13 Agosti
From Wikipedia
| Jul - Agosti - Sep | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[edit] Matukio
- 1521 - Jeshi la Hernan Cortez linateka mji wa Tenochtitlan (Mexiko) na kuiharibu kabisa linaua makumi elfu ya wakazi wake.
- 1960 - Jamhuri ya Afrika ya Kati inapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 1961 - Ukuta wa Berlin inajengwa na kugawa mji katika sehemu za Berlin ya Mashariki na Berlin ya Magharibi kwa miaka 28 ifuatayo hadi 1989.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 1917 - Eduard Buchner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1907)

