14 Oktoba
From Wikipedia
| Sep - Oktoba - Nov | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[edit] Matukio
- 1066 - Mapigano ya Hastings; jeshi lililochoka la Uingereza linashindwa na Wanormandy chini ya William Mshindi. Uingereza unatekwa na Wanormandy.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 1066 - Mfalme Harold wa Uingereza kwenye mapigano ya Hastings
- 1984 - Martin Ryle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974)
- 1999 - Julius Nyerere (Rais wa kwanza, "Mwalimu" na "Baba wa Taifa" wa Tanzania)

