Turkana (ziwa)
From Wikipedia
| Ziwa la Turkana | |
|---|---|
|
|
|
| Mahali | Afrika ya Mashariki |
| Nchi zinazopakana | Kenya (Ethiopia ina pembe ya kaskazini kabisa) |
| Eneo la maji | 6.405 km² |
| Kina ya chini | 73 m |
| Mito inayoingia | Omo, Turkwel na Kerio |
| Mito inayotoka | -- |
| Kimo cha uwiano wa maji juu ya UB | 375 m |
| Miji mikubwa ufukoni | (vijiji vichache tu) |
Ziwa Turkana ni ziwa katika kaskazini yabisi ya Kenya. Haina mto unaotoka na maji yanayoingia inapotea kwa njia ya uvukizaji.

