Amani Abeid Karume
From Wikipedia
Amani Abeid Karume (amezaliwa 1 Novemba, 1948) ni rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000. Mwaka wa 2005 alichaguliwa mara ya pili. Baba yake, Abeid Amani Karume, alikuwa rais wa kwanza wa Zanzibar.
Amani Abeid Karume (amezaliwa 1 Novemba, 1948) ni rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000. Mwaka wa 2005 alichaguliwa mara ya pili. Baba yake, Abeid Amani Karume, alikuwa rais wa kwanza wa Zanzibar.