wa ''Tracinda Corporation'', kampuni yake ya kibinafsi ya miliki.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Kerkorian alikuwa mmoja wa watu muhimu katika uundaji wa [[Las Vegas, Nevada|Las Vegas]] na anaelezewa kama "baba wa mbuga kubwa" (father of the mega-resort), akijenga hoteli kubwa zaidi duniani huko Las Vegas mara tatu.<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian, billionaire and Las Vegas casino mogul, dies |url=https://apnews.com/ |website=Associated Press |access-date=2026-04-20}}</ref> Alinunua studio ya filamu ya ''Metro-Goldwyn-Mayer (MGM)'' mwaka [[1969]] na baadaye akaiuza mwaka [[2005]] kwa kundi la wawekezaji wakiongozwa na [[Sony]].<ref>{{cite web |title=Kirk Kerkorian |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1917]] [[Jamii:Waliofariki 2015]] gwfaqrvvc9jwtpwtugbe5bn82a4grjy James C. Kennedy 0 229484 1507725 2026-04-20T14:04:02Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''James Cox Kennedy''' (Alizaliwa [[Novemba 29]], [[1947]]) ni mtendaji wa media bilionea nchini [[Marekani]] na mwenyekiti wa sasa wa ''Cox Enterprises'', kampuni iliyoanzishwa na babu yake, [[James M. Cox]].<ref>{{cite web |title=James Kennedy |url=https://www.forbes.com/profile/james-kennedy/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kwa mujibu wa orodha ya mabilionea ya ''Forbes'' ya mwaka [[2017]], yeye ni mtu wa 105 tajiri zaidi duniani, wa 37...' 1507725 wikitext text/x-wiki '''James Cox Kennedy''' (Alizaliwa [[Novemba 29]], [[1947]]) ni mtendaji wa media bilionea nchini [[Marekani]] na mwenyekiti wa sasa wa ''Cox Enterprises'', kampuni iliyoanzishwa na babu yake, [[James M. Cox]].<ref>{{cite web |title=James Kennedy |url=https://www.forbes.com/profile/james-kennedy/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kwa mujibu wa orodha ya mabilionea ya ''Forbes'' ya mwaka [[2017]], yeye ni mtu wa 105 tajiri zaidi duniani, wa 37 tajiri zaidi nchini Marekani, na mtu tajiri zaidi katika jimbo la [[Georgia (jimbo)|Georgia]].<ref>{{cite web |author=Dan Alexander |url=https://www.forbes.com/sites/danalexander/2016/05/25/meet-the-richest-person-in-every-state-2016-billionaires/#4874a59b7834 |title=Meet The Richest Person In Every State |website=Forbes.com |date=2016-05-25 |access-date=2017-06-01 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170909050938/https://www.forbes.com/sites/danalexander/2016/05/25/meet-the-richest-person-in-every-state-2016-billionaires/#4874a59b7834 |archive-date=2017-09-09 |url-status=live }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1947]] [[Jamii:Watu walio hai]] hxy5kfa7x1p5mq7330vcbwui68fcp06 Chus Alonso 0 229485 1507726 2026-04-20T14:04:20Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jesús "Chus" Alonso Fernández''' (amezaliwa [[Havana]] [[24 Aprili]], [[1917]] – amefariki [[9 Agosti]], [[1979]] huko [[Madrid]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kiungo. == Kazi ya klabu == Familia yake ilirejea Hispania alipokuwa [[mtoto]] na alicheza kwa vilabu vya Hispania pekee. Alifunga mabao 2 katika mchezo wa kwanza wa ufunguzi katika Santiago Bernabéu Stadium na pia alifunga bao la kw...' 1507726 wikitext text/x-wiki '''Jesús "Chus" Alonso Fernández''' (amezaliwa [[Havana]] [[24 Aprili]], [[1917]] – amefariki [[9 Agosti]], [[1979]] huko [[Madrid]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kiungo. == Kazi ya klabu == Familia yake ilirejea Hispania alipokuwa [[mtoto]] na alicheza kwa vilabu vya Hispania pekee. Alifunga mabao 2 katika mchezo wa kwanza wa ufunguzi katika Santiago Bernabéu Stadium na pia alifunga bao la kwanza katika mchezo wa ushindani kwenye uwanja huo mpya dhidi ya Athletic Bilbao.<ref>{{Cite web|url=http://www.corazonblanco.com/wiki/Chus_Alonso|archive-url=https://web.archive.org/web/20081013182749/http://www.corazonblanco.com/wiki/Chus_Alonso|archive-date=2008-10-13|title=Corazón Blanco – Invertimos en el Real Madrid}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.realmadrid.com/en/about-real-madrid/history/football-legends/jesus-alonso-fernandez|title=Chus Alonso &#124; Real Madrid CF|website=Real Madrid C.F. - Web Oficial}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1917|1979}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 0gfc3rk46zmsrbw633v1x1hixmz0mk3 Ken Kendrick 0 229486 1507727 2026-04-20T14:06:48Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ken Kendrick''' (Alizaliwa [[Septemba 2]], [[1943]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni mmiliki mkuu na meneja mkuu mshiriki wa timu ya ''Arizona Diamondbacks'' ya National League (MLB).<ref>{{cite web |title=Ken Kendrick |url=https://www.forbes.com/profile/ken-kendrick/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikua mmiliki mshiriki tangu kuanzishwa kwa timu mwaka [[1995]], na alikuwa meneja mkuu mshiriki tangu mwaka [...' 1507727 wikitext text/x-wiki '''Ken Kendrick''' (Alizaliwa [[Septemba 2]], [[1943]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni mmiliki mkuu na meneja mkuu mshiriki wa timu ya ''Arizona Diamondbacks'' ya National League (MLB).<ref>{{cite web |title=Ken Kendrick |url=https://www.forbes.com/profile/ken-kendrick/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikua mmiliki mshiriki tangu kuanzishwa kwa timu mwaka [[1995]], na alikuwa meneja mkuu mshiriki tangu mwaka [[2004]], akisimamia shughuli za kila siku na kuwakilisha shirika wakati wamiliki wa Major League Baseball wanapokutana.<ref>{{Cite web |url=http://www.terry.uga.edu/multimedia/ken-kendrick |title=Ken Kendrick, Managing General Partner, Arizona Diamondbacks, speaks at Terry Leadership Speaker Series - Multimedia - Terry College of Business - University of Georgia |access-date=2016-02-17 |archive-date=2016-03-02 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160302142851/http://www.terry.uga.edu/multimedia/ken-kendrick |url-status=dead }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1943]] [[Jamii:Watu walio hai]] jtju25dl8mymm4jlir1x4htueffua6c 1507728 1507727 2026-04-20T14:08:00Z Ally0111 85292 1507728 wikitext text/x-wiki '''Earl Gentry "Ken" Kendrick Jr. ''' (Alizaliwa [[Septemba 2]], [[1943]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni mmiliki mkuu na meneja mkuu mshiriki wa timu ya ''Arizona Diamondbacks'' ya National League (MLB).<ref>{{cite web |title=Ken Kendrick |url=https://www.forbes.com/profile/ken-kendrick/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikua mmiliki mshiriki tangu kuanzishwa kwa timu mwaka [[1995]], na alikuwa meneja mkuu mshiriki tangu mwaka [[2004]], akisimamia shughuli za kila siku na kuwakilisha shirika wakati wamiliki wa Major League Baseball wanapokutana.<ref>{{Cite web |url=http://www.terry.uga.edu/multimedia/ken-kendrick |title=Ken Kendrick, Managing General Partner, Arizona Diamondbacks, speaks at Terry Leadership Speaker Series - Multimedia - Terry College of Business - University of Georgia |access-date=2016-02-17 |archive-date=2016-03-02 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160302142851/http://www.terry.uga.edu/multimedia/ken-kendrick |url-status=dead }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1943]] [[Jamii:Watu walio hai]] 5v8p1vz8ibh8abcpq3l4n61ex4fh13y Peter Kellogg 0 229487 1507729 2026-04-20T14:09:55Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Peter R. Kellogg''' (Alizaliwa [[Septemba 5]], [[1942]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye utajiri unaokadiriwa na ''Forbes'' kuwa karibu dola bilioni 3.4, uliotokana hasa na uongozi wake wa kampuni ya Wall Street ''Spear, Leeds & Kellogg''.<ref>{{cite web |title=Peter Kellogg |url=https://www.forbes.com/profile/peter-kellogg/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} Jamii:Wafan...' 1507729 wikitext text/x-wiki '''Peter R. Kellogg''' (Alizaliwa [[Septemba 5]], [[1942]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye utajiri unaokadiriwa na ''Forbes'' kuwa karibu dola bilioni 3.4, uliotokana hasa na uongozi wake wa kampuni ya Wall Street ''Spear, Leeds & Kellogg''.<ref>{{cite web |title=Peter Kellogg |url=https://www.forbes.com/profile/peter-kellogg/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1942]] [[Jamii:Watu walio hai]] gg612hxsdaliiww8red7gnh8333oawo Brad M. Kelley 0 229488 1507730 2026-04-20T14:13:32Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Brad Maurice Kelley''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni mmiliki wa 9 wa ardhi kwa ukubwa nchini Marekani, na utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 1.4 kufikia mwaka [[2025]].<ref>{{Cite web |title=2022 Land Report: Who owns the most land in the United States? |url=https://www.agriculture.com/farm-management/farm-land/2022-land-report-who-owns-the-most-land-in-the-united-states |access-date=2023-09-27...' 1507730 wikitext text/x-wiki '''Brad Maurice Kelley''' (Alizaliwa [[1956]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye ni mmiliki wa 9 wa ardhi kwa ukubwa nchini Marekani, na utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 1.4 kufikia mwaka [[2025]].<ref>{{Cite web |title=2022 Land Report: Who owns the most land in the United States? |url=https://www.agriculture.com/farm-management/farm-land/2022-land-report-who-owns-the-most-land-in-the-united-states |access-date=2023-09-27 |website=Successful Farming |language=en}}</ref> Alianzisha kampuni ya tumbaku ''Commonwealth Brands'' mwaka [[1991]] na akaiuza mwaka [[2001]] kwa ''Houchens Industries'' kwa dola bilioni 1.<ref>{{cite web |title=Brad Kelley |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia mwaka [[2014]], shughuli za Kelley zilijumuisha ''Calumet Farm'', ''NC2 Media'', na ''Center for Innovation'' na ''Technology business park''.<ref>{{cite web |title=Brad Kelley |url=https://www.forbes.com/profile/brad-kelley/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1956]] [[Jamii:Watu walio hai]] o18r7og7xkidey7sjruvd6ue0lidhif Gabriel Alonso 0 229489 1507733 2026-04-20T14:16:02Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gabriel Alonso Aristiaguirre''' (amezaliwa [[9 Novemba]], [[1923]] – amefariki [[19 Novemba]], [[1996]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama beki. == Kazi ya klabu == Alizaliwa katika Hondarribia, katika eneo la Basque Country. Alonso alicheza katika klabu tatu za La Liga, ambazo ni Celta de Vigo, Real Madrid CF na CD Málaga, kwa kipindi cha misimu tisa. Alishinda ubingwa wa taifa wa msimu wa 1953...' 1507733 wikitext text/x-wiki '''Gabriel Alonso Aristiaguirre''' (amezaliwa [[9 Novemba]], [[1923]] – amefariki [[19 Novemba]], [[1996]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama beki. == Kazi ya klabu == Alizaliwa katika Hondarribia, katika eneo la Basque Country. Alonso alicheza katika klabu tatu za La Liga, ambazo ni Celta de Vigo, Real Madrid CF na CD Málaga, kwa kipindi cha misimu tisa. Alishinda ubingwa wa taifa wa msimu wa 1953–54 La Liga akiwa na Real Madrid, ingawa alicheza mchezo mmoja tu katika msimu huo, ambao ulikuwa sare ya 1–1 ugenini dhidi ya CA Osasuna.<ref>[https://historiasracinguistas.blogspot.com/2008/05/gabriel-alonso.html Racing de Ferrol biography]</ref><ref>[http://www.yojugueenelcelta.com/2008/04/gabriel-alonso.html Celta de Vigo biography]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1923|1996}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] cq7bif39uzcvx4ts00egbti3xz2v1ne Pauline MacMillan Keinath 0 229490 1507734 2026-04-20T14:18:52Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Pauline MacMillan Keinath''' (Alizaliwa tarehe [[31 Julai ]], [[1934]]) ni bilionea nchini [[Marekani]] aliyepata utajiri kwa urithi.<ref>{{cite web |title=Pauline Keinath |url=https://www.forbes.com/profile/pauline-keinath/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Anaaminika kuwa mwanahisa mkubwa zaidi wa kibinafsi katika kampuni ya ''Cargill''.<ref>{{cite web |title=Pauline Keinath |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg...' 1507734 wikitext text/x-wiki '''Pauline MacMillan Keinath''' (Alizaliwa tarehe [[31 Julai ]], [[1934]]) ni bilionea nchini [[Marekani]] aliyepata utajiri kwa urithi.<ref>{{cite web |title=Pauline Keinath |url=https://www.forbes.com/profile/pauline-keinath/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Anaaminika kuwa mwanahisa mkubwa zaidi wa kibinafsi katika kampuni ya ''Cargill''.<ref>{{cite web |title=Pauline Keinath |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1934]] [[Jamii:Watu walio hai]] o4ti36jhyx03szb8kjzyq5c6y6kcjxc Bruce Karsh 0 229491 1507735 2026-04-20T14:22:15Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bruce Karsh''' (Alizaliwa [[Oktoba 10]], [[1955]]) ni mwekezaji na [[wakili]] wa zamani nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Bruce Karsh |url=https://www.forbes.com/profile/bruce-karsh/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Mwanzoni mwa miaka ya 1980, alikuwa karani wa mahakama ya rufaa kwa jaji wa zamani wa Mahakama ya Juu ya Marekani [[Anthony M. Kennedy]].<ref>[https://archive.today/20130415081347/http://www.jewishinstlouis.org/page....' 1507735 wikitext text/x-wiki '''Bruce Karsh''' (Alizaliwa [[Oktoba 10]], [[1955]]) ni mwekezaji na [[wakili]] wa zamani nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Bruce Karsh |url=https://www.forbes.com/profile/bruce-karsh/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Mwanzoni mwa miaka ya 1980, alikuwa karani wa mahakama ya rufaa kwa jaji wa zamani wa Mahakama ya Juu ya Marekani [[Anthony M. Kennedy]].<ref>[https://archive.today/20130415081347/http://www.jewishinstlouis.org/page.aspx?id=198832 Jewish In St. Louis: "Gala to Pay Tribute to Rock Legends…and RJA Legends"] May 17, 2009</ref> Alianzisha ''Oaktree Capital Management'' mwaka [[1995]], na baadaye akawa mwenyekiti mwenza na afisa mkuu wa uwekezaji (CIO).<ref>{{cite web |title=Bruce Karsh |url=https://www.forbes.com/profile/bruce-karsh/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia Agosti [[2020]], kwa mujibu wa jarida la ''Forbes'', ana utajiri wa dola bilioni 2.1, na kumweka nambari 391 kwenye orodha ya ''Forbes 400''.<ref name=SaintLouisJewishLight>[http://www.stljewishlight.com/life_cycle/obituaries/article_c575ec7c-e6f5-11e1-a606-0019bb2963f4.html The St. Louis Jewish Light: David H. Karsh] August 15, 2012</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1955]] [[Jamii:Watu walio hai]] lcpucb7jj753zt2w9irx77yujf1nve4 Juan Alonso 0 229492 1507736 2026-04-20T14:25:27Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Juan Adelarpe Alonso''' (amezaliwa [[13 Desemba]], [[1927]] – amefariki [[8 Septemba]], [[1994]]), anayejulikana pia kama '''Juanito Alonso''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kipa. Alikuwa mchezaji wa klabu ya Real Madrid CF na alikuwa sehemu ya kikosi kilichoshinda mataji ya [[Kombe la Ulaya]] (European Cup) mwaka 1956, 1957 na 1958. Pia aliichezea timu ya taifa ya Hispania mara mbili. Alonso...' 1507736 wikitext text/x-wiki '''Juan Adelarpe Alonso''' (amezaliwa [[13 Desemba]], [[1927]] – amefariki [[8 Septemba]], [[1994]]), anayejulikana pia kama '''Juanito Alonso''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kipa. Alikuwa mchezaji wa klabu ya Real Madrid CF na alikuwa sehemu ya kikosi kilichoshinda mataji ya [[Kombe la Ulaya]] (European Cup) mwaka 1956, 1957 na 1958. Pia aliichezea timu ya taifa ya Hispania mara mbili. Alonso alishinda tuzo ya Ricardo Zamora Trophy msimu wa 1954–55. Mwishoni mwa maisha yake ya soka, alicheza michezo michache kwa timu ya pili ya Real Madrid, iliyokuwa ikijulikana kama AD Plus Ultra iliyoshiriki daraja la pili.<ref>[https://marius-porterosvascosdeleyenda.blogspot.com/2009/10/juan-alonso.html Porteros vascos de leyenda]<ref></ref>[https://web.archive.org/web/20070308064739/http://futbol.sportec.es/seleccion/ficha_jugador.asp?j=325&n=juanito%2Falonso%2Fjuan%2Falonso%2Fadelarpe National team data]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1927|1994}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] hflrbty19aeg7bq5fvzff6jjjza0isq 1507738 1507736 2026-04-20T14:33:23Z Christina Charles 71406 1507738 wikitext text/x-wiki '''Juan Adelarpe Alonso''' (amezaliwa [[13 Desemba]], [[1927]] – amefariki [[8 Septemba]], [[1994]]), anayejulikana pia kama '''Juanito Alonso''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] aliyekuwa akicheza kama kipa. Alikuwa mchezaji wa klabu ya Real Madrid CF na alikuwa sehemu ya kikosi kilichoshinda mataji ya [[Kombe la Ulaya]] (European Cup) mwaka 1956, 1957 na 1958. Pia aliichezea timu ya taifa ya Hispania mara mbili. Alonso alishinda tuzo ya Ricardo Zamora Trophy msimu wa 1954–55. Mwishoni mwa maisha yake ya soka, alicheza michezo michache kwa timu ya pili ya Real Madrid, iliyokuwa ikijulikana kama AD Plus Ultra iliyoshiriki daraja la pili.<ref>[https://marius-porterosvascosdeleyenda.blogspot.com/2009/10/juan-alonso.html Porteros vascos de leyenda]</ref><ref>[https://web.archive.org/web/20070308064739/http://futbol.sportec.es/seleccion/ficha_jugador.asp?j=325&n=juanito%2Falonso%2Fjuan%2Falonso%2Fadelarpe National team data]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1927|1994}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] so174ta3vsf5lk190flsj61i8qexrng Osman Kibar 0 229493 1507737 2026-04-20T14:25:43Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Osman Kibar''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uturuki]].<ref>{{cite web |title=Osman Kibar |url=https://www.forbes.com/profile/osman-kibar/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya bioteknolojia ''Biosplice''.<ref name="CNN">{{Cite web|date=March 3, 2017|title=İşte Türkiye'nin en zengin 50 ismi|url=https://www.cnnturk.com/ekonomi/turkiyenin-en-zengin-isimleri-aciklandi?pag...' 1507737 wikitext text/x-wiki '''Osman Kibar''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uturuki]].<ref>{{cite web |title=Osman Kibar |url=https://www.forbes.com/profile/osman-kibar/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya bioteknolojia ''Biosplice''.<ref name="CNN">{{Cite web|date=March 3, 2017|title=İşte Türkiye'nin en zengin 50 ismi|url=https://www.cnnturk.com/ekonomi/turkiyenin-en-zengin-isimleri-aciklandi?page=1|archive-url=https://web.archive.org/web/20171112074523/https://www.cnnturk.com/ekonomi/turkiyenin-en-zengin-isimleri-aciklandi?page=1|archive-date=November 12, 2017|access-date=November 12, 2017|publisher=[[CNN Türk]]|language=tr}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]] [[Jamii:Watu walio hai]] 3tw2yd6vameayrngzx5ulai4hg50t0t Amin Khoury 0 229494 1507739 2026-04-20T14:38:25Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Amin Khoury''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye alianzisha na kuendeleza makampuni katika sekta ya vyombo vya kisayansi, huduma za matibabu, vifaa vya matibabu, na vifaa vya usindikaji wa semiconductor.<ref>{{cite web |title=Amin Khoury |url=https://www.forbes.com/profile/amin-khoury/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alianzisha ''B/E Aerospace'', kampuni iliyoorodheshwa kwenye S&P 400 na NASDAQ inayotengeneza bidh...' 1507739 wikitext text/x-wiki '''Amin Khoury''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye alianzisha na kuendeleza makampuni katika sekta ya vyombo vya kisayansi, huduma za matibabu, vifaa vya matibabu, na vifaa vya usindikaji wa semiconductor.<ref>{{cite web |title=Amin Khoury |url=https://www.forbes.com/profile/amin-khoury/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alianzisha ''B/E Aerospace'', kampuni iliyoorodheshwa kwenye S&P 400 na NASDAQ inayotengeneza bidhaa za ndani za vyombo vya ndege kwa ajili ya soko la ndege za kibiashara na za biashara.<ref>{{cite web |title=Amin Khoury |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]] [[Jamii:Watu walio hai]] 5oftga49odxq0p9l9nbr5tm9rw63k74 1507740 1507739 2026-04-20T14:40:17Z Ally0111 85292 1507740 wikitext text/x-wiki '''Amin J. Khoury''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye alianzisha na kuendeleza makampuni katika sekta ya vyombo vya kisayansi, huduma za matibabu, vifaa vya matibabu, na vifaa vya usindikaji wa semiconductor.<ref>{{cite web |title=Amin Khoury |url=https://www.forbes.com/profile/amin-khoury/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alianzisha ''B/E Aerospace'', kampuni iliyoorodheshwa kwenye S&P 400 na NASDAQ inayotengeneza bidhaa za ndani za vyombo vya ndege kwa ajili ya soko la ndege za kibiashara na za biashara.<ref>{{cite web |title=Amin Khoury |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]] [[Jamii:Watu walio hai]] qsni90nbvbr22be0gui0djebaegkhs7 Vinod Khosla 0 229495 1507741 2026-04-20T14:47:06Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Vinod Khosla''' (Alizaliwa [[Januari 28]], [[1955]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mwekezaji wa mitaji hatari (venture capitalist) nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uhindi]].<ref>{{cite web |title=Vinod Khosla |url=https://www.forbes.com/profile/vinod-khosla/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi mwenza wa ''Sun Microsystems'' na mwanzilishi wa ''Khosla Ventures''. Khosla alijenga utajiri wake kutokana na uwekezaji...' 1507741 wikitext text/x-wiki '''Vinod Khosla''' (Alizaliwa [[Januari 28]], [[1955]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mwekezaji wa mitaji hatari (venture capitalist) nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uhindi]].<ref>{{cite web |title=Vinod Khosla |url=https://www.forbes.com/profile/vinod-khosla/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi mwenza wa ''Sun Microsystems'' na mwanzilishi wa ''Khosla Ventures''. Khosla alijenga utajiri wake kutokana na uwekezaji wake wa awali katika maeneo kama mitandao, programu, na teknolojia za nishati mbadala.<ref>{{cite web |title=Vinod Khosla |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Alichukuliwa kuwa mmoja wa wawekezaji wa hatari waliofanikiwa na wenye ushawishi mkubwa zaidi.<ref>{{cite web |title=Vinod Khosla says get rid of experts and invent the future you want |url=https://venturebeat.com/ |website=VentureBeat |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia Januari [[2026]], ''Forbes'' anakadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 13.4.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Vinod Khosla |url=https://www.forbes.com/profile/vinod-khosla/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Uhindi]] [[Jamii:Waliozaliwa 1955]] [[Jamii:Watu walio hai]] 6ruup9yn60q2di960hyi64y4ymep5h1 Gerard López 0 229496 1507742 2026-04-20T14:50:25Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gerard López Segú''' (alizaliwa [[12 Machi]], [[1979]]), anayejulikana kwa jina la '''Gerard''', ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu kutoka [[Hispania]] ambaye kwa sasa ni [[kocha]] wa timu ya taifa ya Catalonia. Akiwa kiungo mwenye uwezo wa kucheza nafasi mbalimbali, alijulikana kwa pasi sahihi na udhibiti mzuri wa [[mpira]]. Katika maisha yake ya soka, alichezea vilabu kadhaa ikiwemo FC Barcelona na Valencia CF, akisaidia Valencia kufika faina...' 1507742 wikitext text/x-wiki '''Gerard López Segú''' (alizaliwa [[12 Machi]], [[1979]]), anayejulikana kwa jina la '''Gerard''', ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu kutoka [[Hispania]] ambaye kwa sasa ni [[kocha]] wa timu ya taifa ya Catalonia. Akiwa kiungo mwenye uwezo wa kucheza nafasi mbalimbali, alijulikana kwa pasi sahihi na udhibiti mzuri wa [[mpira]]. Katika maisha yake ya soka, alichezea vilabu kadhaa ikiwemo FC Barcelona na Valencia CF, akisaidia Valencia kufika fainali ya 2000 UEFA Champions League final. Kwa sasa, anahudumu kama kocha wa Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Catalonia.<ref>{{cite news|url=http://hemeroteca.abc.es/nav/Navigate.exe/hemeroteca/madrid/abc/1997/09/01/081.html|title=Venganza en Mallorca|trans-title=Revenge in Mallorca|newspaper=[[ABC (newspaper)|ABC]]|first=Cristina|last=Infante|language=es|date=1 September 1997|access-date=13 December 2017}}</ref><ref>{{cite news|url=http://hemeroteca.abc.es/nav/Navigate.exe/hemeroteca/madrid/abc/1997/09/01/081.html|title=Venganza en Mallorca|trans-title=Revenge in Mallorca|newspaper=[[ABC (newspaper)|ABC]]|first=Cristina|last=Infante|language=es|date=1 September 1997|access-date=13 December 2017}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1979|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 9c8by8sz9a18m591em9qqt6w5vhec6t Randal J. Kirk 0 229497 1507743 2026-04-20T14:51:05Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Randal J. Kirk''' (Alizaliwa [[Machi 1]], [[1954]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mwekezaji nchini [[Marekani]] katika sekta ya dawa na bioteknolojia.<ref>{{cite web |title=Randal Kirk |url=https://www.forbes.com/profile/randal-kirk/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikuwa mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''Intrexon'' (sasa ''Precigen''), kampuni ya bioteknolojia.<ref>{{cite web |title=Randal J. Kirk |url=https://www.bloomberg.co...' 1507743 wikitext text/x-wiki '''Randal J. Kirk''' (Alizaliwa [[Machi 1]], [[1954]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mwekezaji nchini [[Marekani]] katika sekta ya dawa na bioteknolojia.<ref>{{cite web |title=Randal Kirk |url=https://www.forbes.com/profile/randal-kirk/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikuwa mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''Intrexon'' (sasa ''Precigen''), kampuni ya bioteknolojia.<ref>{{cite web |title=Randal J. Kirk |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> Kirk alianza kama wakili, lakini alijulikana zaidi kwa uwekezaji wake katika makampuni ya dawa na bioteknolojia, ikiwemo mauzo ya ''New River Pharmaceuticals'' kwa ''Shire'' kwa dola bilioni 2.6 mwaka [[2007]].Kufikia Mei [[2024]], ''Forbes'' alikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 1.4.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Randal J. Kirk |url=https://www.forbes.com/profile/randal-kirk/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Watu walio hai]] 6gcbndfw6mw5cmk0v7iifb71wh66x2d Gerardo Miranda 0 229498 1507744 2026-04-20T14:54:21Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gerardo Miranda Concepción''' (alizaliwa [[16 Novemba]], [[1956]]) anayejulikana kama '''Gerardo''', ni [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] kutoka Hispania aliyekuwa akicheza kama beki wa kulia. == Kazi ya klabu == Gerardo alizaliwa katika Nouakchott, wakati huo ikiwa ni sehemu ya French West Africa, kwa [[wazazi]] wa Kihispania waliokuwa wakifanya kazi huko.<ref name=Invention>{{cite news|url=https://www.eldiario.es/canariasahora/...' 1507744 wikitext text/x-wiki '''Gerardo Miranda Concepción''' (alizaliwa [[16 Novemba]], [[1956]]) anayejulikana kama '''Gerardo''', ni [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa wa [[mpira wa miguu]] kutoka Hispania aliyekuwa akicheza kama beki wa kulia. == Kazi ya klabu == Gerardo alizaliwa katika Nouakchott, wakati huo ikiwa ni sehemu ya French West Africa, kwa [[wazazi]] wa Kihispania waliokuwa wakifanya kazi huko.<ref name=Invention>{{cite news|url=https://www.eldiario.es/canariasahora/Deportes/gerardo-miranda-invento-munoz_1_5919932.html|title=Gerardo Miranda: El (otro) 'invento' de Muñoz (1981–1985)|trans-title=Gerardo Miranda: Muñoz's (other) 'invention' (1981–1985)|newspaper=[[elDiario.es|El Diario]]|language=es|date=27 April 2020|access-date=20 September 2022}}</ref><ref name=UDLP>{{cite web|url=https://www.webdelclub.com/web/Entrevista.aspx?vweb=wvudlp&id=6|title=Gerardo Miranda|publisher=UD Las Palmas Former Footballers Association|language=es|access-date=27 January 2022}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1956|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] tvmvog19ms9105vp8g1qnv1lfgt79s1 Richard Kinder 0 229499 1507745 2026-04-20T15:00:05Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Richard D. Kinder''' (Alizaliwa [[Oktoba 19]], [[1944]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mtendaji wa ''Kinder Morgan Inc.'', kampuni ya nishati na mabomba (pipeline).<ref>{{cite web |title=Richard Kinder |url=https://www.forbes.com/profile/richard-kinder/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alianza kazi yake katika biashara ya nishati kama [[wakili]] katika ''Florida Gas Transmission'',...' 1507745 wikitext text/x-wiki '''Richard D. Kinder''' (Alizaliwa [[Oktoba 19]], [[1944]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na mwanzilishi mwenza na mwenyekiti mtendaji wa ''Kinder Morgan Inc.'', kampuni ya nishati na mabomba (pipeline).<ref>{{cite web |title=Richard Kinder |url=https://www.forbes.com/profile/richard-kinder/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alianza kazi yake katika biashara ya nishati kama [[wakili]] katika ''Florida Gas Transmission'', ambayo baadaye ikawa ''Enron Corporation''.<ref>{{cite web |title=Richard Kinder |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Alijiuzulu kutoka Enron mwaka [[1996]] na kuanzisha kampuni yake ya mabomba, na baada ya ununuzi kadhaa, Kinder Morgan ikawa kampuni kubwa zaidi ya nishati ya kati (midstream energy company) katika [[Amerika ya Kaskazini]].Mwaka [[2025]], aliorodheshwa nambari 108 kwenye orodha ya ''Forbes 400'' ya watu tajiri zaidi nchini Marekani.<ref>{{cite web |title=Forbes Profile: Richard Kinder |url=https://www.forbes.com/profile/richard-kinder/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1944]] [[Jamii:Watu walio hai]] o3ht8czbtvtk3xbvqpcgq530uhqfsz1 Bryan Gil 0 229500 1507747 2026-04-20T15:01:08Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bryan Gil Salvatierra''' (amezaliwa [[11 Februari]], [[2001]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama [[winga]] au kiungo wa pembeni kwa klabu ya Girona FC na timu ya taifa ya [[Hispania]]. Gil alianza taaluma yake ya kulipwa katika Sevilla FC|Sevilla na pia aliwahi kucheza kwa mikopo katika klabu za Leganés, SD Eibar na Valencia katika La Liga, akiwa amefikisha jumla ya mechi 67 na mabao sita. Mwaka...' 1507747 wikitext text/x-wiki '''Bryan Gil Salvatierra''' (amezaliwa [[11 Februari]], [[2001]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama [[winga]] au kiungo wa pembeni kwa klabu ya Girona FC na timu ya taifa ya [[Hispania]]. Gil alianza taaluma yake ya kulipwa katika Sevilla FC|Sevilla na pia aliwahi kucheza kwa mikopo katika klabu za Leganés, SD Eibar na Valencia katika La Liga, akiwa amefikisha jumla ya mechi 67 na mabao sita. Mwaka 2021, alijiunga na Tottenham Hotspur kwa ada ya awali ya pauni milioni 21.6. Mnamo Septemba 2025 alisaini kujiunga na Girona FC.<ref>{{cite web|url=https://www.estadiodeportivo.com/futbol-sevillano/2018/10/02/bryan-gil-crack-camino/186135.html|title=Bryan Gil, el crack que está de camino|trans-title=Bryan Gil, the pearl who is on its way|work=[[Estadio Deportivo]]|language=es|date=2 October 2018|accessdate=26 January 2019}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.sevillafc.es/actualidad/noticias/bryan-gil-renueva-2022|title=El canterano Bryan Gil renueva su contrato hasta 2022|trans-title=Youth graduate Bryan Gil renews his contract until 2022|publisher=Sevilla FC|language=es|date=12 December 2018|accessdate=26 January 2019}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|2001|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] plys05r1j1h11d3uudel82nrymk0tbk Sidney Kimmel 0 229501 1507748 2026-04-20T15:04:06Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sidney Kimmel''' (Alizaliwa [[Januari 16]], [[1928]]) ni [[mfanyabiashara]] , mfadhili, na [[mtayarishaji wa filamu]] nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Sidney Kimmel |url=https://www.forbes.com/profile/sidney-kimmel/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye aliorodheshwa nambari 2141 kwenye orodha ya ''Forbes'' ya watu tajiri zaidi duniani mwaka [[2021]].<ref name=AboutSidneyKimmel>[http://www.hopkinsmedicine.org/kimmel_cancer_cente...' 1507748 wikitext text/x-wiki '''Sidney Kimmel''' (Alizaliwa [[Januari 16]], [[1928]]) ni [[mfanyabiashara]] , mfadhili, na [[mtayarishaji wa filamu]] nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Sidney Kimmel |url=https://www.forbes.com/profile/sidney-kimmel/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye aliorodheshwa nambari 2141 kwenye orodha ya ''Forbes'' ya watu tajiri zaidi duniani mwaka [[2021]].<ref name=AboutSidneyKimmel>[http://www.hopkinsmedicine.org/kimmel_cancer_center/our_center/sidney_kimmel.html "About Sidney Kimmel"]. ''[[Johns Hopkins School of Medicine|Johns Hopkins Medicine]]''. Retrieved May 25, 2011.</ref><ref name=OldJews>{{cite web |url=http://www.oldjewstellingjokes.com/2018/10/31/sidney-kimmel-sexual-exploits-253/ |title=Sidney Kimmel "Sexual Exploits" (253) |website=Old Jews Telling Jokes |date=October 31, 2018 |access-date=2020-07-17}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watayarishaji filamu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1928]] [[Jamii:Watu walio hai]] sz3rrkeyad6d4m3w3aepeqvxs8g5skn 1507749 1507748 2026-04-20T15:04:28Z Ally0111 85292 1507749 wikitext text/x-wiki '''Sidney J. Kimmel''' (Alizaliwa [[Januari 16]], [[1928]]) ni [[mfanyabiashara]] , mfadhili, na [[mtayarishaji wa filamu]] nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Sidney Kimmel |url=https://www.forbes.com/profile/sidney-kimmel/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye aliorodheshwa nambari 2141 kwenye orodha ya ''Forbes'' ya watu tajiri zaidi duniani mwaka [[2021]].<ref name=AboutSidneyKimmel>[http://www.hopkinsmedicine.org/kimmel_cancer_center/our_center/sidney_kimmel.html "About Sidney Kimmel"]. ''[[Johns Hopkins School of Medicine|Johns Hopkins Medicine]]''. Retrieved May 25, 2011.</ref><ref name=OldJews>{{cite web |url=http://www.oldjewstellingjokes.com/2018/10/31/sidney-kimmel-sexual-exploits-253/ |title=Sidney Kimmel "Sexual Exploits" (253) |website=Old Jews Telling Jokes |date=October 31, 2018 |access-date=2020-07-17}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watayarishaji filamu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1928]] [[Jamii:Watu walio hai]] ob6rjcw40sybkibecqy1gf82duoqxzf Óscar Gil 0 229502 1507750 2026-04-20T15:05:03Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Óscar Gil Regaño''' (amezaliwa [[26 Aprili]], [[1998]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama beki wa kulia katika timu ya Ligi Kuu ya [[Ubelgiji]] ya Oud-Heverlee Leuven. ==Kazi ya klabu== ===Elche=== Amezaliwa katika [[Elche]], Jumuiya ya Valencian, Gil aliwakilisha CD Pablo Iglesias, Elche CF na Kelme CF akiwa katika ngazi ya [[vijana]].<ref>{{cite web|url=http://franjiverdes.com/oscar-gil-regano...' 1507750 wikitext text/x-wiki '''Óscar Gil Regaño''' (amezaliwa [[26 Aprili]], [[1998]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama beki wa kulia katika timu ya Ligi Kuu ya [[Ubelgiji]] ya Oud-Heverlee Leuven. ==Kazi ya klabu== ===Elche=== Amezaliwa katika [[Elche]], Jumuiya ya Valencian, Gil aliwakilisha CD Pablo Iglesias, Elche CF na Kelme CF akiwa katika ngazi ya [[vijana]].<ref>{{cite web|url=http://franjiverdes.com/oscar-gil-regano-un-lateral-con-futuro/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150803151900/http://franjiverdes.com/oscar-gil-regano-un-lateral-con-futuro/|title=Óscar Gil Regaño, un lateral con futuro|trans-title=Óscar Gil Regaño, a full back with future|publisher=Franjiverdes|language=es|date=2 August 2015|archivedate=3 August 2015|accessdate=16 October 2018}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.elchecf.es/noticia/parte-medico-de-los-futbolistas-sory-kaba-y-oscar-gil|title=Parte médico de los futbolistas Sory Kaba y Óscar Gil|trans-title=Medical reports of footballers Sory Kaba and Óscar Gil|publisher=Elche CF|language=es|date=21 September 2016|accessdate=17 October 2018}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.elchedirecto.com/secciones/elche-cf/y-de-repente-scar-gil/|title=Y de repente… Óscar Gil|trans-title=And all in a sudden... Óscar Gil|publisher=Elche Directo|language=es|date=6 October 2017|accessdate=16 October 2018}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1998|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 59qazn67wsvclxomwf2bed5af7jx06u Ramón Gil 0 229503 1507751 2026-04-20T15:08:42Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ramón "Moncho" Gil Sequeiros''' (amezaliwa [[16 Agosti]], [[1897]] – amefariki [[18 Januari]], [[1965]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[mshambuliaji]].<ref>{{cite web|url=https://www.bdfutbol.com/en/j/j3002.html |title=Ramón Gil Sequeiros - Footballer |website=www.bdfutbol.com |access-date=25 June 2022}}</ref> Alikuwa mjumbe wa [[timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu]] iliyoshinda medali y...' 1507751 wikitext text/x-wiki '''Ramón "Moncho" Gil Sequeiros''' (amezaliwa [[16 Agosti]], [[1897]] – amefariki [[18 Januari]], [[1965]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[mshambuliaji]].<ref>{{cite web|url=https://www.bdfutbol.com/en/j/j3002.html |title=Ramón Gil Sequeiros - Footballer |website=www.bdfutbol.com |access-date=25 June 2022}}</ref> Alikuwa mjumbe wa [[timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu]] iliyoshinda medali ya fedha katika [[Olimpiki ya Majira ya joto ya 1920]].<ref>{{cite web |url=http://www.yojugueenelcelta.com/2008/05/moncho-gil.html |title=Grandes y pequeños jugadores del Celta de Vigo: MONCHO GIL |trans-title=Big and small Celta de Vigo players: MONCHO GIL |language=es |website=www.yojugueenelcelta.com |access-date=25 June 2022}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1897|1965}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] nyg1boce9sizc3fb6hknxuzkkbcagzl 1507752 1507751 2026-04-20T15:09:33Z Christina Charles 71406 1507752 wikitext text/x-wiki '''Ramón "Moncho" Gil Sequeiros''' (amezaliwa [[16 Agosti]], [[1897]] – amefariki [[18 Januari]], [[1965]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[mshambuliaji]].<ref>{{cite web|url=https://www.bdfutbol.com/en/j/j3002.html |title=Ramón Gil Sequeiros - Footballer |website=www.bdfutbol.com |access-date=25 June 2022}}</ref> Alikuwa mjumbe wa timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu iliyoshinda medali ya fedha katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1920.<ref>{{cite web |url=http://www.yojugueenelcelta.com/2008/05/moncho-gil.html |title=Grandes y pequeños jugadores del Celta de Vigo: MONCHO GIL |trans-title=Big and small Celta de Vigo players: MONCHO GIL |language=es |website=www.yojugueenelcelta.com |access-date=25 June 2022}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1897|1965}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] euxhupwjerduny8j8w223dwikj3txi9 Fernando Giner 0 229504 1507753 2026-04-20T15:14:37Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fernando Giner Gil''' (amezaliwa [[31 Desemba]], [[1964]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama beki wa kati.<ref>[http://www.ciberche.net/histoche/jugador?player=134 CiberChe biography and stats]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1964|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]]' 1507753 wikitext text/x-wiki '''Fernando Giner Gil''' (amezaliwa [[31 Desemba]], [[1964]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama beki wa kati.<ref>[http://www.ciberche.net/histoche/jugador?player=134 CiberChe biography and stats]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1964|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] euvdxbwynhu4j8s4v886365gs7qew8b James Leprino 0 229505 1507754 2026-04-20T15:15:46Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''James Gerald Leprino''' (Alizaliwa [[Novemba 22]], [[1937]] – Alifariki [[Juni 19]], [[2025]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa ''Leprino Foods'', kampuni kubwa zaidi duniani ya utengenezaji wa jibini ya mozzarella, inayodhibiti hadi asilimia 85 ya soko la jibini ya pizza nchini Marekani.Aliorodheshwa kama mtu wa 264 tajiri zaidi nchini Marekani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 3.1 kwa mujibu wa oro...' 1507754 wikitext text/x-wiki '''James Gerald Leprino''' (Alizaliwa [[Novemba 22]], [[1937]] – Alifariki [[Juni 19]], [[2025]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa ''Leprino Foods'', kampuni kubwa zaidi duniani ya utengenezaji wa jibini ya mozzarella, inayodhibiti hadi asilimia 85 ya soko la jibini ya pizza nchini Marekani.Aliorodheshwa kama mtu wa 264 tajiri zaidi nchini Marekani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 3.1 kwa mujibu wa orodha ya ''Forbes 400'' ya mwaka [[2017]].<ref>{{cite web |title=James Leprino |url=https://www.forbes.com/profile/james-leprino/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Chloe Sorvino wa ''Forbes'' alimpa jina la utani "Willy Wonka wa jibini".<ref>{{cite news |last1=Proctor |first1=Cathy |last2=Sweeney |first2=Patrick |date=2002-12-29 |title=Denver's big cheese |url=https://www.bizjournals.com/denver/stories/2002/12/30/story1.html |url-access=registration |newspaper=[[American City Business Journals#List of publications|Denver Business Journal]]}}</ref><ref name="Forbes">{{cite magazine |title=James Leprino |url=https://www.forbes.com/profile/james-leprino/ |magazine=[[Forbes]] |access-date=2017-08-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1937]] [[Jamii:Waliofariki 2025]] 1k1efy229its5gn1ogs71yyw3v415tq Álvaro Ginés 0 229506 1507755 2026-04-20T15:18:32Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Álvaro Ginés Hernández Sánchez''' (amezaliwa [[15 Machi]], [[2005]]) ni mchezaji wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] katika klabu ya Real Madrid C. ==Kazi ya klabu== Ginés alikuwa mchezaji wa akademia ya [[vijana]] wa Ciudad Jardín EF na FC Cartagena|Cartagena kabla ya kujiunga na mfumo wa vijana wa Real Madrid CF mwaka 2020. Akiwa mshambuliaji mwenye uwezo mkubwa wa kufunga mabao, amefunga z...' 1507755 wikitext text/x-wiki '''Álvaro Ginés Hernández Sánchez''' (amezaliwa [[15 Machi]], [[2005]]) ni mchezaji wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] katika klabu ya Real Madrid C. ==Kazi ya klabu== Ginés alikuwa mchezaji wa akademia ya [[vijana]] wa Ciudad Jardín EF na FC Cartagena|Cartagena kabla ya kujiunga na mfumo wa vijana wa Real Madrid CF mwaka 2020. Akiwa mshambuliaji mwenye uwezo mkubwa wa kufunga mabao, amefunga zaidi ya mabao 100 katika timu za vijana tangu alipojiunga na Real Madrid.<ref>{{Cite web|url=https://as.com/futbol/2022/03/26/primera/1648312440_740646.html|title=Álvaro Ginés, el 'nueve' que viene|first=Carlos|last=Forjanes|date=26 March 2022|website=Diario AS}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.theguardian.com/football/ng-interactive/2022/sep/28/next-generation-2022-60-of-the-best-young-talents-in-world-football|title=Next Generation 2022: 60 of the best young talents in world football|first1=Marcus|last1=Christenson|first2=Steven|last2=Bloor|first3=Garry|last3=Blight|date=28 September 2022|accessdate=28 September 2022|work=The Guardian}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|2005|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] nrfi1u5z7z2l60jy7xyhyfw3osu7o69 Al Lerner 0 229507 1507756 2026-04-20T15:22:48Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Alfred Lerner''' (Alizaliwa [[Mei 8]], [[1933]] – Alifariki [[Oktoba 23]], [[2002]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Alfred Lerner |url=https://www.forbes.com/profile/alfred-lerner/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alijulikana zaidi kama mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya kadi za mkopo ''MBNA'' na mmiliki wa timu ya ''Cleveland Browns'' ya National Football League (NFL) kuanzia mwaka [[1998]]...' 1507756 wikitext text/x-wiki '''Alfred Lerner''' (Alizaliwa [[Mei 8]], [[1933]] – Alifariki [[Oktoba 23]], [[2002]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Alfred Lerner |url=https://www.forbes.com/profile/alfred-lerner/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alijulikana zaidi kama mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya kadi za mkopo ''MBNA'' na mmiliki wa timu ya ''Cleveland Browns'' ya National Football League (NFL) kuanzia mwaka [[1998]] hadi [[2002]].<ref>{{cite web |title=Alfred Lerner |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Pia alikuwa rais wa zamani wa Bodi ya Wakurugenzi ya ''Cleveland Clinic'' na alikuwa mfadhili mkubwa.<ref name="NYT1">Goldstein, Richard [https://www.nytimes.com/2002/10/25/sports/alfred-lerner-69-banker-revived-cleveland-browns.html?pagewanted=1 Alfred Lerner, 69, Banker; Revived Cleveland Browns] New York Times (accessed April 10, 2010)</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1933]] [[Jamii:Waliofariki 2002]] 9un62kl27x952v1el8w9bm8qc46i3qa Jesús Glaría 0 229508 1507757 2026-04-20T15:23:01Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jesús Glaría Jordán''' (amezaliwa [[2 Januari]], [[1942]] – amefariki [[19 Septemba]], [[1978]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]]. Alicheza kwa klabu za Atlético Madrid na RCD Espanyol. Alistaafu soka la kulipwa mwaka 1975 na, miaka mitatu baadaye, alifariki katika ajali ya gari akiwa na mwanawe.<ref>[https://web.archive.org/web/20101007201443/http://futbol.sportec.es/seleccion/ficha_jugador.asp?j=244&n=glaria%2Fjesus...' 1507757 wikitext text/x-wiki '''Jesús Glaría Jordán''' (amezaliwa [[2 Januari]], [[1942]] – amefariki [[19 Septemba]], [[1978]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]]. Alicheza kwa klabu za Atlético Madrid na RCD Espanyol. Alistaafu soka la kulipwa mwaka 1975 na, miaka mitatu baadaye, alifariki katika ajali ya gari akiwa na mwanawe.<ref>[https://web.archive.org/web/20101007201443/http://futbol.sportec.es/seleccion/ficha_jugador.asp?j=244&n=glaria%2Fjesus%2Fglaria%2Fjordan National team data]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1942|1978}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] mohg2o68usk3zn0owzqfsweivdlt4pu Severiano Goiburu 0 229509 1507758 2026-04-20T15:28:23Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Severiano Goiburu Lopetegui''' (amezaliwa [[8 Novemba]], [[1906]] – amefariki [[31 Julai]], [[1982]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza katika timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu. Alicheza katika [[klabu]] nyingi za La Liga, hasa FC Barcelona.<ref>{{Cite web|last=Jugadors|first=F. C. B.|title=Severiano Goiburu Lopetegui stats {{!}} FC Barcelona Players|url=https://players.fcbarcelona.com/en/player/3...' 1507758 wikitext text/x-wiki '''Severiano Goiburu Lopetegui''' (amezaliwa [[8 Novemba]], [[1906]] – amefariki [[31 Julai]], [[1982]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza katika timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu. Alicheza katika [[klabu]] nyingi za La Liga, hasa FC Barcelona.<ref>{{Cite web|last=Jugadors|first=F. C. B.|title=Severiano Goiburu Lopetegui stats {{!}} FC Barcelona Players|url=https://players.fcbarcelona.com/en/player/351-goiburu-severiano-goiburu-lopetegui|access-date=17 February 2022|website=FCB Jugadors|language=en}}</ref> Anajulikana kwa kufunga bao la ushindi katika mechi ya 1929 Hispania dhidi ya [[Uingereza]] ya mpira wa miguu. == Kazi ya klabu == Goiburu alitumia maisha yake yote ya klabu akicheza katika daraja la kwanza la Hispania, ikiwa ni pamoja na miaka mitano akiwa na FC Barcelona.<ref name=":0">{{Cite web |date=15 October 2018 |title=UEFA Nations League - Spain vs England: When England learned to lose |url=https://www.marca.com/en/football/spanish-football/2018/10/15/5bc3a77e22601d1b778b45d0.html |access-date=21 March 2022 |website=MARCA in English |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |title=Goiburu, Severiano Goiburu Lopetegui - Footballer |url=https://www.bdfutbol.com/en/j/j11211.html |access-date=21 March 2022 |website=www.bdfutbol.com}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1906|1982}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] p1hlivd7j2ciqxut80v7sil561695rx Seth Klarman 0 229510 1507759 2026-04-20T15:29:59Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Seth Andrew Klarman''' (Alizaliwa [[Mei 21]], [[1957]]) ni mwekezaji bilionea, meneja wa hazina (hedge fund), na [[mwandishi]] nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Seth Klarman |url=https://www.forbes.com/profile/seth-klarman/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mtetezi wa uwekezaji wa thamani (value investing).<ref>{{cite web |title=Seth Klarman |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-...' 1507759 wikitext text/x-wiki '''Seth Andrew Klarman''' (Alizaliwa [[Mei 21]], [[1957]]) ni mwekezaji bilionea, meneja wa hazina (hedge fund), na [[mwandishi]] nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=Seth Klarman |url=https://www.forbes.com/profile/seth-klarman/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mtetezi wa uwekezaji wa thamani (value investing).<ref>{{cite web |title=Seth Klarman |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni afisa mkuu mtendaji na meneja wa jalada la ''Baupost Group''.<ref name=orac>{{cite news | url=https://www.economist.com/finance-and-economics/2012/07/07/the-oracle-of-boston | title=The Oracle of Boston | newspaper=[[The Economist]] | date=July 7, 2012}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waandishi wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1957]] [[Jamii:Watu walio hai]] snpjabedna3wr7g2sfn6pcxtm1a0oy8 Andoni Goikoetxea 0 229511 1507760 2026-04-20T15:32:07Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Andoni Goikoetxea Olaskoaga''' (amezaliwa [[23 Agosti]], [[1956]]), anayejulikana kwa kifupi kama '''Goiko''' ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama beki wa kati na pia alikuwa [[kocha]] wa mpira wa miguu. Alijulikana kwa uchezaji wake wa ukali, na aliitwa "Mchinjaji wa Bilbao". Alitumia muda mwingi wa maisha yake ya soka katika klabu ya Athletic Bilbao na alijulikana kama ''El Gigante de Alonsotegui''...' 1507760 wikitext text/x-wiki '''Andoni Goikoetxea Olaskoaga''' (amezaliwa [[23 Agosti]], [[1956]]), anayejulikana kwa kifupi kama '''Goiko''' ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama beki wa kati na pia alikuwa [[kocha]] wa mpira wa miguu. Alijulikana kwa uchezaji wake wa ukali, na aliitwa "Mchinjaji wa Bilbao". Alitumia muda mwingi wa maisha yake ya soka katika klabu ya Athletic Bilbao na alijulikana kama ''El Gigante de Alonsotegui'' (Jitu la Alonsotegui) miongoni mwa mashabiki wa klabu hiyo.<ref name=Legends>{{cite news|url=http://athletic.elcorreo.com/leyendas/goiko.html|title=Leyendas del Athletic Club de Bilbao – 'Goiko'|trans-title=Athletic Club de Bilbao legends – 'Goiko'|newspaper=[[El Correo]]|language=es|access-date=23 May 2016}}</ref><ref name=Protagonists>{{cite news|url=http://elpais.com/elpais/2016/04/26/icon/1461672537_254536.html|title=Rafa Nadal y Jorge Lorenzo, protagonistas de las dos portadas de ICON SPORT|trans-title=Rafa Nadal and Jorge Lorenzo, protagonists of the two ICON SPORT covers|newspaper=[[El País]]|language=es|date=26 April 2014|access-date=23 May 2016}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1956|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] l73syld0jvhd5aidbd3phov8qpgug0s John Kluge 0 229512 1507761 2026-04-20T15:34:11Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''John Werner Kluge''' (Alizaliwa [[Septemba 21]], [[1914]] – Alifariki [[Septemba 7]], [[2010]]) alikuwa [[mjasiriamali]] nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Ujerumani]], ambaye alikua [[mfanyabiashara]] mashuhuri katika tasnia ya televisheni.<ref>{{cite web |title=John Kluge |url=https://www.forbes.com/profile/john-kluge/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikuwa mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Metromedia''.<ref>{{cite web |title=John...' 1507761 wikitext text/x-wiki '''John Werner Kluge''' (Alizaliwa [[Septemba 21]], [[1914]] – Alifariki [[Septemba 7]], [[2010]]) alikuwa [[mjasiriamali]] nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Ujerumani]], ambaye alikua [[mfanyabiashara]] mashuhuri katika tasnia ya televisheni.<ref>{{cite web |title=John Kluge |url=https://www.forbes.com/profile/john-kluge/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Alikuwa mwanzilishi na mwenyekiti wa ''Metromedia''.<ref>{{cite web |title=John Kluge |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Wakati mmoja alikuwa mtu tajiri zaidi nchini Marekani.<ref>{{cite web |title=John Kluge |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Wajasiriamali wa Marekani ]] [[Jamii:Watu wa Ujerumani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1914]] [[Jamii:Waliofariki 2010]] 6nc1m5rpdpeb02a647qxhzbdcmuk6pe Germán Gómez 0 229513 1507762 2026-04-20T15:38:43Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Germán Gómez Gómez''' (amezaliwa [[Santander]], [[Cantabria]], [[5 Januari]], [[1914]] – amefariki huko [[Madrid]], [[22 Machi]], [[2004]])<ref name="elpais.com">[http://www.elpais.com/articulo/agenda/Gomez/_German/German/Gomez/historico/Atletico/Madrid/elpepigen/20040324elpepiage_8/Tes/ Germán Gómez, un histórico del Atlético de Madrid]] (Germán Gómez, a historic Atlético Madrid figure), El País, 23 March 2004</ref> alikuwa [[mchezaji]] wa...' 1507762 wikitext text/x-wiki '''Germán Gómez Gómez''' (amezaliwa [[Santander]], [[Cantabria]], [[5 Januari]], [[1914]] – amefariki huko [[Madrid]], [[22 Machi]], [[2004]])<ref name="elpais.com">[http://www.elpais.com/articulo/agenda/Gomez/_German/German/Gomez/historico/Atletico/Madrid/elpepigen/20040324elpepiage_8/Tes/ Germán Gómez, un histórico del Atlético de Madrid]] (Germán Gómez, a historic Atlético Madrid figure), El País, 23 March 2004</ref> alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kwa klabu za Racing Santander na Atlético Madrid. == Kazi ya uchezaji == Gómez alijiunga na Atlético (wakati huo ikijulikana kama ''Athletic Aviación de Madrid'') mwaka 1939 akitokea Racing Santander, ambako alikuwa amecheza mechi zake za kwanza za La Liga kabla ya kuanza kwa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania na kusitishwa kwa ligi kwa miaka mitatu. ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1914|2004}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] dw6fvqhjs735ise833c335y36inty0s Cynthia Konlan 0 229514 1507763 2026-04-20T15:40:18Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Cynthia Konlan Findib''' (alizaliwa [[29 Novemba|Novemba 29]], [[2002]]) ni [[Mpira wa miguu|mchezaji wa mpira]] wa miguu wa Ghana ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Saudi Arabia, Al-Hilal na timu ya taifa ya Ghana . == Kazi == Konlan alianza safari yake ya mpira wa miguu nchini Ghana akiwa na umri wa miaka 14 tu, akijiunga na Pearl Pia Ladies mwaka wa 2016. Alishikilia wadhifa wake hapo hadi 2022. <ref>{{Rejea tovuti|url=htt...' 1507763 wikitext text/x-wiki '''Cynthia Konlan Findib''' (alizaliwa [[29 Novemba|Novemba 29]], [[2002]]) ni [[Mpira wa miguu|mchezaji wa mpira]] wa miguu wa Ghana ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Saudi Arabia, Al-Hilal na timu ya taifa ya Ghana . == Kazi == Konlan alianza safari yake ya mpira wa miguu nchini Ghana akiwa na umri wa miaka 14 tu, akijiunga na Pearl Pia Ladies mwaka wa 2016. Alishikilia wadhifa wake hapo hadi 2022. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.facebook.com/photo/?fbid=504997101631415&set=a.120936140037515|title=Cynthia Konlan Fiindib signs for Swieqi United FC!|date=19 September 2022|accessdate=1 January 2024}}</ref> Mnamo Septemba 2022, timu ya Daraja la Kwanza la Wanawake ya Malta Swieqi United ilimsajili Konlan. baada ya kuwa sehemu ya uteuzi wa Ghana kwa Kombe la Dunia la Wanawake wa FIFA U-20 la 2022 lililofanyika [[Kosta Rika|Costa Rica]] . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.shopsofmalta.com/malta/swieqi-united-women-sign-ghana-u-20s-pair-american-forward-ahead/|title=Swieqi United women sign Ghana U-20’s pair, American forward ahead|date=19 September 2022|work=shopsofmalta.com|accessdate=1 January 2024}}</ref> Mnamo Mei 2023, aliongeza mkataba wake na Swieqi United kwa misimu miwili iliyofuata, kama ilivyothibitishwa rasmi na klabu ya Ligi ya Wanawake ya Assikura Ijumaa. Konlan alicheza jukumu muhimu katika ushindi wa hivi karibuni wa Swieqi United katika hatua ya Knockout ya Wanawake ya Assikura. Katika msimu wote, alishikilia kwa nguvu akiruhusu mabao sita pekee. Utendaji mzuri wa Konlan ulimpa taji la Kipa Bora wa Mwaka wa Chama cha Wachezaji wa Soka cha Malta. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://timesofmalta.com/articles/view/ghana-goalkeeper-cynthia-konlan-extends-swieqi-contract.1034058#:~:text=The%20Ghana%20international%20was%20one,of%20the%20Year%20as%20well.|title=Ghana goalkeeper Cynthia Konlan extends Swieqi contract|date=26 May 2023|work=timesofmalta.com|accessdate=1 January 2024}}</ref> Mnamo Agosti 2023, Konlan alisaini mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja na Al Hilal nchini Saudi Arabia, akiondoka katika klabu yake ya sasa, Swieqi United FC. Tangazo la kuhama kwake lilitolewa kwenye Facebook, huku klabu hiyo ikielezea msisimko wake kwa safari yake mpya katika Msimu wa 23/24. <ref>{{Rejea tovuti|date=18 August 2023|title=Black Queens goalkeeper Cynthia Konlan joins Saudi Arabian giants Al Hilal|url=https://ghanasoccernet.com/black-queens-goalkeeper-cynthia-konlan-joins-saudi-arabian-giants-al-hilal|accessdate=30 August 2025|work=GhanaSoccerNet}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=17 August 2023|title=Black Queens Goalkeeper, Cynthia Konlan Fiindib joins Al-Hilal in Saudi on loan|url=https://ournewsgh.com/black-queens-goalkeeper-cynthia-konlan-fiindib-joins-al-hilal-in-saudi-on-loan/|accessdate=1 January 2024|work=ournewsgh.com}}</ref> == Kazi ya kimataifa == Cynthia alikuwa sehemu ya timu ya Ghana ya chini ya umri wa miaka 17 kwa vikosi vya Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la U-17 vya mwaka 2018. <ref>{{Rejea tovuti|date=18 August 2023|title=Black Queens goalie Cynthia Konlan makes Al Hilal move for 2023/24 season|url=https://footyghana.com/2023/08/black-queens-goalie-cynthia-konlan-makes-al-hilal-move-for-2023-24-season/|accessdate=30 August 2025|work=FootyGhana}}</ref> akicheza mechi moja tu, dhidi ya Mexico akiingia kama mchezaji mbadala katika dakika za 95 na kucheza penalti ambazo walipoteza 2-4. <ref>{{Rejea tovuti|date=30 October 2018|title=Ghana name squad for 2018 FIFA U-17 Women’s World Cup|url=https://www.ghanafa.org/ghana-name-squad-for-2018-fifa-u-17-womens-world-cup|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Konlan alijumuishwa katika kikosi cha timu ya chini ya umri wa miaka 20 kwa ajili ya Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la U-20 la 2022. Alicheza michezo miwili katika hatua ya makundi ya Ghana. <ref>{{Rejea tovuti|date=7 August 2022|title=FIFA U-20 Women’s World Cup: Ghana squad list for Costa Rica 2022|url=https://www.ghanafa.org/fifa-u-20-womens-world-cup-ghanas-squad-list-for-costa-rica-2022|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Konlan alipokea wito wake wa kwanza kujiunga na timu ya taifa ya wakubwa kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Morocco mnamo tarehe 12 Aprili 2022, lakini hatimaye hakucheza. <ref>{{Rejea tovuti|date=13 July 2024|title=Jennifer Cudjoe gets the nod… line-up against Guinea|url=https://www.ghanafa.org/jennifer-cudjoe-gets-the-nod-in-nora-hauptle-starting-line-up-against-guinea|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa dhidi ya Benin mnamo tarehe 19 Februari 2023, pia katika mchezo wa kirafiki. <ref>{{Rejea tovuti|date=10 July 2024|title=Paris 2024 Olympic qualifier: Black Queens battle ready – Cynthia Konlan|url=https://www.ghanafa.org/paris-2024-olympic-qualifier-cynthia-konlan-believes-the-black-queens-are-battle-ready|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya wakubwa kwa Black Queens mnamo 2023 na akajiimarisha kama chaguo la kwanza chini ya makocha Nora Häuptle na Kim Björkegren . <ref>{{Rejea tovuti|date=13 July 2024|title=Jennifer Cudjoe gets the nod… line-up against Guinea|url=https://www.ghanafa.org/jennifer-cudjoe-gets-the-nod-in-nora-hauptle-starting-line-up-against-guinea|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Wakati wa kufuzu kwa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024, alishiriki katika kampeni za Ghana na ushiriki wa vyombo vya habari. <ref>{{Rejea tovuti|date=10 July 2024|title=Paris 2024 Olympic qualifier: Black Queens battle ready – Cynthia Konlan|url=https://www.ghanafa.org/paris-2024-olympic-qualifier-cynthia-konlan-believes-the-black-queens-are-battle-ready|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Katika Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake la 2024 (lililochezwa Julai 2025 nchini Morocco), Konlan alikuwa muhimu sana Ghana ilipofika nusu fainali kwa mara ya kwanza tangu 2016. Aliokoa penalti mbili katika ushindi wa robo fainali dhidi ya Algeria baada ya sare ya 0-0, na kupata sifa nyingi. <ref name="CAFQF">{{Rejea tovuti|date=19 July 2025|title=Ghana edge Algeria in penalty drama to reach TotalEnergies CAF WAFCON semi-finals|url=https://www.cafonline.com/caf-womens-africa-cup-of-nations/news/ghana-edge-algeria-in-penalty-drama-to-reach-totalenergies-caf-wafcon-semi-finals/|accessdate=30 August 2025|work=CAF Online}}</ref> Alianza mchezo wa ufunguzi wa Ghana dhidi ya Afrika Kusini na akabaki golini katika mashindano yote. <ref>{{Rejea tovuti|date=7 July 2025|title=Ghana surrenders early dominance, loses to South Africa in WAFCON opener|url=https://www.ghanafa.org/ghana-surrenders-early-dominance-loses-to-south-africa-in-wafcon-opener|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=7 July 2025|title=Kim Lars Björkegren names exciting line-up for WAFCON opener against South Africa|url=https://www.ghanafa.org/kim-lars-bjorkegren-names-exciting-line-up-for-wafcon-opener-against-south-africa|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Mnamo Agosti 2025, GFA ilimteua Konlan mmoja wa manaibu manahodha wawili wa timu ya wakubwa pamoja na Jennifer Cudjoe, chini ya nahodha Portia Boakye. <ref>{{Rejea tovuti|date=5 August 2025|title=A new era for Ghana’s Black Queens captaincy: Three Queens, One Mission|url=https://www.ghanafa.org/a-new-era-for-ghanas-black-queens-captaincy-three-queens-one-mission|accessdate=30 August 2025|work=Ghana Football Association}}</ref> Konlan anajulikana kwa uwezo wake wa kuokoa penalti na kutawala eneo lake la penalti, sifa zilizoangaziwa wakati wa mchezo wa robo fainali wa WAFCON 2024 dhidi ya Algeria. <ref name="CAFQF2">{{Rejea tovuti|date=19 July 2025|title=Ghana edge Algeria in penalty drama to reach TotalEnergies CAF WAFCON semi-finals|url=https://www.cafonline.com/caf-womens-africa-cup-of-nations/news/ghana-edge-algeria-in-penalty-drama-to-reach-totalenergies-caf-wafcon-semi-finals/|accessdate=30 August 2025|work=CAF Online}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] 1e5h6k14cpi55ogtdyd1n26u5j5tho2 Sergio Gómez 0 229515 1507764 2026-04-20T15:44:16Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sergio Gómez Martín''' (amezaliwa [[4 Septemba]], [[2000]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama beki wa kushoto wa pembeni au kiungo mshambuliaji kwa klabu ya Real Sociedad na timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu. == Kazi ya klabu == === Barcelona === Amezaliwa katika [[Badalona]], [[Jimbo la Barcelona|Barcelona]], [[Catalonia]], Gómez alijiunga na akademia ya [[vijana]] ya FC Barcelona m...' 1507764 wikitext text/x-wiki '''Sergio Gómez Martín''' (amezaliwa [[4 Septemba]], [[2000]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye anacheza kama beki wa kushoto wa pembeni au kiungo mshambuliaji kwa klabu ya Real Sociedad na timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu. == Kazi ya klabu == === Barcelona === Amezaliwa katika [[Badalona]], [[Jimbo la Barcelona|Barcelona]], [[Catalonia]], Gómez alijiunga na akademia ya [[vijana]] ya FC Barcelona mwaka 2010, baada ya kupita katika klabu za Trajana, CF Badalona|Badalona na RCD Espanyol.<ref>{{cite web |url=http://www.mundodeportivo.com/20140110/mundo-barsa/cantera/sergio-gomez-infantil-barca-promesas_54398728957.html |title=Sergio Gómez: Una zurda de seda |trans-title=Sergio Gómez: a left foot of silk |publisher=[[Mundo Deportivo]] |language=es |date=14 March 2014 |access-date=8 January 2018}}</ref><ref>{{cite web |url=http://www.marca.com/futbol/segunda-division/2018/01/06/5a513cd4e5fdea995f8b45c1.html |title=El Zaragoza y Barça B no salen a flote en La Romareda |trans-title=Zaragoza and ''Barça'' B do not come afloat at the La Romareda |publisher=[[Marca (newspaper)|Marca]] |language=es |date=6 January 2018 |access-date=8 January 2018}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|2000|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] ivv0dmk6r6g0kweswdznd3pkqiv2zrc Joe Liemandt 0 229516 1507765 2026-04-20T15:45:38Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Joseph Liemandt''' (Alizaliwa [[1967]] au [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]], na mwanzilishi wa ''Trilogy Software'' na ''ESW Capital'', kampuni ya uwekezaji inayonunua makampuni ya programu.<ref>{{cite web |title=Joseph Liemandt |url=https://www.forbes.com/profile/joseph-liemandt/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia Aprili [[2025]], utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 6.2.<ref name="Forbes profile">{...' 1507765 wikitext text/x-wiki '''Joseph Liemandt''' (Alizaliwa [[1967]] au [[1968]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]], na mwanzilishi wa ''Trilogy Software'' na ''ESW Capital'', kampuni ya uwekezaji inayonunua makampuni ya programu.<ref>{{cite web |title=Joseph Liemandt |url=https://www.forbes.com/profile/joseph-liemandt/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Kufikia Aprili [[2025]], utajiri wake unakadiriwa kuwa dola bilioni 6.2.<ref name="Forbes profile">{{cite web |title=Forbes profile: Joseph Liemandt |url=https://www.forbes.com/profile/joseph-liemandt/ |website=Forbes |accessdate=6 July 2024}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1967]] [[Jamii:Watu walio hai]] 3yr68ie3ed5wa6vk9os9op78psrhb8o Antero González 0 229517 1507766 2026-04-20T15:48:46Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Antero González de Audicana Inchaurraga''' (amezaliwa [[16 Aprili]], [[1901]] – amefariki [[28 Januari]], [[1978]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] na [[kocha]] kutoka [[Hispania]] ambaye kazi yake ilihusishwa zaidi na klabu ya Deportivo Alavés. Alishiriki katika mashindano ya wanaume ya Soka katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928 katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928.<ref name="SportsRef">{{cite Sports-Reference |url=https://www.s...' 1507766 wikitext text/x-wiki '''Antero González de Audicana Inchaurraga''' (amezaliwa [[16 Aprili]], [[1901]] – amefariki [[28 Januari]], [[1978]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] na [[kocha]] kutoka [[Hispania]] ambaye kazi yake ilihusishwa zaidi na klabu ya Deportivo Alavés. Alishiriki katika mashindano ya wanaume ya Soka katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928 katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928.<ref name="SportsRef">{{cite Sports-Reference |url=https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/an/antero-1.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20200417101912/https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/an/antero-1.html |url-status=dead |archive-date=17 April 2020 |title=Antero González Olympic Results |access-date=7 October 2018}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.olympedia.org/athletes/24892 |title=Antero González |work=Olympedia |access-date=13 September 2021}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1901|1978}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 2w8tkuf20y3zusuchjt4j6pvssf8zio 1507767 1507766 2026-04-20T15:52:12Z Christina Charles 71406 1507767 wikitext text/x-wiki '''Antero González de Audicana Inchaurraga''' (amezaliwa [[16 Aprili]], [[1901]] – amefariki [[28 Januari]], [[1978]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] na [[kocha]] kutoka [[Hispania]] ambaye kazi yake ilihusishwa zaidi na klabu ya Deportivo Alavés. Alishiriki katika mashindano ya wanaume ya Soka katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928 katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928.<ref>{{cite web|url=https://www.olympedia.org/athletes/24892 |title=Antero González |work=Olympedia |access-date=13 September 2021}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1901|1978}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 15ubh3qhd1tj6cgaucah86gmtglrfmt Miguel González 0 229518 1507768 2026-04-20T15:58:32Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Miguel González Pérez''' (amezaliwa [[27 Aprili]], [[1927]] – amefariki [[6 Julai]], [[2021]]) alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]]. ==Kazi== Amezaliwa katika Santa Cruz de La Palma, González alicheza kama [[mshambuliaji]] kwa klabu za CD Mensajero|Mensajero, CD Iberia, Real Club Victoria, Atlético Madrid, Real Oviedo, Real Zaragoza na Real Murcia.<ref name="auto">{{Cite web|url=https://as.com/futbol/2021/07...' 1507768 wikitext text/x-wiki '''Miguel González Pérez''' (amezaliwa [[27 Aprili]], [[1927]] – amefariki [[6 Julai]], [[2021]]) alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]]. ==Kazi== Amezaliwa katika Santa Cruz de La Palma, González alicheza kama [[mshambuliaji]] kwa klabu za CD Mensajero|Mensajero, CD Iberia, Real Club Victoria, Atlético Madrid, Real Oviedo, Real Zaragoza na Real Murcia.<ref name="auto">{{Cite web|url=https://as.com/futbol/2021/07/06/primera/1625572914_625914.html|title=Fallece Miguel González, leyenda del Atlético de los años 50|date=6 July 2021|website=AS.com}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1927|2021}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] fzp0dzc71cqykx5p82pj50rypz1ab96 Edward Linde 0 229519 1507770 2026-04-20T16:02:35Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Edward H. Linde''' (Alizaliwa [[Juni 22]], [[1941]] – Alifariki [[Januari 10]], [[2010]]) alikuwa msanidi wa majengo (real estate developer) na mfadhili nchini [[Marekani]] huko [[Boston, Massachusetts]].<ref>{{cite web |title=Edward Linde |url=https://www.forbes.com/profile/edward-linde/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Pamoja na [[Mortimer B. Zuckerman]], alianzisha ''Boston Properties'' mwaka [[1970]].<ref>{{cite web |title=Edward Li...' 1507770 wikitext text/x-wiki '''Edward H. Linde''' (Alizaliwa [[Juni 22]], [[1941]] – Alifariki [[Januari 10]], [[2010]]) alikuwa msanidi wa majengo (real estate developer) na mfadhili nchini [[Marekani]] huko [[Boston, Massachusetts]].<ref>{{cite web |title=Edward Linde |url=https://www.forbes.com/profile/edward-linde/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Pamoja na [[Mortimer B. Zuckerman]], alianzisha ''Boston Properties'' mwaka [[1970]].<ref>{{cite web |title=Edward Linde |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Waliofariki 2010]] 40mmgdjtjl07kmlzit8mgnohe42azgr Nando González 0 229520 1507771 2026-04-20T16:06:16Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fernando González Valenciaga''' (amezaliwa [[1 Februari]], [[1921]] – amefariki [[3 Januari]], [[1988]]) <ref>BDFutbol|10063</ref> anayejulikana zaidi kama '''Nando''', alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]]. Akiwa [[kiungo]], alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya soka katika klabu ya Athletic Bilbao na alishiriki katika [[Kombe la Dunia]] la [[FIFA]] la 1950] akiwa na timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu...' 1507771 wikitext text/x-wiki '''Fernando González Valenciaga''' (amezaliwa [[1 Februari]], [[1921]] – amefariki [[3 Januari]], [[1988]]) <ref>BDFutbol|10063</ref> anayejulikana zaidi kama '''Nando''', alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]]. Akiwa [[kiungo]], alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya soka katika klabu ya Athletic Bilbao na alishiriki katika [[Kombe la Dunia]] la [[FIFA]] la 1950] akiwa na timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu. ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1921|1988}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] sud6563a6s1pltxvmcuv5vavdck2d81 George Lindemann 0 229521 1507772 2026-04-20T16:06:38Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''George Lyle Lindemann''' (Alizaliwa [[Machi 26]], [[1936]] – Alifariki [[Juni 21]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] alijulikana kwa kuwa mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''Southern Union'', kampuni ya miundombinu ya nishati ya mafuta na mabomba (pipeline).<ref>{{cite web |title=George Lindemann |url=https://www.forbes.com/profile/george-lindemann/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Pia alikuwa mmiliki...' 1507772 wikitext text/x-wiki '''George Lyle Lindemann''' (Alizaliwa [[Machi 26]], [[1936]] – Alifariki [[Juni 21]], [[2018]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] alijulikana kwa kuwa mwenyekiti na afisa mkuu mtendaji wa ''Southern Union'', kampuni ya miundombinu ya nishati ya mafuta na mabomba (pipeline).<ref>{{cite web |title=George Lindemann |url=https://www.forbes.com/profile/george-lindemann/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Pia alikuwa mmiliki wa vituo 19 vya redio vya lugha ya [[Kihispania]] na makamu wa rais wa ''Metropolitan Opera Association'' huko [[Jiji la New York]].<ref>{{cite web |title=George Lindemann |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1936]] [[Jamii:Waliofariki 2018]] lmteqvvq2rg6092p2l4xk7kcp11co3v José Gonzalvo 0 229522 1507773 2026-04-20T16:20:23Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''José Gonzalvo Falcón''' (amezaliwa [[16 Januari]], [[1920]] – amefariki [[31 Mei]], [[1978]]), ambaye wakati mwingine alijulikana kama '''Gonzalvo II''' au – hasa baadaye – kwa toleo la [[lugha ya Katalani]] la jina lake '''Josep Gonzalvo''', alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] mwenye asili ya [[Katalonia]]. Hadi mwaka 1977, ilikuwa kinyume cha [[sheria]] nchini Hispania kusajili majina ya watu kwa lugh...' 1507773 wikitext text/x-wiki '''José Gonzalvo Falcón''' (amezaliwa [[16 Januari]], [[1920]] – amefariki [[31 Mei]], [[1978]]), ambaye wakati mwingine alijulikana kama '''Gonzalvo II''' au – hasa baadaye – kwa toleo la [[lugha ya Katalani]] la jina lake '''Josep Gonzalvo''', alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] mwenye asili ya [[Katalonia]]. Hadi mwaka 1977, ilikuwa kinyume cha [[sheria]] nchini Hispania kusajili majina ya watu kwa [[lugha]] ya Katalani, kwani majina ya [[Kihispania]] (Kastilia) pekee ndiyo yaliruhusiwa chini ya sheria za usajili wa kiraia za enzi ya Franco na kipindi cha awali baada ya utawala huo.<ref name="eapc">{{cite web |title=Quan els noms propis en català estaven prohibits |url=https://eapc-rld.blog.gencat.cat/2018/05/31/quan-els-noms-propis-en-catala-estaven-prohibits-la-recuperacio-dun-cas-singular-xavier-gayan-i-agusti-pou/ |website=RLD blog – Generalitat de Catalunya |date=31 May 2018 |language=ca}}</ref><ref name="diarionavarra">{{cite web |title=Cuando llamarse Iker era pecado |url=https://www.diariodenavarra.es/noticias/magazine/sociedad/2016/08/06/cuando_llamarse_iker_era_pecado_476477_1035.html |website=Diario de Navarra |date=6 August 2016 |language=es}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1920|1978}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] bapvv1xoepqozkvmbgokvhecr85ku9d 1507774 1507773 2026-04-20T16:21:07Z Christina Charles 71406 1507774 wikitext text/x-wiki '''José Gonzalvo Falcón''' (amezaliwa [[16 Januari]], [[1920]] – amefariki [[31 Mei]], [[1978]]), ambaye wakati mwingine alijulikana kama '''Gonzalvo II''' au – hasa baadaye – kwa toleo la lugha ya Katalani la jina lake '''Josep Gonzalvo''', alikuwa [[mchezaji]] na [[kocha]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] mwenye asili ya Katalonia. Hadi mwaka 1977, ilikuwa kinyume cha [[sheria]] nchini Hispania kusajili majina ya watu kwa [[lugha]] ya Katalani, kwani majina ya [[Kihispania]] (Kastilia) pekee ndiyo yaliruhusiwa chini ya sheria za usajili wa kiraia za enzi ya Franco na kipindi cha awali baada ya utawala huo.<ref name="eapc">{{cite web |title=Quan els noms propis en català estaven prohibits |url=https://eapc-rld.blog.gencat.cat/2018/05/31/quan-els-noms-propis-en-catala-estaven-prohibits-la-recuperacio-dun-cas-singular-xavier-gayan-i-agusti-pou/ |website=RLD blog – Generalitat de Catalunya |date=31 May 2018 |language=ca}}</ref><ref name="diarionavarra">{{cite web |title=Cuando llamarse Iker era pecado |url=https://www.diariodenavarra.es/noticias/magazine/sociedad/2016/08/06/cuando_llamarse_iker_era_pecado_476477_1035.html |website=Diario de Navarra |date=6 August 2016 |language=es}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1920|1978}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] etj6phwxnqmgfozacutlxj8mimm5387 Mariano Gonzalvo 0 229523 1507775 2026-04-20T16:28:05Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mariano Gonzalvo Falcón''' (amezaliwa [[22 Machi]], [[1922]] – amefariki [[7 Aprili]], [[2007]]), ambaye pia alijulikana kama '''Gonzalvo III''' au – hasa baadaye – kwa toleo la Katalani la jina lake, '''Marià Gonzalvo''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya soka katika klabu ya FC Barcelona. Gonzalvo alihesabiwa kuwa mmoja wa viungo wenye vipaji vikubwa katika La Liga wa...' 1507775 wikitext text/x-wiki '''Mariano Gonzalvo Falcón''' (amezaliwa [[22 Machi]], [[1922]] – amefariki [[7 Aprili]], [[2007]]), ambaye pia alijulikana kama '''Gonzalvo III''' au – hasa baadaye – kwa toleo la Katalani la jina lake, '''Marià Gonzalvo''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya soka katika klabu ya FC Barcelona. Gonzalvo alihesabiwa kuwa mmoja wa viungo wenye vipaji vikubwa katika La Liga wakati wa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1950. Tarehe [[7 Desemba]], [[1962]], Barcelona ilicheza mechi ya heshima dhidi ya C.A. Peñarol kwa ajili yake. Pia aliichezea timu ya taifa ya Hispania ya mpira wa miguu pamoja na timu ya taifa ya Katalonia ya mpira wa miguu. Ndugu zake wawili wakubwa pia walikuwa wachezaji mashuhuri wa mpira wa miguu. Juli Gonzalvo, aliyefahamika kama ''Gonzalvo I'', alicheza kwa RCD Espanyol, huku José Gonzalvo, anayejulikana kama ''Gonzalvo II'', pia alicheza kwa FC Barcelona na timu ya taifa ya Hispania.<ref>{{cite web|publisher=Mundo Deportivo|title=Galería de Internacionales: Mariano Gonzalvo Falcon|page=25|url=http://hemeroteca.mundodeportivo.com/preview/1988/08/09/pagina-25/1184285/pdf.html#|language=Spanish|date=August 9, 1988}}</ref><ref>[https://web.archive.org/web/20070928150319/http://www.fcbarcelonaonline.com/gonzalvoiii.html Bio at www.fcbarcelonaonline.com]</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1922|2007}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] mxupe2owqw86j8h2iw8njrkkhw3sp8q Aitor Karanka 0 229524 1507776 2026-04-20T16:33:18Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Aitor Karanka de la Hoz''' (amezaliwa [[18 Septemba]], [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama beki wa kati na kwa sasa ni [[kocha]] wa mpira wa miguu. Isipokuwa kipindi kifupi alichocheza nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 32, alicheza pekee nchini Hispania kwa klabu za Athletic Bilbao na Real Madrid CF, akicheza mechi 275 za La Liga katika misimu 13 na kushinda mataji sita akiw...' 1507776 wikitext text/x-wiki '''Aitor Karanka de la Hoz''' (amezaliwa [[18 Septemba]], [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa kulipwa kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama beki wa kati na kwa sasa ni [[kocha]] wa mpira wa miguu. Isipokuwa kipindi kifupi alichocheza nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 32, alicheza pekee nchini Hispania kwa klabu za Athletic Bilbao na Real Madrid CF, akicheza mechi 275 za La Liga katika misimu 13 na kushinda mataji sita akiwa na klabu ya mwisho.<ref name=First>{{cite news|url=https://www.elcorreo.com/alaves/marcos-primero-futbolistas-alaveses-partidos-primera-20250219171250-nt.html|title=De Marcos es el primero, ¿pero quiénes son los otros futbolistas alaveses con más partidos en Primera?|trans-title=De Marcos is the first, but who are the other Álava-born footballers with the most matches in ''Primera''?|newspaper=[[El Correo]]|first=Jon|last=Prada|language=es|date=19 February 2025|access-date=24 March 2026}}</ref><ref>{{cite news|url=http://www.marca.com/2010/06/07/futbol/equipos/real_madrid/1275916310.html|title=Butragueño: "Karanka representa los valores de la casa"|trans-title=Butragueño: "Karanka is what this place stands for"|newspaper=[[Marca (newspaper)|Marca]]|language=es|date=7 June 2010|access-date=7 December 2012}}</ref><ref>{{cite news|url=https://www.telegraph.co.uk/sport/football/competitions/la-liga/9219288/Cristiano-Ronaldo-is-the-best-in-the-world-says-Real-Madrid-assistant-coach-Aitor-Karanka-after-Barcelona-win.html|title=Cristiano Ronaldo is the best in the world, says Real Madrid assistant coach Aitor Karanka, after Barcelona win|newspaper=[[The Daily Telegraph]]|date=22 April 2012|access-date=7 December 2012}}</ref> ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1973|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 8quq5b2z5pi8cg9u8rmh9l13100hqt3 Carl Lindner Jr. 0 229525 1507777 2026-04-20T16:34:40Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Carl Henry Lindner Jr.''' (Alizaliwa [[Aprili 22]], [[1919]] – Alifariki [[Oktoba 17]], [[2011]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] kutoka Norwood, [[Ohio]], mwanachama wa familia ya Lindner, na mmoja wa watu tajiri zaidi duniani. Kwa mujibu wa toleo la mwaka [[2010]] la ''Forbes Billionaires List'', Lindner alikadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 1.7.<ref>{{cite web |title=Ex-Reds CEO Carl Lindner Jr. dies at 92 |url=https:/...' 1507777 wikitext text/x-wiki '''Carl Henry Lindner Jr.''' (Alizaliwa [[Aprili 22]], [[1919]] – Alifariki [[Oktoba 17]], [[2011]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] kutoka Norwood, [[Ohio]], mwanachama wa familia ya Lindner, na mmoja wa watu tajiri zaidi duniani. Kwa mujibu wa toleo la mwaka [[2010]] la ''Forbes Billionaires List'', Lindner alikadiriwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 1.7.<ref>{{cite web |title=Ex-Reds CEO Carl Lindner Jr. dies at 92 |url=https://www.espn.com/mlb/story/_/id/7117614/former-cincinnati-reds-contolling-partner-ceo-carl-lindner-jr-dies-92 |website=ESPN.com |agency=Associated Press |access-date=October 30, 2022 |language=en |date=18 October 2011}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1919]] [[Jamii:Waliofariki 2011]] ikusjf99a98516zowyr8yf86jwelzqs Glenn Babb 0 229526 1507778 2026-04-20T16:38:09Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Glenn Robin Ware Babb''' (alizaliwa [[4 Juni]] [[1943]] – [[25 Juni]] [[2024]]) alikuwa [[mwanasiasa]] na [[mwanadiplomasia]] wa [[Afrika Kusini]] katika serikali ya enzi ya ubaguzi wa rangi (apartheid). Baadaye alijihusisha na biashara na ujasiriamali.<ref>[https://www.nytimes.com/1990/11/08/world/de-klerk-s-party-wins-by-election-decisively.html "De Klerk's Party Wins By-Election Decisively"] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20170218103...' 1507778 wikitext text/x-wiki '''Glenn Robin Ware Babb''' (alizaliwa [[4 Juni]] [[1943]] – [[25 Juni]] [[2024]]) alikuwa [[mwanasiasa]] na [[mwanadiplomasia]] wa [[Afrika Kusini]] katika serikali ya enzi ya ubaguzi wa rangi (apartheid). Baadaye alijihusisha na biashara na ujasiriamali.<ref>[https://www.nytimes.com/1990/11/08/world/de-klerk-s-party-wins-by-election-decisively.html "De Klerk's Party Wins By-Election Decisively"] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20170218103731/http://www.nytimes.com/1990/11/08/world/de-klerk-s-party-wins-by-election-decisively.html|date=18 February 2017}}, Christopher S. Wren, ''The New York Times'', 8 November 1990</ref> Kati ya 1985 na 1987, alitumwa nchini Canada kama balozi wa serikali yake mjini Ottawa. Katika kipindi hicho, alijulikana kwa kutoa kauli za hadharani kupinga harakati za kupinga apartheid na kutetea sera za serikali yake, pamoja na kupinga jitihada za vikwazo vya kiuchumi na uwekezaji kuondolewa dhidi ya Afrika Kusini zilizokuwa zinaongozwa kimataifa na serikali ya Canada. == Marejeo == {{Reflist|30em}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1943]] [[Jamii:Waliofariki 2024]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 06pvxcv96w4qv4go8dhe9t5d9rg99s1 Kiriki 0 229527 1507779 2026-04-20T16:39:18Z Christina Charles 71406 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Luis Iruretagoyena Aiestarán''' (amezaliwa [[21 Juni]], [[1907]] – amefariki [[19 Oktoba]], [[1965]]), anayejulikana kama '''Kiriki''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[mshambuliaji]].<ref>{{cite web|url=https://www.olympedia.org/athletes/24901 |title=Kiriki |work=Olympedia |access-date=25 June 2021}}</ref> Alishiriki katika mashindano ya wanaume ya Soka katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928 k...' 1507779 wikitext text/x-wiki '''Luis Iruretagoyena Aiestarán''' (amezaliwa [[21 Juni]], [[1907]] – amefariki [[19 Oktoba]], [[1965]]), anayejulikana kama '''Kiriki''', alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Hispania]] ambaye alicheza kama [[mshambuliaji]].<ref>{{cite web|url=https://www.olympedia.org/athletes/24901 |title=Kiriki |work=Olympedia |access-date=25 June 2021}}</ref> Alishiriki katika mashindano ya wanaume ya Soka katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928 katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 1928. ==Marejeo== <references /> {{mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1907|1965}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]] 8c8larji8y2jj0jr2i72sl9vtsw4a91 Leonard Litwin 0 229528 1507780 2026-04-20T16:42:01Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Leonard Litwin''' (Alizaliwa [[Oktoba 16]], [[1914]] – Alifariki [[Aprili 2]], [[2017]]) alikuwa msanidi wa majengo (real estate developer) nchini [[Marekani]] ambaye, kupitia kampuni yake ''Glenwood Management'', alibobea katika ujenzi wa makazi<ref>{{cite web|last=Litwin|first=Leonard|title=United States Public Records Index|url=https://familysearch.org|publisher=familysearch.org|accessdate=17 November 2013}}</ref> Kampuni yake kwa sasa inamiliki na...' 1507780 wikitext text/x-wiki '''Leonard Litwin''' (Alizaliwa [[Oktoba 16]], [[1914]] – Alifariki [[Aprili 2]], [[2017]]) alikuwa msanidi wa majengo (real estate developer) nchini [[Marekani]] ambaye, kupitia kampuni yake ''Glenwood Management'', alibobea katika ujenzi wa makazi<ref>{{cite web|last=Litwin|first=Leonard|title=United States Public Records Index|url=https://familysearch.org|publisher=familysearch.org|accessdate=17 November 2013}}</ref> Kampuni yake kwa sasa inamiliki na kuendesha takribani majengo 24 huko [[Manhattan]] na hukodisha takribani vyumba 4,200 vya hali ya juu.<ref name=ForbesBillionaires>[https://www.forbes.com/lists/2007/10/07billionaires_Leonard-Litwin_CX0T.html Forbes: The 400 Richest Americans - Leonard Litwin] October 2007</ref> Majengo yake yana sifa ya kujengwa vizuri na kusimamiwa vyema.<ref name="rooftoplinnaeus.blogspot.com">{{cite web|url=https://rooftoplinnaeus.blogspot.com/2010/10/leonard-litwin-nurseryman-turned.html|title=Leonard Litwin: Nurseryman turned Developer|website=rooftoplinnaeus.blogspot.com}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1914]] [[Jamii:Waliofariki 2017]] 3h28vjrkrzdfojofa5hy6xht9l6lzux Darrel Bristow-Bovey 0 229529 1507781 2026-04-20T16:43:33Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Darrel Bristow-Bovey''' (alizaliwa [[6 Aprili]] [[1971]], [[Durban]]) ni [[mwandishi]] wa makala, [[mwandishi]] wa safari, mwandishi wa skrini na mwandishi wa vitabu kutoka Afrika Kusini. Alisoma katika University of Cape Town chini ya waandishi mashuhuri J. M. Coetzee na André Brink. Baadaye aliandika makala za magazeti zilizochapishwa katika ''Cape Times'', ''Business Day'' na ''The Sunday Independent''. Mwaka 2015, alieleza kuwa alikuwa akiishi k...' 1507781 wikitext text/x-wiki '''Darrel Bristow-Bovey''' (alizaliwa [[6 Aprili]] [[1971]], [[Durban]]) ni [[mwandishi]] wa makala, [[mwandishi]] wa safari, mwandishi wa skrini na mwandishi wa vitabu kutoka Afrika Kusini. Alisoma katika University of Cape Town chini ya waandishi mashuhuri J. M. Coetzee na André Brink. Baadaye aliandika makala za magazeti zilizochapishwa katika ''Cape Times'', ''Business Day'' na ''The Sunday Independent''. Mwaka 2015, alieleza kuwa alikuwa akiishi katika kitongoji cha Sea Point, mjini Cape Town..<ref>[https://cliffcentral.com/gcs/gareths-guests/darrel-bristow-bovey/ Darrel Bristow Bovey] Cliff Central. 19 July 2023</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1971]] nfape3augsbgvngyrns9kli1gh36mg6 Michael Bagraim 0 229530 1507783 2026-04-20T17:45:11Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Darrel Bristow-Bovey''' (alizaliwa [[6 Aprili]] [[1971]], [[Durban]]) ni [[mwandishi]] wa makala, [[mwandishi]] wa safari, mwandishi wa skrini na mwandishi wa vitabu kutoka Afrika Kusini. Alisoma katika University of Cape Town chini ya waandishi mashuhuri J. M. Coetzee na André Brink. Baadaye aliandika makala za magazeti zilizochapishwa katika ''Cape Times'', ''Business Day'' na ''The Sunday Independent''.<ref>{{Cite web|title=The 400 MPs elected to...' 1507783 wikitext text/x-wiki '''Darrel Bristow-Bovey''' (alizaliwa [[6 Aprili]] [[1971]], [[Durban]]) ni [[mwandishi]] wa makala, [[mwandishi]] wa safari, mwandishi wa skrini na mwandishi wa vitabu kutoka Afrika Kusini. Alisoma katika University of Cape Town chini ya waandishi mashuhuri J. M. Coetzee na André Brink. Baadaye aliandika makala za magazeti zilizochapishwa katika ''Cape Times'', ''Business Day'' na ''The Sunday Independent''.<ref>{{Cite web|title=The 400 MPs elected to the National Assembly - IEC - DOCUMENTS {{!}} Politicsweb|url=https://www.politicsweb.co.za/documents/the-400-mps-elected-to-the-national-assembly--iec|access-date=2024-07-10|website=www.politicsweb.co.za|language=en}}</ref> Mwaka 2015, alieleza kuwa alikuwa akiishi katika kitongoji cha Sea Point, mjini Cape Town. == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1971]] [[Jamii:Watu walio hai]] 24jcnv6up5txn9o2u1pm6vay1wiimx0 Clinton Banducci 0 229531 1507784 2026-04-20T17:51:18Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Clinton Banducci''' (alizaliwa [[5 Aprili]] [[1968]]) ni mchezaji wa zamani wa tenisi kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alifanikiwa kufuzu raundi ya kwanza ya mashindano ya Wimbledon Championships 1989 katika kipengele cha mixed doubles akiwa na Heather Ludloff. Waliwashinda Steve DeVries na Rosemary Casals katika raundi ya kwanza kabla ya kupoteza katika raundi ya pili dhidi ya wachezaji waliokuwa wamepangwa namba 4, Robert Seguso na Lori McNeil...' 1507784 wikitext text/x-wiki '''Clinton Banducci''' (alizaliwa [[5 Aprili]] [[1968]]) ni mchezaji wa zamani wa tenisi kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alifanikiwa kufuzu raundi ya kwanza ya mashindano ya Wimbledon Championships 1989 katika kipengele cha mixed doubles akiwa na Heather Ludloff. Waliwashinda Steve DeVries na Rosemary Casals katika raundi ya kwanza kabla ya kupoteza katika raundi ya pili dhidi ya wachezaji waliokuwa wamepangwa namba 4, Robert Seguso na Lori McNeil.<ref>{{Cite web|date=1988|title=1988 Volvo Tennis/All-American Teams (Administered by the ITCA)|url=https://www.itatennis.co/ita-archives/Assets/old/1988%20All%20America%20Teams.pdf|url-status=live|access-date=2021-05-16|website=itatennis.co|archive-url=https://web.archive.org/web/20210515165342/https://www.itatennis.co/ita-archives/Assets/old/1988%20All%20America%20Teams.pdf|archive-date=2021-05-15}}</ref> Pia alitunukiwa heshima ya “Doubles All-American” mwaka 1988 na 1989 alipokuwa akiichezea timu ya tenisi ya wanaume ya Texas Christian University (TCU Horned Frogs). == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1968]] [[Jamii:Watu walio hai]] 8xbsi6jldq20yazoksgor90tulf5u3g Miral al-Tahawy 0 229532 1507788 2026-04-20T18:46:47Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Miral al-Tahawy''' ({{ ميرال الطحاوي}}; pia huandikwa kama Miral Mahgoub) ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi kutoka [[Misri]]. Anatoka katika asili ya jamii ya Bedui yenye msimamo wa kihafidhina, na anatambuliwa kama mmoja wa waanzilishi muhimu katika fasihi ya kisasa. Gazeti la ''The Washington Post'' limemwelezea kama “mwandishi wa kwanza kuwasilisha maisha ya Wabedui wa Misri nje ya mitazamo ya kijuujuu, na kuonyesha migogoro ya wan...' 1507788 wikitext text/x-wiki '''Miral al-Tahawy''' ({{ ميرال الطحاوي}}; pia huandikwa kama Miral Mahgoub) ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi kutoka [[Misri]]. Anatoka katika asili ya jamii ya Bedui yenye msimamo wa kihafidhina, na anatambuliwa kama mmoja wa waanzilishi muhimu katika fasihi ya kisasa. Gazeti la ''The Washington Post'' limemwelezea kama “mwandishi wa kwanza kuwasilisha maisha ya Wabedui wa Misri nje ya mitazamo ya kijuujuu, na kuonyesha migogoro ya wanawake wa Kibedui na hamu yao ya kujinasua.”<ref>"Unveiling the Lives of Egypt's Bedouin Women", The Washington Post, 17 Juni 2002.</ref> == Wasifu == Alizaliwa katika kijiji kilichopo mkoa wa Sharqia, katika delta ya Nile upande wa mashariki. Familia yake ya Kibedui inatoka katika kabila la al-Hanadi.<ref>"The quest for freedom", Frontline magazine, Julai 2004.</ref> Al-Tahawy ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba. Amesema kuwa baba yake mwenye mtazamo wa maendeleo ndiye aliyemwezesha kupata elimu licha ya vikwazo vya mila za Kibedui, hasa kwa wanawake.<ref>"The quest for freedom", Frontline magazine, Julai 2004.</ref> Alipata shahada ya kwanza (BA) katika fasihi ya Kiarabu kutoka [[Chuo Kikuu cha Zagazig]]<ref>Wasifu wa mwandishi, English PEN World Atlas.</ref> na baadaye alifanya kazi kama mwalimu wa shule, jambo lililomwezesha kuepuka ndoa ya mapema. Aliendelea na masomo yake katika [[Chuo Kikuu cha Cairo]] akiwa na umri wa miaka 26, hatua iliyosababisha migogoro na familia yake pamoja na changamoto za kuzoea maisha ya jiji.<ref>"The quest for freedom", Frontline magazine, Julai 2004.</ref> Hata hivyo, alifanikiwa kupata shahada ya uzamili na uzamivu (PhD), na alijifunza lugha kadhaa zikiwemo Kiarabu fasaha, Kiebrania, Kiajemi na Kiingereza. Al-Tahawy alichapisha kitabu chake cha kwanza, mkusanyiko wa hadithi fupi, mwaka 1995. Baadaye alisainiwa na Hosni Soliman, mmiliki wa Dar Sharqiyyat, mojawapo ya wachapishaji mashuhuri wa fasihi ya Misri katika miaka ya 1990.<ref>"Personal pages", The Economist, 14 Desemba 2000.</ref> Riwaya yake ya kwanza ''Al-Khibaa'' (''The Tent'') ilichapishwa mwaka 1996, ikifuatiwa na ''Al-Badhingana al-zarqa'' (''Blue Aubergine'') mwaka 1998, na ''Naquarat al-Zibae'' (''Gazelle Tracks'') mwaka 2008. Mwaka 2007 alihamia Marekani, ambako alifanya kazi kama mhadhiri msaidizi katika idara ya lugha za kigeni katika Chuo Kikuu cha Appalachian State, North Carolina, na pia alikuwa mratibu wa programu ya Kiarabu. Kwa sasa ni profesa mshiriki katika Chuo Kikuu cha Arizona State. Kitabu chake cha hivi karibuni, ''Brooklyn Heights'', kilipata mafanikio makubwa ya kitaaluma. Kilishinda Tuzo ya Naguib Mahfouz mwaka 2010 na pia kiliteuliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Fasihi ya Kiarabu (Arabic Booker Prize) mwaka 2011.<ref>"Professor’s novel nominated for International Prize for Arabic Fiction", Appalachian State University News, 17 Novemba 2010.</ref> Kazi zake zimechapishwa katika matoleo mawili ya jarida la ''Banipal'' (2002, 2007), na pia zimetafsiriwa katika lugha nyingi ikiwemo Kiingereza, Kijerumani, Kiitaliano, Kihispania, Kiholanzi, Kidenmaki, Kinorwe, Kiurdu na Kihindi. Al-Tahawy ana mtoto mmoja.<ref>Wasifu katika The New York Times, Januari 2012.</ref> Pia anatumia jina la Miral Mahgoub. == Kazi == * ''The Tent'' (imetafsiriwa na Anthony Calderbank) * ''Blue Aubergine'' (imetafsiriwa na Anthony Calderbank) * ''Gazelle Tracks'' (imetafsiriwa na Anthony Calderbank) * ''Brooklyn Heights'' (imetafsiriwa na Samah Selim) * ''The Bedouin Sheikh's Daughter'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1968|}} i2cm82c3rqz4lqegivtil7fm76iq6kl Noor Naga 0 229533 1507789 2026-04-20T18:52:44Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Noor Naga''' ni mwandishi wa Kanada na Misri anayejulikana zaidi kwa riwaya yake ya mwaka 2022 ''If an Egyptian Cannot Speak English''.<ref>[1]</ref><ref>[2]</ref> == Maisha == Naga alizaliwa mjini Philadelphia, [[Marekani]],<ref>[3]</ref><ref>[4]</ref> na aliishi [[Charleston, South Carolina|Charleston]], South Carolina, hadi alipofikisha umri wa miaka saba,<ref>[5]</ref> ambapo yeye pamoja na familia yake walihamia Dubai.<ref>[3]</ref><ref>[4]</ref>...' 1507789 wikitext text/x-wiki '''Noor Naga''' ni mwandishi wa Kanada na Misri anayejulikana zaidi kwa riwaya yake ya mwaka 2022 ''If an Egyptian Cannot Speak English''.<ref>[1]</ref><ref>[2]</ref> == Maisha == Naga alizaliwa mjini Philadelphia, [[Marekani]],<ref>[3]</ref><ref>[4]</ref> na aliishi [[Charleston, South Carolina|Charleston]], South Carolina, hadi alipofikisha umri wa miaka saba,<ref>[5]</ref> ambapo yeye pamoja na familia yake walihamia Dubai.<ref>[3]</ref><ref>[4]</ref> Alipata shahada ya uzamili ya sanaa (Master of Arts) katika uandishi wa ubunifu kutoka [[Chuo Kikuu cha Toronto]].<ref>[6]</ref> Kwa sasa anaishi mjini Cairo, Misri.<ref>[7]</ref> == Bibliografia == * ''Washes, Prays'' (2020) * ''If an Egyptian Cannot Speak English'' (2022) == Tuzo na heshima == Naga alipokea ufadhili wa masomo wa Canada Graduate Scholarship–Master's,<ref>[6]</ref> pamoja na Mary Coyne Rowell Jackman Graduate Scholarship na Avie Bennett Emerging Writers Scholarship kutoka Chuo Kikuu cha Toronto.<ref>[6]</ref> Shirika la CBC lilijumuisha kazi yake ''Washes, Prays'' katika orodha ya “Mashairi Bora ya Kanada ya mwaka 2020”.<ref>[8]</ref> Riwaya yake ''If an Egyptian Cannot Speak English'' pia ilipokelewa vizuri na vyombo vya habari; jarida la ''Time'' liliiweka katika orodha ya “Vitabu 100 vya Lazima Kusomwa vya 2022”,<ref>[9]</ref> huku ''BuzzFeed'' ikiitaja kuwa mojawapo ya “Vitabu Bora vya 2022”.<ref>[10]</ref> ''Kirkus Reviews'' iliipa tathmini ya nyota na kuijumuisha katika orodha ya “Sauti Bora za Kifasihi za 2022”.<ref>[11]</ref><ref>[12]</ref> === Tuzo za uandishi === {| class="wikitable" | ! Mwaka !! Kazi !! Tuzo !! Matokeo !! Marejeo | | | | | | | | | | --------------------------------------------- | - | ------------------------------------------ | - | ---------------------------------------------- | - | ----------- | - | --------------------------------------------- | | 2015 | | — | | Room's Fiction Contest | | Orodha fupi | | <ref>[6]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2017 | | "The Mistress and the Ping" | | RBC Bronwen Wallace Award for Emerging Writers | | Mshindi | | <ref>[1]</ref><ref>[6]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2019 | | — | | DISQUIET Fiction Prize | | Mshindi | | <ref>[7]</ref><ref>[13]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2019 | | ''American Girl and Boy from Shobrakheit'' | | Graywolf Press Africa Prize | | Mshindi | | <ref>[14]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2019 | | — | | RBC/PEN Canada New Voices Award | | Mshindi | | <ref>[15]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2021 | | ''Washes, Prays'' | | George Ellenbogen Poetry Award | | Tuzo maalum | | <ref>[16]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2021 | | ''Washes, Prays'' | | Pat Lowther Award | | Mshindi | | <ref>[17]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2022 | | ''If an Egyptian Cannot Speak English'' | | Center for Fiction First Novel Prize | | Mshindi | | <ref>[18]</ref><ref>[19]</ref><ref>[20]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2022 | | ''If an Egyptian Cannot Speak English'' | | Giller Prize | | Orodha fupi | | <ref>[3]</ref><ref>[21]</ref> | | - | | | | | | | | | | 2022 | | ''If an Egyptian Cannot Speak English'' | | PEN/Jean Stein Book Award | | Orodha fupi | | <ref>[22]</ref><ref>[23]</ref> | | } | | | | | | | | | == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD| |}} bu7t28i7ziks820pbs6w40ly00j0tqu Kadria Hussein 0 229534 1507790 2026-04-20T18:59:53Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kadria Hussein''' (Kituruki: Kadriye Hüseyin; 1888–1955) alikuwa mwanamfalme wa familia ya kifalme ya Misri na pia mwandishi. Alikuwa mtoto wa kike wa Hussein Kamel, Sultani wa Misri aliyelitawala taifa hilo kati ya mwaka 1914 na 1917. Alichangia katika majarida mbalimbali, yakiwemo ''Shehbal''. == Wasifu == Kadria alizaliwa mjini [[Kairo|Cairo]] tarehe 10 Januari 1888.<ref>[1]</ref> Wazazi wake walikuwa Hussein Kamel, mwana wa Isma'il Pasha, Khediv...' 1507790 wikitext text/x-wiki '''Kadria Hussein''' (Kituruki: Kadriye Hüseyin; 1888–1955) alikuwa mwanamfalme wa familia ya kifalme ya Misri na pia mwandishi. Alikuwa mtoto wa kike wa Hussein Kamel, Sultani wa Misri aliyelitawala taifa hilo kati ya mwaka 1914 na 1917. Alichangia katika majarida mbalimbali, yakiwemo ''Shehbal''. == Wasifu == Kadria alizaliwa mjini [[Kairo|Cairo]] tarehe 10 Januari 1888.<ref>[1]</ref> Wazazi wake walikuwa Hussein Kamel, mwana wa Isma'il Pasha, Khedive wa Misri, na Melek Sultan.<ref>[2]</ref> Alikuwa na dada wawili wadogo.<ref>[3]</ref> Alipata elimu katika lugha za Kiarabu na Kifaransa.<ref>[1]</ref> Aliolewa na Celaleddin Sırrı Bey mwaka 1919, lakini ndoa hiyo ilidumu kwa mwaka mmoja tu.<ref>[2][4]</ref> Mume wake wa pili alikuwa Mahmut Hayri Pasha, ambaye alimuoa mwaka 1921 huko Emirgan, Istanbul.<ref>[1]</ref> Walipata watoto wawili, wa kike na wa kiume.<ref>[2]</ref> Mwaka 1930 alirudi Misri baada ya mjomba wake, Mfalme Fuad, kuamuru wanandugu wa familia ya kifalme waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani.<ref>[4]</ref> Kabla ya kuondoka Istanbul, alitoa makazi yake (Huber Mansion) kwa shule ya Notre Dame de Sion.<ref>[2]</ref> Baada ya mapinduzi ya mwaka 1952 yaliyomaliza utawala wa nasaba ya Muhammad Ali, Kadria alikamatwa kwa muda mfupi.<ref>[2]</ref> Mwanawe pia alikamatwa na kundi la kijeshi lililoongoza mapinduzi hayo na baadaye alinyongwa mwaka 1956 kwa madai ya kuhusika katika jaribio la mapinduzi dhidi yao.<ref>[5]</ref> Baada ya kuachiliwa gerezani, Kadria aliondoka Misri na kuishi nje ya nchi kwa muda, kisha akarudi Cairo ambako alifariki mwaka 1955.<ref>[4]</ref> == Kazi == Kadria alichapisha makala kadhaa kuhusu haki za wanawake katika majarida yaliyokuwa Istanbul kama ''Shehbal'', ''Mihrab'' na ''Resimli Kitap''.<ref>[1]</ref> Pia alichangia katika jarida la wanawake la Cairo liitwalo ''L'Égyptienne''.<ref>[4]</ref> Aidha, alitafsiri kazi za fasihi kwa lugha ya Kituruki.<ref>[1]</ref> Baadhi ya vitabu vyake ni: * ''Lettres D'Angora La Sainte'' (1921) * ''Temevvücât-ı Efkâr'' (1914) * ''Muhadderât-ı İslâm'' (1924; Kiarabu: Wanawake Wema wa Uislamu) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1888|1955}} [[Jamii:Waandishi wa Misri]] fhnpa84cu1mlstmi9rbaubaipbwi6oi 1507795 1507790 2026-04-20T19:05:46Z Egipa 87700 1507795 wikitext text/x-wiki '''Kadria Hussein''' (Kituruki: Kadriye Hüseyin; mwaka wa 1888 hadi mwaka wa 1955) alikuwa mtoto wa wa familia ya kifalme ya Misri na pia mwandishi. Alikuwa mtoto wa kike wa Hussein Kamel, na Sultani wa Misri aliyelitawala taifa hilo kati ya mwaka wa 1914 na mwaka wa 1917. Alichangia katika majarida mbalimbali, yakiwemo ''Shehbal''. == Wasifu == Kadria alizaliwa mjini [[Kairo|Cairo]] tarehe 10 Januari mwaka wa 1888.<ref>[1]</ref> Wazazi wake walikuwa Hussein Kamel, mwana wa Isma'il Pasha, Khedive wa Misri, na Melek Sultan.<ref>[2]</ref> Alikuwa na dada wawili wadogo.<ref>[3]</ref> Alipata elimu katika lugha za Kiarabu na Kifaransa.<ref>[1]</ref> Aliolewa na Celaleddin Sırrı Bey mwaka wa 1919, lakini ndoa hiyo ilidumu kwa mwaka mmoja tu.<ref>[2][4]</ref> Mume wake wa pili alikuwa Mahmut Hayri Pasha, ambaye alimuoa mwaka 1921 huko Emirgan, Istanbul.<ref>[1]</ref> Walipata watoto wawili, wa kike na wa kiume.<ref>[2]</ref> Mnamo Mwaka wa 1930 alirudi Misri baada ya mjomba wake, Mfalme Fuad, kuamuru wanandugu wa familia ya kifalme waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani.<ref>[4]</ref> Kabla ya kuondoka Istanbul, alitoa makazi yake (Huber Mansion) kwa shule ya Notre Dame de Sion.<ref>[2]</ref> Baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1952 yaliyomaliza utawala wa nasaba ya Muhammad Ali, Kadria alikamatwa kwa muda mfupi.<ref>[2]</ref> Mwanawe pia alikamatwa na kundi la kijeshi lililoongoza mapinduzi hayo na baadaye alinyongwa mwaka wa 1956 kwa madai ya kuhusika katika jaribio la mapinduzi dhidi yao.<ref>[5]</ref> Baada ya kuachiliwa huru kutoka gerezani, Kadria aliondoka [[Misri]] na kuishi nje ya nchi kwa muda, kisha akarudi Cairo ambako alifariki mwaka wa 1955.<ref>[4]</ref> == Kazi == Kadria alichapisha makala kadhaa kuhusu haki za wanawake katika majarida yaliyokuwa Istanbul kama ''Shehbal'', ''Mihrab'' na ''Resimli Kitap''.<ref>[1]</ref> Pia alichangia katika jarida la wanawake la Cairo liitwalo ''L'Égyptienne''.<ref>[4]</ref> Aidha, alitafsiri kazi za fasihi kwa lugha ya Kituruki.<ref>[1]</ref> Baadhi ya vitabu vyake ni: * ''Lettres D'Angora La Sainte'' (mwaka wa 1921) * ''Temevvücât-ı Efkâr'' (1914) * ''Muhadderât-ı İslâm'' (1924; Kiarabu: Wanawake Wema wa Uislamu) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1888|1955}} [[Jamii:Waandishi wa Misri]] 03hm52pfl4r2p8yi4peswikiy1lpiic Blessing Agbomadzi 0 229535 1507791 2026-04-20T19:00:00Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Blessing Shine Agbomadzi''' (alizaliwa [[11 Juni]] [[2001]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa wa Ghana ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] wa klabu ya Mashindano ya Wanawake ya Morocco AS FAR na timu ya taifa ya wanawake ya Ghana . Pia aliiwakilisha Ghana katika ngazi ya kimataifa ya vijana. == Kazi == Agbomadzi alianza kazi yake katika timu ya Kumasi Sports Academy Ladies kabla ya kujiunga na Sea Lions. <ref name=":1">{{Rejea tovuti|author=N...' 1507791 wikitext text/x-wiki '''Blessing Shine Agbomadzi''' (alizaliwa [[11 Juni]] [[2001]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa wa Ghana ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] wa klabu ya Mashindano ya Wanawake ya Morocco AS FAR na timu ya taifa ya wanawake ya Ghana . Pia aliiwakilisha Ghana katika ngazi ya kimataifa ya vijana. == Kazi == Agbomadzi alianza kazi yake katika timu ya Kumasi Sports Academy Ladies kabla ya kujiunga na Sea Lions. <ref name=":1">{{Rejea tovuti|author=Ngwa|first=Lesley|date=2023-06-06|title=Israel-Gaza violence: "We had just 45-seconds to run and save our lives" – Blessing Shine Agbomadzi|url=https://kick442.com/israel-gaza-violence-we-had-just-45-seconds-to-run-and-save-our-lives-blessing-shine-agbomadzi/|accessdate=2024-03-30|work=KICK442 Sport News|language=en-US}}</ref> Alichezea Sea Lions katika Ligi Kuu ya Wanawake ya Ghana . Mnamo Oktoba 2020, alijiunga na timu ya ligi kuu ya Israeli, Hapoel Be'er Sheva kwa mkataba wa miaka miwili. <ref name=":5">{{Rejea tovuti|date=27 October 2020|title=Black Princesses defender Blessing Shine Agbomadzi signs for Israeli club|url=https://ghanasoccernet.com/black-princesses-defender-blessing-shine-agbomadzi-signs-for-israeli-club|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=2020-10-28|title=Blessing Agbomadzi joins Hapoel Be'er Sheva Football WFC Club|url=https://pfag.com.gh/index.php/2020/10/28/blessing-agbomadzi-joins-hapoel-beer-sheva-football-wfc-club/|accessdate=2024-03-30|work=The Professional Footballers Association of Ghana (PFAG)|language=en-US}}</ref> Muda wake katika Hapoel Be'er Sheva ulikatizwa ghafla kwani ulidumu kwa msimu mmoja tu, kutokana na mzozo kati ya Israeli na Palestina ambao ulidumu kwa miezi kadhaa. <ref name=":1" /> Agbomadzi alirudi Ghana na baadaye akajiunga na Hasaacas Ladies kabla ya Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya CAF . <ref>{{Rejea tovuti|title=Hasaacas Ladies complete signing of Agbomadzi Blessing|url=https://footballghana.com/hasaacas-ladies-complete-signing-of-agbomadzi-blessing|accessdate=2024-03-30|work=Footballghana|language=en}}</ref> Alicheza katika mechi zote na akaunda ushirikiano imara wa beki wa kati na [[Janet Egyir]], akiisaidia Hasaacas Ladies kufika fainali ya Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya CAF ya 2021. Hata hivyo, walipoteza dhidi ya Mamelodi Sundowns Ladies kwa 2-0 katika fainali ya Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya CAF ya 2021. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|date=19 November 2021|title=Women's African Champions League: Mamelodi Sundowns win inaugural title|url=https://www.bbc.com/sport/africa/59337891|accessdate=19 November 2021|work=BBC Sport}}</ref> Katika msimu wake pekee (msimu wa 2021-22 ) na Hasaacas, alicheza katika mechi 17 kati ya 19 za ligi huku Hasaacas ikimaliza msimu kama Mabingwa wa Kanda ya Kusini lakini ikapoteza fainali ya ubingwa kwa Ampem Darkoa Ladies . <ref>{{Rejea tovuti|author=|first=|date=28 May 2022|title=Ampem Darkoa Ladies beat Hasaacas Ladies on penalties to win Women's Premier League|url=https://www.ghanafa.org/ampem-darkoa-ladies-beat-hasaacas-ladies-on-penalties-to-win-2021-2022-womens-premier-league|accessdate=2 March 2023|work=Ghana Football Association}}</ref> Aliteuliwa kwa tuzo ya Mlinzi wa Mwaka. Mnamo Septemba 2022, Agbomadzi alijiunga na klabu ya Mashindano ya Wanawake ya Morocco ya AS FAR kwa mkataba wa miaka miwili. <ref>{{Rejea tovuti|author=Ayishatu|first=Zakaria Ali|date=2022-10-13|title="I want to win more trophies with AS Far Rabat" - Black Queens defender Blessing Shine Agbomadzi|url=https://sportnewsafrica.com/en/football-eng/i-want-to-win-more-trophies-with-as-far-rabat-black-queens-defender-blessing-shine-agbomadzi/|accessdate=2024-03-31|work=Sport News Africa|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Duah|first=George|date=2022-09-24|title=Blessing Shine Completes AS FAR Transfer|url=https://www.hasaacasladiesfc.com/blessing-shine-completes-as-far-transfer|accessdate=2024-03-31|work=Hasaacas Ladies|language=en-US}}</ref> Katika msimu wake wa kwanza na klabu hiyo, alishinda Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya CAF ya 2022 ambapo alicheza katika mechi zote, ikiwa ni pamoja na fainali ambayo AS FAR ilishinda kwa 4-0 dhidi ya mabingwa watetezi Mamelodi Sundowns Ladies. <ref>{{Rejea tovuti|date=14 November 2022|title=Black Queens defender Blessing Agbomadzi wins CAF Women's Champions League with AS FAR|url=https://ghanasoccernet.com/black-queens-defender-blessing-agbomadzi-wins-caf-womens-champions-league-with-as-far|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> Msimu uliofuata, alishinda mara mbili, akishinda Mashindano ya Wanawake ya Morocco na Kombe la Throne la Wanawake la Morocco . <ref>{{Rejea tovuti|date=3 April 2023|title=Ghana's Blessing Shine Agbomadzi celebrates Throne Cup win with AS Far Rabat|url=https://ghanasoccernet.com/ghanas-blessing-shine-agbomadzi-celebrates-throne-cup-win-with-as-far-rabat|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> <ref name=":4">{{Rejea tovuti|date=26 May 2023|title=Black Queens defender Blessing Agbomadzi wins Moroccan league with FAR Rabat|url=https://ghanasoccernet.com/black-queens-defender-blessing-agbomadzi-wins-moroccan-league-with-far-rabat|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> Pia aliisaidia AS FAR kushinda nafasi ya tatu katika Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya CAF ya 2023 akiwashinda Ampem Darkoa Ladies kwa 2-0. Matokeo yake, akawa mchezaji wa kwanza kushinda medali zote tatu katika Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya CAF. == Kazi ya kimataifa == Agbomadzi alichezea timu ya wanawake ya Ghana ya vijana chini ya umri wa miaka 17, ''Black Maidens.'' Mnamo 2016, alikuwa mshiriki wa timu iliyocheza Kombe la Dunia la Wanawake chini ya umri wa miaka 17 la FIFA la 2016, ambapo walifika robo fainali. Alicheza pamoja na [[Sandra Owusu-Ansah]], [[Nina Norshie]] na [[Vivian Adjei]] . <ref>{{Rejea tovuti|date=23 September 2016|title=Ghana's Black Maidens confirms squad numbers for 2016 FIFA World Cup|url=https://ghanasoccernet.com/ghanas-black-maidens-confirms-squad-numbers-for-2016-fifa-world-cup|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> Mnamo 2018, Agbomadzi alikuwa mshiriki wa timu ya wanawake ya Ghana ya vijana chini ya miaka 20, ''Black Princesses'' na alikuwa sehemu ya kikosi kilichocheza Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la mwaka 2018 lililofunzwa na Yusif Basigi . <ref>{{Rejea tovuti|author=Nketsia|first=Benjamin|date=27 September 2018|title=Black Princesses squad for U -20 Women's World Cup revealed|url=https://citisportsonline.com/2018/07/27/black-princesses-squad-for-u-20-womens-world-cup-revealed/|accessdate=31 March 2024|work=Citi Sports Online|language=}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=23 September 2016|title=Black Princesses Coach Yussif Basigi names squad for FIFA U-20 Women's World Cup|url=https://ghanasoccernet.com/black-princesses-coach-yussif-basigi-names-squad-for-fifa-u-20-womens-world-cup|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> Mnamo Agosti 2020, pia alikuwa sehemu ya wachezaji 31 walioalikwa kwenye kambi ya Black Princesses kabla ya mechi za kufuzu Kombe la Dunia la FIFA la vijana chini ya miaka 20 mwaka 2020. <ref>{{Rejea tovuti|author=Teye|first=Prince Narkortu|date=14 August 2020|title=U20 WWQ: Owusu-Ansah and Mukarama named in Ghana squad for Guinea-Bissau clash|url=https://www.goal.com/en/news/u20-wwq-owusu-ansah-and-mukarama-named-in-ghana-squad-for-guinea-bissau-clash/b0jn2htoe3uo1esq8f6wkehst|accessdate=31 March 2024|work=Goal|language=}}</ref> <ref name=":52">{{Rejea tovuti|date=27 October 2020|title=Black Princesses defender Blessing Shine Agbomadzi signs for Israeli club|url=https://ghanasoccernet.com/black-princesses-defender-blessing-shine-agbomadzi-signs-for-israeli-club|accessdate=31 March 2024|work=Ghanasoccernet}}</ref> Mwishoni mwa Oktoba 2020, FIFA ilitangaza kwamba toleo la 2020 la mashindano lilikuwa limefutwa. <ref name=":52" /> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Ghana]] o9waemu8gnfecr31zre2ob1y7q9edj2 Cofield Mundi 0 229536 1507792 2026-04-20T19:02:46Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Cofield Mundi''' ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Afrika Kusini aliyezaliwa Johannesburg, South Africa. Alikulia katika familia ya muziki, alianza kuimba na kutumbuiza tangu akiwa mdogo, na aliandika wimbo wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 12. Shangazi yake ni mwigizaji na mwimbaji wa Afrika Kusini Jill Kirkland, anayejulikana kwa nafasi yake katika filamu ''Katrina''. Cofield ametoa albamu mbili, ''Ceremony'' na ''The Big Question'' kupitia...' 1507792 wikitext text/x-wiki '''Cofield Mundi''' ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Afrika Kusini aliyezaliwa Johannesburg, South Africa. Alikulia katika familia ya muziki, alianza kuimba na kutumbuiza tangu akiwa mdogo, na aliandika wimbo wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 12. Shangazi yake ni mwigizaji na mwimbaji wa Afrika Kusini Jill Kirkland, anayejulikana kwa nafasi yake katika filamu ''Katrina''. Cofield ametoa albamu mbili, ''Ceremony'' na ''The Big Question'' kupitia Universal Music Group Afrika Kusini. Albamu yake ya kwanza, ''Ceremony'', ilipokelewa vizuri na wakosoaji na hadhira, ikielezwa kuwa “ya kuvutia sana” na “albamu ya kwanza ambayo wasanii wengi hutumia maisha yao yote kujaribu kuifikia.”<ref name="CD baby listener review">{{cite web|url=[http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|title=CD](http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|title=CD) Baby: COFIELD MUNDI: Ceremony|access-date=2 Februari 2023|archive-date=19 Februari 2008|archive-url=[https://web.archive.org/web/20080219035320/http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|url-status=bot](https://web.archive.org/web/20080219035320/http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|url-status=bot): unknown}}</ref> Pia ilithaminiwa sana na wasikilizaji, waliyoitaja kama “mkusanyiko wa nyimbo zenye hisia nzito na roho ya ndani.”<ref name="CD baby listener review"/> Albamu hiyo ilipongezwa kwa uandishi wake wa mashairi.<ref name="website including lyrics of some of her albums' songs.">{{cite web |url=[https://www.elyrics.net/song/c/cofield-mundi-lyrics.html](https://www.elyrics.net/song/c/cofield-mundi-lyrics.html) |title=COFIELD MUNDI Lyrics, Songs & Albums | eLyrics.net }}</ref> Ilijumuisha nyimbo za mapenzi zenye hisia na pia nyimbo za kuchezeka, ikiwa na sauti iliyojitofautisha katika miaka ya 2000. Albamu zote mbili ziliteuliwa katika South African Music Awards. Cofield alianza taaluma yake ya muziki kama mwimbaji kiongozi wa bendi ya Afrika Kusini ya underground, The Aeroplanes.<ref name="The Aeroplanes">{{cite web|title=The Aeroplanes|url=[http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|publisher=Media](http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|publisher=Media) Club South Africa|access-date=19 Agosti 2012|archive-date=5 Julai 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180705180455/http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180705180455/http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|url-status=dead}})</ref> Mnamo 2005, Cofield aliteuliwa kuwa balozi wa taasisi ya Nelson Mandela 46664 na alitumbuiza katika tamasha lililofanyika George pamoja na wasanii kama Will Smith, Annie Lennox na Queen wakiongozwa na Paul Rodgers.<ref>{{Cite web|url=[https://en.m.wikipedia.org/wiki/46664|title](https://en.m.wikipedia.org/wiki/46664|title) = 46664 - Wikipedia}}</ref><ref>{{Cite web|url=[http://www.thirtythreeproductions.com/?portfolio=46664|title](http://www.thirtythreeproductions.com/?portfolio=46664|title) = 46664| date=23 Aprili 2014 }}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://www.iol.co.za/entertainment/whats-on/saturday-opening-on-mundi-927537|title](https://www.iol.co.za/entertainment/whats-on/saturday-opening-on-mundi-927537|title) = 46664 Concert - Cofield Mundi}}</ref> [[File:Ambassador for the Nelson Mandela 46664 foundation.jpg|thumb|Balozi wa taasisi ya Nelson Mandela 46664]] == Kazi == Cofield ameshirikiana kuandika nyimbo na wasanii na waandishi mashuhuri kama Russell Dickerson,<ref>{{Cite web|url=[https://russelldickerson.com/|title](https://russelldickerson.com/|title) = Russell Dickerson}}</ref> ambaye wimbo wake ''Yours'' ulifika namba 1 kwenye chati ya Billboard Heat Seeker, Cary Barlowe,<ref>{{Cite web|url=[http://www.americansongwriter.com/2010/11/songwriter-u-nashville-songwriter-series-cary-barlowe/|title](http://www.americansongwriter.com/2010/11/songwriter-u-nashville-songwriter-series-cary-barlowe/|title) = Cary Barlowe| date=23 Novemba 2010 }}</ref> Adam Zelkind,<ref>{{Cite web|url=[https://m.imdb.com/name/nm1115683/|title](https://m.imdb.com/name/nm1115683/|title) = Adam Zelkind|website = IMDb}}</ref> Jeff Cohen,<ref>{{Cite web|url=[http://www.jeffcohenmusic.com/|title](http://www.jeffcohenmusic.com/|title) = Jeff Cohen}}</ref> Matthew Puckett<ref>{{Cite web|url=[https://en.m.wikipedia.org/wiki/Matthew_Puckett|title](https://en.m.wikipedia.org/wiki/Matthew_Puckett|title) = Matthew Puckett - Wikipedia}}</ref> na Wayne Carson,<ref>{{Cite web | url=[http://www.musicvf.com/songs.php?page=artist&artist=Wayne+Carson+Thompson&tab=songaswriterchartstab|title](http://www.musicvf.com/songs.php?page=artist&artist=Wayne+Carson+Thompson&tab=songaswriterchartstab|title) = Wayne Carson}}</ref> ambaye aliandika wimbo maarufu wa muda wote “Always on My Mind” uliorekodiwa na kuimbwa na wasanii wengi akiwemo Elvis Presley, Willie Nelson, Dolly Parton, Johnny Cash na Pet Shop Boys. Cofield amerekodi katika baadhi ya studio maarufu duniani, ikiwemo Abbey Road Studios mjini London.<ref>{{cite web |url=[https://www.abbeyroad.com/](https://www.abbeyroad.com/) |title=Home |website=abbeyroad.com}}</ref> Alipata umaarufu baada ya kutoa albamu yake ya kwanza ''Ceremony'' mwaka 2003 ambayo iliteuliwa kuwa Albamu Bora ya Pop<ref name="Best Pop Album">{{cite web|title=Best Pop Album|url=[http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity|date=Machi](http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity|date=Machi) 2009}}</ref> katika South African Music Awards mwaka 2004. Albamu yake ya pili, ''The Big Question'', iliteuliwa kuwa Albamu Bora ya Adult Contemporary<ref name="Best Adult Contemporary Album">{{cite web|title=Best Adult Contemporary Album|url=[http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity}}](http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity}})</ref> katika tuzo hizo mwaka 2009. Mnamo 2008, Cofield alitoa albamu yake ya pili ''The Big Question'' kupitia Sony BMG<ref name="Cofield Mundi Signs To Sony BMG | Recording Contract">{{cite web|title=Cofield Mundi Signs To Sony BMG {{!}} Recording Contract|url=[http://www.overtone.co.za/musicblog/index.php/2008/06/cofield-mundi-signs-to-sony-bmg-recording-contract/|publisher=Overtone}}](http://www.overtone.co.za/musicblog/index.php/2008/06/cofield-mundi-signs-to-sony-bmg-recording-contract/|publisher=Overtone}})</ref> na baadaye akahamia Universal ambako aliitoa tena mwaka 2009.<ref>{{Cite web|url=[https://raru.co.za/music/130470-cofield-mundi-big-question-cd|title](https://raru.co.za/music/130470-cofield-mundi-big-question-cd|title) = The Big Question}}</ref> Mnamo 2011, Cofield alishiriki kama jaji mgeni na pia alitumbuiza katika kipindi cha South African Idols msimu wa 11.<ref name="Guest Judge: Cofield Mundi">{{cite web|title=Guest Judge: Cofield Mundi|url=[http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|archive-url=https://archive.today/20130121185755/http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|url-status=dead|archive-date=21](http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|archive-url=https://archive.today/20130121185755/http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|url-status=dead|archive-date=21) Januari 2013|publisher=DSTV.COM|access-date=29 Agosti 2012|date=Agosti 2011}}</ref> Mnamo 2010, mshindi wa Idols (Afrika Kusini msimu wa 6), Elvis Blue, alirekodi upya wimbo ''Only Wanna Be with You'' katika albamu yake ''Lightly Tread'', wimbo ambao Cofield aliandika pamoja na Alissa Moreno.<ref name="Elvis Blue, covered the single ''Only wanna be with you''">{{cite web|title=Elvis Blue, covered the single Only wanna be with you|url=[http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|access-date=2012-04-04|archive-url=https://archive.today/20130122092610/http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|archive-date=2013-01-22|url-status=dead}}](http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|access-date=2012-04-04|archive-url=https://archive.today/20130122092610/http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|archive-date=2013-01-22|url-status=dead}})</ref> Albamu hiyo ilishinda tuzo ya Albamu Bora ya Adult Contemporary katika South African Music Awards 2012. Pia wimbo aliouandika pamoja na Russell Dickerson uitwao ''Make Time Stand Still'' ulirekodiwa na mshindi wa pili wa Idols South Africa (msimu wa 7), Mark Haze, katika albamu yake ya kwanza ''Where Angels Fear to Fly''. == Diskografia == === Albamu === * ''Ceremony'' (2004) * ''The Big Question'' (2009) === Mikusanyiko === * ''Palace Lounge presents Cafe D'Afrique'' * ''Count Me Out'' (2006) * ''Lightly Tread'' – Elvis Blue * ''Only Want to Be with You'' – Elvis Blue (2010) * ''Where Angels Fear to Fly'' – Mark Haze (2012) * ''Make Time Stand Still'' – Mark Haze * ''Get Fresh!'' – Wasanii mbalimbali == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD||}} [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] quew43ehcjca2mymua7khlabqmf0ebg 1507793 1507792 2026-04-20T19:03:29Z Valuegirl 87699 1507793 wikitext text/x-wiki '''Cofield Mundi''' ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]] aliyezaliwa Johannesburg, South Africa. Alikulia katika familia ya muziki, alianza kuimba na kutumbuiza tangu akiwa mdogo, na aliandika wimbo wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 12. Shangazi yake ni mwigizaji na mwimbaji wa Afrika Kusini Jill Kirkland, anayejulikana kwa nafasi yake katika filamu ''Katrina''. Cofield ametoa albamu mbili, ''Ceremony'' na ''The Big Question'' kupitia Universal Music Group Afrika Kusini. Albamu yake ya kwanza, ''Ceremony'', ilipokelewa vizuri na wakosoaji na hadhira, ikielezwa kuwa “ya kuvutia sana” na “albamu ya kwanza ambayo wasanii wengi hutumia maisha yao yote kujaribu kuifikia.”<ref name="CD baby listener review">{{cite web|url=[http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|title=CD](http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|title=CD) Baby: COFIELD MUNDI: Ceremony|access-date=2 Februari 2023|archive-date=19 Februari 2008|archive-url=[https://web.archive.org/web/20080219035320/http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|url-status=bot](https://web.archive.org/web/20080219035320/http://www.cdbaby.com/cd/cofieldmundi|url-status=bot): unknown}}</ref> Pia ilithaminiwa sana na wasikilizaji, waliyoitaja kama “mkusanyiko wa nyimbo zenye hisia nzito na roho ya ndani.”<ref name="CD baby listener review"/> Albamu hiyo ilipongezwa kwa uandishi wake wa mashairi.<ref name="website including lyrics of some of her albums' songs.">{{cite web |url=[https://www.elyrics.net/song/c/cofield-mundi-lyrics.html](https://www.elyrics.net/song/c/cofield-mundi-lyrics.html) |title=COFIELD MUNDI Lyrics, Songs & Albums | eLyrics.net }}</ref> Ilijumuisha nyimbo za mapenzi zenye hisia na pia nyimbo za kuchezeka, ikiwa na sauti iliyojitofautisha katika miaka ya 2000. Albamu zote mbili ziliteuliwa katika South African Music Awards. Cofield alianza taaluma yake ya muziki kama mwimbaji kiongozi wa bendi ya Afrika Kusini ya underground, The Aeroplanes.<ref name="The Aeroplanes">{{cite web|title=The Aeroplanes|url=[http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|publisher=Media](http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|publisher=Media) Club South Africa|access-date=19 Agosti 2012|archive-date=5 Julai 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180705180455/http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180705180455/http://www.mediaclubsouthafrica.com/index.php?option=com_content&view=article&catid=35:culture_bg&id=106:music|url-status=dead}})</ref> Mnamo 2005, Cofield aliteuliwa kuwa balozi wa taasisi ya Nelson Mandela 46664 na alitumbuiza katika tamasha lililofanyika George pamoja na wasanii kama Will Smith, Annie Lennox na Queen wakiongozwa na Paul Rodgers.<ref>{{Cite web|url=[https://en.m.wikipedia.org/wiki/46664|title](https://en.m.wikipedia.org/wiki/46664|title) = 46664 - Wikipedia}}</ref><ref>{{Cite web|url=[http://www.thirtythreeproductions.com/?portfolio=46664|title](http://www.thirtythreeproductions.com/?portfolio=46664|title) = 46664| date=23 Aprili 2014 }}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://www.iol.co.za/entertainment/whats-on/saturday-opening-on-mundi-927537|title](https://www.iol.co.za/entertainment/whats-on/saturday-opening-on-mundi-927537|title) = 46664 Concert - Cofield Mundi}}</ref> [[File:Ambassador for the Nelson Mandela 46664 foundation.jpg|thumb|Balozi wa taasisi ya Nelson Mandela 46664]] == Kazi == Cofield ameshirikiana kuandika nyimbo na wasanii na waandishi mashuhuri kama Russell Dickerson,<ref>{{Cite web|url=[https://russelldickerson.com/|title](https://russelldickerson.com/|title) = Russell Dickerson}}</ref> ambaye wimbo wake ''Yours'' ulifika namba 1 kwenye chati ya Billboard Heat Seeker, Cary Barlowe,<ref>{{Cite web|url=[http://www.americansongwriter.com/2010/11/songwriter-u-nashville-songwriter-series-cary-barlowe/|title](http://www.americansongwriter.com/2010/11/songwriter-u-nashville-songwriter-series-cary-barlowe/|title) = Cary Barlowe| date=23 Novemba 2010 }}</ref> Adam Zelkind,<ref>{{Cite web|url=[https://m.imdb.com/name/nm1115683/|title](https://m.imdb.com/name/nm1115683/|title) = Adam Zelkind|website = IMDb}}</ref> Jeff Cohen,<ref>{{Cite web|url=[http://www.jeffcohenmusic.com/|title](http://www.jeffcohenmusic.com/|title) = Jeff Cohen}}</ref> Matthew Puckett<ref>{{Cite web|url=[https://en.m.wikipedia.org/wiki/Matthew_Puckett|title](https://en.m.wikipedia.org/wiki/Matthew_Puckett|title) = Matthew Puckett - Wikipedia}}</ref> na Wayne Carson,<ref>{{Cite web | url=[http://www.musicvf.com/songs.php?page=artist&artist=Wayne+Carson+Thompson&tab=songaswriterchartstab|title](http://www.musicvf.com/songs.php?page=artist&artist=Wayne+Carson+Thompson&tab=songaswriterchartstab|title) = Wayne Carson}}</ref> ambaye aliandika wimbo maarufu wa muda wote “Always on My Mind” uliorekodiwa na kuimbwa na wasanii wengi akiwemo Elvis Presley, Willie Nelson, Dolly Parton, Johnny Cash na Pet Shop Boys. Cofield amerekodi katika baadhi ya studio maarufu duniani, ikiwemo Abbey Road Studios mjini London.<ref>{{cite web |url=[https://www.abbeyroad.com/](https://www.abbeyroad.com/) |title=Home |website=abbeyroad.com}}</ref> Alipata umaarufu baada ya kutoa albamu yake ya kwanza ''Ceremony'' mwaka 2003 ambayo iliteuliwa kuwa Albamu Bora ya Pop<ref name="Best Pop Album">{{cite web|title=Best Pop Album|url=[http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity|date=Machi](http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity|date=Machi) 2009}}</ref> katika South African Music Awards mwaka 2004. Albamu yake ya pili, ''The Big Question'', iliteuliwa kuwa Albamu Bora ya Adult Contemporary<ref name="Best Adult Contemporary Album">{{cite web|title=Best Adult Contemporary Album|url=[http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity}}](http://www.bizcommunity.co.ke/Article/111/66/34055.html|publisher=BizzCommunity}})</ref> katika tuzo hizo mwaka 2009. Mnamo 2008, Cofield alitoa albamu yake ya pili ''The Big Question'' kupitia Sony BMG<ref name="Cofield Mundi Signs To Sony BMG | Recording Contract">{{cite web|title=Cofield Mundi Signs To Sony BMG {{!}} Recording Contract|url=[http://www.overtone.co.za/musicblog/index.php/2008/06/cofield-mundi-signs-to-sony-bmg-recording-contract/|publisher=Overtone}}](http://www.overtone.co.za/musicblog/index.php/2008/06/cofield-mundi-signs-to-sony-bmg-recording-contract/|publisher=Overtone}})</ref> na baadaye akahamia Universal ambako aliitoa tena mwaka 2009.<ref>{{Cite web|url=[https://raru.co.za/music/130470-cofield-mundi-big-question-cd|title](https://raru.co.za/music/130470-cofield-mundi-big-question-cd|title) = The Big Question}}</ref> Mnamo 2011, Cofield alishiriki kama jaji mgeni na pia alitumbuiza katika kipindi cha South African Idols msimu wa 11.<ref name="Guest Judge: Cofield Mundi">{{cite web|title=Guest Judge: Cofield Mundi|url=[http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|archive-url=https://archive.today/20130121185755/http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|url-status=dead|archive-date=21](http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|archive-url=https://archive.today/20130121185755/http://idolssa.dstv.com/News/1606/GuestJudgeCofieldMundi.html|url-status=dead|archive-date=21) Januari 2013|publisher=DSTV.COM|access-date=29 Agosti 2012|date=Agosti 2011}}</ref> Mnamo 2010, mshindi wa Idols (Afrika Kusini msimu wa 6), Elvis Blue, alirekodi upya wimbo ''Only Wanna Be with You'' katika albamu yake ''Lightly Tread'', wimbo ambao Cofield aliandika pamoja na Alissa Moreno.<ref name="Elvis Blue, covered the single ''Only wanna be with you''">{{cite web|title=Elvis Blue, covered the single Only wanna be with you|url=[http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|access-date=2012-04-04|archive-url=https://archive.today/20130122092610/http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|archive-date=2013-01-22|url-status=dead}}](http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|access-date=2012-04-04|archive-url=https://archive.today/20130122092610/http://www.dstv.com/Pages/News/911/Elvis-Blue-goes-gold|archive-date=2013-01-22|url-status=dead}})</ref> Albamu hiyo ilishinda tuzo ya Albamu Bora ya Adult Contemporary katika South African Music Awards 2012. Pia wimbo aliouandika pamoja na Russell Dickerson uitwao ''Make Time Stand Still'' ulirekodiwa na mshindi wa pili wa Idols South Africa (msimu wa 7), Mark Haze, katika albamu yake ya kwanza ''Where Angels Fear to Fly''. == Diskografia == === Albamu === * ''Ceremony'' (2004) * ''The Big Question'' (2009) === Mikusanyiko === * ''Palace Lounge presents Cafe D'Afrique'' * ''Count Me Out'' (2006) * ''Lightly Tread'' – Elvis Blue * ''Only Want to Be with You'' – Elvis Blue (2010) * ''Where Angels Fear to Fly'' – Mark Haze (2012) * ''Make Time Stand Still'' – Mark Haze * ''Get Fresh!'' – Wasanii mbalimbali == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD||}} [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] 0d8kgspgragk9l5l1wtwf1wmvydaksz Celeste Barker 0 229537 1507796 2026-04-20T19:11:02Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Celeste Heloise Barker''' (alizaliwa [[7 Julai]] [[1960]] – [[20 Novemba]] [[2024]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kama mjumbe wa Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa tiketi ya chama cha Democratic Alliance (DA) kuanzia mwaka 2014 hadi 2019.<ref name="pe" /><ref>{{Cite news|last=Nel|first=Brandon|date=21 November 2024|title=DA stalwart Celeste Barker dies at 64|url=https://www.heraldlive.co.za/news/2024-11-21-da-st...' 1507796 wikitext text/x-wiki '''Celeste Heloise Barker''' (alizaliwa [[7 Julai]] [[1960]] – [[20 Novemba]] [[2024]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kama mjumbe wa Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa tiketi ya chama cha Democratic Alliance (DA) kuanzia mwaka 2014 hadi 2019.<ref name="pe" /><ref>{{Cite news|last=Nel|first=Brandon|date=21 November 2024|title=DA stalwart Celeste Barker dies at 64|url=https://www.heraldlive.co.za/news/2024-11-21-da-stalwart-celeste-barker-dies-at-64/|access-date=22 November 2024|work=HeraldLIVE}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Waliofariki 2024]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] bmw2v5mq6blvx36zoog9gzvx0ggu06z 1507813 1507796 2026-04-20T19:57:58Z EdwardJacobo42 48620 1507813 wikitext text/x-wiki '''Celeste Heloise Barker''' (alizaliwa [[7 Julai]] [[1960]] – [[20 Novemba]] [[2024]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kama mjumbe wa Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa tiketi ya chama cha Democratic Alliance (DA) kuanzia mwaka 2014 hadi 2019.<ref>{{Cite news|last=Nel|first=Brandon|date=21 November 2024|title=DA stalwart Celeste Barker dies at 64|url=https://www.heraldlive.co.za/news/2024-11-21-da-stalwart-celeste-barker-dies-at-64/|access-date=22 November 2024|work=HeraldLIVE}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Waliofariki 2024]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] h84ypylom9ehqw7eoot24ejrjv4m3si Anaïs de Bassanville 0 229538 1507797 2026-04-20T19:12:11Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Thérèse Anaïs Rigo''', anayejulikana zaidi kwa majina yake ya kalamu '''Anaïs de Bassanville''' na '''Comtesse de Bassanville''', alikuwa mwandishi na mwandishi wa habari wa majarida ya wanawake wa karne ya 19 kutoka Ufaransa. Aliandika kazi nyingi kuhusu adabu na mienendo ya kijamii. Alizaliwa mwaka 1802 huko Auteuil, Seine (sasa ni Paris), na alifariki tarehe 6 Novemba 1884 katika eneo hilo hilo. == Wasifu == Alikuwa binti mkubwa wa Michel Rigo n...' 1507797 wikitext text/x-wiki '''Thérèse Anaïs Rigo''', anayejulikana zaidi kwa majina yake ya kalamu '''Anaïs de Bassanville''' na '''Comtesse de Bassanville''', alikuwa mwandishi na mwandishi wa habari wa majarida ya wanawake wa karne ya 19 kutoka Ufaransa. Aliandika kazi nyingi kuhusu adabu na mienendo ya kijamii. Alizaliwa mwaka 1802 huko Auteuil, Seine (sasa ni Paris), na alifariki tarehe 6 Novemba 1884 katika eneo hilo hilo. == Wasifu == Alikuwa binti mkubwa wa Michel Rigo na Louise Thérèse Christine Modeste Jaubert, na alikuwa mwanafunzi wa Henriette Campan. Pia alikuwa na ndugu wawili wa kiume: Jules Alfred Vincent Rigo (aliyezaliwa 1810) na Augustin Maximilien Édouard Rigo (aliyezaliwa 1813). Alitoka katika familia yenye hadhi ya juu, iliyokuwa na uhusiano wa karibu na mahakama ya kifalme, ambapo baba yake alikuwa mwanachama wa Institut de France na alihudumu chini ya Empress Josephine. Mama yake alikuwa mmoja wa wanawake waliomhudumia malkia huyo. Anaïs de Bassanville alianza kuandika akiwa na umri wa miaka 40. Alitumia jina la kalamu Comtesse de Bassanville na akaanzisha jarida la ''Journal des jeunes filles''. Pia alihariri ''Le moniteur des dames et des demoiselles'' kuanzia mwaka 1846 hadi 1850, na baadaye ''Le dimanche des familles'' kati ya 1856 na 1858. Alipata umaarufu mwaka 1847 kupitia kazi yake ''Le Perfectionnement de l'éducation des filles''. Mwaka 1867 alichapisha kitabu ''Code du cérémonial: Guide des gens du monde dans toutes les circonstances de la vie'', ambacho kilielezea kanuni za adabu katika jamii. Ingawa mwanzoni kilikumbana na ukosoaji, baadaye kilifanikiwa na kuchapishwa mara nyingi. Aliishi katika kipindi cha mabadiliko makubwa ya kijamii na kisiasa nchini Ufaransa, ikiwa ni pamoja na mwisho wa utawala wa Napoleon III, Urejeshwaji wa kifalme, na Ufalme wa Julai. Katika kazi yake ''Les Salons d'autrefois sous le régime de Napoleon III'', alielezea mikusanyiko ya kijamii ya zamani iliyokuwa ikiandaliwa kwa ajili ya watu wenye elimu waliopenda fasihi, sanaa, na sayansi. Mwaka 1822 aliolewa na Louis Frédéric Auguste Le Brun, afisa wa walinzi wa kifalme. Walipata mtoto mmoja, Paul Louis (1828–1910), ambaye pia aliingia katika taaluma ya kijeshi. Katika miaka ya baadaye ya maisha yake, alikumbwa na kupooza miguu na alihifadhiwa katika makazi ya Sainte-Périne d'Auteuil. Licha ya hali hiyo, aliendelea kuwa na ari na uchangamfu hadi uzee wake. Alifariki akiwa na umri wa miaka 82 tarehe 6 Novemba 1884. Mazishi yake yalifanyika tarehe 11 Novemba 1884 katika kanisa la Notre-Dame d'Auteuil, na alizikwa katika makaburi ya Père Lachaise (mgawanyiko wa kwanza). == Kazi zilizochapishwa == * ''Les aventures d'une épingle ou Trois siècles de l'histoire de France'' (1846) * ''La corbeille de fleurs'' (1848) * ''Les mémoires d'une jeune fille'' (1849) * ''Le monde tel qu'il est'' (1853) * ''Les primeurs de la vie'' (1854) * ''Délassements de l'enfance'' (1856) * ''Les épis d'une glaneuse'' (1858) * ''Les Deux familles'' (1859) * ''Les salons d'autrefois'' (1861–1863) * ''De l'éducation des femmes'' (1861) * ''Les Contes du bonhomme jadis'' (1861) * ''L'entrée dans le monde'' (1862) * ''Les Secrets d'une jeune fille'' (1863) * ''Les Ouvriers illustres'' (1863) * ''Code du cérémonial: Guide des gens du monde dans toutes les circonstances de la vie'' (1867) * ''Beauté et bonté; La Folle du logis'' (1902) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1802|1884}} fstxam0jg01sgy6ykedxy0urfq8bmsu Julie Rodde 0 229539 1507798 2026-04-20T19:15:39Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Marie–Julie Rodde''' (18 Julai 1818, Aubenas – 30 Oktoba 1900, Paris) alikuwa mwandishi, mshairi na mwandishi wa habari wa [[Ufaransa]].<ref name=":0" /> == Wasifu == Julie Rodde alizaliwa katika familia ya mchumi, mwandishi na mwanahabari Jean-François Victor Rodde (1792–1835), ambaye pia alikuwa mwanzilishi wa gazeti la Kirepublican ''Le Bon Sens'' (1832–1839). Mwaka 1841 aliolewa na mshairi François Fertiault (1814–1915), na pamoja wali...' 1507798 wikitext text/x-wiki '''Marie–Julie Rodde''' (18 Julai 1818, Aubenas – 30 Oktoba 1900, Paris) alikuwa mwandishi, mshairi na mwandishi wa habari wa [[Ufaransa]].<ref name=":0" /> == Wasifu == Julie Rodde alizaliwa katika familia ya mchumi, mwandishi na mwanahabari Jean-François Victor Rodde (1792–1835), ambaye pia alikuwa mwanzilishi wa gazeti la Kirepublican ''Le Bon Sens'' (1832–1839). Mwaka 1841 aliolewa na mshairi François Fertiault (1814–1915), na pamoja walipata mtoto mmoja aitwaye Victor, jina alilopewa kwa kumbukumbu ya baba yake aliyefariki mapema, ambaye Julie alimpenda sana. Julie Rodde alikuwa mhariri mkuu wa majarida mbalimbali, yakiwemo ''Modes de l'Enfance'' na ''Journal des jeunes mères'', na pia alichangia katika majarida mengi ya wanawake kama vile ''Le Conseiller des Dames'', ''La Joie du Foyer'', ''Le Journal des Jeunes Filles'', ''La Revue de la Mode'', ''Le Moniteur de la Mode'', na ''Bulletin de la Société des Gens de Lettres''.<ref name=":1" /> Mbali na uandishi wa habari, Rodde aliandika pia mashairi na nyimbo, akiwa peke yake au kwa kushirikiana na mume wake. Wakiwa wameishi Paris na kuwa karibu na kundi la washairi la Parnassiens, yeye na mume wake walifanya kazi kama wahariri wa jarida la ''Feuilleton de Paris'' kati ya 1847 na 1851, na baadaye ''Bulletin de l'Union des poètes'' kuanzia 1857 hadi 1876.<ref name=":2" /> Mwaka 1856, mtoto wao wa pekee Victor alifariki ghafla, jambo lililomuumiza sana Julie. Katika mwaka huo huo, yeye na mume wake walichapisha diwani ya mashairi ''Le Poème des larmes'' (1858). Miaka sita baadaye walichapisha mkusanyo mwingine wa mashairi uitwao ''Les Voix amies'' (1864). Julie Rodde pamoja na mume wake walikuwa wanachama wa ''Société des Gens de Lettres''.<ref name=":3" /> == Urithi == Mwaka 1915, Makumbusho ya Crozatier huko Le Puy-en-Velay (Haute-Loire) ilipokea michoro mitatu iliyotolewa na François Fertiault: mchoro wa Victor Rodde (1792–1835), pamoja na michoro inayomuonesha Julie Rodde na mume wake, iliyochorwa na Félix Auguste Clément (1826–1888). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1818|1900}} i1ewqwegcnbpyv12ino6cr71q20zlit 1507800 1507798 2026-04-20T19:20:50Z Egipa 87700 1507800 wikitext text/x-wiki '''Marie–Julie Rodde''' (18 Julai 1818, Aubenas – 30 Oktoba 1900, Paris) alikuwa mwandishi, mshairi na mwandishi wa habari wa [[Ufaransa]]. == Wasifu == Julie Rodde alizaliwa katika familia ya mchumi, mwandishi na mwanahabari Jean-François Victor Rodde (1792–1835), ambaye pia alikuwa mwanzilishi wa gazeti la Kirepublican ''Le Bon Sens'' (1832–1839). Mwaka 1841 aliolewa na mshairi François Fertiault (mwaka wa 1814 hadi mwaka wa 1915), na pamoja walipata mtoto mmoja aitwaye Victor, jina alilopewa kwa kumbukumbu ya baba yake aliyefariki mapema, ambaye Julie alimpenda sana. Julie Rodde alikuwa mhariri mkuu wa majarida mbalimbali, yakiwemo ''Modes de l'Enfance'' na ''Journal des jeunes mères'', na pia alichangia katika majarida mengi ya wanawake kama vile ''Le Conseiller des Dames'', ''La Joie du Foyer'', ''Le Journal des Jeunes Filles'', ''La Revue de la Mode'', ''Le Moniteur de la Mode'', na ''Bulletin de la Société des Gens de Lettres'' Mbali na uandishi wa habari, Rodde aliandika pia mashairi na nyimbo, akiwa peke yake au kwa kushirikiana na mume wake. Wakiwa wameishi Paris na kuwa karibu na kundi la washairi la Parnassiens, yeye na mume wake walifanya kazi kama wahariri wa jarida la ''Feuilleton de Paris'' kati ya mwaka wa 1847 namwaka wa 1851, na baadaye ''Bulletin de l'Union des poètes'' kuanzia 1857 hadi 1876. Mwaka 1856, mtoto wao wa pekee Victor alifariki ghafla, jambo lililomuumiza sana Julie. Katika mwaka huo huo, yeye na mume wake walichapisha diwani ya mashairi ''Le Poème des larmes'' (mwaka wa 1858). Miaka sita baadaye walichapisha mkusanyo mwingine wa mashairi uitwao ''Les Voix amies'' (mwaka wa 1864). Julie Rodde pamoja na mume wake walikuwa wanachama wa ''Société des Gens de Lettres == Urithi == Mwaka 1915, Makumbusho ya Crozatier huko Le Puy-en-Velay (Haute-Loire) ilipokea michoro mitatu iliyotolewa na François Fertiault: mchoro wa Victor Rodde (mwaka wa 1792 hadi mwaka wa 1835), pamoja na michoro inayomuonesha Julie Rodde na mume wake, iliyochorwa na Félix Auguste Clément (1826–1888). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1818|1900}} it7ppca8kcjlbmpvf5boojpitdzmrl8 1507803 1507800 2026-04-20T19:22:53Z Egipa 87700 1507803 wikitext text/x-wiki '''Marie–Julie Rodde''' (18 Julai 1818, Aubenas – 30 Oktoba 1900, Paris) alikuwa mwandishi, mshairi na mwandishi wa habari wa [[Ufaransa]]. == Wasifu == Julie Rodde alizaliwa katika familia ya mchumi, mwandishi na mwanahabari Jean-François Victor Rodde (1792–1835), ambaye pia alikuwa mwanzilishi wa gazeti la Kirepublican ''Le Bon Sens'' (mwaka wa 1832 hadi mwaka wa 1839). Mnamo Mwaka wa 1841 aliolewa na mshairi François Fertiault (mwaka wa 1814 hadi mwaka wa 1915), na pamoja walipata mtoto mmoja aitwaye Victor, jina alilopewa kwa kumbukumbu ya baba yake aliyefariki mapema, ambaye Julie alimpenda sana. Julie Rodde alikuwa mhariri mkuu wa majarida mbalimbali, yakiwemo ''Modes de l'Enfance'' na ''Journal des jeunes mères'', na pia alichangia katika majarida mengi ya wanawake kama vile ''Le Conseiller des Dames'', ''La Joie du Foyer'', ''Le Journal des Jeunes Filles'', ''La Revue de la Mode'', ''Le Moniteur de la Mode'', na ''Bulletin de la Société des Gens de Lettres'' Mbali na uandishi wa habari, Rodde aliandika pia mashairi na nyimbo, akiwa peke yake au kwa kushirikiana na mume wake. Wakiwa wameishi Paris na kuwa karibu na kundi la washairi la Parnassiens, yeye na mume wake walifanya kazi kama wahariri wa jarida la ''Feuilleton de Paris'' kati ya mwaka wa 1847 namwaka wa 1851, na baadaye ''Bulletin de l'Union des poètes'' kuanzia mwaka wa 1857 hadi mwaka wa 1876. Mwaka 1856, mtoto wao wa pekee Victor alifariki ghafla, jambo lililomuumiza sana Julie. Katika mwaka huo huo, yeye na mume wake walichapisha diwani ya mashairi ''Le Poème des larmes'' (mwaka wa 1858). Miaka sita baadaye walichapisha mkusanyo mwingine wa mashairi uitwao ''Les Voix amies'' (mwaka wa 1864). Julie Rodde pamoja na mume wake walikuwa wanachama wa ''Société des Gens de Lettres == Urithi == Mwaka 1915, Makumbusho ya Crozatier huko Le Puy-en-Velay (Haute-Loire) ilipokea michoro mitatu iliyotolewa na François Fertiault: mchoro wa Victor Rodde (mwaka wa 1792 hadi mwaka wa 1835), pamoja na michoro inayomuonesha Julie Rodde na mume wake, iliyochorwa na Félix Auguste Clément (1826–1888). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1818|1900}} iuc4yvs0hlfzgkt155uzjsbr24a2y8c Nadia Nakai 0 229540 1507799 2026-04-20T19:19:45Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nadia Nakai Kandava''' aliyezaliwa kama '''Dlamini''';<ref name=":0">{{Cite web |title=Hip Hop Awards 2022: Who is Nadia Nakai? Meet Burgeoning South African Hip Hop Star |url=[https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai](https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai) |access-date=2023-10-18 |website=BET |language=en |archive-date=4 Oktoba 2022 |archive-url=[...' 1507799 wikitext text/x-wiki '''Nadia Nakai Kandava''' aliyezaliwa kama '''Dlamini''';<ref name=":0">{{Cite web |title=Hip Hop Awards 2022: Who is Nadia Nakai? Meet Burgeoning South African Hip Hop Star |url=[https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai](https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai) |access-date=2023-10-18 |website=BET |language=en |archive-date=4 Oktoba 2022 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20221004224412/https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai](https://web.archive.org/web/20221004224412/https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai) |url-status=live }}</ref> alizaliwa 18 Mei 1990) ni rapa na mtangazaji wa televisheni kutoka Afrika Kusini.<ref>{{cite web|url=[http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|title=Nakai](http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|title=Nakai): Rising rap queen|website=The Zimbabwe Independent|access-date=3 Oktoba 2018|archive-date=11 Mei 2020|archive-url=[https://web.archive.org/web/20200511072748/http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20200511072748/http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|url-status=live}})</ref> == Maisha ya awali na elimu == Nakai alizaliwa Afrika Kusini.<ref> Baba yake ni raia wa Afrika Kusini na mama yake ni raia wa Zimbabwe.<ref>{{cite web|url=[https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|title=8](https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|title=8) fun facts you may not know about Nadia Nakai|date=19 Mei 2020|access-date=20 Machi 2022|work=The Citizen|last=Sekhu|first=Michael|archive-date=17 Januari 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220117101026/https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220117101026/https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|url-status=live}})</ref> Alipokuwa na umri wa miaka 16, alibadilisha jina lake la ukoo kutoka la baba yake kwenda la mama yake.<ref name=":0" /><ref name="name">{{cite web|url=[https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|title=Nadia](https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|title=Nadia) Nakai joins Cassper's record label|work=The Chronicle|date=20 Februari 2016|access-date=20 Machi 2022|archive-date=20 Machi 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220320132001/https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220320132001/https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|url-status=live}})</ref> Alisoma katika shule ya sekondari ya Fourways High School mjini [[Johannesburg]] kwa mwaka mmoja kisha akamalizia masomo yake nchini Kenya.<ref name="name" /> Baadaye alisomea shahada ya masoko, mawasiliano na masomo ya vyombo vya habari katika Chuo Kikuu cha Monash, Johannesburg.<ref> == Kazi == === 2013–2017: Mwanzo wa kazi === Nakai alionekana kwa mara ya kwanza kwenye televisheni kupitia kipindi cha hip-hop cha e.tv kiitwacho ''Shiz Niz'' ambapo alishinda shindano la Mixtape 101, na kuwa mwanamke wa kwanza kushinda shindano hilo. Alipata umaarufu mnamo Septemba 2013 baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza "Like Me".<ref>{{cite web|url=[https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|title=Nadia](https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|title=Nadia) Nakai "Like Me" by Sid Records|website=SoundCloud|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190503143806/https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190503143806/https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|url-status=live}})</ref> Mwaka uliofuata alishiriki katika remix ya wimbo wa Riky Rick uitwao ''Amantombazane'' pamoja na wasanii wengine wa Afrika Kusini.<ref>{{cite web|url=[http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|title=Track](http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|title=Track) of the Day: Riky Rick – Amantombazane (Remix)|website=Platform|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Machi 2021|archive-url=[https://web.archive.org/web/20210303191041/http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20210303191041/http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|url-status=dead}})</ref> Mwezi Juni 2015, alitoa wimbo "Saka Wena" akimshirikisha rapa [[Ice Prince]], baada ya kutoa wimbo "Whatever" uliomshirikisha DotCom na Psyfo.<ref>{{cite web|url=[https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|title=Saka](https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|title=Saka) Wena (feat. Ice Prince) – Single by Nadia Nakai|website=Apple Music|access-date=3 Mei 2019|archive-date=17 Oktoba 2023|archive-url=[https://web.archive.org/web/20231017075823/https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20231017075823/https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|url-status=live}})</ref> Mnamo Agosti 2016, alitoa mapema wimbo "The Man" akimshirikisha Cassper Nyovest kutoka kwenye EP yake ''Bragga''.<ref>{{cite web|url=[http://www.sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|title=New](http://www.sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|title=New) Release: Nadia Nakai – The Man [ft Cassper Nyovest]|website=SA Hip Hop Mag|access-date=3 Oktoba 2018|archive-date=3 Oktoba 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20181003220914/https://sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20181003220914/https://sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|url-status=live}})</ref> EP hiyo ilitolewa rasmi tarehe 15 Septemba 2016. Mnamo Novemba 2017, alitoa wimbo uliosifiwa sana "Naaa Meaan" akimshirikisha Cassper Nyovest.<ref>{{cite web|url=[http://www.timeslive.co.za/tshisa-life/tshisa-life/2017-11-02/-twitter-gives-nadia-nakais-new-track-a-thumbs-up/|title=Twitter](http://www.timeslive.co.za/tshisa-life/tshisa-life/2017-11-02/-twitter-gives-nadia-nakais-new-track-a-thumbs-up/|title=Twitter) gives Nadia Nakai's new track a thumbs up|website=TimesLive}}</ref> Wimbo huo uliongoza chati katika vituo kadhaa vya redio Afrika Kusini. Pia aliendesha kipindi maalum cha zulia jekundu kwa MTV Africa katika tuzo za MTV Europe Music Awards.<ref>{{cite web|url=[https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|title=Nadia](https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|title=Nadia) Nakai served Mzansi sauce at the MTV EMAs|website=SowetanLIVE|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|url-status=live}})</ref> === 2017–2020: ''Nadia Naked'' na Def Jam Africa === Mnamo 2019, Nakai alishiriki kuendesha kipindi cha hip-hop cha MTV Base kiitwacho ''Yo! MTV Raps South Africa'' pamoja na mtangazaji Siyabonga Ngwekazi.<ref>{{cite web|url=[https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|title=Nadia](https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|title=Nadia) Nakai and Siyabonga Ngwekazi to host Yo! MTV Raps Africa|website=BONA|access-date=3 Mei 2019|archive-date=20 Aprili 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190420202012/https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190420202012/https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|url-status=dead}})</ref> Tarehe 28 Juni 2019 alitoa albamu yake ya kwanza ''Nadia Naked''.<ref>{{cite web|url=[https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|title=Nadia](https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|title=Nadia) Nakai new album: 'Nadia Naked' gets a release date|website=The South African|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|url-status=live}})</ref> Mnamo 18 Mei 2019, alitoa wimbo "Imma Boss" kama singo ya tatu ya albamu hiyo.<ref>{{cite web|url=[https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|title=Nadia](https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|title=Nadia) Nakai Drops Quotable After Another In Her New Single 'Imma Boss'|website=OkayAfrica|access-date=18 Mei 2019|archive-date=18 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190518104643/https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190518104643/https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|url-status=live}})</ref> Mnamo 15 Oktoba 2020, alitoa filamu ya kumbukumbu (documentary) kwenye Showmax kuhusu utengenezaji wa albamu hiyo.<ref name="Seemela">{{cite web |last1=Seemela |first1=Masego |title=Nadia Nakai's doccie to premiere exclusively on Showmax next week |url=[https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/](https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/) |website=TimesLIVE |access-date=26 Novemba 2020 |language=en-ZA |archive-date=17 Oktoba 2023 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20231017075852/https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/](https://web.archive.org/web/20231017075852/https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/) |url-status=live }}</ref> Mnamo Mei 2020, alisaini mkataba wa kurekodi na Def Jam Africa.<ref>{{cite web |author=Staff Reporter |title=Cassper Nyovest, Nadia Nakai and Tshego join Def Jam Africa |url=[https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145](https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145) |website=[www.iol.co.za](http://www.iol.co.za) |access-date=10 Mei 2022 |language=en |archive-date=10 Mei 2022 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20220510090020/https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145](https://web.archive.org/web/20220510090020/https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145) |url-status=live }}</ref> Katika tuzo za AFRIMA mwaka 2019, alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike.<ref>{{cite web|title=Burna Boy, Nasty C, Stonebwoy, Nadia Nakai & More Win 2019 AFRIMA Awards – OkayAfrica|url=[https://www.okayafrica.com/burna-boy-nasty-c-stonebwoy-nadia-nakai-more-win-2019-afrima-awards/113916|first=Damola|last=Durosomo|date=24](https://www.okayafrica.com/burna-boy-nasty-c-stonebwoy-nadia-nakai-more-win-2019-afrima-awards/113916|first=Damola|last=Durosomo|date=24) Novemba 2019|work=OkayAfrica|access-date=23 Septemba 2021|archive-date=23 Septemba 2021|archive-url=[https://web.archive.org/web/20210923184011/https://www.okayafrica.com/amp/full-list-of-afrima-awards-2019-winners-2641445187|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20210923184011/https://www.okayafrica.com/amp/full-list-of-afrima-awards-2019-winners-2641445187|url-status=live}})</ref> Pia alitunukiwa tuzo ya msanii mwenye mtindo bora wa uvaaji katika SA Style Awards 2020.<ref name="Mabhena">{{cite web |last1=Mabhena |first1=Naledi |title=SA Style Awards 2020: Best and Worst Dressed Plus the Winners |url=[https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/](https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/) |website=Savanna News |access-date=26 Novemba 2020 |date=23 Novemba 2020 |archive-date=23 Januari 2021 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20210123113443/https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/](https://web.archive.org/web/20210123113443/https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/) |url-status=live }}</ref> === 2021–sasa: Vipindi vya televisheni === Mnamo 2021, Nakai aliendesha msimu wa kwanza wa kipindi cha televisheni cha [[Channel O]] kiitwacho ''Gen-Z South Africa''.<ref>{{cite web|url=[https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|title=Nadia](https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|title=Nadia) Nakai Bags Second TV Show In The Same Month|first=John|last=Jabulani|work=Ubetoo|date=17 Machi 2021|access-date=10 Oktoba 2021|archive-date=10 Oktoba 2021|archive-url=[https://web.archive.org/web/20211010171030/https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20211010171030/https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|url-status=live}})</ref> Mwezi Juni 2021, aliondoka katika Family Tree Records ili kuanzisha lebo yake mwenyewe.<ref>{{cite web|title='I am working on my own record label': Nadia Nakai on parting ways with Family Tree|url=[https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|last=Seemela|first=Masego|work=SowetanLIVE|date=16](https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|last=Seemela|first=Masego|work=SowetanLIVE|date=16) Julai 2021|access-date=24 Machi 2022|archive-date=24 Machi 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220324093234/https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220324093234/https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|url-status=live}})</ref> Katika tuzo za South African Hip Hop Awards 2021, alipata uteuzi wa Msanii wa Muongo.<ref>{{cite web|title=Full list of 2021 SA Hip Hop Awards nominees|url=[https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|last=Bukola|publisher=Fakaza](https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|last=Bukola|publisher=Fakaza) News|access-date=2 Novemba 2021|archive-date=11 Aprili 2023|archive-url=[https://web.archive.org/web/20230411074742/https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20230411074742/https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|url-status=live}})</ref> Mnamo 2022, alionekana kwenye kipindi halisi cha televisheni cha [[Netflix]] kiitwacho ''Young, Famous & African'' kama sehemu ya kundi la watu mashuhuri wa vyombo vya habari barani Afrika.<ref>{{cite web|url=[https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|title='Young](https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|title='Young), Famous & African': Exclusive Q&A with Nadia Nakai|last=Naidoo|first=Alicia|work=The South African|date=17 Machi 2022|access-date=20 Machi 2022|archive-date=18 Machi 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220318121104/https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220318121104/https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|url-status=live}})</ref> == Athari (Influences) == Nakai alivutiwa na rapa mwanamke kutoka Kenya, Nazizi, ambaye alikutana naye alipokuwa akiishi Kenya. Amesema kuwa Nazizi alimhamasisha kuanza kazi ya urap.<ref>{{cite web|url=[http://www.youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|title=Interview](http://www.youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|title=Interview) With African Rap Queen Nadia Nakai|website=Youth Village Zimbabwe|access-date=3 Oktoba 2018|archive-date=3 Oktoba 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20181003221013/http://youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20181003221013/http://youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|url-status=live}})</ref> == Maisha binafsi == Alikuwa kwenye uhusiano na rapa wa Afrika Kusini marehemu AKA.<ref>{{Cite magazine |last=Maako |first=Keitumetse |title=Nadia Nakai on her relationship with AKA|url=[https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209](https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209) |access-date=2023-04-09 |magazine=Life |archive-date=9 Aprili 2023 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20230409161128/https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209](https://web.archive.org/web/20230409161128/https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209) |url-status=live }}</ref> == Tuzo na uteuzi == Orodha ya tuzo na uteuzi za Nadia Nakai == Diskografia == === Albamu za studio === * ''Nadia Naked'' (2019) === Extended Play (EP) === * ''Bragga'' (2016) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1990|}} [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] 8rlhla6k4mm9h9rrnvpe6x6lpijut8j 1507801 1507799 2026-04-20T19:22:20Z Valuegirl 87699 1507801 wikitext text/x-wiki '''Nadia Nakai Kandava''' aliyezaliwa kama '''Dlamini''';<ref name=":0">{{Cite web |title=Hip Hop Awards 2022: Who is Nadia Nakai? Meet Burgeoning South African Hip Hop Star |url=[https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai](https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai) |access-date=2023-10-18 |website=BET |language=en |archive-date=4 Oktoba 2022 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20221004224412/https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai](https://web.archive.org/web/20221004224412/https://www.bet.com/article/df59vk/hip-hop-awards-2022-five-things-to-know-about-nadia-nakai) |url-status=live }}</ref> alizaliwa 18 Mei 1990) ni rapa na mtangazaji wa televisheni kutoka [[Afrika Kusini]].<ref>{{cite web|url=[http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|title=Nakai](http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|title=Nakai): Rising rap queen|website=The Zimbabwe Independent|access-date=3 Oktoba 2018|archive-date=11 Mei 2020|archive-url=[https://web.archive.org/web/20200511072748/http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20200511072748/http://www.theindependent.co.zw/2017/06/23/nadia-rising-rap-queen/|url-status=live}})</ref> == Maisha ya awali na elimu == Nakai alizaliwa Afrika Kusini. Baba yake ni raia wa Afrika Kusini na mama yake ni raia wa Zimbabwe.<ref>{{cite web|url=[https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|title=8](https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|title=8) fun facts you may not know about Nadia Nakai|date=19 Mei 2020|access-date=20 Machi 2022|work=The Citizen|last=Sekhu|first=Michael|archive-date=17 Januari 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220117101026/https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220117101026/https://www.citizen.co.za/entertainment/celebrity-news/2287589/8-fun-facts-you-may-not-know-about-nadia-nakai/|url-status=live}})</ref> Alipokuwa na umri wa miaka 16, alibadilisha jina lake la ukoo kutoka la baba yake kwenda la mama yake.<ref name=":0" /><ref name="name">{{cite web|url=[https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|title=Nadia](https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|title=Nadia) Nakai joins Cassper's record label|work=The Chronicle|date=20 Februari 2016|access-date=20 Machi 2022|archive-date=20 Machi 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220320132001/https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220320132001/https://www.chronicle.co.zw/nadia-nakai-joins-casspers-record-label/|url-status=live}})</ref> Alisoma katika shule ya sekondari ya Fourways High School mjini [[Johannesburg]] kwa mwaka mmoja kisha akamalizia masomo yake nchini Kenya.<ref name="name" /> Baadaye alisomea shahada ya masoko, mawasiliano na masomo ya vyombo vya habari katika Chuo Kikuu cha Monash, Johannesburg. == Kazi == === 2013–2017: Mwanzo wa kazi === Nakai alionekana kwa mara ya kwanza kwenye televisheni kupitia kipindi cha hip-hop cha e.tv kiitwacho ''Shiz Niz'' ambapo alishinda shindano la Mixtape 101, na kuwa mwanamke wa kwanza kushinda shindano hilo. Alipata umaarufu mnamo Septemba 2013 baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza "Like Me".<ref>{{cite web|url=[https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|title=Nadia](https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|title=Nadia) Nakai "Like Me" by Sid Records|website=SoundCloud|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190503143806/https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190503143806/https://soundcloud.com/sid-records/nadia-nakai-like-me|url-status=live}})</ref> Mwaka uliofuata alishiriki katika remix ya wimbo wa Riky Rick uitwao ''Amantombazane'' pamoja na wasanii wengine wa Afrika Kusini.<ref>{{cite web|url=[http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|title=Track](http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|title=Track) of the Day: Riky Rick – Amantombazane (Remix)|website=Platform|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Machi 2021|archive-url=[https://web.archive.org/web/20210303191041/http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20210303191041/http://pltfrm.co.za/track-of-the-day-riky-rick-amantombazane-remix/|url-status=dead}})</ref> Mwezi Juni 2015, alitoa wimbo "Saka Wena" akimshirikisha rapa [[Ice Prince]], baada ya kutoa wimbo "Whatever" uliomshirikisha DotCom na Psyfo.<ref>{{cite web|url=[https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|title=Saka](https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|title=Saka) Wena (feat. Ice Prince) – Single by Nadia Nakai|website=Apple Music|access-date=3 Mei 2019|archive-date=17 Oktoba 2023|archive-url=[https://web.archive.org/web/20231017075823/https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20231017075823/https://music.apple.com/za/album/saka-wena-feat-ice-prince-single/971718993|url-status=live}})</ref> Mnamo Agosti 2016, alitoa mapema wimbo "The Man" akimshirikisha Cassper Nyovest kutoka kwenye EP yake ''Bragga''.<ref>{{cite web|url=[http://www.sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|title=New](http://www.sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|title=New) Release: Nadia Nakai – The Man [ft Cassper Nyovest]|website=SA Hip Hop Mag|access-date=3 Oktoba 2018|archive-date=3 Oktoba 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20181003220914/https://sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20181003220914/https://sahiphopmag.co.za/2016/08/new-release-nadia-nakai-the-man-ft-cassper-nyovest/|url-status=live}})</ref> EP hiyo ilitolewa rasmi tarehe 15 Septemba 2016. Mnamo Novemba 2017, alitoa wimbo uliosifiwa sana "Naaa Meaan" akimshirikisha Cassper Nyovest.<ref>{{cite web|url=[http://www.timeslive.co.za/tshisa-life/tshisa-life/2017-11-02/-twitter-gives-nadia-nakais-new-track-a-thumbs-up/|title=Twitter](http://www.timeslive.co.za/tshisa-life/tshisa-life/2017-11-02/-twitter-gives-nadia-nakais-new-track-a-thumbs-up/|title=Twitter) gives Nadia Nakai's new track a thumbs up|website=TimesLive}}</ref> Wimbo huo uliongoza chati katika vituo kadhaa vya redio Afrika Kusini. Pia aliendesha kipindi maalum cha zulia jekundu kwa MTV Africa katika tuzo za MTV Europe Music Awards.<ref>{{cite web|url=[https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|title=Nadia](https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|title=Nadia) Nakai served Mzansi sauce at the MTV EMAs|website=SowetanLIVE|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.sowetanlive.co.za/pic-of-the-day/2018-11-07-nadia-nakai-served-mzansi-sauce-at-the-mtv-emas/|url-status=live}})</ref> === 2017–2020: ''Nadia Naked'' na Def Jam Africa === Mnamo 2019, Nakai alishiriki kuendesha kipindi cha hip-hop cha MTV Base kiitwacho ''Yo! MTV Raps South Africa'' pamoja na mtangazaji Siyabonga Ngwekazi.<ref>{{cite web|url=[https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|title=Nadia](https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|title=Nadia) Nakai and Siyabonga Ngwekazi to host Yo! MTV Raps Africa|website=BONA|access-date=3 Mei 2019|archive-date=20 Aprili 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190420202012/https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190420202012/https://www.bona.co.za/nadia-nakai-and-siyabonga-ngwekazi-to-host-yo-mtv-raps-africa/|url-status=dead}})</ref> Tarehe 28 Juni 2019 alitoa albamu yake ya kwanza ''Nadia Naked''.<ref>{{cite web|url=[https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|title=Nadia](https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|title=Nadia) Nakai new album: 'Nadia Naked' gets a release date|website=The South African|access-date=3 Mei 2019|archive-date=3 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190503143814/https://www.thesouthafrican.com/nadia-nakai-new-album-nadia-naked-release-date/|url-status=live}})</ref> Mnamo 18 Mei 2019, alitoa wimbo "Imma Boss" kama singo ya tatu ya albamu hiyo.<ref>{{cite web|url=[https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|title=Nadia](https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|title=Nadia) Nakai Drops Quotable After Another In Her New Single 'Imma Boss'|website=OkayAfrica|access-date=18 Mei 2019|archive-date=18 Mei 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190518104643/https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20190518104643/https://www.okayafrica.com/nadia-nakai-imma-boss-single/|url-status=live}})</ref> Mnamo 15 Oktoba 2020, alitoa filamu ya kumbukumbu (documentary) kwenye Showmax kuhusu utengenezaji wa albamu hiyo.<ref name="Seemela">{{cite web |last1=Seemela |first1=Masego |title=Nadia Nakai's doccie to premiere exclusively on Showmax next week |url=[https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/](https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/) |website=TimesLIVE |access-date=26 Novemba 2020 |language=en-ZA |archive-date=17 Oktoba 2023 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20231017075852/https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/](https://web.archive.org/web/20231017075852/https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2020-10-09-nadia-nakais-doccie-to-premiere-exclusively-on-showmax-next-week/) |url-status=live }}</ref> Mnamo Mei 2020, alisaini mkataba wa kurekodi na Def Jam Africa.<ref>{{cite web |author=Staff Reporter |title=Cassper Nyovest, Nadia Nakai and Tshego join Def Jam Africa |url=[https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145](https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145) |website=[www.iol.co.za](http://www.iol.co.za) |access-date=10 Mei 2022 |language=en |archive-date=10 Mei 2022 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20220510090020/https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145](https://web.archive.org/web/20220510090020/https://www.iol.co.za/entertainment/music/local/cassper-nyovest-nadia-nakai-and-tshego-join-def-jam-africa-48531145) |url-status=live }}</ref> Katika tuzo za AFRIMA mwaka 2019, alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike.<ref>{{cite web|title=Burna Boy, Nasty C, Stonebwoy, Nadia Nakai & More Win 2019 AFRIMA Awards – OkayAfrica|url=[https://www.okayafrica.com/burna-boy-nasty-c-stonebwoy-nadia-nakai-more-win-2019-afrima-awards/113916|first=Damola|last=Durosomo|date=24](https://www.okayafrica.com/burna-boy-nasty-c-stonebwoy-nadia-nakai-more-win-2019-afrima-awards/113916|first=Damola|last=Durosomo|date=24) Novemba 2019|work=OkayAfrica|access-date=23 Septemba 2021|archive-date=23 Septemba 2021|archive-url=[https://web.archive.org/web/20210923184011/https://www.okayafrica.com/amp/full-list-of-afrima-awards-2019-winners-2641445187|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20210923184011/https://www.okayafrica.com/amp/full-list-of-afrima-awards-2019-winners-2641445187|url-status=live}})</ref> Pia alitunukiwa tuzo ya msanii mwenye mtindo bora wa uvaaji katika SA Style Awards 2020.<ref name="Mabhena">{{cite web |last1=Mabhena |first1=Naledi |title=SA Style Awards 2020: Best and Worst Dressed Plus the Winners |url=[https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/](https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/) |website=Savanna News |access-date=26 Novemba 2020 |date=23 Novemba 2020 |archive-date=23 Januari 2021 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20210123113443/https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/](https://web.archive.org/web/20210123113443/https://savannanews.com/sa-style-awards-2020-best-and-worst-dressed-plus-the-winners/) |url-status=live }}</ref> === 2021–sasa: Vipindi vya televisheni === Mnamo 2021, Nakai aliendesha msimu wa kwanza wa kipindi cha televisheni cha [[Channel O]] kiitwacho ''Gen-Z South Africa''.<ref>{{cite web|url=[https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|title=Nadia](https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|title=Nadia) Nakai Bags Second TV Show In The Same Month|first=John|last=Jabulani|work=Ubetoo|date=17 Machi 2021|access-date=10 Oktoba 2021|archive-date=10 Oktoba 2021|archive-url=[https://web.archive.org/web/20211010171030/https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20211010171030/https://www.ubetoo.com/news/nadia-nakai-bags-second-tv-show-in-the-same-month/|url-status=live}})</ref> Mwezi Juni 2021, aliondoka katika Family Tree Records ili kuanzisha lebo yake mwenyewe.<ref>{{cite web|title='I am working on my own record label': Nadia Nakai on parting ways with Family Tree|url=[https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|last=Seemela|first=Masego|work=SowetanLIVE|date=16](https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|last=Seemela|first=Masego|work=SowetanLIVE|date=16) Julai 2021|access-date=24 Machi 2022|archive-date=24 Machi 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220324093234/https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220324093234/https://www.sowetanlive.co.za/s-mag/2021-07-16-i-am-working-on-my-own-record-label-nadia-nakai-on-parting-ways-with-family-tree/|url-status=live}})</ref> Katika tuzo za South African Hip Hop Awards 2021, alipata uteuzi wa Msanii wa Muongo.<ref>{{cite web|title=Full list of 2021 SA Hip Hop Awards nominees|url=[https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|last=Bukola|publisher=Fakaza](https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|last=Bukola|publisher=Fakaza) News|access-date=2 Novemba 2021|archive-date=11 Aprili 2023|archive-url=[https://web.archive.org/web/20230411074742/https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20230411074742/https://fakazanews.com/2021/11/02/full-list-of-2021-sa-hip-hop-awards-nominees/|url-status=live}})</ref> Mnamo 2022, alionekana kwenye kipindi halisi cha televisheni cha [[Netflix]] kiitwacho ''Young, Famous & African'' kama sehemu ya kundi la watu mashuhuri wa vyombo vya habari barani Afrika.<ref>{{cite web|url=[https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|title='Young](https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|title='Young), Famous & African': Exclusive Q&A with Nadia Nakai|last=Naidoo|first=Alicia|work=The South African|date=17 Machi 2022|access-date=20 Machi 2022|archive-date=18 Machi 2022|archive-url=[https://web.archive.org/web/20220318121104/https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20220318121104/https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/young-famous-african-nadia-nakai-khanyi-mbau-netflix/|url-status=live}})</ref> == Athari (Influences) == Nakai alivutiwa na rapa mwanamke kutoka Kenya, Nazizi, ambaye alikutana naye alipokuwa akiishi Kenya. Amesema kuwa Nazizi alimhamasisha kuanza kazi ya urap.<ref>{{cite web|url=[http://www.youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|title=Interview](http://www.youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|title=Interview) With African Rap Queen Nadia Nakai|website=Youth Village Zimbabwe|access-date=3 Oktoba 2018|archive-date=3 Oktoba 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20181003221013/http://youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|url-status=live}}](https://web.archive.org/web/20181003221013/http://youthvillage.co.zw/2015/07/interview-with-african-rap-queen-nadia-nakai/|url-status=live}})</ref> == Maisha binafsi == Alikuwa kwenye uhusiano na rapa wa Afrika Kusini marehemu AKA.<ref>{{Cite magazine |last=Maako |first=Keitumetse |title=Nadia Nakai on her relationship with AKA|url=[https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209](https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209) |access-date=2023-04-09 |magazine=Life |archive-date=9 Aprili 2023 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20230409161128/https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209](https://web.archive.org/web/20230409161128/https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/celebrities/nadia-nakai-on-her-relationship-with-aka-god-placed-us-together-when-we-really-needed-each-other-20221209) |url-status=live }}</ref> == Tuzo na uteuzi == Orodha ya tuzo na uteuzi za Nadia Nakai == Diskografia == === Albamu za studio === * ''Nadia Naked'' (2019) === Extended Play (EP) === * ''Bragga'' (2016) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1990|}} [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] 82orwv2bueewox51sl46iktzub2drqp David Lichtenstein 0 229541 1507802 2026-04-20T19:22:51Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''David Lichtenstein''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea, [[mjasiriamali]], na mwekezaji wa majengo (real estate investor) nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=David Lichtenstein |url=https://www.forbes.com/profile/david-lichtenstein/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa ''The Lightstone Group'', ambayo alianza mwaka [[1988]].<ref>{{cite web |title=David Lichtenstein |url=https://www.bloomberg.c...' 1507802 wikitext text/x-wiki '''David Lichtenstein''' ni [[mfanyabiashara]] bilionea, [[mjasiriamali]], na mwekezaji wa majengo (real estate investor) nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web |title=David Lichtenstein |url=https://www.forbes.com/profile/david-lichtenstein/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa ''The Lightstone Group'', ambayo alianza mwaka [[1988]].<ref>{{cite web |title=David Lichtenstein |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-20}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Watu walio hai]] 1jqn2abqrczqvp564vps2ic49qg7ic3 Lwah Ndlunkulu 0 229542 1507804 2026-04-20T19:29:01Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lwandile Mtshali''', anayejulikana kitaaluma kama '''Lwah Ndlunkulu''' au '''Lwah The Ndlunkulu''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa na kukulia Hluhluwe, mkoa wa KwaZulu-Natal. Baada ya kusaini mkataba na lebo ya Nkabi Records, alitoa wimbo wake wa kwanza ''"Ithuba"'', ambao ulikuwa wimbo wake mkubwa wa kwanza na kuthibitishwa kuwa wa platinamu na Recording Industry of South Africa (RiSA).<ref>{{cite web |title=Lwah's...' 1507804 wikitext text/x-wiki '''Lwandile Mtshali''', anayejulikana kitaaluma kama '''Lwah Ndlunkulu''' au '''Lwah The Ndlunkulu''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa na kukulia Hluhluwe, mkoa wa KwaZulu-Natal. Baada ya kusaini mkataba na lebo ya Nkabi Records, alitoa wimbo wake wa kwanza ''"Ithuba"'', ambao ulikuwa wimbo wake mkubwa wa kwanza na kuthibitishwa kuwa wa platinamu na Recording Industry of South Africa (RiSA).<ref>{{cite web |title=Lwah's grateful for the chances she has been given! |url=[https://www.snl24.com/amp/dailysun/celebs/lwahs-grateful-for-the-chances-she-has-been-given-20220905](https://www.snl24.com/amp/dailysun/celebs/lwahs-grateful-for-the-chances-she-has-been-given-20220905) |date=5 Septemba 2022|first=Andiswa|last=Ngenyane}}</ref> == Kazi == Lwandile Mtshali alizaliwa na kukulia Hluhluwe, kisha alihamia mjini [[Johannesburg]], [[Gauteng]]<ref>{{cite web|title=Lwa Ndlunkulu: From homelessness to chart-topping success in Johannesburg |work=The South African |first=Dumani|last=Moyo|date=2024-03-08|access-date=2024-03-09|url=[https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/local-celebs/lwa-ndlunkulu-homelessness-chart-topping-success-johannesburg/}}](https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/celeb-news/local-celebs/lwa-ndlunkulu-homelessness-chart-topping-success-johannesburg/}})</ref> kwenda kuishi kwa mama yake alipokuwa akisoma kidato cha 11 mwaka 2020.<ref>{{cite web | date=4 Mei 2023 |title=LISTEN {{!}} Lwah Ndlunkulu opens up about family, risking it all for music and Inkabi Records |work=TshisaLIVE |first=Constance|last=Gaanakgomo |url=[https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2023-05-04-listen--lwah-ndlunkulu-opens-up-about-family-risking-it-all-for-music-and-inkabi-records/}}](https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2023-05-04-listen--lwah-ndlunkulu-opens-up-about-family-risking-it-all-for-music-and-inkabi-records/}})</ref> Alifanya kazi katika kituo cha redio cha Hillbrow kama mtangazaji kabla ya kufanya kazi katika klabu iliyopo Maboneng.<ref>{{cite web |date=28 Aprili 2023|title=LISTEN {{!}} Lwah Ndlunkulu chats about music & being the first lady of Inkabi Records |work=TshisaLIVE|first=Constance|last=Gaanakgomo|url=[https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2023-04-28-listen--lwah-ndlunkulu-chats-about-music--being-the-first-lady-of-inkabi-records/}}](https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2023-04-28-listen--lwah-ndlunkulu-chats-about-music--being-the-first-lady-of-inkabi-records/}})</ref> Akiwa kazini hapo, alikutana na mtayarishaji wa muziki Celza, ambaye alimwalika kutembelea Nkabi Records kabla ya kusaini mkataba wa kurekodi. Baada ya kusaini, alijitambulisha rasmi kupitia wimbo wa Big Zulu uitwao "Umuzi eSandton" uliopo katika albamu ''Ichwane Lenyoka''. Wimbo huo ulifikia nafasi ya kwanza nchini Afrika Kusini.<ref>{{cite web | url=[https://briefly.co.za/104696-halala-big-zulus-new-single-umuzi-esandton-tops-2-local-charts-one-week.html](https://briefly.co.za/104696-halala-big-zulus-new-single-umuzi-esandton-tops-2-local-charts-one-week.html) | title=Halala: Big Zulu's new single 'Umuzi eSandton' tops 2 local charts in one week | date=16 Julai 2021 }}</ref> Mwaka 2021 alitoa wimbo "Home" akimshirikisha Sjava. Mwaka 2022, Lwah alishiriki katika albamu ya pamoja ya Nkabi Records ''Inkabi Nation'' pamoja na wasanii Xowla, Siya Ntuli, Big Zulu na Mduduzi. Alipata umaarufu mkubwa kimataifa baada ya kutoa wimbo wake ''"Ithuba"'' akimshirikisha Siya Ntuli mnamo Agosti 2022, ambao ulithibitishwa kuwa wa platinamu na Recording Industry of South Africa (RiSA).<ref>[[https://slikouronlife.co.za/lwah-ndlunkulus-ithuba-and-ngiyeza-reach-platinum-status](https://slikouronlife.co.za/lwah-ndlunkulus-ithuba-and-ngiyeza-reach-platinum-status) Ithuba and Ngiyeza reach platinum status]</ref> Wimbo ''"Ngiyeza"'' ulitolewa tarehe 20 Januari 2023 na kufikia nafasi za juu kwenye chati mbalimbali kama iTunes, Shazam, Apple Music na Spotify ndani ya wiki ya kwanza. Pia ulithibitishwa kuwa wa platinamu.<ref>{{cite web | url=[https://briefly.co.za/entertainment/music/165713-lwah-ndlunkulu-nkabi-nation-celebrates-platinum/](https://briefly.co.za/entertainment/music/165713-lwah-ndlunkulu-nkabi-nation-celebrates-platinum/) | title=Nkabi Records shines as Lwah Ndlunkulu reaches platinum milestone with 2 songs | date=7 Agosti 2023 }}</ref><ref>{{cite web | url=[https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2023-08-07-i-am-living-my-dream-its-overwhelming--lwah-ndlunkulu-goes-platinum/](https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2023-08-07-i-am-living-my-dream-its-overwhelming--lwah-ndlunkulu-goes-platinum/) | title='I am living my dream it's overwhelming' — Lwah Ndlunkulu goes platinum }}</ref> Mnamo 2023, aliongoza kwa uteuzi akiwa na jumla ya uteuzi nne katika tuzo za Basadi in Music Awards, zikiwemo Wimbo Bora wa Mwaka, Msanii Bora wa Afro Pop na Msanii Bora wa Mwaka.<ref>{{cite news |publisher=News24| access-date=2023-07-20|title=Lwah Ndlunkulu leads nominees list for second Basadi in Music Awards|date=30 Juni 2023|first=Keitumetse|last=Maako|url=[https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/music/lwah-ndlunkulu-leads-nominees-list-for-second-basadi-in-music-awards-20230630}}](https://www.news24.com/life/arts-and-entertainment/music/lwah-ndlunkulu-leads-nominees-list-for-second-basadi-in-music-awards-20230630}})</ref> Alitangaza albamu yake ya kwanza ya studio ''Imizwa'' tarehe 13 Novemba 2023, na ikaachiliwa rasmi tarehe 24 Novemba. Baada ya kutolewa, albamu hiyo ilishika nafasi ya kwanza kwenye chati za Spotify na kufikisha zaidi ya mitiririko milioni mbili ndani ya siku kumi.<ref>{{cite news|title=Lwah Ndlunkulu's album achieves 2 million streams in 10 days |publisher=Network News|access-date=2024-02-07|url=[https://www.citizen.co.za/network-news/lifestyle/2023/12/07/lwah-ndlunkulus-album-achieves-2-million-streams-in-10-days/?amp=1}}](https://www.citizen.co.za/network-news/lifestyle/2023/12/07/lwah-ndlunkulus-album-achieves-2-million-streams-in-10-days/?amp=1}})</ref><ref>{{cite web|title=Lwah Ndlunkulu's album achieves 2 million streams in 10 days |work=Bona Magazine |access-date=2024-02-07|url=[https://www.bona.co.za/entertainment/lwah-ndlunkulus-album-achieves-2-million-streams-in-10-days/|first=Silindokuhle|last=Booi}}](https://www.bona.co.za/entertainment/lwah-ndlunkulus-album-achieves-2-million-streams-in-10-days/|first=Silindokuhle|last=Booi}})</ref> == Diskografia == === Albamu za studio === * ''Imizwa'' (2023) * ''Amaciko'' (2025) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD||}} [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] 01jkthpiiyh10ak1v6v9cajaf6puirl Charles Liang 0 229543 1507805 2026-04-20T19:29:03Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Charles Liang Chien-Hou''' (Alizaliwa [[1956]] au [[1957]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Taiwan]] na mhandisi wa umeme.<ref name="Bloomberg profile">{{cite web |title=Charles Liang Chairman/Pres/CEO/Co-Founder, Super Micro Computer Inc |url=https://www.bloomberg.com/profile/person/15793808 |website=Bloomberg LP |access-date=24 January 2024}}</ref> Yeye ni mwanzilishi mwenza (pamoja na mkewe [[Sara Liu]]), mwenyeki...' 1507805 wikitext text/x-wiki '''Charles Liang Chien-Hou''' (Alizaliwa [[1956]] au [[1957]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Taiwan]] na mhandisi wa umeme.<ref name="Bloomberg profile">{{cite web |title=Charles Liang Chairman/Pres/CEO/Co-Founder, Super Micro Computer Inc |url=https://www.bloomberg.com/profile/person/15793808 |website=Bloomberg LP |access-date=24 January 2024}}</ref> Yeye ni mwanzilishi mwenza (pamoja na mkewe [[Sara Liu]]), mwenyekiti, rais, na afisa mkuu mtendaji wa ''Supermicro'', kampuni ya teknolojia ya habari iliyoko [[San Jose, California]].<ref name="taiwan-panorama">{{cite web |last1=Shan Wei |first1=Lee |last2=Williams |first2=Scott |title=The Green Computing Vanguard |url=https://www.taiwan-panorama.com/en/Articles/Details?Guid=d746f266-a3e8-43ba-9255-b278b72184ca |date=November 2021}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Wahandisi wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Taiwan]] [[Jamii:Waliozaliwa 1956]] [[Jamii:Watu walio hai]] 601o28mz4ud38bx2sr4e5lkrz93u7aa Ntokozo Mbambo 0 229544 1507806 2026-04-20T19:34:45Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ntokozo Mbambo''' (amezaliwa tarehe 6 Novemba 1985) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Injili kutoka [http://Afrika%20Kusini Afrika Kusini]. Alizaliwa na kukulia Umlazi, na alianza taaluma yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 15 kama mwanachama na mwimbaji kiongozi wa kundi la Injili la Joyous Celebration. Amejitokeza pia katika televisheni kama jaji katika vipindi vya ''I Want to Sing Gospel'' (2014) na ''Idols SA'' msimu wa 17 (2021). Miongoni mwa t...' 1507806 wikitext text/x-wiki '''Ntokozo Mbambo''' (amezaliwa tarehe 6 Novemba 1985) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Injili kutoka [http://Afrika%20Kusini Afrika Kusini]. Alizaliwa na kukulia Umlazi, na alianza taaluma yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 15 kama mwanachama na mwimbaji kiongozi wa kundi la Injili la Joyous Celebration. Amejitokeza pia katika televisheni kama jaji katika vipindi vya ''I Want to Sing Gospel'' (2014) na ''Idols SA'' msimu wa 17 (2021). Miongoni mwa tuzo alizopata ni pamoja na Tuzo 5 za South African Music Awards, Tuzo 6 za African Gospel Music and Media Awards, Tuzo 2 za Crown Gospel Music Awards, Tuzo 2 za Praise Achievement Awards, Tuzo 1 ya Metro FM Music Awards, na Tuzo 1 ya Basadi in Music Awards. == Maisha na kazi == Mbambo alizaliwa tarehe 6 Novemba 1985 katika mtaa wa Umlazi ulioko Durban nchini South Africa. Alianza kupenda muziki akiwa mdogo, na mwaka 2002 alijiunga na kundi la Joyous Celebration akiwa na umri wa miaka 15, akiwa mwanachama mdogo zaidi wakati huo. Alisoma na kupata shahada ya Teknolojia ya Habari (IT) katika chuo cha Durban North Varsity College mwaka 2006. Pia alihudhuria University of Zululand ambako alipata shahada ya Elimu (BEd) katika Lugha ya Kiingereza na Sayansi za Jamii. Mbambo alitoa albamu yake ya kwanza ''Bambelela'' mwaka 2001. Albamu yake ya moja kwa moja ''Keep on Believing'' ilitolewa mwaka 2007 na kumpatia uteuzi katika Metro FM Music Awards pamoja na uteuzi tatu katika Crown Gospel Music Awards. Baada ya kuondoka Joyous Celebration mwaka 2011, alisaini mkataba na Koko Records na kuanza kazi ya albamu yake binafsi mwaka uliofuata. Albamu yake ''Filled'' ilirekodiwa katika tamasha la Lyric Theatre na kutolewa mwaka 2012, na ilithibitishwa kuwa Double Platinum nchini Afrika Kusini. Mwaka 2014 alipata nafasi yake ya kwanza katika televisheni kama jaji katika kipindi cha ''I Want to Sing Gospel'' kinachorushwa na SABC 2. Albamu yake ya nne ''Spirit and Life'' ilitolewa tarehe 10 Oktoba 2015, na ilipata uteuzi na tuzo kadhaa katika African Gospel Music and Media Awards. Mnamo Julai 2021, alionekana kama jaji mgeni katika ''Idols SA'' msimu wa 17. Albamu yake ''Moments in Time'' ilitolewa kidijitali tarehe 6 Novemba 2018. Albamu yake ya studio ''Lavish Worship'' ilitolewa tarehe 21 Machi 2023, na ilishinda tuzo tatu katika 29th South African Music Awards zikiwemo: * Msanii Bora wa Kike * Albamu Bora ya Mwaka * Albamu Bora ya Imani ya Kisasa Aidha, albamu hiyo ilishinda tuzo ya Best Gospel Album katika 18th Metro FM Music Awards. Mwezi Julai 2024, Mbambo aliimba wimbo wa taifa wa Afrika Kusini katika mechi ya Springboks iliyofanyika kwenye Kings Park Stadium, Durban. == Maisha binafsi == Mbambo aliolewa na mtayarishaji wa muziki Nqubeko Mbatha tarehe 17 Mei 2008. Mwishoni mwa Desemba 2024, alipata mtoto wa kike. == Filamu na televisheni == === Televisheni === * ''I Want to Sing Gospel'' (2014) * ''Idols SA'' (2021) – Jaji mgeni == Diskografia == === Albamu za studio === * ''Filled'' (2012) * ''Gospel Hits'' (2014) * ''Spirit and Life'' (2015) * ''The Anniversary Project'' (2018) * ''Lavish Worship'' (2023) === Albamu za moja kwa moja === * ''Keep On Believing'' (2013) * ''Moments in Time'' (2018) * ''The First Noël'' (2020) * ''Makabongwe: The Sound of Revival'' (2023) == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Waandishi]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] ikc81kee2yebwynqrwhcijubjxt7xbe Idia 0 229545 1507807 2026-04-20T19:36:54Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Idia''' alikuwa mama yake Esigie, ambaye alitawala kama Oba (mfalme) wa [[Waedo|watu wa Edo]] kuanzia 1504 hadi 1550. <ref>{{Rejea tovuti|title=Queen Idia, Role Model, Warrior, Prominent Nigerian, Nigeria Personality Profiles|url=https://www.nigeriagalleria.com/Nigeria/Personality-Profiles/Prominent-Nigerians/Queen-Idia.html|accessdate=2022-08-27|work=www.nigeriagalleria.com}}</ref> <ref name=":3">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Roy...' 1507807 wikitext text/x-wiki '''Idia''' alikuwa mama yake Esigie, ambaye alitawala kama Oba (mfalme) wa [[Waedo|watu wa Edo]] kuanzia 1504 hadi 1550. <ref>{{Rejea tovuti|title=Queen Idia, Role Model, Warrior, Prominent Nigerian, Nigeria Personality Profiles|url=https://www.nigeriagalleria.com/Nigeria/Personality-Profiles/Prominent-Nigerians/Queen-Idia.html|accessdate=2022-08-27|work=www.nigeriagalleria.com}}</ref> <ref name=":3">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Royal Court Art|last=Mbow|first=Babacar|last2=Ẹbọhọn|first2=Ọsẹmwegie|date=2005|publisher=African American Research Library and Cultural Center, Broward County Library|isbn=0-9772041-0-3|location=Ft. Lauderdale, FL.|oclc=62534476}}</ref> == Maisha == Wanahistoria hawana uhakika kuhusu kipindi chake cha maisha; wanajua kwamba Idia alikuwa hai wakati wa vita vya Idah <ref name="icogana.org">{{Rejea tovuti|title=History of Queen Idia – ICOGA North America|url=https://icogana.org/history-of-queen-idia/|accessdate=2024-06-23|work=icogana.org}}</ref> (1515 - 1516) kwa sababu alicheza jukumu lililosababisha ushindi mkubwa [[Mji wa Benin|wa Benin]] . <ref name=":32">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Royal Court Art|last=Mbow|first=Babacar|last2=Ẹbọhọn|first2=Ọsẹmwegie|date=2005|publisher=African American Research Library and Cultural Center, Broward County Library|isbn=0-9772041-0-3|location=Ft. Lauderdale, FL.|oclc=62534476}}</ref> Imesemekana kwamba Idia, kwa hivyo, alikuwa nguvu ya kweli nyuma ya kiti cha enzi cha mwanawe. <ref name=":33">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Royal Court Art|last=Mbow|first=Babacar|last2=Ẹbọhọn|first2=Ọsẹmwegie|date=2005|publisher=African American Research Library and Cultural Center, Broward County Library|isbn=0-9772041-0-3|location=Ft. Lauderdale, FL.|oclc=62534476}}</ref> Alicheza jukumu muhimu katika kuinuka na kutawala kwa mfalme, akielezewa kama shujaa mkubwa aliyepigana bila kuchoka kabla na wakati wa utawala wa mwanawe kama Oba ( [[mfalme]] ) wa [[Waedo|watu wa Edo]] . <ref>''Historical Dictionary of Nigeria'' by Toyin Falola, Ann Genova, p.160</ref> Malkia Idia alikuwa muhimu katika kupata jina la Oba kwa mwanawe Esigie kufuatia kifo cha baba yake Oba Ozolua . Kwa lengo hilo, aliunda jeshi kupigana na kaka yake Arhuaran, ambaye alitakiwa kuwa Oba kwa haki na mila lakini baadaye alishindwa vitani. Mama yake Esigie akawa Iyoba wa 1 wa Benin . <ref>Egharevba (1968), p. 26</ref> <ref>West African Journal of Archaeology, Editorial Board WAJA, p. 144</ref> Idia aliingia kwanza katika familia ya kifalme kwa sababu Ozolua, M-Oba kuanzia 1483 hadi 1514, alimwona akicheza, na baada ya ngoma walitaka kumfanya awe mke wake. <ref name=":34">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Royal Court Art|last=Mbow|first=Babacar|last2=Ẹbọhọn|first2=Ọsẹmwegie|date=2005|publisher=African American Research Library and Cultural Center, Broward County Library|isbn=0-9772041-0-3|location=Ft. Lauderdale, FL.|oclc=62534476}}</ref> Idia na M-Oba walifunga ndoa muda fulani kabla ya 1504, lakini wanahistoria hawana uhakika kuhusu tarehe halisi. <ref name=":34" /> Matokeo yake, wazazi wa Idia walimsaidia kumwandaa kwa maisha yake ya baadaye katika [[Kasri|jumba la kifalme]] kwa kumpa mimea fulani ya kimatibabu . <ref name=":34" /> Alijulikana kuwa mwerevu sana kwa sababu aliweza kutwaa [[kiti cha enzi]] kwa ajili ya mwanawe, na pia aliweza kumlinda Esigie kutoka kwa maadui zake kama vile Arhuahan ( [[Kaka|kaka wa kambo]] wa Esigie). <ref name=":34" /> Wazo lingine la kuvutia ambalo Idia alijulikana nalo lilikuwa " [https://en.wikipedia.org/wiki/Womb_of_orhue?action=edit&redlink=1 tumbo lake la orhue] " - msemo uliomaanisha kwamba tumbo lake lilipinga uwezekano. <ref name=":35">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Royal Court Art|last=Mbow|first=Babacar|last2=Ẹbọhọn|first2=Ọsẹmwegie|date=2005|publisher=African American Research Library and Cultural Center, Broward County Library|isbn=0-9772041-0-3|location=Ft. Lauderdale, FL.|oclc=62534476}}</ref> Uwezekano huu ulikuwa kwamba mwanawe, Esigie, hakuwa wa kwanza kwenye mstari wa kiti cha enzi, badala yake Esigie alikuwa wa tatu kwenye mstari wa kiti cha enzi. <ref name=":35" /> Mwishowe, na dhidi ya uwezekano huo, Esigie akawa Oba. <ref name=":35" /> [https://en.wikipedia.org/wiki/Ogidogbo?action=edit&redlink=1 Ogidogbo], wa kwanza kwenye mstari wa kiti cha enzi kama Oba, alikua mgombea haramu wa kiti cha enzi kwa sababu alikuwa mlemavu kutokana na kucheza na kaka zake, Aruahan na Esigie. <ref name=":35" /> Watu wa Benin walidhani kwamba Idia alikuwa amepanga hili kwani waliamini Idia ana nguvu za kichawi . <ref name=":35" /> Hii pia inaonyesha jinsi watu wa Benin walivyofikiri kwamba angeweza kukwepa na kusababisha uharibifu. <ref name=":35" /> Hii ilisababisha Aruahan kuwa wa pili kwenye mstari wa kiti cha enzi, lakini alimwona Esigie kama tishio. <ref name=":35" /> Kwa hivyo, Esigie alitaka kumuua kaka yake wa kambo. <ref name=":35" /> Ingawa, sababu pekee ambayo Aruanran hakumuua kaka yake ni kwa sababu aliamini kwamba mama yake Esigie, Idia, alikuwa na ujuzi wa uchawi, ilhali Aruahan hakuwa nao. <ref name=":35" /> Kumekuwa na uwakilishi mwingi wa Malkia Idia kwa sababu aliwakilisha sehemu muhimu ya utamaduni wa kifalme wa Benin. <ref name=":36">{{Rejea kitabu|title=Benin, A Kingdom in Bronze: The Royal Court Art|last=Mbow|first=Babacar|last2=Ẹbọhọn|first2=Ọsẹmwegie|date=2005|publisher=African American Research Library and Cultural Center, Broward County Library|isbn=0-9772041-0-3|location=Ft. Lauderdale, FL.|oclc=62534476}}</ref> Pia, Idia alikuwa na ushawishi mkubwa kwa sababu ya azimio lake. <ref name=":36" /> Kwa ujumla, alielezewa kama mwanamke mwenye nia thabiti, mrembo, mwerevu, na mwenye busara. <ref name=":36" /> == Marejeo == [[Jamii:Wanawake]] p96kxk00opuos6pdibt90g8mvn94xis Ge Li 0 229546 1507808 2026-04-20T19:38:11Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ge Li''' ni [[mjasiriamali]] na mfadhili nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uchina]], anayehudumu kama mwanzilishi na mwenyekiti wa ''WuXi AppTec'', shirika la kandarasi la utafiti, maendeleo, na utengenezaji wa dawa (CRDMO).<ref name=":0">{{Cite web |title=Li Ge |url=https://www.forbes.com/profile/li-ge-1/ |access-date=2022-03-24 |website=Forbes |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |last=Tremblay |first=Jean-Francois |date=April 3, 2017 |title=WuXi,...' 1507808 wikitext text/x-wiki '''Ge Li''' ni [[mjasiriamali]] na mfadhili nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Uchina]], anayehudumu kama mwanzilishi na mwenyekiti wa ''WuXi AppTec'', shirika la kandarasi la utafiti, maendeleo, na utengenezaji wa dawa (CRDMO).<ref name=":0">{{Cite web |title=Li Ge |url=https://www.forbes.com/profile/li-ge-1/ |access-date=2022-03-24 |website=Forbes |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |last=Tremblay |first=Jean-Francois |date=April 3, 2017 |title=WuXi, ShangPharma seek Chinese listings |url=https://cen.acs.org/articles/95/i14/WuXi-ShangPharma-seek-Chinese-listings.html |access-date=2022-03-24 |website=cen.acs.org}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Uchina]] [[Jamii:Waliozaliwa mwaka usiojulikana]] [[Jamii:Watu walio hai]] 5qyrb124xvbadqgusubw3xkjxiwgtow Paxton (singer) 0 229547 1507810 2026-04-20T19:44:54Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Paxton Fielies''' (amezaliwa 17 Septemba 2000), anayejulikana kitaaluma kwa jina moja '''Paxton''', ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mfadhili kutoka [[Afrika Kusini]]. Alipata umaarufu mwaka 2017 baada ya kushinda msimu wa 13 wa kipindi cha mashindano ya muziki ''Idols South Africa''. Yeye ndiye mwanamke mdogo zaidi nchini humo kushinda taji hilo. == Maisha ya awali == Paxton Fielies alizaliwa tarehe 17 Septemba 2000 katika eneo la Bishop Lavis, Cape...' 1507810 wikitext text/x-wiki '''Paxton Fielies''' (amezaliwa 17 Septemba 2000), anayejulikana kitaaluma kwa jina moja '''Paxton''', ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mfadhili kutoka [[Afrika Kusini]]. Alipata umaarufu mwaka 2017 baada ya kushinda msimu wa 13 wa kipindi cha mashindano ya muziki ''Idols South Africa''. Yeye ndiye mwanamke mdogo zaidi nchini humo kushinda taji hilo. == Maisha ya awali == Paxton Fielies alizaliwa tarehe 17 Septemba 2000 katika eneo la Bishop Lavis, [[Cape Town]]. Alianza kupenda muziki akiwa na umri wa miaka 7 alipokuwa akiimba katika kwaya ya watoto ya kanisa la New Apostolic Church. Mwaka 2013 aliacha kwaya hiyo ili kuzingatia masomo yake, huku akiendelea kushiriki video za kuimba nyimbo za wasanii maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Alipata umaarufu wa awali baada ya toleo lake la wimbo "Lay Me Down" wa mwimbaji wa Uingereza [[Sam Smith]] kusambaa kwa kasi mtandaoni. == Kazi ya muziki == === Idols South Africa (2017) === Paxton alijiunga na mashindano ya ''Idols South Africa'' mwaka 2017 na kuwa mshindi wa msimu wa 13. Alikuwa mshiriki wa kwanza kupata “Golden Ticket” katika majaribio ya Cape Town alipofanya wimbo "Confetti" wa Tori Kelly. Baadhi ya maonyesho yake yaliyotambulika sana katika shindano hilo ni pamoja na: * "American Boy" ya Estelle * "Over the Rainbow" ya [[Judy Garland]] * "Careless Whisper" ya George Michael * "Side to Side" ya [[Ariana Grande]] * "Listen" ya [[Beyoncé]] Wakati wa fainali, alitambulisha wimbo wake wa kwanza "Demonstrate". === Baada ya Idols === Baada ya kushinda, Paxton alianza kufanya maonyesho mbalimbali na kushirikiana na wasanii wengine. Mwaka 2018 alitoa albamu yake ya kwanza ''This Is Me'', iliyopokelewa vyema na wakosoaji. Nyimbo zake muhimu ni pamoja na: * "Demonstrate" (2017) * "Smother" (akiwa na Craig Lucas) (2018) * "Angifuni" (2018) * "Where Are You Now?" (2018) * "Kiss The Haze" (akiwa na Tresor) (2019) * "No Distractions" (akiwa na Dr Moruti) (2019) Mwaka 2023 alitoa albamu yake ya pili ''23:23''. == Uhisani == Paxton anajihusisha sana na shughuli za kijamii. Mwaka 2018 alihudhuria hafla ya World Children's Prize nchini [[Uswidi]] na kuwa balozi wa kampeni ya “You, Me: Equal Rights” inayotetea haki za watoto. Pia alishiriki katika kampeni ya kupinga unyanyasaji mitandaoni iitwayo “Raise Your Voice, Not Your Phone”, pamoja na kushirikiana na mashirika mbalimbali kusaidia watoto wenye uhitaji. == Maisha binafsi == Paxton aliwahi kusitisha masomo yake ya shule ya sekondari ili kuzingatia kazi yake ya muziki. Pia amewahi kuzungumzia wazi changamoto za unyanyasaji wa mtandaoni alizokutana nazo akiwa kijana. == Diskografia == === Albamu za studio === * ''This Is Me'' (2018) * ''23:23'' (2023) == Tuzo na uteuzi == Mwaka 2019, Paxton alipokea uteuzi katika South African Music Awards katika vipengele vifuatavyo: * Best Pop Album (''This Is Me'') * Newcomer of the Year == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] 34idu4m403suhy3haag323pz9qscx2m Hajiya Nàja'atu Mohammed 0 229548 1507811 2026-04-20T19:48:00Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hajiya Nàja'atu Mohammed''', pia anajulikana kama '''Naja'atu Bala Muhammad''' (alizaliwa 1956), ni mwanasiasa na mwanaharakati wa Nigeria . Baba yake alikuwa mshirika wa Aminu Kano . <ref>{{Rejea tovuti|date=2023-01-26|title=Naja'atu Bala Muhammad|url=https://newswirengr.com/2023/01/26/najaatu-bala-muhammad-biography-education-career-marriage-net-worth-achievements-and-controversy/|accessdate=2023-02-17|work=NewsWireNGR|language=en-US}}</ref> Alikuwa...' 1507811 wikitext text/x-wiki '''Hajiya Nàja'atu Mohammed''', pia anajulikana kama '''Naja'atu Bala Muhammad''' (alizaliwa 1956), ni mwanasiasa na mwanaharakati wa Nigeria . Baba yake alikuwa mshirika wa Aminu Kano . <ref>{{Rejea tovuti|date=2023-01-26|title=Naja'atu Bala Muhammad|url=https://newswirengr.com/2023/01/26/najaatu-bala-muhammad-biography-education-career-marriage-net-worth-achievements-and-controversy/|accessdate=2023-02-17|work=NewsWireNGR|language=en-US}}</ref> Alikuwa Mteule wa Bunge la Kitendo la Nigeria (ACN) kwa Seneta wa [[Kano (jimbo)|Wilaya ya Kati ya Kano]] katika Uchaguzi Mkuu wa Nigeria wa 2007. Pia ni mmoja wa wanawake wa kwanza kuhudumu kama rais wa Umoja wa Kitaifa wa Wanafunzi [[Nigeria]] katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, [[Zaria]] (ABU) na pia Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke wa Chama cha Kitaifa cha Wanafunzi wa Nigeria ( NANS ). <ref>{{Rejea tovuti|date=2021-04-22|title=Naja'atu Bala Mohammed: First Elected Female SUG President In ABU Zaria {{!}} The Abusites|url=https://www.theabusites.com/hajia-najaatu-bala-mohammed/|accessdate=2021-05-17|language=en-US}}</ref> Alidai kumleta [[Rais wa Nigeria]], [[Muhammadu Buhari]], katika [[siasa]] . <ref>"Insecurity: I introduced Buhari to politics ― Hajiya Nàja'atu Mohammed"''. Vanguard. Lagos, Nigeria. 21 June 2020. Retrieved 21 June 2020.''</ref> == Maisha ya awali na elimu == Hajiya Nàja'atu ni [[mjane]] wa Bala Muhammed (au Mohammed), anayejulikana pia kama [[Bala Mohammed]] [[Jimbo la Bauchi|Bauchi]], mshauri wa kisiasa wa Gavana wa Jamhuri ya Pili Abubakar Rimi . [[Jimbo la Bauchi|Bauchi]] aliuawa mnamo tarehe 10 Julai 1981 wakati wa utawala wa Rimi. Rimi alikuwa na mzozo na emir mwenye nguvu wa Kano, Alhaji Ado Bayero, na, mnamo tarehe 1 Aprili 1981, aliunda emir wanne wapya ambao walitangazwa kuwa sawa na emir wa [[Kano (jimbo)|Kano]] - wale wa Auyo, Dutse, Gaya na Rano . Rimi alitaka kumzuia emir wa ushawishi mkubwa wa Kano. Bauchi aliripotiwa kuandika karatasi Nyeupe ambayo ingetekeleza maagizo haya wakati wa mauaji yake. <ref>[https://blueprint.ng/the-politics-of-splitting-kano-emirate/ The politics of splitting the Kano emirate], blueprint.ng. Accessed 1 March 2024.</ref> Hajiya Nàja'atu alisema, ''"Mume wangu, [marehemu] Bala Muhammad alikatwa vipande vipande na kuchomwa moto akiwa hai kwa sababu ya upinzani wake na kile alichokuwa akisema."'' <ref>{{Rejea tovuti|author=Thandiubani|date=27 January 2023|title=My Husband Was Chopped Into Pieces And Burnt Alive - Naja'atu Muhammad|url=https://www.tori.ng/news/225658/my-husband-was-chopped-into-pieces-and-burnt-alive.html|accessdate=17 February 2023|work=Tori.ng|language=English}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Ali|first=Richard|title=Denudation: Remembering Dr Bala Mohammed Bauchi|url=https://www.pambazuka.org/governance/denudation-remembering-dr-bala-mohammed-bauchi|work=Pambazuka News|date=4 March 2016|accessdate=23 January 2019}}</ref> == Mafanikio == Hajiya Nàja'atu aliipa siasa za wanawake nchini Nigeria mwelekeo mpya kama [[Harakati|mwanaharakati wa kisiasa]] . Akiwa mteule na mjumbe wa kamati inayohusika na kukuza maridhiano kati ya Dhehebu la [[Boko Haram]] na [[Siasa ya Nigeria|Serikali ya Nigeria]] . Aliona kama dirisha la ujenzi wa taifa na uboreshaji wa amani katika taifa. Alipoulizwa kama angejiondoa kutoka kwa kamati hiyo, alisema ''"Niliapa kutojiondoa kutoka kwa kamati hiyo, na kama Mwislamu na kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, nitajitahidi kadiri niwezavyo kutekeleza majukumu yangu."'' <ref name=":0">{{Rejea tovuti|author=Kabiru Mohammed|first=Aisha|date=18 June 2022|title=Naja'atu Bala Muhammad|url=https://documentwomen.com/naja-atu-bala-muhammad|work=DW}}</ref> Alishikilia wadhifa wa mkurugenzi wa Uhusiano wa Asasi za Kiraia katika Baraza la Kampeni ya Rais la APC la All Progressives Congress, na pia alipewa wadhifa wa Kamishna katika Tume ya Huduma za Polisi PSC mnamo 2018. <ref name=":0" /> == Kazi ya siasa == Hajiya Nàja'atu, Mkurugenzi wa Uhusiano wa Asasi za Kiraia katika APC, PCC alijiuzulu kutoka ofisini kwake. Katika barua yake, aliandika kwamba "changamoto ambazo Nigeria inakabiliwa nazo leo zinanihitaji kuendelea kutetea mapambano ya nchi bora kwa dhamiri safi kwani ninabaki mwaminifu kabisa kwa Nigeria". <ref name=":1">''Ajayi, Omeiza (21 January 2023).'' "Member APC Presidential Campaign, Hajia Naja'atu resigns"''. Vanguard. Lagos, Nigeria.''</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1956]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Wanasiasa wa Nigeria]] 3q2x51tr7r63tftemjwt5c03y1tajl3 Simmy 0 229549 1507812 2026-04-20T19:52:53Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Simphiwe Majobe Nhlangulela''', anayejulikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''Simmy''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alipata umaarufu mwaka 2018 baada ya kusaini mkataba wa kurekodi na EL World Music na kuachia albamu yake ya kwanza, ''Tugela Fairy'' (2018), iliyotoa nyimbo maarufu kama "Ngiyesaba", "Ubala", na "Umahlalela". Albamu hiyo ilipata hadhi ya platinum kutoka Recording Industry of South Africa (RiSA). Baadaye al...' 1507812 wikitext text/x-wiki '''Simphiwe Majobe Nhlangulela''', anayejulikana zaidi kwa jina lake la kisanii '''Simmy''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alipata umaarufu mwaka 2018 baada ya kusaini mkataba wa kurekodi na EL World Music na kuachia albamu yake ya kwanza, ''Tugela Fairy'' (2018), iliyotoa nyimbo maarufu kama "Ngiyesaba", "Ubala", na "Umahlalela". Albamu hiyo ilipata hadhi ya platinum kutoka Recording Industry of South Africa (RiSA). Baadaye aliachia albamu yake ya pili, ''Tugela Fairy (Made of Stars)'' mwaka 2020. == Maisha na kazi == === Maisha ya awali na elimu === Simphiwe Majobe Nhlangulela alizaliwa nchini [[South Africa]] akiwa mtoto wa mwisho kati ya watoto wanne. Alilelewa katika familia yenye misingi imara ya malezi. Alisoma katika University of KwaZulu-Natal, ambako alichukua masomo ya Sayansi ya Jamii. Akiwa chuoni mwaka 2013, alikutana na Sandile Sithole aliyemtambulisha kwa mtayarishaji na msanii Sun-El Musician. Baada ya kumaliza masomo yake, alihamia [[Johannesburg]] mwaka 2015 kufuatilia ndoto yake ya muziki. === Kazi ya muziki === Simmy alianza kwa kushiriki majaribio ya vipaji kama ''Idols South Africa'' na ''SA's Got Talent'', lakini hakufanikiwa. Hata hivyo, aliendelea kujijenga hadi mwaka 2017 aliposaini na EL World Music na kuanza rasmi kazi yake ya muziki. Albamu yake ya kwanza ''Tugela Fairy'' ilipokelewa vizuri na mashabiki na kuingizwa kwenye orodha ya wasanii wanaochipukia ya Apple Music. Wimbo wake "Ubala" (akishirikiana na Sun-El Musician) ulipata mafanikio makubwa, huku "Umahlalela" ukifikia hadhi ya platinum. Katika South African Music Awards ya 25, albamu hiyo iliteuliwa katika kipengele cha Best Afro Pop Album. Pia alishinda tuzo ya Best Female Vocalist kwenye tuzo za muziki wa dansi nchini Afrika Kusini mwaka 2019. === 2020–sasa === Mwaka 2020 aliachia albamu yake ya pili, ''Tugela Fairy (Made of Stars)'', iliyoshika nafasi ya tatu kwenye chati za Apple Music. Albamu hiyo iliwashirikisha wasanii kama [[Ami Faku]] na wengine wengi, na iliteuliwa katika tuzo za 27 za South African Music Awards. Simmy ameendelea kutoa muziki mpya na kushiriki matamasha mbalimbali, huku pia akitangaza kuwa anafanyia kazi albamu yake ya tatu. == Mtindo wa muziki == Simmy hukua akisikia aina mbalimbali za muziki kama Mbaqanga, country na Maskandi. Muziki wake una mchanganyiko wa Afro-house na neo-soul, huku pia ukichanganya R&B na mitindo ya asili ya Afrika Kusini. Miongoni mwa wasanii waliomvutia ni [[Dolly Parton]], [[Brenda Fassie]] na Letta Mbuli. == Maisha binafsi == Simmy anajulikana kwa kulinda sana maisha yake binafsi na kutoyafichua kwa umma. == Diskografia == === Albamu za studio === * ''Tugela Fairy'' (2018) * ''Tugela Fairy (Made of Stars)'' (2020) === EP === * ''Ithuba'' (2024) === Nyimbo teule === * "Umahlalela" * "Ubala" (feat. Sun-El Musician) * "Ngiyesaba" * "Ngihamba Nawe" (feat. Sino Msolo) == Tuzo na uteuzi == Simmy ameteuliwa na kushinda tuzo mbalimbali, ikiwemo kushinda Best Female Vocalist katika tuzo za muziki wa dansi Afrika Kusini mwaka 2019, pamoja na uteuzi kadhaa katika South African Music Awards. nr1t75r1npbvmgx7farfe7kvh04zv6j Hafsat Ganduje 0 229550 1507814 2026-04-20T20:00:41Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hafsat Abdullahi Ganduje''' (maarufu kama '''Gwaggo''' ; alizaliwa 28 Desemba 1960) ni msomi, mwanasiasa wa Nigeria, na mwanachama wa All Progressives Congress (APC) . <ref>{{Rejea tovuti|date=14 February 2021|title=APC membership registration/revalidation: Ganduje's wife mobilises women in Kano|url=https://theeagleonline.com.ng/apc-membership-registration-revalidation-gandujes-wife-mobilises-women-in-kano/|accessdate=3 March 2021|work=The Eagle Online|...' 1507814 wikitext text/x-wiki '''Hafsat Abdullahi Ganduje''' (maarufu kama '''Gwaggo''' ; alizaliwa 28 Desemba 1960) ni msomi, mwanasiasa wa Nigeria, na mwanachama wa All Progressives Congress (APC) . <ref>{{Rejea tovuti|date=14 February 2021|title=APC membership registration/revalidation: Ganduje's wife mobilises women in Kano|url=https://theeagleonline.com.ng/apc-membership-registration-revalidation-gandujes-wife-mobilises-women-in-kano/|accessdate=3 March 2021|work=The Eagle Online|language=en-US}}</ref> <ref>''Mukhtar Kumbotso, Hussain (22 April 2022).'' "Prof. Hafsat Ganduje: Mother and helper"''. The Triumph.''</ref> Hafsat Ganduje alizaliwa katika [[Kano (jimbo)|Jimbo la Kano]] . Alihudhuria Shule ya Msingi ya Malam Madori, Shule ya Msingi ya Bweni ya Shekara, na Chuo cha Walimu Wanawake. Alikamilisha [[Shahada ya Awali|Shahada ya Sayansi katika Elimu]] katika [[Chuo Kikuu cha Bayero Kano|Chuo Kikuu cha Bayero]] mnamo 1981, na akaendelea kupata Shahada ya Uzamili katika Elimu ya [[Elimunafsia|Saikolojia]] mnamo 1992 na Shahada ya Uzamili katika Utawala wa Biashara mnamo 2004, na [[Uzamivu|Daktari wa Falsafa]] katika Utawala na Mipango mnamo 2015. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://edu.buk.edu.ng/sites/default/files/cv/CNTQH.pdf|title=Curriculum vitae|accessdate=5 March 2021|archivedate=22 February 2022|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220222123946/https://edu.buk.edu.ng/sites/default/files/cv/CNTQH.pdf}}</ref> == kazi == Ganduje alianza kazi yake kama mwalimu, baadaye akawa mkuu wa shule. Alifundisha katika Kitivo cha Elimu cha [[Chuo Kikuu cha Bayero Kano|Chuo Kikuu cha Bayero]] . Alipandishwa cheo na kuwa Profesa Mshirika mwaka wa 2019 na Chuo Kikuu cha Marekani cha Maryam Abacha cha Niger. <ref>"Varsity names Ganduje's wife as Associate Professor"''. The Punch. Retrieved 3 March 2021.''</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Awala|first=Verity|date=18 September 2019|title=Gov Ganduje's Wife Becomes Associate Professor In Maryam Abacha American University|url=https://www.informationng.com/2019/09/gov-gandujes-wife-becomes-associate-professor-in-maryam-abacha-american-university.html|accessdate=3 March 2021|work=Information Nigeria|language=en-US}}</ref> <ref>"Varsity elevates Gov. Ganduje's wife to Associate Professor"''. Pulse Nigeria. 17 September 2019. Retrieved 3 March 2021.''</ref> Yeye ni mshiriki wa Taasisi ya Usimamizi ya Nigeria . <ref>{{Rejea tovuti|date=15 October 2020|title=Ganduje's wife becomes Fellow Nigerian Institute of Management – Dateline Nigeria|url=https://www.dateline.ng/gandujes-wife-becomes-fellow-nigerian-institute-of-management/|accessdate=3 March 2021|language=en-US}}</ref> Mnamo 2019 alipewa Tuzo Kuu ya Matron na Chama cha Utawala na Mipango cha Nigeria. <ref>{{Rejea tovuti|date=4 September 2019|title=Dr Hafsat Ganduje Bags Grand Matron Award From NAEAP|url=https://www.kanostate.gov.ng/?q=content/blog/dr-hafsat-ganduje-bags-grand-matron-award-naeap-0|accessdate=3 March 2021|work=Kano}}</ref> Ganduje aliolewa na [[Gavana|Gavana wa Jimbo la]] Kano Abdullahi Umar Ganduje . <ref>{{Rejea tovuti|author=Agencies|date=2 April 2020|title=Kano governor, wife test negative for coronavirus|url=https://www.today.ng/news/nigeria/kano-governor-wife-test-negative-coronavirus-289696|accessdate=3 March 2021|work=TODAY|language=en-US}}</ref> <ref name=":0">"Powerful women around governors"''. Daily Trust. Retrieved 3 March 2021.''</ref> anafanya kampeni kwa niaba yake na kuunda kampeni za [[Uwezeshaji wa Wanawake|uwezeshaji wanawake]] zinazojumuisha usambazaji wa vifaa vya elimu, mashine za kushona, na ruzuku za biashara ndogo ndogo. Gazeti la ''Daily Trust'' liliripoti kwamba Ganduje aliripotiwa kumshawishi gavana kuhusu uteuzi wa kisiasa, tuzo za mikataba, na mambo mengine ya serikali. Pia inasemekana kuwa ndiye aliyehusika katika uteuzi mwingi na mabadiliko ya baraza la mawaziri tangu 2015. <ref name=":02">"Powerful women around governors"''. Daily Trust. Retrieved 3 March 2021.''</ref> Katika ripoti iliyochapishwa na ''Legit.ng'', Gavana Ganduje alipuuza madai kwamba mkewe anahusishwa na shughuli zake za serikali. Kama mumewe, Ganduje amekumbwa na madai ya ufisadi, hasa ripoti inayodaiwa kuwa ya EFCC na mwanawe mwenyewe, Abdulazeez Ganduje, kuhusu kuhusika kwa Hafsat katika rushwa na ulaghai wa ardhi. Kulingana na ripoti ya Premium Times, Abdulazeez alikuwa amepata rushwa kutoka kwa msanidi programu wa mali isiyohamishika kwa ajili ya ruzuku ya ardhi; Abdulazeez alidai kwamba alimpa mama yake rushwa hiyo lakini ardhi hiyo baadaye iliuzwa kwa watengenezaji tofauti. Baada ya msanidi programu wa awali kuomba pesa hizo zirudishwe, Abdulazeez alikwenda kwa Tume ya Uhalifu wa Kiuchumi na Kifedha kuripoti kesi hiyo kabla ya kudaiwa kukimbilia ng'ambo huku EFCC ikimwalika Hafsat kwa mahojiano baadaye mnamo Septemba 2021. Hafsat hakuheshimu mwaliko huo, EFCC ilimkamata mapema Oktoba 2021, huko [[Abuja]] na kupelekwa Makao Makuu ya EFCC. <ref>''Isamotu, Idowu.'' "EFCC Arrests Ganduje's Wife"''. Daily Trust. Retrieved 5 October 2021.''</ref> <ref>''Giginyu, Ibrahim Musa.'' "Ganduje's Wife Returns To Kano After EFCC Interrogation"''. Daily Trust. Retrieved 5 October 2021.''</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Wanasiasa wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika]] 5mzil2jqrp5s4xse3oakfbeey8ia619 Christa Steyn 0 229551 1507815 2026-04-20T20:02:31Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Christa Steyn''' (alizaliwa kama Christina Maria Schutte; 15 Juni 1958, Krugersdorp – 11 Juni 2012, [[Pretoria]]) alikuwa mtunzi wa muziki, mpiga piano na mwimbaji wa Kiafrikaans kutoka [[Afrika Kusini]]. Alijulikana sana kwa kazi yake pamoja na Jannie du Toit (ikiwemo katika uzalishaji wa *Jannie en die Tannie*). Utunzi na upangaji wake wa muziki uliwasaidia kukuza wasanii kadhaa, wakiwemo Anneli van Rooyen, Karin Hougaard na Jan de Wet. == Wasifu =...' 1507815 wikitext text/x-wiki '''Christa Steyn''' (alizaliwa kama Christina Maria Schutte; 15 Juni 1958, Krugersdorp – 11 Juni 2012, [[Pretoria]]) alikuwa mtunzi wa muziki, mpiga piano na mwimbaji wa Kiafrikaans kutoka [[Afrika Kusini]]. Alijulikana sana kwa kazi yake pamoja na Jannie du Toit (ikiwemo katika uzalishaji wa *Jannie en die Tannie*). Utunzi na upangaji wake wa muziki uliwasaidia kukuza wasanii kadhaa, wakiwemo Anneli van Rooyen, Karin Hougaard na Jan de Wet. == Wasifu == Christa Steyn alianza kujifunza kupiga piano kutoka kwa mama yake, Myra Schutte. Baba yake alikuwa mchungaji wa Kanisa la NG, Dk. Ben Schutte, aliyewahi kuhudumu katika makanisa mbalimbali huko [[Potchefstroom]]. Akiwa na umri wa miaka minne tu, tayari alikuwa anaambatana na kwaya ya shule ya awali akipiga piano. Alisomea muziki katika chuo cha PU for CHO (sasa sehemu ya North-West University) ambapo alifundishwa piano na Profesa Pieter de Villiers. Ingawa mwanzoni alipata changamoto katika nadharia ya muziki, alifaulu mtihani wake wa nadharia mwaka 1972 kwa alama za juu. Mwaka 1973 alishinda mashindano ya *Collegium Musicum* kwa miaka mitatu mfululizo. Mwaka 1981 alirekodi nyimbo zake za kwanza kama mwimbaji binafsi, zikiwemo *Eerste Liefde* na *Bly By My*. Alishinda kitengo cha utunzi katika mashindano ya Crescendo mwaka 1982 na 1984, na mwaka 1986 alitoa albamu yake ya kwanza *Aan die Einde van die Reënboog*. Mwaka 1988 aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa muziki wa Crescendo hadi 1993. Pia alikuwa kiongozi wa kozi ya Warsha ya Wimbo wa Mwanga ya ATKV kuanzia 1991 hadi 2000. Mwaka 2004, alitambuliwa na ATKV kama Mtunzi Bora wa Nyimbo za Kiafrikaans wa mwaka. Kuanzia 1986, alifanya kazi kwa zaidi ya miaka 25 kama mpiga piano na mshirika wa kisanii wa Jannie du Toit, wakitumbuiza katika nchi 25 na kufanya maonyesho katika 21 kati ya hizo. Miongoni mwa maonyesho yao maarufu ni *Blik en Snaar* (1986), *Shadows on the Wall* (1992), *De Kleine Man* (1994), na *Jannie en die Tannie* (2006). Pia alifanya kazi na wasanii kama Laurika Rauch na mwigizaji [[Sandra Prinsloo]]. Christa Steyn alifariki tarehe 11 Juni 2012 baada ya kuugua saratani kwa takribani mwaka mmoja. == Diskografia (teule) == * *Aan die Einde van die Reënboog* (1986) * *Spirit of Ecstasy* (1989) * *Burlesque* (1994) * *Christa plays the Masters* (1996) * *Baroque for Babies* (1997/1999) * *Rondo* (1999) * *My Hits* (2004) == Tazama pia == * Orodha ya wanamuziki wa [[South Africa]] out8kbgvf9pkpy3gdqpj0wg1dnrkfva Bles Bridges 0 229552 1507816 2026-04-20T20:05:26Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bles Bridges''' (alizaliwa Lawrence John Gabriel Bridges; [[22 Julai]] [[1946]] – [[24 Machi]] [[2000]]) alikuwa mwimbaji kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alizaliwa Viljoensdrif katika Orange Free State, na alifariki karibu na Bloemhof. Alipata jina la utani “Bles” kutoka kwa babu yake Muirish, likimaanisha “kipara” kwa Kiafrikana (Afrikaans), kutokana na kuwa na nywele chache tangu utotoni.<ref>{{cite web|url=http://m24arg02.naspers....' 1507816 wikitext text/x-wiki '''Bles Bridges''' (alizaliwa Lawrence John Gabriel Bridges; [[22 Julai]] [[1946]] – [[24 Machi]] [[2000]]) alikuwa mwimbaji kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alizaliwa Viljoensdrif katika Orange Free State, na alifariki karibu na Bloemhof. Alipata jina la utani “Bles” kutoka kwa babu yake Muirish, likimaanisha “kipara” kwa Kiafrikana (Afrikaans), kutokana na kuwa na nywele chache tangu utotoni.<ref>{{cite web|url=http://m24arg02.naspers.com/argief/berigte/citypress/2000/03/26/3/1.html|title=Bles Bridges (53) dies in road accident|accessdate=22 December 2014|url-status=dead|archiveurl=https://web.archive.org/web/20141222163059/http://m24arg02.naspers.com/argief/berigte/citypress/2000/03/26/3/1.html|archivedate=22 December 2014}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}} [[Jamii:Waliozaliwa 1946]] [[Jamii:Waliofariki 2000]] [[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]] p5k0irfwu2f6zykxkv0xhwa21m72n4x Thabsie 0 229553 1507817 2026-04-20T20:08:42Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bathabise Biyela''' (amezaliwa 5 Novemba 1991), anayejulikana kitaaluma kama '''Thabsie''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[South Africa]]. Alipata umaarufu mkubwa baada ya kushiriki katika wimbo maarufu ''Ngiyaz'fela Ngawe'', ambao ulipata mafanikio makubwa sana na kuthibitishwa mara nyingi kwa hadhi ya platinum nchini Afrika Kusini. Wimbo huo ulimshirikisha rapa Kwesta na kumuweka Thabsie kwenye ramani ya muziki wa kisasa barani Afrika. Mwa...' 1507817 wikitext text/x-wiki '''Bathabise Biyela''' (amezaliwa 5 Novemba 1991), anayejulikana kitaaluma kama '''Thabsie''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[South Africa]]. Alipata umaarufu mkubwa baada ya kushiriki katika wimbo maarufu ''Ngiyaz'fela Ngawe'', ambao ulipata mafanikio makubwa sana na kuthibitishwa mara nyingi kwa hadhi ya platinum nchini Afrika Kusini. Wimbo huo ulimshirikisha rapa Kwesta na kumuweka Thabsie kwenye ramani ya muziki wa kisasa barani Afrika. Mwaka 2017, Thabsie aliachia nyimbo mbili kuu, "African Queen" akimshirikisha [[JR]] na "Ubuyanini", kutoka kwenye albamu yake ya kwanza ya studio ''Songs About You'' (2017). Nyimbo hizi zilipata mafanikio, zikithibitishwa kuwa Platinum na Gold mtawalia na Recording Industry of South Africa (RiSA). Baada ya mapumziko ya takribani miaka minne, Thabsie alirejea mwaka 2024 na wimbo "Same Place", uliounganisha mitindo ya Afro na R&B. Mwaka 2025 aliachia wimbo "Again", uliogusia mada za ustahimilivu na kujitambua. Pia alishirikiana na DJ maarufu DJ Zinhle katika wimbo "Kusazokhanya". Katika tuzo za TikTok Sub-Saharan Africa Awards za mwaka 2025, alitumbuiza medley ya nyimbo zake maarufu. == Tuzo na uteuzi == * Mwaka 2017, alishinda tuzo ya Song of the Year kwenye South African Hip Hop Awards kwa wimbo "Ngiyaz'fela Ngawe". * Katika South African Music Awards za mwaka 2018, albamu yake ''Songs About You'' iliteuliwa katika vipengele vya Newcomer of the Year na Best R&B/Soul/Reggae Album. * Mwaka 2019, aliteuliwa katika kipengele cha Record of the Year kwa wimbo "Macala". == Muhtasari == Thabsie ni miongoni mwa wasanii wa kizazi kipya nchini Afrika Kusini walioweza kuchanganya mitindo ya R&B, pop na Afro-soul kwa mafanikio, na ameendelea kubaki na ushawishi mkubwa katika muziki wa kisasa wa Afrika. 8u1py5ps2cpvljstmzqyf6zcgasr7yt 1507818 1507817 2026-04-20T20:09:23Z Valuegirl 87699 1507818 wikitext text/x-wiki '''Bathabise Biyela''' (amezaliwa 5 Novemba 1991), anayejulikana kitaaluma kama '''Thabsie''', ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alipata umaarufu mkubwa baada ya kushiriki katika wimbo maarufu ''Ngiyaz'fela Ngawe'', ambao ulipata mafanikio makubwa sana na kuthibitishwa mara nyingi kwa hadhi ya platinum nchini Afrika Kusini. Wimbo huo ulimshirikisha rapa Kwesta na kumuweka Thabsie kwenye ramani ya muziki wa kisasa barani Afrika. Mwaka 2017, Thabsie aliachia nyimbo mbili kuu, "African Queen" akimshirikisha [[JR]] na "Ubuyanini", kutoka kwenye albamu yake ya kwanza ya studio ''Songs About You'' (2017). Nyimbo hizi zilipata mafanikio, zikithibitishwa kuwa Platinum na Gold mtawalia na Recording Industry of South Africa (RiSA). Baada ya mapumziko ya takribani miaka minne, Thabsie alirejea mwaka 2024 na wimbo "Same Place", uliounganisha mitindo ya Afro na R&B. Mwaka 2025 aliachia wimbo "Again", uliogusia mada za ustahimilivu na kujitambua. Pia alishirikiana na DJ maarufu DJ Zinhle katika wimbo "Kusazokhanya". Katika tuzo za TikTok Sub-Saharan Africa Awards za mwaka 2025, alitumbuiza medley ya nyimbo zake maarufu. == Tuzo na uteuzi == * Mwaka 2017, alishinda tuzo ya Song of the Year kwenye South African Hip Hop Awards kwa wimbo "Ngiyaz'fela Ngawe". * Katika South African Music Awards za mwaka 2018, albamu yake ''Songs About You'' iliteuliwa katika vipengele vya Newcomer of the Year na Best R&B/Soul/Reggae Album. * Mwaka 2019, aliteuliwa katika kipengele cha Record of the Year kwa wimbo "Macala". == Muhtasari == Thabsie ni miongoni mwa wasanii wa kizazi kipya nchini Afrika Kusini walioweza kuchanganya mitindo ya R&B, pop na Afro-soul kwa mafanikio, na ameendelea kubaki na ushawishi mkubwa katika muziki wa kisasa wa Afrika. 5zsr0bfb89kcciwlrm212h19qjus2p3 Thandi Brewer 0 229554 1507819 2026-04-20T20:10:21Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Thandi Brewer''' (alifariki [[12 Juni]] [[2019]]) alikuwa mtayarishaji mkuu wa vipindi (showrunner), [[mwandishi]] wa skrini, mtayarishaji wa filamu, mkurugenzi na mhariri wa maandishi kutoka Afrika Kusini.<ref>{{cite web|last=Ismail|first=Sumayya|date=22 December 2006|title=Theatre personality Fiona Fraser-Brewer dies at 77|url=http://mg.co.za/article/2006-12-22-theatre-personality-fiona-fraserbrewer-dies-at-77|website=mg.co.za}}</ref><ref>{{cite web|t...' 1507819 wikitext text/x-wiki '''Thandi Brewer''' (alifariki [[12 Juni]] [[2019]]) alikuwa mtayarishaji mkuu wa vipindi (showrunner), [[mwandishi]] wa skrini, mtayarishaji wa filamu, mkurugenzi na mhariri wa maandishi kutoka Afrika Kusini.<ref>{{cite web|last=Ismail|first=Sumayya|date=22 December 2006|title=Theatre personality Fiona Fraser-Brewer dies at 77|url=http://mg.co.za/article/2006-12-22-theatre-personality-fiona-fraserbrewer-dies-at-77|website=mg.co.za}}</ref><ref>{{cite web|title=Fiona Fraser - ESAT|url=http://esat.sun.ac.za/index.php/Fiona_Fraser|website=esat.sun.ac.za}}</ref><ref>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=ywqdkp3GOxoC&q=fiona+fraser+actress&pg=PA148|title=Starting Again in Egoli|last=Ward|first=Sheila|date=30 May 2013|publisher=AuthorHouse|isbn=9781481796521|via=Google Books}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waliofariki 2019]] rtsnyodrksg17oi2p4y0e9p5trtz4th Joan Brickhill 0 229555 1507820 2026-04-20T20:15:07Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Joan Brickhill''' (alizaliwa [[6 Machi]] [[1924]] – [[15 Januari]] [[2014]]) alikuwa [[mwigizaji]] na mratibu wa dansi (choreographer) kutoka [[Afrika Kusini]], aliyefanya kazi katika redio, ukumbi wa michezo, filamu na televisheni. Akiwa pamoja na mume wake Louis Burke, walianzisha kampuni ya ''Brickhill-Burke Productions'', iliyozalisha tamthilia ya Meet Me in St. Louis katika jukwaa la Broadway mwaka 1990. Kazi hiyo ilipata uteuzi nne za tuzo za...' 1507820 wikitext text/x-wiki '''Joan Brickhill''' (alizaliwa [[6 Machi]] [[1924]] – [[15 Januari]] [[2014]]) alikuwa [[mwigizaji]] na mratibu wa dansi (choreographer) kutoka [[Afrika Kusini]], aliyefanya kazi katika redio, ukumbi wa michezo, filamu na televisheni. Akiwa pamoja na mume wake Louis Burke, walianzisha kampuni ya ''Brickhill-Burke Productions'', iliyozalisha tamthilia ya Meet Me in St. Louis katika jukwaa la Broadway mwaka 1990. Kazi hiyo ilipata uteuzi nne za tuzo za Tony, zikiwemo uteuzi wa Choreography Bora kwa Brickhill.<ref>{{Cite web|url=http://www2.broadwayworld.com/tonyawardsyear.cfm?year=1990|title=1990 Tony Award Winners|access-date=2014-01-17|archive-url=https://web.archive.org/web/20150402185634/http://www2.broadwayworld.com/tonyawardsyear.cfm?year=1990|archive-date=2015-04-02|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1924]] [[Jamii:Waliofariki 2014]] 2xopwbb0kazdcp43rsu0cz64cql32cz Rozalla 0 229556 1507821 2026-04-20T20:16:22Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rozalla Miller''' (amezaliwa 18 Machi 1964), anayejulikana zaidi kama '''Rozalla''', ni mwimbaji wa muziki wa kielektroniki kutoka [[Zimbabwe]]. Alizaliwa katika eneo lililojulikana zamani kama Northern Rhodesia (sasa Zambia). Anajulikana zaidi kwa nyimbo zake maarufu za miaka ya 1991/92 kama *"Faith (In the Power of Love)"*, *"Are You Ready to Fly"* na hasa *Everybody's Free (To Feel Good)*, ambao umefanyiwa mabadiliko (remix) na kutolewa upya mara kad...' 1507821 wikitext text/x-wiki '''Rozalla Miller''' (amezaliwa 18 Machi 1964), anayejulikana zaidi kama '''Rozalla''', ni mwimbaji wa muziki wa kielektroniki kutoka [[Zimbabwe]]. Alizaliwa katika eneo lililojulikana zamani kama Northern Rhodesia (sasa Zambia). Anajulikana zaidi kwa nyimbo zake maarufu za miaka ya 1991/92 kama *"Faith (In the Power of Love)"*, *"Are You Ready to Fly"* na hasa *Everybody's Free (To Feel Good)*, ambao umefanyiwa mabadiliko (remix) na kutolewa upya mara kadhaa. Mwaka 2016, jarida la Billboard lilimweka katika nafasi ya 98 miongoni mwa wasanii wa dansi waliofanikiwa zaidi kuwahi kutokea. == Kazi ya muziki == Rozalla alianza kuimba akiwa mdogo nchini Zambia, akitumbuiza katika vilabu na hafla mbalimbali, na akiwa na umri wa miaka 13 tayari alikuwa akiimba katika kipindi cha televisheni cha watoto. Baadaye alihamia Zimbabwe ambako alijiunga na bendi mbalimbali za R&B kabla ya kuanza kurekodi muziki wake mwenyewe, na kufanikiwa kupata nyimbo tano zilizofika nafasi ya kwanza nchini humo. Mwaka 1988 alihamia London pamoja na meneja wake Chris Sergeant na kufanya kazi na kundi la watayarishaji wa muziki Band of Gypsies. Wimbo wake wa kwanza nchini Uingereza, *"Born to Luv Ya"* (1990), ulipata mafanikio katika vilabu vya muziki. Umaarufu wake mkubwa ulianza na wimbo *Everybody's Free (To Feel Good)* ambao ulifikia nafasi ya 6 katika chati ya UK Singles Chart mwaka 1991. Wimbo huo uliingia katika kumi bora katika nchi nyingi za Ulaya na baadaye kufika Top 40 ya Marekani kupitia chati za Billboard. Albamu yake ya kwanza *Everybody's Free* ilifikia nafasi ya 20 kwenye chati ya Uingereza na kupata hadhi ya “silver”. Albamu hiyo pia ilizaa nyimbo nyingine maarufu kama *Faith (In the Power of Love)* na *Are You Ready to Fly*. Mwaka 1992, Rozalla alitumbuiza katika World Music Awards huko Monaco na kushinda tuzo ya msanii wa Afrika aliyefanya mauzo makubwa zaidi. Katika mwaka huohuo, alifanya ziara na Michael Jackson kama msanii wa ufunguzi katika ziara yake ya *Dangerous Tour* barani Ulaya. Katika miaka iliyofuata, aliendelea kutoa muziki na kushiriki miradi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na albamu *Look No Further* (1995) na *Coming Home* (1998). Mwaka 2009 alitoa albamu ya jazzi na soul *Brand New Version* na pia alifanya ziara na Billy Ocean. Mwaka 2015, alirejea kwenye chati za dansi za Billboard kwa wimbo *"If You Say It Again"*. Mnamo Februari 2024, Rozalla alitoa albamu mpya *Turn On the Light*, ikiashiria muendelezo wa kazi yake ya muda mrefu katika muziki. == Diskografia (Albamu za studio) == * ''Spirit of Africa'' (1989) * ''Everybody's Free'' (1992) * ''Look No Further'' (1995) * ''Coming Home'' (1998) * ''Brand New Version'' (2009) * ''Turn On the Light'' (2024) b3vh048df9n68e0kvxwclxce1r5ead8 Yallunder 0 229557 1507822 2026-04-20T20:22:03Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Yolanda Nyembezi''' (23 Agosti 1994 – 13 Machi 2025), anayejulikana kitaaluma kama '''Yallunder''', alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa na kukulia Bizana, na alisaini mkataba wake wa kwanza wa muziki na 1020 Cartel, ambapo aliachia EP yake *Uthando Lwam* mwaka 2020. == Maisha na kazi == Yolanda Nyembezi alizaliwa tarehe 23 Agosti 1994 katika kijiji cha Sea View, Mbizana (sasa Bizana), katika jimbo la Eastern Cape....' 1507822 wikitext text/x-wiki '''Yolanda Nyembezi''' (23 Agosti 1994 – 13 Machi 2025), anayejulikana kitaaluma kama '''Yallunder''', alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]]. Alizaliwa na kukulia Bizana, na alisaini mkataba wake wa kwanza wa muziki na 1020 Cartel, ambapo aliachia EP yake *Uthando Lwam* mwaka 2020. == Maisha na kazi == Yolanda Nyembezi alizaliwa tarehe 23 Agosti 1994 katika kijiji cha Sea View, Mbizana (sasa Bizana), katika jimbo la Eastern Cape. Alisoma katika shule ya Nongeke S.S.S alipomaliza elimu ya sekondari, na mwaka 2016 alihitimu katika Tshwane University of Technology. Mwaka huo huo alianza kurekodi nyimbo za “cover”. Mwezi Februari 2018, Yallunder alirekodi upya wimbo “Buya” wa Black Coffee kutoka albamu *Piece of Me* (2015). Baada ya kuhitimu, alijiunga na Gauteng Opera, na baadaye alikutana na Sjava ambaye alimsaini chini ya 1020 Cartel. Alishiriki katika albamu ya pamoja *Isambulo* iliyotolewa tarehe 28 Agosti 2020. Mradi wake wa kwanza, *Uthando Lwam*, ulitolewa Novemba 2020. Katika tuzo za South African Traditional Music Awards za 15, wimbo wake “Impilo Iyaqhubeka” uliteuliwa katika kipengele cha Msanii/Bendi Bora ya IsiXhosa. Mnamo Agosti 2021, alianzisha kipindi chake kiitwacho *Truth*, kilichoonyeshwa kwenye Locaflix. Mwaka 2022 alisaini mkataba na The Vth Season na kutoa wimbo “Emaphupheni Am”. Mwaka 2023 alianzisha lebo yake mwenyewe ya muziki iitwayo Masani Music, na kutangaza albamu yake ya kwanza *Kum*, iliyotolewa tarehe 4 Agosti 2023. Wimbo wa kwanza kutoka albamu hiyo ulikuwa “11:11 Makukhanye”. Mwaka 2023 pia aliachia wimbo “Imali” akishirikiana na Mpho.Wav na Kenza. Yallunder alifariki tarehe 13 Machi 2025 katika Hospitali ya Charlotte Maxeke Academic Hospital, akiwa na umri wa miaka 30. == Diskografia == === Albamu za studio === * *Kum* (2023) === Albamu za pamoja === * *Isambulo* (2020) === EP === * *Uthando Lwam* (2020) == Tuzo na mafanikio == === City Awards === * 2021 – Msanii Bora Mpya wa Mwaka (alishinda) === South African Dance Music Awards === * 2024 – Mwimbaji Bora wa Kike (inasubiri matokeo) === South African Traditional Music Awards === * 2021 – *Uthando Lwam* (uteuzi wa Msanii/Bendi Bora ya IsiXhosa) === South African Music Awards === * 2023 – “Ndinovalo” (pamoja na Mörda/Yallunder) – Remix ya Mwaka (alishinda) == Marejeo == {{Reflist}} {{DEFAULTSORT:Nyembezi, Yolanda}} [[Jamii:Waandishi]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] 175nsa0smrw1wsir6c3o9d312vmgchi Merrick Bremner 0 229558 1507823 2026-04-20T20:27:08Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Merrick Bremner''' (alizaliwa [[26 Machi]] [[1986]]) ni mchezaji wa kulipwa wa gofu kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Anashiriki katika mashindano ya Sunshine Tour, ambapo ameshinda mara nane katika taaluma yake.<ref>{{cite web|url=https://www.foxnews.com/sports/merrick-bremners-64-ties-south-african-open-course-record-leads-by-2-shots-after-1st-round|title=Merrick Bremner's 64 ties South African Open course record; leads by 2 shots after 1st rou...' 1507823 wikitext text/x-wiki '''Merrick Bremner''' (alizaliwa [[26 Machi]] [[1986]]) ni mchezaji wa kulipwa wa gofu kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Anashiriki katika mashindano ya Sunshine Tour, ambapo ameshinda mara nane katika taaluma yake.<ref>{{cite web|url=https://www.foxnews.com/sports/merrick-bremners-64-ties-south-african-open-course-record-leads-by-2-shots-after-1st-round|title=Merrick Bremner's 64 ties South African Open course record; leads by 2 shots after 1st round|publisher=Fox News|date=15 November 2012}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1986]] [[Jamii:Watu walio hai]] 28v5p1j9ldqbka49fqvtmijhpmtt6hq Ayak Thiik 0 229559 1507824 2026-04-20T20:31:26Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ayak Thiik''' (pia hujulikana kama '''“Ayak Tracks”''') ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa sauti (vocal producer) mwenye asili ya [[Sudan Kusini]] na [[Uingereza]], aliyewahi kuteuliwa tuzo za Grammy Awards. Anajulikana zaidi kwa kuandika na kushiriki sauti katika nyimbo za wasanii maarufu kama Diana Ross, Cee Lo Green, James Morrison (“You Make It Real”), Chip (“Until You Were Gone”), Tinchy Stryder (“Never Leave You”, “...' 1507824 wikitext text/x-wiki '''Ayak Thiik''' (pia hujulikana kama '''“Ayak Tracks”''') ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa sauti (vocal producer) mwenye asili ya [[Sudan Kusini]] na [[Uingereza]], aliyewahi kuteuliwa tuzo za Grammy Awards. Anajulikana zaidi kwa kuandika na kushiriki sauti katika nyimbo za wasanii maarufu kama Diana Ross, Cee Lo Green, James Morrison (“You Make It Real”), Chip (“Until You Were Gone”), Tinchy Stryder (“Never Leave You”, “In My System”), na Dappy (“No Regrets”, “Rockstar”), miongoni mwa wengine. == Historia == Ayak Thiik alianza kuonyesha kipaji cha muziki tangu akiwa mdogo sana, akiweza kuimba hata kabla hajaanza kuzungumza vizuri. Baadaye alisaini mikataba ya muziki na lebo mbalimbali ikiwemo Stereo Wonderland, Polydor na Universal, na hivyo kuwa mmoja wa wasanii wa kwanza kutoka Sudan Kusini kusainiwa na kampuni kubwa ya kimataifa. Alishinda mashindano ya vipaji ya muziki ya Princes Trust Urban Music Festival nchini Uingereza, jambo lililomuwezesha kushiriki jukwaa moja na wasanii wakubwa kama Beyoncé na Alicia Keys. == Uandishi wa nyimbo na utayarishaji == Mwaka 2006, Thiik aliandika na kushiriki katika albamu ya mtayarishaji wa hip-hop Hi-Tek iitwayo *Hi-Teknology²: The Chip*, kwenye wimbo “Can We Go Back” uliomshirikisha Talib Kweli. Baadaye aliingia katika muziki wa house akifanya kazi na Milk & Sugar, ambapo kazi zao zilipata mafanikio kwenye chati za Uingereza. Pia ameandika nyimbo kwa wasanii wengi kama Kelly Rowland, JLS, Alexandra Burke, na wengine wengi. Sauti yake pia imesikika katika kazi za wasanii kama Kylie Minogue na Cheryl. Mwaka 2010 alipata mafanikio makubwa baada ya kushiriki kuandika wimbo wa Chip “Until You Were Gone” ulioshika nafasi ya 3 kwenye chati za Uingereza, na pia “In My System” ya Tinchy Stryder iliyofika nafasi ya 10. Mwaka 2023, Thiik aliweka historia kwa kuwa mtu wa kwanza kutoka Sudan Kusini kutambuliwa na Recording Academy kupitia kazi yake kwenye albamu *Thank You* ya Diana Ross, iliyopata uteuzi katika kipengele cha Best Traditional Pop Vocal Album kwenye 65th Grammy Awards. == Kazi binafsi == Ayak Thiik pia ametoa albamu yake mwenyewe iitwayo *Voices in My Head*. Aidha, alishiriki katika kipindi cha *Song Book* cha Sky Arts, ambapo alivutia hisia za mtunzi maarufu Diane Warren. Kutokana na kuvutiwa na kipaji chake, Diane Warren alianza kumwandikia nyimbo na kusaidia kukuza taaluma yake. == Marejeo == {{Reflist}} {{DEFAULTSORT:Thiik, Ayak}} [[Jamii:Waimbaji wa Sudan Kusini]] [[Jamii:Waandishi]] [[Jamii:Wanawake wa Sudan Kusini]] 4c31vzcfn1o41ev8cidhnaaf1vw814o Zung 0 229560 1507825 2026-04-20T20:31:33Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507825 wikitext text/x-wiki '''Heng Mok Zung''' (alizaliwa [[1978]]), anajulikana zaidi kama Zung, ni mpiga picha kutoka nchini [[Malaysia]].<ref name = TatlerAsia>{{Cite web|url=https://my.asiatatler.com/society/zung-the-photoz-ninja-photographer-on-candid-shots-selfie-tips|title=Zung of The Photoz: the 'ninja photographer' on candid shots and selfie tips|last=|first=|date=|website=Malaysia Tatler|url-status=live|archive-url=https://web.archive.org/web/20191203100304/https://my.asiatatler.com/society/zung-the-photoz-ninja-photographer-on-candid-shots-selfie-tips|archive-date=Dec 3, 2019|access-date=}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1978]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Malaysia]] 60nqmaxxlrpgegj3fsq6mtci0lcxwh8 Mahreen Zuberi 0 229561 1507826 2026-04-20T20:33:55Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507826 wikitext text/x-wiki '''Mahreen Asif Zuberi''' (alizaliwa [[6 Januari|Januari 6]], [[1981]]) ni msanii kutoka Karachi, Pakistan. Mahreen alisoma katika Chuo cha Kitaifa cha Sanaa mjini Lahore ambapo alihitimu Shahada ya Sanaa kwa ufaulu wa juu.<ref>{{Cite book|last=Hashmi|first=Salima|url=https://books.google.com/books?id=OvJGAQAAIAAJ&q=Mahreen+Zuberi|title=Flash Art|date=2009|publisher=Giancarlo Politi|isbn=|location=|pages=78|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|last=Hashmi|first=Salima|date=2016-11-15|title=Contrary Signs {{!}}|url=https://flash---art.com/article/contrary-signs/|archive-url=|archive-date=|access-date=2020-06-25|website=Flash Art|language=en-US}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1981]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Pakistani]] ts7f4q4f5731bgq5vuiqym7770hjtwb Zaigham Zaidi 0 229562 1507827 2026-04-20T20:36:00Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507827 wikitext text/x-wiki '''Syed Zaigham Hussain Zaidi''' alikuwa mpiga picha wa Pakistan, alijipatia umaarufu kwa kufanya kazi na gazeti la Daily Jang mjini Rawalpindi na baadaye na Pakistan Times pamoja na gazeti la kila siku la Musawat. <ref>{{cite news |title=Zaigham Zaidi's photographs unveiled |url=http://www.dailytimes.com.pk/default.asp?page=story_25-7-2003_pg7_50 |work=[[Daily Times (Pakistan)|Daily Times]] |date=25 July 2003 |access-date=20 December 2009 }}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:watu wa Pakistan]] cwuekgcipc81hu1lj2doyikddoumki2 Freda Ayisi 0 229563 1507828 2026-04-20T20:40:09Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Freda Ayisi''' (alizaliwa [[21 Oktoba|Oktoba 21]], [[1994]]) ni [[Mpira wa miguu|mchezaji wa mpira wa miguu]] wa Ghana ambaye kwa sasa anachezea Watford . Hapo awali amewahi kuchezea Lewes WFC, Birmingham WFC katika fainali ya Kombe la Wanawake la FA ya 2017 na Arsenal waliposhinda Fainali ya Kombe la Wanawake la FA ya 2014 . Ayisi alizaliwa Ghana mwaka wa 1994. <ref>{{Rejea tovuti|author=Tagoe|first=Godwin Nii Armah|date=2022-05-20|title=England based...' 1507828 wikitext text/x-wiki '''Freda Ayisi''' (alizaliwa [[21 Oktoba|Oktoba 21]], [[1994]]) ni [[Mpira wa miguu|mchezaji wa mpira wa miguu]] wa Ghana ambaye kwa sasa anachezea Watford . Hapo awali amewahi kuchezea Lewes WFC, Birmingham WFC katika fainali ya Kombe la Wanawake la FA ya 2017 na Arsenal waliposhinda Fainali ya Kombe la Wanawake la FA ya 2014 . Ayisi alizaliwa Ghana mwaka wa 1994. <ref>{{Rejea tovuti|author=Tagoe|first=Godwin Nii Armah|date=2022-05-20|title=England based Female Ghanaian Footballer Freda Ayisi Matches Pogba's 'Smoothie' Skill Challenge Effortlessly|url=https://sportsbrief.com/football/17122-england-based-female-ghanaian-footballer-freda-ayisi-effortlessly-matches-pogbas-smoothie-skill/|accessdate=2023-08-28|work=SportsBrief – Sport news.|language=en|archivedate=28 August 2023|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230828151904/https://sportsbrief.com/football/17122-england-based-female-ghanaian-footballer-freda-ayisi-effortlessly-matches-pogbas-smoothie-skill/}}</ref> Ayisi alianza kucheza mpira wa miguu akiwa Arsenal ambapo katika msimu wake wa kwanza alifunga dhidi ya FC Kairat katika ligi ya Mabingwa. Baadaye alisema kwamba hii ilikuwa wakati wake muhimu akiwa na "wapiganaji". <ref name="isling">{{Rejea tovuti|date=2020-05-24|title=Ayisi 'learned so much' from Arsenal legends|url=https://www.islingtongazette.co.uk/news/21225485.ayisi-learned-much-arsenal-legends/|accessdate=2023-08-28|work=Islington Gazette|language=en}}</ref> Alikuwa na Arsenal waliposhinda Kombe la FA la 2013-14 lakini kwa kiasi kikubwa alikuwa mchezaji wa chini katika mechi hiyo ambapo walishinda 2-0 dhidi ya Everton . <ref name="isling" /> Mnamo 2014 alihamia Birmingham City kwa mara ya kwanza ambapo katika kipindi cha miaka mitatu iliyofuata alicheza mechi 57. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=WOMEN {{!}} Freda Ayisi becomes second summer signing {{!}} Charlton Athletic Football Club|url=https://www.charltonafc.com/news/women-freda-ayisi-becomes-second-summer-signing|accessdate=2023-08-28|work=www.charltonafc.com|language=en}}</ref> Mnamo Machi 2015, kipa wa Manchester City Karen Bardsley alipewa marufuku ya mechi tatu kwa kosa la kufanya vurugu katika sare ya bila kufungana na Birmingham City, baada ya kupigana na Ayisi. <ref>{{Rejea tovuti|date=2015-04-01|title=Ghana-born Freda Ayisi sees red in English Women League|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/SportsArchive/Ghana-born-Freda-Ayisi-sees-red-in-English-Women-League-352764|accessdate=2023-08-30|work=GhanaWeb|language=en}}</ref> Ayisi alifukuzwa kwenye mechi mara moja na mwamuzi. <ref>"England goalkeeper Karen Bardsley accepts FA violent conduct charge"''. The Guardian. 31 March 2015. Retrieved 12 May 2015.''</ref> Bardsley baadaye alisema, "Mapenzi yalikuwa makali dhidi ya Birmingham. Ninapotazama video hiyo tena, najuta tukio hilo na Freda Ayisi. Ingawa nilikasirika, haikuwa kawaida kwangu kujibu kwa njia hiyo." <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.eurosport.com/football/england-women-s-goalkeeper-faces-violent-conduct-charge_sto4660320/story.shtml|title=England women's goalkeeper faces violent conduct charge|date=31 March 2015|work=Eurosport|accessdate=26 December 2019}}</ref> Katika mwaka huo huo Ayisi alifunga dhidi ya Sunderland wakati Birmingham ilipokuwa ikikabiliwa na kushushwa daraja. Hata hivyo, Sunderland alifunga bao la kusawazisha. <ref>''McVeigh, Niall (23 August 2015).'' "Women's Super League: Chelsea win at Arsenal to close in on double"''. The Guardian.'' ISSN''&nbsp;''0261-3077''. Retrieved 28 August 2023.''</ref> Mnamo 2017 alikuwa akicheza katika [[Uwanja wa Wembley]] katika fainali ya Kombe la Wanawake la FA ya 2017 akiiwakilisha Birmingham dhidi ya Manchester City . <ref name="isling2">{{Rejea tovuti|date=2020-05-24|title=Ayisi 'learned so much' from Arsenal legends|url=https://www.islingtongazette.co.uk/news/21225485.ayisi-learned-much-arsenal-legends/|accessdate=2023-08-28|work=Islington Gazette|language=en}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Association|first=The Football|title=Birmingham 1–4 Man City|url=http://www.thefa.com/news/2017/may/13/sse-womens-fa-cup-final-130517|accessdate=2023-08-30|work=www.thefa.com|language=en}}</ref> Mnamo Agosti 2018 yeye na Melissa Johnson walijiunga na Leicester City kwa msimu wa 2018-19 . <ref name="ay">{{Rejea tovuti|date=2018-08-16|title=Leicester City Women's new signings feature Freda Ayisi|url=https://shekicks.net/leicester-city-womens-new-signings-feature-freda-ayisi/|accessdate=2022-03-11|work=SheKicks|language=en-GB}}</ref> kabla ya Ayisi kujiunga na London City Lionesses. <ref name=":02">{{Rejea tovuti|title=WOMEN {{!}} Freda Ayisi becomes second summer signing {{!}} Charlton Athletic Football Club|url=https://www.charltonafc.com/news/women-freda-ayisi-becomes-second-summer-signing|accessdate=2023-08-28|work=www.charltonafc.com|language=en}}</ref> Alichezea Lewes kuanzia 2021. <ref name="lewes">"Former Arsenal and Leicester City midfielder joins Lewes Women"''. Sussex Express. 21 July 2021.''</ref> The Athletic ilimlinganisha Ayisi na Dimitar Berbatov kulingana na video zake ambazo zinajumuisha kupata udhibiti wa mpira uliorushwa kutoka dirisha la ghorofa ya nne. Ayisi alipenda huo kwani ulikuwa maarufu na akapata uungwaji mkono kutoka kwa mchambuzi Ian Wright . <ref>{{Rejea tovuti|author=Frostick|first=Nancy|title=Freda Ayisi: the 'female Berbatov' on trick shots and having Ian Wright as a fan|url=https://www.nytimes.com/athletic/3076464/2022/01/18/freda-ayisi-female-berbatov-trick-shots-having-ian-wright-fan/|accessdate=2023-08-30|work=The Athletic|date=19 January 2022|language=en}}</ref> <ref name="tiktok">{{Rejea tovuti|author=Goulding|first=Georgia|date=2023-03-12|title=Ian Wright's support for Freda Ayisi's freestyle TikToks left her "gassed"|url=https://www.givemesport.com/ian-wright-freda-ayisi-support-tiktoks/|accessdate=2023-09-01|work=GiveMeSport|language=en}}</ref> Ayisi alijiunga na Charlton mwaka wa 2022. <ref>{{Rejea tovuti|title=Freda Ayisi signs new one-year contract {{!}} Charlton Athletic Football Club|url=https://www.charltonafc.com/news/freda-ayisi-signs-new-one-year-contract|accessdate=2023-08-30|work=www.charltonafc.com|language=en}}</ref> Mnamo Mei 2023 alikutana na Nora Häuptle ambaye hivi karibuni alikuwa amechukua jukumu la kuiongoza timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Ghana . Häuptle alibainisha kuwa Ayisi alicheza vizuri kwa timu hiyo akifunga bao pekee la Charlton katika sare dhidi ya Crystal Palace . <ref>{{Rejea tovuti|date=2 May 2023|title=Nora Hauptle watches Charlton Athletics Freda Ayisi|url=https://www.modernghana.com/sports/1228166/nora-hauptle-watches-charlton-athletics-freda-ayis.html|accessdate=28 August 2023|work=ModernGhana.com}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Ghana]] 9xt4n4lvclfxj6azz7go0isxg16vanc Rachel J 0 229564 1507829 2026-04-20T20:40:45Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rachel J''' (aliyezaliwa '''Rachel Jambaya''') ni msanii wa muziki, mtangazaji wa televisheni na mfanyabiashara kutoka [[Zimbabwe]].<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/rachel-j-breaks-silence/|title=Rachel](https://www.herald.co.zw/rachel-j-breaks-silence/|title=Rachel) J breaks silence|website=The Herald}}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://www.zimbojam.com/behold-rachel-j-the-new-trendsetter/|title=Behold](https://www.zimbojam.com/behold-rach...' 1507829 wikitext text/x-wiki '''Rachel J''' (aliyezaliwa '''Rachel Jambaya''') ni msanii wa muziki, mtangazaji wa televisheni na mfanyabiashara kutoka [[Zimbabwe]].<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/rachel-j-breaks-silence/|title=Rachel](https://www.herald.co.zw/rachel-j-breaks-silence/|title=Rachel) J breaks silence|website=The Herald}}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://www.zimbojam.com/behold-rachel-j-the-new-trendsetter/|title=Behold](https://www.zimbojam.com/behold-rachel-j-the-new-trendsetter/|title=Behold) Rachel J, the new trendsetter!|date=28 Septemba 2018}}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://dailynews.co.zw/you-are-your-own-motivator-rachel-j-tells-women/|title=You](https://dailynews.co.zw/you-are-your-own-motivator-rachel-j-tells-women/|title=You) are your own motivator, Rachel J tells women|website=Daily News}}</ref> == Historia == Rachel J alizaliwa katika mji wa [[Kwekwe]] uliopo katika mkoa wa Midlands nchini Zimbabwe, kisha akalelewa katika mji wa [[Gweru]] ambako alipata elimu yake ya awali.<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/i-am-not-a-slay-queen-rachel-j/|title=I](https://www.herald.co.zw/i-am-not-a-slay-queen-rachel-j/|title=I) am not a slay queen: Rachel J|website=The Herald}}</ref> Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2016 alipotoa albamu yake ya kwanza iitwayo ''Triumph'', ambayo ilikuwa ya muziki wa injili na aliitoa kama heshima kwa bibi yake. Baada ya hapo, alianza kutoa nyimbo mbalimbali kuanzia mwaka 2018, ikiwemo wimbo wa afro-fusion uitwao ''Makwikwi''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/rachel-j-launches-single-in-style/|title=Rachel](https://www.herald.co.zw/rachel-j-launches-single-in-style/|title=Rachel) J launches single in style|website=The Herald}}</ref> Wimbo huo ulipata umaarufu mkubwa kwenye vituo vya redio nchini Zimbabwe na ukaingia kwenye chati za muziki kwa wiki kadhaa. Mafanikio hayo yalipelekea kutolewa kwa toleo jipya la wimbo huo liitwalo ''Makwikwi Reloaded'', katika mtindo wa dancehall, likiwashirikisha wasanii kama [[Soul Jah Love]], Sniper Storm na Lady Squanda mnamo Desemba 2018.<ref>{{Cite web|url=[https://youthvillage.co.zw/sport-entertainment/watch-rachel-j-makwikwi-music-video/|title=Watch](https://youthvillage.co.zw/sport-entertainment/watch-rachel-j-makwikwi-music-video/|title=Watch): Rachel J Makwikwi Music Video|date=23 Septemba 2018|website=Youth Village Zimbabwe}}</ref> Mwaka 2019, alitoa wimbo wa jazzi uitwao ''Njiva'' kwa kushirikiana na Dereck Mpofu, ukafuatiwa na ''Bada Boom'' uliomshirikisha Roki pamoja na ''Ngoro'' uliomshirikisha Enzo Ishall.<ref>{{Cite web|url=[https://www.hmetro.co.zw/rachel-j-enzo-ishall-release-video-today/|title=Rachel](https://www.hmetro.co.zw/rachel-j-enzo-ishall-release-video-today/|title=Rachel) J, Enzo Ishall release video today|website=H-Metro}}</ref> Wimbo ''Ngoro'' ulizua utata nchini Zimbabwe na hata kupigwa marufuku kurushwa kwenye baadhi ya vituo vya redio.<ref>{{Cite web|url=[https://youthvillage.co.zw/news/rachel-j-and-enzo-ishalls-song-ngoro-banned-on-radio/|title=Rachel](https://youthvillage.co.zw/news/rachel-j-and-enzo-ishalls-song-ngoro-banned-on-radio/|title=Rachel) J and Enzo Ishall's song "Ngoro" banned on radio|date=27 Desemba 2019|website=Youth Village Zimbabwe}}</ref> Mwezi Aprili 2020, Rachel J alitoa wimbo mwingine wa injili uitwao ''Hallelujah'' ambao pia ulifanya vizuri kwenye redio na televisheni.<ref>{{Cite web|url=[https://dailynews.co.zw/rachel-j-opens-up-in-new-song/|title=Rachel](https://dailynews.co.zw/rachel-j-opens-up-in-new-song/|title=Rachel) J opens up in new song|website=Daily News}}</ref> Mwaka 2021 alitoa wimbo wa afro-fusion ''Strong Black Man'' uliomshirikisha Novi Keys, na mwaka 2022 alitoa ''Fambai Mberi''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.zimmorningpost.com/rachel-j-bounces-back/|title=Rachel](https://www.zimmorningpost.com/rachel-j-bounces-back/|title=Rachel) J bounces back|date=28 Novemba 2021}}</ref> Mbali na muziki, Rachel J pia ametambuliwa katika tasnia ya mitindo na burudani. Mwaka 2018 alitunukiwa tuzo ya Mwanamke Mrembo Bora nchini Zimbabwe katika tuzo za Zimbabwe Models Awards.<ref>{{Cite web|url=[http://www.zekeymedia.com/8/post/2019/12/the-most-beautiful-woman-in-zimbabwe-rachel-j-and-enzo-ishall-ngoro.html|title=The](http://www.zekeymedia.com/8/post/2019/12/the-most-beautiful-woman-in-zimbabwe-rachel-j-and-enzo-ishall-ngoro.html|title=The) Most Beautiful Woman in Zimbabwe Rachel J and Enzo Ishall - Ngoro|website=ZEKEY MEDIA}}</ref> Mwaka 2022 aliteuliwa katika kipengele cha Mwanamke Maarufu Mwenye Mtindo Bora katika tuzo za Zimbabwe Fashion Awards.<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/zim-fashion-awards-nominees-out/|title=Zim](https://www.herald.co.zw/zim-fashion-awards-nominees-out/|title=Zim) Fashion Awards nominees out|website=The Herald}}</ref> Mwaka 2021, Rachel J alichapisha wasifu wa kwanza wa rais wa Zimbabwe [[Emmerson Mnangagwa]] uitwao ''A Life of Sacrifice''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.sundaynews.co.zw/president-mnangagwas-biography-launched/|title=President](https://www.sundaynews.co.zw/president-mnangagwas-biography-launched/|title=President) Mnangagwa's biography launched|website=The Sunday News}}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://www.newsday.co.zw/2021/08/ed-launches-his-first-ever-biography/|title=ED](https://www.newsday.co.zw/2021/08/ed-launches-his-first-ever-biography/|title=ED) launches his first-ever biography|date=5 Agosti 2021|website=NewsDay Zimbabwe}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD||}} [[Jamii:Wanamuziki wa Zimbabwe]] [[Jamii:Wafanyabiashara wa Zimbabwe]] i12n6tmrvawp63hff1d9mg0uy928gck Desmond Barker 0 229565 1507830 2026-04-20T20:42:11Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Desmond Barker''' (alizaliwa [[5 Agosti]] [[1949]] – [[15 Machi]] [[2021]]) alikuwa afisa wa Jeshi la Anga la [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kwa zaidi ya miaka 40 katika South African Air Force (SAAF), akishika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Mkuu wa Majaribio ya Ndege (Chief Test Pilot), mshauri wa kijeshi wa anga (air attaché) mjini London, kamanda wa kituo cha anga, na pia mwanachama wa kikosi cha maonyesho ya ndege (aerobatic display te...' 1507830 wikitext text/x-wiki '''Desmond Barker''' (alizaliwa [[5 Agosti]] [[1949]] – [[15 Machi]] [[2021]]) alikuwa afisa wa Jeshi la Anga la [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kwa zaidi ya miaka 40 katika South African Air Force (SAAF), akishika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Mkuu wa Majaribio ya Ndege (Chief Test Pilot), mshauri wa kijeshi wa anga (air attaché) mjini London, kamanda wa kituo cha anga, na pia mwanachama wa kikosi cha maonyesho ya ndege (aerobatic display team). Alitunukiwa nishani ya Southern Cross Medal na pia alipewa heshima ya kuwa Mwanachama wa Heshima wa Royal Aeronautical Society.<ref name="Dweb210713">{{cite web|url=https://www.defenceweb.co.za/aerospace/aerospace-aerospace/saaf-museum-patchen-explorer-in-fatal-crash/|title=SAAF Museum Patchen Explorer in fatal crash|publisher=DefenceWeb|date=Mar 17, 2021|accessdate=March 17, 2021|author=Wingrin, Dean}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1949]] [[Jamii:Waliofariki 2021]] js80rrl7bhs2q11me1tcltk6r7beumi Vitabu vya katuni 0 229566 1507831 2026-04-20T20:47:58Z Tjv39 88815 Niliandika kuhusa Vitabu vya Katuni, historia yao, na vitabu vya katuni katika Afrika Mashariki. 1507831 wikitext text/x-wiki = Vitabu vya Katuni = Kitabu cha katuni, jarida la katuni, au katuni tu ni uchapishaji umetengenezwa kwa sanaa ya katuni katika paneli zinazofuatana huwakilisha makutio ya kibinafsi. Neno lingine kwa vitabu vya katuni ni riwaya za michoro. Katika paneli zinazofuatano ni nathari ya maelezo, kwa kawaida mazungumzo au mawazo yaliyomo kwenye puto za maneno au visanduku vya maneno. Kwa kawaida hupangwa katika masuala kwa mfululizo.<ref>{{Cite web|title=LibGuides: Literature and Language Guide: Comic Books & Graphic Novels|url=https://libguides.utpb.edu/c.php?g=1282626&p=9414386|work=libguides.utpb.edu|accessdate=2026-04-20|language=en|author=Margaret Katembe}}</ref> '''Historia ya Vitabu vya Katuni''' [[Faili:DC Comics logo.svg|thumb|Nembo ya DC Comics (2016 - 2024)]] Mizizi ya vitabu vya katuni inaweza kufuatiliwa nyuma hadi katikati ya karne ya 19. Viliundwa kwa mara ya kwanza kama vipande vya katuni katika magazeti. Moja ya maarufu ya kwanza, katika Marekani, ilikuwa ''Famous Funnies'' na imeongezeka umaarufu njia ya vitabu vya katuni. ''Famous Funnies'' ilichapishwa katika mwaka wa 1934<ref name=":0">{{Cite web|title=The History of American Comic Books|url=https://www.walsworth.com/blog/history-of-american-comic-books|work=Walsworth|date=2024-09-20|accessdate=2026-04-19|language=en-US|author=Will Lubaroff}}</ref>. [[Faili:Black Panther Logo Black.svg|thumb|Nembo ya Black Panther (2018)]] Baadaye ''Famous Funnies'', vitabu vya katuni vikawa maarufu sana nchini Marekani, kama mwaka 1937 na mwaka 1938 na ''Detective Comics'' na ''Action Comics'' kutolewa katika miaka hiyo. Wahusika kama Batman na Superman walisukuma vitabu vya katuni na mashujaa katika utamaduni maarufu.<ref name=":0" /> Katika miaka ya hivi karibuni, mashujaa wameonekana katika filamu kubwa kama vile [[Black Panther (filamu)|Black Panther]] inayoangazia mwigizaji wa Kenya [[Lupita Nyong'o]] ambaye alicheza Nakia na mwigizaji wa Uganda [[Florence Kasumba]] ambaye alicheza Ayo.<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/title/tt1825683/fullcredits/|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-20}}</ref> == Vitabu vya Katuni katika Afrika Mashariki == Historia ya Vitabu vya Katuni katika Afrika Mashariki havitambuliki sana, watengenzwa kwa miaka mingi tangu katikati ya karne ya 20. Wasanii katika Afrika Mashariki wapo na walikuwa kuathiriwa kwa hadithi za kizushi na utamaduni yake.<ref>{{Cite web|title=Celebrating the history and growing influence of African comics|url=https://www.theafricareport.com/108274/celebrating-the-history-and-growing-influence-of-african-comics/|work=The Africa Report|date=2021-07-16|accessdate=2026-04-20|language=en|author=Nicolas Michel}}</ref> Hakuna wachapishaji mkubwa katika Afrika Mashariki, kama DC au Marvel magharibi. Wasanii badala yake wanachagua kuchapisha kwa kujitegemea kwa usaidizi kutoka kwa michango. === Etan Comics<ref name=":1">{{Cite web|title=ETAN COMICS {{!}} Home of African Superheroes|url=https://etancomics.com/|work=Etan Comics|accessdate=2026-04-19|language=en-US}}</ref> === Etan Comics ni burudani ya Kiafrika hufadhiliwa pekee kupitia michango ya jamii. Wanazingatia vitabu vya katuni na riwaya za michoro. Wamechapisha vitabu vya katuni vingi kwa idadi nyingi tafauti za watu. Vitabu vyao vinalenga watoto wadogo hadi watu wazima.<ref name=":1" /> Kampuni hii huchapisha wasanii kote Afrika kama Ethiopia, Kenya, Congo, Zimbabwe, na wengine wengi. Kitabu kimoja walichapisha yenye kichwa ''Carry On: African Folklore & Sci-Fi Anthology'' vipengele wasanii kutoka Kenya, Zimbabwe, Congo, Ethiopia, na wengine kutoka Afrika Mashariki. Ni mkusanyiko wa vitabu kuhusu hadithi nyingi tofauti za kubuni katika Afrika kulingana na utamaduni na matukio halisi.<ref name=":1" /> ''Carry On'' iliyoinuliwa dola sitini na tatu elfu kutoka kwa michango na sifa kutoka kwa wakosoaji.<ref name=":1" /> Kitabu kingine cha katuni kimeundwa kwa msanii wa ZImbabwe, Bill Masuki. Vitabu vyake ni msukumo kutoka kwa manga, mtindo wa vitabu vya katuni kutoka nchi ya Japan.<ref name=":1" /> <big>'''[[Terry Hirst]]'''</big> Alikuwa msanii anayeongoza katika Afrika baada ya uhuru, haswa Kenya. Yeye alizaliwa katika nchi ya Uingereza 2 Novemba, 1932, lakini alikwenda Nairobi, Kenya katika 1965 kwa sababu alitaka fundisha sanaa katika Afrika<ref name=":2">{{Cite web|title=Terry Hirst: The Trailblazer Editorial Cartoonist and Comic Author in Kenya|url=https://africanliteratureandcomics.substack.com/p/terry-hirst-the-trailblazer-editorial-590|work=African Literature & Comics|date=2020-07-28|accessdate=2026-04-19|author=Msanii Kimani wa Wanjiru}}</ref>. Wakati wa ufundisaji wake karibu Kenya, yeye alifanya kazi kwa [[Daily Nation]] kama mchoraji katuni katika safu ya kejeli. Yeye alifanya kazi na Hillary Ng’weno na akaunda jarida naye lenye kichwa ''Joe''.<ref name=":2" /> Baadaye katika kazi yake, yeye alianza kuchora kwa serikali na mashrika yasiyo ya kiserikali. Kitabu moja ni ''The Kenya Pocket Directory of Trees and Shrubs'' kwa Kituo cha Kilimo cha Misitu Duniani<ref name=":2" />. === [[Godfrey Mwampembwa|Gado]] === [[Faili:Godfrey Mwampembwa (26797816700).jpg|thumb|Picha ya Godfrey Mwampembwa]] Godfrey Mwampembwa, jina lake la kalamu ni Gado, alizaliwa 1969, ni Mtanzania msanii wa siasa na msanii wa katuni. Yeye alifanya kazi kwa nyingi tofauti magazeti kama [[Daily Nation]] (Kenya), The Standard (Kenya), The East African (Kenya), na nyingine magazeti kote ulimwenguni<ref name=":3">{{Cite web|title=Gado|url=https://www.lambiek.net/artists/g/gado.htm|work=lambiek.net|accessdate=2026-04-19|language=en}}</ref>. Amepewa tuzo International Olympic Media Award kwa vyombo vya habari vya kuchapisha, na aliteuliwa kuwa msanii wa mwaka huo mwaka 1999 katika Kenya<ref name=":3" />. hw5u7t3i3zjcf528nq4sg4wqu9a3x24 1507903 1507831 2026-04-21T03:40:44Z Tjv39 88815 Marekebisho ya sarufi. 1507903 wikitext text/x-wiki = Vitabu vya Katuni = [[Faili:DC 2024 flat.svg|thumb|Nembo ya DC Comics (2024 - Sasa)]] Kitabu cha katuni, jarida la katuni, au katuni tu ni uchapishaji unaotengenezwa kwa sanaa ya katuni katika paneli zinazofuatana, ambazo huwakilisha matukio ya kibinafsi. Neno lingine kwa vitabu vya katuni ni riwaya za michoro. Katika paneli zinazofuatana kuna nathari ya maelezo, kwa kawaida mazungumzo au mawazo yaliyomo kwenye puto za maneno au visanduku vya maneno. Kwa kawaida hupangwa katika mfululizo wa matoleo. '''Historia ya Vitabu vya Katuni''' Mizizi ya vitabu vya katuni inaweza kufuatiliwa hadi katikati ya karne ya 19. Viliundwa kwa mara ya kwanza kama vipande vya katuni katika magazeti. Moja ya maarufu ya kwanza, nchini Marekani, ilikuwa Famous Funnies, na iliongeza umaarufu wa vitabu vya katuni. Famous Funnies ilichapishwa mwaka 1934. [[Faili:Black Panther Logo Black.svg|thumb|Nembo ya Black Panther (2018)]] Baada ya Famous Funnies, vitabu vya katuni vikawa maarufu sana nchini Marekani, hasa mwaka 1937 na 1938, ambapo Detective Comics na Action Comics zilitolewa. Wahusika kama Batman na Superman walichangia kuingiza vitabu vya katuni na mashujaa katika utamaduni maarufu.<ref name=":0" /> Katika miaka ya hivi karibuni, mashujaa wameonekana katika filamu kubwa kama vile ''Black'' Panther, inayomshirikisha mwigizaji wa Kenya Lupita Nyong’o aliyocheza nafasi ya Nakia, na mwigizaji wa Uganda Florence Kasumba aliyocheza Ayo.<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/title/tt1825683/fullcredits/|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-20}}</ref> == Vitabu vya Katuni katika Afrika Mashariki == Historia ya vitabu vya katuni katika Afrika Mashariki haitambuliki sana, ingawa vimetengenezwa kwa miaka mingi tangu katikati ya karne ya 20. Wasanii katika Afrika Mashariki wapo na wameathiriwa na hadithi za jadi na utamaduni wao.<ref>{{Cite web|title=Celebrating the history and growing influence of African comics|url=https://www.theafricareport.com/108274/celebrating-the-history-and-growing-influence-of-african-comics/|work=The Africa Report|date=2021-07-16|accessdate=2026-04-20|language=en|author=Nicolas Michel}}</ref> Hakuna wachapishaji wakubwa katika Afrika Mashariki kama DC au Marvel katika nchi za Magharibi. Badala yake, wasanii wengi huchagua kuchapisha kazi zao kwa kujitegemea kwa usaidizi wa michango. === Etan Comics<ref name=":1">{{Cite web|title=ETAN COMICS {{!}} Home of African Superheroes|url=https://etancomics.com/|work=Etan Comics|accessdate=2026-04-19|language=en-US}}</ref> === Etan Comics ni kampuni ya burudani ya Kiafrika inayofadhiliwa kupitia michango ya jamii. Wanazingatia vitabu vya katuni na riwaya za michoro. Wamechapisha vitabu vingi vya katuni vinavyolenga hadhira tofauti, kuanzia watoto wadogo hadi watu wazima.<ref name=":1" /> Kampuni hii huchapisha kazi za wasanii kutoka kote Afrika kama Ethiopia, Kenya, Congo, Zimbabwe, na wengine wengi. Kitabu kimoja walichochapisha chenye kichwa Carry On: African Folklore & Sci-Fi Anthology kinahusisha wasanii kutoka Kenya, Zimbabwe, Congo, Ethiopia, na wengine kutoka Afrika Mashariki. Ni mkusanyiko wa hadithi za kubuni zinazotokana na utamaduni wa Afrika na matukio halisi.<ref name=":1" /> Carry On ilikusanya dola sitini na tatu elfu kupitia michango na ilipata sifa kutoka kwa wakosoaji.<ref name=":1" /> Kitabu kingine cha katuni kimeundwa na msanii wa Zimbabwe, Bill Masuku. Kazi zake zimeathiriwa na [[manga]], mtindo wa vitabu vya katuni kutoka Japan.<ref name=":1" /> <big>'''[[Terry Hirst]]'''</big> Alikuwa msanii anayeongoza katika Afrika baada ya uhuru, hasa nchini Kenya. Alizaliwa nchini Uingereza tarehe 2 Novemba 1932, lakini alihamia Nairobi, Kenya mwaka 1965 kwa sababu alitaka kufundisha sanaa Afrika.<ref name=":2">{{Cite web|title=Terry Hirst: The Trailblazer Editorial Cartoonist and Comic Author in Kenya|url=https://africanliteratureandcomics.substack.com/p/terry-hirst-the-trailblazer-editorial-590|work=African Literature & Comics|date=2020-07-28|accessdate=2026-04-19|author=Msanii Kimani wa Wanjiru}}</ref> Wakati wa ufundishaji wake nchini Kenya, alifanya kazi kwa Daily Nation kama mchoraji wa katuni katika safu ya kejeli. Alifanya kazi na Hillary Ng’weno na wakaanzisha jarida lenye kichwa ''Joe''.<ref name=":2" /> Baadaye katika kazi yake, alianza kuchora kwa serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali. Kitabu kimoja ni The Kenya Pocket Directory of Trees and Shrubs kwa Kituo cha Kilimo cha Misitu Duniani.<ref name=":2" /> === [[Godfrey Mwampembwa|Gado]] === [[Faili:Godfrey Mwampembwa (26797816700).jpg|thumb|Picha ya Godfrey Mwampembwa]] Godfrey Mwampembwa, anayejulikana kwa jina la kalamu Gado, alizaliwa mwaka 1969. Ni msanii wa katuni za kisiasa kutoka Tanzania. Amefanya kazi katika magazeti mengi tofauti kama Daily Nation (Kenya), The Standard (Kenya), The East African (Kenya), na magazeti mengine duniani.<ref name=":3">{{Cite web|title=Gado|url=https://www.lambiek.net/artists/g/gado.htm|work=lambiek.net|accessdate=2026-04-19|language=en}}</ref> Amepewa tuzo ya International Olympic Media Award kwa vyombo vya habari vya kuchapisha, na aliteuliwa kuwa msanii wa mwaka nchini Kenya mwaka 1999.<ref name=":3" /> rbgjtjvegrpize5phahoumhxjckk52e 1507904 1507903 2026-04-21T03:46:26Z Tjv39 88815 Marekebisho madogo. 1507904 wikitext text/x-wiki = Vitabu vya Katuni = [[Faili:DC 2024 flat.svg|thumb|Nembo ya DC Comics (2024 - Sasa)]] Kitabu cha katuni, jarida la katuni, au katuni tu ni uchapishaji unaotengenezwa kwa sanaa ya katuni katika paneli zinazofuatana, ambazo huwakilisha matukio ya kibinafsi. Neno lingine kwa vitabu vya katuni ni riwaya za michoro. Katika paneli zinazofuatana kuna nathari ya maelezo, kwa kawaida mazungumzo au mawazo yaliyomo kwenye puto za maneno au visanduku vya maneno. Kwa kawaida hupangwa katika mfululizo wa matoleo. <ref>{{Cite web|title=LibGuides: Literature and Language Guide: Comic Books & Graphic Novels|url=https://libguides.utpb.edu/c.php?g=1282626&p=9414386|work=libguides.utpb.edu|accessdate=2026-04-21|language=en|author=Margaret Katembe}}</ref> '''Historia ya Vitabu vya Katuni''' Mizizi ya vitabu vya katuni inaweza kufuatiliwa hadi katikati ya karne ya 19. Viliundwa kwa mara ya kwanza kama vipande vya katuni katika magazeti. Moja ya maarufu ya kwanza, nchini Marekani, ilikuwa Famous Funnies, na iliongeza umaarufu wa vitabu vya katuni. Famous Funnies ilichapishwa mwaka 1934.<ref name=":0">{{Cite web|title=The History of American Comic Books|url=https://www.walsworth.com/blog/history-of-american-comic-books|work=Walsworth|date=2024-09-20|accessdate=2026-04-21|language=en-US|author=Will Lubaroff}}</ref> [[Faili:Black Panther Logo Black.svg|thumb|Nembo ya Black Panther (2018)]] Baada ya Famous Funnies, vitabu vya katuni vikawa maarufu sana nchini Marekani, hasa mwaka 1937 na 1938, ambapo Detective Comics na Action Comics zilitolewa. Wahusika kama Batman na Superman walichangia kuingiza vitabu vya katuni na mashujaa katika utamaduni maarufu.<ref name=":0" /> Katika miaka ya hivi karibuni, mashujaa wameonekana katika filamu kubwa kama vile ''Black'' Panther, inayomshirikisha mwigizaji wa Kenya Lupita Nyong’o aliyocheza nafasi ya Nakia<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm2143282/?ref_=ttfc_fcr_4_3|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-21}}</ref>, na mwigizaji wa Uganda Florence Kasumba aliyocheza Ayo<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm0441042/?ref_=ttfc_fcr_4_13|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-21}}</ref>. == Vitabu vya Katuni katika Afrika Mashariki == Historia ya vitabu vya katuni katika Afrika Mashariki haitambuliki sana, ingawa vimetengenezwa kwa miaka mingi tangu katikati ya karne ya 20. Wasanii katika Afrika Mashariki wapo na wameathiriwa na hadithi za jadi na utamaduni wao.<ref>{{Cite web|title=Celebrating the history and growing influence of African comics|url=https://www.theafricareport.com/108274/celebrating-the-history-and-growing-influence-of-african-comics/|work=The Africa Report|date=2021-07-16|accessdate=2026-04-20|language=en|author=Nicolas Michel}}</ref> Hakuna wachapishaji wakubwa katika Afrika Mashariki kama DC au Marvel katika nchi za Magharibi. Badala yake, wasanii wengi huchagua kuchapisha kazi zao kwa kujitegemea kwa usaidizi wa michango. === Etan Comics<ref name=":1">{{Cite web|title=ETAN COMICS {{!}} Home of African Superheroes|url=https://etancomics.com/|work=Etan Comics|accessdate=2026-04-19|language=en-US}}</ref> === Etan Comics ni kampuni ya burudani ya Kiafrika inayofadhiliwa kupitia michango ya jamii. Wanazingatia vitabu vya katuni na riwaya za michoro. Wamechapisha vitabu vingi vya katuni vinavyolenga hadhira tofauti, kuanzia watoto wadogo hadi watu wazima.<ref name=":1" /> Kampuni hii huchapisha kazi za wasanii kutoka kote Afrika kama Ethiopia, Kenya, Congo, Zimbabwe, na wengine wengi. Kitabu kimoja walichochapisha chenye kichwa Carry On: African Folklore & Sci-Fi Anthology kinahusisha wasanii kutoka Kenya, Zimbabwe, Congo, Ethiopia, na wengine kutoka Afrika Mashariki. Ni mkusanyiko wa hadithi za kubuni zinazotokana na utamaduni wa Afrika na matukio halisi.<ref name=":1" /> Carry On ilikusanya dola sitini na tatu elfu kupitia michango na ilipata sifa kutoka kwa wakosoaji.<ref name=":1" /> Kitabu kingine cha katuni kimeundwa na msanii wa Zimbabwe, Bill Masuku. Kazi zake zimeathiriwa na [[manga]], mtindo wa vitabu vya katuni kutoka Japan.<ref name=":1" /> <big>'''[[Terry Hirst]]'''</big> Alikuwa msanii anayeongoza katika Afrika baada ya uhuru, hasa nchini Kenya. Alizaliwa nchini Uingereza tarehe 2 Novemba 1932, lakini alihamia Nairobi, Kenya mwaka 1965 kwa sababu alitaka kufundisha sanaa Afrika.<ref name=":2">{{Cite web|title=Terry Hirst: The Trailblazer Editorial Cartoonist and Comic Author in Kenya|url=https://africanliteratureandcomics.substack.com/p/terry-hirst-the-trailblazer-editorial-590|work=African Literature & Comics|date=2020-07-28|accessdate=2026-04-19|author=Msanii Kimani wa Wanjiru}}</ref> Wakati wa ufundishaji wake nchini Kenya, alifanya kazi kwa Daily Nation kama mchoraji wa katuni katika safu ya kejeli. Alifanya kazi na Hillary Ng’weno na wakaanzisha jarida lenye kichwa ''Joe''.<ref name=":2" /> Baadaye katika kazi yake, alianza kuchora kwa serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali. Kitabu kimoja ni The Kenya Pocket Directory of Trees and Shrubs kwa Kituo cha Kilimo cha Misitu Duniani.<ref name=":2" /> === [[Godfrey Mwampembwa|Gado]] === [[Faili:Godfrey Mwampembwa (26797816700).jpg|thumb|Picha ya Godfrey Mwampembwa]] Godfrey Mwampembwa, anayejulikana kwa jina la kalamu Gado, alizaliwa mwaka 1969. Ni msanii wa katuni za kisiasa kutoka Tanzania. Amefanya kazi katika magazeti mengi tofauti kama Daily Nation (Kenya), The Standard (Kenya), The East African (Kenya), na magazeti mengine duniani.<ref name=":3">{{Cite web|title=Gado|url=https://www.lambiek.net/artists/g/gado.htm|work=lambiek.net|accessdate=2026-04-19|language=en}}</ref> Amepewa tuzo ya International Olympic Media Award kwa vyombo vya habari vya kuchapisha, na aliteuliwa kuwa msanii wa mwaka nchini Kenya mwaka 1999.<ref name=":3" /> r9d8huk7twom05x1fgtz3gjaok3ykq9 1507905 1507904 2026-04-21T03:53:10Z Tjv39 88815 /* Vitabu vya Katuni */ Marekebisho madogo tena. 1507905 wikitext text/x-wiki [[Faili:DC 2024 flat.svg|thumb|Nembo ya DC Comics (2024 - Sasa)]] Kitabu cha katuni, jarida la katuni, au katuni tu ni uchapishaji unaotengenezwa kwa sanaa ya katuni katika paneli zinazofuatana, ambazo huwakilisha matukio ya kibinafsi. Neno lingine kwa vitabu vya katuni ni riwaya za michoro. Katika paneli zinazofuatana kuna nathari ya maelezo, kwa kawaida mazungumzo au mawazo yaliyomo kwenye puto za maneno au visanduku vya maneno. Kwa kawaida hupangwa katika mfululizo wa matoleo. <ref>{{Cite web|title=LibGuides: Literature and Language Guide: Comic Books & Graphic Novels|url=https://libguides.utpb.edu/c.php?g=1282626&p=9414386|work=libguides.utpb.edu|accessdate=2026-04-21|language=en|author=Margaret Katembe}}</ref> '''Historia ya Vitabu vya Katuni''' Mizizi ya vitabu vya katuni inaweza kufuatiliwa hadi katikati ya karne ya 19. Viliundwa kwa mara ya kwanza kama vipande vya katuni katika [[Gazeti|magazeti]]. Moja ya maarufu ya kwanza, nchini Marekani, ilikuwa Famous Funnies, na iliongeza umaarufu wa vitabu vya katuni. Famous Funnies ilichapishwa mwaka 1934.<ref name=":0">{{Cite web|title=The History of American Comic Books|url=https://www.walsworth.com/blog/history-of-american-comic-books|work=Walsworth|date=2024-09-20|accessdate=2026-04-21|language=en-US|author=Will Lubaroff}}</ref> [[Faili:Black Panther Logo Black.svg|thumb|Nembo ya Black Panther (2018)]] Baada ya Famous Funnies, vitabu vya katuni vikawa maarufu sana nchini Marekani, hasa mwaka 1937 na 1938, ambapo Detective Comics na Action Comics zilitolewa. Wahusika kama Batman na Superman walichangia kuingiza vitabu vya katuni na mashujaa katika utamaduni maarufu.<ref name=":0" /> Katika miaka ya hivi karibuni, mashujaa wameonekana katika filamu kubwa kama vile [[Black Panther (filamu)|''Black Panther'']], inayomshirikisha mwigizaji wa Kenya [[Lupita Nyong'o|Lupita Nyong’o]] aliyocheza nafasi ya Nakia<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm2143282/?ref_=ttfc_fcr_4_3|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-21}}</ref>, na mwigizaji wa Uganda [[Florence Kasumba]] aliyocheza Ayo<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm0441042/?ref_=ttfc_fcr_4_13|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-21}}</ref>. == Vitabu vya Katuni katika Afrika Mashariki == Historia ya vitabu vya katuni katika Afrika Mashariki haitambuliki sana, ingawa vimetengenezwa kwa miaka mingi tangu katikati ya karne ya 20. Wasanii katika Afrika Mashariki wapo na wameathiriwa na hadithi za jadi na utamaduni wao.<ref>{{Cite web|title=Celebrating the history and growing influence of African comics|url=https://www.theafricareport.com/108274/celebrating-the-history-and-growing-influence-of-african-comics/|work=The Africa Report|date=2021-07-16|accessdate=2026-04-20|language=en|author=Nicolas Michel}}</ref> Hakuna wachapishaji wakubwa katika Afrika Mashariki kama DC au Marvel katika nchi za Magharibi. Badala yake, wasanii wengi huchagua kuchapisha kazi zao kwa kujitegemea kwa usaidizi wa michango. === Etan Comics<ref name=":1">{{Cite web|title=ETAN COMICS {{!}} Home of African Superheroes|url=https://etancomics.com/|work=Etan Comics|accessdate=2026-04-19|language=en-US}}</ref> === Etan Comics ni kampuni ya burudani ya Kiafrika inayofadhiliwa kupitia michango ya jamii. Wanazingatia vitabu vya katuni na riwaya za michoro. Wamechapisha vitabu vingi vya katuni vinavyolenga hadhira tofauti, kuanzia watoto wadogo hadi watu wazima.<ref name=":1" /> Kampuni hii huchapisha kazi za wasanii kutoka kote Afrika kama Ethiopia, Kenya, Congo, Zimbabwe, na wengine wengi. Kitabu kimoja walichochapisha chenye kichwa ''Carry On: African Folklore & Sci-Fi Anthology'' kinahusisha wasanii kutoka Kenya, Zimbabwe, Congo, Ethiopia, na wengine kutoka Afrika Mashariki. Ni mkusanyiko wa hadithi za kubuni zinazotokana na utamaduni wa Afrika na matukio halisi.<ref name=":1" /> ''Carry On'' ilikusanya dola sitini na tatu elfu kupitia michango na ilipata sifa kutoka kwa wakosoaji.<ref name=":1" /> Kitabu kingine cha katuni kimeundwa na msanii wa Zimbabwe, Bill Masuku. Kazi zake zimeathiriwa na [[manga]], mtindo wa vitabu vya katuni kutoka Japan.<ref name=":1" /> <big>'''[[Terry Hirst]]'''</big> Alikuwa msanii anayeongoza katika Afrika baada ya uhuru, hasa nchini Kenya. Alizaliwa nchini Uingereza tarehe 2 Novemba 1932, lakini alihamia Nairobi, Kenya mwaka 1965 kwa sababu alitaka kufundisha sanaa Afrika.<ref name=":2">{{Cite web|title=Terry Hirst: The Trailblazer Editorial Cartoonist and Comic Author in Kenya|url=https://africanliteratureandcomics.substack.com/p/terry-hirst-the-trailblazer-editorial-590|work=African Literature & Comics|date=2020-07-28|accessdate=2026-04-19|author=Msanii Kimani wa Wanjiru}}</ref> Wakati wa ufundishaji wake nchini Kenya, alifanya kazi kwa [[Daily Nation]] kama mchoraji wa katuni katika safu ya kejeli. Alifanya kazi na Hillary Ng’weno na wakaanzisha jarida lenye kichwa ''Joe''.<ref name=":2" /> Baadaye katika kazi yake, alianza kuchora kwa serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali. Kitabu kimoja ni The Kenya Pocket Directory of Trees and Shrubs kwa Kituo cha Kilimo cha Misitu Duniani.<ref name=":2" /> === [[Godfrey Mwampembwa|Gado]] === [[Faili:Godfrey Mwampembwa (26797816700).jpg|thumb|Picha ya Godfrey Mwampembwa]] Godfrey Mwampembwa, anayejulikana kwa jina la kalamu Gado, alizaliwa mwaka 1969. Ni msanii wa katuni za kisiasa kutoka Tanzania. Amefanya kazi katika magazeti mengi tofauti kama [[Daily Nation]] (Kenya), The Standard (Kenya), The East African (Kenya), na magazeti mengine duniani.<ref name=":3">{{Cite web|title=Gado|url=https://www.lambiek.net/artists/g/gado.htm|work=lambiek.net|accessdate=2026-04-19|language=en}}</ref> Amepewa tuzo ya International Olympic Media Award kwa vyombo vya habari vya kuchapisha, na aliteuliwa kuwa msanii wa mwaka nchini Kenya mwaka 1999.<ref name=":3" /> 0j9tkr0jvuro69paj18wup8hvmiotq3 1508092 1507905 2026-04-21T10:03:49Z Riccardo Riccioni 452 1508092 wikitext text/x-wiki [[Faili:DC 2024 flat.svg|thumb|Nembo ya DC Comics (2024 - Sasa)]] '''Kitabu cha katuni''', jarida la katuni, au katuni tu ni uchapishaji unaotengenezwa kwa sanaa ya katuni katika paneli zinazofuatana, ambazo huwakilisha matukio ya kibinafsi. Neno lingine kwa vitabu vya katuni ni riwaya za michoro. Katika paneli zinazofuatana kuna nathari ya maelezo, kwa kawaida mazungumzo au mawazo yaliyomo kwenye puto za maneno au visanduku vya maneno. Kwa kawaida hupangwa katika mfululizo wa matoleo. <ref>{{Cite web|title=LibGuides: Literature and Language Guide: Comic Books & Graphic Novels|url=https://libguides.utpb.edu/c.php?g=1282626&p=9414386|work=libguides.utpb.edu|accessdate=2026-04-21|language=en|author=Margaret Katembe}}</ref> ==Historia== Mizizi ya vitabu vya katuni inaweza kufuatiliwa hadi katikati ya karne ya 19. Viliundwa kwa mara ya kwanza kama vipande vya katuni katika [[Gazeti|magazeti]]. Moja ya maarufu ya kwanza, nchini Marekani, ilikuwa Famous Funnies, na iliongeza umaarufu wa vitabu vya katuni. Famous Funnies ilichapishwa mwaka 1934.<ref name=":0">{{Cite web|title=The History of American Comic Books|url=https://www.walsworth.com/blog/history-of-american-comic-books|work=Walsworth|date=2024-09-20|accessdate=2026-04-21|language=en-US|author=Will Lubaroff}}</ref> [[Faili:Black Panther Logo Black.svg|thumb|Nembo ya Black Panther (2018)]] Baada ya Famous Funnies, vitabu vya katuni vikawa maarufu sana nchini Marekani, hasa mwaka 1937 na 1938, ambapo Detective Comics na Action Comics zilitolewa. Wahusika kama Batman na Superman walichangia kuingiza vitabu vya katuni na mashujaa katika utamaduni maarufu.<ref name=":0" /> Katika miaka ya hivi karibuni, mashujaa wameonekana katika filamu kubwa kama vile [[Black Panther (filamu)|''Black Panther'']], inayomshirikisha mwigizaji wa Kenya [[Lupita Nyong'o|Lupita Nyong’o]] aliyocheza nafasi ya Nakia<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm2143282/?ref_=ttfc_fcr_4_3|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-21}}</ref>, na mwigizaji wa Uganda [[Florence Kasumba]] aliyocheza Ayo<ref>{{Cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm0441042/?ref_=ttfc_fcr_4_13|work=www.imdb.com|accessdate=2026-04-21}}</ref>. == Vitabu vya Katuni katika Afrika Mashariki == Historia ya vitabu vya katuni katika Afrika Mashariki haitambuliki sana, ingawa vimetengenezwa kwa miaka mingi tangu katikati ya karne ya 20. Wasanii katika Afrika Mashariki wapo na wameathiriwa na hadithi za jadi na utamaduni wao.<ref>{{Cite web|title=Celebrating the history and growing influence of African comics|url=https://www.theafricareport.com/108274/celebrating-the-history-and-growing-influence-of-african-comics/|work=The Africa Report|date=2021-07-16|accessdate=2026-04-20|language=en|author=Nicolas Michel}}</ref> Hakuna wachapishaji wakubwa katika Afrika Mashariki kama DC au Marvel katika nchi za Magharibi. Badala yake, wasanii wengi huchagua kuchapisha kazi zao kwa kujitegemea kwa usaidizi wa michango. === Etan Comics<ref name=":1">{{Cite web|title=ETAN COMICS {{!}} Home of African Superheroes|url=https://etancomics.com/|work=Etan Comics|accessdate=2026-04-19|language=en-US}}</ref> === Etan Comics ni kampuni ya burudani ya Kiafrika inayofadhiliwa kupitia michango ya jamii. Wanazingatia vitabu vya katuni na riwaya za michoro. Wamechapisha vitabu vingi vya katuni vinavyolenga hadhira tofauti, kuanzia watoto wadogo hadi watu wazima.<ref name=":1" /> Kampuni hii huchapisha kazi za wasanii kutoka kote Afrika kama Ethiopia, Kenya, Congo, Zimbabwe, na wengine wengi. Kitabu kimoja walichochapisha chenye kichwa ''Carry On: African Folklore & Sci-Fi Anthology'' kinahusisha wasanii kutoka Kenya, Zimbabwe, Congo, Ethiopia, na wengine kutoka Afrika Mashariki. Ni mkusanyiko wa hadithi za kubuni zinazotokana na utamaduni wa Afrika na matukio halisi.<ref name=":1" /> ''Carry On'' ilikusanya dola sitini na tatu elfu kupitia michango na ilipata sifa kutoka kwa wakosoaji.<ref name=":1" /> Kitabu kingine cha katuni kimeundwa na msanii wa Zimbabwe, Bill Masuku. Kazi zake zimeathiriwa na [[manga]], mtindo wa vitabu vya katuni kutoka Japan.<ref name=":1" /> ===[[Terry Hirst]]=== Alikuwa msanii anayeongoza katika Afrika baada ya uhuru, hasa nchini Kenya. Alizaliwa nchini Uingereza tarehe 2 Novemba 1932, lakini alihamia Nairobi, Kenya mwaka 1965 kwa sababu alitaka kufundisha sanaa Afrika.<ref name=":2">{{Cite web|title=Terry Hirst: The Trailblazer Editorial Cartoonist and Comic Author in Kenya|url=https://africanliteratureandcomics.substack.com/p/terry-hirst-the-trailblazer-editorial-590|work=African Literature & Comics|date=2020-07-28|accessdate=2026-04-19|author=Msanii Kimani wa Wanjiru}}</ref> Wakati wa ufundishaji wake nchini Kenya, alifanya kazi kwa [[Daily Nation]] kama mchoraji wa katuni katika safu ya kejeli. Alifanya kazi na Hillary Ng’weno na wakaanzisha jarida lenye kichwa ''Joe''.<ref name=":2" /> Baadaye katika kazi yake, alianza kuchora kwa serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali. Kitabu kimoja ni The Kenya Pocket Directory of Trees and Shrubs kwa Kituo cha Kilimo cha Misitu Duniani.<ref name=":2" /> === [[Godfrey Mwampembwa|Gado]] === [[Faili:Godfrey Mwampembwa (26797816700).jpg|thumb|Picha ya Godfrey Mwampembwa]] Godfrey Mwampembwa, anayejulikana kwa jina la kalamu Gado, alizaliwa mwaka 1969. Ni msanii wa katuni za kisiasa kutoka Tanzania. Amefanya kazi katika magazeti mengi tofauti kama [[Daily Nation]] (Kenya), The Standard (Kenya), The East African (Kenya), na magazeti mengine duniani.<ref name=":3">{{Cite web|title=Gado|url=https://www.lambiek.net/artists/g/gado.htm|work=lambiek.net|accessdate=2026-04-19|language=en}}</ref> Amepewa tuzo ya International Olympic Media Award kwa vyombo vya habari vya kuchapisha, na aliteuliwa kuwa msanii wa mwaka nchini Kenya mwaka 1999.<ref name=":3" /> [[Jamii:vitabu]] s2tznlocyu6ga8h1mswrwjmmqxhkgg8 You Khin 0 229567 1507832 2026-04-20T20:49:50Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507832 wikitext text/x-wiki '''You Khin''' ([[2 Machi]] [[1947]] – [[9 Agosti]] [[2009]]) alikuwa msanifu majengo na msanii wa Cambodia.<ref name="Koo">{{cite news |last1=Koo |first1=Anna |title=Opening the doors to a Khmer impressionist's treasure trove |url=https://www.phnompenhpost.com/post-weekend/opening-doors-khmer-impressionists-treasure-trove |access-date=26 August 2018 |agency=Phnom Penh Post |date=21 April 2017}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1947]] [[jamii:waliofariki 2009]] [[jamii:wasanii wa Kamboja]] 5ivoz0sjnrubmtop9of1cpx216pxcjv 1507833 1507832 2026-04-20T20:50:11Z AlvinDulle 61179 1507833 wikitext text/x-wiki '''You Khin''' ([[2 Machi]] [[1947]] – [[9 Agosti]] [[2009]]) alikuwa msanifu majengo na msanii wa [[Kamboja|Cambodia]].<ref name="Koo">{{cite news |last1=Koo |first1=Anna |title=Opening the doors to a Khmer impressionist's treasure trove |url=https://www.phnompenhpost.com/post-weekend/opening-doors-khmer-impressionists-treasure-trove |access-date=26 August 2018 |agency=Phnom Penh Post |date=21 April 2017}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1947]] [[jamii:waliofariki 2009]] [[jamii:wasanii wa Kamboja]] 62xkouc10dgw8r998a1t2fjhe9ouobk Tim Brauteseth 0 229568 1507834 2026-04-20T20:51:05Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Timothy James Brauteseth''' ni mchunguzi wa kitaalamu wa masuala ya uhalifu (forensic investigator) na mwanasiasa wa [[Afrika Kusini]] kutoka KwaZulu-Natal. Ni mwanachama wa chama cha Democratic Alliance (DA), na amehudumu kama mjumbe wa kudumu katika Baraza la Kitaifa la Mikoa (National Council of Provinces) tangu Mei 2019.<ref name="Parl">{{cite web|title=Mr Timothy James Brauteseth|url=https://www.parliament.gov.za/person-details/416|website=Parliam...' 1507834 wikitext text/x-wiki '''Timothy James Brauteseth''' ni mchunguzi wa kitaalamu wa masuala ya uhalifu (forensic investigator) na mwanasiasa wa [[Afrika Kusini]] kutoka KwaZulu-Natal. Ni mwanachama wa chama cha Democratic Alliance (DA), na amehudumu kama mjumbe wa kudumu katika Baraza la Kitaifa la Mikoa (National Council of Provinces) tangu Mei 2019.<ref name="Parl">{{cite web|title=Mr Timothy James Brauteseth|url=https://www.parliament.gov.za/person-details/416|website=Parliament of South Africa|accessdate=27 October 2020}}</ref> Kabla ya hapo, alikuwa Mbunge wa Bunge la Taifa la Afrika Kusini kuanzia Mei 2014 hadi Mei 2019.<ref name="News24">{{cite news|last1=Gerber|first1=Jan|title=Some of the new faces in Parliament's 'Shady Pines', the NCOP|url=https://www.news24.com/news24/SouthAfrica/News/some-of-the-new-faces-in-parliaments-shady-pines-the-ncop-20190524|accessdate=27 October 2020|newspaper=News24|date=24 May 2019}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] bqjlmsq1ojpx4h6iy4adgu100l76bpf Lamun Yamakhup 0 229569 1507835 2026-04-20T20:52:10Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507835 wikitext text/x-wiki '''Lamun Yamakhup''' ([[1905]] – [[1982]]) alikuwa mnenguaji wa densi za asili za Kithai. Alisoma katika ukumbi wa michezo wa kifalme katika Jumba la Petchaboon.<ref>{{Citation|title=Lamun Yamakhup's 112th Birthday|url=https://doodles.google/doodle/lamun-yamakhups-112th-birthday/|language=en|access-date=2017-11-21}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1905]] [[jamii:waliofariki 1982]] [[jamii:wasanii wa Thailand]] p991si71b5bygftq2hmdylga4d0vcr5 Ivy Kombo 0 229570 1507836 2026-04-20T20:52:22Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ivy Kombo''' (amezaliwa tarehe 16 Aprili 1975) ni mwanamuziki wa muziki wa injili kutoka [[Zimbabwe]] na mwanasheria anayeishi nchini Uingereza.<ref>{{Cite web|url=[https://earground.com/2021/03/27/celebrating-iconic-zimbabwean-female-gospel-artists/|title=Celebrating](https://earground.com/2021/03/27/celebrating-iconic-zimbabwean-female-gospel-artists/|title=Celebrating) iconic Zimbabwean Female Gospel Artists|date=27 March 2021|first=Fadzai|last=Matha...' 1507836 wikitext text/x-wiki '''Ivy Kombo''' (amezaliwa tarehe 16 Aprili 1975) ni mwanamuziki wa muziki wa injili kutoka [[Zimbabwe]] na mwanasheria anayeishi nchini Uingereza.<ref>{{Cite web|url=[https://earground.com/2021/03/27/celebrating-iconic-zimbabwean-female-gospel-artists/|title=Celebrating](https://earground.com/2021/03/27/celebrating-iconic-zimbabwean-female-gospel-artists/|title=Celebrating) iconic Zimbabwean Female Gospel Artists|date=27 March 2021|first=Fadzai|last=Mathabire}}</ref><ref>{{Cite web|url=[http://enthusemag.com/news/ivy-kombo-breaks-silence-i-am-answerable-only-to-god/|title=Ivy](http://enthusemag.com/news/ivy-kombo-breaks-silence-i-am-answerable-only-to-god/|title=Ivy) Kombo Breaks Silence: I Am Answerable Only To God • #enthuse|date=1 April 2019|first=ImChris|last=Charamba}}</ref> Pia ni mwanzilishi mwenza wa tamasha la injili la ''Nguva Yakwana Gospel Show''.<ref>{{Cite interview|url=[https://www.thestandard.co.zw/2019/06/30/nguva-yakwana-returns-bigger-better/|title=Nguva](https://www.thestandard.co.zw/2019/06/30/nguva-yakwana-returns-bigger-better/|title=Nguva) Yakwana returns bigger and better|publisher=The Standard|date=30 June 2019}}</ref> == Maisha ya awali == Kombo alizaliwa mwaka 1975 mjini Harare, Zimbabwe, na alikulia katika kitongoji cha Glen View 4. Alipata elimu yake ya sekondari katika Shule ya St John's Chikwaka. Mwaka 2006 alihamia nchini Uingereza.<ref>{{Cite web|url=[https://nehandaradio.com/2019/04/01/ivy-kombo-on-why-she-left-for-the-uk/|title=Ivy](https://nehandaradio.com/2019/04/01/ivy-kombo-on-why-she-left-for-the-uk/|title=Ivy) Kombo on why she left for the UK|date=April 1, 2019}}</ref> Alisomea shahada ya sheria (LLB) na uzamili wa sheria ya biashara ya kimataifa (LLM International Commercial Law) katika University of Bedfordshire, pamoja na shahada ya uzamili ya usimamizi wa miradi (MSc Project Management) katika University of Northampton.<ref>{{Cite web|url=[https://bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-58309.html|title=Ivy](https://bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-58309.html|title=Ivy) Kombo-Kasi graduates with a Master's degree in International Commercial Law|website=Bulawayo24 News|accessdate=July 6, 2023}}</ref> == Kazi == Ivy Kombo alianza kuimba akiwa na umri wa miaka 10 akiwa shule ya msingi, na aliandika wimbo wake wa kwanza "Be Thou My Vision" alipokuwa akisoma St John's Chikwaka High School. Wimbo huo uliingizwa katika albamu maarufu ''Mufudzi Wangu'' iliyotolewa mwaka 1994 kama albamu ya kwanza ya kundi la muziki wa injili Ezekiel Guti Evangelical Association (EGEA) Gospel Train. Kundi hilo lilijumuisha Ivy Kombo, pacha wake Anne Kombo na Carol Chivengwa Mujokoro. Kazi yake ya kitaaluma ilianza mwaka 1992 alipoungana na Ezekiel Guti Evangelical Association Gospel Train (EGEA), maarufu kama Gospel Train, lililoanzishwa na Ezekiel Guti na kuongozwa na Admire Kasi.<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/ivy-kombo-an-inspiration-or-not/|title=Ivy](https://www.herald.co.zw/ivy-kombo-an-inspiration-or-not/|title=Ivy) Kombo – An inspiration or not?|first=Fred|last=Zindi|website=The Herald}}</ref> Baadaye Kombo alishiriki kurekodi albamu yake ya kwanza na kundi hilo mwaka 1993 iliyoitwa ''Mufudzi Wangu''. Kundi la EGEA Gospel Train lilitoa albamu nne zilizofanikiwa kati ya mwaka 1992 na 1996: ''Mufudzi Wangu'', ''Ndinokudai Jesu'', ''Vimba naJehovah'' na ''Kutenda''. Karibu mwaka 1996, Kombo na Carol Mujokoro waliondoka kundini ili kuanza kazi za solo. Kati ya mwaka 1993 na 2003, Ivy Kombo alitoa nyimbo kila mwaka.<ref>{{Cite web|url=[https://bulawayo24.com/index-id-news-sc-national-byo-158898.html|title=Ivy](https://bulawayo24.com/index-id-news-sc-national-byo-158898.html|title=Ivy) Kombo back in Zimbabwe|website=Bulawayo24 News}}</ref><ref>{{Cite web|url=[https://www.hmetro.co.zw/ivy-kombo-speaks-love-unity-annoiting/|title=Ivy](https://www.hmetro.co.zw/ivy-kombo-speaks-love-unity-annoiting/|title=Ivy) Kombo speaks love, unity, annoiting|website=H-Metro}}</ref> Akiwa msanii wa kujitegemea, Kombo alitoa nyimbo kadhaa zilizopata umaarufu redioni zikiwemo ''Nguva Yakwana'', ''Handidzokere Shure'', ''Mwari Ndimweya'' na ''Wawana Jesu''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.thestandard.co.zw/2013/08/04/music-comes-first-for-kombo/|title=Music](https://www.thestandard.co.zw/2013/08/04/music-comes-first-for-kombo/|title=Music) comes first for Kombo | The Standard|date=4 August 2013}}</ref> Mwaka 2000, Kombo alikua mkurugenzi wa Gospel Train Records na mwanzilishi mwenza wa matamasha ya injili ya ''Nguva Yakwana Celebrations'' mwaka 2002,<ref>{{Cite web|url=[https://www.thestandard.co.zw/2011/03/26/mixed-reactions-to-waning-popularity-of-gospel-shows/|title=Mixed](https://www.thestandard.co.zw/2011/03/26/mixed-reactions-to-waning-popularity-of-gospel-shows/|title=Mixed) reactions to waning popularity of gospel shows | The Standard|date=26 March 2011}}</ref> yaliyowashirikisha wasanii wa Afrika Kusini kama Thembinkosi, [[Lundi Tyamara]] na Buhle.<ref>{{cite news |author=Guthrie Munyuki |title=Zimbabwe: SA Gospel Greats for Music Extravaganza |url=[https://allafrica.com/stories/200210290487.html](https://allafrica.com/stories/200210290487.html) |access-date=12 February 2023 |work=allAfrica |agency=The Daily News |date=29 October 2002}}</ref> Mwaka 2001, Ivy Kombo alikuwa sehemu ya mpango wa muziki wa Vision 2020 wa Zimbabwe Broadcasting Corporation pamoja na [[Chiwoniso Maraire]] na Busi Ncube. Mwaka 2002, alikuwa mmoja wa waanzilishi wa kundi la Ruvhuvhuto Sisters<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/ruvhuvhuto-sisters-reunion-looks-slim/|title='Ruvhuvhuto](https://www.herald.co.zw/ruvhuvhuto-sisters-reunion-looks-slim/|title='Ruvhuvhuto) Sisters reunion looks slim'|first=The|last=Herald|website=The Herald}}</ref> lililojumuisha pia Plaxedes Wenyika, Fortunate Matenga na marehemu Jackie Madondo.<ref>{{cite web| url = [https://allafrica.com/stories/200801030106.html|](https://allafrica.com/stories/200801030106.html|) url-status = dead| archive-url = [https://web.archive.org/web/20080104044929/http://allafrica.com/stories/200801030106.html|](https://web.archive.org/web/20080104044929/http://allafrica.com/stories/200801030106.html|) archive-date = 2008-01-04| title = allAfrica.com: Zimbabwe: Ruvhuvhuto Sisters' Success Story Short (Page 1 of 1)}}</ref> Mradi wao wa kwanza ulikuwa jingle ya shindano la urembo la Miss Malaika mwaka 2003. == Diskografia == '''Albamu''' Kama sehemu ya EGEA Gospel Train: * ''Mufudzi Wangu'' (1993/1994) * ''Ndinokudai Jesu'' (1994) * ''Vimba naJehovah'' (1995) * ''Kutenda'' (1996) Kama msanii binafsi: * ''Ndaidziwanepi Nyasha'' (1997) * ''Hosanna Wekudenga'' (1998) * ''Denga Rinotaura'' (2000) * ''Nyengetera'' (2000) * ''Mufudzi Wangu Special (2nd Edition)'' (2001) * ''Nguva Yakwana'' (2002)<ref>{{Cite web|url=[https://zimbamusic.co.zw/ivy-kombo-handidzokere-shure/|title=Ivy](https://zimbamusic.co.zw/ivy-kombo-handidzokere-shure/|title=Ivy) Kombo - Handidzokere Shure|date=January 29, 2021}}</ref> * ''Handidzokere Shure Part 1'' (2003) * ''Handidzokere Shure Part 2'' (2003) * ''Two Minutes'' (2008) * ''Like Mt Zion'' (2019)<ref>{{Cite web|url=[https://www.herald.co.zw/ivy-kombo-returns-with-like-mt-zion/|title=Ivy](https://www.herald.co.zw/ivy-kombo-returns-with-like-mt-zion/|title=Ivy) Kombo returns with 'Like Mt Zion'|first=The|last=Herald|website=The Herald}}</ref><ref>{{Cite web|url=[http://gemnation.co.zw/2021/04/20/see-why-mt-zion-by-ivy-kombo-kasi-is-relevant-today-as-it-was-then/|title=See](http://gemnation.co.zw/2021/04/20/see-why-mt-zion-by-ivy-kombo-kasi-is-relevant-today-as-it-was-then/|title=See) why Mt Zion by Ivy Kombo-Kasi is relevant today as it was then | Gemnation|date=April 20, 2021|access-date=27 July 2021}}</ref> * ''The Tribute'' (2021) '''Single''' * ''Ndiyaniko'' (2019) * ''Takazvipihwa'' (2022) == Tuzo == * Msanii Bora wa Injili – Tinotenda Siyabonga Annual Music Awards 2000 * Msanii wa Injili Aliyeuza Zaidi – National Arts Merit Awards 2003 * Msanii Bora wa Kike wa Injili – National Arts Merit Awards 2003<ref>{{Cite web|url=[https://www.pindula.co.zw/NAMA_Awards_2003|title=NAMA](https://www.pindula.co.zw/NAMA_Awards_2003|title=NAMA) Awards 2003|date=February 25, 2018|website=Pindula}}</ref> == Maisha binafsi == Ivy Kombo ameolewa na Admire Kasi, mwanzilishi wa UpperView International Ministries.<ref>{{citation needed|date=July 2023}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1975|}} [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 5k5df9vjuujm0xsn7sm1i2e5bj4tios Wang Panyuan 0 229571 1507837 2026-04-20T20:54:31Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507837 wikitext text/x-wiki '''Wang Panyuan''' ([[1908]] – [[22 Desemba]] [[2017]], akiwa na umri wa miaka 109) alikuwa mchoraji wa Kichina na Taiwan. Mnamo mwaka 2001, alipokea Tuzo ya Kitaifa ya Sanaa ya Taiwan. <ref name="DeAethtn">{{cite news|last1=DeAeth|first1=Duncan|title=Renowned Taiwanese painter Wang Pan-yuan passes away in Yilan County|url=https://www.taiwannews.com.tw/en/news/3326266|accessdate=23 December 2017|work=Taiwan News|date=22 December 2017}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1908]] [[jamii:waliofariki 2017]] [[jamii:wasanii wa China]] fqfpocmedovaq9jki45dsgd1s2py50z Wan Wan 0 229572 1507838 2026-04-20T20:57:06Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507838 wikitext text/x-wiki '''Hu Chia-wei''', anayejulikana zaidi kwa jina lake la usanii Wan Wan, ni mchora katuni, mchoraji wa vielelezo na mwigizaji wa Taiwan. <ref>{{cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm7104948/|title=Wan Wan|website=IMDb|access-date=10 October 2017}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1981]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa China]] 08wq7r9948rqh489gok1oby0ug892zk 1507839 1507838 2026-04-20T20:57:36Z AlvinDulle 61179 1507839 wikitext text/x-wiki '''Hu Chia-wei''', anayejulikana zaidi kwa jina lake la usanii Wan Wan ni mchora katuni, mchoraji wa vielelezo na mwigizaji wa Taiwan. <ref>{{cite web|url=https://www.imdb.com/name/nm7104948/|title=Wan Wan|website=IMDb|access-date=10 October 2017}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1981]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa China]] gy0i9kyusl20g0fvhmnobgtesxymmd7 Dorothy Masuka 0 229573 1507840 2026-04-20T20:58:01Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dorothy Masuka''' (3 Septemba 1935 – 23 Februari 2019) alikuwa mwimbaji wa jazzi wa Afrika Kusini aliyezaliwa Zimbabwe.<ref>{{Cite web |title=Dorothy Masuka {{!}} South African History Online |url=[https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka](https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka) |access-date=2024-10-02 |website=[www.sahistory.org.za](http://www.sahistory.org.za)}}</ref> == Kazi ya muziki == Muziki wa Masuka ulikuwa maarufu nchin...' 1507840 wikitext text/x-wiki '''Dorothy Masuka''' (3 Septemba 1935 – 23 Februari 2019) alikuwa mwimbaji wa jazzi wa Afrika Kusini aliyezaliwa Zimbabwe.<ref>{{Cite web |title=Dorothy Masuka {{!}} South African History Online |url=[https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka](https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka) |access-date=2024-10-02 |website=[www.sahistory.org.za](http://www.sahistory.org.za)}}</ref> == Kazi ya muziki == Muziki wa Masuka ulikuwa maarufu nchini Afrika Kusini katika miaka ya 1950, lakini pale nyimbo zake zilipoanza kuwa na maudhui mazito zaidi, serikali ilianza kumchunguza. Wimbo wake "Dr. Malan", uliogusia sheria ngumu, ulipigwa marufuku, na mwaka 1961 aliimba wimbo kwa ajili ya Patrice Lumumba, jambo lililosababisha kupelekwa uhamishoni.<ref name=":0">{{Cite book|title=Historical dictionary of women in Sub-Saharan Africa|last=Sheldon|first=Kathleen E.|date=2005|publisher=Scarecrow Press|isbn=0810853310|location=Lanham, Md.|oclc=56967121}}</ref> Uhamisho huo ulidumu kwa jumla ya miaka 31, ambapo aliishi Zambia na kufanya kazi kama mhudumu wa ndege. Alirejea Zimbabwe mwaka 1980 baada ya uhuru.<ref name=":0" /> Mnamo Agosti 2011, Dorothy Masuka pamoja na Mfundi Vundla, mtayarishaji wa tamthilia maarufu ya televisheni ya Afrika Kusini ''Generations'', walithibitisha mipango ya kutengeneza filamu kuhusu maisha yake. Filamu hiyo ilitarajiwa kuangazia kipindi cha miaka 1952 hadi 1957.<ref name=B24>{{cite news|title=Dorothy Masuka's life to be captured in film|url=[http://www.bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-6745-article-Dorothy+Masuka's+life+to+be+captured+in+film+.html|accessdate=2](http://www.bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-6745-article-Dorothy+Masuka's+life+to+be+captured+in+film+.html|accessdate=2) November 2011|newspaper=Bulawayo24|date=23 August 2011}}</ref> Tarehe 27 Aprili 2017 alishiriki katika tamasha la muziki "The Jazz Epistles featuring Abdullah Ibrahim & Ekaya" lililofanyika katika ukumbi wa The Town Hall, New York City, ambapo alifungua onesho hilo na kutoa maonyesho yaliyosifiwa sana na kuvutia hadhira.<ref>Bilawsky, Dan, [[https://www.allaboutjazz.com/the-jazz-epistles-featuring-abdullah-ibrahim-and-ekaya-at-the-town-hall-abdullah-ibrahim-by-dan-bilawsky.php](https://www.allaboutjazz.com/the-jazz-epistles-featuring-abdullah-ibrahim-and-ekaya-at-the-town-hall-abdullah-ibrahim-by-dan-bilawsky.php) "The Jazz Epistles Featuring Abdullah Ibrahim & Ekaya At The Town Hall"], ''All About Jazz'', 1 May 2017.</ref> Dorothy Masuka alifariki mjini Johannesburg tarehe 23 Februari 2019 akiwa na umri wa miaka 83.<ref name="death">[[https://www.voazimbabwe.com/a/zimbabwe-dorothy-masuka-dies/4801348.html](https://www.voazimbabwe.com/a/zimbabwe-dorothy-masuka-dies/4801348.html) Veteran Zimbabwe Jazz Maestro Dorothy Masuka Dies]: ''VOA Zimbabwe'' website. Retrieved on 23 February 2019.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1935|2019}} [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] ojgi2bragoai33k6kdqmto2fno132ii 1507841 1507840 2026-04-20T20:59:04Z Valuegirl 87699 1507841 wikitext text/x-wiki '''Dorothy Masuka''' (3 Septemba 1935 – 23 Februari 2019) alikuwa mwimbaji wa jazzi wa [[Afrika Kusini]] aliyezaliwa [[Zimbabwe]].<ref>{{Cite web |title=Dorothy Masuka {{!}} South African History Online |url=[https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka](https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka) |access-date=2024-10-02 |website=[www.sahistory.org.za](http://www.sahistory.org.za)}}</ref> == Kazi ya muziki == Muziki wa Masuka ulikuwa maarufu nchini Afrika Kusini katika miaka ya 1950, lakini pale nyimbo zake zilipoanza kuwa na maudhui mazito zaidi, serikali ilianza kumchunguza. Wimbo wake "Dr. Malan", uliogusia sheria ngumu, ulipigwa marufuku, na mwaka 1961 aliimba wimbo kwa ajili ya Patrice Lumumba, jambo lililosababisha kupelekwa uhamishoni.<ref name=":0">{{Cite book|title=Historical dictionary of women in Sub-Saharan Africa|last=Sheldon|first=Kathleen E.|date=2005|publisher=Scarecrow Press|isbn=0810853310|location=Lanham, Md.|oclc=56967121}}</ref> Uhamisho huo ulidumu kwa jumla ya miaka 31, ambapo aliishi Zambia na kufanya kazi kama mhudumu wa ndege. Alirejea Zimbabwe mwaka 1980 baada ya uhuru.<ref name=":0" /> Mnamo Agosti 2011, Dorothy Masuka pamoja na Mfundi Vundla, mtayarishaji wa tamthilia maarufu ya televisheni ya Afrika Kusini ''Generations'', walithibitisha mipango ya kutengeneza filamu kuhusu maisha yake. Filamu hiyo ilitarajiwa kuangazia kipindi cha miaka 1952 hadi 1957.<ref name=B24>{{cite news|title=Dorothy Masuka's life to be captured in film|url=[http://www.bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-6745-article-Dorothy+Masuka's+life+to+be+captured+in+film+.html|accessdate=2](http://www.bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-6745-article-Dorothy+Masuka's+life+to+be+captured+in+film+.html|accessdate=2) November 2011|newspaper=Bulawayo24|date=23 August 2011}}</ref> Tarehe 27 Aprili 2017 alishiriki katika tamasha la muziki "The Jazz Epistles featuring Abdullah Ibrahim & Ekaya" lililofanyika katika ukumbi wa The Town Hall, New York City, ambapo alifungua onesho hilo na kutoa maonyesho yaliyosifiwa sana na kuvutia hadhira.<ref>Bilawsky, Dan, [[https://www.allaboutjazz.com/the-jazz-epistles-featuring-abdullah-ibrahim-and-ekaya-at-the-town-hall-abdullah-ibrahim-by-dan-bilawsky.php](https://www.allaboutjazz.com/the-jazz-epistles-featuring-abdullah-ibrahim-and-ekaya-at-the-town-hall-abdullah-ibrahim-by-dan-bilawsky.php) "The Jazz Epistles Featuring Abdullah Ibrahim & Ekaya At The Town Hall"], ''All About Jazz'', 1 May 2017.</ref> Dorothy Masuka alifariki mjini Johannesburg tarehe 23 Februari 2019 akiwa na umri wa miaka 83.<ref name="death">[[https://www.voazimbabwe.com/a/zimbabwe-dorothy-masuka-dies/4801348.html](https://www.voazimbabwe.com/a/zimbabwe-dorothy-masuka-dies/4801348.html) Veteran Zimbabwe Jazz Maestro Dorothy Masuka Dies]: ''VOA Zimbabwe'' website. Retrieved on 23 February 2019.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1935|2019}} [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 8oks2hufzrkxtdewhkw23j5qr109f89 1507845 1507841 2026-04-20T21:03:07Z Valuegirl 87699 1507845 wikitext text/x-wiki '''Dorothy Masuka''' (aliyezaliwa 3 Septemba 1935 – aliyefariki23 Februari 2019) alikuwa mwimbaji wa jazzi wa [[Afrika Kusini]] aliyezaliwa [[Zimbabwe]].<ref>{{Cite web |title=Dorothy Masuka {{!}} South African History Online |url=[https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka](https://www.sahistory.org.za/people/dorothy-masuka) |access-date=2024-10-02 |website=[www.sahistory.org.za](http://www.sahistory.org.za)}}</ref> == Kazi ya muziki == Muziki wa Masuka ulikuwa maarufu ndani ya nchi ya Afrika Kusini katika miaka ya 1950, lakini pale nyimbo zake zilipoanza kuwa na maudhui mazito a maalumu zaidi, serikali ilianza kumchunguza. Wimbo wake "Dr. Malan", uliogusia sheria ngumu, ulipigwa marufuku, na mwaka 1961 aliimba wimbo kwa ajili ya Patrice Lumumba, jambo lililosababisha kupelekwa uhamishoni.<ref name=":0">{{Cite book|title=Historical dictionary of women in Sub-Saharan Africa|last=Sheldon|first=Kathleen E.|date=2005|publisher=Scarecrow Press|isbn=0810853310|location=Lanham, Md.|oclc=56967121}}</ref> Uhamisho huo ulidumu kwa jumla ya miaka 31, ambapo aliishi Zambia na kufanya kazi kama mhudumu wa ndege. Alirejea Zimbabwe mwaka 1980 baada ya uhuru.<ref name=":0" /> Mnamo wa tarehe Agosti 2011, Dorothy Masuka pamoja na Mfundi Vundla, mtayarishaji wa tamthilia maarufu ya televisheni ya Afrika Kusini ''Generations'', walithibitisha mipango ya kutengeneza filamu kuhusu maisha yake. Filamu hiyo ilitarajiwa kuangazia kipindi cha mwaka 1952 hadi 1957.<ref name=B24>{{cite news|title=Dorothy Masuka's life to be captured in film|url=[http://www.bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-6745-article-Dorothy+Masuka's+life+to+be+captured+in+film+.html|accessdate=2](http://www.bulawayo24.com/index-id-entertainment-sc-celebrity-byo-6745-article-Dorothy+Masuka's+life+to+be+captured+in+film+.html|accessdate=2) November 2011|newspaper=Bulawayo24|date=23 August 2011}}</ref> Mnamo tarehe 27 Aprili 2017 alishiriki katika tamasha la muziki "The Jazz Epistles featuring Abdullah Ibrahim & Ekaya" lililofanyika katika ukumbi wa The Town Hall, New York City, ambapo alifungua onesho hilo na kutoa maonyesho yaliyosifiwa sana na kupongezwa na kuvutia hadhira.<ref>Bilawsky, Dan, [[https://www.allaboutjazz.com/the-jazz-epistles-featuring-abdullah-ibrahim-and-ekaya-at-the-town-hall-abdullah-ibrahim-by-dan-bilawsky.php](https://www.allaboutjazz.com/the-jazz-epistles-featuring-abdullah-ibrahim-and-ekaya-at-the-town-hall-abdullah-ibrahim-by-dan-bilawsky.php) "The Jazz Epistles Featuring Abdullah Ibrahim & Ekaya At The Town Hall"], ''All About Jazz'', 1 May 2017.</ref> Dorothy Masuka alifariki mjini Johannesburg huko Afrika Kusini tarehe 23 Februari 2019 akiwa na umri wa miaka 83.<ref name="death">[[https://www.voazimbabwe.com/a/zimbabwe-dorothy-masuka-dies/4801348.html](https://www.voazimbabwe.com/a/zimbabwe-dorothy-masuka-dies/4801348.html) Veteran Zimbabwe Jazz Maestro Dorothy Masuka Dies]: ''VOA Zimbabwe'' website. Retrieved on 23 February 2019.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1935|2019}} [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 0u2en73xbdfz7v330t3m33cx97340vp Panya Vijinthanasarn 0 229574 1507842 2026-04-20T20:59:33Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507842 wikitext text/x-wiki '''Panya Vijinthanasarn''' (alizaliwa [[24 Juni]] [[1956]]) ni msanii wa [[Thailand]]. <ref name=BangkokPost>{{cite web|title=12 named as national artists for 2014|url=https://www.bangkokpost.com/thailand/general/458151/12-named-as-national-artists-for-2014|website=[[Bangkok Post]]|date=20 January 2015|archive-url=https://archive.today/20230909142616/https://www.bangkokpost.com/thailand/general/458151/12-named-as-national-artists-for-2014|archive-date=9 September 2023|url-status=live}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1956]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Thailand]] jxcitqruk4fku4t7fymb5q1k710yt4h Kemi Nelson 0 229575 1507843 2026-04-20T21:00:10Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Olukemi''' " '''Kemi''' " '''Nelson''' (9 Februari 1956 - 17 Julai 2022) <ref name=":1">''Ricketts, Olushola (29 September 2015).'' "Again, Kemi Nelson opts for low-key birthday"''. The Nation. Lagos, Nigeria.''</ref> alikuwa mwanasiasa na msosholaiti wa Nigeria. <ref name=":2">''Raphael.'' "Lagos political bigwigs celebrate Kemi Nelson"''. The Sun. Lagos, Nigeria.''</ref> <ref name=":3">''Akinwale, Funsho (22 April 2017).'' "Kemi Nelson gets federal ap...' 1507843 wikitext text/x-wiki '''Olukemi''' " '''Kemi''' " '''Nelson''' (9 Februari 1956 - 17 Julai 2022) <ref name=":1">''Ricketts, Olushola (29 September 2015).'' "Again, Kemi Nelson opts for low-key birthday"''. The Nation. Lagos, Nigeria.''</ref> alikuwa mwanasiasa na msosholaiti wa Nigeria. <ref name=":2">''Raphael.'' "Lagos political bigwigs celebrate Kemi Nelson"''. The Sun. Lagos, Nigeria.''</ref> <ref name=":3">''Akinwale, Funsho (22 April 2017).'' "Kemi Nelson gets federal appointment"''. The Guardian. Lagos, Nigeria. Retrieved 9 March 2021.''</ref> Alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Dhamana ya Kijamii wa Bima ya Nigeria (NSTIF). <ref name=":3" /> <ref>''Ojekunle, Aderemi (3 August 2019).'' "31 of the most high-profile female appointees in Buhari's government"''. Pulse Nigeria. Retrieved 9 March 2021.''</ref> == Maisha ya awali na elimu == Nelson alizaliwa Lagos mnamo tarehe 9 Februari 1956 na alihudhuria Shule ya Sarufi ya Wasichana ya Anglikana, [[Ijebu-Ode]] kwa ajili ya elimu yake ya sekondari. Katika elimu yake ya juu, alihudhuria shule ya Uuguzi katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Ibadan ambapo alihitimu kama Muuguzi na Mkunga aliyesajiliwa. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=CHIEF (MRS) OLUKEMI NELSON|url=http://prohealthhmo.com.ng/chief-mrs-olukemi-nelson/|accessdate=6 March 2021|work=Pro-Health HMO|language=en-US|archivedate=27 July 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200727162357/http://prohealthhmo.com.ng/chief-mrs-olukemi-nelson/}}</ref> <ref name=":4">{{Rejea tovuti|author=Abatti|first=Tolani|date=16 February 2016|title=Kemi Nelson turns 60, disappoints friends|url=http://encomium.ng/kemi-nelson-turns-60-disappoints-friends/|accessdate=9 March 2021|work=Encomium}}</ref> Alipata Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Fedha na Stashahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu cha Jimbo la Lagos Ojo . <ref name=":4" /> == Kazi ya siasa == Katika miaka ya 1980, Nelson alijiunga na Mkutano wa Kitaifa wa Republican (NRC) ambao sasa haupo wakati wa utawala wa [[Ibrahim Babangida|Jenerali Ibrahim Babangida]] . Alikuwa mgombea wa useneta wa [[Lagos|wilaya ya Seneta ya Lagos Magharibi]] mwaka wa 1992 na alishindwa katika kura za maoni na Bola Ahmed Tinubu . <ref name=":42">{{Rejea tovuti|author=Abatti|first=Tolani|date=16 February 2016|title=Kemi Nelson turns 60, disappoints friends|url=http://encomium.ng/kemi-nelson-turns-60-disappoints-friends/|accessdate=9 March 2021|work=Encomium}}</ref> Mnamo 1998, wakati wa utawala wa [[Sani Abacha|Jenerali Abacha]], aligombea Ubunge wa Jimbo la Shirikisho la Ikeja katika bunge, wakati huu, kama mwanachama wa UNCP. Alishinda uchaguzi lakini ulikatishwa na kifo cha Jenerali Abacha. <ref name=":43">{{Rejea tovuti|author=Abatti|first=Tolani|date=16 February 2016|title=Kemi Nelson turns 60, disappoints friends|url=http://encomium.ng/kemi-nelson-turns-60-disappoints-friends/|accessdate=9 March 2021|work=Encomium}}</ref> Mnamo 1999, alijiunga na Alliance for Democracy (AD) na kuanzia 1999 hadi 2003, alihudumu kama Kamishna wa Masuala ya Wanawake na Kupunguza Umaskini [[Jimbo la Lagos|wa Jimbo la Lagos]] wakati wa uongozi wa Bola Ahmed Tinubu na amehudumu kama Kiongozi wa Wanawake wa Tawi la Jimbo la Lagos la Bunge la All Progressives (APC) na baadaye akateuliwa kuwa Kiongozi wa Wanawake wa Kusini Magharibi wa APC. <ref name=":22">''Raphael.'' "Lagos political bigwigs celebrate Kemi Nelson"''. The Sun. Lagos, Nigeria.''</ref>Alikuwa mwanamke pekee aliyekuwa mwanachama wa Baraza la Ushauri la Gavana wa Jimbo la Lagos (GAC). <ref name=":23">''Raphael.'' "Lagos political bigwigs celebrate Kemi Nelson"''. The Sun. Lagos, Nigeria.''</ref> Alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Uendeshaji wa Mfuko wa Dhamana ya Bima ya Jamii wa Nigeria (NSITF) na hapo awali aliongoza Wizara ya Uanzishwaji, Mafunzo na Uundaji wa Ajira. <ref name=":12">''Ricketts, Olushola (29 September 2015).'' "Again, Kemi Nelson opts for low-key birthday"''. The Nation. Lagos, Nigeria.''</ref> <ref>''Oguntoye, Isaac (15 February 2020).'' "Kemi Nelson marks 64th birthday with close friends"''. The Punch.''</ref> == Maisha binafsi == Aliolewa na Adeyemi Nelson, <ref>{{Rejea tovuti|title=When Kemi Nelson's son wedded (2)|work=Encomium Magazine|url=http://encomium.ng/when-kemi-nelsons-son-wedded-2/|accessdate=22 July 2021|language=en-US|date=7 December 2013}}</ref> mkurugenzi mstaafu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Shirikisho. Walifunga ndoa mwaka wa 1981 na wana watoto watatu. <ref name=":44">{{Rejea tovuti|author=Abatti|first=Tolani|date=16 February 2016|title=Kemi Nelson turns 60, disappoints friends|url=http://encomium.ng/kemi-nelson-turns-60-disappoints-friends/|accessdate=9 March 2021|work=Encomium}}</ref> Anajulikana kwa mtindo wake wa nywele uliokatwa kwa ufupi na kofia yake ya kipekee. <ref name=":44" /> <ref>{{Rejea tovuti|date=26 November 2020|title=(Video): Buhari pays special tribute to Kemi Nelson in Aso Rock {{!}} Express Day|url=https://expressday.ng/buhari-pays-special-tribute-to-kemi-nelson-in-aso-rock/|accessdate=9 March 2021|language=en-US}}</ref>. Alifariki tarehe 17 Julai 2022 akiwa na umri wa miaka 66. <ref>''Ajayi, Adebola (17 July 2022).'' "Kemi Nelson, APC women leader and ex-NSITF executive director, is dead"''. Peoples Gazette. Abuja, Nigeria. Retrieved 17 July 2022.''</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1956]] [[Jamii:Waliofariki 2022]] [[Jamii:Wanasiasa wa Nigeria]] 5uilquz15dreykpv3sup78m17qrf3j5 Vân Sơn 0 229576 1507844 2026-04-20T21:01:56Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507844 wikitext text/x-wiki '''Dương Thanh Sơn''' (alizaliwa [[Oktoba 5]], [[1961]]), anayejulikana zaidi kwa jina lake la usanii Vân Sơn, ni mchekeshaji wa [[Vietnam]]-[[Marekani]]. Dương ndiye mwanzilishi na mkurugenzi wa kampuni ya ''Vân Sơn Entertainment''. <ref>[http://www.24h.com.vn/phim/danh-hai-van-son-vo-toi-ghen-voi-ca-dan-ong-c74a670261.html Danh hài Vân Sơn: Vợ tôi ghen với cả đàn ông], 24h.com.</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1961]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Vietnam]] d5t0i7rasn3im549drygnxp1rj3wddk Eeben Barlow 0 229577 1507846 2026-04-20T21:09:31Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Eeben Barlow''' ni mkongwe wa kijeshi wa [[Afrika Kusini]] aliyewahi kuhudumu katika South African Defence Force. Alikuwa naibu kamanda wa kikosi maalum cha wasomi cha 32 Battalion Reconnaissance Wing. Baadaye alihudumu katika Ujasusi wa Kijeshi (Military Intelligence) kama handler wa mawakala, na pia kama operesheni na kamanda wa eneo ndani ya kikosi cha siri cha Civil Cooperation Bureau. Mwaka 1989 alianzisha kampuni ya kijeshi binafsi (PMC) iitwayo...' 1507846 wikitext text/x-wiki '''Eeben Barlow''' ni mkongwe wa kijeshi wa [[Afrika Kusini]] aliyewahi kuhudumu katika South African Defence Force. Alikuwa naibu kamanda wa kikosi maalum cha wasomi cha 32 Battalion Reconnaissance Wing. Baadaye alihudumu katika Ujasusi wa Kijeshi (Military Intelligence) kama handler wa mawakala, na pia kama operesheni na kamanda wa eneo ndani ya kikosi cha siri cha Civil Cooperation Bureau. Mwaka 1989 alianzisha kampuni ya kijeshi binafsi (PMC) iitwayo Executive Outcomes, iliyotoa huduma za kupambana na uasi na pia operesheni za kulinda amani katika Afrika na Asia. Alijiuzulu kutoka kampuni hiyo Julai 1997, na ilifungwa rasmi mwaka 1998.<ref name="Contract warriors">{{Cite book|title=Contract warriors|last=Rosen|first=Fred|date=2005|publisher=Penguin Group (USA), Inc|isbn=978-1-4406-9063-1|location=New York, NY|page=13|oclc=443221138}}</ref> Baadaye alihusishwa na STTEP kama mwenyekiti wa zamani, na pia amekuwa akifundisha masuala ya kijeshi katika vyuo vya ulinzi na vyuo vikuu. Anatajwa mara nyingi kama mmoja wa waanzilishi wa kampuni za kisasa za kijeshi binafsi kutokana na kuanzisha Executive Outcomes.<ref>{{Cite book|title=To stop a warlord : my story of justice, grace, and the fight for peace|last=Davis|first=Shannon Sedgwick|date=2019|isbn=978-0-8129-9592-3|edition=First|location=New York|page=102|oclc=1047524666}}</ref><ref>{{Cite book|title=Organisational Design : What Your University Forgot to Teach You /Andrew Olivier.|last=Olivier|first=Andrew|date=2013|publisher=Xlibris Corp|isbn=978-1-4771-4889-1|location=[Bloomington, Ind.]|page=116|oclc=840535366}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] 8i714447r3hctb4tkbdgksd55pyg8a8 Busi Ncube 0 229578 1507847 2026-04-20T21:11:32Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sibusiswe "Busi" Ncube''' (amezaliwa tarehe 15 Juni 1963)<ref>{{Cite web|date=2018-07-06|title=Busi Ncube|url=[https://www.pindula.co.zw/Busi_Ncube|access-date=2021-10-27|website=Pindula|language=en}}](https://www.pindula.co.zw/Busi_Ncube|access-date=2021-10-27|website=Pindula|language=en}})</ref> ni mwanamuziki wa mbira na mwimbaji wa kike kutoka [[Zimbabwe]], anayeimba katika lugha sita za Kiafrika.<ref>http://www.kontamtv.com/Countries/Zimbabwe.htm...' 1507847 wikitext text/x-wiki '''Sibusiswe "Busi" Ncube''' (amezaliwa tarehe 15 Juni 1963)<ref>{{Cite web|date=2018-07-06|title=Busi Ncube|url=[https://www.pindula.co.zw/Busi_Ncube|access-date=2021-10-27|website=Pindula|language=en}}](https://www.pindula.co.zw/Busi_Ncube|access-date=2021-10-27|website=Pindula|language=en}})</ref> ni mwanamuziki wa mbira na mwimbaji wa kike kutoka [[Zimbabwe]], anayeimba katika lugha sita za Kiafrika.<ref>[[http://www.kontamtv.com/Countries/Zimbabwe.html](http://www.kontamtv.com/Countries/Zimbabwe.html) Konta music television: Musicians from Zimbabwe] {{webarchive |url=[https://web.archive.org/web/20111006064430/http://www.kontamtv.com/Countries/Zimbabwe.html](https://web.archive.org/web/20111006064430/http://www.kontamtv.com/Countries/Zimbabwe.html) |date=October 6, 2011 }}. Iliangaliwa tarehe 18 Januari 2008.</ref> Anapiga gitaa, mbira na ala za midundo.<ref name=":0">{{Cite news|last=MAKOPA|first=FREEMAN|date=February 6, 2021|title=Busi Ncube still in the groove|work=Newsday|url=[https://www.newsday.co.zw/2021/02/busi-ncube-still-in-the-groove/|access-date=26](https://www.newsday.co.zw/2021/02/busi-ncube-still-in-the-groove/|access-date=26) October 2021}}</ref> Alikuwa mwanachama wa kundi la muziki wa Afro-Fusion liitwalo Ilanga; kundi hilo lilitoa albamu tatu katika miaka ya 1980, na lilitumbuiza katika tamasha la 1988 la Human Rights Now!.<ref>[[http://www.embargo.ca/zim/artists/bios/ilanga/index.htm](http://www.embargo.ca/zim/artists/bios/ilanga/index.htm) Music of Zimbabwe: Illanga] Alifanya pia miradi ya muziki wa kujitegemea pamoja na mkusanyiko wa wanamuziki waliojiita THE CLUB. Nyimbo walizofanya kama THE CLUB ni ''Ndaba zakho'' na ''Gondo'', ambazo pia zilikuwa zimeimbwa na Fanyana Dube. {{webarchive |url=[https://web.archive.org/web/20090104234746/http://www.embargo.ca/zim/artists/bios/ilanga/index.htm](https://web.archive.org/web/20090104234746/http://www.embargo.ca/zim/artists/bios/ilanga/index.htm) |date=January 4, 2009 }}. Iliangaliwa tarehe 18 Januari 2009.</ref> Amekuwa katika tasnia ya muziki kwa zaidi ya miaka 34 kama msanii wa kurekodi na kutumbuiza. Mbali na muziki, yeye ni mwalimu kwa taaluma na kwa sasa anafundisha nchini Norway.<ref name=":0" /> Busi na pacha wake, Sipathisiwe, walizaliwa mjini Bulawayo.<ref>[https://www.musicinafrica.net/fr/node/8219](https://www.musicinafrica.net/fr/node/8219)</ref> Ni mama wa watoto wawili, Tendai na Angeline.<ref>{{Cite web|date=2018-07-06|title=Busi Ncube|url=[https://www.pindula.co.zw/Busi_Ncube|access-date=2021-10-26|website=Pindula|language=en}}](https://www.pindula.co.zw/Busi_Ncube|access-date=2021-10-26|website=Pindula|language=en}})</ref> Baadaye Ncube alirekodi albamu nane akiwa na bendi ya usaidizi iitwayo "Rain", zikiwemo ''Malaisha'' na ''Live in Prague''. Wimbo wake maarufu zaidi ni ''True Love'' aliorekodi alipokuwa na bendi ya Ilanga.<ref>[[http://www.dandemutande.org/Catalog/?cat=Music&artist=NcubeBusi#Malaisha](http://www.dandemutande.org/Catalog/?cat=Music&artist=NcubeBusi#Malaisha) Busi Ncube albums]. Iliangaliwa tarehe 18 Januari 2009.</ref> Bendi hiyo ilifanya ziara nchini Norway mwaka 2006 na kushiriki katika Tamasha la Mela.<ref>[[http://www.thezimbabwean.co.uk/index.php?option=com_content&task=view&id=5340&Itemid=101](http://www.thezimbabwean.co.uk/index.php?option=com_content&task=view&id=5340&Itemid=101) "Busi and Dudu thrill Harare audiences"]. 23/11/06. ''The Zimbabwean''.</ref><ref>[[http://www.peakperformances.co.za/2007/05/07/collaborations-urombo-zimbabwe/#more-209](http://www.peakperformances.co.za/2007/05/07/collaborations-urombo-zimbabwe/#more-209) The Collaboration’s Urombo - Zimbabwe] {{webarchive |url=[https://web.archive.org/web/20110723120408/http://www.peakperformances.co.za/2007/05/07/collaborations-urombo-zimbabwe/#more-209](https://web.archive.org/web/20110723120408/http://www.peakperformances.co.za/2007/05/07/collaborations-urombo-zimbabwe/#more-209) |date=July 23, 2011 }}. Peak People: An inside look blog. Iliangaliwa tarehe 18 Januari 2009.</ref> Ncube pia amechangia katika mradi mwingine wa Thulani, albamu ya ushirikiano wa wasanii wengi iitwayo ''Hupenyu Kumusha/Life at Home'', iliyotolewa mwaka 2006, iliyowashirikisha wanamuziki kadhaa mashuhuri wa Zimbabwe akiwemo Chiwoniso Maraire, Roger Mbambo, Adam Chisvo na Mashasha.<ref>[[http://www.dandemutande.org/Catalog/?cat=Music&artist=Collaboration](http://www.dandemutande.org/Catalog/?cat=Music&artist=Collaboration) "The Collaboration"] {{Webarchive|url=[https://web.archive.org/web/20070823060635/http://www.dandemutande.org/Catalog/?cat=Music&artist=Collaboration](https://web.archive.org/web/20070823060635/http://www.dandemutande.org/Catalog/?cat=Music&artist=Collaboration) |date=2007-08-23 }}. Iliangaliwa tarehe 18 Januari 2009.</ref> Kwa sasa Busi hugawanya muda wake kati ya Harare na Oslo, ambako hufundisha na kutumbuiza. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1963|}} [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 7t0oczp59xinvh2jm5jvspvdiofdw2l Kayza Massey 0 229579 1507848 2026-04-20T21:18:14Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kayza Ayine Ka-A Massey''' (alizaliwa [[2 Februari|Februari 2]], [[2001]]) ni mchezaji wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kitaalamu ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Reims ya Ufaransa katika Ligi Kuu . Alizaliwa Ghana, anaiwakilisha Kanada katika ngazi ya kimataifa. == Maisha ya awali == Massey alizaliwa [[Walewale]], Ghana <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.stade-de-reims.com/kayza-massey-est-remoise/|title=Kayza Massey est Rémoise !|date=January 29,...' 1507848 wikitext text/x-wiki '''Kayza Ayine Ka-A Massey''' (alizaliwa [[2 Februari|Februari 2]], [[2001]]) ni mchezaji wa [[Mpira wa miguu|soka]] wa kitaalamu ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Reims ya Ufaransa katika Ligi Kuu . Alizaliwa Ghana, anaiwakilisha Kanada katika ngazi ya kimataifa. == Maisha ya awali == Massey alizaliwa [[Walewale]], Ghana <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.stade-de-reims.com/kayza-massey-est-remoise/|title=Kayza Massey est Rémoise !|date=January 29, 2024|language=fr|work=Stade de Reims}}</ref> na kukulia katika kituo cha watoto yatima, hadi alipolelewa akiwa na umri wa mwezi mmoja na mwanamke Mkanada ambaye alikuwa akifanya kazi nchini Ghana na [[UNICEF]] . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://inside.fifa.com/news/kayza-massey-from-the-orphanage-to-the-world-cup-2842324|title=Kayza Massey: From the orphanage to the World Cup|date=October 11, 2016|work=[[FIFA]]}}</ref> Alilelewa Ottawa, Kanada <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thedaonline.com/sports/womens_soccer/massey-and-the-mountaineers-trying-to-create-change-one-game-at-a-time/article_1904ebb8-3b56-11ec-89d0-eba0efe10909.html|title=Massey and the Mountaineers trying to create change one game at a time|first=Wesley|author=Shoemaker|date=November 4, 2021|work=[[The Daily Athenaeum]]}}</ref> na alianza kucheza soka ya vijana na Ottawa Gloucester Hornets, kabla ya baadaye kujiunga na Ottawa South United mwaka wa 2015. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://ottawasportspages.ca/2016/12/01/ottawa-sportspage-cover-story-from-orphan-to-champion/|title=Ottawa Sportspage cover story: From Orphan, to Champion|date=December 1, 2016|first=Dan|author=Plouffe|work=Ottawa Sportspages}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://ottawasun.com/2016/11/01/ottawa-goalkeeper-kayza-massey-gets-international-call-for-ghana|title=Ottawa goalkeeper Kayza Massey gets international call for Ghana|first=Martin|author=Cleary|date=November 1, 2016|work=[[Ottawa Sun]]}}</ref> Mnamo Novemba 2017, alianza kucheza na mpango wa Ontario EXCEL . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://ottawasportspages.ca/2017/11/30/osu-force-academy-zone-3-osu-players-join-excel-program/|title=OSU Force Academy Zone: 3 OSU players join EXCEL Program|date=November 30, 2017|work=Ottawa Sportspages}}</ref> Mnamo 2017, alichezea Timu ya Ontario katika Michezo ya Majira ya Joto ya Kanada ya 2017, akishinda medali ya fedha. <ref name="mountain">{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/sports/womens-soccer/roster/kayza-massey/17235|title=Kayza Massey West Virginia profile|work=[[West Virginia Mountaineers]]}}</ref> == Kazi == Mnamo mwaka wa 2019, Massey alianza kuhudhuria Chuo Kikuu cha West Virginia, ambapo alichezea timu ya soka ya wanawake . Alicheza kwa mara ya kwanza chuoni mnamo Septemba 12, 2019 dhidi ya Stony Brook Seawolves . <ref name="mountain2">{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/sports/womens-soccer/roster/kayza-massey/17235|title=Kayza Massey West Virginia profile|work=[[West Virginia Mountaineers]]}}</ref> Mwishoni mwa msimu wake wa mwaka wa kwanza, aliteuliwa kuwa mmoja wa Timu ya Vijana wapya wa Academic All-Big 12. <ref name="mountain2" /> Katika msimu wa 2020-21, alikua kipa wa mwanzo wa timu hiyo. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.wboy.com/goldandbluenation/wvu-goalkeeper-kayza-massey-makes-sportscenter-top-10-for-reaching-save-vs-virginia/|title=WVU goalkeeper Kayza Massey makes SportsCenter Top 10 for reaching save vs. Virginia|first=Sam|author=Coniglio|date=April 11, 2021|work=[[WBOY-TV]]}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thedaonline.com/sports/womens_soccer/massey-continues-to-be-a-difference-maker-in-net-for-wvu/article_8d02728e-05d1-11ec-b6d4-83484247a260.html|title=Massey continues to be a difference maker in net for WVU|date=August 26, 2021|first=Wesley|author=Shoemaker|work=[[The Daily Athenaeum]]}}</ref> Aliteuliwa katika Timu ya Kwanza ya Academic All-Big 12 mwishoni mwa msimu. <ref name="mountain3">{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/sports/womens-soccer/roster/kayza-massey/17235|title=Kayza Massey West Virginia profile|work=[[West Virginia Mountaineers]]}}</ref> Kabla ya msimu wake wa tatu, aliteuliwa kuwa Kipa Bora wa Wiki wa Makipa 12 wa Kabla ya Msimu. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/news/2021/8/3/womens-soccer-brewster-massey-named-to-preseason-all-big-12-team.aspx|title=Brewster, Massey Named to Preseason All-Big 12 Team|date=August 3, 2021|work=[[West Virginia Mountaineers]]|first=Olivia|author=Sneed}}</ref> Mnamo Oktoba 2021, aliteuliwa kuwa Kipa Bora wa Wiki wa Makipa 12 wa Makipa. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.wboy.com/goldandbluenation/wvu-goalkeeper-kayza-massey-named-big-12-goalkeeper-of-the-week/|title=WVU goalkeeper Kayza Massey named Big 12 Goalkeeper of the Week|date=October 26, 2021|work=[[WBOY-TV]]}}</ref> Mnamo Oktoba 2021, aliteuliwa kuwa Kipa Bora wa Wiki wa Makipa 12 wa Makipa na Mchezaji Bora wa Wiki wa Makocha wa Soka wa United. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/news/2021/10/26/womens-soccer-massey-collects-big-12-honor.aspx|title=Massey Collects Big 12 Honor|date=October 26, 2021|work=[[West Virginia Mountaineers]]|first=Olivia|author=Sneed}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/news/2021/10/27/womens-soccer-massey-honored-by-united-soccer-coaches.aspx|title=Massey Honored by United Soccer Coaches|date=October 27, 2021|work=[[West Virginia Mountaineers]]|first=Olivia|author=Sneed}}</ref> Mwishoni mwa msimu, aliteuliwa kuwa Kipa Bora wa Pili wa Makipa 12 wa Makipa na Timu ya Kwanza ya Makipa Bora wa Makipa 12 wa Makipa wa Kitaifa. <ref name="mountain4">{{Rejea tovuti|url=https://wvusports.com/sports/womens-soccer/roster/kayza-massey/17235|title=Kayza Massey West Virginia profile|work=[[West Virginia Mountaineers]]}}</ref> Mnamo Januari 2024, Massey alisaini mkataba wa kitaalamu na klabu ya Ufaransa Reims katika Ligi Kuu hadi mwisho wa msimu wa 2023-24. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.bluegoldsports.com/2024/01/29/former-mountaineer-kayza-massey-signs-professional-contract-with-stade-de-reims/|title=Former Mountaineer Kayza Massey signs professional contract with Stade de Reims|first=Mark|author=Wratchford|date=January 29, 2024|work=Blue Gold Sports}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.lunion.fr/id563299/article/2024-01-29/le-stade-de-reims-recrute-une-gardienne-canadienne-jusqua-la-fin-de-la-saison|title=Le Stade de Reims recrute une gardienne canadienne jusqu'à la fin de la saison|language=fr|date=January 29, 2024|work=L'Union}}</ref> == Kazi ya kimataifa == Mnamo 2016, Massey alitajwa kwenye orodha ya wachezaji wa Ghana walio chini ya umri wa miaka 17 kwa ajili ya Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la 2016 U-17 . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.ghanacelebrities.com/2016/10/12/touching-story-ghanas-black-maidens-goalkeeper-kayza-massey-orphanage-world-cup/|title=The Touching Story Of Ghana's Black Maiden's Goalkeeper Kayza Massey – From The Orphanage To The World Cup|date=October 12, 2016|work=Ghana Celebrities|first=Nii Smiley|author=Byte}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://sportsworldghana.com/kayza-massey-is-a-fantastic-goalkeeper-escobar/|title=Kayza Massey is a 'Fantastic' Goalkeeper- Escobar|first=David|author=Stevenson Manu|date=February 11, 2017|work=Sports World Ghana}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://ghanasoccernet.com/ghanas-u17-female-goalkeeper-kayza-massey-honoured-in-canada|title=Ghana's U17 female goalkeeper Kayza Massey honoured in Canada|date=January 24, 2017|work=Ghana Soccernet}}</ref> Mnamo 2018, alibadilisha uaminifu wa kimataifa ili kuanza kuiwakilisha Kanada. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.ctvnews.ca/sports/from-ghana-to-canada-goalkeeper-kayza-massey-looks-to-make-a-difference-1.4191323?cache=%3FclipId%3D89619|title=From Ghana to Canada, goalkeeper Kayza Massey looks to make a difference|first=Neil|author=Davidson|date=November 24, 2018|work=[[CTV News]]}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://ghanasoccernet.com/u17-female-goalkeeper-kayza-massey-snubs-ghana-pledges-allegiance-to-canada|title=Breaking News: Ghana U17 female keeper Massey snubs country, pledges allegiance to Canada|date=October 9, 2018|work=Ghana Soccernet}}</ref> Mnamo Novemba 2018, aliitwa kwenye programu ya kitaifa ya Kanada kwa mara ya kwanza kwa kambi na timu ya Kanada ya U17 . Kisha baadaye alitajwa kwenye orodha ya wachezaji wa Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la U-17 la 2018. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://ottawasportspages.ca/2018/12/15/3-osu-products-play-at-u17-womens-world-cup/|title=3 OSU products play at U17 Women's World Cup|date=December 15, 2018|work=Ottawa Sportspages}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Wachezaji wa Nigeria]] tsxxmnmhuje8r8w0vopqgtix9hs87rb Gemma Griffiths 0 229580 1507849 2026-04-20T21:19:59Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gemma Griffiths''' ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtangazaji wa podikasti kutoka Zimbabwe, anayejulikana zaidi kwa kazi zake binafsi za muziki wa Afro-pop na Afro-fusion, pamoja na ushirikiano wake na wasanii mashuhuri wa Afrika. Anatambuliwa kwa kuchanganya muziki wa kisasa wa R&B na athari za muziki wa jadi wa Zimbabwe, na kwa mchango wake katika tasnia ya sanaa bunifu barani Afrika.<ref>{{Cite web |title=Gemma Giffiths is the Girl from Harare with...' 1507849 wikitext text/x-wiki '''Gemma Griffiths''' ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtangazaji wa podikasti kutoka Zimbabwe, anayejulikana zaidi kwa kazi zake binafsi za muziki wa Afro-pop na Afro-fusion, pamoja na ushirikiano wake na wasanii mashuhuri wa Afrika. Anatambuliwa kwa kuchanganya muziki wa kisasa wa R&B na athari za muziki wa jadi wa Zimbabwe, na kwa mchango wake katika tasnia ya sanaa bunifu barani Afrika.<ref>{{Cite web |title=Gemma Giffiths is the Girl from Harare with Global Ambitions |work=Rolling Stone Africa |url=[https://rollingstoneafrica.com/music/music-features/gemma-giffiths-is-the-girl-from-harare-with-global-ambitions/](https://rollingstoneafrica.com/music/music-features/gemma-giffiths-is-the-girl-from-harare-with-global-ambitions/) |access-date=2025-08-10 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Zindi |first=Fred |title=What makes Gemma Griffiths a global phenomenon |url=[https://www.newsday.co.zw/thestandard/standard-style/article/200041214/what-makes-gemma-griffiths-a-global-phenomenon](https://www.newsday.co.zw/thestandard/standard-style/article/200041214/what-makes-gemma-griffiths-a-global-phenomenon) |access-date=2025-08-10 |website=The Standard |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |date=2025-05-22 |title=Future of Music 2025: Meet Rolling Stone Africa's Artists |url=[https://au.rollingstone.com/music/music-features/future-of-music-2025-meet-rolling-stone-africas-artists-77138/](https://au.rollingstone.com/music/music-features/future-of-music-2025-meet-rolling-stone-africas-artists-77138/) |access-date=2025-08-10 |website=Rolling Stone Australia |language=en-AU}}</ref> == Maisha ya awali na kazi == Griffiths alizaliwa na kukulia [[Harare]], Zimbabwe.<ref>{{Cite web |last=Nxumalo |first=Lee |date=2022-01-28 |title=Gemma Griffiths is A Girl from Harare |work=Bubblegum Club |url=[https://bubblegumclub.co.za/music/gemma-griffiths-is-a-girl-from-harare/](https://bubblegumclub.co.za/music/gemma-griffiths-is-a-girl-from-harare/) |access-date=2025-08-10 |language=en-ZA}}</ref> Alianza kuvutiwa na muziki akiwa na umri mdogo na baadaye akaanza kuandika na kutumbuiza nyimbo zake mwenyewe zilizoakisi asili yake ya kitamaduni. Mtindo wake wa muziki unajumuisha Afro-pop, Afro-fusion na vipengele vya muziki wa kisasa wa Afrika.<ref>{{Cite web |date=2023-08-01 |title=Culture Connection Presents Gemma Griffiths |url=[https://etvnews.com/articles/community-events/culture-connection-presents-gemma-griff/](https://etvnews.com/articles/community-events/culture-connection-presents-gemma-griff/) |access-date=2025-08-10 |website=ETV News}}</ref> == Kazi ya muziki == Griffiths alipata umaarufu wa awali baada ya kutoa wimbo wake "Don't Worry", uliopokelewa vyema na vyombo vya habari kwa mtindo wake wa Afro-pop na ujumbe wa kutia moyo.<ref>{{cite web |title=Don't Worry is Gemma Griffiths' ode to living in the moment |url=[https://texxandthecity.com/2022/02/dont-worry-is-gemma-griffiths-ode-to-living-in-the-moment/](https://texxandthecity.com/2022/02/dont-worry-is-gemma-griffiths-ode-to-living-in-the-moment/) |access-date=2025-08-09 |website=Texx and the City |date=17 February 2022 }}</ref> Baadaye alitoa EP yake ya kwanza ''A Girl from Harare'', kazi inayojikita katika utambulisho, uanawake na uhalisia wa kisasa wa Kiafrika, ikichanganya athari za jadi za Zimbabwe na uzalishaji wa kisasa wa R&B na Afro-pop.<ref>{{cite web |title=Gemma Griffiths' new EP ''A Girl from Harare'' is a vibrant contemporary Afro-pop exploration of the continent |url=[https://texxandthecity.com/2022/02/gemma-griffiths-new-ep-a-girl-from-harare-is-a-vibrant-contemporary-afro-pop-exploration-of-the-continent/](https://texxandthecity.com/2022/02/gemma-griffiths-new-ep-a-girl-from-harare-is-a-vibrant-contemporary-afro-pop-exploration-of-the-continent/) |access-date=2025-08-09 |website=Texx and the City |date=4 February 2022 }}</ref><ref>{{Cite web |date=2022-01-28 |title=Zim: Listen to Gemma Griffiths' A Girl From Harare EP |url=[https://www.musicinafrica.net/magazine/zim-listen-gemma-griffiths-girl-harare-ep](https://www.musicinafrica.net/magazine/zim-listen-gemma-griffiths-girl-harare-ep) |access-date=2025-08-10 |website=Music In Africa |language=en}}</ref> Mbali na kazi zake binafsi, Griffiths ameshirikiana na wasanii kadhaa wakubwa wa Afrika. Alifanya kazi na mtayarishaji wa Afrika Kusini Prince Kaybee katika wimbo "Sorry Not Sorry".<ref>{{cite web |title=SA's Prince Kaybee features Gemma Griffiths on new single "Sorry Not Sorry" |url=[https://www.musicinafrica.net/magazine/sa-prince-kaybee-features-gemma-griffiths-new-single-sorry-not-sorry](https://www.musicinafrica.net/magazine/sa-prince-kaybee-features-gemma-griffiths-new-single-sorry-not-sorry) |access-date=2025-08-09 |website=Music In Africa |date=2 August 2024 }}</ref> Pia ameshirikiana na mwanamuziki wa Zimbabwe Baba Harare katika nyimbo kadhaa, zikiwemo "Ndini Ndinaye" (2023) na "Couple of the Year" (2025).<ref>{{Cite web |title=Baba Harare – Ndini Ndinaye (feat. Gemma Griffiths) |url=[https://music.apple.com/us/song/ndini-ndinaye-feat-gemma-griffiths/1711760859](https://music.apple.com/us/song/ndini-ndinaye-feat-gemma-griffiths/1711760859) |access-date=2025-12-08 |website=Apple Music}}</ref><ref>{{Cite web |title=Baba Harare – Couple of the Year (feat. Gemma Griffiths) |url=[https://open.spotify.com/track/2bfDMADiAT7G0eelwdui2S](https://open.spotify.com/track/2bfDMADiAT7G0eelwdui2S) |access-date=2025-12-08 |website=Spotify}}</ref> Aidha, amefanya kazi na kutumbuiza pamoja na msanii wa dancehall wa Zimbabwe [[Winky D]], jambo lililoongeza umaarufu wake katika tasnia ya muziki wa kisasa wa Zimbabwe.<ref>{{Cite web |title=Winky D, Gemma rekindle stage romance |url=[https://dailynews.co.zw/winky-d-gemma-rekindle-stage-romance/](https://dailynews.co.zw/winky-d-gemma-rekindle-stage-romance/) |access-date=2025-08-10 |website=Daily News}}</ref> Mnamo Januari 2025, alitoa wimbo "Mhaka", uliotumika kama wimbo mkuu wa albamu yake ya kwanza ya studio inayobeba jina lake.<ref>{{Cite web |title=Gemma unveils new single ahead of debut album |url=[https://www.newsday.co.zw/life-amp-style/article/200037632/gemma-unveils-new-single-ahead-of-debut-album](https://www.newsday.co.zw/life-amp-style/article/200037632/gemma-unveils-new-single-ahead-of-debut-album) |access-date=2025-08-10 |website=NewsDay |language=en}}</ref> === Podikasti na kazi nyingine === Mbali na muziki, Griffiths huendesha podikasti iitwayo ''Hello Hi with Gemma'', inayojumuisha mazungumzo ya kina na wabunifu na wasanii wa Kiafrika.<ref>{{cite web |title=Musician Gemma Griffiths launches podcast 'Hello Hi with Gemma' to celebrate African creatives |url=[https://www.heraldonline.co.zw/watch-musician-gemma-griffiths-launches-podcast-hello-hi-with-gemma-to-celebrate-african-creatives/](https://www.heraldonline.co.zw/watch-musician-gemma-griffiths-launches-podcast-hello-hi-with-gemma-to-celebrate-african-creatives/) |access-date=2025-08-09 |website=Herald Online |date=9 February 2025 }}</ref> Pia alikuwa mhusika mkuu wa filamu ya kumbukumbu ''A Girl from Harare'', inayofuatilia safari yake ya muziki katika nchi mbalimbali za Afrika na kuwashirikisha wasanii kama [[Winky D]].<ref>{{cite web |title=Gemma unleashes life history doccie |url=[https://www.heraldonline.co.zw/gemma-unleashes-life-history-doccie/](https://www.heraldonline.co.zw/gemma-unleashes-life-history-doccie/) |access-date=2025-08-09 |website=Herald Online |date=4 December 2021 }}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''Gemma The Album'' (2025) === EP === * ''A Girl from Harare'' === Nyimbo teule === * "Don't Worry" * "Sorry Not Sorry" (akiwa na Prince Kaybee) * "Ndini Ndinaye" (akiwa na Baba Harare) * "Couple of the Year" (akiwa na Baba Harare) * "Mhaka" == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 6nsxp801xtmoz7m9kilzu69cu4aqozx 1507850 1507849 2026-04-20T21:20:34Z Valuegirl 87699 1507850 wikitext text/x-wiki '''Gemma Griffiths''' ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtangazaji wa podikasti kutoka [[Zimbabwe]], anayejulikana zaidi kwa kazi zake binafsi za muziki wa Afro-pop na Afro-fusion, pamoja na ushirikiano wake na wasanii mashuhuri wa Afrika. Anatambuliwa kwa kuchanganya muziki wa kisasa wa R&B na athari za muziki wa jadi wa Zimbabwe, na kwa mchango wake katika tasnia ya sanaa bunifu barani Afrika.<ref>{{Cite web |title=Gemma Giffiths is the Girl from Harare with Global Ambitions |work=Rolling Stone Africa |url=[https://rollingstoneafrica.com/music/music-features/gemma-giffiths-is-the-girl-from-harare-with-global-ambitions/](https://rollingstoneafrica.com/music/music-features/gemma-giffiths-is-the-girl-from-harare-with-global-ambitions/) |access-date=2025-08-10 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Zindi |first=Fred |title=What makes Gemma Griffiths a global phenomenon |url=[https://www.newsday.co.zw/thestandard/standard-style/article/200041214/what-makes-gemma-griffiths-a-global-phenomenon](https://www.newsday.co.zw/thestandard/standard-style/article/200041214/what-makes-gemma-griffiths-a-global-phenomenon) |access-date=2025-08-10 |website=The Standard |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |date=2025-05-22 |title=Future of Music 2025: Meet Rolling Stone Africa's Artists |url=[https://au.rollingstone.com/music/music-features/future-of-music-2025-meet-rolling-stone-africas-artists-77138/](https://au.rollingstone.com/music/music-features/future-of-music-2025-meet-rolling-stone-africas-artists-77138/) |access-date=2025-08-10 |website=Rolling Stone Australia |language=en-AU}}</ref> == Maisha ya awali na kazi == Griffiths alizaliwa na kukulia [[Harare]], Zimbabwe.<ref>{{Cite web |last=Nxumalo |first=Lee |date=2022-01-28 |title=Gemma Griffiths is A Girl from Harare |work=Bubblegum Club |url=[https://bubblegumclub.co.za/music/gemma-griffiths-is-a-girl-from-harare/](https://bubblegumclub.co.za/music/gemma-griffiths-is-a-girl-from-harare/) |access-date=2025-08-10 |language=en-ZA}}</ref> Alianza kuvutiwa na muziki akiwa na umri mdogo na baadaye akaanza kuandika na kutumbuiza nyimbo zake mwenyewe zilizoakisi asili yake ya kitamaduni. Mtindo wake wa muziki unajumuisha Afro-pop, Afro-fusion na vipengele vya muziki wa kisasa wa Afrika.<ref>{{Cite web |date=2023-08-01 |title=Culture Connection Presents Gemma Griffiths |url=[https://etvnews.com/articles/community-events/culture-connection-presents-gemma-griff/](https://etvnews.com/articles/community-events/culture-connection-presents-gemma-griff/) |access-date=2025-08-10 |website=ETV News}}</ref> == Kazi ya muziki == Griffiths alipata umaarufu wa awali baada ya kutoa wimbo wake "Don't Worry", uliopokelewa vyema na vyombo vya habari kwa mtindo wake wa Afro-pop na ujumbe wa kutia moyo.<ref>{{cite web |title=Don't Worry is Gemma Griffiths' ode to living in the moment |url=[https://texxandthecity.com/2022/02/dont-worry-is-gemma-griffiths-ode-to-living-in-the-moment/](https://texxandthecity.com/2022/02/dont-worry-is-gemma-griffiths-ode-to-living-in-the-moment/) |access-date=2025-08-09 |website=Texx and the City |date=17 February 2022 }}</ref> Baadaye alitoa EP yake ya kwanza ''A Girl from Harare'', kazi inayojikita katika utambulisho, uanawake na uhalisia wa kisasa wa Kiafrika, ikichanganya athari za jadi za Zimbabwe na uzalishaji wa kisasa wa R&B na Afro-pop.<ref>{{cite web |title=Gemma Griffiths' new EP ''A Girl from Harare'' is a vibrant contemporary Afro-pop exploration of the continent |url=[https://texxandthecity.com/2022/02/gemma-griffiths-new-ep-a-girl-from-harare-is-a-vibrant-contemporary-afro-pop-exploration-of-the-continent/](https://texxandthecity.com/2022/02/gemma-griffiths-new-ep-a-girl-from-harare-is-a-vibrant-contemporary-afro-pop-exploration-of-the-continent/) |access-date=2025-08-09 |website=Texx and the City |date=4 February 2022 }}</ref><ref>{{Cite web |date=2022-01-28 |title=Zim: Listen to Gemma Griffiths' A Girl From Harare EP |url=[https://www.musicinafrica.net/magazine/zim-listen-gemma-griffiths-girl-harare-ep](https://www.musicinafrica.net/magazine/zim-listen-gemma-griffiths-girl-harare-ep) |access-date=2025-08-10 |website=Music In Africa |language=en}}</ref> Mbali na kazi zake binafsi, Griffiths ameshirikiana na wasanii kadhaa wakubwa wa Afrika. Alifanya kazi na mtayarishaji wa Afrika Kusini Prince Kaybee katika wimbo "Sorry Not Sorry".<ref>{{cite web |title=SA's Prince Kaybee features Gemma Griffiths on new single "Sorry Not Sorry" |url=[https://www.musicinafrica.net/magazine/sa-prince-kaybee-features-gemma-griffiths-new-single-sorry-not-sorry](https://www.musicinafrica.net/magazine/sa-prince-kaybee-features-gemma-griffiths-new-single-sorry-not-sorry) |access-date=2025-08-09 |website=Music In Africa |date=2 August 2024 }}</ref> Pia ameshirikiana na mwanamuziki wa Zimbabwe Baba Harare katika nyimbo kadhaa, zikiwemo "Ndini Ndinaye" (2023) na "Couple of the Year" (2025).<ref>{{Cite web |title=Baba Harare – Ndini Ndinaye (feat. Gemma Griffiths) |url=[https://music.apple.com/us/song/ndini-ndinaye-feat-gemma-griffiths/1711760859](https://music.apple.com/us/song/ndini-ndinaye-feat-gemma-griffiths/1711760859) |access-date=2025-12-08 |website=Apple Music}}</ref><ref>{{Cite web |title=Baba Harare – Couple of the Year (feat. Gemma Griffiths) |url=[https://open.spotify.com/track/2bfDMADiAT7G0eelwdui2S](https://open.spotify.com/track/2bfDMADiAT7G0eelwdui2S) |access-date=2025-12-08 |website=Spotify}}</ref> Aidha, amefanya kazi na kutumbuiza pamoja na msanii wa dancehall wa Zimbabwe [[Winky D]], jambo lililoongeza umaarufu wake katika tasnia ya muziki wa kisasa wa Zimbabwe.<ref>{{Cite web |title=Winky D, Gemma rekindle stage romance |url=[https://dailynews.co.zw/winky-d-gemma-rekindle-stage-romance/](https://dailynews.co.zw/winky-d-gemma-rekindle-stage-romance/) |access-date=2025-08-10 |website=Daily News}}</ref> Mnamo Januari 2025, alitoa wimbo "Mhaka", uliotumika kama wimbo mkuu wa albamu yake ya kwanza ya studio inayobeba jina lake.<ref>{{Cite web |title=Gemma unveils new single ahead of debut album |url=[https://www.newsday.co.zw/life-amp-style/article/200037632/gemma-unveils-new-single-ahead-of-debut-album](https://www.newsday.co.zw/life-amp-style/article/200037632/gemma-unveils-new-single-ahead-of-debut-album) |access-date=2025-08-10 |website=NewsDay |language=en}}</ref> === Podikasti na kazi nyingine === Mbali na muziki, Griffiths huendesha podikasti iitwayo ''Hello Hi with Gemma'', inayojumuisha mazungumzo ya kina na wabunifu na wasanii wa Kiafrika.<ref>{{cite web |title=Musician Gemma Griffiths launches podcast 'Hello Hi with Gemma' to celebrate African creatives |url=[https://www.heraldonline.co.zw/watch-musician-gemma-griffiths-launches-podcast-hello-hi-with-gemma-to-celebrate-african-creatives/](https://www.heraldonline.co.zw/watch-musician-gemma-griffiths-launches-podcast-hello-hi-with-gemma-to-celebrate-african-creatives/) |access-date=2025-08-09 |website=Herald Online |date=9 February 2025 }}</ref> Pia alikuwa mhusika mkuu wa filamu ya kumbukumbu ''A Girl from Harare'', inayofuatilia safari yake ya muziki katika nchi mbalimbali za Afrika na kuwashirikisha wasanii kama [[Winky D]].<ref>{{cite web |title=Gemma unleashes life history doccie |url=[https://www.heraldonline.co.zw/gemma-unleashes-life-history-doccie/](https://www.heraldonline.co.zw/gemma-unleashes-life-history-doccie/) |access-date=2025-08-09 |website=Herald Online |date=4 December 2021 }}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''Gemma The Album'' (2025) === EP === * ''A Girl from Harare'' === Nyimbo teule === * "Don't Worry" * "Sorry Not Sorry" (akiwa na Prince Kaybee) * "Ndini Ndinaye" (akiwa na Baba Harare) * "Couple of the Year" (akiwa na Baba Harare) * "Mhaka" == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 1jojxe4mufe52ys481c0456ez22el9e Kate Omenugha 0 229581 1507851 2026-04-20T21:28:47Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Profesa Kate Azuka Omenugh''' (alizaliwa [[30 Januari|Januari 30]], [[1965]]) ni profesa, mwalimu na mwanasiasa wa Nigeria ambaye amekuwa kaimu naibu chansela wa Chuo Kikuu cha Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu, Jimbo la Anambra kabla ya kuthibitishwa kama Makamu Mkuu wa Chansela mnamo Agosti 6, 2025 na gavana Charles Soludo . <ref>''Chukindi, Joe (2025-08-06).'' "Soludo confirms Omenugha as Ojukwu varsity Vice Chancellor"''. Daily Post. Lagos, Nigeria. Retri...' 1507851 wikitext text/x-wiki '''Profesa Kate Azuka Omenugh''' (alizaliwa [[30 Januari|Januari 30]], [[1965]]) ni profesa, mwalimu na mwanasiasa wa Nigeria ambaye amekuwa kaimu naibu chansela wa Chuo Kikuu cha Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu, Jimbo la Anambra kabla ya kuthibitishwa kama Makamu Mkuu wa Chansela mnamo Agosti 6, 2025 na gavana Charles Soludo . <ref>''Chukindi, Joe (2025-08-06).'' "Soludo confirms Omenugha as Ojukwu varsity Vice Chancellor"''. Daily Post. Lagos, Nigeria. Retrieved 2025-08-08.''</ref> <ref>''Nwafor (2023-11-29).'' "Soludo names Omenugha acting VC of Ojukwu Varsity"''. Vanguard. Lagos, Nigeria. Retrieved 2025-01-27.''</ref> Alikuwa Kamishna wa Elimu ya Msingi, [[Jimbo la Anambra]], Nigeria kuanzia 2014 hadi Machi 2022. <ref>{{Rejea tovuti|title=Anambra Basic Education Commissioner Omenugha Seeks Collaborations To Elevate Education To Enviable Heights|url=https://www.absradiotv.com/2020/03/21/anambra-basic-education-commissioner-omenugha-seeks-collaborations-to-elevate-education-to-enviable-heights/|work=Heartbeat Of The East|language=en-US|accessdate=2020-05-26|archivedate=2021-05-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210504211844/https://www.absradiotv.com/2020/03/21/anambra-basic-education-commissioner-omenugha-seeks-collaborations-to-elevate-education-to-enviable-heights/}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Kate Azuka Omenugha (nee Nwagwu) anatoka Ubaha Nnobi, mji ulioko katika Eneo la Serikali ya Mitaa ya Idemmili Kusini, Jimbo la Anambra, Nigeria. Baba yake, Chifu EB Nwagwu alikuwa mwalimu na alikua akihama kutoka shule moja hadi nyingine huku baba yake akihamishwa hivyo alipata elimu yake ya msingi katika Shule ya Msingi ya St. Mary's, Neni (1971-1972, Shule ya Wasichana ya Mazoezi, Adazi Nnukwu (1972-1974) na Shule ya Msingi ya Jumuiya, Adazi Ani (1975). Alianza elimu yake ya shule ya upili katika Shule ya Upili ya Ojiakor Memorial, Adazi Ani (1975-1976) na akaikamilisha katika Shule ya Upili ya Maria Regina Comprehensive, [[Nnewi]] (1976-1980). Alifundisha kama mwalimu msaidizi katika Shule ya Upili ya Metuh Onitsha (1980-1981) kabla ya kujiunga na Chuo cha Elimu, Nsugbe (sasa Chuo cha Elimu cha Nwafor-Orizu). Mnamo 1983, alipata Cheti cha Kitaifa cha Elimu kutoka Chuo cha Elimu cha Nwafor Orizu, Nsugbe, Jimbo la Anambra Nigeria, Shahada ya Kwanza katika Elimu/Kiingereza kutoka Chuo Kikuu cha Nigeria mnamo 1987 na Shahada ya Uzamili katika Mawasiliano ya Umma mnamo 1998 kutoka chuo kikuu hicho hicho. <ref name=":0">{{Rejea tovuti|title=Prof. Kate Azuka Omenugha appointed Commissioner for Education in Anambra|url=https://students.com.ng/prof-kate-azuka-omenugha-appointed-commissioner-for-education-in-anambra/|author=Students|date=2014-04-24|work=Students Nigeria|language=en-CA|accessdate=2020-05-26|archivedate=2014-04-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140426141623/http://www.students.com.ng/prof-kate-azuka-omenugha-appointed-commissioner-for-education-in-anambra/}}</ref> Pia ana Shahada ya Uzamivu katika Jinsia, Vyombo vya Habari na Masomo ya Utamaduni (2005) kutoka Chuo Kikuu cha Gloucestershire, Uingereza. <ref>{{Rejea tovuti|title=Prof Kate Omenugha (Sponsor, Arm Our Youths Campaign, Anambra)|date=18 March 2019|url=https://ocifoundation.org/prof-kate-omenugha/|language=en-AU|accessdate=2020-05-26}}</ref> == Kazi == Omenugha alihudumu kama mwalimu wa shule ya upili katika Chuo cha Malkia wa Rosary, [[Onitsha]] kwa muda mfupi mnamo 1988 kabla ya kuhamia Shule ya Upili ya Wasichana, Awka Etiti ambapo alitumia miaka 10 na akapanda cheo na kuwa Naibu Mkuu wa Shule kabla ya kujiunga na mfumo wa Chuo Kikuu kama mhadhiri mnamo 1998. Alikuwa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma, Chuo Kikuu cha Nnamdi Azikiwe (2006-2012). Pia alikuwa Mkurugenzi, UNIZIK 94.1 FM, kituo cha Redio cha jamii kinachoendeshwa na Chuo Kikuu chake. <ref name=":02">{{Rejea tovuti|title=Prof. Kate Azuka Omenugha appointed Commissioner for Education in Anambra|url=https://students.com.ng/prof-kate-azuka-omenugha-appointed-commissioner-for-education-in-anambra/|author=Students|date=2014-04-24|work=Students Nigeria|language=en-CA|accessdate=2020-05-26|archivedate=2014-04-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140426141623/http://www.students.com.ng/prof-kate-azuka-omenugha-appointed-commissioner-for-education-in-anambra/}}</ref> Aliteuliwa kuwa Kamishna, Wizara ya Elimu (2014-2018), Jimbo la Anambra na akawa Kamishna wa Elimu ya Msingi kuanzia 2014 hadi sasa katika Jimbo hilo hilo. Yeye ni Makamu wa Rais (Kusini Mashariki), Chama cha Wasomi na Wataalamu wa Mawasiliano, Nigeria (ACSPN). <ref>{{Rejea tovuti|title=Prof. Kate Omenugha, Vice President - South East|url=https://www.acspn.com.ng/wp-content/uploads/2018/10/Prof.-Kate-Omenugha-Vice-President-South-East-.jpg|work=ACSPN|language=en-US|accessdate=2020-05-26}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1965]] [[Jamii:Wanasiasa]] [[Jamii:Wanaharakati]] a0zoq8jqbd2rrs8jice5cxd5gt3s9hn Thitima Suttasunthorn 0 229582 1507852 2026-04-20T21:35:21Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Thitima Suttasunthorn''' (Thai: ฐิติมา สุตสุนทร), aliyejulikana pia kwa jina la utani Waen (แหวน), alikuwa [[mwimbaji]] kutoka [[Thailand]].<ref>[http://www.manager.co.th/entertainment/viewnews.aspx?NewsID=9550000086377 เปิดใจ “ปันปัน” ลูก “แหวน ฐิติมา” จากนักยิมนาสติกฯทีมชาติ สู่การเป็นนาง...' 1507852 wikitext text/x-wiki '''Thitima Suttasunthorn''' (Thai: ฐิติมา สุตสุนทร), aliyejulikana pia kwa jina la utani Waen (แหวน), alikuwa [[mwimbaji]] kutoka [[Thailand]].<ref>[http://www.manager.co.th/entertainment/viewnews.aspx?NewsID=9550000086377 เปิดใจ “ปันปัน” ลูก “แหวน ฐิติมา” จากนักยิมนาสติกฯทีมชาติ สู่การเป็นนางเอก]</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanamuziki}} mch6yq3n5fq4s4w2x7sdspm016xauf5 Farida banda 0 229583 1507853 2026-04-20T21:35:43Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fareda Banda''' ni msomi kutoka [[Zimbabwe]] anayejishughulisha na taaluma ya sheria. Kwa sasa ni profesa wa sheria katika SOAS University of London.<ref name=":0">{{Cite web|title=Professor Fareda Banda {{!}} Staff {{!}} SOAS University of London|url=[https://www.soas.ac.uk/staff/staff30610.php|access-date=2022-02-10|website=www.soas.ac.uk|language=en}}](https://www.soas.ac.uk/staff/staff30610.php|access-date=2022-02-10|website=www.soas.ac.uk|language=...' 1507853 wikitext text/x-wiki '''Fareda Banda''' ni msomi kutoka [[Zimbabwe]] anayejishughulisha na taaluma ya sheria. Kwa sasa ni profesa wa sheria katika SOAS University of London.<ref name=":0">{{Cite web|title=Professor Fareda Banda {{!}} Staff {{!}} SOAS University of London|url=[https://www.soas.ac.uk/staff/staff30610.php|access-date=2022-02-10|website=www.soas.ac.uk|language=en}}](https://www.soas.ac.uk/staff/staff30610.php|access-date=2022-02-10|website=www.soas.ac.uk|language=en}})</ref> == Wasifu == Fareda Banda alizaliwa na kukulia nchini Zimbabwe.<ref>{{cite web|url=[https://www.soas.ac.uk/about/news/professor-fareda-banda-featured-phenomenal-women-portraits-uk-black-female-professors|title=Professor](https://www.soas.ac.uk/about/news/professor-fareda-banda-featured-phenomenal-women-portraits-uk-black-female-professors|title=Professor) Fareda Banda featured in Phenomenal Women: Portraits of UK Black Female Professors|website=[www.soas.ac.uk|language=en|date=9](http://www.soas.ac.uk|language=en|date=9) March 2020|access-date=15 October 2023}}</ref> Alisomea sheria katika University of Zimbabwe na kuhitimu akiwa miongoni mwa wanafunzi watatu bora.<ref name=":0" /> Hii ilimuwezesha kupata ufadhili wa masomo wa Beit Fellowship kwenda [[University of Oxford]], ambako alikamilisha shahada yake ya uzamivu (PhD) kuhusu mada ya “upatikanaji wa haki kwa wanawake”. Baada ya kumaliza uzamivu wake, Banda alifanya kazi katika Law Commission of England and Wales, kabla ya kurejea Oxford kama mtafiti wa baada ya uzamivu.<ref name=":0" /> Amekuwa profesa katika SOAS University of London tangu mwaka 1996 katika Shule ya Masomo ya Mashariki na Afrika. Maeneo yake makuu ya utafiti ni pamoja na haki za binadamu za wanawake na sheria ya familia barani Afrika.<ref>{{Cite web|title=Fareda Banda|url=[https://www.amazon.co.uk/Fareda-Banda/e/B001K8FZIS?ref=dbs_a_mng_rwt_scns_share|access-date=2022-02-10|website=www.amazon.co.uk|language=en-gb}}](https://www.amazon.co.uk/Fareda-Banda/e/B001K8FZIS?ref=dbs_a_mng_rwt_scns_share|access-date=2022-02-10|website=www.amazon.co.uk|language=en-gb}})</ref> == Kazi == Banda ni mtafiti mshiriki wa zamani katika UNRISD, ambako alijishughulisha na masuala ya haki za wanawake.<ref name=":1">{{Cite web|title=Fareda Banda {{!}} Staff {{!}} About UNRISD {{!}} UNRISD|url=[https://www.unrisd.org/unrisd/website/people.nsf/(httpPeople)/F1A85E6FA547B5BAC1257E5B00374EBC|access-date=2022-02-10|website=www.unrisd.org}}](https://www.unrisd.org/unrisd/website/people.nsf/%28httpPeople%29/F1A85E6FA547B5BAC1257E5B00374EBC|access-date=2022-02-10|website=www.unrisd.org}})</ref> Mbali na kufundisha katika SOAS University of London, Banda pia hufundisha katika programu za majira ya kiangazi katika [[University of Oxford]] kuhusu haki za wanawake. Aidha, amefundisha katika programu mbalimbali duniani katika miji ikiwemo [[Harare]], [[Kampala]], Onati na [[Oslo]].<ref name=":1" /> Banda ni mwandishi wa kitabu cha mwaka 2022 chenye mtazamo wa taaluma mbalimbali kiitwacho ''African Migration, Human Rights and Literature''.<ref>{{cite book|url=[https://www.bloomsbury.com/uk/african-migration-human-rights-and-literature-9781509945467/](https://www.bloomsbury.com/uk/african-migration-human-rights-and-literature-9781509945467/) |title=African Migration, Human Rights and Literature|publisher=[[Bloomsbury Publishing|Hart Publishing]]|isbn=9781509945467}}</ref> Mwaka 2023, alikuwa mwenyekiti wa jopo la majaji wa Caine Prize for African Writing,<ref>{{cite web|url=[https://republic.com.ng/october-november-2023/first-draft-fareda-banda/|title='I](https://republic.com.ng/october-november-2023/first-draft-fareda-banda/|title='I) Wanted to See if I Could Pull Off Writing an Interdisciplinary Book' {{!}} Fareda Banda's First Draft|website=The Republic|location=Nigeria|date=6 October 2023|access-date=15 October 2023}}</ref> pamoja na majaji wengine akiwemo Edwige-Renée Dro, Kadija George Sesay, Jendella Benson na Warsan Shire, ikiwa ni jopo la kwanza la tuzo hiyo lenye wanawake pekee.<ref>{{cite web|url=[https://www.soas.ac.uk/about/news/fareda-banda-chairs-first-all-woman-caine-prize-african-writing-judging-panel|title=Fareda](https://www.soas.ac.uk/about/news/fareda-banda-chairs-first-all-woman-caine-prize-african-writing-judging-panel|title=Fareda) Banda chairs first all-woman Caine Prize for African Writing judging panel|website=SOAS University of London|date=7 August 2023|access-date=27 July 2024}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Banda, Fareda}} [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] [[Jamii:Wasomi]] [[Jamii:Watu walio hai]] 2cl6wytkifwnwstkcglv9agw1qaav1r Swab Phaoprathan 0 229584 1507854 2026-04-20T21:39:58Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Swab Phaoprathan''' (Thai: สวาป เผ่าประทาน), anayejulikana pia kama Sawab Khan Pathan au Tawab Khan, ni [[mfanyabiashara]] na [[mwanasiasa]] wa [[Uthai|Thailand]] mwenye asili ya Pashtun kutoka [[Pakistani|Pakistan]]. Alikuwa Mbunge wa Bunge la Thailand kuanzia Januari 2020 kupitia mfumo wa orodha ya chama, akiwania kwa tiketi ya Bhumjaithai Party, baada ya kifo cha Chai Chidchob. Alizaliwa katika familia ya Kithai yenye as...' 1507854 wikitext text/x-wiki '''Swab Phaoprathan''' (Thai: สวาป เผ่าประทาน), anayejulikana pia kama Sawab Khan Pathan au Tawab Khan, ni [[mfanyabiashara]] na [[mwanasiasa]] wa [[Uthai|Thailand]] mwenye asili ya Pashtun kutoka [[Pakistani|Pakistan]]. Alikuwa Mbunge wa Bunge la Thailand kuanzia Januari 2020 kupitia mfumo wa orodha ya chama, akiwania kwa tiketi ya Bhumjaithai Party, baada ya kifo cha Chai Chidchob. Alizaliwa katika familia ya Kithai yenye asili ya Pakistani, ambapo familia yake ilihamia kutoka kijiji cha Muhibullah Banda katika wilaya ya Swabi. Ana ufasaha wa lugha ya Pashto. Baba yake, Abdul Wahab, alikuwa askari katika British Indian Army. Hapo awali, aliwahi kuwa mwakilishi maalum wa mfalme wa Thailand kwa jamii ya Waislamu nchini humo.<ref name="auto">{{Cite web|url=https://www.dawn.com/news/1530898|title=Pakistani-origin man becomes Thai MP|date=January 28, 2020|website=DAWN.COM}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://arab.news/zjxyc|title=Thai parliamentarian cherishes his roots in small Pakistani town|date=February 12, 2020|website=Arab News PK}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Uthai]] c87jcwusuhsd8sfp104skocqiidlqll Joy Omewa 0 229585 1507855 2026-04-20T21:45:18Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Joy Ogochukwu Omewa''' (alizaliwa [[1 Desemba]] [[2002]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Nigeria ambaye anacheza kama [[Forward (association football)|mshambuliaji]] wa klabu ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Nottingham Forest na timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanawake ya Nigeria . == Kazi == Kazi ya kitaaluma ya Omewa ilianza katika nchi yake ya asili ya Nigeria akiwa na Confluence Queens <ref>{{Rejea tovuti|author=Adegboyega|first=Bayo|date=25 Novembe...' 1507855 wikitext text/x-wiki '''Joy Ogochukwu Omewa''' (alizaliwa [[1 Desemba]] [[2002]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Nigeria ambaye anacheza kama [[Forward (association football)|mshambuliaji]] wa klabu ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Nottingham Forest na timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanawake ya Nigeria . == Kazi == Kazi ya kitaaluma ya Omewa ilianza katika nchi yake ya asili ya Nigeria akiwa na Confluence Queens <ref>{{Rejea tovuti|author=Adegboyega|first=Bayo|date=25 November 2020|title=Flying Officers Cup 2020: Ali, Alani, Jerry Named In Best XI|url=https://ogunradio.ng/2020/11/25/flying-officers-cup-2020-ali-alani-jerry-named-in-best-xi/|accessdate=26 April 2025|work=ogunradio.ng|publisher=[[Ogun State Broadcasting Corporation]]}}</ref> kabla ya kufika Østerbro, akijiunga na B.93 mwezi Aprili. 2021 <ref>{{Rejea tovuti|title=19. Omewa Joy Ohochukwu|url=https://b93prof.dk/project/19-omewa-joy-ogochukwu/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210722223904/https://b93prof.dk/project/19-omewa-joy-ogochukwu/|archivedate=22 July 2021|accessdate=26 April 2025|work=b93prof.dk|publisher=B.93|language=da}}</ref> kama juhudi za ushirikiano kati ya vilabu hivyo viwili. <ref>{{Rejea tovuti|date=12 April 2021|title=Udenlandsk tilgang til B.93 Q|url=https://b93prof.dk/1-kvindesenior/udenlandsk-tilgang-til-b-93-q/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210722223907/https://b93prof.dk/1-kvindesenior/udenlandsk-tilgang-til-b-93-q/|archivedate=22 July 2021|accessdate=26 April 2025|work=b93prof.dk|publisher=B.93|language=da}}</ref> Alicheza kwa mara ya kwanza katika klabu hiyo tarehe 3 Aprili 2021 katika kipigo cha 0-1 dhidi ya AaB . Wakati wa muda wake na klabu hiyo, alicheza mechi tisa huku akifunga mabao matatu. <ref>{{Rejea tovuti|date=3 April 2021|title=Snævert nederlag til AaB|url=https://b93prof.dk/kampreferat/snaevert-nederlag-til-aab/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210722223905/https://b93prof.dk/kampreferat/snaevert-nederlag-til-aab/|archivedate=22 July 2021|accessdate=26 April 2025|work=b93prof.dk|publisher=B.93|language=da}}</ref> Mnamo Novemba, 2021, Omewa aliuzwa kwa klabu nyingine ya Denmark Fortuna Hjørring katika Kvindeligaen, ligi kuu ya soka ya wanawake nchini Denmark. <ref>{{Rejea tovuti|date=24 November 2021|title=Omewa Joy Ogochuckwu udlejes til Kvindeligaklub|url=https://b93prof.dk/1-kvindesenior/omewa-joy-oguchuckwu-udlejes-til-kvindeligaklub/|archiveurl=https://web.archive.org/web/20230621194330/https://b93prof.dk/1-kvindesenior/omewa-joy-oguchuckwu-udlejes-til-kvindeligaklub/|archivedate=21 June 2023|accessdate=26 April 2025|work=b93prof.dk|publisher=B.93|language=da}}</ref> Wakati wa 2024-25 msimu huu, alijitofautisha na juhudi zake za kufunga mabao, <ref>{{Rejea tovuti|author=Jensen|first=Michael Sten|date=21 April 2025|title='Det er mega fedt at vise Danmark, at vi er med igen'|url=https://www.dr.dk/sporten/fodbold/kvindeligaen/det-er-mega-fedt-vise-danmark-vi-er-med-igen|accessdate=26 April 2025|work=dr.dk|publisher=[[DR (broadcaster)|DR]]|language=da}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=21 April 2025|title=Fortuna på guldkurs: Vandt topkamp over FC Nordsjælland|url=https://www.fodboldforpiger.dk/2025/04/fortuna-paa-guldkurs-vandt-topkamp-over-fc-nordsjaelland/|accessdate=26 April 2025|work=fodboldforpiger.dk|publisher=Fodbold for Piger|language=da}}</ref> akifunga mabao 14 na pasi nne za mabao katika michezo 17 pekee ya ligi kufikia katikati ya Aprili. <ref>{{Rejea tovuti|title=Omewa Bags A Brace, Fires Fortuna Hjorring Closer to Glory in Denmark|url=https://www.brila.net/omewa-bags-a-brace-fires-fortuna-hjorring-closer-to-glory-in-denmark/|accessdate=26 April 2025|work=brila.net|publisher=[[Brila FM]]}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Skipper|first=Niels|date=13 April 2025|title=Klassespil af Fortuna|url=https://nordsoeposten.dk/klassespil-af-fortuna/|accessdate=26 April 2025|work=nordsoeposten.dk|language=da}}</ref> Kufikia mwisho wa 2024-25 msimu, yeye na klabu walishinda mataji mawili ya ndani — wakitwaa Ligi ya Wanawake ya Denmark <ref>{{Rejea tovuti|author=Muminović|first=Arnela|date=10 May 2025|title=Så lykkedes det endelig: Fortuna Hjørring er dansk mester igen|url=https://www.dr.dk/sporten/fodbold/kvindeligaen/fortuna-hjoerring-vinder-det-danske-mesterskab|accessdate=17 May 2025|work=dr.dk|publisher=DR|language=da}}</ref> na Kombe la Wanawake . <ref name="Bagger-2025">{{Rejea tovuti|author=Bagger|first=Sebastian Taarsted|date=17 May 2025|title=Endnu en titel og endnu en festlig bustur for Fortuna|url=https://www.dr.dk/sporten/fodbold/pokalturneringen/fortuna-har-det-fedt-over-titler-paa-en-uge|accessdate=17 May 2025|work=dr.dk|publisher=DR|language=da}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Nielsen|first=Anders Juncker|title=Fortuna Hjørring sælger stjerneangriber til Nottingham Forest|work=Fodbold for piger|date=27 January 2026|url=https://www.fodboldforpiger.dk/2026/01/fortuna-hjoerring-saelger-stjerneangriber-til-nottingham-forest/|language=danish|accessdate=30 January 2026}}</ref> Tarehe 13 Juni 2025, alitambuliwa kama Mchezaji Bora wa Msimu katika Ligi ya Wanawake ya Denmark kwa utendaji wake. <ref name="Grønberg-2025">{{Rejea tovuti|author=Grønberg|first=Matias|date=13 June 2025|title=Omewa Joy Ogochukwu er Årets Profil i Kvindeligaen|url=https://bold.dk/fodbold/klubber/fortuna-hjoerring/nyheder/omewa-joy-ogochukwu-er-arets-profil-i-kvindeligaen|accessdate=13 June 2025|publisher=bold.dk|language=da}}</ref> Mnamo Januari 27, 2026, Omewa alisajiliwa na klabu ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Nottingham Forest hadi mwisho wa msimu wa 2025-26 . <ref>"Forest women complete Joy Omewa signing"''.'' Nottingham Forest F.C. ''27 January 2026. Retrieved 28 January 2026.''</ref> Alicheza mechi yake ya kwanza kwa klabu hiyo mnamo Februari 1, akianza mchezo na kufunga bao moja katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Birmingham City . == Kazi ya kimataifa == Omewa hapo awali ameitwa kwenye kikosi cha Nigeria cha U-17 <ref>{{Rejea tovuti|author=Ahmadu|first=Dennis|date=9 January 2025|title=Exclusive: Joy Omewa the Nigerian Star Lighting Up Danish Football|url=https://www.sportsboom.com/en-ng/football/exclusive-joy-omewa-fortuna-hjorring-sensation-aiming-to-pave-way-for-africans-in-denmark/|accessdate=26 April 2025|work=sportsboom.com}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=25 September 2024|title=Nigeria's Flamingos in Final Preparations for U-17 Women's World Cup|url=https://www.brila.net/nigerias-flamingos-in-final-preparations-for-u-17-womens-world-cup/|accessdate=26 April 2025|work=brila.net|publisher=Brila FM}}</ref> na U-20 . <ref>{{Rejea tovuti|date=5 June 2022|title=U20 Women's World Cup: Omewa makes Nigeria's 30-woman provisional squad|url=https://sportnewsafrica.com/en/at-a-glance/u20-womens-world-cup-omewa-makes-nigerias-30-woman-provisional-squad/|accessdate=26 April 2025|work=sportsnewsafrica.com}}</ref> Alicheza mechi yake ya kwanza ya kikosi cha wakubwa kwa Nigeria mnamo 24 Oktoba 2025, akiingia kama mchezaji mbadala katika ushindi wa Nigeria wa 2−0 ugenini dhidi ya Benin katika mechi ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake mwaka wa 2026. <ref>{{Rejea tovuti|date=24 October 2025|title=WAFCON 2026: Super Falcons defeat Benin 2–0 in first leg|url=https://www.aclsports.com/wafcon-2026-super-falcons-defeat-benin-2-0-in-first-leg/|accessdate=19 February 2026|work=aclsports.com}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2002]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]] dspq3dew61qv0qth82zqrju663sr2nh Selmor Mtukudzi 0 229586 1507856 2026-04-20T21:49:45Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Selmor Mtukudzi''' ni mwanamuziki na mwigizaji kutoka [[Zimbabwe]]. Ni binti wa marehemu gwiji wa muziki wa Zimbabwe na shujaa wa taifa, [[Oliver Mtukudzi]].<ref>{{cite web|url=[https://www.thestandard.co.zw/2019/03/31/selmor-silences-critics/](https://www.thestandard.co.zw/2019/03/31/selmor-silences-critics/) |title=Selmor silences critics|date=31 March 2019}}</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.zimeye.net/2019/03/23/selmor-mtukudzi-breaks-down-as-sh...' 1507856 wikitext text/x-wiki '''Selmor Mtukudzi''' ni mwanamuziki na mwigizaji kutoka [[Zimbabwe]]. Ni binti wa marehemu gwiji wa muziki wa Zimbabwe na shujaa wa taifa, [[Oliver Mtukudzi]].<ref>{{cite web|url=[https://www.thestandard.co.zw/2019/03/31/selmor-silences-critics/](https://www.thestandard.co.zw/2019/03/31/selmor-silences-critics/) |title=Selmor silences critics|date=31 March 2019}}</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.zimeye.net/2019/03/23/selmor-mtukudzi-breaks-down-as-she-speaks-on-the-aftermath-of-tukus-death/](https://www.zimeye.net/2019/03/23/selmor-mtukudzi-breaks-down-as-she-speaks-on-the-aftermath-of-tukus-death/) |title=Selmor Mtukudzi Breaks Down As She Speaks On The Aftermath Of Tuku's Death - ZimEy}}</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.musicinafrica.net/directory/selmor-mtukudzi-0](https://www.musicinafrica.net/directory/selmor-mtukudzi-0) |title=Selmor Mtukudzi |date=26 April 2017|website=Music In Africa}}</ref> == Maisha ya awali == Selmor Mtukudzi ni mtoto wa pili wa [[Oliver Mtukudzi]]<ref>{{cite web |url=[https://www.zimetro.co.zw/selmor-mtukudzi-i/](https://www.zimetro.co.zw/selmor-mtukudzi-i/) |title=Selmor Mtukudzi: I'm not riding on my father's fame |first=Lucky |last=Mahorse |date=14 May 2019 |access-date=23 May 2019 |archive-date=15 July 2019 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20190715101131/https://www.zimetro.co.zw/selmor-mtukudzi-i/](https://web.archive.org/web/20190715101131/https://www.zimetro.co.zw/selmor-mtukudzi-i/) |url-status=dead }}</ref> na Melody Murape<ref>{{cite web|url=[https://www.newsday.co.zw/2019/04/selmor-anointed-by-tuku-melody/|title=Selmor](https://www.newsday.co.zw/2019/04/selmor-anointed-by-tuku-melody/|title=Selmor) 'anointed' by Tuku: Melody|date=8 April 2019|access-date=23 May 2019|archive-date=15 April 2025|archive-url=[https://web.archive.org/web/20250415202837/https://www.newsday.co.zw/2019/04/selmor-anointed-by-tuku-melody|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20250415202837/https://www.newsday.co.zw/2019/04/selmor-anointed-by-tuku-melody|url-status=dead}})</ref>, na alizaliwa katika jiji la [[Harare]]. Wazazi wake walitengana alipokuwa na umri wa miaka mitatu tu. == Kazi == Kazi ya Selmor ilianza akiwa na umri wa miaka 10 aliposhiriki katika tamthilia za ndani za [[ZBC TV]] na pia kuimba nyimbo za filamu na kuigiza katika filamu iitwayo “I am the future”, iliyoneshwa katika kumbi za sinema za nchini humo. Mwaka 2008, Selmor alitoa albamu yake ya kwanza iitwayo ''Shungu''. Albamu hiyo ilimsaidia kujitambulisha kama msanii wa kujitegemea, baada ya awali kufanya kazi na wasanii mbalimbali. Baadaye alitoa albamu mbili za pamoja na mume wake, mwanamuziki Tendai Manatsa (mtoto wa mwanamuziki mashuhuri wa Zimbabwe, Zexie Manatsa), ambazo ni ''Selmor and Tendai Live'' (2011), iliyorekodiwa moja kwa moja katika ukumbi wa 7 Arts Theatre jijini Harare, na ''Ndinewe (I'm With You)'' (2012). Albamu yake ya nne, ''Expressions'' (2013), ilipata mafanikio makubwa, huku wimbo wake “Nguva Yangu” ukiteuliwa katika tuzo za NAMA Awards na ZIMA Awards<ref>{{cite web|url=[https://www.herald.co.zw/selmor-to-don-elephant-dress-at-zima/](https://www.herald.co.zw/selmor-to-don-elephant-dress-at-zima/) |title=Selmor to don 'Elephant Dress' at ZIMA|first=The|last=Herald|website=The Herald}}</ref> na kushinda tuzo za African Entertainment Awards USA pamoja na tuzo ya Zimbabwe Chamber of Commerce — WECA. Mwaka 2015 alitoa albamu yake ya tano ''I Am Woman'', ambapo wimbo “Zvidikidiki” ulishinda tuzo za NAMA Awards pamoja na African Entertainment Awards USA,<ref>{{cite web|url=[https://www.newsday.co.zw/2015/11/selmor-mtukudzi-scoops-african-entertainment-award/|title=Selmor](https://www.newsday.co.zw/2015/11/selmor-mtukudzi-scoops-african-entertainment-award/|title=Selmor) Mtukudzi scoops African Entertainment Award|first=Tinotenda|last=Samukang e|date=11 November 2015|access-date=23 May 2019|archive-date=16 April 2025|archive-url=[https://web.archive.org/web/20250416063020/https://www.newsday.co.zw/2015/11/selmor-mtukudzi-scoops-african-entertainment-award|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20250416063020/https://www.newsday.co.zw/2015/11/selmor-mtukudzi-scoops-african-entertainment-award|url-status=dead}})</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.herald.co.zw/selmor-celebrates-international-award/|title=Selmor](https://www.herald.co.zw/selmor-celebrates-international-award/|title=Selmor) celebrates international award |website=The Herald}}</ref> na pia kuteuliwa katika vipengele vya ZIMA Best Video of the Year na ZIWA UK Best Female Artist of the Year.<ref>{{cite web |url=[https://www.sundaymail.co.zw/i-am-my-fathers-protege|title='I](https://www.sundaymail.co.zw/i-am-my-fathers-protege|title='I) am my father's protégé'|first=The Sunday|last=Mail|website=The Sunday Mail}}</ref> Wimbo wake “Butterflies” ulikuwa sehemu ya sauti ya filamu ''Escape'', iliyoteuliwa katika ZIFF na NAMA Awards, ambapo pia alicheza mojawapo ya nafasi kuu. Wimbo mkuu wa albamu hiyo, “I Am Woman”, unahamasisha wanawake kujiamini na kuthamini uzuri na vipaji vyao walivyopewa.<ref name="auto">{{cite web|url=[https://www.dailynews.co.zw/articles/2019/02/28/selmor-rises-to-the-occassion|title=Selmor](https://www.dailynews.co.zw/articles/2019/02/28/selmor-rises-to-the-occassion|title=Selmor) rises to the occasion|first=Vasco Chaya • 28 February 2019 11:32AM • 0|last=comments|website=DailyNews Live|access-date=23 May 2019|archive-date=15 July 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190715101125/https://www.dailynews.co.zw/articles/2019/02/28/selmor-rises-to-the-occassion|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190715101125/https://www.dailynews.co.zw/articles/2019/02/28/selmor-rises-to-the-occassion|url-status=dead}})</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.herald.co.zw/selmor-off-to-flying-start/|title=Selmor](https://www.herald.co.zw/selmor-off-to-flying-start/|title=Selmor) off to flying start|first=The|last=Herald|website=The Herald}}</ref><ref>{{cite web|url=[https://southerntimesafrica.com/site/news/selmor-joins-list-of-sadc-musical-heiresses|title=Selmor](https://southerntimesafrica.com/site/news/selmor-joins-list-of-sadc-musical-heiresses|title=Selmor) joins list of SADC musical heiresses -- The Southern Times|website=maxebooking.com|access-date=2019-05-23|archive-date=2019-04-24|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190424133146/https://southerntimesafrica.com/site/news/selmor-joins-list-of-sadc-musical-heiresses|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190424133146/https://southerntimesafrica.com/site/news/selmor-joins-list-of-sadc-musical-heiresses|url-status=dead}})</ref> Albamu yake iliyofuata ''Dehwe Renzou'' ilitolewa mwaka 2020 baada ya kifo cha baba yake, ikiwa imetayarishwa na rafiki wa karibu wa baba yake na mpiga saksafoni wa Afrika Kusini, Steve Dyer. Selmor amefanya ziara katika nchi mbalimbali zikiwemo [[Nigeria]], [[Botswana]], [[Namibia]], [[Zambia]], [[Tanzania]], [[Australia]], [[United States|Marekani]], [[United Kingdom|Uingereza]], [[Finland]] na [[Spain]]. Pia ametumbuiza katika ukumbi wa Joburg Theatre katika tamasha la Remembering Tuku tarehe 29 na 30 Mei 2021 nchini Afrika Kusini pamoja na Vusi Mahlasela na Steve Dyer. Mwaka 2015, Selmor alishirikiana na wasanii wanawake wanane kutoka Afrika, akiwemo Judith Sephuma (Afrika Kusini), Victoria Kimani (Kenya), Vanessa Mdee (Tanzania), Arielle T (Gabon), Omotola (Nigeria), Waje (Nigeria), Yemi Alade (Nigeria) na Blessing (Afrika Kusini), katika wimbo “Strong Girl” uliolenga kuhamasisha kampeni ya #PovertyIsSexist duniani. Baadaye walishirikiana na wasanii wanaume akiwemo Bono wa bendi ya [[U2]], [[D'banj|D'Banj]], [[Diamond Platnumz]] na [[Banky W.|Banky W]], katika toleo jipya la wimbo huo. Alishiriki pia katika juhudi za kupitishwa kwa muswada wa "Electrify Africa" nchini [[United States|Marekani]] mwaka 2016, unaolenga kuongeza upatikanaji wa umeme kwa watu milioni 50 katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Mwaka 2018, Selmor alisafiri kwenda Kanada kuzungumza na wabunge kuhusu umuhimu wa elimu ya wasichana. Pia ameanzisha taasisi yake binafsi iitwayo Vabvana Trust, inayolenga kuwawezesha wasichana na wanawake. Ni balozi wa uhifadhi wa wanyamapori wakubwa watano wa Zimbabwe (Simba, Tembo, Nyati, Kifaru na Duma) na pia balozi wa WildAid Africa. == Uhisani == Selmor alisafiri kwenda Kanada kuzungumza na wabunge kuhusu umuhimu wa elimu ya wasichana.<ref>{{cite web|url=[https://www.dailynews.co.zw/articles/2017/03/08/selmor-in-canada-for-women-s-day|title=Selmor](https://www.dailynews.co.zw/articles/2017/03/08/selmor-in-canada-for-women-s-day|title=Selmor) in Canada for Women's Day|first=Entertainment Writer • 8 March 2017 3:42PM • 0|last=comments|website=DailyNews Live|access-date=23 May 2019|archive-date=15 July 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190715101128/https://www.dailynews.co.zw/articles/2017/03/08/selmor-in-canada-for-women-s-day|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190715101128/https://www.dailynews.co.zw/articles/2017/03/08/selmor-in-canada-for-women-s-day|url-status=dead}})</ref> Shauku yake ya kuinua sauti za wasichana na wanawake ilimfanya kuanzisha taasisi ya Vabvana Trust. Anaamini kuwa kumwezesha mwanamke ni kuijenga jamii nzima. == Maisha binafsi == Selmor Mtukudzi ameolewa na mwanamuziki Tendai Manatsa, mtoto wa mwanamuziki mashuhuri Zexie Manatsa, na kwa pamoja wana watoto watatu.<ref>{{cite web|url=[https://www.sundaynews.co.zw/selmor-attributes-success-to-hubby/|title=Selmor](https://www.sundaynews.co.zw/selmor-attributes-success-to-hubby/|title=Selmor) attributes success to hubby|first=The Sunday|last=News|website=The Sunday News}}</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.newsday.co.zw/2018/10/selmor-opens-up-on-love-life/|title=Selmor](https://www.newsday.co.zw/2018/10/selmor-opens-up-on-love-life/|title=Selmor) opens up on love life|last=newsday|date=10 October 2018|access-date=23 May 2019|archive-date=13 April 2025|archive-url=[https://web.archive.org/web/20250413220351/https://www.newsday.co.zw/2018/10/selmor-opens-up-on-love-life|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20250413220351/https://www.newsday.co.zw/2018/10/selmor-opens-up-on-love-life|url-status=dead}})</ref><ref>{{cite web|url=[https://www.myzimbabwe.co.zw/news/16946-latest-on-celebrity-couple-selmor-mtukudzi-and-tendai-manatsa.html|title=Latest](https://www.myzimbabwe.co.zw/news/16946-latest-on-celebrity-couple-selmor-mtukudzi-and-tendai-manatsa.html|title=Latest) on celebrity couple Selmor Mtukudzi and Tendai Manatsa|first=Muza|last=Mpofu|date=15 February 2018}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''Shungu'' (2008) * ''Live'' (2011) * ''Ndinewe (I'm With You)'' (2012) * ''Expressions'' (2013) * ''I Am Woman'' (2015)<ref>{{cite web|url=[https://www.sundaymail.co.zw/selmors-this-is-it-moment|title=Selmor's](https://www.sundaymail.co.zw/selmors-this-is-it-moment|title=Selmor's) 'This Is It' moment|first=The Sunday|last=Mail|website=The Sunday Mail}}</ref> * ''Dehwe Renzou'' (2020) === Nyimbo === * ''Hangasa'' (2017) * ''Vakanaka Vakarara'' (2018) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Mtukudzi, Selmor}} [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Zimbabwe]] 903bm7jbm38k2rtu1dftc2a22j227cp Naa Amanua 0 229587 1507857 2026-04-20T21:58:30Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mary Naa Amanua Dodoo''' (1948 au 1949 – 16 Desemba 2024), anayejulikana zaidi kama '''Naa Amanua''', alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Ghana]] wa muziki wa jadi wa Ga.<ref>{{Cite news |title=FAREWELL! Maŋnyɛ Naa Amanua Dodoo |url=[https://ghanaculture.gov.gh/farewell-manny%C9%9B-naa-amanua-dodoo/](https://ghanaculture.gov.gh/farewell-manny%C9%9B-naa-amanua-dodoo/) |url-status=}}</ref><ref>{{Cite web|url=[http://www.entertainmentgh.com/n...' 1507857 wikitext text/x-wiki '''Mary Naa Amanua Dodoo''' (1948 au 1949 – 16 Desemba 2024), anayejulikana zaidi kama '''Naa Amanua''', alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Ghana]] wa muziki wa jadi wa Ga.<ref>{{Cite news |title=FAREWELL! Maŋnyɛ Naa Amanua Dodoo |url=[https://ghanaculture.gov.gh/farewell-manny%C9%9B-naa-amanua-dodoo/](https://ghanaculture.gov.gh/farewell-manny%C9%9B-naa-amanua-dodoo/) |url-status=}}</ref><ref>{{Cite web|url=[http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|title=LEGEND](http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|title=LEGEND)! Naa Amanua Of Wulomei Group Is 2018 VGMA Lifetime Achievement Honoree|last=GH|first=Entertainment|date=29 March 2018|website=Entertainment Ghana|accessdate=16 March 2019|archive-date=19 March 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190319062212/http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190319062212/http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|url-status=dead}})</ref> Alikuwa mwimbaji mkuu wa kike katika bendi ya muziki ya Ghana Wulomei, iliyoanzishwa mwaka 1973.<ref>{{Cite web |title=Lipstick Queens honour Naa Amanua at Homowo concert - MyJoyOnline |url=[https://www.myjoyonline.com/lipstick-queens-honour-naa-amanua-at-homowo-concert/](https://www.myjoyonline.com/lipstick-queens-honour-naa-amanua-at-homowo-concert/) |access-date=2026-03-04 |website=[www.myjoyonline.com](http://www.myjoyonline.com) |language=en-US}}</ref> Amanua alipokea tuzo ya heshima ya maisha (Lifetime Achievement) katika Vodafone Ghana Music Awards mwaka 2018.<ref>{{Cite web|url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/2018-VGMAs-Naa-Amanua-Dodoo-receives-Lifetime-Achievement-Honours-643279|title=2018](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/2018-VGMAs-Naa-Amanua-Dodoo-receives-Lifetime-Achievement-Honours-643279|title=2018) VGMAs: Naa Amanua Dodoo receives Lifetime Achievement Honours|website=GhanaWeb|date=15 April 2018|accessdate=18 March 2020}}</ref> == Asili == Amanua alizaliwa mwaka 1948 au 1949.<ref>{{Cite web |date=13 October 2023 |title=MUSIGA, GHAMRO not doing much for veteran artistes - Naa Amanua |url=[https://mobile.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/MUSIGA-GHAMRO-not-doing-much-for-veteran-artistes-Naa-Amanua-1861790](https://mobile.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/MUSIGA-GHAMRO-not-doing-much-for-veteran-artistes-Naa-Amanua-1861790) |access-date=17 December 2024 |website=Ghanaweb |quote=The 74-year-old veteran musician (...)}}</ref> Wazazi wake wote walikuwa wanamuziki; baba yake alikuwa mpiga gitaa, na mama yake alikuwa mcheza dansi na mwimbaji.<ref>{{Cite web |title=Oheneyere Gifty Anti surprises former lead singer for Wulomei Band on Prime Morning Show - MyJoyOnline |url=[https://www.myjoyonline.com/oheneyere-gifty-anti-surprises-former-lead-singer-for-wulomei-band-on-prime-morning-show/](https://www.myjoyonline.com/oheneyere-gifty-anti-surprises-former-lead-singer-for-wulomei-band-on-prime-morning-show/) |access-date=2026-03-04 |website=[www.myjoyonline.com](http://www.myjoyonline.com) |language=en-US}}</ref> Alijiunga na kwaya katika kanisa la St. Georges Garrison Anglican Church, Burma Camp, na baadaye alisoma katika shule ya Abokobi Presbyterian Mixed-Middle, ambapo alikua mwimbaji mkuu shuleni mwishoni mwa miaka ya 1960.<ref name=EG>{{Cite web|url=[http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|title=LEGEND](http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|title=LEGEND)! Naa Amanua Of Wulomei Group Is 2018 VGMA Lifetime Achievement Honoree|date=29 March 2018|website=Entertainment Ghana|accessdate=23 March 2019|archive-date=19 March 2019|archive-url=[https://web.archive.org/web/20190319062212/http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20190319062212/http://www.entertainmentgh.com/news/legend-naa-amanua-wulomei-group-2018-vgma-lifetime-achievement-honoree/|url-status=dead}})</ref> Alifariki dunia tarehe 17 Desemba 2024.<ref>{{Cite web |date=2025-03-28 |title=Legendary Naa Amanua to be laid to rest today |url=[https://citinewsroom.com/2025/03/legendary-naa-amanua-goes-home-tomorrow/](https://citinewsroom.com/2025/03/legendary-naa-amanua-goes-home-tomorrow/) |access-date=2026-03-04 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite news |title=Naa Amanua of Wulomei fame dies |url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Naa-Amanua-of-Wulomei-fame-dies-1964545}}](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Naa-Amanua-of-Wulomei-fame-dies-1964545}})</ref><ref>{{Cite news |title=Legendary Ga Music Icon Naa Amanua passes away |url=[https://www.modernghana.com/entertainment/79398/legendary-ga-music-icon-naa-amanua-passes-away.html}}](https://www.modernghana.com/entertainment/79398/legendary-ga-music-icon-naa-amanua-passes-away.html}})</ref> == Kazi == Kabla ya kuwa mwimbaji wa kwanza mwanamke kujiunga na bendi ya Wulomei, alifanya kazi kama mlinzi wa jiji katika Halmashauri ya Jiji la Accra, ambayo sasa ni Accra Metropolitan Assembly.<ref name=":0">{{Cite web |title=I was the first female singer to join renowned Wulomei Band - Naa Amanua - MyJoyOnline |url=[https://www.myjoyonline.com/i-was-the-first-female-singer-to-join-renowned-wulomei-band-naa-amanua/](https://www.myjoyonline.com/i-was-the-first-female-singer-to-join-renowned-wulomei-band-naa-amanua/) |access-date=2026-03-04 |website=[www.myjoyonline.com](http://www.myjoyonline.com) |language=en-US}}</ref> Baadaye Amanua aliondoka Wulomei na kujiunga na kundi la Suku Troupe, ambapo albamu yao ya kwanza ''Awo de me'' ilipata mafanikio makubwa. Kundi hilo lilimpa nafasi ya kufanya maonesho kimataifa. Mwaka 1978 walifanya ziara katika nchi za [[Benin]], [[Togo]] na [[Liberia]] Afrika Magharibi, na pia walitembelea [[Kenya]] ambako walitumbuiza mbele ya rais [[Jomo Kenyatta]].<ref name=":0" /> Baada ya takriban muongo mmoja na Suku Troupe, aliondoka na kuanzisha kundi lake mwenyewe mwaka 1988, na mwaka 1989 alitoa albamu ''Mi yen Maya''. Aliendelea kutumbuiza katika matukio mbalimbali na kuvutia hadhira, akiwemo kushiriki jukwaa moja na mwanamuziki wa Highlife Charles Amoah katika toleo la 18 la Vodafone Ghana Music Awards.<ref>{{Cite news |date=2023-07-20 |title=LOGHA honours Naa Amanua |url=[https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/logha-honours-naa-amanua.html](https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/logha-honours-naa-amanua.html) |location=Accra, Ghana|access-date=2026-03-04 |newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|language=en-gb}}</ref> == Tuzo na heshima == Mwaka 2018, alitunukiwa jina la heshima la Kiga "''Nye Kpakpa''" na kundi la Ga-Adangme Concern Youth Group, chini ya uongozi wa Nii Ayaafio Tetteh, kwa mchango wake katika muziki wa Ga-Adangbe.<ref name=EG/> Pia mwaka 2018, alipokea tuzo ya heshima ya maisha katika Vodafone Ghana Music Awards.<ref>{{Cite news |date=2023-10-13 |title=MUSIGA and GHAMRO treating old musicians like we don’t matter —Naa Amanua |url=[https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/musiga-and-ghamro-treating-old-musicians-like-we-dont-matter-naa-amanua.html](https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/musiga-and-ghamro-treating-old-musicians-like-we-dont-matter-naa-amanua.html) |location=Accra, Ghana|access-date=2026-03-04 |newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|language=en-gb}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Amanua, Naa}} [[Jamii:Waliofariki 2024]] [[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]] rdozr3s39cpam5u1btnqxl0c7svdqm7 Jennifer Echegini 0 229588 1507858 2026-04-20T22:05:28Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jennifer Onyinyechi Echegini Listen''' (alizaliwa [[22 Machi|Machi 22]], [[2001]]) ni [[Mpira wa miguu|mchezaji wa mpira wa miguu]] wa Nigeria ambaye anacheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo wa kati]] wa klabu ya Premier Ligue Paris Saint-Germain . Alizaliwa Uholanzi, anachezea timu ya taifa ya Nigeria . Echegini alichezea chuo kikuu kwa Mississippi State Bulldogs na Florida State Seminoles . Mnamo 2023, aliiongoza Seminoles kwenye ubingwa wa NCAA na ku...' 1507858 wikitext text/x-wiki '''Jennifer Onyinyechi Echegini Listen''' (alizaliwa [[22 Machi|Machi 22]], [[2001]]) ni [[Mpira wa miguu|mchezaji wa mpira wa miguu]] wa Nigeria ambaye anacheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo wa kati]] wa klabu ya Premier Ligue Paris Saint-Germain . Alizaliwa Uholanzi, anachezea timu ya taifa ya Nigeria . Echegini alichezea chuo kikuu kwa Mississippi State Bulldogs na Florida State Seminoles . Mnamo 2023, aliiongoza Seminoles kwenye ubingwa wa NCAA na kushinda Kombe la Hermann kama mchezaji bora katika soka ya vyuo vikuu. Alijiunga na Juventus kwa taaluma kabla ya kuhamia Paris Saint-Germain == Maisha ya awali na kazi ya chuo == Echegini alizaliwa Uholanzi kwa wazazi wa Nigeria. Familia yake ilihamia Uingereza alipokuwa na umri wa miaka 11. <ref name="nedeng">{{Rejea tovuti|title=Echegini gelijk beslissend voor Juventus: 'Wilde ooit voor Nederland spelen'|url=https://nos.nl/artikel/2505767-echegini-gelijk-beslissend-voor-juventus-wilde-ooit-voor-nederland-spelen|language=nl|date=21 January 2024|accessdate=10 July 2024|archivedate=10 July 2024|archiveurl=https://web.archive.org/web/20240710163520/https://nos.nl/artikel/2505767-echegini-gelijk-beslissend-voor-juventus-wilde-ooit-voor-nederland-spelen}}</ref> Alitumia taaluma yake wakati akiwa kijana katika SCE Nijmegen, Charlton Athletic, Millwall na Arsenal . <ref name="nedeng" /> Echegini aliajiriwa na kocha mkuu mpya James Armstrong kucheza chuo kikuu kwa timu ya soka ya Bulldogs katika Chuo Kikuu cha Jimbo la Mississippi mnamo 2019. <ref>"Mississippi State signs 6 more players, completing 2019 recruiting class"''. SoccerWire. 24 July 2019.'' Archived ''from the original on 20 January 2025. Retrieved 18 January 2025.''</ref> Alitumia misimu mitatu huko, akifunga mabao 11 na pasi 6 katika michezo 42. <ref>"Onyi Echegini"''.'' Mississippi State Bulldogs''.'' Archived ''from the original on 3 July 2023. Retrieved 18 January 2025.''</ref> Mnamo 2022, alihamia Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida kuchezea timu ya soka ya Seminoles chini ya Brian Pensky, ambaye alikuwa amejaribu kumsajili hapo awali. Katika msimu wake wa kwanza kwa mabingwa watetezi wa taifa, alikuwa na mabao 11 na pasi 6 katika michezo 21 na akapata heshima ya timu ya pili ya All- ACC . Alikuwa na mabao mawili na pasi tatu wakati wa mashindano ya NCAA, ikiwa ni pamoja na bao moja na pasi moja katika kupoteza kwao 3-2 dhidi ya North Carolina katika nusu fainali. <ref name="FSU">{{Rejea tovuti|title=Onyi Echegini - 2023-24 - Women's Soccer|url=https://seminoles.com/sports/womens-soccer/roster/onyi-echegini/1879|accessdate=2024-01-04|publisher=[[Florida State Seminoles]]|language=en}}</ref> Katika msimu wa 2023, Echegini aliongoza ACC kwa mabao 16 na kutoa pasi 5 za mabao katika michezo 23 kwa Seminoles. Alikuwa MVP wa mashindano ya ACC, akijiandaa na ushindi wa fainali wa 2-1 dhidi ya Clemson . Alifunga mabao matatu na pasi mbili za mabao wakati wa mashindano ya NCAA, ikiwa ni pamoja na moja kati ya hayo katika ushindi wa fainali wa 5-1 dhidi ya Stanford, na kuhitimisha msimu wa Florida State ambao haukushindwa. Alipambwa sana kwa msimu huo, akipokea tuzo ya All-ACC ya timu ya kwanza na tuzo ya All-American ya timu ya kwanza, Mchezaji Bora wa Mwaka wa ACC wa Kukera, Tuzo ya Michezo ya Honda, na Tuzo ya Hermann, ambayo hutolewa kwa mchezaji bora zaidi wa soka wa chuo kikuu wa msimu huo. <ref name="FSU2">{{Rejea tovuti|title=Onyi Echegini - 2023-24 - Women's Soccer|url=https://seminoles.com/sports/womens-soccer/roster/onyi-echegini/1879|accessdate=2024-01-04|publisher=[[Florida State Seminoles]]|language=en}}</ref> Mnamo Januari 4, 2024, Echegini alisaini mkataba wa miaka mingi na klabu ya Italia ya Juventus hadi Juni 2026. <ref>{{Rejea tovuti|title=JOE ECHEGINI JOINS JUVENTUS! - Juventus|url=https://www.juventus.com/en/news/articles/joe-echegini-joins-juventus|date=4 January 2024|accessdate=4 January 2024|work=Juventus.com}}</ref> Alifunga mabao 10 katika mechi 16 kabla ya kuondoka klabuni hapo Julai 2024. <ref>{{Rejea tovuti|title=JOE ECHEGINI LEAVES JUVENTUS|url=https://www.juventus.com/en/news/articles/joe-echegini-leaves-juventus|date=10 July 2024|accessdate=10 July 2024}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]] jbzj4sujz8ko352sc7op7mzsn2d2n55 Payut Ngaokrachang 0 229589 1507859 2026-04-20T22:06:49Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Payut Ngaokrachang''' (alizaliwa [[1 Aprili]] [[1929]] – [[27 Mei]] [[2010]]) alikuwa mchora katuni na mhuishaji (animator) kutoka [[Thailand]]. Anajulikana kwa kuunda filamu ya kwanza ya uhuishaji wa ''cel-animation'' katika historia ya sinema ya Thailand, iitwayo The Adventure of Sudsakorn.<nowiki></ref></nowiki><ref>Sukin, Kamol (March 12, 2006) [http://nationmultimedia.com/2006/03/12/headlines/headlines_20002556.php "Thai animators out to conquer...' 1507859 wikitext text/x-wiki '''Payut Ngaokrachang''' (alizaliwa [[1 Aprili]] [[1929]] – [[27 Mei]] [[2010]]) alikuwa mchora katuni na mhuishaji (animator) kutoka [[Thailand]]. Anajulikana kwa kuunda filamu ya kwanza ya uhuishaji wa ''cel-animation'' katika historia ya sinema ya Thailand, iitwayo The Adventure of Sudsakorn.<nowiki></ref></nowiki><ref>Sukin, Kamol (March 12, 2006) [http://nationmultimedia.com/2006/03/12/headlines/headlines_20002556.php "Thai animators out to conquer the world"] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20060327130120/http://nationmultimedia.com/2006/03/12/headlines/headlines_20002556.php|date=2006-03-27}}, ''The Nation''.</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1929]] [[Jamii:Waliofariki 2010]] pd5o0niiexufxyx7fir9rhl62gtjwfq Raquel Naa Ayorkor Ammah 0 229590 1507860 2026-04-20T22:07:20Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Raquel Naa Ayorkor Ammah''' (amezaliwa tarehe 12 Agosti 1987), anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii '''Raquel''', ni mwanamuziki, mtunzi wa nyimbo, mpangaji wa dansi (koreografia), mwigizaji na mwandishi wa miswada kutoka [[Ghana]].<ref name="profile">{{cite web|title=Raquel Profile|url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1274|website=ghanaweb.com|access-date=4](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1274...' 1507860 wikitext text/x-wiki '''Raquel Naa Ayorkor Ammah''' (amezaliwa tarehe 12 Agosti 1987), anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii '''Raquel''', ni mwanamuziki, mtunzi wa nyimbo, mpangaji wa dansi (koreografia), mwigizaji na mwandishi wa miswada kutoka [[Ghana]].<ref name="profile">{{cite web|title=Raquel Profile|url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1274|website=ghanaweb.com|access-date=4](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1274|website=ghanaweb.com|access-date=4) September 2017}}</ref><ref name="interview">{{cite web|title=One-on-one interview with Raquel|url=[https://www.modernghana.com/music/25863/one-on-one-interview-with-raquel.html|website=modernghana.com|publisher=afromusion|access-date=4](https://www.modernghana.com/music/25863/one-on-one-interview-with-raquel.html|website=modernghana.com|publisher=afromusion|access-date=4) September 2017|date=2014-05-10}}</ref> Anajulikana sana kwa wimbo wake maarufu "Sweetio" aliomshirikisha Sarkodie.<ref name="profile"/><ref name="interview"/><ref>{{cite web|last=Adinkra|first=Fiifi|title=Raquel – Sweetio (Feat Sarkodie)|url=[http://www.ghanandwom.net/raquel-sweetio-feat-sarkodie/|website=ghanandwom.net|access-date=4](http://www.ghanandwom.net/raquel-sweetio-feat-sarkodie/|website=ghanandwom.net|access-date=4) September 2017|date=2014-06-25}}</ref> == Maisha ya awali == Raquel alizaliwa nchini [[United Kingdom]] na wazazi wa asili ya [[Ghana]].<ref name="profile"/> Alikulia katika eneo la West London West London pamoja na mama yake, kaka zake wawili na dada yake.<ref name="interview"/> Alisoma katika shule mbalimbali kutokana na familia yao kuhama mara kwa mara, lakini shule alizozipenda zaidi ni Hogarth Primary School iliyopo Chiswick, na West Thames College.<ref name="interview"/> Pia alisoma katika Hounslow Manor School kwa elimu ya sekondari ya juu, akijifunza Fasihi ya Kiingereza na Drama. Akiwa West Thames College, alisomea stashahada ya kitaifa katika sanaa za maonesho (Performing Arts), akichukua pia masomo ya ziada ya dansi na koreografia. Baadaye alijiunga na shahada ya BA katika Drama, Theatre and Performance Studies katika Chuo Kikuu cha Roehampton (zamani University of Surrey Roehampton), ambapo alisoma kwa miaka miwili kabla ya kuchukua mapumziko ili kuzingatia kazi yake ya muziki. == Kazi == Raquel aliingia rasmi katika tasnia ya muziki mwaka 2005<ref name="interview"/> baada ya kusaini mkataba na BlackStar SR Entertainment akiwa Uingereza, na tangu wakati huo ameshiriki jukwaa moja na wasanii wa kimataifa kama Mario, Movado, Young Lloyd (Marekani), Kas (Nigeria), Cabbo Snoop (Angola), [[Duncan Mighty]] (Nigeria) na [[Stephanie Benson]].<ref name="profile"/> Kabla ya hapo, aliunda kundi la muziki pamoja na dada yake liitwalo "The Sister Act", ambapo waliandika nyimbo zao, kuimba, kurap na kupanga dansi, wakitumbuiza katika matukio madogo. Baadaye alihamia Accra kuendeleza zaidi kazi yake ya muziki kwa msaada wa kampuni yake ya muziki. Alitoa wimbo "Odo" kama wimbo wake rasmi uliompandisha chati mwaka 2010.<ref name="profile"/> Kazi yake ya uigizaji ilianza kupitia maonesho ya jukwaani wakati wa masomo yake ya drama na sanaa za maonesho. Alipata nafasi ya kuongoza kama Maria katika uigizaji wa jukwaani wa tamthilia ya muziki ''The Sound of Music''. Katika filamu, alicheza nafasi kuu kama ‘Black Rose’ katika tamthilia ya Afro-noir ya mwaka 2020, ''Gold Coast Lounge'', iliyoongozwa na Pascal Aka na kuwashirikisha waigizaji kama Adjetey Anang na [[Zynnell Zuh]]. == Uhisani == Kama sehemu ya mchango wake kwa jamii, Raquel amekuwa mshauri wa kujitolea katika shirika la misaada la ndani nchini Ghana liitwalo Christ Humanitarian Foundation (CHF). Pia hufanya kampeni za kusaidia kukusanya fedha kwa ajili ya shirika hilo kila mwaka.<ref name="profile"/> == Tuzo na uteuzi == Mwaka 2019, alishinda tuzo ya Best Original Song katika Ghana Movie Awards kwa wimbo "Have You Seen My Love", ambao ni wimbo wa filamu ''Gold Coast Lounge''. Pia alishinda tuzo ya Best Female Artist mwaka 2012 katika YFM All Star Weekend Awards. Aidha, alipata uteuzi katika tuzo za [[Hip Hop]] na R&B Awards mwaka 2011.<ref name="profile" /> Mwezi Septemba 2013, alipokea tuzo ya National Youth Adorable Female Artist of the Year katika toleo la tatu la Ghana High School Entertainment Awards lililofanyika katika ukumbi wa National Theatre mjini Accra. Pia aliteuliwa katika tuzo za Ghana Hip Hop na R&B Awards katika vipengele vya Female R&B Artiste of the Decade na Contemporary R&B Artiste of the Year. Alipata pia uteuzi wa Best Female Video katika Vodafone 4Syte Music Video Awards kwa wimbo wake "Odo". Aidha, alipata uteuzi mara tano katika tuzo za Vodafone Ghana Music Awards mwaka 2012, zikiwemo New Artist of the Year (technical), Best Female Vocalist kwa wimbo "Sweetio" aliomshirikisha Sarkodie, Afro Pop Song of the Year kwa wimbo huo huo, na Best Collaboration of the Year kwa nyimbo "Sweetio" na "Aajeiii" (akiwa na Trigmatic), ingawa hakushinda katika vipengele hivyo. == Nyimbo maarufu == * "Sweetio" (akimshirikisha Sarkodie) * "Odo" (akimshirikisha Sarkodie) * "Set Me Free" * "Ke Ha Me" * "Lovi Dovi" * "Woara" (akimshirikisha Okyeame Kwame) * "Girlfriend" (Edem akimshirikisha Raquel) * "Fire" * "I Slay" * ''The Gospel of the Broken'' (EP, 2026) * "Aajeiii" (Trigmatic akimshirikisha Raquel) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Ammah, Raquel Naa Ayorkor}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] orsydajz60yauhc2rl9unelem790e12 Jakarin Homhual 0 229591 1507861 2026-04-20T22:10:56Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jakarin Homhual''' (alizaliwa [[19 Septemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa para-badminton kutoka Thailand. Akiwa ameungana na Dumnern Junthong, alifika nusu fainali ya mashindano ya ''men’s doubles WH1–WH2'' katika 2020 Summer Paralympics yaliyofanyika Tokyo. Wawili hao walimaliza mashindano katika nafasi ya nne.<ref>{{Cite web|title=จักรินทร์ หอมหวล : ความอ้วนทำให้ผมเป็นแชมป...' 1507861 wikitext text/x-wiki '''Jakarin Homhual''' (alizaliwa [[19 Septemba]] [[1988]]) ni mchezaji wa para-badminton kutoka Thailand. Akiwa ameungana na Dumnern Junthong, alifika nusu fainali ya mashindano ya ''men’s doubles WH1–WH2'' katika 2020 Summer Paralympics yaliyofanyika Tokyo. Wawili hao walimaliza mashindano katika nafasi ya nne.<ref>{{Cite web|title=จักรินทร์ หอมหวล : ความอ้วนทำให้ผมเป็นแชมป์โลก|url=https://stadiumth.com/columns/detail?id=46&tab=thai|access-date=2024-09-20|website=stadiumth.com}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1988]] [[Jamii:Watu walio hai]] tj45kyxd5ikvnmwsldqyo6twgbkxzow Abigail Ashley 0 229592 1507862 2026-04-20T22:12:33Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Abigail Ashley''' ni mtangazaji wa televisheni na redio kutoka [[Ghana]], mwanaharakati wa afya, na kiongozi wa mradi wa shirika la Behind My Smiles Foundation—shirika lisilo la kiserikali (NGO) linalojikita katika afya ya figo. Pia ni mwandishi wa kitabu ''A Decade of My Life: Behind My Smiles''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.ghanagrio.com/ghana-latest-news/424115-utv%E2%80%99s-abigail-ashley-launches-%E2%80%98the-behind-my-smile-project%E2%80%99.h...' 1507862 wikitext text/x-wiki '''Abigail Ashley''' ni mtangazaji wa televisheni na redio kutoka [[Ghana]], mwanaharakati wa afya, na kiongozi wa mradi wa shirika la Behind My Smiles Foundation—shirika lisilo la kiserikali (NGO) linalojikita katika afya ya figo. Pia ni mwandishi wa kitabu ''A Decade of My Life: Behind My Smiles''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.ghanagrio.com/ghana-latest-news/424115-utv%E2%80%99s-abigail-ashley-launches-%E2%80%98the-behind-my-smile-project%E2%80%99.html|title=UTV's](https://www.ghanagrio.com/ghana-latest-news/424115-utv%E2%80%99s-abigail-ashley-launches-%E2%80%98the-behind-my-smile-project%E2%80%99.html|title=UTV's) Abigail Ashley Launches 'The Behind My Smile Project'|website=GhanaNation Online|access-date=2018-04-04|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180404201121/https://www.ghanagrio.com/ghana-latest-news/424115-utv%E2%80%99s-abigail-ashley-launches-%E2%80%98the-behind-my-smile-project%E2%80%99.html|archive-date=2018-04-04}}](https://web.archive.org/web/20180404201121/https://www.ghanagrio.com/ghana-latest-news/424115-utv%E2%80%99s-abigail-ashley-launches-%E2%80%98the-behind-my-smile-project%E2%80%99.html|archive-date=2018-04-04}})</ref><ref name=":0">{{Cite news|url=[https://www.ghanacrusader.com/ghanaian-tv-presenter-abigail-ashley-can-never-give-birth-and-this-is-why/|title=Ghanaian](https://www.ghanacrusader.com/ghanaian-tv-presenter-abigail-ashley-can-never-give-birth-and-this-is-why/|title=Ghanaian) TV presenter Abigail Ashley can never give birth and this is why|date=2017-09-06|work=Ghana Crusader|access-date=2018-04-04|language=en-US|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180404202112/https://www.ghanacrusader.com/ghanaian-tv-presenter-abigail-ashley-can-never-give-birth-and-this-is-why/|archive-date=2018-04-04|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180404202112/https://www.ghanacrusader.com/ghanaian-tv-presenter-abigail-ashley-can-never-give-birth-and-this-is-why/|archive-date=2018-04-04|url-status=dead}})</ref><ref>{{Cite news|url=[https://www.modernghana.com/entertainment/41962/hundreds-attend-abigail-ashleys-book-launch.html|title=Hundreds](https://www.modernghana.com/entertainment/41962/hundreds-attend-abigail-ashleys-book-launch.html|title=Hundreds) Attend Abigail Ashley's Book Launch|work=Modern Ghana|access-date=2018-04-04|language=en-gb}}</ref> == Elimu == Ashley alisoma katika GH Fashion School iliyopo [[Accra]].<ref>{{Cite web |last=Apodei |first=Joshua Agudey |date=2023-07-10 |title=Abigail Ashley, TV/Radio Personality and Health Advocate graduates as the best valedictorian |url=[https://coverghana.com.gh/abigail-ashley-tv-radio-personality-and-health-advocate-graduates-as-the-best-valedictorian/](https://coverghana.com.gh/abigail-ashley-tv-radio-personality-and-health-advocate-graduates-as-the-best-valedictorian/) |access-date=2023-07-31 |website=Coverghana.com.gh |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Quist |first=Ebenezer Agbey |date=2023-07-10 |title=Media personality graduates as best student from GH Fashion School with 4 awards |url=[https://yen.com.gh/people/237142-ghanaian-tvradio-personality-abigail-ashley-graduates-gh-fashion-school-student-4-awards/](https://yen.com.gh/people/237142-ghanaian-tvradio-personality-abigail-ashley-graduates-gh-fashion-school-student-4-awards/) |access-date=2023-07-31 |website=Yen.com.gh - Ghana news. |language=en}}</ref> == Kazi == Ashley ni mtangazaji na mhudumu wa kipindi cha "My Health, My Life" kinachorushwa na United Television Ghana.<ref name=":0" /><ref>{{Cite web|title=UTV's Abigail Ashley Launches Foundation To Support Kidney Patients|url=[https://www.modernghana.com/entertainment/48800/utvs-abigail-ashley-launches-foundation-to-suppor.html|access-date=2020-07-24|website=Modern](https://www.modernghana.com/entertainment/48800/utvs-abigail-ashley-launches-foundation-to-suppor.html|access-date=2020-07-24|website=Modern) Ghana|language=en}}</ref> Pia ni mtangazaji wa kipindi ''Mo Ho Y3'' kinachorushwa na Okay FM.<ref>{{Cite web |title=MO HO Y3 With Abigail Ashley On Okay 101.7 Fm (15/07/2023) |url=[https://www.peacefmonline.com/pages/videos/202307/84387.php](https://www.peacefmonline.com/pages/videos/202307/84387.php) |access-date=2023-07-31 |website=Peacefmonline.com - Ghana news |archive-date=2023-07-31 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20230731204057/https://www.peacefmonline.com/pages/videos/202307/84387.php](https://web.archive.org/web/20230731204057/https://www.peacefmonline.com/pages/videos/202307/84387.php) |url-status=dead }}</ref> === Diskografia === * ''Aseda Ndwom'' (akimshirikisha TMI)<ref name=":1">{{Cite web |last=Online |first=Peace FM |title=Abigail Ashley Thanks God With Aseda Ndwom |url=[https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/music/202207/470066.php](https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/music/202207/470066.php) |access-date=2023-07-31 |website=Peacefmonline.com - Ghana news |archive-date=2023-07-31 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20230731202730/https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/music/202207/470066.php](https://web.archive.org/web/20230731202730/https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/music/202207/470066.php) |url-status=dead }}</ref> == Maisha binafsi == Mnamo Agosti 2007, aligunduliwa kuwa na ugonjwa sugu wa figo (chronic kidney disease) na alipewa muda wa kuishi wa miaka mitano, lakini aliweza kupona.<ref>{{Cite news |last=GTonline |date=2022-12-12 |title=From deadline to health line …the story of a kidney failure survivor |url=[https://www.ghanaiantimes.com.gh/from-deadline-to-health-line-the-story-of-a-kidney-failure-survivor/](https://www.ghanaiantimes.com.gh/from-deadline-to-health-line-the-story-of-a-kidney-failure-survivor/) |location=Accra, Ghana|access-date=2023-07-31 |newspaper=[[Ghanaian Times]]|language=en}}</ref> Alifanyiwa upasuaji wa kupandikiza figo.<ref>{{Cite news|title=New kidney, new life for UTV's Abigail Ashley|url=[https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/new-kidney-new-life-for-utv-s-abigail-ashley.html|location=Accra](https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/new-kidney-new-life-for-utv-s-abigail-ashley.html|location=Accra), Ghana|access-date=2020-07-24|newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|language=en-gb}}</ref><ref>{{Cite web|title=The surviving story of UTV Presenter Abigail Ashley|url=[http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/The-surviving-story-of-UTV-Presenter-Abigail-Ashley-517305?gallery=2|access-date=2020-07-24|website=GhanaWeb}}](http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/The-surviving-story-of-UTV-Presenter-Abigail-Ashley-517305?gallery=2|access-date=2020-07-24|website=GhanaWeb}})</ref> == Tuzo na uteuzi == Mwaka 2016, 2017 na 2018, alitunukiwa katika tuzo za Health Legends' Awards.<ref name=":1" /> Mwaka 2017, aliteuliwa katika orodha ya watu 50 vijana wenye ushawishi mkubwa nchini Ghana.<ref>{{Cite news|url=[https://buzzghana.com/most-influential-young-ghanaians-2017/|title=Most](https://buzzghana.com/most-influential-young-ghanaians-2017/|title=Most) Influential Young Ghanaians 2017: See Full List and Categories|date=2017-12-19|work=BuzzGhana|access-date=2018-04-04}}</ref><ref>{{Cite news|url=[http://www.peacefmonline.com/pages/local/social/201712/338968.php|title=UTVs](http://www.peacefmonline.com/pages/local/social/201712/338968.php|title=UTVs) Abigail Ashley, Others Nominated For 50 Most Influential Young Ghanaians|last=Online|first=Peace FM|access-date=2018-04-04|archive-date=2018-04-04|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180404200923/http://www.peacefmonline.com/pages/local/social/201712/338968.php|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180404200923/http://www.peacefmonline.com/pages/local/social/201712/338968.php|url-status=dead}})</ref> Mwezi Novemba 2019, alitunukiwa katika toleo la 9 la tuzo za 3G Awards zilizofanyika Bronx, [[New York City|New York]], nchini [[United States|Marekani]], kwa mchango wake katika kusaidia watu na kampeni zake za kuhamasisha maisha yenye afya.<ref>{{Cite news|title=UTV's Abigail Ashley to be honoured at 3G Awards|url=[https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/utv-s-abigail-ashley-to-be-honoured-at-3g-awards.html|location=Accra](https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/utv-s-abigail-ashley-to-be-honoured-at-3g-awards.html|location=Accra), Ghana|access-date=2020-07-24|newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|language=en-gb}}</ref> Mwaka 2020, alipokea tuzo ya Social Media Health Advocate of the Year kwa kutumia mitandao ya kijamii kuhamasisha huduma za afya na mtindo bora wa maisha.<ref name=":1" /> Mwezi Julai 2023, alishinda tuzo nne katika GH Fashion School mjini Accra, zikiwemo Best Student in Fashion Business, Best Student in Machinery, Most Promising Fashion Student, na Best Student in Garment Construction.<ref>{{Cite web |date=2023-07-31 |title=Media Personality Abigail Ashley bags 4 awards at GH Fashion School |url=[https://citinewsroom.com/2023/07/media-personality-abigail-ashley-bags-4-awards-at-gh-fashion-school/](https://citinewsroom.com/2023/07/media-personality-abigail-ashley-bags-4-awards-at-gh-fashion-school/) |access-date=2023-07-31 |website=Citinewsroom - Comprehensive News in Ghana |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2023-07-11 |title=UTV’s Abigail Ashley Wins Best Student Award {{!}} GhHeadlines Total News Total Information |url=[https://ghheadlines.com/agency/daily-guide/20230721/161835186/utvs-abigail-ashley-wins-best-student-award](https://ghheadlines.com/agency/daily-guide/20230721/161835186/utvs-abigail-ashley-wins-best-student-award) |access-date=2023-07-31 |website=ghheadlines.com |language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Ashley, Abigail}} [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] [[Jamii:Watu walio hai]] btic13o5k8k2hvslhz1t489vmhv95lx Krit Sripoomseth 0 229593 1507863 2026-04-20T22:14:33Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Krit Sripoomseth''' (Thai: กฤษณ์ ศรีภูมิเศรษฐ์; alizaliwa [[20 Agosti]] [[1979]]) ni mwanamitindo na [[mwigizaji]] kutoka Thailand. Alisoma katika Assumption University. Alianza kazi yake kama DJ akiwa na umri wa miaka 23, kabla ya kujulikana zaidi kama mtangazaji (moderator) wa vipindi vya televisheni kama ''Fan Pan Tae'' (2012–2015) na ''Khon Uad Phee'', vinavyozalishwa na Workpoint Entertainment. {{Mbegu-igiza-...' 1507863 wikitext text/x-wiki '''Krit Sripoomseth''' (Thai: กฤษณ์ ศรีภูมิเศรษฐ์; alizaliwa [[20 Agosti]] [[1979]]) ni mwanamitindo na [[mwigizaji]] kutoka Thailand. Alisoma katika Assumption University. Alianza kazi yake kama DJ akiwa na umri wa miaka 23, kabla ya kujulikana zaidi kama mtangazaji (moderator) wa vipindi vya televisheni kama ''Fan Pan Tae'' (2012–2015) na ''Khon Uad Phee'', vinavyozalishwa na Workpoint Entertainment. {{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Watu walio hai]] dgu8o5fkjiext8zs5w2zhovwio4j7r9 Nattawin Wattanagitiphat 0 229594 1507864 2026-04-20T22:20:36Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nattawin Wattanagitiphat''' (Thai: ณัฐวิญญ์ วัฒนกิติพัฒน์; alizaliwa [[24 Februari]] [[1994]]), anayejulikana kwa jina la utani Apo (อาโป), ni [[mwigizaji]] kutoka Thailand.<ref name=":3" /> Anajulikana zaidi kwa majukumu yake makuu katika kazi kama Sud Kaen Saen Rak (2015), KinnPorsche (2022), Man Suang (2023), na Shine (2025).<ref>{{Cite web|title=From 'Boys Love' to Global Luxury: The Thai Effect|ur...' 1507864 wikitext text/x-wiki '''Nattawin Wattanagitiphat''' (Thai: ณัฐวิญญ์ วัฒนกิติพัฒน์; alizaliwa [[24 Februari]] [[1994]]), anayejulikana kwa jina la utani Apo (อาโป), ni [[mwigizaji]] kutoka Thailand.<ref name=":3" /> Anajulikana zaidi kwa majukumu yake makuu katika kazi kama Sud Kaen Saen Rak (2015), KinnPorsche (2022), Man Suang (2023), na Shine (2025).<ref>{{Cite web|title=From 'Boys Love' to Global Luxury: The Thai Effect|url=https://lefty.io/blog/thaiinfluencers|access-date=15 June 2025|website=Lefty|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] [[Jamii:Watu walio hai]] rqhbxpr6a5w1sy678pw817w7mfn27dw 1507865 1507864 2026-04-20T22:20:59Z EdwardJacobo42 48620 1507865 wikitext text/x-wiki '''Nattawin Wattanagitiphat''' (Thai: ณัฐวิญญ์ วัฒนกิติพัฒน์; alizaliwa [[24 Februari]] [[1994]]), anayejulikana kwa jina la utani Apo (อาโป), ni [[mwigizaji]] kutoka Thailand. Anajulikana zaidi kwa majukumu yake makuu katika kazi kama Sud Kaen Saen Rak (2015), KinnPorsche (2022), Man Suang (2023), na Shine (2025).<ref>{{Cite web|title=From 'Boys Love' to Global Luxury: The Thai Effect|url=https://lefty.io/blog/thaiinfluencers|access-date=15 June 2025|website=Lefty|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] [[Jamii:Watu walio hai]] 1e56d3qu5vah0pircols86up1032bxq Stacy Amoateng 0 229595 1507866 2026-04-20T22:22:41Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Stacy Amoateng''' (jina la kuzaliwa: Anastasia Manuela Amoateng) ni mtangazaji na mtayarishaji wa vipindi vya televisheni, mshauri wa vyombo vya habari, mwanaharakati wa kijamii na mwigizaji kutoka [[Ghana]].<ref name=":0">{{Cite web|url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Stacy-Amoateng-raps-her-husband-s-song-from-A-Z-in-latest-video-621781|title=Stacy](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Stacy-Amoateng-raps-her-husb...' 1507866 wikitext text/x-wiki '''Stacy Amoateng''' (jina la kuzaliwa: Anastasia Manuela Amoateng) ni mtangazaji na mtayarishaji wa vipindi vya televisheni, mshauri wa vyombo vya habari, mwanaharakati wa kijamii na mwigizaji kutoka [[Ghana]].<ref name=":0">{{Cite web|url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Stacy-Amoateng-raps-her-husband-s-song-from-A-Z-in-latest-video-621781|title=Stacy](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Stacy-Amoateng-raps-her-husband-s-song-from-A-Z-in-latest-video-621781|title=Stacy) Amoateng raps her husband's song from A-Z in latest video|website=[www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2018-06-10](http://www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2018-06-10)}}</ref> Ameanzisha shirika la hisani linalosaidia wanawake na watoto wenye uhitaji, na ametambuliwa kwa kazi yake kupitia tuzo ya Ghana Peace Award.<ref name=":1">{{Cite web|url=[http://kasapafmonline.com/2017/10/21/ghana-peace-awards-to-honour-stacy-amoateng/|title=Ghana](http://kasapafmonline.com/2017/10/21/ghana-peace-awards-to-honour-stacy-amoateng/|title=Ghana) Peace Awards to honour Stacy Amoateng – Kasapa102.5FM|website=kasapafmonline.com|language=en-US|access-date=2018-06-10}}</ref> == Kazi == Amoateng alianza kazi yake ya televisheni mwaka 2000 kwa kuigiza katika tamthilia ya televisheni ''Taxi Driver''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/I-am-blessed-Stacy-Amoateng-on-RTP-win-690938|title=I](https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/I-am-blessed-Stacy-Amoateng-on-RTP-win-690938|title=I) am blessed – Stacy Amoateng on RTP win|website=[www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2019-05-01](http://www.ghanaweb.com|language=en|access-date=2019-05-01)}}</ref> Mwaka 2002, aliendesha kipindi cha mazungumzo ''Talk Ghana'' kwenye Tv3. Pia aliwahi kuwa mtangazaji mwenza wa kipindi ''Music Music'' kinachorushwa na TV3 Ghana mwaka 2002 pamoja na Bola Ray, na alijiuzulu mwaka 2012. Ameigiza pia katika filamu kama ''I Sing of a Well'', ''Incomplete'', ''Consequences'', na ''Cross My Heart''. Aidha, aliwahi kuendesha vipindi ''In Touch Africa'' na ''In Vogue''. Amoateng ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa Platinum Networks, kampuni inayozalisha kipindi cha televisheni ''Restoration'' ambacho yeye mwenyewe hukiongoza. Pia ni mkurugenzi mtendaji wa Emklan Media, kampuni ya usimamizi wa maudhui na uzalishaji wa vyombo vya habari.<ref name=":0" /><ref name=":1" /> Yeye ni mwanzilishi wa tuzo za Showbiz Honours, zinazotambua watu mashuhuri wanaochangia jamii, pamoja na taasisi ya ''The Restoration With Stacy Foundation'', inayolenga kuwawezesha wanawake na wasichana kupitia kampeni ya ''The Luv Project''.<ref name=":1" /> Mradi huo hutoa msaada kwa wanawake na wasichana wanaokumbwa na aina mbalimbali za unyanyasaji. Amechangisha fedha kusaidia upasuaji wa plastiki kwa mwanamke aliyemwagiwa tindikali na mwenzi wake, kusaidia watoto wenye uhitaji kupata elimu, kutoa makazi kwa akina mama wasio na waume, na kutoa ushauri kwa wasichana kuhusu kujijengea uwezo na kutimiza ndoto zao.<ref>{{Cite web|url=[https://ghanawebonline.com/tag/stacy-amoateng/|title=Stacy](https://ghanawebonline.com/tag/stacy-amoateng/|title=Stacy) Amoateng – The New Ghana Web|language=en-US|access-date=2019-05-01}}</ref> === Tuzo na heshima === * Tuzo ya Kibinadamu (Humanitarian Award), 2019 – World Philanthropist Forum * Kipindi Bora cha Televisheni cha Mwaka, 2019 – African Gospel Awards * Mtu wa Mwaka, 2018 – RTP Awards * Mtangazaji Bora wa Kike, 2018 – RTP Awards * Kipindi Bora cha Televisheni (''Restoration with Stacy''), 2018 – RTP Awards * Mtangazaji Bora wa Televisheni, 2018 – Shine Awards * Tuzo ya Dhahabu ya Ubora wa Vyombo vya Habari, 2018 – Foklex Media Awards * Tuzo ya Huduma za Kibinadamu, 2017 – Ghana Peace Awards<ref name=":1" /><ref name=":2">{{Cite web|url=[https://www.ghanamma.com/2017/10/31/stacy-amoateng-sweeps-two-big-awards-on-saturday-at-ghana-peace-awardsrtp-awards/|title=Stacy](https://www.ghanamma.com/2017/10/31/stacy-amoateng-sweeps-two-big-awards-on-saturday-at-ghana-peace-awardsrtp-awards/|title=Stacy) Amoateng sweeps two big awards on Saturday at Ghana Peace Awards, RTP Awards|website=[www.ghanamma.com|language=en-US|access-date=2018-06-10](http://www.ghanamma.com|language=en-US|access-date=2018-06-10)}}</ref> * Mtangazaji Bora wa Kipindi cha Maendeleo, 2017 – RTP Awards<ref name=":2" /> * Mwanamke Bora (Ultimate Woman), 2016 kwa mchango wake katika vyombo vya habari na shughuli za kibinadamu * Mtangazaji wa Kike Anayevutia Zaidi, 2016 na 2015 – RTP Awards * Shahada ya Heshima katika Mahusiano ya Vyombo vya Habari, 2015 – Achievers University College, Hispania * Heshima ya kifalme kutoka [[Sunyani]] kwa ubora katika vyombo vya habari * Mtu Bora wa RTP, 2019–2020 – RTP Awards <ref name=":3">{{Cite news|title=Full list of 2020 RTP Award winners|url=[https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/full-list-of-2020-rtp-award-winners.html|location=Accra](https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/full-list-of-2020-rtp-award-winners.html|location=Accra), Ghana|access-date=2020-11-26|newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|language=en-gb}}</ref> * Mtangazaji Bora wa Kipindi cha Maendeleo cha Televisheni, 2019–2020 – RTP Awards<ref name=":3" /> == Maisha binafsi == Tarehe 28 Mei 2005, Stacy aliolewa na mtangazaji na mwanamuziki Daniel Kofi Amoateng (anayejulikana pia kama Quophi Okyeame). Wana watoto watatu: wasichana wawili, Calista Meusique Amoateng na Beyonce Afia Dankwah Amoateng, na mvulana mmoja, Josiah Ian Kobby Amoateng.<ref name=":0" /><ref>{{Cite news|title=It's Restoration with Stacy|url=[http://www.graphic.com.gh/entertainment/events/it-s-restoration-with-stacy.html|location=Accra](http://www.graphic.com.gh/entertainment/events/it-s-restoration-with-stacy.html|location=Accra), Ghana|newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]|accessdate=30 July 2016}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Amoateng, Stacy}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] 9i2h4n94jsray6qy41oafgk4i6hz87s Nukul Prachuabmoh 0 229596 1507867 2026-04-20T22:24:52Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nukul Prachuabmoh''' (alizaliwa [[25 Julai]] [[1929]] – [[5 Februari]] [[2023]]) alikuwa mchumi na teknokrati kutoka Thailand. Alihudumu kama Waziri wa Uchukuzi katika vipindi viwili mwaka 1991 hadi Machi 1992, na tena kuanzia Juni hadi Septemba 1992. Pia aliwahi kuwa gavana wa Bank of Thailand kuanzia 1979 hadi 1984. Alifariki tarehe 5 Februari 2023 akiwa na umri wa miaka 93.<ref>{{cite news|last=|first=|date=6 February 2023|title='นุกูล...' 1507867 wikitext text/x-wiki '''Nukul Prachuabmoh''' (alizaliwa [[25 Julai]] [[1929]] – [[5 Februari]] [[2023]]) alikuwa mchumi na teknokrati kutoka Thailand. Alihudumu kama Waziri wa Uchukuzi katika vipindi viwili mwaka 1991 hadi Machi 1992, na tena kuanzia Juni hadi Septemba 1992. Pia aliwahi kuwa gavana wa Bank of Thailand kuanzia 1979 hadi 1984. Alifariki tarehe 5 Februari 2023 akiwa na umri wa miaka 93.<ref>{{cite news|last=|first=|date=6 February 2023|title='นุกูล ประจวบเหมาะ' อดีตผู้ว่าฯแบงก์ชาติ ผู้ประกาศลดค่าเงินบาทครั้งแรกปี2527 ถึงแก่กรรรมแล้ว|trans-title=|url=https://www.thaipost.net/news-update/318035/|language=Thai|work=[[Thai Post]]|location=|access-date=7 February 2023}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1929]] [[Jamii:Waliofariki 2023]] f8bi32s4ojdn5x9hx093f9fk1sjb7r5 Chatchawit Techarukpong 0 229597 1507868 2026-04-20T22:28:10Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chatchawit Techarukpong''' (Thai: ชัชชวิศ เตชะรักษ์พงศ์; alizaliwa [[22 Machi]] [[1992]]), anayejulikana kwa jina la utani Victor (วิคเตอร์), ni mwigizaji kutoka Thailand. Anajulikana kwa majukumu yake makuu kama Terk katika Room Alone 401-410 (2014), Min katika Water Boyy (2017), na Mwalimu Pom katika The Gifted (2018).<ref>{{cite web|title="ไทยทึ่ง WOW! THAILAND" ชนะราง...' 1507868 wikitext text/x-wiki '''Chatchawit Techarukpong''' (Thai: ชัชชวิศ เตชะรักษ์พงศ์; alizaliwa [[22 Machi]] [[1992]]), anayejulikana kwa jina la utani Victor (วิคเตอร์), ni mwigizaji kutoka Thailand. Anajulikana kwa majukumu yake makuu kama Terk katika Room Alone 401-410 (2014), Min katika Water Boyy (2017), na Mwalimu Pom katika The Gifted (2018).<ref>{{cite web|title="ไทยทึ่ง WOW! THAILAND" ชนะรางวัล Regional Winner เป็นตัวแทนประเทศไทย เข้าชิงรอบสุดท้ายรางวัลใหญ่ระดับเอเชีย"Asian Academy Creative Awards 2019"|url=https://www.ryt9.com/s/prg/3057542|website=ryt9.com|publisher=RYT9|accessdate=17 August 2020|language=Thai|date=22 October 2019}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Watu walio hai]] r3oifms00ckloegahnhdgkuvm584b4l Chalermchai Sri-on 0 229598 1507869 2026-04-20T22:31:24Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chalermchai Sri-on''' (Thai: เฉลิมชัย ศรีอ่อน; RTGS: Chaloemchai Si-on) ni [[mwanasiasa]] wa Thailand na kiongozi wa zamani wa Democrat Party. Aliwahi pia kuwa Waziri wa Kilimo na Ushirika katika baraza la pili la mawaziri la Waziri Mkuu Prayut Chan-o-cha.<ref>{{Cite news|last=Sattaburuth|first=Aekarach|date=2025-04-27|title=Democrat head calls for change as party crisis looms|url=https://www.bangkokpost.com/thailand/polit...' 1507869 wikitext text/x-wiki '''Chalermchai Sri-on''' (Thai: เฉลิมชัย ศรีอ่อน; RTGS: Chaloemchai Si-on) ni [[mwanasiasa]] wa Thailand na kiongozi wa zamani wa Democrat Party. Aliwahi pia kuwa Waziri wa Kilimo na Ushirika katika baraza la pili la mawaziri la Waziri Mkuu Prayut Chan-o-cha.<ref>{{Cite news|last=Sattaburuth|first=Aekarach|date=2025-04-27|title=Democrat head calls for change as party crisis looms|url=https://www.bangkokpost.com/thailand/politics/3012041/democrat-head-calls-for-change-as-party-crisis-looms|access-date=2025-06-05|work=Bangkok Post|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] 9fajhsaz7sduhnhqh3ktohzivotfzyp Ifeoma Onumonu 0 229599 1507870 2026-04-20T22:34:37Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ifeoma Chukwufumnaya Onumonu (''' Alizaliwa [[25 Februari]] [[1994]]) ni mchezaji wa zamani [[Mpira wa miguu|wa mpira wa miguu]] wa kulipwa ambaye alicheza kama [[Forward (association football)|mshambuliaji]] . Alizaliwa Marekani, alichezea timu ya taifa ya Nigeria kwa miaka minne. Akiwa na ''Super Falcons'', Onumonu alishiriki katika Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la 2023, Olimpiki ya Majira ya Joto ya 2024, na alichangia ushindi wa Kombe la Mataif...' 1507870 wikitext text/x-wiki '''Ifeoma Chukwufumnaya Onumonu (''' Alizaliwa [[25 Februari]] [[1994]]) ni mchezaji wa zamani [[Mpira wa miguu|wa mpira wa miguu]] wa kulipwa ambaye alicheza kama [[Forward (association football)|mshambuliaji]] . Alizaliwa Marekani, alichezea timu ya taifa ya Nigeria kwa miaka minne. Akiwa na ''Super Falcons'', Onumonu alishiriki katika Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la 2023, Olimpiki ya Majira ya Joto ya 2024, na alichangia ushindi wa Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake la 2024 . Onumonu alicheza soka ya chuo kikuu kwa ajili ya California Golden Bears kabla ya kuchaguliwa na Boston Breakers katika Draft ya Chuo cha NWSL ya 2017. Kisha alichezea vilabu vingine vya NWSL Portland Thorns FC, Reign FC, Gotham FC, na Utah Royals kabla ya kukamilisha taaluma yake na klabu ya Premiere Ligue Montpellier HSC . == Kazi == Baada ya kucheza chuo kikuu katika Chuo Kikuu cha California, Berkeley, Onumonu alichaguliwa na Boston Breakers kwa uteuzi wa 8 kwa ujumla katika Draft ya Chuo cha NWSL cha 2017. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.thebentmusket.com/2017/1/12/14259220/boston-breakers-complete-nwsl-2017-draft-six-picks|title=Breakers complete 2017 draft with six picks|author=Yang|first=Stephanie|date=12 January 2017|work=The Bent Musket|accessdate=13 January 2017|archivedate=14 January 2017|archiveurl=https://web.archive.org/web/20170114190910/http://www.thebentmusket.com/2017/1/12/14259220/boston-breakers-complete-nwsl-2017-draft-six-picks}}</ref> Alionekana katika michezo 18 kwa Boston katika msimu wake mpya. Baada ya Boston Breakers kufungwa kabla ya msimu wa 2018, Onumonu alichaguliwa na Portland Thorns katika Draft ya Kutawanyika ya 2018. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://twitter.com/NWSL/status/958457275030568961|title=With the 22nd pick in today's dispersal draft, @ThornsFC select Ifeoma Onumonu.|author=NWSL|date=30 January 2018|work=@NWSL|language=en|accessdate=30 January 2018}}</ref> Aliondolewa mnamo 8 Mei 2019, baada ya kucheza michezo minane. Mnamo Mei 14, 2019, Onumonu alisaini mkataba na Reign FC kama mchezaji mbadala wa Timu ya Taifa. <ref>"REIGN FC SIGN IFEOMA ONUMONU AS NATIONAL TEAM REPLACEMENT PLAYER"''. Reign FC. 14 May 2019. Archived from'' the original ''on 14 May 2019. Retrieved 14 May 2019.''</ref> Baada ya utendaji mzuri, alipata nafasi ya ziada kwenye orodha ya wachezaji mnamo Juni 28. <ref>"IFEOMA ONUMONU SIGNED TO SUPPLEMENTAL ROSTER"''. Reign FC. 28 June 2019. Archived from'' the original ''on 28 June 2019. Retrieved 28 June 2019.''</ref> Mnamo Januari 17, 2020, Onumonu aliuzwa kwenda Sky Blue FC . Alisaini tena na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja mnamo Januari 20, 2022 kulingana na utendaji wake mzuri wakati wa msimu wa NWSL wa 2021, ambao ulimfanya awe ameteuliwa kuwa Timu ya Pili Bora ya XI. <ref>{{Rejea tovuti|author=FC|first=Gotham|date=20 January 2022|title=NJ/NY Gotham FC Solidifies Forward Core, Re-Signing Ifeoma Onumonu|url=https://www.gothamfc.com/news_article/show/1204407-nj-ny-gotham-fc-solidifies-forward-core-re-signing-ifeoma-onumonu|accessdate=19 March 2022|work=NJ/NY Gotham FC|language=en-us}}</ref> Mnamo Oktoba 25, 2022, Onumonu alisaini mkataba mpya wa miaka mitatu ambao ungemfanya aendelee kuwa na Gotham FC katika msimu wote wa 2025. <ref>{{Rejea tovuti|author=Staff|first=J. W. S.|date=25 October 2022|title=NWSL free agency tracker: Ifeoma Onumonu signs with Gotham|url=https://justwomenssports.com/nwsl-free-agency-tracker-signings-updates-2022-2023/|accessdate=27 October 2022|work=Just Women's Sports|language=en-US}}</ref> Mnamo tarehe 30 Desemba 2023, Onumonu iliuzwa kwa Utah Royals kwa $40,000 kama pesa ya mgao. <ref>{{Rejea tovuti|author=Communications|first=Gotham FC|date=30 December 2023|title=Gotham FC Trades Forward Ify Onumonu to Utah Royals for Allocation Money|url=https://www.gothamfc.com/news_article/show/1295567-gotham-fc-trades-forward-ify-onumonu-to-utah-royals-for-allocation-money|accessdate=30 December 2023|work=NJ/NY Gotham FC|language=en-us}}</ref> == Kazi ya kimataifa == Onumonu ameiwakilisha Marekani katika Timu ya Taifa ya Wanawake ya Chini ya Umri wa Miaka 23. Mnamo Juni 2021 alipokea wito wake wa kwanza katika Timu ya Taifa ya Wanawake ya Nigeria . <ref name=":1">{{Rejea tovuti|author=FC|first=Gotham|date=9 June 2021|title=Ifeoma Onumonu Earns First Call Up for Nigeria Women's National Team|url=https://www.gothamfc.com/news_article/show/1168550-ifeoma-onumonu-earns-first-call-up-for-nigeria-women-s-national-team|accessdate=9 June 2021|work=NJ/NY Gotham FC|language=en-us}}</ref>Mnamo tarehe 16 Juni 2023, alijumuishwa katika kikosi cha wachezaji 23 cha Nigeria kwa ajili ya Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA la 2023. <ref>{{Rejea tovuti|author=Ryan Dabbs|date=14 June 2023|title=Nigeria Women's World Cup 2023 squad: most recent call ups|url=https://www.fourfourtwo.com/features/nigeria-women-world-cup-2023-squad-team-roster-players|accessdate=20 June 2023|work=fourfourtwo.com|language=en}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] [[Jamii:Wanawake]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]] 2z1dm92cyrtcascd80bgnas71csfek3 Empress Gifty 0 229600 1507871 2026-04-20T22:36:40Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Empress Gifty''' (zamani akijulikana kama '''Empress Gifty Osei''') ni mwanamuziki wa nyimbo za injili na pia mfuatiliaji wa mitindo (fashionista) kutoka [[Ghana]].<ref>{{Cite web |title=Call me Empress Gifty Adorye – Gifty Osei |url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Call-me-Empress-Gifty-Adorye-Gifty-Osei-713642 |access-date=2019-06-15 |website=GhanaWeb. |language=en |archive-date=2019-07-23 |archive-url=https://web.archive.org/we...' 1507871 wikitext text/x-wiki '''Empress Gifty''' (zamani akijulikana kama '''Empress Gifty Osei''') ni mwanamuziki wa nyimbo za injili na pia mfuatiliaji wa mitindo (fashionista) kutoka [[Ghana]].<ref>{{Cite web |title=Call me Empress Gifty Adorye – Gifty Osei |url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Call-me-Empress-Gifty-Adorye-Gifty-Osei-713642 |access-date=2019-06-15 |website=GhanaWeb. |language=en |archive-date=2019-07-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190723161806/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Call-me-Empress-Gifty-Adorye-Gifty-Osei-713642 |url-status=live }}</ref><ref>{{Cite web |last=Somuah-Annan |first=Grace |date=2021-07-31 |title=Gospel is not free, even the Bible is not free – Gospel musician, Empress Gifty |url=https://3news.com/gospel-is-not-free-even-the-bible-is-not-free-gospel-musician-empress-gifty/ |access-date=2022-03-10 |website=3NEWS |language=en-US |archive-date=2021-12-01 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211201091514/https://3news.com/gospel-is-not-free-even-the-bible-is-not-free-gospel-musician-empress-gifty/ |url-status=live }}</ref> Yeye ndiye msanii wa kwanza wa injili nchini Ghana kufikisha wafuasi milioni 1 kwenye [[Instagram]].<ref>{{Cite web |date=2022-01-07 |title=I am the only gospel artiste in Ghana to hit 1 million followers on Instagram – Gifty Adorye |url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/I-am-the-only-gospel-artiste-in-Ghana-to-hit-1-million-followers-on-Instagram-Gifty-Adorye-1439503 |access-date=2022-03-10 |website=GhanaWeb |language=en |archive-date=2023-04-08 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230408062145/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/I-am-the-only-gospel-artiste-in-Ghana-to-hit-1-million-followers-on-Instagram-Gifty-Adorye-1439503 |url-status=dead }}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Empress alizaliwa katika familia za Oppong na Annan, zote zikitoka maeneo ya Central Region na Western Region nchini Ghana. Alianza elimu ya msingi katika Shule ya Msingi ya Mantey Din na baadaye Shule ya Sekondari ya Awali ya Oninku, zote zikiwa [[Tema]]. Aliendelea na masomo ya mitindo katika shule ya fasheni huko Tema, na baada ya kuhitimu alifungua shule yake binafsi ya fasheni ambapo alifundisha wanafunzi kuhusu fasheni na maisha ya kisasa.<ref>{{Cite web |last=Anderson |first=Linda |date=2021-07-26 |title=Changing how I dress has upgraded my music brand- Empress Gifty opens up |url=https://yen.com.gh/190845-gifty-osei-ghanas-sensational-gospel-singer-tells-emotional-life-story-met-current-hus.html |access-date=2022-03-10 |website=Yen - Ghana news. |language=en |archive-date=2022-05-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220521033653/https://yen.com.gh/190845-gifty-osei-ghanas-sensational-gospel-singer-tells-emotional-life-story-met-current-hus.html |url-status=live }}</ref> == Kazi ya muziki == Empress Gifty ameshirikiana na wasanii kama Opanka na Zaza Mohkheti kutoka Afrika Kusini. Ana nyimbo maarufu kama ''Aseda'', ''Fefeefe'', ''Epikye'', ''Adensiedie'', ''Adom'', ''Jesus Over Do'', ''Jesus Be Too Much'', ''Odiyompo'' na ''Eye Woa''. Alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Mwaka wa Injili katika Tuzo za Taifa za Muziki wa Injili mwaka 2018.<ref>{{Cite web |title=Gifty Osei wins Gospel Artiste at National Gospel Music Awards 2018 |url=http://www.myjoyonline.com/entertainment/2018/December-23rd/gifty-osei-wins-gospel-artiste-at-national-gospel-music-awards-2018.php |access-date=2019-06-15 |website=MyJoyOnline. |archive-date=2019-07-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190723161802/http://www.myjoyonline.com/entertainment/2018/December-23rd/gifty-osei-wins-gospel-artiste-at-national-gospel-music-awards-2018.php |url-status=live }}</ref> Mwaka 2019 aliongoza orodha ya uteuzi katika tuzo za Maranatha Global Worship Music Awards zilizofanyika [[Kenya]].<ref>{{Cite web |title=Gifty Osei leads nominations in 2019 Global Worship Music Awards in Kenya |url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Gifty-Osei-leads-nominations-in-2019-Global-Worship-Music-Awards-in-Kenya-723338 |access-date=2019-06-15 |website=GhanaWeb |language=en}}</ref> Alishinda tuzo za VGMA kama Msanii Bora wa Injili na Albamu Bora ya Injili mwaka 2012, na pia alishinda tuzo ya Video Bora ya Muziki wa Injili ya 4syte mwaka 2021.<ref>{{Cite web |last=Online |first=Peace FM |title=Empress Gifty Announces Summer Europe Tour 2019 |url=https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201903/377941.php |access-date=2022-03-11 |website=Peacefmonline.com - Ghana news |archive-date=2023-04-08 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230408062142/https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/news/201903/377941.php |url-status=dead }}</ref> Huandaa tamasha la kila mwaka lijulikanalo kama ''The Resurrection Effect Concert''.<ref>{{Cite web |date=2020-03-05 |title=Secular artistes to perform at Empress Gifty's 'Resurrection Effect Concert' - MyJoyOnline.com |url=https://www.myjoyonline.com/secular-artistes-to-perform-at-empress-giftys-resurrection-effect-concert/ |access-date=2022-03-11 |website=Myjoyonline. |language=en-US |archive-date=2021-12-06 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211206224127/https://www.myjoyonline.com/secular-artistes-to-perform-at-empress-giftys-resurrection-effect-concert/ |url-status=live }}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-04-23 |title=Empress Gifty Adorye performs on a horseback at 'The Resurrection Effect' Concert (Video) |url=https://attractivemustapha.com/empress-gifty-adorye-performs-on-a-horseback-at-the-resurrection-effect-concert-video/ |access-date=2022-03-11 |website=Attractive Mustapha |language=en-US |archive-date=2022-06-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220628092241/https://attractivemustapha.com/empress-gifty-adorye-performs-on-a-horseback-at-the-resurrection-effect-concert-video/ |url-status=dead }}</ref> Alitoa wimbo mmoja uitwao ''Watch Me'' unaolenga kuwapa matumaini waliokandamizwa na wale waliokaribia kukata tamaa maishani.<ref name=":0">{{Cite web |last=Mends |first=Reagan |date=2024-09-09 |title=Empress Gifty releases new single 'Watch Me' written by Kuami Eugene |url=https://ghanaweekend.com/2024/09/09/empress-gifty-releases-new-single-watch-me-written-by-kuami-eugene/ |access-date=2024-10-24 |website=Ghana Weekend |language=en-US}}</ref> Mwaka 2025, alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Mwaka katika GMA USA.<ref>https://mobile.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/2025-GMAUS-Empress-Gifty-beats-Black-Sherif-King-Promise-Stonebwoy-to-win-Artiste-of-the-Year-1996542#</ref><ref>{{Cite web |title=Empress Gifty adjudged Artiste of the Year at 2025 Ghana Music Awards USA - MyJoyOnline |url=https://www.myjoyonline.com/empress-gifty-adjudged-artiste-of-the-year-at-2025-ghana-music-awards-usa/ |access-date=2025-10-28 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=COOMSON |first=NANA KWESI |date=2025-08-20 |title=Empress Gifty adjudged Artiste of the Year at 2025 Ghana Music Awards USA |url=https://thechronicle.com.gh/empress-gifty-adjudged-artiste-of-the-year-at-2025-ghana-music-awards-usa/ |access-date=2026-01-16 |website=The Ghanaian Chronicle |language=en-GB}}</ref> == Maisha binafsi == Ameolewa na mwanasiasa wa Ghana aitwaye Hopeson Adorye, na wana watoto wawili.<ref>{{Cite web |last=Tali |first=Selorm |date=2021-12-15 |title='Attack me and leave my husband and family out' - Empress Gifty to critics |url=https://www.pulse.com.gh/entertainment/celebrities/attack-me-and-leave-my-husband-and-family-out-empress-gifty-to-critics/fky9hfh |access-date=2022-03-10 |website=Pulse Ghana |language=en |archive-date=2021-12-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20211215110004/https://www.pulse.com.gh/entertainment/celebrities/attack-me-and-leave-my-husband-and-family-out-empress-gifty-to-critics/fky9hfh |url-status=live }}</ref><ref>{{Cite web |title=Gospel musicians collapsed Gifty Osei's first marriage — Source claims |url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Gospel-musicians-collapsed-Gifty-Osei-s-first-marriage-Source-claims-713103 |access-date=2019-06-28 |website=GhanaWeb. |language=en |archive-date=2019-07-23 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190723163322/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Gospel-musicians-collapsed-Gifty-Osei-s-first-marriage-Source-claims-713103 |url-status=dead }}</ref> == Diskografia == Chanzo:<ref>{{Cite web |last=LHX |first=TRANSSION |title=Empress Gifty songs download: Empress Gifty MP3 new songs, lyrics, albums, playlists {{!}} Boomplay Music |url=https://www.boomplay.com/artists/6703806 |access-date=2022-03-10 |website=Boomplay Music - WebPlayer |language=en |archive-date=2023-04-08 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230408062143/https://www.boomplay.com/artists/6703806 |url-status=live }}</ref> *''Aseda'' - 2007 *''Feefeefe'' - 2012 *''Jesus Be Too Much'' - 2014 *''Ebenezar'' - 2017 *''Jesus Over Do'' - 2020 *''Odiyompo'' - 2021 *''Eye Woaa'' - 2021 *''Awieyɛ pa (Expected End)'' - 2023 *''Watch Me'' - 2024<ref name=":0" /> == Filamu == * 1957 (2024) == Tuzo na uteuzi == {| class="wikitable" |+ !Mwaka !Shirika !Kategoria !Kazi iliyoteuliwa !Matokeo |- ! rowspan="2" |2012 ! rowspan="2" ||VGMA !Msanii Bora wa Injili !Yeye mwenyewe !Alishinda |- !Albamu Bora ya Injili !Fefeefe !Alishinda |- !2015 !Gospel Music Awards Italy !Mwanamuziki Bora wa Injili (Mwanamke) !Yeye mwenyewe !Alishinda |- !2017 !Fashion and Lifestyle Awards !Msanii Mwenye Mitindo Bora wa Mwaka !Yeye mwenyewe !Alishinda |- !2021 !Ghana Urban Gospel Music Awards !Video Bora ya Mwaka ! !Alishinda |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Gifty, Empress}} [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] 6tzjppq35e6hjtcozb1gki5rypnc8u5 Mariam Yalwaji Katagum 0 229601 1507872 2026-04-20T22:42:59Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mariam Yalwaji Katagum''' (aliyezaliwa Novemba 18, 1954, Azare, [[Jimbo la Bauchi]] ), <ref name=":0">{{Rejea tovuti|url=https://educeleb.com/the-profile-of-minister-designate-mariam-katagum/|title=The profile of minister designate Mariam Katagum|author=EduCeleb|date=2019-07-24|work=EduCeleb|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> anahudumu kama Waziri wa Nchi wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji wa Nigeria. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thenige...' 1507872 wikitext text/x-wiki '''Mariam Yalwaji Katagum''' (aliyezaliwa Novemba 18, 1954, Azare, [[Jimbo la Bauchi]] ), <ref name=":0">{{Rejea tovuti|url=https://educeleb.com/the-profile-of-minister-designate-mariam-katagum/|title=The profile of minister designate Mariam Katagum|author=EduCeleb|date=2019-07-24|work=EduCeleb|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> anahudumu kama Waziri wa Nchi wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji wa Nigeria. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thenigerianvoice.com/news/280921/president-buhari-swears-in-ministers-assign-portfolios-ful.html)|title=Nigeria HomePage - Breaking News, Business, Sports, Entertainment and Video News|work=www.thenigerianvoice.com|accessdate=2019-11-03}}</ref> <ref name=":3">{{Rejea tovuti|url=https://dailytimes.ng/fg-committed-to-achieving-seamless-implementation-of-afcfta-katagum/|title=FG committed to achieving seamless implementation of AfCFTA – Katagum|date=2019-09-28|work=Daily Times Nigeria|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> <ref>{{Citation|title=Iwan, Dafydd, (born 24 Aug. 1943), President, Plaid Cymru, 2003–10 (Vice-President, 2001–03)|date=2007-12-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/ww/9780199540884.013.10000049|periodical=Who's Who|publisher=Oxford University Press|doi=10.1093/ww/9780199540884.013.10000049|access-date=2022-03-24}}</ref> Hapo awali, Katagum alikuwa Balozi, Mjumbe wa Kudumu wa [[Nigeria]] katika [[UNESCO]] . <ref name=":1">''Williams, Princess Igho (2019-07-24).''</ref> <ref>''Otaru, Anthony (17 September 2019).''</ref> == Elimu == Mnamo 1976, Mariam Y. Katagum alipata Shahada ya Sanaa katika Kiingereza na Cheti cha Uzamili katika Elimu katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, [[Zaria]] . <ref name=":12">''Williams, Princess Igho (2019-07-24).''</ref> Mnamo 1985, alipata Shahada ya Uzamili katika Utawala na Mipango katika Chuo Kikuu cha Lagos . <ref name=":02">{{Rejea tovuti|url=https://educeleb.com/the-profile-of-minister-designate-mariam-katagum/|title=The profile of minister designate Mariam Katagum|author=EduCeleb|date=2019-07-24|work=EduCeleb|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> Mnamo 1999, Katagum alipata Cheti katika Sera, Mipango na Utendaji wa Maendeleo ya Jamii katika Chuo Kikuu cha [[London]] . Mwaka huo huo alipewa Ushirika wa UNESCO. <ref name=":2">{{Rejea tovuti|url=http://www.unesco.org/new/en/general-conference-38th/credentials-committee/chairperson/|title=Chairperson {{!}} United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization|work=www.unesco.org|accessdate=2019-11-03}}</ref> == Kazi == Katagum alianza kazi yake ya kitaaluma na Huduma ya Vijana ya Kitaifa, katika Bodi ya Maji, [[Jos]] . <ref name=":03">{{Rejea tovuti|url=https://educeleb.com/the-profile-of-minister-designate-mariam-katagum/|title=The profile of minister designate Mariam Katagum|author=EduCeleb|date=2019-07-24|work=EduCeleb|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> Mnamo 1977-1981, Katagum alikuwa Afisa Mkuu wa Elimu katika Chuo cha Serikali ya Shirikisho, Azare. Baadaye alihudumu katika Bodi ya Udhamini wa Shirikisho, Lagos (1981-1984). Miaka kumi na tano iliyofuata aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Kitaifa ya Nigeria kwa UNESCO (1985-2000). <ref name=":04">{{Rejea tovuti|url=https://educeleb.com/the-profile-of-minister-designate-mariam-katagum/|title=The profile of minister designate Mariam Katagum|author=EduCeleb|date=2019-07-24|work=EduCeleb|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> Mnamo 2000-2001, Katagum alikuwa Mkurugenzi wa Miradi Maalum katika Tume ya Kitaifa ya Elimu ya Msingi huko [[Abuja]] . <ref name=":04" /> Kuanzia 2001, Katagum alihudumu kama Katibu Mkuu wa Tume ya Kitaifa ya Nigeria kwa UNESCO. <ref name=":22">{{Rejea tovuti|url=http://www.unesco.org/new/en/general-conference-38th/credentials-committee/chairperson/|title=Chairperson {{!}} United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization|work=www.unesco.org|accessdate=2019-11-03}}</ref> Mnamo 2004, Katagum alitoa hotuba ya mwisho katika Mkutano wa [[United Nations University|UNU]] -UNESCO kuhusu Vita katika Karne ya 21 huko [[Paris]] . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://i.unu.edu/media/unu.edu/news/43584/programme-anglais.pdf|title=21 Century Wars, Programme|author=|first=|date=|work=United Nations University|archiveurl=|archivedate=|accessdate=2019-11-03}}</ref> Kuanzia 2006 Katagum alikuwa akisimamia Kitengo cha Ushirikiano wa Kitaifa na Kimataifa cha Wizara ya Elimu ya Shirikisho . <ref name=":04" /> Mnamo Juni 2009, Katagum aliteuliwa kuwa Balozi, Mjumbe wa Kudumu wa Nigeria kwa UNESCO. <ref name=":22" /> Alihudumu katika Kamati na Jopo kadhaa za kitaifa na kimataifa ikiwa ni pamoja na Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Urithi wa Dunia wa Afrika (2009-2011), Kundi la Afrika Magharibi katika UNESCO (2009-2012), Kundi la E-9 katika UNESCO (2010-2012), Kamati ya Makao Makuu ya UNESCO (2011-2013), Tume ya PX ya Bodi ya Utendaji (2013) na zingine. <ref name=":23">{{Rejea tovuti|url=http://www.unesco.org/new/en/general-conference-38th/credentials-committee/chairperson/|title=Chairperson {{!}} United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization|work=www.unesco.org|accessdate=2019-11-03}}</ref> Mnamo 2017, Katagum alihudhuria Sikukuu ya Usiku wa Wiki ya Afrika, 2017 iliyoandaliwa na Kundi la Afrika katika Makao Makuu ya UNESCO huko Paris. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nico.gov.ng/index.php/category-list/1907-ambassador-mariam-katagum-commends-ogun-state-cultural-troupe|title=Ambassador Mariam Katagum Commends Ogun State Cultural Troupe|work=www.nico.gov.ng|accessdate=2019-11-03|archivedate=2019-11-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191103203504/https://www.nico.gov.ng/index.php/category-list/1907-ambassador-mariam-katagum-commends-ogun-state-cultural-troupe}}</ref> Mnamo Julai 2019, Katagum aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji kutoka jimbo la Bauchi nchini Nigeria na rais [[Muhammadu Buhari]] . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.africanews.com/2019/08/21/nigeria-s-new-cabinet-inaugurated-president-remain-petroleum-minister/|title=Nigeria's new cabinet inaugurated, president remains Petroleum minister|author=AfricaNews|date=2019-08-21|work=Africanews|language=en|archiveurl=|archivedate=|accessdate=2019-11-03}}</ref> Kama Waziri wa Nchi wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Katagum anatetea utekelezaji wa [[Eneo Huru la Biashara Afrika|Eneo la Biashara Huria la Bara la Afrika]] (AfCFTA) kama muhimu katika kufikia mafanikio ambayo Nigeria inaweza kunufaika nayo. <ref name=":32">{{Rejea tovuti|url=https://dailytimes.ng/fg-committed-to-achieving-seamless-implementation-of-afcfta-katagum/|title=FG committed to achieving seamless implementation of AfCFTA – Katagum|date=2019-09-28|work=Daily Times Nigeria|language=en-GB|accessdate=2019-11-03}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] 6qxxf9woijiekmyadao1bw3xrv04xad Esther Smith (singer) 0 229602 1507873 2026-04-20T22:47:03Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Esther Smith''' ni mwanamuziki wa nyimbo za injili kutoka [[Ghana]]. Alizaliwa katika jiji la [[Kumasi]], eneo la Suame nchini Ghana mwanzoni mwa miaka ya 1970. Esther alijiunga na kwaya ya kanisa la Tesano la Methodist akiwa na umri wa miaka 14, na ndipo alianza kukua kimuziki kupitia huduma za kanisani.<ref name=":0"/><ref>{{Cite news |last=Etefe |first=Juliet |date=2024-08-17 |title=Gospel icon Esther Smith arrives for Kumasi, Accra live concerts |ur...' 1507873 wikitext text/x-wiki '''Esther Smith''' ni mwanamuziki wa nyimbo za injili kutoka [[Ghana]]. Alizaliwa katika jiji la [[Kumasi]], eneo la Suame nchini Ghana mwanzoni mwa miaka ya 1970. Esther alijiunga na kwaya ya kanisa la Tesano la Methodist akiwa na umri wa miaka 14, na ndipo alianza kukua kimuziki kupitia huduma za kanisani.<ref name=":0"/><ref>{{Cite news |last=Etefe |first=Juliet |date=2024-08-17 |title=Gospel icon Esther Smith arrives for Kumasi, Accra live concerts |url=https://thebftonline.com/2024/08/17/gospel-icon-esther-smith-arrives-for-kumasi-accra-live-concerts/ |location=Accra, Ghana |access-date=2024-11-19 |newspaper=[[Business and Financial Times]] |language=en-GB}}</ref> Baada ya kumaliza elimu ya sekondari, alisoma katika Garden City Computer Training and Typing School pamoja na School of Languages, zote zikiwa [[Kumasi]], Ghana. Baadaye alijiunga na kundi la waimbaji lililoanzishwa na Kapital Radio, redio binafsi iliyopo Kumasi.<ref name=":0"/> Alishinda tuzo kadhaa katika Ghana Music Awards mwaka 2003, ikiwemo Albamu Bora ya Injili ya Mwaka, Msanii Bora wa Injili wa Mwaka, na Uimbaji Bora wa Kike wa Mwaka.<ref>{{Cite web|url=http://www.ghanabase.com/esthersmith/biography.asp|title=Biography of Esther Smith {{!}} Ghana Music {{!}} Esther Smith of Ghana|website=www.ghanabase.com|access-date=2019-06-22|archive-date=2019-07-10|archive-url=https://web.archive.org/web/20190710042817/http://www.ghanabase.com/esthersmith/biography.asp|url-status=dead}}</ref> == Tuzo == * Alishinda tuzo ya Ghana Music Award ya Albamu Bora ya Injili ya Mwaka mwaka 2003.<ref name=":0">{{Cite web |title=Esther Smith, Biography |url=https://www.ghanaweb.com/person/Esther-Smith-440 |access-date=2022-03-25 |website=www.ghanaweb.com}}</ref> * Ghana Music Award, Msanii Bora wa Injili wa Mwaka 2003.<ref name=":0" /> * Ghana Music Award, Uimbaji Bora wa Kike wa Mwaka 2003.<ref name=":0" /> * Ghana Music Award, Albamu Bora ya Injili ya Mwaka 2005.<ref name=":0" /> * Wimbo Bora wa Mwaka 2005, Ghana Music Award.<ref name=":0" /> * Albamu Bora ya Mwaka katika Ghana Music Award 2005.<ref name=":0" /> == Matamasha na maonesho == === Accra na Kumasi 2024 === Mnamo tarehe 12 Agosti 2024, mwanamuziki mashuhuri wa injili Esther Smith aliwasili katika [[Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka]] huko [[Accra]], kuanza ziara yake ya muziki iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu.<ref>{{Cite web |title=Esther Smith's Profile; facts you don't know about Ghana's Gospel singer {{!}} Pulse Ghana |url=https://www.pulse.com.gh/entertainment/celebrities/esther-smiths-profile-facts-you-dont-know-about-ghanas-gospel-singer/s4tx5rz |access-date=2024-11-19 |website=www.pulse.com.gh |language=en}}</ref><ref>{{Cite news |last=Etefe |first=Juliet |date=2024-08-17 |title=Gospel icon Esther Smith arrives for Kumasi, Accra live concerts |url=https://thebftonline.com/2024/08/17/gospel-icon-esther-smith-arrives-for-kumasi-accra-live-concerts/ |location=Accra, Ghana |access-date=2024-11-23 |newspaper=[[Business and Financial Times]] |language=en-GB}}</ref> Akiwa anajulikana kwa sauti yake yenye nguvu na maneno ya nyimbo, Esther alitumbuiza katika miji ya Kumasi na Accra, akitoa maonesho ya ibada yaliyovutia wengi.<ref>{{Cite web |date=2024-07-19 |title=Esther Smith announces dates for Accra and Kumasi concerts - MyJoyOnline |url=https://www.myjoyonline.com/esther-smith-announces-dates-for-accra-and-kumasi-concerts/ |access-date=2024-11-19 |website=www.myjoyonline.com |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite news |last=Etefe |first=Juliet |date=2024-08-31 |title=After Kumasi showdown, Esther Smith is ready for Accra tonight at Perez Dome!!! |url=https://thebftonline.com/2024/08/31/after-kumasi-showdown-esther-smith-is-ready-for-accra-tonight-at-perez-dome/ |location=Accra, Ghana |access-date=2024-11-19 |newspaper=[[Business and Financial Times]] |language=en-GB}}</ref> Ziara hiyo ilijumuisha matamasha tarehe 25 Agosti katika kanisa la Pentekoste la Bantama huko Kumasi, na tarehe 30 Agosti katika ukumbi wa Perez Dome uliopo [[Accra]].<ref>{{Cite web |date=2024-08-29 |title=Esther Smith's highly anticipated live worship concert to take place at Perez Dome on August 30 |url=https://citinewsroom.com/2024/08/esther-smiths-highly-anticipated-live-worship-concert-to-take-place-at-perez-dome-on-august-30/ |access-date=2024-11-19 |language=en-US}}</ref> Tamasha la Accra lilikuwa usiku wa kipekee wa sifa na ibada, likisherehekea kazi ya muziki ya Esther kupitia nyimbo zake maarufu na mpya.<ref>{{Cite web |date=2024-08-14 |title=Esther Smith to hold mega worship concerts in Kumasi and Accra |url=https://3news.com/showbiz/esther-smith-to-hold-mega-worship-concerts-in-kumasi-and-accra/ |access-date=2024-11-26 |language=en-US}}</ref> == Migogoro == === Chef Smith === Katika mahojiano na kituo cha redio cha OKAY FM kilichopo Accra, Esther Smith alifafanua kuwa hana uhusiano wowote na Chef Smith anayejulikana kama Millennium Chef. Alisema, “Sina uhusiano wowote na Chef Smith. Simfahamu kabisa. Baba yangu anatoka [[Cape Coast]] na mama yangu anatoka Akomadan. Najitambulisha kama Mwasante kutokana na asili ya mama yangu.”<ref>{{Cite web |date=2024-08-14 |title=I have no relations with Chef Smith – Esther Smith clarifies - Adomonline.com |url=https://www.adomonline.com/i-have-no-relations-with-chef-smith-esther-smith-clarifies/ |access-date=2024-11-26 |language=en-US}}</ref> === Mgogoro wa kisheria na OFM Computer World === Mnamo Februari 2025, Esther Smith alihusishwa katika mgogoro wa kisheria na kampuni ya OFM Computer World Europe.<ref name="EstherSmithOFM9">{{cite web |title=Esther Smith in Legal Dispute with OFM Computer World – Full Details HERE |url=https://ghanamusic.com/news/top-stories/2024/08/29/esther-smith-in-legal-dispute-with-ofm-computer-world-full-details-here/ |website=GhanaMusic.com |date=29 August 2024 |access-date=16 June 2025}}</ref> Kampuni hiyo ilidai kuwa Esther anadaiwa kiasi cha dola 240,000, kinachowakilisha asilimia 40 ya mapato ya kidijitali pamoja na haki za muziki wake na majukwaa yake.<ref name="EstherSmithOFM4">{{cite web |title=OFM Computer World Demands $240K from Esther Smith Over Digital Revenue – Dr. Debrich Jeremiah |url=https://ghanasky.com/ofm-computer-world-demands-esther-smith/ |website=GhanaSky.com |date=16 February 2025 |access-date=16 June 2025}}</ref><ref name="EstherSmithOFM6">{{cite web |title=OFM Computer World Demands $240K from Esther Smith Over Digital Revenue - Dr. Debrich Jeremiah |url=https://www.accra24.com/2025/02/ofm-computer-world-demands-240k-from.html?m=0 |website=Accra24.com |date=19 February 2025 |access-date=16 June 2025}}</ref> Ilielezwa kuwa kampuni hiyo ndiyo ilianzisha akaunti yake ya YouTube kwa ajili ya kukuza muziki wake wa injili na kulikuwa na makubaliano ya kisheria yaliyosainiwa tarehe 16 Juni 2020 kuhusu usimamizi na mapato.<ref name="EstherSmithOFM4"/> Awali, Esther Smith alipinga madai hayo, huku mawakili wa pande zote mbili wakiendelea kushughulikia suala hilo.<ref name="EstherSmithOFM1">{{cite web |title=Esther Smith refutes digital fraud allegations by OFM Computer World |url=https://3news.com/showbiz/esther-smith-refutes-digital-fraud-allegations-by-ofm-computer-world/ |website=3News.com Ghana |date=20 February 2025 |access-date=16 June 2025}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Smith, Esther}} [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] [[Jamii:Watu walio hai]] r1xonp016hbb7ayww41zjfm9fl8t9nx Junior Bester 0 229603 1507874 2026-04-20T22:51:07Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Alwyn 'Junior' Bester''' (alizaliwa [[15 Aprili]] [[1987]], Vredendal) ni mchezaji wa raga kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Kwa sasa anachezea klabu ya SWD Eagles. Nafasi zake za kawaida uwanjani ni flanker au number 8.<ref name="Moenie SWD afskryf – Fortuin">{{cite web|url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2013/09/27/SB/37/OPSport003-StoryA-177.html|title=Moenie SWD afskryf – Fortuin|publisher=Die Son|work=Media24|date=27 Septemb...' 1507874 wikitext text/x-wiki '''Alwyn 'Junior' Bester''' (alizaliwa [[15 Aprili]] [[1987]], Vredendal) ni mchezaji wa raga kutoka [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Kwa sasa anachezea klabu ya SWD Eagles. Nafasi zake za kawaida uwanjani ni flanker au number 8.<ref name="Moenie SWD afskryf – Fortuin">{{cite web|url=http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2013/09/27/SB/37/OPSport003-StoryA-177.html|title=Moenie SWD afskryf – Fortuin|publisher=Die Son|work=Media24|date=27 September 2013|access-date=1 October 2013|language=af|archive-date=5 October 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20131005010813/http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2013/09/27/SB/37/OPSport003-StoryA-177.html|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1987]] [[Jamii:Watu walio hai]] pp8z6nrdxx26ae6cmr3bgabobg59xv2 Mariam Masha 0 229604 1507875 2026-04-20T22:51:13Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mariam Temitope Masha''' ni msaidizi mkuu maalum wa rais wa [[Nigeria|Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria]] kuhusu uingiliaji kati wa kibinadamu . Kabla ya uteuzi huo, alihudumu kama msaidizi mkuu maalum wa rais wa Nigeria kuhusu watu waliokimbia makazi yao . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.herald.ng/the-full-list-of-101-presidential-aides-revealed/|title=The Full List of 101 Presidential Aides Revealed ⋆|accessdate=2019-12-17|archiveurl=https://web....' 1507875 wikitext text/x-wiki '''Mariam Temitope Masha''' ni msaidizi mkuu maalum wa rais wa [[Nigeria|Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria]] kuhusu uingiliaji kati wa kibinadamu . Kabla ya uteuzi huo, alihudumu kama msaidizi mkuu maalum wa rais wa Nigeria kuhusu watu waliokimbia makazi yao . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.herald.ng/the-full-list-of-101-presidential-aides-revealed/|title=The Full List of 101 Presidential Aides Revealed ⋆|accessdate=2019-12-17|archiveurl=https://web.archive.org/web/20191217095853/https://www.herald.ng/the-full-list-of-101-presidential-aides-revealed/amp/|archivedate=2019-12-17}}</ref> Pia amehudumu kama mshauri wa kimkakati wa makamu wa rais kuhusu uingiliaji kati wa Kaskazini-Mashariki . Yeye ni mwanachama wa bodi ya wadhamini ya watu watano ya Wakfu wa Watoto wa Kaskazini Mashariki (NECT), ambapo anahudumu kama katibu mtendaji, <ref>{{Rejea tovuti|url=https://nect.org.ng/board-of-trustees/|title=Board of Trustees – The North East Children's Trust}}</ref> na mhadhiri mgeni katika Kituo cha Uongozi wa Afrika (ALC) cha Chuo cha King's London . <ref>{{Rejea tovuti|url=https://africanleadershipcentre.org/|title=The African Leadership Centre a joint initiative of King's College London and the University of Nairobi|work=africanleadershipcentre.org}}</ref> == Maisha binafsi na elimu == Masha alizaliwa katika [[Jimbo la Lagos]] . Ameoa na ana watoto wawili. Masha alipata Shahada ya Kwanza ya Upasuaji wa Meno kutoka Chuo Kikuu cha Lagos, Jimbo la Lagos, mnamo 2000. Miaka mitatu baadaye, alipata Shahada ya Uzamili ya Afya ya Umma (MPH) kutoka Shule ya Afya ya Umma ya Johns Hopkins Bloomberg . Mnamo 2013, Masha akawa Askofu Mkuu [[Desmond Tutu]], <ref>{{Rejea tovuti|url=https://alinstitute.org/17-about-fellows/108-dr-mariam-masha|title=Mariam Masha PhD|work=alinstitute.org}}</ref> na mnamo 2015 alipata diploma ya baada ya kuhitimu katika uongozi wa shirika kutoka [[Chuo Kikuu cha Oxford]] . <ref>{{Rejea tovuti|date=2022-05-01|title=Women You Should Know: Mariam Temitope Masha • Connect Nigeria|url=https://articles.connectnigeria.com/women-you-should-know-mariam-temitope-masha/|accessdate=2022-06-21|work=Connect Nigeria|language=en-GB}}</ref> == Kazi == Baada ya shahada yake ya kwanza, Masha alifanya kazi kama afisa wa meno katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu cha Lagos . Kisha, alisafiri hadi [[Marekani]] ili kupata shahada ya uzamili kutoka Shule ya Afya ya Umma ya Johns Hopkins Bloomberg. Huko, alifanya utafiti wa msingi kuhusu mzigo wa magonjwa kutokana na majeraha ya barabarani [[Kusini kwa Sahara|Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara]], na [[Asia ya Kusini|Asia Kusini]] Alirudi Nigeria ambapo alihudumu kama katibu mtendaji wa [https://arrivealiveng.com/ Mpango wa Usalama Barabarani wa Arrive Alive] na akawa mshauri wa nchi wa [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.who.int/roadsafety/decade_of_action/launch/nga/en/|title=WHO &#124; Nigeria|work=WHO}}</ref> kuhusu kuzuia majeraha ya barabarani nchini Nigeria. Alipokuwa akihudumu katika nafasi hiyo, alihudumu mara mbili kama mjumbe wa bodi ya kundi kuu la WHO Mentor-VIP. Masha amehudumu katika sekta ya umma kwa zaidi ya miaka kumi na miwili, akianza kama msaidizi maalum mwandamizi (SSA) kwa Babatunde Fashola, gavana wa 13 wa Jimbo la Lagos, kuhusu elimu ya usafiri, ambapo alifanya kazi katika mageuzi ya sekta ya usafiri kupitia ukuzaji wa uwezo wa binadamu. Alishikilia wadhifa huo kwa mihula miwili mfululizo (2007-2015). Akiwa elimu ya usafiri ya SSA, alipewa jukumu la kuanzisha [https://leti.lagosstate.gov.ng/ Taasisi ya Utekelezaji wa Sheria ya Jimbo la Lagos (LETI)] mnamo 2013; shirika lililoanzishwa ili kutoa maafisa wa kutekeleza sheria waliofunzwa vizuri wakiwemo maafisa wa LASTMA, KAI, Uangalizi wa Ujirani na Huduma ya Ukaguzi wa Magari (VIS), ambao ni wenye kujihamasisha, wanaotegemeana, wanaozingatia jamii, wanaofikiria kwa makini na watatuzi wa matatizo; walioelimishwa kikamilifu katika maadili, viwango vya kitaaluma na ustadi wa kimkakati wa taaluma ya kutekeleza sheria kupitia ukuzaji wa viwango vya kitaaluma na utoaji wa mafunzo bora. Mnamo Juni 2015, Masha aliteuliwa katika nafasi ya msaidizi maalum mkuu wa [[rais wa Nigeria]] kuhusu watu waliohamishwa ndani na utawala wa [[Muhammadu Buhari|Buhari]] . Alihudumu kama kiongozi wa mradi wa utekelezaji wa Tathmini ya Kurejesha Uhai na Ujenzi wa Amani (RPBA) <ref>{{Rejea habari}}</ref> kwa niaba ya Nigeria kwa ushirikiano na Benki ya Dunia, Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa <ref>{{Rejea tovuti|url=http://documents.worldbank.org/curated/en/841231530268202533/North-East-Nigeria-Recovery-and-peacebuilding-assessment|title=North-East Nigeria - Recovery and peacebuilding assessment|first=The World|author=Bank|date=April 12, 2018|pages=1–4}}</ref> ambapo aliandaa ripoti hiyo ambayo ilitumika kama msingi wa kuandaa Mpango wa Maendeleo wa Kaskazini Mashariki. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nan.ng/news/northeast-development-plan-ready/|title=Northeast development plan ready|date=2017-01-07|work=News Agency of Nigeria (NAN)|language=en-US|accessdate=2020-01-31}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] rrpz0x1pn7vzavnaua6tg1g3d71ixsn Janie Bay 0 229605 1507876 2026-04-20T22:54:17Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Janie Bay''' ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]], anayejulikana zaidi kwa kazi zake katika muziki wa pop na indie. Yeye anatoka eneo la Helderberg katika jiji la Cape Town. Amesainiwa chini ya lebo ya muziki ya Warner Music South Africa.<ref name="Warner">{{Cite web|title=Warner Music South Africa|url=https://www.warnermusic.co.za/artist/janie-bay/|website=warnermusic.co.za|access-date=30 January 2022|archive-date=28 Janua...' 1507876 wikitext text/x-wiki '''Janie Bay''' ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa nyimbo kutoka [[Afrika Kusini]], anayejulikana zaidi kwa kazi zake katika muziki wa pop na indie. Yeye anatoka eneo la Helderberg katika jiji la Cape Town. Amesainiwa chini ya lebo ya muziki ya Warner Music South Africa.<ref name="Warner">{{Cite web|title=Warner Music South Africa|url=https://www.warnermusic.co.za/artist/janie-bay/|website=warnermusic.co.za|access-date=30 January 2022|archive-date=28 January 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20220128213721/https://www.warnermusic.co.za/artist/janie-bay/|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] 8cqgguhhavde3u155do0dn8l7p0v23h Margaret Naana Ackom 0 229606 1507877 2026-04-20T23:04:58Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Margaret Naana Ackom''' ni msimamizi wa umma wa Ghana, mtetezi wa haki za wanawake, na mwanasiasa anayehudumu kama Mtendaji Mkuu wa Wilaya (DCE) wa Wilaya ya Gomoa Mashariki katika [[Mkoa wa Kati, Ghana|Mkoa wa Kati]] wa [[Ghana]] . Alithibitishwa mnamo tarehe 15 Aprili 2025, na akaandika historia kama mwanamke wa kwanza kushikilia wadhifa wa Mtendaji Mkuu wa Wilaya huko Gomoa Mashariki tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo. <ref name="graphic">"Margaret Naa...' 1507877 wikitext text/x-wiki '''Margaret Naana Ackom''' ni msimamizi wa umma wa Ghana, mtetezi wa haki za wanawake, na mwanasiasa anayehudumu kama Mtendaji Mkuu wa Wilaya (DCE) wa Wilaya ya Gomoa Mashariki katika [[Mkoa wa Kati, Ghana|Mkoa wa Kati]] wa [[Ghana]] . Alithibitishwa mnamo tarehe 15 Aprili 2025, na akaandika historia kama mwanamke wa kwanza kushikilia wadhifa wa Mtendaji Mkuu wa Wilaya huko Gomoa Mashariki tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo. <ref name="graphic">"Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East"''. Daily Graphic. Accra, Ghana. 17 April 2025. Retrieved April 6, 2026.''</ref> Alipokea idhini ya pamoja kutoka kwa wajumbe wote 18 wa Bunge la Wilaya ya Gomoa Mashariki, idhini ya 100%, kufuatia uteuzi wake na Rais [[John Dramani Mahama]] chini ya Kifungu cha 243(1) cha Katiba ya 1992 na Kifungu cha 20(1) cha Sheria ya Utawala wa Mitaa, 2016 (Sheria ya 936). <ref name="myjoy">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East|url=https://www.myjoyonline.com/margaret-naana-ackom-confirmed-as-first-female-dce-of-gomoa-east/|work=MyJoyOnline|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref>Kabla ya kuteuliwa kwake, alihudumu kwa zaidi ya muongo mmoja kama Afisa wa Huduma za Uandishi na Ukatibu katika Bunge la Wilaya ya Kati/Mashariki ya Gomoa na kama Naibu Mkurugenzi wa Ustawi wa Kanda ya Kati wa Bunge la Kidemokrasia la Kitaifa (NDC). <ref name="citi">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as Gomoa East DCE|url=https://citinewsroom.com/2025/04/margaret-naana-ackom-confirmed-as-gomoa-east-dce/|work=Citi Newsroom|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Margaret Naana Ackom alizaliwa na kukulia katika Wilaya ya Gomoa Mashariki, Mkoa wa Kati wa Ghana. Aliendeleza elimu yake ndani ya Ghana, akijenga sifa katika utawala wa biashara, teknolojia ya habari, na maendeleo ya uongozi. Ana Shahada ya Sayansi katika Utawala wa Biashara (Benki na Fedha) kutoka Chuo Kikuu cha KAAF, Ghana, aliyotunukiwa mwaka wa 2014. Kabla ya shahada yake, alifanya masomo ya Intaneti, Kivinjari, Lugha za Usimbaji na Ukuzaji wa Wavuti katika Taasisi ya Kazi ya Kidijitali (2013), programu ya Mtandao wa Mikakati ya Uongozi katika Chuo Kikuu cha KAAF (2012), na mafunzo ya ustadi wa kompyuta katika matumizi ya Microsoft Office katika Shule ya Mafunzo ya Kompyuta na Biashara ya GABCEE (2009). <ref name="profile">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East|url=https://www.ghanamma.com/2025/04/17/margaret-naana-ackom-confirmed-as-first-female-dce-of-gomoa-east/|work=Ghanamma|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref> Margaret Naana Ackom alianza kazi yake ya kitaaluma katika utawala wa umma. Baada ya kukamilisha Utumishi wake wa Kitaifa kama mfanyakazi katika Wakala wa Elimu Isiyo rasmi na Elimu Kamili (2015–2016), alihudumu kwa miaka kumi na tano kama Afisa wa Huduma za Uandishi na Ukatibu katika Bunge la Wilaya ya Kati/Mashariki ya Gomoa (2010–2025), akiendeleza ujuzi wa kina wa kitaasisi kuhusu utawala wa mitaa katika eneo la Gomoa. <ref name="profile2">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East|url=https://www.ghanamma.com/2025/04/17/margaret-naana-ackom-confirmed-as-first-female-dce-of-gomoa-east/|work=Ghanamma|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref> == Marejeo == l65q6l0flxi1mm17f037iwqlmlgl9dv 1507878 1507877 2026-04-20T23:06:23Z Godfavor22 83108 1507878 wikitext text/x-wiki '''Margaret Naana Ackom''' ni msimamizi wa umma wa Ghana, mtetezi wa haki za wanawake, na mwanasiasa anayehudumu kama Mtendaji Mkuu wa Wilaya (DCE) wa Wilaya ya Gomoa Mashariki katika [[Mkoa wa Kati, Ghana|Mkoa wa Kati]] wa [[Ghana]] . Alithibitishwa mnamo tarehe 15 Aprili 2025, na akaandika historia kama mwanamke wa kwanza kushikilia wadhifa wa Mtendaji Mkuu wa Wilaya huko Gomoa Mashariki tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo. <ref name="graphic">"Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East"''. Daily Graphic. Accra, Ghana. 17 April 2025. Retrieved April 6, 2026.''</ref> Alipokea idhini ya pamoja kutoka kwa wajumbe wote 18 wa Bunge la Wilaya ya Gomoa Mashariki, idhini ya 100%, kufuatia uteuzi wake na Rais [[John Dramani Mahama]] chini ya Kifungu cha 243(1) cha Katiba ya 1992 na Kifungu cha 20(1) cha Sheria ya Utawala wa Mitaa, 2016 (Sheria ya 936). <ref name="myjoy">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East|url=https://www.myjoyonline.com/margaret-naana-ackom-confirmed-as-first-female-dce-of-gomoa-east/|work=MyJoyOnline|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref>Kabla ya kuteuliwa kwake, alihudumu kwa zaidi ya muongo mmoja kama Afisa wa Huduma za Uandishi na Ukatibu katika Bunge la Wilaya ya Kati/Mashariki ya Gomoa na kama Naibu Mkurugenzi wa Ustawi wa Kanda ya Kati wa Bunge la Kidemokrasia la Kitaifa (NDC). <ref name="citi">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as Gomoa East DCE|url=https://citinewsroom.com/2025/04/margaret-naana-ackom-confirmed-as-gomoa-east-dce/|work=Citi Newsroom|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Margaret Naana Ackom alizaliwa na kukulia katika Wilaya ya Gomoa Mashariki, Mkoa wa Kati wa Ghana. Aliendeleza elimu yake ndani ya Ghana, akijenga sifa katika utawala wa biashara, teknolojia ya habari, na maendeleo ya uongozi. Ana Shahada ya Sayansi katika Utawala wa Biashara (Benki na Fedha) kutoka Chuo Kikuu cha KAAF, Ghana, aliyotunukiwa mwaka wa 2014. Kabla ya shahada yake, alifanya masomo ya Intaneti, Kivinjari, Lugha za Usimbaji na Ukuzaji wa Wavuti katika Taasisi ya Kazi ya Kidijitali (2013), programu ya Mtandao wa Mikakati ya Uongozi katika Chuo Kikuu cha KAAF (2012), na mafunzo ya ustadi wa kompyuta katika matumizi ya Microsoft Office katika Shule ya Mafunzo ya Kompyuta na Biashara ya GABCEE (2009). <ref name="profile">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East|url=https://www.ghanamma.com/2025/04/17/margaret-naana-ackom-confirmed-as-first-female-dce-of-gomoa-east/|work=Ghanamma|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref> Margaret Naana Ackom alianza kazi yake ya kitaaluma katika utawala wa umma. Baada ya kukamilisha Utumishi wake wa Kitaifa kama mfanyakazi katika Wakala wa Elimu Isiyo rasmi na Elimu Kamili (2015–2016), alihudumu kwa miaka kumi na tano kama Afisa wa Huduma za Uandishi na Ukatibu katika Bunge la Wilaya ya Kati/Mashariki ya Gomoa (2010–2025), akiendeleza ujuzi wa kina wa kitaasisi kuhusu utawala wa mitaa katika eneo la Gomoa. <ref name="profile2">{{Rejea tovuti|title=Margaret Naana Ackom confirmed as first female DCE of Gomoa East|url=https://www.ghanamma.com/2025/04/17/margaret-naana-ackom-confirmed-as-first-female-dce-of-gomoa-east/|work=Ghanamma|date=17 April 2025|accessdate=April 6, 2026}}</ref> == Marejeo == <references /> [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] [[Jamii:Watu walio hai]] 3m6np6h9sxyucntk9gwu5jrypt831kv Margaret Icheen 0 229607 1507879 2026-04-20T23:13:10Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Margaret Icheen''' (alizaliwa Juni 26, 1957) ni mwanasiasa, msomi na msimamizi, alikuwa spika wa kwanza mwanamke wa Baraza la Wawakilishi la jimbo nchini Nigeria na barani Afrika, Mjumbe wa Mkutano wa Kitaifa wa Mageuzi ya Kisiasa (CONFAB), Mwenyekiti wa Chama cha Soka cha Benue, Kamishna wa Tabia wa Shirikisho, Mjumbe Mtendaji wa Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF). <ref>{{Rejea tovuti|author=Agbo|first=Catherine|date=2021-10-10|title=REVEALED: Top wo...' 1507879 wikitext text/x-wiki '''Margaret Icheen''' (alizaliwa Juni 26, 1957) ni mwanasiasa, msomi na msimamizi, alikuwa spika wa kwanza mwanamke wa Baraza la Wawakilishi la jimbo nchini Nigeria na barani Afrika, Mjumbe wa Mkutano wa Kitaifa wa Mageuzi ya Kisiasa (CONFAB), Mwenyekiti wa Chama cha Soka cha Benue, Kamishna wa Tabia wa Shirikisho, Mjumbe Mtendaji wa Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF). <ref>{{Rejea tovuti|author=Agbo|first=Catherine|date=2021-10-10|title=REVEALED: Top women in politics who are now missing|url=https://21stcenturychronicle.com/revealed-top-women-in-politics-who-are-now-missing/|accessdate=2023-02-19|work=21st CENTURY CHRONICLE|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=Margaret Icheen desires to have formidable female clubs in the North|url=https://nigeriasoccernet.com/margaret-icheen-desires-to-have-formidable-female-clubs-in-the-north|accessdate=2023-02-19|work=Nigeriasoccernet|language=en}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=thevoicenewspaper|date=2021-03-01|title=Margaret Icheen at The VoiceSports forum says: Remove politics from Sports|url=https://thevoicenewspaper.ng/margaret-icheen-at-the-voicesports-forum-says-remove-politics-from-sports/|accessdate=2023-02-19|work=The Voice Newspaper|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=Margaret Icheen Archives|url=https://youthandsports.ng/tag/margaret-icheen/|accessdate=2023-02-19|work=Federal Ministry of Youth and Sports Development|language=en-GB}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Icheen anatoka Eneo la Serikali ya Mtaa [[Kwande|ya Kande]] katika [[Jimbo la Benue]] . Alihudhuria shule mbili za msingi, Shule ya Msingi ya Our Lady of Apostles Kaduna 1963 hadi 1965 na Shule ya Msingi ya St Williams [[Keffi|Kffi]], 1966 hadi 1969, shule yake ya upili katika Chuo cha Biashara cha Gye huko Jos kuanzia 1970 hadi 1974. Kisha akaendelea na Chuo cha Walimu wa Serikali, Keffi, kati ya 1975 na 1977. Aliendeleza elimu yake katika [[Chuo Kikuu cha Calabar|Chuo cha Elimu, Katsina-Ala]], (Mshirika wa Chuo Kikuu cha Jos ), kuanzia 1982 hadi 1985, hadi [[Chuo Kikuu cha Calabar]], na hadi Taasisi ya Masomo ya Kikristo, Mkar kuanzia 1988 hadi 1990. <ref name="Biographical Legacy and Research Foundation 2017">{{Rejea tovuti|title=ICHEEN, Hon. Maragaret Nwuese|work=Biographical Legacy and Research Foundation|date=2017-02-28|url=https://blerf.org/index.php/biography/icheen-hon-maragaret-nwuese/|accessdate=2023-02-24}}</ref> == Kazi == Icheen alianza kazi yake kama mwalimu katika Shule ya Msingi, katika Mamlaka ya Elimu ya Serikali za Mitaa, LGEA, Adikpo kuanzia 1977 hadi 1981, na baadaye akawa Mlipaji Mkuu wa shule hiyo. Pia alikuwa Mkuu wa Shule katika Kituo cha Elimu ya Wanawake hadi 1993. <ref>{{Rejea tovuti|author=Edet|first=Hope|date=2017-02-28|title=ICHEEN, Hon. Maragaret Nwuese|url=https://blerf.org/index.php/biography/icheen-hon-maragaret-nwuese/|accessdate=2023-02-19|work=Biographical Legacy and Research Foundation|language=en-US}}</ref> Kazi yake ya kisiasa ilianza mwaka wa 1994 kama mwenyekiti (Mjumbe wa Wadi) Mkutano wa Kitaifa wa Katiba huko Adikpo chini ya Chama cha Kidemokrasia cha Kijamii (SDP). Akiendelea mbele Icheen alishinda kiti cha Mwanachama wa Baraza la Bunge la Jimbo la Benue mwaka wa 1993. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kama spika na katika baraza la Bunge katika jimbo la Benue chini ya mwavuli wa Chama cha Kidemokrasia cha Watu (PDP) katika jamhuri ya nne. Mwaka wa 2003 alijiuzulu kutoka nafasi yake kama Spika wa Baraza la Bunge la Jimbo la Benue. Alikuwa Mwanachama wa Kamati ya Mapitio ya Uchaguzi ya Katiba ya Jimbo la Benue, Jukwaa la Wazungumzaji wa Kaskazini Kati, na pia Mratibu wa Kitaifa, Kaskazini Kati/FCT, Ushiriki wa Wanawake katika Siasa mwaka wa 2002. <ref>"Margaret Icheen - Daily Trust - Latest News in Nigeria and the World"''. Daily Trust. Retrieved 2023-02-19.''</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1957]] [[Jamii:Wanasiasa]] l8fpl7kwf5iy33h7bz7j00tm3tonrh4 Leon Levy 0 229608 1507880 2026-04-21T00:52:55Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Leon Levy''' (Alizaliwa [[Septemba 13]], [[1925]] – Alifariki [[Aprili 6]], [[2003]]) alikuwa mwekezaji , meneja wa hazina ya pamoja (mutual fund), na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref name=NYTMartin>[https://www.nytimes.com/2003/04/08/obituaries/08LEVY.html Douglas Martin, "Leon Levy, Philanthropist, Dies at 77", ''The New York Times''], April 8, 2003.</ref> Wakati wa kifo chake, jarida la ''Forbes'' lilimwita "fani wa uwekezaji wa Wall Street," amb...' 1507880 wikitext text/x-wiki '''Leon Levy''' (Alizaliwa [[Septemba 13]], [[1925]] – Alifariki [[Aprili 6]], [[2003]]) alikuwa mwekezaji , meneja wa hazina ya pamoja (mutual fund), na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref name=NYTMartin>[https://www.nytimes.com/2003/04/08/obituaries/08LEVY.html Douglas Martin, "Leon Levy, Philanthropist, Dies at 77", ''The New York Times''], April 8, 2003.</ref> Wakati wa kifo chake, jarida la ''Forbes'' lilimwita "fani wa uwekezaji wa Wall Street," ambaye alisaidia kuunda hazina za pamoja na hazina za ukingo (hedge funds).<ref>{{cite news |last1=Lenzner |first1=Robert |date=April 7, 2003 |title=Leon Levy Dies At 77 |work=Forbes Magazine |url=https://www.forbes.com/2003/04/07/cz_rl_0407levy.html}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1925]] [[Jamii:Waliofariki 2003]] e712vxzbw2u5uyip91qttexbksc637u 1508071 1507880 2026-04-21T09:46:55Z Riccardo Riccioni 452 1508071 wikitext text/x-wiki '''Leon Levy''' ([[Septemba 13]], [[1925]] – [[Aprili 6]], [[2003]]) alikuwa mwekezaji, meneja wa hazina ya pamoja (mutual fund), na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref name=NYTMartin>[https://www.nytimes.com/2003/04/08/obituaries/08LEVY.html Douglas Martin, "Leon Levy, Philanthropist, Dies at 77", ''The New York Times''], April 8, 2003.</ref> Wakati wa kifo chake, jarida la ''Forbes'' lilimwita "fani wa uwekezaji wa Wall Street," ambaye alisaidia kuunda hazina za pamoja na hazina za ukingo (hedge funds).<ref>{{cite news |last1=Lenzner |first1=Robert |date=April 7, 2003 |title=Leon Levy Dies At 77 |work=Forbes Magazine |url=https://www.forbes.com/2003/04/07/cz_rl_0407levy.html}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1925]] [[Jamii:Waliofariki 2003]] op69hjqu8c74sk8mfkwnp5z7owcjctu Max Levchin 0 229609 1507881 2026-04-21T01:03:46Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Maksymilian Rafailovych "Max" Levchin''' (Alizaliwa [[Julai 11]], [[1975]]) ni [[mhandisi]] wa programu na [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Ukraine]].<ref>{{cite web |title=Max Levchin |url=https://www.forbes.com/profile/max-levchin/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Mwaka [[1998]], alianzisha kampuni ambayo hatimaye ikawa ''PayPal'', na alitoa mchango mkubwa katika juhudi za PayPal za kukabiliana na ulagha...' 1507881 wikitext text/x-wiki '''Maksymilian Rafailovych "Max" Levchin''' (Alizaliwa [[Julai 11]], [[1975]]) ni [[mhandisi]] wa programu na [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Ukraine]].<ref>{{cite web |title=Max Levchin |url=https://www.forbes.com/profile/max-levchin/ |website=Forbes |access-date=2026-04-20}}</ref> Mwaka [[1998]], alianzisha kampuni ambayo hatimaye ikawa ''PayPal'', na alitoa mchango mkubwa katika juhudi za PayPal za kukabiliana na ulaghai.<ref>{{cite web |title=Max Levchin |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-20}}</ref> Pia alianzisha au alisaidia kuanzisha ''Slide.com'', ''HVF'', na ''Affirm''.<ref>[https://www.haaretz.com/print-edition/business/one-day-in-silicon-valley-1.305642 Hareetz: "One day in Silicon Valley" by Guy Rolnick] August 3, 2010 |''"Levchin, 32, Jewish of course and born in Kyiv, refused to discuss money."''</ref>Alikuwa mwekezaji wa awali katika ''Yelp'' na alikuwa mwanahisa wao mkubwa mwaka [[2012]].<ref>{{Cite web |last=Cohan |first=Peter |title=Yelp Chair Max Levchin's Trek from Kiev to San Francisco |url=https://www.forbes.com/sites/petercohan/2012/09/14/yelp-chair-max-levchins-trek-from-kiev-to-san-francisco/ |access-date=2025-03-01 |website=Forbes |language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Ukraine]] [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Watu walio hai]] e2waul9d6kuyuge2g06v1bwspdx15cg Marianne Cargill Liebmann 0 229610 1507882 2026-04-21T01:13:29Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Marianne Cargill Liebmann''' (Alizaliwa [[1953]]) ni bilionea nchini [[Marekani]] baada ya kurithi mali.<ref name="forbes2009">[https://www.forbes.com/lists/2009/54/rich-list-09_Marianne-Cargill-Liebmann_G7VH.html Forbes 2009]</ref> Yeye ni mjukuu wa [[William Wallace Cargill]], mwanzilishi wa kampuni ya ''Cargill''.Alihitimu katika Chuo Kikuu cha Montana State.<ref>{{cite web |title=Marianne Cargill Liebmann |url=https://www.forbes.com/profile/marian...' 1507882 wikitext text/x-wiki '''Marianne Cargill Liebmann''' (Alizaliwa [[1953]]) ni bilionea nchini [[Marekani]] baada ya kurithi mali.<ref name="forbes2009">[https://www.forbes.com/lists/2009/54/rich-list-09_Marianne-Cargill-Liebmann_G7VH.html Forbes 2009]</ref> Yeye ni mjukuu wa [[William Wallace Cargill]], mwanzilishi wa kampuni ya ''Cargill''.Alihitimu katika Chuo Kikuu cha Montana State.<ref>{{cite web |title=Marianne Cargill Liebmann |url=https://www.forbes.com/profile/marianne-cargill-liebmann/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> Anaishi Bozeman, [[Montana]], aliolewa na ana watoto wawili.<ref name="secretive">Brian Solomon, [https://www.forbes.com/sites/briansolomon/2011/09/22/the-secretive-cargill-billionaires-and-their-family-tree/ The Secretive Cargill Billionaires And Their Family Tree], ''[[Forbes]]'', 9/22/2011</ref>Kufikia Mei [[2015]], alikuwa na utajiri wa dola bilioni 3.4.<ref name="frey">David Frey, [http://www.newwest.net/topic/article/whos_the_richest_in_the_west/C559/L559/ Who’s the Richest in the West? For billionaire bucks, Wyoming wins.], ''New West'', 10-05-09</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1953]] [[Jamii:Watu walio hai]] pmc91o1mqxym6q5hw2b7blxnoavumgz Andrew C. Liebmann 0 229611 1507883 2026-04-21T01:20:27Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Andrew Liebmann''' (Alizaliwa [[Juni 8]], [[1979]]) ni mrithi wa mali bilionea nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web|url=https://www.researchgate.net/profile/Andrew_Liebmann2|title=Andrew C Liebmann|website=|access-date=}}</ref> Ana shahada ya uzamivu (PhD) katika unajimu (astrophysics) na aliwahi kuwa mwanachama wa bodi ya wakurugenzi ya ''Cargill''.<ref>{{cite web |title=Andrew C. Liebmann |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg...' 1507883 wikitext text/x-wiki '''Andrew Liebmann''' (Alizaliwa [[Juni 8]], [[1979]]) ni mrithi wa mali bilionea nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web|url=https://www.researchgate.net/profile/Andrew_Liebmann2|title=Andrew C Liebmann|website=|access-date=}}</ref> Ana shahada ya uzamivu (PhD) katika unajimu (astrophysics) na aliwahi kuwa mwanachama wa bodi ya wakurugenzi ya ''Cargill''.<ref>{{cite web |title=Andrew C. Liebmann |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-21}}</ref> Aliteuliwa kwenye bodi ya wakurugenzi mwaka [[2014]] bila kuwa na uzoefu wa kufanya kazi katika kampuni hiyo.<ref>{{Cite news|url=https://economictimes.indiatimes.com/david-maclennan-on-how-agri-major-cargill-turned-a-global-crisis-into-an-opportunity/articleshow/32789254.cms?from=mdr|title=David MacLennan on how agri-major Cargill turned a global crisis into an opportunity|newspaper=The Economic Times|website=|access-date=|last1=Mitra|first1=Moinak}}</ref> Yeye ni mwana wa [[Marianne Cargill Liebmann]], ambaye anamiliki 1/18 ya utajiri wa familia ya Cargill.<ref>{{Cite web|url=http://www.physics.montana.edu/documents/PhysicsDepartmentSelfStudy_Final_Spring2010_revmar2011.pdf|title=Physics Department Self-Study and Strategic Plan FY2010 to FY2017|website=|url-status=live|access-date=|archive-url=https://web.archive.org/web/20160508161004/http://www.physics.montana.edu:80/documents/PhysicsDepartmentSelfStudy_Final_Spring2010_revmar2011.pdf |archive-date=2016-05-08 }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Watu walio hai]] i4gp1qdcnnzqyndr123kn31qbarcj0b Randy Lerner 0 229612 1507884 2026-04-21T01:30:27Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Randy Lerner''' (Alizaliwa [[Februari 21]], [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mmiliki wa zamani wa timu za michezo nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web|url=http://www.clevelandjewishnews.com/news/local/article_4f2fdf72-dcba-11e1-8103-001a4bcf887a.html|title=Browns' Jewish ownership going, going, gone|author=Matt DeFaveri|date=August 2, 2012}}</ref> Alikua mmiliki mkuu wa timu ya [[futiboli ya Marekani]] ''Cleveland Browns'' ya National Football...' 1507884 wikitext text/x-wiki '''Randy Lerner''' (Alizaliwa [[Februari 21]], [[1962]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea na mmiliki wa zamani wa timu za michezo nchini [[Marekani]].<ref>{{cite web|url=http://www.clevelandjewishnews.com/news/local/article_4f2fdf72-dcba-11e1-8103-001a4bcf887a.html|title=Browns' Jewish ownership going, going, gone|author=Matt DeFaveri|date=August 2, 2012}}</ref> Alikua mmiliki mkuu wa timu ya [[futiboli ya Marekani]] ''Cleveland Browns'' ya National Football League (NFL) baada ya kifo cha baba yake Alfred Lerner mwaka [[2002]], na akaiuza timu hiyo mwaka [[2012]].<ref>{{cite web|date=January 2003|title=Alfred Lerner '55: Businessman, Philanthropist, Student Center Benefactor|url=https://www.college.columbia.edu/cct_archive/jan03/obituaries2.html|access-date=August 27, 2021|website=Columbia College Today}}</ref> Lerner alikua mmiliki na mwenyekiti wa klabu nchini [[Uingereza]] ya [[Aston Villa F.C.]] ya [[Ligi kuu Uingereza(EPL)]] mwaka [[2006]]; aliiuza klabu hiyo kwa hasara mwaka [[2016]] baada ya kushuka daraja.<ref>{{cite web|date=March 7, 2008|title=The Guardian Profile: Randy Lerner|url=http://www.theguardian.com/football/2008/mar/07/newsstory.astonvilla|access-date=August 27, 2021|website=the Guardian|language=en}}</ref> Kufikia Julai [[2024]], ''Forbes'' ilikadiria utajiri wake kuwa dola bilioni 1.2.<ref name="Forbes profile">{{cite web|title=Forbes profile: Randolph Lerner |url=https://www.forbes.com/profile/randolph-lerner/ |work=Forbes |access-date=20 July 2024}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1962]] [[Jamii:Watu walio hai]] qo8k9iohkpijm4njavjr3fup5dcesjn Peter B. Lewis 0 229613 1507885 2026-04-21T01:34:05Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Peter Lewis''' (Alizaliwa [[Novemba 11]], [[1933]] – Alifariki [[Novemba 23]], [[2013]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa ''Progressive Insurance Company''.<ref name=ClevelandMcInttyre>[http://www.cleveland.com/tipoff/index.ssf/2012/09/dan_gilbert_peter_b_lewis_join.html Cleveland Plain Dealer: "Dan Gilbert, Peter B. Lewis join 'Giving Pledge' to donate some of fortunes" By Michael K. McIntyre] September 24,...' 1507885 wikitext text/x-wiki '''Peter Lewis''' (Alizaliwa [[Novemba 11]], [[1933]] – Alifariki [[Novemba 23]], [[2013]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa ''Progressive Insurance Company''.<ref name=ClevelandMcInttyre>[http://www.cleveland.com/tipoff/index.ssf/2012/09/dan_gilbert_peter_b_lewis_join.html Cleveland Plain Dealer: "Dan Gilbert, Peter B. Lewis join 'Giving Pledge' to donate some of fortunes" By Michael K. McIntyre] September 24, 2012</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1933]] [[Jamii:Waliofariki 2013]] 4vz5pbwaqbbbny2byvjc4b9rhsv0ce6 1507886 1507885 2026-04-21T01:34:33Z Ally0111 85292 1507886 wikitext text/x-wiki '''Peter Benjamin Lewis''' (Alizaliwa [[Novemba 11]], [[1933]] – Alifariki [[Novemba 23]], [[2013]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa ''Progressive Insurance Company''.<ref name=ClevelandMcInttyre>[http://www.cleveland.com/tipoff/index.ssf/2012/09/dan_gilbert_peter_b_lewis_join.html Cleveland Plain Dealer: "Dan Gilbert, Peter B. Lewis join 'Giving Pledge' to donate some of fortunes" By Michael K. McIntyre] September 24, 2012</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1933]] [[Jamii:Waliofariki 2013]] f95lsbc0wcjxgkonkzhhnm2h5lb5j53 1508072 1507886 2026-04-21T09:47:48Z Riccardo Riccioni 452 1508072 wikitext text/x-wiki '''Peter Benjamin Lewis''' ([[Novemba 11]], [[1933]] – [[Novemba 23]], [[2013]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] nchini [[Marekani]] ambaye alikuwa mwenyekiti wa ''Progressive Insurance Company''.<ref name=ClevelandMcInttyre>[http://www.cleveland.com/tipoff/index.ssf/2012/09/dan_gilbert_peter_b_lewis_join.html Cleveland Plain Dealer: "Dan Gilbert, Peter B. Lewis join 'Giving Pledge' to donate some of fortunes" By Michael K. McIntyre] September 24, 2012</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1933]] [[Jamii:Waliofariki 2013]] 2q2ctxvv3b2e3j2r1zn4cjjzevwx059 Rodney Lewis 0 229614 1507887 2026-04-21T01:38:51Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rodney Ray Lewis''' Pia alijulikana kama '''Rod Lewis''' (Alizaliwa [[1954]]) ni mwanzilishi, [[rais]], na afisa mkuu mtendaji wa ''Lewis Energy'', kampuni ya uchimbaji mafuta na gesi asilia iliyoko [[Texas]], [[Marekani]].<ref name="lewis">{{Cite web |url=http://www.lewisenergy.com/lewis-energy-executive.html |title=Lewis Energy board biography |access-date=2011-11-26 |archive-date=2013-01-28 |archive-url=https://archive.today/20130128003837/http://www...' 1507887 wikitext text/x-wiki '''Rodney Ray Lewis''' Pia alijulikana kama '''Rod Lewis''' (Alizaliwa [[1954]]) ni mwanzilishi, [[rais]], na afisa mkuu mtendaji wa ''Lewis Energy'', kampuni ya uchimbaji mafuta na gesi asilia iliyoko [[Texas]], [[Marekani]].<ref name="lewis">{{Cite web |url=http://www.lewisenergy.com/lewis-energy-executive.html |title=Lewis Energy board biography |access-date=2011-11-26 |archive-date=2013-01-28 |archive-url=https://archive.today/20130128003837/http://www.lewisenergy.com/lewis-energy-executive.html |url-status=live }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Watu walio hai]] ax96k6ezktinsiuxzlen5h2yviwsp74 Julie-Victoire Daubié 0 229615 1507888 2026-04-21T02:09:31Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Julie-Victoire Daubié''' (26 Machi 1824 – 26 Agosti 1874) alikuwa mwanahabari wa [[Ufaransa]]. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuhitimu katika chuo kikuu nchini Ufaransa alipopata shahada ya leseni (licence) huko Lyon mwaka 1871. Baadhi ya kazi zake zilitafsiriwa kwa Kiingereza na Josephine Butler. == Maisha ya awali == Daubié alizaliwa tarehe 26 Machi 1824 katika mji wa Bains-les-Bains, katika eneo la Vosges. Baba yake alifariki akiwa bado na umri wa...' 1507888 wikitext text/x-wiki '''Julie-Victoire Daubié''' (26 Machi 1824 – 26 Agosti 1874) alikuwa mwanahabari wa [[Ufaransa]]. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuhitimu katika chuo kikuu nchini Ufaransa alipopata shahada ya leseni (licence) huko Lyon mwaka 1871. Baadhi ya kazi zake zilitafsiriwa kwa Kiingereza na Josephine Butler. == Maisha ya awali == Daubié alizaliwa tarehe 26 Machi 1824 katika mji wa Bains-les-Bains, katika eneo la Vosges. Baba yake alifariki akiwa bado na umri wa chini ya miaka miwili, na yeye pamoja na ndugu zake saba walihamia Fontenoy pamoja na mama yao kuishi na familia ya upande wa baba. Alisoma Kilatini, Kigiriki, Kijerumani, historia na jiografia kwa msaada wa kaka yake. Mwaka 1844 alipata cheti cha ualimu na baadaye alisomea zoolojia katika Makumbusho ya Historia ya Asili huko Paris, ambako alifundishwa na mtaalamu mashuhuri Geoffroy Saint-Hilaire. Licha ya kuwa na elimu nzuri na kutokuwepo kwa sheria zilizowazuia wanawake kujiunga na vyuo vikuu, Daubié alikataliwa mara kadhaa kujiunga na vyuo mbalimbali nchini Ufaransa. Hata hivyo aliendelea kuhudhuria masomo huku akifanya kazi kama mlezi (governess). == Elimu na kazi == Mwaka 1859, Daubié alishiriki shindano la insha lililoandaliwa na Chuo cha Kifalme cha Sayansi na Fasihi cha Lyon. Aliandika kazi yenye karibu kurasa 300 yenye kichwa ''Mwanamke Maskini katika Karne ya 19: Hali na Fursa za Wanawake'', iliyochambua ubaguzi wa kitaaluma na kielimu dhidi ya wanawake, tofauti za mishahara, na changamoto nyingine. Insha hiyo ilishinda tuzo ya kwanza na kumfungulia njia ya kukubaliwa. Mwaka 1861, alikua mwanamke wa kwanza kujitokeza kufanya mtihani wa baccalauréat nchini Ufaransa. Alikuwa na umri wa miaka 37 alipofaulu na kuwa mwanamke wa kwanza kupata cheti hicho nchini humo. Baada ya kuhitimu, aliendelea kuandika kuhusu hali ya wanawake kama mwanaharakati na msomi. Alinunua nyumba kubwa huko Fontenoy ambako alianzisha biashara ya ushonaji wa mapambo (embroidery) aliyomkabidhi mpwa wake. Pia aliishi katika barabara ya Champs-Élysées huko Paris na kuwa mwanahabari wa masuala ya uchumi aliyefahamika. Mwaka 1871 alipata shahada ya sanaa (arts) huko Lyon, na hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kupata shahada ya leseni katika fasihi. Aliendelea kuwa mtetezi wa haki za wanawake na pia mwanahabari == Kifo == Daubié alifariki tarehe 25 Agosti 1874 akiwa na umri wa miaka 50 huko Fontenoy-le-Château, katika eneo la Lorraine, kutokana na ugonjwa wa kifua kikuu (tuberculosis). == Urithi == Mnamo Machi 2018, aliheshimiwa na Google kupitia mchoro maalum wa "Google Doodle". == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1824|1874}} k61ct1aylijah9nn45lwkva6prow02x 1508076 1507888 2026-04-21T09:48:40Z Riccardo Riccioni 452 1508076 wikitext text/x-wiki '''Julie-Victoire Daubié''' (26 Machi 1824 – 26 Agosti 1874) alikuwa mwanahabari wa [[Ufaransa]]. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuhitimu katika chuo kikuu nchini Ufaransa alipopata shahada ya leseni (licence) huko Lyon mwaka 1871. Baadhi ya kazi zake zilitafsiriwa kwa Kiingereza na Josephine Butler. == Maisha ya awali == Daubié alizaliwa tarehe 26 Machi 1824 katika mji wa Bains-les-Bains, katika eneo la Vosges. Baba yake alifariki akiwa bado na umri wa chini ya miaka miwili, na yeye pamoja na ndugu zake saba walihamia Fontenoy pamoja na mama yao kuishi na familia ya upande wa baba. Alisoma Kilatini, Kigiriki, Kijerumani, historia na jiografia kwa msaada wa kaka yake. Mwaka 1844 alipata cheti cha ualimu na baadaye alisomea zoolojia katika Makumbusho ya Historia ya Asili huko Paris, ambako alifundishwa na mtaalamu mashuhuri Geoffroy Saint-Hilaire. Licha ya kuwa na elimu nzuri na kutokuwepo kwa sheria zilizowazuia wanawake kujiunga na vyuo vikuu, Daubié alikataliwa mara kadhaa kujiunga na vyuo mbalimbali nchini Ufaransa. Hata hivyo aliendelea kuhudhuria masomo huku akifanya kazi kama mlezi (governess). == Elimu na kazi == Mwaka 1859, Daubié alishiriki shindano la insha lililoandaliwa na Chuo cha Kifalme cha Sayansi na Fasihi cha Lyon. Aliandika kazi yenye karibu kurasa 300 yenye kichwa ''Mwanamke Maskini katika Karne ya 19: Hali na Fursa za Wanawake'', iliyochambua ubaguzi wa kitaaluma na kielimu dhidi ya wanawake, tofauti za mishahara, na changamoto nyingine. Insha hiyo ilishinda tuzo ya kwanza na kumfungulia njia ya kukubaliwa. Mwaka 1861, alikua mwanamke wa kwanza kujitokeza kufanya mtihani wa baccalauréat nchini Ufaransa. Alikuwa na umri wa miaka 37 alipofaulu na kuwa mwanamke wa kwanza kupata cheti hicho nchini humo. Baada ya kuhitimu, aliendelea kuandika kuhusu hali ya wanawake kama mwanaharakati na msomi. Alinunua nyumba kubwa huko Fontenoy ambako alianzisha biashara ya ushonaji wa mapambo (embroidery) aliyomkabidhi mpwa wake. Pia aliishi katika barabara ya Champs-Élysées huko Paris na kuwa mwanahabari wa masuala ya uchumi aliyefahamika. Mwaka 1871 alipata shahada ya sanaa (arts) huko Lyon, na hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kupata shahada ya leseni katika fasihi. Aliendelea kuwa mtetezi wa haki za wanawake na pia mwanahabari == Kifo == Daubié alifariki tarehe 25 Agosti 1874 akiwa na umri wa miaka 50 huko Fontenoy-le-Château, katika eneo la Lorraine, kutokana na ugonjwa wa kifua kikuu (tuberculosis). == Urithi == Mnamo Machi 2018, aliheshimiwa na Google kupitia mchoro maalum wa "Google Doodle". == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1824|1874}} [[Jamii:wanawake wa Ufaransa]] ex4rav8g8xcbek4tx8wzjqkapqrhorm Clotilde Dissard 0 229616 1507889 2026-04-21T02:12:38Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Clotilde Dissard''' (jina la kuzaliwa: Loubaresse; 10 Novemba 1873 – 1919)<ref>[1][2]</ref> alikuwa mwanahabari na mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka Ufaransa. Alianzisha jarida la kifeministi liitwalo ''La Revue féministe''. == Wasifu == Marie Joséphine Clotilde Loubaresse alizaliwa tarehe 10 Novemba 1873 katika mji wa Saint-Dier-d'Auvergne. Alikuwa binti wa Pierre Loubaresse, mtengenezaji wa saa, na Marie Joséphine (jina la kuzaliwa: Fayot...' 1507889 wikitext text/x-wiki '''Clotilde Dissard''' (jina la kuzaliwa: Loubaresse; 10 Novemba 1873 – 1919)<ref>[1][2]</ref> alikuwa mwanahabari na mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka Ufaransa. Alianzisha jarida la kifeministi liitwalo ''La Revue féministe''. == Wasifu == Marie Joséphine Clotilde Loubaresse alizaliwa tarehe 10 Novemba 1873 katika mji wa Saint-Dier-d'Auvergne. Alikuwa binti wa Pierre Loubaresse, mtengenezaji wa saa, na Marie Joséphine (jina la kuzaliwa: Fayot).<ref>[3][4]</ref> Mnamo mwaka 1894, aliolewa na Antoine Dissard, ambaye alikuwa msaidizi wa maabara katika kitivo cha tiba cha Paris,<ref>[5]</ref> na akachukua jina la Clotilde Dissard. Oktoba 1895, alianzisha jarida la ''La Revue féministe''.<ref>[6]</ref> Mwaka uliofuata, kwa kushirikiana na Alphonse Roux, alianzisha kampuni ya uchapishaji ya Roux et Dissard iliyokuwa ikichapisha jarida hilo.<ref>[7]</ref> Uchapishaji wa jarida hilo ulikoma mwaka 1897. Dissard aliandika vitabu kadhaa vinavyojadili hali ya wanawake na haki zao. Alitoa mchango mkubwa katika kuthibitisha utambulisho wa mwanamke kama kitu chenye thamani na si cha chini au duni. Aliamini kuwa kulikuwa na “mgawanyo wa sifa za kimaumbile na kihisia” kati ya wanaume na wanawake. Katika jarida la ''La Revue féministe'', alieleza kuwa roho ya mwanamke huvutiwa zaidi na uzuri wa rangi, utofauti wa vivuli, na harufu mbalimbali kuliko mwonekano wa mwili pekee.<ref>[8]</ref> Pia alichangia katika gazeti la ''La Fronde''<ref>[9][10]</ref> pamoja na ''Revue internationale de sociologie''. Aidha, aliwahi kuwa rais wa chama cha wanahabari wa kifeministi (''Syndicat de la presse feministe'').<ref>[4]</ref> Alijishughulisha na masuala ya mazingira ya kazi kwa wanawake na unyanyasaji waliokuwa wakikumbana nao,<ref>[11]</ref> pamoja na suala la ukahaba. Clotilde Dissard alifariki mwaka 1919.<ref>[1][2]</ref> == Kazi teule == === Vitabu === * ''Opinions féministes : à propos du Congrès féministe de Paris de 1896'', Paris, 1896.<ref>[12]</ref> === Makala === * “Impressions sur le Congrès féministe”, ''La Revue féministe'', 1896 * “Le Congrès féministe de Paris de 1896”, ''Revue internationale de sociologie'', 1896 * “La traite des blanches”, ''La Fronde'', 16 Agosti 1899 * “La Protection du travail féminine”, ''La Fronde'', 29 Januari 1900 == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1873|1919}} i7hqc0ir8urrpr8natjgqksgl5h6x4o 1507890 1507889 2026-04-21T02:17:41Z Egipa 87700 1507890 wikitext text/x-wiki '''Clotilde Dissard''' (jina la kuzaliwa: Loubaresse; tarehe 10 Novemba mwaka wa 1873 hadi mwaka wa 1919)<ref>[1][2]</ref> alikuwa mwanahabari na mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka [[Ufaransa]]. Alianzisha jarida la kifeministi liitwalo ''La Revue féministe''. == Wasifu == Marie Joséphine Clotilde Loubaresse alizaliwa tarehe 10 Novemba 1873 katika mji wa Saint-Dier-d'Auvergne. Alikuwa mtoto wa kike wa Pierre Loubaresse, mtengenezaji wa saa, na Marie Joséphine (jina la kuzaliwa: Fayot).<ref>[3][4]</ref> Mnamo mwaka 1894, aliolewa na Antoine Dissard, ambaye alikuwa msaidizi wa maabara katika kitivo cha tiba cha [[Paris]],<ref>[5]</ref> na akachukua jina la Clotilde Dissard. Mnamo Oktoba mwaka wa 1895, alianzisha jarida la ''La Revue féministe''.<ref>[6]</ref> na Mwaka uliofuata, pia kwa kushirikiana na Alphonse Roux, alianzisha kampuni ya uchapishaji ya Roux et Dissard iliyokuwa ikichapisha jarida hilo.<ref>[7]</ref> Uchapishaji wa jarida hilo ulikoma mnamo mwaka 1897. Dissard aliandika vitabu kadhaa vinavyojadili hali ya wanawake na haki zao. Alitoa mchango mkubwa katika kuthibitisha utambulisho wa mwanamke kama kitu chenye thamani na si cha chini au duni. Aliamini kuwa kulikuwa na “mgawanyo wa sifa za kimaumbile na kihisia” kati ya wanaume na wanawake. Katika jarida la ''La Revue féministe'', alieleza kuwa roho ya mwanamke huvutiwa zaidi na uzuri wa rangi, utofauti wa vivuli, na harufu mbalimbali kuliko mwonekano wa mwili pekee.<ref>[8]</ref> Pia alichangia katika gazeti la ''La Fronde''<ref>[9][10]</ref> pamoja na ''Revue internationale de sociologie''. Aidha, aliwahi kuwa rais wa chama cha wanahabari wa kifeministi (''Syndicat de la presse feministe'').<ref>[4]</ref> Alijishughulisha na masuala ya mazingira ya kazi kwa wanawake na unyanyasaji waliokuwa wakikumbana nao,<ref>[11]</ref> pamoja na suala la ukahaba. Clotilde Dissard alifariki mwaka 1919.<ref>[1][2]</ref> == Kazi teule == === Vitabu === * ''Opinions féministes : à propos du Congrès féministe de Paris de 1896'', Paris, 1896.<ref>[12]</ref> === Makala === * “Impressions sur le Congrès féministe”, ''La Revue féministe'', 1896 * “Le Congrès féministe de Paris de 1896”, ''Revue internationale de sociologie'', 1896 * “La traite des blanches”, ''La Fronde'', 16 Agosti 1899 * “La Protection du travail féminine”, ''La Fronde'', 29 Januari 1900 == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1873|1919}} 7pvmlevryfnjdv74h8z0lvpwzbv9cr1 1508079 1507890 2026-04-21T09:50:18Z Riccardo Riccioni 452 1508079 wikitext text/x-wiki '''Clotilde Dissard''' (jina la kuzaliwa: '''Loubaresse'''; 10 Novemba 1873 - 1919) alikuwa mwanahabari na mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka [[Ufaransa]]. Alianzisha jarida la kifeministi liitwalo ''La Revue féministe''. == Wasifu == Marie Joséphine Clotilde Loubaresse alizaliwa tarehe 10 Novemba 1873 katika mji wa Saint-Dier-d'Auvergne. Alikuwa mtoto wa kike wa Pierre Loubaresse, mtengenezaji wa saa, na Marie Joséphine (jina la kuzaliwa: Fayot). Mnamo mwaka 1894, aliolewa na Antoine Dissard, ambaye alikuwa msaidizi wa maabara katika kitivo cha tiba cha [[Paris]], akachukua jina la Clotilde Dissard. Mnamo Oktoba mwaka wa 1895, alianzisha jarida la ''La Revue féministe'' na mwaka uliofuata, pia kwa kushirikiana na Alphonse Roux, alianzisha kampuni ya uchapishaji ya Roux et Dissard iliyokuwa ikichapisha jarida hilo. Uchapishaji wa jarida hilo ulikoma mnamo mwaka 1897. Dissard aliandika vitabu kadhaa vinavyojadili hali ya wanawake na haki zao. Alitoa mchango mkubwa katika kuthibitisha utambulisho wa mwanamke kama kitu chenye thamani na si cha chini au duni. Aliamini kuwa kulikuwa na “mgawanyo wa sifa za kimaumbile na kihisia” kati ya wanaume na wanawake. Katika jarida la ''La Revue féministe'', alieleza kuwa roho ya mwanamke huvutiwa zaidi na uzuri wa rangi, utofauti wa vivuli, na harufu mbalimbali kuliko mwonekano wa mwili pekee. Pia alichangia katika gazeti la ''La Fronde'' pamoja na ''Revue internationale de sociologie''. Aidha, aliwahi kuwa rais wa chama cha wanahabari wa kifeministi (''Syndicat de la presse feministe''). Alijishughulisha na masuala ya mazingira ya kazi kwa wanawake na unyanyasaji waliokuwa wakikumbana nao, pamoja na suala la ukahaba. Clotilde Dissard alifariki mwaka 1919. == Kazi teule == === Vitabu === * ''Opinions féministes : à propos du Congrès féministe de Paris de 1896'', Paris, 1896.<ref>[12]</ref> === Makala === * “Impressions sur le Congrès féministe”, ''La Revue féministe'', 1896 * “Le Congrès féministe de Paris de 1896”, ''Revue internationale de sociologie'', 1896 * “La traite des blanches”, ''La Fronde'', 16 Agosti 1899 * “La Protection du travail féminine”, ''La Fronde'', 29 Januari 1900 == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1873|1919}} [[Jamii:wanaharakati wa Ufaransa]] qxktxiacf59ohtkybiy0dwd2bylb8xb Marguerite Durand 0 229617 1507891 2026-04-21T02:22:30Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Marguerite Durand''' (24 Januari 1864 – 16 Machi 1936) alikuwa mwigizaji wa jukwaani, mwanahabari, na mwanaharakati mashuhuri wa haki za wanawake (suffragette) kutoka [[Ufaransa|Ufaransa.]] Alianzisha gazeti lake mwenyewe na pia aliwahi kugombea nafasi ya kisiasa. Aidha, alijulikana kwa kuwa na simba kama mnyama wake wa kufugwa. Maktaba ya ''Bibliothèque Marguerite Durand'' ilipewa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika harakati za haki za wana...' 1507891 wikitext text/x-wiki '''Marguerite Durand''' (24 Januari 1864 – 16 Machi 1936) alikuwa mwigizaji wa jukwaani, mwanahabari, na mwanaharakati mashuhuri wa haki za wanawake (suffragette) kutoka [[Ufaransa|Ufaransa.]] Alianzisha gazeti lake mwenyewe na pia aliwahi kugombea nafasi ya kisiasa. Aidha, alijulikana kwa kuwa na simba kama mnyama wake wa kufugwa. Maktaba ya ''Bibliothèque Marguerite Durand'' ilipewa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika harakati za haki za wanawake nchini Ufaransa. == Maisha ya awali na taaluma ya uigizaji == Alizaliwa tarehe 24 Januari 1864 katika familia ya tabaka la kati, na alipelekwa kusoma katika shule ya utawa ya Kikatoliki. Baada ya kumaliza elimu ya msingi, alijiunga na ''Conservatoire de Paris'' kabla ya kuingia katika kundi la maigizo la ''Comédie-Française'' mwaka 1881, ambalo ni moja ya kampuni kongwe zaidi za maigizo duniani.<ref>[1]</ref> Mnamo mwaka 1888, aliacha taaluma yake ya uigizaji ili kuolewa na mwanasheria kijana aliyekuwa akipanda kisiasa, Georges Laguerre.<ref>[1]</ref> == Siasa == Kupitia mume wake, aliyekuwa rafiki wa mwanajeshi na mwanasiasa Georges Boulanger, Durand aliingia katika siasa za mrengo mkali na kushiriki katika kuandika vipeperushi vya harakati ya ''Boulangists''. Hata hivyo, ndoa yao haikudumu kwa muda mrefu, na mwaka 1891 walitengana. Baada ya hapo, Durand alianza kufanya kazi katika gazeti la ''Le Figaro''. Mwaka 1896, alitumwa kuripoti kuhusu Kongamano la Kimataifa la Wanawake (''Congrès Féministe International'') kwa nia ya kuandika makala ya burudani, lakini tukio hilo lilimbadilisha sana kimawazo. Mwaka uliofuata, tarehe 9 Desemba 1897, alianzisha gazeti la kifeministi la kila siku ''La Fronde'', akiendeleza kazi iliyokuwa imeanzishwa na Hubertine Auclert kupitia gazeti la ''La Citoyenne''.<ref>[2]</ref> Gazeti la Durand, lililoendeshwa kabisa na wanawake, lilipigania haki za wanawake, ikiwemo kuruhusiwa kwa wanawake kujiunga na chama cha mawakili na kusoma katika ''École des Beaux-Arts''. Pia lilitaka wanawake wapewe tuzo ya ''Legion of Honor'' na kushiriki katika mijadala ya bunge. Mwaka 1910, Durand alijaribu kuandaa wanawake wagombee uchaguzi wa wabunge. Hata hivyo, alikosoa jaribio la Marie Denizard kugombea urais mwaka 1913 akiliona kama jambo lisilo na manufaa kwa harakati za wanawake.<ref>[3]</ref> Katika Maonyesho ya Dunia ya mwaka 1900 huko Paris, aliandaa Kongamano la Haki za Wanawake. Pia alianzisha makazi ya majira ya kiangazi kwa wanahabari wanawake huko Pierrefonds (Picardy), na kusaidia kuanzisha vyama vya wafanyakazi wanawake. == Umaarufu == Marguerite Durand alikuwa na shauku kubwa ya kupigania usawa wa wanawake. Alijulikana pia kwa mtindo wake wa kuvutia na tabia ya kutembea mitaani Paris akiwa na simba wake aliyempa jina "Tiger". Alishiriki katika kuanzisha makaburi ya wanyama (''Cimetière des Chiens'') katika mji wa Asnières-sur-Seine, ambako simba wake alizikwa baadaye. Umaarufu wake uliinua hadhi ya harakati za wanawake nchini Ufaransa na Ulaya kwa ujumla. == Maktaba == Katika maisha yake, Durand alikusanya nyaraka nyingi zinazohusiana na historia ya wanawake. Mwaka 1931, alikabidhi mkusanyiko huo kwa serikali. Mwaka uliofuata, maktaba ya ''Bibliothèque Marguerite Durand'' ilifunguliwa mjini Paris, na hadi leo inaendelea kufanya kazi kama maktaba maalumu ya umma kwa ajili ya utafiti kuhusu wanawake.<ref>[1]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1864|1936}} ie83q0v2sl4glru3ky5hlk4mke4plsq 1508081 1507891 2026-04-21T09:51:37Z Riccardo Riccioni 452 1508081 wikitext text/x-wiki '''Marguerite Durand''' (24 Januari 1864 – 16 Machi 1936) alikuwa mwigizaji wa jukwaani, mwanahabari, na mwanaharakati mashuhuri wa haki za wanawake kutoka [[Ufaransa]]. Alianzisha gazeti lake mwenyewe na pia aliwahi kugombea nafasi ya kisiasa. Aidha, alijulikana kwa kuwa na simba kama mnyama wake wa kufugwa. Maktaba ya ''Bibliothèque Marguerite Durand'' ilipewa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika harakati za haki za wanawake nchini Ufaransa. == Maisha ya awali na taaluma ya uigizaji == Alizaliwa tarehe 24 Januari 1864 katika familia ya tabaka la kati, na alipelekwa kusoma katika shule ya utawa ya Kikatoliki. Baada ya kumaliza elimu ya msingi, alijiunga na ''Conservatoire de Paris'' kabla ya kuingia katika kundi la maigizo la ''Comédie-Française'' mwaka 1881, ambalo ni moja ya kampuni kongwe zaidi za maigizo duniani. Mnamo mwaka 1888, aliacha taaluma yake ya uigizaji ili kuolewa na mwanasheria kijana aliyekuwa akipanda kisiasa, Georges Laguerre. == Siasa == Kupitia mume wake, aliyekuwa rafiki wa mwanajeshi na mwanasiasa Georges Boulanger, Durand aliingia katika siasa za mrengo mkali na kushiriki katika kuandika vipeperushi vya harakati ya ''Boulangists''. Hata hivyo, ndoa yao haikudumu kwa muda mrefu, na mwaka 1891 walitengana. Baada ya hapo, Durand alianza kufanya kazi katika gazeti la ''Le Figaro''. Mwaka 1896, alitumwa kuripoti kuhusu Kongamano la Kimataifa la Wanawake (''Congrès Féministe International'') kwa nia ya kuandika makala ya burudani, lakini tukio hilo lilimbadilisha sana kimawazo. Mwaka uliofuata, tarehe 9 Desemba 1897, alianzisha gazeti la kifeministi la kila siku ''La Fronde'', akiendeleza kazi iliyokuwa imeanzishwa na Hubertine Auclert kupitia gazeti la ''La Citoyenne''. Gazeti la Durand, lililoendeshwa kabisa na wanawake, lilipigania haki za wanawake, ikiwemo kuruhusiwa kwa wanawake kujiunga na chama cha mawakili na kusoma katika ''École des Beaux-Arts''. Pia lilitaka wanawake wapewe tuzo ya ''Legion of Honor'' na kushiriki katika mijadala ya bunge. Mwaka 1910, Durand alijaribu kuandaa wanawake wagombee uchaguzi wa wabunge. Hata hivyo, alikosoa jaribio la Marie Denizard kugombea urais mwaka 1913 akiliona kama jambo lisilo na manufaa kwa harakati za wanawake. Katika Maonyesho ya Dunia ya mwaka 1900 huko Paris, aliandaa Kongamano la Haki za Wanawake. Pia alianzisha makazi ya majira ya kiangazi kwa wanahabari wanawake huko Pierrefonds (Picardy), na kusaidia kuanzisha vyama vya wafanyakazi wanawake. == Umaarufu == Marguerite Durand alikuwa na shauku kubwa ya kupigania usawa wa wanawake. Alijulikana pia kwa mtindo wake wa kuvutia na tabia ya kutembea mitaani Paris akiwa na simba wake aliyempa jina "Tiger". Alishiriki katika kuanzisha makaburi ya wanyama (''Cimetière des Chiens'') katika mji wa Asnières-sur-Seine, ambako simba wake alizikwa baadaye. Umaarufu wake uliinua hadhi ya harakati za wanawake nchini Ufaransa na Ulaya kwa ujumla. == Maktaba == Katika maisha yake, Durand alikusanya nyaraka nyingi zinazohusiana na historia ya wanawake. Mwaka 1931, alikabidhi mkusanyiko huo kwa serikali. Mwaka uliofuata, maktaba ya ''Bibliothèque Marguerite Durand'' ilifunguliwa mjini Paris, na hadi leo inaendelea kufanya kazi kama maktaba maalumu ya umma kwa ajili ya utafiti kuhusu wanawake. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1864|1936}} [[Jamii:wanaharakati wa Ufaransa]] 2kn14swtvo343pfbo9ajxet00eu1lrz Melek Tourhan 0 229618 1507892 2026-04-21T02:28:49Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Melek Hassan Tourhan''' ({{|ar|ملك حسن طوران}}; 27 Oktoba 1869 – 4 Februari 1956) alikuwa mke wa pili wa Sultani Hussein Kamel wa [[Misri]]. Baada ya mume wake kupanda kwenye kiti cha enzi mwaka 1914, alijulikana kama '''Sultana Melek''' ({{|ar|السلطانة ملك}}). == Maisha ya awali == Melek alizaliwa tarehe 27 Oktoba 1869 katika mji wa Istanbul.<ref>[2][1]</ref> Alikuwa na asili ya Kircassia, lakini tofauti na watu wengi wa asili...' 1507892 wikitext text/x-wiki '''Melek Hassan Tourhan''' ({{|ar|ملك حسن طوران}}; 27 Oktoba 1869 – 4 Februari 1956) alikuwa mke wa pili wa Sultani Hussein Kamel wa [[Misri]]. Baada ya mume wake kupanda kwenye kiti cha enzi mwaka 1914, alijulikana kama '''Sultana Melek''' ({{|ar|السلطانة ملك}}). == Maisha ya awali == Melek alizaliwa tarehe 27 Oktoba 1869 katika mji wa Istanbul.<ref>[2][1]</ref> Alikuwa na asili ya Kircassia, lakini tofauti na watu wengi wa asili hiyo katika Dola ya Ottoman, hakuwa mtumwa.<ref>[3]</ref> Mwandishi Emine Foat Tugay alimwelezea kama mwanamke mdogo mwenye mvuto mkubwa, mwenye umbo zuri na haiba ya kipekee.<ref>[4]</ref> Akiwa mtoto, alikuwa dhaifu kiafya na mara nyingi alipelekwa kuishi kwa muda na Neshedil Qadin, mke wa Khedive Isma'il, ili kupata hewa safi na matunzo bora.<ref>[5]</ref> Baba yake, Hasan Tourhan Pasha, alikuwa nahodha katika jeshi la majini la Ottoman. Akiwa bado mchanga, Melek alitolewa kwa kuasiliwa ili kuboresha maisha yake.<ref>[6]</ref> Alilelewa na Jeshm Afet Hanim, mke wa tatu wa Khedive Isma'il Pasha wa Misri.<ref>[7][8]</ref> == Ndoa == Mnamo tarehe 26 Desemba 1886,<ref>[2]</ref> aliolewa na Hussein Kamel, mtoto aliyependwa zaidi wa Khedive.<ref>[9]</ref> Walipata watoto watatu wa kike: Kadria, Samiha na Badiha.<ref>[10]</ref> Wakati wa ndoa yao, haikutarajiwa kuwa Hussein Kamel angekuwa mtawala. Hata hivyo, baada ya kuzuka kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Uingereza ilimwondoa madarakani Abbas Hilmi II na kumweka Hussein Kamel kuwa mtawala mpya wa Misri. Alipewa cheo cha Sultani wa Misri, na hivyo Melek akapewa cheo cha Sultana.<ref>[11]</ref> == Ujane == Baada ya kifo cha Hussein Kamel mwaka 1917, mwanawe wa kambo Kamal el Dine Hussein alikataa kurithi kiti cha enzi, na hivyo utawala ukahamia kwa ndugu wa marehemu, Fuad I. Mnamo tarehe 11 Oktoba 1917, Melek aliruhusiwa kuendelea kutumia cheo chake cha Sultana. Mwaka 1932, alipangwa kuwa wa pili katika orodha ya hadhi za kifalme, akifuata Malkia Nazli. Wakati huo, Melek alitambuliwa kama Sultana huku Nazli akijulikana kama Malkia.<ref>[14]</ref> Kama mjane, Melek alianza kushiriki zaidi katika matukio ya umma. Alionekana katika hafla mbalimbali rasmi, ikiwa ni pamoja na harusi ya Mfalme Farouk mwaka 1938. Mwaka 1923, alitembelea kaburi la Tutankhamun huko Luxor pamoja na viongozi wa Ulaya.<ref>[15]</ref> Hakuwahi kuolewa tena, na alitumia sehemu kubwa ya maisha yake akisafiri kati ya Ulaya, Lebanoni na Luxor. Makazi yake makuu yalikuwa katika kasri lake huko Heliopolis, Cairo. == Kifo == Melek alifariki tarehe 4 Februari 1956 mjini Cairo,<ref>[1]</ref> baada ya kushuhudia Mapinduzi ya mwaka 1952 yaliyosababisha kuondolewa kwa utawala wa kifalme nchini Misri. == Heshima == * Nishani ya Al Kemal yenye vito (Misri, 1915).{{citation needed}} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1869|1956}} n7cekuu79gk4ov6zmst9js3automab4 1508083 1507892 2026-04-21T09:53:53Z Riccardo Riccioni 452 1508083 wikitext text/x-wiki '''Melek Hassan Tourhan''' ({{|ar|ملك حسن طوران}}; 27 Oktoba 1869 – 4 Februari 1956) alikuwa mke wa pili wa Sultani Hussein Kamel wa [[Misri]]. Baada ya mume wake kupanda kwenye kiti cha enzi mwaka 1914, alijulikana kama '''Sultana Melek''' ({{|ar|السلطانة ملك}}). == Maisha ya awali == Melek alizaliwa tarehe 27 Oktoba 1869 katika mji wa Istanbul. Alikuwa na asili ya Kircassia, lakini tofauti na watu wengi wa asili hiyo katika Dola ya Ottoman, hakuwa mtumwa. Mwandishi Emine Foat Tugay alimwelezea kama mwanamke mdogo mwenye mvuto mkubwa, mwenye umbo zuri na haiba ya kipekee. Akiwa mtoto, alikuwa dhaifu kiafya na mara nyingi alipelekwa kuishi kwa muda na Neshedil Qadin, mke wa Khedive Isma'il, ili kupata hewa safi na matunzo bora. Baba yake, Hasan Tourhan Pasha, alikuwa nahodha katika jeshi la majini la Ottoman. Akiwa bado mchanga, Melek alitolewa kwa kuasiliwa ili kuboresha maisha yake. Alilelewa na Jeshm Afet Hanim, mke wa tatu wa Khedive Isma'il Pasha wa Misri. == Ndoa == Mnamo tarehe 26 Desemba 1886, aliolewa na Hussein Kamel, mtoto aliyependwa zaidi wa Khedive. Walipata watoto watatu wa kike: Kadria, Samiha na Badiha. Wakati wa ndoa yao, haikutarajiwa kuwa Hussein Kamel angekuwa mtawala. Hata hivyo, baada ya kuzuka kwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Uingereza ilimwondoa madarakani Abbas Hilmi II na kumweka Hussein Kamel kuwa mtawala mpya wa Misri. Alipewa cheo cha Sultani wa Misri, na hivyo Melek akapewa cheo cha Sultana. == Ujane == Baada ya kifo cha Hussein Kamel mwaka 1917, mwanawe wa kambo Kamal el Dine Hussein alikataa kurithi kiti cha enzi, na hivyo utawala ukahamia kwa ndugu wa marehemu, Fuad I. Mnamo tarehe 11 Oktoba 1917, Melek aliruhusiwa kuendelea kutumia cheo chake cha Sultana. Mwaka 1932, alipangwa kuwa wa pili katika orodha ya hadhi za kifalme, akifuata Malkia Nazli. Wakati huo, Melek alitambuliwa kama Sultana huku Nazli akijulikana kama Malkia. Kama mjane, Melek alianza kushiriki zaidi katika matukio ya umma. Alionekana katika hafla mbalimbali rasmi, ikiwa ni pamoja na harusi ya Mfalme Farouk mwaka 1938. Mwaka 1923, alitembelea kaburi la Tutankhamun huko Luxor pamoja na viongozi wa Ulaya. Hakuwahi kuolewa tena, na alitumia sehemu kubwa ya maisha yake akisafiri kati ya Ulaya, Lebanoni na Luxor. Makazi yake makuu yalikuwa katika kasri lake huko Heliopolis, Cairo. == Kifo == Melek alifariki tarehe 4 Februari 1956 mjini Cairo, baada ya kushuhudia Mapinduzi ya mwaka 1952 yaliyosababisha kuondolewa kwa utawala wa kifalme nchini Misri. == Heshima == * Nishani ya Al Kemal yenye vito (Misri, 1915). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} {{BD|1869|1956}} [[Jamii:wanasiasa wa Misri]] 69ca8ikdbw50wykvr9lb97qu1899ema Shafiqa al-Qibtiyya 0 229619 1507893 2026-04-21T02:32:30Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Shafiqa al-Qibtiyya''' (pia hujulikana kama '''Shafiqa Mqibti'''; 1851–1926) alikuwa mcheza dansi wa tumbo (''ghawazi'') kutoka Misri. Anajulikana kama mmoja wa wacheza dansi wa tumbo wa kwanza kupata umaarufu wa kimataifa.<ref>[1]</ref> == Maisha == === Maisha ya awali === Shafiqa alizaliwa katika familia ya Wakopti mjini Cairo, Misri.<ref>[2]</ref> Alikuwa mwanafunzi wa mcheza dansi wa ghawazi aitwaye Shawq, licha ya upinzani kutoka kwa familia yak...' 1507893 wikitext text/x-wiki '''Shafiqa al-Qibtiyya''' (pia hujulikana kama '''Shafiqa Mqibti'''; 1851–1926) alikuwa mcheza dansi wa tumbo (''ghawazi'') kutoka Misri. Anajulikana kama mmoja wa wacheza dansi wa tumbo wa kwanza kupata umaarufu wa kimataifa.<ref>[1]</ref> == Maisha == === Maisha ya awali === Shafiqa alizaliwa katika familia ya Wakopti mjini Cairo, Misri.<ref>[2]</ref> Alikuwa mwanafunzi wa mcheza dansi wa ghawazi aitwaye Shawq, licha ya upinzani kutoka kwa familia yake.<ref>[1]</ref> Alianza kujifunza dansi kwa siri kila Jumapili, akiwaambia wazazi wake kuwa anaenda kanisani.<ref>[3]:39</ref> Baadaye alipoamua kuwa mcheza dansi wa kitaaluma, alikimbilia pwani ya Mediterania ambako alitumbuiza katika sherehe za watakatifu (''mawlid'').<ref>[4]</ref> Baadaye alirudi Cairo na kujiunga na kundi la Shawq, akitumbuiza katika harusi na hafla za binafsi.<ref>[3]:39</ref> === Kazi === Shafiqa alikuwa mwanamke wa kwanza kumiliki kabareti katika eneo la Ezbekiyya, na yeye pamoja na wanawake wengine waliomiliki kumbi za burudani walitawala maisha ya kijamii ya eneo hilo kwa miongo kadhaa. Alikuwa msanii mwenye kipaji kikubwa na alipendwa sana na hadhira, ikiwemo tabaka la juu la jamii ya Misri waliokuwa wafuasi wake.<ref>[5]</ref> Alikuwa miongoni mwa wacheza dansi wa kwanza wa tumbo kupata umaarufu nje ya Misri. Mwaka 1869, alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi wa Mfereji wa Suez.<ref>[4]</ref> Pia alisafiri hadi Paris, Ufaransa, kwa maonyesho.<ref>[4]</ref> Alipata umaarufu mkubwa katika kumbi mpya za burudani na vilabu vya usiku vilivyoanzishwa Misri, hasa ''El Dorado''. Baadaye alianzisha klabu yake mwenyewe iitwayo ''Alf Leyla'', kabla ya kustaafu. Alibuni mtindo wa dansi unaoitwa “Ngoma ya Vinara” ambapo mcheza dansi hubeba kinara cha mishumaa kichwani akiwa anacheza. Hata hivyo, madai haya yamepingwa na baadhi ya wataalamu kama Mahmoud Reda.<ref>[6]</ref> Hadithi nyingi zinasimuliwa kumhusu, ikiwemo madai kuwa mmoja wa wapenzi wake alinunua champagne kwa ajili ya farasi wake. Pia wakati mwingine ameitwa kimakosa kuwa miongoni mwa waimbaji wa mwisho wa kundi la ''awalim''.<ref>[4]</ref> == Urithi == Filamu ya mwaka 1963 ya Hassan el-Imam, ''Shafiqa al-Qibtiyya'', ilimfanya kuwa ishara ya maisha ya kifahari ya Cairo mwishoni mwa karne ya 19. Filamu hiyo ilimgeuza kuwa mtu wa hadithi (legend) kutokana na kipaji chake kikubwa na haiba yake ya kipekee, jambo lililofanya iwe vigumu kutofautisha kati ya ukweli na simulizi za kubuni kuhusu maisha yake.<ref>[3]:38</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1851|1926}} 28zm35u68qouyhiupwp3ghhb8tacze2 1508084 1507893 2026-04-21T09:55:34Z Riccardo Riccioni 452 1508084 wikitext text/x-wiki '''Shafiqa al-Qibtiyya''' (pia hujulikana kama '''Shafiqa Mqibti'''; 1851–1926) alikuwa mcheza dansi wa tumbo (''ghawazi'') kutoka Misri. Anajulikana kama mmoja wa wacheza dansi wa tumbo wa kwanza kupata umaarufu wa kimataifa. == Maisha == === Maisha ya awali === Shafiqa alizaliwa katika familia ya [[Wakopti]] mjini Cairo, Misri. Alikuwa mwanafunzi wa mcheza dansi wa ghawazi aitwaye Shawq, licha ya upinzani kutoka kwa familia yake. Alianza kujifunza dansi kwa siri kila Jumapili, akiwaambia wazazi wake kuwa anaenda kanisani. Baadaye alipoamua kuwa mcheza dansi wa kitaaluma, alikimbilia pwani ya Mediterania ambako alitumbuiza katika sherehe za watakatifu (''mawlid''). Baadaye alirudi Cairo na kujiunga na kundi la Shawq, akitumbuiza katika harusi na hafla za binafsi. === Kazi === Shafiqa alikuwa mwanamke wa kwanza kumiliki kabareti katika eneo la Ezbekiyya, na yeye pamoja na wanawake wengine waliomiliki kumbi za burudani walitawala maisha ya kijamii ya eneo hilo kwa miongo kadhaa. Alikuwa msanii mwenye kipaji kikubwa na alipendwa sana na hadhira, ikiwemo tabaka la juu la jamii ya Misri waliokuwa wafuasi wake. Alikuwa miongoni mwa wacheza dansi wa kwanza wa tumbo kupata umaarufu nje ya Misri. Mwaka 1869, alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi wa Mfereji wa Suez. Pia alisafiri hadi Paris, Ufaransa, kwa maonyesho. Alipata umaarufu mkubwa katika kumbi mpya za burudani na vilabu vya usiku vilivyoanzishwa Misri, hasa ''El Dorado''. Baadaye alianzisha klabu yake mwenyewe iitwayo ''Alf Leyla'', kabla ya kustaafu. Alibuni mtindo wa dansi unaoitwa “Ngoma ya Vinara” ambapo mcheza dansi hubeba kinara cha mishumaa kichwani akiwa anacheza. Hata hivyo, madai haya yamepingwa na baadhi ya wataalamu kama Mahmoud Reda. Hadithi nyingi zinasimuliwa kumhusu, ikiwemo madai kuwa mmoja wa wapenzi wake alinunua champagne kwa ajili ya farasi wake. Pia wakati mwingine ameitwa kimakosa kuwa miongoni mwa waimbaji wa mwisho wa kundi la ''awalim''. == Urithi == Filamu ya mwaka 1963 ya Hassan el-Imam, ''Shafiqa al-Qibtiyya'', ilimfanya kuwa ishara ya maisha ya kifahari ya Cairo mwishoni mwa karne ya 19. Filamu hiyo ilimgeuza kuwa mtu wa hadithi (legend) kutokana na kipaji chake kikubwa na haiba yake ya kipekee, jambo lililofanya iwe vigumu kutofautisha kati ya ukweli na simulizi za kubuni kuhusu maisha yake. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1851|1926}} [[Jamii:wanamuziki wa Misri]] [[Jamii:Wakopti]] hg59ad0v5hauqbg7st2e16rnbc48y23 Kuchuk Hanem 0 229621 1507895 2026-04-21T02:41:45Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuchuk Hanem''' alikuwa mrembo maarufu na mcheza dansi wa ghawazi kutoka Esna nchini [[Misri]].<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Alitajwa katika simulizi mbili tofauti za safari nchini Misri na mwandishi wa Kifaransa Gustave Flaubert pamoja na msafiri wa Kimarekani George William Curtis.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref><ref>Karayanni, Stavros Stavr...' 1507895 wikitext text/x-wiki '''Kuchuk Hanem''' alikuwa mrembo maarufu na mcheza dansi wa ghawazi kutoka Esna nchini [[Misri]].<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Alitajwa katika simulizi mbili tofauti za safari nchini Misri na mwandishi wa Kifaransa Gustave Flaubert pamoja na msafiri wa Kimarekani George William Curtis.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref><ref>Karayanni, Stavros Stavrou (2006). ''Dancing Fear and Desire''. p. 42.</ref> Kuchuk Hanem alikuja kuwa mhusika muhimu na ishara katika maandiko ya ki-Oriantalisti ya Flaubert kuhusu Mashariki. Flaubert alimtembelea wakati wa safari yake nchini Misri kati ya miaka 1849–1851 akiwa ameandamana na Maxime Du Camp.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref> Mada za ki-Oriantalisti katika kazi zake zilichangiwa sana na uzoefu wake nchini Misri na inaaminika pia kuwa na uhusiano wa kimapenzi kati yake na Kuchuk Hanem.<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Wacheza dansi wanaoonekana katika baadhi ya kazi zake kama ''Herodias'' na ''The Temptation of Saint Anthony'' wanafanana na taswira ya mwanamke anayefanya maonyesho ya dansi za Salome na Malkia wa Sheba. Miongoni mwa dansi hizo kulikuwa na mtindo unaoitwa “dance of the bee” au “the wasp”, ambapo mcheza dansi husimama kwa utulivu kisha kuigiza kama mdudu anaingia ndani ya mavazi yake, na baadaye huanza kucheza kwa kasi huku akivua baadhi ya mavazi kwa namna ya kuvutia.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref> Baadaye, mwaka 1851, Kuchuk Hanem alikua mada ya shairi la Louis Bouilhet lenye kichwa ''Kuchuk-Hanem, Souvenir'', lililoandikwa kutokana na maelezo ya Flaubert katika barua zake.<ref>Beizer, Janet L. (2009). ''Thinking Through the Mothers''. p. 44.</ref> Pia inasemekana kuwa Louise Colet, aliyekuwa mpenzi wa Flaubert, alimtafuta mcheza dansi huyo akiwa amezeeka wakati wa ufunguzi wa Mfereji wa Suez ili kumweleza Flaubert hali yake.<ref>Barnes, Julian (1984). ''Flaubert's Parrot''.</ref> Inaonekana pia kwamba alimhimizwa George William Curtis, jambo linaloonyesha kuwa alikuwa miongoni mwa wasanii waliotafutwa zaidi katika Misri ya Juu wakati wa kipindi cha ukoloni. Maelezo ya waandishi hawa wawili yanafanana kwa kuelezea nyumba yenye ua wa ndani, ngazi iliyochakaa inayoelekea juu, chumba chenye makochi mawili, msichana mdogo mhudumu aitwaye Zeneb, mzee anayepiga ala ya muziki ya rebaba, na mwanamke mzee anayepiga tar kwa ajili ya kuweka mdundo.<ref>Karayanni, Stavros Stavrou (2006). ''Dancing Fear and Desire''. p. 42.</ref><ref>Peck, William H. "The Dancer of Esna".</ref> Jina “Kuchuk Hanem” si jina halisi bali ni neno la Kituruki linalomaanisha “bibi mdogo” (küçük hanım). Linaweza kuwa jina la mapenzi au lakabu inayotumiwa kwa mtoto, mpenzi au mcheza dansi maarufu.<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Flaubert alidai kuwa alitoka Sohag, lakini haijulikani kama hilo lilikuwa jina au utambulisho wake halisi au ni jina lililotumiwa na waandishi kumwelezea.<ref>Twigger, Robert (2013). ''Red Nile''.</ref> Taswira yake katika fasihi ya wakati huo, iliyokuwa imejaa msisimko na urembo uliokuzwa, inaonyesha jinsi wanawake wa maeneo yasiyo ya Magharibi walivyowakilishwa kwa mitazamo ya upotoshaji katika fikra za Magharibi.<ref>Said, Edward W. (1979). ''Orientalism''.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD| | }} 6gmvzbhxtyk17f12yp6fpu4o43pfh5o 1508085 1507895 2026-04-21T09:57:06Z Riccardo Riccioni 452 1508085 wikitext text/x-wiki '''Kuchuk Hanem''' alikuwa mrembo maarufu na mcheza dansi wa ghawazi kutoka Esna nchini [[Misri]].<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Alitajwa katika simulizi mbili tofauti za safari nchini Misri na mwandishi wa Kifaransa Gustave Flaubert pamoja na msafiri wa Kimarekani George William Curtis.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref><ref>Karayanni, Stavros Stavrou (2006). ''Dancing Fear and Desire''. p. 42.</ref> Kuchuk Hanem alikuja kuwa mhusika muhimu na ishara katika maandiko ya ki-Oriantalisti ya Flaubert kuhusu Mashariki. Flaubert alimtembelea wakati wa safari yake nchini Misri kati ya miaka 1849–1851 akiwa ameandamana na Maxime Du Camp.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref> Mada za ki-Oriantalisti katika kazi zake zilichangiwa sana na uzoefu wake nchini Misri na inaaminika pia kuwa na uhusiano wa kimapenzi kati yake na Kuchuk Hanem.<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Wacheza dansi wanaoonekana katika baadhi ya kazi zake kama ''Herodias'' na ''The Temptation of Saint Anthony'' wanafanana na taswira ya mwanamke anayefanya maonyesho ya dansi za Salome na Malkia wa Sheba. Miongoni mwa dansi hizo kulikuwa na mtindo unaoitwa “dance of the bee” au “the wasp”, ambapo mcheza dansi husimama kwa utulivu kisha kuigiza kama mdudu anaingia ndani ya mavazi yake, na baadaye huanza kucheza kwa kasi huku akivua baadhi ya mavazi kwa namna ya kuvutia.<ref>Mader-Lin, Eric. "Erotic Pages from Flaubert's *Voyage en Egypte*".</ref> Baadaye, mwaka 1851, Kuchuk Hanem alikua mada ya shairi la Louis Bouilhet lenye kichwa ''Kuchuk-Hanem, Souvenir'', lililoandikwa kutokana na maelezo ya Flaubert katika barua zake.<ref>Beizer, Janet L. (2009). ''Thinking Through the Mothers''. p. 44.</ref> Pia inasemekana kuwa Louise Colet, aliyekuwa mpenzi wa Flaubert, alimtafuta mcheza dansi huyo akiwa amezeeka wakati wa ufunguzi wa Mfereji wa Suez ili kumweleza Flaubert hali yake.<ref>Barnes, Julian (1984). ''Flaubert's Parrot''.</ref> Inaonekana pia kwamba alimhimizwa George William Curtis, jambo linaloonyesha kuwa alikuwa miongoni mwa wasanii waliotafutwa zaidi katika Misri ya Juu wakati wa kipindi cha ukoloni. Maelezo ya waandishi hawa wawili yanafanana kwa kuelezea nyumba yenye ua wa ndani, ngazi iliyochakaa inayoelekea juu, chumba chenye makochi mawili, msichana mdogo mhudumu aitwaye Zeneb, mzee anayepiga ala ya muziki ya rebaba, na mwanamke mzee anayepiga tar kwa ajili ya kuweka mdundo.<ref>Karayanni, Stavros Stavrou (2006). ''Dancing Fear and Desire''. p. 42.</ref><ref>Peck, William H. "The Dancer of Esna".</ref> Jina “Kuchuk Hanem” si jina halisi bali ni neno la Kituruki linalomaanisha “bibi mdogo” (küçük hanım). Linaweza kuwa jina la mapenzi au lakabu inayotumiwa kwa mtoto, mpenzi au mcheza dansi maarufu.<ref>Wall, Geoffrey (27 October 2001). "Flaubert: A Life by Geoffrey Wall". The Guardian.</ref> Flaubert alidai kuwa alitoka Sohag, lakini haijulikani kama hilo lilikuwa jina au utambulisho wake halisi au ni jina lililotumiwa na waandishi kumwelezea.<ref>Twigger, Robert (2013). ''Red Nile''.</ref> Taswira yake katika fasihi ya wakati huo, iliyokuwa imejaa msisimko na urembo uliokuzwa, inaonyesha jinsi wanawake wa maeneo yasiyo ya Magharibi walivyowakilishwa kwa mitazamo ya upotoshaji katika fikra za Magharibi.<ref>Said, Edward W. (1979). ''Orientalism''.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} [[Jamii:wanawake wa Misri]] n6ryj1tqqh7yn8lylkmc7s6ynbfgms0 Sharifa Yazmeen 0 229622 1507896 2026-04-21T02:47:27Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sharifa Yazmeen''' ni mwandishi wa tamthilia na mkurugenzi wa maigizo wa Kimarekani mwenye asili ya [[Misri]], ambaye pia ni mwanamke aliyebadili jinsia. Baadhi ya tamthilia zake zimejumuishwa katika kitabu ''The Methuen Drama Book of Trans Plays''. == Wasifu == Yazmeen alizaliwa nchini Saudi Arabia; baba yake ni Mmisri na mama yake ni Mmarekani mzungu.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Alikulia katika majimbo ya North na South...' 1507896 wikitext text/x-wiki '''Sharifa Yazmeen''' ni mwandishi wa tamthilia na mkurugenzi wa maigizo wa Kimarekani mwenye asili ya [[Misri]], ambaye pia ni mwanamke aliyebadili jinsia. Baadhi ya tamthilia zake zimejumuishwa katika kitabu ''The Methuen Drama Book of Trans Plays''. == Wasifu == Yazmeen alizaliwa nchini Saudi Arabia; baba yake ni Mmisri na mama yake ni Mmarekani mzungu.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Alikulia katika majimbo ya North na South Carolina nchini Marekani akiwa Mwislamu anayetekeleza dini.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Ana shahada ya uzamili (MFA) katika uongozaji wa maigizo kutoka Chuo Kikuu cha Brown.<ref>"Sharifa Yazmeen".</ref> Yazmeen ni mwanamke aliyebadili jinsia.<ref>Schafer, Teri (2025).</ref> Mwaka 2021, alikuwa mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Barbara Whitman, inayotolewa kwa mkurugenzi wa maigizo wa mwanzo wa kazi yake ambaye ni mwanamke, mtu aliyebadili jinsia au asiyejitambulisha kwa jinsia moja, na aliyeonyesha ubunifu wa kipekee.<ref>"Sharifa Yasmin Awarded SDCF's Inaugural Barbara Whitman Award".</ref> Mwaka 2023 aliongoza tamthilia ''Disgraced'' ya Ayad Akhtar, ambayo ilisifiwa kwa mtindo wake uliounda hali ya hofu inayofanana na filamu za kutisha.<ref>Warner, David (2023).</ref> Mwaka 2024 alikuwa mmoja wa washindi wa kwanza wa Tuzo ya Abe Burrows kwa wakurugenzi wasaidizi.<ref>"Violeta Picayo and Sharifa Essa Yasmin Receive SDCF's Inaugural Abe Burrows Award".</ref> == Kazi == Chuo Kikuu cha Kansas kilionyesha tamthilia yake ''The Devils Between Us'' mwaka 2021, ambayo ilisifiwa kama kazi ya kuvutia na yenye kubadilisha mtazamo wa hadithi.<ref>"KU Theatre's fall finale centers trans woman".</ref> Tamthilia hii ni miongoni mwa kazi nane zilizojumuishwa katika toleo la 2021 la ''The Methuen Drama Book of Trans Plays''.<ref>Keyes, Leanna; Mantoan, Lindsey; Schiller, Angela Farr (2021).</ref> Tamthilia hiyo inahusu mwanamke wa Kiarabu-Mmarekani aliyebadili jinsia anayerejea nyumbani baada ya kifo cha baba yake.<ref>Rowen, Bess (2023).</ref> Utangulizi wa kitabu hicho unaeleza kuwa kazi hiyo inapinga mitazamo hasi dhidi ya Waislamu na kuondoa taswira za kigeni kuhusu urithi wa Kimisri.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Usomaji wa mtandaoni wa tamthilia yake ''Close to Home'' uliwasilishwa mwaka 2022 katika Tamasha la Waandishi wa Tamthilia la Bay Area huko San Francisco.<ref>"LGBTQ Voices Spotlighted in 2022 Bay Area Playwrights Festival".</ref> Tamthilia hiyo inafuatilia maisha ya watu watatu wasiofahamiana: kijana aliyebadili jinsia, mfanyakazi wa ujenzi, na mhamiaji Mwislamu.<ref>"Close to Home".</ref> Iliigizwa kwa mara ya kwanza mwaka 2025 katika Pillsbury House + Theatre.<ref>"Close to Home".</ref> Yazmeen pia alipokea ufadhili wa Jerome Fellowship kutoka Playwrights' Center kwa kipindi cha 2025–2027.<ref>Schafer, Teri (2025).</ref> == Kazi teule == === Tamthilia === * ''The Devils Between Us'' * ''Close to Home'' * ''Bone by Bone'' * ''Lilith's Tears'' === Uongozaji wa maigizo === * ''Babel'' ya Jacqueline Goldfinger (2022) * ''Disgraced'' ya Ayad Akhtar (2023) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD| | }} 2spqotztofgf1lht6961757u3rbccj7 1508086 1507896 2026-04-21T09:58:03Z Riccardo Riccioni 452 1508086 wikitext text/x-wiki '''Sharifa Yazmeen''' ni mwandishi wa tamthilia na mkurugenzi wa maigizo wa Kimarekani mwenye asili ya [[Misri]], ambaye pia ni mwanamke aliyebadili jinsia. Baadhi ya tamthilia zake zimejumuishwa katika kitabu ''The Methuen Drama Book of Trans Plays''. == Wasifu == Yazmeen alizaliwa nchini Saudi Arabia; baba yake ni Mmisri na mama yake ni Mmarekani mzungu.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Alikulia katika majimbo ya North na South Carolina nchini Marekani akiwa Mwislamu anayetekeleza dini.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Ana shahada ya uzamili (MFA) katika uongozaji wa maigizo kutoka Chuo Kikuu cha Brown.<ref>"Sharifa Yazmeen".</ref> Yazmeen ni mwanamke aliyebadili jinsia.<ref>Schafer, Teri (2025).</ref> Mwaka 2021, alikuwa mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Barbara Whitman, inayotolewa kwa mkurugenzi wa maigizo wa mwanzo wa kazi yake ambaye ni mwanamke, mtu aliyebadili jinsia au asiyejitambulisha kwa jinsia moja, na aliyeonyesha ubunifu wa kipekee.<ref>"Sharifa Yasmin Awarded SDCF's Inaugural Barbara Whitman Award".</ref> Mwaka 2023 aliongoza tamthilia ''Disgraced'' ya Ayad Akhtar, ambayo ilisifiwa kwa mtindo wake uliounda hali ya hofu inayofanana na filamu za kutisha.<ref>Warner, David (2023).</ref> Mwaka 2024 alikuwa mmoja wa washindi wa kwanza wa Tuzo ya Abe Burrows kwa wakurugenzi wasaidizi.<ref>"Violeta Picayo and Sharifa Essa Yasmin Receive SDCF's Inaugural Abe Burrows Award".</ref> == Kazi == Chuo Kikuu cha Kansas kilionyesha tamthilia yake ''The Devils Between Us'' mwaka 2021, ambayo ilisifiwa kama kazi ya kuvutia na yenye kubadilisha mtazamo wa hadithi.<ref>"KU Theatre's fall finale centers trans woman".</ref> Tamthilia hii ni miongoni mwa kazi nane zilizojumuishwa katika toleo la 2021 la ''The Methuen Drama Book of Trans Plays''.<ref>Keyes, Leanna; Mantoan, Lindsey; Schiller, Angela Farr (2021).</ref> Tamthilia hiyo inahusu mwanamke wa Kiarabu-Mmarekani aliyebadili jinsia anayerejea nyumbani baada ya kifo cha baba yake.<ref>Rowen, Bess (2023).</ref> Utangulizi wa kitabu hicho unaeleza kuwa kazi hiyo inapinga mitazamo hasi dhidi ya Waislamu na kuondoa taswira za kigeni kuhusu urithi wa Kimisri.<ref>Mikhaiel, Yasmin Zacaria, na Ali-Reza Mirsajadi.</ref> Usomaji wa mtandaoni wa tamthilia yake ''Close to Home'' uliwasilishwa mwaka 2022 katika Tamasha la Waandishi wa Tamthilia la Bay Area huko San Francisco.<ref>"LGBTQ Voices Spotlighted in 2022 Bay Area Playwrights Festival".</ref> Tamthilia hiyo inafuatilia maisha ya watu watatu wasiofahamiana: kijana aliyebadili jinsia, mfanyakazi wa ujenzi, na mhamiaji Mwislamu.<ref>"Close to Home".</ref> Iliigizwa kwa mara ya kwanza mwaka 2025 katika Pillsbury House + Theatre.<ref>"Close to Home".</ref> Yazmeen pia alipokea ufadhili wa Jerome Fellowship kutoka Playwrights' Center kwa kipindi cha 2025–2027.<ref>Schafer, Teri (2025).</ref> == Kazi teule == === Tamthilia === * ''The Devils Between Us'' * ''Close to Home'' * ''Bone by Bone'' * ''Lilith's Tears'' === Uongozaji wa maigizo === * ''Babel'' ya Jacqueline Goldfinger (2022) * ''Disgraced'' ya Ayad Akhtar (2023) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] [[Jamii:waandishi wa Marekani]] gozuoc35ej9od8zsz0nrqr8hfoqeolb Nagwa Shaaban 0 229623 1507897 2026-04-21T02:54:39Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nagwa Shaaban''' (6 Agosti 1959 – 30 Agosti 2019) alikuwa mwandishi wa riwaya na mfasiri kutoka [[Misri]]. Alifanya kazi kama afisa wa utamaduni na mfasiri wa makala za Kiingereza kwenda Kiarabu katika Shirika la Habari la Mashariki ya Kati (Middle East News Agency). Shaaban aliandika riwaya tatu, akishinda tuzo ya Sharjah Girls' Clubs mwaka 1995 kwa kazi yake ''Al-Ghar'' na Tuzo ya Kuhamasisha ya Serikali kutoka Wizara ya Utamaduni ya Misri mwaka 200...' 1507897 wikitext text/x-wiki '''Nagwa Shaaban''' (6 Agosti 1959 – 30 Agosti 2019) alikuwa mwandishi wa riwaya na mfasiri kutoka [[Misri]]. Alifanya kazi kama afisa wa utamaduni na mfasiri wa makala za Kiingereza kwenda Kiarabu katika Shirika la Habari la Mashariki ya Kati (Middle East News Agency). Shaaban aliandika riwaya tatu, akishinda tuzo ya Sharjah Girls' Clubs mwaka 1995 kwa kazi yake ''Al-Ghar'' na Tuzo ya Kuhamasisha ya Serikali kutoka Wizara ya Utamaduni ya Misri mwaka 2004 kwa riwaya ''Nawat Al-Karam'' iliyochapishwa miaka miwili kabla yake. == Wasifu == Alizaliwa katika mji wa Damietta, Misri.<ref name="ref1">Rahman, Muhammad Abdul (6 Septemba 2019). "تعرف على الكاتبة والمترجمة نجوى شعبان بعد رحيلها". Youm7.</ref> Shaaban alihitimu kutoka Kitivo cha Habari cha Chuo Kikuu cha Cairo akiwa na shahada ya Sanaa.<ref name="ref1" /><ref name="ref2">Moshen, Moataz (5 Septemba 2019). "وفاة الكاتبة نجوى شعبان ظهر اليوم". Jedarriat.</ref> Baadaye alipata stashahada kutoka Shirika la Kazi Duniani (International Labour Organization) na kuajiriwa kama afisa wa utamaduni katika Shirika la Habari la Mashariki ya Kati.<ref name="ref1" /> Pia alitafsiri kwa Kiarabu makala mbalimbali za kisanii, kitamaduni, kisiasa na kisaikolojia kutoka magazeti ya Kiingereza kama vile ''The Times'' ya Uingereza.<ref name="ref2" /><ref name="ref3">"يوم مع الكاتبة المصرية نجوى شعبان". Laha Magazine (3 Julai 2009).</ref> Aidha, aliwasilisha maonesho ya vitabu vipya na kuandika tafiti mbili kuhusu sanaa ya plastiki nchini Marekani.<ref name="ref2" /> Mwaka 1995, Shaaban alichapisha mkusanyo wa hadithi fupi ulioitwa ''The Labyrinths'', ambao ulikuwa kazi yake ya kwanza ya fasihi.<ref name="ref2" /><ref name="ref5">Jahin, Baha (18 Oktoba 2019). "نَوّة إبداع نجوى شعبان". Al-Ahram.</ref> Miaka mitatu baadaye alichapisha riwaya yake ya kwanza ''Al-Ghar'', inayochunguza mizizi ya familia na biashara ya magendo ya watumwa licha ya juhudi za Isma'il Pasha kuikomesha.<ref name="ref2" /><ref name="ref6">"نوة الكرم رواية جديدة للكاتبة نجوى شعبان". Asharq Al-Awsat (30 Januari 2002).</ref> Riwaya hiyo ilimpatia tuzo ya Sharjah Girls' Clubs.<ref name="ref7">Abdullah, Mustafa (16 Septemba 2019). "نوة الموت تخطف نجوى شعبان". Middle East Online.</ref> Riwaya yake ya pili ''Nawat Al-Karam'' ilichapishwa mwaka 2002, ikiwa imejikita katika historia, na ilimletea Tuzo ya Kuhamasisha ya Serikali kutoka Wizara ya Utamaduni ya Misri mwaka 2004.<ref name="ref1" /><ref name="ref4">Al-Nasr, Mona Abu (9 Mei 2019). "وفاة الكاتبة المصرية نجوى شعبان صاحبة نوة الكرم". Al Ain.</ref> Riwaya yake ya mwisho, ''Al-Mursi'', ilichapishwa mwaka 2008.<ref name="ref1" /> Katika miaka ya mwisho ya maisha yake, aliacha kujihusisha sana na uandishi.<ref name="ref4" /> == Maisha binafsi == Shaaban alikuwa ameolewa na alikuwa na mtoto mmoja wa kiume.<ref name="ref3" /> Alifariki tarehe 30 Agosti 2019 baada ya kuugua kwa muda mrefu.<ref name="ref5" /><ref name="ref8">Almeri, Bahaa (6 Septemba 2019). "الخميس.. حفل تأبين الروائية نجوى شعبان بدار بتانة". Al Bawaba.</ref> Hafla ya kumbukumbu yake iliandaliwa tarehe 4 Septemba 2019.<ref name="ref8" /> == Mtindo wa uandishi == Kwa mujibu wa gazeti la Masrawy, mtindo wake wa uandishi katika ''Nawat Al-Karam'' ulihusisha kuchanganya uhalisia na mitholojia, huku wahusika wake wakikabiliwa na mamlaka kandamizi, na vipengele mbalimbali kama watu, wanyama, mimea na vitu visivyo na uhai vikishirikiana ndani ya simulizi yenye ubunifu wa kipekee.<ref name="ref9">Hassan, Ammar Ali (18 Septemba 2019). "نيلية أسطورية رواية المرسى للراحلة نجوى شعبان". Masrawy.</ref> Gazeti la Alqabas lilieleza kuwa hakuwa akijikita katika matukio makubwa au watu maarufu, bali wale waliobeba historia bila nafasi ya kuiandika.<ref name="ref10">Moussa, Sobhi (13 Julai 2005). "بعد فوزها بالجائزة التشجيعية نجوى شعبان". Alqabas.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1959|2019}} [ su1k6nm78kwrpjpe0ub5l9ecubdlca7 1508087 1507897 2026-04-21T09:58:43Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ 1508087 wikitext text/x-wiki '''Nagwa Shaaban''' (6 Agosti 1959 – 30 Agosti 2019) alikuwa mwandishi wa riwaya na mfasiri kutoka [[Misri]]. Alifanya kazi kama afisa wa utamaduni na mfasiri wa makala za Kiingereza kwenda Kiarabu katika Shirika la Habari la Mashariki ya Kati (Middle East News Agency). Shaaban aliandika riwaya tatu, akishinda tuzo ya Sharjah Girls' Clubs mwaka 1995 kwa kazi yake ''Al-Ghar'' na Tuzo ya Kuhamasisha ya Serikali kutoka Wizara ya Utamaduni ya Misri mwaka 2004 kwa riwaya ''Nawat Al-Karam'' iliyochapishwa miaka miwili kabla yake. == Wasifu == Alizaliwa katika mji wa Damietta, Misri.<ref name="ref1">Rahman, Muhammad Abdul (6 Septemba 2019). "تعرف على الكاتبة والمترجمة نجوى شعبان بعد رحيلها". Youm7.</ref> Shaaban alihitimu kutoka Kitivo cha Habari cha Chuo Kikuu cha Cairo akiwa na shahada ya Sanaa.<ref name="ref1" /><ref name="ref2">Moshen, Moataz (5 Septemba 2019). "وفاة الكاتبة نجوى شعبان ظهر اليوم". Jedarriat.</ref> Baadaye alipata stashahada kutoka Shirika la Kazi Duniani (International Labour Organization) na kuajiriwa kama afisa wa utamaduni katika Shirika la Habari la Mashariki ya Kati.<ref name="ref1" /> Pia alitafsiri kwa Kiarabu makala mbalimbali za kisanii, kitamaduni, kisiasa na kisaikolojia kutoka magazeti ya Kiingereza kama vile ''The Times'' ya Uingereza.<ref name="ref2" /><ref name="ref3">"يوم مع الكاتبة المصرية نجوى شعبان". Laha Magazine (3 Julai 2009).</ref> Aidha, aliwasilisha maonesho ya vitabu vipya na kuandika tafiti mbili kuhusu sanaa ya plastiki nchini Marekani.<ref name="ref2" /> Mwaka 1995, Shaaban alichapisha mkusanyo wa hadithi fupi ulioitwa ''The Labyrinths'', ambao ulikuwa kazi yake ya kwanza ya fasihi.<ref name="ref2" /><ref name="ref5">Jahin, Baha (18 Oktoba 2019). "نَوّة إبداع نجوى شعبان". Al-Ahram.</ref> Miaka mitatu baadaye alichapisha riwaya yake ya kwanza ''Al-Ghar'', inayochunguza mizizi ya familia na biashara ya magendo ya watumwa licha ya juhudi za Isma'il Pasha kuikomesha.<ref name="ref2" /><ref name="ref6">"نوة الكرم رواية جديدة للكاتبة نجوى شعبان". Asharq Al-Awsat (30 Januari 2002).</ref> Riwaya hiyo ilimpatia tuzo ya Sharjah Girls' Clubs.<ref name="ref7">Abdullah, Mustafa (16 Septemba 2019). "نوة الموت تخطف نجوى شعبان". Middle East Online.</ref> Riwaya yake ya pili ''Nawat Al-Karam'' ilichapishwa mwaka 2002, ikiwa imejikita katika historia, na ilimletea Tuzo ya Kuhamasisha ya Serikali kutoka Wizara ya Utamaduni ya Misri mwaka 2004.<ref name="ref1" /><ref name="ref4">Al-Nasr, Mona Abu (9 Mei 2019). "وفاة الكاتبة المصرية نجوى شعبان صاحبة نوة الكرم". Al Ain.</ref> Riwaya yake ya mwisho, ''Al-Mursi'', ilichapishwa mwaka 2008.<ref name="ref1" /> Katika miaka ya mwisho ya maisha yake, aliacha kujihusisha sana na uandishi.<ref name="ref4" /> == Maisha binafsi == Shaaban alikuwa ameolewa na alikuwa na mtoto mmoja wa kiume.<ref name="ref3" /> Alifariki tarehe 30 Agosti 2019 baada ya kuugua kwa muda mrefu.<ref name="ref5" /><ref name="ref8">Almeri, Bahaa (6 Septemba 2019). "الخميس.. حفل تأبين الروائية نجوى شعبان بدار بتانة". Al Bawaba.</ref> Hafla ya kumbukumbu yake iliandaliwa tarehe 4 Septemba 2019.<ref name="ref8" /> == Mtindo wa uandishi == Kwa mujibu wa gazeti la Masrawy, mtindo wake wa uandishi katika ''Nawat Al-Karam'' ulihusisha kuchanganya uhalisia na mitholojia, huku wahusika wake wakikabiliwa na mamlaka kandamizi, na vipengele mbalimbali kama watu, wanyama, mimea na vitu visivyo na uhai vikishirikiana ndani ya simulizi yenye ubunifu wa kipekee.<ref name="ref9">Hassan, Ammar Ali (18 Septemba 2019). "نيلية أسطورية رواية المرسى للراحلة نجوى شعبان". Masrawy.</ref> Gazeti la Alqabas lilieleza kuwa hakuwa akijikita katika matukio makubwa au watu maarufu, bali wale waliobeba historia bila nafasi ya kuiandika.<ref name="ref10">Moussa, Sobhi (13 Julai 2005). "بعد فوزها بالجائزة التشجيعية نجوى شعبان". Alqabas.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1959|2019}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] 4h7i0e7h0kduqgmemtso28gxehcoz0c Notaila Rashed 0 229624 1507898 2026-04-21T02:57:31Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Notaila Ibrahim Rashed''' (Kiarabu: نتيلة إبراهيم راشد; 1934–2012), anayejulikana pia kwa jina la utani '''Mama Lubna''', alikuwa mwandishi wa vitabu vya watoto na mfasiri kutoka [[Misri]].<ref name="ref1">"Notaila Rashed's 86th Birthday Doodle - Google Doodles". Google Doodles. 20 Septemba 2020.</ref><ref name="ref2">"نتيلة راشد.. لماذا يحتفي غوغل اليوم بـ"ماما لبنى؟"". Al Jazeera (kwa Kiarabu)....' 1507898 wikitext text/x-wiki '''Notaila Ibrahim Rashed''' (Kiarabu: نتيلة إبراهيم راشد; 1934–2012), anayejulikana pia kwa jina la utani '''Mama Lubna''', alikuwa mwandishi wa vitabu vya watoto na mfasiri kutoka [[Misri]].<ref name="ref1">"Notaila Rashed's 86th Birthday Doodle - Google Doodles". Google Doodles. 20 Septemba 2020.</ref><ref name="ref2">"نتيلة راشد.. لماذا يحتفي غوغل اليوم بـ"ماما لبنى؟"". Al Jazeera (kwa Kiarabu). 20 Septemba 2020.</ref> Anahesabiwa kama miongoni mwa waanzilishi na watetezi wa fasihi ya watoto nchini Misri na katika ulimwengu wa Kiarabu.<ref name="ref3">Prideaux, Sophie (20 Septemba 2020). The National.</ref> Kwa zaidi ya miaka 30, alihudumu kama mhariri mkuu wa jarida la watoto linaloitwa '''Samir'''. == Maisha ya awali na elimu == Rashed alizaliwa tarehe 20 Septemba 1934 jijini Cairo, Misri, katika familia tajiri.<ref name="ref1" /> Alisoma katika Chuo Kikuu cha Cairo, ambako alianza kuandika hadithi za watoto akiwa mwanafunzi.<ref name="ref1" /><ref name="ref2" /> Mwaka 1957 alihitimu shahada ya kwanza katika falsafa na sosholojia.<ref name="ref5">Arab Women Writers: A Critical Reference Guide. AUC Press, 2008.</ref> == Kazi na uandishi == Kuanzia miaka ya 1950, kazi zake za kifasihi zilianza kutumika kwenye vyombo mbalimbali kama redio na televisheni.<ref name="ref1" /> Mwaka 1956, pamoja na Nādyah Našʾat, alishiriki kuanzisha jarida la watoto na elimu la '''Samir''', ambalo baadaye lilikuwa jarida maarufu zaidi la watoto nchini Misri.<ref name="ref6">Giladi, Elad (2021). Oriente Moderno.</ref> Baadaye alihudumu kama mhariri mkuu wa jarida hilo, na chini ya uongozi wake jarida lilianza pia kujadili masuala ya kisiasa kama ujamaa. Mwaka 1966 aliacha nafasi hiyo na kuwa mhariri mkuu wa vitabu vya watoto katika kampuni ya uchapishaji ya Dar al-Hilal. Alirudi tena kuwa mhariri mkuu wa '''Samir''' mwaka 1971 na aliendelea hadi 2002.<ref name="ref1" /><ref name="ref5" /> Mwaka 1979, alichapisha kazi iitwayo ''The Diary of Yasser Family'', ambapo hadithi yake “The Doll” iligeuzwa kuwa filamu ya kwanza ya watoto iliyotengenezwa na Baraza la Utamaduni la Taifa la Misri.<ref name="ref1" /> Mbali na uandishi, Rashed alitafsiri kazi mbalimbali kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu. Maudhui ya kazi zake yalijikita zaidi katika utamaduni wa kale na wa kisasa wa Misri, na alikuwa mtetezi mkubwa wa fasihi ya watoto ya Kiarabu na Misri.<ref name="ref3" /><ref name="ref4">"Visiting editor expresses opinions about children's literature needs". Jordan Times, 1994.</ref> == Maisha binafsi == Katika miaka ya 1950 aliolewa na Abdul-Tawab Youssef, ambaye pia alijihusisha na fasihi ya watoto. Alijulikana kwa jina la '''Mama Lubna''' baada ya kumzaa mtoto wake wa kwanza Lubna. Alikuwa pia na watoto wengine wawili, Bahsham na Essam.<ref name="ref2" /><ref name="ref8">"ماما لبنى.. تغمض عينيها وتبقى حكاياتها". Al Shorouk News. 2012.</ref> == Kifo == Baada ya kuugua kwa muda mfupi, Rashed alifariki tarehe 26 Mei 2012 akiwa na umri wa miaka 77.<ref name="ref8" /> == Tuzo na heshima == Mwaka 1978 alitunukiwa Tuzo ya Taifa ya Fasihi ya Watoto nchini Misri.<ref name="ref2" /> Mwaka 2002 alipokea Nishani ya Baraza la Wizara ya Utamaduni ya Misri.<ref name="ref1" /> Mwaka 2020, Google ilimtambua kwa kumuweka katika Google Doodle katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.<ref name="ref1" /> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1934|2012}} cww01f8qi77ix6uywd3c9rlkgxahrbv 1508088 1507898 2026-04-21T10:00:37Z Riccardo Riccioni 452 1508088 wikitext text/x-wiki '''Notaila Ibrahim Rashed''' (Kiarabu: نتيلة إبراهيم راشد ; anajulikana pia kwa jina la utani '''Mama Lubna'''; 1934-2012) alikuwa mwandishi wa vitabu vya watoto na mfasiri kutoka [[Misri]].<ref name="ref1">"Notaila Rashed's 86th Birthday Doodle - Google Doodles". Google Doodles. 20 Septemba 2020.</ref><ref name="ref2">"نتيلة راشد.. لماذا يحتفي غوغل اليوم بـ"ماما لبنى؟"". Al Jazeera (kwa Kiarabu). 20 Septemba 2020.</ref> Anahesabiwa kama miongoni mwa waanzilishi na watetezi wa fasihi ya watoto nchini Misri na katika ulimwengu wa Kiarabu.<ref name="ref3">Prideaux, Sophie (20 Septemba 2020). The National.</ref> Kwa zaidi ya miaka 30, alihudumu kama mhariri mkuu wa jarida la watoto linaloitwa '''Samir'''. == Maisha ya awali na elimu == Rashed alizaliwa tarehe 20 Septemba 1934 jijini Cairo, Misri, katika familia tajiri.<ref name="ref1" /> Alisoma katika Chuo Kikuu cha Cairo, ambako alianza kuandika hadithi za watoto akiwa mwanafunzi.<ref name="ref1" /><ref name="ref2" /> Mwaka 1957 alihitimu shahada ya kwanza katika falsafa na sosholojia.<ref name="ref5">Arab Women Writers: A Critical Reference Guide. AUC Press, 2008.</ref> == Kazi na uandishi == Kuanzia miaka ya 1950, kazi zake za kifasihi zilianza kutumika kwenye vyombo mbalimbali kama redio na televisheni.<ref name="ref1" /> Mwaka 1956, pamoja na Nādyah Našʾat, alishiriki kuanzisha jarida la watoto na elimu la '''Samir''', ambalo baadaye lilikuwa jarida maarufu zaidi la watoto nchini Misri.<ref name="ref6">Giladi, Elad (2021). Oriente Moderno.</ref> Baadaye alihudumu kama mhariri mkuu wa jarida hilo, na chini ya uongozi wake jarida lilianza pia kujadili masuala ya kisiasa kama ujamaa. Mwaka 1966 aliacha nafasi hiyo na kuwa mhariri mkuu wa vitabu vya watoto katika kampuni ya uchapishaji ya Dar al-Hilal. Alirudi tena kuwa mhariri mkuu wa '''Samir''' mwaka 1971 na aliendelea hadi 2002.<ref name="ref1" /><ref name="ref5" /> Mwaka 1979, alichapisha kazi iitwayo ''The Diary of Yasser Family'', ambapo hadithi yake “The Doll” iligeuzwa kuwa filamu ya kwanza ya watoto iliyotengenezwa na Baraza la Utamaduni la Taifa la Misri.<ref name="ref1" /> Mbali na uandishi, Rashed alitafsiri kazi mbalimbali kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu. Maudhui ya kazi zake yalijikita zaidi katika utamaduni wa kale na wa kisasa wa Misri, na alikuwa mtetezi mkubwa wa fasihi ya watoto ya Kiarabu na Misri.<ref name="ref3" /><ref name="ref4">"Visiting editor expresses opinions about children's literature needs". Jordan Times, 1994.</ref> == Maisha binafsi == Katika miaka ya 1950 aliolewa na Abdul-Tawab Youssef, ambaye pia alijihusisha na fasihi ya watoto. Alijulikana kwa jina la '''Mama Lubna''' baada ya kumzaa mtoto wake wa kwanza Lubna. Alikuwa pia na watoto wengine wawili, Bahsham na Essam.<ref name="ref2" /><ref name="ref8">"ماما لبنى.. تغمض عينيها وتبقى حكاياتها". Al Shorouk News. 2012.</ref> == Kifo == Baada ya kuugua kwa muda mfupi, Rashed alifariki tarehe 26 Mei 2012 akiwa na umri wa miaka 77.<ref name="ref8" /> == Tuzo na heshima == Mwaka 1978 alitunukiwa Tuzo ya Taifa ya Fasihi ya Watoto nchini Misri.<ref name="ref2" /> Mwaka 2002 alipokea Nishani ya Baraza la Wizara ya Utamaduni ya Misri.<ref name="ref1" /> Mwaka 2020, Google ilimtambua kwa kumuweka katika Google Doodle katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.<ref name="ref1" /> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1934|2012}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] 46culzy1dqv6lruvuhmyw42k3mxrmcm Fatima Naoot 0 229625 1507899 2026-04-21T03:04:50Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fatima Naoot''' (Kiarabu ya Misri: فاطمه ناعوت; alizaliwa 18 Septemba 1964) ni mshairi, mfasiri na mwandishi wa habari kutoka [[Misri]]. Ameandika vitabu 18, ikiwemo mikusanyo saba ya mashairi, na ni mhariri mkuu wa jarida la fasihi linaloitwa '''Qaws Qazah (Upinde wa Mvua)'''. Pia ametafsiri riwaya na antolojia nyingi kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu. Yeye pia ni mwandishi wa makala na amechapisha katika magazeti kama ''Nesf El Donya'', ''Al-...' 1507899 wikitext text/x-wiki '''Fatima Naoot''' (Kiarabu ya Misri: فاطمه ناعوت; alizaliwa 18 Septemba 1964) ni mshairi, mfasiri na mwandishi wa habari kutoka [[Misri]]. Ameandika vitabu 18, ikiwemo mikusanyo saba ya mashairi, na ni mhariri mkuu wa jarida la fasihi linaloitwa '''Qaws Qazah (Upinde wa Mvua)'''. Pia ametafsiri riwaya na antolojia nyingi kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu. Yeye pia ni mwandishi wa makala na amechapisha katika magazeti kama ''Nesf El Donya'', ''Al-Masry Al-Youm'' na ''Youm7''. == Maisha ya awali na elimu == Fatima Sayyid Muhammad Hasan Naoot alizaliwa tarehe 18 Septemba 1964 mjini Cairo, Misri.<ref name="ref1">Nijland, Kees. "Fatima Naoot". Poetry International.</ref> Alisoma katika Chuo Kikuu cha Ain Shams, Kitivo cha Uhandisi, na alihitimu shahada ya usanifu majengo mwaka 1987.<ref name="ref1" /> Baada ya kuhitimu, alifanya kazi kama mbunifu wa majengo kwa kampuni ya Sabbour Consultants kwa miaka 10.<ref name="ref2">Internationales Literaturfestival Berlin. "Fatima Naoot".</ref> == Kazi ya fasihi == Mwisho wa miaka ya 1990 aliacha kazi ya uhandisi na kuanza kujihusisha na uandishi wa mashairi, tafsiri na uandishi wa habari. Yeye ni mhariri mkuu wa jarida la fasihi '''Qaws Qazah (Upinde wa Mvua)'''<ref name="ref1" /> na ameandika makala katika magazeti mbalimbali ya Misri na Kiarabu kama ''Al-Masry Al-Youm'', ''Youm7'' na mengine.<ref name="ref3">Sakr, Taha (2016). Daily News Egypt.</ref> Naoot ameandika vitabu 18, ikiwemo mikusanyo saba ya mashairi. Pia ametafsiri riwaya, mashairi na hadithi fupi kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu, akiwemo waandishi kama Virginia Woolf, Philip Roth, Chimamanda Ngozi Adichie na Chinua Achebe.<ref name="ref1" /> Kitabu chake cha tano cha mashairi, ''A Bottle of Glue'', kilishinda tuzo ya kwanza ya fasihi ya Kiarabu katika Tamasha la Fasihi la Hong Kong mwaka 2006, na baadaye kutafsiriwa kwa Kiingereza na Kichina.<ref name="ref1" /> == Migogoro ya kijamii == Mwaka 2014, Naoot aliandika ujumbe kwenye Facebook akiikosoa ibada ya kuchinja wanyama wakati wa sikukuu ya Eid al-Adha. Ujumbe huo ulizua malalamiko makubwa ya kijamii, na alishtakiwa kwa kukebehi dini ya Kiislamu na kuvuruga amani ya umma.<ref name="ref5">Reuters (2015). "Egyptian poet goes on trial accused of contempt of Islam".</ref> Mwaka 2016 alihukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na faini, lakini rufaa yake ilipunguza adhabu kuwa kifungo cha miezi 6 kilichosimamishwa.<ref name="ref8">Ahram Online (2016).</ref> == Maisha binafsi == Naoot pia alishiriki siasa kama mgombea wa bunge la Misri. Alizaliwa na kusoma Cairo, na awali alikuwa mbunifu wa majengo kabla ya kuingia katika uandishi wa fasihi.<ref name="ref2" /> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1964|}} 08aac2ug63prv0keaumxkuv96mdxpdz 1508090 1507899 2026-04-21T10:01:16Z Riccardo Riccioni 452 1508090 wikitext text/x-wiki '''Fatima Naoot''' (Kiarabu cha Misri: فاطمه ناعوت; alizaliwa 18 Septemba 1964) ni mshairi, mfasiri na mwandishi wa habari kutoka [[Misri]]. Ameandika vitabu 18, ikiwemo mikusanyo saba ya mashairi, na ni mhariri mkuu wa jarida la fasihi linaloitwa '''Qaws Qazah (Upinde wa Mvua)'''. Pia ametafsiri riwaya na antolojia nyingi kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu. Yeye pia ni mwandishi wa makala na amechapisha katika magazeti kama ''Nesf El Donya'', ''Al-Masry Al-Youm'' na ''Youm7''. == Maisha ya awali na elimu == Fatima Sayyid Muhammad Hasan Naoot alizaliwa tarehe 18 Septemba 1964 mjini Cairo, Misri.<ref name="ref1">Nijland, Kees. "Fatima Naoot". Poetry International.</ref> Alisoma katika Chuo Kikuu cha Ain Shams, Kitivo cha Uhandisi, na alihitimu shahada ya usanifu majengo mwaka 1987.<ref name="ref1" /> Baada ya kuhitimu, alifanya kazi kama mbunifu wa majengo kwa kampuni ya Sabbour Consultants kwa miaka 10.<ref name="ref2">Internationales Literaturfestival Berlin. "Fatima Naoot".</ref> == Kazi ya fasihi == Mwisho wa miaka ya 1990 aliacha kazi ya uhandisi na kuanza kujihusisha na uandishi wa mashairi, tafsiri na uandishi wa habari. Yeye ni mhariri mkuu wa jarida la fasihi '''Qaws Qazah (Upinde wa Mvua)'''<ref name="ref1" /> na ameandika makala katika magazeti mbalimbali ya Misri na Kiarabu kama ''Al-Masry Al-Youm'', ''Youm7'' na mengine.<ref name="ref3">Sakr, Taha (2016). Daily News Egypt.</ref> Naoot ameandika vitabu 18, ikiwemo mikusanyo saba ya mashairi. Pia ametafsiri riwaya, mashairi na hadithi fupi kutoka Kiingereza kwenda Kiarabu, akiwemo waandishi kama Virginia Woolf, Philip Roth, Chimamanda Ngozi Adichie na Chinua Achebe.<ref name="ref1" /> Kitabu chake cha tano cha mashairi, ''A Bottle of Glue'', kilishinda tuzo ya kwanza ya fasihi ya Kiarabu katika Tamasha la Fasihi la Hong Kong mwaka 2006, na baadaye kutafsiriwa kwa Kiingereza na Kichina.<ref name="ref1" /> == Migogoro ya kijamii == Mwaka 2014, Naoot aliandika ujumbe kwenye Facebook akiikosoa ibada ya kuchinja wanyama wakati wa sikukuu ya Eid al-Adha. Ujumbe huo ulizua malalamiko makubwa ya kijamii, na alishtakiwa kwa kukebehi dini ya Kiislamu na kuvuruga amani ya umma.<ref name="ref5">Reuters (2015). "Egyptian poet goes on trial accused of contempt of Islam".</ref> Mwaka 2016 alihukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na faini, lakini rufaa yake ilipunguza adhabu kuwa kifungo cha miezi 6 kilichosimamishwa.<ref name="ref8">Ahram Online (2016).</ref> == Maisha binafsi == Naoot pia alishiriki siasa kama mgombea wa bunge la Misri. Alizaliwa na kusoma Cairo, na awali alikuwa mbunifu wa majengo kabla ya kuingia katika uandishi wa fasihi.<ref name="ref2" /> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1964|}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] 2cbws81jpliofwvjo8m4138zc2ikgus Azza Karam 0 229626 1507900 2026-04-21T03:11:55Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Azza Karam''' ni profesa na mwandishi kutoka [[Misri|Misri,]] anayejulikana kwa kazi yake ya kipekee ya kuunganisha dini na maendeleo endelevu katika Umoja wa Mataifa, uongozi wake katika shirika la Religions for Peace katika kuendeleza ushirikiano wa kidini, na mchango wake mkubwa katika kuimarisha nafasi ya dini ndani ya Umoja wa Mataifa. Kuanzia mwaka 2003 hadi 2019, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za ushauri katika Umoja wa Mataifa, ikiwa n...' 1507900 wikitext text/x-wiki '''Azza Karam''' ni profesa na mwandishi kutoka [[Misri|Misri,]] anayejulikana kwa kazi yake ya kipekee ya kuunganisha dini na maendeleo endelevu katika Umoja wa Mataifa, uongozi wake katika shirika la Religions for Peace katika kuendeleza ushirikiano wa kidini, na mchango wake mkubwa katika kuimarisha nafasi ya dini ndani ya Umoja wa Mataifa. Kuanzia mwaka 2003 hadi 2019, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za ushauri katika Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Shirika la Idadi ya Watu la Umoja wa Mataifa (UNFPA) na Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP). == Maisha ya awali na elimu == Azza Karam alikulia Misri na India. Alitoka katika familia ya Kiislamu ya kihafidhina, lakini akiwa India alilelewa pia na mlezi wake Mhindu. Uzoefu wa kuona ibada za Kiislamu (salat) za wazazi wake na ibada za Kihindu (puja) za mlezi wake ulichochea shauku yake ya mapema kuhusu dini na ushirikiano wa kidini. Baba yake alikuwa mwanadiplomasia, jambo lililosababisha kusafiri mara kwa mara akiwa mtoto. Alipata shahada ya kwanza ya Sayansi ya Uchumi na Utawala wa Biashara kutoka Chuo Kikuu cha Marekani cha Cairo mwaka 1988. Baadaye alipata Shahada ya Uzamili (M.A.) kutoka International Institute of Social Studies mwaka 1990, na Shahada ya Uzamivu (Ph.D.) katika Sayansi ya Mazingira mwaka 1996 kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam. == Kazi == Kuanzia mwaka 2000 hadi 2004, Karam alikuwa mkuu wa Global Women of Faith Network katika shirika la Religions for Peace. Katika kipindi hicho alizungumzia nafasi ya Waislamu nchini Marekani baada ya mashambulizi ya 11 Septemba, pamoja na athari za migogoro na vita. Baadaye alihamia Umoja wa Mataifa New York akiwa mshauri mkuu (Senior Advisor) katika Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) Kanda ya Kiarabu (2004–2007), ambapo aliratibu Ripoti za Maendeleo ya Binadamu za Kiarabu. Kuanzia 2007 hadi 2019, alifanya kazi katika UNFPA kama mshauri mkuu kuhusu utamaduni. Mwaka 2010 alianzisha na kuwa mwenyekiti wa kikundi kazi cha Umoja wa Mataifa kuhusu Dini na Maendeleo. Mwaka 2018 alisaidia kuanzishwa kwa Baraza la Ushauri la Dini la Umoja wa Mataifa linalojumuisha mashirika zaidi ya 40 ya kidini yasiyo ya kiserikali. Mwaka 2019 alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke, Mwislamu wa kwanza, na Mtu wa kwanza kutoka Afrika Kaskazini kuongoza shirika la Religions for Peace katika historia yake ya miaka 50. Alijiuzulu mwaka 2023. Kwa sasa ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ushauri ya Lead Integrity. == Ualimu == Amefundisha katika Chuo Kikuu cha Queen’s Belfast (1998–2000), na pia katika taasisi mbalimbali duniani ikiwemo Chuo cha Kijeshi cha Marekani (West Point) kuanzia 2002 hadi 2018. Mwaka 2019 aliteuliwa kuwa Profesa wa Dini na Maendeleo katika Chuo Kikuu cha Vrije Universiteit Amsterdam, na baadaye (2024) kuwa profesa mshiriki katika Ansari Institute, Chuo Kikuu cha Notre Dame Marekani. == Machapisho yaliyochaguliwa == * ''Women, Islamisms and the State: Contemporary Feminisms in Egypt'' (1997) * ''Transnational Political Islam: Religion, Ideology and Power'' (2004) * ''Women in Parliament: Beyond Numbers'' (2005, mhariri mwenza) * ''Faith-Inspired Initiatives to Tackle the Social Determinants of Child Marriage'' (2015) == Tuzo na heshima == * Shahada ya heshima ya Humane Letters – John Cabot University (2022) * Miongoni mwa The Muslim 500 (2020–2023) * Spirit of the United Nations Award (2015) * Tuzo ya Distinguished Alumni – American University in Cairo (2009) == Marejeo == {{Reflist}} == Makundi == 3aalx8i082blvba2e84kk437xcnbq9t Sally El Hosaini 0 229627 1507901 2026-04-21T03:16:17Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sally El Hosaini''' ni mkurugenzi wa filamu na mwandishi wa skrini kutoka Wales–[[Misri|Misri,]] anayejulikana kwa kushinda tuzo za BAFTA na kwa kazi zake zinazoangazia maisha ya watu walioko pembezoni mwa jamii. Amechangia sana katika filamu za kisasa za Uingereza na kimataifa, hasa kupitia filamu zake zenye uhalisia na hisia kali za kijamii. == Asili na elimu == Sally El Hosaini alizaliwa Swansea, Wales, katika familia yenye asili ya Misri na Wales...' 1507901 wikitext text/x-wiki '''Sally El Hosaini''' ni mkurugenzi wa filamu na mwandishi wa skrini kutoka Wales–[[Misri|Misri,]] anayejulikana kwa kushinda tuzo za BAFTA na kwa kazi zake zinazoangazia maisha ya watu walioko pembezoni mwa jamii. Amechangia sana katika filamu za kisasa za Uingereza na kimataifa, hasa kupitia filamu zake zenye uhalisia na hisia kali za kijamii. == Asili na elimu == Sally El Hosaini alizaliwa Swansea, Wales, katika familia yenye asili ya Misri na Wales. Alilelewa Cairo, Misri, ambapo alitumia sehemu kubwa ya utoto wake. Alisoma katika Atlantic College nchini Wales, mojawapo ya shule za United World Colleges. Baadaye alisoma lugha ya Kiarabu pamoja na masomo ya Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Durham nchini Uingereza. Kabla ya kuingia kwenye filamu, alifundisha fasihi ya Kiingereza katika shule ya wasichana mjini Sana’a, Yemen, na pia alifanya kazi na shirika la kimataifa la haki za binadamu Amnesty International. == Kazi == El Hosaini alianza kazi yake katika utayarishaji wa filamu za maandishi (documentaries) kuhusu Mashariki ya Kati, kabla ya kuhamia kwenye filamu huru za hadithi (feature films). Baadaye alifanya kazi kama mratibu wa uzalishaji (production coordinator) katika miradi mbalimbali ya filamu. Alikuwa mhariri wa maandishi na mtafiti maalum katika mfululizo wa HBO/BBC ulioshinda tuzo, *House of Saddam*, ambapo alitumia takribani miaka miwili na nusu katika utafiti. Mwaka 2009, alitengeneza filamu fupi *Henna Night*, iliyopokelewa kwenye tamasha kadhaa za kimataifa za filamu. == Mafanikio ya filamu == Filamu yake ya kwanza kubwa, *My Brother the Devil* (2012), ilipata mafanikio makubwa kimataifa na kushinda tuzo nyingi, ikiwa ni pamoja na: * Tuzo ya Best European Film (Berlinale) * Tuzo ya Best Newcomer (BFI London Film Festival) * Tuzo ya Screenplay (Writers’ Guild of Great Britain) Mwaka 2014, aliteuliwa kuongoza mfululizo wa televisheni *Babylon*, uliotayarishwa na Danny Boyle. Filamu yake ya pili kubwa, *The Swimmers* (2022), inasimulia hadithi ya kweli ya dada wawili wakimbizi kutoka Syria. Filamu hiyo ilifungua Tamasha la Filamu la Toronto (TIFF) na pia ilitazamwa sana duniani kupitia Netflix, ikishika nafasi za juu katika nchi nyingi. Ilipata uteuzi wa BAFTA kama Filamu Bora ya Uingereza. == Tuzo na heshima == Baadhi ya tuzo zake ni pamoja na: * BAFTA Cymru – Best Director (2023) kwa *The Swimmers* * TIFF Emerging Talent Award (2022) * Evening Standard Most Promising Newcomer (2013) * Writers’ Guild Award – Best Screenplay (2013) == Mtindo na mchango == El Hosaini anajulikana kwa kuangazia wahusika wanaoishi pembezoni mwa jamii, hasa vijana, wakimbizi, na watu wenye changamoto za kijamii. Kazi zake mara nyingi huunganisha uhalisia mkali na hisia za ndani za binadamu. == Makundi == [[Jamii:Watu hai]] [[Jamii:Wahongaji wa filamu wa Wales]] [[Jamii:Wahongaji wa filamu wa Misri]] [[Jamii:Waandishi wa skrini]] [[Jamii:Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Durham]] [[Jamii:Watu wa Cairo]] [[Jamii:Watayarishaji wa filamu wanawake]] 71q4uihdlt02vfrgsn464j5geobvez3 Stella Harvey 0 229628 1507902 2026-04-21T03:23:26Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Stella Leventoyannis Harvey''' (alizaliwa 8 Februari 1956) ni mwandishi kutoka [[Kanada|Canada]] na mwanzilishi pamoja na mkurugenzi wa kisanii wa Whistler Writing Society. Chini ya uongozi wake, shirika hilo hupanga Tamasha la Waandishi la Whistler, Programu ya Waandishi Mashuleni (Authors in the School Program), Programu ya Mwandishi Mkaazi wa Whistler, na Mfululizo wa Usomaji wa Majira ya Machipuko.[1] == Maisha ya awali == Harvey alizaliwa Cairo, M...' 1507902 wikitext text/x-wiki '''Stella Leventoyannis Harvey''' (alizaliwa 8 Februari 1956) ni mwandishi kutoka [[Kanada|Canada]] na mwanzilishi pamoja na mkurugenzi wa kisanii wa Whistler Writing Society. Chini ya uongozi wake, shirika hilo hupanga Tamasha la Waandishi la Whistler, Programu ya Waandishi Mashuleni (Authors in the School Program), Programu ya Mwandishi Mkaazi wa Whistler, na Mfululizo wa Usomaji wa Majira ya Machipuko.[1] == Maisha ya awali == Harvey alizaliwa Cairo, Misri, na alihamia Calgary, Alberta nchini Canada akiwa mtoto pamoja na familia yake.[2] Kwa sasa anaishi Whistler, British Columbia.[2] Ana asili ya Kigiriki kupitia baba yake, na asili ya Kilebanoni pamoja na Kifaransa kupitia mama yake. == Elimu na kazi == Harvey ana Shahada ya Uzamili katika Kazi za Jamii (Social Work) kutoka Chuo Kikuu cha Calgary, na pia cheti cha Uandishi wa Ubunifu kutoka Chuo Kikuu cha Simon Fraser. Kabla ya kuingia katika uandishi, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za usimamizi wa juu katika sekta ya umma na binafsi, akiongoza miradi mikubwa ya mabadiliko ya taasisi. Kwa sasa, pamoja na uandishi na uongozi wa Whistler Writing Society, pia hufundisha na kuwashauri wanafunzi katika The Writers’ Studio ya Chuo Kikuu cha Simon Fraser.[3] == Kazi ya uandishi == Harvey ameandika riwaya, hadithi fupi na maandiko ya kihabari (non-fiction). === Riwaya === * *Finding Callidora* (2019) * *The Brink of Freedom* (2015) * *Nicolai’s Daughters* (2012) Riwaya yake *Nicolai’s Daughters* ilitafsiriwa kwa lugha ya Kigiriki na kuchapishwa Athens mwaka 2014. === Hadithi fupi === Ameandika hadithi fupi nyingi zilizochapishwa kwenye mashindano, magazeti na majarida ya fasihi, ikiwemo CBC Canada Writes, The Dalhousie Review na Pique Newsmagazine. === Maandishi ya habari na insha === Ameandika pia insha na makala kuhusu maisha ya familia, ujasiriamali, na fasihi kwa vyombo kama The Globe and Mail na Pique Newsmagazine. == Tuzo == * Champion of Arts (Whistler, British Columbia, 2015)[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} 2v5iplqgsrd21otq3rdm6sv8gp456dd 1507912 1507902 2026-04-21T04:55:25Z Egipa 87700 1507912 wikitext text/x-wiki '''Stella Leventoyannis Harvey''' (alizaliwa mnamo tarehe 8 Februari mwaka wa 1956) ni mwandishi kutoka [[Kanada|Canada]] na mwanzilishi pamoja na mkurugenzi wa kisanii wa Whistler Writing Society. Chini ya uongozi wake, Pia shirika hilo hupanga Tamasha la Waandishi la Whistler, Programu ya Waandishi Mashuleni (Authors in the School Program), Programu ya Mwandishi Mkaazi wa Whistler, na Mfululizo wa Usomaji wa Majira ya Machipuko.[1] == Maisha ya awali == Harvey alizaliwa katika wa mji Cairo, nchini Misri, na alihamia Calgary, Alberta nchini Canada akiwa amejaliwa kuzaa mtoto pamoja na familia yake.[2] Kwa sasa anaishi Whistler, British Columbia.[2] Ana asili ya Kigiriki kupitia baba yake, na asili ya Kilebanoni pamoja na Kifaransa kupitia mama yake. == Elimu na kazi == Harvey amesoma na ana Shahada ya Uzamili katika Kazi za Jamii (Social Work) kutoka katika Chuo Kikuu cha Calgary, na pia cheti cha Uandishi wa Ubunifu kutoka katika Chuo Kikuu cha Simon Fraser. Kabla ya kuingia katika uandishi, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za usimamizi wa juu katika sekta ya umma na binafsi, akiongoza miradi mikubwa ya mabadiliko ya taasisi. Kwa sasa, pamoja na uandishi na uongozi wa Whistler Writing Society, pia hufundisha na kuwashauri wanafunzi katika The Writers’ Studio ya Chuo Kikuu cha Simon Fraser.[3] == Kazi ya uandishi == Harvey ameandika riwaya, hadithi fupi na maandiko ya kihabari (non-fiction). === Riwaya === * *Finding Callidora* (2019) * *The Brink of Freedom* (2015) * *Nicolai’s Daughters* (2012) Riwaya yake *Nicolai’s Daughters* ilitafsiriwa kwa lugha ya Kigiriki na kuchapishwa Athens mwaka 2014. === Hadithi fupi === Ameandika hadithi fupi nyingi zilizochapishwa kwenye mashindano, katika magazeti na majarida ya fasihi, ikiwemo CBC Canada Writes, The Dalhousie Review na Pique Newsmagazine. === Maandishi ya habari na insha === Ameandika pia insha na makala kuhusu maisha ya familia, ujasiriamali, na fasihi kwa vyombo kama The Globe and Mail na Pique Newsmagazine. == Tuzo == * Champion of Arts (Whistler, British Columbia, Year 2015)[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} ekk8iioyxwa7fnmifqziruen78a498c 1507918 1507912 2026-04-21T05:08:59Z Egipa 87700 1507918 wikitext text/x-wiki '''Stella Leventoyannis Harvey''' (alizaliwa mnamo tarehe 8 Februari mwaka wa 1956) ni mwandishi kutoka Nchini [[Kanada|Canada]] na mwanzilishi hii ni pamoja kuwa mkurugenzi wa kisanii wa Whistler Writing Society. Chini ya uongozi wake, Pia shirika hilo huandaa Tamasha la Waandishi la Whistler, Programu ya Waandishi wa Mashuleni (Authors in the School Program),Na Programu ya Mwandishi na Mkaazi wa Whistler, na Mfululizo wa Usomaji wa Majira ya Machipuko.[1] == Maisha ya awali == Harvey alizaliwa katika wa mji Cairo, nchini Misri, na alihamia mjini [[Calgary]], Alberta nchini Canada akiwa amejaliwa kuzaa mtoto mmoja na yeye pamoja na familia yake.[2] Kwa sasa anaishi Whistler, British Columbia.[2] Ana asili ya Kigiriki kupitia baba yake, na asili ya Kilebanoni pamoja na Kifaransa kupitia mama yake. == Elimu na kazi == Harvey amesoma na ana Shahada ya Uzamili katika Kazi za Jamii (Social Work) kutoka katika Chuo Kikuu cha Calgary, na pia cheti cha Uandishi wa Ubunifu kutoka katika Chuo Kikuu cha Simon Fraser. Kabla ya kuingia katika uandishi, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za usimamizi wa juu katika sekta ya umma na binafsi, akiongoza miradi mikubwa na ya mabadiliko ya taasisi hiyo. Kwa sasa, pamoja na uandishi na uongozi wa Whistler Writing Society, pia alikuwa akifundisha na kuwashauri wanafunzi katika The Writers’ Studio ya Chuo Kikuu cha Simon Fraser.[3] == Kazi ya uandishi == Harvey ameandika riwaya, hadithi fupi na maandiko ya kihabari (non-fiction). === Riwaya === * *Finding Callidora* (2019) * *The Brink of Freedom* (2015) * *Nicolai’s Daughters* (2012) Riwaya yake *Nicolai’s Daughters* ilitafsiriwa kwa lugha ya Kigiriki na kuchapishwa Athens mwaka 2014. === Hadithi fupi === Ameandika hadithi fupi nyingi zilizochapishwa kwenye mashindano, katika magazeti na majarida ya fasihi, ikiwemo CBC Canada Writes, The Dalhousie Review na Pique Newsmagazine. === Maandishi ya habari na insha === Ameandika pia insha na makala kuhusu maisha ya familia, ujasiriamali, na fasihi kwa vyombo kama The Globe and Mail na Pique Newsmagazine. == Tuzo == * Champion of Arts (Whistler, British Columbia, Year 2015)[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} mgt9w6b4ypdgyudo2vtokuj69kw959a 1507920 1507918 2026-04-21T05:13:33Z Egipa 87700 1507920 wikitext text/x-wiki '''Stella Leventoyannis Harvey''' (alizaliwa mnamo tarehe 8 Februari mwaka wa 1956) Yeye ni mwandishi kutoka Nchini [[Kanada|Canada]] na mwanzilishi hii ni pamoja kuwa mkurugenzi wa kisanii wa Whistler Writing Society. Chini ya uongozi wake, Pia shirika hilo huandaa Tamasha la Waandishi la Whistler, Programu ya Waandishi wa Mashuleni (Authors in the School Program),Na Programu ya Mwandishi na Mkaazi wa Whistler, na Mfululizo wa Usomaji wa Majira ya Machipuko.[1] == Maisha ya awali == Harvey alizaliwa katika wa mji Cairo, nchini Misri, na alihamia mjini [[Calgary]], Alberta nchini Canada akiwa amejaliwa kuzaa mtoto mmoja na yeye pamoja na familia yake.[2] Kwa sasa anaishi Whistler, British Columbia.[2] Pia ana asili ya Kigiriki kupitia baba yake, na pia asili ya Kilebanoni pamoja na Kifaransa kupitia mama yake ambaya ana asili zote mbili kutoka kwa wazazi wake. == Elimu na kazi == Harvey amesoma na ana Shahada katika Uzamili katika Kazi za Jamii (Social Work) kutoka katika Chuo Kikuu cha Calgary, na pia cheti cha Uandishi wa Ubunifu kutoka katika Chuo Kikuu cha Simon Fraser. Kabla ya kuingia katika uandishi, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za usimamizi wa juu katika sekta ya umma na binafsi, akiongoza miradi mikubwa na ya mabadiliko ya taasisi hiyo. Kwa sasa, pamoja na uandishi na uongozi wa Whistler Writing Society, pia alikuwa akifundisha na kuwashauri wanafunzi katika The Writers’ Studio ya Chuo Kikuu cha Simon Fraser.[3] == Kazi ya uandishi == Harvey ameandika riwaya, hadithi fupi na maandiko ya kihabari (non-fiction). === Riwaya === * *Finding Callidora* (2019) * *The Brink of Freedom* (2015) * *Nicolai’s Daughters* (2012) Riwaya yake *Nicolai’s Daughters* ilitafsiriwa kwa lugha ya Kigiriki na kuchapishwa Athens mwaka 2014. === Hadithi fupi === Ameandika hadithi fupi nyingi zilizochapishwa kwenye mashindano, katika magazeti na majarida ya fasihi, ikiwemo CBC Canada Writes, The Dalhousie Review na Pique Newsmagazine. === Maandishi ya habari na insha === Ameandika pia insha na makala kuhusu maisha ya familia, ujasiriamali, na fasihi kwa vyombo kama The Globe and Mail na Pique Newsmagazine. == Tuzo == * Champion of Arts (Whistler, British Columbia, Year 2015)[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} nq7r3pj6euzglztd5kms2evahob3cnm 1508094 1507920 2026-04-21T10:07:07Z Riccardo Riccioni 452 1508094 wikitext text/x-wiki '''Stella Leventoyannis Harvey''' (alizaliwa 8 Februari 1956) ni mwandishi kutoka [[Kanada]] na mwanzilishi hii ni pamoja kuwa mkurugenzi wa kisanii wa Whistler Writing Society. Chini ya uongozi wake, Pia shirika hilo huandaa Tamasha la Waandishi la Whistler, Programu ya Waandishi wa Mashuleni (Authors in the School Program),Na Programu ya Mwandishi na Mkaazi wa Whistler, na Mfululizo wa Usomaji wa Majira ya Machipuko. == Maisha ya awali == Harvey alizaliwa katika wa mji Cairo, nchini Misri, na alihamia mjini [[Calgary]], Alberta nchini Canada akiwa amejaliwa kuzaa mtoto mmoja na yeye pamoja na familia yake. Kwa sasa anaishi Whistler, British Columbia. Pia ana asili ya Kigiriki kupitia baba yake, na pia asili ya Kilebanoni pamoja na Kifaransa kupitia mama yake ambaya ana asili zote mbili kutoka kwa wazazi wake. == Elimu na kazi == Harvey amesoma na ana Shahada katika Uzamili katika Kazi za Jamii (Social Work) kutoka katika Chuo Kikuu cha Calgary, na pia cheti cha Uandishi wa Ubunifu kutoka katika Chuo Kikuu cha Simon Fraser. Kabla ya kuingia katika uandishi, alifanya kazi katika nyadhifa mbalimbali za usimamizi wa juu katika sekta ya umma na binafsi, akiongoza miradi mikubwa na ya mabadiliko ya taasisi hiyo. Kwa sasa, pamoja na uandishi na uongozi wa Whistler Writing Society, pia alikuwa akifundisha na kuwashauri wanafunzi katika The Writers’ Studio ya Chuo Kikuu cha Simon Fraser. == Kazi ya uandishi == Harvey ameandika riwaya, hadithi fupi na maandiko ya kihabari (non-fiction). === Riwaya === * *Finding Callidora* (2019) * *The Brink of Freedom* (2015) * *Nicolai’s Daughters* (2012) Riwaya yake *Nicolai’s Daughters* ilitafsiriwa kwa lugha ya Kigiriki na kuchapishwa Athens mwaka 2014. === Hadithi fupi === Ameandika hadithi fupi nyingi zilizochapishwa kwenye mashindano, katika magazeti na majarida ya fasihi, ikiwemo CBC Canada Writes, The Dalhousie Review na Pique Newsmagazine. === Maandishi ya habari na insha === Ameandika pia insha na makala kuhusu maisha ya familia, ujasiriamali, na fasihi kwa vyombo kama The Globe and Mail na Pique Newsmagazine. == Tuzo == * Champion of Arts (Whistler, British Columbia, Year 2015)[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1956|}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] [[Jamii:waandishi wa Kanada]] hnkmk14bbsk7l1gpg5j8nat0vmmfy1v Daniel K. Ludwig 0 229629 1507906 2026-04-21T04:40:45Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Daniel Keith Ludwig ''' (Alizaliwa [[Juni 24]], [[1897]] – Alifariki [[Agosti 27]], [[1992]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] katika sekta ya usafirishaji wa baharini.<ref>{{cite web |title=Daniel Ludwig billionaire businessman dies at 95 |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-21}}</ref> Alianzisha ''National Bulk Carriers'' na akajulikana kwa kuanzisha ujenzi wa meli kubwa za mafuta (sup...' 1507906 wikitext text/x-wiki '''Daniel Keith Ludwig ''' (Alizaliwa [[Juni 24]], [[1897]] – Alifariki [[Agosti 27]], [[1992]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] katika sekta ya usafirishaji wa baharini.<ref>{{cite web |title=Daniel Ludwig billionaire businessman dies at 95 |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-21}}</ref> Alianzisha ''National Bulk Carriers'' na akajulikana kwa kuanzisha ujenzi wa meli kubwa za mafuta (super tankers) nchini [[Japani]].<ref name="chas">[http://www.fargazepoint.com/SDHSWeb/ALLOBIT/showobitO.php?1916051101Ludwig,_Charles_P Ludwig's, "Obituary: Charles P. Ludwig"], ''Commercial Record,'' accessed 24 November 2014</ref> Ludwig alikuwa mmoja wa mabilionea tajiri zaidi wa wakati wake, lakini aliishi maisha ya kujitenga na aliepuka vyombo vya habari.Alifanya mahojiano mara moja tu katika maisha yake yote.<ref>{{cite web |title=Daniel K. Ludwig |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-21}}</ref> Aliorodheshwa nambari 1 kwenye orodha ya kwanza ya ''Forbes 400'' mwaka [[1982]].<ref>{{Cite web|title=Reclusive super-rich people from Howard Hughes to the Barclay Brothers|url=https://www.lovemoney.com/galleries/87931/reclusive-superrich-people-from-howard-hughes-to-the-barclay-brothers|access-date=2021-07-05|website=lovemoney.com|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1897]] [[Jamii:Waliofariki 1992]] shrgo77pdg23hd2xbeaq0et5l3is9gi 1508093 1507906 2026-04-21T10:04:28Z Riccardo Riccioni 452 1508093 wikitext text/x-wiki '''Daniel Keith Ludwig ''' ([[Juni 24]], [[1897]] – [[Agosti 27]], [[1992]]) alikuwa [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] katika sekta ya usafirishaji wa baharini.<ref>{{cite web |title=Daniel Ludwig billionaire businessman dies at 95 |url=https://www.nytimes.com/ |website=The New York Times |access-date=2026-04-21}}</ref> Alianzisha ''National Bulk Carriers'' na akajulikana kwa kuanzisha ujenzi wa meli kubwa za mafuta (super tankers) nchini [[Japani]].<ref name="chas">[http://www.fargazepoint.com/SDHSWeb/ALLOBIT/showobitO.php?1916051101Ludwig,_Charles_P Ludwig's, "Obituary: Charles P. Ludwig"], ''Commercial Record,'' accessed 24 November 2014</ref> Ludwig alikuwa mmoja wa mabilionea tajiri zaidi wa wakati wake, lakini aliishi maisha ya kujitenga na aliepuka vyombo vya habari.Alifanya mahojiano mara moja tu katika maisha yake yote.<ref>{{cite web |title=Daniel K. Ludwig |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-21}}</ref> Aliorodheshwa nambari 1 kwenye orodha ya kwanza ya ''Forbes 400'' mwaka [[1982]].<ref>{{Cite web|title=Reclusive super-rich people from Howard Hughes to the Barclay Brothers|url=https://www.lovemoney.com/galleries/87931/reclusive-superrich-people-from-howard-hughes-to-the-barclay-brothers|access-date=2021-07-05|website=lovemoney.com|language=en}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1897]] [[Jamii:Waliofariki 1992]] 55030le18wm0xjxexsuwgnmhnn10imf Majadiliano:Vitabu vya katuni 1 229630 1507907 2026-04-21T04:45:38Z Muddyb 379 /* Kibonzo */ mjadala mpya 1507907 wikitext text/x-wiki == [[Kibonzo]] == Hujambo? Tafakari kuunganisha au kujadili jina la comic na wengine tuone tunaishia wapi. Hapo awali hatukuwahi kupata mwafaka sahihi wa jina. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 04:45, 21 Aprili 2026 (UTC) 32z5cadkr21pd159840b4lw1siqc4tk 1507910 1507907 2026-04-21T04:54:28Z Muddyb 379 1507910 wikitext text/x-wiki == [[Kibonzo]] == Hujambo? Tafakari kuunganisha au kujadili jina la comic na wengine tuone tunaishia wapi. Hapo awali hatukuwahi kupata mwafaka sahihi wa jina. [[User:Muddyb|<font color="blue"><sub>'''Muddyb'''</sub></font>]]<font face="Verdana">[[User talk:Muddyb|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]]</font> 04:45, 21 Aprili 2026 (UTC) :Ndugu @Tjv39 uje hapa! 4nco817y0676rb56xefcl5jbtsa8bra Ebbo Bastard 0 229631 1507908 2026-04-21T04:45:54Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''William Eberhardt Bastard''' (anayejulikana pia kama Ebbo Bastard; [[10 Februari]] [[1912]] – [[14 Februari]] [[1949]]) alikuwa mchezaji wa raga kutoka [[Afrika Kusini]], mzaliwa wa Kokstad. Alikuwa akicheza zaidi nafasi ya flanker, na aliichezea timu ya Natal pamoja na timu ya taifa ya Afrika Kusini, Springboks. Alifariki tarehe 14 Februari 1949 baada ya kupigwa risasi na aliyekuwa mume wa zamani wa mke wake.<ref>{{cite book|title=War, Wine and Val...' 1507908 wikitext text/x-wiki '''William Eberhardt Bastard''' (anayejulikana pia kama Ebbo Bastard; [[10 Februari]] [[1912]] – [[14 Februari]] [[1949]]) alikuwa mchezaji wa raga kutoka [[Afrika Kusini]], mzaliwa wa Kokstad. Alikuwa akicheza zaidi nafasi ya flanker, na aliichezea timu ya Natal pamoja na timu ya taifa ya Afrika Kusini, Springboks. Alifariki tarehe 14 Februari 1949 baada ya kupigwa risasi na aliyekuwa mume wa zamani wa mke wake.<ref>{{cite book|title=War, Wine and Valour: Five years fighting the Nazis|last=Baker|first=Dr Douglas|publisher=eBooks Publishing|year=2014|isbn=978-1625690357|chapter=Bernard Notcutt}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1912]] [[Jamii:Waliofariki 1949]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] jzdsu2kaxvgk5oseuwcdlbzemwcohrr Martin Benkenstein 0 229632 1507909 2026-04-21T04:49:46Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Martin Benkenstein''' (aliyezaliwa tarehe [[30 Juni]] [[1950]] mjini Johannesburg, Afrika Kusini) ni mchezaji wa zamani wa kriketi wa [[Afrika Kusini]]. Akiwa mpigaji (batsman) wa mkono wa kulia, aliwakilisha timu za Natal na Rhodesia. Mtoto wake wa mwisho, Dale Benkenstein, amecheza kriketi kwa niaba ya Natal, Durham, na Afrika Kusini. Wanawe wengine wawili, Brett Benkenstein na Boyd Benkenstein, pia waliiwakilisha Natal kwa nyakati tofauti.<ref name=...' 1507909 wikitext text/x-wiki '''Martin Benkenstein''' (aliyezaliwa tarehe [[30 Juni]] [[1950]] mjini Johannesburg, Afrika Kusini) ni mchezaji wa zamani wa kriketi wa [[Afrika Kusini]]. Akiwa mpigaji (batsman) wa mkono wa kulia, aliwakilisha timu za Natal na Rhodesia. Mtoto wake wa mwisho, Dale Benkenstein, amecheza kriketi kwa niaba ya Natal, Durham, na Afrika Kusini. Wanawe wengine wawili, Brett Benkenstein na Boyd Benkenstein, pia waliiwakilisha Natal kwa nyakati tofauti.<ref name="cricinfo">{{Cite web|title=Martin Benkenstein – Cricinfo|url=http://www.cricinfo.com/ci/content/player/55252.html|access-date=2009-09-20|website=[[ESPNcricinfo]]}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] lyk1ss29opf6nnsc9an7p3rf47xkp4i Wesley Barresi 0 229633 1507913 2026-04-21T04:57:25Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wesley Barresi''' (aliyezaliwa tarehe [[3 Mei]] [[1984]]) ni mchezaji wa kriketi wa Uholanzi aliyezaliwa [[Afrika Kusini]], anayekiichezea timu ya taifa ya Netherlands national cricket team. Ameiwakilisha timu hiyo tangu mwaka 2009, akicheza kama mpigaji wa juu (top-order batsman) wa mkono wa kulia na mara nyingine kama mlinda wiketi (wicket-keeper).<ref name="bio">{{cite web|url=http://www.espncricinfo.com/netherlands/content/player/44407.html|title=We...' 1507913 wikitext text/x-wiki '''Wesley Barresi''' (aliyezaliwa tarehe [[3 Mei]] [[1984]]) ni mchezaji wa kriketi wa Uholanzi aliyezaliwa [[Afrika Kusini]], anayekiichezea timu ya taifa ya Netherlands national cricket team. Ameiwakilisha timu hiyo tangu mwaka 2009, akicheza kama mpigaji wa juu (top-order batsman) wa mkono wa kulia na mara nyingine kama mlinda wiketi (wicket-keeper).<ref name="bio">{{cite web|url=http://www.espncricinfo.com/netherlands/content/player/44407.html|title=Wesley Barresi|work=[[Cricinfo]]|access-date=19 January 2011}}</ref> Alikuwa sehemu ya kikosi cha Uholanzi kilichoshiriki katika 2011 Cricket World Cup na 2023 Cricket World Cup. == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] r0hh0jopogoprw040jpy38ns8vmap6f Mittah Seperepere 0 229634 1507914 2026-04-21T04:58:31Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mittah Selekanyana Seperepere''' (née '''Goieman'''; [[1929]] – [[30 Oktoba]] [[2010]]) alikuwa [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kupinga [[ubaguzi wa rangi]] nchini [[Afrika Kusini]], akitokea katika eneo la [[Northern Cape]].<ref>{{Cite web|date=15 February 2012|title=Opening of the Mittah Seperepere Convention Centre|url=http://www.northern-cape.gov.za/index.php/news-room/news-and-speeches/152-media-room/office-of-the-premier/news-and-speeches/690-op...' 1507914 wikitext text/x-wiki '''Mittah Selekanyana Seperepere''' (née '''Goieman'''; [[1929]] – [[30 Oktoba]] [[2010]]) alikuwa [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kupinga [[ubaguzi wa rangi]] nchini [[Afrika Kusini]], akitokea katika eneo la [[Northern Cape]].<ref>{{Cite web|date=15 February 2012|title=Opening of the Mittah Seperepere Convention Centre|url=http://www.northern-cape.gov.za/index.php/news-room/news-and-speeches/152-media-room/office-of-the-premier/news-and-speeches/690-opening-of-the-mittah-seperepere-convention-centre|access-date=2023-04-26|website=Northern Cape Government}}</ref> Akiwa mkongwe wa [[African National Congress]] (ANC) pamoja na Ligi yake ya Wanawake, Seperepere alijitolea kwa muda mrefu katika harakati za ukombozi. Kutokana na shinikizo la kisiasa na mazingira ya ukandamizaji wa wakati huo, aliishi uhamishoni kuanzia mwaka [[1966]] hadi mwaka [[1994]], kipindi ambacho ubaguzi wa rangi ulifikia tamati nchini humo. Baada ya kurejea nchini kufuatia kuanzishwa kwa [[demokrasia]], alichaguliwa kuiwakilisha ANC katika Bunge la Afrika Kusini, akihudumu kama Mbunge wa Bunge la Kitaifa kuanzia mwaka [[1994]] hadi [[1999]].<ref>{{Cite web|date=2014-04-28|title=Zuma presents national orders for outstanding work|url=https://mg.co.za/article/2014-04-28-zuma-presents-national-orders-for-outstanding-work/|access-date=2023-04-26|website=The Mail & Guardian|language=en-ZA}}</ref> == Maisha ya awali na uanaharakati == Mittah Selekanyana Seperepere alizaliwa mwaka 1929 katika eneo ambalo leo linajulikana kama Northern Cape. Alipata elimu yake ya awali katika shule ya Majeng, ambayo kwa sasa ni sehemu ya Manispaa ya Magareng.<ref name=":0">{{Cite web|title=Mittah Seperepere (Posthumous)|url=https://www.thepresidency.gov.za/national-orders/recipient/mittah-seperepere-posthumous|access-date=2023-04-26|website=The Presidency}}</ref> Akiwa bado kijana, alijiunga na African National Congress Youth League katika miaka ya [[1940]], na baadaye akawa katibu wa tawi la African National Congress (ANC) huko Galeshewe. Pia alikuwa mshiriki hai wa African National Congress Women's League, hasa katika maandamano ya wanawake yaliyopinga sheria za pasi moja ya alama kuu za ukandamizaji wa utawala wa ubaguzi wa rangi. Baada ya ANC kupigwa marufuku mwaka [[1960]], Seperepere aliendelea na shughuli zake za kisiasa kwa siri. Mwaka [[1965]] alikamatwa na kufungwa jela kwa makosa ya kisiasa. Alipoachiwa huru, alijiunga na shughuli za chini kwa chini za Umkhonto we Sizwe, tawi la kijeshi la ANC, na kuendelea kushiriki katika harakati za ukombozi dhidi ya ubaguzi wa rangi. == Uhamishoni == Mittah Selekanyana Seperepere mwaka [[1966]] aliondoka Afrika Kusini pamoja na mumewe ili kukwepa ufuatiliaji mkali wa vyombo vya usalama vya utawala wa ubaguzi wa rangi. Awali walikaa [[Botswana]] kwa muda mfupi kabla ya kuelekea [[Tanzania]], ambako harakati nyingi za ukombozi zilikuwa na makazi. Akiwa Tanzania, alijihusisha kikamilifu na shughuli za African National Congress (ANC): alihudumu katika kamati ya kisiasa ya kikanda, akawa afisa wa ustawi wa chama, na pia alishiriki katika kuanzisha shule ya msingi katika Solomon Mahlangu Freedom College, taasisi iliyolenga kuwapatia elimu wakimbizi na wanaharakati wa ANC waliokuwa uhamishoni. Mwaka [[1981]], alihamia [[Lusaka]], [[Zambia]], ambako yalikuwepo makao makuu ya ANC. Ndani ya mwaka huo huo, kwa kushirikiana na Dulcie September, aliwakilisha idara ya wanawake ya ANC katika kongamano la kimataifa la wanawake lililofanyika Prague, wakati huo ikiwa sehemu ya Chekoslovakia. Baadaye, mwaka 1989, aliteuliwa kuwa mwakilishi mkuu wa ANC katika visiwa vya Bahari ya Hindi, akihusika na nchi kama [[Madagascar]], [[Mauritius]], [[Seychelles]], [[Comoros]], pamoja na eneo la Muungano (Réunion).<ref name=":1">{{Cite web|date=9 November 2010|title=Parliament marks deaths of two MPs|url=https://www.gov.za/parliament-marks-deaths-two-mps|access-date=2023-04-26|website=South African Government}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1929]] [[Jamii: Waliofariki 2010]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] 1vz1y2uvi22veedomw6my83yfzoihs7 Hilda Weber 0 229635 1507915 2026-04-21T05:02:14Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hilda Webe'''r (aliyezaliwa tarehe [[4 Septemba]] [[1941]]) ni [[mwanasiasa]] mstaafu wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha Democratic Alliance (DA) katika Bunge la Taifa kuanzia mwaka 2004 hadi 2009 kwa muhula mmoja. Alichaguliwa katika 2004 South African general election, na pamoja na James Masango, alikuwa mmoja wa wawakilishi wawili wa DA katika jimbo la Mpumalanga. Pia aliwahi kuwa mwenyekiti wa ngazi ya mkoa wa tawi la DA katika Mpumalanga.<r...' 1507915 wikitext text/x-wiki '''Hilda Webe'''r (aliyezaliwa tarehe [[4 Septemba]] [[1941]]) ni [[mwanasiasa]] mstaafu wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha Democratic Alliance (DA) katika Bunge la Taifa kuanzia mwaka 2004 hadi 2009 kwa muhula mmoja. Alichaguliwa katika 2004 South African general election, na pamoja na James Masango, alikuwa mmoja wa wawakilishi wawili wa DA katika jimbo la Mpumalanga. Pia aliwahi kuwa mwenyekiti wa ngazi ya mkoa wa tawi la DA katika Mpumalanga.<ref>{{Cite news|date=22 October 2002|title=DA Shifts Focus to Rural Black Voters in Mpumalanga|agency=African Eye News Service|url=https://allafrica.com/stories/200210220706.html|access-date=10 June 2023|via=AllAfrica}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1941]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]] 55bgyowm28o17aj2r4x6s41n20i0yrt Makoti Khawula 0 229636 1507916 2026-04-21T05:08:24Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Makoti Sibongile Khawula''' (aliyezaliwa tarehe [[7 Desemba]] [[1954]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na [[mwanaharakati]] wa zamani wa kupinga ubaguzi wa rangi (apartheid) kutoka KwaZulu-Natal. Amehudumu kama Mbunge katika Bunge la Taifa la Afrika Kusini tangu mwaka 2014 kwa niaba ya chama cha Economic Freedom Fighters (EFF). Khawula anajulikana kwa msisitizo wake wa kuzungumza lugha ya Kizulu ndani ya Bunge.<ref name="news24">{{cite news|las...' 1507916 wikitext text/x-wiki '''Makoti Sibongile Khawula''' (aliyezaliwa tarehe [[7 Desemba]] [[1954]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na [[mwanaharakati]] wa zamani wa kupinga ubaguzi wa rangi (apartheid) kutoka KwaZulu-Natal. Amehudumu kama Mbunge katika Bunge la Taifa la Afrika Kusini tangu mwaka 2014 kwa niaba ya chama cha Economic Freedom Fighters (EFF). Khawula anajulikana kwa msisitizo wake wa kuzungumza lugha ya Kizulu ndani ya Bunge.<ref name="news24">{{cite news|last1=Evans|first1=Jenni|title=Meet the EFF MP who refuses to speak English in Parliament|url=https://www.news24.com/SouthAfrica/News/meet-the-eff-mp-who-refuses-to-speak-english-in-parliament-20151222|access-date=10 April 2020|newspaper=News24|date=22 December 2015|location=Cape Town}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1954]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 8v0cqzpzk81p37prwvzlpn0pxyle8xq Annette Steyn 0 229637 1507917 2026-04-21T05:08:34Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Annette Steyn''' (alizaliwa [[2 Juni]] [[1969]]) ni [[mwanasiasa]] mstaafu wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwahi kuwa Mbunge katika Bunge la Afrika Kusini akiwakilisha Democratic Alliance (DA), chama kikuu cha upinzani nchini humo. Steyn alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuingia bungeni mwaka [[2009]], ambapo alihudumu katika nyadhifa mbalimbali ndani ya Baraza la Mawaziri Kivuli la chama hicho, akishughulikia masuala tofauti ya sera na utawala kama sehemu...' 1507917 wikitext text/x-wiki '''Annette Steyn''' (alizaliwa [[2 Juni]] [[1969]]) ni [[mwanasiasa]] mstaafu wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwahi kuwa Mbunge katika Bunge la Afrika Kusini akiwakilisha Democratic Alliance (DA), chama kikuu cha upinzani nchini humo. Steyn alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuingia bungeni mwaka [[2009]], ambapo alihudumu katika nyadhifa mbalimbali ndani ya Baraza la Mawaziri Kivuli la chama hicho, akishughulikia masuala tofauti ya sera na utawala kama sehemu ya upinzani rasmi. Mbali na majukumu yake ya kitaifa, pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa DA katika [[Eastern Cape]], akiongoza shughuli za chama katika ngazi ya mkoa na kusimamia mikakati ya kisiasa ya chama hicho eneo hilo. == Kazi ya Kisiasa == Annette Steyn kabla ya kuingia katika siasa za kitaifa, aliwahi kuwa diwani wa Manispaa ya zamani ya Gariep katika Eastern Cape. Mwaka 2009, alichaguliwa kuwa mbunge wa Bunge la Afrika Kusini na kuapishwa rasmi tarehe [[6 Mei]] 2009.<ref>[https://www.africannewsagency.com/pr-wire/DA-statement-DA-Annette-Steyn-MP-Land-Bank-supports-DA-call-to-release-land-to-black-emerging-farmers-5297064 DA statement: DA: Annette Steyn MP Land Bank supports DA call to release land to black emerging farmers], ''African News Agency'', 24 April 2018. Retrieved on 22 July 2019.</ref><ref>[https://www.politicsweb.co.za/politics/corruption-allegations-at-dept-of-agriculture-shou Corruption allegations at DAFF should be investigated – Annette Steyn]. Retrieved on 22 July 2019.</ref><ref>[https://www.politicsweb.co.za/news-and-analysis/85-000-jobs-under-threat-in-sugar-industry--annett 85 000 jobs under threat in sugar industry - Annette Steyn]. Retrieved on 22 July 2019.</ref><ref>[https://ewn.co.za/2013/11/27/Uncertainty-over-NC-drought-relief N Cape drought affecting livestock - EWN]. Retrieved on 22 July 2019.</ref> Muda mfupi baadaye, tarehe [[14 Mei]] 2009, aliteuliwa na kiongozi wa bunge wa Democratic Alliance (DA), Athol Trollip, kuwa Naibu Waziri Kivuli wa Maendeleo Vijijini na Mageuzi ya Ardhi. Mnamo [[Februari]] [[2012]], chini ya uongozi wa [[Lindiwe Mazibuko]], alipandishwa cheo na kuwa Waziri Kivuli wa Kilimo, Misitu na Uvuvi, akimrithi Lourie Bosman. Baada ya uchaguzi mkuu wa [[2014]], Mmusi Maimane alimthibitisha katika nafasi hiyo.<ref>{{cite news|last1=Mazzone|first1=Natasha|title=DA announces new Shadow Cabinet that will bring Real Hope and Real Change|url=https://www.da.org.za/2020/12/da-announces-new-shadow-cabinet-that-will-bring-real-hope-and-real-change|access-date=5 December 2020|agency=Democratic Alliance|date=5 December 2020}}</ref> Akiwa katika jukumu hilo, Steyn alijitokeza mara kadhaa kupaza sauti juu ya changamoto za sekta ya kilimo. Alipendekeza serikali kutoa msaada wa dharura kwa wakulima waliokumbwa na ukame katika [[Northern Cape]], akashauri Land Bank kutenga ardhi kwa wakulima chipukizi weusi, na pia akatoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi dhidi ya madai ya ufisadi katika idara ya kilimo. Aidha, mwaka [[2018]] alionya kuhusu hatari ya kupotea kwa maelfu ya ajira katika sekta ya sukari nchini humo. Mnamo [[Juni]] [[2019]], baada ya kuchaguliwa tena, aliteuliwa kuwa Waziri Kivuli wa Kilimo, Mageuzi ya Ardhi na Maendeleo Vijijini na Mmusi Maimane, na baadaye akaendelea kushikilia wadhifa huo chini ya uongozi wa John Steenhuisen.<ref>{{Cite web|last=Phillips|first=Lloyd|title=Annette Steyn bedank uit parlement, politiek|url=https://www.landbou.com/landbou/Nuus/annette-steyn-bedank-uit-parlement-politiek-20220615|access-date=2022-06-15|website=Landbou|language=af-ZA}}</ref> Hatimaye, tarehe [[15 Juni]] [[2022]], Steyn alitangaza kustaafu kwake kutoka siasa ili kujikita zaidi katika maisha ya familia. Alijiuzulu rasmi ubunge tarehe [[30 Juni]] [[2022]]. ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii: Waliozaliwa 1969]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] nhf9mdd87ewsjpi9th0mhb686xxgqiv Joyce Kgoali 0 229638 1507919 2026-04-21T05:12:31Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Joyce Leswana Kgoali''' (alizaliwa [[13 Januari]] [[1950]] – [[21 Novemba]] [[2004]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Akiwa mwanachama wa African National Congress (ANC), alihudumu kama Mwenyekiti wa National Council of Provinces kuanzia Mei 2004 hadi alipofariki dunia Novemba 2004. Aliwahi pia kuwa Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) katika serikali ya mkoa wa Gauteng kati ya mwaka 1998 na 1999, na alikuwa mwenyekiti wa kundi la wabunge...' 1507919 wikitext text/x-wiki '''Joyce Leswana Kgoali''' (alizaliwa [[13 Januari]] [[1950]] – [[21 Novemba]] [[2004]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Akiwa mwanachama wa African National Congress (ANC), alihudumu kama Mwenyekiti wa National Council of Provinces kuanzia Mei 2004 hadi alipofariki dunia Novemba 2004. Aliwahi pia kuwa Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) katika serikali ya mkoa wa Gauteng kati ya mwaka 1998 na 1999, na alikuwa mwenyekiti wa kundi la wabunge wa ANC bungeni kati ya mwaka 2002 hadi 2004.<ref>{{cite web|title=Mbeki: Funeral of Joyce Kgoali, Chair of the NCOP (28/11/2004)|url=https://www.polity.org.za/article/mbeki-funeral-of-joyce-kgoali-chair-of-the-ncop-28112004-2004-11-28|website=Polity|accessdate=10 August 2020}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Waliozaliwa 2004]] jdqkzoxrd68i9b4mxc3zcu8q8lc4mys 1508095 1507919 2026-04-21T10:07:48Z Riccardo Riccioni 452 1508095 wikitext text/x-wiki '''Joyce Leswana Kgoali''' ([[13 Januari]] [[1950]] – [[21 Novemba]] [[2004]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Akiwa mwanachama wa African National Congress (ANC), alihudumu kama Mwenyekiti wa National Council of Provinces kuanzia Mei 2004 hadi alipofariki dunia Novemba 2004. Aliwahi pia kuwa Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) katika serikali ya mkoa wa Gauteng kati ya mwaka 1998 na 1999, na alikuwa mwenyekiti wa kundi la wabunge wa ANC bungeni kati ya mwaka 2002 hadi 2004.<ref>{{cite web|title=Mbeki: Funeral of Joyce Kgoali, Chair of the NCOP (28/11/2004)|url=https://www.polity.org.za/article/mbeki-funeral-of-joyce-kgoali-chair-of-the-ncop-28112004-2004-11-28|website=Polity|accessdate=10 August 2020}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Waliozaliwa 2004]] [[Jamii:wanasiasa wa Afrika Kusini]] mgatpu294lz6gyad9da3zqtxyzcpzef Rebecca Kasienyane 0 229639 1507921 2026-04-21T05:19:13Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Onewang Rebecca Kasienyane''' (alizaliwa [[7 Machi]] [[1952]] – [[21 Aprili]] [[2013]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Alihudumu kama Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) wa Afya na Maendeleo ya Jamii katika mkoa wa North West kuanzia Mei 2009 hadi Novemba 2010. Aliiwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa North West kuanzia Mei 2009 hadi alipofariki Aprili 2013. Kabla ya hapo, alikuwa Mbunge wa Bunge la Taifa kua...' 1507921 wikitext text/x-wiki '''Onewang Rebecca Kasienyane''' (alizaliwa [[7 Machi]] [[1952]] – [[21 Aprili]] [[2013]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Alihudumu kama Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) wa Afya na Maendeleo ya Jamii katika mkoa wa North West kuanzia Mei 2009 hadi Novemba 2010. Aliiwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa North West kuanzia Mei 2009 hadi alipofariki Aprili 2013. Kabla ya hapo, alikuwa Mbunge wa Bunge la Taifa kuanzia mwaka 1999 hadi 2009. Pia alikuwa kiongozi mashuhuri wa ANC Women's League katika mkoa wa North West.<ref name=":8">{{Cite web|date=2009-07-19|title=ANC disbands committee in 'unstable' North West|url=https://mg.co.za/article/2009-07-19-anc-disbands-committee-in-unstable-north-west/|access-date=2022-11-28|website=The Mail & Guardian|language=en-ZA}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2013]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] dpke55va3ppquer5ku5s9aifk1o1a99 1508098 1507921 2026-04-21T10:09:26Z Riccardo Riccioni 452 1508098 wikitext text/x-wiki '''Onewang Rebecca Kasienyane''' ([[7 Machi]] [[1952]] – [[21 Aprili]] [[2013]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Alihudumu kama Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) wa Afya na Maendeleo ya Jamii katika mkoa wa North West kuanzia Mei 2009 hadi Novemba 2010. Aliiwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa North West kuanzia Mei 2009 hadi alipofariki Aprili 2013. Kabla ya hapo, alikuwa Mbunge wa Bunge la Taifa kuanzia mwaka 1999 hadi 2009. Pia alikuwa kiongozi mashuhuri wa ANC Women's League katika mkoa wa North West.<ref name=":8">{{Cite web|date=2009-07-19|title=ANC disbands committee in 'unstable' North West|url=https://mg.co.za/article/2009-07-19-anc-disbands-committee-in-unstable-north-west/|access-date=2022-11-28|website=The Mail & Guardian|language=en-ZA}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1952]] [[Jamii:Waliofariki 2013]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] n8psyh2hng0tyekwiesclaz8thvrlzo Safa Abdel Al Moneim 0 229640 1507922 2026-04-21T05:19:13Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Safa Abdel Moneim''' (Kiarabu: صفاء عبد المنعم; alizaliwa 27 Desemba 1960) ni mwandishi wa [[Misri]], mwandishi wa riwaya, mwalimu na mtafiti wa fasihi simulizi (folk literature). Ameandika vitabu tisa vya hadithi fupi na riwaya kumi na mbili. Miongoni mwa kazi zake mashuhuri ni riwaya ''Uzuri wa Roho'' (Kiarabu: من حلاوة الروح, romanized: Min Ḥalāwit il-Rōḥ), iliyoandikwa kwa Kiarabu cha kawaida cha Misri na kutafsiriwa k...' 1507922 wikitext text/x-wiki '''Safa Abdel Moneim''' (Kiarabu: صفاء عبد المنعم; alizaliwa 27 Desemba 1960) ni mwandishi wa [[Misri]], mwandishi wa riwaya, mwalimu na mtafiti wa fasihi simulizi (folk literature). Ameandika vitabu tisa vya hadithi fupi na riwaya kumi na mbili. Miongoni mwa kazi zake mashuhuri ni riwaya ''Uzuri wa Roho'' (Kiarabu: من حلاوة الروح, romanized: Min Ḥalāwit il-Rōḥ), iliyoandikwa kwa Kiarabu cha kawaida cha Misri na kutafsiriwa kwa Kiingereza na Kiitaliano, pamoja na mkusanyiko wa hadithi fupi ''Usiku Alipoondoka'' (Kiarabu: في الليل لما خلى, romanized: Fī al-Layl Lammā Khallá).[1] Pia amechapisha tafiti mbalimbali kwenye magazeti na majarida. Riwaya yake ya hivi karibuni ni ''Bibi Yangu Tufaha''.[2] == Maisha ya awali na elimu == Safa Abdel Moneim Mahmoud Zayed alizaliwa tarehe 27 Desemba 1960 mjini Cairo, Misri. Alisoma Shule ya Upili ya Al-Helmeyah na kuhitimu mwaka 1986, kisha akapata shahada ya kwanza ya elimu (B.A. Education) kutoka Chuo Kikuu cha Ain Shams.[2] == Maisha na kazi == Safa Abdel Moneim alianza kazi yake ya fasihi kwa kusoma hadithi zake katika kituo cha vijana huko Shubra El Kheima, kabla ya kuchapisha hadithi yake ya kwanza kwenye gazeti la Qalyoubia. Mnamo mwaka 1983 alishinda tuzo katika shindano la kitaifa la hadithi fupi kwa vituo vya vijana. Mkusanyiko wake wa kwanza wa hadithi ''Hikayat Al'lail'' (Tales of the Night) ulichapishwa mwaka 1984. Aliathiriwa na waandishi kama Anton Chekhov na Yusuf Idris. Alianza pia kufanya mijadala ya kitamaduni pamoja na mume wake marehemu, mshairi Magdi Al-Gabri, kuanzia 1990 hadi 1998. Tangu mwaka 2009 amekuwa akifanya kazi kama mkuu wa shule. Ameandika pia riwaya inayohusu uzoefu wake huo iitwayo ''Shajara za Mkuu wa Shule''. Yeye ni mwanachama wa Muungano wa Waandishi wa Misri, Cairo Atelier, na Jumuiya ya Fasihi Simulizi ya Misri, pamoja na Klabu ya Kimataifa ya PEN. == Kazi zake == === Riwaya === * ''Bibi Yangu Tufaha'' (2020) * ''Shajara za Mkuu wa Shule'' (2020) * ''Tausi Juu ya Mti'' (2020) * ''Kilele cha Nafsi'' (2019) * ''Merit Filter'' (2009) * ''Nyumba ya Msanii Mwanamke'' (2009) * ''Alimwita “Innana”'' (2008) * ''Yule Aliyemwona'' (2008) * ''Kama Mchawi'' (2008) * ''Upepo wa Simoom'' (2003) * ''Uzuri wa Roho'' (2001) === Mikusanyo ya hadithi fupi === * ''Sawa Kabisa'' (2020) * ''Bibi wa Mahali'' (2013) * ''Usiku Alipoondoka'' (2009) * ''Ndoto ya Mwanamke'' (2010) * ''Kwa Njia Moja au Nyingine'' (2009) * ''Wasichana na Wasichana'' (2000) * ''Vitu Vidogo vya Kirafiki'' (1996) * ''Cairo Inayonivutia'' (1991) * ''Hadithi za Usiku'' (1984) === Ensaiklopedia === * ''Ensaiklopedia ya Nyimbo za Watoto'' (2008) * ''Ensaiklopedia ya Maelezo ya Misri ya Sasa'' (2008, mshiriki) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1960|}} ppxf1jagn56lpmkik70zbo1zgxoogkw 1508096 1507922 2026-04-21T10:08:20Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ 1508096 wikitext text/x-wiki '''Safa Abdel Moneim''' (Kiarabu: صفاء عبد المنعم; alizaliwa 27 Desemba 1960) ni mwandishi wa [[Misri]], mwandishi wa riwaya, mwalimu na mtafiti wa fasihi simulizi (folk literature). Ameandika vitabu tisa vya hadithi fupi na riwaya kumi na mbili. Miongoni mwa kazi zake mashuhuri ni riwaya ''Uzuri wa Roho'' (Kiarabu: من حلاوة الروح, romanized: Min Ḥalāwit il-Rōḥ), iliyoandikwa kwa Kiarabu cha kawaida cha Misri na kutafsiriwa kwa Kiingereza na Kiitaliano, pamoja na mkusanyiko wa hadithi fupi ''Usiku Alipoondoka'' (Kiarabu: في الليل لما خلى, romanized: Fī al-Layl Lammā Khallá).[1] Pia amechapisha tafiti mbalimbali kwenye magazeti na majarida. Riwaya yake ya hivi karibuni ni ''Bibi Yangu Tufaha''.[2] == Maisha ya awali na elimu == Safa Abdel Moneim Mahmoud Zayed alizaliwa tarehe 27 Desemba 1960 mjini Cairo, Misri. Alisoma Shule ya Upili ya Al-Helmeyah na kuhitimu mwaka 1986, kisha akapata shahada ya kwanza ya elimu (B.A. Education) kutoka Chuo Kikuu cha Ain Shams.[2] == Maisha na kazi == Safa Abdel Moneim alianza kazi yake ya fasihi kwa kusoma hadithi zake katika kituo cha vijana huko Shubra El Kheima, kabla ya kuchapisha hadithi yake ya kwanza kwenye gazeti la Qalyoubia. Mnamo mwaka 1983 alishinda tuzo katika shindano la kitaifa la hadithi fupi kwa vituo vya vijana. Mkusanyiko wake wa kwanza wa hadithi ''Hikayat Al'lail'' (Tales of the Night) ulichapishwa mwaka 1984. Aliathiriwa na waandishi kama Anton Chekhov na Yusuf Idris. Alianza pia kufanya mijadala ya kitamaduni pamoja na mume wake marehemu, mshairi Magdi Al-Gabri, kuanzia 1990 hadi 1998. Tangu mwaka 2009 amekuwa akifanya kazi kama mkuu wa shule. Ameandika pia riwaya inayohusu uzoefu wake huo iitwayo ''Shajara za Mkuu wa Shule''. Yeye ni mwanachama wa Muungano wa Waandishi wa Misri, Cairo Atelier, na Jumuiya ya Fasihi Simulizi ya Misri, pamoja na Klabu ya Kimataifa ya PEN. == Kazi zake == === Riwaya === * ''Bibi Yangu Tufaha'' (2020) * ''Shajara za Mkuu wa Shule'' (2020) * ''Tausi Juu ya Mti'' (2020) * ''Kilele cha Nafsi'' (2019) * ''Merit Filter'' (2009) * ''Nyumba ya Msanii Mwanamke'' (2009) * ''Alimwita “Innana”'' (2008) * ''Yule Aliyemwona'' (2008) * ''Kama Mchawi'' (2008) * ''Upepo wa Simoom'' (2003) * ''Uzuri wa Roho'' (2001) === Mikusanyo ya hadithi fupi === * ''Sawa Kabisa'' (2020) * ''Bibi wa Mahali'' (2013) * ''Usiku Alipoondoka'' (2009) * ''Ndoto ya Mwanamke'' (2010) * ''Kwa Njia Moja au Nyingine'' (2009) * ''Wasichana na Wasichana'' (2000) * ''Vitu Vidogo vya Kirafiki'' (1996) * ''Cairo Inayonivutia'' (1991) * ''Hadithi za Usiku'' (1984) === Ensaiklopedia === * ''Ensaiklopedia ya Nyimbo za Watoto'' (2008) * ''Ensaiklopedia ya Maelezo ya Misri ya Sasa'' (2008, mshiriki) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1960|}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] e0s7lkd26h8e7oc913dgyok0ofhwl9x Liz Abrahams 0 229641 1507923 2026-04-21T05:22:21Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Elizabeth Adriana Abrahams''' (née '''Josephs'''; [[19 Septemba]] [[1925]] – [[17 Desemba]] [[2008]]) alikuwa [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kisiasa na mtetezi wa haki za wafanyakazi nchini [[Afrika Kusini]], aliyetoa mchango mkubwa katika harakati za kupinga [[ubaguzi wa rangi]]. Alijipambanua mapema katika vuguvugu la vyama vya wafanyakazi, ambapo mwaka [[1955]] aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Food and Canning Workers' Union (FCWU), nafasi aliyodum...' 1507923 wikitext text/x-wiki '''Elizabeth Adriana Abrahams''' (née '''Josephs'''; [[19 Septemba]] [[1925]] – [[17 Desemba]] [[2008]]) alikuwa [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kisiasa na mtetezi wa haki za wafanyakazi nchini [[Afrika Kusini]], aliyetoa mchango mkubwa katika harakati za kupinga [[ubaguzi wa rangi]]. Alijipambanua mapema katika vuguvugu la vyama vya wafanyakazi, ambapo mwaka [[1955]] aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Food and Canning Workers' Union (FCWU), nafasi aliyodumu nayo hadi mwaka [[1964]]. Katika kipindi hicho, alifanya kazi bega kwa bega na wanaharakati wengine waliokuwa mstari wa mbele katika mapambano ya ukombozi, akiwemo [[Elizabeth Mafikeng]], Archie Sibeko, Oscar Mpetha na [[Ray Alexander]]. Mwaka [[1986]], Abrahams alikamatwa na [[polisi]] kwa ajili ya mahojiano na baadaye akazuiliwa kwa takribani miezi mitatu bila kufunguliwa mashtaka hali iliyoonyesha namna wanaharakati walivyokabiliwa na ukandamizaji mkali wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi. Hata baada ya kustaafu, aliendelea kuwa hai katika shughuli za Food and Allied Workers' Union (FAWU). Kufuatia kuanzishwa kwa demokrasia nchini humo, alichaguliwa mwaka [[1995]] kuwa Mbunge katika Bunge la Afrika Kusini, akihudumu katika kipindi muhimu cha mpito wa kisiasa. Katika miaka ya mwisho ya maisha yake, alitunukiwa tuzo mbalimbali kama ishara ya kutambua mchango wake mkubwa katika harakati za ukombozi pamoja na juhudi zake za kulinda na kuendeleza haki za wafanyakazi. == Maisha ya Awali == Elizabeth Adriana Abrahams, anayejulikana pia kama “Nanna” Abrahams, alizaliwa mwaka 1925 katika familia ya wafanyakazi wa kipato cha chini katika eneo la [[Paarl]], ndani ya [[Western Cape]] wakati huo ikiwa sehemu ya Muungano wa Afrika Kusini. Alikuwa mmoja kati ya watoto tisa, akiwa na kaka wanne na dada wanne.<ref name=":7">{{Citation|last=Bates|first=Denise|title=Abrahams, Liz|date=2008-01-01|url=https://www.oxfordreference.com/display/10.1093/acref/9780195148909.001.0001/acref-9780195148909-e-6|encyclopedia=The Oxford Encyclopedia Women in World History|publisher=Oxford University Press|language=en|doi=10.1093/acref/9780195148909.001.0001|isbn=978-0-19-514890-9|access-date=2025-03-15|url-access=subscription}}</ref> Alipata elimu yake katika Shule ya Bethanie iliyoko Paarl, taasisi iliyokuwa ikitoa elimu kwa wanafunzi wa rangi mbalimbali, lakini hakumaliza masomo yake rasmi, akiishia darasa la sita. Baba yake alikuwa akifanya kazi katika sekta ya mbao na utengenezaji wa matofali, ilhali mama yake alikuwa mfanyakazi katika kiwanda cha kusindika matunda kwa ajili ya kuwekwa kwenye makopo.<ref name=":5">{{Cite web|date=3 November 2011|title=Liz Abrahams honoured|url=http://archive.paarlpost.com/cgi-bin/article?newsid=2336|access-date=2025-03-16|website=Paarl Post}}</ref> Tangu akiwa mdogo, Abrahams alionesha hamasa ya pekee katika masuala ya siasa, jambo alilolihusisha kwa kiasi kikubwa na athari ya baba yake aliyekuwa na tabia ya kusoma na kujadili mambo ya kijamii na kisiasa. Hata hivyo, hali ngumu ya kiuchumi iliyokuwepo Paarl wakati huo ilipunguza kwa kiasi kikubwa fursa za maisha bora. Baada ya kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miaka 14, alilazimika kuacha shule na kuanza kufanya kazi ili kusaidia familia. Aliajiriwa kama mfanyakazi wa msimu katika kiwanda cha kusindika matunda, ambako alikumbana moja kwa moja na mazingira magumu ya wafanyakazi ikiwemo saa ndefu za kazi, mishahara duni na ukosefu wa huduma za msingi kama vyoo. Uzoefu huu ulimjengea msingi wa harakati zake za baadaye za kutetea haki za wafanyakazi.<ref>Parker, Cassandra (1992) ''[http://www.womeninthestruggleapreview.org/ Interviews with Liz Abrahams and Elizabeth Mafekeng in Paarl].''{{Dead link|date=August 2019|bot=InternetArchiveBot|fix-attempted=yes}} Courtesy Wecheselmann/Mayibuye Centre, [[University of the Western Cape]].</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1925]] [[Jamii: Waliofariki 2008]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] timn89zb7izurx4yidsm1bgtzqug5yb 1507925 1507923 2026-04-21T05:23:10Z Ramadhani Mushi 61176 1507925 wikitext text/x-wiki '''Elizabeth Adriana Abrahams''' (née '''Josephs'''; [[19 Septemba]] [[1925]] – [[17 Desemba]] [[2008]]) alikuwa [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kisiasa na mtetezi wa haki za wafanyakazi nchini [[Afrika Kusini]], aliyetoa mchango mkubwa katika harakati za kupinga [[ubaguzi wa rangi]]. Alijipambanua mapema katika vuguvugu la vyama vya wafanyakazi, ambapo mwaka [[1955]] aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Food and Canning Workers' Union (FCWU), nafasi aliyodumu nayo hadi mwaka [[1964]]. Katika kipindi hicho, alifanya kazi bega kwa bega na wanaharakati wengine waliokuwa mstari wa mbele katika mapambano ya ukombozi, akiwemo [[Elizabeth Mafikeng]], Archie Sibeko, Oscar Mpetha na [[Ray Alexander]]. Mwaka [[1986]], Abrahams alikamatwa na [[polisi]] kwa ajili ya mahojiano na baadaye akazuiliwa kwa takribani miezi mitatu bila kufunguliwa mashtaka hali iliyoonyesha namna wanaharakati walivyokabiliwa na ukandamizaji mkali wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi. Hata baada ya kustaafu, aliendelea kuwa hai katika shughuli za Food and Allied Workers' Union (FAWU). Kufuatia kuanzishwa kwa demokrasia nchini humo, alichaguliwa mwaka [[1995]] kuwa Mbunge katika Bunge la Afrika Kusini, akihudumu katika kipindi muhimu cha mpito wa kisiasa. Katika miaka ya mwisho ya maisha yake, alitunukiwa tuzo mbalimbali kama ishara ya kutambua mchango wake mkubwa katika harakati za ukombozi pamoja na juhudi zake za kulinda na kuendeleza haki za wafanyakazi. == Maisha ya Awali == Elizabeth Adriana Abrahams, anayejulikana pia kama “Nanna” Abrahams, alizaliwa mwaka 1925 katika familia ya wafanyakazi wa kipato cha chini katika eneo la [[Paarl]], ndani ya [[Western Cape]] wakati huo ikiwa sehemu ya Muungano wa Afrika Kusini. Alikuwa mmoja kati ya watoto tisa, akiwa na kaka wanne na dada wanne.<ref name=":7">{{Citation|last=Bates|first=Denise|title=Abrahams, Liz|date=2008-01-01|url=https://www.oxfordreference.com/display/10.1093/acref/9780195148909.001.0001/acref-9780195148909-e-6|encyclopedia=The Oxford Encyclopedia Women in World History|publisher=Oxford University Press|language=en|doi=10.1093/acref/9780195148909.001.0001|isbn=978-0-19-514890-9|access-date=2025-03-15|url-access=subscription}}</ref> Alipata elimu yake katika Shule ya Bethanie iliyoko Paarl, taasisi iliyokuwa ikitoa elimu kwa wanafunzi wa rangi mbalimbali, lakini hakumaliza masomo yake rasmi, akiishia darasa la sita. Baba yake alikuwa akifanya kazi katika sekta ya mbao na utengenezaji wa matofali, ilhali mama yake alikuwa mfanyakazi katika kiwanda cha kusindika matunda kwa ajili ya kuwekwa kwenye makopo.<ref name=":5">{{Cite web|date=3 November 2011|title=Liz Abrahams honoured|url=http://archive.paarlpost.com/cgi-bin/article?newsid=2336|access-date=2025-03-16|website=Paarl Post}}</ref> Tangu akiwa mdogo, Abrahams alionesha hamasa ya pekee katika masuala ya siasa, jambo alilolihusisha kwa kiasi kikubwa na athari ya baba yake aliyekuwa na tabia ya kusoma na kujadili mambo ya kijamii na kisiasa. Hata hivyo, hali ngumu ya kiuchumi iliyokuwepo Paarl wakati huo ilipunguza kwa kiasi kikubwa fursa za maisha bora. Baada ya kifo cha baba yake alipokuwa na umri wa miaka 14, alilazimika kuacha shule na kuanza kufanya kazi ili kusaidia familia. Aliajiriwa kama mfanyakazi wa msimu katika kiwanda cha kusindika matunda, ambako alikumbana moja kwa moja na mazingira magumu ya wafanyakazi ikiwemo saa ndefu za kazi, mishahara duni na ukosefu wa huduma za msingi kama vyoo. Uzoefu huu ulimjengea msingi wa harakati zake za baadaye za kutetea haki za wafanyakazi. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1925]] [[Jamii: Waliofariki 2008]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] raxuocpftpnw8dee3qmx4b2b2c99oh3 Lutis Abd Al Karim 0 229642 1507924 2026-04-21T05:22:34Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lutis Abd Al Karim''' ni mwandishi kutoka [[Misri]], ambaye pia ni mjumbe wa Baraza Kuu la Utamaduni, Baraza la Mambo ya Nje, na Bodi ya Wakurugenzi wa Wakosoaji wa Sanaa Nzuri. == Maisha ya awali na elimu == Lutis Abd Al Karim alizaliwa Alexandria, Misri, katika familia iliyokuwa na uhusiano mkubwa na sanaa, fasihi na siasa. Mjomba wake, Amin Othman Pasha, aliwahi kuwa Waziri wa Fedha wakati wa utawala wa kifalme kabla ya kuuawa na maafisa wa Jeshi la...' 1507924 wikitext text/x-wiki '''Lutis Abd Al Karim''' ni mwandishi kutoka [[Misri]], ambaye pia ni mjumbe wa Baraza Kuu la Utamaduni, Baraza la Mambo ya Nje, na Bodi ya Wakurugenzi wa Wakosoaji wa Sanaa Nzuri. == Maisha ya awali na elimu == Lutis Abd Al Karim alizaliwa Alexandria, Misri, katika familia iliyokuwa na uhusiano mkubwa na sanaa, fasihi na siasa. Mjomba wake, Amin Othman Pasha, aliwahi kuwa Waziri wa Fedha wakati wa utawala wa kifalme kabla ya kuuawa na maafisa wa Jeshi la Misri, miongoni mwao akiwa Anwar Sadat. Babu yake, mwandishi Muhammad Bey Othman, alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa Chama cha Kitaifa pamoja na Mustafa Kamil Pasha mwaka 1907.[1] Alisoma katika Chuo Kikuu cha Alexandria katika Idara ya Falsafa, kisha akapata shahada ya uzamili katika Sayansi ya Jamii kutoka Chuo Kikuu cha London, na baadaye Shahada ya Uzamivu ya Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Sorbonne mjini Paris.[1] == Kazi == Abd Al Karim alitumia sehemu kubwa ya maisha yake nje ya Misri, hasa Asia na Ulaya. Alichapisha kumbukumbu zake kwa vipindi mbalimbali akieleza uzoefu wake wa maisha. Pia alifundisha katika Chuo Kikuu cha Tokyo na kuandika kuhusu watu wa Japani na utamaduni wao.[chanzo hakijathibitishwa] Ameendesha vikao vya mijadala ya kitamaduni katika saluni yake ya fasihi iliyohudhuriwa na wanasiasa na waandishi wakubwa. Pia amehusika katika jarida la ''Al-Shamwa'', linalohusu kumbukumbu za waandishi maarufu. == Uandishi == Lutis Abd Al Karim ameandika vitabu kadhaa kuhusu watu mashuhuri wa kitamaduni. Miongoni mwa waliowahi kuandikwa na yeye ni mtunzi Mohamed Abdel Wahab, waandishi Youssef El Sebaei na Ihsan Abdel Quddus, pamoja na mkurugenzi wa tamthilia Youssef Wehbe.[chanzo hakijathibitishwa] Mwaka 1993, alichapisha kitabu kuhusu Malkia Farida, akieleza uhusiano wa karibu uliokuwepo kati yao. Kitabu hicho kilizungumzia pia uanzishwaji wa “Candles Hall”, ambayo ilikuwa moja ya kumbi za kwanza binafsi za sanaa nchini Misri.[3] Mwaka 2008, alichapisha kitabu kingine kuhusu Malkia Farida kilichoitwa ''Malkia Farida na Mimi – Wasifu ambao Malkia wa Misri hakuuandika''. Pia aliandika kitabu kuhusu Mustafa Mahmoud kilichojadili uhusiano kati ya dini, sayansi na falsafa.[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1950|}} 5xxfrstdajzufakqsk3zrz3lyvzg585 1508099 1507924 2026-04-21T10:09:58Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ 1508099 wikitext text/x-wiki '''Lutis Abd Al Karim''' ni mwandishi kutoka [[Misri]], ambaye pia ni mjumbe wa Baraza Kuu la Utamaduni, Baraza la Mambo ya Nje, na Bodi ya Wakurugenzi wa Wakosoaji wa Sanaa Nzuri. == Maisha ya awali na elimu == Lutis Abd Al Karim alizaliwa Alexandria, Misri, katika familia iliyokuwa na uhusiano mkubwa na sanaa, fasihi na siasa. Mjomba wake, Amin Othman Pasha, aliwahi kuwa Waziri wa Fedha wakati wa utawala wa kifalme kabla ya kuuawa na maafisa wa Jeshi la Misri, miongoni mwao akiwa Anwar Sadat. Babu yake, mwandishi Muhammad Bey Othman, alikuwa miongoni mwa waanzilishi wa Chama cha Kitaifa pamoja na Mustafa Kamil Pasha mwaka 1907.[1] Alisoma katika Chuo Kikuu cha Alexandria katika Idara ya Falsafa, kisha akapata shahada ya uzamili katika Sayansi ya Jamii kutoka Chuo Kikuu cha London, na baadaye Shahada ya Uzamivu ya Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Sorbonne mjini Paris.[1] == Kazi == Abd Al Karim alitumia sehemu kubwa ya maisha yake nje ya Misri, hasa Asia na Ulaya. Alichapisha kumbukumbu zake kwa vipindi mbalimbali akieleza uzoefu wake wa maisha. Pia alifundisha katika Chuo Kikuu cha Tokyo na kuandika kuhusu watu wa Japani na utamaduni wao.[chanzo hakijathibitishwa] Ameendesha vikao vya mijadala ya kitamaduni katika saluni yake ya fasihi iliyohudhuriwa na wanasiasa na waandishi wakubwa. Pia amehusika katika jarida la ''Al-Shamwa'', linalohusu kumbukumbu za waandishi maarufu. == Uandishi == Lutis Abd Al Karim ameandika vitabu kadhaa kuhusu watu mashuhuri wa kitamaduni. Miongoni mwa waliowahi kuandikwa na yeye ni mtunzi Mohamed Abdel Wahab, waandishi Youssef El Sebaei na Ihsan Abdel Quddus, pamoja na mkurugenzi wa tamthilia Youssef Wehbe.[chanzo hakijathibitishwa] Mwaka 1993, alichapisha kitabu kuhusu Malkia Farida, akieleza uhusiano wa karibu uliokuwepo kati yao. Kitabu hicho kilizungumzia pia uanzishwaji wa “Candles Hall”, ambayo ilikuwa moja ya kumbi za kwanza binafsi za sanaa nchini Misri.[3] Mwaka 2008, alichapisha kitabu kingine kuhusu Malkia Farida kilichoitwa ''Malkia Farida na Mimi – Wasifu ambao Malkia wa Misri hakuuandika''. Pia aliandika kitabu kuhusu Mustafa Mahmoud kilichojadili uhusiano kati ya dini, sayansi na falsafa.[4] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1950|}} [[Jamii:waandishi wa Misri]] eg3gyxkuhqm63x5kw2sbv7ia62ooawa Sangmorkie Tetteh 0 229643 1507926 2026-04-21T05:27:02Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sangmorkie Tetteh''' ni mwanahabari na mtu maarufu wa vyombo vya habari kutoka [[Ghana]].[1][2] Aliwahi kuwa Naibu Mhariri wa Habari katika TV Africa na pia mtangazaji wa kipindi kikuu cha habari cha Kiingereza kiitwacho ''News Hour'' kabla ya kujiuzulu.[3] Amewahi kufanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Ghana Broadcasting Corporation (GBC), Choice FM, TV3, GHOne na TV Africa.[3][4][5] == Elimu == Sangmorkie alipata elimu ya...' 1507926 wikitext text/x-wiki '''Sangmorkie Tetteh''' ni mwanahabari na mtu maarufu wa vyombo vya habari kutoka [[Ghana]].[1][2] Aliwahi kuwa Naibu Mhariri wa Habari katika TV Africa na pia mtangazaji wa kipindi kikuu cha habari cha Kiingereza kiitwacho ''News Hour'' kabla ya kujiuzulu.[3] Amewahi kufanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Ghana Broadcasting Corporation (GBC), Choice FM, TV3, GHOne na TV Africa.[3][4][5] == Elimu == Sangmorkie alipata elimu yake ya sekondari katika Mfantsiman Girls Senior High School baada ya kukaa nyumbani kwa miaka minne baada ya kumaliza elimu ya msingi. Baadaye alihitimu shahada ya kwanza ya Sanaa katika Mawasiliano, akijikita katika mawasiliano ya maendeleo kutoka African University College of Communications (AUCC). Baadaye alipata Shahada ya Sheria kutoka Central University. Mwaka 2020 alipata Shahada ya Uzamili katika Uhusiano wa Kimataifa na Diplomasia kutoka Ghana Institute of Management and Public Administration (GIMPA).[1][6] == Kazi == Yeye ni mshauri wa masuala ya vyombo vya habari katika uandishi wa habari za redio, televisheni na magazeti. Pia ni mtetezi wa masuala ya kijinsia na hufanya kazi katika sekta za sera na utafiti.[1] Ana uzoefu wa zaidi ya miaka 13 katika uandishi wa habari na amefanya kazi katika GBC, Choice FM, TV3,[7] GHOne TV na TV Africa.[3] == Mchango == Anatajwa kuwa alianzisha vipindi vya habari vya ''Kase3 Hyew'' na ''News Beat'', ambavyo ni taarifa za habari za katikati ya asubuhi na mchana wakati akiwa Naibu Mhariri wa Habari katika TV Africa.[3] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} 87gnsdhxchljsedl09ynw9lcswvrdis 1508100 1507926 2026-04-21T10:11:12Z Riccardo Riccioni 452 1508100 wikitext text/x-wiki '''Sangmorkie Tetteh''' ni mwanahabari na mtu maarufu wa vyombo vya habari kutoka [[Ghana]]. Aliwahi kuwa Naibu Mhariri wa Habari katika TV Africa na pia mtangazaji wa kipindi kikuu cha habari cha Kiingereza kiitwacho ''News Hour'' kabla ya kujiuzulu.Amewahi kufanya kazi katika vyombo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Ghana Broadcasting Corporation (GBC), Choice FM, TV3, GHOne na TV Africa. == Elimu == Sangmorkie alipata elimu yake ya sekondari katika Mfantsiman Girls Senior High School baada ya kukaa nyumbani kwa miaka minne baada ya kumaliza elimu ya msingi. Baadaye alihitimu shahada ya kwanza ya Sanaa katika Mawasiliano, akijikita katika mawasiliano ya maendeleo kutoka African University College of Communications (AUCC). Baadaye alipata Shahada ya Sheria kutoka Central University. Mwaka 2020 alipata Shahada ya Uzamili katika Uhusiano wa Kimataifa na Diplomasia kutoka Ghana Institute of Management and Public Administration (GIMPA). == Kazi == Yeye ni mshauri wa masuala ya vyombo vya habari katika uandishi wa habari za redio, televisheni na magazeti. Pia ni mtetezi wa masuala ya kijinsia na hufanya kazi katika sekta za sera na utafiti. Ana uzoefu wa zaidi ya miaka 13 katika uandishi wa habari na amefanya kazi katika GBC, Choice FM, TV3, GHOne TV na TV Africa. == Mchango == Anatajwa kuwa alianzisha vipindi vya habari vya ''Kase3 Hyew'' na ''News Beat'', ambavyo ni taarifa za habari za katikati ya asubuhi na mchana wakati akiwa Naibu Mhariri wa Habari katika TV Africa. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] jmg8087a714hroxc2wqyinly8zdxo2y Sandy Kalyan 0 229644 1507927 2026-04-21T05:27:26Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Santosh Vinita Kalyan''', anayejulikana pia kama “Sandy” Kalyan (aliyezaliwa tarehe [[26 Julai]] [[1957]]), ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na aliyekuwa mbunge wa Democratic Alliance (DA) katika Bunge la Taifa. Akiwa bungeni, alihudumu kama Waziri Kivuli wa Sayansi na [[Teknolojia]] hadi mwaka 2012. Pia aliwahi kuwa Naibu Waziri Kivuli wa Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano. Aidha, alikuwa Mjumbe wa Pan-African Parliament.<ref name="dapag...' 1507927 wikitext text/x-wiki '''Santosh Vinita Kalyan''', anayejulikana pia kama “Sandy” Kalyan (aliyezaliwa tarehe [[26 Julai]] [[1957]]), ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na aliyekuwa mbunge wa Democratic Alliance (DA) katika Bunge la Taifa. Akiwa bungeni, alihudumu kama Waziri Kivuli wa Sayansi na [[Teknolojia]] hadi mwaka 2012. Pia aliwahi kuwa Naibu Waziri Kivuli wa Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano. Aidha, alikuwa Mjumbe wa Pan-African Parliament.<ref name="dapage">{{cite web|url=http://www.da.org.za/our_people.htm?action=view-page&category=members-of-parliament&person=649|title=Sandy Kalyan|url-status=dead|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110921022142/http://www.da.org.za/our_people.htm?action=view-page&category=members-of-parliament&person=649|archivedate=2011-09-21}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1957]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] ccln2b85mhl8tg4h7dzb7xbzcx5epof Elizabeth Mafikeng 0 229645 1507928 2026-04-21T05:30:31Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Elizabeth Mafekeng''' ([[18 Septemba]] [[1918]] – [[28 Mei]] [[2009]]) alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa vyama vya wafanyakazi nchini [[Afrika Kusini]] na [[mwanaharakati]] jasiri wa kupinga mfumo wa [[ubaguzi wa rangi]]. Alijitambulisha kwa uongozi thabiti na mchango mkubwa katika kupigania haki za wafanyakazi, hasa wanawake wa Kiafrika waliokuwa wakikumbwa na mazingira magumu ya kazi. Mafekeng aliandika [[historia]] kwa kuwa mwanamke wa kwanza...' 1507928 wikitext text/x-wiki '''Elizabeth Mafekeng''' ([[18 Septemba]] [[1918]] – [[28 Mei]] [[2009]]) alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa vyama vya wafanyakazi nchini [[Afrika Kusini]] na [[mwanaharakati]] jasiri wa kupinga mfumo wa [[ubaguzi wa rangi]]. Alijitambulisha kwa uongozi thabiti na mchango mkubwa katika kupigania haki za wafanyakazi, hasa wanawake wa Kiafrika waliokuwa wakikumbwa na mazingira magumu ya kazi. Mafekeng aliandika [[historia]] kwa kuwa mwanamke wa kwanza Mwafrika kupigwa marufuku rasmi na serikali ya ubaguzi wa rangi hatua iliyolenga kunyamazisha sauti yake lakini ikaendelea kumtambulisha zaidi kama alama ya mapambano ya haki na usawa. == Wasifu == Elizabeth Mafekeng alizaliwa tarehe 18 Septemba 1918 katika mji mdogo wa Tarkastad, uliopo kati ya [[Queenstown]] na [[Cradock]], ndani ya [[Eastern Cape]]. Baba yake, Andries, alifariki dunia mwaka huohuo aliozaliwa, na kumwacha akiwa mtoto mdogo zaidi katika familia ya watoto watano. Kufuatia msiba huo, mama yake Kathrine alilazimika kwenda kufanya kazi Kimberley ili kuihudumia familia, huku Elizabeth akiachwa chini ya malezi ya bibi yake, Marther Mafekeng.<ref name="Mafekeng1">{{cite web|title=Elizabeth Mafekeng|publisher=WITS Historical Papers|url=http://www.historicalpapers.wits.ac.za/inventories/inv_pdfo/AD1137/AD1137-Ai1-001-jpeg.pdf|access-date=24 October 2017}}</ref> Baadaye familia ilihamia Aliwal North, kabla ya kuhamia Huguenot katika Western Cape. Huko ndipo alipoanza masomo yake katika shule ya watoto wa rangi mchanganyiko, kutokana na ukosefu wa shule maalum kwa watoto wa Kiafrika. Alipofika darasa la pili, alihamishiwa shule ya watoto wa Kiafrika huko [[Cape Town]], ambako aliendelea na masomo hadi darasa la saba. Hata hivyo, kutokana na hali duni ya maisha, alilazimika kuacha shule akiwa na umri wa miaka 14 ili kusaidia familia yake. Mwaka [[1932]], Mafekeng aliajiriwa katika kiwanda cha kusindika matunda cha H. Jones and Co kilichopo Paarl, ambapo kazi yake ilikuwa kusafisha matunda kwa ujira mdogo sana. Alikumbana na mazingira magumu ya kazi yaliyohusisha saa nyingi za kazi na malipo duni hali iliyochangia kuamsha ari yake ya kupigania haki za wafanyakazi baadaye maishani. Mnamo mwaka [[1938]], aliolewa na mfanyakazi mwenzake wa kiwandani, Henry Moffat Mdityana. Waliishi pamoja na familia yao kubwa ya watoto kumi na mmoja wana watatu na binti wanane katika nyumba ndogo iliyoko Mtaa wa Barbarossa, Paarl, hadi mwaka [[1959]] alipofukuzwa katika makazi hayo.<ref name="Mafekeng2">{{cite web|title=Elizabeth Mafekeng|publisher=South Africa History Online|url=http://www.sahistory.org.za/people/elizabeth-mafekeng|access-date=24 October 2017}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1918]] [[Jamii: Waliofariki 2009]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] 3vj2mi48t9qp12kaersns5gots9kypz 1507929 1507928 2026-04-21T05:32:21Z Ramadhani Mushi 61176 1507929 wikitext text/x-wiki '''Elizabeth Mafekeng''' ([[18 Septemba]] [[1918]] – [[28 Mei]] [[2009]]) alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa vyama vya wafanyakazi nchini [[Afrika Kusini]] na [[mwanaharakati]] jasiri wa kupinga mfumo wa [[ubaguzi wa rangi]]. Alijitambulisha kwa uongozi thabiti na mchango mkubwa katika kupigania haki za wafanyakazi, hasa wanawake wa Kiafrika waliokuwa wakikumbwa na mazingira magumu ya kazi. Mafekeng aliandika [[historia]] kwa kuwa mwanamke wa kwanza Mwafrika kupigwa marufuku rasmi na serikali ya ubaguzi wa rangi hatua iliyolenga kunyamazisha sauti yake lakini ikaendelea kumtambulisha zaidi kama alama ya mapambano ya haki na usawa.<ref name=":1">{{Cite web|url=http://www.sahistory.org.za/people/elizabeth-mafekeng|title=Elizabeth Mafekeng|date=17 February 2011|website=South African History Online|access-date=13 September 2016}}</ref> == Wasifu == Elizabeth Mafekeng alizaliwa tarehe 18 Septemba 1918 katika mji mdogo wa Tarkastad, uliopo kati ya [[Queenstown]] na [[Cradock]], ndani ya [[Eastern Cape]]. Baba yake, Andries, alifariki dunia mwaka huohuo aliozaliwa, na kumwacha akiwa mtoto mdogo zaidi katika familia ya watoto watano. Kufuatia msiba huo, mama yake Kathrine alilazimika kwenda kufanya kazi Kimberley ili kuihudumia familia, huku Elizabeth akiachwa chini ya malezi ya bibi yake, Marther Mafekeng.<ref name="Mafekeng1">{{cite web|title=Elizabeth Mafekeng|publisher=WITS Historical Papers|url=http://www.historicalpapers.wits.ac.za/inventories/inv_pdfo/AD1137/AD1137-Ai1-001-jpeg.pdf|access-date=24 October 2017}}</ref> Baadaye familia ilihamia Aliwal North, kabla ya kuhamia Huguenot katika Western Cape. Huko ndipo alipoanza masomo yake katika shule ya watoto wa rangi mchanganyiko, kutokana na ukosefu wa shule maalum kwa watoto wa Kiafrika. Alipofika darasa la pili, alihamishiwa shule ya watoto wa Kiafrika huko [[Cape Town]], ambako aliendelea na masomo hadi darasa la saba. Hata hivyo, kutokana na hali duni ya maisha, alilazimika kuacha shule akiwa na umri wa miaka 14 ili kusaidia familia yake. Mwaka [[1932]], Mafekeng aliajiriwa katika kiwanda cha kusindika matunda cha H. Jones and Co kilichopo Paarl, ambapo kazi yake ilikuwa kusafisha matunda kwa ujira mdogo sana. Alikumbana na mazingira magumu ya kazi yaliyohusisha saa nyingi za kazi na malipo duni hali iliyochangia kuamsha ari yake ya kupigania haki za wafanyakazi baadaye maishani. Mnamo mwaka [[1938]], aliolewa na mfanyakazi mwenzake wa kiwandani, Henry Moffat Mdityana. Waliishi pamoja na familia yao kubwa ya watoto kumi na mmoja wana watatu na binti wanane katika nyumba ndogo iliyoko Mtaa wa Barbarossa, Paarl, hadi mwaka [[1959]] alipofukuzwa katika makazi hayo.<ref name="Mafekeng2">{{cite web|title=Elizabeth Mafekeng|publisher=South Africa History Online|url=http://www.sahistory.org.za/people/elizabeth-mafekeng|access-date=24 October 2017}}</ref> == Tazama pia == * Orodha ya watu walio chini ya amri za kupiga marufuku chini ya ubaguzi wa rangi ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1918]] [[Jamii: Waliofariki 2009]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] 4rk8du7a843dryuazy5vem9q60fpszl Halima Adamu 0 229646 1507930 2026-04-21T05:36:15Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Halima Yelwa Adamu''' (OON; alizaliwa 21 Agosti 1950) ni daktari wa watoto (paediatrician) na mtumishi wa umma kutoka [[Nigeria]]. Yeye ni miongoni mwa wanawake wa kwanza kutoka Kaskazini mwa Nigeria kuwa madaktari wa tiba. Adamu anajulikana kwa utumishi wake kama kamishna katika majimbo ya Kaduna na Katsina katika miaka ya 1980, mchango wake katika uanzishwaji wa Tume ya Usawa wa Kiserikali (Federal Character Commission), pamoja na utetezi wake wa upat...' 1507930 wikitext text/x-wiki '''Halima Yelwa Adamu''' (OON; alizaliwa 21 Agosti 1950) ni daktari wa watoto (paediatrician) na mtumishi wa umma kutoka [[Nigeria]]. Yeye ni miongoni mwa wanawake wa kwanza kutoka Kaskazini mwa Nigeria kuwa madaktari wa tiba. Adamu anajulikana kwa utumishi wake kama kamishna katika majimbo ya Kaduna na Katsina katika miaka ya 1980, mchango wake katika uanzishwaji wa Tume ya Usawa wa Kiserikali (Federal Character Commission), pamoja na utetezi wake wa upatikanaji wa huduma za afya, elimu na uhuru wa kiuchumi kwa wanawake nchini Nigeria. == Maisha ya awali na elimu == Halima Yelwa Adamu alizaliwa tarehe 21 Agosti 1950 katika Katsina, Nigeria ya kikoloni. Baba yake alikuwa mtumishi wa umma katika sekta ya afya.[1][2] Alisoma shule mbalimbali za msingi, zikiwemo Iyatanchi Primary School (1957–1958), Aya Primary School Funtua (1958), Kofar Fada Primary School Malumfashi (1958–1959) na Rafukka Practice School Katsina (1959–1960).[1][2] Baadaye alisoma katika Provincial Girls School Katsina (1961–1963) na Government Girls Secondary School Dala, Kano (1964–1970).[2] Baada ya kumaliza sekondari, alikubaliwa kusoma Hisabati katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello (ABU), Zaria, lakini akabadilisha kwenda Udaktari kutokana na ushawishi wa kifamilia na pia kuvutiwa na wauguzi aliowaona katika Hospitali Kuu ya Katsina.[1] Alipata udhamini wa kusoma Udaktari katika ABU mwaka 1971 na kuhitimu mwaka 1976.[2] Alikuwa mwanamke wa pili kutoka Kaskazini mwa Nigeria kupata shahada ya udaktari wa tiba, baada ya Uratu Yerima Balla.[3][4][5] Kati ya 1983 na 1984, alisoma masomo ya uzamili katika Shule ya Tiba ya Tropiki, Chuo Kikuu cha Liverpool.[1][2] == Kazi == Akiwa daktari wa watoto katika Kaduna, Adamu aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Serikali ya Jimbo la Kaduna mwaka 1980 chini ya Gavana Balarabe Musa wa People's Redemption Party (PRP). Uteuzi wake ulipendekezwa na Katibu wa Serikali, Bala Usman.[1] Baadaye alihudumu kama Kamishna wa Afya wa Jimbo la Kaduna, na kisha Kamishna wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi kati ya 1985 na 1988.[8] Wakati Jimbo la Katsina lilipoanzishwa mwaka 1987, alijiunga na baraza la kwanza la mawaziri wa jimbo hilo chini ya Gavana Sarki Mukhtar.[1][2] Mwaka 1995, aliteuliwa katika Tume ya Usawa wa Kiserikali (Federal Character Commission), ambapo alisaidia kuanzisha muundo wa tume hiyo katika majimbo kadhaa ya Nigeria.[1][2] Mwaka huohuo, aliwakilisha Nigeria katika Mkutano wa Nne wa Dunia wa Wanawake wa Umoja wa Mataifa.[2] Adamu amekuwa mstari wa mbele katika masuala ya wanawake, hasa haki ya kupata huduma za afya, elimu na uhuru wa kiuchumi.[2][10] Yeye ni mwanachama wa Medical Women’s Association of Nigeria na Advocacy Nigeria.[2] Chuo cha Afya na Sayansi ya Teknolojia cha Halima Adamu kilichopo Malumfashi kilipata jina lake kwa heshima yake. == Tuzo na heshima == Mnamo 9 Oktoba 2000, Rais Olusegun Obasanjo alimpa heshima ya kitaifa ya Officer of the Order of the Niger (OON).[14] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1950|}} 4okbr4cddlbkg668ulho1j5qt0u697v 1508102 1507930 2026-04-21T10:12:46Z Riccardo Riccioni 452 1508102 wikitext text/x-wiki '''Halima Yelwa Adamu''' (OON; alizaliwa 21 Agosti 1950) ni daktari wa watoto na mtumishi wa umma kutoka [[Nigeria]]. Yeye ni miongoni mwa wanawake wa kwanza kutoka Kaskazini mwa Nigeria kuwa madaktari wa tiba. Adamu anajulikana kwa utumishi wake kama kamishna katika majimbo ya Kaduna na Katsina katika miaka ya 1980, mchango wake katika uanzishwaji wa Tume ya Usawa wa Kiserikali (Federal Character Commission), pamoja na utetezi wake wa upatikanaji wa huduma za afya, elimu na uhuru wa kiuchumi kwa wanawake nchini Nigeria. == Maisha ya awali na elimu == Halima Yelwa Adamu alizaliwa tarehe 21 Agosti 1950 katika Katsina, Nigeria ya kikoloni. Baba yake alikuwa mtumishi wa umma katika sekta ya afya. Alisoma shule mbalimbali za msingi, zikiwemo Iyatanchi Primary School (1957–1958), Aya Primary School Funtua (1958), Kofar Fada Primary School Malumfashi (1958–1959) na Rafukka Practice School Katsina (1959–1960). Baadaye alisoma katika Provincial Girls School Katsina (1961–1963) na Government Girls Secondary School Dala, Kano (1964–1970).[2] Baada ya kumaliza sekondari, alikubaliwa kusoma Hisabati katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello (ABU), Zaria, lakini akabadilisha kwenda Udaktari kutokana na ushawishi wa kifamilia na pia kuvutiwa na wauguzi aliowaona katika Hospitali Kuu ya Katsina. Alipata udhamini wa kusoma Udaktari katika ABU mwaka 1971 na kuhitimu mwaka 1976. Alikuwa mwanamke wa pili kutoka Kaskazini mwa Nigeria kupata shahada ya udaktari wa tiba, baada ya Uratu Yerima Balla. Kati ya 1983 na 1984, alisoma masomo ya uzamili katika Shule ya Tiba ya Tropiki, Chuo Kikuu cha Liverpool. == Kazi == Akiwa daktari wa watoto katika Kaduna, Adamu aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Serikali ya Jimbo la Kaduna mwaka 1980 chini ya Gavana Balarabe Musa wa People's Redemption Party (PRP). Uteuzi wake ulipendekezwa na Katibu wa Serikali, Bala Usman. Baadaye alihudumu kama Kamishna wa Afya wa Jimbo la Kaduna, na kisha Kamishna wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi kati ya 1985 na 1988. Wakati Jimbo la Katsina lilipoanzishwa mwaka 1987, alijiunga na baraza la kwanza la mawaziri wa jimbo hilo chini ya Gavana Sarki Mukhtar. Mwaka 1995, aliteuliwa katika Tume ya Usawa wa Kiserikali (Federal Character Commission), ambapo alisaidia kuanzisha muundo wa tume hiyo katika majimbo kadhaa ya Nigeria. Mwaka huohuo, aliwakilisha Nigeria katika Mkutano wa Nne wa Dunia wa Wanawake wa Umoja wa Mataifa. Adamu amekuwa mstari wa mbele katika masuala ya wanawake, hasa haki ya kupata huduma za afya, elimu na uhuru wa kiuchumi. Yeye ni mwanachama wa Medical Women’s Association of Nigeria na Advocacy Nigeria. Chuo cha Afya na Sayansi ya Teknolojia cha Halima Adamu kilichopo Malumfashi kilipata jina lake kwa heshima yake. == Tuzo na heshima == Mnamo 9 Oktoba 2000, Rais Olusegun Obasanjo alimpa heshima ya kitaifa ya Officer of the Order of the Niger (OON). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1950|}} [[Jamii:wanawake wa Nigeria]] rnrnvjz48dqxdaf69zmpm57480qe679 Ladi Hamalai 0 229647 1507931 2026-04-21T05:39:02Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '```wiki '''Ladi Hamalai''' (alizaliwa 20 Septemba 1959) ni msomi wa Nigeria kutoka eneo la Serikali ya Mtaa ya Mubi Kusini katika Jimbo la Adamawa, [[Nigeria]]. Alipata elimu yake ya O-Level mwaka 1976, na baadaye akapata shahada ya kwanza ya sayansi ya siasa kutoka Chuo Kikuu cha Bayero, Kano mwaka 1981. Alisoma shahada ya uzamili ya sayansi ya siasa katika Chuo Kikuu cha Wisconsin–Madison mwaka 1985, na baadaye akasoma shahada ya udaktari (PhD) katika...' 1507931 wikitext text/x-wiki ```wiki '''Ladi Hamalai''' (alizaliwa 20 Septemba 1959) ni msomi wa Nigeria kutoka eneo la Serikali ya Mtaa ya Mubi Kusini katika Jimbo la Adamawa, [[Nigeria]]. Alipata elimu yake ya O-Level mwaka 1976, na baadaye akapata shahada ya kwanza ya sayansi ya siasa kutoka Chuo Kikuu cha Bayero, Kano mwaka 1981. Alisoma shahada ya uzamili ya sayansi ya siasa katika Chuo Kikuu cha Wisconsin–Madison mwaka 1985, na baadaye akasoma shahada ya udaktari (PhD) katika masomo ya maendeleo katika Taasisi ya Mafunzo ya Maendeleo (IDS) ya Chuo Kikuu cha Sussex, Brighton, Uingereza. == Kazi == Profesa Ladi Hamalai amehudumu katika nafasi mbalimbali za uongozi na kitaaluma nchini Nigeria na nje ya nchi. Alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Taasisi ya Kitaifa ya Mafunzo ya Bunge na Demokrasia (National Institute for Legislative and Democratic Studies) kuanzia 2011 hadi 2019.<ref>Oladipo, Bimpe (2019-01-22). "Hamalai, Prof. Ladi (MFR)". Biographical Legacy and Research Foundation.</ref> Taasisi hiyo ni chombo cha kujenga uwezo wa Bunge la Nigeria na taasisi za kidemokrasia. Aliwahi pia kuwa Mratibu wa Mradi wa Utafiti na Uchambuzi wa Sera (Policy Analysis and Research Project – PARP) kuanzia 2004 hadi 2010, mradi uliolenga kuimarisha uwezo wa bunge nchini Nigeria kupitia ufadhili wa Africa Capacity Building Foundation. Mwaka 2003–2004 alihudumu kama Mkurugenzi wa Mipango, Uratibu na Ufuatiliaji katika Shirika la Maendeleo ya Biashara Ndogo na za Kati (SMEDAN) chini ya Ofisi ya Rais wa Nigeria. Mwaka 2019–2020 alihudumu kama Kamanda wa Chuo cha Tume ya Kupambana na Uhalifu wa Kiuchumi na Kifedha (EFCC Academy).<ref>"Economic and Financial Crimes Commission – EFCC Academy". www.efcc.gov.ng.</ref> Amefundisha katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu nchini Nigeria kati ya mwaka 1988 na 2024, zikiwemo Chuo Kikuu cha Baze, Chuo Kikuu Huria cha Nigeria (NOUN), Chuo cha Ulinzi cha Nigeria, Chuo Kikuu cha Maiduguri, Chuo Kikuu cha American University of Nigeria, Chuo Kikuu cha Taraba State, Chuo Kikuu cha Benin, na Chuo Kikuu cha Jimbo la Nasarawa. == Machapisho == Profesa Hamalai amechapisha tafiti zaidi ya 40 zinazohusu siasa, uchaguzi na utawala bora, zikiwemo: * ''Continuity and Change in Nigeria's Electoral Democracy'' * ''Democratic Governance and Political Accountability'' * ''Theoretical and Structural Issues in Nigeria Politics'' * ''Economic Liberalization, Political Pluralism and Business Associations in Developing Countries'' * ''Nigerian State Assemblies: A Study of Legislative Activities (2006–2007)'' == Uanaharakati == Hamalai ni mwanzilishi na mwenyekiti wa Jakadiya Trust Foundation, taasisi isiyo ya kiserikali inayolenga vijana, elimu na mabadiliko ya kijamii. Taasisi hiyo ilianza shughuli zake mwaka 2020 na imechangia kuboresha maisha katika jamii ya Mubi kupitia programu za elimu na kupunguza umaskini. == Tuzo na heshima == Alitunukiwa heshima ya ''Member of the Order of the Federal Republic'' (MFR) mwaka 2001 na Rais wa Nigeria.<ref>"Ladi Hamalai, ensuring positive and progressive growth of the National Assembly". BusinessDay.</ref> Pia alipokea tuzo ya “50 Women of Distinction” mwaka 2014 katika maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Nigeria. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1959|}} ghg3eeqlym50uru6v2rg1nmzxxilf3p 1508103 1507931 2026-04-21T10:13:40Z Riccardo Riccioni 452 1508103 wikitext text/x-wiki '''Ladi Hamalai''' (alizaliwa 20 Septemba 1959) ni msomi wa Nigeria kutoka eneo la Serikali ya Mtaa ya Mubi Kusini katika Jimbo la Adamawa, [[Nigeria]]. Alipata elimu yake ya O-Level mwaka 1976, na baadaye akapata shahada ya kwanza ya sayansi ya siasa kutoka Chuo Kikuu cha Bayero, Kano mwaka 1981. Alisoma shahada ya uzamili ya sayansi ya siasa katika Chuo Kikuu cha Wisconsin–Madison mwaka 1985, na baadaye akasoma shahada ya udaktari (PhD) katika masomo ya maendeleo katika Taasisi ya Mafunzo ya Maendeleo (IDS) ya Chuo Kikuu cha Sussex, Brighton, Uingereza. == Kazi == Profesa Ladi Hamalai amehudumu katika nafasi mbalimbali za uongozi na kitaaluma nchini Nigeria na nje ya nchi. Alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Taasisi ya Kitaifa ya Mafunzo ya Bunge na Demokrasia (National Institute for Legislative and Democratic Studies) kuanzia 2011 hadi 2019.<ref>Oladipo, Bimpe (2019-01-22). "Hamalai, Prof. Ladi (MFR)". Biographical Legacy and Research Foundation.</ref> Taasisi hiyo ni chombo cha kujenga uwezo wa Bunge la Nigeria na taasisi za kidemokrasia. Aliwahi pia kuwa Mratibu wa Mradi wa Utafiti na Uchambuzi wa Sera (Policy Analysis and Research Project – PARP) kuanzia 2004 hadi 2010, mradi uliolenga kuimarisha uwezo wa bunge nchini Nigeria kupitia ufadhili wa Africa Capacity Building Foundation. Mwaka 2003–2004 alihudumu kama Mkurugenzi wa Mipango, Uratibu na Ufuatiliaji katika Shirika la Maendeleo ya Biashara Ndogo na za Kati (SMEDAN) chini ya Ofisi ya Rais wa Nigeria. Mwaka 2019–2020 alihudumu kama Kamanda wa Chuo cha Tume ya Kupambana na Uhalifu wa Kiuchumi na Kifedha (EFCC Academy).<ref>"Economic and Financial Crimes Commission – EFCC Academy". www.efcc.gov.ng.</ref> Amefundisha katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu nchini Nigeria kati ya mwaka 1988 na 2024, zikiwemo Chuo Kikuu cha Baze, Chuo Kikuu Huria cha Nigeria (NOUN), Chuo cha Ulinzi cha Nigeria, Chuo Kikuu cha Maiduguri, Chuo Kikuu cha American University of Nigeria, Chuo Kikuu cha Taraba State, Chuo Kikuu cha Benin, na Chuo Kikuu cha Jimbo la Nasarawa. == Machapisho == Profesa Hamalai amechapisha tafiti zaidi ya 40 zinazohusu siasa, uchaguzi na utawala bora, zikiwemo: * ''Continuity and Change in Nigeria's Electoral Democracy'' * ''Democratic Governance and Political Accountability'' * ''Theoretical and Structural Issues in Nigeria Politics'' * ''Economic Liberalization, Political Pluralism and Business Associations in Developing Countries'' * ''Nigerian State Assemblies: A Study of Legislative Activities (2006–2007)'' == Uanaharakati == Hamalai ni mwanzilishi na mwenyekiti wa Jakadiya Trust Foundation, taasisi isiyo ya kiserikali inayolenga vijana, elimu na mabadiliko ya kijamii. Taasisi hiyo ilianza shughuli zake mwaka 2020 na imechangia kuboresha maisha katika jamii ya Mubi kupitia programu za elimu na kupunguza umaskini. == Tuzo na heshima == Alitunukiwa heshima ya ''Member of the Order of the Federal Republic'' (MFR) mwaka 2001 na Rais wa Nigeria.<ref>"Ladi Hamalai, ensuring positive and progressive growth of the National Assembly". BusinessDay.</ref> Pia alipokea tuzo ya “50 Women of Distinction” mwaka 2014 katika maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Nigeria. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1959|}} [[Jamii:wanaharakati wa Nigeria]] t3wp891l9gribfrfjava9eup99w70ce Aisha Mahmoud Hamman 0 229648 1507932 2026-04-21T05:43:16Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Aisha Mahmoud Hamman''' ni msomi wa Nigeria anayebobea katika utafiti wa benki na fedha. Yeye ni profesa katika Idara ya Uhasibu na Fedha katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, Zaria.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Pia ni naibu mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Ubora katika Fedha Vijijini na Ujasiriamali (International Centre of Excellence for Rural Finance and Entrepreneurship – ICERFE) katika chuo hicho.<ref>"Born, Moulded In ABU: The Story...' 1507932 wikitext text/x-wiki '''Aisha Mahmoud Hamman''' ni msomi wa Nigeria anayebobea katika utafiti wa benki na fedha. Yeye ni profesa katika Idara ya Uhasibu na Fedha katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, Zaria.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Pia ni naibu mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Ubora katika Fedha Vijijini na Ujasiriamali (International Centre of Excellence for Rural Finance and Entrepreneurship – ICERFE) katika chuo hicho.<ref>"Born, Moulded In ABU: The Story Of Prof Aisha Hamman". Daily Trust. 7 February 2026.</ref> == Elimu == Hamman alipata elimu yake ya msingi na sekondari katika Shule ya Wafanyakazi wa Ahmadu Bello University na Shule ya Sekondari ya Demonstration ya ABU.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Baadaye alipata shahada ya kwanza ya Uhasibu, kisha shahada ya uzamili na shahada ya udaktari (PhD) katika Benki na Fedha, zote kutoka Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello.<ref>insightnortheastng. "From Crèche to Chair: How ABU Raised One of Nigeria's Finest Female Professors".</ref> == Kazi == Hamman alianza kazi yake kama mhadhiri katika Idara ya Uhasibu ya Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello. Ameendelea kuhudumu chuoni hapo katika nafasi za uongozi, ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa ICERFE, na pia amehusika katika kamati mbalimbali za kitaaluma na vyama vya kitaaluma. Amewahi kuwa mshauri maalum wa mwenyekiti mtendaji wa Mamlaka ya Mapato ya Ndani ya Nigeria (FIRS).<ref>Opanuga, Jimisayo (27 May 2025). "FIRS to propose inclusion of taxation education in school curriculum". The Guardian Nigeria News.</ref> Pia ameshirikiana na Jukwaa la Utawala wa Kodi Afrika (ATAF) katika kuzindua toleo la tano la jarida la African Multidisciplinary Tax Journal (AMTJ).<ref>"AMTJ Volume 5 Launch Showcases Journal's Growing Impact on African Tax Systems and Professional Growth - ATAF".</ref> Utafiti wake umechangia katika sera za kodi na fedha za umma katika zaidi ya nchi 24 za Afrika kupitia kazi zake na ATAF. == Kazi za kitaaluma == Baadhi ya tafiti na machapisho yake ni: * ''Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non Interest Financial Institutions in Nigeria''<ref>"Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non-Interest Financial Institutions in Nigeria" (PDF).</ref> * ''A Test of Free Cash Flow Hypothesis: Evidence from Nigerian Quoted Food & Beverages Firms''<ref>"A test of free cash flow hypothesis: Evidence from Nigerian quoted food & beverages firms" (PDF).</ref> * ''Tax Reform Bills Meant to Harmonise Scattered Laws: A Path to a More Competent Tax Regime in Nigeria'' * ''Evaluating the Economic and Environmental Impact of Implementing a Carbon Tax for Revenue Generation in Nigeria'' * ''Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates''<ref>"Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates" (PDF).</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1970|}} 87f37vwc850xakpms4muiobumrxiouu 1507933 1507932 2026-04-21T05:47:23Z Egipa 87700 1507933 wikitext text/x-wiki '''Aisha Mahmoud Hamman''' ni msomi wa Nigeria anayebobea katika utafiti wa benki na fedha. Yeye ni profesa katika Idara ya Uhasibu na Fedha katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, Zaria.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Pia ni naibu mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Ubora katika Fedha Vijijini na Ujasiriamali (International Centre of Excellence for Rural Finance and Entrepreneurship – ICERFE) katika chuo hicho.<ref>"Born, Moulded In ABU: The Story Of Prof Aisha Hamman". Daily Trust. tarehe 7 February mwaka wa 2026.</ref> == Elimu == Hamman alipata elimu yake ya msingi na sekondari katika Shule ya Wafanyakazi wa Ahmadu Bello University na Shule ya Sekondari katika Demonstration ya ABU.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Baadaye alipata shahada ya kwanza ya Uhasibu, kisha akapata shahada ya uzamili na shahada ya udaktari (PhD) katika Benki na Fedha, zote kutoka katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello.<ref>insightnortheastng. "From Crèche to Chair: How ABU Raised One of Nigeria's Finest Female Professors".</ref> == Kazi == Hamman alianza kazi yake kama mhadhiri katika Idara ya Uhasibu ya Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello. Ameendelea kuhudumu chuoni hapo katika nafasi za uongozi, ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa ICERFE, na pia amehusika katika kamati mbalimbali za kitaaluma na vyama vya kitaaluma. Amewahi kuwa mshauri maalum wa mwenyekiti mtendaji wa Mamlaka ya Mapato ya Ndani ya Nigeria (FIRS).<ref>Opanuga, Jimisayo (tarehe 27 May mwaka 2025). "FIRS to propose inclusion of taxation education in school curriculum". The Guardian [[Nigeria]] News.</ref> Pia ameshirikiana na Jukwaa la Utawala wa Kodi Afrika (ATAF) katika kuzindua toleo la tano la jarida la African Multidisciplinary Tax Journal (AMTJ).<ref>"AMTJ Volume 5 Launch Showcases Journal's Growing Impact on African Tax Systems and Professional Growth - ATAF".</ref> Utafiti wake umechangia katika sera za kodi na fedha za umma katika zaidi ya nchi 24 za Afrika kupitia kazi zake na ATAF. == Kazi za kitaaluma == Baadhi ya tafiti na machapisho yake ni: * ''Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non Interest Financial Institutions in Nigeria''<ref>"Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non-Interest Financial Institutions in Nigeria" (PDF).</ref> * ''A Test of Free Cash Flow Hypothesis: Evidence from Nigerian Quoted Food & Beverages Firms''<ref>"A test of free cash flow hypothesis: Evidence from Nigerian quoted food & beverages firms" (PDF).</ref> * ''Tax Reform Bills Meant to Harmonise Scattered Laws: A Path to a More Competent Tax Regime in Nigeria'' * ''Evaluating the Economic and Environmental Impact of Implementing a Carbon Tax for Revenue Generation in Nigeria'' * ''Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates''<ref>"Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates" (PDF).</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1970|}} hqsxzrgquos1u4i43e6sqkegfaio26b 1507934 1507933 2026-04-21T05:48:51Z Egipa 87700 1507934 wikitext text/x-wiki '''Aisha Mahmoud Hamman''' ni msomi wa Nigeria anayebobea katika utafiti wa benki na fedha. Yeye ni profesa katika Idara ya Uhasibu na Fedha kutoka katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, Zaria.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Pia ni naibu mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Ubora katika Fedha Vijijini na Ujasiriamali (International Centre of Excellence for Rural Finance and Entrepreneurship – ICERFE) katika chuo hicho.<ref>"Born, Moulded In ABU: The Story Of Prof Aisha Hamman". Daily Trust. tarehe 7 February mwaka wa 2026.</ref> == Elimu == Hamman alipata elimu yake ya shule ya msingi na sekondari katika Shule ya Wafanyakazi wa Ahmadu Bello University na Shule ya Sekondari katika Demonstration ya ABU.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Baadaye alipata shahada ya kwanza ya Uhasibu, kisha akapata shahada ya uzamili na shahada ya udaktari (PhD) katika Benki na Fedha, zote kutoka katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello.<ref>insightnortheastng. "From Crèche to Chair: How ABU Raised One of Nigeria's Finest Female Professors".</ref> == Kazi == Hamman alianza kazi yake kama mhadhiri katika Idara ya Uhasibu ya Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello. Ameendelea kuhudumu chuoni hapo katika nafasi za uongozi, ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa ICERFE, na pia amehusika katika kamati mbalimbali za kitaaluma na vyama vya kitaaluma. Amewahi kuwa mshauri maalum wa mwenyekiti mtendaji wa Mamlaka ya Mapato ya Ndani ya Nigeria (FIRS).<ref>Opanuga, Jimisayo (tarehe 27 May mwaka 2025). "FIRS to propose inclusion of taxation education in school curriculum". The Guardian [[Nigeria]] News.</ref> Pia ameshirikiana na Jukwaa la Utawala wa Kodi Afrika (ATAF) katika kuzindua toleo la tano la jarida la African Multidisciplinary Tax Journal (AMTJ).<ref>"AMTJ Volume 5 Launch Showcases Journal's Growing Impact on African Tax Systems and Professional Growth - ATAF".</ref> Utafiti wake umechangia katika sera za kodi na fedha za umma katika zaidi ya nchi 24 za Afrika kupitia kazi zake na ATAF. == Kazi za kitaaluma == Baadhi ya tafiti na machapisho yake ni: * ''Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non Interest Financial Institutions in Nigeria''<ref>"Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non-Interest Financial Institutions in Nigeria" (PDF).</ref> * ''A Test of Free Cash Flow Hypothesis: Evidence from Nigerian Quoted Food & Beverages Firms''<ref>"A test of free cash flow hypothesis: Evidence from Nigerian quoted food & beverages firms" (PDF).</ref> * ''Tax Reform Bills Meant to Harmonise Scattered Laws: A Path to a More Competent Tax Regime in Nigeria'' * ''Evaluating the Economic and Environmental Impact of Implementing a Carbon Tax for Revenue Generation in Nigeria'' * ''Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates''<ref>"Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates" (PDF).</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1970|}} 8nz04f53jn0yqgrmd91qi0xb8wzem2a 1508104 1507934 2026-04-21T10:14:17Z Riccardo Riccioni 452 1508104 wikitext text/x-wiki '''Aisha Mahmoud Hamman''' ni msomi wa Nigeria anayebobea katika utafiti wa benki na fedha. Yeye ni profesa katika Idara ya Uhasibu na Fedha kutoka katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello, Zaria.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Pia ni naibu mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Ubora katika Fedha Vijijini na Ujasiriamali (International Centre of Excellence for Rural Finance and Entrepreneurship – ICERFE) katika chuo hicho.<ref>"Born, Moulded In ABU: The Story Of Prof Aisha Hamman". Daily Trust. tarehe 7 February mwaka wa 2026.</ref> == Elimu == Hamman alipata elimu yake ya shule ya msingi na sekondari katika Shule ya Wafanyakazi wa Ahmadu Bello University na Shule ya Sekondari katika Demonstration ya ABU.<ref>"Ahmadu Bello University".</ref> Baadaye alipata shahada ya kwanza ya Uhasibu, kisha akapata shahada ya uzamili na shahada ya udaktari (PhD) katika Benki na Fedha, zote kutoka katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello.<ref>insightnortheastng. "From Crèche to Chair: How ABU Raised One of Nigeria's Finest Female Professors".</ref> == Kazi == Hamman alianza kazi yake kama mhadhiri katika Idara ya Uhasibu ya Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello. Ameendelea kuhudumu chuoni hapo katika nafasi za uongozi, ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa ICERFE, na pia amehusika katika kamati mbalimbali za kitaaluma na vyama vya kitaaluma. Amewahi kuwa mshauri maalum wa mwenyekiti mtendaji wa Mamlaka ya Mapato ya Ndani ya Nigeria (FIRS).<ref>Opanuga, Jimisayo (tarehe 27 May mwaka 2025). "FIRS to propose inclusion of taxation education in school curriculum". The Guardian [[Nigeria]] News.</ref> Pia ameshirikiana na Jukwaa la Utawala wa Kodi Afrika (ATAF) katika kuzindua toleo la tano la jarida la African Multidisciplinary Tax Journal (AMTJ).<ref>"AMTJ Volume 5 Launch Showcases Journal's Growing Impact on African Tax Systems and Professional Growth - ATAF".</ref> Utafiti wake umechangia katika sera za kodi na fedha za umma katika zaidi ya nchi 24 za Afrika kupitia kazi zake na ATAF. == Kazi za kitaaluma == Baadhi ya tafiti na machapisho yake ni: * ''Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non Interest Financial Institutions in Nigeria''<ref>"Effect of Shari'ah Review and Fatawa on Product Development of Non-Interest Financial Institutions in Nigeria" (PDF).</ref> * ''A Test of Free Cash Flow Hypothesis: Evidence from Nigerian Quoted Food & Beverages Firms''<ref>"A test of free cash flow hypothesis: Evidence from Nigerian quoted food & beverages firms" (PDF).</ref> * ''Tax Reform Bills Meant to Harmonise Scattered Laws: A Path to a More Competent Tax Regime in Nigeria'' * ''Evaluating the Economic and Environmental Impact of Implementing a Carbon Tax for Revenue Generation in Nigeria'' * ''Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates''<ref>"Free Cash Flow, Managerial Ownership and Agency Cost: Evidence from Nigerian Listed Conglomerates" (PDF).</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1970|}} [[Jamii:wanauchumi wa Nigeria]] 65u0y2f47l64mk01m9rjkqac6k2ugt7 Jack Simons (mtaaluma) 0 229649 1507935 2026-04-21T05:56:37Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jack Simons''' ([[1 Februari]] [[1907]] – [[22 Julai]] [[1995]]) alikuwa mwanazuoni na [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kupinga [[ubaguzi wa rangi]] nchini [[Afrika Kusini]]. Alijulikana kwa mchango wake mkubwa katika elimu ya juu pamoja na harakati za kisiasa zilizolenga kuondoa mfumo wa ubaguzi wa rangi. Akiwa katika mazingira ya vyuo vikuu, Simons alitumia taaluma yake kama jukwaa la kuelimisha na kuhamasisha kuhusu haki za kijamii, usawa, na ukombo...' 1507935 wikitext text/x-wiki '''Jack Simons''' ([[1 Februari]] [[1907]] – [[22 Julai]] [[1995]]) alikuwa mwanazuoni na [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kupinga [[ubaguzi wa rangi]] nchini [[Afrika Kusini]]. Alijulikana kwa mchango wake mkubwa katika elimu ya juu pamoja na harakati za kisiasa zilizolenga kuondoa mfumo wa ubaguzi wa rangi. Akiwa katika mazingira ya vyuo vikuu, Simons alitumia taaluma yake kama jukwaa la kuelimisha na kuhamasisha kuhusu haki za kijamii, usawa, na ukombozi wa watu waliokuwa wakikandamizwa. Alikuwa sehemu ya kizazi cha wasomi waliounganisha elimu na mapambano ya kisiasa, wakichangia kwa kiasi kikubwa katika juhudi za kuleta mabadiliko ya kidemokrasia nchini humo. == Maisha ya awali == Harold Jack Simons alizaliwa mwaka 1907 katika Riversdale, wakati huo ikiwa sehemu ya Cape Colony. Baba yake, Hyman Simons, anatajwa kuwa alihamia Afrika Kusini katika kipindi cha Cecil Rhodes akiwa mwalimu.<ref name="Simons">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=LyaGDAAAQBAJ&dq=jack+simons&pg=PR11|title=Struggles in Southern Africa for Survival and Equality|last=Simons|first=H.J.|publisher=Springer|year=1997|isbn=9780230373044|page=240}}</ref> Simons alihitimu masomo yake mwaka [[1924]] na kuanza kufanya kazi kama karani katika kampuni ya sheria, ambapo baadaye alipata cheti cha sheria. Mwaka [[1926]] alihamia Pretoria na kuanza kufanya kazi katika utumishi wa umma ndani ya Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu na Sheria. Akiendelea kusoma akiwa kazini, alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria kutoka [[Chuo Kikuu cha Afrika Kusini]]. Baadaye alipewa udhamini wa kusoma Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Siasa katika University of Pretoria, ambapo alijikita zaidi katika utafiti wa mfumo wa adhabu wa Afrika Kusini. Mwaka [[1932]] alipata udhamini mwingine uliompeleka katika London School of Economics, ambapo alikamilisha Shahada ya Uzamivu mwaka [[1935]]. Utafiti wake ulilinganisha mifumo ya adhabu kati ya Afrika Kusini, Kenya na Rhodesia Kusini. Wakati akiwa [[Ulaya]], alishuhudia kuibuka kwa mitazamo ya kisiasa kama Ufashisti na Unazi, pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini [[Uhispania]], jambo lililoathiri mtazamo wake wa kisiasa. Katika kipindi hicho pia alianzisha vikundi vya kujifunza mawazo ya Marxist na hatimaye alijiunga na Chama cha Kikomunisti cha Uingereza mwaka [[1933]].<ref name="JSAS01">{{cite journal |last=Macmillan |first=Hugh |date=December 1995 |title=Obituary: Jack Simons |journal=Journal of Southern African Studies |volume=21 |issue=4 |pages=689–90 |doi=10.1080/03057079508708474 |jstor=2637229}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1907]] [[Jamii: Waliofariki 1995]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] l5ipqmwn000wjgmpou32vm4netncu44 1507937 1507935 2026-04-21T05:59:04Z Ramadhani Mushi 61176 1507937 wikitext text/x-wiki '''Jack Simons''' ([[1 Februari]] [[1907]] – [[22 Julai]] [[1995]]) alikuwa mwanazuoni na [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kupinga [[ubaguzi wa rangi]] nchini [[Afrika Kusini]]. Alijulikana kwa mchango wake mkubwa katika elimu ya juu pamoja na harakati za kisiasa zilizolenga kuondoa mfumo wa ubaguzi wa rangi. Akiwa katika mazingira ya vyuo vikuu, Simons alitumia taaluma yake kama jukwaa la kuelimisha na kuhamasisha kuhusu haki za kijamii, usawa, na ukombozi wa watu waliokuwa wakikandamizwa. Alikuwa sehemu ya kizazi cha wasomi waliounganisha elimu na mapambano ya kisiasa, wakichangia kwa kiasi kikubwa katika juhudi za kuleta mabadiliko ya kidemokrasia nchini humo. == Maisha ya awali == Harold Jack Simons alizaliwa mwaka 1907 katika Riversdale, wakati huo ikiwa sehemu ya Cape Colony. Baba yake, Hyman Simons, anatajwa kuwa alihamia Afrika Kusini katika kipindi cha Cecil Rhodes akiwa mwalimu.<ref name="Simons">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=LyaGDAAAQBAJ&dq=jack+simons&pg=PR11|title=Struggles in Southern Africa for Survival and Equality|last=Simons|first=H.J.|publisher=Springer|year=1997|isbn=9780230373044|page=240}}</ref> Simons alihitimu masomo yake mwaka [[1924]] na kuanza kufanya kazi kama karani katika kampuni ya sheria, ambapo baadaye alipata cheti cha sheria. Mwaka [[1926]] alihamia Pretoria na kuanza kufanya kazi katika utumishi wa umma ndani ya Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu na Sheria. Akiendelea kusoma akiwa kazini, alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria kutoka [[Chuo Kikuu cha Afrika Kusini]]. Baadaye alipewa udhamini wa kusoma Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Siasa katika University of Pretoria, ambapo alijikita zaidi katika utafiti wa mfumo wa adhabu wa Afrika Kusini. Mwaka [[1932]] alipata udhamini mwingine uliompeleka katika London School of Economics, ambapo alikamilisha Shahada ya Uzamivu mwaka [[1935]]. Utafiti wake ulilinganisha mifumo ya adhabu kati ya Afrika Kusini, Kenya na Rhodesia Kusini. Wakati akiwa [[Ulaya]], alishuhudia kuibuka kwa mitazamo ya kisiasa kama Ufashisti na Unazi, pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini [[Uhispania]], jambo lililoathiri mtazamo wake wa kisiasa. Katika kipindi hicho pia alianzisha vikundi vya kujifunza mawazo ya Marxist na hatimaye alijiunga na Chama cha Kikomunisti cha Uingereza mwaka [[1933]].<ref name="JSAS01">{{cite journal |last=Macmillan |first=Hugh |date=December 1995 |title=Obituary: Jack Simons |journal=Journal of Southern African Studies |volume=21 |issue=4 |pages=689–90 |doi=10.1080/03057079508708474 |jstor=2637229}}</ref> == Maisha ya Baadaye == Harold Jack Simons walirejea nchini Afrika Kusini mwaka [[1990]], kipindi muhimu kilichofuata kuachiliwa huru kwa [[Nelson Mandela]]. Kurudi kwao kulikuja wakati wa mpito kuelekea mwisho wa mfumo wa ubaguzi wa rangi, na walishuhudia pia uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia nchini Afrika Kusini mwaka [[1994]]. Mwaka huo huo wa 1994, Simons alitunukiwa shahada ya uzamivu wa heshima katika Sheria kutoka [[Chuo Kikuu cha Cape Town|University of Cape Town]], kama kutambua mchango wake mkubwa katika elimu na mapambano ya kijamii. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1907]] [[Jamii: Waliofariki 1995]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] e7e4cvgd8c8re0eg4ega44lpy0p65w0 1508105 1507937 2026-04-21T10:14:54Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Jack Simons (kitaaluma)]] hadi [[Jack Simons (mtaaluma)]]: usahihi wa jina 1507937 wikitext text/x-wiki '''Jack Simons''' ([[1 Februari]] [[1907]] – [[22 Julai]] [[1995]]) alikuwa mwanazuoni na [[mwanaharakati]] mashuhuri wa kupinga [[ubaguzi wa rangi]] nchini [[Afrika Kusini]]. Alijulikana kwa mchango wake mkubwa katika elimu ya juu pamoja na harakati za kisiasa zilizolenga kuondoa mfumo wa ubaguzi wa rangi. Akiwa katika mazingira ya vyuo vikuu, Simons alitumia taaluma yake kama jukwaa la kuelimisha na kuhamasisha kuhusu haki za kijamii, usawa, na ukombozi wa watu waliokuwa wakikandamizwa. Alikuwa sehemu ya kizazi cha wasomi waliounganisha elimu na mapambano ya kisiasa, wakichangia kwa kiasi kikubwa katika juhudi za kuleta mabadiliko ya kidemokrasia nchini humo. == Maisha ya awali == Harold Jack Simons alizaliwa mwaka 1907 katika Riversdale, wakati huo ikiwa sehemu ya Cape Colony. Baba yake, Hyman Simons, anatajwa kuwa alihamia Afrika Kusini katika kipindi cha Cecil Rhodes akiwa mwalimu.<ref name="Simons">{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=LyaGDAAAQBAJ&dq=jack+simons&pg=PR11|title=Struggles in Southern Africa for Survival and Equality|last=Simons|first=H.J.|publisher=Springer|year=1997|isbn=9780230373044|page=240}}</ref> Simons alihitimu masomo yake mwaka [[1924]] na kuanza kufanya kazi kama karani katika kampuni ya sheria, ambapo baadaye alipata cheti cha sheria. Mwaka [[1926]] alihamia Pretoria na kuanza kufanya kazi katika utumishi wa umma ndani ya Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu na Sheria. Akiendelea kusoma akiwa kazini, alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria kutoka [[Chuo Kikuu cha Afrika Kusini]]. Baadaye alipewa udhamini wa kusoma Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Siasa katika University of Pretoria, ambapo alijikita zaidi katika utafiti wa mfumo wa adhabu wa Afrika Kusini. Mwaka [[1932]] alipata udhamini mwingine uliompeleka katika London School of Economics, ambapo alikamilisha Shahada ya Uzamivu mwaka [[1935]]. Utafiti wake ulilinganisha mifumo ya adhabu kati ya Afrika Kusini, Kenya na Rhodesia Kusini. Wakati akiwa [[Ulaya]], alishuhudia kuibuka kwa mitazamo ya kisiasa kama Ufashisti na Unazi, pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini [[Uhispania]], jambo lililoathiri mtazamo wake wa kisiasa. Katika kipindi hicho pia alianzisha vikundi vya kujifunza mawazo ya Marxist na hatimaye alijiunga na Chama cha Kikomunisti cha Uingereza mwaka [[1933]].<ref name="JSAS01">{{cite journal |last=Macmillan |first=Hugh |date=December 1995 |title=Obituary: Jack Simons |journal=Journal of Southern African Studies |volume=21 |issue=4 |pages=689–90 |doi=10.1080/03057079508708474 |jstor=2637229}}</ref> == Maisha ya Baadaye == Harold Jack Simons walirejea nchini Afrika Kusini mwaka [[1990]], kipindi muhimu kilichofuata kuachiliwa huru kwa [[Nelson Mandela]]. Kurudi kwao kulikuja wakati wa mpito kuelekea mwisho wa mfumo wa ubaguzi wa rangi, na walishuhudia pia uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia nchini Afrika Kusini mwaka [[1994]]. Mwaka huo huo wa 1994, Simons alitunukiwa shahada ya uzamivu wa heshima katika Sheria kutoka [[Chuo Kikuu cha Cape Town|University of Cape Town]], kama kutambua mchango wake mkubwa katika elimu na mapambano ya kijamii. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1907]] [[Jamii: Waliofariki 1995]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanaharakati wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] e7e4cvgd8c8re0eg4ega44lpy0p65w0 Pauline Cupido 0 229650 1507936 2026-04-21T05:57:51Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Pauline Cupido''' (anayejulikana pia kama Paulina Wilhelmina “Pauline” Cupido) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye alihudumu katika Bunge la Mkoa wa Western Cape kuanzia mwaka 2003 hadi 2012. Aliwakilisha African Christian Democratic Party (ACDP) kuanzia mwaka 2004 na pia alikuwa kiongozi wa chama hicho katika ngazi ya mkoa wa Western Cape hadi mwaka 2012, alipohama na kujiunga na Democratic Alliance (DA).<ref name=":0">{{Cite web|date=24...' 1507936 wikitext text/x-wiki '''Pauline Cupido''' (anayejulikana pia kama Paulina Wilhelmina “Pauline” Cupido) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye alihudumu katika Bunge la Mkoa wa Western Cape kuanzia mwaka 2003 hadi 2012. Aliwakilisha African Christian Democratic Party (ACDP) kuanzia mwaka 2004 na pia alikuwa kiongozi wa chama hicho katika ngazi ya mkoa wa Western Cape hadi mwaka 2012, alipohama na kujiunga na Democratic Alliance (DA).<ref name=":0">{{Cite web|date=24 May 1994|title=Minutes of proceedings of the Constitutional Assembly|url=https://www.justice.gov.za/legislation/constitution/history/MINUTES/CA24054.PDF|access-date=2 April 2023|publisher=Department of Justice and Constitutional Development}}</ref> Kabla ya kujiunga na bunge la mkoa, Cupido alikuwa Mbunge wa Bunge la Taifa kuanzia mwaka 1994 hadi 2003. Akiwa huko, aliwakilisha National Party (NP, baadaye New National Party) hadi uchaguzi mkuu wa mwaka 1999, ambapo alihamia Democratic Party (DP, baadaye DA).<ref name=":1">{{Cite web|date=1999-02-19|title=Who’ll cook for the women MPs?|url=https://mg.co.za/article/1999-02-19-wholl-cook-for-the-women-mps/|access-date=2023-04-15|website=The Mail & Guardian|language=en-ZA}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 8o8vqsaj3ibnphrr2wx2ozu3eq6v53g Lydia Johnson 0 229651 1507938 2026-04-21T06:00:53Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lydia Johnson''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] aliyewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la KwaZulu-Natal hadi mwaka 2019. Alikuwa Spika wa bunge hilo kuanzia mwaka 2013 hadi 2019. Kabla ya hapo, alihudumu katika Baraza la Utendaji la KwaZulu-Natal kati ya mwaka 2006 na 2011. Katika kipindi hicho, alikuwa Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) wa Kazi za Umma kuanzia 2006 hadi 2009, na baadaye MEC wa Kilimo, Mazingira na Maendele...' 1507938 wikitext text/x-wiki '''Lydia Johnson''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] aliyewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la KwaZulu-Natal hadi mwaka 2019. Alikuwa Spika wa bunge hilo kuanzia mwaka 2013 hadi 2019. Kabla ya hapo, alihudumu katika Baraza la Utendaji la KwaZulu-Natal kati ya mwaka 2006 na 2011. Katika kipindi hicho, alikuwa Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) wa Kazi za Umma kuanzia 2006 hadi 2009, na baadaye MEC wa Kilimo, Mazingira na Maendeleo ya Vijijini kuanzia 2009 hadi 2011. Mnamo Juni 2022, aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya Ezemvelo KZN Wildlife.<ref>{{Cite web|date=15 November 2011|title=Changes to the KZN cabinet – Zweli Mkhize|url=https://www.politicsweb.co.za/politics/changes-to-the-kzn-cabinet--zweli-mkhize|access-date=2023-01-09|website=Politicsweb|language=en}}</ref> == Marejeo == <references responsive="1"></references> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] p3vr66vriatwv9zcivauq4p80v7fo9w Annie Matumbi 0 229652 1507939 2026-04-21T06:01:13Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Chiyanjano Muheziwa''' maarufu kama '''Annie Matumbi''', na wakati mwingine hujulikana kama '''Nyakwawa''', ni mwanamuziki mkongwe kutoka [[Malawi]], mtangazaji wa televisheni, mwigizaji na mwanasiasa.<ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-08-24 |title=She is my wife: Matumbi denies kissing a hooker in public Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/08/24/she-is-my-wife-matumbi-denies-kissing-a-hooker-in-...' 1507939 wikitext text/x-wiki '''Chiyanjano Muheziwa''' maarufu kama '''Annie Matumbi''', na wakati mwingine hujulikana kama '''Nyakwawa''', ni mwanamuziki mkongwe kutoka [[Malawi]], mtangazaji wa televisheni, mwigizaji na mwanasiasa.<ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-08-24 |title=She is my wife: Matumbi denies kissing a hooker in public Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/08/24/she-is-my-wife-matumbi-denies-kissing-a-hooker-in-public/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-04-20 |title=16 artists’ line up for Carlsberg CoolPRO Sunsplash - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/16-artists-line-up-for-carlsberg-coolpro-sunsplash/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref name=":0">{{Cite web |last=Gondwe |first=Edith |date=2022-04-19 |title=Annie Matumbi settles personal issues on stage {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/annie-matumbi-settles-personal-issues-on-stage/ |access-date=2024-02-16 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2015-10-09 |title=Annie Matumbi dresses Maskal down Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2015/10/09/annie-matumbi-dresses-maskal-down/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2012-10-22 |title=Matumbi in ‘Julie & Vivian’ movie production - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/matumbi-in-julie-vivian-movie-production/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-05-05 |title=Vic Marley’s memorial show set for May 29 Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/05/05/vic-marleys-memorial-show-set-for-may-29/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2022-04-17 |title=Mwikho! Matumbi appears on stage in a kilt Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2022/04/17/mwikho-matumbi-appears-on-stage-in-a-kilt/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref> Amewahi kutoa nyimbo na albamu kadhaa zilizofanikiwa kama ''Marshup'', ''Free Major 1'' na ''Malawi Must Be Saved'', ambazo zimemfanya kuwa maarufu sana nchini Malawi. Mbali na muziki, Muheziwa pia ni mtangazaji wa televisheni katika Luso TV ambapo huendesha vipindi na matukio mbalimbali, jambo lililomsaidia kujenga umaarufu mkubwa kwenye vyombo vya habari.<ref name=":0" /> == Historia == === Maisha ya awali na kazi ya muziki === Muheziwa alizaliwa katika wilaya ya Salima District nchini Malawi. Alianza kujihusisha na muziki akiwa na umri mdogo. Baadaye alihamia mjini [[Lilongwe]], mji mkuu wa Malawi, ili kuendeleza kazi yake ya muziki. Ametoa nyimbo nyingi zikiwemo ''Marshup'', ''Free Major 1'', ''Julie Part 10 (Yao Version)'', ''Malawi Must Be Saved'' na ''Mafunyeta Tribute'', pamoja na albamu mbalimbali. Mwaka 2017, Muheziwa alidai kuwa yeye ndiye baba wa muziki wa kisasa (urban music) nchini Malawi.<ref>{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2017-07-11 |title=Matumbi claims he is the father of Malawi urban music Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2017/07/11/matumbi-claims-father-malawi-urban-music/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref> === Kazi ya kisiasa === Muheziwa aligombea nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2019 kupitia chama cha Democratic Progressive Party (DPP) katika jimbo la Lilongwe City South West.<ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-03-10 |title=Musician Matumbi embarks on initiative to fix potholes Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/03/10/musician-matumbi-embarks-on-initiative-to-fix-potholes/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-06-26 |title=Anne Matumbi upbeat to win as MP for Lilongwe City South West on DPP ticket - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/anne-matumbi-upbeat-to-win-as-mp-for-lilongwe-city-south-west-on-dpp-ticket/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |date=2013-06-28 |title=Musician Annie Matumbi joins politics, to contest in Thyolo on DPP ticket - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/musician-annie-matumbi-joins-politics-to-contest-in-thyolo-on-dpp-ticket/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Televisheni na uigizaji === Muheziwa pia ni mtangazaji wa televisheni na mwigizaji ambaye alionekana katika filamu ya Malawi iitwayo ''Julie and Vivian''. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Matumbi, Annie}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Waandishi]] butvms9thtt7t3oek50ug50q82lgx90 1508108 1507939 2026-04-21T10:16:00Z Riccardo Riccioni 452 1508108 wikitext text/x-wiki '''Chiyanjano Muheziwa''' maarufu kama '''Annie Matumbi''', na wakati mwingine hujulikana kama '''Nyakwawa''', ni mwanamuziki mkongwe kutoka [[Malawi]], mtangazaji wa televisheni, mwigizaji na mwanasiasa.<ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-08-24 |title=She is my wife: Matumbi denies kissing a hooker in public Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/08/24/she-is-my-wife-matumbi-denies-kissing-a-hooker-in-public/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-04-20 |title=16 artists’ line up for Carlsberg CoolPRO Sunsplash - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/16-artists-line-up-for-carlsberg-coolpro-sunsplash/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref name=":0">{{Cite web |last=Gondwe |first=Edith |date=2022-04-19 |title=Annie Matumbi settles personal issues on stage {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/annie-matumbi-settles-personal-issues-on-stage/ |access-date=2024-02-16 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2015-10-09 |title=Annie Matumbi dresses Maskal down Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2015/10/09/annie-matumbi-dresses-maskal-down/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2012-10-22 |title=Matumbi in ‘Julie & Vivian’ movie production - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/matumbi-in-julie-vivian-movie-production/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-05-05 |title=Vic Marley’s memorial show set for May 29 Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/05/05/vic-marleys-memorial-show-set-for-may-29/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2022-04-17 |title=Mwikho! Matumbi appears on stage in a kilt Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2022/04/17/mwikho-matumbi-appears-on-stage-in-a-kilt/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref> Amewahi kutoa nyimbo na albamu kadhaa zilizofanikiwa kama ''Marshup'', ''Free Major 1'' na ''Malawi Must Be Saved'', ambazo zimemfanya kuwa maarufu sana nchini Malawi. Mbali na muziki, Muheziwa pia ni mtangazaji wa televisheni katika Luso TV ambapo huendesha vipindi na matukio mbalimbali, jambo lililomsaidia kujenga umaarufu mkubwa kwenye vyombo vya habari.<ref name=":0" /> == Historia == === Maisha ya awali na kazi ya muziki === Muheziwa alizaliwa katika wilaya ya Salima District nchini Malawi. Alianza kujihusisha na muziki akiwa na umri mdogo. Baadaye alihamia mjini [[Lilongwe]], mji mkuu wa Malawi, ili kuendeleza kazi yake ya muziki. Ametoa nyimbo nyingi zikiwemo ''Marshup'', ''Free Major 1'', ''Julie Part 10 (Yao Version)'', ''Malawi Must Be Saved'' na ''Mafunyeta Tribute'', pamoja na albamu mbalimbali. Mwaka 2017, Muheziwa alidai kuwa yeye ndiye baba wa muziki wa kisasa (urban music) nchini Malawi.<ref>{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2017-07-11 |title=Matumbi claims he is the father of Malawi urban music Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2017/07/11/matumbi-claims-father-malawi-urban-music/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref> === Kazi ya kisiasa === Muheziwa aligombea nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2019 kupitia chama cha Democratic Progressive Party (DPP) katika jimbo la Lilongwe City South West.<ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2021-03-10 |title=Musician Matumbi embarks on initiative to fix potholes Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2021/03/10/musician-matumbi-embarks-on-initiative-to-fix-potholes/ |access-date=2024-02-16 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-06-26 |title=Anne Matumbi upbeat to win as MP for Lilongwe City South West on DPP ticket - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/anne-matumbi-upbeat-to-win-as-mp-for-lilongwe-city-south-west-on-dpp-ticket/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |date=2013-06-28 |title=Musician Annie Matumbi joins politics, to contest in Thyolo on DPP ticket - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/musician-annie-matumbi-joins-politics-to-contest-in-thyolo-on-dpp-ticket/ |access-date=2024-02-16 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Televisheni na uigizaji === Muheziwa pia ni mtangazaji wa televisheni na mwigizaji ambaye alionekana katika filamu ya Malawi iitwayo ''Julie and Vivian''. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} {{DEFAULTSORT:Matumbi, Annie}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Wanasiasa wa Malawi]] d1kyz0ncy6vf62cpk914rcww60tq0ju Howard Lutnick 0 229653 1507940 2026-04-21T06:06:10Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Howard William Lutnick''' (Alizaliwa [[Julai 14]], [[1961]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na afisa wa serikali ambaye amehudumu kama Waziri wa 41 wa Biashara wa Marekani tangu mwaka [[2025]].<ref name=NYT-wed>{{Cite news |title=Howard Lutnick, Allison Lambert |date=December 11, 1994 |url=https://www.nytimes.com/1994/12/11/style/weddings-howard-lutnick-allison-lambert.html |work=[[The New York Times]] |access-date=February 13, 2025}...' 1507940 wikitext text/x-wiki '''Howard William Lutnick''' (Alizaliwa [[Julai 14]], [[1961]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea nchini [[Marekani]] na afisa wa serikali ambaye amehudumu kama Waziri wa 41 wa Biashara wa Marekani tangu mwaka [[2025]].<ref name=NYT-wed>{{Cite news |title=Howard Lutnick, Allison Lambert |date=December 11, 1994 |url=https://www.nytimes.com/1994/12/11/style/weddings-howard-lutnick-allison-lambert.html |work=[[The New York Times]] |access-date=February 13, 2025}}</ref> Yeye ni rais na afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya huduma za kifedha ''Cantor Fitzgerald''.<ref name=West>{{Cite news |last=West |first=Melanie |url=https://www.wsj.com/articles/evolving-a-sept-11-charity-1410368859 |title=Evolving a Sept. 11 Charity |date=September 10, 2014 |publisher=[[The Wall Street Journal]] |access-date=February 19, 2025}}</ref> Katika mashambulizi ya [[Septemba 11, 2001|Septemba 11]], Cantor Fitzgerald ilipoteza wafanyakazi 658, ikiwemo kaka yake Gary.<ref>{{cite web |title=Howard Lutnick's Second Life |url=https://nymag.com/ |website=New York Magazine |access-date=2026-04-21}}</ref> Lutnick alikuwa mtayarishaji mkuu wa chama cha Republican na alihudumu kama mwenyekiti mwenza wa timu ya mpito ya [[Donald Trump]].<ref name=Snyder>{{Cite web |last=Snyder |first=Susan |url=https://www.inquirer.com/philly/news/homepage/20141026_Haverford_gets_record_gift_from_an_alum_the_college_helped_save.html |title=Haverford gets record gift from an alum the college helped save |date=October 25, 2014 |work=[[The Philadelphia Inquirer]] |access-date=February 15, 2025}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1961]] [[Jamii:Watu walio hai]] ey0f210fryglrklirlb06wpsvi8pb4r Princess Chitsulo 0 229654 1507941 2026-04-21T06:15:39Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mizaya Princess Chitsulo''' (amezaliwa tarehe 1 Januari 1981), anayejulikana zaidi kama '''Princess Chitsulo''', ni mwimbaji wa nyimbo za injili, mwanaharakati na mfanyabiashara kutoka [[Malawi]].<ref>{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-09-20 |title=Princess Chitsulo back with song of happiness {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/princess-chitsulo-back-with-song-of-happiness/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref><ref>...' 1507941 wikitext text/x-wiki '''Mizaya Princess Chitsulo''' (amezaliwa tarehe 1 Januari 1981), anayejulikana zaidi kama '''Princess Chitsulo''', ni mwimbaji wa nyimbo za injili, mwanaharakati na mfanyabiashara kutoka [[Malawi]].<ref>{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-09-20 |title=Princess Chitsulo back with song of happiness {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/princess-chitsulo-back-with-song-of-happiness/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Times |first=The Daily |date=2023-01-06 |title=Princess Chitsulo celebrates birthday with the needy |url=https://www.africannewsagency.com/times-group-malawi/princess-chitsulo-celebrates-birthday-with-the-needy-63d954f4-244d-5aed-9ebb-a40b055eb920/ |access-date=2024-03-19 |website=African News Agency |language=en-ZA}}</ref><ref name=":2">{{Cite web |date=2016-10-03 |title=Princess Chitsulo album launch surpasses expectations: Ben Phiri supports cause with K0.5 mil - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-album-launch-surpasses-expectations-ben-phiri-supports-cause-k0-5-mil/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2001 alipokea tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike katika shindano la Malawi Gin. Mwaka 2014 pia alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike, na wimbo wake ''Ndidzayimba Nyimbo'' (Nitaimba wimbo) ukachaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Mwaka.<ref name=":3">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-03-16 |title=2016 MUMA Awards to clear 2014 controversy {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/2016-muma-awards-to-clear-2014-controversy/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2016, Chitsulo alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Magic Promotions, na mwaka 2018 alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika shughuli za kijamii.<ref name=":2" /> Chitsulo pia ni mwanzilishi wa shirika la misaada lijulikanalo kama Princess Chitsulo Foundation lililoanzishwa Desemba 2014 kwa lengo la kuwasaidia wazee, maskini na watoto walio katika mazingira magumu nchini Malawi.<ref name=":1">{{Cite web |last=Loka |first=Chris |date=2016-11-01 |title=Person with albinism gets business boost from Princess Chitsulo Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/11/01/person-albinism-gets-business-boost-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-04-27 |title=Princess Chitsulo Foundation pays tuition for 10 girls at South Lunzu CDSS - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-foundation-pays-tuition-for-10-girls-at-south-lunzu-cdss/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Historia == === Maisha ya awali === Chitsulo alizaliwa tarehe 1 Januari 1981 katika wilaya ya Chiradzulu District nchini Malawi, akiwa mtoto wa mfanyabiashara na kiongozi wa jadi Raiden Chitsulo pamoja na Angellina Makatanje. Ana ndugu watatu ambao ni Tina, Margaret na Grace. Mama yake alifariki akiwa mdogo na hakuwa na kumbukumbu nyingi kumhusu. Akiwa na umri wa miaka 12, alipoteza baba yake. Baadaye yeye na ndugu zake walihamia kijijini kwao kabla ya kuhamia moja kwa moja mjini [[Blantyre]] kuishi na ndugu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Mthandizi |first=Alfred |date=2016-03-07 |title=Princess Chitsulo to Release New Album |url=https://www.malawistar.com/2016/03/07/princess-chitsulo-to-release-new-album/ |access-date=2024-03-19 |website=The Malawi Star |language=en-GB}}</ref> ==== Elimu ==== Alipata elimu ya sekondari katika shule za Chiradzulu Secondary School na Chichiri Secondary School. Pia alijiunga na kozi ya masoko katika Lehlonolo Business College lakini hakukamilisha kutokana na ukosefu wa msaada wa kifedha.<ref name=":0" /> ===== Matatizo ya kiafya ===== Mwaka 2000, Chitsulo aliugua ugonjwa wa meningitisi na kulazwa katika Queen Elizabeth Central Hospital. Mwaka 2014 aligundulika kuwa na tatizo la moyo na alipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.<ref>{{Cite web |date=2014-05-27 |title=Princes Chitsulo back: Fit and well - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princes-chitsulo-back-fit-and-well/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Marais wa zamani wa Malawi, [[Peter Mutharika]] na [[Joyce Banda]], walitoa msaada wa kifedha ili aweze kusafiri kwa matibabu nchini Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |date=2014-05-07 |title=JB, Mutharika assist gospel songstress Princess Chitsulo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/jb-mutharika-assist-gospel-songstress-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Kazi ya muziki == Chitsulo alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 2000 na alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 2000.<ref name=":0" /> Mwaka 2015 alitoa albamu yake ya pili iitwayo ''Mavutowa Akadzatha'' (Matatizo yatakapokwisha).<ref name=":0" /> Mwaka 2016 alitoa albamu yake ya tatu ''Nyimbo Yanga'' (Wimbo wangu) iliyokuwa na wimbo maarufu ''Chenjera Peturo'' (Kuwa mwangalifu Petro).<ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/201604080750.html |title= |access-date=2024-03-19}}</ref><ref name=":2"/> Mwaka 2023 alitoa albamu yake ya nne iitwayo ''Nsembe'' (Sadaka).<ref>{{Cite web |last=Voice |first=Malawi |date=2023-02-21 |title=Gospel musician Princess Chitsulo set to release Nsembe album |url=https://www.malawivoice.com/2023/02/21/gospel-musician-princess-chitsulo-set-to-release-nsembe-album/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi Voice |language=en-US}}</ref> Ameshirikiana na wasanii wa injili maarufu nchini humo kama Thoko Katimba na Ethel Kand pamoja na kwaya ya Great Angels Choir.<ref>{{Cite web |date=2018-09-24 |title=Namadingo, Chiwamba and Princess Chitsulo to share stage on Mother’s day in Lilongwe - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/namadingo-chiwamba-and-princess-chitsulo-to-share-stage-on-mothers-day-in-lilongwe/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Uanaharakati === Kupitia shirika lake la misaada, Chitsulo amekuwa akiwasaidia watu wenye ualbino nchini Malawi. Miongoni mwa misaada hiyo ni kutoa kiasi cha K24,000 kusaidia biashara ya ndizi kwa mtu mwenye ualbino aitwaye Constance Msiska huko [[Mzuzu]].<ref name=":1" /> == Mafanikio == === Magic Promotions === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2018 |Yeye mwenyewe |Best Gospel Act |Alishinda |} === MUMA Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2014 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike |Alishinda |- |2014 |''Ndidzayimba Nyimbo'' |Wimbo Bora wa Mwaka |Alishinda |} === Malawi Gin Competition === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2001 |Yeye mwenyewe |Mwimbaji Bora wa Kike |Alishinda |} == Maisha binafsi == Chitsulo alikuwa ameolewa na marehemu Albert Nyasulu ambaye alifariki miezi sita kabla ya kufanyika kwa harusi yao. Ana mtoto mmoja wa kike anayeitwa Sarah. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Chitsulo, Princess}} [[Jamii:Watu hai]] [[Jamii:Wanamuziki wa Malawi]] [[Jamii:Waliozaliwa 1981]] [[Jamii:Waandishi wa nyimbo wa Malawi]] [[Jamii:Watu kutoka Lilongwe]] [[Jamii:Watu kutoka Blantyre]] [[Jamii:Wanamuziki wa kike wa Malawi wa karne ya 21]] [[Jamii:Wanamuziki wa pop wa Malawi]] [[Jamii:Washindi wa Tuzo za UMP]] [[Jamii:Wanamuziki wa kuandika na kuimba wa Malawi]] [[Jamii:Watu wa Malawi wa karne ya 21]] [[Jamii:Wanamuziki wa injili wa Malawi]] [[Jamii:Wanamuziki kutoka Blantyre]] ``` 357kmol4rw53jc1tdcu9ge13ie9wlqd 1507942 1507941 2026-04-21T06:17:22Z Valuegirl 87699 1507942 wikitext text/x-wiki '''Mizaya Princess Chitsulo''' (amezaliwa tarehe 1 Januari 1981), anayejulikana zaidi kama '''Princess Chitsulo''', ni mwimbaji wa nyimbo za injili, mwanaharakati na mfanyabiashara kutoka [[Malawi]].<ref>{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-09-20 |title=Princess Chitsulo back with song of happiness {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/princess-chitsulo-back-with-song-of-happiness/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Times |first=The Daily |date=2023-01-06 |title=Princess Chitsulo celebrates birthday with the needy |url=https://www.africannewsagency.com/times-group-malawi/princess-chitsulo-celebrates-birthday-with-the-needy-63d954f4-244d-5aed-9ebb-a40b055eb920/ |access-date=2024-03-19 |website=African News Agency |language=en-ZA}}</ref><ref name=":2">{{Cite web |date=2016-10-03 |title=Princess Chitsulo album launch surpasses expectations: Ben Phiri supports cause with K0.5 mil - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-album-launch-surpasses-expectations-ben-phiri-supports-cause-k0-5-mil/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2001 alipokea tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike katika shindano la Malawi Gin. Mwaka 2014 pia alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike, na wimbo wake ''Ndidzayimba Nyimbo'' (Nitaimba wimbo) ukachaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Mwaka.<ref name=":3">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-03-16 |title=2016 MUMA Awards to clear 2014 controversy {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/2016-muma-awards-to-clear-2014-controversy/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2016, Chitsulo alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Magic Promotions, na mwaka 2018 alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika shughuli za kijamii.<ref name=":2" /> Chitsulo pia ni mwanzilishi wa shirika la misaada lijulikanalo kama Princess Chitsulo Foundation lililoanzishwa Desemba 2014 kwa lengo la kuwasaidia wazee, maskini na watoto walio katika mazingira magumu nchini Malawi.<ref name=":1">{{Cite web |last=Loka |first=Chris |date=2016-11-01 |title=Person with albinism gets business boost from Princess Chitsulo Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/11/01/person-albinism-gets-business-boost-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-04-27 |title=Princess Chitsulo Foundation pays tuition for 10 girls at South Lunzu CDSS - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-foundation-pays-tuition-for-10-girls-at-south-lunzu-cdss/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Historia == === Maisha ya awali === Chitsulo alizaliwa tarehe 1 Januari 1981 katika wilaya ya Chiradzulu District nchini Malawi, akiwa mtoto wa mfanyabiashara na kiongozi wa jadi Raiden Chitsulo pamoja na Angellina Makatanje. Ana ndugu watatu ambao ni Tina, Margaret na Grace. Mama yake alifariki akiwa mdogo na hakuwa na kumbukumbu nyingi kumhusu. Akiwa na umri wa miaka 12, alipoteza baba yake. Baadaye yeye na ndugu zake walihamia kijijini kwao kabla ya kuhamia moja kwa moja mjini [[Blantyre]] kuishi na ndugu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Mthandizi |first=Alfred |date=2016-03-07 |title=Princess Chitsulo to Release New Album |url=https://www.malawistar.com/2016/03/07/princess-chitsulo-to-release-new-album/ |access-date=2024-03-19 |website=The Malawi Star |language=en-GB}}</ref> ==== Elimu ==== Alipata elimu ya sekondari katika shule za Chiradzulu Secondary School na Chichiri Secondary School. Pia alijiunga na kozi ya masoko katika Lehlonolo Business College lakini hakukamilisha kutokana na ukosefu wa msaada wa kifedha.<ref name=":0" /> ===== Matatizo ya kiafya ===== Mwaka 2000, Chitsulo aliugua ugonjwa wa meningitisi na kulazwa katika Queen Elizabeth Central Hospital. Mwaka 2014 aligundulika kuwa na tatizo la moyo na alipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.<ref>{{Cite web |date=2014-05-27 |title=Princes Chitsulo back: Fit and well - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princes-chitsulo-back-fit-and-well/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Marais wa zamani wa Malawi, [[Peter Mutharika]] na [[Joyce Banda]], walitoa msaada wa kifedha ili aweze kusafiri kwa matibabu nchini Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |date=2014-05-07 |title=JB, Mutharika assist gospel songstress Princess Chitsulo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/jb-mutharika-assist-gospel-songstress-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Kazi ya muziki == Chitsulo alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 2000 na alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 2000.<ref name=":0" /> Mwaka 2015 alitoa albamu yake ya pili iitwayo ''Mavutowa Akadzatha'' (Matatizo yatakapokwisha).<ref name=":0" /> Mwaka 2016 alitoa albamu yake ya tatu ''Nyimbo Yanga'' (Wimbo wangu) iliyokuwa na wimbo maarufu ''Chenjera Peturo'' (Kuwa mwangalifu Petro).<ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/201604080750.html |title= |access-date=2024-03-19}}</ref><ref name=":2"/> Mwaka 2023 alitoa albamu yake ya nne iitwayo ''Nsembe'' (Sadaka).<ref>{{Cite web |last=Voice |first=Malawi |date=2023-02-21 |title=Gospel musician Princess Chitsulo set to release Nsembe album |url=https://www.malawivoice.com/2023/02/21/gospel-musician-princess-chitsulo-set-to-release-nsembe-album/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi Voice |language=en-US}}</ref> Ameshirikiana na wasanii wa injili maarufu nchini humo kama Thoko Katimba na Ethel Kand pamoja na kwaya ya Great Angels Choir.<ref>{{Cite web |date=2018-09-24 |title=Namadingo, Chiwamba and Princess Chitsulo to share stage on Mother’s day in Lilongwe - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/namadingo-chiwamba-and-princess-chitsulo-to-share-stage-on-mothers-day-in-lilongwe/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Uanaharakati === Kupitia shirika lake la misaada, Chitsulo amekuwa akiwasaidia watu wenye ualbino nchini Malawi. Miongoni mwa misaada hiyo ni kutoa kiasi cha K24,000 kusaidia biashara ya ndizi kwa mtu mwenye ualbino aitwaye Constance Msiska huko [[Mzuzu]].<ref name=":1" /> == Mafanikio == === Magic Promotions === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2018 |Yeye mwenyewe |Best Gospel Act |Alishinda |} === MUMA Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2014 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike |Alishinda |- |2014 |''Ndidzayimba Nyimbo'' |Wimbo Bora wa Mwaka |Alishinda |} === Malawi Gin Competition === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2001 |Yeye mwenyewe |Mwimbaji Bora wa Kike |Alishinda |} == Maisha binafsi == Chitsulo alikuwa ameolewa na marehemu Albert Nyasulu ambaye alifariki miezi sita kabla ya kufanyika kwa harusi yao. Ana mtoto mmoja wa kike anayeitwa Sarah. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Chitsulo, Princess}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] jpcezq7nlv9fx38rbblbo0oeq3gf10n 1507943 1507942 2026-04-21T06:18:13Z Valuegirl 87699 1507943 wikitext text/x-wiki '''Mizaya Princess Chitsulo''' (amezaliwa tarehe 1 Januari 1981), anayejulikana zaidi kama '''Princess Chitsulo''', ni mwimbaji wa nyimbo za injili, na ni mwanaharakati na mfanyabiashara kutoka [[Malawi]].<ref>{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-09-20 |title=Princess Chitsulo back with song of happiness {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/princess-chitsulo-back-with-song-of-happiness/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Times |first=The Daily |date=2023-01-06 |title=Princess Chitsulo celebrates birthday with the needy |url=https://www.africannewsagency.com/times-group-malawi/princess-chitsulo-celebrates-birthday-with-the-needy-63d954f4-244d-5aed-9ebb-a40b055eb920/ |access-date=2024-03-19 |website=African News Agency |language=en-ZA}}</ref><ref name=":2">{{Cite web |date=2016-10-03 |title=Princess Chitsulo album launch surpasses expectations: Ben Phiri supports cause with K0.5 mil - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-album-launch-surpasses-expectations-ben-phiri-supports-cause-k0-5-mil/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2001 alipokea tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike katika shindano la Malawi Gin. Mwaka 2014 pia alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike, na wimbo wake ''Ndidzayimba Nyimbo'' (Nitaimba wimbo) ukachaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Mwaka.<ref name=":3">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-03-16 |title=2016 MUMA Awards to clear 2014 controversy {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/2016-muma-awards-to-clear-2014-controversy/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2016, Chitsulo alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Magic Promotions, na mwaka 2018 alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika shughuli za kijamii.<ref name=":2" /> Chitsulo pia ni mwanzilishi wa shirika la misaada lijulikanalo kama Princess Chitsulo Foundation lililoanzishwa Desemba 2014 kwa lengo la kuwasaidia wazee, maskini na watoto walio katika mazingira magumu nchini Malawi.<ref name=":1">{{Cite web |last=Loka |first=Chris |date=2016-11-01 |title=Person with albinism gets business boost from Princess Chitsulo Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/11/01/person-albinism-gets-business-boost-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-04-27 |title=Princess Chitsulo Foundation pays tuition for 10 girls at South Lunzu CDSS - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-foundation-pays-tuition-for-10-girls-at-south-lunzu-cdss/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Historia == === Maisha ya awali === Chitsulo alizaliwa tarehe 1 Januari 1981 katika wilaya ya Chiradzulu District nchini Malawi, akiwa mtoto wa mfanyabiashara na kiongozi wa jadi Raiden Chitsulo pamoja na Angellina Makatanje. Ana ndugu watatu ambao ni Tina, Margaret na Grace. Mama yake alifariki akiwa mdogo na hakuwa na kumbukumbu nyingi kumhusu. Akiwa na umri wa miaka 12, alipoteza baba yake. Baadaye yeye na ndugu zake walihamia kijijini kwao kabla ya kuhamia moja kwa moja mjini [[Blantyre]] kuishi na ndugu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Mthandizi |first=Alfred |date=2016-03-07 |title=Princess Chitsulo to Release New Album |url=https://www.malawistar.com/2016/03/07/princess-chitsulo-to-release-new-album/ |access-date=2024-03-19 |website=The Malawi Star |language=en-GB}}</ref> ==== Elimu ==== Alipata elimu ya sekondari katika shule za Chiradzulu Secondary School na Chichiri Secondary School. Pia alijiunga na kozi ya masoko katika Lehlonolo Business College lakini hakukamilisha kutokana na ukosefu wa msaada wa kifedha.<ref name=":0" /> ===== Matatizo ya kiafya ===== Mwaka 2000, Chitsulo aliugua ugonjwa wa meningitisi na kulazwa katika Queen Elizabeth Central Hospital. Mwaka 2014 aligundulika kuwa na tatizo la moyo na alipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.<ref>{{Cite web |date=2014-05-27 |title=Princes Chitsulo back: Fit and well - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princes-chitsulo-back-fit-and-well/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Marais wa zamani wa Malawi, [[Peter Mutharika]] na [[Joyce Banda]], walitoa msaada wa kifedha ili aweze kusafiri kwa matibabu nchini Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |date=2014-05-07 |title=JB, Mutharika assist gospel songstress Princess Chitsulo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/jb-mutharika-assist-gospel-songstress-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Kazi ya muziki == Chitsulo alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 2000 na alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 2000.<ref name=":0" /> Mwaka 2015 alitoa albamu yake ya pili iitwayo ''Mavutowa Akadzatha'' (Matatizo yatakapokwisha).<ref name=":0" /> Mwaka 2016 alitoa albamu yake ya tatu ''Nyimbo Yanga'' (Wimbo wangu) iliyokuwa na wimbo maarufu ''Chenjera Peturo'' (Kuwa mwangalifu Petro).<ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/201604080750.html |title= |access-date=2024-03-19}}</ref><ref name=":2"/> Mwaka 2023 alitoa albamu yake ya nne iitwayo ''Nsembe'' (Sadaka).<ref>{{Cite web |last=Voice |first=Malawi |date=2023-02-21 |title=Gospel musician Princess Chitsulo set to release Nsembe album |url=https://www.malawivoice.com/2023/02/21/gospel-musician-princess-chitsulo-set-to-release-nsembe-album/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi Voice |language=en-US}}</ref> Ameshirikiana na wasanii wa injili maarufu nchini humo kama Thoko Katimba na Ethel Kand pamoja na kwaya ya Great Angels Choir.<ref>{{Cite web |date=2018-09-24 |title=Namadingo, Chiwamba and Princess Chitsulo to share stage on Mother’s day in Lilongwe - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/namadingo-chiwamba-and-princess-chitsulo-to-share-stage-on-mothers-day-in-lilongwe/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Uanaharakati === Kupitia shirika lake la misaada, Chitsulo amekuwa akiwasaidia watu wenye ualbino nchini Malawi. Miongoni mwa misaada hiyo ni kutoa kiasi cha K24,000 kusaidia biashara ya ndizi kwa mtu mwenye ualbino aitwaye Constance Msiska huko [[Mzuzu]].<ref name=":1" /> == Mafanikio == === Magic Promotions === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2018 |Yeye mwenyewe |Best Gospel Act |Alishinda |} === MUMA Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2014 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike |Alishinda |- |2014 |''Ndidzayimba Nyimbo'' |Wimbo Bora wa Mwaka |Alishinda |} === Malawi Gin Competition === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2001 |Yeye mwenyewe |Mwimbaji Bora wa Kike |Alishinda |} == Maisha binafsi == Chitsulo alikuwa ameolewa na marehemu Albert Nyasulu ambaye alifariki miezi sita kabla ya kufanyika kwa harusi yao. Ana mtoto mmoja wa kike anayeitwa Sarah. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Chitsulo, Princess}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] 5tqxb8atzvretse3qjpmw2vok5o9p6v 1508110 1507943 2026-04-21T10:17:06Z Riccardo Riccioni 452 1508110 wikitext text/x-wiki '''Mizaya Princess Chitsulo''' (amezaliwa 1 Januari 1981), anayejulikana zaidi kama '''Princess Chitsulo''', ni mwimbaji wa nyimbo za injili, na ni mwanaharakati na mfanyabiashara kutoka [[Malawi]].<ref>{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-09-20 |title=Princess Chitsulo back with song of happiness {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/princess-chitsulo-back-with-song-of-happiness/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Times |first=The Daily |date=2023-01-06 |title=Princess Chitsulo celebrates birthday with the needy |url=https://www.africannewsagency.com/times-group-malawi/princess-chitsulo-celebrates-birthday-with-the-needy-63d954f4-244d-5aed-9ebb-a40b055eb920/ |access-date=2024-03-19 |website=African News Agency |language=en-ZA}}</ref><ref name=":2">{{Cite web |date=2016-10-03 |title=Princess Chitsulo album launch surpasses expectations: Ben Phiri supports cause with K0.5 mil - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-album-launch-surpasses-expectations-ben-phiri-supports-cause-k0-5-mil/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2001 alipokea tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike katika shindano la Malawi Gin. Mwaka 2014 pia alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike, na wimbo wake ''Ndidzayimba Nyimbo'' (Nitaimba wimbo) ukachaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Mwaka.<ref name=":3">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-03-16 |title=2016 MUMA Awards to clear 2014 controversy {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/2016-muma-awards-to-clear-2014-controversy/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2016, Chitsulo alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Magic Promotions, na mwaka 2018 alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika shughuli za kijamii.<ref name=":2" /> Chitsulo pia ni mwanzilishi wa shirika la misaada lijulikanalo kama Princess Chitsulo Foundation lililoanzishwa Desemba 2014 kwa lengo la kuwasaidia wazee, maskini na watoto walio katika mazingira magumu nchini Malawi.<ref name=":1">{{Cite web |last=Loka |first=Chris |date=2016-11-01 |title=Person with albinism gets business boost from Princess Chitsulo Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/11/01/person-albinism-gets-business-boost-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-04-27 |title=Princess Chitsulo Foundation pays tuition for 10 girls at South Lunzu CDSS - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-foundation-pays-tuition-for-10-girls-at-south-lunzu-cdss/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Historia == === Maisha ya awali === Chitsulo alizaliwa tarehe 1 Januari 1981 katika wilaya ya Chiradzulu District nchini Malawi, akiwa mtoto wa mfanyabiashara na kiongozi wa jadi Raiden Chitsulo pamoja na Angellina Makatanje. Ana ndugu watatu ambao ni Tina, Margaret na Grace. Mama yake alifariki akiwa mdogo na hakuwa na kumbukumbu nyingi kumhusu. Akiwa na umri wa miaka 12, alipoteza baba yake. Baadaye yeye na ndugu zake walihamia kijijini kwao kabla ya kuhamia moja kwa moja mjini [[Blantyre]] kuishi na ndugu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Mthandizi |first=Alfred |date=2016-03-07 |title=Princess Chitsulo to Release New Album |url=https://www.malawistar.com/2016/03/07/princess-chitsulo-to-release-new-album/ |access-date=2024-03-19 |website=The Malawi Star |language=en-GB}}</ref> ==== Elimu ==== Alipata elimu ya sekondari katika shule za Chiradzulu Secondary School na Chichiri Secondary School. Pia alijiunga na kozi ya masoko katika Lehlonolo Business College lakini hakukamilisha kutokana na ukosefu wa msaada wa kifedha.<ref name=":0" /> ===== Matatizo ya kiafya ===== Mwaka 2000, Chitsulo aliugua ugonjwa wa meningitisi na kulazwa katika Queen Elizabeth Central Hospital. Mwaka 2014 aligundulika kuwa na tatizo la moyo na alipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.<ref>{{Cite web |date=2014-05-27 |title=Princes Chitsulo back: Fit and well - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princes-chitsulo-back-fit-and-well/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Marais wa zamani wa Malawi, [[Peter Mutharika]] na [[Joyce Banda]], walitoa msaada wa kifedha ili aweze kusafiri kwa matibabu nchini Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |date=2014-05-07 |title=JB, Mutharika assist gospel songstress Princess Chitsulo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/jb-mutharika-assist-gospel-songstress-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Kazi ya muziki == Chitsulo alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 2000 na alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 2000.<ref name=":0" /> Mwaka 2015 alitoa albamu yake ya pili iitwayo ''Mavutowa Akadzatha'' (Matatizo yatakapokwisha).<ref name=":0" /> Mwaka 2016 alitoa albamu yake ya tatu ''Nyimbo Yanga'' (Wimbo wangu) iliyokuwa na wimbo maarufu ''Chenjera Peturo'' (Kuwa mwangalifu Petro).<ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/201604080750.html |title= |access-date=2024-03-19}}</ref><ref name=":2"/> Mwaka 2023 alitoa albamu yake ya nne iitwayo ''Nsembe'' (Sadaka).<ref>{{Cite web |last=Voice |first=Malawi |date=2023-02-21 |title=Gospel musician Princess Chitsulo set to release Nsembe album |url=https://www.malawivoice.com/2023/02/21/gospel-musician-princess-chitsulo-set-to-release-nsembe-album/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi Voice |language=en-US}}</ref> Ameshirikiana na wasanii wa injili maarufu nchini humo kama Thoko Katimba na Ethel Kand pamoja na kwaya ya Great Angels Choir.<ref>{{Cite web |date=2018-09-24 |title=Namadingo, Chiwamba and Princess Chitsulo to share stage on Mother’s day in Lilongwe - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/namadingo-chiwamba-and-princess-chitsulo-to-share-stage-on-mothers-day-in-lilongwe/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Uanaharakati === Kupitia shirika lake la misaada, Chitsulo amekuwa akiwasaidia watu wenye ualbino nchini Malawi. Miongoni mwa misaada hiyo ni kutoa kiasi cha K24,000 kusaidia biashara ya ndizi kwa mtu mwenye ualbino aitwaye Constance Msiska huko [[Mzuzu]].<ref name=":1" /> == Mafanikio == === Magic Promotions === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2018 |Yeye mwenyewe |Best Gospel Act |Alishinda |} === MUMA Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2014 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike |Alishinda |- |2014 |''Ndidzayimba Nyimbo'' |Wimbo Bora wa Mwaka |Alishinda |} === Malawi Gin Competition === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2001 |Yeye mwenyewe |Mwimbaji Bora wa Kike |Alishinda |} == Maisha binafsi == Chitsulo alikuwa ameolewa na Albert Nyasulu ambaye alifariki miezi sita kabla ya kufanyika kwa harusi yao. Ana mtoto mmoja wa kike anayeitwa Sarah. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} {{DEFAULTSORT:Chitsulo, Princess}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Waimbaji wa Malawi]] mbdwsr0tz8zgzpjfm7zru156u8jlar9 1508111 1508110 2026-04-21T10:18:01Z Riccardo Riccioni 452 1508111 wikitext text/x-wiki '''Mizaya Princess Chitsulo''' (amezaliwa 1 Januari 1981), anayejulikana zaidi kama '''Princess Chitsulo''', ni mwimbaji wa nyimbo za injili, na ni mwanaharakati na mfanyabiashara kutoka [[Malawi]].<ref>{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-09-20 |title=Princess Chitsulo back with song of happiness {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/princess-chitsulo-back-with-song-of-happiness/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Times |first=The Daily |date=2023-01-06 |title=Princess Chitsulo celebrates birthday with the needy |url=https://www.africannewsagency.com/times-group-malawi/princess-chitsulo-celebrates-birthday-with-the-needy-63d954f4-244d-5aed-9ebb-a40b055eb920/ |access-date=2024-03-19 |website=African News Agency |language=en-ZA}}</ref><ref name=":2">{{Cite web |date=2016-10-03 |title=Princess Chitsulo album launch surpasses expectations: Ben Phiri supports cause with K0.5 mil - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-album-launch-surpasses-expectations-ben-phiri-supports-cause-k0-5-mil/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2001 alipokea tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike katika shindano la Malawi Gin. Mwaka 2014 pia alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike, na wimbo wake ''Ndidzayimba Nyimbo'' (Nitaimba wimbo) ukachaguliwa kuwa Wimbo Bora wa Mwaka.<ref name=":3">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2016-03-16 |title=2016 MUMA Awards to clear 2014 controversy {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/2016-muma-awards-to-clear-2014-controversy/ |access-date=2024-03-19 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2016, Chitsulo alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Magic Promotions, na mwaka 2018 alitunukiwa tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika shughuli za kijamii.<ref name=":2" /> Chitsulo pia ni mwanzilishi wa shirika la misaada lijulikanalo kama Princess Chitsulo Foundation lililoanzishwa Desemba 2014 kwa lengo la kuwasaidia wazee, maskini na watoto walio katika mazingira magumu nchini Malawi.<ref name=":1">{{Cite web |last=Loka |first=Chris |date=2016-11-01 |title=Person with albinism gets business boost from Princess Chitsulo Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/11/01/person-albinism-gets-business-boost-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-04-27 |title=Princess Chitsulo Foundation pays tuition for 10 girls at South Lunzu CDSS - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princess-chitsulo-foundation-pays-tuition-for-10-girls-at-south-lunzu-cdss/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Historia == === Maisha ya awali === Chitsulo alizaliwa tarehe 1 Januari 1981 katika wilaya ya Chiradzulu District nchini Malawi, akiwa mtoto wa mfanyabiashara na kiongozi wa jadi Raiden Chitsulo pamoja na Angellina Makatanje. Ana ndugu watatu ambao ni Tina, Margaret na Grace. Mama yake alifariki akiwa mdogo na hakuwa na kumbukumbu nyingi kumhusu. Akiwa na umri wa miaka 12, alipoteza baba yake. Baadaye yeye na ndugu zake walihamia kijijini kwao kabla ya kuhamia moja kwa moja mjini [[Blantyre]] kuishi na ndugu.<ref name=":0">{{Cite web |last=Mthandizi |first=Alfred |date=2016-03-07 |title=Princess Chitsulo to Release New Album |url=https://www.malawistar.com/2016/03/07/princess-chitsulo-to-release-new-album/ |access-date=2024-03-19 |website=The Malawi Star |language=en-GB}}</ref> ==== Elimu ==== Alipata elimu ya sekondari katika shule za Chiradzulu Secondary School na Chichiri Secondary School. Pia alijiunga na kozi ya masoko katika Lehlonolo Business College lakini hakukamilisha kutokana na ukosefu wa msaada wa kifedha.<ref name=":0" /> ===== Matatizo ya kiafya ===== Mwaka 2000, Chitsulo aliugua ugonjwa wa meningitisi na kulazwa katika Queen Elizabeth Central Hospital. Mwaka 2014 aligundulika kuwa na tatizo la moyo na alipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.<ref>{{Cite web |date=2014-05-27 |title=Princes Chitsulo back: Fit and well - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/princes-chitsulo-back-fit-and-well/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Marais wa zamani wa Malawi, [[Peter Mutharika]] na [[Joyce Banda]], walitoa msaada wa kifedha ili aweze kusafiri kwa matibabu nchini Afrika Kusini.<ref>{{Cite web |date=2014-05-07 |title=JB, Mutharika assist gospel songstress Princess Chitsulo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/jb-mutharika-assist-gospel-songstress-princess-chitsulo/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> == Kazi ya muziki == Chitsulo alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 2000 na alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 2000.<ref name=":0" /> Mwaka 2015 alitoa albamu yake ya pili iitwayo ''Mavutowa Akadzatha'' (Matatizo yatakapokwisha).<ref name=":0" /> Mwaka 2016 alitoa albamu yake ya tatu ''Nyimbo Yanga'' (Wimbo wangu) iliyokuwa na wimbo maarufu ''Chenjera Peturo'' (Kuwa mwangalifu Petro).<ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/201604080750.html |title= |access-date=2024-03-19}}</ref><ref name=":2"/> Mwaka 2023 alitoa albamu yake ya nne iitwayo ''Nsembe'' (Sadaka).<ref>{{Cite web |last=Voice |first=Malawi |date=2023-02-21 |title=Gospel musician Princess Chitsulo set to release Nsembe album |url=https://www.malawivoice.com/2023/02/21/gospel-musician-princess-chitsulo-set-to-release-nsembe-album/ |access-date=2024-03-19 |website=Malawi Voice |language=en-US}}</ref> Ameshirikiana na wasanii wa injili maarufu nchini humo kama Thoko Katimba na Ethel Kand pamoja na kwaya ya Great Angels Choir.<ref>{{Cite web |date=2018-09-24 |title=Namadingo, Chiwamba and Princess Chitsulo to share stage on Mother’s day in Lilongwe - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/namadingo-chiwamba-and-princess-chitsulo-to-share-stage-on-mothers-day-in-lilongwe/ |access-date=2024-03-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Uanaharakati === Kupitia shirika lake la misaada, Chitsulo amekuwa akiwasaidia watu wenye ualbino nchini Malawi. Miongoni mwa misaada hiyo ni kutoa kiasi cha K24,000 kusaidia biashara ya ndizi kwa mtu mwenye ualbino aitwaye Constance Msiska huko [[Mzuzu]].<ref name=":1" /> == Mafanikio == === Magic Promotions === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2018 |Yeye mwenyewe |Best Gospel Act |Alishinda |} === MUMA Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2014 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike |Alishinda |- |2014 |''Ndidzayimba Nyimbo'' |Wimbo Bora wa Mwaka |Alishinda |} === Malawi Gin Competition === {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2001 |Yeye mwenyewe |Mwimbaji Bora wa Kike |Alishinda |} == Maisha binafsi == Chitsulo alikuwa ameolewa na Albert Nyasulu ambaye alifariki miezi sita kabla ya kufanyika kwa harusi yao. Ana mtoto mmoja wa kike anayeitwa Sarah. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} {{DEFAULTSORT:Chitsulo, Princess}} {{BD|1981|}} [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Waimbaji wa Malawi]] lorcjeq7ow9arkszo7zjmcgt9sklai6 Audrey Maleka 0 229655 1507944 2026-04-21T06:21:13Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Audrey Dimakatso Maleka''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] kutoka chama cha African National Congress (ANC). Tangu mwaka 2019, amewakilisha jimbo la Mpumalanga katika National Council of Provinces.<ref>{{Cite web|title=Audrey Dimakatso Maleka|url=http://www.pa.org.za/person/audrey-dimakatso-maleka/|access-date=2023-09-12|website=People's Assembly|lang=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]' 1507944 wikitext text/x-wiki '''Audrey Dimakatso Maleka''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] kutoka chama cha African National Congress (ANC). Tangu mwaka 2019, amewakilisha jimbo la Mpumalanga katika National Council of Provinces.<ref>{{Cite web|title=Audrey Dimakatso Maleka|url=http://www.pa.org.za/person/audrey-dimakatso-maleka/|access-date=2023-09-12|website=People's Assembly|lang=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] p8av4g187iodo2kfst5thek2w5arpkt Hilco (mwanamuziki) 0 229656 1507945 2026-04-21T06:24:21Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hilda Ulola''' (amezaliwa tarehe 14 Februari 1995), anayejulikana kitaaluma kama '''Hilco''', ni mwimbaji wa Afro-Pop, mtunzi wa nyimbo na mfadhili (philanthropist) kutoka [[Malawi]].<ref name=":1">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2017-07-20 |title=Hilco makes impressive musical inroads {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/hilco-makes-impressive-musical-inroads/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US }}</ref> Mw...' 1507945 wikitext text/x-wiki '''Hilda Ulola''' (amezaliwa tarehe 14 Februari 1995), anayejulikana kitaaluma kama '''Hilco''', ni mwimbaji wa Afro-Pop, mtunzi wa nyimbo na mfadhili (philanthropist) kutoka [[Malawi]].<ref name=":1">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2017-07-20 |title=Hilco makes impressive musical inroads {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/hilco-makes-impressive-musical-inroads/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US }}</ref> Mwaka 2017 aliteuliwa katika kipengele cha "Msanii Bora wa Afro Pop wa Mwaka" na mwaka 2018 katika kipengele cha "Msanii Bora wa Kike wa Mwaka" kwenye tuzo za Nyasa Music Awards.<ref name=":2">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2017-04-06 |title=Nyasa Music Awards announces nominees {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/nyasa-music-awards-announces-nominees/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US }}</ref> Mwaka 2019 pia aliteuliwa kama "Msanii Bora wa Kike wa Mwaka" katika UMP Awards.<ref name=":3">{{Cite web |date=2019-12-15 |title=Malawi: 2019 UMP Awards announce winners |url=https://www.musicinafrica.net/magazine/malawi-2019-ump-awards-announce-winners |access-date=2024-06-19 |website=Music In Africa |language=en}}</ref> Ameshiriki katika miradi mbalimbali ya misaada, ikiwemo kusaidia elimu kwa watoto wasiojiweza.<ref name=":1" /> == Historia == === Maisha ya awali === Ulola alizaliwa tarehe 14 Februari 1995 katika jiji la [[Blantyre]], ambalo ni mji wa kibiashara wa Malawi, katika familia yenye watoto sita. Alipata elimu ya msingi na sekondari katika mji huo, akisoma katika Blantyre Girls Secondary School. Alianza kupenda muziki tangu akiwa mdogo na kushiriki katika kwaya za shule pamoja na mashindano ya vipaji.<ref name=":0">{{Cite web |date=2017-06-21 |title=Hilco Ulolo to release new single Chibea - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/hilco-ulolo-release-new-single-chibea/ |access-date=2024-02-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Kazi ya muziki === Ulola alianza rasmi kazi yake ya muziki mwaka 2015 kwa kutoa wimbo wake wa kwanza ''Ekizakitile''. Alipata umaarufu kupitia nyimbo zake zilizofuata kama ''Chekecheke (I swear)'', ''Ndalema (I am tired)'', na ''Khofotabo (Comfortable)''.<ref>{{Cite web |date=2016-10-04 |title=Malawian new female songbird 'Hilco' to release 'Touch and Go' music video - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/malawian-new-female-songbird-hilco-release-touch-go-music-video/ |access-date=2024-06-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/202008260526.html |title= |access-date=2024-06-19}}</ref><ref>{{Cite web |date=2020-08-28 |title=Hilco announces new single 'Ndakondwa': To be released Sept 3 - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/hilco-announces-new-single-ndakondwa-to-be-released-sept-3/ |access-date=2024-06-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2016 alisaini mkataba na kampuni ya Alex Entertainment, jambo lililomsaidia kuzalisha muziki zaidi na kushirikiana na wasanii wengine.<ref>{{Cite web |last=Malowa |first=Jarson |date=2015-05-26 |title=Blantyre songbird aims for the big time {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/blantyre-songbird-aims-for-the-big-time/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-01-03 |title=Invest in Malawi music, says Hilco Ulolo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/invest-malawi-music-says-hilco-ulolo/ |access-date=2024-06-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Ametoa nyimbo nyingi zilizofanikiwa kama ''Wanga (Mine)'' akimshirikisha Saint, ''Usanapite (Before you go)'' akimshirikisha Dan Lu, na ''Undikwatile (Marry me)''. Mtindo wake wa muziki ni mchanganyiko wa [[Afrobeat]], [[Rhythm and blues|R&B]] na Pop.<ref name=":0" /> == Tuzo na uteuzi == Ulola ameteuliwa katika tuzo mbalimbali zikiwemo Malawi Music Awards, Nyasa Music Awards, UMP Awards na African Music Awards. Pia amewahi kushinda tuzo za Msanii Bora wa Kike na Msanii Bora Chipukizi katika tasnia ya muziki nchini Malawi. === Nyasa Music Awards === Chanzo:<ref name=":2" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2017 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Afro Pop wa Mwaka |Ameteuliwa |- |2018 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike wa Mwaka |Ameteuliwa |} === UMP Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2019 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike wa Mwaka |Ameteuliwa |} == Maisha binafsi == Kulikuwa na uvumi kuwa Ulola alikuwa katika mahusiano na wasanii Saint na Young D, lakini alikanusha madai hayo.<ref name="auto">{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2019-01-16 |title=I'm not pregnant with Saint's baby – Hilco Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2019/01/16/im-not-pregnant-with-saints-baby-hilco/ |access-date=2024-02-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Mandala |first=Patience |date=2017-02-01 |title=Hilco denies dating Young D Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2017/02/01/hilco-denies-dating-young-d/ |access-date=2024-06-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Hilco}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1995]] [[Jamii:Wanamuziki wa Malawi]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] pwq0c3xrawauodhbjw8ii6fpymif2vy 1508112 1507945 2026-04-21T10:18:34Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Hilco (musician)]] hadi [[Hilco (mwanamuziki)]]: jina la Kiswahili 1507945 wikitext text/x-wiki '''Hilda Ulola''' (amezaliwa tarehe 14 Februari 1995), anayejulikana kitaaluma kama '''Hilco''', ni mwimbaji wa Afro-Pop, mtunzi wa nyimbo na mfadhili (philanthropist) kutoka [[Malawi]].<ref name=":1">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2017-07-20 |title=Hilco makes impressive musical inroads {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/hilco-makes-impressive-musical-inroads/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US }}</ref> Mwaka 2017 aliteuliwa katika kipengele cha "Msanii Bora wa Afro Pop wa Mwaka" na mwaka 2018 katika kipengele cha "Msanii Bora wa Kike wa Mwaka" kwenye tuzo za Nyasa Music Awards.<ref name=":2">{{Cite web |last=MLOZI |first=HOWARD |date=2017-04-06 |title=Nyasa Music Awards announces nominees {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/nyasa-music-awards-announces-nominees/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US }}</ref> Mwaka 2019 pia aliteuliwa kama "Msanii Bora wa Kike wa Mwaka" katika UMP Awards.<ref name=":3">{{Cite web |date=2019-12-15 |title=Malawi: 2019 UMP Awards announce winners |url=https://www.musicinafrica.net/magazine/malawi-2019-ump-awards-announce-winners |access-date=2024-06-19 |website=Music In Africa |language=en}}</ref> Ameshiriki katika miradi mbalimbali ya misaada, ikiwemo kusaidia elimu kwa watoto wasiojiweza.<ref name=":1" /> == Historia == === Maisha ya awali === Ulola alizaliwa tarehe 14 Februari 1995 katika jiji la [[Blantyre]], ambalo ni mji wa kibiashara wa Malawi, katika familia yenye watoto sita. Alipata elimu ya msingi na sekondari katika mji huo, akisoma katika Blantyre Girls Secondary School. Alianza kupenda muziki tangu akiwa mdogo na kushiriki katika kwaya za shule pamoja na mashindano ya vipaji.<ref name=":0">{{Cite web |date=2017-06-21 |title=Hilco Ulolo to release new single Chibea - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/hilco-ulolo-release-new-single-chibea/ |access-date=2024-02-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> === Kazi ya muziki === Ulola alianza rasmi kazi yake ya muziki mwaka 2015 kwa kutoa wimbo wake wa kwanza ''Ekizakitile''. Alipata umaarufu kupitia nyimbo zake zilizofuata kama ''Chekecheke (I swear)'', ''Ndalema (I am tired)'', na ''Khofotabo (Comfortable)''.<ref>{{Cite web |date=2016-10-04 |title=Malawian new female songbird 'Hilco' to release 'Touch and Go' music video - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/malawian-new-female-songbird-hilco-release-touch-go-music-video/ |access-date=2024-06-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/202008260526.html |title= |access-date=2024-06-19}}</ref><ref>{{Cite web |date=2020-08-28 |title=Hilco announces new single 'Ndakondwa': To be released Sept 3 - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/hilco-announces-new-single-ndakondwa-to-be-released-sept-3/ |access-date=2024-06-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Mwaka 2016 alisaini mkataba na kampuni ya Alex Entertainment, jambo lililomsaidia kuzalisha muziki zaidi na kushirikiana na wasanii wengine.<ref>{{Cite web |last=Malowa |first=Jarson |date=2015-05-26 |title=Blantyre songbird aims for the big time {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/blantyre-songbird-aims-for-the-big-time/ |access-date=2024-06-19 |website=mwnation.com |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2018-01-03 |title=Invest in Malawi music, says Hilco Ulolo - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/invest-malawi-music-says-hilco-ulolo/ |access-date=2024-06-19 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Ametoa nyimbo nyingi zilizofanikiwa kama ''Wanga (Mine)'' akimshirikisha Saint, ''Usanapite (Before you go)'' akimshirikisha Dan Lu, na ''Undikwatile (Marry me)''. Mtindo wake wa muziki ni mchanganyiko wa [[Afrobeat]], [[Rhythm and blues|R&B]] na Pop.<ref name=":0" /> == Tuzo na uteuzi == Ulola ameteuliwa katika tuzo mbalimbali zikiwemo Malawi Music Awards, Nyasa Music Awards, UMP Awards na African Music Awards. Pia amewahi kushinda tuzo za Msanii Bora wa Kike na Msanii Bora Chipukizi katika tasnia ya muziki nchini Malawi. === Nyasa Music Awards === Chanzo:<ref name=":2" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2017 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Afro Pop wa Mwaka |Ameteuliwa |- |2018 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike wa Mwaka |Ameteuliwa |} === UMP Awards === Chanzo:<ref name=":3" /> {| class="wikitable" |- !Mwaka !Mteule !Kategoria !Matokeo |- |2019 |Yeye mwenyewe |Msanii Bora wa Kike wa Mwaka |Ameteuliwa |} == Maisha binafsi == Kulikuwa na uvumi kuwa Ulola alikuwa katika mahusiano na wasanii Saint na Young D, lakini alikanusha madai hayo.<ref name="auto">{{Cite web |last=Mughogho |first=Lyonike |date=2019-01-16 |title=I'm not pregnant with Saint's baby – Hilco Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2019/01/16/im-not-pregnant-with-saints-baby-hilco/ |access-date=2024-02-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Mandala |first=Patience |date=2017-02-01 |title=Hilco denies dating Young D Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2017/02/01/hilco-denies-dating-young-d/ |access-date=2024-06-19 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Hilco}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1995]] [[Jamii:Wanamuziki wa Malawi]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] pwq0c3xrawauodhbjw8ii6fpymif2vy Mbali Dlamini 0 229657 1507946 2026-04-21T06:26:37Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mbali Dlamini''' ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini kutoka Mpumalanga. Yeye ni mwanachama wa Economic Freedom Fighters (EFF), na tangu mwaka 2022 amekuwa akiwakilisha Mpumalanga katika National Council of Provinces.<ref name=":0">{{Cite web|last=Economic Freedom Fighters|date=15 September 2022|title=EFF Statement On The New Member Of The National Council Of Provinces, Commissar Mbali Dlamini|url=https://twitter.com/EFFSouthAfrica/status/1570810728982130...' 1507946 wikitext text/x-wiki '''Mbali Dlamini''' ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini kutoka Mpumalanga. Yeye ni mwanachama wa Economic Freedom Fighters (EFF), na tangu mwaka 2022 amekuwa akiwakilisha Mpumalanga katika National Council of Provinces.<ref name=":0">{{Cite web|last=Economic Freedom Fighters|date=15 September 2022|title=EFF Statement On The New Member Of The National Council Of Provinces, Commissar Mbali Dlamini|url=https://twitter.com/EFFSouthAfrica/status/1570810728982130688|access-date=2023-06-29|website=Twitter|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 7tid28s6atogi2p9z81lcq2klrjuy5u Ethel Kamwendo Banda 0 229658 1507947 2026-04-21T06:29:28Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ethel Timba Kambenje''', anayejulikana zaidi kama '''Ethel Kamwendo Banda''', ni mwanamuziki wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]], anayezaliwa na kukulia [[Blantyre]].<ref name=":0">{{Cite web |last=Banda |first=Albert |date=2014-01-10 |title=Ethel Kamwendo-Banda {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/ethel-kamwendo-banda/ |access-date=2024-05-24 |website=mwnation.com |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Nankhonya |first=Jacob |date=2018...' 1507947 wikitext text/x-wiki '''Ethel Timba Kambenje''', anayejulikana zaidi kama '''Ethel Kamwendo Banda''', ni mwanamuziki wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]], anayezaliwa na kukulia [[Blantyre]].<ref name=":0">{{Cite web |last=Banda |first=Albert |date=2014-01-10 |title=Ethel Kamwendo-Banda {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/ethel-kamwendo-banda/ |access-date=2024-05-24 |website=mwnation.com |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=Nankhonya |first=Jacob |date=2018-12-04 |title=Ethel Kamwendo-Banda magic {{!}} Nation Online |url=https://mwnation.com/ethel-kamwendo-banda-magic/ |access-date=2024-05-24 |website=mwnation.com |language=en-US}}</ref> Ametoa albamu na DVD kadhaa na ameshinda tuzo mbalimbali zikiwemo Msanii Bora wa Injili wa Kike, Albamu Bora ya Injili na Video Bora katika Malawi Music Awards.<ref>{{Cite web |url=https://allafrica.com/stories/200305280215.html |title= |access-date=2024-05-24}}</ref><ref name=":0" /> == Historia == Banda alizaliwa tarehe 22 Novemba 1969 katika jiji la Blantyre akiwa Ethel Timba Kambenje, mtoto wa Frone Timba, mtengenezaji wa pombe ya kienyeji (kachasu), na baba aliyekuwa mpiga banjo. Alikulia katika familia ya Kikristo na alianza kuvutiwa na muziki tangu akiwa mdogo. Alisoma katika St. Columba Primary School na baadaye St. Mary's Secondary School.<ref name=":0" /> Alianza kazi yake ya muziki akiwa na umri wa miaka tisa kupitia kundi la Kamwendo Brothers Band. Baadaye alijiunga na makundi mbalimbali ya muziki kama Ravers Band, Wepaz, Mitondo na Sapitwa, ambapo alijulikana kama mwimbaji hodari. Pia aliwahi kutumbuiza na bendi ya kaka yake Jack Kamwendo iitwayo One Mega Band.<ref name=":0" /> == Muziki wa injili na mafanikio == Ethel alijulikana kwa uchezaji wake wa kuvutia jukwaani, uwezo mkubwa wa kuongoza maonesho, na sauti yake ya kipekee. Mwanzoni mwa miaka ya 2000, alibadili mwelekeo wa maisha na kuwa Mkristo aliyezaliwa upya, na kuanza kuimba muziki wa injili. Mabadiliko haya yalipokelewa kwa maoni tofauti kutoka kwa umma. Albamu yake ya kwanza ya injili, ''Amen'', ilipokelewa kwa mashaka mwanzoni, lakini baada ya mafanikio ya wimbo wake mkuu, albamu hiyo ilianza kupata umaarufu. Baadaye alitoa albamu ya pili ''Ndiumboni'', iliyomfanya kujijengea nafasi kubwa katika tasnia ya muziki wa injili, huku wimbo wa jina hilo ukipata umaarufu mkubwa. Miongoni mwa mafanikio makubwa zaidi ya kazi yake ni albamu ''Mwatikondera'', iliyopata umaarufu mkubwa na kuwa moja ya albamu zilizouzwa zaidi nchini Malawi. Albamu hiyo ilisifiwa kwa ubunifu wake, sauti yenye nguvu ya Ethel na ubora wa utunzi wa nyimbo zake. Ethel ameendelea kudumisha mafanikio yake kwa kutoa kazi nyingi zilizofanikiwa, na anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii wenye ushawishi mkubwa katika historia ya muziki wa Malawi. Katika miaka ya 2010, alitunukiwa shahada ya heshima kwa mchango wake katika tasnia ya muziki. Amefanya kazi katika muziki kwa zaidi ya miongo mitatu. == Diskografia == * ''Mwatenga Mbiri Muliyenda'' (1993) * ''Mwatonyanya Nsanje'' * ''Amen!'' * ''Ndiumboni'' * ''Hossana'' * ''Mwatikondera'' (2007) * ''Ndinu Nokha'' (2008) * ''Zabwino Zonse'' (2011) * ''Chete'' (2012) * ''Ndilipanzere'' (2017) * ''Tate Ndinu Woyera'' (2018) * ''Moyo Wanga'' (2019) == Tuzo == Banda ameshinda tuzo nyingi kutokana na mafanikio ya kazi zake za muziki, zikiwemo:<ref name=":0" /> * Msanii Bora wa Injili wa Kike (Malawi Music Awards) * Albamu Bora ya Injili (Malawi Music Awards) * Video Bora (Malawi Music Awards) == Maisha binafsi == Banda ameolewa na ana watoto watatu.<ref name=":0" /> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Kamwendo Banda, Ethel}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Wanamuziki wa Malawi]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] ndkn53mnl6e0fyxf8mlu43vsjqjj3sz Mokgadi Aphiri 0 229659 1507948 2026-04-21T06:31:37Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mokgadi Johanna Aphiri''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Limpopo tangu mwaka 2014. Alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu wa 2014 akiwa nafasi ya 38 kwenye orodha ya chama ya mkoa ya ANC, kisha akachaguliwa tena katika uchaguzi wa 2019 akiwa nafasi ya 32.<ref>{{Cite web|title=Mokgadi Johanna Aphiri|url=http://www.pa.org.za/person/mokgadi-johanna-aphiri/|ac...' 1507948 wikitext text/x-wiki '''Mokgadi Johanna Aphiri''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Limpopo tangu mwaka 2014. Alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu wa 2014 akiwa nafasi ya 38 kwenye orodha ya chama ya mkoa ya ANC, kisha akachaguliwa tena katika uchaguzi wa 2019 akiwa nafasi ya 32.<ref>{{Cite web|title=Mokgadi Johanna Aphiri|url=http://www.pa.org.za/person/mokgadi-johanna-aphiri/|access-date=2023-01-24|website=People's Assembly|language=en}}</ref> Mnamo Juni 2018, alichaguliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Utendaji ya mkoa (Provincial Executive Committee) ya ANC Limpopo, lakini hakuchaguliwa tena katika uchaguzi wa Juni 2022. == Marejeo == <references responsive="1"></references> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 1h87uofumg4jyn72h0wjxdngfyrmolr Priscilla Kayira 0 229660 1507950 2026-04-21T06:35:35Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Priscilla Kayira''' ni mtangazaji wa redio kutoka [[Malawi]],<ref>{{Cite web |last=Nthanda |date=2023-09-01 |title=Becoming a Star {{!}} MENTORSHIP BY PRISCILLA KAYIRA |url=https://music4malawi.com/becoming-a-star-by-priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=Music4Malawi |language=en-US}}</ref> mtangazaji wa vipindi<ref>{{Cite web |last=AfricaBrief |first=The |date=2023-09-04 |title=Malawian TV Presenter Priscilla Kayira Nsane Named Africa's Be...' 1507950 wikitext text/x-wiki '''Priscilla Kayira''' ni mtangazaji wa redio kutoka [[Malawi]],<ref>{{Cite web |last=Nthanda |date=2023-09-01 |title=Becoming a Star {{!}} MENTORSHIP BY PRISCILLA KAYIRA |url=https://music4malawi.com/becoming-a-star-by-priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=Music4Malawi |language=en-US}}</ref> mtangazaji wa vipindi<ref>{{Cite web |last=AfricaBrief |first=The |date=2023-09-04 |title=Malawian TV Presenter Priscilla Kayira Nsane Named Africa's Best Media Personality of 2023 |url=https://africabrief.substack.com/p/malawian-tv-presenter-priscilla-kayira |access-date=2024-02-15 |website=The AfricaBrief}}</ref> na mtu mashuhuri wa televisheni.<ref name=":0">{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2023-02-05 |title=Priscilla Kayira attacks Dana Dime Domoya Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2023/02/05/priscilla-kayira-attacks-dana-dime-domoya/ |access-date=2024-02-15 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-11-28 |title=Waves hosts UMP nominations night:KB and Priscilla Kayira revealed as event hosts - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/waves-hosts-ump-nominations-nightkb-and-priscilla-kayira-revealed-as-event-hosts/ |access-date=2024-02-15 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2023-02-11 |title=AKA's death: Stop sharing your location - Priscilla Kayira Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2023/02/11/akas-death-stop-sharing-your-location-priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=cfeditoren |date=2023-03-23 |title=AKA's death: Stop sharing your location – Priscilla Kayira |url=https://www.africa-press.net/malawi/all-news/akas-death-stop-sharing-your-location-priscilla-kayira |access-date=2024-02-15 |website=Malawi |language=en-US}}</ref><ref name=":1">{{Cite web |last=Online |first=Nation |date=2022-03-27 |title=Priscilla kayira: award-winning tv personality, feminist {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/priscilla-kayira-award-winning-tv-personality-feminist/ |access-date=2024-02-15 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2019, Kayira aliteuliwa katika kipengele cha ''Personality of the Year'' pamoja na Luna na Sharon Chirwa kwenye UMP Media Awards.<ref>{{Cite web |date=2019-12-15 |title=Malawi: 2019 UMP Media Awards winners announced |url=https://www.musicinafrica.net/magazine/malawi-2019-ump-media-awards-winners-announced |access-date=2024-02-15 |website=Music In Africa |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-12-09 |title=Malawi's top entertainment and arts awards UMP announces media nominees - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/malawis-top-entertainment-and-arts-awards-ump-announces-media-nominees/ |access-date=2024-02-15 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Alishinda tuzo hiyo katika kipengele hicho mwaka 2020 na 2022.<ref name=":1" /><ref>{{Cite web |date=2022-10-22 |title=Priscilla Kayira Wins 2022 Zikomo Africa Social Media – Malawi Freedom Network |url=https://malawifreedomnetwork.com/priscilla-kayira-wins-2022-zikomo-africa-social-media/ |access-date=2024-02-15 |language=en-US}}</ref> Alizaliwa katika jiji la [[Mzuzu]] na baadaye kuhamia [[Southern Region, Malawi]] ili kuendeleza taaluma yake ya utangazaji. Kiasili anatoka katika kabila la Watumbuka.<ref name=":1" /> Mfano wake wa kuigwa alikuwa mtangazaji wa zamani wa MBC-TV, Tamara Chafunya.<ref name=":1" /> Alisoma katika shule ya sekondari ya Marymount Secondary School. Ana shahada katika mawasiliano (vyombo vya habari vya kielektroniki) na uzoefu wa zaidi ya miaka minne katika redio na televisheni.<ref name=":2">{{Cite web |title=Priscilla Kayira : Fashion Revolution |url=https://www.fashionrevolution.org/boardmember/priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=www.fashionrevolution.org}}</ref> Amefanya kazi na vituo mbalimbali vya habari na mashirika nchini Malawi na Kenya.<ref name=":2" /> Ameolewa na Romuled Nsane. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Kayira, Priscilla}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] d2ps35l7bnt6hpdpvh1qb6gyy9rn48p 1508117 1507950 2026-04-21T10:26:40Z Riccardo Riccioni 452 1508117 wikitext text/x-wiki '''Priscilla Kayira''' ni mtangazaji wa redio,<ref>{{Cite web |last=Nthanda |date=2023-09-01 |title=Becoming a Star {{!}} MENTORSHIP BY PRISCILLA KAYIRA |url=https://music4malawi.com/becoming-a-star-by-priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=Music4Malawi |language=en-US}}</ref> mtangazaji wa vipindi<ref>{{Cite web |last=AfricaBrief |first=The |date=2023-09-04 |title=Malawian TV Presenter Priscilla Kayira Nsane Named Africa's Best Media Personality of 2023 |url=https://africabrief.substack.com/p/malawian-tv-presenter-priscilla-kayira |access-date=2024-02-15 |website=The AfricaBrief}}</ref> na mtu mashuhuri wa televisheni kutoka [[Malawi]].<ref name=":0">{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2023-02-05 |title=Priscilla Kayira attacks Dana Dime Domoya Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2023/02/05/priscilla-kayira-attacks-dana-dime-domoya/ |access-date=2024-02-15 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-11-28 |title=Waves hosts UMP nominations night:KB and Priscilla Kayira revealed as event hosts - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/waves-hosts-ump-nominations-nightkb-and-priscilla-kayira-revealed-as-event-hosts/ |access-date=2024-02-15 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web |last=Reporter |first=Malawi24 |date=2023-02-11 |title=AKA's death: Stop sharing your location - Priscilla Kayira Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2023/02/11/akas-death-stop-sharing-your-location-priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=Malawi 24 |language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |last=cfeditoren |date=2023-03-23 |title=AKA's death: Stop sharing your location – Priscilla Kayira |url=https://www.africa-press.net/malawi/all-news/akas-death-stop-sharing-your-location-priscilla-kayira |access-date=2024-02-15 |website=Malawi |language=en-US}}</ref><ref name=":1">{{Cite web |last=Online |first=Nation |date=2022-03-27 |title=Priscilla kayira: award-winning tv personality, feminist {{!}} The Nation Online |url=https://mwnation.com/priscilla-kayira-award-winning-tv-personality-feminist/ |access-date=2024-02-15 |language=en-US}}</ref> Mwaka 2019, Kayira aliteuliwa katika kipengele cha ''Personality of the Year'' pamoja na Luna na Sharon Chirwa kwenye UMP Media Awards.<ref>{{Cite web |date=2019-12-15 |title=Malawi: 2019 UMP Media Awards winners announced |url=https://www.musicinafrica.net/magazine/malawi-2019-ump-media-awards-winners-announced |access-date=2024-02-15 |website=Music In Africa |language=en}}</ref><ref>{{Cite web |date=2019-12-09 |title=Malawi's top entertainment and arts awards UMP announces media nominees - Malawi Nyasa Times - News from Malawi about Malawi |url=https://www.nyasatimes.com/malawis-top-entertainment-and-arts-awards-ump-announces-media-nominees/ |access-date=2024-02-15 |website=www.nyasatimes.com |language=en-GB}}</ref> Alishinda tuzo hiyo katika kipengele hicho mwaka 2020 na 2022.<ref name=":1" /><ref>{{Cite web |date=2022-10-22 |title=Priscilla Kayira Wins 2022 Zikomo Africa Social Media – Malawi Freedom Network |url=https://malawifreedomnetwork.com/priscilla-kayira-wins-2022-zikomo-africa-social-media/ |access-date=2024-02-15 |language=en-US}}</ref> Alizaliwa katika jiji la [[Mzuzu]] na baadaye kuhamia [[Southern Region, Malawi]] ili kuendeleza taaluma yake ya utangazaji. Kiasili anatoka katika kabila la Watumbuka.<ref name=":1" /> Mfano wake wa kuigwa alikuwa mtangazaji wa zamani wa MBC-TV, Tamara Chafunya.<ref name=":1" /> Alisoma katika shule ya sekondari ya Marymount Secondary School. Ana shahada katika mawasiliano (vyombo vya habari vya kielektroniki) na uzoefu wa zaidi ya miaka minne katika redio na televisheni.<ref name=":2">{{Cite web |title=Priscilla Kayira : Fashion Revolution |url=https://www.fashionrevolution.org/boardmember/priscilla-kayira/ |access-date=2024-02-15 |website=www.fashionrevolution.org}}</ref> Amefanya kazi na vituo mbalimbali vya habari na mashirika nchini Malawi na Kenya.<ref name=":2" /> Ameolewa na Romuled Nsane. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Kayira, Priscilla}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] 4tfkucla2qs07avflweztus5rzay7d1 Rudo Chakwera 0 229661 1507952 2026-04-21T06:42:24Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rudo Chakwera''' (amezaliwa mwaka 1979) ni mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]]. Ni mkwe wa Rais wa Malawi, [[Lazarus Chakwera]]. == Maisha binafsi == Alizaliwa tarehe 23 Desemba 1979 akiwa mtoto wa Isaac Mkukupa na Gloria Rose Mkukupa, familia yenye asili ya muziki. Ameolewa na Nick Chakwera na wana watoto watatu.<ref>{{Cite web |date=February 26, 2023 |title=Rudo Mkukpa Chakwera – Biography |url=https://www.malawigospelmusic.com/artist-bi...' 1507952 wikitext text/x-wiki '''Rudo Chakwera''' (amezaliwa mwaka 1979) ni mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]]. Ni mkwe wa Rais wa Malawi, [[Lazarus Chakwera]]. == Maisha binafsi == Alizaliwa tarehe 23 Desemba 1979 akiwa mtoto wa Isaac Mkukupa na Gloria Rose Mkukupa, familia yenye asili ya muziki. Ameolewa na Nick Chakwera na wana watoto watatu.<ref>{{Cite web |date=February 26, 2023 |title=Rudo Mkukpa Chakwera – Biography |url=https://www.malawigospelmusic.com/artist-biography/rudo-mkukupa-chakwera-biography/ |access-date=July 31, 2024 |website=Malawi Gospel Music |language=en-US}}</ref> == Elimu == Rudo ana shahada ya kwanza ya muziki kutoka Chancellor College ya University of Malawi, na pia ana shahada ya uzamili katika utawala wa biashara (MBA) kutoka ESAMI.<ref>{{Cite news |title=bridgeAFRIC Signs Malawian gospel Artiste, Rudo Chakwera |url=https://www.thisdaylive.com/index.php/2024/07/17/bridgeafric-signs-malawian-gospel-artiste-rudo-chakwera/ |access-date=July 31, 2024 |newspaper=[[This Day]]}}</ref> == Kazi == Ingawa alianza kuimba tangu utotoni, alipata umaarufu katika tasnia ya muziki nchini Malawi mwaka 1999 kupitia albamu yake ya kwanza iliyokuwa na wimbo ''Ndine Mwana Wamasiye''.<ref>{{Cite news |last=Abiodun |first=Alao |date=16 July 2024 |title=BridgeAFRIC signs Malawian gospel artiste Rudo Chakwera |url=https://thenationonlineng.net/bridgeafric-signs-malawian-gospel-artiste-rudo-chakwera/ |location=Lagos, Nigeria|access-date=31 July 2024 |newspaper=[[The Nation (Nigeria)|The Nation]]}}</ref> Rudo ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya kitaifa ya chama cha wanamuziki nchini Malawi. Pia amewahi kuhudumu kama mjumbe wa bodi ya Copyright Society of Malawi na bodi ya kituo cha redio cha Channel for All Nations.<ref>{{Cite news |date=15 July 2024 |title=BridgeAFRIC signs Malawian gospel artiste Rudo Chakwera;set to release new project |url=https://www.vanguardngr.com/2024/07/bridgeafric-signs-malawian-gospel-artiste-rudo-chakwera-set-to-release-new-project/ |location=Lagos, Nigeria|access-date=31 July 2024 |newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> Mwaka 2022, katika siku yake ya kuzaliwa, alitembelea Maula Prison mjini Lilongwe na kuwaburudisha vijana waliokuwa gerezani hapo pamoja na wanamuziki wengine akiwemo Chikondi Wiseman. Kituo hicho cha vijana wahalifu kilikuwa kipya na kilikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa chakula.<ref>{{Cite web |last=Kalumbi |first=Mike |date=2022-12-25 |title=Musician Rudo celebrates with young offenders at Maula Prison |url=https://malawi24.com/2022/12/25/musician-rudo-celebrates-with-young-offenders-at-maula-prison/ |access-date=2026-03-26 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Chakwera, Rudo}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] 0uvj04k3jw85gsqde2k5pquybimzyyu 1508118 1507952 2026-04-21T10:27:33Z Riccardo Riccioni 452 1508118 wikitext text/x-wiki '''Rudo Chakwera''' (amezaliwa 1979) ni mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]]. Ni mkwe wa Rais wa Malawi, [[Lazarus Chakwera]]. == Maisha binafsi == Alizaliwa tarehe 23 Desemba 1979 akiwa mtoto wa Isaac Mkukupa na Gloria Rose Mkukupa, familia yenye asili ya muziki. Ameolewa na Nick Chakwera na wana watoto watatu.<ref>{{Cite web |date=February 26, 2023 |title=Rudo Mkukpa Chakwera – Biography |url=https://www.malawigospelmusic.com/artist-biography/rudo-mkukupa-chakwera-biography/ |access-date=July 31, 2024 |website=Malawi Gospel Music |language=en-US}}</ref> == Elimu == Rudo ana shahada ya kwanza ya muziki kutoka Chancellor College ya University of Malawi, na pia ana shahada ya uzamili katika utawala wa biashara (MBA) kutoka ESAMI.<ref>{{Cite news |title=bridgeAFRIC Signs Malawian gospel Artiste, Rudo Chakwera |url=https://www.thisdaylive.com/index.php/2024/07/17/bridgeafric-signs-malawian-gospel-artiste-rudo-chakwera/ |access-date=July 31, 2024 |newspaper=[[This Day]]}}</ref> == Kazi == Ingawa alianza kuimba tangu utotoni, alipata umaarufu katika tasnia ya muziki nchini Malawi mwaka 1999 kupitia albamu yake ya kwanza iliyokuwa na wimbo ''Ndine Mwana Wamasiye''.<ref>{{Cite news |last=Abiodun |first=Alao |date=16 July 2024 |title=BridgeAFRIC signs Malawian gospel artiste Rudo Chakwera |url=https://thenationonlineng.net/bridgeafric-signs-malawian-gospel-artiste-rudo-chakwera/ |location=Lagos, Nigeria|access-date=31 July 2024 |newspaper=[[The Nation (Nigeria)|The Nation]]}}</ref> Rudo ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya kitaifa ya chama cha wanamuziki nchini Malawi. Pia amewahi kuhudumu kama mjumbe wa bodi ya Copyright Society of Malawi na bodi ya kituo cha redio cha Channel for All Nations.<ref>{{Cite news |date=15 July 2024 |title=BridgeAFRIC signs Malawian gospel artiste Rudo Chakwera;set to release new project |url=https://www.vanguardngr.com/2024/07/bridgeafric-signs-malawian-gospel-artiste-rudo-chakwera-set-to-release-new-project/ |location=Lagos, Nigeria|access-date=31 July 2024 |newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> Mwaka 2022, katika siku yake ya kuzaliwa, alitembelea Maula Prison mjini Lilongwe na kuwaburudisha vijana waliokuwa gerezani hapo pamoja na wanamuziki wengine akiwemo Chikondi Wiseman. Kituo hicho cha vijana wahalifu kilikuwa kipya na kilikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa chakula.<ref>{{Cite web |last=Kalumbi |first=Mike |date=2022-12-25 |title=Musician Rudo celebrates with young offenders at Maula Prison |url=https://malawi24.com/2022/12/25/musician-rudo-celebrates-with-young-offenders-at-maula-prison/ |access-date=2026-03-26 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Chakwera, Rudo}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Waimbaji wa Malawi]] a8qm7jg5teqzzlb48u80a0p84243ryy Ayanda Dlodlo 0 229662 1507953 2026-04-21T06:45:37Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ayanda Dlodlo''' (aliyezaliwa [[22 Mei]] [[1963]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusin]]<nowiki/>i na waziri wa zamani wa serikali. Alikuwa pia mwanachama wa Umkhonto we Sizwe kabla ya kuingia rasmi kwenye siasa za bunge. Alikuwa Mbunge wa African National Congress (ANC) tangu mwaka 2009. Baadaye alishika nyadhifa mbalimbali za uwaziri serikalini, ikiwemo Waziri wa Mawasiliano (2017), Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2017–2018), Waziri...' 1507953 wikitext text/x-wiki '''Ayanda Dlodlo''' (aliyezaliwa [[22 Mei]] [[1963]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusin]]<nowiki/>i na waziri wa zamani wa serikali. Alikuwa pia mwanachama wa Umkhonto we Sizwe kabla ya kuingia rasmi kwenye siasa za bunge. Alikuwa Mbunge wa African National Congress (ANC) tangu mwaka 2009. Baadaye alishika nyadhifa mbalimbali za uwaziri serikalini, ikiwemo Waziri wa Mawasiliano (2017), Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2017–2018), Waziri wa Utumishi wa Umma na Utawala (2018–2019 na 2021–2022), na Waziri wa Usalama wa Taifa (2019–2021). Alijulikana zaidi kwa kusimamia sekta ya usalama wa taifa wakati wa machafuko ya kiraia ya mwaka 2021 nchini Afrika Kusini. Pia amekuwa mjumbe wa ANC National Executive Committee tangu mwaka 2007. Mnamo Aprili 2022, alijiuzulu serikalini na kujiunga na nafasi ya uongozi katika World Bank.<ref>{{Cite news|date=2018-04-19|title=Swaziland king renames country 'the Kingdom of eSwatini'|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-43821512|access-date=2025-12-11|language=en-GB}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1963]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] ow9le7m1dabkhrk98ugvy3utmp6u8a6 Miracle Chinga 0 229663 1507954 2026-04-21T06:46:42Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Miracle Chinga''' (amezaliwa 13 Septemba 1998) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]]. Mwaka 2024, alishinda tuzo ya Maso Music kama Msanii Bora wa Injili wa Mwaka. Ni mtoto wa pili wa marehemu mwimbaji wa injili Grace Chinga.<ref>{{Cite web |last=Mkhutche |first=Wonderful |date=2017-05-09 |title=Miracle Chinga should not celebrate her award |url=https://malawi24.com/2017/05/09/miracle-chinga-not-celebrate-award/ |access-date=2025-0...' 1507954 wikitext text/x-wiki '''Miracle Chinga''' (amezaliwa 13 Septemba 1998) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]]. Mwaka 2024, alishinda tuzo ya Maso Music kama Msanii Bora wa Injili wa Mwaka. Ni mtoto wa pili wa marehemu mwimbaji wa injili Grace Chinga.<ref>{{Cite web |last=Mkhutche |first=Wonderful |date=2017-05-09 |title=Miracle Chinga should not celebrate her award |url=https://malawi24.com/2017/05/09/miracle-chinga-not-celebrate-award/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref><ref name=":0">{{Cite web |last=Sambalikagwa |first=Lindiwe |date=2016-08-20 |title=Miracle Chinga ready to take over from late Grace Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/08/20/miracle-chinga-ready-take-late-grace/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref> == Maisha ya awali na historia == Chinga alizaliwa nchini Malawi na alikulia katika familia ya Kikristo. Akiathiriwa na mama yake, Grace Chinga, aliamua kujikita katika muziki wa injili baada ya kifo cha mama yake mwaka 2016.<ref>{{Cite web |date=2017-09-20 |title=Miracle Chinga promises fireworks at Sound and Light Concert |url=https://www.nyasatimes.com/miracle-chinga-promises-fireworks-sound-light-concert/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi Nyasa Times |language=en-GB}}</ref><ref name=":0" /> == Kazi ya muziki == Alianza kutoa muziki wake takribani mwaka 2017 kupitia nyimbo za awali kama ''Hossanah'', ''Ndiyemwe Uja'' na ''Mwapambana''. Baadaye aliachia nyimbo nyingine kama ''Thamanga (Never Give Up)'', ''M’modzi'', ''Mchipululu'', ''Kubadwa Kwa Yesu'' na ''Mfumu Ya Mafumu''. Mwaka 2024 alishirikiana na Evance Meleka katika wimbo ''Mseri''.<ref>{{Cite web |last=Zgambo |first=Mike Lyson |date=2016-09-26 |title=Miracle Chinga shakes Mzuzu |url=https://malawi24.com/2016/09/26/miracle-chinga-shakes-mzuzu/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref> == Tuzo na utambuzi == Mwaka 2023, Chinga alishinda tuzo ya ''MBC Best Female Gospel Artist of the Year''. Mwaka 2024, alitunukiwa pia tuzo ya ''MBC Entertainer of Entertainers of the Year'' pamoja na tuzo nyingine ya ''Best Female Gospel Artist''. == Diskografia == === Nyimbo teule === * ''Hossanah'' * ''Ndiyemwe Uja'' * ''Mwapambana'' * ''Thamanga (Never Give Up)'' * ''M’modzi'' * ''Mchipululu'' * ''Kubadwa Kwa Yesu'' * ''Mfumu Ya Mafumu'' * ''Mseri'' (feat. Evance Meleka) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{DEFAULTSORT:Chinga, Miracle}} [[Jamii:Waliozaliwa 1998]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] k8qni6bp1cwz77fnq5w5fxleljoflz5 1508119 1507954 2026-04-21T10:28:14Z Riccardo Riccioni 452 1508119 wikitext text/x-wiki '''Miracle Chinga''' (amezaliwa 13 Septemba 1998) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za injili kutoka [[Malawi]]. Mwaka 2024, alishinda tuzo ya Maso Music kama Msanii Bora wa Injili wa Mwaka. Ni mtoto wa pili wa marehemu mwimbaji wa injili Grace Chinga.<ref>{{Cite web |last=Mkhutche |first=Wonderful |date=2017-05-09 |title=Miracle Chinga should not celebrate her award |url=https://malawi24.com/2017/05/09/miracle-chinga-not-celebrate-award/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref><ref name=":0">{{Cite web |last=Sambalikagwa |first=Lindiwe |date=2016-08-20 |title=Miracle Chinga ready to take over from late Grace Malawi 24 {{!}} Latest News from Malawi |url=https://malawi24.com/2016/08/20/miracle-chinga-ready-take-late-grace/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref> == Maisha ya awali na historia == Chinga alizaliwa nchini Malawi na alikulia katika familia ya Kikristo. Akiathiriwa na mama yake, Grace Chinga, aliamua kujikita katika muziki wa injili baada ya kifo cha mama yake mwaka 2016.<ref>{{Cite web |date=2017-09-20 |title=Miracle Chinga promises fireworks at Sound and Light Concert |url=https://www.nyasatimes.com/miracle-chinga-promises-fireworks-sound-light-concert/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi Nyasa Times |language=en-GB}}</ref><ref name=":0" /> == Kazi ya muziki == Alianza kutoa muziki wake takribani mwaka 2017 kupitia nyimbo za awali kama ''Hossanah'', ''Ndiyemwe Uja'' na ''Mwapambana''. Baadaye aliachia nyimbo nyingine kama ''Thamanga (Never Give Up)'', ''M’modzi'', ''Mchipululu'', ''Kubadwa Kwa Yesu'' na ''Mfumu Ya Mafumu''. Mwaka 2024 alishirikiana na Evance Meleka katika wimbo ''Mseri''.<ref>{{Cite web |last=Zgambo |first=Mike Lyson |date=2016-09-26 |title=Miracle Chinga shakes Mzuzu |url=https://malawi24.com/2016/09/26/miracle-chinga-shakes-mzuzu/ |access-date=2025-09-29 |website=Malawi 24 |language=en-GB}}</ref> == Tuzo na utambuzi == Mwaka 2023, Chinga alishinda tuzo ya ''MBC Best Female Gospel Artist of the Year''. Mwaka 2024, alitunukiwa pia tuzo ya ''MBC Entertainer of Entertainers of the Year'' pamoja na tuzo nyingine ya ''Best Female Gospel Artist''. == Diskografia == === Nyimbo teule === * ''Hossanah'' * ''Ndiyemwe Uja'' * ''Mwapambana'' * ''Thamanga (Never Give Up)'' * ''M’modzi'' * ''Mchipululu'' * ''Kubadwa Kwa Yesu'' * ''Mfumu Ya Mafumu'' * ''Mseri'' (feat. Evance Meleka) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} {{DEFAULTSORT:Chinga, Miracle}} [[Jamii:Waliozaliwa 1998]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Malawi]] [[Jamii:Waimbaji wa Malawi]] p02lxk9x5ahc76ciuys4ghaswn1rd8h Pemi Aguda 0 229664 1507957 2026-04-21T06:49:39Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Pemi Aguda''' ni mwandishi kutoka Nigeria anayejulikana kwa hadithi zake fupi na mkusanyiko wake wa kwanza ''Ghostroots'' (2024). Kazi zake mara nyingi huchunguza mada tata zinazohusu uzazi, utambulisho, na mambo ya kiroho na ya kiajabu. Kitabu chake ''Ghostroots'', kinachojumuisha hadithi zilizochapishwa awali kama ''Breastmilk'' na ''The Hollow'', kilifika fainali ya Tuzo ya Kitaifa ya Vitabu ya Marekani (National Book Award for Fiction) mwaka 2024 n...' 1507957 wikitext text/x-wiki '''Pemi Aguda''' ni mwandishi kutoka Nigeria anayejulikana kwa hadithi zake fupi na mkusanyiko wake wa kwanza ''Ghostroots'' (2024). Kazi zake mara nyingi huchunguza mada tata zinazohusu uzazi, utambulisho, na mambo ya kiroho na ya kiajabu. Kitabu chake ''Ghostroots'', kinachojumuisha hadithi zilizochapishwa awali kama ''Breastmilk'' na ''The Hollow'', kilifika fainali ya Tuzo ya Kitaifa ya Vitabu ya Marekani (National Book Award for Fiction) mwaka 2024 na kilipewa sifa kubwa kwa muunganiko na uimara wa simulizi zake.<ref>"Ghostroots". W. W. Norton.</ref><ref>Andrews, Meredith (1 October 2024). "2024 National Book Awards Finalists Announced". National Book Foundation.</ref> == Elimu na ufadhili == Aguda anatoka Lagos, [[Nigeria]], ambako awali alifanya kazi katika usanifu majengo. Mwaka 2015 alishinda Tuzo ya Hadithi Fupi ya Writivism na kuwa mpokeaji wa kwanza wa makazi ya uandishi ya Writivism–Stellenbosch University.<ref>"Pemi Aguda is first Writivism Stellenbosch University writing residency recipient". Writing Africa.</ref> Ana shahada ya MFA katika uandishi wa kubuni (fiction) kutoka Chuo Kikuu cha Michigan, Marekani, ambako alishinda tuzo za Henfield Prize, Tyson Prize, na Hopwood Awards kadhaa.<ref>"About". 'Pemi Aguda.</ref> Amehitimu pia kutoka Clarion Workshop (2019), akipata ufadhili wa Octavia E. Butler Memorial Scholarship. Alipata pia ufadhili wa Juniper Summer Workshop na sasa ni mhadhiri katika programu hiyo ya uandishi wa kubuni. Mwaka 2020 alipata Aspen Words Emerging Writer Fellowship.<ref>Corea, Nicole (27 February 2020). "Announcing the 2020 Class of Emerging Writer Fellows". The Aspen Institute.</ref> Baadaye alichaguliwa kuwa Miami Book Fair Fiction Fellow (2021), MacDowell Fellow (2022), na James Merrill House Writer in Residence (2023).<ref>"Emerging Writer Fellowships / 2021 Fellows". Miami Book Fair.</ref><ref>"Pemi Aguda - MacDowell Fellow in Literature". MacDowell.</ref> == Kazi == Aguda anajulikana kwa hadithi fupi zinazochunguza changamoto za uzazi na uhusiano wa kifamilia, mara nyingi zikiwa zimechanganywa na vipengele vya uhalisia wa kichawi na mizimu. Mandhari ya “kugubikwa na mizimu” huwakilisha pia kumbukumbu, hisia zilizofichwa na maamuzi yasiyofanywa. Katika mahojiano, ameeleza kuwa karibu kila hadithi inaweza kusomwa kama ya kipepo, kwani watu hukumbwa na kumbukumbu, hisia na historia yao binafsi.<ref>Nevins, Jake (15 May 2024). "In Her New Story Collection, Author Pemi Aguda Invites Readers For a Haunting". Interview Magazine.</ref> == Ghostroots == Mnamo Mei 2024, kitabu chake cha kwanza cha hadithi fupi ''Ghostroots'' kilichapishwa na W. W. Norton. Kinajumuisha hadithi zilizoshinda tuzo kama ''Breastmilk'' na ''The Hollow''. Kitabu hicho kilifika fainali ya Tuzo ya Kitaifa ya Vitabu ya Marekani na pia kiliingia kwenye orodha ya ''New York Times 100 Notable Books of 2024''.<ref>The New York Times Book Review Staff (26 November 2024). "100 Notable Books of 2024". The New York Times.</ref> Wakosoaji wengi waliipongeza kazi hiyo kama mkusanyiko imara wa hadithi fupi, ingawa baadhi ya hadithi zilipata maoni tofauti katika tathmini za kitaaluma. == Tuzo na heshima == Aguda ameshinda na kuteuliwa kwa tuzo mbalimbali, ikiwemo: * Tuzo ya Writivism Short Story Prize (2015) * O. Henry Award kwa ''Breastmilk'' (2022) na ''The Hollow'' (2023) * Nommo Award kwa ''Masquerade Season'' (2022) * Caine Prize shortlist kwa ''Breastmilk'' (2024) * Fainali ya National Book Award for Fiction (2024) Pia ameshinda Deborah Rogers Foundation Award (2020) kwa toleo la awali la riwaya yake ijayo ''The Suicide Mothers''. == Kazi nyingine == Mbali na uandishi wa hadithi, Aguda pia ni mhariri wa maudhui mafupi. Kwa sasa ni Hortense Spillers Assistant Editor katika jarida la ''Transition Magazine''.<ref>"Prizes". The Writivism Prizes.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1990|}} 8ka6wuo46digcvow92hcad3vcndzukn 1508120 1507957 2026-04-21T10:28:55Z Riccardo Riccioni 452 1508120 wikitext text/x-wiki '''Pemi Aguda''' ni mwandishi kutoka Nigeria anayejulikana kwa hadithi zake fupi na mkusanyo wake wa kwanza ''Ghostroots'' (2024). Kazi zake mara nyingi huchunguza mada tata zinazohusu uzazi, utambulisho, na mambo ya kiroho na ya kiajabu. Kitabu chake ''Ghostroots'', kinachojumuisha hadithi zilizochapishwa awali kama ''Breastmilk'' na ''The Hollow'', kilifika fainali ya Tuzo ya Kitaifa ya Vitabu ya Marekani (National Book Award for Fiction) mwaka 2024 na kilipewa sifa kubwa kwa muunganiko na uimara wa simulizi zake.<ref>"Ghostroots". W. W. Norton.</ref><ref>Andrews, Meredith (1 October 2024). "2024 National Book Awards Finalists Announced". National Book Foundation.</ref> == Elimu na ufadhili == Aguda anatoka Lagos, [[Nigeria]], ambako awali alifanya kazi katika usanifu majengo. Mwaka 2015 alishinda Tuzo ya Hadithi Fupi ya Writivism na kuwa mpokeaji wa kwanza wa makazi ya uandishi ya Writivism–Stellenbosch University.<ref>"Pemi Aguda is first Writivism Stellenbosch University writing residency recipient". Writing Africa.</ref> Ana shahada ya MFA katika uandishi wa kubuni (fiction) kutoka Chuo Kikuu cha Michigan, Marekani, ambako alishinda tuzo za Henfield Prize, Tyson Prize, na Hopwood Awards kadhaa.<ref>"About". 'Pemi Aguda.</ref> Amehitimu pia kutoka Clarion Workshop (2019), akipata ufadhili wa Octavia E. Butler Memorial Scholarship. Alipata pia ufadhili wa Juniper Summer Workshop na sasa ni mhadhiri katika programu hiyo ya uandishi wa kubuni. Mwaka 2020 alipata Aspen Words Emerging Writer Fellowship.<ref>Corea, Nicole (27 February 2020). "Announcing the 2020 Class of Emerging Writer Fellows". The Aspen Institute.</ref> Baadaye alichaguliwa kuwa Miami Book Fair Fiction Fellow (2021), MacDowell Fellow (2022), na James Merrill House Writer in Residence (2023).<ref>"Emerging Writer Fellowships / 2021 Fellows". Miami Book Fair.</ref><ref>"Pemi Aguda - MacDowell Fellow in Literature". MacDowell.</ref> == Kazi == Aguda anajulikana kwa hadithi fupi zinazochunguza changamoto za uzazi na uhusiano wa kifamilia, mara nyingi zikiwa zimechanganywa na vipengele vya uhalisia wa kichawi na mizimu. Mandhari ya “kugubikwa na mizimu” huwakilisha pia kumbukumbu, hisia zilizofichwa na maamuzi yasiyofanywa. Katika mahojiano, ameeleza kuwa karibu kila hadithi inaweza kusomwa kama ya kipepo, kwani watu hukumbwa na kumbukumbu, hisia na historia yao binafsi.<ref>Nevins, Jake (15 May 2024). "In Her New Story Collection, Author Pemi Aguda Invites Readers For a Haunting". Interview Magazine.</ref> == Ghostroots == Mnamo Mei 2024, kitabu chake cha kwanza cha hadithi fupi ''Ghostroots'' kilichapishwa na W. W. Norton. Kinajumuisha hadithi zilizoshinda tuzo kama ''Breastmilk'' na ''The Hollow''. Kitabu hicho kilifika fainali ya Tuzo ya Kitaifa ya Vitabu ya Marekani na pia kiliingia kwenye orodha ya ''New York Times 100 Notable Books of 2024''.<ref>The New York Times Book Review Staff (26 November 2024). "100 Notable Books of 2024". The New York Times.</ref> Wakosoaji wengi waliipongeza kazi hiyo kama mkusanyiko imara wa hadithi fupi, ingawa baadhi ya hadithi zilipata maoni tofauti katika tathmini za kitaaluma. == Tuzo na heshima == Aguda ameshinda na kuteuliwa kwa tuzo mbalimbali, ikiwemo: * Tuzo ya Writivism Short Story Prize (2015) * O. Henry Award kwa ''Breastmilk'' (2022) na ''The Hollow'' (2023) * Nommo Award kwa ''Masquerade Season'' (2022) * Caine Prize shortlist kwa ''Breastmilk'' (2024) * Fainali ya National Book Award for Fiction (2024) Pia ameshinda Deborah Rogers Foundation Award (2020) kwa toleo la awali la riwaya yake ijayo ''The Suicide Mothers''. == Kazi nyingine == Mbali na uandishi wa hadithi, Aguda pia ni mhariri wa maudhui mafupi. Kwa sasa ni Hortense Spillers Assistant Editor katika jarida la ''Transition Magazine''.<ref>"Prizes". The Writivism Prizes.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1990|}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] 9hk9u47n7b5pziqej0vmytsr0dcl38d Dora Kotzee 0 229665 1507958 2026-04-21T06:51:02Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dora Kotzee''' (pia huandikwa wakati mwingine kama Dorah Coetzee) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Free State kuanzia mwaka 2014 hadi 2019. Katika kipindi hicho, alihudumu kama Mjumbe wa Baraza la Utendaji la Mkoa (MEC) wa Kazi za Umma na Miundombinu kuanzia 2015 hadi 2018. Kuanzia 2018 hadi 2019, alishikilia wadhifa uliopanuliwa wa MEC wa Kazi za Umma, Miundombinu na Mak...' 1507958 wikitext text/x-wiki '''Dora Kotzee''' (pia huandikwa wakati mwingine kama Dorah Coetzee) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Free State kuanzia mwaka 2014 hadi 2019. Katika kipindi hicho, alihudumu kama Mjumbe wa Baraza la Utendaji la Mkoa (MEC) wa Kazi za Umma na Miundombinu kuanzia 2015 hadi 2018. Kuanzia 2018 hadi 2019, alishikilia wadhifa uliopanuliwa wa MEC wa Kazi za Umma, Miundombinu na Makazi ya Watu.<ref name=":0">{{Cite web|date=2015-05-06|title=Ace reshuffles cabinet|url=https://www.bloemfonteincourant.co.za/ace-reshuffles-cabinet/|access-date=2023-01-09|website=Bloemfontein Courant|language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] mwjwvnjoby1paxvfvsoz0qz5s5x36gr Daniel S. Loeb 0 229666 1507959 2026-04-21T06:51:50Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Daniel Seth Loeb''' (Alizaliwa [[Desemba 18]], [[1961]]) ni mwekezaji , meneja wa hazina (hedge fund), na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web |last=La Roche |first=Julia |date=June 1, 2015 |title=Dan Loeb turned $3 million into a $17.5 billion hedge fund empire in 20 years — here's his fabulous life |url=https://www.businessinsider.com/fabulous-life-of-dan-loeb-2015-6 |website=Business Insider |archive-url=https://web.archive.org/web/20230418...' 1507959 wikitext text/x-wiki '''Daniel Seth Loeb''' (Alizaliwa [[Desemba 18]], [[1961]]) ni mwekezaji , meneja wa hazina (hedge fund), na mfadhili nchini [[Marekani]].<ref>{{Cite web |last=La Roche |first=Julia |date=June 1, 2015 |title=Dan Loeb turned $3 million into a $17.5 billion hedge fund empire in 20 years — here's his fabulous life |url=https://www.businessinsider.com/fabulous-life-of-dan-loeb-2015-6 |website=Business Insider |archive-url=https://web.archive.org/web/20230418083508/https://www.businessinsider.com/fabulous-life-of-dan-loeb-2015-6 |archive-date=April 18, 2023 |url-status=live}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na afisa mkuu mtendaji wa ''Third Point'', hazina ya ukingo yenye makao yake [[New York]] inayozingatia uwekezaji unaoendeshwa na matukio.<ref>{{cite web |title=Daniel Loeb |url=https://www.bloomberg.com/billionaires/ |website=Bloomberg |access-date=2026-04-21}}</ref> Loeb alijulikana kwa mkakati wake wa kununua hisa katika makampuni yenye matatizo, kubadilisha usimamizi usiofaa, na kuyarudisha makampuni katika faida.<ref>{{cite web |title=Get Richest Quickest |url=https://nymag.com/ |website=New York Magazine |access-date=2026-04-21}}</ref> Alikuwa mwanaharakati aliyejulikana katika makampuni kama [[Yahoo!]], [[Sony]], na ''Sotheby's''.<ref>{{cite web |title=Daniel Loeb |url=https://www.britannica.com/ |website=Encyclopaedia Britannica |access-date=2026-04-21}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1961]] [[Jamii:Watu walio hai]] flwwohv8ysjh3dfx9lbz47eu0zeeywe Aiwanose Odafen 0 229667 1507960 2026-04-21T06:52:22Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Aiwanose Odafen''' ni mwandishi wa Nigeria mwenye mwelekeo wa kifeministi. Anajulikana zaidi kwa riwaya zake ''Tomorrow I Become a Woman'' (2022) na ''We Were Girls Once'' (2024). Alizaliwa mjini Lagos, [[Nigeria]]. Alisoma katika Nigerian Turkish International Colleges na alihitimu mwaka 2009. Mwaka 2013 alihitimu Shahada ya Sayansi katika uhasibu (Accounting) katika Chuo Kikuu cha Covenant. == Maisha ya awali na elimu == Odafen alizaliwa Lagos, Nige...' 1507960 wikitext text/x-wiki '''Aiwanose Odafen''' ni mwandishi wa Nigeria mwenye mwelekeo wa kifeministi. Anajulikana zaidi kwa riwaya zake ''Tomorrow I Become a Woman'' (2022) na ''We Were Girls Once'' (2024). Alizaliwa mjini Lagos, [[Nigeria]]. Alisoma katika Nigerian Turkish International Colleges na alihitimu mwaka 2009. Mwaka 2013 alihitimu Shahada ya Sayansi katika uhasibu (Accounting) katika Chuo Kikuu cha Covenant. == Maisha ya awali na elimu == Odafen alizaliwa Lagos, Nigeria. Alipata elimu yake ya sekondari katika Nigerian Turkish International Colleges. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Covenant, ambapo alisomea uhasibu na kuhitimu mwaka 2013. Mwaka 2015 alipata Shahada ya Uzamili wa Biashara (MBA) katika Chuo Kikuu cha Oxford. Baadaye alipata Shahada ya Uzamili ya Uandishi Bunifu (MFA) katika Iowa Writers’ Workshop mwaka 2024. Pia alihudhuria warsha ya uandishi ya Chimamanda Ngozi Adichie iitwayo Purple Hibiscus Trust Writing Workshop. Hadithi yake fupi ''Faces'' iliorodheshwa katika tuzo ya Commonwealth Short Story Prize mwaka 2020. == Kazi == Odafen ni mhasibu kitaaluma na ni mwanachama wa Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) nchini Uingereza. Amefanya kazi katika sekta ya uhasibu sambamba na uandishi. Mwaka 2020, riwaya yake ya kwanza ''Tomorrow I Become a Woman'' ilichukuliwa na Scribner UK, kampuni tanzu ya Simon & Schuster UK, na ilichapishwa mwaka 2022. Kitabu hicho kiliorodheshwa katika orodha mbalimbali za vitabu bora vya Afrika, ikiwemo Brittle Paper 100 Notable African Books of 2022, Open Country Mag 60 Notable Books of 2022, na Afrocritik Top 25 African Novels of 2022. Mwaka 2022 alichangia katika mkusanyiko wa hadithi ''I Am Adona'', unaoangazia wanawake wa Afrika na mafanikio yao katika haki na uwezeshaji wa wanawake. Riwaya yake ya pili ''We Were Girls Once'' ilichapishwa tarehe 25 Aprili 2024. Kitabu hicho kimeelezwa na wakosoaji kama kazi iliyo “kali, isiyo na mapambo na yenye nguvu ya kihisia”. == Bibliografia == * ''Tomorrow I Become a Woman'' (2022) * ''We Were Girls Once'' (2024) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} 6kcpo4zx7ruecn3gqvleabn7vt1yl0z 1507962 1507960 2026-04-21T06:56:42Z Egipa 87700 1507962 wikitext text/x-wiki '''Aiwanose Odafen''' ni mwandishi wa Nigeria mwenye mwelekeo wa kifeministi. Anajulikana zaidi kwa riwaya zake ''Tomorrow I Become a Woman'' (year 2022) na ''We Were Girls Once'' (year 2024). Alizaliwa mjini Lagos, [[Nigeria]]. Alisoma katika Nigerian Turkish International Colleges na alihitimu mwaka wa 2009. Mwaka wa 2013 alihitimu Shahada ya Sayansi katika uhasibu (Accounting) katika Chuo Kikuu cha Covenant. == Maisha ya awali na elimu == Odafen alizaliwa Lagos, Nigeria. Alipata elimu yake ya sekondari katika Nigerian Turkish International Colleges. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Covenant, ambapo alisomea uhasibu na kuhitimu mwaka 2013. Mwaka 2015 alipata Shahada ya Uzamili wa Biashara (MBA) katika Chuo Kikuu cha Oxford. Baadaye alipata Shahada ya Uzamili ya Uandishi Bunifu (MFA) katika Iowa Writers’ Workshop mwaka 2024. Pia alihudhuria warsha ya uandishi ya Chimamanda Ngozi Adichie iitwayo Purple Hibiscus Trust Writing Workshop. Hadithi yake fupi ''Faces'' iliorodheshwa katika tuzo ya Commonwealth Short Story Prize mwaka 2020. == Kazi == Odafen ni mhasibu kitaaluma na ni mwanachama wa Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) nchini Uingereza. Amefanya kazi katika sekta ya uhasibu sambamba na uandishi. Mnamo Mwaka wa 2020, riwaya yake ya kwanza ''Tomorrow I Become a Woman'' ilichukuliwa na Scribner UK, kampuni tanzu ya Simon & Schuster UK, na ilichapishwa mwaka wa 2022. Pia Kitabu hicho kiliorodheshwa katika orodha mbalimbali za vitabu bora vya Afrika, ikiwemo Brittle Paper 100 Notable African Books of year 2022, Open Country Mag 60 Notable Books of year 2022, na Afrocritik Top 25 African Novels of year 2022. Mnamo Mwaka wa 2022 alichangia katika mkusanyiko wa hadithi ''I Am Adona'', unaoangazia wanawake wa Afrika na mafanikio yao katika haki na uwezeshaji wa wanawake. Riwaya yake ya pili ''We Were Girls Once'' ilichapishwa tarehe 25 mwezi Aprili mwaka wa 2024. Kitabu hicho kimeelezwa na wakosoaji kama kazi iliyo “kali, isiyo na mapambo na yenye nguvu ya kihisia”. == Bibliografia == * ''Tomorrow I Become a Woman'' (2022) * ''We Were Girls Once'' (2024) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} 0aunfuyl8hjv4832vfsbx7dzd57r9i7 1508121 1507962 2026-04-21T10:29:57Z Riccardo Riccioni 452 1508121 wikitext text/x-wiki '''Aiwanose Odafen''' ni mwandishi wa Nigeria mwenye mwelekeo wa kifeministi. Anajulikana zaidi kwa riwaya zake ''Tomorrow I Become a Woman'' (2022) na ''We Were Girls Once'' (2024). Alizaliwa mjini Lagos, [[Nigeria]]. Alisoma katika Nigerian Turkish International Colleges na alihitimu mwaka wa 2009. Mwaka wa 2013 alihitimu Shahada ya Sayansi katika uhasibu (Accounting) katika Chuo Kikuu cha Covenant. == Maisha ya awali na elimu == Odafen alizaliwa Lagos, Nigeria. Alipata elimu yake ya sekondari katika Nigerian Turkish International Colleges. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Covenant, ambapo alisomea uhasibu na kuhitimu mwaka 2013. Mwaka 2015 alipata Shahada ya Uzamili wa Biashara (MBA) katika Chuo Kikuu cha Oxford. Baadaye alipata Shahada ya Uzamili ya Uandishi Bunifu (MFA) katika Iowa Writers’ Workshop mwaka 2024. Pia alihudhuria warsha ya uandishi ya Chimamanda Ngozi Adichie iitwayo Purple Hibiscus Trust Writing Workshop. Hadithi yake fupi ''Faces'' iliorodheshwa katika tuzo ya Commonwealth Short Story Prize mwaka 2020. == Kazi == Odafen ni mhasibu kitaaluma na ni mwanachama wa Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) nchini Uingereza. Amefanya kazi katika sekta ya uhasibu sambamba na uandishi. Mnamo Mwaka wa 2020, riwaya yake ya kwanza ''Tomorrow I Become a Woman'' ilichukuliwa na Scribner UK, kampuni tanzu ya Simon & Schuster UK, na ilichapishwa mwaka wa 2022. Pia Kitabu hicho kiliorodheshwa katika orodha mbalimbali za vitabu bora vya Afrika, ikiwemo Brittle Paper 100 Notable African Books of year 2022, Open Country Mag 60 Notable Books of year 2022, na Afrocritik Top 25 African Novels of year 2022. Mnamo Mwaka wa 2022 alichangia katika mkusanyiko wa hadithi ''I Am Adona'', unaoangazia wanawake wa Afrika na mafanikio yao katika haki na uwezeshaji wa wanawake. Riwaya yake ya pili ''We Were Girls Once'' ilichapishwa tarehe 25 mwezi Aprili mwaka wa 2024. Kitabu hicho kimeelezwa na wakosoaji kama kazi iliyo “kali, isiyo na mapambo na yenye nguvu ya kihisia”. == Bibliografia == * ''Tomorrow I Become a Woman'' (2022) * ''We Were Girls Once'' (2024) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] mvne98zn4uis63jlux96z5vxi0beweg Daphne (mwimbaji) 0 229668 1507964 2026-04-21T06:57:16Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Daphne Njie Efundem''' (alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Daphne''', ni mwimbaji kutoka Kameruni. Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2013 na kutoa wimbo wake wa kwanza ulioitwa ''Rastafari'' mwaka uliofuata,<ref name=":0">{{Cite web |date=2014-08-16 |title=Daphne - Rastafari |url=https://www.culturebene.com/12223-daphne-rastafari.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> lakini alipat...' 1507964 wikitext text/x-wiki '''Daphne Njie Efundem''' (alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Daphne''', ni mwimbaji kutoka Kameruni. Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2013 na kutoa wimbo wake wa kwanza ulioitwa ''Rastafari'' mwaka uliofuata,<ref name=":0">{{Cite web |date=2014-08-16 |title=Daphne - Rastafari |url=https://www.culturebene.com/12223-daphne-rastafari.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> lakini alipata umaarufu wa kimataifa mwaka 2017 kupitia wimbo wake ''Calée.''<ref name=":1">{{Cite web |last=Mbena |first=Oscar |date=2017-10-27 |title=Musique: Daphne explique à ses fans le sens de « je suis calée » |url=https://www.afrikmag.com/musique-daphne-explique-fans-sens-de-je-suis-calee/ |access-date=2024-05-19 |website=AfrikMag |language=fr-FR}}</ref> Alitoa albamu iitwayo ''Here to Stay'' mwaka 2016 pamoja na nyimbo kadhaa binafsi. == Maisha na kazi == Daphne alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989 mjini [[Buea]]. Alikulia mjini [[Douala]]. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Serikali ya Bepanda jijini Douala, kisha elimu ya sekondari katika Queen of the Rosary College Okoyong mjini [[Mamfe]] na Inter Comprehensive High School mjini Buea. Pia alisomea sheria na saikolojia katika University of Buea.<ref>{{Cite web |last=You |first=Art Becomes |date=2014-09-05 |title=ABY Interview: 'Rastafari' Singer Daphne Speaks on Breaking Through in The Cameroon Music Industry, Songwriting & More! |url=https://www.artbecomesyou.com/aby-interview-rastafari-singer-daphne-speaks-on-breaking-through-in-the-cameroon-music-industry-songwriting-more/ |access-date=2024-05-20 |website=Art Becomes You |language=en-US}}</ref> Mwaka 2014, Daphne alitoa wimbo wake wa kwanza ''Rastafari'' chini ya lebo ya Stevens Music Entertainment, ambao ulimpatia umaarufu. Mwaka huohuo alitoa ''Reflection'', EP yenye nyimbo nne: ''Ndolo'', ''Broken'', ''Reflection'' na ''Rastafari''.<ref>{{Cite web |last=Nono |first=Brenda |date=2014-12-22 |title=Daphne vous offre son premier album « Reflection EP » en exclusivité! |url=http://www.lwn-mag.com/daphne-offre-premier-album-reflection-ep-en-exclusivite/ |access-date=2024-05-19 |website=LWN Magazine |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2016 alimshirikisha mwimbaji Ben Decca katika kurekodi upya wimbo ''Ndolo''.<ref>{{Cite web |last=Nehdi |first=Dariche |date=2016-06-30 |title=Daphné et Ben Decca nous chantent « NDOLO » |url=https://www.culturebene.com/21772-daphne-ben-decca-chantent-ndolo.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka huohuo alitwaa tuzo ya Msanii Bora wa Kike kutoka Afrika ya Kati katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika Marekani.<ref>{{Cite web |last=Bertin |first=Onana |date=2016-10-17 |title=Afrimma 2016: Daphné élue meilleur artiste féminin d'Afrique Centrale |url=https://fr.journalducameroun.com/afrimma-2016-daphne-elue-meilleur-artiste-feminin-dafrique-centrale/ |website=Journal du Cameroun |language=French }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka 2017 alitoa wimbo maarufu ''Calée'' uliopata watazamaji zaidi ya milioni 10 kwenye YouTube ndani ya miezi michache. Alishirikiana na wasanii [[Mr. Leo]] na [[Salatiel]] katika wimbo huo. Mafanikio ya wimbo huo yalimletea tuzo mbalimbali, zikiwemo Wimbo Bora wa Mwaka na Sauti Bora ya Kike katika Balafon Music Awards mwaka 2017.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-les-artistes-x-maleya-lady-ponce-mister-leo-et-daphne-triomphent-aux-balafon-276726.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka huohuo alianza ziara yake ya kwanza barani Afrika akifanya maonyesho katika [[Côte d'Ivoire]], [[Benin]], [[Gabon]], [[Togo]] na [[Equatorial Guinea]]. Mwaka 2018 aliimba katika tamasha la Sômarôho lililofanyika Andoany kwenye kisiwa cha Nosy Be nchini [[Madagascar]]. Mwaka 2019 alitawazwa mshindi mkuu wa tuzo za Canal 2'Or, akishinda tuzo nne katika vipengele mbalimbali.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr |archive-date=19 January 2025 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250119194231/http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |url-status=dead }}</ref> Alikuwa msanii wa kwanza kushinda tuzo nyingi hivyo katika toleo moja la tuzo hizo.<ref>{{Cite web |last=Rédaction |first=La |date=2019-03-10 |title=Canal 2'OR Act12 : Daphné remporte 4 trophées |url=https://www.culturebene.com/49140-canal-2or-act12-daphne-remporte-4-trophees.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2021 alichaguliwa kuwa jaji katika msimu wa kwanza wa shindano la ''The Voice Kids Afrique Francophone''.<ref>{{Cite web |last=NGONO |first=Danielle |date=2021-10-12 |title=The Voice Kids : Après Sidiki Diabaté, Daphné rejoint le casting des coaches |url=https://www.culturebene.com/68542-the-voice-kids-apres-sidiki-diabate-daphne-rejoint-le-casting-des-coaches.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mbali na muziki, mwaka 2020 alionekana katika filamu ''Fisherman's Diary'' akicheza nafasi ya Bi. Anang Joe.<ref name=":1" /> == Maisha binafsi == Tarehe 26 Julai 2023, Daphne alijifungua mtoto wa kike aitwaye Afanwi nchini Marekani.<ref>{{Cite web |date=2024-02-14 |title=Cameroun : La chanteuse Daphné présente le visage de son premier enfant - Afrique sur 7 |url=https://www.afrique-sur7.ci/cameroun-la-chanteuse-daphne-presente-le-visage-de-son-premier-enfant |access-date=2024-05-19 |language=fr-FR}}</ref> == Diskografia == === Nyimbo === * ''Ndolo'' (feat. Ben Decca) (2016) * ''Calée'' (2017) * ''Promets-moi'' (2017) * ''Jusqu'à la Gare'' (2017) * ''My Lover'' (2018) * ''Ne Lâches Pas'' (2018) * ''Doucement'' (2019) * ''Là-bas'' (2021) === Ushirikiano === * Numerica feat. Daphne - ''No Way'' (2016) * Salatiel feat. Daphne - ''Comme ça (À nous deux)'' (2018) * Hiro feat. Daphne - ''Number One'' (2018) * Fanicko feat. Daphne - ''Avec Toi'' (2019) * [[Stanley Enow]] feat. Daphne - ''Forever'' (2019) * Abz feat. Daphne - ''Ololiyo'' (2020) * Boy Tag feat. Daphne - ''Far Away'' (2020) * Ful feat. Daphne - ''Reviens Moi'' (2020) * [[Koffi Olomide]] feat. Daphne - ''You Got It'' (2020) === Albamu === * ''Here to Stay'' (2016) === EP === * ''Reflection'' (2014) == Filamu == * (2020) ''Fisherman's Diary'' <ref name=":0" /> == Tuzo na mafanikio == === Balafon Music Awards === * Mshindi wa Wimbo Bora wa Mwaka (2017) * Sauti Bora ya Kike (2017) * Msanii Bora wa Kike (2019) === AFRIMMA === * Msanii Bora wa Kike Afrika ya Kati (2016) === Canal 2'Or === * Msanii Bora wa Kike (2019) * Msanii Bora wa Muziki wa Mijini (2019) * Utendaji Bora wa Kidijitali (2019) * Wimbo Maarufu (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1989|}} dzdas4x6boseb5zfj68jbo406evojob 1507965 1507964 2026-04-21T06:58:37Z Valuegirl 87699 1507965 wikitext text/x-wiki '''Daphne Njie Efundem''' (alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Daphne''', ni mwimbaji kutoka [[Kamerun]]. Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2013 na kutoa wimbo wake wa kwanza ulioitwa ''Rastafari'' mwaka uliofuata,<ref name=":0">{{Cite web |date=2014-08-16 |title=Daphne - Rastafari |url=https://www.culturebene.com/12223-daphne-rastafari.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> lakini alipata umaarufu wa kimataifa mwaka 2017 kupitia wimbo wake ''Calée.''<ref name=":1">{{Cite web |last=Mbena |first=Oscar |date=2017-10-27 |title=Musique: Daphne explique à ses fans le sens de « je suis calée » |url=https://www.afrikmag.com/musique-daphne-explique-fans-sens-de-je-suis-calee/ |access-date=2024-05-19 |website=AfrikMag |language=fr-FR}}</ref> Alitoa albamu iitwayo ''Here to Stay'' mwaka 2016 pamoja na nyimbo kadhaa binafsi. == Maisha na kazi == Daphne alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989 mjini [[Buea]]. Alikulia mjini [[Douala]]. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Serikali ya Bepanda jijini Douala, kisha elimu ya sekondari katika Queen of the Rosary College Okoyong mjini [[Mamfe]] na Inter Comprehensive High School mjini Buea. Pia alisomea sheria na saikolojia katika University of Buea.<ref>{{Cite web |last=You |first=Art Becomes |date=2014-09-05 |title=ABY Interview: 'Rastafari' Singer Daphne Speaks on Breaking Through in The Cameroon Music Industry, Songwriting & More! |url=https://www.artbecomesyou.com/aby-interview-rastafari-singer-daphne-speaks-on-breaking-through-in-the-cameroon-music-industry-songwriting-more/ |access-date=2024-05-20 |website=Art Becomes You |language=en-US}}</ref> Mwaka 2014, Daphne alitoa wimbo wake wa kwanza ''Rastafari'' chini ya lebo ya Stevens Music Entertainment, ambao ulimpatia umaarufu. Mwaka huohuo alitoa ''Reflection'', EP yenye nyimbo nne: ''Ndolo'', ''Broken'', ''Reflection'' na ''Rastafari''.<ref>{{Cite web |last=Nono |first=Brenda |date=2014-12-22 |title=Daphne vous offre son premier album « Reflection EP » en exclusivité! |url=http://www.lwn-mag.com/daphne-offre-premier-album-reflection-ep-en-exclusivite/ |access-date=2024-05-19 |website=LWN Magazine |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2016 alimshirikisha mwimbaji Ben Decca katika kurekodi upya wimbo ''Ndolo''.<ref>{{Cite web |last=Nehdi |first=Dariche |date=2016-06-30 |title=Daphné et Ben Decca nous chantent « NDOLO » |url=https://www.culturebene.com/21772-daphne-ben-decca-chantent-ndolo.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka huohuo alitwaa tuzo ya Msanii Bora wa Kike kutoka Afrika ya Kati katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika Marekani.<ref>{{Cite web |last=Bertin |first=Onana |date=2016-10-17 |title=Afrimma 2016: Daphné élue meilleur artiste féminin d'Afrique Centrale |url=https://fr.journalducameroun.com/afrimma-2016-daphne-elue-meilleur-artiste-feminin-dafrique-centrale/ |website=Journal du Cameroun |language=French }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka 2017 alitoa wimbo maarufu ''Calée'' uliopata watazamaji zaidi ya milioni 10 kwenye YouTube ndani ya miezi michache. Alishirikiana na wasanii [[Mr. Leo]] na [[Salatiel]] katika wimbo huo. Mafanikio ya wimbo huo yalimletea tuzo mbalimbali, zikiwemo Wimbo Bora wa Mwaka na Sauti Bora ya Kike katika Balafon Music Awards mwaka 2017.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-les-artistes-x-maleya-lady-ponce-mister-leo-et-daphne-triomphent-aux-balafon-276726.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka huohuo alianza ziara yake ya kwanza barani Afrika akifanya maonyesho katika [[Côte d'Ivoire]], [[Benin]], [[Gabon]], [[Togo]] na [[Equatorial Guinea]]. Mwaka 2018 aliimba katika tamasha la Sômarôho lililofanyika Andoany kwenye kisiwa cha Nosy Be nchini [[Madagascar]]. Mwaka 2019 alitawazwa mshindi mkuu wa tuzo za Canal 2'Or, akishinda tuzo nne katika vipengele mbalimbali.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr |archive-date=19 January 2025 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250119194231/http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |url-status=dead }}</ref> Alikuwa msanii wa kwanza kushinda tuzo nyingi hivyo katika toleo moja la tuzo hizo.<ref>{{Cite web |last=Rédaction |first=La |date=2019-03-10 |title=Canal 2'OR Act12 : Daphné remporte 4 trophées |url=https://www.culturebene.com/49140-canal-2or-act12-daphne-remporte-4-trophees.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2021 alichaguliwa kuwa jaji katika msimu wa kwanza wa shindano la ''The Voice Kids Afrique Francophone''.<ref>{{Cite web |last=NGONO |first=Danielle |date=2021-10-12 |title=The Voice Kids : Après Sidiki Diabaté, Daphné rejoint le casting des coaches |url=https://www.culturebene.com/68542-the-voice-kids-apres-sidiki-diabate-daphne-rejoint-le-casting-des-coaches.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mbali na muziki, mwaka 2020 alionekana katika filamu ''Fisherman's Diary'' akicheza nafasi ya Bi. Anang Joe.<ref name=":1" /> == Maisha binafsi == Tarehe 26 Julai 2023, Daphne alijifungua mtoto wa kike aitwaye Afanwi nchini Marekani.<ref>{{Cite web |date=2024-02-14 |title=Cameroun : La chanteuse Daphné présente le visage de son premier enfant - Afrique sur 7 |url=https://www.afrique-sur7.ci/cameroun-la-chanteuse-daphne-presente-le-visage-de-son-premier-enfant |access-date=2024-05-19 |language=fr-FR}}</ref> == Diskografia == === Nyimbo === * ''Ndolo'' (feat. Ben Decca) (2016) * ''Calée'' (2017) * ''Promets-moi'' (2017) * ''Jusqu'à la Gare'' (2017) * ''My Lover'' (2018) * ''Ne Lâches Pas'' (2018) * ''Doucement'' (2019) * ''Là-bas'' (2021) === Ushirikiano === * Numerica feat. Daphne - ''No Way'' (2016) * Salatiel feat. Daphne - ''Comme ça (À nous deux)'' (2018) * Hiro feat. Daphne - ''Number One'' (2018) * Fanicko feat. Daphne - ''Avec Toi'' (2019) * [[Stanley Enow]] feat. Daphne - ''Forever'' (2019) * Abz feat. Daphne - ''Ololiyo'' (2020) * Boy Tag feat. Daphne - ''Far Away'' (2020) * Ful feat. Daphne - ''Reviens Moi'' (2020) * [[Koffi Olomide]] feat. Daphne - ''You Got It'' (2020) === Albamu === * ''Here to Stay'' (2016) === EP === * ''Reflection'' (2014) == Filamu == * (2020) ''Fisherman's Diary'' <ref name=":0" /> == Tuzo na mafanikio == === Balafon Music Awards === * Mshindi wa Wimbo Bora wa Mwaka (2017) * Sauti Bora ya Kike (2017) * Msanii Bora wa Kike (2019) === AFRIMMA === * Msanii Bora wa Kike Afrika ya Kati (2016) === Canal 2'Or === * Msanii Bora wa Kike (2019) * Msanii Bora wa Muziki wa Mijini (2019) * Utendaji Bora wa Kidijitali (2019) * Wimbo Maarufu (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1989|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] cttqcks1rgtbvxtp3vq9gc8vlof70s9 1508122 1507965 2026-04-21T10:30:25Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Daphne (singer)]] hadi [[Daphne (mwimbaji)]]: jina la Kiswahili 1507965 wikitext text/x-wiki '''Daphne Njie Efundem''' (alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Daphne''', ni mwimbaji kutoka [[Kamerun]]. Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2013 na kutoa wimbo wake wa kwanza ulioitwa ''Rastafari'' mwaka uliofuata,<ref name=":0">{{Cite web |date=2014-08-16 |title=Daphne - Rastafari |url=https://www.culturebene.com/12223-daphne-rastafari.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> lakini alipata umaarufu wa kimataifa mwaka 2017 kupitia wimbo wake ''Calée.''<ref name=":1">{{Cite web |last=Mbena |first=Oscar |date=2017-10-27 |title=Musique: Daphne explique à ses fans le sens de « je suis calée » |url=https://www.afrikmag.com/musique-daphne-explique-fans-sens-de-je-suis-calee/ |access-date=2024-05-19 |website=AfrikMag |language=fr-FR}}</ref> Alitoa albamu iitwayo ''Here to Stay'' mwaka 2016 pamoja na nyimbo kadhaa binafsi. == Maisha na kazi == Daphne alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989 mjini [[Buea]]. Alikulia mjini [[Douala]]. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Serikali ya Bepanda jijini Douala, kisha elimu ya sekondari katika Queen of the Rosary College Okoyong mjini [[Mamfe]] na Inter Comprehensive High School mjini Buea. Pia alisomea sheria na saikolojia katika University of Buea.<ref>{{Cite web |last=You |first=Art Becomes |date=2014-09-05 |title=ABY Interview: 'Rastafari' Singer Daphne Speaks on Breaking Through in The Cameroon Music Industry, Songwriting & More! |url=https://www.artbecomesyou.com/aby-interview-rastafari-singer-daphne-speaks-on-breaking-through-in-the-cameroon-music-industry-songwriting-more/ |access-date=2024-05-20 |website=Art Becomes You |language=en-US}}</ref> Mwaka 2014, Daphne alitoa wimbo wake wa kwanza ''Rastafari'' chini ya lebo ya Stevens Music Entertainment, ambao ulimpatia umaarufu. Mwaka huohuo alitoa ''Reflection'', EP yenye nyimbo nne: ''Ndolo'', ''Broken'', ''Reflection'' na ''Rastafari''.<ref>{{Cite web |last=Nono |first=Brenda |date=2014-12-22 |title=Daphne vous offre son premier album « Reflection EP » en exclusivité! |url=http://www.lwn-mag.com/daphne-offre-premier-album-reflection-ep-en-exclusivite/ |access-date=2024-05-19 |website=LWN Magazine |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2016 alimshirikisha mwimbaji Ben Decca katika kurekodi upya wimbo ''Ndolo''.<ref>{{Cite web |last=Nehdi |first=Dariche |date=2016-06-30 |title=Daphné et Ben Decca nous chantent « NDOLO » |url=https://www.culturebene.com/21772-daphne-ben-decca-chantent-ndolo.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka huohuo alitwaa tuzo ya Msanii Bora wa Kike kutoka Afrika ya Kati katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika Marekani.<ref>{{Cite web |last=Bertin |first=Onana |date=2016-10-17 |title=Afrimma 2016: Daphné élue meilleur artiste féminin d'Afrique Centrale |url=https://fr.journalducameroun.com/afrimma-2016-daphne-elue-meilleur-artiste-feminin-dafrique-centrale/ |website=Journal du Cameroun |language=French }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka 2017 alitoa wimbo maarufu ''Calée'' uliopata watazamaji zaidi ya milioni 10 kwenye YouTube ndani ya miezi michache. Alishirikiana na wasanii [[Mr. Leo]] na [[Salatiel]] katika wimbo huo. Mafanikio ya wimbo huo yalimletea tuzo mbalimbali, zikiwemo Wimbo Bora wa Mwaka na Sauti Bora ya Kike katika Balafon Music Awards mwaka 2017.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-les-artistes-x-maleya-lady-ponce-mister-leo-et-daphne-triomphent-aux-balafon-276726.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka huohuo alianza ziara yake ya kwanza barani Afrika akifanya maonyesho katika [[Côte d'Ivoire]], [[Benin]], [[Gabon]], [[Togo]] na [[Equatorial Guinea]]. Mwaka 2018 aliimba katika tamasha la Sômarôho lililofanyika Andoany kwenye kisiwa cha Nosy Be nchini [[Madagascar]]. Mwaka 2019 alitawazwa mshindi mkuu wa tuzo za Canal 2'Or, akishinda tuzo nne katika vipengele mbalimbali.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr |archive-date=19 January 2025 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250119194231/http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |url-status=dead }}</ref> Alikuwa msanii wa kwanza kushinda tuzo nyingi hivyo katika toleo moja la tuzo hizo.<ref>{{Cite web |last=Rédaction |first=La |date=2019-03-10 |title=Canal 2'OR Act12 : Daphné remporte 4 trophées |url=https://www.culturebene.com/49140-canal-2or-act12-daphne-remporte-4-trophees.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2021 alichaguliwa kuwa jaji katika msimu wa kwanza wa shindano la ''The Voice Kids Afrique Francophone''.<ref>{{Cite web |last=NGONO |first=Danielle |date=2021-10-12 |title=The Voice Kids : Après Sidiki Diabaté, Daphné rejoint le casting des coaches |url=https://www.culturebene.com/68542-the-voice-kids-apres-sidiki-diabate-daphne-rejoint-le-casting-des-coaches.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mbali na muziki, mwaka 2020 alionekana katika filamu ''Fisherman's Diary'' akicheza nafasi ya Bi. Anang Joe.<ref name=":1" /> == Maisha binafsi == Tarehe 26 Julai 2023, Daphne alijifungua mtoto wa kike aitwaye Afanwi nchini Marekani.<ref>{{Cite web |date=2024-02-14 |title=Cameroun : La chanteuse Daphné présente le visage de son premier enfant - Afrique sur 7 |url=https://www.afrique-sur7.ci/cameroun-la-chanteuse-daphne-presente-le-visage-de-son-premier-enfant |access-date=2024-05-19 |language=fr-FR}}</ref> == Diskografia == === Nyimbo === * ''Ndolo'' (feat. Ben Decca) (2016) * ''Calée'' (2017) * ''Promets-moi'' (2017) * ''Jusqu'à la Gare'' (2017) * ''My Lover'' (2018) * ''Ne Lâches Pas'' (2018) * ''Doucement'' (2019) * ''Là-bas'' (2021) === Ushirikiano === * Numerica feat. Daphne - ''No Way'' (2016) * Salatiel feat. Daphne - ''Comme ça (À nous deux)'' (2018) * Hiro feat. Daphne - ''Number One'' (2018) * Fanicko feat. Daphne - ''Avec Toi'' (2019) * [[Stanley Enow]] feat. Daphne - ''Forever'' (2019) * Abz feat. Daphne - ''Ololiyo'' (2020) * Boy Tag feat. Daphne - ''Far Away'' (2020) * Ful feat. Daphne - ''Reviens Moi'' (2020) * [[Koffi Olomide]] feat. Daphne - ''You Got It'' (2020) === Albamu === * ''Here to Stay'' (2016) === EP === * ''Reflection'' (2014) == Filamu == * (2020) ''Fisherman's Diary'' <ref name=":0" /> == Tuzo na mafanikio == === Balafon Music Awards === * Mshindi wa Wimbo Bora wa Mwaka (2017) * Sauti Bora ya Kike (2017) * Msanii Bora wa Kike (2019) === AFRIMMA === * Msanii Bora wa Kike Afrika ya Kati (2016) === Canal 2'Or === * Msanii Bora wa Kike (2019) * Msanii Bora wa Muziki wa Mijini (2019) * Utendaji Bora wa Kidijitali (2019) * Wimbo Maarufu (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1989|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] cttqcks1rgtbvxtp3vq9gc8vlof70s9 1508125 1508122 2026-04-21T10:31:08Z Riccardo Riccioni 452 1508125 wikitext text/x-wiki '''Daphne Njie Efundem''' (alizaliwa 20 Septemba 1989), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Daphne''', ni mwimbaji kutoka [[Kamerun]]. Alianza kazi yake ya muziki mwaka 2013 na kutoa wimbo wake wa kwanza ulioitwa ''Rastafari'' mwaka uliofuata,<ref name=":0">{{Cite web |date=2014-08-16 |title=Daphne - Rastafari |url=https://www.culturebene.com/12223-daphne-rastafari.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> lakini alipata umaarufu wa kimataifa mwaka 2017 kupitia wimbo wake ''Calée.''<ref name=":1">{{Cite web |last=Mbena |first=Oscar |date=2017-10-27 |title=Musique: Daphne explique à ses fans le sens de « je suis calée » |url=https://www.afrikmag.com/musique-daphne-explique-fans-sens-de-je-suis-calee/ |access-date=2024-05-19 |website=AfrikMag |language=fr-FR}}</ref> Alitoa albamu iitwayo ''Here to Stay'' mwaka 2016 pamoja na nyimbo kadhaa binafsi. == Maisha na kazi == Daphne alizaliwa tarehe 20 Septemba 1989 mjini [[Buea]]. Alikulia mjini [[Douala]]. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Serikali ya Bepanda jijini Douala, kisha elimu ya sekondari katika Queen of the Rosary College Okoyong mjini [[Mamfe]] na Inter Comprehensive High School mjini Buea. Pia alisomea sheria na saikolojia katika University of Buea.<ref>{{Cite web |last=You |first=Art Becomes |date=2014-09-05 |title=ABY Interview: 'Rastafari' Singer Daphne Speaks on Breaking Through in The Cameroon Music Industry, Songwriting & More! |url=https://www.artbecomesyou.com/aby-interview-rastafari-singer-daphne-speaks-on-breaking-through-in-the-cameroon-music-industry-songwriting-more/ |access-date=2024-05-20 |website=Art Becomes You |language=en-US}}</ref> Mwaka 2014, Daphne alitoa wimbo wake wa kwanza ''Rastafari'' chini ya lebo ya Stevens Music Entertainment, ambao ulimpatia umaarufu. Mwaka huohuo alitoa ''Reflection'', EP yenye nyimbo nne: ''Ndolo'', ''Broken'', ''Reflection'' na ''Rastafari''.<ref>{{Cite web |last=Nono |first=Brenda |date=2014-12-22 |title=Daphne vous offre son premier album « Reflection EP » en exclusivité! |url=http://www.lwn-mag.com/daphne-offre-premier-album-reflection-ep-en-exclusivite/ |access-date=2024-05-19 |website=LWN Magazine |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2016 alimshirikisha mwimbaji Ben Decca katika kurekodi upya wimbo ''Ndolo''.<ref>{{Cite web |last=Nehdi |first=Dariche |date=2016-06-30 |title=Daphné et Ben Decca nous chantent « NDOLO » |url=https://www.culturebene.com/21772-daphne-ben-decca-chantent-ndolo.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka huohuo alitwaa tuzo ya Msanii Bora wa Kike kutoka Afrika ya Kati katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika Marekani.<ref>{{Cite web |last=Bertin |first=Onana |date=2016-10-17 |title=Afrimma 2016: Daphné élue meilleur artiste féminin d'Afrique Centrale |url=https://fr.journalducameroun.com/afrimma-2016-daphne-elue-meilleur-artiste-feminin-dafrique-centrale/ |website=Journal du Cameroun |language=French }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka 2017 alitoa wimbo maarufu ''Calée'' uliopata watazamaji zaidi ya milioni 10 kwenye YouTube ndani ya miezi michache. Alishirikiana na wasanii [[Mr. Leo]] na [[Salatiel]] katika wimbo huo. Mafanikio ya wimbo huo yalimletea tuzo mbalimbali, zikiwemo Wimbo Bora wa Mwaka na Sauti Bora ya Kike katika Balafon Music Awards mwaka 2017.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-les-artistes-x-maleya-lady-ponce-mister-leo-et-daphne-triomphent-aux-balafon-276726.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr }}{{Dead link|date=August 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mwaka huohuo alianza ziara yake ya kwanza barani Afrika akifanya maonyesho katika [[Côte d'Ivoire]], [[Benin]], [[Gabon]], [[Togo]] na [[Equatorial Guinea]]. Mwaka 2018 aliimba katika tamasha la Sômarôho lililofanyika Andoany kwenye kisiwa cha Nosy Be nchini [[Madagascar]]. Mwaka 2019 alitawazwa mshindi mkuu wa tuzo za Canal 2'Or, akishinda tuzo nne katika vipengele mbalimbali.<ref>{{Cite web |title=Cameroon-Info.Net |url=https://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |access-date=2024-05-19 |website=www.cameroon-info.net |language=fr |archive-date=19 January 2025 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250119194231/http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-awards-daphne-njie-sacree-reine-des-canal-2or-2019-335694.html |url-status=dead }}</ref> Alikuwa msanii wa kwanza kushinda tuzo nyingi hivyo katika toleo moja la tuzo hizo.<ref>{{Cite web |last=Rédaction |first=La |date=2019-03-10 |title=Canal 2'OR Act12 : Daphné remporte 4 trophées |url=https://www.culturebene.com/49140-canal-2or-act12-daphne-remporte-4-trophees.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mwaka 2021 alichaguliwa kuwa jaji katika msimu wa kwanza wa shindano la ''The Voice Kids Afrique Francophone''.<ref>{{Cite web |last=NGONO |first=Danielle |date=2021-10-12 |title=The Voice Kids : Après Sidiki Diabaté, Daphné rejoint le casting des coaches |url=https://www.culturebene.com/68542-the-voice-kids-apres-sidiki-diabate-daphne-rejoint-le-casting-des-coaches.html |access-date=2024-05-19 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> Mbali na muziki, mwaka 2020 alionekana katika filamu ''Fisherman's Diary'' akicheza nafasi ya Bi. Anang Joe.<ref name=":1" /> == Maisha binafsi == Tarehe 26 Julai 2023, Daphne alijifungua mtoto wa kike aitwaye Afanwi nchini Marekani.<ref>{{Cite web |date=2024-02-14 |title=Cameroun : La chanteuse Daphné présente le visage de son premier enfant - Afrique sur 7 |url=https://www.afrique-sur7.ci/cameroun-la-chanteuse-daphne-presente-le-visage-de-son-premier-enfant |access-date=2024-05-19 |language=fr-FR}}</ref> == Diskografia == === Nyimbo === * ''Ndolo'' (feat. Ben Decca) (2016) * ''Calée'' (2017) * ''Promets-moi'' (2017) * ''Jusqu'à la Gare'' (2017) * ''My Lover'' (2018) * ''Ne Lâches Pas'' (2018) * ''Doucement'' (2019) * ''Là-bas'' (2021) === Ushirikiano === * Numerica feat. Daphne - ''No Way'' (2016) * Salatiel feat. Daphne - ''Comme ça (À nous deux)'' (2018) * Hiro feat. Daphne - ''Number One'' (2018) * Fanicko feat. Daphne - ''Avec Toi'' (2019) * [[Stanley Enow]] feat. Daphne - ''Forever'' (2019) * Abz feat. Daphne - ''Ololiyo'' (2020) * Boy Tag feat. Daphne - ''Far Away'' (2020) * Ful feat. Daphne - ''Reviens Moi'' (2020) * [[Koffi Olomide]] feat. Daphne - ''You Got It'' (2020) === Albamu === * ''Here to Stay'' (2016) === EP === * ''Reflection'' (2014) == Filamu == * (2020) ''Fisherman's Diary'' <ref name=":0" /> == Tuzo na mafanikio == === Balafon Music Awards === * Mshindi wa Wimbo Bora wa Mwaka (2017) * Sauti Bora ya Kike (2017) * Msanii Bora wa Kike (2019) === AFRIMMA === * Msanii Bora wa Kike Afrika ya Kati (2016) === Canal 2'Or === * Msanii Bora wa Kike (2019) * Msanii Bora wa Muziki wa Mijini (2019) * Utendaji Bora wa Kidijitali (2019) * Wimbo Maarufu (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} {{BD|1989|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Waimbaji wa Kamerun]] fd7l8a54f3yas567aeic51kfr58bvk3 Noxolo Kiviet 0 229669 1507967 2026-04-21T07:02:35Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Noxolo Kiviet''' (aliyezaliwa [[21 Julai]] [[1963]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali serikalini. Yeye ni mwanachama wa African National Congress (ANC) na pia mwanaharakati wa zamani wa vyama vya wafanyakazi. Alihudumu kama Waziri wa Utumishi wa Umma na Utawala kuanzia 2023 hadi 2024. Kabla ya hapo, alikuwa Naibu Waziri wa Kazi za Umma na Miundombinu kuanzia 2019 hadi 2023. Amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Easte...' 1507967 wikitext text/x-wiki '''Noxolo Kiviet''' (aliyezaliwa [[21 Julai]] [[1963]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali serikalini. Yeye ni mwanachama wa African National Congress (ANC) na pia mwanaharakati wa zamani wa vyama vya wafanyakazi. Alihudumu kama Waziri wa Utumishi wa Umma na Utawala kuanzia 2023 hadi 2024. Kabla ya hapo, alikuwa Naibu Waziri wa Kazi za Umma na Miundombinu kuanzia 2019 hadi 2023. Amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Eastern Cape kuanzia 2009 hadi 2014. Kabla na baada ya nafasi hiyo, alihudumu kama Spika wa Bunge la Mkoa wa Eastern Cape katika vipindi viwili: 2004–2009 na 2014–2019. Baada ya uchaguzi mkuu wa 2019, alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bunge la Taifa la Afrika Kusini na kuteuliwa kwenye baraza la mawaziri la kitaifa na Rais Cyril Ramaphosa. Pia amekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Utendaji ya ANC tangu 2017.<ref>{{Cite web|last=Paton|first=Carol|title=Seven Cabinet ministers have already lost their jobs|url=https://www.news24.com/fin24/economy/six-cabinet-ministers-have-already-lost-their-jobs-20240605|access-date=2024-12-02|website=Business|language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1963]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 6fk69hqbaenfwh7fti5575s9cpe1s5g Nkeiruka Onyejeocha 0 229670 1507969 2026-04-21T07:16:51Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nkeiruka Chidubem Onyejocha''' (alizaliwa [[23 Novemba|Novemba 23]], [[1969]]) ni mwanasiasa wa Nigeria, Waziri wa Nchi wa Kazi na Ajira wa sasa (2023–Sasa) na mbunge wa zamani katika Baraza la Wawakilishi la Shirikisho la Nigeria. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.abiastate.gov.ng/abia-personalities/2814/|title=Hon. Nkeiruka Onyejeocha – The Abia State Government – Official Website|work=www.abiastate.gov.ng|date=21 August 2011|language=en-US|acc...' 1507969 wikitext text/x-wiki '''Nkeiruka Chidubem Onyejocha''' (alizaliwa [[23 Novemba|Novemba 23]], [[1969]]) ni mwanasiasa wa Nigeria, Waziri wa Nchi wa Kazi na Ajira wa sasa (2023–Sasa) na mbunge wa zamani katika Baraza la Wawakilishi la Shirikisho la Nigeria. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.abiastate.gov.ng/abia-personalities/2814/|title=Hon. Nkeiruka Onyejeocha – The Abia State Government – Official Website|work=www.abiastate.gov.ng|date=21 August 2011|language=en-US|accessdate=2019-11-25|archivedate=2019-07-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190702004955/http://www.abiastate.gov.ng/abia-personalities/2814/}}</ref> Aliwakilisha Jimbo la Shirikisho la Isuikwuato/Umunneochi la [[Abia (jimbo)|Jimbo la Abia]] . Amefadhili miswada kadhaa na kutoa hoja ambazo zimeboresha maisha ya raia wa kawaida na kusaidia kulinda haki zao. <ref>"Female presidency possible in 2023 -Senator Onyejeocha"''. The Punch. 2021-09-19. Retrieved 2022-02-21.''</ref> Mnamo 2017 alifadhili muswada unaofanya matibabu ya dharura ya waathiriwa wa risasi kuwa ya lazima na ya lazima kwa hospitali bila kudai au kuchelewesha matibabu ili kupata ripoti za polisi kwanza kabla ya kuanza matibabu katika hali za dharura. Onyejocha alichaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 2007 katika jukwaa la Peoples Democratic Party, PDP kisha chama tawala cha Nigeria. Alihamia All Progressives Congress, APC mwaka wa 2018 baada ya kupata shinikizo kubwa kutoka kwa viongozi wake wa zamani wa chama kuachana na azma yake ya kutaka kurejea bungeni. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://yellowdanfo.com.ng/2018/08/25/nkiruka-onyejeocha/|title=PHOTO: Hon. Nkiruka Onyejeocha dumps PDP for APC|author=|first=|date=August 25, 2018|work=Yellow Danfo|archiveurl=|archivedate=|accessdate=November 20, 2019}}</ref> Mnamo mwaka wa 2019, alishinda azma yake ya kuchaguliwa tena kwa muhula wa nne katika Chama cha Kijani cha Nigeria. Yeye ni mmoja wa wanachama waliohudumu kwa muda mrefu zaidi katika bunge. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.nassnig.org/mps/single/367|title=National Assembly {{!}} Federal Republic of Nigeria|work=www.nassnig.org|accessdate=2019-11-25}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.manpower.com.ng/people/16650/hon-Onyejocha-onyejeocha|title=Hon. Nkeiruka Onyejeocha biography, net worth, age, family, contact & picture|work=www.manpower.com.ng|accessdate=2019-11-25}}</ref> Mnamo mwaka wa 2019, Onyejocha aligombea nafasi ya [[spika]] wa Baraza la Wawakilishi la Shirikisho la Nigeria lililotawaliwa na wanaume dhidi ya Femi Gbajabiamila kutoka [[Jimbo la Lagos]] aliyeteuliwa kwa nafasi hiyo na chama chao - All Progressives Congress, APC. Suala kubwa la kampeni ya Onyejocha lilikuwa ni kugawa nafasi ya uspika katika eneo lake - kusini-mashariki mwa Nigeria kwa ajili ya usambazaji sawa wa mamlaka muhimu ya shirikisho miongoni mwa maeneo sita ya kisiasa ya kijiografia ya nchi. Lakini alijiuzulu chini ya saa 24 kabla ya uchaguzi. Onyejocha hapo awali alikuwa Mwenyekiti wa Mpito wa Utendaji wa Eneo la Serikali ya Mtaa ya Umunneochi katika Jimbo la Abia mnamo 2002. Mnamo 2003 alihudumu katika baraza la mawaziri la utendaji la Jimbo la Abia kama kamishna wa Usimamizi wa Rasilimali na Maendeleo ya Nguvu Kazi. == Maisha ya awali , elimu na kazi == Onyejocha alizaliwa na Eze Bob Ogbonna huko Isuochi katika eneo la serikali ya mtaa ya Umunneochi katika [[Abia (jimbo)|Jimbo la Abia]] . Alimpoteza mama yake akiwa na umri mdogo. Onyejocha alihudhuria Shule ya Msingi ya Isuochi Central na Shule ya Wasichana ya Ovim, Isuochi. Mnamo 1988 alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Nigeria, Nsukka, UNN na diploma katika Kazi ya Jamii/Maendeleo ya Jamii. Mnamo 1993 alimaliza Shahada ya Sanaa, BA na daraja la pili la juu (Heshima) kutoka Chuo Kikuu cha Nigeria, Nsukka . Onyejocha ana shahada ya uzamili katika Masuala ya Kimataifa na Diplomasia kutoka Chuo Kikuu cha Imo State (2005) na shahada ya uzamili katika Usafirishaji kutoka Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Ladoke Akintola, [[Jimbo la Oyo]] . Alikuwa mkurugenzi mkuu wa Nikkings na Kingzol International Ltd ambayo inahusika na biashara ya watoto na vitu vya nyumbani. Uongozi wake ulisifiwa kwa kuipeleka kampuni hiyo katika wasifu wa biashara wa kimataifa. Kampuni hiyo ilikuwa inamilikiwa na mumewe, Sir Kingsley Onyejocha. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://weekendersmagazine.wordpress.com/2012/09/19/profile-in-leadership-hon-Onyejocha-onyejeocha/|title=Profile in Leadership: Hon. Onyejocha Onyejeocha|author=|first=|date=September 19, 2012|work=Weekenders Magazine|archiveurl=|archivedate=|accessdate=November 20, 2019}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=http://sheimpactcommunity.blogspot.com/2017/07/hon-onyejeocha-nkeiruka.html|title=Hon. Onyejeocha Nkeiruka|language=en-GB|accessdate=2019-11-25}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.shineyoureye.org/person/nkiruka-onyejeocha/|title=Onyejeocha Chidubem :: Shine your eye|work=www.shineyoureye.org|accessdate=2019-11-25}}</ref> Kazi ya kisiasa ya Onyejocha ilianza na kuteuliwa kwake mwaka wa 2002 katika baraza la utendaji la Jimbo la Abia kama kamishna wa Usimamizi wa Rasilimali na Maendeleo ya Nguvu Kazi na Gavana Orji Uzor Kalu . Anatambuliwa kwa kuanzisha vituo vya kupata ujuzi katika jimbo lote la Abia. Mwaka wa 2003 alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Mpito wa Eneo la Serikali ya Mtaa ya Umunneochi katika Jimbo la Abia. Wakati wa muhula wake ofisini, alitekeleza miradi ya kudhibiti mmomonyoko wa udongo, kuboresha usalama wa jamii, na kufanya ukarabati wa barabara za kulisha. Kwa kuthamini kazi yake, Baraza la Watawala wa Jadi Umunneochi lilimpa cheo cha uchifu cha ''Adaejiagamba-'' (binti wa ubalozi). Alikuwa wa kwanza kupokea cheo hicho. <ref>"Onyejeocha: A heart for service"''. The Nation. Lagos, Nigeria. 2017-02-24. Retrieved 2019-11-27.''</ref> Mnamo 2011 aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu usafiri wa anga ambayo wakati huo ilikuwa ikipambana na masuala ya usalama. Kazi zake za usimamizi zilisababisha uboreshaji wa viwanja vya ndege vya Nigeria hadi kiwango cha kimataifa. Kamati yake ya usafiri wa anga haikuwa na msimamo na bidii katika kazi yake kiasi kwamba ikawa marejeleo ya kamati zingine za bunge. Mnamo 2013 alitoa wito wa uchunguzi kamili na mashtaka dhidi ya maafisa, ambao walihusika katika kuathiri sheria za usalama wa usafiri wa anga ambazo zilisababisha kuanguka kwa ndege ya abiria Dana Air Flight 992 katika njia ya ndani kutoka mji mkuu wa Nigeria [[Abuja]] hadi [[Lagos]] mnamo 3 Juni 2012. Watu wote 153 waliokuwa ndani na watu 6 waliokuwa ardhini walikufa. <ref>"153 passengers dead in Dana Air crash in Lagos - Premium Times Nigeria"''. Premium Times. 2012-06-03. Retrieved 2019-11-27.''</ref> <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.forbes.com/sites/mfonobongnsehe/2012/06/04/plane-crash-in-nigeria-kills-152-passengers/|title=Plane Crash In Nigeria Kills 152 Passengers|author=Nsehe|first=Mfonobong|work=Forbes|language=en|accessdate=2019-11-27}}</ref> <ref>''Laing, Aislinn (2012-06-04).'' "Bodies recovered from passenger plane crash site in Lagos"''. The Daily Telegraph : Britain's Best-Selling Quality Daily.'' ISSN''&nbsp;''0307-1235''. Retrieved 2019-11-27.''</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1969]] [[Jamii:Wanasiasa wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] qqqhjq3bwy3kzbei17c4qhib7ad0hzc Jeffrey Lurie 0 229671 1507970 2026-04-21T07:17:59Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jeffrey Robert Lurie''' (Alizaliwa [[Septemba 8]], [[1951]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, [[mtayarishaji wa filamu]] za hali halisi nchini [[Marekani]]. Tangu mwaka [[1994]] ni mmiliki wa timu ya ''Philadelphia Eagles'' ya National Football League (NFL).<ref>{{cite web |title=Jeffrey Lurie |url=https://www.forbes.com/profile/jeffrey-lurie/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> Eagles walishinda Super Bowl mara mbili chini ya uongozi wake ka...' 1507970 wikitext text/x-wiki '''Jeffrey Robert Lurie''' (Alizaliwa [[Septemba 8]], [[1951]]) ni [[mfanyabiashara]] bilionea, [[mtayarishaji wa filamu]] za hali halisi nchini [[Marekani]]. Tangu mwaka [[1994]] ni mmiliki wa timu ya ''Philadelphia Eagles'' ya National Football League (NFL).<ref>{{cite web |title=Jeffrey Lurie |url=https://www.forbes.com/profile/jeffrey-lurie/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> Eagles walishinda Super Bowl mara mbili chini ya uongozi wake kama mmiliki.<ref>{{cite web |title=The World's Billionaires – Jeffrey Lurie |url=https://www.forbes.com/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> Lurie alianza kazi yake kama profesa msaidizi wa sera ya jamii katika Chuo Kikuu cha Boston kabla ya kujiunga na kampuni ya familia ya sinema, ''General Cinema''.<ref>{{cite book| author = Dempsey, John Mark |date=2006| title=Sports-Talk Radio in America: Its Context and Culture | page=117| location = Milton Park, England | publisher=Routledge-Taylor & Francis| isbn=9780789025906 | url=https://books.google.com/books?id=bsbg004FxrUC&q=Lurie&pg=PA117 | access-date = 4 September 2025}}</ref>Pia ni mtayarishaji wa filamu ya ''Inside Job'' (2010) iliyoshinda [[Tuzo za Oscars]].<ref>{{cite web |title=Eagles Owner Jeffrey Lurie Wins Oscar |url=https://www.forbes.com/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Watayarishaji filamu wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1951]] [[Jamii:Watu walio hai]] 48e36yjn1zxhcun2o0qhd7lqtbfjm56 Luvvie Ajayi 0 229672 1507973 2026-04-21T07:20:27Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Luvvie Ajayi''' (amezaliwa kama '''Ifeoluwa Ajayi''' tarehe 5 Januari 1985), anayejulikana pia kama '''Luvvie Ajayi Jones''', ni mwandishi, mhadhiri na mtaalamu wa mikakati ya kidijitali kutoka [[Nigeria]] na Marekani.Kitabu chake ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyouzwa zaidi katika orodha ya ''The New York Times''. == Maisha ya awali == Ajayi alizaliwa nchini Nigeria; alihamia Chicago, Marekani akiwa na umri...' 1507973 wikitext text/x-wiki '''Luvvie Ajayi''' (amezaliwa kama '''Ifeoluwa Ajayi''' tarehe 5 Januari 1985), anayejulikana pia kama '''Luvvie Ajayi Jones''', ni mwandishi, mhadhiri na mtaalamu wa mikakati ya kidijitali kutoka [[Nigeria]] na Marekani.Kitabu chake ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyouzwa zaidi katika orodha ya ''The New York Times''. == Maisha ya awali == Ajayi alizaliwa nchini Nigeria; alihamia Chicago, Marekani akiwa na umri wa miaka tisa pamoja na familia yake. Alisoma katika shule ya Whitney M. Young Magnet High School huko Chicago, kisha akaendelea na masomo katika Chuo Kikuu cha Illinois huko Urbana-Champaign, akijikita katika taaluma ya saikolojia. == Kazi == Ajayi alianza kazi yake katika masoko na mikakati ya kidijitali, na alianza kublogu mwaka 2003. Tovuti yake ''AwesomelyLuvvie.com'' ilipata umaarufu mkubwa, hasa kutokana na maoni yake kuhusu vipindi vya televisheni kama ''Scandal'', jambo lililomvutia mtayarishaji wa kipindi hicho, Shonda Rhimes. Mwaka 2016, iliripotiwa kuwa Ajayi alikuwa na hadhira ya takribani watu 500,000 kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii na tovuti yake. Mwaka huo huo alichapisha kitabu chake cha kwanza ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' kupitia Henry Holt & Co, ambacho kilishika nafasi ya tano katika orodha ya vitabu vinavyouzwa zaidi ya ''The New York Times''. Ajayi ameeleza kuwa msukumo wa kuandika kitabu hicho ulitokana na tukio ambapo mwandishi mmoja alinukuu kazi yake bila kumpa sifa, jambo lililomfanya kuzingatia umuhimu wa maadili na uwajibikaji binafsi katika jamii. Kitabu hicho kimeelezwa kama mkusanyiko wa insha zenye ucheshi lakini zenye ujumbe wa kujenga jamii bora. Shirika la Shondaland, linaloongozwa na Shonda Rhimes na Betsy Beers, lilinunua haki za kubadilisha kitabu hicho kuwa mfululizo wa runinga. Mwaka 2016, Ajayi alikuwa mwandishi wa kwanza kualikwa kuzungumza katika National Museum of African American History and Culture, na tukio lake lilijaa watu wote. Mwaka 2018, alizindua podikasti mbili: ''Rants and Randomness with Luvvie Ajayi'' na ''Jesus and Jollof'', ya pili akiwa pamoja na Yvonne Orji. Mwaka 2021, alichapisha kitabu ''Professional Troublemaker: A Fear-Fighter Manual'', ambacho pia kilikuwa miongoni mwa vinavyouzwa zaidi katika ''The New York Times''. Mwaka 2022 alitoa toleo la vijana la kitabu hicho liitwalo ''Rising Troublemaker''. Mwaka 2023 alichapisha kitabu chake cha kwanza cha watoto kiitwacho ''Little Troublemaker Makes a Mess''. Ajayi pia alikuwa mzungumzaji wa ufunguzi katika mkutano wa Public Library Association wa mwaka 2022 na mzungumzaji wa kufunga katika mkutano wa American Library Association mwaka huo huo.== Maisha binafsi == Ajayi ni mwanachama wa Delta Sigma Theta na International Academy of Digital Arts and Sciences. == Bibliografia == * ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' (2016) * ''Professional Troublemaker: A Fear-Fighter Manual'' (2021) * ''Rising Troublemaker: A Fear-Fighter Manual for Teens'' (2022) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1985|}} 4hl4ed86nkfhatmwstxnzgyjf2tdhfx 1508126 1507973 2026-04-21T10:33:09Z Riccardo Riccioni 452 1508126 wikitext text/x-wiki '''Luvvie Ajayi''' (anajulikana pia kama '''Luvvie Ajayi Jones'''; amezaliwa kama '''Ifeoluwa Ajayi''' tarehe 5 Januari 1985) ni mwandishi, mhadhiri na mtaalamu wa mikakati ya kidijiti kutoka [[Nigeria]] na Marekani. Kitabu chake ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' kilikuwa miongoni mwa vitabu vilivyouzwa zaidi katika orodha ya ''The New York Times''. == Maisha ya awali == Ajayi alizaliwa nchini Nigeria; alihamia Chicago, Marekani akiwa na umri wa miaka tisa pamoja na familia yake. Alisoma katika shule ya Whitney M. Young Magnet High School huko Chicago, kisha akaendelea na masomo katika Chuo Kikuu cha Illinois huko Urbana-Champaign, akijikita katika taaluma ya saikolojia. == Kazi == Ajayi alianza kazi yake katika masoko na mikakati ya kidijitali, na alianza kublogu mwaka 2003. Tovuti yake ''AwesomelyLuvvie.com'' ilipata umaarufu mkubwa, hasa kutokana na maoni yake kuhusu vipindi vya televisheni kama ''Scandal'', jambo lililomvutia mtayarishaji wa kipindi hicho, Shonda Rhimes. Mwaka 2016, iliripotiwa kuwa Ajayi alikuwa na hadhira ya takribani watu 500,000 kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii na tovuti yake. Mwaka huo huo alichapisha kitabu chake cha kwanza ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' kupitia Henry Holt & Co, ambacho kilishika nafasi ya tano katika orodha ya vitabu vinavyouzwa zaidi ya ''The New York Times''. Ajayi ameeleza kuwa msukumo wa kuandika kitabu hicho ulitokana na tukio ambapo mwandishi mmoja alinukuu kazi yake bila kumpa sifa, jambo lililomfanya kuzingatia umuhimu wa maadili na uwajibikaji binafsi katika jamii. Kitabu hicho kimeelezwa kama mkusanyiko wa insha zenye ucheshi lakini zenye ujumbe wa kujenga jamii bora. Shirika la Shondaland, linaloongozwa na Shonda Rhimes na Betsy Beers, lilinunua haki za kubadilisha kitabu hicho kuwa mfululizo wa runinga. Mwaka 2016, Ajayi alikuwa mwandishi wa kwanza kualikwa kuzungumza katika National Museum of African American History and Culture, na tukio lake lilijaa watu wote. Mwaka 2018, alizindua podikasti mbili: ''Rants and Randomness with Luvvie Ajayi'' na ''Jesus and Jollof'', ya pili akiwa pamoja na Yvonne Orji. Mwaka 2021, alichapisha kitabu ''Professional Troublemaker: A Fear-Fighter Manual'', ambacho pia kilikuwa miongoni mwa vinavyouzwa zaidi katika ''The New York Times''. Mwaka 2022 alitoa toleo la vijana la kitabu hicho liitwalo ''Rising Troublemaker''. Mwaka 2023 alichapisha kitabu chake cha kwanza cha watoto kiitwacho ''Little Troublemaker Makes a Mess''. Ajayi pia alikuwa mzungumzaji wa ufunguzi katika mkutano wa Public Library Association wa mwaka 2022 na mzungumzaji wa kufunga katika mkutano wa American Library Association mwaka huo huo.== Maisha binafsi == Ajayi ni mwanachama wa Delta Sigma Theta na International Academy of Digital Arts and Sciences. == Bibliografia == * ''I'm Judging You: The Do-Better Manual'' (2016) * ''Professional Troublemaker: A Fear-Fighter Manual'' (2021) * ''Rising Troublemaker: A Fear-Fighter Manual for Teens'' (2022) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1985|}} [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa Marekani]] o8eq8wyc4b7nr93mfp2rudxj4n30wpu Norma Lerner 0 229673 1507974 2026-04-21T07:22:41Z Ally0111 85292 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Norma Lerner''' (Alizaliwa [[1935]] au [[1936]]) ni bilionea nchini [[Marekani]], mke wa [[Al Lerner]], mwanzilishi wa kampuni ya kadi za mkopo ''MBNA''.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Norma Lerner |url=https://www.forbes.com/profile/norma-lerner/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> Yeye ni mwenyekiti na rais wa ''Lerner Foundation'', mkurugenzi wa ''Cleveland Clinic'', mwanzilishi mwenza wa ''Lerner Research Institute'', na mwanzilis...' 1507974 wikitext text/x-wiki '''Norma Lerner''' (Alizaliwa [[1935]] au [[1936]]) ni bilionea nchini [[Marekani]], mke wa [[Al Lerner]], mwanzilishi wa kampuni ya kadi za mkopo ''MBNA''.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Norma Lerner |url=https://www.forbes.com/profile/norma-lerner/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> Yeye ni mwenyekiti na rais wa ''Lerner Foundation'', mkurugenzi wa ''Cleveland Clinic'', mwanzilishi mwenza wa ''Lerner Research Institute'', na mwanzilishi wa ''Cleveland Clinic Lerner School of Medicine'' katika ''Case Western Reserve University''.<ref>{{cite web |title=Norma Lerner |url=https://my.clevelandclinic.org/ |website=Cleveland Clinic |access-date=2026-04-21}}</ref> Kufikia Julai [[2024]], utajiri wake ulikadiriwa kuwa dola bilioni 1.2.<ref>{{cite web |title=Forbes profile: Norma Lerner |url=https://www.forbes.com/profile/norma-lerner/ |website=Forbes |access-date=2026-04-21}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Waliozaliwa 1935]] [[Jamii:Watu walio hai]] m68ldrjuft77xxnhbvj80fg59458zmv Natasha Akpoti 0 229674 1507975 2026-04-21T07:23:17Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Natasha Akpoti.jpg|thumb|Picha rasmi, [[2023]]]] '''Natasha Hadiza Akpoti''' (alizaliwa [[9 Desemba]] [[1979]]) ni [[wakili]] na [[mwanasiasa]] kutoka [[Nigeria]] ambaye amekuwa Seneta wa Bunge la 10 la Nigeria akiwakilisha Kogi Central tangu mwaka [[2023]]. Akiwa mwanachama wa Peoples Democratic Party (PDP), anajulikana pia kama mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa seneta katika Jimbo la [[Kogi State]]. Alizaliwa katika familia yenye asili mchanga...' 1507975 wikitext text/x-wiki [[Faili:Natasha Akpoti.jpg|thumb|Picha rasmi, [[2023]]]] '''Natasha Hadiza Akpoti''' (alizaliwa [[9 Desemba]] [[1979]]) ni [[wakili]] na [[mwanasiasa]] kutoka [[Nigeria]] ambaye amekuwa Seneta wa Bunge la 10 la Nigeria akiwakilisha Kogi Central tangu mwaka [[2023]]. Akiwa mwanachama wa Peoples Democratic Party (PDP), anajulikana pia kama mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa seneta katika Jimbo la [[Kogi State]]. Alizaliwa katika familia yenye asili mchanganyiko baba wa Nigeria na mama wa [[Kiukraini|Kiukreni]] na alisoma katika [[Chuo Kikuu cha Abuja]]. Kabla ya kuingia kwenye [[siasa]], alijihusisha na shughuli za kijamii na kiuchumi kupitia uanzishwaji wa programu ya Billionaire Heart Investment Impact Program (BHIIP), ambayo ililenga uwezeshaji wa kijamii na kiuchumi.<ref name="auto1">{{cite news|last1=Ujah|first1=Emma|date=25 July 2018|title=2019: Ajaokuta Steel campaigner, Natasha Akpoti, joins senate race|url=https://www.vanguardngr.com/2018/07/2019-ajaokuta-steel-campaigner-joins-senate-race/|location=Lagos, Nigeria|url-status=live|archive-url=https://web.archive.org/web/20190702005122/https://www.vanguardngr.com/2018/07/2019-ajaokuta-steel-campaigner-joins-senate-race/|archive-date=2 July 2019|access-date=29 December 2019|agency=Vanguard|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> Akpoti alijipatia umaarufu zaidi kupitia kampeni yake ya kutaka kufufuliwa kwa Ajaokuta Steel Company, juhudi zilizomletea kutambuliwa na Chama cha Wahandisi wa Nigeria pamoja na tuzo ya heshima mwaka [[2017]]. Baadaye aliingia rasmi kwenye siasa na kugombea nafasi mbalimbali kabla ya hatimaye kuchaguliwa kuwa Seneta mwaka [[2023]].<ref name="TDL">{{cite news|date=9 March 2019|title=Natasha Akpoti: I Learnt Community Building, Service to Humanity from My Father|url=https://www.thisdaylive.com/index.php/2019/03/09/natasha-akpoti-i-learnt-community-building-service-to-humanity-from-my-father/|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20191230192734/https://www.thisdaylive.com/index.php/2019/03/09/natasha-akpoti-i-learnt-community-building-service-to-humanity-from-my-father/|archive-date=30 December 2019|access-date=30 December 2019|newspaper=[[This Day]]}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Natasha Hadiza Akpoti alizaliwa tarehe 9 Desemba 1979 katika mji wa [[Ilorin]], akiwa mtoto wa pili katika familia yake. Baba yake, Jimoh Abdul Akpoti, alikuwa mwanasiasa kutoka Kogi State, na mama yake Ludmila Kravchenk Rakitna alikuwa na asili ya Chernivtsi. Wazazi wake walikutana wakati baba yake akisoma udaktari katika Umoja wa Kisovieti katika Bogomolets National Medical University. Utoto wake alilelewa zaidi katika Ihima, kabla ya kuhamia maeneo mbalimbali kutokana na mabadiliko ya kifamilia. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Christ the King, Okene, na baadaye elimu ya sekondari katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Serikali ya Oboroke, zote zikiwa ndani ya Kogi State. Kisha alihudhuria Federal Government College Idoani, ambako alihitimu mwaka [[1997]]. Baada ya kifo cha baba yake mwaka [[1998]], familia ilihamia Abuja. Akpoti baadaye alijiunga na University of Abuja na kusomea sheria kuanzia [[2000]] hadi [[2004]]. Baada ya hapo alihudhuria Nigerian Law School huko Bwari, ambapo aliitwa rasmi kwenye Uanasheria wa Nigeria mwaka [[2005]]. Aliendelea na masomo ya juu katika University of Dundee, ambako alipata Shahada ya Uzamili ya Sheria mwaka [[2011]] na baadaye Shahada ya Uzamili katika Usimamizi wa Mafuta na Gesi mwaka [[2012]].<ref name="auto2">{{cite news|date=9 March 2019|title=Natasha Akpoti: I Learnt Community Building, Service to Humanity from My Father|url=https://www.thisdaylive.com/index.php/2019/03/09/natasha-akpoti-i-learnt-community-building-service-to-humanity-from-my-father/|access-date=30 December 2019|newspaper=[[This Day]]}}</ref><ref>{{Cite news|last=Oloniniran|first=Gbenga|date=5 March 2022|title=Royal Wedding: Natasha Akpoti ties knot with Alema of Warri Kingdom|url=https://www.punchng.com/royal-wedding-natasha-akpoti-ties-knot-with-alema-of-warri-kingdom/|access-date=23 March 2022|archive-date=26 March 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20220326125513/https://punchng.com/royal-wedding-natasha-akpoti-ties-knot-with-alema-of-warri-kingdom/|url-status=live|newspaper=[[The Punch]]}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1979]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii: Wanasiasa wa Nigeria]] e4vd7k9sjt407byovm5cka3lnp18mc0 Nkechi Owoo 0 229675 1507976 2026-04-21T07:23:49Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Profesa Nkechi Srodah Owoo''' ni mchumi na msomi wa Ghana anayehudumu kama [[profesa]] wa [[Somo la Uchumi|Uchumi]] katika Chuo Kikuu cha Ghana . <ref>{{Rejea tovuti|title=Owoo, Nkechi S. {{!}} EfD - Initiative|url=https://www.efdinitiative.org/about-efd/people/owoo-nkechi-s|accessdate=2026-03-04|work=www.efdinitiative.org|language=en}}</ref> [[Utafiti]] wake unalenga [[umaskini]] na ukosefu wa usawa, uchumi [[Afya|wa afya]] na idadi ya watu, uchumi wa...' 1507976 wikitext text/x-wiki '''Profesa Nkechi Srodah Owoo''' ni mchumi na msomi wa Ghana anayehudumu kama [[profesa]] wa [[Somo la Uchumi|Uchumi]] katika Chuo Kikuu cha Ghana . <ref>{{Rejea tovuti|title=Owoo, Nkechi S. {{!}} EfD - Initiative|url=https://www.efdinitiative.org/about-efd/people/owoo-nkechi-s|accessdate=2026-03-04|work=www.efdinitiative.org|language=en}}</ref> [[Utafiti]] wake unalenga [[umaskini]] na ukosefu wa usawa, uchumi [[Afya|wa afya]] na idadi ya watu, uchumi wa kijinsia na [[Mabadiliko ya tabianchi|mabadiliko ya hali ya hewa]] katika [[Nchi inayoendelea|nchi zinazoendelea,]] hasa katika [[Kusini kwa Sahara|Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara]] . <ref>{{Rejea tovuti|title=Prof Nkechi Srodah Owoo {{!}} University of Cape Town|url=https://aceir.uct.ac.za/contacts/nkechi-s-owoo|accessdate=2026-03-10|work=African Centre of Excellence for Inequality Research|language=en}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=Nkechi S. Owoo {{!}} Department of Economics|url=https://econs.ug.edu.gh/people/staff-faculty/nkechi-s-owoo|accessdate=2026-03-10|work=econs.ug.edu.gh|language=en}}</ref> Profesa Owoo ameshirikiana na taasisi za kimataifa, kama vile [[Kundi la Benki ya Dunia|Benki ya Dunia]], [[Shirika la kimataifa la kazi|Shirika la Kazi la Kimataifa]] na [[Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO)|Shirika la Chakula na Kilimo]], na amepata kutambuliwa kwa mchango wake katika uchumi wa maendeleo na utafiti wa sera . <ref>{{Rejea tovuti|title=Nkechi S. Owoo {{!}} IZA - Institute of Labor Economics|url=https://www.iza.org/person/10431/nkechi-s-owoo|accessdate=2026-03-10|work=www.iza.org}}</ref> Mnamo 2025, akawa mwanamke wa kwanza kupandishwa cheo na kuwa profesa kamili katika uchumi katika Chuo Kikuu cha Ghana, na kufanya mafanikio makubwa katika [[Historia|historia ya taasisi hiyo.]] <ref>{{Rejea tovuti|title=PEP Research Fellow becomes first female Full Professor of Economics at University of Ghana {{!}} PEP|url=https://www.pep-net.org/news/nkechi-owoo-first-female-full-professor-economics-university-ghana|accessdate=2026-03-10|work=www.pep-net.org|language=en}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=University of Ghana promotes its first woman to Full Professor of Economics {{!}} EfD - Initiative|url=https://www.efdinitiative.org/news/university-ghana-promotes-its-first-woman-full-professor-economics|accessdate=2026-03-10|work=www.efdinitiative.org|language=en}}</ref> == Maisha ya awali == Profesa Owoo alizaliwa katika [[familia]] ya [[Tabibu|madaktari]] ambapo alihimizwa kufuata mfuatano. Ingawa alifikiria udaktari, baadaye aligundua kuwa faida yake ya kulinganisha ilikuwa mahali pengine. Kupitia kushauriwa na babu yake, Bossoh Kpohanu ambaye alisoma uchumi mwenyewe, alimpa njia mbadala, kwani alikuwa amefanya [[Career|kazi]] yenye kuridhisha kama matokeo. Profesa Owoo alikutana na somo hilo kwa mara ya kwanza shuleni la upili na akavutiwa na [[mantiki]] yake rahisi ambayo ilikuwa na maana na ingeweza kuhusishwa na dhana mbalimbali zilizofundishwa. [https://www.vocabulary.com/dictionary/interest Maslahi] yake yaliongezeka kupitia masomo ya shahada ya kwanza na ya uzamili ambapo alivutiwa na mawazo ya kina na utabiri wa hitimisho lililoashiria [[Somo la Uchumi|uchambuzi wa uchumi]] . <ref name=":0">{{Rejea tovuti|url=https://www.iea-world.org/Featured%20Economist/nkechi-s-owoo/|accessdate=2026-03-10|work=www.iea-world.org|title=Nkechi S. Owoo|date=2026}}</ref> == Elimu == Profesa Owoo alijiunga na Chuo Kikuu cha Ghana, Legon, ambapo alipata Shahada yake ya Sanaa katika Uchumi na Heshima ya Daraja la Kwanza mnamo 2006. <ref>{{Rejea tovuti|title=Prof Nkechi Srodah Owoo {{!}} University of Cape Town|url=https://aceir.uct.ac.za/contacts/nkechi-s-owoo|accessdate=2026-03-10|work=African Centre of Excellence for Inequality Research|language=en}}</ref> Baadaye alifuatilia masomo yake ya uzamili katika Chuo Kikuu cha Clark huko [[Worcester, Massachusetts|Worcester]], [[Massachusetts]] nchini [[Marekani]], na akapata [[Uzamili|Shahada yake ya Uzamili]] katika Uchumi mnamo 2009. <ref>{{Rejea tovuti|author=admin|date=2024-07-14|title=Dr Nkechi Owoo|url=https://www.futureafrica.science/farleaf/far-leaf-profiles/dr-nkechi-owoo/|accessdate=2026-03-10|work=FARLeaF|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|title=Nkechi S. Owoo|url=https://www.cgdev.org/non-resident/nkechi-s-owoo|accessdate=2026-03-10|work=Center For Global Development|language=en}}</ref> Aliendelea katika Chuo Kikuu cha Clark ili kupata masomo yake ya udaktari, huku utafiti wake ukizingatia masuala ya uchumi mdogo katika [[Nchi inayoendelea|nchi zinazoendelea,]] akivutiwa na tabia za kaya, [[afya]], [[kilimo]] na mienendo ya kijinsia . Alikamilisha [[Uzamivu|Shahada yake ya Uzamivu (PhD)]] katika Uchumi mnamo 2012. <ref name=":02">{{Rejea tovuti|url=https://www.iea-world.org/Featured%20Economist/nkechi-s-owoo/|accessdate=2026-03-10|work=www.iea-world.org|title=Nkechi S. Owoo|date=2026}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|author=Smith|first=Charmaine|date=2025-10-27|title=ACEIR researcher appointed as first female professor of economics at University of Ghana|url=https://aceir.uct.ac.za/articles/2025-10-27-university-ghana-appoints-aceir-team-member-first-female-professor-economics|accessdate=2026-03-10|work=African Centre of Excellence for Inequality Research|language=en}}</ref> == Kazi == Profesa Owoo alijiunga na Idara ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Ghana kama mhadhiri na baadaye akapanda cheo cha kitaaluma na kuwa [[Profesa|profesa.]] Anafundisha kozi za shahada ya kwanza katika uchumi mdogo na uchumi mkuu, na kozi za uzamili katika uchumi wa afya na uchumi unaotumika. <ref>{{Rejea tovuti|title=Nkechi S. Owoo {{!}} PEP|url=https://www.pep-net.org/nkechi-s-owoo|accessdate=2026-03-11|work=www.pep-net.org|language=en}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] [[Jamii:Wanauchumi wa Ghana]] d424my5pmnvcgxjclrrsccyusz05llp Yewande Akinse 0 229676 1507978 2026-04-21T07:25:02Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Yewande Akinse''' (alizaliwa kama '''Yewande Adebowale''', tarehe 25 Septemba 1992) ni mshairi, mwandishi na mjasiriamali kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi mwenza wa kampuni za Salubata, PAP.earth na Plychain. Ametunukiwa tuzo ya African Adaptation Solutions Challenge pamoja na Tuzo ya Vijana wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Youth Award) kuhusiana na mkutano wa 2022 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Madola uliofanyika Kigali, Rwanda. == Elimu == Yewa...' 1507978 wikitext text/x-wiki '''Yewande Akinse''' (alizaliwa kama '''Yewande Adebowale''', tarehe 25 Septemba 1992) ni mshairi, mwandishi na mjasiriamali kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi mwenza wa kampuni za Salubata, PAP.earth na Plychain. Ametunukiwa tuzo ya African Adaptation Solutions Challenge pamoja na Tuzo ya Vijana wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Youth Award) kuhusiana na mkutano wa 2022 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Madola uliofanyika Kigali, Rwanda. == Elimu == Yewande Akinse alizaliwa Lagos, Nigeria. Alisoma katika Shule ya St. Mary’s Private School, Ajele, Lagos kabla ya kuendelea na masomo ya sekondari katika Holy Child College, Lagos. Alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B) na Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) katika Chuo Kikuu cha Lagos. Mwaka 2014 alipata pia cheti cha B.L kutoka Nigerian Law School. == Kazi == Akinse ni mwanasheria, mjasiriamali wa kijamii, mshairi na mwandishi, pamoja na mtetezi wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi. Ni mwanzilishi mwenza wa PAP.EARTH, injini ya utafutaji inayolenga kupunguza hewa ya ukaa (CO₂) na kudhibiti mabadiliko ya tabianchi, pamoja na Salubata, kampuni inayotengeneza viatu vinavyoweza kubadilishwa (modular shoes) kwa kutumia taka za plastiki zilizorejelewa. Ameshachapisha mashairi zaidi ya 110. Miongoni mwa kazi zake ni mkusanyiko wa mashairi ''A Tale of Being, of Green and of Ing'' (2019) na ''Voices: A Collection of Poems that Tell Stories'' (2016). Mwaka 2021, Akinse alikuwa miongoni mwa wajasiriamali vijana 15 wa Afrika waliotunukiwa tuzo ya kwanza ya African Youth Adaptation (YouthADAPT) Solutions Challenge. Mwaka 2022, Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, alimpongeza kwa kuwa miongoni mwa washindi wanne bora katika shindano la Vijana wa Jumuiya ya Madola wakati wa mkutano wa CHOGM uliofanyika Kigali, Rwanda. Tarehe 8 Septemba 2022, alishinda tuzo ya World Bank YouthActOnEDU Spoken Word. == Vitabu == * ''Voices: A Collection of Poems that Tell Stories'' (2016) * ''A Tale of Being, of Green and of Ing'' (2019) == Tuzo na heshima == * Tory Burch Entrepreneur Fellow (2024) * African Adaptation Solutions Challenge * Commonwealth Youth Green Guru Award * Tuzo ya Fidelity Bank ya Uandishi Bunifu (2013) * Tuzo ya Gazeti la The Guardian (TGN) kwa Ushairi (2019) * Project Knucklehead Prize for Creative Rebellion (2020) * World Bank YouthActOnEDU Spoken Word Prize (2022) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1992|}} agycl1vmufq411ki19q4gfqfrl5ffdc 1508127 1507978 2026-04-21T10:33:58Z Riccardo Riccioni 452 /* Marejeo */ 1508127 wikitext text/x-wiki '''Yewande Akinse''' (alizaliwa kama '''Yewande Adebowale''', tarehe 25 Septemba 1992) ni mshairi, mwandishi na mjasiriamali kutoka Nigeria. Yeye ni mwanzilishi mwenza wa kampuni za Salubata, PAP.earth na Plychain. Ametunukiwa tuzo ya African Adaptation Solutions Challenge pamoja na Tuzo ya Vijana wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Youth Award) kuhusiana na mkutano wa 2022 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Madola uliofanyika Kigali, Rwanda. == Elimu == Yewande Akinse alizaliwa Lagos, Nigeria. Alisoma katika Shule ya St. Mary’s Private School, Ajele, Lagos kabla ya kuendelea na masomo ya sekondari katika Holy Child College, Lagos. Alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria (LL.B) na Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) katika Chuo Kikuu cha Lagos. Mwaka 2014 alipata pia cheti cha B.L kutoka Nigerian Law School. == Kazi == Akinse ni mwanasheria, mjasiriamali wa kijamii, mshairi na mwandishi, pamoja na mtetezi wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi. Ni mwanzilishi mwenza wa PAP.EARTH, injini ya utafutaji inayolenga kupunguza hewa ya ukaa (CO₂) na kudhibiti mabadiliko ya tabianchi, pamoja na Salubata, kampuni inayotengeneza viatu vinavyoweza kubadilishwa (modular shoes) kwa kutumia taka za plastiki zilizorejelewa. Ameshachapisha mashairi zaidi ya 110. Miongoni mwa kazi zake ni mkusanyiko wa mashairi ''A Tale of Being, of Green and of Ing'' (2019) na ''Voices: A Collection of Poems that Tell Stories'' (2016). Mwaka 2021, Akinse alikuwa miongoni mwa wajasiriamali vijana 15 wa Afrika waliotunukiwa tuzo ya kwanza ya African Youth Adaptation (YouthADAPT) Solutions Challenge. Mwaka 2022, Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, alimpongeza kwa kuwa miongoni mwa washindi wanne bora katika shindano la Vijana wa Jumuiya ya Madola wakati wa mkutano wa CHOGM uliofanyika Kigali, Rwanda. Tarehe 8 Septemba 2022, alishinda tuzo ya World Bank YouthActOnEDU Spoken Word. == Vitabu == * ''Voices: A Collection of Poems that Tell Stories'' (2016) * ''A Tale of Being, of Green and of Ing'' (2019) == Tuzo na heshima == * Tory Burch Entrepreneur Fellow (2024) * African Adaptation Solutions Challenge * Commonwealth Youth Green Guru Award * Tuzo ya Fidelity Bank ya Uandishi Bunifu (2013) * Tuzo ya Gazeti la The Guardian (TGN) kwa Ushairi (2019) * Project Knucklehead Prize for Creative Rebellion (2020) * World Bank YouthActOnEDU Spoken Word Prize (2022) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1992|}} [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] i041p0nwfywwfeokgfyl0mddxvs95hq Tunde Aladese 0 229677 1507982 2026-04-21T07:29:06Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tunde Aladese''' ni mwigizaji na mwandishi wa skrini kutoka [[Nigeria]]. Mwaka 2018 alipokea tuzo ya Africa Movie Academy Award ya Mwigizaji Bora wa Kike katika nafasi ya kuongoza. == Kazi == Aladese alianza kuvutiwa na sanaa ya uigizaji tangu akiwa shule ya msingi, ambapo alijiunga na klabu ya maigizo na kuvutiwa sana na tamthilia ya ''The Sound of Music''. Alisoma fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Ibadan, na pia alisaidia katika utayarishaji...' 1507982 wikitext text/x-wiki '''Tunde Aladese''' ni mwigizaji na mwandishi wa skrini kutoka [[Nigeria]]. Mwaka 2018 alipokea tuzo ya Africa Movie Academy Award ya Mwigizaji Bora wa Kike katika nafasi ya kuongoza. == Kazi == Aladese alianza kuvutiwa na sanaa ya uigizaji tangu akiwa shule ya msingi, ambapo alijiunga na klabu ya maigizo na kuvutiwa sana na tamthilia ya ''The Sound of Music''. Alisoma fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Ibadan, na pia alisaidia katika utayarishaji wa mfululizo wa maigizo uliokuwa ukilengwa kurushwa na BBC nchini Nigeria. Baadaye alisomea uandaaji wa filamu katika shule binafsi ya MetFilm School yenye makao London na Berlin, ambako alipata Shahada ya Kwanza katika Utengenezaji Filamu wa Vitendo (Practical Filmmaking). Ameandika miswada ya filamu na vipindi vya televisheni kama ''Edge of Paradise'' na ''Tinsel''. Pia alikuwa mwandishi mkuu wa mfululizo wa televisheni ''Hotel Majestic''. Mwaka 2018 aliorodheshwa na YNaija kama mmoja wa Wanigeria 10 wenye ushawishi mkubwa walio chini ya umri wa miaka 40. Katika mwaka huo huo, aliteuliwa kwa tuzo ya mwigizaji bora wa kike katika nafasi ya kuongoza katika tuzo za Africa Movie Academy Awards kutokana na nafasi yake katika filamu ya ''The Lost Café'' iliyoongozwa na Kenneth Gyang. Aladese alianza kuandika vipindi vya ''MTV Shuga'' wakati mfululizo huo ulipokuwa ukijulikana kama ''Shuga Down South'', ambapo aliandika vipindi viwili. Mwaka 2019 aliteuliwa kuwa mwandishi mkuu wa mradi huo. Wakati wa janga la COVID-19, aliandika vipindi vya kila siku vya ''MTV Shuga: Alone Together'', mfululizo uliolenga kuonyesha changamoto za virusi vya corona. Mfululizo huo ulianza kurushwa tarehe 20 Aprili 2020 na uliungwa mkono na Umoja wa Mataifa.<ref name="8"/> Ulifanyika katika nchi za Nigeria, Afrika Kusini, Kenya na Côte d’Ivoire, na ulitumia mawasiliano ya mtandaoni kati ya wahusika, huku waigizaji wakijirekodi wenyewe. == Filamu == * ''MTV Staying Alive'' * ''Confusion Na Wa'' (2019) – kama Isabella * ''Hotel Majestic'' (2015, vipindi 260, mwandishi mkuu) * ''Bridge of Pedro'' (2017) * ''The Lost Café'' (2018) – kama Ose * ''Hello, Rain'' (2018) – kama Philo * ''Transatlantic'' (2023) == Tuzo na uteuzi == * 2013 – Tuzo ya Nigeria Entertainment Awards (Mwigizaji Msaidizi Bora) * 2015 – Africa Magic Viewers' Choice Awards (Mwigizaji Msaidizi Bora) * 2018 – Africa Movie Academy Award (Mwigizaji Bora wa Kike, nafasi ya kuongoza) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} lbh1xvqk3jb172shcbsi5fqq1ve7jng 1508128 1507982 2026-04-21T10:34:49Z Riccardo Riccioni 452 1508128 wikitext text/x-wiki '''Tunde Aladese''' ni mwigizaji na mwandishi wa skrini kutoka [[Nigeria]]. Mwaka 2018 alipokea tuzo ya Africa Movie Academy Award ya Mwigizaji Bora wa Kike katika nafasi ya kuongoza. == Kazi == Aladese alianza kuvutiwa na sanaa ya uigizaji tangu akiwa shule ya msingi, ambapo alijiunga na klabu ya maigizo na kuvutiwa sana na tamthilia ya ''The Sound of Music''. Alisoma fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Ibadan, na pia alisaidia katika utayarishaji wa mfululizo wa maigizo uliokuwa ukilengwa kurushwa na BBC nchini Nigeria. Baadaye alisomea uandaaji wa filamu katika shule binafsi ya MetFilm School yenye makao London na Berlin, ambako alipata Shahada ya Kwanza katika Utengenezaji Filamu wa Vitendo (Practical Filmmaking). Ameandika miswada ya filamu na vipindi vya televisheni kama ''Edge of Paradise'' na ''Tinsel''. Pia alikuwa mwandishi mkuu wa mfululizo wa televisheni ''Hotel Majestic''. Mwaka 2018 aliorodheshwa na YNaija kama mmoja wa Wanigeria 10 wenye ushawishi mkubwa walio chini ya umri wa miaka 40. Katika mwaka huo huo, aliteuliwa kwa tuzo ya mwigizaji bora wa kike katika nafasi ya kuongoza katika tuzo za Africa Movie Academy Awards kutokana na nafasi yake katika filamu ya ''The Lost Café'' iliyoongozwa na Kenneth Gyang. Aladese alianza kuandika vipindi vya ''MTV Shuga'' wakati mfululizo huo ulipokuwa ukijulikana kama ''Shuga Down South'', ambapo aliandika vipindi viwili. Mwaka 2019 aliteuliwa kuwa mwandishi mkuu wa mradi huo. Wakati wa janga la COVID-19, aliandika vipindi vya kila siku vya ''MTV Shuga: Alone Together'', mfululizo uliolenga kuonyesha changamoto za virusi vya corona. Mfululizo huo ulianza kurushwa tarehe 20 Aprili 2020 na uliungwa mkono na Umoja wa Mataifa.<ref name="8"/> Ulifanyika katika nchi za Nigeria, Afrika Kusini, Kenya na Côte d’Ivoire, na ulitumia mawasiliano ya mtandaoni kati ya wahusika, huku waigizaji wakijirekodi wenyewe. == Filamu == * ''MTV Staying Alive'' * ''Confusion Na Wa'' (2019) – kama Isabella * ''Hotel Majestic'' (2015, vipindi 260, mwandishi mkuu) * ''Bridge of Pedro'' (2017) * ''The Lost Café'' (2018) – kama Ose * ''Hello, Rain'' (2018) – kama Philo * ''Transatlantic'' (2023) == Tuzo na uteuzi == * 2013 – Tuzo ya Nigeria Entertainment Awards (Mwigizaji Msaidizi Bora) * 2015 – Africa Magic Viewers' Choice Awards (Mwigizaji Msaidizi Bora) * 2018 – Africa Movie Academy Award (Mwigizaji Bora wa Kike, nafasi ya kuongoza) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-igiza-filamu}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Nigeria]] dbjg1e19mgsd38bou1plx9esqofb21z Menachem Cohen 0 229678 1507983 2026-04-21T07:29:12Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507983 wikitext text/x-wiki '''Menachem Cohen''' ni msanifu majengo wa [[Israeli]]. Mradi wake wa kwanza aliopewa kandarasi, mwaka 1957, ulikuwa Jumba la Jiji la Tel Aviv.<ref name="Hall">{{cite web | url = http://www.emporis.com/application/?nav=building&lng=3&id=telavivyaffocityhall-telavivyaffo-israel | archive-url = https://archive.today/20130208045829/http://www.emporis.com/application/?nav=building&lng=3&id=telavivyaffocityhall-telavivyaffo-israel | url-status = usurped | archive-date = February 8, 2013 | title = Tel Aviv - Yaffo City Hall | accessdate = April 12, 2010 | author = | work = Emporis.com | date = }}</ref><ref name="Azaryahu">{{cite book|last=Azaryahu|first=Maoz|title=Tel Aviv: Mythography of a City|date=November 2, 2006|publisher=Syracuse University Press|isbn=978-0815631293|page=229|chapter=Rabin Square}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa ]1931] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] 0p7o7wg8gxc6zvbgi9k1s27gp3tqfs4 Nkechi Ikpeazu 0 229679 1507984 2026-04-21T07:31:50Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nkechi Caroline Ikpeazu''' (née Nwakanma) alikuwa Mke wa Rais wa Jimbo la Abia kuanzia tarehe 29 Mei 2015 hadi 29 Mei 2023, kama mke wa Gavana wa zamani wa [[Abia (jimbo)|Jimbo la Abia]] lililoko kusini-mashariki mwa Nigeria. <ref name="Vanguardngr.com">"Abia Governor's Wife offers scholarship to Alma-maters best student"''. Vanguard. Lagos, Nigeria. 8 July 2015. Retrieved 14 April 2016.''</ref> <ref>"Ikpeazu's wife seeks strict enforcement of sickle c...' 1507984 wikitext text/x-wiki '''Nkechi Caroline Ikpeazu''' (née Nwakanma) alikuwa Mke wa Rais wa Jimbo la Abia kuanzia tarehe 29 Mei 2015 hadi 29 Mei 2023, kama mke wa Gavana wa zamani wa [[Abia (jimbo)|Jimbo la Abia]] lililoko kusini-mashariki mwa Nigeria. <ref name="Vanguardngr.com">"Abia Governor's Wife offers scholarship to Alma-maters best student"''. Vanguard. Lagos, Nigeria. 8 July 2015. Retrieved 14 April 2016.''</ref> <ref>"Ikpeazu's wife seeks strict enforcement of sickle cell law"''. The Guardian. Lagos, Nigeria. 24 June 2020. Retrieved 23 February 2022.''</ref> Pia ni Mwanzilishi na Rais wa shirika la Vicar Hope, shirika lisilo la faida ambalo lina Hadhi Maalum ya Ushauri na [[ECOSOC|Baraza la Uchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC)]] <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.un.org/press/en/2019/ecosoc6983.doc.htm|title="Continuing Session, Non-Governmental Organizations Committee Approves 75 Entities for Status with Economic and Social Council, Defers Action on 43 Others"|publisher=UNITED NATIONS.|accessdate=2019-05-20}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Nkechi Ikpeazu alizaliwa [[Ile-Ife]] . Anatoka Ohanze Isiaha katika Halmashauri ya Obingwa ya [[Abia (jimbo)|Jimbo la Abia]] . Alihudhuria Shule ya Msingi ya Jumuiya Ohanze; Shule ya Upili ya Wasichana, Aba; Chuo cha Mafunzo ya Ualimu Ihie; Chuo cha Elimu cha Alvan Ikoku Owerri; Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Jimbo la Enugu Enugu; Chuo Kikuu cha Nigeria Nsukka; Chuo Kikuu Huria cha Kitaifa cha Nigeria ; na [[Chuo Kikuu cha Abia|Chuo Kikuu cha Jimbo la Abia]], Uturu. Ana shahada ya NCE katika Masomo ya Biashara, shahada ya kwanza katika Ushirika na Maendeleo Vijijini, Stashahada ya Uzamili katika Usimamizi na shahada ya uzamili katika usimamizi. Amekamilisha udaktari katika [[Chuo Kikuu cha Abia|Chuo Kikuu cha Jimbo la Abia]], Uturu. <ref>{{Rejea tovuti|title=Mrs. Nkechi Ikpeazu – The wife of the Abia State Governor|url=https://nextzon.com/mrs-nkechi-ikpeazu-the-wife-of-the-abia-state-governor|date=2018-03-08|work=Nextzon Business Services Limited|language=en-US|accessdate=2020-05-20}}</ref> == Kazi == Nkechi amefanya kazi kama mwalimu, mtendaji wa akaunti katika Camway Ventures Lagos, mfanyakazi wa benki katika Benki ya Lobi kuanzia 1986 hadi 1996, na kama Msajili wa Ushirika katika Serikali ya Jimbo la Abia. <ref name="nextzon.com">{{Rejea tovuti|author=Admin|title=Mrs Nkechi Ikpeazu the wife of the Abia state governor|url=https://nextzon.com/mrs-nkechi-ikpeazu-the-wife-of-the-abia-state-governor|work=Nextzon Business Services Limited|date=8 March 2018|accessdate=23 January 2019}}</ref> Nkechi ni mtangazaji wa michezo na mfadhili mkuu wa klabu ya ligi kuu ya wanawake, Abia Angels FC. <ref>"Ikpeazu's Wife Lauds Abia Angels"''. The Guardian. Lagos, Nigeria. 26 October 2015. Retrieved 14 April 2016.''</ref> Kupitia shirika lake lisilo la kiserikali, Wakfu wa Vicar Hope, VHF, amejenga nyumba kadhaa kwa ajili ya watu wasiojiweza. Wakfu wa Vicar Hope VHF pia unahusika katika kutoa huduma bora ya afya kwa mama na mtoto, na katika kupambana na [[saratani]], [[Kisukari (ugonjwa)|kisukari]], na magonjwa ya seli mundu . VHF imekamilisha hospitali mbili za seli mundu/vituo vya utambuzi na matibabu ya saratani huko [[Umuahia]] na [[Aba (Nigeria)|Aba]] na inatoa matibabu ya ruzuku kwa wagonjwa. <ref name="Vanguardngr.com2">"Abia Governor's Wife offers scholarship to Alma-maters best student"''. Vanguard. Lagos, Nigeria. 8 July 2015. Retrieved 14 April 2016.''</ref> Wakfu pia unaendesha Dawati la Kukabiliana na UWAKI ambalo hutoa hatua za kuzuia na kulinda. <ref name=":0">"Abia Governor's wife: We're working on gender policy"''. The Guardian. Lagos, Nigeria. 12 March 2022. Retrieved 23 March 2022.''</ref> == Maisha binafsi == Nkechi ameolewa na Gavana wa zamani wa Jimbo la Abia, Dkt. Okezie Ikpeazu, <ref name=":02">"Abia Governor's wife: We're working on gender policy"''. The Guardian. Lagos, Nigeria. 12 March 2022. Retrieved 23 March 2022.''</ref> ambaye anatoka Umuobiakwa, Obingwa LGA. Kwa pamoja wana wavulana wawili na wasichana wawili. Ikpeazu ni Shemasi wa [[Waadventista Wasabato|Kanisa la Waadventista wa Siku ya Saba]] na anakiri uhusiano wa karibu na Mungu. <ref name="nextzon.com2">{{Rejea tovuti|author=Admin|title=Mrs Nkechi Ikpeazu the wife of the Abia state governor|url=https://nextzon.com/mrs-nkechi-ikpeazu-the-wife-of-the-abia-state-governor|work=Nextzon Business Services Limited|date=8 March 2018|accessdate=23 January 2019}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika]] i1mxkjyc10cca7qx0y4dffi3gd63rog Miriam Cabessa 0 229680 1507985 2026-04-21T07:32:23Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507985 wikitext text/x-wiki '''Miriam Cabessa''' ni mchoraji wa Israel-Marekani, msanii wa maonyesho na usanifu na mshindi wa Tuzo ya Mafanikio ya Maisha ya Wizara ya Utamaduni ya Israeli ya mwaka 2022. <ref name="cv">{{cite web |url=http://www.miriamcabessa.com/cvcv/ |title=Biography — Miriam Cabessa |website=www.miriamcabessa.com |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20140819103112/http://www.miriamcabessa.com/cvcv/ |archive-date=2014-08-19}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1966]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] lx9e2zjh5ngtwtxqfqqmakyr73x8zju Abimbola Alao 0 229681 1507986 2026-04-21T07:33:48Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Abimbola Gbemi Alao''' ni msomi wa fasihi, mwandishi na mtafiti wa ugonjwa wa kusahau (dementia) mwenye uraia wa [[Uingereza]] na [[Nigeria]]. Anajulikana kwa mchango wake katika uandishi wa ubunifu, fasihi ya watoto, na huduma za watu wenye ugonjwa wa kusahau, ikiwemo kuendeleza programu za kisaikolojia zisizotumia dawa kwa watu wanaoishi na ugonjwa huo. Ameandika vitabu kama ''Desert Haiku'' na ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'', ametafs...' 1507986 wikitext text/x-wiki '''Abimbola Gbemi Alao''' ni msomi wa fasihi, mwandishi na mtafiti wa ugonjwa wa kusahau (dementia) mwenye uraia wa [[Uingereza]] na [[Nigeria]]. Anajulikana kwa mchango wake katika uandishi wa ubunifu, fasihi ya watoto, na huduma za watu wenye ugonjwa wa kusahau, ikiwemo kuendeleza programu za kisaikolojia zisizotumia dawa kwa watu wanaoishi na ugonjwa huo. Ameandika vitabu kama ''Desert Haiku'' na ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'', ametafsiri hadithi za watoto, na kushirikiana katika miradi kama mpango wa “memory café” wa Alzheimer's Society uliosababisha kuchapishwa kwa diwani ya ''Narrative Adventures from Plymouth Memory Cafes''. == Wasifu == Alao alizaliwa katika jiji la Ibadan, Nigeria. Alianza safari yake ya elimu katika Chuo Kikuu cha Ibadan ambako alipata shahada ya kwanza (BA Hons) katika taaluma ya Classics mwaka 1988 na shahada ya uzamili (MA) mwaka 1991. Baadaye alihamia Uingereza na kuendelea na masomo, akipata PGCE pamoja na shahada ya uzamili katika Uandishi wa Ubunifu kutoka Chuo Kikuu cha Plymouth mwaka 2001 na 2009 mtawalia.<ref name="ref1">"The university of pioneers, advancing knowledge and transforming lives". University of Plymouth.</ref> Mwaka 2023, alikamilisha shahada ya uzamivu (PhD) katika Chuo Kikuu cha Lapland nchini Finland, akilenga utafiti kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa Frontotemporal Dementia (FTD) na kuongeza uelewa kuhusu utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo.<ref name="ref2">"Dissertation: Drama as a tool to raise awareness of dementia". University of Lapland.</ref> == Kazi == Alao ameandika vitabu kadhaa vinavyotambuliwa, vikiwemo ''Desert Haiku'' (2023), ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'' (2019), ''Trickster Tales for Telling'' (2016), ''How to Enhance Your Storytelling With Music'' (2016), ''The Legendary Weaver'' (2003/2011), na ''The Goshen Principle: A Shelter in the Time of Storm'' (2010). Mbali na vitabu, ameandika mashairi, hadithi fupi na tamthilia. Mwaka 2008, tamthilia yake fupi ''Legal Stuff'' ilishinda shindano la uandishi la BBC na Royal Court Theatre la “24 Degrees”. Pia alishiriki katika kuunda mkusanyiko wa hadithi kwa ajili ya mradi wa KidsOut World Stories ulioshinda tuzo ya TalkTalk Digital Heroes mwaka 2013.<ref name="ref3">"Parliamentary glory for World Stories".</ref> Alao amefundisha katika taasisi mbalimbali nchini Uingereza, ikiwemo Chuo Kikuu cha Plymouth na Chuo Kikuu cha St Mark & St John (MARJON), ambako alifanya kazi kama mhadhiri wa uandishi wa ubunifu kwa zaidi ya muongo mmoja. Pia alihudumu kama mhadhiri mgeni katika Peninsula School of Medicine and Dentistry, akiongoza masomo ya Medical Humanities. Kupitia mradi wake wa ''StoryWeavers for Dementia'', Alao ameendeleza mbinu mbadala za kusaidia watu wenye ugonjwa wa kusahau. Mwaka 2015, kwa kushirikiana na Alzheimer's Society, aliongoza mradi wa wiki 12 uliosababisha kuchapishwa kwa diwani ya ''Narrative Adventures from Plymouth Memory Cafes''.<ref name="ref4">"Dementia story-telling is awesome".</ref> == Tuzo na Heshima == * 2022 – Mshindi wa The Box Plymouth After Dark Project * 2005 – Tuzo ya BBC Breeze bursary * 2008 – Mshindi wa shindano la uandishi la Royal Court Theatre “24 Degrees” * Tuzo ya Prime Minister's Dementia Friendly (Schools Category) == Bibliografia == === Vitabu === * ''Desert Haiku'' (2023) * ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'' (2019) * ''Trickster Tales for Telling'' (2016) * ''How to Enhance Your Storytelling With Music'' (2016) * ''The Legendary Weaver'' (2003; toleo jipya 2011) * ''The Goshen Principle: A Shelter in the Time of Storm'' (2010) === Tafsiri === * ''Hansel and Gretel'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''The Little Red Hen and the Grain of Wheat'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Floppy's Friends'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Nita Goes to Hospital'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Grandma's Saturday Soup'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Welcome to the World Baby'' (tafsiri ya Kiyoruba) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1950|}} 83kozqrjmtr592nqnm2q6pdect5mxth 1508132 1507986 2026-04-21T10:42:16Z Riccardo Riccioni 452 1508132 wikitext text/x-wiki '''Abimbola Gbemi Alao''' ni msomi wa fasihi, mwandishi na mtafiti wa ugonjwa wa kusahau (dementia) mwenye uraia wa [[Uingereza]] na [[Nigeria]]. Anajulikana kwa mchango wake katika uandishi wa ubunifu, fasihi ya watoto, na huduma za watu wenye ugonjwa wa kusahau, ikiwemo kuendeleza programu za kisaikolojia zisizotumia dawa kwa watu wanaoishi na ugonjwa huo. Ameandika vitabu kama ''Desert Haiku'' na ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'', ametafsiri hadithi za watoto, na kushirikiana katika miradi kama mpango wa “memory café” wa Alzheimer's Society uliosababisha kuchapishwa kwa diwani ya ''Narrative Adventures from Plymouth Memory Cafes''. == Wasifu == Alao alizaliwa katika jiji la Ibadan, Nigeria. Alianza safari yake ya elimu katika Chuo Kikuu cha Ibadan ambako alipata shahada ya kwanza (BA Hons) katika taaluma ya Classics mwaka 1988 na shahada ya uzamili (MA) mwaka 1991. Baadaye alihamia Uingereza na kuendelea na masomo, akipata PGCE pamoja na shahada ya uzamili katika Uandishi wa Ubunifu kutoka Chuo Kikuu cha Plymouth mwaka 2001 na 2009 mtawalia.<ref name="ref1">"The university of pioneers, advancing knowledge and transforming lives". University of Plymouth.</ref> Mwaka 2023, alikamilisha shahada ya uzamivu (PhD) katika Chuo Kikuu cha Lapland nchini Finland, akilenga utafiti kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa Frontotemporal Dementia (FTD) na kuongeza uelewa kuhusu utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo.<ref name="ref2">"Dissertation: Drama as a tool to raise awareness of dementia". University of Lapland.</ref> == Kazi == Alao ameandika vitabu kadhaa vinavyotambuliwa, vikiwemo ''Desert Haiku'' (2023), ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'' (2019), ''Trickster Tales for Telling'' (2016), ''How to Enhance Your Storytelling With Music'' (2016), ''The Legendary Weaver'' (2003/2011), na ''The Goshen Principle: A Shelter in the Time of Storm'' (2010). Mbali na vitabu, ameandika mashairi, hadithi fupi na tamthilia. Mwaka 2008, tamthilia yake fupi ''Legal Stuff'' ilishinda shindano la uandishi la BBC na Royal Court Theatre la “24 Degrees”. Pia alishiriki katika kuunda mkusanyiko wa hadithi kwa ajili ya mradi wa KidsOut World Stories ulioshinda tuzo ya TalkTalk Digital Heroes mwaka 2013.<ref name="ref3">"Parliamentary glory for World Stories".</ref> Alao amefundisha katika taasisi mbalimbali nchini Uingereza, ikiwemo Chuo Kikuu cha Plymouth na Chuo Kikuu cha St Mark & St John (MARJON), ambako alifanya kazi kama mhadhiri wa uandishi wa ubunifu kwa zaidi ya muongo mmoja. Pia alihudumu kama mhadhiri mgeni katika Peninsula School of Medicine and Dentistry, akiongoza masomo ya Medical Humanities. Kupitia mradi wake wa ''StoryWeavers for Dementia'', Alao ameendeleza mbinu mbadala za kusaidia watu wenye ugonjwa wa kusahau. Mwaka 2015, kwa kushirikiana na Alzheimer's Society, aliongoza mradi wa wiki 12 uliosababisha kuchapishwa kwa diwani ya ''Narrative Adventures from Plymouth Memory Cafes''.<ref name="ref4">"Dementia story-telling is awesome".</ref> == Tuzo na Heshima == * 2022 – Mshindi wa The Box Plymouth After Dark Project * 2005 – Tuzo ya BBC Breeze bursary * 2008 – Mshindi wa shindano la uandishi la Royal Court Theatre “24 Degrees” * Tuzo ya Prime Minister's Dementia Friendly (Schools Category) == Bibliografia == === Vitabu === * ''Desert Haiku'' (2023) * ''Dear Toriola, Let's Talk About Perimenopause'' (2019) * ''Trickster Tales for Telling'' (2016) * ''How to Enhance Your Storytelling With Music'' (2016) * ''The Legendary Weaver'' (2003; toleo jipya 2011) * ''The Goshen Principle: A Shelter in the Time of Storm'' (2010) === Tafsiri === * ''Hansel and Gretel'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''The Little Red Hen and the Grain of Wheat'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Floppy's Friends'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Nita Goes to Hospital'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Grandma's Saturday Soup'' (tafsiri ya Kiyoruba) * ''Welcome to the World Baby'' (tafsiri ya Kiyoruba) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1950|}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:waandishi wa Uingereza]] o7mkuvwy7ql6d92bwwfprst7879t138 Favour Abatang 0 229682 1507987 2026-04-21T07:35:29Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Favour Abatang''' (alizaliwa [[13 Aprili]] [[2000]]) ni [[mjasiriamali]] wa kijamii kutoka [[Nigeria]] na mtetezi wa haki za wanawake. Anajulikana kwa kazi yake inayolenga uwezeshaji wa wanawake vijana na wasichana wanaokabiliwa na changamoto za kijamii.<ref>{{Cite web|title=Favour Abatang, Founder of Her Voice Foundation: Her Journey, Impact, and Global Recognition – THISDAYLIVE|url=https://www.thisdaylive.com/2026/02/12/favour-abatang-founder-of-her...' 1507987 wikitext text/x-wiki '''Favour Abatang''' (alizaliwa [[13 Aprili]] [[2000]]) ni [[mjasiriamali]] wa kijamii kutoka [[Nigeria]] na mtetezi wa haki za wanawake. Anajulikana kwa kazi yake inayolenga uwezeshaji wa wanawake vijana na wasichana wanaokabiliwa na changamoto za kijamii.<ref>{{Cite web|title=Favour Abatang, Founder of Her Voice Foundation: Her Journey, Impact, and Global Recognition – THISDAYLIVE|url=https://www.thisdaylive.com/2026/02/12/favour-abatang-founder-of-her-voice-foundation-her-journey-impact-and-global-recognition/|access-date=2026-04-19|language=en-US}}</ref> Yeye ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Her Voice Foundation, shirika lisilo la faida linalofanya kazi katika kusaidia na kuimarisha nafasi ya wanawake na wasichana katika jamii mbalimbali nchini Nigeria. Kupitia taasisi hiyo, Abatang amejikita katika miradi ya elimu, uongozi, na ulinzi wa kijamii kwa makundi yaliyo hatarini. Kwa mchango wake wa kijamii, ametambuliwa kimataifa kwa kuingizwa katika orodha ya “100 Most Influential African Women” inayotolewa na mtandao wa wanawake wa Afrika. Pia amepokea Diana Award kwa kazi zake za kibinadamu na juhudi za kijamii zinazolenga kuboresha maisha ya wengine.<ref>{{Cite web|last=S3c|first=Sysadmin|date=2025-03-20|title=Cross River’s Favour Abatang Listed Among 100 Reputable Women Of African Descent|url=https://crossriverwatch.com/2025/03/cross-rivers-favour-abatang-listed-among-100-reputable-women-of-african-descent/|access-date=2026-04-19|website=CrossRiverWatch|language=en-US}}</ref><ref name="diana-award">{{Cite web|title=Roll of Honour 2023|url=https://diana-award.org.uk/our-programmes-and-initiatives/award-and-development/roll-of-honour/roll-of-honour-2023|access-date=2026-04-19|website=diana-award.org.uk|language=en}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Favour Abatang alizaliwa na kukulia mjini New Karu, ingawa asili yake ya kifamilia inatoka Obanliku. Maisha yake ya utotoni yaliathiriwa na changamoto kubwa za kijamii na kifamilia, hali iliyochangia kujenga tabia yake ya uthabiti na kujituma. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Watoto Wadogo na Msingi ya Babcecil huko New Karu. Maisha yake yalibadilika sana alipofiwa na mama yake akiwa na umri wa miaka 10, tukio lililomfanya akue mapema na kuimarisha msukumo wake wa kusaidia wengine.<ref name="vanguardngr">{{Cite web|last=Nwafor|date=2026-04-06|title=How Favour Abatang is rewriting the future for Nigeria’s teenage mothers|url=https://www.vanguardngr.com/2026/04/how-favour-abatang-is-rewriting-the-future-for-nigerias-teenage-mothers/|access-date=2026-04-19|website=Vanguard News|language=en-GB}}</ref> Baadaye alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Calabar|University of Calaba]]<nowiki/>r, ambako alisomea Falsafa na kuhitimu kama mwanafunzi bora wa kike. Kisha alipata udhamini wa Mastercard Foundation uliomuwezesha kusoma Masomo ya Afrika na Maendeleo ya Kimataifa katika University of Edinburgh. Mnamo [[2023]], alihudhuria mafunzo ya maendeleo ya kitaaluma katika Stellenbosch University Business School, ambapo alisomea Fikra Bunifu na Uongozi Bunifu. Pia alipata mafunzo katika Lagos Business School, akipata cheti katika Uongozi na Usimamizi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, programu iliyofadhiliwa na Ford Foundation. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 2000]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] n8mpmf2rgkljnxq601m7zpfcr3ke20s 1507990 1507987 2026-04-21T07:37:41Z Ramadhani Mushi 61176 1507990 wikitext text/x-wiki '''Favour Abatang''' (alizaliwa [[13 Aprili]] [[2000]]) ni [[mjasiriamali]] wa kijamii kutoka nchini [[Nigeria]] na pia ni mtetezi wa haki za wanawake nchini Nigeria. Anajulikana kwa kazi yake inayolenga uwezeshaji wa wanawake vijana na wasichana wanaokabiliwa na changamoto za kijamii na Maisha kwa ujumla nchini humo.<ref>{{Cite web|title=Favour Abatang, Founder of Her Voice Foundation: Her Journey, Impact, and Global Recognition – THISDAYLIVE|url=https://www.thisdaylive.com/2026/02/12/favour-abatang-founder-of-her-voice-foundation-her-journey-impact-and-global-recognition/|access-date=2026-04-19|language=en-US}}</ref> Favour Abatang ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya Her Voice Foundation nchini Nigeria, shirika lisilo la faida linalofanya kazi katika kusaidia na kuimarisha nafasi ya wanawake na wasichana katika jamii mbalimbali nchini Nigeria kuwapatia fursa mbalimbali za kimaendeleo katika jamii zao. Kupitia taasisi hiyo, Abatang amejikita katika miradi ya elimu, uongozi, na ulinzi wa kijamii kwa makundi yaliyo hatarini. Kwa mchango wake wa kijamii, ametambuliwa kimataifa kwa kuingizwa katika orodha ya “100 Most Influential African Women” inayotolewa na mtandao wa wanawake wa Afrika. Pia amepokea Diana Award kwa kazi zake za kibinadamu na juhudi za kijamii zinazolenga kuboresha maisha ya wengine.<ref>{{Cite web|last=S3c|first=Sysadmin|date=2025-03-20|title=Cross River’s Favour Abatang Listed Among 100 Reputable Women Of African Descent|url=https://crossriverwatch.com/2025/03/cross-rivers-favour-abatang-listed-among-100-reputable-women-of-african-descent/|access-date=2026-04-19|website=CrossRiverWatch|language=en-US}}</ref><ref name="diana-award">{{Cite web|title=Roll of Honour 2023|url=https://diana-award.org.uk/our-programmes-and-initiatives/award-and-development/roll-of-honour/roll-of-honour-2023|access-date=2026-04-19|website=diana-award.org.uk|language=en}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Favour Abatang alizaliwa na kukulia mjini New Karu, ingawa asili yake ya kifamilia inatoka Obanliku. Maisha yake ya utotoni yaliathiriwa na changamoto kubwa za kijamii na kifamilia, hali iliyochangia kujenga tabia yake ya uthabiti na kujituma. Alisoma elimu ya msingi katika Shule ya Watoto Wadogo na Msingi ya Babcecil huko New Karu. Maisha yake yalibadilika sana alipofiwa na mama yake akiwa na umri wa miaka 10, tukio lililomfanya akue mapema na kuimarisha msukumo wake wa kusaidia wengine.<ref name="vanguardngr">{{Cite web|last=Nwafor|date=2026-04-06|title=How Favour Abatang is rewriting the future for Nigeria’s teenage mothers|url=https://www.vanguardngr.com/2026/04/how-favour-abatang-is-rewriting-the-future-for-nigerias-teenage-mothers/|access-date=2026-04-19|website=Vanguard News|language=en-GB}}</ref> Baadaye alijiunga na [[Chuo Kikuu cha Calabar|University of Calaba]]<nowiki/>r, ambako alisomea Falsafa na kuhitimu kama mwanafunzi bora wa kike. Kisha alipata udhamini wa Mastercard Foundation uliomuwezesha kusoma Masomo ya Afrika na Maendeleo ya Kimataifa katika University of Edinburgh. Mnamo [[2023]], alihudhuria mafunzo ya maendeleo ya kitaaluma katika Stellenbosch University Business School, ambapo alisomea Fikra Bunifu na Uongozi Bunifu. Pia alipata mafunzo katika Lagos Business School, akipata cheti katika Uongozi na Usimamizi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, programu iliyofadhiliwa na Ford Foundation. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 2000]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] jz6kd91l3ore7j18g8jpixclc4pbtlf Vicky Knoetze 0 229683 1507988 2026-04-21T07:35:50Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Vicky Knoetze''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] anayehudumu kama Mjumbe wa Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa niaba ya Democratic Alliance (DA). Alichaguliwa kuwa mbunge wa bunge la mkoa huo mwezi Mei 2014, ambapo alianza rasmi kuwakilisha chama hicho katika ngazi ya mkoa.<ref>{{Cite web|title=JUST IN {{!}} DA elects new Eastern Cape leadership|url=https://www.heraldlive.co.za/news/politics/2023-02-25-just-in-da-elects-new-eastern-cape-leadershi...' 1507988 wikitext text/x-wiki '''Vicky Knoetze''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] anayehudumu kama Mjumbe wa Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa niaba ya Democratic Alliance (DA). Alichaguliwa kuwa mbunge wa bunge la mkoa huo mwezi Mei 2014, ambapo alianza rasmi kuwakilisha chama hicho katika ngazi ya mkoa.<ref>{{Cite web|title=JUST IN {{!}} DA elects new Eastern Cape leadership|url=https://www.heraldlive.co.za/news/politics/2023-02-25-just-in-da-elects-new-eastern-cape-leadership/|access-date=2023-02-25|website=HeraldLIVE|language=en-ZA}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] d4zu7uptwvvw67wfrlscg1njd0g9jqp Moshe Bromberg 0 229684 1507989 2026-04-21T07:36:16Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507989 wikitext text/x-wiki '''Moshe Bromberg''' ([[1920]]–[[1982]]) alikuwa msanii na mchongaji mashuhuri wa [[Israeli|Israel]]. <ref>{{cite book|author=Ronald L. Eisenberg|title=The Streets of Jerusalem: Who, What, why|url=https://books.google.com/books?id=yqXXD_74yAEC&pg=PA43|year=2006|publisher=Devora Publishing|isbn=978-1-932687-54-5|page=43}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1920]] [[jamii:waliofariki 1982]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] nvicjt6utnwejpcqrz63gwpzj0ebttp Nicole Payne 0 229685 1507991 2026-04-21T07:38:04Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nicole Oyeyemisi Payne''' (alizaliwa [[18 Januari|Januari 18]], [[2001]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] wa Ligi ya Soka ya Wanawake ya Orlando Pride (NWSL). Alizaliwa Marekani, anaiwakilisha Nigeria katika ngazi ya kimataifa. == Maisha ya awali == Payne alizaliwa na kukulia [[Birmingham, Alabama|Birmingham]], [[Alabama]], ambapo alihudhuria Shule ya Upili ya Oak Mountain == Kazi == Payne alisoma Chuo Ki...' 1507991 wikitext text/x-wiki '''Nicole Oyeyemisi Payne''' (alizaliwa [[18 Januari|Januari 18]], [[2001]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] wa Ligi ya Soka ya Wanawake ya Orlando Pride (NWSL). Alizaliwa Marekani, anaiwakilisha Nigeria katika ngazi ya kimataifa. == Maisha ya awali == Payne alizaliwa na kukulia [[Birmingham, Alabama|Birmingham]], [[Alabama]], ambapo alihudhuria Shule ya Upili ya Oak Mountain == Kazi == Payne alisoma Chuo Kikuu cha West Virginia huko Morgantown, [[West Virginia]] kwa miaka mitatu, akihamia Chuo Kikuu cha Southern California kwa mwaka wake wa nne na wa mwisho. Payne alisaini mkataba na Paris Saint-Germain ya Ligi Daraja la 1 ya Ufaransa mnamo Julai 2023. <ref>{{Rejea tovuti|date=20 July 2023|title=Nicole Payne joins Paris Saint-Germain|url=https://en.psg.fr/teams/womens-team/content/nicole-payne-signs-for-paris-saint-germain-until-2026|accessdate=18 February 2024|work=Paris Saint-Germain}}</ref> Mechi yake ya kwanza (kati ya nne hadi sasa <ref>{{Rejea tovuti|date=18 February 2024|title=Nicole Payne loaned out to Portland Thorns FC|url=https://en.psg.fr/teams/womens-team/content/nicole-payne-loaned-out-by-paris-saint-germain-to-portland-thorns-fc-2023-2024|accessdate=18 February 2024|work=Paris Saint-Germain}}</ref> ) kwa PSG ilikuja kama mchezaji mbadala katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Dijon FCO mnamo Novemba 12, 2023, <ref>{{Rejea tovuti|date=14 November 2023|title=Nicole Payne Excited To Make Division One Féminine Debut With PSG|url=https://superfalconsshow.com/nicole-payne-excited-to-make-division-one-feminine-debut-with-psg/|accessdate=18 February 2024|work=Super Falcons Show|language=en-US}}</ref> huku akianza kwa mara ya kwanza mnamo Januari 20, 2024 katika ushindi wa 8-1 dhidi ya FC Girondins de Bordeaux . <ref name="Portland">{{Rejea tovuti|author=Portland Thorns FC|date=18 February 2024|title=Thorns FC acquire defender Nicole Payne on loan from Paris Saint-Germain|url=https://www.thorns.com/news/thorns-fc-acquire-defender-nicole-payne-on-loan-from-paris-saint-germain|accessdate=18 February 2024|work=Portland Thorns FC|language=}}</ref> Mnamo Februari 2024, alikopwa kwa Portland Thorns ya Ligi ya Soka ya Wanawake ya Taifa kwa msimu wa 2024. <ref name="Portland2">{{Rejea tovuti|author=Portland Thorns FC|date=18 February 2024|title=Thorns FC acquire defender Nicole Payne on loan from Paris Saint-Germain|url=https://www.thorns.com/news/thorns-fc-acquire-defender-nicole-payne-on-loan-from-paris-saint-germain|accessdate=18 February 2024|work=Portland Thorns FC|language=}}</ref> Miezi mitano baada ya mkopo wake, Payne alinunuliwa moja kwa moja na Thorns. <ref>{{Rejea tovuti|author=Buchanan|first=Ryne|date=2024-07-02|title=Thorns permanently acquire defender Nicole Payne from Paris Saint-Germain|url=https://www.kptv.com/2024/07/02/thorns-permanently-acquire-defender-nicole-payne-paris-saint-germain/|accessdate=2025-12-03|work=KPTV|language=en}}</ref> Mnamo Januari 16, 2026, Orlando Pride ilitangaza kwamba walikuwa wamemsaini Payne kwa mkataba wa mwaka mmoja. <ref>{{Rejea tovuti|title=Orlando Pride signs Seven Castain, Cara Martin and Nicole Payne to one-year contracts|url=https://www.orlandocitysc.com/pride/news/orlando-pride-signs-seven-castain-cara-martin-and-nicole-payne-to-one-year-contracts|publisher=[[Orlando Pride]]|accessdate=17 January 2026|date=16 January 2026}}</ref> == Kazi ya kimataifa == Payne aliitwa kwenye timu ya taifa ya Marekani ya vijana chini ya umri wa miaka 17 mwaka wa 2017. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.ussoccer.com/stories/2017/08/15/22/17/20170815-news-u17wnt-to-face-england-u17-wnt-twice-in-portland-oregon|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171018184251/http://www.ussoccer.com/stories/2017/08/15/22/17/20170815-news-u17wnt-to-face-england-u17-wnt-twice-in-portland-oregon|archivedate=18 October 2017|title=U-17 WNT to Face England Twice in Portland, Oregon - U.S. Soccer}}</ref> Payne alicheza mechi yake ya kwanza ya kikosi cha wakubwa kwa Nigeria mnamo tarehe 10 Juni 2021 kama mchezaji mbadala dakika ya 90 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Jamaica ambao walipoteza 0-1. <ref name="GSA-Debut">{{Rejea tovuti|url=https://globalsportsarchive.com/match/soccer/2021-06-10/jamaica-vs-nigeria/2375811/|title=Match Report of Jamaica vs Nigeria – 2021-06-10 – FIFA Friendlies – Women|work=Global Sports Archive|accessdate=19 June 2021}}</ref> Payne aliitwa kwenye kikosi cha Nigeria kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake la 2022. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thenff.com/2022/06/morocco-2022-waldrum-picks-ebi-oshoala-plumptre-22-others-for-women-afcon/|title=Morocco 2022: Waldrum picks Ebi, Oshoala, Plumptre, 22 others for Women AFCON|publisher=[[Nigeria Football Federation]]|date=25 June 2022|accessdate=26 March 2025|archivedate=19 July 2022|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220719084845/https://www.thenff.com/2022/06/morocco-2022-waldrum-picks-ebi-oshoala-plumptre-22-others-for-women-afcon/}}</ref> Payne aliitwa kwenye kikosi cha Nigeria kwa ajili ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya 2024. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://thenff.com/paris-2024-olympics-waldrum-picks-ajibade-nnadozie-oshoala-15-others/|title=Paris 2024 Olympics: Waldrum picks Ajibade, Nnadozie, Oshoala, 15 others|publisher=[[Nigeria Football Federation]]|work=thenff.com|date=3 July 2024}}</ref> == Maisha binafsi == Alizaliwa [[Birmingham, Alabama]], kwa wazazi wa Nigeria, Payne ni dada mdogo wa wachezaji wenzake wa mpira wa miguu Toni Payne na Stephen Payne . Yeye na dada yake Toni wamecheza pamoja katika timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria . <ref name="GSA-Debut2">{{Rejea tovuti|url=https://globalsportsarchive.com/match/soccer/2021-06-10/jamaica-vs-nigeria/2375811/|title=Match Report of Jamaica vs Nigeria – 2021-06-10 – FIFA Friendlies – Women|work=Global Sports Archive|accessdate=19 June 2021}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Wachezaji wa Nigeria]] 2ixiulmjqa0ijcr9ocxbs3sz9nil5gm 1508160 1507991 2026-04-21T11:22:00Z ~2026-24519-62 88836 1508160 wikitext text/x-wiki '''Nicole Oyeyemisi Payne''' (alizaliwa [[18 Januari]] [[2001]]) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa ambaye anacheza kama [[Beki|mlinzi]] wa Ligi ya Soka ya Wanawake ya Orlando Pride (NWSL). Alizaliwa Marekani, anaiwakilisha Nigeria katika ngazi ya kimataifa. == Maisha ya awali == Payne alizaliwa na kukulia [[Birmingham, Alabama|Birmingham]], [[Alabama]], ambapo alihudhuria Shule ya Upili ya Oak Mountain == Kazi == Payne alisoma Chuo Kikuu cha West Virginia huko Morgantown, [[West Virginia]] kwa miaka mitatu, akihamia Chuo Kikuu cha Southern California kwa mwaka wake wa nne na wa mwisho. Payne alisaini mkataba na Paris Saint-Germain ya Ligi Daraja la 1 ya Ufaransa mnamo Julai 2023. <ref>{{Rejea tovuti|date=20 July 2023|title=Nicole Payne joins Paris Saint-Germain|url=https://en.psg.fr/teams/womens-team/content/nicole-payne-signs-for-paris-saint-germain-until-2026|accessdate=18 February 2024|work=Paris Saint-Germain}}</ref> Mechi yake ya kwanza (kati ya nne hadi sasa <ref>{{Rejea tovuti|date=18 February 2024|title=Nicole Payne loaned out to Portland Thorns FC|url=https://en.psg.fr/teams/womens-team/content/nicole-payne-loaned-out-by-paris-saint-germain-to-portland-thorns-fc-2023-2024|accessdate=18 February 2024|work=Paris Saint-Germain}}</ref> ) kwa PSG ilikuja kama mchezaji mbadala katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Dijon FCO mnamo Novemba 12, 2023, <ref>{{Rejea tovuti|date=14 November 2023|title=Nicole Payne Excited To Make Division One Féminine Debut With PSG|url=https://superfalconsshow.com/nicole-payne-excited-to-make-division-one-feminine-debut-with-psg/|accessdate=18 February 2024|work=Super Falcons Show|language=en-US}}</ref> huku akianza kwa mara ya kwanza mnamo Januari 20, 2024 katika ushindi wa 8-1 dhidi ya FC Girondins de Bordeaux . <ref name="Portland">{{Rejea tovuti|author=Portland Thorns FC|date=18 February 2024|title=Thorns FC acquire defender Nicole Payne on loan from Paris Saint-Germain|url=https://www.thorns.com/news/thorns-fc-acquire-defender-nicole-payne-on-loan-from-paris-saint-germain|accessdate=18 February 2024|work=Portland Thorns FC|language=}}</ref> Mnamo Februari 2024, alikopwa kwa Portland Thorns ya Ligi ya Soka ya Wanawake ya Taifa kwa msimu wa 2024. <ref name="Portland2">{{Rejea tovuti|author=Portland Thorns FC|date=18 February 2024|title=Thorns FC acquire defender Nicole Payne on loan from Paris Saint-Germain|url=https://www.thorns.com/news/thorns-fc-acquire-defender-nicole-payne-on-loan-from-paris-saint-germain|accessdate=18 February 2024|work=Portland Thorns FC|language=}}</ref> Miezi mitano baada ya mkopo wake, Payne alinunuliwa moja kwa moja na Thorns. <ref>{{Rejea tovuti|author=Buchanan|first=Ryne|date=2024-07-02|title=Thorns permanently acquire defender Nicole Payne from Paris Saint-Germain|url=https://www.kptv.com/2024/07/02/thorns-permanently-acquire-defender-nicole-payne-paris-saint-germain/|accessdate=2025-12-03|work=KPTV|language=en}}</ref> Mnamo Januari 16, 2026, Orlando Pride ilitangaza kwamba walikuwa wamemsaini Payne kwa mkataba wa mwaka mmoja. <ref>{{Rejea tovuti|title=Orlando Pride signs Seven Castain, Cara Martin and Nicole Payne to one-year contracts|url=https://www.orlandocitysc.com/pride/news/orlando-pride-signs-seven-castain-cara-martin-and-nicole-payne-to-one-year-contracts|publisher=[[Orlando Pride]]|accessdate=17 January 2026|date=16 January 2026}}</ref> == Kazi ya kimataifa == Payne aliitwa kwenye timu ya taifa ya Marekani ya vijana chini ya umri wa miaka 17 mwaka wa 2017. <ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.ussoccer.com/stories/2017/08/15/22/17/20170815-news-u17wnt-to-face-england-u17-wnt-twice-in-portland-oregon|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171018184251/http://www.ussoccer.com/stories/2017/08/15/22/17/20170815-news-u17wnt-to-face-england-u17-wnt-twice-in-portland-oregon|archivedate=18 October 2017|title=U-17 WNT to Face England Twice in Portland, Oregon - U.S. Soccer}}</ref> Payne alicheza mechi yake ya kwanza ya kikosi cha wakubwa kwa Nigeria mnamo tarehe 10 Juni 2021 kama mchezaji mbadala dakika ya 90 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Jamaica ambao walipoteza 0-1. <ref name="GSA-Debut">{{Rejea tovuti|url=https://globalsportsarchive.com/match/soccer/2021-06-10/jamaica-vs-nigeria/2375811/|title=Match Report of Jamaica vs Nigeria – 2021-06-10 – FIFA Friendlies – Women|work=Global Sports Archive|accessdate=19 June 2021}}</ref> Payne aliitwa kwenye kikosi cha Nigeria kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake la 2022. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.thenff.com/2022/06/morocco-2022-waldrum-picks-ebi-oshoala-plumptre-22-others-for-women-afcon/|title=Morocco 2022: Waldrum picks Ebi, Oshoala, Plumptre, 22 others for Women AFCON|publisher=[[Nigeria Football Federation]]|date=25 June 2022|accessdate=26 March 2025|archivedate=19 July 2022|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220719084845/https://www.thenff.com/2022/06/morocco-2022-waldrum-picks-ebi-oshoala-plumptre-22-others-for-women-afcon/}}</ref> Payne aliitwa kwenye kikosi cha Nigeria kwa ajili ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya 2024. <ref>{{Rejea tovuti|url=https://thenff.com/paris-2024-olympics-waldrum-picks-ajibade-nnadozie-oshoala-15-others/|title=Paris 2024 Olympics: Waldrum picks Ajibade, Nnadozie, Oshoala, 15 others|publisher=[[Nigeria Football Federation]]|work=thenff.com|date=3 July 2024}}</ref> == Maisha binafsi == Alizaliwa [[Birmingham, Alabama]], kwa wazazi wa Nigeria, Payne ni dada mdogo wa wachezaji wenzake wa mpira wa miguu Toni Payne na Stephen Payne . Yeye na dada yake Toni wamecheza pamoja katika timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria . <ref name="GSA-Debut2">{{Rejea tovuti|url=https://globalsportsarchive.com/match/soccer/2021-06-10/jamaica-vs-nigeria/2375811/|title=Match Report of Jamaica vs Nigeria – 2021-06-10 – FIFA Friendlies – Women|work=Global Sports Archive|accessdate=19 June 2021}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 2001]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]] fu8rvq2gol6x6r524fuwvpf56l4lgr9 Shmuel Beru 0 229686 1507992 2026-04-21T07:38:49Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507992 wikitext text/x-wiki '''Shmuel Beru''' ni [[Wayahudi|Myahudi]] wa [[Ethiopia]] aliyehamia nchini Israel aliyekuja kuwa mwigizaji, mwandishi wa mswada wa filamu, na mwongozaji wa filamu. <ref name=":2">{{Cite news|last=Herzberg|first=Nathaniel|date=2009-11-02|title=Nouvelle Vague à Tel-Aviv|language=fr|work=Le Monde.fr|url=https://www.lemonde.fr/cinema/article/2009/11/02/nouvelle-vague-a-tel-aviv_1261629_3476.html|access-date=2022-01-19}}</ref><ref name=":3">{{Cite news|last=Anderman|first=Nirit|date=April 8, 2019|title='Second-class Citizen' in Israel, Ethiopian-born Screenwriter Tackles Ignorance of Her Birthplace|language=en|work=Haaretz|url=https://www.haaretz.com/israel-news/.premium-this-prize-winning-screenwriter-is-aiming-rectify-israelis-image-of-ethiopia-1.7091018|access-date=2022-01-19}}</ref><ref name=":4">{{Cite web|last=בית-יוסף|first=ליטל|date=December 13, 2008|title=שמואל ברו חולם את הדבר הנכון|url=https://www.makorrishon.co.il/nrg/online/47/ART1/823/483.html|access-date=2022-01-19|website=www.makorrishon.co.il}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1975]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] b8p8pitxpu0cfrav6zx7bceldi2852a Chris Anyanwu 0 229687 1507993 2026-04-21T07:40:07Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Christiana "Chris" Anyanwu MFR''' (amezaliwa tarehe 28 Oktoba 1951) ni mwandishi wa habari, mchapishaji, mwandishi na mwanasiasa wa [[Nigeria]]. Alifungwa gerezani kuanzia mwaka 1995 hadi 1998 kwa tuhuma za uhaini baada ya kuripoti kuhusu jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Sani Abacha, na alipokea tuzo kadhaa za kimataifa za uandishi wa habari akiwa kifungoni, ikiwemo Tuzo ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya UNESCO/Guillermo Cano. Akiamini kuwa ang...' 1507993 wikitext text/x-wiki '''Christiana "Chris" Anyanwu MFR''' (amezaliwa tarehe 28 Oktoba 1951) ni mwandishi wa habari, mchapishaji, mwandishi na mwanasiasa wa [[Nigeria]]. Alifungwa gerezani kuanzia mwaka 1995 hadi 1998 kwa tuhuma za uhaini baada ya kuripoti kuhusu jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Sani Abacha, na alipokea tuzo kadhaa za kimataifa za uandishi wa habari akiwa kifungoni, ikiwemo Tuzo ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya UNESCO/Guillermo Cano. Akiamini kuwa angeweza kutoa mchango mkubwa zaidi katika siasa kuliko uandishi wa habari, Anyanwu aligombea nafasi ya uongozi na kuchaguliwa kuwa Seneta wa jimbo la Imo Mashariki (Owerri) mwaka 2007.<ref name="ref1">"Sen.Anyanwu Chris N. D". National Assembly of Nigeria.</ref> == Maisha ya awali na elimu == Anyanwu alizaliwa katika eneo la Mbaise, Jimbo la Imo, Nigeria.<ref name="ref2">"Nigeria at UNESCO / UNESCO Awards to Nigerians". UNESCO.</ref> Alisoma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Owerri kabla ya kuhamia Marekani, ambako alipata shahada ya kwanza ya uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha Missouri na shahada ya uzamili katika Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Florida State.<ref name="ref1" /> Baada ya kuhitimu, alirudi Nigeria na kufanya kazi katika Shirika la Televisheni la Taifa (NTA) na Shirika la Utangazaji la Imo kama mtangazaji wa habari na mwandishi wa habari.<ref name="ref2" /> Mwaka 1987 aliteuliwa kuwa Kamishna wa Habari, Vijana, Michezo, Utamaduni na Ustawi wa Jamii katika Jimbo la Imo chini ya gavana Amadi Ikwechegh.<ref name="ref3">Adah, Augustine (22 November 2009). "Amadi Ikwechegh is Dead". Newswatch.</ref> Baada ya kumaliza muda wake kama kamishna, alianzisha na kuwa mchapishaji na mhariri mkuu wa jarida la kila wiki la kisiasa ''TSM (The Sunday Magazine)''.<ref name="ref4">Omipidan, Ismail (13 August 2007). "I didn't get to the Senate with bottom power".</ref> == Kufungwa gerezani == Mnamo Mei 1995, Anyanwu alikamatwa baada ya kuchapisha taarifa kuhusu jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Sani Abacha, ambapo alishtakiwa kwa kusaidia uhaini.<ref name="ref5">Simpson, Peggy. "Fifteen Years of Courage: Chris Anyanwu".</ref> Alifunguliwa mashtaka kwa siri na mahakama ya kijeshi na kuhukumiwa kifungo cha maisha tarehe 4 Julai 1995, ambacho baadaye kilipunguzwa hadi miaka 15 kufuatia shinikizo kutoka kwa makundi ya haki za binadamu.<ref name="ref6">Anyanwu, Chris Ngozi (2002). ''The Days of Terror''.</ref> Akiwa gerezani Gombe, afya yake ilidorora na alipata upofu wa sehemu, huku madaktari wakionya kuwa angepoteza kabisa uwezo wa kuona bila matibabu.<ref name="ref7">"Christine Anyanwu". Committee to Protect Journalists.</ref> Wakati wa kifungo chake, alipokea Tuzo ya Ujasiri katika Uandishi wa Habari kutoka International Women's Media Foundation, na baadaye Tuzo ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya CPJ pamoja na Tuzo ya UNESCO/Guillermo Cano mwaka 1998.<ref name="ref2" /> == Baada ya gerezani == Mwaka 1998, baada ya kifo cha Sani Abacha na shinikizo la kimataifa, aliachiliwa huru kwa sababu za kiafya na mrithi wake, Jenerali Abdulsalami Abubakar. Aliishi Virginia kwa miaka miwili, ambapo aliandika kitabu ''Days of Terror'' kuhusu uzoefu wake wakati wa utawala wa kijeshi. Alirejea Nigeria na kuendelea na kazi zake za vyombo vya habari, ikiwa ni pamoja na kuanzisha kituo cha redio cha Hot 98.3 FM mjini Abuja mwaka 2005. Pia alionekana katika kipindi cha televisheni cha PBS ''Nigeria: The Road North'' mwaka 2003. == Kazi ya kisiasa == Katika uchaguzi mkuu wa Nigeria wa mwaka 2007, Anyanwu alichaguliwa kuwa Seneta kwa tiketi ya chama cha People's Democratic Party (PDP).<ref name="ref1" /> Baadaye alichaguliwa tena mwaka 2011 kupitia chama cha All Progressives Grand Alliance (APGA). Akiwa Seneta, alihudumu katika kamati mbalimbali zikiwemo za Wanawake na Vijana, Serikali za Mitaa, Afya, Mazingira na Ulinzi, na alitoa michango katika mijadala ya bunge pamoja na kupendekeza miswada kadhaa.<ref name="ref14">"An Improved Senate...". ThisDay.</ref> == Maisha binafsi == Anyanwu ameolewa na Casmir Anyanwu na wana watoto wawili. Ni Mkristo mwenye imani thabiti.<ref name="ref16">Peck, Dana (1998). "Journalist Spent 3 Years in Prison".</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1951|}} djp11k2z3baw0r4zm8tunqt90j03xby 1508133 1507993 2026-04-21T10:42:59Z Riccardo Riccioni 452 1508133 wikitext text/x-wiki '''Christiana "Chris" Anyanwu MFR''' (amezaliwa 28 Oktoba 1951) ni mwandishi wa habari, mchapishaji, mwandishi na mwanasiasa wa [[Nigeria]]. Alifungwa gerezani kuanzia mwaka 1995 hadi 1998 kwa tuhuma za uhaini baada ya kuripoti kuhusu jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Sani Abacha, na alipokea tuzo kadhaa za kimataifa za uandishi wa habari akiwa kifungoni, ikiwemo Tuzo ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya UNESCO/Guillermo Cano. Akiamini kuwa angeweza kutoa mchango mkubwa zaidi katika siasa kuliko uandishi wa habari, Anyanwu aligombea nafasi ya uongozi na kuchaguliwa kuwa Seneta wa jimbo la Imo Mashariki (Owerri) mwaka 2007.<ref name="ref1">"Sen.Anyanwu Chris N. D". National Assembly of Nigeria.</ref> == Maisha ya awali na elimu == Anyanwu alizaliwa katika eneo la Mbaise, Jimbo la Imo, Nigeria.<ref name="ref2">"Nigeria at UNESCO / UNESCO Awards to Nigerians". UNESCO.</ref> Alisoma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Owerri kabla ya kuhamia Marekani, ambako alipata shahada ya kwanza ya uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha Missouri na shahada ya uzamili katika Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Florida State.<ref name="ref1" /> Baada ya kuhitimu, alirudi Nigeria na kufanya kazi katika Shirika la Televisheni la Taifa (NTA) na Shirika la Utangazaji la Imo kama mtangazaji wa habari na mwandishi wa habari.<ref name="ref2" /> Mwaka 1987 aliteuliwa kuwa Kamishna wa Habari, Vijana, Michezo, Utamaduni na Ustawi wa Jamii katika Jimbo la Imo chini ya gavana Amadi Ikwechegh.<ref name="ref3">Adah, Augustine (22 November 2009). "Amadi Ikwechegh is Dead". Newswatch.</ref> Baada ya kumaliza muda wake kama kamishna, alianzisha na kuwa mchapishaji na mhariri mkuu wa jarida la kila wiki la kisiasa ''TSM (The Sunday Magazine)''.<ref name="ref4">Omipidan, Ismail (13 August 2007). "I didn't get to the Senate with bottom power".</ref> == Kufungwa gerezani == Mnamo Mei 1995, Anyanwu alikamatwa baada ya kuchapisha taarifa kuhusu jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Sani Abacha, ambapo alishtakiwa kwa kusaidia uhaini.<ref name="ref5">Simpson, Peggy. "Fifteen Years of Courage: Chris Anyanwu".</ref> Alifunguliwa mashtaka kwa siri na mahakama ya kijeshi na kuhukumiwa kifungo cha maisha tarehe 4 Julai 1995, ambacho baadaye kilipunguzwa hadi miaka 15 kufuatia shinikizo kutoka kwa makundi ya haki za binadamu.<ref name="ref6">Anyanwu, Chris Ngozi (2002). ''The Days of Terror''.</ref> Akiwa gerezani Gombe, afya yake ilidorora na alipata upofu wa sehemu, huku madaktari wakionya kuwa angepoteza kabisa uwezo wa kuona bila matibabu.<ref name="ref7">"Christine Anyanwu". Committee to Protect Journalists.</ref> Wakati wa kifungo chake, alipokea Tuzo ya Ujasiri katika Uandishi wa Habari kutoka International Women's Media Foundation, na baadaye Tuzo ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya CPJ pamoja na Tuzo ya UNESCO/Guillermo Cano mwaka 1998.<ref name="ref2" /> == Baada ya gerezani == Mwaka 1998, baada ya kifo cha Sani Abacha na shinikizo la kimataifa, aliachiliwa huru kwa sababu za kiafya na mrithi wake, Jenerali Abdulsalami Abubakar. Aliishi Virginia kwa miaka miwili, ambapo aliandika kitabu ''Days of Terror'' kuhusu uzoefu wake wakati wa utawala wa kijeshi. Alirejea Nigeria na kuendelea na kazi zake za vyombo vya habari, ikiwa ni pamoja na kuanzisha kituo cha redio cha Hot 98.3 FM mjini Abuja mwaka 2005. Pia alionekana katika kipindi cha televisheni cha PBS ''Nigeria: The Road North'' mwaka 2003. == Kazi ya kisiasa == Katika uchaguzi mkuu wa Nigeria wa mwaka 2007, Anyanwu alichaguliwa kuwa Seneta kwa tiketi ya chama cha People's Democratic Party (PDP).<ref name="ref1" /> Baadaye alichaguliwa tena mwaka 2011 kupitia chama cha All Progressives Grand Alliance (APGA). Akiwa Seneta, alihudumu katika kamati mbalimbali zikiwemo za Wanawake na Vijana, Serikali za Mitaa, Afya, Mazingira na Ulinzi, na alitoa michango katika mijadala ya bunge pamoja na kupendekeza miswada kadhaa.<ref name="ref14">"An Improved Senate...". ThisDay.</ref> == Maisha binafsi == Anyanwu ameolewa na Casmir Anyanwu na wana watoto wawili. Ni Mkristo mwenye imani thabiti.<ref name="ref16">Peck, Dana (1998). "Journalist Spent 3 Years in Prison".</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1951|}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] o5dcy8tywoq0xpveb8fy7i2sbsach05 Naomi Achu 0 229688 1507994 2026-04-21T07:41:19Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Naomi Achu''' (jina la kuzaliwa '''Fruh-Ngwing Achu''') ni mwimbaji, rapa na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Cameroon|Kameruni]]. Alipata umaarufu kupitia wimbo wake “Alhadji” uliochezwa katika msimu wa nane wa kipindi cha televisheni ''Big Brother Africa''.<ref>[http://www.goldenicons.com/naomi-achus-music-video/ "Naomi Achu’s Music Video: Alhadji." Golden Icons. August 30, 2015. Retrieved February 28, 2016.]</ref> Pia anajulikana kama “Malkia wa Bam...' 1507994 wikitext text/x-wiki '''Naomi Achu''' (jina la kuzaliwa '''Fruh-Ngwing Achu''') ni mwimbaji, rapa na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Cameroon|Kameruni]]. Alipata umaarufu kupitia wimbo wake “Alhadji” uliochezwa katika msimu wa nane wa kipindi cha televisheni ''Big Brother Africa''.<ref>[http://www.goldenicons.com/naomi-achus-music-video/ "Naomi Achu’s Music Video: Alhadji." Golden Icons. August 30, 2015. Retrieved February 28, 2016.]</ref> Pia anajulikana kama “Malkia wa Bamenda”. == Maisha ya awali == Akitokea [[Bamenda]], mji mkuu wa Kanda ya Kaskazini-Magharibi ya Kameruni, Naomi alizaliwa katika familia yenye watoto wanane akiwa mtoto wa mwisho kati ya sita. Baba yake alikuwa mwanadiplomasia katika ubalozi wa Kameruni mjini [[London]], na mama yake alikuwa mwalimu wa shule za msingi na sekondari. Naomi alianza kuandika nyimbo akiwa na umri wa miaka tisa. Alisoma katika Saker Baptist College mjini Limbe na Baptist High School mjini [[Buea]] (zote zikiwa katika Kanda ya Kusini-Magharibi), ambapo alipata fursa zake za kwanza za kuimba. Kwa kipindi fulani, alikuwa sauti ya kiotomatiki ya kampuni ya MTN Kameruni.<ref>[http://www.duniamagazine.com/2011/12/thinking-outside-the-box-dynamic-artist-and-role-model-with-positive-energy-naomi-achu/ "Thinking outside the box. Dynamic artist & role model with Positive Energy: NAOMI ACHU." DUNIA Magazine. December 14, 2011. Retrieved February 29, 2016.]</ref> == Kazi ya muziki == Naomi alihamia [[United States]] mwaka 2004 ambako alianza rasmi kazi yake ya muziki. Kufikia mwaka 2009 alitoa EP yake ya kwanza ''No Boundaries'' na kuanza pia kufanya muziki wa rap. Mwaka uliofuata alishiriki katika wimbo “Africans”, toleo la Kiafrika la wimbo “Hold Yuh” wa msanii wa reggae kutoka Jamaika Gyptian. Pia mwaka 2010 alitoa mixtape ''Camerican Dream'' akiwa sehemu ya kundi la wasanii wa Kameruni Avin-u C pamoja na Eddy B na H.Bolo.<ref>[http://www.culturebene.com/musique/musique/article/to-the-discovery-of-naomi-achu.html "To the Discovery of Naomi Achu." Culture Bene. October 30, 2011. Retrieved February 14, 2014.]</ref> Mwaka 2011, alitumbuiza katika Tamasha la Afrika la Boston na kupokea sifa kutoka kwa mwandishi Siddhartha Mitter wa ''The Boston Globe''. Mnamo tarehe 23 Julai 2011, alitoa albamu yake ya kwanza ya pekee ''Positive Energy'' kupitia lebo yake ya Tribal Invasion. Wimbo maarufu zaidi katika albamu hiyo ni “Alhadji”, ambao ulimpa umaarufu mkubwa na kuwa alama yake ya muziki. Wimbo huo pia uliteuliwa kwa tuzo ya Best Blues/Pop katika tamasha la World Music & Independent Film Festival na video yake iliongoza kwa wiki kadhaa katika kipindi cha Top 10 cha Afrotainment. Albamu hiyo pia inajumuisha wimbo “Suffer Don Finish” uliomshirikisha msanii wa Kongo [[Awilo Longomba]]. Albamu ya ''Positive Energy'' ilimwinua sana katika tasnia ya muziki wa Afropop. Alitumbuiza pamoja na mwimbaji kutoka [[Democratic Republic of the Congo|Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] [[Fally Ipupa]] katika hafla ya kabla ya tuzo za BET Awards 2011. Pia alifungua tamasha la msanii wa Nigeria [[Timaya]] katika sherehe za miaka 51 ya uhuru wa Nigeria zilizofanyika mjini [[Dallas]], [[Texas]].<ref>[http://trendyafrica.com/events/timaya-celebrates-51st-nigerian-independence-at-dallas-concert/ "Timaya Celebrates 51st Nigerian Independence at Dallas Concert." Trendy Africa. October 2, 2011. Retrieved February 14, 2014.]</ref> Tarehe 24 Februari 2012, Naomi alitumbuiza katika Smithsonian African Art Museum katika tukio la “African Underground” kuadhimisha Black History Month.<ref>[http://www.proskauer.com/files/uploads/Documents/Black_History_Month_Local_Events.pdf "Black History Month Events" Proskauer. Retrieved February 14, 2011.]</ref> Mnamo tarehe 28 Julai 2012, alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Cameroon Entertainment Awards.<ref>[http://www.tiptopstars.com/mtdv/the-news/574-cea-full-results-published.html "CEA: Full Results Published." Tip Top Stars. August 10, 2012. Retrieved February 14, 2014.]</ref> Tarehe 8 Novemba 2014, alishinda tuzo ya Mwanamuziki Bora wa Kike wa Afrika katika DMV African Entertainment Awards.<ref>[http://rarolae.com/exclusive-dmv-african-entertainment-awards-2014-photos-video-footage/ "Exclusive! DMV African Entertainment Awards 2014." Rarolae. Retrieved February 21, 2015.]{{Dead link|date=July 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Katika maandalizi ya albamu yake ya pili, alitoa nyimbo kadhaa zikiwemo “Wa Fun Mi Shuga” (2012), “It’s My Life” (2013) na “Busy Body” (2015).<ref>{{Cite web |url=http://talkmediaafrica.com/2016/01/02/video-naomi-achu-busy-body/ |title="VIDEO: Naomi Achu – Busy Body" Talk Media AFRICA. January 2, 2016. |access-date=March 2, 2016 |archive-date=March 11, 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160311064345/http://talkmediaafrica.com/2016/01/02/video-naomi-achu-busy-body/ |url-status=dead }}</ref> Albamu yake ya pili ''Long Live the Queen'' ilitolewa tarehe 30 Aprili 2016.<ref>[https://www.prlog.org/12547900-naomi-achu-announces-2016-album-release-long-live-the-queen-lltq.html "Naomi Achu Announces 2016 Album Release: Long Live The Queen #LLTQ." PRLog. Retrieved May 22, 2016.]</ref> Wimbo “Busy Body” ulimletea tuzo ya N.E.G.A ya Msanii Bora wa Kike pamoja na tuzo ya AFRIMA 2016 katika kipengele cha muziki wa kuhamasisha.<ref>{{Cite web |url=http://rhodiesworld.com/rw-exclusive-red-carpet-photos-from-the-2016-n-e-g-a-awards-in-maryland-usa/ |title="RW Exclusive: Red Carpet Photos From The 2016 N.E.G.A Awards In Maryland-USA." Rhodie's World. August 16, 2016. |access-date=October 22, 2016 |archive-date=October 28, 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20161028012916/http://rhodiesworld.com/rw-exclusive-red-carpet-photos-from-the-2016-n-e-g-a-awards-in-maryland-usa/ |url-status=dead }}</ref><ref>{{Cite web |url=http://afrima.org/index.php/media2/news-update/203-2016-all-africa-music-awards-afrima-winners-list |title="2016 All Africa Music Awards (AFRIMA) Winners List." AFRIMA. |access-date=January 22, 2017 |archive-date=July 29, 2017 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170729032941/http://www.afrima.org/index.php/media2/news-update/203-2016-all-africa-music-awards-afrima-winners-list |url-status=dead }}</ref> == Mchango na msukumo == Naomi hupata msukumo kutoka kwa wasanii wa mitindo mbalimbali wakiwemo [[Angelique Kidjo]], [[Whitney Houston]], [[Michael Jackson]], [[Janet Jackson]], Mary Mary, [[Makoma]], [[Mary J. Blige]], Kirk Franklin, [[Lauryn Hill]] na Erykah Badu. == Mengineyo == Mbali na kuendesha lebo yake ya muziki, Naomi ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la International Nurses for Africa. Alipata shahada ya Bachelor of Science in Nursing kutoka Marymount University mwaka 2010. == Diskografia == === EP === * ''No Boundaries'' (2009) === Albamu === * ''Positive Energy'' (2011) * ''Long Live the Queen'' (2016) === Nyimbo === * “Alhadji” (2011) * “Wa Fun Mi Suga” (2012) * “It’s My Life” (2013) * “Busy Body” (2015) * “Gbagbe” feat. [[Skales]] (2016) * “Shower Your Blessings” feat. Pardon C (2017)<ref>{{cite web | url=https://www.deezer.com/mx/track/133423922 | title=Shower Your Blessings (feat. Pardon C) - Long Live the Queen - Naomi Achu | publisher=[[Deezer]] | accessdate=1 January 2017 }}{{Dead link|date=July 2025 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> * “Bill Collector” (2020) === Ushiriki === * “Soldier” – Eddy Bee (2018) * “Somebody” – Peter Jericho (2020) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] io5d1z4dqzrhayy7zswvqnod19h30eu 1508135 1507994 2026-04-21T10:44:26Z Riccardo Riccioni 452 1508135 wikitext text/x-wiki '''Naomi Achu''' (jina la kuzaliwa '''Fruh-Ngwing Achu''') ni mwimbaji, rapa na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Cameroon|Kameruni]]. Alipata umaarufu kupitia wimbo wake “Alhadji” uliochezwa katika msimu wa nane wa kipindi cha televisheni ''Big Brother Africa''.<ref>[http://www.goldenicons.com/naomi-achus-music-video/ "Naomi Achu’s Music Video: Alhadji." Golden Icons. August 30, 2015. Retrieved February 28, 2016.]</ref> Pia anajulikana kama “Malkia wa Bamenda”. == Maisha ya awali == Akitokea [[Bamenda]], mji mkuu wa Kanda ya Kaskazini-Magharibi ya Kameruni, Naomi alizaliwa katika familia yenye watoto wanane akiwa mtoto wa mwisho kati ya sita. Baba yake alikuwa mwanadiplomasia katika ubalozi wa Kameruni mjini [[London]], na mama yake alikuwa mwalimu wa shule za msingi na sekondari. Naomi alianza kuandika nyimbo akiwa na umri wa miaka tisa. Alisoma katika Saker Baptist College mjini Limbe na Baptist High School mjini [[Buea]] (zote zikiwa katika Kanda ya Kusini-Magharibi), ambapo alipata fursa zake za kwanza za kuimba. Kwa kipindi fulani, alikuwa sauti ya kiotomatiki ya kampuni ya MTN Kameruni.<ref>[http://www.duniamagazine.com/2011/12/thinking-outside-the-box-dynamic-artist-and-role-model-with-positive-energy-naomi-achu/ "Thinking outside the box. Dynamic artist & role model with Positive Energy: NAOMI ACHU." DUNIA Magazine. December 14, 2011. Retrieved February 29, 2016.]</ref> == Kazi ya muziki == Naomi alihamia [[United States]] mwaka 2004 ambako alianza rasmi kazi yake ya muziki. Kufikia mwaka 2009 alitoa EP yake ya kwanza ''No Boundaries'' na kuanza pia kufanya muziki wa rap. Mwaka uliofuata alishiriki katika wimbo “Africans”, toleo la Kiafrika la wimbo “Hold Yuh” wa msanii wa reggae kutoka Jamaika Gyptian. Pia mwaka 2010 alitoa mixtape ''Camerican Dream'' akiwa sehemu ya kundi la wasanii wa Kameruni Avin-u C pamoja na Eddy B na H.Bolo.<ref>[http://www.culturebene.com/musique/musique/article/to-the-discovery-of-naomi-achu.html "To the Discovery of Naomi Achu." Culture Bene. October 30, 2011. Retrieved February 14, 2014.]</ref> Mwaka 2011, alitumbuiza katika Tamasha la Afrika la Boston na kupokea sifa kutoka kwa mwandishi Siddhartha Mitter wa ''The Boston Globe''. Mnamo tarehe 23 Julai 2011, alitoa albamu yake ya kwanza ya pekee ''Positive Energy'' kupitia lebo yake ya Tribal Invasion. Wimbo maarufu zaidi katika albamu hiyo ni “Alhadji”, ambao ulimpa umaarufu mkubwa na kuwa alama yake ya muziki. Wimbo huo pia uliteuliwa kwa tuzo ya Best Blues/Pop katika tamasha la World Music & Independent Film Festival na video yake iliongoza kwa wiki kadhaa katika kipindi cha Top 10 cha Afrotainment. Albamu hiyo pia inajumuisha wimbo “Suffer Don Finish” uliomshirikisha msanii wa Kongo [[Awilo Longomba]]. Albamu ya ''Positive Energy'' ilimwinua sana katika tasnia ya muziki wa Afropop. Alitumbuiza pamoja na mwimbaji kutoka [[Democratic Republic of the Congo|Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] [[Fally Ipupa]] katika hafla ya kabla ya tuzo za BET Awards 2011. Pia alifungua tamasha la msanii wa Nigeria [[Timaya]] katika sherehe za miaka 51 ya uhuru wa Nigeria zilizofanyika mjini [[Dallas]], [[Texas]].<ref>[http://trendyafrica.com/events/timaya-celebrates-51st-nigerian-independence-at-dallas-concert/ "Timaya Celebrates 51st Nigerian Independence at Dallas Concert." Trendy Africa. October 2, 2011. Retrieved February 14, 2014.]</ref> Tarehe 24 Februari 2012, Naomi alitumbuiza katika Smithsonian African Art Museum katika tukio la “African Underground” kuadhimisha Black History Month.<ref>[http://www.proskauer.com/files/uploads/Documents/Black_History_Month_Local_Events.pdf "Black History Month Events" Proskauer. Retrieved February 14, 2011.]</ref> Mnamo tarehe 28 Julai 2012, alishinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike katika Cameroon Entertainment Awards.<ref>[http://www.tiptopstars.com/mtdv/the-news/574-cea-full-results-published.html "CEA: Full Results Published." Tip Top Stars. August 10, 2012. Retrieved February 14, 2014.]</ref> Tarehe 8 Novemba 2014, alishinda tuzo ya Mwanamuziki Bora wa Kike wa Afrika katika DMV African Entertainment Awards. Katika maandalizi ya albamu yake ya pili, alitoa nyimbo kadhaa zikiwemo “Wa Fun Mi Shuga” (2012), “It’s My Life” (2013) na “Busy Body” (2015).<ref>{{Cite web |url=http://talkmediaafrica.com/2016/01/02/video-naomi-achu-busy-body/ |title="VIDEO: Naomi Achu – Busy Body" Talk Media AFRICA. January 2, 2016. |access-date=March 2, 2016 |archive-date=March 11, 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160311064345/http://talkmediaafrica.com/2016/01/02/video-naomi-achu-busy-body/ |url-status=dead }}</ref> Albamu yake ya pili ''Long Live the Queen'' ilitolewa tarehe 30 Aprili 2016.<ref>[https://www.prlog.org/12547900-naomi-achu-announces-2016-album-release-long-live-the-queen-lltq.html "Naomi Achu Announces 2016 Album Release: Long Live The Queen #LLTQ." PRLog. Retrieved May 22, 2016.]</ref> Wimbo “Busy Body” ulimletea tuzo ya N.E.G.A ya Msanii Bora wa Kike pamoja na tuzo ya AFRIMA 2016 katika kipengele cha muziki wa kuhamasisha.<ref>{{Cite web |url=http://rhodiesworld.com/rw-exclusive-red-carpet-photos-from-the-2016-n-e-g-a-awards-in-maryland-usa/ |title="RW Exclusive: Red Carpet Photos From The 2016 N.E.G.A Awards In Maryland-USA." Rhodie's World. August 16, 2016. |access-date=October 22, 2016 |archive-date=October 28, 2016 |archive-url=https://web.archive.org/web/20161028012916/http://rhodiesworld.com/rw-exclusive-red-carpet-photos-from-the-2016-n-e-g-a-awards-in-maryland-usa/ |url-status=dead }}</ref><ref>{{Cite web |url=http://afrima.org/index.php/media2/news-update/203-2016-all-africa-music-awards-afrima-winners-list |title="2016 All Africa Music Awards (AFRIMA) Winners List." AFRIMA. |access-date=January 22, 2017 |archive-date=July 29, 2017 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170729032941/http://www.afrima.org/index.php/media2/news-update/203-2016-all-africa-music-awards-afrima-winners-list |url-status=dead }}</ref> == Mchango na msukumo == Naomi hupata msukumo kutoka kwa wasanii wa mitindo mbalimbali wakiwemo [[Angelique Kidjo]], [[Whitney Houston]], [[Michael Jackson]], [[Janet Jackson]], Mary Mary, [[Makoma]], [[Mary J. Blige]], Kirk Franklin, [[Lauryn Hill]] na Erykah Badu. == Mengineyo == Mbali na kuendesha lebo yake ya muziki, Naomi ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la International Nurses for Africa. Alipata shahada ya Bachelor of Science in Nursing kutoka Marymount University mwaka 2010. == Diskografia == === EP === * ''No Boundaries'' (2009) === Albamu === * ''Positive Energy'' (2011) * ''Long Live the Queen'' (2016) === Nyimbo === * “Alhadji” (2011) * “Wa Fun Mi Suga” (2012) * “It’s My Life” (2013) * “Busy Body” (2015) * “Gbagbe” feat. [[Skales]] (2016) * “Shower Your Blessings” feat. Pardon C (2017) * “Bill Collector” (2020) === Ushiriki === * “Soldier” – Eddy Bee (2018) * “Somebody” – Peter Jericho (2020) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:wanamuziki wa Kamerun]] 08thl4hb0h13i97r2udm6axu1hj2t6v Salomon Bernstein 0 229689 1507995 2026-04-21T07:41:50Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507995 wikitext text/x-wiki '''Salomon au Schlomo Bernstein''' ([[1886]] mjini Uzda, Belarus – [[1968]] mjini Holon, Israel) alikuwa mchoraji wa Kirusi na Israeli. Alikamilisha masomo ya sanaa mjini Vilnius, Odessa, pamoja na katika shule ya École nationale supérieure des Beaux-Arts mjini Paris. <ref>{{cite book |title=Benezit Dictionary of Artists |date=31 October 2011 |publisher=Oxford University Press |doi=10.1093/benz/9780199773787.article.B00017851 |chapter=Bernstein, Salomon}}</ref><ref>{{Citation |title=Appendix A6: |date=2025-01-28 |work=The Shochet (Vol. 2) |pages=746–750 |url=https://doi.org/10.2307/jj.36309295.22 |access-date=2026-04-20 |publisher=Academic Studies Press |isbn=979-8-88719-614-5}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1886]] [[jamii:waliofariki 1968]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] t94920ilrd43mjhaocobk4zfx7uskf9 Zeev Ben-Zvi 0 229690 1507996 2026-04-21T07:44:51Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507996 wikitext text/x-wiki '''Zeev Ben-Zvi''' ([[1904]]–[[1952]]) alikuwa mchongaji wa [[Kipolandi]]-[[Israeli|Kiisraeli]] aliyezaliwa mjini Ryki, Congress Poland, ambaye kazi zake ziliathiri kizazi kizima cha wachongaji. <ref>Encyclopaedia Judaica 1971 Edition</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1904]] [[jamii:waliofariki 1952]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] ehqraja2o5p5sedxan69a7fjov5bw3o Lesley Nneka Arimah 0 229691 1507997 2026-04-21T07:44:59Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '**'''Lesley Nneka Arimah'''** (amezaliwa 13 Oktoba 1983, [[London]], [[Uingereza]]) ni mwandishi wa [[Nigeria]] anayejulikana kwa hadithi zake fupi zenye ubunifu mkubwa. Ameelezewa kama msimulizi stadi anayoweza kuonyesha mahusiano ya kina kwa maneno machache, na kama sauti mpya yenye uwezo wa kudumu katika fasihi ya kisasa. == Maisha ya awali na elimu == Lesley Nneka Arimah alizaliwa London, lakini alikulia Nigeria na Uingereza, akihamahama mara kwa mara...' 1507997 wikitext text/x-wiki **'''Lesley Nneka Arimah'''** (amezaliwa 13 Oktoba 1983, [[London]], [[Uingereza]]) ni mwandishi wa [[Nigeria]] anayejulikana kwa hadithi zake fupi zenye ubunifu mkubwa. Ameelezewa kama msimulizi stadi anayoweza kuonyesha mahusiano ya kina kwa maneno machache, na kama sauti mpya yenye uwezo wa kudumu katika fasihi ya kisasa. == Maisha ya awali na elimu == Lesley Nneka Arimah alizaliwa London, lakini alikulia Nigeria na Uingereza, akihamahama mara kwa mara kutokana na kazi ya baba yake aliyekuwa mwanajeshi. Akiwa kijana mdogo, alihamia Marekani ambako alipata shahada ya Uzamili ya Uandishi wa Ubunifu (MFA) kutoka Minnesota State University, Mankato mwaka 2010. == Kazi ya uandishi == Kazi za Arimah zimechapishwa katika majarida mbalimbali maarufu kama *The New Yorker*, *Granta*, na *Harper’s*. Anajulikana hasa kwa hadithi zake fupi zinazochanganya uhalisia na vipengele vya kimiujiza (magical realism), akichunguza mada kama huzuni, utambulisho, urafiki wa wanawake, na mahusiano ya kifamilia. === *What It Means When a Man Falls from the Sky* (2017) === Kitabu chake cha kwanza cha hadithi fupi, *What It Means When a Man Falls from the Sky*, kilichapishwa mwaka 2017. Mkusanyiko huu unaangazia maisha ya wanawake wa Nigeria na wahamiaji, ukichunguza changamoto za kijamii, matarajio ya kijinsia, na masuala ya utambulisho. Hadithi hizo pia huingiza vipengele vya sayansi bunifu na mitholojia ili kuwasilisha mada nzito kama huzuni na mateso ya kibinadamu. Wakosoaji wengi walilipokea vyema, wakilisifu kwa ubunifu wake na uwezo wa kuchanganya uhalisia na fantasia ili kuelezea maisha magumu ya wahusika wake. == Tuzo na heshima == Arimah amepokea tuzo nyingi muhimu za fasihi, zikiwemo: * Tuzo ya Commonwealth Short Story Prize (Kanda ya Afrika, 2015) kwa hadithi “Light” * O. Henry Award (2017) * Kirkus Prize (2017) * Caine Prize for African Writing (2019) Aidha, mwaka 2017 alitambuliwa na National Book Foundation kama mmoja wa waandishi “Five Under 35”. == Mtindo na mada == Uandishi wa Arimah una sifa ya kuchunguza maisha ya wanawake, hasa changamoto za kukua, mahusiano ya mama na binti, na nafasi ya mwanamke katika jamii. Mara nyingi hutumia mbinu ya kuchanganya uhalisia na vipengele vya ajabu ili kuangazia masuala mazito kama huzuni, umaskini, na matarajio ya kijamii. == Maisha binafsi == Kwa sasa, Arimah anaishi Las Vegas, Nevada, Marekani. == Machapisho == * (2017) *What It Means When a Man Falls from the Sky* == Jamii == [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Watu waliozaliwa 1983]] [[Jamii:Watu hai]] 0rkqrjbua7gomxschg1bfazibs6a5i8 1508136 1507997 2026-04-21T10:45:22Z Riccardo Riccioni 452 1508136 wikitext text/x-wiki '''Lesley Nneka Arimah''' (amezaliwa 13 Oktoba 1983, [[London]], [[Uingereza]]) ni mwandishi wa [[Nigeria]] anayejulikana kwa hadithi zake fupi zenye ubunifu mkubwa. Ameelezewa kama msimulizi stadi anayoweza kuonyesha mahusiano ya kina kwa maneno machache, na kama sauti mpya yenye uwezo wa kudumu katika fasihi ya kisasa. == Maisha ya awali na elimu == Lesley Nneka Arimah alizaliwa London, lakini alikulia Nigeria na Uingereza, akihamahama mara kwa mara kutokana na kazi ya baba yake aliyekuwa mwanajeshi. Akiwa kijana mdogo, alihamia Marekani ambako alipata shahada ya Uzamili ya Uandishi wa Ubunifu (MFA) kutoka Minnesota State University, Mankato mwaka 2010. == Kazi ya uandishi == Kazi za Arimah zimechapishwa katika majarida mbalimbali maarufu kama *The New Yorker*, *Granta*, na *Harper’s*. Anajulikana hasa kwa hadithi zake fupi zinazochanganya uhalisia na vipengele vya kimiujiza (magical realism), akichunguza mada kama huzuni, utambulisho, urafiki wa wanawake, na mahusiano ya kifamilia. === *What It Means When a Man Falls from the Sky* (2017) === Kitabu chake cha kwanza cha hadithi fupi, *What It Means When a Man Falls from the Sky*, kilichapishwa mwaka 2017. Mkusanyiko huu unaangazia maisha ya wanawake wa Nigeria na wahamiaji, ukichunguza changamoto za kijamii, matarajio ya kijinsia, na masuala ya utambulisho. Hadithi hizo pia huingiza vipengele vya sayansi bunifu na mitholojia ili kuwasilisha mada nzito kama huzuni na mateso ya kibinadamu. Wakosoaji wengi walilipokea vyema, wakilisifu kwa ubunifu wake na uwezo wa kuchanganya uhalisia na fantasia ili kuelezea maisha magumu ya wahusika wake. == Tuzo na heshima == Arimah amepokea tuzo nyingi muhimu za fasihi, zikiwemo: * Tuzo ya Commonwealth Short Story Prize (Kanda ya Afrika, 2015) kwa hadithi “Light” * O. Henry Award (2017) * Kirkus Prize (2017) * Caine Prize for African Writing (2019) Aidha, mwaka 2017 alitambuliwa na National Book Foundation kama mmoja wa waandishi “Five Under 35”. == Mtindo na mada == Uandishi wa Arimah una sifa ya kuchunguza maisha ya wanawake, hasa changamoto za kukua, mahusiano ya mama na binti, na nafasi ya mwanamke katika jamii. Mara nyingi hutumia mbinu ya kuchanganya uhalisia na vipengele vya ajabu ili kuangazia masuala mazito kama huzuni, umaskini, na matarajio ya kijamii. == Maisha binafsi == Kwa sasa, Arimah anaishi Las Vegas, Nevada, Marekani. == Machapisho == * (2017) *What It Means When a Man Falls from the Sky* == Jamii == [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1983]] [[Jamii:Watu walio hai]] 0eaecz5u95kl5lufmj2o0z8lv49o0j5 Tuvia Beeri 0 229692 1507999 2026-04-21T07:47:20Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1507999 wikitext text/x-wiki '''Tuvia Beeri''' ([[Agosti 29]], [[1929]], Czechoslovakia, Topoľčany – [[Mei]] [[2022]]) alikuwa mchoraji wa [[czech]]-[[Israeli|Kiisraeli]]. <ref>[https://www.avelim.co.il/%D7%94%D7%A6%D7%99%D7%99%D7%A8-%D7%98%D7%95%D7%91%D7%99%D7%94-%D7%91%D7%90%D7%A8%D7%99-%D7%96%D7%9C-1929-2022/ Death notices on Avelim site] (Hebrew)</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1929]] [[jamii:waliofariki 2022]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] 71iqs2qdgcy805d4bgqp10msidpomf3 Ngozi Olejeme 0 229693 1508000 2026-04-21T07:47:33Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ngozi Juliet Olejeme''' kutoka Nigeria, [[Ujasiriamali|mjasiriamali]], mwanasiasa na [[Utawala wa umma|msimamizi]] . Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Bima ya Jamii wa Nigeria kuanzia 2009 hadi 2015. Pia alifanya kazi kama katibu wa fedha wa shirika la kampeni la [[Goodluck Jonathan]] wakati wa uchaguzi mkuu wa 2015. Mnamo Juni alitangazwa kuwa anatafutwa kwa madai ya kuhamisha N69bn kutoka kwa shirika hilo lakini akajisalimisha. Tume ya Uhalifu wa K...' 1508000 wikitext text/x-wiki '''Ngozi Juliet Olejeme''' kutoka Nigeria, [[Ujasiriamali|mjasiriamali]], mwanasiasa na [[Utawala wa umma|msimamizi]] . Aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Bima ya Jamii wa Nigeria kuanzia 2009 hadi 2015. Pia alifanya kazi kama katibu wa fedha wa shirika la kampeni la [[Goodluck Jonathan]] wakati wa uchaguzi mkuu wa 2015. Mnamo Juni alitangazwa kuwa anatafutwa kwa madai ya kuhamisha N69bn kutoka kwa shirika hilo lakini akajisalimisha. Tume ya Uhalifu wa Kiuchumi na Fedha (EFCC) hadi sasa imekamata nyumba zake 37, imefunga akaunti 30 za benki (kila moja ikiwa na angalau Naira milioni 20), na bafu la kisasa lenye thamani ya angalau $2M. <ref>"N68bn fraud: EFCC seizes 46 houses from Jonathan's ally, Olojeme"''. The Punch. December 25, 2018. Retrieved 19 November 2019.''</ref> <ref>"'N62.3b fraud: EFCC freezes 30 accounts of ex-NSITF boss, seizes 37 assets"''. The Nation. Lagos, Nigeria. 12 March 2018. Retrieved 19 November 2019.''</ref> Alikuwa mgombea [[Gavana|wa Ugavana wa]] [[Delta (jimbo)|Jimbo la Delta]] kwenye Jukwaa la Chama cha Peoples Democratic Party (PDP). <ref>{{Rejea tovuti|author=Flashpoint|first=News|title=NGOZI OLEJEME: An Amazon On A Mission|url=http://flashpointnews.wordpress.com/2013/05/10/ngozi-olejeme-an-amazon-on-a-mission/|work=Flashpoint News|publisher=Flashpoint News|accessdate=28 May 2013}}</ref> == Kazi == Ngozi Olejeme aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi, Mfuko wa Udhamini wa Bima ya Jamii wa Nigeria (NSITF) mnamo Juni 2009 na Rais [[Umaru Yar'Adua|Umaru Musa Yar'Adua]] . Alihakikisha kupitishwa kwa Sheria ya Fidia ya Wafanyakazi mnamo Desemba 2010 kufanikiwa, na kuanzishwa kwa miundombinu muhimu ya kibinadamu na kimwili kwa ajili ya utekelezaji wa Sheria hiyo, ambayo ilisainiwa na Rais [[Goodluck Jonathan]] . Pia alichukua usukani kama Mwenyekiti wa Bodi ya Pensheni za Trustfund Plc, mnamo Oktoba 2009, <ref>{{Rejea tovuti|author=Trust Fund|first=Pension|title=Directors|url=http://www.trustfundpensions.com/index.php/component/content/article/2-uncategorised/15-directors|work=Trust Fund|publisher=Trust Fund}}</ref> lakini hashikilii tena nafasi hiyo. <ref>{{Rejea tovuti|date=2021-10-21|title=Court remands former NSITF Chairman in EFCC custody over alleged diversion of public funds|url=https://nairametrics.com/2021/10/21/court-remands-former-nsitf-chairman-in-efcc-custody-over-alleged-diversion-of-public-funds/|accessdate=2022-04-06|work=Nairametrics|language=en-US}}</ref> Pia ni mratibu wa kamati ndogo ya mpango wa Uwekezaji Upya na uwezeshaji (SURE-P) wa Kazi za Umma na Ukarabati wa Barabara. <ref>{{Rejea tovuti|author=SURE-P|title=Committee Members-SURE-P|url=http://www.sure-p.gov.ng/index.cfm/committee-members/|work=SURE-P|publisher=Subsidy Re-investment and Empowerment Program|accessdate=28 May 2013|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130616210452/http://www.sure-p.gov.ng/index.cfm/committee-members/|archivedate=16 June 2013}}</ref> Alishikilia nafasi ya Mkurugenzi wa fedha katika Kundi la Usaidizi la Goodluck (GSC), ambalo lilikuwa shirika lililoanzishwa kwa ajili ya usaidizi wa Rais Goodluck Jonathan. Wakfu wa Ngozi Olejeme ni [[Shirika Lisilo la Kiserikali|shirika lisilo la kiserikali]] lililoanzishwa naye ili kuwatunza watu walio katika mazingira magumu zaidi kupitia mpango wake wa uwezeshaji na Miradi ya Widowhood. Mpango wa uwezeshaji unajumuisha usaidizi kwa miradi iliyoundwa ili kuongeza uwezo wa kuajiriwa kwa vijana na uwezeshaji kupitia miradi ya ufundi na ujenzi wa ujuzi. Miradi ya Widowhood inatafuta kushughulikia changamoto za kitamaduni za kijamii za [[Mjane|wajane]], pia inawawezesha wajane na wanawake wasiojiweza kwa ujuzi na ruzuku za biashara. Hivi majuzi wakfu huo ulitoa zawadi za pesa taslimu kwa wajane 200 huko Asaba, [[Delta (jimbo)|Jimbo la Delta]] ili kuwawezesha kuanza biashara yoyote wanayoichagua. <ref>''Atu, Ben.'' "Widows take Centre Stage in Delta State"''. Vanguard. Lagos, Nigeria. Retrieved 28 May 2013.''</ref> Ngozi Olejeme amekuwa mwanasiasa anayefanya kazi nchini Nigeria, kwani alikuwa mgombea wa ugavana wa [[Delta (jimbo)|jimbo la Delta]] chini ya usimamizi wa Chama cha People's Democratic PDP katika uchaguzi wa 2007. <ref>{{Rejea tovuti|author=Flash Point|first=News|title=NGOZI OLEJEME: An Amazon On A Mission|url=http://flashpointnews.wordpress.com/2013/05/10/ngozi-olejeme-an-amazon-on-a-mission/|work=Flashpoint news|publisher=Flashpoint news|accessdate=28 May 2013}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wajasiriamali wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] 18re8akq9psrvi3jp454mduvzqt2in4 Atinuke (mwandishi) 0 229694 1508001 2026-04-21T07:48:55Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Atinuke''' ni mwandishi wa vitabu vya watoto aliyezaliwa [[Nigeria]] na pia msimulizi wa hadithi za jadi za Kiafrika kwa njia ya mdomo.<ref>"Reading with... Atinuke". Shelf Awareness. 2021-05-07.</ref> == Maisha binafsi na elimu == Atinuke alizaliwa Ibadan na kukulia Lagos, Nigeria pamoja na wazazi wake na ndugu zake watatu.<ref>"About me". Atinuke.</ref> Baba yake alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu nchini Nigeria, na mama yake alikuwa mhariri kutoka Uinge...' 1508001 wikitext text/x-wiki '''Atinuke''' ni mwandishi wa vitabu vya watoto aliyezaliwa [[Nigeria]] na pia msimulizi wa hadithi za jadi za Kiafrika kwa njia ya mdomo.<ref>"Reading with... Atinuke". Shelf Awareness. 2021-05-07.</ref> == Maisha binafsi na elimu == Atinuke alizaliwa Ibadan na kukulia Lagos, Nigeria pamoja na wazazi wake na ndugu zake watatu.<ref>"About me". Atinuke.</ref> Baba yake alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu nchini Nigeria, na mama yake alikuwa mhariri kutoka Uingereza.<ref>"About me". Atinuke.</ref> Ana asili ya Kiyoruba kupitia upande wa baba yake.<ref>"Atinuke". Gaithersburg Book Festival.</ref><ref>"Atinuke". authorfy.</ref> Alisoma shule ya bweni nchini Uingereza kati ya umri wa miaka kumi hadi kumi na tatu.<ref>"Atinuke". Gaithersburg Book Festival.</ref> Baadaye familia yake ilihamia Uingereza, ambako aliendelea na masomo yake ya sekondari.<ref>[citation needed]</ref> Katika ngazi ya chuo kikuu, alisoma Fasihi ya Kiingereza na Fasihi za Jumuiya ya Madola (Commonwealth Literatures).<ref>"Atinuke". Gaithersburg Book Festival.</ref> Ana watoto wawili wa kiume na kwa sasa anaishi Wales.<ref>"Atinuke". Miles Stott Agency.</ref><ref>"Atinuke, Nigerian Born Storyteller and Children's Book Author ★". African American Literature Book Club.</ref> == Kazi == Atinuke alianza kusimulia hadithi hadharani mwaka 1990 nchini Uingereza baada ya msanii aliyekuwa amealikwa kushindwa kufika.<ref>[citation needed]</ref> Tukio hilo lilimhamasisha kuanza safari yake ya ubunifu na taaluma ya kukusanya hadithi kutoka Afrika na diaspora ya Waafrika na kuzisimulia katika matamasha na shule, ndani na nje ya nchi.<ref>[citation needed]</ref> Mwaka 2005, alipolazimika kupunguza safari kutokana na maradhi, alianza kuandika kitabu chake cha kwanza kuhusu mhusika wa kubuni aitwaye Anna Hibiscus, msichana mdogo anayeishi katika “Afrika ya ajabu”.<ref>[citation needed]</ref> Ameandika zaidi ya vitabu 20 vya watoto vinavyochochewa na maisha yake nchini Nigeria pamoja na hadithi za jadi za Kiafrika. Hivi karibuni alichapisha kitabu cha elimu ya jumla kwa watoto kuhusu nchi 55 za Afrika. Kitabu chake ''Baby Goes to Market'' kimechapishwa Marekani na Uingereza, pamoja na kutafsiriwa kwa Kifaransa na Kijapani.<ref>"Atinuke". BookTrust.</ref> == Tuzo na heshima == Atinuke ametambuliwa kwa kazi zake katika fasihi ya watoto, ikiwa ni pamoja na: * Kutajwa katika orodha ya “Waandishi 100 Bora Wanaouza Zaidi” na African American Literature Book Club, nafasi ya 60.<ref>"The Top 100 Bestselling Black Authors". African American Literature Book Club.</ref> * Mwaka 2011, kitabu ''Good Luck, Anna Hibiscus!'' kilitajwa kuwa miongoni mwa vitabu bora vya watoto vya mwaka na jarida la *The Horn Book*.<ref>"Horn Book Fanfare 1938 to present".</ref> * Mwaka 2015, ''Double Trouble for Anna Hibiscus'' kilitajwa kuwa miongoni mwa vitabu bora vya watoto na vijana na *Shelf Awareness*.<ref>"Our 2015 Best Books of the Year". Shelf Awareness.</ref> * Mwaka 2017, ''You’re Amazing, Anna Hibiscus!'' kilijumuishwa katika orodha ya vitabu bora kwa watoto wa umri wa kati na *Kirkus Reviews*.<ref>"Old Friends Return in the Best Books for Middle Graders". Kirkus Reviews.</ref> * Mwaka 2018, ''Baby Goes to Market'' kilijumuishwa katika orodha ya vitabu bora kwa watoto wadogo na Children's Africana Book Awards.<ref>"CABA Children's Africana Book Awards".</ref> * Mwaka 2021, ''Too Small Tola'' kilitajwa kuwa miongoni mwa vitabu bora vya watoto vya mwaka na *The Horn Book*, *School Library Journal* na *Shelf Awareness*.<ref>"Fanfare Family Reading 2021".</ref> == Machapisho == === Tamthiliya na hadithi === ==== Mfululizo wa Anna Hibiscus ==== * ''Anna Hibiscus'' (2010) * ''Hooray for Anna Hibiscus!'' (2010) * ''Have Fun, Anna Hibiscus!'' (2011) * ''Welcome Home, Anna Hibiscus!'' (2012) * ''Go Well, Anna Hibiscus!'' (2014) * ''Love from Anna Hibiscus!'' (2015) * ''You're Amazing, Anna Hibiscus!'' (2016) * ''Merry Christmas, Anna Hibiscus!'' (2023) ==== Mfululizo wa Baby ==== * ''Baby Goes to Market'' (2017) * ''B Is for Baby'' (2019) * ''Baby, Sleepy Baby'' (2021) * ''M Is for Mango'' (2025) ==== Mfululizo wa Too Small Tola ==== * ''Too Small Tola'' (2020) * ''Too Small Tola and the Three Fine Girls'' (2021) * ''Too Small Tola Gets Tough'' (2023) === Vitabu vingine === * ''Catch That Chicken!'' (2020) * ''Hugo'' (2020) * ''Beti and the Little Round House'' (2024) === Yasiyo ya hadithi (Non-fiction) === * ''Africa Amazing Africa: Country by Country'' (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD| |}} 9jejtqq881x5tjmobrcg9w5lowww9ay 1508137 1508001 2026-04-21T10:45:54Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Atinuke (author)]] hadi [[Atinuke (mwandishi)]]: jina la Kiswahili 1508001 wikitext text/x-wiki '''Atinuke''' ni mwandishi wa vitabu vya watoto aliyezaliwa [[Nigeria]] na pia msimulizi wa hadithi za jadi za Kiafrika kwa njia ya mdomo.<ref>"Reading with... Atinuke". Shelf Awareness. 2021-05-07.</ref> == Maisha binafsi na elimu == Atinuke alizaliwa Ibadan na kukulia Lagos, Nigeria pamoja na wazazi wake na ndugu zake watatu.<ref>"About me". Atinuke.</ref> Baba yake alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu nchini Nigeria, na mama yake alikuwa mhariri kutoka Uingereza.<ref>"About me". Atinuke.</ref> Ana asili ya Kiyoruba kupitia upande wa baba yake.<ref>"Atinuke". Gaithersburg Book Festival.</ref><ref>"Atinuke". authorfy.</ref> Alisoma shule ya bweni nchini Uingereza kati ya umri wa miaka kumi hadi kumi na tatu.<ref>"Atinuke". Gaithersburg Book Festival.</ref> Baadaye familia yake ilihamia Uingereza, ambako aliendelea na masomo yake ya sekondari.<ref>[citation needed]</ref> Katika ngazi ya chuo kikuu, alisoma Fasihi ya Kiingereza na Fasihi za Jumuiya ya Madola (Commonwealth Literatures).<ref>"Atinuke". Gaithersburg Book Festival.</ref> Ana watoto wawili wa kiume na kwa sasa anaishi Wales.<ref>"Atinuke". Miles Stott Agency.</ref><ref>"Atinuke, Nigerian Born Storyteller and Children's Book Author ★". African American Literature Book Club.</ref> == Kazi == Atinuke alianza kusimulia hadithi hadharani mwaka 1990 nchini Uingereza baada ya msanii aliyekuwa amealikwa kushindwa kufika.<ref>[citation needed]</ref> Tukio hilo lilimhamasisha kuanza safari yake ya ubunifu na taaluma ya kukusanya hadithi kutoka Afrika na diaspora ya Waafrika na kuzisimulia katika matamasha na shule, ndani na nje ya nchi.<ref>[citation needed]</ref> Mwaka 2005, alipolazimika kupunguza safari kutokana na maradhi, alianza kuandika kitabu chake cha kwanza kuhusu mhusika wa kubuni aitwaye Anna Hibiscus, msichana mdogo anayeishi katika “Afrika ya ajabu”.<ref>[citation needed]</ref> Ameandika zaidi ya vitabu 20 vya watoto vinavyochochewa na maisha yake nchini Nigeria pamoja na hadithi za jadi za Kiafrika. Hivi karibuni alichapisha kitabu cha elimu ya jumla kwa watoto kuhusu nchi 55 za Afrika. Kitabu chake ''Baby Goes to Market'' kimechapishwa Marekani na Uingereza, pamoja na kutafsiriwa kwa Kifaransa na Kijapani.<ref>"Atinuke". BookTrust.</ref> == Tuzo na heshima == Atinuke ametambuliwa kwa kazi zake katika fasihi ya watoto, ikiwa ni pamoja na: * Kutajwa katika orodha ya “Waandishi 100 Bora Wanaouza Zaidi” na African American Literature Book Club, nafasi ya 60.<ref>"The Top 100 Bestselling Black Authors". African American Literature Book Club.</ref> * Mwaka 2011, kitabu ''Good Luck, Anna Hibiscus!'' kilitajwa kuwa miongoni mwa vitabu bora vya watoto vya mwaka na jarida la *The Horn Book*.<ref>"Horn Book Fanfare 1938 to present".</ref> * Mwaka 2015, ''Double Trouble for Anna Hibiscus'' kilitajwa kuwa miongoni mwa vitabu bora vya watoto na vijana na *Shelf Awareness*.<ref>"Our 2015 Best Books of the Year". Shelf Awareness.</ref> * Mwaka 2017, ''You’re Amazing, Anna Hibiscus!'' kilijumuishwa katika orodha ya vitabu bora kwa watoto wa umri wa kati na *Kirkus Reviews*.<ref>"Old Friends Return in the Best Books for Middle Graders". Kirkus Reviews.</ref> * Mwaka 2018, ''Baby Goes to Market'' kilijumuishwa katika orodha ya vitabu bora kwa watoto wadogo na Children's Africana Book Awards.<ref>"CABA Children's Africana Book Awards".</ref> * Mwaka 2021, ''Too Small Tola'' kilitajwa kuwa miongoni mwa vitabu bora vya watoto vya mwaka na *The Horn Book*, *School Library Journal* na *Shelf Awareness*.<ref>"Fanfare Family Reading 2021".</ref> == Machapisho == === Tamthiliya na hadithi === ==== Mfululizo wa Anna Hibiscus ==== * ''Anna Hibiscus'' (2010) * ''Hooray for Anna Hibiscus!'' (2010) * ''Have Fun, Anna Hibiscus!'' (2011) * ''Welcome Home, Anna Hibiscus!'' (2012) * ''Go Well, Anna Hibiscus!'' (2014) * ''Love from Anna Hibiscus!'' (2015) * ''You're Amazing, Anna Hibiscus!'' (2016) * ''Merry Christmas, Anna Hibiscus!'' (2023) ==== Mfululizo wa Baby ==== * ''Baby Goes to Market'' (2017) * ''B Is for Baby'' (2019) * ''Baby, Sleepy Baby'' (2021) * ''M Is for Mango'' (2025) ==== Mfululizo wa Too Small Tola ==== * ''Too Small Tola'' (2020) * ''Too Small Tola and the Three Fine Girls'' (2021) * ''Too Small Tola Gets Tough'' (2023) === Vitabu vingine === * ''Catch That Chicken!'' (2020) * ''Hugo'' (2020) * ''Beti and the Little Round House'' (2024) === Yasiyo ya hadithi (Non-fiction) === * ''Africa Amazing Africa: Country by Country'' (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD| |}} 9jejtqq881x5tjmobrcg9w5lowww9ay Gladys Bakubaku-Vos 0 229695 1508002 2026-04-21T07:49:48Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ntombezanele Gladys Bakubaku-Vos''' (aliyezaliwa [[6 Juni]] [[1966]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewahi kuhudumu kama Mbunge wa Bunge la Mkoa wa Western Cape kuanzia Mei 2019 hadi Mei 2024.<ref>{{cite news|last1=Gerber|first1=Jan|title=Western Cape ANC MPL tests positive for Covid-19|url=https://www.news24.com/SouthAfrica/News/western-cape-anc-mpl-tests-positive-for-covid-19-20200505|accessdate=14 May 2020|newspaper=News24|date=5 May...' 1508002 wikitext text/x-wiki '''Ntombezanele Gladys Bakubaku-Vos''' (aliyezaliwa [[6 Juni]] [[1966]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewahi kuhudumu kama Mbunge wa Bunge la Mkoa wa Western Cape kuanzia Mei 2019 hadi Mei 2024.<ref>{{cite news|last1=Gerber|first1=Jan|title=Western Cape ANC MPL tests positive for Covid-19|url=https://www.news24.com/SouthAfrica/News/western-cape-anc-mpl-tests-positive-for-covid-19-20200505|accessdate=14 May 2020|newspaper=News24|date=5 May 2020}}</ref><ref>{{cite news|last1=Githahu|first1=Mwangi|title=ANC member in Western Cape legislature recovering from Covid-19 in hospital|url=https://www.iol.co.za/capeargus/news/anc-member-in-western-cape-legislature-recovering-from-covid-19-in-hospital-47550068|accessdate=14 May 2020|newspaper=IOL|date=5 May 2020|location=Cape Town}}</ref> Yeye ni mwanachama wa African National Congress (ANC). Kabla ya kuwa mbunge wa bunge la mkoa, aliwahi kuwa diwani wa halmashauri ya Stellenbosch. Mnamo 5 Mei 2020, alitangaza kuwa ameambukizwa virusi vya COVID-19, jambo lililosababisha Bunge la Mkoa wa Western Cape kuchukua hatua za usafi na kuondoa uchafu (decontamination) katika majengo yake.<ref>{{Cite web|last=Charles|first=Marvin|title=Western Cape legislature to usher in new faces in major shake-up|url=https://www.news24.com/news24/southafrica/news/western-cape-legislature-to-usher-in-new-faces-in-major-shake-up-20240608|access-date=2024-06-13|website=News24|language=en-US}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1966]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] sef7ubycq48qk4efhlkd0wx9s5nsewg AkuBai 0 229696 1508003 2026-04-21T07:50:37Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ningamai Akubai Nnam''' ni mwimbaji na mjasiriamali kutoka [[Kamerun]]. Ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa shirika la Impact Makers for Humanity.<ref name=":0">{{Cite web |title=Akubai – Artiste Cameroun, Biographie & Lyrics de {{!}} Kamer Lyrics |url=https://kamerlyrics.net/artist/akubai-1083 |access-date=2023-08-22 |website=kamerlyrics.net}}</ref> Akubai anajulikana zaidi kwa wimbo wake wa mwaka 2020 uitwao ''Yahweh''.<ref name=":1">{{Cite web |title=A...' 1508003 wikitext text/x-wiki '''Ningamai Akubai Nnam''' ni mwimbaji na mjasiriamali kutoka [[Kamerun]]. Ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa shirika la Impact Makers for Humanity.<ref name=":0">{{Cite web |title=Akubai – Artiste Cameroun, Biographie & Lyrics de {{!}} Kamer Lyrics |url=https://kamerlyrics.net/artist/akubai-1083 |access-date=2023-08-22 |website=kamerlyrics.net}}</ref> Akubai anajulikana zaidi kwa wimbo wake wa mwaka 2020 uitwao ''Yahweh''.<ref name=":1">{{Cite web |title=AkuBai le nouveau nom de l’afroGospel au Cameroun: Découvrez son titre " Triompher " |url=https://voila-moi.com/akubai-le-nouveau-nom-de-lafrogospel-au-cameroun-decouvrez-son-titre-triompher/ |archive-url=https://web.archive.org/web/20210106152852/https://www.voila-moi.com/akubai-le-nouveau-nom-de-lafrogospel-au-cameroun-decouvrez-son-titre-triompher/ |url-status=usurped |archive-date=January 6, 2021 |website=voila-moi.com}}</ref> Alikuwa raia wa kwanza wa Kameruni kushinda tuzo katika kipengele cha Media Choice Award kwenye tuzo za Gospel Touch Music Awards mwaka 2020 zilizofanyika London, Uingereza.<ref name=":1" /><ref name=":2">{{Cite web |last=Rédaction |first=La |date=2020-11-27 |title=L’étoile montante du Gospel, AkuBai revient avec Triompher |url=https://www.culturebene.com/64141-letoile-montante-du-gospel-akubai-revient-avec-triompher.html |access-date=2023-08-22 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> == Wasifu == === Maisha ya awali === AkuBai alizaliwa katika mji wa [[Wum]] uliopo katika Kanda ya Kaskazini-Magharibi nchini Kameruni.<ref name=":2" /> === Kazi === AkuBai alianza rasmi kazi yake ya muziki mwaka 2019.<ref name=":1" /><ref>{{Cite web |date=2020-07-23 |title=AkuBai |url=https://www.musicinafrica.net/node/127963 |access-date=2023-08-22 |website=Music in Africa |language=en}}</ref> Hutayarisha kazi zake za muziki chini ya lebo ya Niki Heat Entertainment.<ref name=":5">{{Cite web |title=Akubaï {{!}} Douala Media Buzz |url=https://doualamediabuzz.com/?s=Akuba%C3%AF |access-date=2023-08-22 |language=en-US |archive-date=2023-02-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230220110647/https://doualamediabuzz.com/?s=Akuba%C3%AF |url-status=dead }}</ref> Amejishughulisha na uimbaji wa nyimbo za sifa (gospel) tangu mwaka 2004.<ref>{{Cite web |date=2020-06-18 |title=La chanteuse Akubai lance sa carrière avec son single ‘’Yahweh’’ |url=https://www.100pour100culture.com/musique/chanteuse-akubai-lance-carriere-single-yahweh/ |access-date=2023-08-22 |website=100pour100culture |language=fr-FR}}</ref> Nyimbo zake huimbwa kwa lugha ya Kifaransa, Kiingereza na lugha kadhaa za asili kama vile Pidgin, Ewondo, Bassa, Mankon, Weh na Bamileke languages.<ref>{{Cite web |date=2020-06-30 |title=Akubai nous révèle où se trouve le bonheur dont nous avons besoin. |url=https://visartculture.com/musique/akubai-nous-revele-ou-se-trouve-le-bonheur-dont-nous-avons-besoin/ |access-date=2023-08-22 |website=Accueil |language=fr-FR}}</ref> Pia ni mwanzilishi wa shirika la Impact Makers for Humanity.<ref name=":0" /><ref name=":5" /> == Diskografia == === Albamu === * ''The Genesis: Live EP'' (2020) === Nyimbo zilizochaguliwa === * ''Great God'' (2019) * ''Yahweh'' (2020) * ''Triompher'' (2020) * ''Tchapeusi (Le jour du jugement)'' (2021)<ref>{{Cite web |title=Akubai – Tchapeusi (Le jour du jugement) Lyrics {{!}} Kamerlyrics |url=https://kamerlyrics.net/lyric-3140-akubai-tchapeusi-le-jour-du-jugement |access-date=2023-08-22 |website=kamerlyrics.net}}</ref> * ''Dieu te Voit'' (2021) * ''More of You'' (2022) == Tuzo na uteuzi == === Gospel Touch Music Awards 2020 === * Mshindi: Media Choice Award (2020)<ref name=":1" /> === Uteuzi mwingine === * Muzikol Music Awards (2020) – Uteuzi * Green Light Awards (2020) – Uteuzi * Transgenerational Forces Impact Awards (2020) – Uteuzi * ''Canal 2'or'' Awards Act 13 (2021) – Uteuzi * Balafon Music Awards (2021) – Uteuzi<ref>{{cite web|title=2021 Balafon music awards nominés|url=https://www.boomplay.com/playlists/36388738?from=home|website=boomplay.com}}</ref> * Muzikol Music Awards (2021) – Uteuzi * Cameroon Music Evolution Awards (2021) – Uteuzi == Tazama pia == * List of Cameroonians * List of African musicians == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] ``` mf3arbkv53xygseuxoapktf0wrgpq3p 1508139 1508003 2026-04-21T10:47:01Z Riccardo Riccioni 452 1508139 wikitext text/x-wiki '''Ningamai Akubai Nnam''' ni mwimbaji na mjasiriamali kutoka [[Kamerun]]. Ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa shirika la Impact Makers for Humanity.<ref name=":0">{{Cite web |title=Akubai – Artiste Cameroun, Biographie & Lyrics de {{!}} Kamer Lyrics |url=https://kamerlyrics.net/artist/akubai-1083 |access-date=2023-08-22 |website=kamerlyrics.net}}</ref> Akubai anajulikana zaidi kwa wimbo wake wa mwaka 2020 uitwao ''Yahweh''.<ref name=":1">{{Cite web |title=AkuBai le nouveau nom de l’afroGospel au Cameroun: Découvrez son titre " Triompher " |url=https://voila-moi.com/akubai-le-nouveau-nom-de-lafrogospel-au-cameroun-decouvrez-son-titre-triompher/ |archive-url=https://web.archive.org/web/20210106152852/https://www.voila-moi.com/akubai-le-nouveau-nom-de-lafrogospel-au-cameroun-decouvrez-son-titre-triompher/ |url-status=usurped |archive-date=January 6, 2021 |website=voila-moi.com}}</ref> Alikuwa raia wa kwanza wa Kameruni kushinda tuzo katika kipengele cha Media Choice Award kwenye tuzo za Gospel Touch Music Awards mwaka 2020 zilizofanyika London, Uingereza.<ref name=":1" /><ref name=":2">{{Cite web |last=Rédaction |first=La |date=2020-11-27 |title=L’étoile montante du Gospel, AkuBai revient avec Triompher |url=https://www.culturebene.com/64141-letoile-montante-du-gospel-akubai-revient-avec-triompher.html |access-date=2023-08-22 |website=Culturebene |language=fr-FR}}</ref> == Wasifu == === Maisha ya awali === AkuBai alizaliwa katika mji wa [[Wum]] uliopo katika Kanda ya Kaskazini-Magharibi nchini Kameruni.<ref name=":2" /> === Kazi === AkuBai alianza rasmi kazi yake ya muziki mwaka 2019.<ref name=":1" /><ref>{{Cite web |date=2020-07-23 |title=AkuBai |url=https://www.musicinafrica.net/node/127963 |access-date=2023-08-22 |website=Music in Africa |language=en}}</ref> Hutayarisha kazi zake za muziki chini ya lebo ya Niki Heat Entertainment.<ref name=":5">{{Cite web |title=Akubaï {{!}} Douala Media Buzz |url=https://doualamediabuzz.com/?s=Akuba%C3%AF |access-date=2023-08-22 |language=en-US |archive-date=2023-02-20 |archive-url=https://web.archive.org/web/20230220110647/https://doualamediabuzz.com/?s=Akuba%C3%AF |url-status=dead }}</ref> Amejishughulisha na uimbaji wa nyimbo za sifa (gospel) tangu mwaka 2004.<ref>{{Cite web |date=2020-06-18 |title=La chanteuse Akubai lance sa carrière avec son single ‘’Yahweh’’ |url=https://www.100pour100culture.com/musique/chanteuse-akubai-lance-carriere-single-yahweh/ |access-date=2023-08-22 |website=100pour100culture |language=fr-FR}}</ref> Nyimbo zake huimbwa kwa lugha ya Kifaransa, Kiingereza na lugha kadhaa za asili kama vile Pidgin, Ewondo, Bassa, Mankon, Weh na Bamileke languages.<ref>{{Cite web |date=2020-06-30 |title=Akubai nous révèle où se trouve le bonheur dont nous avons besoin. |url=https://visartculture.com/musique/akubai-nous-revele-ou-se-trouve-le-bonheur-dont-nous-avons-besoin/ |access-date=2023-08-22 |website=Accueil |language=fr-FR}}</ref> Pia ni mwanzilishi wa shirika la Impact Makers for Humanity.<ref name=":0" /><ref name=":5" /> == Diskografia == === Albamu === * ''The Genesis: Live EP'' (2020) === Nyimbo zilizochaguliwa === * ''Great God'' (2019) * ''Yahweh'' (2020) * ''Triompher'' (2020) * ''Tchapeusi (Le jour du jugement)'' (2021)<ref>{{Cite web |title=Akubai – Tchapeusi (Le jour du jugement) Lyrics {{!}} Kamerlyrics |url=https://kamerlyrics.net/lyric-3140-akubai-tchapeusi-le-jour-du-jugement |access-date=2023-08-22 |website=kamerlyrics.net}}</ref> * ''Dieu te Voit'' (2021) * ''More of You'' (2022) == Tuzo na uteuzi == === Gospel Touch Music Awards 2020 === * Mshindi: Media Choice Award (2020)<ref name=":1" /> === Uteuzi mwingine === * Muzikol Music Awards (2020) – Uteuzi * Green Light Awards (2020) – Uteuzi * Transgenerational Forces Impact Awards (2020) – Uteuzi * ''Canal 2'or'' Awards Act 13 (2021) – Uteuzi * Balafon Music Awards (2021) – Uteuzi<ref>{{cite web|title=2021 Balafon music awards nominés|url=https://www.boomplay.com/playlists/36388738?from=home|website=boomplay.com}}</ref> * Muzikol Music Awards (2021) – Uteuzi * Cameroon Music Evolution Awards (2021) – Uteuzi == Tazama pia == * List of Cameroonians * List of African musicians == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:wanamuziki wa Kamerun]] rmd63p0oz7nrhi4v2dmlf8hr07opnqh Ben Avram 0 229697 1508004 2026-04-21T07:51:38Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1508004 wikitext text/x-wiki '''Edward Philips''', au ''Ben Avram'' (alizaliwa [[1941]]) ni msanii aliyezaliwa mjini Bombay, India na kuhamia nchini Israel akiwa kijana mdogo. <ref>{{cite web|title=Ben Avram Bio|url=http://arta.co.il/ben-avram/|publisher=ARTA Gallery|accessdate=29 November 2016}}</ref><ref>{{cite web |url=http://kingsgalleryjerusalem.wordpress.com/2010/09/13/edward-ben-avram/ |title = Edward Ben Avram {{!}} King's Gallery}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1941]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] axs5tprnpwhkti9u6cwoybucy7of1wp Koliswa Vimbayo 0 229698 1508005 2026-04-21T07:53:01Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Koliswa Vimbayo''' ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini anayewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Eastern Cape tangu mwaka 2019. Kabla ya kuingia katika bunge la mkoa, alikuwa Meya wa Halmashauri ya Wilaya ya Chris Hani District Municipality hadi mwaka 2019.<ref>{{Cite web|title=Koliswa Vimbayo|url=http://www.pa.org.za/person/koliswa-vimbayo/|access-date=2023-02-15|website=People's Assembly|language=en}}</ref> == Marejeo ==...' 1508005 wikitext text/x-wiki '''Koliswa Vimbayo''' ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini anayewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Eastern Cape tangu mwaka 2019. Kabla ya kuingia katika bunge la mkoa, alikuwa Meya wa Halmashauri ya Wilaya ya Chris Hani District Municipality hadi mwaka 2019.<ref>{{Cite web|title=Koliswa Vimbayo|url=http://www.pa.org.za/person/koliswa-vimbayo/|access-date=2023-02-15|website=People's Assembly|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] arlwc7jo1828p2ov39uuwzgdn2t7grp Yehudit Arnon 0 229699 1508006 2026-04-21T07:54:41Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1508006 wikitext text/x-wiki '''Yehudit Arnon''' ([[15 Oktoba]] [[1926]] – [[17 Agosti]] [[2013]]) alikuwa mnenguaji na mbunifu wa miondoko ya densi wa [[Israeli]]. <ref name="Ingber 1926">{{cite web|url=http://jwa.org/encyclopedia/article/arnon-yehudit|title=Yehudit Arnon|last=Ingber|first=Judith Brin|date=October 15, 1926|website=Jewish Women's Archive|access-date=May 24, 2016}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1926]] [[jamii:waliofariki 2013]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] 82501jethkxbclprikc8mbsiveqv8sm Oyinkan Braithwaite 0 229700 1508008 2026-04-21T07:56:45Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Oyinkan Braithwaite''' (amezaliwa 1988) ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi mwenye asili ya [[Nigeria]] na [[Uingereza]].<ref>"Oyinkan Braithwaite, Diana Evans listed for $40,000 2019 Women's Prize for Literature". The Punch.</ref><ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). "My Sister, the Serial Killer by Oyinkan Braithwaite". The Guardian.</ref> Anajulikana zaidi kwa riwaya yake ya kwanza, ''My Sister, the Serial Killer'' (2018).<ref>Lea, Richard (Janu...' 1508008 wikitext text/x-wiki '''Oyinkan Braithwaite''' (amezaliwa 1988) ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi mwenye asili ya [[Nigeria]] na [[Uingereza]].<ref>"Oyinkan Braithwaite, Diana Evans listed for $40,000 2019 Women's Prize for Literature". The Punch.</ref><ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). "My Sister, the Serial Killer by Oyinkan Braithwaite". The Guardian.</ref> Anajulikana zaidi kwa riwaya yake ya kwanza, ''My Sister, the Serial Killer'' (2018).<ref>Lea, Richard (January 15, 2019). "Oyinkan Braithwaite's serial-killer thriller". The Guardian.</ref> == Maisha == Braithwaite alizaliwa Lagos, Nigeria mwaka 1988. Alitumia sehemu kubwa ya utoto wake nchini Uingereza baada ya familia yake kuhamia Southgate, London.<ref>Lea, Richard (January 15, 2019). The Guardian.</ref> Alisoma elimu ya msingi London kabla ya kurejea Lagos mwaka 2001 kufuatia kuzaliwa kwa ndugu yake.<ref>Braithwaite, Oyinkan (2019). ''My Sister, the Serial Killer''.</ref> Alisomea sheria na uandishi wa ubunifu katika Chuo Kikuu cha Surrey na Chuo Kikuu cha Kingston, na baadaye alirudi Lagos mwaka 2012.<ref>Rayo, Adebola (March 27, 2018). "Oyinkan Braithwaite On Waiting For A Dream".</ref><ref>BellaNaija.com (March 27, 2018).</ref> Amefanya kazi kama mhariri msaidizi katika kampuni ya uchapishaji ya Kachifo Limited na pia kama meneja wa uzalishaji katika Ajapa World, kampuni ya elimu na burudani.<ref>Lea, Richard (May 29, 2019). Gulf News.</ref> == Kazi == Riwaya ya kwanza ya Braithwaite, ''My Sister, the Serial Killer'', ilichapishwa mwaka 2018 na kupata sifa kubwa kutoka kwa wakosoaji.<ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). The Guardian.</ref> Pia ameandika hadithi fupi zilizochapishwa katika majukwaa kama ''McSweeney’s'', ''WePresent'', na ''Amazon Original Stories''.<ref>Braithwaite, Oyinkan (March 16, 2020). "The Last Tattoo".</ref><ref>"Oyinkan Braithwaite's Treasure".</ref> Mbali na uandishi, Braithwaite pia ni mchora picha (illustrator), na alichora jalada la toleo la Nigeria la riwaya yake.<ref>Peterson, Angeline (February 25, 2021).</ref> Riwaya yake ya mwaka 2025, ''Cursed Daughters'', ina mtindo tofauti na kazi yake ya awali, ikiwa imejikita zaidi katika masuala ya kifamilia na laana za kizazi.<ref>Puckett-Pope, Lauren (November 4, 2025). Elle.</ref> == Tuzo na uteuzi == Braithwaite ametambuliwa kwa tuzo mbalimbali, zikiwemo: * 2016: Uteuzi wa Tuzo ya Commonwealth Short Story * 2019: Mshindi wa LA Times Award kwa riwaya bora ya uhalifu * 2019: Orodha fupi ya Women's Prize for Fiction * 2019: Orodha ndefu ya Booker Prize<ref>Wood, Heloise (July 24, 2019).</ref> * 2020: Mshindi wa Tuzo ya British Book Awards (Crime and Thriller Book of the Year)<ref>Toor, Mat (March 20, 2020).</ref> == Machapisho == === Riwaya === * ''My Sister, the Serial Killer'' (2018) * ''The Baby is Mine'' (2021) * ''Cursed Daughters'' (2025) === Mkusanyiko wa hadithi fupi === * ''The Driver'' (2010) * ''Treasure'' (2020) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1988|}} mtwgyqi3tletsto6j37abvrct6r6520 1508012 1508008 2026-04-21T08:02:22Z Egipa 87700 1508012 wikitext text/x-wiki '''Oyinkan Braithwaite''' (amezaliwa mwaka wa 1988) ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi mwenye asili ya [[Nigeria]] na [[Uingereza]].<ref>"Oyinkan Braithwaite, Diana Evans listed for $40,000 2019 Women's Prize for Literature". The Punch.</ref><ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). "My Sister, the Serial Killer by Oyinkan Braithwaite". The Guardian.</ref> Anajulikana zaidi kwa riwaya yake ya kwanza, ''My Sister, the Serial Killer'' (year 2018).<ref>Lea, Richard (January 15, mwaka 2019). "Oyinkan Braithwaite's serial-killer thriller". The Guardian.</ref> == Maisha == Braithwaite alizaliwa Lagos, Nigeria mwaka 1988. Alitumia sehemu kubwa ya maisha yake nchini Uingereza baada ya familia yake kuhamia Southgate, London.<ref>Lea, Richard (January 15, 2019). The Guardian.</ref> Alisoma elimu ya shule ya msingi London kabla ya kurejea Lagos mwaka wa 2001 kufuatia kuzaliwa kwa ndugu yake.<ref>Braithwaite, Oyinkan (mwaka wa 2019). ''My Sister, the Serial Killer''.</ref> Alisomea masomo ya sheria na uandishi wa ubunifu kutoka katika Chuo Kikuu cha Surrey na Chuo Kikuu cha Kingston, na baadaye alirudi Lagos mwaka wa 2012.<ref>Rayo, Adebola (March 27, mwaka wa 2018). "Oyinkan Braithwaite On Waiting For A Dream".</ref><ref>BellaNaija.com (March 27, mwaka wa 2018).</ref> Amefanya kazi kama mhariri msaidizi katika kampuni ya uchapishaji ya Kachifo Limited na pia kama meneja wa uzalishaji katika Ajapa World, kampuni ya elimu na burudani.<ref>Lea, Richard (May 29, mwaka wa 2019). Gulf News.</ref> == Kazi == Riwaya ya kwanza ya Braithwaite, ''My Sister, the Serial Killer'', ilichapishwa mwaka 2018 na kupata sifa kubwa kutoka kwa wakosoaji.<ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). The Guardian.</ref> Pia ameandika hadithi fupi zilizochapishwa katika majukwaa kama ''McSweeney’s'', ''WePresent'', na ''Amazon Original Stories''.<ref>Braithwaite, Oyinkan (March 16, mwaka wa 2020). "The Last Tattoo".</ref><ref>"Oyinkan Braithwaite's Treasure".</ref> Mbali na uandishi, Braithwaite pia ni mchora picha (illustrator), na alichora jalada la toleo la Nigeria la riwaya yake.<ref>Peterson, Angeline (February 25, mwaka wa 2021).</ref> Riwaya yake ya mwaka 2025, ''Cursed Daughters'', ina mtindo tofauti na kazi yake ya awali, ikiwa imejikita zaidi katika masuala ya kifamilia na laana za kizazi.<ref>Puckett-Pope, Lauren (November 4, mwaka wa 2025). Elle.</ref> == Tuzo na uteuzi == Braithwaite ametambuliwa kwa tuzo mbalimbali, zikiwemo: * 2016: Uteuzi wa Tuzo ya Commonwealth Short Story * 2019: Mshindi wa LA Times Award kwa riwaya bora ya uhalifu * 2019: Orodha fupi ya Women's Prize for Fiction * 2019: Orodha ndefu ya Booker Prize<ref>Wood, Heloise (July 24, mwaka wa 2019).</ref> * 2020: Mshindi wa Tuzo ya British Book Awards (Crime and Thriller Book of the Year)<ref>Toor, Mat (March 20,mwaka wa 2020).</ref> == Machapisho == === Riwaya === * ''My Sister, the Serial Killer'' (2018) * ''The Baby is Mine'' (2021) * ''Cursed Daughters'' (2025) === Mkusanyiko wa hadithi fupi === * ''The Driver'' (2010) * ''Treasure'' (2020) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1988|}} lkx3a1x3vl3znvblzoll8x07gz4u5fl 1508141 1508012 2026-04-21T10:48:07Z Riccardo Riccioni 452 1508141 wikitext text/x-wiki '''Oyinkan Braithwaite''' (amezaliwa 1988) ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi mwenye asili ya [[Nigeria]] na [[Uingereza]].<ref>"Oyinkan Braithwaite, Diana Evans listed for $40,000 2019 Women's Prize for Literature". The Punch.</ref><ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). "My Sister, the Serial Killer by Oyinkan Braithwaite". The Guardian.</ref> Anajulikana zaidi kwa riwaya yake ya kwanza, ''My Sister, the Serial Killer'' (year 2018).<ref>Lea, Richard (January 15, mwaka 2019). "Oyinkan Braithwaite's serial-killer thriller". The Guardian.</ref> == Maisha == Braithwaite alizaliwa Lagos, Nigeria mwaka 1988. Alitumia sehemu kubwa ya maisha yake nchini Uingereza baada ya familia yake kuhamia Southgate, London.<ref>Lea, Richard (January 15, 2019). The Guardian.</ref> Alisoma elimu ya shule ya msingi London kabla ya kurejea Lagos mwaka wa 2001 kufuatia kuzaliwa kwa ndugu yake.<ref>Braithwaite, Oyinkan (mwaka wa 2019). ''My Sister, the Serial Killer''.</ref> Alisomea masomo ya sheria na uandishi wa ubunifu kutoka katika Chuo Kikuu cha Surrey na Chuo Kikuu cha Kingston, na baadaye alirudi Lagos mwaka wa 2012.<ref>Rayo, Adebola (March 27, mwaka wa 2018). "Oyinkan Braithwaite On Waiting For A Dream".</ref><ref>BellaNaija.com (March 27, mwaka wa 2018).</ref> Amefanya kazi kama mhariri msaidizi katika kampuni ya uchapishaji ya Kachifo Limited na pia kama meneja wa uzalishaji katika Ajapa World, kampuni ya elimu na burudani.<ref>Lea, Richard (May 29, mwaka wa 2019). Gulf News.</ref> == Kazi == Riwaya ya kwanza ya Braithwaite, ''My Sister, the Serial Killer'', ilichapishwa mwaka 2018 na kupata sifa kubwa kutoka kwa wakosoaji.<ref>O'Grady, Carrie (January 4, 2019). The Guardian.</ref> Pia ameandika hadithi fupi zilizochapishwa katika majukwaa kama ''McSweeney’s'', ''WePresent'', na ''Amazon Original Stories''.<ref>Braithwaite, Oyinkan (March 16, mwaka wa 2020). "The Last Tattoo".</ref><ref>"Oyinkan Braithwaite's Treasure".</ref> Mbali na uandishi, Braithwaite pia ni mchora picha (illustrator), na alichora jalada la toleo la Nigeria la riwaya yake.<ref>Peterson, Angeline (February 25, mwaka wa 2021).</ref> Riwaya yake ya mwaka 2025, ''Cursed Daughters'', ina mtindo tofauti na kazi yake ya awali, ikiwa imejikita zaidi katika masuala ya kifamilia na laana za kizazi.<ref>Puckett-Pope, Lauren (November 4, mwaka wa 2025). Elle.</ref> == Tuzo na uteuzi == Braithwaite ametambuliwa kwa tuzo mbalimbali, zikiwemo: * 2016: Uteuzi wa Tuzo ya Commonwealth Short Story * 2019: Mshindi wa LA Times Award kwa riwaya bora ya uhalifu * 2019: Orodha fupi ya Women's Prize for Fiction * 2019: Orodha ndefu ya Booker Prize<ref>Wood, Heloise (July 24, mwaka wa 2019).</ref> * 2020: Mshindi wa Tuzo ya British Book Awards (Crime and Thriller Book of the Year)<ref>Toor, Mat (March 20,mwaka wa 2020).</ref> == Machapisho == === Riwaya === * ''My Sister, the Serial Killer'' (2018) * ''The Baby is Mine'' (2021) * ''Cursed Daughters'' (2025) === Mikusanyo ya hadithi fupi === * ''The Driver'' (2010) * ''Treasure'' (2020) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1988|}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:waandishi wa Uingereza]] bo1uulq8qytzhihs4vov1yogvkodesy Yuval Adler 0 229701 1508009 2026-04-21T07:56:57Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1508009 wikitext text/x-wiki '''Yuval Adler''' (alizaliwa Herzliya, Israel) ni mtengenezaji wa filamu wa Kiisraeli-Marekani. Adler anajulikana zaidi kwa kuongoza filamu ya Bethlehem (2013), filamu ambayo ilimfanya ashinde Tuzo ya Ophir kama muongozaji bora na mwandishi bora wa mswada wa filamu. <ref>{{Cite web |last=Saval |first=Malina |date=2019-02-08 |title=Director Yuval Adler Discusses Berlin Festival Film 'The Operative' |url=https://variety.com/2019/film/uncategorized/berlin-film-festival-director-yuval-adler-discusses-berlin-festival-film-the-operative-1203132838/ |access-date=2026-02-23 |website=Variety |language=en-US}}</ref><ref name=":0">{{Cite web|last=Round|first=Simon|date=16 June 2014|title=Interview: Yuval Adler|url=https://www.thejc.com/lifestyle/interviews/interview-yuval-adler-1.55273|access-date=2021-06-22|website=[[The Jewish Chronicle]]}}</ref><ref>{{Cite web|title=Yuval Adler {{!}} filmportal.de|url=https://www.filmportal.de/person/yuval-adler_b383446e84e9477d9acf86d107b9d683|access-date=2021-06-22|website=www.filmportal.de}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Israel's Oscar entry on Mideast conflict cleans up at local 'Academy Awards'|url=https://www.jpost.com/arts-and-culture/arts/bethlehem-wins-best-picture-at-the-ophir-awards-327355|access-date=2021-06-22|website=[[The Jerusalem Post]]|date=29 September 2013 |language=en-US |issn=0792-822X}}</ref><ref>{{Cite news|last=Brown|first=Hannah|date=31 October 2013|title=From art and philosophy to Bethlehem|work=[[The Jerusalem Post]]|url=https://static.squarespace.com/static/52dbcae9e4b01225621fac5f/t/531237a7e4b01148f94d2a43/1393702823694/Jerusalem%20Post%20Profile.pdf}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] ka7lunqyxf08gfnagbbvkq7q1envcoz Anna Buthelezi 0 229702 1508010 2026-04-21T07:58:49Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mamorena Annah Buthelezi''' (aliyezaliwa [[7 Oktoba]] [[1965]]), anayejulikana awali kama Anna Buthelezi-Phori, ni [[mwanasiasa]] na mtumishi wa umma wa [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanachama wa African National Congress (ANC) na aliwahi kuwakilisha chama hicho katika Bunge la Mkoa wa Free State pamoja na Baraza la Utendaji la Mkoa (Executive Council). Pia amewahi kushika wadhifa wa Naibu Katibu wa Mkoa (Deputy Provincial Secretary) wa tawi la ANC kati...' 1508010 wikitext text/x-wiki '''Mamorena Annah Buthelezi''' (aliyezaliwa [[7 Oktoba]] [[1965]]), anayejulikana awali kama Anna Buthelezi-Phori, ni [[mwanasiasa]] na mtumishi wa umma wa [[Afrika Kusini]]. Yeye ni mwanachama wa African National Congress (ANC) na aliwahi kuwakilisha chama hicho katika Bunge la Mkoa wa Free State pamoja na Baraza la Utendaji la Mkoa (Executive Council). Pia amewahi kushika wadhifa wa Naibu Katibu wa Mkoa (Deputy Provincial Secretary) wa tawi la ANC katika Free State.<ref>{{cite magazine|date=20 April 2004|title=General Notice: Notice 717 of 2004 - Electoral Commission – List of Names of Representatives in the National Assembly and the Nine Provincial Legislatures in Respect of the Elections Held on 14 April 2004|url=https://www.gov.za/sites/default/files/gcis_document/201409/262770.pdf|magazine=[[Government Gazette of South Africa]]|location=Pretoria, South Africa|publisher=[[Government of South Africa]]|volume=466|issue=2677|pages=4–95|access-date=26 March 2021}}</ref> == Marjeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1965]] gcitmb0dwnvu7xc101jwtd0nhu82mxo Nana Shettima 0 229703 1508011 2026-04-21T08:01:22Z Godfavor22 83108 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nana Kashim Shettima''' (alizaliwa [[22 Julai|Julai 22]], [[1975]]) ni mwanamke wa pili wa Nigeria tangu 2023, kama mke wa Makamu wa Rais Kashim Shettima . Alikuwa mwanamke wa kwanza wa [[Borno (jimbo)|Jimbo la Borno]] kuanzia 2011 hadi 2019 wakati mumewe alipokuwa gavana. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa SWOT foundation na Model Orphanage Integrated School, Maiduguri. <ref>{{Rejea tovuti|author=MyNewsGH|date=2022-11-18|title=Shettima Wife: Meet Nana Kash...' 1508011 wikitext text/x-wiki '''Nana Kashim Shettima''' (alizaliwa [[22 Julai|Julai 22]], [[1975]]) ni mwanamke wa pili wa Nigeria tangu 2023, kama mke wa Makamu wa Rais Kashim Shettima . Alikuwa mwanamke wa kwanza wa [[Borno (jimbo)|Jimbo la Borno]] kuanzia 2011 hadi 2019 wakati mumewe alipokuwa gavana. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa SWOT foundation na Model Orphanage Integrated School, Maiduguri. <ref>{{Rejea tovuti|author=MyNewsGH|date=2022-11-18|title=Shettima Wife: Meet Nana Kashim Shettima, Marriage Date, Biography, Second Wife, Age, Net Worth|url=https://www.mynewsgh.com/shettima-wife-meet-nana-kashim-shettima-marriage-date-biography-second-wife-age-net-worth/|accessdate=2023-02-26|work=MyNewsGh|language=en-us}}</ref> == Maisha ya awali == Nana Usman Alkali alizaliwa mwaka wa 1975 katika [[Kano (jimbo)|Jimbo la Kano]] katika familia ya Alhaji Usman Alkali ambaye anatoka [[Borno (jimbo)|Jimbo la Borno]] na ni [[Wakanuri|Mkanuri]] kwa kabila. Aliolewa na Kashim Shettima mwaka wa 1998 na ana watoto watatu. Alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Chuo Kikuu cha Maiduguri, ambapo alisoma Lugha na Fasihi ya Kiingereza. <ref>{{Rejea tovuti|date=16 July 2017|title=Hajiya Nana Shettima: Enduring legacies of a quintessential First Lady|url=https://www.thinkersnewsng.com/hajiya-nana-shettima-enduring-legacies-of-a-quintessential-first-lady/|accessdate=26 February 2023|work=Thinkers Newspaper|language=en-US}}</ref> <ref>{{Rejea tovuti|date=18 November 2022|title=Shettima Wife: Meet Nana Kashim Shettima, Marriage Date, Biography, Second Wife, Age, Net Worth|url=https://www.mynewsgh.com/shettima-wife-meet-nana-kashim-shettima-marriage-date-biography-second-wife-age-net-worth/|accessdate=26 February 2023|work=MyNewsGh|language=en-us}}</ref> Shettima, kwa usaidizi wa kibinafsi wa mumewe, alifanya shughuli nyingi za kibinadamu na kijamii katika kuwasaidia yatima na wajane. Hii ilimfanya aanzishe Shule ya Model Orphanage Integrated School huko Maiduguri mnamo 2018 ili kuwahudumia yatima, wajane na wafiwa katika Jimbo la Borno. <ref>{{Rejea tovuti|author=Gusau|first=Isa|date=7 August 2022|title=Nana Shettima and her three strange characters, by Isa Gusau|url=https://21stcenturychronicle.com/nana-shettima-and-her-three-strange-characters-by-isa-gusau/|accessdate=26 February 2023|work=21st CENTURY CHRONICLE|language=en-US}}</ref> Wakati wa ukosefu wa usalama ulioathiri Jimbo la Borno hasa wakati wa kutekwa nyara kwa wasichana wa shule ya Chibok mwaka wa 2014, dhidi ya ripoti za usalama, Shettima alisafiri hadi Chibok kwa barabara ili kuwafariji wazazi wa wasichana wa shule na kutoa msaada wa kimaadili. Kitendo hicho kilimfanya akose kukutana na Mke wa Rais, Dame [[Patience Jonathan]], huko Abuja. <ref>"Kidnapped Girls: Borno Governor's Wife explains absence meeting Patience Jonathan"''. Premium Times. Retrieved 26 February 2023.''</ref> Alipata tuzo kutoka kwa Gazeti la The Sun kama Mke wa Rais aliyemsaidia zaidi mwaka wa 2016. <ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=-NTyzQEACAAJ|title=Hajiya Nana Shettima: A Heart for the Poor and Distressed : Special Report|last=Osagie|first=Eric|date=2015|work=The Sun|language=en}}</ref> Kupitia mradi wake kipenzi, Wakfu wa Usaidizi kwa Wajane, Yatima na Tsangaya (SWOT), na kama Mama wa Kwanza wa Jimbo la Borno, Shettima amekuwa akiwafikia wafuasi wa imani zote wakati wa sherehe katika Jimbo la Borno, hasa wale walio katika mazingira magumu zaidi. <ref>"Ramadan: Nana Shettima shares food, cash to Boko Haram victims"''. Nigerian Tribune. 11 June 2017. Retrieved 26 February 2023.''</ref> <ref>"Tinubu, Shettima's wives donate N20m to flood victims"''. The Punch. 29 October 2022. Retrieved 26 February 2023.''</ref> Shettima ni mtetezi wa mapambano dhidi ya ubakaji na matumizi mabaya ya dawa za kulevya, akiwasihi wanawake kuweka kipaumbele katika malezi ya watoto. <ref>"Governor's wife implores women to prioritise upbringing of children to stem drug abuse"''. The Guardian. Lagos, Nigeria. 27 May 2018. Retrieved 26 February 2023.''</ref> Pia alikuwa mstari wa mbele katika kupigia kura mumewe katika uchaguzi wa 2023. <ref>"Tinubu, Shettima's wives donate N20m to flood victims"''. The Punch. 29 October 2022. Retrieved 26 February 2023.''</ref> <ref>''Agba, George (8 September 2022).'' "2023: Tinubu, Shettima's Wives Storm APC, Announce Women Campaign Council"''. Leadership. Retrieved 26 February 2023.''</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] 2oqxsosbnxqehftpv2lmxpppwyra6oc Aishah Cassiem 0 229704 1508014 2026-04-21T08:02:42Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Aishah Cassiem''' (aliyezaliwa [[22 Oktoba]] [[1992]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na mwanahabari wa zamani wa uchunguzi. Tangu tarehe 3 Februari 2023, amekuwa Mbunge wa Bunge la Mkoa wa Western Cape akiwakilisha Economic Freedom Fighters (EFF). Pia anahudumu kama Mweka Hazina wa Mkoa wa EFF katika Western Cape.<ref>{{Cite news|last=siyamtanda.capa|title=Revolutionaries must be willing to kill, Malema tells EFF delegates|language=en|url=htt...' 1508014 wikitext text/x-wiki '''Aishah Cassiem''' (aliyezaliwa [[22 Oktoba]] [[1992]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na mwanahabari wa zamani wa uchunguzi. Tangu tarehe 3 Februari 2023, amekuwa Mbunge wa Bunge la Mkoa wa Western Cape akiwakilisha Economic Freedom Fighters (EFF). Pia anahudumu kama Mweka Hazina wa Mkoa wa EFF katika Western Cape.<ref>{{Cite news|last=siyamtanda.capa|title=Revolutionaries must be willing to kill, Malema tells EFF delegates|language=en|url=https://www.iol.co.za/weekend-argus/news/revolutionaries-must-be-willing-to-kill-malema-tells-eff-delegates-d15b971e-3893-411a-b57f-cc87496ed721|access-date=2023-02-06}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1992]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 52c4htnhvdu0cixc8si2tkmxf3gpl5q Oyinkansola Abayomi 0 229705 1508015 2026-04-21T08:04:08Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Oyinkansola Abayomi''' ([[6 Machi]] [[1897]] – [[19 Machi]] [[1990]]), anayejulikana pia kama Iyaloye Oyinkansola, Lady Abayomi, alikuwa mzalendo na mtetezi muhimu wa haki za wanawake nchini [[Nigeria]]. Alijulikana kwa mchango wake katika kuimarisha nafasi ya wanawake katika jamii kupitia uongozi na elimu ya kiraia. Alikuwa mkuu wa Chama cha Waongozaji Wasichana cha Nigeria, ambapo alihimiza maadili, uongozi na elimu kwa wasichana vijana. Pia alihu...' 1508015 wikitext text/x-wiki '''Oyinkansola Abayomi''' ([[6 Machi]] [[1897]] – [[19 Machi]] [[1990]]), anayejulikana pia kama Iyaloye Oyinkansola, Lady Abayomi, alikuwa mzalendo na mtetezi muhimu wa haki za wanawake nchini [[Nigeria]]. Alijulikana kwa mchango wake katika kuimarisha nafasi ya wanawake katika jamii kupitia uongozi na elimu ya kiraia. Alikuwa mkuu wa Chama cha Waongozaji Wasichana cha Nigeria, ambapo alihimiza maadili, uongozi na elimu kwa wasichana vijana. Pia alihusishwa na uanzishwaji wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake, taasisi iliyokuwa na lengo la kuunganisha na kuimarisha sauti ya wanawake katika masuala ya kijamii na kisiasa nchini Nigeria. == Maisha ya awali na elimu == Oyinkansola Abayomi alizaliwa kama Oyinkansola Ajasa mwaka 1897 nchini Nigeria. Alijulikana kwa jina fupi la “Oyinkan” ndani ya familia yake.<ref name="PiersonChaudhuri1998">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=kO8yRHeDxVcC&pg=PA93|title=Nation, Empire, Colony: Historicizing Gender and Race|author1=Ruth Roach Pierson|author2=Nupur Chaudhuri|author3=Beth McAuley|publisher=Indiana University Press|year=1998|isbn=978-0-253-21191-0|pages=87–88|accessdate=29 December 2012}}</ref> Alitoka katika familia yenye hadhi: baba yake alikuwa Kitoye Ajasa, mmoja wa Wanasaro mashuhuri na miongoni mwa Waafrika wa kwanza wa Nigeria kupata heshima kutoka kwa utawala wa kikoloni wa [[Uingereza]]. Mama yake, Lucretia Olayinka Moore, alitoka katika ukoo wa kifalme wa Egba. Pia alikuwa na uhusiano wa kifamilia na Lady Kofo Ademola, akionyesha asili yake ya familia yenye ushawishi.<ref>{{Cite news|date=2020-02-16|title=Lady Oyinkansola Abayomi: An Amazon, trailblazer|url=https://guardian.ng/saturday-magazine/transition/lady-oyinkansola-abayomi-an-amazon-trailblazer/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2021-06-05|newspaper=[[The Guardian (Nigeria)|The Guardian]]|language=en-US}}</ref> Elimu yake ilianza katika Seminari ya Wasichana ya Anglikana Lagos, ambako alihitimu mwaka [[1909]]. Baadaye alisoma nchini Uingereza katika Shule ya Ryford Hall kwa Wanawake Vijana, na mwaka [[1917]] akaendelea katika Royal College of Music, ambapo alijifunza muziki kwa kina. Baada ya kurejea Lagos mwaka [[1920]], alifanya kazi kama mwalimu wa muziki katika seminari alikosomea awali. Akiwa huko, alikutana na wakili Moronfolu Abayomi, na walioana mwaka [[1923]]. Hata hivyo, ndoa yao ilidumu kwa muda mfupi kutokana na kifo cha mumewe miezi miwili baada ya harusi.<ref name="Martin">{{cite book|url=http://www.highbeam.com/doc/1G2-2591300043.html|title=Abayomi, Oyinkansola (1897–1990)|last=Martin|first=Christa|publisher=Gale Research, Inc.|year=2002|location=Farmington Hills|archive-url=https://web.archive.org/web/20130518160528/http://www.highbeam.com/doc/1G2-2591300043.html|archive-date=2013-05-18|url-status=dead}}{{subscription required}}</ref><ref>{{Cite web|last=Olokode|first=Ibukunoluwa|date=2022-03-18|title=Who Was Lady Oyinkansola Abayomi?|url=https://republic.com.ng/nigeria/who-was-oyinkansola-abayomi/|access-date=2024-01-21|website=The Republic|language=en-GB}}</ref> == Baadaye maisha na kifo == Sir Kofo Abayomi alifariki tarehe [[1 Januari]] [[1979]]. Abayomi alistaafu kutoka kwa Girl Guides mwaka wa [[1982]]. Aliteuliwa kuwa Rais wa Maisha wa Girl Guides kwa kazi yake. Abayomi aliheshimiwa kwa vyeo vitano vya uchifu wa Nigeria, ikiwa ni pamoja na kile cha Iya Abiye wa Egbaland. Alifariki tarehe 19 Machi 1990. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1897]] [[Jamii: Waliofariki 1990]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] qp92aa8t7u9avvg4ls4ci8ki8qr6s62 Hazel Jenkins 0 229706 1508016 2026-04-21T08:06:19Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hazel Gertrude Jenkins''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Northern Cape. Alihudumu kama Waziri Mkuu kuanzia Mei 2009 hadi Aprili 2013, ambapo alijiondoa kwenye majukumu yake kutokana na matatizo ya afya baada ya kupata kiharusi (stroke). Hata hivyo, jaribio la bunge la mkoa kutambua rasmi kujiuzulu kwake kwa misingi ya afya lilishindwa kupitishwa tarehe 30 Aprili 2013, jambo lililosababisha kitaalam bado kuhesabi...' 1508016 wikitext text/x-wiki '''Hazel Gertrude Jenkins''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Northern Cape. Alihudumu kama Waziri Mkuu kuanzia Mei 2009 hadi Aprili 2013, ambapo alijiondoa kwenye majukumu yake kutokana na matatizo ya afya baada ya kupata kiharusi (stroke). Hata hivyo, jaribio la bunge la mkoa kutambua rasmi kujiuzulu kwake kwa misingi ya afya lilishindwa kupitishwa tarehe 30 Aprili 2013, jambo lililosababisha kitaalam bado kuhesabiwa kama Waziri Mkuu wakati huo.<ref>[http://www.gcis.gov.za/gcis/gcis_profile.jsp?id=5781 Profile] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20110919222845/http://www.gcis.gov.za/gcis/gcis_profile.jsp?id=5781|date=2011-09-19}}</ref> Kwa sababu hiyo, Sylvia Lucas aliapishwa siku hiyo kama Waziri Mkuu wa muda (acting premier), si kama mrithi rasmi wa Jenkins. Baadaye, Jenkins alijiuzulu rasmi tarehe 22 Mei 2013, na hivyo kuruhusu Lucas kuapishwa kama mrithi wake rasmi tarehe 23 Mei 2013.<ref>{{Cite web|url=http://www.citypress.co.za/politics/lucas-elected-new-northern-cape-premier/|title=Lucas elected new Northern Cape Premier – ''City Press'' 23 May 16:43|access-date=2013-05-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20130523210745/http://www.citypress.co.za/politics/lucas-elected-new-northern-cape-premier/|archive-date=2013-05-23|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] s9le54ej08ucoe3mj67bbufm8nbh4af Raquel Kasham Daniel 0 229707 1508017 2026-04-21T08:09:54Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Raquel Kasham Daniel''' ni mjasiriamali wa kijamii, mwalimu na mwandishi kutoka [[Nigeria]].<ref>[1]</ref> Ameandika vitabu kadhaa ikiwemo ''FLOW: a girl's guide to menstruation''.<ref>[2]</ref> Amepewa tuzo nyingi kutokana na kazi yake ya kutoa elimu kwa watoto walioko katika mazingira magumu nchini Nigeria.<ref>[3][4]</ref> Pia ni mpokeaji wa tuzo ya African Luther King Heroes Award.<ref>[5]</ref> Alianzisha shirika la Beyond the Classroom Foundation...' 1508017 wikitext text/x-wiki '''Raquel Kasham Daniel''' ni mjasiriamali wa kijamii, mwalimu na mwandishi kutoka [[Nigeria]].<ref>[1]</ref> Ameandika vitabu kadhaa ikiwemo ''FLOW: a girl's guide to menstruation''.<ref>[2]</ref> Amepewa tuzo nyingi kutokana na kazi yake ya kutoa elimu kwa watoto walioko katika mazingira magumu nchini Nigeria.<ref>[3][4]</ref> Pia ni mpokeaji wa tuzo ya African Luther King Heroes Award.<ref>[5]</ref> Alianzisha shirika la Beyond the Classroom Foundation ili kukabiliana na changamoto za kijamii na kielimu kwa watoto wasiojiweza,<ref>[6]</ref> na pia aliunda jukwaa la mtandaoni Nzuriaiki.com (sasa voluserve.com) linalounganisha mashirika yasiyo ya kiserikali na wajitolea barani Afrika.<ref>[7]</ref> Aidha, ni mwanzilishi mwenza wa Bambini Africa, watayarishaji wa Bambini Books na Bambini TV.<ref>[8]</ref> == Maisha ya awali == Kwa mujibu wa mahojiano yake, Daniel anatoka Jimbo la Kaduna na aliishi katika miji ya Kaduna na Lagos kwa sehemu kubwa ya maisha yake. Yeye ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wanne na ndiye msichana pekee. Alifiwa na baba yake alipokuwa na umri wa miaka 16, na mama yake alifariki miaka minne baadaye.<ref>[9][6]</ref> == Elimu == Daniel ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Lagos.<ref>[3]</ref> == Bibliografia == * ''My First Tracing Book'' (2021)<ref>[10]</ref> * ''FLOW: a girl's guide to menstruation''<ref>[2]</ref> * ''Squeaky Clean''<ref>[11]</ref> * ''My Big Fun Colouring Book''<ref>[12]</ref> * ''My Big Fun Tracing Book''<ref>[13]</ref> * ''The Alphabet Book on COVID-19''<ref>[14]</ref> * ''My Personal Reading Log''<ref>[15]</ref> * ''There is a New Virus in Town''<ref>[16]</ref> * ''My Fun Colouring Book''<ref>[17]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} mhxo3gdkd4rvwouhvr1j81hn60ajslf 1508144 1508017 2026-04-21T10:56:26Z Riccardo Riccioni 452 1508144 wikitext text/x-wiki '''Raquel Kasham Daniel''' ni mjasiriamali wa kijamii, mwalimu na mwandishi kutoka [[Nigeria]]. Ameandika vitabu kadhaa ikiwemo ''FLOW: a girl's guide to menstruation''. Amepewa tuzo nyingi kutokana na kazi yake ya kutoa elimu kwa watoto walioko katika mazingira magumu nchini Nigeria. Pia ni mpokeaji wa tuzo ya African Luther King Heroes Award. Alianzisha shirika la Beyond the Classroom Foundation ili kukabiliana na changamoto za kijamii na kielimu kwa watoto wasiojiweza, na pia aliunda jukwaa la mtandaoni Nzuriaiki.com (sasa voluserve.com) linalounganisha mashirika yasiyo ya kiserikali na wajitolea barani Afrika. Aidha, ni mwanzilishi mwenza wa Bambini Africa, watayarishaji wa Bambini Books na Bambini TV. == Maisha ya awali == Kwa mujibu wa mahojiano yake, Daniel anatoka Jimbo la Kaduna na aliishi katika miji ya Kaduna na Lagos kwa sehemu kubwa ya maisha yake. Yeye ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wanne na ndiye msichana pekee. Alifiwa na baba yake alipokuwa na umri wa miaka 16, na mama yake alifariki miaka minne baadaye. == Elimu == Daniel ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Lagos. == Bibliografia == * ''My First Tracing Book'' (2021) * ''FLOW: a girl's guide to menstruation'' * ''Squeaky Clean'' * ''My Big Fun Colouring Book'' * ''My Big Fun Tracing Book'' * ''The Alphabet Book on COVID-19'' * ''My Personal Reading Log'' * ''There is a New Virus in Town'' * ''My Fun Colouring Book'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] p01wiy659hjjt31gtcyff8f5mms8kxx Judy Chalmers 0 229708 1508018 2026-04-21T08:09:55Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Judy Chalmers''' (alizaliwa [[16 Novemba]] [[1932]], jina la kuzaliwa Bellhouse) ni [[mwanasiasa]] mstaafu na [[mwanaharakati]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]]<ref>{{Cite web|last=Parks|first=Michael|date=1985-12-30|title=2 Campaigners Against Apartheid Die in Head-on Car Crash in South Africa|url=https://www.latimes.com/archives/la-xpm-1985-12-30-mn-29854-story.html|access-date=2023-04-11|website=Los Angeles Times|language=en-US}}</ref> Aliwakilis...' 1508018 wikitext text/x-wiki '''Judy Chalmers''' (alizaliwa [[16 Novemba]] [[1932]], jina la kuzaliwa Bellhouse) ni [[mwanasiasa]] mstaafu na [[mwanaharakati]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]]<ref>{{Cite web|last=Parks|first=Michael|date=1985-12-30|title=2 Campaigners Against Apartheid Die in Head-on Car Crash in South Africa|url=https://www.latimes.com/archives/la-xpm-1985-12-30-mn-29854-story.html|access-date=2023-04-11|website=Los Angeles Times|language=en-US}}</ref> Aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Taifa kuanzia mwaka 1994 hadi 2009. Kabla na wakati wa kipindi cha ubaguzi wa rangi (apartheid), alikuwa mwanaharakati na alihudumu kama mwenyekiti wa Black Sash katika eneo la Eastern Cape.<ref name=":1">{{Cite news|date=11 May 2016|title=Fearless Blackburn made real difference|work=IOL|url=https://www.iol.co.za/capetimes/news/fearless-blackburn-made-real-difference-2020083|access-date=11 April 2023}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1932]] 0p4jl31eceu8xxpfjqno06l08ayfe6q Nomatyala Hangana 0 229709 1508019 2026-04-21T08:13:49Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nomatyala Elizabeth Hangana''' (alizaliwa [[12 Aprili]] [[1956]] – [[3 Agosti]] [[2012]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kama Naibu Waziri wa Serikali za Mikoa na Serikali za Mitaa kuanzia Aprili 2004 hadi Mei 2009. Pia aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Taifa kuanzia 1994 hadi 2009, isipokuwa kipindi cha 2001 hadi 2004 alipokuwa akihudumu katika Baraza la Utendaji la Mkoa wa Western Cap...' 1508019 wikitext text/x-wiki '''Nomatyala Elizabeth Hangana''' (alizaliwa [[12 Aprili]] [[1956]] – [[3 Agosti]] [[2012]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika Kusini.]] Alihudumu kama Naibu Waziri wa Serikali za Mikoa na Serikali za Mitaa kuanzia Aprili 2004 hadi Mei 2009. Pia aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Taifa kuanzia 1994 hadi 2009, isipokuwa kipindi cha 2001 hadi 2004 alipokuwa akihudumu katika Baraza la Utendaji la Mkoa wa Western Cape. Aidha, aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa ANC Women's League katika Western Cape.<ref name=":022">{{cite magazine|date=11 June 1999|title=General Notice: Notice 1319 of 1999 – Electoral Commission: Representatives Elected to the Various Legislatures|url=https://gazettes.africa/archive/za/1999/za-government-gazette-dated-1999-06-11-no-20203.pdf|magazine=[[Government Gazette of South Africa]]|location=Pretoria, South Africa|publisher=[[Government of South Africa]]|volume=408|issue=20203|pages=|access-date=26 March 2021}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1956]] [[Jamii:Waliofariki 2012]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 3jz8pfeedxgnvmqb7rov2jp4cc9hnu5 1508161 1508019 2026-04-21T11:24:14Z ~2026-24519-62 88836 1508161 wikitext text/x-wiki '''Nomatyala Elizabeth Hangana''' ([[12 Aprili]] [[1956]] – [[3 Agosti]] [[2012]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]]. Alihudumu kama Naibu Waziri wa Serikali za Mikoa na Serikali za Mitaa kuanzia Aprili 2004 hadi Mei 2009. Pia aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Taifa kuanzia 1994 hadi 2009, isipokuwa kipindi cha 2001 hadi 2004 alipokuwa akihudumu katika Baraza la Utendaji la Mkoa wa Western Cape. Aidha, aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa ANC Women's League katika Western Cape.<ref name=":022">{{cite magazine|date=11 June 1999|title=General Notice: Notice 1319 of 1999 – Electoral Commission: Representatives Elected to the Various Legislatures|url=https://gazettes.africa/archive/za/1999/za-government-gazette-dated-1999-06-11-no-20203.pdf|magazine=[[Government Gazette of South Africa]]|location=Pretoria, South Africa|publisher=[[Government of South Africa]]|volume=408|issue=20203|pages=|access-date=26 March 2021}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1956]] [[Jamii:Waliofariki 2012]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 59gilqim3hscytpngz1h5o7qo32fmem Glory Edim 0 229710 1508021 2026-04-21T08:17:05Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Glory Okon Edim''' ni mwandishi na mjasiriamali wa asili ya Nigeria–Marekani.<ref>[1]</ref> Anajulikana zaidi kama mwanzilishi wa mtandao wa usomaji wa vitabu unaoitwa ''Well-Read Black Girl''.<ref>[2]</ref> Alipokea Tuzo ya Innovator’s Award ya Los Angeles Times Book Prize mwaka 2017 kutokana na mchango wake katika kukuza usomaji na jamii ya wasomaji.<ref>[3]</ref> == Maisha ya awali na elimu == Edim alizaliwa na kukulia Arlington, Virginia, Marek...' 1508021 wikitext text/x-wiki '''Glory Okon Edim''' ni mwandishi na mjasiriamali wa asili ya Nigeria–Marekani.<ref>[1]</ref> Anajulikana zaidi kama mwanzilishi wa mtandao wa usomaji wa vitabu unaoitwa ''Well-Read Black Girl''.<ref>[2]</ref> Alipokea Tuzo ya Innovator’s Award ya Los Angeles Times Book Prize mwaka 2017 kutokana na mchango wake katika kukuza usomaji na jamii ya wasomaji.<ref>[3]</ref> == Maisha ya awali na elimu == Edim alizaliwa na kukulia Arlington, Virginia, Marekani,<ref>[4]</ref> akiwa mtoto wa wazazi wahamiaji kutoka Nigeria waliopitia vita vya Biafra.<ref>[5]</ref> Baba yake alirudi Nigeria mapema miaka ya 1990; akiwa bado mdogo, Edim na mama yake walimfuata nchini Nigeria, lakini baadaye walirudi Marekani kutokana na ugonjwa wake.<ref>[6]</ref> Mama yake, ambaye awali alikuwa mwanahistoria, alisoma tena na kuwa muuguzi.<ref>[7]</ref> Alisoma katika Trinity College kwa ufadhili wa masomo kabla ya kuhamia Howard University, ambako alisomea uandishi wa habari.<ref>[8]</ref> == Kazi == Edim alianzisha ''Well-Read Black Girl (WRBG)'' kupitia Instagram mwaka 2015 alipohamia New York City.<ref>[9]</ref> Mradi huu ulianza kama ukurasa wa mitandao ya kijamii uliokuwa ukichapisha picha na nukuu za waandishi wanawake Weusi, ukiwa na lengo la kujenga jamii ya wanawake Weusi wanaopenda vitabu na majadiliano ya fasihi.<ref>[10]</ref> Baadaye alianzisha klabu ya vitabu Brooklyn ambapo waandishi mbalimbali walihudhuria, na hatimaye akaanzisha tamasha la fasihi la WRBG mwaka 2017 lililofanyika Brooklyn na kuuzwa tiketi zote.<ref>[11]</ref> Mwaka 2018 alichapisha kitabu cha mkusanyiko wa maandiko kinachoitwa ''Well-Read Black Girl: Finding Our Stories, Discovering Ourselves''.<ref>[12]</ref> Kitabu hicho kilipokea mapokezi mazuri ya kitaaluma na kimechukuliwa kama mchango muhimu katika fasihi ya wanawake Weusi.<ref>[13]</ref> == Vitabu == * ''Well-Read Black Girl: Finding Our Stories, Discovering Ourselves'' (2018)<ref>[12]</ref> * ''On Girlhood: 15 Stories from the Well-Read Black Girl Library'' (2021) * ''Gather Me: A Memoir in Praise of the Books That Saved Me'' (2024) == Tuzo na heshima == * Innovator’s Award, Los Angeles Times (2017)<ref>[3]</ref> * Hurston/Wright Merit Award (2019) * NAACP Image Awards – uteuzi wa kazi bora ya uandishi (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1982|}} 9j4qze0uj3ygzw62nu9m9fpl2cx2sri 1508032 1508021 2026-04-21T08:29:28Z Egipa 87700 1508032 wikitext text/x-wiki '''Glory Okon Edim''' ni mwandishi na mjasiriamali wa asili ya nchini [[Nigeria]] na asili ya nchini [[Marekani]].<ref>[1]</ref> Anajulikana zaidi kama mwanzilishi wa mtandao wa usomaji wa vitabu unaoitwa ''Well-Read Black Girl''.<ref>[2]</ref> Alipokea Tuzo ya Innovator’s Award ya Los Angeles Times Book Prize mwaka wa 2017 kutokana na mchango wake katika kukuza usomaji na jamii ya wasomaji.<ref>[3]</ref> == Maisha ya awali na elimu == Edim alizaliwa na kukulia Arlington, Virginia, Marekani,<ref>[4]</ref> akiwa mtoto wazazi wake walikuwa wahamiaji kutokanchini Nigeria waliopitia vita vya Biafra.<ref>[5]</ref> Baba yake alirudi nchini Nigeria mapema miaka ya 1990; akiwa bado mdogo, Edim na mama yake walimfuata huko nchini Nigeria, lakini baadaye walirudi nchini Marekani kutokana na udhaifu wake aliokuwa nao.<ref>[6]</ref> Mama yake, ambaye mwanzo alikuwa mwanahistoria, alisoma tena na kuwa muuguzi.<ref>[7]</ref> Alisoma katika Trinity College kwa ufadhili wa masomo kabla ya kuhamia Howard University, ambako alisomea maswala ya uandishi wa habari.<ref>[8]</ref> == Kazi == Edim alianzisha ''Well-Read Black Girl (WRBG)'' kupitia Instagram mwaka wa 2015 alipohamia jiji la New York City.<ref>[9]</ref> Mradi huu ulianza kama ukurasa wa mitandao ya kijamii uliokuwa ukichapisha picha na nukuu za waandishi wanawake Weusi, ukiwa na lengo la kujenga jamii ya wanawake Weusi wanaopenda vitabu na majadiliano ya fasihi.<ref>[10]</ref> Baadaye alianzisha klabu ya vitabu Brooklyn ambapo waandishi mbalimbali walihudhuria, na hatimaye akaanzisha tamasha la fasihi la WRBG mwaka wa 2017 lililofanyika Brooklyn na kuuzwa tiketi zote.<ref>[11]</ref> Mnamo Mwaka 2018 alichapisha kitabu cha mkusanyiko wa maandiko kinachoitwa ''Well-Read Black Girl: Finding Our Stories, Discovering Ourselves''.<ref>[12]</ref> Kitabu hicho kilipokea mapokezi mazuri ya kitaaluma na kimechukuliwa kama mchango muhimu katika fasihi ya wanawake Weusi.<ref>[13]</ref> == Vitabu == * ''Well-Read Black Girl: Finding Our Stories, Discovering Ourselves'' (year 2018)<ref>[12]</ref> * ''On Girlhood: 15 Stories from the Well-Read Black Girl Library'' (year 2021) * ''Gather Me: A Memoir in Praise of the Books That Saved Me'' (year 2024) == Tuzo na heshima == * Innovator’s Award, Los Angeles Times (2017)<ref>[3]</ref> * Hurston/Wright Merit Award (year 2019) * NAACP Image Awards – uteuzi wa kazi bora ya uandishi (year 2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1982|}} rvo1s4v92gophd8snkprycjt2xz1jlg 1508167 1508032 2026-04-21T11:27:51Z ~2026-24519-62 88836 1508167 wikitext text/x-wiki '''Glory Okon Edim''' ni mwandishi na mjasiriamali wa [[Nigeria]] na [[Marekani]]. Anajulikana zaidi kama mwanzilishi wa mtandao wa usomaji wa vitabu unaoitwa ''Well-Read Black Girl''. Alipokea Tuzo ya Innovator’s Award ya Los Angeles Times Book Prize mwaka wa 2017 kutokana na mchango wake katika kukuza usomaji na jamii ya wasomaji. == Maisha ya awali na elimu == Edim alizaliwa na kukulia Arlington, Virginia, Marekani, akiwa mtoto wazazi wake walikuwa wahamiaji kutokanchini Nigeria waliopitia vita vya Biafra. Baba yake alirudi nchini Nigeria mapema miaka ya 1990; akiwa bado mdogo, Edim na mama yake walimfuata huko nchini Nigeria, lakini baadaye walirudi nchini Marekani kutokana na udhaifu wake aliokuwa nao. Mama yake, ambaye mwanzo alikuwa mwanahistoria, alisoma tena na kuwa muuguzi. Alisoma katika Trinity College kwa ufadhili wa masomo kabla ya kuhamia Howard University, ambako alisomea maswala ya uandishi wa habari. == Kazi == Edim alianzisha ''Well-Read Black Girl (WRBG)'' kupitia Instagram mwaka wa 2015 alipohamia jiji la New York City. Mradi huu ulianza kama ukurasa wa mitandao ya kijamii uliokuwa ukichapisha picha na nukuu za waandishi wanawake Weusi, ukiwa na lengo la kujenga jamii ya wanawake Weusi wanaopenda vitabu na majadiliano ya fasihi. Baadaye alianzisha klabu ya vitabu Brooklyn ambapo waandishi mbalimbali walihudhuria, na hatimaye akaanzisha tamasha la fasihi la WRBG mwaka wa 2017 lililofanyika Brooklyn na kuuzwa tiketi zote. Mnamo Mwaka 2018 alichapisha kitabu cha mkusanyiko wa maandiko kinachoitwa ''Well-Read Black Girl: Finding Our Stories, Discovering Ourselves''. Kitabu hicho kilipokea mapokezi mazuri ya kitaaluma na kimechukuliwa kama mchango muhimu katika fasihi ya wanawake Weusi. == Vitabu == * ''Well-Read Black Girl: Finding Our Stories, Discovering Ourselves'' (2018) * ''On Girlhood: 15 Stories from the Well-Read Black Girl Library'' (2021) * ''Gather Me: A Memoir in Praise of the Books That Saved Me'' (2024) == Tuzo na heshima == * Innovator’s Award, Los Angeles Times (2017) * Hurston/Wright Merit Award (2019) * NAACP Image Awards – uteuzi wa kazi bora ya uandishi (2019) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1982|}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:waandishi wa Marekani]] i1jgp0j989z1f2ufvvi5uwchkjiewfw Koliswa Fihlani 0 229711 1508023 2026-04-21T08:17:21Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Koliswa Fihlani''' (anayejulikana pia kama Kholiswa Fihlani) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa zaidi ya muongo mmoja. Alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu wa 2009 akiwa nafasi ya 38 kwenye orodha ya chama ya mkoa ya ANC. Baadaye alichaguliwa tena mwaka 2014 akiwa nafasi ya 10, na tena mwaka 2019 akiwa nafasi ya 13.<ref>{{Cite news|last=Sain...' 1508023 wikitext text/x-wiki '''Koliswa Fihlani''' (anayejulikana pia kama Kholiswa Fihlani) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa Eastern Cape kwa zaidi ya muongo mmoja. Alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu wa 2009 akiwa nafasi ya 38 kwenye orodha ya chama ya mkoa ya ANC. Baadaye alichaguliwa tena mwaka 2014 akiwa nafasi ya 10, na tena mwaka 2019 akiwa nafasi ya 13.<ref>{{Cite news|last=Sain|first=Raahil|date=22 May 2019|title=Oscar Mabuyane sworn in as new Eastern Cape Premier|language=en|work=IOL|url=https://www.iol.co.za/news/politics/oscar-mabuyane-sworn-in-as-new-eastern-cape-premier-23738274|access-date=2023-02-15}}</ref> Tangu mwaka 2019, amehudumu kama Naibu Kiongozi wa Wabunge wa Chama cha Wengi (Deputy Chief Whip), ambapo anamsaidia Loyiso Magqashela katika uongozi wa wabunge wa ANC katika bunge hilo.<ref>{{Cite web|date=18 May 2014|title=2014 elections: Members of Eastern Cape legislature|url=https://www.politicsweb.co.za/documents/2014-elections-members-of-eastern-cape-legislature|access-date=2023-02-15|website=Politicsweb|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] kzn20ftax3fkw24djk9ki8welhy7iqj Sylvia Benjamin 0 229712 1508025 2026-04-21T08:23:33Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sylvia Motlagomang Benjamin''' (alizaliwa [[15 Novemba]] [[1939]] – [[27 Desemba]] [[2012]]), anayejulikana pia kama “Mamza”, alikuwa mwanaharakati wa vyama vya wafanyakazi na mpiganiaji dhidi ya ubaguzi wa rangi (apartheid) nchini Afrika Kusini.<ref name=":0">{{Cite web|date=13 January 2013|title=Sylvia Benjamin: NUM trailblazer|url=https://www.timeslive.co.za/sunday-times/lifestyle/2013-01-13-obituary-sylvia-benjamin-num-trailblazer/|access-date...' 1508025 wikitext text/x-wiki '''Sylvia Motlagomang Benjamin''' (alizaliwa [[15 Novemba]] [[1939]] – [[27 Desemba]] [[2012]]), anayejulikana pia kama “Mamza”, alikuwa mwanaharakati wa vyama vya wafanyakazi na mpiganiaji dhidi ya ubaguzi wa rangi (apartheid) nchini Afrika Kusini.<ref name=":0">{{Cite web|date=13 January 2013|title=Sylvia Benjamin: NUM trailblazer|url=https://www.timeslive.co.za/sunday-times/lifestyle/2013-01-13-obituary-sylvia-benjamin-num-trailblazer/|access-date=2023-07-01|website=Sunday Times|language=en-ZA}}</ref> Alikuwa mweka hazina wa National Union of Mineworkers kuanzia mwaka 1985 hadi 1987, na alikuwa mwanamke wa kwanza kuingia katika kamati kuu ya utendaji ya chama hicho. Baada ya kumalizika kwa mfumo wa apartheid, alihudumu kama diwani wa eneo la Matlosana katika mkoa wa North West kuanzia 1994 hadi 2005 akiwakilisha African National Congress (ANC). Wakati wa kifo chake mwaka 2012, alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu ya kitaifa ya ANC Veterans' League. == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1939]] [[Jamii:Waliofariki 2012]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] oow2fgtvfhabon2fm2qq3o201ajji3l 1508172 1508025 2026-04-21T11:31:27Z ~2026-24519-62 88836 1508172 wikitext text/x-wiki '''Sylvia Motlagomang Benjamin''' ([[15 Novemba]] [[1939]] – [[27 Desemba]] [[2012]]), anayejulikana pia kama “Mamza”, alikuwa mwanaharakati wa vyama vya wafanyakazi na mpiganiaji dhidi ya ubaguzi wa rangi (apartheid) nchini Afrika Kusini.<ref name=":0">{{Cite web|date=13 January 2013|title=Sylvia Benjamin: NUM trailblazer|url=https://www.timeslive.co.za/sunday-times/lifestyle/2013-01-13-obituary-sylvia-benjamin-num-trailblazer/|access-date=2023-07-01|website=Sunday Times|language=en-ZA}}</ref> Alikuwa mweka hazina wa National Union of Mineworkers kuanzia mwaka 1985 hadi 1987, na alikuwa mwanamke wa kwanza kuingia katika kamati kuu ya utendaji ya chama hicho. Baada ya kumalizika kwa mfumo wa apartheid, alihudumu kama diwani wa eneo la Matlosana katika mkoa wa North West kuanzia 1994 hadi 2005 akiwakilisha African National Congress (ANC). Wakati wa kifo chake mwaka 2012, alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu ya kitaifa ya ANC Veterans' League. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1939]] [[Jamii:Waliofariki 2012]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] ai0168tipkk9m04ot7zsw8j298zzqp7 Temitope Ajayi 0 229713 1508027 2026-04-21T08:23:53Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Amina Temitope Ajayi''' ni [[mfanyabiashara]] na mhasibu kutoka [[Nigeria]] anayeishi nchini [[Marekani]]. Alipata umaarufu zaidi kutokana na uongozi wake katika masuala ya maendeleo ya diaspora ya Wanigeria, kiasi kwamba amejulikana kwa jina la heshima “Mama Diaspora” kutokana na juhudi zake za kutetea maslahi ya Wanigeria wanaoishi nje ya nchi. Aliwahi kuwa Rais wa zamani wa All Nigerian American Congress (ANAC), taasisi inayounganisha na kutetea...' 1508027 wikitext text/x-wiki '''Amina Temitope Ajayi''' ni [[mfanyabiashara]] na mhasibu kutoka [[Nigeria]] anayeishi nchini [[Marekani]]. Alipata umaarufu zaidi kutokana na uongozi wake katika masuala ya maendeleo ya diaspora ya Wanigeria, kiasi kwamba amejulikana kwa jina la heshima “Mama Diaspora” kutokana na juhudi zake za kutetea maslahi ya Wanigeria wanaoishi nje ya nchi. Aliwahi kuwa Rais wa zamani wa All Nigerian American Congress (ANAC), taasisi inayounganisha na kutetea maslahi ya Wanigeria walioko Marekani. Kupitia nafasi hiyo, alijikita katika kuimarisha mahusiano kati ya diaspora na taifa la Nigeria, hususan katika masuala ya maendeleo na uwekezaji. Amina Temitope Ajayi pia ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Nigerian-American Agricultural Empowerment Programme (NAAEP), mpango unaolenga kuwawezesha wakulima, wanawake na vijana nchini Nigeria kupitia kilimo na maendeleo ya kiuchumi.<ref>{{Cite news|url=http://leadership.ng/features/interviews/377599/came-known-mama-diaspora-ajayi|title=How I Came to Be Known as Mama Diaspora– Ajayi|access-date=6 June 2015|newspaper=[[Leadership (newspaper)|Leadership]]}}</ref><ref>{{Cite news|url=http://www.punchng.com/feature/super-saturday-lounge/i-rarely-attend-parties-but-when-i-do-im-there-to-dance-temitope-ajayi/|title=I Rarely Attend Parties, But When I Do, I'm There to Dance –Temitope Ajayi|newspaper=[[The Punch]]|access-date=12 June 2015|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20150614085304/http://www.punchng.com/feature/super-saturday-lounge/i-rarely-attend-parties-but-when-i-do-im-there-to-dance-temitope-ajayi/|archive-date=14 June 2015}}</ref><ref>{{Cite news|url=http://www.thisdaylive.com/articles/temitope-ajayi-nigerians-in-diaspora-are-too-economically-important-to-be-denied-voting-rights/185223/|title=Temitope Ajayi: Nigerians in Diaspora Are Too Economically Important to Be Denied Voting Rights|newspaper=[[This Day]]|access-date=6 June 2015|archive-url=https://web.archive.org/web/20150610174506/http://www.thisdaylive.com/articles/temitope-ajayi-nigerians-in-diaspora-are-too-economically-important-to-be-denied-voting-rights/185223/|archive-date=10 June 2015|url-status=dead}}</ref> Mnamo mwaka [[2010]], alijulikana kwa kutoa wito wa kupunguzwa kwa viwango vya riba ya mikopo kwa wakulima nchini Nigeria ili kukuza sekta ya kilimo. Aidha, amewahi kuteuliwa kuwa balozi wa heshima wa majimbo ya Marekani ya Arkansas na Maryland. Mwaka [[2014]], alihudhuria Mkutano wa Kitaifa wa Nigeria kama mwakilishi wa National Council of Women Societies, ambapo alihudumu katika Kamati ya Kilimo ya mkutano huo, akichangia mijadala kuhusu maendeleo ya sekta ya kilimo na uwezeshaji wa wanawake. == Kazi == Amina Temitope Ajayi ameendelea kujijenga kama mwanaharakati na kiongozi wa kijamii, akianza safari yake nchini Nigeria kabla ya kuhamia Marekani mwaka [[1996 KK|1996]]. Kati ya [[1991]] na [[1993]], alihudumu kama msaidizi maalum wa Naibu Gavana wa Lagos State, Sinatu Aderoju Ojukutu, ambapo alijihusisha na sera za kijamii na maendeleo ya wanawake. Katika kipindi hicho, alishiriki katika mpango wa “Maisha Bora kwa Wanawake Vijijini,” mradi uliolenga kuinua hali ya wanawake wa vijijini chini ya uongozi na ufadhili wa Maryam Babangida. Aidha, alihudhuria mikutano ya kimataifa Morocco na London iliyojikita katika uwezeshaji wa wanawake.<ref name="Source">Sunday Oguntola, [http://issuu.com/thenation/docs/october_9__2011 "Sweet home-coming"], "The Nation", 7 June 2015.</ref> Baada ya kuhamia Marekani mwaka [[1996]], alihusika zaidi na masuala ya diaspora ya Nigeria na baadaye alihudumu kama mratibu wa Goodluck Support Group (GSG). Katika siasa za Nigeria, alitoa maoni ya kupongeza ushindi wa Muhammadu Buhari mwaka [[2015]] na pia kusifu hatua ya amani ya Goodluck Jonathan baada ya uchaguzi.<ref>{{Cite news|url=http://www.vanguardngr.com/2015/04/nigerians-in-the-diaspora-hail-jonathan-buharis-victory/|location=Lagos, Nigeria|title=Nigerians in the Diaspora Hail Jonathan, Buhari's Victory|date=3 April 2015|access-date=6 June 2015|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] anozlb41dtki97uijb659vn0bpgr2un Laura Musanase 0 229714 1508030 2026-04-21T08:27:47Z Abubakari Sixberth 53268 Abubakari Sixberth alihamisha ukurasa wa [[Laura Musanase]] hadi [[Musanase Laura]]: Avoid retranslation twice with the original title 1508030 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Musanase Laura]] p2jfmmc8thlvm980xokdk2eeoddgwnx Primrose Bogatsu 0 229715 1508031 2026-04-21T08:29:08Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Primrose Bogatsu''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amekuwa Mjumbe wa Bunge la Mkoa wa North West tangu Februari 2023, akiwakilisha Economic Freedom Fighters (EFF).<ref>{{Cite web|last=Khiba|first=Mohanoe|title=EFF's Bogatsu has a new role|url=https://www.snl24.com/dailysun/news/effs-bogatsu-has-a-new-role-20230206|access-date=2023-02-08|website=Daily Sun|language=en-US}}</ref> Mnamo Septemba 2022, alichaguliwa kuwa Naibu Mwenyekiti wa Mk...' 1508031 wikitext text/x-wiki '''Primrose Bogatsu''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amekuwa Mjumbe wa Bunge la Mkoa wa North West tangu Februari 2023, akiwakilisha Economic Freedom Fighters (EFF).<ref>{{Cite web|last=Khiba|first=Mohanoe|title=EFF's Bogatsu has a new role|url=https://www.snl24.com/dailysun/news/effs-bogatsu-has-a-new-role-20230206|access-date=2023-02-08|website=Daily Sun|language=en-US}}</ref> Mnamo Septemba 2022, alichaguliwa kuwa Naibu Mwenyekiti wa Mkoa wa EFF katika mkutano wa tatu wa “Provincial People's Assembly” wa chama hicho.<ref>{{Cite web|last=|title=Botswe receives nod to serve second term as EFF chair in North West|url=https://www.sowetanlive.co.za/news/south-africa/2022-09-04-botswe-receives-nod-to-serve-second-term-as-eff-chair-in-north-west/|access-date=2023-02-08|website=SowetanLIVE|language=en-ZA}}</ref><ref>{{Cite web|last=OFM|title=North West EFF elect new leadership|url=https://www.ofm.co.za/article/centralsa/318039/north-west-eff-elect-new-leadership|access-date=2023-02-08|website=OFM}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] qlq4fv5l3vyktidjqbumqxk0z5jmd7n Fenny Gaolaolwe 0 229716 1508035 2026-04-21T08:32:52Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Galaletsang Fenny Gaolaolwe''', anayejulikana pia kama Fenny Motladiile, ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa North West hadi Mei 2019, aliposhindwa kuchaguliwa tena. Kati ya mwaka 2014 na 2019, alihudumu katika Baraza la Utendaji la Mkoa (Executive Council) chini ya Mawaziri Wakuu Supra Mahumapelo na Job Mokgoro. Katika kipindi hicho, alishika nyadhifa mbalimbali, zikiwemo M...' 1508035 wikitext text/x-wiki '''Galaletsang Fenny Gaolaolwe''', anayejulikana pia kama Fenny Motladiile, ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Mkoa wa North West hadi Mei 2019, aliposhindwa kuchaguliwa tena. Kati ya mwaka 2014 na 2019, alihudumu katika Baraza la Utendaji la Mkoa (Executive Council) chini ya Mawaziri Wakuu Supra Mahumapelo na Job Mokgoro. Katika kipindi hicho, alishika nyadhifa mbalimbali, zikiwemo Mjumbe wa Baraza la Utendaji (MEC) wa Maendeleo ya Jamii kuanzia 2014 hadi 2016 na tena 2018 hadi 2019, pamoja na MEC wa Serikali za Mitaa na Makazi ya Watu kuanzia 2016 hadi 2018.<ref>{{Cite web|last=Montsho|first=Molaole|date=8 August 2017|title=Mahumapelo appoints two new MECs|url=https://www.iol.co.za/news/politics/mahumapelo-appoints-two-new-mecs-10693086|access-date=2023-01-11|website=IOL|language=en}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] qufi8adl1iyeqmryg0e8ltdnebjji0k Oroma Elewa 0 229717 1508036 2026-04-21T08:33:36Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Oroma Elewa''' ni msanii wa picha na sanaa ya maonesho, mwandishi na mkurugenzi wa ubunifu kutoka [[Nigeria]].<ref>[1][2][3]</ref> Katika kazi zake za sanaa, Elewa huchunguza miundo ya kijamii na jinsi inavyoathiri utambulisho, fikra, mawasiliano na tabia za binadamu. Kazi zake zinajikita katika kuchunguza uzoefu binafsi wenye maana ya kijamii, kitamaduni, kisiasa na kiutamaduni, pamoja na uzoefu wa mwanamke wa kisasa na kwa maneno yake mwenyewe, vipeng...' 1508036 wikitext text/x-wiki '''Oroma Elewa''' ni msanii wa picha na sanaa ya maonesho, mwandishi na mkurugenzi wa ubunifu kutoka [[Nigeria]].<ref>[1][2][3]</ref> Katika kazi zake za sanaa, Elewa huchunguza miundo ya kijamii na jinsi inavyoathiri utambulisho, fikra, mawasiliano na tabia za binadamu. Kazi zake zinajikita katika kuchunguza uzoefu binafsi wenye maana ya kijamii, kitamaduni, kisiasa na kiutamaduni, pamoja na uzoefu wa mwanamke wa kisasa na kwa maneno yake mwenyewe, vipengele vya utambulisho wa mtu Mweusi, ikiwemo mtazamo wa Waafrika walioko ndani na nje ya bara la Afrika na uzoefu wa ughaibuni.<ref>[1]</ref> Alijipatia umaarufu wa mapema kama mwanzilishi na mhariri mkuu wa jarida la mitindo na sanaa lijulikanalo kama ''Pop’Africana'', ambalo liliangazia mitindo ya kisasa ya Afrika na kuifikisha kwa hadhira ya kimataifa.<ref>[2]</ref> == Kazi == === Pop’Africana (2009–2014) === Oroma Elewa alianzisha ''Pop’Africana'' mwaka 2009, jarida lililolenga kuonyesha utamaduni na mitindo ya Afrika kwa dunia nzima.<ref>[4]</ref> Jarida hilo liliwasilisha taswira mpya ya Afrika na kupinga dhana potofu zilizokuwa zimeenea kuhusu bara hilo.<ref>[5]</ref> Katika mahojiano na Vogue Italia, Elewa alieleza kuwa lengo lake lilikuwa kuonyesha Afrika inayoheshimu ubinafsi na kuwapa Waafrika nafasi ya kudhibiti simulizi zao wenyewe na kubadili mitazamo ya dunia kuhusu bara hilo.<ref>[6]</ref> Jarida hilo lilifungwa mwaka 2014, ambapo Elewa alieleza kuwa kuongezeka kwa mitandao ya kijamii kuliruhusu watu binafsi kusimulia hadithi zao wenyewe, na hivyo kuondoa hitaji la majukwaa ya jadi kama magazeti.<ref>[2]</ref> === Crushed Guava Leaves (2017–sasa) === Mwaka 2017, Elewa alichapisha kitabu chake cha kwanza kinachoitwa ''Crushed Guava Leaves''.<ref>[7]</ref> Kitabu hiki kinajumuisha mashairi na simulizi zinazotokana na uzoefu wake binafsi na uchunguzi wa jamii, zikiwa zimeandaliwa kwa ajili ya uigizaji wa jukwaani, filamu au sauti.<ref>[8]</ref> Mwaka 2018, baadhi ya kazi za uchoraji zilizotafsiri simulizi za kitabu hicho zilionyeshwa katika maonesho ya sanaa.<ref>[9]</ref> Mradi huu umeelezwa kama hatua ya pili ya ubunifu kwa msanii, akichunguza sanaa ya maonesho kama njia ya mawasiliano ya kitamaduni.<ref>[9]</ref> === Area Babes & Ashawo Superstars (2019–sasa) === Mwaka 2019, Elewa alianzisha mradi wa sanaa ya maonesho kupitia mitandao ya kijamii unaoitwa ''Area Babes and Ashawo Superstars''.<ref>[10]</ref> Mradi huu hutumia muundo wa memes kuchambua masuala ya tabaka, nguvu, siasa za ngono na uzoefu wa mwanamke wa Kiafrika katika jamii ya kisasa.<ref>[11][12]</ref> Kazi hii pia hutumia picha za zamani za filamu za Nollywood kuunda simulizi mpya za kijamii.<ref>[13]</ref> == Tuzo == * Tosetti Value Award for Photography (2022)<ref>[17]</ref> == Maonesho == Baadhi ya maonesho ya sanaa ya Elewa ni pamoja na: * ''Corporate Ashawo'', Paris (2022)<ref>[18]</ref> * ARTissima, Turin (2022)<ref>[19]</ref> * Currency: Photography Beyond Capture, Hamburg (2022)<ref>[21]</ref> * Art Basel, Paris (2022) * Togethering, Paris (2022)<ref>[22]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} gj23rekflf1gy0rlfxgblbtlx3ew0re Joy Isi Bewaji 0 229718 1508038 2026-04-21T08:33:56Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Joy Isi Bewaj'''i (alizaliwa [[8 Juni]] [[1977]]) ni [[mwandishi]] wa [[insha]], mwandishi wa [[filamu]], mwandishi wa [[tamthilia]], mjasiriamali wa [[vyombo vya habari]], na [[mwanaharakati]] wa masuala ya kijamii kutoka [[Nigeria]]. Kazi zake za kifasihi na maigizo huzingatia sana masuala ya mgongano wa tamaduni na changamoto zinazotokana na dini katika jamii ya kisasa. Kupitia maandishi yake, mara nyingi huchambua namna mila, imani za kidini, na mi...' 1508038 wikitext text/x-wiki '''Joy Isi Bewaj'''i (alizaliwa [[8 Juni]] [[1977]]) ni [[mwandishi]] wa [[insha]], mwandishi wa [[filamu]], mwandishi wa [[tamthilia]], mjasiriamali wa [[vyombo vya habari]], na [[mwanaharakati]] wa masuala ya kijamii kutoka [[Nigeria]]. Kazi zake za kifasihi na maigizo huzingatia sana masuala ya mgongano wa tamaduni na changamoto zinazotokana na dini katika jamii ya kisasa. Kupitia maandishi yake, mara nyingi huchambua namna mila, imani za kidini, na mitazamo ya kijamii vinavyoathiri maisha ya watu, hasa wanawake. Joy Isi Bewaji anajitambulisha kama mtetezi wa haki za wanawake, na amejenga sifa ya kuwa sauti ya wazi katika mijadala ya kijamii. Vyombo vya habari vimewahi kumuelezea kama “mtetezi wa haki za wanawake wa kisasa asiye na woga,” kutokana na msimamo wake thabiti katika masuala ya kijamii na haki za wanawake. == Kazi == Joy Isi Bewaji amewahi kushika nafasi mbalimbali katika tasnia ya vyombo vya habari na sanaa nchini Nigeria. Aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha redio cha Happenings Radio na pia mhariri katika jarida la Happenings Magazine. Kabla ya hapo, alikuwa Mhariri Mkuu wa jarida la Genevieve Magazine.<ref>{{Cite web|url=https://m.facebook.com/login.php?next=https%3A%2F%2Fm.facebook.com%2Fstory%2Fgraphql_permalink%2F%3Fgraphql_id%3DUzpfSTEwOTQwODIyNjc6MTAyMTc5Mzg0Njg4Mjg3MDU%253D&refsrc=https%3A%2F%2Fm.facebook.com%2Fstory%2Fgraphql_permalink%2F&_rdr|title=Log into Facebook {{!}} Facebook|website=m.facebook.com|access-date=2019-08-02}}</ref> Pia ndiye mwanzilishi wa jukwaa la mazungumzo liitwalo The Conversation Nigeria, ambalo linajikita katika mijadala kuhusu ufeministi, ubaguzi wa kijinsia na chuki dhidi ya wanawake katika jamii ya Nigeria. Mwaka [[2016]], alialikwa kuzungumza katika United Nations International Youth Day 2016, ambapo alijadili changamoto zinazowakabili wasichana na vijana. Joy Isi Bewaji amekuwa mkosoaji mkubwa wa baadhi ya desturi za kidini na kijamii nchini Nigeria, akiziona kama zinazochangia kuunda jamii yenye mawazo finyu na utegemezi wa fikra zisizo huru. Maoni yake yameibua mijadala mikubwa ya umma na pia ukosoaji kutoka kwa baadhi ya wanahabari na wachambuzi wa kijamii. Katika kazi zake za ubunifu, alizindua mradi wa sauti unaoitwa ''Shoes & Love Issues of Tina'' mwaka [[2014]], pamoja na tamthilia mbalimbali zinazojadili masuala ya wanawake. Mwaka 2016 aliandika na kuongoza tamthilia ya ''Story of My Vagina'', inayogusia ubaguzi wa kijinsia, ukandamizaji wa kitamaduni na changamoto za wanawake katika jamii. Mwaka [[2017]], alichapisha pia ''Marriage Onions in Wedding Blues'', tamthilia inayoangazia changamoto za ndoa na nafasi ya wanawake katika familia za Kiafrika, ambayo ilichezwa katika Freedom Park Lagos na kushirikisha waigizaji wa Nollywood. Mwaka [[2019]] alichapisha kitabu cha tafakari kiitwacho ''Las Las, We’ll Be Alright'', kinachochambua maisha ya kijamii na kitamaduni ya Wanigeria. Aidha, alizidi kujulikana kwa mijadala yake ya ufeministi katika taasisi kama Harvard University.<ref>{{Cite web|url=http://www.herald.ng/feminism-a-wrong-perception-of-equality-uchegbu-ndubuisi/|title=Feminism: A wrong perception of equality – Uchegbu Ndubuisi|last=UCHEGBU|first=NDUBUISI|date=September 3, 2015|website=Herald.ng|access-date=2017-11-10}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://feminine.com.ng/2016/09/20/facebook-on-fire-as-omotoyosi-ogunbanwo-eviscerates-joy-isi-bewaji-with-sub-post/|title=Facebook on fire as Omotoyosi Ogunbanwo eviscerates Joy Isi Bewaji with sub post|last=|date=June 1, 2017|website=Feminine.com.ng|access-date=2017-11-10|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://veepoint.com/the-moving-train-an-open-letter-to-joy-isi-bewaji-by-sylvanus-omoniyi/|title=The Moving Train: An Open Letter to Joy Isi Bewaji : By Sylvanus Omoniyi|last=Omoniyi|first=Sylvanus|date=October 9, 2016|website=veepoint.com|access-date=2017-11-10|archive-date=2017-12-01|archive-url=https://web.archive.org/web/20171201033441/https://veepoint.com/the-moving-train-an-open-letter-to-joy-isi-bewaji-by-sylvanus-omoniyi/|url-status=dead}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1977]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] ryfvzi7dhp1gemr2vm3xz7irmemn0uq 1508040 1508038 2026-04-21T08:34:46Z Ramadhani Mushi 61176 1508040 wikitext text/x-wiki '''Joy Isi Bewaj'''i (alizaliwa [[8 Juni]] [[1977]]) ni [[mwandishi]] wa [[insha]], mwandishi wa [[filamu]], mwandishi wa [[tamthilia]], mjasiriamali wa [[vyombo vya habari]], na [[mwanaharakati]] wa masuala ya kijamii kutoka [[Nigeria]]. Kazi zake za kifasihi na maigizo huzingatia sana masuala ya mgongano wa tamaduni na changamoto zinazotokana na dini katika jamii ya kisasa. Kupitia maandishi yake, mara nyingi huchambua namna mila, imani za kidini, na mitazamo ya kijamii vinavyoathiri maisha ya watu, hasa wanawake. Joy Isi Bewaji anajitambulisha kama mtetezi wa haki za wanawake, na amejenga sifa ya kuwa sauti ya wazi katika mijadala ya kijamii. Vyombo vya habari vimewahi kumuelezea kama “mtetezi wa haki za wanawake wa kisasa asiye na woga,” kutokana na msimamo wake thabiti katika masuala ya kijamii na haki za wanawake. == Kazi == Joy Isi Bewaji amewahi kushika nafasi mbalimbali katika tasnia ya vyombo vya habari na sanaa nchini Nigeria. Aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha redio cha Happenings Radio na pia mhariri katika jarida la Happenings Magazine. Kabla ya hapo, alikuwa Mhariri Mkuu wa jarida la Genevieve Magazine. Pia ndiye mwanzilishi wa jukwaa la mazungumzo liitwalo The Conversation Nigeria, ambalo linajikita katika mijadala kuhusu ufeministi, ubaguzi wa kijinsia na chuki dhidi ya wanawake katika jamii ya Nigeria. Mwaka [[2016]], alialikwa kuzungumza katika United Nations International Youth Day 2016, ambapo alijadili changamoto zinazowakabili wasichana na vijana. Joy Isi Bewaji amekuwa mkosoaji mkubwa wa baadhi ya desturi za kidini na kijamii nchini Nigeria, akiziona kama zinazochangia kuunda jamii yenye mawazo finyu na utegemezi wa fikra zisizo huru. Maoni yake yameibua mijadala mikubwa ya umma na pia ukosoaji kutoka kwa baadhi ya wanahabari na wachambuzi wa kijamii. Katika kazi zake za ubunifu, alizindua mradi wa sauti unaoitwa ''Shoes & Love Issues of Tina'' mwaka [[2014]], pamoja na tamthilia mbalimbali zinazojadili masuala ya wanawake. Mwaka 2016 aliandika na kuongoza tamthilia ya ''Story of My Vagina'', inayogusia ubaguzi wa kijinsia, ukandamizaji wa kitamaduni na changamoto za wanawake katika jamii. Mwaka [[2017]], alichapisha pia ''Marriage Onions in Wedding Blues'', tamthilia inayoangazia changamoto za ndoa na nafasi ya wanawake katika familia za Kiafrika, ambayo ilichezwa katika Freedom Park Lagos na kushirikisha waigizaji wa Nollywood. Mwaka [[2019]] alichapisha kitabu cha tafakari kiitwacho ''Las Las, We’ll Be Alright'', kinachochambua maisha ya kijamii na kitamaduni ya Wanigeria. Aidha, alizidi kujulikana kwa mijadala yake ya ufeministi katika taasisi kama Harvard University.<ref>{{Cite web|url=http://www.herald.ng/feminism-a-wrong-perception-of-equality-uchegbu-ndubuisi/|title=Feminism: A wrong perception of equality – Uchegbu Ndubuisi|last=UCHEGBU|first=NDUBUISI|date=September 3, 2015|website=Herald.ng|access-date=2017-11-10}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://feminine.com.ng/2016/09/20/facebook-on-fire-as-omotoyosi-ogunbanwo-eviscerates-joy-isi-bewaji-with-sub-post/|title=Facebook on fire as Omotoyosi Ogunbanwo eviscerates Joy Isi Bewaji with sub post|last=|date=June 1, 2017|website=Feminine.com.ng|access-date=2017-11-10|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://veepoint.com/the-moving-train-an-open-letter-to-joy-isi-bewaji-by-sylvanus-omoniyi/|title=The Moving Train: An Open Letter to Joy Isi Bewaji : By Sylvanus Omoniyi|last=Omoniyi|first=Sylvanus|date=October 9, 2016|website=veepoint.com|access-date=2017-11-10|archive-date=2017-12-01|archive-url=https://web.archive.org/web/20171201033441/https://veepoint.com/the-moving-train-an-open-letter-to-joy-isi-bewaji-by-sylvanus-omoniyi/|url-status=dead}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1977]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] 18rfgsowis6tradx3lbwmor8jexey6v Majadiliano:Arsenal FC 1 229719 1508039 2026-04-21T08:34:28Z ~2026-24416-93 88834 /* historia ya arsenal */ mjadala mpya 1508039 wikitext text/x-wiki == historia ya arsenal == nataka kujua historia [[Maalum:Michango/&#126;2026-24416-93|&#126;2026-24416-93]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:&#126;2026-24416-93|talk]]) 08:34, 21 Aprili 2026 (UTC) oxsa62fs1chnrajsslv34pbrsczhhol Laura Ikeji 0 229720 1508041 2026-04-21T08:37:46Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Laura Ikeji-Kanu''' (alizaliwa 15 Machi 1988)<ref>[3]</ref> ni mjasiriamali wa urembo kutoka [[Nigeria]] na mmoja wa washawishi wakubwa wa mitindo na urembo nchini humo.<ref>[4]</ref> Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya vipodozi iitwayo ''LauraBeauty'' na pia alishiriki katika kipindi cha uhalisia cha televisheni cha Showmax ''The Real Housewives of Lagos''. Ni mdogo wa mwanablogu maarufu wa Nigeria, Linda Ikeji. == Maisha ya awali na familia == Laura Ik...' 1508041 wikitext text/x-wiki '''Laura Ikeji-Kanu''' (alizaliwa 15 Machi 1988)<ref>[3]</ref> ni mjasiriamali wa urembo kutoka [[Nigeria]] na mmoja wa washawishi wakubwa wa mitindo na urembo nchini humo.<ref>[4]</ref> Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya vipodozi iitwayo ''LauraBeauty'' na pia alishiriki katika kipindi cha uhalisia cha televisheni cha Showmax ''The Real Housewives of Lagos''. Ni mdogo wa mwanablogu maarufu wa Nigeria, Linda Ikeji. == Maisha ya awali na familia == Laura Ikeji alizaliwa na kukulia Nigeria. Yeye ni dada mdogo wa Linda Ikeji, mmoja wa wanablogu mashuhuri nchini Nigeria. Ameolewa na Christopher Kanu, na harusi yao ya kiserikali ilifanyika tarehe 19 Januari 2017 mjini Lagos, Nigeria.<ref>[13]</ref> Harusi ya kimila ilifanyika katika Jimbo la Imo tarehe 28 Januari 2017.<ref>[14]</ref> Wawili hao walipata mtoto wao wa kwanza, Ryan Kanu, mwezi Julai 2017 nchini Marekani.<ref>[15]</ref> == Kazi == Laura Ikeji-Kanu ni mwanzilishi wa chapa ya vipodozi ''LauraBeauty''. Amejijengea umaarufu kama mshawishi wa mitindo na urembo kupitia mitandao ya kijamii na ushirikiano na makampuni mbalimbali. Mwaka 2017 alisaini mkataba wa ubalozi wa chapa na kampuni ya nywele BK Unique Hair Inc pamoja na Rita Dominic.<ref>[8]</ref> Mwaka 2018 aliteuliwa kuwa balozi wa Payporte, kampuni ya mtandaoni iliyohusishwa na Big Brother Naija.<ref>[9]</ref> Pia alishirikiana na Gtex Homes kama balozi wa chapa.<ref>[10]</ref> Mwaka 2018 alizindua manukato yake yaliyoitwa ''Incomplete'', ambayo yaliuzwa kabla ya tarehe ya uzinduzi kutokana na mahitaji makubwa ya awali.<ref>[11][12]</ref> == Vyombo vya habari == Laura amewahi kuonekana kwenye majarida mbalimbali ya mitindo na maisha. * Mwaka 2018 alionekana kwenye ''The Guardian Life Magazine'' ambapo alizungumzia kitabu chake ''How To Make Money On Instagram''.<ref>[5]</ref> * Pia alionekana kwenye ''TW Magazine'' pamoja na mwigizaji Omoni Oboli.<ref>[6]</ref> == Filamu na televisheni == * ''Undercover Lover'' (2015) – Barbara * ''Sugar Rush'' (2019) – Mgeni * ''The Real Housewives of Lagos'' (2022) – Nafsi yake mwenyewe == Tuzo na heshima == Mwaka 2018, Laura Ikeji alikuwa miongoni mwa watu waliotunukiwa na ECOWAS Female Parliamentarians Association (ECOFEPA) pamoja na watu mashuhuri kama Yemi Osinbajo na Aliko Dangote.<ref>[18]</ref> == Maisha ya kibinafsi na maslahi == Mbali na biashara ya mitindo, Laura ana shauku kubwa katika usanifu wa ndani (interior design). Mwaka 2024 alitembelea showroom ya Mayluv World huko Lagos, ambapo alionesha mapenzi yake kwa muundo wa nyumba za kifahari na mapambo ya ndani.<ref>[17]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} bsdzk8tclwjre7nu0yk0guoktdchaqr 1508176 1508041 2026-04-21T11:36:32Z ~2026-24519-62 88836 1508176 wikitext text/x-wiki '''Laura Ikeji-Kanu''' (alizaliwa 15 Machi 1988) ni mjasiriamali wa urembo kutoka [[Nigeria]] na mmoja wa washawishi wakubwa wa mitindo na urembo nchini humo. Yeye ni mwanzilishi wa kampuni ya vipodozi iitwayo ''LauraBeauty'' na pia alishiriki katika kipindi cha uhalisia cha televisheni cha Showmax ''The Real Housewives of Lagos''. Ni mdogo wa mwanablogu maarufu wa Nigeria, Linda Ikeji. == Maisha ya awali na familia == Laura Ikeji alizaliwa na kukulia Nigeria. Yeye ni dada mdogo wa Linda Ikeji, mmoja wa wanablogu mashuhuri nchini Nigeria. Ameolewa na Christopher Kanu, na harusi yao ya kiserikali ilifanyika tarehe 19 Januari 2017 mjini Lagos, Nigeria. Harusi ya kimila ilifanyika katika Jimbo la Imo tarehe 28 Januari 2017. Wawili hao walipata mtoto wao wa kwanza, Ryan Kanu, mwezi Julai 2017 nchini Marekani. == Kazi == Laura Ikeji-Kanu ni mwanzilishi wa chapa ya vipodozi ''LauraBeauty''. Amejijengea umaarufu kama mshawishi wa mitindo na urembo kupitia mitandao ya kijamii na ushirikiano na makampuni mbalimbali. Mwaka 2017 alisaini mkataba wa ubalozi wa chapa na kampuni ya nywele BK Unique Hair Inc pamoja na Rita Dominic. Mwaka 2018 aliteuliwa kuwa balozi wa Payporte, kampuni ya mtandaoni iliyohusishwa na Big Brother Naija. Pia alishirikiana na Gtex Homes kama balozi wa chapa. Mwaka 2018 alizindua manukato yake yaliyoitwa ''Incomplete'', ambayo yaliuzwa kabla ya tarehe ya uzinduzi kutokana na mahitaji makubwa ya awali. == Vyombo vya habari == Laura amewahi kuonekana kwenye majarida mbalimbali ya mitindo na maisha. * Mwaka 2018 alionekana kwenye ''The Guardian Life Magazine'' ambapo alizungumzia kitabu chake ''How To Make Money On Instagram''. * Pia alionekana kwenye ''TW Magazine'' pamoja na mwigizaji Omoni Oboli. == Filamu na televisheni == * ''Undercover Lover'' (2015) – Barbara * ''Sugar Rush'' (2019) – Mgeni * ''The Real Housewives of Lagos'' (2022) – Nafsi yake mwenyewe == Tuzo na heshima == Mwaka 2018, Laura Ikeji alikuwa miongoni mwa watu waliotunukiwa na ECOWAS Female Parliamentarians Association (ECOFEPA) pamoja na watu mashuhuri kama Yemi Osinbajo na Aliko Dangote. == Maisha binafsi na maslahi == Mbali na biashara ya mitindo, Laura ana shauku kubwa katika usanifu wa ndani (interior design). Mwaka 2024 alitembelea showroom ya Mayluv World huko Lagos, ambapo alionesha mapenzi yake kwa muundo wa nyumba za kifahari na mapambo ya ndani. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:wanawake wa Nigeria]] tagsyphkd936jln5vwmuxiot1ug78ba Funmi Iyanda 0 229721 1508042 2026-04-21T08:42:44Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Olufunmilola Aduke Iyanda''' (anayejulikana kitaaluma kama '''Funmi Iyanda'''; alizaliwa 27 Julai 1971) ni mtangazaji wa runinga wa [[Nigeria]], mwandishi wa habari, mtayarishaji wa filamu na televisheni, mtendaji wa vyombo vya habari, mjasiriamali wa hisani na mblogi.[1][2] Ametambulika sana kwa kipindi chake cha mazungumzo cha '''New Dawn with Funmi''', ambacho kilirushwa kwenye televisheni ya taifa kwa zaidi ya miaka minane.[4] Ni Mkurugenzi Mtendaji...' 1508042 wikitext text/x-wiki '''Olufunmilola Aduke Iyanda''' (anayejulikana kitaaluma kama '''Funmi Iyanda'''; alizaliwa 27 Julai 1971) ni mtangazaji wa runinga wa [[Nigeria]], mwandishi wa habari, mtayarishaji wa filamu na televisheni, mtendaji wa vyombo vya habari, mjasiriamali wa hisani na mblogi.[1][2] Ametambulika sana kwa kipindi chake cha mazungumzo cha '''New Dawn with Funmi''', ambacho kilirushwa kwenye televisheni ya taifa kwa zaidi ya miaka minane.[4] Ni Mkurugenzi Mtendaji wa OYA Media (zamani Ignite Media) na amewahi kutambuliwa kimataifa kupitia Jukwaa la Uchumi Duniani na Forbes.[7][8] == Maisha ya awali == Funmi Iyanda alizaliwa Lagos, Nigeria katika familia ya Gabriel na Yetunde Iyanda. Baba yake anatokea Ogbomoso na mama yake kutoka Ijebu-Ode. Alikulia Lagos Mainland, lakini mama yake alifariki akiwa na umri wa miaka saba. Alisoma shule ya msingi African Church Princess Primary School, Akoka, na Herbert Macaulay School, Lagos, kisha akasoma International School Ibadan kwa elimu ya sekondari. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Ibadan ambapo alihitimu Shahada ya Sayansi katika Jiografia.[9] == Kazi == === Mwanzo wa uandishi wa habari na televisheni === Iyanda alianza kazi yake ya televisheni kupitia kipindi cha '''Good Morning Nigeria''', ambacho kilijumuisha vipengele kama “Heroes” na “Street Life”, vikilenga simulizi za kijamii na changamoto za wananchi wa kawaida.[10] Alichangia pia katika uandishi wa michezo ya televisheni, akifanya kazi kwenye matukio kama Kombe la Mataifa ya Afrika 2006, Michezo ya Olimpiki Sydney 2000 na Athens 2004.[13][14] === New Dawn with Funmi === Kipindi chake maarufu '''New Dawn with Funmi''' kilianza mwaka 2000 na kurushwa kila siku kupitia NTA 10 Lagos. Kilikuwa miongoni mwa vipindi vya mazungumzo vilivyodumu kwa muda mrefu zaidi nchini Nigeria.[15] === Talk With Funmi na kazi nyingine === Mwaka 2010 alirejea na kipindi kipya '''Talk With Funmi''', ambacho kilisafiri maeneo mbalimbali ya Nigeria kukusanya simulizi za watu.[18] Pia alitengeneza makala ya hali halisi iitwayo '''My Country: Nigeria''', iliyotumika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Nigeria na kurushwa kupitia BBC World Service.[20] Mwaka 2012 alishiriki katika mradi wa mtandaoni '''Chopcassava''', uliorekodi maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta nchini Nigeria.[23] == Maisha ya kibinafsi == Iyanda ni mwanachama wa African Leadership Institute na amewahi kushiriki katika programu za Aspen Institute. Pia amekuwa akijihusisha na harakati za kijamii na haki za wanawake, ikiwa ni pamoja na kampeni za Umoja wa Mataifa dhidi ya ukatili wa kijinsia.[28][29] == Tuzo na heshima == Mwaka 2014 alitambuliwa na BBC kama mmoja wa wanawake 100 wenye ushawishi duniani.[35] Pia alitunukiwa na World Economic Forum na kuorodheshwa na Forbes miongoni mwa wanawake vijana wenye nguvu Afrika.[7][8] == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == * Tovuti rasmi ya Funmi Iyanda * Wasifu wake katika C-SPAN {{BD|1971|}} {{Mbegu-mtu}} 9ienv27xyn5yo635b25dh7270bxjocd 1508177 1508042 2026-04-21T11:39:21Z ~2026-24519-62 88836 1508177 wikitext text/x-wiki '''Olufunmilola Aduke Iyanda''' (anajulikana kitaaluma kama '''Funmi Iyanda'''; alizaliwa Lagos, Nigeria, 27 Julai 1971) ni mtangazaji wa runinga wa [[Nigeria]], mwandishi wa habari, mtayarishaji wa filamu na televisheni, mtendaji wa vyombo vya habari, mjasiriamali wa hisani na mblogi. Ametambulika sana kwa kipindi chake cha mazungumzo cha '''New Dawn with Funmi''', ambacho kilirushwa kwenye televisheni ya taifa kwa zaidi ya miaka minane. Ni Mkurugenzi Mtendaji wa OYA Media (zamani Ignite Media) na amewahi kutambuliwa kimataifa kupitia Jukwaa la Uchumi Duniani na Forbes. == Maisha ya awali == Funmi Iyanda alizaliwa katika familia ya Gabriel na Yetunde Iyanda. Baba yake anatokea Ogbomoso na mama yake kutoka Ijebu-Ode. Alikulia Lagos Mainland, lakini mama yake alifariki akiwa na umri wa miaka saba. Alisoma shule ya msingi African Church Princess Primary School, Akoka, na Herbert Macaulay School, Lagos, kisha akasoma International School Ibadan kwa elimu ya sekondari. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Ibadan ambapo alihitimu Shahada ya Sayansi katika Jiografia. == Kazi == === Mwanzo wa uandishi wa habari na televisheni ===Iyanda alianza kazi yake ya televisheni kupitia kipindi cha ''Good Morning Nigeria'', ambacho kilijumuisha vipengele kama “Heroes” na “Street Life”, vikilenga simulizi za kijamii na changamoto za wananchi wa kawaida. Alichangia pia katika uandishi wa michezo ya televisheni, akifanya kazi kwenye matukio kama Kombe la Mataifa ya Afrika 2006, Michezo ya Olimpiki Sydney 2000 na Athens 2004. === New Dawn with Funmi === Kipindi chake maarufu ''New Dawn with Funmi'' kilianza mwaka 2000 na kurushwa kila siku kupitia NTA 10 Lagos. Kilikuwa miongoni mwa vipindi vya mazungumzo vilivyodumu kwa muda mrefu zaidi nchini Nigeria. === Talk With Funmi na kazi nyingine === Mwaka 2010 alirejea na kipindi kipya ''Talk With Funmi'', ambacho kilisafiri maeneo mbalimbali ya Nigeria kukusanya simulizi za watu. Pia alitengeneza makala ya hali halisi iitwayo ''My Country: Nigeria'', iliyotumika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Nigeria na kurushwa kupitia BBC World Service. Mwaka 2012 alishiriki katika mradi wa mtandaoni ''Chopcassava'', uliorekodi maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta nchini Nigeria. == Maisha binafsi == Iyanda ni mwanachama wa African Leadership Institute na amewahi kushiriki katika programu za Aspen Institute. Pia amekuwa akijihusisha na harakati za kijamii na haki za wanawake, ikiwa ni pamoja na kampeni za Umoja wa Mataifa dhidi ya ukatili wa kijinsia. == Tuzo na heshima == Mwaka 2014 alitambuliwa na BBC kama mmoja wa wanawake 100 wenye ushawishi duniani. Pia alitunukiwa na World Economic Forum na kuorodheshwa na Forbes miongoni mwa wanawake vijana wenye nguvu Afrika. == Marejeo == {{Reflist}} {{BD|1971|}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:watu wa Nigeria]] a5xawq4tiwn47m3k8hxc9hpbsikbfvu 1508178 1508177 2026-04-21T11:39:44Z ~2026-24519-62 88836 /* Marejeo */ 1508178 wikitext text/x-wiki '''Olufunmilola Aduke Iyanda''' (anajulikana kitaaluma kama '''Funmi Iyanda'''; alizaliwa Lagos, Nigeria, 27 Julai 1971) ni mtangazaji wa runinga wa [[Nigeria]], mwandishi wa habari, mtayarishaji wa filamu na televisheni, mtendaji wa vyombo vya habari, mjasiriamali wa hisani na mblogi. Ametambulika sana kwa kipindi chake cha mazungumzo cha '''New Dawn with Funmi''', ambacho kilirushwa kwenye televisheni ya taifa kwa zaidi ya miaka minane. Ni Mkurugenzi Mtendaji wa OYA Media (zamani Ignite Media) na amewahi kutambuliwa kimataifa kupitia Jukwaa la Uchumi Duniani na Forbes. == Maisha ya awali == Funmi Iyanda alizaliwa katika familia ya Gabriel na Yetunde Iyanda. Baba yake anatokea Ogbomoso na mama yake kutoka Ijebu-Ode. Alikulia Lagos Mainland, lakini mama yake alifariki akiwa na umri wa miaka saba. Alisoma shule ya msingi African Church Princess Primary School, Akoka, na Herbert Macaulay School, Lagos, kisha akasoma International School Ibadan kwa elimu ya sekondari. Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Ibadan ambapo alihitimu Shahada ya Sayansi katika Jiografia. == Kazi == === Mwanzo wa uandishi wa habari na televisheni ===Iyanda alianza kazi yake ya televisheni kupitia kipindi cha ''Good Morning Nigeria'', ambacho kilijumuisha vipengele kama “Heroes” na “Street Life”, vikilenga simulizi za kijamii na changamoto za wananchi wa kawaida. Alichangia pia katika uandishi wa michezo ya televisheni, akifanya kazi kwenye matukio kama Kombe la Mataifa ya Afrika 2006, Michezo ya Olimpiki Sydney 2000 na Athens 2004. === New Dawn with Funmi === Kipindi chake maarufu ''New Dawn with Funmi'' kilianza mwaka 2000 na kurushwa kila siku kupitia NTA 10 Lagos. Kilikuwa miongoni mwa vipindi vya mazungumzo vilivyodumu kwa muda mrefu zaidi nchini Nigeria. === Talk With Funmi na kazi nyingine === Mwaka 2010 alirejea na kipindi kipya ''Talk With Funmi'', ambacho kilisafiri maeneo mbalimbali ya Nigeria kukusanya simulizi za watu. Pia alitengeneza makala ya hali halisi iitwayo ''My Country: Nigeria'', iliyotumika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Nigeria na kurushwa kupitia BBC World Service. Mwaka 2012 alishiriki katika mradi wa mtandaoni ''Chopcassava'', uliorekodi maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta nchini Nigeria. == Maisha binafsi == Iyanda ni mwanachama wa African Leadership Institute na amewahi kushiriki katika programu za Aspen Institute. Pia amekuwa akijihusisha na harakati za kijamii na haki za wanawake, ikiwa ni pamoja na kampeni za Umoja wa Mataifa dhidi ya ukatili wa kijinsia. == Tuzo na heshima == Mwaka 2014 alitambuliwa na BBC kama mmoja wa wanawake 100 wenye ushawishi duniani. Pia alitunukiwa na World Economic Forum na kuorodheshwa na Forbes miongoni mwa wanawake vijana wenye nguvu Afrika. == Marejeo == {{Reflist}} {{BD|1971|}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:wanawake wa Nigeria]] renutccyibkftys1hcs6jlvk4bmq6kb Aisha Buhari 0 229722 1508044 2026-04-21T08:48:26Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:The First Lady of Nigeria Her Excellency Aisha Buhari.jpg|thumb|Mke wa Rais wa Nigeria]] '''Aisha Halilu Buhari''' (alizaliwa [[17 Februari]] [[1971]]) ni mtaalamu wa [[urembo]] kutoka [[Nigeria]] ambaye alihudumu kama Mke wa Rais wa [[Muhammadu Buhari]] kuanzia mwaka [[2015]] hadi [[2023]]. Kabla na wakati wa nafasi yake ya Mke wa Rais, alijulikana sana kwa kazi zake za kijamii na uhisani, hasa katika maeneo ya afya, elimu na ustawi wa wanawake n...' 1508044 wikitext text/x-wiki [[Faili:The First Lady of Nigeria Her Excellency Aisha Buhari.jpg|thumb|Mke wa Rais wa Nigeria]] '''Aisha Halilu Buhari''' (alizaliwa [[17 Februari]] [[1971]]) ni mtaalamu wa [[urembo]] kutoka [[Nigeria]] ambaye alihudumu kama Mke wa Rais wa [[Muhammadu Buhari]] kuanzia mwaka [[2015]] hadi [[2023]]. Kabla na wakati wa nafasi yake ya Mke wa Rais, alijulikana sana kwa kazi zake za kijamii na uhisani, hasa katika maeneo ya afya, elimu na ustawi wa wanawake na watoto. Alijikita katika kampeni zinazolenga kupunguza ukatili wa kijinsia, kuboresha afya ya mama na mtoto, na kuimarisha elimu ya mtoto wa kike nchini Nigeria. Mwaka [[2014]] alianzisha Aisha Buhari Foundation, shirika lisilo la kiserikali linalolenga miradi ya kijamii na misaada ya kibinadamu kwa makundi yaliyo hatarini. Kupitia mpango wake mkuu unaoitwa ''Future Assured'', alitekeleza miradi ya afya ya jamii, lishe, elimu na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake na watoto. Aisha Halilu Buhari pia ametumia nafasi yake kuhamasisha mabadiliko ya sera na sheria zinazolinda wanawake na watoto dhidi ya ndoa za utotoni, unyanyasaji na unyonyaji wa kijinsia. Juhudi zake zimefanya aonekane kama miongoni mwa sauti muhimu za utetezi wa wanawake nchini Nigeria katika kipindi chake cha umma. == Maisha ya awali na familia == Aisha Halilu alizaliwa tarehe 17 Februari 1971 katika Jimbo la [[Adamawa (jimbo)|Adamawa]], lililopo kaskazini mashariki mwa Nigeria. Babu yake, Alhaji Muhammadu Ribadu, alikuwa waziri wa kwanza wa ulinzi nchini Nigeria. Baba yake alikuwa mhandisi wa ujenzi, huku mama yake akitoka katika familia ya Ankali, familia inayojulikana kwa shughuli za kilimo.<ref name="ibtimes.com">{{cite news|last=Windsor|first=Morgan|url=http://www.ibtimes.com/nigerias-new-first-lady-aisha-buhari-8-things-know-about-president-elects-wife-1892079|title=Nigeria's New First Lady, Aisha Buhari: 8 Things To Know About The President-Elect's Wife|date=22 April 2015|work=International Business Times|access-date=20 December 2017}}</ref><ref name="dailymail.com.ng">{{cite web|url=http://dailymail.com.ng/biographyprofilecurriculum-vitae-of-mrs-aisha-buhari/|title="Biography/Profile/Curriculum Vitae Of MRS AISHA BUHARI"|access-date=14 June 2015|archive-url=https://web.archive.org/web/20150531085921/http://dailymail.com.ng/biographyprofilecurriculum-vitae-of-mrs-aisha-buhari/|archive-date=31 May 2015|url-status=dead}}</ref> Aisha alipata elimu yake ya msingi na sekondari ndani ya Jimbo la Adamawa. Baadaye, tarehe 2 Desemba 1989, alifunga ndoa na Muhammadu Buhari, ambaye kabla ya ndoa hiyo alikuwa tayari na watoto watano kutoka ndoa yake ya awali na Safinatu Yusuf. Aisha na Muhammadu Buhari wamebarikiwa kupata watoto watano pamoja, pamoja na mjukuu mmoja.<ref>{{Cite news|url=http://www.punchng.com/politics/inauguration-special/patience-jonathans-mistake-lesson-for-aisha-buhari-women/|title=Patience Jonathan's mistake, lesson for Aisha Buhari – Women|access-date=14 June 2015|archive-url=https://web.archive.org/web/20150530044257/http://www.punchng.com/politics/inauguration-special/patience-jonathans-mistake-lesson-for-aisha-buhari-women/|archive-date=30 May 2015|url-status=dead|newspaper=[[The Punch]]}}</ref> == Elimu == Aisha Buhari alipata shahada ya kwanza katika utawala wa umma kutoka Chuo Kikuu cha Ambrose Alli (AAU). Baadaye, aliendeleza masomo yake na kupata shahada ya uzamili katika masuala ya kimataifa na masomo ya kimkakati kutoka Chuo cha Ulinzi cha Nigeria kilichopo Kaduna.<ref>{{cite news|url=http://www.naij.com/321598-5-facts-you-need-to-know-about-aisha-buhari.html|work=[[The Punch]]|title=5 Facts You Need to Know About Aisha Buhari|access-date=13 June 2015}}</ref> Katika safari yake ya kitaaluma, pia alipata shahada ya uzamili katika tiba ya urembo kutoka Taasisi ya Carlton ya Tiba ya Urembo iliyopo Windsor, [[Uingereza]]. Vilevile, alihitimu shahada nyingine ya uzamili katika urembo na masuala ya urembo kutoka Taasisi ya Urembo ya Academy Esthetique ya nchini Ufaransa.<ref name="guardian">{{cite news|url=https://statehouse.gov.ng/people/aisha-muhammadu-buhari/|publisher=The Presidency|title=Aisha Muhammadu Buhari Wife of the President of the Federal Republic of Nigeria|access-date=23 November 2019}}</ref> Mbali na elimu yake ya kitaaluma, Aisha Buhari ni mwanachama wa Taasisi ya Mafunzo ya Ufundi na Hisani ya Uingereza pamoja na Baraza la Kimataifa la Afya na Urembo.<ref>{{cite web|url=http://dailymedia.com.ng/biographyprofilecurriculum-vitae-of-mrs-aisha-buhari/|title=Biography/Profile/Curriculum Vitae Of MRS AISHA BUHARI|author=Sean|work=dailymedia.com.ng}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1971]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] 4ikniu5k8mfim2novd5s21vwnvwn2ia OluTimehin Kukoyi 0 229723 1508045 2026-04-21T08:50:39Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''OluTimehin Kukoyi''' (aliyezaliwa kama Adegbeye; 3 Oktoba mwaka wa 1991) ni mwandishi wa [[Nigeria]], mtoa insha na msomi wa masuala ya umma.[1] Uandishi wake unajikita katika masuala ya jinsia, ujinsia, miji na ufeministi. Pia huandika kazi za fasihi ya kubuni.[2][3] == Kazi == Kukoyi huandika mara kwa mara kuhusu siasa, jinsia na masuala ya kijamii kupitia machapisho kama '''This Is Africa''', '''Africa Is A Country''', na '''Bella Naija'''.[4] Kazi...' 1508045 wikitext text/x-wiki '''OluTimehin Kukoyi''' (aliyezaliwa kama Adegbeye; 3 Oktoba mwaka wa 1991) ni mwandishi wa [[Nigeria]], mtoa insha na msomi wa masuala ya umma.[1] Uandishi wake unajikita katika masuala ya jinsia, ujinsia, miji na ufeministi. Pia huandika kazi za fasihi ya kubuni.[2][3] == Kazi == Kukoyi huandika mara kwa mara kuhusu siasa, jinsia na masuala ya kijamii kupitia machapisho kama '''This Is Africa''', '''Africa Is A Country''', na '''Bella Naija'''.[4] Kazi zake zimechapishwa katika lugha mbalimbali ikiwemo Kiingereza, Kijapani na Kinorwe.[5] Yeye ni mwandishi wa kujitegemea (stringer) wa jarida la Norwe linaloitwa '''Bistandsaktuelt''', na pia ameandikwa katika gazeti la '''Klassekampen'''.[6][7][8] Baadhi ya kazi zake kwa lugha ya Kinorwe zimetumika kama marejeo katika vitabu vya shule za sekondari nchini Norway.[9] Mnamo Mwaka 2017, alitoa hotuba katika tukio la '''TEDGlobal''' lililofanyika Arusha, Tanzania, yenye kichwa “Who Belongs in a City?”.[10][11] Hotuba hiyo baadaye ilichaguliwa miongoni mwa hotuba kumi bora za mwaka na mkurugenzi wa TED Chris Anderson.[12] Ameshiriki pia warsha mbalimbali za uandishi, ikiwemo '''Farafina Trust Creative Writing Workshop''' (2015), FEMRITE Uganda (2014) na BRITDOC Queer Impact Producers Lab (2017).[13][14][15] Kukoyi ni miongoni mwa wasomi na wanaharakati mashuhuri wa ufeministi wa kizazi chake barani Afrika.[16] Kupitia tovuti yake, blogu, mitandao ya kijamii na hotuba za hadhara, amejijengea ushawishi mkubwa katika mijadala ya haki za kijamii na ufeministi.[17][18][19] Yeye ni maarufu kwa kuchanganya uzoefu wake kama mtu wa LGBTQ+ na mama ndani ya jamii ya Nigeria na nadharia za kijinsia katika kazi zake.[20][21] Amezungumza pia katika mikutano ya kimataifa kama AWID Forum, Urban 20 Summit na Women Deliver Conference.[22][23] Mnamo Mwaka wa 2019 alishinda '''Gerald Kraak Prize''' kwa insha yake ya non-fiction “Mothers and Men”.[24] Pia alikuwa mwandishi katika jukwaa la The Correspondent hadi lilipofungwa mwaka wa 2021.[25] Yeye ni mmoja wa waanzilishi wa kampuni ya ubunifu iitwayo '''Square''', iliyoko Lagos, Nigeria.[26][27] == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == * Tovuti rasmi: [www.olukukoyi.com](http://www.olukukoyi.com) {{BD|1991|}} {{Mbegu-mtu}} kmcqbj7avs7w1781yzqg9elio6vuu9i 1508047 1508045 2026-04-21T08:55:06Z Egipa 87700 1508047 wikitext text/x-wiki '''OluTimehin Kukoyi''' (aliyezaliwa kama Adegbeye; 3 Oktoba mwaka wa 1991) ni mwandishi wa [[Nigeria]], alikuwa mtoa insha na msomi wa masuala ya umma.[1] Uandishi wake unajikita katika masuala ya jinsia, ujinsia, miji na ufeministi. Pia huandika kazi za fasihi ya kubuni.[2][3] == Kazi == Kukoyi huandika mara kwa mara kuhusu siasa, jinsia na masuala ya kijamii kupitia machapisho kama '''This Is Africa''', '''Africa Is A Country''', na kama '''Bella Naija'''.[4] Kazi zake zimechapishwa katika lugha mbalimbali ikiwemo Kiingereza, Kijapani na Kinorwe.[5] Yeye ni mwandishi wa kujitegemea (stringer) wa jarida la Norwe linaloitwa '''Bistandsaktuelt''', na pia ameandikwa katika gazeti la '''Klassekampen'''.[6][7][8] Baadhi ya kazi zake kwa lugha ya Kinorwe zimetumika kama marejeo katika vitabu vya shule za sekondari vya nchini Norway.[9] Mnamo Mwaka 2017, alitoa hotuba katika tukio la '''TEDGlobal''' lililofanyika jijini Arusha, Tanzania, yenye kichwa “Who Belongs in a City?”.[10][11] Hotuba hiyo baadaye ilichaguliwa miongoni mwa hotuba kumi bora za mwaka na mkurugenzi wa TED Chris Anderson.[12] Ameshiriki piakatika warsha mbalimbali za uandishi, ikiwemo '''Farafina Trust Creative Writing Workshop''' (2015), FEMRITE Uganda (2014) na BRITDOC Queer Impact Producers Lab (2017).[13][14][15] Kukoyi ni miongoni mwa wasomi na wanaharakati mashuhuri wa ufeministi wa kizazi chake barani Afrika.[16] Kupitia tovuti yake, blogu, mitandao ya kijamii na hotuba za hadhara, amejijengea ushawishi mkubwa katika mijadala ya haki za kijamii na ufeministi.[17][18][19] Yeye ni maarufu kwa kuchanganya uzoefu wake kama mtu wa LGBTQ+ na mama ndani ya jamii ya Nigeria na nadharia za kijinsia katika kazi zake.[20][21] Amezungumza pia katika mikutano ya kimataifa kama AWID Forum, Urban 20 Summit na Women Deliver Conference.[22][23] Mnamo Mwaka wa 2019 alishinda '''Gerald Kraak Prize''' kwa insha yake ya non-fiction “Mothers and Men”.[24] Pia alikuwa mwandishi katika jukwaa la The Correspondent hadi lilipofungwa mwaka wa 2021.[25] Yeye ni mmoja wa waanzilishi wa kampuni ya ubunifu iitwayo '''Square''', iliyoko Lagos, Nigeria.[26][27] == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == * Tovuti rasmi: [www.olukukoyi.com](http://www.olukukoyi.com) {{BD|1991|}} {{Mbegu-mtu}} g5jx9efjjb6ozz6faj52of2az089gah 1508182 1508047 2026-04-21T11:42:15Z ~2026-24519-62 88836 1508182 wikitext text/x-wiki '''OluTimehin Kukoyi''' (alizaliwa kama '''Adegbeye'''; 3 Oktoba 1991) ni mwandishi wa [[Nigeria]], alikuwa mtoa insha na msomi wa masuala ya umma. Uandishi wake unajikita katika masuala ya jinsia, ujinsia, miji na ufeministi. Pia huandika kazi za fasihi ya kubuni. == Kazi == Kukoyi huandika mara kwa mara kuhusu siasa, jinsia na masuala ya kijamii kupitia machapisho kama ''This Is Africa'', ''Africa Is A Country'', na kama ''Bella Naija''. Kazi zake zimechapishwa katika lugha mbalimbali ikiwemo Kiingereza, Kijapani na Kinorwe. Yeye ni mwandishi wa kujitegemea (stringer) wa jarida la Norwe linaloitwa ''Bistandsaktuelt'', na pia ameandikwa katika gazeti la ''Klassekampen''. Baadhi ya kazi zake kwa lugha ya Kinorwe zimetumika kama marejeo katika vitabu vya shule za sekondari vya nchini Norway. Mnamo Mwaka 2017, alitoa hotuba katika tukio la ''TEDGlobal'' lililofanyika jijini Arusha, Tanzania, yenye kichwa “Who Belongs in a City?”. Hotuba hiyo baadaye ilichaguliwa miongoni mwa hotuba kumi bora za mwaka na mkurugenzi wa TED Chris Anderson. Ameshiriki piakatika warsha mbalimbali za uandishi, ikiwemo ''Farafina Trust Creative Writing Workshop'' (2015), FEMRITE Uganda (2014) na BRITDOC Queer Impact Producers Lab (2017). Kukoyi ni miongoni mwa wasomi na wanaharakati mashuhuri wa ufeministi wa kizazi chake barani Afrika. Kupitia tovuti yake, blogu, mitandao ya kijamii na hotuba za hadhara, amejijengea ushawishi mkubwa katika mijadala ya haki za kijamii na ufeministi. Yeye ni maarufu kwa kuchanganya uzoefu wake kama mtu wa LGBTQ+ na mama ndani ya jamii ya Nigeria na nadharia za kijinsia katika kazi zake. Amezungumza pia katika mikutano ya kimataifa kama AWID Forum, Urban 20 Summit na Women Deliver Conference. Mnamo Mwaka wa 2019 alishinda ''Gerald Kraak Prize'' kwa insha yake ya non-fiction “Mothers and Men”. Pia alikuwa mwandishi katika jukwaa la The Correspondent hadi lilipofungwa mwaka wa 2021. Yeye ni mmoja wa waanzilishi wa kampuni ya ubunifu iitwayo ''Square'', iliyoko Lagos, Nigeria. == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == * Tovuti rasmi: [www.olukukoyi.com](http://www.olukukoyi.com) {{BD|1991|}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] kce6ihioblkgs8o7nvnlo4rsu237yz7 Osasu Edobor 0 229724 1508046 2026-04-21T08:53:40Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Osasu Edobor.jpg|thumb|Osasu Edobor]] '''Osasu Edobor''' (aliyekuwa akijulikana awali kama '''Osasu Paul-Azino''') ni mtetezi wa masuala ya kijinsia kutoka [[Nigeria]] na mwanzilishi wa shirika la Think Help Restore (THR) Media pamoja na Safe Space Initiative. Pia ni mtaalamu wa huduma ya kwanza katika afya ya akili, mkufunzi wa waelimishaji rika, pamoja na mshauri wa kijamii. Katika kazi yake ya uanaharakati wa usawa wa kijinsia, Osasu Edobor ali...' 1508046 wikitext text/x-wiki [[Faili:Osasu Edobor.jpg|thumb|Osasu Edobor]] '''Osasu Edobor''' (aliyekuwa akijulikana awali kama '''Osasu Paul-Azino''') ni mtetezi wa masuala ya kijinsia kutoka [[Nigeria]] na mwanzilishi wa shirika la Think Help Restore (THR) Media pamoja na Safe Space Initiative. Pia ni mtaalamu wa huduma ya kwanza katika afya ya akili, mkufunzi wa waelimishaji rika, pamoja na mshauri wa kijamii. Katika kazi yake ya uanaharakati wa usawa wa kijinsia, Osasu Edobor alianzisha programu ya HERFessions, mpango unaolenga kutoa msaada na faraja kwa watu walionusurika na ukatili wa kijinsia. Aidha, ni mmoja wa wanafunzi wa Mandela Washington Fellowship wa mwaka [[2018]] na pia ni mwanachama wa mpango wa Young African Leaders Initiative, unaolenga kukuza uongozi kwa vijana barani [[Afrika]]. == Kazi == Osasu Edobor aliwahi kufanya kazi kama mkurugenzi wa programu katika Wakfu wa Pastor Bimbo Odukoya (PBOF), taasisi isiyo ya faida inayojikita katika kusaidia na kuwajengea uwezo wanawake na vijana wanaoishi katika mazingira magumu. Akiwa katika nafasi hiyo, alianzisha mradi wa S.H.A.RP4U, kampeni iliyolenga kuongeza uelewa kuhusu unyanyasaji wa kijinsia pamoja na kuwasaidia na kuwashauri waathirika wa ubakaji katika taasisi za elimu ya juu nchini Nigeria. Pia alisimamia toleo la mwaka 2016 la programu ya uwezeshaji wa wasichana ya PBOF, iliyofanyika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike.<ref>{{Cite news|date=2022-10-08|title=Safe Space Initiative gives hope to SGBV victims|url=https://editor.guardian.ng/guardian-woman/safe-space-initiative-gives-hope-to-sgbv-victims/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2022-12-06|newspaper=[[The Guardian (Nigeria)|The Guardian]]|language=en-US|archive-date=2022-12-06|archive-url=https://web.archive.org/web/20221206050035/https://editor.guardian.ng/guardian-woman/safe-space-initiative-gives-hope-to-sgbv-victims/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|title=Osasu Edobor - Women of Rubies|url=https://womenofrubies.com/tag/osasu-edobor/,%20https://womenofrubies.com/tag/osasu-edobor/|access-date=2022-12-06|language=en-US}}{{Dead link|date=September 2025|bot=InternetArchiveBot|fix-attempted=yes}}</ref> Kwa sasa, Edobor ni mwanzilishi na mkurugenzi wa programu wa THR Media, biashara ya kijamii inayotumia teknolojia na vyombo vya habari vya kisasa kuwasaidia wanawake na wasichana kujikinga na aina mbalimbali za unyanyasaji, ikiwemo unyanyasaji wa kingono, ukatili wa majumbani, biashara haramu ya binadamu na aina nyingine za unyonyaji. Mnamo mwaka 2018, alizindua programu ya simu ya HERFessions, jukwaa lisilotoa utambulisho wa mtumiaji, lililoundwa kusaidia waathirika na manusura wa ukatili wa kijinsia. Kupitia programu hiyo, watumiaji wanaweza kuwasiliana katika chumba cha mazungumzo mtandaoni na kupata ushauri kutoka kwa wanasaikolojia, wanasheria na wataalamu wengine wa msaada wa kijamii. Programu pia ina kipengele cha kuripoti matukio ya unyanyasaji. Aidha, Edobor huandaa mikutano ya kila robo mwaka kupitia Mpango wa Safe Space, inayolenga kutoa msaada wa moja kwa moja kwa waathirika wa ukatili wa kijinsia. Kama mwanaharakati, pia ameshiriki katika muungano wa watetezi wa haki za kijinsia kudai uchunguzi wa kesi za ubakaji na kuhakikisha waathirika wanapata haki zao.<ref>{{Cite web|date=2019-06-30|title=COZA Rape Allegations: Activists Demand Pastor Step Down » HealthStylePlus|url=https://healthstyle.plus/coza-rape-allegations-activists-demand-pastor-step-down/|access-date=2022-12-07|website=HealthStylePlus|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web|last=Borisade|first=Mr Abiodun|date=2019-06-30|title=Petition to Protest COZA Trustees to Take Action Regarding Multiple Allegations of Sexual Misconduct Against Pst Biodun Fatoyinb|url=https://abiodunborisade.com/petition-to-protest-coza-trustees-to-take-action-regarding-multiple-allegations-of-sexual-misconduct-against-pst-biodun-fatoyinb/|access-date=2022-12-07|website=Abiodun Borisade|language=en-US}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] neum6bfm72gv1pgp7yab2ruwqvyz4ld Veronica Kedar 0 229725 1508048 2026-04-21T08:58:50Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1508048 wikitext text/x-wiki '''Veronica Kedar''' (alizaliwa [[27 Aprili]] [[1984]]) ni mwongozaji, mtayarishaji, mwandishi wa mswada wa filamu na mwigizaji wa Israeli. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa ]1984] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] 5h1gr82i8t4h06lr28qt9yltyhgp5zu Nnamani Grace Odi 0 229726 1508049 2026-04-21T08:59:59Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nnamani Grace Odinakachukwu''' (anajulikana pia kama '''Grandi'''; alizaliwa 9 Mei 2001) ni mjasiriamali wa [[Nigeria]], mwandishi na mtendaji wa vyombo vya habari. Yeye ni mmoja wa waanzilishi wenza wa kampuni ya '''Nnamani Music Group''', kampuni ya usambazaji na uchapishaji wa muziki, na pia alianzisha kampuni ya multimedia iitwayo '''Grandihub'''.[1][2] Ametajwa na The Recording Academy miongoni mwa wanawake waliotambuliwa kwa mchango wao katika muz...' 1508049 wikitext text/x-wiki '''Nnamani Grace Odinakachukwu''' (anajulikana pia kama '''Grandi'''; alizaliwa 9 Mei 2001) ni mjasiriamali wa [[Nigeria]], mwandishi na mtendaji wa vyombo vya habari. Yeye ni mmoja wa waanzilishi wenza wa kampuni ya '''Nnamani Music Group''', kampuni ya usambazaji na uchapishaji wa muziki, na pia alianzisha kampuni ya multimedia iitwayo '''Grandihub'''.[1][2] Ametajwa na The Recording Academy miongoni mwa wanawake waliotambuliwa kwa mchango wao katika muziki wa Afrika.[1] == Maisha ya awali == Nnamani Grace Odi alizaliwa Lagos, Nigeria tarehe 9 Mei 2001.[3] Alisoma elimu ya juu katika Chuo Kikuu Huria cha Taifa cha Nigeria (National Open University of Nigeria), ambapo alichanganya masomo yake na kujihusisha mapema na sanaa za ubunifu na uandishi.[5] == Kazi == === Filamu na uandishi === Odi alianza kazi yake katika tasnia ya filamu ya Nigeria akiwa bado mwanafunzi, akitumia jina la kalamu “Grandi”. Alisambaza miswada ya filamu kwa watengenezaji filamu mbalimbali na kushirikiana na wakurugenzi kama Kingsley Ogoro, Dickson Ekhaguere, Obi Emelonye na Shan George.[2][4] Mwaka 2025 alichapisha riwaya ya '''The Beast of Green Manor''', inayosimulia familia ya kubuni iliyoko Ontario. Hadithi inahusu ugunduzi wa siri za familia na athari zake kwa vizazi vya vijana katika masuala ya utambulisho na urithi.[6] === Uongozi wa biashara === Mwaka 2020 alianzisha '''Grandihub''', kampuni ya multimedia inayosaidia waandishi na watengenezaji wa filamu kuunda na kusambaza maudhui ya ubunifu kama miswada, riwaya na makala.[2] Mwaka 2023 alianzisha kwa pamoja '''Nnamani Music Group''', kampuni ya muziki huru inayojikita katika usambazaji wa muziki wa kidijitali, usimamizi wa haki miliki na ukusanyaji wa mapato ya wasanii kupitia majukwaa mbalimbali.[7][8] Kampuni hiyo imefanya kazi na wasanii wa Afrika na kimataifa.[1][9] == Maisha ya kibinafsi == Grace ni dada wa mtaalamu wa muziki na mjasiriamali Johnel Nnamani. Mwaka 2023, walishirikiana kuanzisha Nnamani Music Group.[10][11] == Utambuzi == Mwaka 2025, alitajwa na Recording Academy katika orodha ya wanawake wanaochangia maendeleo ya muziki wa Afrika, akitambuliwa kwa mchango wake katika uanzishaji wa Nnamani Music Group na kukuza muziki huru wa Afrika kimataifa.[1] == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == * Nnamani Grace Odi katika IMDb {{BD|2001|}} {{Mbegu-mtu}} 7ygpz4auns62smas9hoylue8jq3em7x 1508051 1508049 2026-04-21T09:02:13Z Egipa 87700 1508051 wikitext text/x-wiki '''Nnamani Grace Odinakachukwu''' (anajulikana pia kama '''Grandi'''; alizaliwa tarehe 9 Mei mwaka wa 2001) ni mjasiriamali wa kutoka nchini [[Nigeria]], mwandishi na mtendaji wa vyombo vya habari. Yeye ni mmoja wa waanzilishi wenza wa kampuni ya '''Nnamani Music Group''', kampuni ya usambazaji na uchapishaji wa muziki, na pia alianzisha kampuni ya multimedia iitwayo '''Grandihub'''.[1][2] Ametajwa na The Recording Academy miongoni mwa wanawake waliotambuliwa kwa mchango wao katika muziki wa Afrika.[1] == Maisha ya awali == Nnamani Grace Odi alizaliwa Lagos, nchini Nigeria mnamo tarehe 9 Mei mwaka wa 2001.[3] Alisoma elimu ya juu katika Chuo Kikuu Huria cha Taifa cha Nigeria (National Open University of Nigeria), ambapo alichanganya masomo yake na kujihusisha mapema na sanaa za ubunifu na uandishi.[5] == Kazi == === Filamu na uandishi === Odi alianza kazi yake katika tasnia ya filamu ya Nigeria akiwa bado mwanafunzi, akitumia jina la kalamu “Grandi”. Alisambaza miswada ya filamu kwa watengenezaji filamu mbalimbali na kushirikiana na wakurugenzi kama Kingsley Ogoro, Dickson Ekhaguere, Obi Emelonye na Shan George.[2][4] Mwaka 2025 alichapisha riwaya ya '''The Beast of Green Manor''', inayosimulia familia ya kubuni iliyoko Ontario. Hadithi inahusu ugunduzi wa siri za familia na athari zake kwa vizazi vya vijana katika masuala ya utambulisho na urithi.[6] === Uongozi wa biashara === Mnamo mwaka wa 2020 alianzisha '''Grandihub''', kampuni ya multimedia inayosaidia waandishi na watengenezaji wa filamu kuunda na kusambaza maudhui ya ubunifu kama miswada, riwaya na makala.[2] Mnamo mwaka wa 2023 alianzisha kwa pamoja '''Nnamani Music Group''', kampuni ya muziki huru inayojikita katika usambazaji wa muziki wa kidijitali, usimamizi wa haki miliki na ukusanyaji wa mapato ya wasanii kupitia majukwaa mbalimbali.[7][8] Kampuni hiyo imefanya kazi na wasanii wa Afrika na kimataifa.[1][9] == Maisha ya kibinafsi == Grace ni dada wa mtaalamu wa muziki na mjasiriamali Johnel Nnamani. Mwaka 2023, walishirikiana kuanzisha Nnamani Music Group.[10][11] == Utambuzi == Mwaka 2025, alitajwa na Recording Academy katika orodha ya wanawake wanaochangia maendeleo ya muziki wa Afrika, akitambuliwa kwa mchango wake katika uanzishaji wa Nnamani Music Group na kukuza muziki huru wa Afrika kimataifa.[1] == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == * Nnamani Grace Odi katika IMDb {{BD|2001|}} {{Mbegu-mtu}} ro6bgqwmrvsp2epy6o4o9nkwgv7kp65 1508184 1508051 2026-04-21T11:44:16Z ~2026-24519-62 88836 1508184 wikitext text/x-wiki '''Nnamani Grace Odinakachukwu''' (anajulikana pia kama '''Grandi'''; alizaliwa 9 Mei 2001) ni mjasiriamali wa kutoka nchini [[Nigeria]], mwandishi na mtendaji wa vyombo vya habari. Yeye ni mmoja wa waanzilishi wenza wa kampuni ya ''Nnamani Music Group'', kampuni ya usambazaji na uchapishaji wa muziki, na pia alianzisha kampuni ya multimedia iitwayo ''Grandihub''. Ametajwa na The Recording Academy miongoni mwa wanawake waliotambuliwa kwa mchango wao katika muziki wa Afrika. == Maisha ya awali == Nnamani Grace Odi alizaliwa Lagos, nchini Nigeria mnamo tarehe 9 Mei mwaka wa 2001. Alisoma elimu ya juu katika Chuo Kikuu Huria cha Taifa cha Nigeria (National Open University of Nigeria), ambapo alichanganya masomo yake na kujihusisha mapema na sanaa za ubunifu na uandishi. == Kazi == === Filamu na uandishi === Odi alianza kazi yake katika tasnia ya filamu ya Nigeria akiwa bado mwanafunzi, akitumia jina la kalamu “Grandi”. Alisambaza miswada ya filamu kwa watengenezaji filamu mbalimbali na kushirikiana na wakurugenzi kama Kingsley Ogoro, Dickson Ekhaguere, Obi Emelonye na Shan George. Mwaka 2025 alichapisha riwaya ya ''The Beast of Green Manor'', inayosimulia familia ya kubuni iliyoko Ontario. Hadithi inahusu ugunduzi wa siri za familia na athari zake kwa vizazi vya vijana katika masuala ya utambulisho na urithi. === Uongozi wa biashara === Mnamo mwaka wa 2020 alianzisha ''Grandihub'', kampuni ya multimedia inayosaidia waandishi na watengenezaji wa filamu kuunda na kusambaza maudhui ya ubunifu kama miswada, riwaya na makala. Mnamo mwaka wa 2023 alianzisha kwa pamoja ''Nnamani Music Group'', kampuni ya muziki huru inayojikita katika usambazaji wa muziki wa kidijitali, usimamizi wa haki miliki na ukusanyaji wa mapato ya wasanii kupitia majukwaa mbalimbali. Kampuni hiyo imefanya kazi na wasanii wa Afrika na kimataifa. == Maisha ya kibinafsi == Grace ni dada wa mtaalamu wa muziki na mjasiriamali Johnel Nnamani. Mwaka 2023, walishirikiana kuanzisha Nnamani Music Group. == Utambuzi == Mwaka 2025, alitajwa na Recording Academy katika orodha ya wanawake wanaochangia maendeleo ya muziki wa Afrika, akitambuliwa kwa mchango wake katika uanzishaji wa Nnamani Music Group na kukuza muziki huru wa Afrika kimataifa. == Marejeo == {{Reflist}} {{BD|2001|}} {{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] ki2j6nwygi5dgs0y4l3nhpdmeurs996 Esther Ibanga 0 229727 1508050 2026-04-21T09:01:54Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Esther Ibanga''' (alizaliwa tarehe [[31 Machi]] [[1961]]) Ni mchungaji kutoka [[Nigeria]] na pia mwanzilishi wa taasisi iitwayo Women Without Walls Initiative, mpango unaolenga kuhimiza mshikamano na amani kati ya jamii tofauti. Katika kazi yake ya huduma na uanaharakati wa kijamii, Esther Ibanga amejitokeza kama mmoja wa viongozi waliotoa mchango mkubwa katika kuleta maelewano kati ya watu wa makabila na dini tofauti, hususan katika eneo la Jos, Niger...' 1508050 wikitext text/x-wiki '''Esther Ibanga''' (alizaliwa tarehe [[31 Machi]] [[1961]]) Ni mchungaji kutoka [[Nigeria]] na pia mwanzilishi wa taasisi iitwayo Women Without Walls Initiative, mpango unaolenga kuhimiza mshikamano na amani kati ya jamii tofauti. Katika kazi yake ya huduma na uanaharakati wa kijamii, Esther Ibanga amejitokeza kama mmoja wa viongozi waliotoa mchango mkubwa katika kuleta maelewano kati ya watu wa makabila na dini tofauti, hususan katika eneo la Jos, Nigeria ambalo mara nyingi limekumbwa na migogoro ya kijamii. Kutokana na jitihada zake za kukuza amani, alitunukiwa Tuzo ya 32 ya Niwano Peace Prize, inayotolewa kwa watu wanaochangia kwa kiwango kikubwa katika kuimarisha amani na maelewano duniani. == Maisha == Esther Ibanga alizaliwa tarehe 31 Machi 1961, akiwa mtoto wa Abumadga Auta na Mariamu Abimiku. Alikuwa mtoto wa saba katika familia yenye watoto kumi na mmoja, ambapo kati yao kulikuwa na mabinti wanane. Anatoka Kagbu, katika Eneo la Serikali ya Mtaa ya Nasarawa Eggon, lililopo [[Jimbo la Nasarawa]] nchini Nigeria. Baba yake alikuwa afisa wa polisi aliyekuwa amejipatia sifa kutokana na ushujaa na uaminifu wake kazini. Esther mwenyewe amewahi kumuelezea baba yake kama mtu wa maombi na mwenye karama ya unabii, akisema alikulia katika mazingira yaliyojaa maombi na imani ya kidini. Baba yake alimpa jina la utani “Baban Meche,” likimaanisha “mwanamke mkuu.” Mama yake, Mariamu Abimiku, alikuwa mama wa nyumbani aliyejulikana kwa uchapakazi na ushiriki wake katika shughuli za kanisa kupitia kikundi cha wanawake kiitwacho Zumantan Mata, pamoja na kushiriki safari za kimisheni, jambo lililomfanya kujulikana kama “mama misheni.”<ref name="fixcopyvio">[http://www.vanguardngr.com/2015/07/esther-ibanga-garlands-for-a-caregiver/ Esther Ibanga: Garlands for a caregiver], Soni Daniel, 3 July 2015, vanguardngr.com, Retrieved 4 February 2016</ref> Katika maisha yake ya ndoa, Esther Ibanga ameolewa na mume wake Ikoedem Ibanga kwa zaidi ya miaka 25. Wamebarikiwa kupata watoto wawili wa kike, Uyai na Ifiok. == Elimu == Esther Ibanga alianza safari yake ya elimu katika Shule ya Msingi ya St. Paul, Kasuwan Kaji iliyopo katika Eneo la Serikali za Mitaa la Jos North, [[Jimbo la Plateau]]. Alisoma hapo kuanzia mwaka [[1968]] hadi [[1973]].<ref>{{cite web|url=http://www.ibtimes.co.uk/boko-haram-nigerian-woman-awarded-japan-peace-prize-anti-terror-activism-1489240|title=Boko Haram: Nigerian woman awarded Japan peace prize for anti terror activism|work=ibtimes|accessdate=June 20, 2015}}</ref> Baada ya kumaliza elimu ya msingi, alijiunga na Chuo cha St. Louis kilichopo Jos kwa ajili ya elimu ya sekondari, ambako alianza masomo yake mwaka 1973. Mnamo mwaka [[1978]], alijiunga na programu ya elimu ya juu katika Shule ya Masomo ya Msingi, Zaria, [[Jimbo la Kaduna]], ambapo alipata Cheti cha Bodi ya Masomo ya Pamoja ya Muda (IJMB). Hii ilimfungulia njia ya kuendelea na elimu ya juu katika fani ya biashara. Kutokana na shauku yake katika masuala ya biashara na usimamizi, alisomea Shahada ya Kwanza katika Utawala wa Biashara katika Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello kilichopo Zaria, kuanzia mwaka [[1979]] hadi [[1983]]. Baadaye, mwaka [[2001]], alikamilisha Shahada ya Uzamili ya Biashara kutoka Chuo Kikuu cha Jos, hatua iliyoongeza ujuzi wake katika uongozi na usimamizi wa biashara.<ref name="wowwiteam">[http://www.wowwi.org/#!our-team/ok61q Our Team], WOWWI, Retrieved 4 February 2016</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1961]] [[Jamii: Watuwalio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] 2rv6t2l4qsv32vwp8exvw91i71x7oa5 Ronke Doherty 0 229728 1508052 2026-04-21T09:08:51Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Queenie Ronke Doherty''' alikuwa kiongozi wa wanawake nchini [[Nigeria]], ambaye alihudumu kama Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake kuanzia mwaka [[1976]] hadi [[1980]]. Katika kipindi hicho, alijipambanua kama mmoja wa wanawake wachache waliopata nafasi za juu za uongozi wa kisiasa katika miaka ya [[1970]], jambo lililochangia kuimarika kwa ushiriki wa wanawake katika masuala ya uongozi na maendeleo ya jamii.<ref name=":0">{{Cite book|title...' 1508052 wikitext text/x-wiki '''Queenie Ronke Doherty''' alikuwa kiongozi wa wanawake nchini [[Nigeria]], ambaye alihudumu kama Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake kuanzia mwaka [[1976]] hadi [[1980]]. Katika kipindi hicho, alijipambanua kama mmoja wa wanawake wachache waliopata nafasi za juu za uongozi wa kisiasa katika miaka ya [[1970]], jambo lililochangia kuimarika kwa ushiriki wa wanawake katika masuala ya uongozi na maendeleo ya jamii.<ref name=":0">{{Cite book|title=Speaking for Nigerian women : (a history of the National Council of Women's Societies, Nigeria)|last=Ojewusi|first=Sola|date=1996|publisher=All State Pub. and Print. Co|isbn=978-32382-0-5|location=Abuja, Nigeria|pages=299–301|oclc=42714200}}</ref> Katika maisha yake ya ndoa, Queenie Ronke Doherty alikuwa mke wa Richard Adeeyo Doherty, ambaye aliwahi kuwa Spika wa zamani wa Baraza la Bunge la Magharibi nchini Nigeria. Uhusiano wao pia ulimweka karibu na mazingira ya uongozi wa kisiasa na masuala ya utawala wa nchi.<ref>{{Cite book|title=The feminization of development processes in Africa : current and future perspectives|last=Udoh|first=Valentine|date=1999|publisher=Praeger|others=James Etim|isbn=978-0-313-02496-2|location=Westport, Conn.|pages=27|oclc=654811725}}</ref> == Maisha == Queenie Ronke Doherty (aliyezaliwa kama Williams mwaka [[1916]]) alizaliwa katika familia ya Nathaniel Fehintola Williams, ambaye alikuwa wa asili ya jamii ya Egba. Alipata elimu yake ya awali katika Shule ya Wasichana ya CMS, kabla ya kuendelea na masomo katika Chuo cha Malkia kilichopo Lagos mwaka [[1930]] na kukamilisha mwaka [[1934]].<ref name=":1">{{Cite news|last=Osindele|first=Bisi|date=June 15, 1969|title=Humanitarian with no Regrets|work=Daily Sketch}}</ref> Ingawa alikulia katika Lagos ya zamani, ambako fursa za elimu kwa wasichana zilikuwa chache zaidi ikilinganishwa na wavulana, alihamasishwa na mmoja wa walimu wake wa shule ya sekondari kwenda kusoma nje ya nchi ili kupata diploma ya ualimu. Hatimaye alisafiri kwenda Uingereza, ambapo alisoma katika Chuo cha Southlands na Chuo cha King’s kilichopo [[London]], na kupata cheti cha ualimu. Baada ya kumaliza masomo yake, alirejea Lagos na kujiunga na Shule ya Wasichana ya CMS kama mwalimu. Mnamo mwaka [[1940]], alifunga ndoa na Richard Doherty, ambaye wakati huo alikuwa wakili akifanya kazi Ibadan. Baada ya ndoa, alihama na mumewe kwenda Ibadan, ambako waliishi hadi mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Akiwa Ibadan, hakushikilia ajira ya kudumu ya ualimu, lakini alijitolea kwa shughuli za kijamii kupitia mashirika mbalimbali ya hiari, yakiwemo chama cha kupambana na ukoma pamoja na Msalaba Mwekundu, ambacho kilikuwa na mchango mkubwa katika kazi zake za kijamii. Kati ya mwaka [[1945]] hadi [[1960]], alihudumu katika Bodi ya Udhamini ya Serikali mjini [[Lagos]], ambapo pia alihudumu kama katibu wa Bodi ya Udhamini ya Kanda ya Magharibi. Baadaye, alirudi kwa muda mfupi katika taaluma ya ualimu katika Chuo cha Queens, moja ya taasisi aliyowahi kusoma. Queenie Ronke Doherty pia alihusika kikamilifu katika shughuli za Msalaba Mwekundu wa Nigeria kama mkurugenzi wa tawi la Ibadan. Alitoa mchango mkubwa katika juhudi za kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa ndui ndogo huko Ibadan, na pia alisaidia shughuli za misaada katika eneo la Asaba wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Nigeria. Baadaye, alipanda cheo na kuwa Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake la Jimbo la Magharibi, kabla ya mwaka 1976 ambapo alichaguliwa kuwa Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake la Nigeria. hfepsh3fbr4ebpcwmu0t8lw0tuqvncv 1508053 1508052 2026-04-21T09:09:43Z Ramadhani Mushi 61176 1508053 wikitext text/x-wiki '''Queenie Ronke Doherty''' alikuwa kiongozi wa wanawake nchini [[Nigeria]], ambaye alihudumu kama Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake kuanzia mwaka [[1976]] hadi [[1980]]. Katika kipindi hicho, alijipambanua kama mmoja wa wanawake wachache waliopata nafasi za juu za uongozi wa kisiasa katika miaka ya [[1970]], jambo lililochangia kuimarika kwa ushiriki wa wanawake katika masuala ya uongozi na maendeleo ya jamii.<ref name=":0">{{Cite book|title=Speaking for Nigerian women : (a history of the National Council of Women's Societies, Nigeria)|last=Ojewusi|first=Sola|date=1996|publisher=All State Pub. and Print. Co|isbn=978-32382-0-5|location=Abuja, Nigeria|pages=299–301|oclc=42714200}}</ref> Katika maisha yake ya ndoa, Queenie Ronke Doherty alikuwa mke wa Richard Adeeyo Doherty, ambaye aliwahi kuwa Spika wa zamani wa Baraza la Bunge la Magharibi nchini Nigeria. Uhusiano wao pia ulimweka karibu na mazingira ya uongozi wa kisiasa na masuala ya utawala wa nchi.<ref>{{Cite book|title=The feminization of development processes in Africa : current and future perspectives|last=Udoh|first=Valentine|date=1999|publisher=Praeger|others=James Etim|isbn=978-0-313-02496-2|location=Westport, Conn.|pages=27|oclc=654811725}}</ref> == Maisha == Queenie Ronke Doherty (aliyezaliwa kama Williams mwaka [[1916]]) alizaliwa katika familia ya Nathaniel Fehintola Williams, ambaye alikuwa wa asili ya jamii ya Egba. Alipata elimu yake ya awali katika Shule ya Wasichana ya CMS, kabla ya kuendelea na masomo katika Chuo cha Malkia kilichopo Lagos mwaka [[1930]] na kukamilisha mwaka [[1934]].<ref name=":1">{{Cite news|last=Osindele|first=Bisi|date=June 15, 1969|title=Humanitarian with no Regrets|work=Daily Sketch}}</ref> Ingawa alikulia katika Lagos ya zamani, ambako fursa za elimu kwa wasichana zilikuwa chache zaidi ikilinganishwa na wavulana, alihamasishwa na mmoja wa walimu wake wa shule ya sekondari kwenda kusoma nje ya nchi ili kupata diploma ya ualimu. Hatimaye alisafiri kwenda Uingereza, ambapo alisoma katika Chuo cha Southlands na Chuo cha King’s kilichopo [[London]], na kupata cheti cha ualimu. Baada ya kumaliza masomo yake, alirejea Lagos na kujiunga na Shule ya Wasichana ya CMS kama mwalimu. Mnamo mwaka [[1940]], alifunga ndoa na Richard Doherty, ambaye wakati huo alikuwa wakili akifanya kazi Ibadan. Baada ya ndoa, alihama na mumewe kwenda Ibadan, ambako waliishi hadi mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Akiwa Ibadan, hakushikilia ajira ya kudumu ya ualimu, lakini alijitolea kwa shughuli za kijamii kupitia mashirika mbalimbali ya hiari, yakiwemo chama cha kupambana na ukoma pamoja na Msalaba Mwekundu, ambacho kilikuwa na mchango mkubwa katika kazi zake za kijamii. Kati ya mwaka [[1945]] hadi [[1960]], alihudumu katika Bodi ya Udhamini ya Serikali mjini [[Lagos]], ambapo pia alihudumu kama katibu wa Bodi ya Udhamini ya Kanda ya Magharibi. Baadaye, alirudi kwa muda mfupi katika taaluma ya ualimu katika Chuo cha Queens, moja ya taasisi aliyowahi kusoma. Queenie Ronke Doherty pia alihusika kikamilifu katika shughuli za Msalaba Mwekundu wa Nigeria kama mkurugenzi wa tawi la Ibadan. Alitoa mchango mkubwa katika juhudi za kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa ndui ndogo huko Ibadan, na pia alisaidia shughuli za misaada katika eneo la Asaba wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Nigeria. Baadaye, alipanda cheo na kuwa Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake la Jimbo la Magharibi, kabla ya mwaka 1976 ambapo alichaguliwa kuwa Rais wa Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake la Nigeria. ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1916]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] 9h74ms7xxncivyknjxf7gewkn5ny1d3 Esther Obasi-ike 0 229729 1508054 2026-04-21T09:10:06Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Mchungaji Esther Obasi-Ike''' (amezaliwa mnamo mwaka wa 1966) ni mchungaji, mhubiri, mwandishi na mwanzilishi wa huduma ya wanawake ya kiinjili ya kimataifa ijulikanayo kama '''Queen Esthers' Generation (QEG)'''.[1][2] Ni mtumishi wa Kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) nchini Kenya, na amehusika sana katika kazi za umishonari na huduma za kijamii nchini Afrika Mashariki na maeneo mengine.[3] Alihamia Kenya mwaka wa 1996 kuungana na mume...' 1508054 wikitext text/x-wiki '''Mchungaji Esther Obasi-Ike''' (amezaliwa mnamo mwaka wa 1966) ni mchungaji, mhubiri, mwandishi na mwanzilishi wa huduma ya wanawake ya kiinjili ya kimataifa ijulikanayo kama '''Queen Esthers' Generation (QEG)'''.[1][2] Ni mtumishi wa Kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) nchini Kenya, na amehusika sana katika kazi za umishonari na huduma za kijamii nchini Afrika Mashariki na maeneo mengine.[3] Alihamia Kenya mwaka wa 1996 kuungana na mume wake katika kuanzisha kazi ya Mungu kupitia kanisa la RCCG Kenya, baada ya mume wake kufika mapema mwaka wa 1995. Alisoma na ana Shahada yake ya Uzamili (MA) kutoka Africa International University (Nairobi Evangelical Graduate School of Theology) na Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Missiology kutoka Fuller Theological Seminary, Pasadena, Marekani.[4][5] == Huduma na mchango == Mchungaji Obasi-Ike amechangia kwa kiasi kikubwa katika kuwawezesha wanawake kupitia huduma za kiroho na programu za kujenga uwezo wa kiuchumi na kijamii. Kazi yake inalenga kuwapa wanawake msingi wa kitheolojia pamoja na ujuzi wa vitendo kwa ajili ya maendeleo binafsi na mabadiliko ya jamii.[6] == Tuzo na heshima == Ametunukiwa tuzo ya '''East Africa Women of Excellence Award''' kama Mwanamke wa Athari (Woman of Impact) kutokana na mchango wake katika jamii.[7] == Nafasi alizoshika == Mbali na huduma ya kichungaji na uwezeshaji wanawake, Mchungaji Esther Obasi-Ike anashika nafasi zifuatazo: * Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Africa International University.[8] * Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Evangelical Alliance of Kenya.[9] == Vitabu alivyoiandika == * ''Real People Real Issues and the Real God''[10][11] * ''The Gods of the Marketplace''[12] * ''Seed of Destiny: Seven Forces For Your Destiny Fulfillment''[13][14] * ''From Grass to Grace''[15] * ''Give Us Our Inheritance''[16] * ''Purpose and Promise Driven Life''[17] * ''10 Irrefutable Strategies for Conquest and Takeover of Territories''[18] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1966|}} [[Jamii:Wachungaji wa Nigeria]] [[Jamii:Wachungaji wa Kenya]] [[Jamii:Waandishi wa karne ya 21 wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa karne ya 21 wa Kenya]] [[Jamii:Wanawake wahubiri]] [[Jamii:Watu waliozaliwa 1966]] [[Jamii:Watu hai]] ``` ajmuwlm1qq4gbw8zx9uec01ftv93nhh 1508187 1508054 2026-04-21T11:46:34Z ~2026-24519-62 88836 1508187 wikitext text/x-wiki '''Esther Obasi-Ike''' (amezaliwa 1966) ni mchungaji, mhubiri, mwandishi na mwanzilishi wa huduma ya wanawake ya Kiinjili ya kimataifa ijulikanayo kama ''Queen Esthers' Generation (QEG)''. Ni mtumishi wa Kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) nchini Kenya, na amehusika sana katika kazi za umisionari na huduma za kijamii nchini Afrika Mashariki na maeneo mengine. Alihamia Kenya mwaka wa 1996 kuungana na mume wake katika kuanzisha kazi ya Mungu kupitia kanisa la RCCG Kenya, baada ya mume wake kufika mapema mwaka wa 1995. Alisoma na ana Shahada yake ya Uzamili (MA) kutoka Africa International University (Nairobi Evangelical Graduate School of Theology) na Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Missiology kutoka Fuller Theological Seminary, Pasadena, Marekani. == Huduma na mchango == Mchungaji Obasi-Ike amechangia kwa kiasi kikubwa katika kuwawezesha wanawake kupitia huduma za kiroho na programu za kujenga uwezo wa kiuchumi na kijamii. Kazi yake inalenga kuwapa wanawake msingi wa kitheolojia pamoja na ujuzi wa vitendo kwa ajili ya maendeleo binafsi na mabadiliko ya jamii. == Tuzo na heshima == Ametunukiwa tuzo ya ''East Africa Women of Excellence Award'' kama Mwanamke wa Athari (Woman of Impact) kutokana na mchango wake katika jamii. == Nafasi alizoshika == Mbali na huduma ya kichungaji na uwezeshaji wanawake, Mchungaji Esther Obasi-Ike anashika nafasi zifuatazo: * Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Africa International University. * Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Evangelical Alliance of Kenya. == Vitabu alivyoiandika == * ''Real People Real Issues and the Real God'' * ''The Gods of the Marketplace'' * ''Seed of Destiny: Seven Forces For Your Destiny Fulfillment'' * ''From Grass to Grace'' * ''Give Us Our Inheritance'' * ''Purpose and Promise Driven Life'' * ''10 Irrefutable Strategies for Conquest and Takeover of Territories'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-Mkristo}} {{BD|1966|}} [[Jamii:Wachungaji wa Nigeria]] [[Jamii:Wachungaji wa Kenya]] [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa Kenya]] ``` paq2bjktm6qrf6crdkr06nopszuaepq 1508189 1508187 2026-04-21T11:47:45Z ~2026-24519-62 88836 1508189 wikitext text/x-wiki '''Esther Obasi-Ike''' (amezaliwa 1966) ni mchungaji, mhubiri, mwandishi na mwanzilishi wa huduma ya wanawake ya Kiinjili ya kimataifa ijulikanayo kama ''Queen Esthers' Generation (QEG)''. Ni mtumishi wa Kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) nchini Kenya, na amehusika sana katika kazi za umisionari na huduma za kijamii nchini Afrika Mashariki na maeneo mengine. Alihamia Kenya mwaka wa 1996 kuungana na mume wake katika kuanzisha kazi ya Mungu kupitia kanisa la RCCG Kenya, baada ya mume wake kufika mapema mwaka wa 1995. Alisoma na ana Shahada yake ya Uzamili (MA) kutoka Africa International University (Nairobi Evangelical Graduate School of Theology) na Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Missiology kutoka Fuller Theological Seminary, Pasadena, Marekani. == Huduma na mchango == Mchungaji Obasi-Ike amechangia kwa kiasi kikubwa katika kuwawezesha wanawake kupitia huduma za kiroho na programu za kujenga uwezo wa kiuchumi na kijamii. Kazi yake inalenga kuwapa wanawake msingi wa kitheolojia pamoja na ujuzi wa vitendo kwa ajili ya maendeleo binafsi na mabadiliko ya jamii. == Tuzo na heshima == Ametunukiwa tuzo ya ''East Africa Women of Excellence Award'' kama Mwanamke wa Athari (Woman of Impact) kutokana na mchango wake katika jamii. == Nafasi alizoshika == Mbali na huduma ya kichungaji na uwezeshaji wanawake, Mchungaji Esther Obasi-Ike anashika nafasi zifuatazo: * Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Africa International University. * Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Evangelical Alliance of Kenya. == Vitabu alivyoviandika == * ''Real People Real Issues and the Real God'' * ''The Gods of the Marketplace'' * ''Seed of Destiny: Seven Forces For Your Destiny Fulfillment'' * ''From Grass to Grace'' * ''Give Us Our Inheritance'' * ''Purpose and Promise Driven Life'' * ''10 Irrefutable Strategies for Conquest and Takeover of Territories'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-Mkristo}} {{BD|1966|}} [[Jamii:Wachungaji wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa Kenya]] ``` s8y38j4w4zpw9s26eafhajdlmdmsxdn 1508191 1508189 2026-04-21T11:48:00Z ~2026-24519-62 88836 /* Marejeo */ 1508191 wikitext text/x-wiki '''Esther Obasi-Ike''' (amezaliwa 1966) ni mchungaji, mhubiri, mwandishi na mwanzilishi wa huduma ya wanawake ya Kiinjili ya kimataifa ijulikanayo kama ''Queen Esthers' Generation (QEG)''. Ni mtumishi wa Kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) nchini Kenya, na amehusika sana katika kazi za umisionari na huduma za kijamii nchini Afrika Mashariki na maeneo mengine. Alihamia Kenya mwaka wa 1996 kuungana na mume wake katika kuanzisha kazi ya Mungu kupitia kanisa la RCCG Kenya, baada ya mume wake kufika mapema mwaka wa 1995. Alisoma na ana Shahada yake ya Uzamili (MA) kutoka Africa International University (Nairobi Evangelical Graduate School of Theology) na Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Missiology kutoka Fuller Theological Seminary, Pasadena, Marekani. == Huduma na mchango == Mchungaji Obasi-Ike amechangia kwa kiasi kikubwa katika kuwawezesha wanawake kupitia huduma za kiroho na programu za kujenga uwezo wa kiuchumi na kijamii. Kazi yake inalenga kuwapa wanawake msingi wa kitheolojia pamoja na ujuzi wa vitendo kwa ajili ya maendeleo binafsi na mabadiliko ya jamii. == Tuzo na heshima == Ametunukiwa tuzo ya ''East Africa Women of Excellence Award'' kama Mwanamke wa Athari (Woman of Impact) kutokana na mchango wake katika jamii. == Nafasi alizoshika == Mbali na huduma ya kichungaji na uwezeshaji wanawake, Mchungaji Esther Obasi-Ike anashika nafasi zifuatazo: * Alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Africa International University. * Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Evangelical Alliance of Kenya. == Vitabu alivyoviandika == * ''Real People Real Issues and the Real God'' * ''The Gods of the Marketplace'' * ''Seed of Destiny: Seven Forces For Your Destiny Fulfillment'' * ''From Grass to Grace'' * ''Give Us Our Inheritance'' * ''Purpose and Promise Driven Life'' * ''10 Irrefutable Strategies for Conquest and Takeover of Territories'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-Mkristo}} {{BD|1966|}} [[Jamii:Wachungaji wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wa Kenya]] 6kyah3c9a306wkvfw0eijb72ikqbbys Clarisse Albrecht 0 229730 1508055 2026-04-21T09:14:56Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Clarisse Albrecht''' (alizaliwa 28 Juni 1978) ni mwigizaji, mwandishi wa skrini, mtayarishaji, msanii wa muziki, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Ufaransa. Pia aliwahi kuwa mwanamitindo. Ni msanii mwenye uwezo wa kutumia lugha nyingi, akiimba na kuandika kwa Kiingereza, [[Portuguese language|Kireno]], [[French language|Kifaransa]] na Kihispania. Kwa sasa anaishi kati ya Ufaransa na Jamhuri ya Dominika. == Maisha ya awali == Clarisse Albrecht alizali...' 1508055 wikitext text/x-wiki '''Clarisse Albrecht''' (alizaliwa 28 Juni 1978) ni mwigizaji, mwandishi wa skrini, mtayarishaji, msanii wa muziki, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Ufaransa. Pia aliwahi kuwa mwanamitindo. Ni msanii mwenye uwezo wa kutumia lugha nyingi, akiimba na kuandika kwa Kiingereza, [[Portuguese language|Kireno]], [[French language|Kifaransa]] na Kihispania. Kwa sasa anaishi kati ya Ufaransa na Jamhuri ya Dominika. == Maisha ya awali == Clarisse Albrecht alizaliwa mjini Rueil-Malmaison, [[France|Ufaransa]], akiwa na baba Mfaransa na mama kutoka Kameruni. Alikulia katika mazingira ya nchi mbalimbali, akigawanya utoto wake kati ya Ufaransa, [[Guinea-Bissau]] na [[Mozambique]]. == Kazi == Mnamo Mei 2010, alitoa wimbo wake wa kwanza ''Você Me Dá'' kwa njia ya kidijitali. Wimbo huo wa mtindo wa deep house uliathiriwa na muziki wa Brazili na soul. Ulipigwa katika zaidi ya nchi 33 na vituo zaidi ya 125 vya redio. Wimbo huo uliteuliwa mara mbili katika tuzo za MOAMAS 2011 (Museke Online African Music Awards) katika vipengele vya Best African Diaspora Song na Afro-Fusion, na hatimaye kushinda tuzo ya Best African Diaspora Song.<ref name="afrotainment">[http://mightyafrican.blogspot.com/2011/09/afrotainment-museke-online-africa-music.html Mighty African], Mighty African Blogspot.</ref> Mnamo Februari 2013, alitoa wimbo wake wa pili ''Não Posso Parar'', uliokuwa na athari kubwa zaidi ya muziki wa soul. Tarehe 22 Juni 2015 alitoa albamu yake ya kwanza iitwayo ''Mulata Universal''. Tangu mwaka 2016, amekuwa akifanya kazi kama mwandishi wa skrini kwa video za muziki na filamu. Akiwa pamoja na Ivan Herrera, aliandika filamu ''Bantú Mama'' iliyoongozwa na Ivan Herrera. Filamu hiyo ilifanya onyesho lake la kwanza duniani katika tamasha la SXSW, na kuwa filamu ya kwanza kutoka Jamhuri ya Dominika kuchaguliwa kushiriki katika tamasha hilo. == Diskografia == === Nyimbo === * 2010: ''Você Me Dá'' * 2013: ''Não Posso Parar'' * 2013: ''No Puedo Parar'' * 2015: ''Deixa Rolar'' === Albamu === * 2015: ''Mulata Universal'' === Ushiriki === * 2005: ''Différent'' (albamu ya LS) – sauti za ziada katika “At Home” * 2008: ''Cool Off Chillout'' – “Não Posso Parar (Soulavenue's Sweet Teardrop Mix)” (Sine Music, Ujerumani) * 2010: “Você Me Dá” katika ''Soul Unsigned: The 2010 Summer Session'' (Uingereza) * 2010: “Você Me Dá - Lil'Lion House Mix” katika ''Summer Club, le son electropical 2010'' (Ufaransa) * 2011: “Você Me Dá - SoulAvenue's Tropicalita Mix” katika ''The Bossa Night Club, Vol. 2'' (Ujerumani) * 2011: “Não Posso Parar (Soulavenue's Sweet Teardrop Mix)” na “Você Me Dá - SoulAvenue's Tropicalita Mix” katika albamu ''Swept Away'' ya SoulAvenue == Video za muziki == * 2010: ''Você Me Dá'', iliyoongozwa na Ivan Herrera * 2013: ''Não Posso Parar'', iliyoongozwa na Ivan Herrera == Tuzo == * 2023: ''Bantú Mama'' – Tuzo ya '''Outstanding International Motion Picture''', Tuzo za 54 za [[NAACP Image Awards]]<ref name="Why Bantú Mama’s Win at the NAACP Image Awards Matters">{{cite web | url=https://www.refinery29.com/en-us/2023/02/11303645/naacp-image-awards-2023-winners-bantu-mama-dominican | title=Why Bantú Mama's Win at the NAACP Image Awards Matters }}</ref> * 2022: ''Bantú Mama'' – '''Best Performer''', Tamasha la Kimataifa la Filamu la Durban 2022<ref name="DIFF 2022">[https://www.deed.news/news/2022-durban-international-film-festival-award-winners/ Durban International Film Festival 2022 Award Winners ].</ref> * 2011: “Você Me Dá” – '''Best African Diaspora Song'', MOAMAS 2011<ref name="museke">[https://web.archive.org/web/20120702014634/http://museke.tumblr.com/ The home of the African music fan and is the definitive website for African ].</ref> == Filamu == === Uigizaji === {| class="wikitable sortable" |- ! Mwaka ! Kichwa ! Nafasi ! Mkurugenzi ! Maelezo |- | 2009 | ''Femmes De Loi'' | Virginie Balard | Klaus Biedermann | Mfululizo wa televisheni (sehemu 1) |- | 2010 | ''Affaires Étrangères'' | Amelia Rodriguez | Vincenzo Marano | Mfululizo wa televisheni (sehemu 1) |- | 2018 | ''The Long Song'' | Mary Ellis | Mahalia Belo | Vipindi 3 (sehemu 2) |- | 2021 | ''Bantú Mama'' | Emma | Ivan Herrera | Filamu – onyesho la kwanza SXSW |- | 2022 | ''The Best Man: Final Chapters'' | Savannah | Malcolm D. Lee | Mfululizo mfupi (sehemu 2) |- | 2023 | ''Saint X'' | Deputy | Darren Grant | Mfululizo wa televisheni (sehemu 1) |- |} === Kazi nyingine === {| class="wikitable" |- ! Mwaka ! Kichwa ! Nafasi |- | 2021 | ''Bantú Mama'' | Mwandishi wa skrini na mtayarishaji mkuu |- |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1978|}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1978]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] jcwnq7d905b00puyhvwbf6k32l3jaqi 1508056 1508055 2026-04-21T09:16:08Z Valuegirl 87699 1508056 wikitext text/x-wiki '''Clarisse Albrecht''' (alizaliwa 28 Juni 1978) ni mwigizaji, mwandishi wa skrini, mtayarishaji, msanii wa muziki, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Ufaransa. Pia aliwahi kuwa mwanamitindo. Ni msanii mwenye uwezo wa kutumia lugha nyingi, akiimba na kuandika kwa Kiingereza, [[Portuguese language|Kireno]], [[French language|Kifaransa]] na Kihispania. Kwa sasa anaishi kati ya Ufaransa na Jamhuri ya Dominika. == Maisha ya awali == Clarisse Albrecht alizaliwa mjini Rueil-Malmaison, [[France|Ufaransa]], akiwa na baba Mfaransa na mama kutoka [[Kamerun|Kameruni]]. Alikulia katika mazingira ya nchi mbalimbali, akigawanya utoto wake kati ya Ufaransa, [[Guinea-Bissau]] na [[Mozambique]]. == Kazi == Mnamo Mei 2010, alitoa wimbo wake wa kwanza ''Você Me Dá'' kwa njia ya kidijitali. Wimbo huo wa mtindo wa deep house uliathiriwa na muziki wa Brazili na soul. Ulipigwa katika zaidi ya nchi 33 na vituo zaidi ya 125 vya redio. Wimbo huo uliteuliwa mara mbili katika tuzo za MOAMAS 2011 (Museke Online African Music Awards) katika vipengele vya Best African Diaspora Song na Afro-Fusion, na hatimaye kushinda tuzo ya Best African Diaspora Song.<ref name="afrotainment">[http://mightyafrican.blogspot.com/2011/09/afrotainment-museke-online-africa-music.html Mighty African], Mighty African Blogspot.</ref> Mnamo Februari 2013, alitoa wimbo wake wa pili ''Não Posso Parar'', uliokuwa na athari kubwa zaidi ya muziki wa soul. Tarehe 22 Juni 2015 alitoa albamu yake ya kwanza iitwayo ''Mulata Universal''. Tangu mwaka 2016, amekuwa akifanya kazi kama mwandishi wa skrini kwa video za muziki na filamu. Akiwa pamoja na Ivan Herrera, aliandika filamu ''Bantú Mama'' iliyoongozwa na Ivan Herrera. Filamu hiyo ilifanya onyesho lake la kwanza duniani katika tamasha la SXSW, na kuwa filamu ya kwanza kutoka Jamhuri ya Dominika kuchaguliwa kushiriki katika tamasha hilo. == Diskografia == === Nyimbo === * 2010: ''Você Me Dá'' * 2013: ''Não Posso Parar'' * 2013: ''No Puedo Parar'' * 2015: ''Deixa Rolar'' === Albamu === * 2015: ''Mulata Universal'' === Ushiriki === * 2005: ''Différent'' (albamu ya LS) – sauti za ziada katika “At Home” * 2008: ''Cool Off Chillout'' – “Não Posso Parar (Soulavenue's Sweet Teardrop Mix)” (Sine Music, Ujerumani) * 2010: “Você Me Dá” katika ''Soul Unsigned: The 2010 Summer Session'' (Uingereza) * 2010: “Você Me Dá - Lil'Lion House Mix” katika ''Summer Club, le son electropical 2010'' (Ufaransa) * 2011: “Você Me Dá - SoulAvenue's Tropicalita Mix” katika ''The Bossa Night Club, Vol. 2'' (Ujerumani) * 2011: “Não Posso Parar (Soulavenue's Sweet Teardrop Mix)” na “Você Me Dá - SoulAvenue's Tropicalita Mix” katika albamu ''Swept Away'' ya SoulAvenue == Video za muziki == * 2010: ''Você Me Dá'', iliyoongozwa na Ivan Herrera * 2013: ''Não Posso Parar'', iliyoongozwa na Ivan Herrera == Tuzo == * 2023: ''Bantú Mama'' – Tuzo ya '''Outstanding International Motion Picture''', Tuzo za 54 za [[NAACP Image Awards]]<ref name="Why Bantú Mama’s Win at the NAACP Image Awards Matters">{{cite web | url=https://www.refinery29.com/en-us/2023/02/11303645/naacp-image-awards-2023-winners-bantu-mama-dominican | title=Why Bantú Mama's Win at the NAACP Image Awards Matters }}</ref> * 2022: ''Bantú Mama'' – '''Best Performer''', Tamasha la Kimataifa la Filamu la Durban 2022<ref name="DIFF 2022">[https://www.deed.news/news/2022-durban-international-film-festival-award-winners/ Durban International Film Festival 2022 Award Winners ].</ref> * 2011: “Você Me Dá” – '''Best African Diaspora Song'', MOAMAS 2011<ref name="museke">[https://web.archive.org/web/20120702014634/http://museke.tumblr.com/ The home of the African music fan and is the definitive website for African ].</ref> == Filamu == === Uigizaji === {| class="wikitable sortable" |- ! Mwaka ! Kichwa ! Nafasi ! Mkurugenzi ! Maelezo |- | 2009 | ''Femmes De Loi'' | Virginie Balard | Klaus Biedermann | Mfululizo wa televisheni (sehemu 1) |- | 2010 | ''Affaires Étrangères'' | Amelia Rodriguez | Vincenzo Marano | Mfululizo wa televisheni (sehemu 1) |- | 2018 | ''The Long Song'' | Mary Ellis | Mahalia Belo | Vipindi 3 (sehemu 2) |- | 2021 | ''Bantú Mama'' | Emma | Ivan Herrera | Filamu – onyesho la kwanza SXSW |- | 2022 | ''The Best Man: Final Chapters'' | Savannah | Malcolm D. Lee | Mfululizo mfupi (sehemu 2) |- | 2023 | ''Saint X'' | Deputy | Darren Grant | Mfululizo wa televisheni (sehemu 1) |- |} === Kazi nyingine === {| class="wikitable" |- ! Mwaka ! Kichwa ! Nafasi |- | 2021 | ''Bantú Mama'' | Mwandishi wa skrini na mtayarishaji mkuu |- |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1978|}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waliozaliwa 1978]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] 2zx2ktpz0d31yh3jp2zl9tra7q3agei P. A. Ogundipe 0 229731 1508057 2026-04-21T09:17:15Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Phebean Ajibola Ogundipe''' (née Itayemi), OON (mnamo mwaka wa 1927 hadi mwaka wa 2020) alikuwa mwandishi, mwalimu na mtumishi wa serikali kutoka [[Nigeria]].[1] Akiandika kwa jina la '''Phebean Itayemi''', alijulikana kama mwanamke wa kwanza wa Nigeria kuchapishwa kwa Kiingereza baada ya kushinda shindano la hadithi fupi la British Council.[2] Baadaye alichapisha vitabu vya kiada kwa jina la '''P. A. Ogundipe'''.[1] == Maisha ya awali na elimu == Og...' 1508057 wikitext text/x-wiki '''Phebean Ajibola Ogundipe''' (née Itayemi), OON (mnamo mwaka wa 1927 hadi mwaka wa 2020) alikuwa mwandishi, mwalimu na mtumishi wa serikali kutoka [[Nigeria]].[1] Akiandika kwa jina la '''Phebean Itayemi''', alijulikana kama mwanamke wa kwanza wa Nigeria kuchapishwa kwa Kiingereza baada ya kushinda shindano la hadithi fupi la British Council.[2] Baadaye alichapisha vitabu vya kiada kwa jina la '''P. A. Ogundipe'''.[1] == Maisha ya awali na elimu == Ogundipe alizaliwa Esa-Oke, Jimbo la Osun, Nigeria tarehe 6 Mei 1927, akiwa na asili ya Wajesha (Ijesha).[1] Alisoma elimu ya msingi Esa-Oke na Imesi-ile kabla ya kujiunga na Queen's College, Lagos kwa elimu ya sekondari.[1] Baadaye alipata shahada kutoka University of St Andrews na diploma ya elimu kutoka Institute of Education, University of London.[2] Baada ya kurejea Nigeria, alianza kufanya kazi kama mwalimu wa Kiingereza.[1] == Kazi ya uandishi == Hadithi yake '''Nothing So Sweet''' ilishinda shindano la 1946 la British Council kwa eneo la magharibi la Nigeria, ikishinda michango ya waandishi kama T. M. Aluko na Cyprian Ekwensi.[2] Hadithi hiyo inaeleza maisha ya msichana kijana anayekumbwa na kutekwa ili kulazimishwa ndoa ya kupanga, lakini baadaye anafanikiwa kutoroka na kwenda kujiunga na mafunzo ya uuguzi.[3] == Kazi ya utumishi wa umma == Ogundipe alifunga ndoa na Adebayo Ogundipe akiwa mwalimu katika Queen's School, Ede.[1] Mwaka 1960 aliteuliwa kuwa afisa wa elimu katika Western Region na baadaye kuwa mkuu wa Adeyemi College of Education. Mwaka 1966 alihamia Wizara ya Elimu ya Shirikisho na kupandishwa cheo kuwa afisa mwandamizi wa elimu. Alisimamia utekelezaji wa mpango wa elimu ya msingi ya lazima (universal primary education). Alistaafu mwaka 1976 akiwa na cheo cha Naibu Mkurugenzi wa Elimu.[2][4] == Maisha ya baadaye na kifo == Mwaka 2013 alichapisha kumbukumbu zake zilizoitwa ''Up-Country Girl''. Alifariki tarehe 27 Machi 2020 huko Charlotte, North Carolina, Marekani.[1][5][6][7] == Vitabu == * ''Nothing So Sweet'' (year 1947) * ''Folk Tales and Fables'' (1953) (pamoja na P. Gurrey)[citation needed] * ''Practical English: A Comprehensive Secondary Course'' (year 1965)[8] * ''The Torn Veil, and Other Stories'' (year 1975)[9][10] * ''Brighter Grammar: An English Grammar with Exercises'' (1983)[11][12][13][14] * ''New Practical English'' (year 1985)[15][16][17] * ''Up-Country Girl: A Personal Journey and Truthful Portrayal of African Culture'' (year 2013) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1927|2020}} 9cikhsmn57lilgu9scg400985p6kpus 1508199 1508057 2026-04-21T11:50:46Z ~2026-24519-62 88836 1508199 wikitext text/x-wiki '''Phebean Ajibola Ogundipe''' (née Itayemi), OON (1927 - 2020) alikuwa mwandishi, mwalimu na mtumishi wa serikali kutoka [[Nigeria]]. Akiandika kwa jina la '''Phebean Itayemi''', alijulikana kama mwanamke wa kwanza wa Nigeria kuchapishwa kwa Kiingereza baada ya kushinda shindano la hadithi fupi la British Council. Baadaye alichapisha vitabu vya kiada kwa jina la '''P. A. Ogundipe'''. == Maisha ya awali na elimu == Ogundipe alizaliwa Esa-Oke, Jimbo la Osun, Nigeria tarehe 6 Mei 1927, akiwa na asili ya Wajesha (Ijesha). Alisoma elimu ya msingi Esa-Oke na Imesi-ile kabla ya kujiunga na Queen's College, Lagos kwa elimu ya sekondari. Baadaye alipata shahada kutoka University of St Andrews na diploma ya elimu kutoka Institute of Education, University of London. Baada ya kurejea Nigeria, alianza kufanya kazi kama mwalimu wa Kiingereza. == Kazi ya uandishi == Hadithi yake ''Nothing So Sweet'' ilishinda shindano la 1946 la British Council kwa eneo la magharibi la Nigeria, ikishinda michango ya waandishi kama T. M. Aluko na Cyprian Ekwensi. Hadithi hiyo inaeleza maisha ya msichana kijana anayekumbwa na kutekwa ili kulazimishwa ndoa ya kupanga, lakini baadaye anafanikiwa kutoroka na kwenda kujiunga na mafunzo ya uuguzi. == Kazi ya utumishi wa umma == Ogundipe alifunga ndoa na Adebayo Ogundipe akiwa mwalimu katika Queen's School, Ede. Mwaka 1960 aliteuliwa kuwa afisa wa elimu katika Western Region na baadaye kuwa mkuu wa Adeyemi College of Education. Mwaka 1966 alihamia Wizara ya Elimu ya Shirikisho na kupandishwa cheo kuwa afisa mwandamizi wa elimu. Alisimamia utekelezaji wa mpango wa elimu ya msingi ya lazima (universal primary education). Alistaafu mwaka 1976 akiwa na cheo cha Naibu Mkurugenzi wa Elimu. == Maisha ya baadaye na kifo == Mwaka 2013 alichapisha kumbukumbu zake zilizoitwa ''Up-Country Girl''. Alifariki tarehe 27 Machi 2020 huko Charlotte, North Carolina, Marekani. == Vitabu == * ''Nothing So Sweet'' (1947) * ''Folk Tales and Fables'' (1953) (pamoja na P. Gurrey) * ''Practical English: A Comprehensive Secondary Course'' (1965) * ''The Torn Veil, and Other Stories'' (1975) * ''Brighter Grammar: An English Grammar with Exercises'' (1983) * ''New Practical English'' (1985) * ''Up-Country Girl: A Personal Journey and Truthful Portrayal of African Culture'' (2013) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1927|2020}} [[Jamii:waandishi wa Nigeria]] cg34uqpah2xf71s8ve645w329lguoy7 Maryam Uwais 0 229732 1508058 2026-04-21T09:18:29Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Maryam Hajiya Uwais''', mwenye heshima ya MFR, ni [[mfanyabiashara]] mwanamke kutoka [[Nigeria]], [[wakili]], [[mwanaharakati]] wa [[haki za binadamu]] pamoja na [[mwanasiasa]]. Alihudumu kama Mshauri Maalum wa Rais [[Muhammadu Buhari]] kuhusu uwekezaji wa kijamii kuanzia mwaka [[2015]] hadi [[2023]], nafasi iliyompa mchango mkubwa katika sera za maendeleo ya kijamii nchini Nigeria. Kabla ya uteuzi huo, Maryam Uwais alikuwa na uzoefu wa kazi katika ta...' 1508058 wikitext text/x-wiki '''Maryam Hajiya Uwais''', mwenye heshima ya MFR, ni [[mfanyabiashara]] mwanamke kutoka [[Nigeria]], [[wakili]], [[mwanaharakati]] wa [[haki za binadamu]] pamoja na [[mwanasiasa]]. Alihudumu kama Mshauri Maalum wa Rais [[Muhammadu Buhari]] kuhusu uwekezaji wa kijamii kuanzia mwaka [[2015]] hadi [[2023]], nafasi iliyompa mchango mkubwa katika sera za maendeleo ya kijamii nchini Nigeria. Kabla ya uteuzi huo, Maryam Uwais alikuwa na uzoefu wa kazi katika taasisi mbalimbali za umma na kitaifa, ikiwemo Wizara ya Viwanda ya Jimbo la [[Kano (jimbo)|Kano]], Benki Kuu ya Nigeria pamoja na Tume ya Marekebisho ya Sheria ya Nigeria. Kupitia nafasi hizo, alijijenga kama mtaalamu mwenye uelewa mpana wa masuala ya sheria, uchumi na utawala. Kabla ya kuingia rasmi katika nafasi ya ushauri wa serikali, Uwais pia alijulikana kwa uanaharakati wake dhidi ya umaskini na alihusishwa na programu ya N-Power, mpango wa kijamii uliolenga kuwawezesha vijana kiuchumi na kielimu. == Kazi == Maryam Hajiya Uwais alisoma katika [[Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello]] mwaka [[1981]], ambapo baadaye alipata Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) mwaka [[1985]]. Katika safari yake ya kitaaluma ya sheria, Taasisi ya Nigeria ya Masomo ya Kisheria ya Juu ilimpa cheti cha heshima katika mazoezi ya sheria pamoja na utaratibu wa hali ya juu katika mwaka huo huo, na baadaye akatunukiwa cheti kingine cha uandishi wa sheria mwaka [[1989]]. Katika kazi yake ya kitaaluma, Uwais ameshirikiana na taasisi na mashirika mbalimbali ya kimataifa na kikanda, yakiwemo Mpango wa Jumuiya Huria kwa [[Afrika Magharibi]], UNICEF, Benki ya Dunia pamoja na Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DFID). Kupitia ushirikiano huo, alihusishwa katika masuala ya maendeleo, haki za binadamu na sera za kijamii. Alifanya pia kazi kama mwandishi maalum wa masuala ya haki za mtoto ndani ya Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu, ambapo alichangia katika kuimarisha ulinzi wa haki za watoto nchini Nigeria. Mnamo mwaka [[2009]], alianzisha Mpango wa Uwezeshaji wa Isa Wali, mpango unaolenga kuboresha fursa za elimu na maendeleo kwa vijana na jamii zisizojiweza. Aidha, Maryam Hajiya Uwais amewahi kuhudumu kama Mkurugenzi Asiye Mtendaji na pia Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Stanbic IBTC Holdings, ambapo alitoa mchango wake katika usimamizi na uongozi wa taasisi hiyo ya kifedha. == Uanaharakati == Maryam Hajiya Uwais amejipambanua zaidi kama mtetezi wa masuala ya jinsia na ufeministi, akilenga hasa kulinda haki za wanawake na watoto. Katika maoni yake kuhusu masuala ya kijamii, amewahi kusisitiza kwa nguvu kwamba ndoa za utotoni ni mojawapo ya aina kali zaidi za ukatili dhidi ya wasichana na watoto wa kike.<ref>{{cite web|url=https://allafrica.com/stories/201909040091.html|title=Nigeria: Spotlighting the Presidential Aides (I)|date=4 September 2019|work=[[All Africa]] via [[Leadership (Nigeria)|Leadership News]]|location=Abuja)|access-date=30 January 2024|archive-date=14 September 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20190914180004/https://allafrica.com/stories/201909040091.html|url-status=live}}</ref> Katika kazi yake ya kitaifa, alihudumu kama Mratibu wa Kitaifa wa Programu ya Watoto Walio Hatarini, mpango uliokuwa chini ya Serikali ya Shirikisho la Nigeria na uliolenga kuwasaidia watoto walio katika mazingira magumu zaidi.<ref>{{cite web|title=Maryam Uwais {{!}} CHAIRPERSON & FOUNDER ISA WALI EMPOWERMENT INITIATIVE (IWEI)|url=https://www.thosewhoinspire.com/meet-the-ip/maryam-uwais/|work=Those Who Inspire|access-date=2024-01-29|archive-date=2021-08-03|archive-url=https://web.archive.org/web/20210803115707/https://www.thosewhoinspire.com/meet-the-ip/maryam-uwais/|url-status=live}}</ref> Kazi zake nyingi pia zimejikita katika kushughulikia changamoto za ndoa za utotoni nchini Nigeria, pamoja na kutoa mapendekezo na mikakati ya kuimarisha uwezeshaji wa wanawake katika jamii. Kupitia juhudi hizi, amechangia kwa kiasi kikubwa katika mijadala ya sera zinazolenga kuboresha ustawi wa wanawake na watoto.<ref>{{cite web|url=https://www.bloomberg.com/profile/person/18107818|title=Maryam Uwais {{!}} Former Board Member, Stanbic Ibtc Bank PLC|work=bloomberg.com}}</ref> == Picha ya vyombo vya habari na umma == Alikuwa mmoja wa wazungumzaji wa TEDxYaba [[2017]].<ref>{{Cite news|url=https://www.vanguardngr.com/2022/12/over-41000-vulnerable-children-to-benefit-from-fgs-arc-p-in-borno/|location=Lagos, Nigeria|title=Over 41,000 vulnerable Children to benefit from FG's ARC-P in Borno|access-date=2024-01-30|archive-date=2023-02-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20230202174718/https://www.vanguardngr.com/2022/12/over-41000-vulnerable-children-to-benefit-from-fgs-arc-p-in-borno/|url-status=live|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] ee23uyjsvqnsfrzcly6k8nd1sne0hu9 Andy Allo 0 229733 1508059 2026-04-21T09:21:52Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Andy Allo''' (amezaliwa Januari 13, 1989) ni mwimbaji-mtunzi wa nyimbo, mpiga gitaa na mwigizaji mwenye asili ya Cameroon na Marekani.<ref>{{cite web|title=The Daily Feed with Andy Allo 4.22.11|url=[http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4](http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4) TV|accessdate=5 Januari 2013|date=22 Aprili 2011|archive-date=2 Desemba 2017|archive-url=[...' 1508059 wikitext text/x-wiki '''Andy Allo''' (amezaliwa Januari 13, 1989) ni mwimbaji-mtunzi wa nyimbo, mpiga gitaa na mwigizaji mwenye asili ya Cameroon na Marekani.<ref>{{cite web|title=The Daily Feed with Andy Allo 4.22.11|url=[http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4](http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4) TV|accessdate=5 Januari 2013|date=22 Aprili 2011|archive-date=2 Desemba 2017|archive-url=[https://web.archive.org/web/20171202053106/http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20171202053106/http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|url-status=dead}})</ref> Alitoa albamu yake ya kwanza kati ya tatu mwaka 2009, na alijiunga na bendi ya Prince, ''The New Power Generation'', mwaka 2011. Alikuwa na nafasi ya kurudia katika vipindi vitatu vya mfululizo wa vichekesho-dramatiki ''The Game'' mwaka 2011, akifuatiwa na majukumu mengine kadhaa, yakiwemo nafasi ya usaidizi katika filamu ya 2017 ''Pitch Perfect 3'' na nafasi kuu ya Nora katika mfululizo wa Amazon Prime ''Upload'' (2020). Mwaka 2026, alishiriki kama mshindani katika msimu wa tano wa ''Next Level Chef'' kama mpishi wa mitandao ya kijamii kwenye timu ya Gordon Ramsay. == Maisha ya awali na elimu == Alizaliwa Bamenda, Mkoa wa Kaskazini Magharibi, Cameroon, Allo alianza kuvutiwa na muziki akiwa mdogo; mama yake alimfundisha kupiga kinanda akiwa na umri wa miaka saba.{{citation needed|date=Aprili 2021}} Pia alisoma katika shule ya PNEU Bamenda, Cameroon. Yeye ni mtoto wa mwisho kati ya ndugu watano.<ref>{{cite web|title=Andy Allo Bio|url=[https://www.andyallo.com/about|publisher=www.andyallo.com}}](https://www.andyallo.com/about|publisher=www.andyallo.com}})</ref> Allo ana uraia wa Marekani na Cameroon na alihamia Sacramento mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka kumi na moja pamoja na dada yake Suzanne, wakijiunga na ndugu zao wengine watatu.<ref name=":1">{{Cite web|url=[http://www.sactownmag.com/August-September-2012/Foxy-Lady/|title=A](http://www.sactownmag.com/August-September-2012/Foxy-Lady/|title=A) profile of singer-songwriter Andy Allo|last=Towne|first=Stephanie|date=Agosti 2012|website=sactownmag.com|publisher=Sactown Magazine|access-date=2016-05-01}}</ref> Mama yake, Sue, aliyezaliwa California,<ref>{{Cite web|url=[http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|title=San](http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|title=San) Joaquin County Deaths/Obituaries - C. Norman Adams|date=Machi 11, 1995|website=recordnet.com|access-date=2016-05-01|archive-date=26 Agosti 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180826214622/http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180826214622/http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|url-status=dead}})</ref> alilazimika kurejea nyumbani baada ya kuugua ugonjwa wa uchovu sugu.<ref name=":2">{{Cite web|url=[http://www.cocoafly.com/2010/01/you-need-to-know-andy-allo.html|title=Cocoa](http://www.cocoafly.com/2010/01/you-need-to-know-andy-allo.html|title=Cocoa) Fly: You Need To Know.... Andy Allo|last=Darden|first=Jenee|date=Januari 26, 2010|website=[www.cocoafly.com|access-date=2016-05-01](http://www.cocoafly.com|access-date=2016-05-01)}}</ref> Baba yake Andrew Allo (1943–2025) alikuwa mtaalamu wa ikolojia.<ref>{{Cite web|url=[https://www.crawfordfuneralservice.com/obituaries/Andrew-Allo?obId=46985088|title=Andrew](https://www.crawfordfuneralservice.com/obituaries/Andrew-Allo?obId=46985088|title=Andrew) Allo January 16, 1943 – December 12, 2025|date=Desemba 12, 2025|website=Crawfordfuneralservice|access-date=2026-02-17}}</ref> Allo alianza masomo yake Marekani katika darasa la saba katika Shule ya Kati ya Arden huko Sacramento, na alihitimu mwaka 2006 kutoka Shule ya Sekondari ya El Camino Fundamental huko Sacramento. Baada ya shule ya sekondari, alisoma katika Chuo cha American River huko Sacramento.<ref name=":1" /> Wakati huo, Allo alianzisha bendi yake mwenyewe, Allo and the Traffic Jam, ambayo wakati mwingine ilitumbuiza kwa michango mitaani kwenye kona ya barabara ya 22 na J huko Sacramento.<ref name=":1" /> == Kazi == Onyesho lake la kwanza la pekee lilikuwa usiku wa open mic mwaka 2008 katika Fox & Goose Public House katikati mwa jiji la Sacramento.<ref name=":1" /> Mwaka 2009, alitoa albamu yake ya kwanza ya kujitegemea, ''UnFresh'', iliyokuwa na nyimbo 12 za asili.<ref>{{cite web|title=Bounce-Worthy: Andy Allo|url=[http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|publisher=www.soulbounce.com|accessdate=5](http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|publisher=www.soulbounce.com|accessdate=5) Januari 2013|archive-url=[https://web.archive.org/web/20121227030132/http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|archive-date=27](https://web.archive.org/web/20121227030132/http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|archive-date=27) Desemba 2012|url-status=dead|df=dmy-all}}</ref><ref>{{Cite news|url=[http://www.soultracks.com/review-andy-allo-unfresh|title=Andy](http://www.soultracks.com/review-andy-allo-unfresh|title=Andy) Allo - Unfresh (2009) (Review)|date=2009-12-21|newspaper=SoulTracks|access-date=2016-10-15}}</ref> Wimbo wa kwanza wa albamu hiyo, "Dreamland", unamshirikisha rapa Blu.<ref>{{Cite web|url=[http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|title=iRock](http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|title=iRock) Jazz|website=irockjazz.com|access-date=2016-04-21|archive-url=[https://web.archive.org/web/20160502145336/http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|archive-date=2](https://web.archive.org/web/20160502145336/http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|archive-date=2) Mei 2016|url-status=dead|df=dmy-all}}</ref> Umaarufu wake kama mwanamuziki ulimpelekea kupata nafasi ya kuwa mwimbaji na mpiga gitaa katika bendi ya Prince, ''New Power Generation'', mwaka 2011.<ref>{{cite web|title=Andy Allo Listening Party|url=[http://prince.org/msg/5/387406/Andy-Allo-Listening-Party-announced-for-Chicago-Sunday-23rd-September|publisher=Prince.org|accessdate=5](http://prince.org/msg/5/387406/Andy-Allo-Listening-Party-announced-for-Chicago-Sunday-23rd-September|publisher=Prince.org|accessdate=5) Januari 2013}}</ref> Alianza kuandika nyimbo pamoja na Prince akiwa katika ziara,<ref>{{Cite news|url=[https://www.billboard.com/music/music-news/andy-allo-talks-working-with-prince-performs-two-songs-1554479/|title=Andy](https://www.billboard.com/music/music-news/andy-allo-talks-working-with-prince-performs-two-songs-1554479/|title=Andy) Allo Talks Working With Prince|date=2013-03-26|newspaper=Billboard|access-date=2016-10-15}}</ref> wakishirikiana katika nyimbo tatu zilizojumuishwa kwenye albamu yake ''Superconductor''.<ref>{{cite web|title=Interview Andy Allo|date=2012-10-22|url=[http://www.ebony.com/entertainment-culture/interview-andy-allo-008|publisher=Ebony}}](http://www.ebony.com/entertainment-culture/interview-andy-allo-008|publisher=Ebony}})</ref> Albamu ''Superconductor'' ilitolewa Novemba 20, 2012 na iliongoza chati za Soul na R&B za Amazon nchini Ufaransa, Uingereza na Marekani.<ref>{{Cite web|url=[http://www.noise11.com/news/prince-protege-andy-allo-tops-amazon-charts-with-superconductor-20121122|title=Prince](http://www.noise11.com/news/prince-protege-andy-allo-tops-amazon-charts-with-superconductor-20121122|title=Prince) Protégé Andy Allo Tops Amazon Charts|date=2012-11-21}}</ref> Alionekana pia katika nyimbo za albamu ya Prince ya 2014 ''Art Official Age''. Mwaka 2014 alitoa wimbo "Tongue Tied". Albamu ''Hello'' ilitolewa Aprili 2015 kupitia ufadhili wa PledgeMusic. Mwaka huo pia alishirikiana na Prince kwenye mradi wa nyimbo za kufunika uitwao ''Oui Can Luv''.<ref>{{Cite news|url=[https://www.theguardian.com/music/2015/nov/12/prince-interview|title=Prince](https://www.theguardian.com/music/2015/nov/12/prince-interview|title=Prince) Interview|date=2015-11-12|newspaper=The Guardian}}</ref> Allo alionekana kwa mara ya kwanza kwenye televisheni mwaka 2011 katika ''The Game''. Pia alishiriki kwenye vipindi vya ''Attack of the Show!'' na ''Jimmy Kimmel Live!''.<ref>{{Cite web|url=[http://www.thevinylbridge.com/music/rbsoul/watch-andy-allo-performs-people-pleaser-on-jimmy-kimmel-live/|title=Andy](http://www.thevinylbridge.com/music/rbsoul/watch-andy-allo-performs-people-pleaser-on-jimmy-kimmel-live/|title=Andy) Allo Performs|date=2013-04-01}}</ref> Mwaka 2017 alicheza katika filamu ''Pitch Perfect 3''. Pia alicheza nafasi kuu katika mfululizo wa ''Upload'' (2020–2025). Mwaka 2023 alitoa sauti ya mhusika Lyanna Hazard katika ''Star Wars: The Bad Batch''.<ref name="celestino2023">{{Cite web |last=Celestino |first=Mike |date=2023-03-15 |title=TV Review |url=[https://www.laughingplace.com/w/articles/2023/03/15/tv-review-recap|website=Laughing](https://www.laughingplace.com/w/articles/2023/03/15/tv-review-recap|website=Laughing) Place}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''UnFresh'' (2009) * ''Superconductor'' (2012) * ''Hello'' (2015) * ''Oui Can Luv'' (2015) * ''One Step Closer'' (2017) == Filamu == {| class="wikitable sortable" |+Filamu ! Mwaka ! Kichwa | ! Nafasi | | --------------------- | | 2017 | | ''Pitch Perfect 3'' | | Serenity | | - | | 2020 | | ''2 Minutes of Fame'' | | Taylor | | - | | 2023 | | ''Assassin'' | | Mali | | - | | 2025 | | ''Absolute Dominion'' | | Naya Olinga | | } | == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1989|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] 87xgy63vqn4mel1t3c2x2q8tvxvkojv 1508060 1508059 2026-04-21T09:23:02Z Valuegirl 87699 1508060 wikitext text/x-wiki '''Andy Allo''' (amezaliwa Januari 13, 1989) ni mwimbaji-mtunzi wa nyimbo, mpiga gitaa na mwigizaji mwenye asili ya [[Kamerun]] na Marekani.<ref>{{cite web|title=The Daily Feed with Andy Allo 4.22.11|url=[http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4](http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4) TV|accessdate=5 Januari 2013|date=22 Aprili 2011|archive-date=2 Desemba 2017|archive-url=[https://web.archive.org/web/20171202053106/http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20171202053106/http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|url-status=dead}})</ref> Alitoa albamu yake ya kwanza kati ya tatu mwaka 2009, na alijiunga na bendi ya Prince, ''The New Power Generation'', mwaka 2011. Alikuwa na nafasi ya kurudia katika vipindi vitatu vya mfululizo wa vichekesho-dramatiki ''The Game'' mwaka 2011, akifuatiwa na majukumu mengine kadhaa, yakiwemo nafasi ya usaidizi katika filamu ya 2017 ''Pitch Perfect 3'' na nafasi kuu ya Nora katika mfululizo wa Amazon Prime ''Upload'' (2020). Mwaka 2026, alishiriki kama mshindani katika msimu wa tano wa ''Next Level Chef'' kama mpishi wa mitandao ya kijamii kwenye timu ya Gordon Ramsay. == Maisha ya awali na elimu == Alizaliwa Bamenda, Mkoa wa Kaskazini Magharibi, Cameroon, Allo alianza kuvutiwa na muziki akiwa mdogo; mama yake alimfundisha kupiga kinanda akiwa na umri wa miaka saba.{{citation needed|date=Aprili 2021}} Pia alisoma katika shule ya PNEU Bamenda, Cameroon. Yeye ni mtoto wa mwisho kati ya ndugu watano.<ref>{{cite web|title=Andy Allo Bio|url=[https://www.andyallo.com/about|publisher=www.andyallo.com}}](https://www.andyallo.com/about|publisher=www.andyallo.com}})</ref> Allo ana uraia wa Marekani na Cameroon na alihamia Sacramento mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka kumi na moja pamoja na dada yake Suzanne, wakijiunga na ndugu zao wengine watatu.<ref name=":1">{{Cite web|url=[http://www.sactownmag.com/August-September-2012/Foxy-Lady/|title=A](http://www.sactownmag.com/August-September-2012/Foxy-Lady/|title=A) profile of singer-songwriter Andy Allo|last=Towne|first=Stephanie|date=Agosti 2012|website=sactownmag.com|publisher=Sactown Magazine|access-date=2016-05-01}}</ref> Mama yake, Sue, aliyezaliwa California,<ref>{{Cite web|url=[http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|title=San](http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|title=San) Joaquin County Deaths/Obituaries - C. Norman Adams|date=Machi 11, 1995|website=recordnet.com|access-date=2016-05-01|archive-date=26 Agosti 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180826214622/http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180826214622/http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|url-status=dead}})</ref> alilazimika kurejea nyumbani baada ya kuugua ugonjwa wa uchovu sugu.<ref name=":2">{{Cite web|url=[http://www.cocoafly.com/2010/01/you-need-to-know-andy-allo.html|title=Cocoa](http://www.cocoafly.com/2010/01/you-need-to-know-andy-allo.html|title=Cocoa) Fly: You Need To Know.... Andy Allo|last=Darden|first=Jenee|date=Januari 26, 2010|website=[www.cocoafly.com|access-date=2016-05-01](http://www.cocoafly.com|access-date=2016-05-01)}}</ref> Baba yake Andrew Allo (1943–2025) alikuwa mtaalamu wa ikolojia.<ref>{{Cite web|url=[https://www.crawfordfuneralservice.com/obituaries/Andrew-Allo?obId=46985088|title=Andrew](https://www.crawfordfuneralservice.com/obituaries/Andrew-Allo?obId=46985088|title=Andrew) Allo January 16, 1943 – December 12, 2025|date=Desemba 12, 2025|website=Crawfordfuneralservice|access-date=2026-02-17}}</ref> Allo alianza masomo yake Marekani katika darasa la saba katika Shule ya Kati ya Arden huko Sacramento, na alihitimu mwaka 2006 kutoka Shule ya Sekondari ya El Camino Fundamental huko Sacramento. Baada ya shule ya sekondari, alisoma katika Chuo cha American River huko Sacramento.<ref name=":1" /> Wakati huo, Allo alianzisha bendi yake mwenyewe, Allo and the Traffic Jam, ambayo wakati mwingine ilitumbuiza kwa michango mitaani kwenye kona ya barabara ya 22 na J huko Sacramento.<ref name=":1" /> == Kazi == Onyesho lake la kwanza la pekee lilikuwa usiku wa open mic mwaka 2008 katika Fox & Goose Public House katikati mwa jiji la Sacramento.<ref name=":1" /> Mwaka 2009, alitoa albamu yake ya kwanza ya kujitegemea, ''UnFresh'', iliyokuwa na nyimbo 12 za asili.<ref>{{cite web|title=Bounce-Worthy: Andy Allo|url=[http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|publisher=www.soulbounce.com|accessdate=5](http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|publisher=www.soulbounce.com|accessdate=5) Januari 2013|archive-url=[https://web.archive.org/web/20121227030132/http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|archive-date=27](https://web.archive.org/web/20121227030132/http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|archive-date=27) Desemba 2012|url-status=dead|df=dmy-all}}</ref><ref>{{Cite news|url=[http://www.soultracks.com/review-andy-allo-unfresh|title=Andy](http://www.soultracks.com/review-andy-allo-unfresh|title=Andy) Allo - Unfresh (2009) (Review)|date=2009-12-21|newspaper=SoulTracks|access-date=2016-10-15}}</ref> Wimbo wa kwanza wa albamu hiyo, "Dreamland", unamshirikisha rapa Blu.<ref>{{Cite web|url=[http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|title=iRock](http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|title=iRock) Jazz|website=irockjazz.com|access-date=2016-04-21|archive-url=[https://web.archive.org/web/20160502145336/http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|archive-date=2](https://web.archive.org/web/20160502145336/http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|archive-date=2) Mei 2016|url-status=dead|df=dmy-all}}</ref> Umaarufu wake kama mwanamuziki ulimpelekea kupata nafasi ya kuwa mwimbaji na mpiga gitaa katika bendi ya Prince, ''New Power Generation'', mwaka 2011.<ref>{{cite web|title=Andy Allo Listening Party|url=[http://prince.org/msg/5/387406/Andy-Allo-Listening-Party-announced-for-Chicago-Sunday-23rd-September|publisher=Prince.org|accessdate=5](http://prince.org/msg/5/387406/Andy-Allo-Listening-Party-announced-for-Chicago-Sunday-23rd-September|publisher=Prince.org|accessdate=5) Januari 2013}}</ref> Alianza kuandika nyimbo pamoja na Prince akiwa katika ziara,<ref>{{Cite news|url=[https://www.billboard.com/music/music-news/andy-allo-talks-working-with-prince-performs-two-songs-1554479/|title=Andy](https://www.billboard.com/music/music-news/andy-allo-talks-working-with-prince-performs-two-songs-1554479/|title=Andy) Allo Talks Working With Prince|date=2013-03-26|newspaper=Billboard|access-date=2016-10-15}}</ref> wakishirikiana katika nyimbo tatu zilizojumuishwa kwenye albamu yake ''Superconductor''.<ref>{{cite web|title=Interview Andy Allo|date=2012-10-22|url=[http://www.ebony.com/entertainment-culture/interview-andy-allo-008|publisher=Ebony}}](http://www.ebony.com/entertainment-culture/interview-andy-allo-008|publisher=Ebony}})</ref> Albamu ''Superconductor'' ilitolewa Novemba 20, 2012 na iliongoza chati za Soul na R&B za Amazon nchini Ufaransa, Uingereza na Marekani.<ref>{{Cite web|url=[http://www.noise11.com/news/prince-protege-andy-allo-tops-amazon-charts-with-superconductor-20121122|title=Prince](http://www.noise11.com/news/prince-protege-andy-allo-tops-amazon-charts-with-superconductor-20121122|title=Prince) Protégé Andy Allo Tops Amazon Charts|date=2012-11-21}}</ref> Alionekana pia katika nyimbo za albamu ya Prince ya 2014 ''Art Official Age''. Mwaka 2014 alitoa wimbo "Tongue Tied". Albamu ''Hello'' ilitolewa Aprili 2015 kupitia ufadhili wa PledgeMusic. Mwaka huo pia alishirikiana na Prince kwenye mradi wa nyimbo za kufunika uitwao ''Oui Can Luv''.<ref>{{Cite news|url=[https://www.theguardian.com/music/2015/nov/12/prince-interview|title=Prince](https://www.theguardian.com/music/2015/nov/12/prince-interview|title=Prince) Interview|date=2015-11-12|newspaper=The Guardian}}</ref> Allo alionekana kwa mara ya kwanza kwenye televisheni mwaka 2011 katika ''The Game''. Pia alishiriki kwenye vipindi vya ''Attack of the Show!'' na ''Jimmy Kimmel Live!''.<ref>{{Cite web|url=[http://www.thevinylbridge.com/music/rbsoul/watch-andy-allo-performs-people-pleaser-on-jimmy-kimmel-live/|title=Andy](http://www.thevinylbridge.com/music/rbsoul/watch-andy-allo-performs-people-pleaser-on-jimmy-kimmel-live/|title=Andy) Allo Performs|date=2013-04-01}}</ref> Mwaka 2017 alicheza katika filamu ''Pitch Perfect 3''. Pia alicheza nafasi kuu katika mfululizo wa ''Upload'' (2020–2025). Mwaka 2023 alitoa sauti ya mhusika Lyanna Hazard katika ''Star Wars: The Bad Batch''.<ref name="celestino2023">{{Cite web |last=Celestino |first=Mike |date=2023-03-15 |title=TV Review |url=[https://www.laughingplace.com/w/articles/2023/03/15/tv-review-recap|website=Laughing](https://www.laughingplace.com/w/articles/2023/03/15/tv-review-recap|website=Laughing) Place}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''UnFresh'' (2009) * ''Superconductor'' (2012) * ''Hello'' (2015) * ''Oui Can Luv'' (2015) * ''One Step Closer'' (2017) == Filamu == {| class="wikitable sortable" |+Filamu ! Mwaka ! Kichwa | ! Nafasi | | --------------------- | | 2017 | | ''Pitch Perfect 3'' | | Serenity | | - | | 2020 | | ''2 Minutes of Fame'' | | Taylor | | - | | 2023 | | ''Assassin'' | | Mali | | - | | 2025 | | ''Absolute Dominion'' | | Naya Olinga | | } | == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1989|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] hhxle8vc37muvxispmhk8adfrpaimaf 1508201 1508060 2026-04-21T11:53:10Z ~2026-24519-62 88836 1508201 wikitext text/x-wiki '''Andy Allo''' (amezaliwa Januari 13, 1989) ni mwimbaji-mtunzi wa nyimbo, mpiga gitaa na mwigizaji wa [[Kamerun]] na Marekani.<ref>{{cite web|title=The Daily Feed with Andy Allo 4.22.11|url=[http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4](http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|publisher=G4) TV|accessdate=5 Januari 2013|date=22 Aprili 2011|archive-date=2 Desemba 2017|archive-url=[https://web.archive.org/web/20171202053106/http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20171202053106/http://www.g4tv.com/videos/52571/the-daily-feed-with-andy-allo-42211/|url-status=dead}})</ref> Alitoa albamu yake ya kwanza kati ya tatu mwaka 2009, na alijiunga na bendi ya Prince, ''The New Power Generation'', mwaka 2011. Alikuwa na nafasi ya kurudia katika vipindi vitatu vya mfululizo wa vichekesho-dramatiki ''The Game'' mwaka 2011, akifuatiwa na majukumu mengine kadhaa, yakiwemo nafasi ya usaidizi katika filamu ya 2017 ''Pitch Perfect 3'' na nafasi kuu ya Nora katika mfululizo wa Amazon Prime ''Upload'' (2020). Mwaka 2026, alishiriki kama mshindani katika msimu wa tano wa ''Next Level Chef'' kama mpishi wa mitandao ya kijamii kwenye timu ya Gordon Ramsay. == Maisha ya awali na elimu == Alizaliwa Bamenda, Mkoa wa Kaskazini Magharibi, Cameroon, Allo alianza kuvutiwa na muziki akiwa mdogo; mama yake alimfundisha kupiga kinanda akiwa na umri wa miaka saba.{{citation needed|date=Aprili 2021}} Pia alisoma katika shule ya PNEU Bamenda, Cameroon. Yeye ni mtoto wa mwisho kati ya ndugu watano.<ref>{{cite web|title=Andy Allo Bio|url=[https://www.andyallo.com/about|publisher=www.andyallo.com}}](https://www.andyallo.com/about|publisher=www.andyallo.com}})</ref> Allo ana uraia wa Marekani na Cameroon na alihamia Sacramento mwaka 2000 akiwa na umri wa miaka kumi na moja pamoja na dada yake Suzanne, wakijiunga na ndugu zao wengine watatu.<ref name=":1">{{Cite web|url=[http://www.sactownmag.com/August-September-2012/Foxy-Lady/|title=A](http://www.sactownmag.com/August-September-2012/Foxy-Lady/|title=A) profile of singer-songwriter Andy Allo|last=Towne|first=Stephanie|date=Agosti 2012|website=sactownmag.com|publisher=Sactown Magazine|access-date=2016-05-01}}</ref> Mama yake, Sue, aliyezaliwa California,<ref>{{Cite web|url=[http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|title=San](http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|title=San) Joaquin County Deaths/Obituaries - C. Norman Adams|date=Machi 11, 1995|website=recordnet.com|access-date=2016-05-01|archive-date=26 Agosti 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20180826214622/http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20180826214622/http://www.recordnet.com/apps/pbcs.dll/article?AID=/19950311/A_NEWS/303119991|url-status=dead}})</ref> alilazimika kurejea nyumbani baada ya kuugua ugonjwa wa uchovu sugu.<ref name=":2">{{Cite web|url=[http://www.cocoafly.com/2010/01/you-need-to-know-andy-allo.html|title=Cocoa](http://www.cocoafly.com/2010/01/you-need-to-know-andy-allo.html|title=Cocoa) Fly: You Need To Know.... Andy Allo|last=Darden|first=Jenee|date=Januari 26, 2010|website=[www.cocoafly.com|access-date=2016-05-01](http://www.cocoafly.com|access-date=2016-05-01)}}</ref> Baba yake Andrew Allo (1943–2025) alikuwa mtaalamu wa ikolojia.<ref>{{Cite web|url=[https://www.crawfordfuneralservice.com/obituaries/Andrew-Allo?obId=46985088|title=Andrew](https://www.crawfordfuneralservice.com/obituaries/Andrew-Allo?obId=46985088|title=Andrew) Allo January 16, 1943 – December 12, 2025|date=Desemba 12, 2025|website=Crawfordfuneralservice|access-date=2026-02-17}}</ref> Allo alianza masomo yake Marekani katika darasa la saba katika Shule ya Kati ya Arden huko Sacramento, na alihitimu mwaka 2006 kutoka Shule ya Sekondari ya El Camino Fundamental huko Sacramento. Baada ya shule ya sekondari, alisoma katika Chuo cha American River huko Sacramento.<ref name=":1" /> Wakati huo, Allo alianzisha bendi yake mwenyewe, Allo and the Traffic Jam, ambayo wakati mwingine ilitumbuiza kwa michango mitaani kwenye kona ya barabara ya 22 na J huko Sacramento.<ref name=":1" /> == Kazi == Onyesho lake la kwanza la pekee lilikuwa usiku wa open mic mwaka 2008 katika Fox & Goose Public House katikati mwa jiji la Sacramento.<ref name=":1" /> Mwaka 2009, alitoa albamu yake ya kwanza ya kujitegemea, ''UnFresh'', iliyokuwa na nyimbo 12 za asili.<ref>{{cite web|title=Bounce-Worthy: Andy Allo|url=[http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|publisher=www.soulbounce.com|accessdate=5](http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|publisher=www.soulbounce.com|accessdate=5) Januari 2013|archive-url=[https://web.archive.org/web/20121227030132/http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|archive-date=27](https://web.archive.org/web/20121227030132/http://www.soulbounce.com/soul/2009/11/bounce-worthy_andy_allo.php|archive-date=27) Desemba 2012|url-status=dead|df=dmy-all}}</ref><ref>{{Cite news|url=[http://www.soultracks.com/review-andy-allo-unfresh|title=Andy](http://www.soultracks.com/review-andy-allo-unfresh|title=Andy) Allo - Unfresh (2009) (Review)|date=2009-12-21|newspaper=SoulTracks|access-date=2016-10-15}}</ref> Wimbo wa kwanza wa albamu hiyo, "Dreamland", unamshirikisha rapa Blu.<ref>{{Cite web|url=[http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|title=iRock](http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|title=iRock) Jazz|website=irockjazz.com|access-date=2016-04-21|archive-url=[https://web.archive.org/web/20160502145336/http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|archive-date=2](https://web.archive.org/web/20160502145336/http://irockjazz.com/2012/11/introducing-andy-allo/|archive-date=2) Mei 2016|url-status=dead|df=dmy-all}}</ref> Umaarufu wake kama mwanamuziki ulimpelekea kupata nafasi ya kuwa mwimbaji na mpiga gitaa katika bendi ya Prince, ''New Power Generation'', mwaka 2011.<ref>{{cite web|title=Andy Allo Listening Party|url=[http://prince.org/msg/5/387406/Andy-Allo-Listening-Party-announced-for-Chicago-Sunday-23rd-September|publisher=Prince.org|accessdate=5](http://prince.org/msg/5/387406/Andy-Allo-Listening-Party-announced-for-Chicago-Sunday-23rd-September|publisher=Prince.org|accessdate=5) Januari 2013}}</ref> Alianza kuandika nyimbo pamoja na Prince akiwa katika ziara,<ref>{{Cite news|url=[https://www.billboard.com/music/music-news/andy-allo-talks-working-with-prince-performs-two-songs-1554479/|title=Andy](https://www.billboard.com/music/music-news/andy-allo-talks-working-with-prince-performs-two-songs-1554479/|title=Andy) Allo Talks Working With Prince|date=2013-03-26|newspaper=Billboard|access-date=2016-10-15}}</ref> wakishirikiana katika nyimbo tatu zilizojumuishwa kwenye albamu yake ''Superconductor''.<ref>{{cite web|title=Interview Andy Allo|date=2012-10-22|url=[http://www.ebony.com/entertainment-culture/interview-andy-allo-008|publisher=Ebony}}](http://www.ebony.com/entertainment-culture/interview-andy-allo-008|publisher=Ebony}})</ref> Albamu ''Superconductor'' ilitolewa Novemba 20, 2012 na iliongoza chati za Soul na R&B za Amazon nchini Ufaransa, Uingereza na Marekani.<ref>{{Cite web|url=[http://www.noise11.com/news/prince-protege-andy-allo-tops-amazon-charts-with-superconductor-20121122|title=Prince](http://www.noise11.com/news/prince-protege-andy-allo-tops-amazon-charts-with-superconductor-20121122|title=Prince) Protégé Andy Allo Tops Amazon Charts|date=2012-11-21}}</ref> Alionekana pia katika nyimbo za albamu ya Prince ya 2014 ''Art Official Age''. Mwaka 2014 alitoa wimbo "Tongue Tied". Albamu ''Hello'' ilitolewa Aprili 2015 kupitia ufadhili wa PledgeMusic. Mwaka huo pia alishirikiana na Prince kwenye mradi wa nyimbo za kufunika uitwao ''Oui Can Luv''.<ref>{{Cite news|url=[https://www.theguardian.com/music/2015/nov/12/prince-interview|title=Prince](https://www.theguardian.com/music/2015/nov/12/prince-interview|title=Prince) Interview|date=2015-11-12|newspaper=The Guardian}}</ref> Allo alionekana kwa mara ya kwanza kwenye televisheni mwaka 2011 katika ''The Game''. Pia alishiriki kwenye vipindi vya ''Attack of the Show!'' na ''Jimmy Kimmel Live!''.<ref>{{Cite web|url=[http://www.thevinylbridge.com/music/rbsoul/watch-andy-allo-performs-people-pleaser-on-jimmy-kimmel-live/|title=Andy](http://www.thevinylbridge.com/music/rbsoul/watch-andy-allo-performs-people-pleaser-on-jimmy-kimmel-live/|title=Andy) Allo Performs|date=2013-04-01}}</ref> Mwaka 2017 alicheza katika filamu ''Pitch Perfect 3''. Pia alicheza nafasi kuu katika mfululizo wa ''Upload'' (2020–2025). Mwaka 2023 alitoa sauti ya mhusika Lyanna Hazard katika ''Star Wars: The Bad Batch''.<ref name="celestino2023">{{Cite web |last=Celestino |first=Mike |date=2023-03-15 |title=TV Review |url=[https://www.laughingplace.com/w/articles/2023/03/15/tv-review-recap|website=Laughing](https://www.laughingplace.com/w/articles/2023/03/15/tv-review-recap|website=Laughing) Place}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''UnFresh'' (2009) * ''Superconductor'' (2012) * ''Hello'' (2015) * ''Oui Can Luv'' (2015) * ''One Step Closer'' (2017) == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1989|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:wanamuziki wa Kamerun]] ed7of7av44ppsvl3duaatkqxht8sfeu Chidera Okolie 0 229734 1508061 2026-04-21T09:25:24Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '```wiki id="n6t4c1" '''Chidera Nneoma Okolie''' (amezaliwa mnamo tarehe 27 Machi mwaka wa 1993) ni mwandishi kutoka [[Nigeria]] alipata umaarufu wa kitaifa kupitia riwaya yake ya kwanza ya ''When Silence Becomes Too Loud'' iliyochapishwa mwaka wa 2014.[1][2] == Maisha ya awali == Okolie alizaliwa mjini Enugu, kusini-mashariki mwa Nigeria.[4] Tangu akiwa mtoto, alionyesha kupenda sana fasihi na alifanya vizuri katika masomo ya lugha na fasihi shuleni. Pia...' 1508061 wikitext text/x-wiki ```wiki id="n6t4c1" '''Chidera Nneoma Okolie''' (amezaliwa mnamo tarehe 27 Machi mwaka wa 1993) ni mwandishi kutoka [[Nigeria]] alipata umaarufu wa kitaifa kupitia riwaya yake ya kwanza ya ''When Silence Becomes Too Loud'' iliyochapishwa mwaka wa 2014.[1][2] == Maisha ya awali == Okolie alizaliwa mjini Enugu, kusini-mashariki mwa Nigeria.[4] Tangu akiwa mtoto, alionyesha kupenda sana fasihi na alifanya vizuri katika masomo ya lugha na fasihi shuleni. Pia alianza kuandika hadithi fupi kwa wanafunzi wenzake akiwa shule ya sekondari.[4] Baadaye alisoma Shahada ya Sheria katika University of Nigeria na akapokelewa kwenye Baraza la Wanasheria wa Nigeria (Nigerian Bar) mnamo Novemba mwaka wa 2016.[5][2] == Kazi ya uandishi == Okolie alichapisha riwaya yake ya kwanza ''When Silence Becomes Too Loud'' mnamo Desemba 2014 akiwa bado mwanafunzi wa sheria.[6] Mwaka wa 2015, kitabu hicho kilipata pongezi kutoka kwa Rais wa wakati huo wa Nigeria, Goodluck Jonathan, katika mpango wa kukuza ujasiriamali mjini Abuja.[3] Mwaka 2017 alichapisha kitabu chake cha pili ''Not Forgiven'', ambacho ni mkusanyiko wa hadithi fupi za aina ya msisimko wa kisaikolojia (psychological thriller).[7][5] == Idios Creatives == Mnamo mwaka wa 2018, Okolie alianzisha Idios Creatives, jukwaa linalolenga kuwapa vijana wanaoanza uandishi na ubunifu nafasi ya kuonyesha kazi zao.[5][4] Pia alianzisha Idios Prize for Flash Fiction and Poetry, ambayo ilivutia washiriki zaidi ya wanafunzi 397.[7] Baadaye, alikusanya hadithi 100 zilizochaguliwa na kuziunda kitabu kiitwacho ''The Future: A Collection of Short Stories and Poems by Children of Selected Nigerian Schools'', kilichotolewa mwaka wa 2018.[7] == Tuzo na heshima == * Mwaka wa 2015: Uteuzi katika African Achievers Awards.[2][8] * Mwaka wa 2016: Mwandishi Bora wa Hadithi za Kubuni (Fiction Writer of the Year) na miongoni mwa Waandishi 100 wenye ushawishi Nigeria chini ya umri wa miaka 40.[1] * Mwaka wa 2016: Tuzo ya Fiction Writer of the Year (Xperience Womanity Awards).[1][9] * Mwaka wa 2017: Tuzo ya Most Outstanding Fiction Writer of the Year.[2] * Mwaka wa 2019: Alichaguliwa miongoni mwa Vijana 100 Wenye Ushawishi Nchini Nigeria katika sekta ya Sheria na Utawala.[10] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1993|}} [[Jamii:Waandishi wa Nigeria wa karne ya 21]] [[Jamii:Wanawake waandishi wa Nigeria]]] [[Jamii:Watu kutoka Enugu]] olr5wu8hivfyenx7pbsgskzh0rlo3v1 1508203 1508061 2026-04-21T11:54:45Z ~2026-24519-62 88836 1508203 wikitext text/x-wiki '''Chidera Nneoma Okolie''' (amezaliwa 27 Machi 1993) ni mwandishi kutoka [[Nigeria]] alipata umaarufu wa kitaifa kupitia riwaya yake ya kwanza ya ''When Silence Becomes Too Loud'' iliyochapishwa mwaka wa 2014. == Maisha ya awali == Okolie alizaliwa mjini Enugu, kusini-mashariki mwa Nigeria. Tangu akiwa mtoto, alionyesha kupenda sana fasihi na alifanya vizuri katika masomo ya lugha na fasihi shuleni. Pia alianza kuandika hadithi fupi kwa wanafunzi wenzake akiwa shule ya sekondari. Baadaye alisoma Shahada ya Sheria katika University of Nigeria na akapokelewa kwenye Baraza la Wanasheria wa Nigeria (Nigerian Bar) mnamo Novemba mwaka wa 2016. == Kazi ya uandishi == Okolie alichapisha riwaya yake ya kwanza ''When Silence Becomes Too Loud'' mnamo Desemba 2014 akiwa bado mwanafunzi wa sheria. Mwaka wa 2015, kitabu hicho kilipata pongezi kutoka kwa Rais wa wakati huo wa Nigeria, Goodluck Jonathan, katika mpango wa kukuza ujasiriamali mjini Abuja. Mwaka 2017 alichapisha kitabu chake cha pili ''Not Forgiven'', ambacho ni mkusanyiko wa hadithi fupi za aina ya msisimko wa kisaikolojia (psychological thriller). == Idios Creatives == Mnamo mwaka wa 2018, Okolie alianzisha Idios Creatives, jukwaa linalolenga kuwapa vijana wanaoanza uandishi na ubunifu nafasi ya kuonyesha kazi zao. Pia alianzisha Idios Prize for Flash Fiction and Poetry, ambayo ilivutia washiriki zaidi ya wanafunzi 397. Baadaye, alikusanya hadithi 100 zilizochaguliwa na kuziunda kitabu kiitwacho ''The Future: A Collection of Short Stories and Poems by Children of Selected Nigerian Schools'', kilichotolewa mwaka wa 2018. == Tuzo na heshima == * Mwaka wa 2015: Uteuzi katika African Achievers Awards. * Mwaka wa 2016: Mwandishi Bora wa Hadithi za Kubuni (Fiction Writer of the Year) na miongoni mwa Waandishi 100 wenye ushawishi Nigeria chini ya umri wa miaka 40. * Mwaka wa 2016: Tuzo ya Fiction Writer of the Year (Xperience Womanity Awards). * Mwaka wa 2017: Tuzo ya Most Outstanding Fiction Writer of the Year. * Mwaka wa 2019: Alichaguliwa miongoni mwa Vijana 100 Wenye Ushawishi Nchini Nigeria katika sekta ya Sheria na Utawala. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{BD|1993|}} [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]] [[Jamii:Watu kutoka Enugu]] 12y0y0swm2rc53wg9owau3y5va1mr22 Oluwaseun Osowobi 0 229735 1508062 2026-04-21T09:26:36Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Oluwaseun Ayodeji Osowobi''' ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika kupigania haki na usalama wa wanawake na wasichana. Pia ndiye mwanzilishi wa Mpango wa Stand to End Rape (STER), taasisi inayolenga kupambana na ukatili wa kingono na kutoa msaada kwa waathirika wa ubakaji pamoja na kuongeza uelewa katika jamii kuhusu tatizo hilo. Mnamo mwaka [[2019]], Osowobi alitambuliwa kimataifa...' 1508062 wikitext text/x-wiki '''Oluwaseun Ayodeji Osowobi''' ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika kupigania haki na usalama wa wanawake na wasichana. Pia ndiye mwanzilishi wa Mpango wa Stand to End Rape (STER), taasisi inayolenga kupambana na ukatili wa kingono na kutoa msaada kwa waathirika wa ubakaji pamoja na kuongeza uelewa katika jamii kuhusu tatizo hilo. Mnamo mwaka [[2019]], Osowobi alitambuliwa kimataifa baada ya kutajwa kwenye orodha ya Time 100 Next kama mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa duniani. Katika mwaka huohuo pia alitunukiwa tuzo ya Mtu Kijana wa Mwaka wa Jumuiya ya Madola, kutokana na mchango wake katika uanaharakati na huduma kwa jamii. == Maisha ya Awali == Oluwaseun Ayodeji Osowobi alizaliwa na kukulia nchini Nigeria, katika mazingira yaliyomjenga kuwa mtetezi wa [[haki za binadamu]], hususan kwa kuongozwa na mama yake ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika kumkuza na kumhamasisha kujihusisha na uanaharakati. Alipata Shahada ya Kwanza katika Serikali za Mitaa na Masomo ya Maendeleo kutoka [[Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello]]. Baada ya hapo, aliendelea na masomo ya juu katika Chuo Kikuu cha Swansea, ambapo alisomea Shahada ya Uzamili katika Mahusiano ya Kimataifa. Katika tafiti zake za uzamili, alijikita zaidi katika masuala ya usawa wa kijinsia na uhalifu wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto, mada iliyochangia kwa kiasi kikubwa kuimarisha mtazamo wake wa kupambana na ukatili wa kijinsia kupitia kazi yake ya uanaharakati. == Kazi == Oluwaseun Ayodeji Osowobi alifanya kazi katika Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi nchini Nigeria wakati wa Huduma yake ya Kitaifa ya Vijana, akihudumu katika uchaguzi mkuu wa mwaka [[2011]]. Wakati wa utekelezaji wa majukumu yake, alikumbana na changamoto kubwa za kijamii, ambapo aliripoti tukio la shinikizo na vitisho baada ya kukataa rushwa, hali iliyojumuisha jaribio la kumdhuru kijinsia kupitia mpango uliopangwa na baadhi ya wanajamii.<ref>{{Cite news|last1=Ojo|first1=James|title=Njideka Crosby, Oluwaseun Osowobi… two Nigerians make 2019 'TIME 100 Next' list|url=https://lifestyle.thecable.ng/njideka-crosby-oluwaseun-osowobi-two-nigerians-make-2019-time-100-next-list/|newspaper=[[TheCable]]|access-date=27 December 2020|date=13 November 2019}}</ref> Kutokana na uzoefu huo, alianzisha shirika la Stand to End Rape (STER) mwaka [[2013]], ambalo linalenga kuongeza uelewa kuhusu ukatili wa kijinsia na kutoa msaada kwa waathirika wa unyanyasaji wa kingono. Kufikia mwaka [[2019]], shirika hilo lilikuwa limefikia takriban watu 200,000 nchini Nigeria, likitoa elimu, msaada na huduma za kijamii kwa waathirika.<ref name=":0">{{Cite web|url=https://time.com/collection/time-100-next-2019/5718899/oluwaseun-ayodeji-osowobi/|title=TIME 100 Next 2019: Oluwaseun Ayodeji Osowobi|website=Time|language=en-us|access-date=2020-04-23|archive-date=2020-04-13|archive-url=https://web.archive.org/web/20200413062950/https://time.com/collection/time-100-next-2019/5718899/oluwaseun-ayodeji-osowobi/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.cnn.com/2019/11/14/africa/gallery/time-influential-africans/index.html|title=The next generation of influential Africans|website=CNN|access-date=2020-04-23}}</ref> Mwaka [[2017]], Osowobi alitunukiwa Ruzuku ya Genius kutoka Wakfu wa John D. na Catherine T. MacArthur, kutambua mchango wake katika uanaharakati na haki za binadamu. Mwaka 2019, alitambuliwa kimataifa kwa kutajwa kwenye orodha ya Time 100 Next kama mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa duniani, na pia aliteuliwa kuwa Mtu Kijana wa Mwaka wa Jumuiya ya Madola.<ref name="STER">{{Cite news|url=https://punchng.com/nigerias-osowobi-emerges-commonwealth-youth-person-of-the-year-2019/|title=Nigeria’s Osowobi emerges Commonwealth Youth Person of the Year 2019|newspaper=[[The Punch]]|language=en-US|access-date=2020-04-23}}</ref> Mnamo mwaka [[2020]], Osowobi aliambukizwa virusi vya [[COVID-19]] akiwa mjini [[London]], [[Uingereza]], alipohudhuria Ibada ya Siku ya Jumuiya ya Madola tarehe [[9 Machi]]. Baada ya kupata matibabu, alipona kikamilifu, na uzoefu wake kuhusu ugonjwa huo uliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari.<ref>{{cite web|title=Nigeria COVID-19 survivor: 'An experience I don't wish on anyone'|url=https://www.aljazeera.com/news/2020/4/7/nigeria-covid-19-survivor-an-experience-i-dont-wish-on-anyone|website=aljazeera.com|publisher=[[Al Jazeera English]]|access-date=27 December 2020|date=7 April 2020}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] 7l4zij5ay1ap9hglf877lf1i06cbcti 1508063 1508062 2026-04-21T09:27:02Z Ramadhani Mushi 61176 1508063 wikitext text/x-wiki '''Oluwaseun Ayodeji Osowobi''' ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika kupigania haki na usalama wa wanawake na wasichana. Pia ndiye mwanzilishi wa Mpango wa Stand to End Rape (STER), taasisi inayolenga kupambana na ukatili wa kingono na kutoa msaada kwa waathirika wa ubakaji pamoja na kuongeza uelewa katika jamii kuhusu tatizo hilo. Mnamo mwaka [[2019]], Osowobi alitambuliwa kimataifa baada ya kutajwa kwenye orodha ya Time 100 Next kama mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa duniani. Katika mwaka huohuo pia alitunukiwa tuzo ya Mtu Kijana wa Mwaka wa Jumuiya ya Madola, kutokana na mchango wake katika uanaharakati na huduma kwa jamii. == Maisha ya Awali == Oluwaseun Ayodeji Osowobi alizaliwa na kukulia nchini Nigeria, katika mazingira yaliyomjenga kuwa mtetezi wa [[haki za binadamu]], hususan kwa kuongozwa na mama yake ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika kumkuza na kumhamasisha kujihusisha na uanaharakati. Alipata Shahada ya Kwanza katika Serikali za Mitaa na Masomo ya Maendeleo kutoka [[Chuo Kikuu cha Ahmadu Bello]]. Baada ya hapo, aliendelea na masomo ya juu katika Chuo Kikuu cha Swansea, ambapo alisomea Shahada ya Uzamili katika Mahusiano ya Kimataifa. Katika tafiti zake za uzamili, alijikita zaidi katika masuala ya usawa wa kijinsia na uhalifu wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto, mada iliyochangia kwa kiasi kikubwa kuimarisha mtazamo wake wa kupambana na ukatili wa kijinsia kupitia kazi yake ya uanaharakati. == Kazi == Oluwaseun Ayodeji Osowobi alifanya kazi katika Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi nchini Nigeria wakati wa Huduma yake ya Kitaifa ya Vijana, akihudumu katika uchaguzi mkuu wa mwaka [[2011]]. Wakati wa utekelezaji wa majukumu yake, alikumbana na changamoto kubwa za kijamii, ambapo aliripoti tukio la shinikizo na vitisho baada ya kukataa rushwa, hali iliyojumuisha jaribio la kumdhuru kijinsia kupitia mpango uliopangwa na baadhi ya wanajamii.<ref>{{Cite news|last1=Ojo|first1=James|title=Njideka Crosby, Oluwaseun Osowobi… two Nigerians make 2019 'TIME 100 Next' list|url=https://lifestyle.thecable.ng/njideka-crosby-oluwaseun-osowobi-two-nigerians-make-2019-time-100-next-list/|newspaper=[[TheCable]]|access-date=27 December 2020|date=13 November 2019}}</ref> Kutokana na uzoefu huo, alianzisha shirika la Stand to End Rape (STER) mwaka [[2013]], ambalo linalenga kuongeza uelewa kuhusu ukatili wa kijinsia na kutoa msaada kwa waathirika wa unyanyasaji wa kingono. Kufikia mwaka [[2019]], shirika hilo lilikuwa limefikia takriban watu 200,000 nchini Nigeria, likitoa elimu, msaada na huduma za kijamii kwa waathirika.<ref name=":0">{{Cite web|url=https://time.com/collection/time-100-next-2019/5718899/oluwaseun-ayodeji-osowobi/|title=TIME 100 Next 2019: Oluwaseun Ayodeji Osowobi|website=Time|language=en-us|access-date=2020-04-23|archive-date=2020-04-13|archive-url=https://web.archive.org/web/20200413062950/https://time.com/collection/time-100-next-2019/5718899/oluwaseun-ayodeji-osowobi/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.cnn.com/2019/11/14/africa/gallery/time-influential-africans/index.html|title=The next generation of influential Africans|website=CNN|access-date=2020-04-23}}</ref> Mwaka [[2017]], Osowobi alitunukiwa Ruzuku ya Genius kutoka Wakfu wa John D. na Catherine T. MacArthur, kutambua mchango wake katika uanaharakati na haki za binadamu. Mwaka 2019, alitambuliwa kimataifa kwa kutajwa kwenye orodha ya Time 100 Next kama mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa duniani, na pia aliteuliwa kuwa Mtu Kijana wa Mwaka wa Jumuiya ya Madola.<ref name="STER">{{Cite news|url=https://punchng.com/nigerias-osowobi-emerges-commonwealth-youth-person-of-the-year-2019/|title=Nigeria’s Osowobi emerges Commonwealth Youth Person of the Year 2019|newspaper=[[The Punch]]|language=en-US|access-date=2020-04-23}}</ref> Mnamo mwaka [[2020]], Osowobi aliambukizwa virusi vya [[COVID-19]] akiwa mjini [[London]], [[Uingereza]], alipohudhuria Ibada ya Siku ya Jumuiya ya Madola tarehe [[9 Machi]]. Baada ya kupata matibabu, alipona kikamilifu, na uzoefu wake kuhusu ugonjwa huo uliripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari.<ref>{{cite web|title=Nigeria COVID-19 survivor: 'An experience I don't wish on anyone'|url=https://www.aljazeera.com/news/2020/4/7/nigeria-covid-19-survivor-an-experience-i-dont-wish-on-anyone|website=aljazeera.com|publisher=[[Al Jazeera English]]|access-date=27 December 2020|date=7 April 2020}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] ng4lj09qj478102lotye5ot9ums5jav Coco Argentée 0 229736 1508064 2026-04-21T09:27:38Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Coco Argentée''' (jina la kuzaliwa '''Corine Céline Ntyame''')<ref name="culturebene">{{Cite news|url=[http://www.culturebene.com/7464-coco-argentee-la-go-dans-la-taniere.html|title=Coco](http://www.culturebene.com/7464-coco-argentee-la-go-dans-la-taniere.html|title=Coco) Argentée, la Go dans la Tanière |date=13 Februari 2012|work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> alizaliwa Agosti 13, 1982,<ref>{{Cite web |url=[http://...' 1508064 wikitext text/x-wiki '''Coco Argentée''' (jina la kuzaliwa '''Corine Céline Ntyame''')<ref name="culturebene">{{Cite news|url=[http://www.culturebene.com/7464-coco-argentee-la-go-dans-la-taniere.html|title=Coco](http://www.culturebene.com/7464-coco-argentee-la-go-dans-la-taniere.html|title=Coco) Argentée, la Go dans la Tanière |date=13 Februari 2012|work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> alizaliwa Agosti 13, 1982,<ref>{{Cite web |url=[http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-les-melodies-coco-un-bout-de-tresor-apres-la-taniere-argentee-226977.html](http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-les-melodies-coco-un-bout-de-tresor-apres-la-taniere-argentee-226977.html) |title=Cameroun – Les mélodies: Coco, un bout de "Trésor" après la "Tanière" argentée |website=Cameroon-Info.Net |language=fr |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> katika [[Mbandjock]], Mkoa wa Kati wa Cameroon. Ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Kamerun]] anayeishi nchini Ubelgiji. Argentée alianza taaluma yake mwaka 2010 kwa kutoa wimbo uliopata mafanikio ''Dans la tanière'' kutoka kwenye albamu yake ya kwanza ''Nostalgie''.<ref>{{Cite web |url=[http://www.afrisson.com/Coco-Argentee-17238.html?lang=fr](http://www.afrisson.com/Coco-Argentee-17238.html?lang=fr) |title=Coco Argentee – Cameroun |website=Afrisson |language=fr |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Mnamo Februari 2016, alitoa ''Crayon de Dieu'', singo maalum yenye nyimbo mbili.<ref>{{Cite news |url=[http://www.auletch.com/bikutsi-coco-argentee-devoile-le-crayon-de-dieu/](http://www.auletch.com/bikutsi-coco-argentee-devoile-le-crayon-de-dieu/) |title=BIKUTSI : Coco Argentée dévoile "Le Crayon de Dieu" |date=17 Februari 2016 |work=Auletch |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Singo hii ilimpatia jina la utani ''La Go Galaxy''. Hadi sasa, ana albamu tatu, ambapo ya tatu iitwayo ''Ouragan'' ilitolewa Juni 2018. == Wasifu == === Utoto na mwanzo wa maisha === Mama yake Coco alifariki alipokuwa bado mdogo sana na alilelewa na baba yake, dada zake na mama wa kambo.<ref name="culturebene" /> Alianza kupenda muziki tangu akiwa mtoto. Akiwa na umri wa miaka sita, alijiunga na kwaya ya Kiprotestanti iitwayo ''The Voice of the Angels'' huko Ngoumou. Miaka michache baadaye, alianzisha kundi la ''Les Feeling Girls'' lililotumbuiza katika tamasha la mwanamuziki Manu Dibango katika Chuo cha Mvogt.<ref name="reglo">{{Cite news |date=Septemba 2012 |url=[http://reglo.org/posts/coco-argentee-la-travers-mon-album-je-parle-a-la-jeunesse-camerounaise-r-4874](http://reglo.org/posts/coco-argentee-la-travers-mon-album-je-parle-a-la-jeunesse-camerounaise-r-4874) |title=Coco Argentée : "Dans le ventre de maman je bougeais déjà trop" |work=reglo.org |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Aliondoka katika kundi hilo baada ya baba yake, Thomas Mekoulou Ndengue, mfanyakazi wa reli, kuhamishiwa Ngaoundéré katika Mkoa wa Adamawa, ambako aliimba katika kumbi za burudani bila wazazi wake kujua.<ref name="culturebene" /> Akiwa na umri wa miaka 19, alishinda tuzo mbili: Tuzo ya Jumuiya ya Madola na Tuzo ya UNESCO.<ref name="Journal du Cameroun">{{Cite web|url=[https://www.journalducameroun.com/|title=Actualités](https://www.journalducameroun.com/|title=Actualités) et Infos en direct au Cameroun et dans le Monde |website=Journal du Cameroun |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20181128123039/https://www.journalducameroun.com/](https://web.archive.org/web/20181128123039/https://www.journalducameroun.com/) |archive-date=28 Novemba 2018 |url-status=dead}}</ref> Mwaka 2003, Coco Argentée aliondoka Cameroon kwenda Chad ambako alipata shahada ya kwanza mwaka 2004. Baadaye alihamia N'Djamena na kutumbuiza katika kumbi za burudani hadi mwaka 2006 alipohamia Ubelgiji, ambako anaishi kwa sasa pamoja na mume wake na watoto wao wawili.<ref name="reglo" /> Alipata mafunzo ya uuguzi na kufanya kazi kama muuguzi kwa miaka kadhaa kabla ya kuachana na taaluma hiyo ili kujikita katika muziki baada ya kutoa albamu yake ya kwanza.<ref>{{Cite news |url=[http://www.culturebene.com/20724-coco-argentee-aujourdhui-je-massume-completement.html](http://www.culturebene.com/20724-coco-argentee-aujourdhui-je-massume-completement.html) |title=Coco Argentée : " Aujourd'hui je m'assume complètement..." |date=13 Machi 2016 |work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> === Kazi === Taaluma ya solo ya Coco Argentée ilianza mwaka 2010 kwa kutolewa kwa albamu yake ya kwanza ''Nostalgie'' yenye nyimbo nane.<ref>{{Cite web |url=[http://ww12.mboa.info/](http://ww12.mboa.info/) |title=mboa.info |website=ww12.mboa.info |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Albamu hiyo inachanganya mitindo ya muziki ya Bikutsi na Zouk. Wimbo maarufu zaidi ni ''Dans la tanière'', ambao ni heshima kwa jiji la N'Djamena ambako alianza taaluma yake, na ulipata mafanikio makubwa Cameroon na N'Djamena. Albamu hiyo ilishinda tuzo mbalimbali, ikiwemo Ufunuo Bora wa Muziki wa Mwaka 2012 katika Canal 2'Or na Bikutsi Bora ya 2013 katika Festi-Bikutsi. Aprili 2014, alitoa albamu yake ya pili yenye nyimbo 10 iitwayo ''Trésor'',<ref name="Journal du Cameroun" /> ambayo ilijumuisha wimbo maarufu ''Fallait Pas''. Albamu hiyo pia inamrejelea mwanamuziki mashuhuri wa Cameroon Talla André-Marie kupitia wimbo ''Bikutskin''.<ref name="Journal du Cameroun" /> Februari 2016, alitoa wimbo ''Le crayon de Dieu'' ambao ulipata zaidi ya watazamaji milioni 2 kwenye YouTube. Nyimbo ''Femme'' na ''Coco Jackson'' zilitolewa mwaka 2017. Juni 2018, alitoa albamu yake ya tatu iitwayo ''Ouragan''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.cameroon-tribune.cm/article.html/20352/fr.html/coco-argentee-ouragan-|title=Coco](https://www.cameroon-tribune.cm/article.html/20352/fr.html/coco-argentee-ouragan-|title=Coco) Argentée " Ouragan " dans les bacs|website=cameroon-tribune.cm|access-date=27 Novemba 2018}}</ref><ref name="Culturebene">{{Cite news |url=[http://www.culturebene.com/41545-ouragan-le-nouvel-album-de-coco-argentee-bientot-dans-les-bacs.html](http://www.culturebene.com/41545-ouragan-le-nouvel-album-de-coco-argentee-bientot-dans-les-bacs.html) |title=" Ouragan " le nouvel album de Coco Argentée, bientôt dans les bacs |date=27 Mei 2018 |work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Albamu hiyo ina nyimbo 11 na iliambatana na video 10 zilizotolewa kwa wakati mmoja kwenye YouTube.<ref name="Culturebene"/><ref>{{Cite news |url=[http://www.crtv.cm/2018/06/musique-coco-argentee-revient-avec-ouragan/](http://www.crtv.cm/2018/06/musique-coco-argentee-revient-avec-ouragan/) |title=Musique : Coco Argentée revient avec Ouragan |date=27 Juni 2018 |publisher=Cameroon Radio Television |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * 2010: ''Nostalgie'' * 2014: ''Trésor'' * 2018: ''Ouragan'' === Singo === * 2016: ''Le crayon de Dieu'' * 2017: ''Coco Jackson'' * 2017: ''Femme'' * 2021: ''Le amour vrai'' == Tuzo na tuzo za heshima == * 2012: Msanii Bora wa Diaspora katika tuzo za ''Planet Star Music''<ref>{{Cite news |url=[http://www.culturebene.com/7247-planete-star-music-video-awards-les-vainqueurs-sont.html](http://www.culturebene.com/7247-planete-star-music-video-awards-les-vainqueurs-sont.html) |title=Planete star music vidéo awards: les vainqueurs sont... |date=21 Machi 2012|work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> * 2013: Ufunuo wa Muziki wa Mwaka katika toleo la tisa la Canal 2'Or * 2013: Bikutsi Bora ya Mwaka katika Festi-Bikutsi * 2014: Albamu Bora ya Mwaka katika Balafon Music Awards * 2014: Msanii Bora wa Mwaka katika Balafon Music Awards<ref>{{Cite web |url=[http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-val-chammar-recompensee-au-balafon-music-awards-2014-238536.html](http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-val-chammar-recompensee-au-balafon-music-awards-2014-238536.html) |title=Cameroun – Musique: Balafon Music Awards 2014 |website=Cameroon-Info.Net |language=fr |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> * 2015: Msanii Bora wa Kike katika toleo la kumi la Canal 2'Or<ref>{{Cite news |url=[https://www.lebledparle.com/culture/1100086-canal-d-or-act10-les-laureats](https://www.lebledparle.com/culture/1100086-canal-d-or-act10-les-laureats) |title=Canal d'or Act10 : les lauréats !!! |work=Le Bled Parle |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1982|}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] avw3itixd5phteu1vyti6v0cs5snvdl 1508204 1508064 2026-04-21T11:56:20Z ~2026-24519-62 88836 1508204 wikitext text/x-wiki '''Coco Argentée''' (jina la kuzaliwa '''Corine Céline Ntyame'''<ref name="culturebene">{{Cite news|url=[http://www.culturebene.com/7464-coco-argentee-la-go-dans-la-taniere.html|title=Coco](http://www.culturebene.com/7464-coco-argentee-la-go-dans-la-taniere.html|title=Coco) Argentée, la Go dans la Tanière |date=13 Februari 2012|work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> alizaliwa Agosti 13, 1982<ref>{{Cite web |url=[http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-les-melodies-coco-un-bout-de-tresor-apres-la-taniere-argentee-226977.html](http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-les-melodies-coco-un-bout-de-tresor-apres-la-taniere-argentee-226977.html) |title=Cameroun – Les mélodies: Coco, un bout de "Trésor" après la "Tanière" argentée |website=Cameroon-Info.Net |language=fr |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> katika [[Mbandjock]], Mkoa wa Kati wa Kamerun) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Kamerun]] anayeishi nchini Ubelgiji. Argentée alianza taaluma yake mwaka 2010 kwa kutoa wimbo uliopata mafanikio ''Dans la tanière'' kutoka kwenye albamu yake ya kwanza ''Nostalgie''.<ref>{{Cite web |url=[http://www.afrisson.com/Coco-Argentee-17238.html?lang=fr](http://www.afrisson.com/Coco-Argentee-17238.html?lang=fr) |title=Coco Argentee – Cameroun |website=Afrisson |language=fr |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Mnamo Februari 2016, alitoa ''Crayon de Dieu'', singo maalum yenye nyimbo mbili.<ref>{{Cite news |url=[http://www.auletch.com/bikutsi-coco-argentee-devoile-le-crayon-de-dieu/](http://www.auletch.com/bikutsi-coco-argentee-devoile-le-crayon-de-dieu/) |title=BIKUTSI : Coco Argentée dévoile "Le Crayon de Dieu" |date=17 Februari 2016 |work=Auletch |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Singo hii ilimpatia jina la utani ''La Go Galaxy''. Hadi sasa, ana albamu tatu, ambapo ya tatu iitwayo ''Ouragan'' ilitolewa Juni 2018. == Wasifu == === Utoto na mwanzo wa maisha === Mama yake Coco alifariki alipokuwa bado mdogo sana na alilelewa na baba yake, dada zake na mama wa kambo.<ref name="culturebene" /> Alianza kupenda muziki tangu akiwa mtoto. Akiwa na umri wa miaka sita, alijiunga na kwaya ya Kiprotestanti iitwayo ''The Voice of the Angels'' huko Ngoumou. Miaka michache baadaye, alianzisha kundi la ''Les Feeling Girls'' lililotumbuiza katika tamasha la mwanamuziki Manu Dibango katika Chuo cha Mvogt.<ref name="reglo">{{Cite news |date=Septemba 2012 |url=[http://reglo.org/posts/coco-argentee-la-travers-mon-album-je-parle-a-la-jeunesse-camerounaise-r-4874](http://reglo.org/posts/coco-argentee-la-travers-mon-album-je-parle-a-la-jeunesse-camerounaise-r-4874) |title=Coco Argentée : "Dans le ventre de maman je bougeais déjà trop" |work=reglo.org |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Aliondoka katika kundi hilo baada ya baba yake, Thomas Mekoulou Ndengue, mfanyakazi wa reli, kuhamishiwa Ngaoundéré katika Mkoa wa Adamawa, ambako aliimba katika kumbi za burudani bila wazazi wake kujua.<ref name="culturebene" /> Akiwa na umri wa miaka 19, alishinda tuzo mbili: Tuzo ya Jumuiya ya Madola na Tuzo ya UNESCO.<ref name="Journal du Cameroun">{{Cite web|url=[https://www.journalducameroun.com/|title=Actualités](https://www.journalducameroun.com/|title=Actualités) et Infos en direct au Cameroun et dans le Monde |website=Journal du Cameroun |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20181128123039/https://www.journalducameroun.com/](https://web.archive.org/web/20181128123039/https://www.journalducameroun.com/) |archive-date=28 Novemba 2018 |url-status=dead}}</ref> Mwaka 2003, Coco Argentée aliondoka Cameroon kwenda Chad ambako alipata shahada ya kwanza mwaka 2004. Baadaye alihamia N'Djamena na kutumbuiza katika kumbi za burudani hadi mwaka 2006 alipohamia Ubelgiji, ambako anaishi kwa sasa pamoja na mume wake na watoto wao wawili.<ref name="reglo" /> Alipata mafunzo ya uuguzi na kufanya kazi kama muuguzi kwa miaka kadhaa kabla ya kuachana na taaluma hiyo ili kujikita katika muziki baada ya kutoa albamu yake ya kwanza.<ref>{{Cite news |url=[http://www.culturebene.com/20724-coco-argentee-aujourdhui-je-massume-completement.html](http://www.culturebene.com/20724-coco-argentee-aujourdhui-je-massume-completement.html) |title=Coco Argentée : " Aujourd'hui je m'assume complètement..." |date=13 Machi 2016 |work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> === Kazi === Taaluma ya solo ya Coco Argentée ilianza mwaka 2010 kwa kutolewa kwa albamu yake ya kwanza ''Nostalgie'' yenye nyimbo nane.<ref>{{Cite web |url=[http://ww12.mboa.info/](http://ww12.mboa.info/) |title=mboa.info |website=ww12.mboa.info |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Albamu hiyo inachanganya mitindo ya muziki ya Bikutsi na Zouk. Wimbo maarufu zaidi ni ''Dans la tanière'', ambao ni heshima kwa jiji la N'Djamena ambako alianza taaluma yake, na ulipata mafanikio makubwa Cameroon na N'Djamena. Albamu hiyo ilishinda tuzo mbalimbali, ikiwemo Ufunuo Bora wa Muziki wa Mwaka 2012 katika Canal 2'Or na Bikutsi Bora ya 2013 katika Festi-Bikutsi. Aprili 2014, alitoa albamu yake ya pili yenye nyimbo 10 iitwayo ''Trésor'',<ref name="Journal du Cameroun" /> ambayo ilijumuisha wimbo maarufu ''Fallait Pas''. Albamu hiyo pia inamrejelea mwanamuziki mashuhuri wa Cameroon Talla André-Marie kupitia wimbo ''Bikutskin''.<ref name="Journal du Cameroun" /> Februari 2016, alitoa wimbo ''Le crayon de Dieu'' ambao ulipata zaidi ya watazamaji milioni 2 kwenye YouTube. Nyimbo ''Femme'' na ''Coco Jackson'' zilitolewa mwaka 2017. Juni 2018, alitoa albamu yake ya tatu iitwayo ''Ouragan''.<ref>{{Cite web|url=[https://www.cameroon-tribune.cm/article.html/20352/fr.html/coco-argentee-ouragan-|title=Coco](https://www.cameroon-tribune.cm/article.html/20352/fr.html/coco-argentee-ouragan-|title=Coco) Argentée " Ouragan " dans les bacs|website=cameroon-tribune.cm|access-date=27 Novemba 2018}}</ref><ref name="Culturebene">{{Cite news |url=[http://www.culturebene.com/41545-ouragan-le-nouvel-album-de-coco-argentee-bientot-dans-les-bacs.html](http://www.culturebene.com/41545-ouragan-le-nouvel-album-de-coco-argentee-bientot-dans-les-bacs.html) |title=" Ouragan " le nouvel album de Coco Argentée, bientôt dans les bacs |date=27 Mei 2018 |work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> Albamu hiyo ina nyimbo 11 na iliambatana na video 10 zilizotolewa kwa wakati mmoja kwenye YouTube.<ref name="Culturebene"/><ref>{{Cite news |url=[http://www.crtv.cm/2018/06/musique-coco-argentee-revient-avec-ouragan/](http://www.crtv.cm/2018/06/musique-coco-argentee-revient-avec-ouragan/) |title=Musique : Coco Argentée revient avec Ouragan |date=27 Juni 2018 |publisher=Cameroon Radio Television |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * 2010: ''Nostalgie'' * 2014: ''Trésor'' * 2018: ''Ouragan'' === Singo === * 2016: ''Le crayon de Dieu'' * 2017: ''Coco Jackson'' * 2017: ''Femme'' * 2021: ''Le amour vrai'' == Tuzo na tuzo za heshima == * 2012: Msanii Bora wa Diaspora katika tuzo za ''Planet Star Music''<ref>{{Cite news |url=[http://www.culturebene.com/7247-planete-star-music-video-awards-les-vainqueurs-sont.html](http://www.culturebene.com/7247-planete-star-music-video-awards-les-vainqueurs-sont.html) |title=Planete star music vidéo awards: les vainqueurs sont... |date=21 Machi 2012|work=Culturebene |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> * 2013: Ufunuo wa Muziki wa Mwaka katika toleo la tisa la Canal 2'Or * 2013: Bikutsi Bora ya Mwaka katika Festi-Bikutsi * 2014: Albamu Bora ya Mwaka katika Balafon Music Awards * 2014: Msanii Bora wa Mwaka katika Balafon Music Awards<ref>{{Cite web |url=[http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-val-chammar-recompensee-au-balafon-music-awards-2014-238536.html](http://www.cameroon-info.net/article/cameroun-musique-val-chammar-recompensee-au-balafon-music-awards-2014-238536.html) |title=Cameroun – Musique: Balafon Music Awards 2014 |website=Cameroon-Info.Net |language=fr |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> * 2015: Msanii Bora wa Kike katika toleo la kumi la Canal 2'Or<ref>{{Cite news |url=[https://www.lebledparle.com/culture/1100086-canal-d-or-act10-les-laureats](https://www.lebledparle.com/culture/1100086-canal-d-or-act10-les-laureats) |title=Canal d'or Act10 : les lauréats !!! |work=Le Bled Parle |language=fr-FR |access-date=27 Novemba 2018}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanamuziki-Afrika}} {{BD|1982|}} [[Jamii:Wanamuziki wa Kamerun]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] rt7zb4x6f3okorfntdn2r09diizct8b Melatu Uche Okorie 0 229737 1508065 2026-04-21T09:31:44Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Melatu Uche Okorie''' (amezaliwa mnamo mwaka wa 1975) ni mwandishi wa Nigeria-Ireland na mjumbe wa Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council of Ireland). Kitabu chake cha hadithi fupi cha mwaka 2018, ''This Hostel Life'', kiliteuliwa katika kipengele cha Sunday Independent Newcomer of the Year katika tuzo za Irish Book Awards, na baadaye kikabadilishwa kuwa kazi ya opera na Irish National Opera. == Maisha ya awali na elimu == Okorie alizaliwa mwaka wa...' 1508065 wikitext text/x-wiki '''Melatu Uche Okorie''' (amezaliwa mnamo mwaka wa 1975) ni mwandishi wa Nigeria-Ireland na mjumbe wa Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council of Ireland). Kitabu chake cha hadithi fupi cha mwaka 2018, ''This Hostel Life'', kiliteuliwa katika kipengele cha Sunday Independent Newcomer of the Year katika tuzo za Irish Book Awards, na baadaye kikabadilishwa kuwa kazi ya opera na Irish National Opera. == Maisha ya awali na elimu == Okorie alizaliwa mwaka wa 1975 mjini Enugu, Nigeria.[1][2] Alikulia katika familia ya mama yake pamoja na ndugu zake kadhaa, na alipata shahada ya Kiingereza kabla ya kuondoka Nigeria.[3] Alihamia Ireland mwaka wa 2006 akiwa na binti yake mchanga na aliishi katika mfumo wa “direct provision”, ambapo alianza kuandika kazi zake za fasihi.[3][4] Baadaye alipata Shahada ya Uzamili (MPhil) ya uandishi bunifu (creative writing) kutoka Trinity College Dublin, na kwa sasa anaendelea na masomo ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Chuo cha Elimu cha taasisi hiyo.[3] == Kazi ya uandishi == Mnamo mwaka wa 2009, Okorie alishinda Metro Éireann Writing Award kupitia hadithi yake ''Gathering Thoughts''.[5] Kitabu chake cha kwanza, ''This Hostel Life'', kilichapishwa na Skein Press nchini Ireland Mei 2018.[6] Kitabu hicho kinatumia aina ya Kiingereza cha Pidgin ya kubuni inayochanganya mitindo ya lugha.[7] Kizinduliwa katika International Literature Festival, ambapo alijadili uzoefu wa wahamiaji pamoja na mwandishi Nikesh Shukla.[8] Mwaka wa 2019, kitabu hicho kilinunuliwa na Virago Press,[6] na baadaye kikabadilishwa kuwa opera na Irish National Opera.[9] Kazi zake pia zimechapishwa katika majarida mbalimbali ya fasihi na makusanyo ya hadithi.[10] Mwaka wa 2019, alihojiwa na mwandishi Sebastian Barry kuhusu mchakato wake wa uandishi.[5] Katika mwaka huo huo, alishiriki katika mkusanyiko wa maandiko ''Yes, We Still Drink Coffee!'' uliowakutanisha waandishi wanawake na wanaharakati.[11] == Uanaharakati == Okorie ni mjumbe wa bodi ya National Network of Migrant Women in Ireland na pia hufundisha warsha za uandishi bunifu kwa watoto na vijana.[12] == Tuzo na heshima == * 2018: Uteuzi wa Sunday Independent Newcomer of the Year katika Irish Book Awards.[13] * 2019: Uteuzi katika Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council).[12][10] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1975|}} [[Jamii:Waandishi wa Ireland wa karne ya 21]] [[Jamii:Waandishi wa Nigeria wa karne ya 21]] [[Jamii:Waandishi wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Waandishi wanawake wa Ireland]] [[Jamii:Wahamiaji wa Nigeria nchini Ireland]] [[Jamii:Watu kutoka Enugu]] [[Jamii:Watu waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Watu hai]] ``` eu07pk6k5tzy4kj0osrysur8fziz0tx 1508207 1508065 2026-04-21T11:58:11Z ~2026-24519-62 88836 1508207 wikitext text/x-wiki '''Melatu Uche Okorie''' (amezaliwawa 1975) ni mwandishi wa Nigeria-Ireland na mjumbe wa Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council of Ireland). Kitabu chake cha hadithi fupi cha mwaka 2018, ''This Hostel Life'', kiliteuliwa katika kipengele cha Sunday Independent Newcomer of the Year katika tuzo za Irish Book Awards, na baadaye kikabadilishwa kuwa kazi ya opera na Irish National Opera. == Maisha ya awali na elimu == Okorie alizaliwa mwaka wa 1975 mjini Enugu, Nigeria. Alikulia katika familia ya mama yake pamoja na ndugu zake kadhaa, na alipata shahada ya Kiingereza kabla ya kuondoka Nigeria. Alihamia Ireland mwaka wa 2006 akiwa na binti yake mchanga na aliishi katika mfumo wa “direct provision”, ambapo alianza kuandika kazi zake za fasihi. Baadaye alipata Shahada ya Uzamili (MPhil) ya uandishi bunifu (creative writing) kutoka Trinity College Dublin, na kwa sasa anaendelea na masomo ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Chuo cha Elimu cha taasisi hiyo. == Kazi ya uandishi == Mnamo mwaka wa 2009, Okorie alishinda Metro Éireann Writing Award kupitia hadithi yake ''Gathering Thoughts''. Kitabu chake cha kwanza, ''This Hostel Life'', kilichapishwa na Skein Press nchini Ireland Mei 2018. Kitabu hicho kinatumia aina ya Kiingereza cha Pidgin ya kubuni inayochanganya mitindo ya lugha. Kizinduliwa katika International Literature Festival, ambapo alijadili uzoefu wa wahamiaji pamoja na mwandishi Nikesh Shukla. Mwaka wa 2019, kitabu hicho kilinunuliwa na Virago Press, na baadaye kikabadilishwa kuwa opera na Irish National Opera. Kazi zake pia zimechapishwa katika majarida mbalimbali ya fasihi na makusanyo ya hadithi. Mwaka wa 2019, alihojiwa na mwandishi Sebastian Barry kuhusu mchakato wake wa uandishi. Katika mwaka huo huo, alishiriki katika mkusanyiko wa maandiko ''Yes, We Still Drink Coffee!'' uliowakutanisha waandishi wanawake na wanaharakati. == Uanaharakati == Okorie ni mjumbe wa bodi ya National Network of Migrant Women in Ireland na pia hufundisha warsha za uandishi bunifu kwa watoto na vijana. == Tuzo na heshima == * 2018: Uteuzi wa Sunday Independent Newcomer of the Year katika Irish Book Awards. * 2019: Uteuzi katika Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1975|}} [[Jamii:Waandishi wa Ireland]] [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:wanawake wa Ireland]] [[Jamii:Watu kutoka Enugu]] ``` 3q6f2dm6emvzv437dpqc5apsiq41blp 1508208 1508207 2026-04-21T11:58:35Z ~2026-24519-62 88836 /* Marejeo */ 1508208 wikitext text/x-wiki '''Melatu Uche Okorie''' (amezaliwawa 1975) ni mwandishi wa Nigeria-Ireland na mjumbe wa Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council of Ireland). Kitabu chake cha hadithi fupi cha mwaka 2018, ''This Hostel Life'', kiliteuliwa katika kipengele cha Sunday Independent Newcomer of the Year katika tuzo za Irish Book Awards, na baadaye kikabadilishwa kuwa kazi ya opera na Irish National Opera. == Maisha ya awali na elimu == Okorie alizaliwa mwaka wa 1975 mjini Enugu, Nigeria. Alikulia katika familia ya mama yake pamoja na ndugu zake kadhaa, na alipata shahada ya Kiingereza kabla ya kuondoka Nigeria. Alihamia Ireland mwaka wa 2006 akiwa na binti yake mchanga na aliishi katika mfumo wa “direct provision”, ambapo alianza kuandika kazi zake za fasihi. Baadaye alipata Shahada ya Uzamili (MPhil) ya uandishi bunifu (creative writing) kutoka Trinity College Dublin, na kwa sasa anaendelea na masomo ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Chuo cha Elimu cha taasisi hiyo. == Kazi ya uandishi == Mnamo mwaka wa 2009, Okorie alishinda Metro Éireann Writing Award kupitia hadithi yake ''Gathering Thoughts''. Kitabu chake cha kwanza, ''This Hostel Life'', kilichapishwa na Skein Press nchini Ireland Mei 2018. Kitabu hicho kinatumia aina ya Kiingereza cha Pidgin ya kubuni inayochanganya mitindo ya lugha. Kizinduliwa katika International Literature Festival, ambapo alijadili uzoefu wa wahamiaji pamoja na mwandishi Nikesh Shukla. Mwaka wa 2019, kitabu hicho kilinunuliwa na Virago Press, na baadaye kikabadilishwa kuwa opera na Irish National Opera. Kazi zake pia zimechapishwa katika majarida mbalimbali ya fasihi na makusanyo ya hadithi. Mwaka wa 2019, alihojiwa na mwandishi Sebastian Barry kuhusu mchakato wake wa uandishi. Katika mwaka huo huo, alishiriki katika mkusanyiko wa maandiko ''Yes, We Still Drink Coffee!'' uliowakutanisha waandishi wanawake na wanaharakati. == Uanaharakati == Okorie ni mjumbe wa bodi ya National Network of Migrant Women in Ireland na pia hufundisha warsha za uandishi bunifu kwa watoto na vijana. == Tuzo na heshima == * 2018: Uteuzi wa Sunday Independent Newcomer of the Year katika Irish Book Awards. * 2019: Uteuzi katika Baraza la Sanaa la Ireland (Arts Council). == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1975|}} [[Jamii:Waandishi wa Ireland]] [[Jamii:Waandishi wa Nigeria]] [[Jamii:wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:wanawake wa Ireland]] [[Jamii:Watu kutoka Enugu]] 4va85xef5z36xfbtckl55jp3mvaobe9 Asaba (mwimbaji) 0 229738 1508066 2026-04-21T09:31:57Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mary Asombang Asaba''' (amezaliwa 7 Julai 1992), anayejulikana kitaaluma kama '''Asaba'''<ref>{{Cite web |last=BlackStyle |date=2022-07-05 |title=Throwing some light on the rising Mary 'Asaba' |url=[https://blackstylemedia.com/the-light-is-on-asaba/](https://blackstylemedia.com/the-light-is-on-asaba/) |access-date=2023-09-10 |website=Blackstyle Media |language=en-US}}</ref> ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwimbaji wa sauti na muuguzi mtaalamu kutoka Ka...' 1508066 wikitext text/x-wiki '''Mary Asombang Asaba''' (amezaliwa 7 Julai 1992), anayejulikana kitaaluma kama '''Asaba'''<ref>{{Cite web |last=BlackStyle |date=2022-07-05 |title=Throwing some light on the rising Mary 'Asaba' |url=[https://blackstylemedia.com/the-light-is-on-asaba/](https://blackstylemedia.com/the-light-is-on-asaba/) |access-date=2023-09-10 |website=Blackstyle Media |language=en-US}}</ref> ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwimbaji wa sauti na muuguzi mtaalamu kutoka [[Kamerun]]. Alizaliwa Muea, [[Buea]]. == Wasifu == Asaba anatoka katika wilaya ya Lebialem, hasa kutoka kabila la Bangwa katika Mkoa wa Kusini-Magharibi wa Cameroon. Alizaliwa tarehe 7 Julai 1992 huko Muea, katika wilaya ya Buea. Alilelewa na mama yake pekee. Wakati wa masomo yake ya shule ya msingi na sekondari, alipata majina ya utani kama Choir Mistress, Bagis, Delta State, DJ Christina, na mengineyo,<ref>{{Cite web |date=2021-04-09 |title=Asaba; The Face of Starfish Entertainment Seems to be Aiming for Nothing but the Crown – Hovareigns |url=[http://www.hovareigns.com/asaba-the-face-of-starfish-entertainment-seems-to-be-aiming-for-nothing-but-the-crown/](http://www.hovareigns.com/asaba-the-face-of-starfish-entertainment-seems-to-be-aiming-for-nothing-but-the-crown/) |access-date=2023-09-14 |language=en-US}}</ref> kutokana na uwezo wake wa kuburudisha watu. Kadiri alivyokua, alipata msukumo kutoka kwa wasanii kama Charlotte Dipanda, Whitney Houston, Adele, Simi, Andra Day na Asa.<ref>{{Cite web |title=Afro-pop artiste, Asaba, taking music industry by storm |url=[https://theguardianpostcameroon.com/post/1172/en/afro-pop-artiste-asaba-taking-music-industry-storm](https://theguardianpostcameroon.com/post/1172/en/afro-pop-artiste-asaba-taking-music-industry-storm) |access-date=2023-09-14 |website=Afro-pop artiste, Asaba, taking music industry by storm |language=en}}</ref> Mwaka 2018, Asaba alipata stashahada ya uuguzi iliyosajiliwa kiserikali katika Taasisi ya Chuo Kikuu cha Biaka huko Buea. Baada ya masomo yake, alihamia Yaoundé kwa mafunzo ya vitendo katika Hospitali Kuu ya Yaoundé, ambapo alifanya kazi kwa miezi nane. Baadaye aliajiriwa katika kampuni ya afya na usalama kazini iitwayo Noiia LTD huko Limbe.<ref>{{Cite web |title=Mary Asombang Asaba (Asaba) |url=[https://africabokutalent.org/directory/talent/mary-asombang-asaba-asaba/](https://africabokutalent.org/directory/talent/mary-asombang-asaba-asaba/) |access-date=2025-05-26 |website=africabokutalent.org |language=en}}</ref> {{citation needed|date=Septemba 2023}} == Kazi == Mwaka 2007, alitambulishwa katika lebo ya muziki ya Trackzone Records kama mwimbaji wa nyimbo za injili. Huko alikutana na Daphne, Martin Dachristo na wengineo.{{citation needed|date=Septemba 2023}} Mwaka 2009, DJ Subzee, mmiliki wa TrackZone Records, alimtambulisha katika M1 Studios, ambako alianza kuimarisha taaluma yake ya muziki. Huko alikutana na wasanii kama Emile Ngomba, Salatiel, Mr Leo, Adelle Clarice na Myra Davida.<ref>{{Cite web |last=E |first=George |date=2022-09-21 |title=Artiste Profile: Asaba's Biography, Career & Personal Life |url=[https://enowdigital.com/artiste-profile-asabas-biography-career-personal-life/](https://enowdigital.com/artiste-profile-asabas-biography-career-personal-life/) |access-date=2023-09-14 |website=eNow Digital |language=en-US}}</ref> Mwezi Novemba 2016, alishiriki katika wimbo wa mada wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake ulioitwa ''We Are Champions'' pamoja na Salatiel, Mr Leo, Daphne, Mink's na wengineo kuunga mkono timu ya taifa ya wanawake ya Cameroon.{{citation needed|date=Septemba 2023}} Mwaka 2016, alishiriki pia katika mradi wa uhamasishaji kuhusu virusi vya Ebola uitwao ''We Do It For Africa'' kwa heshima ya waliopoteza maisha na watoto waliobaki yatima kutokana na janga hilo.<ref>{{Cite web |last=Lively |first=Cilia |date=2022-03-14 |title=Prosopography Of One Of Cameroon's Finest Afropop Voices – ASABA |url=[https://critiqsite.com/prosopography-of-cameroons-finest-afropop-voices-asaba/](https://critiqsite.com/prosopography-of-cameroons-finest-afropop-voices-asaba/) |access-date=2023-09-14 |website=Critiqsite |language=en-US}}</ref> Mwezi Septemba 2020, taaluma yake ya muziki ilipata mwelekeo mpya aliposaini mkataba na Starfish Entertainment, kampuni ya burudani ya Cameroon yenye makao Uingereza inayojihusisha na usimamizi wa wasanii. Mwezi mmoja baada ya kusaini mkataba huo, alitoa video yake ya kwanza ya muziki iitwayo ''Yele''.<ref>{{Cite web |title=Afro-pop artiste, Asaba, taking music industry by storm |url=[https://theguardianpostcameroon.com/post/1172/en/afro-pop-artiste-asaba-taking-music-industry-storm](https://theguardianpostcameroon.com/post/1172/en/afro-pop-artiste-asaba-taking-music-industry-storm) |access-date=2023-09-14 |website=Afro-pop artiste, Asaba, taking music industry by storm |language=en}}</ref> Aprili 2022, Asaba alishinda tuzo yake ya kwanza katika Urban Jamz Awards katika kipengele cha Utendaji Bora wa Sauti (Mwanamke). Aliteuliwa pamoja na Charlotte Dipanda, Darina Victry na Rinyu.{{citation needed|date=Septemba 2023}} Agosti 2022, alitoa EP yake ya kwanza iitwayo ''Lighter'', yenye nyimbo 9 na ushirikiano na wasanii kama Mr Leo, Locko, Kameni, Mic Monsta na Cleo Grae.{{citation needed|date=Septemba 2023}} == Diskografia == === EP === * '''Lighter''' (Starfish Entertainment) (2022) # ''Lighter'' # ''Calling'' # ''For You'' # ''Love'' # ''Charge'' (akimshirikisha Mr Leo) # ''Dilemma'' (akimshirikisha Locko) # ''One Love'' (akimshirikisha Kameni) # ''The Fingers'' (akimshirikisha Mic Monsta) # ''Eyes on the Prize'' (akimshirikisha Cleo Grae) === Singo === * 2021: ''Big Dreams'' * 2021: ''Ten Years'' * 2021: ''Yele'' * 2021: ''Dodokido'' === Ushirikiano === * 2022: ''Charger'' akimshirikisha Mr Leo * 2022: ''Dilemma'' akimshirikisha Locko * 2022: ''One Love'' akimshirikisha Kameni * 2022: ''Les Doigts'' akimshirikisha Mic Monsta * 2022: ''Eyes on the Prize'' akimshirikisha Cleo Grae == Tazama pia == * Orodha ya wasanii wa Cameroon == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1992|}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] r7boxbsb33f5bhfqdi8wvgugktvam4m Bukola Oriola 0 229739 1508067 2026-04-21T09:35:10Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Bukola Oriola''' (alizaliwa mwaka [[1976]]) ni [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Nigeria]] ambaye pia ana uraia wa [[Marekani]]. Bukola Oriola ni [[mwandishi]], mzungumzaji, mshauri, mtetezi wa [[haki za binadamu]] na pia [[mjasiriamali]].<ref>{{Cite web|publisher=Imprisoned Show|title=Bukola|date=8 December 2012|url=http://www.imprisonedshow.com/bukola/|access-date=September 10, 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130923081707/http://www.imp...' 1508067 wikitext text/x-wiki '''Bukola Oriola''' (alizaliwa mwaka [[1976]]) ni [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Nigeria]] ambaye pia ana uraia wa [[Marekani]]. Bukola Oriola ni [[mwandishi]], mzungumzaji, mshauri, mtetezi wa [[haki za binadamu]] na pia [[mjasiriamali]].<ref>{{Cite web|publisher=Imprisoned Show|title=Bukola|date=8 December 2012|url=http://www.imprisonedshow.com/bukola/|access-date=September 10, 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130923081707/http://www.imprisonedshow.com/bukola/|archive-date=September 23, 2013|url-status=live}}</ref> Anaishi katika Kaunti ya Anoka, [[Minnesota|jimbo la Minnesota]] nchini [[Marekani]], pamoja na mtoto wake wa kiume anayejulikana kwa jina la Samuel Jacobs.<ref>{{Cite news|work=[[Elmer L. Andersen#ECM Publishers.2C Inc.|ECM Publishers]]|title=Anoka County resident heads fundraiser for human trafficking victims|author=Elyse Kaner|date=May 21, 2013|url=http://abcnewspapers.com/2013/05/21/anoka-county-resident-heads-fundraiser-for-human-trafficking-victims/|access-date=September 10, 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130817201503/http://abcnewspapers.com/2013/05/21/anoka-county-resident-heads-fundraiser-for-human-trafficking-victims/|archive-date=August 17, 2013|url-status=live}}</ref> Kabla ya kuhamia Marekani, Bukola alifanya kazi kama mwandishi wa habari nchini Nigeria kwa takriban miaka sita, ambapo aliripoti zaidi masuala ya elimu huku akiishi na kufanya kazi nchini humo. Mnamo mwaka [[2005]], alisafiri kwenda Marekani kutoka Nigeria kwa kibali cha kazi cha muda wa miezi miwili ili kuripoti mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa uliofanyika jijini [[New York]].<ref>{{Cite news|work=[[MinnPost]]|title=How saving $40 a month can protect from poverty and predatory lenders|author=Sharon Schmickle|date=August 12, 2013|url=http://www.minnpost.com/politics-policy/2013/08/how-saving-40-month-can-protect-poverty-and-predatory-lenders|access-date=September 10, 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130830173732/http://www.minnpost.com/politics-policy/2013/08/how-saving-40-month-can-protect-poverty-and-predatory-lenders|archive-date=August 30, 2013|url-status=live}}</ref> Katika maisha yake binafsi, Bukola aliolewa na raia wa Marekani, ambapo baadaye alikumbana na changamoto kubwa za unyanyasaji wa kihisia na kudhibitiwa kimamlaka, hali iliyomnyima uhuru wake wa kuwasiliana na watu wengine na kudhibitiwa hata kiuchumi. Alieleza kuwa alipitia kipindi kigumu cha kutengwa na kufungiwa ndani kwa muda wa takriban miaka miwili katika mazingira ya nyumbani.<ref>{{Cite news|work=Hastings Star Gazette|title=Bukola Oriola tells her story April 10 at UMC|author=Jane Lightbourn|date=March 16, 2010|url=http://www.hastingsstargazette.com/content/bukola-oriola-tells-her-story-april-10-umc|access-date=September 10, 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20140924042559/http://www.hastingsstargazette.com/content/bukola-oriola-tells-her-story-april-10-umc|archive-date=September 24, 2014|url-status=live}}</ref> Baada ya uzoefu huo, Bukola Oriola ameendelea kujitokeza kama mtetezi na sauti ya watu wanaokumbana na unyanyasaji wa kijinsia na ukatili wa nyumbani, akitumia pia uzoefu wake kuelimisha jamii na kutoa msaada kwa waathirika wengine. == Utangazaji == Bukola Oriola ameandika na kujichapishia kitabu kinachoitwa ''Imprisoned: The Travails of a Trafficked Victim'', ambacho kinaeleza kwa kina uzoefu wake na changamoto alizopitia zinazohusiana na biashara haramu ya binadamu.<ref name=":0">{{Cite news|url=http://venturesafrica.com/meet-bukola-love-oriola-from-a-human-trafficking-victim-to-a-member-of-the-united-states-advisory-council-on-human-trafficking/|title=Meet Bukola Love Oriola - From a human trafficking victim to a member of the United States Advisory Council on Human Trafficking - Ventures Africa|date=2015-12-21|work=Ventures Africa|access-date=2018-05-24|language=en-US|archive-url=https://web.archive.org/web/20180524161603/http://venturesafrica.com/meet-bukola-love-oriola-from-a-human-trafficking-victim-to-a-member-of-the-united-states-advisory-council-on-human-trafficking/|archive-date=2018-05-24|url-status=live}}</ref> Mnamo Agosti [[2013]], alishiriki katika jopo la majadiliano kufuatia onyesho la filamu ya makala ''Not My Life'' lililofanyika katika Ukumbi wa Cowles wa Shule ya Masuala ya Umma ya Humphrey, ambapo alitoa mchango wake kuhusu masuala ya ukatili na usafirishaji haramu wa binadamu. Katika ngazi ya kimataifa, mnamo [[16 Desemba]] [[2015]], aliteuliwa na Rais [[Barack Obama]] kuwa mjumbe wa Baraza la Ushauri la Marekani kuhusu Biashara Haramu ya Binadamu. Baadaye, mnamo Aprili [[2018]], aliteuliwa tena kushikilia nafasi hiyo na Rais [[Donald Trump]], jambo linaloonyesha imani ya pande mbalimbali katika mchango wake. Katika taaluma ya uandishi wa habari, Bukola Oriola alishinda Tuzo ya Kitaifa ya Cadbury kwa Waandishi wa Habari za Elimu mwaka 2005, kutambua ubora wake katika kuripoti masuala ya elimu. Mnamo Agosti 2013, pia alianzisha shirika lisilo la faida lijulikanalo kama ''The Enitan Story'', ambalo linalenga kutetea waathirika wa biashara haramu ya binadamu na kuwawezesha manusura kurejea katika maisha ya kawaida kwa heshima na usalama. Aidha, ni mwanachama wa Taasisi ya Kimataifa ya Uandishi wa Habari iliyoko Ujerumani, ambapo anaendelea kushiriki katika mijadala na shughuli za kitaaluma zinazohusiana na uandishi wa habari na haki za binadamu.<ref name=":1">{{Cite news|url=https://www.thisdaylive.com/index.php/2018/04/15/us-based-nigerian-journalist-bukola-oriola-re-appointed-us-council-member/|title=US-based Nigerian journalist, Bukola Oriola, Re-appointed US Council Member - THISDAYLIVE|date=2018-04-15|access-date=2018-05-24|language=en-US|archive-url=https://web.archive.org/web/20180524151658/https://www.thisdaylive.com/index.php/2018/04/15/us-based-nigerian-journalist-bukola-oriola-re-appointed-us-council-member/|archive-date=2018-05-24|url-status=live|newspaper=[[This Day]]}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii: Waliozaliwa 1976]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] sr6aom4m2imfqpaoghdwz0p2pwlw8i9 Nwamaka Okoye 0 229740 1508068 2026-04-21T09:35:25Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nwamaka Nwobi Okoye''' ni mbunifu wa mambo ya ndani (interior architect), mwandishi na mjasiriamali wa kijamii kutoka [[Nigeria]]. Anajulikana kwa kazi yake katika usanifu na biashara, pamoja na utetezi wa uongozi wa maadili unaohamasisha Waafrika wa diaspora kurudi na kuchangia maendeleo ya bara la Afrika. == Maisha ya awali na elimu == Okoye alizaliwa katika eneo la Iwaya mjini Lagos, Nigeria, akiwa mmoja kati ya watoto watano wa wazazi waliotoka Jim...' 1508068 wikitext text/x-wiki '''Nwamaka Nwobi Okoye''' ni mbunifu wa mambo ya ndani (interior architect), mwandishi na mjasiriamali wa kijamii kutoka [[Nigeria]]. Anajulikana kwa kazi yake katika usanifu na biashara, pamoja na utetezi wa uongozi wa maadili unaohamasisha Waafrika wa diaspora kurudi na kuchangia maendeleo ya bara la Afrika. == Maisha ya awali na elimu == Okoye alizaliwa katika eneo la Iwaya mjini Lagos, Nigeria, akiwa mmoja kati ya watoto watano wa wazazi waliotoka Jimbo la Anambra. Wazazi wake wote walikuwa wajasiriamali. Baba yake alikuwa na biashara ya usanifu wa mambo ya ndani, jambo lililochochea hamu yake ya baadaye ya kazi hiyo.<ref name="p1">"Mrs. Nwamaka Okoye: Toast To A Remarkable Interior Designer". People & Power. 2017.</ref> Akiwa na umri wa miaka 16, alianza kusoma usanifu majengo katika Chuo Kikuu cha Nigeria.<ref name="p3">"Nwamaka Okoye". designgenre.</ref> Baada ya kupata shahada yake ya kwanza katika usanifu majengo, alihamia Marekani kusomea usanifu wa mambo ya ndani, kwani wakati huo vyuo vya Nigeria havikuwa na kozi hiyo.<ref name="p1" /> Baadaye alisoma shahada ya uzamili katika Interior Design katika Savannah College of Art and Design, na pia alipata shahada ya uzamili katika Teknolojia ya Uhandisi (Engineering Technology) akijikita katika Illustration na Multimedia kutoka East Tennessee State University.<ref name="p3" /> == Kazi == Mnamo 2007, Okoye alirejea Nigeria akiwa na lengo la kuwekeza nchini humo.<ref name="p2">Murungi, Nelly (2020). "The journey so far: Nwamaka Okoye". How we made it in Africa.</ref> Aliona ni jukumu lake kuchangia maendeleo ya nchi yake ya kuzaliwa baada ya kuishi nje ya nchi. Alianzisha Housessories Ltd, kampuni ya usanifu na utengenezaji wa samani.<ref name="p5">BusinessDay (2015). "Housessories creative corporate office furniture design excites One Africa Media".</ref> Kampuni hiyo imefanya kazi na taasisi kama Fidelity Bank, Unilever, Mitsubishi Motors na Nigerian Sovereign Investment Authority.<ref name="p2" /> Kazi zake za usanifu mara nyingi hujumuisha matumizi ya mbinu endelevu na biophilic design kwa kutumia vifaa vilivyorejelewa.<ref name="p2" /> Mwaka 2018, Housessories ilitajwa miongoni mwa kampuni zinazokua kwa kasi zaidi nchini Nigeria na Business Day.<ref name="p2" /> == Ujasiriamali wa kijamii == Okoye pia ni mwanzilishi mwenza wa Value Driven Leadership, mpango unaolenga kukuza maadili ya biashara na utawala bora.<ref name="p1" /> Yeye ni mjumbe na pia aliyekuwa rais wa Stanford Seed Transformation Program Nigeria, mpango wa uongozi wa biashara wa Chuo Kikuu cha Stanford.<ref name="p14">The Punch (2017). "Stanford Seed canvasses integrity for business success".</ref> Mtandao huo hutoa mafunzo kwa wajasiriamali nchini Nigeria. Kwa mchango wake, amepokea tuzo ya Woman of Merit Gold Award na pia kutajwa miongoni mwa Top 100 Women SME Entrepreneurs nchini Nigeria.<ref name="p1" /> Mnamo 2024, alichapisha kitabu '''Navigating the Return: A Guide for Aspiring African Entrepreneurs in the Diaspora – The Nigerian Case'''.<ref name="p16">PressReader (2024). "Navigating the Return".</ref> == Tuzo na utambuzi == Okoye pia ni mwanzilishi wa Gearshift Africa, shirika linalosaidia waandishi na wasanii wa Kiafrika.<ref name="p17">This Day (2024). "Spreading the Joy of Writing through Nwamaka Okoye Literature Prize".</ref> Mwaka 2024, shirika hilo lilianzisha '''Nwamaka Okoye Literature Prize''', shindano la waandishi chipukizi barani Afrika.<ref name="p18">Vanguard (2024). "Nwamaka Okoye Literature Prize competition opens up".</ref> == Rejea == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|2001|}} 2qdjd5ovpqaf6bc733czbzcu8rk9s8g Joe Okei-Odumakin 0 229741 1508069 2026-04-21T09:43:03Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Josephine Obiajulu Okei-Odumakin''' (alizaliwa tarehe [[4 Julai]] [[1966]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika kutetea [[haki za binadamu]] na usawa wa kijinsia.<ref>{{cite web|url=https://womenarise.org.ng/about-dr-joe-okei-odumakin/|title=About Dr. Joe Okei-Odumakin|work=womenarise.org.ng|accessdate=27 August 2024}}</ref> Yeye ni Rais wa mashirika ya haki za binadamu ikiwemo Wo...' 1508069 wikitext text/x-wiki '''Josephine Obiajulu Okei-Odumakin''' (alizaliwa tarehe [[4 Julai]] [[1966]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika kutetea [[haki za binadamu]] na usawa wa kijinsia.<ref>{{cite web|url=https://womenarise.org.ng/about-dr-joe-okei-odumakin/|title=About Dr. Joe Okei-Odumakin|work=womenarise.org.ng|accessdate=27 August 2024}}</ref> Yeye ni Rais wa mashirika ya haki za binadamu ikiwemo Women Arise for Change Initiative pamoja na Kampeni ya Demokrasia. Kupitia nafasi hizo, amekuwa mstari wa mbele katika kupigania haki za wanawake, kukuza demokrasia, na kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika masuala ya kijamii na kisiasa nchini Nigeria. == Uanaharakati na kukamatwa == Josephine Obiajulu Okei-Odumakin amekuwa akijulikana kwa uanaharakati wake wa muda mrefu na msimamo wake thabiti katika kutetea haki za binadamu nchini Nigeria. Kutokana na shughuli zake za uanaharakati, amewahi kukamatwa na kuzuiliwa mara kadhaa, akifikia takriban mara 17 wakati wa utawala wa kijeshi wa [[Ibrahim Babangida]]. Katika kazi yake ya kisheria na kijamii, amehusika katika zaidi ya kesi 2,000 zinazohusiana na ukiukwaji wa haki za wanawake. Kesi hizo zilihusisha matukio mbalimbali yakiwemo mauaji ya wanawake au waume zao yaliyohusisha pia uzembe au matendo ya vyombo vya dola kama polisi.<ref>{{Cite news|url=http://www.vanguardngr.com/2013/04/17-times-in-detention-joe-okei-odumakin-opens-up-i-met-my-husband-in-prison/|location=Lagos, Nigeria|title=17 times in detention, Joe Okei-Odumakin opens up: I met my husband in prison|author=Dapo Akinrefon & Charles Kumolu|access-date=16 July 2016|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> Aidha, baadhi ya kesi alizoshughulikia zilihusisha haki za watoto kupuuzwa, ikiwemo changamoto zilizotokana na taasisi za elimu na hata huduma za afya nchini Nigeria, hali iliyomfanya kuwa sauti muhimu katika mapambano ya haki na ulinzi wa wanawake na watoto.<ref name="Vanguard">{{cite news|title=17 times in detention, Joe Okei-Odumakin opens up: I met my husband in prison|url=http://www.vanguardngr.com/2013/04/17-times-in-detention-joe-okei-odumakin-opens-up-i-met-my-husband-in-prison/|location=Lagos, Nigeria|access-date=9 February 2014|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]|date=April 13, 2013|author=Dapo Akinrefon|author2=Charles Kumolo}}</ref> == Mafanikio == Josephine Obiajulu Okei-Odumakin aliendelea kutambuliwa kimataifa kutokana na mchango wake katika uanaharakati wa haki za binadamu na usawa wa kijinsia. Mnamo mwaka [[2013]], alitunukiwa Tuzo ya Kimataifa ya Wanawake wa Ujasiri kutoka Idara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Michelle Obama na John Kerry katika Ukumbi wa Dean Acheson wa Idara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ikiwa sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.<ref name="award">[http://www.bellanaija.com/2013/03/a-courageous-woman-nigerian-human-rights-activist-josephine-odumakin-honoured-with-the-2013-united-state-secretary-of-states-international-woman-of-courage-award/ Woman of Courage Award], 11 March 2013, Retrieved 3 February 2016</ref> Katika kazi yake ya maendeleo ya kijamii, mwaka [[2019]] Dkt. Odumakin alishiriki kama mwezeshaji wa mafunzo kwa washiriki katika Warsha ya 10 ya Asasi za Kiraia kuhusu Utaalamu, Ufanisi na Tiba (CSO-CPET), iliyobeba mada ya “Kuhamasisha Wanawake kwa Mabadiliko.” Mafunzo hayo, ambayo hufanyika mara mbili kwa mwaka, yanalenga kujenga uwezo wa mashirika ya kiraia, kuimarisha viwango vya kitaaluma katika shughuli za AZAKI, na kuhimiza ubunifu katika kutatua changamoto zinazokabili mashirika yasiyo ya kiserikali. == Shirika == osephine Obiajulu Okei-Odumakin ameshika nafasi mbalimbali za uongozi katika taasisi za haki za binadamu na mashirika ya kiraia nchini Nigeria. Akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Haki za Binadamu na Masomo ya Kidemokrasia, amekuwa mstari wa mbele katika kukuza uelewa wa masuala ya demokrasia, haki za binadamu na ushiriki wa wananchi katika utawala bora. Pia ni rais mwanzilishi wa Mpango wa Women Arise for Change Initiative, pamoja na mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Jukwaa la Wananchi. Vilevile, amewahi kuhudumu kama Rais wa Kituo cha Mabadiliko katika Maendeleo ya Jamii na Uelewa wa Umma, na Rais wa Kituo cha Demokrasia Shirikishi. Katika nafasi nyingine ya uongozi, amekuwa msemaji wa Muungano wa Mashirika ya Asasi za Kiraia nchini Nigeria, ambapo amekuwa akiwakilisha sauti ya mashirika mbalimbali yanayopigania haki na uwajibikaji. Kutokana na msimamo wake thabiti dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu, Josephine Obiajulu Okei-Odumakin ametambulika kama mpiganaji jasiri wa haki za kiraia, hali iliyomfanya kukumbana na changamoto na uzoefu mgumu wakati wa vipindi vya serikali kandamizi zaidi katika historia ya Nigeria. Hata hivyo, amendelea kusimama imara katika harakati zake za kutetea haki na demokrasia. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1966]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] cbo73w8xsnitd82ny0f2u2vxbdvnx5n Ellen Banda-Aaku 0 229742 1508070 2026-04-21T09:44:31Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ellen Banda-Aaku''' (alizaliwa 6 Mei 1965) ni mwandishi wa Zambia, mtayarishaji wa vipindi vya redio vya tamthilia na filamu, aliyezaliwa Uingereza na kukulia Afrika.<ref name="ref1">"Ellen Banda-Aaku", African Writing Online.</ref> Ni mwandishi wa riwaya mbili na vitabu kadhaa vya watoto, na pia amechapisha hadithi fupi katika antolojia na majukwaa mbalimbali.<ref name="ref2">African Writing Online, ISSN 1754-6672 No. 11.</ref> == Maisha ya awali == B...' 1508070 wikitext text/x-wiki '''Ellen Banda-Aaku''' (alizaliwa 6 Mei 1965) ni mwandishi wa Zambia, mtayarishaji wa vipindi vya redio vya tamthilia na filamu, aliyezaliwa Uingereza na kukulia Afrika.<ref name="ref1">"Ellen Banda-Aaku", African Writing Online.</ref> Ni mwandishi wa riwaya mbili na vitabu kadhaa vya watoto, na pia amechapisha hadithi fupi katika antolojia na majukwaa mbalimbali.<ref name="ref2">African Writing Online, ISSN 1754-6672 No. 11.</ref> == Maisha ya awali == Banda-Aaku alizaliwa Woking, Surrey, mwaka 1965 akiwa mtoto wa kati kati ya watoto watatu, na alikulia nchini [[Zambia]].<ref name="ref3">Interview with Ellen Banda–Aaku, Geosi Speaks.</ref> Alisoma katika Chuo Kikuu cha Zambia ambako alipata shahada ya kwanza (BA) katika utawala wa umma. Pia ana shahada ya uzamili (MA) katika usimamizi wa kifedha na sera za kijamii kutoka Middlesex University, na shahada nyingine ya uzamili ya uandishi wa ubunifu kutoka University of Cape Town.<ref name="ref3" /> == Kazi ya uandishi == Kitabu chake cha kwanza cha watoto, '''Wandi's Little Voice''', kilishinda tuzo ya Macmillan Writer’s Prize for Africa mwaka 2004.<ref name="ref4">African Books Collective: Wandi's Little Voice.</ref> Waamuzi walieleza kuwa mtindo wake wa uandishi unaonyesha uwezo wa kipekee wa kufichua ukweli na migongano ya mahusiano ya kibinadamu. Mwaka 2007 alishinda '''Commonwealth Short Story Competition''' kwa hadithi yake *Sozi's Box*.<ref name="ref5">Commonwealth Broadcasting Association (2007).</ref> Riwaya yake ya kwanza, '''Patchwork''', ilishinda tuzo ya Penguin Prize for African Writing mwaka 2010 na baadaye kuingia kwenye orodha fupi ya Commonwealth Book Prize mwaka 2012.<ref name="ref6">Books Live Penguin SA.</ref> Mwaka 2012 alitunukiwa tuzo ya Zambia Arts Council Chairpersons Ngoma Award kwa mchango wake katika fasihi.<ref name="ref7">African Writing Online.</ref> Pia amefanya warsha za uandishi wa ubunifu katika Rwanda, Afrika Kusini, Uganda na Zambia. Hadithi zake fupi zimechapishwa katika antolojia mbalimbali za Australia, Afrika Kusini, Uingereza na Marekani, zikiwemo *New Daughters of Africa* (2019).<ref name="ref8">Myriad Editions, New Daughters of Africa.</ref> Mwaka 2020 aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa jopo la majaji wa Kalemba Short Story Prize.<ref name="ref9">Writing Africa, 2020.</ref> Pia ni mwandishi mwenza wa kitabu cha watoto *The Elephant Girl* (2022) pamoja na James Patterson.<ref name="ref10">Kirkus Reviews (2022).</ref> == Tuzo na heshima == * 2004: Macmillan Writer’s Prize for Africa (Mwandishi chipukizi bora) * 2007: Commonwealth Short Story Competition (mshindi) * 2010: Penguin Prize for African Writing (mshindi) * 2012: Zambia Arts Council Ngoma Award * 2012: Uteuzi wa Commonwealth Book Prize == Vitabu vilivyochapishwa == === Riwaya === * ''Patchwork'' (2011) * ''Madam 1st Lady'' (2016) === Vitabu vya watoto === * ''Wandi’s Little Voice'' (2004) * ''Yours Faithfully Yogi'' (2008) * ''Twelve Months'' (2010) * ''Lula & Lebo'' * ''E is for e-waste'' * ''Sula and Ja'' === Hadithi fupi === * *Sozi's Box* * *Lost* * *Made of Mukwa* * *Ngomwa* * *87 Tangmere Court* == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1965|}} tg0x0hdk6uc2cfw98vi4df9yplby3oi Majadiliano ya mtumiaji:TakiJedenBezbek 3 229743 1508073 2026-04-21T09:48:18Z AmmarBot 81277 Karibu 1508073 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 21 Aprili 2026 (UTC) 7g0747xpc0ucorh3z1662dpa90zcymj Majadiliano ya mtumiaji:Steve chol dut 3 229744 1508074 2026-04-21T09:48:28Z AmmarBot 81277 Karibu 1508074 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 21 Aprili 2026 (UTC) 7g0747xpc0ucorh3z1662dpa90zcymj Majadiliano ya mtumiaji:BeardedChimp 3 229745 1508075 2026-04-21T09:48:38Z AmmarBot 81277 Karibu 1508075 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 21 Aprili 2026 (UTC) 7g0747xpc0ucorh3z1662dpa90zcymj Majadiliano ya mtumiaji:Detarium 3 229746 1508077 2026-04-21T09:48:48Z AmmarBot 81277 Karibu 1508077 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 21 Aprili 2026 (UTC) 7g0747xpc0ucorh3z1662dpa90zcymj Majadiliano ya mtumiaji:JAW2012 3 229747 1508078 2026-04-21T09:48:58Z AmmarBot 81277 Karibu 1508078 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 21 Aprili 2026 (UTC) 7g0747xpc0ucorh3z1662dpa90zcymj Gwendoline Konie 0 229748 1508080 2026-04-21T09:50:23Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gwendoline Noreen Chomba Konie''' (9 Oktoba 1938 – 14 Machi 2009) alikuwa mshairi, mwanadiplomasia na mwanasiasa kutoka [[Zambia]]. Aliwahi kuwa balozi wa Zambia katika nchi za Skandinavia, Umoja wa Mataifa na Ujerumani. Mwaka 2000 alianzisha chama chake cha kisiasa na kugombea urais wa Zambia katika uchaguzi wa 2001. Alipofariki alipewa mazishi ya kitaifa ya heshima. == Maisha ya awali == Konie alizaliwa mwaka 1938 mjini Lusaka katika eneo lililokuw...' 1508080 wikitext text/x-wiki '''Gwendoline Noreen Chomba Konie''' (9 Oktoba 1938 – 14 Machi 2009) alikuwa mshairi, mwanadiplomasia na mwanasiasa kutoka [[Zambia]]. Aliwahi kuwa balozi wa Zambia katika nchi za Skandinavia, Umoja wa Mataifa na Ujerumani. Mwaka 2000 alianzisha chama chake cha kisiasa na kugombea urais wa Zambia katika uchaguzi wa 2001. Alipofariki alipewa mazishi ya kitaifa ya heshima. == Maisha ya awali == Konie alizaliwa mwaka 1938 mjini Lusaka katika eneo lililokuwa likijulikana kama Northern Rhodesia (sasa Zambia).<ref name="ref1">Karen L. Kinnear (2011). Women in Developing Countries.</ref> Alisoma katika Cardiff University nchini Wales na baadaye American University nchini Marekani. Pia alipata shahada ya uzamivu (PhD) katika sosholojia kutoka University of Warwick.<ref name="ref1" /> == Kazi ya utumishi wa umma na diplomasia == Mwaka 1962, aliteuliwa kuwa mjumbe wa Baraza la Kutunga Sheria la Northern Rhodesia chini ya Gavana Mkuu Sir Evelyn Dennison Hone.<ref name="ref2">Robin Morgan (1984). Sisterhood is Global.</ref> Baadaye alijiunga na huduma ya mambo ya nje na akapanda ngazi hadi kuwa Balozi wa Zambia katika Sweden, Denmark, Norway na Finland kuanzia 1974 hadi 1977.<ref name="ref2" /> Kuanzia 1977 aliteuliwa kuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Zambia katika Umoja wa Mataifa. Mwaka 1979 alihudumu kama Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii ya Zambia. Baada ya mabadiliko ya kisiasa nchini Zambia, aliendelea kuhudumu kidiplomasia hadi 1997, ikiwa ni pamoja na kuwa Balozi wa Zambia nchini Ujerumani.<ref name="ref2" /> == Siasa == Mwaka 2000, Konie alianzisha chama cha Social Democratic Party ili kushughulikia masuala ya wanawake na watoto. Akiwa mgombea urais mwaka 2001, alikuwa miongoni mwa wanawake wawili waliogombea nafasi hiyo katika uchaguzi huo wa kitaifa.<ref name="ref3">iOL News (2000). Party led by woman a first for Zambia.</ref> Ingawa hakushinda, alipata zaidi ya kura 10,000 katika uchaguzi uliokuwa na wagombea 11.<ref name="ref3" /> Rais aliyechaguliwa alikuwa Levy Mwanawasa. == Uandishi na ushairi == Konie pia alikuwa mshairi mashuhuri. Shairi lake '''"In the Fist of your Hatred"''' lilijumuishwa katika kitabu *The Penguin Book of Modern African Poetry* (2007).<ref name="ref4">Gerald Moore (2007). The Penguin Book of Modern African Poetry.</ref> Shairi hilo linakosoa ubabe na dharau ya kiume. == Kifo == Alifariki mwaka 2009 katika Hospitali ya MKP Trust mjini Lusaka na alipewa mazishi ya kitaifa.<ref name="ref5">Lusaka Times (2009). Gwendoline Konie Dies.</ref> Viongozi wa taifa walitoa heshima zake, wakitambua mchango wake katika ujenzi wa taifa la Zambia. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1938|2009}} jdzoafuq8rvjnz4bntapj3ggfar776i Janet Nwadiogo Mokelu 0 229749 1508082 2026-04-21T09:51:53Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Janet Nwadiogo Mokelu''' (alizaliwa '''Janet Onwuegbuzia'''; [[7 Februari]] [[1910]] – [[31 Machi]] [[2003]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Nigeria]], mfadhili, muuguzi, mwalimu, mkuu wa shule na [[mfanyabiashara]]. Katika maisha yake ya kitaaluma na kijamii, alijijengea sifa kama msomi, mwanaharakati mwenye kujitolea na mzalendo aliyepigania maendeleo ya jamii yake. Kupitia mchango wake katika elimu, afya na biashara, aliathiri kwa kiasi kikubwa maend...' 1508082 wikitext text/x-wiki '''Janet Nwadiogo Mokelu''' (alizaliwa '''Janet Onwuegbuzia'''; [[7 Februari]] [[1910]] – [[31 Machi]] [[2003]]) alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Nigeria]], mfadhili, muuguzi, mwalimu, mkuu wa shule na [[mfanyabiashara]]. Katika maisha yake ya kitaaluma na kijamii, alijijengea sifa kama msomi, mwanaharakati mwenye kujitolea na mzalendo aliyepigania maendeleo ya jamii yake. Kupitia mchango wake katika elimu, afya na biashara, aliathiri kwa kiasi kikubwa maendeleo ya wanawake na jamii kwa ujumla. Janet Nwadiogo Mokelu pia aliwahi kuwa mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la Mashariki nchini Nigeria. Katika nafasi hiyo, alihudumu kama mmoja wa wabunge wa kwanza wanawake katika historia ya Nigeria, jambo lililomfanya kuwa miongoni mwa waanzilishi wa ushiriki wa wanawake katika siasa za nchi hiyo. == Maisha ya awali na kazi == Janet Nwadiogo Mokelu alizaliwa katika familia ya Joseph na Margaret Onwuegbuzia wa eneo la Umuagu Quarters, Asaba, katika eneo ambalo leo linajulikana kama [[Jimbo la Delta]] nchini Nigeria. Alipata elimu yake ya ualimu katika Chuo cha Mafunzo ya Walimu kati ya mwaka [[1930]] hadi [[1932]], ambapo alihitimu na kupata Cheti cha Walimu wa Daraja la II.<ref>{{citeweb|url=https://www.aljazeera.com/features/2020/12/12/remembering-margaret-ekpo-and-enugu-strike-massacre|website=aljazeera.com|author=Tayo Agunbiade|title=Remembering Margaret Ekpo and the Enugu strike massacre|accessdate=July 13, 2025}}</ref> Mnamo mwaka [[1959]], aliteuliwa kuwa mwanachama wa kipekee wa Baraza la Wachifu wa Mashariki, nafasi aliyoshirikiana nayo na Margaret Ekpo, mmoja wa wanawake mashuhuri katika historia ya siasa za Nigeria. Baadaye, alihudumu kama mshauri maalum wa kisiasa katika Serikali ya Jimbo la Anambra kuanzia mwaka [[1980]] hadi [[1983]]. Janet Nwadiogo Mokelu alikuwa na imani kubwa katika umoja wa makanisa na alifanya kazi kwa karibu na rafiki yake Lady Eudora Ibiam katika kuimarisha mshikamano huo. Pia aliongoza Mkutano wa Wanawake wa Anglikana wa Oraifite kwa kipindi cha miaka 25 kabla ya kujiuzulu mwaka [[1995]].<ref></nowiki>{{Cite web|title=BiafraNigeriaWorld: The Authority on BiafraNigeria|url=http://news.biafranigeriaworld.com/archive/2003/nov/08/096.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20130330013856/http://news.biafranigeriaworld.com/archive/2003/nov/08/096.html|url-status=usurped|archive-date=March 30, 2013|website=news.biafranigeriaworld.com|access-date=2016-02-11}}<nowiki></ref> Katika kipindi chake cha uongozi wa kidini na kijamii, alichangia katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Oraifite pamoja na kuendeleza tasnia ya ufumaji. Alijulikana kwa nidhamu yake kali na juhudi za kuwalea wanawake kwa maadili na mafunzo ya kijamii.<ref>{{citeweb|url=https://anambrapeople.com.ng/2021/08/25/my-mother-was-the-woman-to-be-elected-into-the-parliament/|author=Tony Chinedu|website=anambrapeople.com.ng|title=My mother was the first woman elected into parliament in Nigeria – Janet Mokelu’s daughter- Prof Egbuonu|accessdate=July 13, 2025}}</ref> Akiwa kiongozi wa kanisa la Anglikana katika Dayosisi ya zamani ya Niger, alijipatia sifa kama kiongozi mwenye huruma na mhamasishaji wa jamii. Alijitolea kusaidia watu maskini kwa kutoa msaada wa fedha, chakula na mavazi bila ubaguzi.<ref>{{Cite web|title=BiafraNigeriaWorld: The Authority on BiafraNigeria|url=http://news.biafranigeriaworld.com/archive/2003/nov/08/096.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20130330013856/http://news.biafranigeriaworld.com/archive/2003/nov/08/096.html|url-status=usurped|archive-date=March 30, 2013|website=news.biafranigeriaworld.com|access-date=2016-02-11}}</ref> Katika uwanja wa siasa na maendeleo ya kijamii, Janet Nwadiogo Mokelu alihamasisha usawa wa kijinsia na alihusika katika kuanzisha sera mbalimbali zilizolenga kuboresha maisha ya wanawake. Miongoni mwa sera hizo ilikuwa pendekezo la kuhakikisha wanawake walioolewa wanapata mshahara sawa na wanaume wenzao, hatua iliyolenga kupunguza pengo la kijinsia kazini.<ref>{{citeweb|url=https://www.aljazeera.com/features/2020/12/12/remembering-margaret-ekpo-and-enugu-strike-massacre|website=aljazeera.com|author=Tayo Agunbiade|title=Remembering Margaret Ekpo and the Enugu strike massacre|accessdate=July 13, 2025}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1910]] [[Jamii: Waliofariki 2003]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] jxizpnjtc2h3bx19qsnku98xl5le1jv Fran Kuboye 0 229750 1508089 2026-04-21T10:00:43Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fran Kuboye''' (alizaliwa Frances Opeolu Folorunsho; [[22 Novemba]] [[1949]] – [[21 Agosti]] [[1997]]) alikuwa mwimbaji wa asili ya [[Uingereza]] na [[Nigeria]], daktari wa meno, mtangazaji wa televisheni na [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]]. Alijipambanua pia katika tasnia ya muziki kwa kuanzisha klabu ya Jazz 38 jijini Lagos pamoja na Bendi ya Jazz ya Familia Iliyopanuliwa, miradi iliyochangia kukuza na kuendeleza muziki wa jazz nchini Nige...' 1508089 wikitext text/x-wiki '''Fran Kuboye''' (alizaliwa Frances Opeolu Folorunsho; [[22 Novemba]] [[1949]] – [[21 Agosti]] [[1997]]) alikuwa mwimbaji wa asili ya [[Uingereza]] na [[Nigeria]], daktari wa meno, mtangazaji wa televisheni na [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]]. Alijipambanua pia katika tasnia ya muziki kwa kuanzisha klabu ya Jazz 38 jijini Lagos pamoja na Bendi ya Jazz ya Familia Iliyopanuliwa, miradi iliyochangia kukuza na kuendeleza muziki wa jazz nchini Nigeria. Fran Kuboye alizaliwa katika familia mashuhuri ya Ransome-Kuti, akiwa mjukuu wa Funmilayo Ransome-Kuti, mwanaharakati maarufu wa haki za wanawake, na pia mpwa wa Fela Kuti, msanii nguli wa muziki wa Afrobeat. Asili hii ilichangia kwa kiasi kikubwa kumjenga katika mazingira ya sanaa, uanaharakati na mapambano ya kijamii. == Maisha ya Awali == Fran Kuboye alizaliwa mjini Halifax, Uingereza, akiwa mtoto wa Dolupo Ransome-Kuti, na alipewa jina la bibi yake, Funmilayo Ransome-Kuti. Alipata elimu yake ya msingi katika Shule ya Kanisa la Uingereza ya Clifton pamoja na Shule ya Kanisa la Uingereza ya Carnforth, zote zikiwa katika eneo la Lancashire. Baadaye aliendelea na elimu ya sekondari katika Shule ya Grammar ya Wasichana ya Lancaster kabla ya kuhamia Shule ya Upili ya Wasichana ya Skipton. Katika masomo ya juu, alijiunga na Chuo Kikuu cha Sheffield ambapo alihitimu mwaka [[1974]] na kupata shahada katika taaluma ya udaktari wa meno, hatua iliyomuwezesha kujenga taaluma yake kama daktari wa meno pamoja na shughuli zake nyingine za kijamii na kisanii. == Kazi == Fran Kuboye alihamia Nigeria mwaka [[1977]], na mwaka uliofuata alianza rasmi kujihusisha na muziki. Akiwa pamoja na mumewe, Tunde Kuboye, alianzisha klabu maarufu ya Jazz 38 pamoja na Bendi ya Jazz ya Extended Family. Ukumbi huo uligeuka kuwa kitovu muhimu cha muziki wa jazz nchini Nigeria, ukivutia wasanii mbalimbali maarufu. Miongoni mwa waliokuwa wakitumbuiza mara kwa mara kama wageni ni Fela Kuti pamoja na mwanawe Femi Kuti.<ref>[https://www.citypeopleonline.com/frances-kuboyes-family-set-for-20-year-remembrance/ Fran Kuboye Family Set For 20-Year Remabrance]</ref> Bendi ya Extended Family ilijipatia umaarufu kama miongoni mwa waanzilishi wa muziki wa jazz nchini Nigeria, na pia walikuwa wa kwanza nchini humo kutoa albamu katika mfumo wa diski ndogo (compact disc) iliyoitwa ''Jisting''.<ref>[https://thenet.ng/unveiling-the-new-generation-of-kutis/ Unveiling A New Generation Of Kutis]</ref> Mbali na muziki, Kuboye alikuwa pia mtangazaji wa televisheni, ambapo aliandaa kipindi cha sanaa kiitwacho ''The Sunday Show'' pamoja na Livi Ajuonuma. Aidha, aliwahi kushiriki kama jaji wa vipindi vya mashindano ya muziki, ikiwemo ''Who’s On?'' ya mtandao wa NTA, akiwa pamoja na mumewe.<ref>{{Cite news|last=vanguard|date=2015-03-06|title=Missing Tunde Kuboye and the Extended Family band|url=https://www.vanguardngr.com/2015/03/missing-tunde-kuboye-and-the-extended-family-band/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2022-11-15|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]|language=en-GB}}</ref> Katika upande wa kijamii, alianzisha shirika lisilo la kiserikali liitwalo ''Girl Watch'' kwa kushirikiana na Yemisi Ransome-Kuti. Shirika hilo lililenga kuwaelimisha na kuwawezesha wanafunzi wa kike katika shule za sekondari kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia na changamoto za kijamii zilizopo katika utamaduni wa Kiafrika.<ref>{{Cite web|last=Emmanuel|first=Daniji|title=FRANCES KUBOYE's Family Set For 20 Year Remembrance – City People Magazine|url=https://www.citypeopleonline.com/frances-kuboyes-family-set-for-20-year-remembrance/|access-date=2022-11-15|language=en-US}}</ref> Fran Kuboye pia alikuwa mchoraji, akitumia sanaa na ubunifu kama njia ya kuelimisha wasichana wadogo kuhusu madhara ya ukeketaji na umuhimu wa elimu katika kufikia usawa wa kijinsia. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1949]] [[Jamii: Waliofariki 1997]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] d3smenn5eur32cvewfylib17h573aw0 Brenda Biya 0 229751 1508091 2026-04-21T10:03:32Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Anastasie Brenda Biya Eyenga''' ({{IPA|fr|anastazi bʁɛnda bija ejɛnɡa}}; amezaliwa 29 Julai 1997) ni mwanaharakati, rapa na mjasiriamali kutoka Cameroon; pia ni binti wa rais wa Cameroon [[Paul Biya]] na Mama wa Taifa [[Chantal Biya]].<ref>{{Cite web |last=Sharma |first=Vanshika |date=2024-07-04 |title=Who is Anastasia Brenda Biya Eyenga, biography, age, parents, girlfriend, net worth and Instagram |url=[https://thesportsgrail.com/who-is-anastasia-b...' 1508091 wikitext text/x-wiki '''Anastasie Brenda Biya Eyenga''' ({{IPA|fr|anastazi bʁɛnda bija ejɛnɡa}}; amezaliwa 29 Julai 1997) ni mwanaharakati, rapa na mjasiriamali kutoka Cameroon; pia ni binti wa rais wa Cameroon [[Paul Biya]] na Mama wa Taifa [[Chantal Biya]].<ref>{{Cite web |last=Sharma |first=Vanshika |date=2024-07-04 |title=Who is Anastasia Brenda Biya Eyenga, biography, age, parents, girlfriend, net worth and Instagram |url=[https://thesportsgrail.com/who-is-anastasia-brenda-biya-eyenga-biography-age-parents-girlfriend-net-worth-and-instagram/](https://thesportsgrail.com/who-is-anastasia-brenda-biya-eyenga-biography-age-parents-girlfriend-net-worth-and-instagram/) |access-date=2024-07-09 |website=The SportsGrail |language=en}}</ref> == Wasifu == === Utoto na elimu === Brenda Biya alizaliwa mwaka 1997 katika Ikulu ya Umoja ya Etoudi mjini [[Yaoundé]], Cameroon. Alisoma elimu ya awali na msingi katika shule za Les Coccinelles, zilizoanzishwa mahsusi kwa wafanyakazi wa urais wa Cameroon. Akiwa pamoja na kaka yake mkubwa Paul Junior, baadaye alijiunga na shule ya bweni ya Collège du Léman, shule binafsi ya Uswisi iliyoko Versoix,<ref>{{Cite book |last=Dulin |first=Antoin |url=[https://ccfd-terresolidaire.org/wp-content/uploads/2022/01/Biens-mal-acquis_A-qui-profite-le-crime-.pdf](https://ccfd-terresolidaire.org/wp-content/uploads/2022/01/Biens-mal-acquis_A-qui-profite-le-crime-.pdf) |title="Biens mal acquis." A qui profite le crime |year=2009 |pages=104 |language=fr}}</ref> karibu na [[Geneva]], inayojulikana kwa kusomesha watoto wa marais.<ref>{{Cite web |date=2013-01-22 |title=Afrique : très chères études |url=[https://www.jeuneafrique.com/138664/societe/afrique-tr-s-ch-res-tudes/](https://www.jeuneafrique.com/138664/societe/afrique-tr-s-ch-res-tudes/) |access-date=2020-06-12 |website=JeuneAfrique.com |language=fr-FR}}</ref> Baadaye alihamia Los Angeles nchini Marekani kuendelea na masomo yake.<ref>{{Cite web |date=2016-11-15 |title=Brenda Biya.com |url=[https://www.jeuneafrique.com/mag/371655/politique/brenda-biya-com/](https://www.jeuneafrique.com/mag/371655/politique/brenda-biya-com/) |access-date=2020-06-12 |website=JeuneAfrique.com |language=fr-FR}}</ref> Akiwa huko, alikosoa ubaguzi dhidi ya watu weusi kupitia akaunti yake ya Twitter. Baadhi ya waandishi wa habari walikosoa mtindo wake wa maisha, wakimtuhumu kwa matumizi makubwa, starehe za kifahari na mienendo mingine.<ref name=":0">{{Cite web |title="Princesse" Brenda, la fille du président camerounais qui irrite avec ses taxis à 400$ |url=[https://observers.france24.com/fr/20160202-princesse-brenda-biya-fille-president-camerounais-taxis-400](https://observers.france24.com/fr/20160202-princesse-brenda-biya-fille-president-camerounais-taxis-400) |access-date=2020-06-12 |website=Les Observateurs de France 24 |language=fr}}</ref> Biya pamoja na kaka yake walikubaliwa katika Shule ya Kitaifa ya Utawala na Mahakimu (ENAM).<ref>{{Cite web |date=2017-11-20 |title=Cameroun – Oral à l'ENAM: Des mesures particulières pour Brenda Biya et Paul Junior Biya |url=[https://actucameroun.com/2017/11/20/cameroun-oral-a-lenam-mesures-particulieres-brenda-biya-paul-junior-biya/](https://actucameroun.com/2017/11/20/cameroun-oral-a-lenam-mesures-particulieres-brenda-biya-paul-junior-biya/) |access-date=2020-06-12 |website=Actu Cameroun |language=fr-FR}}</ref> Mnamo Novemba 2019, alieleza kupitia Instagram kuwa alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Graves na matatizo ya tezi, hali iliyosababisha mabadiliko ya hisia.<ref>{{Cite web |date=2016-06-28 |title=Brenda Biya révèle que la vidéo dans laquelle on la voit tenant un couteau est bel et bien vraie |url=[https://www.237online.com/brenda-biya-revele-que-la-video-dans-laquelle-on-la-voit-tenant-un-couteau-est-bel-et-bien-vraie/](https://www.237online.com/brenda-biya-revele-que-la-video-dans-laquelle-on-la-voit-tenant-un-couteau-est-bel-et-bien-vraie/) |access-date=2020-06-12 |website=237online.com |language=fr-FR}}</ref> === Kazi === Mwaka 2024, Biya alianza rasmi taaluma ya muziki wa rapu.<ref name="out">{{Cite web |date=2024-07-01 |title=Cameroun: Brenda Biya, fille du président Paul Biya, fait un coming-out très commenté |url=[https://www.rfi.fr/fr/afrique/20240701-cameroun-brenda-biya-fille-du-pr%C3%A9sident-paul-biya-fait-un-coming-out-tr%C3%A8s-comment%C3%A9](https://www.rfi.fr/fr/afrique/20240701-cameroun-brenda-biya-fille-du-pr%C3%A9sident-paul-biya-fait-un-coming-out-tr%C3%A8s-comment%C3%A9) |access-date=2024-07-01 |website=RFI |language=fr}}</ref> Mnamo Aprili 23, 2015, alichapisha picha yenye utata kwenye Instagram iliyomwonyesha akimbusu mtu asiyejulikana, jambo lililosababisha ukosoaji mkubwa na kumlazimu kufuta picha hiyo pamoja na nyingine.<ref>{{Cite web |date=2015-04-23 |title=Cameroon president's daughter posts racy photo on Instagram, then deletes |url=[https://www.pulse.com.gh/entertainment/celebrities/paul-biya-cameroon-presidents-daughter-posts-racy-photo-on-instagram-then-deletes/wx72x1k](https://www.pulse.com.gh/entertainment/celebrities/paul-biya-cameroon-presidents-daughter-posts-racy-photo-on-instagram-then-deletes/wx72x1k) |access-date=2024-07-09 |website=Pulse Ghana |language=en}}</ref> Vyombo vya habari viliripoti kuwa baadhi ya vitendo vyake vilileta aibu kwa taasisi za Cameroon.<ref>{{Cite journal |last=Bongben |first=Leocadia |date=2020-05-17 |title=Why Brenda say "we go send we enemies for grave" |url=[https://www.bbc.com/pidgin/tori-52694768](https://www.bbc.com/pidgin/tori-52694768) |journal=BBC News Pidgin |access-date=2020-06-12}}</ref> Mwaka 2020, alionyesha nia ya kuanza muziki na aliwahi kumwalika msanii Wizkid kufanya onyesho la faragha katika ikulu ya rais.<ref>{{Cite web |date=2020-01-03 |title=Controversy as Wizkid performs at private party for Cameroon First Lady, daughter |url=[https://www.africanews.com/2020/01/03/controversy-as-wizkid-performs-at-private-party-for-cameroon-first-lady-daughter/](https://www.africanews.com/2020/01/03/controversy-as-wizkid-performs-at-private-party-for-cameroon-first-lady-daughter/) |access-date=2024-07-09 |website=Africanews |language=en}}</ref> ==== Ujasiriamali ==== Mnamo Aprili 16, 2020, alianzisha biashara ya kuuza nywele bandia iitwayo Bree Culture Inc Shopping huko Beverly Hills, California.<ref>{{Cite web |last=Mbena |first=Oscar |date=2020-07-19 |title=Brenda Biya : la fille du président ouvre une boutique d'extension de cheveux aux Etats-Unis |url=[https://www.afrikmag.com/brenda-biya-la-fille-du-president-ouvre-une-boutique-dextension-de-cheveux-aux-etats-unis/](https://www.afrikmag.com/brenda-biya-la-fille-du-president-ouvre-une-boutique-dextension-de-cheveux-aux-etats-unis/) |access-date=2024-07-09 |website=AfrikMag |language=fr-FR}}</ref> === Tukio la Paris === Mnamo Oktoba 14, 2020, wanaharakati walifika katika hoteli ya kifahari ya Plaza Athénée mjini Paris wakitaka aondolewe hotelini humo. Siku iliyofuata, Biya aliondoka hotelini.<ref>{{Cite web |last=Kanou |first=Rachèle |date=2020-10-15 |title=Brenda Biya réagit à la menace d'être expulsée pas la BAS. |url=[https://www.camer.be/82629/34:31/cameroun-brenda-biya-reagit-a-la-menace-detre-expulsee-par-la-bas-cameroon.html](https://www.camer.be/82629/34:31/cameroun-brenda-biya-reagit-a-la-menace-detre-expulsee-par-la-bas-cameroon.html) |access-date=2020-10-22 |website=camer.be |language=fr}}</ref> == Maisha binafsi == Mwaka 2020, Biya alieleza kuwa alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kupitia baadhi ya video zake.<ref name="enfin">{{Cite web |date=2020-06-06 |title=People : Enfin dévoilé voici l'homme qui fait battre le cœur de Brenda Biya |url=[https://news.ebene-magazine.com/?p=120489](https://news.ebene-magazine.com/?p=120489) |access-date=2020-06-12 |website=Ébène Magazine |language=fr}}</ref> Tarehe 30 Juni 2024, alitangaza hadharani kuwa yeye ni msagaji kwa kuchapisha picha akimbusu mpenzi wake Layyons Valença.<ref name="out"/> Hatua hiyo ilizua mjadala mkubwa mitandaoni na miongoni mwa wanaharakati wa haki za LGBTQ nchini Cameroon.<ref>{{Cite news |last=Akhimien |first=Nosakhale |date=2024-07-05 |title=Cameroon’s president’s daughter, Brenda, reveals lesbian status |url=[https://www.premiumtimesng.com/entertainment/naija-fashion/709864-cameroons-presidents-daughter-brenda-reveals-lesbian-status.html](https://www.premiumtimesng.com/entertainment/naija-fashion/709864-cameroons-presidents-daughter-brenda-reveals-lesbian-status.html) |access-date=2024-07-08 |newspaper=Premium Times}}</ref> Mnamo 18 Septemba 2025, alichapisha video akiwataka wapiga kura wasimpigie kura baba yake katika uchaguzi wa urais wa Cameroon wa 2025, kabla ya kuifuta na kuomba radhi.<ref>{{Cite web |date=19 September 2025 |title=Cameroon: Brenda Biya says to not vote for her father, president Paul Biya |url=[https://www.africanews.com/2025/09/19/cameroon-brenda-biya-says-to-not-vote-for-her-father-president-paul-biya/](https://www.africanews.com/2025/09/19/cameroon-brenda-biya-says-to-not-vote-for-her-father-president-paul-biya/) |access-date=20 September 2025 |website=Africanews }}</ref> == Tazama pia == * Chantal Biya * Franck Biya * Haki za LGBTQ nchini Cameroon == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1997|}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] 58vnlhs40tt60te6m6m8l1tuufta473 Grace Decca 0 229752 1508097 2026-04-21T10:09:11Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Grace Decca''' (amezaliwa '''Ndom'a Deccah Grace''' tarehe 23 Septemba 1966) ni mwimbaji na mtayarishaji wa muziki kutoka [[Kamerun]], mzaliwa wa mji wa [[Douala]], ambao ni mji mkuu wa kiuchumi wa nchi hiyo. Ni dada mdogo wa mwanamuziki mashuhuri wa Makossa Ben Decca, na aliwahi kufanya kazi pamoja naye na wanamuziki wengine kama Jean-Jacques Goldman kabla ya kuanzisha kazi yake binafsi mwaka 1989 kwa albamu ''Besoin d'amour''.<ref name=":0">{{Cite web...' 1508097 wikitext text/x-wiki '''Grace Decca''' (amezaliwa '''Ndom'a Deccah Grace''' tarehe 23 Septemba 1966) ni mwimbaji na mtayarishaji wa muziki kutoka [[Kamerun]], mzaliwa wa mji wa [[Douala]], ambao ni mji mkuu wa kiuchumi wa nchi hiyo. Ni dada mdogo wa mwanamuziki mashuhuri wa Makossa Ben Decca, na aliwahi kufanya kazi pamoja naye na wanamuziki wengine kama Jean-Jacques Goldman kabla ya kuanzisha kazi yake binafsi mwaka 1989 kwa albamu ''Besoin d'amour''.<ref name=":0">{{Cite web|url=[http://www.ladiz.mboa.info/culture-femmes-capables/fr/kpables/rubrique/1661,grace-decca-la-voix-et-la-beaute-du-makossa/627,top-femmes-kpables.html|title=Grace](http://www.ladiz.mboa.info/culture-femmes-capables/fr/kpables/rubrique/1661,grace-decca-la-voix-et-la-beaute-du-makossa/627,top-femmes-kpables.html|title=Grace) Decca la voix et la beaute du makossa|website=ladiz.mboa.info|language=French|access-date=7 Novemba 2018|archive-url=[https://web.archive.org/web/20161011072133/http://www.ladiz.mboa.info/culture-femmes-capables/fr/kpables/rubrique/1661,grace-decca-la-voix-et-la-beaute-du-makossa/627,top-femmes-kpables.html|archive-date=11](https://web.archive.org/web/20161011072133/http://www.ladiz.mboa.info/culture-femmes-capables/fr/kpables/rubrique/1661,grace-decca-la-voix-et-la-beaute-du-makossa/627,top-femmes-kpables.html|archive-date=11) Oktoba 2016|url-status=dead}}</ref> Albamu zake nyingine za Makossa ni ''Le Duo D.K'' (1992), ''Doï La Mulema'' (1993), ''Appelle-moi Princesse'' (1998), na ''Donne-moi un peu d'amour'' (2001). Alirejea katika tasnia ya muziki ya Cameroon mwaka 2014 kwa albamu ya injili ''Mouna''.<ref>{{Cite news|url=[http://www.africanouvelles.com/musique/musique/afrique/grace-decca-dans-son-nouvel-album-qmounaq-la-star-camerounaise-du-makossa-vire-au-gospel-video.html|title=GRACE](http://www.africanouvelles.com/musique/musique/afrique/grace-decca-dans-son-nouvel-album-qmounaq-la-star-camerounaise-du-makossa-vire-au-gospel-video.html|title=GRACE) DECCA: Dans son nouvel album|last=Kwami|first=Milton|work=Africa Nouvelles|access-date=7 Novemba 2018|language=fr-FR|archive-date=11 Oktoba 2016|archive-url=[https://web.archive.org/web/20161011085846/http://www.africanouvelles.com/musique/musique/afrique/grace-decca-dans-son-nouvel-album-qmounaq-la-star-camerounaise-du-makossa-vire-au-gospel-video.html|url-status=dead}}](https://web.archive.org/web/20161011085846/http://www.africanouvelles.com/musique/musique/afrique/grace-decca-dans-son-nouvel-album-qmounaq-la-star-camerounaise-du-makossa-vire-au-gospel-video.html|url-status=dead}})</ref> Pia ameanzisha lebo yake ya muziki iitwayo GNS Productions. == Maisha ya awali na familia == Alizaliwa Cameroon katika jiji la [[Douala]], akiwa mtoto wa sita katika familia yenye watoto kumi na mmoja.<ref>{{Cite news|url=[http://www.culturebene.com/14026-grace-decca-revient-sur-la-scene-avec-mouna.html|title=Grace](http://www.culturebene.com/14026-grace-decca-revient-sur-la-scene-avec-mouna.html|title=Grace) DECCA revient sur la scène avec " MOUNA "|date=5 Desemba 2014|work=Culturebene|access-date=7 Novemba 2018|language=fr-FR}}</ref><ref name=":1">{{Cite web|url=[http://makossaoriginal.blogspot.com/2010/08/grace-decca-nyounga-bekwadis-1989.html|title=makossa](http://makossaoriginal.blogspot.com/2010/08/grace-decca-nyounga-bekwadis-1989.html|title=makossa) original: GRACE DECCA|last=Motz|first=Dolf|date=17 Agosti 2010|website=makossa original|access-date=7 Novemba 2018}}</ref> Baba yake alikuwa mtaalamu wa magari na mama yake alikuwa mwalimu. Familia yao inajulikana sana katika muziki wa Cameroon, ikiwa na wasanii kadhaa akiwemo kaka yake Ben, dada yake Dora na kaka yake mdogo Isaac.<ref>{{Cite web|url=[http://peuplesawa.com/fr/bnlogik.php?bnid=371&bnk=&bnrub=&vip=78|title=Grâce](http://peuplesawa.com/fr/bnlogik.php?bnid=371&bnk=&bnrub=&vip=78|title=Grâce) Decca à cœur ouvert|website=peuplesawa.com|language=French|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> Pia ni mpwa wa marehemu Eboa Lotin, na mjukuu wa mwanamuziki Lobe Lobe Rameau, mmoja wa waanzilishi wa muziki wa Makossa.<ref>{{Cite web|url=[http://news.abidjan.net/h/357668.html|title=Grace](http://news.abidjan.net/h/357668.html|title=Grace) Decca, une famille d'artiste|website=news.abidjan.net|language=French|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> == Elimu na mwanzo wa kazi == Ana shahada ya juu (DEA) katika Mawasiliano (Sayansi ya Elimu) aliyopata nchini Ufaransa mwaka 1998.<ref name=":2">{{Cite news|url=[https://www.afrik.com/musik/grace-decca/artiste/520|title=Grace](https://www.afrik.com/musik/grace-decca/artiste/520|title=Grace) Decca – biographie|work=Afrik.com|access-date=8 Novemba 2018|language=fr-FR}}</ref> Baada ya kupata shahada ya sekondari (Baccalauréat), alihamia Ufaransa kuendelea na masomo, ambapo alipata DEUG katika Utamaduni na Mawasiliano, BTS katika usimamizi, pamoja na shahada ya kwanza na ya uzamili. Alianza kujihusisha na muziki mwanzoni mwa miaka ya 1980 kupitia kaka yake Ben, ambaye alimshirikisha kama mwimbaji wa nyuma.<ref>{{Cite news|url=[http://www.lartino.fr/decouvrez-grace-decca/|title=Découvrez](http://www.lartino.fr/decouvrez-grace-decca/|title=Découvrez) Grace Decca|date=3 Novemba 2015|work=Lartino.fr|access-date=7 Novemba 2018|language=fr-FR}}</ref> Mwaka 1983 alishiriki katika wimbo ''Na sengui bobe'' wa kaka yake, uliopata mafanikio.<ref name=":3">{{Cite web|url=[http://www.maxoe.com/rama/culture-downloads/voir-musique/grace-decca-lalbum-mouna-et-le-clip-these-are-my-people-feat-jonathan-butler/|title=Grace](http://www.maxoe.com/rama/culture-downloads/voir-musique/grace-decca-lalbum-mouna-et-le-clip-these-are-my-people-feat-jonathan-butler/|title=Grace) Decca : l'album 'Mouna'|website=maxoe.com|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> Mwaka 1987, alishiriki katika kwaya ya wimbo ''À nos actes manqués'' wa Jean-Jacques Goldman.<ref name=":4">{{Cite web|url=[http://www.musiques-afrique.com/frames/art_decca_grace.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20150913183105/http://musiques-afrique.com/frames/art_decca_grace.html|archive-date=13](http://www.musiques-afrique.com/frames/art_decca_grace.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20150913183105/http://musiques-afrique.com/frames/art_decca_grace.html|archive-date=13) Septemba 2015|title=Grace Decca|website=musiques-afrique.com|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> == Kazi == Alitumbuiza pamoja na kaka yake kati ya 1984 na 1989 kabla ya kuanza kazi ya solo. Mwaka 1989 alitoa albamu yake ya kwanza ''Besoin d'amour'', ambayo iliuza zaidi ya nakala 150,000 nchini Cameroon.<ref>{{Cite news|url=[https://www.afrik.com/100-makossa-grace-decca|title=100%](https://www.afrik.com/100-makossa-grace-decca|title=100%) makossa Grace Decca|date=16 Mei 2002|work=Afrik.com|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> Mwaka 1993 alitoa albamu ''Doï La Mulema'', iliyopata mafanikio makubwa zaidi na kumletea umaarufu wa kimataifa.<ref name=":1" /> Mwaka 1998 alitoa ''Appelle-moi Princesse'', iliyomletea tuzo kadhaa ikiwemo Albamu Bora ya Mwanamke.<ref name=":2" /> Mwaka 2001 alitoa ''Donne-moi un peu d'amour'', yenye nyimbo nane. Baadaye alianzisha lebo ya GNS Productions na kuzalisha kazi za wasanii wengine kama Joly Din na Isaac Decca.<ref>{{Cite web|url=[http://www.cameroon-info.net/article/grace-decca-a-coeur-ouvert-au-lendemain-du-decca-show-87981.html|title=Grâce](http://www.cameroon-info.net/article/grace-decca-a-coeur-ouvert-au-lendemain-du-decca-show-87981.html|title=Grâce) Decca à cœur ouvert|website=cameroon-info.net|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> == ''Mouna'' na kurejea == Baada ya miaka 13, alirejea na albamu ya injili ''Mouna''.<ref>{{Cite news|url=[http://hervevillard.over-blog.com/2015/08/grace-decca-rend-grace-a-dieu.html|title=Grace](http://hervevillard.over-blog.com/2015/08/grace-decca-rend-grace-a-dieu.html|title=Grace) Decca rend grâce à Dieu|work=Le blog de Hervé Villard|access-date=8 Novemba 2018}}</ref> Albamu hii ilitayarishwa Marekani na George Duke na ina nyimbo 13 katika lugha ya Kiingereza, Kifaransa na Kiduala.<ref name=":4" /> Alifanya kazi na wanamuziki maarufu kama Sheila E., Jeffrey Osborne, Jonathan Butler, Chino XL, Paul Jackson Jr., Kirk Whalum, Teddy Campbell, Howard Hewett na wengine.<ref name=":3" /> == Diskografia == === Albamu === * 1989: ''Besoin d'amour'' * 1992: ''Le Duo D.K'' * 1993: ''Doï La Mulema'' * 1998: ''Appelle-moi Princesse'' * 2001: ''Donne-moi un peu d'amour'' * 2014: ''Mouna'' === Ushirikiano === * 1983: ''Na sengui bobe'' na Ben Decca * 1987: ''À nos actes manqués'' – Jean-Jacques Goldman * 2002: ''Associé'' na Elvis Kemayo * 2003: ''Bébé d'amour'' na ''Muna'' – Isaac Decca * 2005: ''Mokili mobimba'' na Nyboma == Tuzo na heshima == * 1993: Albamu Bora ya Mwanamke * 1993: Msanii Bora wa Kike * 1993: Uteuzi katika Tuzo za Afrika mjini Abidjan, Ivory Coast * 1998: Albamu Bora ya Mwanamke * 1998: Msanii Bora wa Kike kwa mauzo * 1999: Albamu Bora ya Mwanamke * 2001: Tuzo ya Bernard Folon * 2002: Msanii Bora wa Kike kwa mauzo * 2002: Makossa Bora na Albamu Bora ya Mwanamke * 2003: Tuzo ya Ubora wa Kisanii == Maisha binafsi == Ameolewa na Jean Paul Nana Sandjo, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Camair-Co, na wana watoto kadhaa.<ref>{{Cite news|url=[http://lecamerounaisinfo.com/Nana-Sandjon-epoux-de-l-artiste|title=Nana](http://lecamerounaisinfo.com/Nana-Sandjon-epoux-de-l-artiste|title=Nana) Sandjon, époux de l'artiste Grace Decca|access-date=8 Novemba 2018|language=fr}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1966|}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] qxsmihwd5mttsjcjidi15w1hkvht0nh Jack Simons (kitaaluma) 0 229753 1508106 2026-04-21T10:14:54Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Jack Simons (kitaaluma)]] hadi [[Jack Simons (mtaaluma)]]: usahihi wa jina 1508106 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Jack Simons (mtaaluma)]] 6yk7fqwrsk45a2mzviv5ur8f54cbzrt Gasha (mwimbaji) 0 229754 1508107 2026-04-21T10:15:39Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Gah-Ndo Ashuembom Amabo''' (amezaliwa tarehe 18 Machi 1991), anayejulikana kitaalamu kama '''Gasha''', ni mwimbaji wa muziki wa Afro-pop, Afrobeats na Soul kutoka [[Cameroon]]. Alipata umaarufu mnamo Oktoba 2013 kupitia wimbo wake wa kwanza ''Kaki Mbere''.<ref>{{cite web|title=Gasha dedicates 'Champion' to women (Video)|url=[https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|la...' 1508107 wikitext text/x-wiki '''Gah-Ndo Ashuembom Amabo''' (amezaliwa tarehe 18 Machi 1991), anayejulikana kitaalamu kama '''Gasha''', ni mwimbaji wa muziki wa Afro-pop, Afrobeats na Soul kutoka [[Cameroon]]. Alipata umaarufu mnamo Oktoba 2013 kupitia wimbo wake wa kwanza ''Kaki Mbere''.<ref>{{cite web|title=Gasha dedicates 'Champion' to women (Video)|url=[https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}}](https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}})</ref> == Wasifu == Gasha alizaliwa [[Bamenda]], nchini Cameroon mwaka 1991 na kukulia huko pamoja na wazazi wake ambao asili yao ni Bafut katika Mkoa wa Kaskazini-Magharibi. Alianza kuimba akiwa na umri wa miaka 11 wakati wa masomo ya sekondari, akivutiwa na wasanii kama [[Tracy Chapman]], Sam Cooke, Jason Mraz, [[Richard Bona]], Coldplay, [[Eboa Lotin]], [[Lauryn Hill]] na Donny Elwood. Mwaka 2013 alitoa wimbo wake wa kwanza "Kaki Mbere", wimbo wa Afrobeat uliotayarishwa na mtayarishaji wa muziki wa Cameroon DiJay Pazzo. Wimbo huo ulipata mafanikio makubwa na kumfanya ajulikane nchini na barani Afrika.<ref>{{cite web|title=Gasha dedicates 'Champion' to women (Video)|url=[https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}}](https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}})</ref> Mwaka 2014 alitunukiwa tuzo ya msanii bora wa kike wa Afrika ya Kati katika tuzo za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA) zilizofanyika [[Dallas]], Texas.<ref>{{cite web|title=AFRIMMA Nominees 2014 – AFRIMMA|url=[http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|website=afrimma.com|access-date=2017-12-27|archive-date=2014-05-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20140523180116/http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|url-status=dead}}](http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|website=afrimma.com|access-date=2017-12-27|archive-date=2014-05-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20140523180116/http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|url-status=dead}})</ref> Mwaka 2015 alishirikiana na msanii wa Uganda [[Eddy Kenzo]] katika wimbo ''Chill''.<ref>{{cite web |date=February 25, 2015 |title=Gasha – Chill ft Eddy Kenzo, vidéo officielle sur KamerMoov |url=[http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html](http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html) |archive-url=[https://web.archive.org/web/20150510055648/http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html](https://web.archive.org/web/20150510055648/http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html) |archive-date=2015-05-10 |accessdate=December 27, 2017 |website=KamerMoov |language=fr-FR}}</ref> Baadaye alishirikiana na mashindano ya Miss Africa USA katika kampeni ya "Women Will Change Africa" pamoja na wimbo wake. Gasha huimba kwa lugha ya Kiingereza na Pidgin. == Diskografia == === Nyimbo === * 2013: ''Kaki Mbere'' * 2013: ''This Life'' * 2014: ''Faya di Burn'' feat. [[Magasco]] * 2014: ''I Notice'' * 2014: ''There He Goes'' * 2014: ''The Date'' * 2015: ''Black I Am'' feat. [[Stanley Enow]] * 2015: ''Women Will Change Africa'' (EP) * 2016: ''Ma Kong Wa'' * 2016: ''This Life Remix'' feat. LAW G * 2017: ''Back To Reality'' * 2017: ''Murder'' * 2017: ''We Still Dey'' feat. Nabil * 2018: ''Le Meilleur'' == Tuzo na utambuzi == * 2015: Msanii bora wa kike wa Afrika ya Kati katika AFRIMMA == Marejeo == {{Reflist}} {{Authority control}} {{DEFAULTSORT:Gasha}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] ku57huylwf5e7p84ptpq42553r60m4x 1508109 1508107 2026-04-21T10:16:40Z Valuegirl 87699 1508109 wikitext text/x-wiki '''Gah-Ndo Ashuembom Amabo''' (amezaliwa tarehe 18 Machi 1991), anayejulikana kitaalamu kama '''Gasha''', ni mwimbaji wa muziki wa Afro-pop, Afrobeats na Soul kutoka [[Kamerun]]. Alipata umaarufu mnamo Oktoba 2013 kupitia wimbo wake wa kwanza ''Kaki Mbere''.<ref>{{cite web|title=Gasha dedicates 'Champion' to women (Video)|url=[https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}}](https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}})</ref> == Wasifu == Gasha alizaliwa [[Bamenda]], nchini Cameroon mwaka 1991 na kukulia huko pamoja na wazazi wake ambao asili yao ni Bafut katika Mkoa wa Kaskazini-Magharibi. Alianza kuimba akiwa na umri wa miaka 11 wakati wa masomo ya sekondari, akivutiwa na wasanii kama [[Tracy Chapman]], Sam Cooke, Jason Mraz, [[Richard Bona]], Coldplay, [[Eboa Lotin]], [[Lauryn Hill]] na Donny Elwood. Mwaka 2013 alitoa wimbo wake wa kwanza "Kaki Mbere", wimbo wa Afrobeat uliotayarishwa na mtayarishaji wa muziki wa Cameroon DiJay Pazzo. Wimbo huo ulipata mafanikio makubwa na kumfanya ajulikane nchini na barani Afrika.<ref>{{cite web|title=Gasha dedicates 'Champion' to women (Video)|url=[https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}}](https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|website=camerounweb.fr|language=fr|access-date=2017-12-27|archive-date=2017-12-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20171227235452/https://www.camerounweb.fr/CameroonHomePage/entertainment/Gasha-dedicates-Champion-to-women-Video-343162|url-status=dead}})</ref> Mwaka 2014 alitunukiwa tuzo ya msanii bora wa kike wa Afrika ya Kati katika tuzo za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA) zilizofanyika [[Dallas]], Texas.<ref>{{cite web|title=AFRIMMA Nominees 2014 – AFRIMMA|url=[http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|website=afrimma.com|access-date=2017-12-27|archive-date=2014-05-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20140523180116/http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|url-status=dead}}](http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|website=afrimma.com|access-date=2017-12-27|archive-date=2014-05-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20140523180116/http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/|url-status=dead}})</ref> Mwaka 2015 alishirikiana na msanii wa Uganda [[Eddy Kenzo]] katika wimbo ''Chill''.<ref>{{cite web |date=February 25, 2015 |title=Gasha – Chill ft Eddy Kenzo, vidéo officielle sur KamerMoov |url=[http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html](http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html) |archive-url=[https://web.archive.org/web/20150510055648/http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html](https://web.archive.org/web/20150510055648/http://www.kamermoov.cm/5654-gasha-chill-ft-eddy-kenzo-video-officielle.html) |archive-date=2015-05-10 |accessdate=December 27, 2017 |website=KamerMoov |language=fr-FR}}</ref> Baadaye alishirikiana na mashindano ya Miss Africa USA katika kampeni ya "Women Will Change Africa" pamoja na wimbo wake. Gasha huimba kwa lugha ya Kiingereza na Pidgin. == Diskografia == === Nyimbo === * 2013: ''Kaki Mbere'' * 2013: ''This Life'' * 2014: ''Faya di Burn'' feat. [[Magasco]] * 2014: ''I Notice'' * 2014: ''There He Goes'' * 2014: ''The Date'' * 2015: ''Black I Am'' feat. [[Stanley Enow]] * 2015: ''Women Will Change Africa'' (EP) * 2016: ''Ma Kong Wa'' * 2016: ''This Life Remix'' feat. LAW G * 2017: ''Back To Reality'' * 2017: ''Murder'' * 2017: ''We Still Dey'' feat. Nabil * 2018: ''Le Meilleur'' == Tuzo na utambuzi == * 2015: Msanii bora wa kike wa Afrika ya Kati katika AFRIMMA == Marejeo == {{Reflist}} {{Authority control}} {{DEFAULTSORT:Gasha}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] ifvn5fl048cvrcrv89l7tlr2z67psj9 Hilco (musician) 0 229755 1508113 2026-04-21T10:18:34Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Hilco (musician)]] hadi [[Hilco (mwanamuziki)]]: jina la Kiswahili 1508113 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Hilco (mwanamuziki)]] ef0gvv18re4mj6gd1yyb7cndk6unjlb Irma (mwimbaji) 0 229756 1508116 2026-04-21T10:26:08Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Irma Pany''' (amezaliwa tarehe 15 Julai 1988), anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii '''Irma''' ({{IPA|fr|iʁma|lang}}), ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Kamerun]] anayeishi nchini [[France]]. == Maisha ya awali na elimu == Alizaliwa katika jiji la [[Douala]] katika familia yenye asili ya taaluma za sayansi. Baba yake ni mwanabiolojia na mama yake ni mfamasia. Akiwa mtoto, Irma alikuwa akiimba katika ibada za kanisani. Akiwa na umri wa miaka...' 1508116 wikitext text/x-wiki '''Irma Pany''' (amezaliwa tarehe 15 Julai 1988), anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii '''Irma''' ({{IPA|fr|iʁma|lang}}), ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Kamerun]] anayeishi nchini [[France]]. == Maisha ya awali na elimu == Alizaliwa katika jiji la [[Douala]] katika familia yenye asili ya taaluma za sayansi. Baba yake ni mwanabiolojia na mama yake ni mfamasia. Akiwa mtoto, Irma alikuwa akiimba katika ibada za kanisani. Akiwa na umri wa miaka 15, alihamia [[Paris]], Ufaransa, kwa ajili ya kuendelea na masomo ya sekondari. Mwaka 2008, alijiunga na ESCP Europe (chuo kikuu maarufu cha biashara nchini Ufaransa) na kuhitimu mwaka 2012 kwa shahada ya uzamili katika usimamizi (Master in Management).<ref>{{cite web |url=[http://www.escpeurope.eu/nc/campus/escp-europe-campus-paris/escp-europe-paris-campus-news-room/news-single/back/232/article/irma-the-voice-of-escp-europe/](http://www.escpeurope.eu/nc/campus/escp-europe-campus-paris/escp-europe-paris-campus-news-room/news-single/back/232/article/irma-the-voice-of-escp-europe/) |title=Irma, the Voice of ESCP Europe |access-date=14 March 2013 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20160427173341/http://www.escpeurope.eu/nc/campus/escp-europe-campus-paris/escp-europe-paris-campus-news-room/news-single/back/232/article/irma-the-voice-of-escp-europe/](https://web.archive.org/web/20160427173341/http://www.escpeurope.eu/nc/campus/escp-europe-campus-paris/escp-europe-paris-campus-news-room/news-single/back/232/article/irma-the-voice-of-escp-europe/) |archive-date=27 April 2016 |url-status=dead }}</ref> == Kazi == Kufikia mwaka 2007, alianza kupakia video zake za kwanza kwenye [[YouTube]]. Video hizo zilijumuisha nyimbo zake binafsi kama "Letter to the Lord" na kipande cha piano "Somehow", pamoja na matoleo ya nyimbo za wasanii wengine kama "I Want You Back" ya [[The Jackson 5]], "Bubbly" ya Colbie Caillat na "New Soul" ya Yael Naim. Aliendelea kutoa video za muziki wa akustiki kwa kushirikiana na wanamuziki wa Ufaransa na kimataifa, wakiwemo Tété ("Hey Ya!"), Matthieu Chédid ("Rolling in the Deep"), Gad Elmaleh ("Isn't She Lovely?"), Tom Dice ("Talkin' 'bout a Revolution") kutoka [[Belgium]] na Patrice Bart-Williams ("The Times They Are a-Changin' (song)|The Times They Are a-Changin'") kutoka [[Germany]]. Pia alishirikiana na will.i.am wa kundi la Black Eyed Peas katika kuimba upya wimbo "I Want You Back". Mwaka 2008, alikutana na Michael Goldman (mtoto wa mwanamuziki wa Ufaransa Jean-Jacques Goldman), ambaye alikuwa mwanzilishi mwenza wa lebo ya muziki My Major Company. Irma alisaini mkataba na lebo hiyo na mwaka 2011 alitoa albamu yake ya kwanza ''Letter to the Lord'', ambayo ilifanikiwa kufika kwenye nafasi za juu nchini Ufaransa na kupata hadhi ya platinamu mwaka mmoja baada ya kutolewa.<ref>{{cite web|title=Charts in France (SNEP) |url=[http://www.chartsinfrance.net/Irma/charts.html](http://www.chartsinfrance.net/Irma/charts.html) |publisher=[[SNEP]] |accessdate= 11 March 2012}}</ref> Mwaka 2011 alifanya ziara barani Ulaya, na mwishoni mwa mwaka huo alisaini mkataba na Universal Republic Records ili kutoa albamu yake nchini Marekani. Mwaka 2012 alionekana kwenye tangazo la [[Google Chrome]] linaloelezea safari yake ya mafanikio kupitia YouTube, na aliteuliwa kuwania tuzo ya msanii bora wa Kifaransa katika MTV Europe Music Awards za mwaka 2012. Mwaka 2014, alirekodi albamu yake ya pili ''Faces'' katika studio za Jungle City Studios huko New York.<ref>{{cite web |title=Irma – Faces |url=[https://www.discogs.com/release/5835575-Irma-Faces](https://www.discogs.com/release/5835575-Irma-Faces) |website=Discogs |access-date=7 February 2026}}</ref> Wimbo "Save Me" kutoka albamu hiyo ulishinda tuzo ya "Starz People’s Choice Award" katika tamasha la filamu la Denver Film Festival mwaka 2014.<ref name=dff>{{cite web |url=[http://outfrontonline.com/culture-3/film/37th-starz-denver-film-festival-award-winners/](http://outfrontonline.com/culture-3/film/37th-starz-denver-film-festival-award-winners/) |title=The 37th Starz Denver Film Festival Award Winners |website=Outfrontonline.com |date=3 December 2014 |access-date=21 March 2020 |archive-date=17 December 2014 |archive-url=[https://web.archive.org/web/20141217063530/http://outfrontonline.com/culture-3/film/37th-starz-denver-film-festival-award-winners/](https://web.archive.org/web/20141217063530/http://outfrontonline.com/culture-3/film/37th-starz-denver-film-festival-award-winners/) |url-status=dead }}</ref> Mwaka 2025, Irma alikamilisha ziara iliyouzwa tiketi zote nchini [[Brazil]], akifanya maonyesho 25 katika majimbo saba kufuatia kuongezeka kwa umaarufu wake mitandaoni.<ref>{{cite web |url=[https://oglobo.globo.com/ela/gente/noticia/2025/10/20/sucesso-nas-redes-a-cantora-camaronesa-irma-faz-turne-pelo-brasil.ghtml](https://oglobo.globo.com/ela/gente/noticia/2025/10/20/sucesso-nas-redes-a-cantora-camaronesa-irma-faz-turne-pelo-brasil.ghtml) |title=Sucesso nas redes, a cantora camaronesa Irma faz turnê pelo Brasil |website=O Globo |date=20 October 2025 |access-date=19 January 2026}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * ''Letter to the Lord'' (2011) * ''Faces (Irma album)|Faces'' (2014) * ''TThe Dawn'' (2020) == Marejeo == {{Reflist}} {{Authority control}} {{DEFAULTSORT:Irma}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] {{Mbegu-mtu}} {{BD|1988|}} 25ncr46zi4pvevxdoi072jjrpux5cq7 Daphne (singer) 0 229757 1508123 2026-04-21T10:30:25Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Daphne (singer)]] hadi [[Daphne (mwimbaji)]]: jina la Kiswahili 1508123 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Daphne (mwimbaji)]] 9ul0zisok87fglljm2f7sevm1z01q65 K-Tino 0 229758 1508124 2026-04-21T10:30:37Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''K-Tino''' (alizaliwa 12 Oktoba 1966 kama '''Cathérine Edoa Ngoa''') ni mwimbaji wa [[Kamerun]] aliyepata umaarufu mkubwa nchini humo kupitia muziki wa bikutsi. Ni binti wa kibiolojia wa Kamgaing Paul, mfanyabiashara wa zamani wa Kameruni aliyefariki mwezi Julai 2022. Muziki wa bikutsi hujulikana kwa mdundo wa kasi wa kipimo cha 6/8, unaochezwa kwa mtindo wa mtikisiko wa mabega na/au nyonga. K-Tino (aliyejulikana awali kama Catino katika albamu zake za...' 1508124 wikitext text/x-wiki '''K-Tino''' (alizaliwa 12 Oktoba 1966 kama '''Cathérine Edoa Ngoa''') ni mwimbaji wa [[Kamerun]] aliyepata umaarufu mkubwa nchini humo kupitia muziki wa bikutsi. Ni binti wa kibiolojia wa Kamgaing Paul, mfanyabiashara wa zamani wa Kameruni aliyefariki mwezi Julai 2022. Muziki wa bikutsi hujulikana kwa mdundo wa kasi wa kipimo cha 6/8, unaochezwa kwa mtindo wa mtikisiko wa mabega na/au nyonga. K-Tino (aliyejulikana awali kama Catino katika albamu zake za mwanzo) amekuwa mmoja wa wasanii wakuu wa mtindo huu kwa zaidi ya muongo mmoja. Nyimbo zake zimekuwa zikijadiliwa sana kutokana na maudhui yake ya wazi ya kingono, ingawa yeye mwenyewe amekana kuwa na lugha chafu, akisema: “Mimi si mchafu, na sionyeshi maonyesho machafu. Kama mimi ni mchafu, basi hata lugha ya Kiewondo ni chafu.” Upekee wa nyimbo zake unatokana na matumizi ya maneno ya kifasihi katika lugha ya Kiewondo, ambayo huficha maana za moja kwa moja za kingono kwa kutumia mbinu za kifani. Kutokana na mchango wake katika muziki, K-Tino alipewa majina kama “femme du peuple” (mwanamke wa watu), “mama bonheur” (mama wa furaha), na “mama la joie” (mama wa shangwe) na vyombo vya habari. Alianza kuimba katika vilabu vya burudani kama Chacal na Escalier Bar, kabla ya kujiunga na kundi la muziki la Les Zombies de la Capitale. Mnamo mwaka 2014, K-Tino alitangaza kuacha muziki wenye maudhui ya utata na kuamua kujitolea kwa maisha ya kiroho. Alianza mipango ya kuanzisha kanisa liitwalo Celestial City katika mji mkuu wa Gabon, Libreville. Binti yake, K-Wash, pia ni msanii wa muziki wa bikutsi. == Mapokezi == Baadhi ya wanahabari waliukosoa muziki wake kutokana na maudhui ya kingono. Mwandishi mmoja wa gazeti la *Mutations* alieleza kuwa muziki huo umechangia kuenea kwa mienendo inayokiuka maadili, huku akilalamikia kuongezeka kwa maudhui ya ngono katika vyombo vya habari na jamii kwa ujumla. dkt3b0bk62g5n7e8fjp8twc9hu5ccv7 Libianca 0 229759 1508129 2026-04-21T10:35:41Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Libianca Kenzonkinboum Fonji''' (alizaliwa 23 Julai 2000), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Libianca''', ni mwimbaji wa [[Kamerun]]. Anajulikana zaidi kwa wimbo wake uliompa umaarufu mkubwa, *“People”* (2022). Pia aliwahi kushiriki katika msimu wa 21 wa kipindi cha televisheni cha Marekani The Voice mwaka 2021. ## Maisha ya awali Libianca alizaliwa mjini Minneapolis, katika jimbo la Minnesota. Akiwa na umri wa miaka minne, familia yake ilikumb...' 1508129 wikitext text/x-wiki '''Libianca Kenzonkinboum Fonji''' (alizaliwa 23 Julai 2000), anayejulikana kwa jina la kisanii '''Libianca''', ni mwimbaji wa [[Kamerun]]. Anajulikana zaidi kwa wimbo wake uliompa umaarufu mkubwa, *“People”* (2022). Pia aliwahi kushiriki katika msimu wa 21 wa kipindi cha televisheni cha Marekani The Voice mwaka 2021. ## Maisha ya awali Libianca alizaliwa mjini Minneapolis, katika jimbo la Minnesota. Akiwa na umri wa miaka minne, familia yake ilikumbana na changamoto za uhamiaji, jambo lililopelekea mama yake kuhamisha familia kurudi Bamenda ili kuepuka kufukuzwa nchini. Akiwa Bamenda, Libianca alikulia katika mazingira ya muziki wa injili, akiimba katika kwaya za kanisa. Pia alisoma katika shule ya bweni, ambako alijifunza kucheza gitaa. ## Kazi ya muziki Mwaka 2021, alishiriki katika msimu wa 21 wa The Voice chini ya mkufunzi Blake Shelton. Alifika hatua ya washiriki 20 bora kabla ya kuondolewa. Mwaka 2022, alisaini mkataba na kampuni ya muziki Sony Music Entertainment. Mwezi Desemba wa mwaka huo, alitoa wimbo *“People”*, ambao ulihamasishwa na hali yake ya kiafya ya mabadiliko ya hisia (cyclothymia). Wimbo huo ulipata mafanikio makubwa kimataifa, ukishika nafasi za juu kwenye chati mbalimbali za muziki, ikiwa ni pamoja na chati ya Afrobeats ya Billboard. Mwaka 2023, alifanya maonyesho kama msanii wa ufunguzi katika ziara ya muziki ya Alicia Keys iliyoitwa *Keys to the Summer Tour*. Mnamo mwaka 2024, aliahirisha ziara yake ya Amerika Kaskazini baada ya kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kuonyesha bendera ya Kameruni jukwaani, jambo lililohusishwa na mgogoro wa Anglophone Crisis. ## Mtindo wa muziki Libianca hupata msukumo kutoka mitindo mbalimbali kama muziki wa Kameruni, muziki wa Nigeria, na *highlife*. Anaelezea muziki wake kama mchanganyiko wa *R&B*, *Afrobeats* na *soul*. Uandishi wake wa nyimbo umesifiwa kwa uhalisia na hisia za kina. ## Diskografia ### EP * *Walk Away* (2023) ### Nyimbo mashuhuri * *Level* (2019) * *My Place* (2020) * *Revenge* (2020) * *Thank You* (2021) * *Special Lovin’* (2021) * *People* (2022) * *Jah* (2023) ## Tuzo na uteuzi Libianca amepata uteuzi katika tuzo mbalimbali za kimataifa, ikiwemo: * Africa Entertainment Awards USA * The Future Awards Africa * MTV Video Music Awards (kipengele cha Best Afrobeats) 0kjq5qfn2psskn0jv9wxngp0bcfqtor Lor (mwanamuziki) 0 229760 1508130 2026-04-21T10:39:12Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Laetitia Laure Nsoutou''', anayejulikana kwa jina la kisanii '''Lor''', ni rapa, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji, mtangazaji na mpiga ala nyingi kutoka [[Kamerun]]. Anajulikana kwa mtindo wake unaochanganya hip hop, afro-pop na ubunifu wa kisasa wa sauti. EP yake ''Dawn'' imeelezwa na Samuel Lacmene, mwanzilishi wa Stillac, kuwa ni kazi “inayoleta hisia mpya na ujumbe mzito kupitia sauti yake ya kipekee”. == Kazi ya muziki == === 2011 – 20...' 1508130 wikitext text/x-wiki '''Laetitia Laure Nsoutou''', anayejulikana kwa jina la kisanii '''Lor''', ni rapa, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji, mtangazaji na mpiga ala nyingi kutoka [[Kamerun]]. Anajulikana kwa mtindo wake unaochanganya hip hop, afro-pop na ubunifu wa kisasa wa sauti. EP yake ''Dawn'' imeelezwa na Samuel Lacmene, mwanzilishi wa Stillac, kuwa ni kazi “inayoleta hisia mpya na ujumbe mzito kupitia sauti yake ya kipekee”. == Kazi ya muziki == === 2011 – 2016 === Lor alianza taaluma yake mwaka 2011 alipoungana na kundi la sanaa la “Troupe Rue 1113”, ambako alifanya kazi kama mwigizaji, dansa, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo katika filamu ya muziki ''Rendez-vous avec les morts'', mojawapo ya filamu za kwanza za aina hiyo nchini Cameroon. Katika kipindi hiki, alitumia jina la kisanii “Laelaure” na kushirikiana na wasanii mbalimbali. Pia alifanya kazi na msanii wa Ghana Worlasi kwenye wimbo “No Matter”, na kuhusika katika utayarishaji na uelekezaji wa video ya “Cartoon”. === 2016 – New Bell Music === Mwaka 2016, Lor alijiunga na lebo ya New Bell Music na kuongozwa na rapa na mtayarishaji Jovi. Alishiriki katika miradi kadhaa ya lebo hiyo, ikiwa ni pamoja na wimbo “Manka’a Remix” na albamu ''Work Dey 3''. Hata hivyo, hakutoa kazi binafsi chini ya lebo hiyo, jambo lililosababisha mjadala kuhusu nafasi yake ndani ya kundi. === 2018 – Kujitegemea === Baada ya kuondoka New Bell Music, Lor alianza kazi kama msanii huru. Mwaka 2018 aliachia freestyle iliyopokelewa vizuri, ikifuatiwa na single yake rasmi “Tourne pas le dos”. Mwaka 2019 alishirikiana na msanii WAZIH kwenye wimbo “Fighter”, na baadaye kutoa wimbo “On connaît”, uliopata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki. === ''Dawn'' (EP) === Mnamo 2020, Lor aliachia video ya “Stop/Rewind”, iliyotayarishwa na Method J. Wimbo huu ulikuwa sehemu ya utangulizi wa EP yake ya kwanza ''Dawn'', iliyotoka Julai 2020. Mradi huu una nyimbo saba na unahusisha wasanii kama WAZIH na Yung Meagan. Uzalishaji wake ulifanywa na Method J Beats, Elisha Kay na Tony Ef. == Diskografia == === EP === * ''Dawn'' (2020) === Singles === * “Holdin On” (2015) * “Tourne pas le dos” (2018) * “On connaît” (2019) * “Stop/Rewind” (2020) == Tazama pia == * Muziki wa Cameroon * Hip hop ya Afrika 9zveocng41c6tjqihwhe9wsgukbggth Lucy Muyoyeta 0 229761 1508131 2026-04-21T10:41:42Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lucy Mutumba Muyoyeta''' ni mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka Zambia, mshauri wa maendeleo ya kijamii na mwandishi. Amefanya kazi katika mashirika ya [[Zambia]] kama Women for Change, Opportunity Zambia na Kamati ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, pamoja na mashirika ya kimataifa kama Open Society Initiative for Southern Africa, Oxfam, Action Aid International na Comic Relief. == Historia == Muyoyeta ni mwanaharakati wa haki za wanawa...' 1508131 wikitext text/x-wiki '''Lucy Mutumba Muyoyeta''' ni mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka Zambia, mshauri wa maendeleo ya kijamii na mwandishi. Amefanya kazi katika mashirika ya [[Zambia]] kama Women for Change, Opportunity Zambia na Kamati ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, pamoja na mashirika ya kimataifa kama Open Society Initiative for Southern Africa, Oxfam, Action Aid International na Comic Relief. == Historia == Muyoyeta ni mwanaharakati wa haki za wanawake na mshauri wa maendeleo ya kijamii kutoka Zambia. Ana ujuzi wa lugha nyingi na huzungumza Lozi, Tonga, Tumbuka na Kiingereza.[1] Ana shahada ya kwanza katika sayansi ya siasa na serikali kutoka Chuo Kikuu cha Zambia, pamoja na shahada ya uzamili katika sosholojia ya vijijini kutoka Chuo Kikuu cha Reading nchini Uingereza.[2] == Elimu na mafunzo ya kitaaluma == Lucy Muyoyeta alipata Shahada ya Sanaa (BA) katika Sayansi ya Siasa na Serikali kutoka Chuo Kikuu cha Zambia.[3] Baadaye alipata Shahada ya Uzamili (MSc) katika Maendeleo ya Jamii Vijijini kutoka Chuo Kikuu cha Reading nchini Uingereza, akiwa amejikita katika masuala ya maendeleo na kijamii.[4] == Kazi == Kuanzia mwaka 1994 hadi 1998, Muyoyeta alifanya kazi kama mwakilishi wa Oxfam nchini Zambia.[5] Akiwa katika nafasi hiyo, alihudhuria mkutano wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na kuwasilisha zaidi ya barua 1,500 kwa Kenneth Clarke MP, aliyekuwa waziri wa fedha wa Uingereza, akitaka msamaha wa madeni kwa mataifa ya Afrika.[6] Baadaye alihudumu kama mkurugenzi mtendaji wa Open Society Initiative for Southern Africa kuanzia 1999 hadi 2004.[2] Pia aliwahi kuwa mwenyekiti wa Women for Change nchini Zambia[7] na mjumbe wa bodi ya Kamati ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali.[8] Aliwahi pia kuwa msemaji wa Oasis Forum na kufanya kazi na Women’s Development Network.[9][10] Baada ya uvamizi wa Iraq mwaka 2003, Muyoyeta alikosoa Marekani na Uingereza kwa kuchukua hatua za kijeshi bila idhini ya Umoja wa Mataifa.[11] Pia alikosoa kauli za Rais wa Zambia Levy Mwanawasa kuhusu wanawake na usawa wa kijinsia.[12] Mwaka 2006, alizungumzia changamoto za upungufu wa wanawake katika nafasi za uongozi nchini Zambia na kushindwa kwa malengo ya maendeleo ya kijinsia.[13] Alisisitiza umuhimu wa kuboresha sekta za kijamii ili kupunguza umaskini na alihimiza wanahabari kutetea haki za wanawake.[14][15] Kuanzia 2006 hadi 2010 alikuwa mkurugenzi wa nchi wa Action Aid International.[2] Kuanzia 2012 hadi 2016 alikuwa mkurugenzi wa mradi katika Norwegian Disability Consortium/Opportunity Zambia.[2] Tangu 2022 amekuwa kiongozi wa mradi katika Comic Relief.[2] == Machapisho na mchango wa kiakili == Muyoyeta amechapisha kijitabu '''Women, Gender and Development''' (2004), ambacho kinachambua maendeleo ya wanawake na changamoto za mfumo wa sheria wa kimila nchini Zambia.[16][17] Kazi yake inajadili takwimu zinazoonyesha wanawake kuwa asilimia 51 ya idadi ya watu lakini wakikumbwa na umaskini mkubwa, ajira ndogo rasmi, mzigo mkubwa wa kazi zisizo na malipo, pamoja na changamoto za afya na ukatili wa kijinsia.[18][19] Katika mchango wake wa mwaka 1999 katika kitabu Gender Works, alikosoa sera za marekebisho ya kiuchumi zilizoongeza mzigo wa kazi kwa wanawake na akapendekeza sera za usawa wa kijinsia katika mipango ya maendeleo.[20] == Misingi ya kazi yake == Maandishi yake yanazingatia ukosefu wa usawa wa kijamii unaowakumba wanawake katika upatikanaji wa rasilimali, maamuzi na ushiriki wa kiuchumi. Pia anakosoa sheria za kimila na za kiserikali zinazodumisha ukosefu wa usawa wa kijinsia.[21][22] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1975|}} b6nh80o58lkt4umbqeeg6pzak8f6y7f Danielle Eog Makedah 0 229762 1508134 2026-04-21T10:43:38Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Danielle Eog Makedah''' (amezaliwa tarehe 21 Julai 1982 mjini Paris) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Kamerun]], anayejulikana kwa muziki wa soul, R&B na jazz. Alianza taaluma yake katika jukwaa la hip hop nchini Cameroon mwanzoni mwa miaka ya 2000, kabla ya kuja kujitambulisha kama msanii wa solo mwaka 2013. Alikuwa miongoni mwa washindi wa mwisho wa tuzo ya Prix Découvertes RFI mwaka 2013. Pia ni mwanachama wa kundi la Hip Hop Developed, amb...' 1508134 wikitext text/x-wiki '''Danielle Eog Makedah''' (amezaliwa tarehe 21 Julai 1982 mjini Paris) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka [[Kamerun]], anayejulikana kwa muziki wa soul, R&B na jazz. Alianza taaluma yake katika jukwaa la hip hop nchini Cameroon mwanzoni mwa miaka ya 2000, kabla ya kuja kujitambulisha kama msanii wa solo mwaka 2013. Alikuwa miongoni mwa washindi wa mwisho wa tuzo ya Prix Découvertes RFI mwaka 2013. Pia ni mwanachama wa kundi la Hip Hop Developed, ambapo ameshirikiana na wasanii kama Lady B, Teety Tezano, Adango Salicia na Sadrak. --- ## Maisha ya awali na elimu Makedah alizaliwa katika eneo la 14 la Paris na kukulia huko akiwa na wazazi wenye asili ya Cameroon. Mwaka 1997 alihamia Cameroon na kuanza safari yake ya muziki mjini Yaoundé. Aliingia katika muziki kupitia usaidizi wa rapa Krotal, ambaye alimsaidia kurekodi nyimbo zake za kwanza mwishoni mwa miaka ya 1990. --- ## Kazi ya muziki Kwa zaidi ya muongo mmoja, Makedah alifanya kazi kama mwimbaji wa usaidizi (chorus) na kushirikiana na wasanii maarufu kama Manu Dibango, kundi la The Nubians na Fredy Massamba. Mwaka 2007 alishiriki katika mradi wa muziki wa MTN Group uitwao *Rap Conteur*, ambapo wimbo “Je wanda” ulipata mafanikio makubwa na kushinda tuzo kadhaa za muziki nchini Cameroon. Baada ya kuchelewa kwa albamu yake ya kwanza *Tobassi* (ambayo haikutolewa), alifanikiwa hatimaye kuachia albamu yake ya kwanza rasmi *''Peace, Love and Light''* mwaka 2013. Albamu hiyo ina nyimbo 13 zinazochanganya mitindo mbalimbali kama jazz, hip hop, slam, makossa na mangambeu. Mwaka 2014 alishiriki katika shindano la Island Africa Talent na kushika nafasi ya pili. Mwaka uliofuata, aliteuliwa katika tuzo za Canal 2’Or kama msanii bora wa World Music. Mnamo 2015 pia aliachia wimbo “Hold on Sister” kwa kushirikiana na Teety Tezano. Amefanya ziara za kimataifa, ikiwemo kushiriki katika tamasha la MASA pamoja na kundi la Hip Hop Developed. Mwaka 2018 aliachia wimbo “Ma Flamme”. --- ## Maisha binafsi Danielle Eog Makedah ni mama wa watoto wawili. --- ## Diskografia ### Albamu * 2013: ''Peace, Love and Light'' ### Single * 2012: *The Day* * 2018: *My Flame* --- ## Tuzo na mafanikio (chache) * 2001: Female Revelation – Cameroon Youth Awards * 2002–2003: Best Female Voice – Cameroon Hip Hop Awards * 2007: Wimbo wa mwaka (“Je Wanda”) – Canal 2’Or * 2013: Fainali – Prix Découvertes RFI * 2014: Nafasi ya pili – Island Africa Talent p3xh1lca6n9kdn576jnejd1jcdyk4x3 Atinuke (author) 0 229763 1508138 2026-04-21T10:45:54Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Atinuke (author)]] hadi [[Atinuke (mwandishi)]]: jina la Kiswahili 1508138 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Atinuke (mwandishi)]] eqd8nra2l2ln1czwfz8z9375lm5axen Given Katuta Mwelwa 0 229764 1508140 2026-04-21T10:47:48Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Given Katuta Mwelwa''' (alizaliwa 6 Machi 1969 huko Chiengi) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] na Mbunge wa Jimbo la Chiengi. Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka 2016.[1][2][3] == Historia ya maisha na elimu == Katuta alizaliwa Chiengi (ambapo wakati huo ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Nchelenge) tarehe 6 Machi 1969.[4] Mnamo mwaka 2022 alitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honorary Doctorate) katika Utawala wa Umma kutoka London Graduate Scho...' 1508140 wikitext text/x-wiki '''Given Katuta Mwelwa''' (alizaliwa 6 Machi 1969 huko Chiengi) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] na Mbunge wa Jimbo la Chiengi. Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka 2016.[1][2][3] == Historia ya maisha na elimu == Katuta alizaliwa Chiengi (ambapo wakati huo ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Nchelenge) tarehe 6 Machi 1969.[4] Mnamo mwaka 2022 alitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honorary Doctorate) katika Utawala wa Umma kutoka London Graduate School ya Commonwealth University. Pia alipata Shahada ya Uendeshaji Biashara (Bachelor of Business Administration) kutoka Chuo Kikuu cha Chalimbana nchini Zambia mwaka 2024.[1] == Siasa na kazi == Katuta alichaguliwa kuwa Mbunge mwaka 2016 akiwa mwakilishi pekee wa chama cha Forum for Democracy and Development (FDD) katika uchaguzi mkuu, baada ya kumshinda mgombea wa Patriotic Front katika jimbo la Chiengi.[5] Katika uchaguzi mkuu wa 2021, alichaguliwa tena kama Mbunge wa Chiengi akiwa mgombea huru na akiwa mwanamke pekee wa Bunge kutoka kundi la wagombea huru katika mazingira ya siasa zinazotawaliwa na wanaume.[6] Katika kazi yake ya kibunge, amehudumu katika kamati mbalimbali za ngazi ya juu kama Kamati ya Masuala ya Baraza la Mawaziri, Kamati ya Usafiri na Mawasiliano, na pia alihudumu katika Kamati ya Watoto na Jukwaa la Wanawake Wabunge la Zambia. Pia amehusishwa na Zambia-China Friendship Association na Commonwealth Parliamentarians with Disabilities. Ameongoza Kamati Maalum ya kuchunguza Katiba ya 2016 na pia Kamati ya kuchunguza uteuzi wa majaji bungeni. Mwaka 2023 alishinda tuzo ya African Women Summit.[7] Mwezi Oktoba 2025, Katuta alitangaza nia yake ya kugombea urais kama mgombea huru katika uchaguzi mkuu wa 2026.[8][9][10] == Maisha ya kibinafsi == Katuta ameolewa na Lawrence Mwelwa, aliyewahi kuwa makamu mkuu wa chuo katika Chreso University.[11] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1969|}} 027nk6q4lxombfjumrs8vjslkqk9dwj 1508143 1508140 2026-04-21T10:54:55Z Egipa 87700 1508143 wikitext text/x-wiki '''Given Katuta Mwelwa''' (alizaliwa tarehe 6 Machi mwaka wa 1969 huko Chiengi) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] na Mbunge wa Jimbo la Chiengi. Na alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka wa 2016.[1][2][3] == Historia ya maisha na elimu == Katuta alizaliwa Chiengi (ambapo wakati huo ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Nchelenge) tarehe 6 Machi mwaka wa 1969.[4] Mnamo mwaka wa 2022 alitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honorary Doctorate) katika Utawala wa Umma kutoka jijini London Graduate School ya Commonwealth University. Pia alipata Shahada yake Uendeshaji Biashara (Bachelor of Business Administration) kutoka katika Chuo Kikuu cha Chalimbana nchini Zambia mwaka wa 2024.[1] == Siasa na kazi == Katuta alichaguliwa kuwa Mbunge mwaka wa 2016 akiwa mwakilishi pekee wa chama cha Forum for Democracy and Development (FDD) katika uchaguzi mkuu, baada ya kumshinda mgombea wa Patriotic Front katika jimbo la Chiengi.[5] Katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2021, alichaguliwa tena kama Mbunge wa Chiengi akiwa mgombea huru na akiwa mwanamke pekee wa Bunge kutoka kundi la wagombea huru katika mazingira ya siasa zinazotawaliwa na wanaume peke yao.[6] Katika kazi yake ya kibunge, amefanya kazi katika kamati mbalimbali za ngazi ya juu kama vile Kamati ya Masuala ya Baraza la Mawaziri, na Kamati ya Usafiri na Mawasiliano, na pia alifanya kazi katika Kamati ya Watoto na Jukwaa la Wanawake Wabunge la Zambia. Pia amehusishwa na Zambia and China Friendship Association na Commonwealth Parliamentarians with Disabilities. Ameongoza Kamati Maalum ya kuchunguza Katiba ya mwaka wa 2016 na pia Kamati ya kuchunguza uteuzi wa majaji bungeni. Mwaka wa 2023 alishinda tuzo ya African Women Summit.[7] Mwezi Oktoba mwaka wa 2025, Katuta alitangaza nia yake ya kuwa anataka kugombea urais kama mgombea huru katika uchaguzi huo mkuu wa mwaka wa 2026.[8][9][10] == Maisha ya kibinafsi == Katuta ameolewa na mwanaume anafahamika kwa jina Lawrence Mwelwa, aliyewahi kuwa makamu mkuu wa chuo katika Chreso University.[11] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1969|}} 9sxyns1xc0mylwxgroz3ak7k8u5pgsx 1508147 1508143 2026-04-21T10:58:20Z Egipa 87700 1508147 wikitext text/x-wiki '''Given Katuta Mwelwa''' (alizaliwa mnamo tarehe 6 ya mwezi Machi mwaka wa 1969 huko Chiengi) na ni mwanasiasa wa [[Zambia]] na Mbunge wa Jimbo la Chiengi. Na pia alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka wa 2016.[1][2][3] == Historia ya maisha na elimu == Katuta alizaliwa Chiengi (ambapo wakati huo ilikuwa sehemu ya Wilaya ya Nchelenge) tarehe 6 ya mwezi Machi mwaka wa 1969.[4] Mnamo mwaka wa 2022 alitunukiwa Shahada yake ya Heshima ya Uzamivu (Honorary Doctorate) katika shahada nyingine katika Utawala wa Umma kutoka jijini London Graduate School ya Commonwealth University. Pia alipata Shahada yake Uendeshaji Biashara (Bachelor of Business Administration) kutoka katika Chuo Kikuu cha Chalimbana nchini Zambia mwaka wa 2024.[1] == Siasa na kazi == Katuta alichaguliwa kuwa Mbunge mwaka wa 2016 akiwa mwakilishi pekee wa chama cha Forum for Democracy and Development (FDD) katika uchaguzi mkuu, baada ya kumshinda mgombea wa Patriotic Front katika jimbo la Chiengi.[5] Katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2021, alichaguliwa tena kama Mbunge wa Chiengi akiwa mgombea huru na akiwa mwanamke pekee wa Bunge kutoka kundi la wagombea huru katika mazingira ya siasa zinazotawaliwa na wanaume peke yao.[6] Katika kazi yake ya kibunge, amefanya kazi katika kamati mbalimbali za ngazi ya juu kama vile Kamati ya Masuala ya Baraza la Mawaziri, na Kamati ya Usafiri na Mawasiliano, na pia alifanya kazi katika Kamati ya Watoto na Jukwaa la Wanawake Wabunge la Zambia. Pia amehusishwa na Zambia and China Friendship Association na Commonwealth Parliamentarians with Disabilities. Ameongoza Kamati Maalum ya kuchunguza Katiba ya mwaka wa 2016 na pia Kamati ya kuchunguza uteuzi wa majaji bungeni. Mwaka wa 2023 alishinda tuzo ya African Women Summit.[7] Mwezi Oktoba mwaka wa 2025, Katuta alitangaza nia yake ya kuwa anataka kugombea urais kama mgombea huru katika uchaguzi huo mkuu wa mwaka wa 2026.[8][9][10] == Maisha ya kibinafsi == Katuta ameolewa na mwanaume anafahamika kwa jina Lawrence Mwelwa, aliyewahi kuwa makamu mkuu wa chuo katika Chreso University.[11] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1969|}} 1ghsnuj464xvqos1pggtcs5d7eywo0j Charlotte Mbango 0 229765 1508142 2026-04-21T10:52:33Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Charlotte Mbango Samè''' (15 Aprili 1960, katika [[Douala]] – 2 Juni 2009, katika [[Paris]]) alikuwa mwimbaji wa Makossa kutoka [[Kamerun]].<ref>{{Cite news|url=https://musique.rfi.fr/musique/20090603-mort-charlotte-mbango|title=Mort de Charlotte Mbango|date=June 3, 2009|work=RFI Musique|access-date=17 August 2018|language=fr-FR}}</ref> == Wasifu == Mbango alizaliwa [[Douala]] mwaka 1960 katika familia ya wanamuziki. Alitoka katika familia ya Eboa L...' 1508142 wikitext text/x-wiki '''Charlotte Mbango Samè''' (15 Aprili 1960, katika [[Douala]] – 2 Juni 2009, katika [[Paris]]) alikuwa mwimbaji wa Makossa kutoka [[Kamerun]].<ref>{{Cite news|url=https://musique.rfi.fr/musique/20090603-mort-charlotte-mbango|title=Mort de Charlotte Mbango|date=June 3, 2009|work=RFI Musique|access-date=17 August 2018|language=fr-FR}}</ref> == Wasifu == Mbango alizaliwa [[Douala]] mwaka 1960 katika familia ya wanamuziki. Alitoka katika familia ya Eboa Lotin, ambaye alikuwa gwiji wa Muziki wa Kamerun.<ref>{{Cite web|url=https://www.cameroon-info.net/article/messe-dactions-de-grace-en-hommage-a-charlotte-mbango-119193.html|title=Cameroon-Info.Net:: Messe d'actions de grâce en hommage à Charlotte MBANGO|website=cameroon-info.net|language=fr|access-date=17 August 2018}}</ref> Alianza taaluma ya muziki akiwa na umri wa miaka tisa ndani ya kwaya, na kufikia umri wa miaka kumi na tatu akawa mwimbaji kiongozi. Alishiriki katika bendi kadhaa kabla ya kuondoka kwenda Ulaya mwaka 1979 kwa ajili ya masomo.<ref>{{Cite web|url=http://www.cameroonpostline.com/charlotte-mbango-is-dead/|title=Charlotte Mbango Is Dead|website=cameroonpostline.com|access-date=17 August 2018|archive-date=October 14, 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20181014000139/http://www.cameroonpostline.com/charlotte-mbango-is-dead/|url-status=dead}}</ref> Baadaye alijiunga na kundi la Negro spirituals mjini Paris.<ref name=":0">{{Cite web|url=http://www.afrisson.com/Charlotte-Mbango-740.html|archive-url=https://web.archive.org/web/20090717024350/http://afrisson.com/Charlotte-Mbango-740.html|url-status=dead|archive-date=July 17, 2009|title=Charlotte Mbango – Cameroun {{!}} cd mp3 concert biographie news {{!}} Afrisson|website=www.afrisson.com|language=fr|access-date=17 August 2018}}</ref> Baada ya masomo ya masoko, Mbango alijiunga na kampuni ya mwimbaji wa Kamerun Sissi Dipoko. Alijitambulisha kwa hadhira ya Afrika kupitia kipindi cha Afrique Étoile.<ref name=":0" /> Albamu yake ya kwanza, ''Nostalgie'', ilitolewa mwaka 1987. Albamu ya ''Konkai'' iliyotolewa mwaka 1988 ilipata mafanikio makubwa kimataifa na kumwezesha kushinda tuzo yake ya kwanza ya Diski ya Dhahabu, ambayo alikabidhiwa na mbunifu wa mitindo Paco Rabanne.<ref>{{Cite web|url=https://kamerzik.blogspot.com/p/biographie-charlotte-mbango.html|title=Biographie – Charlotte Mbango|website=Le blog-répertoire de la musique camerounaise|access-date=17 August 2018}}</ref> Albamu yake iliyofuata, ''Maloko,'' ilitolewa mwaka 1991, ikafuatiwa na ''Malea'' mwaka 1996. Mwaka 1998 alitoa ''Combines Religieuses'', kisha ''Sans Papier'', na hatimaye albamu yake ya mwisho, ''My Fight'', mwaka 2002. Alifariki mwezi Juni 2009 akiwa na umri wa miaka 49 baada ya kugundulika na [[saratani ya ini]],<ref>{{Cite news|url=https://www.grioo.com/ar,deces_de_la_chanteuse_camerounaise_charlotte_mbango_,17045.html|title=Grioo.com : Décès de la chanteuse camerounaise Charlotte Mbango|access-date=17 August 2018}}</ref> na aliacha mtoto wa kike na mjukuu.<ref>{{Cite news|url=https://www.journalducameroun.com/charlotte-mbango-en-route-pour-le-dernier-voyage-les-photos-de-la-levee-de-corps/|title=Charlotte Mbango en route pour le dernier voyage: les photos de la levée de corps|date=June 16, 2009|work=Journal du Cameroun|access-date=17 August 2018|language=fr-FR}}</ref> == Diskografia == * 1987: ''Nostalgia'' * 1988: ''Konkai'' * 1991: ''Maloko'' * 1996: ''Malea'' * 1998: ''Combine Religious'' * 1998: ''Without Papers'' * 2002: ''My Fight'' * 2008: ''Best of Konkai Makossa'' == Tuzo na Heshima == * 1988: Diski ya Dhahabu * 2003: Gold Tamani mjini [[Bamako]] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1960|2009}} {{DEFAULTSORT:Mbango, Charlotte}} [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Waliofariki 2009]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] pu6u9638ghb8g46h11z4hdd32fevrjs Sandra Nkaké 0 229766 1508148 2026-04-21T10:59:30Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sandra Nkaké''' (amezaliwa tarehe 15 Novemba 1973) ni mwigizaji na mwimbaji mwenye asili ya Ufaransa na [[Kamerun]]. == Wasifu == Nkaké alizaliwa mwaka 1973 katika [[Yaoundé]], Kamerun. Akiwa na umri wa miaka 12, alihamia Ufaransa.<ref name="franceinter" /> Tangu akiwa mdogo alipenda muziki, hasa wa Prince aliyemgundua akiwa kijana.<ref name="Lavaine">{{cite news |last1=Lavaine |first1=Bertrand |title=Généreuse Sandra Nkaké |url=https://musique.r...' 1508148 wikitext text/x-wiki '''Sandra Nkaké''' (amezaliwa tarehe 15 Novemba 1973) ni mwigizaji na mwimbaji mwenye asili ya Ufaransa na [[Kamerun]]. == Wasifu == Nkaké alizaliwa mwaka 1973 katika [[Yaoundé]], Kamerun. Akiwa na umri wa miaka 12, alihamia Ufaransa.<ref name="franceinter" /> Tangu akiwa mdogo alipenda muziki, hasa wa Prince aliyemgundua akiwa kijana.<ref name="Lavaine">{{cite news |last1=Lavaine |first1=Bertrand |title=Généreuse Sandra Nkaké |url=https://musique.rfi.fr/musique/20090529-genereuse-sandra-nkake |accessdate=12 November 2020 |work=[[Radio France Internationale]] |date=29 May 2009 |language=French}}</ref> Hata hivyo, awali alitamani kuwa mwalimu wa Kiingereza na alisoma [[Paris]] katika Sorbonne. Alipofikisha umri wa miaka 20, alielekeza nguvu zake kwenye uigizaji wa jukwaani kwa kufanya majaribio ya kuigiza na hatimaye kuwa mwigizaji. Nkaké alianza kazi yake ya uigizaji katika tamthilia ''The Crucible'' mwaka 1994 iliyoongozwa na Thomas Ledouarec. Mwaka uliofuata alipata nafasi katika tamthilia ''Le Dindon''.<ref name="franceinter">{{cite web |title=Sandra Nkake |url=https://www.franceinter.fr/personnes/sandra-nkake |website=FranceInter |accessdate=12 November 2020 |language=French}}</ref> Alianza kuigiza filamu mwaka 1996 kupitia ''Les Deux Papas et la Maman'' iliyoongozwa na Jean-Marc Longval.<ref>{{cite news |last1=Badibanga |first1=Walter |title=Sandra Nkaké annonce la sortie d'un nouvel album |url=https://www.musicinafrica.net/node/24851 |accessdate=12 November 2020 |work=Music in Africa |date=19 August 2017 |language=French}}</ref> Baada ya hapo alishiriki katika filamu na vipindi mbalimbali vya televisheni, lakini aliendelea pia kuzingatia muziki wake. Mwaka 1996 alishiriki katika mradi wa trip-hop wa Ollano pamoja na Hélène Noguerra. Katika miaka ya 2000, Nkaké alishirikiana na wasanii kadhaa studio na jukwaani kama vile Jacques Higelin, Daniel Yvinec na National Jazz Orchestra, Julien Lourau, na Rodolphe Burger.<ref name="franceinter" /> Pia alifanya kazi na Gerald Toto na David Walters katika mradi wa Urban Kreol.<ref name="Lavaine"/> Mwaka 2008 alitoa albamu yake ya kwanza ''Mansaadi'', na kufanya zaidi ya matamasha 200 duniani kote, yakiwemo ziara barani Afrika na Brazil.<ref name="franceinter" /> Alirekodi heshima kwa Donny Hathaway katika albamu ya mwaka 2011 ''Ever After'' ya Stéphane Belmondo.<ref>{{cite news |title=Sandra Nkaké, l'étoile montante du jazz à Marciac : "Ma musique est en perpétuelle mutation" |url=https://www.ladepeche.fr/article/2013/07/28/1679728-sandra-nkake-etoile-montante-jazz-marciac-musique-est-perpetuelle-mutation.html |accessdate=12 November 2020 |work=[[La Dépêche du Midi]] |date=28 July 2013 |language=French}}</ref> Mwaka 2012 alitoa albamu yake ya pili ''Nothing for Granted'', iliyoshirikishwa kuandikwa na mshirika wake Ji Drû na kutolewa chini ya lebo ya Jazz Village. Sauti yake yenye hisia ilimfanya kuwa mmoja wa wasanii muhimu katika muziki wa soul nchini Ufaransa.<ref name="franceinter" /> Alitunukiwa tuzo ya Frank Ténot katika hafla ya Victoires du Jazz mwezi Julai 2012.<ref>{{cite news |title=Victoires du Jazz : Bojan Z et Sandra Nkake consacrés |url=https://www.fip.fr/victoires-du-jazz-bojan-z-et-sandra-nkake-consacres-16203 |accessdate=12 November 2020 |work=FIP |date=27 July 2012 |language=French}}</ref> Mnamo Septemba 2017 alitoa albamu yake ya tatu ''Tangerine Moon Wishes'', ambayo aliiona kuwa kazi yake ya binafsi zaidi.<ref name="longuet">{{cite news |last1=Longuet |first1=Maxime |date=18 September 2017 |title=Musique / Les bons vœux de Sandra Nkaké |url=https://lejsd.com/content/les-bons-v%c5%93ux-de-sandra-nkak%c3%a9 |archive-url=https://web.archive.org/web/20201112194302/https://lejsd.com/content/les-bons-v%C5%93ux-de-sandra-nkak%C3%A9 |archive-date=2020-11-12 |accessdate=12 November 2020 |work=Le Journal de Saint-Denis |language=French}}</ref> Tangu mwaka 2007 anaishi katika kitongoji cha Saint-Denis karibu na Paris.<ref name="longuet"/> == Diskografia == * 2008: ''Mansaadi'' (Cornershop/Naïve) * 2012: ''Nothing For Granted'' (Jazz Village/Harmonia Mundi) * 2017: ''Tangerine Moon Wishes'' (Jazz Village) * 2023: ''Scars'' == Filamografia == * 1996: ''Les Deux Papas et la Maman'' * 2000: ''The Girl'' * 2003: ''Bienvenue au gîte'' * 2004: ''Casablanca Driver'' * 2009: ''King Guillaume'' * 2011: ''Toi, moi, les autres'' * 2014: ''Not My Type'' * 2015: ''Mes chers disparus'' (mfululizo wa televisheni): Brigitte Elbert * 2016: ''Bienvenue au Gondwana'' * 2017: ''La Fin De La Nuit'': Nanda * 2017: ''Une saison en France'' * 2018: ''Photo de Famille'' == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1973|}} == Viungo vya nje == * [https://www.imdb.com/name/nm0618496/ Sandra Nkaké] katika [[Internet Movie Database]] * [http://sandrankake.com/ Tovuti rasmi] {{Udhibiti wa mamlaka}} {{DEFAULTSORT:Nkaké, Sandra}} [[Jamii:Waliozaliwa 1973]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] 4esb6xdjqyxrz7wu9a4aio4227baq2n Jean Kapata 0 229767 1508149 2026-04-21T11:05:50Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jean Kapata''' (alizaliwa tarehe 25 Desemba mwaka wa 1960) ni mwanasiasa kutoka nchi [[Zambia]] na aliyewahi kuwa Waziri wa Ardhi na Maliasili.[1] == Kazi == Kapata alifanya kazi kama muuguzi wa upasuaji wakatika maabara ya upasuaji (theatre nurse) kabla ya kuchaguliwa kuwakilisha Jimbo la Mandevu katika uchaguzi wa mwaka wa 2006 kupitia chama cha Patriotic Front. Alichaguliwa tena katika uchaguzi wa mwaka wa 2011 na mwaka wa 2016.[2][3] Kapata pia al...' 1508149 wikitext text/x-wiki '''Jean Kapata''' (alizaliwa tarehe 25 Desemba mwaka wa 1960) ni mwanasiasa kutoka nchi [[Zambia]] na aliyewahi kuwa Waziri wa Ardhi na Maliasili.[1] == Kazi == Kapata alifanya kazi kama muuguzi wa upasuaji wakatika maabara ya upasuaji (theatre nurse) kabla ya kuchaguliwa kuwakilisha Jimbo la Mandevu katika uchaguzi wa mwaka wa 2006 kupitia chama cha Patriotic Front. Alichaguliwa tena katika uchaguzi wa mwaka wa 2011 na mwaka wa 2016.[2][3] Kapata pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Mama na Afya ya Mtoto. Tarehe 2 Oktoba mwaka wa 2009, walikamatwa pamoja na wabunge wengine tisa wa Patriotic Front baada ya kupinga kuachiliwa huru kwa aliyekuwa rais Frederick Chiluba kwa kupiga honi za magari na filimbi. Walifunguliwa mnamo tarehe 7 Oktoba mwaka huo.[4] Mnamo mwaka wa 2014, aliteuliwa na Rais Michael Sata kuwa Waziri wa Utalii na Sanaa.[5] Wakati wa uongozi wake, marufuku ya uwindaji wa wanyama wakubwa wa porini aina ya paka iliondolewa nchini Zambia.[6][7] Kufuatia mjadala wa kimataifa kuhusu kuuawa kwa simba aitwaye Cecil nchini Zimbabwe, Kapata alisema kuwa “Magharibi inaonekana kujali zaidi ustawi wa simba kuliko Waafrika wenyewe.”[8][9] Mwaka wa 2016, alikuwa sehemu ya ujumbe wa Zambia katika Mkutano wa 60 wa Tume ya Hali ya Wanawake ya Umoja wa Mataifa.[10] Kabla ya uchaguzi wa Agosti mwaka wa 2016, alipokea vitisho vya kuuawa na dereva wake alishambuliwa na watu wenye silaha waliokuwa wakitaka kujua alipo.[11] Mgombea wa MMD katika jimbo lake, Mary Phiri, alidai Kapata alihusika na mashambulizi dhidi ya timu yake ya kampeni.[12] Mnamo tarehe 27 Septemba mwaka wa 2016, aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi, Maliasili na Ulinzi wa Mazingira.[13] Pia alikuwa Mwenyekiti wa Uchaguzi wa chama cha Patriotic Front.[14][15] == Maisha ya kibinafsi == Kapata ameolewa na ni mama na pia bibi.[12] Mwaka wa 2013, Mke wa Rais Christine Kaseba alisimamia harusi ya binti ya Kapata.[16] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1960|}} o3eb23onyzazncgbico091hemb3ks8x 1508154 1508149 2026-04-21T11:10:14Z Egipa 87700 1508154 wikitext text/x-wiki '''Jean Kapata''' (alizaliwa tarehe 25 Desemba mwaka wa 1960) yeye ni mwanasiasa kutoka nchi [[Zambia]] na aliyewahi kuwa Waziri wa Ardhi na Maliasili nchi humo.[1] == Kazi == Kapata alifanya kazi kama muuguzi wa upasuaji katika maabara ya upasuaji (theatre nurse) kabla ya kuchaguliwa kuwakilisha Jimbo la Mandevu katika uchaguzi wa mwaka wa 2006 kupitia chama cha Patriotic Front. Alichaguliwa tena katika uchaguzi wa mwaka wa 2011 na mwaka wa 2016.[2][3] Kapata pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Mama na Afya ya Mtoto. Tarehe 2 Oktoba mwaka wa 2009, walikamatwa pamoja na wabunge wengine tisa wa Patriotic Front baada ya kupinga kuachiliwa huru kwa aliyekuwa rais Frederick Chiluba kwa kupiga honi za magari na filimbi. Walifunguliwa mnamo tarehe 7 Oktoba mwaka huo.[4] Mnamo mwaka wa 2014, aliteuliwa na Rais Michael Sata kuwa Waziri wa Utalii na Sanaa.[5] Wakati wa uongozi wake, marufuku kufanya shughuli ya uwindaji wa wanyama wakubwa wa porini aina ya paka iliondolewa nchini Zambia.[6][7] Kufuatia mjadala wa kimataifa kuhusu kuuawa kwa simba aitwaye Cecil nchini Zimbabwe, Kapata alisema kuwa “Magharibi inaonekana kujali zaidi ustawi wa simba kuliko Waafrika wenyewe.”[8][9] Mnamo mwaka wa 2016, alikuwa sehemu ya ujumbe wa Zambia katika Mkutano wa 60 wa Tume ya Hali ya Wanawake ya Umoja wa Mataifa.[10] Kabla ya uchaguzi wa Agosti mwaka wa 2016, alipokea vitisho vya kuuawa na dereva wake na wakati huo pia alishambuliwa na watu wenye silaha waliokuwa wakitaka kujua alipo.[11] Mgombea wa MMD katika jimbo lake, Mary Phiri, alidai Kapata alihusika na mashambulizi dhidi ya timu yake ya kampeni.[12] Mnamo tarehe 27 Septemba mwaka wa 2016, aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi, Maliasili na Ulinzi wa Mazingira.[13] Pia alikuwa Mwenyekiti wa Uchaguzi wa chama cha Patriotic Front.[14][15] == Maisha ya kibinafsi == Kapata ameolewa na ni mama na pia bibi.[12] Mwaka wa 2013, Mke wa Rais Christine Kaseba alisimamia harusi ya binti ya Kapata.[16] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1960|}} 223jjotgxngooa79evjapojqtzyt1lz Carol Mafagane 0 229768 1508150 2026-04-21T11:05:53Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mokgaetji Carol Mafagane''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na Mbunge wa Bunge la Taifa, akiwakilisha Umkhonto weSizwe (MK). Alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika 2024 South African general election. Kabla ya hapo, alikuwa mwanachama wa Economic Freedom Fighters (EFF). Anatoka katika kijiji cha Byldrift.<ref>{{Cite web|last=Makwakwa|first=Thabo|title=Influential EFF members pledge support for party, CiC|url=https://www.iol.co.za/sundayindepend...' 1508150 wikitext text/x-wiki '''Mokgaetji Carol Mafagane''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na Mbunge wa Bunge la Taifa, akiwakilisha Umkhonto weSizwe (MK). Alichaguliwa kwa mara ya kwanza katika 2024 South African general election. Kabla ya hapo, alikuwa mwanachama wa Economic Freedom Fighters (EFF). Anatoka katika kijiji cha Byldrift.<ref>{{Cite web|last=Makwakwa|first=Thabo|title=Influential EFF members pledge support for party, CiC|url=https://www.iol.co.za/sundayindependent/news/influential-eff-members-pledge-support-for-party-cic-6742b320-13a4-4097-9491-9c4f5c3432f2|access-date=2025-01-29|website=www.iol.co.za|language=en}}</ref> == Marejeo == <references responsive="1"></references> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] k5aa8irdvl2sra81x16de855rjsutny Yemisi Ransome-Kuti 0 229769 1508151 2026-04-21T11:06:50Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Yemisi Ransome-Kuti''' ni mmoja wa wanachama wa familia maarufu ya Ransome-Kuti nchini [[Nigeria]]. Yeye ni mtoto wa Azaria Olusegun Ransome-Kuti na mjukuu wa Josiah Ransome-Kuti. Shangazi yake, Funmilayo Ransome-Kuti, alikuwa mwanaharakati mashuhuri wa haki za wanawake na mmoja wa viongozi waliopigania uhuru wa Nigeria kutoka kwa utawala wa kikoloni wa [[Uingereza]].<ref name="auto">{{cite web|url=https://www.theguardian.com/lifeandstyle/2010/dec/11/fe...' 1508151 wikitext text/x-wiki '''Yemisi Ransome-Kuti''' ni mmoja wa wanachama wa familia maarufu ya Ransome-Kuti nchini [[Nigeria]]. Yeye ni mtoto wa Azaria Olusegun Ransome-Kuti na mjukuu wa Josiah Ransome-Kuti. Shangazi yake, Funmilayo Ransome-Kuti, alikuwa mwanaharakati mashuhuri wa haki za wanawake na mmoja wa viongozi waliopigania uhuru wa Nigeria kutoka kwa utawala wa kikoloni wa [[Uingereza]].<ref name="auto">{{cite web|url=https://www.theguardian.com/lifeandstyle/2010/dec/11/fela-kuti-great-dynasties-ian-sansom|title=Great Dynasties: The Ransome-Kutis|first=Ian|last=Sansom|date=11 December 2010|access-date=14 February 2019|website=Theguardian.com}}</ref> Katika ukoo huo mashuhuri, Yemisi pia ni binamu wa Fela Kuti, Olikoye Ransome-Kuti, Beko Ransome-Kuti pamoja na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, Wole Soyinka. Amebarikiwa kupata watoto wanne: Segun Bucknor kutoka ndoa yake ya kwanza na marehemu Kapteni wa Jeshi la Wanamaji Frederick Oluwole Bucknor, pamoja na watoto watatu, Bola Soyemi, Seun Soyemi na Eniola Soyemi kutoka ndoa yake ya pili na Dkt. Kunle Soyemi.<ref>{{cite web|url=http://feminine.com.ng/2016/07/22/yemisi-ransome-kuti-can-die-fighting-injustice/|title=Yemisi Ransome-Kuti can die fighting injustice|last=Kate|date=22 July 2016|website=Feminine.com.ng|access-date=14 February 2019|archive-date=4 December 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20171204222952/http://feminine.com.ng/2016/07/22/yemisi-ransome-kuti-can-die-fighting-injustice/|url-status=dead}}</ref> Baada ya kufariki kwa baadhi ya wanandugu mashuhuri wa familia hiyo kama Fela Kuti na Beko Ransome-Kuti, Yemisi alibaki kuwa mmoja wa viongozi wakuu wa familia ya Ransome-Kuti. Katika mchango wake wa kijamii, Yemisi Ransome-Kuti alianzisha Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya Nigeria (NNNGO), ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake nchini humo kuunganisha mashirika ya kiraia. Tangu kuanzishwa kwake mwaka [[1992]], mtandao huo umekuwa na jukumu muhimu katika kuratibu juhudi za maendeleo ya sekta ya kiraia na kuongeza ushawishi wake katika sera na mifumo ya kitaifa.<ref name="Moore2011">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=_iqFZuXyK_4C&pg=PT18|title=Fela: This Bitch of A Life|author=Carlos Moore|date=1 August 2011|publisher=Omnibus Press|isbn=978-0-85712-589-7|page=18}}</ref> Mwanzoni mwa miaka ya [[1990]], alianzisha pia mpango wa ''Girl Watch'', uliolenga kuwaelimisha na kuwawezesha wasichana kutoka familia zenye hali duni. Mnamo mwaka [[2006]], aliteuliwa kuwa mshauri wa masuala ya asasi za kiraia katika [[Benki ya Dunia]]. Aidha, Yemisi Ransome-Kuti alikuwa miongoni mwa viongozi waliotoa mchango mkubwa katika juhudi za kusaidia Nigeria kufikia Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs), hususan katika kupunguza umaskini na kuboresha maisha ya wananchi. == Utambuzi == Mnamo [[Mei 28]], [[2022]], Ransome-Kuti aliteuliwa katika tuzo ya athari ya WIV.<ref>{{Cite news|last=TheVanguardNgr|first=VanguardNewsNgr|date=2 June 2022|title=WIV IMPACT AWARD|url=https://vanguardngr.com|location=Lagos, Nigeria|newspaper=[[Vanguard (Nigeria)|Vanguard]]}}</ref> === Kazi === Yemisi Ransome-Kuti amejulikana kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya sekta ya kiraia nchini Nigeria. Mwaka 1992, alianzisha Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wa Nigeria (NNNGO), ambao ulikuwa miongoni mwa juhudi za kwanza za kitaasisi kuunganisha mashirika ya kiraia nchini humo. Kupitia mtandao huo, alichangia kuratibu shughuli za mashirika yasiyo ya kiserikali, kuimarisha ushirikiano kati yao, na kuongeza ushawishi wa sekta hiyo katika masuala ya sera na maendeleo ya kitaifa. Katika miaka ya mapema ya 1990, Yemisi pia alianzisha mpango wa ''Girl Watch'', uliolenga kuwawezesha wasichana, hasa kutoka familia zenye kipato cha chini, kwa kuwapatia elimu na fursa za kujijenga kijamii na kiuchumi. Mpango huo uliweka msisitizo katika haki za mtoto wa kike na usawa wa kijinsia. Mnamo mwaka 2006, aliteuliwa kuwa mshauri wa masuala ya asasi za kiraia katika World Bank, ambapo alihusika katika kutoa ushauri kuhusu namna ya kuimarisha ushiriki wa mashirika ya kiraia katika miradi ya maendeleo. Aidha, Yemisi Ransome-Kuti alihusika katika juhudi mbalimbali za kusaidia Nigeria kufikia Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs), akijikita zaidi katika kupunguza umaskini na kuboresha ustawi wa jamii. Kupitia kazi zake, alichangia kuimarisha nafasi ya sekta ya kiraia kama mshirika muhimu katika maendeleo endelevu. ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] l3wooue5stgf3dpbr9kv6hledlh72rh Ginny Fuchs 0 229770 1508152 2026-04-21T11:07:52Z Bycashtz 81318 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox Person |jina = Virginia Fuchs |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 21 Machi 1988 |mahala_pa_kuzaliwa = [[Houston]], Texas, Marekani |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = Ginny Fuchs |anafahamika kwa = Unahodha wa timu ya taifa ya ndondi ya Marekani na mshiriki wa Olimpiki. |kazi_yake = Bondia |nchi = [[Marekani]] |tovuti...' 1508152 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Virginia Fuchs |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 21 Machi 1988 |mahala_pa_kuzaliwa = [[Houston]], Texas, Marekani |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = Ginny Fuchs |anafahamika kwa = Unahodha wa timu ya taifa ya ndondi ya Marekani na mshiriki wa Olimpiki. |kazi_yake = Bondia |nchi = [[Marekani]] |tovuti = }} '''Virginia "Ginny" Fuchs''' (alizaliwa 21 Machi 1988) ni bondia wa kulipwa kutoka nchini [[Marekani]] ambaye amejizolea sifa kubwa katika daraja la uzani wa nzi (flyweight). Fuchs anafahamika zaidi kwa uongozi wake kama nahodha wa muda mrefu wa timu ya taifa ya ndondi ya Marekani na ushiriki wake katika michezo ya [[Olimpiki]] ya [[Tokyo]] mwaka 2020. Licha ya kuanza ndondi akiwa na umri mkubwa kidogo, amefanikiwa kuwa mmoja wa wanawake wenye ushawishi mkubwa katika mchezo huo kutokana na nidhamu yake ya hali ya juu na uwezo wake wa kipekee wa kiufundi ulingoni.<ref>{{cite web |url=https://usaboxing.org |title=Wasifu wa Virginia Fuchs |publisher=USA Boxing |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Fuchs alizaliwa na kukulia mjini [[Houston]], [[Texas]], ambapo tangu utotoni alikuwa na mapenzi makubwa na michezo mbalimbali. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Louisiana (LSU) ambapo alishiriki kikamilifu katika mchezo wa riadha, akibobea katika mbio za nyika. Safari yake ya ndondi ilianza kwa bahati mbaya akiwa mwaka wa pili chuoni, pale alipotafuta njia ya kuimarisha mwili na kujiunga na kumbi za ndondi za mtaani. Baada ya kugundua kipaji chake kikubwa ulingoni, aliamua kuachana na riadha na kuelekeza nguvu zake zote kwenye ndondi, uamuzi uliompelekea kuhitimu shahada ya kwanza katika taaluma inayohusu uchunguzi wa kisayansi wa mwendo wa mwili wa binadamu (kinesiologia) huku akianza safari ya kuwa mpiganaji wa kimataifa.<ref>{{cite news |url=https://houstonchronicle.com |title=Safari ya Ginny Fuchs kuelekea Olimpiki |work=Houston Chronicle |date=20 Julai 2021 |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Kazi ya ndondi na mafanikio == Katika ngazi ya ridhaa , Fuchs alitawala daraja la uzani wa nzi nchini Marekani kwa miaka mingi, akishinda mataji kadhaa ya kitaifa na medali ya shaba katika mashindano ya dunia mwaka 2018. Mafanikio yake makubwa yalijidhihirisha alipofuzu na kushiriki Olimpiki ya Tokyo, ambapo alionyesha ujasiri mkubwa licha ya kutofika hatua ya medali. Baada ya maisha marefu na yenye mafanikio katika ndondi za ridhaa, Fuchs alihamia kwenye ndondi za kulipwa mnamo mwaka 2022. Tangu wakati huo, amedumisha rekodi ya ushindi katika mapambano yake yote ya kulipwa, akitumia uzoefu wake wa kimataifa kuwashinda wapinzani wake kwa ufundi wa hali ya juu na kasi ya makonde.<ref>{{cite web |url=https://boxrec.com |title=Rekodi ya Virginia Fuchs |publisher=BoxRec |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Maisha binafsi na harakati == Nje ya ulingo, Virginia Fuchs amekuwa mkweli na jasiri katika kuzungumzia maisha yake binafsi, ikiwemo changamoto anazokutana nazo kutokana na ugonjwa wa kulazimika kufanya jambo kwa kurudiarudia (OCD). Kupitia ujasiri wake wa kuelezea hali hiyo, amekuwa kioo kwa wanamichezo wengine wanaopambana na afya ya akili, akionyesha kuwa ugonjwa huo si kikwazo cha kufikia ndoto za juu kabisa katika michezo. Aidha, Fuchs ni mtetezi wa usawa wa kijinsia katika michezo ya nguvu, akijitolea kutoa mafunzo kwa wasichana wadogo na kuwahamasisha kujiamini na kupigania nafasi zao katika jamii.<ref>{{cite news |url=https://espn.com |title=Fuchs na mapambano dhidi ya changamoto za kisheria |work=ESPN |date=11 Juni 2020 |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{BD|1988}} [[Jamii:Mabondia wa Marekani]] [[Jamii:Watu kutoka Houston]] [[Jamii:WikiGap JWK 2026]] 4j3ebn4ly05k3ygzy8ack4oylrbharc Jamii:Watu kutoka Houston 14 229771 1508153 2026-04-21T11:08:30Z Bycashtz 81318 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Watu]]' 1508153 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Watu]] 47ng479lyahegvwkgur219ehi77ch0n Piaba Madokwe 0 229772 1508155 2026-04-21T11:10:25Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Piaba Madokwe''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Bunge la Taifa akiwakilisha Economic Freedom Fighters (EFF) kuanzia Oktoba 2020 hadi Agosti 2023. Kabla ya hapo, alihudumu kama Katibu Mkuu wa kwanza wa EFF Students Command.<ref>{{cite news|last1=Ndlozi|first1=Mbuyiseni|title=Mpho Morolane elected President of EFFSC - EFF|url=https://www.politicsweb.co.za/politics/mpho-morolane-elected-president-of-effsc--eff|access-...' 1508155 wikitext text/x-wiki '''Piaba Madokwe''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Bunge la Taifa akiwakilisha Economic Freedom Fighters (EFF) kuanzia Oktoba 2020 hadi Agosti 2023. Kabla ya hapo, alihudumu kama Katibu Mkuu wa kwanza wa EFF Students Command.<ref>{{cite news|last1=Ndlozi|first1=Mbuyiseni|title=Mpho Morolane elected President of EFFSC - EFF|url=https://www.politicsweb.co.za/politics/mpho-morolane-elected-president-of-effsc--eff|access-date=22 October 2020|agency=Politicsweb|date=19 June 2015}}</ref> == Mareje0 == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 42yb7sx01tf0xa3vgl3f409qr3wwmb8 Nkandu Luo 0 229773 1508156 2026-04-21T11:14:51Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Profesa Nkandu Phoebe Luo''' (alizaliwa 21 Desemba 1951) ni mtaalamu wa biolojia ya viumbe vidogo (microbiology) na mwanasiasa kutoka [[Zambia]], ambaye alikuwa mgombea mwenza wa urais kwa chama cha Patriotic Front katika uchaguzi wa Agosti 2021. Yeye ni mtaalamu wa microbiolojia aliyewahi kuwa Mkuu wa Idara ya Patholojia na Microbiolojia katika Hospitali ya Taifa ya Mafunzo ya Chuo Kikuu (University Teaching Hospital) mjini Lusaka, na amefanya utafiti...' 1508156 wikitext text/x-wiki '''Profesa Nkandu Phoebe Luo''' (alizaliwa 21 Desemba 1951) ni mtaalamu wa biolojia ya viumbe vidogo (microbiology) na mwanasiasa kutoka [[Zambia]], ambaye alikuwa mgombea mwenza wa urais kwa chama cha Patriotic Front katika uchaguzi wa Agosti 2021. Yeye ni mtaalamu wa microbiolojia aliyewahi kuwa Mkuu wa Idara ya Patholojia na Microbiolojia katika Hospitali ya Taifa ya Mafunzo ya Chuo Kikuu (University Teaching Hospital) mjini Lusaka, na amefanya utafiti mpana kuhusu VVU/UKIMWI. == Historia ya maisha na elimu == Luo alizaliwa katika Hospitali ya Misheni ya Lubwa, Chinsali, tarehe 21 Desemba 1951. Wazazi wake wote walikuwa walimu, na yeye alikuwa miongoni mwa watoto wanane waliobaki hai katika familia.[1][2] Alisoma Shule ya Sekondari ya Roma Girls na Dominican Convent. Ana Shahada ya Uzamili (MSc) ya Microbiology kutoka Moscow State University, pamoja na MSc na PhD katika Immunology kutoka University of Brunei Darussalam.[2][3] == Kazi ya kitaaluma na utafiti == Luo alifanya kazi katika Hospitali ya Saint Mary’s nchini Uingereza. Mwaka 1993 aliteuliwa kuwa profesa wa microbiology na immunology katika Chuo Kikuu cha Zambia, na pia alihudumu kama Mkuu wa Patholojia na Microbiolojia katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu, Lusaka.[2][4] Amechapisha tafiti nyingi za kisayansi kuhusu VVU/UKIMWI. == Kazi ya siasa == Mwaka 1996, Luo alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mandevu kupitia chama cha Movement for Multi-Party Democracy (MMD).[5][6] Alihudumu kama Naibu Waziri wa Afya kuanzia 1997 hadi 1999, kisha akawa Waziri wa Afya mwaka 1999, ingawa baadaye aliondolewa kutokana na migogoro ya kikazi na wadau wa afya.[6] Baadaye alihudumu kama Waziri wa Usafiri na Mawasiliano hadi 2001.[6] Pia alianzisha mtandao wa mashirika 30 ya kitaifa ya uhamasishaji kuhusu UKIMWI na alianzisha shirika lisilo la kiserikali Tasintha, linalolenga kupambana na biashara ya ngono na VVU/UKIMWI.[7][8][9] Alihusika pia katika kuanzishwa kwa Programu ya Kitaifa ya Kudhibiti UKIMWI, Huduma ya Taifa ya Damu Salama, na programu ya kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.[4] Mwaka 2011 alirejea bungeni kupitia Jimbo la Munali akiwa mwakilishi wa Patriotic Front. Alihudumu katika nyadhifa mbalimbali za uwaziri ikiwa ni pamoja na Waziri wa Serikali za Mitaa na Makazi, Waziri wa Masuala ya Machifu na Tamaduni, Waziri wa Jinsia, Waziri wa Elimu ya Juu, na baadaye Waziri wa Mifugo na Uvuvi.[10][11][12][13][14] Mwaka 2021 aliteuliwa kuwa mgombea mwenza wa rais wa Zambia kwa tiketi ya Patriotic Front katika uchaguzi mkuu.[16] == Machapisho ya kisayansi (chaguo) == Amechangia tafiti mbalimbali kuhusu VVU/UKIMWI na magonjwa ya kuambukiza, ikiwa ni pamoja na: * Athari za VVU kwenye kifua kikuu nchini Zambia[1] * Uhusiano wa VVU na matatizo ya mfumo wa mmeng’enyo[2] * Tafiti za maambukizi ya VVU Afrika[5] == Maisha ya kibinafsi == Luo ni mama wa watoto wawili na bibi wa wajukuu wanne. Hutumia muda wake wa ziada na familia na pia hutoa mihadhara kwa wanafunzi katika taasisi mbalimbali.[citation needed] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1951|}} qovk0sx3m69jkl8xnaq6atfz8hrozzi Irene Ighodaro 0 229774 1508157 2026-04-21T11:17:01Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Irene Elizabeth Beatrice Ighodaro''' (alizaliwa Wellesley-Cole; [[16 Mei]] [[1916]] – [[29 Novemba]] [[1995]]) alikuwa [[daktari]] wa asili ya Creole kutoka Sierra Leone pamoja na mrekebishaji wa kijamii aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya afya na ustawi wa jamii. Alijipatia heshima ya kuwa mwanamke wa kwanza kutoka [[Sierra Leone]] kuhitimu katika taaluma ya udaktari wa tiba, na pia alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza waliozaliwa Afrik...' 1508157 wikitext text/x-wiki '''Irene Elizabeth Beatrice Ighodaro''' (alizaliwa Wellesley-Cole; [[16 Mei]] [[1916]] – [[29 Novemba]] [[1995]]) alikuwa [[daktari]] wa asili ya Creole kutoka Sierra Leone pamoja na mrekebishaji wa kijamii aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya afya na ustawi wa jamii. Alijipatia heshima ya kuwa mwanamke wa kwanza kutoka [[Sierra Leone]] kuhitimu katika taaluma ya udaktari wa tiba, na pia alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza waliozaliwa [[Afrika Magharibi]] kufuzu kama madaktari nchini [[Uingereza]]. Mafanikio haya yalikuwa hatua muhimu katika historia ya elimu na taaluma kwa wanawake katika ukanda huo. Mbali na taaluma yake ya udaktari, Irene Elizabeth Beatrice Ighodaro alijihusisha kikamilifu na shughuli za kijamii na uongozi. Aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wakristo wa Vijana nchini [[Nigeria]], akichangia katika maendeleo ya vijana na jamii kwa ujumla. Vilevile, alishika nafasi ya kuwa Rais wa kwanza wa Chama cha Madaktari Wanawake wa Nigeria, ambapo alisaidia kuimarisha nafasi ya wanawake katika taaluma ya udaktari na kuhamasisha ushiriki wao katika sekta ya afya. == Maisha == Irene Elizabeth Beatrice Ighodaro alizaliwa kama Irene Elizabeth Beatrice Wellesley-Cole mjini Freetown, Sierra Leone. Alikuwa mmoja wa watoto saba wa Wilfred Wellesley-Cole, mhandisi wa ujenzi aliyekuwa msimamizi wa mitambo ya maji ya jiji hilo. Kaka yake mkubwa, Robert Wellesley-Cole, alikuwa daktari. Alipata elimu yake ya awali katika Shule ya Mfano ya Serikali na baadaye kuhitimu kutoka Shule ya Ukumbusho ya Annie Walsh. Alivutiwa na taaluma ya udaktari baada ya kumtunza mama yake aliyekuwa akiugua ugonjwa sugu. Hali hiyo ilimhamasisha kuchagua taaluma ya tiba.<ref name=":2">{{Cite web|title=Dr Irene Ighodaro|url=https://www.younghistoriansproject.org/early-women/dr-irene-ighodaro|access-date=2025-02-08|website=YHP|language=en}}</ref> Aliendelea na masomo nchini Uingereza katika Shule ya Matibabu ya Newcastle-upon-Tyne, na mwaka 1944 alipata Shahada ya Udaktari wa Tiba (M.B.B.S) kutoka Chuo Kikuu cha Durham. Katika darasa lake lenye wanafunzi sitini, alikuwa miongoni mwa wanawake watatu pekee. Baada ya kuhitimu, alifanya kazi kama Afisa wa Nyumba katika kitengo cha uzazi na magonjwa ya wanawake kwa muda wa miezi sita. Kati ya Januari [[1945]] na Septemba [[1946]], alisimamia kliniki binafsi ya kaka yake alipokuwa ametumwa kikazi na Ofisi ya Kikoloni katika Afrika Magharibi. Baadaye, kliniki hiyo iliuziwa baada ya kaka yake kurejea Uingereza.<ref>{{Cite web|title=Wellesley-Cole, Robert Benjamin Ageh (1907 - 1995)|url=https://livesonline.rcseng.ac.uk/client/en_GB/lives/search/detailnonmodal/ent:$002f$002fSD_ASSET$002f0$002fSD_ASSET:380542/one?qu=%22rcs:+E008359%22&rt=false%7C%7C%7CIDENTIFIER%7C%7C%7CResource+Identifier&h=0|access-date=2025-02-08|website=livesonline.rcseng.ac.uk}}</ref> Akiwa Uingereza, Irene Elizabeth Beatrice Ighodaro alijihusisha na shughuli za kijamii na kitaaluma. Alianzisha Chama cha Maendeleo ya Utamaduni cha Afrika mjini Newcastle pamoja na chama cha kwanza cha wanawake wa Afrika Magharibi nchini humo. Pia alikuwa mshiriki hai wa Umoja wa Wanafunzi wa Afrika Magharibi na Ligi ya Watu Weusi. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia, alihudumia majeruhi katika Hospitali ya Royal Victoria na kushiriki katika kikosi cha kudhibiti uchafuzi. Mnamo mwaka [[1947]], alifunga ndoa na Samuel Osarogie Ighodaro, wakili kutoka Benin City nchini Nigeria. Walipata watoto wanne: Tony, Wilfred, Ayo na Yinka. Baada ya ndoa, waliishi kwa muda nchini Uingereza kabla ya kuhamia Nigeria mwaka [[1949]], ambako mumewe baadaye alikuja kuwa jaji wa Mahakama Kuu ya Mkoa wa Midwestern. Akiwa Nigeria, aliendesha kliniki yake binafsi na kushiriki katika kamati mbalimbali za ushauri wa masuala ya afya. Alifanya kazi kwa karibu na [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) katika masuala ya afya ya mama na mtoto, na pia aliandika kitabu kiitwacho ''Baby’s First Year''.<ref name=":1">{{Cite web|last=Museums|first=North East|date=2023-10-17|title=How Sierra Leone's first female doctor qualified in Newcastle — feminist, activist and trailblazer…|url=https://twmuseumsandarchives.medium.com/how-sierra-leones-first-female-doctor-qualified-in-newcastle-feminist-activist-and-trailblazer-c1c408772ac3|access-date=2025-02-07|website=Medium|language=en}}</ref> Aidha, alichangia kuanzishwa kwa Hospitali ya Kufundishia ya Chuo Kikuu cha Benin, akiongoza bodi yake ya kwanza ya usimamizi. Alikuwa pia mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya YWCA Duniani na alishika nyadhifa za uongozi katika Baraza la Kitaifa la Vyama vya Wanawake pamoja na Chama cha Wanawake wa Vyuo Vikuu nchini Nigeria.<ref>{{Cite web|last=Edet|first=Hope|date=2017-03-03|title=IGHODARO, Justice Samuel Osarogie|url=https://blerf.org/index.php/biography/ighodaro-justice-samuel-osarogie/|access-date=2025-02-09|website=Biographical Legacy and Research Foundation|language=en-US}}</ref> Kutokana na mchango wake mkubwa katika huduma za afya na maendeleo ya jamii, alitunukiwa heshima ya kuwa Mwanachama wa Agizo la Milki ya Uingereza (MBE) mwaka [[1958]]. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii: Waliozaliwa 1916]] [[Jamii: Waliofariki 1995]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] rpnn7ipo36r1ne53llceq4o1273r63k Sylvia Masebo 0 229775 1508158 2026-04-21T11:17:30Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '```wiki '''Sylvia Masebo''' (amezaliwa 7 Machi 1963) ni mfanyabiashara na mwanasiasa wa [[Zambia]], na ni mbunge wa Jimbo la Chongwe katika Bunge la Taifa la Zambia kupitia Chama cha United Party for National Development (UPND). Ana shahada ya Fedha na Benki. Aligombea kwa mara ya kwanza kupitia Chama cha Zambian Republican Party (ZRP) mwaka 2001, kisha kupitia Movement for Multi-Party Democracy (MMD) mwaka 2006, baadaye Patriotic Front (PF) mwaka 2011, na...' 1508158 wikitext text/x-wiki ```wiki '''Sylvia Masebo''' (amezaliwa 7 Machi 1963) ni mfanyabiashara na mwanasiasa wa [[Zambia]], na ni mbunge wa Jimbo la Chongwe katika Bunge la Taifa la Zambia kupitia Chama cha United Party for National Development (UPND). Ana shahada ya Fedha na Benki. Aligombea kwa mara ya kwanza kupitia Chama cha Zambian Republican Party (ZRP) mwaka 2001, kisha kupitia Movement for Multi-Party Democracy (MMD) mwaka 2006, baadaye Patriotic Front (PF) mwaka 2011, na hatimaye UPND mwaka 2021. Kwa sasa ni Waziri wa Ardhi na Maliasili nchini Zambia. Ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini zikiwemo Waziri wa Afya mara mbili (2005–2006 na 2021–2024), Waziri wa Serikali za Mitaa mara mbili (2003–2005 na 2006–2008), na Waziri wa Utalii na Sanaa (2012–2014). == Siasa na kazi == Sylvia Masebo alijitokeza katika siasa za umma katika miaka ya 1990 akiwa Naibu Meya wa Lusaka na Naibu Mweka Hazina wa MMD.[2] Kabla ya migawanyiko mikubwa ndani ya MMD kutokana na malengo ya muhula wa tatu wa Rais Chiluba, Masebo alikuwa tayari ameongoza kundi kubwa la wanachama wasioridhika na kuondoka katika chama hicho.[2] Kufikia uchaguzi mkuu wa 2001, alikuwa amejiunga na ZRP iliyoongozwa na Benjamin Mwila.[2] Alishinda kiti cha ubunge cha Chongwe kupitia tiketi ya ZRP.[2] Mwaka 2003 aliteuliwa na Rais Levy Mwanawasa kuwa Waziri wa Serikali za Mitaa na Makazi.[2][3][4] Mwaka 2005 alihamishiwa Wizara ya Afya kuchukua nafasi ya Brian Chituwo.[2] Alitetea mabadiliko ya sera za afya ndani ya Bunge.[2] Mwaka 2006 alirejea MMD na kushinda tena kiti chake cha Chongwe.[2][5][6] Baadaye alirudi tena katika Wizara ya Serikali za Mitaa. Mwaka 2008 aliondolewa katika nafasi hiyo baada ya mabadiliko ya serikali.[7] Kufikia uchaguzi wa 2011, alikuwa amejiunga na Patriotic Front.[2][8][9] Hata hivyo alishindwa kiti chake katika uchaguzi huo. Baadaye kulikuwa na uchaguzi mdogo mwaka 2011 ambapo alishinda tena Chongwe kupitia PF.[10][11] Mwaka 2012 aliteuliwa kuwa Waziri wa Utalii na Sanaa,[12] lakini aliondolewa mwaka 2014.[13] Mwaka 2015 alikamatwa na Taasisi ya Kupambana na Rushwa kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, lakini baadaye aliachiwa huru.[14] Mwaka 2016 aligombea kupitia UPND lakini alishindwa.[15] Mwaka 2021 alishinda tena kiti cha Chongwe kupitia UPND.[16] Baadaye aliteuliwa tena kuwa Waziri wa Afya.[17] Mwaka 2024 alihamishwa kutoka Wizara ya Afya kwenda Wizara ya Ardhi na Maliasili.[18][19] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1963|}} n9q9kswonjxvp5lcos8uv56t2mq4elq Lynda Raymonde 0 229776 1508159 2026-04-21T11:19:25Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lynda Raymonde''' (jina halisi '''Floriane Linda Nyebe Andella''') alizaliwa tarehe 10 Mei 1981 katika [[Yaoundé]],<ref name=":0">{{Cite web |title=Lynda Raymonde, Meilleure artiste Bikutsi féminin de l'année |url=http://www.culturebene.com/5835-lynda-raymonde-meilleur-artiste-bikutsi-feminin-de-lannee.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20180810160230/http://www.culturebene.com/5835-lynda-raymonde-meilleur-artiste-bikutsi-...' 1508159 wikitext text/x-wiki '''Lynda Raymonde''' (jina halisi '''Floriane Linda Nyebe Andella''') alizaliwa tarehe 10 Mei 1981 katika [[Yaoundé]],<ref name=":0">{{Cite web |title=Lynda Raymonde, Meilleure artiste Bikutsi féminin de l'année |url=http://www.culturebene.com/5835-lynda-raymonde-meilleur-artiste-bikutsi-feminin-de-lannee.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20180810160230/http://www.culturebene.com/5835-lynda-raymonde-meilleur-artiste-bikutsi-feminin-de-lannee.html |archive-date=2018-08-10 |access-date=2018-08-18 |website=archive.wikiwix.com}}</ref> na ni mwimbaji wa Bikutsi kutoka [[Kamerun]], akitokea eneo la Lekié<ref name=":1">{{Cite web |title=Lynda Raymonde en « Symbiose » |url=http://ct2015.cameroon-tribune.cm/index.php?option=com_content&view=article&id=71332:lynda-raymonde-en-l-symbiose-r&catid=5:culture&Itemid=3&showall=1 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20190328104153/http://ct2015.cameroon-tribune.cm/index.php?option=com_content&view=article&id=71332:lynda-raymonde-en-l-symbiose-r&catid=5:culture&Itemid=3&showall=1 |archive-date=2019-03-28 |access-date=2018-08-18 |website=archive.wikiwix.com}}</ref> katika mkoa wa Kati wa Kamerun. Alianza taaluma yake ya muziki mwaka 2003, lakini alipata umaarufu mkubwa kitaifa na kimataifa mwaka 2011 kupitia albamu yake ya kwanza ''Symbiose''.<ref>{{Cite news|url=http://www.bella.cm/33-lynda-raymonde-mon-nouveau-titre-ne-se-limitera-pas-au-pays.html|title=Lynda Raymonde : " Mon nouveau titre ne se limitera pas au pays…" {{!}} Bella|date=2015-11-22|work=Bella|access-date=2018-08-18|language=fr-FR|archive-date=2018-11-05|archive-url=https://web.archive.org/web/20181105160448/http://www.bella.cm/33-lynda-raymonde-mon-nouveau-titre-ne-se-limitera-pas-au-pays.html|url-status=dead}}</ref> == Wasifu == Lynda Raymonde alizaliwa tarehe 10 Mei 1981 katika [[Yaoundé]] na baba aliyekuwa mhandisi wa ujenzi na mama aliyekuwa mwalimu wa Kifaransa. Yeye ni mtoto wa kwanza kati ya watoto sita.<ref name=":0" /> === Utoto na elimu === Alisoma katika Lycée Bilingue de Bonabéri, [[Douala]], na baadaye katika shule ya sekondari ya Mendong mjini Yaoundé ambako alipata stashahada ya sekondari ya sayansi (Baccalauréat série D).<ref>{{Cite news|url=http://www.africapresse.com/lynda-raymonde-une-revelation-montante-de-la-musique-camerounaise-a-la-voix-suave/|title=Lynda Raymonde: Une révélation montante de la musique camerounaise à la voix suave|work=Actualite en Afrique et Cameroun|access-date=2018-08-18|language=en-US|archive-date=2018-12-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20181222222652/http://www.africapresse.com/lynda-raymonde-une-revelation-montante-de-la-musique-camerounaise-a-la-voix-suave/|url-status=dead}}</ref> Mwaka 1998 akiwa kidato cha kwanza cha juu (Première D), alijiunga na kundi la muziki wa rap liitwalo Beri City Zoo (BCZ) la Lycée Bilingue de Bonabéri, ambapo alikuwa mwimbaji kiongozi. Pia alifanya vizuri katika [[michezo]], akishinda tuzo ya mwanafunzi bora wa michezo, na kuwa mshindi wa pili kitaifa katika [[karate]] kwa makundi yote, na baadaye mshindi wa pili katika ukanda wa Afrika Kanda ya 4.<ref name=":2">{{Cite news|url=https://www.journalducameroun.com/lynda-raymonde-une-revelation-montante-de-la-musique-camerounaise-a-la-voix-suave/|title=Lynda Raymonde: Une révélation montante de la musique camerounaise à la voix suave - Journal du Cameroun|date=2011-04-29|work=Journal du Cameroun|access-date=2018-08-18|language=fr-FR}}</ref> Baada ya kupata stashahada yake, alijiunga na Chuo Kikuu cha Yaoundé I kusomea Baiolojia ya wanyama. Pia alijiunga na kwaya ya chuo hicho.<ref name=":2" /> Alianza taaluma ya muziki kitaaluma kwa kuimba katika kumbi za burudani (kabare) jijini Yaoundé.<ref name=":3">{{Cite web |last=Mbia |first=Sylvie |title=Cameroun: l'autre vie des chanteuses de cabaret |url=http://www.afriqueactualite.com/culture/arts/5574-cameroun-l-autre-vie-des-chanteuses-de-cabaret#.WQ2eMoN_fIU |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20170411181533/http://afriqueactualite.com/culture/arts/5574-cameroun-l-autre-vie-des-chanteuses-de-cabaret#.WQ2eMoN_fIU |archive-date=2017-04-11 |access-date=2018-08-18 |website=archive.wikiwix.com}}</ref> Baadaye alijiunga na L’école supérieure des sciences et techniques de l’information et de la communication mjini Yaoundé ambako alipata shahada ya sayansi katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano mwaka 2012, akibobea katika matangazo.<ref name=":3" /> === Kazi ya muziki === [[File:Lynda Raymonde13.jpg|thumb|left|Lynda Raymonde wakati wa Tamasha la Muziki la 2017 mbele ya Institut Français du Cameroun - Douala.]] Mwaka 2002, Lynda Raymonde alikutana na mpiga gitaa la besi Remy Ottou ambaye alimhamasisha kuanza kazi ya muziki wa kujitegemea. Alimfundisha noti za kwanza za besi na kushirikiana naye katika utunzi wa nyimbo zake za mwanzo.<ref name=":4">{{Cite web|url=http://www.nkul-beti-camer.com/ekang-media-press.php?cmd=article&Item=1894&TAB=-1&SUB=0|archive-url=https://archive.wikiwix.com/cache/20210331191506/http://www.nkul-beti-camer.com/ekang-media-press.php?cmd=article|url-status=dead|archive-date=2021-03-31|title=Wikiwix's cache|website=archive.wikiwix.com|access-date=2018-08-18}}</ref> Alianza kazi yake ya kitaaluma katika kabare mbalimbali za Yaoundé, ikiwemo Bois d'Ebène (2002–2005) na Okoumé (2005–2006).<ref name=":2" /> Ameimba pamoja na wasanii kadhaa wa Kamerun jukwaani, akiwemo Anne Marie Nzié, Sergeo Polo, [[K-Tino|K Tino]], Angel Ebogo, Marthe Zambo na Annie Anzouer, na pia kushiriki majukwaa ya kimataifa pamoja na wasanii maarufu kama Wes Madiko, Gadji Celi, Chidinma, Zouk Machine, Bill Soum, Serge Benaud, X-Maleya na [[Charlotte Dipanda]]. Mnamo Aprili 2010 alitoa wimbo wake wa kwanza ''Cameroonian Reactions'' kwa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru na muungano wa Kamerun. Albamu yake ya kwanza ''Symbiose'' ilitolewa Desemba 2011.<ref>{{Cite web |title=Lynda Raymonde in "symbiosis" |url=http://www.etudiant-ados.com/pages/culture-1/societe/lynda-raymonde-en-symbiose.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20170705071507/http://www.etudiant-ados.com/pages/culture-1/societe/lynda-raymonde-en-symbiose.html |archive-date=2017-07-05 |access-date=2018-08-18 |website=archive.wikiwix.com}}</ref> Albamu hiyo yenye nyimbo nane ilipata mafanikio makubwa na kuuza zaidi ya nakala 4,000<ref name=":1" /> hasa kutokana na wimbo ''Forme O - No Limit in Love'', ambao ulimletea tuzo ya Msanii Bora wa Kike wa Bikutsi mwaka 2012 katika tamasha la Festi Bikutsi.<ref>{{Cite news|url=http://reglo.org/posts/festi-bikutsi-une-fois-de-plus-la-fete-fut-belle-4798|title=reglo {{!}} Actualités Festi-bikutsi: une fois de plus, la fête fut belle|work=reglo.org|access-date=2018-08-18|language=fr-fr}}</ref> Mwaka 2015 alirudi kwenye muziki kwa kutoa maxi single ''Arrête comme ça''.<ref>{{Cite news|url=http://reglo.org/posts/linda-raymonder-la-porte-parole-des-femmes-annonce-son-grand-retour-4913|title=reglo {{!}} Actualités Linda Raymonde : la porte-parole des femmes annonce son grand retour|work=reglo.org|access-date=2018-08-18|language=fr-fr}}</ref> Desemba 2016 alitoa wimbo ''Infidèle'',<ref>{{Cite web|url=http://cameroun24.net/actualite-cameroun-Linda_Raymonde_3A_hymne__C3_A0_la_fid_C3_A9lit_C3_A9-3-3-37650.html|title=Linda Raymonde: hymne à la fidélité|website=cameroun24.net|access-date=2018-08-18}}</ref> uliokuwa utangulizi wa albamu yake iliyotarajiwa mwaka 2017.<ref>{{Cite news|url=https://www.camernews.com/lynda-raymonde-est-elle-une-femme-infidele/|title=Lynda Raymonde est-elle une femme "infidèle"? - Camernews|date=2016-12-24|work=Camernews|access-date=2018-08-18|language=en-US}}</ref> === Maisha binafsi === Baada ya kupata taaluma ya matangazo, alifanya kazi kwa miaka kadhaa kama mtangazaji katika kampuni kubwa jijini Yaoundé kabla ya kuanzisha kampuni yake ya ushauri iitwayo L-Rayonn inayojihusisha na [[mawasiliano]], [[masoko]] na usimamizi wa matukio.<ref>{{Cite web|url=http://chapchapmag.com/2015/06/lynda-raymonde-le-mariage-est-une-folie-positive/|title=LYNDA RAYMONDE: " LE MARIAGE EST UNE FOLIE POSITIVE " – Chapchapmag!|website=chapchapmag.com|language=fr-FR|access-date=2018-08-18}}</ref> Ameolewa na afisa wa juu wa Jeshi la Kamerun na ni mama wa watoto kadhaa.<ref>{{Cite web|url=http://www.cameroun24.net/actualite-cameroun-Cameroun_3A_l_E2_80_99autre_vie_des_chanteuses_de_cabaret-3-3-34412.html|title=Cameroun: l'autre vie des chanteuses de cabaret|website=www.cameroun24.net|access-date=2018-08-18}}</ref> == Diskografia == === Albamu === * 2011: ''Symbiose'' === Nyimbo === * 2010: ''Cameroonian Reactions'' * 2015: ''Arrête comme ça'' * 2016: ''Infidèle'' == Tuzo == * 2012: Msanii bora wa kike wa Bikutsi (Festi Bikutsi) * 2012: Ugunduzi wa mwaka (Mvet D'or) * 2012: Msanii chipukizi bora wa mitindo * 2014: Tuzo ya utambuzi wa kisanii (Gold Azik Awards, Ufaransa)<ref>{{Cite news|url=https://allainjules.wordpress.com/2015/01/03/musique-prix-gold-azik-award-2014-la-soiree-la-plus-spectaculaire-du-show-biz/|title=MUSIQUE & PRIX. Gold Azik Award 2014: la soirée la plus spectaculaire du show biz|date=2015-01-03|work=Allain Jules|access-date=2018-08-18|language=fr-FR}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1981|}} {{DEFAULTSORT:Raymonde, Lynda}} [[Jamii:Wanawake wa Kamerun]] [[Jamii:Watu walio hai]] 7xthsdlf2uzp8t0w40363mueocgl3q8 Inonge Mbikusita-Lewanika 0 229777 1508162 2026-04-21T11:24:16Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '```wiki id="1inonge" '''Princess Inonge Mbikusita-Lewanika''' (amezaliwa tarehe 10 Julai mwaka wa 1943, Senanga) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] ambaye amewahi kuhudumu kama Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini Marekani. Aliwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa Marekani George W. Bush tarehe 26 Februari mwaka wa 2003. == Maisha == Mbikusita-Lewanika alianza kazi yake kama mwalimu. Alisoma katika Chuo Kikuu cha New York (New York University), na mwaka 1...' 1508162 wikitext text/x-wiki ```wiki id="1inonge" '''Princess Inonge Mbikusita-Lewanika''' (amezaliwa tarehe 10 Julai mwaka wa 1943, Senanga) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] ambaye amewahi kuhudumu kama Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini Marekani. Aliwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa Marekani George W. Bush tarehe 26 Februari mwaka wa 2003. == Maisha == Mbikusita-Lewanika alianza kazi yake kama mwalimu. Alisoma katika Chuo Kikuu cha New York (New York University), na mwaka 1964 alipata shahada ya sayansi ya lishe ya familia (home economics) kutoka California Polytechnic State University, akifuatiwa na shahada ya uzamili mwaka uliofuata. Baadaye alipata shahada ya udaktari (PhD) katika elimu ya msingi kutoka New York University.[1] Alifanya kazi kama mhadhiri na profesa wa elimu katika Chuo Kikuu cha Zambia. Baadaye alifanya kazi na UNICEF kama mshauri wa kikanda kwa Afrika Mashariki na Kusini. Mwaka 1991 alichaguliwa kuwa mbunge kupitia Chama cha Movement for Multiparty Democracy (MMD) katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini Zambia tangu mwaka wa 1972. Alihudumu bungeni hadi mwaka wa 2001.[2] Mwaka wa 2003 aliteuliwa kuwa Balozi wa Zambia nchini Marekani, na mwaka 2006 alitambuliwa kama “Balozi wa Mwaka” kutokana na kazi yake ya kuwakilisha nchi yake.[2] Aliendelea kuhudumu katika nafasi hiyo hadi mwaka wa 2008.[2] Mnamo mwaka 2001 alikuwa miongoni mwa wanawake wawili waliowania urais wa Zambia kupitia chama cha Agenda for Zambia (AZ), akipata takriban asilimia 0.6 ya kura. Baada ya uchaguzi huo, aliteuliwa kuwa Balozi na Mjumbe Maalum wa Rais Levy Mwanawasa katika Umoja wa Afrika.[2] Mnamo mwaka wa 2009 alitunukiwa shahada ya heshima ya Doctor of Laws na California Polytechnic State University.[1] == Familia == Ni binti wa Mfalme Lewanika II wa Barotseland. Kutokana na ukoo huo, ana vyeo vya kifalme kama “Princess” na “Queen Mother Emerita” katika ufalme huo. Ndugu yake, Prince Akashambatwa Mbikusita-Lewanika, pia ni mwanasiasa.[citation needed] Ameolewa na ana watoto wawili wa kike. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1943|}} 6liz1dilhr3l1v417d63indq21bsfe9 1508168 1508162 2026-04-21T11:28:07Z Egipa 87700 1508168 wikitext text/x-wiki ```wiki id="1inonge" '''Princess Inonge Mbikusita-Lewanika''' (amezaliwa tarehe 10 Julai mwaka wa 1943, Senanga) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] ambaye amewahi kufanya kazi kama Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini Marekani. Aliwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa Marekani George W. Bush tarehe 26 Februari mwaka wa 2003. == Maisha == Mbikusita-Lewanika alianza kazi yake kama mwalimu. Alisoma katika Chuo Kikuu cha New York (New York University), na mwaka wa 1964 alipata shahada ya sayansi ya lishe ya familia (home economics) kutoka katika California Polytechnic State University, akifuatiwa na shahada ya uzamili katika mwaka uliofuata. Baadaye alipata shahada ya udaktari (PhD) katika elimu ya msingi kutoka New York University.[1] Alifanya kazi kama mhadhiri na profesa wa elimu katika Chuo Kikuu cha nchini Zambia. Baadaye alifanya kazi na UNICEF kama mshauri wa kikanda kwa Afrika Mashariki na Kusini. Mwaka wa 1991 alichaguliwa kuwa mbunge kupitia Chama cha Movement for Multiparty Democracy (MMD) katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini Zambia tangu mwaka wa 1972. Alifanya kazi bungeni hadi mwaka wa 2001.[2] Mwaka wa 2003 aliteuliwa kuwa Balozi wa Zambia nchini Marekani, na mwaka wa 2006 alitambuliwa kama “Balozi wa Mwaka” kutokana na kazi yake ya kuwakilisha nchi yake.[2] Aliendelea kuhudumu katika nafasi hiyo hadi mwaka wa 2008.[2] Mnamo mwaka 2001 alikuwa miongoni mwa wanawake wawili waliowania urais wa Zambia kupitia chama cha Agenda for Zambia (AZ), akipata takriban asilimia 0.6 ya kura. Baada ya uchaguzi huo, aliteuliwa kuwa Balozi na Mjumbe Maalum wa Rais Levy Mwanawasa katika Umoja wa Afrika.[2] Mnamo mwaka wa 2009 alitunukiwa shahada ya heshima ya Doctor of Laws na California Polytechnic State University.[1] == Familia == Ni binti wa Mfalme Lewanika II wa Barotseland. Kutokana na ukoo huo, ana vyeo vya kifalme kama “Princess” na “Queen Mother Emerita” katika ufalme huo. Ndugu yake, Prince Akashambatwa Mbikusita-Lewanika, pia ni mwanasiasa.[citation needed] Ameolewa na ana watoto wawili wa kike. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1943|}} qs9z0aa2vp1sb7hvr0c6kpcjor15hkj Yolanda George-David 0 229778 1508163 2026-04-21T11:26:09Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Yolanda George-David''', anayejulikana pia kama '''Shangazi Land'''a, ni [[daktari]] wa tiba kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya, [[vyombo vya habari]] na shughuli za kibinadamu. Ana utaalamu katika upasuaji wa mishipa ya ubongo, taaluma inayohitaji ujuzi wa hali ya juu katika matibabu ya magonjwa yanayohusiana na [[ubongo]] na [[mfumo wa neva]]. Mbali na taaluma yake ya udaktari, pia ni mtangazaji wa redio (OAP), amb...' 1508163 wikitext text/x-wiki '''Yolanda George-David''', anayejulikana pia kama '''Shangazi Land'''a, ni [[daktari]] wa tiba kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya, [[vyombo vya habari]] na shughuli za kibinadamu. Ana utaalamu katika upasuaji wa mishipa ya ubongo, taaluma inayohitaji ujuzi wa hali ya juu katika matibabu ya magonjwa yanayohusiana na [[ubongo]] na [[mfumo wa neva]]. Mbali na taaluma yake ya udaktari, pia ni mtangazaji wa redio (OAP), ambapo hutumia jukwaa hilo kuelimisha jamii kuhusu masuala ya afya na ustawi wa maisha. Katika shughuli zake za kijamii, Yolanda George-David amejitokeza kama mtaalamu wa kibinadamu anayejihusisha na misaada na uhamasishaji wa masuala ya afya katika jamii. Mnamo mwaka [[2018]], aliteuliwa kuwa balozi wa Vlisco, chapa maarufu inayohusiana na mitindo ya mavazi ya Kiafrika, jambo lililoonyesha kutambuliwa kwake si tu katika taaluma ya afya bali pia katika ushawishi wa kijamii.<ref name=":0">{{Cite web|date=2018-04-21|title=DR. YOLANDA GEORGE-DAVID, MEDICAL DOCTOR, HUMANITARIAN AND MEDIA PERSONALITY, TO SPEAK AT PRIDE WOMEN CONFERENCE 2018|url=https://www.pridemagazineng.com/dr-yolanda-george-speaks-at-pride-women-conference-2018/|access-date=2020-11-22|website=Pride Magazine Nigeria|language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web|date=2018-12-22|title=Join Dr Yolanda N. George-David & Alibaba at Aunt Landa's Market Square tagged "Intervention Edition" Today, 22nd December, 2018|url=https://urbanwomanmag.com/aunt-landa-market-square-tagged-intervention-edition/|access-date=2025-09-07|website=Urban Woman Magazine|language=en-GB}}</ref><ref>{{Cite web|date=2018-03-27|title=Dr Yoland George aka Aunty Landa, is Vlisco New Brand Ambassador|url=https://www.tribeandelan.com/dr-yolanda-george-david-neurosurgeon-humanitarian-media-personality-dr-yoland-george-david-edical-doctor-humanitarian-media-personality/|access-date=2020-11-22|website=Tribe and Elan|language=en-US}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Yolanda George-David alianza safari yake ya kazi za kibinadamu akiwa na umri wa miaka 16, hatua iliyomjenga mapema katika kujihusisha na masuala ya afya na ustawi wa jamii. Katika masomo yake ya juu, alihitimu kutoka [[Chuo Kikuu cha Pittsburgh]] kabla ya kuendelea na masomo ya udaktari katika Shule ya Tiba ya Harvard, ambako alifunzwa na kubobea katika taaluma ya daktari wa neva. Katika taaluma yake ya kitabibu, alijikita zaidi katika maeneo ya uzazi na magonjwa ya wanawake, pamoja na kazi za mwanasaikolojia wa kliniki na uhusiano, akilenga zaidi maendeleo ya watoto na afya ya akili ya familia. == Kazi == Yolanda George-David amejitokeza kama mtaalamu wa kibinadamu mwenye mchango mkubwa katika kuwasaidia waathirika wa ukatili wa kijinsia na changamoto za kijamii. Kupitia kazi yake katika Wakfu wa Bethel wa Shangazi Landa, amewashauri na kuwasaidia zaidi ya vijana 25,000 waliokumbwa na unyanyasaji wa kingono, akiwapatia pia mafunzo ya ujuzi wa ufundi na stadi za maisha ili kuwawezesha kujitegemea.<ref>{{Cite web|title=DR YOLANDA N. GEORGE-DAVID(PHD)|url=https://www.wisewomenawardsng.org/dr-yolanda-n-george-davidphd/|access-date=2020-11-22|website=Wise Women Awards - Nigeria|language=en-US|archive-date=2020-11-30|archive-url=https://web.archive.org/web/20201130035911/https://www.wisewomenawardsng.org/dr-yolanda-n-george-davidphd/|url-status=dead}}</ref> Katika shughuli zake za kijamii, amejikita katika kuwasaidia watu waliotengwa kijamii, ikiwemo kurekebisha maisha ya waliokuwa katika biashara ya ukahaba pamoja na watoto waliopitia unyanyasaji wa kingono. Pia amekuwa mstari wa mbele katika kupigania haki za watu waliokandamizwa na kuhakikisha wanapata msaada wa kisaikolojia na kijamii. Mbali na kazi za kibinadamu, Yolanda George-David pia ni mtangazaji wa redio anayependwa, ambapo huandaa vipindi kama ''“Kuwa Halisi na Aunt Landa”'' na ''“Kushiriki Masuala ya Maisha ya Wikendi Maalum na Aunt Landa”'' kwenye kituo cha 92.3 Inspiration FM. Kupitia vipindi hivyo, hutumia sauti yake kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya afya, mahusiano na maisha ya kila siku.<ref>{{Cite news|date=2018-03-31|title=Yolanda George-David is Nigerian ambassador of Vlisco, textile company|url=https://www.thecable.ng/vlisco-design-company-names-2018-nigerian-ambassador|access-date=2020-11-22|newspaper=[[TheCable]]|language=en-US}}</ref> == Balozi wa Vlisco == Yolanda George-David alitambuliwa rasmi kwa mchango wake katika masuala ya kibinadamu na ustawi wa jamii, ambapo mnamo mwaka 2018 aliteuliwa kuwa balozi wa Vlisco nchini Nigeria. Uteuzi huo ulitokana na juhudi zake za muda mrefu katika kuboresha maisha ya watu wasiojiweza na kuimarisha ustawi wa jamii kupitia kazi zake za kijamii na kiafya.<ref>{{Cite news|title=Dr Yolanda George-David - Vlisco ambassadors - inspiring African women|url=https://www.vlisco.com/ambassador/dr-yolanda-george-david/|access-date=2020-11-22|website=Vlisco|language=en-US|archive-date=30 November 2020|archive-url=https://web.archive.org/web/20201130130433/https://www.vlisco.com/ambassador/dr-yolanda-george-david/|url-status=dead}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii: Watu walio hai]] 10n3j88wo09dcymjdczx9r0nap3tbqi Christina Hammer 0 229779 1508164 2026-04-21T11:26:57Z Bycashtz 81318 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox Person |jina = Christina Hammer |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 16 Agosti 1990 |mahala_pa_kuzaliwa = [[Novodolinsky]], Kazakhstan |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = Lady Hammer |anafahamika kwa = Ubingwa wa dunia asiyepingika katika uzani wa kati. |kazi_yake = Bondia, Mwanamitindo |nchi = [[Ujerumani]] |tovuti...' 1508164 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Christina Hammer |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = 16 Agosti 1990 |mahala_pa_kuzaliwa = [[Novodolinsky]], Kazakhstan |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = Lady Hammer |anafahamika kwa = Ubingwa wa dunia asiyepingika katika uzani wa kati. |kazi_yake = Bondia, Mwanamitindo |nchi = [[Ujerumani]] |tovuti = }} '''Christina Hammer''' (alizaliwa 16 Agosti 1990) ni mwanamichezo na bondia wa kulipwa kutoka nchini [[Ujerumani]] mwenye asili ya [[Kazakhstan]]. Hammer anachukuliwa kuwa mmoja wa mabondia bora zaidi wa kike katika historia ya mchezo huo, akiwa ameshikilia ubingwa wa dunia asiyepingika katika uzani wa kati kwa muda mrefu. Anafahamika ulingoni kwa jina la "Lady Hammer," na ameweka rekodi ya kipekee kwa kutawala madaraja ya uzani wa kati na uzani wa juu ya kati, huku akisifiwa kwa ufundi wake mkubwa, kasi, na uwezo wa kudhibiti mapambano kuanzia mwanzo hadi mwisho.<ref>{{cite web |url=https://boxrec.com |title=Rekodi ya Christina Hammer |publisher=BoxRec |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Christina alizaliwa katika kijiji cha [[Novodolinsky]] nchini Kazakhstan na kuhamia nchini Ujerumani pamoja na familia yake akiwa na umri wa miaka mitatu pekee. Alianza kujihusisha na mchezo wa ndondi akiwa na umri wa miaka 13 baada ya kuvutiwa na ndugu zake waliokuwa wakifanya mazoezi ya ngumi. Licha ya changamoto za kijinsia zilizokuwepo katika mchezo huo wakati akianza, Hammer alionyesha bidii ya hali ya juu na nidhamu ya kipekee. Alifanikiwa kuhitimu masomo yake ya juu katika fani ya usimamizi wa michezo, jambo ambalo lilimsaidia kuelewa vyema upande wa biashara na uongozi katika tasnia ya ndondi za kulipwa.<ref>{{cite news |url=https://dw.com |title=Christina Hammer: Lady ndani na nje ya ulingo |work=Deutsche Welle |date=20 Desemba 2017 |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Kazi ya ndondi na mafanikio == Hammer alianza safari yake ya ndondi za kulipwa mnamo mwaka 2009 na mwaka mmoja baadaye, akiwa na umri wa miaka 20 pekee, alishinda taji la dunia la WBO na kuwa bingwa mdogo zaidi wa shirika hilo nchini Ujerumani. Alitawala daraja la uzani wa kati kwa takriban muongo mmoja bila kushindwa, akishikilia mataji ya mashirikisho ya WBO, WBC, na IBF kwa pamoja. Moja ya mapambano yake makubwa na ya kihistoria lilikuwa dhidi ya [[Claressa Shields]] mwaka 2019 nchini Marekani katika pambano la kutafuta bingwa asiyepingika. Licha ya kupata changamoto katika pambano hilo, Hammer amebaki kuwa kioo cha ubora katika ndondi za kike duniani, akijivunia rekodi ya ushindi katika mapambano yake mengi.<ref>{{cite news |url=https://espn.com |title=Shields amshinda Hammer na kuwa bingwa asiyepingika |work=ESPN |date=14 Aprili 2019 |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Maisha binafsi na harakati == Nje ya ulingo wa ndondi, Christina Hammer ni mwanamitindo mashuhuri na amekuwa akishirikiana na chapa mbalimbali za kimataifa, ikiwemo kampuni ya vifaa vya michezo ya [[Adidas]]. Anatumia ushawishi wake kama mwanamichezo na mrembo kupinga dhana potofu kuwa wanawake wanaoshiriki michezo ya nguvu hawawezi kuwa na mvuto wa kike. Hammer pia ni balozi wa michezo anayehimiza wasichana wadogo kujiamini na kufuata ndoto zao bila uoga. Amekuwa akijitolea kutoa mafunzo na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa mazoezi na maisha ya afya, akisisitiza kuwa ndondi ni mchezo unaojenga nidhamu na uthabiti wa akili.<ref>{{cite web |url=https://christinahammer.de |title=Wasifu wa Lady Hammer |publisher=Tovuti Rasmi ya Christina Hammer |access-date=21 Aprili 2026}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{BD|1990}} [[Jamii:Mabondia wa Ujerumani]] [[Jamii:Watu kutoka Kazakhstan]] [[Jamii:WikiGap JWK 2026]] 091paqqaq5s095kh8uqj2phd7h65wts Busaphi Machi 0 229780 1508165 2026-04-21T11:27:36Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Busaphi Eleonor Machi''' ni [[mwanasiasa]] na mwalimu kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye amekuwa Mbunge wa Bunge la Taifa tangu Juni 2024, akiwakilisha Inkatha Freedom Party.<ref name="Citizen">{{Cite web|date=2024-07-08|title=National Assembly post for Ugu councillor|url=https://www.citizen.co.za/south-coast-herald/south-coast-fever/2024/07/08/national-assembly-post-for-ugu-councillor-2/|access-date=2025-06-22|website=South Coast Herald|language=en-GB}}</...' 1508165 wikitext text/x-wiki '''Busaphi Eleonor Machi''' ni [[mwanasiasa]] na mwalimu kutoka [[Afrika Kusini]] ambaye amekuwa Mbunge wa Bunge la Taifa tangu Juni 2024, akiwakilisha Inkatha Freedom Party.<ref name="Citizen">{{Cite web|date=2024-07-08|title=National Assembly post for Ugu councillor|url=https://www.citizen.co.za/south-coast-herald/south-coast-fever/2024/07/08/national-assembly-post-for-ugu-councillor-2/|access-date=2025-06-22|website=South Coast Herald|language=en-GB}}</ref> == Marejeo == {{reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] fuu3jay7jcxx2r3qr5e79p0jn1x5ak8 Jamii:Mabondia wa Ujerumani 14 229781 1508166 2026-04-21T11:27:43Z Bycashtz 81318 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Mabondia]]' 1508166 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Mabondia]] 1rocx8ifmp0arhl1xtno8kockr3ey38 Jamii:Watu kutoka Kazakhstan 14 229782 1508169 2026-04-21T11:28:24Z Bycashtz 81318 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Watu]]' 1508169 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Watu]] 47ng479lyahegvwkgur219ehi77ch0n Cina Soul 0 229783 1508170 2026-04-21T11:28:53Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Christie Quincyna Quarcoopome''' (amezaliwa tarehe 3 Mei 1996),<ref>{{Cite web |date=2022-06-20 |title=Cina Soul biography and net worth |url=https://myinfo.com.gh/2022/06/cina-soul-biography-and-net-worth/ |access-date=2023-11-20 |website=www.myinfo.com.gh |language=en-GB}}</ref> anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii '''Cina Soul,''', ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na msanii wa jukwaani kutoka [[Ghana]].<ref>{{cite web|title=My Father Influenced The G...' 1508170 wikitext text/x-wiki '''Christie Quincyna Quarcoopome''' (amezaliwa tarehe 3 Mei 1996),<ref>{{Cite web |date=2022-06-20 |title=Cina Soul biography and net worth |url=https://myinfo.com.gh/2022/06/cina-soul-biography-and-net-worth/ |access-date=2023-11-20 |website=www.myinfo.com.gh |language=en-GB}}</ref> anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii '''Cina Soul,''', ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na msanii wa jukwaani kutoka [[Ghana]].<ref>{{cite web|title=My Father Influenced The Genre of Music I do – Cina Soul – Kuulpeeps|url=https://kuulpeeps.com/2016/05/my-father-influenced-the-genre-of-music-i-do-cina-soul/|website=KuulPeeps|accessdate=26 April 2018}}</ref><ref>{{Cite web |date=2022-03-11 |title=Album of the week: Chapter V by Asi Renie - MyJoyOnline.com |url=https://www.myjoyonline.com/album-of-the-week-chapter-v-by-asi-renie/ |access-date=2022-03-26 |website=www.myjoyonline.com |language=en-US}}</ref> Alikuwa mshiriki wa fainali katika shindano la muziki la Vodafone Ghana Music Icons mwaka 2014 lililofanyika [[Accra]], Ghana.<ref>{{cite web|title=Cina Soul – Music in Africa|url=https://www.musicinafrica.net/directory/cina-soul|website=Music in Africa|date=30 March 2016 |accessdate=26 April 2018}}</ref> == Maisha ya awali == Christie Quincyna Quarcoopome alizaliwa na kukulia Kokomlemle, Ghana, na [[Accra]] kwa wazazi wa Ghana, na anatoka Jamestown mjini Accra. Ni mwenyeji wa kabila la Ga nchini [[Ghana]]. Alipata elimu ya sekondari ya chini katika Deyoungsters International School na elimu ya sekondari ya juu katika Aburi Girls Senior High School. Baadaye aliendelea na masomo ya [[saikolojia]] na [[akiolojia]] katika [[Chuo Kikuu cha Ghana]].<ref>{{cite web |title=Songs That Speak to The Soul: Songs By The Super Talented CINA SOUL |url=http://legacybase.com/music/songs-speak-soul-songs-super-talented-cina-soul/ |accessdate=26 April 2018 |website=Legacy Base}}</ref> Ni mtoto wa pili kati ya watoto watatu; ana dada mmoja mkubwa na mdogo.<ref>{{Cite journal |date=January 2001 |title=Gregory’s girl |url=https://doi.org/10.7748/ldp.3.5.6.s12 |journal=Learning Disability Practice |volume=3 |issue=5 |pages=6–9 |doi=10.7748/ldp.3.5.6.s12 |issn=1465-8712|url-access=subscription }}</ref> == Kazi ya muziki == === Mwanzo wa kazi === Jaribio lake la kwanza katika muziki lilikuwa ushiriki wake katika Vodafone Ghana Music Icons mwaka 2014, ambapo alifika fainali. Baada ya hapo alitoa mchanganyiko wa nyimbo (mashups) na kurekodi upya baadhi ya nyimbo maarufu, ikiwemo ''Bankulize'' ya [[Mr Eazi]] na ''Bamidele'' ya Cyna.<ref>{{cite web |date=23 November 2015 |title=Cina 'Bankulize x in My Bed x Go Harder x Skintight' mashup |url=http://livefmghana.com/2015/11/23/new-music-cina-bankulize-x-in-my-bed-x-go-harder-x-skintight-mashup/ |accessdate=2 May 2018 |website=Live Fm Ghana |publisher=Livefm Ghana |archive-date=2 May 2019 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190502094433/http://livefmghana.com/2015/11/23/new-music-cina-bankulize-x-in-my-bed-x-go-harder-x-skintight-mashup/ |url-status=dead }}</ref> Mwaka 2016 alitoa albamu yake ya kwanza ''Metanoia'', iliyowashirikisha [[M.anifest]], Worlasi na [[KiDi]], ambayo ilimletea umaarufu mkubwa kupitia nyimbo kama ''Awo'' na ''Julor''.<ref>{{Cite news |title=Metanoia Experience for Alliance Francaise – Graphic Online |url=https://www.graphic.com.gh/entertainment/music/metanoia-experience-for-alliance-francaise.html |location=Accra, Ghana|accessdate=26 April 2018 |newspaper=[[Daily Graphic (Ghana)|Daily Graphic]]}}</ref><ref>{{cite web |title=Cina Soul, Metanoia EP; Everything You Need To Know |url=https://www.kampus360gh.com/cina-soul-metanoia-ep-everything-you-need-to-know/ |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20170509211127/http://www.kampus360gh.com/cina-soul-metanoia-ep-everything-you-need-to-know/ |archive-date=9 May 2017 |accessdate=26 April 2018 |website=Kampus360gh |publisher=Kampus360}}</ref> Alishiriki pia katika mradi wa ''Black Girls Glow'' ulioanzishwa mwaka 2017 na Dzyadzorm na Poetra Asantewa. Pamoja na wasanii kama Adomaa, Fu na Ria Boss, walitoa albamu ''Mother of Heirs'' mwezi Julai 2017.<ref>{{cite web |date=13 July 2017 |title=Poetra Asantewaa, Ria Boss, Adomaa, Fu, Dzyadzorm & Cina Soul (Black Girls Glow) release 'Mother of Heirs' album |url=https://www.ghanamusic.com/news/top-stories/2017/07/13/poetra-asantewaa-ria-boss-adomaa-fu-dzyadzorm-cina-soul-black-girls-glow-release-mother-heirs-album/ |accessdate=26 April 2018 |website=Ghana Music |publisher=Worla Quist}}</ref> Pia alitumbuiza katika hafla ya Allianz Awards katika Goethe-Institut mwezi Desemba 2017 pamoja na Nana Yaa, na kushiriki katika tamasha la Vodafone Ghana Music Awards mwaka 2017.<ref>{{cite web |title=PHOTOS: Deon Boakye, CJ, Cina Soul and more rock VGMA |url=https://kubilive.com/photos-deon-boakye-cj-cina-soul-and-more-rock-vgma-nominees-jam-in-sunyani/ |accessdate=2 May 2018 |website=Kubi Live |archive-date=2 May 2019 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190502110000/https://kubilive.com/photos-deon-boakye-cj-cina-soul-and-more-rock-vgma-nominees-jam-in-sunyani/ |url-status=dead }}</ref> Aidha, aliandaa tamasha lake binafsi liitwalo ''Metanoia X''.<ref>{{cite web |title=mtv news – cina soul, struts, sings and stuns at metanoia x – MTV Africa |url=http://www.mtvbase.com/news/cina-soul-struts-sings-and-stuns-at-metanoia-x/kwqml1 |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20180503112620/http://www.mtvbase.com/news/cina-soul-struts-sings-and-stuns-at-metanoia-x/kwqml1 |archive-date=3 May 2018 |accessdate=2 May 2018 |website=MTV Base |publisher=MTV Africa}}</ref> === Universal Music Group === Mapema mwaka 2018, Cina Soul alitoa wimbo ''00:01'' uliomfanya kusaini mkataba na Universal Music Group.<ref>{{cite web |title=Ghana's Cina Soul signs with Universal Music – YFM Ghana |url=https://yfmghana.com/ghanas-cina-soul-signs-with-universal-music/ |access-date=26 April 2018 |website=YFM Ghana |archive-date=26 April 2024 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240426035705/https://yfmghana.com/ghanas-cina-soul-signs-with-universal-music/ |url-status=live }}</ref> Alitoa pia wimbo ''12:01'' chini ya lebo hiyo.<ref>{{cite web |title=Joining Universal Music Was A Big Dream- Cina Soul – Modern Ghana |url=https://www.modernghana.com/entertainment/49438/joining-universal-music-was-a-big-dream-cina-soul.html |accessdate=26 April 2018 |website=ModernGhana |publisher=Modern Ghana}}</ref> Mwaka 2019 alitoa wimbo ''Adukwei'', uliorekodiwa kwa lugha ya [[Kiga]] kwa ajili ya tamasha la Homowo la watu wa Ga nchini Ghana.<ref>{{cite web|title=Cina Soul releases fresh jam, 'Adukwei' ahead of Homowo|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Cina-Soul-releases-fresh-jam-Adukwei-ahead-of-Homowo-772307|website=ghanaweb.com|date=15 August 2019 |publisher=Ghana Web|accessdate=5 September 2019}}</ref> == Mtindo wa muziki == Cina Soul ana uwezo mpana wa sauti na hujikita katika mitindo ya soul, R&B na highlife. Nyimbo zake huimbwa kwa Kiingereza na lugha ya Ga, na mara nyingi huzitunga kutokana na uzoefu wake binafsi.<ref>{{Cite news|title=Pulse Music: Weekly Discovery: Cina Soul – Buzz – Pulse.ng|url=http://www.pulse.ng/buzz/pulse-music-weekly-discovery-cina-soul-id5209043.html|newspaper=[[Pulse Nigeria]]|accessdate=26 April 2018|archive-date=23 June 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20180623170344/http://www.pulse.ng/buzz/pulse-music-weekly-discovery-cina-soul-id5209043.html|url-status=dead}}</ref> == Athari == Msukumo wake wa muziki umetokana sana na wasanii wa Magharibi kama Anita Baker, [[Brandy Norwood|Brandy]], Sade, [[Aretha Franklin]], [[Aṣa]] na [[Whitney Houston]]. == Diskografia == {| class="wikitable" |- !Mwaka !Kichwa !Uzalishaji !Albamu |- |2016 |''Metanoia'' (EP) |Odunsi |Metanoia |- |2017 |''Mother of Heirs'' |Wazalishaji mbalimbali |Mother of Heirs |- |2021 |''For Times We Lost'' (EP) |Wazalishaji mbalimbali |For Times We Lost |- |2025 |''Did I Lie'' |Wazalishaji mbalimbali |Did I Lie |} == Tuzo na uteuzi == {| class="wikitable" !Mwaka !Shirika !Tuzo !Kazi iliyoteuliwa !Matokeo |- |2019 |MTN 4syte TV Music Video Awards |Best Photography |Ojorley |{{Won}}<ref>{{Cite web|date=2019-11-16|title=4Syte TV Music Awards 2019 winners|url=https://www.ghanamusic.com/news/top-stories/2019/11/16/list-of-winners-mtn-4syte-tv-music-video-awards-2019/|access-date=2019-11-16|website=ghanamusic.com|language=en-US}}</ref> |- |2020 |Vodafone Ghana Music Awards |Best Video of the Year |Killi Mi |{{Won}}<ref>{{Cite web|date=2020-08-30|title=Kuami Eugene wins VGMA Artiste of the Year 2020|url=https://www.myjoyonline.com/news/national/kuami-eugene-wins-vgma-artiste-of-the-year-2020/|access-date=2020-08-30|website=MyJoyOnline.com|language=en-US}}</ref> |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1996|}} == Viungo vya nje == * [https://www.facebook.com/Cina-Soul-763933147002144/ Cina Soul] kwenye Facebook {{Udhibiti wa mamlaka}} {{DEFAULTSORT:Soul, Cina}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanawake wa Ghana]] e02h9g5h1wv93szpgqnej7fm4fcqhtu Ada Karmi-Melamede 0 229784 1508171 2026-04-21T11:30:11Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1508171 wikitext text/x-wiki '''Ada Karmi-Melamede''' (alizaliwa [[1936]]) ni msanifu majengo mashuhuri wa Israeli. <ref>[http://jwa.org/encyclopedia/article/karmi-melamede-ada Ada Karmi-Melamede] in Jewish Women's Archive Encyclopedia</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa 1936]] [[jamii:watu walio hai]] [[jamii:watu wa Israeli]] 5oew1mfsymuf4oofs2ycpbjaqymgidz Awele Vivien Elumelu 0 229785 1508173 2026-04-21T11:32:47Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Awele Vivien Elumelu OFR''' (alizaliwa [[23 Juni]] [[1970]]) ni [[daktari]] na mtendaji wa [[biashara]] kutoka [[Nigeria]], anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya na uongozi wa taasisi za kijamii na za kibiashara. Yeye ni Mkurugenzi Mkuu wa Avon Healthcare Limited pamoja na Avon Medical Practice, ambapo anaongoza juhudi za kuboresha huduma za afya na upatikanaji wa matibabu bora nchini Nigeria. Aidha, anashikilia nafasi mbalimbali za uongo...' 1508173 wikitext text/x-wiki '''Awele Vivien Elumelu OFR''' (alizaliwa [[23 Juni]] [[1970]]) ni [[daktari]] na mtendaji wa [[biashara]] kutoka [[Nigeria]], anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya na uongozi wa taasisi za kijamii na za kibiashara. Yeye ni Mkurugenzi Mkuu wa Avon Healthcare Limited pamoja na Avon Medical Practice, ambapo anaongoza juhudi za kuboresha huduma za afya na upatikanaji wa matibabu bora nchini Nigeria. Aidha, anashikilia nafasi mbalimbali za uongozi zisizo za utendaji katika Heirs Holdings pamoja na mashirika mengine ya kimataifa na kikanda. Awele Vivien Elumelu pia ni mmoja wa waanzilishi wenza wa Tony Elumelu Foundation, taasisi inayojikita katika kukuza ujasiriamali barani Afrika kwa kuwasaidia vijana na wafanyabiashara chipukizi kupata mafunzo, mitaji na fursa za biashara. == Maisha ya awali na elimu == Awele Vivien Elumelu alizaliwa katika Jimbo la Lagos, Nigeria, tarehe 23 Juni 1970. Alipata elimu yake ya sekondari katika Chuo cha Queen’s, Lagos, kabla ya kuendelea na masomo ya juu katika taaluma ya tiba. Baadaye, alihitimu Shahada ya Udaktari na Upasuaji (MBBS) kutoka [[Chuo Kikuu cha Benin]], hatua iliyompa msingi imara wa kuanza kazi yake ya udaktari. Katika taaluma yake ya kitabibu, Awele Vivien Elumelu amefanya kazi nchini Nigeria na Uingereza, akihudumu katika taasisi mbalimbali za afya. Miongoni mwa maeneo aliyofanya kazi ni Hospitali ya Kufundishia ya Chuo Kikuu cha Lagos pamoja na Hospitali ya Grantham na Wilaya, ambapo alichangia katika utoaji wa huduma za afya na matibabu kwa wagonjwa. == Kazi == Awele Vivien Elumelu amejenga taaluma yake katika nyanja mbili kuu: kama mtaalamu wa tiba na kama mtendaji katika sekta ya afya na usimamizi wa taasisi za kibiashara. Yeye ni Mwenyekiti wa Avon Healthcare Limited (Avon HMO) pamoja na Avon Medical Practice, ambapo ameongoza juhudi za kuimarisha huduma za bima ya afya na kuendesha kliniki zinazolenga kuongeza upatikanaji wa huduma bora za matibabu nchini Nigeria. Kupitia uongozi wake, taasisi hizo zimejikita katika kuboresha mifumo ya afya na kupunguza changamoto za upatikanaji wa huduma za matibabu kwa wananchi.<ref name="mo1">{{Cite news|last=Moses-Ashike|first=Hope|date=2019-08-27|title=Awele Vivien Elumelu: Investing strategically to redefine healthcare delivery in Nigeria|url=https://businessday.ng/health/article/awele-vivien-elumelu-investing-strategically-to-redefine-healthcare-delivery-in-nigeria/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2025-11-25|newspaper=[[BusinessDay (Nigeria)|BusinessDay]]|language=en-US}}</ref> Aidha, Awele Vivien Elumelu pia anahudumu kama Mkurugenzi Asiye Mtendaji katika Heirs Holdings, kampuni ya uwekezaji inayojihusisha na sekta mbalimbali za kiuchumi nchini Nigeria na Afrika kwa ujumla. Kupitia nafasi hiyo, amechangia katika uongozi na usimamizi wa kimkakati wa miradi ya uwekezaji na maendeleo ya biashara.<ref>{{Cite news|title=Awele Elumelu Glows as She Adds One More Year|url=https://www.thisdaylive.com/2019/06/29/awele-elumelu-glows-as-she-adds-one-more-year/|date=2019-06-29|access-date=2025-11-25|language=en-US|newspaper=[[This Day]]|first=Ferdinand|last=Ekechukwu}}</ref> == Utetezi == Awele Vivien Elumelu amekuwa mshiriki hai katika kampeni za afya kwa wote, akijikita zaidi katika kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto pamoja na programu za chanjo zinazolenga kuzuia magonjwa yanayoweza kuzuilika. Katika juhudi zake za kimataifa za afya ya umma, aliteuliwa kuwa Bingwa wa Chanjo wa GAVI Alliance barani Afrika. Kupitia nafasi hiyo, amekuwa akihamasisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo na kuongeza uelewa kuhusu kinga dhidi ya magonjwa hatarishi. Aidha, Awele Vivien Elumelu ni mjumbe wa bodi katika Ellen Johnson Sirleaf Presidential Center for Women and Development, taasisi inayojikita katika uongozi wa wanawake na maendeleo barani Afrika. Pia anahudumu kwenye bodi ya ushauri ya Yale Institute for Global Health, ambapo anatoa mchango wake katika masuala ya afya ya kimataifa na sera za maendeleo ya afya.<ref>{{Cite news|title=Elumelu appointed Gavi Champion for Immunisation in Africa|url=https://pmnewsnigeria.com/2018/01/29/elumelu-appointed-gavi-champion-immunisation-africa/|location=Lagos, Nigeria|first=Kazeem|last=Ugbodaga|date=2018-01-29|access-date=2025-11-25|language=en-US|newspaper=[[P.M. News]]}}</ref> Kupitia majukumu haya, ameendelea kuwa sauti muhimu katika kuendeleza afya ya umma na kuimarisha mifumo ya afya katika Afrika na duniani kwa ujumla.<ref>{{Cite web|last=Oduah|first=Henry|date=2020-12-01|title=Elumelu's wife joins Yale health advisory board|url=https://www.qed.ng/elumelus-wife-joins-yale-health-advisory-board/|access-date=2025-11-25|website=QED.NG|language=en-US}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii: Waliozaliwa 1970]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] m65qebtejg7uf6vse0vkgqaerc9sdpw Gladys Nyirongo 0 229786 1508175 2026-04-21T11:34:54Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Gladys Nyirongo''' ni mwanasiasa wa Zambia. Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Bwacha kuanzia mwaka 2001 hadi 2011. Mwaka 2002 aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo,[1] na baadaye mwaka 2006 akawa Waziri wa Ardhi.[2] == Siasa na kazi == Nyirongo alikuwa mwanachama wa Chama cha Heritage Party nchini [[Zambia]]. Katika uchaguzi wa mwaka 2001, alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bwacha wakati Levy Mwanawasa wa Chama cha Movement for Multi-Party Democracy (MMD) alipocha...' 1508175 wikitext text/x-wiki '''Gladys Nyirongo''' ni mwanasiasa wa Zambia. Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Bwacha kuanzia mwaka 2001 hadi 2011. Mwaka 2002 aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo,[1] na baadaye mwaka 2006 akawa Waziri wa Ardhi.[2] == Siasa na kazi == Nyirongo alikuwa mwanachama wa Chama cha Heritage Party nchini [[Zambia]]. Katika uchaguzi wa mwaka 2001, alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bwacha wakati Levy Mwanawasa wa Chama cha Movement for Multi-Party Democracy (MMD) alipochaguliwa kuwa Rais. MMD ilishinda viti 69 kati ya 150 bungeni, ikiwa na upungufu wa viti 6 kupata wingi wa kura. Katika mchakato wa uchaguzi wa Spika wa Bunge, Nyirongo alikuwa miongoni mwa wabunge wanne wa upinzani walioipigia kura MMD, hatua iliyosababisha kufukuzwa kwake kutoka Heritage Party mwaka 2002.[3][4] Baada ya kufukuzwa, aligombea tena kiti cha Bwacha katika uchaguzi mdogo kama mgombea wa MMD na akashinda tena kiti chake.[3] Baada ya ushindi huo, aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo.[1] Katika uchaguzi wa mwaka 2006, aligombea tena kupitia MMD na kushinda kwa asilimia 51.4 ya kura katika Jimbo la Bwacha, Kabwe.[7] Baadaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi mwaka 2006.[8] == Wizara ya Ardhi == Mwaka 2006 aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi katika serikali ya Rais Levy Mwanawasa.[8] Mwaka 2007 alisimamishwa kazi kutokana na tuhuma za ufisadi katika ugawaji wa ardhi.[10] Ripoti za serikali zilidai kuwa alihusishwa na ugawaji wa ardhi kwa wanafamilia wake na watu wengine bila kufuata taratibu sahihi.[11] == Kesi ya ufisadi na hukumu == Alishtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma kwa kuhusika katika ugawaji usio halali wa ardhi. Mwaka 2009, Mahakama ya hakimu ilimhukumu kifungo cha miaka minne jela, ambapo miaka miwili ilikuwa na kazi ngumu.[12] Baada ya kukata rufaa, Mahakama Kuu ilipunguza kifungo chake hadi miaka miwili mwaka 2010.[5] == Baada ya siasa == Mwaka 2016, alijiunga na Chama cha Patriotic Front na kushiriki kampeni za uchaguzi mkuu.[6] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1958|}} 2votx6012b72kbwzye6cc6lsouvh1zu 1508179 1508175 2026-04-21T11:40:28Z Egipa 87700 1508179 wikitext text/x-wiki '''Gladys Nyirongo''' ni mwanasiasa wa Zambia. Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Bwacha kuanzia mwaka 2001 hadi 2011. Mwaka wa 2002 aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo,[1] na baadaye mwaka wa 2006 akawa Waziri wa Ardhi.[2] == Siasa na kazi == Nyirongo alikuwa mwanachama wa Chama cha Heritage Party nchini [[Zambia]]. Katika uchaguzi wa mwaka wa 2001, alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bwacha wakati Levy Mwanawasa wa Chama cha Movement for Multi-Party Democracy (MMD) alipochaguliwa kuwa Rais.Chama cha MMD pia ilishinda viti 69 kati ya 150 bungeni, ikiwa na upungufu wa viti 6 kupata wingi wa kura. Katika mchakato wa uchaguzi wa Spika wa Bunge, Nyirongo alikuwa miongoni mwa wabunge wanne wa upinzani walioipigia kura chama cha MMD, hatua iliyosababisha kufukuzwa kwake kutoka Heritage Party mwaka wa 2002.[3][4] Baada ya kufukuzwa, aligombea tena kiti cha Bwacha katika uchaguzi mdogo kama mgombea wa chama cha MMD na akashinda tena kiti chake hicho.[3] Baada ya ushindi huo, aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo.[1] Katika uchaguzi wa mwaka 2006, aligombea tena kupitia chama cha MMD na kushinda kwa asilimia 51.4 ya kura katika Jimbo la Bwacha, Kabwe.[7] Baadaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi mwaka 2006.[8] == Wizara ya Ardhi == Mwaka wa 2006 aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi katika serikali ya Rais Levy Mwanawasa.[8] Mwaka wa 2007 alisimamishwa kazi kutokana na tuhuma za ufisadi katika ugawaji wa ardhi.[10] Ripoti za serikali zilidai kuwa alihusishwa na ugawaji wa ardhi kwa wanafamilia wake na watu wengine bila kufuata taratibu sahihi.[11] == Kesi ya ufisadi na hukumu == Alishtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma kwa kuhusika katika ugawaji usio halali wa ardhi. Mwaka 2009, Mahakama ya hakimu ilimhukumu kifungo cha miaka minne jela, ambapo miaka miwili ilikuwa na kazi ngumu.[12] Baada ya kukata rufaa, Mahakama Kuu ilipunguza kifungo chake hadi miaka miwili mwaka 2010.[5] == Baada ya siasa == Mwaka 2016, alijiunga na Chama cha Patriotic Front na kushiriki kampeni za uchaguzi mkuu.[6] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1958|}} jzyghimuayablewnhsr1lyjv8bip1yc 1508183 1508179 2026-04-21T11:43:42Z Egipa 87700 1508183 wikitext text/x-wiki '''Gladys Nyirongo''' ni mwanasiasa wa Zambia. Aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Bwacha kuanzia mwaka 2001 hadi 2011. Mwaka wa 2002 aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo,[1] na baadaye mwaka wa 2006 akawa Waziri wa Ardhi.[2] == Siasa na kazi == Nyirongo alikuwa mwanachama wa Chama cha Heritage Party nchini [[Zambia]]. Katika uchaguzi wa mwaka wa 2001, alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bwacha wakati Levy Mwanawasa wa Chama cha Movement for Multi-Party Democracy (MMD) alipochaguliwa kuwa Rais.Chama cha MMD pia ilishinda viti 69 kati ya 150 bungeni, ikiwa na upungufu wa viti 6 kupata wingi wa kura. Katika mchakato wa uchaguzi wa Spika wa Bunge, Nyirongo alikuwa miongoni mwa wabunge wanne wa upinzani walioipigia kura chama cha MMD, hatua iliyosababisha kufukuzwa kwake kutoka Heritage Party mwaka wa 2002.[3][4] Baada ya kufukuzwa, aligombea tena kiti cha Bwacha katika uchaguzi mdogo kama mgombea wa chama cha MMD na akashinda tena kiti chake hicho.[3] Baada ya ushindi huo, aliteuliwa kuwa Waziri wa Michezo.[1] Katika uchaguzi wa mwaka 2006, aligombea tena kupitia chama cha MMD na kushinda kwa asilimia 51.4 ya kura katika Jimbo la Bwacha, Kabwe.[7] Baadaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi mwaka 2006.[8] == Wizara ya Ardhi == Mwaka wa 2006 aliteuliwa kuwa Waziri wa Ardhi katika serikali ya Rais Levy Mwanawasa.[8] Mwaka wa 2007 alisimamishwa kazi kutokana na tuhuma za ufisadi katika ugawaji wa ardhi.[10] Ripoti za serikali zilidai kuwa alihusishwa na ugawaji wa ardhi kwa wanafamilia wake na watu wengine bila kufuata taratibu sahihi.[11] == Kesi ya ufisadi na hukumu == Alishtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma kwa kuhusika katika ugawaji usio halali wa ardhi. Mwaka wa 2009, Mahakama ya hakimu ilimhukumu kifungo cha miaka minne jela, ambapo miaka miwili ilikuwa na kazi ngumu.[12] Baada ya kukata rufaa, Mahakama Kuu ilimpunguzia kifungo chake hadi miaka miwili mwaka wa 2010.[5] == Baada ya siasa == Mnamo Mwaka wa 2016, alijiunga na Chama cha Patriotic Front na kushiriki kampeni za uchaguzi mkuu ambapo aliwania nafasi nyingine.[6] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1958|}} huvjzj8xlbml9f6ovk75vxk9rzdt5qj Eli Ilan 0 229787 1508180 2026-04-21T11:41:37Z AlvinDulle 61179 nimetafsiri makala hii 1508180 wikitext text/x-wiki '''Eli Ilan''' ([[1928]] mjini Winnipeg, Manitoba – [[1982]]) alikuwa mchongaji wa Israeli. Ilan Alijiandikisha katika mtaala wa awali wa matibabu katika Chuo Kikuu cha British Columbia mjini Vancouver na kuhamia Israeli mwaka 1948. ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[jamii:waliozaliwa ]1928] [[jamii:waliofariki 1982]] [[jamii:wasanii wa Israeli]] mwf516yywft4qu65x6xvnecnsqu2psa Ntombile Mabude 0 229788 1508181 2026-04-21T11:41:49Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ntombile Ivy Mabude''' (aliyezaliwa [[19 Desemba]] [[1958]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Taifa wakati wa Bunge la kwanza la kidemokrasia kuanzia mwaka 1994 hadi 1999. Alichaguliwa katika 1994 South African general election na aliapishwa kuwa mbunge ndani ya kipindi hicho cha bunge. Kabla ya uchaguzi wa 1999, aligombea tena lakini alipangwa katika nafasi ya 168 kwenye orodha...' 1508181 wikitext text/x-wiki '''Ntombile Ivy Mabude''' (aliyezaliwa [[19 Desemba]] [[1958]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye aliwakilisha African National Congress (ANC) katika Bunge la Taifa wakati wa Bunge la kwanza la kidemokrasia kuanzia mwaka 1994 hadi 1999. Alichaguliwa katika 1994 South African general election na aliapishwa kuwa mbunge ndani ya kipindi hicho cha bunge. Kabla ya uchaguzi wa 1999, aligombea tena lakini alipangwa katika nafasi ya 168 kwenye orodha ya kitaifa ya ANC, hivyo hakufanikiwa kuchaguliwa tena.<ref name=":0">{{Cite book|url=https://www.yumpu.com/en/document/read/13429370/south-africa-campaign-and-election-report-april-26-|title=South Africa: Campaign and Election Report April 26–29, 1994|publisher=[[International Republican Institute]]|year=1994|access-date=13 April 2023|via=Yumpu}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}}{{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1958]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] cdtah8kjbv3qsztw6vz2608s6pcn5ya Rozanne Botha 0 229789 1508185 2026-04-21T11:44:57Z Valuegirl 87699 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Rozanne Visagie''' (jina la kuzaliwa '''Botha'''; 14 Oktoba 1959 – 2 Oktoba 2022) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo, mwandishi wa makala, na binti wa Rais wa zamani wa [[Afrika Kusini]], P.W. Botha. Alijulikana kama mtu mashuhuri mdogo wakati wa urais wa baba yake, na aliitwa "Binti wa Kwanza" na vyombo vya habari.<ref name=who>{{cite book |last1=Silber |first1=Gus |last2=Prendini Toffoli |first2=Hilary |date=1989 |publisher=Jonathan Ball Publisher...' 1508185 wikitext text/x-wiki '''Rozanne Visagie''' (jina la kuzaliwa '''Botha'''; 14 Oktoba 1959 – 2 Oktoba 2022) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo, mwandishi wa makala, na binti wa Rais wa zamani wa [[Afrika Kusini]], P.W. Botha. Alijulikana kama mtu mashuhuri mdogo wakati wa urais wa baba yake, na aliitwa "Binti wa Kwanza" na vyombo vya habari.<ref name=who>{{cite book |last1=Silber |first1=Gus |last2=Prendini Toffoli |first2=Hilary |date=1989 |publisher=Jonathan Ball Publishers|title=Who's Really Who in South Africa|pages=24}}</ref><ref> == Maisha ya awali na elimu == Botha alizaliwa mwaka 1959 katika [[Pretoria]] kwa wazazi [[Anna Elizabeth Botha]] na P.W. Botha. Alikuwa mmoja wa watoto watano.<ref> Alisoma katika Groote Schuur High School mjini [[Cape Town]], ambapo alikuwa kiongozi wa wanafunzi (Head Girl).<ref> Akiwa kijana, alipata ajali mbaya ya gari karibu kugharimu maisha pamoja na baba yake, baada ya dereva mlevi kugonga gari lao uso kwa uso. Alipata majeraha makubwa ikiwa ni pamoja na kupasuka kwa wengu na kutokwa damu ndani ya mwili. Baadaye alisema tukio hilo lilimbadilisha mtazamo wa maisha.<ref> Mwaka 1977 alikamilisha huduma ya kijeshi ya kujitolea katika chuo cha wanawake cha jeshi la Afrika Kusini huko George, na mwaka 1978 katika Castle of Good Hope.<ref>[https://diaryofhope.org/testimony-of-rozanne-visagie/ Testimony of Rozanne Visagie] ''Diary of Hope''. 16 November 2018</ref><ref> Baadaye alisoma katika [[Chuo Kikuu cha Stellenbosch]] ambako alipata shahada ya kwanza (BA) katika sosholojia na falsafa mwaka 1981.<ref> == Wasifu == File:Rozanne Botha Style cover.jpg|thumb|left|Rozanne Botha kwenye jalada la ''Style'' Februari 1987 Katika miaka ya 1980, Rozanne alijitokeza kama mtu maarufu nchini Afrika Kusini. Alitoa nyimbo za pop kwa lugha ya Kiafrikana na alionekana kwenye majarida kama ''Sarie'' na ''Style'', ambapo aliitwa "Binti wa Kwanza wa Taifa".<ref>[https://www.frontlinemissionsa.org/in-memorium/rozanne-visage-has-finished-her-race Rozanne Visagie has Finished her Race] Frontline Mission SA. 3 October 2022</ref><ref></ref> Wakati huo aliandika safu ya kila wiki katika gazeti la [[Kiafrikana]] la ''Beeld''.<ref><ref> Baadaye makala zake zilichapishwa kama kitabu.<ref> Mwaka 1987, shirika la [[CBS]] lilirusha waraka uliotayarishwa na Walter Cronkite uliomwonyesha kama "Binti wa Kwanza wa Afrika Kusini" pamoja na [[Zindzi Mandela]], binti wa [[Nelson Mandela]]. Waraka huo ulisababisha mjadala mkubwa wa kisiasa na malalamiko kutoka serikali ya Afrika Kusini.<ref>"S. Africa complains CBS misused Botha's daughter". ''The Washington Times'', 8 December 1987</ref><ref>[https://www.latimes.com/archives/la-xpm-1987-12-12-ca-6718-story.html South Africa Warns It May Punish CBS Over Documentary] ''The Los Angeles Times''. 12 December 1987</ref> Kama mwimbaji, alitumbuiza kwa wanajeshi wa South African Defence Force wakati wa South African Border War.<ref><ref name=who/> Alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 1989.<ref> Wimbo wake maarufu ''Kan 'n Man Dan Nie'' ulipata umaarufu mkubwa na kurekodiwa tena na wasanii wengine.<ref>[https://www.thegotoguy.co.za/community-space/performing-arts-talk/ruhan-du-toit-stof-bekende-fak-liedjie-af Ruhan du Toit stof bekende FAK-liedjie af!] thegotoguy.co.za. 30 September 2024</ref> Hata hivyo, alikumbana na changamoto katika tasnia ya muziki kutokana na kukosa wasambazaji wa kazi zake, na baadaye alitoa albamu nyingine kadhaa kwa kujitegemea.<ref> Mbali na muziki, alifanya kazi katika kampuni ya Mimosa Films kama mratibu wa uzalishaji wa filamu za makala, akishirikiana na mtayarishaji Boet Troskie.<ref name=stories/><ref> == Maisha binafsi == Mwaka 1990, Botha aliolewa na Schalk Visagie, afisa wa polisi wa ngazi ya juu. Walipata watoto wawili, Schalk Jr. na Shanna.<ref> Mwaka 1999, mume wake alipigwa risasi akiwa kazini lakini alipona, na walitembelewa hospitalini na [[Nelson Mandela]]. Tukio hilo lilivuta hisia kubwa za vyombo vya habari.<ref>[https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1999/02/23/all-in-a-lifes-work/92e4a218-7cad-4228-b886-99eaee7d9290/ All in a Life's Work] ''The Washington Post''. 22 February 1999</ref> Alikuwa mtu wa dini sana na alijihusisha kwa kiasi kikubwa na shughuli za Ukristo wa Kiinjili.<ref><ref> == Kifo == Botha alifariki kutokana na [[saratani]] tarehe 2 Oktoba 2022 katika hospitali binafsi mjini [[Cape Town]].<ref> Alikuwa amewahi kupona saratani mara mbili hapo awali.<ref> Ibada ya kumbukumbu ilifanyika tarehe 8 Oktoba 2022 katika kanisa la Church on the Rise mjini Blouberg, Western Cape.<ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1959|2022}} {{Udhibiti wa mamlaka}} {{DEFAULTSORT:Botha, Rozanne}} [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Waliofariki 2022]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] rz8duuwk1o6n5djt89h30kjg6eeuv2f 1508200 1508185 2026-04-21T11:52:19Z Valuegirl 87699 1508200 wikitext text/x-wiki '''Rozanne Visagie''' (jina la kuzaliwa '''Botha'''; 14 Oktoba 1959 – 2 Oktoba 2022) alikuwa mwimbaji na mtunzi wa nyimbo, mwandishi wa makala, na binti wa Rais wa zamani wa [[Afrika Kusini]], P.W. Botha. Alijulikana kama mtu mashuhuri mdogo wakati wa urais wa baba yake, na aliitwa "Binti wa Kwanza" na vyombo vya habari.{{cite book |last1=Silber |first1=Gus |last2=Prendini Toffoli |first2=Hilary |date=1989 |publisher=Jonathan Ball Publishers|title=Who's Really Who in South Africa|pages=24}} == Maisha ya awali na elimu == Botha alizaliwa mwaka 1959 katika [[Pretoria]] kwa wazazi [[Anna Elizabeth Botha]] na P.W. Botha. Alikuwa mmoja wa watoto watano. Alisoma katika Groote Schuur High School mjini [[Cape Town]], ambapo alikuwa kiongozi wa wanafunzi (Head Girl). Akiwa kijana, alipata ajali mbaya ya gari karibu kugharimu maisha pamoja na baba yake, baada ya dereva mlevi kugonga gari lao uso kwa uso. Alipata majeraha makubwa ikiwa ni pamoja na kupasuka kwa wengu na kutokwa damu ndani ya mwili. Baadaye alisema tukio hilo lilimbadilisha mtazamo wa maisha. Mwaka 1977 alikamilisha huduma ya kijeshi ya kujitolea katika chuo cha wanawake cha jeshi la Afrika Kusini huko George, na mwaka 1978 katika Castle of Good Hope.[https://diaryofhope.org/testimony-of-rozanne-visagie/ Testimony of Rozanne Visagie] ''Diary of Hope''. 16 November 2018</ref> Baadaye alisoma katika [[Chuo Kikuu cha Stellenbosch]] ambako alipata shahada ya kwanza (BA) katika sosholojia na falsafa mwaka 1981. == Wasifu == File:Rozanne Botha Style cover.jpg|thumb|left|Rozanne Botha kwenye jalada la ''Style'' Februari 1987 Katika miaka ya 1980, Rozanne alijitokeza kama mtu maarufu nchini Afrika Kusini. Alitoa nyimbo za pop kwa lugha ya Kiafrikana na alionekana kwenye majarida kama ''Sarie'' na ''Style'', ambapo aliitwa "Binti wa Kwanza wa Taifa".[https://www.frontlinemissionsa.org/in-memorium/rozanne-visage-has-finished-her-race Rozanne Visagie has Finished her Race] Frontline Mission SA. 3 October 2022 Wakati huo aliandika safu ya kila wiki katika gazeti la [[Kiafrikana]] la ''Beeld''. Baadaye makala zake zilichapishwa kama kitabu. Mwaka 1987, shirika la [[CBS]] lilirusha waraka uliotayarishwa na Walter Cronkite uliomwonyesha kama "Binti wa Kwanza wa Afrika Kusini" pamoja na [[Zindzi Mandela]], binti wa [[Nelson Mandela]]. Waraka huo ulisababisha mjadala mkubwa wa kisiasa na malalamiko kutoka serikali ya Afrika Kusini.<ref>"S. Africa complains CBS misused Botha's daughter". ''The Washington Times'', 8 December 1987</ref><ref>[https://www.latimes.com/archives/la-xpm-1987-12-12-ca-6718-story.html South Africa Warns It May Punish CBS Over Documentary] ''The Los Angeles Times''. 12 December 1987</ref> Kama mwimbaji, alitumbuiza kwa wanajeshi wa South African Defence Force wakati wa South African Border War.<ref> Alitoa albamu yake ya kwanza mwaka 1989. Wimbo wake maarufu ''Kan 'n Man Dan Nie'' ulipata umaarufu mkubwa na kurekodiwa tena na wasanii wengine.[https://www.thegotoguy.co.za/community-space/performing-arts-talk/ruhan-du-toit-stof-bekende-fak-liedjie-af Ruhan du Toit stof bekende FAK-liedjie af!] thegotoguy.co.za. 30 September 2024</ref> Hata hivyo, alikumbana na changamoto katika tasnia ya muziki kutokana na kukosa wasambazaji wa kazi zake, na baadaye alitoa albamu nyingine kadhaa kwa kujitegemea. Mbali na muziki, alifanya kazi katika kampuni ya Mimosa Films kama mratibu wa uzalishaji wa filamu za makala, akishirikiana na mtayarishaji Boet Troskie.<ref> == Maisha binafsi == Mwaka 1990, Botha aliolewa na Schalk Visagie, afisa wa polisi wa ngazi ya juu. Walipata watoto wawili, Schalk Jr. na Shanna. Mwaka 1999, mume wake alipigwa risasi akiwa kazini lakini alipona, na walitembelewa hospitalini na [[Nelson Mandela]]. Tukio hilo lilivuta hisia kubwa za vyombo vya habari.<ref>[https://www.washingtonpost.com/archive/lifestyle/1999/02/23/all-in-a-lifes-work/92e4a218-7cad-4228-b886-99eaee7d9290/ All in a Life's Work] ''The Washington Post''. 22 February 1999</ref> Alikuwa mtu wa dini sana na alijihusisha kwa kiasi kikubwa na shughuli za Ukristo wa Kiinjili.<ref><ref> == Kifo == Botha alifariki kutokana na [[saratani]] tarehe 2 Oktoba 2022 katika hospitali binafsi mjini [[Cape Town]].<ref> Alikuwa amewahi kupona saratani mara mbili hapo awali.<ref> Ibada ya kumbukumbu ilifanyika tarehe 8 Oktoba 2022 katika kanisa la Church on the Rise mjini Blouberg, Western Cape.<ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1959|2022}} {{Udhibiti wa mamlaka}} {{DEFAULTSORT:Botha, Rozanne}} [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Waliofariki 2022]] [[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]] eucrnaa0537fqsuk5iwpiyv8pm2f5yn Betta Edu 0 229790 1508186 2026-04-21T11:45:03Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Betta Chimaobim Edu''' (alizaliwa [[27 Oktoba]] [[1986]]) ni [[daktari]] na [[mwanasiasa]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya na uongozi wa kisiasa. Alishika nafasi ya Kiongozi wa Kitaifa wa Wanawake katika chama cha All Progressives Congress (APC), ambapo alihusika katika kuimarisha ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi nchini Nigeria. Betta Chimaobim Edu pia alihudumu kama Kamishna wa Afya wa Jimbo la Cro...' 1508186 wikitext text/x-wiki '''Betta Chimaobim Edu''' (alizaliwa [[27 Oktoba]] [[1986]]) ni [[daktari]] na [[mwanasiasa]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya na uongozi wa kisiasa. Alishika nafasi ya Kiongozi wa Kitaifa wa Wanawake katika chama cha All Progressives Congress (APC), ambapo alihusika katika kuimarisha ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi nchini Nigeria. Betta Chimaobim Edu pia alihudumu kama Kamishna wa Afya wa [[Jimbo la Cross River]] hadi alipojiuzulu mwaka [[2022]]. Katika nafasi hiyo, alisimamia utekelezaji wa sera za afya na kuboresha utoaji wa huduma za matibabu katika jimbo hilo. Aidha, aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Kitaifa wa Jukwaa la Makamishna wa Afya wa Nigeria, nafasi iliyomuwezesha kuratibu na kuongoza mawasiliano kati ya majimbo mbalimbali kuhusu masuala ya afya ya umma. == Kazi == Betta Chimaobim Edu amepata nafasi mbalimbali za uongozi wa kitaifa na kikanda ndani ya sekta ya afya na siasa nchini Nigeria, akijijengea sifa kama mmoja wa viongozi vijana wenye ushawishi mkubwa.<ref>{{Cite web|last=|date=2015-12-26|title=Gov Ben Ayade Breaks Record Again, Appoints Youngest Special Adviser In Nigeria|url=https://www.calitown.com/gov-ben-ayade-breaks-record-again-appoints-youngest-special-adviser-in-nigeria/|access-date=2023-05-28|website=calitown|language=en-US}}</ref> Mnamo mwaka [[2015]], aliteuliwa kuwa Mshauri Maalum wa Gavana Mtendaji wa Jimbo la Cross River, Benedict Ayade, akiwa na jukumu la kusimamia Huduma ya Afya ya Jamii na Msingi. Katika nafasi hiyo, alihusishwa moja kwa moja na uboreshaji wa mifumo ya afya katika ngazi ya jamii.<ref>{{Cite news|last=Abang|first=Mike|date=2021-12-14|title=Cross River has best COVID-19 response in Nigeria - Commissioner|url=https://businessday.ng/news/article/cross-river-has-best-covid-19-response-in-nigeria-commissioner/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2022-10-15|newspaper=[[BusinessDay (Nigeria)|BusinessDay]]|language=en-US}}</ref> Mwaka [[2020]], aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Jimbo la Cross River kuhusu [[COVID-19]], ambapo alisaidia kuratibu hatua za kukabiliana na janga hilo. Mwezi Agosti mwaka huo huo, akawa Mwenyekiti wa Kitaifa wa Jukwaa la Makamishna wa Afya wa Nigeria, nafasi iliyomuwezesha kuratibu sera za afya kati ya majimbo mbalimbali.<ref>{{Cite web|title=Dr Betta Edu emerges as National Chairman of Nigeria Commissioners for Health Forum {{!}} The Paradise News|url=https://theparadise.ng/dr-betta-edu-emerges-as-national-chairman-of-nigeria-commissioners-for-health-forum/|access-date=2022-01-05|website=theparadise.ng|language=en-US|archive-date=5 January 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20220105000245/https://theparadise.ng/dr-betta-edu-emerges-as-national-chairman-of-nigeria-commissioners-for-health-forum/|url-status=dead}}</ref> Betta Chimaobim Edu ni mwanachama wa Royal Society for Public Health pamoja na African Institute of Public Health Professionals, taasisi zinazojihusisha na maendeleo ya afya ya umma na taaluma ya afya barani Afrika. Mnamo Machi [[2022]], alikua kiongozi mwanamke mdogo zaidi wa kitaifa ndani ya Bunge la All Progressives Congress (APC), jambo lililoonyesha kupanda kwake kwa kasi katika siasa za Nigeria. Katika mwaka [[2023]], viongozi wanawake wa APC kutoka majimbo yote 36 ya Nigeria pamoja na Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho (FCT) walipitisha kura ya imani kwake wakati wa ziara yao kwa Rais [[Bola Tinubu|Bola Ahmed Tinubu]] katika Ikulu ya Rais Abuja.<ref name="punchng">{{Cite news|date=2022-03-27|title=Betta Edu emerges youngest APC national women leader.|url=https://punchng.com/betta-edu-emerges-youngest-apc-national-women-leader/|access-date=2022-04-04|newspaper=[[The Punch]]|language=en-US}}</ref> Mwezi Julai 2023, Serikali ya Shirikisho kupitia Kituo cha Maryam Babangida National Centre for Women Development, kwa kushirikiana na Wizara ya Masuala ya Wanawake na Maendeleo ya Jamii, ilimpatia Tuzo ya Ubora katika Uongozi kwa mchango wake katika ujumuishaji wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake, watoto na makundi yaliyo hatarini. Baadaye mwezi huo huo, Rais Bola Ahmed Tinubu alimteua kuwa Waziri wa Masuala ya Kibinadamu na Kupunguza Umaskini. Uteuzi huo ulimfanya kuwa waziri wa kwanza mwanamke kutoka Jimbo la Cross River na pia mmoja wa mawaziri vijana zaidi katika historia ya Jamhuri ya Nne ya Nigeria. Baada ya kuapishwa kwake kama waziri mnamo Agosti 2023, nafasi yake ya uongozi wa wanawake ndani ya APC ilijazwa na mrithi mpya, akiendeleza mabadiliko ya uongozi ndani ya chama hicho.<ref>{{Cite news|last=Cyril|date=2023-07-14|title=36 Women Leaders Pass "Vote of Confidence" on APC National Women Leader|url=https://sunnewsonline.com/36-women-leaders-pass-vote-of-confidence-on-apc-national-women-leader/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2023-07-17|newspaper=[[The Sun (Nigeria)|The Sun]]|language=en}}</ref><ref>{{Cite news|last=Online|first=Tribune|date=2023-07-14|title=Members pass 'vote of confidence' on APC national women leader|url=https://tribuneonlineng.com/members-pass-vote-of-confidence-on-apc-national-women-leader/|access-date=2023-07-17|newspaper=[[Nigerian Tribune]]|language=en-GB}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1986]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] rxua348jz1pbjgdu8v3a004umh8kz0e Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kansai 0 229791 1508188 2026-04-21T11:46:59Z Muddyb 379 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox uwanja wa ndege | name = Kansai International Airport | nativename = {{nobold|{{Nihongo2|関西国際空港}}}} | nativename-a = {{nobold|{{transliteration|ja|Kansai Kokusai Kūkō}}}} | IATA = KIX | ICAO = RJBB | image = 関西国際空港ロゴ.svg | image2 = 関西国際空港全体写真20220811.jpg | caption2 = Muonekano wa Uwanja wa Kansai (Ag...' 1508188 wikitext text/x-wiki {{Infobox uwanja wa ndege | name = Kansai International Airport | nativename = {{nobold|{{Nihongo2|関西国際空港}}}} | nativename-a = {{nobold|{{transliteration|ja|Kansai Kokusai Kūkō}}}} | IATA = KIX | ICAO = RJBB | image = 関西国際空港ロゴ.svg | image2 = 関西国際空港全体写真20220811.jpg | caption2 = Muonekano wa Uwanja wa Kansai (Agosti 2022) | location = [[Izumisano]], [[Sennan]], na [[Tajiri]], [[Osaka]], [[Japani]] | hub = {{ubl|class=nowrap | [[All Nippon Airways]] | [[FedEx Express]]<ref name="fedhub">{{cite web|url=http://www.newswit.com/.gen/2014-07-03/444426a161d48e1a8d2b3551e982e060/|title=FedEx Opens North Pacific Regional Hub at Kansai International Airport|publisher=newswit.com|date=3 July 2014|access-date=3 July 2014|archive-date=9 October 2019|archive-url=https://web.archive.org/web/20191009122235/http://www.newswit.com/.gen/2014-07-03/444426a161d48e1a8d2b3551e982e060/|url-status=dead}}</ref> | [[Japan Airlines]] | [[Nippon Cargo Airlines]]}} | operating_base = {{ubl|class=nowrap | [[Jetstar Japan]] | [[Peach Aviation|Peach]]}} | elevation-m = 5 | elevation-f = 17 | metric-elev = yes | pushpin_label = '''KIX'''/RJBB | WMO = 47774 | type = Matumizi ya Umma | opened = {{start date and age|1994|09|04|df=yes}} | city-served = [[Keihanshin]] (Osaka, Kyoto, Kobe) | website = {{URL|www.kansai-airport.or.jp/en/}} | coordinates = {{coord|34|26|03|N|135|13|58|E|region:JP-27|display=it}} | pushpin_map = Japan Osaka Prefecture#Japan#Asia | pushpin_map_caption = Mahali katika Mkoa wa Osaka##Mahali nchini Japani##Mahali barani Asia | metric-rwy = yes | r1-number = 06R/24L | r1-length-m = 3,500 | r1-surface = [[Asphalt concrete|Lami]] | r2-number = 06L/24R | r2-length-m = 4,000 | r2-surface = Lami | stat-year = 2024 | stat1-header = Idadi ya abiria | stat1-data = 30,643,513 | stat2-header = Abiria wa kimataifa | stat2-data = 23,912,642 | stat3-header = Safari za ndege | stat3-data = 193,134 | stat4-header = Mizigo (tani) | stat4-data = 757,256 | owner = {{Ill|New Kansai International Airport Company|ja|新関西国際空港}} (NKIAC)<ref>{{cite web|title=New Kansai International Airport Company, Ltd.|url=http://www.nkiac.co.jp/|website=New Kansai International Airport Company, Ltd.|access-date=16 October 2022}}</ref> | operator = [[Kansai Airports]]<ref>{{cite web|title=New Management Setup of Kansai Airport|url=http://www.kansai-airports.co.jp/en/news/news-releases/file/newmanagementset-upofkansaiairports.pdf|website=Kansai Airports|access-date=24 April 2016|date=1 April 2016|archive-date=14 April 2025|archive-url=https://web.archive.org/web/20250414095314/https://www.kansai-airports.co.jp/en/news/news-releases/file/newmanagementset-upofkansaiairports.pdf|url-status=dead}}</ref><br />([[Orix]] na [[Vinci Airports]]) | mapframe = yes | footnotes = Chanzo:<ref name="GSR">{{cite web|title=KIX - Airport|url=http://www.gcmap.com/airport/KIX|publisher=Great Circle Mapper|access-date=20 April 2026}}</ref> }} '''Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kansai''' (Kijapani: 関西国際空港, ''Kansai Kokusai Kūkō'', kifupi: '''KIX''') ni uwanja mkuu wa ndege wa kimataifa uliopo kwenye kisiwa unde katikati ya [[Ghuba ya Osaka]], nchini [[Japani]]. Uwanja huu unahudumia kanda ya [[Keihanshin]], ikijumuisha miji mikubwa ya [[Osaka]], [[Kyoto]], na [[Kobe]]. Ni lango kuu la kimataifa kwa kanda ya Kansai na ni mshindani mkuu wa viwanja vya ndege vya [[Narita]] na [[Haneda]] vilivyopo kanda ya [[Tokyo]]. Uwanja huu ulifunguliwa mnamo 1994 ili kusaidia Uwanja wa Ndege wa Osaka (Itami) ambao ulikuwa umezidiwa na msongamano na haukuweza kupanuliwa kutokana na makazi ya watu. KIX inajulikana duniani kote kwa usanifu wake wa kipekee ulioundwa na mhandisi [[Renzo Piano]], na Terminal 1 yake inabaki kuwa moja ya majengo marefu zaidi duniani kwa urefu wa kilomita 1.7. == Historia == Wazo la kujenga uwanja huu lilianza miaka ya 1960 kutokana na kelele za ndege na msongamano katika mji wa Osaka. Kwa kuwa hakukuwa na ardhi ya kutosha, wahandisi waliamua kujenga kisiwa cha bandia chenye urefu wa kilomita 4 na upana wa kilomita 1. Ujenzi ulianza mwaka 1987. Moja ya changamoto kubwa ilikuwa kuzama kwa ardhi (subsidence) kutokana na uzito wa kisiwa kwenye udongo laini wa baharini. Wahandisi walitumia teknolojia ya hali ya juu ya majakaya (jacks) chini ya majengo ili kurekebisha urefu wa uwanja kadiri unavyozama. Hadi kufikia mwaka 1994, ujenzi ulikamilika na uwanja ulianza kufanya kazi rasmi mnamo Septemba 4. Mnamo mwaka 2018, uwanja ulipata changamoto kubwa baada ya Kimbunga Jebi kusababisha mafuriko na meli ya mafuta kugonga daraja linalounganisha kisiwa hicho na nchi kavu, hali iliyopelekea uwanja kufungwa kwa muda. Hata hivyo, ukarabati wa haraka ulifanyika na kuimarisha mifumo ya kuzuia maji. == Makampuni ya ndege na vifiko == Uwanja wa Kansai unahudumia mashirika mengi ya ndege ya kimataifa na ya ndani. Ni kitovu kikuu (hub) cha shirika la ndege la bei nafuu la [[Peach Aviation]]. * [[Air China]] (Beijing, Shanghai) * [[Air France]] (Paris-Charles de Gaulle) * [[All Nippon Airways]] (Tokyo, Hong Kong, Shanghai) * [[Cathay Pacific]] (Hong Kong, Taipei) * [[Emirates]] (Dubai) * [[Japan Airlines]] (Los Angeles, Bangkok, Honolulu, Tokyo) * [[KLM]] (Amsterdam) * [[Lufthansa]] (Munich) * [[Peach Aviation]] (Seoul, Taipei, Sapporo, Fukuoka, Okinawa) * [[Singapore Airlines]] (Singapore) * [[Turkish Airlines]] (Istanbul) * [[VietJet Air]] (Hanoi, Ho Chi Minh City) == Tazama pia == * [[Orodha ya viwanja vya ndege nchini Japani]] * [[Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Narita]] == Marejeo == <references /> == Viungo vya nje == {{Commons category|Kansai International Airport}} * {{Official website|https://www.kansai-airport.or.jp/en/|Tovuti ya Uwanja wa Ndege wa Kansai}} {{Viwanja vya ndege nchini Japani}} [[Jamii:Viwanja vya ndege nchini Japani]] [[Jamii:Osaka]] [[Jamii:Visiwa unde]] 13vedf0g9qd78miodfgk5zg1phg5wyq Kigezo:Transliteration 10 229792 1508190 2026-04-21T11:47:57Z Muddyb 379 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{#invoke:lang|xlit}}<noinclude> {{documentation}} </noinclude>' 1508190 wikitext text/x-wiki {{#invoke:lang|xlit}}<noinclude> {{documentation}} </noinclude> ost9wt8p3sokdsxueagwfpvklfjd5r7 Sarah Sayifwanda 0 229793 1508192 2026-04-21T11:48:40Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Sarah Sayifwanda''' (8 Julai mwaka wa 1963 hadi tarehe 31 Desemba mwaka wa 2020) alikuwa mwanasiasa wa Zambia ambaye alihudumu kama Waziri wa Jinsia na Maendeleo, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, na Waziri wa Kilimo na Ushirika. Pia aliwahi kuwa mwakilishi wa Zambia katika Umoja wa Afrika na Bunge la Afrika (Pan-African Parliament). == Maisha ya awali na elimu == Sarah Sayifwanda alizaliwa tarehe 16 Januari mwaka wa 1963, na alihitimu Shahada ya San...' 1508192 wikitext text/x-wiki '''Sarah Sayifwanda''' (8 Julai mwaka wa 1963 hadi tarehe 31 Desemba mwaka wa 2020) alikuwa mwanasiasa wa Zambia ambaye alihudumu kama Waziri wa Jinsia na Maendeleo, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, na Waziri wa Kilimo na Ushirika. Pia aliwahi kuwa mwakilishi wa Zambia katika Umoja wa Afrika na Bunge la Afrika (Pan-African Parliament). == Maisha ya awali na elimu == Sarah Sayifwanda alizaliwa tarehe 16 Januari mwaka wa 1963, na alihitimu Shahada ya Sanaa (BA) katika elimu maalum.[1] == Siasa na kazi == === Serikali ya Mwanawasa (mwaka wa 2006 hadi mwaka wa 2008) === Sayifwanda alihudumu kama Mbunge wa Zambezi Mashariki kupitia Chama cha Movement for Multi-Party Democracy (MMD) kuanzia mwaka wa 2006 hadi mwaka wa 2016.[2] Alikuwa mbunge wa kawaida (backbencher) bungeni.[1][3] Rais Levy Mwanawasa alimteua kuwa Waziri wa Kilimo na Ushirika. Mwaka 2006, serikali iliunda Wizara ya Jinsia na Maendeleo ya Wanawake, ambapo Patricia Mulasikwanda aliteuliwa awali.[4][5] Mwaka 2007 katika mabadiliko ya baraza la mawaziri, Sayifwanda aliteuliwa kuwa Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano.[6] === Serikali ya Banda (mwaka wa 2008 hadi mwaka wa 2011) === Tarehe 14 Novemba mwaka wa 2008, Rais Rupiah Banda alibadilisha jina la Wizara ya Jinsia na Maendeleo ya Wanawake kuwa Wizara ya Jinsia na Maendeleo, na Sayifwanda aliendelea kuwa waziri.[7][8] Alishika wadhifa huo hadi mwaka wa 2011.[9][10] Katika kipindi chake kama waziri, alijikita katika kupunguza ushiriki wa wanawake katika biashara haramu ya dawa za kulevya, kuongeza uwakilishi wa wanawake katika siasa, kupambana na ukatili wa ndoa, na kusaidia watu wenye ulemavu wa akili.[11][12][13] === Serikali ya Sata na Lungu (mwaka wa 2011 hadi mwaka wa 2020) === Mwaka 2011 aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Jinsia na Rais Michael Sata, lakini alikataa wadhifa huo.[14][15] Mwaka 2016 alihama kutoka MMD kwenda United Party for National Development (UPND) pamoja na wabunge wengine kumi.[16] Mwaka 2019 alikamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchochea mgogoro wa kikabila kati ya makabila ya Lunda na Luvale wakati wa zoezi la ugawaji wa majimbo na Tume ya Uchaguzi ya Zambia.[14] == Kifo na urithi == Sayifwanda alifariki dunia tarehe 31 Desemba 2020 katika Hospitali Kuu ya Solwezi baada ya kuugua.[17] Alipatiwa mazishi ya kitaifa na siku ya maombolezo ya kitaifa ilitangazwa tarehe 5 Januari 2021 na Rais Edgar Lungu.[10] Alizikwa katika Makaburi ya Kimeteto, Solwezi.[18] Ibada yake ya mazishi katika Kanisa la United Church of Zambia Trinity Congregation ilihudhuriwa na wanasiasa kutoka vyama tofauti, ikiwemo Nathaniel Mubukwanu, Hakainde Hichilema, na Koshita Shengamo.[17][18] Alikuwa pia msimamizi (trustee) wa UPND.[18] == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1963|2020}} qjpjt4h5qqqtzeffi2yx30xvhiatznz Ola Brown 0 229794 1508202 2026-04-21T11:54:29Z Ramadhani Mushi 61176 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Olamide Brown''' (aliyezaliwa Orekunrin mwaka [[1986]]) ni [[daktari]] mwenye uraia wa [[Uingereza]] na [[Nigeria]], mjasiriamali wa sekta ya afya, na mtaalamu wa uwekezaji katika huduma za matibabu. Anajulikana zaidi kama mwanzilishi wa Flying Doctors Healthcare Investment Group, kampuni inayojikita katika kuboresha huduma za dharura za afya na usafiri wa wagonjwa kupitia ndege katika maeneo yenye changamoto za upatikanaji wa huduma za matibabu. Pia,...' 1508202 wikitext text/x-wiki '''Olamide Brown''' (aliyezaliwa Orekunrin mwaka [[1986]]) ni [[daktari]] mwenye uraia wa [[Uingereza]] na [[Nigeria]], mjasiriamali wa sekta ya afya, na mtaalamu wa uwekezaji katika huduma za matibabu. Anajulikana zaidi kama mwanzilishi wa Flying Doctors Healthcare Investment Group, kampuni inayojikita katika kuboresha huduma za dharura za afya na usafiri wa wagonjwa kupitia ndege katika maeneo yenye changamoto za upatikanaji wa huduma za matibabu. Pia, Olamide Brown ni Mkurugenzi wa Greentree Investment Company, ambapo anashiriki katika usimamizi wa uwekezaji unaolenga kukuza ubunifu na maendeleo katika sekta ya afya na [[biashara]]. Kupitia kazi yake, amechangia kwa kiasi kikubwa katika kuimarisha mifumo ya huduma za afya [[Afrika|barani Afrika]], hususan katika kuongeza upatikanaji wa huduma za dharura na kuimarisha ubora wa huduma za kitabibu.<ref name="guard">{{cite news|url=https://www.theguardian.com/global-development/2014/sep/12/nigeria-air-ambulance-firm-healthcare|website=The Guardian|title=Nigeria's air ambulance firm is a leap forward for healthcare|location=United Kingdom|author=Renni Edo-Lodge|date=September 12, 2014|access-date=2 July 2017}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.lionessesofafrica.com/lioness-ola-orekunrin|title=DR. OLA OREKUNRIN Africa's high-flying doctor|website=Lionesses of Africa|date=19 January 2020}}</ref><ref name="auto2">{{cite web|url=http://www.greentreeinvestmentcompany.com/#team|title=Our Team|website=Greentree Investment Company}}</ref><ref name="auto1">{{cite web|url=https://nairametrics.com/2018/07/16/greentree-investment-company-is-set-to-fund-promising-nigerian-startups/|title=VC Firm, GreenTree holds Pitch Day for over 20 promising Startups|website=Nairametrics|date=16 July 2018}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Olamide Brown, aliyezaliwa [[London]], Uingereza, ni daktari na mjasiriamali wa afya mwenye mchango mkubwa katika huduma za dharura barani Afrika, pamoja na taaluma ya afya na sera za [[uchumi]]. Alisomea udaktari katika Shule ya Tiba ya Hull York, mpango wa pamoja kati ya University of Hull na [[Chuo Kikuu cha York|University of York]]. Baada ya kuhitimu, alifanya kazi katika huduma za udaktari wa dharura nchini Uingereza kabla ya kupata udhamini wa MEXT Scholarship Program wa [[Japani]], uliomuwezesha kuendelea na utafiti [[Tokyo]], hususan katika teknolojia ya seli shina (pluripotent stem cells). Aidha, Olamide Brown alisomea Shahada ya Uzamili katika Fedha na Sera za Kiuchumi katika [[University of London]], na pia alipata cheti cha uundaji sera za kiuchumi kutoka IE Business School nchini Uhispania. Vilevile, ana cheti katika uhasibu wa kufanya maamuzi kutoka University of Michigan nchini [[Marekani]]. == Kazi ya Matibabu == Baada ya kuhitimu, alifanya kazi kwa muda mfupi ndani ya National Health Service (NHS) ya Uingereza. Baada ya kupata mafunzo katika udaktari wa anga na huduma za dharura, aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Flying Doctors Nigeria Ltd, huduma ya kwanza ya matibabu ya dharura inayotumia usafiri wa anga nchini Nigeria na eneo la [[Afrika Magharibi]]. Kupitia nafasi hiyo, amechangia kwa kiasi kikubwa kuboresha upatikanaji wa huduma za matibabu ya dharura, hasa katika maeneo yasiyofikika kirahisi.<ref>{{Cite news|url=https://guardian.ng/guardian-woman/flying-doctors-boss-writes-book-on-fixing-healthcare-in-nigeria/|location=Lagos, Nigeria|newspaper=[[The Guardian (Nigeria)|The Guardian]]|title=Flying doctors boss writes book on fixing healthcare in Nigeria|date=22 December 2018}}</ref> Olamide Brown pia ni mwanachama wa American College of Emergency Physicians, na mwaka [[2013]] aliorodheshwa miongoni mwa viongozi vijana wa kimataifa na World Economic Forum, jambo lililoonyesha kutambuliwa kwake kimataifa katika sekta ya afya na uongozi.<ref>{{cite web|url=https://www.younggloballeaders.org/community|website=World Economic Forum|title=Ola Orekunrin;Managing Director:The Flying Doctors}}</ref><ref>{{Cite news|url=http://www.punchng.com/spice/personalities/how-i-became-a-doctor-at-21-ola-orekunrin/|title=How I became a doctor at 21-Ola Orekunrin|access-date=10 May 2014|archive-date=4 August 2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20130804191903/http://www.punchng.com/spice/personalities/how-i-became-a-doctor-at-21-ola-orekunrin/|url-status=dead|newspaper=[[The Punch]]}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii: Waliozaliwa 1986]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] jp3v2iplw2om3ofx24rcwhfldzhd3x0 Sibongile Mwamba 0 229795 1508205 2026-04-21T11:56:34Z Egipa 87700 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sibongile Mwamba''' (amezaliwa 11 Julai mwaka wa 1980) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] na Mbunge wa Jimbo la Kasama Central. Alichaguliwa kuwa mbunge kwa mara ya kwanza mnamo Agosti mwaka wa 2021.<ref>[1][2][3]</ref> == Maisha ya awali na elimu == Mwamba alizaliwa Julai mwaka wa 1980 mjini Ndola katika Mkoa wa Copperbelt. Alisoma elimu ya msingi katika shule za Little Big Horn na Tree Tops Primary School. Baadaye alisoma elimu yake ya sekondani katika shul...' 1508205 wikitext text/x-wiki '''Sibongile Mwamba''' (amezaliwa 11 Julai mwaka wa 1980) ni mwanasiasa wa [[Zambia]] na Mbunge wa Jimbo la Kasama Central. Alichaguliwa kuwa mbunge kwa mara ya kwanza mnamo Agosti mwaka wa 2021.<ref>[1][2][3]</ref> == Maisha ya awali na elimu == Mwamba alizaliwa Julai mwaka wa 1980 mjini Ndola katika Mkoa wa Copperbelt. Alisoma elimu ya msingi katika shule za Little Big Horn na Tree Tops Primary School. Baadaye alisoma elimu yake ya sekondani katika shule ya Lake Road School High School, Woodmead High School nchini Afrika Kusini, na International School of South Africa. Baada ya elimu ya sekondari, alisoma katika American Hotel School na Allenby College. Ana diploma katika itifaki ya kidiplomasia, mawasiliano ya umma (public relations), pamoja na cheti katika ukarimu, mauzo na masoko.<ref>[4]</ref> == Siasa == Mwamba ni mwanachama wa Chama cha Patriotic Front (PF), ambacho alijiunga nacho mapema maishani mwake. Kati ya mwaka wa 2011 hadi mwaka wa 2013, alihudumu kama mwanadiplomasia katika Ubalozi wa Namibia mjini Windhoek, ambapo alikuwa First Secretary anayehusika na biashara. Mnamo mwaka wa 2016 aligombea ubunge Jimbo la Kasama Central kupitia tiketi ya United Party for National Development (UPND), lakini hakufanikiwa. Hata hivyo, mwaka 2021 alipitishwa na Patriotic Front kugombea tena jimbo hilo na akachaguliwa kuwa mbunge. Baada ya uchaguzi, kiti chake kilibatilishwa na Mahakama Kuu ya Kasama, lakini Mahakama ya Katiba ilibatilisha uamuzi huo na kumrudisha bungeni.<ref>[5][6]</ref> Yeye katika Bunge ni mwanachama wa kamati mbalimbali ikiwemo Kamati ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Kamati ya Usalama wa Taifa na Mambo ya Nje. Pia ni mwanachama wa Kamati ya Bunge ya Watoto, Vijana, na SRHR Caucus. Yeye ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu na Kamati ya Usalama wa Taifa.<ref>[7]</ref> == Maisha binafsi == Mwamba ana watoto wanne na ni binti wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Zambia, Geoffrey Mwamba. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1980|}} [[Jamii:Wanasiasa wa Zambia]] 4vzgbkn3ufhzvdw9jwkkw5a4ae6b8y6 Elmarie Linde 0 229796 1508206 2026-04-21T11:57:46Z EdwardJacobo42 48620 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Elmarie Linde''' (aliyezaliwa [[9 Januari]] [[1971]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na Mbunge wa Bunge la Taifa akiwakilisha Democratic Alliance (DA). Alichaguliwa kuingia katika Bunge la Taifa kupitia 2024 South African general election, ambapo alikuwa nafasi ya 61 kwenye orodha ya kitaifa ya chama hicho.<ref>[https://www.elections.org.za/pw/Documents/Candidates-List-NPE2024/National%20Candidates%20List.pdf NPE2024 - National Candidates List...' 1508206 wikitext text/x-wiki '''Elmarie Linde''' (aliyezaliwa [[9 Januari]] [[1971]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na Mbunge wa Bunge la Taifa akiwakilisha Democratic Alliance (DA). Alichaguliwa kuingia katika Bunge la Taifa kupitia 2024 South African general election, ambapo alikuwa nafasi ya 61 kwenye orodha ya kitaifa ya chama hicho.<ref>[https://www.elections.org.za/pw/Documents/Candidates-List-NPE2024/National%20Candidates%20List.pdf NPE2024 - National Candidates List as on 10 April 2024]</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1971]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] q5yr7o9e96nzl8c55mi1i8ealto65zm