El Salvador
From Wikipedia
|
|||||
| Wito la taifa: Dios, Unión, Libertad (Kihispania: Mungu, Umoja, Uhuru) |
|||||
| Wimbo wa taifa: Saludemos la Patria orgullosos Tusalimie nchi yetu kwa usodawi |
|||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | San Salvador |
||||
| Mji mkubwa nchini | San Salvador | ||||
| Lugha rasmi | Kihispania | ||||
| Serikali
Rais
|
Jamhuri Antonio Saca |
||||
| Uhuru kutoka Hispania kutoka Shirikisho la Amerika ya Kati |
Septemba 15, 1821 1842 |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
21,040 km² (ya 153) 100% |
||||
| Idadi ya watu - Julai 2006 kadirio - 1992 sensa - Msongamano wa watu |
7,203,807 (ya 97) 5,118,599 318.7/km² (ya 32) |
||||
| Fedha | US dollar (USD) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-6) (UTC) |
||||
| Intaneti TLD | .sv | ||||
| Kodi ya simu | +503 |
||||
El Salvador ni nchi ya Amerika ya Kati yenye wakazi milioni 6.9. Imepakana na Guatemala, Honduras na bahari ya Pasifiki.
Jina la nchi linamaanisha "mwokozi" kwa heshima ya Yesu Kristo.


