8 Juni
From Wikipedia
| Mei - Juni - Jul | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[edit] Matukio
- 68 - Bunge la Roma linakubali na mfalme mkuu Galba.
- 536 - Silverius Mtakatifu amechaguliwa kuwa Papa.
- 1624 - Mtetemeko wa ardhi unatokea katika nchi ya Peru.
- 1866 - Bunge la Kanada linafanyika mara ya kwanza katika mji wa Ottawa.

