Niue
From Wikipedia
|
|||||
| Wito la taifa: {{{national_motto}}} | |||||
| Wimbo wa taifa: Ko e Iki he Lagi | |||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | Alofi |
||||
| Mji mkubwa nchini | |||||
| Lugha rasmi | Kiniue, Kiingereza | ||||
| Serikali | Ufalme wa kikatiba Malkia Elizabeth II wa Uingereza Anton Ojala Young Vivian |
||||
| Nchi shiriki Katiba ya Niue |
19 Oktoba 1974 | ||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
260 km² () 0 |
||||
| Idadi ya watu - Jul 2006 kadirio - Msongamano wa watu |
2,166 (--) /km² (--) |
||||
| Fedha | New Zealand dollar (NZD) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-11) (UTC) |
||||
| Intaneti TLD | .nu | ||||
| Kodi ya simu | +683 |
||||
Niue ni nchi ya kisiwani katika Pasifiki ya kusini. Ni nchi ya kujitawala inayoshiriki na New Zealand inayoratibu siasa ya nje na mambo ya kijeshi.
Niue iko 2,400 km kaskazini-magharibi ya New Zealand kati ya Tonga, Samoa na Visiwa vya Cook. Inahesabiwa kati ya visiwa vya Polynesia ikiitwa "Mwamba wa Polynesia".
| Makala hiyo kuhusu "Niue" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Niue kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |


