Joseph Brodsky
From Wikipedia
Joseph Aleksandrovich Brodsky (24 Mei, 1940 – 28 Januari, 1996) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Kuanzia mwaka wa 1972 aliishi nchini Marekani. Mwaka wa 1987 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Joseph Aleksandrovich Brodsky (24 Mei, 1940 – 28 Januari, 1996) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Kuanzia mwaka wa 1972 aliishi nchini Marekani. Mwaka wa 1987 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.