Guatemala
From Wikipedia
|
|||||
| Wito la taifa: Kihisoania: El País de la Eterna Primavera (maana yake: "Nchi ya Kivuli cha Milele") |
|||||
| Wimbo wa taifa: Himno Nacional de Guatemala | |||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | Guatemala City |
||||
| Mji mkubwa nchini | Guatemala City | ||||
| Lugha rasmi | Kihispania (rasmi) (lugha za asili 23 zimetambuliwa rasmi lakini mambo yote huendeshwa kwa Kihispania) |
||||
| Serikali
Rais
|
Jamhuri ya kirais Óscar Berger |
||||
| Uhuru Tarehe |
Kutoka Hispania Septemba 15, 1821 |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
108,890 km² (106th) 0.4 |
||||
| Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - Msongamano wa watu |
12,800,000 (70th) 134.6/km² (85th) |
||||
| Fedha | Quetzal (GTQ) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-6) (UTC) |
||||
| Intaneti TLD | .gt | ||||
| Kodi ya simu | +502 |
||||
Guatemala ni nchi ya Amerika ya Kati. Inapakana na Bahari ya Pasifiki upande wa Magharibi, na Atlantiki upande wa Mashariki, tena na nchi za Mexiko, Belize, Honduras na El Salvador.


