Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.47.0-wmf.6 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Event Event talk Sengerema 0 6884 1572830 1569155 2026-06-14T05:54:34Z CommonsDelinker 234 Removing [[:c:File:Sengerema.opus|Sengerema.opus]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Krd|Krd]] because: No [[:c:COM:L|license]] since 6 June 2026 ([[:c:COM:CSD#F5|F5]]). 1572830 wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Kata ya Sengerema |picha_ya_satelite =Mwanza-Sengerema.svg |maelezo_ya_picha = |pushpin_map = Tanzania |pushpin_map_caption = Mahali pa Sengerema katika Tanzania |settlement_type = Kata |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Sengerema|Sengerema]] |wakazi_kwa_ujumla = 49,806 |latd=2 |latm=38 |lats=57 |latNS=S |longd=32 |longm=38 |longs=35 |longEW=E |website = }} [[Picha:Mwanza-Sengerema.svg |thumb|Maeneo baadhi ya sengerema Mjini mwanza]] '''Sengerema''' ni [[mji mdogo]] na [[makao makuu]] ya [[wilaya ya Sengerema]] katika [[Mkoa wa Mwanza]]. Katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2002]], [[idadi]] ya wakazi wa [[kata]] ya Sengerema ilihesabiwa kuwa 49,806 [https://web.archive.org/web/20031228060459/http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/sengerema.htm]. Eneo la mji wa Sengerema limegawiwa kwa kata nne za [[Ibisabageni]], [[Mwabaluhi]] (Mwambului), [[Nyampulukano]] na [[Nyatukala]]. Hii kata ndogo imesheheni [[miundombinu]] tofauti ikiwemo [[hospitali]] ijulikanayo kama Mision hospital, [[shule]] zilizobobea kwa ajili ya kutoa [[elimu]], pia Telecentre Wilayani Sengerema kwenye makutano ya [[barabara]] za Kamanga na Busisi. {{Kata za Wilaya ya Sengerema}} {{mbegu-jio-mwanza}} [[Jamii:Mkoa wa Mwanza|S]] [[Jamii:Wilaya ya Sengerema]] atdn5aq1v5v2by299csg0og2n8u7heu Bukoba (mji) 0 7144 1572829 1566792 2026-06-14T05:54:31Z CommonsDelinker 234 Removing [[:c:File:Bukoba.opus|Bukoba.opus]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Krd|Krd]] because: No [[:c:COM:L|license]] since 6 June 2026 ([[:c:COM:CSD#F5|F5]]). 1572829 wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Bukoba |picha_ya_satelite = Bukoba bandari 2012 Tamino.jpg |pushpin_map = Tanzania |pushpin_map_caption = Mahali pa mji wa Bukoba katika Tanzania |settlement_type = Mji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Bukoba Mjini|Bukoba Mjini]] |wakazi_kwa_ujumla = 144,938 |latd=1 |latm=19 |lats=12 |latNS=S |longd=31 |longm=48 |longs=0 |longEW=E |website = }} [[Picha:Bukoba_View.JPG|thumbnail|right|280px|Mandhari wa mji wa Bukoba]] '''Bukoba''' ni [[manisipaa]] ya [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Tanzania]] ambayo ni [[makao makuu]] ya [[Mkoa wa Kagera]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''35100'''. Iko kando ya [[Ziwa Viktoria Nyanza]] upande wa magharibi. Eneo lake liko chini ya Halmashauri ya Bukoba mjini (Bukoba Municipal Council) yenye madaraka ya [[wilaya]]. Katika [[sensa]] ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa kuwa 144,938. Kulingana na sensa ya mwaka 2012 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 128,796<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kagera - Bukoba Municipal Council]</ref>. ==Historia== [[Mji]] ulianzishwa [[mwaka]] [[1890]] wakati [[Ujerumani|Wajerumani]] walipoteua sehemu hiyo kwa [[boma]] la [[jeshi]] lao la [[Ukoloni|kikoloni]]. Likaendelea kuwa makao makuu ya [[mwakilishi mkazi]] Mjerumani katika [[ufalme|falme]] ndogo za [[Karagwe]], [[Washubi]] na [[Wahaya]] ambazo kwanza hazikuingizwa moja kwa moja katika koloni la [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]. ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}} {{mbegu-jio-kagera}} [[Jamii:Bukoba]] [[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]] [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Kagera|B]] [[Jamii:Miji ya Tanzania]] [[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]] s5kgssh645ya53jufg4f32rk4w1tbs7 Polikarpo Mtakatifu 0 16841 1572382 1537198 2026-06-13T13:18:22Z Riccardo Riccioni 452 1572382 wikitext text/x-wiki [[Picha:Burghers michael saintpolycarp.jpg|thumb|Polikarpo Mtakatifu.]] '''Mtakatifu Polikarpo''' (takriban [[69]]-[[155]]) alikuwa [[askofu]] katika [[mkoa wa Asia]] ([[Uturuki]] wa leo). Tangu kale anatambuliwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kuwa [[mtakatifu]] kama [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[23 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Maisha== Polikarpo alikuwa [[mwanafunzi]] wa [[mtume Yohane]] na askofu wa [[mji]] wa [[Smirna]] (leo [[Izmir]] nchini [[Uturuki]]). Pengine [[barua]] kwa [[malaika]] wa [[Kanisa]] la Smirna inayopatikana katika [[Kitabu cha Ufunuo]] ilimlenga na kumsifu yeye. Alikuwa [[rafiki]] wa [[Ignasi wa Antiokia]] ambaye alimuandikia barua maarufu. Alikwenda [[Roma]], [[Italia]], kuzungumza na [[Papa Anicetus]] kuhusu maadhimisho ya [[Pasaka]] ili kudumisha [[umoja]] wa [[Kanisa]] katika tofauti za [[desturi]]. Mwaka 155, chini ya [[Kaizari|makaisari]] [[Antoninus Pius]] na [[Commodus|Komodo]], aliifia [[dini]] yake kwa kuchomwa [[moto]] katika [[uwanja wa michezo]] mbele ya [[gavana]] na [[umati]] wa watu <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/22900</ref>. [[Kitabu]] cha [[karne ya 2]] juu ya [[kifodini]] [[Kifodini cha Polikarpo|hicho]] kinasifiwa kwa [[uzuri]] wake <ref>Sehemu imetafsiriwa kwa [[Kiswahili]] katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 76-78</ref>. ==Sala yake wakati wa kufia dini== Ee Bwana, Mwenyezi Mungu, Baba wa Mwanao mpenzi na mbarikiwa Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake tumekufahamu; Mungu wa malaika na wa wenye uwezo, wa kila kiumbe na wa kizazi chote cha waadilifu wanaoishi mbele yako: mimi nakubariki kwa kuwa siku hii na saa hii umenijalia nishiriki kikombe cha Kristo wako pamoja na wafiadini wote, kwa ufufuo wa roho na wa mwili katika uzima wa milele, katika hali ya kutoharibika kwa njia ya Roho Mtakatifu. Niweze leo kupokewa pamoja nao mbele yako kama sadaka nono na ya kupendeza, kama vile wewe, Mungu usiye na hila na msemakweli, ulivyoiandaa ukanionyesha mapema na sasa umeitimiza. Kwa sababu hiyo na kwa mambo yote mimi nakusifu, nakuhimidi, nakutukuza pamoja na kuhani wa milele na wa kimbingu Yesu Kristo, Mwanao mpenzi, ambaye kwa njia yake kwako na kwa Roho Mtakatifu uwe utukufu sasa na nyakati zijazo. Amina. ==Tazama pia== * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo ya Kiswahili== * John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 64-66 * Pd. Leandry Kimario, [[Wakapuchini|O.F.M.Cap.]] - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 57-59 * Maurice Soseleje, Kalendari yetu – Maisha ya Watakatifu – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1986 – ISBN 9976-63-112-X, uk. 15-16 {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 69]] [[Jamii:Waliofariki 155]] fej2zv5fz7hfb25nutn83ninjikvp48 1572397 1572382 2026-06-13T14:14:40Z Riccardo Riccioni 452 /* Tazama pia */ 1572397 wikitext text/x-wiki [[Picha:Burghers michael saintpolycarp.jpg|thumb|Polikarpo Mtakatifu.]] '''Mtakatifu Polikarpo''' (takriban [[69]]-[[155]]) alikuwa [[askofu]] katika [[mkoa wa Asia]] ([[Uturuki]] wa leo). Tangu kale anatambuliwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kuwa [[mtakatifu]] kama [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[23 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Maisha== Polikarpo alikuwa [[mwanafunzi]] wa [[mtume Yohane]] na askofu wa [[mji]] wa [[Smirna]] (leo [[Izmir]] nchini [[Uturuki]]). Pengine [[barua]] kwa [[malaika]] wa [[Kanisa]] la Smirna inayopatikana katika [[Kitabu cha Ufunuo]] ilimlenga na kumsifu yeye. Alikuwa [[rafiki]] wa [[Ignasi wa Antiokia]] ambaye alimuandikia barua maarufu. Alikwenda [[Roma]], [[Italia]], kuzungumza na [[Papa Anicetus]] kuhusu maadhimisho ya [[Pasaka]] ili kudumisha [[umoja]] wa [[Kanisa]] katika tofauti za [[desturi]]. Mwaka 155, chini ya [[Kaizari|makaisari]] [[Antoninus Pius]] na [[Commodus|Komodo]], aliifia [[dini]] yake kwa kuchomwa [[moto]] katika [[uwanja wa michezo]] mbele ya [[gavana]] na [[umati]] wa watu <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/22900</ref>. [[Kitabu]] cha [[karne ya 2]] juu ya [[kifodini]] [[Kifodini cha Polikarpo|hicho]] kinasifiwa kwa [[uzuri]] wake <ref>Sehemu imetafsiriwa kwa [[Kiswahili]] katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 76-78</ref>. ==Sala yake wakati wa kufia dini== Ee Bwana, Mwenyezi Mungu, Baba wa Mwanao mpenzi na mbarikiwa Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake tumekufahamu; Mungu wa malaika na wa wenye uwezo, wa kila kiumbe na wa kizazi chote cha waadilifu wanaoishi mbele yako: mimi nakubariki kwa kuwa siku hii na saa hii umenijalia nishiriki kikombe cha Kristo wako pamoja na wafiadini wote, kwa ufufuo wa roho na wa mwili katika uzima wa milele, katika hali ya kutoharibika kwa njia ya Roho Mtakatifu. Niweze leo kupokewa pamoja nao mbele yako kama sadaka nono na ya kupendeza, kama vile wewe, Mungu usiye na hila na msemakweli, ulivyoiandaa ukanionyesha mapema na sasa umeitimiza. Kwa sababu hiyo na kwa mambo yote mimi nakusifu, nakuhimidi, nakutukuza pamoja na kuhani wa milele na wa kimbingu Yesu Kristo, Mwanao mpenzi, ambaye kwa njia yake kwako na kwa Roho Mtakatifu uwe utukufu sasa na nyakati zijazo. Amina. ==Tazama pia== * [[Barua ya Polikarpo]] * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo ya Kiswahili== * John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 64-66 * Pd. Leandry Kimario, [[Wakapuchini|O.F.M.Cap.]] - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 57-59 * Maurice Soseleje, Kalendari yetu – Maisha ya Watakatifu – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1986 – ISBN 9976-63-112-X, uk. 15-16 {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 69]] [[Jamii:Waliofariki 155]] c5s1jg36dcbgfjotvm3aabyizubl3cd 1572398 1572397 2026-06-13T14:16:41Z Riccardo Riccioni 452 /* Maisha */ 1572398 wikitext text/x-wiki [[Picha:Burghers michael saintpolycarp.jpg|thumb|Polikarpo Mtakatifu.]] '''Mtakatifu Polikarpo''' (takriban [[69]]-[[155]]) alikuwa [[askofu]] katika [[mkoa wa Asia]] ([[Uturuki]] wa leo). Tangu kale anatambuliwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kuwa [[mtakatifu]] kama [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[23 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Maisha== Polikarpo alikuwa [[mwanafunzi]] wa [[mtume Yohane]] na askofu wa [[mji]] wa [[Smirna]] (leo [[Izmir]] nchini [[Uturuki]]). Pengine [[barua]] kwa [[malaika]] wa [[Kanisa]] la Smirna inayopatikana katika [[Kitabu cha Ufunuo]] ilimlenga na kumsifu yeye. Alikuwa [[rafiki]] wa [[Ignasi wa Antiokia]] ambaye alimuandikia barua maarufu. Mwenyewe aliandika barua kadhaa, ambazo kati yake imetufikia tu ile kwa Wakristo wa [[Filipi]]. Alikwenda [[Roma]], [[Italia]], kuzungumza na [[Papa Anicetus]] kuhusu maadhimisho ya [[Pasaka]] ili kudumisha [[umoja]] wa [[Kanisa]] katika tofauti za [[desturi]]. Mwaka 155, chini ya [[Kaizari|makaisari]] [[Antoninus Pius]] na [[Commodus|Komodo]], aliifia [[dini]] yake kwa kuchomwa [[moto]] katika [[uwanja wa michezo]] mbele ya [[gavana]] na [[umati]] wa watu <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/22900</ref>. [[Kitabu]] cha [[karne ya 2]] juu ya [[kifodini]] [[Kifodini cha Polikarpo|hicho]] kinasifiwa kwa [[uzuri]] wake <ref>Sehemu imetafsiriwa kwa [[Kiswahili]] katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 76-78</ref>. ==Sala yake wakati wa kufia dini== Ee Bwana, Mwenyezi Mungu, Baba wa Mwanao mpenzi na mbarikiwa Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake tumekufahamu; Mungu wa malaika na wa wenye uwezo, wa kila kiumbe na wa kizazi chote cha waadilifu wanaoishi mbele yako: mimi nakubariki kwa kuwa siku hii na saa hii umenijalia nishiriki kikombe cha Kristo wako pamoja na wafiadini wote, kwa ufufuo wa roho na wa mwili katika uzima wa milele, katika hali ya kutoharibika kwa njia ya Roho Mtakatifu. Niweze leo kupokewa pamoja nao mbele yako kama sadaka nono na ya kupendeza, kama vile wewe, Mungu usiye na hila na msemakweli, ulivyoiandaa ukanionyesha mapema na sasa umeitimiza. Kwa sababu hiyo na kwa mambo yote mimi nakusifu, nakuhimidi, nakutukuza pamoja na kuhani wa milele na wa kimbingu Yesu Kristo, Mwanao mpenzi, ambaye kwa njia yake kwako na kwa Roho Mtakatifu uwe utukufu sasa na nyakati zijazo. Amina. ==Tazama pia== * [[Barua ya Polikarpo]] * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo ya Kiswahili== * John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 64-66 * Pd. Leandry Kimario, [[Wakapuchini|O.F.M.Cap.]] - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 57-59 * Maurice Soseleje, Kalendari yetu – Maisha ya Watakatifu – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1986 – ISBN 9976-63-112-X, uk. 15-16 {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 69]] [[Jamii:Waliofariki 155]] aro1ldhl9ejmse5dkst5j0hj0863osd 1572399 1572398 2026-06-13T14:17:43Z Riccardo Riccioni 452 /* Maisha */ 1572399 wikitext text/x-wiki [[Picha:Burghers michael saintpolycarp.jpg|thumb|Polikarpo Mtakatifu.]] '''Mtakatifu Polikarpo''' (takriban [[69]]-[[155]]) alikuwa [[askofu]] katika [[mkoa wa Asia]] ([[Uturuki]] wa leo). Tangu kale anatambuliwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kuwa [[mtakatifu]] kama [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[23 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Maisha== Polikarpo alikuwa [[mwanafunzi]] wa [[mtume Yohane]] na askofu wa [[mji]] wa [[Smirna]] (leo [[Izmir]] nchini [[Uturuki]]). Pengine [[barua]] kwa [[malaika]] wa [[Kanisa]] la Smirna inayopatikana katika [[Kitabu cha Ufunuo]] ilimlenga na kumsifu yeye. Alikuwa [[rafiki]] wa [[Ignasi wa Antiokia]] ambaye alimuandikia [[barua]] maarufu. Mwenyewe aliandika barua kadhaa, ambazo kati yake imetufikia tu [[barua ya Polikarpo|ile]] kwa Wakristo wa [[Filipi]]. Alikwenda [[Roma]], [[Italia]], kuzungumza na [[Papa Anicetus]] kuhusu maadhimisho ya [[Pasaka]] ili kudumisha [[umoja]] wa [[Kanisa]] katika tofauti za [[desturi]]. Mwaka 155, chini ya [[Kaizari|makaisari]] [[Antoninus Pius]] na [[Commodus|Komodo]], aliifia [[dini]] yake kwa kuchomwa [[moto]] katika [[uwanja wa michezo]] mbele ya [[gavana]] na [[umati]] wa watu <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/22900</ref>. [[Kitabu]] cha [[karne ya 2]] juu ya [[kifodini]] [[Kifodini cha Polikarpo|hicho]] kinasifiwa kwa [[uzuri]] wake <ref>Sehemu imetafsiriwa kwa [[Kiswahili]] katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 76-78</ref>. ==Sala yake wakati wa kufia dini== Ee Bwana, Mwenyezi Mungu, Baba wa Mwanao mpenzi na mbarikiwa Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake tumekufahamu; Mungu wa malaika na wa wenye uwezo, wa kila kiumbe na wa kizazi chote cha waadilifu wanaoishi mbele yako: mimi nakubariki kwa kuwa siku hii na saa hii umenijalia nishiriki kikombe cha Kristo wako pamoja na wafiadini wote, kwa ufufuo wa roho na wa mwili katika uzima wa milele, katika hali ya kutoharibika kwa njia ya Roho Mtakatifu. Niweze leo kupokewa pamoja nao mbele yako kama sadaka nono na ya kupendeza, kama vile wewe, Mungu usiye na hila na msemakweli, ulivyoiandaa ukanionyesha mapema na sasa umeitimiza. Kwa sababu hiyo na kwa mambo yote mimi nakusifu, nakuhimidi, nakutukuza pamoja na kuhani wa milele na wa kimbingu Yesu Kristo, Mwanao mpenzi, ambaye kwa njia yake kwako na kwa Roho Mtakatifu uwe utukufu sasa na nyakati zijazo. Amina. ==Tazama pia== * [[Barua ya Polikarpo]] * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo ya Kiswahili== * John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 64-66 * Pd. Leandry Kimario, [[Wakapuchini|O.F.M.Cap.]] - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 57-59 * Maurice Soseleje, Kalendari yetu – Maisha ya Watakatifu – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1986 – ISBN 9976-63-112-X, uk. 15-16 {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 69]] [[Jamii:Waliofariki 155]] q6hoheshsp5nzvr8tt29p8bk6wj1q64 1572934 1572399 2026-06-14T07:24:53Z Riccardo Riccioni 452 /* Tazama pia */ 1572934 wikitext text/x-wiki [[Picha:Burghers michael saintpolycarp.jpg|thumb|Polikarpo Mtakatifu.]] '''Mtakatifu Polikarpo''' (takriban [[69]]-[[155]]) alikuwa [[askofu]] katika [[mkoa wa Asia]] ([[Uturuki]] wa leo). Tangu kale anatambuliwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kuwa [[mtakatifu]] kama [[mfiadini]]. [[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[23 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. ==Maisha== Polikarpo alikuwa [[mwanafunzi]] wa [[mtume Yohane]] na askofu wa [[mji]] wa [[Smirna]] (leo [[Izmir]] nchini [[Uturuki]]). Pengine [[barua]] kwa [[malaika]] wa [[Kanisa]] la Smirna inayopatikana katika [[Kitabu cha Ufunuo]] ilimlenga na kumsifu yeye. Alikuwa [[rafiki]] wa [[Ignasi wa Antiokia]] ambaye alimuandikia [[barua]] maarufu. Mwenyewe aliandika barua kadhaa, ambazo kati yake imetufikia tu [[barua ya Polikarpo|ile]] kwa Wakristo wa [[Filipi]]. Alikwenda [[Roma]], [[Italia]], kuzungumza na [[Papa Anicetus]] kuhusu maadhimisho ya [[Pasaka]] ili kudumisha [[umoja]] wa [[Kanisa]] katika tofauti za [[desturi]]. Mwaka 155, chini ya [[Kaizari|makaisari]] [[Antoninus Pius]] na [[Commodus|Komodo]], aliifia [[dini]] yake kwa kuchomwa [[moto]] katika [[uwanja wa michezo]] mbele ya [[gavana]] na [[umati]] wa watu <ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/22900</ref>. [[Kitabu]] cha [[karne ya 2]] juu ya [[kifodini]] [[Kifodini cha Polikarpo|hicho]] kinasifiwa kwa [[uzuri]] wake <ref>Sehemu imetafsiriwa kwa [[Kiswahili]] katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 76-78</ref>. ==Sala yake wakati wa kufia dini== Ee Bwana, Mwenyezi Mungu, Baba wa Mwanao mpenzi na mbarikiwa Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake tumekufahamu; Mungu wa malaika na wa wenye uwezo, wa kila kiumbe na wa kizazi chote cha waadilifu wanaoishi mbele yako: mimi nakubariki kwa kuwa siku hii na saa hii umenijalia nishiriki kikombe cha Kristo wako pamoja na wafiadini wote, kwa ufufuo wa roho na wa mwili katika uzima wa milele, katika hali ya kutoharibika kwa njia ya Roho Mtakatifu. Niweze leo kupokewa pamoja nao mbele yako kama sadaka nono na ya kupendeza, kama vile wewe, Mungu usiye na hila na msemakweli, ulivyoiandaa ukanionyesha mapema na sasa umeitimiza. Kwa sababu hiyo na kwa mambo yote mimi nakusifu, nakuhimidi, nakutukuza pamoja na kuhani wa milele na wa kimbingu Yesu Kristo, Mwanao mpenzi, ambaye kwa njia yake kwako na kwa Roho Mtakatifu uwe utukufu sasa na nyakati zijazo. Amina. ==Tazama pia== * [[Barua ya Polikarpo]] * ''[[Kifodini cha Polikarpo]]'' * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo ya Kiswahili== * John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 64-66 * Pd. Leandry Kimario, [[Wakapuchini|O.F.M.Cap.]] - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 57-59 * Maurice Soseleje, Kalendari yetu – Maisha ya Watakatifu – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1986 – ISBN 9976-63-112-X, uk. 15-16 {{mbegu-Mkristo}} [[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]] [[Jamii:Wafiadini Wakristo]] [[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]] [[Jamii:Waliozaliwa 69]] [[Jamii:Waliofariki 155]] mlgfyhjpi1pbj7pusfziag5lr9wovwi Katumba (Nsimbo) 0 22004 1572391 1328174 2026-06-13T13:49:16Z Riccardo Riccioni 452 1572391 wikitext text/x-wiki <sup>Kwa kata nyingine yenye jina hilo, tazama [[Katumba (Rungwe)]].</sup> {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Kata ya Katumba |picha_ya_satelite = |maelezo_ya_picha = |pushpin_map = |pushpin_map_caption = Mahali pa Katumba katika Tanzania |settlement_type = Kata |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Katavi|Katavi]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Nsimbo|Nsimbo]] |wakazi_kwa_ujumla = 30,291 |latd= |latm= |lats= |latNS=S |longd= |longm= |longs= |longEW=E |website = }} '''Katumba''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Nsimbo]] katika [[Mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]]. Katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2022]] wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 30,291 <ref>https://www.nbs.go.tz, uk 215 </ref>. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 99,205 waishio humo. <ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/mpanda.htm|title=Ripoti Kuu ya Hesabu ya Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka wa 2002|publisher=Serikali ya [[Tanzania]]|language=en|accessdate=|archiveurl=https://web.archive.org/web/20040320145342/http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/mpanda.htm|archivedate=2004-03-20}}</ref> ==Tazama pia== * [[Kambi ya Wakimbizi Katumba]] ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Nsimbo}} {{Mbegu-jio-katavi}} [[Jamii:Kata za Mkoa wa Katavi]] [[Jamii:Wilaya ya Nsimbo]] g4n3ehzvkulg7reejx2i6eqabkcx3hp Diyarbakır 0 23696 1572429 1511028 2026-06-14T01:58:26Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572429 wikitext text/x-wiki [[Picha:Diyarbakir Great Mosque DSCF8201.jpg|thumb|right|350px|Msikiti mkubwa wa Diyarbakır.]] '''Diyarbakır''' ([[Kiosmani Kituruki]] دیاربکر, ''Diyâr-ı Bekr''; [[Kikurdi]] ئامه‌د, ''Amed''; anc. ''Amida'') ni mji mkubwa sana uliopo kusini-mashariki mwa nchi ya [[Uturuki]]. Mji upo katika eneo la ukingo wa Mto [[Tigris]], huu ni mji mkuu wa [[Mkoa wa Diyarbakır]] wenye wakazi karibuni milioni 1.5<ref name="tarsus.bel.tr">{{Rejea tovuti |url=http://www.tarsus.bel.tr/tr/about/nufusBilgileri.jsp |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2009-05-22 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090815102808/http://www.tarsus.bel.tr/tr/about/nufusBilgileri.jsp |archivedate=2009-08-15 }}</ref>. Wenye lundiko la watu takriban 600,000<ref name="tarsus.bel.tr"/>, huu ni mji wa pili kwa ukubwa katika Uturuki ya Kusini-mashariki mwa mkoa wa [[Anatolia]], baada ya [[Gaziantep]]. == Marejeo == <references/> == Viungo vya Nje == {{commons|Diyarbakır}} * {{tr icon}} [http://www.diyarbakir.gov.tr/default_B0.aspx Governorship of Diyarbakır] {{Wayback|url=http://www.diyarbakir.gov.tr/default_B0.aspx |date=20081101202734 }} * {{tr icon}} [http://www.diyarbakir-bld.gov.tr/ Diyarbakır Metropolitan Municipality] {{Wayback|url=http://www.diyarbakir-bld.gov.tr/ |date=20060512040802 }} * {{tr icon}} [http://www.diyarbakirspor.org/ Diyarbakırspor funs, news, informarmation] {{Wayback|url=http://www.diyarbakirspor.org/ |date=20100410195459 }} * {{tr icon}} [http://www.yerelnet.org.tr/belediyeler/index.php?belediyeid=128892 local info] {{Wayback|url=http://www.yerelnet.org.tr/belediyeler/index.php?belediyeid=128892 |date=20090208225817 }} * {{tr icon}} [http://www.diyarbakirtso.org.tr/ Diyarbakır Chamber of Trade and Industry] {{Wayback|url=http://www.diyarbakirtso.org.tr/ |date=20080926052238 }} * {{tr icon}} [http://www.diyarbekir.com/ Information on Diyarbakır] * {{tr icon}} [http://www.diyarbekir.net/ Diyarbakır news] {{Wayback|url=http://www.diyarbekir.net/ |date=20090416003012 }} * {{tr icon}} [http://www.diyarinsesi.org/ Diyarbakır news] {{Wayback|url=http://www.diyarinsesi.org/ |date=20090522124751 }} * {{tr icon}} [http://www.anzele.net/ Diyarbakır news] {{Wayback|url=http://www.anzele.net/ |date=20220517103404 }} * {{tr icon}} [http://www.otelcenneti.com/oteller/diyarbakir Diyarbakır Hotels] {{Wayback|url=http://www.otelcenneti.com/oteller/diyarbakir |date=20151125083729 }} * [http://www.tulpart.com/pic.asp?cmd=1&cid=15 Pictures of the City] {{Wayback|url=http://www.tulpart.com/pic.asp?cmd=1&cid=15 |date=20090204053847 }} * [http://www.anatolia.luwo.be/Diyarbakir.htm Diyarbakır Guide and Photo Album] {{Wayback|url=http://www.anatolia.luwo.be/Diyarbakir.htm |date=20090924211333 }}, [http://wowturkey.com/forum/viewtopic.php?t=15077 more] {{Wayback|url=http://wowturkey.com/forum/viewtopic.php?t=15077 |date=20090212210727 }}, [http://www.pbase.com/dosseman/diyarbakir more] * [http://www.turkeyforecast.com/weather/diyarbakir/ Diyarbakır Weather Forecast Information] {{Wayback|url=http://www.turkeyforecast.com/weather/diyarbakir/ |date=20090212153102 }} {{coord|37.9819|40.2106|type:city|display=title}} {{Miji ya Uturuki}} {{mbegu-jio-Uturuki}} {{DEFAULTSORT:Diyarbakir}} [[Jamii:Miji ya Uturuki]] [[Jamii:Uturuki]] l9jxip17c7mo1cp2uyk4xk64r9xzbx6 Mtakatifu 0 23721 1572362 1017561 2026-06-13T12:03:28Z Riccardo Riccioni 452 /* Tazama pia */ 1572362 wikitext text/x-wiki [[File:Simon ushakov last supper 1685.jpg|thumb|upright=1.25|Katika utamaduni wa [[Kikristo]], watakatifu huchorwa na nembo takatifu, kama ishara ya utakatifu wao; tazama jinsi [[Yuda Iskarioti]] (wa mbele kabisa) ni mtume pekee ambaye hana nembo hiyo.]] '''Mtakatifu''' ni [[binadamu]] aliye hai au aliyekufa ambaye [[dini]] fulani au watu mbalimbali wanamheshimu kwa namna ya pekee kwa jinsi alivyoonekana kuwa karibu zaidi na [[Mungu]] hata akashirikishwa [[utakatifu]] wake. Kwa hiyo hutazamwa kama kielelezo cha [[uadilifu]] na pengine kama [[mwombezi]] pia. == Katika Uyahudi == [[Jina]] linalotumiwa zaidi na [[Wayahudi]] ni ''tzadik'' (mtu wa [[haki]], mwadilifu), aliyejitahidi kufuata [[Torati]]. [[Kitabu]] cha [[Talmud]] kinasema kila mara [[duniani]] walau watu 36 wa namna hiyo (''tzadikim'') wanaishi kati yetu na kuzuia [[ulimwengu]] usiangamizwe kama [[adhabu]] ya [[dhambi]]. Pengine wanaitwa hivyo hata watu wa [[taifa|mataifa]], hasa waliojitahidi kusaidia Wayahudi, k.mf. wakati wa [[dhuluma]]. Baadhi yao wanaorodheshwa na kupewa [[heshima]] rasmi. == Katika Ukristo == Mwanzoni mwa [[Kanisa]] kila [[Mkristo]] aliitwa mtakatifu kwa sababu alitengwa na ulimwengu na kuwekwa [[wakfu]] kwa Mungu aliye mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu. Sifa hiyohiyo ilitolewa pia kwa [[mahali]], [[siku]], vitu n.k. kutokana na matumizi yake ya kidini. === Katika Kanisa Katoliki === [[Picha:Simone Martini 047.jpg|thumb|[[Klara wa Asizi]] alivyochorwa na [[Simone Martini]] katika [[basilika la Mt. Fransisko]] wa Asizi huko [[Asizi]], [[Italia]].]] Kwa [[Wakatoliki]] '''mtakatifu''' ni yule aliyemfuata [[Yesu Kristo]], akiishi kwa [[upendo]] na [[maadili]] mengine yanayoutegemea, hasa aliyeyatekeleza kwa kiwango cha [[ushujaa]] katika [[Kifodini|kufia dini]], kutoa [[uhai]] wake katika kuhudumia wengine au katika [[maisha]] ya kila siku. Utakatifu si wa aina moja, bali kila binadamu anatakiwa kuitikia siku kwa siku [[wito]] maalumu aliopewa na Mungu. Hivyo yeyote anaweza na kupaswa kulenga utakatifu, bila kujali sifa zake za [[Maumbile|kimaumbile]] tu. Ili kuzuia [[udanganyifu]], tangu mwanzoni mwa [[milenia]] ya pili [[Kanisa Katoliki]] linamuachia [[Papa]] kusimamia [[kesi]] ndefu za kumtangaza mtakatifu mpya, miaka baada ya [[kifo]] chake. Wakatoliki wanawapatia [[Bikira Maria]] na watakatifu wengine heshima ya pekee kama [[rafiki|marafiki]] wa Mungu, lakini si [[ibada]] halisi ambayo ni kwa Mungu tu. Heshima hiyo inadai waumini wajitahidi pia kufuata mifano yao kama wao walivyofuata ile ya [[Yesu]]. {{Kigezo:Kutangaza watakatifu}} === Katika Makanisa ya Kiorthodoksi === [[Picha:Relics of Saint Demetrius.jpg|thumb|[[Masalia]] ya [[Demetrio wa Thesalonike]] katika [[kanisa]] lake huko [[Thesalonike]], [[Ugiriki]].]] [[Makanisa ya Kiorthodoksi]] yanamuita mtakatifu hasa anayesadikiwa yuko katika [[paradiso]], kuanzia [[Abeli]], [[Adamu]] na [[Eva]], [[Mose|Musa]] na [[manabii]] wengine, lakini pia [[malaika]]. Ni Mungu anayefunua watakatifu wake kwa kuitikia [[sala]] anazotolewa kwa kuwapitia hao hata akatenda [[miujiza]]. Wakristo wanaanza kuwatambua lakini [[uamuzi]] wa mwisho unachukuliwa na [[sinodi ya maaskofu]]. [[Waorthodoksi]] na [[Waorthodoksi wa Mashariki]] wanawatendea watakatifu kama watu hai, kwa sababu wanaishi [[mbinguni]] pamoja na [[Ufufuko wa Yesu|Kristo mfufuka]], ingawa [[miili]] yao haijaungana tena na [[roho]] zao. Kila mtu [[Ubatizo|anapobatizwa]] anapewa jina la mtakatifu fulani kama [[msimamizi]] kwa maisha yake yote. === Katika Uprotestanti === [[Madhehebu]] mengi ya [[Uprotestanti]] hayakubali mawazo hayo, yakipenda kusisitiza kwamba [[wokovu]] unamtegemea Mungu tu. Hata hivyo mara nyingi waamini bora wanakumbukwa kwa heshima na kuchukuliwa kama mfano (taz. [[Confessio augustana]] art. 21). Hasa [[Waanglikana]] wanakaribia msimamo wa Wakatoliki na kuadhimisha [[sikukuu]] za watakatifu kadiri ya [[kalenda]] maalumu. == Katika [[Uislamu]] == Ingawa dini hiyo haikubali tofauti kati ya watu, Waislamu wengi wanapenda kuheshimu kwa namna ya pekee marafiki wa Mungu (''[[wali]]''), wakisadiki wana uwezo wa kutabiri, kuombea na kuponya. ==Tazama pia== * [[Watakatifu wa Agano la Kale]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo]] * [[Orodha ya Watakatifu Waaugustino]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabazili]] * [[Orodha ya Watakatifu Wabenedikto]] * [[Orodha ya Watakatifu Wadominiko]] * [[Orodha ya Watakatifu Wajesuiti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakarmeli]] * [[Orodha ya Watakatifu Wakolumbani]] * [[Orodha ya Watakatifu Wamersedari]] * [[Orodha ya Watakatifu Waoratori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapasionisti]] * [[Orodha ya Watakatifu Wapremontree]] * [[Orodha ya Watakatifu Waredentori]] * [[Orodha ya Watakatifu Wasalesiani]] * [[Orodha ya Watakatifu Waskolopi]] * [[Orodha ya Watakatifu Wateatini]] * [[Orodha ya Watakatifu Watrinitari]] * [[Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria]] * [[Orodha ya Watakatifu Wavinsenti]] == Viungo vya nje == * [http://www.catholic-forum.com/saints/ Orodha ya watakatifu kwa [[Kiingereza]]] * [http://www.cofe.anglican.org/worship/liturgy/commonworship/texts/calendar/holydays.html Orodha ya watakatifu ya Waanglikana kwa Kiingereza] {{mbegu-dini}} [[Jamii:Dini]] [[Jamii:Watakatifu]] [[Jamii:Watakatifu Wakristo]] n80qqf1yyur2hfcd6fajt4e2w65f0dt Google Earth 0 32631 1572943 1513057 2026-06-14T08:01:11Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572943 wikitext text/x-wiki {{Infobox software | name = Google Earth | logo = | screenshot = | caption = Screenshot of Google Earth 5.0 | collapsible = | author = [[Keyhole, Inc.]] | developer = [[Google]] | released = 28 Juni 2005 (as Google Earth) <br /> circa 2001 (as EarthViewer 3D) | latest release version = 5.1.3533.1731 | latest release date = {{Release date and age|2009|11|18}} | latest preview version = None | latest preview date = | programming language = | size = 10&nbsp;MB (8.9&nbsp;MB iPhone; 24&nbsp;MB Linux; 35&nbsp;MB Mac ) | operating system = [[Microsoft Windows|Windows]] [[Windows 2000|2000]], [[Windows XP|XP]] & [[Windows Vista|Vista]], [[Mac OS X]], [[iPhone OS]], [[Linux]] | language = 41 languages, see the [[#Languages|full list]] | genre = [[Virtual globe]] | license = [[Freeware]]/[[Proprietary software|Proprietary]] | website = http://earth.google.com/ }} '''Google Earth''' ni programu ya habari kuhusu dunia isiyokuwa bayana , ramani na habari ya [[kijiografia]] ambayo awali iliitwa EarthViewer 3D, na iliundwa na [[Keyhole, Inc]], kampuni iliyonunuliwa na [[Google]] mwaka wa 2004. Inatengeza ramani ya dunia kwa [[kupachika]] picha zilizopatikana kutoka kwa [[picha za satelaiti]], [[picha za angani]] na za [[pande 3 za GIS]]. Inaendeshwa kwa leseni tatu tofauti: Google Earth, toleo lisilolipiwa na lililo na uwezo mdogo wa utekelezaji; Google Earth Plus (ilisimamishwa) <ref> {{cite web |url=http://www.gearthblog.com/blog/archives/2008/12/google_earth_plus_discontinued.html|title=Google Earth Plus Discontinued}}</ref> <ref> {{cite web |url=http://www.techpluto.com/google-earth-live/|title=Google Discontinues "Google Earth Plus"}}</ref> ambayo ina matumizi zaidi; na Google Earth Pro ($ 495 kwa mwaka), ambayo imelengwa kwa matumizi ya kibiashara. <ref name="Google Earth Product Family">{{cite web |url=http://earth.google.com/products.html| title= Google Earth Product Family| accessdate = 2007-08-05}}</ref> Huduma hii, ambayo ilizinduliwa kama Google Earth mwaka wa 2005, hivi sasa inapatikana kwa matumizi katika [[kompyuta za kibinafsi]] zilizowekwa programu za [[Windows 2000]] au zaidi, [[Mac OS X]] 10.3.9 na zaidi, [[Linux Kernel:]] 2.4 au toleo la baadaye (lililotolewa tarehe 12 Juni 2006) , na [[FreeBSD]]. Google Earth inapatikana pia kama kisakuzi kiunganishi ambacho kilizinduliwa tarehe 28 Mei 2008 <ref> {{cite web |url=http://google-latlong.blogspot.com/2008/05/google-earth-meet-browser.html|title=Google Earth, meet the browser}}</ref> Ilianza pia kupatikana kwenye [[iPhone OS]] 27 Oktoba 2008, bila malipo kutoka [[hifadhi ya programu]]. Mbali na kuibua programu zilizoiimarishwa na Keyhole, Google pia iliongeza picha kutoka kwa hifadhidata yake ya Dunia, kwa programu yao ya kutengeza ramani. Mfunguo wa Google Earth Juni 2005 kwa umma ulisababisha ongezeko mara dufu la kuangaziwa na vyombo vya habari [[dunia isiyokuwa bayana]] kati ya 2005 na 2006, <ref name="Media Coverage of Geospatial Platforms">{{cite web|url=http://www.geospatialweb.com/figure-4|title=Media Coverage of Geospatial Platforms|accessdate=2007-08-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20120826193026/http://www.geospatialweb.com/figure-4|archivedate=2012-08-26}}</ref> kuhamasisha umma kuhusu teknolojia na programu ya setilaiti ya kukagua dunia. == Muhtasari == Google Earth huonyesha picha za setilaiti za uangavu tofauti za sura tofauti tofauti ya Dunia, jambo linalowawezesha watumiaji kuona vitu kama miji, nyumba, kutoka juu au kwa upande [[hanamu]], (tazama pia [[mtazamo wa wa kutoka angani]]). Kiwango cha uangavu kinachopatikana kinategemea sifa zinazopendeza na umaarufu, lakini sehemu kubwa ya dunia(isipokuwa baadhi ya visiwa)zimefunikwa angalau katika mita 15 za uangavu. <ref>Google Earth Coverage: Ramani zinazoonyesha uwakilishi wa maelezo ya Google Earth</ref> [[Melbourne]], Victoria, Australia; [[Las Vegas]], Nevada; na [[Cambridge]], Cambridgeshire ni mifano yenye uangavu wa juu sana, wa sentmita 15 ( nchi6). Google Earth inaruhusu watumiaji kutafuta anwani kwa baadhi ya nchi, kuingia anaratibu, au tu kwa kutumia puku kusakura hadi mahali. Kwa sehemu kubwa ya uso wa dunia picha za pande 2 tu ndizo zinapatikana, kutoka upigaji picha wa karibu wima. Ukitazama kutoka upembe, kuna mtazamo kwa maana kwamba vitu ambavyo viko mbali kwa mlalo vinaonekana vikiwa vidogo, lakini bila shaka ni kama kutizama picha kubwa, sio kabisa kama mtazamo wa pande 3. Kwa maeneo mengine ya uso wa dunia picha za pande 3 za Mandhari na majengo zinapatikana. Google Earth inatumia data ya [[digital elevation]] model ([[DEM]]) zilizokusanywa kwa mtambo wa [[NASA]] wa[[Shuttle Radar Topography Mission]] (SRTM). Hii ina maana mtu anaweza kutazama [[Grand Canyon]] au [[Mlima Everest katika pande]] tatu, badala ya pande 2 kama maeneo mengine. Tangu Novemba 2006, mitazamo ya pande 3 ya milima mingi, ikiwemo mlima Everest, imeboreshwa kwa kutumia data za DEM kujaza mapengo katika habari ya SRTM. <ref>{{cite web|url=http://bbs.keyhole.com/ubb/showthreaded.php/Cat/0/Number/695033/an/latest/page/0#695033|title=Google Earth Community: Nov. 23rd - Thanksgiving Day imagery update|accessdate=2009-12-02|archivedate=2008-09-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080918093323/http://bbs.keyhole.com/ubb/showthreaded.php/Cat/0/Number/695033/an/latest/page/0#695033}}</ref> Watu wengi hutumia programu kuongeza data zao wenyewe, kwa kuzifanya kupatikana kupitia vyanzo mbalimbali, kama vile [[Bulletin Board Systems]] (BBS) au [[blogu]] zilizotajwa katika sehemu ya viungo hapo chini. Google Earth inaweza kuonyesha kila aina ya picha zikiwa zimepachikwa juu ya uso wa dunia na pia ni programu ya [[Web Map Service]]. Google Earth inasaidia katika kuratibu data ya satelaiti ya kukagua dunia kwa kupitia Keyhole Markup Language (KML). Google Earth ina uwezo wa kuonyesha picha za pande 3 za majengo na miundo (kama vile madaraja), ambayo inajumuisha michoro iliyowasilishwa na watumiaji kwa kutumia [[SketchUp]], ambayo ni programu ya kutengeza [[vielelezo katika pande 3]]. Katika matoleo awali ya Google Earth (kabla ya toleo la 4), majengo ya pande 3 yalikuwa yanapatikana katika miji michache , na yalionekana vibaya, bila umbo. Majengo na miundo mingi Duniani sasa ina miundo naganaga ya pande 3; zikiwemo (lakini siyo tu ) Marekani, Canada, Ireland, India, Japan, Uingereza, Ujerumani, [[Pakistan]] na miji ya, [[Amsterdam]] na [[Alexandria]]. Katika Agosti 2007, [[Hamburg]] ukawa mji wa kwanza kuonyeshwa kabisa katika pande 3, pamoja na umbo kama gao. Mji wa Westport wa Ireland uliongezwa kwa Google Earth katika pande 3 mnamo 16 Januari 2008. Kielelezo cha 'Westport3D' kiliundwa na kampuni ya kuchukua picha za pande 3 ya, AM3TD kwa kutumia teknolojia aina ya leza ya kulenga mbali na kuchukua picha za dijitali na ni kielelezo cha kwanza cha mji wa Ireland kuundwa. Kwa vile awali iliundwa ili kusaidia Serikali ya Mtaa katika kuendesha kazi ya [[kupanga mji]] inajumuisha mfumo wa kupiga picha za kipekee za kuaminika zenye uangavu wa hali ya juu sana kuwahi kupatikana katika Google Earth. Picha za pande tatu za majengo na miundo zinapatikana kote duniani kupitia hifadhi ya picha za pande 3 za Google <ref>{{Rejea tovuti |url=http://sketchup.google.com/3dwarehouse/ |title=Bohari ya pande 3 (3D) |accessdate=2009-12-02 |archivedate=2011-02-24 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110224051633/http://sketchup.google.com/3dwarehouse/ }}</ref> na tovuti nyingine. Majuzi, Google iliongeza kipengele kinachoruhusu watumizi kutazama mbio za magari katika vizuizi vilivyo yadi 200 katika wakati halisi. Katika toleo la 4.3 lililozinduliwa 15 Aprili 2008, [[kifaa cha kukuzia picha cha Google Street View]] kiliunganishwa kikamilifu katika programu na kuiwezesha programu hiyo kutoa mtazamo wa kiwango cha mtaani katika maeneo mengi. Tarehe 17 Januari 2009, picha zote za Google za sakafu ya bahari zilitengenezwa upya na SIO, NOAA, jeshi la wanamaji la US , NGO, na GEBCO. Picha hizo mpya zimesababisha visiwa vidogo kama vile vya [[Maldives]], kutoweza kuonekana licha ya kuwa fuo zao zimelainishwa kabisa. <ref> http://www.gearthblog.com/blog/archives/2009/01/new_view_of_ocean_floor_in_google_e.html</ref> Tarehe 21 Oktoba 2009, picha za eneo zima la Poland zilitengenezwa upya (sehemu nyingi zilitatiza kuonekana katika uangavu wa chini, sasa zimeshatengenezwa upya), na - katika maeneo mengine - zimeshushwa (katika uangavu mzuri sana, sasa ni wa kadri). === Lugha === Tangu toleo la 5.0 Google Earth inapatikana katika lugha 37 (nne kati ya lugha hizo zina lahaja mbili): {| cellspacing="0" style="padding-left:10px" | | * [[Kiarabu]] * [[Kibulgaria]] * [[Kibangla]] * [[Kikatalan]] * Kichina (cha Kiasili) * Kichina [[(Kilichorahisishwa)]] * [[Kikroeshia]] * [[Kicheki]] * [[Kidenmaki]] * [[Kiholanzi]] * Kiingereza [[(cha Marekani)]] * Kiingereza [[(cha Uingereza)]] * [[Kifilipino]] * [[Kifinlandi]] | | * [[Kifaransa]] * [[Kijerumani]] * [[Kigiriki]] * [[Kiyahudi]] * [[Kihindi]] * [[Kihangari]] * [[Kiindoneshia]] * [[Kiitaliano]] * [[Kijapani]] * [[Kikorea]] * [[Kilatvia]] * [[Kilithuania]] * [[Kinorwei]] * [[kipolandi]] | | * [[Kireno (cha Ureno)]] * [[Kireno (cha Brazil)]] * [[Kiromania]] * [[Kirusi]] * [[Kiserbia]] * [[Kislovakia]] * [[Kisloveni]] * [[Kihispania ( cha Uhispania)]] * [[Kihispania (cha Amerika Kusini)]] * [[Kisweden]] * [[Kithai]] * [[Kituruki]] * [[Kiukrania]] * [[Kivietnam]] |} == Vipengele == === Wikipedia na muunganisho wa Panoramio === Desemba 2006 Google Earth iliongeza safu mpya inayoitwa "Geographic Web" inayojumuisha kuiunganisha na [[Wikipedia]] na [[Panoramio]]. Katika Wikipedia, viingilio vinachunguzwa kuona kama vina nambari tambulizi kupitia {{srlink|Template:Coord|Coord templates}} Pia kuna safu ya jamii kutoka mradi wa [[:de:Wikipedia:WikiProjekt Georeferenzierung/Wikipedia-World/en|Ulimwengu wa Wikipedia.]] Nambari tambulizi zaidi hutumiwa, aina tofauti ziko katika kionyesho na lugha mbalimbali zinasaidiwa kuliko safu ya ndani ya Wikipedia. Angalia: *safu [http://tools.wikimedia.de/~kolossos/world-link.php?lang=en inayobadilika] resp. [http://www.webkuehn.de/hobbys/wikipedia/geokoordinaten/index.htm isiyobadilika]. Google ilitangaza tarehe 30 Mei 2007 kuwa inainunua [[Panoramio.]] <ref>{{cite web|url=http://www.google.com/intl/en/press/annc/annc_panoramio.html|title=Google is planning to acquire Panoramio|publisher=google.com}}</ref> === Kiigiza Kupepea === Tangu Google Earth v4.2, kiigiza kupepea kimejumuishwa kama [[kipengele kilichofichika]]. Kutegemeana mfumo,kinaweza kupatikana kwa kubonyeza Control + Alt + A, Control + A, au [[Command]] + Chaguo + A.Baada ya kipengele hiki kuwezeshwa angalau mara moja, kinaonekana chini ya menu zana. Tangu v4.3 chaguo hilo si siri tena. Sasa [[F-16 Fighting Falcon]] na [[Cirrus SR-22]] ndizo ndege pekee ambazo zinaweza kutumika, na viwanja vichache vya ndege. <ref>[22] ^ [http://marco-za.blogspot.com/2007/08/google-earth-flight-simulator.html Blogu ya Marco: Kiigiza kuruka angani cha Google Earth]</ref> Pia inawezekana kudhibiti kiigiza kwa puku au kifaa cha joystick, ingawa si miundo yote inayowezeshwa kwa sasa. Kiigiza kupepea cha Google Earth kinajumuisha uwezo wa kupaa hadi maeneo yoyote yaliyowezeshwa duniani. Rubani anaweza kuchagua mahali popote kuanzia kupepea au ajaribu kutua popote duniani. Muda wa kupaa si wa kasi sana, kwani F-16 ikiwa katika kasi ya juu kabisa angalau huchukua dakika 60 kuruka kutoka ufuo hadi ufuo mwingine wa Marekani kwa kutumia ndege hiyo. Ndege inaweza kutua mahala popote tambarare duniani (pamoja chini ya bahari katika Google Earth 5,0) iwapo kasi ya ndege ni chini ya 250 [[knots]] na inaanguka kwa kasi chini ya {{convert|610|m|ft|abbr=on}} kwa dakika inapogusa ardhi. ==== Ndege husika ==== * [[F-16 Fighting Falcon]] - Kasi ya juu na upeo mrefu kuliko Cirrus SR-22, ina uwezo wa kuruka kwa kasi za karibu 1300 knots katika upeo ulio karibu sana na ardhi. {{Citation needed|date=Machi 2009}} * [[Cirrus SR-22]] - Ingawa ina mwendo wa kasi wa chini kiasi na upeo wenye urefu mfupi kiasi, SR-22 ni rahisi kushughulikia na inapendelewa kwa utazamaji wa karibu kwa kutumia upigaji picha wa Google Earth. === Hali ya Angani === {{Main|Google Sky}} '''[[Google Sky]]''' ni kipengele kilichoanzishwa katika Google Earth 4.2 mnamo 22 Agosti 2007, na kinawaruhusu watumiaji kutazama [[nyota]] na [[miili mingine ya mbingu.]] <ref>{{cite web | title =Explore the sky with Google Earth | publisher =Google | date= 2007-08-22 | url =http://earth.google.com/sky/skyedu.html | accessdate =2007-08-22 }}</ref> Ilitengezwa na [[Google]] kwa ushirikiana na [[Space Telescope Science Institute]] (STScI) kutoka Baltimore, kituo cha sayansi ya Darubini ya [[Hubble Space]]. Daktari [[Alberto Conti]] na mtengeza mwenza Daktari [[Carol Christian]] wa STScI wana mpango wa kuongeza picha za umma za 2007, <ref>[28] ^ [http://technology.newscientist.com/article/dn12523 Badiri za kuongezwa katika Google Earth ishara katika Stars- Tech - 22 Agosti, 2007 - New Scientist Tech] {{Wayback|url=http://technology.newscientist.com/article/dn12523 |date=20081011033053 }}</ref> pia picha za rangi zilizohifadhiwa za Hubble's Advanced Camera for Surveys. Picha zilizotolewa karibuni kutoka picha za [[Hubble]] zitaongezwa kwa programu ya Google Sky haraka kama zinavyotolewa. Vipengele vipya kama vile data yenye masafa mengi, mahali setilaiti zilipo na njia zao, vilevile rasilimali za elimu zitatolewa kwa jamii ya Google Earth pia kwa tovuti ya Christian na Conti ya [http://hubblesite.org/explore_astronomy/gsky/ website for Sky.] Pia inayoonekana katika hali ya angani ni mpangilio wa nyota, nyota, mkusanyiko wa nyota na mifano kwa michoro inayoonyesha sayari na mizunguko yao. Google Sky [[ya wakati-halisi ni mchanganyiko wa]] muda mfupi wa angani wa karibuni, kwa kutumia itifaki ya[[VOEvent]], inayotolewa na ushirikiano wa [http://voeventnet.org/ VOEventNet] {{Wayback|url=http://voeventnet.org/ |date=20150306010249 }}. Ramani za Google Earth zinatayarishwa upya kila dakika 5. Google Sky inapata ushindani <ref>{{Rejea tovuti |url=http://crave.cnet.com/8301-1_105-9881229-1.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2009-12-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20080318231054/http://crave.cnet.com/8301-1_105-9881229-1.html |archivedate=2008-03-18 }}</ref> kutoka kwa [[Microsoft Worldwide Telescope]] (ambayo inaendeshwa tu kwa programu inayoendesha kompyuta ya [[Microsoft Windows]]) na kutoka [[Stellarium]] (programu ya kompyuta), programu huru na ishara wazi ya usayari inayoendeshwa na programu zinayoendesha kompyuta za Microsoft Windows, [[Mac OS X]], na [[Linux]]. 13 Machi 2008, Google ilitoa toleo la Google Sky linalopatikana katika tovuti ya http://www.google.com/sky/. === Street View === {{Main|Google Street View}} Tarehe 15 Aprili 2008 kupitia toleo la 4.3, Google iliunganisha kikamilifu [[Street View]] ndani ya Google Earth. Google Street View inatoa mtazamo wa 360 ° wa mtaani na inawaruhusu watumiaji kutizama sehemu teule za miji na maeneo ya karibu katika usawa wa ardhi. Wakati ilizinduliwa tarehe 25 Mei 2007 kwa ajili [[ya Ramani za Google]], ni miji mitano tu ilijumuishwa. Kwa sasa imepanuliwa kufikia zaidi ya miji 40 ya Marekani, na inajumuisha vitongoji vya miji mingi, na katika baadhi ya matoleo, miji mingine ya karibu. Matoleo ya hivi karibuni yametekeleza 'Street View' katika miji mingi mikubwa ya Australia na New Zealand vile vile sehemu za Canada, Ujapani, Uhispania, Ufaransa, Uingereza, Uholanzi, Italy, Uswisi, Ureno, na Taiwan. Google Street View, inapofanya kazi, huonyesha picha zilizopigwa awali na kamera iliyoko juu ya gari, na zinaweza kutizamwa kwa kutumia puku ili kubonyeza picha zinazoonyeshwa kwenye kisetiri katika mwelekeo wako wa kusafiri. Kwa kutumia vifaa hivi, picha huweza kutazamwa katika ukubwa tofauti, kutoka upande wowote, na kutoka pembe mbalimbali. === Bahari === Ilianzishwa katika toleo 5.0 (Februari 2009), kipengele cha ''Google Ocean'' kinaruhusu watumiaji kutizama chini ya usawa wa bahari na kuangalia [[kipengele cha tatu cha pande 3]] chini ya mawimbi. Inaendesha zaidi ya safu 20 ya maudhui, ina taarifa kutoka wanasayansi na [[wasomi wa bahari]] mashuhuri. <ref> http://news.bbc.co.uk/1/hi/technology/7865407.stm</ref> Tarehe 14 Aprili 2009, Google iliongeza data ya mandhari chini ya maji kutoka kwa [[Maziwa Makuu.]] <ref>{{cite web|title=Google Earth now includes US "Third Coast"|url=http://google-latlong.blogspot.com/2009/04/google-earth-now-includes-us-third.html}}</ref> === Picha za Kihistoria === Baada ya kuanzishwa katika toleo 5.0, picha za kihistoria zinaruhusu watumizi kurudi nyuma katika wakati na kujifunza hatua za awali za mahali. Kipengele hiki ni muhimu sana kwa madhumuni ya utafiti ambao unahitaji uchambuzi wa zamani wa kumbukumbu mbalimbali. <ref name="Dive into New Google Earth">{{cite web | url = http://googleblog.blogspot.com/2009/02/dive-into-new-google-earth.html | title = Dive into New Google Earth | accessdate = 2009-02-03 }}</ref> === Mirihi === {{Main|Google Mars}} Google Earth 5 inajumuisha tufe ya sayari ya Mirihi, ambayo inaweza kutazamwa na kuchambuliwa kwa madhumuni ya utafiti. Ramani hizi ni za uangavu wa juu sana kuliko za toleo la [[Google Mars]] za kisakuzi na pia inaonyesha picha za pande 3 za Mandhari ya Mirihi. Pia kuna baadhi ya picha ambazo zina uangavu wa juu sana kutoka kwa kamera za HiRISE kwenye chombo cha [[Mars Reconnaissance Orbiter]] picha zenye uangavu wa juu kama za miji mingine duniani. Hatimaye, kuna picha nyingi za kutoka kwa vifaa vilivyotua katika sayari ya Mirihi, kama vile [[Mars Exploration Rovers]], Spirit and [[Opportunity]], ambazo zinaweza kutazamwa katika njia inayofanana na ya [[Google Street View]]. Linalovutia ni kwamba, safu ya juu ya Google Earth (idadi ya watu wanaoishi mahali duniani) inaweza pia kutumika kwa Mirihi. Safu za Mirihi pia zinaweza kutumika kwenye dunia. === Mwezi === {{Main|Google Moon}} Mnamo, tarehe 20 Julai 2009, wakati wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa misheni ya [[Apollo 11]], Google ilianzisha toleo la [[Google Moon]] <ref> http://www.gearthblog.com/blog/archives/2009/07/look_at_the_moon_in_google_earth_-.html</ref> ambalo linaruhusu watumiaji kutazama picha za setilaiti za [[Mwezi]]. Ilitangazwa na kuonyeshwa kwa kundi la wageni waalikwa na Google pamoja na [[Buzz Aldrin]] kwenye [[Newseum]] huko [[Washington, DC]]. <ref> http://www.gearthblog.com/blog/archives/2009/07/google_earth_event_on_july_20th_in.html</ref> <ref> http://google-latlong.blogspot.com/2009/07/fly-yourself-to-moon.html</ref> == Vishawishi == Kusano ya Google Earth inafanana na programu ya"Earth" iliyoelezwa na [[Neal Stephenson]] katika[[SCI-fi classic]] ''[[Snow Crash]]''. Hakika, mwanzilishi mwenza wa Google Earth alidai kuwa Google Earth iliundwa kwa mfano wa ''Snow'' ''Crash,'' <ref>[41]Web User-Google Earth interview.</ref> wakati mwanzilishi mwenza mwingine alisema ilitokana na filamu fupi ya elimu ya sayansi ya ''[[Powers of Ten]]''. <ref name="google_earth1">[42] ^ [http://www.brownianemotion.org/2006/07/24/notes-on-the-origin-of-google-earth/ Avi Bar-Ze'ev (kutoka Keyhole, mtangulizi wa Google Earth) juu ya asili ya Google Earth] {{Wayback|url=http://www.brownianemotion.org/2006/07/24/notes-on-the-origin-of-google-earth/ |date=20081012224315 }}</ref> Kwa kweli Google Earth kwa kiasi ilizaliwa kutokana na onyesho la [[Silicon Graphics]] liitwalo "From Space to in Your Face" ambalo lilisogea kutoka angani hadi ndani ya mlima wa [[Swiss Alps]] hadi [[Matterhorn]] <ref>[43] ^ [https://archive.today/20120707173630/bnhsu.wordpress.com/2007/04/30/google-earth-from-space-to-your-face%E2%80%A6and-beyond/ Google Earth: Kutoka angani hadi usoni mwako.... na zaidi]</ref> Onyesho hili la uzinduzi liliandaliwa na [[Onyx 3000]] iliyo na grafiki [[InfiniteReality4]] <ref>[44] ^ [http://www.futuretech.blinkenlights.nl/ir_techreport.html Ripoti ya hakika isiyo na mwisho] {{Wayback|url=http://www.futuretech.blinkenlights.nl/ir_techreport.html |date=20160111132332 }}</ref>, ambayo iliwezesha Clip Mapping na ilitokana na vifaa vilivyowezesha kuweka picha kwa mfumo (ingawa haikutumia Clip Mapping) na "Powers of Ten". Utekelezaji wa kwanza wa Google Earth unaoitwa Earth Viewer uliibuka kutoka [[Intrinsic Graphics]] kama onyesho la matekelezo ya programu ya Chris Tanner iliyotegemea [[mfumo wa kuweka picha zaidi ya moja na utumizi wa picha kama ramani]], na ulitokana na Keyhole Inc. Earth Viewer ilikuwa ni utambuzi wa hali ya juu ya uwezo wa mwungo wa mfumo wa kuweka picha za aina moja na wengi wa watu waliofanya kazi katika mradi wa Earth viewer walikuwa wamefanya kazi na Silicon Graphics. == Maelezo ya Kiufundi == Maelezo mengi ya toleo/ historia /logi ya mabadiliko yanapatikana kwa Google. <ref>[45] ^ [http://earth.google.com/support/bin/answer.py?answer=40901 Dondoo za ufunguzi wa Google Earth / Logi ya Historia ya mabadiliko]</ref> === Picha na uratibu === * Kuratibu mfumo na makadirio ** Mfumo wa ndani wa ratibu ya Google Earth ni nambari tambulizi za kijiografia (Latitudo / Longitudo) katika mfumo wa [[World Geodetic System]] wa 1984 (WGS84). ** Google Earth inaonyesha ulimwengu ulivyo kama unavyoonekana kutoka jukwaa lililoinuka kama ndege au setilaiti inayozunguka. Mwinuko unatumika kufikia athari hii unaitwa [[Mtazamo wa Kawaida]]. Hii ni sawa na kukiwakilisha [[kitu chenye pande tatu kwa kutumia pande mbili]], isipokuwa mahali pa kutazamia ni urefu unaoweza kukadiriwa (karibu na ardhi) badala ya umbali usio weza kukadiriwa(anga yenye kina kirefu). * Uangavu wa kimsingi ** Jamhuri ya Chek: 0.5 m (ya Eurosense / Geodis Brno) ** Slovakia: 0.5 m (ya Eurosense / Geodis Slovakia) ** Hungaria: 2.5 m picha za SPOT (inaweza chukuliwa kuwa: 0.5 m (ya Eurosense / FÖMI) ** Ujerumani, Uswisi, Uholanzi, Denmark, Uingereza, Andorra, Luxemburg, Liechtenstein, San Marino, Mji wa Vatikan: 1 m au zaidi ** Balkan: 2.5 m (uangavu wa wastani) ** Marekani: 1 m (isipokuwa Alaska &amp; Hawaii) ** Global: kwa ujumla 15 m (baadhi ya maeneo, kama vile [[Antaktica]], yako katika uangavu wa chini sana), lakini hii hutegemea ubora wa picha za setilaiti / picha ya angani iliyopakiwa. * Uangavu wa Juu ** Ulaya: 0.3 m, 0.15 m (kwa mfano [[Berlin]], [[Zürich]], [[Hamburg]]), 0,1 m [[Prague]] ** Amerika: 1 m, 0.6 m, 0,3 m, 0.15 m (nadra sana; kwa mfano [[Cambridge]] na Google Campus, au [[Glendale]]) * Uangavu wa Muinuko: ** Uso: unategemea nchi nchi ** Sakafu ya Bahari: Haikuwa ikihusika awali, lakini tangu kuanzishwa kwa "Ocean", data ya mwinuko imeanzishwa (skeli ya rangi inayokadiria kina cha sakafu ya bahari 'inachapishwa' kwenye uso wa mdwara kutoka mtazamo wa miinuko ya juu). * Umri: Tarehe za picha zinatofautiana. Data ya picha inaweza kuonekana kutoka kwenye miraba inayotengezwa wakati 'DigitalGlobe Coverage' imewezeshwa. Tarehe iliyo kando ya habari ya hakimiliki si tarehe sahihi ya picha. Kuvuta ndani au nje kunaweza kubadili tarehe ya picha. Nyingi ya picha za kimataifa za mijini ni za mwaka wa 2004 na hazijaongezewa habari mpya. Hata hivyo, picha za Marekani zinaongezwa habari mara kwa mara. Google hutangaza wanapoongeza habari kwenye picha zao kupitia blogu yao ya LatLong <ref> [http://earth.google.com/sky/skyedu.html Google Earth]</ref> kwa kuuliza maswali yenye vidokezo kuhusu mahali palipoongezewa. Majibu yanawekwa kwenye blogu hiyo baada ya siku kadhaa. === Vifaa na programu === Google Earth haiwezi kufanya kazi kwa vifaa vyenye muundo wa zamani. [http://earth.google.com/download-earth.html Pakua za karibuni zinazopatikana] {{Wayback|url=http://earth.google.com/download-earth.html |date=20090311025120 }} zinaonyesha miundo ya chini ifuatayo: * [[Pentium 3]], 500 MHz * 128 MB RAM * 12.7 MB nafasi wazi kwenye disk (400 MB kwa Linux) * Kasi ya mtandao: 128 Kbit/s * [[kadi ya grafiki]]ya 16MB yenye uwezo wa kuonyesha pande 3 * Uangavu wa 1024x768, Rangi ya Juu ya 16-bit * Windows XP au Windows 2000, Windows Vista (isiyo ingiliana na Windowa Me), Linux na Mac OS X Sababu yenye uwezo mkubwa wa kusababisha kufeli ni video RAM ;programu hii imetengenezwa kuwaonya watumiaji ikiwa kadi yao ya grafiki haina uwezo wa kutosha wa kuendesha Google Earth (mara nyingi hii hutokea kutokana na [[video RAM zisizo na uwezo wa kutosha]] au programu za kuendesha kadi za grafiki zenye hitilafu). Jambo la pili lenye uwezo wa kusababisha kufeli ni kasi ya kufikia mtandao. Ila kwa wale wavumilivu sana, mtandao wa haraka wa [[Broadband]] (Cable, DSL, T1, nk) unahitajika. ==== Sifa bainishi za Linux ==== ;Mahitaji ya chini ya mfumo <ref>{{Rejea tovuti |url=http://earth.google.com/download-earth.html |title=Google Earth |accessdate=2009-12-02 |archivedate=2009-03-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090311025120/http://earth.google.com/download-earth.html }}</ref> * Kernel: 2.4 au ya baadaye * CPU: Pentium III, 500 MHz * Kikumbuko cha Mfumo(RAM): 128 MB * Diski: 400 MB nafasi * Kasi ya Mtandao: 128 Kbit / s * Kigao: 1024x768, rangi ya 16 bits * Imepimwa na inafanya kazi kwenye mifumo ifuatayo: {| cellspacing="0" style="padding-left:10px" | | * [[Ubuntu]] 5.10 au baadaye * [[SUSE]] 10.1 au baadaye * [[Fedora Core]] 4 au baadaye * [[Linspire]] 5.1 * [[Gentoo]] 2006.0 * [[Debian]] 3,1 / 4 * [[Red Hat]] 9 | | * [[Slackware]] 11.0 * [[FreeBSD]] 6.1/7.0 pamoja na Linux Emulation * [[Arch Linux]] 0.7.2 Duke * [[Xandros]] 3.0.3 Toleo la Biashara * [[Mandriva]] 2007 * [[Sabayon Linux]] 3.26 * [[PCLinuxOS]] 5.0 |} ==== Kuvinjari kwenye Mtandao ==== Kufikia Google Earth 5, maelezo yaliyomo ya puto, ambayo yanaundwa katika KML kwa kutumia [[JavaScript]] na [[iFrame]] , yanatolewa yakiwa na injini iliyoundiwa ndani ya [[WebKit]]. <ref>[http://code.google.com/apis/kml/documentation/kmlreference.html#description Maandiko ya Marejeo ya KML - &lt;maelezo>]</ref> == Matoleo na tofauti zao == === Muda wa matoleo === [[Picha:KmlHistoryTimeline.png|400px|thumb|Inadhihirisha muda wa KML na historia ya Google Earth]] * Keyhole Earthviewer 1.0 - 11 Juni 2001 * Keyhole Earthviewer 1.4-2002 * Keyhole Earthviewer 1.6 - Februari 2003 * Keyhole LT 1.7.1 - 26 Agosti 2003 * Keyhole NV 1.7.2 - 16 Oktoba 2003 * Keyhole 2.2 - 19 Agosti 2004 * Google Earth 3.0 - 28 Juni 2005 * Google Earth 4.0 - 11 Juni 2006 * Google Earth 4.1 - 9 Mei 2007 * Google Earth 4.2 - 23 Agosti 2007 * Google Earth 4.3 - 15 Aprili 2008 * Google Earth 5.0 - 5 Mei 2009 * Google Earth 5,1 (beta) - 8 Septemba 2009 * Google Earth 5.1 - 18 Novemba 2009 === Toleo la Mac === Toleo la [[Mac OS X]] lilizinduliwa 10 Januari 2006, na linapatikana kwa kupakua kutoka kwenye tovuti ya Google Earth. Isipokuwa chache zilizotajwa hapo chini, toleo la Mac linaonekana kuwa imara na kamili, na lina huduma zote zinazopatikana kwenye toleo la Windows. Viwambo na maelezo ya matekelezo halisi ya toleo la Mac yalifichuliwa kwenye Intanet tarehe 8 Desemba 2005. Toleo lililofichuliwa halikuwa kamilifu kwa kiasi kikubwa. Miongoni mwa udhaifu mwingine, menu ya Msaada wala kipengele cha "Leseni ya Kuonyesha" havikufanya kazi, kuonyesha kwamba toleo hili lilikusudiwa kwa matumizi ya ndani ya Google tu. Google haikutoa maelezo yoyote kuhusu tukio hili. Toleo la Mac linaendeshwa tu chini ya toleo la Mac [[10.4]] OS X au ya baadaye. Hakuna kivinjari kilicho ndani, hakuna unganisho la moja kwa moja na [[Gmail]] na hakuna uchaguzi wa kuona kigao kizima. Kufikia Januari 2009 bado kulikuwa na hitilafu kadhaa kuhusu baa ya menu wakati unapobadilisha kati ya programu zinazotumiwa na pia hitilafu zinazohusu dokezo za bofu na uchapishaji. Kutoka toleo 4.1.7076.4558 (lililozinduliwa tarehe 9 Mei 2007) kuendelea watumiaji wa Mac OS X wanaweza, miongoni mwa vipengele vingine vipya, kuboresha kwenda kwa toleo la "Plus" kupitia chaguo lililoko katika menu ya Google Earth. <ref>{{cite web|url=http://www.macupdate.com/info.php/id/20124|title=Google Earth 4.2.180.1134 - MacUpdate|accessdate=2009-12-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20061015215601/http://www.macupdate.com/info.php/id/20124|archivedate=2006-10-15}}</ref> Baadhi ya watumiaji waliripoti kutatizika Google Earth ilipopata hitilafu wakati walipokuwa wakitizama kwa karibu <ref>{{cite web|url=http://bbs.keyhole.com/ubb/postlist.php/Cat/0/Board/SupportGEMac|title=Google Earth Community: Viewing forum: Google Earth for Mac OS X|accessdate=2009-12-02|archivedate=2008-12-17|archiveurl=https://web.archive.org/web/20081217113731/http://bbs.keyhole.com/ubb/postlist.php/Cat/0/Board/SupportGEMac}}</ref> === Toleo la Linux === Kuanzia na toleo la 4 beta Google Earth linalofanya chini ya [[Linux]], kama bandari ya asili kwa kutumia vifaa vya [[Qt.]] Ni [[programu yenye kipao mbele]] hasa ili kulazimisha [[Haki ya usimamizi wa dijitali]]; {{Citation needed|date=Julai 2009}} [[Wakfu wa Programu za Bure]] unazingatia utengenezaji wa programu ya bure inayowiana na Google Earth kuwa [[mradi wenye umuhimu mkubwa wa programu za bure]]. <ref>[54] ^ [http://www.fsf.org/campaigns/priority.html ] FSF: Miradi ya programu zisizo za malipo zenye umuhimu mkubwa.</ref> === Toleo la iPhone OS === Toleo la [[iPhone OS]], ambalo linaendesha [[iPhone na iPod Touch]], lilizinduliwa bila malipo kwenye [[hifadhi ya programu]] tarehe 27 Oktoba 2008. <ref>{{cite web| url=http://blog.wired.com/gadgets/2008/10/google-earth-co.html| title=Google Earth Comes to the iPhone|publisher=[[Wired (magazine)|Wired]]| date=2008-10-27|last=Sorrel|first=Charlie| accessdate=2008-10-27}}</ref>Inatumia kusano ya [[kugusa mara nyingi]] kusonga juu ya tufe, kukaribisha au kuzungusha mandhari, na kuruhusu kuchagua mahali pa sasa kwa kutumia iPhone inayojumuisha [[GPS]]. Toleo hili, hata hivyo, halina kipengele cha safu kama matoleo ya kompyuta yalivyo. Kama Google Maps, inajumuisha tu safu za Panoramio na Wikipedia. <ref> http://www.gearthblog.com/blog/archives/2008/10/google_earth_for_the_iphone_release.html</ref> === Google Earth Plus === Kabla ya kukomeshwa Desemba 2008, Google Earth Plus ilikuwa programu iliyounganishwa na Google Earth ambayo ilikuwa ikiwalenga watu binafsi waliojiandikisha kwa malipo na ilikuwa na vipengele ambavyo vingi sasa vinapatikana kwa Google Earth isiyo ya malipo: * Kuunganisha na [[GPS]]: kusoma ujumbe na alama za njia kutoka kifaa cha[[GPS]]. Aina mbalimbali ya programu zimetengezwa na makampuni mengine, programu hizi zinatoa huduma za kipengele hiki kwa kutumia toleo la kawaida la Google Earth kwa kutoa KML au faili za KML kwa kutegemea maelezo ya mtumizi au alama za njia zilizo rekodiwa na mtumizi. Hata hivyo, Google Earth Plus hutoa msaada wa moja kwa moja kwa bidhaa za [[Magellan]] na [[Garmin]], ambazo kwa pamoja zinashikilia asilimia kubwa ya soko la GPS. Toleo la Linux la programu ya Google Earth Plus halitekelezi kama GPS. * Uchapishaji wa uangavu wa juu zaidi. * Msaada kupitia barua pepe. * Kiingiza data: soma pointi za anwani kutoka kwa faili za [[CSV]]; isiyozidi pointi / anwani 100. Kipengele kinachoruhusu kufasili njia na poligoni,ambayo inaweza kupelekwa kwa [[KML]], kilikuwa awali kinapatikana kwa watumizi wa Plus pekee, lakini kiliwezeshwa kutumiwa bila malipo katika toleo la 4.0.2416. * Kasi ya juu ya kupakua data. === Google Earth Pro === Kwa kulipa ada ya $ 400 kwa mwaka, Google Earth Pro ni toleo la kibiashara na lina vipengele zaidi ya Google Earth na Google Earth Plus. Toleo la Pro lina programu zilizoongezwa kama: * Kutengeza filamu. * Kiingiza data ya GIS. * Moduli za uchapishaji za hali ya juu. Mwanzoni vipengele hivi viligharimu zaidi mbali na ada ya $ 400, lakini hivi karibuni gharama hizo zimehusishwa kwenye malipo hayo. Tofauti na toleo la Google Earth, toleo hili la kitaaluma halifanyi kazi na Linux. === Google Earth Enterprise === Google Earth Enterprise ni toleo la Google Earth lililoundwa kwa ajili ya matumizi ya mashirika ambayo biashara zao zingeweza kufaidika kutokana na utendakazi wa programu hiyo. <ref>{{Rejea tovuti |url=http://earth.google.com/enterprise/earth_enterprise.html |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2009-12-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110927052604/http://earth.google.com/enterprise/earth_enterprise.html |archivedate=2011-09-27 }}</ref> === Toleo la Portable === {{Expand section|date=Machi 2009}} [http://hacktolive.org/wiki/Portable_Applications_(Windows) Toleo la Portable version la Google Earth,] {{Wayback|url=http://hacktolive.org/wiki/Portable_Applications_(Windows) |date=20090317054741 }} lililotengenezwa na [[VMware ThinApp]] linapatikana. <ref>[62] ^ [http://hacktolive.org/wiki/Portable_Applications_(Windows) Programu rahisi kuhamisha zaPortable Application (Windows)] {{Wayback|url=http://hacktolive.org/wiki/Portable_Applications_(Windows) |date=20090317054741 }}</ref>. [http://hacktolive.org/wiki/Portable_Applications_(Linux) Toleo la Portable version kwa ajili ya Linux] {{Wayback|url=http://hacktolive.org/wiki/Portable_Applications_(Linux) |date=20090308140741 }} linapatikana pia, kwa kutumia mpangilio wa [[RUNZ]]. == Google Earth Plug-in == Google Earth API beta ni huduma isiyolipiwa , na unapatikana kwa mtandao wowote ambao unatumiwa na wateja bila malipo. Plug-in na JavaScript API yake huwezesha watumiaji kuweka toleo la Google Earth katika kurasa za mtandao. API haina vipengele vyote kamilifu vya programu ya Google Earth ,lakini inaruhusu kutengenezwa kwa programu za ramani za pande 3. Google Earth Plug-in hivi sasa inapatikana kwa vivinjari mtandao na programu za mfumo zifuatazo: Microsoft Windows (2000, XP, na Vista) * Google Chrome 1,0 + * Internet Explorer 6,0 + * Firefox 2,0 + * Flock 1.0 + Apple Mac OS X 10.4 na zaidi (Intel na PowerPC) * Safari 3.1 + * Firefox 3.0 + Hadi kufikia sasa plug-in inahudumia safu zifuatazo: * Mandhari * Barabara * Majengo * Mipaka * Majengo ya pande 3 Pia inawezesha 'Sky Mode', 'Photo Overlays', na hutoa kiasi sawa cha udhibiti na habari kama vile programu kamili. * [http://code.google.com/apis/earth/ Google Earth Plug-in] * [http://code.google.com/apis/earth/documentation/API.html Google Earth API] == Usahihi na uangavu == Maeneo mengi ya ardhi yamedhihirishwa katika picha za satelaiti zenye uangavu wa karibu 15 m kwa pixel. Picha hizi za msingi ni mita 30 zenye [[kuchukuliwa kwa masafa tofauti kwa kutumia programu ya Landsat]] ambayo ni programu ya kuunganisha picha zenye uangavu wa juu na zile zilizochukuliwa kwenye masafa tofauti au '[[pansharpened]]' na picha zenye filamu nyeupe na nyeusi au ['panchromatic'] [[za Landsat]] za mita 15. Hata hivyo, Google inabadilisha picha hizi za msingi na picha za mita 2.5 za [[SPOTImage]] na seti data ya zingine zenye uangavu wa juu zilizotajwa chini. Baadhi ya vituo vya idadi kubwa ya watu pia vimedhihirishwa na picha za ndege yaani ([[orthophotography]]) na pixels kadhaa kwa mita. Bahari zinadhihirishwa kwa uangavu wa chini, kama ilivyo na baadhi ya visiwa; hasa, [[visiwa vya]] [[Scilly]] vilivyo Kusini Mashariki mwa Uingereza, vilikuwa kwenye uangavu wa mita 500 au chini, hata hivyo jambo hilo sasa limetatuliwa. Google imerekebisha ukosefu wa uhakika kwenye vekta ya kuweka ramani tangu kuzinduliwa kwa programu, bila kuhitaji kurekebisha programu yenyewe. Mfano wa jambo hili ni kukosekana kwa mipaka ya ramani ya eneo la [[Nunavut]] nchini Canada kwa Google Earth, ni wilaya ambayo ilikuwa imeundwa tarehe 1 Aprili 1999; kosa hili lilirekebishwa na mojawapo ya marekebisho ya data, mapema mwaka 2006. Nyongeza za hivi karibuni ziwezesha picha zenye habari za kina, hasa katika maeneo fulani ya Ulaya Magharibi na Kati. Picha hazipigwi kwa wakati mmoja, lakini zote zimepigwa katika kipindi kisichozidi miaka mitatu. Hata hivyo baada ya kuzinduliwa kwa Google Earth 5.0, ina picha za kihistoria za hadi miaka ya 1940 katika maeneo mengine. Seti za picha mara nyingine hazijaunganishwa vizuri. Nyongeza kwa hifadhi data ya picha inaweza kuonekana mara moja moja hasa wakati mabadiliko makubwa yanapoonekana kwenye mandhari, kwa mfano nyongeza zisizokamilika za Google Earth za New Orleans kuhusu [[kimbunga cha Katrina]] kilichotokea, au wakati alama za mahali zinaonekana kuhama bila kutarajiwa kwenye uso wa Dunia. Ingawa bado alama za mahali hazijasonga, picha zinatengezwa na kuunganishwa kwa njia tofauti tofauti. Nyongeza kama hizi kwa picha za London mapema 2006 zilisababisha kuhama kwa karibu mita 15-20 katika maeneo mengi, jambo lililoonekana kwa sababu uangavu ni wa juu sana. Majina ya mahali na kina cha habari hutofautiana sana kutoka mahali pamoja hadi pengine. Ni sahihi zaidi katika Amerika ya Kaskazini na Ulaya, lakini kurekebisha kwa mara kwa mara kwa ramani kunaimarisha hali ya kufikiwa kwa sehemu zingine. Makosa wakati mwingine hutokea kutokana na teknolojia iliyotumika kupima urefu wa Mandhari; kwa mfano, majengo marefu katika [[Adelaide]], Australia kusababisha sehemu moja ya mji kuonyeshwa kama mlima mdogo, wakati ukweli ni kuwa ni mahali tambarare. Urefu wa [[Eiffel Tower]] unasababisha athari kama hiyo katika uonyeshaji wa Paris. Pia, kabla ya kuzinduliwa kwa toleo 5.0 Februari 2009, mwinuko chini ya usawa wa bahari uliwasilishwa kama usawa wa bahari, kwa mfano: [[Mji wa Salton, California; Death Valley;]] na [[Dead Sea]] zote zilionyeshwa kama mita 0 wakati Mji wa Salton ni -38 ; Dead Valley ni mita -86; na Dead Sea ni mita -420. Wakati hakuna data ya kimo ya [[dijitali ya sekunde tao]] [[3]] si picha zote za pande tatu zinazofunika sehemu za miinuko ni sahihi, lakini sehemu nyingi za milima sasa zimebainishwa vizuri. Mfumo wa msingi wa muinuko wa dijitali umewekwa [[sekunde tao 3]] mbali mno kaskazini na hadi sekunde tao 3 mbali mno magharibi. Hii ina maana kuwa baadhi ya matiko ya mlima yanaonekana kimakosa kuwa na vivuli kuenda pande zake za kusini. Baadhi ya picha za uangavu wa juu zimewekwa kimakosa, mfano ni picha ya [[Annapurna]], ambayo imewekwa kimakosa kwa karibu sekunde tao 12. Data ya mwinuko hivi karibuni ilisasishwa hadi uangavu wa mita 10(sekunde tao 1/3) katika maeneo mengi ya Amerika kutoka ile ya awali ya mita 30(sekunde tao 1). Kipengele cha kupima kinaonyesha kwamba urefu wa [[ikweta]] ni karibu kilomita 40,030.24, inakosea kwa aslimia -0.112 ikilinganishwa na kipimo halisi cha kilomita 40,075.02 duniani; kwa mduara wa [[meridian]], inaonyesha urefu wa juu wa kilomita 39,963.13, pia inakosea kwa asilimia -0.112 ikilinganishwa na thamani halisi ya kilomita 40,007.86. Mnamo 16 Desemba 2007, sehemu kubwa ya Antaktika ilirekebishwa kufikia uangavu wa mita 15 kwa kutumia picha kutoka Landsat Image Mosaic ya Australia; (Picha za uangavu wa mita 1 za Antarctica ziliongezwa Juni 2007); hata hivyo, [[ncha ya barafu]] ya Arctic, haimo kabisa katika toleo la sasa la Google Earth, kama vile mawimbi ya bahari. [[Ncha ya kaskazini]] ya kijiografia hupatikana ikielea juu ya Bahari ya Arctic, mfumo wa kutengeza tofali unatoa vitu vilivyobuniwa karibu na ncha huku tofali zikiwa ndogo zaidi na makosa ya kutokana na kupeleka kwenye mfumo wa juu kulimbikizwa. Kufunikwa na mawingu kunaweza kufanya sehemu za ardhi zisiweze kuonekana au zisionekane vizuri, zikiwemo sehemu za kivuli cha milima . == Ubishi /ukosoaji == Programu imekosolewa na makundi yenye maslahi maalumu, ikiwa ni pamoja na viongozi wa kitaifa, kama kuwa ni uvamizi wa faragha na hata kuwa tishio kwa usalama wa taifa. Hoja ya kawaida inayotolewa ni kuwa programu inatoa habari kuhusu vyombo vya kijeshi au vifaa vingine muhimu amabvyo vinaweza kutumiwa na [[magaidi]] s. Yafuatayo ni baadhi ya maswala yanayoleta ubishi: * Aliyekuwa rais wa India [[APJ Abdul Kalam]] ameelezea wasiwasi wake juu ya upatikanaji wa picha za uangavu wa juu za maeneo nyeti nchini India. <ref name="IndianPresCrit">{{cite web|url=http://www.techtree.com/techtree/jsp/article.jsp?article_id=68712&cat_id=582|title=Kalam Concerned Over Google Earth|accessdate=2007-01-25|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070102060548/http://www.techtree.com/techtree/jsp/article.jsp?article_id=68712&cat_id=582|archivedate=2007-01-02}}</ref> Google hatimaye ilikubali kuziwekea vikwazo tovuti hizo. <ref>{{cite web|url=http://timesofindia.indiatimes.com/Google_Earth_agrees_to_blur_pix_of_key_Indian_sites/articleshow/1559236.cms|title="Google Earth agrees to blur pix of key Indian sites"}}</ref> * [[Shirika la India la]] Utafiti wa Anga limesema Google Earth inaleta tishio kwa usalama wa India na linaomba kuzungumzia jambo hili na maafisa wa Google. <ref name="ISROCrit">{{cite web |url=http://www.techshout.com/internet/2006/10/google-earth-poses-security-threat-to-india-isro-chief-seeks-dialogue/| title="Google Earth Poses Security Threat to India, ISRO Chief seeks Dialogue" | accessdate=2007-01-25}}</ref> * Google imeweka ishara nyekundu kwenye maeneo yote ya mpaka wa Kaskazini kuonyesha ugomvi juu ya maeneo ya Kashmir. * Serikali ya Korea Kusini imeelezea wasiwasi kwamba programu inatoa picha ya ikulu na maeneo ya kijeshi hali inayoweza kutumiwa na adui wao jirani [[Korea ya Kaskazini]]. <ref name="SouthKoreaGovCrit">{{cite web|url=http://www.worldtribune.com/worldtribune/TEMP/ea_skorea_09_06.html|title="Google Earth images compromise secret installations in S. Korea"|accessdate=2007-01-25|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070701162623/http://www.worldtribune.com/worldtribune/TEMP/ea_skorea_09_06.html|archivedate=2007-07-01}}</ref> * Katika mwaka 2006, mtumiaji mmoja aliona maelezo ya mandhari ya sehemu kubwa katika eneo la mashambani nchini Uchina. Kielelezo hicho ni toleo la skeli ndogo (1 / 500)ya Milima ya [[Karakoram ]],ambayo sasa iko chini ya utawala wa Uchina lakini inayodaiwa na India. Baadaye ilipothibitishwa kuwa kielelezo hicho kilikuwa cha eneo hilo, watazamaji walianza kuhofia shambulizi la kijeshi. <ref name="SMHChinaModel">{{cite web |url=http://www.smh.com.au/news/web/chinese-xfile-excites-spotters/2006/07/20/1153166503699.html| title="Chinese X-file excites spotters" | accessdate=2007-01-25}}</ref> <ref name="IndianExpressChinaModel">{{cite web |url=http://www.indianexpress.com/story/9972.html| title="From sky, see how China builds model of Indian border 2400 km away" | accessdate=2007-01-25}}</ref> * Mtoaji mkuu wa huduma za mtandao nchini [[Morocco]], kampuni ya [[Maroc Telecom]] imekuwa ikizuia Google Earth <ref>[78] ^ [https://web.archive.org/web/20070601153059/http://motic.blogspot.com/2007/05/message-au-monde-message-to-world.html Ujumbe kwa ulimwengu]</ref> tangu Agosti 2006 kwa sababu zisizojulikana. * Wasimamizi wa [[kiwanda cha Kinyuklia]] cha [[Lucas Heights]] huko [[Sydney]], mkoa wa New South Wales, Australia waliiomba Google isionyeshe picha za uangavu wa juu za kiwanda hicho. <ref name="ABCAUNukeFears">{{cite web |url=http://www.abc.net.au/news/indepth/featureitems/s1432602.htm| title="Google Earth prompts security fears" | accessdate=2007-01-25}}</ref> Hata hivyo, baadaye waliondolea mbali ombi hilo. <ref name="SearchViewsAussieNukeReqDropped">{{cite web|url=http://searchviews.com/archives/2005/08/aussie_nuclear.php|title=" Aussie Nuclear Reactor on Google Earth"|accessdate=2007-01-25|archiveurl=https://web.archive.org/web/20061017173952/http://searchviews.com/archives/2005/08/aussie_nuclear.php|archivedate=2006-10-17}}</ref> * Mnamo Julai 2007, iliripotiwa kuwa manowari mpya ya [[Kichina ya jeshi la majini ya Jin-class ya makombora ya kinyuklia]] ilipigwa picha katika [[kituo cha Manowari cha Xiaopingdao]] kusini mwa [[Dalian.]] <ref>{{cite web |url=http://www.fas.org/blog/ssp/2007/07/new_chinese_ballistic_missile.php| title="New Chinese Ballistic Missile Submarine Spotted" | accessdate=2007-07-10}}</ref> * [[Hamas]] na kundi la kujitolea mhanga la [[al-Aqsa Brigade]] limeripotiwa kutumia Google Earth kupanga mashambulizi ya roketi aina ya [[Qassam]] hadi Israel kutoka Gaza (Angalia: [[Orodha ya mashambulizi ya roketi za Qassam.)]] <ref>[85] ^ [http://www.guardian.co.uk/technology/2007/oct/25/google.israel Google Earth inatumika kulenga Israeli]</ref> <ref>{{cite news|url=http://www.smh.com.au/cgi-bin/common/popupPrintArticle.pl?path=/articles/2009/01/30/1232818692103.html|title=We're not stalking you or helping terrorists, says Google Earth boss|last=Hutcheon|first=Stephen|date=2009-01-30|work=[[Sydney Morning Herald]]|accessdate=2009-11-07|archivedate=2009-02-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090203112407/http://www.smh.com.au/cgi-bin/common/popupPrintArticle.pl?path=/articles/2009/01/30/1232818692103.html}}</ref> * Mshambulizi wa pekee wa bunduki [[katika mashambulizi ya Mumbai]] ya [[2008]] alikiri walitumia Google Earth ili kujifahamisha na maeneo ya mashambulizi. <ref>[88] ^ [http://www.telegraph.co.uk/news/worldnews/asia/india/3691723/Mumbai-attacks-Indian-suit-against-Google-Earth-over-image-use-by-terrorists.html "mashambulizi ya Mumbai: India ilianzisha kesi dhidi ya Google Earth juu ya matumizi picha na magaidi",] The Daily Telegraph, 9 Desemba 2008.</ref> Baadhi ya wananchi wanaweza kuelezea wasiwasi wao kuhusu usambazaji wa habari ya angani inayoonyesha mali na makazi yao kuwa bila vikwazo. Kwa vile kuna sheria chache za kumhakikishia mtu [[haki ya faragha]], kinyume na haki ya usiri kwa taifa, hili ni jambo linalobadilika lakini lisilo na umuhimu mkubwa. Labda kwa kufahamu shutuma hizi<ref>[89] ^ [http://spatiallaw.blogspot.com/2008/04/privacy-lawsuit-against-google-earth.html Kesi ya faragha dhidi Google Earth,] Blogu ya Sheria ya Angani, [[09/04/2008]] </ref> kwa muda, Google iliweka [[eneo la 51]] (ambalo linaonekana na kupatikana kwa urahisi) katika Nevada kama mahali pa kwanza kuonekana wakati Google Earth inapowekwa. Kutokana na shinikizo kutoka serikali ya Marekani, makazi ya [[Makamu]] wa [[Rais]] yaliyo [[Number one Observatory Circle]] yalifunikwa kwa kutumia [[piseli chache]] katika Google Earth na [[Google Maps]], lakini jambo hili limeondolewa kwa sasa. Umuhimu wa kufunikwa huku ulikuwa hauna maana kwani, picha za uangavu wa juu, na za ukaguzi wa angani za makao hayo zinapatikana kwenye tovuti zingine katika mtandao. <ref>{{cite web|url=http://www.eyeball-series.org/veep-eyeball.htm|title=Eyeballing the US Vice Presidential Residence}}</ref> [[Capitol Hill]] pia ilikuwa ikionyeshwa kwa piseli chache lakini kikwazo hiki sasa kimeondolewa. Wakosoaji wameelezea wasiwasi juu ya utayari wa Google kulemaza seti ya data yao ili kukidhi matakwa maalum, ikiamini kuwa kuziba sehemu yoyote kimakusudi inaenda kinyume na lengo lao kuu la kumfanya mtumiaji "kuashiria kwa kivinjari na kukaribia mahali popote kwenye duniani unapotaka kupachunguza". <ref>{{cite web|url=http://www.geospace.co.uk/files/Zook_Graham_2007_Geoforum.pdf|title="The Creative Reconstruction of the Internet: Google and the Privatization of Cyberspace and DigiPlace"|accessdate=2009-12-02|archiveurl=http://arquivo.pt/wayback/20160517111925/http://www.geospace.co.uk/files/Zook_Graham_2007_Geoforum.pdf|archivedate=2016-05-17}}</ref> Matoleo ya majuzi ya Google Earth yanahitaji programu inayoendeshwa kwa nyuma ambayo itapakua na kupokea marekebisho mapya kwenye picha moja kwa moja. Watumiaji wengi walieelezea wasiwasi wao kwani hakuna njia rahisi ya kuisimamisha programu hii. <ref>{{cite web|url=http://www.wired.com/epicenter/2009/02/why-googles-sof/|title="Why Google's Software Update Tool Is Evil"}}</ref> == Hakinakili == Kwa sasa picha zote zinazotengezwa na Google Earth kutokana na data za satelaiti za Google Earth ni ramani zilizowekewa [[hakinakili]]. Kazi yoyote inayotokana na data iliyowekewa hakinakili na Google, katika [[Sheria ya hakinakilikili ya Marekani]], haiwezi kutumika ila chini ya leseni iliyotolewa na Google. Google inaruhusu matumizi ya picha ya kibinafsi [[yasiyo ya kibiashara]] (mfano kwenye tovuti ya kibinafsi au blogu) bora tu hakinakili na umiliki uhifadhiwe. <ref>[96] ^ Eneo la Msaada la Google Earth: [http://earth.google.com/support/bin/answer.py?answer=21422 Naweza pakia picha kwa mtandao?]</ref> Tofauti ni kwamba, picha za programu ya NASA ya [[World Wind]] hutumia [[Blue Marble, Landsat]] au safu ya USGS, kila moja ni safu ya Mandhari inayoweza kuonekana kwa kila mtu. Kazi yoyote iliyofanywa na shirika la serikali ya Marekani inaruhusiwa kuonekana kwa kila mtu punde tu inapokamilika. Hii ina maana kwamba picha zile zinaweza kurekebishwa bila pingamizi , kusambazwa na kutumiwa kwa madhumuni [[ya kibiashara]] bila kikwazo. najaribu kuweka marekebisho katika ukurasa huu kwa sababu yapo makosa ya tafsiri ya neno Hakimiliki na Hakinakili na kwa ufasaha zaidi unapozungumzia ne la kiingereza la Copyright una maanisha Haki/Nakili yapo makosa ambayo siku zote yamekuwa yakifanywa na wanasiasa kwa kupotosha maana ya neno hili. ukweli ni kwamba mtu anaweza akamiliki kazi ya mtu lakini asiwe na uwezo wa kumfanya mwingine ainakili ndiyo maana tunasema Hakimiliki na Hakinakili ni mambo mawili tofauti. embu fikiria maneno yenyewe ni haya, yaangalie ukianza na kiingereza (copy na right) neno ("Copy" maana yake Nakili. lakini pia "Right" maana yake Haki) unapochanganya na neno Miliki ni juu ya mtu kupewa haki ya kudurufu na kwa maana ya kuimiliki kwa wakati huo ambapo pia muda huo wa umiliki hufika kikomo na bado haki ya kunakili ikabaki mikononi mwa mwenye hakinakili. == Safu == Google Earth pia inajumuisha safu kama chemichemi ya habari kuhusu biashara na sehemu zingine za manufaa, vilevile kuonyesha habari ya jamii nyingi, kama vile [[Wikipedia]], Panoramio na [[YouTube]]. Google huongeza habari mpya kupitia safu mara kwa mara. Safu nyingi za Google Earth, kama vile Panoramio na Google Earth Community zinaongezewa habari kila siku kutoka kwa tovuti husika. === Mtandao wa Kijiografia === * [[Panoramio]]: ''Inaonyesha picha nyingi zenye umaana zilizopakiwa kwenye tovuti ya Panoramio'' * [[Wikipedia]]: ''Inaonyesha muhtasari wa makala ya Wikipedia, mara nyingi juu ya mahali au matukio'' * Mahali ** Mahali: muhtasari kuhusu maeneo muhimu ulimwenguni. Baadhi ya alama za mahali zimechukuliwa kutoka makala yanayotoka kwa [[Google Earth Community]] na baadhi ya makala ya Wikipedia. <ref> http://www.gearthblog.com/blog/archives/2008/08/august_geographic_web_layer_update.html</ref> ** Utangulizi: ''Unaonyesha muhtasari wa yaliyomo kwenye baadhi ya safu.'' ''Ikiwa safu mpya imeongezwa, safu ya utangulizi itaanzishwa kama ya kwanza wakati programu itakapoendeshwa tena.'' === Barabara === Inaonyesha barabara zilizopo. Rangi na ishara zinazoonyeshwa zinatofautiana kutegemea aina ya barabara. * [[Barabara huru zisizo tumiwa na kila mtu]] na [[barabara za malipo]] ambazo ni sehemu ya mitandao ya barabara zilizoenea kama vile [[barabara ya Kimataifa ya mtandao wa E]], Barabara za Majimbo ya [[Marekani]]na barabara nyingine nyingi za kitaifa zinawakilishwa kwa mistari ya rangi ya machungwa. * Barabara huru nyingine zimeashiriwa kwa kutumia rangi ya machungwa iliyofifia. * Baadhi ya barabara ncini Japan ni za rangi ya Indigo. * Barabara nyingine muhimu, kwa ujumla zenye wasafiri wengi, uwezo wa juu wa uchukuzi, au iliyo na [[nambari]] ya [[barabara]], zimeashiriwa kwa kutumia rangi ya manjano. * Barabara nyingine zote zimeashiriwa kwa rangi nyeupe. * Baadhi ya [[vijia vya miguu]] na [[barabara za]] [[kibinafsi]] zimeashiriwa kwa [[mistari wazi mieupe]], hasa wakati inapofanana sana na barabarani iliyotengewa matumizi ya magari ya abiria. === Majengo ya Pande 3 === Inaonyesha majengo mengi kwa pande tatu katika miji mikubwa kama New York au [[Hong Kong]], katika mitindo ifuatayo: * Picha za kihalisia: ''Inaonyesha majengo mengi katika mtindo wa kuaminika, ikiwa na poligoni na picha za sura.'' * Kijivu: Picha za majengo yaliyojengewa kompyuta ambazo hazionyeshi sifa nyingi na hazina uwezo wa kuonyesha vipengele kama vya picha za kihalisia. === Google Street View === [[Inaonyesha]] ishara za mahali kwa mtazamo wa digrii 360 wa [[panoramic]] ya mitaa ya miji mingi nchini Australia, Ufaransa, Italy, Ujapani, New Zealand, Uhispania, Marekani, na hivi karibuni Ureno, Uingereza, [[Uholanzi]], [[Taiwan]], [[Uswidi]], [[Uswisi]] na [[Canada]]. === Mipaka na Kitambulisho === Ina mipaka ya nchi / mikoa na huonyesha alama za mahali za miji na miji mikuu. * [[Mipaka]]: ''Inaashiria mipaka ya kimataifa kwa kutumia msitari mnene wa manjano, mipaka ya ngazi 1 ya kiutawala (kwa ujumla [[majimbo]] na [[mikoa)]] kwa laini ya rangi ya [[Lavenda]], na mipaka ya utawala ya ngazi ya 2 [[(mataifa)]] na laini ya rangi ya [[sian]].'' ''Fuo za bahari zinabainishwa kwa laini nyembamba za manjano. '' ''Inaonyesha majina ya [[nchi]], maeneo ya ngazi ya 1 ya utawala, na visiwa.'' * Sehemu zenye wakazi: ''Inaonyesha majina ya miji mikuu, miji, vijiji, [[maeneo teule ya sensa]] (CDPs), na [[vitongoji]]''. * Majina mbadala ya Mahali: ''Nyingi ya miji mikuu katika nchi zisizo za Kiingereza zilipewa majina katika lugha zao za kiasili ili kuepuka haja ya [[ujanibishaji]] mkubwa'' ''Safu hii inaonyesha majina kama haya katika Kiingereza.'' * Kitambulisho: ''Kinaonyesha majina ya mikusanyiko mikubwa ya maji, kama vile bahari, na mito ya bahari.'' === Mwendo wa magari barabarani === Inaonyesha viashiria vya rangi kwenye barabara ambapo hali ya mwendo wa magari barabarani unapimwa. Viashiria vya kijani hutumiwa kwa hali ya mwendo wa magari isiyokuwa nzuri , manjano kwa kasi ya chini, na nyekundu kwa hali mbaya ya mwendo wa magari. Kwa kubonyeza kiashiria, mtumiaji anaweza kuona jina la barabara na kasi ya magari katika barabara hiyo. Haijulikani viashiria hivi husasishwa mara ngapi. === Hali ya anga === * Mawingu - ''Inaonyesha mfuniko wa mawingu kwa kutegemea data kutoka kwa [[satelaiti zilizo mahali pamoja]] na [[zile zinazoizunguka dunia]].'' ''Mawingu huonekana katika mwinuko uliokadiriwa, kuamuliwa kwa kupima joto la juu la mawingu likilinganishwa na joto la juu la ardhini.'' <ref name="ReferenceA">[98] ^ Google Earth: Safu ya hali ya hewa, habari zilizounganishwa - zilizotizamwa: 3 Machi 2009 v5.0.11337.1968 (beta)</ref> * Rada - ''Inaonyesha [[hali ya hewa ya rada kutokana na data inayotolewa na weather.com]] na Shirika la Hali ya Anga ya Kimataifa, zinazotoa habari mpya kila dakika 5-6.'' <ref name="ReferenceA"/> * Hali na Kutabiri- ''Inaonyesha joto la mahali na hali ya anga.'' ''Kubonyeza kiashiria kunaonyesha hali ya anga kamili ya mahali ulipo, inatolewa na weather.com.'' <ref name="ReferenceA"/> * Habari- ''Wakibonyeza habari watumaji wanaruhusiwa kusoma zaidi juu ya pale ambapo Google Earth inapata habari ya hali ya hewa.'' <ref name="ReferenceA"/> === Hifadhi ya picha === * [[Roma]] ya zamani: Ilizinduliwa na Google tarehe 12 Novemba 2008 * [[Discovery Networks]]: ''Inaonyesha habari za kijiografia kutoka kituo cha televisheni cha [[Discovery Channel]]''. * [[European Space Agency]]: ''Inaonyesha picha nyingi za [[satelaiti]] zilizopigwa za Dunia.'' * [[Gigapan photos]]: ''Picha kutoka mradi wa Google wa Gigapan .'' * GigapxlPhotos: ''Picha zilizopigwa kutumia Gigapxl.'' * Google Book Search: ''matumizi ya kipengele cha kutafuta vitabu cha Google katika Google Earth.'' * [[Google Earth Community]]: ''Onyesho la faili zote za viingilio katika Jamii ya Google Earth.'' * [[Google News]]: ''Inaonyesha habari kutoka chemichemi nyingi za habari ulimwenguni .'' * [[NASA]]: ''Onyesho la picha nyingi za satelaiti, sehemu za ramani zilizoshikamana na habari kutoka NASA.'' * National Geographic Magazine: ''Inaonyesha habari zilizomo katika jarida la National Geographic Magazine. .'' * [[New York Times]]: ''ukusanyaji wa taarifa za habari kutoka gazeti maarufu la New York Times.'' * Rumsey Historical Maps: ''Inaonyesha mkusanyiko wa ramani za kihistoria, za miaka ya nyuma kufikia miaka ya 1600.'' * Usafiri na [[Utalii]] ** 100% New Zealand tupu ** Utalii wa [[Misri]] ** Utalii wa Ujapani ** Utalii wa [[Kyoto]] ** Utalii wa [[Afrika Kusini]] ** Turn Here: Mwongozo wa video wa mji ** [[Kituo cha kupumzika cha cha Walt Disney World Resort]] * Trimble Outdoor Trips: ''Mkusanyiko wa [[njia za kutalii]] zilizorekodiwa.'' * [[Volkeno]] * Webcams travel: ''Ni mkusanyako wa kamera za [[Webcam]]'' kote duniani * [[YouTube]]: ''Mkusanyiko wa video maarufu zilizoko katika tovuti ya YouTube.'' === Bahari === * Zuru Bahari * [[National Geographic]] ** Maswali ya jarida ** Kitabu cha ramani za bahari * [[BBC Earth]] * Dunia ya bahari ya Cousteau * Michezo ya bahari ** Sehemu za machafuko ya bahari ** Sehemu za kupigia mbizi ** Sehemu za kucheza na portangi kwenye maji ya machafuko * [[Meli zilizo haribika]] * Uchunguzi wa baharini * [[Sehemu za majini zilizohifadhiwa]] [http://www.protectplanetocean.org ] {{Wayback|url=http://www.protectplanetocean.org/ |date=20190817123248 }} * [[ARKive]]: Viumbe vya baharini vilivyo hatari ya kuangamizwa * Hali ya bahari * Kuwafuata wanyama * Sensa ya wanyama wa majini * Ramani ya kihistoria ya [[Marie Tharp]] * Sifa zilizo chini ya maji === Uelewa wa Duniani === Mkusanyiko wa huduma za kueneza uelewa wa Dunia nzima. Safu hii ilitolewa na [[Google Earth Outreach]]. * Kuondolewa kwa kilele cha mlima wa [[Appalachia]] * [[ARKive: viumbe vilivyo katika hatari ya kuangamizwa]] * Safari za [[Earthwatch]] * [[Biashara huru iliyokubalika]] * [[Mchango wa Kimataifa wa urithi]] * [[Greenpeace]] * Blogu ya [[Jane Goodall]] ya [[sokwe Gombe]] * Dunia kutoka juu, na Goodplanet * The Elders: Kila binadamu ana haki * [[UNDP]]: Kipimo cha Malengo ya Maendeleo ya Milenia * [[UNEP]]: Kitabu cha ramani za mazingira yetu yanayobadilika * [[Unicef]]: Maji [[na]] Usafi wa Mazingira * [[USHMM]]: Dunia ni Shahidi * USHMM: Machafuko katika [[Darfur]] * [[Msaada wa maji]] * Miradi ya uhifadhi ya [[WWF]] === Mahali pa kuvutia === Mkusanyiko wa sehemu za kibiashara unaotolewa na huduma nyingi za mitaa. * Baa / [[Vilabu]] * Mikahawa inayouza [[Kahawa]] * [[Maankuli]] * [[Malazi]] * [[Benki]] /mitambo ya [[ATM]] * [[Vituo vya gesi]] * [[Maduka ya vyakula]] * Maduka ya [[rejareja]] * Filamu / ukodishaji wa [[DVD]] * [[Duka la dawa]] * [[Maduka makubwa]] * Sehemu za [[Kijiografia]] * [[Gofu]] * Maeneo ya mapumziko na [[Burudani]] * Maeneo ya [[spoti]] * [[Kuteleza kwa barafu (milima ya Uswisi ya Alps]] tu) * Usafiri ** [[Viwanja vya ndege]] ** [[Njia za reli]] ** [[Barabar ya chini]] ** [[Treni ya umeme ya abiria]] ** [[Basi]] ** [[Feri]] ** Reli ya milima * Sehemu za [[Watalii]] * Vituo vya kuzima moto * [[Hospitali]] * [[Shule]] * Maeneo ya [[Kuabudu]] ** [[Makanisa]] ** [[Misikiti]] ** [[Masinagogi]] ** [[Mahekalu]] ** Sehemu nyingine za Kuabudu ** [[Makaburini]] === Safu za Angani === Safu za [[Google Sky]]. * '''Karibu Sky:''' Utangulizi wa Sky mode. * ''' Matukio yanayoendelea kwenye Sky''' ** '''Matangazo yanayotolewa mara kwa mara kwenye Earth na Sky.''' ** '''Habari za anga ya juu ya Hubblecast''' ** '''StarDate''' na [[Chuo Kikuu cha Texas]] ** '''VOEventNET inayoruhusu mtazamo wa anga ibadilikayo ya usiku''' * '''Our Solar System:''' Inaonyesha mahali na, [[mizunguko]] na taarifa ya [[mfumo wa jua.]] * '''Backyard Astronomy: Inaonyesha habari kuhusu [[mpangilio wa nyota]] na mandhari mengine yanayoonekana kutoka kwa [[darubini]] za nyumbani.''' * '''Mahali pa kutazamia ''' ** '''Maonyesho ya [[Hubble]]''' ** '''Maonyesho ya [[mwangaza wa rangi nyekundu ya Spitzer]]''' ** '''Maonyesho ya [[GALEX Ultraviolet]]''' ** '''Maonyseho ya [[Chandra X-Ray]]''' ** '''Maonyesho ya [[WMAP microwave]] ''' ** '''Maonyesho ya mwangawza mwekundu ya [[IRAS Infrared Sky]]''' * '''Kituo cha Elimu''' ** '''[[Celestron]] SkyScout [[Audio]]''' ** '''[[Utalii usiokuwa bayana wa virtual Tourism]]''' ** '''mwongozo wa mtumizi kwa [[Anga za juu]]''' ** '''Maisha ya Nyota''' * '''Ramani za Kihistoria za Sky Maps''' ** '''Ramani za nyota za Rumsey ''' ** '''Mpangilio wa nyota wa Hevelius ''' * '''Sky Community:''' Faili za [[KML]] zilizotumwa katika [[jukwaa]] la Sky katika Google Earth Community. === Safu za Mirihi === * Picha za Satelaiti * Majina ya Mahali * Ramani za Dunia * Picha za vyombo vya angani * Picha za Mirihi ** Wanaosafiri na kutua huko. ** Mwongozo wa Msafiri kwa Mirihi == Tazama pia == * [[Google Street View]] * [[Bhuvan]] * [[Ramani za kibiashara za Bing]] (awali [[Microsoft Virtual Earth]]) * [[Marble (KDE)]] * [[Ramani za Mtandao]] * [[Geoweb]] * [[Orthophotomap]] * [[Oracle Spatial]] <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.directionsmag.com/article.php?article_id=2130 |title=Google Earth / SketchUp na Oracle Spatial |accessdate=2009-12-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090909074846/http://www.directionsmag.com/article.php?article_id=2130 |archivedate=2009-09-09 }}</ref> === Watoa Picha === * [[DigitalGlobe]] - mtoa huduma ya [[picha za uangavu wa juu]] kwa Google Earth * [[EarthSat]] * [[GeoEye-1]] (mrithi wa ORBVIEW-3) * [[GlobeXplorer]] * [[IKONOS]] (ORBVIEW-2 ni mrithi) * [[Pictometry]] * [[Spot Image]] * [[TerraLook]] * [[ViewGL]] - picha za angani zilizosasishwa kwa Google Earth * [[CNES]] ==Marejeo== {{Marejeo|2}} == Viungo vya nje == {{GeoGroupTemplate}} === Tovuti Rasmi na zinazohusiana === * {{Official|http://earth.google.com/}} * [http://google-latlong.blogspot.com Google LatLong] - Habari na dondoo kutoka Google Earth na timu ya Ramani === Miongozo na vidokezo visvyo rasmi === * [http://www.googlesearth.com/ Google Earth:] {{Wayback|url=http://www.googlesearth.com/ |date=20100713145341 }} Vidokezo na undani kwa watumizi wa Google Earth * [http://www.gearthblog.com/ Blogu ya Google Earth:]Habari ya Google Earth sasisho * [http://googlesightseeing.com/ Utalii wa Google] - Mwongozo kwa vitu vya kuvutia na kustaajabisha * [http://www.ogleearth.com/ Tizama Dunia] -Tovuti ya Google Earth inayochunguza njia bunifu za kutumia Google Earth na maana yake kisiasa * [http://www.jogtheweb.com/play/vWtFwfVndYCs Google Earth katika Elimu] {{Wayback|url=http://www.jogtheweb.com/play/vWtFwfVndYCs |date=20100129010241 }} - Ziara iliyoongozwa na mwalimu kwa ajili ya walimu, wanafunzi na wote. === Alama za mahali na ishara zilizoshikama kwenye ramani === * [http://www.nkeconwatch.com/north-korea-uncovered-google-earth/ Korea ya Kaskazini yafichuliwa] -Ramani za Korea ya Kaskazini za miundombinu ya kiuchumi, kitamaduni, kisiasa na kijeshi, [http://online.wsj.com/article/SB124295017403345489.html/ iliyomo katika makala ya Wall Street.] * Google Earth Hacks - Mkusanyiko wa zaidi ya faili 25,000 kwa kutumia na Google Earth * [http://www.kcl.ac.uk/geodata Kings College Londons Collection, ya hifadhidata ya KML] * [http://hubblesite.org/explore_astronomy/gsky/ \Michango ya jamii ya STScI kwa tovuti ya Sky] * Google Earth Anomalies - picha za satelaiti za kumbukumbu, tovuti za makosa ya kisayansi na viungo vya mviringo visvyoelezewa kupitia Google Earth. === Vifaa === * [http://docs.codehaus.org/display/GEOSDOC/Google+Earth GeoServer] {{Wayback|url=http://docs.codehaus.org/display/GEOSDOC/Google+Earth |date=20080302205855 }} - Seva ya kuzalisha faili za KML kutoka Shapefiles, ArcSDE, Oracle, PostGIS, MySQL, GeoTiff, ArcGrid, pamoja na msaada kwa viungo vya Mtandao, ishara kubwa zilizoshikamana kwenye ramani, vitokeo vya muda kwa muda. * [http://www.gpsvisualizer.com/map?form=googleearth GPSVisualizer] {{Wayback|url=http://www.gpsvisualizer.com/map?form=googleearth |date=20080319043916 }} - kubadili data ya GPS kwa matumizi ya Google Earth. * Google Earth Toolbox - Matlab &amp; Octave zinashughulika kutoa faili za KML. * [http://geolyzer.dirkoester.de/eng geolyzer] {{Wayback|url=http://geolyzer.dirkoester.de/eng |date=20090327114555 }} - maabara yanayotegemea programu ya kuchunguza urahisi wa utumizi kwa Google Earth. {{Google Inc.|corporate=no}} {{Earth}} [[Jamii:Google]] [[Jamii:kampuni za intaneti]] mh3pa9pijjbxly84acogyslvg2bbn4p Jose Chameleone 0 34149 1572393 1515856 2026-06-13T14:08:19Z Mike Seems 90215 /* Diskografia */ 1572393 wikitext text/x-wiki '''Joseph Mayanja''' (anajulikana kwa [[jina la kisanii]] '''Jose Chameleone''' au '''Chameleone''', wakati mwingine '''Chameleon'''; alizaliwa mwaka wa [[1979]]) ni [[mwanamuziki]] wa [[hip hop]] na [[reggae]] kutoka [[Uganda]]. Yeye huimba hasa katika [[lugha]] ya [[Kiswahili]] na ana nyimbo kadhaa zilizofanya vizuri, baadhi akiwa amezifanya na wanamuziki tofautitofauti kama mwanamuziki wa [[Tanzania]], [[Joseph Haule]] maarufu kama [[Professor Jay]], ==Wasifu== Chameleone alianza wasifu wake mwishoni mwa miaka ya 1990, watengenezaji wake wa muziki wakiwa [[Ogopa Deejays]]kutoka [[Kenya]]. Moja kati ya nyimbo zake ya kwanza ilikuwa "Bageya", ikimshirikisha [[Redsan]], msanii kutoka Kenya. Pia alishirikiana na mwananchi mwanamuziki mwenzake Bebe Cool, lakini baadaye iliiibuka kuwa wawili hawa walikuwa na upinzani mbaya. Mtindo wa Chameleone wa muziki ni mchanganyiko wa muziki wa kitamaduni wa Kiuganda, rumba ya Kati ya Afrika, Zouk na ragga. Albamu yake ya kwanza ilitolewa nchini Kenya mwaka wa 1999. Tangu wakati huo ametoa albamu kadhaa zikiwa pamoja na "Bageya" mwaka wa 2000, "Mama Mia" mwaka wa 2001, "Njo Karibu" mwaka wa 2002, "The Golden Voice" mwaka wa 2003, "Mambo Bado" mwaka wa 2004 na "Kipepo" mwaka wa 2005. Yeye ni mwanachama wa Jamii ya Mwanamuziki, muungano wa wanamuziki ambao hutumia umaarufu wao na mali yao kusaidia kuondoa umaskini na kujenga kampeni za mwamko wa [[VVU]] / [[UKIMWI]]. Ametembelea idadi ya nchi za ng'ambo zikiwemo [[Marekani]], [[Uingereza]] na [[Sweden]] miongoni mwa mengine. Ndugu yake mdogo, anayetumia jina la kisanii la ''Weasel'', ni mwanamuziki pia. == Diskografia == '''Albamu:''' *''Bageya'' (2000) *''Mama Mia'' (2001) *''Njo Karibu'' (2002) *''The Golden Voice'' (2003) *''Mambo Bado'' (2004) *''Kipepeo'' (2005) *''Shida za Dunia'' (2006) *''Sivyo Ndivyo'' (2007) *''Katupakase'' (2007) *''Bayuda'' (2008-2009) *''Vumilia'' (2010) *''Valu Valu'' (2012) *''Badilisha'' (2013) *''Wale Wale'' (2015) *''Sili Mujawo'' (2016) *''Sweet Banana, Superstar, Mshamba'' (2017) *''Champion, Mateeka, Kilabe'' (2018) '''Nyimbo zake kadhaa zilizoenea''' *"Jamila" *"Mama Rhoda" (ikimshirikisha Bushoke) [https://www.youtube.com/watch?v=rSSw1JSUidY] *"Shida za Dunia" *"Kipepeo" *"Bei Kali" *"Fitina Yako" *"Haraka Haraka" *"Mambo Bado" *"Ndivyo Sivyo". *"Byabanene". *"Forever". *"Banana Remix" (featuring Fik Gaza) ==Tuzo== '''Walishinda''' *2003 Tuzo za muziki za lulu la Afrika (Tuzo za PAM) - Msanii wa Mwaka &amp; Msanii bora mwanamme na Msanii bora wa muziki wa Contemporary na Wimbo wa Mwaka ( "Mama Mia") <ref> PAM Awards 2003 Winners &amp; Nominees (kutoka tovuti ya tuzo PAM, sasa maiti link)</ref> *2004 Tuzo za muziki za lulu la Afrika (Tuzo za PAM) - Msanii wa Mwaka na Wimbo wa Mwaka ( "Jamila") <ref> PAM Awards: Washindi wa 2004</ref> *2005 Tuzo za muziki za lulu la Afrika (Tuzo za PAM) - Msanii na Kundi bora wa Afro Beat na Nyimbo bora za Afro Beat ( "Kipepeo") <ref>PAM Awards: [https://web.archive.org/web/20070702053829/http://pamawards.com/pages/2005.php 2005 Winners &amp; Nominees]</ref> *Tuzo za muziki za Tanzania 2004 - Albamu bora ya Afrika Mashariki ( "Bei Kali") <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.kilitimetz.com/winners.html |title=Tuzo za muziki za Tanzania - Winners 2004 |accessdate=2004-12-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20041204012935/http://www.kilitimetz.com/winners.html |archivedate=2004-12-04 }}</ref> *Tuzo za muziki za Tanzania 2005 - Albamu bora ya Afrika Mashariki ( "Jamila") <ref> Tuzo ya muziki, Tanzania: Washindi wa mwaka 2005</ref> *2006 Tuzo za muziki za lulu la Afrika (PAM Awards) - Msanii na kundi bora wa Afro Beat <ref> Ugandaonline.net: Washindi wa PAM Awards 2006</ref> *Tuzo za muziki za Kisima 2006 - Nyimbo bora ya Uganda''(Mama Rhoda)'' na video bora ya Uganda ''(Mama Rhoda)'' <ref> Washindi wa Kisima Awards 2007</ref> *Tuzo za muziki za Kisima 2007 - Nyimbo bora ya Uganda ''(Sivyo Ndivyo'' na [[Profesa Jay)]] <ref> Washindi wa Kisima Awards 2007</ref> '''Ameteuliwa''' *Tuzo za Kora 2003 - Msanii bora wa Afrika Mashariki [7] *Tuzo za Kora 2004 - Msanii bora wa kiume wa Afrika Mashariki <ref>Yeahbo.net, [http://www.yeahbo.net/KoraAwardsWinners2004.xls Mkoa Kora 2004] {{Wayback|url=http://www.yeahbo.net/KoraAwardsWinners2004.xls |date=20050106052917 }}</ref> *Tuzo za MOBO 2006 - Tendo bora la Kiafrika <ref>[[IPP Media:]] [https://web.archive.org/web/20070928063807/http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2006/09/01/73555.html ''Jose Chameleon ameshinda kwa Uingereza music awards'']''<nowiki/>''</ref> *2007 Tuzo za muziki za Ulaya za MTV - Tendo bora la Kiafrika == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya nje == *[http://josechameleone.e-monsite.com] {{Wayback|url=http://josechameleone.e-monsite.com/ |date=20140315125839 }} *[http://www.ugpulse.com/search.asp?ugaSrch=Chameleone Chameleone articles on UGPulse.com] *[http://www.josechameleone.com Official Website] {{Wayback|url=http://www.josechameleone.com/ |date=20211209081750 }} *[http://www.myspace.com/officialjosechameleone MySpace page] *[http://www.museke.com/node/1423 Jose Chameleone lyrics, video, audio] {{Wayback|url=http://www.museke.com/node/1423 |date=20100204130946 }} *[http://www.musicuganda.com/chameleone.html Musicuganda.com] {{Wayback|url=http://www.musicuganda.com/chameleone.html |date=20100626022900 }} *[[Daily Nation:]] ''[http://www.nationaudio.com/News/DailyNation/21022004/News/Review2102200421.html Chamelone's new colours]'' * [http://www.busaramusic.com/database/artists.php?whereartistlike=%25Jose%20Chameleone%25 Busara Music Festival - Jose Chameleone] {{Wayback|url=http://www.busaramusic.com/database/artists.php?whereartistlike=%25Jose%20Chameleone%25 |date=20081010152350 }} *[http://www.ugee.com/index.php?option=com_seyret&amp;task=videodirectlink&amp;id=345&amp;Itemid=219 Chameleone - Shida Za - Music Video] {{Wayback|url=http://www.ugee.com/index.php?option=com_seyret&task=videodirectlink&id=345&Itemid=219 |date=20081010203718 }} [[Jamii:Waliozaliwa 1979]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki wa Uganda]] [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Kisima Music Award winners]] coeu546lyeabmpmyez3ffxnh9y9f54w Waraka wa kwanza wa Klementi 0 37150 1572941 1268571 2026-06-14T07:57:17Z Riccardo Riccioni 452 1572941 wikitext text/x-wiki '''Waraka wa kwanza wa Klementi''' ni andiko la [[askofu]] wa [[Kanisa la Roma]] ([[Italia]]) [[Papa Klementi I]] mnamo mwaka [[96]] [[BK]] kwa [[Kanisa]] la [[Ukristo|Kikristo]] [[mji|mjini]] [[Korintho]] ([[Ugiriki]]). Ni kati ya maandiko ya kwanza ya [[Ukristo]] nje ya [[Biblia]] ([[Agano Jipya]]) yaliyohifadhiwa na kujulikana hadi leo. == Waraka wa kwanza wa Klementi kati ya maandiko ya kale ya Kikristo == [[Jina rasmi]] la andiko hili ni "Klementi kwa Wakorintho" (kwa [[Kigiriki]] Κλήμεντος πρὸς Κορινθίους, ''Klēmentos pros Korinthius''). Liliandikwa kwa [[lugha]] ya Kigiriki, iliyokuwa inatumiwa na Wakristo wengi wa wakati ule hata mjini [[Roma ya Kale|Roma]]. Pamoja na maandiko mengine kama vile [[Didake]], [[Barua ya Barnaba|Waraka wa Barnaba]] na [[Waraka|nyaraka]] saba za [[Ignas wa Antiokia]] iko katika ya maandiko ya kale kabisa ya Ukristo wa kwanza yaliyohifadhiwa nje ya Agano Jipya. [[Mtaalamu|Wataalamu]] wengi wengi wanakadiria ya kwamba iliandikwa kabla ya mwaka [[100]] BK kwa hiyo miaka michache baada ya [[Kitabu|vitabu]] vya mwisho vya Agano Jipya au hata wakati uleule. Waraka huu mrefu uliendelea kusomwa katika makanisa ya mashariki hadi [[karne ya 8]], ukihesabiwa pengine kati ya vitabu vyenye [[uvuvio]] vya [[Biblia ya Kikristo]]. == Umri wa waraka == Ndani ya waraka kuna vidokezo kadhaa kuhusu wakati wa kuandikwa kwake hata kama hakuna [[tarehe]] kamili - lakini hii ilikuwa kawaida kwa maandiko mengi ya nyakati zile. Waraka inataja "misiba ambayo imetufikia ghafla na mara kwa mara" na hii inachukuliwa na wataalamu kama marejeo kwa [[mateso ya Wakristo]] chini ya [[Kaisari Domitiano]] wa [[Dola la Roma]] mnamo [[96]]-[[98]] BK. Pia kanisa la Roma linaitwa "la kale" na barua inasema ya kwamba [[Mzee|wazee]] waliosimikwa na [[mitume wa Yesu]] waliaga [[dunia]] tayari. == Sababu ya waraka == Sababu ya kuandika waraka ilikuwa fitina ndani ya kanisa la Korintho iliyosababisha kuondolewa kwa [[Kiongozi|viongozi]] kadhaa [[madaraka|madarakani]]. Klementi alipinga fitina hiyo akitetea viongozi wa awali. Aliwakumbusha Wakorintho kuhusu [[barua]] waliowahi kuzipokea kutoka kwa [[Mtume Paulo]]. Waraka huu ni muhimu kwa sababu inawezesha kupata picha ya hali ya ndani ya jumuia za kwanza za Kikristo wakati wake. Kwa mfano waraka unataja [[Cheo|vyeo]] vya "Wazee, maaskofu na ma[[shemasi]]" ndani ya kanisa la Korintho. [[Kanisa Katoliki]] linaona waraka huo kuwa [[ushahidi]] wa [[mamlaka]] ya [[Papa]], kwa kuwa humo tunaona Klementi I kuingilia kati kwa nguvu matatizo ya kanisa la mbali, wakati [[mtume Yohane]] alipokuwa bado hai na jirani zaidi na Korintho. ==Tazama pia== * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] == Tafsiri ya [[Kiswahili]] == * Didakè yaani Mafundisho ya Mitume Kumi na Wawili na Waraka wa Mt. Klementi kwa Wakorinto, tafsiri ya B. Santopadre n.k. – ed. E.M.I. – [[Bologna]] 1990 – ISBN 88-307-0321-4 == Viungo vya nje == * [http://www.earlychristianwritings.com/1clement.html Early Christian writings:] ''The First Epistle of Clement'' * [http://www.earlychristianwritings.com/2clement.html Early Christian writings:] ''The Second Epistle of Clement'' * [http://www.earlychristianwritings.com/text/2clement-hoole.html English Translation] of 2 Clement * [http://www.newadvent.org/cathen/04012c.htm Catholic Encyclopedia] article on Clement of Rome * [http://www.mortalresurrection.com/2008/12/25/63/#more-63 Madondoo ya [[Injili Ndugu]] katika waraka huu] {{Wayback|url=http://www.mortalresurrection.com/2008/12/25/63/#more-63 |date=20100929234304 }} {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:vitabu]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] odc63m5jwyyvorjgwx1tllr1jaknclj 1572942 1572941 2026-06-14T07:59:35Z Riccardo Riccioni 452 1572942 wikitext text/x-wiki [[Picha:Clemens_Romanus.jpg|thumb|Papa Klementi I katika [[mozaiki]] ya [[Kanisa kuu]] la [[Kiev]], [[Ukraini|Ukraina]].]] '''Waraka wa kwanza wa Klementi''' ni andiko la [[askofu]] wa [[Kanisa la Roma]] ([[Italia]]) [[Papa Klementi I]] mnamo mwaka [[96]] [[BK]] kwa [[Kanisa]] la [[Ukristo|Kikristo]] [[mji|mjini]] [[Korintho]] ([[Ugiriki]]). Ni kati ya maandiko ya kwanza ya [[Ukristo]] nje ya [[Biblia]] ([[Agano Jipya]]) yaliyohifadhiwa na kujulikana hadi leo. == Waraka wa kwanza wa Klementi kati ya maandiko ya kale ya Kikristo == [[Jina rasmi]] la andiko hili ni "Klementi kwa Wakorintho" (kwa [[Kigiriki]] Κλήμεντος πρὸς Κορινθίους, ''Klēmentos pros Korinthius''). Liliandikwa kwa [[lugha]] ya Kigiriki, iliyokuwa inatumiwa na Wakristo wengi wa wakati ule hata mjini [[Roma ya Kale|Roma]]. Pamoja na maandiko mengine kama vile [[Didake]], [[Barua ya Barnaba|Waraka wa Barnaba]] na [[Waraka|nyaraka]] saba za [[Ignas wa Antiokia]] iko katika ya maandiko ya kale kabisa ya Ukristo wa kwanza yaliyohifadhiwa nje ya Agano Jipya. [[Mtaalamu|Wataalamu]] wengi wengi wanakadiria ya kwamba iliandikwa kabla ya mwaka [[100]] BK kwa hiyo miaka michache baada ya [[Kitabu|vitabu]] vya mwisho vya Agano Jipya au hata wakati uleule. Waraka huu mrefu uliendelea kusomwa katika makanisa ya mashariki hadi [[karne ya 8]], ukihesabiwa pengine kati ya vitabu vyenye [[uvuvio]] vya [[Biblia ya Kikristo]]. == Umri wa waraka == Ndani ya waraka kuna vidokezo kadhaa kuhusu wakati wa kuandikwa kwake hata kama hakuna [[tarehe]] kamili - lakini hii ilikuwa kawaida kwa maandiko mengi ya nyakati zile. Waraka inataja "misiba ambayo imetufikia ghafla na mara kwa mara" na hii inachukuliwa na wataalamu kama marejeo kwa [[mateso ya Wakristo]] chini ya [[Kaisari Domitiano]] wa [[Dola la Roma]] mnamo [[96]]-[[98]] BK. Pia kanisa la Roma linaitwa "la kale" na barua inasema ya kwamba [[Mzee|wazee]] waliosimikwa na [[mitume wa Yesu]] waliaga [[dunia]] tayari. == Sababu ya waraka == Sababu ya kuandika waraka ilikuwa fitina ndani ya kanisa la Korintho iliyosababisha kuondolewa kwa [[Kiongozi|viongozi]] kadhaa [[madaraka|madarakani]]. Klementi alipinga fitina hiyo akitetea viongozi wa awali. Aliwakumbusha Wakorintho kuhusu [[barua]] waliowahi kuzipokea kutoka kwa [[Mtume Paulo]]. Waraka huu ni muhimu kwa sababu inawezesha kupata picha ya hali ya ndani ya jumuia za kwanza za Kikristo wakati wake. Kwa mfano waraka unataja [[Cheo|vyeo]] vya "Wazee, maaskofu na ma[[shemasi]]" ndani ya kanisa la Korintho. [[Kanisa Katoliki]] linaona waraka huo kuwa [[ushahidi]] wa [[mamlaka]] ya [[Papa]], kwa kuwa humo tunaona Klementi I kuingilia kati kwa nguvu matatizo ya kanisa la mbali, wakati [[mtume Yohane]] alipokuwa bado hai na jirani zaidi na Korintho. ==Tazama pia== * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] == Tafsiri ya [[Kiswahili]] == * Didakè yaani Mafundisho ya Mitume Kumi na Wawili na Waraka wa Mt. Klementi kwa Wakorinto, tafsiri ya B. Santopadre n.k. – ed. E.M.I. – [[Bologna]] 1990 – ISBN 88-307-0321-4 == Viungo vya nje == * [http://www.earlychristianwritings.com/1clement.html Early Christian writings:] ''The First Epistle of Clement'' * [http://www.earlychristianwritings.com/2clement.html Early Christian writings:] ''The Second Epistle of Clement'' * [http://www.earlychristianwritings.com/text/2clement-hoole.html English Translation] of 2 Clement * [http://www.newadvent.org/cathen/04012c.htm Catholic Encyclopedia] article on Clement of Rome * [http://www.mortalresurrection.com/2008/12/25/63/#more-63 Madondoo ya [[Injili Ndugu]] katika waraka huu] {{Wayback|url=http://www.mortalresurrection.com/2008/12/25/63/#more-63 |date=20100929234304 }} {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:vitabu]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] 0nzqmsym3z1asy0lp2o3w9wii6bcq1d Mwenye heri 0 39285 1572368 1488327 2026-06-13T12:21:43Z Riccardo Riccioni 452 1572368 wikitext text/x-wiki [[Picha:Sebastiano Ricci 023.jpg|thumb|"Utukufu wa mwenye heri" ulivyochorwa na Sebastiano Ricci miaka [[1693]]-[[1694]] huko [[Bologna]] ([[Italia]]).]] '''Mwenye heri''' ni [[jina]] la [[heshima]] analopewa [[Ukristo|Mkristo]] wa [[Kanisa Katoliki]] baada ya kufa na ya kufanyiwa [[kesi]] makini kuhusu sifa ya [[utakatifu]] alilonalo. ==Vigezo== Kwa [[mfiadini]] inatosha kushuhudia kwa hakika kwamba aliuawa kwa ajili ya [[imani]] au [[adili]] lingine <ref>{{Cite web |url=http://www.archokc.org/rothercause/process-of-canonization |title=Sarno, Robert J., "Process of Canonization", Archdiocese of Oklahoma City |access-date=5 June 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180608134449/http://www.archokc.org/rothercause/process-of-canonization |archive-date=8 June 2018 |url-status=dead }}</ref>. Kwa [[Wakatoliki]] wengine unatakiwa [[ushujaa]] wa [[maadili]] yake yote, hasa [[Maadili ya Kimungu|yale ya Kimungu]] na [[maadili bawaba]], [[sala]] na [[unyenyekevu]]. Mwaka [[2017]] [[Papa Fransisko]] aliongeza uwezekano wa mtu kutangazwa mwenye heri kutokana na [[tendo la kishujaa]] la kuhatarisha [[uhai]] wake na kufupisha [[maisha]] yake kwa sababu ya [[upendo]]. Njia hizo [[mbili]] za mwisho zinatakiwa kuthibitishwa na [[muujiza]] mmoja <ref>{{Cite web |last=Ghose |first=Tia |date=9 July 2013 |title=The Science of Miracles: How the Vatican Decides |url=https://www.livescience.com/38033-how-vatican-identifies-miracles.html |access-date=2019-09-15 |website=livescience.com |language=en}}</ref><ref>{{Cite news|url=https://www.economist.com/science-and-technology/2000/04/20/miracles-under-the-microscope|title=Miracles under the microscope|date=2000-04-20|newspaper=The Economist|access-date=2019-09-15|issn=0013-0613}}</ref><ref>{{Cite web|last1=Gjelten |first1=Tom |url=https://www.npr.org/sections/parallels/2016/08/31/491937448/how-the-catholic-church-documented-mother-teresas-two-miracles|title=How The Catholic Church Documented Mother Teresa's 2 Miracles|work=NPR |date=31 August 2016 |language=en|access-date=2019-09-15}}</ref> uliofanywa na [[Mungu]] kwa [[maombezi ya watakatifu|maombezi]] ya [[Mtumishi wa Mungu|mtumishi wake]] baada ya [[kifo]] chake. [[Asili]] ya hatua hiyo ni [[karne XIV]] ambapo [[Papa]] alianza kukubali [[marehemu]] aheshimiwe kwa namna ya pekee mahali fulani au katika [[shirika]] fulani kabla kesi ya kumtangaza [[mtakatifu]] kwa [[Kanisa]] lote haijakamilika. Hata hivyo [[tarehe]] [[6 Julai]] [[1634]] [[Papa Urban VIII]] aliuwekea [[Ukulu mtakatifu]] tu [[mamlaka]] ya kumtangaza mwenye heri mpya<ref>A. De Meester, ''Juris Canonici et Juris Canonico-Civilis Compendium'' Nova Editio, Tomus Tertius, Pars Secunda (Brugis: Desclée de Brouwer et Sii, 1928) p. 86 (citing the canonist [[Pope Benedict XIV]], ''De Servorum Dei Beatificatione et Beatorum Canonizatione'')</ref><ref>Beccari, Camillo (1907). "[http://www.newadvent.org/cathen/02364b.htm Beatification and Canonization]." ''The Catholic Encyclopedia''. Vol. 2. New York: Robert Appleton Company. Via ''New Advent''. newadvent.org. Accessed 1 November 2015.</ref>. {{kigezo:Kutangaza watakatifu}} ==Tanbihi== {{marejeo}} == Marejeo == {{refbegin}} * {{cite encyclopedia |last=Beccari |first=Camillo |year = 1907 |title=Beatification and Canonization |encyclopedia=[[Catholic Encyclopedia]] |at=Vol. 2 |publisher=Robert Appleton Company |via=[[New Advent]]. newadvent.org |url = http://www.newadvent.org/cathen/02364b.htm }} * {{CathEncy |wstitle = Beatification and Canonization |url = https://web.archive.org/web/20080606235621/http://oce.catholic.com/index.php?title=Beatification_and_Canonization |last=Beccari |first=Camillo }} * De Meester, A., J.C.D., ''Juris Canonici et Juris Canonico-Civilis Compendium'' Nova Editio, Tomus Tertius, Pars Secunda (Brugis: Desclée de Brouwer et Sii, 1928) * Saunders, Rev. William (2003). "[https://web.archive.org/web/20140210131718/http://www.catholiceducation.org/articles/religion/re0136.html The Process of Becoming a Saint]". Reprinted from ''Arlington Catholic Herald''. Via Catholic Education Resource Center. catholiceducation.org. * [https://www.vatican.va/roman_curia/congregations/csaints/documents/rc_con_csaints_doc_20050929_saraiva-martins-beatif_en.html Vatican website, with new procedures] {{refend}} == Viungo vya nje == * [http://www.gcatholic.org/saints/bxvi-blesseds2.htm List of all Blesseds in the Catholic Church] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20140204030324/http://www.gcatholic.org/saints/bxvi-blesseds2.htm |date=4 February 2014 }} by GCatholic.org. {{mbegu-katoliki}} [[Jamii:Kanisa Katoliki]] [[Jamii:Watakatifu Wakristo]] [[Jamii:Wenye heri]] 8jygtpprpnxyi8za4ysk5aic1mtb9ve 1572380 1572368 2026-06-13T13:02:42Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced. 1572380 wikitext text/x-wiki [[Picha:Sebastiano Ricci 023.jpg|thumb|"Utukufu wa mwenye heri" ulivyochorwa na Sebastiano Ricci miaka [[1693]]-[[1694]] huko [[Bologna]] ([[Italia]]).]] '''Mwenye heri''' ni [[jina]] la [[heshima]] analopewa [[Ukristo|Mkristo]] wa [[Kanisa Katoliki]] baada ya kufa na ya kufanyiwa [[kesi]] makini kuhusu sifa ya [[utakatifu]] alilonalo. ==Vigezo== Kwa [[mfiadini]] inatosha kushuhudia kwa hakika kwamba aliuawa kwa ajili ya [[imani]] au [[adili]] lingine <ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.archokc.org/rothercause/process-of-canonization |title=Sarno, Robert J., "Process of Canonization", Archdiocese of Oklahoma City |access-date=5 June 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180608134449/http://www.archokc.org/rothercause/process-of-canonization |archive-date=8 June 2018 |url-status=dead }}</ref>. Kwa [[Wakatoliki]] wengine unatakiwa [[ushujaa]] wa [[maadili]] yake yote, hasa [[Maadili ya Kimungu|yale ya Kimungu]] na [[maadili bawaba]], [[sala]] na [[unyenyekevu]]. Mwaka [[2017]] [[Papa Fransisko]] aliongeza uwezekano wa mtu kutangazwa mwenye heri kutokana na [[tendo la kishujaa]] la kuhatarisha [[uhai]] wake na kufupisha [[maisha]] yake kwa sababu ya [[upendo]]. Njia hizo [[mbili]] za mwisho zinatakiwa kuthibitishwa na [[muujiza]] mmoja <ref>{{Rejea tovuti |last=Ghose |first=Tia |date=9 July 2013 |title=The Science of Miracles: How the Vatican Decides |url=https://www.livescience.com/38033-how-vatican-identifies-miracles.html |access-date=2019-09-15 |website=livescience.com |language=en}}</ref><ref>{{Rejea habari|url=https://www.economist.com/science-and-technology/2000/04/20/miracles-under-the-microscope|title=Miracles under the microscope|date=2000-04-20|newspaper=The Economist|access-date=2019-09-15|issn=0013-0613}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|last1=Gjelten |first1=Tom |url=https://www.npr.org/sections/parallels/2016/08/31/491937448/how-the-catholic-church-documented-mother-teresas-two-miracles|title=How The Catholic Church Documented Mother Teresa's 2 Miracles|work=NPR |date=31 August 2016 |language=en|access-date=2019-09-15}}</ref> uliofanywa na [[Mungu]] kwa [[maombezi ya watakatifu|maombezi]] ya [[Mtumishi wa Mungu|mtumishi wake]] baada ya [[kifo]] chake. [[Asili]] ya hatua hiyo ni [[karne XIV]] ambapo [[Papa]] alianza kukubali [[marehemu]] aheshimiwe kwa namna ya pekee mahali fulani au katika [[shirika]] fulani kabla kesi ya kumtangaza [[mtakatifu]] kwa [[Kanisa]] lote haijakamilika. Hata hivyo [[tarehe]] [[6 Julai]] [[1634]] [[Papa Urban VIII]] aliuwekea [[Ukulu mtakatifu]] tu [[mamlaka]] ya kumtangaza mwenye heri mpya<ref>A. De Meester, ''Juris Canonici et Juris Canonico-Civilis Compendium'' Nova Editio, Tomus Tertius, Pars Secunda (Brugis: Desclée de Brouwer et Sii, 1928) p. 86 (citing the canonist [[Pope Benedict XIV]], ''De Servorum Dei Beatificatione et Beatorum Canonizatione'')</ref><ref>Beccari, Camillo (1907). "[http://www.newadvent.org/cathen/02364b.htm Beatification and Canonization]." ''The Catholic Encyclopedia''. Vol. 2. New York: Robert Appleton Company. Via ''New Advent''. newadvent.org. Accessed 1 November 2015.</ref>. {{kigezo:Kutangaza watakatifu}} ==Tanbihi== {{marejeo}} == Marejeo == {{refbegin}} * {{cite encyclopedia |last=Beccari |first=Camillo |year = 1907 |title=Beatification and Canonization |encyclopedia=[[Catholic Encyclopedia]] |at=Vol. 2 |publisher=Robert Appleton Company |via=[[New Advent]]. newadvent.org |url = http://www.newadvent.org/cathen/02364b.htm }} * {{CathEncy |wstitle = Beatification and Canonization |url = https://web.archive.org/web/20080606235621/http://oce.catholic.com/index.php?title=Beatification_and_Canonization |last=Beccari |first=Camillo }} * De Meester, A., J.C.D., ''Juris Canonici et Juris Canonico-Civilis Compendium'' Nova Editio, Tomus Tertius, Pars Secunda (Brugis: Desclée de Brouwer et Sii, 1928) * Saunders, Rev. William (2003). "[https://web.archive.org/web/20140210131718/http://www.catholiceducation.org/articles/religion/re0136.html The Process of Becoming a Saint]". Reprinted from ''Arlington Catholic Herald''. Via Catholic Education Resource Center. catholiceducation.org. * [https://www.vatican.va/roman_curia/congregations/csaints/documents/rc_con_csaints_doc_20050929_saraiva-martins-beatif_en.html Vatican website, with new procedures] {{refend}} == Viungo vya nje == * [http://www.gcatholic.org/saints/bxvi-blesseds2.htm List of all Blesseds in the Catholic Church] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20140204030324/http://www.gcatholic.org/saints/bxvi-blesseds2.htm |date=4 February 2014 }} by GCatholic.org. {{mbegu-katoliki}} [[Jamii:Kanisa Katoliki]] [[Jamii:Watakatifu Wakristo]] [[Jamii:Wenye heri]] npume8op1w6sbxs10lpc7g48mpz57m7 Karlskoga 0 55135 1573005 899295 2026-06-14T11:13:14Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1573005 wikitext text/x-wiki [[Picha:Karlskoga-view-2008.jpg|thumb|200px|'' Karlskoga'']] [[Picha:Karlskoga kommun.png|thumb|200px|]] '''Karlskoga''' ni manispaa na pia mji nchini [[Uswidi]] katika mkoa wa [[Värmland]]. Kuna wakazi 27,500 (mwaka 2005). == Jiografia == Eneo lake ni 27.40 [[km²]]. <gallery> Picha:Karlskoga01boforsfors.jpg |''Maporomoko ya Karlskoga'' Picha:Karlskoga-church-2008.jpg|''Kanisa la Karlskoga'' </gallery> == Viungo vya nje == * [http://www.karlskoga.se www.karlskoga.se] {{Wayback|url=http://www.karlskoga.se/ |date=20210226070759 }} {{Mbegu-jio-Uswidi}} [[Jamii:Miji ya Uswidi]] 02tldl3ek2dteae0hyqg59e4x5kz9pu Historia ya Wapare 0 66017 1572411 1478938 2026-06-13T17:28:07Z ~2026-34848-39 90226 /* Watu mashuhuri wa Upare */ 1572411 wikitext text/x-wiki '''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]]. [[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] au Chasu. ==Asili ya Waasu== Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu. Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]]. Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani. ==Asili ya neno Wapare== Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige". Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare. Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika. Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta. Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare. Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka". Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi). ==Makao== Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose. Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena. ==Dini== Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare. [[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana. Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]]. Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]]. [[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]]. ==Shughuli za uchumi== Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma. Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache. Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine. Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania. Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa. ==Mfumo wa maisha== Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa. Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’. Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’. ===Ndala=== Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja. Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo. Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha. Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu. Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa. ===Msaragambo=== Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa. Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya. Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao. Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao. Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka. Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji. ===Kiwili=== Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi. Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi. Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani. Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa. Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha. ==Vyakula vikuu vya Wapare== Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja. ==Mapacha kati ya Wapare== Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo. ==Watu mashuhuri wa Upare== Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]], [[vyombo vya habari]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja nyingine mbalimbali. Baadhi ya watu wake maarufu ni: *[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza *[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, awamu ya tano *[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania (au TPSF, Tanzania Private Sector Foundation) *[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]] *[[Mfumwa Singo]] *[[Eliewaha Eliya Mshana]], [[Askofu]] [[Walutheri|Mlutheri]] *[[Josephat Louis Lebulu]], [[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]] *[[Anne Kilango]], mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]] *Elifariji Solomon Kalage,mwanajeshi mstaafu wa Vita ya Kagera na aliwahi kuwa mkufunzi wa Chuo cha Jeshi (TMA) Monduli. *[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]] *[[Januari Msofe]], [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania *[[Herman Ambara]], [[mwanasheria]] Songoa *[[Mathayo David]], mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]] *[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]] *[[Mbazi Fikeni Senkoro]] alikuwa [[Daktari]] *[[Abrahamu Itunda]] alikuwa [[Mchungaji]] *[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo *[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]] *[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]] *[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] alikuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha *[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]] *[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]] *[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]] *[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]] *[[Nkondo Makengo Kanana]] wa [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]] *Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]] *[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]] *[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida *[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]] *[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]] *[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]] *Mchungaji [[Kadiva Ernest William]], Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]] *Profesa [[Joseph Semboja]], mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]] *Balozi [[Ombeni Sefue]], alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi *Profesa [[Gadi Kilonzo]], daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]] *Daktari [[Amani Yakobo Mgeni]], mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani [[WHO]] nchini Ethiopia *Profesa [[Rogasian Mahuna]], bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS *Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na Kamishina wa Tume ya Uchaguzi *Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]], Chuo Kikuu cha Dodoma *Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili *Profesa Leonard Paulo Shaidi, aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai *[[Clophas Flavian Idd]], mwandishi wa habari wa East Africa Television (EATV) na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro *Hasheem Ibwe, mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]] *Badru Juma Rajabu Mshana, Mwakilishi wa Vijana Umoja wa Mataifa (UN) 2018-2022, na mratibu wa miradi Restless Development Tanzania. *Erick Mtindi Charles, Mchambuzi wa mifumo ya kifedha, Wizara ya Fedha [[Jamii:Wapare]] [[Jamii:Wilaya ya Same]] [[Jamii:Historia ya Tanzania]] hqaj40dov96skfyqqjf30tb0cwuhd5v 1572412 1572411 2026-06-13T17:32:18Z ~2026-34848-39 90226 /* Watu mashuhuri wa Upare */ 1572412 wikitext text/x-wiki '''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]]. [[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] au Chasu. ==Asili ya Waasu== Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu. Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]]. Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani. ==Asili ya neno Wapare== Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige". Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare. Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika. Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta. Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare. Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka". Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi). ==Makao== Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose. Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena. ==Dini== Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare. [[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana. Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]]. Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]]. [[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]]. ==Shughuli za uchumi== Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma. Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache. Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine. Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania. Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa. ==Mfumo wa maisha== Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa. Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’. Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’. ===Ndala=== Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja. Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo. Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha. Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu. Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa. ===Msaragambo=== Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa. Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya. Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao. Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao. Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka. Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji. ===Kiwili=== Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi. Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi. Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani. Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa. Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha. ==Vyakula vikuu vya Wapare== Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja. ==Mapacha kati ya Wapare== Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo. ==Watu mashuhuri wa Upare== Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]], [[vyombo vya habari]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja nyingine mbalimbali. Baadhi ya watu wake maarufu ni: *[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza *[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, awamu ya tano *[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania (au TPSF, Tanzania Private Sector Foundation) *[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]] *[[Mfumwa Singo]] *[[Eliewaha Eliya Mshana]], [[Askofu]] [[Walutheri|Mlutheri]] *[[Josephat Louis Lebulu]], [[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]] *[[Anne Kilango]], mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]] *Elifariji Solomon Kalage,mwanajeshi mstaafu wa Vita ya Kagera na aliwahi kuwa mkufunzi wa Chuo cha Jeshi (TMA) Monduli. *[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]] *[[Januari Msofe]], [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania *[[Herman Ambara]], [[mwanasheria]] Songoa *[[Mathayo David]], mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]] *[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]] *[[Mbazi Fikeni Senkoro]] alikuwa [[Daktari]] *[[Abrahamu Itunda]] alikuwa [[Mchungaji]] *[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo *[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]] *[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]] *[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] alikuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha *[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]] *[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]] *[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]] *[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]] *[[Nkondo Makengo Kanana]] wa [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]] *Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]] *[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]] *[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida *[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]] *[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]] *[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]] *Mchungaji [[Kadiva Ernest William]], Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]] *Profesa [[Joseph Semboja]], mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]] *Balozi [[Ombeni Sefue]], alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi *Profesa [[Gadi Kilonzo]], daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]] *Daktari [[Amani Yakobo Mgeni]], mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani [[WHO]] nchini Ethiopia *Profesa [[Rogasian Mahuna]], bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS *Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na Kamishina wa Tume ya Uchaguzi *Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]], Chuo Kikuu cha Dodoma *Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili *Profesa Leonard Paulo Shaidi, aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai *[[Clophas Flavian Idd]], mwandishi wa habari wa East Africa Television (EATV) na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro *Hasheem Ibwe, mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]] *Dr. Francis Daudi Mlacha, Katibu Mkuu Msaidizi, Idara ya Oganaizesheni, CCM Makao makuu, 2024 hadi sasa. *Balozi. Badru Juma Rajabu Mshana, Mwakilishi na balozi wa Vijana Umoja wa Mataifa (UN) 2018-2022, na mratibu wa miradi Restless Development Tanzania. *Erick Mtindi Charles, Mchambuzi wa mifumo ya kifedha, Wizara ya Fedha [[Jamii:Wapare]] [[Jamii:Wilaya ya Same]] [[Jamii:Historia ya Tanzania]] 77784od27panjbxo4fou39bdccyt05p Patrologia Graeca 0 66167 1572401 1268444 2026-06-13T14:41:36Z Riccardo Riccioni 452 1572401 wikitext text/x-wiki '''''Patrologia Graeca''''' (kwa kirefu: Patrologiae Cursus Completus, Series Graeca) ni mkusanyo wa maandishi ya [[Kigiriki]], hasa ya [[Mababu wa Kanisa]] uliotolewa na [[Migne|J. P. Migne]]. Unafuata kwa jumla tarehe, kuanzia maandishi ya kwanza ya [[Ukristo]] hadi mwaka [[1453]]. Una magombo 166: ;Kabla ya [[Mtaguso wa kwanza wa Nisea]] : PG 1: [[Klementi wa Roma]], : PG 2: Klementi wa Roma, ''[[Barua ya Barnaba]]'', ''[[Mchungaji (kitabu)|Mchungaji]]'' wa [[Herma]], ''[[Barua kwa Diogneto]]'', ''[[Wasia wa Mababu 12]]'' : PG 3-4: [[Pseudo-Dionisi]] ([[karne ya 5]] - [[karne ya 6]]), [[Maksimo Muungamadini]] ([[karne ya 7]]) ufafanuzi wa Pseudo-Dionisi, [[George Pachymeres]] ([[karne ya 14]]) ufafanuzi wa Pseudo-Dionisi : PG 5: [[Ignas wa Antiokia]], [[Polikarpo Mtakatifu|Polikarpo]], [[Melito wa Sardi]], [[Papias wa Hierapoli]], [[Apolonio wa Efeso]] n.k. : PG 6: [[Yustino mfiadini]], [[Tasyano]], [[Athenagora wa Athene]], [[Theofilo wa Antiokia]], [[Hermias mwanafalsafa]] : PG 7: [[Irenei]] : PG 8-9: [[Klemens wa Aleksandria]] : PG 10: [[Gregori Mtendamiujiza]], [[Papa Zefirini]], [[Sextus Julius Africanus]], [[Papa Urban I]], [[Hipoliti wa Roma]], [[Theognostus wa Aleksandria]], n.k. : PG 11-17: [[Origen]] : PG 18: [[Methodi wa Olympus]], [[Aleksanda wa Likopoli]], [[Petro wa Aleksandria]], [[Theodori wa Mopsuestia]], n.k. ;[[Karne ya 4]] : PG 19-24: [[Eusebius wa Kaisarea]] : PG 25-28: [[Atanasi wa Aleksandria]] : PG 29-32: [[Basili Mkuu]] : PG 33: [[Sirili wa Yerusalemu]], [[Apolinari wa Laodikea]], [[Diodoro wa Tarso]], [[Petro II wa Aleksandria]], [[Timoti wa Aleksandria]], [[Isaac Myahudi aliyeongoka]] : PG 34: [[Makari wa Misri]] na [[Makari wa Aleksandria]] : PG 35-37: [[Gregori wa Nazienzi]], [[Basili Mdogo]] wa Kaisarea ([[karne ya 10]]) : PG 38: Gregori wa Nazienzi, [[Sesari wa Nazianzo]] : PG 39: [[Didimo Kipofu]], [[Amfiloki wa Ikonio]], [[Nektario wa Konstantinopoli]] : PG 40: Mababu wa [[Misri]]: [[Antoni Abati]], [[Pakomi]], [[Serapioni wa Thmuis]], [[Isaya Abati]], [[Orsisius]], [[Theodori Abati]]. Wengine: [[Asteri wa Amaseia]], [[Nemesius]], [[Eusebius Sophronius Hieronymus]], [[Serapioni wa Antiokia]], [[Filo wa Karpasia]], [[Evagri wa Ponto]] : PG 41-42: [[Epifani wa Salamis]] : PG 43: Epifani, [[Nonnus]] wa Panopoli : PG 44-46: [[Gregori wa Nisa]] ;[[Karne ya 5]] : PG 47-64: [[Yohane Krisostomo]] : PG 65: [[Severian of Gabala]], [[Theophilus of Alexandria]], [[Palladius of Galatia|Palladius Bishop of Helenopolis]], [[Philostorgius]], [[Archbishop Atticus of Constantinople]], [[Proklo wa Konstantinopoli]], [[Flaviano wa Konstantinopoli]], [[Marcus Eremita]], [[Marcus Diadochus]], [[Marcus Diaconus]] : PG 66: [[Theodoro wa Mopsuestia]], [[Synesius]], [[Arseni Mkuu]] : PG 67: [[Socrates Scholasticus]] na [[Sozomenus]] : PG 68-76: [[Sirili wa Aleksandria]] : PG 77: Sirili wa Aleksandria, [[Theodoto wa Ankara]], Paulo wa Emesa, [[Acacius of Beroea]], [[John of Antioch]], Memno wa Efeso, [[Acasi wa Melitene]], [[Rabbula wa Edessa]], Firmus wa Kaesarea, [[Amphilochius of Sida]] : PG 78: [[Isidore of Pelusium]] : PG 79: [[Nilo wa Sinai]] : PG 80-84: [[Theodoretus of Cyrus]] : PG 85: [[Basil of Seleucia]], [[Euthalius|Euthalius Deacon of Alexandria]], John of [[Karpathos]], [[Aeneas of Gaza]], [[Zacharias Rhetor]] Bishop of [[Mytilene]], [[Gelasius of Cyzicus]], [[Theotimos|Theotimus]], [[Ammonius Saccas|Ammonius]], Andreas Bishop of [[Samosata]], [[Gennadius of Constantinople]], Candidus Isaurus, [[Antipater of Bostra]], Dalmatius Bishop of [[Cyzicus]], Timothy Bishop of [[Berytus]], Eustathius Bishop of Berytus. ;[[Karne ya 6]] : PG 86a: Presbyter Timothy of Constantinople, [[Joannes Maxentius]], [[Theodorus Lector]], Procopius Deacon of Tyre, Theodorus Bishop of Scythopolis, Presbyter Timothy of Jerusalem, [[Pope Theodosius I of Alexandria|Theodosius I of Alexandria]], [[Eusebius of Alexandria]], [[Eusebius of Emesa]], Gregentius of [[Zafar, Yemen|Zafar]], [[Patriarch Epiphanius of Constantinople]], [[Isaka wa Ninawi]], [[Barsanufi wa Gaza]], Eustathius monk, Kaisari [[Justinian]], [[Agapetus (deacon)|Agapetus the Deacon]], [[Leontius (writer)|Leontius Byzantinus]] : PG 86b: Leontius Byzantinus (continuation), Patriarch [[Ephraim of Antioch]], [[Paulus Silentiarius]], [[Patriarch Eutychius of Constantinople]], [[Evagrius Scholasticus]], [[Eulogius of Alexandria]], [[Simeoni wa Mnarani Kijana]], Patriarch Zacharias of Jerusalem, [[Modesti wa Yerusalemu]], Anonymous on the [[Siege of Jerusalem (614)|siege of Jerusalem by the Persians]], Jobius, Erechthius Bishop of [[Antiokia wa Pisidia]], Peter Bishop of Laodicea. ;[[Karne ya 7]] : PG 87a-87b: [[Procopius of Gaza]] : PG 87c: Procopius of Gaza, [[Joannes Moschus]], [[Sofroni wa Yerusalemu]], Alexander monk : PG 88: [[Cosmas Indicopleustes]], Constantine the Deacon, [[Yohane Climacus]], [[Agathias|Agathias Myrinæ]], [[Gregory of Antioch|Gregory Bishop of Antioch]], [[Patriarch John IV of Constantinople|Joannes Jejunator (Patriarch John IV of Constantinople)]], [[Dorotheo wa Gaza]] : PG 89: [[Anastasi wa Sinai]], [[Anastasius II of Antioch|Anastasius of Antioch]], Anastasius Abbot of Euthymius, Anastasius IV Patriarch of Antioch, Antiochus of Sabe : PG 90: Maximus the Abbot : PG 91: [[Maksimo Muungamadini]], Thalassius the Abbot, Theodore of [[Raithu]] : PG 92: [[Paschal Chronicle]], [[George Pisides]] : PG 93: Olympiodorus Deacon of Alexandria, [[Hesychius of Sinai|Hesychius]], [[Leontios of Neapolis|Leontius]] Bishop of [[Neapolis in Cyprus]], Leontius of Damascus ;[[Karne ya 8]] : PG 94-95: [[John of Damascus]] : PG 96: John of Damascus, John of Nicæa, [[Patriarch John VI of Constantinople]], Joannes of Eubœa : PG 97: [[John Malalas]] (6th century), [[Andrew of Crete]], Elias of Crete and [[Theodore Abucara]] : PG 98: [[Patriarch Germanus I of Constantinople]], [[Cosmas of Maiuma|Cosmas of Jerusalem]], St. Gregory II Bishop of Agrigentum, Anonymus Becuccianus, Pantaleon Deacon of Constantinople, Adrian monk, Epiphanius Deacon of Catania, Pachomius monk, Philotheus monk, [[Patriarch Tarasios of Constantinople]] : PG 99: [[Theodoro wa Studion]] ;[[Karne ya 9]] : PG 100: [[Niseforo wa Konstantinopoli]], Stephen Deacon of Constantinople, [[Gregori wa Dekapoli]], [[Patriarch Christopher I of Alexandria]], [[Ecumenical Patriarch Methodios I of Constantinople|Patriarch Methodios I of Constantinople]] : PG 101-103: [[Fosyo]] : PG 104: Fosyo, [[Petrus Siculus]], [[Petro wa Argo]], [[Bartholomew of Edessa]] : PG 105: Nicetas ('David') of Paphlagonia, Nicetas Byzantius, [[Theognostus the Grammarian|Theognostus monk]], Anonymous, [[Yosefu Mtungatenzi]] ;[[Karne ya 10]] : PG 106: Joseppus, Nicephorus the Philosopher, [[Andreas of Caesarea|Andreas of Caesarea (Cappadocia)]], [[Arethas of Caesarea]] in Cappadocia, Joannes Geometres, [[Cosmas Vestitor]], Leo the Patrician, Athanasius Bishop of Corinth, anonymous small Greek works : PG 107: [[Leo VI the Wise|Emperor Leo VI the Wise]] : PG 108: [[Theofane Muungamadini]], Unknown Author, [[Leo Grammaticus]], [[Anastasius Bibliothecarius|Anastasius the Historian and Church Librarian]] : PG 109: Scriptores post Theophanem ([[Theophanes Continuatus]]) (edition of [[Combefisius]]) : PG 110: [[George Hamartolus|Georgius Monachus]] : PG 111: [[Nicholas Mystikos|Nicholas Patriarch of Constantinople]], Basil Bishop of Neai Patrai, Basil (the Minor) Bishop of Caesarea, Gregory Presbyter of Caesarea, [[Joseph Genesius]], [[Moses son of Cepha]] in Syria, Theodorus Daphnopata, Nicephorus Presbyter of Constantinople, [[Patriarch Eutychius of Alexandria]], [[George Hamartolus|Georgius Monachus]] : PG 112: [[Constantine Porphyrogenitus]] : PG 113: Constantine Porphyrogenitus (''De Thematibus Orientis et Occidentis Libri Duo '', ''Liber de Adminstrando Imperio '', ''Delectus Legum Compendiarius Leonis et Constantini '', ''Constantini Porphyrogeniti Novelle Constitutiones '', ''Excerpta de Legationibus''), [[Saint Nikon the Metanoeite|Nicon]] monk in Crete, Theodosius the Deacon : PG 114-116: [[Simeoni Metafraste]] : PG 117: [[Basil II|Emperor Basil II]], [[Nikephoros II|Emperor Nikephoros II]], [[Leo the Deacon|Leon Diaconus]], [[Hyppolitus of Thebes]], Joannes Georgides monk, Ignatius the Deacon, Nilus the Eparch, Christophorous Protoasecretis, Michael Hamartolus, Anonymus, [[Suda|Suidas]] : PG 118: [[Œcumenius|Oecumenius Bishop of Trikka]] : PG 119: Oecumenius Bishop of Trikka, various writers (patriarchs, bishops, other) on Jus Canonicum Græco-Romanum ;[[Karne ya 11]] : PG 120: Anonymous on the Life of [[Nilo Kijana]], Theodorus Bishop of Iconium, Leo Presbyter, Leo Grammaticus, Joannes Presbyter, Epiphanius of Jerusalem monk, [[Patriarch Alexius of Constantinople]], Demetrius Syncellus Bishop of Cyzicus, Nicetas Chartophylax of Nicaea, Patriarch [[Michael Cerularius]] of Constantinople, Samonas Bishop of Gaza, [[Leo of Ohrid]] Archbishop of Bulgaria, [[Niketas Stethatos|Nicetas Pectoratus (Stethatos)]] presbyter and monk of [[Monastery of Stoudios]], [[John Mauropous|Joannes Bishop of Euchaita]], [[Patriarch John VIII of Constantinople|Patriarch Joannes Xiphilinus of Constantinople]], Joannes Deacon of Constantinople, [[Simeoni Mwanateolojia Mpya]] : PG 121-122: [[Georgius Cedrenus]] : PG 123-126: [[Theophylactus Bulgarias]] ;[[Karne ya 12]] : ''(vol. 127 really spans 11th to 12th c.)'' : PG 127: [[Nikephoros Bryennios the Younger|Nicephorus Bryennius]], [[Constantinus Manasses]], [[Patriarch Nicholas III of Constantinople]], Luce VII Abbot of [[Grottaferrata]], Nicon monk in [[Raithu]], Anastasius Archbishop of Caesarea, Nicetas Serronius, Jacobus monk in Coccinobaphi, Philippus Solitarius, Job monk, [[Grossolano|Petrus Chrysolanus Mediolanensis Archiepiscopus]], [[Irene Doukaina|Irene Augusta]], [[Nikephoros III|Emperor Nicephoros III Botaneiates]], Nicetas of Side : PG 128-130: [[Euthymius Zigabenus]] : PG 131: Euthymius Zigabenus, [[Anna Komnene|Anna Comnena Porphyrogenita Cæsarissa]] : PG 132: [[Theophanes Kerameus]], Nilus Doxapatris, [[John the Oxite|John Bishop of Antioch]], [[John II Komnenos|Emperor John II Komnenos]], Isaac Catholicus of [[Armenia Magna|Magnæ Armeniæ]] : PG 133: Arsenius monk in [[Philotheou monastery]], [[Alexius Aristenus]], [[Luke Chrysoberges|Patriarch Lucas Chrysoberges of Constantinople]], Theorianus Philosophus, [[Joannes Cinnamus]], [[Manuel Comnenus]], [[Alexius I Comnenus|Emperor Alexius I Comnenus]], [[Andronicus I Comnenus|Emperor Andronicus Comnenus]], [[Theodorus Prodromus]] : PG 134: [[Joannes Zonaras]] : PG 135: Joannes Zonaras, [[Patriarch George II of Constantinople|Patriarch Georgius Xiphilinus of Constantinople]], [[Isaac II Angelos|Emperor Isaac II Angelos]], Neophytus Presbyter, Joannes Chilas Metropolite of Ephesus, Nicolaus Metropolite of [[Methoni, Messenia|Methone]], [[Eustathius of Thessalonica]] : PG 136: Eustathius of Thessalonica, [[Antonius Melissa]] ;[[Karne ya 13]] : PG 137-138: [[Theodorus Balsamon]] : PG 139: [[Isidore of Thessalonica|Isidorus Metropolite of Thessalonica]], Nicetas of Maroneia Metropolite of Thessalonica, Joannes Bishop of Citrus ([[Pydna]]), [[Patriarch Mark III of Alexandria|Patriarch Marcus of Alexandria]], Joel the Chonographer, Nicetas Choniates : PG 140: [[Nicetas Choniates]], Anonymus Greek, [[Michael Acominatus]] Archbishop of Athens, Theodorus Bishop of Alania, Theodorus bishop of (S)Andide, Manuel Magnus Rhetor of Constantinople, Pantaleo Deacon of Constantinople, [[Patriarch Manuel I of Constantinople|Manuel Charitopulus]], [[Patriarch Germanus II of Constantinople]], [[Michael Chumnus]] Metropolite of Thessalonica, [[Theodore I Laskaris|Emperor Theodore I Laskaris]], Methodius monk, Patriarch Nicephorus II of Constantinople, [[Constantine Acropolita]], Arsenius Autorianus ([[Patriarch Arsenius I of Constantinople]]), [[Georgius Acropolita]], [[Nicephorus Chumnus]], [[Pope Alexander IV|Alexander IV]], [[Sixtus IV]] : PG 141: [[Joannes Veccus]], Constantine Meliteniotes, [[Georgius Metochita]] : PG 142: [[Patriarch Gregory II of Constantinople|Georgius Cyprus]], [[Athanasius Patriarch of Constantinople]], [[Nicephorus Blemmida]] ;[[Karne ya 14]] : PG 143: Ephraemius Chronographus, Theoleptus Metropolite of [[Alaşehir|Philadelphia]], [[George Pachymeres]] : PG 144: George Pachymeres, [[Theodore Metochites]], [[Matthew Blastares]] : PG 145: Matthew Blastares, Theodulus monk alias [[Thomas Magister]], [[Nicephorus Callistus Xanthopoulos]] : PG 146: Nicephorus Callistus Xanthopoulos : PG 147: [[Nicephorus Callistus Xanthopoulos]], Callistus and Ignatius Xanthopuli monks, [[Patriarch Callistus I of Constantinople|Patriarch Callistus of Constantinople]], Callistus Telicoudes, Callistus Cataphugiota, Nicephorus monk, [[Maximus Planudes]] : PG 148: [[Nicephorus Gregoras]] : PG 149: Nicephorus Gregoras, [[Nilus Cabasilas]] Metropolite of Thessalonica, [[Theodorus of Melitene]] Magnæ Ecclesiæ [[Sakellarios]], Georgius Lapitha the Cypriot : PG 150: [[Konstantinos Armenopoulos|Constantine Harmenopulus]], Macarius Chrysocephalus Metropolite of Philadelphia, [[Patriarch John XIV of Constantinople|Joannes Caleca]], Theophanes Archbishop of Nicæa, [[Nicholas Cabasilas|Nicolaus Cabasilas]], [[Gregorius Palamas]] : PG 151: Gregorius Palamas, [[Gregorius Acindynus]], [[Barlaam of Seminara]] (Calabria) : PG 152: [[Manuel Calecas]], Joannes Cyparissiotes, [[Matthew Kantakouzenos|Emperor Matthew Kantakouzenos]], Synodical and Patriarchical canons and legislations of various Patriarchs of Constantinople ([[Patriarch John XIII of Constantinople|Joannes Glycys (or Glycas)]], [[Patriarch Isaias I of Constantinople|Isaias]], [[Patriarch John XIV of Constantinople|Joannes Caleca]], [[Patriarch Isidore I of Constantinople|Isidorus]], [[Patriarch Callistus I of Constantinople|Callistus]], [[Patriarch Philotheus I of Constantinople|Philotheus]]) : PG 153: [[John Cantacuzenus]] : PG 154: John Cantacuzenus, Philotheus Archbishop of [[Selymbria]], [[Demetrius Cydones]], Maximus Chrysoberges monk ;[[Karne ya 15]] : PG 155: Symeon Archbishop of Thessalonica : PG 156: [[Manuel Chrysoloras]], [[John Cananus|Joannes Cananus]], [[Manuel II Palaeologus]], [[John Anagnostes|Joannes Anagnosta]], [[George Sphrantzes]] : PG 157: [[George Codinus|Georgius Codinus Curopalates]], [[Michael Doukas (historian)|Ducas]] the historian : PG 158: [[Michael Glycas]], Joannes Deacon of Adrianople, Isaias of Cyprus, Hilarion monk, [[John Argyropoulos]], [[Patriarch Joseph II of Constantinople]], Job monk, Bartholomæus de Jano Ord. Minorum, Nicolaus Barbarus Patricius Venetus, Anonymus on the life of [[Mehmed II]] : PG 159: [[Laonicus Chalcondyles]] of Athens, Leonardus Chiensis Archbishop of Mitylene, [[Isidore of Thessalonica]], Josephus Bishop of [[Methone]] : PG 160: [[Patriarch Gregory III of Constantinople|Patriarch Gregory III Mammas of Constantinople]], [[Patriarch Gennadios II of Constantinople]], [[Georgius Gemistus Plethon]], Matthæus Camariota, [[Mark of Ephesus|Marcus Eugenicus Metropolite of Ephesus]], [[pope Nicholas V]] : PG 161: [[Bessarion]], [[George of Trebizond]], [[Constantinus Lascaris]], [[Theodorus Gaza]], [[Andronicus Callistus]] ==Tazama pia== * [[Patrologia Latina]] – maandishi ya [[Kilatini]] (magombo 221). * [[Patrologia Orientalis]], inayojumlisha maandishi ya [[Kiaramu]], [[Kiarmenia]] na [[Kiarabu]]. * [[Mababu wa Kanisa]] ==Viungo vya nje== * [http://www.dcoi.org/25_20_30-_Volumina.html Indexes of ''PG'' volumes reporting the columns' numbers and scans] {{Wayback|url=http://www.dcoi.org/25_20_30-_Volumina.html |date=20120426054608 }} * [http://graeca.patristica.net Complete catalog of downloadable PDFs of ''PG'' volumes] – organized by volume (Google Books) * [http://classicsindex.wikispaces.com/migne_PG Catalog of ''PG'' volumes in Google Books and elsewhere] {{Wayback|url=http://classicsindex.wikispaces.com/migne_PG |date=20100603022741 }}, by Mischa Hooker [[Category:Mababu wa Kanisa]] [[Category:Fasihi ya Kigiriki]] 6o79zbjqfpc2pzgbltpiythnmdwg1vg 584 KK 0 70518 1572560 921466 2026-06-14T05:10:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572560 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|584|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''584 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 6 KK]] e7m6l8msa00umixf51y9mxbi1xk1yel 583 KK 0 70519 1572615 921467 2026-06-14T05:19:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572615 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|583|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''583 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 6 KK]] pm5c0iwrkkxvpp6ywfg3zly0apzd8jr 519 KK 0 70533 1572686 921486 2026-06-14T05:31:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572686 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|519|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''519 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 6 KK]] qmigox3kq1lfr7fokfunj7y81z0cg0n 521 KK 0 70535 1572762 921488 2026-06-14T05:43:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572762 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|521|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''521 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 6 KK]] 00sy0i5vyapnvvdahadtqvhmut4pwwm 529 KK 0 70536 1572856 921489 2026-06-14T05:58:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572856 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|529|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''529 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 6 KK]] lrwjj97hiem4oj6xk1c7fqkcv9cuonc 690 KK 0 72713 1572453 934172 2026-06-14T04:52:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572453 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|690|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''690 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 7 KK]] tlcd28jj00625x18dpsj1wdenv153r0 Batizio 0 72862 1572469 934560 2026-06-14T04:55:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572469 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} [[File:Lateran Baptisterium.jpg|thumb|right|Batizio karibu na [[kanisa kuu la Roma]] huko [[Laterano]].]] '''Batizio''' ni mahali pa kuadhimishia [[sakramenti]] ya [[ubatizo]] katika [[dini]] ya [[Ukristo]]. Panaweza kupatikana ndani ya [[kanisa]] au karibu nalo. [[Uzuri]] wake unaonyesha jinsi waamini walivyojali hatua hiyo ya [[maisha ya kiroho]]. {{mbegu-Ukristo}} [[Jamii:Ukristo]] [[Jamii:Ubatizo]] [[Jamii:Usanifu majengo]] jt704mmwf1w3lu48g9u40f77hly0bij Sala ya mchana 0 77421 1572823 951657 2026-06-14T05:53:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572823 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''Sala ya mchana''' katika "[[Liturujia ya vipindi]]" ni sala rasmi iliyopangwa kwa [[saa]] za [[mchana]] kati ya [[Masifu ya asubuhi]] na [[Masifu ya jioni]]. Imegawanyika katika vipindi vitatu vifupi: [[Kabla ya adhuhuri]], [[Adhuhuri]] na [[Baada ya adhuhuri]]. Vipindi hivyo vinatokana na [[desturi]] ya [[Uyahudi]] iliyoendelea kufuatwa na [[Wakristo]], inavyoshuhudiwa na [[kitabu]] cha [[Matendo ya Mitume]]. Kati ya [[utangulizi]] na [[baraka]] ya mwisho, sala hiyo inaundwa na [[utenzi]], [[Zaburi]] tatu au vipande vitatu vya Zaburi moja ndefu, [[somo]] fupi kutoka vitabu vingine vya [[Biblia ya Kikristo]], kiitikizano kifupi na sala ya kumalizia. {{mbegu-Ukristo}} [[Jamii:Liturujia]] [[Jamii:Sala]] bs8ve3pujkfo8coe6sn8igivnu5grm9 Wasani 0 78831 1572402 1572230 2026-06-13T14:47:52Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1572402 wikitext text/x-wiki [[Image:San tribesman.jpg|200px|thumb|right|[[Mwanamume]] wa jamii ya Wasani.]] [[File:Samuel Daniell - Kora-Khokhoi preparing to move - 1805.jpg|thumb|[[Wakushi]] waliwarithisha Wasani weupe wa [[ngozi]] yao<ref>Pontus Skoglund et al. [https://www.cell.com/cell/pdf/S0092-8674(17)31008-5.pdf "Reconstructing Prehistoric African Population Structure"], ''Cell'', 2017</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=https://meeting.physanth.org/program/2017/session33/henn-2017-rapid-evolution-of-lighter-skin-pigmentation-in-southern-africa.html |title=Excerpt from ''The 86th Annual Meeting of the American Association of Physical Anthropologists (2017)'' |accessdate=2020-05-04 |archive-date=2019-07-29 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190729043655/https://meeting.physanth.org/program/2017/session33/henn-2017-rapid-evolution-of-lighter-skin-pigmentation-in-southern-africa.html |url-status=dead }}</ref>.]] '''Wasani''' (au '''Wakhoisan''' kutoka [[Kiingereza]]: ''Khoisan'' /ˈkɔɪsɑːn/, au ''Khoe-Sān'', tamka [kxʰoesaːn], kulingana na [[othografia]] ya kisasa ya Khoekhoegowab) ni [[kundi]] la [[Kabila|makabila]] ya [[Afrika Mashariki]] na [[Kusini mwa Afrika]] ambayo ndio wakazi [[asili]] wa maeneo hayo, na ambayo yanachanganya [[sura]] na [[lugha]] kwa kiasi kikubwa, tofauti na [[Wabantu]] ambao siku hizi ndio wakazi wake walio wengi.<ref>Barnard, Alan (1992) ''Hunters and Herders of Southern Africa: A Comparative Ethnography of the Khoisan Peoples''. New York; Cambridge: Cambridge University Press, 1992.</ref> Wasani wengi ndio wazao wa moja kwa moja wa mtawanyiko wa mapema sana wa [[Binadamu|wanadamu]] wa kisasa hadi Kusini mwa Afrika kabla ya miaka 150,000 iliyopita ambapo walifika katika [[Zama za Mawe|Zama za Mwanzo za Mawe]].<ref> Their total numbers are estimated at roughly 300,000 Khoikhoi and 90,000 San: 200k Nama people (2010): Brenzinger, Matthias (2011) "The twelve modern Khoisan languages." In Witzlack-Makarevich & Ernszt (eds.), Khoisan languages and linguistics: proceedings of the 3rd International Symposium, Riezlern / Kleinwalsertal (Research in Khoisan Studies 29). 100k Damara people (1996): James Stuart Olson, « Damara » in The Peoples of Africa: An Ethnohistorical Dictionary, Greenwood Publishing Group, 1996, p. 137. 50-60k San people in Botswana (2010): Anaya, James (2 June 2010). Addendum – The situation of indigenous peoples in Botswana (PDF) (Report). United Nations Human Rights Council. A/HRC/15/37/Add.2.</ref> Wengi wao zaidi walimezwa na makabila ya Kibantu, kwa mfano [[Watswana]] na [[Waxhosa]]. Nchini [[Tanzania]], waliobaki wa jamii hiyo wanaitwa [[Wasandawe]]. Huko Kusini mwa Afrika wanaishi hasa [[Namibia]] (ambapo Wakhoekhoe wa makabila ya [[Wanama]] na [[Wadamara]] ni makabila yaliyoenea), [[Botswana]] na [[Afrika Kusini]], lakini pia [[Angola]], [[Zambia]], [[Zimbabwe]], [[Lesotho]]. Baadhi ("San", kwa [[Kiingereza]] ''Bushmen''; neno San linatokana na lugha ya Khoekhoe likimaanisha "wale wanaookota vitu kutoka ardhini", yaani ambao hawamiliki mifugo. Ingawa kuna kosmologia na lugha zinazohusishwa na mtindo huu wa [[maisha]], neno hili ni kiwakilishi cha kiuchumi badala ya kitamaduni au kikabila) wamedumisha zaidi taratibu za [[utamaduni]] wao kama [[wawindaji-wakusanyaji]], baadhi ("Khoi", yaani "watu", kwa [[Kiingereza]] ''Hottentots'') wameiga [[ufugaji]] wa makabila ya [[Kikushi]] na ya [[Kibantu]] yaliyovamia maeneo yao si zaidi ya miaka 3,000 iliyopita, takriban kati ya miaka 1,500 na 2,000 iliyopita. Ma[[chotara]] wengi wa leo Kusini mwa Afrika wana [[asili]] ya [[baba]] [[Mzungu]] na [[mama]] Khoi. Lugha zao leo zimegawanyika katika angalau familia tatu za [[lugha]] tofauti na zisizohusiana: Khoe-Kwadi, Tuu na Kxʼa. ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * Barnard, Alan (2004) Mutual Aid and the Foraging Mode of Thought: Re-reading Kropotkin on the Khoisan. ''[[Social Evolution & History]]'' 3/1: 3–21. * Coon, Carleton: The Living Races of Man (1965) * {{Rejea kitabu |last=Diamond |first=Jared |authorlink=Jared Diamond |year=1999 |title=[[Guns, Germs, and Steel]] |location=New York |publisher=[[W.W. Norton & Company]] |isbn=0-393-31755-2 |postscript=<!-- Bot inserted parameter. Either remove it; or change its value to "." for the cite to end in a ".", as necessary. -->{{inconsistent citations}}}}. * Hogan, C. Michael (2008) [http://www.megalithic.co.uk/article.php?sid=22373&mode=&order=0 "Makgadikgadi"] at Burnham, A. (editor) ''The Megalithic Portal'' * [[Richard Borshay Lee|Lee, Richard B.]] (1979), ''The !Kung San: Men, Women, and Work in a Foraging Society.'' Cambridge: Cambridge University Press. * Smith, Andrew; Malherbe, Candy; Guenther, Mat and Berens, Penny (2000), ''Bushmen of Southern Africa: Foraging Society in Transition.'' Athens: Ohio University Press. ISBN 0-8214-1341-4 * [[Elizabeth Marshall Thomas|Thomas, Elizabeth Marshall]] (1958, 1989) ''The Harmless People.'' * [[Elizabeth Marshall Thomas|Thomas, Elizabeth Marshall]] (2006). ''The Old Way: A Story of the First People.'' ==Viungo vya nje== {{commonscat}} * [http://khoisan.org/ The Khoisan] * [http://www.san.org.za/ Home of the Southern African San] {{Wayback|url=http://www.san.org.za/ |date=20210126091535 }} * [http://www.africanlanguages.org/khoesan.html "Khoesan languages"] {{Wayback|url=http://www.africanlanguages.org/khoesan.html |date=20081210183349 }} from ''Web Resources for African Languages'' * [http://uk.news.yahoo.com/africas-khoe-san-were-first-split-other-humans-195425010.html Africa's Khoe-San were first to split from other humans] * [http://www.wired.co.uk/news/archive/2012-09/24/earliest-human-genetic-split Khoisan people represent 'earliest' branch off human family tree] {{Wayback|url=http://www.wired.co.uk/news/archive/2012-09/24/earliest-human-genetic-split |date=20150924015015 }}, By Ian Steadman, 24 September 2012. ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-utamaduni}} [[Jamii:Makabila ya Afrika Kusini]] [[Jamii:Makabila ya Botswana]] [[Jamii:Makabila ya Namibia]] [[Jamii:Makabila ya Tanzania]] apryy228ear78dhaxc4tvgpnj76dqnk 711 KK 0 79488 1572533 959099 2026-06-14T05:05:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572533 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|711|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''711 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == [[Category:Karne ya 8 KK]] d1satwot32hhupgty6z4e47ytv93k8t 731 KK 0 79499 1572595 959110 2026-06-14T05:16:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572595 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|731|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''731 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == [[Category:Karne ya 8 KK]] bmskqv8z4fufk1sz2kqvu1kse0l4cs2 757 KK 0 79724 1572693 960067 2026-06-14T05:32:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572693 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|757|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''757 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 8 KK]] hvawokrjyar6d2vkvjycdf06siit1yg 885 KK 0 79741 1572651 960155 2026-06-14T05:25:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572651 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|885|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''885 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == [[Category:Karne ya 9 KK]] luuck7c0mav0icdt8im5dunw0pcfaco 883 KK 0 79742 1572735 960156 2026-06-14T05:39:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572735 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|883|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''883 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == [[Category:Karne ya 9 KK]] 88x3384smn890o0zklwyfn0q7adea73 Miaka ya 740 KK 0 79862 1572705 960376 2026-06-14T05:34:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572705 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MuongoKKMakala|75}} Makala hii inahusu [[muongo]] ya [[mwaka|miaka]] [[749 KK|749]] - [[740 KK|740]] [[Kabla ya Kristo|KK]]. == Matukio == == Utamaduni == == Sayansi == == Watu == == Viungo vya nje == {{Commonscat|740s BC}} {{Mbegu-historia}} 65bll7nn31ycnyjwqu2jmjkfc8lcav5 Miaka ya 720 KK 0 79863 1572785 960377 2026-06-14T05:47:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572785 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MuongoKKMakala|73}} Makala hii inahusu [[muongo]] ya [[mwaka|miaka]] [[729 KK|729]] - [[720 KK|720]] [[Kabla ya Kristo|KK]]. == Matukio == == Utamaduni == == Sayansi == == Watu == == Viungo vya nje == {{Commonscat|720s BC}} {{Mbegu-historia}} sxyxfcqj8ams3kfbk1ipou304qqzzjh 783 KK 0 79873 1572770 960388 2026-06-14T05:44:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572770 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|783|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''783 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 8 KK]] 7i2el013l440n24lndrbh76r93xv7ie 957 KK 0 79966 1572470 960493 2026-06-14T04:55:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572470 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|957|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''957 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 10 KK]] 65n3vch6elk90u6x8v7orq1o6soig24 956 KK 0 79967 1572519 960494 2026-06-14T05:03:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572519 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|956|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''956 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 10 KK]] icfijk1sijacgezh4mfvl3ak375yio6 965 KK 0 79980 1572582 960509 2026-06-14T05:13:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572582 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|965|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''965 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 10 KK]] f25pcmyky3w38t27rfpw4mxljjs8qbo 1010 KK 0 80325 1572514 961244 2026-06-14T05:02:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572514 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1010|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1010 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 11 KK]] khfap1gojoxilcxm24vh4yz4gf3ry9n 1009 KK 0 80326 1572575 961245 2026-06-14T05:12:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572575 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1009|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1009 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 11 KK]] ljl6y64t1u2b5ymnd3wdjpio7ulad93 1008 KK 0 80327 1572633 961246 2026-06-14T05:22:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572633 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1008|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1008 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 11 KK]] rg6819vjek4y25ar9z62ctp3as0edfp 1000 KK 0 80338 1572712 961257 2026-06-14T05:35:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572712 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1000|KK}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1000 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 11 KK]] iinahpx5xcnw2ofslsai64jgeev346l 1107 KK 0 80395 1572463 961318 2026-06-14T04:54:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572463 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1107}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1107 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 12 KK]] 06u4bfno9rvyr1i8ukp94pmmjmrl0c6 1273 KK 0 80517 1572713 961629 2026-06-14T05:35:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572713 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1273}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1273 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 13 KK]] 1ybunewgbxxurk55nbv2g52dtwmak78 1220 KK 0 80518 1572792 961630 2026-06-14T05:48:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572792 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1220}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1220 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 13 KK]] ohxjpettwsr7uhb85y87xmgzepc1png 1268 KK 0 81261 1572888 965426 2026-06-14T06:03:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572888 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1268}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1268 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 13 KK]] h4yyfdvyjmhrl39a0di0ffhqxl3f8oe 1339 KK 0 81720 1572467 968149 2026-06-14T04:54:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572467 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1339}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1339 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 14 KK]] 642oz96vft0qcylbmmq8zr65814mm7g 1320 KK 0 81721 1572516 968150 2026-06-14T05:02:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572516 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1320}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1320 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 14 KK]] e9ijk0y458piu6zr5pbjdgav0x6qtmr 1321 KK 0 81722 1572578 968151 2026-06-14T05:13:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572578 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1321}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1321 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 14 KK]] b43fh12ql7pmjkzbqxyhvjhn2bzkorm 1322 KK 0 81723 1572637 968153 2026-06-14T05:23:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572637 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1322}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1322 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 14 KK]] n9nzijim906w3v0xbf6gwidgiib3ard 1323 KK 0 81724 1572716 968154 2026-06-14T05:36:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572716 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1323}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1323 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 14 KK]] 7qz2pe50c4gt2lhlnerh7tvzhebbe1y 1485 KK 0 81765 1572893 968215 2026-06-14T06:04:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572893 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1485}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1485 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 15 KK]] biucpte9w94nnsqp7glmxjmelfwx633 1509 KK 0 82032 1572472 968627 2026-06-14T04:55:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572472 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1509}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1509 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 16 KK]] oia8djlaf4tr5pym5ovo9p5jw5q1bqy 1517 KK 0 82090 1572523 968703 2026-06-14T05:04:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572523 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1517}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1517 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 16 KK]] 4kgvcm90ogjvldrbytjg2mtsy21v91o 1655 KK 0 82160 1572728 968787 2026-06-14T05:38:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572728 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1655}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1655 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 17 KK]] 8v9n1uid07eexxq12xnmrrktnfjm5b9 1640 KK 0 82166 1572809 968795 2026-06-14T05:51:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572809 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1640}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1640 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 17 KK]] i1oyev2paqu8mdq7krtcsa7vug3uniy 1797 KK 0 82293 1572480 969105 2026-06-14T04:56:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572480 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1797}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1797 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] 9cauafgu89tsk1v6c3n4yfa11pfktxm 1771 KK 0 82307 1572532 969121 2026-06-14T05:05:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572532 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1771}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1771 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] ae0dahzv72wt6zs6eid19tjp6o1ie0g 1782 KK 0 82310 1572594 969125 2026-06-14T05:15:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572594 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1782}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1782 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] mrna6x4a492z98sxbczogfqbhpkrjbs 1722 KK 0 82311 1572650 969126 2026-06-14T05:25:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572650 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1722}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1722 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] fz1mutgyz8qw8bq9sg2kzu252ed6bmk 1723 KK 0 82312 1572733 969127 2026-06-14T05:38:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572733 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1723}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1723 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] k9vfzfi4y4wszzozxfccstsqoxc2hhz 1724 KK 0 82313 1572815 969128 2026-06-14T05:52:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572815 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1724}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1724 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] 3920npycaagpuelzj77ztet7m20hc90 1789 KK 0 82326 1572912 969141 2026-06-14T06:07:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572912 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1789}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1789 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 18 KK]] mjeg7971e45vewbv691llg6n7p5n509 1885 KK 0 82459 1572485 969491 2026-06-14T04:57:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572485 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1885}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1885 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 19 KK]] 1bhix5jgomg7yjvahvcvq3plxk2tnof 1886 KK 0 82460 1572536 969492 2026-06-14T05:06:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572536 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|1886}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1886 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 19 KK]] cg39953qrbg9wgjlth72qis581oqqpp 2093 0 84735 1572521 980906 2026-06-14T05:03:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572521 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Mwaka|2093}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2093 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} == Waliofariki == {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 21]] [[Jamii:2093|*]] tky695qsk5aj289dcmxjs932o6j6qdq 2094 0 84789 1572584 981080 2026-06-14T05:14:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572584 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Mwaka|2094}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2094 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} == Waliofariki == {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 21]] [[Jamii:2094|*]] tempg3ckjvgr33f9qx29gk25er8zvrv 2095 0 84790 1572642 981081 2026-06-14T05:23:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572642 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Mwaka|2095}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2095 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} == Waliofariki == {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 21]] [[Jamii:2095|*]] 9h6bhlyodi60br77mo3bhah3e6b5hhb 2096 0 84791 1572720 981082 2026-06-14T05:36:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572720 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Mwaka|2096}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2096 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} == Waliofariki == {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 21]] [[Jamii:2096|*]] kizig7h6a0ek97s16nibkgwkh2wckga 2088 0 84807 1572802 981103 2026-06-14T05:50:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572802 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Mwaka|2088}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2088 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} == Waliofariki == {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 21]] [[Jamii:2088|*]] 6jn4i24pi6dqa71rcrithg3xdir1gbe 2072 0 84814 1572901 981115 2026-06-14T06:06:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572901 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Mwaka|2072}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2072 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). == Matukio == == Waliozaliwa == {{Kalenda za Dunia}} == Waliofariki == {{commonscat}} [[Jamii:Karne ya 21]] [[Jamii:2072|*]] flxqyl2r05bp0i4zoi091p6hrobrktb Amy Lowell 0 87256 1572777 987173 2026-06-14T05:46:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572777 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} [[File:Houghton_MS_Lowell_62_(5)_-_Bachrach.jpg|right|thumb|Amy Lowell, takriban 1916]] '''Amy Lawrence Lowell''' ([[9 Februari]] [[1874]] &ndash; [[12 Mei]] [[1925]]) alikuwa mshairi wa kike kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 1926 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]''', yaani baada ya kifo chake tu. {{Mbegu-mwandishi}} {{DEFAULTSORT:Lowell, Amy}} [[Category:Waliozaliwa 1874]] [[Category:Waliofariki 1925]] [[Category:Washairi wa Marekani]] [[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]] 8xl0vuknohnfvaewazfnjhws87r3yei Richard Russo 0 88893 1572694 993859 2026-06-14T05:32:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572694 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} [[File:Richard_Russo.jpg|right|thumb|Richard Russo mnamo 2008]] '''Richard Russo''' (amezaliwa [[15 Julai]] [[1949]]) ni mwandishi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa [[2002]], alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]]''' kwa [[riwaya]] yake ''Empire Falls''. {{DEFAULTSORT:Russo, Richard}} [[Category:Waliozaliwa 1949]] [[Category:Watu walio hai]] [[Category:Waandishi wa Marekani]] [[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi]] {{Mbegu-mwandishi}} 0eamjsf9gv3rr5i3i0g3l3ituxj5wby Mtumishi wa Mungu 0 90171 1572364 1572232 2026-06-13T12:07:30Z Riccardo Riccioni 452 /* Katika Kanisa Katoliki */ 1572364 wikitext text/x-wiki '''Mtumishi wa Mungu''' ni [[jina]] la [[heshima]] linalotumika katika [[Biblia]] na katika [[Ukristo]] kwa [[mtu]] anayesadikiwa kumtumikia [[Mungu]] kwa namna ya pekee. ==Katika Biblia== Katika [[Biblia ya Kiebrania]] jina hilo ni la juu kuliko "[[nabii]]", kwa sababu jina hilo lilikuwa na maana mbalimbali, hata mbaya, kwa mfano "[[kichaa]]" au "[[nabii wa uongo]]". Linapatikana humo mara tano <ref>The Hebrew Bible refers to [[Moses]] as "the servant of [[Elohim]]" (עֶֽבֶד הָאֱלֹהִ֛ים ''‘eḇeḏ-hā’ĕlōhîm''; {{bibleref|1 Chronicles|6:49|9}}, {{bibleref|2 Chronicles|24:9|9}}, {{bibleref|Nehemiah|10:29|9}}, and {{bibleref|Daniel|9:11|9}}). {{bibleref|Judges|2:8|9}} and {{bibleref|2 Timothy|2:15|9}} refer to [[Joshua]] as "the slave of Yahweh" (עֶ֣בֶד יְהוָ֑ה, ''‘eḇeḏ [[Yahweh]]'').</ref>, halafu mara nne katika [[Agano Jipya]]<ref>The New Testament also describes Moses in this way in {{bibleref|Revelation|15:3|9}} (τοῦ δούλου τοῦ Θεοῦ, ''tou doulou tou Theou''). [[Paul the Apostle|Paul]] calls himself "<U>a</U> servant of God" in {{bibleref|Titus|1:1|9}} (δοῦλος Θεοῦ, ''doulos Theou''), while [[Epistle of James|James]] calls himself "<U>a</U> servant of God and the Lord Jesus Christ" (θεοῦ καὶ κυρίου Ἰησοῦ χριστοῦ δοῦλος, ''Theou kai Kyriou Iēsou Christou doulos'') in {{bibleref|James|1:1|9}}. {{bibleref|1 Peter|2:16|9}} describes "servants of God" (Θεοῦ δοῦλοι, ''Theou douloi'') being free to act within the bounds of God's will. Following usage conventions established in the [[Authorized King James Version|King James Bible]], the word "servant" is never capitalized or used as a title of nobility. ("The servant is not greater than his lord.") {{bibleref|John|13:16|9}}; {{bibleref|John|15:20|9}}; {{bibleref|Matthew|25:21|9}}</ref>. ==Katika Ukristo== Siku hizi linatumiwa na Wakristo wa [[madhehebu]] mbalimbali kwa maana tofauti. ==Katika Kanisa Katoliki== Katika [[Kanisa Katoliki]] linatumika hasa<ref>[[Congregation for the Causes of Saints|Congregatio de Causis Sanctorum]] – Vincenzo Criscuolo, Daniel Ols, Robert J. Sarno (ed.), ''Le Cause dei Santi. Sussidio per lo Studium'', [[Libreria Editrice Vaticana]], 3rd edition, Rome 2014, p. 342.</ref> kwa waumini wafu ambao [[maisha]] yao yameanza kuchunguzwa ili kuona kama hatimaye wataweza kutangazwa [[watakatifu]].<ref>[https://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9E06E7D61E31F931A25751C1A9629C8B63 "Pressing Sainthood for a Beloved Archbishop"]. (12 December 2004) by Marek Fuchs. ''The New York Times''. Accessed 28 February 2010</ref><ref>[http://www.vatican.va/roman_curia/congregations/csaints/documents/rc_con_csaints_doc_20050929_saraiva-martins-beatif_en.html CONGREGATION FOR THE CAUSES OF SAINTS: NEW PROCEDURES IN THE RITE OF BEATIFICATION]</ref> {{Kutangaza watakatifu}} [[File:Bezoek_president_Nyerere_van_Tanzania_president_Nyerere_spreekt_in_de_Eerste_Ka,_Bestanddeelnr_933-2627.jpg|thumb|[[Julius Nyerere|Julius Kambaragwe Nyerere]], [[rais]] wa [[Tanzania]], ''mtumishi wa Mungu'' tangu mwaka [[2005]]<ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/47400</ref>.]] [[File:Don oreste benzi.jpg|thumb|[[Oreste Benzi]], [[Upadri|padri]] [[mwanajimbo]] wa [[Italia]], ''mtumishi wa Mungu'' tangu mwaka [[2014]]<ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/91554</ref>.]] Jina ''Mtumishi wa Mungu'' halimaanishi kuwa kweli mhusika alimtumikia Mungu kiaminifu hadi [[kifo]] chake, bali kwamba watu wengiwengi wanaona hivyo, hata [[askofu]] wa [[Dayosisi|jimbo]] alifungua [[kesi]] ya kumtangaza mtakatifu. Baada ya hatua hiyo kukamilika kwa Papa kuthibitisha [[ushujaa]] wa [[maadili]] yake yote, au [[kifodini]] chake, mtumishi huyo ataanza kuitwa ''[[Mstahili heshima]]''. Kisha kuthibitisha kwamba [[muujiza]] wowote umetokea kwa [[maombezi ya watakatifu|maombezi]] yake, Papa atamtangaza [[mwenye heri]]. Baada ya muujiza mwingine atamalizia kwa kumtangaza mtakatifu.<ref>[http://www.catholicnewsagency.com/news/john_paul_ii_declared_venerable_moves_one_step_closer_to_sainthood "John Paul II declared Venerable, moves one step closer to sainthood"]. ''CNA''. Retrieved 28 February 2010</ref><ref>[http://www.saipantribune.com/newsstory.aspx?cat=1&newsID=61687 Mercedarian Missionaries' founder to be beatified.] {{Wayback|url=http://www.saipantribune.com/newsstory.aspx?cat=1&newsID=61687 |date=20120308204506 }} 5 October 2006. ''Saipan Tribune''. Retrieved 28 February 2010</ref> Kesi hizo katika hatua zote zinasimamiwa na [[idara]] maalumu yenye makao makuu huko [[Vatikani]]. Tofauti na hilo ni jina ''Servus Servorum Dei'' (Mtumishi wa Watumishi wa Mungu), ambalo kuanzia [[Papa Gregori I]] linatumiwa na [[Mapapa]] kujitambulisha kwa [[unyenyekevu]]. ==Tazama pia== * [[Mtumishi mteswa]] ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-Ukristo}} [[Jamii:Biblia]] [[Jamii:Watakatifu]] [[Jamii:Kanisa Katoliki]] pzv6lmnfv4iy45ys9hd6k7x7ue5gg0w Mstahili heshima 0 90172 1572361 1572284 2026-06-13T12:01:57Z Riccardo Riccioni 452 1572361 wikitext text/x-wiki [[File:Salvo D'Acquisto.jpg|thumb|[[Salvo D'Acquisto]], [[askari]] wa [[Italia]], ni mfano wa [[mlei]] aliyetangazwa ''mstahili heshima'' mwaka 2025.]] '''Mstahili heshima''' (kwa [[Kilatini]] ''Venerabilis'', kwa [[Kiingereza]] ''Venerable'') ni [[jina]] ambalo katika [[Kanisa Katoliki]] linatumika hasa kwa muumini aliyefariki ambaye, baada ya [[kesi]] kuchunguza [[uadilifu]] wake wa kiwango cha [[ushujaa]], [[Papa]] ameuthibitisha rasmi<ref>{{cite web |title=Catholic Encyclopedia - Infallibility |url=https://www.catholic.com/encyclopedia/infallibility#IV._SCOPE_AND_OBJECT_OF_INFALLIBILITY |access-date=12 August 2019}}</ref>. Uchunguzi huo unahusu [[maadili ya Kimungu]] ([[imani]], [[tumaini]] na [[upendo]]), [[maadili bawaba]] ([[busara]], [[haki]], [[nguvu]] na [[kiasi]]) pamoja na [[unyenyekevu]]. Kwa [[watawa]] unachunguzwa pia utekelezaji wa [[nadhiri]] zao. Pamoja na hayo, [[Kanisa]] linasubiri [[Mungu]] athibitishe mwenyewe kwa [[muujiza]] mmoja iliyopatikana kwa [[maombezi ya watakatifu|maombezi]] ya huyo ili aweze kutangazwa [[mwenye heri]] na wa pili ili atangazwe [[mtakatifu]], isipokuwa mara mojamoja sana <ref>{{cite web |last1=Heffron |first1=Christopher |title=Ask A Franciscan: What Is 'Equivalent Canonization'? |url=https://www.franciscanmedia.org/ask-a-franciscan-what-is-equivalent-canonization/ |access-date=12 August 2019}}</ref>. {{Kutangaza watakatifu}} ==Tanbihi== {{marejeo}} {{mbegu-katoliki}} [[Jamii:Watakatifu]] [[Jamii:Kanisa Katoliki]] c9gpbinijzshm0ymk19piw2gc5k5wjz 1572365 1572361 2026-06-13T12:08:51Z Riccardo Riccioni 452 1572365 wikitext text/x-wiki [[File:Salvo D'Acquisto.jpg|thumb|[[Salvo D'Acquisto]], [[askari]] wa [[Italia]], [[mlei]] aliyetangazwa ''mstahili heshima'' mwaka [[2025]]<ref>https://www.santiebeati.it/dettaglio/90399</ref>.]] '''Mstahili heshima''' (kwa [[Kilatini]] ''Venerabilis'', kwa [[Kiingereza]] ''Venerable'') ni [[jina]] ambalo katika [[Kanisa Katoliki]] linatumika hasa kwa muumini aliyefariki ambaye, baada ya [[kesi]] kuchunguza [[uadilifu]] wake wa kiwango cha [[ushujaa]], [[Papa]] ameuthibitisha rasmi<ref>{{cite web |title=Catholic Encyclopedia - Infallibility |url=https://www.catholic.com/encyclopedia/infallibility#IV._SCOPE_AND_OBJECT_OF_INFALLIBILITY |access-date=12 August 2019}}</ref>. Uchunguzi huo unahusu [[maadili ya Kimungu]] ([[imani]], [[tumaini]] na [[upendo]]), [[maadili bawaba]] ([[busara]], [[haki]], [[nguvu]] na [[kiasi]]) pamoja na [[unyenyekevu]]. Kwa [[watawa]] unachunguzwa pia utekelezaji wa [[nadhiri]] zao. Pamoja na hayo, [[Kanisa]] linasubiri [[Mungu]] athibitishe mwenyewe kwa [[muujiza]] mmoja iliyopatikana kwa [[maombezi ya watakatifu|maombezi]] ya huyo ili aweze kutangazwa [[mwenye heri]] na wa pili ili atangazwe [[mtakatifu]], isipokuwa mara mojamoja sana <ref>{{cite web |last1=Heffron |first1=Christopher |title=Ask A Franciscan: What Is 'Equivalent Canonization'? |url=https://www.franciscanmedia.org/ask-a-franciscan-what-is-equivalent-canonization/ |access-date=12 August 2019}}</ref>. {{Kutangaza watakatifu}} ==Tanbihi== {{marejeo}} {{mbegu-katoliki}} [[Jamii:Watakatifu]] [[Jamii:Kanisa Katoliki]] 82tix3dxisw3m6pqevpin461lgb7ppu Kigango 0 93402 1572534 1013936 2026-06-14T05:05:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572534 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Kanisa Katoliki}} '''Kigango''' ni sehemu ya [[parokia]] ambayo hupata [[huduma]] kutoka kwa [[paroko]] na mapadri wenzake badala ya kuwa na [[padri]] mkazi. Mara nyingi kina [[kanisa]] lake ambamo [[ibada]] zinafanyika kawaida kutokana na umbali wa kanisa la parokia. Katika kigango zinapatikana [[jumuia ndogondogo]] za [[Kikristo]] zinazounganisha [[familia]] kadhaa. {{mbegu-katoliki}} [[Jamii:Kanisa Katoliki]] e645g85wmokwuxypg0bxuogqur8f2oq Mkate wa uzima 0 93550 1572576 1014636 2026-06-14T05:12:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572576 wikitext text/x-wiki [[File:Eucharistic bread and fish.jpg|thumb|240px|[[Mchoro wa ukutani]] wa mwanzoni mwa [[karne ya 3]] ukionyesha mkate wa ekaristi na samaki, [[Katakombu wa Mt. Kalisti]], [[Roma]], [[Italia]].]] '''Mkate wa uzima''' (kwa [[Kigiriki]] ἄρτος τῆς ζωῆς, ''artos tēs zōēs'') ni mojawapo kati ya namna [[Saba (namba)|saba]] ya [[Yesu Kristo]] kujitambulisha katika [[Injili ya Yohane]] kwa kutanguliza "Mimi ndimi..."<ref>''Who Do You Say That I Am?: Essays on Christology'' by Jack Dean Kingsbury, Mark Allan Powell, David R. Bauer 1999 ISBN 0-664-25752-6 page 83</ref>. [[Yesu]] alijiita hivi baada ya kuzidisha [[mkate]] na [[samaki]] kwa [[umati]] wa [[watu]] waliomfuata. Lengo la [[muujiza]] huo halikuwa tu kutuliza [[njaa]] yao, bali kudokeza [[karamu]] ya [[mbinguni]] ambayo itashibisha [[hamu]] zote za [[binadamu]] kwa utimilifu wa [[uzima]]. [[Hotuba]] hiyo inapatikana katika [[Yoh]] 6:22-59 ambamo imeandikwa kuwa ilitolewa katika [[sinagogi]] la [[Kapernaumu]].<ref>''The Gospel According to John: A Literary and Theological Commentary'' by Thomas L. Brodie 1997 ISBN 0-19-511811-1 page 266</ref> Pamoja na kwamba [[Injili]] hiyo haisimulii jinsi Yesu alivyowaachia [[wanafunzi]] wake [[mwili]] na [[damu]] yake katika [[Umbo|maumbo]] ya mkate na [[divai]] wakati wa [[karamu ya mwisho]], inazungumzia [[fumbo]] la [[ekaristi]] hasa katika sehemu ya mwisho ya hotuba hiyo, ikisisitiza kuwa Yesu amejifanya [[chakula]] kweli na [[kinywaji]] kweli<ref>''The Eucharist in the New Testament'' by Jerome Kodell 1988 ISBN 0-8146-5663-3 page 118</ref>. Kwa njia yake tu mtu anaweza kuwa na [[uzima wa Kimungu]] (Yoh 5:26)<ref>''The Person of Christ'' by Gerrit Cornelis Berkouwer 1954 ISBN 0-8028-4816-8 page 163</ref>. == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mtu-Biblia}} [[Category:Yesu Kristo]] [[Category:Kristolojia]] [[Category:Injili ya Yohane]] [[Category:Ekaristi]] aupfk48q4vwacwybfqttcmy0036k7s8 Mapacha (maana) 0 93715 1572715 1015068 2026-06-14T05:35:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572715 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} Mapacha inaweza kumaanisha *Uwingi wa jina [[pacha]] ambaye ni mtu au mnyama aliyezaliwa pamoja na ndugu kutoka mimba moja *Mapacha kama jina mbadala la kundinyota ya [[Jauza (kundinyota)|Jauza]] (ing. ''[[:en:Gemini (constellation)|Gemini]]'') {{maana}} inormntyduff7jhite4ljn0dv9tiog7 Sanjo wa Japani 0 93805 1572880 1015255 2026-06-14T06:02:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572880 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} [[Picha:Hyakuninisshu_068.jpg|right|thumb|Mchoro wa Sanjo]] '''Sanjo''' ([[5 Februari]], [[976]] &ndash; [[5 Juni]], [[1017]]) alikuwa mfalme mkuu wa 67 (''[[Tenno]]'') wa [[Japani]]. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa ''Iyasada'', na alikuwa mwana wa pili wa Tenno [[Reizei]]. Mwaka wa [[1011]] alimfuata binamu yake, Tenno [[Ichijo]], na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1016. Aliyemfuata kama Tenno ni binamu yake, [[Go-Ichijo]]. ==Angalia pia== *[[Orodha ya Wafalme Wakuu wa Japani]] {{Mbegu-Kaizari-Japani}} {{DEFAULTSORT:Sanjo}} [[Jamii:Waliozaliwa 976]] [[Jamii:Waliofariki 1017]] [[Jamii:Watawala wa Japani]] f6rz3id830n5k4l9ecq0p9qaglxvbex Milima ya Mwantine 0 96782 1572867 1025534 2026-06-14T06:00:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572867 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' iko [[magharibi]] mwa [[Tanzania]] katika [[Mkoa wa Shinyanga]]. [[Kilele]] cha juu kiko [[mita]] 1,228 juu ya [[usawa wa bahari]]. == Tazama pia == * [[Orodha ya milima ya Tanzania]] {{mbegu-jio-Tanzania}} [[Category:Milima ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Shinyanga]] lw1g7575wyih80sygnvoixxrht4kze0 La Grande Mota 0 96995 1572680 1025977 2026-06-14T05:30:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572680 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Meksiko]] katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Una [[kimo]] cha [[mita]] 1,880 juu ya [[UB]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima]] {{mbegu-jio-Mexiko}} [[Jamii:Milima ya Mexiko]] i46f9ujdbhudompw3eiqy1ufxx45z1u Matacanes 0 96997 1572757 1025979 2026-06-14T05:42:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572757 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Meksiko]] katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Una [[kimo]] cha [[mita]] 1,800 juu ya [[UB]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima]] {{mbegu-jio-Mexiko}} [[Jamii:Milima ya Mexiko]] 0kcuvrdu5ohosly3j7eqak2v94onvl6 Evermann 0 97000 1572853 1025982 2026-06-14T05:58:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572853 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Meksiko]] katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Una [[kimo]] cha [[mita]] 1,050 juu ya [[UB]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima]] {{mbegu-jio-Mexiko}} [[Jamii:Milima ya Mexiko]] r9dq4lc8v194r5hosda5ct2w1o36p22 Kieddoaivi 0 97505 1572875 1027036 2026-06-14T06:01:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572875 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] ulioko katika nchi ya [[Ufini]], wenye [[kimo]] cha [[mita]] 1,100. ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima]] * [[Milima ya Ulaya]] {{mbegu-jio-Ulaya}} [[jamii:Milima ya Ulaya]] [[jamii:Milima ya Ufini]] gdgyy9kcfl7feg4snh4tef31x2pon09 Mto Rubumba 0 98242 1572494 1029011 2026-06-14T04:59:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572494 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kigoma]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]). [[Maji]] yake yanaelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kigoma]] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Kigoma]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] n06kd7dj05j25pt40xnw6l5ekd80yys Mto Sanza 0 98248 1572554 1029018 2026-06-14T05:09:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572554 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kigoma]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]). [[Maji]] yake yanaelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari ya Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kigoma]] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Kigoma]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] n06kd7dj05j25pt40xnw6l5ekd80yys Mto Farua 0 98458 1572665 1029952 2026-06-14T05:27:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572665 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj Mto Funga 0 98459 1572745 1029953 2026-06-14T05:40:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572745 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj Mto Gombo 0 98460 1572833 1029954 2026-06-14T05:54:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572833 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj Mto Mzelezi 0 98557 1572491 1030054 2026-06-14T04:58:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572491 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj Mto Nakarsonde 0 98558 1572547 1030055 2026-06-14T05:08:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572547 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Morogoro]] ([[Tanzania]] [[Mashariki]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Morogoro]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9kauidzp6usazkn1achuae5uubs90pj Mto Kopoli 0 98604 1572844 1030106 2026-06-14T05:56:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572844 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[Pemba]] ([[Tanzania Visiwani]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya Pemba]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Pemba]] [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ivt95dnm8alikk1lxsgred83hi1j6kk Mto Lupa 0 99180 1572772 1031089 2026-06-14T05:45:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572772 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Mbeya]] f1dxf64icg4i6ea8ntr0wyjmpez83ja Mto Mbalizi 0 99194 1572868 1031132 2026-06-14T06:00:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572868 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Mbeya]] ([[Tanzania]] [[Kusini]] [[Magharibi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Mbeya]] f1dxf64icg4i6ea8ntr0wyjmpez83ja Mto Likonde 0 99350 1572895 1031419 2026-06-14T06:05:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572895 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] a0ed8onayxh67hbr8hfacv92i7blu02 Mto Luhekea 0 99365 1572608 1031434 2026-06-14T05:18:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572608 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp Mto Milola 0 99410 1572845 1031480 2026-06-14T05:56:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572845 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Zambezi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] mg0c9k8k2xqtpp5vi8s12f3x05iajwp Mto Emugur Berek 0 99660 1572885 1031912 2026-06-14T06:03:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572885 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]). [[Maji]] yake yanaelekea [[ziwa Engaruka Magadi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Arusha]] 4z3ixq6lc3ga5887os99550r4qwskc6 Mto Kamanga (Arusha) 0 99675 1572574 1031928 2026-06-14T05:12:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572574 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]). [[Maji]] yake yanaelekea [[Bahari ya Hindi]] kupitia [[mto Galana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Arusha]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] huh1up7l957uzbdm38sm5128rzklzy6 Mto Kisimiri 0 99701 1572630 1031998 2026-06-14T05:21:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572630 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]). [[Maji]] yake yanaelekea [[Bahari ya Hindi]] kupitia [[mto Galana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Arusha]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] huh1up7l957uzbdm38sm5128rzklzy6 Mto Kitauti 0 99702 1572709 1031999 2026-06-14T05:34:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572709 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Arusha]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]). [[Maji]] yake yanaelekea [[Bahari ya Hindi]] kupitia [[mto Galana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Arusha]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Arusha]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] huh1up7l957uzbdm38sm5128rzklzy6 Mto Danged 0 99786 1572670 1032155 2026-06-14T05:28:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572670 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Manyara]] ([[Tanzania]] [[kaskazini]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Manyara]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Manyara]] cb4tvl7gpt54isr8eowb7hlj540ta2r Mto Kuku (Singida) 0 100070 1572864 1032625 2026-06-14T05:59:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572864 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Singida]] 89keg21q62b6vnah9mpfcnyvxlt3rlh Mto Linolo 0 100076 1572544 1032631 2026-06-14T05:07:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572544 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati). [[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Singida]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 54yig1n633azdhsccsyh0cjfezcyivo Mto Mandahaa 0 100087 1572668 1032642 2026-06-14T05:28:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572668 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati). [[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Singida]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 54yig1n633azdhsccsyh0cjfezcyivo Mto Manje 0 100089 1572746 1032644 2026-06-14T05:40:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572746 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati). [[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Singida]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 54yig1n633azdhsccsyh0cjfezcyivo Mto Msagelela 0 100113 1572836 1032681 2026-06-14T05:55:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572836 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati). [[Maji]] yake yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Singida]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 54yig1n633azdhsccsyh0cjfezcyivo Mto Nyandiga 0 100129 1572441 1032697 2026-06-14T04:50:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572441 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Singida]] ([[Tanzania]] ya kati). ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Singida]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Singida]] 1ou419ezwsmtgd5znflzqw6wj7dsm5o Mto Chalioni 0 100191 1572773 1032815 2026-06-14T05:45:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572773 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Dodoma]] ([[Tanzania]] ya kati). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Dodoma]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Dodoma]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] riz9s12l06gbcj9i0s208ck2q0zvyly Mto Kigogo 0 100344 1572448 1033054 2026-06-14T04:51:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572448 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Iringa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5 Mto Kimbawala 0 100346 1572498 1033056 2026-06-14T04:59:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572498 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Iringa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5 Mto Nyanzilwa 0 100372 1572558 1033084 2026-06-14T05:09:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572558 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Iringa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5 Mto Ruiga (Iringa) 0 100373 1572614 1033085 2026-06-14T05:19:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572614 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Iringa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5 Mto Tuferu 0 100374 1572683 1033086 2026-06-14T05:30:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572683 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Rufiji]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Iringa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] pse3oopz4wmslx4jhqlqypzwjjhakl5 Mto Mwelizi 0 100401 1572539 1033134 2026-06-14T05:06:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572539 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Njombe]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[ziwa Nyasa]] na [[mto Zambezi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Njombe]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Njombe]] [[Jamii:ziwa Nyasa]] [[Jamii:Mto Zambezi]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 8ys76dcvwq5hfdz9360nj2bzbhse9rs Mto Mzuzuma 0 100402 1572600 1033136 2026-06-14T05:16:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572600 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Njombe]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]). [[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[ziwa Nyasa]] na [[mto Zambezi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Njombe]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Tanzania}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mito ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Njombe]] [[Jamii:Ziwa Nyasa]] [[Jamii:Mto Zambezi]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] f9o2v94b37b5sng6dyg421xpe9myj98 Ziwa Mweru 0 100580 1572371 1569443 2026-06-13T12:25:20Z Riccardo Riccioni 452 1572371 wikitext text/x-wiki ''Kwa ziwa lingine lenye jina hilo, tazama [[ziwa Mwero]].'' '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[Ziwa|maziwa]] madogo ya [[Tanzania]]. Linapatikana katika [[mkoa wa Mtwara]]. ==Tazama pia== *[[Orodha ya maziwa ya Tanzania]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{Maziwa ya Tanzania}} {{mbegu-jio-mtwara}} [[Jamii:Mkoa wa Mtwara]] [[Jamii:Maziwa ya Tanzania]] s3yfu7me2ljfn8xiwyi1dprh5t7oelz Mto Ghusa Lugeri 0 101330 1572673 1036303 2026-06-14T05:29:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572673 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] q8egahz187g2159jv2wwuib6wzj5267 Mto Keniroi 0 101348 1572842 1036327 2026-06-14T05:56:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572842 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] q8egahz187g2159jv2wwuib6wzj5267 Mto Kipkunyu 0 101626 1572492 1036961 2026-06-14T04:58:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572492 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kericho]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kericho]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 78pdyynd3uk89no4teofi8kw9jwtsse Mto Namuting 0 101634 1572551 1036969 2026-06-14T05:08:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572551 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kericho]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kericho]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 78pdyynd3uk89no4teofi8kw9jwtsse Mto Raragegwit 0 101636 1572610 1036971 2026-06-14T05:18:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572610 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kericho]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kericho]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 78pdyynd3uk89no4teofi8kw9jwtsse Mto Sorget 0 101640 1572676 1036975 2026-06-14T05:29:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572676 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kericho]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kericho]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 78pdyynd3uk89no4teofi8kw9jwtsse Mto Stony 0 101641 1572754 1036976 2026-06-14T05:42:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572754 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kericho]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kericho]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 78pdyynd3uk89no4teofi8kw9jwtsse Mto Thoimbili 0 101642 1572849 1036977 2026-06-14T05:57:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572849 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kericho]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kericho]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 78pdyynd3uk89no4teofi8kw9jwtsse Mto Ataja 0 101748 1572504 1037095 2026-06-14T05:00:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572504 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya West Pokot]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] skawbyur3zhonfocwz3s25zbr8a6qtg Mto Koinyanga 0 101764 1572621 1037112 2026-06-14T05:20:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572621 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya West Pokot]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] skawbyur3zhonfocwz3s25zbr8a6qtg Mto Koynyanga 0 101765 1572695 1037113 2026-06-14T05:32:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572695 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya West Pokot]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya West Pokot]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya West Pokot]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] skawbyur3zhonfocwz3s25zbr8a6qtg Mto Loborio 0 101887 1572559 1037546 2026-06-14T05:10:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572559 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] [[Jamii:Ziwa Turkana]] 0y2j8o7ye6jdii5unqobui04b1kydwn Mto Lochil 0 102146 1572455 1037916 2026-06-14T04:52:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572455 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] [[Jamii:Ziwa Turkana]] relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw Mto Lokiporrangithikiria 0 102153 1572505 1037923 2026-06-14T05:01:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572505 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] [[Jamii:Ziwa Turkana]] relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw Mto Lokirikipi 0 102154 1572567 1037924 2026-06-14T05:11:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572567 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] [[Jamii:Ziwa Turkana]] relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw Mto Lokitoinyala 0 102155 1572622 1037925 2026-06-14T05:20:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572622 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] [[Jamii:Ziwa Turkana]] relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw Mto Naithilum 0 102226 1572866 1038054 2026-06-14T06:00:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572866 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Turkana]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa la magadi]] linaloitwa [[Turkana (ziwa)|Turkana]] na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la [[Jangwa|jangwani]] lililo kubwa kuliko yote [[duniani]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Turkana]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] [[Jamii:Ziwa Turkana]] relbs5cgugo4a1wh6jrmthl0zjzxjzw Mto Chapulo 0 102440 1572511 1038475 2026-06-14T05:02:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572511 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9rjbvk830zd7sf3y46k75gewotr9i2v Mto Dadapo 0 102441 1572571 1038476 2026-06-14T05:12:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572571 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9rjbvk830zd7sf3y46k75gewotr9i2v Mto Elba Loldobai 0 102442 1572628 1038477 2026-06-14T05:21:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572628 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9rjbvk830zd7sf3y46k75gewotr9i2v Mto Olbaa Lenaiya Inkainito 0 102491 1572706 1038528 2026-06-14T05:34:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572706 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9rjbvk830zd7sf3y46k75gewotr9i2v Mto Olbaa Lolkerrded 0 102492 1572786 1038529 2026-06-14T05:47:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572786 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9rjbvk830zd7sf3y46k75gewotr9i2v Mto Olketuloni 0 102493 1572882 1038530 2026-06-14T06:02:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572882 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 9rjbvk830zd7sf3y46k75gewotr9i2v Mto Ilpisyon (Samburu) 0 102519 1572799 1038562 2026-06-14T05:49:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572799 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] gsfpkx1j7cjvhr22338fk1hffe3omus Mto Iltirim 0 102520 1572899 1038563 2026-06-14T06:05:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572899 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[kaunti ya Samburu]], nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] gsfpkx1j7cjvhr22338fk1hffe3omus Mto Keses 0 102776 1572897 1039152 2026-06-14T06:05:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572897 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nandi]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nandi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nandi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] qis3s5s3iufxwxrt4zdw9rmz81ke5jy Mto Kariandus 0 102896 1572865 1039320 2026-06-14T06:00:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572865 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nakuru]] nchini [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Elmenteita]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nakuru]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nakuru]] jb1im8ujg565l8vrfphdy6d22i9leme Mto Seiria 0 103128 1572475 1039718 2026-06-14T04:56:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572475 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Busia]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e Mto Sia (Busia) 0 103129 1572525 1039719 2026-06-14T05:04:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572525 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Busia]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e Mto Wakhungu 0 103130 1572589 1039720 2026-06-14T05:15:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572589 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Busia]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e Mto Walatsi 0 103131 1572646 1039721 2026-06-14T05:24:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572646 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Busia]] nchini [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Busia]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Busia]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] o99bt84hedwpzgacxizbzdqqpvdf47e Mto Dolegeshi 0 103170 1572550 1039763 2026-06-14T05:08:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572550 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2 Mto Ekuku 0 103171 1572609 1039764 2026-06-14T05:18:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572609 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2 Mto Eliyeti Ekatetemai 0 103174 1572675 1039768 2026-06-14T05:29:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572675 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2 Mto Maisoyati 0 103381 1572753 1040203 2026-06-14T05:42:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572753 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2 Mto Ngiturai 0 103397 1572848 1040221 2026-06-14T05:57:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572848 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kajiado]] nchini [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kajiado]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ml6vewws2ov72ya8o99nt678o7cujl2 Mto Agonda (Siaya) 0 103498 1572878 1040379 2026-06-14T06:02:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572878 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Siaya]] [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Siaya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Siaya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] p10hsx56rr2zuidbkgsq4c8uyxci3jm Mto Nyamache 0 103686 1572500 1040661 2026-06-14T05:00:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572500 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kisii]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kisii]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kisii]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 54o2kij932z5iji4o6vc9pgof7tj7v9 Mto Mafigani 0 103918 1572723 1041116 2026-06-14T05:37:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572723 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Mombasa]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Mombasa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Mombasa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 8euuxm82257k3uu0hljga33kfwtd8ra Mto Maru (Mombasa) 0 103919 1572805 1041117 2026-06-14T05:50:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572805 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Mombasa]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Mombasa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Mombasa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 8euuxm82257k3uu0hljga33kfwtd8ra Mto Mbuzini (Mombasa) 0 103920 1572903 1041118 2026-06-14T06:06:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572903 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Mombasa]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Mombasa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Mombasa]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 8euuxm82257k3uu0hljga33kfwtd8ra Mto Rwala 0 104004 1572444 1041208 2026-06-14T04:50:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572444 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kwale]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj Mto Shimba (Kwale) 0 104005 1572496 1041209 2026-06-14T04:59:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572496 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kwale]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[bahari ya Hindi]]). ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kwale]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] ct1jaadthiq9gwwaxi7uytr2gn5d7wj Mto Mkondo wa Musumarini 0 104050 1572731 1041260 2026-06-14T05:38:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572731 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kilifi]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[pwani]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kilifi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kilifi]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] asop04lndi9ldj89kmr3eodkl9wqtjp Mto Mkondo wa Simiti 0 104051 1572810 1041261 2026-06-14T05:51:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572810 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kilifi]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[pwani]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kilifi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kilifi]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] asop04lndi9ldj89kmr3eodkl9wqtjp Mkondo Wama 0 104941 1572760 1044433 2026-06-14T05:43:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572760 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Lamu]], [[kusini]] [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Lamu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Lamu]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] l95d6o72ilykibc4uhl66du9aev7yzk Mto Sesia (Isiolo) 0 105089 1572499 1044723 2026-06-14T05:00:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572499 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Isiolo]] [[Jamii:Mto Jubba]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h Mto Toge (Isiolo) 0 105090 1572563 1044724 2026-06-14T05:10:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572563 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Juba]] ambao unaingia katika [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Somalia]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Isiolo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Isiolo]] [[Jamii:Mto Jubba]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] tmcyo2ow8nveqr1d9o6rp4in4ouig6h Mto Choomba 0 105177 1572490 1044879 2026-06-14T04:58:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572490 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe Mto Kimakia 0 105224 1572605 1044931 2026-06-14T05:17:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572605 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe Mto Kimaratu 0 105225 1572671 1044932 2026-06-14T05:28:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572671 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe Mto Kirangi 0 105226 1572749 1044933 2026-06-14T05:41:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572749 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe Mto Mahindu 0 105242 1572840 1044950 2026-06-14T05:56:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572840 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe Mto Mandune 0 105243 1572841 1044951 2026-06-14T05:56:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572841 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] submifuh2knmlshchx3o1vpaw6lgpbe Mto Manzitumo 0 105606 1572489 1045633 2026-06-14T04:58:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572489 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kitui]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2 Mto Maveti 0 105615 1572545 1045643 2026-06-14T05:07:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572545 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kitui]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2 Mto Mikuyuni (Kitui) 0 105622 1572604 1045652 2026-06-14T05:17:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572604 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kitui]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2 Mto Miosya 0 105623 1572669 1045653 2026-06-14T05:28:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572669 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kitui]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2 Mto Misolo (Kitui) 0 105624 1572748 1045654 2026-06-14T05:41:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572748 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kitui]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2 Mto Mitani (Kitui) 0 105625 1572839 1045655 2026-06-14T05:55:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572839 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kitui]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kitui]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kitui]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5kyom3spws85ysbocntmg0zty2juur2 Mto Karichiungu 0 105950 1572439 1046200 2026-06-14T04:50:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572439 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Murang'a]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Murang’a]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] mrrk5k8hz4n35bjdgkaph46g24wi2i5 Mto Kanyagia 0 106080 1572690 1046495 2026-06-14T05:31:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572690 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyandarua]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyandarua]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyandarua]] [[Jamii:Mto Jubba]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] q8t61enkru4zakf0iy1mfwkqag2pydb Mto Hombi 0 106237 1572458 1046906 2026-06-14T04:53:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572458 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy Mto Kamukogabi 0 106256 1572509 1046928 2026-06-14T05:01:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572509 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy Mto Munyomweru 0 106299 1572569 1046986 2026-06-14T05:11:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572569 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy Mto Muraria 0 106300 1572626 1046987 2026-06-14T05:21:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572626 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy Mto Muringato 0 106301 1572701 1046988 2026-06-14T05:33:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572701 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy Mto Turi (Nyeri) 0 106413 1572874 1047234 2026-06-14T06:01:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572874 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Nyeri]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Nyeri]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 5tt613bk3lg3l6508fzdts9l9664vqy Mto Thanantu 0 106449 1572478 1047272 2026-06-14T04:56:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572478 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Tharaka-Nithi]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Tharaka-Nithi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Tharaka-Nithi]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 2o5trkgxfwahxej065quw5e2ukrk97o Mto Tharia 0 106450 1572528 1047273 2026-06-14T05:04:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572528 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Tharaka-Nithi]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Tharaka-Nithi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Tharaka-Nithi]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 2o5trkgxfwahxej065quw5e2ukrk97o Mto Thiiti 0 106451 1572591 1047274 2026-06-14T05:15:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572591 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Tharaka-Nithi]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[Bahari Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Tharaka-Nithi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Tharaka-Nithi]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 2o5trkgxfwahxej065quw5e2ukrk97o Mto Mba (Makueni) 0 106677 1572462 1047797 2026-06-14T04:53:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572462 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx Mto Mbaloni 0 106678 1572513 1047798 2026-06-14T05:02:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572513 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx Mto Mbanya 0 106679 1572573 1047799 2026-06-14T05:12:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572573 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx Mto Mbiani (Makueni) 0 106680 1572629 1047800 2026-06-14T05:21:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572629 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx Mto Mbimbini 0 106681 1572707 1047801 2026-06-14T05:34:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572707 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx Mto Yumbuni 0 106757 1572788 1047880 2026-06-14T05:47:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572788 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Makueni]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Makueni]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] dxqhesih7dsatmf20elxaaj6300vmgx Mto Kikwa 0 106814 1572807 1048116 2026-06-14T05:51:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572807 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Machakos]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 57hmka34rvwb5j8h3sytp87qk7lg4x0 Mto Makumbeni 0 106837 1572905 1048140 2026-06-14T06:06:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572905 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Machakos]] [[Jamii:Mto Tana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 57hmka34rvwb5j8h3sytp87qk7lg4x0 Mto Mathingau 0 106848 1572747 1048152 2026-06-14T05:41:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572747 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Machakos]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] bxbelrrzc5gk89adhb556sci94r200w Mto Mbanyani 0 106849 1572838 1048153 2026-06-14T05:55:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572838 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Machakos]], kusini mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Athi-Galana-Sabaki]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Machakos]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Machakos]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] bxbelrrzc5gk89adhb556sci94r200w Mto Enekoiireroi 0 106927 1572736 1048259 2026-06-14T05:39:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572736 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8 Mto Geshuru 0 106934 1572816 1048266 2026-06-14T05:52:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572816 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8 Mto Kapsimotwa 0 106953 1572913 1048288 2026-06-14T06:08:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572913 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] b5shseapvtdauhxa2aluul43dg0trc8 Mto Enabatat Ouwaru 0 107065 1572611 1048405 2026-06-14T05:18:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572611 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg Mto Endorroboni Magharibi 0 107069 1572678 1048409 2026-06-14T05:29:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572678 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg Mto Endorroboni Mashariki 0 107070 1572755 1048410 2026-06-14T05:42:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572755 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg Mto Engare Endorroboni 0 107071 1572850 1048411 2026-06-14T05:57:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572850 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Narok]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Narok]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Narok]] i1lcswnge0a4an2wfg8t10q4207d6eg Mto Ainomotua 0 107150 1572835 1048515 2026-06-14T05:55:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572835 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Kenya]] (upande wa [[magharibi]]). [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] mnw4bbp7ar2yzleiiirkncotxruoggu Mto Orobo Mkubwa 0 107190 1572461 1048566 2026-06-14T04:53:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572461 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s Mto Isogi 0 107200 1572512 1048601 2026-06-14T05:02:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572512 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s Mto Kabewyan 0 107204 1572572 1048605 2026-06-14T05:12:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572572 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s Mto Kalokerith 0 107213 1572585 1048618 2026-06-14T05:14:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572585 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]]-[[magharibi]] mwa [[Kenya]], kuanzia mpakani mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:ziwa Turkana]] 2zs89bsbesn21u6dr1ndz6om25voft9 Mto Kalokodo 0 107214 1572643 1048621 2026-06-14T05:24:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572643 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]]-[[magharibi]] mwa [[Kenya]], kuanzia mpakani mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:ziwa Turkana]] 2zs89bsbesn21u6dr1ndz6om25voft9 Mto Kanyangareng 0 107225 1572721 1048635 2026-06-14T05:36:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572721 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]]-[[magharibi]] mwa [[Kenya]], kuanzia mpakani mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Turkana]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:ziwa Turkana]] 2zs89bsbesn21u6dr1ndz6om25voft9 Mto Kitengela 0 107276 1572602 1048738 2026-06-14T05:17:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572602 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[Kenya]] [[Kusini]] ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[Bahari Hindi]] kupitia [[mto Athi-Galana-Sabaki]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Mto Galana]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] oewlhcprmwfum05cvfzxa6qiajiamo0 Mto Sigong Kaskazini 0 107419 1572787 1049025 2026-06-14T05:47:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572787 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s Mto Sifuyo 0 107638 1572884 1050348 2026-06-14T06:03:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572884 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] shb17kvdn7buoorr15nvvb2qp5zbe0s Mto Similik 0 107641 1572801 1050354 2026-06-14T05:50:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572801 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Jubba]] na hatimaye katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:mto Jubba]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] d0kgkz7at8i05oyvj3742hsy0249s5y Orodha ya milima ya mkoa wa Mbeya 0 108514 1572557 1053821 2026-06-14T05:09:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572557 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''Orodha ya milima ya mkoa wa Mbeya''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[milima]] ya eneo hilo la [[Tanzania]] [[kusini]]. * [[Milima ya Ilunga]] * [[Milima ya Marema]] * [[Milima ya Nguawa]] * [[Milima ya Twin|Milima Pacha]] * [[Milima ya Samya]] ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima ya Tanzania]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya]] {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Orodha za kijiografia]] [[Jamii:Jiografia ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Mbeya]] [[Jamii:Milima ya Tanzania]] 1l7ajxr3d0438emv6kkbqw089elch6g Kisiwa cha Kichokochwe 0 108827 1572640 1055143 2026-06-14T05:23:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572640 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[mkoa wa Pemba Kaskazini]], [[Zanzibar]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]] * [[Funguvisiwa la Zanzibar]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]] [[Jamii:Zanzibar]] lbb88o7ck1p8c3aug50j4i130z8yht9 Waorma 0 109419 1572811 1056539 2026-06-14T05:51:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572811 wikitext text/x-wiki '''Waorma''' ni [[kabila]] la [[watu]] (70,000 [[mwaka]] [[2005]]) wa [[jamii]] ya [[Wakushi]] wanaoishi [[mashariki]] mwa [[Kenya]], karibu na mwisho wa [[mto Tana]]. [[Lugha]] yao ni [[Kiorma]], [[lahaja]] ya [[Kioromo]], mojawapo kati ya [[lugha za Kikushi]]. == Marejeo == {{reflist}} {{Makabila ya Kenya}} {{mbegu-utamaduni-KE}} [[Jamii:Makabila ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Tana River]] khwmsviwxryevcvb7ev6cp6268yzenu Watugen 0 109479 1572904 1056751 2026-06-14T06:06:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572904 wikitext text/x-wiki '''Watugen''' ni [[jina]] la [[kabila]] dogo la [[Waniloti]] ambalo huhesabiwa katika kabila kuu la [[Wakalenjin]]. Wanahesabiwa kuwa 350,000 na kuishi nchini [[Kenya]], hasa katika [[kaunti ya Baringo]] na [[kaunti ya Nakuru]]. [[Rais]] wa pili wa Kenya, [[Daniel arap Moi]] ([[1978]]-[[2002]]), ni wa kabila hilo. ==Lugha== Wao huongea [[Kitugen]], [[lahaja]] ya [[lugha]] ya [[Kikalenjin]], mojawapo ya [[lugha za Kiniloti]]. == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== *[http://kalenjin.net/index.php?option=com_content&amp;task=category&amp;sectionid=9&amp;id=63&amp;Itemid=92 Kalenjin Online - Tugen] {{Makabila ya Kenya}} {{mbegu-utamaduni-KE}} [[Category:Makabila ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] [[Jamii:Kaunti ya Nakuru]] 4hwpdxekixpfpm05k4269ot4z0awokt Kisiwa cha Dinzira 0 109481 1572900 1056793 2026-06-14T06:05:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572900 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Kalangala]]). Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Visiwa vya Uganda]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] doxn747o0lq0gv3rrj1wlkgycu7d8k9 Kisiwa cha Lulanda 0 109692 1572852 1057487 2026-06-14T05:58:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572852 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Buikwe]]). Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Visiwa vya Uganda]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] [[Jamii:Wilaya ya Buikwe]] l1rwz4gyn10c86ilf8ji99xlr7d28pz Kisiwa cha Ziru (Kalangala) 0 109803 1572552 1057672 2026-06-14T05:08:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572552 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] [[kusini]] ([[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]], [[Wilaya ya Kalangala]]). Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Visiwa vya Uganda]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] [[Jamii:Wilaya ya Kalangala]] pl7ej21yo6kvxi3x2w4ht6h7f3enjo7 Kisiwa cha Kaivali 0 109833 1572782 1057809 2026-06-14T05:46:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572782 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] ([[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|Mkoa wa Mashariki]], [[Wilaya ya Jinja]]). Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Jinja]] [[Jamii:Visiwa vya Uganda]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] a5g6rcdflnesd4yoz4as6vgmu5lxt3f Kisiwa cha Maundu 0 109841 1572877 1057817 2026-06-14T06:02:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572877 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[Uganda]] ([[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|Mkoa wa Mashariki]], [[Wilaya ya Jinja]]). Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa wa eneo. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Jinja]] [[Jamii:Visiwa vya Uganda]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] a5g6rcdflnesd4yoz4as6vgmu5lxt3f Ziwa Bunyampaka 0 109974 1572790 1058130 2026-06-14T05:48:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572790 wikitext text/x-wiki [[Picha:Rivers and lakes of Uganda.png|thumb|250px|right|[[Mito]] na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza [[ramani]].]] '''{{PAGENAME}}''' ni [[ziwa]] dogo la [[Uganda]] ([[wilaya ya Kasese]]) lililopo katika [[kasoko]] ya [[volikano]]<ref>httpsː//mapcarta.com</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} {{maziwa ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Maziwa ya Uganda]] [[Jamii:Wilaya ya Kasese]] jeh4e01xxxwnqz288ve2cntwue3m8kl Ziwa Kikorongo 0 109976 1572886 1058132 2026-06-14T06:03:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572886 wikitext text/x-wiki [[Picha:Rivers and lakes of Uganda.png|thumb|250px|right|[[Mito]] na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza [[ramani]].]] '''{{PAGENAME}}''' ni [[ziwa]] dogo la [[Uganda]] ([[wilaya ya Kasese]]) lililopo katika [[kasoko]] ya [[volikano]]<ref>httpsː//mapcarta.com</ref>. == Marejeo == {{Marejeo}} {{maziwa ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Maziwa ya Uganda]] [[Jamii:Wilaya ya Kasese]] jeh4e01xxxwnqz288ve2cntwue3m8kl Ziwa Mwakola 0 110042 1572708 1058245 2026-06-14T05:34:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572708 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[ziwa]] dogo na lisilodumu [[mwaka]] mzima la [[Kenya]] ([[kaunti ya Kwale]])<ref>www.getamap.net</ref>. ==Tazama pia== • [[Orodha ya maziwa ya Kenya]] == Marejeo == {{Marejeo}} {{maziwa ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Maziwa ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kwale]] 3mh5nxboksv6i5klkssvaijv0n18l47 Ziwa Lambo la Aruba 0 110084 1572450 1058312 2026-06-14T04:51:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572450 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[ziwa]] dogo la [[Kenya]] ([[kaunti ya Taita-Taveta]])<ref>www.getamap.net</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya maziwa ya Kenya]] == Marejeo == {{Marejeo}} {{maziwa ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Maziwa ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Taita-Taveta]] ajnn6vwjdqpx1k8rf94ngaceak1q4fw Ziwa Mukunguya 0 110140 1572654 1058599 2026-06-14T05:25:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572654 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' (pia: '''Mpekatoni''') linapatikana katika [[kaunti ya Lamu]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[pwani]]). Linaenea katika [[kilomita mraba]] 1.62. ==Tazama pia== * [[Maziwa ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{maziwa ya Kenya}} {{mbegu-jio-KE}} [[Jamii:Maziwa ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Lamu]] 2m8kgaz5jawzat8m1mlf9wb9jlvabj7 Mto Auchi 0 110444 1572847 1059329 2026-06-14T05:57:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572847 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Amuru]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] kwos0nqi5epqdrm5s8g5cktwq6zqs5y Mto Apiiyie 0 110729 1572456 1059769 2026-06-14T04:52:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572456 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Gulu]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx Mto Atega 0 110730 1572506 1059770 2026-06-14T05:01:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572506 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Gulu]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx Mto Awicpalaro 0 110731 1572568 1059771 2026-06-14T05:11:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572568 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Gulu]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx Mto Aworanga 0 110732 1572624 1059772 2026-06-14T05:20:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572624 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Gulu]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx Mto Laciri 0 110747 1572697 1059787 2026-06-14T05:32:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572697 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Gulu]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx Mto Ladwar 0 110748 1572774 1059788 2026-06-14T05:45:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572774 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Gulu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Gulu]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] amz5np7e821l9bdogpga7wtctnrdrwx Mto Narochom 0 111326 1572474 1061931 2026-06-14T04:55:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572474 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kaabong]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6 Mto Nasip 0 111327 1572524 1061932 2026-06-14T05:04:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572524 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kaabong]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] j1kxoctaa2s0x183e87wk62db5j37w6 Mto Abudunu 0 111360 1572664 1061970 2026-06-14T05:27:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572664 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Lamwo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] oqejyyxkqxsrijamfslk4gaj3x2qeb2 Mto Wangelaca 0 111526 1572440 1062394 2026-06-14T04:50:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572440 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Lamwo]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Lamwo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Lamwo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] izmwlxfn0mnl7dfgf4qfmjnrx84ykco Mto Akaba 0 111625 1572549 1062653 2026-06-14T05:08:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572549 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nebbi]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nebbi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Nebbi]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] dpt1a2kmxbk36eskb2hhk3bq7jeaj98 Mto Kiazi 0 111696 1572763 1062986 2026-06-14T05:43:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572763 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ta289dn1258zaxamuyxyz37f1iz9knf Mto Kojam 0 111697 1572857 1062988 2026-06-14T05:58:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572857 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Nakapiripirit]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Nakapiripirit]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Nakapiripirit]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ta289dn1258zaxamuyxyz37f1iz9knf Mto Ajobi 0 111865 1572752 1063449 2026-06-14T05:41:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572752 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Pader]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Pader]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Pader]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] rg1xqablvou4ymkchzlfpqd73sync0q Mto Kikii 0 111882 1572846 1063466 2026-06-14T05:57:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572846 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Pader]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Pader]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Pader]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] rg1xqablvou4ymkchzlfpqd73sync0q Mto Kagwa (Uganda) 0 112018 1572443 1063673 2026-06-14T04:50:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572443 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Yumbe]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Yumbe]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Yumbe]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] k45uq4f1xg77sd8gvn12es1u5p1xqzs Mto Kajebene 0 112019 1572495 1063674 2026-06-14T04:59:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572495 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Yumbe]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Yumbe]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Yumbe]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] k45uq4f1xg77sd8gvn12es1u5p1xqzs Mto Odra (Yumbe) 0 112029 1572555 1063684 2026-06-14T05:09:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572555 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Yumbe]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Yumbe]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Yumbe]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] k45uq4f1xg77sd8gvn12es1u5p1xqzs Mto Odringa 0 112030 1572613 1063685 2026-06-14T05:19:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572613 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Yumbe]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Yumbe]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Yumbe]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] k45uq4f1xg77sd8gvn12es1u5p1xqzs Mto Naakai 0 112085 1572759 1063778 2026-06-14T05:43:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572759 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Napak]], [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Napak]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Napak]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] gdmckdpiktag9kbgwkye3ahcuymfz39 Mto Adiidiin 0 112326 1572588 1064663 2026-06-14T05:14:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572588 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Amuria]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuria]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Amuria]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] iojqvqkoaidlqm09fi1aa735x8glfas Mto Sume (Uganda) 0 112350 1572730 1064689 2026-06-14T05:38:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572730 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bududa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bududa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Bududa]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 72xuvvizg9awubdeijsocb7y9famkai Mto Kagoloto 0 112356 1572742 1064698 2026-06-14T05:40:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572742 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bukedea]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bukedea]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Bukedea]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] qb6y7a99yxilapngc2nnu8n1ydqqb98 Mto Karemem 0 112358 1572827 1064700 2026-06-14T05:54:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572827 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Bukedea]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Bukedea]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Bukedea]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] qb6y7a99yxilapngc2nnu8n1ydqqb98 Mto Walutente 0 112552 1572691 1065117 2026-06-14T05:31:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572691 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Iganga]] na [[wilaya ya Mayuge]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Iganga]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mayuge]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Iganga]] [[Jamii:Wilaya ya Mayuge]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] hiveuj101hta6qlw5t0hv97iqtydnrr Mto Kufu (Uganda) 0 112972 1572619 1066384 2026-06-14T05:20:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572619 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Manafwa]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] 2ae0cswew7tcfcnva4h1bc6h0im9hx7 Mto Nabulongwe 0 112976 1572692 1066389 2026-06-14T05:32:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572692 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Manafwa]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] 2ae0cswew7tcfcnva4h1bc6h0im9hx7 Mto Nambara (Uganda) 0 112977 1572769 1066391 2026-06-14T05:44:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572769 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Manafwa]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Manafwa]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Manafwa]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] 2ae0cswew7tcfcnva4h1bc6h0im9hx7 Orodha ya mito ya wilaya ya Serere 0 113066 1572750 1066504 2026-06-14T05:41:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572750 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''Orodha ya mito ya wilaya ya Serere''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[mito]] ya eneo hilo la [[Uganda]] [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]]. * [[Mto Kamuka]] ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Orodha za kijiografia]] [[Jamii:Wilaya ya Serere]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Mkoa wa Mashariki (Uganda)]] rnqosrpj681t0cuh69dq02pfb00f2f8 Mto Chepeso 0 113093 1572596 1066537 2026-06-14T05:16:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572596 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Tororo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y Mto Chokuluk 0 113094 1572652 1066538 2026-06-14T05:25:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572652 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Tororo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y Mto Olire 0 113130 1572737 1066596 2026-06-14T05:39:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572737 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Tororo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y Mto Omwonyole 0 113131 1572817 1066597 2026-06-14T05:52:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572817 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Tororo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y Mto Ongere 0 113132 1572914 1066599 2026-06-14T06:08:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572914 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Tororo]], [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Tororo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Tororo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 7wha0pl4hyo3fud9cz6ftzwpbr03a7y Mto Comaile 0 113840 1572718 1068887 2026-06-14T05:36:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572718 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Eritrea]] na kuishia katika [[Bahari ya Shamu]] baada ya kuungana na [[mto Haddas]] na [[mto Aligide]]. ==Tazama pia== *[[Orodha ya mito ya Eritrea]] == Marejeo == {{Reflist}} {{mito ya Eritrea}} [[Jamii:Mito ya Eritrea]] [[Jamii:Bahari ya Shamu]] d70kjux881jqnexeavrs58325cboi90 Mto Chalanga (Uganda) 0 113895 1572457 1068998 2026-06-14T04:53:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572457 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kasese]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kasese]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kasese]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] pbd81kcl3031gzn087m9xfkjv9ci0mc Mto Isa (Kasese) 0 113900 1572507 1069003 2026-06-14T05:01:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572507 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kasese]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kasese]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kasese]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] pbd81kcl3031gzn087m9xfkjv9ci0mc Mto Nyamagasani 0 113916 1572855 1069019 2026-06-14T05:58:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572855 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kasese]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[ziwa Edward]], [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kasese]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kasese]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:ziwa Edward]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] rnow2vnqecopcso0bc0q1i86i67hye6 Mto Karamaga 0 113943 1572529 1069065 2026-06-14T05:05:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572529 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kabarole]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o Mto Katondwa 0 113944 1572592 1069066 2026-06-14T05:15:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572592 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kabarole]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o Mto Kawaswiswa 0 113945 1572648 1069067 2026-06-14T05:24:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572648 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kabarole]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o Mto Nyabunigi 0 113988 1572812 1069173 2026-06-14T05:51:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572812 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kabarole]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o Mto Nyabunimbo 0 113989 1572909 1069174 2026-06-14T06:07:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572909 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kabarole]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] h2g7byubgpkyz4hjj648xrkoj347h2o Mto Igasa 0 114038 1572851 1069226 2026-06-14T05:57:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572851 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kabarole]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] dw8lxd6nw3fy3b6ekzk8jsj117j0f1r Mto Dukonge 0 114072 1572625 1069276 2026-06-14T05:21:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572625 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Masindi]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj Mto Ibohe 0 114073 1572700 1069277 2026-06-14T05:33:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572700 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Masindi]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj Mto Ichwabitengo 0 114075 1572778 1069278 2026-06-14T05:46:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572778 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Masindi]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj Mto Kaigota 0 114083 1572871 1069286 2026-06-14T06:01:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572871 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Masindi]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Masindi]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] *[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda]. {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Masindi]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] i616r4l9e0hzvll0nk02jmb9ju1a2hj Mto Rugaga 0 114668 1572479 1071496 2026-06-14T04:56:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572479 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Isingiro]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Isingiro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Isingiro]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] n82lxry3f9ebuuhwbseku09rpoyo83k Mto Rugyeye 0 114669 1572531 1071497 2026-06-14T05:05:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572531 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Isingiro]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Isingiro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Isingiro]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] n82lxry3f9ebuuhwbseku09rpoyo83k Mto Rusabbasabbie 0 114671 1572593 1071499 2026-06-14T05:15:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572593 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Isingiro]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Isingiro]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Isingiro]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] n82lxry3f9ebuuhwbseku09rpoyo83k Mto Wambaya 0 114949 1572702 1072779 2026-06-14T05:33:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572702 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kiryandongo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kiryandongo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kiryandongo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] b05fe3e0bnvrvw1dehbdrpx3hc3p8cc Mto Wanandsawa 0 114950 1572781 1072780 2026-06-14T05:46:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572781 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kiryandongo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kiryandongo]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kiryandongo]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] b05fe3e0bnvrvw1dehbdrpx3hc3p8cc Mto Bulyera 0 115221 1572661 1073733 2026-06-14T05:27:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572661 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kampala]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kampala]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kampala]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ceew6u4flt5vit6oixp6wz0otge9cu2 Mto Kiwuunya 0 115226 1572741 1073739 2026-06-14T05:40:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572741 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kampala]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kampala]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Kampala]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ceew6u4flt5vit6oixp6wz0otge9cu2 Mto Kanogola 0 115444 1572442 1074836 2026-06-14T04:50:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572442 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Mukono]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j Mto Namfuko 0 115560 1572493 1075280 2026-06-14T04:59:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572493 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Mukono]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j Mto Namokomo 0 115561 1572553 1075281 2026-06-14T05:09:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572553 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Mukono]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Mukono]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] gdsii54kinkbimdkp678u9sneit4a3j Mto Kayunga (Wakiso) 0 115688 1572606 1075833 2026-06-14T05:17:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572606 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Wakiso]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Wakiso]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Wakiso]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] buawz9bra87xg51jtued91iifv22er5 Mto Lufuko 0 115692 1572672 1075837 2026-06-14T05:28:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572672 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Wakiso]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Wakiso]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Wakiso]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] buawz9bra87xg51jtued91iifv22er5 Mto Namugambwa 0 115704 1572612 1075849 2026-06-14T05:18:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572612 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Wakiso]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Wakiso]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Wakiso]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 4sxi0z6l20rnzy3m4nswiw3ep5qrpb9 Mto Nasere 0 115705 1572679 1075850 2026-06-14T05:29:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572679 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Wakiso]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Wakiso]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Wakiso]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 4sxi0z6l20rnzy3m4nswiw3ep5qrpb9 Mto Nokazi 0 115706 1572756 1075851 2026-06-14T05:42:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572756 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Wakiso]], [[Mkoa wa Kati (Uganda)|mkoa wa Kati]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Wakiso]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Wakiso]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 4sxi0z6l20rnzy3m4nswiw3ep5qrpb9 Mto Agunda 0 115729 1572780 1075914 2026-06-14T05:46:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572780 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] igxz0y0np9e9obnpziyg0pywh3adob7 Mto Agwaryugi 0 115730 1572873 1075915 2026-06-14T06:01:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572873 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] igxz0y0np9e9obnpziyg0pywh3adob7 Mto Lungiebi 0 116120 1572481 1077512 2026-06-14T04:57:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572481 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|mkoa wa Kaskazini]], nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] isrqs9v2dhkucnedseknqja69532z89 Mto Wambabyo 0 116193 1572449 1077882 2026-06-14T04:51:45Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572449 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Hoima]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] * [[Orodha ya mito ya wilaya ya Hoima]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Wilaya ya Hoima]] [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 85dv1mb7auxp1t7mowqyfwd4rf0klp7 2400 KK 0 116265 1572666 1078148 2026-06-14T05:27:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572666 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{MwakaKK|2400}} Makala hii inahusu [[mwaka]] '''2400 KK''' ([[kabla ya Kristo]]). ==Matukio== == Waliozaliwa == == Waliofariki == {{mbegu-historia}} [[Jamii:Karne ya 25 KK]] 1ngf26uhkwphrfbjs19ckzv78kw5vy8 Mto Rutondo 0 116300 1572486 1078192 2026-06-14T04:57:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572486 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|Mkoa wa Magharibi]] nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 8kop46wkarv4e5jdkikyjbjbmcyyxoh Mto Rwamutwaikya 0 116302 1572537 1078194 2026-06-14T05:06:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572537 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|Mkoa wa Magharibi]] nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 8kop46wkarv4e5jdkikyjbjbmcyyxoh Mto Siroko 0 116307 1572598 1078199 2026-06-14T05:16:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572598 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|Mkoa wa Mashariki]] nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] tbm60bqsqm9rzd2xmsq1fg6llajpq5q Mto Siti (Uganda) 0 116311 1572655 1078203 2026-06-14T05:26:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572655 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|Mkoa wa Mashariki]] nchini [[Uganda]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Uganda]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Uganda}} {{mbegu-jio-Uganda}} [[Jamii:Mito ya Uganda]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] tbm60bqsqm9rzd2xmsq1fg6llajpq5q Wagwere 0 122027 1572859 1103414 2026-06-14T05:59:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572859 wikitext text/x-wiki [[File:Group of Bagwere.JPG|thumb|Kundi la Wagwere.]] '''Wagwere''' ni la [[kabila]] la [[Kibantu]] linaloishi [[mashariki]] mwa [[Uganda]] ([[wilaya ya Budaka]], [[Wilaya ya Pallisa]], [[Wilaya ya Kibuku]] na [[Wilaya ya Butebo]])<ref>{{cite book | title= A History of African Motherhood: The Case of Uganda, 700-1900 | publisher=Cambridge University Press | year=2013 | url=https://books.google.com/books?isbn=1107030803 | page=163}}</ref>. [[Lugha]] yao ni [[Kigwere]] ambayo inazungumzwa na watu 500,000 hivi. Leo wengi wao ni [[Wakristo]]. == Marejeo == {{reflist}} {{makabila ya Uganda}} {{mbegu-utamaduni}} [[Jamii:Wilaya ya Budaka]] [[Jamii:Wilaya ya Pallisa]] [[Jamii:Wilaya ya Kibuku]] [[Jamii:Wilaya ya Butebo]] [[Category:Makabila ya Uganda]] qasrf5zxkxn5mwjkys2ty3maf7nh8kv Shunichi Kumai 0 122167 1572704 1103877 2026-06-14T05:34:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572704 wikitext text/x-wiki '''Shunichi Kumai''' (熊井 俊一) alikuwa [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]]. Kumai alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 13 Mei 1934 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Indonesia|Indonesia]]. Kumai alicheza Japani katika mechi 2.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players_unknown/34.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1934||2||0 |- !Jumla||2||0 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD||u}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]] scdglg3i4ofgiin8py8yb986cli0d4h Yasuhiko Okudera 0 122314 1572883 1104042 2026-06-14T06:03:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572883 wikitext text/x-wiki '''Yasuhiko Okudera''' (奥寺 康彦; alizaliwa [[12 Machi]] [[1952]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]]. Okudera alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 12 Julai 1972 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kamboja|Kamboja]]. Okudera alicheza Japani katika mechi 32, akifunga mabao 9.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/okudera_yasuhiko.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1972||6||1 |- |1973||0||0 |- |1974||0||0 |- |1975||5||0 |- |1976||8||7 |- |1977||4||0 |- |1978||0||0 |- |1979||0||0 |- |1980||0||0 |- |1981||0||0 |- |1982||0||0 |- |1983||0||0 |- |1984||0||0 |- |1985||0||0 |- |1986||4||0 |- |1987||5||1 |- !Jumla||32||9 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1952|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]] rhpc9g4gftmxfjihnqg9fwktfikbbgf Masashi Nakayama 0 122436 1572819 1104177 2026-06-14T05:53:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572819 wikitext text/x-wiki '''Masashi Nakayama''' (中山 雅史; alizaliwa [[23 Septemba]] [[1967]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]]. Nakayama alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 31 Julai 1990 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Korea Kaskazini|Korea Kaskazini]]. Nakayama alicheza Japani katika mechi 53, akifunga mabao 21.<ref name="JNFTD">[http://www.jfootball-db.com/en/players/nakayama_masashi.html Japan National Football Team Database]</ref><ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="JNFTD"/><ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1990||1||0 |- |1991||0||0 |- |1992||6||3 |- |1993||8||4 |- |1994||0||0 |- |1995||4||1 |- |1996||0||0 |- |1997||2||2 |- |1998||10||4 |- |1999||1||0 |- |2000||7||6 |- |2001||8||1 |- |2002||3||0 |- |2003||3||0 |- !Jumla||53||21 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1967|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]] 2vpct47cpcfg25ay3zq8rlmaar6ezp7 Ryota Nagaki 0 122688 1572771 1104476 2026-06-14T05:45:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572771 wikitext text/x-wiki [[file:Ryota Nagaki.jpg|200px|right]] '''Ryota Nagaki''' (永木 亮太; alizaliwa [[4 Juni]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]]. Nagaki alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 11 Novemba 2016 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Omani|Omani]]. Nagaki alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |2016||1||0 |- !Jumla||1||0 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1988|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]] plp85qa0y8wekk7m9m7y7qhlbztb28n Kyogo Furuhashi 0 122736 1572659 1104528 2026-06-14T05:26:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572659 wikitext text/x-wiki '''Kyogo Furuhashi''' (古橋 亨梧; alizaliwa [[20 Januari]] [[1995]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Japani]]. Anachezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]]. Furuhashi alicheza kwa mara ya kwanza katika [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|timu ya taifa ya Japani]] tarehe 19 Novemba 2019 dhidi ya [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Venezuela|Venezuela]]. Furuhashi alicheza Japani katika mechi 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Japani|Timu ya Taifa ya Japani]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |2019||1||0 |- !Jumla||1||0 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1995|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]] tdwy2paqa1fxiv1g5gjgbgjoh1cybjv Juan Esnáider 0 122780 1572562 1104596 2026-06-14T05:10:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572562 wikitext text/x-wiki '''Juan Esnáider''' (alizaliwa [[5 Machi]] [[1973]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Argentina]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Argentina|timu ya taifa ya Argentina]]. Esnáider ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Argentina|timu ya taifa ya Argentina]] tangu mwaka wa 1995. Esnáider alicheza Argentina katika mechi 3, akifunga mabao 2.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Argentina|Timu ya Taifa ya Argentina]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1995||1||2 |- |1996||1||0 |- |1997||1||0 |- !Jumla||3||2 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1973|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Argentina]] gszn0dbutzyh0c1k122h3yk8bquybw5 Simão Mate Junior 0 122940 1572725 1104801 2026-06-14T05:37:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572725 wikitext text/x-wiki [[file:Simao Mate Junior in Panathinaikos.jpg|200px|right]] '''Simão Mate Junior''' (alizaliwa [[23 Julai]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Msumbiji]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Msumbiji|timu ya taifa ya Msumbiji]]. Mate ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Msumbiji|timu ya taifa ya Msumbiji]] tangu mwaka wa 2007. Mate alicheza Msumbiji katika mechi 42.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Msumbiji|Timu ya Taifa ya Msumbiji]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |2007||6||0 |- |2008||8||0 |- |2009||6||0 |- |2010||7||0 |- |2011||1||0 |- |2012||5||0 |- |2013||0||0 |- |2014||7||0 |- |2015||0||0 |- |2016||2||0 |- !Jumla||42||0 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1988|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Msumbiji]] emnudzgnnglno4pqjf0wp90cvbnle2t Ľubomír Moravčík 0 123029 1572906 1104931 2026-06-14T06:06:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572906 wikitext text/x-wiki '''Ľubomír Luhový''' (alizaliwa [[22 Juni]] [[1965]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Slovakia]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Slovakia|timu ya taifa ya Slovakia]] na [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Chekoslovakia|timu ya taifa ya Chekoslovakia]]. Moravčík ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Chekoslovakia|timu ya taifa ya Chekoslovakia]] tangu mwaka wa 1987. Moravčík alicheza Chekoslovakia na [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Slovakia|Slovakia]] katika mechi 80, akifunga mabao 12.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Chekoslovakia|Timu ya Taifa ya Chekoslovakia]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1987||1||0 |- |1988||3||0 |- |1989||8||1 |- |1990||12||1 |- |1991||6||2 |- |1992||6||1 |- |1993||6||1 |- !Jumla||42||6 |- !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Slovakia|Timu ya Taifa ya Slovakia]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1994||6||2 |- |1995||8||0 |- |1996||5||1 |- |1997||3||0 |- |1998||10||3 |- |1999||0||0 |- |2000||6||0 |- !Jumla||38||6 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1965|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Slovakia]] niwr622bujmo9vi7dlse53delx22w65 Nélson Luís Kerchner 0 123158 1572466 1105072 2026-06-14T04:54:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572466 wikitext text/x-wiki '''Nélson Luís Kerchner''' ('''Nelsinho''', alizaliwa [[31 Desemba]] [[1962]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Brazil]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]]. Nelsinho ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|timu ya taifa ya Brazil]] tangu mwaka wa 1987. Nelsinho alicheza Brazil katika mechi 17, akifunga mabao 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil|Timu ya Taifa ya Brazil]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1987||11||1 |- |1988||4||0 |- |1989||1||0 |- |1990||1||0 |- !Jumla||17||1 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1962|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Brazil]] rt3xixim7d3k8bzzkfxaubwkgq4n4ga Vitaliy Parakhnevych 0 123223 1572724 1105169 2026-06-14T05:37:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572724 wikitext text/x-wiki '''Vitaliy Parakhnevych''' (alizaliwa [[4 Mei]] [[1969]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[mpira wa miguu]] wa [[Tajikistan]]. Aliwahi kucheza [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Tajikistan|timu ya taifa ya Tajikistan]]. Parakhnevych ameichezea [[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Tajikistan|timu ya taifa ya Tajikistan]] tangu mwaka wa 1997. Parakhnevych alicheza Tajikistan katika mechi 1.<ref name="NFT">{{NFT player}}</ref> ==Takwimu== <ref name="NFT"/> {| class="wikitable" style="text-align:center;" !colspan="3"|[[Timu ya Taifa ya Kandanda ya Tajikistan|Timu ya Taifa ya Tajikistan]] |- !Mwaka||Mechi||Magoli |- |1997||1||0 |- !Jumla||1||0 |} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-cheza-mpira}} {{BD|1969|}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Tajikistan]] dc6dyyu6vfm6aab0dj5sqd9zzgy8u17 Mto Kirasa 0 123324 1572623 1105400 2026-06-14T05:20:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572623 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Bujumbura Vijijini]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bujumbura Vijijini]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Bujumbura Vijijini]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] dmbxt69beh7trk29hclbepxebirh6wp Mto Mukobore 0 123342 1572767 1105454 2026-06-14T05:44:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572767 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bujumbura Vijijini]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bujumbura Vijijini]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Bujumbura Vijijini]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 9lvroscdvy57gvajc4bgwoya3oto85z Mto Mushishi (Bujumbura) 0 123344 1572862 1105456 2026-06-14T05:59:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572862 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bujumbura Vijijini]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bujumbura Vijijini]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Bujumbura Vijijini]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 9lvroscdvy57gvajc4bgwoya3oto85z Mto Kabengwa (Burundi) 0 123546 1572714 1105813 2026-06-14T05:35:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572714 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] gp4pq2g2ykvl8sjc59dyovslh5azfks Mto Kivyira 0 123556 1572889 1105824 2026-06-14T06:04:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572889 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] gp4pq2g2ykvl8sjc59dyovslh5azfks Mto Rubugenge 0 123624 1572636 1105943 2026-06-14T05:22:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572636 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cibitoke]]). [[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cibitoke]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|R]] [[Jamii:Mkoa wa Cibitoke]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] hvdtdty00tli6iu8j8ia9mkiogmtykl Mto Gitanga (Makamba) 0 123674 1572843 1106044 2026-06-14T05:56:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572843 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|G]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 6ksby9njdlf63vyqd3b9egyyjvje21c Mto Muhwima 0 123762 1572468 1106211 2026-06-14T04:54:54Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572468 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] axlned2nvp1nh1p0umhcxxw5f9isi6a Mto Muka (Burundi) 0 123763 1572518 1106212 2026-06-14T05:03:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572518 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] axlned2nvp1nh1p0umhcxxw5f9isi6a Mto Mukerezi 0 123764 1572580 1106213 2026-06-14T05:13:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572580 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] axlned2nvp1nh1p0umhcxxw5f9isi6a Mto Mukungwe (Burundi) 0 123766 1572638 1106217 2026-06-14T05:23:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572638 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] axlned2nvp1nh1p0umhcxxw5f9isi6a Mto Nyamanga 0 123831 1572548 1106314 2026-06-14T05:08:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572548 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1 Mto Nyampande (Burundi) 0 123838 1572607 1106322 2026-06-14T05:18:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572607 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1 Mto Nyankoni 0 123842 1572674 1106326 2026-06-14T05:29:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572674 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Makamba]]). [[Maji]] yake huelekea [[ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Makamba]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Makamba]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 3unrgp5fxys1jkon6y1axtjlnaljfa1 Mto Kabuhuha 0 123924 1572460 1106454 2026-06-14T04:53:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572460 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ngozi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ae9lao0zcti0clqtpdhlen62dfbdsrr Mto Kamira (Ngozi) 0 123930 1572446 1106460 2026-06-14T04:51:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572446 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ngozi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] j5gslokdbkhemtan86lz397a2whj9dq Mto Kano (Burundi) 0 123933 1572497 1106463 2026-06-14T04:59:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572497 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ngozi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] j5gslokdbkhemtan86lz397a2whj9dq Mto Kanyambeho 0 123934 1572556 1106464 2026-06-14T05:09:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572556 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ngozi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] j5gslokdbkhemtan86lz397a2whj9dq Mto Nyabuganga 0 123982 1572682 1106551 2026-06-14T05:30:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572682 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Ngozi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ertvm8halu3if5ym2a5jd9eglrrjart Mto Rwogo 0 124002 1572761 1106577 2026-06-14T05:43:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572761 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Ngozi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|R]] [[Jamii:Mkoa wa Ngozi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] c88a0uz4rrvwknmez3j8ih2aggi7nhp Mto Gasebuzi (Kirundo) 0 124045 1572911 1106685 2026-06-14T06:07:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572911 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|G]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] s2hqfyd48tk93783sx44asa6cp363tv Mto Kanywambeho 0 124057 1572538 1106699 2026-06-14T05:06:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572538 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ajp3z3i10mux361qinkxtsmuvbilptw Mto Kiganga (Kirundo) 0 124059 1572599 1106701 2026-06-14T05:16:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572599 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ajp3z3i10mux361qinkxtsmuvbilptw Mto Kinywamagana (Burundi) 0 124061 1572656 1106703 2026-06-14T05:26:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572656 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ajp3z3i10mux361qinkxtsmuvbilptw Mto Matonyango 0 124064 1572738 1106706 2026-06-14T05:39:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572738 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] l2mgmfcghq94ryihcx0iv3mzc6riher Mto Murutambabisigo 0 124078 1572824 1106722 2026-06-14T05:53:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572824 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] l2mgmfcghq94ryihcx0iv3mzc6riher Mto Mwohero 0 124084 1572916 1106728 2026-06-14T06:08:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572916 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kirundo]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kirundo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kirundo]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] l2mgmfcghq94ryihcx0iv3mzc6riher Mto Ruyambiro 0 124321 1572487 1107243 2026-06-14T04:58:05Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572487 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Muyinga]] [[Jamii:Mito ya Burundi|R]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 4gqz16ph95z538bmtd14dkhstzafrkt Mto Ruyoka 0 124322 1572540 1107244 2026-06-14T05:06:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572540 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muyinga]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muyinga]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Muyinga]] [[Jamii:Mito ya Burundi|R]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 4gqz16ph95z538bmtd14dkhstzafrkt Mto Nyabizi (Burundi) 0 124401 1572794 1107342 2026-06-14T05:48:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572794 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Karuzi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 35d0zpyq546d6i9ae2provf84zhg6nh Mto Nyabusare 0 124403 1572892 1107344 2026-06-14T06:04:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572892 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Karuzi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 35d0zpyq546d6i9ae2provf84zhg6nh Mto Nyabwezi 0 124404 1572452 1107345 2026-06-14T04:52:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572452 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Karuzi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] fobex9avld5o7bwyn8h0trn23jhdzsh Mto Nyankende (Karuzi) 0 124410 1572501 1107352 2026-06-14T05:00:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572501 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Mkoa wa Karuzi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] fobex9avld5o7bwyn8h0trn23jhdzsh Mto Rukonya 0 124439 1572565 1107447 2026-06-14T05:11:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572565 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[kaskazini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Karuzi]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|R]] [[Jamii:Mkoa wa Karuzi]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] ohbs7wwf7nrr99cci7b4e3r9rqrxpys Mto Gasangu 0 125580 1572758 1111670 2026-06-14T05:42:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572758 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Bururi]] [[Jamii:Mito ya Burundi|G]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] b0ao2ktywywfjbi99wxx499k5yxddqc Mto Masembe (Burundi) 0 125690 1572854 1111944 2026-06-14T05:58:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572854 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[kusini]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bururi]]). [[Maji]] yanafikia [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, maji yanakwenda kuchangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bururi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Bururi]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] ei1ezvc2ewjrhg6f1in7y5h6za1t4me Mto Murupuka 0 126667 1572464 1115043 2026-06-14T04:54:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572464 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[mashariki]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Cankuzo]]). [[Maji]] yake, kupitia [[ziwa Tanganyika]], huelekea [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Cankuzo|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 57wdj1eitpqn70odrmso5qyu7xafel0 Mto Gihororo (Gitega) 0 126847 1572520 1115446 2026-06-14T05:03:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572520 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|G]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 99tkoj6vhn19qnkra9o7evtvtc08h97 Mto Kariba (Gitega) 0 126889 1572583 1115508 2026-06-14T05:14:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572583 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 8jmwlb8exdnsm629himak2h794u39oe Mto Kavuruga (Gitega) 0 126893 1572641 1115512 2026-06-14T05:23:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572641 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] 8jmwlb8exdnsm629himak2h794u39oe Mto Nyakibingo (Gitega) 0 127071 1572561 1115954 2026-06-14T05:10:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572561 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe Mto Nyakigi 0 127073 1572616 1115956 2026-06-14T05:19:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572616 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe Mto Nyamagezi 0 127076 1572687 1115959 2026-06-14T05:31:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572687 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe Mto Nyamiroroma (Gitega) 0 127081 1572764 1115965 2026-06-14T05:43:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572764 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe Mto Nyamutobo (Burundi) 0 127087 1572858 1115971 2026-06-14T05:59:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572858 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Gitega]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] a9n9osofazf46ddff6qc7oebe3788fe Utitiri-mahameli mkubwa 0 127986 1572698 1124905 2026-06-14T05:33:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572698 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Uainishaji | rangi = #D3D3A4 | jina = Utitiri-mahameli mkubwa | picha = Dinothrombium sp. - Flickr - Dick Culbert.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = Utitiri-mahameli mkubwa | himaya = [[Animalia]] | faila = [[Arthropoda]] | nusufaila = [[Chelicerata]] | ngeli = [[Arachnida]] | nusungeli = [[Acari]] | oda = [[Trombidiformes]] | nusuoda = [[Prostigmata]] | familia = [[Trombidiidae]] | jenasi = ''[[Dinothrombium]]'' | bingwa_wa_jenasi = [[Anthonie Cornelis Oudemans|Oudemans]], 1910 | spishi = ''[[Dinothrombium tinctorium|D. tinctorium]]'' | bingwa_wa_spishi = ([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1767) }} '''Utitiri-mahameli mkubwa''' (''Dinothrombium tinctorium'') ni [[Utitiri (Arithropodi)|utitiri]] mkubwa wa [[familia]] [[Trombidiidae]] katika [[oda]] [[Trombidiformes]] ambaye ni baini ya [[spishi]] kubwa kabisa za matitiri (hadi [[mm]] 12). ==Maelezo== Utitiri huyu ni mkubwa: mm 10-12, na ana rangi ya [[nyekundu]] kali. Ana [[mguu|miguu]] minane kama [[arakinida]] wote. [[Mwili]] umegawanywa katika [[gnathosoma]] na [[idiosoma]] kama matitiri wengine na pia umefunikwa kwa [[unyoya|manyoya]] mengi kama [[mahameli]]. ==Makazi== Spishi hii hutokea maeneo ya [[jangwa]] na [[nusujangwa]]. Hatua zote za spishi hii huishi katika [[mchanga]] au ndani ya takataka za [[mmea|mimea]] na huonekana nadra. Wapevu hutokea baada ya [[mvua]] kubwa na kwa hivyo huitwa “rain bugs” (wadudu-mvua) kwa [[Kiingereza]]. ==Mzunguko wa maisha== Jike anaweza kutaga [[yai|mayai]] 100,000. Hatua ya kwanza inayotoka katika yai inaitwa [[w:pre-larva|pre-larva]] (hatua kabla ya [[lava]]), kisha kuna hatua moja ya lava, hatua tatu za [[tunutu]] ([[w:protonymph|protonymph]], [[w:deutonymph|deutonymph]] na [[w:tritonymph|tritonymph]]) na hatua ya mpevu. Pre-larva, protonymph na tritonymph hawana [[kinywa]] na miguu ni midogo sana au haiko. Lava ni [[kidusia|vidusia]] wa nje juu ya [[arithropodi]] kama [[panzi]], [[mbawakawa]], [[kipepeo|vipepeo]], [[buibui]] na [[buingamia]]. Deutonymph na wapevu ni mbuai wa arithropodi. Mbuawa wanaopendelewa na wapevu ni [[kumbikumbi]]. ==Utetezi dhidi ya maadui== Rangi ya matitiri hao ni nyekundu kali kama onyo kwa maadui. Yaani wana ladha mbaya. [[Jamii:Matitiri]] edny8t47c9hay913fezqqx6mjzse4n3 Mto Ndumbugu 0 128215 1572796 1125723 2026-06-14T05:49:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572796 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]). [[Maji]] yake, kupitia [[mto Ruvubu]] na [[ziwa Nyanza]], huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kayanza]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:ziwa Viktoria]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] p2zldidhkmlmkgmyygrcqxk708uyzxy Mto Nkokoma (Kayanza) 0 128218 1572894 1125726 2026-06-14T06:04:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572894 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Kayanza]]). [[Maji]] yake, kupitia [[mto Ruvubu]] na [[ziwa Nyanza]], huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Kayanza]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:ziwa Viktoria]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] p2zldidhkmlmkgmyygrcqxk708uyzxy Mto Mucece 0 128318 1572483 1125958 2026-06-14T04:57:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572483 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Muramvya]]). [[Maji]] yake huelekea [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Muramvya]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Muramvya]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Nile]] [[Jamii:Mediteranea]] pv5256v6asb71tic88ds5cd0946gsui Nyenje-ardhi 0 129360 1572502 1127851 2026-06-14T05:00:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572502 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} {{Uainishaji | rangi = pink | jina = Nyenje-ardhi | picha = Gryllus bimaculatus00.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = Nyenje madoa-mawili (''Gryllus bimaculatus'') | himaya = [[Animalia]] <small>([[Mnyama|Wanyama]])</small> | faila = [[Arthropoda]] <small>(Wanyama wenye miguu yenye viungo)</small> | nusufaila = [[Hexapoda]] <small>([[Arithropodi]] wenye miguu sita)</small> | ngeli = [[Insecta]] <small>([[Wadudu]])</small> | nusungeli = [[Pterygota]] <small>(Wadudu wenye mabawa)</small> | oda = [[Orthoptera]] <small>(Wadudu wenye mabawa nyofu)</small> | nusuoda = [[Ensifera]] <small>(Wadudu kama [[nyenje (Grylloidea|nyenje]])</small> | familia_ya_juu = [[Grylloidea]] <small>(Nyenje)</small> | familia = [[Gryllidae]] <small>(Nyenje-ardhi)</small> | bingwa_wa_familia = [[Johann Nepomuk von Laicharting|Laicharting]], 1781 | subdivision = '''Vikundi vya nusufamilia 2, nusufamilia 13 (10 katika Afrika):''' * Kikundi [[Gryllinae]] ** ''[[Gryllinae]]'' <small>Laicharting, 1781</small> ** ''[[Gryllomiminae]]'' <small>[[Andrey Vasil'evich Gorochov|Gorochov]], 1986</small> ** ''[[Gryllomorphinae]]'' <small>[[Henri Louis Frédéric de Saussure|Saussure]], 1877</small> ** †''[[Gryllospeculinae]]'' <small>Gorochov, 1985</small> ** ''[[Itarinae]]'' <small>[[Tokuichi Shiraki|Shiraki]], 1930</small> ** ''[[Landrevinae]]'' <small>Gorochov, 1982</small> ** ''[[Sclerogryllinae]]'' <small>Gorochov, 1985</small> * Kikundi [[Podoscirtinae]] ** [[Euscyrtinae]] <small>Gorochov, 1985</small> ** [[Hapithinae]]<small>Gorochov, 1985</small> ** [[Pentacentrinae]]<small>Saussure, 1878</small> ** [[Podoscirtinae]]<small>Saussure, 1878</small> * Bila kikundi ** [[Eneopterinae]] <small>Saussure, 1874</small> ** [[Oecanthinae]] <small>[[Charles Émile Blanchard|Blanchard]], 1845</small> }} '''Nyenje-ardhi''' ni [[wadudu]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Gryllidae]] katika [[oda]] [[Orthoptera]]. Wadudu hao ni tofauti na [[nyenje-miti]] ambao wamo katika [[Cicadoidea]] ([[Hemiptera]]). Nyenje-ardhi wanafanana kidogo na [[panzi]] lakini [[bawa|mabawa]] yao yanajifunga bapa [[mgongo]]ni, [[kipapasio|vipapasio]] ni virefu sana na kama [[nyuzi]] na hawaruki mbali sana kwa kawaida. Licha ya jina lao kuna [[spishi]] zinazoishi [[mti|mitini]], zile za [[Oecanthinae]] hasa. ==Maelezo== Nyenje-ardhi ni wadudu wadogo hadi wa ukubwa wastani wenye miili ya umbo la [[mcheduara]] iliyo bapa kidogo. Wana wakubwa wa familia ni [[nyenje-fahali]] wa urefu wa [[sm]] 5 (''Brachytrupes'') ambao huchimba penyo za kina cha [[mita]] moja au zaidi. Nyenje wadogo sana wanapitia sm 1 kidogo tu. [[Kichwa]] kina umbo la [[mviringo]] chenye vipapasio virefu na vyembamba vilivyo juu ya [[skapi]] ([[pingili]] za kwanza) za umbo la [[koni]] na nyuma ya hizi ni [[jicho|macho]] makubwa mawili ya sehemu nyingi. Kwenye [[paji]] la [[uso]] kuna [[oseli]] tatu (macho sahili). [[Pronoto]] (pingili ya kwanza ya [[toraksi]]) ina umbo la [[tenge]], ni ngumu na ina [[deraya]] ya [[khitini]]. Ni laini na haina [[mkuku|mikuku]] juu yake wala kwenye pande zake. Ncha ya [[fumbatio]] ina jozi ya [[serki]] ndefu (jozi ya [[kiambatisho|viambatisho]] kwenye pingili ya mwisho) na majike pia wana [[mrija]] mrefu kwa kutaga mayai ([[oviposito]]). Mrija huo unaweza kuwa mnyofu na mwembamba kama [[sindano]] au uliopindika na mpana zaidi kama [[kitara]]. Femuri (pingili za tatu) za [[mguu|miguu]] ya nyuma zimekuwa kubwa sana kwa kusudi ya kuruka. Tibia (pingili za nne) ya miguu ya nyuma zina [[kipi|vipi]] kadhaa kama kingo vinavyoweza kusogea. Mpangilio wa vipi hivyo ni maalumu kwa kila spishi. Tibia za miguu ya mbele hubeba [[timpano]] moja au kadhaa, viwambo vya kupokea sauti. Nyenje hutofautiana na vikundi vingine vya Ensifera kwa kuwa na [[tarsi]] zenye pingili tatu badala ya nne. Mabawa yapo bapa juu ya mwili na yanatofautiana sana kwa ukubwa kati ya spishi. Hupunguka kwa ukubwa katika nyenje kadhaa na hukosekana kwa wengine. Mabawa ya mbele ni [[elitro]] zilizotengenezwa na khitini ngumu. Zinafanya kama [[ngao]] ya kinga kwa sehemu nyororo za mwili na kwa madume hubeba viungo vya kutetema kwa uzalishaji wa [[sauti]]. Walakini mabawa ya mbele ya [[nyenje-mti]] ni mororo na mangavu. Mabawa ya nyuma ni kama viwambo na yanakunjika chini ya mabawa ya mbele kama [[kipepeo]]. Katika spishi nyingi mabawa hayakutoholewa kwa kuruka angani. ==Uzazi na mzunguko wa maisha== [[Picha:Snodgrass_Gryllus_assimilis.png|thumb|left|220px|Hatua za nyenje: A. Dume akipiga sauti. B. Jike wenye mrija wa kutaga. C. Tunutu. D. Jike akiingiza omrija wa kutaga ardhini. E. Jike akitaga mayai.]] Madume wa nyenje huanzisha utawala dhidi ya wenzao kwa uchokozi. Wanaanza kwa kupigiliana na vipapasio vyao na kutanua [[mandibulo]] zao. Isipokuwa mmojawapo ajirudie wakati huu, wanaishia kugombana, wakitoa kila mmoja kititi milio iliyo tofauti kabisa na ile iliyopigwa katika hali nyingine. Wakati mmojawapo anafikia utawala huimba kwa sauti kubwa, huku anayeshindwa akae kimya. Kwa ujumla majike huvutiwa na madume kwa milio yao, ingawa katika spishi zisizopiga mlio lazima utaratibu mwingine ushirikishwe. Baada ya wenzi kufanya mawasiliano kwa vipapasio, kipindi cha [[uchumba]] kinaweza kutokea wakati sifa ya mlio hubadilika. Jike hupanda dume na [[spermatoforo]] (kibumba chenye [[manii]]) huhamishwa kwenye viungo vya uzazi vya nje vya jike. Manii hutiririka kutoka kwa hiyo kuelekea kwenye [[ovidukiti]] ya jike kwa kipindi cha [[dakika]] chache au hadi saa moja kulingana na spishi. Baada ya kupandana jike anaweza kuondoa au kula spermatoforo lakini dume anaweza kujaribu kuzuia hii kwa tabia anuwai za kidesturi. Jike huweza kupandana mara kadhaa na madume wengine. Nyenje wengi sana hutaga mayai yao kwenye [[mchanga]] au ndani ya [[shina|mashina]] ya [[mmea|mimea]] na kufanya hivyo, majike wa nyenje wana chombo kirefu, kama sindano au kama kitara, kinachotumika kutaga mayai na kinachoitwa oviposito. Spishi fulani zinazokaa ardhini zimepoteza hiki na hutaga mayai yao ama kwenye chumba chini ya ardhi au kuyasukuma dhidi ya ukuta wa upenyo. Nyenje mkia-mfupi (Anurogryllus) huchimba upenyo mwenye vyumba na eneo la kunya, hutaga mayai yake katika rundo kwenye sakafu ya chumba na baada ya mayai kutoa tunutu, huwalisha kwa karibu [[mwezi (wakati)|mwezi]] moja. Nyenje ni wadudu wenye [[metamofosisi]] isiyo kamili ambao mzunguko wa maisha yao una hatua ya yai, hatua za tunutu ambaye anazidi kufanana na maumbile ya mpevu wakati anapokua, na hatua ya mpevu. Yai hutoa tunutu wa takriban ukubwa wa [[Nzi-matunda Mdogo|nzi-matunda mdogo]]. Huyu hupita karibu na hatua 10 za tundu na baada ya kila uambuaji ufuatao anakuwa zaidi kama mpevu. Baada ya uambuaji wa mwisho viungo vya uzazi na mabawa yamekua kabisa, lakini kipindi cha kukomaa kinahitajika kabla nyenje ni tayari kuzaliana. ==Spishi zilizochaguliwa za Afrika ya Mashariki== * ''Acheta domesticus'', [[Nyenje-nyumbani]] * ''Brachytrupes membranaceus'', [[Nyenje Mkubwa]] * ''Gryllus bellicosus'', [[Nyenje Mpiganaji]] * ''Gryllus bimaculatus'', [[Nyenje Madoa-mawili]] * ''Oecanthus brevicauda'', [[Nyenje-mti]] * ''Oecanthus socians'', Nyenje-mti * ''Phonarellus mirurus'', [[Nyenje wa Mvua]] * ''Platygryllus maurus'', [[Nyenje Mweusi Mdogo]] * ''Platygryllus serengeticus'', [[Nyenje wa Serengeti]] * ''Scapsipedus icipe'', [[Nyenje Alikaye]] * ''Scapsipedus marginatus'' * ''Teleogryllus afer'', [[Nyenje Mweusi]] ==Picha== <gallery> Acheta domesticus 1.JPG|Nyenje-nyumbani Tobacco Cricket (Brachytrupes membranaceus) (17126501028).jpg|Nyenje mkubwa Oecanthidae - Oecanthus pellucens-01.JPG|Nyenje-mti Teleogryllus infernalis.jpg|Nyenje mweusi </gallery> [[Jamii:Nyenje na jamaa]] 1yww4zcbauu029h2841gc70u6eaf7ke Isaac Asimov 0 131326 1572981 1514762 2026-06-14T10:02:13Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572981 wikitext text/x-wiki {{Infobox writer|name=Isaac Asimov|occupation=Mwandishi, profesa wa biokemia|module={{Infobox scientist |embed = yes |fields = [[Biochemistry]] |workplaces = [[Boston University]] |doctoral_advisor = Charles Reginald Dawson |academic_advisors = [[Robert Elderfield]] <small>([[Postdoctoral researcher|post-doctoral]])</small> |thesis_title = The kinetics of the reaction inactivation of tyrosinase during its catalysis of the aerobic oxidation of catechol |thesis_url = http://www.worldcat.org/title/kinetics-of-the-reaction-inactivation-of-tyrosinase-during-its-catalysis-of-the-aerobic-oxidation-of-catechol/oclc/609476547 |thesis_year = 1948 }}|movement=[[Golden Age of Science Fiction]]|education={{ubl|[[Shahada ya Awali]], 1939|[[Uzamili]], 1941|[[Uzamivu]], 1948}}|alma_mater=[[Chuo Kikuu cha Columbia]]|subject=[[sayansi]], masimulizi, |genre=Bunilizi ya kisayansi, [[mystery fiction|mystery]]|years_active=1939–1992|citizenship=Urusi (utotoni), Marekani|image=Isaac.Asimov01.jpg|death_place=[[Brooklyn]], [[New York City]], [[Marekani]]|death_date= 6 Aprili 1992|children=2|spouse={{ubl|{{marriage|Gertrude Blugerman|1942|1973|end=div}}|{{marriage|[[Janet Asimov|Janet Opal Jeppson]]<br>|1973}}}}|birth_place=Petrovichi, [[Smolensk Oblast]], [[Urusi]]|birth_date=mnamo 2 Januari 1920|native_name={{lang-ru|Айзек Азимов|Aizek Azimov}}|signature=Isaac Asimov signature.svg}} '''Isaac Asimov''' (mnamo [[2 Januari]] [[1920]]</span> - [[6 Aprili]] [[1992]]) alikuwa [[mwandishi]] wa [[bunilizi ya kisayansi]] nchini [[Marekani]]. Alikuwa pia [[mtaalamu]] wa [[biokemia]] mwenye [[PhD]] kutoka == Maisha == Asimov alizaliwa huko Petrovichi, [[Smolensk Oblast|Smolensk]], [[Urusi]] katika [[familia]] ya [[Wayahudi|Kiyahudi]]. Tarehe ya kuzaliwa haijulikani, ilitokea kati ya 4 Oktoba 1919 na 2 Januari 1920. Alisheherekea sikukuu yake kwenye 2 Januari. Wazazi walihama [[Marekani]] pamoja naye alipokuwa na [[umri]] wa miaka 3. Alijifunza lugha za [[Kiyiddish]] na [[Kiingereza]] tangu utotoni. Alisoma [[kemia]] kwenye [[Chuo Kikuu cha Columbia]] akahitimu [[Uzamili|shahada ya uzamili]] kwenye mwaka 1941 akaendelea kupokea [[Uzamivu|digrii ya uzamivu (PhD)]] mnamo 1948. Wakati huohuo aliandika pia masimulizi na vitabu. Tangu 1951 alikuwa profesa kwenye Chuo Kikuu cha Boston ilhali aliendelea kuandika. Baada ya mafanikio ya kitabu chake ''The Naked Sun (1957)'' aliacha kazi ya kisayansi akaendelea kutunga vitabu vyake. Aliandika [[Kitabu|vitabu vingi]], hasa masimulizi na riwaya juu ya ustaarabu ujao ambako watu huishi pamoja na roboti yaani mashine zenye uwezo wa kufikiri zinazopewa maumbile ya kufanana na binadamu. Asimov alitunga pia vitabu vinavyoeleza sayansi kwa watu waskio wataalamu alikuwa mshauri wa kisayansi kwa filamu za [[Star Trek]] zilizotengenezwa kwa runinga. == Maandishi == [[Picha:GXY5101 0000fc.jpg|thumb|Daftari ya Tyrann (1951) ya senti 25]] Vitabu vya Asimov's vilivyokuwa mashuhuri zaidi vilikuwa vitabu vya mfululizo wa Foundation series. Aliandika pia ''Galactic Empire'' na ''Robot'' Series. Kwa jumla alitunga au alihariri zaidi ya vitabu 500 akaandika barua 90,000 letters. Pamoja na bunilizi ya kisayansi aliandika pia kuhusu sayansi yenyewe, historia, Biblia, fasihi na Maandishi mengi ya mapema ya Asimov yalikuwa hadithi fupi zilizochapishwa katika majarida na daftari za hadithi za bei rahisi. Miaka baadaye, yalikusanywa na kuchapishwa tena kama makusanyo. Mikusanyiko inayojulikana ni pamoja na ''[[:en:I,_Robot|I, Robot]]'', ''[[:en:The_Rest_of_the_Robots|The Rest of the Robots]]'', ''[[:en:Earth_is_Room_Enough|Earth is Room Enough]]'' na ''[[:en:The_Early_Asimov|The Early Asimov]]''. === Orodha ya Asimov === Asimov alitunga orodha ya vitabu vyake 15, akishauri visomwe kwa utaratibu huu: ## ''I, Robot'' (1950). baadaye ''The Complete Robot'' (1982). ## ''Caves of Steel'' (1954). ## ''[[:simple:The_Naked_Sun|The Naked Sun]]'' (1957). ## ''The Robots of Dawn'' (1983). ## ''Robots and Empire'' (1985). ## ''The Currents of Space'' (1952). ## ''[[:simple:The_Stars,_Like_Dust|The Stars, Like Dust]]'' (1951). ## ''[[:simple:Pebble_in_the_Sky|Pebble in the Sky]]'' (1950). ## ''Prelude to Foundation'' (1988). ## ''Forward the Foundation'' (1993). ## ''Foundation'' (1951). ## ''Foundation and Empire'' (1952). ## ''Second Foundation'' (1953). ## ''Foundation's Edge'' (1982). ## ''Foundation and Earth'' (1986). 1-5 ni vitabu vya 'Roboti'; 6-8 ni vitabu vya 'Galacticos Empire'; 9-15 ni vitabu vya mfululizo wa Foundation . <ref>[http://www3.sympatico.ca/n.rieck/links/cool_sci_fi.html#asimov-suggested-reading-order 15-Book reading order as suggested by Asimov] {{Wayback|url=http://www3.sympatico.ca/n.rieck/links/cool_sci_fi.html#asimov-suggested-reading-order |date=20060516191225 }} From "Author's Note" of ''Prelude to Foundation'' Doubleday 1988 hardcover edition.</ref> Riwaya za Asimov zimeathiri bunilizi ya kiayansi kwenye runinga na sinema. Hasa '[[:simple:Three_Laws_of_Robotics|Three Laws of Robotics]]' (kanuni tatu za uroboti) zilichangia kwenye majadiliano ya kimataifa kuhusu teknolojia hiyo. # Roboti haiwezi kumdhuru mwanadamu au, kwa kutotenda, kumruhusu mwanadamu aje ajeruhi. # Roboti inapaswa kutii maagizo yoyote ambayo wanadamu wamepewa, isipokuwa pale ambapo maagizo hayo yatapingana na Sheria ya Kwanza. # Roboti lazima ilinde uwepo wake maadamu ulinzi huo haugongani na Sheria ya Kwanza au ya Pili. == Imani == Ingawa alizaliwa katika familia ya [[Wayahudi|Kiyahudi]], Asimov alijiita kafiri [[Ukanaji Mungu|anayekana Mungu]]: : "Mimi ni kafiri kabisa. Ilinichukua muda mrefu kusema hiyo. Nimekuwa mtu asiyeamini Mungu kwa miaka mingi, lakini kwa namna fulani ... ilikuwa afadhali kusema ni humanisti au mtu asiyejua kama Mungu yupo au la." <ref>[http://en.wikiquote.org/wiki/Isaac_Asimov#General_sources Free Inquiry (Spring 1982). Wikiquote]</ref> == Kifo == Alipofanyiwa [[Upasuaji|upasuaji wa]] [[moyo]] mnamo 1983, alipokea [[damu]] iliyoambukizwa [[Virusi vya UKIMWI|VVU]]. Alipata [[Ukimwi|UKIMWI]], akafa kutokana na athari za hali ya kiafya mnamo 1992.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://www.locusmag.com/2002/Issue04/Letter.html|title=Letter from Janet Asimov|accessdate=2012-12-04|author=|first=|coauthors=|date=4 April 2002|format=|work=Locus Online|publisher=Locus Publications|pages=|quote=}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya Nje == {{Commons|Isaac Asimov}} {{Wikiquote|Isaac Asimov}} {{wikisource author}} * [http://www.asimovonline.com/ Asimov Online], a vast repository of information about Asimov, maintained by Asimov enthusiast Edward Seiler * [http://www.asimovreviews.net/ Jenkins' Spoiler-Laden Guide to Isaac Asimov] {{Wayback|url=http://www.asimovreviews.net/ |date=20220421133657 }}, reviews of all of Asimov's books * [http://stevenac.net/asimov/Bibliography.htm Annotated Bibliography of Asimov's work] by Asimov enthusiast Steven Cooper, claims the most complete bibliography in existence [http://blog.archive.org/2020/04/20/suspicious-activity-in-the-national-emergency-library-no-just-the-best-kind-of-activity/] * {{IMDb name|0001920|Isaac Asimov}}} * [http://books.guardian.co.uk/authors/author/0,5917,-9,00.html Guardian Books "Author Page"], with profile and links to further articles. * Frederik Pohl kuhusu [https://web.archive.org/web/20100728090550/http://www.thewaythefutureblogs.com/2010/01/isaac/ Asimov] * [https://www.amnh.org/our-research/hayden-planetarium/asimov-debate Isaac Asimov Memorial Debates], with videos, at the [[Hayden Planetarium]] * [https://byrnefamily.net/genealogy/getperson.php?personID=I4&tree=ByrneAsimov&sitever=standard Information about Asimov's ancestors] at byrnefamily.net (retrieved February 24, 2019) * [http://neilrieck.net/links/cool_sci_fi.html#asimov-suggested-reading-order 15-Book Reading Order as Suggested by Asimov] From "Author's Note" of ''Prelude to Foundation'' Doubleday 1988 hardcover edition * {{Gutenberg author |id=Asimov,+Isaac | name=Isaac Asimov}} {{mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waliofariki 1992]] [[Jamii:Waliozaliwa 1920]] [[Jamii:Articles with hCards]] [[Jamii:Waandishi wa Marekani]] skl2r7podqg93nnwkktwfs0szvo7mvr Mto Mugomera (Rutana) 0 132198 1572627 1138066 2026-06-14T05:21:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572627 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] g4pxzcx19c0qftq3u5t03nc0eq70rel Mto Munyura 0 132202 1572703 1138070 2026-06-14T05:33:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572703 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] g4pxzcx19c0qftq3u5t03nc0eq70rel Mto Ngara (Burundi) 0 132214 1572783 1138082 2026-06-14T05:47:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572783 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] d461vvu1gx4rg1m5ww1iiiw7maksfhs Mto Ngoma (Rutana) 0 132215 1572879 1138083 2026-06-14T06:02:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572879 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mto]] wa [[Burundi]] [[mashariki]] ([[mkoa wa Rutana]]) ambao unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, [[maji]] mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] d461vvu1gx4rg1m5ww1iiiw7maksfhs Mto Marumanga 0 132322 1572522 1138338 2026-06-14T05:03:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572522 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] nbp65anzmd3hnvghm98aiku41v7uxoq Mto Muzibuye 0 132327 1572586 1138346 2026-06-14T05:14:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572586 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] nbp65anzmd3hnvghm98aiku41v7uxoq Mto Ntagisivya (Rutana) 0 132328 1572644 1138347 2026-06-14T05:24:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572644 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to Mto Nyakabozi 0 132334 1572727 1138354 2026-06-14T05:37:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572727 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to Mto Nyakaguzi 0 132335 1572808 1138355 2026-06-14T05:51:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572808 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[korongo (jiografia)|korongo]] la [[mkoa wa Rutana]] ([[Burundi]] [[mashariki]]) ambalo [[maji]] yake yanatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]]. Baadaye, mengine yanachangia [[mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Rutana]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mkoa wa Rutana]] [[Jamii:Mito ya Burundi|N]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] qtpaduc9r7vc7aq3rw44k4uipysc7to Boni National Reserve 0 134718 1572719 1160308 2026-06-14T05:36:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572719 wikitext text/x-wiki '''Eneo Tengefu la Boni''' linapatikana katika [[kaunti ya Garissa]], [[Kenya]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{National Parks of Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Garissa]] tvznna9szo50v6wnikwrjyvjule9ogu Eneo Tengefu la Shaba 0 134729 1572800 1160339 2026-06-14T05:49:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572800 wikitext text/x-wiki '''Eneo Tengefu la Dodori''' linapatikana katika [[kaunti ya Isiolo]], [[Kenya]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{National Parks of Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Hifadhi za Taifa za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Isiolo]] 5tc3f3ur91wayeob16hniqmlmp3lkk0 Mto Kireka (Burundi) 0 134956 1572797 1161824 2026-06-14T05:49:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572797 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|K]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 34fmobym2b62334f9huw438cjzu4iyx Mto Kiyaga 0 134957 1572898 1161825 2026-06-14T06:05:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572898 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[Bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|K]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] 34fmobym2b62334f9huw438cjzu4iyx Mto Kidubugu (Ruyigi) 0 135114 1572657 1162013 2026-06-14T05:26:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572657 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|K]] [[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|K]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] h1j0hrjwk6jizujuspc6cfpxatbrgge Mto Muhimi 0 135129 1572825 1162029 2026-06-14T05:53:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572825 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]). [[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]] * [[Orodha ya mito ya Burundi]] * [[Mito mirefu ya Afrika]] == Marejeo == {{Reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-Burundi}} [[Jamii:Mito ya Burundi|M]] [[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|M]] [[Jamii:Ziwa Tanganyika]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:Atlantiki]] jhyqg2tr12j8mj1wn58b1lhkwcbpjrm Abubakari Asenga 0 138485 1572951 1455714 2026-06-14T09:20:30Z Andre Engels 29 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Abubakar Asenga]] 1572951 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Abubakar Asenga]] scxwgaqg02msh94alkqs3179ccjvnkr Emom / Kisonei 0 138840 1572658 1176060 2026-06-14T05:26:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572658 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Baringo ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] 3k64puiul6n9hkojyyfad9samu1xu5v Kimalel 0 138841 1572739 1176061 2026-06-14T05:39:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572739 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Baringo ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] 3k64puiul6n9hkojyyfad9samu1xu5v Ng'ambo (Baringo) 0 138847 1572445 1176068 2026-06-14T04:51:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572445 wikitext text/x-wiki '''Ng'ambo''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Baringo ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] on3013kp5mti40g0cfo5xa1uw7njm2n Loboi 0 138849 1572826 1176070 2026-06-14T05:54:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572826 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Baringo ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] 3k64puiul6n9hkojyyfad9samu1xu5v Emining 0 138871 1572768 1176092 2026-06-14T05:44:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572768 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Mogotio]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] l2f90y35pe0x4ua6p6ov98hi8ok594p Kamar 0 138872 1572863 1176093 2026-06-14T05:59:50Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572863 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Baringo]], [[eneo bunge la Mogotio]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Baringo]] l2f90y35pe0x4ua6p6ov98hi8ok594p Mjambere 0 138941 1572722 1176336 2026-06-14T05:37:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572722 wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = {{PAGENAME}} |picha_ya_satelite = |maelezo_ya_picha = |pushpin_map = |pushpin_map_caption = Mahali pa katika Kenya |settlement_type = Mji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Kenya]] |subdivision_type1 = [[Kaunti za Kenya|Kaunti]] |subdivision_name1 = [[Kaunti ya Mombasa|Mombasa]] |subdivision_type2 = |subdivision_name2 = |wakazi_kwa_ujumla = |latd= |latm= |lats=00 |latNS=S |longd=36 |longm= |longs=00 |longEW=E |website = }} '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Mombasa]], [[eneo bunge la Kisauni]] nchini [[Kenya]], <ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Mombasa]] [[Jamii:Mombasa]] [[Jamii:Kata za Kenya]] cganesb7ruhegn6h81hvcgwi285h4c8 Junda 0 138942 1572803 1176337 2026-06-14T05:50:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572803 wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = {{PAGENAME}} |picha_ya_satelite = |maelezo_ya_picha = |pushpin_map = |pushpin_map_caption = Mahali pa katika Kenya |settlement_type = Mji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Kenya]] |subdivision_type1 = [[Kaunti za Kenya|Kaunti]] |subdivision_name1 = [[Kaunti ya Mombasa|Mombasa]] |subdivision_type2 = |subdivision_name2 = |wakazi_kwa_ujumla = |latd= |latm= |lats=00 |latNS=S |longd=36 |longm= |longs=00 |longEW=E |website = }} '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Mombasa]], [[eneo bunge la Kisauni]] nchini [[Kenya]], <ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Mombasa]] [[Jamii:Mombasa]] [[Jamii:Kata za Kenya]] cganesb7ruhegn6h81hvcgwi285h4c8 Dekaharia 0 139196 1572662 1177320 2026-06-14T05:27:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572662 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Garissa]], [[eneo bunge la Fafi]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Garissa]] 4s7dxkiwryf9gj315zck45kxjvnhrgy Fafi 0 139198 1572743 1177322 2026-06-14T05:40:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572743 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Garissa]], [[eneo bunge la Fafi]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Garissa]] 4s7dxkiwryf9gj315zck45kxjvnhrgy Nanighi 0 139199 1572828 1177323 2026-06-14T05:54:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572828 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Garissa]], [[eneo bunge la Fafi]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Garissa]] 4s7dxkiwryf9gj315zck45kxjvnhrgy Karare 0 139343 1572465 1177818 2026-06-14T04:54:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572465 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Marsabit]], [[eneo bunge la Saku]], [[kaskazini]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Marsabit]] hvg2zjxi7u3vkzditu0w49jz6bp9asv Igoji Mashariki 0 139395 1572699 1177910 2026-06-14T05:33:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572699 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Meru]], [[eneo bunge la Imenti Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Meru]] b9i27yrvnxlo0jpz6rvplab5746t221 Igoji Magharibi 0 139396 1572776 1177913 2026-06-14T05:45:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572776 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Meru]], [[eneo bunge la Imenti Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Meru]] b9i27yrvnxlo0jpz6rvplab5746t221 Mavuria 0 139431 1572870 1178037 2026-06-14T06:00:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572870 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Embu]], [[Eneo bunge la Mbeere Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Embu]] ka1prsj1j6fn69ayt1s0ujbci9sxgiy Nguu/Masumba 0 140025 1572515 1183414 2026-06-14T05:02:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572515 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Makueni]], [[Eneo bunge la Kibwezi Magharibi]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Makueni]] nmfrihjmp7aahg3qzn1viteajnc0s7d Mugunda 0 140111 1572454 1183692 2026-06-14T04:52:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572454 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Kieni]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] 0jt0gssigyq6s6f3pi5k13eieal5j33 Rugi 0 140129 1572581 1183711 2026-06-14T05:13:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572581 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Mukurweini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] inqe9hwm00m02ownwnwj2jfybw335v2 Kiganjo/Mathari 0 140130 1572639 1183712 2026-06-14T05:23:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572639 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Nyeri]], [[Eneo bunge la Nyeri Town]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] kko8gmiojt0h6zqjb2ohiva1hbb7dqm Wangu 0 140257 1572660 1184098 2026-06-14T05:26:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572660 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kiharu]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] lzevn1ttxqvtzn05anqwhz4hnhyex2d Mugoiri 0 140258 1572740 1184099 2026-06-14T05:39:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572740 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kiharu]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] lzevn1ttxqvtzn05anqwhz4hnhyex2d Muruka 0 140273 1572477 1184115 2026-06-14T04:56:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572477 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kandara]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] a80z8k74b4xbjbkue9wj9yekrble6u7 Kagundu-Ini 0 140274 1572527 1184116 2026-06-14T05:04:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572527 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kandara]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] a80z8k74b4xbjbkue9wj9yekrble6u7 Gaichanjiru 0 140275 1572590 1184117 2026-06-14T05:15:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572590 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kandara]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] a80z8k74b4xbjbkue9wj9yekrble6u7 Ithiru 0 140276 1572647 1184118 2026-06-14T05:24:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572647 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kandara]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] a80z8k74b4xbjbkue9wj9yekrble6u7 Ruchu 0 140277 1572732 1184119 2026-06-14T05:38:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572732 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Murang'a]], [[Eneo bunge la Kandara]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Murang'a]] a80z8k74b4xbjbkue9wj9yekrble6u7 Kaaleng/Kaikor 0 140612 1572793 1185144 2026-06-14T05:48:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572793 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Turkana]], [[Eneo bunge la Turkana Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] 6yn50y73fvb5bymqvdd18irrbrjt24o Kibish 0 140613 1572890 1185145 2026-06-14T06:04:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572890 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Turkana]], [[Eneo bunge la Turkana Kaskazini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Turkana]] 6yn50y73fvb5bymqvdd18irrbrjt24o Sirende 0 140960 1572634 1186618 2026-06-14T05:22:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572634 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Trans-Nzoia]], [[Eneo bunge la Kiminini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Trans-Nzoia]] cxekq85sbxkhsfigmiwsuzzr2z3f3v0 Kwanza (Trans-Nzoia) 0 140972 1572488 1186632 2026-06-14T04:58:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572488 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Trans-Nzoia]], [[Eneo bunge la Kwanza]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Trans-Nzoia]] c6c9vrmu39qdi6uozq7kn33ruuatyux Matisi 0 140979 1572541 1186639 2026-06-14T05:07:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572541 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Trans-Nzoia]], [[Eneo bunge la Saboti]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Trans-Nzoia]] j0iu32zmb7cqj0a3x104tekits3zlfh Igwamiti Salama 0 141256 1572837 1187862 2026-06-14T05:55:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572837 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Laikipia]], [[eneo bunge la Laikipia Magharibi]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Laikipia]] 27fx1rjbcm6425a5j2gwcjkn0ixhdtr Chemosot 0 141538 1572814 1189553 2026-06-14T05:52:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572814 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kericho]], [[Eneo bunge la Bureti]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] lqdac6u5y4cedjzeppqjpod7egvmzhv Cheplanget 0 141540 1572910 1189555 2026-06-14T06:07:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572910 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kericho]], [[Eneo bunge la Bureti]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kericho]] lqdac6u5y4cedjzeppqjpod7egvmzhv Singorwet 0 141563 1572484 1189589 2026-06-14T04:57:34Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572484 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Bomet ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Bomet]] rsv5wc43fq0d947z5cano86f5eqaxzh Chesoen 0 141564 1572535 1189590 2026-06-14T05:06:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572535 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Bomet ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Bomet]] rsv5wc43fq0d947z5cano86f5eqaxzh Mutarakwa 0 141565 1572597 1189591 2026-06-14T05:16:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572597 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Bomet ya Kati]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Bomet]] rsv5wc43fq0d947z5cano86f5eqaxzh Ndanai/Abosi 0 141576 1572503 1189602 2026-06-14T05:00:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572503 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Sotik]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Bomet]] 596jcpfyyeused8olba05qrv1di666h Chemagel 0 141577 1572566 1189603 2026-06-14T05:11:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572566 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Sotik]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Bomet]] 596jcpfyyeused8olba05qrv1di666h Kipsonoi 0 141578 1572620 1189605 2026-06-14T05:20:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572620 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Bomet]], [[Eneo bunge la Sotik]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Bomet]] 596jcpfyyeused8olba05qrv1di666h Shirere 0 141610 1572653 1189642 2026-06-14T05:25:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572653 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kakamega]], [[Eneo bunge la Lurambi]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kakamega]] ce17udxoi2ty3lposnbl8fb9o4kszm9 West Kabras 0 141611 1572832 1189643 2026-06-14T05:54:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572832 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kakamega]], [[Eneo bunge la Malava]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kakamega]] 8a7gu7vgc4zrl08roty1vmmrisrfn5z Bukhayo Central 0 141772 1572795 1189911 2026-06-14T05:49:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572795 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Busia]], [[eneo bunge la Nambale]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Busia]] 7hsnwclsbfs3333emrz6s3r7eo190zr North Seme 0 141864 1572821 1190126 2026-06-14T05:53:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572821 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisumu]], [[Eneo bunge la Seme]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kisumu]] h22m80y4dy59f4j29coql4l4p9k6b49 Mbotela (Nairobi) 0 141955 1572779 1190352 2026-06-14T05:46:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572779 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[Nairobi]], [[mji mkuu]] wa [[Kenya]], katika [[eneo bunge la Makadara]]. == Marejeo == {{reflist}} {{nairobi}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Mitaa ya Nairobi]] [[Jamii:Kaunti ya Nairobi]] [[Jamii:Kata za Kenya]] jw3p07kud41nn09v354mn6kay705ota Harambee, Nairobi 0 141956 1572872 1190353 2026-06-14T06:01:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572872 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[Nairobi]], [[mji mkuu]] wa [[Kenya]], katika [[eneo bunge la Makadara]]. == Marejeo == {{reflist}} {{nairobi}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Mitaa ya Nairobi]] [[Jamii:Kaunti ya Nairobi]] [[Jamii:Kata za Kenya]] jw3p07kud41nn09v354mn6kay705ota Masige West 0 141976 1572915 1190470 2026-06-14T06:08:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572915 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisii]], [[Eneo bunge la Bobasi]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kisii]] dpaxif6m4n8juunr0b7tq846pl4696e Nyamasibi 0 142017 1572710 1190513 2026-06-14T05:35:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572710 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kisii]], [[Eneo bunge la Nyaribari Masaba]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kata za Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kisii]] 5a4beoo41wefm0dm06drzq48ofbdtox Mto Gitahuru 0 142050 1572663 1190579 2026-06-14T05:27:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572663 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] bnvnhgux78f113j7ymerij4mfyi80fv Mto Kiu 0 142051 1572744 1190580 2026-06-14T05:40:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572744 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] bnvnhgux78f113j7ymerij4mfyi80fv Mto Makuyu 0 142052 1572831 1190581 2026-06-14T05:54:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572831 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Kiambu]], katikati ya [[Kenya]]. [[Maji]] yake yanaishia katika [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Mito ya Kenya]] * [[Orodha ya mito ya kaunti ya Kiambu]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mito ya Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kaunti ya Kiambu]] [[Jamii:Mito ya Kenya]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] bnvnhgux78f113j7ymerij4mfyi80fv Mailua 0 142154 1572587 1190957 2026-06-14T05:14:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572587 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Kajiado]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Kaunti za Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] 3j0fxsbxngsspfzaa6bz8bej6mn1oyc Oloiyangalani 0 142159 1572645 1190963 2026-06-14T05:24:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572645 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Kajiado]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Kaunti za Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] 3j0fxsbxngsspfzaa6bz8bej6mn1oyc Salengai 0 142160 1572729 1190964 2026-06-14T05:38:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572729 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Kajiado]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Kaunti za Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Kajiado]] 3j0fxsbxngsspfzaa6bz8bej6mn1oyc Kabungwa 0 142189 1572876 1191145 2026-06-14T06:01:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572876 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Nandi]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Kaunti za Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Nandi]] 05a3d7wizaosjuy0o4ws9gzo6tlus2z Lodosoit 0 142219 1572907 1191189 2026-06-14T06:07:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572907 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Kenya]] katika [[kaunti ya Samburu]]<ref>https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Kaunti za Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Samburu]] dttxccxqvls4k6eqzhrz3unnjd7v1mf Arthurs Seat 0 142412 1572543 1191991 2026-06-14T05:07:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572543 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Kenya]] katika [[kaunti ya Nyeri]]. Una [[urefu]] wa [[mita]] 4,605 juu ya [[usawa wa bahari]]. ==Tazama pia== *[[Orodha ya milima ya Kenya]] {{Mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Milima ya Kenya]] [[Jamii:Milima ya Afrika]] [[Jamii:Kaunti ya Nyeri]] m9rit941i2k1fzqa3gmtbg4qjrov0zn Kumokoi Koitoboss 0 142418 1572603 1191998 2026-06-14T05:17:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572603 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[kilele]] cha [[mlima]] unaopatikana nchini [[Kenya]], mpakani mwa [[Uganda]]. Una [[urefu]] wa [[mita]] 4,198 juu ya [[usawa wa bahari]]. ==Tazama pia== *[[Orodha ya milima ya Kenya]] {{Mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Milima ya Kenya]] [[Jamii:Milima ya Afrika]] jgeifjj5nlic7l9z1vtt407ewg23uqq Terere 0 142435 1572881 1192016 2026-06-14T06:02:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572881 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kilele]] cha [[mlima Kenya]] unaopatikana nchini [[Kenya]] katika [[kaunti ya Meru]]. Kina [[urefu]] wa [[mita]] 4,187 juu ya [[usawa wa bahari]]<ref>[http://www.geonames.org Geonames.org]</ref>. ==Tazama pia== *[[Orodha ya milima ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Milima ya Kenya]] [[Jamii:Milima ya Afrika]] [[Jamii:Kaunti ya Meru]] 0qdw4i0js3gmeludmrkb9x3pp290tp8 Three Sisters (Meru) 0 142438 1572667 1192021 2026-06-14T05:28:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572667 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kilele]] cha [[mlima]] unaopatikana nchini [[Kenya]] katika [[kaunti ya Meru]]. Kina [[urefu]] wa [[mita]] 4,534 juu ya [[usawa wa bahari]]<ref>[http://www.geonames.org Geonames.org]</ref>. ==Tazama pia== *[[Orodha ya milima ya Kenya]] == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Milima ya Kenya]] [[Jamii:Milima ya Afrika]] [[Jamii:Kaunti ya Meru]] hzqavuqbbnugskhar7yy89oeglwmp21 Kanpur 0 143667 1572508 1196109 2026-06-14T05:01:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572508 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[Uttar Pradesh|Jimbo la Uttar Pradesh]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi [[milioni]] 2.8 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[kumi na mbili]] nchini Uhindi. == Tazama pia == * [[Orodha ya miji ya Uhindi]] == Marejeo == <references/> {{mbegu-jio-Uhindi}} [[Jamii:Miji ya Uhindi]] [[Jamii:Uttar Pradesh]] pwqzgng31qcahwdbcbzjnwngvg7a7bl Agra 0 143679 1572798 1196124 2026-06-14T05:49:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572798 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[jiji]] la [[Uttar Pradesh|Jimbo la Uttar Pradesh]] nchini [[Uhindi]] lenye wakazi [[milioni]] 1.6 ([[2011]]). Ni [[mji]] mkubwa wa [[ishirini na tatu]] nchini Uhindi. == Tazama pia == * [[Orodha ya miji ya Uhindi]] == Marejeo == <references/> {{mbegu-jio-Uhindi}} [[Jamii:Miji ya Uhindi]] [[Jamii:Uttar Pradesh]] 0y4iwreaw64z03lniomnnktk1kng580 Jaxaay-Parcelles-Niakoul Rap 0 145838 1572791 1208339 2026-06-14T05:48:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572791 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Dakar]]. [[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 41,570 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref> ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Senegal]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Senegal]] [[Jamii:Mkoa wa Dakar]] 2zi9y1j0ich0bjg6fadrqir23e7m0lb Joal-Fadiouth 0 145850 1572887 1208352 2026-06-14T06:03:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572887 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Thies]]. [[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 45,903 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref> ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Senegal]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Senegal]] [[Jamii:Mkoa wa Thies]] 9ux4b8i1ek67iqidczv2tfbc4pg9bsg Goudomp 0 145929 1572820 1208471 2026-06-14T05:53:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572820 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Sedhiou]]. [[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 12,870 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref> ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Senegal]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Senegal]] [[Jamii:Mkoa wa Sedhiou]] 5o6hnaixtvwts6whrrxp68sklbhlx8g Naisula Lesuuda 0 146445 1572995 1521754 2026-06-14T10:50:41Z Andre Engels 29 merge 1572995 wikitext text/x-wiki {{merge|Naisula Josephine Lesuuda}} '''Naisula Lesuuda''' (alizaliwa [[Samburu / Makamini|Samburu]], [[30 Aprili]] [[1984]]) ni [[mwanasiasa]] na [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] kutoka nchini [[Kenya]]. == Maisha yake ya awali na elimu == Lesuuda ni wa kwanza kwenye [[familia]] ya watatu aliyezaliwa kwenye familia ya [[Waanglikana|Kianglikana]] na ya [[mfanyabiashara]] mwanamke. Alihitimu mafunzo yake kwenye [[chuo kikuu]] cha Daystar akitunukiwa [[Shahada ya Awali|shahada yake ya kwanza]] kwenye masuala ya [[mawasiliano]] na ustawi wa jamii. == Maisha ya kazi == Lesuuda alifanya kazi kama mhariri katika [[Shirika la Utangazaji la Kenya|shirika la utangazaji la Kenya]], akisimamia na kuandaa vipindi mbalimbali ikiwemo kipindi kiitwacho ''Good Morning Kenya''. Mnamo mwaka [[2009]], baada ya watu kumi kuuliwa kwenye mgogoro wa wafugaji huko Laikipia, akawa muanzilishi wa harakati za kutafuta amani za Laikipia. Naisula Lesuuda ni mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa mwanachama wa [[bunge]] (MP) kutoka Samburu County mnamo Agosti Mwaka [[2017]] kuwakilisha watu wa Samburu Magharibi katika [[Bunge la Taifa la Kenya|Bunge la Taifa la Kenya.]] Yeye ni [[mwenyekiti]] wa kamati ya ushirikiano wa kikanda na mwanachama wa kamati ya [[bajeti]] katika Bunge. kwa Mhe. Safari ya kisiasa ya Lesuuda ilianza mwaka 2013 wakati alichaguliwa kuwa [[Senati|Seneta]] nchini Kenya ambapo pia alihudumu kama Makamu wa Rais wa Chama cha Wanawake wa Bunge wa Kenya (KEWOPA). Kabla ya hapo, alifanya kampuni ya ushauri wa Media na alifanya kazi kama mwalimu na mfanyabiashara wa warsha. Alifanya kazi kama mwandishi wa habari kwa Kenya Broadcasting Corporation (KBC) kama News Anchor, Mwandishi na mwenyeji wa Good Morning Kenya. Katika 2017, yeye alikuwa mmoja wa Mipad Global juu ya 100 chini ya 40 watu wenye ushawishi zaidi wa asili ya Kiafrika katika siasa na utawala katika Afrika na katika Diaspora. Katika mwaka huo huo, alichaguliwa na Forum ya Uchumi ya Dunia kati ya viongozi vijana 100 chini ya umri wa miaka 40, ambao wanakabiliana na changamoto ngumu zaidi duniani kwa njia za ubunifu. Mnamo mwaka wa 2014, alikuwa anajulikana na jarida la Forbes kati ya wanawake sita wa Kenya katika orodha yao ya kila mwaka ya wanawake 20 wenye nguvu zaidi barani Afrika.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://naisulalesuuda.com/biography/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-02-21 |archivedate=2022-02-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20220221153255/https://naisulalesuuda.com/biography/ }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{BD|1984|}} [[Jamii:Wanawake wa Kenya]] [[Jamii:Wanaharakati wa Kenya]] [[Jamii:USLW DOM]] c3e4q3zqvy3g4sqoejniraammhibh9y Josephine Omaka 0 146891 1572994 1484007 2026-06-14T10:50:09Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572994 wikitext text/x-wiki {{Infobox Person |jina = Josephine Ada Omaka |picha = |maelezo_ya_picha = |tarehe_ya_kuzaliwa = [[29 Novemba]] [[1993]] |mahala_pa_kuzaliwa = [[Nigeria]] |tarehe_ya_kufariki = |mahala_alipofia = |majina_mengine = |anafahamika kwa = |kazi_yake = Mwanariadha |nchi = [[Nigeria]] }} '''Josephine Ada Omaka''' (alizaliwa [[29 Novemba|29 Novemba,]] [[1993]]) ni [[mwanariadha]] na mkimbiaji kutoka nchini [[Nigeria]]. Alishiriki katika [[mashindano]] ya ndani na kimataifa katika [[riadha]] akiwakilisha Nigeria<ref>{{cite web|url=https://worldathletics.org/athletes/nigeria/josephine-ada-omaka-242617|title=Athletics Josephine Omaka |publisher= World Athletics Organisation |date=3 January 2014 |accessdate=9 May 2020}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.olympic.org/josephine-omaka|title=Athletics Josephine Omaka |publisher= Olympic Organisation |date=3 January 2014 |accessdate=9 May 2020}}</ref>. ==Kazi== Josephine Ada Omaka alianza taaluma yake kama mwanariadha wa mbio za chini na mkimbiaji wa kuruka viunzi nchini Nigeria ambapo anashiriki mashindano mbalimbali ya ndani. Alishinda medali kuu za dhahabu za ushindani katika Olimpiki ya Vijana ya 2011 na 2010 katika riadha katika hafla za mita 100 na pia alishiriki katika mbio za mita 4 × 100 za kupokezana maji katika Mashindano ya Dunia ya Vijana katika Riadha ya 2012 ambayo yalifanyika katika Kampuni ya Estadi Olímpic on Lluí3s na 14 Julai <ref>{{cite web|url=https://www.athleticsnigeria.org/afn/news/2010-05-20/omaka-shines-nigeria-sweep-olympic-youth-qualifiers-dakar.html|title=Athletics Nigeria: Josephine Omaka Shines, Nigeria Sweeps Olympic Youth Qualifiers Dakar|publisher=Athletics Nigeria Organisation|date=3 January 2014|accessdate=9 May 2020|archive-date=2019-11-20|archive-url=https://web.archive.org/web/20191120125032/https://www.athleticsnigeria.org/afn/news/2010-05-20/omaka-shines-nigeria-sweep-olympic-youth-qualifiers-dakar.html|url-status=dead}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.olympic.org/news/celebrating-the-pride-of-africa|title= Celebrating Pride of Africa |publisher= Olympic Organisation |date=3 January 2014 |accessdate=9 May 2020}}</ref>pia alishinda tukio la 2009 la Ubingwa wa Vijana wa Kiafrika katika kitengo cha mita 100 na fedha nyingine katika mbio za kupokezana za mita 4*100 za Nigeria mwaka wa 2009 pamoja na Margaret Benson, Goodness Thomas na Wisdom Isoken. Zaidi ya hayo, alishiriki katika timu ya Afrika ya mbio za mita 4 × 400 kushinda medali za fedha katika Olimpiki ya Vijana ya 2010 na Nkiruka Florence Nwakwe, Izelle Neuhoff na Bukola Abogunloko<ref name="JOSEPHY">{{cite web|url=http://www.tilastopaja.eu/db/at.php?Sex=2&ID=63376 |title=Tilastopaja Female Athlete ID:Josephine Omaka |publisher= Tilastopaja |date=3 January 2014 |accessdate=9 July 2014}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldathletics.org/athletes/_/242617|title=World Athletics IDENTITY:Josephine Omaka |publisher= World Athletics Organisation |date=3January 2014 |accessdate=9 July 2014}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.vanguardngr.com/2010/06/omaka-drops-out-golden-league/|title=Athletics Josephine Omaka Drops-out Golden League |publisher= Vanguard Newspaper Nigeria |date=3 January 2014 |accessdate=9 May 2020}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.zimbio.com/Josephine+Omaka|title=Athletics Josephine Omaka |publisher= Zimbio |date=3 January 2014 |accessdate=9 May 2020}}</ref><ref>{{cite web|url=https://allafrica.com/stories/201008270743.html|title= Nigeria female athletes outshine their male counterpart |publisher= All Africa |date=3 January 2014 |accessdate=9 May 2020}}</ref>. ==Marejeo== {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu wa Nigeria]] [[Jamii:Wanawake wa Nigeria]] [[Jamii:Waliozaliwa 1993]] [[Jamii:WikiVibrance Tanzania]] hdq9hkfqyr313qjn3tzmqvdurdysfd3 Edgar de Wahl 0 149490 1572434 1511332 2026-06-14T02:55:52Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572434 wikitext text/x-wiki [[Picha:Edgar de Wahl 1926.jpg|197px|right]] '''Edgar Alexei Robert von Wahl''' au '''de Wahl''' (23 Agosti [[1867]] – 9 Machi [[1948]]) alikuwa mwalimu wa Kijerumani, mwanahisabati na mwanaisimu wa Baltic. Yeye ni maarufu zaidi kwa kuwa muundaji wa [[Kiinterlingue]] (iliyojulikana kama Occidental katika maisha yake yote), lugha iliyojengwa ya asili kulingana na [[lugha za Indo-Ulaya]], ambayo ilichapishwa hapo awali mnamo 1922. De Wahl alizaliwa Olwiopol (kulingana na baadhi ya vyanzo huko Bohopil, mji ulio karibu<ref>{{cite journal |last1= Mäeorg|first1= Kalmer|last2= Rahi-Tamm|first2= Aigi|year= 2016|title= Edgar von Wahl 1867–1948: keelemees ja poliitiline prohvet|journal= Ajalooline Ajakiri|issue= 2|pages= 295|doi= 10.12697/AA.2016.2.08|doi-access= free}}</ref><ref>{{cite book |last= Ojalo|first= Jaan|year= 2000|title= Enciklopedio pri la Estona Esperanto-movado|page= 82|isbn= 9985913043}}</ref><ref>{{cite web |url= http://www.planlingvoj.ch/Edgar_Wahl_Tartu2009.pdf|title= Edgar von Wahl (1867-1948). Aldonaj biografiaj notoj pri lia familia deveno kaj atentigo pri grava libro pri la genealogio de la familio von Wahl|last= Künzli|first= Andreas|website= planlingvoj.ch|access-date= 30 November 2019}}</ref><ref>{{cite book |title=Stammtafeln nicht immatrikulierter baltischer Adelsgeschlechter. Band I |url= https://www.digar.ee/viewer/et/nlib-digar:72016/105235/page/29|page= 27|isbn= 9789949262694}}</ref>), Gavana wa Kherson, Milki ya Urusi (sasa ni sehemu ya Pervomaisk, Oblast Mykolaiv, Ukraine). Familia hiyo ilitumia miaka kadhaa nchini Ukrainia, kwa kuwa babake de Wahl alifanya kazi huko kama mhandisi wa reli.<ref>{{cite book |year= 1900|title= Album Academicum der weil. drei Corporationen : A. Baltica in Zürich. B. Livonia in Carlsruhe. C. Baltica in Carlsruhe|location= Tartu|page= 57|publisher= Jurjew, (Mattiesen)|hdl= 10062/16929}}</ref> Baada ya hapo familia ilikaa kwa miaka kadhaa huko Tallinn na kisha kuhamia Saint Petersburg. Wahl alisoma hapo na kisha akaanza huduma katika Jeshi la Wanamaji la Imperial la Urusi. Kuanzia mwaka wa 1894, de Wahl alifanya kazi kama mwalimu huko Tallinn.<ref>{{cite journal |last1= Mäeorg|first1= Kalmer|last2= Rahi-Tamm|first2= Aigi|year= 2016|title= Edgar von Wahl 1867–1948: keelemees ja poliitiline prohvet|journal= Ajalooline Ajakiri|issue= 2|pages= 296|doi= 10.12697/AA.2016.2.08|doi-access= free}}</ref> De Wahl alianza kuwa mfuasi wa Volapük baada ya kufahamishwa kwa lugha hiyo na Waldemar Rosenberger (mwenzake babake de Wahl), na akaanza kutunga leksimu ya istilahi za baharini.<ref>{{Rejea tovuti|title=Cosmoglotta A, 1946, p. 17|url=https://anno.onb.ac.at/cgi-content/anno-plus?aid=e0g&datum=1946&page=18&size=45|url-status=live|archive-url=https://web.archive.org/web/20210415023325/https://anno.onb.ac.at/cgi-content/anno-plus?aid=e0g&datum=1946&page=18&size=45 |archive-date=15 April 2021 }}</ref> Miezi michache baadaye katika 1888 aligundua broshua kuhusu lugha ya Kiesperanto katika duka la vitabu na akawa mfuasi mkubwa wa lugha hiyo mpya. Mmoja wa watumiaji wa kwanza wa Kiesperanto, alimshauri L. L. Zamenhof kuhusu baadhi ya vipengele vya sarufi na msamiati.<ref>{{Rejea tovuti|title=ÖNB-ANNO - Kosmoglott (Serie A)|url=http://anno.onb.ac.at/cgi-content/anno-plus?aid=e0g&datum=1946&page=19&size=45|access-date=5 January 2019|website=anno.onb.ac.at|archive-date=2021-04-13|archive-url=https://web.archive.org/web/20210413203629/https://anno.onb.ac.at/cgi-content/anno-plus?aid=e0g&datum=1946&page=19&size=45|url-status=dead}}</ref> Baada ya miaka kadhaa aliachana na Kiesperanto baada ya kura kushindwa kurekebisha lugha mwaka wa 1894 (de Wahl alikuwa mmoja wa wachache waliopiga kura ya mageuzi mapya kabisa), na katika miongo iliyofuata alishughulikia tatizo la aina bora ya kimataifa. lugha msaidizi. Mnamo 1922 de Wahl alichapisha "ufunguo" wa lugha mpya, Occidental, na nambari ya kwanza ya jarida lenye kichwa Kosmoglott (baadaye Cosmoglotta), lililoandikwa katika lugha hiyo. Katika miaka iliyofuata, de Wahl alishiriki katika majadiliano kuhusu Occidental, na kuruhusu lugha kukua polepole kutokana na mapendekezo ya watumiaji wake. Baada ya Vita vya Kidunia vya pili kuanza mnamo 1939, alikuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na vuguvugu la Occidentalist, ambalo lilikuwa limejikita nchini Uswizi. Alikua mshiriki wa Kamati ya Washauri wa Isimu, sehemu ya Jumuiya ya Kimataifa ya Lugha Msaidizi, ambayo ingewasilisha Interlingua mnamo 1951. Miaka ya mwisho ya maisha ya de Wahl ilitumiwa katika hospitali ya magonjwa ya akili huko Tallinn, Estonia, ambayo alipelekwa mwaka wa 1944. Nyumba yake huko Tallinn ilikuwa imeharibiwa kwa mashambulizi ya angani mwaka wa 1943, na alikuwa amefungwa kwa muda baada ya kuwasili. ya wanajeshi wa Nazi katika jiji hilo kwa kukataa kuhamia Ujerumani kama Mjerumani wa kabila, na kisha kuokolewa na marafiki zake ambao walibishana kwa kukosa utulivu wa kiakili na kuhitaji kuhama hospitali.<ref>{{Rejea tovuti|url=http://interl.home.amu.edu.pl/interlingvistiko/Barandovska_Latinidaj_planlingvoj.pdf|title=Latinidaj planlingvoj (AIS-kurso, 1 studunuo)|last=Barandovská-Frank|first=Vĕra|quote="Post la okupo de Tallinn per sovetia armeo estis deportita kaj malaperinta la edzino de De Wahl, lia domo komplete forbruliĝis dum bombardado, detruiĝis lia riĉa biblioteko kaj manuskriptoj. Post la alveno de naziaj trupoj De Wahl rifuzis translokiĝon al Germanio kaj estis enkarcerigita. Por savi lin, liaj amikoj lasis proklami lin mense malsana. En la jaro 1944, 77-jaraĝa, li eniris sanatorion Seewald apud Tallinn kaj restis tie ankaŭ post la milito, ne havante propran loĝejon"|accessdate=2022-05-03|archivedate=2019-01-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190123010131/http://interl.home.amu.edu.pl/interlingvistiko/Barandovska_Latinidaj_planlingvoj.pdf}}</ref> Nyumba yake ilipoharibiwa, alibaki katika hospitali ya magonjwa ya akili baada ya vita na akafa huko mwaka wa 1948.<ref>{{cite journal |last1= Mäeorg|first1= Kalmer|last2= Rahi-Tamm|first2= Aigi|year= 2016|title= Edgar von Wahl 1867–1948: keelemees ja poliitiline prohvet|journal= Ajalooline Ajakiri|issue= 2|pages= 307, 309|doi= 10.12697/AA.2016.2.08|doi-access= free}}</ref> Muda mfupi baadaye, mnamo 1949, jina la Occidental lilibadilishwa kuwa Interlingue. Baadaye, mwaka wa 1951, Interlingua ilizinduliwa, na kuvutia watumiaji wengi mashuhuri wa Interlingue inayoitwa sasa ikiwa ni pamoja na Ric Berger<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.interlingua.com/historia/biographias/berger.htm|title=Historia de interlingua: Biographias - Ric Berger|accessdate=2022-05-03|archivedate=2021-04-13|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210413204010/https://www.interlingua.com/historia/biographias/berger.htm}}</ref> na André Schild.<ref>{{Rejea tovuti|url=https://www.interlingua.com/historia/diverse/tchecoslovachia.htm|title=Interlingua 2001: Information con obstaculos in Tchecoslovachia|accessdate=2022-05-03|archivedate=2021-10-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20211024160245/https://www.interlingua.com/historia/diverse/tchecoslovachia.htm}}</ref> == Machapisho == *Edgar von Wahl. Flexion und Begriffsspaltung. – Linguist 1896, nr 10. *Edgar von Wahl. Ausnahmen. – Linguist 1897, nr 3. *Edgar de Wahl. [Idiom neutral reformed]. – Progres 1906, nr 6. *Julian Prorók. Ketzereien: Keimzellen einer Philosophie. Tartu, Leipzig 1906. *Edgar de Wahl. AULI = Auxiliari lingue International. – Discussiones 1909, nr 1-2. *Edgar de Wahl. L leges de derivation en verbes. – Lingua Internationale 1911, nr 1. *Edgar von Wahl. Kaiserlicher Estländischer See-Yacht-Club: historische Übersicht 1888-1913. Tallinn 1913. *Edgar de Wahl. Qual instructiones da nos li historie de lingue universal. – Kosmoglott 1922, nr 1, pp 6–8. *Edgar de Wahl. Radicarium directiv del lingue international (occidental): in 8 lingues. Tallinn 1925. *Edgar de Wahl. Interlinguistic reminiscenties. – Cosmoglotta 1927, nr 41, pp 54–64. *Edgar de Wahl. Occidental: gemeinverständliche europäische Kultursprache für internationalen Verkehr: Begründung, Grammatik, Wortbildung, vergleichende textproben. Tallinn, Viin 1928. *Edgar de Wahl, Otto Jespersen. Discussiones inter E. de Wahl e O. Jespersen. Chapelle 1935. *Edgar de Wahl. Spiritu de interlingue. Cheseaux/Lausanne, 1953. == Tanbihi == <references/> {{BD|1867|1948}} [[Category:Kiinterlingue]] t4ekcgah3ulx56jln82brlc9wnmntnn Kande, Togo 0 161844 1572804 1259086 2026-06-14T05:50:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572804 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Togo]] katika [[Mkoa wa Kara]]. Wakazi walikadiriwa kuwa 12,970 [[mwaka]] [[2010]]<ref>https://www.citypopulation.de/en/togo/cities/</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Togo]] == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Mkoa wa Kara]] [[Jamii:Miji ya Togo]] et4u0kx3beq8i94tb5qb88ybh370v04 Shinga, Zimbabwe 0 162456 1572517 1260632 2026-06-14T05:03:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572517 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[kijiji]] cha [[Zimbabwe]], katika [[mkoa]] wa [[Mashonaland Mashariki]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Zimbabwe]] {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Zimbabwe]] [[Jamii:Mashonaland Mashariki]] 5cosqk91bc3cl1qqrr07xjrqidc8ikp Samsung Gear 2 0 176520 1572471 1307953 2026-06-14T04:55:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572471 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} [[Faili:Samsung Gear2.jpg|thumb|Samsung Gear 2]] '''Samsung Gear 2''' ni [[smartwatch]] iliyotolewa na [[Samsung]]. Ilitangazwa mwaka [[2014]] na ni mojawapo ya mifano ya awali ya saa za kisasa za [[Samsung]]. Gear 2 inafanya kazi kama kifaa cha kuvaa cha kisasa na kinaunganishwa na simu za [[Samsung]] kupitia [[teknolojia]] ya [[Bluetooth]]. {{reflist}} {{mbegu-teknolojia}} [[Jamii:Teknolojia]] f8urh2rfptj5rvmv2iic6yasvh625ne Declan Rice 0 181367 1572431 1558923 2026-06-14T02:23:22Z CommonsDelinker 234 Removing [[:c:File:1_declan_rice_arsenal_2025_(cropped).jpg|1_declan_rice_arsenal_2025_(cropped).jpg]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Infrogmation|Infrogmation]] because: per [[:c:Commons:Deletion requests/Files in Category:Declan Rice in 1572431 wikitext text/x-wiki '''Declan Rice''' (alizaliwa [[14 Januari]] [[1999]])<ref>{{Rejea tovuti|title=Declan Rice Arsenal Midfielder, Profile & Stats {{!}} Premier League|url=https://www.premierleague.com/players/15202/Declan-Rice/overview|work=www.premierleague.com|accessdate=2024-05-02|language=en}}</ref> ni mchezaji wa [[mpira wa miguu]] kutoka [[Uingereza]], ambae anacheza kama [[kiungo]] mkabaji wa klabu ya [[Arsenal]] inayoshiriki [[Ligi Kuu Uingereza (EPL)|Ligi Kuu Uingereza]] (EPL) na [[timu ya taifa]] ya [[Uingereza]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Wachezaji mpira wa Uingereza]] [[Jamii:Waliozaliwa 1999]] hfmd6j6diuuvzzrc3h4f818fm4elkq0 RCN Televisión 0 182119 1572482 1337820 2026-06-14T04:57:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572482 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} [[File:CanalRCN2023.png|thumbnail]] '''RCN Televisión''' ni mtandao wa [[televisheni]] wa [[Kolombia]] unaomilikiwa na [[Organización Ardilla Lulle]]. Ilianzishwa kama [[kampuni]] ya utengenezaji wa yaliyomo mnamo Machi 23, 1967 na ilizinduliwa rasmi kama chaneli ya Runinga mnamo Julai 10, 1998. == Viungo vya nje == * [https://www.canalrcn.com/ Tovuti ya RCN Televisión] {{mbegu-uchumi}} [[Jamii:Kampuni za Kolombia]] [[Jamii:Televisheni]] 7rwp4ktm1tpim7tmcwpct7yw9kael4w Dondo, Kenya 0 182649 1572631 1339530 2026-06-14T05:22:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572631 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kaskazini]] ya [[Kenya]] kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] 7p1v8kgk44ffex0vpui5ajeja15kptj Matondoni 0 182652 1572711 1339534 2026-06-14T05:35:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572711 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kaskazini]] ya [[Kenya]] kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] 7p1v8kgk44ffex0vpui5ajeja15kptj Uziwa 0 182653 1572789 1339535 2026-06-14T05:48:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572789 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kaskazini]] ya [[Kenya]] kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] 7p1v8kgk44ffex0vpui5ajeja15kptj Mgangani 0 182662 1572681 1339555 2026-06-14T05:30:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572681 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kusini]] ya [[Kenya]] kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] dpagofv4y0p5w6444xj5wl31qiv6uey Kinuni (Kenya) 0 182665 1572451 1339558 2026-06-14T04:52:04Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572451 wikitext text/x-wiki '''Kinuni''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kusini]] ya [[Kenya]] kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] 7f7f9hh4fiixaa0ykrq66398ufi8c7z Ushongo, Tanga 0 182679 1572902 1339575 2026-06-14T06:06:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572902 wikitext text/x-wiki '''Ushongo''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kaskazini]] ya [[Tanzania]] kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-tanga}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] [[Jamii:Mkoa wa Tanga]] mcns4mw43gse7mejugjwc0vrdbebspq Wingwi 0 182698 1572542 1339597 2026-06-14T05:07:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572542 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kisiwa]] cha [[Pemba (kisiwa)|Pemba]], leo nchini [[Tanzania]], kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-pemba}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] [[Jamii:Pemba]] 7vwcrrqwgmxm55w1i410whifkrpgubu Kigunda (Dar es Salaam) 0 182714 1572818 1339620 2026-06-14T05:52:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572818 wikitext text/x-wiki '''Kigunda''' ilikuwa mahali pa makazi ya [[Waswahili]] wa kale katika pwani ya [[kusini]] ya [[Tanzania]], kwenye [[Bahari ya Hindi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya kale ya Waswahili]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Tanzania}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] [[Jamii:Dar es Salaam]] 3fxi84oj9wv55ndyx1lbgzgtzd9bw70 Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya 3 184301 1572403 1572186 2026-06-13T14:53:16Z Don Malya 61486 /* Mito */ Jibu 1572403 wikitext text/x-wiki {{Karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:46, 14 Julai 2024 (UTC) == Pitia Marekebisho == Ndugu, hongera kwa juhudi zako, ila naomba upitie makala zako jinsi zilivyorekebishwa ili usirudie makosa yaleyale. Hasa usiache makala bila vyanzo, walau kimoja! Amani kwako '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 12:10, 10 Aprili 2026 (UTC) :Mojawapo ni kuweka katika Wikipedia ya Kiswahili marejeo kwenda Wikipedia ya Kiingereza. Hii haikubaliki. Badala yake weka marejeo asili yaliyotumika katika toleo la Kiingereza. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:07, 27 Aprili 2026 (UTC) ::Kwa kuwa husikii, nimekusimamisha kwa siku 1 upate nafasi ya kupitia marekebisho tuliyofanyia makala zako za harakaharaka. Hivyo utajifunza kutunga kurasa za maana. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:28, 27 Aprili 2026 (UTC) :::Ndugu, lebo ya mbegu iwekwe baada ya ile ya reflist. Naomba urekebishe makala zako. Asante! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:45, 12 Mei 2026 (UTC) ::::Pia, marejesho kutoka Wikipedia nyingine hayatakiwi kamwe! Tazama makala yako ya mwisho. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:55, 12 Mei 2026 (UTC) ::::sawa nafanyia kazi asanteh. '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 16:22, 12 Mei 2026 (UTC) :::::Ndugu Naona unasahau kuweka jamii za muhimu kwenye makala zako mfano makala ya [[Lucia Basson]] ulipaswa kuweka jamii kama '''Jamii:Wanasiasa wa Namibia''', lakini maka zote auweki, zingatia jamii. Amani kwako! '''[[Mtumiaji:Justine Msechu|Justine Msechu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justine Msechu|majadiliano]])''' 03:42, 21 Mei 2026 (UTC) ::::::asante, nafanyia marekebisho makala nilizosahau kuweka jamii kuu '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 04:08, 21 Mei 2026 (UTC) == Mradi wa Nchi == Kumekuwa na migogoro mingi kuhusu majina ya makala za nchi katika Wikipedia, lakini bado hakujawahi kuwa na mjadala wa kina wa kutatua suala hilo. Kuna mradi wa [[Wikipedia:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]] chini ya [[WP:Mradi wa Nchi]] unaolenga kushughulikia tatizo hili, lakini kufanikisha hilo kunahitaji uhamasishaji na ushiriki mkubwa zaidi wa jamii. Hivyo basi, nawaomba mshiriki katika kusaidia kutatua migogoro hii ya majina; iwe unaunga mkono au unapinga pendekezo lolote, tafadhali toa maoni na mawazo yako. Baadhi ya mapendekezo yanayoweza kuhitaji mjadala mdogo kabla ya kuidhinishwa ni pamoja na [[WP:Mradi wa Nchi/Guinea]] na [[WP:Mradi wa Nchi/Guinea Bisau]], na unaweza kuanza kushiriki huko. Ikiwa una maoni au mapendekezo mengine yoyote, tafadhali nijulishe. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 06:09, 15 Mei 2026 (UTC) :Kwa vyovyote, Kongo ni jina la hakika, isipokuwa la nchi mbili tofauti. Ukiandika makala kuhusu watu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, tafadhali usiandike tu Kongo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:17, 26 Mei 2026 (UTC) ::Asante kwa kunisikiliza, ila ingekuwa vizuri kama ungeweka katika mabano <nowiki>[[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]</nowiki>, si Kongo tu. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:13, 27 Mei 2026 (UTC) ==Mito== Ndugu, unapoongeza taarifa katika makala zilizopo, uwe makini zaidi usifute zile zilizopo. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:46, 13 Juni 2026 (UTC) :asante kwa maelekezo, nafanyia kazi '''[[Mtumiaji:Don Malya|Don Malya]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Don Malya#top|majadiliano]])''' 14:53, 13 Juni 2026 (UTC) md9z548iz2hsmdhpwio8yv27rpuon4j Oyem 0 207871 1572834 1432933 2026-06-14T05:55:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572834 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Gabon]]. Una wakazi 60,685 ([[2013]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Gabon]] {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Gabon]] 5lr17ire0vfh0k158r7tlrqh5ytb4vf Serekunda 0 207878 1572546 1432940 2026-06-14T05:07:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572546 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] mkubwa zaidi wa [[jamhuri]] ya [[Gambia]]. Una wakazi 362,986 ([[2013]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Gambia]] {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Gambia]] jp8anq4mmy7f1s8l18wtq8m60bgb04q Nzérékoré 0 207897 1572530 1432960 2026-06-14T05:05:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572530 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa pili wa [[jamhuri]] ya [[Guinea]]. Una wakazi 195,027 ([[2014]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Guinea]] {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Guinea]] so00a53rbzluxw64vj818bvy8k1gkha San-Pedro (mji) 0 207943 1572473 1433170 2026-06-14T04:55:44Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572473 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''San-Pedro''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Cote d'Ivoire]]. Una wakazi 261,616 (kadirio la mwaka [[2014]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Cote d'Ivoire]] {{mbegu-jio-Cote d'Ivoire}} [[Jamii:Miji ya Cote d'Ivoire]] t0zoz5khccyp3eno3r0ep8jcchz2kfg Agboville (mji) 0 207951 1572579 1433179 2026-06-14T05:13:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572579 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''Agboville''' ni [[mji]] wa [[jamhuri]] ya [[Cote d'Ivoire]]. Una wakazi 95,093 (kadirio la mwaka [[2014]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Cote d'Ivoire]] {{mbegu-jio-Cote d'Ivoire}} [[Jamii:Miji ya Cote d'Ivoire]] 1ds75dx3kv873v9sp0hsl24l42q0xvd Néma 0 208075 1572577 1433412 2026-06-14T05:13:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572577 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Mauritania]]. Wakati wa [[sensa]] ya mwaka [[2013]] [[idadi]] ya wakazi ilikuwa watu 15,310 <ref>{{cite web| url = http://citypopulation.de/Mauritania-Cities.html| title = Mauritania: Regions, Cities & Urban Localites - Population Statistics, Maps, Charts, Weather and Web Information}}</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Mauritania]] == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Mauritania]] rrsimrjqvb1mr6cilxi2ya7n2a5s68a Maradi, Niger 0 208265 1572564 1434115 2026-06-14T05:10:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572564 wikitext text/x-wiki '''Maradi''' ni [[mji]] ambao upo [[Niger]] wenye wakazi 267,249 katika [[sensa]] ya [[mwaka]] [[2012]] <ref>[http://www.citypopulation.de/Niger.html Population figures from citypopulation.de], citing [http://www.stat-niger.org/ (2001) Institut National de la Statistique du Niger].</ref>. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Niger]] == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Miji ya Niger]] 4ueqk1uivvl8zuqibm42m1n767p0fym En Nahud 0 208319 1572717 1434233 2026-06-14T05:36:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572717 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Sudan]], [[jimbo]] la [[Kordofan Magharibi]]. ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Sudan]] == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-jio-Sudan}} [[Jamii:Miji ya Sudan]] [[Jamii:Kordofan Magharibi]] 502o2wrdm92umt40wp866sa9medhp5m Mtindo wa kiapokalipti 0 208467 1572784 1434866 2026-06-14T05:47:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572784 wikitext text/x-wiki [[File:Merian's Daniel 7 engraving.jpg|alt=Woodcut image of Daniel, sleeping, while four beasts watch.|thumb|265x265px|[[Kitabu cha Danieli]] ni kilele cha mtindo huo katika [[Biblia ya Kiebrania]].]] '''Mtindo wa kiapokalipti''' ulikuwa [[mtindo wa uandishi]] ulioanza kati ya [[Wayahudi]] wa [[Uhamisho wa Babeli]], hasa [[nabii Ezekieli]], na kuendelea hata kwa [[Ukristo|Wakristo]] wa kwanza. Katika [[Biblia ya Kikristo]] [[kitabu]] maarufu zaidi cha namna hiyo ni [[Ufunuo wa Yohane]]. [[Jina]] la mtindo huo linatokana na lile la [[Kigiriki]] la kitabu hicho, ἀποκάλυψις, linalotamkwa: apokálupsis. Kwa jumla, [[Mitindo|mtindo]] huo unasimulia [[njozi]] kuhusu [[mwisho wa nyakati]] unaotarajiwa kuleta [[ukombozi]] kwa waamini walio katika dhiki. Vitabu vingi vya namna hiyo havikukubaliwa kama [[Neno la Mungu]] vikabaki nje ya [[Biblia]]. == Marejeo == {{reflist}} ==Marejeo== * {{EB1911|wstitle=Apocalyptic Literature|volume=2|pages=169–175|first=Robert Henry|last=Charles|author-link=Robert Charles (scholar)}} * Charlesworth, James H. ed., ''The Old Testament Pseudepigrapha'', Vol. 1: ''Apocalyptic Literature and Testaments'', Gsrden City, New York: Doubleday & Co., 1983. * Collins, John Joseph ''The Apocalyptic Imagination: An Introduction to Jewish Apocalyptic Literature'', (The Biblical Resource Series), Grand Rapids: Eerdman, 1998 (second edition). * Coogan, Michael ''A Brief Introduction to the Old Testament'', Oxford: Oxford University Press 2009. * Cook, David, ''Contemporary Muslim Apocalyptic Literature'' (Religion and Politics), Syracure, NY: Syracuse University Press, 2005. * Cook, Stephen L., ''The Apocalyptic Literature: Interpreting Biblical Texts'', Nashville: Abingdon Press, 2003. * [[Northrop Frye|Frye, Northrop]], 1957. ''Anatomy of Criticism: Four Essays'', Princeton, Princeton University Press, 1957. * Goswiller, Richard, ''Revelation'', Pacific Study Series, Melbourne, 1987. * Reddish, Mitchell G. ''Apocalyptic Literature: A Reader'', Peabody, Massachusetts: Hendrickson Publishers, 1998. ==Viungo vya nje== * {{cite web | author1 = L. Michael White | url = https://www.pbs.org/wgbh/pages/frontline/shows/apocalypse/primary/white.html | title = Apocalyptic literature in Judaism and early Christianity | website = [[PBS]] | archive-url = https://web.archive.org/web/20000304005402/https://www.pbs.org/wgbh/pages/frontline/shows/apocalypse/primary/white.html | language = en | archive-date = March 4, 2000 | url-status = live}} (Thorough historical introduction). *{{cite web | author1 = David M. Williams | url = http://www.geocities.com/davidmwilliams/ntb519c.html | title = The Book of Revelation as Jewish apocalyptic literature | archive-url = https://web.archive.org/web/20091003072014/http://www.geocities.com/davidmwilliams/ntb519c.html | language = en | archive-date = October 3, 2009 | url-status = live | access-date = April 28, 2019 | df = mdy-all }} (A coincise introduction to the Apocalypse of John) * {{cite web | url = http://www.iranicaonline.org/articles/apocalyptic-that-which-has-been-rcvealed | archive-url = https://web.archive.org/web/20180517004553/http://www.iranicaonline.org/articles/apocalyptic-that-which-has-been-rcvealed | archive-date = May 17, 2018 | title = "Apocalyptic" lemma | website = iranicaonline.org | access-date = Aug 19, 2018 | url-status = live}} * {{cite journal| author1 = David L. Barr (Wright State University) | title = Using Plot to Discern Structure in John's Apocalypse | journal = Proceedings of the Eastern Great Lakes and Mid-West Biblical Societies | language = en | year = 1995 | pages = 23–33}} (sourced in {{cite web| url = http://www.ntgateway.com/book-of-revelation/articles-and-chapters-in-books| title = Articles & Reviews on the Boom of Revelation| website = ntgateway.com| access-date = 2018-08-19| archive-date = 2018-08-20| archive-url = https://web.archive.org/web/20180820005639/http://www.ntgateway.com/book-of-revelation/articles-and-chapters-in-books/| url-status = dead}} {{mbegu-Biblia}} [[Jamii:Biblia]] anapu3encduoe4aoeiltjlxezfwrpz5 Wikipedia:Mradi wa Nchi 4 208508 1572394 1572172 2026-06-13T14:10:56Z Gayle-Bot 78697 #2.0 CAQI Bot updated with page views column 1572394 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-13) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-13)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 678 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 698 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2757 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 181 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1228 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1602 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 518 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 320 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 936 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 448 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 797 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 514 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 136 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 330 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 710 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 708 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 482 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 170 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 184 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 413 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 362 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 435 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 99 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 316 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 425 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 213 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 153 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 334 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 260 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 374 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 54 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 6 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 194 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 130 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 112 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 138 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 57 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 95 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 80 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 34 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 62 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 93 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 198 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 144 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 15 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 16202 || ↓ -15.2% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 94.2 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Marekani]] || 1228 || ↑ +12.2% |- | 2 || [[Irani]] || 936 || ↑ +12.9% |- | 3 || [[Ufaransa]] || 710 || ↑ +47.0% |- | 4 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.4% |- | 5 || [[Afrika Kusini]] || 518 || ↓ -5.5% |- | 6 || [[Burundi]] || 514 || ↓ -4.1% |- | 7 || [[Ethiopia]] || 448 || ↑ +10.6% |- | 8 || [[Uturuki]] || 441 || ↓ -3.9% |- | 9 || [[Uganda]] || 435 || ↑ +16.3% |- | 10 || [[Israeli]] || 413 || ↑ +9.8% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 359 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} mvqbkafo5673v322zcttfkijsp4m87n 1572396 1572394 2026-06-13T14:14:12Z Gayle-Bot 78697 Sasisha Takwimu za mradi 1572396 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-13) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-13)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 678 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 698 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2757 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 181 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1228 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1602 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 518 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 320 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 936 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 448 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 797 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 514 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 136 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 330 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 710 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 708 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 482 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 170 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 184 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 413 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 362 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 435 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 99 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 316 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 425 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 213 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 153 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 334 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 204 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 260 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 374 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 54 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 6 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 194 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 130 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 112 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 138 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 57 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 95 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 80 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 34 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 62 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 93 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 198 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 144 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 15 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29688 || ↓ -12.7% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.6 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Tanzania]] || 2757 || ↓ -14.8% |- | 2 || [[Marekani]] || 1228 || ↑ +12.2% |- | 3 || [[Irani]] || 936 || ↑ +12.9% |- | 4 || [[Urusi]] || 797 || ↑ +84.9% |- | 5 || [[Ufaransa]] || 710 || ↑ +47.0% |- | 6 || [[Uingereza]] || 708 || ↑ +11.7% |- | 7 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.4% |- | 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 678 || ↑ +9.7% |- | 9 || [[Afrika Kusini]] || 518 || ↓ -5.5% |- | 10 || [[Burundi]] || 514 || ↓ -4.1% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} bh3rcfseemsl95tkvn5ml001nnvnvzz 1572419 1572396 2026-06-13T19:45:41Z Gayle-Bot 78697 #2.0 CAQI Bot updated with page views column 1572419 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-13) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-13)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 678 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#228B22; color:white" | 729 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2757 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 181 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1228 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1602 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 518 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 320 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 965 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 448 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 797 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 514 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 136 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 330 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 710 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 719 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 482 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 170 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 184 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 413 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 369 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 435 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 99 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 316 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 426 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 213 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 153 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 334 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 260 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 374 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 54 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 6 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 194 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 130 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 112 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 138 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 57 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 95 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 80 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 34 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 62 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 93 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 198 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 15 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29688 || ↓ -12.7% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.6 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Tanzania]] || 2757 || ↓ -14.8% |- | 2 || [[Marekani]] || 1228 || ↑ +12.2% |- | 3 || [[Irani]] || 936 || ↑ +12.9% |- | 4 || [[Urusi]] || 797 || ↑ +84.9% |- | 5 || [[Ufaransa]] || 710 || ↑ +47.0% |- | 6 || [[Uingereza]] || 708 || ↑ +11.7% |- | 7 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.4% |- | 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 678 || ↑ +9.7% |- | 9 || [[Afrika Kusini]] || 518 || ↓ -5.5% |- | 10 || [[Burundi]] || 514 || ↓ -4.1% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} 5sro51odjjj19tqmlj0l1cekft2hsiq 1572420 1572419 2026-06-13T19:46:11Z Gayle-Bot 78697 Sasisha Takwimu za mradi 1572420 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-13) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-13)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 678 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#228B22; color:white" | 729 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2757 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 181 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1228 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1602 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 518 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 320 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 965 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 448 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 797 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 514 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 136 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 281 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 330 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 710 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 249 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 719 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 482 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 229 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 170 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 184 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 413 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 369 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 278 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 435 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 99 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 316 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 426 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 213 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 237 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 153 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 334 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 260 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 374 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 54 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 69 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 98 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 28 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 6 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 194 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 130 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 112 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 138 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 152 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 123 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 133 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 43 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 57 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 207 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 66 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 95 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 80 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 34 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 62 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 93 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 198 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 64 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 15 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 46 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 41 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 37 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29695 || ↓ -12.7% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.6 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Tanzania]] || 2757 || ↓ -14.8% |- | 2 || [[Marekani]] || 1228 || ↑ +12.2% |- | 3 || [[Irani]] || 936 || ↑ +12.9% |- | 4 || [[Urusi]] || 797 || ↑ +84.9% |- | 5 || [[Ufaransa]] || 710 || ↑ +47.0% |- | 6 || [[Uingereza]] || 708 || ↑ +11.7% |- | 7 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.4% |- | 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 678 || ↑ +9.7% |- | 9 || [[Afrika Kusini]] || 518 || ↓ -5.5% |- | 10 || [[Burundi]] || 514 || ↓ -4.1% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} s4gan9p1asrxkivvr7a22vdo2yxpa0o 1572437 1572420 2026-06-14T04:35:02Z Gayle-Bot 78697 #2.0 CAQI Bot updated with page views column 1572437 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-14) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-14)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 677 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#228B22; color:white" | 722 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2765 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1286 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1564 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 521 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 321 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 951 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 445 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 806 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 497 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 336 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 169 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 702 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 245 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 720 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 473 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 150 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 173 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 415 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 369 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 425 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 141 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 317 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 427 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 219 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 238 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 362 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 97 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 192 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 120 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 226 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 381 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 29 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 7 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 121 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 84 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 163 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 137 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 208 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 0 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 199 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 174 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 89 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 52 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 86 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29695 || ↓ -12.7% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 172.6 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Tanzania]] || 2757 || ↓ -14.8% |- | 2 || [[Marekani]] || 1228 || ↑ +12.2% |- | 3 || [[Irani]] || 936 || ↑ +12.9% |- | 4 || [[Urusi]] || 797 || ↑ +84.9% |- | 5 || [[Ufaransa]] || 710 || ↑ +47.0% |- | 6 || [[Uingereza]] || 708 || ↑ +11.7% |- | 7 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.4% |- | 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 678 || ↑ +9.7% |- | 9 || [[Afrika Kusini]] || 518 || ↓ -5.5% |- | 10 || [[Burundi]] || 514 || ↓ -4.1% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} 6vhjqadbrumyqk7x1p77a4roy7cbr56 1572438 1572437 2026-06-14T04:49:52Z Gayle-Bot 78697 Sasisha Takwimu za mradi 1572438 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-14) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-14)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 677 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#228B22; color:white" | 722 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2765 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1286 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1564 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 521 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 321 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 951 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 445 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 806 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 497 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 336 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 169 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 702 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 245 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 720 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 473 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 150 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 173 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 415 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 369 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 425 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 141 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 317 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 427 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 219 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 238 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 362 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 97 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 192 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 120 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 226 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 381 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 29 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 7 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 121 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 84 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 163 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 137 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 208 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 0 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 199 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 174 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 89 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 52 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 86 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 10958 || ↓ -14.5% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 63.7 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Marekani]] || 1286 || ↑ +16.6% |- | 2 || [[Irani]] || 941 || ↑ +17.0% |- | 3 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.9% |- | 4 || [[Afrika Kusini]] || 521 || ↓ -4.9% |- | 5 || [[Burundi]] || 497 || ↓ -8.1% |- | 6 || [[Uturuki]] || 441 || ↓ -3.7% |- | 7 || [[Singapuri]] || 381 || ↑ +139.6% |- | 8 || [[Australia]] || 336 || ↓ -4.8% |- | 9 || [[Hispania]] || 321 || ↑ +1.9% |- | 10 || [[Nigeria]] || 274 || ↓ -4.2% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} dsa13r59tefcnd0b52vjsgqqi1muv2w 1572953 1572438 2026-06-14T09:44:24Z Gayle-Bot 78697 #2.0 CAQI Bot updated with page views column 1572953 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-14) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-14)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 677 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 698 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2765 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1286 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1564 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 521 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 321 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 941 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 445 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 806 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 497 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 336 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 169 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 702 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 245 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 705 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 473 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 150 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 173 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 415 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 367 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 425 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 141 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 317 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 427 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 219 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 238 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 362 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 97 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 192 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 120 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 226 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 381 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 29 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 7 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 121 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 84 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 163 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 137 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 208 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 100 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 0 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 199 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 174 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 89 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 52 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 86 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 10958 || ↓ -14.5% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 63.7 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Marekani]] || 1286 || ↑ +16.6% |- | 2 || [[Irani]] || 941 || ↑ +17.0% |- | 3 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.9% |- | 4 || [[Afrika Kusini]] || 521 || ↓ -4.9% |- | 5 || [[Burundi]] || 497 || ↓ -8.1% |- | 6 || [[Uturuki]] || 441 || ↓ -3.7% |- | 7 || [[Singapuri]] || 381 || ↑ +139.6% |- | 8 || [[Australia]] || 336 || ↓ -4.8% |- | 9 || [[Hispania]] || 321 || ↑ +1.9% |- | 10 || [[Nigeria]] || 274 || ↓ -4.2% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 658 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} afy9qzgezox87exrx12qc9k9nd4nb14 1572954 1572953 2026-06-14T09:47:50Z Gayle-Bot 78697 Sasisha Takwimu za mradi 1572954 wikitext text/x-wiki {{Redirect|WP:Mradi/Nchi|maelezo kuhusu nchi|nchi}} {{Kigezo:Mradi/Nchi}} == Yaliyomo == <div style="margin: 1em 0; background-color:#E0F8E0; border: 1px solid #a2a9b1; padding: 12px 16px; border-radius: 2px; border-left: 5px solid #a2a9b1; line-height: 1.6;"> Kuna mradi mpya wa kujadili majina ya makala za nchi katika Kiswahili. Ili kushiriki, angalia [[WP:Mradi wa Nchi/Majina ya Nchi]]. [[Mtumiaji:Gayle157|<div style="display: inline; font-family: 'Georgia', serif; color: #4A90E2;">'''<i>Gayle157<sup>2.0</sup></i>'''</div>]] ([[Mtumiaji:Gayle157|Mtumiaji]]) 13:46, 14 Mei 2026 (UTC) </div> == Mwongozo == ===Sanduku/Jedwali la taarifa=== '''Sanduku la taarifa''' kwa kawaida huonekana kando ya makala katika mwonekano wa [[kompyuta]], ilhali katika mwonekano wa simu huenda likaonekana baada ya aya ya kwanza ya utangulizi. Hutoa muhtasari mfupi wa mambo muhimu kuhusu nchi na husaidia wasomaji kuelewa kwa haraka taarifa muhimu zaidi. Katika [[Wikipedia ya Kiswahili]], sanduku la taarifa la kawaida linalotumiwa kwa makala za nchi ni '''<nowiki>{{Jedwali la nchi}}</nowiki>'''. Ni muhimu kujumuisha [[tarehe]] na marejeo kwa data zote za kihalisi ili masasisho yaweze kufanywa kwa urahisi na kwa usahihi. Sanduku la taarifa linapaswa kuwa na angalau vigezo 20 pale inapowezekana. ===Utangulizi=== {{Main|Wikipedia:Sehemu ya Utangulizi}} Sehemu hii hutoa muhtasari wa jumla wa nchi na kufupisha mambo makuu yanayoshughulikiwa katika makala. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu zifuatazo: ====Aya ya Utangulizi==== Hii ndiyo aya ya kwanza ya makala. Inapaswa kuwa na maelezo muhimu zaidi, kama vile [[jina rasmi]], nchi jirani, idadi ya watu, ukubwa wa eneo la [[jiografia|kijiografia]], jiji kubwa zaidi, [[mji mkuu]], na [[lugha rasmi]]. Huenda pia ikajumuisha maelezo mafupi kuhusu kile ambacho nchi hiyo inajulikana nacho. Aya ya mwanzo inapaswa kuwa wazi, rahisi, na iliyoandikwa vizuri, na kwa kawaida inapaswa kuwa na ukubwa wa takribani baiti 500 hadi 800. Mfano: </br> {{Blockquote| '''Kanada''', ni [[nchi]] iliyoko katika [[Amerika ya Kaskazini]]. Inapakana na [[Bahari ya Atlantiki]] mashariki, [[Bahari ya Pasifiki]] magharibi, [[Bahari ya Aktiki]] kaskazini, na [[Marekani]] bara kusini. Kanada ina idadi ya wakazi takriban milioni 41 mwaka 2025 na kuwa ya 37 duniani kwa idadi ya watu, huku ikiwa na eneo la pili kubwa zaidi duniani baada ya [[Urusi]]. Mji mkuu ni [[Ottawa]], na jiji kubwa zaidi ni [[Toronto]], likifuatiwa na [[Montreal]] na [[Vancouver]]. Lugha rasmi ni [[Kiingereza]] na [[Kifaransa]], na Kanada inajulikana kwa msitu na maziwa yake mengi, mfumo wa [[siasa|kisiasa]] wa [[demokrasia|kidemokrasia]] wa kifederali, utofauti wa [[Utamaduni|kitamaduni]], viwango vya juu vya maisha, na kuwa miongoni mwa mataifa tajiri na yenye ushawishi mkubwa duniani.}} ====Aya zinazofuata==== Aya hizi zinapaswa kuendelea kufupisha nchi kwa kuzungumzia kwa ufupi mada kama [[historia]], [[jiografia]], [[uchumi]], [[siasa]], na maendeleo ya sasa. Zinapaswa kubaki fupi na zenye taarifa muhimu, bila kuwa ndefu kupita kiasi. Kwa hakika, kunapaswa kuwa na angalau aya mbili na zisizozidi nne katika sehemu ya utangulizi ili kudumisha usomaji rahisi na kuboresha urambazaji. Hakuna picha zinazopaswa kuwekwa katika sehemu hii. ===Mwili=== Hii ndiyo sehemu kuu ya makala na ina taarifa za kina kuhusu nchi. Kwa kawaida hugawanywa katika sehemu kuu zilizopangwa kwa mpangilio wa kimantiki. Mwili unapaswa kuwa na maudhui ya kutosha ili kuwa na manufaa, lakini haupaswi kuwa mrefu kupita kiasi au kumchosha msomaji. Picha zinazohusiana zinaweza kuongezwa katika kila sehemu ili kuboresha uwazi na uwasilishaji. ====Asili ya jina==== Sehemu hii inaeleza chanzo na maana ya jina la nchi. ====Historia==== Hii kwa kawaida ndiyo sehemu kuu ya kwanza ya mwili na inashughulikia matukio makuu ya kihistoria ya nchi. Inaweza kugawanywa katika sehemu ndogo kama vile historia ya awali, historia ya mwanzo, kipindi cha ukoloni, uhuru, na kuundwa kwa taifa la kisasa. ====Jiografia==== Sehemu hii ina taarifa kuhusu sifa za kijiografia za nchi, ikiwa ni pamoja na [[topografia]], [[hali ya hewa]], mifumo ya maji, maeneo asilia, na sifa nyingine za kijiografia. Husaidia wasomaji kuelewa mahali nchi ilipo na mazingira yake ya asili. ====Demografia==== Sehemu hii inawasilisha taarifa za kitakwimu kuhusu idadi ya watu. Huenda ikajumuisha [[Kabila]], [[dini]], [[lugha]], usambazaji wa watu, miji, na data nyingine zinazohusiana. ====Uchumi==== Sehemu hii inaeleza hali ya kiuchumi ya nchi, katika historia na wakati wa sasa. Huenda ikahusu [[Pato la taifa]] (GDP), ukuaji wa uchumi, ajira, [[umaskini]], [[viwanda]], [[biashara]], na vyanzo vikuu vya mapato. ====Serikali na siasa==== Sehemu hii inaeleza mfumo wa sasa wa kisiasa na muundo wa serikali ya nchi. Huenda pia ikajadili aina za awali za serikali, historia ya kisiasa, na changamoto kuu za kisiasa. ====Utamaduni==== Sehemu hii inashughulikia maisha ya kitamaduni ya nchi, ikijumuisha [[mila]], [[chakula|vyakula]], [[muziki]], [[fasihi]], [[sanaa]], [[dini]], na alama za kitaifa. ====Tazama pia==== Sehemu hii ina viungo vya makala zinazohusiana na mada husika. ====Marejeo==== Sehemu hii inaorodhesha vyanzo vilivyotumiwa katika makala. Huenda ikajumuisha nukuu za marejeo, bibliografia, na usomaji zaidi inapofaa. ====Viungo vya nje==== Sehemu hii hutoa viungo vya tovuti rasmi na nyenzo nyingine za nje zilizoaminika zinazohusiana na nchi hiyo. == Makala == {{Chati ya duara | caption= CAQI (2026-06-14) | label1 = Makala Bora | value1 = 7 | color1= green | label2 = Makala Nzuri | value2 = 9 | color2= yellow | label3 = Makala Msingi | value3 = 59 | color3= orange | label4 = Makala ya Chini | value4 = 74 | color4= lightblue | label5 = Mbegu | value5 = 26 | color5= red }} {| class="wikitable sortable" ! Nchi ! CAQI (2026-06-14)<br /> ! Mitazamo (siku 30)<br /> |- | colspan="3" style="background-color:green" | Makala Bora |- | [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] | 9.56 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 677 |- | [[Kenya]] | 9.44 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 698 |- | [[Tanzania]] | 9.17 | style="background-color:#006400; color:white" | 2765 |- | [[Ghana]] | 8.93 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Marekani]] | 8.76 | style="background-color:#006400; color:white" | 1286 |- | [[Jumuiya ya Afrika Mashariki|EAC]] | 8.25 | style="background-color:#006400; color:white" | 1564 |- | [[Afrika Kusini]] | 8.09 | style="background-color:#3CB371; color:white" | 521 |- | colspan="3" style="background-color:yellow" | Makala Nzuri |- | [[Hispania]] | 7.84 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 321 |- | [[Irani]] | 7.62 | style="background-color:#228B22; color:white" | 941 |- | [[Ethiopia]] | 7.58 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 445 |- | [[Urusi]] | 7.54 | style="background-color:#228B22; color:white" | 806 |- | [[Burundi]] | 7.36 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 497 |- | [[Sudan Kusini]] | 7.28 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Nigeria]] | 7.26 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 274 |- | [[Australia]] | 7.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 336 |- | [[Somalia]] | 7.09 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 169 |- | colspan="3" style="background-color:orange" | Makala Msingi |- | [[Senegal]] | 6.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 167 |- | [[Ufaransa]] | 6.68 | style="background-color:#228B22; color:white" | 702 |- | [[Italia]] | 6.23 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 245 |- | [[Falme za Kiarabu]] | 6.08 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Laos]] | 5.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Uingereza]] | 5.93 | style="background-color:#228B22; color:white" | 705 |- | [[Jamhuri ya Watu wa China]] | 5.59 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 473 |- | [[Rwanda]] | 5.49 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 224 |- | [[Korea Kaskazini]] | 5.44 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 176 |- | [[Mali]] | 5.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 150 |- | [[Korea Kusini]] | 5.34 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Ufini]] | 5.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Uswisi]] | 5.17 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 173 |- | [[Israeli]] | 5.15 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 415 |- | [[Ufalme wa Muungano]] | 5.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 124 |- | [[Zambia]] | 4.89 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 367 |- | [[Ujerumani]] | 4.83 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 337 |- | [[Niger]] | 4.79 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Misri]] | 4.78 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 273 |- | [[Uganda]] | 4.78 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 425 |- | [[Afghanistan]] | 4.70 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Shelisheli]] | 4.68 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 141 |- | [[Japani]] | 4.66 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 317 |- | [[San Marino]] | 4.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 427 |- | [[Chad]] | 4.59 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 135 |- | [[Austria]] | 4.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 90 |- | [[Kamerun]] | 4.47 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 96 |- | [[Vatikani]] | 4.43 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 219 |- | [[Gine Bisau]] | 4.41 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 238 |- | [[Ukraini]] | 4.41 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 106 |- | [[Sudan]] | 4.39 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Uswidi]] | 4.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 156 |- | [[Uholanzi]] | 4.26 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 180 |- | [[Kanada]] | 4.17 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 362 |- | [[Kamboja]] | 4.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 97 |- | [[Moroko]] | 4.13 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 192 |- | [[Uhindi]] | 4.08 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 270 |- | [[Malawi]] | 4.05 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 187 |- | [[Pakistani]] | 3.98 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Ubelgiji]] | 3.92 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 101 |- | [[Udeni]] | 3.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Burkina Faso]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Ugiriki]] | 3.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 269 |- | [[Vietnam]] | 3.84 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 120 |- | [[Bulgaria]] | 3.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Ureno]] | 3.79 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 226 |- | [[Isilandi]] | 3.77 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |- | [[Msumbiji]] | 3.76 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 257 |- | [[Aljeria]] | 3.73 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Kazakhstan]] | 3.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Malta]] | 3.65 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 118 |- | [[Indonesia]] | 3.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 107 |- | [[Singapuri]] | 3.63 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 381 |- | [[Uturuki]] | 3.62 | style="background-color:#90EE90; color:black" | 441 |- | [[Papua Guinea Mpya]] | 3.61 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 53 |- | [[Eritrea]] | 3.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Uthai]] | 3.58 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 71 |- | [[Angola]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Hong Kong]] | 3.52 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 110 |- | colspan="3" style="background-color:lightblue" | Makala ya Chini |- | [[Bhutan]] | 3.46 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 29 |- | [[Fiji]] | 3.46 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Madagaska]] | 3.45 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 218 |- | [[Ufalme wa Udeni]] | 3.44 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 7 |- | [[Palestina]] | 3.43 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Cabo Verde]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 140 |- | [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] | 3.38 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 121 |- | [[Syria]] | 3.35 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 113 |- | [[Latvia]] | 3.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 139 |- | [[Myanmar]] | 3.23 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 73 |- | [[Botswana]] | 3.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 104 |- | [[Komori]] | 3.20 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 149 |- | [[Liberia]] | 3.16 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Eswatini]] | 3.11 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 154 |- | [[Morisi]] | 3.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Jibuti]] | 3.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Omani]] | 3.04 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Polandi]] | 3.03 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Zimbabwe]] | 3.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 189 |- | [[Kosovo]] | 2.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 49 |- | [[Benin]] | 2.93 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Brunei]] | 2.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 84 |- | [[Qatar]] | 2.91 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 163 |- | [[Jamhuri ya Kongo]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 137 |- | [[Saudia]] | 2.90 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 102 |- | [[Gine ya Ikweta]] | 2.89 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 44 |- | [[Lesotho]] | 2.88 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 60 |- | [[Nyuzilandi]] | 2.86 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Hungaria]] | 2.84 | style="background-color:#C8E6C9; color:black" | 208 |- | [[Sierra Leone]] | 2.82 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Eire]] | 2.80 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Liechtenstein]] | 2.78 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 129 |- | [[Gabon]] | 2.74 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Azerbaijan]] | 2.69 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Kroatia]] | 2.68 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 72 |- | [[Slovenia]] | 2.66 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 76 |- | [[Namibia]] | 2.65 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 85 |- | [[Tunisia]] | 2.64 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Ufilipino]] | 2.64 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 105 |- | [[Kodivaa]] | 2.60 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 75 |- | [[Jamhuri ya China]] | 2.54 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 82 |- | [[Moldova]] | 2.52 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 88 |- | [[Bahrain]] | 2.51 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 65 |- | [[Norwei]] | 2.51 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 100 |- | [[Luxemburg]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 83 |- | [[Romania]] | 2.49 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 77 |- | [[Masedonia Kaskazini]] | 2.48 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 114 |- | [[Yordani]] | 2.48 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 79 |- | [[Mongolia]] | 2.42 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 142 |- | [[Belarus]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 0 |- | [[Serbia]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 36 |- | [[Turkmenistan]] | 2.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Gambia]] | 2.39 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 61 |- | [[Iraki]] | 2.37 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 122 |- | [[Nepal]] | 2.37 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Timor ya Mashariki]] | 2.34 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 35 |- | [[Tuvalu]] | 2.33 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 92 |- | [[Sri Lanka]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 59 |- | [[Yemen]] | 2.32 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Andorra]] | 2.30 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 131 |- | [[Kirgizia]] | 2.26 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Sao Tome na Principe]] | 2.23 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 199 |- | [[Bangladesh]] | 2.22 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Bosnia na Herzegovina]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 174 |- | [[Libya]] | 2.22 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 111 |- | [[Armenia]] | 2.19 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 74 |- | [[Welisi]] | 2.14 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 51 |- | [[Ucheki]] | 2.11 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 89 |- | [[Sahara ya Magharibi]] | 2.10 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 70 |- | [[Uzbekistan]] | 2.09 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 52 |- | [[Kuwait]] | 2.07 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Malaysia]] | 2.06 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 91 |- | [[Kupro]] | 2.04 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 68 |- | [[Maldivi]] | 2.02 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 145 |- | colspan="3" style="background-color:red" | Mbegu |- | [[Visiwa vya Cook]] | 1.99 | style="background-color:#FFA500; color:black" | 109 |- | [[Montenegro]] | 1.99 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Nauru]] | 1.98 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 33 |- | [[Ossetia Kusini]] | 1.97 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 12 |- | [[Vanuatu]] | 1.96 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Togo]] | 1.95 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 81 |- | [[Albania]] | 1.92 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 56 |- | [[Mauritania]] | 1.91 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 63 |- | [[Samoa]] | 1.82 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 31 |- | [[Georgia]] | 1.72 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 86 |- | [[Polynesia ya Kifaransa]] | 1.71 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 14 |- | [[Lituanya]] | 1.69 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 45 |- | [[Gine]] | 1.67 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 40 |- | [[Niue]] | 1.66 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 16 |- | [[Abkhazia]] | 1.58 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Tajikistan]] | 1.55 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 55 |- | [[Palau]] | 1.53 | style="background-color:#FF4444; color:white" | 67 |- | [[Visiwa vya Solomon]] | 1.51 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Gibraltar]] | 1.41 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Estonia]] | 1.40 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 38 |- | [[Kiribati]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 30 |- | [[Visiwa vya Mariana ya Kaskazini]] | 1.38 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 27 |- | [[Samoa ya Marekani]] | 1.36 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 24 |- | [[Slovakia]] | 1.33 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 47 |- | [[Visiwa vya Mariana]] | 1.25 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 17 |- | [[Tonga]] | 1.11 | style="background-color:#8B0000; color:white" | 42 |} ==Takwimu== ===Takwimu za Jumla=== {| class="wikitable" ! Vipimo !! Jumla !! Mabadiliko |- | Jumla ya Makala || 172 || — |- | Jumla ya Hariri (siku zote) || 34926 || — |- | Jumla ya Mitazamo (siku 30) || 29907 || ↓ -11.4% |- | Wastani wa Hariri kwa Makala || 203.1 || — |- | Wastani wa Mitazamo kwa Makala || 173.9 || — |} ===Makala 10 Zilizotazamwa Zaidi (siku 30)=== {| class="wikitable sortable" ! Nafasi !! Makala !! Mitazamo !! Mabadiliko |- | 1 || [[Tanzania]] || 2765 || ↓ -14.5% |- | 2 || [[Marekani]] || 1286 || ↑ +16.6% |- | 3 || [[Irani]] || 941 || ↑ +17.0% |- | 4 || [[Urusi]] || 806 || ↑ +94.2% |- | 5 || [[Uingereza]] || 705 || ↑ +11.9% |- | 6 || [[Ufaransa]] || 702 || ↑ +41.5% |- | 7 || [[Kenya]] || 698 || ↓ -5.9% |- | 8 || [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] || 677 || ↑ +8.0% |- | 9 || [[Afrika Kusini]] || 521 || ↓ -4.9% |- | 10 || [[Burundi]] || 497 || ↓ -8.1% |- |} ====Wahariri==== Wahariri kuu wa Mradi wa Nchi wa Wikipedia (siku 365) {| class="wikitable sortable" ! Namba !! Jina !! Hariri !! Asilimia |- | 1 || [[User:Gayle157|Gayle157]] || 657 || 45.0% |- | 2 || [[User:Gayle-Bot|Gayle-Bot]] || 358 || 24.5% |- | 3 || [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] || 130 || 8.9% |- | 4 || [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] || 114 || 7.8% |- | 5 || [[User:~2025-60637-6|~2025-60637-6]] || 12 || 0.8% |- | 6 || [[User:~2025-61248-5|~2025-61248-5]] || 12 || 0.8% |- | 7 || [[User:That Js Not Dead|That Js Not Dead]] || 8 || 0.5% |- | 8 || [[User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] || 7 || 0.5% |- | 9 || [[User:Jojaruba|Jojaruba]] || 5 || 0.3% |- | 10 || [[User:~2025-43584-58|~2025-43584-58]] || 5 || 0.3% |- |} s6lbt81w7cg374da9k4f8zdpwbyvz4p Mateus Galiano 0 215337 1572601 1460665 2026-06-14T05:17:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572601 wikitext text/x-wiki '''Mateus Galiano da Costa''' (alizaliwa [[19 Juni]] [[1984]]), anayejulikana zaidi kama Mateus, ni mchezaji wa kitaifa wa [[Angola]] anayepiga kama winger au [[mshambuliaji]] katika klabu ya Ureno F.C. Maia Lidador. Mateus amekaa karibu katika kiwango chake chote cha taaluma nchini Ureno, akicheza mechi 280 na kufunga magoli 51 katika Primeira Liga. Amewakilisha timu nne katika ligi hiyo, akiwemo Nacional na Boavista, akijulikana kwa kasi yake na ustadi wa kuishambulia timu pinzani.<ref>{{cite news|url=https://www.record.pt/futebol/futebol-nacional/campeonato-de-portugal/v--setubal/detalhe/gil-vicente-v-setubal-5-0-grande-treino-do-gil|title=Gil Vicente-V. Setúbal, 5–0: Grande treino do Gil|trans-title=Gil Vicente-V. Setúbal, 5–0: Great Gil training|newspaper=[[Record (Portuguese newspaper)|Record]]|language=pt|date=6 February 2006|access-date=14 September 2020}}</ref> Katika ngazi ya kimataifa, Mateus alianza kucheza kwa timu ya taifa ya Angola mwaka [[2006]], akipata jumla ya 68 mechi za kimataifa. Aliteuliwa kushiriki katika [[Kombe la Dunia]] [[2006]] na pia katika mashindano manne ya Africa Cup of Nations, akichangia kwa kiwango kikubwa katika safu ya ushambuliaji ya taifa lake.<ref>{{cite news|url=https://www.record.pt/futebol/futebol-nacional/detalhe/caso-mateus-gil-vicente-pede-explicacoes|title="Caso Mateus": Gil Vicente pede explicações|trans-title="Mateus Affair": Gil Vicente ask for explanations|newspaper=Record|language=pt|date=11 July 2006|access-date=14 September 2020}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.uefa.com/news/newsid=447593.html|title=Belenenses spared the drop|publisher=UEFA|date=22 August 2006|access-date=1 July 2014|url-status=dead|archive-url=https://archive.today/20140702080656/http://www.uefa.com/news/newsid=447593.html|archive-date=2 July 2014}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii: Waliozaliwa 1984]] [[Jamii: Watu Walio Hai]] [[Jamii: Wachezaji Mpira]] sqcpdrd6rvel3m62oqvknhyuomp27k9 Noto 0 215396 1572618 1460868 2026-06-14T05:19:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572618 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Sicilia]], [[Italia visiwani]] wenye wakazi 23,704 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]<ref>https://www.istat.it/it/censimenti-permanenti/censimenti-precedenti/popolazione-e-abitazioni/popolazione-2011.</ref>). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Sisilia]] s61d8awz4qu5vhh6s934kzy1rvaz2fs Biancavilla 0 215397 1572689 1460869 2026-06-14T05:31:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572689 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Sicilia]], [[Italia visiwani]] wenye wakazi 23,703 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]<ref>https://www.istat.it/it/censimenti-permanenti/censimenti-precedenti/popolazione-e-abitazioni/popolazione-2011.</ref>). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Sisilia]] rnul40y83hnr8fk4joe8hxykvjplnfc Palma di Montechiaro 0 215398 1572765 1460870 2026-06-14T05:44:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572765 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Sicilia]], [[Italia visiwani]] wenye wakazi 23,643 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]<ref>https://www.istat.it/it/censimenti-permanenti/censimenti-precedenti/popolazione-e-abitazioni/popolazione-2011.</ref>). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Sisilia]] a48g97y0ryu0y4tslu8w6redgyns0zn San Cataldo 0 215399 1572860 1460871 2026-06-14T05:59:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572860 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Sicilia]], [[Italia visiwani]] wenye wakazi 23,424 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]<ref>https://www.istat.it/it/censimenti-permanenti/censimenti-precedenti/popolazione-e-abitazioni/popolazione-2011.</ref>). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Sisilia]] b394v9xye94c6e33alqkeo1fgevi0ea Copertino 0 215413 1572684 1460890 2026-06-14T05:30:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572684 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Puglia]], [[Italia Kusini]], wenye wakazi 23,033 (mwanzoni mwa [[mwaka]] [[2021]]<ref>https://demo.istat.it/popres/index.php?anno=2021&lingua=ita</ref>). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Puglia]] 6ttwmkln1h6vp03ftxizvlx7yjd2q9a Agropoli 0 215433 1572896 1460914 2026-06-14T06:05:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572896 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Campania]], [[Italia Kusini]], wenye wakazi 20,610 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Campania]] nv7pze1gt7vifzi27jshpstfrujcakw Mirandola 0 215482 1572891 1461022 2026-06-14T06:04:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572891 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Emilia-Romagna]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 23,960 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Emilia-Romagna]] g2jk8rudetzxj9j4wy8hgw78y9arj7v Seveso 0 215503 1572775 1461049 2026-06-14T05:45:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572775 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Lombardia]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 23,988 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Lombardia]] aj78dsjxfr3gqqqzs3rvshbdms09tls Cesano Boscone 0 215507 1572869 1461053 2026-06-14T06:00:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572869 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Lombardia]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 23,405 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Lombardia]] cgyhvf9pn0wvjpixov3zkda5p3f71yy Vigonza 0 215527 1572459 1461074 2026-06-14T04:53:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572459 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Veneto]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 21,993 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Veneto]] fuo8tggm41ji7f5ib0uurs5ax136ica San Bonifacio 0 215531 1572510 1461078 2026-06-14T05:01:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572510 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Veneto]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 20,275 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Veneto]] rgm9z33e3q6hghydsl1ekdkdnnhuybc Oderzo 0 215532 1572570 1461081 2026-06-14T05:11:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572570 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[mikoa ya Italia|mkoa]] wa [[Veneto]], [[Italia Kaskazini]], wenye wakazi 20,068 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]). ==Tazama pia== * [[Orodha ya miji ya Italia]] == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Italia}} [[Jamii:Miji ya Italia]] [[Jamii:Veneto]] mt2u0z9ycwfxce2p7562q53s5pc7de6 Elfu moja mia mbili kumi na tano 0 217441 1572751 1469315 2026-06-14T05:41:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572751 wikitext text/x-wiki '''Elfu moja mia mbili kumi na tano''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1215''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCXV kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]]. Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili na nne|1214]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili kumi na sita|1216]]. ==Matumizi== * Namba hurejea miaka [[1215 KK]] na [[1215]] [[BK]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-hisabati}} [[Jamii:Namba asilia]] 2pc9f1xnjb3vto52s5933lsz1tmm8pe Elfu moja mia mbili kumi na sita 0 217468 1572617 1469575 2026-06-14T05:19:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572617 wikitext text/x-wiki '''Elfu moja mia mbili kumi na sita''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1216''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCXVI kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]]. Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili kumi na tano|1215]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili kumi na saba|1217]]. ==Matumizi== * Namba hurejea miaka [[1216 KK]] na [[1216]] [[BK]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-hisabati}} [[Jamii:Namba asilia]] tcei7cnifwqhzjfsxu7fqx3myjif7g8 Omri 0 220305 1572632 1480719 2026-06-14T05:22:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572632 wikitext text/x-wiki [[File:Omri_King.png|thumb|Mfalme Omri alivyochorwa mwaka 1553.]] '''Omri''' (kwa [[Kiebrania]] '''עָמְרִי''', ''‘Omrī''<ref name="Thiel">Thiel, W., "Omri", ''The Anchor Bible Dictionary'', p. 17, vol. 5, D.N. Freedman (ed.). New York: Doubleday (1992)</ref>), labda wa [[kabila la Isakari]]<ref name="MillerHayes">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=uDijjc_D5P0C&pg=PA266 |page=266|title=A History of Ancient Israel and Judah |publisher=James Maxwell Miller, John Haralson Hayes |date=2006 |access-date=25 January 2015|isbn=9780664212629}}</ref>, alikuwa [[kamanda]] wa mfalme [[Ela (mfalme)|Ela]], akatawala kwa miaka 12 [[Ufalme wa Israeli]] baada ya kushindana miaka 4 na [[Tibni]] <ref>Edwin Thiele, ''[[The Mysterious Numbers of the Hebrew Kings]]'' (1st ed.; New York: Macmillan, 1951; 2d ed.; Grand Rapids: Eerdmans, 1965; 3rd ed.; Grand Rapids: Zondervan/Kregel, 1983). {{ISBN|0-8254-3825-X}}, 9780825438257</ref>. Ndiye [[mwanzilishi]] wa [[mji]] wa [[Samaria]]<ref>{{cite book |last1=Singer |first1=Isidore |last2=Adler |first2=Cyrus |title=The Jewish Encyclopedia |date=1905 |publisher=[[Funk & Wagnalls]] |page=401 |url=https://books.google.com/books?id=6F5LAQAAMAAJ&q=Omri+Jewish+encyclopedia&pg=PA401}}</ref>. [[Biblia]] inamhukumu hasa kwa kuendeleza sera ya [[dini|kidini]] iliyowataka [[Waisraeli]] wamuabudu [[YHWH]] kwa sura ya [[fahali]] ya [[dhahabu]] katika ma[[hekalu]] ya [[Dani]] na [[Beteli]] ili wasiende [[Yerusalemu]], [[mji mkuu]] wa [[ufalme]] wa [[ukoo wa Daudi]]. Habari zake zinapatikana hasa katika [[Kitabu cha Kwanza cha Wafalme]], 16. == Marejeo == {{Reflist}} {{Watawala wa Israeli ya Kale}} {{mbegu-mtu-Biblia}} {{BD|karne ya 10 KK|karne ya 9 KK}} [[Category:Watu wa Biblia]] [[Category:Wafalme wa Israeli]] 83osdibn5vry2clfvgx11bkovhagn8b Elfu moja mia mbili hamsini na tisa 0 220324 1572688 1480743 2026-06-14T05:31:29Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572688 wikitext text/x-wiki '''Elfu moja mia mbili hamsini na tisa''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1259''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCLIX kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]]. Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia mbili hamsini na nane|1258]] na kutangulia [[Elfu moja mia mbili sitini|1260]]. ==Matumizi== * Namba hurejea miaka [[1259 KK]] na [[1259]] [[BK]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-hisabati}} [[Jamii:Namba asilia]] ja61vceq7386r5td472w5xhcbjk72b9 Shirika la Kipapa 0 222594 1572908 1488336 2026-06-14T06:07:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572908 wikitext text/x-wiki '''Shirika la Kipapa''' ni [[shirika]] lolote lililoanzishwa moja kwa moja na [[Ukulu mtakatifu]] au lililopewa nao hadhi hiyo baadaye kwa [[hati]] maalumu <ref>[[Mkusanyo wa Sheria za Kanisa]], can. 589.</ref>. Mashirika ya namna hiyo yako kwa namna ya pekee chini ya [[Papa]], yasiweze kuingiliwa na [[Askofu|maaskofu]] wa [[Dayosisi|majimbo]] katika masuala ya maisha ya ndani <ref>[[Mkusanyo wa Sheria za Kanisa]], can. 593.</ref>. == Marejeo == <references/> == Marejeo == * ''Direttorio canonico per gli istituti religiosi, gli istituti secolari e le società di vita apostolica''. [[Edizioni San Paolo|Edizioni paoline]], [[Cinisello Balsamo]] 1988. ISBN 88-215-1618-0. {{it}} {{mbegu-katoliki}} [[Jamii:mashirika ya kitawa]] crhot4kcr2jijh8fl1ikfp17rfo7en6 Binta Ann 0 224242 1572421 1530823 2026-06-13T19:56:06Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 2 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572421 wikitext text/x-wiki '''Binta Ann''' (amezaliwa [[1975]]) ni [[mwandishi]] na [[Harakati|mwanaharakati]] anayepigania [[haki]] za [[Mwanamke|wanawake]] na [[Mtoto|watoto]] kutoka [[Guinea]].<ref>{{Cite web|title=ANN Binta|url=https://www.etonnants-voyageurs.com/ANN-Binta.html|work=www.etonnants-voyageurs.com|accessdate=2026-02-23|language=fr}}</ref> Alipokea [[Tuzo]] ya Ufaransa na Ujerumani ya Haki za Binadamu mwaka [[2017]], na Tuzo ya Mwanamke wa Mwaka katika kundi la kijamii na kibinadamu nchini Guinea mwaka [[2018]]. == Wasifu == === Maisha ya Awali na Elimu=== Binta Ann alizaliwa nchini Guinea mnamo mwaka [[1975]].<ref>{{cite web |title=ANN Binta |url=https://www.etonnants-voyageurs.com/ANN-Binta.html |website=Etonnants Voyageurs |date=2022-03-18 |access-date=2022-03-18}}</ref> Alisoma [[fasihi]] ya kisasa ya Kiafrika katika nchi yake kabla ya kwenda [[Ufaransa]], ambako alisoma masuala ya [[utalii]].Kisha alihamia [[Marekani]], ambako alipata [[shahada ya uzamili]] katika elimu ya awali (chekechea) na elimu ya shule za msingi huko [[New Jersey]].<ref>{{cite web |title=Who is Binta Ann (here is her journey) |url=https://aminata.com/qui-est-binta-ann-voici-son-parcours/ |website=Aminata.com L'information en Guinée et dans le monde |date=2019-07-12 |access-date=2022-03-18 |archive-date=2022-03-29 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220329232303/https://aminata.com/qui-est-binta-ann-voici-son-parcours/ |url-status=dead }}</ref> === Kazi === Akiwa New Jersey, alifundisha katika shule ya Marekani. Baada ya kurejea Guinea, alifundisha kwa vipindi tofauti katika shule ya American International School ya Konakri na Lycée Français Albert-Camus. Alifanya kazi na shirika la Marekani la maendeleo ya kimataifa (USAID), katika idara ya demokrasia na utawala.<ref>{{cite web |title=Grand gala de distinction au Canada: la lauréat Binta ANN à l'honneur |url=https://aminata.com/grand-gala-de-distinction-au-canada-la-laureat-binta-ann-a-lhonneur/ |website=Aminata.com L'information en Guinée et dans le monde |date=2019-10-04 |access-date=2022-03-18 |archive-date=2022-03-29 |archive-url=https://web.archive.org/web/20220329135849/https://aminata.com/grand-gala-de-distinction-au-canada-la-laureat-binta-ann-a-lhonneur/ |url-status=dead }}</ref> Ni mwalima wa shule ya lycée huko Konakri.<ref name=":1">{{cite web |title=Excision, rape, forced marriage: two African authors break taboos |url=https://madame.lefigaro.fr/celebrites/excision-viol-mariages-forces-deux-auteures-africaines-brisent-les-tabous-230516-114065 |website=Madame Figaro |date=2016-05-24 |access-date=2022-03-18}}</ref> == Marejeo == {{marejeo}} {{Mbegu-mwandishi}} [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Waandishi wa Guinea]] [[Jamii:Watu walio hai]] m8ipkdrmepntk78ey72aaa9duzodbfn Gunther Baumann 0 224350 1572813 1493105 2026-06-14T05:52:09Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572813 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''Gunther Baumann''' (alizaliwa [[19 Januari]] [[1921]] – [[7 Februari]] [[1998]]) alikuwa mchezaji wa soka na kocha kutoka [[Ujerumani]]. {{Mbegu-cheza-mpira}} [[Jamii:Waliozaliwa 1921]] [[Jamii:Waliofariki 1998]] [[Jamii:Wachezaji mpira wa Ujerumani]] lnava9es0fl7mvk7l7uu8wap3b23z5q Kandia Camara 0 225710 1573004 1516402 2026-06-14T11:08:50Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1573004 wikitext text/x-wiki '''Kandia Camara''' (amezaliwa [[17 Juni]], [[1959]]) ni [[mwalimu]] na [[mwanasiasa]] kutoka [[Ivory Coast]] ambaye amekuwa meiya wa Abobo tangu [[10 Oktoba]], [[2021]]<ref>{{cite web |title=Awqaf opens Qatar Health Centre in Côte d'Ivoire |url=https://www.gulf-times.com/article/701202/qatar/awqaf-opens-qatar-health-centre-in-cote-divoire/ |website=[[Gulf Times]] |date=10 October 2021}}</ref> na rais wa Senate of Ivory Coast tangu [[12 Oktoba]], [[2023]].<ref name="parline">{{cite web |title=Côte d'Ivoire - Senate |url=https://data.ipu.org/parliament/ci?chamber_id=13373 |publisher=IPU}}</ref><ref>{{cite web |title=Former Ivorian Foreign Minister Kandia Camara elected President of Senate |url=https://wadr.org/former-ivorian-foreign-minister-kandia-camara-elected-president-of-senate/ |website=WADR |date=13 October 2023}}</ref> Yeye pia aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali ya Alassane Ouattara (serikali ya Achi II).<ref>{{Rejea tovuti|date=2017-01-12|title=Exclusif /Dossier-Biographie-Côte d'Ivoire : Parcours et cursus /Tout savoir sur les membres du nouveau gouvernement de la 3ème republique {{!}} AbidjanTV.net|url=http://abidjantv.net/actualites/exclusif-dossier-biographie-cote-divoire-parcours-et-cursus-tout-savoir-sur-les-membres-du-nouveau-gouvernement-de-la-3eme-republique/,%20http://abidjantv.net/actualites/exclusif-dossier-biographie-cote-divoire-parcours-et-cursus-tout-savoir-sur-les-membres-du-nouveau-gouvernement-de-la-3eme-republique/|access-date=2021-03-09|language=en-US}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=Henriette Diabaté, présidente, Kandia Camara SG: les femmes prennent le ''pouvoir'' au RDR|url=https://news.abidjan.net/h/622014.html|access-date=2021-03-09|website=Abidjan.net|archive-date=2017-09-10|archive-url=https://web.archive.org/web/20170910233358/https://news.abidjan.net/h/622014.html|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} {{BD|1957|}} [[Jamii:wanasiasa wa Cote d'Ivoire]] 78md4rfvv1vyz487a0uxafteyyhgrys Barbara Creecy 0 227264 1572414 1503276 2026-06-13T18:20:34Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572414 wikitext text/x-wiki '''Barbara Dallas Creecy''' (alizaliwa [[Juni 17]], [[1958]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] na [[mwanaharakati]] wa zamani wa kupinga ubaguzi wa rangi. Tangu Julai [[2024]], amehudumu kama Waziri wa Uchukuzi. Kabla ya hapo, alikuwa Waziri wa Mazingira, Misitu na Uvuvi kati ya [[2019]] na 2024. Creecy ni mwanachama wa Kamati ya Utendaji ya Kitaifa na Kamati ya Kazi ya Kitaifa ya African National Congress (ANC). Alikulia jijini [[Johannesburg]] na kujiunga na ANC mwaka wa [[1979]], akiungana na harakati za kisiasa kupitia chama cha United Democratic Front. Kati ya [[1994]] na 2019, alihudumu kwa mfululizo katika Bunge la Mkoa wa [[Gauteng]] na kujiunga na Baraza Kuu la Gauteng kuanzia [[2004]] hadi 2019. Katika kipindi hicho, alihudumu katika mabaraza mbalimbali ya kisiasa ikiwemo: la Michezo, Burudani, Sanaa na Utamaduni (2004–[[2009]]), la Elimu (2009–2014), na la Fedha (2014–2019). Katika uchaguzi mkuu wa Mei 2019, Creecy alichaguliwa kuingia Bunge la Afrika Kusini na baadaye akateuliwa katika baraza la mawaziri chini ya Rais Cyril Ramaphosa.<ref name=":3">{{Cite web|title=Barbara Creecy, Ms|url=https://www.gov.za/about-government/contact-directory/transport-ministry/barbara-creecy-ms|access-date=2024-12-26|website=South African Government}}</ref> == Maisha ya awali na elimu == Barbara Dallas Creecy alizaliwa Juni 17, 1958, na alikulia Johannesburg. Baba yake, mhasibu aliyeajiriwa aliyesomea Uingereza, alifariki alipokuwa na umri wa miaka minane. Baba yake alikuwa mwanachama wa Chama cha Kikomunisti na alikataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri wakati wa Vita vya Pili vya Dunia. Mama yake, ambaye alikuwa binti wa wanaharakati wawili wa vyama vya wafanyakazi, pia alikuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa katika maisha yake.<ref name=":122">{{Cite web|date=10 April 2024|title=Final Candidate Lists for 2024 National and Provincial Elections: National Candidates|url=https://www.elections.org.za/pw/Documents/Candidates-List-NPE2024/National%20Candidates%20List.pdf|access-date=2024-03-26|website=Electoral Commission of South Africa}}</ref><ref name=":0">{{Cite web|date=|title=MEC Profile: Ms Barbara Creecy|url=http://www.gauteng.gov.za/government/departments/provincial-treasury/Pages/MEC-profile.aspx|archive-url=https://web.archive.org/web/20170511040128/http://www.gauteng.gov.za/government/departments/provincial-treasury/Pages/MEC-profile.aspx|archive-date=2017-05-11|access-date=2024-12-26|website=Government of Gauteng}}</ref> Baada ya kuhitimu katika Shule ya Roedean huko Parktown, Johannesburg, Creecy alisoma katika Chuo Kikuu cha Witwatersrand chini ya ufadhili wa masomo, akijiandikisha mwaka wa [[1976]]. Alihitimu na Shahada ya Heshima katika Sayansi ya Siasa, na baadaye akahitimu Shahada ya Uzamili katika Sera za Umma na Usimamizi katika Chuo Kikuu cha [[London]].<ref name=":1">{{Cite web|last=Segar|first=Sue|date=22 November 2019|title=Environmental impact|url=https://noseweek.co.za/wp/article/environmental-impact/|access-date=2024-12-26|website=Noseweek|language=en-ZA|archive-date=2025-01-21|archive-url=https://web.archive.org/web/20250121150605/https://noseweek.co.za/wp/article/environmental-impact/|url-status=dead}}</ref><ref>{{Cite web|date=8 August 2019|title=Behind the Politics: Creecy on student activism, juggling career and family life|url=https://ewn.co.za/2019/08/08/behind-the-politics-creecy-on-student-activism-juggling-career-and-family-life|archive-url=https://web.archive.org/web/20220424195347/https://ewn.co.za/2019/08/08/behind-the-politics-creecy-on-student-activism-juggling-career-and-family-life|archive-date=2022-04-24|access-date=2024-12-26|website=EWN}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1958]] [[Jamii: Wanasiasa wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanawake wa Afrika Kusini]] [[Jamii: Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]] jz0loqobwyiede18ilqh7xtrukt9a2w Betta Edu 0 229790 1572806 1508186 2026-06-14T05:50:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572806 wikitext text/x-wiki '''Betta Chimaobim Edu''' (alizaliwa [[27 Oktoba]] [[1986]]) ni [[daktari]] na [[mwanasiasa]] kutoka [[Nigeria]] anayejulikana kwa mchango wake katika sekta ya afya na uongozi wa kisiasa. Alishika nafasi ya Kiongozi wa Kitaifa wa Wanawake katika chama cha All Progressives Congress (APC), ambapo alihusika katika kuimarisha ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi nchini Nigeria. Betta Chimaobim Edu pia alihudumu kama Kamishna wa Afya wa [[Jimbo la Cross River]] hadi alipojiuzulu mwaka [[2022]]. Katika nafasi hiyo, alisimamia utekelezaji wa sera za afya na kuboresha utoaji wa huduma za matibabu katika jimbo hilo. Aidha, aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Kitaifa wa Jukwaa la Makamishna wa Afya wa Nigeria, nafasi iliyomuwezesha kuratibu na kuongoza mawasiliano kati ya majimbo mbalimbali kuhusu masuala ya afya ya umma. == Kazi == Betta Chimaobim Edu amepata nafasi mbalimbali za uongozi wa kitaifa na kikanda ndani ya sekta ya afya na siasa nchini Nigeria, akijijengea sifa kama mmoja wa viongozi vijana wenye ushawishi mkubwa.<ref>{{Cite web|last=|date=2015-12-26|title=Gov Ben Ayade Breaks Record Again, Appoints Youngest Special Adviser In Nigeria|url=https://www.calitown.com/gov-ben-ayade-breaks-record-again-appoints-youngest-special-adviser-in-nigeria/|access-date=2023-05-28|website=calitown|language=en-US}}</ref> Mnamo mwaka [[2015]], aliteuliwa kuwa Mshauri Maalum wa Gavana Mtendaji wa Jimbo la Cross River, Benedict Ayade, akiwa na jukumu la kusimamia Huduma ya Afya ya Jamii na Msingi. Katika nafasi hiyo, alihusishwa moja kwa moja na uboreshaji wa mifumo ya afya katika ngazi ya jamii.<ref>{{Cite news|last=Abang|first=Mike|date=2021-12-14|title=Cross River has best COVID-19 response in Nigeria - Commissioner|url=https://businessday.ng/news/article/cross-river-has-best-covid-19-response-in-nigeria-commissioner/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2022-10-15|newspaper=[[BusinessDay (Nigeria)|BusinessDay]]|language=en-US}}</ref> Mwaka [[2020]], aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Jimbo la Cross River kuhusu [[COVID-19]], ambapo alisaidia kuratibu hatua za kukabiliana na janga hilo. Mwezi Agosti mwaka huo huo, akawa Mwenyekiti wa Kitaifa wa Jukwaa la Makamishna wa Afya wa Nigeria, nafasi iliyomuwezesha kuratibu sera za afya kati ya majimbo mbalimbali.<ref>{{Cite web|title=Dr Betta Edu emerges as National Chairman of Nigeria Commissioners for Health Forum {{!}} The Paradise News|url=https://theparadise.ng/dr-betta-edu-emerges-as-national-chairman-of-nigeria-commissioners-for-health-forum/|access-date=2022-01-05|website=theparadise.ng|language=en-US|archive-date=5 January 2022|archive-url=https://web.archive.org/web/20220105000245/https://theparadise.ng/dr-betta-edu-emerges-as-national-chairman-of-nigeria-commissioners-for-health-forum/|url-status=dead}}</ref> Betta Chimaobim Edu ni mwanachama wa Royal Society for Public Health pamoja na African Institute of Public Health Professionals, taasisi zinazojihusisha na maendeleo ya afya ya umma na taaluma ya afya barani Afrika. Mnamo Machi [[2022]], alikua kiongozi mwanamke mdogo zaidi wa kitaifa ndani ya Bunge la All Progressives Congress (APC), jambo lililoonyesha kupanda kwake kwa kasi katika siasa za Nigeria. Katika mwaka [[2023]], viongozi wanawake wa APC kutoka majimbo yote 36 ya Nigeria pamoja na Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho (FCT) walipitisha kura ya imani kwake wakati wa ziara yao kwa Rais [[Bola Tinubu|Bola Ahmed Tinubu]] katika Ikulu ya Rais Abuja.<ref name="punchng">{{Cite news|date=2022-03-27|title=Betta Edu emerges youngest APC national women leader.|url=https://punchng.com/betta-edu-emerges-youngest-apc-national-women-leader/|access-date=2022-04-04|newspaper=[[The Punch]]|language=en-US}}</ref> Mwezi Julai 2023, Serikali ya Shirikisho kupitia Kituo cha Maryam Babangida National Centre for Women Development, kwa kushirikiana na Wizara ya Masuala ya Wanawake na Maendeleo ya Jamii, ilimpatia Tuzo ya Ubora katika Uongozi kwa mchango wake katika ujumuishaji wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake, watoto na makundi yaliyo hatarini. Baadaye mwezi huo huo, Rais Bola Ahmed Tinubu alimteua kuwa Waziri wa Masuala ya Kibinadamu na Kupunguza Umaskini. Uteuzi huo ulimfanya kuwa waziri wa kwanza mwanamke kutoka Jimbo la Cross River na pia mmoja wa mawaziri vijana zaidi katika historia ya Jamhuri ya Nne ya Nigeria. Baada ya kuapishwa kwake kama waziri mnamo Agosti 2023, nafasi yake ya uongozi wa wanawake ndani ya APC ilijazwa na mrithi mpya, akiendeleza mabadiliko ya uongozi ndani ya chama hicho.<ref>{{Cite news|last=Cyril|date=2023-07-14|title=36 Women Leaders Pass "Vote of Confidence" on APC National Women Leader|url=https://sunnewsonline.com/36-women-leaders-pass-vote-of-confidence-on-apc-national-women-leader/|location=Lagos, Nigeria|access-date=2023-07-17|newspaper=[[The Sun (Nigeria)|The Sun]]|language=en}}</ref><ref>{{Cite news|last=Online|first=Tribune|date=2023-07-14|title=Members pass 'vote of confidence' on APC national women leader|url=https://tribuneonlineng.com/members-pass-vote-of-confidence-on-apc-national-women-leader/|access-date=2023-07-17|newspaper=[[Nigerian Tribune]]|language=en-GB}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii: Waliozaliwa 1986]] [[Jamii: Watu walio hai]] [[Jamii: Wanawake wa Nigeria]] ghkm892j4hc8hlvxriwwicvlyny0sah Abel Chivukuvuku 0 234073 1572388 1541419 2026-06-13T13:44:37Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572388 wikitext text/x-wiki '''Abel Epalanga Chivukuvuku''' (alizaliwa 11 Novemba 1957) ni [[mwanasiasa]] wa [[Angola]] na kiongozi wa muungano wa uchaguzi wa Broad Convergence for the Salvation of Angola (CASA-CE). Awali, akiwa mwanachama wa muda mrefu wa chama cha UNITA, alihudumu kama Kiongozi wa Wabunge wa UNITA kuanzia Oktoba 1998 hadi Septemba 2000.<ref>{{Cite web|title=pan_african_parliament_org|url=https://pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx/|date=2026-05-06|accessdate=2026-05-12|language=en-US|archive-date=2019-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20191207041800/http://www.pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1957]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Angola]] 4ojmly8x91rwtaandq2356rrcjjuubj Domingos Manuel Njinga 0 234482 1572430 1542117 2026-06-14T02:08:52Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572430 wikitext text/x-wiki Mchungaji '''Daniel Ntoni-Nzinga''' ni mmoja wa wanaharakati wa amani na viongozi wa kidini wenye ushawishi mkubwa zaidi nchini [[Angola]]. Alijipatia sifa kwa juhudi zake zisizoyumba za kutafuta suluhu ya amani wakati wa miaka ya mwisho ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.<ref>{{Rejea tovuti|title=pan_african_parliament_org|url=https://pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx/|date=2026-05-06|accessdate=2026-05-13|language=en-US|archive-date=2019-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20191207041800/http://www.pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] fipbhmf4aubytrhmqv1c6kmdzh4l94x Augusta Brito 0 235176 1572635 1543309 2026-06-14T05:22:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572635 wikitext text/x-wiki '''Augusta Brito de Paula''' (alizaliwa 27 Mei 1976) ni mwanasiasa wa [[Brazil]] ambaye anafanya kazi kama Seneta katika [[Federal Senate (Brazil)|Seneti ya Shirikisho]] tangu mwaka 2023 akiwakilisha jimbo la [[Ceará]]. Yeye ni mwanachama wa chama cha [[Workers' Party (Brazil)|Workers' Party]] (PT).<ref>{{cite web|url=https://www25.senado.leg.br/web/senadores/senador/-/perfil/6350|title=Augusta Brito - CE|publisher=Federal Senate|language=pt}}</ref> === Marejeo == {{Reflist}} == Viungo vya Nje == * [https://www25.senado.leg.br/web/senadores/senador/-/perfil/6350 Wasifu rasmi katika Seneti ya Shirikisho la Brazil] {{Mbegu-mtu}} {{BD|1976||Brito, Augusta}} [[Jamii:Wanasiasa wa Brazil]] [[Jamii:watu wa Brazil]] [[Jamii:Watu walio hai]] == Marejeo == {{Marejeo}} 0cnayefglcn8akv43oa09imyujip32y Chara Bachir 0 235959 1572424 1544840 2026-06-13T21:44:14Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572424 wikitext text/x-wiki '''Chara Bachir''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Aljeria|Algeria]].<ref>{{Cite web|title=pan_african_parliament_org|url=https://pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx/|date=2026-05-06|accessdate=2026-05-17|language=en-US|archive-date=2019-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20191207041800/http://www.pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx|url-status=dead}}</ref> Tangu mwaka 2004, Bachir amekuwa mjumbe wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament) akiwakilisha Algeria. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] ih9gicpsdw2uaogskd3aeczneiv562f Hammi Larouissi 0 236084 1572950 1545200 2026-06-14T08:56:06Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572950 wikitext text/x-wiki '''Hammi Larouissi''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Aljeria|Algeria]].<ref>{{Rejea tovuti|title=pan_african_parliament_org|url=https://pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx/|date=2026-05-06|accessdate=2026-05-17|language=en-US|archive-date=2019-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20191207041800/http://www.pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx|url-status=dead}}</ref> Tangu mwaka 2004, amekuwa mwanachama wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament) akiwakilisha Algeria. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] b3qelsnnwiylsxq0tb21w6u5pef0f32 Draoui Mohamed 0 236290 1572432 1545603 2026-06-14T02:27:24Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572432 wikitext text/x-wiki '''Draoui Mohamed''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Aljeria|Algeria]]. Tangu mwaka 2004, amekuwa mwanachama wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament) akiwakilisha Algeria, na pia ni mjumbe wa Kamati ya Elimu, Utamaduni, Utalii na Rasilimali Watu ndani ya bunge hilo.<ref>{{Rejea tovuti|title=pan_african_parliament_org|url=https://pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx/|date=2026-05-06|accessdate=2026-05-18|language=en-US|archive-date=2019-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20191207041800/http://www.pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Algeria]] 0yt93c2yz3ovs1bbuele7s7jzfkqi24 Boudina Mostefa 0 236294 1572422 1545510 2026-06-13T20:13:39Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572422 wikitext text/x-wiki '''Boudina Mustapha''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Aljeria|Algeria]]. Tangu mwaka 2004, amekuwa mwanachama wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament) akiwakilisha Algeria.<ref>{{Cite web|title=pan_african_parliament_org|url=https://pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx/|date=2026-05-06|accessdate=2026-05-18|language=en-US|archive-date=2019-12-07|archive-url=https://web.archive.org/web/20191207041800/http://www.pan-african-parliament.org/AboutPAP_PAPMemberCountries.aspx|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] q9lo028dvy9mbnn4yl9btb128jkznl0 Anne Nafstad Lyftingsmo 0 238768 1572407 1550504 2026-06-13T16:46:00Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572407 wikitext text/x-wiki '''Anne Nafstad Lyftingsmo''' (amezaliwa 24 Machi 1968 mjini [[Oslo]])<ref>[[https://snl.no/Anne_Nafstad_Lyftingsmo](https://snl.no/Anne_Nafstad_Lyftingsmo) Anne Nafstad Lyftingsmo], ''[[Store norske leksikon]]''</ref> ni mtumishi wa umma kutoka [[Norway]], ambaye kwa sasa anahudumu kama Katibu wa Serikali (Cabinet Secretary), yaani mtumishi wa ngazi ya juu zaidi katika serikali.<ref>[[https://www.dagensperspektiv.no/2016/her-er-norges-nye-toppbyrakrat](https://www.dagensperspektiv.no/2016/her-er-norges-nye-toppbyrakrat){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Her er Norges nye toppbyråkrat], ''Dagens Perspektiv''</ref><ref>[[https://www.regjeringen.no/no/dep/smk/organisasjonskart/administrativ_ledelse/regjeringsrad_nafstad_lyftingsmo/id2506630/](https://www.regjeringen.no/no/dep/smk/organisasjonskart/administrativ_ledelse/regjeringsrad_nafstad_lyftingsmo/id2506630/) Regjeringsråd Anne Nafstad Lyftingsmo], Serikali ya Norway</ref> Alisomea usimamizi wa biashara na baadaye alifanya kazi kama mshauri katika ECON Analyse na pia katika [[Statistics Norway|Taasisi ya Takwimu ya Norway]] kabla ya kujiunga na utawala wa serikali kuu. Mwaka 2006 aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu (Director-General) katika Wizara ya Serikali za Mitaa na Maendeleo ya Mikoa. Baadaye alihamia Ofisi ya Waziri Mkuu, ambako pia alihudumu kama Mkurugenzi Mkuu kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Serikali mwaka 2016.<ref>[[https://www.regjeringen.no/no/aktuelt/nyregjeringsrad/id2500449/](https://www.regjeringen.no/no/aktuelt/nyregjeringsrad/id2500449/) Anne Nafstad Lyftingsmo ny regjeringsråd], Government of Norway, 11 Mei 2016</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Watu wa Norwei]] 4emd7l43odmagwctwkptd81jiqgemzv Barbara Schwartz (tenisi) 0 239095 1572415 1551155 2026-06-13T18:23:44Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572415 wikitext text/x-wiki '''Barbara Schwartz''' ({{IPA|de|Barbara ʃvarts}};<ref>{{cite web|url=[https://de.langenscheidt.com/deutsch-franzoesisch/barbara|title=Barbara](https://de.langenscheidt.com/deutsch-franzoesisch/barbara|title=Barbara) - Französisch-Übersetzung - Langenscheidt Deutsch-Französisch Wörterbuch|publisher=[[Langenscheidt]]|access-date=26 October 2018|language=de, fr}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{citation|last=Wells|first=John C.|year=2008|title=Longman Pronunciation Dictionary|edition=3rd|publisher=Longman|isbn=9781405881180}}</ref>; amezaliwa tarehe 27 Januari 1979) ni aliyekuwa mchezaji wa kulipwa wa [[tenisi]] kutoka [[Austria]]. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1979|}} [[Jamii:Watu wa Austria]] [[Jamii:Watu walio hai]] lloaiu93plag2uqn97y2husxmfne6me Empress Michiko 0 239102 1572435 1553708 2026-06-14T04:08:20Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572435 wikitext text/x-wiki '''Michiko''' ({{lang|ja|美智子}}), pia alizaliwa kama '''Michiko Shōda''' ({{lang|ja|正田 美智子}}, Shōda Michiko; 20 Oktoba 1934) ni mwanachama wa Familia ya Kifalme ya Japani ambaye ameshika wadhifa wa Empress Emerita wa Japani tangu 1 Mei 2019. Alikuwa Empress wa Japani kama mke wa [[Akihito]], Mfalme wa 125 wa Japani, aliyekalia kiti cha enzi kuanzia 7 Januari 1989 hadi 30 Aprili 2019. Michiko alimuoa Mfalme wa Kifalme (Crown Prince) Akihito na kuwa Crown Princess wa Japani mwaka 1959. Alikuwa mtu wa kwanza kutoka tabaka la raia wa kawaida (commoner)<ref>Herbert P. Bix, ''Hirohito and the Making of Modern Japan'', 2000 ({{ISBN|978-0-06-019314-0}})</ref> kuingia katika familia ya kifalme ya Japani kwa ndoa. Ana watoto watatu na mume wake: [[Naruhito]], Fumihito, na Sayako Kuroda. Mtoto wake mkubwa, Naruhito, ndiye mfalme wa sasa wa Japani. Akiwa Crown Princess na baadaye Empress consort, alijulikana kuwa mmoja wa wake wa kifalme waliotembea na kuonekana hadharani zaidi katika historia ya Japani. Baada ya Akihito kuachia madaraka mwaka 2019, Michiko alipewa cheo kipya cha {{Nihongo|''Jōkōgō''|上皇后}}, yaani Empress Emerita.<ref>{{Rejea tovuti |title=Government panel outlines proposals on Emperor's abdication, titles |url=[http://www.japantimes.co.jp/news/2017/04/14/national/government-panel-outlines-proposals-emperors-abdication-titles/](http://www.japantimes.co.jp/news/2017/04/14/national/government-panel-outlines-proposals-emperors-abdication-titles/) |agency=Kyodo News |website=The Japan Times |date=14 Aprili 2017 |access-date=9 Juni 2017 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1934|}} [[Jamii:Watu wa Japani]] [[Jamii:Watu walio hai]] p619pwmxjxkc9tbwofvipukdgmkdcue Ōhara Shigetomi 0 239204 1572379 1551608 2026-06-13T12:59:36Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572379 wikitext text/x-wiki '''Ōhara Shigetomi''' ( 1801–1879) alikuwa kuge (mwana-aristokrasia wa kihistoria wa [[Japani]]) na mwanamkuu wa tabaka la kifalme la Japani.<ref name=ndl>{{cite web |last1=National Diet Library (国立国会図書館) |title=大原 重徳 Ōhara Shigetomi |url=[https://www.ndl.go.jp/portrait/datas/6167](https://www.ndl.go.jp/portrait/datas/6167) |website=Portraits of Modern Japanese Historical Figures |access-date=29 Aprili 2026 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{cite book |last1=Kasumi Kaikan |title=平成新修旧華族家系大成 |date=1996 |publisher=Yoshikawa Kōbunkan |location=Japan |isbn=9784642036719}}</ref> Alikuwa sehemu ya tabaka la waheshimiwa waliokuwa na ushawishi katika mfumo wa kifalme wa Japani kabla na wakati wa mabadiliko ya kipindi cha kisasa. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1801|1879}} [[Jamii:Watu wa Japani]] cv3t6239efivd45wwzaxf2rv9mir595 Dudley Hardy 0 239242 1572433 1551971 2026-06-14T02:35:00Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572433 wikitext text/x-wiki '''Dudley Hardy''' ([[Januari 15]], [[1867]] – [[Agosti 11]], [[1922]]) alikuwa [[mchoraji]] picha wa [[Uingereza]].<ref>[http://vallejogallery.com/artist.php?artist=Thomas_Bush_Hardy&id=243 Thomas Bush Hardy] {{Wayback|url=http://vallejogallery.com/artist.php?artist=Thomas_Bush_Hardy&id=243 |date=20241127123551 }} ''Vallejo Gallery''; retrieved 17 April 2011</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{Mbegu-mtu}} [[Jamii:Wachoraji wa Uingereza]] [[Jamii:Waliozaliwa 1867]] [[Jamii:Waliofariki 1922]] 43xneboshiy5yjpymektqx4br0wsj7a Chol Ajongo Mawut 0 239398 1572425 1553790 2026-06-13T22:13:41Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572425 wikitext text/x-wiki '''Chol Ajongo''' ni [[mwanasiasa]] wa South Sudan na Waziri wa zamani wa Masuala ya Urais katika Serikali ya Mpito Iliyohuishwa ya Umoja wa Kitaifa.<ref>{{Cite web|title=The Juba Mirror|url=https://thejubamirror.com/2024/08/23/chol-mawut-ajongo-sworn-in-as-new-minister-of-presidential-affairs-president-kiir-urges-decisive-action/|date=2024-08-23|accessdate=2026-05-27|language=en-US|author=admin@juba|archive-date=2025-09-17|archive-url=https://web.archive.org/web/20250917015945/https://thejubamirror.com/2024/08/23/chol-mawut-ajongo-sworn-in-as-new-minister-of-presidential-affairs-president-kiir-urges-decisive-action/|url-status=dead}}</ref> Aliteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 19 Agosti 2024 baada ya kuhudumu kama balozi wa Sudan Kusini nchini Kenya. Baadaye, tarehe 3 Novemba 2025, alibadilishwa na Africano Mande Gedima. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Sudan Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] cxfh0k6w1i07po5us0mj09loi4vm1j5 Yunus Mohamed 0 239409 1572367 1553923 2026-06-13T12:20:59Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572367 wikitext text/x-wiki '''Yunus "YM" Mohamed''' (wakati mwingine huandikwa Mahomed; 12 Juni 1950 – 6 Januari 2008) alikuwa [[mwanasheria]] na [[mwanaharakati]] wa Afrika Kusini ambaye alikuwa nguzo muhimu katika kuanzishwa kwa muungano wa ''United Democratic Front'' (UDF).<ref>{{Rejea tovuti|title=Content Not Found - Mail & Guardian|url=http://mg.co.za/articlePage.aspx?articleid=330111&area=obituaries|work=www.mg.co.za|accessdate=2026-05-27|language=en|archive-date=2016-03-03|archive-url=https://web.archive.org/web/20160303192711/http://mg.co.za/articlePage.aspx?articleid=330111&area=obituaries|url-status=dead}}</ref> == Maisha ya Awali na Elimu == Mohamed alizaliwa mjini Johannesburg, akiwa mmoja wa watoto wasiopungua watano wa Amina na Ismail Mohamed. Alikulia katika kitongoji cha Jeppe na kusoma katika [[Shule]] ya Msingi ya Gold Street na Shule ya Sekondari ya William Hills. Baadaye alihamia Natal na kujiunga na Chuo Kikuu cha Durban-Westville ambapo mnamo mwaka 1972 alishiriki katika migomo ya wanafunzi iliyoandaliwa na chama cha wanafunzi weusi cha SASO. Hatimaye alihitimu masomo yake katika Chuo Kikuu cha Afrika Kusini (UNISA). == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Waliozaliwa 1950]] [[Jamii:Waliofariki 2008]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] mrdpclrsthh4poohdryuo59wmq7bf90 Alain Aoun 0 239516 1572404 1554998 2026-06-13T14:57:27Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572404 wikitext text/x-wiki '''Alain Joseph Aoun'''<ref>{{Cite news |date=2013-05-28 |title=Main candidates registered for elections |url=https://www.mtv.com.lb/en/news/articles/205806/main-candidates-registered-for-elections |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20230105123045/https://www.mtv.com.lb/en/news/articles/205806/main-candidates-registered-for-elections |archive-date=2023-01-05 |access-date=2026-04-20 |work=[[MTV Lebanon]] |language=en}}</ref> ( alizaliwa mnamo mwaka 1971)<ref name="birth year">{{Cite web |title=آلان عون |url=https://aliqtisadi.com/%D8%B4%D8%AE%D8%B5%D9%8A%D8%A7%D8%AA/%D8%A2%D9%84%D8%A7%D9%86-%D8%B9%D9%88%D9%86/ |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210419103015/https://aliqtisadi.com/%D8%B4%D8%AE%D8%B5%D9%8A%D8%A7%D8%AA/%D8%A2%D9%84%D8%A7%D9%86-%D8%B9%D9%88%D9%86/ |archive-date=2021-04-19 |access-date=2021-04-19}}</ref><ref name="birth year2">{{Cite news |title=استمرار التعاطي القائم مع المسيحيين سيوصل إلى قناعة متزايدة بالفيديرالية |url=https://www.alraimedia.com/article/588357/%D9%85%D8%AA%D9%81%D8%B1%D9%82%D8%A7%D8%AA/%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A7%D8%A6%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D9%84%D8%A8%D9%86%D8%A7%D9%86%D9%8A-%D8%A2%D9%84%D8%A7%D9%86-%D8%B9%D9%88%D9%86-%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D8%A7%D9%8A-%D8%B1%D8%A6%D8%A7%D8%B3%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D9%8A%D8%A7%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%B1-%D9%84%D9%8A%D8%B3%D8%AA-%D9%85%D8%AD%D8%B3%D9%88%D9%85%D8%A9-%D9%88%D9%88%D8%A7%D8%B1%D8%AF-%D8%A3%D9%86-%D8%A3%D8%AA%D8%B1%D8%B4%D8%AD |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210419103015/https://www.alraimedia.com/article/588357/%D9%85%D8%AA%D9%81%D8%B1%D9%82%D8%A7%D8%AA/%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A7%D8%A6%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D9%84%D8%A8%D9%86%D8%A7%D9%86%D9%8A-%D8%A2%D9%84%D8%A7%D9%86-%D8%B9%D9%88%D9%86-%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%B1%D8%A7%D9%8A-%D8%B1%D8%A6%D8%A7%D8%B3%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D9%8A%D8%A7%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%B1-%D9%84%D9%8A%D8%B3%D8%AA-%D9%85%D8%AD%D8%B3%D9%88%D9%85%D8%A9-%D9%88%D9%88%D8%A7%D8%B1%D8%AF-%D8%A3%D9%86-%D8%A3%D8%AA%D8%B1%D8%B4%D8%AD |archive-date=2021-04-19 |access-date=2021-04-19}}</ref> ni mwanasiasa wa [[Lebanoni|Lebanon]] na mwanachama wa zamani wa kundi la wabunge la [[Strong Lebanon]] katika Bunge la Lebanon. Yeye ni mhandisi wa mawasiliano (telecom engineer) na ana shahada ya uzamili ya usimamizi wa biashara (MBA) pamoja na shahada ya uzamili ya sayansi (MSc) katika masuala ya fedha. Pia ni mpwa wa Rais wa zamani wa Lebanon, [[Michel Aoun]]. Amekuwa mwanachama wa chama cha [[Free Patriotic Movement]] tangu kuanzishwa kwake.<ref name="auto">{{Cite web |title=Alain Aoun |url=http://med2017.test/speakers/alain-aoun/ |access-date=2026-04-20 |website=Rome MED 2017 |language=en-US }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Alichaguliwa kama Mbunge wa dhehebu la [[Maronites|Maroniti]] akiwakilisha jimbo la [[Baabda]] [[Orodha ya wabunge wa Bunge la Lebanon la 2009–2017|mnamo tarehe 7 Juni 2009]], kupitia muungano wa "Change and Reform". Alichaguliwa tena mnamo tarehe 6 Mei 2018 kwa muhula wa tatu. Mnamo tarehe 20 Mei 2018, alichaguliwa na bunge kuwa Katibu wa Bunge la Lebanon.<ref name="auto1">{{Cite web|url=http://nna-leb.gov.lb/en/show-news/91485/|title=MPs Alain Aoun, Marwan Hamade elected Parliament secretaries|website=[[National News Agency]]|access-date=2020-11-11|archive-date=2020-11-16|archive-url=https://web.archive.org/web/20201116233553/http://nna-leb.gov.lb/en/show-news/91485/|url-status=dead|date=2018-05-23}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1971||Aoun, Alain Joseph}} bi98c7dh952lw30pitsi4x4jv3hj315 Barnaba Okony Gilo 0 239539 1572416 1555054 2026-06-13T18:27:24Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572416 wikitext text/x-wiki '''Barnaba Okony Gilo''' ni [[mwanasiasa]] wa [[South Sudan]] na mwanachama wa chama cha Sudan People's Liberation Movement.<ref>{{Cite web|title=Wayback Machine|url=http://coady.stfx.ca/tinroom/assets/file/CoadyConnections2010.pdf|work=coady.stfx.ca|accessdate=2026-05-28}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Alichaguliwa kuwa kamishna wa Pochalla mwaka 1997 na alikuwa wa kwanza kuanzisha msaada wa chakula wa United Nations kusaidia wananchi wa Pochalla wakati wa majira ya upungufu wa chakula. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Sudan Kusini]] [[Jamii:Watu walio hai]] p5e679kng5ou0qi8olg26vfbjflzglr Guillaume Dupuytren 0 239546 1572949 1555062 2026-06-14T08:26:51Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572949 wikitext text/x-wiki '''Guillaume Dupuytren, Baron Dupuytren''' (5 Oktoba 1777 – 8 Februari 1835) alikuwa mtaalamu wa anatomia na mpasuaji wa kijeshi wa [[Ufaransa]]. Ingawa alijipatia sifa kubwa kwa kumtibu Napoleon Bonaparte kutokana na tatizo la bawasiri (hemorrhoids), anafahamika zaidi leo kwa kueleza na kuchunguza hali ya Dupuytren's contracture, ambayo baadaye ilipewa jina lake. Alifanya upasuaji wa kwanza unaohusiana na ugonjwa huo mwaka 1831, na akachapisha matokeo yake katika jarida la tiba la ''The Lancet'' mwaka 1834.<ref>{{cite journal |last=Dupuytren |first=Guillaume |date=10 Mei 1834 |title=Clinical Lectures on Surgery |journal=The Lancet |volume=22 |issue=558 |pages=222–225 |doi=10.1016/S0140-6736(02)77708-8 |pmc=5165315 |url=[https://zenodo.org/record/2088201 }}](https://zenodo.org/record/2088201}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }})</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1777|1835}} [[Jamii:Watu wa Ufaransa]] kulfe77envdsb637949pwgfxy2b5wl4 Gebran Bassil 0 239557 1572921 1567057 2026-06-14T06:54:51Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572921 wikitext text/x-wiki '''Gebran Gerge Bassil''' (alizaliwa 21 Juni 1970) ni mwanasiasa wa [[Lebanoni]] ambaye ni kiongozi wa chama cha [[Free Patriotic Movement]] tangu mwaka 2015 na kiongozi wa kundi la wabunge la [[Strong Lebanon]] katika [[Bunge la Lebanon]] tangu mwaka 2018. Akiwa Mkristo wa dhehebu la [[Maronites|Maroniti]], yeye ni mkwe wa rais wa zamani [[Michel Aoun]], na amekuwa mshauri wake mwandamizi zaidi tangu mwaka 2005.<ref>{{cite web |url=https://www.reuters.com/article/idUSKBN27M279?mod=related&channelName=credit-rss |title=Who is Lebanon's Gebran Bassil? |website=Reuters |date=6 November 2020 }}</ref> Alizaliwa mjini Batroun, Bassil alijiunga na chama cha FPM na kuwa mwanaharakati mashuhuri ndani yake. Aligombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka Uchaguzi mkuu wa Lebanon wa 2005 na [[Uchaguzi mkuu wa Lebanon wa 2009|2009]], na aliteuliwa kuwa Wizara ya Mawasiliano ya Simu katika Serikali ya Kwanza ya Saad Hariri. Mnamo mwaka 2011, Bassil na mawaziri wote wa upinzani walitangaza kujiuzulu kwao, hatua iliyopelekea kuanguka kwa serikali.<ref>{{Rejea tovuti|last=Mansour|first=Aiman|title=The collapse of Lebanon: Scenarios for the future|url=https://www.jns.org/opinion/the-collapse-of-lebanon-scenarios-for-the-future/|access-date=2021-10-03|website=JNS.org|date=5 September 2021|language=en-US|archive-date=2021-10-03|archive-url=https://web.archive.org/web/20211003212225/https://www.jns.org/opinion/the-collapse-of-lebanon-scenarios-for-the-future/|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mwanasiasa}} {{BD|1970||Bassil, Gebran Gerge}} [[Jamii:Wanasiasa wa Lebanoni]] i9i5gzq2b2halwu3oin024lz9wvhz4o Antoni de Gimbernat 0 239558 1572409 1555077 2026-06-13T16:57:18Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572409 wikitext text/x-wiki '''Antonio de Gimbernat y Arbós''' (1734–1816) alikuwa mpasuaji na mtaalamu wa anatomia kutoka [[Hispania]]. Anajulikana kwa kuweka msingi wa mbinu za kisasa za matibabu ya ngiri ya kinena (inguinal hernia). Pia alieleza kwa undani muundo wa anatomia ya maeneo ya kinena (inguinal canal) na sehemu ya juu ya paja (femoral triangle) katika mwili wa binadamu.<ref>[[http://www.sohah.org/zona-socios/historia-de-la-hernia/antonio-de-gimbernat-y-arbos-1734-1816/](http://www.sohah.org/zona-socios/historia-de-la-hernia/antonio-de-gimbernat-y-arbos-1734-1816/){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Antonio de Gimbernat y Arbós (1734–1816)]. Sociedad Hispanoamericana de Hernia</ref><ref>Honoring Don Antonio de Gimbernat. Anatomist and Surgeon (1734–1816). European Journal of Anatomy, Vol. 20, Suppl. 1 (2016).</ref><ref>Mestres-Ventura, P. (2022). ''Antonio de Gimbernat i Arboç (1734–1816)''. Arola Editors.</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1734|1816}} [[Jamii:Watu wa Hispania]] a81ftioq7t3z6ebz0jzxstuxgtjjbig George Kellie 0 239604 1572925 1555140 2026-06-14T07:08:39Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572925 wikitext text/x-wiki '''Dr George Kellie''' MD, FRSE (1770–1829) alikuwa mpasuaji kutoka [[Uskoti]]. Anajulikana zaidi kwa kushirikiana na [Alexander Monro (secundus) katika kuunda wazo linalojulikana kama '''Monro-Kellie doctrine'''. Dhana hii inaeleza uhusiano kati ya shinikizo ndani ya fuvu la kichwa (intracranial pressure) na ujazo wa vitu vilivyo ndani ya fuvu. Ni msingi muhimu katika kuelewa magonjwa ya mfumo wa neva yanayosababishwa na ongezeko la shinikizo la ndani ya fuvu. Dhana hiyo inasema kuwa kwa sababu fuvu la kichwa haliwezi kupanuka (halibadiliki ukubwa wake), na ujazo wake ni wa kudumu, basi ongezeko la ujazo wa sehemu moja ndani ya fuvu lazima liambatane na kupungua kwa ujazo wa sehemu nyingine ili kudumisha uwiano. Utafiti wa awali kuhusu George Kellie umeathiriwa na mkanganyiko wa taarifa, ikiwemo mwaka usio sahihi wa kuzaliwa uliotajwa mara kwa mara, tofauti za tahajia ya jina lake (Kellie au Kelly), pamoja na kuchanganywa kwake na baba yake ambaye pia alikuwa mpasuaji huko Leith na mwenye jina linalofanana. == Maisha ya awali == George Kellie alizaliwa katika mji wa Leith, bandari ya Edinburgh ambayo wakati huo ilikuwa mji wa tano kwa ukubwa nchini Scotland.<ref name="Webster">[[http://www.gro-scotland.gov.uk/files2/the-census/Webster_final.pdf](http://www.gro-scotland.gov.uk/files2/the-census/Webster_final.pdf){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Webster Census]</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1770|1829}} [[Jamii:Watu wa Uskoti]] jinfjcpm36t1zrbzf8ui03e7l30qh0f Claude-Nicolas Le Cat 0 239629 1572426 1555176 2026-06-13T23:35:35Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572426 wikitext text/x-wiki '''Claude-Nicolas Le Cat''' (6 Septemba 1700 – 20 Agosti 1768) alikuwa mpasuaji [[Ufaransa|Mfaransa]] na mwasilishaji wa sayansi kwa umma (science communicator).<ref>{{Cite journal|last=Roberts|first=Meghan K.|date=2021|title=Spontaneous Human Combustion and Claude-Nicolas Le Cat's Hunt for Fame|url=[https://www.journals.uchicago.edu/doi/10.1086/717020|journal=The](https://www.journals.uchicago.edu/doi/10.1086/717020|journal=The) Journal of Modern History|volume=93|issue=4|pages=749–782|doi=10.1086/717020|s2cid=244955176|issn=0022-2801|url-access=subscription}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1700|1768}} [[Jamii:Watu wa Ufaransa]] 63leoe9fmnynevdc4mxkhht0t3s7plj Daouda Marté 0 239689 1572428 1555433 2026-06-14T00:39:18Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572428 wikitext text/x-wiki '''Daouda Mamadou''' '''Marté''' (amezaliwa 23 Novemba 1959) ni [[mwanasiasa]] wa [[Niger]].<ref>{{Rejea tovuti|title=DAOUDA M. MARTHE|url=http://www.assemblee.ne/index.php?option=com_content&view=article&id=166:deputemarthe&catid=66:bureau-assemblee&Itemid=152|work=www.assemblee.ne|accessdate=2026-05-28|language=fr-fr|archive-date=2016-10-23|archive-url=https://web.archive.org/web/20161023110835/http://www.assemblee.ne/index.php?option=com_content&view=article&id=166:deputemarthe&catid=66:bureau-assemblee&Itemid=152|url-status=dead}}</ref> Yeye ni kiongozi muhimu wa chama cha Nigerien Party for Democracy and Socialism, na amehudumu kama Naibu wa Kwanza wa Spika wa Bunge la Taifa la Niger tangu mwaka 2011. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Niger]] [[Jamii:Waliozaliwa 1959]] [[Jamii:Watu walio hai]] bu56pnydnowgwz2gec3i7k9iqnvwrf9 Claude Pouteau 0 239702 1572427 1555324 2026-06-13T23:37:41Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572427 wikitext text/x-wiki '''Claude Pouteau''' (alizaliwa 14 Agosti 1724 mjini [[Lyon]], na kufariki 10 Februari 1775 katika mji huohuo) alikuwa [[mpasuaji]] na mvumbuzi wa [[Kifaransa]]. == Wasifu == Claude Pouteau alikuwa mwana wa mpasuaji, ambaye alimpa elimu yake ya kwanza ya tiba. Baadaye alisoma mjini Paris, ambapo walimu wake walikuwa Jean-Louis Petit , Henri François Le Dran na Sauveur François Morand.<ref>:fr:Charles Ozanam, article "Pouteau (Claude)", in Louis-Gabriel Michaud, ''Biographie universelle ancienne et moderne'', t. 34, Desplaces, p. 250, [[https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k51674f/f255](https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k51674f/f255) online].</ref> Baada ya kutetea tasnifu yake, alirudi Lyon ambako aliteuliwa kuwa mpasuaji msaidizi katika Hôtel-Dieu mwaka 1744. Alimrithi Pierre Grassot kama mpasuaji mkuu wa Hôtel-Dieu na akaendelea, kama mtangulizi wake, kuhamasisha chanjo dhidi ya [[smallpox|ndui]].<ref>Louis Paul Fischer and Khadija Touil, "Claude Pouteau (1725-1775), chirurgien de l'Hôtel-Dieu de Lyon : son asepsie au moyen de l'eau, du feu et du linge propre", in ''Histoire des sciences médicales'', 1998, vol. 32, n° 1, p. 27–37, spec. p. 31, [[https://www.biusante.parisdescartes.fr/sfhm/hsm/HSMx1998x032x001/HSMx1998x032x001x0027.pdf](https://www.biusante.parisdescartes.fr/sfhm/hsm/HSMx1998x032x001/HSMx1998x032x001x0027.pdf){{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} online].</ref> Mwaka 1753 alielekeza shughuli zake katika tiba binafsi, ambako alipata mafanikio makubwa. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1724|1775}} [[Jamii:Watu wa Ufaransa]] 46yidnfvkxna91znqh56a1vz7bkxf4z Alexander Wood (mpasuaji) 0 239756 1572406 1555403 2026-06-13T15:24:32Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572406 wikitext text/x-wiki '''Alexander Wood''' (14 Juni 1725 – 12 Mei 1807) alikuwa mpasuaji wa [[Uskoti]], aliyefanya kazi katika klabu za kijamii zilizostawi wakati wa Mwangaza wa Kiskoti (Scottish Enlightenment) huko Edinburgh, na alikuwa mwanzilishi wa klabu mbili kati ya hizo. Kwa sababu ya mwili wake mwembamba na mrefu, alijulikana zaidi kwa jina la utani “Lang Sandy” Wood. Matibabu na urafiki wake na mshairi Robert Burns vilichangia umaarufu wake wa ndani. [[File:Alexander (Lang Sandy) Wood with umbrella caricatured by John Kay.jpg|thumb|Katika mchoro huu, Wood ameonyeshwa na John Kay akiwa ameshika mwavuli. Inasemekana alikuwa mtu wa kwanza Edinburgh kutumia mwavuli.]] == Maisha ya awali na elimu == Wood alizaliwa Restalrig tarehe 14 Juni 1725, akiwa mwana wa Thomas Wood (1702–1798), mkulima, na mke wake Janet Lamb.<ref name=":0">{{Cite ODNB|title=The Oxford Dictionary of National Biography|date=23 Septemba 2004|url=[http://www.oxforddnb.com/view/article/29861|editor-last=Matthew|editor-first=H](http://www.oxforddnb.com/view/article/29861|editor-last=Matthew|editor-first=H). C. G.|doi=10.1093/ref:odnb/29861|editor2-last=Harrison|editor2-first=B.}}</ref><ref name=":1">{{Cite web|last=Wood|first=Walter|title=Noti za nasaba ya familia ya Wood|url=[https://library.rcsed.ac.uk/media/1326/gd-100_12-genealogical-notes-of-the-wood-family_digital-copy.pdf|access-date=5](https://library.rcsed.ac.uk/media/1326/gd-100_12-genealogical-notes-of-the-wood-family_digital-copy.pdf|access-date=5) Juni 2021|website=RCSEd Library and Archive}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Alisoma udaktari katika Chuo Kikuu cha Edinburgh, na baada ya kuhitimu alianza kufanya kazi ya tiba huko Musselburgh. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1725|1807}} [[Jamii:Watu wa Uskoti]] qlzvy6346batub5z1ejxnp6mxtyy547 Archibald Glenn 0 239788 1572410 1569453 2026-06-13T17:12:50Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 2 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572410 wikitext text/x-wiki '''Sir Joseph Robert Archibald Glenn''', OBE (24 Mei 1911 – 4 Januari 2012)<ref>{{Cite web|title=Obituary - Sir Joseph Robert Archibald (Archie) Glenn - Obituaries Australia|url=http://oa.anu.edu.au/obituary/glenn-sir-joseph-robert-archibald-archie-14886|access-date=2020-08-19|website=oa.anu.edu.au|archive-date=2020-09-22|archive-url=https://web.archive.org/web/20200922024116/http://oa.anu.edu.au/obituary/glenn-sir-joseph-robert-archibald-archie-14886|url-status=dead}}](http://oa.anu.edu.au/obituary/glenn-sir-joseph-robert-archibald-archie-14886|access-date=2020-08-19|website=oa.anu.edu.au}})</ref> alikuwa mfanyabiashara wa viwanda kutoka [[Australia]] na Chansela mwanzilishi wa La Trobe University.<ref>{{cite press release |title=Vale: Sir Archibald Glenn, OBE |url=[https://www.latrobe.edu.au/news/articles/2012/article/vale-sir-archibald-glenn,-obe](https://www.latrobe.edu.au/news/articles/2012/article/vale-sir-archibald-glenn,-obe) |publisher=[[La Trobe University]] |date=10 January 2012 |access-date=17 April 2018 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref name=administration>{{cite web |title=Past Chancellors and Vice-Chancellors |url=[https://www.latrobe.edu.au/about/at-a-glance/history](https://www.latrobe.edu.au/about/at-a-glance/history) |work=Our history |publisher=[[La Trobe University]] |date=16 March 2018 |access-date=17 April 2018 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1911|2012}} [[Jamii:Watu wa Australia]] aq8rgr1q462eefi17hv4xglnagm4llx Gift Motaung 0 239795 1572933 1555764 2026-06-14T07:24:05Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572933 wikitext text/x-wiki '''Gift Motaung''' ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini na Mbunge katika [[Bunge]] la Kitaifa kupitia chama cha ''uMkhonto weSizwe'' (MK). Alichaguliwa kujiunga na bunge hilo kufuatia uchaguzi mkuu wa [[Afrika Kusini]] uliofanyika mwaka 2024.<ref>{{Rejea tovuti|title=Mr Gift Motaung - Parliament of South Africa|url=https://parliament.gov.za/person-details/8982|work=parliament.gov.za|accessdate=2026-05-28|language=en|archive-date=2026-05-28|archive-url=https://web.archive.org/web/20260528185741/https://parliament.gov.za/person-details/8982|url-status=dead}}</ref><ref>{{Rejea tovuti|title=uMkhonto WeSizwe Party announces new MPs, excludes Floyd Shivambu|url=https://thestar.co.za/news/politics/2025-06-21-umkhonto-wesizwe-party-announces-new-mps-leaving-out-floyd-shivambu/|work=The Star|date=1986-04-11|accessdate=2026-05-28|language=en|author=Thabo Makwakwa}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] 8crfz02effveprp95f7n2ylkkisfglh Ferdinand Ouedraogo 0 239807 1572677 1555503 2026-06-14T05:29:45Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572677 wikitext text/x-wiki '''Ferdinand Ouedraogo''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Burkina Faso]].<ref>{{Citation|title=NEWS Archives - African Forum for Utility Regulators|url=https://afurnet.org/category/news/|work=African Forum for Utility Regulators|language=en-US|access-date=2026-05-28|archive-date=2023-12-05|archive-url=https://web.archive.org/web/20231205211434/https://afurnet.org/category/news/|url-status=dead}}</ref> Yeye ni Mkuu wa Wafanyakazi (Chief of Staff) wa Burkina Faso. Aliteuliwa katika nafasi hiyo mwaka 2022 na rais wa mpito Ibrahim Traoré, na muhula wake ulianza tarehe 21 Oktoba 2022. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Burkina Faso]] tqd01bgq302mvqob8q6z37zfr0btszc Alexander Graham (mwandishi) 0 239885 1572405 1558581 2026-06-13T15:22:15Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572405 wikitext text/x-wiki '''Sir Alexander Michael Graham''' (alizaliwa 27 Septemba 1938) ni Meya Mkuu wa zamani wa [[London]]. Alihudumu katika nafasi hiyo kuanzia mwaka 1990 hadi 1991. Graham pia amewahi kuhudumu kama [[Court of Aldermen]] na kama Sheriff wa Jiji la London.<ref>{{Cite web |url=http://hallschool.web-intouch.com/frmProfile.aspx?S=3o78p4j |title=Hall School Alumni |accessdate=2026-05-29 |archive-date=2016-12-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20161221012449/http://hallschool.web-intouch.com/frmProfile.aspx?S=3o78p4j |url-status=dead }}</ref> Kuanzia mwaka 2000 hadi 2013, alihudumu kama [[Gentleman Usher of the Purple Rod]]. Alisoma katika shule ya St. Paul's School London kuanzia mwaka 1951 hadi 1956. Kabla ya kushika wadhifa wa Meya Mkuu, alitunukiwa nishani ya [[Order of the British Empire|Knight Grand Cross of the Order of the British Empire]] kuanzia tarehe 9 Oktoba 1990. == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1938||Graham, Alexander Michael}} [[Jamii:Wanasiasa wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Uingereza]] 1ymzt6ahecmjp18e2cvi3j383vnfpcb Ernest William Jones 0 239909 1572436 1558601 2026-06-14T04:30:48Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572436 wikitext text/x-wiki '''Ernest William Jones''' (24 Oktoba 1870 – 15 Septemba 1941) alikuwa dalali wa kimataifa wa usafirishaji wa meli kutoka [[Wales]] na pia mchezaji wa [[kriketi]] wa daraja la kwanza. == Familia == [[File:Cathédrale de Rouen vue de l'Opéra.JPG|thumb|right|[[Rouen|Rouen, Haute Normandie]]]] Ernest alizaliwa Glamorgan tarehe 24 Oktoba 1870<ref name="GCA">{{cite web|title=Glamorgan Cricket Archives: Wasifu wa Ernest William Jones|date=3 Agosti 2023 |url=[https://glamorgancricketarchives.com/ernest-jones}}](https://glamorgancricketarchives.com/ernest-jones}})</ref> katika familia ya tabaka la juu la kati.<ref name="Ernest Jones Profile, Cricket Archive">{{cite web|title=Kumbukumbu ya Ernest Jones: Wachezaji wa England, Cricket Archive.com|url=[https://cricketarchive.com/Players/88/88490/88490.html}}](https://cricketarchive.com/Players/88/88490/88490.html}}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }})</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1870|1941}} [[Jamii:Watu wa Wales]] bay4t5eje1d87jhhbr80vo92x6eha2w George Dexter Whitcomb 0 239954 1572924 1558682 2026-06-14T07:05:02Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572924 wikitext text/x-wiki '''George Dexter Whitcomb''' (13 Mei 1834 – 21 Juni 1914) alikuwa mfanyabiashara wa viwanda na mjasiriamali kutoka [[Marekani]] anayejulikana kwa kuanzisha kampuni ya Geo D. Whitcomb Company, ambayo baadaye ilijulikana kama Whitcomb Locomotive Works. Pia anatambulika kama mwanzilishi wa mji wa [[Glendora, California]]. == Maisha ya awali == Whitcomb alizaliwa mjini Brandon, Vermont, mwaka 1834. Alitumia miaka yake ya awali katika eneo la New England ambako alipata uzoefu katika shughuli za uzalishaji viwandani na biashara, jambo lililomsaidia sana baadaye maishani.<ref>{{cite book |last=Jackson |first=Sheldon G. |title=A British Ranchero in Old California: The Life and Times of Henry Dalton and the Rancho Azusa |year=1977 |publisher=Arthur H. Clark Co. |location=Glendale, California |pages=85–87}}</ref> Familia ya Whitcomb ilihamia Kent, Ohio, alipokuwa kijana, na baadaye alisoma katika chuo cha biashara mjini Akron, Ohio. Aligharamia masomo yake kwa kufanya kazi katika reli ya Panhandle kama wakala wa tiketi na mpokeaji wa ujumbe wa simu za waya (telegrapher). == Kazi == Mwishoni mwa miaka ya 1850, Whitcomb alihamia Saint Paul, Minnesota, ambako alisimamia kampuni iliyokuwa ikifanya biashara na jamii za maeneo ya mipakani. Baada ya kumuoa Leadora Bennett mwaka 1859, wanandoa hao waliishi Chicago, Illinois. Wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Marekani, Whitcomb aliisaidia Jeshi la Muungano kwa kusambaza vifaa muhimu vya reli, hasa mataruma ya reli na mbao.<ref>{{cite web |title=Whitcomb Locomotive Company History |url=[https://www.midcontinent.org/rollingstock/builders/whitcomb.htm](https://www.midcontinent.org/rollingstock/builders/whitcomb.htm) |publisher=Mid-Continent Railway Museum |access-date=March 17, 2025 }}{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1834|1914}} [[Jamii:Watu wa Marekani]] eu6jm029qsa1f7a7jdbkihjtro1jree Francis Kabenlah Anaman 0 240027 1572861 1559020 2026-06-14T05:59:35Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572861 wikitext text/x-wiki '''Francis Kabenlah Anaman''' (born 26 July 1960) ni [[mwanasiasa]] wa [[Ghana]] na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Jomoro Constituency katika Bunge la Sita la Jamhuri ya Nne ya Ghana. Aliwakilisha jimbo hilo katika Mkoa wa Magharibi wa Ghana kwa tiketi ya National Democratic Congress (NDC). <ref>{{Rejea tovuti|title=Jomoro Constituency Results - Election 2012|url=https://ghanaelections.peacefmonline.com/pages/2012/western/jomoro/|work=Ghana Elections - Peace FM|accessdate=2026-05-30|author=Peace FM|archive-date=2024-11-27|archive-url=https://web.archive.org/web/20241127020628/https://ghanaelections.peacefmonline.com/pages/2012/western/jomoro/|url-status=dead}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-mwanasiasa}} [[Jamii:Wanasiasa wa Ghana]] [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Watu walio hai]] 99afmh1tya4g2lstiwukcyeo8c087m4 Glen Maney 0 240125 1572935 1570730 2026-06-14T07:43:23Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572935 wikitext text/x-wiki '''Glen Maney''' (alizaliwa 13 Oktoba 1964, huko [[Battersea]]) ni mchekeshaji, mwigizaji, mwandishi,<ref>{{cite web |url=http://www.laughinghorsecomedy.co.uk/bookingagency/glen.htm |title=Glenn Maney |publisher=Laughing Horse Booking Agency |accessdate=20 November 2013 |archive-date=2016-03-05 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160305011827/http://www.laughinghorsecomedy.co.uk/bookingagency/glen.htm |url-status=dead }}</ref> mwongozaji wa filamu, na mwanasiasa. == Kazi == Mnamo mwaka 2011, alikuwa Katibu wa Kitaifa wa chama cha [[National Liberal Party (UK, 1999)|National Liberal Party]].<ref>{{Cite web |url=http://nationalliberal.org/ex-lib-dem-man-becomes-new-national-secretary |title=National Liberal Party webpage |accessdate=2026-05-30 |archive-date=2025-03-18 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250318195055/https://nationalliberal.org/ex-lib-dem-man-becomes-new-national-secretary |url-status=dead }}</ref> Amefanya uchunguzi kadhaa wa siri kuhusu athari za [[Human migration|uhamiaji]] kutoka [[European Union|Umoja wa Ulaya]] kwa wafanyakazi wa [[Uingereza]].<ref>[http://nationalliberal.org/?p=1918) National Liberal Party article by subject]{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mnamo Aprili 2014, alijiuzulu nafasi ya Katibu wa Kitaifa wa Chama cha National Liberal akitaja kutofautiana kwa maoni na wajumbe wengine wa kamati kuu kuhusu jinsi ya kukiendeleza chama mbele, pamoja na kuongezeka kwa majukumu ya kazi yake.{{citation needed|date=November 2019}} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1964||Maney, Glen}} [[Jamii:Wanasiasa wa Uingereza]] [[Jamii:Waigizaji wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Uingereza]] 9t7pr8eb886plqhxx5yqtfb5coqm02b 1572989 1572935 2026-06-14T10:15:39Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1572989 wikitext text/x-wiki '''Glen Maney''' (alizaliwa 13 Oktoba 1964, huko [[Battersea]]) ni mchekeshaji, mwigizaji, mwandishi,<ref>{{cite web |url=http://www.laughinghorsecomedy.co.uk/bookingagency/glen.htm |title=Glenn Maney |publisher=Laughing Horse Booking Agency |accessdate=20 November 2013 |archive-date=2016-03-05 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160305011827/http://www.laughinghorsecomedy.co.uk/bookingagency/glen.htm |url-status=dead }}</ref> mwongozaji wa filamu, na mwanasiasa. == Kazi == Mnamo mwaka 2011, alikuwa Katibu wa Kitaifa wa chama cha [[National Liberal Party (UK, 1999)|National Liberal Party]].<ref>{{Rejea tovuti |url=http://nationalliberal.org/ex-lib-dem-man-becomes-new-national-secretary |title=National Liberal Party webpage |accessdate=2026-05-30 |archive-date=2025-03-18 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250318195055/https://nationalliberal.org/ex-lib-dem-man-becomes-new-national-secretary |url-status=dead }}</ref> Amefanya uchunguzi kadhaa wa siri kuhusu athari za [[Human migration|uhamiaji]] kutoka [[European Union|Umoja wa Ulaya]] kwa wafanyakazi wa [[Uingereza]].<ref>[http://nationalliberal.org/?p=1918) National Liberal Party article by subject]{{Dead link|date=June 2026 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mnamo Aprili 2014, alijiuzulu nafasi ya Katibu wa Kitaifa wa Chama cha National Liberal akitaja kutofautiana kwa maoni na wajumbe wengine wa kamati kuu kuhusu jinsi ya kukiendeleza chama mbele, pamoja na kuongezeka kwa majukumu ya kazi yake.{{citation needed|date=November 2019}} == Marejeo == {{Reflist}} {{Mbegu-mtu}} {{BD|1964||Maney, Glen}} [[Jamii:Wanasiasa wa Uingereza]] [[Jamii:Waigizaji wa Uingereza]] [[Jamii:Watu wa Uingereza]] ixuk8y2i8qlwz4nebcdchgyb1ch7unl Kisiwa cha Nyamatala 0 240330 1572696 1566634 2026-06-14T05:32:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572696 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[wilaya ya Misungwi]], [[mkoa wa Mwanza]], [[kaskazini]] mwa [[Tanzania]]. Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-mwanza}} [[Jamii:Visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:wilaya ya Misungwi]] [[Jamii:Visiwa vya Ziwa Viktoria]] pjiu730wto3swctx4rorkoy2sygjvtr Kisiwa cha Iramba (Tanzania) 0 240374 1572649 1566721 2026-06-14T05:25:15Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572649 wikitext text/x-wiki ''Kwa kisiwa kingine chenye jina hilohilo tazama [[Kisiwa cha Iramba (Uganda)]]'' '''Kisiwa cha Iramba''' ni kati ya [[visiwa]] vya [[wilaya ya Muleba]], [[mkoa wa Kagera]], [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[Tanzania]]. Kinapatikana katika [[ziwa Nyanza]], la pili [[duniani]] kwa ukubwa. ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]] == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-kagera}} [[Jamii:Visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:wilaya ya Muleba]] [[Jamii:Ziwa Viktoria]] at3u9savrssquywd2sbkr5zgwcpwe8r Elfu moja mia tatu na sita 0 240376 1572476 1566741 2026-06-14T04:56:14Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572476 wikitext text/x-wiki '''Elfu moja mia tatu na sita''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1306''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCVI kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]]. Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu na tano|1305]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu na saba|1307]]. ==Matumizi== * Namba hurejea miaka [[1306 KK]] na [[1306]] [[BK]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-hisabati}} [[Jamii:Namba asilia]] a83n9668yo22ix08yrpo2lf1443tmfr Majadiliano ya mtumiaji:Laylah26 3 240387 1572996 1566780 2026-06-14T10:54:22Z Anuary Rajabu 45588 /* Pongezi */ mjadala mpya 1572996 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 6 Juni 2026 (UTC) == Pongezi == Habari ndugu, Naandika ujumbe huu wa kukupa hongera na pongezi kwa kuwa mtumiaji mpya ambaye anaandika makala nzuri na zenye ubora bila ya kuwa na makosa mengi ambayo mara nyingi huwa tumezoea kuyaona kwa watumiaji wapya. Hakika unafanya vizuri na endelea kuchangia kwa ubora huo huo Nimepitia makala zako nyingi mfano [[Mto Geba]], [[Mto Luapula]], [[Ziwa Bangweulu]], [[Ufukwe|Fukwe]], [[Mdomo wa mto]] n.k '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:54, 14 Juni 2026 (UTC) d92l2lrsllj97vmh822kl8q544xeqcg Dumila Primary School 0 240445 1572766 1567092 2026-06-14T05:44:19Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572766 wikitext text/x-wiki '''Dumila Primary School''' ni [[shule]] ya msingi ya [[serikali]] iliyopo nchini [[Tanzania]] katika eneo la [[Dumila]], wilaya ya [[Kilosa]] mkoani [[Morogoro]]. Shule hii hutoa elimu ya msingi kwa watoto wa kuanzia darasa la kwanza hadi darasa la saba chini ya mtaala wa taifa unaosimamiwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Iko katika mazingira ya kijamii yenye makazi ya watu na shughuli mbalimbali za kila siku, hali inayowezesha wanafunzi wengi wa eneo hilo na vijiji jirani kupata nafasi ya kusoma kwa urahisi bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Kwa muda mrefu, shule hii imekuwa sehemu muhimu ya msingi wa elimu kwa watoto wa Dumila, ikiwasaidia kujenga maarifa ya awali kabla ya kuendelea na ngazi nyingine za elimu nchini Tanzania.<ref>https://shulezetu.com/primary-schools/dumila-primary-school-p1102012/</ref> == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-elimu}} [[Jamii: Elimu]] [[Jamii: Morogoro]] t0bcmnt6o4v1ru9k0iert8xi60pdtw3 Ekolojia ya maji 0 240603 1572992 1569417 2026-06-14T10:27:41Z Anuary Rajabu 45588 1572992 wikitext text/x-wiki [[Faili:Maldivesfish2.jpg|thumb|Ekolojia ya Baharini]] '''Ekolojia ya maji''' (kwa [[Kiingereza]]: ''aquatic ecology'') ni [[tawi]] la [[sayansi]] ya [[ekolojia]] linalochunguza uhusiano na mwingiliano kati ya [[viumbehai]] wa [[maji|majini]] (kama vile [[samaki]], [[Mmea|mimea]] ya majini, vijidudu, na [[wadudu]]) na [[mazingira]] yao ya kifizikia na kikemikali (kama vile [[halijoto]] ya maji, viwango vya [[oksijeni]], [[Mwanga wa Jua|mwanga wa Jua]], na virutubisho). Fani hiyo inajumuisha utafiti wa mifumo yote ya ekolojia inayopatikana kwenye maji, ikigawanyika katika maeneo makuu mawili: Ekolojia ya maji baridi (limnology) na Ekolojia ya maji ya chumvi au bahari (marine ecology).<ref>{{Rejea tovuti|title=Encyclopedia Britannica {{!}} Britannica|url=https://www.britannica.com:443/|work=Encyclopedia Britannica|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref> == Muundo == Mifumo ya ekolojia ya maji inatawaliwa na michakato ya mtiririko wa nishati na mzunguko wa virutubisho kupitia mnyororo wa chakula. Wazalishaji wa msingi (primary producers) kama vile [[mwani]] (algae) na mimea ya majini hutumia mwanga wa jua kutengeneza nishati kupitia [[usanisinuru]], na hivyo kuwa msingi wa chakula kwa viumbe wengine. Sifa za kifizikia za maji, kama vile kiwango cha chumvi (salinity), msukumo wa mawimbi, na kina cha maji kinachoamua kiwango cha mwanga wa jua kinachopenya (photic zone), ni mambo makuu yanayopanga jinsi viumbehai walivyosambazwa katika maeneo mbalimbali ya maji. [[Uwanda wa mafuriko|Nyanda za mafuriko]], mabwawa ya asili, na [[delta]] za [[mito]] ni mifano ya maeneo ambapo mifumo ya nchi kavu na ya majini hukutana na kutengeneza [[bioanuwai]] kubwa.<ref>{{Rejea tovuti|title=USGS.gov {{!}} Science for a changing world|url=https://www.usgs.gov/home|work=www.usgs.gov|accessdate=2026-06-10|language=en}}</ref> == Changamoto za mazingira na uhifadhi == Katika nyakati za sasa, ekolojia ya maji inakabiliwa na changamoto kubwa zinazotokana na shughuli za mwanadamu na [[mabadiliko ya tabianchi]]. Uchafuzi wa maji kupitia uingizaji wa mbolea na kemikali za kilimo husababisha jambo linaloitwa eutrophication, ambapo mwani huongezeka kupita kiasi na kutumia oksijeni yote iliyoyeyuka kwenye maji, hali inayopelekea vifo vya [[samaki]] na viumbe wengine. Wataalamu wa ekolojia ya maji hufanya kazi ya kutathmini afya ya mifumo hii, kusimamia [[uvuvi]] endelevu, kulinda spishi zilizo hatarini kutoweka, na kurejesha maeneo ya ardhi-nyevu ([[luteka]]) yaliyoharibiwa ili kuhifadhi uwezo wa asili wa mazingira wa kusafisha maji na kudhibiti [[mafuriko]]. Uhifadhi wa mifumo hii ni nguzo kuu katika kulinda rasilimali za maji barani [[Afrika]].<ref>{{Rejea tovuti|title=UNEP - UN Environment Programme|url=https://www.unep.org/node|work=www.unep.org|accessdate=2026-06-10|language=en|author=U. N. Environment}}</ref> == Tazama pia == * [[Elimumaji]] * [[Uwanda wa mafuriko]] * [[Delta ya mto]] * [[Uchafuzi wa maji]] == Marejeo == {{Marejeo}} {{Mbegu-sayansi}} [[Jamii:ekolojia]] [[Jamii:maji]] [[Jamii:AWC 2026]] 405zheo2q2qgajkzgs88dtxi8bco0ql Elfu moja mia tatu na tisa 0 240614 1572526 1569265 2026-06-14T05:04:39Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572526 wikitext text/x-wiki '''Elfu moja mia tatu na tisa''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1309''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCIX kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]]. Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu na nane|1308]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu na kumi|1310]]. ==Matumizi== * Namba hurejea miaka [[1309 KK]] na [[1309]] [[BK]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-hisabati}} [[Jamii:Namba asilia]] 8cmfuartyv5pvbrb1pyukp1m68hwfks Elfu moja mia tatu ishirini na tisa 0 240643 1572447 1569340 2026-06-14T04:51:24Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572447 wikitext text/x-wiki '''Elfu moja mia tatu ishirini na tisa''' ni [[namba]] inayoandikwa '''1329''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na MCCCXXIX kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]]. Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Elfu moja mia tatu ishirini na nane|1328]] na kutangulia [[Elfu moja mia tatu therathini|1330]]. ==Matumizi== * Namba hurejea miaka [[1329 KK]] na [[1329]] [[BK]]. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-hisabati}} [[Jamii:Namba asilia]] hpnfcfb8xxilmef8w5qbdwajy8jpjl4 Ziwa Oubeïra 0 240689 1572375 1570739 2026-06-13T12:44:22Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572375 wikitext text/x-wiki '''Ziwa Oubeïra''' ni ziwa la [[maji]] [[baridi]] lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya El Kala katika [[wilaya ya El Tarf]], [[Aljeria|Algeria]]. Lilitangazwa kuwa eneo la Ramsar tarehe 4 Novemba 1983. Ziwa hili ni eneo muhimu sana la kutagia ndege mbalimbali wa Afrika Kaskazini. == Mahali == [[Faili:Plan elkala.png|thumb|Linapatikana katika manispaa ya El Kala, Ziwa Oubeira ni ziwa la kati kati ya hizo tatu.]] Ziwa Oubeïra liko ndani ya [[manispaa]] ya El Kala na ni ziwa kuu kati ya maziwa matatu ya Hifadhi ya Taifa ya El Kala. Mengine ni Ziwa Tonga (maji baridi) na Ziwa Mellah (ziwa la maji ya chumvi). Mwaka 1983, maziwa haya yote matatu yalitangazwa kama maeneo oevu yenye umuhimu wa kimataifa chini ya Mkataba wa Ramsar. Ziwa hili liko kati ya mji wa El Kala na mpaka wa Algeria na Tunisia, kaskazini-mashariki mwa [[Algeria]], katika mwinuko wa mita 23 juu ya usawa wa bahari. [[Ziwa]] lina umbo la mviringo, sakafu yake imefunikwa na tope la kijivu, na lina eneo la takribani hekta 2,000. Kina chake cha wastani ni takribani mita 1. Ingawa ni ziwa lisilo na mtiririko wa [[maji]] unaotoka moja kwa moja, lina uhusiano na Bahari ya Mediterania kupitia mfumo wa maeneo oevu yanayolizunguka.<ref>{{Rejea tovuti|title=Réserve Intégrale du Lac Oubeïra {{!}} Service d’information sur les Sites Ramsar|url=https://rsis.ramsar.org/fr/ris/280?language=fr|work=rsis.ramsar.org|accessdate=2026-06-10|language=fr}}</ref> Mto mkuu unaohusiana na ziwa hili ni Oued Messida. Mto huu hubadilisha mwelekeo wa mtiririko wake kulingana na msimu: wakati wa kiangazi hutiririka kutoka ziwani kuelekea Oued el Rebir, na wakati wa majira ya baridi hutiririka kinyume chake kuelekea ziwani. Uwepo wa ziwa hutegemea uwiano kati ya mvua na uvukizaji wa maji. Pia, maji ya chini ya [[ardhi]] na eneo kubwa la bonde la maji husaidia kudumisha uwepo wa ziwa wakati wa ukame.<ref>{{Rejea jarida |last=H |first=Alayat, |last2=N |first2=Kherici, |last3=C |first3=Lamouroux, |date=2009-12-31 |title=EVOLUTION SPATIALE DE L’ENVASEMENT DU LAC OUBEIRA IMPOSE PAR L’EROSION (EXTREME NE ALGERIEN) SPACE EVOLUTION OF THE SILTING OF OUBEIRA LAKE IMPOSED BY EROSION (EXTREME NE ALGERIAN) |url=https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |journal=Le Journal de l'Eau et de l'Environnement |language=fr |volume=8 |issue=15 |issn=2602-6724 |archive-url=https://web.archive.org/web/20250530153749/https://asjp.cerist.dz/en/article/37472 |archive-date=2025-05-30 |access-date=2026-06-10 |url-status=live }}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Algeria}} [[Jamii:Maziwa ya Algeria]] [[Jamii:AWC 2026]] 9f2m274iq2gewtfp4i5vrfpy5gq6xo1 Ziwa la oksibo 0 240763 1572983 1570892 2026-06-14T10:03:54Z Anuary Rajabu 45588 Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Ziwa la kwato]] hadi [[Ziwa la oksibo]] 1570892 wikitext text/x-wiki [[Faili:Nowitna-river-s.jpg|thumb|Picha hii ya [[Mto Nowitna]] kule [[Alaska]] inaonyesha maziwa mawili ya kwato – moja fupi chini ya picha na lingine refu zaidi na lililopinda zaidi katikati ya upande wa kulia. Picha hiyo pia inaonyesha kwamba ziwa la tatu la kwato linaweza kuwa linatengenezwa: tuta au ukingo uliopo katikati ya mzingo mkuu unaonekana kuwa mwembamba sana – mwembamba kuliko upana wa mto wenyewe; hatimaye, sehemu mbili za mto zilizo pande zote mbili za tuta kama hilo huelekea kupasuka na kutengeneza mkondo mpya ulionyooka zaidi; ukingo mpya wa mto kisha huanza kujijenga, na kuifunga sehemu hiyo iliyopinda ukiacha ziwa lingine la kwato.]] '''Ziwa la kwato''' ni [[ziwa]] au [[bwawa]] lenye [[umbo]] la U ambalo hutokea wakati mzunguko mpana wa [[mto]] unapokatwa, na kutengeneza sehemu ya [[maji]] iliyotenganika. [[Neno]] la [[Kiingereza]] "oxbow" linaweza pia kurejelea mzingo wenye umbo la U katika mto au kijito, uwe umekatwa kutoka kwenye mkondo mkuu au la.<ref>{{Rejea tovuti|title=Oxford Languages|url=https://languages.oup.com/|work=Oxford Languages|accessdate=2026-06-11|language=en-US}}</ref><ref>https://www.merriam-webster.com/cgi-bin/dictionary?book=Dictionary&va=oxbow</ref> Linapata jina lake kutoka "oxbow" ambayo ni sehemu ya nira ya [[ng'ombe]] kwa ajili ya kuvutia [[plau|jembe]] au gari la kukokotwa. Katika [[Texas]] [[Kusini]], maziwa ya aina hiyo yaliyoachwa na Mto [[Rio Grande]] huitwa ''resacas''. Nchini [[Australia]], maziwa ya kwato huitwa billabongs. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-sayansi}} [[Jamii:jiografia]] [[Jamii:Mito]] [[Jamii:maziwa]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:AWC 2026]] gvor3jexto3og4dha88u650lm1qmwco 1572987 1572983 2026-06-14T10:06:23Z Anuary Rajabu 45588 1572987 wikitext text/x-wiki [[Faili:Nowitna-river-s.jpg|thumb|Picha hii ya [[Mto Nowitna]] kule [[Alaska]] inaonyesha maziwa mawili ya kwato – moja fupi chini ya picha na lingine refu zaidi na lililopinda zaidi katikati ya upande wa kulia. Picha hiyo pia inaonyesha kwamba ziwa la tatu la kwato linaweza kuwa linatengenezwa: tuta au ukingo uliopo katikati ya mzingo mkuu unaonekana kuwa mwembamba sana – mwembamba kuliko upana wa mto wenyewe; hatimaye, sehemu mbili za mto zilizo pande zote mbili za tuta kama hilo huelekea kupasuka na kutengeneza mkondo mpya ulionyooka zaidi; ukingo mpya wa mto kisha huanza kujijenga, na kuifunga sehemu hiyo iliyopinda ukiacha ziwa lingine la kwato.]] '''Ziwa la oksibo''' ([[Kiingereza]]: '''oxbow''') ni [[ziwa]] au [[bwawa]] lenye [[umbo]] la U ambalo hutokea wakati mzunguko mpana wa [[mto]] unapokatwa, na kutengeneza sehemu ya [[maji]] iliyotenganika. [[Neno]] la Kiingereza "oxbow" linaweza pia kurejelea mzingo wenye umbo la U katika mto au kijito, uwe umekatwa kutoka kwenye mkondo mkuu au la.<ref>{{Rejea tovuti|title=Oxford Languages|url=https://languages.oup.com/|work=Oxford Languages|accessdate=2026-06-11|language=en-US}}</ref><ref>https://www.merriam-webster.com/cgi-bin/dictionary?book=Dictionary&va=oxbow</ref> Linapata jina lake kutoka "oxbow" ambayo ni sehemu ya nira ya [[ng'ombe]] kwa ajili ya kuvutia [[plau|jembe]] au gari la kukokotwa. Katika [[Texas]] [[Kusini]], maziwa ya aina hiyo yaliyoachwa na Mto [[Rio Grande]] huitwa ''resacas''. Nchini [[Australia]], maziwa ya oksibo huitwa billabongs. == Marejeo == {{marejeo}} {{mbegu-sayansi}} [[Jamii:jiografia]] [[Jamii:Mito]] [[Jamii:maziwa]] [[Jamii:AWC Zanzibar]] [[Jamii:AWC 2026]] 56wxu6cpjxm8rg5rau5rxfhgj5ikor3 Majadiliano:Ziwa la oksibo 1 240765 1572982 1570867 2026-06-14T10:02:17Z Anuary Rajabu 45588 /* Kwato */ Jibu 1572982 wikitext text/x-wiki == Kwato == Nimechukua jina hilo katika tangazo la editathon lililobadilishwa na {{ping|Anuary Rajabu}} mara ya mwisho, lakini kwato si nira (oxbow). Tubadilishe tena? '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:08, 11 Juni 2026 (UTC) :Tafsiri iliwekwa kwa umbo la ziwa jinsi linavyoonekana,sio maana ya moja kwa moja ya neno "oxbow". Au pengine bora tulitumie neno lenyewe kama lilivyo na kuwa "Ziwa la Oksibo"? kwa kufuata matamshi ya neno la kiingereza. @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:02, 14 Juni 2026 (UTC) mwdk34kr1spgndfoz64z6gzhdo953h7 1572985 1572982 2026-06-14T10:03:54Z Anuary Rajabu 45588 Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano:Ziwa la kwato]] hadi [[Majadiliano:Ziwa la oksibo]] 1572982 wikitext text/x-wiki == Kwato == Nimechukua jina hilo katika tangazo la editathon lililobadilishwa na {{ping|Anuary Rajabu}} mara ya mwisho, lakini kwato si nira (oxbow). Tubadilishe tena? '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:08, 11 Juni 2026 (UTC) :Tafsiri iliwekwa kwa umbo la ziwa jinsi linavyoonekana,sio maana ya moja kwa moja ya neno "oxbow". Au pengine bora tulitumie neno lenyewe kama lilivyo na kuwa "Ziwa la Oksibo"? kwa kufuata matamshi ya neno la kiingereza. @[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] '''[[Mtumiaji:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Anuary Rajabu|majadiliano]])''' 10:02, 14 Juni 2026 (UTC) mwdk34kr1spgndfoz64z6gzhdo953h7 Atef El Tayeb 0 240864 1572413 1572206 2026-06-13T17:39:51Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1572413 wikitext text/x-wiki Atef El Tayeb (kwa Kiarabu: عاطف الطيب hutamkwa [ˈʕɑːtˤef etˈtˤɑjjeb]) (26 Desemba 1947 - 23 Juni 1995) alikuwa mkurugenzi wa filamu wa Misri.<ref>{{Cite web |url=http://www.filmfestivalspro.com/epk/3continents/f3senglishdef.doc |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2026-06-12 |archive-date=2012-04-15 |archive-url=https://web.archive.org/web/20120415052300/http://www.filmfestivalspro.com/epk/3continents/f3senglishdef.doc |url-status=dead }}</ref> Tafsiri mbadala za jina lake ni: Atef Al-Tayeb na Attef El Taieb. Filamu zake mara nyingi zilionyesha mapambano ya watu wa kawaida.<ref>https://www.aljazeera.net/arts/2020/6/29/%d8%b9%d8%a7%d8%b7%d9%81-%d8%a7%d9%84%d8%b7%d9%8a%d8%a8-%d8%a7%d9%84%d8%a8%d8%b1%d9%8a%d8%a1-%d8%a7%d9%84%d8%b0%d9%8a-%d8%aa%d8%b1%d8%ac%d9%85-%d8%a2%d9%84%d8%a7%d9%85</ref> == Maisha na Kazi == Alizaliwa Sohag mnamo Desemba 26, 1947. Alihitimu kutoka Taasisi ya ''Higher Institute of Cinema'' mwaka 1970 , akiwa amebobea katia fani ya uongozaji wa filamu. Wakati wa masomo yake, alifanya kazi kama mkurugenzi msaidizi wa ''Medhat Bakir'' kwenye filamu ya Three Faces of Love (1969) na filamu  ya A Call for Life (1972). Pia alifanya kazi kama mhariri msaidizi na Kamal Abu Al-Ela. <ref>https://elcinema.com/ar/person/1066347#google_vignette</ref> Mnamo 1973, alifanya kazi kama mkurugenzi msaidizi wa Shadi Abdel Salam kwenye filamu ya The Armies of the Sun. Mnamo  mwaka 1978, aliongoza filamu fupi iliyoitwa The Barter,ambayo  ilitayarishwa na Kituo cha Majaribio(Experiment Center). Mnamo 1978, alifanya kazi kama mkurugenzi msaidizi na mkurugenzi Youssef Shaaban Mohamed kwenye filamu ya Desire and the Price. Mnamo 1979, aliwahi kuwa mkurugenzi msaidizi wa pili na Youssef Chahine kwenye filamu ya Alexandria ... Kwa nini?. Mnamo 1981, alishirikiana na mkurugenzi Mohamed Shebl kwenye filamu ya Fangs.<ref>https://www.youm7.com/story/2023/12/16/%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AE%D8%B1%D8%AC-%D8%A7%D9%84%D9%83%D8%A8%D9%8A%D8%B1-%D8%B9%D8%A7%D8%B7%D9%81-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D9%8A%D8%A8-%D8%B6%D9%85%D9%86-%D9%85%D8%B4%D8%B1%D9%88%D8%B9-%D8%B9%D8%A7%D8%B4-%D9%87%D9%86%D8%A7-%D9%84%D9%85%D8%AD%D8%A9-%D9%85%D9%86/6415152</ref> == Filamu == Kama Mkurugenzi: # Gabr Al Khawater (1998) # kashf Al mastor (1994) # Leila Sakhina (A Hot Night) (1994) # Did el Hokouma (Against the Government) (1992) # Nagi El-Ali (1991) # Qalb al-Layl (Heart of the Night) (1989) # El Heroob (Escape) (1988) # The Innocent (1986) # El Zamar (The Piper) (1985) # Al Hob Fawk Habadet al Haram (Love on the Pyramids Plateau) (1984) # The Cell (El-Takhsheeba) (1983) # Sawak al-utubis (Bus Driver) (1982) kama Mkurugenzi msaidizi: * Gabr Al Khawater (1998) * [[Sphinx]] (1981) * [[Gallipoli]] (1981) (mkurugenzi msaidizi kwa toleo la Misri) * The Awakening (1980) * Death on the [[Nile|Nile (]]1978) * El-Raghba wel Thaman (Desire and Price) (1978) * The Spy Who Loved Me (1977) * Da'wa Lil Hayah (A Call for Life) (1972) == Marejeo == {{BD|1947|1995}} [[Jamii:Africa Film Cinema Tanzania 2026]] [[Jamii:Wakurugenzi wa Filamu]] [[Jamii:watu wa Misri]] tl1cnaexm03v4g5372pw831zh320quy Meshari Mohammad 0 240866 1572726 1572137 2026-06-14T05:37:49Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572726 wikitext text/x-wiki {{Kigezo:Vyanzo}} '''Meshari Mohammad''' (amezaliwa 19 Julai 1984) ni mhandisi wa programu na mjasiriamali wa kidijitali kutoka [[Kuwait]]. Anajulikana kwa kuunda mfumo wa maombi ya simu kama vile GIF4Sticker na zana za dijitali. Yeye ni mtaalamu wa uboreshaji wa injini ya utafutaji (SEO) na uchambuzi wa masoko ya kifedha kwa kutumia teknolojia ya akili bandia. Anajikita katika kujenga mali za kidijitali na kuendeleza miradi mikubwa kama vile jukwaa la SnapGrab. == Viungo vya Nje == * [https://play.google.com/store/apps/details?id=com.whatsappstickers.stickermakerforwhatsapp Programu ya GIF4Sticker kwenye Google Play] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Watu wa Kuwait]] [[Jamii:Wahandisi wa programu]] r9qinr5qvtkv3zkejces8dcq8lio9e5 1573006 1572726 2026-06-14T11:38:54Z سالم محمد الطيار 90200 Kuweka vyanzo na infobox ya wasifu 1573006 wikitext text/x-wiki {{Infobox mtu | jina = Meshari Mohammad | picha = Meshari Mohammad Kuwait.jpg | maelezo_ya_picha = Meshari Mohammad | tarehe_ya_zaliwa = 19 Julai 1984 | mahali_pa_zaliwa = [[Kuwait]] | utaifa = Mkoweit | kazi = Mjasiriamali wa kidijitali | tovuti = [https://masharyweb.site masharyweb.site] }} '''Meshari Mohammad''' (amezaliwa 19 Julai 1984, [[Kuwait]]) ni mjasiriamali wa kidijitali, msanifu wa mifumo na mtaalamu wa usalama kutoka Kuwait. Anajulikana kwa utata wake katika kuendeleza miundombinu ya kidijitali na ukuzaji wa programu za vitendo.<ref>[https://masharyweb.site Tovuti rasmi ya Meshari Mohammad]. masharyweb.site. Ilitafutwa mnamo 14 Juni 2026.</ref> == Kazi == Kazi ya Meshari ililenga katika ukuzaji vya bidhaa mahiri na ujenzi wa rasilimali za kidijitali zilizounganishwa. Alitengeneza programu zilizochapishwa kwenye masoko ya kimataifa, pamoja na kufanya uboreshaji wa maduka ya programu (ASO) na usanifu wa mifumo ya programu katika miradi mbalimbali nchini Kuwait. Moja ya programu zake maarufu ni "GIF4Sticker" inayopatikana kwenye Google Play Store.<ref>[https://play.google.com/store/apps/details?id=com.whatsappstickers.stickermakerforwhatsapp Programu ya GIF4Sticker kwenye Google Play Store]. Play Store. Ilitafutwa mnamo 14 Juni 2026.</ref> == Utaalamu wa Masoko ya Fedha == Katika uwanja wa uchumi wa kidijitali, Meshari anafanya kazi kama mchambuzi katika masoko ya [[Forex]] na [[Fedha ya dijiti|sarafu ya dijiti]] (Crypto), akitumia mikakati ya biashara kulingana na dhana ya ''Smart Money'' (SMC). == Mtazamo wa Usalama == Katika usanifu wa mifumo yake, anatumia itifaki za hali ya juu za uchambuzi kama vile ''ASCENDANT SECURITY THINKING'', ambayo inazingatia kutambua udhaifu wa mfumo kabla ya kusakinishwa na kutumia uhandisi wa kubadili (reverse engineering) ili kulinda miundombinu ya kidijitali. == Marejeo == {{reflist}} == Viungo vya Nje == * [https://masharyweb.site Tovuti Rasmi ya Meshari Mohammad] * [https://play.google.com/store/apps/details?id=com.whatsappstickers.stickermakerforwhatsapp Programu ya GIF4Sticker kwenye Google Play] [[Jamii:Waliozaliwa 1984]] [[Jamii:Watu wa Kuwait]] 2glij3bsvir0no2bjo551w5mo19cqc5 Nyanzi Martin Luther 0 240868 1572400 1572142 2026-06-13T14:36:57Z Mike Seems 90215 /* */ 1572400 wikitext text/x-wiki '''Nyanzi Martin Luther''' ni mwanafunzi na mfanyabiashara wa media kutoka [[Uganda]]<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> == Maisha ya Mapema == Nyanzi Martin Luther alizaliwa tarehe 5 [[Desemba]] [[2009]] katika Hospitali ya Nsangi, Wilaya ya Wakiso, Uganda.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> Yeye ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto watatu wa mwandishi Joan Vumilia na mfanyabiashara Ssekaayi Simon.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Wazazi wake walitengana mwaka 2025.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref> Alisoma katika Shule ya St. Anne Infant School, kisha Upendo Christian School na MK International School, ambapo alimaliza elimu ya msingi mwaka 2023 kwa alama 13 aggregates.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Kwa sasa anasoma katika Kisozi High School huko Buddo, Wakiso kwa masomo ya O-Level.<ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> == Kazi na Biashara == Akiwa na umri wa miaka 13, Nyanzi alianzisha Block FM, kituo cha redio cha mtandaoni.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Mradi huo ulibadilika na kuwa Apex Media Services mwaka 2025, kampuni inayoendesha Block FM na majukwaa ya kidijitali.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> Yeye ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Apex Media Services.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Anaongoza Apex Digital Skills ambayo hutoa mafunzo ya ustadi wa kidijitali na utayarishaji wa media.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Anaongoza pia The Block Foundation, shirika lisilo la faida linalotoa mafunzo ya ustadi wa kidijitali.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> == Ombi kwa Bunge la Uganda == Mnamo tarehe 27 Februari 2026, Nyanzi Martin Luther aliwasilisha ombi kwa Bunge la Uganda.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Ombi hilo lilipendekeza sheria itakayoruhusu serikali kutoa ufadhili kwa mashirika ya jamii (CBOs) na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yaliyosajiliwa.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Alitaja kuwa mashirika haya yanakabiliwa na matatizo kutokana na kupunguzwa kwa misaada kutoka nje kama DGF na USAID.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Alipendekeza kuundwa kwa mfuko wa taifa ili kutoa msaada wa ndani.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref> Nyanzi alikutana na Naibu Spika [[Thomas Tayebwa]] na Mbunge Elias Luyimbazi Nalukoola wa Kawempe North.<ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> == Marekebisho na Mjadala == Kutokana na maoni kutoka kwa wadau wa mashirika ya kiraia, Nyanzi alisema pendekezo litarekebishwa.<ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref><ref>https://streamlinefeed.co.ke/news/nyanzi-to-revise-ngo-funding-bill-after-civil-society-criticism-85b937cf</ref> Marekebisho yanahusu masuala ya uhuru wa mashirika.<ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref> == Muktadha wa Kisheria == Katika Uganda, mashirika ya jamii (CBOs) yanasajiliwa katika ngazi ya wilaya kupitia kamati za ufuatiliaji wa NGO.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref> Mahitaji yanajumuisha barua ya maombi, katiba, mpango wa kazi, bajeti na ada.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref> Mashirika yanayofanya kazi bila vibali yanaweza kutozwa faini.<ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> == Marejeo == {{reflist}} 0bbmzwmmzq11ehraphp95iazuge0bcz 1572937 1572400 2026-06-14T07:47:57Z ~2026-34701-31 90236 1572937 wikitext text/x-wiki {{Jedwali | name = Nyanzi Martin Luther | image = | caption = | label1 = Tarehe ya kuzaliwa | data1 = 05 Desemba 2009 | label2 = Mahali pa kuzaliwa | data2 = [[Wakiso]], [[Uganda]] | label3 = Taifa | data3 = Mganda | label4 = Elimu | data4 = | label5 = | data5 = | label6 = asa | data6 = | label7 = | data7 = | label8 = | data8 = | label9 = | data9 = | label10 = | data10 = | label11 = | data11 = | label12 = | data12 = | label13 = | data13 = | label14 = | data14 = }} '''Nyanzi Martin Luther''' ni mwanafunzi na mfanyabiashara wa media kutoka [[Uganda]]<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> == Maisha ya Mapema == Nyanzi Martin Luther alizaliwa tarehe 5 [[Desemba]] [[2009]] katika Hospitali ya Nsangi, Wilaya ya Wakiso, Uganda.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> Yeye ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto watatu wa mwandishi Joan Vumilia na mfanyabiashara Ssekaayi Simon.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Wazazi wake walitengana mwaka 2025.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref> Alisoma katika Shule ya St. Anne Infant School, kisha Upendo Christian School na MK International School, ambapo alimaliza elimu ya msingi mwaka 2023 kwa alama 13 aggregates.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Kwa sasa anasoma katika Kisozi High School huko Buddo, Wakiso kwa masomo ya O-Level.<ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> == Kazi na Biashara == Akiwa na umri wa miaka 13, Nyanzi alianzisha Block FM, kituo cha redio cha mtandaoni.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Mradi huo ulibadilika na kuwa Apex Media Services mwaka 2025, kampuni inayoendesha Block FM na majukwaa ya kidijitali.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> Yeye ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Apex Media Services.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Anaongoza Apex Digital Skills ambayo hutoa mafunzo ya ustadi wa kidijitali na utayarishaji wa media.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Anaongoza pia The Block Foundation, shirika lisilo la faida linalotoa mafunzo ya ustadi wa kidijitali.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> == Ombi kwa Bunge la Uganda == Mnamo tarehe 27 Februari 2026, Nyanzi Martin Luther aliwasilisha ombi kwa Bunge la Uganda.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Ombi hilo lilipendekeza sheria itakayoruhusu serikali kutoa ufadhili kwa mashirika ya jamii (CBOs) na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yaliyosajiliwa.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Alitaja kuwa mashirika haya yanakabiliwa na matatizo kutokana na kupunguzwa kwa misaada kutoka nje kama DGF na USAID.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Alipendekeza kuundwa kwa mfuko wa taifa ili kutoa msaada wa ndani.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref> Nyanzi alikutana na Naibu Spika [[Thomas Tayebwa]] na Mbunge Elias Luyimbazi Nalukoola wa Kawempe North.<ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> == Marekebisho na Mjadala == Kutokana na maoni kutoka kwa wadau wa mashirika ya kiraia, Nyanzi alisema pendekezo litarekebishwa.<ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref><ref>https://streamlinefeed.co.ke/news/nyanzi-to-revise-ngo-funding-bill-after-civil-society-criticism-85b937cf</ref> Marekebisho yanahusu masuala ya uhuru wa mashirika.<ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref> == Muktadha wa Kisheria == Katika Uganda, mashirika ya jamii (CBOs) yanasajiliwa katika ngazi ya wilaya kupitia kamati za ufuatiliaji wa NGO.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref> Mahitaji yanajumuisha barua ya maombi, katiba, mpango wa kazi, bajeti na ada.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref> Mashirika yanayofanya kazi bila vibali yanaweza kutozwa faini.<ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> == Marejeo == {{reflist}} 2kyuikucd39afnvc82zj19r8ek7ok4b 1572945 1572937 2026-06-14T08:02:07Z ~2026-34701-31 90236 Infobox 1572945 wikitext text/x-wiki {{Jedwali | name = Nyanzi Martin Luther | title = Nyanzi Martin Luther | image = | caption = | label1 = Tarehe ya kuzaliwa | data1 = 05 Desemba 2009 | label2 = Mahali pa kuzaliwa | data2 = [[Wakiso]], [[Uganda]] | label3 = Taifa | data3 = Mganda | label4 = Elimu | data4 = | label5 = Kazi | data5 = mwanafunzi na mfanyabiashara  | label6 = Elimu | data6 = [[Kisozi High School]] | label7 = Ndugu | data7 = Nabagulanyi Patricia and Nakaayi Dorcus | label8 = Wazazi | data8 = Ssekaayi Simon | label9 = | data9 = | label10 = | data10 = | label11 = | data11 = | label12 = | data12 = | label13 = | data13 = | label14 = | data14 = }} '''Nyanzi Martin Luther''' ni mwanafunzi na mfanyabiashara wa media kutoka [[Uganda]]<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> == Maisha ya Mapema == Nyanzi Martin Luther alizaliwa tarehe 5 [[Desemba]] [[2009]] katika Hospitali ya Nsangi, Wilaya ya Wakiso, Uganda.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> Yeye ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto watatu wa mwandishi Joan Vumilia na mfanyabiashara Ssekaayi Simon.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Wazazi wake walitengana mwaka 2025.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref> Alisoma katika Shule ya St. Anne Infant School, kisha Upendo Christian School na MK International School, ambapo alimaliza elimu ya msingi mwaka 2023 kwa alama 13 aggregates.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Kwa sasa anasoma katika Kisozi High School huko Buddo, Wakiso kwa masomo ya O-Level.<ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> == Kazi na Biashara == Akiwa na umri wa miaka 13, Nyanzi alianzisha Block FM, kituo cha redio cha mtandaoni.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Mradi huo ulibadilika na kuwa Apex Media Services mwaka 2025, kampuni inayoendesha Block FM na majukwaa ya kidijitali.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> Yeye ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Apex Media Services.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Anaongoza Apex Digital Skills ambayo hutoa mafunzo ya ustadi wa kidijitali na utayarishaji wa media.<ref>https://tmafrica.co.ug/news/biography-what-do-you-know-about-nyanzi-martin-luther-ugandan-student-businessman</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Anaongoza pia The Block Foundation, shirika lisilo la faida linalotoa mafunzo ya ustadi wa kidijitali.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> == Ombi kwa Bunge la Uganda == Mnamo tarehe 27 Februari 2026, Nyanzi Martin Luther aliwasilisha ombi kwa Bunge la Uganda.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Ombi hilo lilipendekeza sheria itakayoruhusu serikali kutoa ufadhili kwa mashirika ya jamii (CBOs) na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yaliyosajiliwa.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref> Alitaja kuwa mashirika haya yanakabiliwa na matatizo kutokana na kupunguzwa kwa misaada kutoka nje kama DGF na USAID.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> Alipendekeza kuundwa kwa mfuko wa taifa ili kutoa msaada wa ndani.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref> Nyanzi alikutana na Naibu Spika [[Thomas Tayebwa]] na Mbunge Elias Luyimbazi Nalukoola wa Kawempe North.<ref>https://observerug.com/en/national/story/nyanzi-martin-luther-ugandas-youngest-parliamentary-petitioner/</ref><ref>https://www.newvision.co.ug/category/news/16-year-old-seeks-legislation-on-cbos-state-f-NV_229139_052026</ref> == Marekebisho na Mjadala == Kutokana na maoni kutoka kwa wadau wa mashirika ya kiraia, Nyanzi alisema pendekezo litarekebishwa.<ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref><ref>https://streamlinefeed.co.ke/news/nyanzi-to-revise-ngo-funding-bill-after-civil-society-criticism-85b937cf</ref> Marekebisho yanahusu masuala ya uhuru wa mashirika.<ref>https://panafricanvisions.com/2026/06/uganda-activist-revises-ngo-funding-proposal-amid-debate-over-civil-society-independence/</ref> == Muktadha wa Kisheria == Katika Uganda, mashirika ya jamii (CBOs) yanasajiliwa katika ngazi ya wilaya kupitia kamati za ufuatiliaji wa NGO.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref> Mahitaji yanajumuisha barua ya maombi, katiba, mpango wa kazi, bajeti na ada.<ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref><ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref> Mashirika yanayofanya kazi bila vibali yanaweza kutozwa faini.<ref>https://www.icnl.org/resources/civic-freedom-monitor/uganda</ref><ref>https://edge.ug/16-year-old-student-petitions-parliament-to-fund-community-organisations/?amp=1</ref> == Marejeo == {{reflist}} r6lnuxky55fdnjx1z98yhms82gybjv8 Sikukuu za Benin 0 240874 1572392 1572222 2026-06-13T14:03:14Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1572392 wikitext text/x-wiki '''Sikukuu za Benin''' ni kama ifuatavyo: == Likizo za umma == {| class="wikitable" |+ !Tarehe !Sikukuu |- |Januari 1 |Siku ya Mwaka Mpya<ref>{{Rejea tovuti|title=Holidays Today and Upcoming Holidays in Benin|url=https://www.timeanddate.com/holidays/benin/|work=www.timeanddate.com|accessdate=2026-06-13|language=en}}</ref> |- |Ijumaa ya pili mnamo Januari |Siku ya Vaudoun |- |Mei 1 |Siku ya Wafanyakazi |- |Jumatatu baada ya Pasaka |Jumatatu ya Pasaka |- |Siku 40 baada ya Pasaka |Alhamisi ya kupaa (Siku ya kupaa Bwana) |- |Jumatatu baada ya Pentekoste |Jumatatu ya Pentekoste |- |Agosti 1 |Siku ya uhuru |- |Agosti 15 |Siku ya Bikira Maria kupalizwa Mbinguni |- |Novemba 1 |Siku ya Watakatifu wote |- |Disemba |Krismasi (Noeli) |} == Likizo zinazohamishika == Likizo zifuatazo ni sikukuu za umma lakini tarehe ambayo kila moja hutokea inatofautiana, kulingana na kalenda yake inayolingana, na hivyo haina tarehe iliyowekwa. Kwa utaratibu ambao hutokea: {| class="wikitable" |+ !Jina !Jina la humu Nchini !Tarehe !Maelezo |- |Eid al-Adha |Tabaski |10 Dhu al-Hijjah |Sikukuu ya Kuchinja |- |Prophet's Birthday |Maouloud |12 Rabi' al-awwal |Sherehe ya Kuzaliwa Mtume Muhammad |- |Eid al-Fitr |Korité |1 Shawwal |Sherehe ya kumaliza mwezi wa Ramadhani |} [[Jamii:Africa Film Cinema Tanzania 2026]] [[Jamii:Sikukuu]] [[Jamii:Benin]] 3rjjb0v3l1h6m9u3ks3ap4gsvz9oc0v Mto Offin 0 240893 1572376 1572352 2026-06-13T12:53:10Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1572376 wikitext text/x-wiki [[File:The National Archives UK - CO 1069-37-34.jpg|thumb|[[Daraja]] la kihistoria lililojengwa juu ya Mto Offin mnamo [[1925]]]] '''Mto Offin''' (pia '''Mto Ofin''') ni [[mto]] unaotiririka kuelekea upande wa [[mashariki]] katika nchi ya [[Ghana]]. Mto huu unapita katikati ya Hifadhi ya Mazingira ya Tano Ofin iliyopo katika [[wilaya]] ya Atwima Mponua nchini humo.<ref name="From spectators to managers">{{Rejea tovuti |url=http://www.bothends.org/encycl/cases/printcase.php?id=36&id_language=1 |title=''From spectators to managers of tropical forests, Ghana''. Retrieved May 22, 2006. |access-date=May 22, 2006 |archive-date=September 27, 2007 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070927184810/http://www.bothends.org/encycl/cases/printcase.php?id=36&id_language=1 |url-status=dead }}</ref> == Ukubwa na jiografia == Tabaka la chini la ardhi ya Mto Offin lipo katika urefu wa [[mita]] 90 juu ya usawa wa bahari. Katika maeneo unayopita, mto huu umekata kingo na mifereji mikali ya kando yenye kina cha wastani wa mita 12 hadi 15 kwenda chini kwenye ardhi hiyo yenye miinuko na mabonde. Mto Offin ukiongozana na [[Mto Pra]], inaunda mpaka wa asili unaotenganisha Mkoa wa Ashanti na Mkoa wa Kati nchini Ghana. Mji wa Dunkwa-on-Offin ni moja kati ya miji mikubwa na muhimu iliyojengwa kando ya mto huu. Kiuchumi, mto huu una umuhimu mkubwa kwani [[dhahabu]] huvunwa na kuchimbwa kutoka kwenye tabaka la mchanga na masimbi ya mto huo.<ref>{{cite book |last1=Wright |first1=J.B. |last2=Hastings |first2=D.A. |last3=Jones |first3=W.B. |last4=Williams |first4=H.R. |editor1-last=Wright |editor1-first=J.B. |title=Geology and Mineral Resources of West Africa |date=1985 |publisher=George Allen & UNWIN |location=London |isbn=9780045560011 |pages=45–47 |ref=gold}}</ref><ref>{{cite book |last1=Taylor |first1=Ryan |last2=Anderson |first2=Eric |title=Quartz-Pebble-Conglomerate Gold Deposits, Chapter P of Mineral Deposit Models for Resource Assessment, USGS Scientific Investigations Report 2010-5070-P |date=2018 |publisher=US Dept. of the Interior, USGS |location=Reston |url=https://pubs.usgs.gov/sir/2010/5070/p/sir20105070p.pdf |page=9}}</ref> == Uhifadhi na ikolojia == Katika mfumo wa ikolojia, Mto Offin ni makazi ya viumbe hai mbalimbali ambapo spishi za asili za samaki zinasifika kuwepo, akiwemo samaki aina ya ''Clarias agboyiensis'' ambae ni aina ya [[Kambale]] mwenye uwezo wa kuvuta hewa ya oksijeni ya juu ya ardhi.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://fishbase.mnhn.fr/Summary/SpeciesSummary.php?id=2098 |title=Description of ''Clarias Agboyiensis''. Retrieved May 22, 2006. |access-date=May 22, 2006 |archive-date=October 23, 2020 |archive-url=https://web.archive.org/web/20201023213403/http://fishbase.mnhn.fr/Summary/SpeciesSummary.php?id=2098 |url-status=dead }}</ref> Katika juhudi za kusimamia rasilimali za maji na nishati nchini Ghana, Bwawa la Barekese lilijengwa kwenye mwendo wa mto huu ili kusaidia uzalishaji na usambazaji wa maji. Utunzaji na uhifadhi wa mto huu ni nguzo muhimu katika kulinda vyanzo vya maji safi barani [[Afrika]] kwa ajili ya maendeleo endelevu ya baadae. == Marejeo == {{Marejeo}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] 177oshu9uuxy61p7t5muay1243dea1v Mto Umgeni 0 240894 1572377 1572353 2026-06-13T12:57:41Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced. 1572377 wikitext text/x-wiki [[File:Blue Lagoon, d, Umgenirivier, Durban.jpg|thumb|Eneo la Blue Lagoon ambapo Mto Umgeni unamwaga maji yake katika [[Bahari ya Hindi]]]] '''Mto Umgeni''' (au '''Mto Mgeni'''; kwa [[Kizulu]]: ''uMngeni'') ni [[mto]] uliopo katika jimbo la [[KwaZulu-Natal]] nchini [[Afrika Kusini]]. Mto huu unaanzia kutiririka katika eneo la Dargle lililopo Nyanda za Juu za KwaZulu-Natal (KZN Midlands) na unamwaga maji yake katika [[Bahari ya Hindi]] kupitia mji wa [[Durban]], upande wa kaskazini mwa [[bandari]] ya asili ya mji huo. Inakubalika kwa ujumla kuwa jina la mto huo linamaanisha "mto wa kuingilia" katika lugha ya Kizulu, ingawa kuna maana nyingine zilizowahi kupendekezwa.<ref name="d">{{cite book |last=du Plessis |first=E.J. |title=Suid-Afrikaanse berg- en riviername |publisher=Tafelberg-uitgewers, Cape Town |date=1973 |pages=277, 278 |isbn=0-624-00273-X}}</ref><ref name="r">{{cite book |last=Raper |first=P.E. |title=South African Place Names |publisher=Jonathan Ball, Jhb & Cape Town |date=2004 |isbn=1-86842-190-2 |page=245}}</ref> Mto huu una urefu wa takribani [[kilomita]] 232 na eneo la bonde la mkusanyiko wa maji lenye ukubwa wa [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 4,432. Maporomoko ya Howick (Howick Falls) ni moja ya vivutio maarufu vya utalii vinavyopatikana kwenye mto huu wa Mngeni. == Matawi ya mto == Tawi kubwa na muhimu zaidi la Mto Umgeni ni Mto Msunduzi, ambao unaungana nao kati ya mabwawa ya Nagle na Inanda. Katika mwendo wake wa juu, Mto Msunduzi unapita katikati ya mji wa [[Pietermaritzburg]] ambao ni makao makuu ya jimbo la KwaZulu-Natal. Mashindano maarufu ya mitumbwi duniani yanayojulikana kama "Dusi Canoe Marathon" hufanyika kila mwaka mwezi wa Januari kati ya mji huo mkuu na Durban, yakivutia maelfu ya waendesha mitumbwi kwa ajili ya mashindano hayo yanayochukua siku tatu. Tawi lingine dogo lakini lenye athari kubwa kiuchumi ni Mto Lions unaoungana na Umgeni umbali wa kilomita 4 kabla ya kufika Bwawa la Midmar. Umuhimu wake unatokana na kuwa sehemu ya mradi mkubwa wa uhamishaji wa maji kutoka Mto Mooi (Bwawa la Spring Grove) kwenda Mto Umgeni. Karibu na mdomo wa mto huu, kuna tawi lingine dogo lenye urefu wa kilomita 26 linaloitwa Mto Palmiet.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.palmiet.za.net/flooding.htm |title=Palmiet Nature Reserve Flooding |access-date=2012-03-12 |archive-date=2011-07-24 |archive-url=https://web.archive.org/web/20110724141321/http://www.palmiet.za.net/flooding.htm |url-status=dead }}</ref> == Mabwawa == Kwa sasa, Mto Umgeni ni sehemu muhimu ya Eneo la Usimamizi wa Maji kutoka Mvoti hadi Umzimkulu.<ref>[http://www.dwaf.gov.za/iwqs/rhp/eco/FROC/WMA11MvotuUmzimkulu.jpg Mvoti to Umzimkulu WMA 11]</ref> Kuna mabwawa manne makubwa ya kimkakati yaliyojengwa kwenye bonde la mto huu kwa ajili ya kuhifadhi maji na kuzalisha nishati: * Bwawa la Albert Falls * Bwawa la Inanda * Bwawa la Midmar * Bwawa la Nagle == Uhifadhi na ikolojia == Mfumo wa ikolojia wa Mto Umgeni una umuhimu mkubwa katika utunzaji wa viumbe hai wa majini barani [[Afrika]]. Samaki aina ya "Scaly Yellowfish" (''Labeobarbus natalensis'') anapatikana kwa wingi kwenye mfumo wa mto huu, pamoja na mito jirani ya Umzimkhulu, Thukela, Umkhomazi, na Umfolozi. Samaki huyu ni wa asili na hupatikana tu katika jimbo la KwaZulu-Natal (endemic), akiishi kwenye mazingira tofauti kuanzia chini ya Milima ya [[Drakensberg]] hadi kwenye nyanda za chini za pwani.<ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.wrc.org.za/Knowledge%20Hub%20Documents/Research%20Reports/KV212-web-conservation.pdf |title=Technical Report on the State of Yellowfishes in South Africa 2007 |access-date=2012-03-29 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170629065416/http://www.wrc.org.za/Knowledge%20Hub%20Documents/Research%20Reports/KV212-web-conservation.pdf |archive-date=2017-06-29 |url-status=dead }}</ref><ref>{{Rejea jarida|last1=Agunbiade|first1=Foluso O.|last2=Moodley|first2=Brenda|date=2014-07-16|title=Pharmaceuticals as emerging organic contaminants in Umgeni River water system, KwaZulu-Natal, South Africa|url=http://dx.doi.org/10.1007/s10661-014-3926-z|journal=Environmental Monitoring and Assessment|volume=186|issue=11|pages=7273–7291|doi=10.1007/s10661-014-3926-z|pmid=25027777|bibcode=2014EMnAs.186.7273A |s2cid=25955776|issn=0167-6369|url-access=subscription}}</ref> == Historia == Inasadikika kuwa mgunduzi wa Kireno [[Vasco da Gama]] alijaza maji kwenye meli zake katika mdomo wa Mto Umgeni mnamo Siku ya Krismasi ya mwaka 1497. Kutokana na tukio hilo, alilipa eneo hilo jina la "Natal", ambalo kwa lugha ya [[Kireno]] linamaanisha Krismasi, na mto huo ukajulikana mwanzoni kama "Mto wa Natal". Miaka 130 baadaye, mto huu ulivukwa na Nathaniel Isaacs wakati akiwa safarini kwenda kumtembelea Mfalme [[Shaka Zulu]].<ref name="d"/> Kabla ya mwezi Oktoba mwaka 1825, walowezi wa mwanzo wakiongozwa na Francis Farewell walianza ujenzi wa Ngome ya Farewell (Fort Farewell) katika eneo lililopo kati ya Mto uMngeni na Port Natal.<ref>{{Rejea kitabu |last=Isaacs |first=Nathaniel |url=https://archive.org/details/travelsadventure01isaa |title=Travels and adventures in eastern Africa |publisher=Edward Churton |year=1836 |location=London |pages=30–33}}</ref> == Marejeo == {{Marejeo}} {{Mbegu-jio-AfrikaKusini}} [[Jamii:Mito ya Afrika Kusini]] [[Jamii:KwaZulu-Natal]] [[Jamii:AWC 2026]] hpkxqohxaj5ky1ytbx8w0oajrnkhooa Kambi ya Wakimbizi ya Mishamo 0 240896 1572360 1572358 2026-06-13T12:00:15Z Riccardo Riccioni 452 1572360 wikitext text/x-wiki '''Kambi ya Wakimbizi ya Mishamo''' ni kambi ya wakimbizi iliyoko katika eneo la kaskazini-magharibi mwa [[Tanzania]], katika [[kata]] ya [[Mishamo]], [[Wilaya ya Tanganyika]], [[Mkoa wa Katavi]]. Kambi hiyo ilianzishwa kwa siri (kambi isiyo rasmi) mwanzoni mwa [[miaka ya 1970]], ilitumika kama kimbilio la wakimbizi [[Burundi|wa Burundi]] waliotoroka mauaji ya kimbari ya kwanza ya Burundi. Hii ni mojawapo ya kambi kubwa zaidi za wakimbizi barani Afrika. Kwa sababu ina eneo kubwa sana, inawawezesha wakazi wake wengi kuendesha maisha yao kupitia shughuli za kilimo.<ref>{{Rejea jarida |last=Simon |first=Turner |date=2020 |title=Times of Violence The Shifting Temporalities of Long-Term Ethnographic Engagement with Burundi |url=https://refuge.journals.yorku.ca/index.php/refuge/article/download/21997/20666/22409 |journal=refuge journals}}</ref> <ref>{{Rejea jarida |last=Simon |first=Turner |date=December 1998 |title=Representing the Past in Exile: The Politics of National History among Burundian Refugees |url=https://www.berghahnjournals.com/downloadpdf/journals/conflict-and-society/7/1/arcs070110.xml |journal=Refugee Journals |volume=6}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{mbegu-jio-katavi}} [[Jamii:wilaya ya Tanganyika]] 19l3rtvcawid72nlr3dhag3exj28t22 Mto Luapula 0 240897 1572363 2026-06-13T12:05:33Z Laylah26 89982 Kuanzisha makala 1572363 wikitext text/x-wiki [[File:Luvua - Luapula - Chambeshi River DRC.svg|thumb|[[Ramani]] inayoonyesha mfumo wa Mto Luapula (sehemu iliyowekwa [[ nyekundu|rangi nyekundu]]) katikati ya vyanzo vya [[Mto Congo]]]] '''Mto Luapula''' ni [[mto]] uliopo upande wa [[magharibi]] wa [[Afrika ya Kati]] unaotiririka kuelekea [[kaskazini]], na ni sehemu ya mfumo mkuu wa [[beseni]] ya [[Mto Congo]].<ref name="Pourtier">Pourtier, Roland and Sautter, Gilles François. "Congo River". Encyclopedia Britannica, 19 Feb. 2024, https://www.britannica.com/place/Congo-River. Accessed 8 March 2024</ref> Mto huu unaanza katika maeneo ya kostra na mabwawa ya [[Ziwa Bangweulu]] nchini [[Zambia]], ambayo yanalishwa na [[Mto Chambeshi]] ambao unatambuliwa kama chanzo cha mbali zaidi cha mfumo mzima wa Mto Congo. Luapula unatiririka kuelekea magharibi na kisha kaskazini, ambapo unaunda sehemu kubwa ya mpaka wa kimataifa kati ya Zambia na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] kabla ya kuingia kwenye [[Ziwa Mweru]]. Mto huu umeupatia jina lake [[Mkoa wa Luapula]] uliopo nchini Zambia.<ref name="ITM">Terracarta/International Travel Maps, Vancouver Canada: "Zambia, 2nd edition", 2000</ref> == Ukubwa wa mto na vyanzo == Mto Luapula unatoa maji yake kutoka kwenye mabwawa makubwa ya Bangweulu ambako Mto Chambeshi unaishia. Kihistoria, hakuna njia moja ya wazi inayounganisha mito hii na ziwa hilo, bali kuna mtandao tata wa mifereji inayobadilika, rasi, na mabwawa, hali iliyomtatiza hata mvumbuzi [[David Livingstone]] ambaye alifariki dunia akichunguza eneo hili huku moja ya matendo yake ya mwisho ikiwa ni kumuhoji Chifu Chitambo kuhusu uelekeo wa Mto Luapula.<ref name="Blaikie">Blaikie, William Garden (1880): ''The Personal Life Of David Livingstone''. Project Gutenberg Ebook #13262, release date: August 23, 2004.</ref><ref name="DL">David Livingstone and Horace Waller (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Picha za setilaiti zinaonyesha kuwa mto huu unajichuja kutoka kwenye uoto mnene wa kijani kabla ya kuanza mtiririko wake thabiti. Chini ya mabwawa ya Bangweulu, Luapula inatiririka katika umbo la upinde kuelekea kusini-magharibi kisha inageuka kaskazini-magharibi na kaskazini. Katika mwendo wake, mto huu una maporomoko kadhaa ya maji, ikiwemo maporomoko maarufu ya Mambilima yaliyopo karibu na barabara kuu.<ref name="ITM" /> Eneo lingine lisilojulikana sana ni Tangwa, umbali wa kilomita 40 kusini, ambapo mto umemomonyoa milima ya miamba na kutengeneza mapango makubwa, matao, na mawe makubwa yanayosawazisha yenyewe yanayoitwa 'God's Corn Bin'.<ref name="Lammond">William Lammond: "The Luapula Valley" The Northern Rhodesia Journal, Vol 2 No 5 (1954), pp50−55. Accessed 16 December 2017.</ref> == Bonde na mabwawa ya Luapula == Kuanzia kwenye Daraja la Chembe hadi kufika Ziwa Mweru, Bonde la Luapula lina urefu wa kilomita 300 na lina idadi kubwa ya wakazi wa vijijini ikilinganishwa na maeneo ya nyanda za juu. Sehemu ya mwisho ya mto huu yenye urefu wa kilomita 100 kabla ya kuingia ziwani imeundwa na mabwawa makubwa yenye upana wa kilomita 30, yakichukua eneo la kilomita za mraba 2,500. Ndani ya dharura hii ya mabwawa, kuna visiwa kadhaa vinavyokaliwa na watu, vikiwemo visiwa vitatu upande wa Zambia kama vile Kisiwa cha Chisenga, na vinne upande wa Kongo DR ambavyo vina rasi kubwa kama rasi ya Mofwe. Mabwawa haya yana sifa ya kuwa na matandiko makubwa ya mimea ya mafunjo (papyrus) yanayoelea, ambayo mara kwa mara huziba mifereji midogo na kubadilisha maumbo ya rasi, ingawa njia kuu ya mto inabaki wazi ikiwa na upana wa mita 400. Mazingira haya ni makazi makubwa ya [[mamba]] na [[kiboko]] ambao ni hatari kwa wavuvi na wasafiri. Katika kipindi cha masika, maeneo yote ya kostra na mabwawa ya Luapula yanaweza kufikia ukubwa wa kilomita za mraba 4,000, na kihistoria yalikuwa makazi ya makundi makubwa ya wanyama aina ya nswala maji (lechwe na sitatunga), ingawa uwindaji uliokithiri umepunguza idadi yao kwa kiasi kikubwa. == Makazi ya watu na historia == Utajiri wa maliasili katika bonde la chini la Luapula, ikiwa ni pamoja na uvuvi na ardhi yenye rutuba, uliwavutia wavamizi wa kabila la Lunda chini ya kiongozi wao Mwata Kazembe waliohamia na kuweka makazi yao hapa mnamo mwaka 1750. Makao makuu yao yapo Mwansabombwe pembezoni mwa mabwawa. Eneo hili pia lilivutia wafanyabiashara wa Kiarabu na wauzaji watumwa kutoka [[Zanzibar]], pamoja na wafanyabiashara wa Kireno kutoka [[Msumbiji]] wakati wa karne ya 18 na 19. Mnamo mwaka 1867, David Livingstone alikuwa Mwingereza wa kwanza kufika katika eneo hili wakati akitafuta vyanzo vya [[Mto Nile]]. Mwata Kazembe ndiye aliyekuwa wa kwanza kumfahamisha Livingstone kuwa Mto Luapula unaunganisha mifumo ya mito ya Chambeshi, Bangweulu na Lualaba, ingawa Livingstone aliamini kimakosa kuwa Mto Lualaba ulitiririka kuelekea Mto Nile badala ya Mto Congo.<ref name="DL" /> Baadaye, bonde hili lilivutia wamisionari wa kwanza wa kikristo waliojenga vituo vya afya na shule kuanzia miaka ya 1890, na kuchangia katika ujenzi wa nyumba imara za matofali ya kuchoma bondeni humo.<ref>Bwalya S Chuba: "Mbeleshi in a history of the London Missionary Society", Pula Press, Gaborone (2000).</ref> == Usafiri na madaraja == Kabla ya kuwepo kwa usafiri wa barabara, watu walitumia mitumbwi kusafiri kati ya Ziwa Bangweulu na Ziwa Mweru.<ref name="DL" /> Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, mtandao wa mitumbwi zaidi ya 1,800 ulitumiwa na majeshi kusafirisha zana za kivita kupitia mto huu kwa ajili ya mapambano ya Vita vya Afrika Mashariki. Kuhusu uvukaji wa mto, hapo awali watu walitegemea vivuko vya kienyeji na pantoni (pontoons) katika maeneo ya Kasenga na Chembe ambapo mto una upana wa mita 400 lakini huongezeka hadi kilomita 1 wakati wa mafuriko. Ili kurahisisha usafiri, daraja la kwanza kubwa linaloitwa Daraja la Luapula lenye urefu wa kilomita 2.5 lilijengwa mnamo mwaka 1983 kwenye barabara ya Samfya-Serenje. Baadaye, serikali ilikamilisha ujenzi wa daraja la pili la kisasa, Daraja la Chembe lenye urefu wa mita 320 mnamo mwaka 2008, ambalo liliondoa kabisa hitaji la kutumia kivuko cha zamani cha pantoni na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kati ya Zambia na Kongo DR. == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] [[Jamii:Mito ya Zambia]] [[Jamii:Mito ya Afrika]] [[Jamii:AWC 2026]] 6dmyjl93fz301xxxd9rldy9bch347qq 1572369 1572363 2026-06-13T12:24:11Z Riccardo Riccioni 452 1572369 wikitext text/x-wiki [[File:Luvua - Luapula - Chambeshi River DRC.svg|thumb|[[Ramani]] inayoonyesha mfumo wa Mto Luapula (sehemu iliyowekwa [[nyekundu|rangi nyekundu]]) katikati ya vyanzo vya [[Mto Kongo]].]] '''Mto Luapula''' ni [[mto]] uliopo upande wa [[magharibi]] wa [[Afrika ya Kati]] unaotiririka kuelekea [[kaskazini]], na ni sehemu ya mfumo mkuu wa [[beseni]] la [[Mto Kongo]].<ref name="Pourtier">Pourtier, Roland and Sautter, Gilles François. "Congo River". Encyclopedia Britannica, 19 Feb. 2024, https://www.britannica.com/place/Congo-River. Accessed 8 March 2024</ref> Mto huu unaanza katika maeneo ya kostra na mabwawa ya [[Ziwa Bangweulu]] nchini [[Zambia]], ambayo yanalishwa na [[Mto Chambeshi]] ambao unatambuliwa kama chanzo cha mbali zaidi cha mfumo mzima wa Mto Congo. Luapula unatiririka kuelekea magharibi na kisha kaskazini, ambapo unaunda sehemu kubwa ya mpaka wa kimataifa kati ya Zambia na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] kabla ya kuingia kwenye [[Ziwa Mweru]]. Mto huu umeupatia jina lake [[Mkoa wa Luapula]] uliopo nchini Zambia.<ref name="ITM">Terracarta/International Travel Maps, Vancouver Canada: "Zambia, 2nd edition", 2000</ref> == Ukubwa wa mto na vyanzo == Mto Luapula unatoa maji yake kutoka kwenye mabwawa makubwa ya Bangweulu ambako Mto Chambeshi unaishia. Kihistoria, hakuna njia moja ya wazi inayounganisha mito hii na ziwa hilo, bali kuna mtandao tata wa mifereji inayobadilika, rasi, na mabwawa, hali iliyomtatiza hata mvumbuzi [[David Livingstone]] ambaye alifariki dunia akichunguza eneo hili huku moja ya matendo yake ya mwisho ikiwa ni kumuhoji Chifu Chitambo kuhusu uelekeo wa Mto Luapula.<ref name="Blaikie">Blaikie, William Garden (1880): ''The Personal Life Of David Livingstone''. Project Gutenberg Ebook #13262, release date: August 23, 2004.</ref><ref name="DL">David Livingstone and Horace Waller (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Picha za setilaiti zinaonyesha kuwa mto huu unajichuja kutoka kwenye uoto mnene wa kijani kabla ya kuanza mtiririko wake thabiti. Chini ya mabwawa ya Bangweulu, Luapula inatiririka katika umbo la upinde kuelekea kusini-magharibi kisha inageuka kaskazini-magharibi na kaskazini. Katika mwendo wake, mto huu una maporomoko kadhaa ya maji, ikiwemo maporomoko maarufu ya Mambilima yaliyopo karibu na barabara kuu.<ref name="ITM" /> Eneo lingine lisilojulikana sana ni Tangwa, umbali wa kilomita 40 kusini, ambapo mto umemomonyoa milima ya miamba na kutengeneza mapango makubwa, matao, na mawe makubwa yanayosawazisha yenyewe yanayoitwa 'God's Corn Bin'.<ref name="Lammond">William Lammond: "The Luapula Valley" The Northern Rhodesia Journal, Vol 2 No 5 (1954), pp50−55. Accessed 16 December 2017.</ref> == Bonde na mabwawa ya Luapula == Kuanzia kwenye Daraja la Chembe hadi kufika Ziwa Mweru, Bonde la Luapula lina urefu wa kilomita 300 na lina idadi kubwa ya wakazi wa vijijini ikilinganishwa na maeneo ya nyanda za juu. Sehemu ya mwisho ya mto huu yenye urefu wa kilomita 100 kabla ya kuingia ziwani imeundwa na mabwawa makubwa yenye upana wa kilomita 30, yakichukua eneo la kilomita za mraba 2,500. Ndani ya dharura hii ya mabwawa, kuna visiwa kadhaa vinavyokaliwa na watu, vikiwemo visiwa vitatu upande wa Zambia kama vile Kisiwa cha Chisenga, na vinne upande wa Kongo DR ambavyo vina rasi kubwa kama rasi ya Mofwe. Mabwawa haya yana sifa ya kuwa na matandiko makubwa ya mimea ya mafunjo (papyrus) yanayoelea, ambayo mara kwa mara huziba mifereji midogo na kubadilisha maumbo ya rasi, ingawa njia kuu ya mto inabaki wazi ikiwa na upana wa mita 400. Mazingira haya ni makazi makubwa ya [[mamba]] na [[kiboko]] ambao ni hatari kwa wavuvi na wasafiri. Katika kipindi cha masika, maeneo yote ya kostra na mabwawa ya Luapula yanaweza kufikia ukubwa wa kilomita za mraba 4,000, na kihistoria yalikuwa makazi ya makundi makubwa ya wanyama aina ya nswala maji (lechwe na sitatunga), ingawa uwindaji uliokithiri umepunguza idadi yao kwa kiasi kikubwa. == Makazi ya watu na historia == Utajiri wa maliasili katika bonde la chini la Luapula, ikiwa ni pamoja na uvuvi na ardhi yenye rutuba, uliwavutia wavamizi wa kabila la Lunda chini ya kiongozi wao Mwata Kazembe waliohamia na kuweka makazi yao hapa mnamo mwaka 1750. Makao makuu yao yapo Mwansabombwe pembezoni mwa mabwawa. Eneo hili pia lilivutia wafanyabiashara wa Kiarabu na wauzaji watumwa kutoka [[Zanzibar]], pamoja na wafanyabiashara wa Kireno kutoka [[Msumbiji]] wakati wa karne ya 18 na 19. Mnamo mwaka 1867, David Livingstone alikuwa Mwingereza wa kwanza kufika katika eneo hili wakati akitafuta vyanzo vya [[Mto Nile]]. Mwata Kazembe ndiye aliyekuwa wa kwanza kumfahamisha Livingstone kuwa Mto Luapula unaunganisha mifumo ya mito ya Chambeshi, Bangweulu na Lualaba, ingawa Livingstone aliamini kimakosa kuwa Mto Lualaba ulitiririka kuelekea Mto Nile badala ya Mto Congo.<ref name="DL" /> Baadaye, bonde hili lilivutia wamisionari wa kwanza wa kikristo waliojenga vituo vya afya na shule kuanzia miaka ya 1890, na kuchangia katika ujenzi wa nyumba imara za matofali ya kuchoma bondeni humo.<ref>Bwalya S Chuba: "Mbeleshi in a history of the London Missionary Society", Pula Press, Gaborone (2000).</ref> == Usafiri na madaraja == Kabla ya kuwepo kwa usafiri wa barabara, watu walitumia mitumbwi kusafiri kati ya Ziwa Bangweulu na Ziwa Mweru.<ref name="DL" /> Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, mtandao wa mitumbwi zaidi ya 1,800 ulitumiwa na majeshi kusafirisha zana za kivita kupitia mto huu kwa ajili ya mapambano ya Vita vya Afrika Mashariki. Kuhusu uvukaji wa mto, hapo awali watu walitegemea vivuko vya kienyeji na pantoni (pontoons) katika maeneo ya Kasenga na Chembe ambapo mto una upana wa mita 400 lakini huongezeka hadi kilomita 1 wakati wa mafuriko. Ili kurahisisha usafiri, daraja la kwanza kubwa linaloitwa Daraja la Luapula lenye urefu wa kilomita 2.5 lilijengwa mnamo mwaka 1983 kwenye barabara ya Samfya-Serenje. Baadaye, serikali ilikamilisha ujenzi wa daraja la pili la kisasa, Daraja la Chembe lenye urefu wa mita 320 mnamo mwaka 2008, ambalo liliondoa kabisa hitaji la kutumia kivuko cha zamani cha pantoni na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kati ya Zambia na Kongo DR. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] [[Jamii:Mito ya Zambia]] [[Jamii:Mito ya Afrika]] [[Jamii:AWC 2026]] 0vatjd4ab0b2k0a5dwith909o8lrw2i 1572373 1572369 2026-06-13T12:26:28Z Riccardo Riccioni 452 1572373 wikitext text/x-wiki [[File:Luvua - Luapula - Chambeshi River DRC.svg|thumb|[[Ramani]] inayoonyesha mfumo wa Mto Luapula (sehemu iliyowekwa [[nyekundu|rangi nyekundu]]) katikati ya vyanzo vya [[Mto Kongo]].]] '''Mto Luapula''' ni [[mto]] uliopo upande wa [[magharibi]] wa [[Afrika ya Kati]] unaotiririka kuelekea [[kaskazini]], na ni sehemu ya mfumo mkuu wa [[beseni]] la [[Mto Kongo]].<ref name="Pourtier">Pourtier, Roland and Sautter, Gilles François. "Congo River". Encyclopedia Britannica, 19 Feb. 2024, https://www.britannica.com/place/Congo-River. Accessed 8 March 2024</ref> Mto huu unaanza katika maeneo ya kostra na mabwawa ya [[Ziwa Bangweulu]] nchini [[Zambia]], ambayo yanalishwa na [[Mto Chambeshi]] ambao unatambuliwa kama chanzo cha mbali zaidi cha mfumo mzima wa Mto Congo. Luapula unatiririka kuelekea magharibi na kisha kaskazini, ambapo unaunda sehemu kubwa ya mpaka wa kimataifa kati ya Zambia na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] kabla ya kuingia kwenye [[Ziwa Mwero]]. Mto huu umeupatia jina lake [[Mkoa wa Luapula]] uliopo nchini Zambia.<ref name="ITM">Terracarta/International Travel Maps, Vancouver Canada: "Zambia, 2nd edition", 2000</ref> == Ukubwa wa mto na vyanzo == Mto Luapula unatoa maji yake kutoka kwenye mabwawa makubwa ya Bangweulu ambako Mto Chambeshi unaishia. Kihistoria, hakuna njia moja ya wazi inayounganisha mito hii na ziwa hilo, bali kuna mtandao tata wa mifereji inayobadilika, rasi, na mabwawa, hali iliyomtatiza hata mvumbuzi [[David Livingstone]] ambaye alifariki dunia akichunguza eneo hili huku moja ya matendo yake ya mwisho ikiwa ni kumuhoji Chifu Chitambo kuhusu uelekeo wa Mto Luapula.<ref name="Blaikie">Blaikie, William Garden (1880): ''The Personal Life Of David Livingstone''. Project Gutenberg Ebook #13262, release date: August 23, 2004.</ref><ref name="DL">David Livingstone and Horace Waller (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Picha za setilaiti zinaonyesha kuwa mto huu unajichuja kutoka kwenye uoto mnene wa kijani kabla ya kuanza mtiririko wake thabiti. Chini ya mabwawa ya Bangweulu, Luapula inatiririka katika umbo la upinde kuelekea kusini-magharibi kisha inageuka kaskazini-magharibi na kaskazini. Katika mwendo wake, mto huu una maporomoko kadhaa ya maji, ikiwemo maporomoko maarufu ya Mambilima yaliyopo karibu na barabara kuu.<ref name="ITM" /> Eneo lingine lisilojulikana sana ni Tangwa, umbali wa kilomita 40 kusini, ambapo mto umemomonyoa milima ya miamba na kutengeneza mapango makubwa, matao, na mawe makubwa yanayosawazisha yenyewe yanayoitwa 'God's Corn Bin'.<ref name="Lammond">William Lammond: "The Luapula Valley" The Northern Rhodesia Journal, Vol 2 No 5 (1954), pp50−55. Accessed 16 December 2017.</ref> == Bonde na mabwawa ya Luapula == Kuanzia kwenye Daraja la Chembe hadi kufika Ziwa Mweru, Bonde la Luapula lina urefu wa kilomita 300 na lina idadi kubwa ya wakazi wa vijijini ikilinganishwa na maeneo ya nyanda za juu. Sehemu ya mwisho ya mto huu yenye urefu wa kilomita 100 kabla ya kuingia ziwani imeundwa na mabwawa makubwa yenye upana wa kilomita 30, yakichukua eneo la kilomita za mraba 2,500. Ndani ya dharura hii ya mabwawa, kuna visiwa kadhaa vinavyokaliwa na watu, vikiwemo visiwa vitatu upande wa Zambia kama vile Kisiwa cha Chisenga, na vinne upande wa Kongo DR ambavyo vina rasi kubwa kama rasi ya Mofwe. Mabwawa haya yana sifa ya kuwa na matandiko makubwa ya mimea ya mafunjo (papyrus) yanayoelea, ambayo mara kwa mara huziba mifereji midogo na kubadilisha maumbo ya rasi, ingawa njia kuu ya mto inabaki wazi ikiwa na upana wa mita 400. Mazingira haya ni makazi makubwa ya [[mamba]] na [[kiboko]] ambao ni hatari kwa wavuvi na wasafiri. Katika kipindi cha masika, maeneo yote ya kostra na mabwawa ya Luapula yanaweza kufikia ukubwa wa kilomita za mraba 4,000, na kihistoria yalikuwa makazi ya makundi makubwa ya wanyama aina ya nswala maji (lechwe na sitatunga), ingawa uwindaji uliokithiri umepunguza idadi yao kwa kiasi kikubwa. == Makazi ya watu na historia == Utajiri wa maliasili katika bonde la chini la Luapula, ikiwa ni pamoja na uvuvi na ardhi yenye rutuba, uliwavutia wavamizi wa kabila la Lunda chini ya kiongozi wao Mwata Kazembe waliohamia na kuweka makazi yao hapa mnamo mwaka 1750. Makao makuu yao yapo Mwansabombwe pembezoni mwa mabwawa. Eneo hili pia lilivutia wafanyabiashara wa Kiarabu na wauzaji watumwa kutoka [[Zanzibar]], pamoja na wafanyabiashara wa Kireno kutoka [[Msumbiji]] wakati wa karne ya 18 na 19. Mnamo mwaka 1867, [[David Livingstone]] alikuwa Mwingereza wa kwanza kufika katika eneo hili wakati akitafuta vyanzo vya [[Mto Nile]]. Mwata Kazembe ndiye aliyekuwa wa kwanza kumfahamisha Livingstone kuwa Mto Luapula unaunganisha mifumo ya mito ya Chambeshi, Bangweulu na Lualaba, ingawa Livingstone aliamini kimakosa kuwa Mto Lualaba ulitiririka kuelekea Mto Nile badala ya Mto Congo.<ref name="DL" /> Baadaye, bonde hili lilivutia wamisionari wa kwanza wa Kikristo waliojenga vituo vya afya na shule kuanzia miaka ya 1890, na kuchangia katika ujenzi wa nyumba imara za matofali ya kuchoma bondeni humo.<ref>Bwalya S Chuba: "Mbeleshi in a history of the London Missionary Society", Pula Press, Gaborone (2000).</ref> == Usafiri na madaraja == Kabla ya kuwepo kwa usafiri wa barabara, watu walitumia mitumbwi kusafiri kati ya Ziwa Bangweulu na Ziwa Mweru.<ref name="DL" /> Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, mtandao wa mitumbwi zaidi ya 1,800 ulitumiwa na majeshi kusafirisha zana za kivita kupitia mto huu kwa ajili ya mapambano ya Vita vya Afrika Mashariki. Kuhusu uvukaji wa mto, hapo awali watu walitegemea vivuko vya kienyeji na pantoni (pontoons) katika maeneo ya Kasenga na Chembe ambapo mto una upana wa mita 400 lakini huongezeka hadi kilomita 1 wakati wa mafuriko. Ili kurahisisha usafiri, daraja la kwanza kubwa linaloitwa Daraja la Luapula lenye urefu wa kilomita 2.5 lilijengwa mnamo mwaka 1983 kwenye barabara ya Samfya-Serenje. Baadaye, serikali ilikamilisha ujenzi wa daraja la pili la kisasa, Daraja la Chembe lenye urefu wa mita 320 mnamo mwaka 2008, ambalo liliondoa kabisa hitaji la kutumia kivuko cha zamani cha pantoni na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kati ya Zambia na Kongo DR. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] [[Jamii:Mito ya Zambia]] [[Jamii:Mito ya Afrika]] [[Jamii:AWC 2026]] 8ttq1mx0uupkhvlbkb5utd5jt8ce39j 1572993 1572373 2026-06-14T10:41:44Z Anuary Rajabu 45588 1572993 wikitext text/x-wiki [[File:Luvua - Luapula - Chambeshi River DRC.svg|thumb|[[Ramani]] inayoonyesha mfumo wa Mto Luapula (sehemu iliyowekwa [[nyekundu|rangi nyekundu]]) katikati ya vyanzo vya [[Mto Kongo]].]] '''Mto Luapula''' ni [[mto]] uliopo upande wa [[magharibi]] wa [[Afrika ya Kati]] unaotiririka kuelekea [[kaskazini]], na ni sehemu ya mfumo mkuu wa [[beseni]] la [[Mto Kongo]].<ref name="Pourtier">Pourtier, Roland and Sautter, Gilles François. "Congo River". Encyclopedia Britannica, 19 Feb. 2024, https://www.britannica.com/place/Congo-River. Accessed 8 March 2024</ref> Mto huu unaanza katika maeneo ya kostra na mabwawa ya [[Ziwa Bangweulu]] nchini [[Zambia]], ambayo yanalishwa na [[Mto Chambeshi]] ambao unatambuliwa kama chanzo cha mbali zaidi cha mfumo mzima wa Mto Congo. Luapula unatiririka kuelekea magharibi na kisha kaskazini, ambapo unaunda sehemu kubwa ya mpaka wa kimataifa kati ya Zambia na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] kabla ya kuingia kwenye [[Ziwa Mwero]]. Mto huu umeupatia jina lake [[Mkoa wa Luapula]] uliopo nchini Zambia.<ref name="ITM">Terracarta/International Travel Maps, Vancouver Canada: "Zambia, 2nd edition", 2000</ref> == Ukubwa wa mto na vyanzo == Mto Luapula unatoa maji yake kutoka kwenye mabwawa makubwa ya Bangweulu ambako Mto Chambeshi unaishia. Kihistoria, hakuna njia moja ya wazi inayounganisha mito hii na ziwa hilo, bali kuna mtandao tata wa mifereji inayobadilika, rasi, na mabwawa, hali iliyomtatiza hata mvumbuzi [[David Livingstone]] ambaye alifariki dunia akichunguza eneo hili huku moja ya matendo yake ya mwisho ikiwa ni kumuhoji Chifu Chitambo kuhusu uelekeo wa Mto Luapula.<ref name="Blaikie">Blaikie, William Garden (1880): ''The Personal Life Of David Livingstone''. Project Gutenberg Ebook #13262, release date: August 23, 2004.</ref><ref name="DL">David Livingstone and Horace Waller (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Picha za setilaiti zinaonyesha kuwa mto huu unajichuja kutoka kwenye uoto mnene wa kijani kabla ya kuanza mtiririko wake thabiti. [[Faili:Mweru-Luapula.jpg|thumb|Picha ya [[satelaiti]] ya NASA inaonyesha mfumo wa maji wa Mto Luapula, [[delta]] yake katika [[Ziwa Mweru]], na [[Mto Luvua]], ambapo maji yanawakilishwa kwa rangi nyeusi.]] Chini ya mabwawa ya Bangweulu, Luapula inatiririka katika umbo la upinde kuelekea kusini-magharibi kisha inageuka kaskazini-magharibi na kaskazini. Katika mwendo wake, mto huu una maporomoko kadhaa ya maji, ikiwemo maporomoko maarufu ya Mambilima yaliyopo karibu na barabara kuu.<ref name="ITM" /> Eneo lingine lisilojulikana sana ni Tangwa, umbali wa kilomita 40 kusini, ambapo mto umemomonyoa milima ya miamba na kutengeneza mapango makubwa, matao, na mawe makubwa yanayosawazisha yenyewe yanayoitwa 'God's Corn Bin'.<ref name="Lammond">William Lammond: "The Luapula Valley" The Northern Rhodesia Journal, Vol 2 No 5 (1954), pp50−55. Accessed 16 December 2017.</ref> == Bonde na mabwawa ya Luapula == Kuanzia kwenye Daraja la Chembe hadi kufika Ziwa Mweru, Bonde la Luapula lina urefu wa kilomita 300 na lina idadi kubwa ya wakazi wa vijijini ikilinganishwa na maeneo ya nyanda za juu. Sehemu ya mwisho ya mto huu yenye urefu wa kilomita 100 kabla ya kuingia ziwani imeundwa na mabwawa makubwa yenye upana wa kilomita 30, yakichukua eneo la kilomita za mraba 2,500. Ndani ya dharura hii ya mabwawa, kuna visiwa kadhaa vinavyokaliwa na watu, vikiwemo visiwa vitatu upande wa Zambia kama vile Kisiwa cha Chisenga, na vinne upande wa Kongo DR ambavyo vina rasi kubwa kama rasi ya Mofwe. Mabwawa haya yana sifa ya kuwa na matandiko makubwa ya mimea ya mafunjo (papyrus) yanayoelea, ambayo mara kwa mara huziba mifereji midogo na kubadilisha maumbo ya rasi, ingawa njia kuu ya mto inabaki wazi ikiwa na upana wa mita 400. Mazingira haya ni makazi makubwa ya [[mamba]] na [[kiboko]] ambao ni hatari kwa wavuvi na wasafiri. Katika kipindi cha masika, maeneo yote ya kostra na mabwawa ya Luapula yanaweza kufikia ukubwa wa kilomita za mraba 4,000, na kihistoria yalikuwa makazi ya makundi makubwa ya wanyama aina ya nswala maji (lechwe na sitatunga), ingawa uwindaji uliokithiri umepunguza idadi yao kwa kiasi kikubwa. == Makazi ya watu na historia == Utajiri wa maliasili katika bonde la chini la Luapula, ikiwa ni pamoja na uvuvi na ardhi yenye rutuba, uliwavutia wavamizi wa kabila la Lunda chini ya kiongozi wao Mwata Kazembe waliohamia na kuweka makazi yao hapa mnamo mwaka 1750. Makao makuu yao yapo Mwansabombwe pembezoni mwa mabwawa. Eneo hili pia lilivutia wafanyabiashara wa Kiarabu na wauzaji watumwa kutoka [[Zanzibar]], pamoja na wafanyabiashara wa Kireno kutoka [[Msumbiji]] wakati wa karne ya 18 na 19. Mnamo mwaka 1867, [[David Livingstone]] alikuwa Mwingereza wa kwanza kufika katika eneo hili wakati akitafuta vyanzo vya [[Mto Nile]]. Mwata Kazembe ndiye aliyekuwa wa kwanza kumfahamisha Livingstone kuwa Mto Luapula unaunganisha mifumo ya mito ya Chambeshi, Bangweulu na Lualaba, ingawa Livingstone aliamini kimakosa kuwa Mto Lualaba ulitiririka kuelekea Mto Nile badala ya Mto Congo.<ref name="DL" /> Baadaye, bonde hili lilivutia wamisionari wa kwanza wa Kikristo waliojenga vituo vya afya na shule kuanzia miaka ya 1890, na kuchangia katika ujenzi wa nyumba imara za matofali ya kuchoma bondeni humo.<ref>Bwalya S Chuba: "Mbeleshi in a history of the London Missionary Society", Pula Press, Gaborone (2000).</ref> == Usafiri na madaraja == Kabla ya kuwepo kwa usafiri wa barabara, watu walitumia mitumbwi kusafiri kati ya Ziwa Bangweulu na Ziwa Mweru.<ref name="DL" /> Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, mtandao wa mitumbwi zaidi ya 1,800 ulitumiwa na majeshi kusafirisha zana za kivita kupitia mto huu kwa ajili ya mapambano ya Vita vya Afrika Mashariki. Kuhusu uvukaji wa mto, hapo awali watu walitegemea vivuko vya kienyeji na pantoni (pontoons) katika maeneo ya Kasenga na Chembe ambapo mto una upana wa mita 400 lakini huongezeka hadi kilomita 1 wakati wa mafuriko. Ili kurahisisha usafiri, daraja la kwanza kubwa linaloitwa Daraja la Luapula lenye urefu wa kilomita 2.5 lilijengwa mnamo mwaka 1983 kwenye barabara ya Samfya-Serenje. Baadaye, serikali ilikamilisha ujenzi wa daraja la pili la kisasa, Daraja la Chembe lenye urefu wa mita 320 mnamo mwaka 2008, ambalo liliondoa kabisa hitaji la kutumia kivuko cha zamani cha pantoni na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kati ya Zambia na Kongo DR. ==Tazama pia== * [[Orodha ya mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Mito ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] [[Jamii:Mito ya Zambia]] [[Jamii:Mito ya Afrika]] [[Jamii:AWC 2026]] 5tk0i6mil8nwqrxfeteytwvy72l9ihm Tendo la kishujaa 0 240898 1572366 2026-06-13T12:10:38Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Shujaa]] 1572366 wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[shujaa]] 6nxbyxpcobkgsakhrspje42zvb49eak Ziwa Bangweulu 0 240899 1572370 2026-06-13T12:25:07Z Laylah26 89982 Kuanzisha makala 1572370 wikitext text/x-wiki [[File:Local people on Lake Bangweulu.jpg|thumb|Wenyeji wakiwa kando ya [[fukwe]] za Ziwa Bangweulu nchini [[Zambia]]]] '''Ziwa Bangweulu''', ni [[ziwa]] la majisafi lililopo upande wa [[kaskazini]] mwa nchini [[Zambia]]. Mfumo wa Bangweulu ni miongoni mwa mifumo mikubwa zaidi ya ardhi oevu (''wetlands'') duniani, ukijumuisha Ziwa Bangweulu lenyewe, maeneo yale ya mabwawa ya Bangweulu, na nyanda za chini zinazofurika maji.<ref name=Spectrum>Camerapix: ''Spectrum Guide to Zambia.'' Camerapix International Publishing, Nairobi, 1996.</ref> Mfumo huu upo katika [[beseni]] ya juu ya [[Mto Congo]] na unaenea katika eneo tambarare kabisa lenye mwinuko wa [[mita]] 1,140 juu ya usawa wa bahari, huku ukienea hadi [[mkoa]] wa Luapula na [[Mkoa wa Kaskazini (Zambia)|Mkoa wa Kaskazini]] nchini Zambia. Eneo hili lina umuhimu mkubwa sana kwa uchumi na [[bioanuwai]] ya kaskazini mwa Zambia, pamoja na maisha ya ndege katika ukanda mzima wa mkoa huo.<ref name="Ramsar">Halls, A.J. (ed.), 1997. "Wetlands, Biodiversity and the Ramsar Convention: The Role of the Convention on Wetlands in the Conservation and Wise Use of Biodiversity". Ramsar Convention Bureau, Gland, Switzerland</ref> [[Faili:Lake Bangweulu.svg|thumb|[[Ramani]] ikionyesha Ziwa Bangweulu (rangi nyekundu) na mifumo ya [[Kongo (mto)|Mto Congo]]]] Sehemu ya maji ya wazi ya Ziwa Bangweulu ina urefu wa [[kilomita]] 75 na upana wa hadi kilomita 40, huku ikiwa na eneo la kudumu la maji lenye ukubwa wa [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 3,000. Eneo hili huongezeka na kufikia hadi kilomita za mraba 15,000 wakati mabwawa na nyanda za nyasi zinazozunguka ziwa hilo zinapofurika kuelekea mwisho wa msimu wa mvua mnamo mwezi Mei. Ziwa hili ni la kina kifupi sana, likiwa na wastani wa kina cha mita 4 tu<ref name="Google">Google Earth (http://earth.google.com) accessed 31 January 2007.</ref><ref name="ILEC">[https://web.archive.org/web/20070930014508/http://www.ilec.or.jp/database/afr/dsafr021.html ILEC Data Summary: Lake Bangweulu.] Website accessed 30 January 2007</ref> na kina cha juu kabisa kinachofikia mita 10.<ref name="LakeNet">{{usurped|1=[https://web.archive.org/web/20040326163313/http://www.worldlakes.org/lakedetails.asp?lakeid=8572 Lake Profile: Bangweulu.]}} Accessed 8 September 2021.</ref> Mfumo mzima unalishwa na takribani mito kumi na saba, ambapo [[Mto Chambeshi]] (ambao ndio chanzo kikuu cha asili cha Mto Congo) ndio mto mkubwa zaidi unaoingiza maji, wakati [[Mto Luapula]] ndio mto pekee unaotoa maji nje ya ziwa hili.<ref name="Spectrum" /> == Historia == Kabla ya kufika kwa Wazungu, ziwa hili lilikuwa likijulikana kupitia taarifa za viongozi wa wenyeji kama vile Chifu Kazembe na wafanyabiashara wa [[Waswahili]]. Wakati mwingine liliitwa 'Ziwa Bemba' kutokana na jina la kabila kubwa la eneo hilo la Wa-Bemba. Mnamo mwaka 1868, mpelelezi na mmisionari [[David Livingstone]] alikuwa Mzungu wa kwanza kuliona ziwa hili upande wa kaskazini. Miaka michache baadaye, msafara wake wa mwisho ulikwama katika mabwawa haya kutokana na msururu wa mifereji inayobadilika, wakati akijitahidi kugundua mito inayongia na kutoka ziwani. Livingstone alifariki dunia mwaka 1873 katika kijiji cha Chifu Chitambo kilichopo ukingoni mwa nyanda za mafuriko za kusini, umbali wa kilomita 100 kutoka ziwani, mahali ambapo sasa pamejengwa Kumbukumbu ya Livingstone.<ref name="Livingstone">[[David Livingstone]] and [[Horace Waller (activist)|Horace Waller]] (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Uharaka wa kutaka kudhibiti utajiri wa uvuvi na wanyamapori wa Bangweulu ulimfanya Mfalme Leopold II wa Ubelgiji insisted, wakati wa majadiliano ya mipaka kati ya Dola Huru ya Kongo na Waingereza wa Rhodesia ya Kaskazini, kupata ukanda wa ardhi uliofika hadi Bangweulu kutoka Katanga. Hatua hii ilisababisha kuwepo kwa rasi ya ardhi ya Kongo (Congo Pedicle) inayopenya ndani ya maeneo ya Zambia. Umisheni wa kwanza wa Kikristo katika ukanda wa Bangweulu ulianzishwa mapema miaka ya 1900 chini ya uongozi wa Askofu Joseph Dupont wa shirika la Kikatoliki la "White Fathers". == Makazi ya watu na uchumi == Maeneo yanayozunguka ziwa hili yanakaliwa na makabila mbalimbali yakiwemo kabila la Bisa, Wa-Bemba, Unga, Kabende, Ngumbo, na BenaMukulu, ambapo wote wanazungumza [[Kibemba]]. Ziwa hili linategemewa kwa kiasi kikubwa kwa ajili ya sekta ya uvuvi wa msimu ambayo inainua sana idadi ya watu wakati wa msimu wa uvuvi. Samaki wakubwa aina ya kambale na sato huvuliwa kwa wingi na kusafirishwa kwenda maeneo mengine ya nchi ikiwemo ukanda wa migodi wa Copperbelt. Mji mkubwa zaidi uliopo kando ya ziwa hili ni Samfya, uliopo ukingo wa kusini-magharibi, ambao ndio kituo kikuu cha usafiri wa barabara na majini, utalii, pamoja na kuwa makao makuu ya utawala wa Wilaya ya Samfya inayochukua takribani robo tatu ya ziwa na mabwawa yake. Wilaya nyingine zinazogusa ziwa hili ni pamoja na Wilaya ya Chilubi ambayo makao makuu yake yapo kwenye Kisiwa cha Chilubi, na Wilaya ya Luwingu inayoligusa ziwa upande wa kaskazini katika mji wa Nsombo. == Uhifadhi == Kutokana na umuhimu wake kiikolojia, maeneo ya mabwawa ya Bangweulu yaliwekwa kwenye orodha ya maeneo ya mkataba wa Ramsar tangu tarehe 28 Agosti 1991 kama ardhi oevu yenye umuhimu wa kimataifa. Mfumo wa mabwawa hufanya kazi kama mdhibiti wa mafuriko ya kila mwaka kuelekea Mto Luapula kwa kuachia maji polepole kupitia maziwa madogo na mifereji mingi, na hivyo kuzuia bonde la Luapula kufurika kupita kiasi wakati wa msimu wa mvua. Hata hivyo, mfumo huu unakabiliwa na changamoto za kimazingira na shinikizo kubwa la kibinadamu. Katika miaka ya nyuma, kulikuwa na mipango ya makampuni ya kibinafsi kujenga mabomba ya gesi ya asili yaliyotakiwa kupita katikati ya ziwa hilo na kuhusisha kukausha sehemu ya ziwa, lakini mipango hiyo ilipingwa vikali na wenyeji pamoja na wanaharakati wa mazingira hadi ikafutwa. Uhifadhi wa viumbe hai adimu, kama vile mnyama aina ya "black lechwe" (antelope adimu wa majini) na ndege wa kipekee, unasalia kuwa kipaumbele kikubwa ili kulinda ikolojia hii ya kipekee barani [[Afrika]]. == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Maziwa ya Zambia]] [[Jamii:Maziwa ya Afrika]] [[Jamii:AWC 2026]] 971mqeqpksdb5jkyky1iw6d826rbz0x 1572372 1572370 2026-06-13T12:26:18Z Laylah26 89982 1572372 wikitext text/x-wiki [[File:Local people on Lake Bangweulu.jpg|thumb|Wenyeji wakiwa kando ya [[fukwe]] za Ziwa Bangweulu nchini [[Zambia]]]] '''Ziwa Bangweulu''', ni [[ziwa]] la majisafi lililopo upande wa [[kaskazini]] mwa nchini [[Zambia]]. Mfumo wa Bangweulu ni miongoni mwa mifumo mikubwa zaidi ya ardhi oevu (''wetlands'') duniani, ukijumuisha Ziwa Bangweulu lenyewe, maeneo yale ya mabwawa ya Bangweulu, na nyanda za chini zinazofurika maji.<ref name=Spectrum>Camerapix: ''Spectrum Guide to Zambia.'' Camerapix International Publishing, Nairobi, 1996.</ref> Mfumo huu upo katika [[beseni]] ya juu ya [[Mto Congo]] na unaenea katika eneo tambarare kabisa lenye mwinuko wa [[mita]] 1,140 juu ya usawa wa bahari, huku ukienea hadi [[mkoa]] wa Luapula na [[Mkoa wa Kaskazini (Zambia)|Mkoa wa Kaskazini]] nchini Zambia. Eneo hili lina umuhimu mkubwa sana kwa uchumi na [[bioanuwai]] ya kaskazini mwa Zambia, pamoja na maisha ya ndege katika ukanda mzima wa mkoa huo.<ref name="Ramsar">Halls, A.J. (ed.), 1997. "Wetlands, Biodiversity and the Ramsar Convention: The Role of the Convention on Wetlands in the Conservation and Wise Use of Biodiversity". Ramsar Convention Bureau, Gland, Switzerland</ref> Sehemu ya maji ya wazi ya Ziwa Bangweulu ina urefu wa [[kilomita]] 75 na upana wa hadi kilomita 40, huku ikiwa na eneo la kudumu la maji lenye ukubwa wa [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 3,000. Eneo hili huongezeka na kufikia hadi kilomita za mraba 15,000 wakati mabwawa na nyanda za nyasi zinazozunguka ziwa hilo zinapofurika kuelekea mwisho wa msimu wa mvua mnamo mwezi Mei. Ziwa hili ni la kina kifupi sana, likiwa na wastani wa kina cha mita 4 tu<ref name="Google">Google Earth (http://earth.google.com) accessed 31 January 2007.</ref><ref name="ILEC">[https://web.archive.org/web/20070930014508/http://www.ilec.or.jp/database/afr/dsafr021.html ILEC Data Summary: Lake Bangweulu.] Website accessed 30 January 2007</ref> na kina cha juu kabisa kinachofikia mita 10.<ref name="LakeNet">{{usurped|1=[https://web.archive.org/web/20040326163313/http://www.worldlakes.org/lakedetails.asp?lakeid=8572 Lake Profile: Bangweulu.]}} Accessed 8 September 2021.</ref> Mfumo mzima unalishwa na takribani mito kumi na saba, ambapo [[Mto Chambeshi]] (ambao ndio chanzo kikuu cha asili cha Mto Congo) ndio mto mkubwa zaidi unaoingiza maji, wakati [[Mto Luapula]] ndio mto pekee unaotoa maji nje ya ziwa hili.<ref name="Spectrum" /> == Historia == [[Faili:Lake Bangweulu.svg|thumb|[[Ramani]] ikionyesha Ziwa Bangweulu (rangi nyekundu) na mifumo ya [[Kongo (mto)|Mto Congo]]]] Kabla ya kufika kwa Wazungu, ziwa hili lilikuwa likijulikana kupitia taarifa za viongozi wa wenyeji kama vile Chifu Kazembe na wafanyabiashara wa [[Waswahili]]. Wakati mwingine liliitwa 'Ziwa Bemba' kutokana na jina la kabila kubwa la eneo hilo la Wa-Bemba. Mnamo mwaka 1868, mpelelezi na mmisionari [[David Livingstone]] alikuwa Mzungu wa kwanza kuliona ziwa hili upande wa kaskazini. Miaka michache baadaye, msafara wake wa mwisho ulikwama katika mabwawa haya kutokana na msururu wa mifereji inayobadilika, wakati akijitahidi kugundua mito inayongia na kutoka ziwani. Livingstone alifariki dunia mwaka 1873 katika kijiji cha Chifu Chitambo kilichopo ukingoni mwa nyanda za mafuriko za kusini, umbali wa kilomita 100 kutoka ziwani, mahali ambapo sasa pamejengwa Kumbukumbu ya Livingstone.<ref name="Livingstone">[[David Livingstone]] and [[Horace Waller (activist)|Horace Waller]] (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Uharaka wa kutaka kudhibiti utajiri wa uvuvi na wanyamapori wa Bangweulu ulimfanya Mfalme Leopold II wa Ubelgiji insisted, wakati wa majadiliano ya mipaka kati ya Dola Huru ya Kongo na Waingereza wa Rhodesia ya Kaskazini, kupata ukanda wa ardhi uliofika hadi Bangweulu kutoka Katanga. Hatua hii ilisababisha kuwepo kwa rasi ya ardhi ya Kongo (Congo Pedicle) inayopenya ndani ya maeneo ya Zambia. Umisheni wa kwanza wa Kikristo katika ukanda wa Bangweulu ulianzishwa mapema miaka ya 1900 chini ya uongozi wa Askofu Joseph Dupont wa shirika la Kikatoliki la "White Fathers". == Makazi ya watu na uchumi == Maeneo yanayozunguka ziwa hili yanakaliwa na makabila mbalimbali yakiwemo kabila la Bisa, Wa-Bemba, Unga, Kabende, Ngumbo, na BenaMukulu, ambapo wote wanazungumza [[Kibemba]]. Ziwa hili linategemewa kwa kiasi kikubwa kwa ajili ya sekta ya uvuvi wa msimu ambayo inainua sana idadi ya watu wakati wa msimu wa uvuvi. Samaki wakubwa aina ya kambale na sato huvuliwa kwa wingi na kusafirishwa kwenda maeneo mengine ya nchi ikiwemo ukanda wa migodi wa Copperbelt. Mji mkubwa zaidi uliopo kando ya ziwa hili ni Samfya, uliopo ukingo wa kusini-magharibi, ambao ndio kituo kikuu cha usafiri wa barabara na majini, utalii, pamoja na kuwa makao makuu ya utawala wa Wilaya ya Samfya inayochukua takribani robo tatu ya ziwa na mabwawa yake. Wilaya nyingine zinazogusa ziwa hili ni pamoja na Wilaya ya Chilubi ambayo makao makuu yake yapo kwenye Kisiwa cha Chilubi, na Wilaya ya Luwingu inayoligusa ziwa upande wa kaskazini katika mji wa Nsombo. == Uhifadhi == Kutokana na umuhimu wake kiikolojia, maeneo ya mabwawa ya Bangweulu yaliwekwa kwenye orodha ya maeneo ya mkataba wa Ramsar tangu tarehe 28 Agosti 1991 kama ardhi oevu yenye umuhimu wa kimataifa. Mfumo wa mabwawa hufanya kazi kama mdhibiti wa mafuriko ya kila mwaka kuelekea Mto Luapula kwa kuachia maji polepole kupitia maziwa madogo na mifereji mingi, na hivyo kuzuia bonde la Luapula kufurika kupita kiasi wakati wa msimu wa mvua. Hata hivyo, mfumo huu unakabiliwa na changamoto za kimazingira na shinikizo kubwa la kibinadamu. Katika miaka ya nyuma, kulikuwa na mipango ya makampuni ya kibinafsi kujenga mabomba ya gesi ya asili yaliyotakiwa kupita katikati ya ziwa hilo na kuhusisha kukausha sehemu ya ziwa, lakini mipango hiyo ilipingwa vikali na wenyeji pamoja na wanaharakati wa mazingira hadi ikafutwa. Uhifadhi wa viumbe hai adimu, kama vile mnyama aina ya "black lechwe" (antelope adimu wa majini) na ndege wa kipekee, unasalia kuwa kipaumbele kikubwa ili kulinda ikolojia hii ya kipekee barani [[Afrika]]. == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Maziwa ya Zambia]] [[Jamii:Maziwa ya Afrika]] [[Jamii:AWC 2026]] 8g6pgx4gvhb35rxcym8ojg7lboj4npi 1572374 1572372 2026-06-13T12:31:40Z Riccardo Riccioni 452 1572374 wikitext text/x-wiki [[File:Local people on Lake Bangweulu.jpg|thumb|Wenyeji wakiwa kando ya [[fukwe]] za Ziwa Bangweulu nchini [[Zambia]]]] '''Ziwa Bangweulu''' ni [[ziwa]] la [[maji baridi]] lililopo upande wa [[kaskazini]] mwa nchini [[Zambia]]. Mfumo wa Bangweulu ni miongoni mwa mifumo mikubwa zaidi ya ardhi oevu (''wetlands'') duniani, ukijumuisha Ziwa Bangweulu lenyewe, maeneo yale ya mabwawa ya Bangweulu, na nyanda za chini zinazofurika maji.<ref name=Spectrum>Camerapix: ''Spectrum Guide to Zambia.'' Camerapix International Publishing, Nairobi, 1996.</ref> Mfumo huu upo katika [[beseni]] la juu la [[Mto Kongo]] na unaenea katika eneo tambarare kabisa lenye mwinuko wa [[mita]] 1,140 juu ya usawa wa bahari, huku ukienea hadi [[mkoa]] wa Luapula na [[Mkoa wa Kaskazini (Zambia)|Mkoa wa Kaskazini]] nchini Zambia. Eneo hili lina umuhimu mkubwa sana kwa uchumi na [[bioanuwai]] ya kaskazini mwa Zambia, pamoja na maisha ya ndege katika ukanda mzima wa mkoa huo.<ref name="Ramsar">Halls, A.J. (ed.), 1997. "Wetlands, Biodiversity and the Ramsar Convention: The Role of the Convention on Wetlands in the Conservation and Wise Use of Biodiversity". Ramsar Convention Bureau, Gland, Switzerland</ref> Sehemu ya maji ya wazi ya Ziwa Bangweulu ina urefu wa [[kilomita]] 75 na upana wa hadi kilomita 40, huku ikiwa na eneo la kudumu la maji lenye ukubwa wa [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 3,000. Eneo hili huongezeka na kufikia hadi kilomita za mraba 15,000 wakati mabwawa na nyanda za nyasi zinazozunguka ziwa hilo zinapofurika kuelekea mwisho wa msimu wa mvua mnamo mwezi Mei. Ziwa hili ni la kina kifupi sana, likiwa na wastani wa kina cha mita 4 tu<ref name="Google">Google Earth (http://earth.google.com) accessed 31 January 2007.</ref><ref name="ILEC">[https://web.archive.org/web/20070930014508/http://www.ilec.or.jp/database/afr/dsafr021.html ILEC Data Summary: Lake Bangweulu.] Website accessed 30 January 2007</ref> na kina cha juu kabisa kinachofikia mita 10.<ref name="LakeNet">{{usurped|1=[https://web.archive.org/web/20040326163313/http://www.worldlakes.org/lakedetails.asp?lakeid=8572 Lake Profile: Bangweulu.]}} Accessed 8 September 2021.</ref> Mfumo mzima unalishwa na takribani mito kumi na saba, ambapo [[Mto Chambeshi]] (ambao ndio chanzo kikuu cha asili cha Mto Congo) ndio mto mkubwa zaidi unaoingiza maji, wakati [[Mto Luapula]] ndio mto pekee unaotoa maji nje ya ziwa hili.<ref name="Spectrum" /> == Historia == [[Faili:Lake Bangweulu.svg|thumb|[[Ramani]] ikionyesha Ziwa Bangweulu (rangi nyekundu) na mifumo ya [[Kongo (mto)|Mto Congo]]]] Kabla ya kufika kwa Wazungu, ziwa hili lilikuwa likijulikana kupitia taarifa za viongozi wa wenyeji kama vile Chifu Kazembe na wafanyabiashara wa [[Waswahili]]. Wakati mwingine liliitwa 'Ziwa Bemba' kutokana na jina la kabila kubwa la eneo hilo la Wa-Bemba. Mnamo mwaka 1868, mpelelezi na mmisionari [[David Livingstone]] alikuwa Mzungu wa kwanza kuliona ziwa hili upande wa kaskazini. Miaka michache baadaye, msafara wake wa mwisho ulikwama katika mabwawa haya kutokana na msururu wa mifereji inayobadilika, wakati akijitahidi kugundua mito inayongia na kutoka ziwani. Livingstone alifariki dunia mwaka 1873 katika kijiji cha Chifu Chitambo kilichopo ukingoni mwa nyanda za mafuriko za kusini, umbali wa kilomita 100 kutoka ziwani, mahali ambapo sasa pamejengwa Kumbukumbu ya Livingstone.<ref name="Livingstone">[[David Livingstone]] and [[Horace Waller (activist)|Horace Waller]] (ed.): ''The Last Journals of David Livingstone in Central Africa from 1865 to his Death''. Two volumes, John Murray, 1874.</ref> Uharaka wa kutaka kudhibiti utajiri wa uvuvi na wanyamapori wa Bangweulu ulimfanya Mfalme Leopold II wa Ubelgiji insisted, wakati wa majadiliano ya mipaka kati ya Dola Huru ya Kongo na Waingereza wa Rhodesia ya Kaskazini, kupata ukanda wa ardhi uliofika hadi Bangweulu kutoka Katanga. Hatua hii ilisababisha kuwepo kwa rasi ya ardhi ya Kongo (Congo Pedicle) inayopenya ndani ya maeneo ya Zambia. Umisheni wa kwanza wa Kikristo katika ukanda wa Bangweulu ulianzishwa mapema miaka ya 1900 chini ya uongozi wa Askofu Joseph Dupont wa shirika la Kikatoliki la "White Fathers". == Makazi ya watu na uchumi == Maeneo yanayozunguka ziwa hili yanakaliwa na makabila mbalimbali yakiwemo kabila la Bisa, Wa-Bemba, Unga, Kabende, Ngumbo, na BenaMukulu, ambapo wote wanazungumza [[Kibemba]]. Ziwa hili linategemewa kwa kiasi kikubwa kwa ajili ya sekta ya uvuvi wa msimu ambayo inainua sana idadi ya watu wakati wa msimu wa uvuvi. Samaki wakubwa aina ya kambale na sato huvuliwa kwa wingi na kusafirishwa kwenda maeneo mengine ya nchi ikiwemo ukanda wa migodi wa Copperbelt. Mji mkubwa zaidi uliopo kando ya ziwa hili ni Samfya, uliopo ukingo wa kusini-magharibi, ambao ndio kituo kikuu cha usafiri wa barabara na majini, utalii, pamoja na kuwa makao makuu ya utawala wa Wilaya ya Samfya inayochukua takribani robo tatu ya ziwa na mabwawa yake. Wilaya nyingine zinazogusa ziwa hili ni pamoja na Wilaya ya Chilubi ambayo makao makuu yake yapo kwenye Kisiwa cha Chilubi, na Wilaya ya Luwingu inayoligusa ziwa upande wa kaskazini katika mji wa Nsombo. == Uhifadhi == Kutokana na umuhimu wake kiikolojia, maeneo ya mabwawa ya Bangweulu yaliwekwa kwenye orodha ya maeneo ya mkataba wa Ramsar tangu tarehe 28 Agosti 1991 kama ardhi oevu yenye umuhimu wa kimataifa. Mfumo wa mabwawa hufanya kazi kama mdhibiti wa mafuriko ya kila mwaka kuelekea Mto Luapula kwa kuachia maji polepole kupitia maziwa madogo na mifereji mingi, na hivyo kuzuia bonde la Luapula kufurika kupita kiasi wakati wa msimu wa mvua. Hata hivyo, mfumo huu unakabiliwa na changamoto za kimazingira na shinikizo kubwa la kibinadamu. Katika miaka ya nyuma, kulikuwa na mipango ya makampuni ya kibinafsi kujenga mabomba ya gesi ya asili yaliyotakiwa kupita katikati ya ziwa hilo na kuhusisha kukausha sehemu ya ziwa, lakini mipango hiyo ilipingwa vikali na wenyeji pamoja na wanaharakati wa mazingira hadi ikafutwa. Uhifadhi wa viumbe hai adimu, kama vile mnyama aina ya "black lechwe" (antelope adimu wa majini) na ndege wa kipekee, unasalia kuwa kipaumbele kikubwa ili kulinda ikolojia hii ya kipekee barani [[Afrika]]. == Marejeo == {{Marejeo}} [[Jamii:Maziwa ya Zambia]] [[Jamii:Mto Kongo]] [[Jamii:AWC 2026]] d9dluo1lp28smwiz4xbonjn0oa6w7yl Barua ya Barnaba 0 240900 1572378 2026-06-13T12:58:40Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:Sinaiticus text.jpg|thumb|upright=1.6|Codex Sinaiticus ikiwa na Barua ya Barnaba chini ya kichwa ΒΑΡΝΑΒΑ ΕΠΙΣΤΟΛΗ, kuanzia Quire 91, folio 2r, col. 2.<ref>[http://www.codexsinaiticus.org/en/manuscript.aspx?=Submit Reproduction of Codex Sinaiticus with GO TO (Barnabas)].</ref>]] '''Barua ya Barnaba''' (kwa [[Kigiriki]]: Βαρναβᾶ Ἐπιστολή) ni [[waraka]] wa [[Ukristo|Kikristo]] ulioandikwa kwa Kigiriki kati ya [[miaka]] [...' 1572378 wikitext text/x-wiki [[File:Sinaiticus text.jpg|thumb|upright=1.6|Codex Sinaiticus ikiwa na Barua ya Barnaba chini ya kichwa ΒΑΡΝΑΒΑ ΕΠΙΣΤΟΛΗ, kuanzia Quire 91, folio 2r, col. 2.<ref>[http://www.codexsinaiticus.org/en/manuscript.aspx?=Submit Reproduction of Codex Sinaiticus with GO TO (Barnabas)].</ref>]] '''Barua ya Barnaba''' (kwa [[Kigiriki]]: Βαρναβᾶ Ἐπιστολή) ni [[waraka]] wa [[Ukristo|Kikristo]] ulioandikwa kwa Kigiriki kati ya [[miaka]] [[70]] na [[135]] [[Baada ya Kristo|BK]]<ref>{{Cite web |last=Fowler |first=Kimberley |date=2016-06-07 |title=Epistle of Barnabas 16.1-5 |url=https://www.judaism-and-rome.org/epistle-barnabas-161-5 |access-date=2024-11-14 |website=www.judaism-and-rome.org |language=en}}</ref><ref name="EB1911">{{cite EB1911|wstitle=Barnabas |volume= 03 }}</ref><ref>{{Cite web |title=Biblical literature – Hermeneutics, Interpretation, Exegesis |url=https://www.britannica.com/topic/biblical-literature/Types-of-biblical-hermeneutics#ref598322 |access-date=2024-11-14 |website=www.britannica.com |publisher=Britannica |language=en}}</ref>. Inapatikana nzima katika [[Codex Sinaiticus]], ambamo imepangwa mwishoni mwa [[Agano Jipya]], baada ya [[Kitabu cha Ufunuo]] na kabla ya [[Mchungaji (kitabu)|Mchungaji]] cha [[Herma]]. Nafasi hiyo inathibitishwa kuwa baadhi waliona ni [[kitabu]] cha [[Biblia ya Kikristo]]<ref>Lookadoo, ''The Epistle of Barnabas: A Commentary'', 11.</ref>, lakini baadhi walikataa <ref>J. B. Burger, "L'Enigme de Barnabas," pp. 180–193; and {{ill|Simon Tugwell|qid=Q93230954}}, ''The Apostolic Fathers'', p. 44; et al.</ref>. Hatimaye msimamo huo wa pili ulishinda hivi kwamba kitabu kinahesabiwa tu kati ya [[Mababu wa Kitume]]. [[Mtaalamu|Wataalamu]] karibu wote leo wanakanusha kwamba [[mwandishi]] wake ni kweli [[Mtume Barnaba]] na wengi wanadhani iliandikwa [[Aleksandria]], [[Misri]]<ref>[[Johannes Quasten]], [[iarchive:QuastenPatrologyVol14/page/n51|''Patrology'' (Christian Classics) vol. 1, p. 89]].</ref><ref>Aune (2003), p. 72.</ref>. == Tanbihi == {{reflist}} == Marejeo == * L. W. Barnard, "The 'Epistle of Barnabas' and Its Contemporary Setting" In Wolfgang Haase and Hildegard Temporini (eds.), [[Aufstieg und Niedergang der römischen Welt]], . Vol. 27.1, Berlin, Germany, Walter de Gruyter, 1993, pp. 159–207. * Jonathon Lookadoo, ''The Epistle of Barnabas: A Commentary'', Eugene, Oregon, Cascade, 2022. == Viungo vya nje == * [https://early.xpian.info/eng/barnabas.html An extensive list of English translations of the Letter of Barnabas] * [https://www.ccel.org/l/lake/fathers/barnabas_a.htm Greek text of the Epistle of Barnabas] * [http://www.earlychristianwritings.com/barnabas.html Early Christian Writings:] Epistle of Barnabas; e-texts of translations and introductions *''[https://books.google.com/books?id=cDUmSgAACAAJ The Epistle of Barnabas: Its Quotations and Their Sources],'' [[Robert A. Kraft]] * [https://www.biblicalaudio.com/barnabas.htm Biblicalaudio Letter of Barnabas], 2012 Translation & Audio Version * [https://www.catholicculture.org/commentary/so-called-letter-barnabas/ The So-Called Letter of Barnabas], free audiobook at Catholicculture.org {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] hboycp9a4ei5bvt0vg4m961jrtv2coj 1572685 1572378 2026-06-14T05:30:59Z Gayle-Bot 78697 Bot: fixed references and maintenance 1572685 wikitext text/x-wiki [[File:Sinaiticus text.jpg|thumb|upright=1.6|Codex Sinaiticus ikiwa na Barua ya Barnaba chini ya kichwa ΒΑΡΝΑΒΑ ΕΠΙΣΤΟΛΗ, kuanzia Quire 91, folio 2r, col. 2.<ref>[http://www.codexsinaiticus.org/en/manuscript.aspx?=Submit Reproduction of Codex Sinaiticus with GO TO (Barnabas)].</ref>]] '''Barua ya Barnaba''' (kwa [[Kigiriki]]: Βαρναβᾶ Ἐπιστολή) ni [[waraka]] wa [[Ukristo|Kikristo]] ulioandikwa kwa Kigiriki kati ya [[miaka]] [[70]] na [[135]] [[Baada ya Kristo|BK]]<ref>{{Cite web |last=Fowler |first=Kimberley |date=2016-06-07 |title=Epistle of Barnabas 16.1-5 |url=https://www.judaism-and-rome.org/epistle-barnabas-161-5 |access-date=2024-11-14 |website=www.judaism-and-rome.org |language=en}}</ref><ref name="EB1911">{{cite EB1911|wstitle=Barnabas |volume= 03 }}</ref><ref>{{Cite web |title=Biblical literature – Hermeneutics, Interpretation, Exegesis |url=https://www.britannica.com/topic/biblical-literature/Types-of-biblical-hermeneutics#ref598322 |access-date=2024-11-14 |website=www.britannica.com |publisher=Britannica |language=en}}</ref>. Inapatikana nzima katika [[Codex Sinaiticus]], ambamo imepangwa mwishoni mwa [[Agano Jipya]], baada ya [[Kitabu cha Ufunuo]] na kabla ya [[Mchungaji (kitabu)|Mchungaji]] cha [[Herma]]. Nafasi hiyo inathibitishwa kuwa baadhi waliona ni [[kitabu]] cha [[Biblia ya Kikristo]]<ref>Lookadoo, ''The Epistle of Barnabas: A Commentary'', 11.</ref>, lakini baadhi walikataa <ref>J. B. Burger, "L'Enigme de Barnabas," pp. 180–193; and {{ill|Simon Tugwell|qid=Q93230954}}, ''The Apostolic Fathers'', p. 44; et al.</ref>. Hatimaye msimamo huo wa pili ulishinda hivi kwamba kitabu kinahesabiwa tu kati ya [[Mababu wa Kitume]]. [[Mtaalamu|Wataalamu]] karibu wote leo wanakanusha kwamba [[mwandishi]] wake ni kweli [[Mtume Barnaba]] na wengi wanadhani iliandikwa [[Aleksandria]], [[Misri]]<ref>[[Johannes Quasten]], [[iarchive:QuastenPatrologyVol14/page/n51|''Patrology'' (Christian Classics) vol. 1, p. 89]].</ref><ref>Aune (2003), p. 72.</ref>. == Marejeo == {{reflist}} == Marejeo == * L. W. Barnard, "The 'Epistle of Barnabas' and Its Contemporary Setting" In Wolfgang Haase and Hildegard Temporini (eds.), [[Aufstieg und Niedergang der römischen Welt]], . Vol. 27.1, Berlin, Germany, Walter de Gruyter, 1993, pp. 159–207. * Jonathon Lookadoo, ''The Epistle of Barnabas: A Commentary'', Eugene, Oregon, Cascade, 2022. == Viungo vya nje == * [https://early.xpian.info/eng/barnabas.html An extensive list of English translations of the Letter of Barnabas] * [https://www.ccel.org/l/lake/fathers/barnabas_a.htm Greek text of the Epistle of Barnabas] * [http://www.earlychristianwritings.com/barnabas.html Early Christian Writings:] Epistle of Barnabas; e-texts of translations and introductions *''[https://books.google.com/books?id=cDUmSgAACAAJ The Epistle of Barnabas: Its Quotations and Their Sources],'' [[Robert A. Kraft]] * [https://www.biblicalaudio.com/barnabas.htm Biblicalaudio Letter of Barnabas], 2012 Translation & Audio Version * [https://www.catholicculture.org/commentary/so-called-letter-barnabas/ The So-Called Letter of Barnabas], free audiobook at Catholicculture.org {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] 1w836x1qnn4a4p492p9z5wysxmk28bp Kifodini cha Polikarpo 0 240901 1572381 2026-06-13T13:15:25Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:St_Polycarp-ApollinareNuovoRavenna.JPG|thumb|Mt. Polikarpo katika [[mozaiki]] za [[Ravenna]], [[Italia]].]] '''''Kifodini cha Polikarpo''''' ni [[kitabu]] cha [[karne ya 2]] kinachosimulia tukio hilo ambapo [[Polikarpo Mtakatifu|Polikarpo]], [[askofu]] wa [[İzmir|Smirna]], alichomwa [[moto]] akiwa hai mbele ya [[umati]] uliokusanyika katika [[uwanja wa michezo]] wa [[mji]] huo [[mwaka]] [[155]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Upande mmoja kina mtindo wa ...' 1572381 wikitext text/x-wiki [[File:St_Polycarp-ApollinareNuovoRavenna.JPG|thumb|Mt. Polikarpo katika [[mozaiki]] za [[Ravenna]], [[Italia]].]] '''''Kifodini cha Polikarpo''''' ni [[kitabu]] cha [[karne ya 2]] kinachosimulia tukio hilo ambapo [[Polikarpo Mtakatifu|Polikarpo]], [[askofu]] wa [[İzmir|Smirna]], alichomwa [[moto]] akiwa hai mbele ya [[umati]] uliokusanyika katika [[uwanja wa michezo]] wa [[mji]] huo [[mwaka]] [[155]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Upande mmoja kina mtindo wa [[barua]], upande mwingine wa [[kumbukumbu]] za [[mahakama]]. Ni [[ushahidi]] wa kwanza kuandikwa nje ya [[Agano Jipya]] kuhusu [[Mfiadini|kifodini]] cha [[Ukristo|Kikristo]]{{sfn|Encyclopaedia Britannica|2018|ref=EBMartPol}}. ==Tazama pia== * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Marejeo== * {{citation |url=https://www.britannica.com/topic/Martyrdom-of-Polycarp |title=Martyrdom of Polycarp |publisher=Encyclopaedia Britannica |year=2018 |access-date=23 November 2018 |ref=EBMartPol}} * Bobichon, Philippe, ''La plus ancienne littérature martyriale'' in ''Histoire de la littérature grecque chrétienne, t. II/5 : De Paul apôtre à Irénée de Lyon'', B. Pouderon and E. Norelli (dir.), Paris, Cerf, 2013, pp.&nbsp;619–647 [https://www.academia.edu/7280302/_La_plus_ancienne_litt%C3%A9rature_martyriale_ online] * {{cite book |last1=Foster |first1=Paul |first2=Sara |last2=Parvis |author2-link=Sara Parvis |title=Writings of the Apostolic Fathers |location=London |publisher=Continuum International |date=2007}} * Hartog, Paul, ''Polycarp's Epistle to the Philippians and the Martyrdom of Polycarp. Introduction, Text, and Commentary'', New York, Oxford University Press, 2013. * {{cite book |last1=Jefford |first1=Clayton |first2=Kenneth |last2=Harder |first3=Louis |last3=Amezaga |title=Reading the Apostolic Fathers: An Introduction |location=Peabody, Massachusetts |publisher=Hendrickson Publishers |date=1996 |isbn=9781565631540}} * {{cite journal |last=Moss |first=Candida R. |title=On the Dating of Polycarp: Rethinking the Place of the Martyrdom of Polycarp in the History of Christianity |journal=Early Christianity |volume=1 |number=4 |date=2010 |pages=539–574|doi=10.1628/186870310793597051 }} * {{cite journal |last=Moss |first=Candida R. |title=Nailing Down and Tying Up: Lessons in Intertextual Impossibility from the Martyrdom of Polycarp |journal=Vigiliae Christianae |volume=66 |date=2012 |pages=1–20}} * {{cite book |last=Pratscher |first=Wilhelm |title=The Apostolic Fathers: An Introduction |location=New York |publisher=T&T Clark |date=2007}} * Sailors, Timothy B. {{citation |title=Bryn Mawr Classical Review: Review of ''The Apostolic Fathers: Greek Texts and English Translations'' |work=Bryn Mawr Classical Review |url=http://bmcr.brynmawr.edu/2009/2009-07-08.html |accessdate=21 May 2023}} * {{Cite journal |title=An Early Church Slavonic Translation of the Martyrdom of St Polycarp": Three Decades Later |journal=Analecta Bollandiana |url=https://www.researchgate.net/publication/288067126 |last=Khomych |first=Taras |issue=2 |volume=130 |pages=294–302 |doi=10.1484/J.ABOL.5.101802 |year=2012}} ==Viungo vya nje== * [http://early.xpian.info/eng/martyrdomofpolycarp.html An extensive catalogue of English translations of The Martyrdom of Polycarp] * [http://www.biblicalaudio.com/polycarp.htm Letter & Martyrdom of Polycarp: 2012 Translation with Audio Drama] at biblicalaudio {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:vitabu]] [[Jamii:Fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] a46sa1vu7sw92qmd0mkr3vsg97iw5vx 1572408 1572381 2026-06-13T16:46:09Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1572408 wikitext text/x-wiki [[File:St_Polycarp-ApollinareNuovoRavenna.JPG|thumb|Mt. Polikarpo katika [[mozaiki]] za [[Ravenna]], [[Italia]].]] '''''Kifodini cha Polikarpo''''' ni [[kitabu]] cha [[karne ya 2]] kinachosimulia tukio hilo ambapo [[Polikarpo Mtakatifu|Polikarpo]], [[askofu]] wa [[İzmir|Smirna]], alichomwa [[moto]] akiwa hai mbele ya [[umati]] uliokusanyika katika [[uwanja wa michezo]] wa [[mji]] huo [[mwaka]] [[155]] [[Baada ya Kristo|BK]]. Upande mmoja kina mtindo wa [[barua]], upande mwingine wa [[kumbukumbu]] za [[mahakama]]. Ni [[ushahidi]] wa kwanza kuandikwa nje ya [[Agano Jipya]] kuhusu [[Mfiadini|kifodini]] cha [[Ukristo|Kikristo]]{{sfn|Encyclopaedia Britannica|2018|ref=EBMartPol}}. ==Tazama pia== * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Marejeo== * {{citation |url=https://www.britannica.com/topic/Martyrdom-of-Polycarp |title=Martyrdom of Polycarp |publisher=Encyclopaedia Britannica |year=2018 |access-date=23 November 2018 |ref=EBMartPol}} * Bobichon, Philippe, ''La plus ancienne littérature martyriale'' in ''Histoire de la littérature grecque chrétienne, t. II/5 : De Paul apôtre à Irénée de Lyon'', B. Pouderon and E. Norelli (dir.), Paris, Cerf, 2013, pp.&nbsp;619–647 [https://www.academia.edu/7280302/_La_plus_ancienne_litt%C3%A9rature_martyriale_ online] * {{cite book |last1=Foster |first1=Paul |first2=Sara |last2=Parvis |author2-link=Sara Parvis |title=Writings of the Apostolic Fathers |location=London |publisher=Continuum International |date=2007}} * Hartog, Paul, ''Polycarp's Epistle to the Philippians and the Martyrdom of Polycarp. Introduction, Text, and Commentary'', New York, Oxford University Press, 2013. * {{cite book |last1=Jefford |first1=Clayton |first2=Kenneth |last2=Harder |first3=Louis |last3=Amezaga |title=Reading the Apostolic Fathers: An Introduction |location=Peabody, Massachusetts |publisher=Hendrickson Publishers |date=1996 |isbn=9781565631540}} * {{cite journal |last=Moss |first=Candida R. |title=On the Dating of Polycarp: Rethinking the Place of the Martyrdom of Polycarp in the History of Christianity |journal=Early Christianity |volume=1 |number=4 |date=2010 |pages=539–574|doi=10.1628/186870310793597051 }} * {{cite journal |last=Moss |first=Candida R. |title=Nailing Down and Tying Up: Lessons in Intertextual Impossibility from the Martyrdom of Polycarp |journal=Vigiliae Christianae |volume=66 |date=2012 |pages=1–20}} * {{cite book |last=Pratscher |first=Wilhelm |title=The Apostolic Fathers: An Introduction |location=New York |publisher=T&T Clark |date=2007}} * Sailors, Timothy B. {{citation |title=Bryn Mawr Classical Review: Review of ''The Apostolic Fathers: Greek Texts and English Translations'' |work=Bryn Mawr Classical Review |url=http://bmcr.brynmawr.edu/2009/2009-07-08.html |accessdate=21 May 2023}} * {{Rejea jarida |title=An Early Church Slavonic Translation of the Martyrdom of St Polycarp": Three Decades Later |journal=Analecta Bollandiana |url=https://www.researchgate.net/publication/288067126 |last=Khomych |first=Taras |issue=2 |volume=130 |pages=294–302 |doi=10.1484/J.ABOL.5.101802 |year=2012}} ==Viungo vya nje== * [http://early.xpian.info/eng/martyrdomofpolycarp.html An extensive catalogue of English translations of The Martyrdom of Polycarp] * [http://www.biblicalaudio.com/polycarp.htm Letter & Martyrdom of Polycarp: 2012 Translation with Audio Drama] at biblicalaudio {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:vitabu]] [[Jamii:Fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] mrlhoxg24ta6s0cftn0m7e0g0592g0u Barua ya Polikarpo 0 240902 1572383 2026-06-13T13:27:32Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Barua ya Polikarpo''' ni [[maandishi]] ya [[karne ya 2]]<ref name="hartog"/><ref>[http://www.earlychristianwritings.com/polycarp.html ''Early Christian Writings'' on Polycarp. Raymond Brown (''Introduction to the New Testament,'' 1997) p. 665 estimates 120-30. ]</ref><ref name="harrison">{{cite book |last=Harrison |first=Pearcy N. |year=1936 |title=Polycarp's Two Epistles to the Philippians |url=https://books.google.com/books?id=iRk9AAAAIAAJ |publisher=...' 1572383 wikitext text/x-wiki '''Barua ya Polikarpo''' ni [[maandishi]] ya [[karne ya 2]]<ref name="hartog"/><ref>[http://www.earlychristianwritings.com/polycarp.html ''Early Christian Writings'' on Polycarp. Raymond Brown (''Introduction to the New Testament,'' 1997) p. 665 estimates 120-30. ]</ref><ref name="harrison">{{cite book |last=Harrison |first=Pearcy N. |year=1936 |title=Polycarp's Two Epistles to the Philippians |url=https://books.google.com/books?id=iRk9AAAAIAAJ |publisher=Cambridge University Press |pages=15ff }}</ref> ya huyo [[askofu]] wa [[İzmir|Smirna]] (leo nchini [[Uturuki]])<ref name="hartog">{{cite book |last=Hartog |first=Paul |year=2013 |title=Polycarp's Epistle to the Philippians and the Martyrdom of Polycarp |url=https://books.google.com/books?id=eZkRAAAAQBAJ |location=United Kingdom |publisher=Oxford University Press |pages=26–34 |isbn=978-0-19-922839-3 }}</ref> kwa [[Ukristo|Wakristo]] wa [[Filipi]] ([[Ugiriki]])<ref>[http://www.newadvent.org/cathen/12219b.htm Catholic Encyclopedia: St Polycarp]</ref>. [[Barua]] nyingine zote za [[Polikarpo Mtakatifu|Polikarpo]] zimepotea<ref name= "Lake">[[Kirsopp Lake|Lake, K.]], [http://www.earlychristianwritings.com/polycarp-intro.html ''The Apostolic Fathers''] Volume 1. (London: Heinemann, 1912), pp. 280-281.</ref>. ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * Paul Hartog, ''Polycarp's Epistle to the Philippians and the Martyrdom of Polycarp. Introduction, Text, and Commentary'', New York, Oxford University Press, 2013. * C. C. Richardson (ed.) ''Early Christian Fathers''. Philadelphia. Westminster. 1953. reprinted Macmillan 1970. ==Viungo vya nje== {{wikisource|Epistle of Polycarp to the Philippians}} * [http://early.xpian.info/eng/polycarptothephilippians.html An extensive list of English translations of ''Polycarp to the Philippians''] * [http://www.ccel.org/l/lake/fathers/polycarp-philippians.htm Greek text of the ''Epistle of Polycarp to the Philippians''] * [http://www.earlychristianwritings.com/polycarp.html ''Early Christian Writings'' on Polycarp] * Rick Brannan's translation of Kirsopp Lake's Greek text of Polycarp's epistle to the Philippians. [https://www.agape-biblia.org/literatura/PolycarpToPhilippians.pdf] * [http://www.biblicalaudio.com/polycarp.htm Letter to the Philippians: 2012 Translation & Audio Version] {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:mababu wa Kanisa]] qf8gxfqurz9bm55887rhh58drjy2pcu 1572384 1572383 2026-06-13T13:29:35Z Riccardo Riccioni 452 1572384 wikitext text/x-wiki [[File:St_Polycarp-ApollinareNuovoRavenna.JPG|thumb|Mt. Polikarpo katika [[mozaiki]] za [[Ravenna]], [[Italia]].]] '''Barua ya Polikarpo''' ni [[maandishi]] ya [[karne ya 2]]<ref name="hartog"/><ref>[http://www.earlychristianwritings.com/polycarp.html ''Early Christian Writings'' on Polycarp. Raymond Brown (''Introduction to the New Testament,'' 1997) p. 665 estimates 120-30. ]</ref><ref name="harrison">{{cite book |last=Harrison |first=Pearcy N. |year=1936 |title=Polycarp's Two Epistles to the Philippians |url=https://books.google.com/books?id=iRk9AAAAIAAJ |publisher=Cambridge University Press |pages=15ff }}</ref> ya huyo [[askofu]] wa [[İzmir|Smirna]] (leo nchini [[Uturuki]])<ref name="hartog">{{cite book |last=Hartog |first=Paul |year=2013 |title=Polycarp's Epistle to the Philippians and the Martyrdom of Polycarp |url=https://books.google.com/books?id=eZkRAAAAQBAJ |location=United Kingdom |publisher=Oxford University Press |pages=26–34 |isbn=978-0-19-922839-3 }}</ref> kwa [[Ukristo|Wakristo]] wa [[Filipi]] ([[Ugiriki]])<ref>[http://www.newadvent.org/cathen/12219b.htm Catholic Encyclopedia: St Polycarp]</ref>. [[Barua]] nyingine zote za [[Polikarpo Mtakatifu|Polikarpo]] zimepotea<ref name= "Lake">[[Kirsopp Lake|Lake, K.]], [http://www.earlychristianwritings.com/polycarp-intro.html ''The Apostolic Fathers''] Volume 1. (London: Heinemann, 1912), pp. 280-281.</ref>. ==Tazama pia== * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * Paul Hartog, ''Polycarp's Epistle to the Philippians and the Martyrdom of Polycarp. Introduction, Text, and Commentary'', New York, Oxford University Press, 2013. * C. C. Richardson (ed.) ''Early Christian Fathers''. Philadelphia. Westminster. 1953. reprinted Macmillan 1970. ==Viungo vya nje== {{wikisource|Epistle of Polycarp to the Philippians}} * [http://early.xpian.info/eng/polycarptothephilippians.html An extensive list of English translations of ''Polycarp to the Philippians''] * [http://www.ccel.org/l/lake/fathers/polycarp-philippians.htm Greek text of the ''Epistle of Polycarp to the Philippians''] * [http://www.earlychristianwritings.com/polycarp.html ''Early Christian Writings'' on Polycarp] * Rick Brannan's translation of Kirsopp Lake's Greek text of Polycarp's epistle to the Philippians. [https://www.agape-biblia.org/literatura/PolycarpToPhilippians.pdf] * [http://www.biblicalaudio.com/polycarp.htm Letter to the Philippians: 2012 Translation & Audio Version] {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:mababu wa Kanisa]] jsa9icnbi0o5ebqvnk777oc7qo6phi7 Barua kwa Diogneto 0 240903 1572385 2026-06-13T13:36:30Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Barua kwa Diogneto''' (kwa [[Kigiriki]]: Πρὸς Διόγνητον Ἐπιστολή) ni [[maandishi]] ya [[Ukristo|Kikristo]] ya [[karne ya 2]]<ref>{{Citation | first = Cyril C. | last = Richardson | title = Early Christian Fathers | year = 1953 | pages = 206–10}}.</ref><ref>{{Citation | first = Richard A Jr | last = Norris | contribution = The Apologists | editor1-first = Frances | editor1-last = Young | editor2-first = Lewis | editor2-last = Ayr...' 1572385 wikitext text/x-wiki '''Barua kwa Diogneto''' (kwa [[Kigiriki]]: Πρὸς Διόγνητον Ἐπιστολή) ni [[maandishi]] ya [[Ukristo|Kikristo]] ya [[karne ya 2]]<ref>{{Citation | first = Cyril C. | last = Richardson | title = Early Christian Fathers | year = 1953 | pages = 206–10}}.</ref><ref>{{Citation | first = Richard A Jr | last = Norris | contribution = The Apologists | editor1-first = Frances | editor1-last = Young | editor2-first = Lewis | editor2-last = Ayres | editor3-first = Andrew | editor3-last = Louth | title = The Cambridge History of Early Christian Literature | year = 2004 | page = 43 | url = https://archive.org/details/the-cambridge-history-of-early-christian-literature-2008/page/n71/mode/2up}}.</ref> yenye lengo la kueleza na [[Utetezi wa Ukristo|kutetea]] [[imani]] hiyo mpya. == Tanbihi == <references /> == Marejeo == * Crowe, Brandon D. 2011 "O Sweet Exchange! The Soteriological Significance of the Incarnation in the Epistle to Diognetus". ''Zeitschrift für die neutestamentliche Wissenschaft und die Kunde der älteren Kirche'' 102, no. 1: 96–109. * Foster, Paul 2007. "The Epistle to Diognetus". ''Expository Times'' 118, no. 4: 162–68. * Jefford, Clayton N. 2013 ''The Epistle to Diognetus (with Fragments of Quadratus): Introduction, Text and Commentary''. ''Oxford Apostolic Fathers'' series. Oxford: Oxford University Press. {{ISBN|978-0-19921274-3}} * Lienhard, Joseph T. 1970 "Christology of the Epistle to Diognetus". ''Vigiliae Christianae'' 24, no. 4: 280–89. * Lona, Horacio E. 2001 ''"An Diognet", Übersetzt und erklärt'', ed. by N. Brox, K. Niederwimmer, H. E. Lona, F. R. Prostmeier, and J. Ulrich. ''Kommentar zu frühchristlichen Apologeten'' series, KfA, Vol. 8. Verlag Herder: Freiburg u.a. {{ISBN |3-451-27679-8}} * Nielsen, Charles Merritt 1970. "Epistle to Diognetus: Its Date and Relationship to Marcion". ''Anglican Theological Review'' 52, no. 2: 77–91. == Viungo vya nje == {{wikiquote}} {{Wikisource|Epistle to Diognetus}} *[http://www.ccel.org/l/lake/fathers/diognetus.htm Greek text of ''Epistle to Diognetus''] *[http://www.earlychristianwritings.com/diognetus.html Early Christian Writings:] ''Epistle of Mathetes to Diognetus'' e-text and commentaries *[http://st-takla.org/books/pauline-todary/diognetus/index.html Arabic text of ''Epistle to Diognetus''] - [http://st-takla.org/books/fr-athnasius-fahmy/diognetus/index.html Another Arabic translation] *[https://www.catholicculture.org/commentary/letter-to-diognetus/ Letter to Diognetus] Free audiobook at Catholicculture.org {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] n9vk00ajolek7b8ceqrieflmgi5sw1g 1572387 1572385 2026-06-13T13:41:41Z Riccardo Riccioni 452 1572387 wikitext text/x-wiki [[Picha:Cole_Thomas_Interior_of_the_Colosseum_Rome_1832.jpg|thumb|Undani wa [[Koloseo]], [[uwanja wa michezo]] wa [[Roma ya Kale]], ambamo [[Ukristo|Wakristo]] wengi [[mfiadini|waliuawa]] katika [[dhuluma]] ya [[Dola la Roma]] [[Mateso ya Wakristo|dhidi yao]]. [[Mchoro]] wa [[mwaka]] [[1832]].]] '''Barua kwa Diogneto''' (kwa [[Kigiriki]]: Πρὸς Διόγνητον Ἐπιστολή) ni [[maandishi]] ya [[Ukristo|Kikristo]] ya [[karne ya 2]]<ref>{{Citation | first = Cyril C. | last = Richardson | title = Early Christian Fathers | year = 1953 | pages = 206–10}}.</ref><ref>{{Citation | first = Richard A Jr | last = Norris | contribution = The Apologists | editor1-first = Frances | editor1-last = Young | editor2-first = Lewis | editor2-last = Ayres | editor3-first = Andrew | editor3-last = Louth | title = The Cambridge History of Early Christian Literature | year = 2004 | page = 43 | url = https://archive.org/details/the-cambridge-history-of-early-christian-literature-2008/page/n71/mode/2up}}.</ref> yenye lengo la kueleza na [[Utetezi wa Ukristo|kutetea]] [[imani]] hiyo mpya. ==Tazama pia== * [[Utetezi wa Ukristo]] * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] == Tanbihi == <references /> == Marejeo == * Crowe, Brandon D. 2011 "O Sweet Exchange! The Soteriological Significance of the Incarnation in the Epistle to Diognetus". ''Zeitschrift für die neutestamentliche Wissenschaft und die Kunde der älteren Kirche'' 102, no. 1: 96–109. * Foster, Paul 2007. "The Epistle to Diognetus". ''Expository Times'' 118, no. 4: 162–68. * Jefford, Clayton N. 2013 ''The Epistle to Diognetus (with Fragments of Quadratus): Introduction, Text and Commentary''. ''Oxford Apostolic Fathers'' series. Oxford: Oxford University Press. {{ISBN|978-0-19921274-3}} * Lienhard, Joseph T. 1970 "Christology of the Epistle to Diognetus". ''Vigiliae Christianae'' 24, no. 4: 280–89. * Lona, Horacio E. 2001 ''"An Diognet", Übersetzt und erklärt'', ed. by N. Brox, K. Niederwimmer, H. E. Lona, F. R. Prostmeier, and J. Ulrich. ''Kommentar zu frühchristlichen Apologeten'' series, KfA, Vol. 8. Verlag Herder: Freiburg u.a. {{ISBN |3-451-27679-8}} * Nielsen, Charles Merritt 1970. "Epistle to Diognetus: Its Date and Relationship to Marcion". ''Anglican Theological Review'' 52, no. 2: 77–91. == Viungo vya nje == {{wikiquote}} {{Wikisource|Epistle to Diognetus}} *[http://www.ccel.org/l/lake/fathers/diognetus.htm Greek text of ''Epistle to Diognetus''] *[http://www.earlychristianwritings.com/diognetus.html Early Christian Writings:] ''Epistle of Mathetes to Diognetus'' e-text and commentaries *[http://st-takla.org/books/pauline-todary/diognetus/index.html Arabic text of ''Epistle to Diognetus''] - [http://st-takla.org/books/fr-athnasius-fahmy/diognetus/index.html Another Arabic translation] *[https://www.catholicculture.org/commentary/letter-to-diognetus/ Letter to Diognetus] Free audiobook at Catholicculture.org {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] r03y803obth1jpolqn44qqsle4zghft 1572395 1572387 2026-06-13T14:11:58Z Riccardo Riccioni 452 1572395 wikitext text/x-wiki [[Picha:Cole_Thomas_Interior_of_the_Colosseum_Rome_1832.jpg|thumb|Undani wa [[Koloseo]], [[uwanja wa michezo]] wa [[Roma ya Kale]], ambamo [[Ukristo|Wakristo]] wengi [[mfiadini|waliuawa]] katika [[dhuluma]] ya [[Dola la Roma]] [[Mateso ya Wakristo|dhidi yao]]. [[Mchoro]] wa [[mwaka]] [[1832]].]] '''Barua kwa Diogneto''' (kwa [[Kigiriki]]: Πρὸς Διόγνητον Ἐπιστολή) ni [[maandishi]] ya [[Ukristo|Kikristo]] ya [[karne ya 2]]<ref>{{Citation | first = Cyril C. | last = Richardson | title = Early Christian Fathers | year = 1953 | pages = 206–10}}.</ref><ref>{{Citation | first = Richard A Jr | last = Norris | contribution = The Apologists | editor1-first = Frances | editor1-last = Young | editor2-first = Lewis | editor2-last = Ayres | editor3-first = Andrew | editor3-last = Louth | title = The Cambridge History of Early Christian Literature | year = 2004 | page = 43 | url = https://archive.org/details/the-cambridge-history-of-early-christian-literature-2008/page/n71/mode/2up}}.</ref> yenye lengo la kueleza na [[Utetezi wa Ukristo|kutetea]] [[imani]] hiyo mpya, kwanza kwa [[Dini za jadi|Mpagani]] Diogneto aliyemuuliza [[mwandishi]] maswali yafuatayo: #[[Mungu]] wa [[Wakristo]] ni yupi? #Ikoje [[dini]] yao inayowawezesha kupuuzia kabisa [[dunia]] na [[Mauti|kifo]]? #Inatofautiana vipi na dini ya [[Ugiriki ya Kale|Wagiriki]] na ile ya [[Wayahudi]]? #Ikiwa ndiyo dini ya kweli, imekuwaje ilichelewa hivi kupatikana [[ulimwengu|ulimwenguni]]? Wengi wanasifu [[ufasaha]] na [[usanii]] wa [[hoja]] za majibu. ==Tazama pia== * [[Utetezi wa Ukristo]] * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] == Tanbihi == <references /> == Marejeo == * Crowe, Brandon D. 2011 "O Sweet Exchange! The Soteriological Significance of the Incarnation in the Epistle to Diognetus". ''Zeitschrift für die neutestamentliche Wissenschaft und die Kunde der älteren Kirche'' 102, no. 1: 96–109. * Foster, Paul 2007. "The Epistle to Diognetus". ''Expository Times'' 118, no. 4: 162–68. * Jefford, Clayton N. 2013 ''The Epistle to Diognetus (with Fragments of Quadratus): Introduction, Text and Commentary''. ''Oxford Apostolic Fathers'' series. Oxford: Oxford University Press. {{ISBN|978-0-19921274-3}} * Lienhard, Joseph T. 1970 "Christology of the Epistle to Diognetus". ''Vigiliae Christianae'' 24, no. 4: 280–89. * Lona, Horacio E. 2001 ''"An Diognet", Übersetzt und erklärt'', ed. by N. Brox, K. Niederwimmer, H. E. Lona, F. R. Prostmeier, and J. Ulrich. ''Kommentar zu frühchristlichen Apologeten'' series, KfA, Vol. 8. Verlag Herder: Freiburg u.a. {{ISBN |3-451-27679-8}} * Nielsen, Charles Merritt 1970. "Epistle to Diognetus: Its Date and Relationship to Marcion". ''Anglican Theological Review'' 52, no. 2: 77–91. == Viungo vya nje == {{wikiquote}} {{Wikisource|Epistle to Diognetus}} *[http://www.ccel.org/l/lake/fathers/diognetus.htm Greek text of ''Epistle to Diognetus''] *[http://www.earlychristianwritings.com/diognetus.html Early Christian Writings:] ''Epistle of Mathetes to Diognetus'' e-text and commentaries *[http://st-takla.org/books/pauline-todary/diognetus/index.html Arabic text of ''Epistle to Diognetus''] - [http://st-takla.org/books/fr-athnasius-fahmy/diognetus/index.html Another Arabic translation] *[https://www.catholicculture.org/commentary/letter-to-diognetus/ Letter to Diognetus] Free audiobook at Catholicculture.org {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:fasihi ya Kigiriki]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] hq88t5dliw6m733mf4w0ek6da3ke98h Kambi ya Wakimbizi Katumba 0 240904 1572386 2026-06-13T13:36:39Z SciFusion 76137 Created by translating the page "[[:en:Special:Redirect/revision/1325231960|Katumba Refugee Camp]]" 1572386 wikitext text/x-wiki '''Kambi ya Wakimbizi Katumba''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo Tanzania Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi. Ilianzishwa mwaka 1972 kwa lengo la kupokea raia wa Burundi waliokuwa wakikimbia mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Burundi dhidi ya raia wa kabila la Hutu wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Burundi. Katumba ni moja kati ya makazi ya wakimbizi ya zamani zaidi na makubwa zaidi barani Afrika.[2][3][4][5] == Historia == == Miundombinu == Kambi hii ina miundombinu ya kukidhi mahitaji ya wakimbizi. Tangu mwaka 1974, jumla ya wakimbizi 84,000 wamepewa makazi katika vijiji ishirini na tisa katika makazi ya Katumba karibu na Mpanda. Makazi hayo yana shule za msingi 24, shule moja ya sekondari na shule moja ya ufundi, zote zikitumiwa na wakimbizi pamoja na raia wa Tanzania. Kuna vituo viwili vya afya, zahanati sita, visima viwili hadi sita kwa kila kijiji na chama kimoja cha ushirika, pia kuna kituo cha kutibu kipindupindu ambacho kilianzishwa kukabiliana na mlipuko wa magonjwa kwenye kambi ya wakimbizi. == Marejeleo == <templatestyles src="Reflist/styles.css" /> * ↑ Eveline, Wolfcarius; Edwin, Seleli (16 Septemba 2009). "Repatriation of 1972 Burundian Refugees hits 50,000 Mark". * ↑ Kuch, Amelia (29 Agosti 2019). "Tanzania wants Burundian refugees sent home. But they face big challenges". ''The Conversation''. Ilitujwa mnamo 10 Desemba 2023. * 1 2 3 "Africa's biggest refugee camps | Africa Facts". 24 Novemba 2017. Ilitunzwa kutoka ya asili mnamo 10 Desemba 2023. Ilitujwa mnamo 10 Desemba 2023. * 1 2 UNHCR, UNHCR (22 Aprili 1999). "FROM OFFERS OF CITIZENSHIP TO INCREASED HOSTILITY". ''www.hrw.org''. Ilitujwa mnamo 10 Desemba 2023. * ↑ "4 of the Most Resourceful Refugee Camps in Africa". ''Sonoma County Gazette''. 13 Juni 2017. Ilitujwa mnamo 10 Desemba 2023. * ↑ Anele, Uzonna (18 Aprili 2017). "Top 7 Largest Refugee Camps In Africa 2023". ''TalkAfricana''. Ilitujwa mnamo 10 Desemba 2023. * 1 2 "Tanzania: Katumba Refugee Camp". ''prezi.com''. Ilitujwa mnamo 10 Desemba 2023. qne7jcp1zyfx1s2rw7cjtraukchrdsp 1572389 1572386 2026-06-13T13:46:12Z Riccardo Riccioni 452 1572389 wikitext text/x-wiki '''Kambi ya Wakimbizi Katumba''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo [[wilaya ya Nsimbo]], [[mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]]. Ilianzishwa mwaka 1972 kwa lengo la kupokea raia wa Burundi waliokuwa wakikimbia mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Burundi dhidi ya raia wa kabila la Wahutu wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Burundi. Katumba ni moja kati ya makazi ya wakimbizi ya zamani zaidi na makubwa zaidi barani Afrika. == Historia == == Miundombinu == Kambi hii ina miundombinu ya kukidhi mahitaji ya wakimbizi. Tangu mwaka 1974, jumla ya wakimbizi 84,000 wamepewa makazi katika vijiji ishirini na tisa katika makazi ya Katumba karibu na Mpanda. Makazi hayo yana shule za msingi 24, shule moja ya sekondari na shule moja ya ufundi, zote zikitumiwa na wakimbizi pamoja na raia wa Tanzania. Kuna vituo viwili vya afya, zahanati sita, visima viwili hadi sita kwa kila kijiji na chama kimoja cha ushirika, pia kuna kituo cha kutibu kipindupindu ambacho kilianzishwa kukabiliana na mlipuko wa magonjwa kwenye kambi ya wakimbizi. == Marejeo == [[Jamii:wilaya ya Nsimbo]] ic9gvnjvi2l3q045hnyrlw8xkdgizzq 1572390 1572389 2026-06-13T13:48:38Z Riccardo Riccioni 452 1572390 wikitext text/x-wiki '''Kambi ya Wakimbizi Katumba''' ni kambi ya wakimbizi iliyopo [[kata]] ya [[Katumba (Nsimbo)|Katumba]], [[wilaya ya Nsimbo]], [[mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]]. Ilianzishwa mwaka 1972 kwa lengo la kupokea raia wa Burundi waliokuwa wakikimbia mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Burundi dhidi ya raia wa kabila la Wahutu wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Burundi. Katumba ni moja kati ya makazi ya wakimbizi ya zamani zaidi na makubwa zaidi barani Afrika. == Miundombinu == Kambi hii ina miundombinu ya kukidhi mahitaji ya wakimbizi. Tangu mwaka 1974, jumla ya wakimbizi 84,000 wamepewa makazi katika vijiji ishirini na tisa katika makazi ya Katumba karibu na Mpanda. Makazi hayo yana shule za msingi 24, shule moja ya sekondari na shule moja ya ufundi, zote zikitumiwa na wakimbizi pamoja na raia wa Tanzania. Kuna vituo viwili vya afya, zahanati sita, visima viwili hadi sita kwa kila kijiji na chama kimoja cha ushirika, pia kuna kituo cha kutibu kipindupindu ambacho kilianzishwa kukabiliana na mlipuko wa magonjwa kwenye kambi ya wakimbizi. == Marejeo == {{mbegu-jio-katavi}} [[Jamii:wilaya ya Nsimbo]] 6dy4qfpl2c523gpjyhk3n6r57b0uali Wikipedia:Wiki for Refugees 4 240905 1572417 2026-06-13T18:40:44Z Muddyb 379 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wiki for Refugees ni kampeni ya uhariri wa Wikipedia inayolenga kuboresha, kupanua na kuunda makala kuhusu wakimbizi, uhamiaji wa kulazimishwa, kambi za wakimbizi na masuala ya haki za binadamu. Kampeni hii huwaleta pamoja wachangiaji kutoka sehemu mbalimbali duniani ili kuongeza maarifa ya wazi na ya kuaminika kuhusu hali ya wakimbizi duniani.''' Kampeni ya ''Wiki for Refugees 2026'' itafanyika kuanzia tarehe '''3 Juni hadi tarehe 3 Julai 2026''', iki...' 1572417 wikitext text/x-wiki '''Wiki for Refugees ni kampeni ya uhariri wa Wikipedia inayolenga kuboresha, kupanua na kuunda makala kuhusu wakimbizi, uhamiaji wa kulazimishwa, kambi za wakimbizi na masuala ya haki za binadamu. Kampeni hii huwaleta pamoja wachangiaji kutoka sehemu mbalimbali duniani ili kuongeza maarifa ya wazi na ya kuaminika kuhusu hali ya wakimbizi duniani.''' Kampeni ya ''Wiki for Refugees 2026'' itafanyika kuanzia tarehe '''3 Juni hadi tarehe 3 Julai 2026''', ikiwa ni sehemu ya juhudi za kimataifa za kuongeza uwakilishi wa mada za wakimbizi katika Wikipedia, hususan katika lugha mbalimbali ikiwemo Wikipedia ya Kiswahili. Katika Wikipedia ya Kiswahili (SWWP), maudhui yatakayoundwa na kuboreshwa katika kampeni hii yanajumuisha: * Wasifu wa wakimbizi na watu waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na migogoro, vita au mateso * Makala kuhusu kambi za wakimbizi na makazi ya muda kwa wakimbizi * Mashirika ya kibinadamu yanayohudumia wakimbizi kama UNHCR na mashirika yasiyo ya kiserikali * Historia na chanzo cha migogoro inayosababisha uhamiaji wa wakimbizi * Sera za uhamiaji na hifadhi katika nchi mbalimbali * Changamoto za kijamii, kiuchumi na kiafya zinazowakabili wakimbizi Lengo kuu la kampeni hii ni kupunguza pengo la maarifa kuhusu wakimbizi katika lugha ya Kiswahili na kuhakikisha taarifa sahihi, za kisasa na za kuaminika zinapatikana kwa jamii ya wasomaji wa Wikipedia. {| class="wikitable sortable" |+ Orodha ya Wakimbizi Mashuhuri 300 Ulimwenguni |- ! # !! Jina (Kiswahili) !! Kiungo cha enwiki !! Fani / Sababu ya Umaarufu !! Nchi Aliyotoka |- | 1 || [[Albert Einstein]] || [[:en:Albert Einstein|Albert Einstein]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Ujerumani |- | 2 || [[Sergey Brin]] || [[:en:Sergey Brin|Sergey Brin]] || Teknolojia (Mwanzilishi wa Google) || Umoja wa Kisovieti |- | 3 || [[Sigmund Freud]] || [[:en:Sigmund Freud|Sigmund Freud]] || Sayansi (Mwanasaikolojia) || Austria |- | 4 || [[Enrico Fermi]] || [[:en:Enrico Fermi|Enrico Fermi]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Italia |- | 5 || [[Andrew Grove]] || [[:en:Andrew Grove|Andrew Grove]] || Teknolojia (Mkurugenzi wa Intel) || Hungary |- | 6 || [[Stephanie Shirley]] || [[:en:Stephanie Shirley|Stephanie Shirley]] || Teknolojia na Hisani || Ujerumani |- | 7 || [[Carl Djerassi]] || [[:en:Carl Djerassi|Carl Djerassi]] || Sayansi (Mwanakemia) || Austria |- | 8 || [[Hans Adolf Krebs]] || [[:en:Hans Adolf Krebs|Hans Adolf Krebs]] || Sayansi (Mwanabiolojia) || Ujerumani |- | 9 || [[Max Born]] || [[:en:Max Born|Max Born]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Ujerumani |- | 10 || [[Victor Weisskopf]] || [[:en:Victor Weisskopf|Victor Weisskopf]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Austria |- | 11 || [[Lise Meitner]] || [[:en:Lise Meitner|Lise Meitner]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Ujerumani |- | 12 || [[Ernst Chain]] || [[:en:Ernst Chain|Ernst Chain]] || Sayansi (Mwanabiolojia) || Ujerumani |- | 13 || [[Leo Szilard]] || [[:en:Leo Szilard|Leo Szilard]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Hungary |- | 14 || [[Edward Teller]] || [[:en:Edward Teller|Edward Teller]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Hungary |- | 15 || [[John von Neumann]] || [[:en:John von Neumann|John von Neumann]] || Sayansi (Mwanahisabati) || Hungary |- | 16 || [[Eugene Wigner]] || [[:en:Eugene Wigner|Eugene Wigner]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Hungary |- | 17 || [[Salvador Luria]] || [[:en:Salvador Luria|Salvador Luria]] || Sayansi (Mwanabiolojia) || Italia |- | 18 || [[Otto Fritz Meyerhof]] || [[:en:Otto Fritz Meyerhof|Otto Fritz Meyerhof]] || Sayansi (Mtabibu) || Ujerumani |- | 19 || [[Gerty Cori]] || [[:en:Gerty Cori|Gerty Cori]] || Sayansi (Mtabibu) || Prague (Jamhuri ya Cheki) |- | 20 || [[Felix Bloch]] || [[:en:Felix Bloch|Felix Bloch]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Switzerland |- | 21 || [[Freddie Mercury]] || [[:en:Freddie Mercury|Freddie Mercury]] || Muziki (Mwimbaji wa Queen) || Zanzibar (Tanzania) |- | 22 || [[Rita Ora]] || [[:en:Rita Ora|Rita Ora]] || Muziki (Mwimbaji) || Kosovo |- | 23 || [[Wyclef Jean]] || [[:en:Wyclef Jean|Wyclef Jean]] || Muziki (Mwanamuziki) || Haiti |- | 24 || [[Marlene Dietrich]] || [[:en:Marlene Dietrich|Marlene Dietrich]] || Burudani (Muigizaji) || Ujerumani |- | 25 || [[Mila Kunis]] || [[:en:Mila Kunis|Mila Kunis]] || Burudani (Muigizaji) || Ukraine |- | 26 || [[K'naan]] || [[:en:K'naan|K'naan]] || Muziki (Rapa) || Somalia |- | 27 || [[Regina Spektor]] || [[:en:Regina Spektor|Regina Spektor]] || Muziki (Mwimbaji) || Umoja wa Kisovieti |- | 28 || [[Gloria Estefan]] || [[:en:Gloria Estefan|Gloria Estefan]] || Muziki (Mwimbaji) || Cuba |- | 29 || [[Andy García]] || [[:en:Andy García|Andy García]] || Burudani (Muigizaji) || Cuba |- | 30 || [[Gene Simmons]] || [[:en:Gene Simmons|Gene Simmons]] || Muziki (Mwanamuziki wa KISS) || Israel |- | 31 || [[Béla Bartók]] || [[:en:Béla Bartók|Béla Bartók]] || Muziki (Mtunzi) || Hungary |- | 32 || [[M.I.A. (rapper)]] || [[:en:M.I.A. (rapper)|M.I.A. (rapper)]] || Muziki (Mwimbaji) || Sri Lanka |- | 33 || [[Arnold Schoenberg]] || [[:en:Arnold Schoenberg|Arnold Schoenberg]] || Muziki (Mtunzi) || Austria |- | 34 || [[Billy Wilder]] || [[:en:Billy Wilder|Billy Wilder]] || Burudani (Mwongozaji Filamu) || Austria-Hungary |- | 35 || [[Milton Nascimento]] || [[:en:Milton Nascimento|Milton Nascimento]] || Muziki (Mwanamuziki) || Brazil |- | 36 || [[Miriam Makeba]] || [[:en:Miriam Makeba|Miriam Makeba]] || Muziki na Harakati || Afrika Kusini |- | 37 || [[Hugh Masekela]] || [[:en:Hugh Masekela|Hugh Masekela]] || Muziki (Jazz) || Afrika Kusini |- | 38 || [[Aleksandr Solzhenitsyn]] || [[:en:Aleksandr Solzhenitsyn|Aleksandr Solzhenitsyn]] || Fasihi (Mwandishi) || Umoja wa Kisovieti |- | 39 || [[Miloš Forman]] || [[:en:Miloš Forman|Miloš Forman]] || Burudani (Mwongozaji Filamu) || Czechoslovakia |- | 40 || [[Chipo Chung]] || [[:en:Chipo Chung|Chipo Chung]] || Burudani (Muigizaji) || Tanzania (Uraia wa Zimbabwe) |- | 41 || [[Iman (model)]] || [[:en:Iman (model)|Iman (model)]] || Mitindo (Mwanamitindo) || Somalia |- | 42 || [[Alexei Sayle]] || [[:en:Alexei Sayle|Alexei Sayle]] || Burudani (Mchekeshaji) || Uingereza |- | 43 || [[Victor Hugo]] || [[:en:Victor Hugo|Victor Hugo]] || Fasihi (Mwandishi) || Ufaransa |- | 44 || [[Marc Chagall]] || [[:en:Marc Chagall|Marc Chagall]] || Sanaa (Mchoraji) || Belarus |- | 45 || [[Judith Kerr]] || [[:en:Judith Kerr|Judith Kerr]] || Fasihi (Mwandishi wa Watoto) || Ujerumani |- | 46 || [[Vladimir Nabokov]] || [[:en:Vladimir Nabokov|Vladimir Nabokov]] || Fasihi (Mwandishi) || Urusi |- | 47 || [[Bertolt Brecht]] || [[:en:Bertolt Brecht|Bertolt Brecht]] || Fasihi (Mwandishi wa Michezo) || Ujerumani |- | 48 || [[Thomas Mann]] || [[:en:Thomas Mann|Thomas Mann]] || Fasihi (Mwandishi) || Ujerumani |- | 49 || [[Isabel Allende]] || [[:en:Isabel Allende|Isabel Allende]] || Fasihi (Mwandishi) || Chile |- | 50 || [[Milan Kundera]] || [[:en:Milan Kundera|Milan Kundera]] || Fasihi (Mwandishi) || Czechoslovakia |- | 51 || [[Loung Ung]] || [[:en:Loung Ung|Loung Ung]] || Fasihi na Harakati || Cambodia |- | 52 || [[Reinaldo Arenas]] || [[:en:Reinaldo Arenas|Reinaldo Arenas]] || Fasihi (Mwandishi na Mshairi) || Cuba |- | 53 || [[Lucian Freud]] || [[:en:Lucian Freud|Lucian Freud]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 54 || [[Piet Mondrian]] || [[:en:Piet Mondrian|Piet Mondrian]] || Sanaa (Mchoraji) || Uholanzi |- | 55 || [[Frank Auerbach]] || [[:en:Frank Auerbach|Frank Auerbach]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 56 || [[Eva Hoffman]] || [[:en:Eva Hoffman|Eva Hoffman]] || Uandishi wa Habari || Poland |- | 57 || [[Joseph Conrad]] || [[:en:Joseph Conrad|Joseph Conrad]] || Fasihi (Mwandishi) || Poland |- | 58 || [[Hannah Arendt]] || [[:en:Hannah Arendt|Hannah Arendt]] || Falsafa na Siasa || Ujerumani |- | 59 || [[Elie Wiesel]] || [[:en:Elie Wiesel|Elie Wiesel]] || Fasihi na Amani || Romania |- | 60 || [[Art Spiegelman]] || [[:en:Art Spiegelman|Art Spiegelman]] || Sanaa (Mchoraji Vibonzo) || Sweden |- | 61 || [[Madeleine Albright]] || [[:en:Madeleine Albright|Madeleine Albright]] || Siasa (Waziri wa Mambo ya Nje) || Czechoslovakia |- | 62 || [[14th Dalai Lama]] || [[:en:14th Dalai Lama|14th Dalai Lama]] || Kiongozi wa Kiroho || Tibet |- | 63 || [[Henry Kissinger]] || [[:en:Henry Kissinger|Henry Kissinger]] || Siasa (Waziri wa Mambo ya Nje) || Ujerumani |- | 64 || [[John Shalikashvili]] || [[:en:John Shalikashvili|John Shalikashvili]] || Jeshi (Jenerali wa Marekani) || Poland |- | 65 || [[Michaëlle Jean]] || [[:en:Michaëlle Jean|Michaëlle Jean]] || Siasa (Gavana Mkuu wa Canada) || Haiti |- | 66 || [[Ilhan Omar]] || [[:en:Ilhan Omar|Ilhan Omar]] || Siasa (Mbunge wa Marekani) || Somalia |- | 67 || [[Alf Dubs, Baron Dubs]] || [[:en:Alf Dubs, Baron Dubs|Alf Dubs, Baron Dubs]] || Siasa (Mwanasiasa Uingereza) || Czechoslovakia |- | 68 || [[Karl Marx]] || [[:en:Karl Marx|Karl Marx]] || Falsafa na Siasa || Ujerumani |- | 69 || [[Thabo Mbeki]] || [[:en:Thabo Mbeki|Thabo Mbeki]] || Siasa (Rais wa Afrika Kusini) || Afrika Kusini |- | 70 || [[Oliver Tambo]] || [[:en:Oliver Tambo|Oliver Tambo]] || Siasa na Harakati || Afrika Kusini |- | 71 || [[Benazir Bhutto]] || [[:en:Benazir Bhutto|Benazir Bhutto]] || Siasa (Waziri Mkuu) || Pakistan |- | 72 || [[Rigoberta Menchú]] || [[:en:Rigoberta Menchú|Rigoberta Menchú]] || Harakati za Amani || Guatemala |- | 73 || [[Reuven Feuerstein]] || [[:en:Reuven Feuerstein|Reuven Feuerstein]] || Sayansi (Mwanasaikolojia) || Romania |- | 74 || [[Adrienne Clarkson]] || [[:en:Adrienne Clarkson|Adrienne Clarkson]] || Siasa (Gavana Mkuu wa Canada) || Hong Kong |- | 75 || [[Abdirahman Ahmed Ali Tuur]] || [[:en:Abdirahman Ahmed Ali Tuur|Abdirahman Ahmed Ali Tuur]] || Siasa (Rais wa Somaliland) || Somalia |- | 76 || [[Ayaan Hirsi Ali]] || [[:en:Ayaan Hirsi Ali|Ayaan Hirsi Ali]] || Siasa na Uandishi || Somalia |- | 77 || [[Vaira Vīķe-Freiberga]] || [[:en:Vaira Vīķe-Freiberga|Vaira Vīķe-Freiberga]] || Siasa (Rais wa Latvia) || Latvia |- | 78 || [[Luis Muñoz Marín]] || [[:en:Luis Muñoz Marín|Luis Muñoz Marín]] || Siasa (Gavana wa Puerto Rico) || Puerto Rico |- | 79 || [[Alexander Kerensky]] || [[:en:Alexander Kerensky|Alexander Kerensky]] || Siasa (Kiongozi wa Urusi) || Urusi |- | 80 || [[Kgalema Motlanthe]] || [[:en:Kgalema Motlanthe|Kgalema Motlanthe]] || Siasa (Rais wa Afrika Kusini) || Afrika Kusini |- | 81 || [[Luol Deng]] || [[:en:Luol Deng|Luol Deng]] || Michezo (Mpira wa Kikapu) || Sudan Kusini |- | 82 || [[Luka Modrić]] || [[:en:Luka Modrić|Luka Modrić]] || Michezo (Soka) || Croatia |- | 83 || [[Victor Moses]] || [[:en:Victor Moses|Victor Moses]] || Michezo (Soka) || Nigeria |- | 84 || [[Alphonso Davies]] || [[:en:Alphonso Davies|Alphonso Davies]] || Michezo (Soka) || Liberia |- | 85 || [[Dejan Lovren]] || [[:en:Dejan Lovren|Dejan Lovren]] || Michezo (Soka) || Bosnia na Herzegovina |- | 86 || [[Eduardo da Silva]] || [[:en:Eduardo da Silva|Eduardo da Silva]] || Michezo (Soka) || Brazil |- | 87 || [[Fabrice Muamba]] || [[:en:Fabrice Muamba|Fabrice Muamba]] || Michezo (Soka) || Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |- | 88 || [[Meb Keflezighi]] || [[:en:Meb Keflezighi|Meb Keflezighi]] || Michezo (Mwanariadha) || Eritrea |- | 89 || [[Yusra Mardini]] || [[:en:Yusra Mardini|Yusra Mardini]] || Michezo (Mwogeleaji) || Syria |- | 90 || [[Fiona May]] || [[:en:Fiona May|Fiona May]] || Michezo (Mwanariadha) || Uingereza |- | 91 || [[Xherdan Shaqiri]] || [[:en:Xherdan Shaqiri|Xherdan Shaqiri]] || Michezo (Soka) || Kosovo |- |- | 92 || [[Granit Xhaka]] || [[:en:Granit Xhaka|Granit Xhaka]] || Michezo (Soka) || Kosovo |- | 93 || [[Christian Benteke]] || [[:en:Christian Benteke|Christian Benteke]] || Michezo (Soka) || Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |- | 94 || [[Romelu Lukaku]] || [[:en:Romelu Lukaku|Romelu Lukaku]] || Michezo (Soka) || Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |- | 95 || [[Saido Berahino]] || [[:en:Saido Berahino|Saido Berahino]] || Michezo (Soka) || Burundi |- | 96 || [[Nadia Nadim]] || [[:en:Nadia Nadim|Nadia Nadim]] || Michezo (Soka) || Afghanistan |- | 97 || [[Yago Lamela]] || [[:en:Yago Lamela|Yago Lamela]] || Michezo (Mwanariadha) || Uhispania |- | 98 || [[Guor Marial]] || [[:en:Guor Marial|Guor Marial]] || Michezo (Mwanariadha) || Sudan Kusini |- | 99 || [[Lopez Lomong]] || [[:en:Lopez Lomong|Lopez Lomong]] || Michezo (Mwanariadha) || Sudan Kusini |- | 100 || [[Garry Kasparov]] || [[:en:Garry Kasparov|Garry Kasparov]] || Michezo (Mchezaji wa Sataranji) || Azerbaijan |- | 101 || [[Khaled Hosseini]] || [[:en:Khaled Hosseini|Khaled Hosseini]] || Fasihi (Mwandishi wa ''The Kite Runner'') || Afghanistan |- | 102 || [[Michael Marks]] || [[:en:Michael Marks|Michael Marks]] || Biashara (Mwanzilishi wa Marks & Spencer) || Belarus |- | 103 || [[Montague Burton]] || [[:en:Montague Burton|Montague Burton]] || Biashara (Mwanzilishi wa Burton Retail) || Lithuania |- | 104 || [[John Houblon]] || [[:en:John Houblon|John Houblon]] || Uchumi (Gavana wa Kwanza wa Benki ya England) || Ufaransa |- | 105 || [[Mikhail Baryshnikov]] || [[:en:Mikhail Baryshnikov|Mikhail Baryshnikov]] || Sanaa (Mnenguaji wa Ballet) || Umoja wa Kisovieti |- | 106 || [[Nadia Comăneci]] || [[:en:Nadia Comăneci|Nadia Comăneci]] || Michezo (Mcheza Jojire wa Olimpiki) || Romania |- | 107 || [[Peter Drucker]] || [[:en:Peter Drucker|Peter Drucker]] || Elimu (Mshauri wa Usimamizi) || Austria |- | 108 || [[Walter Gropius]] || [[:en:Walter Gropius|Walter Gropius]] || Ujenzi (Mbunifu wa Majengo wa Bauhaus) || Ujerumani |- | 109 || [[Roberto Goizueta]] || [[:en:Roberto Goizueta|Roberto Goizueta]] || Biashara (Mkurugenzi Mkuu wa Coca-Cola) || Cuba |- | 110 || [[Hans Bethe]] || [[:en:Hans Bethe|Hans Bethe]] || Sayansi (Mwanafizikia wa Tuzo ya Nobel) || Ujerumani |- | 111 || [[George Grosz]] || [[:en:George Grosz|George Grosz]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 112 || [[Max Ernst]] || [[:en:Max Ernst|Max Ernst]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 113 || [[Lion Feuchtwanger]] || [[:en:Lion Feuchtwanger|Lion Feuchtwanger]] || Fasihi (Mwandishi wa Riwaya) || Ujerumani |- | 114 || [[W. Michael Blumenthal]] || [[:en:W. Michael Blumenthal|W. Michael Blumenthal]] || Siasa (Waziri wa Fedha wa Marekani) || Ujerumani |- | 115 || [[Claude Lévi-Strauss]] || [[:en:Claude Lévi-Strauss|Claude Lévi-Strauss]] || Sayansi (Mwanaanthropolojia) || Ufaransa |- | 116 || [[Karl Popper]] || [[:en:Karl Popper|Karl Popper]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Sayansi) || Austria |- | 117 || [[Ernest Gellner]] || [[:en:Ernest Gellner|Ernest Gellner]] || Falsafa (Mwanafalsafa na Mwanasosholojia) || Czechoslovakia |- | 118 || [[Stefan Körner]] || [[:en:Stefan Körner|Stefan Körner]] || Falsafa (Mwanafalsafa) || Czechoslovakia |- | 119 || [[Anna Freud]] || [[:en:Anna Freud|Anna Freud]] || Sayansi (Mwanasaikolojia wa Watoto) || Austria |- | 120 || [[Isaac Abravanel]] || [[:en:Isaac Abravanel|Isaac Abravanel]] || Siasa na Dini (Kiongozi wa Kiyahudi) || Ureno |- | 121 || [[Leo Baeck]] || [[:en:Leo Baeck|Leo Baeck]] || Dini (Rabi na Mwanateolojia) || Ujerumani |- | 122 || [[Assata Shakur]] || [[:en:Assata Shakur|Assata Shakur]] || Harakati (Mwanaharakati wa Black Panther) || Marekani |- | 123 || [[Nury Turkel]] || [[:en:Nury Turkel|Nury Turkel]] || Sheria (Mwanaharakati wa Haki za Uyghur) || China |- | 124 || [[Kofi Annan]] || [[:en:Kofi Annan|Kofi Annan]] || Siasa (Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa) || Ghana |- | 125 || [[Taslima Nasrin]] || [[:en:Taslima Nasrin|Taslima Nasrin]] || Uandishi na Harakati za Haki za Wanawake || Bangladesh |- | 126 || [[Alija Izetbegović]] || [[:en:Alija Izetbegović|Alija Izetbegović]] || Siasa (Rais wa Kwanza wa Bosnia) || Bosnia na Herzegovina |- | 127 || [[Majid Naficy]] || [[:en:Majid Naficy|Majid Naficy]] || Fasihi (Mshairi) || Iran |- | 128 || [[Ryszard Kapuściński]] || [[:en:Ryszard Kapuściński|Ryszard Kapuściński]] || Uandishi wa Habari || Belarus |- | 129 || [[Elena Bonner]] || [[:en:Elena Bonner|Elena Bonner]] || Harakati za Haki za Binadamu || Umoja wa Kisovieti |- | 130 || [[Natan Sharansky]] || [[:en:Natan Sharansky|Natan Sharansky]] || Siasa na Harakati || Umoja wa Kisovieti |- | 131 || [[Ai Weiwei]] || [[:en:Ai Weiwei|Ai Weiwei]] || Sanaa (Msanii na Mwanaharakati) || China |- | 132 || [[Marina Lewycka]] || [[:en:Marina Lewycka|Marina Lewycka]] || Fasihi (Mwandishi wa Riwaya) || Ujerumani (Wazazi wa Ukraine) |- | 133 || [[Imre Kertész]] || [[:en:Imre Kertész|Imre Kertész]] || Fasihi (Mshindi wa Tuzo ya Nobel) || Hungary |- | 134 || [[Eliezer Goldberg]] || [[:en:Eliezer Goldberg|Eliezer Goldberg]] || Sheria (Jaji wa Mahakama Kuu) || Israel |- | 135 || [[George Soros]] || [[:en:George Soros|George Soros]] || Fedha na Hisani (Mfadhili) || Hungary |- | 136 || [[Arthur Koestler]] || [[:en:Arthur Koestler|Arthur Koestler]] || Fasihi (Mwandishi wa Habari) || Hungary |- | 137 || [[Stefan Zweig]] || [[:en:Stefan Zweig|Stefan Zweig]] || Fasihi (Mwandishi wa Riwaya) || Austria |- | 138 || [[Joseph Roth]] || [[:en:Joseph Roth|Joseph Roth]] || Fasihi (Mwandishi) || Austria-Hungary |- | 139 || [[Paul Celan]] || [[:en:Paul Celan|Paul Celan]] || Fasihi (Mshairi wa lugha ya Kijerumani) || Romania |- | 140 || [[Nelly Sachs]] || [[:en:Nelly Sachs|Nelly Sachs]] || Fasihi (Mshairi wa Tuzo ya Nobel) || Ujerumani |- | 141 || [[Manubhai Madhvani]] || [[:en:Manubhai Madhvani|Manubhai Madhvani]] || Biashara (Mfanyabiashara Mkuu) || Uganda |- | 142 || [[Sudha Murty]] || [[:en:Sudha Murty|Sudha Murty]] || Fasihi na Hisani || India |- | 143 || [[Shirin Ebadi]] || [[:en:Shirin Ebadi|Shirin Ebadi]] || Sheria (Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani) || Iran |- | 144 || [[Akbar Ganji]] || [[:en:Akbar Ganji|Akbar Ganji]] || Uandishi wa Habari na Harakati || Iran |- | 145 || [[Abdolkarim Soroush]] || [[:en:Abdolkarim Soroush|Abdolkarim Soroush]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Kiislamu) || Iran |- | 146 || [[Azar Nafisi]] || [[:en:Azar Nafisi|Azar Nafisi]] || Elimu (Mwandishi wa ''Reading Lolita in Tehran'') || Iran |- | 147 || [[Marjane Satrapi]] || [[:en:Marjane Satrapi|Marjane Satrapi]] || Sanaa (Mwandishi wa Vitabu vya Vibonzo) || Iran |- | 148 || [[Bahman Ghobadi]] || [[:en:Bahman Ghobadi|Bahman Ghobadi]] || Burudani (Mwongozaji wa Filamu) || Iran |- | 149 || [[Mohsen Makhmalbaf]] || [[:en:Mohsen Makhmalbaf|Mohsen Makhmalbaf]] || Burudani (Mwongozaji wa Filamu) || Iran |- | 150 || [[Reza Deghati]] || [[:en:Reza Deghati|Reza Deghati]] || Sanaa (Mpiga Picha wa Habari) || Iran |- | 151 || [[Christo]] || [[:en:Christo|Christo]] || Sanaa (Msanii na Mbunifu wa Mazingira) || Bulgaria |- | 152 || [[Georgi Markov]] || [[:en:Georgi Markov|Georgi Markov]] || Fasihi (Mwandishi wa Michezo ya Kuigiza) || Bulgaria |- | 153 || [[Vasil Levski]] || [[:en:Vasil Levski|Vasil Levski]] || Harakati (Shujaa wa Kitaifa) || Bulgaria |- | 154 || [[Hristo Botev]] || [[:en:Hristo Botev|Hristo Botev]] || Fasihi (Mshairi na Mwanaharakati) || Bulgaria |- | 155 || [[Lajos Kossuth]] || [[:en:Lajos Kossuth|Lajos Kossuth]] || Siasa (Gavana-Rais wa Hungary) || Hungary |- | 156 || [[Ferenc Puskás]] || [[:en:Ferenc Puskás|Ferenc Puskás]] || Michezo (Mchezaji Nguli wa Soka) || Hungary |- | 157 || [[Sándor Kocsis]] || [[:en:Sándor Kocsis|Sándor Kocsis]] || Michezo (Mchezaji wa Soka) || Hungary |- | 158 || [[László Kubala]] || [[:en:László Kubala|László Kubala]] || Michezo (Mchezaji wa Soka) || Hungary |- | 159 || [[Béla Guttmann]] || [[:en:Béla Guttmann|Béla Guttmann]] || Michezo (Kocha wa Soka) || Hungary |- | 160 || [[Agnes Keleti]] || [[:en:Agnes Keleti|Agnes Keleti]] || Michezo (Mshindi wa Dhahabu ya Olimpiki) || Hungary |- | 161 || [[Polgar sisters]] || [[:en:Polgar sisters|Polgar sisters]] || Michezo (Wachezaji wa Sataranji) || Hungary |- | 162 || [[Victor Vasarely]] || [[:en:Victor Vasarely|Victor Vasarely]] || Sanaa (Mchoraji wa Op Art) || Hungary |- | 163 || [[Robert Capa]] || [[:en:Robert Capa|Robert Capa]] || Sanaa (Mpiga Picha wa Vita) || Hungary |- | 164 || [[Andre Kertesz]] || [[:en:Andre Kertesz|Andre Kertesz]] || Sanaa (Mpiga Picha) || Hungary |- | 165 || [[Brassaï]] || [[:en:Brassaï|Brassaï]] || Sanaa (Mpiga Picha na Mchoraji) || Romania (Asili ya Hungary) |- | 166 || [[Arthur Adamov]] || [[:en:Arthur Adamov|Arthur Adamov]] || Fasihi (Mwandishi wa Michezo ya Kuigiza) || Urusi |- | 167 || [[Marc Bloch]] || [[:en:Marc Bloch|Marc Bloch]] || Elimu (Mwanahistoria) || Ufaransa |- | 168 || [[Fernand Braudel]] || [[:en:Fernand Braudel|Fernand Braudel]] || Elimu (Mwanahistoria) || Ufaransa |- | 169 || [[Raymond Aron]] || [[:en:Raymond Aron|Raymond Aron]] || Falsafa na Sosholojia || Ufaransa |- | 170 || [[Jean-Paul Sartre]] || [[:en:Jean-Paul Sartre|Jean-Paul Sartre]] || Falsafa na Fasihi || Ufaransa |- | 171 || [[Albert Camus]] || [[:en:Albert Camus|Albert Camus]] || Fasihi (Mwandishi wa Tuzo ya Nobel) || Algeria |- | 172 || [[Frantz Fanon]] || [[:en:Frantz Fanon|Frantz Fanon]] || Siasa na Tiba (Mwanasaikolojia) || Martinique |- | 173 || [[Jacques Derrida]] || [[:en:Jacques Derrida|Jacques Derrida]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Deconstruction) || Algeria |- | 174 || [[Hélène Cixous]] || [[:en:Hélène Cixous|Hélène Cixous]] || Fasihi na Nadharia ya Ufeministi || Algeria |- | 175 || [[Louis Althusser]] || [[:en:Louis Althusser|Louis Althusser]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Kimarx) || Algeria |- | 176 || [[Pierre Bourdieu]] || [[:en:Pierre Bourdieu|Pierre Bourdieu]] || Elimu (Mwanasosholojia) || Ufaransa |- | 177 || [[Michel Foucault]] || [[:en:Michel Foucault|Michel Foucault]] || Falsafa na Mwanahistoria || Ufaransa |- | 178 || [[Dadaab]] || [[:en:Dadaab|Dadaab]] || Kambi ya wakimbizi || Kenya |- | 179 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Kakuma]] || [[:en:Kakuma Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Kakuma]] || Kambi ya wakimbizi || Kenya |- | 180 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu]] || [[:en:Nyarugusu Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu]] || Kambi ya wakimbizi || Tanzania |- | 181 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Nduta]] || [[:en:Nduta Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Nduta]] || Kambi ya wakimbizi || Tanzania |- | 182 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Mtendeli]] || [[:en:Mtendeli refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Mtendeli]] || Kambi ya wakimbizi || Tanzania |- | 183 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]] || [[:en:Kutupalong refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]] || Kambi ya wakimbizi || Bangladesh |- | 184 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara]] || [[:en:Nayapara refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara]] || Kambi ya wakimbizi || Bangladesh |- | 185 || [[Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]] || [[:en:Bidi Bidi Refugee Settlement|Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]] || Makazi ya wakimbizi || Uganda |- | 186 || [[Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale]] || [[:en:Nakivale Refugee Settlement|Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale]] || Makazi ya wakimbizi || Uganda |- | 187 || [[Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]] || [[:en:Kyangwali Refugee Settlement|Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]] || Makazi ya wakimbizi || Uganda |- | 188 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]] || [[:en:Zaatari refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]] || Kambi ya wakimbizi || Jordan |- | 189 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Azraq]] || [[:en:Azraq refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Azraq]] || Kambi ya wakimbizi || Jordan |- | 190 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Moria]] || [[:en:Moria Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Moria]] || Kambi ya wakimbizi || Ugiriki |- | 191 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Mae La]] || [[:en:Mae La refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Mae La]] || Kambi ya wakimbizi || Thailand |- | 192 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba]] || [[:en:Kiziba refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba]] || Kambi ya wakimbizi || Rwanda |- | 193 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]] || [[:en:Mahama Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]] || Kambi ya wakimbizi || Rwanda |- | 194 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]] || [[:en:Gihembe Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]] || Kambi ya wakimbizi || Rwanda |- | 195 || [[Kambi ya Wakimbizi ya M'Bera]] || [[:en:M'Bera Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya M'Bera]] || Kambi ya wakimbizi || Mauritania |- | 196 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda]] || [[:en:Lusenda Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda]] || Kambi ya wakimbizi || DRC |- | 197 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka]] || [[:en:Dzaleka refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka]] || Kambi ya wakimbizi || Malawi |- | 198 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Itang]] || [[:en:Itang refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Itang]] || Kambi ya wakimbizi || Ethiopia |- | 199 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Hart Sheik]] || [[:en:Hart Sheik refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Hart Sheik]] || Kambi ya wakimbizi || Ethiopia |- | 200 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Jabalia]] || [[:en:Jabalia refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Jabalia]] || Kambi ya wakimbizi || Palestina |} 7yxzvmqb21r9gjtp2bgkpcapqpg6z23 1572927 1572417 2026-06-14T07:14:39Z Riccardo Riccioni 452 1572927 wikitext text/x-wiki '''Wiki for Refugees ni kampeni ya uhariri wa Wikipedia inayolenga kuboresha, kupanua na kuunda makala kuhusu wakimbizi, uhamiaji wa kulazimishwa, kambi za wakimbizi na masuala ya haki za binadamu. Kampeni hii huwaleta pamoja wachangiaji kutoka sehemu mbalimbali duniani ili kuongeza maarifa ya wazi na ya kuaminika kuhusu hali ya wakimbizi duniani.''' Kampeni ya ''Wiki for Refugees 2026'' itafanyika kuanzia tarehe '''3 Juni hadi tarehe 3 Julai 2026''', ikiwa ni sehemu ya juhudi za kimataifa za kuongeza uwakilishi wa mada za wakimbizi katika Wikipedia, hususan katika lugha mbalimbali ikiwemo Wikipedia ya Kiswahili. Katika Wikipedia ya Kiswahili (SWWP), maudhui yatakayoundwa na kuboreshwa katika kampeni hii yanajumuisha: * Wasifu wa wakimbizi na watu waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na migogoro, vita au mateso * Makala kuhusu kambi za wakimbizi na makazi ya muda kwa wakimbizi * Mashirika ya kibinadamu yanayohudumia wakimbizi kama UNHCR na mashirika yasiyo ya kiserikali * Historia na chanzo cha migogoro inayosababisha uhamiaji wa wakimbizi * Sera za uhamiaji na hifadhi katika nchi mbalimbali * Changamoto za kijamii, kiuchumi na kiafya zinazowakabili wakimbizi Lengo kuu la kampeni hii ni kupunguza pengo la maarifa kuhusu wakimbizi katika lugha ya Kiswahili na kuhakikisha taarifa sahihi, za kisasa na za kuaminika zinapatikana kwa jamii ya wasomaji wa Wikipedia. {| class="wikitable sortable" |+ Orodha ya Wakimbizi Mashuhuri 300 Ulimwenguni |- ! # !! Jina (Kiswahili) !! Kiungo cha enwiki !! Fani / Sababu ya Umaarufu !! Nchi Aliyotoka |- | 1 || [[Albert Einstein]] || [[:en:Albert Einstein|Albert Einstein]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Ujerumani |- | 2 || [[Sergey Brin]] || [[:en:Sergey Brin|Sergey Brin]] || Teknolojia (Mwanzilishi wa Google) || Umoja wa Kisovieti |- | 3 || [[Sigmund Freud]] || [[:en:Sigmund Freud|Sigmund Freud]] || Sayansi (Mwanasaikolojia) || Austria |- | 4 || [[Enrico Fermi]] || [[:en:Enrico Fermi|Enrico Fermi]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Italia |- | 5 || [[Andrew Grove]] || [[:en:Andrew Grove|Andrew Grove]] || Teknolojia (Mkurugenzi wa Intel) || Hungary |- | 6 || [[Stephanie Shirley]] || [[:en:Stephanie Shirley|Stephanie Shirley]] || Teknolojia na Hisani || Ujerumani |- | 7 || [[Carl Djerassi]] || [[:en:Carl Djerassi|Carl Djerassi]] || Sayansi (Mwanakemia) || Austria |- | 8 || [[Hans Adolf Krebs]] || [[:en:Hans Adolf Krebs|Hans Adolf Krebs]] || Sayansi (Mwanabiolojia) || Ujerumani |- | 9 || [[Max Born]] || [[:en:Max Born|Max Born]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Ujerumani |- | 10 || [[Victor Weisskopf]] || [[:en:Victor Weisskopf|Victor Weisskopf]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Austria |- | 11 || [[Lise Meitner]] || [[:en:Lise Meitner|Lise Meitner]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Ujerumani |- | 12 || [[Ernst Chain]] || [[:en:Ernst Chain|Ernst Chain]] || Sayansi (Mwanabiolojia) || Ujerumani |- | 13 || [[Leo Szilard]] || [[:en:Leo Szilard|Leo Szilard]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Hungary |- | 14 || [[Edward Teller]] || [[:en:Edward Teller|Edward Teller]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Hungary |- | 15 || [[John von Neumann]] || [[:en:John von Neumann|John von Neumann]] || Sayansi (Mwanahisabati) || Hungary |- | 16 || [[Eugene Wigner]] || [[:en:Eugene Wigner|Eugene Wigner]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Hungary |- | 17 || [[Salvador Luria]] || [[:en:Salvador Luria|Salvador Luria]] || Sayansi (Mwanabiolojia) || Italia |- | 18 || [[Otto Fritz Meyerhof]] || [[:en:Otto Fritz Meyerhof|Otto Fritz Meyerhof]] || Sayansi (Mtabibu) || Ujerumani |- | 19 || [[Gerty Cori]] || [[:en:Gerty Cori|Gerty Cori]] || Sayansi (Mtabibu) || Prague (Jamhuri ya Cheki) |- | 20 || [[Felix Bloch]] || [[:en:Felix Bloch|Felix Bloch]] || Sayansi (Mwanafizikia) || Switzerland |- | 21 || [[Freddie Mercury]] || [[:en:Freddie Mercury|Freddie Mercury]] || Muziki (Mwimbaji wa Queen) || Zanzibar (Tanzania) |- | 22 || [[Rita Ora]] || [[:en:Rita Ora|Rita Ora]] || Muziki (Mwimbaji) || Kosovo |- | 23 || [[Wyclef Jean]] || [[:en:Wyclef Jean|Wyclef Jean]] || Muziki (Mwanamuziki) || Haiti |- | 24 || [[Marlene Dietrich]] || [[:en:Marlene Dietrich|Marlene Dietrich]] || Burudani (Muigizaji) || Ujerumani |- | 25 || [[Mila Kunis]] || [[:en:Mila Kunis|Mila Kunis]] || Burudani (Muigizaji) || Ukraine |- | 26 || [[K'naan]] || [[:en:K'naan|K'naan]] || Muziki (Rapa) || Somalia |- | 27 || [[Regina Spektor]] || [[:en:Regina Spektor|Regina Spektor]] || Muziki (Mwimbaji) || Umoja wa Kisovieti |- | 28 || [[Gloria Estefan]] || [[:en:Gloria Estefan|Gloria Estefan]] || Muziki (Mwimbaji) || Cuba |- | 29 || [[Andy García]] || [[:en:Andy García|Andy García]] || Burudani (Muigizaji) || Cuba |- | 30 || [[Gene Simmons]] || [[:en:Gene Simmons|Gene Simmons]] || Muziki (Mwanamuziki wa KISS) || Israel |- | 31 || [[Béla Bartók]] || [[:en:Béla Bartók|Béla Bartók]] || Muziki (Mtunzi) || Hungary |- | 32 || [[M.I.A. (rapa)]] || [[:en:M.I.A. (rapper)|M.I.A. (rapa)]] || Muziki (Mwimbaji) || Sri Lanka |- | 33 || [[Arnold Schoenberg]] || [[:en:Arnold Schoenberg|Arnold Schoenberg]] || Muziki (Mtunzi) || Austria |- | 34 || [[Billy Wilder]] || [[:en:Billy Wilder|Billy Wilder]] || Burudani (Mwongozaji Filamu) || Austria-Hungary |- | 35 || [[Milton Nascimento]] || [[:en:Milton Nascimento|Milton Nascimento]] || Muziki (Mwanamuziki) || Brazil |- | 36 || [[Miriam Makeba]] || [[:en:Miriam Makeba|Miriam Makeba]] || Muziki na Harakati || Afrika Kusini |- | 37 || [[Hugh Masekela]] || [[:en:Hugh Masekela|Hugh Masekela]] || Muziki (Jazz) || Afrika Kusini |- | 38 || [[Aleksandr Solzhenitsyn]] || [[:en:Aleksandr Solzhenitsyn|Aleksandr Solzhenitsyn]] || Fasihi (Mwandishi) || Umoja wa Kisovieti |- | 39 || [[Miloš Forman]] || [[:en:Miloš Forman|Miloš Forman]] || Burudani (Mwongozaji Filamu) || Czechoslovakia |- | 40 || [[Chipo Chung]] || [[:en:Chipo Chung|Chipo Chung]] || Burudani (Muigizaji) || Tanzania (Uraia wa Zimbabwe) |- | 41 || [[Iman (mwanamitindo)]] || [[:en:Iman (model)|Iman (mwanamitindo)]] || Mitindo (Mwanamitindo) || Somalia |- | 42 || [[Alexei Sayle]] || [[:en:Alexei Sayle|Alexei Sayle]] || Burudani (Mchekeshaji) || Uingereza |- | 43 || [[Victor Hugo]] || [[:en:Victor Hugo|Victor Hugo]] || Fasihi (Mwandishi) || Ufaransa |- | 44 || [[Marc Chagall]] || [[:en:Marc Chagall|Marc Chagall]] || Sanaa (Mchoraji) || Belarus |- | 45 || [[Judith Kerr]] || [[:en:Judith Kerr|Judith Kerr]] || Fasihi (Mwandishi wa Watoto) || Ujerumani |- | 46 || [[Vladimir Nabokov]] || [[:en:Vladimir Nabokov|Vladimir Nabokov]] || Fasihi (Mwandishi) || Urusi |- | 47 || [[Bertolt Brecht]] || [[:en:Bertolt Brecht|Bertolt Brecht]] || Fasihi (Mwandishi wa Michezo) || Ujerumani |- | 48 || [[Thomas Mann]] || [[:en:Thomas Mann|Thomas Mann]] || Fasihi (Mwandishi) || Ujerumani |- | 49 || [[Isabel Allende]] || [[:en:Isabel Allende|Isabel Allende]] || Fasihi (Mwandishi) || Chile |- | 50 || [[Milan Kundera]] || [[:en:Milan Kundera|Milan Kundera]] || Fasihi (Mwandishi) || Czechoslovakia |- | 51 || [[Loung Ung]] || [[:en:Loung Ung|Loung Ung]] || Fasihi na Harakati || Cambodia |- | 52 || [[Reinaldo Arenas]] || [[:en:Reinaldo Arenas|Reinaldo Arenas]] || Fasihi (Mwandishi na Mshairi) || Cuba |- | 53 || [[Lucian Freud]] || [[:en:Lucian Freud|Lucian Freud]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 54 || [[Piet Mondrian]] || [[:en:Piet Mondrian|Piet Mondrian]] || Sanaa (Mchoraji) || Uholanzi |- | 55 || [[Frank Auerbach]] || [[:en:Frank Auerbach|Frank Auerbach]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 56 || [[Eva Hoffman]] || [[:en:Eva Hoffman|Eva Hoffman]] || Uandishi wa Habari || Poland |- | 57 || [[Joseph Conrad]] || [[:en:Joseph Conrad|Joseph Conrad]] || Fasihi (Mwandishi) || Poland |- | 58 || [[Hannah Arendt]] || [[:en:Hannah Arendt|Hannah Arendt]] || Falsafa na Siasa || Ujerumani |- | 59 || [[Elie Wiesel]] || [[:en:Elie Wiesel|Elie Wiesel]] || Fasihi na Amani || Romania |- | 60 || [[Art Spiegelman]] || [[:en:Art Spiegelman|Art Spiegelman]] || Sanaa (Mchoraji Vibonzo) || Sweden |- | 61 || [[Madeleine Albright]] || [[:en:Madeleine Albright|Madeleine Albright]] || Siasa (Waziri wa Mambo ya Nje) || Czechoslovakia |- | 62 || [[Dalai Lama wa 14]] || [[:en:14th Dalai Lama|Dalai Lama wa 14]] || Kiongozi wa Kiroho || Tibet |- | 63 || [[Henry Kissinger]] || [[:en:Henry Kissinger|Henry Kissinger]] || Siasa (Waziri wa Mambo ya Nje) || Ujerumani |- | 64 || [[John Shalikashvili]] || [[:en:John Shalikashvili|John Shalikashvili]] || Jeshi (Jenerali wa Marekani) || Poland |- | 65 || [[Michaëlle Jean]] || [[:en:Michaëlle Jean|Michaëlle Jean]] || Siasa (Gavana Mkuu wa Canada) || Haiti |- | 66 || [[Ilhan Omar]] || [[:en:Ilhan Omar|Ilhan Omar]] || Siasa (Mbunge wa Marekani) || Somalia |- | 67 || [[Alf Dubs]] || [[:en:Alf Dubs, Baron Dubs|Alf Dubs]] || Siasa (Mwanasiasa Uingereza) || Czechoslovakia |- | 68 || [[Karl Marx]] || [[:en:Karl Marx|Karl Marx]] || Falsafa na Siasa || Ujerumani |- | 69 || [[Thabo Mbeki]] || [[:en:Thabo Mbeki|Thabo Mbeki]] || Siasa (Rais wa Afrika Kusini) || Afrika Kusini |- | 70 || [[Oliver Tambo]] || [[:en:Oliver Tambo|Oliver Tambo]] || Siasa na Harakati || Afrika Kusini |- | 71 || [[Benazir Bhutto]] || [[:en:Benazir Bhutto|Benazir Bhutto]] || Siasa (Waziri Mkuu) || Pakistan |- | 72 || [[Rigoberta Menchú]] || [[:en:Rigoberta Menchú|Rigoberta Menchú]] || Harakati za Amani || Guatemala |- | 73 || [[Reuven Feuerstein]] || [[:en:Reuven Feuerstein|Reuven Feuerstein]] || Sayansi (Mwanasaikolojia) || Romania |- | 74 || [[Adrienne Clarkson]] || [[:en:Adrienne Clarkson|Adrienne Clarkson]] || Siasa (Gavana Mkuu wa Canada) || Hong Kong |- | 75 || [[Abdirahman Ahmed Ali Tuur]] || [[:en:Abdirahman Ahmed Ali Tuur|Abdirahman Ahmed Ali Tuur]] || Siasa (Rais wa Somaliland) || Somalia |- | 76 || [[Ayaan Hirsi Ali]] || [[:en:Ayaan Hirsi Ali|Ayaan Hirsi Ali]] || Siasa na Uandishi || Somalia |- | 77 || [[Vaira Vīķe-Freiberga]] || [[:en:Vaira Vīķe-Freiberga|Vaira Vīķe-Freiberga]] || Siasa (Rais wa Latvia) || Latvia |- | 78 || [[Luis Muñoz Marín]] || [[:en:Luis Muñoz Marín|Luis Muñoz Marín]] || Siasa (Gavana wa Puerto Rico) || Puerto Rico |- | 79 || [[Alexander Kerensky]] || [[:en:Alexander Kerensky|Alexander Kerensky]] || Siasa (Kiongozi wa Urusi) || Urusi |- | 80 || [[Kgalema Motlanthe]] || [[:en:Kgalema Motlanthe|Kgalema Motlanthe]] || Siasa (Rais wa Afrika Kusini) || Afrika Kusini |- | 81 || [[Luol Deng]] || [[:en:Luol Deng|Luol Deng]] || Michezo (Mpira wa Kikapu) || Sudan Kusini |- | 82 || [[Luka Modrić]] || [[:en:Luka Modrić|Luka Modrić]] || Michezo (Soka) || Croatia |- | 83 || [[Victor Moses]] || [[:en:Victor Moses|Victor Moses]] || Michezo (Soka) || Nigeria |- | 84 || [[Alphonso Davies]] || [[:en:Alphonso Davies|Alphonso Davies]] || Michezo (Soka) || Liberia |- | 85 || [[Dejan Lovren]] || [[:en:Dejan Lovren|Dejan Lovren]] || Michezo (Soka) || Bosnia na Herzegovina |- | 86 || [[Eduardo da Silva]] || [[:en:Eduardo da Silva|Eduardo da Silva]] || Michezo (Soka) || Brazil |- | 87 || [[Fabrice Muamba]] || [[:en:Fabrice Muamba|Fabrice Muamba]] || Michezo (Soka) || Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |- | 88 || [[Meb Keflezighi]] || [[:en:Meb Keflezighi|Meb Keflezighi]] || Michezo (Mwanariadha) || Eritrea |- | 89 || [[Yusra Mardini]] || [[:en:Yusra Mardini|Yusra Mardini]] || Michezo (Mwogeleaji) || Syria |- | 90 || [[Fiona May]] || [[:en:Fiona May|Fiona May]] || Michezo (Mwanariadha) || Uingereza |- | 91 || [[Xherdan Shaqiri]] || [[:en:Xherdan Shaqiri|Xherdan Shaqiri]] || Michezo (Soka) || Kosovo |- |- | 92 || [[Granit Xhaka]] || [[:en:Granit Xhaka|Granit Xhaka]] || Michezo (Soka) || Kosovo |- | 93 || [[Christian Benteke]] || [[:en:Christian Benteke|Christian Benteke]] || Michezo (Soka) || Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |- | 94 || [[Romelu Lukaku]] || [[:en:Romelu Lukaku|Romelu Lukaku]] || Michezo (Soka) || Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |- | 95 || [[Saido Berahino]] || [[:en:Saido Berahino|Saido Berahino]] || Michezo (Soka) || Burundi |- | 96 || [[Nadia Nadim]] || [[:en:Nadia Nadim|Nadia Nadim]] || Michezo (Soka) || Afghanistan |- | 97 || [[Yago Lamela]] || [[:en:Yago Lamela|Yago Lamela]] || Michezo (Mwanariadha) || Uhispania |- | 98 || [[Guor Marial]] || [[:en:Guor Marial|Guor Marial]] || Michezo (Mwanariadha) || Sudan Kusini |- | 99 || [[Lopez Lomong]] || [[:en:Lopez Lomong|Lopez Lomong]] || Michezo (Mwanariadha) || Sudan Kusini |- | 100 || [[Garry Kasparov]] || [[:en:Garry Kasparov|Garry Kasparov]] || Michezo (Mchezaji wa Sataranji) || Azerbaijan |- | 101 || [[Khaled Hosseini]] || [[:en:Khaled Hosseini|Khaled Hosseini]] || Fasihi (Mwandishi wa ''The Kite Runner'') || Afghanistan |- | 102 || [[Michael Marks]] || [[:en:Michael Marks|Michael Marks]] || Biashara (Mwanzilishi wa Marks & Spencer) || Belarus |- | 103 || [[Montague Burton]] || [[:en:Montague Burton|Montague Burton]] || Biashara (Mwanzilishi wa Burton Retail) || Lithuania |- | 104 || [[John Houblon]] || [[:en:John Houblon|John Houblon]] || Uchumi (Gavana wa Kwanza wa Benki ya England) || Ufaransa |- | 105 || [[Mikhail Baryshnikov]] || [[:en:Mikhail Baryshnikov|Mikhail Baryshnikov]] || Sanaa (Mnenguaji wa Ballet) || Umoja wa Kisovieti |- | 106 || [[Nadia Comăneci]] || [[:en:Nadia Comăneci|Nadia Comăneci]] || Michezo (Mcheza Jojire wa Olimpiki) || Romania |- | 107 || [[Peter Drucker]] || [[:en:Peter Drucker|Peter Drucker]] || Elimu (Mshauri wa Usimamizi) || Austria |- | 108 || [[Walter Gropius]] || [[:en:Walter Gropius|Walter Gropius]] || Ujenzi (Mbunifu wa Majengo wa Bauhaus) || Ujerumani |- | 109 || [[Roberto Goizueta]] || [[:en:Roberto Goizueta|Roberto Goizueta]] || Biashara (Mkurugenzi Mkuu wa Coca-Cola) || Cuba |- | 110 || [[Hans Bethe]] || [[:en:Hans Bethe|Hans Bethe]] || Sayansi (Mwanafizikia wa Tuzo ya Nobel) || Ujerumani |- | 111 || [[George Grosz]] || [[:en:George Grosz|George Grosz]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 112 || [[Max Ernst]] || [[:en:Max Ernst|Max Ernst]] || Sanaa (Mchoraji) || Ujerumani |- | 113 || [[Lion Feuchtwanger]] || [[:en:Lion Feuchtwanger|Lion Feuchtwanger]] || Fasihi (Mwandishi wa Riwaya) || Ujerumani |- | 114 || [[W. Michael Blumenthal]] || [[:en:W. Michael Blumenthal|W. Michael Blumenthal]] || Siasa (Waziri wa Fedha wa Marekani) || Ujerumani |- | 115 || [[Claude Lévi-Strauss]] || [[:en:Claude Lévi-Strauss|Claude Lévi-Strauss]] || Sayansi (Mwanaanthropolojia) || Ufaransa |- | 116 || [[Karl Popper]] || [[:en:Karl Popper|Karl Popper]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Sayansi) || Austria |- | 117 || [[Ernest Gellner]] || [[:en:Ernest Gellner|Ernest Gellner]] || Falsafa (Mwanafalsafa na Mwanasosholojia) || Czechoslovakia |- | 118 || [[Stefan Körner]] || [[:en:Stefan Körner|Stefan Körner]] || Falsafa (Mwanafalsafa) || Czechoslovakia |- | 119 || [[Anna Freud]] || [[:en:Anna Freud|Anna Freud]] || Sayansi (Mwanasaikolojia wa Watoto) || Austria |- | 120 || [[Isaac Abravanel]] || [[:en:Isaac Abravanel|Isaac Abravanel]] || Siasa na Dini (Kiongozi wa Kiyahudi) || Ureno |- | 121 || [[Leo Baeck]] || [[:en:Leo Baeck|Leo Baeck]] || Dini (Rabi na Mwanateolojia) || Ujerumani |- | 122 || [[Assata Shakur]] || [[:en:Assata Shakur|Assata Shakur]] || Harakati (Mwanaharakati wa Black Panther) || Marekani |- | 123 || [[Nury Turkel]] || [[:en:Nury Turkel|Nury Turkel]] || Sheria (Mwanaharakati wa Haki za Uyghur) || China |- | 124 || [[Kofi Annan]] || [[:en:Kofi Annan|Kofi Annan]] || Siasa (Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa) || Ghana |- | 125 || [[Taslima Nasrin]] || [[:en:Taslima Nasrin|Taslima Nasrin]] || Uandishi na Harakati za Haki za Wanawake || Bangladesh |- | 126 || [[Alija Izetbegović]] || [[:en:Alija Izetbegović|Alija Izetbegović]] || Siasa (Rais wa Kwanza wa Bosnia) || Bosnia na Herzegovina |- | 127 || [[Majid Naficy]] || [[:en:Majid Naficy|Majid Naficy]] || Fasihi (Mshairi) || Iran |- | 128 || [[Ryszard Kapuściński]] || [[:en:Ryszard Kapuściński|Ryszard Kapuściński]] || Uandishi wa Habari || Belarus |- | 129 || [[Elena Bonner]] || [[:en:Elena Bonner|Elena Bonner]] || Harakati za Haki za Binadamu || Umoja wa Kisovieti |- | 130 || [[Natan Sharansky]] || [[:en:Natan Sharansky|Natan Sharansky]] || Siasa na Harakati || Umoja wa Kisovieti |- | 131 || [[Ai Weiwei]] || [[:en:Ai Weiwei|Ai Weiwei]] || Sanaa (Msanii na Mwanaharakati) || China |- | 132 || [[Marina Lewycka]] || [[:en:Marina Lewycka|Marina Lewycka]] || Fasihi (Mwandishi wa Riwaya) || Ujerumani (Wazazi wa Ukraine) |- | 133 || [[Imre Kertész]] || [[:en:Imre Kertész|Imre Kertész]] || Fasihi (Mshindi wa Tuzo ya Nobel) || Hungary |- | 134 || [[Eliezer Goldberg]] || [[:en:Eliezer Goldberg|Eliezer Goldberg]] || Sheria (Jaji wa Mahakama Kuu) || Israel |- | 135 || [[George Soros]] || [[:en:George Soros|George Soros]] || Fedha na Hisani (Mfadhili) || Hungary |- | 136 || [[Arthur Koestler]] || [[:en:Arthur Koestler|Arthur Koestler]] || Fasihi (Mwandishi wa Habari) || Hungary |- | 137 || [[Stefan Zweig]] || [[:en:Stefan Zweig|Stefan Zweig]] || Fasihi (Mwandishi wa Riwaya) || Austria |- | 138 || [[Joseph Roth]] || [[:en:Joseph Roth|Joseph Roth]] || Fasihi (Mwandishi) || Austria-Hungary |- | 139 || [[Paul Celan]] || [[:en:Paul Celan|Paul Celan]] || Fasihi (Mshairi wa lugha ya Kijerumani) || Romania |- | 140 || [[Nelly Sachs]] || [[:en:Nelly Sachs|Nelly Sachs]] || Fasihi (Mshairi wa Tuzo ya Nobel) || Ujerumani |- | 141 || [[Manubhai Madhvani]] || [[:en:Manubhai Madhvani|Manubhai Madhvani]] || Biashara (Mfanyabiashara Mkuu) || Uganda |- | 142 || [[Sudha Murty]] || [[:en:Sudha Murty|Sudha Murty]] || Fasihi na Hisani || India |- | 143 || [[Shirin Ebadi]] || [[:en:Shirin Ebadi|Shirin Ebadi]] || Sheria (Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani) || Iran |- | 144 || [[Akbar Ganji]] || [[:en:Akbar Ganji|Akbar Ganji]] || Uandishi wa Habari na Harakati || Iran |- | 145 || [[Abdolkarim Soroush]] || [[:en:Abdolkarim Soroush|Abdolkarim Soroush]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Kiislamu) || Iran |- | 146 || [[Azar Nafisi]] || [[:en:Azar Nafisi|Azar Nafisi]] || Elimu (Mwandishi wa ''Reading Lolita in Tehran'') || Iran |- | 147 || [[Marjane Satrapi]] || [[:en:Marjane Satrapi|Marjane Satrapi]] || Sanaa (Mwandishi wa Vitabu vya Vibonzo) || Iran |- | 148 || [[Bahman Ghobadi]] || [[:en:Bahman Ghobadi|Bahman Ghobadi]] || Burudani (Mwongozaji wa Filamu) || Iran |- | 149 || [[Mohsen Makhmalbaf]] || [[:en:Mohsen Makhmalbaf|Mohsen Makhmalbaf]] || Burudani (Mwongozaji wa Filamu) || Iran |- | 150 || [[Reza Deghati]] || [[:en:Reza Deghati|Reza Deghati]] || Sanaa (Mpiga Picha wa Habari) || Iran |- | 151 || [[Christo]] || [[:en:Christo|Christo]] || Sanaa (Msanii na Mbunifu wa Mazingira) || Bulgaria |- | 152 || [[Georgi Markov]] || [[:en:Georgi Markov|Georgi Markov]] || Fasihi (Mwandishi wa Michezo ya Kuigiza) || Bulgaria |- | 153 || [[Vasil Levski]] || [[:en:Vasil Levski|Vasil Levski]] || Harakati (Shujaa wa Kitaifa) || Bulgaria |- | 154 || [[Hristo Botev]] || [[:en:Hristo Botev|Hristo Botev]] || Fasihi (Mshairi na Mwanaharakati) || Bulgaria |- | 155 || [[Lajos Kossuth]] || [[:en:Lajos Kossuth|Lajos Kossuth]] || Siasa (Gavana-Rais wa Hungary) || Hungary |- | 156 || [[Ferenc Puskás]] || [[:en:Ferenc Puskás|Ferenc Puskás]] || Michezo (Mchezaji Nguli wa Soka) || Hungary |- | 157 || [[Sándor Kocsis]] || [[:en:Sándor Kocsis|Sándor Kocsis]] || Michezo (Mchezaji wa Soka) || Hungary |- | 158 || [[László Kubala]] || [[:en:László Kubala|László Kubala]] || Michezo (Mchezaji wa Soka) || Hungary |- | 159 || [[Béla Guttmann]] || [[:en:Béla Guttmann|Béla Guttmann]] || Michezo (Kocha wa Soka) || Hungary |- | 160 || [[Agnes Keleti]] || [[:en:Agnes Keleti|Agnes Keleti]] || Michezo (Mshindi wa Dhahabu ya Olimpiki) || Hungary |- | 161 || [[Polgar sisters]] || [[:en:Polgar sisters|Polgar sisters]] || Michezo (Wachezaji wa Sataranji) || Hungary |- | 162 || [[Victor Vasarely]] || [[:en:Victor Vasarely|Victor Vasarely]] || Sanaa (Mchoraji wa Op Art) || Hungary |- | 163 || [[Robert Capa]] || [[:en:Robert Capa|Robert Capa]] || Sanaa (Mpiga Picha wa Vita) || Hungary |- | 164 || [[Andre Kertesz]] || [[:en:Andre Kertesz|Andre Kertesz]] || Sanaa (Mpiga Picha) || Hungary |- | 165 || [[Brassaï]] || [[:en:Brassaï|Brassaï]] || Sanaa (Mpiga Picha na Mchoraji) || Romania (Asili ya Hungary) |- | 166 || [[Arthur Adamov]] || [[:en:Arthur Adamov|Arthur Adamov]] || Fasihi (Mwandishi wa Michezo ya Kuigiza) || Urusi |- | 167 || [[Marc Bloch]] || [[:en:Marc Bloch|Marc Bloch]] || Elimu (Mwanahistoria) || Ufaransa |- | 168 || [[Fernand Braudel]] || [[:en:Fernand Braudel|Fernand Braudel]] || Elimu (Mwanahistoria) || Ufaransa |- | 169 || [[Raymond Aron]] || [[:en:Raymond Aron|Raymond Aron]] || Falsafa na Sosholojia || Ufaransa |- | 170 || [[Jean-Paul Sartre]] || [[:en:Jean-Paul Sartre|Jean-Paul Sartre]] || Falsafa na Fasihi || Ufaransa |- | 171 || [[Albert Camus]] || [[:en:Albert Camus|Albert Camus]] || Fasihi (Mwandishi wa Tuzo ya Nobel) || Algeria |- | 172 || [[Frantz Fanon]] || [[:en:Frantz Fanon|Frantz Fanon]] || Siasa na Tiba (Mwanasaikolojia) || Martinique |- | 173 || [[Jacques Derrida]] || [[:en:Jacques Derrida|Jacques Derrida]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Deconstruction) || Algeria |- | 174 || [[Hélène Cixous]] || [[:en:Hélène Cixous|Hélène Cixous]] || Fasihi na Nadharia ya Ufeministi || Algeria |- | 175 || [[Louis Althusser]] || [[:en:Louis Althusser|Louis Althusser]] || Falsafa (Mwanafalsafa wa Kimarx) || Algeria |- | 176 || [[Pierre Bourdieu]] || [[:en:Pierre Bourdieu|Pierre Bourdieu]] || Elimu (Mwanasosholojia) || Ufaransa |- | 177 || [[Michel Foucault]] || [[:en:Michel Foucault|Michel Foucault]] || Falsafa na Mwanahistoria || Ufaransa |- | 178 || [[Dadaab]] || [[:en:Dadaab|Dadaab]] || Kambi ya wakimbizi || Kenya |- | 179 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Kakuma]] || [[:en:Kakuma Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Kakuma]] || Kambi ya wakimbizi || Kenya |- | 180 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu]] || [[:en:Nyarugusu Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu]] || Kambi ya wakimbizi || Tanzania |- | 181 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Nduta]] || [[:en:Nduta Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Nduta]] || Kambi ya wakimbizi || Tanzania |- | 182 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Mtendeli]] || [[:en:Mtendeli refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Mtendeli]] || Kambi ya wakimbizi || Tanzania |- | 183 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]] || [[:en:Kutupalong refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Kutupalong]] || Kambi ya wakimbizi || Bangladesh |- | 184 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara]] || [[:en:Nayapara refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Nayapara]] || Kambi ya wakimbizi || Bangladesh |- | 185 || [[Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]] || [[:en:Bidi Bidi Refugee Settlement|Makazi ya Wakimbizi ya Bidi Bidi]] || Makazi ya wakimbizi || Uganda |- | 186 || [[Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale]] || [[:en:Nakivale Refugee Settlement|Makazi ya Wakimbizi ya Nakivale]] || Makazi ya wakimbizi || Uganda |- | 187 || [[Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]] || [[:en:Kyangwali Refugee Settlement|Makazi ya Wakimbizi ya Kyangwali]] || Makazi ya wakimbizi || Uganda |- | 188 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]] || [[:en:Zaatari refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Zaatari]] || Kambi ya wakimbizi || Jordan |- | 189 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Azraq]] || [[:en:Azraq refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Azraq]] || Kambi ya wakimbizi || Jordan |- | 190 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Moria]] || [[:en:Moria Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Moria]] || Kambi ya wakimbizi || Ugiriki |- | 191 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Mae La]] || [[:en:Mae La refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Mae La]] || Kambi ya wakimbizi || Thailand |- | 192 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba]] || [[:en:Kiziba refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Kiziba]] || Kambi ya wakimbizi || Rwanda |- | 193 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]] || [[:en:Mahama Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Mahama]] || Kambi ya wakimbizi || Rwanda |- | 194 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]] || [[:en:Gihembe Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Gihembe]] || Kambi ya wakimbizi || Rwanda |- | 195 || [[Kambi ya Wakimbizi ya M'Bera]] || [[:en:M'Bera Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya M'Bera]] || Kambi ya wakimbizi || Mauritania |- | 196 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda]] || [[:en:Lusenda Refugee Camp|Kambi ya Wakimbizi ya Lusenda]] || Kambi ya wakimbizi || DRC |- | 197 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka]] || [[:en:Dzaleka refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka]] || Kambi ya wakimbizi || Malawi |- | 198 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Itang]] || [[:en:Itang refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Itang]] || Kambi ya wakimbizi || Ethiopia |- | 199 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Hart Sheik]] || [[:en:Hart Sheik refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Hart Sheik]] || Kambi ya wakimbizi || Ethiopia |- | 200 || [[Kambi ya Wakimbizi ya Jabalia]] || [[:en:Jabalia refugee camp|Kambi ya Wakimbizi ya Jabalia]] || Kambi ya wakimbizi || Palestina |} huzgj2xqyswst475ooxu8log9muremg Kambi za wakimbizi wa Palestina 0 240906 1572418 2026-06-13T19:35:39Z Said Mfaume 68307 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kambi za wakimbizi wa Palestina''' zilianzishwa kwa mara ya kwanza ili kuwahifadhi [[Wapalestina]] waliokimbia makazi yao kutokana na kufukuzwa na kukimbia kwa Wapalestina mnamo 1948 wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |l...' 1572418 wikitext text/x-wiki '''Kambi za wakimbizi wa Palestina''' zilianzishwa kwa mara ya kwanza ili kuwahifadhi [[Wapalestina]] waliokimbia makazi yao kutokana na kufukuzwa na kukimbia kwa Wapalestina mnamo 1948 wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |last=MacDonald|first=Alex |access-date=17 June 2025}}</ref> Kambi hizo zilianzishwa na [[UNRWA|Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Utoaji wa Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina]] (UNRWA) nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]]. Wimbi lililofuata la wakimbizi wa Palestina lilitokea wakati wa [[Naksa]] baada ya [[Vita vya Siku Sita]] mnamo 1967.<ref>[[UNWRA]], [https://www.unrwa.org/etemplate.php%3Fid%3D86 Palestine refugees]</ref> Kuna jumla ya kambi 68 za wakimbizi wa Palestina, kambi 58 rasmi na kambi 10 zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019>[https://www.un.org/unispal/document/unrwa-annual-operational-report-2019-for-the-reporting-period-01-january-31-december-2019/ UNRWA Annual Operational report 2019 for the Reporting period 01 January – 31 December 2019], kurasa 168-169, "Infrastructure and Camp Improvement Statistics"</ref> ambapo kumi kati yake zilianzishwa baada ya Vita vya Siku Sita wakati nyingine zote zilianzishwa kati ya mwaka 1948 hadi miaka ya 1950. Ni thuluthi moja tu ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi hizo za wakimbizi.<ref name=UNWRA2004table3/> Wengi wao wamejumuika kijamii na kiuchumi nje ya kambi.<ref name=Hanafi/> Wengi wanaishi katika maeneo ya kijiografia yaliyo jirani na kambi hizo.<ref>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 29, 34, 35</ref> Idadi ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa iliongezeka kutoka 750,000 mnamo 1950 hadi kufikia takriban milioni 5 mnamo 2013.<ref name="WhoWeAre">{{cite web |url=http://www.unrwa.org/who-we-are |title=Who We Are - UNRWA |publisher=[[United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East|UNRWA]] |access-date=8 January 2014}}</ref> == Historia == <gallery mode="packed" heights="180px"> File:Nahr al-Bared refugee camp 1952.webp|[[Kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared]] nchini Lebanon, 1952 File:Shatila - street view (3).jpg|[[Kambi ya wakimbizi ya Shatila]] pembezoni mwa mji wa [[Beirut]] mnamo 2019 </gallery> === Wajibu wa UNRWA === Mamlaka ya UNRWA ni kutoa misaada kwa wakimbizi wa Palestina, ikiwa ni pamoja na fursa ya kupata huduma katika kambi zake za wakimbizi. Kwa malengo haya, shirika hilo linawatafsiri wakimbizi wa Palestina kama "watu ambao makazi yao ya kawaida yalikuwa Palestina wakati wa kipindi cha tarehe 1 Juni 1946 hadi 15 Mei 1948, na ambao walipoteza nyumba na njia zao za kujipatia riziki kutokana na mgogoro wa 1948."<ref name="WhoWeAre"/> UNRWA pia hutoa misaada kwa uzao wa upande wa baba wa wakimbizi hao, pamoja na watoto wao walioasiliwa kisheria.<ref name="WhoWeAre"/> [[File:ShufatCampJuly142023 05.jpg|thumb|[[Kambi ya Shu'fat]] katika mji wa [[Yerusalemu]], 2023. Eneo rasmi la kambi hiyo liko katikati ya picha na lina sifa ya majengo ya ghorofa chache; pande zote mbili za kambi hiyo kuna vitongoji vya ziada vya Wapalestina vilivyo ng'ambo ya [[Ukuta wa Israeli wa Ukingo wa Magharibi]] (unaoonekana chini ya picha), ambapo majengo yake ni marefu zaidi.]] [[File:Nabatieh Camp before and after.jpg|thumb|right|[[Kambi ya wakimbizi ya Nabatieh]] kabla na baada ya kuharibiwa na jeshi la Israeli mnamo 1974]] Ili kambi itambuliwe na UNRWA, lazima kuwepo na makubaliano kati ya serikali mwenyeji na UNRWA yanayosimamia matumizi ya kambi hiyo. UNRWA yenyewe haiendeshi kambi yoyote, haina mamlaka ya kipolisi wala wajibu wa kiutawala, bali inatoa tu huduma ndani ya kambi. UNRWA inatambua vituo katika kambi 58 zilizoteuliwa kama kambi za wakimbizi nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]], na pia hutoa huduma katika maeneo mengine ambapo idadi kubwa ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaishi nje ya kambi zinazotambuliwa. UNRWA pia ilitua misaada kwa Wayahudi waliokimbishwa makazi yao ndani ya [[Israeli]] kufuatia mgogoro wa 1948 hadi serikali ya Israeli ilipochukua jukumu la kuwahudumia mnamo 1952. Kambi za wakimbizi zilibadilika kutoka miji ya mahema hadi kuwa safu za nyumba za vitalu vya zege na kisha kuwa vitongoji duni vya mijini (ghettos) ambavyo havitofautiani na mazingira yanayovizunguka (kimsingi vikawa maeneo ya maendeleo ya mijini ndani ya miji iliyopo au vikiwa vyenyewe), ambavyo vinahifadhi takriban thuluthi moja ya wakimbizi wote wa Palestina waliosajiliwa. Ufadhili wa shughuli za UNRWA unatokana karibu mzima na michango ya hiari kutoka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa. UNRWA pia hupokea kiasi fulani cha fedha kutoka kwenye Bajeti ya Kawaida ya Umoja wa Mataifa, ambayo hutumiwa zaidi kwa ajili ya gharama za wafanyakazi wa kimataifa.<ref name="WhoWeAre"/> == Orodha ya kambi == Kambi hizi zimegawanywa katika maeneo matano: * Ukingo wa Gaza: [[Ukingo wa Gaza]] una kambi nane rasmi na hauna kambi isiyo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 1,221,110. * Ukingo wa Magharibi: [[Ukingo wa Magharibi]] una kambi 19 rasmi na kambi nne zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 741,409. * Syria: [[Syria]] ina kambi tisa rasmi na kambi tatu zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 499,189. * Lebanon: Kuna kambi 12 rasmi na hakuna kambi isiyo rasmi nchini [[Lebanon]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 448,599. * Yordani: Kuna kambi 10 rasmi na kambi tatu zisizo rasmi nchini [[Yordani]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 2,034,641. {| class="wikitable sortable" ! Jina !! Kuanzishwa !! Mahali !! Hali !! Majira nukta !! data-sort-type="number" | Idadi ya Watu !! data-sort-type=number | Eneo (km<sup>2</sup>) !! data-sort-type=number | Msongamano (watu/km<sup>2</sup>) !! Maoni !! Marejeo |- ! [[Yarmouk Camp|Kambi ya Yarmouk]] | 1957 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|33|28|27|N|36|18|11|E|region:SY}} || n.a. || 2.1 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kikubwa (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 160,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/yarmouk-unofficial-camp UNRWA Yarmouk Camp]</ref> |- ! [[Rafah Camp|Kambi ya Rafah]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|16|58.87|N|34|15|11.52|E|region:PS}} || 125,304 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/rafah-camp UNRWA Rafah Camp]</ref> |- ! [[Baqa'a refugee camp|Kambi ya Baqa'a]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|04|25|N|35|50|35|E|region:JO}} || 119,000 || 1.4 || 85,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/baqaa-camp UNRWA Baqa'a refugee camp]</ref> |- ! [[Jabalia refugee camp|Kambi ya Jabalia]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|32|20.81|N|34|29|57.63|E|region:PS}} || 113,990 || 1.4 || 81,421 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/jabalia-camp UNRWA Jabalia Camp]</ref> |- ! [[Khan Yunis refugee camp|Kambi ya Khan Yunis]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|21|3|N|34|17|18|E|region:PS}} || 87,816 || 0.549 || 159,956 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/khan-younis-camp UNRWA Khan Yunis Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (khan-younis-camp) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060227195322/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |archive-date=27 February 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Al-Shati refugee camp|Kambi ya Al-Shati]] (Kambi ya Pwani) | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|31|55.91|N|34|26|43.42|E|region:PS}} || 85,628 || 0.52 || 164,669 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/beach-camp UNRWA Al-Shati Camp]</ref> |- ! [[Nuseirat refugee camp|Kambi ya Nuseirat]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|51.56|N|34|23|34.35|E|region:PS}} || 80,194 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/nuseirat-camp UNRWA Nuseirat Camp]</ref> |- ! [[Ain al-Hilweh|Kambi ya Ain al-Hilweh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|37|N|35|22|41|E|region:TH}} || 59,660 || 0.3 || 198,867 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/ein-el-hilweh-camp UNRWA Ain al-Hilweh]</ref><ref name=":0">{{Cite web |url=https://www.nyidanmark.dk/-/media/Files/US/Landerapporter/Factfindingmission_Lebanon_1998.pdf?la=en-GB&hash=E4C43FEDE9F92ED581945E636DD2B84B01FEB97E |title=Report on fact-finding mission to Lebanon 2 – 18 May 1998 |date=1 June 1998 |website=newtodenmark.dk |publisher=The [[Danish Immigration Service]] |format=PDF |access-date=27 April 2020}}</ref> |- ! [[Al-Wehdat refugee camp|Kambi ya Al-Wehdat]] (Kambi Mpya ya Amman) | 1955 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|55|35|N|35|56|18|E|region:JO}} || 57,000 || 0.48 || 118,750 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/amman-new-camp UNRWA Al-Wehdat refugee camp]</ref> |- ! [[Marka refugee camp|Kambi ya Marka]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|00|33|N|36|01|14|E|type:city_region:JO}} || 53,000 || 0.92 || 57,609 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/marka-camp UNRWA Marka refugee camp]</ref> |- ! [[Jaramana Camp|Kambi ya Jaramana]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|29|N|36|21|E|region:SY}} || 49,000 || 0.03 || 1,633,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp UNRWA Jaramana]</ref> |- ! [[Latakia Camp|Kambi ya Latakia]] | 1955–6 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|35|30|28|N|35|47|45|E|type:landmark_region:SY}} || 47,400 || 0.22 || 215,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-unofficial-camp UNRWA Latakia Camp]</ref> |- ! [[Bureij|Kambi ya Bureij]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|region:PS}} || 43,330 || 0.529 || 81,909 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp UNRWA Bureij]</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (bureij) |work=UNRWA |access-date=July 8, 2020 |archive-date=June 24, 2007 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070624022059/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |url-status=dead }}</ref> |- ! [[Rashidieh|Kambi ya Rashidieh]] | 1963 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|14|12.12|N|35|13|5.16|E}} || 34,584 || 0.25 || 138,336 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp UNRWA Rashidieh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Jabal el-Hussein camp|Kambi ya Jabal el-Hussein]] | 1952 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|57|52|N|35|54|23|E|type:edu}} || 32,000 || 0.42 || 76,190 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jabal-el-hussein-camp UNRWA Al-Abdali]</ref> |- ! [[Maghazi refugee camp|Kambi ya Maghazi]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|16.89|N|34|23|07.35|E|region:PS}} || 31,329 || 0.6 || 52,215 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/maghazi-camp UNRWA Maghazi (camp)]</ref> |- ! [[Jerash camp|Kambi ya Jerash]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|16|20.21|N|35|53|29.03|E|region:JO,inline}} || 29,000 || 0.75 || 38,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jerash-camp UNRWA Jerash]</ref> |- ! [[Irbid camp|Kambi ya Irbid]] | 1951 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|33|0|N|35|51|0|E|region:JO_type:city(292040)}} || 28,000 || 0.24 || 116,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/irbid-camp UNRWA Irbid]</ref> |- ! [[Balata Camp|Kambi ya Balata]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|12|N|35|17|E}} || 27,000 || 0.25 || 108,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/balata-camp UNRWA Balata]</ref> |- ! [[Deir al-Balah Camp|Kambi ya Deir al-Balah]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|33|N|34|20|26|E|region:PS}} || 25,569 || 0.16 || 159,806 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/deir-el-balah-camp UNRWA Deir al-Balah Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (deirelbalah) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060131073053/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |archive-date=31 January 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Husn Camp|Kambi ya Husn]] (Kambi ya Shahidi Azmi el-Mufti) | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|28|30|N|35|54|18|E|region:JO}} || 25,000 || 0.77 || 32,468 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/husn-camp UNRWA Husn Camp]</ref> |- ! [[Burj el-Shamali#Palestinian Refugee Camp|Kambi ya Burj el-Shamali]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|15|47|N|35|14|20|E}} || 24,929 || 0.134 || 186,037 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-shemali-camp UNRWA Burj el-Shemali]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Shu'fat Camp|Kambi ya Shu'fat]] | 1965 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|48|44|N| 35|14|47|E|source:wikidata}} || 24,000 || 0.2 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/shufat-camp UNRWA Shu'fat camp]</ref> |- ! [[Qabr Essit|Kambi ya Qabr Essit]] | 1967 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|50|N|36|20|10|E|region:SY}} || 23,700 || 0.02 || 1,185,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/qabr-essit-camp UNRWA Qabr Essit]</ref> |- ! [[Tulkarm Camp|Kambi ya Tulkarm]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|18|51|N|35|2|4|E}} || 21,500 || 0.18 || 119,444 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/tulkarm-camp UNRWA Tulkarm Camp]</ref> |- ! [[Beddawi refugee camp|Kambi ya Beddawi]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|27|0.64|N|35|52|9.17|E}} || 21,252 || 0.2 || 106,260 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/beddawi-camp UNRWA Beddawi refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Zarqa Camp|Kambi ya Zarqa]] | 1949 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|05|N|36|06|E}} || 20,000 || 0.18 || 111,111 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/zarqa-camp UNRWA Zarqa]</ref> |- ! [[Bourj el-Barajneh camp|Kambi ya Bourj el-Barajneh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|50|54|N|35|30|12|E|region:LB}} || 19,539 || 0.104 || 187,875 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-barajneh-camp UNRWA Bourj el-Barajneh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Souf Camp|Kambi ya Souf]] | 1967 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|18|30|N|35|53|7.37|E|type:city_region:IL}} || 19,000 || 0.5 || 38,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/souf-camp UNRWA Souf Camp]</ref> |- ! [[Askar Camp|Kambi ya Askar]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|11.51|N|35|17|50.77|E|region:PS}} || 18,500 || 0.119 || 155,462 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/askar-camp UNRWA Askar (camp)]</ref> |- ! [[Neirab camp|Kambi ya Al-Nayrab]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|36|10|32|N|37|13|40|E|region:SY}} || 18,000 || 0.15 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/neirab-camp UNRWA Al-Nayrab]</ref> |- ! [[Dheisheh|Kambi ya Dheisheh]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|41|38.47|N|35|11|02.96|E|region:PS}} || 15,000 || 0.33 || 45,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/dheisheh-camp UNRWA Dheisheh]</ref> |- ! [[Qalandia Camp|Kambi ya Qalandia]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 14,800 || 0.42 || 35,238 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/kalandia-camp UNRWA Kalandia Camp]</ref> |- ! [[Al-Hassan camp|Kambi ya Al-Hassan]] | 1967 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|31|57|27|N| 35|58|19|E|region:PS}} || 14,068 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18">[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 30-33</ref><ref>{{cite web |title=Palestinian Refugees and Displaced Camps in Jordan: Prince Hassan Camp |url=https://dpa.gov.jo/EN/ListDetails/Palestinian_Refugees_And_Displaced_Camps_in_Jordan/2095/12 |website=dpa.gov.jo |access-date=2 January 2024}}</ref><ref>{{cite book |last1=al-Husseini |first1=Jalal |title=The Evolution of the Palestinian Refugee Camps in Jordan. Between Logics of Exclusion and Integration |url=https://books.openedition.org/ifpo/1742?lang=en |series=Villes, practices urbaines et construction nationale en Jordanie |publisher=Presses de l’Ifpo |access-date=2 January 2024 |pages=181–204 |language=en |date=13 February 2013|isbn=978-2-35159-315-8 }}</ref> |- ! [[Jenin refugee camp|Kambi ya Jenin]] | 1953 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|27|41|N|35|17|11|E}} || 14,000 || 0.42 || 33,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jenin-camp UNRWA Jenin Camp]</ref> |- ! [[Jalazone|Kambi ya Jalazone]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|07.15|N|35|12|41.58|E|region:PS}} || 13,000 || 0.253 || 51,383 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jalazone-camp UNRWA Jalazone]</ref> |- ! [[Al-Sabinah camp|Kambi ya Al-Sabinah]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|2|N|36|17|8|E|region:SY}} || 13,000 || 0.03 || 433,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/sbeineh-camp UNRWA Al-Sabinah]</ref> |- ! [[Homs Camp|Kambi ya Homs]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|34|42|30.29|N|36|42|26.62|E|region:SY_type:city}} || 13,000 || 0.15 || 86,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/homs-camp UNRWA Homs Camp]</ref> |- ! [[Khan Dannun camp|Kambi ya Khan Danoun]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 12,650 || 0.03 || 421,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-dunoun-camp UNRWA Khan Dannun]</ref> |- ! [[Al-Buss refugee camp|Kambi ya El Buss]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|16|21|N|35|12|36|E}} || 12,281 || 0.08 || 153,513 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/el-buss-camp UNRWA El-Buss refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Al-Arroub (camp)|Kambi ya Al-Arroub]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|37|23.18|N|35|08|12.19|E|region:PS}} || 12,000 || 0.24 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/arroub-camp UNRWA Al-Arroub (camp)]</ref> |- ! [[Khan al-Shih camp|Kambi ya Khan al-Shih]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|33|21|30|N|36|6|26|E|region:SY}} || 12,000 || 0.69 || 17,391 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-eshieh-camp UNRWA Khan al-Shih]</ref> |- ! [[Shatila refugee camp|Kambi ya Shatila]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|51|46|N|35|29|54|E|region:LB_type:city(2000000)}} || 10,849 || 0.04 || 271,225 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/shatila-camp UNRWA Shatila refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Nur Shams|Kambi ya Nur Shams]] | 1952 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|19|07.36|N|35|03|31.63|E|region:PS}} || 10,500 || 0.21 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/nur-shams-camp UNRWA Nur Shams, Tulkarm]</ref> |- ! [[Daraa camp|Kambi ya Daraa]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|32|37|N|36|6|E|region:SY}} || 10,500 || 1.3 || 8,077 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/deraa-camp UNRWA Deraa]</ref> |- ! [[Fawwar, Hebron|Kambi ya Fawwar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|28|46.45|N|35|03|52.93|E|region:PS}} || 9,500 || 0.27 || 35,185 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fawwar-camp UNRWA Fawwar, Hebron]</ref> |- ! [[Wavel refugee camp|Kambi ya Wavel]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|59|56.27|N|36|11|35.46|E|type:city}} || 9,460 || 0.043 || 220,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/wavel-camp UNRWA Wavel]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Hama camp|Kambi ya Hama]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|35|08|N|36|45|E|region:SY}} || 9,000 || 0.06 || 150,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/hama-camp UNRWA Hama]</ref> |- ! [[Aqabat Jaber|Kambi ya Aqabat Jaber]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|50|17.00|N|35|26|30.20|E|region:PS}} || 8,600 || 1.67 || 5,150 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aqbat-jabr-camp UNRWA Aqabat Jaber]</ref> |- ! [[Madaba Camp|Kambi ya Madaba]] | 1956 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord| 31|42|41|N| 35|47|15|E |region:PS}} || 8,597 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Far'a|Kambi ya Far'a]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|17|38.35|N|35|20|39.74|E|region:PS}} || 8,500 || 0.26 || 32,692 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fara-camp UNRWA Far'a]</ref> |- ! [[Talbieh Camp|Kambi ya Talbieh]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|42|19|N|35|56|57|E|region:JO}} || 8,000 || 0.13 || 61,538 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/talbieh-camp UNRWA Talbieh Camp]</ref> |- ! [[Ein Beit al-Ma'|Kambi ya Ein Beit al-Ma']] (Kambi Na. 1) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|48.91|N|35|14|58.42|E|region:PS}} || 7,500 || 0.045 || 166,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/camp-no-1-camp UNRWA Ein Beit al-Ma']</ref> |- ! [[Sokhna camp|Kambi ya Sokhna]] | 1969 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|32|7|59|N| 36|4|20|E|region:PS}} || 7,424 || n.a. || n.a. || wakati mwingine huandikwa kama 'Sakhna' au 'Sukhna' || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Al-Am'ari|Kambi ya Al-Am'ari]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|53|38.60|N|35|12|41.52|E|region:PS}} || 7,000 || 0.096 || 72,917 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/amari-camp UNRWA Am'ari]</ref> |- ! [[Ein Al-Tal|Kambi ya Ein Al-Tal]] (pia inajulikana kama kambi ya Handarat) | 1962 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|36|17|34.84|N|37|9|24.86|E}} || n.a. || 0.16 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kibaya (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 7,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/ein-el-tal-unofficial-camp UNRWA Ein el Tal]</ref> |- ! [[Nahr al-Bared refugee camp|Kambi ya Nahr al-Bared]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|30|47|N|35|57|40|E|region:LB_type:city}} || 5,857 || 0.198 || 29,581 || Imejengwa upya, hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 27,000 || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/nahr-el-bared-camp UNRWA Nahr al-Bared]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Mieh Mieh refugee camp|Kambi ya Mieh Mieh]] | 1954 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|30|N|35|23|29|E|region:TH}} || 5,747 || 0.054 || 106,426 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mieh-mieh-camp UNRWA Mieh Mieh refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Aida Camp|Kambi ya Aida]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|43|10.34|N|35|11|56.31|E|region:PS}} || 5,500 || 0.071 || 77,465 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aida-camp UNRWA Aida (camp)]</ref> |- ! [[Dbayeh camp|Kambi ya Dbayeh]] | 1956 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|54|N|35|34|E}} || 4,591 || 0.084 || 54,655 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/dbayeh-camp UNRWA Dbayeh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Ein es-Sultan camp|Kambi ya Ein es-Sultan]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|52|40.24|N|35|26|46.24|E|region:PS}} || 3,800 || 0.87 || 4,368 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/ein-el-sultan-camp UNRWA Ein as-Sultan]</ref> |- ! [['Azza|Kambi ya 'Azza]] (Beit Jibrin) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|42|54.78|N|35|12|07.61|E|region:PS}} || 2,900 || 0.027 || 107,407 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/beit-jibrin-camp UNRWA 'Azza]</ref> |- ! [[Deir 'Ammar Camp|Kambi ya Deir 'Ammar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|57.22|N|35|05|55.98|E|region:PS}} || 2,500 || 0.162 || 15,432 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/deir-ammar-camp UNRWA Deir 'Ammar Camp]</ref> |- ! [[Qaddura|Kambi ya Qaddura]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord|31|54|3.32|N|35|12|21.18|E|region:PS}} || 1,558 || n.a. || n.a. || || <ref>{{Cite web |url=http://vprofile.arij.org/ramallah/pdfs/factsheet/Qaddura%20Camp_vp_en.pdf |title=Qaddura camp profile |website=vprofile.arij.org}}</ref> |- ! [[Mar Elias refugee camp|Kambi ya Mar Elias]] | 1952 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|52|38|N|35|29|19|E|region:LB_type:landmark}} || 725 || 0.0054 || 134,259 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mar-elias-camp UNRWA Mar Elias refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Silwad Camp|Kambi ya Silwad]] | 1971 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi ||{{coord|31|58|5|N| 35|15|41|E|region:PS}} || 462 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Abu Shukheidim|Kambi ya Abu Shukheidim]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || || n.a. || n.a. || n.a. || Mji wa Abu Shukhaydam unaonekana kwenye ramani ukiwa takriban maili 1 Kusini Magharibi mwa [[Birzeit]] || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Birzeit camp|Kambi ya Birzeit]] (As-Saqaeif) | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord| 31|58|12|N |35|12|01|E|region:PS}}<!--Inakadiria, kutoka google maps--> || n.a. || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/><ref>{{cite web |title=مخيم بير زيت |trans-title=Bir Zeit camp |url=https://palcamps.net/ar/camp/84 |website=palcamps.net |access-date=4 January 2024 |archive-date=4 January 2024 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240104005840/https://palcamps.net/ar/camp/84 |url-status=dead }}</ref> |} == Takwimu za idadi ya watu == Mabadiliko ya idadi ya wakimbizi wa Palestina yanaonyeshwa hapa chini:<ref name=UNWRA2004table2>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 2: Distribution of registered population (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi>Ḥanafī, Sārī [https://www.semanticscholar.org/paper/Palestinian-Refugee-Camps-in-the-Arab-East%3A-in-of-Ḥanafī/5fe726e0243501808d403ebb2fb230e5a1b45ba3 "Palestinian Refugee Camps in the Arab East: Governmentalities in Search of Legitimacy."] (2010), ukurasa wa 6</ref><ref name=BADIL>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], ukurasa wa 30</ref> {| class="wikitable sortable" ! Enzi !! 1950 !! 1960 !! 1970 !! 1980 !! 1990 !! 2000 !! 2004 !! 2009 !! 2018 |- ! [[Yordani]] | 506,200 || 613,743 || 506,038 || 716,372 || 929,097 || 1,570,192 || 1,758,274 || 1,951,603 || 2,242,579 |- ! [[Lebanon]] | 127,600 || 136,561 || 175,958 || 226,554 || 302,049 || 376,472 || 396,890 || 422,188 || 475,075 |- ! [[Syria]] | 82,194 || 115,043 || 158,717 || 209,362 || 280,731 || 383,199 || 417,346 || 461,897 || 560,139 |- ! [[Ukingo wa Magharibi]] | – || – || 272,692 || 324,035 || 414,298 || 583,009 || 675,670 || 762,820 || 846,465 |- ! [[Ukingo wa Gaza]] | 198,227 || 255,542 || 311,814 || 367,995 || 496,339 || 824,622 || 938,531 || 1,073,303 || 1,421,282 |- ! Jumla ya wakimbizi waliosajiliwa | 914,221 || 1,120,889 || 1,425,219 || 1,844,318 || 2,422,514 || 3,737,494 || 4,186,711 || 4,671,811 || 5,545,540 |} Idadi ya wakimbizi wa Palestina wanaoishi ndani ya maeneo ya kiutendaji yaliyosajiliwa na UNRWA inaonyeshwa hapa chini, ikijumuisha wale wanaoishi makambini na wale wanaoishi nje ya kambi:<ref name=UNWRA2004table3>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 3: Number and distribution of special hardship cases (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi/><ref name=BADIL/> {| class="wikitable sortable" ! Mwaka !! Watu waliosajiliwa (wakimbizi na wengineo) !! Wakimbizi waliosajiliwa makambini !! % ya wakimbizi waliosajiliwa makambini |- | 1953 || 870,158 || 300,785 || 34.6 |- | 1955 || 912,425 || 351,532 || 38.5 |- | 1960 || 1,136,487 || 409,223 || 36.0 |- | 1965 || 1,300,117 || 508,042 || 39.1 |- | 1970 || 1,445,022 || 500,985 || 34.7 |- | 1975 || 1,652,436 || 551,643 || 33.4 |- | 1980 || 1,863,162 || 613,149 || 32.9 |- | 1985 || 2,119,862 || 805,482 || 38.0 |- | 1990 || 2,466,516 || 697,709 || 28.3 |- | 1995 || 3,246,044 || 1,007,375 || 31.0 |- | 2000 || 3,806,055 || 1,227,954 || 32.3 |- | 2005 || 4,283,892 || 1,265,987 || 29.6 |- | 2010 || 4,966,664 || 1,452,790 || 29.3 |- | 2015 || 5,741,480 || 1,632,876 || 28.4 |- | 2018 || 6,171,793 || 1,728,409 || 28.0 |} Jedwali hapa chini linaonyesha idadi ya wakimbizi waliosajiliwa, watu wengine waliosajiliwa, na wakimbizi wanaoishi makambini mnamo mwaka 2018.<ref>{{Cite web |url=https://unrwa.es/wp-content/uploads/2019/10/unrwa_in_figures_2019_eng_sep_2019_final.pdf |title=UNRWA in Figures 2019 |website=unrwa.es}}</ref> Ufafanuzi wa UNRWA kuhusu "Watu Wengine Waliosajiliwa" unamaanisha "wale ambao, wakati wa usajili wa awali hawakukidhi vigezo vyote vya UNRWA vya ukimbizi wa Palestina, lakini walionekana kupata hasara kubwa na/au shida kwa sababu zinazohusiana na mzozo wa 1948 nchini Palestina; pia inajumuisha watu ambao ni wanachama wa familia za watu wengine waliosajiliwa."<ref>[https://www.unrwa.org/sites/default/files/content/resources/aor_2019_eng.pdf UNRWA Annual Operational Report 2019]</ref> {| class="wikitable sortable" ! Kipengele !! Yordani !! Lebanon !! Syria !! Ukingo wa Magharibi !! Ukingo wa Gaza !! Jumla |- | Wakimbizi waliosajiliwa || 2,242,579 || 475,075 || 560,139 || 846,465 || 1,421,282 || 5,545,540 |- | Watu wengine waliosajiliwa || 133,902 || 58,810 || 83,003 || 201,525 || 149,013 || 626,253 |- | Jumla ya watu waliosajiliwa || 2,376,481 || 533,885 || 643,142 || 1,047,990 || 1,570,295 || 6,171,793 |- | Wakimbizi wanaoishi ndani ya mipaka rasmi ya kambi || 412,054 || 270,614 || 194,993 || 256,758 || 593,990 || 1,728,409 |- | % ya wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi || 18.4% || 57.0% || 34.8% || 30.3% || 41.8% || 31.2% |} ==Marejeo== {{reflist}} ==Bibliografia== * {{cite book |author1=Are Knudsen |author2=Sari Hanafi |title=Palestinian Refugees: Identity, Space and Place in the Levan t|url=https://books.google.com/books?id=QlIuCgAAQBAJ&pg=PA3 |date=5 November 2010 |publisher=Routledge |isbn=978-1-136-88334-7 |pages=3–}} ==Viungo vya nje== {{Commons category|Palestinian refugee camps}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170207104159/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-lebanon/fmo018.pdf |title=Palestinian Refugees in Lebanon |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170810020055/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-syria/fmo017.pdf |title=Palestinian Refugees in Syria |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170828015322/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-jordan/fmo025.pdf |title=Palestinian Refugees in Jordan |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://www.worldpoliticsreview.com/as-rebuilding-begins-at-lebanons-nahr-al-bared-displaced-refugees-eager-to-return/ |title=As rebuilding begins at Lebanon's nahr al bared, displaced refugees are eager to return |website= |author1=William Wheeler |author2=Don Duncan |work=World Politics Review |date=11 March 2008}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20141218042328/http://alray.ps/en/index.php?act=post&id=2581#.VJJWxy7P32c |title=UN refugee agency unveils Palestinian archive |website=alray.ps |via=web.archive.org}} {{Palestine topics}} {{Palestinian refugee camps}}{{ whole Gaza Strip }} [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] [[Category:Kambi za wakimbizi wa Palestina|*]] 7lac3wuawvy3hd16ftaovnwqt0bsubh 1572423 1572418 2026-06-13T21:34:06Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 4 template(s) replaced. 1572423 wikitext text/x-wiki '''Kambi za wakimbizi wa Palestina''' zilianzishwa kwa mara ya kwanza ili kuwahifadhi [[Wapalestina]] waliokimbia makazi yao kutokana na kufukuzwa na kukimbia kwa Wapalestina mnamo 1948 wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |last=MacDonald|first=Alex |access-date=17 June 2025}}</ref> Kambi hizo zilianzishwa na [[UNRWA|Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Utoaji wa Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina]] (UNRWA) nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]]. Wimbi lililofuata la wakimbizi wa Palestina lilitokea wakati wa [[Naksa]] baada ya [[Vita vya Siku Sita]] mnamo 1967.<ref>[[UNWRA]], [https://www.unrwa.org/etemplate.php%3Fid%3D86 Palestine refugees]</ref> Kuna jumla ya kambi 68 za wakimbizi wa Palestina, kambi 58 rasmi na kambi 10 zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019>[https://www.un.org/unispal/document/unrwa-annual-operational-report-2019-for-the-reporting-period-01-january-31-december-2019/ UNRWA Annual Operational report 2019 for the Reporting period 01 January – 31 December 2019], kurasa 168-169, "Infrastructure and Camp Improvement Statistics"</ref> ambapo kumi kati yake zilianzishwa baada ya Vita vya Siku Sita wakati nyingine zote zilianzishwa kati ya mwaka 1948 hadi miaka ya 1950. Ni thuluthi moja tu ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi hizo za wakimbizi.<ref name=UNWRA2004table3/> Wengi wao wamejumuika kijamii na kiuchumi nje ya kambi.<ref name=Hanafi/> Wengi wanaishi katika maeneo ya kijiografia yaliyo jirani na kambi hizo.<ref>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 29, 34, 35</ref> Idadi ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa iliongezeka kutoka 750,000 mnamo 1950 hadi kufikia takriban milioni 5 mnamo 2013.<ref name="WhoWeAre">{{cite web |url=http://www.unrwa.org/who-we-are |title=Who We Are - UNRWA |publisher=[[United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East|UNRWA]] |access-date=8 January 2014}}</ref> == Historia == <gallery mode="packed" heights="180px"> File:Nahr al-Bared refugee camp 1952.webp|[[Kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared]] nchini Lebanon, 1952 File:Shatila - street view (3).jpg|[[Kambi ya wakimbizi ya Shatila]] pembezoni mwa mji wa [[Beirut]] mnamo 2019 </gallery> === Wajibu wa UNRWA === Mamlaka ya UNRWA ni kutoa misaada kwa wakimbizi wa Palestina, ikiwa ni pamoja na fursa ya kupata huduma katika kambi zake za wakimbizi. Kwa malengo haya, shirika hilo linawatafsiri wakimbizi wa Palestina kama "watu ambao makazi yao ya kawaida yalikuwa Palestina wakati wa kipindi cha tarehe 1 Juni 1946 hadi 15 Mei 1948, na ambao walipoteza nyumba na njia zao za kujipatia riziki kutokana na mgogoro wa 1948."<ref name="WhoWeAre"/> UNRWA pia hutoa misaada kwa uzao wa upande wa baba wa wakimbizi hao, pamoja na watoto wao walioasiliwa kisheria.<ref name="WhoWeAre"/> [[File:ShufatCampJuly142023 05.jpg|thumb|[[Kambi ya Shu'fat]] katika mji wa [[Yerusalemu]], 2023. Eneo rasmi la kambi hiyo liko katikati ya picha na lina sifa ya majengo ya ghorofa chache; pande zote mbili za kambi hiyo kuna vitongoji vya ziada vya Wapalestina vilivyo ng'ambo ya [[Ukuta wa Israeli wa Ukingo wa Magharibi]] (unaoonekana chini ya picha), ambapo majengo yake ni marefu zaidi.]] [[File:Nabatieh Camp before and after.jpg|thumb|right|[[Kambi ya wakimbizi ya Nabatieh]] kabla na baada ya kuharibiwa na jeshi la Israeli mnamo 1974]] Ili kambi itambuliwe na UNRWA, lazima kuwepo na makubaliano kati ya serikali mwenyeji na UNRWA yanayosimamia matumizi ya kambi hiyo. UNRWA yenyewe haiendeshi kambi yoyote, haina mamlaka ya kipolisi wala wajibu wa kiutawala, bali inatoa tu huduma ndani ya kambi. UNRWA inatambua vituo katika kambi 58 zilizoteuliwa kama kambi za wakimbizi nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]], na pia hutoa huduma katika maeneo mengine ambapo idadi kubwa ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaishi nje ya kambi zinazotambuliwa. UNRWA pia ilitua misaada kwa Wayahudi waliokimbishwa makazi yao ndani ya [[Israeli]] kufuatia mgogoro wa 1948 hadi serikali ya Israeli ilipochukua jukumu la kuwahudumia mnamo 1952. Kambi za wakimbizi zilibadilika kutoka miji ya mahema hadi kuwa safu za nyumba za vitalu vya zege na kisha kuwa vitongoji duni vya mijini (ghettos) ambavyo havitofautiani na mazingira yanayovizunguka (kimsingi vikawa maeneo ya maendeleo ya mijini ndani ya miji iliyopo au vikiwa vyenyewe), ambavyo vinahifadhi takriban thuluthi moja ya wakimbizi wote wa Palestina waliosajiliwa. Ufadhili wa shughuli za UNRWA unatokana karibu mzima na michango ya hiari kutoka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa. UNRWA pia hupokea kiasi fulani cha fedha kutoka kwenye Bajeti ya Kawaida ya Umoja wa Mataifa, ambayo hutumiwa zaidi kwa ajili ya gharama za wafanyakazi wa kimataifa.<ref name="WhoWeAre"/> == Orodha ya kambi == Kambi hizi zimegawanywa katika maeneo matano: * Ukingo wa Gaza: [[Ukingo wa Gaza]] una kambi nane rasmi na hauna kambi isiyo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 1,221,110. * Ukingo wa Magharibi: [[Ukingo wa Magharibi]] una kambi 19 rasmi na kambi nne zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 741,409. * Syria: [[Syria]] ina kambi tisa rasmi na kambi tatu zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 499,189. * Lebanon: Kuna kambi 12 rasmi na hakuna kambi isiyo rasmi nchini [[Lebanon]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 448,599. * Yordani: Kuna kambi 10 rasmi na kambi tatu zisizo rasmi nchini [[Yordani]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 2,034,641. {| class="wikitable sortable" ! Jina !! Kuanzishwa !! Mahali !! Hali !! Majira nukta !! data-sort-type="number" | Idadi ya Watu !! data-sort-type=number | Eneo (km<sup>2</sup>) !! data-sort-type=number | Msongamano (watu/km<sup>2</sup>) !! Maoni !! Marejeo |- ! [[Yarmouk Camp|Kambi ya Yarmouk]] | 1957 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|33|28|27|N|36|18|11|E|region:SY}} || n.a. || 2.1 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kikubwa (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 160,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/yarmouk-unofficial-camp UNRWA Yarmouk Camp]</ref> |- ! [[Rafah Camp|Kambi ya Rafah]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|16|58.87|N|34|15|11.52|E|region:PS}} || 125,304 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/rafah-camp UNRWA Rafah Camp]</ref> |- ! [[Baqa'a refugee camp|Kambi ya Baqa'a]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|04|25|N|35|50|35|E|region:JO}} || 119,000 || 1.4 || 85,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/baqaa-camp UNRWA Baqa'a refugee camp]</ref> |- ! [[Jabalia refugee camp|Kambi ya Jabalia]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|32|20.81|N|34|29|57.63|E|region:PS}} || 113,990 || 1.4 || 81,421 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/jabalia-camp UNRWA Jabalia Camp]</ref> |- ! [[Khan Yunis refugee camp|Kambi ya Khan Yunis]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|21|3|N|34|17|18|E|region:PS}} || 87,816 || 0.549 || 159,956 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/khan-younis-camp UNRWA Khan Yunis Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (khan-younis-camp) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060227195322/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |archive-date=27 February 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Al-Shati refugee camp|Kambi ya Al-Shati]] (Kambi ya Pwani) | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|31|55.91|N|34|26|43.42|E|region:PS}} || 85,628 || 0.52 || 164,669 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/beach-camp UNRWA Al-Shati Camp]</ref> |- ! [[Nuseirat refugee camp|Kambi ya Nuseirat]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|51.56|N|34|23|34.35|E|region:PS}} || 80,194 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/nuseirat-camp UNRWA Nuseirat Camp]</ref> |- ! [[Ain al-Hilweh|Kambi ya Ain al-Hilweh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|37|N|35|22|41|E|region:TH}} || 59,660 || 0.3 || 198,867 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/ein-el-hilweh-camp UNRWA Ain al-Hilweh]</ref><ref name=":0">{{Rejea tovuti |url=https://www.nyidanmark.dk/-/media/Files/US/Landerapporter/Factfindingmission_Lebanon_1998.pdf?la=en-GB&hash=E4C43FEDE9F92ED581945E636DD2B84B01FEB97E |title=Report on fact-finding mission to Lebanon 2 – 18 May 1998 |date=1 June 1998 |website=newtodenmark.dk |publisher=The [[Danish Immigration Service]] |format=PDF |access-date=27 April 2020}}</ref> |- ! [[Al-Wehdat refugee camp|Kambi ya Al-Wehdat]] (Kambi Mpya ya Amman) | 1955 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|55|35|N|35|56|18|E|region:JO}} || 57,000 || 0.48 || 118,750 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/amman-new-camp UNRWA Al-Wehdat refugee camp]</ref> |- ! [[Marka refugee camp|Kambi ya Marka]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|00|33|N|36|01|14|E|type:city_region:JO}} || 53,000 || 0.92 || 57,609 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/marka-camp UNRWA Marka refugee camp]</ref> |- ! [[Jaramana Camp|Kambi ya Jaramana]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|29|N|36|21|E|region:SY}} || 49,000 || 0.03 || 1,633,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp UNRWA Jaramana]</ref> |- ! [[Latakia Camp|Kambi ya Latakia]] | 1955–6 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|35|30|28|N|35|47|45|E|type:landmark_region:SY}} || 47,400 || 0.22 || 215,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-unofficial-camp UNRWA Latakia Camp]</ref> |- ! [[Bureij|Kambi ya Bureij]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|region:PS}} || 43,330 || 0.529 || 81,909 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp UNRWA Bureij]</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (bureij) |work=UNRWA |access-date=July 8, 2020 |archive-date=June 24, 2007 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070624022059/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |url-status=dead }}</ref> |- ! [[Rashidieh|Kambi ya Rashidieh]] | 1963 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|14|12.12|N|35|13|5.16|E}} || 34,584 || 0.25 || 138,336 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp UNRWA Rashidieh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Jabal el-Hussein camp|Kambi ya Jabal el-Hussein]] | 1952 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|57|52|N|35|54|23|E|type:edu}} || 32,000 || 0.42 || 76,190 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jabal-el-hussein-camp UNRWA Al-Abdali]</ref> |- ! [[Maghazi refugee camp|Kambi ya Maghazi]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|16.89|N|34|23|07.35|E|region:PS}} || 31,329 || 0.6 || 52,215 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/maghazi-camp UNRWA Maghazi (camp)]</ref> |- ! [[Jerash camp|Kambi ya Jerash]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|16|20.21|N|35|53|29.03|E|region:JO,inline}} || 29,000 || 0.75 || 38,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jerash-camp UNRWA Jerash]</ref> |- ! [[Irbid camp|Kambi ya Irbid]] | 1951 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|33|0|N|35|51|0|E|region:JO_type:city(292040)}} || 28,000 || 0.24 || 116,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/irbid-camp UNRWA Irbid]</ref> |- ! [[Balata Camp|Kambi ya Balata]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|12|N|35|17|E}} || 27,000 || 0.25 || 108,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/balata-camp UNRWA Balata]</ref> |- ! [[Deir al-Balah Camp|Kambi ya Deir al-Balah]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|33|N|34|20|26|E|region:PS}} || 25,569 || 0.16 || 159,806 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/deir-el-balah-camp UNRWA Deir al-Balah Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (deirelbalah) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060131073053/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |archive-date=31 January 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Husn Camp|Kambi ya Husn]] (Kambi ya Shahidi Azmi el-Mufti) | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|28|30|N|35|54|18|E|region:JO}} || 25,000 || 0.77 || 32,468 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/husn-camp UNRWA Husn Camp]</ref> |- ! [[Burj el-Shamali#Palestinian Refugee Camp|Kambi ya Burj el-Shamali]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|15|47|N|35|14|20|E}} || 24,929 || 0.134 || 186,037 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-shemali-camp UNRWA Burj el-Shemali]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Shu'fat Camp|Kambi ya Shu'fat]] | 1965 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|48|44|N| 35|14|47|E|source:wikidata}} || 24,000 || 0.2 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/shufat-camp UNRWA Shu'fat camp]</ref> |- ! [[Qabr Essit|Kambi ya Qabr Essit]] | 1967 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|50|N|36|20|10|E|region:SY}} || 23,700 || 0.02 || 1,185,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/qabr-essit-camp UNRWA Qabr Essit]</ref> |- ! [[Tulkarm Camp|Kambi ya Tulkarm]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|18|51|N|35|2|4|E}} || 21,500 || 0.18 || 119,444 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/tulkarm-camp UNRWA Tulkarm Camp]</ref> |- ! [[Beddawi refugee camp|Kambi ya Beddawi]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|27|0.64|N|35|52|9.17|E}} || 21,252 || 0.2 || 106,260 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/beddawi-camp UNRWA Beddawi refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Zarqa Camp|Kambi ya Zarqa]] | 1949 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|05|N|36|06|E}} || 20,000 || 0.18 || 111,111 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/zarqa-camp UNRWA Zarqa]</ref> |- ! [[Bourj el-Barajneh camp|Kambi ya Bourj el-Barajneh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|50|54|N|35|30|12|E|region:LB}} || 19,539 || 0.104 || 187,875 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-barajneh-camp UNRWA Bourj el-Barajneh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Souf Camp|Kambi ya Souf]] | 1967 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|18|30|N|35|53|7.37|E|type:city_region:IL}} || 19,000 || 0.5 || 38,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/souf-camp UNRWA Souf Camp]</ref> |- ! [[Askar Camp|Kambi ya Askar]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|11.51|N|35|17|50.77|E|region:PS}} || 18,500 || 0.119 || 155,462 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/askar-camp UNRWA Askar (camp)]</ref> |- ! [[Neirab camp|Kambi ya Al-Nayrab]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|36|10|32|N|37|13|40|E|region:SY}} || 18,000 || 0.15 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/neirab-camp UNRWA Al-Nayrab]</ref> |- ! [[Dheisheh|Kambi ya Dheisheh]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|41|38.47|N|35|11|02.96|E|region:PS}} || 15,000 || 0.33 || 45,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/dheisheh-camp UNRWA Dheisheh]</ref> |- ! [[Qalandia Camp|Kambi ya Qalandia]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 14,800 || 0.42 || 35,238 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/kalandia-camp UNRWA Kalandia Camp]</ref> |- ! [[Al-Hassan camp|Kambi ya Al-Hassan]] | 1967 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|31|57|27|N| 35|58|19|E|region:PS}} || 14,068 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18">[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 30-33</ref><ref>{{cite web |title=Palestinian Refugees and Displaced Camps in Jordan: Prince Hassan Camp |url=https://dpa.gov.jo/EN/ListDetails/Palestinian_Refugees_And_Displaced_Camps_in_Jordan/2095/12 |website=dpa.gov.jo |access-date=2 January 2024}}</ref><ref>{{cite book |last1=al-Husseini |first1=Jalal |title=The Evolution of the Palestinian Refugee Camps in Jordan. Between Logics of Exclusion and Integration |url=https://books.openedition.org/ifpo/1742?lang=en |series=Villes, practices urbaines et construction nationale en Jordanie |publisher=Presses de l’Ifpo |access-date=2 January 2024 |pages=181–204 |language=en |date=13 February 2013|isbn=978-2-35159-315-8 }}</ref> |- ! [[Jenin refugee camp|Kambi ya Jenin]] | 1953 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|27|41|N|35|17|11|E}} || 14,000 || 0.42 || 33,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jenin-camp UNRWA Jenin Camp]</ref> |- ! [[Jalazone|Kambi ya Jalazone]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|07.15|N|35|12|41.58|E|region:PS}} || 13,000 || 0.253 || 51,383 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jalazone-camp UNRWA Jalazone]</ref> |- ! [[Al-Sabinah camp|Kambi ya Al-Sabinah]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|2|N|36|17|8|E|region:SY}} || 13,000 || 0.03 || 433,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/sbeineh-camp UNRWA Al-Sabinah]</ref> |- ! [[Homs Camp|Kambi ya Homs]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|34|42|30.29|N|36|42|26.62|E|region:SY_type:city}} || 13,000 || 0.15 || 86,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/homs-camp UNRWA Homs Camp]</ref> |- ! [[Khan Dannun camp|Kambi ya Khan Danoun]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 12,650 || 0.03 || 421,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-dunoun-camp UNRWA Khan Dannun]</ref> |- ! [[Al-Buss refugee camp|Kambi ya El Buss]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|16|21|N|35|12|36|E}} || 12,281 || 0.08 || 153,513 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/el-buss-camp UNRWA El-Buss refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Al-Arroub (camp)|Kambi ya Al-Arroub]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|37|23.18|N|35|08|12.19|E|region:PS}} || 12,000 || 0.24 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/arroub-camp UNRWA Al-Arroub (camp)]</ref> |- ! [[Khan al-Shih camp|Kambi ya Khan al-Shih]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|33|21|30|N|36|6|26|E|region:SY}} || 12,000 || 0.69 || 17,391 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-eshieh-camp UNRWA Khan al-Shih]</ref> |- ! [[Shatila refugee camp|Kambi ya Shatila]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|51|46|N|35|29|54|E|region:LB_type:city(2000000)}} || 10,849 || 0.04 || 271,225 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/shatila-camp UNRWA Shatila refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Nur Shams|Kambi ya Nur Shams]] | 1952 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|19|07.36|N|35|03|31.63|E|region:PS}} || 10,500 || 0.21 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/nur-shams-camp UNRWA Nur Shams, Tulkarm]</ref> |- ! [[Daraa camp|Kambi ya Daraa]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|32|37|N|36|6|E|region:SY}} || 10,500 || 1.3 || 8,077 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/deraa-camp UNRWA Deraa]</ref> |- ! [[Fawwar, Hebron|Kambi ya Fawwar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|28|46.45|N|35|03|52.93|E|region:PS}} || 9,500 || 0.27 || 35,185 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fawwar-camp UNRWA Fawwar, Hebron]</ref> |- ! [[Wavel refugee camp|Kambi ya Wavel]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|59|56.27|N|36|11|35.46|E|type:city}} || 9,460 || 0.043 || 220,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/wavel-camp UNRWA Wavel]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Hama camp|Kambi ya Hama]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|35|08|N|36|45|E|region:SY}} || 9,000 || 0.06 || 150,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/hama-camp UNRWA Hama]</ref> |- ! [[Aqabat Jaber|Kambi ya Aqabat Jaber]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|50|17.00|N|35|26|30.20|E|region:PS}} || 8,600 || 1.67 || 5,150 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aqbat-jabr-camp UNRWA Aqabat Jaber]</ref> |- ! [[Madaba Camp|Kambi ya Madaba]] | 1956 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord| 31|42|41|N| 35|47|15|E |region:PS}} || 8,597 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Far'a|Kambi ya Far'a]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|17|38.35|N|35|20|39.74|E|region:PS}} || 8,500 || 0.26 || 32,692 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fara-camp UNRWA Far'a]</ref> |- ! [[Talbieh Camp|Kambi ya Talbieh]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|42|19|N|35|56|57|E|region:JO}} || 8,000 || 0.13 || 61,538 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/talbieh-camp UNRWA Talbieh Camp]</ref> |- ! [[Ein Beit al-Ma'|Kambi ya Ein Beit al-Ma']] (Kambi Na. 1) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|48.91|N|35|14|58.42|E|region:PS}} || 7,500 || 0.045 || 166,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/camp-no-1-camp UNRWA Ein Beit al-Ma']</ref> |- ! [[Sokhna camp|Kambi ya Sokhna]] | 1969 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|32|7|59|N| 36|4|20|E|region:PS}} || 7,424 || n.a. || n.a. || wakati mwingine huandikwa kama 'Sakhna' au 'Sukhna' || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Al-Am'ari|Kambi ya Al-Am'ari]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|53|38.60|N|35|12|41.52|E|region:PS}} || 7,000 || 0.096 || 72,917 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/amari-camp UNRWA Am'ari]</ref> |- ! [[Ein Al-Tal|Kambi ya Ein Al-Tal]] (pia inajulikana kama kambi ya Handarat) | 1962 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|36|17|34.84|N|37|9|24.86|E}} || n.a. || 0.16 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kibaya (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 7,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/ein-el-tal-unofficial-camp UNRWA Ein el Tal]</ref> |- ! [[Nahr al-Bared refugee camp|Kambi ya Nahr al-Bared]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|30|47|N|35|57|40|E|region:LB_type:city}} || 5,857 || 0.198 || 29,581 || Imejengwa upya, hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 27,000 || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/nahr-el-bared-camp UNRWA Nahr al-Bared]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Mieh Mieh refugee camp|Kambi ya Mieh Mieh]] | 1954 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|30|N|35|23|29|E|region:TH}} || 5,747 || 0.054 || 106,426 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mieh-mieh-camp UNRWA Mieh Mieh refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Aida Camp|Kambi ya Aida]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|43|10.34|N|35|11|56.31|E|region:PS}} || 5,500 || 0.071 || 77,465 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aida-camp UNRWA Aida (camp)]</ref> |- ! [[Dbayeh camp|Kambi ya Dbayeh]] | 1956 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|54|N|35|34|E}} || 4,591 || 0.084 || 54,655 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/dbayeh-camp UNRWA Dbayeh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Ein es-Sultan camp|Kambi ya Ein es-Sultan]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|52|40.24|N|35|26|46.24|E|region:PS}} || 3,800 || 0.87 || 4,368 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/ein-el-sultan-camp UNRWA Ein as-Sultan]</ref> |- ! [['Azza|Kambi ya 'Azza]] (Beit Jibrin) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|42|54.78|N|35|12|07.61|E|region:PS}} || 2,900 || 0.027 || 107,407 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/beit-jibrin-camp UNRWA 'Azza]</ref> |- ! [[Deir 'Ammar Camp|Kambi ya Deir 'Ammar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|57.22|N|35|05|55.98|E|region:PS}} || 2,500 || 0.162 || 15,432 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/deir-ammar-camp UNRWA Deir 'Ammar Camp]</ref> |- ! [[Qaddura|Kambi ya Qaddura]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord|31|54|3.32|N|35|12|21.18|E|region:PS}} || 1,558 || n.a. || n.a. || || <ref>{{Rejea tovuti |url=http://vprofile.arij.org/ramallah/pdfs/factsheet/Qaddura%20Camp_vp_en.pdf |title=Qaddura camp profile |website=vprofile.arij.org}}</ref> |- ! [[Mar Elias refugee camp|Kambi ya Mar Elias]] | 1952 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|52|38|N|35|29|19|E|region:LB_type:landmark}} || 725 || 0.0054 || 134,259 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mar-elias-camp UNRWA Mar Elias refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Silwad Camp|Kambi ya Silwad]] | 1971 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi ||{{coord|31|58|5|N| 35|15|41|E|region:PS}} || 462 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Abu Shukheidim|Kambi ya Abu Shukheidim]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || || n.a. || n.a. || n.a. || Mji wa Abu Shukhaydam unaonekana kwenye ramani ukiwa takriban maili 1 Kusini Magharibi mwa [[Birzeit]] || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Birzeit camp|Kambi ya Birzeit]] (As-Saqaeif) | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord| 31|58|12|N |35|12|01|E|region:PS}}<!--Inakadiria, kutoka google maps--> || n.a. || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/><ref>{{cite web |title=مخيم بير زيت |trans-title=Bir Zeit camp |url=https://palcamps.net/ar/camp/84 |website=palcamps.net |access-date=4 January 2024 |archive-date=4 January 2024 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240104005840/https://palcamps.net/ar/camp/84 |url-status=dead }}</ref> |} == Takwimu za idadi ya watu == Mabadiliko ya idadi ya wakimbizi wa Palestina yanaonyeshwa hapa chini:<ref name=UNWRA2004table2>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 2: Distribution of registered population (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi>Ḥanafī, Sārī [https://www.semanticscholar.org/paper/Palestinian-Refugee-Camps-in-the-Arab-East%3A-in-of-Ḥanafī/5fe726e0243501808d403ebb2fb230e5a1b45ba3 "Palestinian Refugee Camps in the Arab East: Governmentalities in Search of Legitimacy."] (2010), ukurasa wa 6</ref><ref name=BADIL>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], ukurasa wa 30</ref> {| class="wikitable sortable" ! Enzi !! 1950 !! 1960 !! 1970 !! 1980 !! 1990 !! 2000 !! 2004 !! 2009 !! 2018 |- ! [[Yordani]] | 506,200 || 613,743 || 506,038 || 716,372 || 929,097 || 1,570,192 || 1,758,274 || 1,951,603 || 2,242,579 |- ! [[Lebanon]] | 127,600 || 136,561 || 175,958 || 226,554 || 302,049 || 376,472 || 396,890 || 422,188 || 475,075 |- ! [[Syria]] | 82,194 || 115,043 || 158,717 || 209,362 || 280,731 || 383,199 || 417,346 || 461,897 || 560,139 |- ! [[Ukingo wa Magharibi]] | – || – || 272,692 || 324,035 || 414,298 || 583,009 || 675,670 || 762,820 || 846,465 |- ! [[Ukingo wa Gaza]] | 198,227 || 255,542 || 311,814 || 367,995 || 496,339 || 824,622 || 938,531 || 1,073,303 || 1,421,282 |- ! Jumla ya wakimbizi waliosajiliwa | 914,221 || 1,120,889 || 1,425,219 || 1,844,318 || 2,422,514 || 3,737,494 || 4,186,711 || 4,671,811 || 5,545,540 |} Idadi ya wakimbizi wa Palestina wanaoishi ndani ya maeneo ya kiutendaji yaliyosajiliwa na UNRWA inaonyeshwa hapa chini, ikijumuisha wale wanaoishi makambini na wale wanaoishi nje ya kambi:<ref name=UNWRA2004table3>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 3: Number and distribution of special hardship cases (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi/><ref name=BADIL/> {| class="wikitable sortable" ! Mwaka !! Watu waliosajiliwa (wakimbizi na wengineo) !! Wakimbizi waliosajiliwa makambini !! % ya wakimbizi waliosajiliwa makambini |- | 1953 || 870,158 || 300,785 || 34.6 |- | 1955 || 912,425 || 351,532 || 38.5 |- | 1960 || 1,136,487 || 409,223 || 36.0 |- | 1965 || 1,300,117 || 508,042 || 39.1 |- | 1970 || 1,445,022 || 500,985 || 34.7 |- | 1975 || 1,652,436 || 551,643 || 33.4 |- | 1980 || 1,863,162 || 613,149 || 32.9 |- | 1985 || 2,119,862 || 805,482 || 38.0 |- | 1990 || 2,466,516 || 697,709 || 28.3 |- | 1995 || 3,246,044 || 1,007,375 || 31.0 |- | 2000 || 3,806,055 || 1,227,954 || 32.3 |- | 2005 || 4,283,892 || 1,265,987 || 29.6 |- | 2010 || 4,966,664 || 1,452,790 || 29.3 |- | 2015 || 5,741,480 || 1,632,876 || 28.4 |- | 2018 || 6,171,793 || 1,728,409 || 28.0 |} Jedwali hapa chini linaonyesha idadi ya wakimbizi waliosajiliwa, watu wengine waliosajiliwa, na wakimbizi wanaoishi makambini mnamo mwaka 2018.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://unrwa.es/wp-content/uploads/2019/10/unrwa_in_figures_2019_eng_sep_2019_final.pdf |title=UNRWA in Figures 2019 |website=unrwa.es}}</ref> Ufafanuzi wa UNRWA kuhusu "Watu Wengine Waliosajiliwa" unamaanisha "wale ambao, wakati wa usajili wa awali hawakukidhi vigezo vyote vya UNRWA vya ukimbizi wa Palestina, lakini walionekana kupata hasara kubwa na/au shida kwa sababu zinazohusiana na mzozo wa 1948 nchini Palestina; pia inajumuisha watu ambao ni wanachama wa familia za watu wengine waliosajiliwa."<ref>[https://www.unrwa.org/sites/default/files/content/resources/aor_2019_eng.pdf UNRWA Annual Operational Report 2019]</ref> {| class="wikitable sortable" ! Kipengele !! Yordani !! Lebanon !! Syria !! Ukingo wa Magharibi !! Ukingo wa Gaza !! Jumla |- | Wakimbizi waliosajiliwa || 2,242,579 || 475,075 || 560,139 || 846,465 || 1,421,282 || 5,545,540 |- | Watu wengine waliosajiliwa || 133,902 || 58,810 || 83,003 || 201,525 || 149,013 || 626,253 |- | Jumla ya watu waliosajiliwa || 2,376,481 || 533,885 || 643,142 || 1,047,990 || 1,570,295 || 6,171,793 |- | Wakimbizi wanaoishi ndani ya mipaka rasmi ya kambi || 412,054 || 270,614 || 194,993 || 256,758 || 593,990 || 1,728,409 |- | % ya wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi || 18.4% || 57.0% || 34.8% || 30.3% || 41.8% || 31.2% |} ==Marejeo== {{reflist}} ==Bibliografia== * {{cite book |author1=Are Knudsen |author2=Sari Hanafi |title=Palestinian Refugees: Identity, Space and Place in the Levan t|url=https://books.google.com/books?id=QlIuCgAAQBAJ&pg=PA3 |date=5 November 2010 |publisher=Routledge |isbn=978-1-136-88334-7 |pages=3–}} ==Viungo vya nje== {{Commons category|Palestinian refugee camps}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170207104159/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-lebanon/fmo018.pdf |title=Palestinian Refugees in Lebanon |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170810020055/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-syria/fmo017.pdf |title=Palestinian Refugees in Syria |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170828015322/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-jordan/fmo025.pdf |title=Palestinian Refugees in Jordan |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://www.worldpoliticsreview.com/as-rebuilding-begins-at-lebanons-nahr-al-bared-displaced-refugees-eager-to-return/ |title=As rebuilding begins at Lebanon's nahr al bared, displaced refugees are eager to return |website= |author1=William Wheeler |author2=Don Duncan |work=World Politics Review |date=11 March 2008}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20141218042328/http://alray.ps/en/index.php?act=post&id=2581#.VJJWxy7P32c |title=UN refugee agency unveils Palestinian archive |website=alray.ps |via=web.archive.org}} {{Palestine topics}} {{Palestinian refugee camps}}{{ whole Gaza Strip }} [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] [[Category:Kambi za wakimbizi wa Palestina|*]] i4g4bqa6i3ttvvqcfoy8163jai3uy9y 1572928 1572423 2026-06-14T07:16:43Z Riccardo Riccioni 452 /* Viungo vya nje */ 1572928 wikitext text/x-wiki '''Kambi za wakimbizi wa Palestina''' zilianzishwa kwa mara ya kwanza ili kuwahifadhi [[Wapalestina]] waliokimbia makazi yao kutokana na kufukuzwa na kukimbia kwa Wapalestina mnamo 1948 wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |last=MacDonald|first=Alex |access-date=17 June 2025}}</ref> Kambi hizo zilianzishwa na [[UNRWA|Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Utoaji wa Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina]] (UNRWA) nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]]. Wimbi lililofuata la wakimbizi wa Palestina lilitokea wakati wa [[Naksa]] baada ya [[Vita vya Siku Sita]] mnamo 1967.<ref>[[UNWRA]], [https://www.unrwa.org/etemplate.php%3Fid%3D86 Palestine refugees]</ref> Kuna jumla ya kambi 68 za wakimbizi wa Palestina, kambi 58 rasmi na kambi 10 zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019>[https://www.un.org/unispal/document/unrwa-annual-operational-report-2019-for-the-reporting-period-01-january-31-december-2019/ UNRWA Annual Operational report 2019 for the Reporting period 01 January – 31 December 2019], kurasa 168-169, "Infrastructure and Camp Improvement Statistics"</ref> ambapo kumi kati yake zilianzishwa baada ya Vita vya Siku Sita wakati nyingine zote zilianzishwa kati ya mwaka 1948 hadi miaka ya 1950. Ni thuluthi moja tu ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi hizo za wakimbizi.<ref name=UNWRA2004table3/> Wengi wao wamejumuika kijamii na kiuchumi nje ya kambi.<ref name=Hanafi/> Wengi wanaishi katika maeneo ya kijiografia yaliyo jirani na kambi hizo.<ref>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 29, 34, 35</ref> Idadi ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa iliongezeka kutoka 750,000 mnamo 1950 hadi kufikia takriban milioni 5 mnamo 2013.<ref name="WhoWeAre">{{cite web |url=http://www.unrwa.org/who-we-are |title=Who We Are - UNRWA |publisher=[[United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East|UNRWA]] |access-date=8 January 2014}}</ref> == Historia == <gallery mode="packed" heights="180px"> File:Nahr al-Bared refugee camp 1952.webp|[[Kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared]] nchini Lebanon, 1952 File:Shatila - street view (3).jpg|[[Kambi ya wakimbizi ya Shatila]] pembezoni mwa mji wa [[Beirut]] mnamo 2019 </gallery> === Wajibu wa UNRWA === Mamlaka ya UNRWA ni kutoa misaada kwa wakimbizi wa Palestina, ikiwa ni pamoja na fursa ya kupata huduma katika kambi zake za wakimbizi. Kwa malengo haya, shirika hilo linawatafsiri wakimbizi wa Palestina kama "watu ambao makazi yao ya kawaida yalikuwa Palestina wakati wa kipindi cha tarehe 1 Juni 1946 hadi 15 Mei 1948, na ambao walipoteza nyumba na njia zao za kujipatia riziki kutokana na mgogoro wa 1948."<ref name="WhoWeAre"/> UNRWA pia hutoa misaada kwa uzao wa upande wa baba wa wakimbizi hao, pamoja na watoto wao walioasiliwa kisheria.<ref name="WhoWeAre"/> [[File:ShufatCampJuly142023 05.jpg|thumb|[[Kambi ya Shu'fat]] katika mji wa [[Yerusalemu]], 2023. Eneo rasmi la kambi hiyo liko katikati ya picha na lina sifa ya majengo ya ghorofa chache; pande zote mbili za kambi hiyo kuna vitongoji vya ziada vya Wapalestina vilivyo ng'ambo ya [[Ukuta wa Israeli wa Ukingo wa Magharibi]] (unaoonekana chini ya picha), ambapo majengo yake ni marefu zaidi.]] [[File:Nabatieh Camp before and after.jpg|thumb|right|[[Kambi ya wakimbizi ya Nabatieh]] kabla na baada ya kuharibiwa na jeshi la Israeli mnamo 1974]] Ili kambi itambuliwe na UNRWA, lazima kuwepo na makubaliano kati ya serikali mwenyeji na UNRWA yanayosimamia matumizi ya kambi hiyo. UNRWA yenyewe haiendeshi kambi yoyote, haina mamlaka ya kipolisi wala wajibu wa kiutawala, bali inatoa tu huduma ndani ya kambi. UNRWA inatambua vituo katika kambi 58 zilizoteuliwa kama kambi za wakimbizi nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]], na pia hutoa huduma katika maeneo mengine ambapo idadi kubwa ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaishi nje ya kambi zinazotambuliwa. UNRWA pia ilitua misaada kwa Wayahudi waliokimbishwa makazi yao ndani ya [[Israeli]] kufuatia mgogoro wa 1948 hadi serikali ya Israeli ilipochukua jukumu la kuwahudumia mnamo 1952. Kambi za wakimbizi zilibadilika kutoka miji ya mahema hadi kuwa safu za nyumba za vitalu vya zege na kisha kuwa vitongoji duni vya mijini (ghettos) ambavyo havitofautiani na mazingira yanayovizunguka (kimsingi vikawa maeneo ya maendeleo ya mijini ndani ya miji iliyopo au vikiwa vyenyewe), ambavyo vinahifadhi takriban thuluthi moja ya wakimbizi wote wa Palestina waliosajiliwa. Ufadhili wa shughuli za UNRWA unatokana karibu mzima na michango ya hiari kutoka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa. UNRWA pia hupokea kiasi fulani cha fedha kutoka kwenye Bajeti ya Kawaida ya Umoja wa Mataifa, ambayo hutumiwa zaidi kwa ajili ya gharama za wafanyakazi wa kimataifa.<ref name="WhoWeAre"/> == Orodha ya kambi == Kambi hizi zimegawanywa katika maeneo matano: * Ukingo wa Gaza: [[Ukingo wa Gaza]] una kambi nane rasmi na hauna kambi isiyo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 1,221,110. * Ukingo wa Magharibi: [[Ukingo wa Magharibi]] una kambi 19 rasmi na kambi nne zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 741,409. * Syria: [[Syria]] ina kambi tisa rasmi na kambi tatu zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 499,189. * Lebanon: Kuna kambi 12 rasmi na hakuna kambi isiyo rasmi nchini [[Lebanon]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 448,599. * Yordani: Kuna kambi 10 rasmi na kambi tatu zisizo rasmi nchini [[Yordani]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 2,034,641. {| class="wikitable sortable" ! Jina !! Kuanzishwa !! Mahali !! Hali !! Majira nukta !! data-sort-type="number" | Idadi ya Watu !! data-sort-type=number | Eneo (km<sup>2</sup>) !! data-sort-type=number | Msongamano (watu/km<sup>2</sup>) !! Maoni !! Marejeo |- ! [[Yarmouk Camp|Kambi ya Yarmouk]] | 1957 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|33|28|27|N|36|18|11|E|region:SY}} || n.a. || 2.1 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kikubwa (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 160,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/yarmouk-unofficial-camp UNRWA Yarmouk Camp]</ref> |- ! [[Rafah Camp|Kambi ya Rafah]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|16|58.87|N|34|15|11.52|E|region:PS}} || 125,304 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/rafah-camp UNRWA Rafah Camp]</ref> |- ! [[Baqa'a refugee camp|Kambi ya Baqa'a]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|04|25|N|35|50|35|E|region:JO}} || 119,000 || 1.4 || 85,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/baqaa-camp UNRWA Baqa'a refugee camp]</ref> |- ! [[Jabalia refugee camp|Kambi ya Jabalia]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|32|20.81|N|34|29|57.63|E|region:PS}} || 113,990 || 1.4 || 81,421 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/jabalia-camp UNRWA Jabalia Camp]</ref> |- ! [[Khan Yunis refugee camp|Kambi ya Khan Yunis]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|21|3|N|34|17|18|E|region:PS}} || 87,816 || 0.549 || 159,956 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/khan-younis-camp UNRWA Khan Yunis Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (khan-younis-camp) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060227195322/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |archive-date=27 February 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Al-Shati refugee camp|Kambi ya Al-Shati]] (Kambi ya Pwani) | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|31|55.91|N|34|26|43.42|E|region:PS}} || 85,628 || 0.52 || 164,669 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/beach-camp UNRWA Al-Shati Camp]</ref> |- ! [[Nuseirat refugee camp|Kambi ya Nuseirat]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|51.56|N|34|23|34.35|E|region:PS}} || 80,194 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/nuseirat-camp UNRWA Nuseirat Camp]</ref> |- ! [[Ain al-Hilweh|Kambi ya Ain al-Hilweh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|37|N|35|22|41|E|region:TH}} || 59,660 || 0.3 || 198,867 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/ein-el-hilweh-camp UNRWA Ain al-Hilweh]</ref><ref name=":0">{{Rejea tovuti |url=https://www.nyidanmark.dk/-/media/Files/US/Landerapporter/Factfindingmission_Lebanon_1998.pdf?la=en-GB&hash=E4C43FEDE9F92ED581945E636DD2B84B01FEB97E |title=Report on fact-finding mission to Lebanon 2 – 18 May 1998 |date=1 June 1998 |website=newtodenmark.dk |publisher=The [[Danish Immigration Service]] |format=PDF |access-date=27 April 2020}}</ref> |- ! [[Al-Wehdat refugee camp|Kambi ya Al-Wehdat]] (Kambi Mpya ya Amman) | 1955 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|55|35|N|35|56|18|E|region:JO}} || 57,000 || 0.48 || 118,750 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/amman-new-camp UNRWA Al-Wehdat refugee camp]</ref> |- ! [[Marka refugee camp|Kambi ya Marka]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|00|33|N|36|01|14|E|type:city_region:JO}} || 53,000 || 0.92 || 57,609 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/marka-camp UNRWA Marka refugee camp]</ref> |- ! [[Jaramana Camp|Kambi ya Jaramana]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|29|N|36|21|E|region:SY}} || 49,000 || 0.03 || 1,633,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp UNRWA Jaramana]</ref> |- ! [[Latakia Camp|Kambi ya Latakia]] | 1955–6 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|35|30|28|N|35|47|45|E|type:landmark_region:SY}} || 47,400 || 0.22 || 215,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-unofficial-camp UNRWA Latakia Camp]</ref> |- ! [[Bureij|Kambi ya Bureij]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|region:PS}} || 43,330 || 0.529 || 81,909 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp UNRWA Bureij]</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (bureij) |work=UNRWA |access-date=July 8, 2020 |archive-date=June 24, 2007 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070624022059/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |url-status=dead }}</ref> |- ! [[Rashidieh|Kambi ya Rashidieh]] | 1963 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|14|12.12|N|35|13|5.16|E}} || 34,584 || 0.25 || 138,336 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp UNRWA Rashidieh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Jabal el-Hussein camp|Kambi ya Jabal el-Hussein]] | 1952 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|57|52|N|35|54|23|E|type:edu}} || 32,000 || 0.42 || 76,190 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jabal-el-hussein-camp UNRWA Al-Abdali]</ref> |- ! [[Maghazi refugee camp|Kambi ya Maghazi]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|16.89|N|34|23|07.35|E|region:PS}} || 31,329 || 0.6 || 52,215 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/maghazi-camp UNRWA Maghazi (camp)]</ref> |- ! [[Jerash camp|Kambi ya Jerash]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|16|20.21|N|35|53|29.03|E|region:JO,inline}} || 29,000 || 0.75 || 38,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jerash-camp UNRWA Jerash]</ref> |- ! [[Irbid camp|Kambi ya Irbid]] | 1951 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|33|0|N|35|51|0|E|region:JO_type:city(292040)}} || 28,000 || 0.24 || 116,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/irbid-camp UNRWA Irbid]</ref> |- ! [[Balata Camp|Kambi ya Balata]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|12|N|35|17|E}} || 27,000 || 0.25 || 108,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/balata-camp UNRWA Balata]</ref> |- ! [[Deir al-Balah Camp|Kambi ya Deir al-Balah]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|33|N|34|20|26|E|region:PS}} || 25,569 || 0.16 || 159,806 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/deir-el-balah-camp UNRWA Deir al-Balah Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (deirelbalah) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060131073053/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |archive-date=31 January 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Husn Camp|Kambi ya Husn]] (Kambi ya Shahidi Azmi el-Mufti) | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|28|30|N|35|54|18|E|region:JO}} || 25,000 || 0.77 || 32,468 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/husn-camp UNRWA Husn Camp]</ref> |- ! [[Burj el-Shamali#Palestinian Refugee Camp|Kambi ya Burj el-Shamali]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|15|47|N|35|14|20|E}} || 24,929 || 0.134 || 186,037 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-shemali-camp UNRWA Burj el-Shemali]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Shu'fat Camp|Kambi ya Shu'fat]] | 1965 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|48|44|N| 35|14|47|E|source:wikidata}} || 24,000 || 0.2 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/shufat-camp UNRWA Shu'fat camp]</ref> |- ! [[Qabr Essit|Kambi ya Qabr Essit]] | 1967 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|50|N|36|20|10|E|region:SY}} || 23,700 || 0.02 || 1,185,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/qabr-essit-camp UNRWA Qabr Essit]</ref> |- ! [[Tulkarm Camp|Kambi ya Tulkarm]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|18|51|N|35|2|4|E}} || 21,500 || 0.18 || 119,444 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/tulkarm-camp UNRWA Tulkarm Camp]</ref> |- ! [[Beddawi refugee camp|Kambi ya Beddawi]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|27|0.64|N|35|52|9.17|E}} || 21,252 || 0.2 || 106,260 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/beddawi-camp UNRWA Beddawi refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Zarqa Camp|Kambi ya Zarqa]] | 1949 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|05|N|36|06|E}} || 20,000 || 0.18 || 111,111 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/zarqa-camp UNRWA Zarqa]</ref> |- ! [[Bourj el-Barajneh camp|Kambi ya Bourj el-Barajneh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|50|54|N|35|30|12|E|region:LB}} || 19,539 || 0.104 || 187,875 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-barajneh-camp UNRWA Bourj el-Barajneh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Souf Camp|Kambi ya Souf]] | 1967 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|18|30|N|35|53|7.37|E|type:city_region:IL}} || 19,000 || 0.5 || 38,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/souf-camp UNRWA Souf Camp]</ref> |- ! [[Askar Camp|Kambi ya Askar]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|11.51|N|35|17|50.77|E|region:PS}} || 18,500 || 0.119 || 155,462 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/askar-camp UNRWA Askar (camp)]</ref> |- ! [[Neirab camp|Kambi ya Al-Nayrab]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|36|10|32|N|37|13|40|E|region:SY}} || 18,000 || 0.15 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/neirab-camp UNRWA Al-Nayrab]</ref> |- ! [[Dheisheh|Kambi ya Dheisheh]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|41|38.47|N|35|11|02.96|E|region:PS}} || 15,000 || 0.33 || 45,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/dheisheh-camp UNRWA Dheisheh]</ref> |- ! [[Qalandia Camp|Kambi ya Qalandia]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 14,800 || 0.42 || 35,238 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/kalandia-camp UNRWA Kalandia Camp]</ref> |- ! [[Al-Hassan camp|Kambi ya Al-Hassan]] | 1967 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|31|57|27|N| 35|58|19|E|region:PS}} || 14,068 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18">[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 30-33</ref><ref>{{cite web |title=Palestinian Refugees and Displaced Camps in Jordan: Prince Hassan Camp |url=https://dpa.gov.jo/EN/ListDetails/Palestinian_Refugees_And_Displaced_Camps_in_Jordan/2095/12 |website=dpa.gov.jo |access-date=2 January 2024}}</ref><ref>{{cite book |last1=al-Husseini |first1=Jalal |title=The Evolution of the Palestinian Refugee Camps in Jordan. Between Logics of Exclusion and Integration |url=https://books.openedition.org/ifpo/1742?lang=en |series=Villes, practices urbaines et construction nationale en Jordanie |publisher=Presses de l’Ifpo |access-date=2 January 2024 |pages=181–204 |language=en |date=13 February 2013|isbn=978-2-35159-315-8 }}</ref> |- ! [[Jenin refugee camp|Kambi ya Jenin]] | 1953 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|27|41|N|35|17|11|E}} || 14,000 || 0.42 || 33,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jenin-camp UNRWA Jenin Camp]</ref> |- ! [[Jalazone|Kambi ya Jalazone]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|07.15|N|35|12|41.58|E|region:PS}} || 13,000 || 0.253 || 51,383 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jalazone-camp UNRWA Jalazone]</ref> |- ! [[Al-Sabinah camp|Kambi ya Al-Sabinah]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|2|N|36|17|8|E|region:SY}} || 13,000 || 0.03 || 433,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/sbeineh-camp UNRWA Al-Sabinah]</ref> |- ! [[Homs Camp|Kambi ya Homs]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|34|42|30.29|N|36|42|26.62|E|region:SY_type:city}} || 13,000 || 0.15 || 86,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/homs-camp UNRWA Homs Camp]</ref> |- ! [[Khan Dannun camp|Kambi ya Khan Danoun]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 12,650 || 0.03 || 421,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-dunoun-camp UNRWA Khan Dannun]</ref> |- ! [[Al-Buss refugee camp|Kambi ya El Buss]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|16|21|N|35|12|36|E}} || 12,281 || 0.08 || 153,513 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/el-buss-camp UNRWA El-Buss refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Al-Arroub (camp)|Kambi ya Al-Arroub]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|37|23.18|N|35|08|12.19|E|region:PS}} || 12,000 || 0.24 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/arroub-camp UNRWA Al-Arroub (camp)]</ref> |- ! [[Khan al-Shih camp|Kambi ya Khan al-Shih]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|33|21|30|N|36|6|26|E|region:SY}} || 12,000 || 0.69 || 17,391 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-eshieh-camp UNRWA Khan al-Shih]</ref> |- ! [[Shatila refugee camp|Kambi ya Shatila]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|51|46|N|35|29|54|E|region:LB_type:city(2000000)}} || 10,849 || 0.04 || 271,225 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/shatila-camp UNRWA Shatila refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Nur Shams|Kambi ya Nur Shams]] | 1952 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|19|07.36|N|35|03|31.63|E|region:PS}} || 10,500 || 0.21 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/nur-shams-camp UNRWA Nur Shams, Tulkarm]</ref> |- ! [[Daraa camp|Kambi ya Daraa]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|32|37|N|36|6|E|region:SY}} || 10,500 || 1.3 || 8,077 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/deraa-camp UNRWA Deraa]</ref> |- ! [[Fawwar, Hebron|Kambi ya Fawwar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|28|46.45|N|35|03|52.93|E|region:PS}} || 9,500 || 0.27 || 35,185 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fawwar-camp UNRWA Fawwar, Hebron]</ref> |- ! [[Wavel refugee camp|Kambi ya Wavel]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|59|56.27|N|36|11|35.46|E|type:city}} || 9,460 || 0.043 || 220,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/wavel-camp UNRWA Wavel]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Hama camp|Kambi ya Hama]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|35|08|N|36|45|E|region:SY}} || 9,000 || 0.06 || 150,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/hama-camp UNRWA Hama]</ref> |- ! [[Aqabat Jaber|Kambi ya Aqabat Jaber]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|50|17.00|N|35|26|30.20|E|region:PS}} || 8,600 || 1.67 || 5,150 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aqbat-jabr-camp UNRWA Aqabat Jaber]</ref> |- ! [[Madaba Camp|Kambi ya Madaba]] | 1956 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord| 31|42|41|N| 35|47|15|E |region:PS}} || 8,597 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Far'a|Kambi ya Far'a]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|17|38.35|N|35|20|39.74|E|region:PS}} || 8,500 || 0.26 || 32,692 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fara-camp UNRWA Far'a]</ref> |- ! [[Talbieh Camp|Kambi ya Talbieh]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|42|19|N|35|56|57|E|region:JO}} || 8,000 || 0.13 || 61,538 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/talbieh-camp UNRWA Talbieh Camp]</ref> |- ! [[Ein Beit al-Ma'|Kambi ya Ein Beit al-Ma']] (Kambi Na. 1) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|48.91|N|35|14|58.42|E|region:PS}} || 7,500 || 0.045 || 166,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/camp-no-1-camp UNRWA Ein Beit al-Ma']</ref> |- ! [[Sokhna camp|Kambi ya Sokhna]] | 1969 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|32|7|59|N| 36|4|20|E|region:PS}} || 7,424 || n.a. || n.a. || wakati mwingine huandikwa kama 'Sakhna' au 'Sukhna' || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Al-Am'ari|Kambi ya Al-Am'ari]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|53|38.60|N|35|12|41.52|E|region:PS}} || 7,000 || 0.096 || 72,917 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/amari-camp UNRWA Am'ari]</ref> |- ! [[Ein Al-Tal|Kambi ya Ein Al-Tal]] (pia inajulikana kama kambi ya Handarat) | 1962 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|36|17|34.84|N|37|9|24.86|E}} || n.a. || 0.16 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kibaya (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 7,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/ein-el-tal-unofficial-camp UNRWA Ein el Tal]</ref> |- ! [[Nahr al-Bared refugee camp|Kambi ya Nahr al-Bared]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|30|47|N|35|57|40|E|region:LB_type:city}} || 5,857 || 0.198 || 29,581 || Imejengwa upya, hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 27,000 || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/nahr-el-bared-camp UNRWA Nahr al-Bared]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Mieh Mieh refugee camp|Kambi ya Mieh Mieh]] | 1954 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|30|N|35|23|29|E|region:TH}} || 5,747 || 0.054 || 106,426 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mieh-mieh-camp UNRWA Mieh Mieh refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Aida Camp|Kambi ya Aida]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|43|10.34|N|35|11|56.31|E|region:PS}} || 5,500 || 0.071 || 77,465 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aida-camp UNRWA Aida (camp)]</ref> |- ! [[Dbayeh camp|Kambi ya Dbayeh]] | 1956 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|54|N|35|34|E}} || 4,591 || 0.084 || 54,655 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/dbayeh-camp UNRWA Dbayeh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Ein es-Sultan camp|Kambi ya Ein es-Sultan]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|52|40.24|N|35|26|46.24|E|region:PS}} || 3,800 || 0.87 || 4,368 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/ein-el-sultan-camp UNRWA Ein as-Sultan]</ref> |- ! [['Azza|Kambi ya 'Azza]] (Beit Jibrin) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|42|54.78|N|35|12|07.61|E|region:PS}} || 2,900 || 0.027 || 107,407 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/beit-jibrin-camp UNRWA 'Azza]</ref> |- ! [[Deir 'Ammar Camp|Kambi ya Deir 'Ammar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|57.22|N|35|05|55.98|E|region:PS}} || 2,500 || 0.162 || 15,432 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/deir-ammar-camp UNRWA Deir 'Ammar Camp]</ref> |- ! [[Qaddura|Kambi ya Qaddura]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord|31|54|3.32|N|35|12|21.18|E|region:PS}} || 1,558 || n.a. || n.a. || || <ref>{{Rejea tovuti |url=http://vprofile.arij.org/ramallah/pdfs/factsheet/Qaddura%20Camp_vp_en.pdf |title=Qaddura camp profile |website=vprofile.arij.org}}</ref> |- ! [[Mar Elias refugee camp|Kambi ya Mar Elias]] | 1952 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|52|38|N|35|29|19|E|region:LB_type:landmark}} || 725 || 0.0054 || 134,259 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mar-elias-camp UNRWA Mar Elias refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Silwad Camp|Kambi ya Silwad]] | 1971 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi ||{{coord|31|58|5|N| 35|15|41|E|region:PS}} || 462 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Abu Shukheidim|Kambi ya Abu Shukheidim]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || || n.a. || n.a. || n.a. || Mji wa Abu Shukhaydam unaonekana kwenye ramani ukiwa takriban maili 1 Kusini Magharibi mwa [[Birzeit]] || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Birzeit camp|Kambi ya Birzeit]] (As-Saqaeif) | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord| 31|58|12|N |35|12|01|E|region:PS}}<!--Inakadiria, kutoka google maps--> || n.a. || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/><ref>{{cite web |title=مخيم بير زيت |trans-title=Bir Zeit camp |url=https://palcamps.net/ar/camp/84 |website=palcamps.net |access-date=4 January 2024 |archive-date=4 January 2024 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240104005840/https://palcamps.net/ar/camp/84 |url-status=dead }}</ref> |} == Takwimu za idadi ya watu == Mabadiliko ya idadi ya wakimbizi wa Palestina yanaonyeshwa hapa chini:<ref name=UNWRA2004table2>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 2: Distribution of registered population (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi>Ḥanafī, Sārī [https://www.semanticscholar.org/paper/Palestinian-Refugee-Camps-in-the-Arab-East%3A-in-of-Ḥanafī/5fe726e0243501808d403ebb2fb230e5a1b45ba3 "Palestinian Refugee Camps in the Arab East: Governmentalities in Search of Legitimacy."] (2010), ukurasa wa 6</ref><ref name=BADIL>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], ukurasa wa 30</ref> {| class="wikitable sortable" ! Enzi !! 1950 !! 1960 !! 1970 !! 1980 !! 1990 !! 2000 !! 2004 !! 2009 !! 2018 |- ! [[Yordani]] | 506,200 || 613,743 || 506,038 || 716,372 || 929,097 || 1,570,192 || 1,758,274 || 1,951,603 || 2,242,579 |- ! [[Lebanon]] | 127,600 || 136,561 || 175,958 || 226,554 || 302,049 || 376,472 || 396,890 || 422,188 || 475,075 |- ! [[Syria]] | 82,194 || 115,043 || 158,717 || 209,362 || 280,731 || 383,199 || 417,346 || 461,897 || 560,139 |- ! [[Ukingo wa Magharibi]] | – || – || 272,692 || 324,035 || 414,298 || 583,009 || 675,670 || 762,820 || 846,465 |- ! [[Ukingo wa Gaza]] | 198,227 || 255,542 || 311,814 || 367,995 || 496,339 || 824,622 || 938,531 || 1,073,303 || 1,421,282 |- ! Jumla ya wakimbizi waliosajiliwa | 914,221 || 1,120,889 || 1,425,219 || 1,844,318 || 2,422,514 || 3,737,494 || 4,186,711 || 4,671,811 || 5,545,540 |} Idadi ya wakimbizi wa Palestina wanaoishi ndani ya maeneo ya kiutendaji yaliyosajiliwa na UNRWA inaonyeshwa hapa chini, ikijumuisha wale wanaoishi makambini na wale wanaoishi nje ya kambi:<ref name=UNWRA2004table3>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 3: Number and distribution of special hardship cases (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi/><ref name=BADIL/> {| class="wikitable sortable" ! Mwaka !! Watu waliosajiliwa (wakimbizi na wengineo) !! Wakimbizi waliosajiliwa makambini !! % ya wakimbizi waliosajiliwa makambini |- | 1953 || 870,158 || 300,785 || 34.6 |- | 1955 || 912,425 || 351,532 || 38.5 |- | 1960 || 1,136,487 || 409,223 || 36.0 |- | 1965 || 1,300,117 || 508,042 || 39.1 |- | 1970 || 1,445,022 || 500,985 || 34.7 |- | 1975 || 1,652,436 || 551,643 || 33.4 |- | 1980 || 1,863,162 || 613,149 || 32.9 |- | 1985 || 2,119,862 || 805,482 || 38.0 |- | 1990 || 2,466,516 || 697,709 || 28.3 |- | 1995 || 3,246,044 || 1,007,375 || 31.0 |- | 2000 || 3,806,055 || 1,227,954 || 32.3 |- | 2005 || 4,283,892 || 1,265,987 || 29.6 |- | 2010 || 4,966,664 || 1,452,790 || 29.3 |- | 2015 || 5,741,480 || 1,632,876 || 28.4 |- | 2018 || 6,171,793 || 1,728,409 || 28.0 |} Jedwali hapa chini linaonyesha idadi ya wakimbizi waliosajiliwa, watu wengine waliosajiliwa, na wakimbizi wanaoishi makambini mnamo mwaka 2018.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://unrwa.es/wp-content/uploads/2019/10/unrwa_in_figures_2019_eng_sep_2019_final.pdf |title=UNRWA in Figures 2019 |website=unrwa.es}}</ref> Ufafanuzi wa UNRWA kuhusu "Watu Wengine Waliosajiliwa" unamaanisha "wale ambao, wakati wa usajili wa awali hawakukidhi vigezo vyote vya UNRWA vya ukimbizi wa Palestina, lakini walionekana kupata hasara kubwa na/au shida kwa sababu zinazohusiana na mzozo wa 1948 nchini Palestina; pia inajumuisha watu ambao ni wanachama wa familia za watu wengine waliosajiliwa."<ref>[https://www.unrwa.org/sites/default/files/content/resources/aor_2019_eng.pdf UNRWA Annual Operational Report 2019]</ref> {| class="wikitable sortable" ! Kipengele !! Yordani !! Lebanon !! Syria !! Ukingo wa Magharibi !! Ukingo wa Gaza !! Jumla |- | Wakimbizi waliosajiliwa || 2,242,579 || 475,075 || 560,139 || 846,465 || 1,421,282 || 5,545,540 |- | Watu wengine waliosajiliwa || 133,902 || 58,810 || 83,003 || 201,525 || 149,013 || 626,253 |- | Jumla ya watu waliosajiliwa || 2,376,481 || 533,885 || 643,142 || 1,047,990 || 1,570,295 || 6,171,793 |- | Wakimbizi wanaoishi ndani ya mipaka rasmi ya kambi || 412,054 || 270,614 || 194,993 || 256,758 || 593,990 || 1,728,409 |- | % ya wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi || 18.4% || 57.0% || 34.8% || 30.3% || 41.8% || 31.2% |} ==Marejeo== {{reflist}} ==Bibliografia== * {{cite book |author1=Are Knudsen |author2=Sari Hanafi |title=Palestinian Refugees: Identity, Space and Place in the Levan t|url=https://books.google.com/books?id=QlIuCgAAQBAJ&pg=PA3 |date=5 November 2010 |publisher=Routledge |isbn=978-1-136-88334-7 |pages=3–}} ==Viungo vya nje== {{Commons category|Palestinian refugee camps}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170207104159/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-lebanon/fmo018.pdf |title=Palestinian Refugees in Lebanon |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170810020055/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-syria/fmo017.pdf |title=Palestinian Refugees in Syria |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170828015322/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-jordan/fmo025.pdf |title=Palestinian Refugees in Jordan |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://www.worldpoliticsreview.com/as-rebuilding-begins-at-lebanons-nahr-al-bared-displaced-refugees-eager-to-return/ |title=As rebuilding begins at Lebanon's nahr al bared, displaced refugees are eager to return |website= |author1=William Wheeler |author2=Don Duncan |work=World Politics Review |date=11 March 2008}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20141218042328/http://alray.ps/en/index.php?act=post&id=2581#.VJJWxy7P32c |title=UN refugee agency unveils Palestinian archive |website=alray.ps |via=web.archive.org}} [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] [[Jamii:Kambi za wakimbizi wa Palestina|*]] [[Jamii:Historia ya Palestina]] 1i237zo9km0tra24u1hy6dboc2ybew7 1572931 1572928 2026-06-14T07:19:27Z Riccardo Riccioni 452 1572931 wikitext text/x-wiki '''Kambi za wakimbizi wa Palestina''' zilianzishwa kwa mara ya kwanza ili kuwahifadhi [[Wapalestina]] waliokimbia makazi yao kwa kufukuzwa na kukimbia kwa hiari nchi yao wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |last=MacDonald|first=Alex |access-date=17 June 2025}}</ref> Kambi hizo zilianzishwa na [[UNRWA|Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Utoaji wa Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina]] (UNRWA) nchini [[Yordani]], [[Lebanoni]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]]. Wimbi lililofuata la wakimbizi wa Palestina lilitokea wakati wa [[Naksa]] baada ya [[Vita vya Siku Sita]] mnamo 1967.<ref>[[UNWRA]], [https://www.unrwa.org/etemplate.php%3Fid%3D86 Palestine refugees]</ref> Kuna jumla ya kambi 68 za wakimbizi wa Palestina, kambi 58 rasmi na kambi 10 zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019>[https://www.un.org/unispal/document/unrwa-annual-operational-report-2019-for-the-reporting-period-01-january-31-december-2019/ UNRWA Annual Operational report 2019 for the Reporting period 01 January – 31 December 2019], kurasa 168-169, "Infrastructure and Camp Improvement Statistics"</ref> ambapo kumi kati yake zilianzishwa baada ya Vita vya Siku Sita wakati nyingine zote zilianzishwa kati ya mwaka 1948 hadi miaka ya 1950. Ni thuluthi moja tu ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi hizo za wakimbizi.<ref name=UNWRA2004table3/> Wengi wao wamejumuika kijamii na kiuchumi nje ya kambi.<ref name=Hanafi/> Wengi wanaishi katika maeneo ya kijiografia yaliyo jirani na kambi hizo.<ref>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 29, 34, 35</ref> Idadi ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa iliongezeka kutoka 750,000 mnamo 1950 hadi kufikia takriban milioni 5 mnamo 2013.<ref name="WhoWeAre">{{cite web |url=http://www.unrwa.org/who-we-are |title=Who We Are - UNRWA |publisher=[[United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East|UNRWA]] |access-date=8 January 2014}}</ref> == Historia == <gallery mode="packed" heights="180px"> File:Nahr al-Bared refugee camp 1952.webp|[[Kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared]] nchini Lebanon, 1952 File:Shatila - street view (3).jpg|[[Kambi ya wakimbizi ya Shatila]] pembezoni mwa mji wa [[Beirut]] mnamo 2019 </gallery> === Wajibu wa UNRWA === Mamlaka ya UNRWA ni kutoa misaada kwa wakimbizi wa Palestina, ikiwa ni pamoja na fursa ya kupata huduma katika kambi zake za wakimbizi. Kwa malengo haya, shirika hilo linawatafsiri wakimbizi wa Palestina kama "watu ambao makazi yao ya kawaida yalikuwa Palestina wakati wa kipindi cha tarehe 1 Juni 1946 hadi 15 Mei 1948, na ambao walipoteza nyumba na njia zao za kujipatia riziki kutokana na mgogoro wa 1948."<ref name="WhoWeAre"/> UNRWA pia hutoa misaada kwa uzao wa upande wa baba wa wakimbizi hao, pamoja na watoto wao walioasiliwa kisheria.<ref name="WhoWeAre"/> [[File:ShufatCampJuly142023 05.jpg|thumb|[[Kambi ya Shu'fat]] katika mji wa [[Yerusalemu]], 2023. Eneo rasmi la kambi hiyo liko katikati ya picha na lina sifa ya majengo ya ghorofa chache; pande zote mbili za kambi hiyo kuna vitongoji vya ziada vya Wapalestina vilivyo ng'ambo ya [[Ukuta wa Israeli wa Ukingo wa Magharibi]] (unaoonekana chini ya picha), ambapo majengo yake ni marefu zaidi.]] [[File:Nabatieh Camp before and after.jpg|thumb|right|[[Kambi ya wakimbizi ya Nabatieh]] kabla na baada ya kuharibiwa na jeshi la Israeli mnamo 1974]] Ili kambi itambuliwe na UNRWA, lazima kuwepo na makubaliano kati ya serikali mwenyeji na UNRWA yanayosimamia matumizi ya kambi hiyo. UNRWA yenyewe haiendeshi kambi yoyote, haina mamlaka ya kipolisi wala wajibu wa kiutawala, bali inatoa tu huduma ndani ya kambi. UNRWA inatambua vituo katika kambi 58 zilizoteuliwa kama kambi za wakimbizi nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]], na pia hutoa huduma katika maeneo mengine ambapo idadi kubwa ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaishi nje ya kambi zinazotambuliwa. UNRWA pia ilitua misaada kwa Wayahudi waliokimbishwa makazi yao ndani ya [[Israeli]] kufuatia mgogoro wa 1948 hadi serikali ya Israeli ilipochukua jukumu la kuwahudumia mnamo 1952. Kambi za wakimbizi zilibadilika kutoka miji ya mahema hadi kuwa safu za nyumba za vitalu vya zege na kisha kuwa vitongoji duni vya mijini (ghettos) ambavyo havitofautiani na mazingira yanayovizunguka (kimsingi vikawa maeneo ya maendeleo ya mijini ndani ya miji iliyopo au vikiwa vyenyewe), ambavyo vinahifadhi takriban thuluthi moja ya wakimbizi wote wa Palestina waliosajiliwa. Ufadhili wa shughuli za UNRWA unatokana karibu mzima na michango ya hiari kutoka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa. UNRWA pia hupokea kiasi fulani cha fedha kutoka kwenye Bajeti ya Kawaida ya Umoja wa Mataifa, ambayo hutumiwa zaidi kwa ajili ya gharama za wafanyakazi wa kimataifa.<ref name="WhoWeAre"/> == Orodha ya kambi == Kambi hizi zimegawanywa katika maeneo matano: * Ukingo wa Gaza: [[Ukingo wa Gaza]] una kambi nane rasmi na hauna kambi isiyo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 1,221,110. * Ukingo wa Magharibi: [[Ukingo wa Magharibi]] una kambi 19 rasmi na kambi nne zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 741,409. * Syria: [[Syria]] ina kambi tisa rasmi na kambi tatu zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 499,189. * Lebanon: Kuna kambi 12 rasmi na hakuna kambi isiyo rasmi nchini [[Lebanon]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 448,599. * Yordani: Kuna kambi 10 rasmi na kambi tatu zisizo rasmi nchini [[Yordani]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 2,034,641. {| class="wikitable sortable" ! Jina !! Kuanzishwa !! Mahali !! Hali !! Majira nukta !! data-sort-type="number" | Idadi ya Watu !! data-sort-type=number | Eneo (km<sup>2</sup>) !! data-sort-type=number | Msongamano (watu/km<sup>2</sup>) !! Maoni !! Marejeo |- ! [[Yarmouk Camp|Kambi ya Yarmouk]] | 1957 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|33|28|27|N|36|18|11|E|region:SY}} || n.a. || 2.1 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kikubwa (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 160,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/yarmouk-unofficial-camp UNRWA Yarmouk Camp]</ref> |- ! [[Rafah Camp|Kambi ya Rafah]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|16|58.87|N|34|15|11.52|E|region:PS}} || 125,304 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/rafah-camp UNRWA Rafah Camp]</ref> |- ! [[Baqa'a refugee camp|Kambi ya Baqa'a]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|04|25|N|35|50|35|E|region:JO}} || 119,000 || 1.4 || 85,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/baqaa-camp UNRWA Baqa'a refugee camp]</ref> |- ! [[Jabalia refugee camp|Kambi ya Jabalia]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|32|20.81|N|34|29|57.63|E|region:PS}} || 113,990 || 1.4 || 81,421 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/jabalia-camp UNRWA Jabalia Camp]</ref> |- ! [[Khan Yunis refugee camp|Kambi ya Khan Yunis]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|21|3|N|34|17|18|E|region:PS}} || 87,816 || 0.549 || 159,956 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/khan-younis-camp UNRWA Khan Yunis Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (khan-younis-camp) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060227195322/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |archive-date=27 February 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Al-Shati refugee camp|Kambi ya Al-Shati]] (Kambi ya Pwani) | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|31|55.91|N|34|26|43.42|E|region:PS}} || 85,628 || 0.52 || 164,669 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/beach-camp UNRWA Al-Shati Camp]</ref> |- ! [[Nuseirat refugee camp|Kambi ya Nuseirat]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|51.56|N|34|23|34.35|E|region:PS}} || 80,194 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/nuseirat-camp UNRWA Nuseirat Camp]</ref> |- ! [[Ain al-Hilweh|Kambi ya Ain al-Hilweh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|37|N|35|22|41|E|region:TH}} || 59,660 || 0.3 || 198,867 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/ein-el-hilweh-camp UNRWA Ain al-Hilweh]</ref><ref name=":0">{{Rejea tovuti |url=https://www.nyidanmark.dk/-/media/Files/US/Landerapporter/Factfindingmission_Lebanon_1998.pdf?la=en-GB&hash=E4C43FEDE9F92ED581945E636DD2B84B01FEB97E |title=Report on fact-finding mission to Lebanon 2 – 18 May 1998 |date=1 June 1998 |website=newtodenmark.dk |publisher=The [[Danish Immigration Service]] |format=PDF |access-date=27 April 2020}}</ref> |- ! [[Al-Wehdat refugee camp|Kambi ya Al-Wehdat]] (Kambi Mpya ya Amman) | 1955 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|55|35|N|35|56|18|E|region:JO}} || 57,000 || 0.48 || 118,750 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/amman-new-camp UNRWA Al-Wehdat refugee camp]</ref> |- ! [[Marka refugee camp|Kambi ya Marka]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|00|33|N|36|01|14|E|type:city_region:JO}} || 53,000 || 0.92 || 57,609 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/marka-camp UNRWA Marka refugee camp]</ref> |- ! [[Jaramana Camp|Kambi ya Jaramana]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|29|N|36|21|E|region:SY}} || 49,000 || 0.03 || 1,633,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp UNRWA Jaramana]</ref> |- ! [[Latakia Camp|Kambi ya Latakia]] | 1955–6 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|35|30|28|N|35|47|45|E|type:landmark_region:SY}} || 47,400 || 0.22 || 215,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-unofficial-camp UNRWA Latakia Camp]</ref> |- ! [[Bureij|Kambi ya Bureij]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|region:PS}} || 43,330 || 0.529 || 81,909 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp UNRWA Bureij]</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (bureij) |work=UNRWA |access-date=July 8, 2020 |archive-date=June 24, 2007 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070624022059/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |url-status=dead }}</ref> |- ! [[Rashidieh|Kambi ya Rashidieh]] | 1963 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|14|12.12|N|35|13|5.16|E}} || 34,584 || 0.25 || 138,336 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp UNRWA Rashidieh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Jabal el-Hussein camp|Kambi ya Jabal el-Hussein]] | 1952 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|57|52|N|35|54|23|E|type:edu}} || 32,000 || 0.42 || 76,190 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jabal-el-hussein-camp UNRWA Al-Abdali]</ref> |- ! [[Maghazi refugee camp|Kambi ya Maghazi]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|16.89|N|34|23|07.35|E|region:PS}} || 31,329 || 0.6 || 52,215 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/maghazi-camp UNRWA Maghazi (camp)]</ref> |- ! [[Jerash camp|Kambi ya Jerash]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|16|20.21|N|35|53|29.03|E|region:JO,inline}} || 29,000 || 0.75 || 38,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jerash-camp UNRWA Jerash]</ref> |- ! [[Irbid camp|Kambi ya Irbid]] | 1951 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|33|0|N|35|51|0|E|region:JO_type:city(292040)}} || 28,000 || 0.24 || 116,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/irbid-camp UNRWA Irbid]</ref> |- ! [[Balata Camp|Kambi ya Balata]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|12|N|35|17|E}} || 27,000 || 0.25 || 108,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/balata-camp UNRWA Balata]</ref> |- ! [[Deir al-Balah Camp|Kambi ya Deir al-Balah]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|33|N|34|20|26|E|region:PS}} || 25,569 || 0.16 || 159,806 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/deir-el-balah-camp UNRWA Deir al-Balah Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (deirelbalah) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060131073053/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |archive-date=31 January 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Husn Camp|Kambi ya Husn]] (Kambi ya Shahidi Azmi el-Mufti) | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|28|30|N|35|54|18|E|region:JO}} || 25,000 || 0.77 || 32,468 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/husn-camp UNRWA Husn Camp]</ref> |- ! [[Burj el-Shamali#Palestinian Refugee Camp|Kambi ya Burj el-Shamali]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|15|47|N|35|14|20|E}} || 24,929 || 0.134 || 186,037 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-shemali-camp UNRWA Burj el-Shemali]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Shu'fat Camp|Kambi ya Shu'fat]] | 1965 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|48|44|N| 35|14|47|E|source:wikidata}} || 24,000 || 0.2 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/shufat-camp UNRWA Shu'fat camp]</ref> |- ! [[Qabr Essit|Kambi ya Qabr Essit]] | 1967 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|50|N|36|20|10|E|region:SY}} || 23,700 || 0.02 || 1,185,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/qabr-essit-camp UNRWA Qabr Essit]</ref> |- ! [[Tulkarm Camp|Kambi ya Tulkarm]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|18|51|N|35|2|4|E}} || 21,500 || 0.18 || 119,444 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/tulkarm-camp UNRWA Tulkarm Camp]</ref> |- ! [[Beddawi refugee camp|Kambi ya Beddawi]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|27|0.64|N|35|52|9.17|E}} || 21,252 || 0.2 || 106,260 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/beddawi-camp UNRWA Beddawi refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Zarqa Camp|Kambi ya Zarqa]] | 1949 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|05|N|36|06|E}} || 20,000 || 0.18 || 111,111 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/zarqa-camp UNRWA Zarqa]</ref> |- ! [[Bourj el-Barajneh camp|Kambi ya Bourj el-Barajneh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|50|54|N|35|30|12|E|region:LB}} || 19,539 || 0.104 || 187,875 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-barajneh-camp UNRWA Bourj el-Barajneh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Souf Camp|Kambi ya Souf]] | 1967 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|18|30|N|35|53|7.37|E|type:city_region:IL}} || 19,000 || 0.5 || 38,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/souf-camp UNRWA Souf Camp]</ref> |- ! [[Askar Camp|Kambi ya Askar]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|11.51|N|35|17|50.77|E|region:PS}} || 18,500 || 0.119 || 155,462 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/askar-camp UNRWA Askar (camp)]</ref> |- ! [[Neirab camp|Kambi ya Al-Nayrab]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|36|10|32|N|37|13|40|E|region:SY}} || 18,000 || 0.15 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/neirab-camp UNRWA Al-Nayrab]</ref> |- ! [[Dheisheh|Kambi ya Dheisheh]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|41|38.47|N|35|11|02.96|E|region:PS}} || 15,000 || 0.33 || 45,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/dheisheh-camp UNRWA Dheisheh]</ref> |- ! [[Qalandia Camp|Kambi ya Qalandia]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 14,800 || 0.42 || 35,238 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/kalandia-camp UNRWA Kalandia Camp]</ref> |- ! [[Al-Hassan camp|Kambi ya Al-Hassan]] | 1967 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|31|57|27|N| 35|58|19|E|region:PS}} || 14,068 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18">[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 30-33</ref><ref>{{cite web |title=Palestinian Refugees and Displaced Camps in Jordan: Prince Hassan Camp |url=https://dpa.gov.jo/EN/ListDetails/Palestinian_Refugees_And_Displaced_Camps_in_Jordan/2095/12 |website=dpa.gov.jo |access-date=2 January 2024}}</ref><ref>{{cite book |last1=al-Husseini |first1=Jalal |title=The Evolution of the Palestinian Refugee Camps in Jordan. Between Logics of Exclusion and Integration |url=https://books.openedition.org/ifpo/1742?lang=en |series=Villes, practices urbaines et construction nationale en Jordanie |publisher=Presses de l’Ifpo |access-date=2 January 2024 |pages=181–204 |language=en |date=13 February 2013|isbn=978-2-35159-315-8 }}</ref> |- ! [[Jenin refugee camp|Kambi ya Jenin]] | 1953 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|27|41|N|35|17|11|E}} || 14,000 || 0.42 || 33,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jenin-camp UNRWA Jenin Camp]</ref> |- ! [[Jalazone|Kambi ya Jalazone]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|07.15|N|35|12|41.58|E|region:PS}} || 13,000 || 0.253 || 51,383 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jalazone-camp UNRWA Jalazone]</ref> |- ! [[Al-Sabinah camp|Kambi ya Al-Sabinah]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|2|N|36|17|8|E|region:SY}} || 13,000 || 0.03 || 433,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/sbeineh-camp UNRWA Al-Sabinah]</ref> |- ! [[Homs Camp|Kambi ya Homs]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|34|42|30.29|N|36|42|26.62|E|region:SY_type:city}} || 13,000 || 0.15 || 86,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/homs-camp UNRWA Homs Camp]</ref> |- ! [[Khan Dannun camp|Kambi ya Khan Danoun]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 12,650 || 0.03 || 421,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-dunoun-camp UNRWA Khan Dannun]</ref> |- ! [[Al-Buss refugee camp|Kambi ya El Buss]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|16|21|N|35|12|36|E}} || 12,281 || 0.08 || 153,513 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/el-buss-camp UNRWA El-Buss refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Al-Arroub (camp)|Kambi ya Al-Arroub]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|37|23.18|N|35|08|12.19|E|region:PS}} || 12,000 || 0.24 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/arroub-camp UNRWA Al-Arroub (camp)]</ref> |- ! [[Khan al-Shih camp|Kambi ya Khan al-Shih]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|33|21|30|N|36|6|26|E|region:SY}} || 12,000 || 0.69 || 17,391 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-eshieh-camp UNRWA Khan al-Shih]</ref> |- ! [[Shatila refugee camp|Kambi ya Shatila]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|51|46|N|35|29|54|E|region:LB_type:city(2000000)}} || 10,849 || 0.04 || 271,225 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/shatila-camp UNRWA Shatila refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Nur Shams|Kambi ya Nur Shams]] | 1952 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|19|07.36|N|35|03|31.63|E|region:PS}} || 10,500 || 0.21 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/nur-shams-camp UNRWA Nur Shams, Tulkarm]</ref> |- ! [[Daraa camp|Kambi ya Daraa]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|32|37|N|36|6|E|region:SY}} || 10,500 || 1.3 || 8,077 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/deraa-camp UNRWA Deraa]</ref> |- ! [[Fawwar, Hebron|Kambi ya Fawwar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|28|46.45|N|35|03|52.93|E|region:PS}} || 9,500 || 0.27 || 35,185 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fawwar-camp UNRWA Fawwar, Hebron]</ref> |- ! [[Wavel refugee camp|Kambi ya Wavel]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|59|56.27|N|36|11|35.46|E|type:city}} || 9,460 || 0.043 || 220,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/wavel-camp UNRWA Wavel]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Hama camp|Kambi ya Hama]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|35|08|N|36|45|E|region:SY}} || 9,000 || 0.06 || 150,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/hama-camp UNRWA Hama]</ref> |- ! [[Aqabat Jaber|Kambi ya Aqabat Jaber]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|50|17.00|N|35|26|30.20|E|region:PS}} || 8,600 || 1.67 || 5,150 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aqbat-jabr-camp UNRWA Aqabat Jaber]</ref> |- ! [[Madaba Camp|Kambi ya Madaba]] | 1956 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord| 31|42|41|N| 35|47|15|E |region:PS}} || 8,597 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Far'a|Kambi ya Far'a]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|17|38.35|N|35|20|39.74|E|region:PS}} || 8,500 || 0.26 || 32,692 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fara-camp UNRWA Far'a]</ref> |- ! [[Talbieh Camp|Kambi ya Talbieh]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|42|19|N|35|56|57|E|region:JO}} || 8,000 || 0.13 || 61,538 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/talbieh-camp UNRWA Talbieh Camp]</ref> |- ! [[Ein Beit al-Ma'|Kambi ya Ein Beit al-Ma']] (Kambi Na. 1) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|48.91|N|35|14|58.42|E|region:PS}} || 7,500 || 0.045 || 166,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/camp-no-1-camp UNRWA Ein Beit al-Ma']</ref> |- ! [[Sokhna camp|Kambi ya Sokhna]] | 1969 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|32|7|59|N| 36|4|20|E|region:PS}} || 7,424 || n.a. || n.a. || wakati mwingine huandikwa kama 'Sakhna' au 'Sukhna' || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Al-Am'ari|Kambi ya Al-Am'ari]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|53|38.60|N|35|12|41.52|E|region:PS}} || 7,000 || 0.096 || 72,917 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/amari-camp UNRWA Am'ari]</ref> |- ! [[Ein Al-Tal|Kambi ya Ein Al-Tal]] (pia inajulikana kama kambi ya Handarat) | 1962 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|36|17|34.84|N|37|9|24.86|E}} || n.a. || 0.16 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kibaya (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 7,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/ein-el-tal-unofficial-camp UNRWA Ein el Tal]</ref> |- ! [[Nahr al-Bared refugee camp|Kambi ya Nahr al-Bared]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|30|47|N|35|57|40|E|region:LB_type:city}} || 5,857 || 0.198 || 29,581 || Imejengwa upya, hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 27,000 || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/nahr-el-bared-camp UNRWA Nahr al-Bared]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Mieh Mieh refugee camp|Kambi ya Mieh Mieh]] | 1954 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|30|N|35|23|29|E|region:TH}} || 5,747 || 0.054 || 106,426 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mieh-mieh-camp UNRWA Mieh Mieh refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Aida Camp|Kambi ya Aida]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|43|10.34|N|35|11|56.31|E|region:PS}} || 5,500 || 0.071 || 77,465 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aida-camp UNRWA Aida (camp)]</ref> |- ! [[Dbayeh camp|Kambi ya Dbayeh]] | 1956 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|54|N|35|34|E}} || 4,591 || 0.084 || 54,655 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/dbayeh-camp UNRWA Dbayeh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Ein es-Sultan camp|Kambi ya Ein es-Sultan]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|52|40.24|N|35|26|46.24|E|region:PS}} || 3,800 || 0.87 || 4,368 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/ein-el-sultan-camp UNRWA Ein as-Sultan]</ref> |- ! [['Azza|Kambi ya 'Azza]] (Beit Jibrin) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|42|54.78|N|35|12|07.61|E|region:PS}} || 2,900 || 0.027 || 107,407 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/beit-jibrin-camp UNRWA 'Azza]</ref> |- ! [[Deir 'Ammar Camp|Kambi ya Deir 'Ammar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|57.22|N|35|05|55.98|E|region:PS}} || 2,500 || 0.162 || 15,432 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/deir-ammar-camp UNRWA Deir 'Ammar Camp]</ref> |- ! [[Qaddura|Kambi ya Qaddura]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord|31|54|3.32|N|35|12|21.18|E|region:PS}} || 1,558 || n.a. || n.a. || || <ref>{{Rejea tovuti |url=http://vprofile.arij.org/ramallah/pdfs/factsheet/Qaddura%20Camp_vp_en.pdf |title=Qaddura camp profile |website=vprofile.arij.org}}</ref> |- ! [[Mar Elias refugee camp|Kambi ya Mar Elias]] | 1952 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|52|38|N|35|29|19|E|region:LB_type:landmark}} || 725 || 0.0054 || 134,259 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mar-elias-camp UNRWA Mar Elias refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Silwad Camp|Kambi ya Silwad]] | 1971 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi ||{{coord|31|58|5|N| 35|15|41|E|region:PS}} || 462 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Abu Shukheidim|Kambi ya Abu Shukheidim]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || || n.a. || n.a. || n.a. || Mji wa Abu Shukhaydam unaonekana kwenye ramani ukiwa takriban maili 1 Kusini Magharibi mwa [[Birzeit]] || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Birzeit camp|Kambi ya Birzeit]] (As-Saqaeif) | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord| 31|58|12|N |35|12|01|E|region:PS}}<!--Inakadiria, kutoka google maps--> || n.a. || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/><ref>{{cite web |title=مخيم بير زيت |trans-title=Bir Zeit camp |url=https://palcamps.net/ar/camp/84 |website=palcamps.net |access-date=4 January 2024 |archive-date=4 January 2024 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240104005840/https://palcamps.net/ar/camp/84 |url-status=dead }}</ref> |} == Takwimu za idadi ya watu == Mabadiliko ya idadi ya wakimbizi wa Palestina yanaonyeshwa hapa chini:<ref name=UNWRA2004table2>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 2: Distribution of registered population (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi>Ḥanafī, Sārī [https://www.semanticscholar.org/paper/Palestinian-Refugee-Camps-in-the-Arab-East%3A-in-of-Ḥanafī/5fe726e0243501808d403ebb2fb230e5a1b45ba3 "Palestinian Refugee Camps in the Arab East: Governmentalities in Search of Legitimacy."] (2010), ukurasa wa 6</ref><ref name=BADIL>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], ukurasa wa 30</ref> {| class="wikitable sortable" ! Enzi !! 1950 !! 1960 !! 1970 !! 1980 !! 1990 !! 2000 !! 2004 !! 2009 !! 2018 |- ! [[Yordani]] | 506,200 || 613,743 || 506,038 || 716,372 || 929,097 || 1,570,192 || 1,758,274 || 1,951,603 || 2,242,579 |- ! [[Lebanon]] | 127,600 || 136,561 || 175,958 || 226,554 || 302,049 || 376,472 || 396,890 || 422,188 || 475,075 |- ! [[Syria]] | 82,194 || 115,043 || 158,717 || 209,362 || 280,731 || 383,199 || 417,346 || 461,897 || 560,139 |- ! [[Ukingo wa Magharibi]] | – || – || 272,692 || 324,035 || 414,298 || 583,009 || 675,670 || 762,820 || 846,465 |- ! [[Ukingo wa Gaza]] | 198,227 || 255,542 || 311,814 || 367,995 || 496,339 || 824,622 || 938,531 || 1,073,303 || 1,421,282 |- ! Jumla ya wakimbizi waliosajiliwa | 914,221 || 1,120,889 || 1,425,219 || 1,844,318 || 2,422,514 || 3,737,494 || 4,186,711 || 4,671,811 || 5,545,540 |} Idadi ya wakimbizi wa Palestina wanaoishi ndani ya maeneo ya kiutendaji yaliyosajiliwa na UNRWA inaonyeshwa hapa chini, ikijumuisha wale wanaoishi makambini na wale wanaoishi nje ya kambi:<ref name=UNWRA2004table3>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 3: Number and distribution of special hardship cases (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi/><ref name=BADIL/> {| class="wikitable sortable" ! Mwaka !! Watu waliosajiliwa (wakimbizi na wengineo) !! Wakimbizi waliosajiliwa makambini !! % ya wakimbizi waliosajiliwa makambini |- | 1953 || 870,158 || 300,785 || 34.6 |- | 1955 || 912,425 || 351,532 || 38.5 |- | 1960 || 1,136,487 || 409,223 || 36.0 |- | 1965 || 1,300,117 || 508,042 || 39.1 |- | 1970 || 1,445,022 || 500,985 || 34.7 |- | 1975 || 1,652,436 || 551,643 || 33.4 |- | 1980 || 1,863,162 || 613,149 || 32.9 |- | 1985 || 2,119,862 || 805,482 || 38.0 |- | 1990 || 2,466,516 || 697,709 || 28.3 |- | 1995 || 3,246,044 || 1,007,375 || 31.0 |- | 2000 || 3,806,055 || 1,227,954 || 32.3 |- | 2005 || 4,283,892 || 1,265,987 || 29.6 |- | 2010 || 4,966,664 || 1,452,790 || 29.3 |- | 2015 || 5,741,480 || 1,632,876 || 28.4 |- | 2018 || 6,171,793 || 1,728,409 || 28.0 |} Jedwali hapa chini linaonyesha idadi ya wakimbizi waliosajiliwa, watu wengine waliosajiliwa, na wakimbizi wanaoishi makambini mnamo mwaka 2018.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://unrwa.es/wp-content/uploads/2019/10/unrwa_in_figures_2019_eng_sep_2019_final.pdf |title=UNRWA in Figures 2019 |website=unrwa.es}}</ref> Ufafanuzi wa UNRWA kuhusu "Watu Wengine Waliosajiliwa" unamaanisha "wale ambao, wakati wa usajili wa awali hawakukidhi vigezo vyote vya UNRWA vya ukimbizi wa Palestina, lakini walionekana kupata hasara kubwa na/au shida kwa sababu zinazohusiana na mzozo wa 1948 nchini Palestina; pia inajumuisha watu ambao ni wanachama wa familia za watu wengine waliosajiliwa."<ref>[https://www.unrwa.org/sites/default/files/content/resources/aor_2019_eng.pdf UNRWA Annual Operational Report 2019]</ref> {| class="wikitable sortable" ! Kipengele !! Yordani !! Lebanon !! Syria !! Ukingo wa Magharibi !! Ukingo wa Gaza !! Jumla |- | Wakimbizi waliosajiliwa || 2,242,579 || 475,075 || 560,139 || 846,465 || 1,421,282 || 5,545,540 |- | Watu wengine waliosajiliwa || 133,902 || 58,810 || 83,003 || 201,525 || 149,013 || 626,253 |- | Jumla ya watu waliosajiliwa || 2,376,481 || 533,885 || 643,142 || 1,047,990 || 1,570,295 || 6,171,793 |- | Wakimbizi wanaoishi ndani ya mipaka rasmi ya kambi || 412,054 || 270,614 || 194,993 || 256,758 || 593,990 || 1,728,409 |- | % ya wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi || 18.4% || 57.0% || 34.8% || 30.3% || 41.8% || 31.2% |} ==Marejeo== {{reflist}} ==Bibliografia== * {{cite book |author1=Are Knudsen |author2=Sari Hanafi |title=Palestinian Refugees: Identity, Space and Place in the Levan t|url=https://books.google.com/books?id=QlIuCgAAQBAJ&pg=PA3 |date=5 November 2010 |publisher=Routledge |isbn=978-1-136-88334-7 |pages=3–}} ==Viungo vya nje== {{Commons category|Palestinian refugee camps}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170207104159/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-lebanon/fmo018.pdf |title=Palestinian Refugees in Lebanon |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170810020055/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-syria/fmo017.pdf |title=Palestinian Refugees in Syria |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20170828015322/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-jordan/fmo025.pdf |title=Palestinian Refugees in Jordan |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org}} * {{cite web |url=https://www.worldpoliticsreview.com/as-rebuilding-begins-at-lebanons-nahr-al-bared-displaced-refugees-eager-to-return/ |title=As rebuilding begins at Lebanon's nahr al bared, displaced refugees are eager to return |website= |author1=William Wheeler |author2=Don Duncan |work=World Politics Review |date=11 March 2008}} * {{cite web |url=https://web.archive.org/web/20141218042328/http://alray.ps/en/index.php?act=post&id=2581#.VJJWxy7P32c |title=UN refugee agency unveils Palestinian archive |website=alray.ps |via=web.archive.org}} [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] [[Jamii:Kambi za wakimbizi wa Palestina|*]] [[Jamii:Historia ya Palestina]] 6mze86sgy6l11mtdkksc716y52uefxs 1573003 1572931 2026-06-14T11:04:24Z InternetArchiveBot 41439 Rescuing 4 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5 1573003 wikitext text/x-wiki '''Kambi za wakimbizi wa Palestina''' zilianzishwa kwa mara ya kwanza ili kuwahifadhi [[Wapalestina]] waliokimbia makazi yao kwa kufukuzwa na kukimbia kwa hiari nchi yao wakati wa [[Vita vya Palestina vya 1948]].<ref>{{cite web |title= Israel-Palestine war: A brief history of refugee camps in Gaza |url= https://www.middleeasteye.net/news/israel-palestine-war-brief-history-refugee-camps-gaza |website=Middle East Eye |date=19 December 2023 |last=MacDonald|first=Alex |access-date=17 June 2025}}</ref> Kambi hizo zilianzishwa na [[UNRWA|Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Utoaji wa Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina]] (UNRWA) nchini [[Yordani]], [[Lebanoni]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]]. Wimbi lililofuata la wakimbizi wa Palestina lilitokea wakati wa [[Naksa]] baada ya [[Vita vya Siku Sita]] mnamo 1967.<ref>[[UNWRA]], [https://www.unrwa.org/etemplate.php%3Fid%3D86 Palestine refugees]</ref> Kuna jumla ya kambi 68 za wakimbizi wa Palestina, kambi 58 rasmi na kambi 10 zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019>[https://www.un.org/unispal/document/unrwa-annual-operational-report-2019-for-the-reporting-period-01-january-31-december-2019/ UNRWA Annual Operational report 2019 for the Reporting period 01 January – 31 December 2019], kurasa 168-169, "Infrastructure and Camp Improvement Statistics"</ref> ambapo kumi kati yake zilianzishwa baada ya Vita vya Siku Sita wakati nyingine zote zilianzishwa kati ya mwaka 1948 hadi miaka ya 1950. Ni thuluthi moja tu ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi hizo za wakimbizi.<ref name=UNWRA2004table3/> Wengi wao wamejumuika kijamii na kiuchumi nje ya kambi.<ref name=Hanafi/> Wengi wanaishi katika maeneo ya kijiografia yaliyo jirani na kambi hizo.<ref>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 29, 34, 35</ref> Idadi ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa iliongezeka kutoka 750,000 mnamo 1950 hadi kufikia takriban milioni 5 mnamo 2013.<ref name="WhoWeAre">{{cite web |url=http://www.unrwa.org/who-we-are |title=Who We Are - UNRWA |publisher=[[United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East|UNRWA]] |access-date=8 January 2014}}</ref> == Historia == <gallery mode="packed" heights="180px"> File:Nahr al-Bared refugee camp 1952.webp|[[Kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared]] nchini Lebanon, 1952 File:Shatila - street view (3).jpg|[[Kambi ya wakimbizi ya Shatila]] pembezoni mwa mji wa [[Beirut]] mnamo 2019 </gallery> === Wajibu wa UNRWA === Mamlaka ya UNRWA ni kutoa misaada kwa wakimbizi wa Palestina, ikiwa ni pamoja na fursa ya kupata huduma katika kambi zake za wakimbizi. Kwa malengo haya, shirika hilo linawatafsiri wakimbizi wa Palestina kama "watu ambao makazi yao ya kawaida yalikuwa Palestina wakati wa kipindi cha tarehe 1 Juni 1946 hadi 15 Mei 1948, na ambao walipoteza nyumba na njia zao za kujipatia riziki kutokana na mgogoro wa 1948."<ref name="WhoWeAre"/> UNRWA pia hutoa misaada kwa uzao wa upande wa baba wa wakimbizi hao, pamoja na watoto wao walioasiliwa kisheria.<ref name="WhoWeAre"/> [[File:ShufatCampJuly142023 05.jpg|thumb|[[Kambi ya Shu'fat]] katika mji wa [[Yerusalemu]], 2023. Eneo rasmi la kambi hiyo liko katikati ya picha na lina sifa ya majengo ya ghorofa chache; pande zote mbili za kambi hiyo kuna vitongoji vya ziada vya Wapalestina vilivyo ng'ambo ya [[Ukuta wa Israeli wa Ukingo wa Magharibi]] (unaoonekana chini ya picha), ambapo majengo yake ni marefu zaidi.]] [[File:Nabatieh Camp before and after.jpg|thumb|right|[[Kambi ya wakimbizi ya Nabatieh]] kabla na baada ya kuharibiwa na jeshi la Israeli mnamo 1974]] Ili kambi itambuliwe na UNRWA, lazima kuwepo na makubaliano kati ya serikali mwenyeji na UNRWA yanayosimamia matumizi ya kambi hiyo. UNRWA yenyewe haiendeshi kambi yoyote, haina mamlaka ya kipolisi wala wajibu wa kiutawala, bali inatoa tu huduma ndani ya kambi. UNRWA inatambua vituo katika kambi 58 zilizoteuliwa kama kambi za wakimbizi nchini [[Yordani]], [[Lebanon]], [[Syria]], [[Ukingo wa Magharibi]] na [[Ukingo wa Gaza]], na pia hutoa huduma katika maeneo mengine ambapo idadi kubwa ya wakimbizi wa Palestina waliosajiliwa wanaishi nje ya kambi zinazotambuliwa. UNRWA pia ilitua misaada kwa Wayahudi waliokimbishwa makazi yao ndani ya [[Israeli]] kufuatia mgogoro wa 1948 hadi serikali ya Israeli ilipochukua jukumu la kuwahudumia mnamo 1952. Kambi za wakimbizi zilibadilika kutoka miji ya mahema hadi kuwa safu za nyumba za vitalu vya zege na kisha kuwa vitongoji duni vya mijini (ghettos) ambavyo havitofautiani na mazingira yanayovizunguka (kimsingi vikawa maeneo ya maendeleo ya mijini ndani ya miji iliyopo au vikiwa vyenyewe), ambavyo vinahifadhi takriban thuluthi moja ya wakimbizi wote wa Palestina waliosajiliwa. Ufadhili wa shughuli za UNRWA unatokana karibu mzima na michango ya hiari kutoka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa. UNRWA pia hupokea kiasi fulani cha fedha kutoka kwenye Bajeti ya Kawaida ya Umoja wa Mataifa, ambayo hutumiwa zaidi kwa ajili ya gharama za wafanyakazi wa kimataifa.<ref name="WhoWeAre"/> == Orodha ya kambi == Kambi hizi zimegawanywa katika maeneo matano: * Ukingo wa Gaza: [[Ukingo wa Gaza]] una kambi nane rasmi na hauna kambi isiyo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 1,221,110. * Ukingo wa Magharibi: [[Ukingo wa Magharibi]] una kambi 19 rasmi na kambi nne zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na una wakimbizi waliosajiliwa 741,409. * Syria: [[Syria]] ina kambi tisa rasmi na kambi tatu zisizo rasmi,<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 499,189. * Lebanon: Kuna kambi 12 rasmi na hakuna kambi isiyo rasmi nchini [[Lebanon]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 448,599. * Yordani: Kuna kambi 10 rasmi na kambi tatu zisizo rasmi nchini [[Yordani]],<ref name=UNRWA2019/> na ina wakimbizi waliosajiliwa 2,034,641. {| class="wikitable sortable" ! Jina !! Kuanzishwa !! Mahali !! Hali !! Majira nukta !! data-sort-type="number" | Idadi ya Watu !! data-sort-type=number | Eneo (km<sup>2</sup>) !! data-sort-type=number | Msongamano (watu/km<sup>2</sup>) !! Maoni !! Marejeo |- ! [[Yarmouk Camp|Kambi ya Yarmouk]] | 1957 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|33|28|27|N|36|18|11|E|region:SY}} || n.a. || 2.1 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kikubwa (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 160,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/yarmouk-unofficial-camp UNRWA Yarmouk Camp]</ref> |- ! [[Rafah Camp|Kambi ya Rafah]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|16|58.87|N|34|15|11.52|E|region:PS}} || 125,304 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/rafah-camp UNRWA Rafah Camp]</ref> |- ! [[Baqa'a refugee camp|Kambi ya Baqa'a]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|04|25|N|35|50|35|E|region:JO}} || 119,000 || 1.4 || 85,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/baqaa-camp UNRWA Baqa'a refugee camp]</ref> |- ! [[Jabalia refugee camp|Kambi ya Jabalia]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|32|20.81|N|34|29|57.63|E|region:PS}} || 113,990 || 1.4 || 81,421 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/jabalia-camp UNRWA Jabalia Camp]</ref> |- ! [[Khan Yunis refugee camp|Kambi ya Khan Yunis]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|21|3|N|34|17|18|E|region:PS}} || 87,816 || 0.549 || 159,956 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/khan-younis-camp UNRWA Khan Yunis Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (khan-younis-camp) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060227195322/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/khanyounis.html |archive-date=27 February 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Al-Shati refugee camp|Kambi ya Al-Shati]] (Kambi ya Pwani) | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|31|55.91|N|34|26|43.42|E|region:PS}} || 85,628 || 0.52 || 164,669 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/beach-camp UNRWA Al-Shati Camp]</ref> |- ! [[Nuseirat refugee camp|Kambi ya Nuseirat]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|51.56|N|34|23|34.35|E|region:PS}} || 80,194 || n.a. || n.a. || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/nuseirat-camp UNRWA Nuseirat Camp]</ref> |- ! [[Ain al-Hilweh|Kambi ya Ain al-Hilweh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|37|N|35|22|41|E|region:TH}} || 59,660 || 0.3 || 198,867 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/ein-el-hilweh-camp UNRWA Ain al-Hilweh]</ref><ref name=":0">{{Rejea tovuti |url=https://www.nyidanmark.dk/-/media/Files/US/Landerapporter/Factfindingmission_Lebanon_1998.pdf?la=en-GB&hash=E4C43FEDE9F92ED581945E636DD2B84B01FEB97E |title=Report on fact-finding mission to Lebanon 2 – 18 May 1998 |date=1 June 1998 |website=newtodenmark.dk |publisher=The [[Danish Immigration Service]] |format=PDF |access-date=27 April 2020}}</ref> |- ! [[Al-Wehdat refugee camp|Kambi ya Al-Wehdat]] (Kambi Mpya ya Amman) | 1955 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|55|35|N|35|56|18|E|region:JO}} || 57,000 || 0.48 || 118,750 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/amman-new-camp UNRWA Al-Wehdat refugee camp]</ref> |- ! [[Marka refugee camp|Kambi ya Marka]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|00|33|N|36|01|14|E|type:city_region:JO}} || 53,000 || 0.92 || 57,609 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/marka-camp UNRWA Marka refugee camp]</ref> |- ! [[Jaramana Camp|Kambi ya Jaramana]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|29|N|36|21|E|region:SY}} || 49,000 || 0.03 || 1,633,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/jaramana-camp UNRWA Jaramana]</ref> |- ! [[Latakia Camp|Kambi ya Latakia]] | 1955–6 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|35|30|28|N|35|47|45|E|type:landmark_region:SY}} || 47,400 || 0.22 || 215,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/latakia-unofficial-camp UNRWA Latakia Camp]</ref> |- ! [[Bureij|Kambi ya Bureij]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|26|22.31|N|34|24|10.58|E|region:PS}} || 43,330 || 0.529 || 81,909 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/bureij-camp UNRWA Bureij]</ref><ref>{{Rejea tovuti |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (bureij) |work=UNRWA |access-date=July 8, 2020 |archive-date=June 24, 2007 |archive-url=https://web.archive.org/web/20070624022059/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/bureij.html |url-status=dead }}</ref> |- ! [[Rashidieh|Kambi ya Rashidieh]] | 1963 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|14|12.12|N|35|13|5.16|E}} || 34,584 || 0.25 || 138,336 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/rashidieh-camp UNRWA Rashidieh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Jabal el-Hussein camp|Kambi ya Jabal el-Hussein]] | 1952 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|57|52|N|35|54|23|E|type:edu}} || 32,000 || 0.42 || 76,190 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jabal-el-hussein-camp UNRWA Al-Abdali]</ref> |- ! [[Maghazi refugee camp|Kambi ya Maghazi]] | 1949 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|16.89|N|34|23|07.35|E|region:PS}} || 31,329 || 0.6 || 52,215 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/maghazi-camp UNRWA Maghazi (camp)]</ref> |- ! [[Jerash camp|Kambi ya Jerash]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|16|20.21|N|35|53|29.03|E|region:JO,inline}} || 29,000 || 0.75 || 38,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/jerash-camp UNRWA Jerash]</ref> |- ! [[Irbid camp|Kambi ya Irbid]] | 1951 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|33|0|N|35|51|0|E|region:JO_type:city(292040)}} || 28,000 || 0.24 || 116,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/irbid-camp UNRWA Irbid]</ref> |- ! [[Balata Camp|Kambi ya Balata]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|12|N|35|17|E}} || 27,000 || 0.25 || 108,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/balata-camp UNRWA Balata]</ref> |- ! [[Deir al-Balah Camp|Kambi ya Deir al-Balah]] | 1948 || Ukingo wa Gaza || UNRWA || {{coord|31|25|33|N|34|20|26|E|region:PS}} || 25,569 || 0.16 || 159,806 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/gaza-strip/deir-el-balah-camp UNRWA Deir al-Balah Camp]</ref><ref>{{cite web |url=http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |title=UNRWA: Refugee camp profiles: Gaza field office (deirelbalah) |website=www.un.org |access-date=15 January 2022 |archive-url=https://web.archive.org/web/20060131073053/http://www.un.org/unrwa/refugees/gaza/deirelbalah.html |archive-date=31 January 2006 |url-status=dead}}</ref> |- ! [[Husn Camp|Kambi ya Husn]] (Kambi ya Shahidi Azmi el-Mufti) | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|28|30|N|35|54|18|E|region:JO}} || 25,000 || 0.77 || 32,468 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/husn-camp UNRWA Husn Camp]</ref> |- ! [[Burj el-Shamali#Palestinian Refugee Camp|Kambi ya Burj el-Shamali]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|15|47|N|35|14|20|E}} || 24,929 || 0.134 || 186,037 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-shemali-camp UNRWA Burj el-Shemali]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Shu'fat Camp|Kambi ya Shu'fat]] | 1965 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|48|44|N| 35|14|47|E|source:wikidata}} || 24,000 || 0.2 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/shufat-camp UNRWA Shu'fat camp]</ref> |- ! [[Qabr Essit|Kambi ya Qabr Essit]] | 1967 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|50|N|36|20|10|E|region:SY}} || 23,700 || 0.02 || 1,185,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/qabr-essit-camp UNRWA Qabr Essit]</ref> |- ! [[Tulkarm Camp|Kambi ya Tulkarm]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|18|51|N|35|2|4|E}} || 21,500 || 0.18 || 119,444 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/tulkarm-camp UNRWA Tulkarm Camp]</ref> |- ! [[Beddawi refugee camp|Kambi ya Beddawi]] | 1955 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|27|0.64|N|35|52|9.17|E}} || 21,252 || 0.2 || 106,260 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/beddawi-camp UNRWA Beddawi refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Zarqa Camp|Kambi ya Zarqa]] | 1949 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|05|N|36|06|E}} || 20,000 || 0.18 || 111,111 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/zarqa-camp UNRWA Zarqa]</ref> |- ! [[Bourj el-Barajneh camp|Kambi ya Bourj el-Barajneh]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|50|54|N|35|30|12|E|region:LB}} || 19,539 || 0.104 || 187,875 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/burj-barajneh-camp UNRWA Bourj el-Barajneh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Souf Camp|Kambi ya Souf]] | 1967 || Yordani || UNRWA || {{coord|32|18|30|N|35|53|7.37|E|type:city_region:IL}} || 19,000 || 0.5 || 38,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/souf-camp UNRWA Souf Camp]</ref> |- ! [[Askar Camp|Kambi ya Askar]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|11.51|N|35|17|50.77|E|region:PS}} || 18,500 || 0.119 || 155,462 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/askar-camp UNRWA Askar (camp)]</ref> |- ! [[Neirab camp|Kambi ya Al-Nayrab]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|36|10|32|N|37|13|40|E|region:SY}} || 18,000 || 0.15 || 120,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/neirab-camp UNRWA Al-Nayrab]</ref> |- ! [[Dheisheh|Kambi ya Dheisheh]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|41|38.47|N|35|11|02.96|E|region:PS}} || 15,000 || 0.33 || 45,455 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/dheisheh-camp UNRWA Dheisheh]</ref> |- ! [[Qalandia Camp|Kambi ya Qalandia]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 14,800 || 0.42 || 35,238 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/kalandia-camp UNRWA Kalandia Camp]</ref> |- ! [[Al-Hassan camp|Kambi ya Al-Hassan]] | 1967 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|31|57|27|N| 35|58|19|E|region:PS}} || 14,068 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18">[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], kurasa 30-33</ref><ref>{{cite web |title=Palestinian Refugees and Displaced Camps in Jordan: Prince Hassan Camp |url=https://dpa.gov.jo/EN/ListDetails/Palestinian_Refugees_And_Displaced_Camps_in_Jordan/2095/12 |website=dpa.gov.jo |access-date=2 January 2024}}</ref><ref>{{cite book |last1=al-Husseini |first1=Jalal |title=The Evolution of the Palestinian Refugee Camps in Jordan. Between Logics of Exclusion and Integration |url=https://books.openedition.org/ifpo/1742?lang=en |series=Villes, practices urbaines et construction nationale en Jordanie |publisher=Presses de l’Ifpo |access-date=2 January 2024 |pages=181–204 |language=en |date=13 February 2013|isbn=978-2-35159-315-8 }}</ref> |- ! [[Jenin refugee camp|Kambi ya Jenin]] | 1953 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|27|41|N|35|17|11|E}} || 14,000 || 0.42 || 33,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jenin-camp UNRWA Jenin Camp]</ref> |- ! [[Jalazone|Kambi ya Jalazone]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|07.15|N|35|12|41.58|E|region:PS}} || 13,000 || 0.253 || 51,383 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/jalazone-camp UNRWA Jalazone]</ref> |- ! [[Al-Sabinah camp|Kambi ya Al-Sabinah]] | 1948 || Syria || UNRWA || {{coord|33|26|2|N|36|17|8|E|region:SY}} || 13,000 || 0.03 || 433,333 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/sbeineh-camp UNRWA Al-Sabinah]</ref> |- ! [[Homs Camp|Kambi ya Homs]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|34|42|30.29|N|36|42|26.62|E|region:SY_type:city}} || 13,000 || 0.15 || 86,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/homs-camp UNRWA Homs Camp]</ref> |- ! [[Khan Dannun camp|Kambi ya Khan Danoun]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|33|19|55|N|36|19|56|E|region:SY}} || 12,650 || 0.03 || 421,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-dunoun-camp UNRWA Khan Dannun]</ref> |- ! [[Al-Buss refugee camp|Kambi ya El Buss]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|16|21|N|35|12|36|E}} || 12,281 || 0.08 || 153,513 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/el-buss-camp UNRWA El-Buss refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Al-Arroub (camp)|Kambi ya Al-Arroub]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|37|23.18|N|35|08|12.19|E|region:PS}} || 12,000 || 0.24 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/arroub-camp UNRWA Al-Arroub (camp)]</ref> |- ! [[Khan al-Shih camp|Kambi ya Khan al-Shih]] | 1949 || Syria || UNRWA || {{coord|33|21|30|N|36|6|26|E|region:SY}} || 12,000 || 0.69 || 17,391 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/khan-eshieh-camp UNRWA Khan al-Shih]</ref> |- ! [[Shatila refugee camp|Kambi ya Shatila]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|51|46|N|35|29|54|E|region:LB_type:city(2000000)}} || 10,849 || 0.04 || 271,225 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/shatila-camp UNRWA Shatila refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Nur Shams|Kambi ya Nur Shams]] | 1952 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|19|07.36|N|35|03|31.63|E|region:PS}} || 10,500 || 0.21 || 50,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/nur-shams-camp UNRWA Nur Shams, Tulkarm]</ref> |- ! [[Daraa camp|Kambi ya Daraa]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|32|37|N|36|6|E|region:SY}} || 10,500 || 1.3 || 8,077 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/deraa-camp UNRWA Deraa]</ref> |- ! [[Fawwar, Hebron|Kambi ya Fawwar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|28|46.45|N|35|03|52.93|E|region:PS}} || 9,500 || 0.27 || 35,185 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fawwar-camp UNRWA Fawwar, Hebron]</ref> |- ! [[Wavel refugee camp|Kambi ya Wavel]] | 1948 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|59|56.27|N|36|11|35.46|E|type:city}} || 9,460 || 0.043 || 220,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/wavel-camp UNRWA Wavel]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Hama camp|Kambi ya Hama]] | 1950 || Syria || UNRWA || {{coord|35|08|N|36|45|E|region:SY}} || 9,000 || 0.06 || 150,000 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/hama-camp UNRWA Hama]</ref> |- ! [[Aqabat Jaber|Kambi ya Aqabat Jaber]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|50|17.00|N|35|26|30.20|E|region:PS}} || 8,600 || 1.67 || 5,150 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aqbat-jabr-camp UNRWA Aqabat Jaber]</ref> |- ! [[Madaba Camp|Kambi ya Madaba]] | 1956 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord| 31|42|41|N| 35|47|15|E |region:PS}} || 8,597 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Far'a|Kambi ya Far'a]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|17|38.35|N|35|20|39.74|E|region:PS}} || 8,500 || 0.26 || 32,692 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/fara-camp UNRWA Far'a]</ref> |- ! [[Talbieh Camp|Kambi ya Talbieh]] | 1968 || Yordani || UNRWA || {{coord|31|42|19|N|35|56|57|E|region:JO}} || 8,000 || 0.13 || 61,538 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/jordan/talbieh-camp UNRWA Talbieh Camp]</ref> |- ! [[Ein Beit al-Ma'|Kambi ya Ein Beit al-Ma']] (Kambi Na. 1) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|32|13|48.91|N|35|14|58.42|E|region:PS}} || 7,500 || 0.045 || 166,667 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/camp-no-1-camp UNRWA Ein Beit al-Ma']</ref> |- ! [[Sokhna camp|Kambi ya Sokhna]] | 1969 || Yordani || Isiyo rasmi || {{coord|32|7|59|N| 36|4|20|E|region:PS}} || 7,424 || n.a. || n.a. || wakati mwingine huandikwa kama 'Sakhna' au 'Sukhna' || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Al-Am'ari|Kambi ya Al-Am'ari]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|53|38.60|N|35|12|41.52|E|region:PS}} || 7,000 || 0.096 || 72,917 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/amari-camp UNRWA Am'ari]</ref> |- ! [[Ein Al-Tal|Kambi ya Ein Al-Tal]] (pia inajulikana kama kambi ya Handarat) | 1962 || Syria || Isiyo rasmi || {{coord|36|17|34.84|N|37|9|24.86|E}} || n.a. || 0.16 || n.a. || Imeharibiwa kwa kiasi kibaya (hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 7,000) || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/syria/ein-el-tal-unofficial-camp UNRWA Ein el Tal]</ref> |- ! [[Nahr al-Bared refugee camp|Kambi ya Nahr al-Bared]] | 1949 || Lebanon || UNRWA || {{coord|34|30|47|N|35|57|40|E|region:LB_type:city}} || 5,857 || 0.198 || 29,581 || Imejengwa upya, hapo awali ilikuwa na idadi ya watu 27,000 || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/nahr-el-bared-camp UNRWA Nahr al-Bared]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Mieh Mieh refugee camp|Kambi ya Mieh Mieh]] | 1954 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|32|30|N|35|23|29|E|region:TH}} || 5,747 || 0.054 || 106,426 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mieh-mieh-camp UNRWA Mieh Mieh refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Aida Camp|Kambi ya Aida]] | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|43|10.34|N|35|11|56.31|E|region:PS}} || 5,500 || 0.071 || 77,465 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/aida-camp UNRWA Aida (camp)]</ref> |- ! [[Dbayeh camp|Kambi ya Dbayeh]] | 1956 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|54|N|35|34|E}} || 4,591 || 0.084 || 54,655 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/dbayeh-camp UNRWA Dbayeh]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Ein es-Sultan camp|Kambi ya Ein es-Sultan]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|52|40.24|N|35|26|46.24|E|region:PS}} || 3,800 || 0.87 || 4,368 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/ein-el-sultan-camp UNRWA Ein as-Sultan]</ref> |- ! [['Azza|Kambi ya 'Azza]] (Beit Jibrin) | 1950 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|42|54.78|N|35|12|07.61|E|region:PS}} || 2,900 || 0.027 || 107,407 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/beit-jibrin-camp UNRWA 'Azza]</ref> |- ! [[Deir 'Ammar Camp|Kambi ya Deir 'Ammar]] | 1949 || Ukingo wa Magharibi || UNRWA || {{coord|31|57|57.22|N|35|05|55.98|E|region:PS}} || 2,500 || 0.162 || 15,432 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/west-bank/deir-ammar-camp UNRWA Deir 'Ammar Camp]</ref> |- ! [[Qaddura|Kambi ya Qaddura]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord|31|54|3.32|N|35|12|21.18|E|region:PS}} || 1,558 || n.a. || n.a. || || <ref>{{Rejea tovuti |url=http://vprofile.arij.org/ramallah/pdfs/factsheet/Qaddura%20Camp_vp_en.pdf |title=Qaddura camp profile |website=vprofile.arij.org}}</ref> |- ! [[Mar Elias refugee camp|Kambi ya Mar Elias]] | 1952 || Lebanon || UNRWA || {{coord|33|52|38|N|35|29|19|E|region:LB_type:landmark}} || 725 || 0.0054 || 134,259 || || <ref>[https://www.unrwa.org/where-we-work/lebanon/mar-elias-camp UNRWA Mar Elias refugee camp]</ref><ref name=":0" /> |- ! [[Silwad Camp|Kambi ya Silwad]] | 1971 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi ||{{coord|31|58|5|N| 35|15|41|E|region:PS}} || 462 || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Abu Shukheidim|Kambi ya Abu Shukheidim]] | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || || n.a. || n.a. || n.a. || Mji wa Abu Shukhaydam unaonekana kwenye ramani ukiwa takriban maili 1 Kusini Magharibi mwa [[Birzeit]] || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/> |- ! [[Birzeit camp|Kambi ya Birzeit]] (As-Saqaeif) | 1948 || Ukingo wa Magharibi || Isiyo rasmi || {{coord| 31|58|12|N |35|12|01|E|region:PS}}<!--Inakadiria, kutoka google maps--> || n.a. || n.a. || n.a. || || <ref name="BADIL Refugee Survey 2016-18"/><ref>{{cite web |title=مخيم بير زيت |trans-title=Bir Zeit camp |url=https://palcamps.net/ar/camp/84 |website=palcamps.net |access-date=4 January 2024 |archive-date=4 January 2024 |archive-url=https://web.archive.org/web/20240104005840/https://palcamps.net/ar/camp/84 |url-status=dead }}</ref> |} == Takwimu za idadi ya watu == Mabadiliko ya idadi ya wakimbizi wa Palestina yanaonyeshwa hapa chini:<ref name=UNWRA2004table2>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 2: Distribution of registered population (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi>Ḥanafī, Sārī [https://www.semanticscholar.org/paper/Palestinian-Refugee-Camps-in-the-Arab-East%3A-in-of-Ḥanafī/5fe726e0243501808d403ebb2fb230e5a1b45ba3 "Palestinian Refugee Camps in the Arab East: Governmentalities in Search of Legitimacy."] (2010), ukurasa wa 6</ref><ref name=BADIL>[https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/survey2016-2018-eng.pdf BADIL Refugee Survey 2016-18], ukurasa wa 30</ref> {| class="wikitable sortable" ! Enzi !! 1950 !! 1960 !! 1970 !! 1980 !! 1990 !! 2000 !! 2004 !! 2009 !! 2018 |- ! [[Yordani]] | 506,200 || 613,743 || 506,038 || 716,372 || 929,097 || 1,570,192 || 1,758,274 || 1,951,603 || 2,242,579 |- ! [[Lebanon]] | 127,600 || 136,561 || 175,958 || 226,554 || 302,049 || 376,472 || 396,890 || 422,188 || 475,075 |- ! [[Syria]] | 82,194 || 115,043 || 158,717 || 209,362 || 280,731 || 383,199 || 417,346 || 461,897 || 560,139 |- ! [[Ukingo wa Magharibi]] | – || – || 272,692 || 324,035 || 414,298 || 583,009 || 675,670 || 762,820 || 846,465 |- ! [[Ukingo wa Gaza]] | 198,227 || 255,542 || 311,814 || 367,995 || 496,339 || 824,622 || 938,531 || 1,073,303 || 1,421,282 |- ! Jumla ya wakimbizi waliosajiliwa | 914,221 || 1,120,889 || 1,425,219 || 1,844,318 || 2,422,514 || 3,737,494 || 4,186,711 || 4,671,811 || 5,545,540 |} Idadi ya wakimbizi wa Palestina wanaoishi ndani ya maeneo ya kiutendaji yaliyosajiliwa na UNRWA inaonyeshwa hapa chini, ikijumuisha wale wanaoishi makambini na wale wanaoishi nje ya kambi:<ref name=UNWRA2004table3>[https://www.un.org/unispal/document/auto-insert-178659/ Report of the Commissioner-General of the United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East, 1 July 2003-30 June 2004, Supplement No. 13 (A/59/13)] Jedwali la 3: Number and distribution of special hardship cases (kama ilivyokuwa tarehe 30 Juni 2004)</ref><ref name=Hanafi/><ref name=BADIL/> {| class="wikitable sortable" ! Mwaka !! Watu waliosajiliwa (wakimbizi na wengineo) !! Wakimbizi waliosajiliwa makambini !! % ya wakimbizi waliosajiliwa makambini |- | 1953 || 870,158 || 300,785 || 34.6 |- | 1955 || 912,425 || 351,532 || 38.5 |- | 1960 || 1,136,487 || 409,223 || 36.0 |- | 1965 || 1,300,117 || 508,042 || 39.1 |- | 1970 || 1,445,022 || 500,985 || 34.7 |- | 1975 || 1,652,436 || 551,643 || 33.4 |- | 1980 || 1,863,162 || 613,149 || 32.9 |- | 1985 || 2,119,862 || 805,482 || 38.0 |- | 1990 || 2,466,516 || 697,709 || 28.3 |- | 1995 || 3,246,044 || 1,007,375 || 31.0 |- | 2000 || 3,806,055 || 1,227,954 || 32.3 |- | 2005 || 4,283,892 || 1,265,987 || 29.6 |- | 2010 || 4,966,664 || 1,452,790 || 29.3 |- | 2015 || 5,741,480 || 1,632,876 || 28.4 |- | 2018 || 6,171,793 || 1,728,409 || 28.0 |} Jedwali hapa chini linaonyesha idadi ya wakimbizi waliosajiliwa, watu wengine waliosajiliwa, na wakimbizi wanaoishi makambini mnamo mwaka 2018.<ref>{{Rejea tovuti |url=https://unrwa.es/wp-content/uploads/2019/10/unrwa_in_figures_2019_eng_sep_2019_final.pdf |title=UNRWA in Figures 2019 |website=unrwa.es}}</ref> Ufafanuzi wa UNRWA kuhusu "Watu Wengine Waliosajiliwa" unamaanisha "wale ambao, wakati wa usajili wa awali hawakukidhi vigezo vyote vya UNRWA vya ukimbizi wa Palestina, lakini walionekana kupata hasara kubwa na/au shida kwa sababu zinazohusiana na mzozo wa 1948 nchini Palestina; pia inajumuisha watu ambao ni wanachama wa familia za watu wengine waliosajiliwa."<ref>[https://www.unrwa.org/sites/default/files/content/resources/aor_2019_eng.pdf UNRWA Annual Operational Report 2019]</ref> {| class="wikitable sortable" ! Kipengele !! Yordani !! Lebanon !! Syria !! Ukingo wa Magharibi !! Ukingo wa Gaza !! Jumla |- | Wakimbizi waliosajiliwa || 2,242,579 || 475,075 || 560,139 || 846,465 || 1,421,282 || 5,545,540 |- | Watu wengine waliosajiliwa || 133,902 || 58,810 || 83,003 || 201,525 || 149,013 || 626,253 |- | Jumla ya watu waliosajiliwa || 2,376,481 || 533,885 || 643,142 || 1,047,990 || 1,570,295 || 6,171,793 |- | Wakimbizi wanaoishi ndani ya mipaka rasmi ya kambi || 412,054 || 270,614 || 194,993 || 256,758 || 593,990 || 1,728,409 |- | % ya wanaoishi ndani ya mipaka ya kambi || 18.4% || 57.0% || 34.8% || 30.3% || 41.8% || 31.2% |} ==Marejeo== {{reflist}} ==Bibliografia== * {{cite book |author1=Are Knudsen |author2=Sari Hanafi |title=Palestinian Refugees: Identity, Space and Place in the Levan t|url=https://books.google.com/books?id=QlIuCgAAQBAJ&pg=PA3 |date=5 November 2010 |publisher=Routledge |isbn=978-1-136-88334-7 |pages=3–}} ==Viungo vya nje== {{Commons category|Palestinian refugee camps}} * {{cite web |url=http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-lebanon/fmo018.pdf |title=Palestinian Refugees in Lebanon |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org |accessdate=2026-06-13 |archive-date=2017-02-07 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170207104159/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-lebanon/fmo018.pdf |url-status=dead }} * {{cite web |url=http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-syria/fmo017.pdf |title=Palestinian Refugees in Syria |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org |accessdate=2026-06-13 |archive-date=2017-08-10 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170810020055/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-syria/fmo017.pdf |url-status=dead }} * {{cite web |url=http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-jordan/fmo025.pdf |title=Palestinian Refugees in Jordan |website=www.forcedmigration.org |via=web.archive.org |accessdate=2026-06-13 |archive-date=2017-08-28 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170828015322/http://www.forcedmigration.org/research-resources/expert-guides/palestinian-refugees-in-jordan/fmo025.pdf |url-status=dead }} * {{cite web |url=https://www.worldpoliticsreview.com/as-rebuilding-begins-at-lebanons-nahr-al-bared-displaced-refugees-eager-to-return/ |title=As rebuilding begins at Lebanon's nahr al bared, displaced refugees are eager to return |website= |author1=William Wheeler |author2=Don Duncan |work=World Politics Review |date=11 March 2008}} * {{cite web |url=http://alray.ps/en/index.php?act=post&id=2581 |title=UN refugee agency unveils Palestinian archive |website=alray.ps |via=web.archive.org |accessdate=2026-06-13 |archive-date=2016-03-03 |archive-url=https://web.archive.org/web/20160303215430/http://alray.ps/en/index.php?act=post&id=2581 |url-status=dead }} [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] [[Jamii:Kambi za wakimbizi wa Palestina|*]] [[Jamii:Historia ya Palestina]] 5eme3l6v5cujvgwh6a9pg6vn7q0vffg Majadiliano:Wasafwa 1 240907 1572734 2026-06-14T05:39:02Z Gaston Mwaselela 90235 /* UHUSIANO WA WASAFWA NA WANYAKYUSA */ mjadala mpya 1572734 wikitext text/x-wiki == UHUSIANO WA WASAFWA NA WANYAKYUSA == Wasafwa na Wanyakyusa kiasili ni ndugu, walitoka sehemu moja huko Afrika Magharibi nchi ya Cameroon wakapita nchini Congo,Zambia na kuja Tanzania, lakini kwa hapa Tanzania wa walitokea Mahenge,Malinyi Morogoro wakipita mkoani Dodoma (Ugogo), Wakaja maeneo ya Njombe maeneo ya Makete (Ukinga) na kufika milima ya Rungwe Mbeya, Wakatawanyika maeneo mbali mbali mkoani Mbeya. Kwa sehemu kubwa maneno ya kisafwa na kinyakyusa yanaenda na kufanana kwa kutamka na yakiwa na maana sawa sawa. Msafwa na mnyakyusa wanaelewana katika maongezi yao. Makabila haya mawili yanaunasaba wa ndani kabisa kutoka walikotoka huko majina ya koo zao yanaendana wote majina ya mwanzo yanaanza na neno "Mwa" Mfano: Mwaselela, Mwakatumbula, Mwabukusi, Mwamunyange, Mwalyego, Mwanshinga, Mwakimaghe, Mwampashi. Lakini pia popote alipo Msafwa lazima utamkuta Mnyakyusa, na wanaona sana wao kwa wao kwa sehemu kubwa. Kwanini Wanaitwa Wasafwa- kiasili kabila wasafwa ni watu shupavu sana na wapambanaji wa vita kwa kutumia fimbo. Katika mapambano yao yote walipokuwa wanapita walikua hodari sana wakitumia fimbo, kitendo hicho kiliwashangaza wapinzani wao na kushangaa kwa nini hawafi. Na hapo ndipo lilipozaliwa jina la WASAFWA (SAFWA) ikiwa na maana HAFI au HAWAFI Maana ya jina la Mkoa wa Mbeya linatokana na neno CHUMVI kwa Kisafwa IVHEYA (Wakoloni wa mwanzo na wahindi walishindwa kutamka neno VHEYA wakawa wanaita Mbeya. Na kwa nini VHEYA(MBEYA) Kihistoria wasafwa walikua wanaenda mbeya mji maeneo ya Uhindini na Sokomatola, Uzungu kwenda kununua chumvi, kupeleka mazao kuuza na kununua chumvi (Kwa kisafwa IVHEYA), ikawa sasa ni maarufu kwamba wanaenda kwenye Chumvi (VHEYA au IVHEYA) au wakiulizwa mmetoka wapi wanasema tumetoka kwenye Chumvi (VHEYA). Ikazoeleka hivo kwa miaka mingi, wazungu wakawa wakikutana nao wakiwauliza wakawa wanasema VHEYA, kutoka na kushindwa kwa rafudhi ya kutamka neno VHEYA kwa mzungu wao wakawa wanatamka MBEYA. HAPO NDIPO NENO MBEYA LIKAZALIWA NA KUWA RASMI. '''[[Mtumiaji:Gaston Mwaselela|Gaston Mwaselela]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Gaston Mwaselela|majadiliano]])''' 05:39, 14 Juni 2026 (UTC) jp5ufj7kcucrzks5nl99e2286mrkbfq 1572822 1572734 2026-06-14T05:53:35Z Gaston Mwaselela 90235 /* WASAFWA KABILA PEKEE LILILO ZAA MAKABILA MENGI ZAIDI */ mjadala mpya 1572822 wikitext text/x-wiki == UHUSIANO WA WASAFWA NA WANYAKYUSA == Wasafwa na Wanyakyusa kiasili ni ndugu, walitoka sehemu moja huko Afrika Magharibi nchi ya Cameroon wakapita nchini Congo,Zambia na kuja Tanzania, lakini kwa hapa Tanzania wa walitokea Mahenge,Malinyi Morogoro wakipita mkoani Dodoma (Ugogo), Wakaja maeneo ya Njombe maeneo ya Makete (Ukinga) na kufika milima ya Rungwe Mbeya, Wakatawanyika maeneo mbali mbali mkoani Mbeya. Kwa sehemu kubwa maneno ya kisafwa na kinyakyusa yanaenda na kufanana kwa kutamka na yakiwa na maana sawa sawa. Msafwa na mnyakyusa wanaelewana katika maongezi yao. Makabila haya mawili yanaunasaba wa ndani kabisa kutoka walikotoka huko majina ya koo zao yanaendana wote majina ya mwanzo yanaanza na neno "Mwa" Mfano: Mwaselela, Mwakatumbula, Mwabukusi, Mwamunyange, Mwalyego, Mwanshinga, Mwakimaghe, Mwampashi. Lakini pia popote alipo Msafwa lazima utamkuta Mnyakyusa, na wanaona sana wao kwa wao kwa sehemu kubwa. Kwanini Wanaitwa Wasafwa- kiasili kabila wasafwa ni watu shupavu sana na wapambanaji wa vita kwa kutumia fimbo. Katika mapambano yao yote walipokuwa wanapita walikua hodari sana wakitumia fimbo, kitendo hicho kiliwashangaza wapinzani wao na kushangaa kwa nini hawafi. Na hapo ndipo lilipozaliwa jina la WASAFWA (SAFWA) ikiwa na maana HAFI au HAWAFI Maana ya jina la Mkoa wa Mbeya linatokana na neno CHUMVI kwa Kisafwa IVHEYA (Wakoloni wa mwanzo na wahindi walishindwa kutamka neno VHEYA wakawa wanaita Mbeya. Na kwa nini VHEYA(MBEYA) Kihistoria wasafwa walikua wanaenda mbeya mji maeneo ya Uhindini na Sokomatola, Uzungu kwenda kununua chumvi, kupeleka mazao kuuza na kununua chumvi (Kwa kisafwa IVHEYA), ikawa sasa ni maarufu kwamba wanaenda kwenye Chumvi (VHEYA au IVHEYA) au wakiulizwa mmetoka wapi wanasema tumetoka kwenye Chumvi (VHEYA). Ikazoeleka hivo kwa miaka mingi, wazungu wakawa wakikutana nao wakiwauliza wakawa wanasema VHEYA, kutoka na kushindwa kwa rafudhi ya kutamka neno VHEYA kwa mzungu wao wakawa wanatamka MBEYA. HAPO NDIPO NENO MBEYA LIKAZALIWA NA KUWA RASMI. '''[[Mtumiaji:Gaston Mwaselela|Gaston Mwaselela]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Gaston Mwaselela|majadiliano]])''' 05:39, 14 Juni 2026 (UTC) == WASAFWA KABILA PEKEE LILILO ZAA MAKABILA MENGI ZAIDI == Kabila la wasafwa ndio kabila peke lililo zaa makabila mengi zaidi, ama kwa lugha nyepesi limetoa mabila mengine. Wasafwa wamezaa kabila la # Wanyiha(Wengi wanapatika Mbozi) mkoani Songwe (Zamani ilikua sehemu ya Mkoa wa Mbeya) # Wamalila (Wapo maeneo ya Umalila na Mbalizi) # Wambwila (Wapo maeneo ya Igoma-Mbeya vijijini na maeneo ya Rungwe) # Wabungu (Wanapatikana Maeneo ya Chunya) # Wasangu (Maeneo ya Inyala,Itewe,Igurusi,Usangu,mswiswi) '''[[Mtumiaji:Gaston Mwaselela|Gaston Mwaselela]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Gaston Mwaselela|majadiliano]])''' 05:53, 14 Juni 2026 (UTC) 1zlmk9j1cj7oyoj7bx9w4kizmklqu5n Kigezo:Mbegu-jio-Ghana 10 240908 1572917 2026-06-14T06:44:54Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{| style="font-size:90%; width: 65%; padding: 3px; margin: 0 auto;" class=toccolours |- | [[Picha:Flag map of Ghana.svg|40px| ]] |Makala hii kuhusu maeneo ya [[Ghana]] bado ni '''mbegu'''. <br> Je unajua kitu kuhusu '''{{FULLPAGENAME}}''' kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? <br />Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? <br />Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa [{{SERVER}}/...' 1572917 wikitext text/x-wiki {| style="font-size:90%; width: 65%; padding: 3px; margin: 0 auto;" class=toccolours |- | [[Picha:Flag map of Ghana.svg|40px| ]] |Makala hii kuhusu maeneo ya [[Ghana]] bado ni '''mbegu'''. <br> Je unajua kitu kuhusu '''{{FULLPAGENAME}}''' kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? <br />Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? <br />Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa [{{SERVER}}/w/index.php?stub&title={{FULLPAGENAMEE}}&action=edit kuihariri na kuongeza habari]''. |}[[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana<noinclude>| </noinclude>]] <noinclude> [[Jamii:Vigezo vya Ghana]] </noinclude><noinclude> [[Jamii:Vigezo vya mbegu za jiografia|Ghana]] </noinclude> 8sgjddnb5az2nr5o26msecuwkbnjlk5 Agrumatue 0 240909 1572918 2026-06-14T06:49:15Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Agrumatue''' ni mto unaopatikana katika eneo la Mashariki ya Juu nchini Ghana.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=sfQnDwAAQBAJ&pg=PA39|title=Evaluation des ressources en eau du bassin de la Volta. In French|last=Marloes|first=Mul|last2=E|first2=Obuobie|last3=R|first3=Appoh|last4=K|first4=Kankam-Yeboah|last5=E|first5=Bekoe-Obeng|last6=B|first6=Amisigo|last7=Y|first7=Logah, F.|last8=B|first8=Ghansah|last9=Matthew|first9=McCartney|date=2...' 1572918 wikitext text/x-wiki '''Agrumatue''' ni mto unaopatikana katika eneo la Mashariki ya Juu nchini Ghana.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=sfQnDwAAQBAJ&pg=PA39|title=Evaluation des ressources en eau du bassin de la Volta. In French|last=Marloes|first=Mul|last2=E|first2=Obuobie|last3=R|first3=Appoh|last4=K|first4=Kankam-Yeboah|last5=E|first5=Bekoe-Obeng|last6=B|first6=Amisigo|last7=Y|first7=Logah, F.|last8=B|first8=Ghansah|last9=Matthew|first9=McCartney|date=2015-05-01|publisher=International Water Management Institute (IWMI)|isbn=978-92-9090-832-6|language=fr}}</ref> Mto huu unapita kati ya miji ya Bolgatanga na Zuarungu, na pia hutumika kama mpaka wa kiutawala kati ya Wilaya ya [[Manispaa]] ya Bolgatanga na Wilaya ya Bolgatanga Mashariki. Barabara kuu ya N11 huvuka mto huu.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=jH19CwAAQBAJ&pg=PA37|title=Water Resources Assessment of the Volta River Basin|last=Obuobie|first=Marloes Mul, Emmanuel|last2=Appoh|first2=Richard|last3=Yeboah|first3=Kwabena Kankam-|last4=Bekoe-Obeng|first4=Emmanuel|last5=Amisigo|first5=Barnabas|last6=Logah|first6=Frederick Yaw|last7=Ghansah|first7=Benjamin|last8=McCartney|first8=Matthew|date=2015-02-01|publisher=International Water Management Institute (IWMI)|isbn=978-92-9090-829-6|language=en}}</ref> Katika kipindi cha kiangazi, mto Agrumatue hukauka na maji hupungua kwa kiasi kikubwa. Hata hivyo, karibu na mji wa Bolgatanga kuna bwawa lililojengwa kwenye mto huo ambalo huhifadhi sehemu ya maji [[mwaka]] mzima. Kutokana na uwepo wa bwawa hilo, shughuli za [[kilimo]] kama umwagiliaji huendelea kufanyika hata wakati wa [[kiangazi]], jambo linalosaidia uzalishaji wa mazao katika eneo hilo. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] 1lu1tin3xavb5ubnhe4zgv96066ytif Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana 14 240910 1572919 2026-06-14T06:53:33Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Mbegu za jiografia nchi kwa nchi]] [[Jamii:Jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Afrika]] [[Jamii:Mbegu za Ghana]]' 1572919 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Mbegu za jiografia nchi kwa nchi]] [[Jamii:Jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Afrika]] [[Jamii:Mbegu za Ghana]] h2q6v58w96gz3oj22cyfofkcm9kl8c6 1572920 1572919 2026-06-14T06:54:30Z Don Malya 61486 1572920 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Mbegu za jiografia nchi kwa nchi]] [[Jamii:Jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Afrika]] ho6wytld656itgwcbm9bjh5l28shxx3 Mto Amisa 0 240911 1572922 2026-06-14T07:01:04Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Amisa''' (pia hujulikana kama Ochi Amisa, Okyi-Amisa, Eminsa Ɔkye na Eminsa Okye) unaanzia na kupita katika Mkoa wa Kati wa [[Ghana]]. Mto huu hupitia mji wa Mankessim na hatimaye kumwaga maji yake katika Rasi ya Amisa (Amisa Lagoon), kabla ya kuingia katika Ghuba ya Guinea kusini mwa Suprudu, karibu na Saltpond. == Jiografia == Bonde la Mto Amisa lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 15,576. Kufikia mwaka 2007, eneo hili lilikuwa na mson...' 1572922 wikitext text/x-wiki '''Mto Amisa''' (pia hujulikana kama Ochi Amisa, Okyi-Amisa, Eminsa Ɔkye na Eminsa Okye) unaanzia na kupita katika Mkoa wa Kati wa [[Ghana]]. Mto huu hupitia mji wa Mankessim na hatimaye kumwaga maji yake katika Rasi ya Amisa (Amisa Lagoon), kabla ya kuingia katika Ghuba ya Guinea kusini mwa Suprudu, karibu na Saltpond. == Jiografia == Bonde la Mto Amisa lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 15,576. Kufikia mwaka 2007, eneo hili lilikuwa na msongamano mdogo wa watu ikilinganishwa na mabonde ya [[mito]] jirani, likiwa na wastani wa wakazi 150 kwa kilomita ya mraba. Eneo la mtiririko wa maji wa mto huu ni kilomita za mraba 1,368, na mwaka 1998 kiwango chake cha wastani cha mtiririko wa maji kwa mwaka kilikadiriwa kuwa mita za ujazo 12.8 kwa sekunde. Mto huu unatambulika kwa kuwa na maeneo makubwa ya ardhi oevu (wetlands) pamoja na njia pana ya kuingilia maji kutoka baharini. == Uchumi == Mto Amisa ni mojawapo ya vyanzo tisa muhimu vya maji safi ya kunywa katika Mkoa wa Kati wa Ghana, ambapo mfumo wa uzalishaji na [[usambazaji]] wa maji upo katika eneo la Baifikrom Headworks. Pia una mchango mkubwa katika umwagiliaji wa shughuli za kilimo.<ref>{{Cite journal |last=OPOKU-ANKOMAH |first=Y. |last2=FORSON |first2=M. A. |date=1998-10-01 |title=Assessing surface water resources of the Southwestern and Coastal basin systems of Ghana |url=https://doi.org/10.1080/02626669809492169 |journal=Hydrological Sciences Journal |volume=43 |issue=5 |pages=733–740 |doi=10.1080/02626669809492169 |issn=0262-6667}}</ref> Rasi ya Amisa yenye ukubwa wa kilomita za mraba 2.1 inahusishwa na uzalishaji wa [[chumvi]] na shughuli za uvuvi, ambazo ni muhimu kwa uchumi wa wakazi wa eneo hilo. == Utamaduni == Mto Amisa hulisha moja ya mabwawa mawili makubwa yaliyopo katika msitu [[mtakatifu]] wa jadi wa Nananom Pow, linalojulikana kama Bwawa la Atsendu. Eneo hili lina umuhimu wa kitamaduni na kiroho kwa [[jamii]] za wenyeji.<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/akweesi-and-the-fall-of-nananom-pow-1979|title=Akweesi And The Fall Of Nananom Pɔw|last=John Brandford Crayner|date=1970}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] khuwn7e7oi3n9zbmxm6ait117x276by 1572997 1572922 2026-06-14T10:57:33Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1572997 wikitext text/x-wiki '''Mto Amisa''' (pia hujulikana kama Ochi Amisa, Okyi-Amisa, Eminsa Ɔkye na Eminsa Okye) unaanzia na kupita katika Mkoa wa Kati wa [[Ghana]]. Mto huu hupitia mji wa Mankessim na hatimaye kumwaga maji yake katika Rasi ya Amisa (Amisa Lagoon), kabla ya kuingia katika Ghuba ya Guinea kusini mwa Suprudu, karibu na Saltpond. == Jiografia == Bonde la Mto Amisa lina ukubwa wa takribani [[kilomita]] za mraba 15,576. Kufikia mwaka 2007, eneo hili lilikuwa na msongamano mdogo wa watu ikilinganishwa na mabonde ya [[mito]] jirani, likiwa na wastani wa wakazi 150 kwa kilomita ya mraba. Eneo la mtiririko wa maji wa mto huu ni kilomita za mraba 1,368, na mwaka 1998 kiwango chake cha wastani cha mtiririko wa maji kwa mwaka kilikadiriwa kuwa mita za ujazo 12.8 kwa sekunde. Mto huu unatambulika kwa kuwa na maeneo makubwa ya ardhi oevu (wetlands) pamoja na njia pana ya kuingilia maji kutoka baharini. == Uchumi == Mto Amisa ni mojawapo ya vyanzo tisa muhimu vya maji safi ya kunywa katika Mkoa wa Kati wa Ghana, ambapo mfumo wa uzalishaji na [[usambazaji]] wa maji upo katika eneo la Baifikrom Headworks. Pia una mchango mkubwa katika umwagiliaji wa shughuli za kilimo.<ref>{{Rejea jarida |last=OPOKU-ANKOMAH |first=Y. |last2=FORSON |first2=M. A. |date=1998-10-01 |title=Assessing surface water resources of the Southwestern and Coastal basin systems of Ghana |url=https://doi.org/10.1080/02626669809492169 |journal=Hydrological Sciences Journal |volume=43 |issue=5 |pages=733–740 |doi=10.1080/02626669809492169 |issn=0262-6667}}</ref> Rasi ya Amisa yenye ukubwa wa kilomita za mraba 2.1 inahusishwa na uzalishaji wa [[chumvi]] na shughuli za uvuvi, ambazo ni muhimu kwa uchumi wa wakazi wa eneo hilo. == Utamaduni == Mto Amisa hulisha moja ya mabwawa mawili makubwa yaliyopo katika msitu [[mtakatifu]] wa jadi wa Nananom Pow, linalojulikana kama Bwawa la Atsendu. Eneo hili lina umuhimu wa kitamaduni na kiroho kwa [[jamii]] za wenyeji.<ref>{{Rejea kitabu|url=http://archive.org/details/akweesi-and-the-fall-of-nananom-pow-1979|title=Akweesi And The Fall Of Nananom Pɔw|last=John Brandford Crayner|date=1970}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] i0w7dnijz6o0tutjpqrle8wbu3dglaf Angongwi 0 240912 1572923 2026-06-14T07:04:08Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Angongwi''' ni mto unaopatikana nchini [[Ghana]], katika sehemu ya kusini-mashariki ya nchi hiyo, takribani [[kilomita]] 100 kaskazini mwa Accra. Mto huu humwaga [[maji]] yake katika Mto Volta, kabla ya Volta kuingia katika Ghuba ya Guinea.<ref>{{Cite web|title=GeoNames.org|url=http://www.geonames.org/2304615/angongwi.html|work=www.geonames.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] Jamii...' 1572923 wikitext text/x-wiki '''Mto Angongwi''' ni mto unaopatikana nchini [[Ghana]], katika sehemu ya kusini-mashariki ya nchi hiyo, takribani [[kilomita]] 100 kaskazini mwa Accra. Mto huu humwaga [[maji]] yake katika Mto Volta, kabla ya Volta kuingia katika Ghuba ya Guinea.<ref>{{Cite web|title=GeoNames.org|url=http://www.geonames.org/2304615/angongwi.html|work=www.geonames.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] 0c0ptl7wpzme0wo2388fcro402buqq4 Mto Ankobra 0 240913 1572926 2026-06-14T07:14:16Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mto Ankobra ni mto uliopo kusini-magharibi mwa [[Ghana]]. Mto huu unaanzia kaskazini-mashariki mwa Wiawso na hutiririka kwa umbali wa takribani [[kilomita]] 190 kuelekea kusini hadi Ghuba ya Guinea. Huingia baharini karibu kilomita 60 magharibi mwa mji wa Takoradi.<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> Karibu na mdomo wa mto huu kuna mabaki ya Fo...' 1572926 wikitext text/x-wiki Mto Ankobra ni mto uliopo kusini-magharibi mwa [[Ghana]]. Mto huu unaanzia kaskazini-mashariki mwa Wiawso na hutiririka kwa umbali wa takribani [[kilomita]] 190 kuelekea kusini hadi Ghuba ya Guinea. Huingia baharini karibu kilomita 60 magharibi mwa mji wa Takoradi.<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> Karibu na mdomo wa mto huu kuna mabaki ya Fort Elize Carthago, kituo cha biashara cha Waholanzi kilichoachwa mwaka 1711. Mto Ankobra hupokea [[maji]] kutoka Mto Nini. Meli ndogo zinaweza kusafiri ndani ya mto huu kwa umbali wa takribani kilomita 80 kutoka mdomoni, huku sehemu za juu za mto zikiwa na maporomoko na mikondo mikali ya maji. Kutokana na uwezo wake wa maji, mapendekezo mbalimbali ya miradi ya kuzalisha umeme wa maji yamewahi kutolewa kwa sehemu za juu za mto huo. Mwaka 2003, viwango vya zebaki (mercury) na arseniki viliripotiwa kupatikana katika [[Bonde]] la Mto Ankobra kutokana na shughuli za uchimbaji wa dhahabu katika eneo hilo. Uchafuzi huu ulizua wasiwasi kuhusu athari zake kwa mazingira, viumbe wa majini na afya ya jamii zinazotegemea maji ya mto huo. Mto Ankobra ni muhimu kwa shughuli za [[uvuvi]], usafiri wa ndani na maisha ya jamii zinazouzunguka, huku ukichangia pia katika mifumo ya ikolojia ya pwani ya kusini-magharibi mwa Ghana.<ref>{{Cite journal |last=Asare-Donkor |first=Noah Kyame |last2=Adimado |first2=Anthony Apeke |date=2016-02-01 |title=Influence of mining related activities on levels of mercury in water, sediment and fish from the Ankobra and Tano River basins in South Western Ghana |url=https://doi.org/10.1186/s40068-016-0055-4 |journal=Environmental Systems Research |language=en |volume=5 |issue=1 |pages=5 |doi=10.1186/s40068-016-0055-4 |issn=2193-2697}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] fc78avhoikumajl120i31z8rb4k9p2c 1572932 1572926 2026-06-14T07:23:30Z Riccardo Riccioni 452 1572932 wikitext text/x-wiki '''Mto Ankobra''' ni [[mto]] uliopo kusini-magharibi mwa [[Ghana]]. Mto huu unaanzia kaskazini-mashariki mwa Wiawso na hutiririka kwa umbali wa takribani [[kilomita]] 190 kuelekea kusini hadi Ghuba ya Guinea. Huingia baharini karibu kilomita 60 magharibi mwa mji wa Takoradi.<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> Karibu na mdomo wa mto huu kuna mabaki ya Fort Elize Carthago, kituo cha biashara cha Waholanzi kilichoachwa mwaka 1711. Mto Ankobra hupokea [[maji]] kutoka Mto Nini. Meli ndogo zinaweza kusafiri ndani ya mto huu kwa umbali wa takribani kilomita 80 kutoka mdomoni, huku sehemu za juu za mto zikiwa na maporomoko na mikondo mikali ya maji. Kutokana na uwezo wake wa maji, mapendekezo mbalimbali ya miradi ya kuzalisha umeme wa maji yamewahi kutolewa kwa sehemu za juu za mto huo. Mwaka 2003, viwango vya zebaki na arseniki viliripotiwa kupatikana katika [[Bonde]] la Mto Ankobra kutokana na shughuli za uchimbaji wa dhahabu katika eneo hilo. Uchafuzi huu ulizua wasiwasi kuhusu athari zake kwa mazingira, viumbe wa majini na afya ya jamii zinazotegemea maji ya mto huo. Mto Ankobra ni muhimu kwa shughuli za [[uvuvi]], usafiri wa ndani na maisha ya jamii zinazouzunguka, huku ukichangia pia katika mifumo ya ikolojia ya pwani ya kusini-magharibi mwa Ghana.<ref>{{Cite journal |last=Asare-Donkor |first=Noah Kyame |last2=Adimado |first2=Anthony Apeke |date=2016-02-01 |title=Influence of mining related activities on levels of mercury in water, sediment and fish from the Ankobra and Tano River basins in South Western Ghana |url=https://doi.org/10.1186/s40068-016-0055-4 |journal=Environmental Systems Research |language=en |volume=5 |issue=1 |pages=5 |doi=10.1186/s40068-016-0055-4 |issn=2193-2697}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] e93lpa7evofbc9hnxzwnzb96f6x3q2d 1572998 1572932 2026-06-14T10:57:43Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1572998 wikitext text/x-wiki '''Mto Ankobra''' ni [[mto]] uliopo kusini-magharibi mwa [[Ghana]]. Mto huu unaanzia kaskazini-mashariki mwa Wiawso na hutiririka kwa umbali wa takribani [[kilomita]] 190 kuelekea kusini hadi Ghuba ya Guinea. Huingia baharini karibu kilomita 60 magharibi mwa mji wa Takoradi.<ref>{{Rejea tovuti|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> Karibu na mdomo wa mto huu kuna mabaki ya Fort Elize Carthago, kituo cha biashara cha Waholanzi kilichoachwa mwaka 1711. Mto Ankobra hupokea [[maji]] kutoka Mto Nini. Meli ndogo zinaweza kusafiri ndani ya mto huu kwa umbali wa takribani kilomita 80 kutoka mdomoni, huku sehemu za juu za mto zikiwa na maporomoko na mikondo mikali ya maji. Kutokana na uwezo wake wa maji, mapendekezo mbalimbali ya miradi ya kuzalisha umeme wa maji yamewahi kutolewa kwa sehemu za juu za mto huo. Mwaka 2003, viwango vya zebaki na arseniki viliripotiwa kupatikana katika [[Bonde]] la Mto Ankobra kutokana na shughuli za uchimbaji wa dhahabu katika eneo hilo. Uchafuzi huu ulizua wasiwasi kuhusu athari zake kwa mazingira, viumbe wa majini na afya ya jamii zinazotegemea maji ya mto huo. Mto Ankobra ni muhimu kwa shughuli za [[uvuvi]], usafiri wa ndani na maisha ya jamii zinazouzunguka, huku ukichangia pia katika mifumo ya ikolojia ya pwani ya kusini-magharibi mwa Ghana.<ref>{{Rejea jarida |last=Asare-Donkor |first=Noah Kyame |last2=Adimado |first2=Anthony Apeke |date=2016-02-01 |title=Influence of mining related activities on levels of mercury in water, sediment and fish from the Ankobra and Tano River basins in South Western Ghana |url=https://doi.org/10.1186/s40068-016-0055-4 |journal=Environmental Systems Research |language=en |volume=5 |issue=1 |pages=5 |doi=10.1186/s40068-016-0055-4 |issn=2193-2697}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] 03srmjo9it16thmixgbltms3dp5hzyh Mto Anum 0 240914 1572929 2026-06-14T07:16:58Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Anum''' ni mto uliopo nchini [[Ghana]]. Sehemu ya eneo lililo kati ya [[Mto]] Anum na Mto Pra linajumuisha Hifadhi ya [[Msitu]] ya Pra Anum (Pra Anum Forest Reserve),<ref>{{Cite web|title=Making sure you're not a bot!|url=https://nai.diva-portal.org/smash/record.jsf?pid=diva2:272720|work=nai.diva-portal.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> ambayo ni mojawapo ya maeneo muhimu ya uhifadhi wa misitu na viumbe hai nchini humo.<ref>{{Cite book|url=https://b...' 1572929 wikitext text/x-wiki '''Mto Anum''' ni mto uliopo nchini [[Ghana]]. Sehemu ya eneo lililo kati ya [[Mto]] Anum na Mto Pra linajumuisha Hifadhi ya [[Msitu]] ya Pra Anum (Pra Anum Forest Reserve),<ref>{{Cite web|title=Making sure you're not a bot!|url=https://nai.diva-portal.org/smash/record.jsf?pid=diva2:272720|work=nai.diva-portal.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> ambayo ni mojawapo ya maeneo muhimu ya uhifadhi wa misitu na viumbe hai nchini humo.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xbdBAAAAYAAJ|title=Ghana: An Official Handbook|date=1977|publisher=Ghana Information Services Department|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] agzygw46qqb224db49sjh0557mgixxh 1572999 1572929 2026-06-14T10:57:50Z Anuary Rajabu 45588 1572999 wikitext text/x-wiki '''Mto Anum''' ni [[mto]] uliopo nchini [[Ghana]]. Sehemu ya eneo lililo kati ya [[Mto Anum]] na [[Mto Pra]] linajumuisha Hifadhi ya [[Msitu]] wa Pra Anum (''Pra Anum Forest Reserve''),<ref>{{Cite web|title=Making sure you're not a bot!|url=https://nai.diva-portal.org/smash/record.jsf?pid=diva2:272720|work=nai.diva-portal.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> ambayo ni mojawapo ya maeneo muhimu ya uhifadhi wa misitu na viumbe hai nchini humo.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xbdBAAAAYAAJ|title=Ghana: An Official Handbook|date=1977|publisher=Ghana Information Services Department|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] lqu51p113jyu14grn6gflj7pi817vyc 1573002 1572999 2026-06-14T10:58:38Z Anuary Rajabu 45588 1573002 wikitext text/x-wiki '''Mto Anum''' ni [[mto]] uliopo nchini [[Ghana]]. Sehemu ya eneo lililo kati ya Mto Anum na [[Mto Pra]] linajumuisha Hifadhi ya [[Msitu]] wa Pra Anum (''Pra Anum Forest Reserve''),<ref>{{Cite web|title=Making sure you're not a bot!|url=https://nai.diva-portal.org/smash/record.jsf?pid=diva2:272720|work=nai.diva-portal.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> ambayo ni mojawapo ya maeneo muhimu ya uhifadhi wa misitu na viumbe hai nchini humo.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=xbdBAAAAYAAJ|title=Ghana: An Official Handbook|date=1977|publisher=Ghana Information Services Department|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] dh5bwux3gus3zrs7l97eegf2epwj1ld 1573007 1573002 2026-06-14T11:46:04Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 2 template(s) replaced. 1573007 wikitext text/x-wiki '''Mto Anum''' ni [[mto]] uliopo nchini [[Ghana]]. Sehemu ya eneo lililo kati ya Mto Anum na [[Mto Pra]] linajumuisha Hifadhi ya [[Msitu]] wa Pra Anum (''Pra Anum Forest Reserve''),<ref>{{Rejea tovuti|title=Making sure you're not a bot!|url=https://nai.diva-portal.org/smash/record.jsf?pid=diva2:272720|work=nai.diva-portal.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> ambayo ni mojawapo ya maeneo muhimu ya uhifadhi wa misitu na viumbe hai nchini humo.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=xbdBAAAAYAAJ|title=Ghana: An Official Handbook|date=1977|publisher=Ghana Information Services Department|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] ldcdfp4z64lt01spmp63vhep3ulcbrx Wapalestina 0 240915 1572930 2026-06-14T07:17:41Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Palestina]] 1572930 wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[Palestina]] 0cqb0jourks00gkusrcpqis9q8lj0uc Tenzi za Solomoni 0 240916 1572936 2026-06-14T07:46:31Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''''Tenzi za Solomoni''''' ni mkusanyo wa [[tenzi]] 24 zilizosambazwa kwa [[jina]] la [[mfalme]] wa [[Israeli]] [[Solomoni]], [[Mtoto|mwana]] wa [[Daudi (Biblia)|Daudi]], aliyeishi [[karne ya 10 KK]]<ref>[[John Emerton|J. A. Emerton]], "The Odes of Solomon" in [[Hedley Sparks|H. F. D. Sparks]], ed., ''The Apocryphal Old Testament'', Volume 1 (Clarendon, 1984), pp. 684–685: "from very early days the Odes were ascribed to Solomon" but "No claim to Solomon...' 1572936 wikitext text/x-wiki '''''Tenzi za Solomoni''''' ni mkusanyo wa [[tenzi]] 24 zilizosambazwa kwa [[jina]] la [[mfalme]] wa [[Israeli]] [[Solomoni]], [[Mtoto|mwana]] wa [[Daudi (Biblia)|Daudi]], aliyeishi [[karne ya 10 KK]]<ref>[[John Emerton|J. A. Emerton]], "The Odes of Solomon" in [[Hedley Sparks|H. F. D. Sparks]], ed., ''The Apocryphal Old Testament'', Volume 1 (Clarendon, 1984), pp. 684–685: "from very early days the Odes were ascribed to Solomon" but "No claim to Solomonic authorship is made in the text".</ref>. Kumbe [[Mtaalamu|wataalamu]] wengi leo wanadhani zilitungwa na [[Ukristo|Mkristo]] [[Wakristo wa Kiyahudi|wa Kiyahudi]] kwa [[Kiaramu]]<ref>J. R. Harris, A. Mingana, A. Vööbus, J. A. Emerton, and James H. Charlesworth</ref> (au kwa [[Kigiriki]]<ref>W. Frankenburg, "Das Verständnis der Oden Salomos", ''Beihefte zur Zeitschrift für die alttenstamentliche Wissenschaft'' 21 (Giessen, 1911).</ref>) [[Mwaka|miaka]] [[70]]-[[125]] [[Baada ya Kristo|BK]]<ref name=":1">{{Cite web |title=Odes of Solomon |url=https://www.earlyjewishwritings.com/odessolomon.html |access-date=2024-03-26 |website=www.earlyjewishwritings.com}}</ref><ref name=":2" /> sehemu za [[Syria]], labda kwa ajili ya kuimbwa wakati wa [[Liturgia|liturujia]]<ref>Bernard, JH (1912). "The Odes of Solomon" in Texts and Studies VIII.</ref> . [[Maandishi]] hayo yanaonyesha uhusiano na yale ya [[Waeseni]] na [[Injili ya Yohane]]<ref name=":2">{{Cite web |title=Odes of Solomon |url=http://www.earlychristianwritings.com/odes.html |access-date=2022-04-01 |website=www.earlychristianwritings.com}}</ref><ref name="James H 19772">[[James H. Charlesworth|Charlesworth, James H]] (1977). ''The Odes of Solomon''. Missoula, Montana: Scholars Press. {{ISBN|0-89130-202-6}}.</ref><ref name=":3">{{Cite book |last=Charlesworth |first=James H. |url=https://books.google.com/books?id=ZujYAAAAMAAJ&dq=Odes+of+Solomon+docetism&pg=PA184 |title=Critical Reflections on the Odes of Solomon |date=1998 |publisher=Sheffield Academic Press |isbn=978-1-85075-660-6 |language=en}}</ref><ref>{{Cite book |last1=Charlesworth |first1=James H. |url=https://books.google.com/books?id=ATBjAwAAQBAJ&dq=Odes+of+Solomon+Essene&pg=PA109 |title=Sacra Scriptura: How "Non-Canonical" Texts Functioned in Early Judaism and Early Christianity |last2=McDonald |first2=Lee Martin |date=2014-04-24 |publisher=Bloomsbury Publishing |isbn=978-0-567-29668-9 |language=en}}</ref><ref name=":1" />. Zilitumiwa na [[Ignas wa Antiokia]]<ref>R. M. Grant (1944). "The Odes of Solomon and the Church of Antioch", ''Journal of Biblical Literature'' 63, pp. 363–97.</ref><ref>V. Corwin, ''St. Ignatius and Christianity in Antioch'', Yale Publications in Religion 1 (New Haven: Yale UP, 1960), pp. 71–80.</ref>, pia labda na [[Yustino mfiadini|Yustino]] na [[Mtakatifu Ireneo|Ireneo]]<ref>{{Cite journal |url=https://www.jstor.org/stable/pdf/27900527.pdf |access-date=2022-04-10 |journal=The Monist|jstor=27900527 |title=The Disciples of John and the Odes of Solomon |last1=Smith |first1=Preserved |year=1915 |volume=25 |issue=2 |pages=161–199 |doi=10.5840/monist191525235 }}</ref>. ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Vyanzo== * Bernard, JH (1912). "The Odes of Solomon" in ''Texts and Studies VIII''. * Charlesworth, James H (1977). ''The Odes of Solomon''. Missoula, Montana: Scholars Press. {{ISBN|0-89130-202-6}}. * Franzmann, M (1991). ''The Odes of Solomon: Analysis of the Poetical Structure and Form''. Göttingen. * Harris, JR and A Mingana (1916, 1920). ''The Odes and Psalms of Solomon'' in 2 vols. Manchester. * Vleugels, Gie. ''The Odes of Solomon: Syriac Text and English Translation with Text Critical and Explanatory Notes''. MŌRĀN ETH’Ō 41. Kottayam: St. Ephrem Ecumenical Research Institute, 2016. ==Marejeo== * Chadwick, H (1970). "Some reflections on the character and theology of the Odes of Solomon" in ''Kyriakon: Festschrift für J Quasten'' vol. 1, ed. P Granfield and JA Jungmann. * Drijvers, Han Jan Willem (1984). ''East of Antioch: Studies in Early Syriac Christianity''. Aldershot: Ashgate Variorum Reprints. {{ISBN|0-86078-146-1}}. * Pierce, Mark (1984). "Themes in the Odes of Solomon and other early Christian writings and their baptismal character" in ''Ephemerides Liturgicae XCVIII''. * Vleugels, Gie (2011). "The Destruction of the Second Temple in the Odes of Solomon", in: ''Das heilige Herz der Tora'' Festschrift für Hendrik Koorevaar, ed. Siegbert Riecker and Julius Steinberg, Aachen: Shaker Verlag. {{ISBN|978-3-8440-0584-4}}, 303-310 ==Viungo vya nje== {{Wikisource|Odes of Solomon}} * Zinner, Samuel and Mattison, Mark M., [https://www.nuhra.net/nuhra-2021 "The Odes of Solomon: The Nuhra Version"] (2021) ([[public domain]]; [[s:Odes of Solomon|Wikisource text]]) * Harris, J. Rendel [https://archive.org/details/TheOdesAndPsalmsOfSolomon "The Odes and Psalms of Solomon: Published from the Syriac Version"] 2nd ed. 1911 * Harris, J. Rendel and Mingana [https://archive.org/details/odespsalmsofsolo01harruoft "The Odes and Psalms of Solomon" vol. 1: the text], 1916 (facsimiles of Syriac and Latin manuscripts) * Harris, J. Rendel and Mingana [https://archive.org/details/odesandpsalmsso01librgoog "The Odes and Psalms of Solomon" vol. 2: the translation], 1920 (no copiable text, but much smaller filesize) * Harris, J. Rendel and Mingana [https://archive.org/details/odespsalmsofsolo02harruoft "The Odes and Psalms of Solomon" vol. 2: the translation], 1920 (copiable text from [[Optical character recognition|OCR]], but very large filesize) * Brahmachari Prangopal (aka. Simeon Goldstein) [https://web.archive.org/web/20120414215755/http://www.atmajyoti.org/ch_odes_solomon_TEXT.asp "The Odes of Solomon: Introduction and Translation"] * Charlesworth, James (Translator). "The Odes of Solomon." [http://www.earlychristianwritings.com/text/odes.html Early Christian Writings]. * Charlesworth, James (Translator). "The Odes of Solomon" [https://web.archive.org/web/20130426084421/http://users.misericordia.edu/davies/thomas/odes.htm Archived from misericordia.edu]. * J.B. Lightfoot or R.H. Charles, translator [https://web.archive.org/web/20120115032226/http://www.goodnewsinc.org/othbooks/odesolmn.html "The Odes of Solomon"] 1913 in Rutherford Hayes Platt "The lost books of the Bible and The forgotten books of Eden." (Collins-World Publishers, 1926). * Jackson H. Snyder II [http://www.jacksonsnyder.com/arc/2009/Shalome-080809.pdf "The Odes of Shalomé: Ancient Netzari Songs of Extraterrestrial Love"] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20180729092021/http://www.jacksonsnyder.com/arc/2009/Shalome-080809.pdf |date=2018-07-29 }} (Snyder is a messianic Jewish Christian author) * {{cite EB1911|wstitle=Solomon, Odes of |volume=25 |page=365 |short=x}} * [https://archive.org/search.php?query=subject%3A%22Odes%20of%20Solomon%22 Internet Archive Search] * ''[https://www.earlychristianwritings.com/odes.html Odes of Solomon in Early Christian Writings]'' {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:Vitabu]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] gn2e9njgmnonhs07axng3wq1yp5gn7u 1572939 1572936 2026-06-14T07:48:11Z Riccardo Riccioni 452 1572939 wikitext text/x-wiki '''''Tenzi za Solomoni''''' ni mkusanyo wa [[tenzi]] 24 zilizosambazwa kwa [[jina]] la [[mfalme]] wa [[Israeli]] [[Solomoni]], [[Mtoto|mwana]] wa [[Daudi (Biblia)|Daudi]], aliyeishi [[karne ya 10 KK]]<ref>[[John Emerton|J. A. Emerton]], "The Odes of Solomon" in [[Hedley Sparks|H. F. D. Sparks]], ed., ''The Apocryphal Old Testament'', Volume 1 (Clarendon, 1984), pp. 684–685: "from very early days the Odes were ascribed to Solomon" but "No claim to Solomonic authorship is made in the text".</ref>. Kumbe [[Mtaalamu|wataalamu]] wengi leo wanadhani zilitungwa na [[Ukristo|Mkristo]] [[Wakristo wa Kiyahudi|wa Kiyahudi]] kwa [[Kiaramu]]<ref>J. R. Harris, A. Mingana, A. Vööbus, J. A. Emerton, and James H. Charlesworth</ref> (au kwa [[Kigiriki]]<ref>W. Frankenburg, "Das Verständnis der Oden Salomos", ''Beihefte zur Zeitschrift für die alttenstamentliche Wissenschaft'' 21 (Giessen, 1911).</ref>) [[Mwaka|miaka]] [[70]]-[[125]] [[Baada ya Kristo|BK]]<ref name=":1">{{Cite web |title=Odes of Solomon |url=https://www.earlyjewishwritings.com/odessolomon.html |access-date=2024-03-26 |website=www.earlyjewishwritings.com}}</ref><ref name=":2" /> sehemu za [[Syria]], labda kwa ajili ya kuimbwa wakati wa [[Liturgia|liturujia]]<ref>Bernard, JH (1912). "The Odes of Solomon" in Texts and Studies VIII.</ref> . [[Maandishi]] hayo yanaonyesha uhusiano na yale ya [[Waeseni]] na [[Injili ya Yohane]]<ref name=":2">{{Cite web |title=Odes of Solomon |url=http://www.earlychristianwritings.com/odes.html |access-date=2022-04-01 |website=www.earlychristianwritings.com}}</ref><ref name="James H 19772">[[James H. Charlesworth|Charlesworth, James H]] (1977). ''The Odes of Solomon''. Missoula, Montana: Scholars Press. {{ISBN|0-89130-202-6}}.</ref><ref name=":3">{{Cite book |last=Charlesworth |first=James H. |url=https://books.google.com/books?id=ZujYAAAAMAAJ&dq=Odes+of+Solomon+docetism&pg=PA184 |title=Critical Reflections on the Odes of Solomon |date=1998 |publisher=Sheffield Academic Press |isbn=978-1-85075-660-6 |language=en}}</ref><ref>{{Cite book |last1=Charlesworth |first1=James H. |url=https://books.google.com/books?id=ATBjAwAAQBAJ&dq=Odes+of+Solomon+Essene&pg=PA109 |title=Sacra Scriptura: How "Non-Canonical" Texts Functioned in Early Judaism and Early Christianity |last2=McDonald |first2=Lee Martin |date=2014-04-24 |publisher=Bloomsbury Publishing |isbn=978-0-567-29668-9 |language=en}}</ref><ref name=":1" />. Zilitumiwa na [[Ignas wa Antiokia]]<ref>R. M. Grant (1944). "The Odes of Solomon and the Church of Antioch", ''Journal of Biblical Literature'' 63, pp. 363–97.</ref><ref>V. Corwin, ''St. Ignatius and Christianity in Antioch'', Yale Publications in Religion 1 (New Haven: Yale UP, 1960), pp. 71–80.</ref>, pia labda na [[Yustino mfiadini|Yustino]] na [[Mtakatifu Ireneo|Ireneo]]<ref>{{Cite journal |url=https://www.jstor.org/stable/pdf/27900527.pdf |access-date=2022-04-10 |journal=The Monist|jstor=27900527 |title=The Disciples of John and the Odes of Solomon |last1=Smith |first1=Preserved |year=1915 |volume=25 |issue=2 |pages=161–199 |doi=10.5840/monist191525235 }}</ref>. ==Tazama pia== * [[Mababu wa Kitume]] * [[Babu wa Kanisa|Mababu wa Kanisa]] ==Tanbihi== {{Reflist}} ==Vyanzo== * Bernard, JH (1912). "The Odes of Solomon" in ''Texts and Studies VIII''. * Charlesworth, James H (1977). ''The Odes of Solomon''. Missoula, Montana: Scholars Press. {{ISBN|0-89130-202-6}}. * Franzmann, M (1991). ''The Odes of Solomon: Analysis of the Poetical Structure and Form''. Göttingen. * Harris, JR and A Mingana (1916, 1920). ''The Odes and Psalms of Solomon'' in 2 vols. Manchester. * Vleugels, Gie. ''The Odes of Solomon: Syriac Text and English Translation with Text Critical and Explanatory Notes''. MŌRĀN ETH’Ō 41. Kottayam: St. Ephrem Ecumenical Research Institute, 2016. ==Marejeo== * Chadwick, H (1970). "Some reflections on the character and theology of the Odes of Solomon" in ''Kyriakon: Festschrift für J Quasten'' vol. 1, ed. P Granfield and JA Jungmann. * Drijvers, Han Jan Willem (1984). ''East of Antioch: Studies in Early Syriac Christianity''. Aldershot: Ashgate Variorum Reprints. {{ISBN|0-86078-146-1}}. * Pierce, Mark (1984). "Themes in the Odes of Solomon and other early Christian writings and their baptismal character" in ''Ephemerides Liturgicae XCVIII''. * Vleugels, Gie (2011). "The Destruction of the Second Temple in the Odes of Solomon", in: ''Das heilige Herz der Tora'' Festschrift für Hendrik Koorevaar, ed. Siegbert Riecker and Julius Steinberg, Aachen: Shaker Verlag. {{ISBN|978-3-8440-0584-4}}, 303-310 ==Viungo vya nje== {{Wikisource|Odes of Solomon}} * Zinner, Samuel and Mattison, Mark M., [https://www.nuhra.net/nuhra-2021 "The Odes of Solomon: The Nuhra Version"] (2021) ([[public domain]]; [[s:Odes of Solomon|Wikisource text]]) * Harris, J. Rendel [https://archive.org/details/TheOdesAndPsalmsOfSolomon "The Odes and Psalms of Solomon: Published from the Syriac Version"] 2nd ed. 1911 * Harris, J. Rendel and Mingana [https://archive.org/details/odespsalmsofsolo01harruoft "The Odes and Psalms of Solomon" vol. 1: the text], 1916 (facsimiles of Syriac and Latin manuscripts) * Harris, J. Rendel and Mingana [https://archive.org/details/odesandpsalmsso01librgoog "The Odes and Psalms of Solomon" vol. 2: the translation], 1920 (no copiable text, but much smaller filesize) * Harris, J. Rendel and Mingana [https://archive.org/details/odespsalmsofsolo02harruoft "The Odes and Psalms of Solomon" vol. 2: the translation], 1920 (copiable text from [[Optical character recognition|OCR]], but very large filesize) * Brahmachari Prangopal (aka. Simeon Goldstein) [https://web.archive.org/web/20120414215755/http://www.atmajyoti.org/ch_odes_solomon_TEXT.asp "The Odes of Solomon: Introduction and Translation"] * Charlesworth, James (Translator). "The Odes of Solomon." [http://www.earlychristianwritings.com/text/odes.html Early Christian Writings]. * Charlesworth, James (Translator). "The Odes of Solomon" [https://web.archive.org/web/20130426084421/http://users.misericordia.edu/davies/thomas/odes.htm Archived from misericordia.edu]. * J.B. Lightfoot or R.H. Charles, translator [https://web.archive.org/web/20120115032226/http://www.goodnewsinc.org/othbooks/odesolmn.html "The Odes of Solomon"] 1913 in Rutherford Hayes Platt "The lost books of the Bible and The forgotten books of Eden." (Collins-World Publishers, 1926). * Jackson H. Snyder II [http://www.jacksonsnyder.com/arc/2009/Shalome-080809.pdf "The Odes of Shalomé: Ancient Netzari Songs of Extraterrestrial Love"] {{Webarchive|url=https://web.archive.org/web/20180729092021/http://www.jacksonsnyder.com/arc/2009/Shalome-080809.pdf |date=2018-07-29 }} (Snyder is a messianic Jewish Christian author) * {{cite EB1911|wstitle=Solomon, Odes of |volume=25 |page=365 |short=x}} * [https://archive.org/search.php?query=subject%3A%22Odes%20of%20Solomon%22 Internet Archive Search] * ''[https://www.earlychristianwritings.com/odes.html Odes of Solomon in Early Christian Writings]'' {{mbegu-kitabu}} [[Jamii:Vitabu]] [[Jamii:Mababu wa Kanisa]] oaa9xlgi0kshtzo58zlftskzcyanawy Mto Atakora 0 240917 1572938 2026-06-14T07:47:59Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Mto|jina=Mto Atakora|picha=Hippotragus1.JPG|maelezo_ya_picha=Kundi la swala karibu na mto Atakora. Mmoja anainamia kunywa maji.|nchi=Ghana|mdomo=Ziwa Volta}} '''Mto Atakora''' ni mto unaopatikana nchini [[Ghana]] na ni moja ya mito inayomwaga [[maji]] yake katika Ziwa Volta. Mto huu hutiririka kwa umbali wa takribani kilomita 60 kuelekea [[mashariki]] kabla ya kuingia katika ziwa hilo.<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countr...' 1572938 wikitext text/x-wiki {{Mto|jina=Mto Atakora|picha=Hippotragus1.JPG|maelezo_ya_picha=Kundi la swala karibu na mto Atakora. Mmoja anainamia kunywa maji.|nchi=Ghana|mdomo=Ziwa Volta}} '''Mto Atakora''' ni mto unaopatikana nchini [[Ghana]] na ni moja ya mito inayomwaga [[maji]] yake katika Ziwa Volta. Mto huu hutiririka kwa umbali wa takribani kilomita 60 kuelekea [[mashariki]] kabla ya kuingia katika ziwa hilo.<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] 4oy3k6umctzrfp1nm1a9ktc59hv7o4p 1573000 1572938 2026-06-14T10:58:12Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 1 template(s) replaced. 1573000 wikitext text/x-wiki {{Mto|jina=Mto Atakora|picha=Hippotragus1.JPG|maelezo_ya_picha=Kundi la swala karibu na mto Atakora. Mmoja anainamia kunywa maji.|nchi=Ghana|mdomo=Ziwa Volta}} '''Mto Atakora''' ni mto unaopatikana nchini [[Ghana]] na ni moja ya mito inayomwaga [[maji]] yake katika Ziwa Volta. Mto huu hutiririka kwa umbali wa takribani kilomita 60 kuelekea [[mashariki]] kabla ya kuingia katika ziwa hilo.<ref>{{Rejea tovuti|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] i6czawad3rxkccsdjgii7gr9130vt3i Barua ya kwanza ya Klementi 0 240918 1572940 2026-06-14T07:50:25Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Waraka wa kwanza wa Klementi]] 1572940 wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[waraka wa kwanza wa Klementi]] 007nkaopah0f7t5p0jdedtcyu0kluyq Mto Ayensu 0 240919 1572944 2026-06-14T08:01:37Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Ayensu''' ni mto uliopo nchini [[Ghana]].<ref>{{Cite web|title=DCE launches River Basin Afforestation to sustain water|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/economy/artikel.php?ID=42788|work=www.ghanaweb.com|accessdate=2026-06-14}}</ref> Humwaga maji yake katika Rasi ya Ouiba (Ouiba Lagoon) na umezungukwa na maeneo ya [[ardhi]] oevu ya Winneba.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=VLjafeXa3gMC&pg=PA365|title=A Directory of Afric...' 1572944 wikitext text/x-wiki '''Mto Ayensu''' ni mto uliopo nchini [[Ghana]].<ref>{{Cite web|title=DCE launches River Basin Afforestation to sustain water|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/economy/artikel.php?ID=42788|work=www.ghanaweb.com|accessdate=2026-06-14}}</ref> Humwaga maji yake katika Rasi ya Ouiba (Ouiba Lagoon) na umezungukwa na maeneo ya [[ardhi]] oevu ya Winneba.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=VLjafeXa3gMC&pg=PA365|title=A Directory of African Wetlands|last=Hughes|first=R. H.|date=1992|publisher=IUCN|isbn=978-2-88032-949-5|language=en}}</ref> Mapema mwaka 1939 kulikuwa na mipango ya kujenga [[daraja]] kwenye mto huu karibu na Jahadzi. Kijiolojia, [[miamba]] ya Ayensuadzi-Brusheng Quartz Schists hupatikana katika eneo la mto huu.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=NJQRAAAAIAAJ|title=Bulletin|last=Survey|first=Ghana Geological|date=1958|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] b7sdt30g5iu6envmgocjckl64h2xpd4 1573001 1572944 2026-06-14T10:58:30Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1573001 wikitext text/x-wiki '''Mto Ayensu''' ni mto uliopo nchini [[Ghana]].<ref>{{Rejea tovuti|title=DCE launches River Basin Afforestation to sustain water|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/economy/artikel.php?ID=42788|work=www.ghanaweb.com|accessdate=2026-06-14}}</ref> Humwaga maji yake katika Rasi ya Ouiba (Ouiba Lagoon) na umezungukwa na maeneo ya [[ardhi]] oevu ya Winneba.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=VLjafeXa3gMC&pg=PA365|title=A Directory of African Wetlands|last=Hughes|first=R. H.|date=1992|publisher=IUCN|isbn=978-2-88032-949-5|language=en}}</ref> Mapema mwaka 1939 kulikuwa na mipango ya kujenga [[daraja]] kwenye mto huu karibu na Jahadzi. Kijiolojia, [[miamba]] ya Ayensuadzi-Brusheng Quartz Schists hupatikana katika eneo la mto huu.<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=NJQRAAAAIAAJ|title=Bulletin|last=Survey|first=Ghana Geological|date=1958|language=en}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] q3gck1j93ksi5kh2a0du691gkmb7gbh Mto Bia 0 240920 1572946 2026-06-14T08:10:30Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Bia''' ni mto unaopatikana hasa nchini [[Ghana]] na hutiririka kupitia Ghana na Côte d’Ivoire (Ivory Coast),<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> kabla ya kumwaga [[maji]] yake katika Rasi ya Aby (Aby Lagoon) kwenye mpaka wa Ghana na Côte d’Ivoire. Bwawa la kuzalisha umeme wa maji lilijengwa kwenye Mto Bia katika Ayamé mwaka 1959,...' 1572946 wikitext text/x-wiki '''Mto Bia''' ni mto unaopatikana hasa nchini [[Ghana]] na hutiririka kupitia Ghana na Côte d’Ivoire (Ivory Coast),<ref>{{Cite web|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> kabla ya kumwaga [[maji]] yake katika Rasi ya Aby (Aby Lagoon) kwenye mpaka wa Ghana na Côte d’Ivoire. Bwawa la kuzalisha umeme wa maji lilijengwa kwenye Mto Bia katika Ayamé mwaka 1959, na kusababisha kuundwa kwa Ziwa Ayamé.<ref>{{Cite web|title=Fish assemblages in the Bia river-lake system (south-eastern Ivory Coast): A self-organizing map approach|url=https://www.lrrd.org/lrrd25/1/kona25013.htm|work=www.lrrd.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> Mto Bia ni mojawapo ya mito ya kuvuka mipaka katika [[Afrika Magharibi]]. Chanzo chake ni katika nyanda za juu zenye misitu nchini Ghana, karibu na mji wa Wamfie katika Mkoa wa Brong, kwenye mwinuko wa takribani mita 306 juu ya usawa wa [[bahari]].<ref>{{Cite web|title=Source book for the inland fishery resources of Africa Vol. 2|url=https://www.fao.org/4/t0360e/T0360E05.htm|work=www.fao.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> Mto Bia una mchango mkubwa katika [[ikolojia]] na uchumi wa Afrika, ukiwa njia muhimu ya kupitisha maji katika eneo la uhifadhi la Bia magharibi mwa Ghana, hususan katika maeneo ya Sefwi, Aowin na Suaman. Mto huu unasaidia kuhifadhi mazingira ya misitu, viumbe hai na shughuli mbalimbali za kiuchumi zinazotegemea rasilimali za maji. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] ja5ffhiekjn20s0jbkr33pn8hm6kmso 1573008 1572946 2026-06-14T11:46:35Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1573008 wikitext text/x-wiki '''Mto Bia''' ni mto unaopatikana hasa nchini [[Ghana]] na hutiririka kupitia Ghana na Côte d’Ivoire (Ivory Coast),<ref>{{Rejea tovuti|title=Ghana - Rivers and Lakes|url=https://www.countrystudies.us/ghana/30.htm|work=www.countrystudies.us|accessdate=2026-06-14}}</ref> kabla ya kumwaga [[maji]] yake katika Rasi ya Aby (Aby Lagoon) kwenye mpaka wa Ghana na Côte d’Ivoire. Bwawa la kuzalisha umeme wa maji lilijengwa kwenye Mto Bia katika Ayamé mwaka 1959, na kusababisha kuundwa kwa Ziwa Ayamé.<ref>{{Rejea tovuti|title=Fish assemblages in the Bia river-lake system (south-eastern Ivory Coast): A self-organizing map approach|url=https://www.lrrd.org/lrrd25/1/kona25013.htm|work=www.lrrd.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> Mto Bia ni mojawapo ya mito ya kuvuka mipaka katika [[Afrika Magharibi]]. Chanzo chake ni katika nyanda za juu zenye misitu nchini Ghana, karibu na mji wa Wamfie katika Mkoa wa Brong, kwenye mwinuko wa takribani mita 306 juu ya usawa wa [[bahari]].<ref>{{Rejea tovuti|title=Source book for the inland fishery resources of Africa Vol. 2|url=https://www.fao.org/4/t0360e/T0360E05.htm|work=www.fao.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> Mto Bia una mchango mkubwa katika [[ikolojia]] na uchumi wa Afrika, ukiwa njia muhimu ya kupitisha maji katika eneo la uhifadhi la Bia magharibi mwa Ghana, hususan katika maeneo ya Sefwi, Aowin na Suaman. Mto huu unasaidia kuhifadhi mazingira ya misitu, viumbe hai na shughuli mbalimbali za kiuchumi zinazotegemea rasilimali za maji. == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] jks4hfiq98tv737eidfccsw006swkjs Mto Black Volta 0 240921 1572947 2026-06-14T08:17:03Z Don Malya 61486 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mto Black Volta''' (pia hujulikana kama Mouhoun au Volta noire kwa Kifaransa)<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=FBXya_-FfJAC&q=nakanbe+volta&pg=PA27|title=Modelling Riverflow in the Volta Basin of West Africa: A Data-driven Framework|last=Amisigo|first=Barnabas Akurigo|date=2005|publisher=Cuvillier Verlag|isbn=978-3-86537-701-2|language=en}}</ref> ni mojawapo ya sehemu kuu za mfumo wa Mto Volta. Mto huu hutiririka kwa takribani ki...' 1572947 wikitext text/x-wiki '''Mto Black Volta''' (pia hujulikana kama Mouhoun au Volta noire kwa Kifaransa)<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=FBXya_-FfJAC&q=nakanbe+volta&pg=PA27|title=Modelling Riverflow in the Volta Basin of West Africa: A Data-driven Framework|last=Amisigo|first=Barnabas Akurigo|date=2005|publisher=Cuvillier Verlag|isbn=978-3-86537-701-2|language=en}}</ref> ni mojawapo ya sehemu kuu za mfumo wa Mto Volta. Mto huu hutiririka kwa takribani [[kilomita]] 1,352 kupitia [[Burkina Faso]] hadi kuungana na Mto White Volta nchini Ghana, katika eneo la Dagbon, ambalo ni sehemu ya juu ya Ziwa Volta. Black Volta ni mojawapo ya mito mitatu mikuu inayounda mfumo wa Volta, mingine ikiwa White Volta na Red Volta.<ref>{{Cite web|title=Upper Volta (Burkina Faso, 1959-1984)|url=https://www.fotw.info/flags/bf_uv.html|work=www.fotw.info|accessdate=2026-06-14}}</ref> Chanzo cha Mto Black Volta kiko katika Mkoa wa Cascades nchini Burkina Faso, karibu na Mlima Tenakourou, ambao ndio sehemu ya juu zaidi ya nchi hiyo. Kadiri unavyotiririka chini, mto huu huunda sehemu ya mpaka kati ya Ghana na Burkina Faso, na baadaye kati ya Côte d’Ivoire na [[Ghana]]. Ndani ya Ghana, mto huu pia huunda mpaka kati ya Mkoa wa Savannah na Mkoa wa Bono. Katika eneo la Ghana, kwenye Mto Black Volta kuna Bwawa la Bui (Bui Dam), ambalo ni kituo cha kuzalisha [[umeme]] wa maji. Bwawa hili liko kusini kidogo mwa Hifadhi ya Taifa ya Bui (Bui National Park), na mto huo hupita kupitia hifadhi hiyo, na kuigawa katika sehemu mbili.<ref>{{Cite web|title=Ghana Wildlife, Wildlife Division Ghana, Wildlife in Ghana, National Parks in Ghana, ghana wildlife sanctuary, List of Parks in Ghan|url=http://ghanawildlife.org/bui.html|work=ghanawildlife.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] apxjnt0wiw1p9lddaaffttfu0lyljqa 1572948 1572947 2026-06-14T08:25:24Z Don Malya 61486 1572948 wikitext text/x-wiki '''Mto Volta Nyeusi''' (pia hujulikana kama Mouhoun au Volta noire kwa Kifaransa)<ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=FBXya_-FfJAC&q=nakanbe+volta&pg=PA27|title=Modelling Riverflow in the Volta Basin of West Africa: A Data-driven Framework|last=Amisigo|first=Barnabas Akurigo|date=2005|publisher=Cuvillier Verlag|isbn=978-3-86537-701-2|language=en}}</ref> ni mojawapo ya sehemu kuu za mfumo wa Mto Volta. Mto huu hutiririka kwa takribani [[kilomita]] 1,352 kupitia [[Burkina Faso]] hadi kuungana na Mto Volta Nyeupe nchini Ghana, katika eneo la Dagbon, ambalo ni sehemu ya juu ya Ziwa Volta. Volta Nyeusi ni mojawapo ya mito mitatu mikuu inayounda mfumo wa Volta, mingine ikiwa Volta Nyeupe na Volta Nyekundu.<ref>{{Cite web|title=Upper Volta (Burkina Faso, 1959-1984)|url=https://www.fotw.info/flags/bf_uv.html|work=www.fotw.info|accessdate=2026-06-14}}</ref> Chanzo cha Mto Volta Nyeusi kiko katika Mkoa wa Cascades nchini Burkina Faso, karibu na Mlima Tenakourou, ambao ndio sehemu ya juu zaidi ya nchi hiyo. Kadiri unavyotiririka chini, mto huu huunda sehemu ya mpaka kati ya Ghana na Burkina Faso, na baadaye kati ya Côte d’Ivoire na [[Ghana]]. Ndani ya Ghana, mto huu pia huunda mpaka kati ya Mkoa wa Savannah na Mkoa wa Bono. Katika eneo la Ghana, kwenye Mto Volta Nyeusi kuna Bwawa la Bui (Bui Dam), ambalo ni kituo cha kuzalisha [[umeme]] wa maji. Bwawa hili liko kusini kidogo mwa Hifadhi ya Taifa ya Bui (Bui National Park), na mto huo hupita kupitia hifadhi hiyo, na kuigawa katika sehemu mbili.<ref>{{Cite web|title=Ghana Wildlife, Wildlife Division Ghana, Wildlife in Ghana, National Parks in Ghana, ghana wildlife sanctuary, List of Parks in Ghan|url=http://ghanawildlife.org/bui.html|work=ghanawildlife.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] o1yre7ofdiplpbquc9rpxbqz5fmgc6p 1573009 1572948 2026-06-14T11:46:45Z Gayle-Bot 78697 #2.0 Boti Replaced Cite web->Rejea tovuti, Cite journal->Rejea jarida, Cite book->Rejea kitabu, Cite news->Rejea habari; 3 template(s) replaced. 1573009 wikitext text/x-wiki '''Mto Volta Nyeusi''' (pia hujulikana kama Mouhoun au Volta noire kwa Kifaransa)<ref>{{Rejea kitabu|url=https://books.google.com/books?id=FBXya_-FfJAC&q=nakanbe+volta&pg=PA27|title=Modelling Riverflow in the Volta Basin of West Africa: A Data-driven Framework|last=Amisigo|first=Barnabas Akurigo|date=2005|publisher=Cuvillier Verlag|isbn=978-3-86537-701-2|language=en}}</ref> ni mojawapo ya sehemu kuu za mfumo wa Mto Volta. Mto huu hutiririka kwa takribani [[kilomita]] 1,352 kupitia [[Burkina Faso]] hadi kuungana na Mto Volta Nyeupe nchini Ghana, katika eneo la Dagbon, ambalo ni sehemu ya juu ya Ziwa Volta. Volta Nyeusi ni mojawapo ya mito mitatu mikuu inayounda mfumo wa Volta, mingine ikiwa Volta Nyeupe na Volta Nyekundu.<ref>{{Rejea tovuti|title=Upper Volta (Burkina Faso, 1959-1984)|url=https://www.fotw.info/flags/bf_uv.html|work=www.fotw.info|accessdate=2026-06-14}}</ref> Chanzo cha Mto Volta Nyeusi kiko katika Mkoa wa Cascades nchini Burkina Faso, karibu na Mlima Tenakourou, ambao ndio sehemu ya juu zaidi ya nchi hiyo. Kadiri unavyotiririka chini, mto huu huunda sehemu ya mpaka kati ya Ghana na Burkina Faso, na baadaye kati ya Côte d’Ivoire na [[Ghana]]. Ndani ya Ghana, mto huu pia huunda mpaka kati ya Mkoa wa Savannah na Mkoa wa Bono. Katika eneo la Ghana, kwenye Mto Volta Nyeusi kuna Bwawa la Bui (Bui Dam), ambalo ni kituo cha kuzalisha [[umeme]] wa maji. Bwawa hili liko kusini kidogo mwa Hifadhi ya Taifa ya Bui (Bui National Park), na mto huo hupita kupitia hifadhi hiyo, na kuigawa katika sehemu mbili.<ref>{{Rejea tovuti|title=Ghana Wildlife, Wildlife Division Ghana, Wildlife in Ghana, National Parks in Ghana, ghana wildlife sanctuary, List of Parks in Ghan|url=http://ghanawildlife.org/bui.html|work=ghanawildlife.org|accessdate=2026-06-14}}</ref> == Marejeo == <references /> {{Mbegu-jio-Ghana}} [[Jamii:Mito ya Ghana]] [[Jamii:AWC 2026]] [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Ghana]] 7dlr5x7fynh4piiuenj396pfteucnca Andrew Grove 0 240922 1572952 2026-06-14T09:29:39Z Bycashtz 81318 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox_Person | jina = Andrew Grove | jina_halisi = Gróf András István<ref name=Grove/> | picha = Intel_Inside_(3607903903) (cropped).jpg | ukubwawapicha = 200px | maelezo_ya_picha = Grove mwaka 2009 | tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1936|09|02}} | mahala_pa_kuzaliwa = Budapest, Ufalme wa Hungaria | tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2016|03|21|1936|09|02}} | mahala_pa_kifo = Los Altos, California...' 1572952 wikitext text/x-wiki {{Infobox_Person | jina = Andrew Grove | jina_halisi = Gróf András István<ref name=Grove/> | picha = Intel_Inside_(3607903903) (cropped).jpg | ukubwawapicha = 200px | maelezo_ya_picha = Grove mwaka 2009 | tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1936|09|02}} | mahala_pa_kuzaliwa = Budapest, Ufalme wa Hungaria | tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2016|03|21|1936|09|02}} | mahala_pa_kifo = Los Altos, California, Marekani | elimu = Chuo cha Jiji la New York (Shahada ya Sayansi)<br>Chuo Kikuu cha California, Berkeley (PhD) | anajulikana_kwa = Afisa Mtendaji Mkuu wa tatu wa Intel Corporation, afisa wa kwanza wa uendeshaji na mfanyakazi wa tatu, 1968 | mtangulizi = Gordon Moore | mrithi = Craig Barrett | kazi_mahususi = Kitabu cha chuo: ''Physics and Technology of Semiconductor Devices'' (1967)<br>Kitabu cha usimamizi: ''Only the Paranoid Survive'' (1996) | tuzo = Tuzo ya J. J. Ebers (1974)<br>''Time'' Mtu wa Mwaka, 1997<br>Jarida la ''Chief Executive'', Afisa Mtendaji Mkuu wa Mwaka, 1997 | kazi = Mfanyabiashara, mhandisi, mshauri wa ngazi ya juu | mwenzi = Eva Kastan (1958–kifo) | watoto = 2<ref>[https://www.bbc.com/news/technology-35221693 "Former Intel chief Andrew Grove dies aged 79"] ''BBC'', Machi 22, 2016.</ref> }} '''Andrew '''"'''Andy'''"''' Stephen Grove''' (alizaliwa 2 Septemba 1936 – 21 Machi 2016) alikuwa mfanyabiashara na mhandisi Mmarekani mwenye asili ya nchi ya Hungaria ambaye alihudumu kama Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa tatu wa [[Intel|Intel Corporation.]] Aliondoka Hungaria wakati wa mapinduzi ya mwaka 1956 akiwa na umri wa miaka 20 pekee na kuhamia nchini Marekani, ambako alimalizia masomo yake. Alikuwa mfanyakazi wa tatu kuajiriwa na hatimaye Afisa Mtendaji Mkuu wa tatu wa "ntel", akibadilisha kampuni hiyo kuwa kampuni kubwa zaidi duniani.<ref name="Bloomberg">{{cite web |url=https://www.bloomberg.com |title=Andrew Grove |date=2016 |website=Bloomberg.com |access-date=Juni 14, 2026}}</ref> Kutokana na kazi yake ndani ya Intel, pamoja na vitabu na makala zake za kitaalamu, Grove alikuwa na ushawishi mkubwa katika viwanda vya utengenezaji wa vifaa vya kielektroniki duniani kote.<ref name="nyt2001">{{cite news |last=Gaither |first=Chris |title=Intel's Former Chief Speaks Out on Innovation |url=https://www.nytimes.com |access-date=Juni 14, 2026 |work=The New York Times |date=Novemba 12, 2001}}</ref> Mnamo mwaka 1997, jarida la ''Time'' lilimchagua kama mtu hodari, kwa kuwa mtu aliyechangia zaidi ukuaji wa kustaajabisha wa nguvu na uwezo wa ubunifu wa chipu za kompyuta .<ref name="NYT">{{cite news |title=Andrew S. Grove, Intel Chief, Dies at 79 |url=https://www.nytimes.com |work=The New York Times |date=Machi 21, 2016 |access-date=Juni 14, 2026}}</ref><ref name="TimeMOTY">{{cite magazine |title=Man of the Year: Andrew Grove |url=https://time.com |magazine=Time |date=Desemba 29, 1997 |access-date=Juni 14, 2026}}</ref> Chanzo kimoja kinabainisha kuwa kwa mafanikio yake ndani ya Intel pekee, anastahili nafasi sawa na viongozi wakuu wa biashara wa karne ya 20.<ref name="Movers">{{cite book |title=Movers and Shakers: the 100 Most Influential Figures in Modern Business |publisher=Basic Books |year=2003 |pages=205–207}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1936]] [[Jamii:Waliofariki 2016]] [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] 5cwtmsl6qutt6sspn77pup96n0ji6oi 1572988 1572952 2026-06-14T10:08:06Z Anuary Rajabu 45588 1572988 wikitext text/x-wiki {{Infobox_Person | jina = Andrew Grove | jina_halisi = Gróf András István<ref name=Grove/> | picha = Intel_Inside_(3607903903) (cropped).jpg | ukubwawapicha = 200px | maelezo_ya_picha = Grove mwaka 2009 | tarehe_ya_kuzaliwa = {{Birth date|1936|09|02}} | mahala_pa_kuzaliwa = Budapest, Ufalme wa Hungaria | tarehe_ya_kifo = {{Death date and age|2016|03|21|1936|09|02}} | mahala_pa_kifo = Los Altos, California, Marekani | elimu = Chuo cha Jiji la New York (Shahada ya Sayansi)<br>Chuo Kikuu cha California, Berkeley (PhD) | anajulikana_kwa = Afisa Mtendaji Mkuu wa tatu wa Intel Corporation, afisa wa kwanza wa uendeshaji na mfanyakazi wa tatu, 1968 | mtangulizi = Gordon Moore | mrithi = Craig Barrett | kazi_mahususi = Kitabu cha chuo: ''Physics and Technology of Semiconductor Devices'' (1967)<br>Kitabu cha usimamizi: ''Only the Paranoid Survive'' (1996) | tuzo = Tuzo ya J. J. Ebers (1974)<br>''Time'' Mtu wa Mwaka, 1997<br>Jarida la ''Chief Executive'', Afisa Mtendaji Mkuu wa Mwaka, 1997 | kazi = Mfanyabiashara, mhandisi, mshauri wa ngazi ya juu | mwenzi = Eva Kastan (1958–kifo) | watoto = 2<ref>[https://www.bbc.com/news/technology-35221693 "Former Intel chief Andrew Grove dies aged 79"] ''BBC'', Machi 22, 2016.</ref> }} '''Andrew '''"'''Andy'''"''' Stephen Grove''' ( [[2 Septemba]] 1936 – [[21 Machi]] 2016) alikuwa mfanyabiashara na mhandisi Mmarekani mwenye asili ya nchi ya Hungaria ambaye alihudumu kama Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa tatu wa [[Intel|Intel Corporation.]] Aliondoka Hungaria wakati wa mapinduzi ya mwaka 1956 akiwa na umri wa miaka 20 pekee na kuhamia nchini Marekani, ambako alimalizia masomo yake. Alikuwa mfanyakazi wa tatu kuajiriwa na hatimaye Afisa Mtendaji Mkuu wa tatu wa "ntel", akibadilisha kampuni hiyo kuwa kampuni kubwa zaidi duniani.<ref name="Bloomberg">{{cite web |url=https://www.bloomberg.com |title=Andrew Grove |date=2016 |website=Bloomberg.com |access-date=Juni 14, 2026}}</ref> Kutokana na kazi yake ndani ya Intel, pamoja na vitabu na makala zake za kitaalamu, Grove alikuwa na ushawishi mkubwa katika viwanda vya utengenezaji wa vifaa vya kielektroniki duniani kote.<ref name="nyt2001">{{cite news |last=Gaither |first=Chris |title=Intel's Former Chief Speaks Out on Innovation |url=https://www.nytimes.com |access-date=Juni 14, 2026 |work=The New York Times |date=Novemba 12, 2001}}</ref> Mnamo mwaka 1997, jarida la ''Time'' lilimchagua kama mtu hodari, kwa kuwa mtu aliyechangia zaidi ukuaji wa kustaajabisha wa nguvu na uwezo wa ubunifu wa chipu za kompyuta .<ref name="NYT">{{cite news |title=Andrew S. Grove, Intel Chief, Dies at 79 |url=https://www.nytimes.com |work=The New York Times |date=Machi 21, 2016 |access-date=Juni 14, 2026}}</ref><ref name="TimeMOTY">{{cite magazine |title=Man of the Year: Andrew Grove |url=https://time.com |magazine=Time |date=Desemba 29, 1997 |access-date=Juni 14, 2026}}</ref> Chanzo kimoja kinabainisha kuwa kwa mafanikio yake ndani ya Intel pekee, anastahili nafasi sawa na viongozi wakuu wa biashara wa karne ya 20.<ref name="Movers">{{cite book |title=Movers and Shakers: the 100 Most Influential Figures in Modern Business |publisher=Basic Books |year=2003 |pages=205–207}}</ref> == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1936]] [[Jamii:Waliofariki 2016]] [[Jamii:Wafanyabiashara wa Marekani]] [[Jamii:Wiki for Refugees 2026]] ctm8g4ntru66qhczgz2chwxywga2ud8 Majadiliano ya mtumiaji:Berniter 3 240923 1572955 2026-06-14T09:48:15Z AmmarBot 81277 Karibu 1572955 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 14 Juni 2026 (UTC) ceubf4uzikl8yg8qgmcs2i6e13ug47s Majadiliano ya mtumiaji:IBRAHIMU GUNGU 3 240924 1572956 2026-06-14T09:48:25Z AmmarBot 81277 Karibu 1572956 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 14 Juni 2026 (UTC) ceubf4uzikl8yg8qgmcs2i6e13ug47s Majadiliano ya mtumiaji:Issa zairo 3 240925 1572957 2026-06-14T09:48:35Z AmmarBot 81277 Karibu 1572957 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 14 Juni 2026 (UTC) ceubf4uzikl8yg8qgmcs2i6e13ug47s Majadiliano ya mtumiaji:Xl4 off 3 240926 1572958 2026-06-14T09:48:45Z AmmarBot 81277 Karibu 1572958 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 14 Juni 2026 (UTC) ceubf4uzikl8yg8qgmcs2i6e13ug47s Majadiliano ya mtumiaji:Gaston Mwaselela 3 240927 1572959 2026-06-14T09:48:55Z AmmarBot 81277 Karibu 1572959 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:48, 14 Juni 2026 (UTC) ceubf4uzikl8yg8qgmcs2i6e13ug47s Majadiliano ya mtumiaji:Saraodembo 3 240928 1572960 2026-06-14T09:49:05Z AmmarBot 81277 Karibu 1572960 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 14 Juni 2026 (UTC) k0x2phl935cfcfx690o6h05kln4cq1v Majadiliano ya mtumiaji:Sky365 3 240929 1572961 2026-06-14T09:49:15Z AmmarBot 81277 Karibu 1572961 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 14 Juni 2026 (UTC) k0x2phl935cfcfx690o6h05kln4cq1v Majadiliano ya mtumiaji:Marcel tallyboy 3 240930 1572962 2026-06-14T09:49:25Z AmmarBot 81277 Karibu 1572962 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 14 Juni 2026 (UTC) k0x2phl935cfcfx690o6h05kln4cq1v Majadiliano ya mtumiaji:AGARITO ALLAN 3 240931 1572963 2026-06-14T09:49:35Z AmmarBot 81277 Karibu 1572963 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 14 Juni 2026 (UTC) k0x2phl935cfcfx690o6h05kln4cq1v Majadiliano ya mtumiaji:Jayyyhearttt 3 240932 1572964 2026-06-14T09:49:45Z AmmarBot 81277 Karibu 1572964 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 14 Juni 2026 (UTC) k0x2phl935cfcfx690o6h05kln4cq1v Majadiliano ya mtumiaji:Dennis Madeya 3 240933 1572965 2026-06-14T09:49:55Z AmmarBot 81277 Karibu 1572965 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:49, 14 Juni 2026 (UTC) k0x2phl935cfcfx690o6h05kln4cq1v Majadiliano ya mtumiaji:Kelvin kdb 3 240934 1572966 2026-06-14T09:50:05Z AmmarBot 81277 Karibu 1572966 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 14 Juni 2026 (UTC) gnl6bd9zirllr2cc6hfz4f26k40z0wl Majadiliano ya mtumiaji:Thelo 3 240935 1572967 2026-06-14T09:50:15Z AmmarBot 81277 Karibu 1572967 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 14 Juni 2026 (UTC) gnl6bd9zirllr2cc6hfz4f26k40z0wl Majadiliano ya mtumiaji:Abby Masaburi 3 240936 1572968 2026-06-14T09:50:25Z AmmarBot 81277 Karibu 1572968 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 14 Juni 2026 (UTC) gnl6bd9zirllr2cc6hfz4f26k40z0wl Majadiliano ya mtumiaji:Omuhunguzi 3 240937 1572969 2026-06-14T09:50:35Z AmmarBot 81277 Karibu 1572969 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 14 Juni 2026 (UTC) gnl6bd9zirllr2cc6hfz4f26k40z0wl Majadiliano ya mtumiaji:Chise95 3 240938 1572970 2026-06-14T09:50:45Z AmmarBot 81277 Karibu 1572970 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 14 Juni 2026 (UTC) gnl6bd9zirllr2cc6hfz4f26k40z0wl Majadiliano ya mtumiaji:Saphinta 3 240939 1572971 2026-06-14T09:50:55Z AmmarBot 81277 Karibu 1572971 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:50, 14 Juni 2026 (UTC) gnl6bd9zirllr2cc6hfz4f26k40z0wl Majadiliano ya mtumiaji:Mike Seems 3 240940 1572972 2026-06-14T09:51:05Z AmmarBot 81277 Karibu 1572972 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 14 Juni 2026 (UTC) 00tp84soefohf4qihuat5jblbhwlojk Majadiliano ya mtumiaji:Warioba, Nyakaba Nchama 3 240941 1572973 2026-06-14T09:51:15Z AmmarBot 81277 Karibu 1572973 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 14 Juni 2026 (UTC) 00tp84soefohf4qihuat5jblbhwlojk Majadiliano ya mtumiaji:JonathaniJ 3 240942 1572974 2026-06-14T09:51:25Z AmmarBot 81277 Karibu 1572974 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 14 Juni 2026 (UTC) 00tp84soefohf4qihuat5jblbhwlojk Majadiliano ya mtumiaji:Mbuguangugi 3 240943 1572975 2026-06-14T09:51:35Z AmmarBot 81277 Karibu 1572975 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 14 Juni 2026 (UTC) 00tp84soefohf4qihuat5jblbhwlojk Majadiliano ya mtumiaji:LINKMAN 3 240944 1572976 2026-06-14T09:51:45Z AmmarBot 81277 Karibu 1572976 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 14 Juni 2026 (UTC) 00tp84soefohf4qihuat5jblbhwlojk Majadiliano ya mtumiaji:7-hD 3 240945 1572977 2026-06-14T09:51:55Z AmmarBot 81277 Karibu 1572977 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:51, 14 Juni 2026 (UTC) 00tp84soefohf4qihuat5jblbhwlojk Majadiliano ya mtumiaji:Ibrahim Stephano 3 240946 1572978 2026-06-14T09:52:05Z AmmarBot 81277 Karibu 1572978 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:52, 14 Juni 2026 (UTC) jtfacjy3ltzpkpuj5s3vdlso6hd6jgz Majadiliano ya mtumiaji:RuSSO 3 240947 1572979 2026-06-14T09:52:15Z AmmarBot 81277 Karibu 1572979 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:52, 14 Juni 2026 (UTC) jtfacjy3ltzpkpuj5s3vdlso6hd6jgz Majadiliano ya mtumiaji:NDAHIMANA FRANK PORTER 3 240948 1572980 2026-06-14T09:52:25Z AmmarBot 81277 Karibu 1572980 wikitext text/x-wiki <div style="background-color: #EEEEFF; border: solid 1px #eaa5ff; padding: 6pt; margin: 1em auto; width: 85%"> <p style="margin-left: 5em;">'''<big>Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!</big>'''</p> Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine. Ukipenda kutumia '''kurasa zetu za mwongozo na msaada''', a) ukitumia simu bofya kwa "'''Dawati'''" chini kwenye dirisha lako na b) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "'''Switch to old look'''" kwenye menyu upande wa kushoto. Kwa mawili matatu labda tazama:<br> * [[Wikipedia:Ukurasa wangu na kurasa za kamusi|Kuhusu ukurasa wako wa mtumiaji na kurasa nyingine]] * [[Wikipedia:Mwongozo|Ukurasa wa mwongozo]] * [https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Msaada Jamii:Msaada] <small>(makala zilizomo humo zinaweza kusaidia mara nyingi)</small> * [[Wikipedia:Jumuia|Ukurasa wa jumuia]] <small>(pamoja na '''[[Wikipedia:Wakabidhi]]''', penye majina walio tayari kukusaidia)</small> * [[Wikipedia:Makala za msingi za kamusi elezo|Makala za msingi za Wikipedia]] Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia '''[[Msaada:Jaribio#2._Jaribio_katika_nafasi_yako_ya_mtumiaji| ukurasa wako kwa majaribio]]'''. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye '''[[Special:Mypage|ukurasa wako wa mtumiaji]]'''. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi. <big>'''Ujue miiko:'''</big> * usilete kamwe matini wala [[Msaada:Picha|picha kutoka tovuti za nje]]. * usiingize matangazo ya kibiashara (pamoja na kuelekeza kwa kurasa zenye matangazo). * usimwage kamwe matini kutoka [[Msaada:Tafsiri ya kompyuta‎|google-translate]] au [[Msaada:Tafsiri|programu za kutafsiri]]. * usitumie kama vyanzo vya taarifa au tanbihi <nowiki><ref>Wikipedia (au mradi mwingine wa Wikimedia)</ref></nowiki>, ila unaweza kutumia vyanzo vyake kwa kuvitaja vyenyewe moja kwa moja. Tunakushauri pia [[Wikipedia:Email|kuandikisha email]] yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana! <p style="margin-left: 5em;">'''Welcome to Kiswahili Wikipedia!'''</p> We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to [[Wikipedia:Bots|this site]]. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at [[Wikipedia:Wakabidhi]]. And, please: * '''do not''' post computer translated texts (like Google Translate, [[Special:ContentTranslation|Content Translation]], etc. all do not work for Swahili) * nor copied texts/images from other webs to this site! * do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising. * do not use as references <nowiki><ref>Wikipedia (or another project of Wikimedia)</ref></nowiki>, though you can use their references by writing them themselves. As a newcomer we advise that you [[:en:Wikipedia:Emailing_users|register your email]]. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems. </div> '''[[Mtumiaji:AmmarBot|AmmarBot]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:AmmarBot|majadiliano]])''' 09:52, 14 Juni 2026 (UTC) jtfacjy3ltzpkpuj5s3vdlso6hd6jgz Ziwa la kwato 0 240949 1572984 2026-06-14T10:03:54Z Anuary Rajabu 45588 Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Ziwa la kwato]] hadi [[Ziwa la oksibo]] 1572984 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Ziwa la oksibo]] pr32tjr0x25sqznvh07yozxyo2k31f2 Majadiliano:Ziwa la kwato 1 240950 1572986 2026-06-14T10:03:54Z Anuary Rajabu 45588 Anuary Rajabu alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano:Ziwa la kwato]] hadi [[Majadiliano:Ziwa la oksibo]] 1572986 wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Majadiliano:Ziwa la oksibo]] ekhs01f5ntgmw8y1v9rfk6mi5vgd4fx Ssenkaali Joseph 0 240951 1572990 2026-06-14T10:16:13Z Mike Seems 90215 /* */ New page 1572990 wikitext text/x-wiki {{Infobox person | name = Ssenkaali Joseph | birth_date = {{circa|1999}} <!-- Umri wa miaka 27 mnamo 2026 --> | birth_place = Lukaya Town Council, Kalungu District, Uganda | nationality = Uganda | occupation = Mpromota wa burudani, mjasiriamali, Mkurugenzi Mtendaji wa Ssenkaali Promotions | known_for = Kuanzisha The Showing Awards, kuunganisha tasnia ya burudani ya Uganda na Dubai }} '''Ssenkaali Joseph''', anayejulikana pia kama '''Promota Ssenkaali Joseph Kampala''', ni mpromota wa burudani na mjasiriamali kutoka Uganda. Akiwa na umri wa miaka 27 (mnamo 2026), amejijenga kama mmoja wa vijana wanaounganisha tasnia ya burudani ya Uganda na jamii za diaspora hasa katika Dubai, Falme za Kiarabu.<ref name="edge">{{cite web |url=https://edge.ug/joseph-ssenkaali-promoter-connecting-ugandas-entertainment-industry-to-dubai/ |title=Joseph Ssenkaali: promoter connecting Uganda’s entertainment industry to Dubai |publisher=Edge.ug |date=30 Mei 2026 |access-date=14 Juni 2026}}</ref><ref name="tma">{{cite web |url=https://www.tmafrica.co.ug/news/ssenkaali-joseph-ugandan-promoter-building-entertainment-links-between-kampala-and-dubai |title=Ssenkaali Joseph: Ugandan Promoter Building Entertainment Links Between Kampala and Dubai |publisher=Torch Media Africa |date=29 Mei 2026 |access-date=14 Juni 2026}}</ref> == Maisha ya awali == Ssenkaali Joseph alizaliwa katika Lukaya Town Council, Wilaya ya Kalungu, mkoa wa Greater Masaka, Uganda. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Kamuwunga na baadaye akaenda Shule ya Sekondari ya Mpeera. Kukua katika eneo lenye utamaduni na muziki mkali kuliwasha shauku yake katika biashara ya burudani tangu umri mdogo.<ref name="edge" /><ref name="tma" /> == Kazi == Joseph ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa '''Ssenkaali Promotions''', kampuni inayohusika na usimamizi wa wasanii, ukuzaji wa muziki, upangaji wa matukio, uuzaji wa kidijitali, utunzi wa nyimbo, kubuni chapa (branding), na huduma za uuzaji na mauzo. Kampuni hiyo inazingatia kuwagundua na kuwainua wasanii wanaoibuka na waliopo katika tasnia ya Uganda.<ref name="examiner">{{cite web |url=https://examiner.co.ug/news/article/promoter-ssenkaali-josephthe-visionary-behind-showing-awards/ |title=Promoter Ssenkaali Joseph: The Visionary Behind Showing Awards |publisher=The Black Examiner |date=25 Agosti 2025 |access-date=14 Juni 2026}}</ref><ref name="tma" /> Amezingatia sana kuimarisha uhusiano wa burudani kati ya Uganda na Dubai, ambapo jamii ya Wauganda na Waafrika Mashariki inakua. Kupitia kampuni yake, amepanga matukio ya muziki, maonyesho, na kampeni za kukuza ambazo zinawapa wasanii wa Uganda fursa ya kutumbuiza mbele ya hadhira ya kimataifa na kujenga mitandao na diaspora.<ref name="edge" /><ref name="tma" /> === The Showing Awards === Mnamo 2024, Joseph alianzisha '''The Showing Awards''', jukwaa la kutunza mafanikio katika burudani, muziki, ujasiriamali, na ubunifu. Tuzo hizi hufanyika katika Uganda na Dubai na zimekuwa jukwaa la kuunganisha wasanii, wapromota, wafanyabiashara, na jamii ya diaspora. Tuzo zinatambua talanta na tabia njema ya washiriki.<ref name="edge" /><ref name="examiner" /><ref name="tma" /> == Athari na maono == Kazi yake inaonyesha mabadiliko katika tasnia ya burudani ya Uganda ambapo vijana wanatumia mitandao ya kidijitali na mitandao ya diaspora ili kuunda fursa za kimataifa. Yeye hugawanya wakati wake kati ya Uganda na Falme za Kiarabu ili kuendeleza daraja la kitamaduni na kiuchumi kati ya Kampala na Dubai.<ref name="edge" /><ref name="tma" /> == Marejeleo == {{reflist}} == Viungo vya nje == * [https://www.facebook.com/promotassenkaalijoseph/ Promota Ssenkaali Joseph Kampala] kwenye Facebook 6ya9ewyia4lx78jx27een733im9l5g4 1572991 1572990 2026-06-14T10:19:22Z Mike Seems 90215 /* */ Infobox 1572991 wikitext text/x-wiki {{Infobox person | name = Ssenkaali Joseph | birth_date = {{circa|1999}} <!-- Umri wa miaka 27 mnamo 2026 --> | birth_place = Lukaya Town Council, Kalungu District, Uganda | nationality = Uganda | occupation = Mpromota wa burudani, mjasiriamali, Mkurugenzi Mtendaji wa Ssenkaali Promotions | known_for = Kuanzisha The Showing Awards, kuunganisha tasnia ya burudani ya Uganda na Dubai |jina la kuzaliwa=Ssenkaali Joseph|utaifa=Ugandan|uraia=Uganda|kazi yake=Promoter (music)|asasi=Showing Awards}} '''Ssenkaali Joseph''', anayejulikana pia kama '''Promota Ssenkaali Joseph Kampala''', ni mpromota wa burudani na mjasiriamali kutoka Uganda. Akiwa na umri wa miaka 27 (mnamo 2026), amejijenga kama mmoja wa vijana wanaounganisha tasnia ya burudani ya Uganda na jamii za diaspora hasa katika Dubai, Falme za Kiarabu.<ref name="edge">{{cite web |url=https://edge.ug/joseph-ssenkaali-promoter-connecting-ugandas-entertainment-industry-to-dubai/ |title=Joseph Ssenkaali: promoter connecting Uganda’s entertainment industry to Dubai |publisher=Edge.ug |date=30 Mei 2026 |access-date=14 Juni 2026}}</ref><ref name="tma">{{cite web |url=https://www.tmafrica.co.ug/news/ssenkaali-joseph-ugandan-promoter-building-entertainment-links-between-kampala-and-dubai |title=Ssenkaali Joseph: Ugandan Promoter Building Entertainment Links Between Kampala and Dubai |publisher=Torch Media Africa |date=29 Mei 2026 |access-date=14 Juni 2026}}</ref> == Maisha ya awali == Ssenkaali Joseph alizaliwa katika Lukaya Town Council, Wilaya ya Kalungu, mkoa wa Greater Masaka, Uganda. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Kamuwunga na baadaye akaenda Shule ya Sekondari ya Mpeera. Kukua katika eneo lenye utamaduni na muziki mkali kuliwasha shauku yake katika biashara ya burudani tangu umri mdogo.<ref name="edge" /><ref name="tma" /> == Kazi == Joseph ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa '''Ssenkaali Promotions''', kampuni inayohusika na usimamizi wa wasanii, ukuzaji wa muziki, upangaji wa matukio, uuzaji wa kidijitali, utunzi wa nyimbo, kubuni chapa (branding), na huduma za uuzaji na mauzo. Kampuni hiyo inazingatia kuwagundua na kuwainua wasanii wanaoibuka na waliopo katika tasnia ya Uganda.<ref name="examiner">{{cite web |url=https://examiner.co.ug/news/article/promoter-ssenkaali-josephthe-visionary-behind-showing-awards/ |title=Promoter Ssenkaali Joseph: The Visionary Behind Showing Awards |publisher=The Black Examiner |date=25 Agosti 2025 |access-date=14 Juni 2026}}</ref><ref name="tma" /> Amezingatia sana kuimarisha uhusiano wa burudani kati ya Uganda na Dubai, ambapo jamii ya Wauganda na Waafrika Mashariki inakua. Kupitia kampuni yake, amepanga matukio ya muziki, maonyesho, na kampeni za kukuza ambazo zinawapa wasanii wa Uganda fursa ya kutumbuiza mbele ya hadhira ya kimataifa na kujenga mitandao na diaspora.<ref name="edge" /><ref name="tma" /> === The Showing Awards === Mnamo 2024, Joseph alianzisha '''The Showing Awards''', jukwaa la kutunza mafanikio katika burudani, muziki, ujasiriamali, na ubunifu. Tuzo hizi hufanyika katika Uganda na Dubai na zimekuwa jukwaa la kuunganisha wasanii, wapromota, wafanyabiashara, na jamii ya diaspora. Tuzo zinatambua talanta na tabia njema ya washiriki.<ref name="edge" /><ref name="examiner" /><ref name="tma" /> == Athari na maono == Kazi yake inaonyesha mabadiliko katika tasnia ya burudani ya Uganda ambapo vijana wanatumia mitandao ya kidijitali na mitandao ya diaspora ili kuunda fursa za kimataifa. Yeye hugawanya wakati wake kati ya Uganda na Falme za Kiarabu ili kuendeleza daraja la kitamaduni na kiuchumi kati ya Kampala na Dubai.<ref name="edge" /><ref name="tma" /> == Marejeleo == {{reflist}} == Viungo vya nje == * [https://www.facebook.com/promotassenkaalijoseph/ Promota Ssenkaali Joseph Kampala] kwenye Facebook ofm5dkby03ppnwg5ukck2gd9038hrva